Search This Blog

Thursday 27 October 2022

MUUZA CHIPSI - 3

 http://pseudepigraphas.blogspot.com/2019/12/muuza-chipsi.html

    Chombezo : Muuza Chipsi

    Sehemu Ya Tatu (3)







    Kiukweli dunia ya sasa hatujui inaelekea wapi, kwasababu zamani hakukuwa na hali ya mtoto mdogo kutembea na mama mtu mzima, kwanza ilikuwa ni laana, but for now imekuwa kama fashion kuwa na Jimama liliokuzidi umri, lakini hayo yote yameletwa na wamama hao hao, coz mtoto mdogo hawezi kuntongoza mtu mzima hata iweje,.. Jimama lina miaka 40 mpaka 50, we mtoto una miaka yako 18 mpaka 22, ungewezaje kwenda kumtongoza mtu mzima kiasi hicho, hivyo hao hao wamama ndio wanawaanza vijana hao, na bijana hao kwa tamaa zetu tunajikuta tunakubali... Basi hio haina shida, unakuta mama na mtoto wake wanachangia mwanaume mmoja,... Inasikitisha sana ila ndio dunia yetu ya sasa,.. Na mimi katika takwimu zangu za baadae miaka 50 ijayo watu watakuja kutembea na wazazi wao waliowazaa, kwasababu kama unatembea na rafiki wa mama yako tena wana umri sawa na mama yako, na unamkuna mpaka anakupa pesa, huoni kwamba baadae watu watatoka na Wazazi wao??..



    Sasa huku kwa sarah aliokuwa akisoma sms za WhatsApp walizokuwa wakichati mama yake na kijana chidi,

    "poa, bye bye bayby wangu"

    "poa mamy"

    Hizo sms za mwisho zilimchanganya sana sarah na kuhisi labda mama yake anamsaliti baba yake, na vile baba sarah ni mtu wa kusafiri safiri tu kila wakati,.. Sarah akawa anataka kusoma sms za juu, lakini alichelewa na kukutwa na mama yake,

    "sarah..."

    Sarah alishtuka na kuitupa simu mezani huku akiomba msamaha mana kakutwa akiwa anasoma...

    "toka lini ukaanza kushika simu yangu"

    "nisamehe mamy,.. Nilikuwa naikagua kama ni ile simu nilioinunua mchana"

    "kwani we huoni kwa macho"

    "naona.. Lakini nilikuwa naiangalia Programu zake zilivyo, kumbe ni ile ile tu"

    "sasa sikia, ole wako siku nikuone umeshika hii simu, utantambua"

    "lakini mama... Huyo Baby Boy ni nani"

    Aliuliza sarah bila kukoma wala nini

    "si mtoto wa shangazi yako mele"

    Mama alimdanganya mana hapo hata akimfokea, lakini keshaona tu, hivyo akawa mpole na kumdanganya kuwa ni mtoto wa shangazi yake mele..

    "heeeee ndio umemsevu baby boy"

    "mbona hata yeye anajiita baby boy"

    "mmmhhh baraka nae ana mashauzi, haya huo ubaby boy kautolea wapi"

    "mi najua sasa,."

    Basi kwakuwa kulikuwa na ndugu yao ambae ni sharobaro sharobaro ambae anajiita baby boy, basi mzigo wote ulimwangukia yeye,..



    Tukija huku kwa akina rehema ambae ni mke wa Ibrahim, aliokuwa tayari keshavaa na walikuwa wakifunga mlango, kana kwamba kuna mahali walikuwa wakienda kwa wakati huo,..

    "mmmghh shoisti"

    Aliongea jasu kwa kumshangaa rafiki yake rehema kwa nguo alioivaa

    "nini jasu"

    "yaani umevaa hilo tentemente na chupi tu"

    "ndio"

    "heeeee, huoni kama hilo tentemente linaonysha"

    "kwani linaonyesha sana"

    "sio sana, lakini unavyotikisa shost utafikiri hujavaa chupi yani"

    "jasu, mjini hapa... Nikivaa Hijabu nitapata wapi pesa ya kula mimi, na vidume vyenyewe ni vya kuhesabu"

    "mmmhhh haya Twende.. Ila shost mlaini mpaka raha yani"

    "jasu, unataka ulete tabia ya kule shule si ndio eee"

    "baaasi twende, heeee hutaniwi"

    Basi jasu na rehema waliita tax na kuipanda,



    Tukija huku kwa kijana chidi, aliokuwa yupo nje akimsubiri saidi ili waende wote PIN POINT (Disco)... Ghafla rafiki yake anatokea na pikipiki wakapanda mshkaki, (wawili kwenye pikipiki moja) waliondoka na kuelekea huko kunako Disco, Kijana chidi ndio kwanza anaenda Disco, toka aje jijini Arusha hajawahi kuingia Disco hata siku moja, huwa anayasikiaga tu watu wakisifiana,...



    Kwakuwa ni usiku na barabara haikuwa na jamu iliweza kuwazuia watu hao, hivyo walifika mapema mno hapo PIN POINT, walikuta watu wengi hapo nje ila chidi yeye ni kushangaa tu, mana hajawahi kukutana na shamra shamra kama hizi,..

    Vijana wanalipia kiingilio kisha haoo wanaingia ndani,... Kule ndani hakuna cha mwanga wala nini ni mambo ya Disco Light tu,.. Hivyo mkipotezana tu kuonana ni majaliwa, ila saidi alikuwa ni mwenyeji wa vitu hivyo, kwahio yeye alikuwa kama anaosha macho tu,...

    Chidi na saidi walienda pale kaunta na kuagiza kinywaji, chidi yeye aliagiza Redbull huku saidi akiagiza safari, basi wao walikuwa wakiangalia tu watu walivyokuwa wanacheza na hua saidi yeye akilewa huingia kati na luanza kucheza,..

    "chidi, mtoto yule, ngoja nikacheze nae"

    "kuwa makini side"

    Saidi alimka pale kwenye viti vya kaunta kisha akaingia kati na kuanza kucheza na mtoto wa kike...



    Alivyotoka saidi tu, Pale kaunta, waliingia waschana wawili,.... Kumbe Akina rehema na jasu walikuwa nao wakija huku huku disco,... Heeeeee patamu apo,

    "mambo"

    Rehema alitoa salamu kwa yule aliomkuta pale kaunta,

    "poa"

    Aliitikia kijana chidi huku akiendelea kuangalia waliokuwa wakicheza, hasa alikuwa akimwangalia rafiki yake saidi jinsi alivyokuwa akicheza na yule mwanamke,..

    "nipatie Castle lager"

    Rehema aliagiza kinywaji huku na jasu nae akiagiza chakwake, chidi akiwa na Redbull yake taaratibu kabisa wala hataki papara,... Sasa rehema katika kupewa kile kinywaji kwenye chupa, mana anataka kupiga tarumbeta... Kisude (kifuniko) cha bia ile kikadondoka, ikabidi rehema ainame na kukitafuta, Saa ngapi chidi hajaona chupi iliokuwa ikionekana kwa mbali kupitia gauni alilovaa rehema,.. JAMANI JAMANI, NINYI WANAWAKE MNATUTESAGA ETI HIVI VIGAUNI VYENU VYEPESIIII, AFU WENGINE MNAVIVAA VIKAVUU HUNA HATA KITU NDANI, MNATUTESA SANA NA MNALIJUA HILO, AFU MKITONGOZWA ETI UNA MPENZI, SASA NGUI ZA KUTUTESA HIVYO ZANINI LAKINI NYIE...



    Chidi alijikuta anapaliwa na kile kinywaji na kuanza kukohoa kwa kile alichokiona mana ugonjwa wa chidi ni kuona chupi au ngozi adimu kama paja au na vingine vingi, sasa hapo kaona kinguo, maskini ya mungu chidi wa watu mpaka kapaliwa na kinywaji chake,. Na rehema sio mchezo yaani kajaaliwa na kuvaa hivyo alifanya kusudi, na sio yeye tu ni asilimia kubwa ya wasichana wanavaaga nguo zao kwa kusudi maalum,... Sio kuwa hawajui,

    "Koho, koho, koho, koho, koho"

    Chidi kukohoa hakumuishi mpaka karibia atapike,.. Rehema alinyanyuka baada kuona kisude hicho, kisha akawa anampa pole kijana chidi,

    "pole kaka"

    Sasa chidi ni mzuri sana kwa kuangaliana, yaani kama mwanamke una aibu basi ukiangaliana na chidi, ni lazima ushushe macho yako chini,... Basi chidi akawa anamwangalia sana yule mtoto wa kike, mpaka rehema akaangalia chini kwa jinsi alivyoangaliwa na chidi,... Chidi aliona hapa nitazua mengine, chidi Aliondoka pale kaunta na kujichanganya kule kati, ila hakuwa na mtu wa kucheza nae hivyo akawa anacheza tu mwenyewe huku akinywa kinywaji chake taaratibu bila mashaka yeyote yale...



    Tukija huku kwa Ibrahim ambae ndio alikuwa anazinduka, lakini alishtuka kuona mdogo wake hayupo,.. Alishangaa mno, mpaka akaamka na kuja mpaka huku kwenye kasebule, kana kwamba labda chidi atakuwa anaangalia tv, lakini pia hakumkuta, alipogusa mlango aligundua umefungea, na ukumbuke kuwa kila mtu ana funguo zake hivyo chidi ana zakwake na Ibrahim ana zakwake,...

    "aaahhhh huyu mtoto kaenda wapi saa hizi"

    Alijiuliza bwana Ibrahim huku akirudi chumbani taratibu...

    "au kamrudia yule malaya wake nini"

    Alijiuliza maswali mengi huku akipanda kitandani ili kulala... Alipogeuza macho pembeni aliiona ile simu kubwa ambayo lisaa limoja liliopita alimgombeza kuwepo kwa simu hio...

    "mtoto mjinga sana huyu, sasa msimu wote huu, wanini sasa, yaani utoto ni ujinga... Afu hii bado mpya kabisa hii, huyu mtoto kanunua lakini ananificha... Mshenzi huyu"

    Aliirudishia kwenye chaji yake ambayo sio ya kuchomeka, ni kuiweka tu juu juu kama kwenye kibakuli hivi lakini sio kibakuli ni chager yake,.... Basi Ibrahim aliendelea kulala zake baada ya kuona ndugu yake atakuwa katoka..

    "lakini kweli ninachomfanyia chidi, sio kizuri... Muda wote namfokea bila sababu"

    Ibrahim alikuwa akijijutia kwa vile alivyokuwa akifanya kwa mdogo wake chidi...

    "lakini sema huyu mtoto nae kazidi sana wacha nimfokee tu pumbavu zake"

    Ibrahim alivuta shuka na kujigubika gubi gubi



    Tukija huku PIN POINT Disco kwa akina chidi na rafiki yake saidi, tunamkuta chidi akiwa anaendelea kuyarudi mangoma mwenyewe.... Lakini ghafla anapita rehema na kumwambia chidi kuwa

    "kumbe huna mtu wa kucheza nae, sasa si ungesema tu"

    Aliongea rehema huku akikaa mbele ya chidi tayari kwa kucheza nae,.. Chidi aliona hio ilikuwa bahati ya mtende kwa mtoto mzuri kama huyo, tena aliokuwa ana umbo la kumvutia kila mwanaume aliostahili kuitwa mwanaume,... Kiukweli rehema alishona haswa maeneo ya huku, yaani kama ni maandazi basi tungelisema hamila imekolea vuzuri, lakini kwakua ni binaadamu, sijui tusemeje hapo... Mana rehema sijui aliikalia wapi hio hamila,

    Chidi aliona ni zali la mentali kucheza mtoto kama huyo,...



    Sasa kama unavyojua michezo ya disco, kuna kubambiana, na rehema hakuwa na aibu ya kumgusisha chidi wowowo lake,... Sasa mbaya zaidi ni kwamba, hisia za kijana chidi hua zipo karibu sana hivyo kitendo cha kuguswa na kalio la rehema, basi hali yake ilianza kuwa mbaya, na vile rehema alivyo mlaini na zile nguo chache alizovaa... Chidi alitamani kuacha kucheza mana alihisi dada huyo angemkoromea kwasababu anamgusa gusa na Zakaria yake, hivyo akawa anataka kuacha... Lakini kabla hajaacha kucheza rehema aligundua kuwa huyu kijana tayari hisia zake zimeamka,

    "we boy, mbona unanigusa na nanii yako"

    Aliongea rehema huku akilegeza sauti tena alikuwa kamgeukia kwa mbele wakawa wanaangaliana

    "samahani dada angu, naomba tuache"

    "mmmhhh afu unaonekana hujapata demu muda mrefu eee, si kweli"

    "ndiooo"

    Chidi aliitikia huku akidhani kuwa kuitikia huko huenda kukawa bahati nzuri kwake,

    "mmmhhh pole mwaya, ila samahani kwa kukuamsha hisia zako"

    Rehema aliondoka na kumuacha chidi akiwa kakaa sehemu flani hivi ya giza, alivyoona vimepungua akarudi kati na kuanza kucheza mwenyewe,.. Ghafla kukatokea kada kengine

    "boy naomba tucheze"

    Chidi sio mchoyo, walianza kucheza huku mtoto wa kike huyo akiwa kapata moto wa kucheza,..... Saa ngapi rehema hajarudi na kumkuta chidi ana kaschana kengine

    "we dada vipi... Unavamia tu wanaume za watu"

    "heeee sa mi si nimemkuta hana mtu"

    "ishia uko..."

    Mmmhhh chidi alishangaa kuona rehema alikuwa akimpigania sana,...

    "we boy, mbona unanisaliti tena"

    "we si uliondoka"

    "no nilienda kuongeza kinywaji tu"

    Basi wakaendelea kucheza, lakini safari hii rehema alikuwa akimfanyia chidi makusudi, kwani alikua akiichukuwa mikono ya kijana chidi na kuishikisha kwenye matiti yake huku akimbinulia kwa nyuma,... Kiukweli sijawahi kumsikia chidi akilia kimapenzi, ila hapa namsikia.. Wakati huo Zakaria yake ilikuwa Ndi Ndi Ndi haswa, tena rehema kujua hilo, alizidi kumgusishia na kujirudisha nyuma...

    Chidi alipoona kapewa uhuru mpaka kwenye kifua, naye alijiongeza...

    Saa ngapi Chidi hajaanza kulipandisha lile gauni la rehema.. Gauni refu ambalo huwa wakitembea wenyewe hulishika hapa mbele na kutuachia tabu huku nyuma...

    "we boy, kucheza gani huko jamani"

    Chidi alijifanya hasikii, lakini rehema hakuwa akizuia kupandishwa kwa gauni hilo, bali alikuwa akiongea tu

    "boiiiiii... Utaniacha uchi mwenzio nina chupi tu"



    Rehema alikuwa ana Mitego mingi sana juu ya wanaume alikuwa akihisi wanaweza kumhudumia kimaisha, na ni kweli ule msemo usemao... KIZURI KINAJIUZA... KIBAYA KINAJITEMBEZA... msemo huu naupenda sana na ni kweli, Rehema alikuwa ni mschana mwenye kila sifa ya urembo, tena mtoto mwenye mwili asilia usio na kemiko hata moja, lakini huezi amini ni wakujiuza mwanzo mwisho... Na hapo alipo ana mimba kwa jinsi wengine wanavyomdhania,...



    "we boy, kucheza gani huko jamani"

    Chidi alijifanya hasikii na kuendelea kulipandisha gauni hilo, jepesiii lililoonyesha nguo yake ya ndani,..

    "biiiiiii... Utaniacha uchi mwenzio nina chupi tu"

    Chidi kuskua neno chupi, na ile sauti iliotumika kulitoa lile neno, alijikuta anamminya rehema makalio yake, kitendo kilichomfanya rehema afumbe macho kwa raha ya kushikwa kalio zake,

    "iv kuna ubaya tukichukuwa chumba"

    Aliongea kijana chidi huku akiingiza kidole katika kitovu cha rehema

    "boiiiiii unataka ukanifanye nini huko chumbani"

    "we nijibu, kuna ubaya"

    Rehema alitikisa kichwa kuashiria hakuna ubaya... Chidi hakuchelewa kufanya hivyo, alimuacha rehema mahali kisha akaenda kaunta na kulipia chumba,.. Kisha akampitia rehema huku muhudumu anakuja kwa nyuma ili kuwaonysha chumba cha kupumzikia,... Rehema keshapata mnyonge wake na anaenda kumkamua huko haswaaa



    Walipofika chumbani chidi kwa jinsi alivyo na uchu wa kumtafuna mtoto huyo, alimtupia kitandani kisha akaanza kuvua nguo zake zote,.. Kisha akamfuata rehema pale kitandani

    "heeeee boi, kumbe ndio mana ulikuwa unanigusa gusa, kumbe kubwa kiasi hiki"

    Aliongea rehema huku chidi akilivua lile gauni la rehema,.. Alimaliza kulivua mpaka kukutana na chupi nyeupe peee, chidi alianza kutetemeka, kwa kuona vitu vinavyomsisimua, chidi alianza kumnyonya denda huku akishika shika nywele za rey,... Rehema alianza kuachia miguu kabla hajaambiwa, miguu ilikuwa ikipanuka Automatically

    Chuchu za rehema zilipata mnyonyaji, haswa, chidi akinyonya chuchu huku kidole chake kimeibinua chupi ya rehema na tayari kikiwa katika hali ya kupima oil kama ipo au hakuna... Kidole hicho kilikuwa kikiloa kila wakati, huku rehema anarusha miguu utafikiri kifo kilikuwa kikimkabiri,

    "aaaah hhhhhhmmmm hhhmmmm Nnnnnhhhhh Aiiiiiiiiii yesu wangu mie uuuuuuuuwwiiiiiiii"

    Rehema alijikuta Akitaja neno yesu bila kupenda

    Chidi alimuacha kisha akakaa sawa tayari kwa kumvua uchupi wake,... Jamani rey alikua ana uchupi haswa, na ni kutokana na umbo lake lilivyo, chidi alianza kuivua huku akilia kimapenzi

    "ssssssiiii Ahhhhhhh.... Siiiiiiiiiiiii aaaaaaaa"

    "ivi boy unaitwa nani"

    "naitwa Rashidi... Wewe je"

    "naitwa rehe... Hhhhmmmm aaaaiiii chidi, nipe basi"

    "unaitwa nani"

    "rehema"

    Rehema alijibu lakini huku akiwa amefumba macho.....

    Chidi hakuchelewa kuianza kazi yake ya kumshughulikia dada huyo,...



    "jamani chidi taratibu wewe"

    Rehema kutokana na uzoefu wake wote lakini kashindwa kuizuia heshma ya chidi,.. Lakini huwa chidi yeye hapendi kuumiza mwanamke bali anapenda kutoa raha kwa mwanamke, hivyo alianza kumfanyia taaratibu kabisa,... Mtoto alikuwa anarelux huku raha nyingi zikimpitia



    ASUBUHI MIDA YA SAA MOJA HIVI,



    Jasu akiwa bado yupo pale kaunta, na disco lilishaisha ila yeye alibakua hapo kwakuwa rafiki yake bado yupo humu ndani, hivyo Hakupenda kumuacha rafiki yake,... Lakini saidi yeye alishaondoka toka usiku ule



    Wakati huo huku kitandani, Chidi ndio anaamka, saa moja...

    Akimuangalua rehema bado kalala tena akiwa kachoka, kwani mlalo aliolala uliashiria kuchoka sana.. Mana hata shuka hajajifunika... Chidi alimfuata na kuanza kumvalisha chupi yake huku akiwa kalala, baada ya kumvalisha alimlaza taratibu na kumfunika vizuri..

    Chidi aliingia bafuni na kuanza kuoga, Dakika kumi baada chidi akawa yupo tayari kwa kila kitu hata kuvaa keshavaa tayari,.. Chidi alitaka kutoroka rehema hivyo akawa ananyata nyata taaratibu ili asije akamshtua, mana pesa ya kumlipa hapo hana, alikuja na pesa kidogo na ndio imeishia kwenye kulipia chumba...



    Sasa chidi ile anagusa tu mlango aliskia akiitwa

    "chidi"

    Mmmhhh alinata kwanza huku akigeuza shingo kikomedi komedi, kitu kilichomfanya rehema kucheka akiwa yupo pale kitandani...

    "yaani una vituko wewe,.. Sasa mbona wataka kunikimbia"

    Daaahhh ishu ya kutoroka ikashindikana,

    "aahhh unajua rey, mimi sina pesa ya kukulipa hivyo nikaona nikutoroke tu"

    "kwani nimekudai"

    "hapana hujanidai ila kutokana na mazingira niliokupata, niliona unahitaji kitu kidogo"

    Rehema aliamka akiwa na chupi tu, na kumfuata chidi pale alipo na kumkumbatia,

    "chidi.. Yaan hata kama ungelikuja na begi la pesa, nisingetaka hata shilingi yako"

    Aliongea rehema huku akiwa kamlalia chidi kifuani...

    "kwanini"

    Aliuliza chidi huku akishika shika chupi ya rey

    "penzi ulionipa chidi, Kiukweli naapa kwa Mwenyezi Mungu, sijawahi kulipata... Chidi yaani leo ndio nimeusikia utamu wa mapenzi,.. Chidiiiii... Ivi una mpenzi kweli"



    Tukija huku kwa Ibrahim aliokuwa kafungua kibanda kimoja tu, kile kipya ila kile cha zamani hakijafunguliwa kabisa,

    "mtoto msenge huyu,... Toka jana mpaka saa hizi hajarudi"

    Ibrahim alikuwa akimenya viazi hapo kazini kwake huku akilalamika kuhusiana na mdogo wake kuondoka toka jana bila kurudi nyumbani, na mbaya zaidi chidi hakufungua banda la chipsi,..

    Hasira alionayo ibra sipati picha itakuaje kwa chidi



    Tukija huku gesti kwa chidi akiwa na rehema wake waliokesha nae usiku kucha, na kumfanya rehema kumpenda chidi bure bure tu,.. Wakati mwanzo aliona kapata buzi

    "chidiii... Ivi una mpenzi kweli"

    Rehema alimuuliza chidi huku chidi akijibu kuwa

    "hapana"

    "waooo safi,.. Vip na unategemeo la kuwa na mpenzi"

    "hapana"

    "kwanini... Au unaona nitakudai pesa"

    "hapana"

    "chidiiiii... Nakuahidi nitakupa mwili wangu wote buuure kabisa, ila naomba niwe mmoja kati ya uliowaweka moyoni mwako, Please chidi.. Sijawahi kumtongoza mwanaume ila leo siwezi kukuacha chidi"

    "ngoja nifikirie kwanza, nitakujibu"

    "ok staki kukufosi, we nifikirie but ngoja niagize chipsi tule"

    Sasa kitendo cha rehema kutaamka neno chipsi, kilimfanya chidi awe kichaa wa mbio, yaani alitoka hapo mlangoni kama upepo vile...

    Alipita pale kaunta kama chizi mbio mbio mpaka jasu akashangaa, kwa kumuona chidi anakimbia...

    Jasu ikabidi apande juu kwenda kumwangalia rafiki yake kapatwa na nini mbona mtu aliokuwa nae katoka mbio..
    http://deusdeditmahunda.blogspot.com/



    Wakati huo chidi akiwa mbio mbio huku akijiuliza,

    "kudadeki, yule Ibrahim kule itakuaje, aisee atakuwa kanuna"

    Chidi aliongeza spidi mpaka kibandani kwa ibra, ambae ni kaka yake,... Kufika tu cha kwanza aliomba msamaha kwa kaka yake mana anajua lazima atakuwa kachukia..

    "broo nisamehe kwa kuchelewa"

    "ulienda wapi we fara"

    "disco"

    Hakumficha kaka yake alimuambia ukweli kuwa katoka disco

    "toka lini wewe ukaenda disco"

    "nilianza jana broo"

    aliongea huku akimwogopa sana kaka yake,.. Ibrahim alitoa pesa na kumrushia, kana kwamba keshamsamehe mdogo wake hivyo kamrushia pesa ya kwenda sokoni kuchukuwa mazaga ya chipsi.. Chidi aliamka fasta na kwenda sokoni kununua viazi na nyama bila kusahau kuku, mana bado hawajafikia kuchinja kuku wenyewe huwa wananunua kuku watano waliochinjwa tayari, kisha wanakuja kuwauza huku kwenye banda lao,...



    Tukirudi huku gesti, tunamkuta jasu ndio anaingia chumba alichokuwa rafiki yake, jasu kwanza kamkuta rafiki yake yupo na kanguo hako tu,

    "vp shost.. Mbona katoka mbio"

    "Kiukweli hata sijui kakumbuka nini"

    "mmmhhh ivi kakulipa kweli"

    "mmmhhh shost, kwani hata nina hamu ya kumdai"

    "ooohooooo, umeshatorokwa hivyo"

    Aliongea jasu na kudhani labda rafiki yake katorokwa

    "wala hajanitoroka, sema kuna kitu labda kakumbuka... Nilipotaja tu chipsi, yaani nilishangaa tu mlango umefungwa"

    "nakuambia kashuka pale kwenye ngazi,.. Alipita pale kaunta kama upepo vile"

    "hhhhh hata sijui kakumbuka nini"

    "ok... Kikubwa upo hai tu shost wangu mana nilikuwa nawaza kakufanya nini huku"

    "wala tu shost nipo vizuri"

    "ila.. Hujampa huko"

    "mmmhhh shost jasu, vile alivyo dudu lake si angeniumiza"

    "we si konkodi wewe"

    "hhhmmm ni kweli lakini sio kwake,... Na staki ajue kama mimi nina tabia hio, mana naskia wanaume hawaoi wanawake wenye michezo yote"

    Walikuwa wakiongea kimkato mkato hivyo hata kuelewa huezi kuwaelewa kuwa wana tabia gani mbaya ya kucheza kote kote

    "ila shost rey"

    "nini jasu... Mi mwenzio sijaingiza hela leo"

    "sawa sikatai... But leo sijapata mwanaume afu nina hamu mwenzio"

    Jasu aliongea hivyo huku akijishika matiti yake mazuriii

    "jasu jamani mie nimechoka eti, nimesulubishwa na yule boy"

    "bora yako wewe... Sasa mimi utaniseidiaje rehema wangu"

    "jasmini, hebu jikaze tu"

    "nooo Nataka sasa hivi"

    Mmmhhhhh hata mimi sielewi hapo, mana hakuna mwanaume lakini kama vile wanatakana...

    Jasu alianza kumshika shika mschana mwenzie, huku rey akiwa hataki mana kachoka kutokana na kichapo kutoka kwa chidi..... Sasa jasu sijui alikuwa anataka nini kwa rehema...

    Rehema kushikwa tu kidogo kalegea na kujilaza kitandani huku jasu akifuata juu yake.....



    Ama kweli dunia imekwisha Jamani, katika hali ya kushangaza sasa wanaume hawana lolote juu ya wanawake wetu,... Hapo ndani hakukuwa na mwanaume lakini wanawake walikuwa katika hali ya kama kulikuwa na mwanaume,.. Hali hiii imekithili sana katika ulimwengu huu wa sasa kitu ambacho ni laana kubwa sana katika ulimwengu wetu wa sasa,

    Miaka ya nyuma ilikuwa inajulikana hali hii ni wanaume tu, lakini sasa mpaka wanawake wapo, 5ena kwa takwimu zangu nadhani ndio kwa asilimia kubwa..



    Rehema alilegea tepe tepe baada ya kushikwa na mwanamke mwenzie ambae ni jasu, Rehema hapo alipo alikuwa ana kachupi tu tena ni pale alipovalishwa na kijana chidi...

    Jasu nae taaratibu alivua nguo zake na kubakiwa na chupi kama mwenzie rey, Kiukweli walichokuwa wakikifanya kilikuwa kikishangaza sana mana hhhhmm hata havisemeki Kiukweli...



    Iliwachukuwa nusu saa nzima wakawa wamechoka mno, haswa haswa rehema, mana rehema katoka kuchezea zakaria ya chidi muda si mrefu,..

    "ahsante shost yangu"

    Jasu aliongea hivyo huku akimbusu rehema,.... Walivaa nguo zao kisha wakaondoka zao,



    Tukija huku kwa kijana chidi aliokuwa kesharudi sokoni, hivyo alikuwa akimenya viazi lakini mwili wake ulikuwa umechoka sana,

    Rafiki yake ambae ni saidi alikuja pale na kuanza kumseidia kumenya viazi mana kuchelewa huko kulisababishwa na saidi kumchukuwa mwenzie mpaka disco.

    "asee nimechoka mno rafiki yangi"

    Aliongea kijana chidi huku akishika kichwa kuashiria kuchoka mno,..

    "pole sana, inaonekana ishu kama hizi hujazizoea chidi"

    "kabisa, yaani jana ndio kwanza nimeanza jana, sijawahi kuingia disco hata siku moja"

    "daahhh sorry bwana nikajua unapendaga ishu kama hizo"

    "aahhh wapi bhana, hatuna uzoefu tu"

    "ok... Sasa, kile chumba nimeshakipata ila kwa mwezi ni elfu 60, kina tailizi kina choo na bafu humo humo alafu ina kachumba kadogo kama kajiko au kastoo hivi,.. Elfu 60 kwa mwezi"

    Aliongea kijana saidi mana ndio alipewa kazi ya kutafuta chumba,..

    "aahhhh side mbona bei ghali hivyo"

    "baba we acha tu ni balaa, yaani hicho chumba ukikiona, utatamani hata ulipe laki moja kwa mwezi"

    "mmmhhhh kina madini nini"

    Chidi alitoa kasimu chake kisha akapiga hesabu za kulipia chumba hicho mana anatakiwa atoe kwa mwaka...

    "khaaaaa, Elfu 60 mara 12 ni laki 720... Kudadeki"

    Aliongea baada ya kupiga hesabu zake, kwani chumba hicho kinatakiwa kilipiwe kwa mwaka,...

    "mi pia nilikushangaa sana, unawezaje kutafuta chumba cha aina hio na wakati hali yenyewe ndio hii"

    Aliongea saidi bila kujuwa kuwa mwenzie kuna ufadhili kaupata na ndio mana kaamua kitafuta chumba chenye hadhi,..

    "we acha tu side, nitajitaidi nikipate"

    "mmmhhhh laki saba chidi, utaitoa wapi"

    "nitaipata tu"

    "eehhhh basi we sio mwenzangu tena"

    "ahahahahahah waapi bhana side kawaida tu"

    Basi ilipita muda mrefu sana, na kijana side alimwahidi chidi kuwa jioni akitoa waende kukiona chumba hicho,...



    Na sasa ni mida ya mchana, chidi akiwa katulia katika kiti chake, huku akiwa tayari kwa huduma kwa wateja wake,.. Ghafla mama yake yulee kaja,..

    "chidi mbona umekaa kiupole hivyo una nini"

    Aliongea mama huyo ambae ni mama yake na sarah,

    "kile chumba nimekipata lakini kina bei sana mamy"

    Chidi aliongea hivyo, lakini sio kweli kuwa upole wake au kutulia kwake ni sababu ya kusikia bei ya chumba,

    "ni kiasi gani wanataka"

    "wanataka kulipia kwa mwaka"

    "shilingi ngapi sasa"

    "laki 8, lakini si ulinipa laki 6 hivyo bado laki mbili tu"

    "aaahhhj hio isikupe tabu,... Sasa nataka Twende tukanunue vitu vya ndani"

    "sasa hivi"

    "ndio"

    Chidi alinyanyua simu yake na kumpigia saidi

    "oya side, ebu njoo hapa mara moja"

    Alimwita rafiki yake saidi.... Punde si punde saidi alifika na kumuacha pale kibandani kisha chidi wakaenda katika duka la fenicha ili kununua kila kitu cha ndani,... Kiukweli chidi alinunuliwa vitu vya gharama sana, yaani vitu vya bei ghali mno...

    Walinunua kila kitu mpaka tv, yaani hakuna kitu kimeachwa hapo,.... Chidi alitoka kwenda kutafuta gari kwa ajili ya kuvipakia,... Walipata gari na kuvipakia vyote,

    Lakini wakati wanataka kuondoka, ghafla mama huyo akapigiwa simu ya kikazi, na nia yake ni kuelekea huko kwenye hicho chumba

    "sasa, we peleka tu mi ngoja niwahi kazini sawa"

    "sawa mamy"

    Basi mama huyo akaondoka na kumwacha chidi akiwa anataka kupeleka vyombo hivyo huko kwenye hicho chumba,...

    Chidi alitoka hapo na gari hio yenye fenicha zake zenye gharama kubwa mno,.. Chidi alipitia pale kibandani na kumchukuwa saidi mana chidi hapajui,... Hivyo chidi alimwachia fatuma ofisi kitu ambacho ni cha ujinga mkubwa sana,...

    "uyo demu ataqeza kuuza hapo... "

    "aahhh mi nataka ukanionyeshe tu hicho chumba kisha urudi mi niendelee huku"

    "aahhh mbona ni kitendo cha dakika mbili tu, twenzetu basi"

    Basi kijana chidi na saidi walipanda gari hio kisha haooo wakaondoka....



    Tukija huku hotelini kwa akina sarah, tunamuona sarah anamuuliza mama yake baada ya kufika hapo,

    "mama siku hizi upo bize, una nini afu hunishilikishi, na ulikuwa ukinishilikisha mamy"

    "usijali, kuna kazi nilikuwa nafanya"

    Mama alimjibu mtoto wake hivyo, mana sio kila kitu ajue

    Sarah alibaki kuwa kimya huku mama yake akiendelea kuingia ofisini kwake akiwa kama boss na mtoto wake ndio meneja wa pesa za mauzo kisha zinamfikia mama yake,...

    Sarah alishindwa kumuelewa mama yake kwani kwasasa kabadilika sana, amekuwa mtu wa kutoka toka kila mara,



    Tukija huku kwa akina rehema ambae ni mke wa Ibrahim, akiwa na rafiki yake jasu, wakati huo walikuwa wakipika chakula cha mchana lakini aliokuwa anapika alikuwa ni jasu, kwani rehema alikuwa anaumwa,

    "we rehema jwani tatizo ni nini"

    "we acha tu jasu... Viungo vyangu vimetibuliwa na yule mwanaume"

    "mmmhhh pole sana ila sema nawe hujalipwa bwana umeniuzi"

    "Kiukweli sitomdai na wala simdai... Jasu sijawahi kukunwa eti, yaani toka tumalize shule kipindi kilee, yaani hata alionitoa bikra yenyewe haikuwa hivi jasu"

    "mmmhhh pole mwaya"

    Rehema alikuwa akiumwa kwa kile kilichofanywa na kijana chidi,..



    Tukija huku kwa chidi na saidi wakiwa ndio wamefika hapo kwenye hio nyumba, katika mtaa uitwao sakina, chidi mwenyewe alipiga saluti kwa uzuri wa hio nyumba,..

    Basi vitu viliingizwa huku saidi akichukuwa toyo ili arudi kule kibandani,.. Chidi aliendelea kuingiza vitu ndani, na katika nyumba hio kulikuwa na wapangaji wanne na chidi ni watano,... Lakini chifi alikuwa akiona familia za kike tu kana kwamba waliokuja kupangisha hapa kabla ni watu na familia zao.. Punde sii punde chidi anapigiwa simu, kucheki namba anakuta ni kaka yake,...

    "ivi umepatapata hapo leo"

    Aliuliza bwana Ibrahim, na chidi akamjibu

    "yes nina kitu kama elfu 40 hivi"

    "ok bado mapema, Hebu fanya mpango ukaitume pale M-pesa"

    Ibrahim alitaka pesa hio akatumiwe mke wake,..

    "nikaitume yote"

    Aliuliza kijana chidi mana kazoea kutuma elfu 30 kila siku sasa leo iweje iwe 40 na ndio hio hio iliotoka

    "ndio... We itume yote"

    "mmmmhhh sawa broo"

    Chidi alikata simu na kumpigia saidi ambae aliondoka dakika moja tu iliopita,..

    Saidi alirudi mana alikuwa bado yupo karibu sana, chidi alitoa kiasi cha shilingi elfu 40 na kumpa saidi

    "aisee ebu kaitume pale M-pesa"

    "naituma kwa nani"

    "we ukifika pale kwa wakala wetu wa jirani pale, we mwambie kuwa nimeagiziwa na Ibrahim uitume hii pesa,.. Sasa huyo wakala anajua namba ya kutuma"

    "oooke, poa basi we pambana hapo, mi wacha niwahi si unajua tumemwacha demu tu pale"

    "yes, fanya hivyo aisee mana leo hali ni mbaya sana"

    Saidi aluondoka lakini chidi alikuwa ana wasiwasi sana juu ya kaka yake kama akijua kuwa kule kibandani kamwacha mtu afu yeye hayupo...



    Tukirudi huku kwa akina sarah na mama yake, Sarah alikuwa bado anaumiza kichwa sana kuhusiana na mama yake, na hapo ofisini tunamwona mama sarah alikuwa kama anataka kutoka tena,.. Sarah aliona ngoja apande rosheni ya juu kwenda kumpatia pesa iliotoka mchana huo, mana haruusiwi kukaa na pesa muda mrefu,...

    Ghafla mama sarah anashtuka baada ya kuona mlango umefunguliwa bila hodi,

    "aahhh umenishtua wewe aahhh"

    Aliongea mama sarah huku akifunga mtandio wake vizuri,....

    Sasa sarah alipoingia pale ndani, kuna lisiti aliiona...

    Akawa anaitolea macho sana huku akijiuliza kuhusiana na lisiti hio

    Sarah hakutaka kuona kwa macho tu bali aliipelekea mkono na kuichukuwa....

    "milioni tatu na laki tano"

    Sarah alitaamka hivyo, huku mama yake akigeuka kwa mshtuko wa maneno hayo..





    Sarah alikuwa akimfatilia sana mama yake mpaka kufikia hatua ya kuigundua lisiti ambayo ndio ilionunulia vitu vya chidi, yaani zile fenicha ambazo chidi anaziingiza kule ndani, lisiti yake ndio hii, kumbe vitu vile vina gharama ya shilingi milioni tatu na laki tano, yani vilikuwa ni vitu vya thamani sana,..

    "si nilienda kununua vitu vya kule nyumba mpya"

    Mama aliongea hivyo, tena kwa msistizo wa hali ya juu,

    "kwani ile nyumba imeisha"

    "hapana, ila nilinunua ili tupeleke mlinzi mana nyumba imefikia hali ya kulindwa sasa"

    "ahhhhh lakini mbona umemnunulia vitu vingi hivi"

    "yes, kwasababu tukigamia kuna vingine tutavichukuwa"

    "aahhhh sawa"

    Mama ni mama tu,... Mama ndio wa kwanza kuona jua, hivyo huenzi mdanganya na ishu yeyote ile,.. Na ni kweli wana nyumba mpya ambayo inaendea kuisha, ila vyombo hivyo havikupelekwa huko kama alivyosema mama yake na sarah,

    Sarah aliridhika kwa moyo wote kutokana na maneno ya mama yake,... Sarah aliiancha ile lisiti kisha akampa mama yake pesa ya mauzo ya toka asubuhi mpaka mchana huo,..



    Tukija huku kwa chidi ambako vyombo vilikuwa vikiisha kuingia ndani, hata majirani wenyewe walikuwa midomo wazi kutokana na vyombo hivyo vilivyo vya hali ya juu na vya gharama kubwa,.. Tv yenyewe ni kubwa yenye inchi 40, Dstv decoder, yaani hapo kwenye hio nyumba hakuna aliokuwa anamkuta chidi kuwa na vitu vya gharama kama hivyo,..

    Kazi ya kuingiza fenicha iliisha na sasa alikuwa akivipangilia kila kitu sehemu yake,...



    Wakati huo huku kwa saidi aliokuwa akiendelea kufanya kazi alioachiwa na kijana chidi ambae ni rafiki yake, na hio ni kwasababu ya kwamba chidi leo yupo katika hali ya kuandaa chumba chake,... Saidi alishatuma ile elfu 40 aliopewa na rafiki yake,..



    BAADA YA MWEZI MMOJA KUPITA



    AFTER ONE MONTH AGO



    BAADA YA MWEZI MMOJA KUPITA



    Chidi akiwa yupo katika kazi yake ya uuzaji wa chipsi, tena kwa sasa amekuwa mkali wa kuoika chipsi kuliko hata kipindi cha nyuma,... Chidi alienda disco mwezi uliopita, na kitendo hicho alikilaani sana mana alitumia kiasi cha elfu 40 kule disco, na wakati hio pesa angelituma kwa wazazi wake basi ingewaseidia mno,.... Chidi toka siku ile mpaka kesho hatokaa kupenda kwenda disco,.. Na sasa chidi yupo katika chumba chake ambacho alihamia mwezi mmoja uliopita, hivyo kwa sasa haishi na kaka yake tena...



    Ikiwa ni saa saba mchana simu yake ile kubwa ilikuwa ikiita, kucheki alikuwa ni lile jimama lake, ambae ni mama yake na sarah,

    "haloo"

    "haloo we chidi, mbona unanizungusha jamani we mtoto"

    Aliongea mama huyo kwa hali ya kawaida, kana kwamba kumbe chidi hajawahi hata kumpata utamu mama wa watu, hivyo mpaka leo huezi amini hajampa mana kila akimfuata chidi haishi kutoa sababu zinazomfanya mama huyo amuelewe,..

    "mamy usijali, bize na kazi kidogo inanibana, yaani ukitaka hivyo inatakiwa siku mbili nzima nisiingie kazini, je nitawezaje kufanya hivyo mamy, na hii ni kazi ya watu nimeajiriwa mimi mamy"

    "lakini si nilikuambia nitakulipia siku unayoingiza hapo.. Sawa ok, hata hizo siku mbili mimi nitakulipa"

    "ok poa basi tufanye kesho ndio nisiende kazini afu kwshokutwa ndio tunanii"

    "sawa mi nakubali... Chidiiii yani niishie kukuangalia tu, afu hata kule kwako hujanipeleka kwanini"

    "aahhhh kule kuna waswahili sana, mi spendi iwe hivyo, kuna waswahili sana pale ndani"

    "ahahahahaha kwahio hutaki niwe nasemwa semwa"

    "ndio spendi, coz huenda kuna mmoja akakujua ikawa tabu tupu"

    "ok.. Kwaio kesho ndioooo"

    "no keshokutwa, mana kesho nitatakiwa kupumzika ili keshokutwa ukome"

    "ahahahaahahahahahahaha... Eti nikome, na mimi ndio nataka hivyo"

    "sawa we subiri"

    Walikata simu na kila mtu akaendelea na shughuli zake,



    Tukija huku kwa rehema akiwa katulia nyumbani kwake, ambako ndiko alikopangishiwa na kijana Ibrahim,..

    Rehema alinyanyua simu na kumpigia mpenzi wake huyo huku akijifanya kuwa na huzuni kubwa sana,...

    "haloo mume wangu"

    Aliongea rehema huku Ibrahim akimsikiliza mke wake kwa umakini sana

    "swma mke wangu"

    "mbona hujatuma ile pesa"

    "aaaahh ooohh sorry sorry ngoja nifanye mchakato"

    "sawa mume wangu"

    Ibrahim alikata simu kisha akampigia mdogo wake ambae ni chidi

    "ww dogo.. "

    "sema broo"

    "ebu katume elfu 50 haraka haraka sawa"

    "yanini tena broo, kumbuka leo hali ngumu eti, kama mpaka saa hizi tuna elfu 60 tu, na sasa ni saa 10"

    "ivi nikuulize swali"

    "yes uliza tu"

    "hio pesa ni yako"

    "sawa sio yangu kaka, ila kumbuka biashara kaka"

    "nimesema katume hio pesa"

    "mmmhhhh sawa"

    Basi kijana chidi alikata simu kwa hasira huku akipiga hatua kuelekea kwa wakala wa M-pesa ili aweze kutuma hio pesa...



    Tukija huku hotelini kwa akina miriam kumbuka kuna hoteli mbili kubwa na ndogo, ila hio ndogo ni hoteli yenye nyota tatu, na hio kubwa ina nyota tano hivyo ukiambiwa ndogo ndio kuwa ni kibanda, Hapana bali ni ghorofa kubwa haswa...

    Sasa hoteli tunayoisemea hapa ni huku kwa akina miriam, Sarah leo alimtembelea rafiki yake huku kazini,

    "weee saaaarah jamani, ivi nimekufanya nini ndugu yangu"

    "mbona hujanifanya kitu miri"

    "sasa kwanini siku hizi huji kulala kwetu"

    "ah no sio kuwa spendi, ila ni mama ndio ananiambia nilale pale nyumbani kwasababu, baba sasa hivi anasafiri safiri sana"

    "jamani sarah nimekumisije mie"

    "ila baba kurudi jana"

    "sasa leo si uje jamani sarah"

    "ok leo nakuja,... "

    "Enhee vp kuhusu yule jambazi lako"

    "unaniuzi tena"

    "ok basi shost, but i think utakuwa unainjoi nae sana"

    "we acha tu miri, yaani sijawahi kumuona hata siku moja shost,.. Yaani toka nimpeleke kwao siku ile mpaka leo sijawahi kumuona na namba yake ninayo ila siikumbuki nimemsevu nani"

    "mmmhhh shosti na wewe, hebu fuatilia namba zako zote"

    "heeeeeeeeeeee contacts 500 na pointi nitawezaje kufanya hivyo"

    "we jaribu tu utajua"

    "mmmhhh nitajaribu siku nikipata nafasi"

    Basi sarah na miriam waliendelea kupiga stori nyingi sana hususan za wapenzi wao jinsi wanavyowaona,...



    Wakati huo kijana chidi kafika M-pesa na yupo tayari kwa kutuma pesa, lakini kabla hajatuma alikumbuka hata jana kaja kutuma pesa, juzi pia alituma... Karibia kila siku lazima atume elfu 30 kila siku iendayo kwa mungu

    "broo, hivi ukizituma zile pesa unatuma kwenye namba tofauti tofauti au ni mtu mmoja tu"

    Aliuliza kijana chidi huku akionyesha msistizo wa hali ya juu sana

    "kwani vipi"

    "amna, nilitaka kujua tu broo"

    "natumaga kwenye namba moja tu"

    "samahani sana kaka... Naweza kuipata hio namba"

    "aaahhhh hapana, siwezi kukupata"

    "kakaaaa.... "

    "siwezi kukupa"

    Chidi aliona bila lushwa hapa hapati kitu, chidi aliingia mfukoni na kutoa kiasi cha shilingi elfu kumi, ili tu apewe hio namba inayotumiwa pesa hizo,...

    "fanya hio namba bwana"

    Chidi alimpa yule wakala elfu 10.. Na kweli wakala kapokea pesa hio huku akifungua kitabu chake cha kuhefadhia namba za watumaji wa kila siku,...

    "afu huyo ni mwanaume au mwanamke"

    "ni mwanamke"

    "eeehhh ni nani uyo mwanamke"

    Aliuliza chidi huku akijifikiria sana, mana anajua ana shemeji lakini hajawahi kuonyeshwa, na aliambiwa shemeji huyo ana mimba kubwa tu,...

    "ni mke wa Ibrahim"

    "wacha bwana.... Kumbe anahudumia eee"

    "ndio, ila we namba waitaka yanini"

    "no we nipe tu"

    "ok... Chukuwa"

    Alipewa namba hio ikiwa imeandikwa kwenye kikaratasi kisha akaiinguza kwenye simu yake na kumpigia mtu huyo.. Chidi alisogea pembeni kidogo na kuongea nae

    "eee haloo mamy habari yako"

    "salama nani mwenzangu"

    Rehema aliuliza huku akisikiliza kwa makini sana

    "aahhh mimi ni wakala... Sasa leo mtandao unasumbua na kuna pesa nataka nikutumie"

    "wewe umebadilisha namba"

    "hapana, ila nimeomba simu hapa jirani"

    "ok basi ngoja nije niichukue hapo"

    "sawa fanya haraka"

    "sawa kaka"

    Chidi alikata simu, huku akivuta kiti pale kwa wakala



    Wakati huo rehema ndio anachukiwa toyo na kuja huku pembezoni mwa mji ambako ndio karibu na ofisi ya zamani ya mume wake Ibrahim, na sasa kamuachia mdogo wake chidi...



    Chidi katulia hapo kwa wakala, akiwa anaangaza macho huku na kule kana kwamba huenda akamuona mtu huyo akija,.. Na ni kweli rehema alikuwa anakaribia kufika hapo kwa wakala, na chidi kakaa wazi wazi ili amuone shemela wake, tena akiwa ana mimba mana hajawahi kutambulishwa sasa wacha amuone leo,....

    Na shemeji wa chidi alikuwa spidi kweli kuja kuchukuwa pesa alioambiwa mtandao unasumbua mno... Tena chidi alikaa kipesa hapo nje ili... Na rehema na e keshafika yupo nyumba ya pili kutoka hio ya wakala....

    "aahhh huyo shemeji mbona haji sasa"

    Aliongea kijana chidi huku akikaa vizuri kwa kumsubiria shemeji yake huyoo





    Kweli usilolijua ni usiku wa giza, uamuzi wa kijana chidi kumsubiria huyo mschana anaesemekana ni mke wa kaka yake, na sio kuwa chidi hamjui, anamjua vizuri sana ila anamjua kama changudoa tu na hamjui kama shemeji yake, chidi alifanikiwa kupewe namba za mwanamke huyo na kuanza kuzifanyia kazi, alizipiga na hatmae zikapatikana, baada ya kuongea nae aliamua kumsubiria hapo nje ya wakala wa m-pesa ambapo ndipo panapotuma pesa kwenda kwa mwanamke huyo...

    "aahh huyo shemeji mbona haji sasa"

    Aliongea kijana chidi huku akikaa vizuri kwa kumsubiria shemeji yake huyoo



    Na shemela mwenyewe hakuwa mbali yaani alikuwa jengo la pili kutoka hilo alilokuwepo kijana chid,

    "aaaahhh nikikaa hapa akinikuta itakuwa sio ishu"

    Chidi aliona ni bora atoke eneo hilo ili asikutane nae uso kwa uso,.... Sasa ile anatoka tu na rehema nae ndio anaingia, yaani wamepishana dakika moja tu,.. Na chidi hajamuona huyo mdada kama keshafika eneo hilo, chidi alirudi pale kibandani kwake anapouzia chipsi,.. Akakaa kwa nje pale, sasa akawa anaangalia kwa umakini wa hali ya juu,

    "mbona hatokei sasa"

    Chidi aliongea hivyo huku akiona mschana mwenye umbo zuri akiwa kasimama pale kwenye dirisha la wakala,. Ila alipomwangalia vizuri alimkumbuka yule mschana

    "khaaa yule mdada mbona ana umbo kama la yule changudoa"

    Alijisemea kijana chidi huku akiamka ili kwenda kumuangalia,...

    Chidi alifika pale dirishani kwa wakala, sasa kabla hajauliza kuhusu kuja kwa mke wa ibra,

    "aliokupigia simu ni huyo hapo"

    Aliongea yule wakala huku akimnyooshea kijana chidi kidole, na yule dada akageuka na kumuangalia kijana chidi,...

    "heeeeee chidiiiii jamani ulipotelea wapi, jamani toka siku ile"

    Aliongea rehema huku akitaka kumhag, chidi alikwepa na kumuangalia kwa dharau, mana kama huyu ndio huyo mke wa kaka yake basi hafai hata kidogo, yaani hata kwa dawa,...

    "ebu ngoja kwanza... Ivi wewe na Ibrahim mpoje"

    Aliuliza kijana chidi huku akimtolea macho rehema, wakati huo rehema yeye hajui kama huyu ndio ndugu wa Ibrahim ambae ni mume wake,...

    "we kaka huyu kijana kwani ni nani"

    Rehema alimuuliza wakala na wakala hakutaka kumficha, ila sema wakala pia hajui kama mimi na Ibrahim ni ndugu,

    "huyu ni muuza chipsi wa pale... Badala ya Ibrahim ndio huyu"

    Rehema pale pale akakumbuka siku moja ilikuwa hivi



    "mke wangu,.. Nina mgonjwa kule ambae ni ndugu yangu hivyo haitakiwi niimalizw hii pesa yote"

    "heeeeeeee mimi na ndugu yako nani wa muhimu"

    "aahhh wote ni wa muhimu kwangu"

    "taja mmoja kama mimi sio wa muhimu niache"

    "ok basi wewe ndio wa muhimu"



    Alipokumbuka hilo akakumbuka na siku nyingine tena



    "sasa mume wangu wewe una kibanda kingine, je? Hicho kingine umemwachia nani"

    "ahahahaha yupo ndugu yangu mdogo ndio anasimamia kile kibanda cha zamani pale shule"

    "kumbe una ndugu, sasa kwanini hujanitambulisha kwa shemeji yangu jamani"

    "usijali ipo siku utamuona"

    Rehema alishtuka baada ya kugundua kuwa huyu huenda ndio huyo ndugu yake na Ibrahim,..

    "chidi, usinifiche wewe ni ndugu wa Ibrahim"

    "sasa je, hajakwambia nini"

    Chidi alimjibu rehema kwa nyodo, na hata ule upendo wa rehema kwa chidi uliisha baada ya kujua kuwa huyo ni ndugu yake na mumewe, afu mbaya zaidi keshampa mwili wake siku ile walipoenda disco,...

    Rehema baada ya kujua hivyo hakutaka kuendelea kukaa, aliondoka zake bila kudai pesa iliomleta,... Lakini chidi hakutaka kumuacha alimfuata nyuma nyuma na kumzuia kwa mbele,...

    "skia we kahaba, kuanzia leo naomba uachane na kaka yangu, kuanzia leo achana na kaka yangu.. Muache Ibrahim afanye maisha yake, kila siku elfu 30 tu, je anaingiza kiasi gani, na mimi ndio natumwa kila siku kuja kutuma pesa,... Achana na Ibrahim, afu unajifanya una mimba, una mimba iko wapi,.. Mbona nimekugeuza geuza kule gest huna cha mimba wala nini.... Achana na kaka yangu mjinga wewe"



    Chidi alikuwa akiongea huku anatetemeka midomo kana kwamba kitendo anachomfanyia kaka yake sio kizuri, kumdanganya ana mimba wakati hana hata kichanga,.. Chidi alikasirika sana na hakujali kitu hata kama alishawahi kula uroda wake lakini hakujali, kwasababu Ibrahim alikuwa akiitenga familia yake kwasababu ya huyu malaya asie na kwao,...

    "skia endapo utaendelea na kaka yangu, utakiona cha mtema kuni kutoka kwangu"

    Chidi aliondoka na kumpiga kibega dada huyo, kana kwamba kamchukia sana, mana yeye ndio chanzo cha familia yao kuteseka kule kijijini,... Kwanini wanawake hamuna hata huruma ukimkuta Zezeta basi wamgandaa mtu mpaka anasahau familia yake,...

    Rehema alipanda toyo kisha akaondoka zake,...

    Chidi nae alirudi katika kazi yake huku ile pesa akiwa nayo,...



    Tukija huku kijijini katika familia ya kijana chidi, kama kawaidia familia ilikuwa ikihitaji pesa, kwani hali yao ilianza kuwa mbaya kichakula mana mvua hazikunyesha muda mrefu hivyo hata mazao hakuna kwahio tegemezi lao mi watoto wao ambao wapo mjini,..

    Katika familia hio mtu mwenye nguvu ni salma peke yake,... Hivyo walichukuwana na wazazi wa kijana chidi na kwenda kulima kibarua japo hawatolima pakubwa lakini ilimradi wapate pesa kidogo ya kiwakidhi mahitaji yao...

    "mama kwanini tusimpigie chidi atutumie hata kidogo tu"

    "mwanangu,.. Kila wakati tukimuomba pesa atashindwa kufanya hata maendeleo yake,.. Hivyo tuwe tunampa hata nafasi ilo afanye na mambo yake"

    Aliongea mama yake chidi huku wakiwa katika shamba wakilimia misitu, kazi hio ni ngumu sana na ilikuwa yamtaka aifanye kijana chidi, kwakuwa yeye ndiye mwenye nguvu ya kuvunjana na misitu ili wapate pesa,... Mashamba wanayo mengi sana ila hawataki kuyauza na sio wao tu hata chidi pia hataki shamba liuzwe, hilo moja liliouzwa kwa ajili ya kuoa basi liishie hilo hilo shamba moja,.. Ilifika jioni wazazi wa kijana chidi walichoka kufanya kazi hivyo waliamua kutangulia nyumbani...

    "salma mwanagu, wacha sisi tutangulie, wewe msubiri huyo baba aje akulipe afu upitie kule bondeni ukachume mboga mboga sawa mama"

    "sawa mama"

    Salma aliendelea kukata kata baadhi ya miti ili kupunguza hasira ya msitu huo,..



    Punde sii pende kuna kijana alitokea ambae ni mtoto wa tajiri, yaani huyo wanaemlimia sasa mtoto wake ndio kaja kulipa kwa wale waliofanya kazi,..

    "mambo"

    Alisalimia kijana huyo huku akimtabasamia mke wa kijana chidi,..

    "poa tu hali yako"

    "salama.... Aahhhh wewe ndio uliolima peke yako"

    "hapana nilikuwa na wazazi wangu, sema wameniamnia nisubirie hela"

    "ok.. Na mimi ndio nimeagizwa na mzee wangu nije kuwalipa"

    "sawa"

    Kawaida wakilima robo heka, wanalipwa elfu 7 (saba) na wakilima nusu heka, wanalipwa elfu 15, sasa leo wamelima robo heka lakini salma alishangaa kulipwa pesa ya nusu heka na wakati wamelima robo heka,...

    "lakini kaka, sisi tumelima robo tu"

    "usijali dada angu, hio nyingine nimeongeza mimi tu"

    "mmmhhh hapana kaka nilipe pesa nilioifanyia kazi"

    Salma alikuwa akikataa pesa hio huku akigeuka na kuangalia pembeni mana kijana huyo alionekana kuna kitu alitaka kwa mschana huyo... Salma aliikataa ile pesa lakini mwisho wa saa aliichukuwa na kuondoka zake, hivyo hapo alipo ana elfu 15 ambayo alipewa tu bila kujua malipo yake,.... Maisha yao yalianza kuwa ya tabu kwa mara nyingine tena..



    Tukija huku mjini ikiwa ni mida ya jioni chidi alipigiwa simu na jimama lake lile liliomfadhili kwa kila kitu hapo mjini,..

    "haloo chidi jamni"

    "sema mamy wangu"

    "keshokutwa mi naona mbali, ila leo nina hamu imenizidi Please chidi naomba leo tukutane usiku"

    "mmmhhh mamy, si nitakuwa nimechoka sana mamy"

    "i know but please my boy... Tukikutana leo, kesho huingii kazini utapumzika Please"

    "ok poa basi.. Tukutane wapi"

    "hotelini..."

    "hoteli gani"

    "mount Meru hotel"

    "ok.. Poa basi nikimaliza hapa nitakutafuta"

    "ok... Now am happy to meet with you"

    "usijali mamy"

    Basi chidi aliendelea na kazi yake huku akiwaza kwenda kulala na yule mama, mama yule alikuwa sii haba, ni bonge la jimama na lina sura kama mtoto wake sarah alivyo,...



    Tukija huki kwa rehema akiwa yupo na rafiki yake jasu, walikuwa wakipiga stori, huku rehema akimsimulia jasu kuwa alikutana na mdogo wake Ibrahim,...

    "shost... Leo majanga shost"

    Aliongea rehema huku jasu akiwa na mshangao wa kujua kuna janga gani alilokutana nalo...

    "janga gani tena shost"

    "leo saa ngapi sijakutana na mdogo wake Ibrahim"

    "weeee... Lakini si shemu wako sasa kuna janga hapo"

    "kukutana nae sio tatizo... "

    "sasa tatizo ni nini"

    "kumbe mdogo wake ni yileee alienivuruga viungo vyangu siku ile"

    "una maanisha nini, mbona sikuelewi"

    "jasuuuuu hukumbuki kuna siku nilikunwa kule PIN POINT"

    "aaahhhhhh yule ndio ndugu wa Ibrahim"

    "ndio shost"

    "enhee sasa ikawaje"

    "we acha tu,.... Nakuamnia mdogo mtu kumbe anajua kikabo ninachomkaba kaka yake, hivyo kanistopisha kuendelea na kala yake"

    "mmmhhhh shost hilo janga kweli shost"



    Tukija huku kwa kijana chidi akiwa kamaliza kuuza na keshafunga kibanda hicho,.. Akanyanyua lisimu lake na kumpigia lile jimama,...

    "mamy ndio nimefunga hapa kibandani"

    "ok.. Ngoja nikupitie hapo baby wangu"

    Basi chidi ilibidi asubiri hapo hapo ili apitiwe na jimama hilo, waende wakale maisha ya wapendanao,... Punde sii pende kukasimama VX kalii... Chidi aliingia ndani ya gari hilo na kumkuta mama huyo kaka kwenye siti lakini gauni lake lilikiwa limepanda juu, mipaja yote ilikuwa wazi,... Chidi alianza kuipapasa huku akishukwa na udenda wa hamu,..

    "wewe buana, subiri kwanza tufike... Kuku ni wako, manati yanini sasa"

    Chidi kwani alisikia,... Alikuwa akiyapapasa mapaja ya mama huyo mpaka akaikuta chupi

    "chidi jamani, utanchania chupi, mwenzio sijaja na spea nyingine"





    Mapenzi ni upofu asikwambie mtu, zamani hawakuwa wakiyajua mambo kama haya lakini kalne hii ya kizazi kipya wenyewe wanakiita kizazi cha Digitali, kimekuja na kuharibu vijana pamoja na watu wazima, na sio wamama tu, bali wapo wazazi wa kiume pia wanapenda kutenbea na wasichana ambao wanaweza kuwazaa, unamkuta baba mtu mzima anatembea na mtoto wa kidato cha nne,.. Mtoto bila aibu anamvulia chupi mtu mzima kama baba yake mzazi, na baba nae hivyo hivyo kwa mtoto wake, yaani kwa sasa imekuwa kama fasheni kufanya mapenzi na wazazi au watoto wao,.. Kipande flani hivi Nilishawahi kusema kuwa miaka 50 ijayo kutakuwa na uwezekano wa wazazi kutembea na watoto wa waliowazaa,.. Mfano hata sasa hivi unamkuta baba anajikaza tu kisabuni lakini anammezea mate mtoto wake wa kike kwa jinsi alivyo mzuri na mwenye umbo zuri... Unamku mama anammezea mate mtoto wake wa kiume kwa jinsi alivyo hensam,.. Na hali hio itawajia pale tayari wameshaanza kutembea na watoto wadogo.. Sasa wanawamezea mate na watoto wao wenyewe,... Kama sio miaka 50, basi wacha tuweke miaka 100 ijayo, baba na mtoto wake wa kike wa kumzaa, na mama na mtoto wake wa kiume wa kumzaa,... Na hii inaanzwaga na watu wazima, kwasababu mtoto hawezagi kumtongoza mtu mwenye umri sawa na mzazi wake, ila hawa hawa watu wazima ndio wanaowaanza watoto, na watoto nao wanashindwa kujivunga kutokana na kupenda pesa...



    Sasa tukija huku kwa chidi akiwa na jimama lake, chidi alikuwa ni kijana mdogo sana lakini mama aliokuwa akimmiliki ni sawa na mama yake mzazi kwasababu chidi hapo alipo hakosi mia 21 au 22 hivi.. Lakini mama akiwa na miaka michache sana ni 40, miaka hio kama angelikuwa kijijini basi angelikuwa ni bibi haswaaa, ila kwakuwa ni mjini na vile vile ana pesa, basi waweza hisi labda ana umri wa mia 28 kwa vile anavyo vaa na kujipodoa

    Chidi bila aibu kuwa huyo ni sawa na mama yake, aliingia ndani ya gari na kuanza kumpapasa mama huyo baada ya kukuta mapaja yake yapo wazi, chidi hadi udenda ulimtoka kwa jinsi mama alivyo mlaini, yaani hata maini hayaoni ndani kwa ulaini wa huyu mama,.. Mama kushikwa tu kidogo alianza kulalama kimapenzi huku akimsihi kijana chidi kuwa

    "wewe buana, subiri kwanza tufike... Kuku ni wako, manati yanini sasa"

    Chidi kwani alisikia,... Alikuwa akiyapapasa mapaja ya mama huyo mpaka akaikuta chupi

    "chidi jamani, utanchania chupi, mwenzio sijaja na spea nyingine"

    Chidi kuskia hakukuwa na spea ya nguo nyingine ilimbidi aache mchezo huo, lakini nia take alikuwa aivute nguo ile ili aanze kupima oili.... Wakati huo wakifanya hivyo gari ilikuwa bado haijaondoka, sasa mama ndio kapata kaunafuu, akaondoa gari kuelekea hotelini



    Tukija huku kwake ambapo tunamuona mtoto wake akiwa katulia, kwani leo alitaka kwenda kulala kwa rafiki yake miriam, sasa alikuwa akimsubiri mama yake aje ili aondoke, na leo baba yake yupo hivyo ndio maana hakutaka kulala hapo,..

    Sarah alishika simu yake na kumpigia mama yake.... Simu iliita kwa muda mrefu kisha ikapokelewa,..

    "halo mamy, mbona huji nyumbani"

    "ooohh shit, afu nilisahau kukuambia kuwa nilikuwa nina safari ya kwenda Dar es Salaam kuna masafria naenda kuyaangalia, hivyo naweza kurudi kesho"

    "mmmhhh jamani maamaaa"

    "usijali mwanangu... Na hata sasa hivi tu nimetoka kuongea na baba yako kuwa nipo safarini"

    "mmmhhh sawa"

    Simu ilikata kisha sarah akaingia zake chumbani kwa hasira,..



    Wakati huo hata miriam alikuwa akimsubiria rafiki yake sarah waje walale wote, mana ni muda mrefu sana wamemisiana mno,...

    Miriam alishika simu yake na kumpigia sarah

    "haloo sarah mambo"

    "poa miri, hali yako shost"

    "safi tu.. Vipi mbona huji"

    "mmmhh shost, mama kasafiri so siwezi kuiacha nyumba peke yake"

    "hhmm, saaarah jamani"

    "kweli vile miri, nisamehe shost yangu"

    "hhhmmm ok poa basi kesho"

    "ok usiku mwema miri wangu"

    "nawe pia... Ila sarah we hunipendi shost wangu"

    "kwanini miri, mbona mi nakupenda sana best"

    "mwenzio nateseka kitandani peke yangu"

    "sio wewe tu miri, hata mimi pia.. Yaani kwa jinsi ninavyomkosa chidi wangu, ndivyo jinsi ninavyokuwa karibu na wewe"

    "sarah, achana na wanaume ni wazinguaji tu hawana lolote, watakulia pesa zako bure tu"

    "ni kweli, lakini chidi sijawahi kuwa nae hivyo anaweza kuwa na mapenzi ya kweli"

    "hhhmm haya jitahidi, mana wewe hutaki kupenda watu na akili zao, wataka kupenda majambaziiiiiiiiiiiio"

    "umeanza miri"

    "ok basi nisamehe sarah wangu"

    "ok poa basi kesho"

    "poa"

    Miria alikuwa hakosi kumtania rafiki yake kuwa kampenda jambazi, kitendo ambacho sarah hakipendi kabisa kukiskia katika maisha yake... Miriam toka azaliwe anasema hamjui mwanaume na wala hataki kujua kama kuna mwanaume wa aina gani,... Taratibu miri alionekana kujishika shika maene 18+ only.. Huku sauti yake ikiwa ya chini sana,.. Alionekana kujifunika shuka huku akiwa peke yake,.. Hakuwa na nguo nyingi na wala hakuwa na mtu mwingine ila kuna sauti zilizokuwa zikitoka kuashiria kuna mtu mwingine....



    Tukiachana na miriam tunakuja huku kwa kijana chidi ambapo wao na jimama lake ndio wanafika hotelini hapo, na kuonyeshwa chumba kisha wakaingia wakiwa wana furaha ya hali ya juu mno,..

    Tena kwa haraka ya mama huyo alimtaka chidi apambue nguo zake zote huku na yeye akiwa anafanya kama anavyotaka iqe kwa kijana chidi, chidi alivua nguo zote kasoro boxer tu, huku mama akiwa anamalizia kupambua sketi yake fupii,.. Chidi aliona kama vile mama alikuwa akichelewa mno, chidi alienda nyuma ya mama huyo na kuanza kuivua sketi ile, Zakaria ya chidi ilikuwa imekaza mpaka inamuuma,.. Alioomaliza kuivua mama alibakiwa na chiupi tu tena jichupi jeupee, chidi kuona vile ndio alizidi kupagawa zaidi kuliko,.. Unakua jamani kila mtu kaumbwa na hisia zake, kuna mwingine akiona tu kidevu cha mwanamke, anapatwa na hisia za haraka... Kuna mwingine akiona unyayo wa mwanamke tu hali yake kuwa hoi,.. Lakini kwa kijana chidi yeye akiona tu hicho kinguo maskini ya mungu mtoto wa watu hafai, yaani kama angelikuwa ni mwanamke, basi waweza hata kumbaka mana kama ni kulegea keshalegea kisa chiupi tu...

    "chidi bwana Twende tukaoge keanza"

    Mama aliongea hivyo huku akimburuza chidi kuelekea bafuni...

    Chidi hakukataa mana mapenzi ni uchafu hivyo tujitahidini kujifanya ni wasafi,.. Sasa chidi alipofika bafuni akafungulia maji ya mvua ambayo yalikua ni yamoto, sasa maji hayo yalimmwagikia mama sarah, na kumloanisha kile kichupi chake, chidi hapo ndipo kichwa kilipochanganyikiwa juu ya mama huyo,.. Alijikuta anampapa juu ya nguo hio huku mikono ikipitiliza mpaka kule 18+ Only, mama alikuwa anajibana bana miguu huku chidi akiwa kakosa adabu juu ya mama huyo,..

    Chidi aliivua bixer yake mana alikuwa akiumia sana kutokana na kusimamisha zakaria yake kwa muda mrefu, kitendo cha mama kuiona tu zaka ya chidi, mama aliruka mpaka kwenye lile karo la kuogea,

    Chidi nae hakulaza damu alimfuata kule kule huku akimpa mdomo ili kumpoza na denda,.. Mama kaupokea mdomo wa chidi huku zaka ikimgusa gusa mapajani mwake,...

    Chidi alimsukuma huyo mama huku akimfuata kwa juu, chuchu zenyewe za mama huyo utafikiri hajazaa, kweli alijua kuzitunza, kijana chidi alizivamia na kujifanya ni mtoto wa mwezi mmoja... Mama alikuwa akipata shida mno, Chidi aliivua chiupi ya mama huyo na kukuta buyu likiwa limevimbaa yaani hata uwanja wake ulikuwa mzuri, tena na ule weupe, ndio kabisaa jimama lilikuwa lisafi mpaka raha jamani...

    Chidi alianza kumsugua mama huyo katika sehemu ya 18+ Only, huku na mama nae akifanya hivyo hivyo...

    "mamy twende kitandani"

    Chidi aliongea huku akimvuta mama huyo, mama alijifanya kudeka deka huku akimrembulia chidi mimacho yake mikubwaaa.. Aliojaaliwa na alah. Walifika kitandani na kubwagana huku wakiwa kama walivyozaliwa...



    Tukija huku kwa ibra anapokea simu kutoka kwa mke wake ambae ni Rehema, wakati huo ilikua yapata muda wa saa 3 hivi usiku,

    "haloo mke wangu habari yako"

    "safi tu mpenzi wangu, pole na kazi"

    "ahsante sana mke wangu"

    "sasa baba king"

    "niambie mama kijacho wangu"

    "naomba lei uje kwangu, kuna kitu nataka nikuambie"

    "usijali nitakuja muda sio mrefu laazizi wangu"

    Simu ilikata huku rehema akiagana na rafiki yake ambae ni jasu,

    "sikia rey, usifanye makosa hapo, we fanya kweli"

    "usiwaze jasu,... We subiri tu"

    Huku kwa Ibrahim yeye alikuwa akipanda pikipiki tayari kuja kwa mkewe,..



    Tukija huku kwa akina chidi na jimama lake,.. Tunamkuta chidi kamuivisha mama wa watu hadi kawa mwekundu, sehemu za mapaja ya mama huyo zilikuwa zimejaa utelezi sio utelezi, mashuka yalikuwa tayari yalishachafuka, na hapo zaka ya chidi ilikuwa bado haijaanza kazi yake....



    "chidi mpenzi wangu,.. Usinitese namna hii Please, nipe zaka yangu"

    Mama alikuwa akiongea huku analia yaani kwa kitendo alichofanyiwa na kijana huyo, hatokaa kukisahau, mana kwa mdomo wake alimwambia chidi kuwa hapo alipo kiuno chake kilikuwa kikimuuma kwa kufika kileleni mara kwa mara,

    Mama aliishika zaka ya chidi huku akiliinua paja lake, kuwa tayari kwa zaka kuisujudia au kuipa haki yake,...

    "uuuuuwiiiiii chidi mpenzi wangu... Hhhhhhhhhmm we mtoto nionee huruma mie mama yako jamaniiiiiiii uuuuuuuuwwiiiiiiii"

    Mama alikuwa akiongea kitu ambacho chidi akikitekeleza mama huyo hatopenda,.. Zaka ya chidi ilikuwa tayari imeshafika nusu fainali, mama alikuwa anatamani amalizie ligi, lakini hakuwa akiiweza... Chidi alifurahi sana kuona kuwa mama huyo hakuwa akiweza kuimuda zaka yake,... Mama alijitahidi na ukubwa wake wote ili asidharaulike lakini alijikuta tu hawezi kuiruhusu iingie yote, kana kwamba ikiingia yote kuna sehemu inagusa na kumpa maumivu makali, hivyo haitaki.. NA NDIO MANA NASEMA UUME MREFU SII KITU CHOCHOTE, WAWEZA KUWA NAO NA USIUONEE RAHA,.. KAMA UUME MREFU NI MUHIMU KATIKA MAPENZI, MBONA HUYU MAMA HATAKI IINGIE YOTE.. MAMA ANALIA KAMA CHIDI ATAENDELEA KUISUKUMA.. DHAHIRI KUWA UUME MREFU SII KITU SEMA TUNAPENDA TU..



    Masaa mawili mbele, tunamuona mama huyo kanuna wala hakuwa akitaka mazoea tena na kijana huyo,..

    "mamy nisamehe mimi"

    Sijui chidi alimfanya nini, lakini mama mwenyewe alikuwa hoi, yasni hatamani hata kidogo apandwe na chidi tena,..

    "mamy nipe basi kamwisho"

    "chidi mpenzi wangu... Naomba nikupe siku nyingine, mwebzio kiuno changu kinauma, siwezi hata kukatika"

    "jamani mamy,... Nimepiga vidude viwili tu, nipe cha tatu mie"

    "sitaki chidi sitaki,.. Tena usinizoee kabisaa"

    Wakati huo mama kageukia pembeni hata nguvu ya kuamka hana, kwa jinsi alivyochoka, mashuka yameloa kwa ajili yake...

    "heeeeee kwahio niishie viwili tu mamy"

    "wewe umepiga viwili... Mimi je?.. Hebu nionee huruma chidi wangu, nimechoka eti, yaani hapa hata kuoga tu siendi"

    Mmhhhh chidi kuskua hivyo nae akavuta shuka na kumgeuzia mgongo... Kana kwamba na yeye analala zake.. Mana mama kagoma kuendelea na mchezo...



    Tukija huku kwa akina rehema na mume wake tunawakuta wanakula meza moja huku wakiongea,

    "mke wangu uliniita ukaniambia nije kuna kitu utaniambia"

    "ndio mume wangu"

    "nini tena, au mtoto kasumbua tena huko tumboni"

    "wala ata sio ilo"http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Rehema alianza kulia huku akiacha kula kitu kilichomfanya Ibrahim nae aache kula na kuanza kumbembeleza kwa hali na mali,

    "kwani kuna nini mke wangu... Au kuna msiba"

    "bora kungelikuwa na msiba mume wangu"

    Rehema kuna kitu alikuwa anataka kuongea na mume wake hivyo bila kuanzia mbali, labda asingeweza kumuelewa,...

    "mume wangu... Kuna kitu kimeniuma sana mie"

    "nini tena mke wangu"

    Ibrahim nae alitamani kulia, huku akimbembeleza mke wake huyo, Ibrahim kafa kaoza kwa mwanamke huyo,.. Laiti angelijua sijui ingelikuwaje..

    "kuna kitu nataka ukifanye,.. Ukikishindwa mi natoa mimba yako"

    "mke wangu weeeee, usiseme hivyo, hujui ni jinsi gani mimi napenda mtoto, Please nipo tayari kufanya hicho kitu, ila usiitoe hio mimba Please"

    Rehema alijifuta machozi huku akitaka kusema jambo alilokusudia kusema..

    "Ibrahim mume wangu.... Mi nataka umrudishe ndugu yako kijijini,.. Mfukuze na umwambie asikujue"

    Ibrahim alitoa macho huku akiuliza tena kana kwamba labda hajasikia vizuri

    "Ati Nini??"

    "Nasema hivi Mfukuze ndugu yako, Sitaki kumuona kwenye huu Mji"



    Katika maisha ya kawaida, ni ngumu sana mwanaume kumnyanyasa ndugu yako kisa ni mwanamke, lakini huezi kuamini kuwa watu hawa wapo kweli, simulizi hii sio ya uongo, ni ya ukweli kabisa.... Mtu anamnyanyasa ndugu yake wa damu kisa tu ninmwanamke, mwanamke ni mwanamke tu hata ufanyeje, tena mbaya zaidi watu wanaowafanyia ndugu zao hivyo kwasababu ya huyo mwanamke, basi jua fika kuwa yeye hapendwi na huyo mwanamke,... Tumbo moja, mama mmoja, baba mmoja... Mnafanyiana hivyo,.. Sawa sisi wanaume tukipenda huwa tunakuwa kama ndezi fara fara flani hivi,... Lakini na nyie wanawake hebu angalia na unayemfanya kuwa fara, kumbuka kama kaamua kuwa fara basi jua anakupenda... Katika dunia hii haswa haswa afrika, asilimia kubwa ya wanawake ni waongo jamani hilo tulijue,..

    Ona Ibrahim anajua mkewe ana mimba, mwanaume wawatu anajitutumuaaaaa atume 30 kila siku,.. Huoni ni uzezeta huo, haya sasa nyumba ya akina rehema ndio hio inaendea kuisha, je huyo Ibrahim kafanikiwa na nini... Ndio kwanza matatizo yanazidi kuongezeka katika familia yao,..



    JAMANI NAOMBA MSICHUKIE BAADHI YA MAANDISHI AMBAYO NAYAANDIKA,.. HAYAHUSIANI NA SIMULIZI... DHUMUNI LA SIMULIZI ZANGU, NI KUKUELIMISHA NA KUKUSHAURI,.. BILA KUSAHAU KUBURUDIKA... HIVYO USICHUKIE NIKIANZA NA MANENO TOFAUTI NA SIMULIZI...... HAYA TUENDELEE NA SIMULIZI YETU



    Mke wa Ibrahim alikuwa na jambo la kuongea na mumewe mtarajiwa, hivyo pale pale mezani alianza na kulia huku Ibrahim akishangaa sana kwanini analia, kuliko

    "mke wangu kuna nini tena"

    Aliingea Ibrahim huku akichukuwa khanjifu na kumfuta futa machozi

    "kuna kitu nataka ukifanye,.. Ukikishindwa mi natoa mimba yako"

    "mke wangu weeeee, usiseme hivyo, hujui ni jinsi gani mimi napenda mtoto, Please nipo tayari kufanya hicho kitu, ila usiitoe hio mimba Please"

    Rehema alijifuta machozi huku akitaka kusema jambo alilokusudia kusema..

    "Ibrahim mume wangu.... Mi nataka umrudishe ndugu yako kijijini,.. Mfukuze na umwambie asikujue"

    Ibrahim alitoa macho huku akiuliza tena kana kwamba labda hajasikia vizuri

    "Ati Nini??"

    "Nasema hivi Mfukuze ndugu yako, Sitaki kumuona kwenye huu Mji"

    Aliongea rehema tena kwa kujiamini mno, huku Ibrahim akibaki mdomo wazi na kumuuliza rehema kuwa

    "kwani kakufanya nini na umemjuaje"

    Aliuliza bwana Ibrahim kitu ambacho kilimshangaza rehema, mana Ibrahim hajawahi kuuliza zaidi ya kutekeleza jambo aliloambiwa na mkewe,... Sasa rehema kuona kuwa leo Ibrahim kauliza swali kama hilo, hivyo achomekee kitu kibaya zaidi

    "mume wangu,.. Leo nilipigiwa simu na wakala wa pale m-pesa na kusema kuwa mtandao unasumbua sana kutuma pesa,.. Hivyo akaniita niende kuichukuwa... Lakini kumbe sio wakala alikuwa ni mdogo wako... Yaani nilipofika alinitukana sana kanitukania mama yangu, kanidhalilisha sana mbele za watu yaani sitamani kumuona mimi kanitukana sana mdogo wako.. Nikaona kuliko niachane na wewe bora umfukuze tu"

    Aliongea rehema huku amiangua kilio cha hali ya juu,..

    Ibrahim anampenda sana mke wake, tena kwa vile alivyobeba mimba yake ndio kabisaa yaani hafurukuti hapo, sasa sijui Ibrahim hajui mimba inavyokuwa..

    "mke wanguuuuu hilo ni dogo sana, subiri uone"

    "alafu.... Na pale kwenye chipsi, nina mdogo wangu, vp si aje akae pale"

    "khaaaaa sasa kwanini usingesema kabla sijalileta lile fara"

    "mi sikujua jamani mume wangu"

    "kesho nenda pale kwenye chipsi, ukimkuta yule fara, we Kaitoe hio mimba"

    "kweli mume aangu"

    "au wataka nimuibukir sasa hivi nini"

    "ah No... Usijali, mi nakuamini"

    Basi hali ilitulia na Ibrahim akalala hapo hapo kwa mke wake,...



    Asubuhi Subuhi mida ya saa 11 kijana chidi anaamke huku akimuangalia mama huyo ambae ameshafanya mambo yake,.. Chidi aliingia bafuni na kuoga zake huku mama bado kalala, chidi kavaa nguo zake kisha akamuamsha jimama huyo,

    "mi naenda mamy"

    "heeeeeee saaa hizi unaondoka"

    Aliongea jimama hilo huku akiangalia saa iliopo kwenye simu yake,..

    "ndio, nawahi kununua viazi"

    "ok... Sasa ngoja tutaongea vizuri, nikuajiri kwenye hoteli yangu sawa"

    Chidi alishtuka kuskia mama huyo atampa ajira katuka hoteli yake,..

    "nitashkuru sana mamy wangu"

    "ok, kesho nitakutafuta sawa"

    "sawa mamy"

    Chidi alishukuru sana baada ya kuona kuna kazi atapewa...

    "sasa una nauli"

    "hapana"

    "ok.. Chukuwa hapo pesa itakayokutosha"

    Chidi alivuta mkoba wa mama huyo na kuangalia pesa iliopo, kulikuwa na pesa nyingi sana ndani ya mkoba huo,... Chidi alivuta kitu kama laki mbili hivi...

    "nimechukuwa laki mbili"

    "mmmhhh kama zitakutosha sawa"

    Chidi aliposkia hivyo akaingiza tena mkono akachukuwa laki mbili zingine, jumla ni laki nne..

    "sasa mi nakuacha mamy"

    "sawa we wahi tu, but kesho nitakutafuta ili tuongee"

    "sawa mamy"

    Ikiwa imefika saa 11:30 alfajiri bado kulikuwa na kagiza giza hivi,... Ila kwakuwa ni mjini taa zilikuwa zikiwaka sana,.. Sasa ile anatoka tu hapo gest simu yake iliita, kuangalia mpigaji alikuwa ni mke wake wa kule kijijini,...

    "haloo mke wangu kuna nini sa hizi"

    Chidi aliuliza huku akiwa katoa macho mana sio kawaida kupigiwa simu asubuhi subuhi...

    "mume wangu... Mama anaumwa yaani hapa tulipo tupo hospitalini dokra anataka hela kwanza"

    "eeee mungu wangu weeee, nini shida tena"

    "ni jana tulienda shambani ili tupate pssa kidogo, sasa hapo ndio homa likamuanza"

    "aayaaaa kwanini usingenijulisha salma, nipigieni simu kama nina chochote kidogo nitatuma, ona sasa mama anumwa jamani"

    "nisamehe mume wangu... "

    "ok ngoja niwatumie sasa hivi basi"

    Chidi pale pale akaangaza macho huku na kule na kuona sehemu ya wakala,. Akaelekea pale na kutima kiasi cha laki mbili, yaani ile ile pesa alioipata muda huu ndio hio hio kaituma

    "hawa wazazi bwana.. Utafikiri wananiona, yaani kuchukuwa pesa sasa hivi tu, na muda huu wanaumwa.. Khaaaa"

    Aliongea chidi huku wakala akimjibu

    "aahhh ndio mambo ya wazazi, lazima tuwajali zaidi"

    "ni kweli jamaa angu"

    Chidi mfukoni alibakiwa na laki mbili mfukoni,

    "vp imeshaeda kaka"

    "yes.. Aahhh kitambo sana"

    Chidi pale pale akampigia mke wake simu

    "haloo mke wangu,... Umeipata hio pesa"

    "ndio... Ila baba king mume wangu, hii pesa yote hii umeipata wapi,.. Usiniambie kuwa umeshakuwa mwizi eti"

    "salma, hebu tibia kwanza myu apone then uniulize, fanya haraka"

    "sawa... Ila please naomba uache kama umeshaanza kuwa mwizi"

    "sijaiba mke wangu,... Hebu peana hio pesa mama apone bwana, mi mwenyewe naogopa kuwa mwizi"

    "ok.. Siku njema mume wangu"

    "sawa"

    Chidi alikata simu na kuiweka zake mfukoni huku akimwambia wakala kuwa,

    "kijijini bwana, yaani ukituma pesa kubwa wanajua we mwizi, aahh"

    "ahahahahahahahahahahaha, ukiona hivyo ujue hawapendi kukuona ukiwa na hali hio"

    "aahh ebana poa bwana mida"

    "poa poa kaka asante kwa kunigungulia kazi"

    "poa sana"

    Basi kijana chidi aliondoka zake, ikiwa ni mida ya saa 12 kasorobo,... Chidi alikuwa akiangaza macho huku na kule ili achukue toyo imuwahishe kule kibandani ili akachukue visalfeti au mfuko wa kwenda kuchukulia viazi sokoni... Sasa kuangalia huku na kule, haoini toyo, ikabidi atembee mwenyewe ili awahi,.. Kulikuwa na imbali mkubwa sana hafi kufika kibandani huko.......

    Sasa kijana chidi kufika eneo flani hivi akaona mtu mbele yake kama vile anamfuata, kucheki kushoto na kulia aliona watu wengine,... Na wote walikuwa wakifuatilia chidi,.. Chidi alijua tu hapa imeshakuwa balaa,

    Ile anarudi nyuma kakutana na mwingine kashika kisu,. Chidi akawa hana ujanja maskini ya mungu, chidi alishikwa na kukatwa kidogo kwenye mkono, huku wengine tayari wameshachana mifuko ya suruali, simu yake ile kubwa alionunuliwa na mama huyo iliibiwa, pesa ya mtaji wa chipsi iliibiwa,.. Pesa iliobaki kama laki mbili yote iliibiwa, yani hapo alipo alipo aliachwa kama alivyo, tena mbaya zaidi chidi alikuwa na simu zote mbili ile ndogo na ile kubwa,... Maskini ya mungu chidi alijiamsha taratibu huku mkono wake ukivuja damu...



    Tukija huku kwa Ibrahim aliokuwa ndio anarudi sokoni, lakini leo alikuja kwenye hiki kibanda cha zamani ambacho alimuachia mdogo wake chidi,...

    "yaani huyu mtoto msenge kweli, mpaka saa hizi hajaja"

    Aliongea kijana Ibrahim huku akiendelea kumenya viazi,..

    Ghafla anasikia kishindo cha mtu aliedondoka chini, ikiwa ni nyuma ya nyumba hio, Ibrahim alizunguka kwenda kuangalia, kufika kamkuta ni chidi mdogo wake, tena alikuwa akitiririka damu huku nyma kubwa ya mkononi ikiwa imeachia,

    "we fara kuma mame umetoka wapi saa hizi"

    "broo... Sasa badala unipe huduma ya kwanza, ndio kwanza unanitukana"

    "tena kimya mbwa wewe,.. Nani akupe huduma ya kwanza mi nakujua, wewe... Afu kwanini umtukane mke wangu mwanakumanina wewe"

    "haaaaaaaaaa nimemtukana mke wako,... Lini mimi nimefanya hivyo"

    Hajakaa vizuri Kapigwa kibao, tena bao bao haswa.. Kabla mkono haujapoa ukarudi na kelebu moja matata iliomdondosha chidi mpaka chini,.. Chidi aliudondokea ule mkono uliokatwa na wale waizi...

    "yaani mke wangu unaenda kumtukana,.. Sasa skia, kuanzia leo sitaki kukuona kwenye haya madhingira yote ya hapa bandani, na kuanzia leo nataka urudi kijijini ukawaseidie wazazi kulima.. Pumbafu wewe"

    "kaka, yaaani nirudi kijijini kufanya nini tena"

    "nimekwambia, sitaki kukuoba ndani ya huu mji... Kwanza nipe pesa ya mauzo ya jana.. Msenge wewe, unaleta mambo ya kisenge senge.. Mjini hapa mbwa wewe"

    Chidi alianza kulia kwa uchungu... Huku akiuangalia mkono wake uliokuwa ukimiminika damu,.. Yaani Ibrahim hakuwa hata na chembe ya huruma juu ya mdogo wake,..

    "nasema nipe pesaaaaa"

    Aliongea huku akimpiga teke la pale kwenye mkono, chidi alipiga kelele kwa maumivu makali alioyasikia...

    "Aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa"

    Kelele hizo zilimboa sana Ibrahim na kuzidi kumpiga mdogo wake, ambaye hata kimabavu alikuwa hamuwezi, yaani chidi alikuwa na mwili mdogo ila kaka yake alikuwa mnene afu mrefu, hivyo kubishana nae kimabavu hawezi...

    Lakini chidi kuangalia pembeni, aliona shoka ambayo wanaitumiaga kwa kupasulia kuni,... Aliiangalia ile shoka huku akimuangalia kaka yake, bila kaka kujua,... Ibrahim alikuwa akiongea maneno makali yaliozidi kumuumiza chidi.....





    Katika maisha kuna mateso mengi sana hapa duniani, japo ya chidi sio makali lakini lakini ukweli ni kwamba mateso kama haya yapo katika dunia hii,.. Mtu ni ndugu yako lakini anakutesa sana kisa ni mwanamke au mali alizonazo,... Kijana chidi alikuwa akiumizwa sana na maneno yaliokuwa yakimtoka kaka yake, kana kwamba alikuwa anahisi labda huyu sio kaka yake,...

    Lakini maneno hayo yalipokuwa yakitoka kutoka katika kinywa cha kaka yake,.. Chidi alipoangalia pembeni aliina shoka ambayo huwa wanaitumia kuchanjia kuni, chidi aliiangalia sana ile shoka huku akimwangalia kaka yake akiwa anaropokwa na maneno makali yaliomuuma sana katika moyo wake,.. Yaani hakutamani kabisa kuendelea kuwa na kaka kama huyo.. Na happ alipo chidi ana kidonda kikubwa alichokatwa muda mfupi uliopita...

    Sasa chidi akaishika ile shoka ila hajainyanyua, hivyo hata Ibrahim hakuona kama chidi kaigusa ile shoka,.. Lakini chidi kabla hajataka kufanya lolote, alifikiria mbali sana

    "Eeehh mungu naomba nizuie hasira zangu, mana kama nitamtupia hii shoka naweza kumuua nami nikapotelea jela,... Eehh mungu wangu niokoe na hili"



    Aliongea kijana chidi huku akiiachia shoka ile,..

    "nipe pesa yangu"

    Aliongea Ibrahim huku akimpiga teke mdogo wake huyo,

    "broo samahani, nimeporwa sasa hivi tu, huoni hata nilivyokatwa hapa"

    "kukatwa kwako mimi hakunihusu, nipe pesa yangu mbwa wewe"

    "Kiukweli sina hata kitu, kwani hata ile simu yangu imeibiwa"

    "nimekwambia mimi sihusiki na hilo, ninachohusika nacho ni pesa yangu ya mauzo, na lazima itakuwa kubwa kwasababu hujaituma ile pesa"

    "nimeporwa zote broo"

    "we kuma mako, unajua usiniletee mchezo na pesa ujue"

    Ibrahim hakuwa na hata chembe ya huruma juu ya mdogo wake huyo,... Chidi alizidi kujitetea sana kwa kaka yake huku akilia kwa uchungu na maumivu ya kile kidonda alichokatwa na wale waizi....

    "sasa sikia,... Sitaki kukuona eneo hili lote hapa shule, yaani nikikuona tu nakuitia mwizi, na licha ya hivyo, mimi nataka urudi nyumbani ukalime msenge wewe"

    Chidi hakutaka kubishana na kaka yake, na ile hali ya kumkata na shoka ilishapotea na hakuwa na hasira yeyote juu ya kaka yake,.. Chidi aliondoka taaratibu huku Ibrahim akimsukuma ili aondoke haraka,.. Lakini chidi kabla hajaimalizia hatua yake ili kuondoka, alimgeukia kaka yake na kumwambia kuwa,

    "sawa, wacha niishi mbali na wewe,. Lakini nakupa ukweli wote kwamba,.. Yule mwanamke hana mimba wala hana mtoto, kama huamini mchunguze,.. Anakulia hela zako na nilimsikia kwa maskio yangu anasema hana cha mimba wala nini... Mimba gani ya miezi minne haionekani, unadanganywa halafu unakubali,.. Kaka unaliwa hela zako, na huo ndio ukweli wangu na ndio mana kanichukia kwasababu nimeijua siri yake,.. Ww endelea kulea watoto wa wenzio tu, wakwako ndio mimi unanifukuza kisa ni huyo mwanamke,.. Ila nakuapia mbele ya Mwenyezi mungu kama utaendelea na huyo mwanamke, hakiamungu vile hutoboi na haya maisha... Naondoka, lakini utanikumbuka tu"

    "we kuma mae unasemaje wewe,... Ati mke wangu hana mimba... Wewe ni dokta, we msenge nakuuliza wewe ni dokta"

    "mimi sio dokta,.. Ila katika maisha haya hakunaga mwanamke anaekula elfu 30 kila siku, na kama yupo, basi huyo ni mlaghai, hakupendi bali anataka pesa"

    "we kuma mako toka.. Ofisini kwangu mbwa wewe"

    "sawa, naondoka ila utanikumbuka"

    "nikukumbuke we Nyerere bwana, kwenda uko kuma nina wewe"



    Maskini ya mungu chidi aliondoka huku akilia kwa uchungu wa matusi anayotukanwa na kaka yake,.. Chidi alikuwa akitembea taratibu kuelekea nyumbani kwake ambako amepangisha hivi karibuni, maskini ya mungu chidi hakuwa hata na senti ya kumuwezesha mupanda pikipiki, hivyo alikanyaga wamguu mpaka nyumbani kwake, ikiwa ni mida ya saa 2 asubuhi tayari kumeshakucha na hata watu walikuwa ni shamra shamra za kwenda makazini,.. Chidi aliingia ndani na kuchukuwa hakiba aliokuwa kaiweka huko,.. Ilikuwa kitu kama laki na nusu hivi,.. Aliichukuwa kisha akawahi hospitali, alupofika hospitali aligomewa kutibiwa mana kidonda kilikuwa ni kikubwa na kulihitajika PF3 kwa ajili ya matibabu, chidi na kidonda chake alianza tena kuhangaika katika vituo vya polisi ili kuweza kupata hio PF3,.. Haikumchukuwa muda akawa keshaipata na kurudi hospitali, Matibabu yaliendelea vizuri na kupewa dawa za kila aina zitakazomseidia kukausha kidonda hicho,.. Chidi alitoka hapo hospitali akiwa kafungwa bendeji mkononi, na dawa nyingi sana,.. Kuangalia kiasi kilichobaki alishangaa sana kuona kabakiza elfu kumi na tano yaani laki na nusu sasa kabakiwa na elfu kumi na tano... Aliwaza mambo mengi sana huku akijiuliza kuhusu maisha yake,...

    Chidi alirudi nyumbani huku akiwa na chakula chake alichonunua huko mjini,..

    Alipomaliza kula ilibidi apumzike hapo ndani,...



    BAADA YA WIKI MOJA KUPITA



    BAADA YA WIKI MOJA KUPITA



    Na leo ni siku nyingine tena chidi akiwa katika makazi ya ajabu huku akiwa kachafuka sana,.. Maisha ni kutafuta na wahenga walisema kuwa mchagua jembe si mkulima, na sasa tunamuona chidi akisukuma mkokoteni,.. Kwani alipoona kazi hana aliona ajichanganye na watu wenye hali hio ili aweze kupata chochote cha kuingiza mdomoni,.. Chidi akiwa kabeba mizigo ambayo kapewa kazi na wahindi, mizigo hio aifikishe sehemu fulani kisha aweze kulipwa... Na hapo chidi alikuwa peke yake na mkokoteni wake, huku mizigo ikimuelemea sana...



    Tukija huku kwa Ibrahim ambae ni kaka yake na chidi, alikuwa akiyafikiria sana yale maneno ya mdogo wake yaliosema kuwa,

    "uliona wapi mimba ya miezi minne haionekani"

    Alifikiria sana yale maneno huku akijiuliza

    "huyu mtoto ni mshenzi au inakuaje hapa"

    Alikuwa hapati jibu juu ya mdogo wake kusema kuwa mke alienae anamdanganya ili amlie pesa zake,

    "kweli, mwanamke kila siku 30, anakula nini"

    Alisema Ibrahim huku akishika kichwa, na wakati huo kibanda kimoja kimekufa kwasababu hakukuwa na mtu wa kukisimamia, hivyo hapo alipo alikuwa pale kwenye kibanda kipya, na kile xha zamani alichokuwa akisimamia chidi kimekufa, na hakipo tena... Labda Ibrahim kaona hapaingizi pesa kama kule kwenye kibanda kipya....



    Tukija huku kwa chidi aliokuwa akiteseka na mzigo wake, mara ghafla anasimamishwa na wale askari wa pikipiki, tunawaita VODAFASTA walimsimamisha

    "heeeee ndugu kwani mimi ni gari aisee"

    Aliongea kama utani mana alishangaa kuona hata mkokoteni unazuiwa kama gari

    "unaleta utani"

    "aahhh nisameeni wandugu"

    "umebeba nini humo kwenye mifuko"

    "pumba za kuku"

    Chidi alitaamka hivyo huku akijiamini mana anajua hana kosa bali wanamchelewesha tu,

    "pumba gani hizi laini hivi"

    "ahahahahahaha broo siku hizi mashine za kidigitali yaani kuku washindwe wenyewe kutaga"

    Sasa ghafla afande mmoja kakoki bunduki yake huku akiwaambia afande wenzake kuwa

    "afande kaeni tayari hapa kuna hata, huu mzigo unalindwa kisiri siri"

    Afande mwingine hakuelewa alichoongea afande mwenzie...

    "una maana gani afande"

    "afandeeeeee, huu mzigo sio pumba ya kuku, huu mzigo ni madawa ya kulevya"

    Chidi aligeuka nyuma kwa mshangao huku akiwa katoa macho, kwa hofu ya maisha yake...





    Maisha ni misuko suko na haikosi uonevu, chidi na maisha yake magumu alikuwa akifanya kazi ya mikokoteni iliokuwa ikimuingizia buku buku za kukidhi maisha yake, kwani uzuri ni kwamba nyumba aliopangisha alikuwa kalipa kodi ya mwaka mzima, alafu ni nyumba ya lakshari,...

    Mama huyo aliompangishia chidi, alimpenda sana kijana huyo japo kwa sasa hampati tena kwani hata simu yake haipatikani, kwani hata chidi kwa sasa hakuwa na simu...



    Sasa kutokana na maisha ya chidi kuwa magumu chidi anajikita kwenye kazi ya mikokoteni ili kupata chochote katika maisha yake,...

    Lakini tukumbuke kuwa wahenga walisema kuwa ng'ombe wa maskini hazai na akizaa atakuwa dume hivyo halitoleta faida yeyote,.. Msemo huo naufananisha na maisha ya kijana chidi aliokuwa akiyapatia tabu za hapa na pale, na leo anakamatwa akiwa kabeba dawa za kulevya,...

    "afande kaeni tayari hapa kuna hatari, huu mzigo unalindwa kisiri siri"

    Afande mwingine hakuelewa alichoongea afande mwenzie...

    "una maana gani afande"

    "afandeeeeee, huu mzigo sio pumba ya kuku, huu mzigo ni madawa ya kulevya"

    Chidi aligeuka nyuma kwa mshangao huku akiwa katoa macho, kwa hofu ya maisha yake...

    "ati unasemaje broo"

    "kaa kimya"

    Pale pale chidi anafungwa pingu na kuitwa gari mara moja, na kupakiwa yeye na mizigo yake mpaka kituo cha polisi,..



    Tukija huku kwa akina sarah na mama yake,...

    Mama hakuwa na raha kabisa na hata sarah hakuwa na raha na haijulikani ni kwasababu gani wapo katika huzuni, kubwa

    Sarah alitoka ofisini kwake na kumfuata mama yake kule ofisini kwake,...

    Sarah alimkuta mama yake akiwa katika hali ya mawazo mengi mno,..

    "mama, una nini mbona ni siku ya nne hii huna hata raha mama yangu"

    "usijali mama, nina furaha tu sema ni mawazo ya kiutu uzima tu"

    "mama niambie naweza kukuseidia"

    "usijali sarah, ni mawazo tu"

    Mama alishika simu yake na kupiga namba iliyoandikwa Baby Boy,

    "Samahani Namba ya mteja unaempigia Hapatika"

    Mama aliisikia sauti hio kila mara kwani yapata mara 20 toka aanze kupiga simu hio, lakini kila akipiga haipatikani,...

    "sarah, hebu nisubiri nakuja sawa"

    "sawa mama"

    Mama huyo alipanda gari yake kisha akaondoka, haikujulikana anakwenda wapi



    Tukija huku kituoni tunamwona chidi akiwa katika chumba kidogo sana tena akiwa yupo peke yake,... Ghafla mlango unafunguliwa na kuingia watu wawili waliomchukuwa chidi na kumpeleka katika chumba kingine cha mahojiano, chidi alikuwa kafungwa kitambaa cheusi ili asione anapopelekwa,...

    Alikalishwa katika kiti kisha mahojiano yalianza kama ifuatavyo,

    "sikiliza we kijana,... Kwa kesi uliokutwa nayo, hakika huezi kupona na utapotea kijana, na sisi ni askari wa hali ya juu, mpaka hapo tunajua wewe huhusiki lakini tunataka utuonyeshe wahusika"

    "sawa mimi nipo tayari kufanya hivyo, ila nihakikishieni tu usalama wangu na kuniachia kuwa huru, mana mimi niliambiwa ni pumba za kuku"

    "kuhusiana na swala la usalama kwako usijali, na kama ni uhuru utaupa, ila tunataka tujue ulipoutoa ule mzigo na ulipokuwa unaupeleka"

    "sawa afande, mimi nitawaonyesha"

    Chidi alikuwa hajui chochote na hakuona haja ya kuficha mana hakuambiwa kama ni madawa ya kulevya,... Polisi hao baada ya kujua kijana hakuwa mbishi mana waliandaa zana za azabu ili chidi aongee ukweli kama angegoma, ila chidi alikuwa ni kijana asiependa maisha yake yapotee,

    Polisi walichukuwa gari ya private na kumpakia kijana chidi,..



    Waliondoka na kuingia mjini kati ili kujua mzigo ule ulitolewa wapi na unaenda wapi...

    "dereva kata kulia,... Kwenye lile jengo pale"

    Chidi aliongea hivyo bila wasiwasi wowote ule wa kuogopa,..

    "unajua nini afande, wauzaji wa madawa ya kulevya wamekuwa na mbinu mpya kila siku, wameona wakipakia kwenye gari wanaweza kusachiwa na askari, hivyo wamegundua kuwa dereva wa mkokoteni hawezi kusimamishwa na askari, hivyo mzigo utafika salama"

    Aliongea afande mmoja aliokuwa akimwambia afande mwenzie...

    "peleee"

    Alionyesha kijana chidi, na wakati huo gari ni nyeusi hata kioo chenyewe huoni ndani, ila wa ndani anaona nje,...

    "wapi"

    "pale panapouzwa pumba pale"

    "aaahhh watu wana akili hawa, yaani mteja akija anapewa pumba na madawa ndani ya pumba"

    "watu hawa wana akili sana"

    "we kijana,.. Pale ndipo unapotoa mzigo"

    "hapana, pale ndipo ninapopeleka"

    "hebu tupeleke unapoitoa hio mizigo"

    Chidi alikubali bila kujali kitu chochote kile,...



    Tukija huku kwa mama yake sarah, tunamuona kasimama pale alipokuwa chidi akiuza chipsi.. Kwenye lile banda la shuleni,..

    Aliangalia na kugundua kuwa hapa pana siku zaidi ya tano hapapikwi chipsi tena palikuwa pamefungwa,..

    "chidi boy wangu, nitakupataje mie"

    Aliongea mama huyo huku, akiiangalia sana sehemu hio,

    Kwa bahati nzuri alimwona mtu aliokuwa akiuza duka sehemu hio,...

    "samahani kaka,.. Eti kuna muuza chipsi alikuwa hapa, ivi kahamia wapi"

    "aahhhh Kiukweli sifahamu huyu mdogo kahamia wapi, ila kaka yake anauza chipsi kule mjini kati"

    "wapi hapo"

    "ile njia ya kutokea stendi unaiacha unaenda hii njia inayoenda mnara wa saa"

    "ok ahsante kaka"

    Mama huyo alipanda gari halaka ili kuweza kuwahi huko,...



    Tukija huku kwa chidi, tunamwona akiwa anaendelea kutoboa siri za watu, huku askari wakiendelea kufurahia ugunduzi huo kwa kupitia kijana chidi,

    "paleeeeee,... Pale ndipo ninapozitoa hizo pumba za kuku.... Enhee unamuona yule mwingine wa mkokoteni, nae kabeba pumba kama nilizobeba mimi muda ule"

    Pale pale polisi waligeuza gari na kwenda kituoni,..

    Kijana chidi aliachiwa huru, huku akirudi katika kijiwe chake ambcho ni cha kufanyia kazi,... Chidi toka aliookamatwa imepira siku moja na alilala sero, hivyo leo akaona aonyeshe sehemu hizo ili asalimike, mana hana kosa na atamficha mtu ambae hamjui,.... Chidi alikuwa keshamiliki mkokoteni wake binafsi ndani ya wiki moja tu, hivyo mkokoteni wake aliupata kisha akaendelea na kazi,.. Lakini kumbe wale matajiri wenye mzigo wao walikuwa wakimfuata chidi kwa nyuma toka alipoachiwa huru...



    Tukija huku clock tower ambko ni mitaa kaka yake anauza chipsi hapo, Ibrahim alishangaa kuona gari kalii ikisimama mbele ya kabati lake la chipsi, kisha akashuka mama huyo na kumsalimia kijana Ibrahim

    "habari yako kijana"

    "salama tu dada yangu, karibu"

    "ahsante... Aahhh samahani nilikuwa namuulizia yule kijana wako aliokuwa anauza chipsi pale shuleni"

    "nani yule mjinga..."

    "mjinga...mjinga kivipi"

    "yule kijana ni ndugu yangu, ila kaniletea ujinga nimemrudisha kijijini"

    "eee mungu wangu,... Kwenu ni wapi kwani"

    Sasa Ibrahim akashangaa mbona mama huyo anamuitaji sana kijana chidi, kunani, na mama yupo tayari kwenda tanga ilimradi tu ampate kijana chidi, lakini ukweli ni kwamba chidi yupo katika jiji hilo hilo, sema kazi zake anazofanya ni ngumu kukutana na huyu mama,.. Na mbaya zaidi chidi hajui hoteli anayoifanyia kazi huyu mama,.. Yaani hata ramani ya kufika hotelini hapo haijui,

    "unataka uende tanga"

    Aliuliza Ibrahim kwa mshangao mkubwa tu

    "nipo tayari ilimradi tu nimpate"

    "tanga katika wilaya ya pongwe mtaa wa singiti"

    Ibrahim alimpa ramani mama huyo, huku mama akitafakari safari,...

    Mama hakutaka kuuliza sababu ya kumfukuza mdogo wake, mama alipanda gari yake kisha akaondoka,....

    Unajua hata Ibrahim hajui kama mdogo wake yupo hapa hapa mjini, mana anajua ndugu yake hana ujanja wowote hapo mjini,...



    Ghafla simu yake inaita, kuangalia jina ikuwa ni mke wake rehema,

    "haloo"

    "haloo mume wangu, mbona leo hujantumia chochote"

    "sina pesa leo"

    Hata rehema alishangaa sana kwa kusikia leo Ibrahim anamwambia hakuwa na hela, wakati toka waanzishe mahusiano hajawahi kukosa elfu 30 kila siku iendayo kwa mungu,..

    "unasemaje ibra"

    "nimesema hivi sina pesa"

    "heeeee mume wangu,.. Sasa mtoto wako je"

    "mtoto yupi"

    "si huyu nilienae"

    "kaitoe"

    Neno hilo lilimfanya rehema kupatwa na kikohozi cha ghafla, na kujikuta anakohoa

    "ibra umekuwaje lakini"

    "kama unataka tuendelee na mahusiano ya mimi na wewe, nataka kesho tukapime hio mimba"

    "tobaaaaaaa"

    "hakuna cha toba,.... Nataka tukapime"

    "sawa... Nipo tayari hata leo"

    Rehema sijui alijiamini na nini na wakati hakuwa na mimba wala nini....



    Tukija huku kwa kijana chidi aliokuwa kakaa katika mkokoteni wake akisubiri kazi ila sio ile ya kubeba pumba tena, chidi bila kujua kuwa kuna watu waliokuwa wakimfuatilia nyuma na hao watu walionekana kuwa na bunduki ya masafa marefu, hivyo watu hao walipanda juu kabisa ya ghorofa moja hivi, huku wakiwa tayari kumuua mana huenda akatoa na ushahidi wa mabosi wao wakubwa,... Ila hayo ni mawazo yao lakini chidi hajui kitu chochote,..

    "we jamaa, ivi ni kweli yale tunayobebaga sio mapumba ya kuku"

    Aliuliza jamaa mmoja ambae yupo karibu na chidi,.. Yaani jamaa huyo. Ndio kamuuliza chidi

    "ndio,.. Wale afande walisema kuwa ni dawa za kulevya"

    "mungu wangu weeee,.... Ndugu yangu tuhame kijiwe,.. Kumbe ndio mana wanatulipa pesa nyingi vile"

    "yaani wanaweka dawa za kulevya ndani afu juu pumba"

    "chidi Ndugu yangu, naomba tuhame kijiwe"

    "ni kweli kaka... Hiki kijiwe kimeshanuka, tena hata mimi naogopa sana jamaa angu"

    Sasa wale wenye bunduki kule ghorofani, walikuwa wanampima chidi, mana katoboa siri zao chache hivyo huenda anajua na zingine asije akatoboa siri hizo,

    Ghafla wanapokea simu iliotoka kwa askari police,

    "haloo afande"

    Aliongea huyo jamaa mwenye bunduki

    "huyo kijana ni nuksi na pia ni mwoga sana,... Atatoa siri nyingi sana hivyo sisi tumemuachia huru ili mumfanye mnachotaka,... MUUENI ushahidi upoteeeeee"



    Maskini ya mungu kijana chidi anaingia kwenye matatizo makubwa ambayo hakuyatarajia, mana kama angelijua kuwa yale hayakuwa mapumba kama alivyoambiwa, basi asingelibeba mzigo huo. Maisha yake ni magumu sana na bado anaingia kwenye balaa zito la kutaka kuuwawa kwa kutoa siti za watu ambazo kumbe hata polisi walikuwa wakizijua, kama unavyojua nchi yetu kuna wale wanaoitumia kwa ubaya, hivyo kijana chidi alihisi yupo salama salimini kwa kuwaonyesha polisi sehemu inayotoka madawa hayo,... Kumbe polisi hao nao walikuwa ni wamoja,

    Ghafla wanapokea simu iliotoka kwa askari police,

    "haloo afande"

    Aliongea huyo jamaa mwenye bunduki

    "huyo kijana ni nuksi na pia ni mwoga sana,... Atatoa siri nyingi sana hivyo sisi tumemuachia huru ili mumfanye mnachotaka,... MUUENI ushahidi upoteeeeee"

    Iliskika sauti ya polisi huyo ambaye ni mmoja kati ya wale waliomkamata kijana chidi,...

    "usijali, na hapa tupo kwenye kazi husika"

    "hakikisheni hamumuachi huyo kijana"

    "sawa afande"

    Jamaa huyo alikata simu huku akiendelea kumueka chidi tageti zake, huku akiifuata kitufe cha kufyatulia ili kumaliza kabisa mpango wa kumuua kijana chidi,...



    Lakini kabla hajafanya hivyo, mara simu yake inaita, kucheki alikuwa ni bosi wake,

    "haloo boss"

    "we... Sitisha hilo swala la kumuua huyo kijana"

    "kwanini boss"

    "sikiliza we kichaa.... Vijana kama hao waache, kwasababu tunaweza kuwatumia kwenye kazi zetu kwasababu wanafahamu siti zetu"

    "lakini atatoa siri zetu boss"

    "nimesema achaaaaaa"

    "ok, ok, ok, ok, sawa boss naacha"

    "tena msimfatilie huyo kijana, mana makosa ni yakwenu mnampa mtu mzigo na hamumtaarifu kuwa ni mzigo gani ili awe makini"

    "sawa boss nimekuelewa"

    Jamaa alikata simu, huku mwenzie anamuuliza

    "vp juma kuna nini"

    "boss"

    "boss,... Boss kafanya nini"

    "kasema tuache kumfatilia yule chalii"

    "heeee kivipi tena"

    "mi sijui jamaa angu ata sijui kawaza nini"

    "mmhhhh Haya huna budi kuach sasa"

    "ah twenzetu"

    Basi watu hao walishuka ghorofani hapo huku wakiwa wanasikitika sana kwa kitendo cha kumuacha kijana chidi,..



    Tukija huku kwa Ibrahim na mke wake wakiwa wapo njiani Wakielekea hospitali, kama unakumbuka Ibrahim alimwambia wakapime hio mimba kama ipo ama haipo, na rehema hakuwa na mimba wala nini, sema katumbo kake ni kakubwa kubwa tu lakini hakuwa na mimba wala nini,... Sasa walipofika hospitali, Rehema alimtaka mumewe amsubiri hapo nje,..

    "naomba nisubiri hapa mara moja"

    Aliongea rehema huku akifunga kanga yake vizuri tena alikuwa akiamka kwa taabu kana kwamba ni kweli alikuwa na mimba,

    "unakwenda wapi"

    Aliuliza Ibrahim huku akitoa macho kwa vitisho, mana kila akifikiria kile alichoambiwa na mdogo wake chidi

    "huyo mwanamke hana mimba anakudanganya tu na kukulia pesa zako,.. Ni mwanamke gani katika maisha haya akamaliza elfu 30 kwa siku kwa matumizi ya nyumbani tu"

    Ibrahim Alikumbuka sana sauti ya mdogo wake huku akimuangalia mkewe

    "naenda hapo odi ya wazazi"

    "ok fanya haraka.. Afu ebu simu yako mara moja nimpigie huyu rafiki yangu anikute hapa"

    Rehema alimpa mume wake simu aina ya Samsung, wakati Ibrahim anatumia nokia tochi.. Sasa Ibrahim alipiga hio namba na kuongea nae huyo mtu kisha akampa mkewe simu na kuondoka zake,

    Basi kijana Ibrahim alikuwa kaketi pale mapokezi akiwa anamsubiri mkewe ili waende wote kupima uja uzito huo...



    Punde sii punde mkewe karudi kisha haoo wakaenda kati chumba husika ambacho ndicho kinachotoa huduma hio,

    "karibuni"

    Alikuwa ni mama ndie aliewakaribisha, huku Ibrahim akiwa ivi kama atakuwa hana mimba atamfanyeje huyu mwanamke,..

    Chidi alikaa huku rehema akilazwa kwenye kakitanda ka kuegemea huku dokta nae akianza kufanya mambo yake,.. Mana wanatumia vipimo vya kisasa zaidi,.. Dokta huyo alichukuwa vipimo vya kwanza vya mtu huyo kiyu ambacho hakiwezi kuchukua muda lakini akamaka rehema amletee mkojo ili kupima na vile vipimo vya mwanzo,... Huu upimani kwangu ni mpya, ila labda ni teknolojia mpya imeanza,..

    Punde sii punde majibu yamekuja na yalionyesha dhahiri kuwa rehema ana ujauzito tena wa miezi minne na wiki moja,

    "unaona sasa mume wangu,.. Mimi spendi tabia yako iyo"

    Ibrahim alibaki mdomo wazi mana alichokidhania sicho,.. Sasa hapo hata rehema akapata kichwa na kujifanya kachukia sana,.. Lakini wakati huo rehema akiwa kacbukia, tulimuona Ibrahim akitabasamu, kana kwamba labda kuna anachokijua...



    Tukija huku kwa kijana chidi akiwa yupo katika kijiwe kingine kipya, mana kile kilishanuka,

    "kile kijiww kina pesa jamaa angu, yani siamini kama tumekiacha"

    Chidi alikuwa akiongea hivyo mbele ya wenzake wasukuma mikokoteni,

    "kweli ndugu yangu, kile kijiwe kina hela mno"

    Basi walipata vikazi kazi vya hapa na pale ili kukidhi maisha yao, ilipofika mida ya jioni chidi anapeleka mkokoteni wake sehemu ya kuupaki kisha akawa anarudi zake nyumbani kama kawaida,...



    Alipofika nyumbani kwake ambako amepangisha,... Majirani walianza kunong'ona kwa maneno ya hapa na pale,

    "kijana kachoka ghafla, sijui kapatwa na nini yaani ule uhensamu wote kwisha"

    Walikiwa wakiongea wadada waliokuwepo vibarazani kwao

    "Heheeee haaalooooooo,... Alafu jamani, huyu kijana kapata wapi pesa ya kuweza kupangisha nyumba kama hii"

    "we acha tu shosti hata mimi najiulizaga kila siku,.. Kwa hali hii alionayo kapata wapi pesa ya kulipa kodi ya nyumba hii"

    "Enheee,.. Tumuulize mama mwenye nyumba"

    Wakati mama mwenye nyumba alikuwa anaingia kuja kudai kodi ya nyumba zake,

    "mama kubwa karibuni mama eti"

    Alikuwa ni mschana mmoja aliomkaribisha mama huyo kwa mbwembwe nyingi,..

    "ahsante"

    Mama alikaa katika kiti, wakati huo chidi alikuwa akifua fua baadhi ya kuo zake ambazo zilikuwa zimechafuka sana, mana anavaa nguo wiki nzima ndio abadilishe nguo,... Maisha yalimpiga sana na hapo hana hata wiki mbili, na ashukiru kwakua nyumba hio kalipa mwaka, lakini kama sio hivyo hio nyumba asingeweza kuilipia kama ilivyo kwa wengine,..

    "mama nina swali juu yako,"

    "swali gani tena"

    "mama... Sisi tunadhalilika kwa kumpangishia mtu kama kichaa, hebu ona nguo zake zile chafuu, ataanika kwenye kamba ya nani sasa"

    "kwahio we watakaje"

    "mpe notes, anakudhalilishia nyumba yako,.. Au kama kabakiza mqezi mmoja, hakikisha asipangishe tena ahame, wageni wetu hawali kwa kunukiwa na kikwapa cha huyu mtu"

    "kwani we inakuuma nini kwa kijana wa watu"

    "anatudhalilisha sisi, nyumba ya kishua lakini unampangisha mtu kama lichaaa, hebu muone alivyo chafuka, kapurwa sio kapurwa, yaani yupo yupo tuuu"

    Yule dada kweli alionekana sana kumchukia lijana chidi, lakini mama huyo hakupendezwa na maneno ya huyo dada

    "ivi... Unajua kuwa huyu ndiye mlipa kodi viziri kuliko wote himu ndani"

    "kivipi yani, sjakuelewa mama etu"

    "kuna mtu alishawahi kunipa hata kodi ya miezi 6 humu ndani"

    "hhhhh mi sidhani,.. Mana mi mwenyewe natoa mwezi mmoja mmoja au miwili"

    "sasa, katika wasumbufu wa kulipa kodi, wewe ni mheshimiwa raisi,... Na katika watu wanolipa kodi vizuri, yeye ndie mheshimiwa Rais,.. Huyo kijana amelipa mwaka mzima"

    "yesu wangu na maria,.... Uuuuuuuuwwiiiiiiii.. Kalipa mwaka mzima"

    "na sasa ndio kwanzaa anaendea mwezi wa pili huu"



    Tukija huki kwa Ibrahim aliokiwa akitabasamu kwa mbali, lakini tabasamu lake lilikiwa likija huku likipotea kana kwamba anachokitabasamia hakina uhakika sana,...

    Wakati mkewe kakimbia mpaka nje, huku akijifanya kanuna kwa kitendo cha mume wake kuhisi kuwa huenda asiwe na ujauzito,...

    "taxi... Taxi"

    Rehema aliita tax, huku Ibrahim akimwambia

    "acha kuita taxi.. Tutembee kwa mgu ule mazoezi mke wangi"

    "jamani baba king"

    "ndio, kula mazoezi kidogo mke wangu"

    Aliongea Ibrahim huku akicheka,

    "lakini mtoto tutampa shida,.. "

    "usijali, mtoto si wangu bwana"

    Ibrahim alikuwa haeleweki hata kidogo,

    "hebu kwanza naomba simu yako"

    "simu yangu yanini tena jamani baba king"

    "nataka nimpigie huyu jamaa angu aje hapa mana haji toka saa ile"

    Sasa kumbe Ibrahim muda ule alipomuomba mkewe simu, sio kuwa alipiga bali, alibofya sehemu ya kurekodia sauti, kisha akamrudishia mkewe ili aende kule wodi ya wazazi,.. Hivyo mke kaenda na simu lakini ilikuwa ikirekodi sauti... Kwahio kama kuna litu aliongea huko wodini basi kitakuwa kimerekodiwa,..

    "lakini mume wangu,.. Si nilikupa saa ile ukaongea nae"

    "jamani mke wangu, ina maana hutaki mimi kuitumia simu yako"

    "ok.. Sawa chukuwa"

    Ibrahim aliipokea ile simu na kukimbilia sehemu ya rekodi, mana aliitegesha irekodi dakika kumi,.. Kweli akaikuta rekodi hii hapa,.. Tena ilikuwa imejaa maneno vizuri,... Yaani ilimfanya mpaka Ibrahim aogope kuisikiliza, mana kama ina ukweli, basi itakuwa ni mwisho wa yeye na rehema,... Hivyo hata kutetemeka alikuwa anatetemeka, kwa kuhofia ukweli ulioluwepo humo japo hana uhakika kama imerekodi jambo gani wakati alipoenda huko wodi ya wazazi...

    "mume wangu, mbona kama una hofu...au kuna kitu umeona kwenye simu yangu?... Hebu hio simu"





    Kila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho, na kila marefu hayakosi kuwa na ncha,... Kijana chidi siku wanafukuzana na kaka yake, alimchana kaka yake kiwa mke alienae sio mke kama anavyodhani, yaani ni kheri kuwa na shetani kuliko mke kama rehema, Ibrahim aliyapuuzia yale maneno ya mdogo wake, ila kadri siku zilivyozidi kwenda nae akapanuka akili, na kumwambia mkewe waende wakapime kama kweli hio mimba imo ama ni swaga za kumlia pesa, Rehema alipoambiwa akapime alishtuka sana lakini haikuwa na budi ya kukubali,... Kumbe rehema alikuwa na akili yake tofauti...



    Ibrahim na rehema walifika hospitalini hapo na kufanya vipimo vyote,

    Rehema baada ya kujua kuwa mumewe anamshakia kuwa huenda hana mimba, hivyo kaanza kununa lakini Ibrahim alikuwa akitabasamu muda wote,... Sasa hatukujua kwanini alikuwa akitabasamu kiasi hicho,....

    Ibrahim alimwomba simu mkewe na kuanza kuikagua mana kuna kitu alifanya wakati mkewe alipoondoka kwenda wodi ya Wazazi,.... Sasa Ibrahim kuona kuwa ile rekodi ipo na imejaa milis nyingi, akajua hapa kuna maongezi yaliongelewa,.. Ibrahim alikuwa na hofu hata kutetemeka alishaanza kutetemeka huku akiitolea macho simu hio..

    "mume wangu, mbona kama una hofu...au kuna kitu umeona kwenye simu yangu?... Hebu hio simu"

    Aliongea rehema huku akinyoosha mkono wake ili kuchukuwa simu yake,

    "subiri kidogo nitakupa"

    Aliongea Ibrahim huku akiibonyeza ile rekodi kana kwamba iplay pale pale wote wasikie,....

    Kweli rekodi ikaanza kuzungumza



    "habari yako dokta"

    Hio ni rekodi nayosikika rehema akianza kumsalimia dokta,..

    "salama tu karibu"

    "ahsante"

    "nikusaidie nini"

    "nimekuja kupima... Lakini kuna kitu naomba uniseidie"

    Sasa wakati rekodi inaendelea, Rehema alikuwa anatoa macho yaani haamini kama Ibrahim alifanya utundu kama huo ambao hata yeye hakuutarajia kama unaweza kufanyika...

    "sema tu"

    "nimekuja na mume wangu,.. Ila sina mimba Kiukweli ila nataka tukija..."

    Kabla hajamalizia maneno yake, rehema aliinyakuwa ile simu yake na kuizima huku akimwambia Ibrahim

    "kama hunipendi niambie kuliko kunifanyia hivi"

    "rehema mke wangu,... Hata kama huna mimba lakini mi bado nakupenda"

    Rehema kuskia hivyo akajiuliza

    "ooohhh kumbe pesa bado naendelea kuzila, ahsante mungu"

    Alijiongelea mwenyewe kimoyomoyo huku akiomba msamaha kwa mumewe,..

    "mume wangu, nisamehe kwa kukudanganya, nilijua nikikuambia ukweli ungeniacha"

    "usijali mke wangu, tupo pamoja"



    BAADA YA MIEZI SITA KUPITA



    AFTER SIX MONTHS LATER

    ____________________________________



    BAADA YA MIEZI 6 KUPITA



    AFTER 6 MONTHS LATER

    ____________________________________



    Baada ya miezi sita kupita tunakutana kijana chidi akiwa bado na hali yake ya kusukuma mikokoteni, yaani mpaka sasa bado hali yake ni mbaya mno,....

    Akiwa kijiweni kwake tena kakaa juu ya mkokoteni wake, ghafla kasimu kake kanaita,.. Kuangalia jina alikuwa ni mke wake wa kijijini ndio alikuwa akimpigia simu

    "haloo mama watoto habari yako"

    Kijana chidi alimsalimia mke wake kwa furaha na kuonekana hana hofu ya maisha na karidhika na hali alionayo,..

    "huku sio salama mume wangu"

    "nini tena salma mke wangu"

    "mama anaumwa, yaani hoi hoi na hapa tupo njiani kuelekea hospitalini"

    "mungu wangu wee, salma nini tatizo kwa mama"

    "jana tulikuwa shambani, hivyo ndio vikamuanza"

    "salma mke wangu,... Huku niliko mwenzio hali ni mbaya, nitafanyeje"

    Chidi alilalamika sana huku machozi yakimtoka kisiri siri, mana matatizo humjia wakati hali yake sio nzuri...

    Chidi alikata simu kwa hasira kitendo kilichowashtua jamaa zake

    "oyaa chidi mbona kilio tena, kuna msiba nini"

    "hapana, ni matatizo tu ya maisha"

    "tuambie bwana"

    "aahh Kiukweli ni kwamba mama yangu anaumwa sana, na mimi ndio nategemewa kitoa pesa ya matibabu"

    "ooohhh pole sana jamaa yangu"

    "oyaaa, tumchangieni mshkaji atume home bimkubwa apone"

    Aliongea jamaa mmoja huku wenzake wakiipokea kwa shangwe kana kwamba walikubaliana na hilo,..

    "ndio... Tumchangieni bimkubwa apone"

    "ndio... Ndioo.. Ndioo"

    "oya chidi... Kesho tunakupa chochote utume home au sio mshkaji wangu"

    "daahh nitawashkuru sana jamaa zangu"



    Tukija huku kijijini katika familia ya kijana chidi, ambao wote walikuwa wapo hodpitalini, kweli mama wa kijana chidi alikuwa akiumwa sana,... Tena alikuwa kaekewa mpaka hewa ya mashine na madripu kama matatu hivi,..

    Salma alikuwa nje akitafakari nini cha kufanya,. Lakini alipokuwa akifikiria mengi ghafla alipata wazo na kufurahia wazo lake

    "yes, kule kwa yule tajiri tunamdai elfu 20, ngoja nikaichukue angalau itusukume kwa dawa"

    Alijiongelea mwenyewe kimoyomoyo huku akichukuwa usafiri wa toyo kuelekea kule kwa yule tajiri wao ambae ndio wanamlimiaga mashamba yake,.. Hivyo jana walilima nusu heka, lakini pesa hawakupewa kwasababu tajiri hakufika shambani...



    Salma alifika nyumbani kwa tajiri huyo na kuingia mpaka ndani, na kumkuta tajiri huyo kaka kwenye sofa hapo sebuleni,

    "shkamoo baba"

    Salma alimsalimia mzee huyo kwa heshma kubwa huku akiinama chini,.. Kuashiria heshima ya hali ya juu

    "marahaba mama ujambo"

    "sijambo...."

    "vipi leo mmemaliza mapema sana ee"

    "hapana baba leo hatujaenda, mama anaumwa"

    "oohhhh poleni sana"

    "ahsante... Ila baba jana, tulienda ila hatujapewa kiasi chetu"

    "haaaaaa,.... Huyu mtoto mshenzi sana kwanini hajawapa"

    "hakuja jana"

    "aaahhhhhh ok, jana nilimtuma ndio mana hajaja... Ebu gonga pale yupo akupatie pesa yako"

    "sawa baba ahsante"

    "haya mama karibu tena"

    "haya baba"

    Salma hakutaka kupoteza muda aligonga katika mlango wa kijana huyo na kufunguliwa,..

    "waaoooo salma mambo"

    "safi tu"

    Salma alikuwa anaogopa kuingia mana ni chumba cha mtoto wa kiume, hivyo aliogopa kuingia ndani

    "karibu ndani"

    "ah ah, nimekuja kuchukuwa ile pesa ya jana"

    "salma,.. Please naomba uingie japo kidogo tu"

    "hapana naomba niwahi hospitali bwana mama anaumwa"

    "ooohhh shit, pole sana salma,."

    "ahsante.... Nipe basi"

    Sasa wakati salma anasubiria pesa na wakati huo huyo kijana Jackson alienda kwenye suruali yake na kutoa pochi huku akijisemea kuwa

    "yes, hapa ndio pakumpatia, miezi mitano mizima namaliza soli tuu afu simpati, sasa leo lazima akubali pesa yangu, na hapa ni kumuongeza ili akalipe huko hospitali"

    Aliongea kijana Jackson huku akihesabu wekundu kama watano hivi na wekundu wawili kama malipo ya kulima...

    "ok... Njoo uchukue"

    Jackson alifanya ujanja ujanja mpaka salma akakubali kuingia ndani,.. Na kupokea pesa kiasi cha shilingi elfu 20,..ile anataka tu kuondoka akashikwa mkono na kuvutwa,...

    "salma, kwanini unashindwa kunifikiria mwenzio,.. Yaani kwa jinsi ninavyokupenda, nipo tayari kumuuguza mama yako"

    "Jackson, mimi nina mtoto bwana niache"

    Salma alijitetea kwa hilo ili Jackson amuache, lakini Jackson hakuwa akielewa kitu chochote,... Kwani muonekano wa salma huezi jua kama ana mtoto, yaani bado kabinti kadogo na ni mlaini mno,



    "ok, chukuwa basi hii elfu 50 fanya mpango mama yako apone"

    Salma alikuwa anasita kuipokea pesa hio, lakini kabla hajapokea alikumbuka mateso anayoyapata mama yake na chidi,

    "bila pesa huyu mama atakufa, na mkileta mchezo nitayatoa haya madripu ya maji, Na hii hewa safi... Hapa sio kanisani bila pesa atakufa mtu hapa"

    Salma alipokumbuka maneno ya dokta, Aliinyakuwa ile pesa na kutaka kukimbia ili awahi kule hospitali, lakini alishikwa mkono na kuvutiwa kifuani,...

    "salma, kwani mimi sio mwanaume"

    "Jackson, please naomba niwahi hospitalini"

    Aliongea wakati huo tayati keshalala kifuani kwa Jackson, na sio kuwa anapenda ila ni ukosefu wa pesa,..

    "salma... Naomba jioni uje tulale huku kwangu"

    Salma hapendi kufanya hivyo lakini kila akikumbuka kule hospitalini, basi anajikuta analainika kwa Jackson,...

    "ok, niachie basi niende"

    "kuenda utaenda,... So please naomba hata deda niamini kama upo tayari kuwa nami"



    Salma alitoa macho, huku akishtuka kwa maneno hayo...

    "hapana staki"

    "kama hutaki nipe pesa zangu, tena nipe mpaka hio elfu 20"

    "Jackson jamani"

    "nipe.. Afu toka zako"



    Salma alishtuka... Kumbe yalikuwa ni mawazo baaya ya pale alipoombwa denda, yaani kufikiri kabla ya kutenda..

    "salma, nipe denda basiiii jamani"



    Tukija huku mjini kwa bwana Ibrahim akiwa yupo katika baa kubwa zile za watu wenye pesa,...

    "zungusha kama tulivyo"

    Alikuwa ni Ibrahim akiwa na kundi la watu ambao ni rafiki zake,..

    "baada ya kuzungusha... Fanya kama unaleta kilo tano ya nyama ya ng'ombe"

    Alikuwa na kikosi cha watu kama 15 hivi aliokuwa akiwapa lanchi time...



    Lakini Ibrahim alionekana yupo vizuri kimaisha kwani alikuwa kavalia suti ya bri mbaya, tena hata hao marafiki zake pia walikuwa wamevalia suti za bei...

    "mbona huleti midompo... Lete,.. Amarula kama tano hivi"

    Ibrahim alikuwa akiagiza vile vinywaji vya bei mbaya,... Basi ilikuwa ni shangwe mtindo mmoja kati ya Ibrahim na rafiki zake,... Ghafla simu yake inaita, na alikuwa ana simu ya ghalama kubwa na sijui Ibrahim aliingia mlango gani na kuyapata mafanikio ndani ya miezi 6 tu

    "haloo"

    Aliongea huku akinywa kinywaji cha bei ghali wanaiita FRENCH WINE... Au unaweza kuiita RED WINE..

    "haloo broo,.aahhh. Nilikuwa nakutaarifu tu kuwa mama anaumwa kule nyumbani"

    Kumbe aliopiga alikuwa ni kijana chidi

    "sasa akiumwa we wataka mi nifanyeje, au katika kukua kwako ulishawahi kuniona nikiwa dokta"

    "ok samaani kwa hilo kaka"

    "alafu upo wapi"

    "nipo kijijini"

    Alimdanganya kaka yake, kiwa yupo kijijini lakini sio kweli, chidi yupo mjini..

    "ok, nenda shambani kalime vibarua umseidie mama... Mimi sina kitu hali ni mbaya"

    "ok poa broo"

    Chidi kumbe hakuchoka kumtafuta kaka yake hata kama alimfukuza, lakini ni ndugu yake tu

    "boss kuna nini"

    Heeeeeeee kumbe Ibrahim ni boss,.. Mana hata hawa rafiki zake kumbe sio. Marafiki zake bali ni wafanykazi wake..



    PATAMU APO



    Tukija huku kijijini kwa salma akiwa bado anajishauri kumpa Jackson denda,... Jackson alianza kumshika shika salma katika kifua chake, salma alikuwa hapendi kufanya hivyo,..

    "No , No, Jackson usinishike huko"

    "salma, nakupenda.. "

    Aliongea Jackson huku akiendelea na zoezi la kumshika shika salma kifua chake,..

    "ok, ok, ok, Jackson.. Wait, nitakuja jioni but for now naomba tuache niwahi nyumbani"

    Wakati huo Jackson tayari hisia zimeshampanda kwa kile kitendo cha kumshika shika salma matiti yake,.. Zakaria wa Jackson alikuwa akimgusa gusa salma kwenye mapaja yake huku salma akiukwepa usimguse, mana unamsisimua kimapenzi pindi unapomgusa,... Jackson alimshika kisawa sawa salma na kutaka kumnyonya denda,.. Hata hali ya salma nayo ilionekana kubadilika baada ya mishiko alioshikwa na Jackson..

    Ghafla salma anaachia mpaka zile pesa zikadondoka chini kana kwamba keshalegea kwa kushikwa shikwa na Jackson.....



    Kiukweli pesa ni mbaya sana katika maisha, nia ya salma ni kumdanganya Jackson kuwa anampenda, lakini asimpe tunda adimu, lakini kaa ukijua kuwa mapenzi hayajaribiwi,.. Hivyo salma aliposhikwa shikwa tu kalegea na kuachia mpaka pesa aliopewa

    "No, No, No Jackson... Wacha niwahi hospitali nitakuja"

    "salma... Please kimoja tu,.. Tena kama pesa ni kidogo wacha nikuongeze"

    Sasa ile Jackson anaenda kwenye suruali yake, huku salma katoka mbio,.. Na kwenda kituo cha toyo, na kuondoka zake kwenda hospitali kuwahisha pesa... Jackson kugeuka haoni mtu wala pesa ilioachwa,..



    Tukija huku mjini kwa Ibrahim aliokuwa akila raha zake pamoja na wafanyakazi wake,

    "boss kuna nini"

    "aahhh kuna fala mmoja anaomba pesa kijinga jinga, hajui kama tuna kazi nazo"

    "ahahahaha Boss bwana... "

    Wafanyakazi leo walikuja kupewa chakula cha mchana huku wakijiskia furaha ya hali ya juu,...



    Iliwachukuwa zaidi ya lisaa hapo huku wakimalizia vinywaji vyao..

    Ghafla weita anakuja na bili ndefu kweli,

    "kaka bili yako hii hapa"

    "hebu nione"

    Kuangalia, aahhh kumbe kwake ilikuwa ni pesa ndogo

    "haaaaaaaa mi nilijua imefika milioni kumbe ni laki tatu tu...jamani ongezeni tena"

    Aliongea Ibrahim huku akiwa na furaha ya maisha alionayo,..

    Kiukweli Ibrahim alionekana kuwa na pesa za kumwaga na sijui aliingia kwenye shimo gani na kupata utajiri alionao mpaka kumwaga pesa huku wazazi wake wanalia njaaa



    Tukija huku kwa kijana chidi aliokuwa hatulii kila mara anapiga simu nyumbani, kujua hali ya wazazi wake wanaendeleaje, yaani alikuwa hana hata raha hapo kijiweni, na alianza kujitenga mana muda wote alikuwa akiiwazia familia yake,.

    Maisha kwa upande wake yalimwendea kombo sana na mpaka sasa yupo na mkokoteni wake,..

    "chidi jamaa yangu, usiwaze namna hio, yote ni maisha na bi mkubwa atapona tu"

    "jamaa angu we acha yu, sina hata raha Kiukweli, mana mimi ndio tegemeo na wazazi wangu nawapenda sana"

    "usijali, sisi kesho tutakupiga tafu, tujipige na chochote tulichonacho ilimradi tu bi mkubwa apone, achana na mawazo hayo"

    Marafiki wa kijana chidi ambao nao ni wasukuma mikokoteni, walikuwa wakimfariji rafiki yao,... Marafiki hao wapatao watano waliokuwa karibu na kijana chidi, miezi sita yote wapo pamoja mpaka leo,..



    Tukija huku kijijini kwa salma akiwa ndio anafika hospitali na kuingia kwa spidi kali,

    "mama.... "

    Aliita salma huku akimshika shika mama mkwe wake, kana kwamba anampenda sana mama huyo,..

    "dokta... Mama anaendeleaje"

    Salma alimuuliza dokta huku akiwa ana furaha mana anayo pesa

    "mama yako anaendelea vizuri tu, ila mnatakiwa mlipe kabisa"

    "ok sawa, ni kiasi gani"

    "hospitali inawadai kiasi cha shilingi laki moja,.. Na ukishatoa hio, muandae pesa ya dawa tu, ila matibabu na malazi ni hio hio lakimi moja"

    "mungu wangu weeee dokta tupunguzie"

    "hapana,... Na kama hamuezi kulipa mbebeni mama enu muondoke"

    Salma pale alipo ana kiasi cha shilingi elfu 70, elfu 20 ya kulima jana, na elfu 50 kahongwa na Jackson, hivyo hapo bado haijafika laki kama inavyotakiwa hapo hospitalini...

    "ok sawa, basi natoa hii elfu 70, naleta elfu 30, lakini naomba mama aendelee kupata huduma"

    "kwa hapa hakuna shida, we kalete kilichobaki"

    Salma alitoka tena ila haikujulikana alikwenda wapi,.. Lakini alionekana kuingia dukani na kuchukuwa pakiti tatu za kondom,..

    "haina budi, nimridhish Jackson, mana bado nahitaji pesa tena"

    Aliongea salma huku akienda nyumbani kwa akina Jackson, mana hakuna jinsi, kujitahidi kukimbia lakini imeshindikana, anajikuta anarudi kule kule alipotoka,... Jackson alipomuona kwa kupitia dirishani alianza kutandika kitanda chake vizuri tena shuka jeupeee, mana salma kaja mwenyewe,.. Tena kaandaa na zana zake za kazi....

    "karibu salma"

    "ngoja kwanza basi"

    "jamani salma mbona mkali"

    "Jackson,... Unajua ile pesa haijatosha"

    "kwaio watakaje,... Na imepelea kiasi gani,. Ni elfu 50 au"

    Salma alitaka kusema kiasi kinachotakiwa lakini Jackson akajichanganya mwenye na kuvuta elfu 50 na kumpa,... Mana familia hio ndio familia ya kwanza tajiri hapo kijijini, baba yake ana mashamba mengi sana na mifugo minhi sana, hivyo kwao pesa ni njenje tu,...

    Salma alipokea pesa hio na kuifungia kwenye kanga, huku akitaka tena kukimbia lakini safari hii hakupewa nafasi kama hio, na hata hivyo kwakua alijiandaa kufanya hivyo.. Kwahio hakuwa na budi kukubali,.....

    "Jackson, please naomba tutumie kondom please"

    "aahhh salma,... Kwa utamu ulionao mie nitumie kondom kweli,.. Mi staki, na kama ni pesa nitakuongeza lakini hii kondom tupa kule"

    Jackson aliichukuwa ile kondom na kuitupa nje... Salma hakuwa na lakusema alikuwa kimya tu



    BAADA YA SIKU HIO KUPITA



    Na leo ni siku nyingine tena tukiwa mjini, tunamwona kijana chidi akiwa anapewa pesa na rafiki zake kama alivyoahidiwa kuwa watamchangia, na kweli alikuwa kikabidhiwa kiasi cha elfu 50,.. Kiasi hicho kwa maisha yao ni kikubwa mno, kijana chidi bila kuchelewa anakimbia M-pesa kwenda kuituma pesa hio,...



    "Oya broo naomba tutume hii pesa"

    Alimwambia huyo mtu wa M-pesa huku akimpatia pesa hio,..

    "ok taja namba"

    Chidi aliitaja namba ya kutumia hio pesa, mara moja pesa ikatumwa nyumbani,..

    "tayari nimeshatuma, imeenda kwa Elbariki sanga"

    Aliongea huyo m-pesa kitu ambacho kilimshtua sana kijana chidi,..

    "Elbariki Sanga???... Hapana huyo mtu haitwi hivyo"

    "ndugu, meseji si hii hapa"

    "hapana bwana we umekosea namba"

    "basi wewe mwenyewe ndio umekosea namba, mana ulizitaja mwenyewe"

    "ebu fanya kitu basi"

    Chidi alizidi kuchanganyikiwa zaidi, mana pesa hio inahitajika halaka,..

    "labda tumpigie huyo Elbariki"

    "sawa ndugu fanya hivyo basi"

    M-pesa huyo alipiga simu kwa huyo jamaa, lakini simu haikuwa ikipatikana,... Alijaribu kupiga katika mtandao na kuambiwa kuwa namba hio haitumiki muda mrefu, hivyo hata taarifa zake hazipo,... Chidi alishika kichwa huku akiondoka taratibu mana ndio tayari pesa imeshapotea,...

    Chidi alishukwa na machozi mfululizo huku akiwaza atapata wapi pesa ya kutuma huko nyumbani kwao ambayo ndio ilikuwa ya matibabu ya mama yake,... Chidi alinyanyua simu na kumpigia mke wake,..



    Tukija huku kijijini, Wakati huo mkewe tayari keshananiii na Jackson kitambo sana,.. Na alikuwa hospitali, huku akiwa na furaha ya kuwa hadaiwi kitu hapo hospitali, tena Jackson alimwongeza pesa kwakuwa hawakutumia kondom,

    Ghafla simu yake inaita, kucheki jina ni la mumewe,..

    "haloo mume wangu"

    "ee vp mke wangu, hali ya mama inaendeleaje"

    "aahhh tunashkuru mungu, kidogo afadhali"

    "vp pesa umetoa wapi salma"

    "tumekopa kwa yule tajiri tunaemlimia, afu tutaenda kulima taratibu bila malipo"

    Salma alimdanganya mume wake, huku nafsi ikimsuta kwa kitendo alichokifanya,.

    "poleni sana mke wangu"

    "ahsante, ila nawe unaendeleaje huko"

    "mke wangu, we acha tu, huezi amini nilipata pesa kidogo niwatumie sasa hivi,.. Lakini nilikosea namba hivyo pesa imepotea mke wangu"

    "jamani baba king,.. Kwanini lakini"

    "tumuombe Mungu mke wangu, naomba uwe karibu na mama"

    "usijali... Vp shem yupo"

    "aahhh huyo mwehu wala ata staki kumsikia"

    "ok. Poa nakutakia siku njema mume wangu"

    "nawe pia mke wangu"

    Salma akikumbuka kitendo cha jana, yaani anakosa raha kabisa ya kuendelea kuishi, mana kamsaliti mume wake...



    Tukija huku mjini,.. Tunamwona bwana Ibrahim akiwa na gari ya thamani kubwa, yaani gari ya pesa nyingi,.. Kiukweli Ibrahim alitrmbelewa na pesa si utani,..

    Ibrahim aliingia katika gari hio lakini ndani ya gari hio kulikuwa na wanawake wawili, waliokuwa wakimshika shika kila kona ya mwili wake,..

    Ibrahim aliwasha gari na kuelekea kwenye hoteli za gharama na kuingia na mabinti hao, Kiukweli kijana Ibrahim ameharibikiwa sana kimaisha.. Kitendo cha kutumia wanawake wawili kwa pamoja, ilikuwa ni ishara tosha kuwa Ibrahim anachezea pesa ingawa familia yake inakufa njaa na magonjwa kedekede,

    "nyinyi watoto wa kike ku*** zenu ni tamu sana mnataka kiasi gani"

    Aliwauliza wadada hao huku akitoa burungutu la pesa,..

    "laki tano mi inanitosha tu"

    "hata mimi laki tano inatosha"

    Wadada wote walitaka laki tano kila mmoja na Ibrahim hakuwaza hilo, bali alitoa kibunda bila kuhesabu na kuwatupia Wadada hao....



    Tukija huku kwa kijana chidi aliokuwa akilia njaa mana pesa yote yakwake aliiongeza kwenye ile pesa ili angalau iende nyingi nyingi, lakini kwa bahati mbaya ikaenda kwenye namba nyingine na kushindikana kutolewa,...

    Chidi akiwa katulia katika mkokoteni wake, akisubiri kazi na wakati huo ana maumivu ya kuipoteza pesa iliotakiwa kuuguza kule nyumbani,...

    Ghafla akiwa hapo anashangaa anaitwa na jamaa mmoja hivi kuwa kuna kazi ya kwenda kuifanya pale stendi, yaani kuna mzigo wa kubeba hapo stendi.. Hivyo chidi kwa vile ana njaa na kuchoka, ukichanganya na machungu ya pesa iliopotea, huku akifikiria mama yake anaumwa,.. Hakuikataa kazi, chidi alisukuma mkokoteni wake mpaka stendi na kupakia mizigo, ambayo taxi isingeweza kuibeba,... Ni mizigo ya mwanamke mmoja hivi,..

    Basi chidi alianza kuipakia baada ya kumaliza wakapata na huyo mama bei ya kupeleka mizigo hio... Chidi alikuwa akibembea na mkokoteni wake na kutaka kuondoka,... Lakini ile anaondoka tu alishangaa kuskia jina lake likiitwa na wakati hajulikani sana hapo mjini,

    "chidi Jamani, ni wewe au nakufananisha"

    Kijana chidi aligeuka na kuangalia huyo mtu aliemuuliza hivyo... Laaa haulaaaa chidi alitoa macho huku moyo wake ukifurahi,... Lakini papo hapo alianza kuingiwa na hofu juu ya mtu aliomuona..





    Wahenga walisema kuwa, ukiona kiza kikubwa basi ujue nuru yaja, msemo huo sii wa uongo bali wameupatia sana, katika maisha ya kijana chidi alionekana kuteseka sana huku kaka yake akila maisha kwa utajiri alionao, Ibrahim amekuwa mtu wa kumwaga pesa sio baa wala sio kwa wanawake,.. Kijana chidi na maisha yake ya mkokoteni ili kujipati kipato katika maisha yake,.. Kijana chidi alilizika nanmaisha hayo na kuwa mtu mwenye furaha kuliko hata tajiri mwenye pesa zake.... HAKUNA MAISHA MAZURI KAMA HUNA AMANI... LAKINI KUMBUKA KUNA MATAJIRI WENGI NA WENGINE HAWALALI, KWASABABU PESA ZAO ZIMEKATA KONA NYINGI,.. YAANI HAZIJANYOOKA,.. USIJUTE KUWA MASKINI HATA KIDOGO KWANI IPO SIKU NAWE UTALALA KWA RAHA,... USIPENDE SHOTKATI YA KUPATA PESA, UTAUMBUKA,.. WAAFRIKA HATUFANIKIWI MAPEMA KWASABABU HATURIDHIKI... UKIPATA ELFU 10 SASA HIVI, UTATAMANI UPATE NA NYINGINE, SASA HUONI HAPO UNAMLAZIMISHA MUNGU AKUPE RIDHIKI NYINGINE.. RIDHIKA NA KILE KIDOGO,.. MWENYEZI MUNGU ATAJUA, KUMBE MJA WANGU ANARIDHIKA NA KIDOGO, BASI NGOJA NIMPE KIKUBWA... LAKINI SIO SISI WAAFRIKA... HUA HATURIDHIKI NG'OOO



    Kijana chidi yeye amepata pesa kubwa sana kwake ni elfu saba tu, yaani hio kwake ni pesa kubwa mno, na karidhika kwa kupata pesa hio na ndio mana mpaka leo bado ana kazi hio,.. Katika maisha ukifanya kazi huku unanung'unika sio vizuri na hata mungu hapendi... Hata kama kuna milango anataka kuifungua, hatoifungua kwasababu una chuki ya kupata pesa kidogo...



    Sasa leo kijana chidi amepata dili zuri la kubeba mizigo ya mama mmoja hivi alioonekana kuwa nazo, mama huyo alikuja na gari yake binafsi, lakini kutokana na uwingi wa mizigo yake hakuweza kuipakia katika gari yake hio binafsi, hivyo akazipakia katika basi kisha akawa anafuata basi kwa nyuma, kutoka huko alipotoka,..

    Sasa mizigo ilipofika stendi hapo jijini Arusha,.. Alitumwa mfanyakazi aje kumpokea mama huyo,.. Mama huyo alipomwona mfanyakazi wake wa makamo hivi mana sio mschana ni mkubwa kiasi,.. Mama huyo alimwagiza mfanyakazi huyo kuwa atafute mtu wa mkokoteni abebe hio mizigo mpaka nyumbani maana taxi haiwezi kuibeba,. Mama huyo alipoacha maagizo hayo, alimwambia mfanyakazi huyo wa kike kuwa anaenda hapo saluni kuna mtu anaenda kumuangalia, hivyo chidi alipokuja na mkokoteni wake huku akijua kuwa mtu aliepatana nae ndio tajiri, kumbe sie, bali ni mfanyakazi wa ndani ndio aliopatana nae bei ya kuupeleka huo mzigo,.. Sasa chidi baa ya kupakia mizigo yote na kuanza kusukumana na mkokoteni huo.. Ndio akatokea huyo mama tajiri mwenyewe mwenye mzigo,.. Mama huyo alimwangalia sana kijana chidi kama vile alikuwa anamjua hivi, mama huyo alibaki kumtolea chidi macho, ila chidi bado hajamuona mama huyo kama alikuwa anamuangalia,..

    Mama ilibidi avunje ukimya na kumuita kijana chidi...



    "chidi Jamani, ni wewe au nakufananisha"

    Kijana chidi aligeuka na kuangalia huyo mtu aliemuuliza hivyo... Laaa haulaaaa chidi alitoa macho huku moyo wake ukifurahi,... Lakini papo hapo alianza kuingiwa na hofu juu ya mtu aliomuona..

    Lakini kabla chidi hajaongea kitu, mama alishuka katika gari na kumkumbatia kijana chidi, chidi alikuwa akitokwa na jasho, nguo zake ni chafu alikuwa akinuka kwa nguo na kazi anayofanya,.. Lakini mama huyo hakujali uchafu wa chidi,..

    "chidi jamani, ulikiwa wapi, na ni nini kilitokea mbona uko hivi na kazi hii"

    Aliongea mama huyo ambaye ndio mama yake na sarah,.. Leo chidi kakutana na mama sarah, yule jimama lake liliompangishia chumba na kumnunulia vitu vya ndani.. Sasa chidi alikuwa na hofu kwasababu mama huyo angemwona chidi ni tapeli, kwa kununuliwa kila kitu afu kaingia mitini, yaani mama angemhisi chidi ni mwizi mwizi, lakini kumbe hofu yake ilikuwa ni hewa, mama alioza kwa chidi vibaya mno,

    "mamy ni stori ndefu sana"

    "ok mi staki kuijua,..... We nemaa"

    "abeee dada"

    "tafuta mtu mwingine asukume hilo toroli lakini sio huyu sawa"

    "sawa dada"

    Mama huyo alimchukuwa chidi na kumwingiza katika gari, haikujulikana wanaenda wapi...



    Tukija huku hoteli kubwa ambayo inamilikiwa na mama yake miriam, na miriam mwenyewe,... Sasa miriam na rafiki yake sarah walikuwa ofisini wakipiga stori za hapa na pale

    "afu miri mi nataka kwenda kazini kwangu"

    "heeeee mbona unawahi hivyo sarah"

    "shost si unajua leo mama anakuja"

    "heeee mnona kawahi kurudi hivyo"

    "we acha tu mi mwenyewe nimechukia kurudi kwake"

    "mmmhh huko kuchukia kwako kuna kitu hapo"

    "wala tu... Yaani nilitaka akiondoka afu nikutane na chidi"

    "chidi??.. Chidi yupi uyo tena"

    "heeeeee.. Si yule chidi wangu wa zamani"

    "boooooo, yaani mpaka leo bado unamkumbuka tu"

    "sio leo tu,.. Mpaka kesho"

    "yaani wewe na huyo jambazi lako mmmhh, hivi huyo jambazi ni hensam kiasi gani"

    "miri utaniudhi sasa"

    "ok tuyaache hayo, lakini wewe ni wa tofauti sana,.. Yaani miezi zaidi ya sita bado humsahau tu"

    "siwezi..."

    "ivi nikuulize kitu sarah"

    "uliza"

    "ivi ulishawahi kulala nae"

    "bado"

    "basi we mjinga"

    "mjinga ni wewe jike dume"

    Sarah na miriam walikuwa wakitambiana japo miriam yeye hua hapendi wanaume,

    "sikiliza shost.. Mie mpenzi wangu bado hajazaliwa"

    "nyoooo ndio mana ile tabia huachi"

    "nyooo mnona we huachi"

    "sasa si nimemkosa chidi wangu"

    "Ahahahahaha eti chidi wako, angekuwa wako si ungelikuwa nae mpaka leo"

    "aahhh bwana eee niache niwahi kazini"

    Sarah aliondoka na kupanda gari yake kisha huyoo akaondoka zake,... Hao ni watoto wa matajiri waliokuwa wakitambiana kwa kuwepp kwa wapenzi wao

    "lakini ni kweli, hii tabia tulionayo na sarah, ni mbaya sana, wacha nami niufungue moyo wangu"

    Alikuwa ni miriam akijiongelea mwenyewe kimoyomoyo, huku akitoka nje kwa kuendelea na kazi zake za umeneja katika hoteli yao..



    Tukija huku kwa Bwana Ibrahim aliokuwa anaingia nyumbani kwake,.. Jamani jamani Ibrahim ana mjengo mkubwa afu ni mzuri kupita kiasi, yaani hapo ndani utafikiri ni kwa rais fulani hivi, kumbe ni tajiri wa kawaida sana,.. Ibrahim aliingia ndani na kupaki gari sehemu maalum ya kupakia magari, Yaani kwenye hio paking yenyewe kuna magari zaidi ya manne na yote ni ya bei mbaya tupu... Sasa ile anashuka tu, akatokea mwanamke aliokuwa anamkimbilia huku Ibrahim akimwita

    "waaooo my wife Material"

    "jamani mume wangu pole na kazi"

    "ahsante sana mke wangu, na wewe pole na kazi za hapa nyumbani"

    "ahsante.... Yaani leo nimekumisi ghafla tu"

    "mimi je, yaani hata ofisini sikai kwa amani kisa wewe"

    Aliongea hivyo Ibrahim huku akimshika mkewe kidevu, lakini swali linakuja hivi je huyu mke wa Ibrahim ni yule Rehema au ni mwingine...

    PATAMU APO



    Tukija huku kwa kijana chidi... Laa haulaaa kijana chidi sio yule tunaemjua tena, kijana chidi keshabadirika kitambo sana, na sasa yupo saluni anafanyiwa masaji, yale mambo ya sclub sclub mambo ya Angel Face sjui nini huko, huku vinywele vyake vikipakwa sjui nini huko,.. Kumbe mama alipomchukuwa pale stendi alimpeleka chidi katika hoteli moja hivi iliopo karibu na stendi, chidi alienda kuoga huku mama akaingia katika duka la nguo na kuvuta pamba za maana za siku hio kwanza,.. Wakati huo chidi yupo bafuni akaletewa kila kitu mpaka boxer mpyaaa, raba mpyaa, vest mpyaaa, tisheti mpyaaa, kofia mpyaaa, saa mpyaaa, mkanda mpyaaa, taulo lenyewe jipyaa, walet mpyaaa, sox mpyaaa, shati jipyaaa, suruali mpyaaa, kidani kipyaaa, cheni mpyaaa... Kila kitu kipyaaaaaaaaa, na hata chidi mwenyewe katoka akiwa mpyaaaaaaaaaaaaaaa... Mama hakuridhika na upya wa chidi wake, ndio akamchukuwa na kumpeleka salon.. Na ndio sasa hivi yupo salon anafanyiwa masaji ya mwili mzima,... Huku mama akimsubiria kidume kitoke kusagwa sagwa huko ndani na hao wadada wa masaji,...



    Dakika kumi mbele kijana chidi alitoka akiwa mpyaaa,... Khaaaa yaani kazidi hata demu ana nafuu kwa kitu alichofanyiwa, yaani sijui kama chidi kapenda hali hio, mana uhensam umepitiliza kana kwamba usipoangalia vizuri unaweza kuona ni kademu mana hata ndevu hana.. Mama alipomuona alifurahi sana, sasa chidi kujiangalia kwenye kioo,.. Laaa haulaaa yaani ni kama mwanamke, vinywele vimekua vyeusi au kama vya Kiarabu,... Chidi alichukuwa taulo na kujifuta uso ili ile sclub itoke,.. Apo apo akachukiwa kofia na kuivaa ili kuificha ile nywele,

    "chidi unafanya nini sasa, ivi hujui nimelipia gharama kubwa mpaka kuwa hivyo"

    "mamy,... Mimi ni mtoto wa kiume, sitakiwi kuwa hivi"

    "lakini ulikuwa mzuri chidi yaani nimependa mpaka raha yani"

    "hapana mamy,. Nimezidi sana na sitaki nionekane hivyo, mimi ni mwanaume, urembo ukizidi sana nitaitwa nanihiii"

    "aahhh basi nimekubali,... Mana hio hali ya unanihiii kama ungelikuwa nayo sidhani kam ningekutafuta,... Ila chidi we ni hensam sana yaani ulipotoka ndani kule mpaka nimekusahau kidume changu"

    "nilikuaje"

    "yaani hata mwanamke ana nafuu"

    "umeona sasa eee,... Hicho ndio kitu sikipendi, sasa kama wewe tu ni mwanamke na umeniona kama mwanamke je huyo mwanaume atanionaje... Tena sijui nikajiburuze kwenye vumbi ili niwe sawa"

    "utaniudhi sasa chidi"

    Chidi alikigeukia tena kioo na kujiangali,.. Kidogo vilikuwa vimepungua kwasababu alijifuta na taulo bichi bichi hivyo sura ilionekana ya uhalisia lakini nywele alizificha na kofia...

    "ok twenzetu"

    "wacha nikupeleke kwako ukapumzike"

    "sawa ila vipi kuhusu kazi"

    Chidi aliuliza kuhusiana na kazi mana anajua mjini bila kazi wazungu wanasemaga ni "Nothing" Sasa chidi ajue mapema kama hana kazi airudie kazi yake ya mkokoteni

    "usijali kuhusu kazi,... Afu ivi ile taaluma yako ya kupika chipsi vizuri si bado unayo au umesahau"

    "heeeeeee ujuzi haupotei mama"

    "basi kama ni hivyo we subiri kifuatacho utaona"

    "eti eee"

    "yes afu kesho nataka nikutoe shoping sawa"

    "sawa"

    Basi chidi alipanda gari la mama huyo huku mama akiwa dereva mwenyewe akimpeleka chidi nyumbani kwake, na ukumbuke kwamba mama huyo hua hajuagi nyumbani kwa chidi japokuwa nyumba hio yeye ndie mlipa kodi... Yaani mama huyo ndio kalipa kodi ya nyumba ya mwaka mzima... Sasa leo mama ndio anampeleka nyumbani kwake



    Tukija huku kwa Ibrahim na mke wake, bado mke hatujamuona vizuri mana anaonekana ana heshima kiasi flani, na anajificha ficha, na kama ni Rehema je hio heshima kaitoa wapi,.. Ibrahim alitoka kuoga huku akikutana na mkewe mpaka kitandani,

    "ngoja nikupake mafuta mume wangu"

    Walikuwa wakigombaniana kupakana mafuta, huku wakiwa wana furaha mno,.. Lakini ukweli ni kwamba mke huyo sio rehema yule tunaemjua sisi, huyu ni mschana mwingine tofauti kabisa, sasa sijui Ibrahim kamuacha acha vipi yule rehema mana alikuwa kaoza mpaka hali ya kumaliza pesa kwake, kutokana na ile mimba feki,..

    Ibrahim na mke wake walikuwa wakichezeana kitandani, na mkewe alikuwa na kanga moja na alikuwa ni mzuri kupita kiasi, hilo umbo sasa ndio ulisema, sijui ni Mhaya huyu, au atakuwa mbulu huyu, na kama sio mbulu sijui atakuwa nani, mana sura na umbo vyote kapewa huyu mwanamke,..... Basi Ibrahim alipakwa mafuta na mke wake, huku mke akiwa juu ya Ibrahim anamshika shika nywele zake, lakini mke wa Ibrahim alikuwa ana swali alilokuwa akitaka kumuuliza kijana Ibrahim au kaka yake na chidi

    "Honey... Kuna swali nataka kukuuliza mume wangu"

    "haaaaa we uliza tu kwani mpaka uniombe"

    "eti, ivi wewe huna hata ndugu, nipate hata wifi yangu au shemeji... Au umezaliwa peke yako kwenye familia yenu"





    Maisha ni hatua na maisha ni safari, kwa Bwana Ibrahim nadhani ni msemo ambao unaomhusu kwa namna moja ama nyingine, kwa sasa Ibrahim ana mke ambae anajali familia na vile vile pesa wanazo, na mke aliomuoa kabisa kwa ndoa kubwa ndio huyu lakini sio rehema, na sijui Ibrahim kamuacha vipi yule mwanamke...

    Mke wake Ibrahim alikua anatamani sana hata aione familia ya mume wake, kwahio inaonekana hata hio ndoa yao waliifungia tu huku huku mjini, na hata wazazi wake haijulikani kama wanajua kama mtoto wao kaoa,... Wameoana kimjini mjini tu

    Sasa mwanamke huyo ambae bado hatujamjua jina lake, leo akiwa kitandani na mume tena huku wakishika kimahaba, mwanamke alimuuliza mune wake kuwa

    "Honey... Kuna swali nataka kukuuliza mume wangu"

    "haaaaa we uliza tu kwani mpaka uniombe"

    "eti, ivi wewe huna hata ndugu, nipate hata wifi yangu au shemeji... Au umezaliwa peke yako kwenye familia yenu"



    Ibrahim alionekana kukunja uso kana kwamba hakufurahiwa na swali la mke wake, lakini ghafla Ibrahim akajichekesha ile kinafki ili mkewe asijue kama kakasirika, yaani kama vile kuna kitu kimemsukuma ajichekeshe lakini hakutaka kucheka,..

    "aaahhh afu ni kweli mke wangu, ila ndugu nilionao ni wapuuzi"

    "wapuuzi.. Wapuuzi kivipi"

    Aliuliza mkewe huyo huku wakiendelea kushikana baadhi ya maeneo,..

    "ndugu ninao mke wangu, ila mmoja ni mschana mdogo na bado anasoma, na huyo mwingine.. Aaaaaaahhhhh ni jangili jangili tuuu mwizi mwizi mshenzi mshenzi"

    "mmmhhhhh makosa yote hayo ni yake"

    "ndio... Yaani huyo mtoto ni mjinga sana mke wangu"

    "mmhhhh ok, mi namtaka huyo anaesoma, aje asomee mjini"

    Ibrahim alishtuka kuskia hivyo huku akijisemea kuwa

    "sasa nitafanyeje kwa hili, kijijini kule nimekususa muda mrefu, eti leo niende kumchukua halima aje asomee huku mjini, heeee watanielewa kweli"

    Ibrahim alijiongelea kimoyomoyo huku akiwa na mawazo mengi sana juu ya kwenda kijijini kumchukuwa mdogo wake wa mwisho aitwae halima, na ni mtoto mdogo tu wa miaka kama 7 hivi wala sio mkubwa...

    "mume wangu mbona upo kimya jamani, mimi mwenzio nabaki mpweke hapa nyumbani pindi wewe unapokwenda kazini"

    "ni sawa mke wangu, ila kule mtoto bado anasoma"

    "mume wangu, nitafanya juu chini ahamishwe tutumie gharama zozote aje... Mi napenda watoto wa kike jamani mume wangu, yaani kila siku nipo na house Girl tuuuuu"

    "ok ok ok, basi mke wangu nimekuelewa.. Ila itabidi aletwe na huyo mdogo wangu wa kiume"

    "heeeeeee huyo jangili tena"

    "aaahhh ni ujinga wake tu, ila akili za kiutu uzima anazo"

    "sasa atajua mjini kweli"

    "haaaaaaa mbona alikuepo mjini, nilifanya kumtimua arudi kijijini"

    Ibrahim aliongea hivyo kwa kujiamini haswa bila kujua kijana chidi yeye hakwenda cha kijijini wala nini, kabanana hapa hapa mjini...

    "ok sawa, fanya hivyo basi ila hakikisha taratibu zote za kumhamisha shule zinatimia"

    "sawa mke wangu"

    Hhhmmmm hapa kwenye hii familia kuna walakini, mana mwanamke hapingwi kwa kile anachokitaka,....



    Tukija huku kijijini katika familia ya kijana chidi,... Salma alikuwa keshanogewa na Jackson, kana kwamba kila siku lazima akashushiwe kipande cha nondo, yaani sasa hivi halazimishwi tena anafanya kutoroka usiku na kwenda kulala kwa Jackson,... Ilifikia hatua mpaka anamuacha mtoto ndani peke yake alafu yeye huenda kwa Jackson kupata nondo, jamani choonde chonde jamani, mapenzi hayajaribiwi kamwe.....



    Sasa siku moja usiku mama yake na chidi akiwa nyumba kubwa, mana salma yeye analala kwenye kale kageto,.. Mama yake na chidi aliskia sauti ya mtoto kukilia



    HAPA SASA NAKURUDISHA NYUMA KIDOGO, TABIA YA SALMA ILIVYOBADIRIKA



    Mtoto wa salma alikuwa akili usiku, sasa mama yake na chidi kuskia hali hio haitulii ikabidi aende kwenye hio geto, kuangalia kuna nini, mana mtoto analia tu bila hata ya kubembelezwa, mama kuingia kamkuta mtoto yupo peke yake wala hakuwa na mtu

    "jamani, huyu mama yake kaenda wapi saa hizi"

    Mama hajakompleni sana mana anamjua mkwe wake ni mtafutaji hivyo huenda siku hio alienda tu kwa jirani,.. Basi bibi alimchukuwa mjukuu wake huyo ambae ni mtoto wa chidi,. Alienda nae nyumba kubwa, lakini cha kumshangaza mama ni kwamba masaa yalikuwa yakisogea bila kumuona wala kumsikia mke wa chidi akirudi...

    "mume wangu ivi ni saa ngapi saa hizi"

    Mama yake chidi alimuuliza mumewe kuwa ni saaa ngapi kwa muda huo, na wakati huo mtoto keshalala huko kwa bibi yake

    "saa sita kasoro sasa"

    "mungu wangu, huyu mtoto wa watu atakua kaenda wapi mungu wangu"

    Ghafla mama huyo anaskia vishindo kwa nje,.. Mama yake chidi nae kwa umbea sii haba, mama kafunua dirisha na kumwona salma ameletwa na mwanaume, mama chidi aliziba mdomo ili asije kuropoka chochote,.. Alishangaa kuona mkwe wake anakumbatiana na mwanaume huyo, huku wakibusiana midomoni, Baada ya hapo Jackson akaondoka zake, kisha salma akaingia ndani, ambako ndio huko geto kwake...



    Salma kufika ndani haoni mtoto, presha ilianza kushuka na kupanda, huku akijiuliza kuwa je atamuuliza nani kuhusiana na swala la kutokumuona mtoto, akamuulize nani,..

    "mungu wangu, king wangu kaenda wapi"

    Alikua akijiuliza mdada huyo huku kashika kichwa asielewe chakufanya,.. Huezi amini siku hio salma hakulala,.. Alikesha kujiuliza tu kichwani kwake, mana hata akienda nyumba kubwa ataambiwa yeye alikuwa wapi mpaka saa hio, hivyo ikabidi apige kimya humo ndani, yaani salma hapo alipo unaweza kukuta keshapungua kilo kwa hofu...



    Kesho yake asubuhi Bibi alimchukuwa mjukuu wake na kuanza kumpa uji, wakati huo salma alipitiwa na usingizi huko geto kwake, mana ukumbuke jana usiku hakulala kabisa,.. Mjukuu alishiba vizuri,. Wakati huo salma ndio anazinduka na kukumbuka kuwa hakulala na mtoto, kichwa chake kilianza tena kujawa na mawazo mengi ya hapa na pale,... King (kingazi) au mtoto wa chidi alikuwa na umri wa mwaka mmoja hivi kasoro, hivyo bado alikuwa mdogo mana hata kunyonya bado hajaachishwa, ila mtoto huyo alikuwa akiweza kutambaa na hata mara nyingine kutembea na ukuta mana hajaanza kuweza kusimama,...

    Sasa kingazi akawa anatoka nje mana mtoto akishiba kinachofata ni kucheza tu,. Sasa salma kutoka nje anakutana na mtoto wake akiwa anacheza mwenyewe, hakuamini kumuona mtoto wake, yupo tena hana hata wasi wasi.. Kumuangalia vizuri akagundua mtoto wake kashiba,.. Salma aliingia nyumba kubwa na kumpigia magoti mama yake na chidi, mana anajua fika yeye ndie aliemchukuwa kule ndani,...

    "mama... Naomba nisameee"

    Aliongea hivyo salma huku machozi yakimtoka mschana huyo,..

    "nishakusamehe mama, ila naomba usimnyonyeshe huyo mtoto"

    Salma alishtuka kuskia kuwa asimnyonyeshe mtoto,.. Salma alitoka hapo akiwa kajaa mawazo mengine, mama hakutaka kumwambia kitu,.. Alitulia kujifanya hajui kitu lakini keshampa onyo kuwa asimnyonyeshe buyo mtoto,..

    "mungu wangu weeee mama atakuwa kaniona, sii bure kuniambia nisimnyonyeshe king wangu"

    Alikuwa akijiongelea mwenyewe huku akiwa kampakata mtoto wake,...



    Lakini tabia ni ngozi ya mwili, kitendo cha salma kuambiwa asimnyonyeshe mtoto ilikuwa kama furaha kwake,... Kwani tabia iliendelea mpaka ikafikia siku nzima harudi nyumbani,.. Yaani tabia ilizidi kuwa mbaya kwa salma, na mama analijua hilo

    "ivi huyu mkwe tumfanyeje"

    Mama alimuuliza mume wake huku mzee mwenyewe akiwa anasugua panga lake kwenye jiwe,..

    "mmmhhh mimi sijui wenyewe uko"

    Baba alionekana kujitoa, na ni haki hili swala halimuusu yeye kama baba, hili amalize mama mwenyewe

    "huezi amini toka jana usiku mpaka saa hizi saa kumi hiii hajarudi"

    "we mama weee... We mlee mjukuu wako tu lakini usitegemee kama kuna mtu hapo"

    "unajua baba chidi, nampenda sana mkwe wangu, katuseidia mengi sana, katujali kama wazazi wake.. Ndio maana hata nguvu ya kumfukuza sina"

    "kwa hilo hata mimi nakubali na tumpe heshima yake tu"

    "Kiukweli kazua tabia mbaya sana"

    Mara ghafla salma huyo,.. Alikuwa kabeba debe la unga na vingine vingi tu mkononi, bibi alishusha hasira zake na kwenda kumpokea,...

    "karibu mama"

    Alimkaribisha ndani, ila mama huyo hakusita kuongea na mkwe wake, aliongea nae kirefu, tena alimwambia kuwa anajua fika kuwa alimuona na mwanaume, salma hakukataa alikubali, lakini alisema aliyafanya hayo ili kuweza kuiseidia familia hii, na ndio mana kila akienda hurudi na vibaba kama hivyo,.. Salma aliomba msamaha huku akiondoka na kusema kuwa

    "mama, nakubali nina kosa, lakini sitaki mkalime ili muugue kila mara, Kiukweli sintoacha mana nina nia nzuri na nyie"

    Mama yake chidi alitoa macho kwa kuskia kuwa hatoacha,...



    HIO NDIO TABIA YA SALMA ILIVYOKUWA



    Sasa tukija huku mjini kwa kijana chidi, aliokuwa yupo kitandani huku jimama lile lilikuwa likifanya usafi wa chumba hicho.. Yaani yule mama ukumbuke kuwa alikuwa anamsindikiza kumpeleka nyumbani kwake,... Sasa mama kufika nyumba ilikuwa na vumbi ilikuwa chafu,.. Si unajua kuwa chidi alikuwa msukuma mkokoteni, hivyo hata chumba chake kilikua chakali japo alijitahidi kuwa msafi kiasi flani,... Mama alikuwa akifanya usafi katika chumba hicho, ila kumbuka hakikua kimoja na hakina tofauti na upande wa nyumba,.. Mana ilikuwa na vyumba viwili yaani Dabo Rumu, afu pia vyumba hivyo vilikuwa na choo na bafu humo humo, na ndio mana nikasema haikuwa na tofauti na upande wa nyumba,...

    "hizi nguo ni za kuchoma sasa heeee, sitaki tena kuziona"

    Alikuwa ni mama huyo akimwambia chidi, huku chidi akizikusanya nguo hizo na kwenda nje kuzichoma... Na wakati huo majirani hakuna hata jirani mmoja, wote wapo makazini, hapo nje kumepaki VX mayai mpyaaa ya huyo mama,...

    Sasa chidi akiwa yupo huko nje ghafla simu yake inaita... Kucheki jina alishangaa kuona jina hilo likimtafuta chidi



    Wakati huo huku chumbani mama kamaliza usafi kila kitu na ndio alikuwa anatoka kuoga, mana bafu ni humo humo, jimama likajilaza kitandani mpaka raha,...

    Wakati huo huku nje chidi anaishangaa simu hio ilioingia

    "kaka.... Leo kaka ananitafuta, heee kuna nini"

    Chidi alijiongelea huku akijichekea mwenyewe,

    "haloo broo shkamoo"

    Aliipokea na kumsalimia kaka yake,

    "marahaba dogo vp"

    "poa tu"

    Chidi alikua hajiamini amini leo iweje kaka yake kawa mpole na wakati ni mtu mwenye roho mbaya,..

    "sasa dogo"

    "eeeee"

    "nilikuwa nataka uje mjini"

    Aliongea hivyo Ibrahim bila kujua kuwa mdogo wake hakuenda kijijini kama anavyojuwa, bali aligangamala hapa hapa mjini, sasa Ibrahim anajua chidi yupo kijijini

    "nije kufanyeje tena, si umenifukuza wewe"

    "ndugu yangu, tuache yaliopita tugange yajayo"

    "siwezi kuja na sitaki kabisa"

    "chidi mdogo wangu, mimi tayari nina pesa, siuzi chipsi tena, tayari nimeshafanikiwa mdogo wangu"

    "hapana... Siwezi kuja kwako, afu naomba ukate simu"

    Chidi alikuwa mgumu mno, na tena hakuwa akitaka utani

    "nisikilize ndugu yangu"

    "sitaki"http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Chidi alikata kasimu kake na kukazima kabisa,...

    Alipomaliza kuchoma zile nguo zake chafu kunuka, aliingia zake ndani...

    Laaaaa Haulaaaa, chidi alitoa macho kwa kuona kitandani kwake kumejaa utamu tupu, Yaani mama sarah alijiachia kitanda na kanga moja yaan hata chupi ilikuwa haionekani..

    "heeee afu hata chupi hana, sssssiiiiiiiiiii mungu wangu weeee"

    Chidi midadi ilimpanda, tena na vile ana miezi zaidi ya sita, heee sijui itakuaje.. Ghafla mama anajigeuza makusudi kabisa.. Tena mama sarah keshaanza tabia mbaya ya kuvaa shanga, sasa chidi kuona vitu vinang'aaa kiunoni mwa mama sarah, alijihisi kukojoa wazungu,.. Chidi alifika mpaka pale kitandani na kutupa simu kule, na kuanza kulilamba paja la mama sarah, wakati huo mama sarah usingizi wa lazima unakuja na kukata, kisa ni ulimi uliokuwa ukipita pita juu ya paja lake.... Chidi kufunua tu kale kaupande cha kanga, alishtuka kwa kutokutana na chupi...

    "chidi, nilivaaga shanga kwa ajili yako, uliniambiaga unaweza kuzitumia, sasa kazi kwako... Kama ulivyoona Mwenzio sina hata chupi hapa nilipo"



    Mama Sarah alikufa na kuoza kwa kijana chidi, mana jimama hilo lilikuwa sii haba kwa umbo, yaani aliumbika haswa, sura yake ni ya kischana utafikiri sio mama wa makamo, yaani mama sarah sijui kawaje kwa kijana huyo, yaani kawa tayari kumpa mwili wake wote kwa kijana huyo, chidi nae kwa nafasi aliopewa hakutaka kuichezea mana wamama kama hao mjini ni wengi lakini mpaka wakupate, itachukuwa muda au usipate kabisa, hivyo kijana anaichezea vyama namba aliopewa na kocha wake,...



    Kijana chidi alipokea simu ya kaka yake muda mfupi uliopita na kushindwa kufikia makubaliano, kijana chidi alikata simu yake kwa hasira kisha akaizima kabisa... Chidi alipoingia ndani alimkuta mama sarah akiwa kajimwaga kitandani kama jimama flani hivi shangingi, kumbe ni mama na heshima zake,... Chidi aliingia huku akimeza mate kana kwamba huenda mama huyo kammezesha tu mate afu asimpe nanii husika,.. Chidi alikisogelea kitanda chake ambacho ndicho kilicholaliwa na jimama hilo..

    Chidi alianza kuweweseka kimapenzi, mana ana zaidi ya miezi 6 hajagusa demu wala mama yake demu,

    Chidi alifika mpaka pale kitandani na kutupa simu kule, na kuanza kulilamba paja la mama sarah, wakati huo mama sarah usingizi wa lazima unakuja na kukata, kisa ni ulimi uliokuwa ukipita pita juu ya paja lake.... Chidi kufunua tu kale kaupande cha kanga, alishtuka kwa kutokutana na chupi...

    "chidi, nilivaaga shanga kwa ajili yako, uliniambiaga unaweza kuzitumia, sasa kazi kwako... Kama ulivyoona Mwenzio sina hata chupi hapa nilipo"



    Aliongea mama huyo na kumpa chidi wakati mgumu japo ni rahisi kufanikisha, chidi kufunua kale kaupande cha kanga, kweli mama wa watu hakuwa hata na chochote mwilini zaidi ya huo upande wa kanga,... Dakika moja mbele tunamuona chidi akiwa na boxer tu, huku akiwa anapanda kitandani,..

    "bwana chidi nimekutania tu wala staki kwa leo"

    Mama huyo aliongea hivyo huku chidi akitoa mimacho, mana alitegemea kula tunda la msimu kutoka kwa mama huyo

    "mamy kwanini unanifanyia hivyo"

    Aliongea chidi huku akitia hurumaaaa

    "afu chidi wangu, nilishakwambia usiniitege mamy,.. Mi naitwa Grace"

    "No, No, siwezi kukuita jina lako, nitakua sijakutendea haki na umri wako"

    "nitaridhika na kufurahi kwa wewe kama utaniita hivyo"

    "No, siwezi... Wacha tu nikuite mamy"

    "ok.. But usizidishe sana, mana kila saa mamy, mamy, mamy tu, nitakuja kukuogopa na kukuona mtoto wangu bure"

    Sasa mama akiwa anaongea, alishangaa kale kakipande cha kanga kamefunguliwa na chidi

    "chidi jamani,.. Nitakupa kesho"

    Mara Mama sarah au Grace, aliamka na kuanza kukimbia humo ndani

    "ukinikamata nakupa popote utakapo"

    Aliongea mama huyo huku akianza kukimbia humo ndani, mana vyumba ni vikubwa mno,..

    Chidi nae hakulaza damu alianza kumkimbiza mama huyo huku akiwa na boxer tu, na mama nae akiwa na kile kikanga,..

    Mama alikimbilia mpaka bafuni, na asipate paluyokea, mama alifika mpaka kwenye kona ya bafu hilo huku akimsihi chidi asimguse, lakini chidi alikuwa kiziwi matata,...

    Sasa mama akawa hataki kuguswa ile kiutani utani,... Sasa katika ile hali ya kuvutana vutana, Saa ngapi mama hajaishika boxer ya chidi na kuivua kwa bahati mbaya,...

    "yesu wangu weeeee"

    Aliongea mama huyo huku akifumba macho, mana hajawahi kuiona nanii ya chidi,

    Sasa mama kufumba tu macho ilikuwa ni kosa,... Kwani chidi alimvamia mama huyo na kuanza kumshika shika katika mwili wake.. Mama sarah au Grace alianza kulainika taaratibu huku vimacho vyake vikizidiwa na usingizi.. Chidi na Grace wake walikokotana mpaka kitandani, lakini Grace hakuwa na ile kanga tena, kile kikanga kiliachwa bafuni

    Mama kutupiwa kitandani tu, akamvuta chidi na kudondokea kifuani kwake,.. Chidi bila kuchelewa alianza kumnyonya denda mama huyo huku mikono yake ikiwa inazurura katika mwili wa Grace au mama yake na sarah,...

    Vilio vilianza kuskika kutoka kinywani kwa mama huyo...





    Tukija huku nyumbani kwa Ibrahim na mkewe, walikuwa wakijadiliana ni jinsi gani chidi atakubali kuja mjini na mdogo wake wa kike, ili mtoto huyo aje asome huku mjini,

    "au we hujampigia jamani"

    Aliongea mke wa Ibrahim huku akimshika mumewe,..

    "mke wangu, Kiukweli hata mimi natamani niwe karibu na familia yangu, nimempigia lakini hakutaka kunielewa"

    "kwani ulimfanyeje ndugu yako"

    "aahhh ni stori ndefu mke wangu, ila kuna mwanamke mmoja ndio alinichonganisha na ndugu yangu hadi nikamfukuza nyumbani mpaka kazini"

    "hhhmm mume wangu una roho ngumu eee, yaani umeweza kumfukuza ndugu yako kabisaa wa damu kisa ni mwanamke"

    "mama king, hebu tuyaache hayo"

    "ok... Sasa hebu jaribu tena kumpigia"

    "tatizo hapatikani, mke wangu"

    "hebu nipe hio namba, usikute kakublock"

    "sawa, hebu jaribu kumpigia wewe"

    Ibrahim alimpa mkewe namba ya mdogo wake, ili nae ajaribu kumpigia chidi kama atapatikana,...

    "ila mume wangu uwe unawapenda nduguzo, mimi mwenyewe nataka nimlete mdogo wangu nimtafutie chuo mana kafeli kwenda form six"

    Mke wa Ibrahim aliongea hivyo, huku Ibrahim akionekana kuwa na hali ya kawaida tu,

    "kwani mdogo wako anasoma wapi"

    "yupo Dar es Salaam, so nataka aje nimtafutie chuo"

    "we si uliniambia yupo hapo USA RIVER"

    "mume wangu, Usa river ndio kwetu, na huyo mdogo wangu alikuja miezi mitano iliyopita ila alikuja likizo tu, kisha akarudi zake Dar es Salaam, so nataka aje"

    "mmhhh ok, basi hebu jaribu kumpigia huyo shemeji yako kama atapokea mpe vidonge vyake mpaka akubali"

    "usijali mune wangu"

    Pale pale akajaribu lakini haikuwa ikipatikana

    "uyu mtoto nae chizi, yaan anamzimia simu kaka yake"

    Aliongea huyo mke wa Ibrahim baada ya kusikia kuwa namba haipatikani...



    Tukija huku kijijini kwa salma aliokuwa kanogewa na kijana Jackson, mtoto wa tajiri ambae walikuwa wakimlimia shamba lake, salma alikutana na Jackson kwa shida ya pesa, lakini siku hizi hata kama hana shida ya pesa lazima aende akanyonywe hata mate, tena ikiwezekana ashushiwe nondo kabisaa,... Salma wa leo sio yule tuliokuwa tunamjua kutoka mwanzo, tena mbaya zaidi alimtaamkia mama mkwe wake kuwa hatoacha kwasababu haitaji wazazi wa chidi waugue kwa ajili ya kwenda kulima, hivyo anaamini kufanya hivyo ni kuiokoa familia ya chidi,. Salma akiwa yupo kitandani na Jackson akiwa anapewa haki yake ya kuitwa mwanamke, na ukweli ni kwamba Jackson kampenda salma, na yupo tayari hata kumuoa,..

    Masaa mawili mbele Jackson na salma walimaliza raha zao, sasa wakiwa kitandani wanashikana shikana nanii zao,

    Jackson alimwambia salma kitu kilichomshangaza mdada huyo

    "salma mpenzi wangu"

    Aliita Jackson tena kwa sura ya kubembeleza haswa

    "Abee Hubby wangu"

    "kesho naenda Dar es Salaam, sintokwenda bila wewe... Nataka Twende wote tukaandae makazi ya ndoa yetu"

    Salma alishtuka sana kuskia hivyo

    "Jackson, umesahau kuwa mimi ni mke ea mtu"

    "najua,... Tena najua una mtoto kabisaa"

    "sasa kwanini unaongea hivyo Jackson"

    "salma... Kila siku unapiga makelele tuuu, nina mume, nina mume,... Mume gani huyo hata pesa hakutumiii... Mwenzio anakula raha zake huko we wala msoto huku ukijidanganya eti una mume"

    "jackiiiiiiiiiiiiiiii.. Hebu nyamaza"

    "salma... Nakupenda... Nipo tayari tufunge ndoa mimi na wewe, yaani sijali kama una mtoto wala mume"

    "hapana Jackson, mimi ni mke wa mtu"

    "sasa mke wa mtu jina..... Hebu ona kama ulivyo niambia kuwa kuna miezi zaidi ya minne hujui pesa yake, sasa huyo ni mwanaume au gobeta"

    Salma alikaa kimya huku akiwaza kauli za Jackson huku akijisemea moyoni mwake kuwa

    "kweli Jackson ananipenda sana, lakini chidi naona kanisahau mno, au atakua anakula raha zake, kama Jackson anavyosema"

    Alijiuliza kimoyomoyo huku machozi yakimtoka mtoto wa kike huyo.....

    "salma... Nakupa nafasi ya kufikiri juu ya jambo hilo"

    "Ok... Nashukuru kwa nafasi hio"



    Tukija huku nyumbani kwa chidi, tulikuwa tukiskia sauti ya mama ikiwa inatoka kwa tabu mno,.. Wakati huo chidi alikuwa yupo uvunguni mwa mwili wa Grace,.. Yaani alikuwa anainy**** Ku*** ya mama huyo huku mikono yake ikiwa bize na shanga,.. Chidi alikuwa akibanwa na mapaja ya huyo mama, mana kwa muda huo shuka waliolalia halifai tena,..

    Mama uvumilivu ulimshinda, alimvuta chidi wa watu, na kutua kifuani kwake,..

    "we mtoto, mpaka nishindwe kuendesha gari heeee"

    Aliongea hivyo huku akitetemeka mapaja yake, kana kwamba hata nguvu alikuwa hana,.. Mama alivyoosha mkono wake na kujihukumu mwenyewe,... Nakuambia hapo vilikuwa ni vilio tu, yaani kama hio nyumba ingekuwa ya udongo, basi spati picha hao majirani ingelikuwaje kwa kelele hizo....



    Masaa mawili mbele, tunaona kila mtu na shuka lake hakukua na mtu aliekuwa akimtamani mwenzie,.. Kila mmoja alikuwa kama alivyozaliwa,... Ilikuwa na jioni jioni sana mpaka sasa imefika usiku sana yapata mida ya saa 4 hivi usiku... Kila mmoja yupo hoi hata hamtamani mtu yeyote, chidi katoa hasira zake zote za miezi 6, na hata mama pia alionekana kuwa na muda mrefu sana bila kucheza mpira wa miguu



    KESHO YAKE MIDA YA SAA NNE ASUBUHI



    Chidi na jimama lake wakiwa ndio wanaoga wote kule bafuni huku wakisuguana, Kiukweli mama huyo kamkubali sana chidi, yaani anampenda kupita kiasi,..

    Walimaliza kuoga huku wakifutana maji na taulo

    "ebu nipe hio chupi yangu hapo juu"

    Aliongea mama huyo huku akinyoosha mkono katika sehemu maalum ya kuekea nguo hizo kama umeifua,.. Basi chidi aliitoa huku akimuuliza baby wake kuwa

    "uliiweka saa ngapi hapa"

    Aliuliza kijana chidi huku akiiangalia kama vile yuko sokoni anachagua suruali na kuiangalia kama itamuenea,...

    "si niliifua jana, nilipomaliza usafi"

    "hhhmmm Mkubwa"

    "afu wewe pumbavu, spendi tabia mbaya hio"

    Basi mama alikuwa anamkanya chidi eti asimtanie katika vitu kama hivyo..

    "afu nataka univalishe"

    Mama aliongea hivyo huku wakielekea kitandani,.. Kweli chidi alianza kumvalisha chupi mama huyo, lakini kadiri anavyoendelea kuishika shika ile chupi ya mama sarah, ndivyo hisia nazo zinavyoanza kumpata, mana chidi hisia zake hata akiiona chupi ya kike tu, basi hata kubaka anaweza kubaka,.. Kwahio kile kitendo cha kumvalisha mama sarah uchupi wake kilimpa chidi hisia za mapenzi

    "nini chidi mbona umesita kunivalisha"

    Aliuliza mama huyo baada ya kuona chupi yake imeishia mapajani,... Mama akageuka kwa nyuma na kukuta Zakaria ya chidi ilikuwa inaangalia juuu,... Mama aligundua kuwa chidi alishapatwa na hiasia upyaaa

    "huyu mtoto kweli ni kidume, yaani na kulala kote usiku kucha lakini bado mtoto wamotooo utafikiri sijampa papuchi yangu,... Au mi simridhishi jamani"

    Grace alijiongelea mwenyewe huku akimgeukia chidi,.. Mana alishasitisha kuvalisha nguo hio

    "maskini mtoto wa watu, sjui nimpe tena... Ila mie kaniridhisha mpaka basi, hivyo nikimpa ataniumiza bure... "

    Mama sarah bado alikuwa akijiuliza kimoyomoyo huku akimsogelea chidi wake,



    Tukija huku kijijini kwa salma aliokuwa akiizunguka hio nyumba kama mara mbili hivi, kisha akaingia geto kwao na kukiangalia hicho chumba anacholala kila siku, yaani anakiangalia utafikiri ni mgeni humo ndani kumbe ni mwenyeji tena ndio mmiliki wa chumba hicho,.. Alilishika shika lile godoro waliokuwa wanalalia na mumewe kana kwamba kama vile halijui, yaani alikuwa kama mgeni mgeni hivi bila kueleweka,.. Alitoka nje na kumkuta mama mkwe wake

    "eti mama... Hii nyumba ndio ninayolala mimi"

    Mama ake chidi alishangaa kuskia hivyo, tena alitoa macho mno, kwasababu aliuliza jibu bali hakuuliza swali, na kilichomshangaza mama yake chidi ni kwamba, kwanini anauliza hivyo na wakati hata leo katoka kulala humo humo ndani

    "salma mwanangu una nini lakini"

    "nimekuuliza hivi, hii nyumba ndio niliokua nalala mimi"

    Hata mama yake chidi alishindwa kumuelewa salma alimaanisha nini,... Mama aliingia ndani haraka, mana vinatisha, ni sawa na wewe uhoji kuhusiana na sehemu uliokuwa unalala miaka zaidi ya miwili,... Lazima hata huyo unaemuuliza ashangae. Sasa alipoona mama mkwe wake kaingia ndani, ikabidi amfate mtoto wake wa kumzaa, Sasa cha ajabu akawa anamshikia kiuno huku akimuangalia,... Sasa kumbe mama yake na chidi kumbe alikuwa anachungulia dirishani,... Salma saa hio yupo bize na mwanae utafikiri hamjui,.

    "Eti Mama na huyu mtoto ni wa nani?"

    Aliuliza salma kwa sauti kubwa, mana mama yake chidi alikuwa ndani,... Alitoka haraka na kuanza kumuangalia salma,.

    "mama nakuuliza hiki kitoto ni cha nani, mana naona kama kinazurura tu hapa, kitakuja kudondokewa na nyumba bure, nyumba zenyewe zimechokaaaa"

    Ghafla mama chidi alianza kulia kana kwamba kuna kitu kagundua kutoka kwa salma,... Sasa pale salma akaanza kumkanyaga yule mtoto kwenye miguu, afu kumbuka mtoto ana mwaka mmoja ndio kwanzaa anaanza kutembea... Mama chidi kulia kuliisha baada ya kuona mjuu anakanyagwa na mama yake tena mama yake mzazi kabisaaaaaaa wa kumzaa Fyoto......





    Salma ni mwanamke mwenye akili za kischana, ila kwa hali hii aliokuwa nayo iliwashangaza watu, inafikia hatua mpaka anashindwa kukumbuka hata sehemu aliolalia muda mfupi uliopita, mama wa chidi alibakia mdomo wazi huku akimuomba mungu amnusuru mkwewe kwa hali hio alionayo, mana inashangaza sana... Sasa salma alimfuata yule mtoto,

    "mama nakuuliza hiki kitoto ni cha nani, mana naona kama kinazurura tu hapa, kitakuja kudondokewa na nyumba bure, nyumba zenyewe zimechokaaaa"

    Ghafla mama chidi alianza kulia kana kwamba kuna kitu kagundua kutoka kwa salma,... Sasa pale salma akaanza kumkanyaga yule mtoto kwenye miguu, afu kumbuka mtoto ana mwaka mmoja ndio kwanzaa anaanza kutembea... Mama chidi kulia kuliisha baada ya kuona mjuu anakanyagwa na mama yake tena mama yake mzazi kabisaaaaaaa wa kumzaa Fyoto,



    Mama wa chidi alitoa macho kwa kuona mjukuu wake anakanyagwa,.. Mama huyo aliona salma kesha changanyikiwa na akili, pale pale aliokota fimbo kubwa na kumtupia salma, kitendo kilichomfanya salma akimbie huku akisema

    "nauwawa na mkwe, nauwawa na mkwee"

    Muda huo mtoto king alikuwa akilia kwa kukanyagwa na mama yake mzazi, Bibi mtu alimchukuwa mjukuu wake, huku akimbembeleza anyamaze,.. King (kingazi) ni mtoto wa chidi yule muuza chipsi, ana umri wa mwaka mmoja na miezi kadhaa, hivyo mama yake alimfanyia ukatili huo huku mtoto huyo akilia kwa uchungu,... Salma alionekana kuwa chizi na haijulikani uchizi wake ni nini,



    Lakini huku salma alipokuwa anakimbilia tunamkuta anatabasam vizuri sana kana kwamba kuna mchezo kaucheza, lakini kabla hatujalijua hilo, tunamuona salma anatoa mabegi yake kichakani, kana kwamba alikusudia kutoka pale na ana akili yake binafsi iliomfanya atoke nyumbani kwa staili ile,.. Mabegi aliyachukuwa na kuelekea kule kwa Jackson, kwahio mpaka hapo tujue kuwa salma keshakubali kuondoka na Jackson kitu ambacho ni kibaya sana tena huku akiwa kaacha mtoto mdogo wa mwaka mmoja, mtoto ndio kwanza anaanza kutambaa,

    Sasa salma alipokuwa anakaribia kwa akina Jackson alikumbuka kitu alichokifanya kabla ya kuanza uchizi wake



    SASA HAPA ANAKUMBUKA MASAA MATATU NYUMA KABLA YA UCHIZI



    Salma kabla ya yote alikuwa akikusanya nguo zake zote, kila kitu alikifungasha akaacha kanga tatu zikiwa juu ya kamba tena zilikuwa ni mbichi ila sio kuwa alizifua bali aliziloanisha maji kisha akaondoka muda huo huo ikiwa ni saa 11 alfajiri,... Lakini alipofika vichakani wazo lilimjia

    "mbona kama nimeondoka kienyeji enyeji sana,.. Naweza kwenda Dar es Salaam kwa Jackson afu maisha yakanishinda nitashindwa kurudi"

    Aliongea hivyo huku akiificha mizigo yake, hivyo kwa wakati huo aliishia njiani, alipomaliza kuficha mizigo yake, alirudi nyumbani na kulala kidogo mpaka itakapofika mida ya saa moja au saa mbili mana muda huo ulikuwa bado ni asubuhi sana hivyo kutoka muda huo ni ngumu,...



    Sasa ilipofika mida ya saa mbili asubuhi, salma alipata wazo

    "hapa dawa ni kujifanya chizi, ili nikiondoka niondoke kama chizi, hata maisha yakinishinda nirudi kwa kigezo cha niliondoka nikiwa chizi"

    Kweli salma alikuwa ana akili ya utu uzima ingawa bado ni mdogo kiumri,... Na hio ndio ilikuwa akili yake na mara moja akaianza kazi kwa kujifanya hajui hata mahali anapolala, mpaka akafikia kumkanyaga mtoto wake lakini alipokuwa akimkanyaga mtoto roho ilikuwa ikimuuma sana mana alikuwa akifanya kitu kwa faida yake, lakini alihisi kumuumiza mtoto wake.... Na alitaka kulifanya hilo mbele ya mama yake mkwe ili aonekane dhahiri kuwa uchizi umemjia, na ni kweli alifanikiwa mpaka mama mkwe akamfukuza...



    HIO NDIO KUMBUKUMBU YA SALMA KABLA YA KUFUKUZWA NA MAMA MKWE WAKE



    Jackson alimpokea salma kwa shangwe huku Jackson akiwa na furaha kubwa kwa kitendo cha salma kukubali kwenda Dar es Salaam na Jackson kuanza maisha mapya wakiwa kama wachumba,



    Tukija huku mjini kwa chidi na jimama lake wakiwa wamekaa kitandani huku mama akijiuliza kumpa tena utamu mtoto wa watu, mana chidi hapo alipo zakaria yake imesimama tena upyaa baada ya kuishika shika ile chupi ya Grace au mama sarah, chidi kabla hajaruhusiwa alijikuta anaanza kumshika shika Grace wa watu, huku mkono wake mmoja ukiwa umepenya katikati ya mapaja ya Grace,... Mama alianza kujiskia hamu upya lakini mama huyo alikiwa akijizuia na kumwambia kijana chidi kuwa

    "chidiiiiiii... Please naomba unione huruma, nitakupa kesho"

    Aliongea hivyo lakini chidi alijifanya hajaskia na kuendelea kumtomasa mama huyo,

    "chidiiiii... boy wangu naomba uniache baba nikafanye mipango ya kazi juu yako"

    Sasa chidi kuskia mipango ya kazi ikambidi awe mpole kiasi fulani, aliacha kumshika shika mama sarah huku akiendelea kuipandisha ile chupi, mana ukumbuke iliishia mapajani hata kule juu haijafika,

    "Nisamehe mamy wangu"

    Chidi Aliomba msamaha kwa mama huyo

    "usijali baby wangu, mi ndio napenda mwanaume wa hali hio,.. Napenda sana kufikishwa kileleni, kiukweli chidi naomba unisamehe mimi, mana nahisi sijakuridhisha kimapenzi"

    "wala tu usijali, unajua siku ile ya mwisho kulala na wewe, ndio sijawahi tena kuwa na mwanamke, yaani wewe ndio ulinifunga na leo umenifungulia"

    Aliongea chidi kwa kujiamini, na ni kweli ilikuwa hivyo,

    "unasema kweli chidi"

    "kweli vile mamy,... Miezi sita yote simjui mwanamke"

    Mama alifurahi sana na kuhisi ni bahati ya pekee juu yake, kwa kumpata kijana chidi,.. Basi kila mmoja alivaa nguo zake kisha mama akaingiza mkono katika mkoba wake, alitoa pesa iliokuwa imefungwa Rababendi (mpira maalum wa kufungia pesa) Chidi mwenyewe hakuamini kama anapewa hio pesa mana ndani ya miezi sita yote chidi hajui cha elfu 50 wala laki moja, alikuwa anajua elfu kumi, au elfu saba... Basi mama huyo aliondoka huku akimmiminia mabusu ya kila sehemu kwa jinsi anavyompenda kijana huo, chidi akabakia hapo ndani

    "sasa washa simu yako, ili nikishakununulia simu nzuri, nikuite uje sehemu fulani sawa baby"

    Mama aliongea hivyo huku akimkonyeza konyeza kijana chidi

    "sawa mamy"

    "ok badae hensamu wangu"

    "poa, siku njema"

    "na kwako pia"

    Basi maagano yalikuwa meengi sana ila mwisho wa saa yaliisha, chidi akiwa yupo hapo chumbani kwake akiwa kuzisambaza zile pesa kitandani tena alikuwa kavaa bukta na vest,..

    "laki tano?... Siamini macho yangu kwakweli"

    Aliongea kijana chidi huku akizilalia pesa hizo....



    Tukija huku katika nyumba ya bwana Ibrahim na mkewe,... Ibrahim akiwa kazini mkewe ndio yupo huku nyumbani akiwa anatandika kitanda mana si unajua matajiri kuamka kwao ni saa nne, lakini mumewe alishaamka na kwenda kazini, ghafla alikumbuka kitu flani

    "yes, ngoja nijaribu ile namba kama itapatikana"

    Aliongea hivyo huku akiishika simu yake na kuitafuta namba alioikusudia kuipiga

    "yes, hii hapa. SHEM"

    aliongea mwenyewe huku akitabasamu na kubofya kitufe cha kupigia

    Kwa bahati nzuri simu iliita, basi mke wa Ibrahim alifurahi sana kwa kuskia simu hio ikiita,..



    Tukija huku kwa chidi Wakati huo chidi alikuwa kalalia pesa zake na kufrahia maisha mapya, tena yenye furaha tele,.. Ghafla simu yake inaita na namba asioitambua, chidi aliipotezea namba hio huku akiendelea kuzigala galia pesa hizo, simu iliita bila kupokelewa,... Ghafla ikaita tena mpaka ikakata... Wakati huo chidi alikuwa anazikusanya pesa hizo zenye uwingi wa laki tano,..

    Ghafla simu inaiita tena kwa mara nyingine, chidi alishikwa na hasira na kuipokea huku akitukana matusi hovyo

    "we msenge nini bwana unasumbua kudadeki zako mwanahara"

    Sasa kabla hajamaliza matusi yake, iliskika sauti ya upole ikimuomba msamaha

    "Nisamehe shem wangu naomba unisamehe"

    Afu simu ikakatwa,.. Chidi roho ilianza kumuuma, huku akijilaumu kwa kitendo alichokifanya,...

    "lakini mbona kaniita shem, au usikute ananijua nini, na kama ananijua je? Ni shemu wangu kwanani"

    Aliongea kijana chidi huku akijiuliza, na wakati huo alokuwa akiiangalia sana ile namba.. Aliamua kuipiga tena, sasa kapiga mwenyewe,... Mke wa Ibrahim kuona simu inapigwa aliipokea haraka mana ana shida na kuona au hata kuishi na ndugu wa familia ya mumewe mana yupo peke yake ndani ya nyumba,..

    "haloo"

    Alianza chidi huku akiwa mpoleee, mana alikutana na mtu mpole kuliko hata yeye

    "haloo shem mambozako"

    "Sa... Saf,... Safi tu, we nani? Afu mbona unaniita shem, kwani unanijua"

    "ndio... Mimi ni mke wa kaka yako Ibrahim"

    Chidi kuskia hivyo, akajua ni lile lirehema la kipindi kile kumbe sie maskini ya mungu ni mdada wa watu mpoleee

    "nani? Rehema?... Ivi mpaka leo bado unaendelea na kaka yangu wewe,.. Na ile mimba ulizaa kweli?... We bwege si nakuuliza mbwa wewe, mwanaharamu wewe umemganda kaka yangu mpaka leo huna hata haya, nyooooo... Ebu kata simu huko, bwege wewe"





    Kijana chidi alikuwa akimchukia sana rehema kwa kitendo cha kumtesa kaka yake kimapenzi, uzuri na umbo lake ni vitu vilivyomtesa sana bwana Ibrahim mpaka kujikuta anashindwa kuikumbuka familia yake kwasababu ya mwanamke huyo,... Lakini ukweli ni kwamba Ibrahim walishaachana na mwanamke yule, kisha akapigana na maisha upya, na Mwenyezi Mungu hamtupi mja wake, Ibrahim katusua na sasa ni tajiri haswa, lakini cha ajabu bado familia yake inakula msoto kule kijijini,...



    Familia hio ya kitajiri ya bwana Ibrahim waliokuwa wakiishi wenyewe tu akiwemo mlinzi na mfanyakazi wa ndani,... Yaani house girl, Mke wa Ibrahim ana ndugu yake wakike mmoja tu hivyo hana muda nae atakuja kuishi katika nyumba hio ili amtafutie shule baada ya kufeli kwenda kidato cha sita,.. Lakini kwakuwa mke wa Ibrahim ni mpenda watu hivyo hakupenda ndugu wa mumewe waishi kijijini ingawa wana uwezo wa kuwaleta mjini,.. Hivyo mwanamke akatoa kauli ya kutaka mawifi na mashemeji waje waishi katika nyumba hio, mana ni jumba haswa, jumba lina rosheni mbili kwenda juu hivyo kwa watu wachache kuishi humo ni tabu,... Baada ya kuafikiana swala la kuwaleta ndugu wa mumewe basi wakwanza kumjulisha ni kijana chidi, ambae yupo huki huku mjini lakini wao wanajua yupo kijijini,..

    Ibrahim aliongea na ndugu yake huyo lakini hawakuelewana vizuri kutokana na matatizo yaliotokea kipindi cha nyuma,..



    Baada ya Ibrahim kushindwa kuelewana na ndugu yake huyo ilibidi namba ampatie mkewe ili ajaribu kuongea nae, lakini chidi alikuwa kichwa ngumu pale aliposikia kuwa aliokuwa akipiga ni mke wa Ibrahim na kujuwa kuwa huyo ndio yule yule rehema wa mwanzo aliomtesaga kaka yake,... Chidi bila aibu aliporomosha mitusi ya hali ya juu mno

    "nani? Rehema?... Ivi mpaka leo bado unaendelea na kaka yangu wewe,.. Na ile mimba ulizaa sasa? We bwege si nakuuliza mbwa wewe, mwanaharamu wewe umemganda kaka yangu mpaka leo huna hata haya, nyooooo... Ebu kata simu huko, bwege wewe"

    Aliongea kijana chidi huku mpaka anatetemeka,.. Lakini mwanamke huyo kwakuwa alikuwa ana shida sana ya kuishi na familia ya mume wake, hivyo bado alikuwa mpole juu ya chidi...



    "Nisamehe, mimi sio rehema"

    Aliongea dada huyo baada ya kuelewa kuwa kumbe matusi yote hayo hayakuwa yakimhusu hata kidogo, mana yeye sie rehema kama alivyosema kijana chidi,

    Sasa chidi kuskia kuwa yeye sio rehema, ikabidi na chidi nae awe mpole kama maji ya mtu huku akiwa anatetemeka kwa hasira, yaani akiskia neno rehema, hua akili yake inavurugika mno,...



    "samahani shrm kwa kukusumbua,.. Kwanza mimi naitwa zai, na wewe nakujua unaitwa rashidi, na namba yako nimepewa na kaka yako Ibrahim ambae ni mume wangu"

    Aliongea mdada huyo huku akiwa anaogopa kusema pointi iliyomfanya apige simu...

    "ok, nami naomba unisamehe dada angu sikujua kama ni wewe, mana najua mke wake wa mwanzo sikumpenda kwakweli na ndio maana nina hasira mno"

    "pole sana, na hata kaka yako aliniambia"

    "ok poa"

    Chidi alitaka kukata simu lakini akasikia

    "samahani shem, nina kitu nataka kukuomba"

    Chidi ikabidi aiweke tena skioni huku akimuuliza

    "unataka nini"

    "nataka mdogo wenu aje asomee huku mjini, nipo tayari kwa kila kitu, mana si unajua bado hatujabarikiwa mtoto hivyo kwa mimi ninaebaki nyumbani, nakua mpweke... Please shem naomba uje mjini na huyo mdogo wako"

    Aliongea mwanamke huyo huku akiskika kama vile anataka kulia lia hivi,..

    "hapana dada angu, siwezi kumleta mtoto huku mana atakuja kuteseka sana"

    "mimi nipo... Afu kaka yako sio fukara tena, sasa ni mtu na pesa zake hivyo please, naomba iwe hivyo, na licha ya huyo mtoto hata wewe pia nataka uishi karibu na ndugu yako, sio vizuri kutengana... Nyinyi bado ni ndugu hata mfanyeje"

    "ok sawa nimekuelewa ila kwa mimi kuja kwako itakuwa ngumu"

    "hatutoshindwana shem, ila please naomba uje mjini na mdogo wako huyo sawa,.. Hii si ndio namba yako? Nataka nikutumie nauli sasa hivi"

    "ok, ndio hii"



    Basi walielewana huku kijana chidi akijiuliza kuwa

    "huyu jamaa kamuachaje rehema? Mana alivyokuwa anampenda sidhani kama kweli huyu sio rehema"

    Chidi alikuwa akijiuliza sana kuhusiana na swala hilo,...

    "lakini hapana sauti ya rehema naijua vizuri tu"

    Chidi alipata jibu kuwa huyo hakuwa rehema bali ni kweli atakiwa ni mwanamke mwingine, na ni kweli huyu mke wa Ibrahim sio rehema,...

    Sasa chidi akiendelea kukusanya pesa zake pale kitandani ghafla meseji inaingia ya TigoPesa

    "heeeeee yaani pesa yote hii ni kama nauli tu, basi kweli kaka Ibrahim atakuwa tajiri kweli aisee"

    Aliongea kijana chidi huku akiiyangalia ile meseji ya TigoPesa ilioingia hivi punde

    Mara simu iliita kucheki ndio ile namba ya shemu wake

    "haloo shem,.. Nimetuma laki mbili hapo ila ikiisha uniambie nikutumie nyingine sawa shem"

    "sawa asante"

    Chidi hakuwa akitaka mambo mengi kwa shemeji yake huyo,.. Tena alianza kumheshimu zaidi kwasababu mwanzo alimtukana bila sababu yeyote... Basi chidi alivaa nguo zake kisha akatoka kwenda mjini kufanya shoping ya nguo,.. Hivyo kwasababu alikuwa na safari ya kwenda nyumbani, aliingia duka la nguo za kike na kubeba vitenge na kanga nyingi sana bila kusahau nguo za ndani za mkewe ambaye yupo kule kijijini, tena alikuwa ana furaha sana kwa hilo,.. Kijana chidi alifungasha mizigo mingi sana bila kusahau zawadi za wazazi wake kama vile vitenge, kanga, magauni, madera, na kila kitu, na baba yake pia alimkusanyia baadhi ya nguo kali za kijanja janja mana wazazi wake sio kuwa ni wazee ila sema maisha ya kijijini si unayajua mwenyewe,...



    Tukija huku hotelini anakomiliki mama sarah na mtoto wake sarah,...

    "shkamoo mama"

    Sarah alimsalimia mama yake baada ya kumkuta ofisini kwake,

    "marahaba ujambo mama"

    "sjambo, za toka jana"

    "aahhh nzuri tu... Ahh jana nililala moshi baada ya kufuatilia vitu fulani hivyo nilichelewa nikaona wacha nilale tu"

    Mama alianza kujibalaguza kwa mtoto wake, mana ni lazima angelimuuliza mama yake jana alikuwa wapi mbona hajamwambia, mana watoto wa kike na mama zao, utafikiri ni mashostito, kumbe ni mtu na mwanae,....

    "sawa ila baba alikuulizia"

    "weeee baba yako alirudi jana"

    "ndio, ila nilimwambia kuna mahari umekwenda"

    "safi sana, ndio mana nakupenda mwanangu, mana dady yako mkorofi yule alafu hebu shika hii pesa, kaniletee simu kama ile ulioileta kipindi kileee, nataka nibadirishe simu mwanangu"

    "mmmhhh mama nawewe unapenda simu za kishamba, SAMSUNG GALAXY NOTE S7 zimeshapitiwa na wakati mama"

    "sasa nitanunua simu gani mwanangu"

    "mama, mimi juzi nilinunua IPhone 7+, ila sitaki tununue simu zifanane, wewe kanunue IPhone 8 imetoka juzi tu"

    "iPhone 8 bado haijatoka"

    "mama imetoka mi nimeiona juzi, tena bei chee kabisa"

    "shilingi ngapi"

    "Nakumbuka niliambiwa milioni mbili na laki tatu"

    "hhhmm haya kama ni nzuri kailete"

    Basi mama sarah ni watu wenye pesa zao licha ya kwamba wanamiliki hoteli ya akina Miriam, hivyo kwa utajiri wa akina sarah ni nusu kwa akina Miriam, hivyo akina Miriam wana utajiri mkubwa kiasi kuliko akina sarah, na hata hoteli wanayofanyia kazi ni ya akina miriam,.. Hivyo akina sarah hawasumbuliwi na vichenji chenji vya milioni mbili au tano, kwao ni kama laki mbili au tano,..



    Masaa machache baadae sarah alirudi akiwa kashika box la simu aina ya IPhone 8 simu ambayo ndio inaanza kutoka kwa wakati huo,..

    Sarah alimpa mama yake simu hio kisha mama bila kuikagua aliingiza katika mkoba wake, kisha akamuaga mwanae kiwa anatoka....



    Wakati huo kijana chidi yeye yupo mjini akiwa ananunua zawadi kwa ajili ya familia yake kule nyumbani, mana toka aje mjini hajawahi kwenda japo hata mwaka hajamaliza...

    Ghafla simu yake inaita kucheki jina alikuwa ni grace au mama sarah,

    "haloo mamy"

    "eee naomba uje hapa mjini kati nikupe simu yako"

    "mbona mi nipo mjini mamy"

    "upo sehemu gani"

    "nipo hapa Female Doka"

    "heeeeee female doka unafanya nini huko"

    "njoo hapa mamy utajua tu"

    Kweli hawakuwa mbali hivyo walikutana na chidi aliingia ndani ya gari huku akiwa kubeba nguo nyingi sana, zikiwemo za mke wake huyo salma wa Jackson,..

    "unaenda wapi tena chidi jamani, au umekuja kufanya shoping yako"

    Aliongea mama huyo huku kama anataka kulia mana alimuona chidi kakaa kisafari safari hivyo akili ilimtuma kuwa huenda chidi anahama mji,..

    "mamy, wala usijali... Unajua ni muda mrefu toka nije mjini sijapata kwenda hata kuiona familia yangu, hivyo nataka niende kesho ili keshokutwa nirudi"

    "ooohhh sasa kwanini hujasema nikupe pesa nyingi, yaani unaniuzi wewe na ukimya wako huo,.. Sasa mama mkwe wangu ungempelekea nini kama nisingelijua jamani chidi"

    "aahhh hata hivyo imejitokeza ghafla tu"

    "we chidi, hujui kuwa nampenda sana mama yako, hata baba yako pia, mana ni waleta chema juu yangu, sijui nilikujuaje chidi"

    "usijali"

    "kama ungelikuwa unaweza kuendesha gari ningekupa uende nalo chidi wangu"

    "wala usijali, nitapanda basi tu"

    "eti eee.... Ok simu yako hii hapa mpyaa, utaikagua mwenyewe afu chukuwa hii laki tano, mpelekee mamy yako zawadi yeyote anayoipenda sawa"

    "asante sana mamy, mana nilikuwa nakaribia kumaliza pesa"

    "usijali,... Yaani kuwepo kwangu hai, ni kufanikiwa kwako sawa"

    "sawa mamy"

    "ok, ukirudi nitakupeleka kwenye hoteli yangu, ukaanze kazi rasmi"

    "haaaa kwahio tutakuwa karibu na wewe"

    "ndio... Tena sio mimi tu nina mtoto wangu wa kike"

    "haaaaa nae anapika chipsi"

    "hapana... Yeye yupo kaunta yupo kama keshia tu, au meneja"

    "sawa mama nitashukuru sana mamy wangu"

    "usijali, mimi nakutakia safari njema kwako"

    "asante mama angu"

    Basi chidi alitoka na kuita tax huku mama akigeuza gari yake kisha huyooo,.. Chidi alikuwa kawafungashia zawadi wazazi wake pamoja na mke wake...



    Tukija huku kijijini tunawakuta wawili hao salma na Jackson wakiwa katika maandalizi ya kufungasha vitu vyao, tena walikuwa wapo uchi hapo ndani, kana kwamba waliduuuuuuu mpaka wakachoka sasa wanataka kurudia kwa kitamanishana kwa kukaa uchi kila mtu, na wakati huo walikuwa wakifungasha vitu vyao,...

    "baby, inabidi tuondoke na gari ya jioni"

    Aliongea salma huku Jackson akiuliza kwa mshangao

    "kwanini tuondoke jioni mke wangu"

    Jackson alichanganyikiwa na Salma mpaka kumuita mke wake,

    "nataka nikamuone mtoto wangu kamwisho mwisho"

    "lakini si unajua umetoroka wewe"

    "sawa, lakini mi nataka nimuone tu kwa mbali"

    "aahhhh hapo sawa, nikajua unataka kumfuata mpaka kwa bibi yake"

    "hapana"

    Basi mizigo ilikamilika na wakaendelea na swagrati yao,.. Maskini salma alikuwa akimkumbuka chidi mana yeye ndio kamzoea kwenye mapenzi, sasa haamini kama leo atamuacha.....



    KESHO YAKE MIDA YA SAA 9 ALASIRI



    Tukiwa huku njiani tunamkuta kijana chidi akiwa juu ya basi moja la lakshari, basi la maana, wakati huo ndio kama vile safari inaendea mwisho ila palikuwa na kilometa chache sana hadi kufika tanga kwao, maeneo ya PONGWE, kama kawaida stendi ya kange pale gari ilisimama na kushusha watu ambao wanashukia happ mjini kati, ila uzuri wa gari hilo, linapitiliza kabisa na huko linakopitiliza ndipo huko huko anapoishi kijana chidi,...



    Sasa wakati huo huku kwa akina salma na Jackson nao ndio wanaingia katika gari ya jioni jioni hio,.. Na njia ni hio hio moja, ambayo chidi anajia na salma anaondokea, kumebaki kilometa kumi chidi kufika nyumbani, yaani kama angeliwahi tu kidogo lazima angeliwakuta watu hao, mana ndio kwanza walikuwa wakiondoka hapo kwenye stendi yao ya hapo kijijini... Gari inaondoka na kuianza safari na wakati huo gari ya akina chidi ndio ilikiwa inarindima na safari kuja kijijini, na akina salma nao ndio wanarindima kwenda mjini,... Humo ndani walikuwa wakikumbatiana na kunyonyana madenda bila kujali kuwa wapo safarini,.. Kiukweli salma na Jackson walipendana sana, kwasababu mpaka mwanamke umuache mumeo uende mjini na mwanaume mwingine kweli?? Hii noma,...

    http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Sasa mungu sio asumani, gari waliopanda akina Jackson ilipasuka tairi ya nyuma, lakini haikuleta madhara kwasababu nyuma kuna tairi mbili mbili hivyo iliseidia sana,...

    Sasa safari ya akina salma ikawa imekwama, lakini sasa tayari walishatembea kama kilometa tano hivi, hivyo tayari walishakiacha kijiji chao kwa umbali mrefu sana,...

    Ila uzuri ni kwamba basi linalotoka mjini alilopanda kijana chidi, ni kampuni moja na hilo linalokwenda mjini,... Na haikupita muda basi alilopanda chidi ndio hilooo linatokea,... Dereva wa basi bovu alisimama barabarani na kupungia mkono ili wapewe zana na wenzie,... Muda huo abiria walikuwa wametoka nje ili gari iwe nyepesi kwasababu ya kupigwa jeki,... Kweli gari ya akina chidi ilisimama vizuri mana walioharibika ni wenzao hao hao.. Hivyo basi lilisimama na kuwapa wenzao zana za kufungulia tairi mana wao walivisahau gereji,... Sasa wakati huo kijana Jackson na salma wakiwa wamesimama katika mti wakisubiri gari itengenezwe.... Sasa chidi wakati anakunywa maji yake makubwa huku akiwa na furaha ya kufika kijijini kwao,... Chidi aliona nguo ambayo alishawahi kumnunulia mkewe siku ile alipokuwa anaondoka kuja mjini,..

    "aahhh hizi nguo zinafanana kweli yani,.. Nilijua ni mama king kumbe sie bwana"

    Aliongea chidi huku akiendelea kuchati na simu yake kubwaaa aliopewa jana na mama sarah,...

    Sasa akina salma walikuwa wakinyonyana tu hadi pale kwenye mti

    "watu wachafu wale, sasa watu woote hao wananyonyana hadharani namna hii"

    Chidi aliongea bila kujua kuwa yule anaenyonywa ndio mke wake huyo mama king,... Lakini sasa chidi kila akitaka kuacha kuwafatilia watu hao akili yake ilikuwa haitaki kabisa,... Yaani anatamani kuwaangalia mana gari si imesimama....

    "yani yule mwanamke kafanana na mke wangu kila kitu,.. Yule atakuwa msambaa yule mana kopiraiti yani"

    Aliongea kijana chidi huku akiendelea kumuangalia kama akili yake inavyomtuma....



    Binafsi yangu tu mimi nasema mwanamke ni mwanamke tu hata iweje, akili ya mwanamke itabaki kuwa hivyo ivyo tu, usije ukalinganisha mawazo ya kike na ya kiume hata siku moja,.. Mwanamke hanaga wazo B, yeye huwaza A tu basi,.. Lakini mwanaume ana mawazo zaidi ya A, B, C na kuendelea hua hakurupuki,.. Lakini mwanamke siku zote anawaza, A, tu... Yaani ni sawa na mtu anaeangalia anapokanyaga lakini haangalii mbele, afu mwisho wa siku yupo ndani ya shimo...



    Sasa tukija kwa salma aliokuwa akinyonywa denda na mpenzi wake au mumewe mtarajiwa, chidi yeye alikuwa ndani ya basi hilo huku akinywa maji yake taratibu na kuangalia mazingira ya miji ya tanga, na hapo walipo wana kilometa 5 wafike nyumbani, wazo lake lote yeye ni kuwahi kwa mke wake,..

    "yani yule mwanamke kafanana na mke wangu kila kitu,.. Yule atakuwa msambaa yule mana kopiraiti yani"

    Aliongea kijana chidi huku akiendelea kumuangalia kama akili yake inavyomtuma....

    Lakini chidi yeye anamfanisha tu kwasababu kampa mgongo lakini kama angeligeuka, basi chidi ni lazima angelimuona,... Chidi alimuangalia sana yule mwanamke huku akimpa sifa za kama mke wake,

    "oyaa toa gari vitu mtavikuta mbele uko"

    Hao ni abiria waliokuwa wakipiga kelele kwa kusimama kwa gari eti wanasubiria vifaa vyao walivyowapa wenzao,...

    "toa gari bwana tuwahi familia zetu"

    Huyo ni kijana chidi nae alivunja ukimya kwa hasira, ili aiwahi familia yake,.. Kweli gari iliondoka huku chidi akiendelea kumuangalia mdada yule, yaani kama vile alikuwa anahisi kitu lakini kwa vile anavyomwamini mkewe hawezi kuwa katika mazingira kama haya japokuwa ana zaidi ya miezi 8 mjini,.. Gari iliondoka na kuendelea na safari yake,..

    Chidi alikuwa akiwaza mke wake na wazazi wake, bila kumsahau mfalme wake king (kingazi).. Haikupita hata lisaa chidi akawa anashushwa nyumbani kwao, pale pale chidi akachukua guta na kupakia viti vyake kisha huyoo anaingia katika uchochoro wa kueleke kati mji wao



    Tukija huku mjini kwa kaka wa chidi ambaye ni Ibrahim akiwa yupo nyumbani na mke wake, wanakula maisha ya raha na pesa zao,

    "baby, kuna kitu nataka nikusapraizi"

    Aliongea mke wa Ibrahim huku wakishikana shikana kimapenzi, na wakati huo wapo chumbni mida hio ya saa 12 kasoro jioni,

    "kitu gani hicho mke wangu"

    "chidi wako kakubali"

    Ibrahim alishangaa huku akitoa macho kwa mshtuko

    "unasema kweli mke wangu"

    "aahh sasa nikudanganyie nini"

    "Eeeh mungu wangu weee, ngoja nimtumie nauli"

    "wala usijali nilishamtumia laki mbili"

    "hapata haimtoshi hio, mi namjua mdogo wangu ni mtu wa matanuzi yule, tena na vile kakaa kijijini sana, hivyo akija apa masharobaro wote watatia adabu"

    "heeee inamaana ulishawahi kukaa nae huku mjini, mana kama vile unamjua tabia yake"

    "ndio, nilishakaa nae zaidi ya miezi miwili nyumbani kwangu"

    "kwahio ni sharobaro haswa"

    "aahhh we subiri tu si utamuona akija"

    Wakati huo Ibrahim anaendelea na mpangilio wa kutuma pesa kwa mdogo wake,... Kweli ile pesa alifanikiwa kuituma

    "kwahio mdogo wako ni mzee wa swaga"

    "aahhh yule anatumia pesa vibaya mno, mi namjua yule, mpaka alinifilizi ile kqzi yangu"

    "ahahahahahaha kweli uyo noma kweli"



    Tukija huku kwa chidi tunamkuta anapanda pikipiki na kuelekea kule basi lilikoharibika, na wakati huo alikuwa akikumbuka maneno alioambiwa na mama yake

    "mkeo kawa kichaa, toka jana hapa haonekani"

    Kwa maana hio chidi alishafika nyumbani na kupewa taarifa ya mkewe hivyo kwakuwa hajui kaeleke wapi, lakini mawazo yake yakamtuma moja kwa moja kuwa huenda yule aliemfananisha kule ndio yeye, hivyo mara moja alipanda pikipiki na kiwahi, na wakati huo saa 12 kama na dakika 15 hivi,....

    Pikipiki ilikiwa spidi sana kiasi kwamba hata chidi alikuwa haoini mbele, na dereva kama sio kuwa na helmet.. Walifanikiwa kufika eneo hilo lakini hapakuwa na mtu wala gari kana kwamba tayari gari ilishafaa muda mrefu sana,.. Alipoangalia pembeni aliona kibanda cha kuuza matunda,

    "niaje kaka... Eti kuna basi lilikuwa limeharibika pale, limeondoka muda sana"

    Chidi aliuliza huku akinyoosha kidole eneo husika,.

    "limeondoka kama robo saa hivi iliopita"

    Kabla hata huyo mtu hajamaliza pikipiki ilishawashwa kitambo sana na kuelekea huko gari ilipoelekea,



    Tukija huku mjini katika nyumba ya Grace au mama sarah, akiwa yupo ndani na mtoto wake, tena walikuwa wapo chumbani wakipiga stori za hapa na pale,

    "afu mama ile simu ipo wapi"

    Sarah alimuuliza mama yake kuhusiana na ile simu ipo wapi, mana simu hio ndio imetoka juzi tu haina hata wiki, hivyo hata watu wengi hawana hio simu na ukimkuta mtu mwenye simu hio ya gharama kubwa, basi ujue huyo ni tajiri zaidi, au mtoto wa tajiri ndio utamkuta na simu hio,

    "mwanangu, si mchana nilikuwa nachati kwenye gari, ghafla likaingia kono hilo, yaani ilibaki tu kidogo anivunje mkono, nilimwachia"

    Aliongea mama huyo huku akijifanya kuhudhunika sana,..

    "jamani mama pole"

    "asante mwanangu"

    Basi walibembelezana pale mama na mtoto huku mama akitabasamu kuwa mwizi sio mwizi bali mwizi ni mpenzi, na alitoa kwa hiari yake mwenyewe,

    "ila sarah, unajua umri unakwenda mwanangu, ina maana hata mchumba huna wewe"

    Aliongea mama huyo na kuona labda mtoto wake ana wanaume wengi,

    "mama, mimi bado sijampata mwanaume mwenye kukidhi sifa nilizotaka mimi"

    "sarah mwanangu, mi spendi uwe na wanaume wengi mwanangu, na ndio mana napenda uolewe ili utulie"

    Aliongea mama yake sarah, huku sarah akiwa anamuwaza chidi katika akili yake,

    "mama, kiukweli sijui kama kuna mwanaume nitakaempenda kama huyo niliewahi kuwa nae"

    Aliongea sarah huku akiwa anahudhunika sana,

    "kwani we wataka mwanaume wa aina gani mwanangu? Mbona una masharti hivyo? Na ukumbuke kuwa wanaume ni wachache duniani"

    Mama sarah alimuuliza mtoto wake kwani alikuwa akitaka mwanaume wa aina gani, mana hajawahi hata kutambulishwa wala kuskia kama mtoto wake ana mchumba au hata mpenzi

    "mama, kiukweli mimi ni mschana mzuri hivyo sihitaji kukurupuka kimaisha, na wahenga walisema, ni bora ukosee kujenga kuliko ukosee kuolewa, nitalia sana endapo nitakosea kuolewa"

    "ni mwanangu, upo sahihi kabisa... Ila we watakaje kwani"

    "kwanza kabisa,... Nataka mwanaume mwenye muonekano wa nje"

    Aliongea sarah huku mama yake akimuuliza kuwa

    "unamaanisha Hensam ee?"

    "haswaaaaa,... Afu pili, nataka mwanaume anaeweza kunimudu kimabavu"

    "khaaaa sasa akumudu kimabavu, we wataka akupige au"

    Mama alishangaa kuskia mwanae anataka baunsa

    "no nataka mwanaume ambae nikiwa nae ndani, yaani akinishika awe kanishika kweli, yaani nisifurukute,... Afu tatu ya maana sana, nataka mwanaume atakaeweza kunipa raha pale kati"

    "mmmhhh we mtoto una masharti wewe, aahh hebu nenda kalale huko mi staki story zako tena"

    Mama alikasirika kwa kuskia masharti aliokuwa anayataka mtoto wake,.. Sasa kwanini akasirike na wakati ni mtoto wake.. Hebu tumsikie mama anachokiwaza baada ya mtoto wake kuondoka kwenda chumbani kwake

    "huyu mtoto ni mjinga nini?... Mbona kama anaharibu mipango yangu"

    Mama alijisemea hivyo huku akiwa kaegemea mto katika kitanda chake,...

    "mbona kama sifa zote hizo chidi anazo,.. Sasa mbona nikimleta pale kazini sarah anaweza kumpenda"

    Mama machale yalimcheza, mana sifa anazozitaka sarah,.. Kwa chidi zipo zote na mama ndio analijua hilo, na mama ana mpango wa kumleta chidi hotelini kwake ili akaange chipsi pale na waweze kuwa karibu,.. Sasa sarah yeye analeta swaga za kuelezea sifa za mpenzi wa mama yake, japo sarah na chidi walishawahi kukutana lakini ni kitambo sana, ila hawakuwahi kufanya mapenzi hata mara moja na wala chidi hajui kama sarah anampendaga kimapenzi....

    PATAMU APO, SIJUI CHIDI ATAPELEKWA WAPI SASA



    Tukija huku kijijini ikiwa tayati ni mida ya saa moja na dakika kadhaa chidi wanafanikiwa kuliona gari kwa mbaali huku spidi ya pikipiki ikizidi kukolea ili kulifikia basi hilo,.. Chidi alikuwa tayari kurudi na mke wake hata kama alimuona akinyonywa denda japo hana uhakika sana kama ni yeye, na alijihakikishia kwasababu ameambiwa mkewe hayupo ni siku ya pili sasa toka atoke akiwa kichaa,.. Kweli mungu si asumani gari walilikuta lakini sasa kazi ipo kwenye kulisimamisha basi hilo,... Ikabidi walipite mpaka kwenye kituo cha mbele, mana kuna wengine walipanda lakini wanashukia njiani kama vile walisogezwa tu,..

    Sasa pale pale chidi akapanda kwenye basi huku akipumua kwa nguvu zote, kana kwamba kafanikiwa alichokifuata japo abiria ni wengi sana, lakini hakukata tamaa

    "broo hakuna siti tena, abiria wamejaa"

    Aliongea tandiboi huyo huku akitaka kumtoa chidi nje...

    "broo mi ntasimama tu na nitalipia siti japo sintokaa"

    Aliongea chidi huku akitia huruma, mpaka yule tandiboi akamhurumia chidi apande,.. Sasa chidi keshaingia ndani ya gari, yupo tayari kwa kutafuta mke ambae yupo ndani ya gari hilo, na ni lile lile....

    "haki ya mungu vile lazima niondoke na mke wangu, yaani ntauwa mtu humu ndani"

    Aliongea hivyo huku akizidi kusogea kwa kwenda kule kwenye siti za nyuma



    Duniani kuna watu wanaopenda kweli na sio utani, kijana chidi yeye alishuhudia mwanamke kama mke wake akinyonywa denda, lakini chidi kwa upendo wake bado hakati tamaa ya kuwa hata kama alimkuta katika mazingira yale lakini hawezi kumuacha, mana walifunga ndoa ya ukweli kabisa......

    Katika maisha ya ndoa ni dhambi sana mwanaume kuwa na mchepuko japi kuna asilimia kubwa sana ya wanaume kuwa ni lazima awe na mchepuko wa nje,.. Hio ni dhambi kwa wana ndoa, lakini kuna dhambi zaidi ya dhambi pale unapopata mchepuko na kuisahau familia yako, hio ni dhambi na ni laana kubwa sana katika maisha yako,...wakati mnafunga ndoa ulisema utamlinda kwa hali na mali, lakini leo mtoto wa watu analala njas, mtoto wa watu hata Utenge wa kubadilisha hana, yaani unampa mateso juu ya mateso, ndoa ni matunzo jamani msione tu ndoa zikifungwa huko, zina mambo hizo, zinahitaji uvumilivu wa hali ya juu...



    "haki ya mungu vile lazima niondoke na mke wangu, yaani ntauwa mtu humu ndani"

    Hayo ni maneno yaliomtoka kijana chidi huku akiendelea kumtafuta mke wake,.. Chidi alizunguka basi zima, tena kwa kumpekuwa kila abiria aliekuwepo hapo, kagombana na kila mtu humo ndani, lakini kaambulia patupu, Sasa alikuwa akishangaa na kuuliza jamaa mmoja aliopo humo humo ndani ya gari

    "eti broo, mbona kama kuna upungufu wa abiria, na hili gari si ndio lile lilioharibika pale nyuma"

    Aliuliza kijana chidi huku akiweka matumaini ya kumpata hata kama hajamwona katika basi hilo

    "ndio, ni basi hili hili, ila pale lilivyoharibika kuna baadhi ya abiria walipanda gari nyingine ya kampuni hii, kwahio sisi wengine ambao hatuendi safari ndefu tulibaki ili wale wa safari ndefu waendelee na safari"

    Chidi kuambiwa tu hivyo, alichoka mpaka basi huku akishuka katika gari hilo,.. Alitelemka na kupanda toyo yake iliimleta, mpaka huko



    Saa mbili na nusu usiku pikipiki inasimama nje ya nyumba ya akina chidi, wakati huo wazazi wake walikuwa wapo nje wakipiga stori za hapa na pale, na walikuwa na furaha nyingi sana kwasababu mtoto wao mpendwa kaja

    "ni kiasi gani ndugu yangu"

    Alimuuliza dereva toyo huku akitoa waleti

    "ni elfu 15 boss"

    Kwasababu ilikuwa ni kijijini basi gharama nayo ipo ki kijijini kijijini, lakini kama ingelikuwa ni mjini, ingelikuwa sio chini ya elfu 50, basi chidi kwa huruma zake alimuongezea elfu 5 ikawa elfu 20

    "asante boss"

    "haina shida ndugu"

    Dereva toyo aliondoka zake huku chidi akiingia nyumbani kwao na kuwakuta wazee wakipiga stori za hapa na pale, chidi kufika tu kamuwahi mtoto wake na kumbeba,..

    "mama, ivi mke wangu kaondokaje jamani"

    Chidi alivuta kiti na kumuuliza mama yake kuwa salma aliondoka vipi nyumbani

    "mwangu wewe, pale huna mke tena, yule mwanamke kabla ya kuondoka, alionekana kuwa na mtu"

    Mama aliongea hivyo kumaanisha kuwa alionekana kuwa na mpenzi mpya,

    "kwahio hata kukuaga hajakuaga kuwa anaenda wapi"

    "ataniaga saa ngapi, na wakati nilimfukuza kabisa"

    "mamaaaaaaa, ulimfukuza wanini lakini"

    Chidi alikuwa akikasirika baada ya kuambiwa kuwa mama alimfukuza salma

    "chidi mwanangu, mkeo alikuwa chizi, lakini sikumfukuza kwa ubaya, mkeo kashakuwa chizi, nilimfukuza akiwa anamkanyaga mtoto"

    "heeeee Anamkanyaga ili iweje sasa jamani"

    "si ndio uchizi ulimuanza"

    "mungu wangu salma mke wangu, upo wapi wewe jamani"

    Aliongea kijana chidi huku akishika kichwa kwa hasira,...

    "lakini baba, kama sisi wazazi wako tumemwona hafai, inahaja gani wewe kumuona anafaa, au unahisi sisi wazazi wako tumekufanyia fitina si ndio"

    Mama wa chidi alianza kuja juu na sauti ya kiuzazi, mana chidi alikuwa haelewi na kuhisi labda ni kamchezo kachezewa na wazazi wake,

    "basi mama nisamehe bure"

    "kwasababu sisi tunakwambia ukweli juu ya mkeo lakini hutaki kutuamini"

    "nimesha waamini mama angu.. Wacha nikalale mambo mengine nadhani ni kesho"

    "wewe mtoto una kichaa wewe"

    "nini tena mamaa"

    "uende ukalale kwani umekula wewe? Si umekuja sasa hivi na toyo hapa"

    "aaahh mama mi nimeshiba"

    Basi chidi alimpa mama yake mjukuu wake ili akamlaze mana alikuwa keshalala, chidi aliingia geto kwake na kukuta kumevurugwa sana, yaani utafikiri hakukuwa kukiishi mtu, basi chidi bila kujali yeye alianza kuweka sawa kwa kutandika tandika vizuri kitanda chake cha zamani sana,..

    Sasa alipoangalia uvunguni aliona chupi ya mkewe tena ilikuwa imechakaa haswa, alimkumbuka sana mkewe mana anaijua sana nguo hio

    "umeshajua chupi mpya, sasa hata za zamani huzithamini"

    Aliongea chidi huku akitoka nje na kuitupa nguo ile, chidi alirudi katika geto lake la udongo kisha akaingia kulala bila kujali katoka mjini na kuja kulala sehemu chafu..



    KESHO YAKE ASUBUHI NA MAPEMA



    Chidi anaamka na kufanya usafi wa mwili na mazingira ya hapo nyumbani kwao, Ukumbuke kuwa chidi hakai sana, hapa kaja kumchukuwa halima ambae ni mdogo wake ili akasomee huko, chidi alikuwa akifyagia uwanja wao bila kujali kama kavaa nguo safi, hata wazazi wake walikuwa wakimwangalia huku wakimwombea mana hajali kuwa katoka mjini, yaani chidi ni mpenda kung'aa haswa, lakini bado hajali kuwa alikuwa akichafuka, chidi alifanya usafi nyumba nzima huku akilimia na majani majani kwa pembeni,..

    Wakati huo anamwona mdogo wake halima amebeba ndoo kubwa ya maji, alishtuka kuona mdogo wake kabeba ndoo kubwa

    "weee si utadumaa mdogo wangu"

    Mdogo wake alikuwa ana umri wa miaka 8 hivi au 9 na alikuwa anasoma darasa la pili huku kijijini,...

    "hebu kapumzike kwanza baadae nitakuambia kitu kizuri sana sawa dadaa ee"

    "sawa kaka"

    Basi chidi alilichukuwa lile jukumu la kubeba maji,... Na hapo Ukumbuke kuwa chidi bado hajawaambia wazazi kuwa anataka kumchukuwa halima, sasa je wazazi watakubali?

    PATAMU APO



    Sasa tukija huku mjini tunamkuta sarah yupo na rafiki yake miriam katika ile hoteli kubwa, yaani kule walipo akina miriam,.. Sarah alimtembelea rafiki yake kwa kumsalimia tu, sasa walikuwa wakipiga stori za wanaume tu

    "shost, saaa ngapi jana mama sijamtajia sifa za mwanaume ninaemtaka na akakasirika ghafla tu"

    Aliongea sarah huku akishika kiuno chake kama vile anamsuta mtu,

    "heee sasa kakasirishwa na nini"

    "mi najua basi shost?"

    "hhhhh maaakubwa ya jongo hayo shost"

    Miriam alikuwa akishangaa kwa kitendo cha mama yake kukasirika kisa mwanae kuzitaja sifa za mpenzi amtakaye,...



    Wakati huo huku hoteli ndogo anayosimamia Grace au mama sarah na mtoto wake sarah, alikuwa ofisini kwake akiumiza kichwa juu ya kumpatia chidi kazi, mana sio kila siku tu ampatie pesa, japo anaweza kumlea kwa jinsi atakavyo kijana huyo,...

    "sarah ni mpumbavu sana, yaani anapenda wavulana mahensamuuuuuu aisee mtoto kanikera sana huyu mtoto"

    Alijiongelea kimoyomoyo huku akishika kichwa, akili ya mama huyo haikuwa ikikaa sawa, moja haikai mbili haikai,



    Sasa tukija huku kijijini kwa akina chidi, Chidi alikuwa akitoka kuteka maji kwa kumseidia mdogo wake halima, mana ana umri mdogo sana kwa kuifanya kazi hio,....

    Baada ya masaa matatu mbele chidi alimaliza shughuli zote ambazo zilikuwa azifanye mkewe, lakini mkewe hayupo sasa kazishika mtoto mdogo ambaye ni halima mwenye miaka 8 ama 9,... Sasa chidi akiwa na wazazi wake hapo sebuleni wakiwa wanakunywa chai mida hio ya saa nne, chidi alikuwa ana jambo la kuongea, lakini kwanza kabla ya kuongea alianza kuwatolea zawadi alizowaletea, nguo kedekede, vitenge na vitu vingi, lakini katika nguo hizo kulikuwa na nguo za ndani kwa ajili ya mkewe wake,.. Chidi aliusogeza ule mfuko wenye nguo za ndani ili mama yake asiuone,... Basi baba na mama walifurahi sana kwa kuona zawadi zilizoletwa na kijana wao,.

    "huo mfuko una nini"

    Aliuliza mama kuhusiana na mfuko ambao upo pembeni,

    "aahh amna kitu izi ni boshori (kofia za raundi)"

    "kofia? Sasa kwani sisi hatutakiwi kuvaa kofia"

    "ahhh ni za watoto mama wala hazikuenei"

    Sasa mama kuangalia vizuri aliona moja imetokeza, ikabidi mama atabasamu tu huku akinyamaza kimya mana alijua nguo hizo aliletewa nani,... Mama yake chidi alikuwa sio mzee kivile sema maisha ya kijijini tu ndio yalisumbua,...

    "najua unampenda sana mke wako, ila nfio hivyo kumbe yeye hakupendi mwanangu"

    Aliongea mama kimafumbo huku akimuangalia mtoto wake kwa huruma mana anampenda sana salma wake lakini ndio hivyo kamkimbia, japo bado inasemekana ni chizi lakini haijazibitika kuwa kweli ni chizi,... Ila sisi tunajua sio chizi.........

    "sasa mama na baba"

    Chidi alianza kuongea kwa kuwaita wazazi wake,

    "nini tena baba"

    "kuna kitu nilikuwa nataka niwaombe"

    Baba yake chidi akadakia juu kwa juu,

    "wewe ni mtoto wa kiume baba ongea kama mwanaume wacha kulia lia"

    Chidi alikuwa mpolee kwa jambo alilotaka kuongea

    "mama na baba,.... Mimi Nimekuja kumchukuwa halima akasomee mjini"





    Nia ya chidi kuja kijijini ni kwa ajili ya kumchukuwa mdogo wake ili akasomee mjini, lakini hata kabla ya kuja alishaamua kumpeleka kwa kaka yake, ila kama watamshindwa au watamtesa kutokana na mke kama atakuwa na roho mbaya basi chidi ana uwezo wa kuishi nae, mana hali yake kwa sasa sio mbaya anaweza kumsomesha mdogo wake palr kaka take atakaposhindwa, mana kazi hana na pesa anazo, hivyo hawezi kumshindwa kuishi na halima wake

    "wacha nikamchukue kama wanavyotaka, ila nikiona ananyanyapawa tu, namchukuwa mwenyewe coz hata mimi naweza kumsomesha"

    Aliingea kijana chidi kabla hajaja kijijini, huku akiendelea kusema kuwa

    "wazazi hawatokubali kama nitasema anaenda kuishi na kaka Ibrahim, hivyo lazima niseme mimi kama mimi mana wazazi wanamchukia sana kaka Ibrahim"

    Aliongea hivyo akiwa yupo kitandani wakati bado anafikiria kuja kijijini kumchukuwa halima akaishi na kaka yake mkubwa ambae ni Ibrahim,..

    Ibrahim toka aje mjini hajawahi kukanyaga kijijini hata siku moja, zaidi kurusha elfu 20 kwa miezi miwili au asirushe kabisa, kana kwamba kawasusa wazazi wake.......



    Kwa niaba ya mke wa Ibrahim, Chidi alikubali kuja kumchukuwa mdogo wake ili akasome huko mjini...

    Na leo kijana chidi yupo kijijini kwao akiwa tayari kwa kumchukuwa mdogo wake, lakini wazo hilo lilikuwa ni lakwake na shemeji yake kule mjini au pia na kaka yake, bali wazazi wao je wataafiki vipi kuhusiana na kijana chidi kumchukuwa halima akasome mjini,

    Chidi kabla hajaongea kwanza alitoa zawadi kwa ajili ya wazazi wake kisha akaanza kuongea,...

    "mama na baba.... Mimi nimekuja kumchukuwa halima akasome mjini"

    Aliongea kijana chidi huku wazazi wake wakionekana kubadirikwa na sura,... Kana kwamba hawakutaka mtoto wao aondoke, chidi aliangalia chini kwa uoga wa wazazi wake, mana hashindwi kurushiwa mkibao wa shavu,... Wazazi wa chidi walinuna sana huku chidi akijiandaa kuomba msamaha kwa maneno hayo... Lakini kabla hajaanza kuwaomba msamaha ghafla wazazi wa chidi walianza kucheka huku wakisema kuwa

    "heeeeee mwanagu kweli huko mjini umekwenda kutafuta na sio kutafutwa"

    Aliongea baba yake chidi huku chidi akimuuliza baba yake

    "hhhmmm baba kwani kuna mtafutaji na mtafutwaji"

    "ndio mwanangu,.. Mtafutaji ni yule anaekwenda mjini na kufanikiwa, na mtafutwaji ni yule anaekwenda mjini na kupata maisha au hata kama hajapata, lakini kuna wanaomtafuta,... Nikimaanisha kuwa, yeye anatafuta pesa, lakini nyuma yake kuna mtu nae anatafuta pesa kupitia yeye... Nikilenga kwa wanawake, hivyo mtu anaetafutwa ni yule anaehonga wanawake na kusahau maisha yake binafsi... Hivyo kwa wewe mwanangu, naamini umekwenda kutafuta na sio kutafutwa,... Nakuombea sana mwanangu uzidi kufanikiwa katika mihangaiko yako"



    Baba yake chidi aliongea kwa kirefu ili kumfafanulia maana ya kutafuta na kutafutwa,.. Hivyo nyie mnaehonga wanawake bila kujali maisha yenu ya mbele, basi mjue nyie ni wa kutafutwa na sio kutafuta... Sasa baba chidi alipomaliza kuongea maneno hayo, na mama nae kaja juu

    "mbona unamuombea mwenyewe tu, kwani mimi sio mtoto wangu,..... Hata mimi baba nakuombea mwanangu ufanikiwe katika njia zako, mungu akuangazie kila njia unayopita"

    Aliingea mama yake chidi.... Lakini jamani kumbuke kabisa dua za wazazi hua hazilali fofofo, yaani hapo inapoombwa, ndio hapo inapo pokelewa.. Dua za wazazi hazilali kamwe.. Hivyo tafadhalini jamani kwa wale vijana wenzangu mlio mijini, muwe mnakumbuka familia zenu nyumbani, hata kama umepata elfu kumi, wape elfu tano baki na elfu tano,.. Ivi kama wangekuuwa ukiwa mdogo, je hio elfu kumi ungeipata wapi wewe... Hivyo kuwa makini na familia yako hata kwa kiasi kidogo tu wataridhika, msiwasahau wazazi wenu kisa wanawake, na mkumbuke kuwa wasichana wa mjini nao wamekuja kutafuta, hivyo akipata bwege bwege kama Ibrahim, basi hapo ndipo tunapoita KUTAFUTWA yaani Ibrahim kutafutwa ila hatafuti kwa ajili ya maisha,... Unajali mwanamke wako na kumsahau mwanamke aliekuleta duniani, kweli unaaki za kizungu na sio za kiafrika.



    Sasa wazazi wa kijana chidi walifurahi sana kuona maendeleo ya mtoto wao mpaka kufikia hatua ya kumchukuwa na mdogo wao wa mwisho kwenda mjini kusoma katika shule za pesa,...

    "lakini mwanangu... Kweli tunashukuru kwa maendeleo yako, lakini halima kuna zile kazi anatuseidia baada ya mke wako kuondoka"

    Aliongea mama yake chidi huku baba yake akiwa anasikiliza tu,

    "mama, kwani hata kuosha vyombo huezi"

    "sio vyombo mwanangu,... Mimi hata maji naweza kwenda kuchota korongoni ila kuhusu mambo ya shamba, na kwenda mjini kuleta mahitaji"

    "aahhhhh mama, mi staki muende shamba tena"

    Chidi aliongea hivyo na kumfanya baba yake akasirike huku akisema

    "we mpuuzi nini wewe, yaani sisi tusiende shamba tutakula nini"

    Aliongea baba yake chidi huku akiwa na hasira kwa chidi kusema kuwa wasiende shamba,...

    "hapana baba yangu, sijamaanisha hivyo mzee,... Mimi najua tuna mashamba mengi sana kuliko hata familia zingine.. Maana yangu ni hivi mimi nitatuma pesa ya kulima mashamba kadha kwa ajili ya chakula, lakini sio nyie mkashike jembe, sasa maana ya mimi kuwa mjini ni ipi kama huku mtateseka wazee wangu"

    "aahhh hapo sawa... Kwa hapo tutaelewaana"

    "afu mzee nitakununulia baiskeli mpya ili uwe unaenda mjini wewe kwa vitu vidogo vidogo"

    "mpuuzi wewe, yaani mi niende sokoni na wakati mama yako yupo"

    "mzee wangu mambo ni kuseidiana mzee"

    Mama chidi alikuwa akicheka tu kwa kijana chidi kumtania baba yake kuwa aende sokoni badala ya mama yake

    "hapana mzee huo ni mtazamo wangu tu ila nyie wenyewe mtajua mahitaji madogo madogo mtayapataje,... Ila na mimi natakiwa nijue mwenyewe mnaipataje pesa"

    Chidi alikuwa akiongea huku akitoa simu mpyaa, na kumkabizi baba yake

    "mzee simu mpya hii hapa, nimesjili laini yako mpya, na nimeisajili na tigo pesa na na laini nyingine ya voda nimeisajili na m-pesa,. Ni nyie tu pale mnapoishiwa nipigieni simu"

    "mwanagu, mpaka hapo tukushukuru tu,.. Wewe na mdogo wako Ondokeni hatutaki kuwaona tena"

    "aahhhhh mzee ndio unatifukuza tena... Basi nilikuwa na pesa ya kuwapa sa siwapi tena"

    "heeeeeee basi mwenetu kaaa mpaka keshokutwaa"

    Basi ilikuwa ni utani katika familia hio iliokuwa na maisha magumu kiasi fulani, lakini baada ya mtoto wao kuingia mjini hali ya maisha huonekana kwa kiasi flani



    Baada ya kijana chidi kukubaliwa kuondoka na mdogo wake halima ili aende nae mjini, chidi alichukuwa jukumu la kwenda shuleni kwa akina halima na kufanya utaratibu wa kumhamishia mjini, kweli na huko shuleni pia alifanikiwa kupata barua ya uhamisho juu ya mdogo wake,...



    BAADA YA SIKU MBILI KUPITA



    Na leo ni asubuhi mida ya saa mbili hivi, Kijana chidi bado alikuwa yupo kijijini lakini leo ndio siku aliokuwa akiondoka na kuelekea mjini,...

    "heeeee mwanangu imependeza na hako kagauni"

    Mama yake chidi alimsifia mtoto wake halima, kuwa alipendeza sana, mana chidi baada kumaliza ishu za shule, alienda mjini na halima ili kumnunulia mavazi mazuri,..

    Kijana chidi alikuwa na pesa kiasi kidogo mana ulumbuke alipewa laki tano na mama sarah, afu akarushiwa laki tatu na kaka yake, bado ana marupu rupu ya hapa na pale...

    Kwanza aliwachukuwa wazazi wake na kuwavuta ndani,... Chidi alitoa waleti yake iliokuwa imevimba kwa kitu kama laki 7 hivi, na hapo bado hajatoa ile laki tatu ya kaka yake, hivyo pesa alikuwa nayo..

    "wazazi wangu, nashukuru sana kwa maombi yenu juu yangu, naami mwenyezi Mungu hatonitupa katika maisha yangu"

    Aliongea hivyo kijana chidi huku wazazi wake nao wakimjibu kwa pamoja

    "usijali mwenetu,.. Maisha ni kutafuta na sio kutafutwa kama baba yako alivyosema"

    Chidi alitoa kiasi cha shilingi laki sita kamili na kuishikilia mkononi

    "wazazi wangu nawapenda wote, sijui nimkabidhi nani hii pesa, mana staki upendeleo wowote ule"

    Aliongea kijan chidi,.. Mana kuna wazazi wengine ukimpa mama kitu, baba atalalamika, MBONA MIMI SIPEWI... Au ukimpa baba mama pia atalalamika MBONA MIMI SIJAPEWA KAMA MAMA, hivyo chidi alitaka kujua amkabidhi nani

    "mwanangu, mpe baba yako hio pesa"

    Aliongea mama yake chidi huku chidi akimkabidhi baba yake shilingi laki sita

    "mzee... Nawapatia hii pesa kwa ajili yenu, na najua zitawsukuma sana katika hali ya hapa na pale"

    "haaaaaaaa rashidi mwanangu hii pesa ni nyingi sana, kwanini nisiirekebishe nyumba yetu hii"

    Aliongea baba yake chidi kana kwamba alitaka kurekebisha nyumba kwa pesa hio aliipewa, ni pesa ndogo sana kwa maisha ya mjini, lakini kwa kijijini ni pesa moja kubwa sanaaaaaa

    "mzeee swala la kujenga nyumba au kurekebisha naomba uniachie mimi,.. Hizi ni pesa za matumizi juu yenu"

    Baba yake chidi alikuwa anatetemeka kwa uwingi wa pesa aliipewa na mtoto wake

    "heeeee muone baba yako anatetemeka,.. Mimi nilijua tu"

    Aliongea mama yake chidi huku akikaukiwa kwa kucheka, mana mzee kweli alikuwa akitetemeka,..

    "nyie wapuuzi nini, mnanicheka pumbavu nyie, nilishawahi kuzishika hizi"

    Baba yake chidi nae aliongea kiutani utani huki wakiingia ndani kabisa kwa ajili ya kuzificha.. Baada ya dakika kadhaa, wazazi waliwaaga watoto wao tena kwa furaha ya hali ya juu, huku wakitakiwa safari njema....



    Tukija huku mjini, kwa Ibrahim na mke wake mida hio ya asubuhi wakiwa wanapata chai, Ibrahim alikuwa na wasiwasi juu ya wazazi wake kukubali kuondoka na halima, tena watakuwa na wasiwasi mwingi sana endapo atatajwa kuwa yeye ndie anaemuhitaji,..

    "lakini mbona anachelewa hivyo"

    Aliongea mke wa Ibrahim ambae ni jasmini,..

    "kuna uwezekano wa wazazi kukataa"

    "lakini Ibrahim, kwanini tusingelienda nyumbani, we mwenyewe ulisema una muda mrefu hujaenda nyumbani"

    "ni kweli mke wangu, ila nafasi sipati mke wangu"

    "hata kama,... Wale ni wazazi wetu eti"

    "ok... Wacha chidi aje then tutapanga safari siku nyingine"

    "Eti eee"

    Ibrahim aliongea hivyo huku akijisemea kimoyomoyo kuwa

    "kiukweli nyumbani siendi, yaani kulivyo kubaya vile, afu niende na mke wangu akantie aibu kuwa nina pesa huku afu kule kubaya,.. Hhhhmm siendi nitamdanganya kila siku lakini siendi"

    Aliongea hivyo bwana Ibrahim huku wakiendelea kupata chai...

    Ghafla simu ya mke wa chidi inaita, kuangalia jina aliandika shem, kana kwamba alikuwa ni chidi ndio anapiga

    "huyu apa anapiga"

    Aliongea mke wa Ibrahim kabla ya kupokea simu hio

    "nani huyo"

    "shemu wangu"

    "anasemaje... Kafanikiwa kuja nae"

    "subiri tupokee kwanza"

    Ibrahim alikuwa haamini kama chidi angelipiga simu

    "haloo shem mambo"

    Alianza mke wa Ibrahim huku akiisikiliza kwa makini

    "she.... She.... She.. Mmm. Shem kuna shida"

    Jasmini alitoa macho huku akimuangalia mumewe

    "nini shem, kuna shida gani"

    "mmm... Md.... Md... Mdogo wangu ha.. Ha... Ha.. Hatu.... Hatu, aiiii"

    "mdogo wako kafanyeje jamani chidi"

    Ghafla mke wa Ibrahim akasikia sauti ya ving'ora vya zima moto...

    "mungu wangu... Mume wangu naskia sauti ya ving'ora vya zima moto vikiwasili"

    "ati unasemaje mke wangu???"

    Ibrahim nae aliuliza huku akitoa macho..



    Sasa tukija huku kwa chidi katika safari yao ya kuja mjini,... Laaaaaa Haulaaaaaaaaaaa,



    Sasa tukija huku kwa chidi katika safari yao ya kuja mjini,... Aaasta Khafirulah Kumbe chidi alikuwa akimdanganya shemeji yake, ili ajue kama angejiskiaje kwa taarifa kama hizo,...

    "haloo shem,... Mbona unalia sasa shem"

    Aliongea kijana chidi huku akiwa na mdogo wake katika hoteli wakipata chai,.

    "chidi, kuna nini lakini"

    "nilikutania tu, wala hakuna lolote baya"

    "mjinga wewe"

    Basi chidi alikata simu kisha akakumbuka wazo hilo alilipataje na ni kwanini afanye hivyo....



    ONA SASA ROBO SAA KABLA YA KUPIGA SIMU ILIKUWA HIVI KWA CHIDI



    "hapa nampeleka huyu mtoto, lakini sijui imani ya huyo mwanamke ipo,... Kqma ana roho mbaya itakuwaje?

    Alijisemea kijana chidi wakiwa ndani ya gari kabla hawajashuka kwenda kunywa chai,...

    "mwanamke mwenyewe simjui, afu naenda mkabidhi mdogo wangu kweli,... Ila sio tabu, ebu ngoja nimpime imani yake kama kweli ana nia nzuri"

    Chidi alipata wazo hilo la kumpima imani kama kweli ana imani ya kibinaadamu au anataka tu kuishi na mdo wake tu ilimradi ni mke wa Ibrahim,

    Walipofika mambo hoteli, walishuka abiria wote ili kuoata chai, lakini waliposhuka mbele yao kama kilomita moja hivi kuna ajali ilitokea, hivyo shamra shamra za hapa na pale zilikuwepo huku magari ya zimamoto yakiwa yanapishana kwa ving'ora,... Sasa papo hapo chidi akapata wazo jipya,.. Wazo la mwanzo alitaka kumwambia shemeji yake kuwa, hatuji, wazazi wamekataa kuja na halima huko mjini,... Sasa alipoona ving'ora vinapita pita kwenda kwenye hio ajali, hapo happ nae akapata wazo jipya na kupiga simu kwa shemeji yake.... Na ndio pale kuna muda shemeji alipagawa baada ya kusikia ving'ora vya zimamoto vikilindima... Basi shemeji akajua hii ni ajali, kilio kilimuanza na hapo chidi akajua kiwa shemeji yake hana nia mbaya, na anafaa kuishi na mdogo wake,



    TUENDELEE MBELE... HIO ILIKIWA NI ROBO SAA KABLA YA SIMU KUPIGWA



    Chidi akiwa yupo MOMBO HOTEL akiwa yupo na mdogo wake,

    "mamy yangu, kula wewe safari ndefuuu"

    Chidi alimwambia mdogo wake hivyo huku wakifurahia maisha,... Kiukweli chidi na mdogo wake wa kike walikuwa wakipendana sana, mana ndio mdogo wake wa mwisho, yaani akitoka chidi ndio anakuja halima, japo baada ya chidi wazazi walitulia kidogo na ndio mana halima na chidi wamepishana miaka mingi sana mana wazazi walipumzika kama miaka kumi na zaidi, ndipo wakaamua kuendelea na kupata wa kike ambae ni halima,...



    Masaa kadhaa mbele walimaliza kunywa chai huku chidi akimpitisha mdogo wake katika supermarket ili achukuwe chochote anachohitaji,..

    "kaka... "

    "sema dada angu"

    "kwako kuzuri ee"

    "ndio... Yaani ni kuzuri mno na utakuwa unaishi na kaka Ibrahim"

    "mmmhhh kaka mi staki kukaa na kaka Ibrahim"

    Halima pia alikuwa akijua kaka yake Ibrahim hakuwa na utani na watoto, yaani ukizingua tu hakuachi, yaani hapendi pendi ndugu sjui ni kwanini,...

    "halima, kaka Ibrahim kaoa, na ana mke mzuri afu ana roho nzuri kuliko hata mimi"

    "kuna TV"

    "ndio, TV ipo ila nataka usome staki uangalie TV"

    "kaka hata katuni tu"

    "weeeeee, kwani kule kijijini kulikuwa na katuni"

    "mmnhhh basi kaka, nitasoma"

    Chidi alikuwa akiongea na mdogo wake na kumpa maneno mazuri tofauti na kile anachokitaka, chidi hakuwa akitaka mdogo wake afanye yale yasio na maana katika elimu ya sasa hivi

    "halima mdogo wangu?... Nataka usome ili ukajenge ile nyumba kule kijijini sawa"

    "haaaaaaaaaaaa kaka, kwaio mimi nikasomee ufundi au"

    "ah ah sio hivyo,... Namaanisha usome kwa bidii ili uje upate kazi nzuri ili wazazi wetu wasiishi sehemu kama ile, sawa"

    "sawa kaka... Nimekuelewa"

    Safari yao ilikuwa ikizidi kusonga mbele



    Tukija huku kwa akina Ibrahim, tunamkuta mke wa Ibrahim akiwa anapumua kwa nguvu kumaanisha afadhali, mana chidi alimdanganya shemeji yake kuwa wamepata ajali...



    Masaa nayo yalisonga na sasa ni mida ya jioni kama saa 10, chidi akiwa ndio anakaribia kuingia katika jiji la arusha

    Chidi alinyanyua simu yake na kumpigia mama sarah,

    "haloo mamy"

    "waaaooo chidi wangu, upo wapi sasa hivi"

    "heeeeee nipo usa nakaribia kufika stendi"

    "weeee, lazima nije nikupokeee yaani nimekumis we mtoto"

    "eeti eee"

    "sanaaaaa"

    "sawa basi uwahi"

    "yaani ndio natoka sasa hivi hapa"

    "sawa"

    Walikata simu huku mama sarah akijiandaa kutoka, mana usa mpaka stendi kwa basi ni karibu sana, haiishi hata nusu saa,..

    "mama unaenda wapi"

    Aliuliza sarah huku akimuangalia sana mama yake

    "kuna mgeni wangu nampokea hapo stendi, we endelea kuwepo hapa sawa"

    "sawa mama"

    Basi mama sarah kawasha gari yake kisha huyoo anaelekea stendi ya basi ili kumpokea kijana chidi,..



    Sasa wakati mama sarah anatoka, na mama Miriam nae ndio alikuwa anakuja kufanya biashara ya kuuziana hio hoteli ili iwe yakwake, mana alimkabidhi aisimamie kama rafiki yake, lakini huyo huyo rafiki yake ambae ni mama sarah, nae anataka ainunue iwe yakwake, sasa hapo wamepishana,...

    Mama Miriam aliingia katika hoteli yake hio, ukumbuke hoteli zote mbili ni za myu mmoja ambaye ni mama Miriam au Agness,.. Sasa mama huyo kaja ili kufanya biashara ya kumuuzia rafiki yake hoteli moja,... Na rafiko yake huyo ambae ni mama sarah na ndio katoka sasa hivi tu,...



    Wakati huo kijana chidi nae ananyanyua simu na kumpigia shemeji yake kuwa ndio anaingi stendi ya basi sasa hivi... Shemeji huyo alifurahi sana na haraka haraka aliwasha gari yake ya thamani kubwa, ili kwenda stendi...



    Afu tukija huku hoteli, mambo yanakuwa hivi

    "sarah mamy yako yuko wapi"

    Mama Miriam alimuuliza sarah ambae ni rafiki wa miriam kama ilivyo kwa wamama hao,..

    "mamy katoka sasa hivi tu, kuna mgeni kaenda kumpokea"

    "hhhooo hatochelewa kurudi"

    "sidhani mama"

    Mama miriam alivuta kiti na kukaa ili kumsubiria,....

    Sasa na huku kwa mama sarah, simu yake nayo ilikuwa ikizima chaji, kana kwamba hawezi kupatika kwa wakati huo akiwa hapo stendi

    "hata simu yake haipatikani"

    Aliongea mama miriam baada ya kumpigia simu mama sarah,... Sasa kwakuwa ishu hio ilikuwa na umuhimu sana hivyo mama miriam akaamua amtume sarah stendi ili sarah akampokee huyo mgeni, afu mama yake arudi huku ili mikataba na biashara iendeleee...

    Sarah aliwasha gari yake na kutoka kuelekea stendi ili akashike zamu ya mama yake kwa huyo mgeni,.... Wakati huo mama sarah yupo stendi anazunguka huku akiwa kaichomeka simu yake katika chaji ya gari,



    Wakati huo shemeji wa chidi ndio anakaribia kufika stendi,.... Sarah nae ndio anafika stendi,.. Na basi alilopanda chidi ndio linatua stendi....

    PATAMU APO



    Kama unakumbuka sarah na chidi walishawahi kukutana tena waliseidiana, nakumbuka chidi ndio alikuwa anaingia mjini, kwa bahati mbaya akapata majanga hapo hapo stendi, katika harakati za hapa na pale akapatikana hana hatia, lakini chidi alikuwa keshaumizwa kwa kupigwa na wananchi, lakini katika hali ya kumsubiri kaka yake Ibrahim aje amchukuwe hapo stendi, ndipo alipokutana na sarah,.. Sarah alipomwona chidi ana majeraha alimseidia kumpeleka hospitali na kujikuta nampenda kijana huyo, Sarah alivutiwa sana kimapenzi na kijana chidi lakini chidi hakujua kama sarah alikuwa akimpenda kimapenzi,.. Sarah alimtibu kijana chidi mpaka akapona, hata bili ya matibabu alilipia yeye sarah,... Sasa sarah hakumwambia chidi kuwa anampenda, ila nakumbuka kuna siku walipelekana mpaka nyumbani kutoka hospitali, Sarah alimwonyesha chidi kwa vitendo lakini chidi bado alikuwa haelewi, kana kwamba alikuwa bado ni mshamba mshamba hivi,..



    Sasa toka siku hio, hawajawahi kukutana tena, yaani sarah aliizungukia ile nyumba ya akina chidi kila siku lakini hamkuti kijana chidi,... Ni kipinde kile anauza chipsi kwa kaka yake hivyo alikuwa bize sana, hata muda alikuwa hana, mana alikuwa akitoka saa 11 asubuhi na kurudi saa 3 usiku, hivyo kwa mtu aliokuwa akimfuata ni lazima amkose, na sarah hakuwa akijua mahali alipokuwa akifanya kazi kijana chidi, na ndio maana hakuweza kumpata kwa muda wote huo..



    Sasa leo kijana chidi akiwa ndio kaingia stendi na mdogo wake halima,.. Chidi akiwa ndio anaangalia mizigo yake ikiwa inashuka katika basi hilo,...

    Wakati huo mama sarah ndio anaiwasha simu yake, sekunde chache tu baada ya kuiwasha simu ikaita, kuangalia jina aliona ni AGNESS aliipokea na kuongea nae,

    "haloo mama miri habari yako"

    Aliipokea mama sarah na kuanza kuongea

    "safi tu, sasa mimi si ndio nimekuja huku nakusubiria"

    "ooohh umeshafika hapo"

    "ndio, na nimekuja na makaratasi yote"

    "ok, basi nisubiri nakuja sasa hivi"

    "ok sawa"

    Mama sarah alikata simu kisha akageuza gari yake na kurudi hotelini ambako ndipo anaposubiriwa na rafiki yake au ndugu yake,..

    "ngoja niwahi kusaini mikataba ya kazi kisha nirudi kumpokea boy wangu"

    Alijisemea hivyo huku akiendelea kwenda



    Sasa huku stendi, shemeji mtu keshafika huku akizunguka na kubofya simu yake ili amuulize kashukia wapi, mana stendi ni kubwa sio ukiambiwa nipo stendi tu basi ukifika umuone, hapana bali utatafuta sana kama hamuna mawasiliano ya simu, Jasmini au mke wa Ibrahim aliiweka simu yake sikioni huku simu ikiita, chidi aliipokea simu hio ya shemeji yake

    "haloo shem uko wapi mie nimeshafika stendi"

    Aliongea Jasmini huku akiangaza macho yake huku na kule ili kuweza kumwona shemeji yake, wakati huo kijana chidi alikuwa akiendelea kuisimamia mizigo aliokuja nayo, matunda matunda na vitu vingi kama zawadi kutoka tanga,..

    "njoo kuna gari moja mpya mpya hapa ila sijaisoma jina lake"

    "ooohhh sjui ndio wewe hapo"

    Unajua ubaya ni kwamba hawajuani, chidi hamjui shemeji yake na hata shemeji hamjui chidi, na ukumbuke hapo hapo stendi, sarah nae anamtafuta mama yake ili amwambie kuwa mama miriam anamsubiri kule hotelini, lakini kwa sisi tunajua mama sarah keshaondoka kitambo sana,....

    "yupi uyo, ebu njoo hapa karibuni uniguse kabla hujakata simu"

    Aliongea kijana chidi kuwa huyo shemeji yake aje amguse bega akiwa kabla hajakata hio simu

    Sasa chidi kuangalia mbele ya macho yake aliina binge la dada, yaani mwanamke wa hali ya juu, akiwa kampa mgongo chidi alihisi labda huenda ndio yeye,

    "hhhhmmm kaka hawezi kuoa mwanamke kama yule"

    Sasa Aliongea hivyo kwa sauti kubwa bila kujua kuwa simu bado haijakatika,...

    "unasemaje"

    Chidi alishtuka mana alisahau kuwa alikuwa akiongea na simu,..

    "aah ahh apana we njoo uniguse hapa ila usikate simu"



    Sasa wakati huo sarah kwa mara ya kwanza ndio anamuona chidi,

    "heeee yule sio chidi ninaemjua yule"

    Alijiongelea sarah huku akiangalia kwa umakini mkubwa ili kuweza kumgundua kama ndio yeye au sie,.. Mana kwa sasa chidi kang'aa kuliko hata mwanzo walipokutana,

    "heeeeee lakini chidi hakuwa mweupe kiasi kile"

    Aliongea sarah huku akiendelea kuongea mwenyewe kimoyomoyo,.... Sasa wakati huo Jasmini ambae ndio shemeji mtu ndio alikuwa nyuma ya chidi yupo tayari kumgusa, sasa akawa anaogopa kumgusa, anahofia kugusa mtu wa watu ambaye sie aliomtegemea,... Sasa sarah akahisi huyo mwanamke ana nia mbaya na chidi, bila kujua kuwa huyo ndio shemeji wa chidi...

    Saa ngapi sarah hajaja kumgusa yule mwanamke,...

    "we dada vipi mbona unataka kumpiga huyu kaka"

    Sasa hio sauti chidi aliisikia mpaka kwenye simu yake, mana huyo dada ndio huyo shemeji yake, na simu haikuwa imekatwa kama jinsi walivyopatana,.. Sasa chidi aligeuka fasta kuangalia hao wanaosemezana ni akina nani...

    Sasa chidi kugeuka, macho yake yaliangukia kwa sarah mana anamjua na alishawahi kumseidia kwa kumpeleka hospitali, chidi akakata ile simu huku akimshangaa mtoto wa tajiri ambae ni sarah,

    "heeeee sarah, ulienda wapi mamy"

    Aliongea chidi huku akimshangaa sarah mtoto mzuri mwenye umbo zuri la haja,..

    "chidii, toka kule nilikuwa nakufananisha sasa nimekuja kwa ajili ya huyu sjui alitaka kukuibia simu"

    "weeeeee koma na ukomae, yani mimi niibe simu"

    "we dada naomba unyamaze kimya mana hunijui mimi ni nani"

    "hata kama wewe ni nani hainihusu... We chidi mimi ndio huyo uliokuwa unawasiliana nae"

    Sasa shemeji mtu na sarah walitupiana maneno ya hapa na pale, mwisho Jasmini akamaliza utata

    "kwanza umenijuaje kama ndio mimi"

    Chidi alimuuliza shemeji yake na wakati bado hajamjua

    "kaka yako aliniambia unaitwa rashidi (chidi) sasa na huyu dada alipokuita chidi nami hapo hapo mawazo yangu yakatua kwako mana pia nilikuwa nakuja kwako kabla ya huyu dada kuja hapa"

    Aliongea mke wa Ibrahim huku akiwa na hasira na sarah,...

    Sasa chidi akatumia akili,.. Alibonyeza kitufe cha kupigia kana kwamba namba ya mwisho ni lazima ipige hio hio ya mwisho,... Kweli simu ya Jasmini iliita

    "heeeeeee mbona ndio huyu anapiga"

    Alipoongea hivyo, sarah nae kadakia juu kwa juu

    "umeona eee,.. Usione mahensam tu we ni kuwafwata"

    Jasmini aliipokea ile simu lakini hakukuwa na mtu aliokuwa akiongea, mana chidi alibonyeza bila kuangalia,.. Chidi aliinyanyua simu yake na kuiweka sikioni, kisha akasema

    "haloo"

    Jasmini au mke wa Ibrahim alishusha pumzi kwa nguvu huku akishukuru kuwa ndio yeye shem lake,...

    Pale pale chidi alimkumbatia shemeji yake tena ndio yule yule aliomuona mwanzo na kusema kaka yake hawezi kuoa mwanamke kama huyo...

    Walipomaliza kukumbatiana, Jasmini alimkumbatia na halima ambaye ni wifi yake mdogo...

    Sasa sarah akawa kabakia tu katulia anawaangalia,

    "chidi, kwani huyu ni nani"

    Sarah aliuliza kwa upole wa hali ya juu mno

    "huyu ni mke wa kaka yangu"

    Sarah kuskia hivyo tu, alianza kuomba msamaha kwa shemeji yake chidi

    "naomba unisamehe dada angu, sikujua mi nilijua ni wadada wa mjini tu"

    Hata Jasmini pia hakuwa amekasirika sana

    "usijali mdogo wangu, najua ulikuwa hujui"

    Basi Jasmini na sarah walipeana mikono ya kusameheana...

    Sasa Jasmini papo hapo akasema anaenda kuchukuwa gari, mana aliiacha mbali kidogo,...



    Jasmini aliichukuwa gari yake na kuileta pale ili kuchukuwa mizigo

    Basi kijana chidi aliingiza mizigo katika gari ya shemeji yake kisha haooo wakaondoka huku sarah akifata kwa nyuma, ndani ya gari ya sarah alikuwepo kijana chidi huku wakiongea mengi, walipeana namba kila kitu, kisha chidi akashuka,...

    Sasa huku kwa mama miriam nae kapigiwa simu ya dharura kwenda kuonana na watu fulani kikazi, hivyo ile subiri ya kumsubiri mama sarah ikaishia hapo,...

    "haloo mama sarah, samahani ndugu yangu kuna dharura nimeipata sasa hivi naondoka"

    "sawa basi tutafanya siku nyingine"

    "sawa, lakini huku hakuna mtu, mana sarah nilimtuma aje huko stendi badala yako"

    "aahhh ok, hata hivyo nakaribia hapo"

    "sawa basi mi naondoka"

    Basi mama miriam aliondoka huku mama sarah nae anakaribia kufika hotelini hapo,...



    Masaa mawili mbele, sarah nae ndio anafika hapo hotelini akiwa na furaha ya hali ya juu mpaka mama yake akashangaa kwa kuiona furaha ya mtoto wake,

    "una nini wewe"

    Aliuliza mama sarah

    "mama, yaani siamini mama angu"

    "nini sasa"

    "sasa hivi nipo tayari kukutambulisha mpenzi wangu mama"

    "hhhmmm we mtoto una kichaa wewe"

    "mama kweli vile,... Yaani kama nilivyojua tu kwenda kule stendi"

    Sasa mama kusikia tu jambo la stendi, alianza kubadirika sura hapo hapo

    "stendi kumetokea nini"

    "mama.... Yaan hata sijui nisemeje mama angu"

    "anaitwa nani,.. Na yupoje yupoje"

    Heeeeee hata sarah alishangaa kuona mama yake anauliza sana maswali mengi juu ya huyo mpenzi wake,... Sarah alimwangalia sana mama yake huku akimuuliza

    "mama, kulikoni na mpenzi wangu? mbona unamuulizia hivyo"

    Mama alinuna na kuvuta mdomo wake huku akimwangalia mtoto wake kwa hasira, kana kwamba keshakua na keshajua wanaume anaotaka wampande

    PATAMU APO





    Sasa tuanzie pale stendi walipokuwa wanapakia mizigo, mana kuna vitu vilifanyika hapo katikati sikuvielezea,..



    Basi chidi alipakia mizigo yote katika gari ya shemeji yake, huku sarah nae alikuwa akiseidia kuingiza baadhi ya vitu vidogo vidogo, baada ya kumaliza chidi alitaka kupanda katika gari ya shemeji yake na kumuacha sarah, lakini kabla hajapanda sarah alimshika chidi mkono na kumwambia,

    "ina maana unaniacha mwenyewe"

    Aliongea sarah huku akiwa kamshika mkono chidi wake aliokuwa akimuwazia kipindi chote hicho,.

    "sarah dada angu,.. Sina maana hio, bali kule kwenye gari kuna mdogo wangu na yule ni shemeji yangu, sasa sijui nyumbani kwa kaka yangu ndio nataka niende ili nipajue"

    "kwani humjui hata shemeji yako"

    "licha ya shemeji yangu, hata kwa kaka yangu penyewe sipajui"

    "khaaaa, sasa mlikuwa mnaishi vipi"

    "wala tu, kila mtu alikuwa na maisha yake, ila broo kajenga huko chini mi sijui"

    "mmmhhh sawa, nimekuelewa, ila naomba niwasindikize basi, lakini mi nataka niwe na wewe kwenye gari yangu"

    "sawa, ngoja nimpe taarifa atangulie kisha sisi tuwe nyuma yake"



    Basi safari ilianza shemeji mtu akiwa mbele na sarah na chidi wakiwa nyuma katika gari ya sarah,..

    "chidi jamani, umekuwaje mweupe hadi nimekusahau"

    Aliongea sarah huku akirembua macho yake mbele ya kijana huyo, na chidi nae kidoogo alikuwa na aibu ya kuangaliana na mwanamke haswa lika lake,...

    "sasa umenijuaje kama umenisahau"

    "si hio sura yako tu, na umbo lako"

    "hahahaha kwahio rangi tu ndio tofauti"

    "ndio"

    Unajua chidi alipotoka kijijini alikuwa ni maji ya kunde, sasa alipofika mjini alibadirika na kiwa mweupe kitokana na kuwa karibu na moto, wakati ule akiwa anauza chipsi, hivyo ule moto ndio ulimkoboa kakoboka kobooo, kawa mweupe wa wastani tu ila sio ile kuzidi sana,..

    "umpendae vp hajambo"

    Aliongea sarah lakini moyo wake ulikuwa ukienda mnio kana kwamba chidi akisema hajambo, basi ajijue hana chake tena,...

    "kwa bahati mbaya sina"

    Sarah alipumua kwa nguvu huku akijisemea kimoyomoyo kuwa...

    "afadhali tu hana,... Na hapa simlembi lembi tena, nampa makavu laivu kama ataniona malaya potelea mbali"

    Sarah alijiongelea mwenyewe kimoyomoyo kuwa hapo hataki tena kumlemba, mana mwanzo alikosea hajawahi kumtaamkia kuwa anampenda.



    Gari ya sarah ni automatically (.Gari inayojibadirisha Gia yenyewe.) Lakini alitamani ingelikuwa ni Manually (.Gari Unayoibadirisha Gia Mwenyewe.) ili apate nafasi ya kumshika chidi angalao hata paja lake, mana chidi alikaa pale mbele huku sarah akiwa kama dereva mwenyewe,...

    "chidiii"

    Sarah aliita huku moyo ukimwenda mbio, kuwa alikuwa tayari kuusema ukweli wake



    Tukija huku kwa mama yake sarah aliokuwa yupo ofisini kwake, aliishika simu yake na kumpigia chidi

    "haloo chidi,.. Nisamehe boy wangu, nilipata dharura ghafla, ila kwa sasa upo wapi nije"

    "usijali mamy, nimeshapokewa na shemeji yangu"

    "Eti eee?"

    "ok basi tutakutana, namsubiria mtoto wangu akija tu nakuja huko kwako sawa"

    "sawa mamy, ila kwa sasa kule sidhani kama nitakuwepo mana nitakuwa nipo kwa broo wangu"

    "lakini si utarudi"

    "ndio, lazima nirudi"

    "ok poa boy wangu.. Nimekumisi boy"

    "mimi je, hunishindi mimi"

    "kweli??... Ebu nikiss basi"

    Chidi aliona aibu kumkisi mama sarah mbele ya sarah, japo hajui kama watu hawa ni kitu na mama yake,

    "no mamy,.. Nipo na broo hapa itakuwa mbaya"

    "ooohhh sorry boy wangu, sikujua kama upo nae karibu"

    "poa basi baadae"

    Simu ilikatika huku mama sarah akipumua kwa furaha ya hali ya juu baada ya kujua kuwa chidi kapokelewa na shemeji yake...



    Tukija huku kwa akina sarah,.. Ghafla simu ya sarah ikaita

    "haloo mama"

    Alikuwa ni mama yake ambaye muda sio mrefu aliongea na chidi,..

    "sarah upo wapi mwanangu"

    "mama nakuja nipo njiani,... Ila kwani we upo wapi? Mana nilikuja kule stendi nimekutafuta sijakuona"

    "aahhh mimi nilishatoka muda tuu"

    "ok, lakini huyo mgeni wako si umeshampokea"

    "ndio tayari nimeshampokea"

    Mama sarah alimdanganya mtoto wake, lakini sio kweli kama alimpokea huyo mgeni aliomfata....

    "ok sawa mama nakuja sasa hivi"

    "sawa mwanangu"

    Simu ilikata... Sasa sarah akakosa ile confidence ya kuongea maneno matamu mana ile mudi ilipotea baada ya simu kupigwa... Sasa akawa anawaza sana aanze na nini,.. Akapata wazo moja la kuweka muziki katika gari

    Aliweka nyimbo ya west life iitwayo Love me...

    "unapendaga nyimbo za usiku"

    Sarah alimuuliza chidi huku chidi akiisikiliza nyimbo hio,...

    "ndio, napenda pia"

    Sarah aliona kama vile haitoshi, yaani sarah alikuwa akihaha huku na kule ili tu amfanye ajue kuwa anampenda,.. Sarah ni mschana mwenye mitego ya kimapenzi na vile chidi ni rijali,.. Mmhhh



    Sarah alijifanya anajikuna paja lake, na kusababisha upaja wake kuonekana, na vile alivyo mweupe duuu yaani chidi alijikuta anapepesa macho na kuangalia pembeni, kana kwamba chid hakupenda kuangalia... Sarah alikasirika sana baada ya kuona chidi hamuangalii paja lake,.. Sarah alipitisha gari njia tofauti na ile ambayo wanamfuata shemeji yake kwa nyuma,...

    "sarah, unaenda wapi huko"

    Sarah hakujibu kitu,... Aliiweka gari kwenye pakingi kisha vioo vya tintedi vikafanya kazi yake...

    "chidi mpenzi mbona unashindwa kunielewa nahitaji nini kwako"

    Sasa ile chidi anashangaa kuitwa mpenzi, sarah alijirusha mpaka kwenye mapaja ya chidi huku akimuwahi kwenye mdomo, mana denda ndio njia ya kwanza inayoamsha hisia za mapenzi Basi sarah na chidi wakakutanisha midomo yao, huku sketi ya sarah ikipanda juu, na saa hio sarah aliushika mkono wa chidi umshike paja lake......

    "chidi jamani, toka siku ileeeee, nilikuwa naumia juu yako, nilikuwa naogopa tu kusema"

    Sarah aliongea huku chidi akilitamani tena denda la sarah,... Kwa wakati huo sarah hakuwa na mamlaka yoyote yale ya kumkatalia chidi kwa kile akitakacho, chidi alitaka kurudia denda,.. Sarah kajilegeza legeee, chidi alifanya kile akiwezachi lakini hakumwingilia kimwili, ila alimshika shika sana mtoto wa watu, mpaka kuchoka bila kuingiliwa

    "chidiiiiiii"

    "hhhhmmmmm,... "

    "mbona unaniacha sasa"

    "usiwe na haraka,... Kwenye gari hua sio vizuri"

    "chidiiiii.... "

    "sema mamy"

    "ndoto yangu imetimia,... Nilikuwa nakuwaza sana na nashindwa kujua ningekupataje"

    "kwanini usingeniambia mamy"

    "kwani hata wewe ulikuwa unanipenda"

    "ndio,.. Ila sema kwa pesa zako, hhmm nikahisi itakuwa kama ndoto kwangu"

    "chidiiiii.... "

    "nakupenda chidi wangu, na kukupenda sijaanza hapa, toka siku ile unaumwa mie nakupenda tu"

    "hata mimi pia sema mie niliogopa kwa pesa zetu"

    Sarah alilegea tena makusudi ili tu chidi asimuache hapo alipo,...

    "sarah, please naomba tumuwahi shem basi"

    Sarah aliwasha gari na kuanza kumkimbizia shemeji yake chidi au mke mwenzie,.. Au hata wifi yake pia ni sawa au hata dada yake pia ni sawa...

    Alimkimbizia mpaka akamkuta, kisha chidi akapanda katika gari ya shemeji yake, na sarah nae akarudi hotelini kwao,

    Dakika kumi na tano mbele, Sarah akiwa keshafika hotelini kwao alimkuta mama yake akiwa ofisini, ila sarah alikuwa ana furaha sana kuliko siku zote



    SASA HAPA TUENDELEE NA PALE TULIPOISHIA



    mama yake akashangaa kwa kuiona furaha ya mtoto wake,

    "una nini wewe"

    Aliuliza mama sarah

    "mama, yaani siamini mama angu"

    "nini sasa"

    "sasa hivi nipo tayari kukutambulisha mpenzi wangu mama"

    "hhhmmm we mtoto una kichaa wewe"

    "mama kweli vile,... Yaani kama nilivyojua tu kuja kule stendi"

    Sasa mama kusikia tu jambo la stendi, alianza kubadirika sura hapo hapo

    "stendi kumetokea nini"

    "mama.... Yaan hata sijui nisemeje mama angu"

    "anaitwa nani,.. Na yupoje yupoje"

    Heeeeee hata sarah alishangaa kuona mama yake anauliza sana maswali mengi juu ya huyo mpenzi wake,... Sarah alimwangalia sana mama yake huku akimuuliza

    "mama, kulikoni na mpenzi wangu? mbona unamuulizia hivyo"

    Mama alinuna na kuvuta mdomo wake huku akimwangalia mtoto wake kwa hasira, kana kwamba keshakua na keshajua wanaume anaotaka wampande



    "hhahahahahahahaha, mwananguuu kwani mimi sipaswi kumjua mkwe wangu"

    Mama aliona akimuulizia sana, sarah atajua kuwa mama yake ana tabia ya kutembea na vijana wadogo,.. Hivyo mama akajichekesha pale na kuliuwa hilo soo, mana mtoto angejua kuwa mama anatembea na vijana wadogo,..

    "aahhhhh hapo sawa mama,... "

    "ila huyo mkwe wangu ni mzuri au sura nyani, mana staki mtoto wangu mzuri mrembo uolewe na lijitu bayaa"

    "mama we tulia tu utamuona mama angu"

    "eti eeee"

    "ndio"

    Basi furaha kwa sarah iliendelea hivyo hivyo kwa siku yote hio...



    Sasa tukija huku kwenye gari ya jasmini akiwa na Shemela wake chidi, tena ndio walikuwa wanafunguliwa geti na kuingia ndani

    Chidi alikuwa akishangaa sana hilo lijumba la kaka yake, yaani ni bonge la jumba, yaani jumba jumba haswa, huko ndani ni gadeni mwanzo mwisho

    "aaahhhh huyu kaka katoa wapi pesa zote hizi"

    Chidi alijisemea kimoyomoyo huku akiogopa hata kuingia, japo bado hajashuka kwenye gari, sasa chidi kupiga jicho kwenye paking ya magari, kulikuwa na magari yasiopungua sita,.. Ukijumlisha na hilo ni saba, Ukijumlisha na la kaka yake huko kazini ni nane,... Khaaa chidi alikuwa haelewi elewi utajiri wa kaka yake umekujaje ghafla,.. Maana ni miezi 6 tu wameachana na ndugu yake, eti leo ndio anamiliki jengo kama hili,..



    Chidi alishuka chini kisha wafanyakazi walikuja kuingiza mizigo ndani..

    Chidi kila atakapokanyaga ni Vigae tu kila anapokanyaga ni Tailizi tu, khaaa, yaani ilikiwa imwogopesha sana chidi..

    "shem ingia ndani, hao wataingiza mizigo yote"

    Aliongea shemeji mtu kana kwamba hataki Shemela wake achafuke, mana chidi aling'aaa haswa,....

    Kwa wakati huo ilikuwa ni mida ya jioni hivyo asingeweza kuondoka hapo,.. Hivyo kwa mara ya kwanza chidi atalala katika nyumba ya kaka yake,....

    Ilipofika mida ya saa mbili usiku kaka yake ndio alikuwa anaingia...

    "waaoooo chidi ndugu yangu, siamini kama leo tupo wote tena"

    Chidi alitamani kumkasirikia kaka yake lakini aliona haina maana kama ni ujinga wake ni yeye na roho yake,...

    "shkamoo broo"

    "marahaba vp ndugu yangu.... Nimekumisi sana ila yote na yote naomba unisamehe, najijua nilifanya kosa juu yako ila nisamehe ndugu yangu"

    "mimi nilishakusamehe kitambo tu"

    "ahsante sana mdogo wangu... Laribu sana na jiskie upp kwako"

    Ibrahim alimkaribisha mdogo wake kwa furaha kubwa sana....



    Ilipofika saa nne chidi alionyeshwa chumba chake cha kulala, tena shemeji yake ndio kimbelembele kwa Shemela wake,...

    Lakini chidi akiwa hapo kitandani alikuwa akiumizwa sana upataji mali wa kaka yake, umekuwa wa haraka mno, yaani hata muuza madini tu hatajiriki haraka namna hii,...

    "huyu broo kaingilia wapi"

    Alijiuliza kijana chidi hata usingizi hapo kitandani hauji kabisa, yaani anawaza jumba hilo la kaka yake...

    Lakini kijana chidi akiwa kwenye mawazo alikumbuka kitu kwa shemeji yake...

    "shem, chumba chako hiki hapa, na mimi ndio nimekichagua, ila kuna kile chumba pale usikifungue"

    Chidi alishtuka baada kukumbuka maneno hayo ya shemeji yake wakati anakuja kuonyeshwa chumba chake cha kulala...

    "kwenye kile chumba kuna nini pale,... Mbona anasema nisikifungue"

    Alijisemea kijana chidi huku akitoka na kukifuata kile chumba...

    "lazima nikifungue usiku huu huu,... Nisije kuingia pabaya na mdogo wangu halima"

    Chidi alijisemea huku akiukaribia mlango wa chumba hicho,......



    JAMANI NAOMBA MUSIRUKE HATA MSTALI MMOJA, MANA SIMULIZI ZANGU NATAKA ZIKUBURUDISHE NA PIA ZIKUELIMISHE... HIVYO NAOMBA SANA TUISOME BILA KURUKA MSTALI HATA MMOJA... TAFADHALINI SANA WADAU WANGU, MANA ASILIMIA KUBWA YA SHABIKI ZANGU NI VIJANA, NA NYIE NDIO NAWATAKA HASWAAA...



    Katika maisha haya ya dunia ya sasa hivi, yametawaliwa na utajiri wa aina mbili,.. Kuna utajiri wa Mwenyezi Mungu, na utajiri wa shetani, kumbuka kuwa utajiri wa Mwenyezi Mungu haukauki na wala hauna masharti ya kuuendeleza zaidi ya kupambana na kazi zako mwenyewe.. Lakini utajiri wa kishetani ni utajiri ambao hupotea siku yeyote pale usipotekeleza matakwa yao,.. Na utajiri wa kishetani ni utajiri mkubwa na wenye kishindo kuliko hata utajiri wa Mwenyezi Mungu, hivyo usipokuwa makini unaweza kuingia huko kwenye vishindo na kuacha utajiri wenye makazi ya milele tena usio na bughudha na mtu yeyote yule,...



    Kweli katika maisha tujue kuna mungu, na mungu huyo huyo katuleta yeye na ataturudisha yeye kwa mapenzi yake yeye mwenyewe,..

    Lakini Kuna baadhi ya matajiri wengine wengi tu wana utajiri wa kutisha, lakini cha ajabu utamkuta hana mtoto, au hana wazazi wote wawili au mmoja, utakuta hana ndugu, ukiuliza utaambiwa kazaliwa mwenyewe,.. Kumbe kawamaliza kwenye pesa huko, watu wanajali pesa kuliko utu, dunia ya sasa imebinuka we kataa kubali, kijana wa sasa unakaa kijiweni na kumsema mtu ni freemason, yaani wewe umekaa tu kijiweni afu unaita wenzako freemason, hebu jiulize je wewe utakuja kuwa nani na wakati kazi hufanyi,..



    Mimi hapa leo hii naandika simulizi kama hizi,.. Kesho nimekuwa maarufu zaidi ya Eric Shigongo, lazima muniite freemason, na wakati juhudi zangu mlikuwa mkiziona toka mwanzo na mnaziona jinsi silivyo, lakini leo nimepanda juu basi naitwa freemason kisa nipo juu na nina pesa,... Ukimwona tu mtu kapata vipesa vyake tayari ni freemason, unashindwa kufanya kazi kwa bidii, unawaza kuwa

    "aaaaaahhhh yule si freemason bwana, kama sio ufreemason tungekuwa nae hapa kijiweni"

    Akili nyingi za vijana wenzangu ndivyo zinavyowatuma kuwaona watu wakiwa katika hali hio, sasa unatakiwa ujue kuwa watu wenye pesa za kishetani ni wachache mno kuliko wenyewe pesa za uhalali, sema wanajumuishwa wote kwasababu kitu cha kishetani kinasambaa haraka kuliko kitu cha halali,

    Mfano mzuri ni kama hivi,.. Kwa sasa mtu anaweza kukuamini kwa uongo kuliko ukweli,.. Yaani mtu umdanganye ndio arizike, lakini ukimwambia ukweli mtagombana, hivyo dunia ya sasa imetawaliwa na nusu ya usheni na ndio inazidi kusambaa kadri siku zinavyozidi kwenda,... Hebu sasa hivi kajifanye kama unamkopa rafiki yako pesa,.. Afu mwambie baada ya miezi mitatu nitakurudishia, hakiyamungu vile akikupa niite mbwa,... Lakini mwambie baada ya siku tatu nitakurudishia, hapo hata kama ana hakiba yake, lazima akupe mana ni rafiki yake.. Kwahio mpaka hapo dhihirisho ni kwamba, dunia inaelekea pabaya maana uongo umekithiri sana, mambo maovu yamekithiri sana, vitu visivyompendeza Mwenyezi Mungu vimekithiri sana,.. Eti mtu kafikisha miaka sitini na zaidi ndio anaanza kumkumbuka mungu,.. Wakati Mwenyezi Mungu anataka ile sehemu ya kuanzia miaka 18 mpaka 50, kuanzia miaka 18 kwenda mbele hapo ndipo mungu anapo pataka yeye, aone huo ujana wako unaufanyia nini,... Sio ufikishe miaka 60 ndio umkumbuke mungu... Yaani hujacheza mechi zote afu wataka fainali si ukichaa ni nini.....



    JAMANI MTANISAMEHE SANA MANA SIMULIZI ZANGU, NATAKA ZIKUBURUDISHE NA PIA ZIKUELIMISHE, HIVYO MSINICHUKIE KWA KUTOA SPEECH FUPI KAMA HIO MANA NAKEREKA SANA NA TABIA ZA VIJANA WENZANGU.... SASA TUENDELEENI



    Wakati huo kijana chidi akiwa ndio anatoka chumbani kwake kwenda katika chumba hicho ili kuweza kuona kile kilichofanya aambiwe kuwa asiufungue mlango huo, sasa chidi na vile ana mashaka na utajiri wa kaka yake hivyo akawaza kwenda kukitazama chumba hicho, chidi alikuwa akitembea taaratibu kabisa huku akiangaza macho huku na kule ili kusiwepo na mtu wa kumwona kwa wakati huo, chidi alifanikiwa kuufikia mlango huo,

    Sasa ile anashika kitasa cha mlango, ghafla umeme ukakatika,.. Hivyo kukawa kiza kinene kuliko hata kiza unachokijua wewe ndugu msomaji, Chidi aliogopa na kuachana na lile zoezi, hivyo alirudi zake chumbani kulala, huku akili yake ikiwa haipati jibu sahihi kuhusiana na chumba hicho,



    Asubuhi na mapema chidi aliamka na kuanza kufanya usafi wa mwili wake huku akiizungukia nyumba hiyo, chidi alikuwa akipiga mswaki huku akizunguka zunguka nyuma ya nyumba hiyo,..

    "lakini hii nyumba sio mpya hii,.. Au atakuwa kanunua nini"

    Chidi alikuwa akijiongelea mwenyewe huku akiendelea kutembea katika gaden ya nyumba hio,... Mana hio nyumba ilionyesha kutokuwa mpya, hivyo huenda kainunua tu.... Alizunguka sana katika nyumba hio huku imani yake ikimtuma kuwa huenda haukuwa utajiri wa halali katka upande wa kaka yake,

    "kakini kama kaka ni freemason.. Mbona wazazi wetu wote wapo hai.. Au mbona mimi na mdogo wangu tupo hai"

    Chidi aliwaza hayo kichwani kwake bila kupata jibu,..

    Sasa akiwa ndio anataka kuingia chumbani kwake ili akajioshe uso, alimwona shemeji yake akiwa anaelekea kwenye kile chumba ambacho jana alikuwa akifungue kijana chidi, ila kwa kukatika kwa umeme alishindwa kwasababu alichotaka akione asingekiona kwasababu kuna giza nene,. Sasa leo anamwona Shemela wake anaingia kwenye kile chumba tena akiwa kashika ndoo, chidi akanyata taaratibu kabisa mpaka karibu na kile chumba

    "atakuwa anawapelekea chakula nini"

    Chidi aliongea hivyo kimoyomoyo huku akitaka kuchungulia, Lakini ghafla shem katoka

    "heeeeeee we shem umenishtua"http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Aliongea jasmini lakini kuna macho yalianza kuonekana hapo

    "nisamehe shem,.. Ila shem huku ndani kuna nini"

    "hakuna kitu, ni mkaa tu... Hiki chumba ni stoo ya mkaa tu, na ndio mana jana nikakwambia usikifungue ili usije ukachafuka mana kuna vumbi sana huko"

    "khaaaaa, kwaio chumba chote hiki mnaweka mkaa tu"

    "ndio si unaona"

    Chidi hakutaka kuamini, aliingia mpaka ndani ili kuhakikisha,..

    "shem angalia usichafuke"

    Chidi alifanikiwa kukiona chumba kilichokuwa kikimuumiza kichwa, kweli chumba hicho kilikuwa kimejaa mikaa mingi sana, magunia kwa magunia yamepangana..... Basi chidi aliingia zake kuoga huku akicheka tu mwenyewe akikumbuka lile jicho la mke wa kaka yake, lakini sio kuwa lilikuwa baya, walaa lilikuwa zuri tu...



    Tukija huku katika hoteli ya mama sarah na mtoto wake sarah, wakiwa wapo kazini kama kawaida yao... Ikiwa ni mida ya saaa tano hivi,.. Sarah alimuaga mama yake kuwa anaenda kwa Miriam

    "mama ngoja nienda kwa shost mara moja"

    Alionge sarah huku akifungua mlango ofisini kwake, na hata mama yake alikuwepo hapo

    "shost nani huyo"

    "si miriam jamani mama, kwani nina shost nani zaidi yake"

    Mama kuskia hivyo alikasirika sana huku akimkazia sarah macho,...

    "sasa sikia, iwe mwanzo na mwisho kwenda kazini kwa miriam. . Na nikisikia umekwenda utanitambua"

    Sarah alishangaa kuskia hivyo mana miriam ni rafiki tena kama ndugu, na licha ya miriam na sarah kuwa kama ndugu bali hata mama zao pia wapo hivyo hivyo kama wao walivyo,... Sasa iweje leo amkataze??... Aisee huyu mama ana akili mingi kama mchwa, yaani limama lina akili hili, duuu sijapata kuona

    "mamaaaa, leo unanikataza nisiende kwa rafiki yangu"

    "sarah mwanangu, mimi sina maana mbaya"

    "sasa kama huna maana mbaya mbona unanikataza"

    "sikia mwanangu,... Unajua ukiwa unaenda huko, mama miriam atakufikiria vibaya, kwasababu siku sio nyingi mama miriam atatuuzia hii hoteli yetu, sasa ukienda mara kwa mara, ataona unajipendekeza kwa mtoto wake ili tupunguziwe bei,... Ila mimi nakukataza kwa huko kazini tu usiende ila kama ni nyumbani we nenda tena hata kulala we nenda... Kwasababu tukishainunua hoteli hio, tutaanza kushindana kibiashara... Hivyo ukiwa unaenda kule utaonekana unaenda kuiba aidia ya biashara yao,.. Mwanangu sarah, tuna pesa nyingi sana, kwanini na sisi tusimiliki hoteli yetu"



    Mama sarah alionge kwa kirefu ili kumwelewesha mtoto wake asiwe anaenda huko,...

    Sasa kwakuwa sarah nae ni mtu mzima hivyo alimsikiliza mama yake na kumkubalia

    "lakini kulala kwa akina miriam nikitaka naenda au?"

    Aliuliza sarah huku mama akimjibu kuwa

    "ndio mwanangu,.. Yaani kwa kulala kule nyumbani kwa akina miriam we kalale tu hata kila siku au hata kuhamia huko hamia... lakini zoezi la kwenda hotelini kwao kule life kuanzia leo"

    "sawa mama nimekuelewa,.. Tena hata sasa hivi siendi"

    "Ah No we nenda kwa sasa hivi, but iwe ni mwisho kuonekana pale"

    "sawa mama"

    Basi sarah alikubali kisha huyoo akawasha gari yake na kuondoka zake kwenda kwa rafiki yake miriam,.....



    Sasa huku kwa mama sarah... Ndio mana nikakwambia hili limama lina akili mingi sana, ona sasa linavyoongea hapa

    "safi sana,... Mpaka hapo nimefanikiwa, Chidi wangu nitampeleka kule kwa akina miriam, mana huyu mtoto nishamstopisha kwenda kule, hivyo mwanaume mwenye sifa kama za chidi atamuota tu kwenye ndoto, hatokaa kumpata.... Najua Miriam hanaga hisia na wanaume, yule ni mtafutaji hayo mambo hayamuusu, kwanza ataanzia wapi na mama yake alivyo mkali vile"

    Ona sasa akili ya grace, jamani mjini shule nyie oohooo hayeni,... Kumbe mama hana kinyongo na mtu yeyote yule sema penzi la kijana chidi ndilo linalomchanganya mama huyo, yaani hataki kuibiwa, anahisi mwanae sarah ni kipenda penda, hivyo angemleta chidi hapo hotelini kwake, basi sarah angelivutiwa na kijana huyo,... Sasa ili ampe chidi kazi ya kufanya ni bora ampeleke kule kwa akina miria... Kwahio tatizo la sarah ni kutaja sifa za mwanaume anaemtaka kuwa nae kimapenzi, na sifa zote hizo chidi au kipenzi cha mama anazo, hivyo mama akashtuka mapemaa asije akaliwa yeye na mtoto wake,...

    Mama alinyanyua simu yake na kumpigia mtoto wake wa kiume,... Nadhani unamjua mtoto wa kiume wa huyu mama

    "haloo chidi wangu mambo"

    "poa mamy shikamoo"

    "shikamoo apewe mie ama wewe"

    "kwani mi na wewe mkubwa"

    "nami nakuuliza kwani mi na wewe nani anamliza mwenzie"

    "mi sijui mana hata mie naliaga"

    "hhhhmmm unalo babuu shikamoo yako hio"

    "Hahahahahahahaha, ok poa"

    "wacheka nini sasa jamani"

    "aku nimefrai tu"

    "ok... Sasa mi nakuja kwako, nikupe mchongo wa kazi sawa"

    "sawa we njoo tu"

    "Ok but utanipa kama nusu saa hivi"

    "ok poa"

    "alafu... Nikuambie kitu"

    Mama sarah alikuwa akitaka kuongea kitu kwa kijana huyo,...



    Sasa tukija huku kwa chidi akiwa ndio anakunywa chai meza moja na shemeji yake pamoja na mdogo wake halima, wakati huo Ibrahim keshaenda kazini toka asubuhi ya saa moja, mana kwa sasa ni saa tano asubuhi... Sasa chidi akiwa anaongea na simu ambayo ilipigwa na mama sarah,.... Chidi hajui hili wala lile, kumbe shemeji yake alikuwa akimwangalia sana kijana huyo kana kwamba haamini kitu flani hivi katika macho yake,.. Chidi akimuangalia shemeji yake anamkuta anamwangalia, . Na wakati huo simu ipo hewani

    "Alafu... Nikuambie kitu"

    Aliingea mama sarah katka simu huku mama sarah akiingia ofisini kwake..

    "sema tu mamy, kuwa huru"

    Aliongea kijana chidi huku akinyofoa kipande cha chapati ya mayai,...

    "leo nimekuvalia chupi nyepesiiii zile uzipendazo baby"

    "Aaaaaaaaaaaaaaaaaiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Jamani mamy why unaitaja saa hizi"

    Sasa ukumbuke chidi ana Aleji na nguo hizo, yaani sio kuziona tu, bali hata kwa kusikia pia inampaga shida kwa kumuamsha hiasia zake, yaani chidi ukita umuweze mpe taarifa ya nguo hio alafu isifie hio nguo,.. Mungu wangu mtoto wa kiume ana laana huyu, wenzake wanasisimkwa kwa kuona vitu Original, eti yeye akiona au kusikia tu kufuli likitajwa yeye hoi,..

    Sasa chidi saa ngapi hapo mezani hajaanza kujibana bana,... Alikaa hapo lakini akaona haelewi ikabidi aamke huku akishika pale mbele, huku shemeji mtu anaangalia tu na kutabasamu kwa mbaali,

    "mamy we njoo nayo hivyo hivyo tuu"

    "sasa si ndio nakuambia kabla"

    Sasa kumbe shemeji nae ni mbea kweli, saa ngapi hajaacha kunywa chai akawa anamfuata chidi kwa nyuma,... Sasa akawa anamsikiliza kwa ukaribu, ilikuwa ni kwenye kakodro hivi na chidi alikuwa kageukia nje, afu jasmini yupo kwa nyuma ya chidi, tena karibu karibu mno, yaani hapo chidi hata akinyoosha mkono kuja nyuma anaweza akamgusa...

    "mamy unanipa joto la mapenzi eti"

    Aliongea kijana chidi bila kujua kuwa shemeji yake alikuwepo hapo hapo nyuma yake na alikuwa akimsikia..

    "chidi, njoo boy wangu mie naumia"

    "usijali,.. Ila we wataka vingapi leo"

    "leo, nataka wewe ndio uchoke, leo nitakaza"

    "mamy"

    "abeee"

    "umevaa chup* rangi gani jamani"

    "nimevaa blue bahari"

    "kubwa au ndogo"

    "weeeee, hee unaweza kutengeneza zakwako mbili"

    "hehehehehehehehehe, una vituko mamy"

    "unanicheka eee? si ndio chidi"

    "wala ata nimefrai tu mamy wangu"

    "njooo basiiiiiiii"

    "we si umesema unakuja kwangu, na nikupe nusu saa"

    "oooohhh ok... Nimeelewa nipe nusu saa"

    "ok... Poa"

    "mchupi unakusubiri babaa uuvue mwenyewe kwa mikono yako"

    "basi jamani mamy mpaka hamu iishe"

    "mwaaahhhh boy wangu"

    "ok nawe pia"



    Chidi alikata simu, lakini alipomaliza kuongea na simu, kuna sauti alikuwa akiziskia nyuma yake,..

    OooooHooooooo kumbe shemeji mtu alikua akijifia mwenyewe kwa yale maneno ya chumbani chumbani,... Yaani aumwe mwingine,.. Afu uharishe wewe, inahuu?? lakini kwa Shemela wa chidi ilimhusu,... Huezi amini shemeji mtu alikuwa hoi kwa yale maongezi ya wawili hao, na yeye alikuwa ni msikilizaji tu, lakini limempata... Na sasa amekuwa mchangiaji badala ya msikilizaji...

    Sasa mawazo ya kijana chidi yakawa tofauti kabisa,.. Kwasababu kila akisikiliza hio sauti anahisi inatokea kwenye TV, na tv hio ipo sebuleni, na sebuleni hapo yupo mdogo wake wa kike tena mdogo,

    "yaani shemeji anaweka Chaneli ya kijinga mbele ya mdogo wangu??, haiwezekani"

    Chidi alijisemea kimoyomoyo huku akigeuka kwa hasira ya hali ya juu....





    NDUGU WASOMAJI WANGU, MKUMBUKE KUWA SEHEMU YA KWANZA NILISEMA KUWA SIMULIZI HIZI ZIPO MBILI NDANI YA MOJA,.. SIMULIZI YA KWANZA NI MUUZA CHIPSI, NA SIMULIZI YA PILI NI MKE WA KAKA,... SASA MKE WA KAKA NDIO INAANZIA HAPA RASMI, ILA ITAENDA KWA JINA HILO HILO LA MUUZA CHIPSI, HIVYO NAWAPA VITU VIWILI NDANI YA KIMOJA,.. SIMULIZI HIZI ZILIKUWA ZIPO MBILI TOFAUTI, ILA KUNA VIPENGELE VIMEFANANA KATIKA SIMULIZI HIZI,.. HIVYO KUFANANA HUKO NDIO NIMEAMUA KUIWEKA SEHEMU MOJA, HIVYO HAPO MNASOMA SIMULIZI MBILI KATIKA MOJA... TWENDENI KAZI NANKUIENDELEZA, ILA MKE WA KAKA NDIO INAANZIA HAPA, SASA OLE WAKO UIKOSE,... MAMBO YA HAINAGA USHEMEJI NDIO HIOOOOOOO



    Katika hisia za kibinadamu katika mwili, ni tofauti na wanyama,.. Na pia hisia za mwanaume na mwanamke ni tofauti,.. Mwanaume ana hisia za karibu sana kuliko mwanamke, mwanaume hata akisikia miguno ni rahisi sana kuzipandisha hisia zake, lakini kwa mwanamke hisia zake zipo mbali sana kana kwamba mpaka zipande yahitaji kazi, lakini inashangaza sana kwa mke wa Ibrahim kusisimka kwa maneno yaliokuwa yakiongelewa baina ya chidi na jimama lake,..

    Mana maneno waliokuwa wakiyaongea yalikuwa yakisisimua kweli, na hata mke wa Ibrahim alijikuta akisisimkwa kwa maneno hayo,



    Sasa chidi ile kukata simu aliskia sauti za mapenzi haswaa miguno guno ya kimapenzi au kimahaba, kitu ambacho chidi aliwaza kuwa, ile sauti ilikuwa ikitoka kwenye tv, afu mbaya zaidi halima alikuwepo hapo sebuleni, kana kwamba shemeji huyo kafanya kusudi kuweka Chaneli mbaya,.. Chidi alishikwa na hasira kwa kitendo alichokifanya shemeji yake

    "yaani shemeji anaweka Chaneli ya kijinga mbele ya mdogo wangu??, haiwezekani"

    Chidi alijisemea kimoyomoyo huku akigeuka kwa hasira ya hali ya juu....

    Sasa kugeuka alishangaa kuskia sauti hizo zikitoka mbele yake yaani zilikuwa zikimtoka shemeji yake, chidi alishtuka sana kitendo kilichomfanya jasmini nae aanze kujisikia aibu na kuangalia ukutani huku akiificha sura yake, chidi aliona hapa imeshakuwa tabu, chidi aliingia chumbani kwake na kuchukuwa viatu vyake kisha huyoo akaondoka zake wala hakutaka kumuaga mtu...

    Alipofika nje huko akaanza kujiuliza

    "uyu shemeji ana nini uyu, mbona alikuwa anatoa sauti za raha raha namna ile,... Ila sauti yake tamu"

    Aliongea chidi huku akiwa kapanda tax kuelekea nyumbani kwake....



    Tukija huku hotelini kwa akina Miriam ambako sarah ndipo alipokimbilia kwenda kwa rafiki yake,..

    "heeee sarah jamani, leo umeamua kunitembelea eti ee"

    Aliongea Miriam baada ya kumuona rafiki yake sarah akiwa ndio alikuwa akifika eneo hilo,

    "we acha shost, yaani leo nina furaha isio na kifani, yaani sikiwahi kuwa na furaha kama leo miri"

    "heeeee nini tena shost yangu"

    "nakuambia, siku ya leo nimekutana na.. "

    Sasa kabla sarah hajamaliza kuongea, Miriam akadakia

    "umekutana na jambazi"

    "bwana miri mi spendi umuite mpenzi wangu jambazi"

    Sarah alikasirika ile kiutani utani,...

    "ok basi yaishe shost, ila umekutana nae wapi"

    "nilikutana nae stendi, alikuwa anatoka tanga kwao"

    "heeeee ivi kumbe ni mtanga huyo"

    "ndio, tena msambaa wa nguvu... Yaani leo kama sio ubize hakiyamungu vile angenibikiri"

    "Enheeee we Sarah mwongo,.. We si ulikuwa una mpenzi wewe, sasa hio Bikira utoe wapi, au unataka umuibie huyo jambazi"

    "miriiiiiii... Kwani yule niliokuwaga nae nilimpa??"

    "sijui mie"

    "weeeeee aguse hapa alinge, nilimpiga tareheeee mpaka akakata tamaa"

    "mmmhhh sarah una dhambi we mwanamke"

    "we mbona una bikra lakini sikuambii una dhambi"

    "aahhh lakini mimi sijawahi kuwa na mpenzi, na wala sitaki kuwa na mpenzi"

    "heeee we miriiiiiii, kumbuka tumeletwa tuijaze dunia"

    "akuuuuu wataijaza wenyewe ila sio mimi"

    Miriam alikuwa hataki kusikia habari za wanaume, na yote hayo ni kwamba wana tabia fulani hivi wanaofanyaga toka wakiwa chuo,...

    "ila miri, mi nipo tayari chidi anibikiri siku yeyote akitaka"

    "utajuwa mwenyewe bwana, ila siku akikuibia ndio utajuwa kuwa ni jambazi"

    "afu sasa hivi nitakuja kulala kwako"

    Aliongea sarah huku akitabasamu kwa mbalimbali,

    "kweli jamani sarah,... Na nilivyokumisi shost yangu"

    "weeeeee ila staki tabia yako ile,.. Mimi nina mpenzi wangu sasa hivi sitaki tabia mbaya hio"

    "lakini sarah, mi mwenzio si bado sijapata afu licha ya bado, yaani mimi sitaki mwanaume"

    "sasa we miri jamani, we utaolewa na nani sasa,.. Au umekuwa mzungu muoane wenyewe kwa wenyewe... Hebu badilika shost,... Tafuta mwanaume, au nikutafutie nini"

    "sarah, sarah, naomba tueshmiane sawa"

    "sawa, ila hio tabia yako siitaki"

    "utajiju, utake ustake, uje kwetu unifanyie masaji"

    "siiiitaki,... Tena unikome mwenzangu, sasa hivi nina mpenzi tena anaamsha nye*** mpaka raha, heeee unalo bibie"

    "sawaaaa,... Ila uje basi nyumbani"

    "nitakuja, lakini sikufanyi kitu"

    "sawa... Nitaacha lakini mpaka nipate mwanaume nimpendae"

    Sarah na miriam waliongea mengi sana, marafiki wasiogombana marafiki wa muda mrefu, marafiki waliosoma pamoja, mama zao pia walikuwa hivyo hivyo kama jinsi ilivyo kwa watoto hawa, hivyo watachafuanaaaa lakini hawatoweza kutofautiana, japo maisha hubadilika lakini kwa hawa sidhani....



    Tukija huku kwa mke wa Ibrahim, aliokuwa akimpigia simu mume wake,

    "jamani mume wangu, mdogo wako kaondoka hata kuniaga hajaniaga"

    Aliongea shemeji huyo, huku akilalamika sana,

    "kaondoka kaenda wapi"

    "mi sijui"

    "lakini si nilikwambia umwambie awe anaishi hapa"

    "mmhhh mi niliogopa bwana,... Hebu ongea nae awe anakaa na mdogo wake ampeleke shule... Afu pia nina wazo mume wangu"

    "wazo gani tena mke wangu"

    "kwanini chidi tusimtafutie chuo asome then uwe nae huko kazini"

    "hilo ni wazo, zuri na nimelipenda, ila mdogo wangu alivyo kiburi, sijui kama atakubali"

    "ongea nae, wewe ndio kaka mtu eti"

    "sawa lakini inatakiwa tumuite tuwe nae kwa wote"

    "ila... We ulisema alikuwa kijijini, sasa kama alikuwa kijijini je huku mjini atakuwa anaishi wapi"

    "aahhh huyo atarudi, hana pakuishi katoka kijijini hana pakulala"

    "sawa ila asipokuja itabidi uongee nae"

    "sawa mke wangu"

    Mke wa Ibrahim aliongea mengi na alifurahi sana baada ya kukubalowa na mumewe kuwa yupo tayari kuongea na mdogo wake

    "uyu shem ni hensam mpaka raha yani"

    Aliongea jasmini huku simu yake ikiwa inaita,...

    "haloo sabra vipi"

    "safi tu dada shikamoo"

    "marahaba, upo wapi"

    "nipo Dar bado"

    "sasa unakuja lini huku na wewe"

    "bado bado, nipe wiki moja hivi"

    "hhhhh haya, ila ujue unavoendelea kukaa hivyo ndio unazidi kujipumbaza kiakili, we njoo nikutafutie chuo mdogo wangu"

    "sawa nitakuja wiki hizi hizi"



    Tukija huku nyumbani kwa kijana chidi, akiwa kalala peke yake, ghafla anasikia muungulumo wa gari aina ya VX,.. Aliamka na kwenda kuchungulia huyo aliokuwa akiingia na gari, mana katika hilo boma hata magari yaliweza kuingia, chidi alipochungulia aliona ni VX ya mama sarah, chidi alimwona mama sarah kavalia gauni jepesi mno, yaani ni mtetemeko wa hali ya juu,... Tena ukiangalia kwa makini hata chup* unaweza kuiona,.. Chidi alirudi kitandani na kujitupa kwa furaha nzuri, mana kalimisi sana jimama lake....

    Mama aliingia huku akiwa kubeba vyakula vingi sana mana anajua chidi huwa hapikagi kwa uvivu wake, yaani kile kigauni cha mama sarah kikipulizwa na upepo, kinakuwa kinanata kwenye mapaja hivyo unaona au hata kupima ukubwa wa paja la mama huyo,.. Mama ile kuingia tu, akatupa vyakula mezani na kumrukia chidi pale pale kitandani, kitendo kilichomfanya chidi kupata hisia za ghafla, mana kaguswa guswa na kifua cha mama sarah

    "jamani chidi wangu nimekumisi hhhhh"

    Mama alimrukia na denda huku chidi akilipokea denda hilo,... Chidi alianza kumminya minya mama huyo matiti pamoja na mkalio yake makubwaaa,... Mama sarah alianza kufumba macho kwa uvivu... Wakati huo kijana chidi alikuwa akilifunua lile gauni la mama sarah na kukutana na chupi kubwaa yenye rangi ya bluu bahari, tena ilikuwa nyepesiiiii, chidi alianza kuishambulia kwa kuishika shika, kitu kilichomwamsha hisia za mapenzi haraka, wakati huo mama sarah alikuwa akijikatikia kiuno bila kukatikiwa na mpenzi wake,... Chidi alilivua lile gauni la grace, kisha akambakiza na chupi tu, mama nae hajakubali kuabaki njiani, mama alimpambua chidi vikaragosi vyake vyote mpaka boksa,.. Mama alianza kuuchambua ule uzakaria wa chidi

    "chidi mpenzi wangu, leo nataka unipe shkamoo peke yako bila hata kulazimishwa, yaani leo utanikoma na ndio utajua grace ni nani"

    Mama aliongea hivyo, huku akiingiza zakaria ya chidi katika mdomo wake,.. Grace alichukuwa pipi ya lolpopo kisha akainyonyaa, afu akaanza kuipaka ile pipi katika zakari ya chidi,... Chidi alikuwa akijiskia mbinguni mbinguni hivi,.. Mama alipomaliza kuipakalia, aliisogelea tena, sasa nanii imekuwa tamu,... Zakaria ya chidi iligeuka kuwa lolpopu ghafla,. Maskini ya mungu chidi alikuwa akinyoosha tu vimguu vyake, na wakati huo grace alikuwa akiunyonya huku akimbinya binya vichuchu vyake,... Dakika tano mbele chidi alianza kuhangaika, alikuwa akikaribia kutoa wazungu waliojazana kiuno

    "mama, shkamoo... Mama angu, basi inatosha mama haaaa mpaka nipizi kabla yako"

    Chidi alikubali kumpa mama huyo shkamoo bila kupenda mana kitendo alichofanywa ni kizito mno...

    "sitaki... Leo nataka nione nyeg** zako laivu laivu, mana kila siku kazi ni kunimwagia ndani tu, sasa leo nataka uniogeshe"

    Aliongea mama sarah, Lakini sasa cha ajabu kumbe mama sarah ana maana yake juu ya mbegu za chidi anazotaka zitoke akiwa hajaingiza popote,... Sasa hapa alikuwa anakumbuka sauti ya mganga jinsi alivyokuwa anampa masharti mama huyo.....



    "chukuwa hiki kikopo, hakikisha mbegu za kijana huyo unazijaza hapa, afu njoo nazo hapa zikiwa bado zamoto moto"



    Sasa kabla ya kuendelea hapo, hebu tuanzie pale, kabla ya mama sarah kwenda kwa mganga,...



    JAMANI SIMULIZI ZANGU KWA SASA NI KAMA MUVI VILE, HIVYO HUTOPITWA NA CHOCHOTE AMBACHO HUJAKIELEWA SASA NDIO NATAKA NIKUELEWESHE,..



    Sasa wakati chidi bado yupo kijijini kwao alipoenda kumchukuwa mdogo wake aje mjini kwa ajili ya kuendelea na masomo yake,.. Kumbe huku mjini mama sarah alianza kujiskia wivu juu ya chidi, yaani mama sarah alikuwa akimpenda sana kijana huyo, yaani huenda hata sarah hapendwi kama chidi mana chidi ndio kikuno cha mama sarah au Grace,..

    "huyu mtoto kasafiri kweliii au kaenda kwa malaya huko"

    Yalikuwa ni maswali yakimtoka mama sarah ila alikuwa peke, na hakuwa na mtu wa kumjibu mama huyo,... Akiwa yupo chumbani kwake anajiuliza maswali mengi juu ya kipenzi chake huyo chidi, na wakati huo ilikuwa ni mida ya usiku akiwa anagalagala mwenyewe kitandani, mana mumewe hua sio mtu wa kuwepo nyumbani,... Mume wake ni Blocker (mtu wa madini) hivyo yeye na mererani ni kama pete na kidole,... Mke akiwa yupo akiwaza juu ya raha anayoipata kwa kijana chidi ilikuwa ni kubwa sana na hajawahi kuipata kabla ya kukutana na kijana huyo,

    "sasa nitajuaje kama kweli kaenda kijijini kwao,... Mana huyu mtoto akipata tu mwenzangu tu basi mie sina changu... Ooohhh yes nimekumbuka kitu"

    Aliongea mama huyo na kujikuta anapata wazo kichwani kwake,...



    KUMBUKA HII NI KUMBU KUMBU ILI UJUE SABABU YA MAMA KWENDA KWA MGANGA NI NINI



    Kesho yake asubuhi, ikiwa ni mida ya saa nne hivi, mama alivaa nguo zake safi kisha akawasha VX yake kisha huyoo akaondoka zake, mama alikuwa akielekea moshi vijijini huko,.. Tena prini haswa na hata sijui alielekezwa na nani,

    Dakika kumi mbele tunayasikia manjonjo ya mganga yakimkaribisha mama sarah mana mizimu ilishamuona kabla

    "taireeee, taireeee, karibuuuuu, karibuuuu,,, nimejua umekuja kwa ajili ganiii... Karibuuuu karibuuuuu, nimekuona toka ulivyotoka nyumbani kwakoooooo"

    Mama akashtuka kuskia kuwa alionekana toka alipotoka nyumbani kwake,... Mama bila woga na hofu yeyote alikaa katika mkeka wa mganga huyo, tena akiwa kabeba pesa nyingi sana kwa ajili ya kumfanyia kitu mtoto wa mwanamke mwenzie



    SASA TUACHANE NA KUMBUKUMBU TUJE KWENYE LAIVU SHOO...



    Tukija huku Jijini Dar es Salaam kwa akina salma,.. Jackson akiwa yupo ndani na mpenzi wake ambae ni salma, wakiwa wapo nyumbani kwao,.. Kweli akina Jackson walikuwa ni matajiri haswa mana hio nyumba ya mtoto tu yenyewe ni shida,.. Lakini cha ajabu maandalizi ya harusi yalikuwa yakiendelea kana kwamba wanataka kufunga ndoa,.. Mawifi walikuwa wengi sana na hapo harusi ni wiki mbili zijazo lakini maandalizi utafikiri harusi ni kesho,...

    "Jackson mume wangu"

    Salma alimwita mpenzi wake ambae ni mume mtarajiwa wa mwanadada salma,

    "sema mke wangu nipo nakuskiliza"

    "nimemkumbuka sana king wangu"

    "nani??... King?.. King ndio nani"

    Jackson aliuliza huku akiwa kakucha sura mana king ni kwa Kingereza ila kwa Kiswahili ni mfalme na mfalme siku zote ni wakiume, sasa Jackson akajua huyo mfalme huenda akawa ni mpenzi wake wa zamani

    "mtoto wangu"

    "mtoto wako ndio anaitwa king,.. Au unataka kucheza na akili yangu"

    "jamani Jack mbona hunielewi mpenzi wangu"

    "sasa mtoto atakuwaje awe king wako wewe"

    "mtoto wangu anaitwa KINGAZI hivyo kwa kifupi namuita KING"

    "aahhhhhhhh oooke nimekuelewa.... Ila sasa sikia, kama ni mtoto wako kiukweli we sahau, mana mimi sihitaji kulea minye** ya mtu, mimi nataka wakwangu"

    Jackson alimwelewa salma ambae ni mke wake ajae,... Lakini alimuonya kutokumbuka mtoto huyo mana yeye anahitaji mtoto wake yeye kama yeye ila sio mtoto wa mtu mwingine,... Salma alijiskia vibaya sana kwa kukatazwa kumkumbuka king wake, kiukweli harusi inaonekana kuwa ya kitajiri sana mana maandalizi yake ni makubwa mno, yaani inaenda kitajiri tajiri zaidi, spati picha hio harusi itakuwaje



    SASA TURUDI HUKU KWENYE KUMBUKUMBU YA MAMA SARAH KULE KWA MGANGA



    Tukija huku kwa mama sarah ikiwa ni kumbukumbu wakati chidi akiwa kijijini kwao

    "nimeijua shida yako, ila yahitaji kazi kubwa sana"

    "babu, mi nataka nimuone kijana wangu huko alipo yupo na nani"

    "hio isikupe shida,... Nitajie majina take kamili"

    "mmmhhh kiukweli mi namjua kwa jina la chidi tu"

    "ok, hapo ulipo unayo hata nguo yake yeyote"

    Aliulizwa mama sarah, ili kijana chidi afanyiwe kitu

    "ndio, nina khanjifu yake tena aliisahau kwenye gari yangu"

    "kailete harakaaaaaa"

    Basi mama sarah alitoka mbio na kwenda katika gari yake na kuchukuwa khanjifu ya chidi ambayo aliisahau siku ile alipokuwa anafanya shoping kwa ajili ya zawadi za familia yake..,

    Mganga alipoipata ile khanjifu, aliiloweka katika maji yake maalumu na kuongea maneno yake yasiojulikana,.. Kisha akakikung'uta katika kioo chake ambacho ni cha kuangalia mauza uza mabinzuluza,...

    "huyo hapo kijana wako,.. Au sie huyo"

    Mama sarah alifurahi kumuona chidi akiwa yupo kijijini kwao tena alikuwa akiteka maji,... Kama unakumbuka siku ile kijana chidi anamseidia mdogo wake kuchota maji korongoni, ilikuwa ni mida ya saa tano hivi,.... Sasa kumbe wakati huo ndio mama sarah anamwona kijana wake akiwa anachota maji korongoni,..

    "waoooo basi babu nimefurahi, ahsante"

    "wewe una wivu na kijana wako"

    "ndio, na pia sitaki awe na mwanamke mwingine... Enheee Tena nimekumbuka,.. Nataka tumfanye anione mimi tu"

    "mmhhhh mama, mtoto wa mwenzio huyo lakini"

    "sawa babu, lakini nampenda sana yule kijana"

    "ukumbuke ukifanya hivyo kwake, siku ukifa, atakuja kuishi kaburini kwako, na pia ukumbuke yule kijana ni mdogo anahitaji kuwa na mke, na wewe huwezi kuwa mume wako"

    "ni kweli,... Lakini babu, mfano tukimfunga, si uwezekano wa kumfungua upo"

    "taireeeee, uwezekano upo kabisaa"

    "tufanye basi,... Mimi nakapenda sana kale katoto eti"

    Basi mganga akaanza mambo yake yote ambayo yanawezekana kufanyika, ili kijana chidi amuone mama sarah tu, yaani mama sarah hataki chidi awe na mwanamke mwingine, tena akikumbuka mwanae sarah anatamani mwanaume mwenye sifa kama za chidi, basi ndio kabisaa anatamani kumfunga kijana huyo ili ampende yeye tu,..

    "kuna jambo utatakiwa ulifanikishe, laa sivyo hutoweza kumfunga kijana huyo"

    "kitu gani hicho babu"

    "mizimu inataka mbegu za kijana huyo, ili waweze kumfunga akili yake"

    "eeehhh mungu wangu... Sasa nitazipataje mimi"

    "siku utakayolala nae, ndio siku utakayoipata mbegu hio"

    "sasa nitazipataje na wakati anamwagia ndani,.. Au akimwagia ndani afu nijiminye zitoke"

    "hapana, hizo hazitakiwi... Mizimu inataka zile zilizotoka moja kwa moja kutoka kwenye uume wake mpaka kwenye kikopo, yaani hata ile iliodondoka haitakiwi"

    Mganga alizidi kumpa masharti mama sarah na mama huyo aliona ni kazi kubwa sana, lakini kwakuwa kazi hio ni kwa faida yake hivyo alikubali kufanya kazi hio...

    "sawa babu,.. Nitajitahidi kadri niwezavyo"

    "hakikisha asijue kitu kuhusu swala hilo"

    "sawa babu, hatojua kitu"

    "Sasa... Chukuwa hiki kikopo, hakikisha mbegu za kijana huyo unazijaza hapa, afu njoo nazo hapa zikiwa bado zamoto moto"

    "sawa babu... Nitaweza"

    "ila endapo utashindwa, na akajua dhumuni lako... Usinifuate tena kwa kile kitakachokutokea maishani mwako"

    "babuuuuuuuu,.... Nitatokewa na nini tena??? Niambie ili kama ni kuacha niache mana mi staki matatizo babu"



    Kiukweli mama Grace alikuwa haoni wala hasikii kwa kijana huyo, yaani alikuwa yupo tayari hata kumpotezea malengo yake, ilimradi tu awe nae kimapenzi, uchakarikaji wa kijana huyo sasa wamyokea puani japo sio kwa ubaya bali ni upendo uliopitiliza, kama mama alishawahi kutoishi nae ndani ya miezi 6 na alipomwona, utafikiri kaona dhahabu yenye utajiri wa kutisha, lakini walaa kumbe ni kijamaa kidogo dogo tu, sema ni kitundu pale sita kwa sita,.... Mawazo ya mama aliowaza mpaka kufikia kwenda kwa sangoma aliwaza sana kuhusiana na mtoto wake sarah ambae sarah anapenda mwanaume mwenye mvuto, afu awe mtundu na mwenye kuweza kummiliki haswa,... Mama kuskia hivyo ndipo mwelekeo ukabadirika ma;a sina anazozihitaji sarah, Kipenzi cha mama sarah anazo zote,... Sasa mama huyo akaamua kwenda kwa sangoma ili kumfunga chidi awe anamuona yeye tu,..



    "sawa babu,.. Nitajitahidi kadri niwezavyo"

    "hakikisha asijue kitu kuhusu swala hilo"

    "sawa babu, hatojua kitu"

    "Sasa... Chukuwa hiki kikopo, hakikisha mbegu za kijana huyo unazijaza hapa, afu njoo nazo hapa zikiwa bado zamoto moto"

    "sawa babu... Nitaweza"

    "ila endapo utashindwa, na akajua dhumuni lako... Usinifuate tena kwa kile kitakachokutokea maishani mwako"

    "babuuuuuuuu,.... Nitatokewa na nini tena??? Niambie ili kama ni kuacha niache mana mi staki matatizo babu"

    Aliongea mama sarah huku akiwa kashika kile kikopo alichopewa kwa ajili ya kuwekea mbegu za kijana huyo,.. Mama alidhamiria kabisa kumfanyia chidi kitu hicho yaani mama sarah alikuwa yupo tayari hata chidi asioe lakini awe na mama huyo, na mama huyo yupo tayari kumpa chidi chochote ilimradi tu awe nae katika maisha yote,...

    "endapo utashindwa.... Basi usichokitaka lazima kitimie"

    "ooohhhfyuuu... Kumbe ni hivyo tu"

    Mama alijua labda atafanywa kitu mbaya na mizimu pale atakaposhindwa,...

    "ni hivyo tu, mana hapo hakuna mauwaji, ila kama pangelikuwa na mauwaji basi ungelipatwa na janga lolote la kupoteza mtu katika familia yako"

    "sawa...ila hata hilo sintopenda litokeee"

    "basi jitahidi ulete mbegu zake"

    "sawa babu nitazileta zikiwa bado zamoto"



    Mama sarah aliondoka na kwenda nyumbani kwake na kuwaza kuwa chidi akirudi yeye ndio atakuwa wakwama kumpokea na siku hio hio lazima akalale nae

    "yaani pale stendi lazima nikampokee mwenyewe, afu siku hio hio anitolee nye** zake, nika kafunge kale katoto"

    Alijisemea mama huyo akiwa chumbani kwake,...

    Lakini siku ile chidi anakuja nadhani unajua kilichotokea, mama alitamani sana kumpokea chidi lakini haikuwezekana, hivyo chidi akakutana na sarah, afu akapokelewa na shemeji yake, hivyo mama akawa hajaipata hio nafasi, kutokana na siku ile mama miriam alipotaka wasainishe mikataba ya kukabidhiana hoteli hio, ambayo mmiliki wake wa sasa ni mama miriam,... Hivyo mama miriam anataka kumuuzia shostito wake hoteli hio,.... Hoteli zote zinalingana kwa ukibwa ila zimetofautiana vyeo,... Hoteli anayotaka kumiliki mama sarah, ina nyota tatu (3) na hoteli anayomiliki mama miriam ina nyota tano (5) na zote ni hoteli zake ila anamuuzia shostito wake hoteli moja..

    "aahhhh mama miriam kanikosesha dili langu, but sio mbaya kesho lazima aingie kwenye 18 zangu... Nampenda sana chidi ila sina jinsi, ni lazima awe wangu peke yangu"

    Aliongea mama sarah huku akikiangalia kile kikopo cha kuekea mbegu za chidi...



    MAMA SARAH ANAMALIZA KUMBUKUMBU YAKE YA KWENDA KWA MGANGA,.... NA HAPA NDIO MWISHO WA KUMBUKUMBU YA KABLA YA KWENDA KWA MGANGA,... SASA UKUMBUKE PALE TULIPOISHIA SEHEMU YA 51, MAMA SARAH AKIWA NA CHIDI KITANDANI..



    "sitaki... Leo nataka nione nyeg** zako laivu laivu, mana kila siku kazi ni kunimwagia ndani tu, sasa leo nataka uniogeshe"

    Aliongea mama sarah, Lakini sasa cha ajabu kumbe mama sarah ana maana yake juu ya mbegu za chidi anazotaka zitoke akiwa hajaingiza popote,... Sasa hapa alikuwa anakumbuka sauti ya mganga jinsi alivyokuwa anampa masharti mama huyo.....



    "chukuwa hiki kikopo, hakikisha mbegu za kijana huyo unazijaza hapa, afu njoo nazo hapa zikiwa bado zamoto moto"

    ______________________________________



    Mama alimaliza kukumbuka masharti ya mganga wake huko moshi,... Wakati huo kaishikilia zakaria ya chidi, tena na vile mama sarah alikuwa na mikono lainiii kama kitoto kichanga, yaani vile alivyoishika naniiiiiiiiii hio, chidi alikuwa anajikaza wazungu wasitoke, mana ni aibu kwa mwanaume kupizi kabla ya kumuingilia mwanamke,... Na kama ingelikuwa sio kazi iliomleta basi hata mama sarah asingeendelea na asingependa chidi apizi kabla mzigo haujaingia ndani,... Mama pia roho ilokuwa inamuuma, mana hio minye** aliitamani iingie mwilini mwake,... Mama sarah alikuwa akizitamani nyeg** hizo zilizokuwa karibu kutoka, mana chidi alijibana lakini kutokana na ulaini wa mama huyo chidi alikuwa tayari kuziachia,... Mama sarah taaratibu alikivuta kikopo hicho na kukiweka karibu karibu,



    Sasa tukija huku kwenye kampuni ya kaka yake na chidi, kweli ilikuwa ni kampuni kubwa sana yaani kubwa kuliko, na tajiri mwenyewe alikuwa ni Ibrahim akiwa anazunguka na kiti hapo ofisini kwake,.. Lakini mbaya zaidi alikuwa na wanawake wawili ambao ni miongoni mwa wafanyakazi wake,.. Wadada walio wazuri kupindukia na wenye maumbo ya kuvutia,.. Wakati huo mezani kuna mzinga wa wiski ile ya bei ghali, alikuwa akipata kinywaji hicho na wasichana hao,

    "hapa naona kama padogo sana, hebu chagueni tuende hoteli gani tukainjoi"

    "twende ParaDise Hoteli"

    Mdada mmoja alichagua hoteli hiyo ya ParaDise hotel, ambayo ndio hoteli ya pili kwa cheo, na ndio hoteli ya akina sarah ila hoteli hio punde tu itabadirishwa jina na kuitwa SaraDise Hotel, kwasababu inakwenda kuwa katika upande wa akina sarah,... Basi Ibrahim aliondoka na wafanyakazi wake wote, wakaingia kwenye kosta moja ya kupeleka wafanyakazi nyumbani,... Waliingia SaraDise hoteli.... TUTUMIE JINA JIPYA LA HOTELI HIO JAPO BADO HALIJAWA,

    Basi Ibrahim na wafanyakazi wake wote wakajaa katika meza mbili na kuagiza vitu vya gharama mno, wanaahiza ile mizingi ya pesa nyingi, wanaagiza vitu ambavyo hata kuvimaliza hawawezi kumaliza, kana kwamba wanachafua meza kwa sifa na sio kula,... Ibrahim alikuwa ana pesa nyingi sana tena sana na nyingi zilikuwa ni za kuchezea kwenye starehe,...

    Walikula chakula kidogo sana kisha akamuita waita atoe uchafu uliobaki,

    "weitaaaaa... Acha ufara wewe njoo toa usenge wako apa, afu useme unadai kiasi gani"

    Nyama, vinywaji vingi sana vilibaki lakini vinaenda kumwagwa mana kwa watu wenye pesa kile kilichobaki hua ni takataka kwao,... Familia inateseka kule kijijini yeye anachafua pesa huku mjini, yaani kama sio kuwa na watoto wawili hii familia sijui ingelikuwaje,..

    Sasa Ibrahim alimpa mhudumu wa hoteli hio aende kulipa,.. Lakini sasa kuangalia vizuri pale keshia aliona mtoto mzuri sana ambaye ni sarah,

    "weita, ebu nishtulie yule mhudumu mwenzio pale"

    "we kaka yule ndio boss wetu"

    "we fara nini, mimi na yeye nani boss, yaani kuwekwa kama keshia tu ndio ajiite boss"

    "samahani kaka, mfate mwenyewe"

    Ibrahim hua hana dharau lakini toka apate pesa amekuwa na dharau kuliko kawaida,...

    "oya mussa eee,.. Niletee yule mtoto, tena naenda kumkanyaga sasa hivi"

    "poa boss, mi skosagi"

    Musa aliondoka na kwenda pale kwenye ofisi ya sarah na kuongea nae,...

    "we kaka, hebu jieshim basi"

    "wewe dada, unakataa bahati... Yule ni boss"

    "mwambie apeleke uboss wake nyumbani kwake"

    Musa kuona mambo ni magumu ikabidi amrudie boss wake kisha akampa habari kuwa mdada huyo hataki

    "we malaya una pesa gani za kunikataa mimi wewe"

    Aliongea Ibrahim huku akiamka kwenye kiti chake alichokuwa kakalia



    Tukija huku chumbani kwa chidi aliokuwa yupo tayari kupizi, na wakati huo mama sarah kashikilia kikopo chake tayari kuzipokea mbegu za chidi zijae katika kikopo hicho,... Maskini ya mungu chidi akiwa hajui dhumuni la mama huyo kutaka chidi amwagie nje,.. Yeye chidi aliona ni kawaida sana kupizi nje ila mama kwake ni bahati nzuri mana alichokitaka kinakwenda kutimia,... Maskini chidi anaanza kujikunja kana kwamba zilikuwa zinatoka...

    "mamy, zinakuja eti"

    Mama alihisi kama vile zinachelewa kutoka hivyo akaitupia mdomoni na kuizidisha spidi, chidi alizidi kuskia utamu huku zikikaribia kutoka,...

    "mamy, zinakuja toa huko mdomoni"

    Chidi alimwambia mama sarah kuwa aitoe mdomoni mana ndio zinakuja,.. Mama kuskia hivyo alitabasamu kwa mbaliiii, huku mama sarah akizidi kuifikicha ili zisirudi,... Maskini chidi ndio anapizi mzigo huku mama sarah kakishika kikopo chake vizuri, ili akinge mbegu za chidi...

    "Yes,.. Pizi jamani chidi, uuuwiiii jamani una nyeg** nzuri, uuuuwiiii"

    Mama Sarah alikisogeza kikopo chake karibu na mapaja ya chidi, na wakati huo chidi kafumba macho kwa utamu aliokuwa anaupata

    "Yes...safi sana chidi wangu"

    Mama Sarah aliongea hivyo sasa sijui kafanikiwa au vipi



    Jamani acheni nyie mapenzi ni kitu cha ajabu sana katika maisha ya binadamu, kwasababu kitu kidogo tu kinakufanya umuumize mwenzio kwasababu ya mapenzi tu, hebu ona utundu wa chidi kitandani leo unamponza na kujikuta anafanyiwa vitu vya ajabu ili tu mama huyo ammiliki chidi yeye mwenyewe, sio kwamba anamfanyia kwa ubaya, bali ni upendo wake tu ndio unamsababishia amfanyie hivyo,.. Yaani mama sarah anampenda chidi mpaka kapitiliza kiascha kutaka kummiliki yeye kama yeye,.. Yaani chidi anatakiwa amuone mama sarah peke yake tu,.



    Chidi akiwa kitandani tena akiwa hajui lolote linaloendelea katika kichwa cha mama sarah,...

    "Yes,.. Pizi jamani chidi, uuuwiiii jamani una nyeg** nzuri, uuuuwiiii"

    Mama Sarah alikisogeza kikopo chake karibu na mapaja ya chidi, na wakati huo chidi kafumba macho kwa utamu aliokuwa anaupata

    "Yes...safi sana chidi wangu"

    Mama Sarah aliongea hivyo baada ya kuona kitu cha kwanza kimeruka juu, yaani ni kale kanye** ka mbele kanakoanzaga, sasa kaliruka juu, kitu kilichomfanya mama sarah aseme safi sana,.. Sasa kumbuka katika sayansi inasema kuwa mwanaume akifikia sehemu kama hio anakuwa na nguvu nyingi sana kuliko kawaida, yaani nguvu nyingi kuliko kawaida yake, anaweza akasukuma kitu ambacho wakati mwingine hakiwezi kukisukuma,... Mama sarah alikuwa ni mwanamke mnene ila alijaaliwa kwa umbo zuri sana la wale wamama wa mjini,...

    Sasa chidi akiwa ndio anataka kuendelea kutoa wazungu wake, mana kile cha kwanza kiliruka, hivyo vinavyofata ndio vingi mno,... Huezi amini chidi alimgeuza mama sarah kama kikaratasi vile, kisha akamlaza kifudi fudi (kulalia tumbo) hivyo mgongo wa mama sarah na makalio yakawa juu,.. Chidi alipanua chupi ya mama huyo kisha akamwagia ndani ya chupi,... Ukumbuke mama sarah hakuvuaga chupi muda ule, hivyo chidi aliinua upande mmija na kuingiza zakaria yake, baina ya chupi na makalio, hivyo akawa kamchafua mama huyo kwenye makalio na chupi kwa ujumla,... Mama sarah alikasirika sana, lakini hakukasirika kwa kuchafuliwa bali kakasirika kwa kukosa kile alichokitaka kwa kijana huyo,.

    "jamani chidi umeniuzi wewe"

    Aliongea mama saraha baada ya kuhisi kachafuliwa maeneo ya nyuma, yaani chupi yenyewe haifai,..

    "nimekuuzi na nini tena mamy"

    "kwanini usingeingiza kwenye kinu chake"

    Mama sarah aliongea hivyo kuwa kwanini asingemuingizia zakari katika K yake, lakini kuongea hivyo hakumaanisha hivyo alivyoongea alimaanisha kuingiza kwenye kile kikopo chake,...

    "nisamehe mamy wangu"

    Chidi aliongea hivyo huku akiivua ile chupi, sasa zoezi hilo likiwa linaendelea mara ghafla simu ya mama sarah inaita, mama kuangalia namba alikuwa ni sarah mtoto wake,

    "mtoto anasumbua huyuuuu, khaaaa jamani"

    Aliongea mama sarah huku akiipokea simu hio,

    "haloo, we sarah jamani mbona msumbufu namna hiii mwanangu"

    Mama sarah aliongea bila kujua sababu ya mtoto wake kupiga simu

    "mama kuna tatizo hapa hotelini"

    "kuna tatizo??? Tatizo gani tena"

    "kuna mkaka kaja hapa analeta fujo"

    "ina maana askari na walinzi hawapo, But Ok nakuja sasa hivi"

    Mama sarah alipata wasiwasi mwingi sana juu ya mtoto wake sarah,... Tena sarah wakati huo alikuwa akilia,

    "chidi boy wangu, please naomba nikaoge mara moja niondoke"

    Mama sarah alimwambia chidi kuwa aende akaoge kisha aweze kuondoka mana ukumbuke kuwa chidi alimchafua sana mama wa watu hivyo mama hawezi kutoka bila kuoga,... Basi mama kaingia bafuni huku akiwa kaishika chupi yake mkononi, mana chidi aliivua muda si mrefu,...



    Tukija huku kwa akina sarah ambako ndiko fujo ilipo,..

    Ibrahim alikuwa akiongea kwa ujeuri wa hali ya juu mno, kana kwamba yeye ndie mwenye pesa katika jiji lote hili yeye ndio kidume,.. Ila hayo ni mawazo yake binafsi

    "we malaya unanikataa mimi ukiwa kama nani wewe"

    Wakati huo Ibrahim akiongea hivyo, alikuwa akizidi kusogea pale dirishani kwa sarah ili hata ni kumchapa vibao amchape, lakini uzuri ni kwamba pale kwenye ofisi ya sarah palizungukwa na kioo kigumu mno, mana yeye ndio keshia wa hoteli nzima, hivyo sehemu anayokaa inatakiwa iwe imara zaidi,..

    Sasa Ibrahim kusogea mpaka pale karibu, aliiona vizuri sura ya sarah, mana alikuwa mbali afu ukizingatia na kile kioo, basi huezi kumuona kwa haraka haraka,.. Sasa wakati huo musa ambae ndio kuwadi wa Ibrahim, alikuwa akiporomosha matusi ya hali ya juu kwa binti huyo kumkataa boss wao,..

    Ibrahim alirusha ngumi ikamkosa musa

    "boss vipi tena, mbona wataka kunipiga"

    Aliongea musa huku akimshangaa boss wake,

    "naomba umuombe msamaha huyu dada"

    Sasa hata sarah alipomwona Ibrahim alikuwa kama vile anamkumbuka lakini hakuwa na uhakika mana duniani ni wawili wawili,.. Ila Ibrahim kamkumbuka sarah vizuri sana

    "samahani dada yangu,.. Naomba tusameheane kwakweli"

    Aliongea Ibrahim huku akiendelea kumuomba msamaha,.. Ibrahim baada ya kuona dada huyo yupo kimya, aliamua kulipia kila kitu kilichovunjika pale kisha wakaondoka zao...

    "boss vipi, mbona umemwomba msamaha yule malaya"

    "musaaaaa, ebu jieshimu nikueshim"

    "sawa boss, lakini uliniponya ponya kibao pale"

    "ni kweli,.. Ila namuheshimu sana yule mschana, na laiti kama ningelimjua kabla, basi nisingeleta fujo"

    "kwani ni nani yule dada"

    Musa aliendelea kuuliza huku akimwangalia boss waje, na wakati huo wapo ndani ya kosta ambayo ni maalumu kwa ajili ya wafanyakazi,

    "yule mdada alishawahi kumseidia mdogo wangu"

    Heeeeeee kila mtu alishangaa na kuuliza kwa pamoja

    "kumbe boss una ndugu"

    "acheni ujinga bwana, kuna mtu anakosa ndugu hapa duniani"

    "hapana hakuna asiekuwa na ndugu, ila undugu tunaotaka kuujua ni undugu gani kati ya wewe na huyo"

    "ni ndugu yangu wa damu, ni wa kiume, alipotoka mimi ndio akafwata yeye"

    "waooooo Suprise leo boss ndio tunajua kuwa una ndugu"

    "ni kweli... Yule mschana alishawahi kumseidia ndugu yangu kumpeleka hospitali, hivyo sema sikumjua tu, lakini nisingelifanya ujinga nilioufanya pale"

    Aliongea kijana Ibrahim huku akijutia kitendo alichokifanya muda si mrefu pale hoteli...



    Wakati huo huku hotelini mama sarah ndio alikuwa anafika hotelini kwake,..

    "sarah, we sarah mwanangu upo sawa"

    Aliingia na kumkimbilia mtoto wake huku akimuuliza maswali mengi,..

    "usijali mamy wangu, nipo salama"

    "Enhee kulikuwa na ugomvi gani hapa"

    Aliuliza mama sarah huku akiwa na hamu ya kuona huyo mgomvi ni nani

    "aahhh wala tu, kumbe alikuwa ananitania tu, ni classmate wangu tu, sa nilikuwa nimemsahau"

    Sarah aliongea uongo baada ya kuhisi kuwa yule ni kaka yake na chidi, mana alishawahi kumuona siku ileee kule hospitalini.. Hivyo kamdanganya mama yake ili asije akaanza oparesheni ya kumtafuta huyo mtu, mana mama sarah hapitwi na kitu..

    "we mtoto mjinga kweli wewe"

    "nisamehe mama"

    "aaahhhh hebu nitokee hapa"

    Mama aliondoka na kuingia ofisini kwake, lakini sarah alikuwa akimuangalia sana mama yake.

    "heee mama kawaje tena,.... Mama nae anajifanya mschana kama mimi yani"

    Sarah aliongea hivyo, huku akiondoka, lakini hatkujua sababu ya yeye kusema mama yake kawa na tabia za kama mschana, sasa sijui kwanini kasema hivyo... Basi sarah aliachana na jambo la mama yake, lakini bado alikuwa akimuwazia sana kijana Ibrahim..

    "yule si atakuwa kaka yake chidi kweli, mana kama vile namkumbuka vile"

    Alijisemea sarah huku hapati jibu kabisa



    Tukija huku kwa chidi akiwa kalala zake chumbani kwake tuliii hataki shida, mama sarah kaja kamnyegeshaaa kamuacha, japo kampigisha bao la nje,.. Chidi alikuwa kachoka choka na safari ya jana, lakini sio sana kivile,..

    Ghafla simu yake inaita, kucheki jina alikuwa ni sarah,

    "halooo"

    "Eh haloo chidi mambo"

    "poa nambie"

    "safi tu,.. Chidi samahani, I want to Ask you some question please"

    "ok uliza tu"

    "no sio kwa simu please"

    "watakaje kwani"

    "naomba tukutane hoteli moja hivi hapo mjini"

    "aaahhh No, Sarah nimechoka mamy wangu, please yaan hapa nilipo nimelala"

    "upo wapi, kwa kaka yako au"

    "no nipo kwangu"

    "nipo tayari kuja huko kwako, please nipe maelekezo jmn"

    Basi kijana chidi alimpa maelekezo ya kufika pale alipo, alimpa mpaka namba ya nyumba ambayo kijana huyo anaishi,.. Robo saa tu, simu ya chidi iliita tena,..

    "nipo hapa nje kwenye barabara ila sioni namba ya nyumba"

    Aliongea sarah kana kwamba keshafika eneo hilo,

    Chidi alitoka nje na kuona gari ya sarah ikiwa imepaki pembezoni mwa barabara, Sarah alimwona chidi na kumkimbilia, maskini sarah nae alikufa na kuoza kwa kijana huyo, bila kujua kuwa mama yake nae mmoja kati ya waliooza kwa kijana chidi,...

    Sarah na chidi waliingia ndani na kubwagana kitandani huku mabusu yakitawala usoni mwao,

    "chidi. Kuna kitu nataka kukuuliza baby wangu"

    "kitu gani hicho... "

    "ivi yule kaka yako yupogo hapa mjini"

    "yes, yupo tena kajaa tele"

    "ila ana pesa eee"

    "aaahhh kiasi fulani tu, zimemtembelea"

    "ila anaonekana ni korofi sana yule"

    "afu kwanini umeniuliza hivyo, kuna nini"

    "aahhh No nitakuambia, but naomba nikaoge kwanza mana nina joto"

    "ok... Bafu lile pale"

    "heeeeee hiki chumba kina bafu humo humo"

    "ndio"

    Basi sarah bila aibu wala haya, alivua nguo mbele ya chidi, na kubakiwa na chupi tu, kisha akachukuwa taulo, chidi alikuwa anameza mate tu, mana sarah alikuwa kabarikiwa umbo kama mama yake, ama kweli nyoka huzaa nyoka tu,



    Sasa chidi akiwa bado kalala, kumbe huku bafuni, sarah kashikwa na butwaa kana kwamba kuna kitu aliona, na ni kweli sarah alikutana na chupi iliofuliwa muda sio mrefu, tena ilikuwa ikichuruzika maji kana kwamba imefuliwa hivi punde tu,... Sasa mbaya zaidi ni kwamba, kumbe mama sarah alipoingia kuoga aliifua ile nguo yake na kuianika hapo hapo bafuni, hivyo mama sarah alitoka bila chupi na chidi hajui kama bafuni kuliachwa nguo, mana yeye alikuwa yupo kitandani kalala, sasa Sarah alikuwa anaishangaa hio nguo, na mbaya zaidi ilikuwa ni nguo kubwa yaani hata sarah mwenyewe haiwezi kumuenea

    "baby"

    Sarah aliita huku akiendelea kuiangalia nguo hio

    "nini tena mamy wangu"

    "njoo"

    Chidi alijua anaitwa kimahaba, mana mpenzi wako akikuita bafuni ni raha kweli, hivyo chidi kaenda na mbwembwe zote,..

    "hiki kigaguro hapa ni cha nani"

    "haaaaaaaaaaaa"

    Chidi alitamaki ila alipoiona aliijua, sema sasa hakujua kama iliachwa huku bafuni,.

    "chidi mpenzi wangu, ina maana umetoka kulala na mwanamke sasa hivi tu, tena huyu mwanamke hata sio saizi yako jamani"

    Sasa chidi ni mtoto wa kiume ila sidhani kama mawazo yake yataweza kumtuliza sarah,

    "aaahhhh babiiii, hio ni sapraizi jamani sarah"

    "sapraizi???... Sapraizi ya nini"

    "nilikununulia wewe"

    Chidi aliongea huku akijiamini kwelikweli,

    "ivi we chidi, na akili yako yote hii nguo inanienea kweli hii"

    "amnaaa, hio ni saizi kabisa"

    "ok.. Haya mbona imefuliwa muda huu"

    "ndio.. Coz nilipoileta, ilidondoka hivyo nikawa nimeifua"

    "ok.. Kwahio unasema hii chupi ni mpya si ndio"

    "haswaaaaaaaa"

    "mbona kuna baadhi ya sehemu zimefumuka uzi"

    "aaaaaaYaaaaaa.... Huyu fundi atakuwa feki,... Ebu ngoja nitaipeleka kwa fundi"

    Sarah alikuwa akimwangalia tu chidi wake,. Anampenda sana lakini roho imemuuma kwa kukuta nguo hio bafuni, tena mwenye nguo hio huenda katoka muda sio mrefu,... Sarah alijua tu anadanganywa,.. Alishikwa na hasira huku akiiangalia ile nguo pale juu,.. Aliivuta na kuitupa chidi kisha akaanza kuikanya kanyaga pale chini,.. Huku akimpiga chidi vibao vya kifuani,..

    "sasa mbona unaichafua chupi ya watu we sarah"

    Sasa chidi kaharibu, katoboa siri kabisaa

    "chupi ya watu???... Nani mmiliki wa hii chupi... Yaani mimi na akili zangu nikute mchupi wa mwanamke mwenzangu unaning'inia hapa niuangalie tu.... Hebu niambie ukweli ni nani mmiliki wa hii chupi"





    Sarah alikuwa akimpenda sana kijana chidi, lakini hakuamini kama angelikutana na kitu kama hicho bafuni kwake, na mbaya zaidi ni kwamba bafu hilo ni bafu ambalo lipo chumbani kwa mtu, sio bafu la public kama zilivyo nyumba zingine za kupanga,... Chidi leo kakutana na msala wa kukutwa na nguo ya kike bafuni kwake, sarah aliumia roho ila hakuwa na jinsi,.. Na kitu kilichomfanya sarah asiwe na hasira sana ni kwamba nguo ile ilikuwa ni kubwa hivyo hata huyo mwanamke atakuwa ni mtu mzima, hivyo kwa vyovyote vile, hawawezi kudumu na huenda chidi kampenda kutokana na kitu alichonacho mtu huyo, hayo ni mawazo ya sarah kutokana na ukubwa wa nguo, mana kama ingelikuwa ndogo basi kangelikuwa kascgana ka kumpagawisha chidi,...

    Sarah Alishikwa na hasira huku akiiangalia ile nguo pale juu,.. Aliivuta na kuitupa chidi kisha akaanza kuikanya kanyaga pale chini,.. Huku akimpiga chidi vibao vya kifuani,..

    "sasa mbona unaichafua chupi ya watu we sarah"

    Sasa chidi kaharibu, katoboa siri kabisaa

    "chupi ya watu???... Nani mmiliki wa hii chupi... Yaani mimi na akili zangu nikute mchupi wa mwanamke mwenzangu unaning'inia hapa niuangalie tu.... Hebu niambie ukweli ni nani mmiliki wa hii chupi"

    Aliongea sarah kwa hasira ya hali ya juu sana

    "naomba nikuambie ukweli ila usiponiamini basi"

    Aliongea chidi huku akikaa kwenye Jacuzzi la kuogea,

    "nitakuamini tu we niambie"

    "ok unajua... Hii nyumba, kula mpangaji ana chumba chake na bafu lake na choo chake,.. Lakini kuna mama mmoja namueshim sana kama mama yangu,.. Sasa huyo mama Bafuni kwake kunafanyiwa marekebisho ya kiufundi, kwahio alikuja kuniomba mimi kama mtoto wake, na sikuweza kukataa, nilimruhusu aingie aoge, lakini pia sikujua kama ameacha nguo... Na ndio mana hata nilipokuja hata mimi nilishangaa kuiona... Huo ndio ukweli kama hutoniamini sawa"



    Chidi aliongea kwa kirefu japo vyote hivyo hakuna ukweli hata kidogo,.. Sarah alimsikiliza mpaka akalegea mwenyewe na kumuegemea chidi kifuani,... Huku akishuka taaratibu na kuiokota ile chupi ya watu,.. Sarah alipata jukumu la kuifua nguo ile, mana aliikanyaga pale chini, na laiti angelijua kuwa hio nguo ni ya mama yake, duuuu sijui ingelikuwaje,.. Sasa sarah akiendelea kuifua ile nguo huku chidi akiwa anamuangalia sana sarah,... Mara taulo la sarah likafunguka, sarah akawa analifunga vizuri chidi akazuia taulo lisifungwe

    "jamani chidi nini tena"

    "unalifunga nla nini tena, au mi ni kaka yako?? Ok sawa kama mi ni kaka yako jifunike tu"

    Sarah kuskia hivyo akaona mbona kweli chidi ni mpenzi wake sasa yanini ajifunike funike kama kibibi,.. Sarah aliweka taulo pembeni na kubakiwa na chupi tu, sasa sarah akawa ameinama akiwa bado anaendelea kufua lile linguo la mama yake ila hajui kama ni ya mama yake, chidi alitamani kumseidia

    "bwana mi staki naifua mwenyewe"

    Aliongea sarah baada ya chidi kuisogelea ile nguo ili wawe wanaifua wote kwa pamoja,..

    "si nakuseidia jamani"

    "staki, ukiishika utamtamani huyo mama, staki uishike shike"

    "basi nipe yakwako niifue"

    "jamani we mtoto wa kiume mbona una tabu hivyo"

    Chidi aliivua kwa nguvu ile chupi ya sarah,. Wakati huo sarah kaanza kujificha na mikono yake ili chidi asione kitumbua

    "bwana chidiiii mi sijajiandaa kunaniii"

    Chidi alikuwa kama hasikii, alikuwa akimalizia kuivua ili tu na yeye apate kazi ya kufua,.. Chidi aliivua na kuitia kwenye maji, sarah alibakia tu kajificha na mikono huku chidi akiendelea kuifua,..



    Dakika tano mbele ile nguo ya mama sarah ikawa imeisha nametungikwa pale pale juu ilipokuwa,.. Sasa chidi bado alikuwa anaendelea na ile ya sarah

    "nipe niisuuze sasa heee, umeing'ang'aniaaaaa, waitaka nini"

    Sarah aliongea kwa utani huku wakimwagiana povu usoni,.. Sasa Sarah akajisahau kuwa alikuwa kajizima, si akajiachia, chidi kaona kitumbua cha sarah... Kitumbua cha sarah kilikuwa nimepaukaa, afu kikavuu... YAANI UKIKUTA KITUMBUA CHA DEMU WAKO KIMEPAUKA AFU KIKAVUUU, BASI UJUE KUWA HIO KITU HAIGUSWAGI MARA KWA MARA, YAANI ANA MUDA MREFU HAJAGUSWA,.. ILA SIMAANISHI KIMEPAUKA KWA UCHAFU, NO, BALI NAMAANISHA NI KITU NG'ADA,.. YAANI SILDI, KITU KISICHOTUMIKA MARA KWA MARA.... sasa sarah ndio alikuwa hivyo, mtoto wa kike kuona chidi anamkazia macho eneo hilo, sarah aliendelea kujificha na mikono yake... Maskini kasarah kana aibu ya hali ya juu,.. Chidi alimfuata karibu na kumkumbatia.. Wakati huo chidi akiwa na boxer peke yake, tena zakaria yake ilikuwa imesimama haswa.. Chidi hakutaka makuu, alimbeba sarah japo ana kamwili lakini hakushindwa,... Alimbwaga kitandani, huku sarah anajiskia aibu kwa kulazwa kitandani, yaani sarah siku hio alikuwa anaitamani itokee, na leo ndio hiooo imekuja... Sarah alijua kutakuwa na usumbufu wa simu, hivyo aliizima simu yake, na kuichukuwa na ya chidi akaizima mana anajua hapatokosa usumbufu, hivyo simu zao zote wamezima... Sarah alianza kulegeza jicho lake mbele ya chidi,



    Tukija huku hotelini kwa mama sarah, akiwa yupo ofisini kwake akiendelea na majukumu yake ya kikazi,

    "mungu wangu, ivi sijavaa chupi jamani... Ohhh shit kumbe nimeiacha kwa chidi"

    Aliongea mama sarah huku akijishika shika mapaja ili kujihakikisha kweli hakuwa na chupi, na nguo alioivaa ilikuwa ni nyepesi mno,.. Tena ni zile zinazoganda mwilini,..

    "huyu mtoto nae kaenda wapi,... Aahhh yaani mimi nikiwepo tu basi yeye nae anaondoka zake"

    Mama alikuwa akilalama juu ya mtoto wake kuondoka ghafla tu,... Grace alinyanyua simu na kumpigia mtoto wake, lakini haikuwa ikipatikana,.. Kama unakumbuka simu ya sarah na chidi zimezimwa..

    "huyu mtoto kaenda wapi,... Mbona hata simu haipatikani"

    Aliongea mama huyo huku akizidi kujiangalia, yaani anajiona wa tofauti sana mana hajavaa kitu kwa ndani hivyo anajihisi mwepesi mno... Hata kuamka kwenda mahari anaogopa..



    Tukija huku kwa Ibrahim akiwa yupo ofisini, tena walikuwa wameshiba kweli yeye na wafanyakazi wake,.. Ibrahim alikuwa akijutia sana kitendo alichomfanyia yule dada kule hotelini,.. Kichwa chake kilikuwa hakiko vizuti hata documents za kazi zikija anashindwa kuzifanyia kazi... Aliona hapo ofisini hapafai tena,... Ibrahim aliamua kuondoka zake na kuwaachia wafanyakazi waendelee na kazi kisha yeye akarudi zake nyumbani.. Dakika 20 mbele, Ibrahim alifika nyumbani kwake

    "heeee mume wangu, mbona leo mapema hivyo"

    Aliuliza jasmine huku akimkumbatia mke wake

    "aahhh kichwa changu hakipo sawa kabisa leo"

    "nini shida jamani"

    "hakuna lolote... Ila sema nimefanya ujinga sana"

    "ujinga gani tena mume wangu"

    "nilijikuta namfokea mdada mmoja hivi ambae alishawahi kumseidia chidi, kipindi kile nauza chipsi"

    "sasa kwanini umfokeee"

    "aahhhh basi tu, nilikunywa kawiski kamenivuruga kichwa basi nikajikuta namfokea lakini ilikuwa katika hali ya kutomjua"

    "usijali, nadhani hata yeye atakua keshakusamehe, mana ulikuwa kwenye ulevi"

    "Eti ee?.... Afu dada angu yupo wapi"

    "yupo chumbani kwake anajisomea"

    "kwani kaja na vitabu vyake"

    "wala, si nilienda nae library nikamnunulia vitabu alivyotaka"

    "ooohhh safi sana"

    Basi Ibrahim aliingia chumbani kwa dada yake,... Halima ni mschana mwenye umri wa miaka nane (8) hivyo hata kaka yake Ibrahim anamkumbuka kwa mbali sana mana Ibrahim alitoka nyumbani wakati halima akiwa kama na miaka mitatu hivi au miwili, hivyo sidhani kama anamjua ila kwa kumsikia anamsiki na halima anajua kuwa ana kaka anaeitwa Ibrahim lakini hamjui sura yake, mana Ibrahim katoka muda sana kule kijijini na hakuweza kurudi mpaka leo... Ila Ibrahim yeye anamjua mana si alimuacha kule akiwa mdogo na sura yake bado haijabadirika sana,..

    "dada yangu weeee, mambo"

    "poa shikamoo"

    "marahaba dada angu ujambo"

    "sijambo, kwani we ni nani"

    Ni kweli halima hamjui kaka yake, yaani aliachwa akiwa na miaka kama miwili hivi, kana kwamba Ibrahim ana zaidi ya miaka mitano mjini bila kurudi nyumbani kwao,..

    "unamjua kaka yako Ibrahim"

    "aahhhh nilikuwa namsikiaga mama akikutaja wewe, kumbe ndio wewe"

    "ndio, mimi ndio kaka yako Ibrahim, niliondoka muda sana kule na ndio mana nimeamua uje usome huku mjini"

    "sawa, asante kaka"

    "usijali mdogo wangu, jisikie huru kama upo nyumbani"



    Sasa tukija huku kwa akina chidi na mpenzi wake sarah, vilio vya mapenzi ndivyo vilivyotawala katika chumba hicho, maskini sarah alishawahi kuwa na mwanaume kitambo sana, na hapa katikati hakuwa na mwanaume bali alikuwa ni yeye na rafiki yake miriam, hivyo wangeliendelea na tabia hio basi hata wanaume wasinge watamani,... Sasa sarah leo kakutana na ashki ashki za kiume kuacha zile za kike walizokuwa wakifanyiana na miriam,..

    Sarah alikuwa ni mtu wa kujikunja kila mara, yapata robo saa sasa macho ya sarah hayafunguki,.. Ulimi wa chidi ndio chanzo cha miguno katika kinywa cha sarah,... Chidi aliweza kuutumia ulimi wake kuupitisha katika shingo ya sarah na wakati huo huo mkono wake ukiwa kifuani ukiendelea kuzifikicha chuchu za mschana huyo, chidi aliona boxer inamuumiza, aliivua na kubaki kama alivyozaliwa, Sarah alijikuta tu anamkumbatia chidi bila sababu,.. Nae alianza kujibu mapigo kwa kumnyonya chidi katika maeneo yake yenye ashki ashki za mapenzi,.. Zakaria ya chidi ilikuwa ikimgusa sarah huku sarah akizidi kusisimkwa kwa kuguswa na zakaria ya chidi,... Sasa chidi akiwa anataka kukaa ili sarah awe kwa juu, ghafla alihisi ubaridi katika shuka, kana kwamba kulimwagiwa maji... Aaahhhhhhhh chidi alipogusa tu alijua sarah tayari alishaviachia vikadhaa,.. Sarah alipoona chidi kajua, alijiskia aibu mana kashikwa mpaka mpaka kapizi kimoja kilicholoanisha shuka la chidi,..

    "usijali ntalifua mwenyewe kabla sijaondoka"

    Aliongea sarah huku akiunyemelea mtarimbo wa chidi,... Jicho la sarah lilikuwa kama la bibi kizee, mana halikuwa likiamka kama ilivyo kawaida afu mbaya zaidi lilikuwa linamwita chidi, likimaanisha kuwa, yupo tayari kuingiliwa, mtoto wa kitanga alilijua hilo,... Hivyo hakupoteza muda, alimsukuma sarah, na kulala chali, sarah bila aibu wala haya alimuachia chidi ale atakavyo, na wala hakuwa akijibana kama mwanzo,.. Alimwachia chidi akitafune kitumbua hicho kilichokuwa tayari kimeshalainika,..

    Chidi haamini kama leo anakula kitoto cha kitajiri kama hicho,...

    "unaogopa nini baby wangu,... Au unataka kuvaa, kuv, kuv, kuvaa kondom??.. Kama unataka kondom mimi staki, nataka niujue utamu wa zakaria yako,... Chidiiii, na hivi nilivyobinuka bado tu hushawishiki"

    Aliongea sarah huku akimvuta chidi na kujihukumu mwenyewe...

    "haya,.. Ssu... Suu.... Ssssu... Sukuma basii iii... Iin... Iig....iiiing...iingie, ila sio... Sio... Sioo. Ssiii. Sio sanaaaaa"





    Kwa mara ya kwanza toka sarah na chidi wakutane, japo walipoteana takribani miezi 6 na zaidi, wakakutana juzi tu, Sasa) eo kwa mara ya kwanza wanaingia kitandani, na muda si mrefu mama yake katoka hapo hapo kitandani,... Maskini ya mungu yeye na mama yake wanachangia kitanda kimoja,... Sarah alikuwa ni mschana mzuri sana na umbo lake ni zuri kama mama take, yaani nyoka huzaa nyoka tu, sema chidi hajui kama yule mama na huyu sarah ni kitu na mtoto wake,...

    "unaogopa nini baby wangu,... Au unataka kuvaa, kuv, kuv, kuvaa kondom??.. Kama unataka kondom mimi staki, nataka niujue utamu wa zakaria yako,... Chidiiii, na hivi nilivyobinuka bado tu hushawishiki"

    Aliongea sarah huku akimvuta chidi na kujihukumu mwenyewe...

    "haya,.. Ssu... Suu.... Ssssu... Sukuma basii iii... Iin... Iig....iiiing...iingie, ila sio... Sio... Sioo. Ssiii. Sio sanaaaaa"

    Sarah alianza kigugumizi baada ya zakaria ya chidi kuingia kidogo,...

    "aaaiiiiiiiiiii"

    Sarah alipiga kelele huku akiichomoa zakaria ya chidi kwanguvu

    "unaniumiza chidi"

    Sarah alianza kulia huku akijiangalia

    "kwani una bikra"

    "akuuuu, sema ni muda mrefu sijafanya mapenzi so maumivu ninayosikia, hayana tofauti na Bikra"

    Sarah alikuwa anajiangalia kana kwamba labda anatoka damu,... Chidi alijua yu hapa akimfuata sarah basi hatokula tunda lake,... Chidi alianza kumbembeleza taaratibu kabisa na sarah akalainika,..

    "aaaaaaaaaaaaaaaaaiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii... Umeniumiza chidi uuuuwiiii jamani chidi huna hata huruma baby"

    Sarah aliruka tena alikuwa anatoka damu sehemu hizo,...

    "pole"

    Kwa kawaida mwanamke mwenye bikra ikitolewa hua hatamani tena kurudia tendo, hivyo raundi hio hio iliwatosha akina sarah na chidi... Sarah hakuwa na bikra ila alifanya mapenzi miaka kadhaa hivi wakiwa wanamalizia mwaka wao wa mwisho chuo,.. Hivyo ana miaka kama mitatu au miwili hajaguswa, hivyo ni lazima kitumbua kirudi katika hali yake ila ule uzi wa bikra hauwezi kurudi tena ila kubana itabana vizuri,...

    Chidi alimchukuwa sarah na kwenda kumuosha bafuni kisha wakarudi chumbani kwao,..

    "mi siendi nyumbani nalala hapa hapa"

    "we si utatafutwa na wazazi wako"

    "nitajua cha kuongea, mana sintoweza hata kuendesha gari"

    "sarah jamani utaniletea matatizo eti"

    "nimesema siendi nyumbani"

    "basi asubuhi utanipa kimoja basi"

    "wewe tu na dudu yako mi nipo"



    BAADA YA SIKU HIO KUPITA



    Na leo ni siku nyingine tena chidi akiwa kalala na mpenzi wake ambae ni sarah,.. Ilikuwa ni mida ya saa nne hivi asubuhi,.. Ghafla simu ya sarah iliita, na hio ndio iliowashitua akina sarah, lakini wakwanza kuamka alikuwa ni chidi, sasa chidi akataka kupokea ile simu,... Lakini kabla hajataka kuipokea simu ya sarah, mara na yakwake ikaita,... Kuangalia jina alikuwa ni shemeji yake,.. Aliachana na simu ya sarah na sarah alishaamka na kuchukuwa simu yake... Sarah alipigiwa na mama yake

    "haloo mama, shkamoo"

    "we mbwa, umekuwa siku izi eee"

    "mamaaaaa.... Kwani kuna nini"

    "nqkuuliza umekuwa sasa we mbwa... Umeshajua vitu vya kiume si ndio... Hebu niambie kwanini hujarudi nyumbani"

    "mama... Mimi nipo kwa miri"

    "upo wapi"

    "nipo huku kwa Mamdogo Agnes"

    "mschiuuuuuu (msunyo) sasa kwanini hujaniambia, napiga simu haipatikani"

    "nisamehe mamy wangu"

    "haya.. Njoo kazini sasa"

    "sawa mama"

    Wakati huo chidi hakupokea simu ya shemeji yake, ikawa inaita tuuu

    "chidi si upokee hio simu jamani"

    "aahhh iache kwanza"

    Sasa shemeji yake kapiga mpaka kachoka,... Na simu iliofwata ilikuwa ni ya mama sarah,

    Simu hio chidi hakuipuuzia, aliipokea mana ndio anaemlisha mjini hivyo hatakiwi kumchunia,..

    "haloo mamy shkamoo"

    "shkamoo mwenyewe"

    "kwanini sasa mamy"

    "tuachane na hayo,.. Mambo vp baby wangu"

    "safi tu sjui wewe"

    "mi mzima, ndio naenda kazini ila leo nataka nikupeleke kazini kwako"

    "eti eee, safi sana, sasa tukutane saa ngapi"

    "saa saba"

    "sawa mamy nipo tayari kwenda"

    "ok bai bai"

    "ok poa"

    Chidi alikata simu lakini kabla hajaitupa simu mezani, iliita tena, na safari hiii alikuwa ni kaka yake na chidi, yaani kuona tu hio namba ndio kwanza kaitupia mezani kwa hasira, yaani kila akikumbuka maisha ya zamani japo kaomba msamaha lakini bado anaona kama yanaendelea,...

    "hebu pokea hio simu chidi"

    "hapana"

    "ok iwe sailensi basi"

    Chidi alifanya hivyo kisha akawa anaenda bafuni kuoga,..

    "sasa unaenda wapi chidi"

    "naenda kuoga"

    "jana ulisemaje"

    "aahhhh nimesahau, kwani nilikuambia nini"

    "si ulisema utanipa kimoja cha asubuhi asubihi"

    Chidi kuskia hivyo alirudi mbio mpaka kitandani,.. Denda lilianza kutawala baina yao wawili, chidi alikuwa akichomwa na chuchu za sarah, huku zakaria ikiwa inaelekea sehemu husika,.. Sehemu ya sarah sasa imeshaanza kuzoea mana ile jana chidi aliingiza yote na ndio mana sarah alitokwa na damu kama ana bikra, sasa hivi sarah anaisikilizia tu kwa mbalii na vile chidi kajaaliwa katika sehemu hio, na licha ya kujaaliwa pia anajua kuitumia vizuri, mana kuna mijanaume mingine imejaaliwa lakini hawawezi kutumia umbile hilo,... Maskini sarah alikuwa akilia kwa utamu aliokuwa anaupa mana jana yalikuwa ni maumivu kwasababu anaanza,.... Lakini chidi hakuitupia yote, ila mtoto wa kike kilio hakimuishi...



    Tukija huku kwa Ibrahim akiwa na mke wake mezani,

    "mbona hapokei simu"

    Aliongea Ibrahim huku akiiangalia simu yake,

    "mi sijui, na hata mimi hapokei"

    "au atakuwa sehemu mbaya ndio mana hapokei"

    Aliongea Ibrahim lakini sio kweli, chidi alifanya makusudi kutopokea simu za watu hao,...

    "baadae nitajaribu tena, najua hanishindi yule ni shemeji yangu"

    Aliongea jasmine huku akiendelea kunywa chai,...

    "ok we endelea kumpigia akikubali tukutane we nipigie nitatoka ofisini nije tuongee nae"

    "sawa mume wangu"



    Tukija huku kwa kijana chidi na sarah, chidi akiwa anamshuhulikia mtoto wa watu vizuri sana, yaani hata huruma chidi hana,...

    Dakika chache mbele walimaliza lakini katoto hata kutembea kanaona uvivu,.. Chidi alimbeba mpaka bafuni wakaoga wote na kumaliza,..

    "chidi ivi chupi yangu ipo wapi"

    "ooohhhh shit unakumbuka jana tuliiacha kwenye maji"

    "jamani chidi,... Sasa nitaendaje nyumbani mimi"

    "tuifue tuianike hapa hapa utakuja kuichukuwa kesho"

    "Mungu wangu chidi jamni"

    "nini kwani"

    "nitatetemesha sana chidi"

    "wauweeeeee"

    "no buana watu wataniona malaya"

    "kwani usipovaa chupi unakuwaje"

    "hhhmmm na kile kigauni changu,.. Nitatingisha sana kile kigauni ni chepesi sana"

    "basi vaa mbichi hivyo hivyo"

    "No, siwezi"

    "sasa wataka nini"

    "nipe boxer yako"

    "aaahhhhhh sasa boxer yangu itakuenea wapi na umbo lote hilo"

    "chidi, we nipe tu hivyo hivyo... Ilimradi nisitetemeshe sana"

    "hhmmmm sawa, wewe tu"

    Basi waliifua ile nguo walioiacha kwenye maji toka jana kisha wakatoka huko bafuni,... Kila mmoja alivaa nguo zake na sarah alivaa boxer ya chidi ili asisumbue sana huko mtaani mana anaheshimika sana,...



    Sasa tukija huku hotelini kwa akina mama sarah, mama mwenye akili nyingi za kimaisha, huyu mama angelikuwa mchaga basi ingekuwa poa sana,... Sema kabila lake ni tofauti na wachaga na haiviendani na vitendo vyake, yaani mama anawaza pesa tu wakati wote..

    Sasa akiwa hapo ofisini kwake, mama sarah huyo

    Ghafla simu yake ikaita, lakini namba hio hakuisevu ilikuwa ni namba yenyewe, ila kuipokea kwake kulikuwa ni kwa wasiwasi sana,...

    Mama sarah alikuwa ofisini kwake lakini bado alifunga milango la kuteremsha mapazia ili tu asionekane...

    "haloo mama saida habari yako"

    Aliongea mama sarah tena bila wasiwasi wowote sema hakutaka asikiwe na mtu,.

    "salama habari yako Grace"

    Alikuwa ni mwanamke na anaitwa mama saida,...

    "safi tu.."

    "vipi, mbona hunipi majibu ya huyo kijana wako"

    "aaahhhhhhh utanisamehe mama sai"

    "vipi?, Umeshindwa na kazi?????"



    Kiukweli hii simulizi ni ya kijanja sana, na ni simulizi ambayo inahitaji umakini wa hali ya juu mno,.. Yaani usipokuwa makini katika kuisoma basi utajikuta huielewi hata kidogo, mana huu ndio uandishi wangu mpya, kama muvi vile kumbe ni simulizi...



    Sasa huku kwa mama sarah aliokuwa na wasiwasi wa kuonewa na baadhi ya wahudumu baada ya kupigiwa simu na mwanamke mwenzie, mama sarah alionekana kumheshimu sana mwanamke huyo japo hatujui chanzo chake,... Mama sarah yupo kifaida zaidi yaani hataki mchezo na pesa japo anazimaliza kwa kijana chidi,..

    "haloo mama saida habari yako"

    Aliongea mama sarah tena bila wasiwasi wowote sema hakutaka asikiwe na mtu,.

    "salama habari yako Grace"

    Alikuwa ni mwanamke na anaitwa mama saida,...

    "safi tu.."

    "vipi, mbona hunipi majibu ya huyo kijana wako"

    "aaahhhhhhh utanisamehe mama sai"

    "vipi?, Umeshindwa na kazi?????"

    "hapana mama saida, bado naendelea na kazi yako"

    "si ulisema leo jana utafanikisha sasa kwanini bado"

    "nipe nafasi ya mwisho, nikishindwa tutajua cha kufanya"

    "sawa, nakuamini mama sarah"

    "ahsante kwa kuniamini"

    Mama sarah alikata simu huku akipumua kwa nguvu, kana kwamba kazi alioipewa anaiqeza vizuri sana ila sema hio kazi yenyewe inamuathiri mpenzi wake, hivyo roho inamuuma kufanya hivyo, ila akiangalia kuna pesa mbele basi anakuwa Mwepesi sana kuifanya kazi hiyo,

    Mama sarah akiwa hapo ofisini kwake tusijue kile anachokiwaza kwa muda huo, lakini kuna kitu alikikumbuka kutoka kwa mama saida,..

    "nitakupa kiasi cha Tsh Bilioni moja, pale utakaponiletea mbegu za kiume tena nataka za mwanaume rijali haswa"

    Mama sarah alikumbuka kauli hio kutoka kwa mama saida,.. Sasa hapa naona kama nachanganyikiwa, mana kule nyuma mama sarah alitupa kumbukumbu ya yeye aliooenda kwa mganga ili amfunge chidi awe peke yake,.. Afu na hapa kumbe katumwa na mtu mwingine tofauti na uhitaji wake yeye mwenyewe,.....

    Mama sarah alinyanyua simu yake na kumpigia chidi ili wakutane ampeleke kazini akaanze kazi



    Tukija huku kwa akina chidi tunawakuta wawili hao wakiwa tayari kwa kutoka,

    "chidi... "

    "sema mamy"

    "nakupenda chidi wangu"

    "mi pia.., afu sarah we mtamu eti"

    "muongo chidiii"

    "kweliiii"

    Basi chidi alipanda katika gari ya sarah, lakini ghafla simu ya chidi ikaita, kuangalia alikuwa ni mama sarah wake,..

    "haloo mamy"

    "eeehh naomba tukutane pale stendi sawa"

    "sawa mamy"

    Chidi alikata simu huku akimwambia sarah kuwa,

    "nipeleke hapo stendi"

    "poa haina shida"

    Basi chidi alifikishwa stendi kisha sarah akaondoka zake, chidi akaanza kumtafuta mama kwa simu mpaka akampata,.. Chidi akapanda katika gari ya mama sarah na kupelekwa katika hoteli ya akina miriam ambayo inakwenda kwa jina la MIRAS HOTELI (Miriam Agnes Hoteli) wamiliki wa hoteli hizo huwa wanapenda kuandika majina ya watoto wao au pamoja na yakwao,.. Mana hata ile ya akina sarah inakwenda kuitwa SARADISE HOTELI badala ya PARADISE HOTELI jina la zamani.. Chidi alikuwa katika furaha ya hali ya juu mno kwakuwa anakwenda kupewa kazi japo hajui ni hoteli gani lakini anakwenda tu kufanya kazi ya kukaanga CHIPSI,.. Mana hapendi kukaa bila kazi



    Wakati huo na sarah nae anaelekea kazini huku mama yake anakwenda miras hoteli ili kumkabidhi chidi kwa ajili ya kazi,.. Na mama sarah alipenda sana kijana chidi afanye kazi katika hoteli yake lakini, kutokana na hofu ya mtoto wake kupenda wanaume mahensam hivyo alihisi huenda wakapendana afu akajikuta analiwa yeye na mtoto wake, kitu ambacho hakitokuwa kizuri katika familia, lakini hayo ni mawazo yake, lakini anachokiwaza ndicho kinachofanyika kwa wakati huo...

    Mama sarah na chidi wanakutana na mama miriam katika ofisini maalumu kwa ajili ya kukabidhiwa kikazi

    "heeee mama miri habari yako"

    "salama tu,.. Naona leo umenitembelea"

    "ndio... Kuna siku ulikuwa unalilia mkaanga chipsi,.. Nadhani kilio chako kimefika mwisho"

    "we acha tu mama sarah, hoteli kubwaa yenye hadhi ya juu, lakini chipsi haziwi nzuri"

    "sasa huyu ni Profesional wa kukaanga chipsi"

    "unaongea kweli au unatania mama sarah"

    "kweli, huyu kijana nilitamani sana akae pale kwangu, lakini sema kuna mmoja ninae afu pia hii hoteli ina hadhi ya juu, hivyo kwa upande wa chipsi we mwachie huyu kijana"

    "nitashukuru sana,..... Kijana habari yako"

    "salama mamy shkamoo"

    "marahaba ujambo"

    Chidi alikuwa akijitambulisha kwa boss wake mpya, ambae ni mama miriam,..

    "sijambo"

    "aaaassh sasa kuhusiana na mshahara nadhani nitajua nimlipe vipi baada ya mwezi huu kuisha,.. Ili nione pishi lake la chipsi lilivyo"

    "sawa,.. Ni wewe tu, ila ujue huyu ni Profesional wa chipsi hivyo nadhani utajua ni jinsi gani utamlipa"

    Mama sarah aliongea ili kumpigia debe kijana chidi alipwe mshahara mnono,..

    Mama miriam alimpokea kijana chidi kwa mikono yote miwili kwasababu alikuwa ana shida na mtu kama huyo kwa ajili ya kuleta ushindani wa kibiashara na hoteli zingine,...

    "lakini si umempa masharti ninayotaka mimi"

    Mama miriam alimuuliza mama sarah kuwa amempa chidi masharti ya kuwepo hapa hotelini,

    "nadhani anaelewa.... Chidi?? Hapa kwenye hii hoteli, haruhusiwi kuangalia wateja, haruhusiwi kupendana na mteja au muhudumu yeyote yule kuanzia ngazi ya juu mpaka ya mwisho,.. Yaani ni wewe na kazi tu"

    Aliongea mama sarah huku akisisitiza sana

    "ndio kijana,... Hapa kunaingia wateja wa kila lika, hivyo kuwa makini na macho yako na nafsi yako,... Alafu cha mwisho haruhusiwi kutoka nje kwenye halaiki ya watu, wewe utaishia jikoni tu.. Ukitoka nje ni kwa dharura tu"

    Aliongea mama miriam huku akiwa siriasi kweli na hakuwa na utani,... Mama sarah alimuaga Agnes kisha huyoo akaondoka zake... Lakini alipotoka hapo alipigiwa simu na mama saida kuwa wakutane...

    Huku hotelini chidi aliingizwa huko jikoni na kukutana na watu wengi sana,.. Ila alishangaa kukutana na saidi huko ndani, kama unamkumbuka saidi ni rafiki yake sana toka akiwa kule kwa kaka yake, na alikuwa akimwachia chipsi kisha yeye anafanya mambo yake, kama unakumbuka kule nyuma chidi na saidi ni marafiki wakubwa tu sema walipoteana kipindi chidi ana matatizo ya kufukuzwa na kaka yake..

    "vijana,... Huyu kijana ndio atawaelekeza jinsi ya kupika chipsi vizuri, hivyo mutamsikiliza ila mtakuwa nae huku jikoni, na mtakuwa nae kwenye mapishi, naomba muheshimiene jamni sawa"

    "sawa boss"

    Mama Miriam alikwenda kumtambulisha kijana chidi kwa wapikaji chipsi wenzie, kwahio mpaka hapo kijana chidi ana cheo, mana kwanza kaletwa na boss afu pili ni mtaalamu wa chipsi vibaya mno..



    Tukija huku kwa mama saida na mama sarah, wakiwa wapo nyumbani kwa mama saida, yaani mama sarah ndio alikwenda kwa mama saida,...

    "naona kazi inakuwa ngumu mama sarah eti ee"

    Aliongea mama saida lakini ni kwa kawaida tu

    "kiukweli kazi ni ngumu, lakini nahitaji kurudi kwa mganga ili nijue natumia njia gani nyingine"

    "fanya juu chini mama sarah,.. Kijana wangu anazidi kukua tu"

    "usijali,.. Kijana wako atapona tu, yaani huyo kijana nilienae ana nguvu za kiume haswa, yaani huyo mtoto ukimtajia hata chupi tu, anakuambia anateseka sana"

    "weeeeeeeee..... Yaani akiskia tu kutajwa kwa chupi anateseka"

    "yaani tena sio kidogo... Huyo mtoto ni rijali haswa"

    "ni mzaliwa wa wapi huyo"

    "mtanga,... Msambaa flani hivi hensam hensam hivi"

    "aahhhh basi, kama ni mtanga basi nakuamini shost"

    "ok, basi mimi wacha nirudi nyumbani"

    "sawa ila hakikisha hukosei mama sarah"

    "usijali mama saida lazima lengo lako litimie"

    Mama sarah aliondoka zake na kumwacha mama saida katika jumba lake la kitajiri kuliko hata mama sarah au hata mama Miriam,... Huyu mama saida ni tajiri mkubwa tena mkubwa wa haswa



    SASA HAPA WACHA TUUJUE UKWELI HALISI JUU YA WAWILI HAWA, MANA ULE UKWELI WA MWANZO NADHANI ULIKUWA NI UONGO... SASA HEBU TURUDI NYUMA KWENYE MAELEWANO YAO YALIKUWAJE



    Sasa tukiwa tumerudisha siku nyuma, kama kumbukumbu jinsi ilivyotokea

    Mama sarah na mama saida walikutana katika hoteli moja hivi ya hadhi ya kawaida tu, walikuwa wakiongea mambo mengi sana kwa ajili ya kuendeleza maisha ya kitajiri juu ya maisha yao,..

    Sasa wakiwa wanaendelea na maongezi yao mara simu ya mama sarah iliita, kuangalia alikuwa ni kijana wake chidi,...

    "haloo boy wangu mambo"

    "safi mamy hali yako"

    "aahhh nzuri tu.. Nilikuwa nakusalimia tu"

    "ahsante sana boy wangu"

    Simu ilikata huku mama sarah akiwa anarembua kwa jinsi anavyompenda chidi,...

    "heeeee nani tena uyo, mpaka macho umebadirisha kabisa"

    "hhhhmm we acha mama saida, si unajua wazee wetu wamechoka"

    "nalijua hilo"

    "sasa nina mtoto huyo, we acha ti, yaani nipo tayari kumhonga kitu chochote kile akitakacho, lakini asiwe mbali na mimi"

    "kwanini mama sarah"

    "yaani mtoto anapiga mashine, heeeee sijapata kuona"

    Lakini sasa mama sarah akiendelea kumsifia chidi, huku mama saida alikuwa anakasirika, mama sarah hajui kama mwenzie kakasirika kwa kusikia kijana flani anasifiwa

    "yaani huyo chidi, ni hensam kama yule mtoto wako ridhiwani"

    Yaani mama saida kusikia hivyo ndio hasira zinazidi kumjaa....

    Mama sarah alishangaa kuona rafiki yake anakasirika sana.... Lakini ghafla mama saida akacheka kicheko cha furaha, yaani kile cha kutabasam... Mama sarah nae akavuta tabasamu zuri huku mama saida akimwambia mama sarah kuwa

    "ivi mama sarah, wewe unapenda pesa au mwanaume rijali"

    Mama sarah kwa furaha akajibu

    "mimi napenda vyote"

    "no, nataka useme kimoja... Mfano nakupa Bilioni moja afu uachane na huyo mtu wako upo tauari"

    "hhhhmmmm mama saida, una maana gani na huo mfano wako"

    "huo sio mfano, bali namaanisha kweli"

    "sasa unamaanisha nini"

    "nahitaji hizo nguvu za kiume za huyo kijana,... Nina kazi nazo,.. Na ukifanikisha, Bilioni moja ipo mezani"

    "Whatt???????"

    "unashangaaa nini sasa??... Kama utaweza niambie twende mahari nikupe njia"



    Katika sehemu kadhaa zilizopita mama sarah alionekana kwenda moshi kwa mganga ili waweze kummiliki kijana chidi yeye kama yeye,. Na alifanya taratibu zote sisi tukajua ni yeye kwa faida yake, kumbe wala hata sio yeye, bali kuna mtu ndio kamtuma ila katika sehemu zile mtu huyo hatukumuona au kuhadithiwa,.. Sasa leo ndio tunamjua mhusika kamili ambae anahitaji mbegu za kiume, tena za kijana rijali zaidi kuliko wote, hivyo huyu mama saida sio kwamba ni lazima awe kijana chidi tu, ila kwakuwa kazipata sifa zake hivyo akaona agande hapo hapo mana sifa zake keshaambiwa,.. Maskini kijana chidi anaandamwa na matatizo kama hayo kisa ni utundu au urijali wake ndio unaomtesa kutaka kuchukuliwa nguvu za kiume kwa njia ya ushirikina, na kama watapata mganga wa kweli basi zoezi hilo haliwezi kushindikana,... Mama saida alikuwa akizihitaji mbegu hizo ila hatukujua ni za kazi gani katika maisha yake,... YOTE HAYO TUTAYAJUA MBELE



    "ivi mama sarah, wewe unapenda pesa au mwanaume rijali"

    Mama sarah kwa furaha akajibu

    "mimi napenda vyote"

    "no, nataka useme kimoja... Mfano nakupa Bilioni moja afu uachane na huyo mtu wako upo tauari"

    "hhhhmmmm mama saida, una maana gani na huo mfano wako"

    "huo sio mfano, bali namaanisha kweli"

    "sasa unamaanisha nini"

    "nahitaji hizo nguvu za kiume za huyo kijana,... Nina kazi nazo,.. Na ukifanikisha, Bilioni moja ipo mezani"

    "Whatt???????"

    "unashangaaa nini sasa??... Kama utaweza niambie twende mahari nikupe njia"

    Aliongea mama saida huku akitabasamu kwa kusikia kua kuna kijana rijali zaidi..

    "mama saida, hivi unamaanisha milioni moja au bilioni moja, mana kama vile sijaskia vizuri hapo"

    "i mean Bilioni moja tasilim, tena hata ukitaka before ya kazi nakupata"

    Mama saida alikuwa ni tajiri kuliko hata akina miriam, mana akina miriam ni matajiri kuliko hata akina sarah, sasa leo tunakutana na kifaru anaetaka kutoa bilioni moja kisa ni mbegu za kiume tu,..

    "siamini macho yangu mama saida.... Ila sawa kazi yako ni nyepesi sana kwangu, lakini huyo kijana wangu atakosa nguvu za kiume kabisa"

    "yaani hata dede hatoweza,... Atakuwa zaidi ya shoga"

    "mungu wangu mtoto wa watu"

    "kama hutaki sema"

    "wacha nikutafutie mwingine, lakini huyo mmmhhh niachie mama saida"

    "hapana,... Namtaka huyo huyo,.. Yaani hata ukitaka nikuongeze pesa nipo tayari, lakini awe huyo kijana wako"

    Sasa mama sarah aliposikia kuna kuongezwa pesa... Aliwaza mambo mengi sana

    "mfano akinipa hio Bilioni moja... Afu nikichanganya na ile yakwangu ya kununulia hoteli moja.. Si ninaweza kuwa na hoteli mbili... Hapana, kama ni rijali nitapata tena, wacha nifanye maisha kwanza"

    Mama sarah alijisemea kimoyomoyo huku akimwangalia mama saida..

    "nipo tayari, na nitakuletea,... Ila nipe njia ya kufanya na nikizipata nifanye nini"

    "hapo sasa sawa... Kinachofata sasa hivi twende Moshi"

    "moshi??....moshi kufanya nini tena"

    "kwa mganga"

    "eeehhhh,... Haya twende basi"

    Mama sarah alishangaa kumuona rafiki yake mama saida ana mambo ya kwenda kwa waganga, mama sarah hakupenda swala hilo, ila analifanya kwa shinikizo la pesa...



    JAMANI HII NI KUMBUKUMBU ILI TUJUE KWANINI MAMA SARAH ANAHANGAIKA NA VIKOPO KISA NI MBUGU ZA KIUME, MWANZO TULIJUA NI KWA FAIDA YAKE, KUMBE HATA SIO YEYE ANAEZITAKA MBEGU HIZO... JE UNAJUA ZINA KAZI GANI???.... TWENDE SAMBAMBA



    Wakiwa katika barabara ya kuelekea moshi, wakiwemo wamama wawili wenye pesa zao,....

    Sasa siku ile mama sarah tulisimuliwa akiwa peke yake, kwenye gari lakini kumbe hakuwa peke yake,... Walikiwa wapo wawili lakini sisi tulimwona au tulihadithiwa mama sarah peke yake lakini walikuwepo wote humo ndani ya gari,...

    Wakiwa ndani ya gari mama saida alikumbuka siku ya kwanza alipoambiwa na mganga kuwa

    "unapokuja huku kwa mara nyingine, naomba usiongea na mtu yeyote wala simu yeyote ile.. kutoka ulipotoka, hata kama una mtu ndani ya gari usiongee nae"

    Alikumbuka mama saida.. Sasa kama aliambiwa kuwa asiongeee Je? Mama sarah alipajuaje hapo kwa mganga na wakati hajawahi kwenda na wala hapajui tena hata kisikia hajawahi, lakini kaenda kama mwenyeji...

    PATAMU APO



    SASA TUACHANE NA KUMBUKUMBU YA HAWA WAMAMA, SASA TUJE KWENYE LAIVU, KISHA TUTARUDI KULE



    Tukija huku kwa kijana chidi akiwa ndani ya jiko la kukaangia chipsi,.. Huku akishangaa kukutana na rafiki yake saidi,.

    "chidi,.. Siamini kama upo hapa leo"

    Aliongea kijana saidi huku akimkumbatia rafiki yake, mana toka chidi alipofukuzwa na kaka yake, basi aliweza kupoteana na kila mtu ambae alikuwa akimuona katika mazingira yale,..

    "usijali jamaa yangu, leo nipo nawe hoteli moja"

    Saidi alilia sana mana ni rafiki yake, na anakumbuka hata chumba cha chidi, huyu saidi ndio alikitafuta

    "lakini saidi, wewe si unajua geto kwangu wewe"

    "ni kweli,.. Napajua haswaa tena mimi si ndio nilikutafutia chumba"

    "sasa kwanini hukuja, au we rafiki mnafiki"

    "hapana chidi... Kaka yako aliniambia kuwa imekwenda kijijini mana usingeweza maisha ya mjini... Ila mimi sikuamini maneno yake kuwa wewe haupo mjini... Nilikuwa nakuja pale kwako kila siku, lakini kila nikija sikukuti asubuhi sikukuti, jioni sikukuti.. Ndio nikaamini kweli utakuwa umekwenda kijijini"



    "aaahhh pole sana best yangu,.. Ila Usijali leo tupo pamoja"

    Ni kweli chidi alikuwa haonekani nyumbani mana yeye alikuwa ni wakwanza kuamka na ni wamwisho kulala, hivyo kwa mtu aliokuwa akimfuatilia nyumbani ni ngumu kumpata mana anarudi saa 6 usiku anaamka saa 11 alfajiri,... Sasa kama unamfatilia utampata wapi...

    "nyie watu?.. Habari zenu"

    Iliskika sauti nzuuri ya kike, tena ilikuwa ya kipole sana na yenye msistizo wa kuwaita watu

    "salama boss"

    Wote waliitikia kwa pamoja kwa kumuita boss lakini alikuwa ni mschana mzuri sana, mtoto alikuwa ana rangi ya chocolate, umbo lake lilikuwa halina mfano, mtoto alikuwa ana kiuno kilichobonyea ndani,... Sasa ukimwangalia na hio suti aliovaa, mungu wangu kiukweli aliwavutia wengi sana, sema mbaya zaidi ni mtoto wa tajiri, na sii mwingine bali alikuwa ni MIRIAM mwenye jina la hoteli yao hio iitwayo MIRAS HOTELI

    "ok, nimeskia kuna mtu mpya humu"

    Aliongea kumaanisha kuna mgeni katika sekta hio ya chipsi,..

    "ndio, nipo"

    Alijitokeza kijana chidi huku akiangalia chini kumaanisha kuwa na heshma ya hali ya juu mbele ya boss wake huyo,.. Mana Miriam ni kama boss wa pili kutoka mama yake,.. Hivyo ana mamlaka ya kumgukuza mfanyakazi yeyote yule bila kuambiwa na mtu wala kukataliwa na mtu yeyote yule,.. Yeye ndio kifaru kama ilivyo kwa sarah kule kwenye hoteli yao...

    "ok, kwa torati ya hapa, hua mgeni anatakiwa akaange chipsi kisha awapatie memba wote wa hoteli hio,.. Yaani viongozi wa juu ndio wanapaswa kupima upishi wako, mana hoteli hii ni hoteli ambayo itaweza kutumiwa hata na raisi, hivyo hatutaki mchezo katika vyakula, sawa"

    "sawa boss"

    Chidi alikuwa bado kaangalia chini kwa kuashiria heshma kwa boss wake, hivyo chidi aliambulia kuona miguu na umbo lakini sura hajaiona, na hata huyo bosa pia hakuiona sura ya chidi, kwasababu alikuwa kainamisha kichwa chini..

    Miriam aliondoka na kwenda ofisini kwake huku akijiandaa kiandaa chipsi za viongozi wa hoteli hio ili wajue uwezo wake ulipo...

    Chidi alianza kuchakalika kikazi zaidi na ni kweli chidi ni mtaalamu sana wa kukaanga chipsi,...

    Lakini sasa huku kwa Miriam ambaye alikuja pale jikoni alikua akijiuliza kitu

    "aahhh lakini mbona sijamuona sura yake, afu kana heshima ya hali ya juu, hebu nikamuone vizuri"

    Miriam aliamka na kuelekea jikoni kwa mara ya pili ili akamuone huyo mfanyakazi mpya, mana mwanzo alikuwa kainama hivyo hajafanikiwa kumuona...



    SASA TURUDI NYUMA KWENYE KUMBUKUMBU YETU KWA WALE WAMAMA WALIOPO KULE KWA MGANGA



    Mama saida aliendelea kukumbuka siku hio ya leo jinsi alivyo ongea na mama sarah kuwa

    "Grace,. Tukiwa safarini, hua siruhusiwi kuongea wala kupigiwa simu,.. Hivyo naomba tuwe kimya mpaka tufike kwa mganga"

    Mama saida alimwambia mama sarah

    "sasa kama hutoongea je mimi nitafikaje huko na wakati sipajui"

    "mimi nitakuwa siti za nyuma kabisa, nitakuwa nakuelekeza kupitia kile kioo cha gari pale mbele"

    Kwenye gari kuna kale kakioo kapo pale juu ya kichwa cha dereva, kile kioo ambacho unaweza kumuona abiria wa nyuma, hivyo kile ndicho kilichotumika kumwelekeza mama sarah mpaka kufika kwa mganga,....



    Mama sarah na mama saida walifika kwa mganga na kuelezea shida yao,... Ila shida ya mama sarah kwa kijana chidi, ilikuwa ni kutaka kumuona huko alipo yupo wapi au yupo na nani,... Na hicho siku ile kilikuwa ni cha kweli, alimwona chidi akiwa anachota maji korongoni,.. Lakini hicho sicho kilichomleta,... Na hapo ndani walikuwa watatu, yeye mama sarah, mama saida na mganga, lakini siku ile tulihadisiwa watu wawili, sasa ukweli ni huu, walikuwepo watatu,..

    "ili mtoto wako awe kama wanaume wengine,... Nataka ulete mbegu za kiume kwa mwanaume rijali,.. Ukishazipata hizo uje na chupi yako ambayo umeitumia jana au hata leo, au uje nayo ila usiifue, uje nayo hivyo hivyo, na siku hio ukija uje na mtoto wako,.. Na vitu hivyo viwili tu"

    Hayo yalikuwa ni masharti ya mganga,..

    "ndio babu, tutaweza kufanya hivyo"

    "kikopo hiki hapa, hakikisheni mbegu hizo mkizipata, zisipitishe masaa saba ndani ya kikopo hicho,.. Nazitaka zikiwa bado zamoto moto, na hiki kikopo kitazilinda ndani ya muda huo"

    "ndio babu, tunakuahidi tutaweza"

    Waliongea kwa pamoja wawili hao,.. Kisha wakaruhusiwa kwenda wakafanye kazi hio... Lakini mama sarah bado alikuwa na dukuduku la kitaka kujua, mama saida ana nia gani na mbegu hizo,.

    "kweli napenda pesa, lakini mtoto wa watu maskini ya mungu Grace mie"

    Mama sarah alijiongelea kimoyomoyo huku akiwa tayari kumuuliza mama saida,



    Sasa wakiwa njiani, na wameruhusiwa kuongea ila ispokuwa wakati wa kuja ndio hawaruhusiwi, ila wakati wa kwenda wanaruhusiwa hata kupiga kelele,..

    "mama saida... Samahani ndugu yangu, nina swali juu yako"

    Aliongea mama sarah ili amuulize sabu ya kutaka mbegu hizo ni nini

    "Usijali mama sarah, niulize tu na nipo tayari kukujibu, mana unaniseidia sana"

    Aliongea mama saida huku wakipaki gari pembeni ili waongeee vizuri

    "mimi nataka kujua kwanini unazitaka mbegu za kiume,... Na mbaya zaidi mganga anataka na chupi yako ambayo imetumika na isifuliwe, kwanini, hebu nijuze nami niifanye kazi yako kwa amani"

    Mama sarah alimuuliza mwanamke mwenzie ili ampe ufafanuzi juu ya hitaji lake la mbegu za kiume

    "mama sarah, kiukweli naumia kila siku katika maisha yangu,... Nina pesa nyingi sana nina watoto wawili, ni wazazi wangu wote wawili, na pia nina mume"

    Aliongea mama saida huku akitokwa na machozi ya huzuni

    "najua una familia kubwa sana mama saida, ila kwanini unataka mbegu za mpenzi wangu"

    "afadhali wewe una mpenzi rijali kuliko mimi"

    "kwani wewe una nini mama saida, mbona kila kitu unacho"

    "mama sarah, wewe ni mwanamke mwenzangu, sitaki kukuongopea hata kidogo.... Nakumbuka siku ile nilipokuwa najifungua, kuna kitu nilikikosea pale hospitalini"

    Aliongea mama saida huku akitokwa na machozi ya uchungu..

    "una maanisha nini mama saida,.. Na ulikosea nini huko hospitalini? Naomba uniweke wazi ili nijue nakuseidia vipi"





    Wanawake mnatakiwa kuwa makini sana pale mnapokuwa mnajifungua, coz kuna vitu visipoenda sawa unaweza kumharibu mtoto, haswaa mtoto wa kiume, hii hua wanasema kazaliwa na hali hio lakini haina ukweli wowote, bali ni pale anajifungua hakuwa makini au waseidizi hawakuwa makini,... Haya ni mambo ya zamani sana ila kwa sasa sijui kama ipo, mana mwanamke akijifungulia hospitali ni lazima awekewe umakini wa hali ya juu,... Hivyo kwa sasa tunaweza kusema ni ngumu kutokea ishu kama hio, ila ukumbuke hii ni stori ila vitu kama hivyo vilishawahi kutokea japo sijavishuhudia kwa macho yangu, lakini vipo na vinatokea, hivyo umakini unatakiwa haswa kwa hawa wasichana wasiojua mambo kama hayo.. Mana wamama wanayajua haya ya kua makini sehemu kama hio,...

    Mama saida yeye sijui kakosea nini katika familia yake, lakini inaonekana ana shida sana na nguvu za kiume, sasa sijui zina faida gani kwake,..



    "afadhali wewe una mpenzi rijali kuliko mimi"

    "kwani wewe una nini mama saida, mbona kila kitu unacho"

    "mama sarah, wewe ni mwanamke mwenzangu, sitaki kukuongopea hata kidogo.... Nakumbuka siku ile nilipokuwa najifungua, kuna kitu nilikikosea pale hospitalini"

    Aliongea mama saida huku akitokwa na machozi ya uchungu..

    "una maanisha nini mama saida,.. Na ulikosea nini huko hospitalini? Naomba uniweke wazi ili nijue nakuseidia vipi"

    Mama sarah alikuwa akitamani sana kujua kipi kimemkuta rafiki yake, yaani licha ya kumpa kazi lakini bado ni mara wakubwa tu,..

    "mama sarah, si unamjua mwanangu Ridhiwani"

    "ndiooo, si kale kahensam kako"

    "basi, ana shida ya nguvu za kiume"

    "heeeeeee mama saida, unasema kweli... Na umejuaje kama yupo kwenye hali hio"

    "niliambiwa na baba yake,.. Na baba yake alipomuuliza kuwa hali hio imeanza lini, akamwambia hajawahi hata kusimamisha"

    "jamani, ridhiwani mwanangu poleeee..... Usilie basi mama saida"

    "inatia uchungu mama sarah, naona watoto wa wenzangu wanabadirisha wanawake, lakini mwanangu ndio kwanzaa hata furaha hana"

    Aliongea mama saida huku akilia kwa uchungu wa mtoto wake kushindwa kufanya chochote na mwanamke,...

    Mama sarah nae alilia kwa kuskua hivyo mana wote ni wazazi ila sema mama sarah hakuwa na mtoto wa kiume, yeye alijaaliwa kupata wakike tena kama wa dawa vile...

    "mama saida, kwa jinsi mtoto wako alivyo na heshima kiasi kile, lazima nimseidie mwanao, najua mtoto wako ni wangu... Nipo tayari kuifanya kazi hio"

    Aliongea mama sarah huku akimpa moyo rafiki yake mama saida,.. Mama sarah yupo tayari kuzipata mbegu hizo ili wazipeleke kwa huyo mganga Ridhiwani apate kupona,..

    "nitashukuru sana mama sarah"

    "ila mama saida, kwanini yule mganga anataka chupi yako, anataka aifanyie nini"

    "aliniambia kuwa hio siku nikizipata hizo mbegu niende nazo na hio chupi yangu iliotumika tena isifuliwe,.. Na nikienda niende na ridhiwani,..afu zile mbegu Mganga atazinenea maneno yake, kisha atazimimina kwenye hio chupi yangu, alafu anaitwa ridhiwani ajipakalie zile mbegu kwenye uume wake kwa kutumia chupi yangu,... Kwahio mganga kasema ni lazima iwe chupi yangu, yaani pale akiwa anapakalia hivyo, ni kwamba anazitafuta hisia kupitia chupi yangu,.. Hapo imetumika imani ya kishirikina zaidi, na bila hivyo mtoto wangu hatokuwa lolote grace"



    Mama saida aliongea kwa kirefu mpaka mama sarah akashindwa kuongea kwa uchungu, hakuna kitu kinauma kama mama kugundua kuwa mtoto wake wa kiume hafanyi kazi (hasimamishi) inauma sana haswa kwa wamama,....

    Basi mama sarah alikubali kwa moyo wote kuifanya kazi hio... Lakini moyoni mwake aliongea maneno kadhas kuwa

    "maskini ya mungu chidi wangu utanisamehe tu, sikujui hunijui ila ridhiwani namjua, ni kama mtoto wangu.. Ila ukikosa nguvu za kiume nami nitakuwa na nani... Mbona napata mtihani mkubwa hivi... Au sijui nikuhamishe mji ili ishindikane kwa upande wako, MANA SIO LAZIMA UWE WEWE TU, HATA KWA WENGINE INAFAA"

    ________________________________________



    NA HUO NDIO MWISHO WA KUMBUKUMBU ALIOTUPATIA MAMA SARAH,.. MWANZO ALITUDANGANYA LAKINI HII SASA NDIO YA KWELI, SABABU YA CHIDI KUTAMANIWA NGUVU ZAKE ZA KIUME.... SASA TUENDELEE NA SIMULIZI YETU, HAPA HAKUNA KUMBUKUMBU TENA...



    ________________________________________



    Sasa tukija huku kwa jasmin ambaye ni mke wa Ibrahim akiwa bado hakati tanaa na shemeji yake, kila mara ni kumpigia simu tu,...

    Safari hii simu hio ilipokelewa, na ni chidi mwenyewe ndio kapokea akiwa anaendelea kumenya viazi,..

    "haloo shem shkamoo"

    Alisalimia kijana chidi huku akiwa bize sana na kazi, mana kwa wakati huo ameambiwa akaange chipsi za member wote wa hoteli hiyo, ili waonje radha yake,.. Hivyo ni kama chidi yupo kwenye interview, kwahio hapo akikosea tu basi hana, hata kama kaletwa na boss mkubwa,..

    "staki bwana chidi, mi nimeshakwambia kuwa mimi sio mkubwa kiviile, ni umbo langu tu"

    "ok sawa, sema ulikuwa unasemaje"

    "no, kwenye simu hatuwezi ongea, naomba uje nyumbani"

    "nije kufanya nini huko"

    "we njooo tuna maongezi na wewe"

    "ya maana au umbea tu"

    "yaani chidi mi nimekuwa mbea"

    "samahani basi"

    "ili nikusamehe, jioni njoo nyumbani"

    "sawa basi nitakuja"

    "kweli jamani shem?"

    "ndio nitakuja"

    Jasmini alifurahi mno kuskia chidi atakuja, jasmini alikata simu kisha akampandia hewani myne wake ambae ni Ibrahim,

    "baba king, mdogo wako kakubali"

    "kakubali kuishi nasi"

    "No, kakubali kuja tuongee nae"

    "ehehehehe safi sana mke wangu,.. Sasa andaa maneno ya kumshawishi ili tuishi nae mana nampenda sana mdogo wangu, ila kwa yale niliomfanyia, sijui kama atanielewa"

    "Usijali mume wangu, hilo niachie mimi"

    "nakuaminia mke wangu"

    "sawa, but leo uwahi wahi basi"

    "sawa mamy"

    Simu ilikatwa, lakini jasmini alikuwa alifurahi huku akijiangalia umbo lake la kichokozi,.. Mana jasmini kaumbika ana shepu isio ya kifani,..



    Jasmini alitoka nje ya shumba yake na kwenda kwa majirani ambao ni maskini sana, ila sijui kafata nini huko kwenye nyumba za walala hoi,...

    Sema uzuri wake ni kwamba anaongea na watu vizuri na wala halingii utajiri wao, nyumba hio ambayo imeingiliwa na mwanadada tajiri, ilikuwa ikimfahamu vyema,..

    "karibu mama king"http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Alikaribishwa na mwanamke mmoja mlala hoi,

    Lakini mama king au mke wa Ibrahim yete alikuwa akiangalia kanga ambazo zilikuwa zimeanikwa katika kamba,..

    Mlala hoi alishangaa kuona mwanamke huyo tajiri kaja nyumbani kwake tena huku akiwa anaangalia kanga zake...

    "mama king kulikoni na kanga zangu"

    Aliongea mlala hoi huku akiwa muoga mana hua baadhi ya walala hoi wanawaogopa sana matajiri,..

    "samahani mama nanii... Nataka tuongee zaidi"

    Aliongea mama king huku akimshika mkono yule mwanamke na kuingia nae ndani,..

    "heeeeee wewe mama king angalia usiniletee bakas kwa mume wako"

    "heeeeee sasa wote ni wanawake, hilo balaa litoke wapi"

    "aahhh anaweza hizi vibaya tu"

    "usijali mama naniii... Sasa skia mimi nina shida"

    Aliingea jasmini huku wakikaa kwenye makochi,..

    "ivi na nyie kumbe mnakuaga na shida, haya shida gani tena"

    "najua wewe ni mtoto wa kisambaa, mtanga halisi, nataka unifundishe kitu"

    "mmmhhhh ni kweli mimi ni mtanga, ila wataka nikufundishe nini"

    "kwanza kabisa,... Nataka nizinunue zile kanga zako"

    "heeeeeee mama king,.. Na utajiri wako woote unakuja kununua kanga kwangu,.. Tena zimeisha namna ile"http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "mimi nitakununulia Kabati zima la nguo mpya tupu, lakini unipe hizo kanga zako zilizoisha isha, mi nimezipenda tu"



    Wanawake ni watu wenye akili nyingi sana, ila sema asilimia 90 ya akili hizo hua sio za maendeleo, asilimia 10 ndio zinakuaga na maendeleo lakini hizo 90 wao huwaza starehe, nikimaanisha wanawaza pesa kutoka kwa wanaume,... Wanawaza jinsi ya kumpata mwanaume yaani wao wanawawazia wanaume ili kujikwamua kimaisha,.. Hebu kama kuna mschana ambae hajawahi kula pesa ya mwanaume yeyote yule anyooshe kidole juu, hata kama ni ndogo lakini kuipata kwake hio ndogo ulitumia akili nyingi, mana wanaume wa sasa hivi tumeshaelimika kiasi flani, sio sawa nanzamani,... Ila kwakuwa wanawake ni watu wenye akili mingi za kumbana mwanaume, basi kuna wale wajinga wajinga kama sisi bado tupo tunamalizia kuzifunga zile asilimia zao 90,.. Maskini ya mungu watabakiwa na asilimia chache sana, na hizo ndio asilimia za kuolewa,...



    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog