Search This Blog

Thursday 19 May 2022

TOTO LA KIMANGA - 5

 





    Chombezo : Toto La Kimanga

    Sehemu Ya Tano (5)





    Nilibaki Odini nikimuangalia shemsa ili kuona kama ataweza atarudiwa na fahamu zake,

    Nikiwa pembeni mwa kitanda alicho lalapo shemsa nilikuwa nikifanya maombi kwa mungu ili shemsa aweze kurudi Katika hali yake,



    "Kijana huyo mgonjwa ni nani yako?

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "Ni mke wangu huyu mama,



    "pole kwa matatizo mwanangu,



    "asante mama yangu,



    "kwani alipatwa na nini huyo binti?



    "Ni historia ndefu mama yangu labda nikueleze kwa kifupi,



    Nilimsimlia yule mama kwa kifupi matatizo yalipoanzia mpaka alipopatwa na matatizo shemsa,



    "pole sana mwanangu sasa huyo dada yake hajaja hata kumjulia hali mdogo wake?



    "hapana sijamuona kuja hapa hospital na siku ya kwanza namleta huyu mke wangu hapa hospital nilimpa taarifa kwani nilipata namba yake kwenye simu ya mdogo wake,



    "pole sana vipi kuhusu ndugu zake wengine hujawataalifu?



    "Niluwataalifu mama ila ndugu wa siku hizi si unawajua Tena?



    "Na mama yake ulimpa taarifa au baba yake?



    "mama yake naye naye anaumwa yuk

    [1/15, 18:02] Lazima maisha yaendelee: Yuko hospital ila sijui anaumwa nini na amelazwa wapi ila mungu akipenda kesho nataka nimtafte shangazi yao aniambie mama yao atakuwa amelazwa wapi ili nikamjulie hali niangalie ana tatizo gani ili niweze kumsaidia na yeye kwani najua na yeye atakuwa kwenye wakati mgumu,



    "Hongera sana mwanangu kwa roho nzuri ya kuwatendea mazuri wenzako,



    "asante mama ila ni wajibu wa kila mwanadam kumsaidia binaadamu mwenzie,



    Tuliongea mengi mama yule akaniambia ugonjwa wake unaomsumbua wa mgongo,



    "pole sana mama kwa kuugua ila naahidi kuku saidia hilo tatizo lako na utapona kabisa,

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "nitashukuru sana kama utafanikiwa kunirudisha Katika hali yangu ya zamani maana hapa sinyanyuki wala sitembei kwa sababu ya mgongo,



    "sasa mama acha mimi niende kukutaftia dawa kuanzia sasa hivi usinywe dawa za hapa hospital nisubili niende kuku letea dawa uanze dozi,



    Niliondoka ili kuelekea kwa mzee mmoja niliyekuwa namuamini kwa kutibu kwa kutumia mitishamba na istoshe kuna mtu nilikuwa namfahamu alimtibu uti mgongo,



    ***** **** *****

    Upande wa pili Najma na chaz,



    Najma alikuwa akimjibu kwa nyodo chaz kwani alikuwa hamjuwi na pia alikuwa hajui kama ndie mwizi wa zile pesa yeye anazozihangaikia,



    "dada ukali hausaidii kitu kwani sisi wote ni binaadamu,



    "unajuwa kuna kuwa mtu ana mawazo mpaka anahisi dunia Nzima ameibeba kwa hiyo lazima mtu uwe mkali,



    "Una maswahibu gani mpaka unahisi umebeba dunia?



    "mdogo wangu ametekwa na mama yangu amelazwa hospital,

    Waliomteka mdogo wangu wanahitaji pesa million 500, Mama anahitaji kupelekwa India kwa matibabu, Kwa hiyo lazima nichanganyikiwe,



    "pole sana dada yangu, duhh Itabidi nikusaidie japo mchango wa pesa kidogo,



    "nitashukuru sana kaka yangu,



    "sawa ila tufahamiane kwanza hata kwa majina,



    "mimi naitwa Najma sijui wewe hapo?



    "mimi naitwa chaz jina langu,



    "chaz chaz umesema chaz?....

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Najma alionesha kushituka sana na jina hilo sijui alibaini nini?





    "chaz chaz umesema chaz?

    Alioneshwa kushitushwa na jina hilo,,

    "Ndio naitwa chozi, kwani vipi unanifahamu.?.

    "hapana jina hilo nalifananisha tu kama vile Niliwahi kulisikia sehemu,

    "ok, duniani majina ya chaz ni mengi sana sio mimi peke yangu,

    "sawa, Kwa hiyo kaka yangu utanisaidiaje Katika hayo matatizo yangu?.

    "twende kwenye gari kwanza tuongee vizuri,

    Waliongozana mpaka kwenye gari walipofika waliingia na chaz akamuomba Najma waende kuongelea nyumbani kwake, Najma alikubali bila kusita kwani tayari aliona anaweza kupata pesa kutoka kwa chaz,

    ***** **** ******

    Upande wa pili......

    Chirs alihangaika kumtafta yule mzee ili aone kama anaweza kumpa dawa za kumtibu yule mama uti wa mgongo,

    Alifika kwake akaambiwa ametoka ila alipoelekezwa alipokwenda mzee yule chirs alimfuatilia huko huko mpaka hatimae alimuona,

    "mzee wangu Shikamo,

    "Marahaba hujambo mjukuu wangu?.

    "sijambo mzee wangu habari za masiku mengi mzee wangu?..

    "sijambo mjukuu wangu, Nashukuru kwa msaada wako kipindi kile wakati nina hali ngumu ulinisaidia sana sijawahi kumuuona kijana kama wewe hata wanangu wa kunizaa walinitelekeza kipindi kile ila wewe nisiye jua hata kitovu chako kilichimbiwa wapi ndie Ulinisaidi mungu akuzidishie sana mwanangu,

    "asante sana mzee wangu kwa dua nzuri vipi lakini hali yako kwa sasa?.

    "sasa hivi namshukuru mungu kwani dawa nilizo gundua kama tatu hivi zinaniingizia kuna dawa kutibu mtu aliye palalaizi, uti wa mgongo, Na zinginezo ila hizo mbili ndio zimenisaidia sana kwenye group kupata kipato,

    "Hongera kwa ubunifu mzee wangu mungu akuweke miaka mingi sana,

    "amina,

    Baada ya kuongea mengi nilimsimlia matatizo niliyokumbana nayo mpaka hapo nilipo, zikumficha hata moja hata namna nilivyo pata pesa kwa wale wahindi nilimuelezea mpaka nilivyokutana na shemsa na kuibiwa pesa kila kitu nilimusimulia,

    "Pole sana mjukuu wangu kabla ya yote Chukua pesa laki tano itatusaidia nilikuwa naenda kununua mabati ila nikanunua kesho, Alafu Chukua hii dawa ya mti wa mgongo ukampake huyo mgonjwa kwenye zile pingili za mgongo umpake huku unasugua kidogo leo jioni hii na usiku saa sita alafu na kesho asubuhi Ukimaliza utanipa majibu,

    "sawa mzee wangu nashukuru sana,

    "usihofu maisha kusaidiana, Saa mimi acha nirudi nyumbani nikachukue dawa nyingine maana hiyo niliyokupa kuna mtu nilikuwa nampelekea,

    "sawa mzee wangu asante sana,

    "saa mjukuu wangu wewe wahisha hizo dawa ila usisahau shemsa akipata fahamu njoo nikupe dawa kuhusu hilo tatizo madokta wanalolisema atapata baada kupata fahamu,

    Nilirudi hospital ila nilijiuliza nitampaka vipi mimi yule mama dawa?. Nitamuomba nesi anisaidie,

    Nilifika nikamweleza kuhusu ile dawa na masaa yake,

    "mda si ndio huu nipake basi hiyo dawa,

    Mama aliacha mgongo wazi ili nimpake ile dawa

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Haibu niliziweka pembeni nikampaka dawa baada ya kumaliza nilirudi kwenye kitanda cha shemsa nikamuangalia kwa jicho la huzuni sana huku nikiongea mwenyewe,



    *nakupenda sana shemsa wewe ni binti wa ndoto zangu wewe ni kila kitu kwangu nitakupenda kwenye uzima na maradhi wala sitokutenga*



    Mama yule alikuwa akisikia maneno yangu ninayo mwambia shemsa machozi yakawa yana Mtoka kwa wingi,

    Nilikuwa najiuliza kwani nini yule mama alikuwa anaonekana ni mwenye mapenzi makubwa kwa shemsa kwani alikuwa akilia sana kila alipokuwa akimuangalia,



    ***** **** *****

    Upande wa pili............

    Najma akiwa na chaz walifika kwa chaz wakaanza maongezi,



    "kwa hiyo Najma ulikuwa unahitaji kiasi gani cha pesa?



    "shida tangu ni kupata million 500 ili niweze kupata pesa za kumkomboa mdogo wangu,



    "million 500 sina ila cha kufanya nitakupa million 300 ila sijui utazilipa vipi?



    "kuna mchongo wa pesa nafuatilia nikipata tu nakupa pesa yako,



    "ukikosa je maana pesa kama haiko mkononi huwa haina asilimia 100 kuipata,



    "nitauza nyumba yetu nikulipe pesa zako,



    Chaz alichukua kitabu chake akamuandikia cheki ya million 300 Najma kisha akamkabidhi,

    Najma hakuamini kama kweli alikuwa na wasi wasi huenda ikawa cheki feki,

    Baada ya kupata cheki Najma aliaga ila chaz akamzuiya,



    Chaz alipeleka mkono wake mpaka kwenye kiuno cha Najma na kumvutia kwake,



    "Najma roho mbaya hiyo yaani uondoke bila hata kunipa joto?.



    Najma macho yalimtoka kwani hakutegemea kukumbana na hiyo kabisa,



    "chaz kwani hayo ndio makubaliano yetu?.



    "Siyo makubaliano yetu ila hata wewe mwenye unajiongeza tu,



    Wakati chaz akiongea hayo yote alikuwa akizidi kumpapasa Najma maeneo ya kiuno mpaka mgongoni,

    Najma alijiuliza kukubali au kukataa n pia alikuwa na wasi wasi huenda cheki ile ikawa feki,



    "mtoto mzuri sikia basi sikia wewe kwani ukinipa nitaibandua si nafanya tu alafu unaondoka nayo,



    "chaz mimi haya mambo sikuyazoeya kabisa wala siyo flani yangu kabisa,



    "ukisema hivyo unakosea kabisa hii ndio fani ya kila mmoja hapa duniani mpaka wanyama,



    Hali ilikuwa tete kwa Najma kwani pesa anazitaka ila kutoa utamu hataki,

    Chaz aliendelea kumchezea hivyo hivyo hatimae Najma akaona potelea mbali acha nitoe tu kwani nitapungukiwa nini nikimpa si itabaki kuwepo tu,



    Najma alisaula baada ya kumaliza chaz naye akasaula akambeba Najma mpaka chumbani,



    "soohhuu Aaahhhhh..... Taratibu basiiii chazzzz..... Siyo plasitiki hii......



    ***** ***** ******

    Ilifika usiku nikaenda kununua chakula kizuri nikamletea yule mama akala na mimi nikala, Tukiwa tunaongea mawili matatu gafla akatokea akaingia dokta Nasra,



    "Jamani mimi natoka zamu tutaonana kesho mungu akitupa uzima,



    "sawa na wewe ufike salama nyumbani na kesho tuonane tukiwa wazima,



    "asante kwa DUA, Alafu niliwambia uongozi kuwa uendelee kuwepo hapa odini kama mama alivyoomba na wamekubali kwa hiyo chirs kuwa huru,



    "sawa asante dada yangu,

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Usiku ulifika mda wa saa sita nikampaka dawa tena yule mama,

    Asubuhi palipokucha nilirudia kumpaka tena dawa,

    Mida ya saa mbili nikatoka kwenda kununua chai ula niliporudi Nilisitaajabu kumuona yule mama hayupo kitandani kwake yuko kwenye kitanda cha shemsa alafu amemshikilia shingo,





    Nilisitaajabu kama siyo kushangaa kuona mama yule kasimama wakati alikuwa ni mtu wa kitandani tu,

    Kitu kungine kilicho nishangaza nikumuona akiwa pembezoni mwa kitanda cha shemsa huku amemshika shingo,



    Nilisogea karibu kabisa na kitanda nikaangalia ni nini mama yule anachokifanya,

    Sikuamini kuona shemsa amerejewa na fahamu zake kumbe wakati mama yule amemshika shingo alikuwa amemuinua kichwa ana ongea naye,



    "maaa.... maaamaaa.... Maaa..... maaamaaa....



    Shemsa alikuwa akijaribu kuita mama mama.... Kwa tabu sana,

    Nilisogea karibu yao nakumuangalia usoni shemsa alionekana ni mwenye maumivu makali sana ila sikujuwa anaumia wapi haswa,



    "chirs hebu nenda kamwite dokta haraka maana hali yake siyo nzuri,



    "sawa mama ngoja niende kumwita,



    Ile natoka tu kabla sijafungua mlango mala dokta nasra akawa ameingia ndani,



    "karibu dokta habari ya asubuhi?...



    "Nzuri, vipi unaendeleaje na wagonjwa maana umekuwa muuguzi,



    "wagonjwa wanaendelea vizuri sana dokta Nasra kapata fahamu ila anaonekana ni mtu mwenye maumivu makali sana,



    "kama kapata fahamu ngoja nije,



    DOKTA alitoka mbio sana mpaka nikajiuliza kulikoni?

    Baada ya dakika chache dokta Alirudi akiwa na sindano,



    Alipomuangalia Shemsa alitikisa kichwa kilicho fuata alimchoma sindano Baada ya dakika moja isiyozidi Shemsa alilala usingizi makali,



    "mwacheni alale akiamka atakuwa vizuri sana na mtaongea naye,



    "sawa dokta ngoja tuvute subila,..



    "heee nilikuwa sijakuona mama unatembea?



    "ndio, mwanangu natembea jana mwanangu huyu kaniletea dawa nilishangaa asubuhi nasikia nina nguvu Shemsa alipopata fahamu alianza kuita chirs chirs ndipo na mimi nikajaribu kutembea nashukuru mungu niliweza kila dakika napata nafuu najisikia vizuri kwa kweli,

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "chirs hongera kwakweli kwa kumtibu mama,



    "asante sana na wewe hongera kwa kututibia mgonjwa watu,



    ***** **** ******

    Chaz alizidi kukamatilia mzigo wa najma kihaswa akatia madoido na kachumbali nyingi ili kumnogesha mtoto wa kike,

    "chazzzz basiiiiii bwanaaaa..... Aaaaahhh...... Chazzzz chazzzz,

    Najma alionekana kunogewa na mchezo akaanza kupiga filimbi utazani mlinzi,

    Jinsi dakika zilivyo katika Najma naye alianza kuonesha ushirikiano kwa Chaz kwa kukata kiuno kama anacheza dogori la kikelewe,



    Hatimae asubuhi palikucha najma alijikuta analala kwa Chaz bila kukusudia,

    Asubuhi palipo kucha Chaz akiwa bafuni Najma alianza kupekuwa mle ndani juu ya meza alishituka alipo kutana na karatasi ya bank iliyokuwa imeandikwa jina la Shemsa ambaye ni mdogo wake,

    "haaa inamaana huyu ndiye aliyeiba zile pesa za Shemsa?



    Najma alishitukia mchezo ila wakati anajaribu kuangalia vizuri ile karatasi chaz alirudi kutoka bafuni Najma aliacha kuendelea kufuatilia ile karatasi akarudi haraka akakaa kitandani,



    "vipi mbona umeamka mapema sana Najma?



    "Si kumekucha ulitaka nilale mpaka saa ngapi?.



    "kwa hiyo sasa hivi unaenda wapi nyumbani au wapi?.



    "naenda nyumbani kwanza kwani hujui nimekuja kwako saa ngapi?



    "Najma mbona umekuwa na hasira hivyo? Unanitolea majibu makari,



    "kwa hiyo unataka nicheke cheke kama tahira flani hivi, yaani nilale nje ya nyumbani alafu nifurahie?



    "sijasema hivyo naomba unisamehe kama nimekosea sikutaka kukuudhi,



    Najma hakujibu chochote alinyanyuka na kuelekea bafuni akaoga, Alipomaliza kuoga alivaa kisha akaaga,



    "mimi naenda nyumbani tutaonana mungu akipenda,



    "Najma umenisamehe lakini? Maana naona umekunja ndita?.



    "hayo yameisha isha wala hayako akilini mwangu sasa hivi nawaza kufika nyumbani tu,



    "basi ngoja nikupeleka nyumbani sawa?



    Najma hakujibu kwa kuitika ila alijibu kwa kutikisa kichwa,

    chaz alitoka na Najma wakaingia kwenye gari na kuanza safari ya kwenda kwao na Najma,



    ***** **** *****

    Hali ya shemsa ilinipa matumaini kabisa kuwa atapona,

    Kwa upande wa yule mama hali yake ilizidi kuwa nzuri na kila nesi aliyeingia Odini alishanga sana kwani hakuna aliyeamini kuwa mama yule anatembea na kufanya mazoezi madogo madogo,

    Nilikaa pembeni ya kitanda cha shemsa nikamshika mkono nikaanza kuongea kama naongea naye,



    "shemsa nakupenda sana naomba ukipona usinisahau kumbuka kipindi kile kabla hujapatwa na maradhi nilikwambia kuwa mimi ni masikini ila ni tajiri wa penzi lako, ukija kuishi na mimi kamwe hutojutia,



    Wakati naongea yote hayo kumbe yule mama alikuwa mlangoni amerejea kutoka kufanya mazoezi ya kutembea alisimama mlangoni akasikiliza yote niliyokuwa naongea,



    "chirs mwanangu Usiwe na mawazo mengi sana kiasi hicho shemsa ni wako tu,



    Nilishitushwa na sauti ya yule mama kwani sikujuwa kama alikuwa nyuma,

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Niligeuka nikamuangalia yule mama kisha nikainama chini, hakujuwa nini nawaza ila mimi nilikuwa nawaza kama kweli shemsa atakubali kuolewa na mimi kwani hakuwahi kunikubalia kuwa ananipenda,

    Nikiwa katika mawazo mengi nesi aliingia akaniita,



    "Chirs unahitajika kwa dokta Nasra,



    "sawa nakuja,



    Nilitoka na kwenda kumuona dokta Nasra ofisini kwake kusikia anataka kuniambia nini?.



    "dokta nimekuja kwako kuitika wito wako,



    "karibu kaka yangu wala sina mengi ya kukwambia nilitaka kukwambia hivi kuwa naomba ukamuoshe shemsa,



    "nitamuosha vipi ili hali mtu mwenyewe hana fahamu?.



    "utachukua kitambaa uwe unakiroweka kwenye maji alafu unamfta sehemu zote za mwili,



    "sawa ila si unajuwa yule mama yuko pale nitamuosha vipi?



    "Nenda umwambie namuita alafu wewe uanze kazi yako Ukimaliza Chukua hizi namba zangu tutawasiliana,



    Nilishituka sana kusikia maneno ya dokta kuwa nikamuoshe shemsa Nilisitaajabu sana ila sikumuonesha dokta Nasra wasi wasi wangu kwani walikuwa wakijuwa ni mke wangu,



    Baada ya kupewa utaratibu huo nilitoka nikaenda odini nilipofika nilikuta mama yule anafanya ibada nikaona nimsubili kwanza amalize ibada,

    Baada ya dk15 alimaliza kufanya ibada nikamsemesha,



    "naona unafanya ibada mama yangu?.



    "Ndio mwanangu nilikuwa nina miezi miwili sijafanya ibada kutokana na maradhi yangu,



    "nikumshukuru mungu sana kwani yeye ndie muweza wa yote,



    "ni kweli mwanangu kila jambo mungu ndie anaye lijua,



    "sasa mama dokta Nasra anakuita ofisini kwake,



    "sawa ngoja nikamsikilize anasemaje,



    ***** **** ******

    Baada ya mama yule kutoka nilisogelea kitanda cha shemsa nikamuangalia kisha nikashika nguo yake ambao ilikuwa ni dela nikaipandisha kwa ajiri ya kuivua kutoka mwilini mwake ila kabla sijaitoa niliacha kwanza nikawaza sana,



    *hivi hiki kitu nachofanya ni haki kweli kwa shemsa? Ila Itabidi nifanye tu maana nimeisha kubali kuyavulia maji nguo shariti ni yaoge tu *



    Baada ya kujiridhisha na mawazo yangu nilitoka nikaingia bafuni nikachuku maji kwenye ndoo na kitambaa nikarudi mpaka kitandani kwa shemsa nilipomfikia Nilimvua nguo yake nikaiweka pembeni nikamvua na ch*pi nikaiweka pembeni akabaki kama alivyo zaliwa,

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Mate yalinitoka mdomoni kama vile nimeona ndimu ikiwekwa kwenye kachumbali,

    Nilianza kumfta na kweli nilifanikisha kumfta mwili mzima ila nilipomaliza wakati namvalisha ch*pi tamaa iliniingia nikapeleka mkono wangu kwenye sehemu zake za siri,



    ***** **** ******

    Upande wa pili,

    Wakati chaz akimpeleka Najma kwao Najma alipigiwa simu na bosi john,



    "hallow habari yako Najma?



    "nzuri za wewe bosi wangu?



    "Na mimi mzima vipi ulifanya mawasiliano na shemsa ili tujue tunafanya nini?.



    "yaani nakwambia amefurahi sana aliomba kuongea na wewe nikamwambia sipo na wewe akahuzunika sana na wale jamaa wakasema mwisho ni leo mimi kuongea naye,



    "basi fanya hivi njoo ofisi uchukue zile pesa na akiachiwa tu mimi baada ya siku mbili namuowa anakuwa mke wa pili,



    "sawa usijari utamuoa tu wala hakuna kipingamizi,



    "hivi ni kiasi gani million Miambili au miatatu?



    "million 300 bosi wangu,



    "sawa njoo haraka uchukue,



    "sawa,



    Wakati anaongea na simu pochi yake ilianguka picha ya shemsa ikatoka kwenye pochi na moja kwa moja chaz akayiona akaiogota na kuiangalia akamkumbuka,



    *huyu si yule demu niliyechukua pesa zake million 500 kutoka kwa rafiki yangu chirs? Ni yeye lazima nimnase,



    "mbona unaiangalia sana hiyo picha wewe?



    "huyu anaitwa nani?



    "shemsa kwani vipi,



    "ni msichana ninaye mpenda sana,



    "ni wewe mbona ukitaka nakuoza tu maana ni mdogo wangu ndiye aliyekamatwa ukifanikiwa kumtoa mikononi mwa wale watekaji mali inakuwa yako,



    "sasa si nimekupa million 300 za kwenda kulipa acha nimuowe,



    "kwa hiyo hizi pesa hutonidai?. Mimi nifanye mpango tu wewe uowe?



    "Ndio maana yake,



    Najma alimfanya shemsa mtaji wa kupata pesa kwa vibopa wenye pesa, alienda kwa bosi john akachukua million miatatu na kwa chaz akachukua million 300, Shemsa aliyefanywa mtaji alikuwa hospital akiwa hata fahamu hana,

    Je nini kitatokea?... Nani atamuowa?..

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    ***** **** *****

    Nilipeleka mkono sehemu za siri za shemsa ili kupapasapo kawaida ya binaadamu kutamani,

    Siyo siri kwa uzuri wa mtoto wa kike shemsa hata angekuwa baba yake mzazi lazima angetaka kutachi hata kula kabisa mzigo maana TOTO LA KIMANGA lilikuwa vizuri umbo lake lilikuwa tata kiuno kilionekana kivyake, mgogo ulionekana kivyake, hips na tako vilijigawa na kufanya mwili wake kuchambuka kama mchele wa kiarabu,

    Kwa uzuri sijui nisemeje alikuwa vizuri mtoto wa kike,

    Nilimpapasa nikaona haitoshi nikavua suruali na boxa yangu hapo mnyamwezi wangu alikuwa amesimama wima kama fimbo ya mmasai,

    Nilipanda kitandani ili nizamishe mnyamwezi ndani ya chungu apime kina cha maji,



    ***** **** ******

    Mama yule akiwa na dokta Nasra walikuwa wakiongea yao ila dokta alimweleza mama yule,



    "sasa mama leo tutakuruhusu uende nyumbani maana naona dawa ya chirs imekusaidia,



    "dokta naomba unielewe naomba kuachwa odini mpaka nione hali ya shemsa unaendeleaje?



    "Si Yupo chirs mama kwa hiyo hamna shida na chirs ni kijana mzuri mwema mwenye roho ya pekee na istoshe ni mumewe na shemsa kwa hiyo atabaki ma mkewe kama sasa hivi ameenda kumuosha kwa huduma zote atapata,



    Mama yule alishitushwa na neno kuwa mimi nimeenda kumuosha shemsa,

    Na akavuta kumbukumbu wakati shemsa alipopata fahamu wakati mimi sipo,

    "shemsa umepata fahamu mwanangu mimi ni mama yako hapa,



    "chirs.... Chirsss..... Chirsss........



    "chirs mume wako Katoka,



    "chirs siyo mume wangu ila amenisaidia tu.....



    "mbona anasema mumeo?...



    "hapana sina hata wiki nimejuana naye mama yangu huyo chirs,,



    Baada ya maneno hayo shemsa alishindwa kuongea tena,



    "mama mbona una mawazo sana vipi kulikoni?



    "dokta shemsa ni mwanangu wa kumzaa sema kipindi anakuja kuniona wewe ulikuwa haupo hapa hospital,



    Baada ya maneno yale mama shemsa aliondoka na kwenda odini kwani hakufurahishwa na kusikia mimi nimeenda kumuosha mwanaye dokta Nasra alifata kwa nyuma,

    Walipofika walifungua mlango wakaingia ndani ya Odi,



    Mwisho wa sehemu ya kwanza ya hadithi hii......



    Ungana na mimi kufuatilia sehemu ya pili ya hadithi hii ya TOTO LA KIMANGA.........

    Je chirs alipofumwa akila tunda hali ilikuwaje?.. Mama shemsa alifanya nini?...

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Na je nani alimuowa shemsa TOTO LA KIMANGA?????...



    Mwisho wa chaz na chirs ulikuwa vipi je malengo yao yalikamilika???........



    MWISHO

TOTO LA KIMANGA - 4

 





    Chombezo : Toto La Kimanga

    Sehemu Ya Nne (4)



    "Nesi hebu fanya hivi nenda pale mapokezi uniletee bili ya shemsa,



    "sawa dokta ngoja nikailete,



    Ndani ya chumba cha wagonjwa mahututi walikuwemo madokta wawili wa kwanza ni yule dokta wa kiume aliyempokea shemsa usiku wa jana na wa pili alikuwa ni binti wa kipemba aliyeitwa dokta Nasra,

    Wakiwa wamebaki humo ndani walizidi kujadili hali ya wagojwa wao,

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "unavyoona huyu binti wa kiarabu atapona na kuridi Katika hali yake ya kawaida?



    "itakuwa ngumu kwani ubongo wake umecheza sana kwa majibu ya hii picha,



    "leo nikiwa na dokta lameck tulijalibu kuchunguza hii picha tukaona kuwa ataweza kupata fahamu vizuri akizinduka ila Baada ya siku zisizozidi 30 atapata hitirafu ya kuwa na upungufu wa hakili,



    "mlichoona ni kweli kwani hata mimi nilikiona ulipo nikabidhi zamu asubuhi ya leo,



    "sasa dokta Nasra cha kufanya ni kuwa binti huyu atahitaji dawa za kusafisha mishipa ya fahamu ili kupunguza ukubwa wa tatizo kwa siku za usoni,



    "ngoja nijaribu kuipitia vizuri hii picha alafu ili nijue tatizo kwa undani zaidi alafu ndipo nitakwambia tufanye nini kama tutatumia dawa au kufanya upasuaji mdogo,



    "sawa, basi acha mimi nikapumzike tunaonana kwa majariwa yake mungu,



    "sawa, mapumziko mema dokta,



    Dokta alitoka zamu akaenda zake kupumzika aliyeshika zamu alikuwa ni dokta Nasra,



    ***** ***** *****

    Upande wa pili,



    Nikiwa na mtoto wa kihindi huku nikijaribu kuzivuta hisia zake karibu zifanane na zangu kwa kumunyonya chuchu moja ya upande wa kushoto huku ya upande wa kulia nikiwa naipapasa na kuichezea kwa kutumia vidole viwili na mfumo niliotumia ulikuwa wa kuchezea kale ka kichwa ka kwenye chuchu,



    Kwa kutumia uzoefu wangu na utundu wangu binti wa kihindi alianza kutoa milio kama mfano wa ndege zikiwa kwenye viota zikicheza na vitoto vyao,



    Oooopssiiii............ aaaaaxxxiiiiii.........

    Mijiseee oooohiii Mijiseee........... Tuibahiiii..........



    Alianza kulalama kwa kuongea kihindi hapo mwanaume sikujua nasifiwa au napondwa hata kama nilikuwa natukanwa nilikuwa sijui,



    Niliendelea kumlainisha mpaka pale nilipoona amelegea na kukubali sheria yeye mwenyewe,

    Taratibu Nilianza kumsogeza mkuu wa majeshi kwenye tundu la hasali nilipomfikisha mlangoni alikuta mlango umefungwa hali hiyo ilinijulisha kuwa mlango ulikuwa mpya hakuna mgeni yeyote aliye wahi kuingia ndani hata chelewa ilionekana haikuwahi kuingia ndani,

    Nilichofanya Nilianza kuipiga mlango randa ili kuondoa uzibe niweze kuchungulia ndani,

    Nilipo jaribu kupiga randa kwa juu mtoto wa kike alishituka kwani mambo hayo yalionekana mageni kwake,

    Nikiwa najaribu kupasua nazi gafla mlango ulisukumwa na gafla tukasikia sauti ya baba yake..

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    ***** ***** *****

    Hospital tena...



    Nesi alifikisha bili ya shemsa kwa dokta Nasra akamkabidhi,



    "anadaiwa laki nne na nusu, sasa ngoja nikupe ukailipe alafu uende ukalete hizo dawa Tuanze tiba sawa,



    "sawa dokta,



    Nesi alipewa pesa akalipie bili ya shemsa ili matibabu yaendelelee kama kawaida,

    Dokta Nasra akiwa anasubili dawa gafla akaona kitanda kinacheza cheza alipomsogelea mgonjwa aliona mashine ya kupumlia imeanguka chini alishituka alipo muangalia vizuri alitisa kichwa,

    "inamaana Jitihada zangu zimegonga ukuta?..



    Nasra alifanya kila awezalo ili aweze kuona hali ya mgonjwa wake inarudi kwenye kiwango chake,



    Kazi ya udaktari ni wito ila madokta waliowengi hawatekelezi huo wito,

    Kwa Nasra kazi ya udaktari ilikuwa ni wito kweli kwani alifanya kila mbinu aijuwayo na awezayo kuhakikisha mgonjwa wake anamtibu na kupona,



    Nesi alikuja na dawa za kumtibu shemsa kama alivyokuwa ameagizwa na dokta Nasra,



    "nesi leta bomba la sindano haraka haraka alafu upime presha ya mgonjwa iko ngapi,



    Nasra alizidi kumhangaikia shemsa kwa ukaribu na pia alizidi kutoa malekezo kwa nesi ili kazi yao imalizike haraka salama salimini na ndani ya mda muafaka,



    Baada ya pilika za matibabu mgonjwa mwingine aliyekuwa chumba cha wagonjwa mahututi alirudishwa odini baada ya hali yake kuonekana inaendelea vizuri,



    "Nesi fanya hivi huyu mgonjwa mrudishe Odini kwani naona anaendelea vizuri,



    "sawa dokta,



    Yule mgonjwa mwingine alirudishwa Odini ila shemsa alibaki kwenye chumba cha wagonjwa mahututi akiwa chini ya uangalizi wa dokta Nasra,



    ***** ***** *****

    Gafla tulisikia sauti ya baba yake, Binti wa kihindi aliposikia sauti ya baba yake alijitoa kwangu haraka huku akisema kwa kihindi,



    "dady navaa nguo nakuja,



    Baada ya baba yake kusikia hivyo aliacha kuingia ndani kwani tayari alikuwa amefungua mlango,

    Nilijiuliza inakuwaje mlango umefunguka wakati mimi niliiufunga?.

    Sikuwa na jibu Nilibaki kumuangalia binti kihindi alivyokuwa anavaa nguo, Baada ya kumaliza kuvaa alinifuata kitandani na kuniambia,

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "jifiche pale nakujaa baba hadabu yake ndogo anaweza kuingia ndani bila hodi,



    Baada ya kunieleza hayo alitoka chumbani kuitika wito wa baba yake,

    Alipofika sebureni baba yake alimwambia,



    "sisi tunaenda hospital mama yako anaumwa kwa hiyo atarudi baadae,



    "sawa baba,



    "alafu mbona hujala chakula wewe chumbani unafanya nini?.



    "Hakuna nachofanya baba,



    "Alafu huko chumbani kwako una radio?



    "hapana dady,



    "mbona nimesikia sauti ya kiume huko?



    Purya mke wa mzee walikutanisha uso na binti wa kihindi yaani mtoto na mama yake wa kambo waliangaliana kila mmoja akabaki ameduwaa Purya alipata wasi wasi na mwanaye wa kambo kuwa anaweza kuwa alikuwa anakula raha na mtoto wake wa kambo,

    Pia na mtoto wa kihindi alihisi kuwa chirs alikuwa humo ndani kwa ajiri ya mama yake wa kambo,



    "nyie vipi mbona mnaangaliana hivyo?





    "nyie vipi mbona mnaangaliana hivyo?.

    Purya alimuangalia mtoto wake wa kambo kisha na yeye akamtupia swali,

    "Nelha mbona unaniangalia hivyo kulikoni?.

    Nelha alimuangalia mama yake wa kambo kisha akamuuluza na yeye swali,

    "sisi wote baba katuuliza kwanini tunaangaliana? Kwa hiyo jibu lilitakiwa litoke kwetu sisi wote kumjibu baba,

    Purya alimuangalia mtoto wake wa kambo akaona kama anataka kumuumbua kwa mume wake alichofanya alimjibu Nelha na kumuuliza swali,

    "haya asante kwa kunijulisha hilo, Ila kwa wewe uliyeelewa swali basi mjibu baba yako,

    Nelha swali lilimbana akamuangalia mama yake wa kambo kambo kisha akafikilia atajibu nini,

    *sasa nifanyeje niseme ukweli ili niluke hii kesi? Nikisema ukweli yule kijana atakuwa matatani alafu moyo wangu umeisha mpenda,

    Nampenda sana yule kaka siwezi kumfanyia hivyo,

    Nelha akiwa Katika mawazo debe alishitushwa na ukali wa sauti kutoka kwa baba yake,

    "wewe Nelha unawaza wa nini baadala ya kunipa jibu nililokuuliza?

    Nelha alionesha kubaha kutokana na ukali wa baba yake,

    Purya alipoona hivyo aliingilia kati ili Nelha asiogope akamtaja chirs,

    "mume wangu hebu twende hospital mimi hali yangu siyo nzuri kabisa,

    "haya pita hapa twende , Ila wewe Nelha siku ukiingia kwenye kumi na nane utajuta kuzaliwa,

    Purya na mume wake waliondoka kuelekea hospital, Nelha alipakuwa chakula akaenda kula na chirs ndani chumbani,

    "hivi kaka unaitwa nani?

    "Naitwa chirs,

    Walikula baada ya kula wakarudi kitandani alicho fanya chirs alihalakisha kula tunda ili atoke pale ndani kabla mzee mwenye nyumba hajarudi,

    "chiiiiiirssss aaapsss!!!!........ Chiiiiiirssss apooooo naumiaaaa..........,

    "Tulia basiiiiiii Nelhaaaaa........ Namaliziaaa..........,

    "kolhaaaa..... Chiiiiiirssss kolhaaaa...... Aaaaaxxxiiiiii......

    Nilikula tunda baada ya kumaliza nilibaini kuwa nimemuumiza Nelha Katika sehemu yake ya utamu,

    "pole Nelha sikukusudia kukuumiza ila utazoeya tu tukiwa tunafanya mala kwa mala,

    "kwa nilizoeya nitakuwa nasikia raha kuliko hii ya leo?

    "Ndio alafu siku nyingine utasikia raha mwanzo mpaka mwisho kuliko leo,

    Baada ya kuongea mengi nilimwambia shida yangu kuwa nina mgonjwa hospital ila sikumwambia ukweli wa mgonjwa mwenyewe,

    Nelha alitoa dola za kimarekani Dora 700 ambazo ni sawa na Shilingi million moja na laki saba,

    Nelha aliniletea nguo zangu kutoka chumbani kwa mama yake wa kambo akaniletea mimi nikaondoka kurudi hospital kujua hali ya shemsa na kulipia pesa za matibabu na kutoa pesa ya kununua zile dawa nilizoambiwa na dokta lameck,



    Nilipotoka hapo kwa kina Nelha moja kwa moja nilielekea hospital kwenda kumjulia hali shemsa,

    Nikiwa njiani Niliwaza mengi sana haswa kikubwa nilichokuwa nawaza nilikuwa nawaza hali ya shemsa ikoje tangu nilipomuacha hospital asubuhi akiwa hajarudiwa na fahamu zake,



    *sijui atakuwa ameisha pata fahamu masikini wa mungu? Nasikitika kuchelewa kwangu ila Itabidi anisamehe kwani sikukusudia, Na pia nimedhini ila nimefanya hivyo ili kupata pesa za kumlipia hospital na hilo nalo Itabidi anisamehe kwani sikukusudia starehe, waswahili wanasema mtu akifumba macho kwa kupoteza fahamu eti nafsi yake inakuwa inazunguuka kama ni kweli na umenishudia naomba radhi shemsa wangu,



    Mawazo yalizidi kutawala kichwa changu na pia wasi wasi ulikuwa ni mwingi sana kama vile nimefumaniwa,

    Hii yote ilitokana na mimi kutokuwa na tabia mbaya za kutembea na wanawake ovyo, Kwa hiyo kutokana na kutokuwa na tabia hizo ndio maana nilikuwa najishitukia sana,



    ***** **** *****

    Nilifika hospital huku nikionekane ni mwenye wasi wasi sana hata nesi aliponiona alilijuwa hilo,



    "chirs habari yako, Alafu mbona umechelewa sana?.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "Samahani nesi naombeni radhi sana kwa kuchelewa kwangu nilikuwa kwenye pilika za kutafta pesa ndio maana nimechelewa,



    "pole sana, sawa basi acha mimi niendelee na kazi,



    "sawa nesi, Ila vipi kuhusu hali ya mke wangu?.



    "kidogo yuko vizuri na kwa sasa hivi yuko Odini nenda namba sabaA,



    "sawa asante sana nesi mungu awalipe kwa wema wenu na ukarimu wenu,



    "asante na wewe pia tunakushukuru kwa kuwa mvumilivu,



    Nilitembea mwendo wa haraka haraka ili kwenda kumuona shemsa Odini anaendeleaje,

    Haaaa nimesahau kumuuliza kama alilejewa na fahamu zake au laaaa,

    Ila hayo nitayajulia huko huko ndani ya Odi,



    Nilifika nje Odi nikabonyeza kiaramu cha kuuliza kama niingie ndani au laa,

    Hiyo alarm waliyiweka ili kama huenda mgojwa amekaa vibaya basi akae vizuri au kama dokta anatoa huduma basi upate taarifa,

    Baada ya kubonyeza alarm nilijibiwa kuwa niingie na wao kwa kubonyeza batani iliyosema welcone kama hawajakuruhusu wanabonyeza batani ya stop,



    Niliingia ndani moja kwa moja nikaona vitanda viwili ila alicholazwa shemsa nilikiona,

    Nilianza kumsalimia mgojwa mwingine aliyekuwemo humo Odini,



    "Shikamo mama?



    "Marahaba hujambo mwanangu?



    "sijambo mama vipi hali yako kwa sasa?.



    "sasa hivi nashukuru mungu napata ahuweni,



    "sawa ugua pole mama yangu allah atakuponya,



    Baada ya salamu Nilienda mpaka kwenye kitanda alicholazwa shemsa pembeni yake alikuwepo Binti mrembo sana mweupe kiasi alionekana mwenye nywele nyingi sana japo alikuwa na ushungi kichwani kutokana na muonekano wake alionekana ni Dokta,



    "asalam aleykum, Habari zenu,



    Binti huyo aliitikia na kuniuliza swali,



    "waleykumsalam, Wewe ndie chirs mume wa shemsa?



    "Ndio mimi dokta,



    "mbona umechelewa kiasi gani hiki toka asubuhi mpaka sasa hivi ndio unarudi?



    "Nilienda kutafta pesa dokta wangu, Maisha yangu ni ya kubangaiza,



    "sawa tuyaache hayo, sasa mkeo amebainika ana maradhi mengine makubwa,



    "Maradhi gani hayo??.....



    "mke wangu anaumwa ugonjwa gani huo mkubwa?



    "Ni kwamba Katika uchunguzi tumebaini kuwa ataweza kupata fahamu zake ila kwa siku za usoni atapata tatizo la upungufu wa hakiri,



    Nilimuangalia shemsa kisha nikasogea mpaka karibu nikamshika mkono,



    "nakupenda mke wangu nitakupenda kwa hali yoyote ile hata upate maradhi gani,

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Japo alikuwa hajapata fahamu zake shemsa ila nilimwambia kama kuonesha kuwa tuko pamoja popote pale na hata kwa maradhi yoyote yale,



    Dokta Nasra aliniangalia kisha akanishika begani na kuniambia,



    "Acha kuliya haya ni ya dunia na yanapita tu kwa hiyo usiyape kipaumbele sana yaone niyakawaida tu,



    Yule mama mwingine aliyekuwa amelala kitanda cha pili na yeye alianza kuliya tena alilia kwa hisia sana mpaka mimi na dokta tunashangaa sana,



    "mama usilie si unajua hali yako ya mgongo hutakiwi kuuchezesha, nyamanza mama yangu acha kuliya hali yako siyo nzuri, Mama mamaaaa......



    Nilimuangalia yule mama nikamuonea huruma ikanibidi nimsogelee na mimi nikaanza kumbembeleza kwani alikuwa analia sana mpaka kwikwi,



    "mama........ Mamaaaa acha kuliya haya ni mapito tu sawa mama yangu?



    "Nimekuelewa mwanangu nimekuelewa nanyamanza,



    Mama yule alinyamanza ila alionekana ni mwenye mawazo mengi sana na alionekana ameguswa sana na ugonjwa wa shemsa,



    ***** *f**f ******

    Dada yake na shemsa baada ya mda kupita alianza kuhaha asijue nini cha kufanya kuhusu kupata pesa za yule mwanaume aliyempa shemsa kwa makubaliano ya kumuoa,

    *nimeambiwa nichague mawili kufa ama kurudisha pesa za watu au kumpeleka shemsa akaolewe,

    Nifanyeje mimi jamani shemsa mwenyewe sijui yuko Katika hali gani toka siku ile apokuwa hoi kwa kupigwa na baba mdogo,



    Akiwa Katika mawazo mia kidogo gafla simu yake iliita kuangalia aliona ni Mr john bosi wake na shemsa,



    "hallow habari yako?



    "nzuri bosi vipi hali yako?



    "mbaya kwangu kwani simuoni kabisa mdogo wako sijui yuko wapi,



    "ni marefu ndugu yangu labda tuonane nikwambie,



    "sawa, basi njoo hapa ofisini kwangu,



    "sawa nakuja,



    *huyu boya akiingia mkenge nampiga pesa za kumlipa yule jamaa ili aache kunifuatilia kabisa maana nahisi harufu ya roho yangu kunyofolewa,



    Baada ya dada yake na shemsa kujiandaa alitoka kuelekea ofisini kwa Mr John ili aone kama ataweza kutumia uongo wowote ule apate pesa ya kulipa deni.



    Najma dada yake shemsa alitoka nyumbani na kwenda kuonana na bosi john,

    *lazima nifanye kila niwezalo nimtoe pesa bosi john nilipe pesa za yule jamaa la sivyo zitanitokea puani *



    Najma alifika ofisini kwa jonh ila akabadili muonekano wa sura yake na kuwa kama mtu aliye pata msiba,



    "Najma mbona hivyo unaonekana mwenye huzuni sana?



    "john matatizo yamenifika shingoni sina pa kukimbilia hapa unaponiona ili nipate msaada,



    "una matatizo gani tena Najma maana nilikuwa najua lile la kuuguliwa na mama yenu tu,

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "Ndio na bado anaumwa ila kuna tatizo ambalo limejitokeza tena,



    "tatizo gani tena hebu nijuze nijue nini kina kusibu?.



    "john ni kwamba shemsa ametekwa na watu wasiojulikana watu hao wanataka million 500 ili wamuachie yaani hapa sina hamu matatizo yameniandama sana,



    "duhh!!... Pole sana Najma vipi umejaribu kuwasiliana na polisi kuona kama wanaweza kukusaidia?



    "wameniambia nikitoa taarifa polisi basi watamuuwa bila kupoteza mda,



    *mmhhh masikini shemsa tufanye nini arudi akiwa mzima? Pesa wanayotaka ni nyingi sana, Najma mpaka sasa hivi umepata kiasi gani?



    "yaani hapa nina million 50 tu na kuna shangazi yetu wa kimara kuniambia niende kimara nikachukue million 50 kwa hiyo zitakuwa million 100,



    "sasa Najma mimi hapa nina million 200 ila ziko kwenye bajeti ya ofisi, Sijui nitafanyaje mimi ili tusaidiane kwenye hili tatizo maana shemsa mwenyewe nilikuwa nampenda kweli,



    Najma aliposikia maneno hayo aliona hapo ndio penyewe pa kulia pesa,



    "sasa kama ulikuwa unampenda fanya tumtoe huko ili umuowe sasa,



    "mhhh Najma unaona shemsa atakubali kweli?



    "Basi leo wakinipigia nitawambia wanipe simu nimuulize mimi najua anakubali tu maana kwanza shemsa alikuwaga anakusifia sana ulipoowa alihuzunika ila hakukuonyesha tu,



    "ila inaweza kuwa kweli maana hata kwenye harusi hakuja,



    "Siyo inaweza kuwa kweli ni kweli na kwenye harusi alikataa makusudi aliniambia ataweza kulia watu wakamshangaa,



    "masikini shemsa kwanini hakuniambiaga si ningelimuowa mimi jamaniiiii......



    John aliingia mkenge kwani alianza kujilaumu sana mpaka Najma akapata uhakika wa kupiga pesa million kadhaa,



    "tena sikia john hizo pesa tutasainishana makubaliano na shemsa atasaini sawa.?



    "sawa itakuwa vizuri sasa wewe kaongee naye alafu utanijuza atakacho sema,



    "sawa kwaheli mr john,



    ***** **** ******

    Najma wakati anatoka hapo ofisi alikutana na chaz yule aliyeiba

TOTO LA KIMANGA - 3

 





    Chombezo : Toto La Kimanga

    Sehemu Ya Tatu (3)





    Shemsa alizidi kugala gala chini huku akiwa anaugulia maumivu makali aliyokuwa amepata baada ya kupigwa teke la mbavu,



    "mama mamaaaa nakufa naaaa kufaaaa.....



    Shemsa alizidi kulalama kwa kulia kutokana na maumivu makali aliyozidi kuyasikia,

    Wakati shemsa akizidi kulalamika baba yake mdogo alikuwa akifoka kwa kuongea maneno ya ajabu,



    "yaani leo lazima nikutoe roho mshenzi mkubwa wewe,



    Alipotoa kauli hiyo alimfuata shemsa chini alipokuwa amejilaza akilalamika kwa maumivu alipomkamata alianza kumnyonga kwa kutumia kitamba kilichokuwa mezani,



    "mamaaaa nakufaaaa

    Maaama nisaidieee....



    Shemsa alianza kuhaha na kutupa tupa miguu huku na kule huku akiwa anatumia mikono kuhangaika kutoa kitambaa kilichokuwa shingoni kwake kikimnyonga,



    Ilikuwa kama bahati kwa shemsa kwani chirs alifika kumbe hakuwa mbali alikuwa maeneo ya jirani na kwake,

    Chirs alipoingia hakuuliza chochote wala hakumuangalia mtu usoni alianza kutoa kichapo fasta kwa baba mdogo na rafiki yake,

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Japo walikuwa wawili ila hawakuweza kufurukuta mbele ya chirs,

    Chirs alitoa kichapo kwa wote wawili mpaka kila mmoja akawa hoi bini taabani,



    Dada yake shemsa alipoona hivyo aliponyoka akakimbia na kutokomoeya,

    Baba mdogo alipoona mambo ni magumu yeye na rafiki yake walikimbia na wao wakatokomea chirs alipoona wamekimbia alienda kumnyanyua shemsa chini na kumkalisha juu ya kitanda,



    "shemsa vipi unajisikaje na hali?.



    "mbavu zinauma na shingo inaniuma sana,



    "basi jikaze twende nikupeleke hospital ukatibiwe,



    Chirs alichofanya alimshika mkono shemsa akaupitisha begani kwake kisha mkono wake chirs yeye akaupitisha kwenye nyonga za TOTO LA KIMANGA japo walikuwa katika matatizo chirs alijisikia burudani kumshika mtoto wa kike vile,

    Walipofika nje shemsa alimuuliza chirs kuwa kama anaweza kuendesha gari,



    "Ndio naweza kuendesha kwani vipi?



    "Chukua ufunguo wa gari mfukoni uendeshe hiyo gari twende hospital,



    Chirs alizidi kufurahia zile hali za kumpapasa shemsa kwenye mwili wake,

    Kwani alipoingiza mkono mfukoni alipapasa kutafta ufunguo japo alikuwa anaugusa nia yake alikuwa amguse guse mapaja,



    Chirs aliwasha gari akaondoka kumpeleka hospital shemsa,

    Walipofika hospital walifuata mpangilio mzima kisha shemsa akaingia kwenye,

    Baada ya vipimo ilionekana kuwa shemsa alazwe ili awe chini uangalizi wa doctor,

    Shemsa aliwekwa kwenye wili chea na nesi akaanza kuisukuma kumpeleka wodini shemsa,

    Shemsa alipokuwa kwenye wili chea aliona kitanda cha wagonjwa kikisukumwa kutoka kwenye chumba alichokuwa amelazwa mama yake,

    Kitanda hicho kwa juu kulikuwa na mwili wa mtu umelalapo juu umefunikwa na shuka nyeupe kwa muonekano ilikuwa inaonekana ni mati,



    Shemsa alipoona hali hiyo hakutaka kushanga tena akiwa juu ya kiti cha wagonjwa alijinyanyua kwenye kile kiti akaanza kukimbilia kile kitanda chenye maiti ili aweze kubaini kama mama yake ndie aliye poteza maisha,



    Shemsa alijaribu kukimbilia kile kitanda ila hakuweza kumudu mwendo wa kile kitanda kwani manesi walikuwa mbio sana kuwaisha maiti mochwari,

    Shemsa kutokana na maumivu aliyokuwa nayo alijikuta anaanguka chini na kupoteza fahamu,

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Nikishirikiana na nesi tulimnyanyua na kuipeleka chumba cha daktari akalazwa juu ya kitanda na vipimo vikaanza kuchukuliwa ili kubaini ni nini tatizo?



    Baada ya vipimo kupimwa madokta walizidi kuongezeka kwenye chumba cha vipimo huku kila mmoja akijaribu kueleza nini cha kufanya ili kurudisha Uzima wa TOTO LA KIMANGA,



    hatimae palikucha asubuhi ikawasili nikiwa bado niko hospital kutaka kujua hali ya shemsa itafikia wapi kwani mpaka dakika hiyo alikuwa hajazinduka (fahamu zilikuwa bado hazijalejea),

    Nikiwa bado nje ya chumba cha vipimo gafla madokta walitoka wakiongozana na mimi bila kupoteza dakika nikamuita dokta mhusika aliyempokea,



    "dokta samahani naomba kuuliza vipi hali ya mke wangu?



    Nilichofanya nilijimilikisha shemsa kwa kumuita mke wangu dokta aliniangalia kuanzia unyayoni mpaka utosini kisha akaniuliza,



    "Kijana yule dada ni mkeo kabisa ama unatania wewe?



    "Ni mke wangu dokta ni kwani vipi?.



    Nilimjibu dokta kwa kujiamini asilimia mia kwa mia akarudia kuniangalia tena kisha akanena,



    "Kijana Hongera kwa kuwa na mke mzuri saba aliyekizi viwango vyote vya uzuri ila najiuliza ulimpata vipi?



    "dokta tuachane na hayo hebu niambie vipi hali ya mke wangu?.



    "njoo ofisini kwangu tuambiane,



    ***** ***** *****



    Upande wa pili Najima ambaye ni dada yake na shemsa alipigiwa simu na yule mwanaume aliyempa pesa shemsa,



    "najma habari za siku nyingi?



    "nzuri tu sijui wewe mwenzangu hali yako huko ulipo?

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "mimi naendelea vizuri nilitaka kujua mipango inaendeleaje kuhusu kumuowa mtoto huyo wa kike maana si unajua makubaliano yetu jinsi yalivyo?.



    "najua yote hakuna nililosahau ila kuna tatizo limejitokeza hapa Katika,



    "tatizo lipi tena?



    "zile pesa ulizo mtumia shemsa ziliibiwa zote kwa wakati mmoja na mama bado yuko hospital,



    "Najma sikia upuuzi siyo mahara pake wala matani siyo mahara pake angalia nisije kukutoa roho bila kupanda,

    Sikia niwambie kitu kimoja Najima ni kuwa chagueni moja mimi kumuowa Shemsa au mimi kutoa roho zenu?



    Najma alibaki mdomo wazi asijue cha kujibu.............



    ***** ***** *****



    Niliingia ofisini kwa dokta kupata kujua hali ya shemsa inaendeleaje,



    "Kijana inabidi ujikaze kwa haya ninayo kwenda kukwambia kwani kukuficha hatuwezi kukuficha tena,

    Ni kwamba mkeo alipoanguka aliweza kupata hitirafu kwenye ubongo kwa hiyo mke wako ni kuwa amee...



    "dokta amekuwaje mke wangu amefariki? Niambie dokta niambie ukweli usinifiche dokta,



    Dokta uso ulikuwa umemshuka kabisa akionesha kuwa anachotaka kunieleza ni kizito,



    "Kijana ni kuwa mkeo amepata hitirafu Katika ubongo yaani sehemu ya kubwa imepata hitirafu kwa hiyo mkeo hatoweza...



    Kwa hiyo mkeo hatoweza kupata fahamu haraka na kama atapata fahamu haraka basi juwa baada ya siku chache atapata tatizo la akiri,



    "dokta sijakuelewa vizuri umesema kuwa kama atarudiwa na fahamu haraka basi atakaa siku chache akiwa na fahamu zake ila akageuka kuwa mwehu yaani kichaa?.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "Ndio hivyo mr chirs kwa hiyo Itabidi ujiandae na hali hiyo kwa kuwa ni lazima itakuwa hivyo,

    La sivyo tumuombe mungu atusaidie achelewe kurudiwa na fahamu zake ili akiri ipate mda wa kujipanga,



    "dokta ni mda gani akikaa bila fahamu fahamu ndio atakuwa sawa?



    "Kwa makadilio ni kama kama siku zisizo punguwa kama kumi na tano hivi,



    "dokta hakuna njia ya kuepusha hali hiyo ya kuwa na ukichaa baada ya kurudiwa fahamu?



    "sikia chirs fanya kitu kimoja kuna dawa zitaitajika baada ya kurudiwa na fahamu dawa hizo zina garama kidogo zinagarimu kiasi kama laki tano akizipata hizo zitamsaidia hata akiwa kichaa kitakuwa siyo kichaa cha kucharuka sana,



    Baada ya kuambiwa garama za dawa nilihisi kichwa kupasuka nikahisi uzito kama vile nimebeba dunia,

    Nilichofanya Niliona bora nitoke hapo hospital niende kutafta hizo pesa kuliko kuendelea kukaa hapo,

    Hakiri ilinituma niende kumtafta chaz angalau nione kama ataweza kunipa hata mil. 1,



    "sawa dokta acha niende kutafta pesa nakuja labda dawa hizo zinaweza kumsaidia,



    "sawa ila pia kumbuka kuwa unadaiwa pesa za hapa hospital kuhusu vipimo na dawa tunazo endelea kutumia kwa ajiri ya mgonjwa,



    "sawa dokta haina shida acha nifanye mishe mishe za kupata hizo pesa, pesa,



    Niliona haina haja ya kupoteza mda Niliondoka nikaingia mjini kaliakoo nikaanza kuuliza washikaji waliokuwa wanamjua chaz na mimi,

    Nilifanya kazi hiyo kwa masaa matano mpaka nikapata mwanga kidogo wa kumpata chaz,



    Nilielekezwa kuwa anaishi kwenye magorofa ya wahindi post na mimi bila kusita nilielekea huko huko huku nikifuata ramani Niliyoelekezwa,



    Nilifanikiwa kufika post nikaliona jengo nililoelekezwa nikaingia nikaanza kuzipanda ngazi kuelekea upande wa juu nikiwa nazipanda ngazi Nilichofanya niligonga hodi kwenye gorofa ya tano ili kuuliza kama kweli chaz anaishi kwenye huo mjengo,



    Niligonga hodi pasipo na matumaini nikakata tamaa nikaona bora nipande juu nilipofika gorofa ya sita nikagonga hodi kwenye mlango mmoja,



    Niligonga ila kama nilisikia sauti ya milio ya vinanda ikichombeza taratibu, sikusita Niligonga hodi hodiii... Hakuna aliyeitika Niligonga hodi huku natega sikio mlangoni kusikia kinachoendelea ndani nilisikia sauti za mahaba nikashindwa kuelewa kama live au ni video,



    aaaxxxuuu...... ooooshiii.. Psssiiiiii....... 😳😳😳 mmmmhhh

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Niliposikia hayo Niliona haina bidi kuchungulia niliamuwa kuchungulia nione kinacho endelea ndani kama ni watu wanabanjuana ama ni mtu akaangalia xx,

    Nilipenyeza jicho kwenye tundu la kitasa nikachungulia nikamuona mdada akiwa kwenye sofa anasugua sehemu yake ya utamu kwa kutumia kidole cha kati kati,



    Nilitoa jicho nikaondoka zangu nikapanda juu nikakutana na chaz uso kwa uso akiwa anafungua mlango wake aingie ndani,



    "chaz ni wewe? Ama naota?



    Chaz hakuamini kuniona aliishilia kushika kitasa bila kufungua mlango akanijibu ila alinijibu kwa dharau,



    "ni mimi ndio kwani unaona nimebadilika nini?



    "chaz tuachane na yote yaliyopita tugange haya ya sasa, Ni kuwa mimi ndugu yako nina mgonjwa hospital yuko Katika hali mbaya inahitajika mil. 1 tu hospital naomba msaada wako ndugu yangu,



    "acha kupoteza mda wako na pumzi zako kuongea maneno mengi wewe ondoka zako, kukusaidia bora hiyo pesa nikaitupa chooni,



    Chaz aliingia ndani kwake akabana mlango,

    Sikuwa na najinsi niliamuwa niondoke kurudi nilikotoka huku Niliwaza pesa nitatoa wapi nikiwa katika mawazo nilisikia sauti yenye rafudhi ya kihindi ikiniita,



    "wewe wewe kaka kuya mala moja unisaidie hapa,



    Nilipogeuka nilimuona yule mtoto wa kike aliye kuwa anajipa raha ndani kwake kwa kusugua G sport yake,



    Nilipomuona niliitikia wake kwa kumfuata kusikiliza anacho hitaji,



    "Habari yako?

    Alionesha uugwana kwa kunisalimia na mimi nikamuitikia,



    "Nzuri habari yako na wewe mrembo?



    "nzuri, Nilikuwa nina shida kidogo naomba msaada wako kama itawezekana,



    "una shida gani dada yangu?.



    "Shida yangu ni ndogo tu kama hautojari, Nilikuwa naomba unibadilishie taa yangu ya ndani umeungua,



    "sawa usijari nitakusaidia kwa hilo,



    Tuliongozana mpaka ndani kwake ila nilishangaa kuona anazidi kupiga hatua kuelekea ndani zaidi,

    Kwa kuwa nilikuwa sijui mazingira ya pale sikujua nakwenda wapi mpaka tulipofika nje ya mlango mmoja akaufungua yeye akatangulia kuingia chumbani na mimi nilifuata mpaka ndani ya hicho chumba,

    Nilishangaa baada ya kuona kitanda cha kifari ndani ya chumba hicho nikabaini kuwa chumba hicho kilikuwa cha mwenye nyumba kwani niliona suruali zinaninginia na mashati,

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Baada ya kuona hali ilikuwa ndani ya chumba hicho, Nilijikuta natetemeka kwani nilijua kama mwenye nyumba akiniona basi nitakuwa nimeisha,

    Mtoto wa kihindi alinifuata nilipokuwa nimesimama akanisogelea kwa ukaribu zaidi kisha akaniambia,



    "kaka naomba unishikie hii sturi nipande niitoe hiyo taa sawa?



    "sawa wewe panda hakuna shida,

    Niliitikia apande ili atoe hiyo taa iliyokuwa imeungua,



    Nilishangaa sana kwani hata taa yenyewe haikuwa na dalili ya kuungua na pia hata sturi haikuwa na haja ya kushikwa kwani kama unavyojuwa sturi ina miguu minne kwa hiyo kumuangusha mtu inakuwa siyo rahisi,



    Nilichofanya nilitekeleza wajibu wa kushika sturi ili atoe taa yake,

    Mmhhh ama kweli mitego ipo ipo mingi ila huu wa huyu mtoto wa kihindi ulikuwa mtego wa mamba,

    Alipopanda sturi kutokana na ufupi wa sketi yake nilikuwa naona mpaka nguo ya ndani aliyovaa,



    "kaka shida yangu mimi mfupi sana kufikia taa inakuwa taabu sana,



    "basi shuka mimi niikutolee kama umeshindwa,



    "sawa, Hapo utakuwa umenisaidia sana,



    Mtoto wa kihindi alianza kushuka juu ya ile sturi huku akinishika begani ili asianguke,

    Alipomaliza kutelemka mimi Nilipanda nikaitoa taa ile nashuka nilipatwa na mshangao baada ya kumuona mtoto wa kihindi akiwa utupu kama alivyo zaliwa kutoka tumboni kwa mama yake,



    "sikia mvulana usipofanya kile nataka basi nitakuitia polisi kuwa unataka kunibaka,



    Nilimuangalia mtoto wa kihindi kuanzia chini mpaka juu sikuamini hayo anayofanya kwangu,

    Ugumu niliokuwa nao sikuhitaji hata kujitetea nilitamani nimdake nimtupie kitandani nile vyangu na mimi nitoe shombo ya ugumu wa miaka mingi ila niliogopa kukutwa na mwenye mali,



    Nikiwa nawaza nifanye nini gafla binti wa kihindi alinivaa kama nguo akajilaza kifuani kwangu akaanza kuchezea ndevu zangu huku akiniambua maneno matamu ili niweze kulegea nikubaliane naye,



    "kaka nionee huruma ni miaka naishi hivi bila kukutana mwanaume na mimi ni binaadamu mwili wangu unapopata chakula unahitaji kutoa,





    Mtoto wa kihindi alizidi kujieleza kwangu ili nimuonee huruma nikubali ombi lake,

    Moyo wangu ulikuwa unahitaji ila uliogopa kufumaniwa,

    Wakati nikiwa nawaza cha kufanya mtoto wa kihindi alizidi kunichezea kidevu changu huku akiwa mtupu,

    Siyo siri kwa mwanaume rijali kuvumilia hali kama hiyo inakuwa ni asilimia chache sana,,, mwili wangu ulishindwa kuvumilia hali ile nikajikuta napeleka mkono kiunoni kwa mtoto wa kihindi na kuanza kuchezea nyonga kwa mtindo wa pekecha pekecha,



    Mtoto wa kihindi alianza kupata radha ya ndimu na yeye bila kuchelewa alitumia mikono yake kunogesha mchezo kama unavyo juwa utamu wa ngoma ingia uichezee,



    Taratibu nilimvuta mtoto wa kihindi mpaka juu ya kitanda kilichofuata nilisaula na mimi nguo zangu zote kisha tukaanza harakati za kutaka kula tunda kama unavyo juwa kabla ya kula lazima unawe mikono hata kama unakula kwa kutumia kijiko lazima ukisafishe basi mimi kabla ya kula tunda Nilianza maandalizi ili nisije nikajikuta napaka shombo alimasi,

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Nilipeleka mkono mpaka kifuani na kuanza kuchezea chakula cha mtoto kwa madoido,

    Nilitumia vidole viwili kuchezea sehemu ile nyeusi iliyopo kwenye chuchu ya mtoto wa kihindi,

    Wakati huo nikifanya hayo yote mdomo wangu na mdomo wa mtoto wa kike ilikuwa ikinyonyana midhiri ya mdomo unaokula muwa mtamu wenye sukari nyingi kama miwa ya kagera,



    "aaapssiiiii........ Ooooshhhii....... Bangraaa hotaheeee.....



    Mtoto wa kihindi kadiri maandalizi yalivyo zidi kunoga alijikuta anaanza kulalama kwa kutoa milio ambayo ilikuwa vigumu kuyielewa inamaana gani ila ndani ya hiyo milio alichanganya na maneno ya ya ruga ya kihindi yaliyoniacha njia panda kwani sikujua maana yake zaidi ya kusikiliza kwa makini ili yaninogeshe kupata hamu ya mchezo,



    Baada ya kuhakikisha nimemnogesha mtoto wa kihindi kilicho fuata nilimvuta kwa karibu zaidi Katika mwili kisha nikamkunja kwa kumuweka tayari kwa kupokea risasi za moyo na sikuoni stairi nzuri zaidi ya kutumia zaidi ya stairi inayoitwa MKASI ✂ stairi hii ni tamu sana ila inaendana na umbo la mwanamke na mwanaume siyo kila mwanamke atafurahia stairi hii,

    Nikiwa nimemkoki naelekea kushambulia gafla kengele ilitushitua kwani iliashiria kuna mgeni mlangoni alichofanya mtoto wa kihindi aliangalia mlangoni kupitia tv iliyokuwa chumbani ni mambo ya kisasa kwani kulikuwa na camera mlangoni inayo onyesha mtu aliyeko mlangoni,"Haaa ni mume wangu amerudi...............



    Yule binti wa kihindi akiwa ameinama alishitushwa na mlango kufunguliwa na alipoangalia alikuwa mume ndie aliye kuwa ameingia chumbani,

    Baada ya kuona vile alichofanya alibeba zile nguo na kuzipeleka moja kwa moja kwenye kapu la nguo,



    "Purya mosamu kotariha? (purya mbona kama hauko sawa?)



    Mume alimuuliza baada ya kuona kama hajiamini kama siku zote,

    Purya alijibu kwa unyonge kwa kutumia ruga ya kihindi,



    "reja omilihigahe (nahisi naumwa)



    "umekwenda hospital?



    "Ni lini uliwahi kuniruhusu kutoka humu ndani nikiwa peke yangu?



    "Basi jiandae nikupeleke hospital ila nikakuacha hapo hospital Ukimaliza vipimo nitatuma mtu aje akachukue akuridishe nyumbani sawa?



    "sawa,



    Purya alianza kujiandaa kwa ajiri ya kwenda hospital,



    ***** **** ******



    Nikiwa ndani chumba Nilicho jificha gafla nilisikia na kuona mlango umefunguliwa nilipoangalia vizuri Niliona msichana mdogo mdogo wa umri kama miaka 17 akiingia Katika chumba kile ila alikuwa amevalia sale ya shule alionekana ni mwanafunzi wa secondary,



    Nilipomuona nilibana pale pale nilipokuwa hata kupumua Nilianza kupumua kwa taabu sana kwani nilikuwa nabana pumzi ili asiweze kunisikia napumua,

    Nikiwa katika mawazo yangu gafla Nilkutanisha uso kwa uso na yule binti pale alipotoa nguo kwa ajiri ya kuvaa na nguo hiyo ndio ilikuwa imenikinga mimi,

    Binti aliponiona alipiga uyowe mkubwa sana ila nikawahi kumziba mdomo kabla hajapaza sauti tena,



    Nilimkamatilia vizuri nikaanza kuusogelea mlango ili niufunge na kitasa na ndivyo nilivyo fanya mlango niliutia roki kisha nikamrudisha binti yule mpaka kitandani na wakati huo wote sisi wote tulikuwa watupu hakuna aliyekuwa amevaa hata ch*p kwani binti huyo alipoingia chumbani alivua nguo zake za shule ili abadilishe nguo ila ikawa bahati mbaya nguo aliyochagua ndiyo iliyokuwa imenikinga kwa hiyo hakuweza kuiva na mimi nilikuwa nimesahau nguo zangu chumbani kwa Purya,



    Kama nilivyotangulia kukwambia nyuma kuwa penye aridhi nzuri lazima mazao yachipukie,

    Kutokana na ugumu wa kutokufanya mapenzi kwa mda mrefu nikijikuta hali yangu inakuwa mbaya na uvumilivu unanishinda Nilichofanya nilumgeukia binti mdogo wa kihindi nikapeleka mdomo wangu mpaka kwenye chuchu ya upande wa kushoto nikaanza kuinyonya kama vile mimi nikichanga,



    ***** ***** ******



    Hospital madokta waliendelea kutibu wagojwa ila Katika chumba cha wagonjwa mahututi aliongezeka mgonjwa mmoja na yeye alionekana kuwa hoi Bin taabani,

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "dokta msogeze hapa fanya upesi,



    "Nesi lete kipimo umpime presha yake tuone iko ngapi?



    Walianza kumpima presha haraka haraka sana ili kubaini presha kama iko juu sana au iko chini,



    "Nesi fanya haraka sana lete mashine ya oksijeni haraka upumuaji wake uko chini sana,



    Jitihada za kumuokoa mgonjwa zilizidi ila hazikuonyesha matunda yoyote yale kwani matumaini ya madokta nayo yalianza kufifia,



    "Mume wa huyu mgonjwa bado hajawasili hapa tu mpaka dakika hii?



    "Ndio dokta,



    Binti wa kipemba aliyekuwa hapo ICU ndie aliyekuwa anauliza alipoambiwa bado sijafika aliinama akatikisa kichwa kisha akamuita nesi amsogelee,



    ITAENDELEA

TOTO LA KIMANGA - 2

 





    Chombezo : Toto La Kimanga

    Sehemu Ya Pili (2)



    Chirs aliendelea kusubili ujio wa shemsa ila akazidi kuona kimya tu na kibaya zaidi hakuwa na hata na namba ya simu ya shemsa,

    *sasa mbona huyu naye haji au amegairi? Kweli kuna watu dunia hii hawana shida ya pesa mtu unamuitia pesa zote zile alafu analinga kuja kuzichukua?

    Chirs alisubili dakika zikaenda zikawa masaa hatimae jua likaanza kuzama mawinguni na kiza kikaanza kuchomoza,

    *hapa ni bora mimi niondoke naona huyu binti hana shida ya pesa*

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    ***** ***** *****

    Upande wa chaz baada ya kuchukua pesa aliamuwa kuondoka na kwenda sehemu kusiko julikana,

    *hapa nikupanga hotel ya kifahari nikae kwanza hakiri yangu ifikilie itafanya nini? Chirs utanisamehe kwa maana sijafanya hivi kwa ajiri ya kukukomoa ila nimefanya hivi kwa ajiri ya ujinga wako wa kutaka kurudisha hizi pesa ili hali unajua kabisa hali yetu,



    **** v"v ******

    Shemsa na dada yake nyuso ziliwashuka kwani mama yao alikuwa na karatasi inayoonyesha zile pesa zilipokuwa zimetoka na pia alikuwa na ushahidi wa makubaliano ya shemsa na huyo aliyempa hizo pesa,



    "sikia niwambie kama nilivyokuwa numewaeleza kuanzia leo sitaki kuwaona hapa niacheni kama ni kufa basi nitafia hapa,



    "mama tusamehe kweli tumekosea sisi wanao tuko chini ya miguu yako mama yetu mama tusamehe wanao,



    Shemsa na dada yake walipiga magoti na kumbembeleza sana mama yao ila mama aligoma kutoa msamaha matokeo yake alizidi kuwafukuza,



    Hatimae doctor aliingia kwenye chumba alichokuwemo mama shemsa na kukuta hali ya sitofahamu ndani ya chumba hicho,



    "Jamani kuna nini mbona kelele namna hiyo?



    Mama shemsa hakuchelewa alimwambia doctor awafukuze,

    "dokta nifukuzie hawa watu humu na kuanzia leo wasikanyage humu ndani,

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "haya sawa mama haina shida,

    Haya Jamani naombeni mtoke humu ndani maana kadiri mnavyozidi kumsemesha mama yenu mnaomuongezea tatizo mnajua kabisa anaumwa uti wa mgongo,



    Shemsa na dada yake hawakuwa na jinsi walitoka nje huku wakiwa hawaamani kilichotokea ndani walipofika nje walianza kulaumiana,



    "Shemsa haya yote umeyasababisha wewe,



    "dada huu mda siyo wa kulaumiana ni wakati wa kufikilia tutatue vipi hili tatizo,



    "haya niambie pale ulipo pokea simu uliruka kuwa pesa zimepatikana je ni zile pesa zilizopotea ama kuna zingine..?



    "Ndio zile zile pesa,



    "ehee kwa hiyo aliyekupigia simu alikuambiaje?



    "aliniambia tukutane kaliakoo nikazichukue ila naona mda umekwenda sana,



    "shemsa fanya haraka twende tukazichukue kama ningejua ni zenyewe toka saa zile ningekuambia ukazifuate,



    Shemsa na dada yake mbio waliondoka kuelekea kaliakoo kunifuata pesa kwa chirs,



    Shemsa na dada yake waliondoka mbio kwenda kaliakoo kufuata pesa kwa chirs,

    "sijui tutamuwahi mda wote ule alionipigia mpaka sasa sijamfikia,

    "tikikuta hayupo unampigia simu atuambie alipo tumfuate,

    "tatizo lililopo sina namba yake,

    "shemsa hebu acha ujinga huna namba yake kivipi?

    "namba aliyotumia ni namba ya meneja wa bank kama nilivyo kueleza huyo kaka alienda bank kutafta mawasiliano yangu ndio meneja wa bank akanipigia kupitia namba za bank akanipa niongee naye,

    "lakini mdogo wangu bado nakulaumu ulivyo ongea naye ungemwambia akutajie namba zake,

    "hapo ndipo nakubali nilikosea sikuwa na mawazo hayo kabisa si nilijuwa nitawahi kwenda,

    "ongeza sipidi basi maana nahisi kama vile gari haitembei?

    ***** "v" ******

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/Chirs baada ya kukaa kwa mda mrefu bila kumuona shemsa aliona bora aondoke,

    *kama angelikuwa na shida ya hizo pesa angekuwa ameisha fika ila inaonekana hana shida ya pesa acha mimi niondoke zangu*

    Chirs aliondoka maeneo hayo na kuamuwa kurudi geto kwao,

    ***** "v" *****

    Mda ule alipotoka chirs hata dakika 5 hazikupita shemsa na dada yake walifika Katika eneo la makutano,

    Shemsa alitoka kwenye gari akaanza kuangaza macho huku na kule kuona kama atapata kumuona chirs,

    "shemsa inamaana humuoni huyo kaka?

    "simuoni yaani simuoni kabisa naona atakuwa ameondoka,

    "jaribu basi hata kuulizia hao wakina kaka kama wamemuona?.

    Shemsa alijisogeza kwa wale machinga ili awaulize kama wamemuona chirs pale,

    "Habari yako kaka?

    " nzuri karibu dada mrembo hapa kuna urembo kama vile hereni na bangiri n.k,

    "kaka sihitaji vipuri ila nina shida naomba kuuliza kama umemuona kijana mmoja maji ya kunde mrefu hivi,

    "Mhh hapa dada wanapita watu wengi sana,

    Shemsa alihama akaenda kuulizia kwa machinga mwingine,

    "huyo kijana kama vile nimemuona hapa alafu kaondoka mda sio mrefu hapa hata dakika tano hazijapita hebu ngoja nimuulize huyu jamaa,

    "oya kebo yule jamaa aliyekuwa hapa mda mrefu kaenda wapi?

    "Karudi ma getoni kwake,

    "kuna tunda lake hapa lilikuwa linamtafta,

    "dada shuka geto mchizi kakuweiti sana bila mafanikio,

    "sipafahamu kaka yangu ningelikuwa nimeisha ondoka,

    "shemeji sikia njoo usubili kuna mchizi anapajua akija atakupeleka huyo jamaa yako si anaitwa chirs?

    "Ndio yeye huyo,

    Jamaa mmoja alidakia,

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    " haa kumbe ni chirs yule wa mtaa wa kati kitaa flani kwa kina kiba,

    Jamaa mwingine,

    "Ndio kitaa hicho wapeleke basi,

    Dada yake shemsa alionesha tabasamu kwani hakuamini kama wamepata mtu anayepajua kwa chirs,

    "shemeji twendeni niwapeleke,



    Chirs aliondoka kuelekea nyumbani baada ya kumsubili shemsa pasipo na mafanikio yoyote yale,



    Chirs alipofika alingia ndani ila akashangaa kukuta mlango uko wazi alafu chaz hayumo ndani,



    *mmhhh huyu chaz ameachaje mlango wazi wakati anajua kabisa humu ndani kuna pesa*



    Chirs mapigo ya moyo yalimuenda mbio kwani tayari alianza kupata wasi wasi huenda pesa zitakuwa hazipo,

    Chirs alianza kuangaza huku na kule huku akitamani macho yake yake yakutane na mfuko wa pesa,

    Chirs kadili alivyozidi kupapasa macho huku na kule ndivyo kadili alizidi kuchanganyikiwa kwani mfuko wa pesa alikuwa hauoni wala dalili za kuwepo kwa chaz hazikuona kabisa,



    Chirs alikaa chini kutokana na kuishiwa nguvu,

    Alipotupa jicho mezani ulipokuwa mfuko wa pesa aliona karatasi akaichukua akaifungua ili kujuwa maneno yaliyomo,



    # rafiki yangu chirs sijachukua pesa kwa kwa ajiri ya kukukomoa naomba unisamehe sana Niliona upeo wako utatufanya kuwa masikini daima najua nimekukwaza kwani hizi pesa najua ulitaka kuzirudisha kwa yule binti mrembo ila mimi mawazo yangu yalikuwa tofauti na yako,

    Najua kwa jinsi unavyompenda yule binti utaumia sana kukosa hizi pesa,

    Naomba unisamehe kwani najua kabisa nitakuwa chanzo kukukwamisha kupata penzi la binti yule mwenye hizi pesa,

    Nisamehe sana ndugu yangu chirs#🌝



    Chirs Akiwa hapo chini alianza kuliya huku akikumbuka alipotoka yeye na chaz,

    *chaz rafiki yangu umesahau shida ngapi tumepitia mimi na wewe umesahau yote tuliyosaodiana mpaka leo hii unavunja urafiki na undugu kwa sababu ya pesa kweli chaz.?

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Chirs akiwa Katika mawazo alisikia hodi mlangoni akaitika hodi



    "karibu mlango uko wazi,



    Chirs alishangaa kumuona shemsa akiwa na dada yake wakiingia ndani,



    "karibuni Jamani karibuni,

    "asante habari yako kaka chirs....?

    "nzuri karibuni tupo,

    "asante sana,



    Dada yake na shemsa alikuwa kimya huku ameshika pua yake akiashiria kuwa anasikia harufu mbaya ndani ya chumba kile,



    Shemsa alizidi kupiga story na chirs za hapa na pale kuhusu pale wamefikaje nani kawaleta,

    Ila dada yake shemsa alionekana kuchukua hali ile kabisa akatoa neno,



    "shemsa hebu mwambie akupe huo mzigo twende hali ya Hewa imenishinda kuvumilia,



    "dada hebu kuwa msitaarabu basi mbona hivyo.......?



    Shemsa alimkanya dada yake kuacha kauli zile za kebehi,



    "shemsa usiniambie maneno yako ya shombo hapa tumefuata pesa tu hatukufuata maongezi,



    Walianza kujibizana utazani hawakuja pamoja,

    Nilipoona hivyo niliingilia kati,,



    "Jamani msigombane someni hii karatasi kwanza,



    Niliwapa karatasi ya ujumbe ujumbe Wa chaz wakausoma,



    "wewe kaka usituekitie hapa tunachohitaji ni pesa tu wala si kingine,



    "la sivyo pita hapa twende polisi,



    Dada yake shemsa alianza kunipiga makofi huku akinivuta shati akitaka kunipeleka polisi,



    "Dada acha achaaa nini unafanya nini niniiiiiii.?..........



    "dada acha achaaa nini unafanya nini niiiiiii?.



    "wewe shemsa funga bakuli yako funga kabisa yaani pesa ziibiwe hivi hivi? Hapa ni lazima nimfikishe polisi,



    "hivi dada kama kweli chirs angekuwa mwizi angehangaika kunitafta anirudishie pesa zangu kweli?



    "haya kuhangaika kukutafta sasa pesa ziko wapi alizokutaftia?



    "dada uelezwe vipi barua ya ndugu yake aliyekimbia na pesa ametuonesha sasa ulitaka atuoneshe nini kingine ili uamini?



    "huyu ni jambazi tu hakuna kingine nakushangaa shemsa unapomtetea mwizi kama huyu,



    "chirs siyo mwizi wala siwezi kumtuhumu kwa kitu ambacho kinaonekana hakukifanya angekuwa mwizi asingehangaika kuitafta kiasi hiki,

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Wakati yote yakiendelea mimi nilikuwa na mawazo mengi sana kichwani na pia nilikuwa najiona mjinga mbele ya shemsa na dada yake na kitu kingine kilichokuwa kinanitesa ndani ya moyo wangu ni chaz kumchukua zile pesa za shemsa na kuniingiza Katika mgogoro na familia ya kina shemsa,



    Shemsa aliongeza bidii ya kunitetea mpaka nikahisi faraja ndani ya moyo wangu ila kadiri majibishano yalivyo zidi kuendelea kati ya shemsa na dada yake yalionekana kuelekea kubaya mpaka dada yake akapiga simu kwa ndugu yake akamuelekeza tulipo akaja alipofika aliambiwa aulize kwa chirs ataoneshwa,



    Huyo ndugu yao ambaye walimuita baba mdogo alifika akiwa na rafiki yake walipoingia baba yao mdogo alitoka kwanza nje akidai anaenda kuegesha gari vizuri,



    Rafiki yake aliyekuwa amebaki ndani alianza kusimuliwa jinsi mambo yalivyo na yeye bila kuvuta subira alianza kuniadhibu moja kwa moja kwa kunipiga mateke na ngumi za kutosha,



    "wewe mbwa sema pesa ziko wapi sema wewe mpumbavu pesa zilipo?



    Jamaa alinipiga kwa sifa kwa kuwa alikuwa anaona sura za warembo wale na kilichomsisimuwa zaidi ni kuona anasapotiwa na dada yake shemsa,



    Shemsa alionekana kuumia moyoni mpaka uso wake ulibadilika na kuonesha mistari kwenye paji la uso hiyo ilitosha kuyajuza macho yangu kuwa anaumia,

    Alivumilia ila akaona haina jinsi akaamuwa kuongea,



    "wewe weweeeee hebu muache unampiga kama unapiga ngoma kwanza hayakuhusu haya,



    Yule jamaa alimuangalia dada yake shemsa kisha akahoji swali kwa dada yake shemsa,



    "hey vipi huyu ndugu yako mbona anamtetea jambazi?



    "mimi mwenyewe nashangaa ila Endelea kupiga mpaka aseme pesa zilipo,



    Jamaa aliporudi kutaka kunipiga shemsa alisimama mbele yangu kwa bahati mbaya yule jamaa akawa amempiga teke la paja shemsa na kuanguka chini,



    Hapo ilikuwa kama kanichaji niliinuka kama upepo kutoka chini jamaa nilimpiga ngumi zisizo na hesabu nikamsindikiza na teke lililompelekea kuchomoka mlangoni na kuangukia nje,



    Shemsa na dada yake walishangaa hawakuamini kama nilikuwa na uwezo ule wa kupigana walibaki wametoa macho wasiamini kilichokuwa kimetokea mbele yao,

    Yule jamaa akiwa na baba yao mdogo na akina shemsa waliingia wameshika mnyororo na kisu mkononi dada yake na shemsa alishangilia huku akisema,



    "uweni kabisa huyu ni jambazi tena jambazi sugu,



    shemsa alisimama kwa taabu kisha akasema,



    "hauliwi mtu hapa ila tutauwana kwani roho zenu mbaya nazijuwa sasa mkimuuwa chirs labda mhakikishe na mimi mmeniuwa,





    Shemsa alikuwa mkali kama mbogo kwa jinsi alivyokuwa sikutegemea kama anaweza kukunja sura kiasi kile na kubadili sura kuwa kama mtu aliye chomwa sindano ya shingo,



    Dada yake alianza kutoa maneno ya shombo kama kawaida yake,



    "shemsa nasema hivi lazima chirs atoe hizo pesa awe nazo asiwe nazo atajua yeye,



    "sasa sikia nikwambie kitu kimoja Najima hizo pesa hukumkabizi kwa hiyo huna uharali wa kudai hizo pesa na kama unamshutumu kuwa ni mwizi sema alichokuibia nini?



    Najima ambaye ni dada yake na shemsa aliishiwa pozi akabaki kutoa macho asijue cha kufanya,

    Baba yake mdogo na rafiki yake waliingilia kati baada ya kuona Najima ameshindwa kufurukuta kwa maneno aliyopewa shemsa,

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "huyu kijana lazima afike polisi iwe isiwe kwasababu ni mwizi na sijui ni kwanini unamtetea?



    "umpeleke polisi amekuibia nini? Kama kuna alichokuibia mpeleke hiyo polisi,



    "hivi shemsa unapopayuka hivyo unakuwa unapayukia nani? Sasa nimesema hivi wewe kijana pita hapa twende polisi,



    Aliongea huku akinivuta mkono na mimi nikakaza mkono, nilipokaza mkono alinipiga kofi la shavuni bila ya kuchelewa na mimi nilimpiga kofi la shavuni,

    Alipoona hivyo alirusha ngumi na mimi nikarusha mapambano yalianzia yule mwenziye aliyekuwa pembeni alipoona hivyo aliingia kati na kuanza kumsaidia mwenziye kwa kunipiga,

    Shemsa alipoona hivyo aliona isiwe tabu na yeye akaingilia kati alichofanya alinyanyua ubao uliokuwa ndani akampiga nao baba yake mdogo na pale pale akaanguka chini na kuanza kutoa damu puani na mdomoni,



    ****** **** ******

    Mama shemsa akiwa hospital alikuwa akiwaza mengi sana kuhusu familia yake haswa suala lililokuwa linampa presha ni suala la watoto wake kutafta pesa za kumtibisha kwa njia isiyo salama,



    *siamini kama mwanangu shemsa alitumia hakiri yake kukubali zile pesa za mashariti ya kipuzi maana namjua mwanangu vizuri hanaga masuala ya kishenzi,

    Najua Najima ndie atakuwa amemshauri hakuna mwingine Najima ni mwanangu ila huwa simuamini kabisa,



    Mama huyo akiwa Katika mawazo mengi sana mgonjwa mwenziye waliyekuwa wamelazwa chumba kimoja alimuuliza,



    "vipi ndugu yangu mbona una mawazo mengi sana?



    "wanangu wananichanganya sana kuumwa kwangu imekuwa taabu sana wanatafta pesa za kunipeleka India kutibiwa ila huo utaftaji wa hizo pesa ndio sijaupenda kabisa,



    "hajaupenda kivipi wakati wanahangaikia uzima wako?



    "shemsa ni mwanangu ninaye mpenda kuliko kitu chochote kile najua anahangaika kwa sababu yangu ila pesa alizotumiwa kutoka ulaya zilikuwa zina mashariti magumu kwa mwanangu kwani mtoa pesa alitoa pesa kwa shariti kumuowa shemsa,



    "sasa kuna ubaya gani kama aliahidi kumuowa? Mbona kwa binti kuolewa ni jambo la furaha sana?



    "ndoa ni maridhiano na nafsi kukunjuka juu ya hiyo ndoa kwa hiyo mwanangu mwanangu nafsi yake haikuridhia bali alikuwa amekubali kwa sababu ya pesa ya kunitibu,



    "Kweli unampenda mwanao hakika wewe ni mzazi bora angekuwa mzazi mwingine angekubali ili apone,





    Baada ya baba yao mdogo kuanguka chini Najima akiwa na yule jamaa aliyekuja na baba yao mdogo walianza kumpepea huku wakimfuta damu zilizokuwa zikimtoka,

    Shemsa alipoona hivyo alimshika mkono chirs akamsogeza pembeni alionesha kuna jambo alitaka kumweleza,



    "Chirs nakuomba utoke hapa kila kitu nitakikabili mimi hapa sawa? Nenda basi acha kushangaa,



    "shemsa kabla sijaenda naomba nikueleze kitu kimoja Nilicho nacho moyoni mwangu,



    "kitu gani tena chirs wakati tuko kwenye matatizo?.



    "sikia shemsa ni kwamba mimi nakupenda sana tena sana kwa hiyo nakuomba unielewe kwa hilo japo mimi ni masikini lakini ni tajiri wa moyo wa kukupenda wewe hapo,



    "sawa chirs nenda tutayaongea siku nyingine tukionana wewe nenda kwanza sawa chirs,



    Shemsa alimwambia chirs huku akimsukuma atoke pale alipo,



    "shemsa kwaheri ila nakupenda sana nielewe nifikilie sana shemsa usiangalie umasikini wangu, Mimi ni masikini ila tajiri wa pendo lako ukiwa na mimi utafaidi utajiri wa kupendwa,



    "sawa chirs nimekuelewa basi nenda, Nenda basi chirs kama unanipenda nielewe uondoke hapa,



    Chirs aliona isiwe tabu akaondoka huku akiwa hajapenda kabisa kumuacha pale shemsa ila ndivyo hivyo tena ilibidi atii amri ya shemsa ili kumuonesha kuwa anampenda na anamuheshimu,



    Huku upande wa pili ndani shemsa akiwa anawaza maneno ya chirs aliyomwambia mda mchache uliopita TOTO LA KIMANGA likajikuta linatoa chozi machoni mwake kwa kukumbuka maneno yale, *Shemsa nakupenda japo kuwa mimi ni masikini ila ni tajiri wa kukupenda wewe*

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    # kwanini chirs aseme kuwa yeye ni masikini ina maana aliona nitamkataa kwa umasikini wake? Hapana mimi shemsa siangalii pesa ila Nahitaji mwanaume mwenye penzi la ukweli na atakae nidhamini na kunijari mimi kwangu pesa sizipi uzito sana kwani unaweza kupata pesa ila ukakosa penzi la kukufariji na kujikuta unaingia kwenye penzi la majuto maisha yako yote ukakosa amani ukawa binaadamu wa kuliya tu,



    Shemsa akiwa Katika mawazo alishitushwa na kofi la shingo alipogeuka akakutana na kofi la shavuni,

    Aliyekuwa anampiga hakuwa mwingine alikuwa ni baba yake mdogo aliyezinduka kutoka nusu kifo kwani alikuwa amezimia,



    "yaani shemsa unanipiga mimi wewe ni kunipiga na ubao mpaka kuzimia kwa hiyo ulikusudia kuniuwa si ndio?



    Shemsa alizidi kuwa kimya huku akisikilizia maumivu ya makofi aliyopigwa moja la shingo na jingine shavuni,



    "sasa leo shemsa nitakupiga mpaka nihakikishe unashindwa kutembea,



    Shemsa akiwa hana hili wala lile alishituka yuko chini kwa kutokana na teke alilopigwa na baba yake mdogo akiwa bado chini alipigwa teke la mbavu lililopelekea shemsa apige kelele ya maumivu aliyoyasikia,



    ***** ***** *****

    Upande wa tatu kwa Mr john bosi wake na shemsa aliendelea kupanga namuona atavyompata mtoto wa kike shemsa aweze kuwa Katika himaya yake,



    "eehhee Mr john niambie mpango gani utakao ufanya ili umpate shemsa ili hali umesema mtoto wa kike hashitushwi na pesa wala vitu vya dhamani?



    "Nina mipango miwili na yote ni ya kimafia,

    Mpango wa kwanza ni wa kumteka na kumhifadhi kwenye nyumba nzuri alafu nikawa nambaka mpaka nihakikishe namtia mimba hapo hapo ujanja wake utakuwa umekwisha au unasemaje wewe kuhusu huo mpango?



    "duuhh hapo john nimekukubali huo mchongo upo juu kama ni reseni basi ni daraja C,



    John alikamilisha mpango wake na moja kwa moja akaanza kujipanga kuukamilisha mpango wake dhidi ya shemsa,

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    ITAENDELEA

Blog