Search This Blog

Thursday 19 May 2022

AISIIIII.....U KILL ME - 5

 

Chombezo : Aisiiiii.....U Kill Me

Sehemu Ya Tano (5)


ILIPOISHIA

Sikumjibu kitu chochote shem Cajoli zaidi ya kuanza kutembea kwa mwendo wa kasi hadi kwenye ukumbi wa mikutano. Nikaingia na kurudi katika kiti nilicho kuwa nimekalia, ila safari hii sikuhitaji kabisa kukaa kwenye kiti hichi.

“Muheshimiwa raisi, nitakuomba kuanzia sasa uniidhinishe niwe miongoni mwa watu watakao fanya kazi ya kumkomboa mke wangu na bomu la nyuklia, sinto hitaji kupelekwa katika kundi la Al-Shabab na taaluma yangu ikatumika vibaya tofati nay ale niliyo kuwa nimekusudia kuyapanga kwenye maisha yangu”

Kauli yangu niliizungumza kikakamavu na kumfanya K2 kuanza kunyanyuka taratibu kwenye kiti alicho kuwa amekali huku akiwa amenikodolea macho akishangaa kwa kile ninacho kizungumza.

ENDELEA

Tukatazamana machoni na K2 kwa zaidi ya dakika mbili huku ukumbi mzima ukiwa kimya. Taratibu akaka kwenye kiti chake huku akiendelea kunitazama kwa umakini sana.

“Dokta Lameck una uhakika na kile unacho kizungumza?”

“Ndio muheshimiwa raisi nina uhakika na ninacho kizungumza”

“Ila wewe professional yako ni daktari?”

“Muheshimiwa raisi hapa tunazungumzia kuhusiana na nchi pamoja na mke wangu, nipe kazi hii kisha utaona”

Niliendelea kuzungumza kwa kujiamini huku nikimtazama K2 machoni mwake.

“Meja Gerad, unaweza kumuandaa dokta Lameck na kuanza kumpa habari nzima za hili tukio”

“Sawa muheshimiwa”

“Ningeomba kuongozana na shemeji yangu katika hili swala”

“Hapana hili swala Cajoli ni hatari sana, kwa hiyo hauwezi kwenda kulifanya, tutahakikisha kwamba dokta Lameck anaongozana na timu mzima ya NSS, kwenda kulifanya hili tukio”

Shem Cajoli hakuwa na jambo la kuzungumza zaidi ya kuendelea kukaa kwenye kiti alicho kikalia. Nikaongozana na meja Gerad hadi kwenye chumba maalumu cha kujiandaa.

“Dokta Lameck kutana na Agent Leonard Thomas, ni kiongozi wa hii oparesheni”

“Nashukuru kukufahamu dokta Lameck”

“Hata mimi pia ninashukuru kukufahamu”

“Hapa kuna silaha za kila aina na unaweza kuchagua ni silaha gani ambayo unaweza kuichukua”

“Sawa musijali katika hilo”

Nikachukua bastola mbili pamoja na magazine kumi zenye ujazo mzuri wa risasi. Nikavaa jaketi la kuzuia risasi, nikakabidhiwa kifaa maalumu cha mawasiliano.

“Timu yetu ina watu wanne, ameongezeka dokta Lameck David, location ya bomu lipo maeneo ya Kariakoo, katika gorofa la Machinga. Ila hadi sasa hatujafahamu maadui hawa wapo sehemu gani na wanampango gani”

“Ngoja kwanza agent Leonard, mumejuaje kwamba bomu lipo maeneo ya gorofa la Machinga ikiwa hamfahamu kwamba magaidi hao wapo sehemu gani?”

Swali langu likawafanya ma agent hawa wa NSS kutazamana.

“Kutokana na taarifa ambayo tulipatiwa na wapelelezi wetu walihisi kwamba bumu hilo lipo katika gorofa hilo”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Agent Leonard sahamani sana kama nitakuwa ninawaingialia kwenye kazi hii yenu. Ila kitu ambacho munakifanya hapa ni utoto, hamuweze kuapata habari zisizo na uhakika na kusema kwamba tunaweza kwenda eno hilo na kukuta bomu.”

Nilizungumza huku nikimtazama kila mtu usoni mwake.

“Hili ni bomu, na hili sio andazi wala muhogo ambao tunaweza kusema kwamba tunaweza kwenda kuukuta sehemu umetulia. Tazama leo magaidi wameweza kuvamia hadi ikulu, inaonyesha kuna mtu au watu ndani ya serikali ambao wameweza kusababisha swala la uvamizi wa Ikulu. Kwanza ni aibu na pili, zile video ambazo zimetumwa kwa raisi ni feki”

“Feki, una maana gani dokta Lameck?”

“Al-Shabab sio kundi ambalo linanguvu sana ya kuweza kuvuka nchi kama Kenya, na kuja kuipiga ikulu ya Tanzania kirahisi namna ile, inaonyesha kwamba NSS haina imeishiwa uwezo wa utendaji wake wa kazi”

“Dokta Lameck wewe ni daktari na sisi ni wapelelezi wa serikali kwa kila tunacho kifanya tuna uhakika nacho, kwa hiyo kama unahitaji kuongozana nasi tuongozane, kama utahitaji kubaki unaweza kubaki kwa manaa hii sio siasa ni swala la ulinzi wa taifa”

Agnet mmoja alizungumza huku akinikazia macho, nikawatazama kisha kwa haraka nikachomoa bastola yangu na kumnyooshea agent huyu na kuwafanya wezake wote nao kuninyooshea bastola zao.

“Ninaujuzi mkubwa zaidi yako katika hili swala, sifanyi kazi ya kufwata upelelezi usio kamili, sijitoi sadaka kwa nchi, bali najitoa sadaka kwa ajili ya mke wangu. Nilisha mpoteza wa kwanza ila huyu sihitaji ujinga huo kuweza kujitokeza tena”

“Dokta Lameck weka bastola yako chini”

Agent Leonard alizungumza huku bastoka yake akiwa ameninyooshea mimi kichwani mwangu. Nikamtazama kwa jicho la pembeni kisha taratibu nikaushusha mkono wangu wenye bastola na kuirudisha sehemu nilipo itoa.

“Samahani kwa hili, ninaomba kuuliza, je kuna mtu amekamatwa katika uvamizi wa ikulu?”

“Ndio yupo mmoja”

“Ningeomba kuonana naye kisha nyie muendelee na utaratibu wenu ambao mumejiwekea”

“Agent Chris msindikize dokta Lameck katika chumba cha mahojiano”

“Sawa mku”

Nikaondoka na agent mwengine ambaye hajapangwa katika zoezi hili la kwenda kuvamia eneo la gorofa la Machinga linalo sadikika kwamba kuna bumo la nyuklia ambalo limetegwa katika eneo hilo.

“Agent Beatricem hutu ni dokta Lameck anahitaji kumuona muhusika aliye shikwa katika tukio la kuivamia ikulu”

“Karibu dokta Lameck”

“Asante agent Beatrice”

“Ila kabla ya kuingia katika chumba cha mtuhumiwa, ningeomba kuuliza kwamba una professional yoyote ya kudili na swala la kigaidi?”

“Ndio”

“Na je umepewa mamlaka hayo na nani?”

“Mpigie raisi wako umuambie kwamba nipo katika chumba cha mahojiano”

Agnet Beatrice akanitazama usoni kwa kunikazia macho na mimi nikamkazia macho taratibu akatingisha kichwa akiashiria kuniamini kwa kile anacho kifanya.

“Twende huku”

“Shukrani”

Tukaingia kwenye moja ya chumba chenye Tv zipatazo nne zinazo muonyesha mtuhumiwa aliyopo chumba cha pili katika chumba cha mahojiano akiwa amefungwa pingu na kukalishwa katika kiti cha chuma.

“Ameweza kuzungumza lolote juu ya ugaidi ambao umefanyika ikulu?”

“Hadi sasa hivi hakua alicho kizungumza japo tumempa mateso ya kutosha na hata kumchoma sindano ya maumivu ila hajazungumza chochote”

“Mumweze kufahamu ni wapi alipo tokea?”

“Ndio, jina lake ni Hassan Abdalah, ametokea nchini Somalia ana umri wa miaka ishirini na tisa”

“Ana familia yake?”

“Ndio”

Nikamtazama jamaa huyu kwenye tv iliyopo katika chumba hichi, nikaitazama saa ya ukutani inaonyesha ni saa kumi kamili alasiri

“Nipe dakika kumi”

“Sawa dokta”

Nikaingia katika chumba alipo gaidi Hassan Abdalah. Alipo niona kidogo akastuka, inaonekana ni mtu ambaye ananifahamu kidogo labda kwa kuelekezwa au kwa kuonana.

“Ninaitwa dokta Lameck ninahitaji kukuuliza maswali machache ukinipa ushirikiano basi utakuwa salama”

Nilizungumza huku nikiwa nimesimama mbele ya meza yake.

“Ni wapi lilipo bomu la nyuklia pamoja mke wangu Cajoli”

Hassan Abdalah hakuzungumza kitu chochote zaidi ya kunikodolea macho ya dharau.

“Ninazungumza kwa upole tu, ila ninakuuliza ni wapi alipo mke wangu pamoja na bomu la nyuklia ambalo mumepanga kulilipua”

“Haahaaa umechelewa”

Hassani alizungumza kwa kujiamini sana hukua akinikodolea macho yake. Kwa haraka nikachomoa bastola yangu, nikaisogeza meza pembeni kisha nikamtandika risasi moja ya paja la mguu wa kulia, na kumfanya Hassan Abdalah kupiga ukelele wa maumivu makali.

“NI WAPI LILIPO BUMU LA NYUKLIA NA MKE WANGU CAJOLI”

Niliuliza kwa kufoka huku nikiwagandamiza mdomo wa bastola yangu kwenye jeraha lake la nguu. Mlango wa chumba hichi ukafunguliwa akaingia agent Baetrice pamoja na vijana wake wawili.

“Dokta Lameck huo sio uhojiji mzuri wa maswali”

“Kaa pembeni hili swala halikuusu”

“Mimi ndio msimamizi wa hii kesi”

Agent Beatrice alizungumza kwa hasira huku akinikazia macho, nikamtazama kwa hasira, nikamsogele vijana wake wakachomoa bastola zao na kuninyooshea, sikuliogopa hilo zaidi ya kumsogelea karibu zaidi hadi nikaribia usoni mwake.

“Kuna mamilioni ya watanzania, muda wowote na siku yoyote wanakwenda kupotezama maisha kwa ajili ya hawa wajinga wachache, mke wangu ametekwa kwa ajili ya hawa wajinga wachache. Kuna walinzi wa raisi, pamoja na wafanyakazi wa ikulu kwa ajili ya hawa watu wachache leo hii unanimbia kwamba huu sio utaratibu wa kuhoji maswali. Unaakili kichwani mwako AGENT BEATRICE?”

Nilizungumza huku nikiwa nimeyang’ata meno yangu na kumfanya agent Beatrice kunitazama usoni mwangu kwa maana hasira niliyo kuwa nayo na haya niliyo yazungumza yana ukweli ndani yake.

“Waambie vijana wako kushusha bastola zao na mutoke nje, kabla hili swala halijawabadilikia nyinyi”

Agent Beatrice taratibu akawaamuru vijana wake kushusha bastola zao chini. Wakatoka ndani ya chumba hichi taratibu kisha wakaufunga mlango. Nikamgeukia Hassan Abdalah huku nikiwa na bastola yangu mkononi.

“Ni wapi alipo Cajoli na bomu la nyuklia lipo wapi?”

“Si….sijuiii mimi, niliagizwa tu kufanya shambulizi ikulu”

“Uliagizwa na nani?”

“Mkuu wetu Yudia”

“YUDIAAA…….!!?”

“Ndio mkuu, ni Yudia”

“Yudia anafanya kazi na Al-Shabab?”

“Ndi…ioo mkuu, alikuja kutoa ada ya sisi kutekeleza hilo jambo”

“Yeye yupo wapi?”

“Sifahamu mkuu sisi ni vibaraka tu tunafwatisha amri”

“Bomu la nyuklia lipo wapi na Cajoli yupo wapi?”

“Sifahamu, ila nilisikia kwamba bomu la nyuklia litalipuliwa katika eneo la…la Posta”

“Na sio Machina Kariakoo”

“Ndio”

Na litalipuliwa saa ngapi?”

“Saa kumi na moja kamili alifajiri”

“Mungu wangu, lipo posta katika eneo gani?”

“Lipo eneo la gorofa refu katika magorofa yote ya posta”

Nikamtazama Hassan Abdlah jinsi anavyo zungumza kwa kumwagikwa na machozi mengi usoni mwake. Kwa haraka nikaufungua mlango na kukuta Beatrice akiwa amesimama na watu wake

“Haraka anda timu itakayo kwenda post, kuangalia ni gorofa gani lililo tegwa bomu”

“Sawa dokta”

Nikarufi katika chumba alipo Hassan Abdlah, nikamkazia macho kwa haraka nikamfwata hadi sehemu alipo kaa, nikamnyanyua na kumuangusha chini kwa nguvu.

“Ni wapi alipo Cajoli mke wangu la sivyo risasi zote hizi zitaishia kichwani mwako”

“Ca…..ca….caj…oli ni master plan”

“Master Plan una maana gani?”

“Cajoli mke wako ndio aliye panga haya yote”

Masikio yangu nikahisi yananiwasha kwa hichi nilicho kisikia kwa maana Cajoli ninaye mfahamu mimi sioamini kama ni mwanamke mwengine msaliti kwenye maisha yangu.




Sikutaka kumuamini Hassani moja kwa moja katika mambo aliyo yaseme, pasipo kuwa na huruma ya aina yoyote. Nikamminya kidonda chake nilicho mpiga risasi na kumfanya atoe ukelele.

“Cajoli katika hili anausika vipi?”

Nilimuuliza kwa hali ya ukali sana huku nikiendelea kukiminya kidonda chake kwa nguvu sana.

“Sifahamu ila mi nilisikia tu wezangu wakizungumza”

“Kwa sasa amefichwa wapi?”

“Eheee”

Nikaona hanielewi, nikamtandika risasi nyingine ya paja na kumfanya azidi kulia kwa maumivu makali sana.

“Nimekuuliza ni wapi alipo Cajoli”

“Yu…yupo kwenye mapango ya Amboni Tanga”

“Ndipo sehemu alipo shikiliwa?”

“Ndipo kundi zima lilipo jificha na hata bomu la nyuklia linaogozewa huko”

Nikamuacha Hassan na kutoka nje ya chumba hichi.

“Hassan amesemaje?”

Beatrice aliniuliza huku akinitazama machoni.

“Sehemu walipo jificha magaidi ni katika Mapango ya ambani. Na sehemu hiyo ndipo wanapo ogoza mpango mzima wa kulipua bomu lilipo hapa Dar es Salaam”

“Inabidi kuandaa timu kwenda huko?””

“Niandalie helcopter, pamoja na vijana wawili unao waamini kama wanaweza kuifanya hii kazi vizuri”

“Kabla ya kufanya hivyo nilazima uzungumze na raisi”

“Sawa”

Nikaingia kwenye moja ya ofisi ambayo kuna tv kubwa inayo tumika kuwasiliana na raisi. Beatrice akaka kiti cha pembeni yangu huku sote tukiitazama Tv hii yenye nembo ya raisi. Baada ya sekunde kadhaa tukaunganishwa na raisi aliyopo katika chumba kingine na wakuu wa jeshi.

“Muheshimiwa raisi, dokta Lameck ameweza kutusaidia kuweza kufahamu ni wapi magaidi ni wapi walipo jificha kwa kumuhoji gaidi tuliye mkamata”

“Kazi nzuri sana dokta Lameck, ni sehemu gani ambayo wamejicha hao magaidi”

“Muheshima raisi, magaidi hao wamejificha katika mapango ya Amboni, na hapo ndipo wanapo fanya shuhuli zao za kuongoza bomu hili la nyuklia ambalo wamesema kwamba ifikapo saa kumi na mbili asubuhi linalipuka na sio saa sita mchana”

Nilizungumza na raisi huku nikimtazama kwenye Tv hii.

“Mungu wangu, na sasa hivi ni saa hivi umebaki muda mchache sana”

“Ndio muheshimiwa kikubwa ni kwenda kuhakikisha kwamba tunazuia ulipukaji wa bomu hili.”

“Na lipo sehemu gani?”

“Lipo katika gorofa refu maeneo ya Posta, sasa kazi ni kuhakikisha kwamba bomu hilo linaweza kuteguliwa mapema iwezekanavyo. Tuna dakika arobaini hadi sasa muheshimiwa raisi”

“Dokta Lameck unahitaji nini?”

“Ninahitaji helcopter, pamoja na vijana wawili kwenda kuianza hii oparesheni, pili nitahitaji timu nyingie kuja nyuma yangu. Hawa ni magaidi kwa hiyo siweze kujua wana mbinu gani nyingine ambazo wanaweza kuzifanya”

“Umepata”

“Beatrice andaa vijana wako, na kila hitaji analo litaka dokta Lameck, na kuwa karibu yake kwa kuwasiliana naye”

“Sawa muheshimiwa raisi”

“Dokta Lameck, nimekuamini na Mungu akubariki kwa kule unapo elekea kuifanya kazi hii”

“Asante muheshimiwa raisi”

Tukatoka katika chumba hichi na Beatrice, akanikabidhi simu pamoja na miwani maalumu ambayo inasaidia mtu kuweza kuona kwenye giza kali.

“Naamini unaweza kutumia hiyo miwani?”

“Nafahamu, ninahitaji magazine nyingine za kutosha. Hakikisha timu yako itakayo kuja nyuma yangu, inawasiliana nami kwa ukaribu zaidi”

“Sawa dokta Lameck. Vijana ni hawa hapa. Agent Moris na Agent Emily”

“Habari zetu”

“Salama dokta”

“Naamini mumeshapewa maelezo ya awali kuhusiana na tukio zima jinsi linavyo endelea?”

“Ndio dokta na helcopter ipo tayari”

“Dokta Lameck magazine za bastola zako hizi hapa”

Agent Beatrice akanikabidhi kijibegi kidogo nikafungua ndani nikakuta magazine za kutosha pamoja na saa ya mkononi.

“Safari njema dokta”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Shukrani”

Tukatoka nje ya jengo hili na kuingia ndani ya helcopter. Taratibu helcopter ikaanza kuacha ardhi na kueleea hewani. Yote haya ninayafanya kwa ajili ya mke wangu na si kwajili ya nchi yangu.

“Dokta Lameck hii hiki ni kifaa maalumu chenye ramani ya pango zima la Amboni, tunaweza kufahamu ni wapi magaidi walipo jificha”

Agent Moris akanikabidhi kifaa kidogo kilicho kaa kama simu aina za smartphone ila si simu. Nikaanza kuipitia ramani ya pango zima la Amboni.

“Shukrani”

Nilimjibu Agent Morsi huku nikiweka kifaa hichi mfukoni mwa suruali yangu.

“Inatubidi kushuka umbali kidogo kutokea sehemu yalipo mapango”

“Ndio dokta hilo linaelekeweka”

“Sawa”

Hatukuchukua dakika nyingi, tukawa tumekaribia kwenye eneo la karibu kabisa na mapango ya Amboni, helicopter taratibu ikashuka chini, mimi na wezangu wawili tukashuka na helicopter ikaondoka eneo hili.

“Tuna dakika kumi za kuhakikisha kwamba oparesheni hii inakwisha”

“Dokta dakika kumi ni chache”

“Hata dakika moja pia ni nyingi, mimi ndio kiongozi wa hii oparesheni munatakiwa kufwata amri yangu”

Nilizungumza kwa kujiamini sana huku nkiwatazama vijana hawa machoni mwao. Wakakubaliana nami japo wanaonekena wana maswali mengi sana vichwani mwao kuhusiana na mimi kwa maana dokta na kazi ya kutafuta magaidi ni vitu viwili tofauti.

“Kutoka hapa hadi kwenye mapango ni mwendo wa dakika mbili kwa hatua za haraka”

“Sawa doka”

Nikachomoa bastola yangu moja kwenye kiuno changu sehemu nilipo kuwa nimeichomeka. Kwa haraka nikaanza kutembea kuelekea yalipo mapango. Vijana hawa wawili wa NSS, wakaanza kunifwata kwa nyuma, sikutaka kuonyesha udhaifu kwamba mimi ni daktari ila kitu ninacho kifanya hapa ni ukomandoo ambao nimejifunza shemeu mbali mbali kutokana na maisha yangu kubadilika kwa asilimia kubwa sana.

Tukafika kwenye mapango ya amboni, kila mmoja akavaa miwani yake inayo msaidia kuona kwenye giza totoro. Taratibu tukaanza kuingia ndani huku kila mmoja silaha yake akiwa ameishika mkononi mwake. Kuseme kweli haya ni mapango ambayo yanatisha sana, mapango ambayo yana historia kubwa sana kwenye nchi ya Tanzania. Takribani dakika tano zikakatika tukiwa tunatazama ni sehemu gani ambayo tunaweza kuwaona magaidi.

“Dokta au jamaa ametudanganya?”

“Hapana tuzidi kusonga mbele”

“Ila dokta kardi jinsi tunavyo zidi kwenda ndivyo jinsi tunavyo zidi kupotea sisi wenyewe”

“Nimewaambia kwamba ninahitaji tusonge mbele, kama mtu huitaji kuwa pomoja nami unaweza kurudi nyuma”

Agent Emily akatulia kwa muda huku akitafakari nini cha kuzungumza, akatingisha kichwa na kukubaliana kuendelea na mimi, ila Agent Moris anaonekana kuwa wasiwasi mwingi.

“Nisikilize agent Moris, hii ni oparesheni ya kwenda kuokoa maisha ya mamilioni ya Watanzania watakao kufa pasipo hatia ya aina yoyote. Huko tulipo toka kuna watoto, wake, wajane na watu wa kila aina. Ukishindwa kuyaokoa maisha yao leo basi wewe hii kazi huiwezi”

Nilizungumza kwa sauti ya upole na iliyo jaa ushawishi mkubwa sana kwa agent Moris. Akanitazama kisha akatingisha kichwa cha kukataa kuendelea na safari hii ya kutafuta magaidi. Taratibu akaanza kurudi nyuma na kuanza kuondoka katika eneo hili la mapango.

“Agent Emily tunaweza kuendelea na safari?”

“Ndio dokta”

Tukaendelea na utafutaji wetu wa kukatiza kila eneo la haya mapango huku tukiongozwa na ramani iliyopo kwenye hichi kifaa maalumu. Tukaanza kusikia milio ya vyuma kama vinavyo gongwa gongwa.

“Dokta umesikia hivyo?”

“Yeaa”

“Sauti zinasikika kutoka upande huu wa mashariki”

“Twende”

Taratibu tukaanza kutembea kwa taadhari, kadri jinsi tunavyo zidi kwenda mbele ndivyo jisni tulivyo zidi kusikia milio ya vyuma hivyo jinsi vinavyo gongwa. Sasa tukaanza kuuona mwanga ukitokea kwenye moja ya njia. Tukazidi kusonga mbele kuufwata mwanga huu, hadi tukafanikiwa kufika katika njia hii nyembamba sana, ambayo inaruhusu mtu mmoja mmoja kupita.

“Upo tayari?”

“Ndio dokta”

“Twende”

Tukaanza kujipenyeza katika hii njia, na tukatokea katika sehemu ambayo sote mimi na agent Emily tukabaki tunashangaa. Sehemu hii imekaa kama ukumbi, na imefungwa taa kubwa katika kila ukuta ambazo zinamulika na eneo zima linaonekana vizuri. Kwenye kumbi huu kuna magaidi si chini ya hamsini, huku mabomu mawili makubwa ya nyuklia yakiwa yemeandaliwa vizuri sana.

“Naomba darubini”

Agent Emily akanipatia darubini, uzuri wa sehemu tuliyopo ni juu kabisa na watu wote tunawaona kwa chini. Taratibu nikaanza kutazama mtu mmoja baada ya mwengine, nikamuona mke wangu Cajoli akiwa amesimamiwa na vijana wawili walio mshikia bunduki huku akiamrishwa kutengeneza bomu la nyuklia.

“Ohoo Mungu wangu”

“Nini dokta?”

“Yule pale ni mke wangu”

“Hembu”

Agent Emily akachukua darubini na kuangalia eneo alipo Cajoli, akatazama na maeneo mengi.

“Tunafanyaje hapa dokta?”

“Tutanakiwa kuvamia hili eneo kwa umakini sana, ila tukikosea tu basi mke wangu tutampoteza”

“Sawa dokta, inabidi tutafute njia ambayo tunaweza kupita”

“Hakuna tabu”

Hata kabla hatujatoka katika hili eneo tukastukia tukimulikwa na taa kubwa, tukataka kukimbia ila watu zaidi ya nane wakawa wametuzunguka wakiwa na bunduki zao.

“Wekeni silaha zenu chini”

Mtu mmoja alizungumza huku akwia amejifunga kilemba kichwani mwake. Hatukuwa na ubishi wowote zaidi ya kuweka silaha zetu chini. Magaidi wawili wakatufwata na kutufunga mbingu huku mikono ikiwa nyuma. Wakaanza kutuongoza kushuka chini kwenye ukumbi huu, Cajoli alipo niona akataka kunikimbilia ila akauziwa kwa kunyooshewa bunduki, machozi mengi yakanedeleka kumwagika Cajoli. Kwa nguvu tukapigiswa magoti chini huku tukizungukwa na magaidi hawa ambao sasa nimewatambua kwamba wanatokea katika kundi la Al-Shabab.

“Mkuu tumempata dokta Lameck”

Gaidi mmoja alizungumza kiarabu, kwa simu yake ya upepo. Haukupita muda sana nikamuona Yudia akiwa ameongozana na Dany feki wakitufwata sehemu tulipo. Hasira ikaanza kunipanda kwa maana Yudia ni adui yangu wa muda mrefu sana.

“Ohoo Dany, ni muda mrefu sana sijakuona”

Yudia alizungumza huku akinishika kidevu changu, akanigeuza kichwa changu kushota na kulia, akamtazama Cajoli kwa jicho la dharau kisha akanipiga busu la mdomoni, japo nimejitahidi kulikwepa ila akanilazimisha, jambo lililo mfanya Cajoli kuzidi kulia kwa hasira.

“Dany pole kwa msiba wa mama yako, mkeo, mdogo wako na mwanao. Iliwabidi wafe kutokana na kiherehere chao.”

Tukiwa katika eneo hili, nikamuona Agent Moris akija katika eneo hili akiwa ameshika begi kubwa mkononi mwake.

“Moris asante sana kwa kutuletea hawa watu, sasa munaweza kumsindikiza”

“Wewe malaya wa kiume kumbe msaliti”

Agent Emily alizungumza huku akihitaji kunyanyuka, ila kwa haraka Yudia akachomoa bastola yake kiunoni na kumpiga risasi mbili za kichwa agent Emily na huo ukawa mwisho wake jambo lililo nifanya nizidi kupandwa na hasira hadi machozi yakaanza kunilenga lenga.




“Na wewe ukileta ujinga basi nitahakikisha kwamba unakufa”

Yudia alizungumza huku akinitazama usoni mwangu, akairudisha bastola yake sehemu alipo itoa, akawaamrisha watu wake kuninyanyua. Wakanipapasa na kuchukua silaha zangu, simu, miwani pamoja na jaketi la kuzuia risasi. Walicho nibakisha ni nguo zangu tu.

“Mpelekeni mukamfunge”

“Sawa mkuu”

Jamaa hawa wakanikokota kokota huku nikimtazama Yudia pamoja na Dany huyu feki, ambaye moja kwa moja ninaamini kwamba ametengenezewa sura hii ya bandia ambayo inafanana na mimi. Nikaingizwa kwenye moja ya chumba chenye geti la chuma. Wasiwasi mkubwa kuhusiana na nchi yangu kuingia katika hali nguvu ya kivita ikaanza kunitawala moyoni mwangu.

‘Ni nini nitafanya?’

Nilijiuliza huku nikitazama kila sehemu ya chumba hichi kilichomo ndani ya haya mapango. Kila kitu nilicho kuja nacho magaidi hawa wamekichukua na kuniacha nikiwa na nguo zangu nilizo zivaa tu. Nikajaribu kutingisha geti hili halitingishiki kabisa na nje limefungwa kwa kufuli kubwa. Nikaendelea kukaa katika chumba hichi kwa zadi ya nusu saa, geti likafunguliwa na wakaingia wawili wakaniamrisha kunyoosha mikono yangu mbele ili wanifunge pingu ili wanitoe katika hichi chumba. Sikuhitaji kukubaliana nao kabisa katika kusubiri nipate mateso ambayo kusema kweli sifahamu yanaweza kuwa ni mateso ya namna gani.

“Nyoosha mikono yako”

Gaidi mmoja alizungumza kwa hasira huku akininyooshe bunduki yake aina ya Ak47. Taratibu nikanyoosha mikono yangu mbele, kitendo cha mwenzake kuishika mkono wangu wa kushoto ili aufunge pingu, ikawa ni kosa kubwa sana kwake, kwa maana hiyo ndio ikawa nafasi yangu ya pekee kumimvuta kwa harake, nikampiga kigoti cha kifua, hata kabla mwenzek hajafyatua risasi, tayari nilisha jirusha hewani na kumtumia teke moja la mikono yake, lililo pelekea kushindwa kuihimili kuishia bunduki hiyo na kujikut ikianguka chini.

Sikutaka magaidi hawa wafanye lolote, sikuwa na huruma na gaidi hata mmoja, kazi yangu ni kuhakikisha kwamba ninazisitisha pumzi zao zote na kuwaangamiza kimya kimya pasipo mtu yoyo kuweza kusikia na ndivyo nilivyo hakikisha kwamba ninawaangamiza kwa kuwavunja shingo zao. Nikaokota bunduki ya mmoja wao, nikachomoa magazine na kukuta risasi za kutosha, nikairudisha nilipo ichomoa na kuikoki bunduki tayari kwa kushambulia.

Nikachukua kisu cha gaidi mmoja na kuichomeka kwenye soksi, kisha taratbu nikaanza kutoka humu dani huku nikiwa nimeishika bunduki hii ya aina ya MK47 yenye sifa nzuri katika maswala ya utoaji wa risasi.

Nikaanzisha oparesheni ya kua gaidi mmoja baada ya mwengine kwa kuwavunja shingo zao pasipo wo kugundua ni jambao gani linalo endelea ndani ya mapango haya yakutisha, cha kushukuru Mungu kuna taa hizi zinamulika katika kila eneo hili walilo jificha magaidi.

“Hei”

Gaidi mmoja alizunumza baada ya kuniona nikinyata karibu ya mwenzake, kwa haraka akafanyatua risasi ambayo kwa uharaka wangu, nililimvuta mwenzake na kumuweka kama ngao mbele yangu na kumfanya riasasi hiyo kumpiga yeye. Mlio huu wa risasi ya huyu gaidi ikawa imeharibi kulia kitu kwa manaa tangu nianze kuwaua hadi sasa hakuna ambaye aliweza kustukia hali halisi inavyo endelea ndani ya mapango haya. Nikachomoa kisu nilicho kichomeka kwenye soksi, nikakirusha kwa kasi na kutua kifuanimwagaidi huuyu ananye nishambulia.

Mashambulizi yakaanza kutawala ndani ya haya mapango kati yangu mimi na hawa magaidi, sikuwa na mbinu nyingine yoyote zaidi ya kujitahidi na mimi kulinda mwili wangu. Ubaya ambao magaidi hawa wamekutana nao kutoka kwangu ni kwamba ninawajua hadi katika kambi yao na nimesha kuwa miongoni mwao na nimeshirikiana nao kwenye baadhi ya kazi ambazo bila wao kunijua waliweza kuniamini. Hata mbinu zao na ubora wao katika kutumia silaha huwa ninaujua, hawana muda wa kusubiri, kumuona adui ili wamvamie, wao wakijua tu kwamba mbele yao kuna adui basi wanajifyatulia risasi kama wenda wazimu, kitu ambacho katika mashambulizi ni kibaya sana.

Ili kuto kuharibu risasi zangu, sihitaji kushambulia pasipo kumuona adui, nikaanza kufwata mfuko ambao nilisha fundishwa na mwalimu wangu katika chuo cha NSS, alikuwa anatueleza kila siku kwamba ‘save your bullet, one bullet one person’

“Zima taa zima taa”

Magaidi nilianza kusikia kuelel hizo za magaidi, wakaanza kushambulia taa zinazo mulika katika eneo hili na kupeleka giza kali ndani ya mapango haya na hapa ndipo walipo niweza kwa maana sina uwezo wowote wa kuona katika giza totoro kutokana sina miwani maamulu ambazo zinatumiwa kauona kwenye giza.

“Narudia nahitaji nimpate akiwa hai, narudia tena ninahitaji nimpate akiwa hai”

Nilisikia sauti ya Yudia ikitoea katika kipaza sauti cha gaidi niliye muaa mita chache kutoka sehemu nilipo. Kwa hisia za kuifwata sehemu ilipo tokea, nikaanza kutembea huku nikimtafuta gadidi huyo, kwa bahati nzuri nikamgonga kwa mguu wa kushoto, kwa haraka nikachuchumaa na kuanza kumpapasa kuanzia chini kuelekea juu, kwa bahati nzuri nikafanikiwa kukipata kichwa chake, nikampapasa machoni mwake kwa maana ninakumbuka nilimuona akiwa amevaa miwani kabla ya kumuaa, nikaishika miwani yake na kumvua. Nikaivaa machoni mwangu, ika badala ya kuona mbele nikajikuta nikiona giza totoro.

“Fuc***”

Nikaivua miwani hiyo na kuitupa chini kwa maana sio miwani za ‘night vision’. Ukimya ndani ya pango hili ukaendelea kutawala na fika ninafahamu kwamba wananiwinda mimi, kwa maana nimesha sikia ninahitajika niwe mzima. Gafla nikastukia kitu kizito kikitua kichwani mwangu na kujikuta nikianguka

chini na kupoteza fahamu.

***

Kitu chenye arufu kali na ya kustua, kikapita kwenye pua zangu na kujikuta nikikurupuka huku nikiweweseka. Mwanga mkali wa taa unao nimulika usoni mwangu, ukanifanya nizidi kuweweseka.

“Sogeza taa pembeni”

Sauti ya Yudia kusema kweli ninaifahamu vizuri sana, ni sauti ambayo hata nikiwa usinigizi nikiisikia basi nilazima nitambue kwamba mzungumzaji ni Yudia.

“Dany nakujua vizuri, sana na nilitambua kwamba ni lazima utaniletea fujo kwenye ngome yangu, pasipo kujua kwamba kwa sasa Yudia yule si yule mfanyakazi wa ndani kwenu na wala si mfanyakazi chini ya mwanaharamu K2”

Yudia alizungumza huku akiwa amesimama mbele yangu. Kiti nilicho kalia nimefungwa kisawa sawa na wala sina uwezo kabisa wa kusimama wala kufanya kitu chochote na pembeni yangu wamesimama wanaume wanne wenye bunduki huku nyuso zao zikiwa zimefunikwa na mabushori yalio waacha macho tu.

“Nilipo pata habari kwamba umempata daktari ambaye alikuwa ni target yangu ili aniwezeshe kunipa nguvu, basi nikaseme hiyo ndio nafasi yangu kuweza kukukamata wewe.”

“Sielewei unazungumza nini?”

“Mleteni ndani”

Mke wangu Cajoli akaingizwa ndani ya chumba hichi akiwa ameshikwa na wanaume wawili, uso wake umajaa michirizi ya damu na inavyo onekana amepigwa sana. Wakampigisha magoti kwa nguvu hadi nikajikuta niking’ata meno yangu kwa hasira nikitamani utokee muujiza kamba za manila walizo nifunga zifunguke, nimkamate Yudia, nimkamue kama miwa inavyo kamuliwa kwenye mashine na kutoa juisi, ila ndio hivyo sina uwezo.

“Huyu unaye muita mke wako ni daktari wa uvumbuzi wa mambo, hata hilo jina la dokta Lameck ulilo pewa halikustahili wewe kupewa yeye ndio dokta na yeye ndio niliye kuwa ninamuhitaji kabla ya kufahamu kwamba wewe una mahusiano naye.”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Leo ndio siku ya ukweli wako wote kutoka nje, la sivyo nitakuua wewe. Washa kamera”

Yudia akaendelea kuwaamuru watu wake, tukatazamana na Cajoli, nikamuona jinsi machozi yake yanavyo endelea kumchuruzika kwenye mashavu yake. Kimoyo moyo nikajikuta nikijutia na kujiuliza ni kwa nini niliamua kuingia kwenye mapenzi na Cajoli na kumsababishia matatizo haya yote mtoto wa watu asiye na hatia.

Yudia akaamuru kiti kilichopo nyuma yangu kusogezwa mbele yangu, kisha Cajoli akakalishwa kwa nguvu huku akiendelea kumwagikwa na machozi. Kamera ikageuzwa kwake, kisha Yudia akanisogelea huku akiwa ameshika bastola yake. Akaniwekea bastola ya kichwa huku akimtazama Cajoli usoni mwake.

“Yudia ni kitu gani unacho hitaji kukifanya?”

“Hayakuhusu”

“Nahitaji kufanya ni nani aliye nyuma ya ugonjwa wa mapunye ulio enea Tanzania kuanzia siku ya jana?”

Yudia alizungumza huku akiwa amemkazia macho Cajoli na bastola yake akiwa ameiweka karibu kabisa na kichwa changu.

“Cajoli usizungumze chochote please baby”

Gaidi moja likanipiga ngumi nzito ya kifua hadi nikajihisi kutapika damu jambo lililo mfanya Cajoli kuzidisha kilio.

“Nasema nasema”

“Zungumza sasa la sivyo mpenzi wako atakufa”

“Mimi, mume wangu Dany ndio tulikuwa na wazo la kuhakikisha kwamba tunatengeneza vizusi ambao watakwenda kuwashambulia watanzania, ikiwa ni njia moja wapo ya sisi kulipiza kisasi kwa raisi K2”

‘Ohoo Mungu wangu Cajoli kwa nini umezungumza?’

Nilijikuta nikijilaumu moyoni mwangu huku nikimtazama Cajoli jinsi anavyo zugumza huku machozi yakimwahiga.

“Na baada ya hapo ikawaje?”

“Tulitengeneza ant biotic ya kua virusi hao kwa makubaliano ya kuingia mkataba na serikali ya Tanzania ili tuweze kujipatia kiwango kikubwa cha pesa”

“Na zoezi lenu likikwenda salama?”

“Ndio”

“Pesa zipo wapi?”

Taratibu Cajoli akanitazama mimi huku akiwa amejawa huzuni nyingi usoni mwake. Gaidi akanipiga kofi zito la uso lililo nifanya nijisikie maruwe ruwe, Cajoli akazidi kulia jambo lililo zidi kuniumiza moyo wangu.

“Usipo zungumza mumeo ataendelea kuteseka hadi atakufa mbele ya macho yangu”

‘Noo Cajoli nooo’

Nilizungumza kwa kunyanyua lipsi zangu tu pasipo kutoa sauti huku nikimtazama Cajoli aliye kaa kimya akiendelea kulia. Gaidi akatoa kisu chenye ncha kali na kukisogeza karibu na jicho langu kwa ajili ya kulitoa jicho langu la upande wa kulia.

“Moja, mbili, t……”

Ikambidi Cajoli kukatisha hesabu ya Yudia kuokoa kiongo changu muhimu kwenye maisha yangu.

“Nazungumza nazungumza”

“Zungumz”

“Pesa ipo kwenye akaunti yangu”

“Ni kiasi gani?”

“Dola bilioni moja”

“Muongo”

Taratibu gaidi huyu wa kiume akaanza kunichana kwenye shavu langu la kulia, kitendo cha Cajoli kuona damu zikinichuruzika kwenye shavu langu akaropoka.

“Dola bilioni kumi”

“Waoo vizuri sana. Rudisha Camera huku”

Yudia alizungumza na kusogea pembeni akachukua busholi na kulivaa kichwani mwake kuificha sura yake. Akasimama nyuma yangu huku sote tukitazama kamera hii inayo endelea kurekodi kila kitu kinacho endelea katika eneo hili.

“Raisi K2, si kila kitu kwamba serikali yako inaweza kufanya. Huyu ni gaidi aliye kuwa unamtafuta tangu kipindi ambacho haujawa raisi hadi leo umeshikilia nchi.”

Magaidi mmoa akanisogelea akiwa ameshika kitambaa chenye harufu mulani ambayo sijaielewa ni harufu ya maji maji gani, akaanza kunisugua usoni mwangu na kutoa make up yote ambayo nilifanyiwa kitaalamu na shem Cajoli na nikabaki katika sura yangu halisi.

“Huyu ni Daniel, siku zote alikuwa ukimtafuta kwa udi na uvumba. Watanzania, huyu ndio aliye wafanya muteseke kwa kutokwa mapunye miilini mwenu. Ni mtu hatari sana kwa amani ya nchi yenu, gaidi huyu aliweza kuingia hadi ndani ya ikulu ya raisi wenu kwa ujanja wa kujiita daktari, ila si daktari na nilimtengeneza gaidi anaye fanania na yeye ili kuzidi kumpa nafasi ya kuaminika ndani ya ofisi ya raisi. Na tumekipata kile ambacho tulikuwa tunakihitaji kukipata.”

Yudia alizungumza maneno ambayo tayari yamesha nipandikizia chuki kwa kila mtanzania ambaye anaitazama video hii ambayo nina amini kwamba inaruka moja kwa moja kwenye vitua vya televishion kwa maana magaidi hawa wa Al-Shabab wana ujuzi mkubwa sana wa kuingiza video zao kwenye vituo vya televishion pasipo wahusika wa vituo hivyo kukubaliana na hilo.

“Kabla sijasahau, muheshimiwa raisi maovu yako nayo yanakuja muda mchache kuanzia hivi sasa, na ninatambua kwamba bomu la nyuklia lililo kuwa limetegwa katika eneo la Posta Dar es Salaam wamefanikiwa kulitegua, ila waambie watanzania wajiandae kuombolea vilio vya kusaga meno kwa maana hamto jua muda wala saa ambayo nitaachia bomu jingine”

Yudia akatoka nyuma yangu na kamera ikazimwa, akavua bushori alilo vaa na kusimama mbele yangu kuku akinitazama.

“Tanzania mzima sasa watakuwa wamesha tambua mbaya wao ni nani”

“Yudia umekwenda mbali sana katika hili”

“Hahaa Dany, nimekusaidia. Nimekufanya uwe maarufu kuliko mtu yoyote hapa Tanzania”

“Sawa ninakuomba umuachie mke wangu aondoke zake”

“Hahaa Dany unahisi ninaweza kufanya ujinga wa namna hiyo. Narudi kama nilivyo kuambia, mke ndio alikuwa chaguo langu, ila ulivyo dandia basi kwa mbele sikuwa na budi ya kufanya hichi nilicho kifanya leo. Naamini kwamba utakuwa unafahamu ni nani aliye iangamiza familia yako?”

“Ndio”

“Kwa nini ulipata nafasi na ukashindwa kumua?”

“Muda ukifika nitahakikisha nitamua?”

“Dany huna muda tena, kweli umekaa meza moja na K2 ukashindwa kumua. Natambua kwa sasa hato kuwa rafiki yako tena atakusaka kama anavyo nisaka mimi”

“Imekuwaje hadi leo munatafutana?”

“Maslai madogo, ubabe wake isitoshe nilikuwa nina familia yangu tayari”

“Familia kivipi?”

“Meya wa jiji la Tanga ambaye ulimua, alikuwa ni baba yangu, yeye na baba Hawa ni mtu na mdogo wake. Tulimchukulia K2 kama mtu wa karibu sana, akatushirikisha katika kikosi chake na kunifanya niwe mtu niliye muamini kwa asilimia kubwa sana, ila alinisaliti”

“Alikusaliti kivipi?”

“Alinichukulia mwanaume wa maisha yangu, alinichukulia mwanaume niliye mpenda. Isitoshe akamuaa mwanaume huyo mbele ya macho yangu”

“Mwanaume huyo ni nani?”

“Ni raisi aliye pita”

“Ina maana K2 alimuua kaka yake?”

“Ndio”

Moyo wangu ukajikuta ukipatwa na ubaridi mkali sana, japo nipo kwenye mateso ila maneno ya Yudia yamezidi kunifanya kumchukia K2 na kuapia nikipata nafasi nyingine nitahakikisha kwamba nitakikata kichwa chake kwa mikono yangu mimi mwenyewe.




“Ila nilisikia kwamba raisi aliye pita aliugua akashindwa kuiongoza nchi?”

“Ndio aliugua kutokana K2 alimuwekea sumu iliyo kuwa ikimua taratibu taratibu na nilikuja kushuhudia akimalizia kwa kumziba uso wake kwa mto”

“Daaa, ninakuomba basi uweze kuniachia, au muachie mke wangu aondoke”

“Dany, mke wako kwa sasa amesha ingia kwenye mtandao wa kigaidi, akitoka uraiani huyo hata wananchi wa kawaida wanaweza kumua. Na kitu kingine kumbuka kwamba mimi na wewe ni maadui bado japo tunazungumza ila sikuamini, wala mimi najua huwezi kuniamini”

“Hilo la kuaminiana ninaamini kwamba halito kuja kutokea siku hata moja”

Yudia akachomo bastola yake baada ya mzee mmoja akuingia akiwa amebeba laptop aina ya Mac.

“Unahitaji kufanya nini?”

“Halikuhusu, tulia kama ulivyo”

Mzee huyu akamkabidhi Cajoli laptop hiyo, taratibu Yudia akamsogelea Cajoli huku akiwa amemnyooshea bastola ya kichwa.

“Unaweza kuhamisha pesa hiyo kwa namba ya benki ambayo nitakupatia”

“Yudia unafika mbali, haufuhamu kwamba hiyo pesa mimi nimeitafuta kwa tabu gani?”

“Dany kelele hili ni kati yangu mimi na Cajoli na kama anahitaji wewe uishi basi akubaliane kwa kile ambacho ninamuhitaji yeye kufanya”

“Tafadhali Yudia ninakuomba hiyo pesa usiichukue, nimepata tabu, nimehangaika miaka yangu yote ili niweze kupata nguvu ya kulipiza kisasi”

Nilizungumza huku machozi yakinilenga lenga usoni mwangu.

“Dany kuzungumza kwa muda mfupi sio kwamba sisi ni marafiki unanisikia. Muda wowote na wakati wowote endapo utajaribu kurudia kufanya ujinga wako wakuzungumza mambo yako ya kijinga, nitahakikisha kwamba mke wako ninamfumua ubongo wake ujue kwamba sina huruma”

“Dany pesa tutatafuta”

Cajoli alizungumza huku akijipangusa machozi usoni mwake. Taratibu Cajoli akaanza kuminya minya batani za laptop hiyo, baada ya dakika tano akamgeuzia mzee huyo laptop, taratibu mzee huyo akatingisha kichwa chake huku akimtazama Yudia usoni. Gafla Yudia pasipo kuwa na huruma akamtandika Cajoli risasi ya kichwa, taratibu nikamshuhudia Yudia akianguka chini huku damu nyingi zikimtoka kichwani mwake. Macho yangu yakanitoka, mwili mzima ukaanza kutetemeka kwa hasira kali, Yudia akanigeukia na kunitazama kwa macho ya dharau kisha akatoka ndani ya chumba hichi huku akiwa ameongozana na watu wake.

“CAJOLIIIII”

Niliita kwa nguvu huku machozi yakinimwagika usoni mwangu, taratibu nikaanza kujisogeza na kiti changu japo ni zoezi gumu, ila nikajikaza hivyo hivyo kuhakikisha kwamba ninamfikia Cajoli mke wangu ambaye tayari emasha poteza maisha.

Gaidi mmoja akanisogele huku akinitazama usoni mwangu, akamtazama Cajoli kisha akatoka katika chumba hichi. Magaidi wote wakatoka katika chumba hichi na kunicha nikiwa na maiti ya mke wangu.

‘Yudia nitakua kifo kibaya sana’

Nilizungumza huku nikijitahidi kusogea taratibu hadi alipo mke wangu Cajoli. Nikakajiangusha chini na kiti changu, nikabaki nikimtazama kwenye sura yake huku machozi yakiendelea kunimwagika.

“Cajoli nisamehe mke wangu, haya yote yametokea kwa ajili yangu”

Milio ya risasi ikaanza kurindima ndani ya mapango haya jambo lililo nifanya sasa nianze kujaribu kujifungua mikono yangu, ila sikuweza kufanikiwa kutokana na kukazwa sana kwenye hichi kiti. Akaingia gaidi ambaye muda machache alitoka kunitazama, akaanza kukata kamba nilizo fungwa.

“Tumevamiwa na jeshi”

Jamaa alizungumza huku akinifungua kamba zangu kwa nyuma. Akanikabidhi bastola moja huku akinitazama, sikujua ni kwa nini ameamfua kunisaidia.

“Ni wakati wa kuondoka sasa tukiendelea kukaa hapa tutakamatwa na wanajeshi”

Nikamnyooshea bastola huyu jaama huku nikimtazama kwa macho makali usoni.

“Wewe ni nani?”

“Jina langu ninaitwa Stive, nilikuwa mpelelezi chini ya mama yako katika kikosi hichi”

“Mama yangu?”

“Ndio mimi ndio nilikuwa nikimpatia mama yako hanari zote na mipango ambayo inaendelea ndani ya kundi hili”

“Kwa nini umeamua kunisaidia?”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Dany huu sio muda wa kuendelea kuulizana maswali muda wowote hapa tutakuja kukamatwa, na kama unavyo ona tayari siri uliyo kuwa umeifanya imsha gundulika ni muda wa kondoka sasa”

Nikamgeukia Cajoli wangu, taratibu nikapiga magoti chini, kwa nguvu nikamnyanyua na kumuweka begani mwangu kitendo kilicho mdafnya Stive kushangaa.

“Amesha kufa huyo t……..”

Nilimkatisha kwa kumnyooshea bastola ya usoni mwake.

“Huyu ni mke wangu na wala hufahamu ni uchungu gani ambao ninao.”

“Sawa mkuu, chukua miwani hii”

Stive akanikabidhi miwani inayo weza kumsaidia mtu kuona katika giza kali. Tukaanza kutoka huku tukikimbia, sikuhitaji kumuangalia mke wangu kwa maana anaweza kunipa simanzi kubwa kwye maisha yangu. Tukaendelea kukimbia kwenye njia ambazo Stive anaonekana kuzifahamu ivuziri.

“Huku tunaelekea wapi?”

“Tuna mwendo mrefu na tutatokea nchini Kenya”

“Tutatumia msasaa mangapi?”

“Masaa mawili kwa mguu, ila njia hizi zinatisha sana kwa hiyo unatakiwa uwe jasiri”

“Wewe twende tu”

Tukaendelea kusonga mbele, huku tukiwaachia kizaa zaa Yudia na watu wake. Sehemu ambayo ilitulazimu kukimbia, inatubidi kukimbia na sehemu iliyo tulazimu kutembea basi ikatubidi kutembea kwa mwendo wa haraka sana huku mwili wa mke wangu nikiendelea kuubeba begani.

“Ilijuana vipi na mama yangu?”

“Mama yako alikuwa ni mwalimu wangu, na hata kuingia kwenye kundi hili la Al-Shabab yeye ndio alihitaji mimi kuingia ili kuweza kufanikisha mipango yake”

“Alikuwa ni mwalimu wa nini?”

“Sayansi na teknolojia, na hicho ndio kitu ambacho kilinifanya niweze kuishia kwenye kundi hili kwa muda wa miaka sita sasa”

“Na mauji dhidi ya mama pamja na ndugu zangu ulilifahamu hilo?”

“Nililifahamu baada ya tukio kutokea, tena hii ni baada ya kuanza kupita wiki pasipo mama kuzungumza na mimi, ilinibidi kuanza kufanya uchunguzi wa chini chini hadi nikafanikiwa kuona maiti zao”

Tulizungumza huku tukizidi kusonga mbele, kwa mwendo wa kutembea kwa haraka sana. Tukafika kwenye moja ya majabali yaliyo chungoka vizuri kama viti.

“Ninaomba tupumzike hapa”

“Hii sehemu sio salama tuzidi kusonga mbele”

Ikanibidi kumbadilisha Cajoli na kumlaza kwenye bega jengine kwa maana hili ninaona linaweza kuvunjika.

“Je baba yangu unamfahamu?”

“Ndio ninamfahamu”

“Vipi kuhusu yeye?”

“Yeye ndio mtu wa kwanza kuuwawa na K2, baada ya hapo ndio ikafwatia familia nzima. Ila kuna kitu kimoja muhimu tukifika nchini Kenya nitakukabidhi, niliambia nikupe wewe na baba yako”

“Kitu gani?”

“Utakifahamu palee tutakapo fanikiwa kufika nchini Kenya”

“Ilikuwaje baba yangu akakukabidhi wewe kitu hicho”

“Ukweli ni kwamba……..”

Stive akaka kimya kwa muda huku tukiendelea kusonga mbele.

“Zungumza huo ukweli?”

“Dany ni muda wa kuhakikisha kwamba tunatoka salama kwenye haya mapango, ninakuomba hayo mazungumzo tukayafanyie Kenya”

Tukaendelea kusonga mbele, ikafikia hatua Stive akanisaidia kumbeba Cajoli begani mwake na safari hii ndefu kwa miguu ikazidi kusonga mbele. Tukafanikiwa kutoka nje ya mapango haya salama salimini, sehemu tuliyo tokea ni kwenye msitu mkubwa sana na wenye hewa ya baridi kubwa sana.

“Tuelekee huku”

Stive aliendele kuzungumza na mimi sikuwa na budi zaidi ya kuendelea kusonga mbele. Tukafika kwenye kijumba kimoja kilicho tengenezwa kwa mbao.

“Karibu nyumbani?”

“Huyu!!?”

“Ndio hapa ndio kwenye maficho yangu”

Stive alizungumza huku akifungua mlango wa chumba hichi. Tartaibu tukaingia ndani huku nikiangaza macho yangu huku na kule. Kajumba haka kana seble moja pamoja na chumba kimoja, tukaingia ndani ya chumba chii, nikaona ngazi zinazo elekea ndani ya chumba hichi. Stive akaendelea kuongoza na kuelekea chini. Aminya swichi ya ukutani na kuziruhusu taa zote zililomo ndani ya chumba hichi kuwaka kwa pamoja. Akaandaa kitanda kidogo, kisha nikamlaza mke wangu Cajoli ambaye ni mda mrefu alisha paukua kutokana na kupoteza maisha. Taratibu Stive akanisogelea na kunishika begani kwa mkono wake wa kulia.

“Unatakiwa kuwa jasiri, mkakamavu. Kufariki kwa shemeji iwe ni moja ya changamoto kubwa kwenye maisha yako, kwa maana huyu ni shemeji wa pili kufariki”

Stive alizungumza maneno yaliyo nifanya nianze kumwagikwa na machozi huku nikimtazama Cajoli alivyo lala kwenye hichi kitandani.

“Kuna listi kubwa ya watu ambao aliniachia mzee, watu hawa tunatakiwa kuwaondoa kwenye uso wa dunia”

“Hiyo orodha ipo wapi?”

“Ninayo”

Stive akafungua kabati lililopo humu chumbani na kutoa kidabu kidogo cha kuhifadhia kumbukumbu, katika kukitazama vizuri nikaweza kugundua kwamba kitabu hichi nilisha wahi kumuona nacho baba.

“Hichi kitabu mzee alinikabidi na kunipa maelezo kwamba nikupatie wewe, kina maeleo yote ya jinsi ya kuwapata watu hao ambao tunatakiwa kuwaa”

“Inakuwaje kwamba baba anahitaji niwaue watu wake ikiwa mimi pia nina watu wangu ambao ninatakiwa kuweza kuwashuhulikia?”

“Kusema kweli siwezi kufahamu, yeye alinipa maelezo hayo wiki chache kabla ya yeye kufariki”

Nikafunua kitabu hichi na kupitisha pitisha macho yangu kwa haraka katika kurasa chache kisha nikakiingiza mfukoni.

“Kwa sasa kichwa changu akipo vizuri, ninahitaki kufanya mazishi ya mke wangu”

“Sawa”

“Ila si unatambua Yudia ni wapi alipo au maficho yake makubwa yanakuwa wapi?”

“Ndio ninafahamu ni wapi maficho yake yalipo kwa maana yeye kwa muda mwingi anapenda kunishirikisha katika mambo yake mengi nikiwa kama mshauri wake”

“Ningeomba kwa sasa unisaidie kumtafuta Yudia, kwa maana ninahitaji kumua kama alivyo mua mke wangu”

“Swala la kumzika shemeji ndio basi tena?”

“Nitamzika baada ya kumliza mauji yangu. Hadi sasa nina maiti mbili za kuzika, moja ipo hospitali ya Bombo mkoani Tanga”

“Mmmm, bisi inabidi umchome sindano shemeji ya kuukausha mwili wake”

“Nitaipata wapi kwa muda huu hiyo sindano”

“Mimi ninayo”

Stive akafungua kabati jengine, akatoa kichupa kidogo cha dawa kisha akachukua bomba la sindano. Akaliandaa vizuri kwa kuifunga sindando kisha akavuta dawa ya kutosha.

“Hii dawa inakaa wiki moja kabla ya mwili kuanza kuoza”

“Wiki moja nina imani nitakuwa nimesha maliza kazi yangu”

Stive akanikabidhi sindano iliyo jaa damu, taratibu nikaichoma kwenye mkono wa Cajoli na kuisukuma dawa yote ndani.

“Dani unajua muda ule nilihitaji kuzungumza kitu gani?”

“Zungumza”

“Mimi ni kaka yako wa damu moja”

Maneno ya Stive yakanifanya nimgeukie na kumtazama kwa mshangao sana kwa maana katika kipindi cha kuishi na wazazi wangu wala sikuwahi kusikia kwamba nina kaka zaidi ya kujijua kwamba mimi kwenye familia yangu ndio mtoto wa kwanza.




“Hahaa acha kunitania Stive”

“Trust me Dany, mimi ni kaka yako”

Nitaamini vipi kama wewe ni kaka yangu kwa maana sikuwahi kukusikia ukiongelewa na mtu yoyote kwenye familia yangu”

Stive hakuzungumza chochote, akafungua droo na kutoa laptop, akaiwashana kuiweka mezani akafungua faili moja wapo la video ambayo inamuonyesha baba akiwa akaa kwenye kiti cha ofisini kwake.

“Dany ni kwa muda mrefu hii siri mimi na mama yako tuliamua kuificha ili mradi wewe usiweze kufahamu wala mdogo wako Diana asiweze kuligundua hili kw amaana lingeinua chuki katika familia yangu jambo ambalo nilikuwa sihitaji kulisikia wala kuliona linatokea”

Nikasimama vizuri huku nikiwa nimeikunja mikono yangu kifuani mwangu, nikiendelea kutazama video hii.

“Dany nina kaka yako ambaye amekupita miaka miwili. Anaitwa Stive ni miongoni mwa wanamgambo wa kundi la Al-Shabab, mimi na mama yako tuliamua kumpeleka hapo akawe ni mpitisha habari wa kundi hilo kwa maana tuna ndoto kubwa ambazo mimi na mama yako hatutoweza kuzitimiza, hii ni kutokana na kuzungukwa na maadui wengi sana.”

“Video hii nitamuachia kaka yako Stive, kwa kupitia hii video utamuamini kwa maana yeye anakufahamu wewe ila wewe akafuhamu, Stive atakuwa kiongozi wa kukufanikisha kutimiza ndoto ya mama yako kuwa raisi”

Nikaminya batani ya kuisimamisha video hii na kumgeukia Stive na kuanza kumtazama kuanzia juu hadi chini, nikarudia kufanya hivyo kwa mara kadhaa kuhakikisha kwamba ninapata japo kitu ambacho kitanifanya nimuamini kwamba ni ndugu yangu japo kwa kufanana.

“Haijaisha bado”

“Sina haja ya kuendelea kuimaliza”

“Ila Dany unatakiwa kutimiza ndoto ya kuwa raisi”

“Hiyo ndoto sio ya kwangu sawa, aliye kuwa naye amesha kufa na wala sikuwahi kuja kufikiria kwamba ipo siku nitakuja kuwa raisi”

“Dany unatakiwa kulifanya hilo”

Stive alizungumza kwa msisitizo huku akinitazama usoni mwangu, taratibu nikamsogelea hadi sehemu alipo simama huku nikiwa nimejawa na hasira kubwa sana moyoni mwangu.

“Hunijui sikujui, siamini kitu alicho kizungumza baba yangu kama unahitaji nisaidie kumtafuta Yudia ila kama huitaji basi nitamtafuta mimi peke yangu. Tumeelewana”

Kwa sauti niliyo izungumza na iliyo jaa msisitizo mkubwa ikamfanya Stive kutingisha kichwa kiwoga.

“Naomba sururu na chepe”

“Eheee?”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Umenisikia”

Stive akarudi nyuma hatua kadhaa akatoa chepe na sururu vilivyokuwa nyuma ya moja ya kabati katika hichi chumba, akanikabidhi, nikamtazama Cajoli wangu, machozi yakanimwagika pasipo kuzungumza kitu chochote nikatoka nje ya nyumba hii, nikatafuta sehemu iliyo kaa vizuri na kuanza kuchimba kaburi peke yangu. Jasho lilivyo zidi kunitiririka, ikanilazimu kuvua shati langu na kuendelea kuchimba kaburi hili huku nikiwa na hasira kubwa sana moyoni mwangu.

“Yudi ulipo fika ni mbali sana”

Nilizungumza huku nikiendelea kuchimba kaburi hili, nilipo hakikisha kwamba nimechimba kimo ambacho ninaweza kumlaza mke wangu, nikatoka ndani ya kaburi hili, nikarudi ndani na kumkuta Stive akiwa anaminya minya batani za Laptop yake. Nikamnyanyua Cajoli na kumuweka begani, taratibu Stive na yeye akasimama na kuanza kunifwata kwa nyuma.

Tukafika sehemu ya kaburi taratibu nikamshusha Cajoli na kumlaza chini huku machozi yakinimwagika usoni mwangu na kilio changu chote ninakililia ndani kwa ndani. Taratibu nikausogeza mdomo wangu kwenye kinywa cha Cajoli, nikampiga busu zito lililo dumu kwa dakika tano.

‘Nisamehe mke wangu, sikukusudia mwisho wako uwe hivi. Ninatambua haya yote yametokea kwa ajili yangu, pumzika kwa amani Cajoli wangu’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikimtazama Cajoli, taratibu nikashuka kwenye shimo na kumuomba Stive anipatie mwili wa mke wangu, japo ninamzika kwa aibu kubwa na nikinyume na sheria za kidini yangu, ila sina jinsi zaidi ya kufanya hivi. Stive akanipatia mwili wa Cajoli, taratibu nikaupokea na kuulaza chini taratibu. Nikaitazama cheni iliyopo shingoni mwa Cajoli nikaikata na kutoka nje ya kaburi. Nikachuku chepe na kuanza kufukia kaburi kwa hasira kubwa sana. Stive akarudi ndani, baada ya muda akarudi akiwa na chepe. Tukasaidia kufukia kaburi hadi tukafanikiwa tumemaliza.

“Nitahitaji hii sehemu niijengee”

“Kwa leo itashindikana kwa maana hapa sina vifaa vya kujengea”

“Poa”

Nikaondoka katika eneo la kaburi huku nikiwa ninaburuza chepe langu, nikaingia ndani.

“Dany unatakiwa kuoga sasa”

“Nitaoga, umefanikiwa kumpata Yudia?”

“Ndio nimefanikiwa kupata location aliyopo kupitia satelait”

“Yupo bado Tanzania?”

“Hapana kwa sasa ninamini kwamba anaelekea nchini Somalia”

“Itabidi twende leo”

“Dany unatakiwa kupumzika kidogo”

“Nipummzike, mke wangu amekufa kwa ajili yake, kama ni pesa alichukua, inakuwaje amuue mke wangu eheeee”

Nilizungumza kwa kufoka huku nikimtazama Stive usoni mwake.

“Dany kazi kama hizi haziogozwi kwa hasira, ni akili hapa ndio inahitajika kutumiwa sawa, ukikurupuka utaingia tena mikononi mwao”

“Huo ni ujinga na upumbavu unao uzungumza. Kwanza wewe ni nani hadi unizuie kuhusiana na mipango yangu”

“Mimi ni kaka yako na ni mshauri wako na unahitajika kufwata amri nitakayo kuambia”

“Samahani sijakusikia vizuri”

“MIMI NI KAKA YAKO NA UTAFWATA AMRI NITAKAYO KUAMBIA”

Stive alizungumza kwa sauti nzito huku akinisogelea kwa ukaribu sana. Kwa hasira nikamsukuma akapepesuka kidogo, akajaribu kunishika mkono wangu wa kulia, ila nikawahi kuutoa kwenye kiganja chake na kurusha ngumi kwa mkono wa kulio iliyo mpata kichwani mwake na kumfanya awewesuke tena, nikarusha ngumi nyingine mfululizo ila zote Stive akazikwepa.

“Dany sihitaji kupambana na wewe na wala sihitaji kukuumiza”

Sikumjibu chochote Stive zaidi ya kuendelea kupambana naye, ila kadri nilivyo jaribu kupambana naye Stive alinikwepa sana na wala hakuhitaji kuipiga ngumi yoyote mwilini mwangu.

“Dany tulia sihitaji kukuumiza tafadhali”

Stive alizungumza huku akijaribu kunishika, mikono yangu, nikamtandika kichwa cha pua na kumfanya aishike pua yake. Gafla nikastukia akinipiga teke moja la shingo, lililo nifanya nianguke chini na giza kali likatawala kwenye macho yangu.

***

“Cajoli”

Nilikurupuka usingizini huku nikihema sana, jasho jingi linanimwagika mwilini mwangu. Nikamtazama Stive aliye simama pembeni yangu. Ukimya ukatawala kati kati yetu huku kwa mara kadhaa tukiwa tunatazamana pasipo kuzungumza chochote.

“Nikuletee chai”

“Kwani ni saa ngapi muda huu?”

“Ni saa kumi na mbili alfajiri”

”Imekuwaje hadi nimelala muda wote huo”

“Hilo sio jambo la kulizungumzia kwa wakati huu. Nimepanga safari ya sisi kuelekea Somalia kuhakikisha tunatoa hukuma kwa wale wote ambao wamesababisha maumivu ya mioyo yetu”

“Umepata ni sehemu gani alipo Yudia?”

“Ndio sehemi hiyo sio ngeni kwako, kwa maana ulisha fika”

“Una maana ni kambi ya Al-Shabab?”

“Ndio ni kwenye kambi hiyo na hapo ndipo Yudia alipo”

“Sawa kazi nzuri Stive”

“Ingia bafuni humo, oga njoo unywe chai.”

Stive alizungumza huku akinitupia taulo, akatoka chumbani na kuniacha peke yangu, nikaingia bafuni nikavua suruali niliyo lala nayo na kuanza kuoga. Kila ninapo jaribu kuyafumba macho yangu ninahisi kuiona sura ya Cajoli, jambo lililo nifanya nianze kujisikia vibaya moyoni mwangu.

Nikatoka bafani huku nikiwa nimejifunga taulo, nikaeleka katika chumba kilichopo chini ya aridhi na kukuta ngo za polisi wa nchini Kenya.

“Chuku nguo zako hizo utavaa, tutatumia usafiri wa gari la polisi kuhakikisha kwamba tunapitoka ndani ya nchi ya Kenya pasipo wewe kustukiwa na mtu yoyote”

“Somali je?”

“Huko napo nitakueleza ni nini cha kufanya cha muhimu ni kuhakikisha kwamba tunatoka ndani ya Kenya salama salami”

Sikuwa na maswali lolote zaidi ya kuchukua nguo hizi na kuzivaa. Nikavaa buti za polisi pamoja na kofia. Kisha Stive naye akavaa nguo zake, tukajiandaa vya kutosha na kila mtu kwenye shati lake ana tumia jina tofauti huku mimi nikitumia jina la sajenti Ulolo David nay eye akitumia jina la Koplo Celvin Orig.

“Kuna gari lipo nyuma ya nyumba, ni gari la polisi, hakikisha kiswahili tunacho kitumia kitafanana kabisa na Kiswahili cha Kenya”

“Hicho Kiswahili cha Nyanya ndio bibi?”

“Hicho hicho. Kumbuka kwamba hii kazi tunayo iendeea hatuendi kusalimia mtu, ila tunakwenda kumua mtu, sasa wewe ule ugonjwa wako wa kuonyeshwa kum** na mwanamke na ukajisahau sinto hitaji kuusikia”

“Sawa”

“Chai kwanza ndio tuondoke”

Tuikaka mezani na kupata kifungua kinywa, tuakamaliza kwa mapamoja, kila kitu cha maandalizi ya kazi Stive alisha kiandaa na kukiweka kwenye begi. Tukatoka ndani ya yumba, moja kwa moja tukaelekea hadi lilipo kaburi la Cajoli, taratibu nikachuchumaa.

“Baby ninakwenda kufinya hii kazi, ninakuomba uniombee huko nilipo, siku si nyingi nitakuja huko ulipo”

Macho yakanilenga lenga, kusema kweli kifo cha Cajoli kinaniuma kupita maelezo kwa maana ninajiona kama mimi ndio chanzo kikubwa sana na laiti ingekuwa si mimi kukubali kumuhusisha kwenye matatizo yangu wala leo asinge kuwa ndani ya hili kaburi. Honi ya gari ikanistua na kunitoa kwenye dimbwi kubwa la mawazo, kwa ishara Stive akaniita ili tuondoke katika hili eneo. Nikanayanyuka taratibu huku nikiwa na mawazo mengi sana, nikaingia kwenye gari na taratibu tukaondoka katika eneo hili.

“Hivi ni vitambulisho vyote ni feki ila ni original”

Ni feki na ni original ndio lugha gani?”

“Kwani majina yaliyopo kwenye mashati yetu ni majina yetu ya kuzaliwa?”

“Poa umeshinda”

“Una muda gani na mkeo?”

“Wiki sasa”

“Hahaah one week ndio inakufanya ulie namna hiyo kwa ajili ya huyo mwanamke?”

“Stive katika hilo ninakuomba usiningiilie”

“Hilo ndio tatizo lako mdogo wangu, mama wewe si alikuagiza kichwa cha K2, hadi leo kipo wapi?”

Stive alizungumza huku akiongeza mwendo kasi wa gari.

“Dany sasa hivi moyo wako ninahitaji usipende, ninahitaji moyo wako uwe ni mgumu, yupo wapi mkeo, yupo wapi mwanao. Ukiwa unafanya kazi hii unatakiwa swala la kujenga familia uliweke kando kwa maana kupitia familia yako adui zako wanaweza kukuyumbisha kama alivyo fanya Mariam”

Jina la Mariam nilipo lisikia masikioni mwangu, taratibu nikajikuta na yeye nikimuweka kwenye mabano na kuzidi kuapia kwamba nikifika nchini Somalia ni lazima nitamuangamiza Mariam na mama yake.




“Umejuaje kwamba nilikuwa na mahusiano na Mariam?”

“Mariam mimi nimemfahamu baada ya kuiua familia yetu, nilimfwatilia sana na hapo ndipo nikagundua alifanya kazi hiyo kwa kushinikizwa”

“Alishinikizwa na nani?”

“K2 eti ndio raisi wa nchi, hivi watu walikosa kuchagua mtu wa kueleweka hadi wakamuweka yeye madarakani?”

Nikakaa kimya huku nikifikiria furaha niliyo kuwa nayo kipindi nipo kijana mdogo sana. Mama yangu alituea vizuri sana na mdogo wangu Diana. Hapakuwa na mtu aliye itambua huzuni katika maisha yetu.

“Listi aliyo iacha baba ni lazima tuweze kuitekeleza, la sivyo tutateseka sisi na vizazi vyetu. Mimi siwahamu ndugu wengine, ninakujua wewe peke yako tu na tukisema sisi tuangamie basi utambue kwamba tukakufa kifo cha aibu sana”

Stive alizungumza na wala mazungumzo yake sikuyafwatilia kabisa, kwani kichwani mwangu ninacho kiwaza ni kitu kilicho pita miaka mingi nyuma.

“Ahaaa ndio maana siipendi Nairobi”

Stive alizungumza huku akipunguza mwendo kasi wa gari, ikanibudi kutazama mbele, nikaona kizuizi cha askari wakikagua magari yote yanayo pita katika barabara hii inayo katiza hapa.

“Watakuwa wanatafuta nini?”

“Sifahamu ila kausha na ukumbuke kile nilicho kuambia, kiswahili hapa kiwe cha Kikenya, sasa wewe zungumza kiswahili fasaha hapa uone watacho kufanya”

“Poa”

Taratibu Stive akasimamisha gari pembeni ya barabara na akafungua vioo vya gari, kwa kupitia kioo cha pembeni tukamuona askari wa kiume akitufwata huku ameshika bunduki yake. Alipo niona akapiga saluti na mimi nikapiga saluti ya kiskaji tu kwa maana nimepita cheo.

“Jambo afande”

“Jambo ona elekea mujini?”

“Ndio, nini endelea mbona road block kubwa?”

Nilizungumza kiswahili hichi hadi Stive akanitazama kwa jicho la kuiba.

“Gaidi toka Tanzania, ingia Kenya, wametoroka baada ya vurumai huko mapango ya Amboni, sasa zidi imarisha ulinzi mana Tanzania lipuliwa bomu la nyuklia”

“Ahaa hakikisha gari zote muna fanya chake up ya uhakika, hakuna jambazi katiza katika City yetu”

“Sawa afande”

“Kazi njema”

Taratibu nikafunga kioo cha upande wangu na tukaondoka eneo hili huku Stive akiwa amejawa na tabasamu pana usoni mwake.

“Kwa kiswahili hicho lazima tutoboe bila kistukiwa”

“Yaaa, kwenye uigizaji nipo vizuri”

“Hahaa hongere sana”

“Shukrani aiseee kwa maana mmm”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

Safari ikazidi kusonga mbele huku nikimuadisia Stive maisha ya mateso niliyo wahi kupitia katika maisha yangu, sikuwa ni binadamu mwenye furaha kabisi kwa maana kila kukicha kwangu kuna matukio mapya.

“Katika mazungumzo yako yote, chanzo kikubwa cha matatizo yako ni mapenzi”

“Usinilaumu sana kuhusiana na mapenzi kwa maana kila mtu kwenye maisha yake anapenda”

“Ndio kupenda kupo, ila si kuwa mdhaifu kama wewe unavyo fanya. Tazama kuachana na K2 si ndio kumekufanya wewe kuteseka kwa maana, kama unavyo zungumza umesema amekupandikizia kesi za ajabu ukaonekana gaidi, so kama ungekuwa sio kupenda penda kwako, leo hii mama, Diana wote wangekuwepo”

“Stive maisha hayo yamesha pita, usije juu kisa kupenda kwangu au kupendwa kwangu, kwani wewe kwenye maisha yako hukuwahi kupenda wewe”

Nilizungumza kwa kufoka, ikambidi Stive kufunga breki za gafla na gari likasimama kwenye barabara hii iliyopo katikati yam situ. Stive akashuka kwenye gari huku akiwa amekasirika sana, na mimi nikashuka huku nikiangalia jinsi jua linavyo zama taratibu ili kuruhusu giza kuchukua nafasi yake.

“Kwa stahili hii Dany utanifelisha katika mipango yangu ninayo taka kwenda kuipanga Somali”

“So unahisi kwamba mimi ninafanya kazi chini yako, au unahisi kwamba mimi nitakuwa mjakazi wako. Sina kaka kwenye maisha yangu haya na wala sihitaji kuwa na kaka kwa maana sikuwahi kusikia habari yako kwenye familia yako”

“Unasemaje Dany?”

Stive alizungumza huku akinisogelea, nikamkazia macho nikakumbuka jana alivyo nipiga taratibu nikaanza kukunja ngumi na endapo atajaribu kuleta ujinga wowote nitamvuruga kama sio mimi.

“Umenisikia, kunisaidia kutoka katika yale mapango usihisi kwamba ndio unaweza kuniongoza akili yangu. Na swala lakuwa ndugu mimi na wewe sahau, huna hata chembe chem…….”

Nikastukia ngumi nzito ikitua kwenye mbavu zangu, nikajikunja kwa maumivu makali ninayo yapata. Stive akajaribu kunipiga kigoti ila nikafanikiwa kukiona na kukikwepa kwa kuruka pembeni. Nikasimama wima huku nikimtazama Stive, akanisogelea kwa ajili ya kunipiga, ila katika vitu ambavyo amevikosea kwenye maisha yake ni kujaribu kupambana na mimi. Kitendo cha kunisogelea, nikajirusha hewani na kumrudisha kwa teke zito lililo tua kifuani mwake, sikumpa nafasi ya kujipanga, nikamsogelea na kuanza kumtandika makonde mazito ya uso, kila alipo jaribu kurudisha mapigo yayo, niliweza kumdhiniti kwa kuhakikisha kwamba haingizi ngumi yoyote kwenye mwili wangu.

Uzuri wa hii barabara haina magari yanayo pita mara kwa mara kwa hiyo, kipigo hichi ninacho mpatia Stive hakina shahidi yoyote ambaye anaweza kwenda kuita waamuzi.

“Stive umekosea sana kujihisi wewe ni mbabe, huniwezi hata kwa ndumba”

Nilizungumza huku nikiwa nimemkaba kabali moja ya shingo, iliyo mfanya Stive kuweweseka sana akijaribu kutitoa kwa mikono yake.

“Nieleze ukweli wewe ni ndugu yangu, au ninafunja shingo yao hii”

“Ndio, ndio mimi ni ndugu yako”

“Una uhakika?”

“Ndio Dany”

“Hakuna mpango wowote ambao umeupanga na wajina wezako wa kuniaminisha ili nirudi Somalia mukanie”

“Hakuna Dany, na…na…aa apia kwa mu….ng…..”

Nilipo muona Stive anaweza kukata roho, nikamuachia kwa kumsukuma chini, akaanza kukohoa huku akijaribu kuvuta pumzi kwa haraka kwa maana kabali niliyo mkaba imempotezea hewa nyingi sana.

“Endapo utajaribu kuenenda kinyume na mimi nitakuvunja shingo sawa?”

“Sawa”

Stive aliendelea kunijibu huku badi akiwa ameinama chini akitafuta pumzi. Nikaingia kwenye gari upande wa dereva, nikampigia honim taratibu akaingia kwenye gari huku akiwa ameshika koo lake.

“Nielekeze hapa tunaelekea wapi?”

“Tunanyoosha moja kwa moja”

“Poa”

Tukaondoka eneo hili na kazi ya Stive ikawa ni kunielekeza njia za kupita hadi tukafanikiwa kufika mpakani. Eneo hili linanikumbusha siku nilipo kuwa ninatoroka kutoka nchini Somalia na watu wa baba hawa ndipo walipo nizuia na kupita mateso mengi.

“Vipi unasubiriwa wewe kufungua kioo”

Stive alizungumza baada ya kuniona nikiwa nimeshikwa na bumbuazi kubwa sana kwa maana macho yangu na akili yangu bado inafikiria tukio ambalo lilinipta katika sehemu hii. Nikashusha kioo na kumtazama afande huyu aliyopo pembeni yangu. Akanipigia saluti kama wanavyo fanya wezake.

“Habari yako afande”

“Salama, ninaelekea kwenye oparesheni hapo Somalia”

“Na weza ona kitambulisho chako mkuu”

“Mumeanza lini kuuliza vitambulisho vya mabosi wenu”

Nilizungumza kwa kufoka huku nikimtazama afande huyu usoni mwake anaye onekana ndio kwanza ni mgeni kazini.

“Samahani afande ndio utaratibu wa hapa”

Taratibu nikatoa kitambulisho changu mfukoni na kumpatia, akakitazama kisha akanirudishia.

“Ninaenda huku, nikirudi nikute barua yako ya maelezo juu ya hili ulilo lifanya”

Nikamkoromea kijana wa watu na kumfanya azidi kunitolea macho, taratibu nikaondoa gari nikafunguliwa geti na kuendelea na safari yangu.

“Tusielekee Mogadishu moja kwa moja”

“Kwa nini?”

“Ni rahisi kustukiwa, kuna club moja hapo tutafikia kisha tutaanza kupata taarifa zote zinazo endelea katika nchi hii”

“Hiyo Club una iamini vipi?”

“Mimi nina wenyeji wangu wengi hapo kwahiyo ni rahisi kwa sisi kukaa pasipo bugza ya mtu yoyote”

“Poa”

Stive akanielekeza sehemu yenye club hiyo na hadi inatimu saa tano usikuwa tukawa tumefika katika club hii niliyo kuta gari nyingi nje, ikionyesha kwamba ndani kuna watu wengi sana.

“Ngoja nishuke kwanza nikaandae mazingira”

“Tunakwenda wote”

“Dany acha ubishi basi, watu hawa wakikuona wewe na hayo mavazi wanaweza kuhisi kwamba nimekuleta hapa kuwapeleleza”

“Kwani hii Club ni ya watu wa aina gani?”

“Dany una maswali mengi hadi muda mwingine unakera. Natambua kwamba huniamini, ila jaribu hata kujenga imani yao kidogo kwangu”

Stive alizungumza huku akinitazama usoni mwangu. Nikaka kimya kwa sekunde kadhaa huku nikiendelea kuyasoma mazingiya ya hili eneo.

“Sasa na hili gari la polisi?”

“Hakuna tabu, kikubwa ninakuomba unisubirie”

“Poa una dakika tano, zikizidi zaidi ya hizo ninaingia ndani mwenyewe”

“Poa”

Stive akashusha kwenye gari akaanza kutembea kuelekea ndani huku akitazama kila eneo la hii Club. Baada ya Stive kuingia ndani ya hii Club, nikachukua begi lenye silaha lililopo nyuma ya gari, nikalifungua, nikatoa bastola moja, nikaitazama kama ipo vizuri, nikaikuta ipo safi, nikaichomeka kwenye buti la upande wa kulia nililo vaa. Nikaitoa laptop ya Stive nikaiangalia vizuri na kuirudisha ndani ya begi kisha begi nikaliweka sehemu nilipo litoa.

Baada ya dakika nne, nikamuona Stive akirudi akiwa ameongozana namsichana mmoja mrefu na aliye valia nguo nyeusi, kwa mtazama wa huyu msichana inaonyesha kwamba si msichana wa masihara kabisa.

“Oya Dany twende ndani”

Stive alizungumza huku akichungulia kwenye kioo cha upande wake alio shuka.

“Hili begi je?”

“Nalichukua”

Tukatazamana na msicha huyu kwa sekunde kadhaa kisha akanikonyeza na kulipokea begi alilo kabidhiwa na Stive. Nikashuka kwenye gari na kulifunga, tukaanza kuelekea ndani, tukafungua mlango na kukutana na mabaunsa wanne wakiwa wamesimama, wakanizuia.

“Nipo pamoja naye huyo”

Stive alizungumza na ikawafanya mabaunsa hao kuniachia huku wakinitazama kwa macho makali na ya kunichunguza. Kwenye club hii sikutegemea kuweza kukuta mziki wa wasanii wa kitanzani ukipigwa na watu wanaucheza kwa shangwe sana. Kitu kingine kilicho nishangaza ni uchafu unao fanyika humu ndani, kwani wapo wasichana kwa wasichana wanahudumiana, huku pia wapo wanaume kwa wanaume wakihudumiana kwa kuchezeana miili yako pamoja na kunyonyana midomo yao.

“Dany unashngaa nini ndio mambo yako”

“Acha ujinga hao ni mashoga?”

“Yaaa leo hakikisha kwamba unatoa ngezi zako zote tukitoka hapa tunafanya kazi tu na si mapenzi sawa dogo”

Stive alizungumza huku tukimtazama jimama moja lililopo juu ya meza kubwa katika hii Club, linacheza uchi kabisa huku likitingisha makalio yake makubwa sana jambo lililo nifanya nijikute nikimeza mate kwa kulitamani.





“Twendeni”

Binti aliye beba begi letu alizungumza huku akitutazama, na kutufanya sote kuyatoa macho yetu kwa jimama hilo na kuendelea kumfwata. Kuzimu ambayo siku zote tunaisikia kwenye vitabu vya dini ipo humu ndani yaani kitu kinacho kosekana humu ni moto wa kuwaunguza watu waliomo humu ndani. Tukaingia kwenye moja ya chumba na kukuta mabinti wa kisomali zaidi ya kumi wakiwa wamevalia bikini na sidiria huku wengine wakiwa hawana sidiria kabisa. Kila msicha ninaye mtazama mkono mwake ameshika bastola, huku wengine wakiwa wameshika bunduki aina ya SMG. Tukasimama kwenye meza kubwa huku kwenye kiti kilichopo nyuma ya hii meza kukiwa na jimama kubwa jeusi lililo jichora mwili mzima hadi usoni mwake.

“Stive huyo ndio mdogo wako”

Jimama hilo lilizungumza kwa sauti nzito huku likinitazama usoni mwangu

“Yaaa huyu anaitwa Dany”

“Mbona anaonekana legevu legevu?”

“Yupo vizuri”

“Ahaa wapi simuamini, hei hembu mpime huyo”

Jimama huyu lilimpa ishara msichana mmoja na watu wote wakasogea pembeni hadi Stive. Msichana mmoja mrefu mwenye kisu mkononi mwake akanisogelea huku akinitazama kwa macho makali sana. Akanitisha kidogo, katika kuyumba kwangu nikastukia akinichana na kisu chake mkononi mwake, watu wote wakashangilia ndani ya chumba hichi.

“Dany usimuonee huruma atakuua huyo”

Stive alizungumza huku akinitazama usoni, nikamtazama msichana huyu kuanzia chini hadi juu. Afya yake aliyo nayo wala haistahili kupambana na mimi na kwa maana amedhohofika hata chupi aliyo ivaa emeibana kisawa wasa kwa mikanda yake.

Msichana huyu akajaribu kurusha mateke huku akitoa milio ya ajabu kama waigizaji wakichina wakipigana.

‘Nitakiua hiki masikini wee’

Nilizungumza huku nikiendelea kukikwepa kisichana hichi ambacho kusema kweli hakijiwezi, katika kurusha rusha kwake mateke na ngumi nikamdaka mkono alio shika kisu, nikamtandika makofi si chini ya sita kisha nikasukumia kwa wezake walio kuwa wamesimama pembeni yangu na kuwafanya wote kuanguka kwa pamoja.

“Stive huwa sihitaji majaribio kwenye maisha yangu na kama tumekuja hapa kujaribiana ni bora mimi niondoke”

Nilizungumza huku nikimtazama Stive kwa hasira usoni mwake, taratibu Stive akanisogelea akanishika bega la upande wa kuli huku akiwa katika hali ya huzuni.

“Mdogo wangu, hawa watu wanaweza kutusaidia katika kazi ambayo sisi tunaweza kwenda kuifanya. Ninahitaji tuwafanyie ambushi Al-Shabab, kwa sisi wawili ni ngumu sana kwa sisi kuweza kufanikiwa katika hilo”

“Unawaamini vipi hawa watu, ikiwa hakuna hata mmoja ambaye mimi ninamfahamu”

“Niamini mimi Dany, kila jambo litakwenda poa, kuwa mpole katika hili”

“Mdogo wako anaonekana ni mtu wa hasira sana?”

“Yaa kila kitu nitakimaliza mimi wala usijali katika hilo”

“Dogo, sisi kundi letu kaka yako ametuletea kazi, uzuri ni kwamba tuna uhasama mkubwa sana na hao wanaojiita Al-Shabab, na kama utakubali msaada wetu basi tunaweza kukusaidia ila kama huto hitaji msaada wetu unaweza kuondoka”

Jimama hilo lilizungumza huku likinitazama usoni mwangu, nikamshika mkono Stive na kumvuta pembeni kwa ajili ya kuzungumza naye.

“Stive isije tukawa tunajiingiza kwenye mitego sisi wenyewe, kwa maana moyo wangu kwa sasa hivi haumuamini mtu yoyote”

“Hilo haliwezekani, huyu bi maza ni rafiki yangu kwa miaka tisa sasa, ananijua na ninamjua vizuri tangu alipokuwa Al-Shabab”

“Kujuana na mtu sio ishu, hivi mimi kama Mariam nilihisi kwamba ipo siku atakuja kunifanyia unyama mkubwa kwenye familia yangu?”

“Hayo ya Mariam hembu achana nayo kwa muda huu, tuangalie ni kitu gani tunaweza kukipanga na huyu mama akatupa vijana wake, kwa maana mimi ninaifahamu kambi hiyo basi inaweza kuwa rahisi kwetu kuivamia kwa urahisi mkubwa sana”

Nikaka kimya kwa muda huku nikimtazam Stive usoni mwake, nikamtazama pia jimama hili lililo kaa kwenye meza yake likiendelea kuvuta sigara kubwa kwa fujo.

“Dany hii ndio nafasi ya pekee kuweza kutimiza kilie ambacho kipo mbele yangu.”

“Poa”

“Ila Dany kesho itabidi mimi nikuache hapa, mimi nielekee kwenye kambi ya Al-Shabab kwenda kufanya upelezi wangu kisha tujue ni wapi tutakapo anzia”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Uniache hapa?”

“Kuwa na amani, utahudumiwa kwa kila kitu wewe kuwa na amani”

Nikashusha pumzi taratibu, nikarudia kuwatazama watu waliomo humu ndani ya hichi chumba kwa haraka haraka, sijaona msichana ambaye anaweza kuniletea madhara hata kwa kupambana na mimi.

“Fine nimekubali, ila utakwenda kwa muda maalumu sio kwenda na uzamie huko?”

“Itabidi nitumie siku mzima kuwa huko kwa maana bila kufanya hivyo inaweza kustukiwa”

“Poa”

Tukarudi mbele ya meza ya jimama huyu,

“Zero, dogo amekubaliana na kila kitu”

“Ahaa dogo karibu kwenye ulimwengo wa Ziro”

“Asante”

Nilijibu kwa unyonge huku nikimtazama mama huyu usoni mwake, likanyanyuka kwenye kiti chake hapa ndipo nilipo weza kuona umbo lake lililo jazia minyama nyama mingi. Akatusogeleka na kunipatia mkono wake wa kulia, nikautazama kwa sekunde kadhaa kisha na mimi nikampatia mkono wangu. Akanivutia karibu yake, akanitazama kwa sekunde kadhaa kisha likanipiga busu la mdomo na kunifanya nirudi nyuma kidogo huku nikiwa nimekunja sura yangu.

“Dogo busu tu unanuna”

Nikataka kuzungumza kitu ila Stive akaniwahi kuniziba mdomo kwa maana anatambua kitu kitakacho toka kinywani mwangu kinaweza kuchafua hali ya hewa kwa kila mmoja ndani ya chumba hichi.

“Ningeomba mutupatie chumba cha kulala”

“Hakuna tabu wee K wapeleke wageni chumba namba ishirni”

“Sawa bosi”

Binti tuliye ingia nanye humu ndani akatuongoza kuelekea katika chumba hicho, akatufungulia na kutupa funguo huku akitukaribisha ndani. Chumba hichi hakina ubora kabisa wa mtu kuweza kulala kwa amani. Kwanza kina harufu ya uvundo, pili kitanda chake mashuka ni machakavu kupita maelezo.

“Oya nitalala kwenye gari na si humu ndani”

“Kwa nini?”

“Ahaa wewe huu uvundo huusikii?”

“Kawaida, acha ubishoo Dany”

“Wewe ubishoo kwenye uvundo, hivi nikiumwa na mafua unahisi kwamba hata hiyo kazi yenyewe nitaifanya kama nilivyo hitaji?”

“Poa bwana”

“Unapesa ambayo ninaweza kuitumia kununua hata kinywaji?”

“Fungua kwenye hiyo zipu ya pembeni ya begi utaona kuna vibunda amavyo nimeviweka humo”

Nikafungua zipu aliyo nielekeza Stive nikakuta vibunda vitatu vya pesa za kimarekani, nikachukua kibunda kimoja kisha nikatoka nje. Nikajichanganya kwenye wingi wa watu ndani ya huu ukumbi, nikasimama kwenye kaunta ya kununulia vinywaji, nikaagizia mzinga wa whyne, nikaulipia na kuanza kuunywa taratibu. Wasichana wengi waliopo karibu yangu, macho yao yote yakawa kwangu, sikulijali hilo kwa maana kichwa changu bado kinamuza Cajoli, msichana aliye tokea kujali hisia zangu na kujitolea maisha yake kwa ajili yangu. Nikatoa nje ya Club hii na kuanza kutembea kuywe barabara hii iliyo zungukwa na jagwa kwa maana hata Club yenyewe ipo kwenye jangwa.

Sikuwa na wasiwasi wowote zaidi ya kusonga mbele huku nikiwa nimeshika chupa yangu ya whyne na kwa mara kadhaa nikawa nikigigida mafumba kadhaa ili mradi kuyatoa mawazo ya Cajoli kichwani mwangu. Katika kutembea kwangu pembezoni mwa barabara nikaona jiwe kubwa lililo chongoka. Kwa mwendo wa ulevi nikaanza kulisogelea hadi sehemu lilipo, nikalitazama vizuri na kuanza kulizunguka taratibu. Gafla nikaona gari zipatazo nne aina ya Toyota pickup, zikipita kwa kasi katika barabara hii wakielekea katika eneo la Clib huku zikiwa zimejaza watu wengi wenye silaha wachache kati yao wakiwa wameshika bendera nyeusi ambazo moja kwa moja niliweza kuzitambua kwamba zimetoka katika kundi la Al-Shabab.

Nikataka kujitokea kwenye jiwe hili, ila nikasita hadi gari zote zilivyo pita. Hazikupita hata dakika tano nikaanza kusikia milio ya risasi ikitokea kwenye Club, nikaichomo bastola yangu kwenye viatu vyangu na kuanza kukimbia kueleka katika eneo la Club. Pombe yote ambayo ilisha anza kunitawala kichwani mwangu taratibu ikaanza kunipotea, hadi ninafika eneo la Club, sikuhitaji kuuliza ni kitu gani kinacho endelea ikiwa ninesha ona jinsi wanamgambo hawa wa Al-Shabab jinsi wanavyo endelea kushambulia watu wasio na hatia.

‘Leo mutanikoma’

Nilizungumza huku nikiua kila mwanajeshi wa Al-Shabab ambaye kwa sasa wote ni maadui kwangu, sikujali mauaji yangu yanafanyika vipi, nikijisikia kumpiga mtu risasi ya kichwa basi ninampiga kichwani, nikijisikia kupiga risasi ya kifua basi nitampiga hapo. Bastola yangu ikaisha risasi, sikulijali hilo nilicho kifanya ni kuokota bundiki ya adui yoyote ambaye amefariki na nilicho kifanya ni kuendeleaza mashambulizi. Hadi zinatimia dakika kumi, wanajeshi wote wa Al-Shabab, waliopo nje nikawa nimewamaliza.

Nikamuona Ziro akitoka nje akiwa ameongozana na watu wake huku Stive akiwa ni mmoja wapo. Kila mmoja alivyo niona na wingi wa maiti zilivyo sambaa nje wote wakaonekana kushangaa sana.

“Dany Dany Dany”

Stive aliniita huku akinitingisha kwa maana hadi wananifikia, nilikubwa ninamtazama adui mmoja jinsi alivyo lala chini. Nikampiga risasi zisizo na idadi adui huyo aliye lala chini kisha bunduki nikaitupa pembeni.

“Dany tulia mdogo wangu”

Nikamtazama Stive kwa jicho kali pasipo kumsemesha kitu chochote zaidi ya kuachana naye kutafuta sehemu nikakaa. Ziro pamoja na Stive wakanifwaya eneo nililo kaa, Stive akachuchumaa huku akinitazama usoni mwangu.

“Dany yameisha”

“Yameanza, sihitaji wewe uendee kwenye hiyo kambi, nitahitaji kwenda mimi mwenyewe”

“Dany”

“Ninajua ni nini cha kufanya sihitaji kufundishwa katika hili”

“Dogo, ungeacha tukakusaidia nina vijana wengi”

“Sihitaji vijana wowote, inaonyesha ni jinsi gani wewe na vijana mulivyo wanyonge, mumevamiwa, ni kitu gani cha maana ambacho mumekifanya”

“Dany usizungumze hivyo”

“Sikia Stive. Hii ni kazi yangu na hichi ni kisasi changu, mtu ninaye muhitaji katika kambi ya Al-Shabab ni mmoja tu ama wawili, nikishawapata hao, mimi na wao hatutokuwa na shida nao”

Nilizungumza huku nikisimama, nikaanza kumpitia maiti mmoja baada ya mwengine huku nikiwafungua sura zao.

“Unafanyaje?”

“Nahitaji kutafuta nguo ya kuvaa”

“Unataka kwenda huko peke yako?”

“Ndio”

Nikaipata maiti moja ambayo risasi yake imetua kichwani mwake. Kwa haraka nikaanza kumvua nguo zake, nikamuacha na nguo za ndani tu alizo zivaa.

“Dany ila kwenda mwenyewe inaweza kuwa ni hatari kwa upande wako?”

“Stive nina mafunzo mengi sana na si mjinga kama unavyo hisi, tazama hawa jamaa waliwavamia wewe na huyo rafiki yako, wote mulibaki kufunga miliango na kushambulia mukiwa ndani kuna hata adui ambaye muliweza kumua?”

Stive akaka kimya asijua nini cha kujibu. Nikavua nguo zangu na kuanza kuvaa nguo za adui huyu, nikatafuta kilemba ambacho wanajeshi wa kundi hili huwa wanajifunga na vyote huwa vinafanana. Nikajifunga kichwani mwangu na kubakisha macho yangu tu.

“Siendi kupeleleza ninakwenda kufanya mauaji. Wewe Ziro tazama baadhi ya wateja wako wameuawa, na siku zote umesema kwamba huwa muna uhasama na hawa jamaa, sasa leo ni nafasi ya nyinyi kulipiza kisasi, kama mutaamua kunifwata sawa kama mutaamua kukausha poa”

“Hatujajipanga na watu wangu kwa sasa wana pombe kichwani”

“Ahaa endeleeni kunywa mutakuja kufa na pombe zenu”

Nikachukua bunduki mbili zilizo jaa risasi, nikaziingiza kwenye moja ya gari la Al-Shabab, nikingia nikawasha na kuondoka katika eneo hili huku kila mmoja akiwa ananishangaa. Kutokana ninafahamu kambi ilipo halikuwa tatizo kubwa sana kwangu kukosea njia.

Baada ya kama saa moja na nusu nikafanikiwa kufika katika geti kubwa la kuingilia katika ngome hii ya Al-Shabab, walinzi walipo nisogelea nikaanza kuzungumza kiarubu huku nikiwapa taarifa kwamba wezetu wameuwawa na mimi nimekuja kutoa ripoti.

Mlinzi akakubali kunifungulia geti, nikaingia kwa kasi na nikalisimamisha gari kwenye eneo la maegesho. Laiti kama wangefahamu kwamba mimi sio mwenzao na nimekuja kufanya mauaji ya wakuu wao wanao waabudu kama miingu watu basi wala wasinge weza kuniruhusu kuingia humu ndani. Kwa haraka nikashuka kwenye gari huku nikiwa na bunduki moja mkononi, nikaanza kukimbilia katika nyumba wanayo kaa viongozi.

“Hei”

Niliisikia sauti nyuma yangu, ikanifanya nisimame pasipo kugeuka.

“Unakwenda wapi katika jengo la waheshimiwa usiku wote huu”

Sauti ya mtu huyu sio ngeni kabisa masikioni mwangu, ni sauti ya mwalimu wangu aliyekuwa ananipenda kipindi nikiwa ni mwanachama wa hili kundi.

“Wezangu wameuwawa, nimekuja kuomba watu zaidi kuweza kunisaidia katika kulipiza kisasi”

Nilizungumza kwa sauti nyinyine tofauti kabisa na sauti ambayo mwalimu wangu huyu anaifahamu.

“Usinidanganye, geuka kabla sijakupiga risasi”

Mapigo ya moyo yakaanza kunienda mbio huku jasho likianza kunimwagika usoni mwangu, taratibu nikaanza kuwaza ni jinsi gani ninaweza kumtuliza huyu mwalimu.

“Dany nimekufahamu geuka tu”

Mwalimu kulitaja jina langu ndio akazidi kunizidisha woga na wasiwasi mwingi, taratibu nikageuka na kumkuta akiwa amesimama peke yake huku bastola yake akiwa ameielekezea chini.

“Nifwate”

Alizungumza huku akitazama kila eneo la hapa tulipo simama. Tukaongozana hadi kwenye chumba chake, tukaingia ndani na akawasha taa.

“Umekuja kufanya nini Dany?”

“Kwanza umenijuaje mwalimu?”

Nilizungumza huku nikivua kitambaa hichi usoni mwangu.

“Hujanijibu swali langu”

“Nimekuja kumchukua Yudia”

“Yudia, mbona una hatari sana?”

“Kwa nini?”

“Yudia analindwa sana kuliko hata Hawa, na Yudia kwa sasa ana cheo kikubwa kuliko Hawa”

“Kisa ni nini cha Hawa kushushwa cheo ikiwa yeye ni mtoto wa mkuu”

“Kisa cha yeye kushushwa cheo na kupokonywa madaraka yote ni wewe Dany”

Nikabaki nikiwa nimekodolea macho mwalimu kwa maana nina kipindi kirefu sana tangu mimi kuondoka katika hii kambi na sijafahamu ni kitu gani Hawa amekifanya na kinacho nihusu mimi hadi kupokonywa madaraka yake na kukabidhiwa Yudia.




“Kisa mimi?” “Yaa, Hawa tangu ulivyo pata mateso na kufikia hatua ya baba yake kukuuza kwa watu ambao hawajulikani, ilimsikitisha sana Hawa. Akawa hafwati sheri inayo wekwa na baba yake, akawa ni msichana wa pombe. Ilifika hadi hatua baba yake akaamua kumuweka mahabusu” “Nini?” “Yaa huo ndio ukweli, hawa yule ambaye tulikua hatuifahamu sura yake, sasa hivi tunaiona kama kawaida” Hapa ndipo nikaanza kupata picha kwenye video ambayo K2 alitumiwa na magaidi, nilimuona Hawa na baba yake, japo sikutilia maanani ni kwa nini aliruhusu sura yake kuonekana katika mkanda huo wa vidoe.

“Sasa hawa kwa sasa yupo wapi?” “Yupo kwenye chumba chake, katika ile nyumba ndogo” “Kwa hiyo ametolewa kwenye lile jumba kubwa” “Yaa, yaani nikikuambia amepokonywa kila kitu ujue hana chochote, mipango yote kwa sasa anaiendesha huyo Yudia, hapa watu hatukaliki, kama ninasikia amefanya mashambulizi juzi Tanzania, na hadi hapo hakuna hata shambulizi moja lililo fanikiwa” “Ticha unaweza kunisaidia jambo moja” “Jambo gani Dany” “Ninahitaji kwenda kumuona Hawa usiku huu” Mwalimu akaka kimya kwa muda huku akitafakari ombi langu ambalo mimempatia

“Sawa twende, ila funga hicho kitambaa chako usoni” “Sawa”

Nikafunga kitambaa changu na kubakisha sehemu ya macho yangu. Tukaanza kutembea kwa kasi kuelekea katika nyumba ndogo inayo sadikika kwamba ndipo alipo Hawa. Walinzi hawakuweza kunistukia kwa maana nipo kwanza na mwalimu wa hii kambi pili ninafahamu nyendo na mienendo ambayo Wasomali wengi huwa wanatembeaa, kwa hiyo hata tembea yangu ilinilazimu kuibadilisha kwa muda ili nisijulikane. Tukakutana na walinzi wawili wa kike nje la mlango wa nyumba hii “Ninawaomba nionane na mkuu”

Mwalimu alizungumza huku akiwatazama walinzi hawa kwenye nyuso zao.

“Mkuu kwa sasa amelala” “Ninawaomba mumuamshe, muelezeni kwamba ni dharura. Tafadhali” Walinzi hawa wakatazamana, kisha mmoja akamkonyeza mwenzake, akafungua mlango na kuingia ndani. Baada ya dakika moja akarudi.

“Amekuomba uingie” “Nisubiri hapa” Mwalimu alizungumza, nikatingisha kichwa, akaingia ndani na kuniacha na walinzi hawa huku nikitazama tazama mazingira ya eneo hili ambalo ninalifahamu vizuri sana na hakuna kitu chochote ambacho kimeweza kubadilika.

“Unaitwa ndani” Mlimzi mwengine wa kike aliye toka ndani, alizungumza na mimi kwa lugha ya kiarabu ambayo ninaifahamu vizuri. Nikaingia ndani nikiwa na bunduki yangu, Hawa aliye kaa kwenye sofa baada ya kuniona kwa haraka akanyanyuka na kunikimbilia kwa harakana na kunikumbatia kwa nguvu.

“Ohoo asante Mungu, Dany upo salama” “Hata mimi pia ninamshukuru Mungu kukuona upo salama” Nikavua kitambaa changu huku tukiachiana na Hawa, akawatazama walinzi wake wengine wawili walipo humu ndani pamoja na mwalimu. Kisha akanishika mkono na tukaingia kwenye chumba chake cha kulala. Kitu cha kwanza tu baada ya Hawa kuufunga mlango, akanikumbatia kwa nguvu huku akiangua kilio kikubwa sana japo ni cha chini chini, ila inaashiria kabisa kwamba analia kwa uchungu pamoja na maumivu ya muda mrefu yaliyo kuwa ndani ya moyo wake kwa muda mrefu.

“Shiiii usilie Hawa” “Dany hujui ni mateso ya kiasi gani ambayo nimepitia kwenye maisha yangu tangu kuondoka kwako katika hii kambi”

“Hawa sikuondoka kwa kupenda” “Yaa ninafahamu hilo Dany, samahani kwa kushindwa kukusaidia kipindi ulivyo pata matatizo” “Yamaesha pita hayo” Hawa akaniachia na kunitazama mwili wangu, machozi yakendelea kumwagika usoni mwake, ikabidi nimkumbatie tena na kukirudisha kichwa chake kifuani mwangu.

“Usilie Hawa nipo karibu nawe sasa” “Kweli Dany?” “Yaaa, nimekuja kwa kazi moja tu” “Kazi gani?” “Nahitaji kumuua Yudia” “Kwa nini?” Swali la Hawa likanifanya nikae kimya huku nikimtazama usoni mwake kwa maana ninazielewa vizuri hisia za Hawa juu yangu na nikimumbia kwamba nilikuwa nina mke ninaweza kumjengea hali ambayo sihitaji kumjengea kwa muda huu. Pia Yudia amehusika katika mauaji ya Linda msichana aliye nisaidia kutoka katika hospitali niliyo kuwa nimepelekwa na John .

“Dany” “Yaaa” “Yudia amekufanyia nini?” “Yudia amefanya mambo mengi sana kwenye maisha yangu, nilimfahamu Yudia hata kabla hajakuja kwenye hii kambi. Yudia alikuwa mfanyakazi wa ndani nyumbani kwetu miaka mitatu nyuma” “Mfanyakazi wa ndani?” “Yaa alikuwa ni mfanyakazi wa ndan, ila pale nyumbani alikuja kwa kazi maalumu na baada ya muda niligundu ya kwamba ametoka katika kundi hili” “Sijawahi

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

kuisikia stori ya Yudia kuwa mfanyakazi wa ndani, ila hilo lisiniumize kichwa sana, kabla ya kufanya lililo kuleta ninakuomba unisaidie kitu Dany wangu” “Kitu gani?” “Ninahitaji kurudi kwenye madaraka yangu, ila sina mtu wa kunipa njia za mimi kuweza kurudi katika madaraka yangu niliyo pokonywa na Yudia” “Kwani wewe na Yudia muna mahusiano gani kati yenu?” “Ni ndugu, ila kwa sasa baba ametokea kumthamini sana Yudia kama vile ni mtoto wake wa kumzaa wakati ni baba mdogo kwa baba mkubwa” “Hawa kama utahitaji msaada wangu, basi hakuna njia nyingine ya kufanya zaidi ya kuua?” Hawa akaka kimya huku akinitazama usoni mwangu akiwa kama haamini kwa kile ambacho nimekizungumza.

“Hawa baba yako, Yudia hao wote kwangu ni maadui, pasipo kufanya mauaji hakuna kitu ambacho kinaweza kukurudisha wewe kwenye nguvu. Utaendelea kuwa chini na utaendelea kuwatumikia wao na watakuweka kwenye kifungo hichi cha ndani hadi mwisho wa maisha yako” “Dany ninaogopa” “Katika hili hakuna kuogopa, baba yako kama angekuwa anakupenda na kuheshimu mawazo yako, kwanza asinge fanya ukatili kama huu ambao amenifanyia, ilifikia hadi hatua akataka kukata uume wangu, so alihitaji kunihanisi?” Nilizungumza kwa hasira ila kwa sauti ya chini huku nikimtazama Hawa usoni mwake. Hawa machozi yakaendelea kumwagika kwa maana kila kitu ninacho kizungumza ndicho kilicho jitokeza kwenye maisha yangu.

“Hawa wewe unahitaji nguvu, kwa nini tusitumie umoja wetu kuchukua madaraka kwenye hili kundi. Sihitaji kuwa muongo wala mnafki kwako, nikimua baba yako na Yudia, roho yangu itatulia” “Noo Dany baba yangu hana la hatia katika mikono yako?” “Unahitaji msaada wangu au auhitaji msaada wangu?” Nilizungumza kwa sauti nzito huku nikimtazama Hawa usoni mwake, taratibu akakaa kwenye kitanda chake huku machozi yakimwagika, nikamsogelea na kusimama mbele yake, taratibu nikachuchumaa na kukinyanyua kichwa chake alicho inamisha uso wake chini.

“Hawa natambua ni jinsi gani unavyo mpenda baba yako, ila unatakiwa kuhakikisha kwamba tunafanya liwezekanalo kuhakikisha kwamba baba yako na Yudia wanaondoka kwenye uso huu wa dunia” Hawa akaendelea kukaa kimya huku akimwagikwa na machozi, nikaupitisha mkono wangu wa kushoto na kuishika shingo yake kwa nyuma, taratibu nikamsogeza karibu na uso wangu, tukatazamana kwa sekunde kadhaa. Uvumilivu ukatushinda na kutufanya tuanze kunyonyana midomo yetu kwa kasi sana huku kila mmoja akiwa anatoa mihemo mizito ya mahaba. Galf tukasikia king’ora cha tahadhari kilichotufanya mimi na Hawa kuachia, na soto tukasimama. Hawa akakimbilia dirishani kwake na kuchungulia nje.

“Kuna nini kinacho endelea?” “Nahisi kuna uvamizi” Moja kwa moja nikatambua atakuwa David pamoja na kundi la Zero wamekuja kunisaidia katika mpango wa kuvamia ngome hii.

“Mkuu tumevamiwa tunatakiwa kukutoa katika nyumba hii” Mlinzi wa Hawa aliingia chumba pasipo kubisha hodi na kuzungumza maneno hayo huku akiwa amesimama kikakamavu akimtazama Hawa usoni mwake na wala hakuwa na muda wa kuzungumza na mimi wala kunitazama.

“Siwezi kuondoka humu ndani” “Mkuu geti kuu tumevamiwa na kundi la Zero, wanaendelea kupambana na wanajeshi wetu, kukaa hapa itakuwa ni hatari kwa maisha yako” “Bite nielewe basi, nimekuambia sihitaji kuondoka hapa, hakikisheni kwamba ulinzi nje unakuwa mzuri, na waambie kikosi changu chote kwamba wajiweke mbali na hiyo vita na wanatakiwa kuja kuzunguka nyumba sawa” “Sawa mkuu” Mlinzi wa Hawa akatoka na kutuacha tukiwa tunasikilizia milio ya risasi jinsi inavyo rindika huko nje.

“Kwa nini hutaki kutoka humu ndani?” “Nipo na wewe naamini kwamba kila jambo linakwenda vizuri” “Hawa nisikilize u…..” “Dany sihitaji kwenda mbali na wewe, pia si yupo Yudia na baba, wataongoza jeshi na watahakikisha kwamba wanawazuia hao watu wa Zero kwa maana ni kundi dogo sana” Nikamtazama Hawa usoni mwake, nikasikilizia nje jinsi milio ya risasi inavyo zidi kuendelea kusikika. Nikataka kumbuambia Hawa kwamba watu wa Zero wamekuja kunisaidia mimi ila nikashindwa kuzungumza hivyo kwa maana hadi sasa hivi sijajua akili yake inafikiria nini kwenye mpango ambao upo kati yetu kwa maana swala la kumuangamiza baba yake limekuwa gumu sana kwa upande wake. “Dany” “Mmmmm” “Ninakupenda sana, niliamua kwenda kinyume na baba yangu kwa kukutafuta wewe kwa kupindi kirefu kwa ajili ya upendo wangu kwako. Natambua ya kwamba baba yangu ni mkosaji mkubwa sana kwenye maisha yako ila ninakuomba uweze kumsamehe” Kabla sijazungumza kitu chochote mlango ukafunguliwa, akaingia mlinzi wa Hawa aliye toka muda machache ulio pita.

“Mkuu nina habari nzuri” “Habari gani?” “Watu wa Zero wameweza kudhibitiwa, huku Ziro na Stive wamekamatwa” “Stive, Stive gani?” “Yule aliyekuwa mshauri wa Yudia na injinia wa mabomu ya nyuklia” Mapigo ya moyo yakaanza kunienda mbio baada ya kusikia kwamba Stive amekamatwa.

“Imekuwaje amekuwa msaliti?” “Bado sijagundua mkuu, labda nifanye uchunguzi” “Sawa hakikisha kwamba unaniletea habari zote utakazo zifahamu” “Samahani kwa kuwaingilia” Mlinzi wa Hawa akanitazama usoni mwangu.

“Unaweza kuniletea taarifa ya wapi atakapo hifadhiwa?” Mlinzi wa Hawa akamtazama mkuu wake, Hawa akatingisha kichwa kumruhusu kuleta taarifa hiyo ya sehemu ambayo Stive atafungikiwa kisha mlinzi huyu akatoka.

“Walinzi wako una waamini?” “Yaa hadi kufa kwangu ninawaamini, na wote sidhani kama kuna msaliti kwa maana wamekunywa damu yangu na wameapa kunipigania na kunitunzia siri zangu za ndani hadi dakika ya mwisho ya pumzi zao” “Wamekunywa damu yako?” “Ni kiapo ambacho niliwafanyia tangu nikiwa binti mdogo na wengi wao unao waona hapa nimekua nao tangu nilipo kuwa nao watoto” “Sawa” “Ila huyu Stive sijui ni kwa nini ameamua kumsaliti Yudia na baba kwa maana kinacho kwenda kufwata hapo ni yeye kuuwawa kikatili sana” “Una muda gani tangu umfahamu Stive” “Ni mwaka wa nne sasa, kipindi unakuha hapa yeye alikuwa na kazi za nje, na alikwenda kuongoze ujuzi huko Pakistani” “Ujuzi wa nini?” “Ujuzi wa kuunda silaha pamoja na mabomu makubwa yakiwemo ya nyuklia” “Ahaa” “Ila kwa nini unamuulizia ulizia huyo Stive una mfahamu?” Nikaka kimya kwa dakika kadhaa huku nikiwa nimetazama chini, taratibu nikakinyanyua kichwa changu na kumtazama Hawa mwenye shauku ya kuhitaji kufahamu jibu la swali lake.

“Yaa nina mfahamu. Stive ni kaka yangu kwa damu moja” Hawa akashangaa huku macho yakimtoka, ninaamini kwamba hakutarajia kuweza kusikia kwamba mimi na Stive ni mtu na ndugu yake.




“Hahaa, Dany acha kunitania”

“Niamini mimi, Stive ni kaka yangu”

“Ila mbona hamfanani kabisa”

“Undugu sio kufanana ila ni kufaana”

“Hapana Dany kwa hili siwezi kukuami kwa asilimia mia moja”

“Ila kuna ushahidi ambao yeye anao, unao dhibitisha kwamba mimi na yeye ni mtu na ndugu yake”

“Ushaidi wa kitu gani?”

“Ni video ya marehemu baba yangu”

“Marehemu baba yako!!?”

“Yaaa amenieleza kwamba baba yangu alimuachia video hiyo”

Hawa akaka kimya huku akionekana kutafakari kitu fulani, akapiga hatua hadi kwenye meza iliyomo humu chumbani, akawasha computure iliyopo juu ya meza.

“Unafanyaje?”

“Huwa kila histori ya mtu kwenye hili ngome huwa inaandikwa na kuhifadhiwa, kwaa ajili ya kutuwezesha kumuamini mtu na kumchukua kiurahisi”

“Unataka kuniambia kwamba nilicho kizungumza kuhusiana na Stive huwezi kukiamini?”

“Yaa asilimia mia moja”

“Mmmm”

Hawa akaanza kuminya batani za keyboard ya hii computure, akatafuta jina la Stive, haikuchukua muda sana likaonekena. Taratibu nikayakaza macho yangu kwenye kioo cha computure hii na kunza kusoma historia ya Stive na anaonekena na picha yake pembeni.

“Anaitwa Stivine Kundasemi, uraia wake ni Rwand, amezaliwa mwaka 1983”

Hawa alizungumza huku akinitazama usoni mwangu, sikumjibu kitu chochote zaidi ya kuendelea kusoma historia ya Stive. Stive amezaliwa katika familia ya watoto wanne huku yeye akiwa nimtoto wa tatu, kaka zake walisha uwawa kwenye vita vya Rwanda mwaka 1994”

“Sasa hapo Dany ninashindwa kuelewa unapo niambia kwamba Stive ni kaka yako”

“Una picha zake za nyuma?”

“Ndio hizi hapa”

Hawa akaminya batani kadhaa, akanionyesha picha za Stive tangu alipo kuwa mdogo hadi kufikia ukubwa, kipindi anajiunga na kundi hili la Al-Shabab. Pia nikaona picha za wazazi wa Stive ambao wanafana naye sana uzuri ni kwamba sura zao hazifanani sana na Warwanda.

“Tena Stive kabila lake ni Muhutu, na wewe ni Mtanzania halisi, sasa hapa undugu unatokea wapi?”

“Imekuwaje baba yangu ameweza kukiri kwamba Stive ni kaka yangu?”

“Dany kuna mbinu nyingi za mtu kuweza kukiri kwamba nyinyi ni ndugu, na njia ambayo ninaona ilitumika hapo ni kwamba baba yako aliwekewa shinikizo nyuma ya kamera, huwezi jua labda alishikiwa bunduki, au akafanyiwa hila yoyote ya kukufanya kwamba wewe kuweza kumuamini”

Maneno ya Hawa yakazidi kuniingia akilini mwangu na kujikuta nikijilaumu kwa nini ninakuwa na kichwa chepesi ambacho kinanifanya kumuamini kila mtu kirahisi.

“Sijui ni kwa nini Stive alinisaidia”

“Alikusaidia wapi?”

“Nilipo kuwa nimekamatwa na Yudia mapangoni, Stive ndio mtu aliye nitorosha kwa njia za panya hadi tukatokea nchini Kenya”

“Stive ni mpelelezi mzuri sana, alifanya hivyo ninaamini kutakuwa na mbinu ambayo ipo nyumba ya msaada wake, labda bado anafanya kazi chini ya Yudia, na ili kuweza kukupambaza akaona amtumie Stive ili kukupata wewe kirahisi”

“Ninaweza kuipata histori ya baba yangu?”

“Ninaweza kuitafuta kwenye mitandao mingine”

Nikamtajia Hawa jila la baba yangu na kunza kulitafuta.

“Jina la baba yako sio ngeni sana masikioni mwangu”

“Uliwahi kulisikia wapi?”

“Kuna siku nilisikia baba akilizungumza akiwa na K2 kabla hajawa raisi”

“Ulisikia wakizungumzia kuhusiana na nini?”

“Kusema kweli sikuweza kufwatilia sana kwa maana mimi na K2 picha haziendi kabisa. Yap nimeipata”

Hawa alizungumza huku akinionyesha histori ya baba yangu, sote tukajikuta tukiwa kimya baada ya kuona picha za mauji ya kutisha ya baba yangu. Japo ninatambua kwamba baba yangu amefariki ila kusema kweli sikuweza kujua amefariki kwa kitu gani. Picha hizi zinaonyesha baba yangu alikufa kwa mateso makubwa sana huko nchini Japan. Baba alimwagikwa tindikali mwilini mwake, kisha akachomwa moto. Sura ya baba ikaanza kunijia kichwani mwangu, nikaanza kukumbuka ucheshi wake na ukarimu alio nionyesha kwangu. Machozi yakaanza kunitiririka taratibu usoni mwangu. Mlango ukafunguliwa kwa haraka nikajikuta nikijifuta machozi na kumtazama mtu aliye ingia humu ndani.

“Mkuu kuna upepelezi unao fanyika kwa kila nyumba humu ndani ya kambi”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Upelelezi wa nini?”

“Wanamtafuta Dany”

Tukatazama na Hawa sote tukionekana kushangaa.

“Nani aliye sema kwamba Dany yumo humu ndani?”

“Ni Stive, amepewa ruhusa ya kufanya hivyo na Yudia”

“Stive si ulisema amekamatwa na kupelekwa kwenye chumba cha mateso?”

“Stive sio msaliti, amefanya hivyo kwa kutumwa”

“Dany unaona, nilikuambia. Sasa hakikisha kwamba hakuna mpelelezi anaye ingia nyumbani kwangu”

“Sawa mkuu”

Binti huyu akatoka na kunifanya nikae kitandani taratibu huku nikiwa na mawazo mengi kichwani mwangu.

“Walisha kuingiza kwenye mtego Dany, na wakikushika nina uhakika watakua kikatili sana”

Hasira dhidi ya Stive ikaanza kunipanda, nikatamani hata kutoka nje na kwenda kumkamua kwa kadri nitakavyo weza ila nikajikuta nikishindwa kabisa kutokana hata nguvu za mwili wangu zimenipungua tangu niweze kuiona picha ya baba akiwa ameuwawa kikatili.

“Dany, Dany”

“Mmmm”

“Nitahitaji nikufiche kwenye chumba changu cha ardhini”

“Kuna chumba cha ardhini?”

“Yaa”

Hawa akatembea hadi kwenye kabati lake la nguo, akafungua milango miwaili ya kabati hili kisha akasogeza nguo, nikaona mlango mwengine ulipo nyuma ya kabati hili lililo jengewa ukutani. Sote tukaingia, na kushuka chini ya ardhi, akawasha taa.

“Kuna kitanda, Tv, bafu na choo vipo hapa. Utakaa huku chini na nitakuwa ninakupa habari kwa kila kitu ambacho kitakuwa kinaendelea huko nje”

“Sawa”

Hawa akanisogelea na kunibusu mdomoni mwangu, kisha akapandisha ngazi kwa haraka, akafunga mlango wa kuingilia ndani ya hichi chumba na kuniacha nikitazama mazingira ya hichi chumba. Nikajilaza kitandani huku nikiwa nimetawaliwa na mawazo na kujiuliza imekuwaje hadi Stive aamue kunidanganya kwamba mimi ni ndugu yake, na hata kama walimshinikiza baba yangu kuweza kukiri kwamba Stive ni kaka yangu, inaonekana kuna mtandao mkubwa sana ambao uliuiangamiza famili yangu, na mtandao huo unasimamiwa na watu wengi wenye nguvu ya kipesa hadi majeshi.

“Pesa yangu ingekuwepo, ningeweza kufanikisha kila hambo”

Nilizungumza huku nikiitazama Tv kubwa iliyomo humu ndani ya hichi chumba.

“Siwezi kuliacha jasho la Cajoli limwagike kirahisi namna hii, lazima pesa iweze kurudi”

Nikajilaza kitandani, wala sikuweza kupata usingizi kabisa, masaa yakazidi kwenda kasi. Sikuweza kufahamu ni saa ngapi kutokana sina saa yoyote. Mlango ukafunguliwa kwa haraka nikanyanyuka kitandani huku nikiwa nimeishika bunduki yangu. Nikamuona Hawa akishuka kwenye ngazi huku mkononi mwake akiwa ameshika sahani pamoja na chupa ya chai, ikanibidi kuishusha bunduki yangu chini.

“Habari yako Dany”

“Salama”

Hawa akaviweka vitu alivyo vishika mezani kisha akanikumbatia, mikono yangu nikipitisha kiunoni mwake, taratibu tukaikutanisha midomo yetu na kunza kunyonyana. Hisia za mapenzi zikazidi kutawala miili yetu, taratibu tukajikuta tukianza kuvuana nguo moja baada ya nyingine. Tukabakiwa na nguo za ndani nikataka kumvua Hawa chupi yake ila akakataa na kuniachia huku akisimama mita chache kutoka sehemu nilipo simama.

“Vipi?”

“Dany siwezi kufanya hivi”

“Kwa nini?”

Nilimuuliza Hawa huku nikimsogelea, akaanza kurudi nyuma na mwisho akajikuta akifika ukutani na mimi nikawa nimesha mkaribia.

“Dany mimi bado ni bikra na nilisha weka kiapo kwa Mungu, nitafanya hivi kwa mwanaume ambaye atanioa tu”

“Hawa umesha kua, hupaswi kuogopa”

Nilizungumza huku nikiushika mkono wa kulia wa Hawa, nikamshikisha jogoo wangu aliyopo ndani ya bokta, akataka kuutoa mkono wake, ila nikamzua na kuendelea kumshikisha jogoo wangu.

“Tazama jinsi ninavyo umia Hawa, mmmmm kwa nini lakini?”

Nilizungumza kwa sauti ya chini sana na yenye msisimko wa mapenzi, Hawa akabaki kimya huku akiwa ananitazama kwa bumbuazi usoni mwake.

“Da….aa”

“Shii”

Nilizungumza huku nikianza kuzinyonya lipsi zake, Hawa akaanza kulegae tena, nikambeba na kumpeleka kitandani, nikamlaza taratibu na kuendelea kumnyonya midomo yake. Mlio wa simu ukatufanya sote kusitisha zoezi ambalo tunahitaji kulifanya.

“Ngoja nipokee simu”

Nikamtazama Hawa usoni mwake kwa sekunde kadhaa kisha nikamuachia, akashuka chini ya kitanda, akatoa simu yake kwenye mfuko wa suruali ambayo alikuwa ameivaa.

“Ni mlinzi wangu”

Hawa alizungumza kabla hajapokeza, nikatingisha kichwa na kumruhusu aweze kupokea simu yake.

“Haloo”

“Baba…..!!?”

“Ninakuja sasa hivi”

Hawa akakata simu na kuanza kuivaa suruali yake.

“Vipi?”

“Baba anakuja kunitembela huku inabidi niende”

“Sawa”

“Kwani sasa hivi ni saa ngapi?”

“Saa kumi na mbili asubuhi”

Hawa akamaliza kuvaa nguo zake, kwa haraka akapandisha ngazi na kutoka humu chumbani na kufunga kila kitu na nina amini kwamba atakuwa amerudi chumbani kwake. Nikavaa suruali yangu na kuanza kupandisha ngazi kwa utaratibu hadi mlangoni, nikalitega sikio langu kwenye mlango kusikia kitu kinacho endelea. Sikuweza kusikia kitu chochote, nikaa hapa mlangoni kwa dakika kumi, nilipo ona hakuna jambo linalo endelea nikashuka chini, nikafungua chupa ya chai nikamimina chai kiasi kwenye kikombe kilicho kuwa kimefunikia chupa hii ya chai.

‘Kweli nitaweza kupambana na watu hawa wengi nama hii?’

‘Lazima niweze, sitakiwa kuwa mnyonge, waliniulia wazazi wangu, kwa nini na wao niwaache wakiwa hai’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikinywa chai taratibu taratibu. Mlango ukafunguliwa tena, Hawa akashuka kwa haraka na kunifwata kitandani nilipo kaa.

“Kuna lipi jipya?”

“Baba alikuwa ananiuliza kama nimeweza kuona wewe?”

“Kwa nini akuulize wewe?”

“Nahisi kwamba wamenitilia mashaka kwa maana jana sikumruhusu mtu kuingia chumbani kwangu, kwa hiyo nahisi hapo ndipo walipo zidi kupata mashaka kwamba wewe upo chumbani kwangu”

“Umemuona Stive?”

“Yaa ameongozana na baba kuja hapa”

“Nikuombe kitu?”

“Niombe tu kitu”

“Leo ninaomba nianze kufanya kazi yangu kimya kimya kwa maana siwezi kuendelea kukaa humu ndani ikiwa maadui zangu wanazidi kunitafuta kwa ajili ya kuniangamiza”

“Ila Dany bado sijaweka mambo sawa?”

“Hapana wewe niachie tu hiyo kazi, hii ngome ninaijua vizuri sana, so ninakuomba niweze kushuhulikia matatizo yangu yaliyo nileta hapa”

“Sawa mimi sina kipingamizi katika hilo. Je kuna vitu vyovyote ambavyo utavihitaji?”

“Ndio, nitahitaji nguo nyeusi tu, sime, bastola mbili, magazine za kutosha”

“Umepata, kitu kingine je?”

“Labda jaketi la kuzuia risasi”

“Poa, nitakoungezee na saa”

“Nitashukuru sana”

“Mbona huli viazi vyangu, ua hupendi kula viazi vitamu?”

“Hapana, ninakula mbona”

Taratibu tukaanza kula viazi hivi pamoja na chai, huku tukisimuliana mambo mengi ya nyuma. Hawa akaniaga na kuondoka, baada ya masaa sita mbele akarudi akiwa na vitu vyote nilivyo muagiza pamoja na ramani inayo onyesha majengo yote ya humu ndani.

“Dany hii kazi ninakuomba uifanye pasipo mtu yoyote kuweza kugundua chochote, kwa njia hii ninaamini kwamba nitaweza kurudi kwenye madaraka yangu”

“Sawa sinto kuangusha, ila kama unataka kurudi kwenye madaraka yako ninakusisitizia hawa watu watatu wanatakiwa kuondoka duniani?”

“Nani na nani?”

“Wa ni Stivie, wapili ni Yudia na wa tatu ni…….”

Nikaka kimya huku nikimtazama Hawa usoni mwake, kwa ishara akaniomba nizungumze.

“Wa tatu ni baba yako, nikiimaliza kazi hiyo watu wote ndani ya hii kambi watakusikiliza wewe na kuifwata amri yako na nilazima niweze kuwaua na vibaraka wao kwa maana tukiwaacha hawa vibaraka wanaweza kuja kukudondosha tena madarakani.”

Hawa taratibu akanisogelea hadi karibu na uso wangu, akanitazama kwa macho makavu yaliyo jaa ukakamavu, akavuta pumzi taratibu kisha akaishusha kwa nguvu na kukifanya kifua chake nione jinsi kinavyo shuka.

“Nakuruhusu kumuua baba yangu, ila nitaomba uwe mume wangu hadi kufa kwangu”

Sikutegemea Hawa anaweza kuzungumza maneno kama haya, jambo lililo nifanya nijawe na furaha na taratibu nikampiga busu la mdomo kumuhakikishia kwamba haya matatizo yakiisha nitakuwa mume wake wa maisha yake yote hadi pale kifo kitakapo tutenganisha.




“Nitakuwa, katika hili Mungu atuongoze”

“Amen”

“Oparesheni yangu itaanza saa nane usiku nina amini muda huo watu watakuwa wamelala, na wewe ndio mtu wa pekee ambaye unaweza kuifanikisha hii oparesheni”

“Ndio ninaweza na nitakusaidia kwa kila jambo niwezalo, nitakupatia kinasa sauti, hakikisha kwamba tunawasiliana kwa kila hatua ambayo unakwenda kuifanya katika hii oparesheni”

“Sawa”

“Kikubwa hakikisha kwamba unamuanza Stive hao wengine watafwatia siku nyingine, sihitaji kuwe namauji ya mfululizo, wanaweza kunihisi mimi na watu wangu”

“Nimekuelewa mpenzi wangu”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Kila kitu Dany ninafanya kwasababu ninakupenda, sikuhitaji kuuzika upendo wangu nilio nao juu yako, naamini huto niangusha katika hili?”

“Yaa sinto kuangusha”

Hawa akanisogelea na kunibusu mdomoni mwangu, akatoka chumbani hapa na kuniacha nikiendelea kuvipanga vitu vyangu kwa ajili ya kazi iliyopo mbele yangu. Hamu kubwa ya mauaji ikazidi kuutawala moyo wangu, sura za watu watatu ambao nimewapania kuwaua kwenye maisha yangu zinazidi kucheza kwenye fahamu yangu, kila sura inakuja kutokana na matukio yake waliyo nifanyia kwenye maisha yangu, japo Stive hajanifanyia mabaya ya moja kwa moja ila nimeweza kumgundua mapema sana.

Ilipo timu saa sita usiku nikaanza kuvaa mavazi yangu taratibu huku nikimsubiria Hawa kuweza kuja katika chumba changu, ili aweze kunipa taarifa ya kitu gani kinacho endelea ndani ya ngome hii. Nikamaliza kuvaa kila kitu huku upanga wangu mkali nikiuchomeka kwenye sehemu yake niliyo ivaa mgongoni mwangu. Bastola moja nikaichomeka kiunoni mwangu na bastola nyingine nikaichomeka kwenye buti ya mguu wa kushoto. Hadi inatimu saa nane kasoro usiku sikuweza kumuona Hawa, jambo lililo anza kunipa wasiwasi mwingi, taratibu nikaanza kupandisha ngazi kuelekea kwenye mlamgo wa kutokea katika hichi chumba.

“Baba huo ni unyanyasaji, inawezekana vipi hadi munakagua chumba changu cha kulala ndani?”

Niliisikia sauti ya Hawa akifoka sana, na anaoenekana mtu anaye fokeana naye ni baba yake.

“Huu ni upelelezi endelevu nilazima tuwe na uhakika wa kujiridhisha, nilazima Dany atafute ninatambua atakuwa ndani ya hii ngome sehemu yoyote”

“Kwa hiyo baba sasa hivi imefikia hatua ya kuto kuniamini hadi unahitaji leo hii mimi kuchunguzwa?”

“Ni jukumu langu kulinda watu wangu, na siwezi kuona adui anaingia hadi kwenye himaya yangu na ninakaa kimya eti kisa ninampenda mwanangu wa kiume”

“Wewe kwenye kabati langu huko sihitaji mufungue, kuna nguo zangu za ndani”

Mapigo ya moyo yakaanza kunianda mbio kwa maana kabati katika chumba cha hawa lipo moja ambalo ndio hili lenye mlango wa siri wa kuingilia katika hichi chumba nilichopo mimi. Taratibu nikajikuta nikichomoa bastola yangu iliyopo kiunoni, nikaishika vizuri, na kujiapiza yoyote atakaye fungua mlango wa chumba hichi basi atatembelewa na malaika mtoa roho muda wowote.

“Kwa hiyo baba unahitaji kuona nguo zangu za ndani, basi acha nivue nguo uone uchi wangu, wewe si baba kwangu”

“Heii tokeni nje, tafadhali usivue mwangu”

Nilisikia sauti ya baba Hawa akizungumza kwa unyonge akionekana kutulia baada ya kujiwa juu na kutishiwa na mwanaye huyu.

“Samahani mwanangu kwa kukusumbua usiku huu”

“Baba mahusiano yako ya kimapenzi na Yudia yasiwe ni kigezo cha kunitelekeza mimi mwano, umesha nipokonya madaraka, kwangu hakuna kitu kingine kimya, niache niishi maisha yangu kwenye nyumba hii”

Nilimsikia Hawa akizungumza kwa sauti iliyo jaa majonzi, hapa ndipo nikaanza kupata ukweli kuhusina na kwa nini Yudia ameweza kumshusha Hawa kwenye madaraka yake kirahisi namna hiyo.

“Nani amekuambia mimi nina mahusiano na Yudia?”

“Baba unahisi ni siri ehee, ninakujua sana, laiti mama yangu angekuwepo wala haya yote yasinge nitokea mimi leo”

“Hawa rudi ulale mwanangu, usiku mwema”

Nikasikia vishindi vya viatu vikitoka chumbani kwa Hawa, kidogo nikajikuta nikishusha pumzi taratibu huku bastola yangu nikiirudisha kiunoni. Nikasimama kwenye ngazi hizi, hazikupita dakika hata tano mlango ukafunguliwa, Hawa alipo niona kwa haraka akanikumbatia kwa nguvu huku akiendelea kulia kwa uchungu sana.

“Shiiiiii, ni kweli baba ana mahusiano na Yudia?”

“Ndio ni mwaka sasa na miezi yake”

“Pole sana”

Tukarudi chumbani kwa Hawa, akawasha taa yake na kunitazama jinsi nilivyo vaa. Taratibu akaanza kuipitisha mikono yake kwenye kifua changu kilicho funikwa na jaketi la kuzuia risasi.

“Dany kila kitu ninakiacha mikononi mwako, hakikisha kwamba unawaangusha maadui wako ambao kwangu kwa sasa pia ni maaduia”

Hawa alizungumza kwa kujikaza huku machozi yakiendelea kumwagika usoni mwake.

“Nimekuelewa”

Tukaanza kunyonyana lipsi zetu huku kila mmoja akionekana kuwa na hisia kali moyoni mwake. Tukaachia Hawa akafungua droo ya meza yake, akatoa kinasa sauti kidogo, taratibu akakiingiza kwenye sikio langu, naye akachukua kinasa sauti kingine na kukivaa sikioni mwake.

“Hapo unanisikia?”

“Yaa”

“Nitakaa kwenye computer hapa, nitahakikisha kwamba ninacheza na kamera zote za ulinzi za humu ndani ya ngome”

“Sawa umeweza kutambua ni wapi Stive alipo?”

“Sijatambua bado, ila ngoja”

Hawa akanyanyuka kwenye kiti, akazima taa, kisha akatoka chumbani kwake, baada ya dakika akarudi na kukaa kwenye kiti chake.

“Wapelelezi wangu wanasema yupo kwenye oparesheni ya kukutafuta hivi sasa”

“Si atakuwa na simu sehemu alipo?”

“Yaa”

“Unaweza kuhack sehemu alipo kutumia satelaiti”

“Hilo linawezekana ila inaweza kuwa hatari kwangu kwa maana chumba cha mawasiliano wakigundua kwamba ninadili na satelaiti wanaweza kunitilia msaka mimi pale mauaji yatakapo tokea”

“Sasa tunafanyaje, kwa maana nikisema nizunguke tu humu ndani nikiwa ninamtafuta yeye inaweza kuniletea shida na nitapoteza muda”

Sote tukajikuta tukikaa kimya tukitafakari ni kitu gani ambacho tunaweza kukifanya kwa muda huu.

“Ngoja”

Hawa akafungua droo ya meza yake, akatoa simu na kunikabidhi.

“Hii simu sijawahi kuitumia tangu niinunue, ina line na unaweza kuitafuta namba ya Stive kupitia simu hiyo, ukifanya mauji hakikisha kwamba unaiharibu simu huyo ili kuweza kufuta ushahidi”

“Nimekuelewa, nipatie namba yake”

Hawa kwa akatazama computure yaka kwa sekunde kadhaa kisha akanitajia namba ya Stive anayo itumia ndani ya hii ngome akiendesha msakao wa kunisaka mimi. Nikainakili namba ya simu ya Stive na kuiweka kwenye simu yangu.

“Nikutakie kazi njema mpenzi wangu”

Hawa akanipiga busu la mdomoni. Tukatoka hadi sebleni ambapo hapakuwa na mtu wa aina yoyote. Akawaomba walinzi wake walipo lindo nje ya nyumba yake waweze kupumzika kwa muda huu, pasipo wao wenyewe kuelewa ni kitu gani kinacho endelea.

“Ninazima taa ya nje, una sekunde ishirini kuondoka hapa sawa”

“Poa na hawa walinzi wako?”

“Nitawaambia nimebadili mawazo warudi kwenye nafasi zao za ulinzi”

“Ok”

Hawa akazima taa ya nje, kwa haraka nikakimbia kwenye eneo hili la uwazi na kujibanza kwenye jengo jingine ndani ya sekunde hizo ishirini alizo kuwa amenipatia. Nikatafuta sehem iliyo tulia katika hili jengo nikawasha simu hii, nikaanza kuitafuta namba ya Stive ni wapi alipo, haikuchukua muda mrefu nikafanikiwa kumuona, ila sehemu alipo ni mbali sana na mimi nilipo kwa maana hii ngome ni kubwa sana.

“Dany unanisikia”

“Yaa ninakupata”

“Umefanikiwa kumpata Stive?”

“Yaa nimefanikiwa kumpata, yupo geti la kusini”

“Ohoo God, so unafanyaje?”

“Nina dakika kumi kufika hadi huko alipo”

“Kumbuka kuna walinzi wengi hadi sehemu alipo”

“Yaa nalitambua hilo, nitahakikisha hadi inafika saa tisa kamili, kazi yangu hii nitakuwa nimesha imaliza”

“Kazi nje”

“Ok”

Tuliweza kuwasiliana vizuri na Hawa kwa kutumia vinasa sauti ambavyo vipo masikioni mwetu. Nikaanza kupita njia ambazo ninaamini kwamba hakuna mlinzi haata mmoja anaweza kuniona. Nikazidi kusonga mbele huku nikiwapiga chenga walinzi wanao endelea kunisaka kwa udi na uvumba, sikufahamu ni kitu gani ambacho wame ahidiwa kupewa pale watakapo nikamata kwa maana sikuwahi kuona msako mkali kama huu unao endelea katika hii ngome ya kundi la Al-Shabab ambalo linaogopewa karibia Afrika nzima na duniani.

“Dany”

Nilisikia sauti ya Hawa akiniita kwenye kipaza sauti, ikanibidi nisimame na kujibaza kwenye moja ya mti ili mradi niendelea kuzungumza na Hawa.

“Yaa”

“Mwenzio nina ogopa kwa kweli”

“Unaogopa nini?”

“Naona wanajeshi ni wengi?”

“Nipo katikati ya oparesheni, kuwa jarisi mke wangu sawa”

“Sawa baby, umebakisha umbali gani hadi kumfikia Stive?”

“Dakika kama mbili”

“Ok, kumbuka kwamba una mtu nyuma yako anaye kupenda na kuhakikisha kwamba kila jambo unalo lifanya linafanikiwa”

“Nimekuelewa mke wangu”

“Ninakupenda”

Nikashindwa kumjibu Hawa, baada ya kuwaona walinzi wawili wakija usawa wa eneo nililopo, taratibu nikatoa sime yangu ndefu na ni kali katika kila upande.

“Dany……!!!”

Hawa aliendelea kunita, mwanajeshi mmoja akasimama pembeni ya mti huku akiwa na sigara mdomoni mwake, akatoa jogoo wake na kuanza kukojoa pembeni yangu kabisa huku mwenzake akimsibiria pembeni, kwa bahati mbaya mwanajeshi huyu akageuza kichwa sehemu nilipo, kabla hajafanya chochote, nikashusha sime yangu kwenye jogoo wake na kumtenganisha na mwili jambo lililo mfanya mwajeshi huyu kupiga ukelele mkali ulio nifanya niikate shingo yake na kuitenganisha kabisa na kiwili wili chake. Mwenzake akiwa anaweweseka kuishika bunduki yake sawa ili anishambulie, nikairusha sime yangu iliyo tua kifuani mwake na kumuangusha chini kama mzigo, nikamsogelea kwa haraka na kuichomoa sime yangu.

“Dany ni kutu gani kinacho endelea?”

“Kuna wajinga wawili nilikuwa ninawashuhulikia hapa”

“Imekuwaje?”

“Nimewasafirisha”

“Umewasafirisha!!!?”

“Yaa wanaimba mapambio huko mbinguni kwa sasa”

“Hhaaaa”

“Natakiwa kuondoka sasa”

Nikairudisha sime yangu sehemu nilipo itoa na kuzidi kusonga mbele huku mara kwa mara nikitazama simu hii kuangalia sehemu alipo Stive. Nikafani kufika chini ya kibanda ambacho kipo juu sana na juu yake wanakaa walinzi wenye bunduki pamoja na tochi kubwa ambayo wanaitumia kumulika maeneo ya chini. Nikifanikiwa kupita eneo hili, mbele yake ndipo kwenye geti ambalo ndipo alipo Stive na watu wake.

“Honey”

“Bee”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Nipo chini ya mnara wa ulinzi, nikipita hapa ndio ninafanikiwa kumpata Stive nini nifanye?”

“Hakuna njia nyingine ya kupita?”

“No hakuna, na ulinzi hapa ni mkali sana”

“Ngoja”

“Unataka kufanya nini?”

“Niangalie kamera za hapo”

“Hapa nilipo hakuna kamera yoyote”

“Dany”

“Yaa”

“Hakuna jinsi ya kupita hapo, ni lazima uwaue hao walinzi”

“Poa baby”

“Unaweza kufanya hivyo?”

“Why not”

“Good luck, na ninanatisha kamera inayo mulika ngazi hiyo”

“Sawa”

Nikashusha pumzi taratibu, nikaanza kupandisha ngazi za kuelekea juu kwenye mnara huu. Nikapanda kwa tahadhari huku sime yangu nikiwa nayo mkononi mwangu, nikausukuma mlango wa kuingilia kwenye chumba chihi taratibu, nikawana wanajeshi wawili mmoja akiwa na kazi ya kuzungusha taa hii kubwa huku mwengine akiwa na kazi ya kutazama computer inanayo oyesha video za kamera zilizo tegwa eneo la karibu la hili eneo hadi getini. Kwa haraka nikaingia, na kuanza kuwashambulia wanajeshi hawa kwa kuwaua kikatili kwa kuwachinja shingo zao.

“Honey nimemaliza kazi”

“Safi songa mbele sasa”

“Mku tumekuta miili ya wanajeshi wawili wameuwawa kwa kuchinjwa, ninarudia tena nimekuta miili ya wanajeshi wawili imechinjwa kikatili. Ngome imevamiwa”

Nilisikia sauti ikitokea kwenye simu ya upepo iliyopo juu ya meza ndani ya hichi chumba, nikatazama kwenye computer nikamuona Stive na wanajeshi baadhi wakiondoka katika eneo getini na kukimbilia eneo ambalo niliwaua wanajeshi wa kwanza.





“Dany kuna nini kinacho endelea?”

“Wameziona maiti za wanajeshi nilio wauoa”

“Mungu wangu, sasa itakuwaje?”

“Sina nafasi ya kumuua Stive kwa muda, inabidi nirudi tu”

“Kuwa makini mume wangu”

“Poa”

Kwa hatadhari kubwa nikaanza kushuka kwenye mnara huu, huku bastola yangu moja nikiwa nimeishika mkononi mwangu, kutokana na kuweza kufahamu hii ngome kwa uzuri kabisa ikanilazimu kuanza kupita njia ambazo sio rahisi kwa wanajeshi kuweza kuniona.

“Dany upo wapi?”

“Nipo kwenye jengo la silaha hapa ndio nina rudi”

“Usije nyumbani kwa sasa”

“Kwa nini?”

“Walinzi wengi wamekuja huku nyumbani kwangu kuimarisha ulinzi”

“Si walinzi wako lakini?”

“Wapo walinzi wa Yudia, nina iamani wamekuja kwa makusudi zaidi”

“Ok nitajua nini cha kufanya”

Nilizungumza huku nikiwaona wanajeshi sita wakipita karibu yangu, nina imani wanamtafuta muuji aliye weza kuua wanajeshi walio waona. Uzuri wa sehemu niliyo jificha ni kwenye masanduku ya kuhifadhia silaha jambao sio rahisi kwa mtu kuweza kuniona. Wanajeshi hawa wakapita na eneo hili pasipo kuniona. Kichwa changu kiaanza kujawa na mawazo ya kufikiria ni sehemu gani ambayo ninaweza kwenda ili wanajeshi hawa wasiweze kuniona kabisa.

“Hawa”

“Mmmm”

“Niambie kuna jambo gani linalo endelea?”

“Baba kuna kitu gani kinacho endelea”

“Kambi imevamiwa, inatubidi kuondoka na tutafute sehemu ambayo tunaweza kwenda”

Nilisikia mazungumzo kati ya Hawa na baba kupitia kinasa sauti ambacho Hawa amekivaa sikioni mwake na si rahisi sana kwa mtu kuweza kukiona.

“Baba tunakwenda wapi?”

“Sio muhimu kuweza kufahamu, jiandae tuondoke. Helicopter ipo tayari kwa ajili ya kutuchukua”

“Na ngome unamuachia nani?”

“Wapo watakao isimamia. Muandalieni nguo tuondoke”

Mapigo ya moyo yakaanza kunienda mbio kwani Hawa ndio mtu pekee ambaye kusema kweli anafahamu uwepo wangu, katika eneo hili.

“Baba ninaomba unipe muda wa kufikiria hili”

“Hakuna muda wa kufikira hili, ngome imevamiwa, ni wakati wa kuondoka sawa”

Baba Hawa alizungumza kwa ukali sana.

“Baba niache nife kwenye hii ngome, sina kitu cha kupoteza ikiwa kila jambo kwenye maisha yangu uliweza kunipokonya. Nitakaa hapa na ni……..”

Nikasikia mlio wa kibao alicho pigwa Hawa shavuni mwake.

“Sihitaji kusikia ujinga kabisa. Mshikeni na mumpeleke kwenye helicopter”

“Sawa mkuu”

Nikaka kimya huku nikifikiria ni kitu gani ambacho ninatakiwa kukifanya. Kwa sehemu niliyopo ni karibu sana na kilipo kiwanja cha Helicopter, kwa haraka nikaanza kuelekea katike eneo hilo huku nikizidi kuwa makini kuhakikisha kwamba ninafanikiwa kuweka kufika katika kiwanja hicho.

“Hawa, Hawa”

“Mmmmm”

“Ninakuja kwenye sehemu ilipo Helicopter”

“Mmmm”

“Nipo ninakuja mke wangu”

Nikazidi kuongeza mwendo kasi wa kuelekea katika eneo hilo la helicopter. Nikafanikiwa kufika kilipo kiwanja cha Helicopter, nikakuta wanajeshi zaidi ya kumi wakiwa na silaha, nikamuona Hawa akiwa ameshikiliwa na wanajeshi wawili wanao msindikaza. Sikuwa na jinsi za ya kuanza kufanya mashambulizi ya kuwaua hawa wanajeshi kila mmoja nikihakikisha ninamzawadia risasi yake itakayo msaidia kufika kuzimu pasipo yeye kutegemea. Hawa alipo ona ninaonyesha juhudi ya kuwashambulia wanajeshi wanao linda eneo hili, na yeye akaanza kuonyesha juhudi ya kupambana na wanajeshi walio mshika. Umoja wtetu ukaza matunda kwani wanajeshi wote ndani ya muda mfupi tuliweza kuwadhibiti.

Tukaingia kwenye helicopter, Hawa akaanza kuminya minya batani baadhi za hii Helicopter na taratibu ikaanza kuwaka.

“Unaweza kuendesha?”

Nilimuuliza Hawa huku nikimtazama

“Ndio”

Tukaona wanajeshi wengi wakija kwa kasi sana, Hawa taartibu akaanza kuinyanyua Helicopter hii huku nikishangaa sana, kwani katika kipindi chote ambacho ninamfahamu sikujua kujua kama ni dereva mzuri wa kuendesha Halicopter.

Wanajeshi wakaanza kuishambulia Helicopter hii, ila tayari tulisha iacha ardhi na kuanza kuondoka katika eneo hili.

“Pole mume wangu”

“Asante baby. Sasa hapa tunaelekea wapi?”

“Popote ili mradi tuwe katika eneo zuri, natambua baba atahitaji tufwatiliwe”

“Kwani ndani ya kambi kuna helicopter ngapi?”

“Zipo nne, mbili ni za kijeshi na hizi zilizo baki, ikiwemo hii ni helicopter za abiria wa kawaida”

Hawa aliendelea kuzungumza huku tukizidi kutokomea tusipo pajua. Mlio wa tahadhari ukaanza kulia kwenye hii helicopter.

“Nini hicho”

“Wanatufwatilia”

Hawa alizungumza huku akinionyesha kwenye kitivii kidogo chenye mshale unao zunguka wenye mwanga mwekundu. Nikaona Helicopter hizo jinsi zinavyo zidi kutusogelea kwa kasi kubwa, ubaya ni helicopter za kijeshi ambazo zinatumia kwenye mapigano ya anga. Hawa akaanza kuishusha Helicopter kwa kasi jambo lililo nifanya nimshangae.

“Una fanya nini?”

“Nahitaji pita usawa huu wa chini, nikiwa juu ni rahisi kwa wao kuweza kunishambulia, na hii ndio njia pekee ya sisi kuokoa”

“Unahisi kwamba helicopter zao haziwezi kuja usawa wetu”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Sijafahamu kusema kweli ila tujaribu hii njia”

Usawa ambao Hawa anaipitisha hii Helicopter ni chini sana, jambo ambalo likaanza kunitisha kwani kosa lolote atakalo lifanya litapeleka sisi kuanguka, isitoshe eneo tulilopo lina miti michache sana iliyo achana sana. Milio ya risasi ikaanza kusikika nyuma yetu.

“Hawa ninakuomba ujisalimishe”

Tuliisikia sauti ya baba Hawa akizungumza kupitia earphone tulizo zivaa. Hawa akanitazama, akionekana kuwa na woga mwingi.

“Hawa ninarudia tena ninakuomba ujisalimishe”

“Baba siwezi kufanya hivyo”

“Nitaruhuhu marubani wangu wakuue”

“Acha nife, ila ninapigania penzi la mwanaume ambaye ninampenda kwenye maisha yangu”

“Ina maana upo na Dany?”

Hawa akaka kimya, nikamtazama ni nini anacho hitaji kukijibu.

“Hilo hupaswi kulifahamu baba”

Gafla helicopter yetu ikaanza kuyumba, hii ni baada ya kusikia kishindo kizito kikiipiga kwa nyuma.

“Dany ninakupenda, hata tukifa tambua kwamba ninakupenda”

“Ninakupenda pia mke wangu, niambie ni nini nifanye ili kuiokoa Helicopter?”

“Hakuna cha kufanya kwa maana imesha poteza muelekeo na tunaanguka chini”

Japo siku zote tunapambana ila hakuna kitu kibaya kama kifo ambacho mtu unaweza kukiona kwamba kinakwenda kutokea. Helicopter ikapiga chini kwenye ardhi na sote tukajikuta tukirusha na kujipigiza pigiza kwenye sehemu zilizopo karibu yetu.

Helicopter iaendelea kuserereka chini kwenye mchanga mwingi uliopo katika eneo hili. Kitu kikubwa ninacho muomba Mungu, atusaidie na helicopter hii isiweze kulipuka.

“Hawa, Hawa”

Nilimuita Hawa baada ya Helicopter kutulia na mchanga mwingi sana kuingia ndani ya helicopter kwa maana eneo tulilo angukia ni nusu jangwa.

“Hawa”

Hawa hakuitika zaidi ya kulala pembeni huku akionekana kupoteza fahamu. Nkajifungua mikanda ya siti niliyo kuwa nimejifunga, nikafungua mlango wa upande wangu na kutoka, japo nina majeraha machache kwenye mwili wangu ila sikuhitaji kupoteza muda. Kwa mbali nikasikia milio ya Helicopter ikikaribia kufika katika eneo tulilopo, nikafunga mlango wa upande wa Hawa, nikamtoa kwenye siti aliyo kalia huku akiwa anatokwa na damu kwenye paji la uso wake.

“Hawa, Hawa, Hawa”

Nilimuita huku nikimtingisha kwa nguvu, kidogo akanipa matumaini ya kufumbua macho yake.

Nikatazama eneo tulilopo, nikaona jiwe moja kubwa lenye tomba, nikamnyanyua Hawa na kuanza kukimbia naye hadi kwenye jiwe hilo, kitendo cha sisi kuingia nikaziona Helicopter za jeshi la baba Hawa zikizunguka katika eneo ambalo helicopter yetu imeanguka, nikatambua kabisa ni lazima wanaangalia kama sisi tupo hai au tumekufa.

“Dany”

“Ndio mke wangu”

“Upo salama”

“Ndio wewe je?”

“Kichwa honey kinaniuma”

“Ngoja tutatafuta jinsi ya kuondoka, ninaona wanamulika kuona kama tupo au laa”

Helicopter hizi zikaendelea kuzunguka kwa dakika tano eneo hili kisha zikaondoka, nikasubiria kwa muda kidogo kisha nikatoka nje ya jiwe hili. Kitu nilicho gundua kwa haraka kwamba wameshindwa kutuona ni kutokana na jiwe hili upande wa juu limefunikwa na mchanga na ni sehemu ya shimo ndio haijafunikwa na mchanga na imekuwa ni ngumu sana kwa marubuni wa helicopter hizo kutuona. Nikamtoa Hawa ndani ya shimo hili na kumsimamisha wima.

“Unaweza kutembea?”

“Yaa”

Nikatazama eneo hili vizuri nikaona kwa mbali kutoka hapa tulipo kuna eneo linalo waka taa. Tukaanza kutembea huku nikiwa nimemshika Hawa mkono, mwendo wetu haukuwa wa kawaida sana, ila nilihakikisha kwamba tunatembea mwendo utakao tuwezesha kuweza kufika katika eneo hilo linalo waka taa, na pana onekana kuna makazi ya watu.

“Eneo hili kama ninalifahamu”

Hawa alizungumza huku akitazama tazama kila sehemu ya eneo hili.

“Unalifahamu?”

“Ndio, twende”

Hawa akaanza kukimbia na mimi nikaanza kumfwata kwa nyuma. Tukaingia katika mji mdogo wenye nyumba za kawaida. Muda huu wa alfajiri watu wengi bado hawajaamka kutoka kwenye vitanda vyao. Tukazidi kukatiza kwenye nyumba za hili eneo, tukafika kwenye moja ya nyumba, Hawa akasimama na kutazama kila upande.

“Vipi?”

“Naangalia usalama”

“Kwani hapa ni kwa nani?”

“Kuna rafiki yangu mmoja anaishi hapa”

Hawa akaanza kugonga taratibu huku mimi nikiwa nimesimama pembeni huku nikiwa na bastola yangu mkononi.

“Nani?”

Nilisikia sauti ya kiume ikitokea ndani

“Mimi”

“Hawa?”

“Ndio”

Mtu huyo akafungua mlango, tukaingia kwa haraka, mwanaume huyu akanitazama kwa mshangao sana, nikamkazia macho.

“Ni mume wangu huyu, usiwe na shaka. Mkeo yupo wapi?”

“Chumbani, ngoja nikamuite”

Jamaa huyu mrefu kwenda juu na aliye jazia misuli ya mwili wake akandoka hapa sebleni, nikamsogelea Hawa na kulitazama jeraha lake lililopo kwenye paji la uso wake.

“Hujaumia sana”

“Wifi vipi?”

Nikageuka nyuma sikuamini macho yangu kumuona Mariam, ambaye naye baada ya kuniona akajikuta akistuka na kusima sehemu alipo, nikainyanyua bastola yangu kwa haraka na kumyooshea jambo lillilo mshangaza Hawa na mume wa Mariam.





“Dany” Hawa aliniita huku akinishika mkono wangu ulio shika bastola, sikuhitaji kuushusha wala kuuteteresha, nilicho kifanya zaidi ni kukaza misuli yangu.

“Ulihisi kwamba sinto kukamata ehee?” Nilimuliza Mariam kwa hasira huku mikono yangu ikinitetemeka sana, jambo lililo zidi kuwashangaza Hawa na mume wa Mariam.

“Baby munajuana?” Mariam alimjibu mumewe kwa kutingisha kichwa tu kwamba ananifahamu, huku jasho jingi likianza kumwagika usoni mwake.

“Dany mume wangu mbona sielewi?” “Hawa Mariam ndio muuaji wa familia yangu, ameiteketeza familia yangu kikatilia sana” “Dany sikuwa na jinsi zaidi ya kufanya hivyo, muulize Hawa atakueleza kila kitu” Mariam alizungumza huku mwili ukizidi kumtetemeka hata matamshi yake yanatoka yakiwa yamejawa na utetemeshi mkubwa sana.

“Baby, ninakuomba utulie. Tupo katikati ya tatizo, ninakuomba utulie tafadhali” Hawa alizungumza kwa sauti ya upole na laini, huku akiwa amenishika kifua changu, machozi ya hasira yakaanza kunimwagika huku nikiyang’ata meno yangu kwa hasira sana.

“Dany nakuomba sana tena sana ushushe silaha yako chini, kuna mambo mengi tunapaswa kuyazungumza” Hawa aliendelea kuzungumza kwa upole sana akizidi kunisihi nimsamehe. Nikamtazama Mariam kuanzia chini hadi juu, nikashusha pumzi nyingi sana, kisha nikaushusha mkono wangu ulio shika bastola yangu.

“Tulia mume wangu kaa hapa” Hawa akanisogezea kiti, taratibi nikaka huku machozi yakinimwagika mfululizo, hasira ya mauaji yaliyo fanywa na Mariam kusema kweli inanisukuma kufanya mauaji yake ili maradi na mimi nijisikie amani japo kidogo katika moyo wangu. Nikamuona mume wa Mariam naye akishusha pumzi, akamshika mkono Mariam na kumkalisha kwenye sofa zilizopo hapa sebeleni.

“Hawa vipi asubuhi yote na majeraha usoni?” “Ni hadisi ndefu kaka yangu, ila ngoja kwanza tulizungumze hili kati ya hawa watu wawili. Dany” “Mmmmm” “Nina tunaweza kuzungumza hili jambo?” Nikanyanyuka kwenye kiti changu, nikachungulia dirishani, watu wote ndani ya seble macho yao wakawa wananitazama mimi. Nikazidi kukaa kimya huku nikisikilizia kwa umakini sauti ninazo zisikia kwa mbali sana zilizo nifanya niwe na wasiwasi mwingi.

“Dany” “Shiii” Nilizungumza huku nikimtulia Hawa kwa mkono, milio ya helicopter nilizo kuwa ninaisikia kwa mbali sasa nikaanza kuisikia kwa ukaribu kabisa, jambo lililo wafanya watu wote ndani ya seble kunyanyuka kwa haraka nak ukimbilia dirishani nilipo simama.

“Wanakuja” “Kina nani Hawa?” “Baba na watu wake wananitafuta na wanahitaji kuniua” “Mungu wangu si wanaweza kukivamia kijiji hichi” “Ndio maana yake, inabidi kutafuta njia ya kuondoka katika hichi kijiji” Nilizungumza huku nikiishika bastola yangu vizuri. “Kuna njia ya kutokea katika hichi kijiji” Mariam alizungumza na kujikuta nikimtazama kwa jicho kali hadi akayakwepesha macho yake kwangu na kumtazama mume wake.

“Ndio kuna njia chini ya ardhi, tunaweza kuitumia na kuondoka kabisa katika hichi kijiji?” “Basi hatuna muda wa kupoteza kaka yangu, niakuomba tuondoke” “Basi ngoja tukavae haraka haraka” Hawa na mumewe ambao wamevaa mavazi ya kulalia, wakaingia katika chumba chao na kutuacha sebleni.

“Una waamini?” “Ndio nina waamini, ninamuoamini sana kaka yangu”

“Na imekuwaje Mariam akasema kwamba nikuulize wewe juu ya mauji ya wazazi wangu” Kabla Hawa hajanijibu, nikaanza kusikia milipuko ya mabomu mita kadhaa kutoka hapa tulipo. Mariam na mumewe wakatoka chumbani wakiwa wanakimbia kila mmoja mkononi mwake ameshika mastola pamoja na tochi kubwa. Tukaingia kwenye moja ya stoo, wakatukabidhi mabegi ya mgongoni.

“Kuna nini humu? Niliwauliza huku nikifungua begi langu, sikupokea jibu kwa mana nilicho kuuliza tayari nimesha kipatia jibu lake kwa maana kuna vibunda vya pesa za kimarekani, vilivyo pangwa vizuri na kujaa katika kila begi. Hawa akanikabidhi tochi yangu kubwa, kisha tukatoka humu katika chumba cha stoo. Tukaingia katika bafu hapo ndipo tukakuta mfuniko, mume wa Mariam akaufungua na akawa wa kwanza kuingia.

Akaingia Hawa, akafwatia Maria kisha nikamalizia mimi na kuufunga mfuniko huu ambao si rahisi kwa mtu kuweza kugundua kwamba kwa chini kuna njia, kila mmoja akawasha tochi yake na kuanza kumfwata mume wa Maria. Japo kuna nuka sana kutokana na haya maji machafu tunayo yakanyaga, ila hatuna namna zaidi ya kuzidi kusonga mbele kwani njia hii ndio itakuwa mkombozi wetu.

Kwa mara kadhaa Mariam aligeuka nyuma kunitazama, ila nikazidi kukazia macho.

“Tunatumia umbali gani kutokea huko yunapo kwenda?” Hawa aliuliza huku tukizidi kutembea kwa mwendo wa kukimbia kidogo kidogo

“Ni umbali kidogo tujitahidi” Tukafika sehemu tukakuta njia mbili ambazo kila mmoja inaelekea upande wake, Mariam na mume wake wakatazamana.

“Nini?” Niliwauliza huku nikiwa makini sana kwa maana siwaamini kabisa.

“Tunaangalia ni njia ipi nzuri ya haraka ambayo tunaweza kupita kutokea eneo ambalo lina usalama kabisa.” “Kwa….” Hawa akawahi kuniziba mdogo kwa maana hasira yangu anatambua kabisa kwamba bado haijaisha katika kumsamehe Mariam.

“Ongoza mwaya kaka yangu bora tufike” “Twendeni huku” Mume wa Mariam alizungumza na tukaanza kumfwata huku tukizidi kukimbia, tukatembea kwa masaa mawili na kujikuta tukitokea kwenye moja fukwe za bahari ambazo zimetulia na inavyo onekana kwamba hakuna dalili kabisa ya watu. Kila mmoja akajikuta akihemea kwa upande wake kwa maana ngija ngija tulizo kutana nazo huko tulipo toka kusema ukweli zimetushosha sana.

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Mungu ni mwema tumesalimika” Hawa alizungumza huku akinitazama usoni mwangu, akanisogelea na kunikumbatia huku kicha chake akiwa amekilaza kifuani mwangu.

“Ninakupenda sana Dany” “Nina kupenda pia mke wangu” “Jamani samahani” Mume wa Maria alizungumza huku akitusogelea, taratibu tukaachiana na kumtazama ni kitu gani ambacho anahitaji kukizungumza.

“Itatubidi kukaa hapa kwa siku hii nzima, tukiacha mambo yakitulia basi tunaweza kubadilisha mfumo wa mazingira na kwenda sehemu nyingine mbali na hapa” “Tuna chakula hadi tukae hapa?” “Ndio tunacho, begi niliko kuwa nimelibeba mimi lina vyakula vilivyomo kwenye makopo” “Sawa kaka yangu, hivi hapa hakuna watu?” “Hapana fukwe hizi sio rahisi sana kwa watu kuweza kufika kwa manaa zimejificha sana na sio rahisi kugunduliwa” “Wewe umezijuaje?” Nilimuuliza mume wa Mariam huku nikimkazia macho, akamtazama Hawa kidogo kisha akazungumza.

“Nimejua mimi mwenyewe kutokana na utaalamu wangu wa kutengeneza njia zilizopo chini ya ardhi.” “Kaka yangu nina shukuru ninakuomba ukazungumze na wifi yangu naona yupo mnyonge” “Sawa dada” Mume wa Mariam akaondoka katika eneo tulilo simama sisi.

“Dany muda mwengine ujaribu kuizuia hasira yako kuonekana wazi wazi” “Siwezi kufanya hivyo ikiwa ninamuona adui yangu mbele yangu”

“Nalitambua sana hilo, ila ukweli ni kwamba Mariam hana makosa ya aina yoyote, yeye aliagizwa tu” “Ataagizwaje kuua tena Watanzania wezake?” “Kumbuka Dany hata mimi mwenyewe nilikuagiza kwenda kumua Maria, pasipo kujau kwamba Mariam ni mtu mwema sana” “Kwa nini unamtetea sana, au kifo juu ya wazazi wangu na wewe umehusika” Nilizungumza kwa hasira na kumfanya Hawa kunitazama kwa macho ya mshangao, machozi taratibu yakaanza kumwagika, jambo lililo nifanya nijikute nikianza kuwa mpole.

“Am sorry mke wangu” “Dany hivi laiti kama ningekuwa nimehusika na kifo cha wazazi wako leo hii mimi nisinge kuwepo hapa. Dany kuna mambo mengi sana ambayo huyajui na utanatakiwa kuyajua mume wangu” Hawa alizungumza huku akiendelea kumwagikwa na machozi, nikamtazama Hawa nikamuona jinsi anavyo kumbatiwa na mume wake naye akionekana kulia sana kwa uchungu.

Nikamshika Mariam taratibu na kuelekea naye hadi pembeni ya maji ya bahari, tukavua mabegi tuliyo yaa migongoni na kuyaweka pembeni, nastola zetu nazo tukaziweka pembezoni maji. Taratibu tukaingia kwenye maji.

“Dany” “Mmmm” “Mwenzio sipendi kuogelea, nina ogopa” “Twende tu usiogope”

Maji yakafika usawa wa viuno vyetu, taratibu nikamsogeza Hawa hadi kifuani mwangu, nikayashika mashavu yake kwa viganja vya mikono yangu, tukatazamana kwa sekunde kadhaa kisha tukaanza kunyonyana midomo yetu huki kila mmoja akiwa na hisia kakali. Hawa kwa haraka akaupelekea mkono wake wa kulia hadi kwenye zipu ya suruali yangu, akaifungua na kumtoa jogoo wangu. Akaanza kumchua taratibu.

“Dany nahitaji” Mariam alizungumza huku akishusha pumzi nyingi na akionekana kuwa na hamu kubwa sana na mimi. Nikamshusha suruali yake, baada ya kuifungua mkanda, nilipo hakikisha kwamba nimeweza kukishika kitumbua chake, nikamgeuza kwa haraka kisha nikamuinamisha taratibu.

Jogoo wangu aliye simama kisawa sawa, nikamshika kwa vidole vyangu ya mkono wa kulia na kumuingiza taratibu kwenye kitumbua cha Hawa.

“Dany taratibu nina umia” “Shiii”

Nikazidi kumuingiza taratibu, maji yaliyopo katikati yetu yakaanza kubadilia rangi, hapa ndipo nikazidi kuamini kwamba Hawa ni bikra. Hatukuwa na hata muda wa kuwatazama Mariam na mume wake kama wanatutazama au laa, na kwa jinsi ninavyo mjua Maria, nina amini kabisa roho yake itakuwa inamuuma kwa maana chembechembe za mapenzi bado zipo moyoni mwake.

Kadri muda ulivyo zidi kwenda ndivyo jinsi Hawa alivyo zidi kuona raha, hata maumivu ya jogoo wangu yakapungua.

“Ohoo raha, tamuuuuu, mmmmmm”

Mariam alizidi kulalamika huku akitoa miguno mingi sana ya kimahaba. Nikaendelea kumshuhulikia Mariam hadi sote tukajikuta tukiridhika, taratibu tukapandisha suruali zetu huku, kisha Mariam akanigeukia na kunikumbatia kwa nguvu sana.

“Ninakupenda sana mume wangu” “Ninakupenda pia Hawa wangu” “Ninakuomba usiniache peke yangu Dany, nipo tayari kufa kwa ajili yako” “Hata mimi pia mke wangu, nitakulinda hadi dakika ya mwisho katika maisha yangu”

Machozi ya furaha yakaanza kutumwagika kila mmoja. Tukatoka kwenye maji haya na kurudi nchi kavu na kuwakuta Hawa na mume wake wakiwa amekaa chini ya mti wa mkoko wakila chakula kila mmoja akiwa na kikopo chake cha chakula.

“Tumewaacha peke yenu” “Hakuna tabu dada yangu” “Wifi unaweza kuchukua chakula ndani ya begi” “Hakuna tabu, shemeji yako atakuwa na njaa sana” “Sio kivile ila nina njaa”

Hawa akanitolea kikopo chenye mchanganyiko wa chakula cha ubwabwa na maharage, nikakifungua na taratibu nikaanza kula huku nikimtazama Mariam kwa jicho la kuiba.

“Ehee dada ilikuwaje hadi useme kwamba baba anakuwinda?” “Ni stori ndefu ndugu yangu, ila yote ni kutokana na shemeji yako hapa” “Vipi baba hapendi mume wawili nini?” “Yaa baba anahitaji kumuua shemeji yako ila kusema kweli sikupenda hilo jambo lijitokeze kwenye maisha yangu, kwa maana nina mpenda mume wangu sana” “Shemeji pole kwa mikasa hiyo yote” “Asante” “Dany”

Mariam aliniita kwa sauti ya chini huku akinitazama usoni mwangu, sote tukakaa kimya huku tukimtazama.

“Natambua ya kwamba una nichukia, ila ninakuomba unisamehe sana kwa kila jambo ambalo limetoke kwenye maisha yako na mimi nikiwa ni chanzo wa kufanya hivyo” Machozi yakaanza kumtoka Mariam usoni mwake.

“Niliamua kuachana na kila jambo baya kwenye maisha yangu, na kuamua kuishi kama mtu wa kawaida sana, roho yangu pia iliwindwa baada ya mimi kumaliza kuifanya kazi ya mauaji ya familia yako. Hawa wifi yangu yeye ndio aliye weza kunitafuta na kunieleza juu ya adhima ya mtu aliye nituma kuhakikisha kwamba ana niua na mimi ili kuendeleza siri hii isitoke” “Nilimtafuta baada ya wewe kushindwa kumuua” Hawa alizungumza na kunifanya nimtazame kwa mshangao.

“Hawa alinitorosha kunipeleka kwa kaka yake huyu hapa” “Na mama yupo wapi?” “Walimuua” Moyo wangu ukajikuta ukizizima, kwa maana ninamfahamu vizuri mama Mariam ni mwanamke aliyeweza kunipenda na kuweza kunipa penzi lake japo kuwa alinipita umri mkubwa sana.

“Ni nani aliye muua mama yako?” Mariam akaka kimya huku akinitazama, akamtazama Hawa ambaye naye pia alinitazama mimi kwa macho ya yaliyo jaa wasiwasi.

“Ni nani?” “Ni baba yangu” Hawa alizungumza kwa unyonge sana, nikajikuta nikiyang’ata meno yangu huku hasira dhidi ya maadui wangu wote ikizidi kuongezeka maradufu moyoni mwangu.



Nikanyanyuka huku nikiwa nimekishika kikopo changu chenye chakula, wote wakanitazama, nikaanza kutembea kwenye fukwe hii, huku nizidi kuwa na hasira kubwa moyoni mwangu.

“Dany Dany”

Hawa aliniita akiwa nyuma yangu, nikasimama na kugeuka.

“Dany natambua kwamba una hasira, ila….”

“Hawa ninakuomba unipe muda nahitaji kuwa peke yangu, sawa mke wangu”

“Sawa ila ninakuo…”

“Nimekuelewa mke wangu”

“Sawa, ngoja tukafirikirie kitu cha kufanya”

Hawa akaniacha na kurudi sehemu walipo kaa Mariam na mume wake. Nikatafuta moja ya jabali kubwa lililopo pembezoni mwa hii fukwe, nikakaa sehemu ambayo hakuna mtu yoyota anaweza kuniona. Nikatoa bastola zangu na kuziweka mbele yangu, nikatoa sime yangu nayo nikaiwake sehemu zilipo bastola. Taratibu nikapia magoti chini, nikainama na paji la uso wangu likahusa kwenye ardhi, machozi mengi yakaanza kunitoa huku maumivu makubwa yakiwa yamenitawala kwenye moyo wangu. Nikazidi kulia, kilioa ambacho kimekusanya maumivu ya matukio yote ya kuondokewa na wapendwa wangu hususani familia yangu. Nikamaliza zaidi ya nusu saa nikiwa nimeinama na kulia, nilipo hakikisha kwamba nimemaliza machungu yangu, nikanyanyua uso wangu, nikachukua sime yangu, nikajichana kidogo kwenye kiganja changu cha mkono wa kushoto, kisha damu yangu nikinyunyiza kwenye sehemu yalipo anguka machozi yangu mengi. Vishindo vya mtu aliye simama nyuma yangu nikajukua nikichukua bastola yangu na kugeuka kwa haraka. Nikamkuta Hawa akiwa amesimama, taratibu nikaishusha bastola yangu.

“Dany”

Hawa alizungumza kwa mshangao huku akianza kunifwata akiwa na mshangao, akanishika mkono wangu wa kushoto na kuangalia damu zinazo endelea kunimwagika.

“Ohoo Dany umefanya nini mume wangu”

“Hakuna kitu”

Hawa kwa haraka akakata kipande cha shati lake, kisha akanifunga kwenye jeraha lililopo kwenye kiganja changu.

“Dany kwa nini unakuwa unafanya jambo kama hili”

“Leo ndio nimeomboleza vifo vya wale wote walio tangulia mbele ya haki, ila damu yangu haijamwagika bure, nitahakikisha kwamba walio wapelekea vifo vyao nilazima niwaue kwa mkono wangu mimi mwenyewe”

“Usijali mume wangu hilo lote nitahakikiasha linakwenda kufanikiwa””

“Shukrani”

“Tumepanga mpango mmoja ambao utakuwa dhabiti katika kuianza hii kazi”

“Mpango gani?”

“Kuna yule mlinzi wangu naye amatoroka kwenye ngome, nimewasiliana naye, atakuja na boti kutuchukua hapa muda si mwingi”

“Isije kuwa ni mtego?”

“Ninamuamini sana haweza kufanya ujinga kama huo”

“Inabidi atakapo fika ni lazima sisi tujifiche”

“Kwa nini?”

“Kwa sasa mtu ninaye kuamini ni wewe tu na wewe ninakuomba uniamini mimi”

“Sawa mume wangu, nitakuamini hadi dakika ya mwisho ya maisha yangu”

“Sawa”

Hawa akaniokotea vitu vyangu nilivyo kuwa nimeviweka chini akanikabidhi, tukarudi sehemu walipo kaa Mariam na mume wake.

“Dada, Lusi amepiga simu anakuja muda si mrefu”

“Sawa”

“Lusi?”

“Ndio hiyo mlinzi wangu ninaye muamini sana”

“Sawa, cha kufanya nahitaji kila mmoja aweze kujificha, ili hata akifika katika hili eneo tuweze kuona kinacho endelea tusije kujikuta tunaingia kwenye mtego ambao utatuvurugia kila kitu”

“Sawa”

“Kitu kingine ambacho mumepanga baada ya kuondoka hapa?”

“Tumepanga tukateke meli moja ya abiria ambayo inabeba matajiri wengi wenye pesa, kupitia hiyo meli tutahakikisha kwamba tunapata pesa ya kutosha na tunaweza kuhimili zoezi lililopo mbele yetu”

Nikamtazama Hawa jinsi anavyo zungumza kwa kujiamini, nikajikuta nikishasha pumzi nyingi huku nikifikiria jambo la kufanya.

“Hiyo meli inatoka wapi na kuelekea wapi?”

“Hiyo meli ni ya Wamarekani, ila Lusi aliweza kuniambia kwamba itapita katika mkondo wa hapa Somalia”

“Mbona munataka tuingie kwenye bifu na nchi kubwa kama Marekani, wamarekani wanawathamini sana watu wao. Tukiwateka hapa watatufuta dunia nzima na wakitupata ndio basi tena”

“Dany hatuna la kufanya zaidi ya kufanya hivyo”

Mariam alizungumza huku akinitazama, kusema kweli, tunahitaji pesa, ilaha na uwezo wa kuweza kuendesha oparesheni yetu ya kuwaangamiza maadui zetu ila kwa hili ambalo wezangu wamelifanya wanataka kutengeneza uaduia na nchi kubwa duniani.

“Jamani moyo wangu katika hili kusema kweli umekuwa mzito”

Kwa mbali tukaona boti ikja usawa wetu kwa kasi, ikatubidi sote kutawanyika na kujificha kwenye miti hii ya mikoko kila mmoja akiwa na silaha yake mkononi mwake. Boti hii hiyo ambayo ni ndogo kiasi, ikasimama umbali kidogo na fukwe wa bahari. Akashuka Lisa na kuanza kuogelea hadi nje kabisa ya maji, akasimama na kuanza kuangalia kila upende. Hawa akajitokeza katika sehemu aliyo kuwa amejificha.

“Mkuu”

Lusi akamkimbilia Hawa na kukumbatiana naye, macho yangu yote nikayaelekeza kwenye boti, nilipo jihakikisha kwamba hakuna mtu yoyote kwenye boti, nikajitokeza na kuwafanya Mariam na mume wake kutoka katika maficho yao.

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Kambini kuna kitu gani kinacho endelea?”

“Msako bado unaendelea, mzee kachafukwa baada ya kugundua kwamba ni kweli Dany alikuwa ndani ya ngome na yupo pamoja na wewe”

“Ila mawazo yao yapo vipi?”

“Wanajeshi wako wote wamewekwa chini ya ulinzi na wanahojiwa kwa mateso makali wakialezwa wataje ni sehemu gani ambayo wewe upoa”

Nikamuona jinsi Hawa anavyo poteza amani, machozi yakaanza kumlenga lenga usoni mwake.

“Jamani tuondokeni”

Nilizungumza, Lusi akanitazama kisha akamtazama Hawa.

“Sawa”

Hawa alizungumza kwa unyonge, tukaanza kuingia kwenye maji huku kila mmoja akwia ameshika begi lake ambalo alikuwa amelibeba. Hatukuchukua muda mwingi tukafika kwenye boti, sote kwa pamoja tukapanda na kuanza kuondoka eneo hili kwa kasi.

“Dany”

“Inabidi kuhakikisha kwamba hii meli tunaiteka leo usiku”

“Hawa kitu tunacho kwenda kukifanya ni hatari sana”

“Ninajua ni hatari, tazama wanajeshi wangu, wakiumia kwa ajili ya hili lililo tokea, kama unanipenda ni vyema ukafanya hili kwa ajili yangu”

Hawa alizungumza huku machozi yakimwagika usonimwake, taratibu nikamkumbatia na kuanza kumbembeleza taratibu.

“Nitafanya kwa ajii yako”

“Kweli”

“Yaaa, Lusi amekuja na silaha za kutosha”

“Ngoja nimuulize”

Hawa alizungumza huku akiondoka katike aneo tulio simama na kuingia katika chumba kidogo alipo Lusi, nikasimama na huku nikangaia maji haya jinsi yanavyo kwenda.

“Dany”

“Naam”

Niliitika huku nikitazama pembeni, nikamuona Mariam akiwa amesimama kwa unyeyekevu, usoni mwake anaonekana ana kitu anacho hitaji kukizungumza kwangu.

“Vipi?”

“Ahaa…ahaa natambua kwamba bado una chuki na mimi kwa sababu u……”

“Mariam hayo yote tulisha yazungumza, nimetambua kwamba umefanya kwa kufwata amri”

“Ni kweli”

Ukimya ukatawala kwa sekunde kadhaa huku tukiwa tumesimama sehemu ya mbele katika hili boti.

“Dany”

“Mmmm”

“Nikuulize swali?”

“Uliza?”

“Mahusiano yako ya sasa unayafurahia?”

Swali la Mariam likanifanya nimtazama kwa macho yaliyo jaa mshangao mkubwa, nikajikuta nikitabasamu.

“Kwa nini umeniuliza hivyo?”

“Hapana nijibu tu”

“Nisinge penda kuyaongelea sana hayo maswala ni vyema ukayapotezea kwa muda huu”

“Honey, amenieleza kwamba amekuja na silaha za kutosha. Ramani pia inayo onyesha jinsi tunavyo weza kuivamia hiyo meli ipo”

Hawa alizungumza sote tukabaki tukiwa tunamtazama. Ili kuficha kwamba hakuna kitu kinacho endelea kati yetu mimi na Mariam, akanigusa begani.

“Shemeji Mungu atakusaidia”

Mariam akaondoka na kumuacha Hawa akimsindikiza kwa macho.

“Alikuwa anahitaji nini?”

“Alikuwa ananiomba msamaha kwa mauaji ya wazazi wangu na nimemsamege kwa moyo mmoja”

“Jambo zuri mume wangu tusiishi kwa kinyongo ikiwa tunapango wa kufanya kazi moja”

“Kweli, twende tukaione hiyo ramani”

Nikaondoka na Hawa, tukaingia kwenye chumba alipo Lusi, akatukabidhi ramani hiyo huku yeye akiendelea kuendesha boti hii. Tukaanza kuifwatilia kwa umakini sana.

“Ila hii meli inaonyesha ina ulinzi mkali sana”

“Kwa nini?”

“Njia ambayo tunategemea sisi kuweza kupita ni kuzama kwenye maji na tunatakiwa kuingia kwenye meli hiyo pasipo wao kugundua, ila hata mafeni yake yaliyopo chini ndio yananipa mawazo sana”

“Mume wangu hilo lisikupe tabu, kwa maana kuna sehemu hii hapa japo ni ndogo na mtu ukikosea utajikuta mafeni hayo yakikukata ila inatubidi kufanya hivyo”

“Sawa mke wangu ila si kuna mitungi ile ya gesi ya oksijeni”

“Ndio vipo”

Tukazidi kusonga mbele, kwenye hii bahari ambayo mebele huoni unapo toka na Yuma huoni unapo tokea. Majira ya saa tatu usiku, Lusi akazima boti hii.

“Vipi?”

“Muda wa kwenda kuifanya kazi umewadia”

“Boti yenyewe ipo wapi?”

“Sasa hivi ni saa tau na dakika ishirini na nne, saa nne kamili meli itapita mita miambili kutoka hapa tulipo, kwa hiyo tutaogelea hadi kwenye meli hiyo, huu ni muda wa kila mtu kujiandaa”

Lusi alizungumza huku akimkabidhi kila mtu kifaa chake cha kuzamia kwenye maji, kila mtu akaanza kuvaa nguo hizi maalumu za kuegelea zenye miguu mipana ambayo inamsaidia mtu kuogelea rahisi akiwa chini ya maji. Nikavaa mtungi wa gesi mgongoni mwangu, kisha nikamvisha Hawa mtungi wa gesi mgongoni mwake, nikamfunga vizuri mikanda ya huu mtungi.

“Baby hii kazi tunayo kwenda kuifanya ni hatari, nikifa hakikisha kwamba kisasi unakilipiza kwa wale wote walio kutendea ubaya, hususani baba yangu”

Hawa alizungumza kwa sauti ya chini, taratibu akausogeza mdomo wake karibu na wangu, nikaupokea taratibu na tukaanza kunyonyana, nikamuona Mariam aliye simama nyuma Hawa, uso wake ukijikunja na moja kwa moja nikatambua kwamba wivu ndio unao mpelekea kuwa katika hali hiyo ya chuki na hasira.




Taratibu nikamuachia Hawa na kuyashika mashavu yake kwa viganja vyangu.

“Nitakulinda mke wangu, nitahakikisha kwamba kila jambo linakwenda katika usalama”

“Nashukuru mume wangu” “Mkuu tuna dakika moja kabla ya kuzama kwenye maji” Lusi alizungumza huku akitutazama, Hawa akanipiga busu la mdomo kisha akavaa mrija wa kuhemea. Kila mtu akavaa mrija wa kuhemea huku kila mmoja akiwa ameshika tochi ambazo hutumika hata ndani ya maji. Lusi kwa ishara ya vidole akaanza kuhesabu kuanzia tano, kuja nne, tatu, mbili hadi inafika moja kila mtu akaanza kujitosa kwenye maji akiwa na mtungi wake mgongoni. Sote tukazama ndani ya maji ya na kuanza kumfwata Lusi ambaye ndio muongozaji wa hii oparesheni. Katika masiha yangu nimewahi kufanya mambo mengi ya hatari ila hili la uzamiaji ndani ya maji tena usiku ni hatari sana kuliko hata nilivyo kuwa ninafikiria. Tukazidi kusonga mbele huku mara kwa mara Hawa alinisogelea karibu yangu na tunazungumza kwa ishara ya vidole. Tukazidi kusonga mbele, baada ya dakika kumi na tano tukaifikia meli hii ambayo ipo katika mwendo wa kawaida.

Lusi akaendelea kutuonyesha njia ya kupita ili kuepuka mtu kukatwa na ma feni makubwa yaliyopo pembezoni mwa hii hii meli huku chini ya maji. Lusi akaanza kufungua moja ya sehemu kwa kumia kifaa malumu cha kukatia, haikuchukua mud asana akafanikiwa kuikata sehemu hii. Akaanza kuingia yeye, akafwatia Mariam, Hawa, mimi kisha akamalizia mume wa Mariam.

“Hapa maji si yanaweza kuingia ndani ya meli?” Nilimuuliza Lusi huku nikitazama sehemu tuliyo tumia kuingilia.

“Hapana, nitaifunga”

Lusi akaanza kuifunga sehemu hii kwa kutumia gundi ambayo ndani ya muda mchache ikawa imeganda. Kila mmoja akaanza kuvua vifaa tulivyo vitumia katika kuogelea. Lusi akafungua begi lake ambalo haliingii maji, akatoa laptop ndogo, akaiwasha na kuanza kuiminya minya batani.

“Unafanyaje?” “Hapa nina hack system yote ya humu ndani, kuanzia kamera hadi uendeshaji wa mitambo” “Lusi yupo vizuri kwenye maswala haya” Hawa alizungumza na kunifanya nibaki kimya tu nikimuangalia Lusi jinsi anavyo fanya utundu wake kwenye maswala ya mitandao.

“Itachukua muda gani?” “Five minutes”

“Ok” Tukaendelea kusubiri katika chumba hichi kilicho jaa mitambo ya uendeshaji wa hii meli. Ndani ya dakika tano mashine kadhaa ambazo zinatembea ndani ya hii meli zikaanza kuzima moja baada ya nyingine, Lusi akajawa na tabasamu kubwa usoni mwake.

“Nimekata mawasiliano yao yote, hakuna mtu anaye weza kuwasiliana na simu kwenda sehemu yoyote ndani na hata nje ya ya hii meli. Na kwa sasa meli nimeisimamisha, ni wakati wetu wkuweza kufanya mashambulizi” Lusi alizungumza huku akitutazama kila mmoja kwenye uso wake, akatoa vinasa sauti vidogo vya kuvaa masikioni, akatukabidhi kila mmoja.

“Naamini tunasikiana?” “Ndio Lusi, je kuna walinzi wangapi ndani ya hii meli?” “Wapo walinzi thelathini, hao ni walinzi wa hii meli, ila kuna walinzi wa matajiri binafsi zaidi ya ishirini” “Sawa” “Je simu za mikononi haziwezi kutoka?” “Yaa mawasiliano yote nimakata, na hata wakiitafuta hii meli kwa satelaiti hawato weza kuiona” “Jamani natambua nyinyi nyote hapa mupo kwa ajili yangu, hii kazi sio yangu mimi peke yangu kama Hawa, hii kazi ni kwa ajili yetu sote. Itapo tubidi kuua, itabidi kuweza kufanya hivyo kwa ajili ya kujilinda sisi wenyewe. Lengo kubwa linalo tupeleka humu ndani, kwanza ni kujipatia nguvu ya pesa ambayo sehemu yoyote na muda wowote tunaweza hata kuinunua serikali na kumgeukia baba yangu, natambu kila mmoja ameweza kufanyiwa mauvu na baba yangu, ni wakati wa sisi kuhakikisha kwamba tunafanikiwa katika hili” Hawa alizungumza kwa kujiamini sana huku akimtazama kila mmoja machoni mwake.

“Tuna lisaa moja kuhakikisha kwamba oparesheni hii inakwenda vizuri. Tutajigawa katika makundi mawili, Dany utaongozana na Mariam na mimi nitaongozana na kaka yangu, Lusi wewe utahakikisha kwamba hakuna mawasiliano yoyote yanayo tolewa nje na hawa watu, na utatuelekeza ni wapi walipo walinzi ili iwe rahisi kwa sisi kuweza kuwafanyia mashambulizi” “Sawa mkuu” “Timu yangu itakuwa timu A na Dany timu yako itakuwa ni timu B. Narudia tena, inapo tulazimu kuua itabidi tuue na itapo tulazimu kumsukuma mtu ili kuhakikisha kwamba tunapata kile kilicho tupeleka humu dani, cheni za dhahabu madini kila kitu chenye thamani na kina weza kubebeka itatubasa kukibeba sawa” “Sawa” Lusi akatukabidhi kila mmoja kibegi chepesi cha kuvaa mgongoni chenye mikanda myembamba sana.

“Hawa” Nilimuita Hawa huku nikisogea pembeni, akanifwata na kusimama mbele yangu.

“Kwa nini umefanya maamuzi haya” “Maamuzi gani Dany?” “Nilikuambia kwamba nitakulinda, sasa inakuwaje ujiweke timu moja na kaka yako na mimi unipatie Mariam” “Nina maana yangu ya kufanya hivyo Dany” “Maana gani, ikiwa unatambua kabisa kwamba Mariam ni adui yangu na unatambua bado nina hasira naye” “Dany hii ni kazi, kwenye kazi ninakuomba uadui uuweke pembeni na mapenzi pia uyaweke pembeni kwa muda, tukimaliza hii kazi ndani ya lisaa kila jambo litaendelea kama ilivyo kuwa” “Hujanifanyia haki Hawa, hata kama wewe watu hawa wanaisikiliza amri yako, ila na mimi pia unatakiwa kunisikiliza maoni yangu na si kujiamulia” “Dany nikiwa kwenye kazi huwa ni mtu mwengine, nimepanga na maamuzi yangu hayawezi kuvunjika. Tuingie kwenye kazi” Hawa baada ya kumaliza kuzungumza, akaondoka na kuniacha nikiwa ninamshangaa kila mtu kwenye hichi chumba aliweza kuyasikia mazungumzo yetu kwa maana vinasa sauti tulivyo vivaa masikioni mwetu vinanasa mazungumzo yetu watu wote watano.

“Lusi tuambie tunze upande gani?” “Hapa tulipo ni chini kabisa ya meli, hii meli ika gorofa nne kwenda juu. Kuna ngazi za kuapndika kutokea humu ndani ambazo ni zile pale. Timu A inaweza kuchukua uangalizi wa gorofa ya kwanza na timu B inaweza kuchukua uangalizi wa gorofa ya pili na baada ya hapo kila mmoja anaweza kwenda kuchukua ungalizi wa gorofa moja moja” “Sawa, tutawanyike” Nikamtazama Hawa jinsi anavyo jiweka vizuri jaketi lake la kuzuia risasi, nikamtazama na Mariam, nikatamani kubaki nyuma kwenye hii kazi ila nikajiona ninaweza kusababisha kila jambo kufeli katika hii kazi. Nikaanza kutembea kuelekea kwenye ngazi huku nikiwa na bastola yangu moja mkononi. Nikasimama kwenye mlango, nikashia kitasa taaribu, nikaufungua na kuchungulia nje nikawaona mafundi wawili wakija katika usawa wa huu mlango. Niaifunga bastola yangu kiwambo cha kuzuia sauti, kisha nikajitokeza na kuwapiga wote risasi.

“Clear” Nilizungumza huku nikianza kusonga mbele, Marim akaanza kunifwata huku na yeye akiwa na bastola yake mkoni. Tukaanza kuua walinzi mmoja baada ya mwingine huku tukifwata maelekezo ya Lusi kupitia vinasa sati tulivyo vivaa masikioni, tukapandisha katika gorofa ya pili. Kusema kweli hii meli imebeba mtajiri watupu kwa maana ina kila aina ya starehe. Nikachomoa bastola yangu ambayo sijaifunga kiwambo cha kuzuia sauti, nikapiga risasi juu, milio ya risasi ikawafanya watu kuanza kuchanganyikiwa na kulala chini. Hapa ndipo tukapa nafasi ya kuwaona walinzi, ambao walijikuta wakianza kujibu mashambulizi. Kutokana na uwezo mkubwa wa matukio haikuwa ni jambo gumu sana kwetu kuwashambulia hawa walinzi.

“Dany” Mariam aliniita, kwa ishara akanikonyeza niiname kidogo, akafyatua risasi na kunifanya niangalie nyumba yangu na kumkuta mwanamama amelala chini, damu zikimtoka kifuani na mkononi mwake ana kiji bastola kidogo ambacho huwa kinaingia risasi tano.

“Kaa hapa” Nilimuambia Mariam huku nikianza kuondoka” “Dany” “Ndio” Mariam akanitazama kwa matamshi ya ishara yam domo pasipo kutoka sauti akaniomba niweze kurudi salama kwa maana ninakwenda gorofa nyingine, nikatingisha kichwa huku nikimyooshea kidole gumba. Nikaondoka katika gorofa hii na kuanza kuwasiliana na Lusi.

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Hawa ameshikilia gorofa ya kwanza na gorofa ya tatu yupo kaka, wewe nenda gorofa ya nne” “Sawa, kuna walinzi wangapi?” “Ahahaaa, subiri subiri kidogoo…….Wapo walinzi kumi na wote wamevaa suti” “Poa” Nikachomoa kagazine ya bastola yangu hii, nikaitazama na kukuta ikiwa na risasi mbili, nikaitoa na kuweka nyingine, nikapandisha kwenye ngazi za kwenda gorofa ya nne ambayo ndipo wanapo kaa matajiri wenye pesa nyingi. Nikaanza kunyanta kwenye kordo hii iliyo tulia na ina vyumba vicheche sana.

“Dany” “Ndio Lusi” “Kushoto kwako kuna mlango umeouona” “Ndio” “Ingia hapo, kuna ukumbi na matajiri wote wapo humo ndani wamejificha na walinzi wao” “Poa nimekupata, je kuna kamera za ndani?” “Yaaa, kamera ya ndani inaonyesha kuna walinzi wanne wapo mlangoni na bastola zao wamezinyooshea mlangoni”

“Poa poa” “Dany” Niliisikia sauti ya Hawa

“Ndio” “Ninakuomba usiingie hapo peke yako, ngoja nikusaidie” “Kaa katika nafasi yako, tupo kazini sihitaji msaada wako. Ninajua nini ninafanya” “Please Dany” “Hawa ninajua ninacho kifanya” Nilizungumza kwa hasira, nikaangalia katika kuta za hii kordo, kwenye moja ya kordo nikaona mtungi wa gesi, kwa harkaa nikaukimbilia nikauchukua na uchomoa sehemu ulipo chomekwa, nikarudi nao hadi kwenye mlango, nikausimamisha vizuri kisha nikaifungua gesi ikaanza kutoka taratibu, nikarudi nyuma hadi kwenye moja ya kona, nikakaulenga mtungi huo, nilipo hakikisha umekaa kwenye tageti ya mikono yangu, nikafyatua risasi kadhaa, mlipuko mkubwa ukatokea katika eneo hili, malango ukavunjika, nikasikia mlio ya risasi inavyo toka kwa mfululizo ndani ya ukumbi walio jificha matajiri wakubwa. Kwa haraka nikaaza kurudi hadi mlangoni nilicho kifanya ni kulala chini kwa haraka na kunza kuwashambulia walinzi baadhi kwa kutokea chini nilipo lala. Moshi unao endelea kuzagaa katika hili eneo ukawa ndio nafasi yangu nzuri ya kuwashambulia walinzi hawa.

Nikafanikiwa kuingia ndani ya ukumbi huu, huku nikizidi kushambuliana na walinzi hawa hadi nikafanikiwa kuwaua wote.

“Kweli Dany unajua unacho kifanya” Niliisikia sauti ya Lusi akizungumza, nikatabasamu huku nikitazama kamera moja iliyopo humu ndani.

“Ukinyanyuka itakuwa ndio kifo chako kama hawa walinzi ambao mumewaamini na kuwapa pesa za kuwalinda nyinyi na familia zenu. Ninacho kihitaji mimi, ni pesa, dhahabu zenu ukikiuka kufanya ninacho kueleza basi nitakuua” Nilizungumza kwa kingereza huku nikiwatazama wazee hawa wa jinsia ya kiume na kike.

“Mtoto wa malaya, ni nani aliye kutuma kuvamia hii meli” Mzee mmoja alizungumza huku akijaribu kunyanyuka, nikampiga risasi mbili za miguu yake, akaanguka chini, kifudifudi mke wake anayanyuka na kumgeuza mume wake anaye lia kw uchungu sana.

“Ninarudia tena, atakaye leta ujinga nitamuua. Wewe nyanyuka hapo” Nilimuita muhudumu mmoja wa kike, akanyanyuka huku akitetemeka sana. Nikamkabidhi kibegi changu kidogo na kumumrisha kuanza kumpitia tajiri mmoja baada ya mwengine na ahakikishe kwamba kila kitu cha thamani kinawekwa ndani ya kibegi changu. Muhudumu huyu akanza kupitisha kwa kila tajari, ila alipo fika kwa mwanaume mmoja aliye valia suti ya garama, akasimama na kuzidi kutetemeka.

“Mr president ninakuomba uweke” Msichana huyo alizungumza kwa sauti ya chini sana ila niliweza kusikia anacho kizungumza, taratibu nikaanza kutembea kwa tahadhari hadi kwa mwanaume huyu, nikamtazama kwenye koti lake upande wa kushoto nikaona nembo ya bendera ya Marekani, mapigo ya moyo yakaanza kunienda mbio. Taratibu mzee huyu akaingiza mkono wake mfukoni, nikajikuta nikiishika bastola yangu kwa umakini huku nikiwa nimemnyooshea kichwani mwake ili hata akitaka kutoa silaha basi nitamuwahi kumuua. Sikuamini macho yangu nilipo muona anatoa kitambulisho chenye nembo ya raisi wa marekani.

Nikampokonya mzee huyu, nikaisoma kitambulisho hichi na ni kweli kinamuonyesha ni raisi wa Marekani jambo lililo zidi kunitisha kwa maana natambua wanajeshi wa Marekani walio sambaa dunia nzima lazima kwa muda huu watakuwa wanamtafuta raisi wao.

“Fuc**” Nilizungumza huku nikisoma jina la raisi huyu anaye itwa Donald Bush

“Vipi?” Lusi aliniuliza

“Kuna tatizo” “Tatizo gani?” Niliisikia sauti ya Hawa akiniuliza kwa shauku kubwa ya kuhitaji kufahamu, nikajikuta nikimtazama raisi Donald Bush, taartibu akatingisha kichwa huku machozi yakimwagika usoni mwake jambo lililo nifanya nishushe pumzi nyingi na kushindwa kumjibu Hawa swali alilo niuliza




“Dany zungumza kuna tatizo gani?” Hawa aliniuliza, nikaka kimya kwa sekunde huku nikimtazama raisi Donald Bush

“Hakuna tatizo nimesha lishuhulikia” “Sawa, tunadakika chache zilizo salia, kila mtu anatakiwa kumaliza kazi yake” “Sawa mkuu” Nikamshi mkono raisi na kumnyanyua juu, nikamsogeza pembeni kwenye sehemu ya vinywaji. Nikamziba mdomo na kisha nikatazama eneo la juu hapa, hakuna kamera, nikakivua kinasa sauti kilichopo sikioni na kukikanyaga chini, ninatambua wezangu wote lazima watasikia kelele kali.

“Mimi sio mtu mbaya kwako na wala sio mtu ninaye hitaji kukuumiza wewe, ninaitwa Dany. Natambua kwamba ni raisi wa nchi kubwa Marekani, sihitaji kuliweka taifa lako katika hali ngumu. Unachotakiwa kufanya ni hichi nitakacho kuambi. Sawa” Raisi akatingisha kichwa huku akiwa amenitolea macho.

“Tulio iteka hii meli tupo wanne, ninaamini kwa sasa wezangu watakuwa katika harakati za kuka kunichukua, hakikisha kwamba unatafuta sehemu ambayo unaweza kujificha na yenye usalama, ninacho kuomba ni wewe kuchukua hii bastola na unipige risasi ya bega sawa” “Siwezi kufanya hivyo” “Usipo fanya hivyo wapo watakao kuja kukuaa humu ndani, najua waafrika wengi na hususani watu nilio kuwa nao kwenye hii kazi hawaipendi Marekani, na wakijua kwamba raisi wa Marekani yupo humu ndani watakuua, fanya nilicho kuambia sawa” Raisi mwili mzima ukazidi kumtetemeka, nikamkabidhi bastola yangu, watu wote humu ndani wakaonekena kunishangaa kwa maamuzi ninayo yafanya.

“Unajua ni wapi kwa kijificha?” “Ndio kuna mlago hapa ndani ya huu ukumbi ninaweza kujificha na kuna chumba….chumba salama” “Ok fanya hivyo” Raisi akakafumba macho yake huku akiwa amejawa na woga mwingi sana, nikamsogelea na kuigandamiza bastola yangu kwenye bega, akafnyatua risasi iliyo ingia kwenye bega langu na kuniangusha chini. Japo ni maumivu makubwa sana ambayo ninayapata, ila sina jinsi zaidi ya kuhakikisha kwamba ninayaokoa maisha ya raisi huyu raisi. Hazikupita hata dakika mbili akaingia Hawa akiwa na bastola yake mkononi, watu wote ambao walianza kunyanyuka walijikuta wakirudi chini na kulala kwenye sakafu.

“Dany Dany” Hawa aliniita kwa haraka huku akinisogelea, akanishika bega langu na kunitazama jeraha langu.

“Ilikuwaje mume wangu” Nilimtazama Hawa huku jasho likinimwagika usoni mwangu kwa maana maumivu ninayo jisikia ni makali sana.

“Dany amejeruhiwa kwa risasi, ninarudia tena Dany amejeruhiwa na risasi” Hawa alizungumza huku akishika sikio lake, taratibu akaninyanyua, akawatazama walinzi nilio wauoa humu ndani.

“Pole mume wangu”

“Hei wewe lete hicho kibegi” Hawa alizungumza, dada muhudumua ambaye alikuwa ndio mkusanyaji wa vitu vyote vya garama nilivyo chukua kwa watu wote humu ndani. Hawa akakivaa kibegi hichimgongoni na tukaanza kutoka ndani ya chumba chichi huku tukiwaacha watu wakiwa wamelala chini. Tukaanza kushuka kwenye ngazi kueleka chini, tukafanikiwa kufika katika chumba killichopo chini kabisa tulipo ingilia.

“Lusi una vifaa vya huduma ya kwanza?” “Ndio mkuu” “Nitolee haraka” Hawa alizungumza huku akinikalisha chini, wakaanza kunihudumia kuhakikisha kwamba wanaitoa risasi pamoja na kuzuia damu kutoka. Zoezi hili halikuchukua muda mwingi wakawa wamefanikiwa kunitoa risasi na kunifunga jeraha langu.

“Ni wakati wa kuondoka sasa” “Ila mume wangu ataogeleje?” “Katika hii meli kuna boti ndogo za dharura kuna moja ambayo tayari nimesha iweka tayari” “Ipo wapi?” “Kuna mlango ule pale tutapandisha juu kidogo na ngazi kisha tutakuta mlango mwengine ambao tukitoka hapo tutakuta hiyo boti” Mariam na mume wake wakingia wakiwa pamoja. Tukaanza kutoka katika chumba hichi huku Hawa akinisaidia kutembea, tuapita katika sehemu ambayo Lusi alituelekeza, tukakuta boti ndogo ambazo mara nyingi zinatumika kwa dharura pale meli inapo patwa na dhahama ya kuzama. Tukapande sote na kuondoka eneo hili kwa kasi sana. Hawa akatoa rimoti ndogo na kuishika mkononi mwake huku akitazama meli hii tunayo zidi kuiacha.

“Unataka kufanyaje?” Nilimuuliza Hawa huku nikimtazama.

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Tumetegema mabomu mule nataka kulipua meli nzima” “Usifanye hivyo?” “Dany hatuwezi kuacha meli hivi ikiwa nyuso zetu zimeonekana na watu wengi, wewe unafikiriaje kwa mfano tukaacha watu hai” “Kuna watoto wadogo mule, hawajui hata raha ya maisha na unataka kulipua hembu achana na huo mpango” “Siwezi” Hawa akaminya batani ya rimoti aliyo ishika, milipuko mingi ikaanza kulipuka katika meli, jambo lililo nikasirisha sana. Hawa akanitazama akataka kunishika mkono wangu ila nikakwepesha asinishike. Safari yetu ikachukua karibia masaa mawili na tukafanikiwa kufika pembezoni mwa bahari. Nikashuka mwenyewe kwenye boti hii na wala sikuhitaji msaada wa mtu yoyote kwa maana msaada wote nilio utoa kwa raisi wa Marekani ni bure kwani yeye na watu wote walio baki hai wamelipuka kwenye kwenye meli hiyo.

“Mkuu gari lipo tayari” Lusi alizungumza huku akimtazama Hawa usoni, sikuzungumza chochote zaidi ya kusimama pembeni kidogo, Hawa taratibu akaanza kunifwata.

“Dany mume wangu, natambua kwamba nitakuwa nimekuudhi, ila ninakuomba unisamehe” Nikamuangalia Hawa, kisha nikampita pembeni yake, tukaanza kuelekea huko Lusi anapo sema kwamba kuna gari linalo tusubiria. Tukafika barabarani na kuwakuta walinzi wawili wa Hawa, kila mmoja akiwa na gari lake.

“Dany” “Nini?” “Tuingie gari hili” “Nitapanda huku” “Tafadhali Dany, ninahitaji kuzungumza na wewe” “Tutazungumza huko tunapo kwenda sawa” “Sawa”

Safari ikaanza ya kuondoka eneo hili ikaanza huku nikiwa nimejawa na huzuni kubwa sana moyoni mwangu kuona maelfu ya watu walikuwa ndani ya meli hii wamekufa. Japo nimeua baadhi ya walinzi ila nilifanya hivyo kuhakikisha kwmaba ninajilinda mimi mwenyewe. Tukafika katika moja ya nyumba iliyopo porini, na wala sikufahamu tupo nchi gani. Tukashuka wote kwenye magari, katika eneo hili nikawakuta baadhi ya walinzi wa Hawa ambao ninawafahamu kutokana na mafadha yao waliyo yavaa. Tukaingia ndani, nikaka kwenye sofa la kujitenda, Hawa akanitazama kwa macho yaliyo jaa simanzi kisha akaanza kuzungumza.

“Tunashukuru Mungu kazi yetu imekwenda vizuri japo mwenzetu pale amepigwa risasi, imekwenda vizuri sana. Kwa sasa ningeomba tupumzike asubuhi na mapema tutapanga mipango ya kuhakikisha kwamba tunawarudia vipi maadui zetu” “Sawa mkuu” Hawa baada ya kumaliza kuzungumza nikawa wa kwanza kunyanyuka kwenye sofa, nikatoka nje na kumfanya Hawa anifwate kwa nyuma.

“Dany” “Ndio” “Kwa nini huitaji kuzungumza na mimi, kwani kuna kosa gani kubwa ambalo nimelifanya na litapelekea wewe kuninunia na kunikasirikia” “Hawa nisikilize, sinto weze kuaendelea kufwata amri yako, eti kisa wewe umenisaidia sawa. Ninapokuwa ninakushauri kitu na kujiona wewe ndio wewe katika hilo jambo ni vyema kwa sasa nijivue” “Ujivue, una maana gani?” “Ili kulinda penzi langu mimi na wewe, nitahitaji kila mtu sasa hivi atumie jinsi anavyo weza yeye mwenyewe kulipiza kisasi sawa” “Hapana Dany usizungumze hivyo” “Kulikuwa na haja gani ya kuwau watu wengine, ninakueleza bado ukafanya, maana yake wewe si una mamlaka yako peko yako na huitaji mtu yoyote aweze kukushauri si ndio?” Nilizungumza kwa hasira huku nikimsogelea Hawa karibu kabisa na uso wake. Hawa akakaa kimya huku akiwa amenikodolea macho.

“Umepata ambacho ulihitaji kukipata, basi kazi zako utazifanya wewe mwenyewe na mimi ninaomba nijiweke kando katika kila kazi yako” “Dany” Hawa aliniita huku machozi yakimwagika usoni mwake. Taratibu akaanza kushuka chini, akapiga magoti na kuishika miguu yangu kwa mikono yake huku akiangua kilio kikubwa.

“Dany naomba unisamehe mume wangu, siwezi kukaa mbali na wewe mume wangu. Ninakupenda sana, nilicho kifanya natambua ni makosa tafadhali sana mume wangu” Taratibu nikamnyanyua Hawa, nikamkumbatia taratibu, tukarudi ndani kwa pamoja. Moja kwa moja tukapitiliza hadi chumbani. Hawa akanivua nguo zangu, akanibadilisha bandeji kwenye jeraha langu na kunifunga jeraha langu. Tukaingia bafuni na kuoga kwa pamoja. Usiku huu ni usiku wa furaha kwetu kwa maana tulijikuta tukizama kwenye penzi zito na Hawa, katika kitanda cha sita kwa sita kilichopoa humu ndani.

Asubuhi na mapema nikaamka, nikavaa suruali yangu pamoja na tisheti nyepesi, nikatoka chumbani na kuelekea nje, nikawakuta walinzi wachache wakiwa wanaimarisha ulinzi. Nikaanza kuzunguka katika maeneo ya karibu katika hili eneo. Kwa mbali nikaona maji mengi ambayo kwa haraka haraka niliweza kugundua kwamba maji haya ni maji ya bahari. Nikaanza kutembea kwa taratibu kuelekea katika eneo hilo. Sikuchukua muda mrefu sana kufika katika fukwe hii iliyo tulli.

Kwa mbali kidogo nikaona boti ndogo iliyo goma kwenye mchanga mwingi ulipo kwenye fukwe hii. Nikaanza kutembea kwa mwendo wa taratibu huku nikiwa makini sana, nikiwa karibu katika boti hii nikasikia sauti ya mtoto mchanga akilia sana ndani ya boti hii. Nikazidi kuongeza umakini wangu kuanzia kutembea hadi kutazama eneo zima la hii fukwe. Nikafika katika eneo la hii boti, nikafanikiwa kumkuta mtoto mdogo akiwa amelala kifuani mwa raisi Donald Bush anaonekana kujawa na majeraha kadhaa mwilini mwake.

“Muheshimiwa raisi, muheshimiwa raisi” Nilimuita huku nikimchukua mtoto huyu mchanga aliye lala kifuani mwake. Nikavua tisheti yangu kwa haraka, nikaitandika chini kisha nikamlaza mtoto huyu. Nilipo hakikisha ametulia, nikamtoa raisi Donald Bush kwenye hii boti. Nikafungua vifungo vya shati lake, kisha nikasikilizia mapigo ya moyo wake yanavyo dunda kwenye kifua chake, kwa mbali nikasikia mtingishiko wa kifua chake ukiashiria kwamba mapigo yake ya moyo yapo vizuri. Nikampanua mdomo wake kidogo kisha nikaanza kumpulizia pumzi mdomoni mwake, nilipo hakikisha kwamba nimepulizia pumzi ya maana, nikaanza kukiminya kifua chake kwa nguvu, nikarudia tena kumpulizia raisi pumzi mdomoni mwake, gafla raisi akafumbua macho yake na kuanza kuhema kwa kasi.

“Mr president” Nilimuita huku nikimtazama usoni mwake.

“Dany” Raisi aliniita huku akiwa amenikazia macho. Hata kabla sijazungumza kitu chochote helicopter sita za kijeshi zikaanza kutua katika eneo hili, huku zikiwa zimetuweka kati mimi na raisi. Wanajeshi wengi wa kimarekani wakaanza kushuka mmoja baada ya mwingine, huku wakiwa na bunduki zao mikonini na wakaniamrisha kunyoosha mikono juu na kukaa mbali na raisi wao.




Gafla nikastukia kitu kizito kikinipiga kwa nyuma na kujikuta nikianguka chini na kupoteza fahamu.

***

Taratibu nikayafungua macho yangu, nikaaza kutazama hili eneo nililopo. Ni ndani ya chumba kilicho pangiliwa vizuri, kitanda nilicho lalia kina ukubwa wa sita kwa sina na nikitanda cha kisasa kabisa. Taratibu nikakaa kitako huku nikijitama mwili wangu, jeraha lililopo begani mwangu, limefungwa vizuri tofauti na bandeji ambayo niliweza kufungwa mara ya kwanza na Hawa. Nikashuka kitandani huku nikiwa na boksa tu, nikapiga hatu hadi dirishani, nikafungua pazia na kuchungulia nje. Wingi wa magorofa makubwa kwenda juu, yakaniashiria kwabisa kwamba hapa nilipo ni nchini Marekani. Hata hapa nilipo nipo gorofani, mlango ukafunguliwa na kujikuta nikigeuka na kutazama ni nani anaye ingia.

“Habari yako bwana Daniel?”

Mzee mmoja mweusi kiasi alizungumza huku akitabamu sana usonimwake.

“Salama” “Ninaitwa bwana Alexander Brown ni mshauri mkuu wa raisi wa Marekani” “Nashukuru kukufahamu bwana Brown” “Raisi anahitaji kuonana na wewe kuna mambo baadhi anahitaji kujadiliana nawe ikulu” “Ikulu!!?” Niliuliza huku macho yakinitoka kwa maana kusema kweli sikuwahi kufikiria hata siku moja kwamba ipo siku nitaingia kwenye ikulu tena ya Marekani.

“Ndio, na kwenye hilo kabati hapo kuna nguo unaweza kuzivaa, kisha nikakupeleka hoteli ukapata kifungua kinywa” “Sawa bwana Brown” Nilizungumza huku nikiwa na shauku kubwa sana ya kwenda kuingia ikulu ya Marekani, baada ya bwana Brown kutoka katika hichi chumba kwa haraka nikafungua kabati. Nikakuta suti mpya ikiwa kwenye makasha yake, imening’inizwa vizuri huku shati jeupe na tai nyeusi navyo zikiwa vimening’inizwa vizuri sana. Kwa furaha kubwa nikajikuta nikianza kuchaza stepu ambazo haya kwenye kwaya hazijawahi kutokea, nikajinyoosha viungo vyangu vya mwili, kisha nikaingia bafuni, nikaoga haraka pasipo kutotesha bandeji niliyo fungwakwenye bega langu. Nikajifuta mwili wangu kwa taulo kubwa linalo nukia vizuri, nililipo hakikisha kwamba nipo vizuri. Nikaanza kuvaa kitu kimoja baada ya kingine. Nilipo maliza nikasimama kwenye kioo hichi, huku nikijitazama juu hadi chini.

“Viatu” Nilizungumza huku nikifungua kabati hili tena, nikavuta droo moja iliyopo chini, nikakuta viatu pamoja na saa ambayo kwa muonekano wa haraka haraka inaonekana ina thamani kubwa sana.

“Asante Mungu” Nilijikuta nikitamka maeno hayo kwa furaha kubwa sana. Nilipo maliza kujiandaa, nikapiga hatua hadi mlangoni, nikafungua mlango na kuchungulia nje, nikakuta walinzi wanne pamoja na bwana Brown wakiwa wamesimama wakinisubiria mimi kutoka.

“Twende huku Dany” “Sawa” “Chukua kitambulisho hichi, uvae shingoni mwako kwani mtu haruhusiwi kuingi White House pasipo kuwa na kitambulisho husika” “Sawa mkuu” Nikatazama kitambulisho hichi nikakuta kikiwa na picha yangu pamoja na jina langu na la baba yangu, sikutaka kuhoji sana kwa maana nina tambua kwamba wamarekani wana njia nyingi za kuweza kumfahamu mtu kwa undani. Tukaingia kwenye gari moja refu ambalo kwa Tanzania tumezoea kuliita Six door(Milango sita). Mbele yetu zikatangulia pikipiki mbili za polisi huku nyuma yatu kukiwa na gari jeusi likituftwa.

“Dany hongera sana” “Hongera ya nini muheshimiwa?” “Umeweza kuyaokoa maisha ya raisi wetu”” “Ilikuwa ni jukumu langu kufanya hivyo kwa maana sina roho mbaya” “Unaonekena” “Ila ni kwa nini raisi amenileta hapa Marekani?” “Kusema kweli kwangu mimi sifahamu, ila raisi yeye mwenyewe ndio anaye fahamu. Sisi huwa tunafwata amri yake tu” “Sawa sawa” Gari hizi zikasimama kwenye moja ya mgahawa, nikashuka na muheshimiwa Brown.

“Agizia chochote unacho kihitaji?” “Kwa asubuhi hii sinto kula sana” “Huwa waafrika sifa yao kubwa ni kwamba wanapenda kula, je ni kweli?” “Hapana, ila wapo baadhi yao wanapenda kula sana, na wapo wanao penda kula kawaida” Nikaagizia sambusa moja pamoja na chai ya maziwa. Muhudumu akanihudumia kwa haraka sana, nikanywa chai hii kwa haraka ili tu niwahi kwenda kuingia White House.

Tukatoka kwenye mgahawa huu na kuingia kwenye magari, safari ikazidi kusonga mbele huku polisi pikipiki zao zikipiga ving’ora na gari na kila sehemu tunapo pita magari yanatupisha. Kwa mbali nikaliona jengo la White House ambalo kwa mara nyingi huwa ninaliona kwenye baadhi ya filamu za Kimarekani.

Ndani ya muda mfupi gari zikaingia kwenye uzio wa ikulu na kusema kweli, nimeingia kwenye ikulu yetu Tanzania ila sijawahi kuona ulinzi mkali kama kwenye hii ikulu. Walinzi walio valia suti nyeusi wana randa randa kila eneo kuhakikisha tu kwamba usalama unakuwa madhubuti.

Moja kwa moja tukaingia ndani, kwenye kordo hizi zimejaa walinzi hadi sasa nikaanza kupatwa na wasiwasi. Tukafika kwenye moja ya mlango, nikatazama juu kidogo nikaona maandishi yaliyo andikwa kwamba hii ndio ofisi ya raisi(President’s Office). Bwana Brown akagonga mlango, baada ya sekunde kadhaa ukafunguliwa kwa ndani na tukaruhusiwa kuingia. Raisi Donald Bush alipo nioana kwa haraka akanyanyuka kwenye kiti alicho kalia na kunifwata, akanipa mkono wa kulia na mimi nikampatia wangu.

“Karibu sana bwana Daniel” “Shukrani muheshimiwa raisi” “Karibu ukae” Nikakaa kwenye sofa nzuri zilizopo ndani ya hii ofisi, bwana Brown naye akaka kwenye sofa jingine kwa ajili ya mazungumzo.

“Dany nashukuru kwa kuweza kuitikia muito wangu, natambua ni mambo mengi yalikuwa yakiendelea nyuma yako” “Ni kweli muheshimiwa” “Nimeweza kupitia faili lako, hususani maisha yako ya nyuma, ila sijaona kosa lolote ambalo ulilifanya tangu ulivyo kuwa katika kikosi cha NSS” “Ni kweli” “Sasa nimekuita hapa kwa ajili ya kazi moja kubwa sana, ninaamini kupitia wewe tunaweza kuifanya Afrika kuwa bara salama na bara lenye amani. Tunahitaji kufuta rushwa, ugaidi ambao unaendeshwa na baadhi ya viongozi walimo kwenye ngazi za juu katika serikali baadhi ya nchi za Afrika” “Ni kweli muheshimiwa raisi” “Kitu kimoja nilicho kigundua kutoka kwako, ni kwamba una kipaji kikubwa sana. Tena kipaji chako cha upambanaji ukikitumia vizuri unaweza kufuta giza linalo imulika nchi yako, japo wananchi bado hawaelewi ni kitu gani kinacho endelea katika serikali yao” “Kweli muheshimiwa raisi” “Brown naomba faili” Bwana Brown akasimama na kuchukua faili lilipo juu ya meza ya raisi, akamkabidhi raisi aliye anza kulifunua tartaibu, akalitazama karatasi zake kwa sekunde kadhaa kisha akanikabidhi mimi.

“Humo kwenye hilo faili kuna malekezo na mipango yote ambayo tunahitaji wewe kuweza kuifanya. Nchi yangu hususani mimi nitakuwa nyuma yako kuhakikisha kwamba unharibu mifumo yote ya makundi ya kigaidi tukianzia na Al-Shabab, Boko Haramu na Al-Lady” “Samahani muheshimiwa raisi ninaomba kuuliza” “Uliza tu” “Hili kundi la Al-Lady ndio mara yangu ya kwanza kulisikia” “Hilo kundi ukifungua nyuma huko utaona maelezo yake. Ila kwa kifupi ni kikundi ambacho kinamilikiwa na kiongozi wa nchi yako, na wafuasi wake ni wanajeshi wa kike ambao anawachukua kuanzi wakiwa watoto hadi kufika ukubwani. Kwa mtazamo unaweza kuona kwamba huyo Livna Livba ndio mkuu wao ila raisi wako ndio yupo nyuma ya hili” “Kwa nini muheshimiwa raisi musiweze kulichukulia hatua hili jambo?” “Hatuna ushaidi katika hili, ndio maana mataifa makubwa tunaendelea kuweza mashinikizo kwenye baadhi ya nchi za Afrika ili wamiliki wa hayo makundi waweze kushuka chini, ila kama unavyo jua, nchi kubwa hususani nchi yangu Marekani, hatupatani na nchi nyingi za kiarabu jambo linalo pelekea nchi hizo kuwapa misaada ya kipesa, silaha kwa viongozi hao wa nchi za kiafrika jambo linalo fanya kupata uzito wa kuweza kufwatilia maswala hayo” Nikashusha pumzi huku nikitazama fiali hili, nikaipna picha ya Livna Livba ikiwa ni moja wapo ya viongozi wa vikundi vya magaidi. Picha nyingine nikamuona baba Hawa akiwa ni kiongozi wa Al-Shabab huku katika kundi la Boko Haramu nikimuona mkuu mmoja anaye itwa Generali Obote Mohamed.

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Hii kazi itaendesha na ofisi yangu ya raisi, ni kazi ya siri sana, utasimama kama mpelelezi wa kiserikali, tutakupa kila aina ya uwezo kuhakikisha kwamba hii kazi inakwenda vizuri” “Sawa muheshimiwa raisi. Ninaweza kuuliza swali jingine?” “Uliza tu?” “Vipi watu kwenye meli waliweza kusalimika?” Taratibu raisi nikaona furaha yake ikiisha usoni mwake, akamisha chini kichwa chake huku machozi yakimlenga lenga. Tukatazamana na bwana Brown kwa sekunde kadhaa, mguno wa raisi ukatufanya sote kumtazama.

“Mimi na yule kichanga ndio tulifanikiwa kutoka kwenye ile meli, ila wengine wote walifariki dunia katika mlipuko” “Pole sana muheshimiwa” “Asante , ila rafiki zako ambao walihusika kwenye huu mpango wa kuua maelfu ya watu ndani ya meli, tumeweza kuwakamata na wapo chini ya ulinzi wanaendelea kuhojiwa” Nikajikuta nikibaki na kigugumizi kikali, nikatamani kuzungumza kitu ila mdomo wangu ukajikuta ukiwa mzito kiasi.

“Una kitu unahitaji kuzungumza juu ya hili?” “Hapana muheshimiwa raisi, ila nitahitaji kuwaona nao” “Unaweza kuwaona kwa hilo haina shida” “Muheshimiwa raisi bila ya kuingilia maamuzi yako ila ninaona hilo jambo sio zuri sana kwa bwana Dany kuweza kulifanya” “Kwa nini?” “Tunahitaji kumtumia bwana Dany katika kuendesha hii oparesheni, kuonana na wezake na akiwa katika hali nzuri kama hiyo inaweza kuwafanya wezake kumuona kwamba yeye ni msaliti” “Unashuuri nini bwana Browin” “Ninacho kushauri muheshimiwa raisi kwa sasa tuhakikishe kwamba tunamuweka mbali bwana Daniel na wezake” “Samahani kwa kuwaingilia, kwani hadi sasa hivi tangu wahojiwe je kuna jambo lolote ambalo wameweza kuzungumza” “Hakuna walicho kizungumza” “Kama hamuta jali ninaomba nionane nao, kwa maana wao watakuwa ni msaada mkubwa sana kwetu” Muheshimiwa raisi Donald Bush akanitazama usoni mwangu kisha akamtazama bwana Brown, kisha akatingisha kichwa.

“Nimekubaliana na wewe” Raisi alizungumza kisha akanyanyuka, akachukua mkonga wa simu ya mezani, akaminya moja ya batani na kuiweka sikioni mwake. “Andaeni magari mawili, bwana Daniel anapelekwa kwenye kikosi cha FBI, nitahitaji aonane na waalifu wote” Raisi Donald Bush alizungumza na kukata simu.

“Muheshimiwa raisi bwana Daniel hawezi kwenda kuwaona wezake akiwa hivi amependeza, ni lazima watamuona yeye ni msaliti” “Bwana Browin maamuzi yangu yamesha pita” “Samahani, ninaweza kupatiwa nguo za wafungwa” “Ndio” “Ngingeziomba, nahitaji kufanana na wao” “Sawa, Brown lishuhulikie hilo swala haraka iwezekanavyo” “Sawa muheshimiwa raisi” Nikaagana na muheshimiwa raisi, tukatoka ofisini hapa tukiwa tumeongozana na bwana Brown, akanikabidhi kwa mlinzi mmoja wa ikulu. Tukaingia kwenye gari za ikulu na safari ya kueleka kwenye makao makuu ya FBI ikaanza. Safari ikatuchukua muda mrefu kidogo na tukafika katika makao makuu ya FBI, moja kwa moja nikakabidhiwa kwa mkuu wa kikosi hichi cha FBI, nikaingizwa kwenye moja ya chumba, nikakabidhiwa nguo za wafungwa, nikavua nguo zangu na kuvaa vazi hili la kifungwa.

“Nifungeni pingu” “Sawa” Nikafungwa pingu za mikonini pamoja na nyororo ndefu miguuni mwangu. Askari wawili wakanipeleka kwenye chumba ambacho nikamkuta Hawa akiwa amechoka kwa kipigo kizito alicho patiwa. Hata kuingia kwangu ndani ya hichi chumba Hawa hajaweza kuniona kutokana na kichwa chake kukiinaminisha chini. Askari hawa wakatoka na kuniacha pake yangu na Hawa, taraibu nikaanza kutembea hadi kwenye kiti alicho kaa Hawa. Nikapiga magoti chini kwa mikono yangu yote miwili nikanyanyua kichwa chake.

“Hawa” Nilimuita kwa sauti ya chini, taratibu Hawa akatafumbua macho yake. Tabasamu pana likaanza kumjaa usoni mwake.

“Dany mume wangu” “Nipo hapa mke wangu” Machozi yakaanza kumwagika Hawa taratibu, akusogeza mdomo wake karibu kabisa na mdomo wangu, akausitisha kwa muda kidogo kama mtu anaye tafakari kitu. Gafla nikastulia akinipiga kichwani mwangu kwa kwa nguvu kwa kutumia kichwa chake na kinifanya nianguke chini huku nikihisi kizungu zungu kikali sana.

“Wewe ni muongo msaliti mkubwa wewee” Hawa alizungumza maneno hayo kwa hasira huku akilia kwa uchungua sana jambo lililo ufanya moyo wangu kuniuma sana.






“Baby” Niliita taratibu huku nikinyanyuka chini nilipo anguka.

“Mimi sio baby wako, ninakuomba tena usinijue na usinifahamu. Dany nimefanya mambo yote kwa ajili yako leo hii umenifanya nishikiliwe na mikono ya hawa mashetani wa Marekani”

Hawa alizungumza huku machozi yakimwagika uso mzima.

“Hawa unazungumza nini mbona hata mimi mwenye nimeshikiliwa kama unavyo niona hapa” Nilizungumza kwa msisitizo na kumfanya Hawa anitazama kuanzia juu hadi chini, kwa mavazi niliyo yavaa dhairi kwamba yanaonyesha kwamba na mimi ni mtuhumiwa katika hii kesi.

“Kwa nini hukuniambia kwamba kwenye ile meli kulikuwa na raisi tena wa Marekani?” “Raisi?” “Ndio kitabulisho cha raisi wa marekani nilikikuta chumbani kwetu kikiwa kimeanguka. Na hicho ndicho kilicho tufanya sisi Wamarekani waweze kutukamata” Nikajifanya ninacheka kwa huzuni, huku machozi yakinimwagika usoni mwangu ili kuendelea kulinda uaminifu wangu kwa Hawa.

“Ina maana kwamba mimi ndio nimekileta kitambulisho hicho ndani kwetu?” “Mimi na wewe ndio tulio ingia ndani ya chumba chetu inakuwaje kikwa humo?” “Unaamini vipi kama mimi ndio niliye kileta wakati tumechukua vitu vingi kwa wale abiria ndani ya meli, iweje wewe uhisi mimi nimekileta na kama ningekuwa ninajua kwamba ndani ya meli kuna raisi basi tungekuwa tumepata mtu wa thamani kubwa kuliko vitu tulivyo vichukua. Kitu kingine kumbuka si kila mtu wako anakupenda lazima kutakuwa na msaliti, laiti na mimi ningekuwa ni msaliti basi nisinge shikiliwa na wala nisinge kuwepo kwenye hili jengo pamoja nanyi” Maneno yangu yakamfanya Hawa kunitazama machoni mwangu kwa kunichunguza, uzuri ni kwamba ninaweza kuingiza kila hali ambayo ni ya uongo na kuifanya kuwa ya ukweli kwenye maisha yangu.

“Dany am sorry mume wangu” Taratibu nikamkumbatia Hawa huku sote tukimwagikwa na machozi mengi kwenye nyuso zetu. Taratibu Hawa akanibusu mdomoni mwangu, tukajikuta tukinyonyana midomo yetu taratibu sana.

“Dany maisha yetu yote kwa sasa yataishia gerezani, samahani kwa kukuangusha katika harakati za kulipiza kisasi” “Usiseme hivyo mke wangu, naamini kwamba tuna nafasi ya kuweza kutoka” “Kivipi Dany, tazama ulinzi ulivyo mkali, hawa watu wana roho mbaya, hapa nilipo wamesha nichoma sindano zaidi tatu za maaumivu ili mradi niweze kuzungumza ukweli” “Usijali mke wangu nitahakikisha kwamba tunatoka hapa” “Dany ninakuomba usiyatoe maisha yako kwa ajili yangu, una sa…..”

Nikamuwekea Hawa kidole changu mdomoni, kumnyamazisha asizidi kuzungumza sana.

“Kama wewe ulivyo poteza kila kitu kwa ajili yangu, basi na mimi nitapoteza maisha kwa ajili yako sawa” Hawa akanijibu kwa kutingisha kichwa kwa kunikubalia huku machozi yakiendelea kumwagika usoni mwake. Taratibu tukakumbatiana tena na kuachiana, nikanyanyuka na kuanza kutembe kuelekea mlangoni.

“Dany?” “Ndio” Niliitika huku nikigeuka na kumtazama Hawa usoni mwake.

“Vyovyote itakavyo kuwa hakikisha kwamba huzungumzi chochote kwao” “Nimekuelewa mke wangu” “Kuwa muangalifu” “Asante” Nikagonga mpango ukafunguliwa, nikatoka katika chumba chihi, nikafunguliwa pingu pamoja na minyororo iliyo fungwa miguuni mwangu, moja kwa moja nikaelekea katika chumba cha kubadilishina nguo, nikavaa nguo zangu kisha nikamfwata mkuu wa F.B.I.

“Ninahitaji kuzungumza na raisi” “Twende huku” Nikaingia naye kwenye moja ya ofisi ya vioo. Nikaka kwenye moja ya kiti ambacho mbele yake kuna Tv kubwa. Baada ya sekunde kadhaa nikamuona raisi kwenye Tv hii.

“Muheshimiwa raisi” “Ndio Dany” “Nimemzungumza na Hawa, ila nimeshindwa kumuuliza maswali ambayo nyinyi mulihitaji kutafahamu” “Kwa nini?” “Hawa alisha anza kunihisi kwamba mimi ni msaliti kati yao. Ili kujiaminisha kwamba mimi si……” “Samahani Dany kwa kukukatisha, ila si ulivaa nguo za kifungwa?” “Ndio muheshimiwa raisi, ila nguo za kifungwa hazikuwa kielelezo kikubwa cha kumfanya Hawa kuweza kunielewa, ninacho kuomba muheshimiwa raisi, inabidi hapa tufanye mchazo ambao utawafunga akili wao” “Mchezo gani Dany, kwa maana wezako ni magaidi” “Ndio muheshimiwa raisi, ila ni rahisi sana kumtumia gaidi kumpata gaidi na ni ngumu sana kumtumia mpelelezi kumpata gaidi huwa inahitajika akili ya ziada” “Ni mchezo gani huo unahitaji mimi niufanye?” “Ninaomba kwamba tuweze kupatiwa ndege ambayo itatupeleka moja kwa moja hadi Afrika hususani katika nchi ambayo muheshimiwa raisi utahitaji mimi niweze kuianza oparesheni yangu. Tukifika hapo mimi nitajua ni kitu gani cha kufanya kuhakikisha kwamba oparesheni yetu inakwenda vizuri. Cha pili muheshimiwa raisi, ningeomba waandaliwe watu watakao ingiza kujihusisha katika shambulizi la kutuokoa, mimi na wezangu tukiwa tunahamishwa, watu hao ndio watakao tupeleka hadi kwenye ndege itakayo tupeleka Afrika” Nikamuona raisi Donald Bush akifumba macho yake kwa maana jambo nililo lizungumza, ni gumu sana kwenye maamuzi ya raisi kama raisi.

“Muheshimiwa raisi samahani kama nina yaingilia mazungumzo yenu” Mkuu wa F.B.I alizungumza na kunifanya nimtazame.

“Zungumza Malki” “Hii oparesheni anayo izungumza bwana Dany, ninaona ni oparesheni ya kijinga ama kipuuzi, itanipotezea watu wangu na pia itatia dosari kitengo changu, ikiwa ina fahamika magaidi walio waua maelfu ya Wamarekani kwenye meli leo hii wapo mikononi F.B.I na leo waambiwe kama wametoroka, hapo kusema kweli muheshimiwa raisi sikubaliani na mawazo ya Dany” “Muheshimiwa raisi, hii ndio nafasi ya pekee kuhakikisha kwamba unaweza kututumia sisi na kuitekeleza kazi yako, kuliko kupelka mamia ya wanajeshi Somalia wengi wao wanapoteza maisha bila sababu ya msingi. Tafadhali muheshimiwa raisi ninakuomba ulifikiria hili pia” Ukimya wa raisi ukatufanya mimi na mkuu huyu wa F.B.I mbaye muonekano wake tu, hanipendi hata kuniona sehemu hii.

“Mushimiwa raisi na ukumbuke kwamba sera ya nchi yetu ya Marekani, ni kwamba hatufanyi makubaliano na magaidi na kazi yetu kubwa ni kuhakikisha kwamba tunawaangusha magaidi chini” “Muheshimiwa raisi, kumbuka kwamba nimeyaokoa maisha yako na nilijitahidi kuhakikisha kwamba ninajijeruhi mwenyewe kuyaokoa maisha yako, na laiti kama ningekuwa nina roho mbaya basi hata wewe ningekuua. Muheshimiwa raisi hii ndio nafasi ya pekee kutuaachia sisi Waafrika kujikomboa wenyewe”

Nilizungumza huku machozi yakinilenga lenga kwa mbali. Muheshimiwa raisi akakohoa kidogo kisha akatutazama.

“Malki hakikisha unafanya kile ambacho Dany anakihitaji” “Muheshimiwa raisi….” “Maamuzi yangu Malki hayapingwi, mimi ndio raisi wa nchi hii ya Marekani fanya kile nilicho kuagiza. Sawa?” Raisi alizungumza kwa ukali na kumfanya mkuu wa F.B.I kuwa mpole.

“Sawa muheshimiwa raisi”

“Dany nimekuamini na ninakuomba uweze kufanya kila liwezekanalo kuhakikisha kwamba opareheni inakwenda vizuri” “Sawa muheshimiwa raisi na asante kwa maamuzi yako, sinto kuangusha katika hili na kila gaidi uliye nipa kazi yake nitahakikisha unaishuhudia maiti yake” “Sawa safari njema” Mkuu wa F.B. akazima Tv hii huku usoni mwake akionekana kujawa na hasira kali, nikanyanyuka kwenye kiti nilicho kaa na kumsogelea bwana Malki hadi karibu kabisa ya uso wake.

“Utafanya kile nitakacho kuambia ufanye na sinto hitaji kupingwa kwa chochote” Nilizungumza huku nikiwa nimemkazia macho bwana Malik, na yeye akanikazia macho tena kwa msisitizo mkubwa sana.

“Usiombe mtu wangu hata mmoja akapotea ni lazima risasi yangu iingie kwenye kichwa chako, haiwezekani muafrika akanizidi akili” “Tambua Muafrika ana akili kuliko Mmarekani, tulicho zidiana ni majengo tu basi” “Ok, sihitaji mabishano na wewe, zungumza unahitaji nini?” “Mahitaji yangu umeyasikia nilipo zungumza na muheshimiwa riasi, cha kufanya wewe, hakikisha kila kitu ninacho kuhitaji kinakamilika. Muda wa kusafirisha wafungwa ni saa mbili usiku na tukio litokee saa mbili na dakika thelathini usiku. Nimemaliza, fanya hivyo sawa” “Sawa” Bwana Malk akatoka kwenye ofisi hii kwa hasira kali sana na kuniacha mimi peke yangu, nikiwa ninatazama tazama wafanyakazi wengine wanao pita pita nje ya hii ofisi. Nikakaa ndani ya hii ofisi huku nikiwa ninafikiria hii kazi itakavyo kwenda, katika masiha yangu hii ndio nafasi yangu ya mwisho kutumia akili kubwa sana kuwaangusaha maadui zangu, huku nikiwa nina msaada wa muheshimiwa raisi wa Marekani bwana Donald Bush.

‘Mungu nisaidie’

Nilizungumza huku nikimtazama Bwana Malki akija katika ofisi hii akiwa ameongozana na jamaa mmoja mwenye ndevu nyingi usoni mwake. Wakaingia ndani ya hii ofisi ikabidi kunyanyuka na kusalimana na jamaa huyu.

“Asalam alaykum” Mtu huyu alinisalimia huku akinipatia mkono wa kulia, nikaupokea taratibu huku nikiwa nimejawa na tabasamu pana usoni mwake.

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Walyakum mslam” “Dewil huyu anaitwa Dany na Dany huyu anaitwa Dewil, ni mkuu wa kitengo cha mawasiliano hapa F.B.I kwa upandw wa Pakistani” “Ninashukuru kukufahamu bwana Dewil” “Hata mimi ninashukuru kukufahamu bwana Dany. Nimesikia mpango wako nilio elezewa na mkuu hapa, tayari nimesha andaa vijana wa hiyo kazi na watajipanga pale muda utakapo jitokeza” “Nashukuru kwa hilo bwana Dewil, vijana wako watakuwa ni wa aina gani?” “Watakuwa ni Wapakistani, na watakupeleka moja kwa moja hadi kwenye ndege na humo utakuta kila kitu cha kazi yako kuelekea nchini Afrika” “Nashukuru bwana Dewil” “Unaweza kwenda bwana Dewil” “Sawa mkuu” Bwana Dewil akatoka, na kuniacha na bwana Malki.

“Ole wako opareheni hii ifeli au iwe ni njia moja wapo ya wewe kuwatorosha wezako. Nitahakikisha kwamba ninakusaka popote duniani, na nikikukamata nitakuua kwa mkono wangu, kama nyinyi mulivyo muua mke wangu kwenye mlipuko wa hiyo meli” “Mbaya haito feli na ikufulu…….Mungu mwenyewe ndio atakaye fahamu nini nitakacho kufanya” Tukatazama na bwana Malki kwa hasira sana, mlango wa hii ofisi ukafunguliwa na akaingia mwanaume msichana mmoja mrefu na mwenye asili ya kiafrika.

“Mkuu kuna simu yako kutoka ikulu unaweza kuipokea katika simu yako hiyo hapo mezani” Bwana Malki akapiga hatua hadi mezani akaichukua simu hii na kuminya batani moja kisha akaiweka sikio la upande wa kushoto.

“Ndio” “Nimekuelewa mkuu” “Asante” Bwana Malki akakata simu hiyo huku akinitazama usoni mwangu.

“Nifwate” Bwana Malki alizungumza huku akinitazama kwa jazba. Tukatoka katika hii ofisi moja kwa moja tukaelekea hadi kwenye ukumbi ulio jaa viti. Taa za ukumbi huu zikazimwa, na projecta inayo piga mwanga wake ukutani ikawashwa, nikaanza kuona taratibu za oparesheni yangu nitakavyo kwenda barani Afrika ninavyo takiwa kuifanya.

“Tutaanzia nchini Somali, kisha Nigeria na kumalizia Tanzania” Mwanaume tuliye mkuta humu ndani alizungumza huku akinionyesha ramani za nchi hizi tatu alizo zitaja.

“Somalia, kundi la Al-Shabab ni kubwa sana, na lina watu wengi sana ambao sio rahisi sana kuweza kuwafahamu kiurahisi. Unacho takiwa kukifanya Dany na watu wako ni kujiweka katika mazingira ya kawaida.” Mtu huyu akaendelea kunipa maelezo kwa nchi ya Nigeri na Tanzania, tulipo maliza majadiliano haya ya nini ninacho takiwa kukifanya katika nchi hizi tatu, tukatoka katika chumba hichi.

“Ninahitaji kitu”

Nilimuambia bwana Malki na kumfanya asimame na kunitazama usoni mwangu.

“Nini?” “Ninahitaji watu wangu wapatiwe chakula kwa maana wana njaa” “Sawa, kuna kingine” “Hakuna”

Bwana Malki akanirudisha kwenye ofisini niliyo kuwa. Masaa yakazidi kwenda, huku mara kwa mara nikiwa na kazi ya kuitazama saa yangu ya mkononi. Ilipo timu majira ya saa mbili kasoro robo nipelekwa katika chumba, nikabadilisha nguo zangu na kuvaa nguo za garezani, nikafungwa pingu pamoja nyororo miguuni mwangu, nikavaa raba nyeusi na nikaanza kupelekwa katika chumba amacho nikawakuta Hawa, Mariam, mume wa Mariam, Lusi pamoja na wasichana wengine wawili ambao nao ni walinzi wa Hawa.

Hawa akataka kunyanyuka ili anikumbatie ila akazuiwa na askari wa kike na kumfanya akae hapo hapo alipo kaa. Marim akanitazama kwa macho makali, sikuzungumza kitu cha aina yoyote na nikajifanya kwamba nimenunu sana.

“Nyanyukeni” Tuliamrishwa na sote tukanyanyuka, wakaingia wanaume kumi walio jazia miili yao, majaketi yao ya kuzuia risasi yameandikwa kwa maandishi meupe FBI. Wakatushika kwenye mikono yetu maeneo ya makwapa, wakatutoa katika chumba hichi. Tukaingizwa kwenye moja ya gari jeusi aina ya Van. Gari hili ikafungwa kwa nyuma, baada ya sekunde kadhaa. Tukaanza kusikia ving’ora vya magari haya ya wana FBI.

“Dany” Hawa aliniita kwa upole.

“Mmmm”

“Upo salama?” “Ndio, mke wangu. Jamani tunatakiwa kufanya jambo” Nilizungumza kwa sauti ya chini huku nikitazama mbele ya gari hili. Tumetendanishwa na nondo ngumu kati yetu sisi na dereva. Kitu ambacho kusema kweli sio rahisi kwa sisi kuweza kumsumbua wala kumgusa dereva.

“Dany hatuna la kufanya na wewe”

Mariam alizungumza kwa sauti iliyo jaa hasira.

“Unazungumza nini Mariam” “Hakuna mtu ambaye anaweza kushirikiana na wewe, unanuka usaliti” “Hawa waeleze mimi ni msaliti kweli”

Hawa akaka kimya huku kicha chake akiwa amekiinamisha chini. Gafla tukastukia gari letu likinyanyuliwa juu, kisha likaangukia kiupande na kutufanya sote kujibamiza bamiza, gari likaanza kuserereka barabarani na kutufanya sote humu ndani kila mmoja kuomba sala yake. Gari likasimama, tukaanza kusikia mirindino ya milio ya risasi, komoyo moyo nikaanza kujawa na furaha kwa maana mpango wetu unakwenda kama tulivyo pangwa. Mlango wa nyuma ya gari letu ukafunguliwa, wanaume wawili walio funika nyuso zao na kuacha macho yao tu huku mikononi mwao wakiwa na bunduki, wakaanza kuwatoa wezangu mmoja baada ya mwingine ndani ya gari hili na mimi nikawa wa mwisho kutolewa. Cha kusangaza Hawa na wezake wote wao wamesimama ila mimi ndio nimelazwa chini huku mitutu ya bundiki ya wanaume hawa wakiwa wamenielekezea mimi.

“Halooo Dany” Sikuamini macho yangu nilipo muona baba Hawa akisimama pembeni yangu, huku mkononi mwake akiwa ameshika bastola tayari kwa kuniua.






Taratibu nikamtazama Hawa machoni mwake, taratibu Hawa akatazama pembeni akimaanisha kwamba haitaji kutazama mauaji yangu. Gafla tukamshuhudia mwanaume mmoja wa baba Hawa akianguka chini jambo lililo wafanya watu kuanza kumzunguka baba hawa huku bunduki zao wakiwa wamezishika vizuri. Baba Hawa na watu wake wakaanza kukimbilia kwenye gari walilo kuja nalo huku wakiwa wameniacha chini nimelala. Nikaona gari gari mbili nyeusi za FBI zikija eneo hili kwa kasi huku wakiendelea kuwashambulia watu wa baba Hawa ambao nao wapo wengi kiasi.

Nikachukua bunduki ya mmoja wa watu wa baba Hawa aliye pigwa risasi, nikaanza kubingiria nayo hadi pembezoni mwa barabara, kwa haraka nikanyanyuka na kupiga goti moja chini huku mguu wangu mwengine nikiwa nimeukunja kwa nyuma. Nikafumba jicho langu la upande wa kushoto huku nikimtazama baba Hawa jisi anavyo ingia kwenye gari lake. Hawa akageuka kwa nyuma, akakiona kitendo changu cha kuhitaji kumua baba yake, kwa haraka akasimama mbele yake jambo lilio nifanua nishindwe kabisa kumshambulia baba yake.

“Shiti” Nilizungumza kwa hasira huku nikitazama gari la baba Hawa likiondoka kwa kasi huku magari mengini yakiwafwata kwa nyuma.

“Weka silaha yako chini” Nilisikia sauti ya ukali ikitokea nyuma yangu, kwa haraka nikaitupa bunduki niliyo ishika pembeni kisha nikalala chini, akaskari mmoja akanifwata akanifunga mbingu kwa nyuma na kuninyanyua juu.

“Nahitaji kuzungumza na raisi” “Una haki ya kukaa kimya siwezi kufanya hivyo pasipo kupata ruhusa yoyote” “Sawa nalitambua hilo ila ninahitaji kuzungumza na raisi wa nchi yako” Nilimuambia askari huyu kwa msisitizo, hakulijali hilo zaidi ya kuniingiza ndani ya gari lake. Askari wa vitengo tofauti tofauti wakaanza kufika katika eneo hili la tukio. Askari huyu akanifungulia mlango, akanifungua pingu za mikono yangu.

“Kuna simu yako kutoka kwa muheshimiwa raisi” “Shukrani” Nilizungumza huku nikiichukua simu hii anayo nipa askari huyu.

“Ndio muheshimiwa raisi” “Ohooo asate Mungu upoa salama Dany” “Nashukuru muheshimiwa raisi kwa hilo, ila hii kazi muheshimiwa raisi nahitaji kuiendeleza kabla watu hawa hawajatoka ndani ya Marekani” “Dany unatakiwa kupumzika kwa sasa, ajali uliyo ipata ni mbaya” “Nalitambua hilo muheshimiwa raisi, ila sijaumia. Ninakuomba uweze kuniruhusu kuungana na vikosi vya wanausalama wako wanao watafuta magaidi hawa” “Dany” “Tafadhali muheshimiwa raisi, sihitaji kukuangusha. Ninawajua hawa magaidi nimefanya nao kazi zaidi ya miaka miwili na ninatambua udhaifu wao” Raisi akaka kimya kwa sekunde kadhaa huku nikisubiria jibu lake. “Nimekuruhusu, hakikisha kwamba unawaangusha hao magaidi wote” “Nashukuru muheshimiwa raisi, ila ninakuomba muheshimiwa raisi ufanye uchunguzi katika kamati yako ya ulinzi kuna msaliti kwa maana watu tuliokuwa tunajua hii oparesheni ni watu wachache sana, sasa kuna mtu atakuwa amevujisha mpango mzima, ndio maana magaidi hawa wameweza kutuvamia kabla hatujafika katika sehemu husika” “Nitalichukualia uangalizi na hilo” “Asante muheshimiwa raisi” “Mpatia simu hiyo askari” Nikairudisha simu kwaaskari huyu, akazungumza na raisi baada ya sekunde kadha akaka simu na kiunitazama usoni.

“Unahitaji nini?” “Ninataji mavazi, silaha pamoja na kuweza kujua hawa magaidi hadi kwa sasa wamelekea wapi?” “Sawa” Nikaongozaa na askari huyu hadi kwenye moja ya gari kubwa la FBI, nikakabidhiwa nguo ninazo zihitaji ambazo ni mavazi meusi, nikakabidhiwa jaketi la kuzuia risasi pamoja na bastola na magazine nne.

“Mumeweza kufahamu ni wapi magaidi hawa wapo?” “Tumeweza kuwapoteza” “Kuwapoteza kivipi?” “Tuliwafwatilia, tukakwakuta magari yao yakiwa yametelekezwa chini ya daraja moja na wao hawapo?”” “Mumeweza kuwafwatilia?” “Ndio vikosi vinazidi kuwafwatilia” “Ninaweza kufika katika eneo hilo la tukio?” “Ndio ila kuna umbali mkubwa kutoka hapa nilipo, inabidi kutumia helicopter kuweza kufika hilo eneo” “Naomba tufanye hivyo” Askari huyu akawasiliana na makao makuu yao, na kuomba masaada wa helicopter.

“Itachukua muda gani kufika hapa tulipo?” “Dakika tano” “Sawa” Ndani ya dakika tano kama alivyo zungumza askari huyu, helicopter ya FBI ikatua pembezoni mwa barabara. Mimi na askari huyu moja kwa moja tukakimbilia kwenye helicopter hii na kuingia ndani. Safari ya kueleka katika eneo yalipo telekezwa magari ya magaidi hawa ikaanza. Tukatumia dakika kumi tukiwa hewani, tukafika katika eneo la tukio ambapo napo tukakuta askari wengine wakiwa wamelizunguka eneo hilo likiendelea kufanyiwa uchunuguzi.

“Habari meja Thomsande” “Salama, meja Barak, huyu anaitwa Dany ni agent anaye fanya kazi chini ya ofisi ya raisi” “Habari yako agent Dany?” “Salama tu meja Thomsande” “Salama tu” “Mumeweza kugundua ni sehemu hani ambayo magaidi wameweza kuelekea?” “Hadi sasa hivi tumeweza kufanya uchuguzi wote ila hatujaweza kufahamu ni sehemu gani magaidi wamelekea, na hata kamera za hapa hazijachukua tukio lolote na inavyo onekana zimeweza kufutwa matukio yote” “Je mumeweza kuwafwatilia kwa kutumia satelaiti?” “Tumejaribu kufanya vyote ila vimeshindikana” “Je kuna njia za chini?” “Katika hili eneo hakuna njia za chini ya ardhi kabisa” Nikalisogelea gari moja ambalo ndio alikuwa amepanda baba Hawa, nikaanza kulikagua kwenye siti za nyuma, katikati ya siti moja na nyingine nikakutana na kipande cha karatasi kidogo sana mbacho si rahisi kwa mtu kuweza kukiona. Nikakifungua na kukuta maandishi yaliyo andikwa kwa damu ya binadamu.

“Somalia” Niliyasoma huku nikirudi kwa askari niliye kuja naye.

“Umepata nini?” “Wanaelekea Somalia” “Umejuaje?” “Kuna hichi kikaratasi kilicho andikwa na damu, kwenye hii gari alipanda baba Hawa pamoja na mwanaye na hii hati ya ya kuandika inafanana kabisa na Hawa.

“Hawa?” “Mwanamke ambaye ni mpenzi wake na yeye yupo kinyume na baba yake” “Basi niwasiliane na wakuu wa viwanja vyote vya ndege, treni pamona na bandari zote ziweze kufungwa ili ulizni uzidi kuimarishwa. “ “Sawa ninaomba kuwasiliana na raisi” “Sawa” Raisi akapigiwa simu, nikakabidhiwa simu na kuzungumza naye.

“Dany umepata kitu gani?” “Wanaelekea Somalia, kwa sasa ningeomba kuweza kupata ndege itakayo nipelekea Somalia moja kwa moja, ili niweze kuwawahi” “Wewe unahisi watakuwa kweli wanakwenda Somalia?” “Nina amani hivyo muheshimiwa raisi kwa maana sidhani kama wanaweza kwenda nchi yoyote Duniani, ikiwa wanajua wanataftwa karibia Daunia nzima” “Dany kwa hili inabidi tujirishishe mapema sana kuamini kwamba watakuwa wametoka nje ya nchi hii. Kwani watu wangu wanaendelea kujitahidi kuhakikisha kwamba wanaimarisha ulinzi wa kuweza kuwatafuta” “Muheshimiwa raisi, kumbuka muda hautusubiri, na laiti kama wangekuwa wapo ndani ya hii nchi tungeweza kupata muongozo kuanzia hapa tulipo. Ila kumbuka muheshimiwa raisi kwamba hawa watu wanapata ushirikiano na watu waliomo ndani ya serikali yako ndio maana mpango mzima umekwenda tofauti na vile tulivyo kuwa tunafikiria.” Nilizungumza kwa msisitizo ili kummshawishi raisi Donald Bush kuweza kuamini kwa kile ninacho mueleza.

“Muheshimiwa raisi, nimeianza hii kazi ninakuomba unipe nafasi ya kuifanya hadi iishe tafahali”

“Rudi ikulu” “Muheshimiwa raisi” “Dany nimekuambia ninakuhitaji hapa ikulu” “Sawa muheshimiwa raisi” Sikuwa na jinsi ya kufanya zaidi ya kukata simu, wakanifwata askari wawili wengine wakaniomba tueleke kwenye helicopter kwa safari ya kwenda ikulu. Moyoni mwangu nikajisikia vibaya sana kwa kuona raisi anawaachia magaidi hawa kutoka nje ya nchi yake kirahisi namna hii. Nikaingia kwenye helicopter niliyo kuja nayo na safari ya kuelekea ikulu ikaanza. Tukatumi nusu saa hadi kufika ikulu, nikakabidhi bastola yangu pamoja na magazine kwa walinzi wa ikulu kisha nikapelekwa moja kwa moja hadi ofisi ya raisi niliye mkuta akiwa na mwanaume mmoja mweusi.

“Samahani Dany kwa kuweza kukurudisha katika opareheni yako uliyo kuwa umeianza” “Hakuna tabu katika hilo” “Kutana na balozi wa Tanzania bwana Jackson Bongole” “Habari yako muheshimiw a balozi” “Salama Dany, ni muda mrefu sijakuona” “Nikumbushe uliniona wapi?” “Nilikuona katika ziara moja ya raisi aliye toka madarakani, ukiwa mmoja wa walinzi wake” “Nashukuru katika hilo” “Dany balozi wako amekuja kuomba kusitishwa kwa wewe kutumiwa na Marekani katika kuendesha oparesheni za kuwasaka magaidi, pasipo nchi ya Tanzania kuweza kutambua” Raisi alizungumza kwa utaratibu huku akinitazama usoni mwangu, nikamtazama balozi Jackson Bongole kwa macho makali sana yaliyo jaa hasira’

“Dany mimi nimepokea amri kutoka nchini Tanzania kutoka kwa raisi na sasa unahitajika kurudi nchini Tanzania haraka iwezekanavyo” “Ngoja muheshimiwa raisi pasipo kushusha heshima yako mbele ya raisi, ila hicho kitu unacho kizungumza hakiwezekanai kabisa kwenye maisha yangu. Hivi unatambua ni jambo gani linalo endelea duniani kwa sasa?” “Mimi nimefwata amri ya raisi wangu, na tambua kwamba Tanzania na Marekani tuna ushirikiano mzuri sana ambao unaweza kuvunjia muda wowote kwa ajili yako” Nikaka kimya huku nikimtazama balozi, nikamtazama raisi Donald Bush, kisha nikayarudisha macho yangu kwa Balozi Jackson Bongole.

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Muheshimiwa balozi, ninakuomba unisaidie kitu kimoja kama huto jali, ninakuomba niweze kuimaliza hii kazi kisha ndio nitarudi Tanzania” “Dany ingekuwa ni amri yangu ningeweza kukuruhusu urudi Tanzania, ila sio amri yangu. Mimi mwenyewe ninafwata amri na nimepewa masaa kumi na mbili niwe nimekurudisha nchini Tanzania” “Natambua muheshimwa balozi kwamba unafwata amri, ila tambua huyo ambaye amekupa amri hiyo yeye mwenyewe ni adui yangu namba moja” “Kivipi?” “Raisi K2 yeye kwanza ndio amehusika na mauaji ya raisi aliye pita kwa uroho wa madaraka. Raisi K2 yeye ndio anahusika na upotevu wa watoto wa kike unao zidi kuendelea nchini Tanzania, na nchi za jirani. Watoto hao anawakuza na kuwafanya wauaji ambao wanafanya kazi za hatari ambazo kwa wanausalama wa kawaida hawawezi kupambana nao, na hicho kizazi chake amekiandaa kwa miaka mingi sana” “Hayo yote wewe umeyajulia wapi?” “Kabla ya kujua nimeyajulia wapi, yeye ndio aliye waua wazazi wangu, familia yangu nzima damu yake ipo kwa K2, leo hii unanihitaji kurudi Tanzania ambapo karibi watu wote nchi nzima anajua kwamba mimi ni gaidi, ikiwa gaidi mkubwa ni huyo anaye waongoza. Tafadhali muheshimiwa balozi, hili ninalo lizungumza ni kati yako wewe na mimi, tafadhali ninakuomba uniruhusu kuimaliza hii kazi niliyo inaza” Mueshimiwa balozi Jackson Bongole akakaka kimya huku akionekana kutafakari jibu la kuweza kunipatia.

“Dany” “Ndio muheshimiwa Balozi” “Ukiachilia mbali tu kwamba kazi yangu ninaweza kuipoteza, ila familia yangu pia ninaweza kuipoteza” “Kivipi?” “Muheshimiwa raisi K2 ameniambia kwamba nisipo hakikisha wewe unafika nchini Tanzania basi familia yangu ataingamiza” “Familia yako ipo wapi muheshimiwa Balozi?” “Ipo nchini Tanzania, hapa nipo na mtoto wangu wa kiume anaye soma chuo” “Samahani muheshimiwa balozi, una ushahidi wa sauti?” Raisi aliuliza huku akimtazama balozi usoni mwake.

“Ndio ninao muheshimiwa raisi” Muheshimiwa balozi Jackson Bongole akatoa simu yake ya mkononi na kutuwekea mazungumzo aliyo kuwa anazungumza na raisi K2.

“Hili swala nitalisimamia mimi kama raisi wa Marekani, nitahakikisha nchi yangu inamshihulikia raisi wako nimemvumilia nimeshindwa. Kabla hajaiteketeza familia yako basi nchi yangu itaanza na familia yake. Dany nakuruhusu kuendelea na oparesheni yako hakikisha kwamba hata raisi K2 unamuweka mikononi mwako na ikiwezekana na yeye unamuanguamiza nitakulinda kwa hali yoyote na hakuna serikali itakayo weza kukukamata sawa” “Sawa muheshimiwa raisi” Nilijibu huku nikitabsamu, kwa maana K2 sasa ameingia kwenye sehemu ambazo ni lazima mwisho wake utafika na tena utafika kama ilivyokuwa kwa gaidi wa dunia Osama Bin Laden.






“Ndege ya kukupelekea Somalia imesha andaliwa, Dany hakikisha kwamba huniangushi katika hili” “Mungu anitangulie na nitahakikisha kwamba kila jambo linakwenda bizuri”

“Sawa Dany” Raisi akanyanyua mkonga wa simu iliyopo mezani mwake

“Njooni mumchukue” Hazikupita hata dakika mbili, wakaingia wanajeshi wawili walio valia mavazi ya jeshi, wakampigia raisi saluti.

“Mshindikizeni Dany hati katika kiwanja cha ndege cha jeshi” “Sawa muheshimiwa raisi” Nikamsogelea balozi wa Tanzania bwana Jackson Bongole, nikampa mkono huku nikimtazama machoni mwake.

“Ni wakati wa wewe kuwa jasiri na usiwe nyonge katika hili” “Sawa kijana, kazi njema” “Asante” Nikatoka na wanajeshi hawa, tukatoka nje na kuingia katika gari aina ya HAMMER ambalo hutumiwa na wanajeshi hawa. Safari ya kuelekea katika kambi yao ikaanza huku ndani ya gari hili nikiwaza maneno ya Kk2 jinsi alivyokuwa akimmshinikiza balozi Jackson Bongole kuhakikisha kwamba ananipelekea nchini Tanzania ambapo moja kwa moja ninatambua kwamba nitakapo fika huko ni lazima tu ataniua.

“Tutachukua muda gani hadi kufika kambini?” “Zimebadki dakika kumi” “Sawa” Tukafanikiwa kufika katika kambi ya jeshi, nikakambiziwa kwa mkuu wa anga ambaye moja kwa moja akanipelekea hadi katika kiwanja cha ndege ambacho nimekuta kuna ndege nyingi za kivita zikiwa zimejipanga vizuri.

“Kila kitu unacho kihitaji katika kazi yako kipo ndani ya ndege hii, rubani atakupeleka hadi nchini Somali” “Sawa” “Ramani nzima pia ipo humo ndani, chukua hichi kifaa, hakikisha kwamba pale unapokuwa umeshikwa kwenye kazi hii, unakitumia kukiminya hii batani basi sisi huku tutakuwa tumeelewa ni kitu gani kinacho endelea na tutahakikisha kwamba tunakufika katika muda mdogo sana kwa maana ndege zetu hizi zinakwenda kwa mwendo wa kasi sana” “Shukrani”

Nilijibu huku nikitazama kivaa kidogo lilicho kaa kama rimoti ndogo za magari huku kikiwa na batani moja yenye rangi nyekundu. “Nakutakia kazi njema” “Asante” Nikaingia katika ndege hii ndogo ya kijeshi ila inaonekana ina uwezo mkubwa sana katika swala la kwenda kasi. Nikaka kwenye siti, rubani akaniomba nijifunge mkanda pamoja na kuvaa earphone ilizopo pembeni ya siti yangu. Nikafanya hivyo kwa haraka sana, taartibu nikaanza kusikia injini za ndege hii zikianza kunguruma, ndege ikaanza kuondoka katika uwanja huu kwa mwendo wa taratibu, kadri muda ulivyo zidi kwenda ndivyo ilivyo zidi kushika kasi na baada ya nusu saa ikaanza kunyanyuka kuelekea juu. Ndani ya dakika moja na sekunde kadhaa ndege ikaka sawa hewani, kwa kupitia earphone nilizo zivaa masikioni mwangu, rubani akaniambia kwamba ninaweza kufungua mkanda na kutazama vifaa vilivyopo kwenye mabegi ndani ya hii ndeg.

Nikaanza kuchagua bastola ambazo kuseme kweli ni silaha ambayo kwa upande wangu ni rahisi sana kuweza kuitumia na ninapo mlenga mtu huwa ninahakikisha kwamba ninamuangusha. Nikachukua na bunduki mbili kubwa moja ikiwa ni ‘HK M27 IAR’ na nyingine ‘FN SCAR MK 17 ambayo kila mmoja ina uwezo mkubwa sana katika mashumbulizi hususani ya mbali na maadui wangu. Nikachukua mabomu sita ya kurusha kwa mkono. Nikachukua ramani ya inayo onyesha inchi ya Somalia, nikaanza kuiptia taratibu, nikaona ni sehemu gani ambayo kambi ya Al-Shabab ipo, nikachukua peni na kuizungushia dura.

“Dany una simu yak kutoka ikulu” Rubani alizungumza, nikatazama pembeni ya siti yangu nikaona simu, nikaichukau na kuiwekea sikioni.

“Dany” “Ndio muheshimiwa raisi” “Ndani ya hiyo ndege kuna kofia za kijeshi, ningeomba uvae moja, ina kamera ambayo itaonyesha kila unapo kwenda na sisi huku ikulu tutakuwa tunafwatlia hatua baada ya hatua kila unapo pita” “Sawa muheshimiwa raisi” Nikachukua kofia moja ya rangi nyeusi mama mavazi yangu, nikaitazama vizuri na kuona kamra ndogo iliyopo mbele katika hii kamera, nikaivaa vizuri na kuikaza mikanda yake.

“Hapo tunakupata, pia kuna kinasa sauti naomba ukivae utakuwa unazungumza na mimi moja kwa moja” “Sawa muheshimiwa raisi” Nikafungua kijiboksi kidogo sana mithili ya viboksi vinavyo wekea pete za ndoa, nikatoa kifaa cha mwasiliano na kukichomeka katika sikio langu la kushoto.

“Muheshimiwa raisi unaisikia?” “Ndio ninakusikia Dany” “Hata mimi ninakusikia” “Tuambie hadi sasa kwenye hiyo ramani umeweza kugundua kitu gani?” “Katika hii ramani, sehemu hii ndipo kwene kambi ya Al-Shabab” Nimuonyesha muheshimiwa raisi, nina imani kwamba anaona kila kitu kutokana na kofia ngumu niliyo ivaa na yenye kamera.

“Ndio” “Haya ndio maeneo yao makuu na si rahisi sana kwa mtu kuweza kufahamu kwamba kuna kambi” “Ila ni jangwani?” “Yaa ni jangwani sana na si rahisi kwa mtu kuweza kuiona sehemu” “Ukifika basi utatusaidia, tumesha andaa wanajeshi mia moja wa Marekani kutokea katika kambi yetu ya jeshi iliyopo hapo Somalia” “Sawa muheshimiwa raisi, ila ningewaomba waweze kutulia hadi pale nitakapo hakikisha kwamba nimewapa amri ya kuweza kuingia katika kambi, kazi yangu kubwa ni kumkamata mkuu wa Al-Shabab, la sivyo tukicheza vibaya atatutoka mikononi mwetu muheshimiwa raisi” “Sawa, wewe ndio chief kamanda wa hiyo oparesheni” “Nashukuru muheshimiwa raisi” Safari ikazidi kwenda mbele huku mara kwa mara nikiandaa silaha zangu, kuhakikisha kwamba hakuna silaha ambayo inaweza kuniletea shida yoyote pale nitakapo kuwa kazini.

“Tuna dakika kumi kufika katika anga la Somalia, unatakiwa uvae parachute” Rubani alizungumza, nikajikuta nikianza kuingiwa na wasiwasi mkubwa sana kwani kwenye maisha yangu sijawahi kuvaa parachute na wala katika mafunzo niliyo yapata katika chuo cha NSS, wala sikuwahi kuambiwa kwamba kuna swala zima la kuvaa parachute.

Sikuwa na jinsi ya kufanya zaidi ya kuchukua begi la parachute, nikalivaa na kufunga mikanda yake, nikasoma maelezo yake jinsi ya kufanya ninapohitaji kulifungua. Ikanilazimu kichwa changu kuelewa haraka sana kwa kila jambo nililo lisoma kwenye hili parechati.

“Begi langu la silaha vipi?” “Hilo nalo utalishusha kabla yaw ewe kuruka” “Nitalipatia wapi?” “Likifika tu chini begi, kwenye PDA yako hiyo hapo pembeni utaweza kuona ni wapi limeangukia na utalichukua” “Kama ni mbali” “Sidhani kama ni mbali” Nikatazama kivaa changu kidogo(PDA) kilicho kaa muundo wa simu, hichi kinatumika kwa ajili ya kuweza kutazama ramani kwa njia ya mtandao, na hata kutumia picha kadhaa kwa njia ya mtandao.

“Dany una dakika tau kuwa tayari” “Sawa” “Kuha miwani ya kuzuia upepo hujaivaa, vaa kabla hujaruka” “Ipo wapi?” Tazama kwenye begi la kushoto kwako” Nikatazama begi la kushoto kwangu, nikalifungua kwa haraka na kutoa miwani kubwa, nikaivaa na kuikaza mikanda yake nyuma ya kichwa changu.

“Una dakika moja na nusu kaa tayari mlangoni, hakikisha unatanguliza begi” “Sawa” “Kwa sasa Somalia ni saa nane usiku” “Nimekuelewa” “Una sekunde thelathini kaa tayari” Mlango wa ndege taratibu ukaanza kufunguka, kusema kweli jinsi upepo mwingi unavyo ingia ndani ya hii ndege ukanifanya nianze kuchanganyikiwa” “Tupa begi Dany” Sikuwa na hata jaja ya kulisikua begi kwani upepe unao ingia wenyewe ukalivuta begi na kulitoa.

“Ruka” Nikaachia sehemu nilizo kuwa nimeshikilia na kujitosa angani. Nikaanza kuzungushwa zungushwa hewani, huku kwa mara kadhaa nikijikuta nikipiga mayowe, ambayo natambu kabisa yanasikika hadi ikulu.

“Dany Dany” Niliisikia sauti ya muheshimiwa raisi akiniita.

“Ndio, naanguka” “Tulia, bana pumzi, hakikisha viongo vyako unavikaza, bana miguu yako pamoja na mikono” Nikafanya kama alivyo niangiza muheshimiwa raisi, taratibu nikajikuta nikianza kuhimili kasi ninayo kwenda nayo chini. Nikajikuta miguu yangu sasa ikiwa ndio inaelekea chini tofauti na nilivyo toka kwenye ndege kwani kicha ndio kilikuwa kimetangulia kwenda chini.

“Unaweza kufungua parachute, minya batani katika bega lako la kushoto” Niliendelea kuyasikilia maelekezo ya raisi, ambaye ameamua kuisimamia hii opareheni yeye mwenyewe japo kuna watu ambao wanapaswa kuisimamia hii oparesheni. Nikaiminya batani iliyopo kwenye mikanda ya hili parachute, fuko kubwa likajitokea kwa juu yangu, sasa hapa nikaanza kupata muhimili mzuri. Nikashika vijikakamba viwili vilivyopo pembeni yangu na kuanza kuliongoza parachute hili, nikaanza kuvuta pumzi taratibu huku nikizidi kwenda chini.

Nikaanza kuikwepa miti ailiyopo katika eneo hili hadi nikafanikiwa kutua chini huku nikikimbia ili kuhimili fuko hili kubwa linalo jikunja lisinifunike. Nilipo hakikisha kwamba nimesimama, nikavua begi la parachuti hili na kuanza kulikusanya kwa haraka, kisha nikalificha kwenye moja moja ya kichaka hata kama ikitokea kwamba nimeshuka katika eneo la maadui basi wasiweze kujua ni kitu gani kinacho endelea. Nikatoa PDA, yangu nikaminya batani ya pembeni, nikaona alama nyekundu inayo onyesha ni wapi bebi langu lilipo, cha kumshukuru Mungu si mbali na eneo hili nilipo.

Nikachomoa bastola yangu na kuanza kutembea kwa umakini katika msitu huhu uku nikifwata maelekezo ya PDA yangu niliyo ishika mkononi mwangu.Nikakari

bia eneo ambalo ndipo begi langu limeangukia, nikaona taa za tochi zilizo nifanya nijibanze kwenye moja ya mti.

Mwanga wa mbalamwezi ukanifanya niweze kuwaona watu hawa vizuri, ni wanajeshi walio valia mavazi mavazi ya serikali ya Somalia. Mmoja wao amefungua begi langu na kutoa magazine ya bastola zangu.

“Muheshimiwa raisi kuna wanajeshi wa serikali wanaonekana kulikagua begi langu, na endapo watatoa taarifa kwa wezao inaweza kuwa tataizo kwangu” “Unaweza kujisalimisha mikononi mwao?” “Nini!!?” “Nitazungumza na raisi wao na wanaweza kukuachia ndani ya muda mfupi tu na utaendelea na oparesheni yako” “Hakuna wa kumuamini muheshimiwa raisi katika hili, hawa ndio wanao ogoza kula rushwa kutoka katika kundi la Al-Shabab ndio maana wanashindwa kukabiliana na hili swala”

Nilizungumza huku nikifunga kiwambo cha kuzuia sauti kwenye bastola yangu, nikajisogeza kwenye mti mwingine taratibu pasipo wao kuweza kuniona. Kitendo cha mwanajeshi mmoja kunyanyua simu yake ya upepo na kuhitaji kuwasiliana na wezake ikawa ni kosa kubwa kwangu kwani sikuwa na jinsi ya kufanya zaidi ya kumuua mwajeshi huyu kwa kumpiga risasi ya kichwa jambo lililo mfanya mwenzake kubaki akiwa ameduwaa asijue hata cha kufanya kwani mkononi mwake hana hata silaha ya kujitetea.


CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/


nikimuelekezea mwanajeshi huyu. Kwa ishara nikamuamrisha anyooshe mikono yake juu, akafanya hivyo tena kwa haraka sana, huku mwili mzima ukitetemeka.

“Weka vitu vyote mulivyo toa ndani ya hili begi”

Nilijaribu kuzungumza kisomali, japo ninachapia baadhi ya maneno ila nina imani mwajeshi huyu ameelewa nilicho muambia. Kwa haraka akaanza kuingiza kitu kimoja baada ya kingine nilipo hakikisha kwamba amemaliza kuviweka vitu hivi, nikamuomba begi langu. Akanikabidhi, taratibu nikalivaa mgongoni mwangu. Nimamtazama jinsi mikono inavyo lowanisha shuruali yake, roho ya huruma ikaanza kunitawala, ila nikimuacha hai huyu naye inaweza kuwa tatizo. Nikampiga risasi moja ya kichwa na kumfanya aanguke chini na kupoteza maisha yake hapo hapo.

“Dany kwa nini na huyo umemua?”

“Sikuwa na jinsi muheshimiwa raisi, ninafanya kile ninacho kiona ni bora kwa hii opareheni”

“Sawa”

Nikaitazama PDA yangu na kuanza kuitafuta ramani ya kuelekea katika kambi ya Al-Shabab, kutoka hapa nilipo kuna umbali wa kilomita tano, ambazo nilazima nitembea ndani yam situ huu hadi kufika hapo. Nikaianza safari huku nikiwa makini sana kuhakikisha kwamba sikutani na wanajeshi wa serikali wanao fanya opareheni kwenye huu msitu ambao hata sifahamu jina lake. Saa yangu ya mkononi ikanionyesha ni saa kumi na moja kasoro alfajiri, nikazidi kusonga mbele ili kwamba nitumie muda mwingi sana katika kutembe ili hata kama asubuhi itanikuta kwenye huu msitu basi ninaami nitahakikisha kwamba ninakaa ndani ya huu msitu hadi usiku ili niendelee na uvamizi wangu katika kambi ya Al-Shabab, kwani kwenda mchana ni hatari kwa maisha yangu.

Hadi kuna pambazuka bado nipo ndani ya huu msitu ulio jaa vilima pamoja na mawe mengi, kwa mara kadhaa nilipumzika ili hata jioni ikifika nisiwe nimechoka sana. Katika siku ninayo ona masaa yanakwenda taratibu ni hii ya leo sikukuata tamaa zaidi ya kuzidi kusonga mbele.

“Dany umebakisha muda gani kuweza kufika katika ngome ya Al-Shabab?”

“Kama nusu kilomita muheshimiwa. Nitahitaji kufika usiku kwa maana mchana huu ni hatari kwangu”

“Sawa jukumu lote lipo juu yako, vikosi vya anga vinasubiria amri yako”

“Sawa muheshimiwa raisi”

Pole pole ndio mwendo, kweli usemi huu kwa siku ya leo kwangu umeweza kukamilika, kwani hadi inafika usiku saa mbili, nikawa nimefanikiwa kufika jangwani ilipo kambi ya Al-Shabab, nikaanza kutemeba sasa kwa tahadari katika jangwa hili kwa maana katika ngome ya Al-Shabab kuna minara ya wanajeshi wanao kaa kwa juu na wanamuona mtu wa mbali sana anapo karibi kufika katika ngome yao. Nikafika kwenye moja ya kichuguu cha mchanga, nikapanda juu na kulala taratibu. Nikaitoa bunduki yangu moja kwenye begi na kuanza kuiunganisha kipande kimoja baada ya kingine. Ilipo kamilika, nikaifunga lensi ambayo inaniwezesha kumuona mtu wa mbali kwa ukaribu mkubwa sana. Uzuri lensi niliyo ifunga inatumika kuona mtu hata akiwa gizani, haina tofauti sana na miwani zinzo tumika usiku.

Nikafanikiwa kuona mmnara mmoja kwa sehemu ninayo tokea, huku taa kubwa likiwa lina mulika eneo zima huku likizunguka zunguka.

“Muheshimiwa raisi oparesheni imeanza”

“Kazi njema Dany”

“Asante”

Nilipo hakikisha kwamba nimemuweka mwajeshi mmoja wa Al-Shabab katika tageti yangu, taratibu nikafunga kiwambo cha kuzia sauti, kisha taratibu nikavuta triga ya bunduki yangu na ninakiruhusu riasi kutoka kwa kasi, wala haikumaliza sekunde mbili mwajeshi huyu aliye kaa juu ya mnara kwenye kibanda kidogo akaanguka chini. Nikatazama eneo lote la karibu sikuona mwanajeshi yoyote, nikaishika bunduki yangu hii ambayo ni nzito kiasi, nikaanza kukimbia nayo huku nikiwa makini sana kitazama mbele. Nikafanikiwa kufika kwenye ukuta wa ngome wa hii kambi, nikatoa kamba yangu ndefu kwenye begi ikiwa na nanga ndogo yenye ncha zilizo kikunja tatu.

Nikairusha juu ya ukuta kwa kutumia nguvu zangu zote, nikajaribu kuivuta, haikuweza kushuka chini, nikaiuvaa mkanda wa bunduki yagu mgongoni, huku beg langu nalo pia likiwa mgongoni, nikaanza kupanda ukuta huu mrefu kwa kasi ya ajabu huku nikiwa makini sana. Cha kumshukuru Mungu nikafanikiwa kufika juu kabisa ya huu ukuta. Nikachuchumaa kwa umakini sana huku nikitazama kwa ndani, wanajeshi wapo doria na nina imani hakuna hata mmoja ambaye anaelewa juu ya uwepo wangu humu ndani. Nikaanza kuivuta kamba yangu kwa haraka huku nikiikunja, ili kufuta ushahidi hata kama ikitokea wanajeshi wanao fanya doria nje ya hii ngome wasiikute.

“Nipo ndani muheshimiwa raisi, waambie timu ya wanajeshi mia moja wawe karibu kabisa”

“Sawa ndani ya dakika kumi na tano watakuwa maeneo ya karibu.”

“Sawa mimi ninaelekea moja kwa moja kwenye nyumba anayo ishi mkuu wao”

“Sawa”

Uzuri katika huu ukuta kwa huku ndani kuna ngazi za kushukia, taratibu nikaanza kushuka katika hizi ngazi, nikafanikiwa kufika chini pasipo mtu yoyote kueweza kuniona. Nikaanza kueleka katika nyumba anayo ishi baba Hawa, na uzuri ni kwamba eneo nililo ingia lipo karibu kabisa na ilipo nyumba ya baba Hawa.

Nikafika katika gorofa analo ishi baba Hawa, nikavua begi langu nikalificha kwenye moja ya maua mengi makubwa katika bustani iliyopo nyuma ya hili gorofa, nikabakiwa na bastola yangu pamoja na magazine za kutosha. Nikaanza kupanda kwa umakini kwa kutumia bomba la maji machafu lililo tengenezwa kwa chuma kizito. Nikafanikiwa kufika juu, taratibu nikasogeza dirisha hili la kioo, nikasikia miguno ya mapenzi ikitokea ndani ya hichi chumba. Nikachungulia vizuri nikamuona baba Hawa na Yudia wakila oroda huku mzee wa watu akijitahidi kuzungusha kiuno chake kwa utamu wa kum** anao pewa na Yudia. Nilipo muona mzee anazidi kuzungusha kiuno nikajua huu ndio wakati wa yeye kuweza kufunga goli hata la mkono. Nikaingia kupitia hapa dirishani ambapo ni dirisha la kioo na halina nando hata moja. Hadi ninasimama mbele ya kitanda chao ndio baba Hawa anamaliza kushangilia goli lake.

“Dany”

Yudia akawa mtu wa kwanza kukurupuka kitandani baada ya kuniona, baba Hawa akajaribu kuiwahi bunduki yake iliyopo pembeni ya kitanda chake, nikampiga risasi ya baga na kumfanya aanguke chini.Yudia akatulia kimya huku mwili mzima ukimtetemeka.

“Musiye mpenda amefika, muna la kuzungumza?”

Niliwauliza kwa ukali huku baba Hawa, akijitahidi kunyanyuka chini alipo angukia.

“Dany nakuomba unisamehe, haikuwa dhamira yangu ku…..kuu”

Yudia alizungumza kwa woga sana kwani uwepo wangu ndani ya chumba chao hawakuutegemea kabisa.

“Dany tunawahitaji wazima wote wawili”

Niliisikia sauti ya muheshimiwa raisi akizungumza kwa upole, hapakuwa na mtu yoyote aliye weza kuisikia ndani ya hichi chumba zaidi yangu peke yangu.

“Yupo wapi Hawa?”

“Umempa nini mwanangu mshenzi wewe”

Nikampiga risasi ya mguu baba Hawa na kumfanya agugumie kwa maumivu makali sana.

“Nimewauliza Hawa yupo wapi?”

“Ha…aha…awa. Nimemfu…ngia kwenye chumba chake”

“Muheshimiwa raisi, ninawaomba waingia, ila wahakikishe kwamba Hawa mtoto wa huyu firauni hapa wanamuoko”

“Nimekupata Dany, timu itaingia ndani ya dakika moja”

“Mshenzi unashirikiaana na wamarekani, wanakupa nini?”

Baba Hawa aliendelea kuzungumza huku akiwa ameyakaza meno yake kwa maumivu makali. Ndani ya dakika moja nikaanza kusikia milipuko huko nje pamoja na milio ya risasi ikirindima. Baba Hawa na Yudia wakazidi kuchanganyikiwa kwani kitu kinacho tokea hapa kinakwenda kuwashusha chini kwenye maisha yao yote.

Sikujaribu hata kukwepesha mboni ya macho yangu katika kuwaangalia baba Hawa na Yudia, ambao wote kwa pamoja wapo uchi kama walivyuo zaliwa. Galfa mlango ukafunguliwa kwa nguvu wakaingia wanajeshi wawili wa Al-Shabab, naamini wamekuja kwa ajili ya kumuokoa mkuu wao. Kwa haraka nikalala chini na kuwapiga risasi wakiwa katika harakati za kuingia ndani humu. Yudia akanirukia kutoka kitandani akiwa na kishu mkononi mwake. Kwa haraka kawahi kuishika mikono yake yote ili siku chake kisitue shingoni mwangu alipo kielekezea.

“Toka humu ndani mpenzi”

Yudia alizungumza huku akimuomba baba Hawa atoke ndani humu, ambaye taratibu akajitahidi kunyanyuka kutoka chini alipo kaa. Kusema kweli Yudia ana nguvu za mikono ambazo si rahisi kwa wanawake wengine kuwa nazo. Yudia akazidi kutumia nguvu katika kukishusha kisu chake, ila taratibu nikaanza kupata mafanikio ya kuigeuza mikono yake taratibu huku akinibana mbavu zake kwa miguu yake japo yupo uchi kabisa ila hakuna anaye jali utupu wake.

Nikamuona baba Hawa akitika katika chumba hichi huku akitembea kwa kwa kuchechemea, nikabana pumzi, nikaanza kunyanyuka chini nilipo lala chali huku Yudia akiwa amenikalia kiunoni mwangu. Nikafanikiwa kusimama nikatazama katika hichi chumba nikaona meza moja ya kiooa, nikatembea kwa mwendo wa taratibu huku nikiendelea kusikilizia maumivu ya mbaviu zangu zinavyo banwa na miguu ya Yudia aliyo izungusha kiunoni mwangu, huku mikono yangu ikiwa na kazi ya kukizuia kisu anacho hitaji kunichoma shingoni mwangu. Kwa Nguvu nikamshusha kwenye meza hii hadi ikavunjiaka na sote tukajikuta tukiwa tumeangukia kwenye hii meza ial Yudia ndio aliye tangulia chini kwa kuutanguliza mgongo wake. Yudia akapote nguvu ya kuhimili kukikamata kisu chake, ikawa ni rahisi kwa mimi kuweza kukishika kishu chake kwa mkono wangu wa kulia huku mkono wake wa kushoto ukiwa umeibana shingo yake kwa nguvu zangu zote.

“Imeisha sasa Yudia tutaonana ahera”

Kwa nguvu zangu zote nikakishusha kisu nilicho kishika kwenye sehemu zake za siri na chote kikazama ndani na kumfanya Yudia kutoa macho kwa maumivu makubwa. Sikutaka kuishia hapo nikachomoa kisu hicho kilicho jaa damu, nikakiandamiza kifuani mwake kwa nguvu, nikarudia kukishusha kwa mara nyinine ya pili. Mauaji ya familia yangu ya kikatili yakaanza kujirudia kichwani mwake.

“Ahahahahahahahahaaaaaghaaa”

Nilijikuta nikipiga kelele kwa nguvu na uchungu mkubwa huku nikikata kichwa cha Yudia pasipo huruma ya namna yoyote, damu nyingi zikanimwagikia kuanzia usoni mwangu ila sikulijali hilo hadi nilipo hakikisha kwamba nimekitenganisha kichwa na mwili.

“Dany Dany Dany”

Niliisikia sauti ya muheshimiwa raisi akiniita, sikumjibu kitu chochote zaidi ya mwili wangu kunitetemeka sana baada ya kuona nimekitengenisha kichwa cha Yudia na kiwiliwili cha mwili.

“Dany unatakiwa kutulia tafadhali, tulia Dany upo kwenye oparesheni unatakiwa kuiendelea, tafahdali tulia Dany”

Kumbukumbu ya Yudia jinsi nilivyo mkuta akicheza sebleni siku nilipo toka kulala hoteli ya mtendelea ikaanza kunijia kichwani mwake, uzuri alio barikiwa na mwenyezi Mungu ambao kusema kweli ulinipagawisha leo hii ndio umefikia mwisho tena kwenye mikono yangu. Nikajikuta nikizidi kutetemeka mwili wangu kwa woga sana, ni kazi rahisi kumuua mtu ambaye hujawahi kuwa naye kwenye mahusiano hata ya urafiki, ila ni ngumu sana kumua mtu ambaye ulisha wahi kuwa na mahusiano naye hata ya urafiki.

“Dany hadi sasa hivi tatufahamu ni wapi alipo mkuu wa Al-Shabab, tunakuomba uweze kurudi kwenye hali yako ya kawaida utusaidie kumpata huyu mzee”

“Muheshimiwa raisi”

Niliita taratibu huku machozi yakinimwagika usoni mwangu.

“Ndio Dany”

“Siwezi kuendelea na hii kazi”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Hapana Dany, kumbuka kwamba hawa watu ndio walio kuulia wazazi wako, hawa ndio walimchinja dada yako Diana, hawa ndio walimchinja malaika wako mwanao Diana ambaye hakuwa na hatia yoyote, hawa ndio walio mchinja Mama yako na hawa ndio walio mteketeza mama wa mwanao, ni wakati wako sasa kuhakikisha kwamba wanalipa kwa damu za watu walio kufa pasipo makosa ya aina yoyote. Nyanyuka pambana, kumbuka uliniahidi kwamba uliniahidi kwamba utapambana hadi dakika ya mwisho na wala huto niangusha katika hili. Dany wewe ndio tegemezi langu kwa sasa, nimeiweka nchi yangu kwenye rahani ipo mikononi mwako. Akoa mamilio ya Wamarekani, okoa mabilioni ya Waafrika amba kila siku wanakufa kwa kunyanyaswa na majeshi wa kundi hili, watoto, wanamama wanakuwa wakimbizi kwenye nchi zao kwa ajilili ya hawa watu. Tafadhali Dany pambana”

Nilimsikia raisi anavyo zungumza kwa uchungu, huku sauti yake dhairi ikionyesha kwamba anamwagikwa na machozi. Nikaitazama bastola yangu iliyo anguka pembeni taratibu nikaichukua bastola yangu huku nikinyanyuka, nikazitazama damu zilizo mwagika chini za baba Hawa. Kwa haraka nikaanza kuzifwata sehemu zinapo elekea kwa kuzitazama kwa umakini. Damu hizi zikazidi kuniongoza, nikaanza kushuka chini kweneye ngazi za hili gorofa. Damu hizi zimeingia kwenye chumba kimoja, kwa haraka nikaupiga tege mlango wa chumba hichi na ukafunguka. Katika chumba hichi kuna ngazi zinazo elekea chini na kuna mwanga wa taa ndani ya chumba kilichopo chini ya ardhi. Kwa haraka nikaanza kushuka huku nikiwa bastola yangu.

Nikaona kordo ndefu iliyopo chini ya hii ardhi, michuruziko ya damu inaelekea mbele, nikaanza kukimbia huku nikiifwata kwa umakini sana.

Nikazidi kuongeza kasi kukimbiza kuelekea mbele kuhakiksiha kwamba ninampata baba Hawa, na kichwani mwangu sifikirii tena kumpa nafasi ya yeye kuweza kuishi na nikimpata nitahakikisha kwamba ninamuua kama nilivyo fanya kwa Yudia. Nikajibanza kwenye moja ya kona huku nikisikilizia miguu ya watu wanao kimbia kusonga mbele, nikachungulia taratibu, nikamuona Stive, Hawa, baba Hawa pamoja na wanajeshi wengine wanne wa Al-Shabab wakisonga mbele. Huku wanajeshi hao mara kwa mara wakiwa wanatazama nyuma kuimarisha ulinzi, kwa haraka nikapiga ishara ya msalaba huku nikishusha oumzi nyingi. Nikajitokeza na kuanza kuwafyatulia walinzi wa baba Hawa risasi ambao kusema kweli hapakuwa na hata mmoja aliye weza kujificha kwa maana sehemu waliyo kuwepo kwenye hii kordo hakuna sehemu yenye kona inayoweza kuwafanya wajifiche na mtu ambaye ninaweza kujificha ni mimi kutokana nipo kwenye kona inayo niwezesha kujibanza.

Nikazidi kuwaangusha walinzi wa baba Hawa ambao hawakuna na namna yoyote zaidi ya wao kuwa kizuizi cha risasi ambazo ninazipiga kwa baba Hawa, kitu nilicho weza kukigundua ni kwamba Hawa katika zoezi hili hakuweza kushiriki kabisa na anavyo onekena ameshikiliwa mateka. Stive akajiweka mbele ya baba Hawa huku bunduki yaki ikiwa imemuishia risasi baba Hawa hana bunduki yoyote, taratibu nikaanza kuwasogelea huku nikiwa nimeshika bastola yangu. Sikumuonea huruma Stive zaidi ya kumpiga risasi ya kichwa, akaanguka chini na kufa. Baba hawa kwa haraka amashika Hawa huku akiwa amempiga kabali, kadri nilivyo zidi kuwasogelea ndivyo nilizo zidi kuweza kuiona sura ya Hawa akiwa katika masikitoko makubwa sana huku machozi yakimwagika usoni mwake. Taratibu Hawa akaanza kutingisha kichwa chake akioniomba nisiwasogelee, nikayashusha macho yangu hadi kwenye mkono wake wa kushoto sikuamini macho yangu kuona alivyo shika bumo la mkono ambalo akifyatua kipini chake basi yeye na baba yake wanakwenda kulipuka na kuchanguka vipande vipande na huo ndio utakuwa ni mwisho wa maisha yao.




“Dany nakuomba usije karibu” Hawa alizungumza huku akiendelea kumwagikwa na machozi mengi sana usoni mwake.

“Hawa, tambua kwamba huna makosa yoyote, baba yako ndio ninaye muhitaji hapa. Tafadhali mke wangu, ninakuomba usifanya hicho unacho hitaji kukifanya kwa sasa”

Nilizungumza huku machozi yakinimwagika usoni mwangu, sikutaka kusimama kama Hawa alivyo hitaji, nikazidi kutembea na kumsogelea ila bunduki yangu nikiwa nimeishika mkononi mwangu.

“Hawa nahitaji uishi karibu nami, nahitaji uwe mama wa watoto wangu, nahitaji tujenge familia, kumbuka fika mimi ndio mwanaume wako wa kwanza kuweza kuona mauongo yako ya ndani, ninafanya kila kitu kuhakisha kwamba ninakutunza, nina linda penzi lako, sina haja ya kuwa na mwanamke mwengine kama unanipenda ninakuomba usifanye chochote kibaya cha kukudhuru wewe” “Hawa usimsikilize huyu ni muongo, lipua mwanangu bomu tufe” Baba Hawa alizizungumza huku akiendelea kumkaba kabali Hawa, huku akiwa amejificha nyuma yake na ni ngumu sana kwa mimi kuweza kumpiga risasi baba Hawa kwani Hawa ndio kizuizi chake.

“Hawa kumbuka ni mangapi tuliyapanga, kwa nini unahitaji yaishe kwa namna hii, kwa nini unahitaji maisha yaende namna hii, tafadhali Hawa ninakuomba sana mke wangu” “Mwanangu huwezi kufa mikononi mwa Wamarekani, anakudanganya huyo ni mjinga mshenzi, kumbuka mama yako hata huko mbinguni anasubiri kuwa pamoja nasi, lipua bomu” Baba Hawa alizidi kuzungumza kwa msisitizo na kuzidi kumfanya Hawa amwagikwe na machozi mfululizo. Hawa akanitazama kwa macho yaliyo jaa huruma sana, kwa nguvu akamgeukia baba yake na kumkumbatia, mkono ulio shika bomu nikaona akiuingiza kwenye koti hili alilo vaa baba yake. Hawa akamsukumia baba yake pambeni na yeye akakimbilia upande wangu na sote tulalala chini huku nikiwa juu yake nikimfunika. Mlipuko mkubwa ukatokea huku vipande vya nyama nyama pamoja na damu vikiniangukia mgongoni mwangu.

Taratibu nikageuka na kutazama eneo alilo simama baba Hawa, nilicho kiona kimesalia ni kobazi alizo kuwa amezivaa tu, tena nazo zimekatika katika. Hawa akaka kitako huku akilia kwa uchungu sana, kwa nguvu nikamkumbatia huku nami machozi yakinimwagika.

“Yameisha mke wangu” Nilizungumza huku nikimkumbatia kwa nguvu Hawa.

“Dany nimemuua baba” “Hapana baby ilibidi iwe hivyo tu” Nilizungumza huku nikiendelea kumkumbatia Hawa kifuani mwake.

“Dany kazi nzuri” Niliisikia sauti ya muheshimiwa raisi akizingumza nami. Taratibu nikasimama, nikamsaidia Hawa kusimama, kwa mikono yangu miwili nikambeba Hawa na kuanza kutembea naye kuelekea nje. Tukakutana na baadhi ya wanajeshi wa Kimarekani ambao tayari wamesha weza kuiweka ngome chini ya ulinzi mkali, huku wanajeshi wengi wa baba Hawa wakiwa wameuwawa. Mwanajeshi mmoja akanisaidia kumbeba Hawa na kumuwahisha katika gari la jeshi linalo shuhulikia wagonjwa.

“Muheshimiwa raisi unanisikia?” “Ndio Dany ninakusikia” “Ninakuomba mke wangu Hawa umlinde kwa kila jinsi yeye ndio furaha yangu na wala siweza kuwa na furaha nyingine zaidi yake yeye”

“Nakuahidi Dany, nitahakikisha kwamba ninamlinda mpenzi wako, na hakuna jambo lolote litakalo mfika” “Nashukuru muheshimiwa raisi, ninakuambini katika hilo” Nikamtazama Hawa aliye lazwa kwenye kitanda cha wagonjwa, huku madaktari hawa wa jeshi wakiendelea kumpa huduma ya kwanza.

“Dany” Hawa aliniita kwa sauti ya upole sana huku akinitazama usoni mwangu.

“Ndio mke wangu” Nilizungumza huku nikiinama taratibu huku nikimtazama Hawa usoni mwake.

“Umefanya kazi kubwa sana” “Bila ya wewe kuwa moyoni mwangu wala nisinge weza kuifanya hii kazi peke yangu, nimefanya haya yote kwa ajili yako mke wangu” “Natambua hilo Dany, ninakupenda sana”

“Ninakupenda pia mke wangu” Tukaanza kunyonyana midomo yetu huku kila mmoja akiwa katika hisia kali sana.

“Dany, tunatakiwa kumpeleka mke wako hospitali kwa matibabu zaidi” Mwanajeshi mmoja alizungumza huku akiwa amesimama mbele yangu, taratibu nikauchanisha mdomo wangu na mdomo wa Hawa.

“Munampeleka hospitali gani?” “Katika kambi yetu ya Jeshi hapa Somali” “Sawa” Wanajeshi hawa wakambeba Hawa katika kitanda hichi cha wagojwa, wakamuingiza katika helicopter moja kati ya Helicopter nne za jeshi zilizopo katika hili eneo na taratibu ikaacha ardhi na kuondoka.

“Muheshimiwa raisi, oparesheni ya kufuta jeshi la Al-Shabab, imekwisha” “Nashukuru Mungu. Dany sasa unaweza unaweza kwenda kwenye kambi ya jeshi la Marekani hapo Somalia” “Sawa muheshimiwa raisi, ila inabidi kuendelea na opareshni ya kuwasaka Boko Haramu”

“Ni kweli ila unabidi upumzike kidogo” “Sawa muheshimiwa raisi” Nikaingia kwenye moja ya helicopter safari ya kuelekea katia kambi ya jeshi la Marekani hapa Somalia ikaanza. Sikuamini kwamba nimeweza kulipiza kiasi changu kwa asilimia ishirini na tano na hadi sasa hivi nimebakisha alisiliami sabini na tano ambazo bado sijafahamu kwamba ninazimaliza vipi. Hatukuchukua muda mwingi sana tukafanikiwa kufika katika kambi ya jeshi la Marekani hapa Somali.

“Ninahitaji kumuona mke wangu” Nilimuambia mkuu wa hii kambi aliyo kuja kunipokea hapa.

“Sawa twende huku” Tukapanda katika gari ndogo ya jeshi ambayo haijafunikwa kwa juu. Tukaondoka katika eneo hili la uwanja wa ndege za kijeshi. Kambi hii ina majengo mengi sana na ulinzi wake ni mkali sana.

“Umefanya kazi nzuri Dany” “Nashukuru” “Wewe utaifa wako ni Tanzania?” “Ndio” “Kwa nini usichukue uraia wa Marekani, na ukafanya kazi chini ya Marekani?” “Hahaaa, mimi ni muafrika na ni Mtanzania halisi, kwa hiyo siwezi kubadilisha utaifa wangu” “Sawa ni ombi tu niliko kuwa nina kuomba” “Nimekuelewa meja” Tukafika kwenye moja ya jengo, tukashuka kwenye gari hii, Tukaongozana hadi kwenye moja ya chumba. Meja akanifungulia mlango na nikaingia ndani kisha yeye akabaki nje, nikamkuta Hawa akiwa amelala kitandani huku ametundikiwa dripu la maji. Taratibu nikavuta kiti kilichopo karibu na kukaa karibu yake huku nikimtazama osoni mwake.

“Unaendeleaje mke wangu?” “Safi tu” Nikavua kinasa sauti sikioni mwangu na kukiweka mfukoni mwangu, nikavua pia kofia yangu na kuiweka pembeni.

“Pole honey” “Asante mke wangu, vipi wamekuambia una tatizo gani?” “Ni maji tu yamepungua mwilini mwangu, ila kila kitu kipo vizuri” “Nafurahia kusikia hivyo” “Vipi uliweza kumdhibiti Yudia?” “Ndio, niliweza kumdhibiti, na kwa sasa amekufa” Taratibu Hawa akashusha pumzi yake, akanishika mkono wangu wa kulia na kuuweka kifuani mwake.

“Moyo wangu kwa sasa una amani sana kwa sasa, umenifanya maisha yangu kubadilika. Kwa sasa Dany ninacho kifikiria ni kuwa mama, na mimi nina hitaji kuwa mwanamke mwenye familia yangu, watoto wangu” Hawa alizungumza kwa hisia kali sana huku akiwa amejawa na tabasamu zuri usoni mwake, lililo nifanya na mimi kujihisi furaha kubwa.

“Nashukuru kwa kulifahamu hilo mke wangu, nitahakikisha ninakulinda wewe hadi mwisho wa maisha yangu” “Asante baby”

Nikambusu Hawa kwenye paji la uso wake na furaha kubwa ikazidi kutawala katika mioyo yetu na ninaamini kwamba ukurasa mpya wa maisha umefunguliwa katika maisha yetu. Hawa akaniomba nikilaze kifua changu kifuni mwake, nikafanya hivyo, usingizi kwa mbali ukaanza kunipitia na kujikuta nikilala fofofo.

“Dany, Dany” “Mmmm” “Kumekucha mume wangu” Hawa alizungumza na kunifanya ninyanyue kichwa changu. Nikamkuta nesi akiwa amesimama pembeni yetu

“Umeamkaje mke wangu” “Nipo poa, nesi anahitaji kunihudumia” “Ahaa” Nilizungumza huku nikinyanyuka, nikaanza kujinyoosha viungo vyangu kwa maana nimechoka sana kwa kazi ngumu niliyo ifanya kwa siku hizi nne.

“Nesi mke wangu hali yake vipi?” “Yupo vizuri, ila maji tu ndio yalimpungua mwilini mwake” “Sawa” “Ila dripu hili ninalo muwekea ndio la mwisho baada ya hapa atakuwa salama” “Sawa” Nikasimama dirishani na kutazama nje, nikaona wanajeshi wakiwa katika mazoezi huku wengine wakikimbia mchaka mchaka katika mistari iliyo nyooka. Mlango ukafunguliwa akaingia meja wa jeshi aliye nipokea jana.

“Habari za asubuhi Dany” “Salama” “Kuna simu yako kutoka kwa muheshimiwa raisi” “Naiomba” Nikaichukua simu ya mkononi aliyo kuja nayo huyu meja, niakiweka sikioni mwangu huku nikimtazama Hawa usoni mwake.

“Muheshimiwa raisi” “Habari za asubuhi kwa uko Somalia?” “Salama muheshimiwa raisi” “Sasa kazi ya kwenda nchini Nigeria imeanza ila nitahitaji uwende kama mpelelezi, na kazi ya kuhakikisha kwamba unagundua ni wapi makao makuu ya Boko haramu itakuwa mikononi mwako” Taratibu nikashusha pumzi huku nikimtazama Hawa usoni mwake.

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Sawa muheshimiwa raisi” “Ila Dany nina ombi moja?” “Ombi gani?” “Katika hii oparesheni, mke wako Hawa aweze kuhusika nina imani atakuwa anafahamiana hata na baadhi ya viongozi wa kundi hilo na itakuwa ni rahisi sana kwenu katika hii kazi” “Ila muheshimiwa raisi, mke wangu kwa sasa hali yake sio nzuri sana ya kuweza kumfanya aifanye hii kazi” “Dany” Hawa aliniita huku akinitazama usoni mwake.

“Naomba nizungumze na muheshimiwa raisi” “Sasa hivi?” “Ndio” Nikamtazama meja pamoja na huyu nesi, nikamsogela Hawa.

“Muheshimiwa raisi mke wangu anahitaji kuzungumza na wewe” “Mpe simu” Taratibu nikampa simu Hawa, akaweka loudspeaker na kutufanya sote tusikie mazungumzo yake na raisi.

“Muheshimiwa raisi sasa unazungumza na mrs Dany” “Ndio Mrs Dany, nimemuomba mume wako muweze kuungana naye katika oparesheni ya kwenda nchini Nigeria, huko mutakuwa katika uchunguzi wa kufwatilia kundi zima la Boko Haramu, nina imani kwamba unaweza kufahamu baadhi ya viongozi ambao wanamiliko kundi hilo”

Nesi akatoka ndani ya chumba hichi na kutuacha sisi watatu.

“Nimekuelewa muheshimiwa raisi, ninamfahamu mtoto wa kiongozi mkuu wa hilo kundi, naamini kupitia yeye kazi inaweza kukamilika kwa kiasi fulani” “Nashukuru kusikia hivyo mrs Dany” “Ila mimi sinto kwenda, nitatoa maelekezo ambayo nina imani kwamba mume wangu anaweza kuifanya hii kazi pake yake” Kidogo nikajikuta nikishusha pumzi nikimshukuru Mungu kusikia kwamba Hawa hato jihusisha kabisa na oparesheni hii.

“Sawa mrs Dany ni maelekezo yapi hayo?” “Kwa sasa siwezi kuyatoa, hadi niweze kuwa katika sehemu salama na ya kuaminika” “Sehemu gani unahitaji kuwa Mrs Dany?” “Ninahitaji kuishi kwa kipindi chote cha hii oparesheni ya mume wangu hapo ndani ya ikulu yako, naamini Dany atakuja kunichukulia hapo akimaliza kazi yake.” Maeno ya Hawa yakatufanya mimi na meja kutazamana kwani sikutegemea kama Hawa anaweza kuomba kuishi katika ikuli ya raisi wa Marekani, ambayo inasifika sana kwa kuwea kulindwa kuliko ikulu yoyote Duniani.





“Hilo halina shaka mrs Dany, je kuna jingine zaidi?” “Hapana ninashukuru muheshimiwa raisi kwa kuweza kunielewa” “Sawa mpatie simu Dany” Nikaichukua simu na kutoa loudspeaker, nikaiweka sikioni kwa ajili ya kumsikiliza muheshimiwa raisi.

“Dany najua kwamba kwa sasa upo katika wakati mgumu sana, ila ninakuomba uvumilie kwa kila kazi inayo kuja mbele yako” “Muheshimiwa raisi ninalitambua hilo, ninakuomba umlinde mke wangu” “Nitahakikisha hakuna baya linalo mpata na ataishi hapa ikulu kwa kipindi chote ambacho utahitaji aweze kuishi hapa” “Nashukuru kwa kusikia hivyo” “Basi kwa sasa mke wako anaweza kutueleza juu ya mtoto wa huyo kiongozi wa boko haramu na kuanzi hapo tunaweza kuianza kazi” “Sawa muheshimiwa raisi” “Siku njema” Nikakata simu na kumrudishia meja.

“Tutawahitaji katika chumba cha maelezo baada ya nusu saa” “Sawa meja” Nikabaki na Hawa ndani ya chumba hichi, nikapiga hatua hadi mlangoni, nikaufunga mlango kwa ndani na kurudi kitandani. Nikamuinamia Hawa na kuanza kumnyonya midomo yake taratibu Hawa akaanz akuipitisha mikono yake nyuma ya mgongo wangu jambo lililo zidi kutufanya tuzidi kuzama kwenye dimbwi zito la mapenzi. Taratibu nikamchomoa Hawa sindano iliyo chomwa kwenye mkono wake inayo ingiza maji kwenye mishipa yake.

Nikavua tisheti yangu na kubaki kifua wazi. Hawa akaanza kuninyonya kifua changu kilocho jengenga vizuri kwa mazoezi, Hawa alipo rizika kunyonya kifua changu na mimi nikaanz akunyonya maziwa zyeka huku nikiyaminya minya taratibu.

“Dany” “Mmm!!” “Naomba” Hawa alizungumza kwa sauti iliyo jaa mahaba mengi ndani yake, nikazidi kunyonya maziwa yake kwa utaalamu wangu wote. Nilipo hakikisha kwamba yupo vizuri taratibu nikaanza kula kitumbua changu huku ya yeye akifahidi utamu wa jogoo wangu. Kila mmoja akajitahidi kuhakikisha kwamba anamridhisha mwenzake kwa kadri awezavyo yeye mwenyewe. Mechi yetu ikamalizika ndani ya nusu saa, na sote tukajikuta tukiwa tumeridhika kwa tulicho kifanya. Taratibu nishuka kitandani, nikamnyanya Hawa kutoka kitandani, nikambeba hadi bafuni ambapo ni humu humu ndani ya hichi chumba.

“Dany natambua kwamba hii kazi ambayo unayo iendea ni hatari sana, ila inabidi uwe makini mume wangu kwa maana bado ninakuhitaji na bado ninakutegemea kwenye maisha yangu. Kwa sasa wewe ndio baba, wewe ndio mama na wewe ndio ndugu”

“Usijali Hawa nitahakikisha kwmaba kila jambo linakwenda sawa kama tulivyo panga sawa mama” “Sawa mume wangu, ila ninakuomba sana tena sana uwe makini, ukishindwa hii kazi ninakuoba urudi tu, tutatafuta hata sehemu ya kwenda kuishi wawili, hakutakuwa na haya ya wewe kuendelea na haya mambo, nahitaji uwe baba mzuri atakaye ilinda familia yake kwa garama yoyote itakayo jitokeza kwenye maisha yake” “Nitakuwa baba mwema, nitahakikisha hizi kazi mbili ninazimaliza, na nikimaliza hapo nitaachana na kila jambo ambalo linauhusiana na kulipiza kisasi ama usalama” “Nitashukuru mume wangu” Taratibu Hawa akanikumbatia huku machozi yakimwagika, taratibu nikakilaza kichwa chake kifuani mwangu huku nikimbembeleza taratibu. Taratibu Hawa akaniachia huku akifuta machozi yake usoni mwake, akaizungusha koki ya bomba iliyopo pembeni, taratibu maji yakaanza kutumwagika mwilini mwetu. Tukaanza kuogeshana huku tukicheza baadhi ya michezo ikiwemo kutekenyana katika mbavu zetu. “Hapo awali sikuweza kufahamu kwamba mapenzi yana raha. Baada ya kurudi Somali juzi, nikliona maisha yangu kwangu ndio basi tena, nilihisi kwamba sinto kuona tena, na baba yangu alinihitaji kukusahau ila haikuwa rahisi kama alivyo dhani. Nililia sana, nilijaribu kujiua kwa mara kadhaa, ila niliweza kuzuiliwa, ila jana nilivyo weza kusikia uwepo wako, sikuweza kuamini sana hadi pale nilipo kuona. Dany moyo wako ninakuomba usimpe mwanaume yoyote, tafadhali ishi na mimi, tafadhali linda pemzi langu, chochote kitakacho tokea kwenye maisha yetu nakuomba ukumbuke una mwanamke anaye jiheshimu na kukupenda katika maisha yake yote” “Shukrani Hawa, nitakupenda na kukujali katika maisha yangu, na kama jana ungejiua na baba yako wala nisinge weza kuifikisha siku ya leo na mimi ningekuwa nimesha jiua” “Ila Mungu hakupanga iwe hivyo” “Kweli” “Tumalize nahisi watakuwa wanatusubiria sisi” Tukamalizia kuogo na kutoka bafuni, Hawa akavaa nguo zake wanazo vaa wagonjwa huku na mimi nikivaa kombati zangu za jeshi. Nikaufungua mlango, nikakutana na meja akiwa amesimama na inaonekana ni kwa muda mrefu alikuwa amesimama akisubiria tumalize kufanya tunacho kifanya ndani ya chumba hichi.

“Tunaomba dakika tano meja” “Sawa” Nikaurudishia mlango na kumsogelea Hawa, nikazishika nywele zake ndefu zinazo karibia kufika mgongoni, taratibu nikaziweka vizuri huku tukitazamana. Nikambusu mdomoni mwake, kisha na kumshika mkono wake wa kulia.

“Upo tayari kwa kutoka?” “Ndio honey” Tukatoka kayika chumba hichi, tukaongozana na meja hadi kwenye chumba kikubwa, tukakuta viongozi baadhi wa jeshi, pamoja na Tv kubwa.

“Tutawasiliana na raisi muda si mrefu” “Sawa” Tukaka kwenye viti viwili ambavyo tayari vilisha andaliwa kwa ajili yetu. Tv hii kubwa ikawasha na tukamuona raisi akiwa katika ofisi yake nchini Marekani. Akatusalimia wote kwa pamoja na sote tukaitikia.

“Nisiwapotezee muda mwingi sana katika hili tunalo kwenda kulijadili hapa, ila kitu kikubwa kwamba, jana tumefanikiwa kuangusha kundi moja la Al-Shabab hapo nchini Somalia, na kiongozi wao amaeweza kuuwawa.” “Opareshini inayo fwata kwa sasa ni kuliangamiza kundi la Boko Haramiu, ambapo wiki iliyo pita tu, liliweza kuvamia shule ya wanafunzi wa kike nchini Nigeria na kuweza kuwaua mia moja na sita huku wanafunzi mia tatu hadi sasa havi serikali ya Nigeria wala sisi hatujui ni wapi wabini hao walipo” “Opareshni hii, nimemkabidhi Dany, na yeye ndio atakuwa mpelelezi katika kuweza kufahamu ni wapi kundi hilo lililo na ni wapi wanafunzi hao wameshikiliwa, kwa maana kwa sasa hatujadilia maswala ya Marekani peke yake, ila tunajadili maswala ya dunia nzima kwa ujumla. Mrs Dany amekiri na kusema kwamba anaye mtu wa karibu sana na kundi la Al-Shabab, ambaye anaweza kutuongoza sisi kufahamu ni wapi lilipo kundi hilo. Sasa Mrs Dany ninakuomba uweze kuteleza ni wapi tunaweza kumpata huyo rafiki yako” Sote tukamtazama Hawa, aliye nitazama na mimi kwa sekunde kadhaa kisha akamtazama raisi tunaye muona kupitia hii Tv kubwa.

“Rafiki yangu anaitwa Yemi Okocha, ni mwana mitindo mkubwa sana nchini hapo Nigeria, na kazi zake pia baadhia nazifanya nchini Marekani pamoja na South Afrika. Yemi Okocha sio jina lake la kuzaliwa, ila jina lake halisi anaitwa Tayana Mohamed Alade. Baba yake ndio kiongozi wa Boko Haramu, alikuwa ni mwajeshi aliye hasi inchi yake na kutengeneza kundi lake hilo kubwa, linazo zidi kupata umaarufu siku hadi siku.” Mtaalamu wa maswala ya mitandao, kwa haraka aliweza kutuletea picha ya Yemi Okocha, kwenye kila Laptop iliyopo katika meza hii. Ni binti mzuri sana, mredu mwenye umbo zuri ana kila sifa ya kuitwa msichana mzuri.

“Makao makuu ya Yemi Okocha ni Victoria Island Lagos na jina la kampuni yake ni Y.O Entertiment. Hayo mimi ndio ninayo yafahamu kuhisiana na Yemi Okocha, ninamaini kwamba yatakuwa ni muongozo mzuri sana kwa Dany kuanza kuifanya kazi yake” “Tunashukuru kwa msaada wako mkubwa Mrs Dany. Naamini mumesikia wote, sasa hapo ninacho hitaji ni kuweza kufahamu mchango wenu ni jinsi gani Dany anaweza kwenda na kuanza kuifanya hii kazi” “Muheshimiwa raisi nianze kwa kuzungumza mimi mwenyewe, mpango mzima wa kwenda kuifanya hii kazi ningeomba uniachie mimi, japo ninaamini kwamba itachukua muda mrefu kiasi ila itabidi nifanye hi

vyo ili kazi yetu iweze kukamilika. Ninacho kiomba katika hili, ninaomba pesa ya kutosha na nitakwenda kama raia wa kawaida kabisa kwa maana katika hili hakuna haja ya kutumia nguvu ya jeshi kwani inaweza kwenda kuinua vita kubwa. Tukiweza kupata uhakika kwamba ni wapi kundi la Boko Haramu lipo basi hapo hata nguvu ya jeshi itahitajika” “Sawa nimekuelewa sana Dany, je kuna mtu ana jambo la kuchangia katika hii oparesheni”

Watu takatazamana na hakuna aliye zungumza kitu chochote, ikimaanisha kwamba hakuna ambaye anahitaji kuchangia chochote.

“Basi meja ninakuachia jukumu zima la kuhudumia hati za usafiri kwa Dany, pamoja na pesa atakayo hitaji basi aweze kupatiwa” “Sawa muheshimiwa raisi”

“Kikao kimekwisha” Tv ikazimwa, taratibu tukanyanyuka, nikamshika Hawa mkono na kutoka katika chumba hichi.

“Meja naomba unipatie simu niwasiliane na raisi moja kwa moja?” “Kuna tatizo?” “Hili ni jambo binafsi” “Sawa” Meja akanipatia simu yake ambayo tayari alisha mpigia raisin a simu ipo hawani.

“Ndio meja” “Hapana muheshimiwa raisi ni Dany hapa” “Ndio Dany” “Hatujazungumzia kuhusiana safari ya mke wangu?” “Kuna private Jet ipo jiani inakuja kumchukua mke wangu, nilihitaji kukuambia hilo baada ikiwa imesha fika, naamini baada ya msaa manne itakuwa imesha fika hapo” “Shukrani muheshimiwa raisi kwa kunijali katika hili” “Karibu na nijukumu langu mimi kuweza kufanya hivyo” “Basi ikifika nitakujulisha muheshimiwa raisi” “Sawa” Nikakata simu na kumkabidhi meja simu yake.

“Dany pesa, yote itaingizwa kwenye akaunti yako ambayo kwa sasa ipo katika hatua za mwisho kufunguliwa. Hati pamoja na vitu vyote vinatengenezwa, ila itabidi kwa sasa utumie jina tofauti na Dany” “Jina gani?” “Utatumia Peter Lukas Otieno, uraia wako utaonekana kwamba wewe ni Mkenya, hakikisha kwamba hilo unaliweka kichwani mwako” “Nimekuelewa meja” “Mrs Dany, utaongozana na nesi hapo, utaeleka chumba cha mavazi, utaandaliwa nguo zako za safari ndani ya muda mfupi ndege binafsi ya raisi itatua katika kiwanja chetu na safari ya Marekani itaanza” “Sawa meja” “Dany naomba unifwate”

Nikambusu Hawa kwenye paji la uso kisha tukaachana na mimi nikaongozana na meja hadi katika ofisi yake. Akanikaribisha kwenye sofa nzuri zilizopo kwenye hii ofisi, sote tukaka.

“Unahitaji kinywaji?” “Hapana, sijapata chai hadi sasa hivi” “Ohoo basi mukumbuke kupata kifugua kinywa hata kabla ya mke wako hajaondoka.” “Sawa meja” “Dany kitu ambacho ninakuomba, ninatambua kwamba unampenda sana mke wako, natambu hilo kwa muda mchache ambao tumekaa hapa” “Ni kweli?” “Kitu kikubwa ninacho kuomba katika hii oparesheni hakikisha unafanya jambo lolote ili hoyo msichana awe mikononi mwako, hata ikiwezekana tumia njia ya usaliti” “Uma naanisha nini meja?” “Hata kwa kutembea naye kimapenzi fanya hivyo, japo natambua utahatarisha ndoa yako ila hakutakuwa na jinsi nyingine ya kufanya ziaid ya kuwa na mahusiano na msichana huyo kwa maana una vigezo vyote vya kumvutia mwanamke yoyote, hata awe mke wa mtu ni lazima atavutiwa na wewe tu.” Maneno ya meja yakanifanya nikae kimya huku nikishusha pumzi nyingi na maneno ya Hawa baadhi tuliyo yazungumza bafuni kuhusiana na kulilinda penzi letu yakaanza kunirudia kichwnai mwangu tarataibu.






“Dany, Dany”

Sauti ya meja ikanistua kutoka katika dibwi zito la mawazo ya maneno ambayo tuliyapanga mimi na Hawa.

“Naam”

“Natambua ya kwamba ni ngumu sana kumsaliti mke wako ambaye unampenda.Unajua kipindi nilipokuwa na umri kama wako, nilikuwa na mwanamke niliye mpenda sana japo kwa sasa ni marehemu, ila hadi leo ninaamini kwamba kifo chake nimekisababisha mimi ila sikuwa na jinsi”

Meja alizungumza kwa sauti ya chini huku akinitazama usoni mwangu.

“Basi nilimpenda sana Elistrida, tangu tulipokuwa shule ya msingi tulianzisha mahusiano hadi tukafikia umri wa kuona. Mipango ya harusi ilifanyika, mwezi mmoja kabla ya harusi yetu niliweza kupewa kazi ya upelelezi kwenda nchini Pakistani, nilipewa jukumu la kuweza kuchunguza ni wapi lilipo kundi la Alquida.”

Nikaanza kumuona meja machozi yakianza kumlenga lenga usoni mwake, ila nikazidi kujikausha kimya ili kuendelea kusikiliza kwa kile anacho nisimulia kwa muda huu.

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Nilipata mwanamke mmoja wa kipakistani, ambaye niliambiwa nihakikishe kwamba ninamueka mikononi mwangu hususani kimapenzi, kutokana kipindi kile nilikuwa kijana mzuri, bado uso hajajikunja na uzee huu, basi niliweza kufanya kama nilivyo fanya. Yule msichana alinipenda sana ndani ya muda mchache sana, aliweza kunipatia kila aina ya taarifa niliyo kuwa nina ihitaji. Nilipo fanikiwa kumaliza kazi yangu, basi niliondoka nchini Pakistani na kurudi Marekani pasipo msichana yule kufahamu.”

“Nikiwa sielewi ni kitu gani kinacho endelea nyuma yangu, siku ya harusi ikawadia, huku baadhi ya wakuu wangu wa kijeshi waliweza kufika kanisani. Tukiwa katikati ya ibada pale kanisani, Tv zote kubwa ndani ya kanisa, zikaanza kuonyesha video ya ngono ambayo nilikuwa na yule msichana, kumbe yule binti kila kitu tulicho kuwa tunakifanya alikirekodi pasipo mimi kufahamu”

Meja machozi yakaanza kumchuruzika kwenye mashavu yake, japo ni mzee wa miaka kama stini ila ameshindwa kabisa kuyazuia machozi yake mbele yangu.

“Mke wangu baada ya kuona vile, akachanganyikiwa kabisa, akaanza kukimbia kuelekea nje ya kanisa, nguvu ziliniishia, ila baadhi ya wanajeshi walijaribu kumshika, katika kurupushani za kumshika, akachomoa bastola ya kijana mmoja na kwa haraka sana aliweza kujipiga risasi ya mdomo na ikatokea nyuma ya kich……”

Meya akashindwa kumalizia hadithi yake na machozi yakazidi kumwagika usoni mwake, taratibu akanayanyuka kwenye sofa alilo kalia na kutemeba hadi katika kiti kilichopo hapa ofisini kwake. Kwa ishara akaniomba nitoke ndnai ya ofisi yake. Taratibu nikanyanyuka na kumtazama usoni mwake, akaendelea kunisisitizia kwa ishara nitoke ofisini kwake. Taratibu nikachukua kitambaa kilichopo juu ya hii meza, nikakikunja vizuri na kuwa kitambaa ambacho anaweza kujifutia machozi, kisha nikamuwekea juu ya meza yake na kutoka ofisini hapa.

“Nesi”

“Ndio”

“Mke wangu yupo wapi?”

“Yupo katika chumba cha mavazi”

“Unaweza kunipeleka?”

“Hakuna shaka katika hilo”

“Sawa”

Nikaongozana na nesi hadi katika chumba cha mavazi, nikamkuta Hawa akipimwa pimwa vipimo vya nguo. Nesi akatoka na kuniacha nikimtazama Hawa na wapimaji hawa ambao nao ni wanajeshi wa kike ila wana fani ya ufundi.

“Dany nimepungua eheee”

Hawa alizungumza huku akinifwata usoni mwake akiwa amejawa na tabasamu pana.

“Sio sana”

“Ila ni tofauti na mwanzo?”

“Yaa ila kwa hekaheka ambazo tumezipata kupungua ni lazima”

“Kweli vipi mbona unaonekana kama huna raha mume wangu?”

“Hapana, mke wangu, wanakushonea kitu gani?”

“Kuna suti mmoja wamenionyesha picha nikaipenda sana”

“Waoo sasa wanaweza kuimaliza kwa leo?”

“Sio leo tu yaani wataimaliza ndani ya dakika kumi na tano, yaani hawa wadada ni wataalamu sana”

“Duuu kazi kweli kweli”

Nilijaribu kujifurahisha ila kusema kweli woga umesha anza kuniingia katika moyo wangu, kwani historia ya meja, imenifanya nipoteze hata hamu ya kuifanya kazi iliyopo mbele yangu.

“Dany ninakujua vizuri sana mume wangu, ninakuomba uniambie ni kitu gani ambacho kinakusumbua akilini mwako?”

Hawa alizungumza huku akinitazama usoni mwangu kwa macho makali. Nikaka kimya kwa sekunde kadhaa, nikawatazama wadada ambao tayari wamesha anza kuishona suti ya Hawa wakishirikiana. Nikamshika Hawa mkono wa kulia, tukasogea hadi kwenye viti vilivyopo mbali kidogo na hawa wadada japo ni ndani ya hichi chumba.

“Niambie mume wangu una tatizo gani?”

“Baby ninaogopa kuifanya hii kazi”

Hawa taartibu akashusha pumzi huku akinitazama kwa sura ya masikitiko, taratibu akanishika mashavu yangu kwa viganja cya mikono yake.

“Dany natambua unaogopa kwa maana sehemu unayo kwenda ni mpya na hakuna mtu hata mmoja ambaye unamjua au aliwahi kukufanyia ubaya. Ila kumbuka kwamba hii ni vita mume wangu. Dunia nzima, watoto wadogo, wanamama, wasichana ambao wanaishi katika mateso ya kukimbia vita kila siku wanakutazama wewe, wanakutegemea wewe. Hii ni nafasi ya pekee ambayo hata kwa Mungu ninaamini atakuandikia dhwawabu. Tafadhali Dany usiniangushe chini, nipo nyuma yako hakikisha kwamba unanifanya nijisifie mbele za wanawake na hata dunia kwa ujumla kwamba mume wangu ni mtu imara na mtu makini sana”

Hawa alizungumza kwa sauti ya upole iliyo jaa ushawishi na mahaba mazito ambayo taratibu nikajikuta nikiishiwa na wasiwasi ambao ulikuwa umeanza kunitawala moyoni mwangu.

“Ila mke wangu sielewi hii kazi ninaanza anzaje kuifanya hembu ninaomba unipe japo mwangaza kidogo, ili niweze kufahamu kwamba binti huyo anapendelea kitu gani?”

“Ahaa, Yemi anapenda sana kuogelea, nakumbuka kipindi tupo chuo, alikuwa hapitishi hata siku mbili kabla ya kwenda kuogelea, pia Yemi anapenda sana chocolate, hivyo ni vitu vikubwa sana anavyo vipenda”

“Chocolate!!?”

“Yaa mbona unashangaa mume wangu?”

“Hicho ni kitu cha kaiwada sana”

“Mume wangu hujatujua sisi wanawake hususani kwa sisi ambao tunatoka katika familia za kitajiri, huwa hatapendi vitu vikubwa kwa maana kila kitu tumekikuta kwenye familia zatu na si washamba sana wa kushadadia vitu vikubwa kama gari na mambo mengine kama ilivyo kwa kuwa kwa wasichana hawa wa kawaida”

“Sawa mke wangu, sasa daaaa.”

“Dany hii kazi ndio itakufanya wewe uwe juu zaidi ya hapa ulipo. Ifanye kwa moyo mmoja, hata siku mtoto wetu aje kujisifu kuwa na baba kama wewe”

“Nimekuelewa mke wangu nitafanya, Mungu aniongoze katika hili”

“Namini hakuna utakacho shindwa”

Maneno ya Hawa yakazidi kunifariji na kunipa moyo wa kuifanya kazi iliyopo mbele yangu. Katika muda huu tulio kaa hapa, washonaji hawa wakawa wamemaliza kushona suti ya Hawa. Wakamkabidhi, akaijaribisha na kwa jinsi Hawa alivyo penda suti yake iwe ndivyo ilivyo kuwa.

“Umependa mke wangu”

“Yaa siivui hii suti hadi Marekani”

“Hahahaa, usifanye hivyo mke wangu”

“Sikutanii honey, hapa ndio imetoka”

Malango wa chumba hichi ukafunguliwa, akaingia meja akiwa katika hali ya furaha hadi nikabaki nikiwa nimeduwaa.

“Mrs Dany umependeza sana”

“Nashukuru meja”

“Sasa ndege imesha fika, sijui upo tayari kwa safari tuelekee uwanjani?”

Hawa akaniangalia usoni mwangu na akabaki akiwa na kigugumizi kilicho nifanya nijibu mimi.

“Ahaa meja naomba nipate kifungua kinywa na mke wangu kisha baada ya hapo tutaelekea uwanjani”

“Sawa tuongozane katika bwalo la chakula”

Tukaelekea katika jengo linalo tumika kwa wanajeshi kuweza kupata chakula. Tukahudumiwa na wahudumu wa hapa.

“Kusema kweli Dany na mke wako mumeendana sana, sipati picha mtoto wenu atafananiaje?”

“Atafanana na baba yake?”

“Mmmm mimi nnataka mwanagu afanane na mke wangu?”

“Wapi atafanan na wewe kwa maana wewe ndio baba”

“Sasa akiwa wa kike unataka nifanane naye pia?”

“Tena ukifanana naye atakuwa bonge moja la mrembo kwa maana mmmmmm, mume wangu wewe mzuri. Ila ninakuomba kwamba huko unapo kwenda tafadhali ninaomba unilindie penzi langu, sinto taka kusikia wala kujua kwamba umeingia kwenye mahusiano na msichana yoyote mume wangu sawa”

Tukatazamana na meja kwa macho ya kuiba, jambo ambalo Hawa hakulistulia kabisa. Nikatabasamu kidogo huku nikijiweka vizuri shati langu.

“Sasa kwa mfano ukajua mume wako ametoka kimahusiano na mwanamke mwengine inakuwaje?”

“Ahaa bora oparehsni ife kwa kweli, wanawake wa sasa wana magonjwa mengi, ninampenda mume wangu, nahitaji tujenge familia yenye afanya”

“Ila hujanijibu kwamba ukijua kwamba imekuwa hivyo utafanyaje?”

“Huyo mwanamke kwanza nitashuhulika naye kwa kweli, ni bora nirudi katika hali yangu ya ugaidi kwa muda wa kumshuhulikia huyo mwanake kisha sasa hapo ndipo hali ya kawaida itaendelea”

Nikamuona meja akishusha pumzi taratibu taratibu huku akinitazama kwa umakini sana.

“Ahaa mke wangu hilo jambo haliwezi kujitokeza nakupenda sana”

“Natambua hilo mume wangu na ninakuamini katika hilo”

“Nashukuru kwa kuniamni”

Tukamaliza kupata kifungua kinywa, tukaingia kwenye gari la jeshi na moja kwa moja likatupeleka hadi uwanja wa ndege. Tukakuta mizigo ya mabegi ya Hawa, iliyo jazwa nguo ikiwa tayari imesha fikishwa kwenye uwanja wa ndege. Tukashuka kwenye gari na kuanza kutembea hadi ilipo ndege hii ya kifahari inayo milikiwa na raisi wa Marekanani. Nikamsaidia Hawa kuingiza mabegi ndani ya ndege hii inayo beba abiria wasiozidi wanne.

“Mke wangu unakwenda Marekani, ninakuomba uwe makini sana, ninakuomba uhakikishe kwamba unanitunzia penzi langu, sihitaji siku itokee nijue kwamba una mwanaume mwengine ndani ya ikulu, utanifanya nibadilike, utafanya zoezi hili lote libadilike na kuwa baya sawa mke wangu”

Nilizungumza huku nikiwa nimekumbatia Hawa, ndani ya hii ndege.

“Nimekuelewa mume wangu, siwezi kufanya hivyo, naytambua thamani yako. Natambua umuhimu wako kwangu, nakuahidi kamwe sinto weza kufanya ujinga wa aina yoyote wa kukuumiza wewe roho”

“Ninashukuru mke wangu”

Taratibu tukaanza kunyonyana mdiomo yetu huku ndimi zetu zikiwa na kazi ya kuzunguka katika kila kona ya midomo yetu. Taratibu tukaachiana huku sote tukilengwa lengwa na machozi.

“Nakupenda sana mume wangu”

“Hata mimi pia ninakupenda, ninakuomba ukae sasa uanze safari”

Taratibu nikamkalisha Hawa kwenye siti, nikamfunga mkanda wa siti, taratibu nikambusu kwenye paji la uso wake, kisha nikambusu kwenye midomo yake na taratibu nikaanza kushuka pasipo kuangalia nyuma kwa maana Hawa, alisha anza kuangua kilio.

Nikapiga hatua hadi alipo Meja, taratibu mlango wa ndege hii ukafunga, mlio wa ndege ukaanza kutawala kwenye masikio yetu, taratibu ndege hii ikaanza kuondoka eneo hili, hatukuhitaji kuondoka hadi tulipo ishuhudia inaicha ardhi ya Somalia nasi ndio tukajikuta tukitazamana.

“Mke wako yale aliyo yazungumza ana yamaanisha”

“Ni kweli meja, na Hawa akizungumza ujue amezungumza inabidi kuwa makini naye sana katika hili la sivyo tutajikuta tunashindwa kufanya kitu chochote kwenye hii oparesheni”

“Kweli Dany”

Tukaingia kwenye gari na safari ya kurudi kwenye majengo yetu ukaanza. Simu ya meja ikaanza kuita, akaitoa mfukoni mwake na kuipokea.

“Ndio”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Sawa tupo njiani tunakuja”

Akakairudisha mfukoni mwake na kunigeukia.

“Hati zako za kusafiria zipo tayari na utaondoka na ndege ya saa mbili usiku”

“Sawa meja, na jina nitakalo litumia ni Peter”

“Yaa, uraia wako ni Kenya”

“Sawa meja”

Tukafika ofisini kwa meja, nikakabidhi kila kitu pamoja na kadi ya benki ambayo inaonyesha jina langu pamoja na picha yangu.

“Kwenye akaunti yako ya beki kuna dola laki tano, nina amini kwa kipindi chote utakacho kaa Nigeria zitakusaidia na endapo zitakuishia, basi utawasiliana nasi”

“Sawa meja”

“Nguo zako zipo katika chumba kingine, huko huwezi kwenda na hizi gwanda, wasije wakakustukia bure wakakuua mapema”

“Kweli meja”

“Basi unaweza kupumzika, hadi saa moja moja tutaonana, na nitakusindikiza uwanja wa ndege”

“Nitashukuru meja”

Nikatoka ofisini kwa meja na kumuacha aendelee na majukumu mengine. Nikaingia katika chumba cha mavazi ya kiume ambacho kipo karibu kabisa na chumba cha mavazi ya kike. Nikachagua nguo chache za kuvaa niendapo, nilipo hakikisha kwamba nimepata nguo nzuri, nikaziweka katika begi dogo la mgongoni huku nikiwa nimezikunja vizuri. Nikahifadhi hati yangu ya kusafiria ila kadi yangu ya benki nikabaki nayo mfukoni.

Nikaanza kuzunguka maeneo ya kambi hii ya jeshi, ambayo kusema kweli imejengwa kwa ustadi wa hali ya juu na ina eneo ambalo ni kubwa sana, nikaanza kutazama jinsi wanajeshi wa Kimarekani wanavyo fanya mazoezi yao hususani ya kijeshi, nikafika kwenye moja ya kiwanja nikakuta wanafanya mazoezi ya jinsi ya kumlinda raisi pale anapo vamiwa kwenye msafara, kusema kweli nikajukuta nikufurahi sana, japo mimi mwenyewe nilisha wahi kuyajifunza nilipo kuwa nipo NSS, ila mafunzo yao yana ubora kulilo niliyo fundishwa mimi miaka kadhaa iliyo pita.

Saa kumi na mbili jioni nikarudi kwenye chumba cha mavazi, nikaingia kwenye bafu lililopo hapa chumbani, nikaoga na kubadilisha nguo zangu. Nikavaa suruali ya jinsi yenye gengi yeusi pamoja na tisheti nyeusi iliyo nibana vizuri mwili wangu, nikava buti yeusi za kisasa, nikabeba begi langu la ranyi nyeusi, mgongoni kisha nikatoka katika chumba hichi. Nikaingia ofisini kwa meja, nikamkuta akipanga panga mafaili yake vizuri.

“Hapo upo vizuri, tunaweza kuondoka sasa”

“Sawa meja”

Tukaeleka kwenye gari binafsi la meja, tukapitia kwene moja ya nyumba anayo ishi humu ndani ya kambi, akabadilisha nguo zake na safari ikaendelea. Tukafika uwanja wa ndege wa nchini Somalia ulipo hapa Mogadishu. Kabla ya kushuka kwenye gari, meja akanipatia kibunda cha dola mia mia zilizo fungwa vizuri.

“Ni dola elfu kumi, utatumia kwa kuanzi maisha”

“Nashukuru sana meja”

“Nikutakie safari njema”

“Shukrani”

Nikashuka kwenye gari na moja kwa moja nikaanza kuelekea kwneye gari huku nikiwa makini sana. Nikapanga foleni kwenye mstari wa abiria wanao suburia kukaguliwa. Mbele yangu kuna dada wa kizungu ameshika kioo kikubwa kiasi akijipamba nyusi zake, nikabahataika kupata upenyo mdogo wa kuangalia mtu aliye nyuma yangu, nikajikuta nikistuka baada ya kuona jamaa wawili wa kiarabu wenye ndevu nyingi wakiwa nao wamesimama kwenye hii foleni. Nikavuta kumbukumbu kwamba ni wapi nilipo waona jamaa hawa wawili. Kumbukumbu zangu zikaangukia katika kambi ya Al-Shabab, na mmoja kati ya hawa jamaa alikuwa ni mlinzi wa baba Hawa, sijafahamu ni wapi wanapo elekea ila mstari ambao nipo mimi sote tunapanda ndege moja, hapa ndipo nikaanza kupata wasiwasi mkubwa sana juu ya hawa jamaa kama hawapo hapa kwa ajili ya kutoroka basi wapo hapa kwa ajili yangu kwani mimi ndio muharibu mkubwa wa kambi yao.




Taratibu foleni ikazidi kusonge mbele, dada huyu wa kizungu akamaliza kujipamba uso wake na kurudisha kioo chake ndani ya pochi yake. Ikafika zamu yangu, nikakabidhi hati yangu ya kusafiria pamoja na begi langu, nikaliweka katika mkanda maalumu wa kukagulia mizigo.

“Karibu muheshimiwa” Kijana huyu wa hapa uwanja wa ndege alizungumza huku akinikabidhi hati yangu ya kusafiria. “Asante” Nikachukua hati yangu ya kusafiria kisha, nikapiga hatua mbili mbele na kuchukua begi langu la mgongoni. Nikatembea kwa umakini hadi kwenye moja ya nguzo na kujibanza na kuwaangalia jamaa hawa. Nikawaona wakiwa wamesimama kwenye mlango maalumu wa kuelekea katika ndege. Kwa mauonekano wao hakuna hata mmoja ambaye ananifwatlia mimi. Taratibu nikaanza kupiga hatua hadi kwenye mlango wa ndege hii, nikajumuika na abiria wengine kuingia ndani.

“Karibu” Wafanyakazi wa shirika la hii ndege walitukaribisha kila abiria anaye ingia huku kila mmoja akionyesha tiketi yake. Nikaanza kutafuta herufi ya siti yangu ambayo na ‘J2’. Sikuchukua hata dakika moja nikawa nimefanikiwa kufika katika siti yangu, nikamkuta dada wa kizungu ambaye nilikuwa nimeongozana naye akiwa amesha kaa kwenye siti yake ambayo ni ‘J1” “Mambo” Dada huyu alinisalimia kwa lugha ya kingereza.

“Poa habari yako” “Salama, ninaitwa Jane” “Peter” “Ahaa una jina kama la mdogo wangu wa mwisho” “Yaaa tutakuwa tumefanana majina”

“Ninakwenda Nigeria wewe je?” “Hata mimi pia ninakwenda Nigeria” Nilizungumza huku nikiwatazama jamaa hawa wawili wakikaa kwenye siti zao ambazo zipo nyuma karibu na mlango wa kuelekea katika vyoo vilivyomo ndani ya hii ndege. Jane ni msichana mchangamfu sana kwani dakika kadhaa tangu nikae nae hapa amenizoea kwa haraka sana.

“Mimi ni dotka kutoka shirika la umoja wa mataifa, UN ninakwenda Nigeria kwenye semeni ya kidaktari wewe je?” “Ahaa mimi ninakwenda kibiashara?” “Labda biashara gani?” Nikageuka nyuma na kuwaangalia jamaa hawa ambao hadi sasa hivi hawajanistulia kabisa. Jane na yeye akaangalia nyuma akitaka kuona nini ninacho kitazama mara kwa mara.

“Kuna tatizo?” Jane aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu.

“Hapana hakuna tatizo” “Unaonekana unawafwatilia sana wale jamaa, una wafahamu” “Habari ndugu wasafiri karibuni katika ndege yetu. Tunakwenda kuianza safari dakika mbili mbeleni, tunawaomba muwezekufunga mikanda kwenye siti zetu tafahdali. Ninawatakia safari njema na Mungu atongoze” Sauti ya kike ilisikika kupitia vipaza sauti vilivyomo humu ndani ya ndege, nikachukua mkanda wa siti yangu na kujifunga vizuri kiuononi mwangu. Hata swali la Jane sikulikumbuka aliniuliza nini kwani akili yangu kwa sasa ipo juu ya hawa watu.

‘Lazima niawaue’

Nilizungumza kimoyo moyo kwani endapo nitawaacha hai watu hawa basi wanaweza kunigeukia mimi pale watakapo fahamu ukweli wote. Taratibu ndege ikaanza kuiacha ardhi huku abiria sote tukiwa kimya kila mmoja akimuomba Mungu wake kwa upande wake. Hadi ndege ilivyo tulia angani taartibu nikaanza kuona mtu mmoja baada ya mwengine akifungua mkanda wake.

“Huuu, hiili zoezi huwa silipendi sana” Jane alizungumza huku akinitazama usoni mwangu

“Zoezi gani?” “Zoezi la ndege kupaa au kutua, huwa ninapata mashaka sana na kuogopa” “Hhaaha ila ni kawaida mbona” “Yaa tangu nipo mtoto huwa sipendi ndege inavyo paa na kutua” Nikatazama nyuma kidogo, nikamuona mmoja wa jamaa akifungua mkanda wake na kusimama. Nikamtazama Jane kisha nikajikoholesha taratibu.

“Ninakuja” “Sawa” Jane alizungumza huku akinitazama kwa macho ya mashaka kidogo, nikaanza kutembea katikati ya uwanzi ulio tengenisha siti hizi za pande mbele. Nikafika usawa wa siti aliuo kaa jamaa hawa, nikamtazama huyu mmoja kwa macho ya kuiba pasipo yeye kugundua lolote, nikaendelea kusonga mbele hadi kwenye vyoo vilivyomo humu ndani.

Nikausukuma mlango kwa nguvu na kuingia ndani, nikamkuta jamaa akiwa ameshika vipande vya bastola akiviunganisha, alipo niona akachomoa kisu mfukoni mwake, akajaribu kunirushia ngumi, ila nikaweza kumdhibiti kwa kumpiga kwa kutumia ubapande wa mkono wangu wa kulia ulio tua shingoni mwake na kumfanya awahi kulishika koo lake huku akijitahidi kupata pumzi. Nikampiga kabari moja nzito iliyo mfanya azidi kupoteza pumzi.

Taratibu jamaa huyu akaanza kulainika na baada ya dakika moja, akawa ametebwereka kabisaa. Nikafungua moja ya mlango wa choo na kumkalisha kwenye choo cha kukaa kisha nikafunga choo hichi na kuweka kibao kidogo kilicho andikwa kwa maandishi ya rangi nyekundu ‘Choo kinafanyiwa matengenezo kwa muda’

Nikachukua begi ambalo lina silaha ambazo zinatakiwa kufungwa ili kukamilika, huku kuna mabomu sita ya machozi. Nikaiingiza bastola ndani ya begi aliyo kuwa ameanza kuifunga jamaa pamoja na kisu chake, kisha nikalifunga begi hili na kutoka katike eneo hili. Sikutaka kutoka na begi hili hadi walipo kaa abiria, nilicho kifanya ni kumuita muhudumu mmoja wa kike.

“Ndio kaka” “Kwa jina ninaitwa Daniel, ninafanya kazi chini ya ofisi ya raisi wa Marekani bwana Donald Bush. Siku chache nyuma niliweza kuongoza oparesheni ya kuangamiza na kulifutilia mbali kundi la Al-Shabab na tulifanikiwa kuweza kumua mkuu wao. Sasa bado nipo kwenye oparesheni, na ndege yako leo hii ilitaka kwenda kutekwa na magaidi wachache walio salia, inavyo onyesha wanahitaji kulipiza kisasi kwa kile ambacho kimetokea siku chache zilizo pita” Nikaanza kumuona dada huyu akianza kutetemeka mwili wake, naikamshika mkono na kumtuliza asitetemeke wala asizungumze neno lolote zaidi ya mimi nitakacho muambia.

“Ndani ya hii ndege yako kuna magaidi wawili wa Al-Shabab, mmoja nimedhibiti na mwingine bado yupo kwenye siti anasubiria mwenzake atoke ili waweze kufanya shambulizi, sasa ninacho hitaji kukuomba kwa sasa, wasiliana na rubani mkuuaombe kutua nchi yoyote kwa dharura ili kuwashusha hawa magaidi. Kumbuka hapa tunazungumzia roho za watu zaidi ya elfu mmoja tuliomo humu ndani ya hii ndege mukiwapa nafasi magaidi hawa, lolote linaweza kutokea sawa” “Sawa” “Na kama unahitaji udhibitisho wa kwamba kuna magaidi, silaha zao hizi hapa” Nikafungua zipu ya begi kidogo na kumuonyesha dada huyu silaha zilizopo humu ndani, kwa haraka akachukua mkonga wa simu ya dharura uiliyopo kwenye moja ya ukuta humu ndani. Akameza mate kwa nguvu, ila kabla hajaminya batani yoyote, nikamshika mkono anao taka kuminya batani hizo.

“Ndani ya ndege hii hususani wafanyakazi wezako, kuna mmoja ni msaliti kwa maana silage hizi zimeingia hata kabla ya abiria kuingia na zimeweza kufichwa humu chooni, sasa unaweza kunieleza ni nani ambaye unaweza kumuhisi labda ana vijitabia hatarishi” Dada huyu akatingisha kichwa huku jasho likimwagika usoni mwake, nikamuachia mkono wake na kwa ishara nikamuomba ampigie rubani mkuu simu.

“Ndio mkuu, kuna tatizo” “Kuna mtu anaitwa Daniel, anafanya akazi chini ya serikali ya Marekani, ameweza kukamata magaidi wawili weye silaha ndani ya hii ndege”

Dada huyu akanitazama kisha akautoa mkonga wa simu sikioni mwake na kunikabidhi mimi.

“Anahitaji kuzungumza na wewe” Nikaupokea mkonga wa wasimu hii na kuuweka sikioni mwangu.

“Ndio rubabani?” “Ni jambo gani ambalo unaweza kufanya hadi nikakuamini kwamba wewe ni mfanyakazi chini ya serikali ya Marekani na si gaidi?” “Piga simu White House na uliza kwamba Dany ni nan? Hiyo ni moja mbili pasipo kukuvunjia heshima mkuu, hili ni tatizo linalo husu maelfu ya watu ndani ya ndege yako sasa ninakuomba kama utalizembea niwaachia magaidi hawa waanze kuua abiria mmoja baada ya mwengine na wewe utakuwa unafwata amri ya kila kitu watakacho kueleza na kumbuka kwamba hii lawama yote itakuwa juu yako, ninacho kuaomba, hakikisha kwamba unaomba kutua kwenye nchi yoyote tuwakabidhi hawa Magaidi kwenye vyombo vya usalama, ndege yoko ikaguliwe kisha safari hitaendelea na hii ni dharura” Nilizungumza kwa msisitizo ambao nina amini kwamba umemfanya rubani wa hii ndege kunielewa.

“Nimekuelewa bwana Daniel” “Nashukuru, gaidi mmoja bado yupo kwenye siti, nitafanya kila niwezalo kuhakikisha kwamba ninamuwekea uangalizi” “Sawa bwana Daniel ngoja niombe kutua chini kwa dharura” “Sawa muheshimiwa rubani” Nikakata simu kuurudisha mkonga wa simu kutoka sehemu nilipo utoa, nikamkabidhi begi muhudumu huyu.

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Hakikisha unalitafutia sehemu salama unaliweka” “Sawa” Nikaanza kutoka katika eneo hili huku nikijiweka sawa. Nikatazama watu walikaa kwenye siti za karibu na huyu gaidi, wengi wao wamelala. Nikapiga hatua za umakini na kukaa kwenye siti ya gaidi aliye kuwa ameondoka na kumfanya mwenzake kushangaa.

“Una nikumbuka?” Nilimuuliza huku nikimtazama machoni gaidi huyu, msangao wake ukanipa nafasi ya kumpiga kisukusuku cha kustukiza kwenye pua yake na kumfanya aweweseke kwa maumivu makali. Taratibu nikampiga kabali iliyo mpelekea kutulia kimya, na zoezi hili hapakuwa na mtu yoyote wala aliye weza kushushudia hili tukio, nikamfunga mkanda gaidi huyu huku nikimuweka vizuri kwenye siti, kisha taratibu nikanyanyuka na kurudi kwenye siti yangu.

“Umechelewa?” “Yaa kidogo tumbo langu linanisumbua sumbua” “Ohoo pole, kwa nini usiombe msaada kwa wahudumu?” “Hapana nipo vizuri kwa sasa” “Kweli?” “Yaa kweli” Nilizungumza huku nikitabasamu. Jane akaka vizuri kwenye siti yake huku naye akionekana kuwa na furaha ila ana onekana ana jambo anahitaji kulizungumza.

“Una kitu unahitaji kuzungumza?” “Ahaa…yaa ila naona kwa sasa sio muda sahihi” “Kwa nini?” “Ahaa unajua ile mtu unaamuona kwenye ndege tu alafu unakwenda kuzungumza hisia zako za moyo kwa haraka namna hii anaweza kukuona kwamba ni malaya” Jane alizungumza kwa sauti ya chini kidogo.

“Inategemea lakini” “Habari ndugu abiria, tunawaomba kufunga mikanda yenu iliyopo kwenye siti, na ndege yetu itatua katika kiwanja cha kimataifa cha Bole Addis Ababa nchini Ethiopia, tunawaomba radhi kwa usumbufu ulio jitokeza na asanteni” Sauti ya rubani wa kiume ikasikika masikioni mwa kila mmoja, na kuwafanya watu wengine walio lala kustuka. Kila mmoja ambaye alifungua mkanda wake, taratibu akaanza kuufunga kiuonini mwake, akisubiria ndege hii kutua.

“Kuna nini kinacho endelea?” Jane aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu.

“Sifahamu kusema kweli” “Inabidi waweze kutuarifu tujue kwamba kuna kitu gani ambacho kinaendelea, kwa maana hawawezi kusema kwamba wanatua Ethiopia wakati sio ratiba ya ndege hii” “Naamini kuna tatizo ambalo wanahitaji kulilinda ili abiria wasichanganyikiewe ngoja tuone itakavyo kuwa” “Taratibu ndege ikaanza jutua ardhini, kupitia kidoo cha dirisha pembeni ya Jane, tukaona kundi kubwa la askari wenye silaha wakiimarisha ulinzi ardhini hapa. “Kuna tatizo” Jane alizungumza huku akitazama askari hao.

“Unahisi kuna tatizo gani?” Nilimuuliza Jane huku sote tukitazama nje ya uwanja huu wa ndege.

“Sijajua kwa kweli”

Taratibu ndege ikaanza kusimama, gari za polisi zinavyo washa ving’ora vyao tukaona jinsi vinavyo izunguka ndege hii. Mlango ukafunguliwa kwa haraka wanajeshi wenye bunduki wakaingia ndani ya ndege hii huku wakiwa na silaha mikononi mwao. Muhudumu ambaye nilimkabidhi begi lenye silaha, akawaongoza wanajeshi hawa hadi kwenye siti ya gaidi ambaye sasa hivi ndio anastuka, kwani sikumuua zaidi ya kumzimisha tu. Wanajeshi hawa wakamtoa gaidi mwengine ambaye alikuwa chooni huku wakimbeba.

“Mr Dany tunakuomba uongozane nasi” Mwanajeshi mmoja alizungumza na kumfanya Jane kunikazia macho, nikamkonyeza huku nikifungua mkanda wa siti yangu niliyo kalia. Nikashuka kwenye ndege nikiw ana muhudumu huyu wa kike pamoja na askari wengine.

“Munatupelekea wapi afisi?” “Tunahitaji kuwahoji maswali mawali matatu kisha mutaendelea na safari yenu” “Sawa”

Nikiwa hapa uwanjani nikaona ndege nyingine ikitua huku ulinzi ukiendelea kuimarisha walinzi mkali. Nikaona gari sita za kifahari zikiisogelea gari hiyo huku zikiwa na bendera ya Ethiopia pamoja na Tanzania.

“Kuna kiongozi gani anaye kuja?” “Ni raisi wa Tanzania K2, ana dhiara ya siku mbili hapa nchini Somalia” Mwanajeshi huyu aliniambia, nikajukuta nikikaza macho yangu kwenye mlango wa kushukia abiria, nikaona walinzi wakianza kutangulia kushuka kisha akaanza kushuka K2 huku akiwa na furaha sana na akipunga mikono kwa wenyeji wake wlaio fika kumpokea katika hili eneo jambo lililo nitamanisha kwenda kumvamia na kumuua ili mradi nilipize kisasi kwa kila kitu kibaya alicho nifanyia katika maisha yangu.




“Dany......Dany” “Ndio afande”

Niliitika huku nikistuka kwani kwa sekunde kadhaa nilitingwa na mawazo mengi kichwani mwangu nikimfikiria K2.

“Ilikuwaje hadi ukafahamu kwamba watu hawa ni magaidi?” “Niliwafwatilia nyendo zao tangu walivyo kuwa wamepanga foleni na nina ustadi mkubwa wa kuweza kumsoma mtu” “Wewe labda ni nani?” “Afande nimefanya kazi niliyoifanya, kikubwa wahojini hao magaidi nina imani wataweza kuwaeleza mengi na lengo la kuiteka ndege ilikuwa ni nini”

Nilizungumza kwa ujasiri huku nikimtazama afande huyu. Akanitazama kwa sekunde kadhaa kisha akatingisha kichwa na kukubaliana nami kwa kile ambacho nimekizungumza.

“Ninaweza kwenda?” “Ndio unaweza kwenda” Nikaondoka katika eneo hili huku nikitazama gari za kifahari jinsi zinavyo ondoka katika eno hili. Nikaanza kupandisha kwenye ngazi za hii ndege na kurudi kwenye siti yangu niluyo kuwa nimekaa.

“Unaittwa Dany?” Jane aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu.

“Yaaa ni jina langu pia?” “Kwa nini uliniambia kwamba unaitwa Peter?” “Naamini kila binadamu ana majina mawaili mawili si ndio?” “Yaaa”

“Ok ukipenda unaweza kuniita Peter au Dany” “Basi nitakuita Peter” “Sawa” Hatukuchukua muda mwingi katika uwanja huu wa ndege safari ya kueleka Nigeria ikaanza huku abiria wezangu kwa mara kadhaa walikuwa wakinitazama. Kadri muda ulivyo zidi kwenda ndivyo jinsi mazoea kati yangu na Jane yalivyo zidi kupamba moto. Kitu kikubwa ambacho ninajitahidi kukizuia katika mwili wangu ni hisia za mapenzi.

Baada ya masaa kadhaa tukafanikiwa kufika katika uwanja ndega wa Murtala Muhammed International(MMIA) Lagos nchini Nigeria, majira ya asubuhi.

“Una uwenyeji hapa Nigeria?” Nilimuuliza Jane baada ya kutoka ndani ya uwanja huu wa ndege.

“Yaa nimesha wahi kufika, ila nimekuja kuchuliwa na shirika la kidaktari, kwa hiyo Mungu akibariki tunaweza kuonana” “Sawa Jane” Tukapena mikono na Jane kisha akaelekea kwenye gari aina ya Range Rover Sport na akaondoka eneo hili. Nikaanza kutazama eneo hili la uwanja, akanifwata kijana mmoja aliye valia kikoti maalumu lilicho andikwa dereva taksi.

“Unahitaji usafiri kaka?” Nikamtazama kwa sekunde kadhaa kwenye macho yake, kisha nikatingisha kichwa na kumuambia ninahitaji. Tukaongozana na kuingia kwenye taksi yake aliyo isimamisha eneo maalumu ambalo kuna madera wengine ambao nao wamevalia sare za kufanana.

“Unaweza kunipeleka kwenye nyumba ya wageni ya bei raisi kabisa” “Ndio ninaweza kukupeleka kuna nyumba nyingi za kawaida za kulala wageni” “Napenda ambayo ipo katika mitaa mitaa ya watu wa maisha ya chini” “Usijali kwa hilo kaka”

Safari ikazidi kusonga mbele, tukafanikiwa kufika katika mitaa iliyo jaa watu wa maisha ya chini, dereva akasimamisha gari mbele ya moja ya nyumba iliyo chakaa kiasi

“Hii nyumba naamini itakufaa” “Yaa tunaweza kushuka kwenda kuangalia” “Yaa twende tu” Tukashuka kwenye gari na kuingia katika nyumba hii ya kulala wageni, japo ninahitaji kuishi katika maisha ya kawaida sana ila hii nyumba ya kulala wageni inatisha, si kwa majengo yake tu ila ni kwa uchafu ambao unafanyika humu ndani. Watu wanafanya mapenzi kwenye kordo tea hii asubuhi ambayo watu wanatakiwa kuwa katika majukumu ya kufanya kazi.

“Kaka huna sehemu nyingine ambayo unaweza kunipeleka?” “Si umehitaji sehemu ambayo ni ya bei rahisi, hii ndio ya bei rahisi” “Hapana, ninakuomba tuondoke hili eneo, nipeleke katika hoteli nyi……” Dada mmoja aliye shika ukuta huku mwanaume akiwa nyuma yake akimla kitumbua, akajaribu kunishika mkono wangu huku akiwa ameyalegeza macho, kwa haraka nikajikuta nikiiukwepesha mkono wangu kwa haraka huku nikiwa nimeikunja sura yangu.

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Tuondoke” Nilizungumza huku nikitangulia kutoka nje huku nikiwa nimechoka kwa haya niliyo yaona humu ndani.

“Nipeleke hoteli yoyote ambayo ni kubwa sawa” “Sawa bosi” Safari ya kutafuta hoteli nzuri ikaanza, tukafanikiwa kupata hoteli iliyo tulia. Nikashuka kwenye gari, nikatoa noti ya dola mia na kumkabidhi dereva huyu.

“Nisubiri hapa nina baadhi ya mizunguko leo mjini” “Sawa bosi” Dereva huyu alizungumza kwa furaha, kwani ninaamini kwamba nimemlipa ujira ambao ni mkubwa sana kuliko hata pesa ambayo alitarajia mimi kumlipa. Nikaingia ndani na kusimama sehemu ya mapokezi .

“Habari dada?” “Salama tu za kwako?” “Salama, ninahitaji kupata chumba” Dada huyu akaanza kunitajia aina ya vyumba pamoja na bei zake. Nikalipia chumba cha bei ya kawaida kwa siku mbili, nikakabidhiwa funguo na kuelekea chumbani kwangu, nikakichunguza chumba kizama kwa umakini sana nilipo hakikisha kwamba kina usalama wa kutosha, nikatoka kwenye chumba hichi huku nikiacha begi langu la nguo. Nikatoka na kuingia kwenye taksi, nikamuomba dereva anipeleke kwenye maduka ya simu.

Tukafika kwenye maduka ya simu, nikashuka kwenye gari, nikaingia kwenye moja ya duka simu, nikaanza kutafuta simu gani ni nzuri ambayo nitaweza kuitumia katika kazi yangu iliyo nileta hapa nchini Nigeria.

Nikanunua simu mbili, moja ikiwa ni iphone 6 huku nyingine ikiwa ni samsung note 4. Nikawaomba wanielekeze ni wapi ninapo weza kupata line za mitandao ya simu inayo tumika hapa hapa Nigeria, kwa bahati nzuri ndani ya duka hili kuna wakala wa moja ya mtandano. Nikampatia hati yangu ya kusafiria, akatoa nakala kisha akanirudishia.

“Itachukua muda gani dada?” “Kama dakika tano hivi hadi kusajiliwa” “Sawa” Nikasubiri kwa dakika hizi tano wakawa wamemaliza kunihudumia. Niaweka salio la kutosha kisha nikatoka ndani ya duka hili. Nikaingia ndani ya gari na kumpigia simu meja.

“Ni mimi” “Habari yako Dany?” “Salama, nimefanikiwa kufika salama” “Sawa hii ndio namba ambayo utakuwa unaitumia?” “Ndio” “Basi hakikisha unanunua kava ambazo zinazuia mawasiliano yako kunaswa na watu wa simu” “Nitazipatia wapi meja” “Uliza kwa hao wauzaji” “Ngoja nijaribu” “Sawa nitasubiria siku yako baada ya kuweza kupata hilo kava” Nikashuka kwenye taksi na kurudi tena dukani, nikamfwata muhudumu aliye niuzia simu. Nikamtazama usoni kwa sekunde kadhaa.

“Samahani kwa usumbufu” “Bila samahani” “Kunakava fulani ambalo ukivalisha kwenye simu, basi mawasiliano unayo piga au kupigiwa yanakuwa salama je ninaweza kulipata” Muhudumu huyu akanikazia macho huku akionekana anajiuliza maswali mengi sana kichwani mwake. Nikatoa noti ya dola mia na kumuwekea mezani kwake.

“Je ninaweza kulipata?” “Kwa nini unalihitaji, kwa maana kwa sheria ya hapa kuuza makava kama hayo unaweza kustakiwa na kupokonywa hata leseni ya usajili wa duka?” “Ahaa mke wangu unajua ana wivu sana, sasa sihitaji afahamu nipo wapi?” “Mke ndio anafanya ununue kava la simu yako kuto kunaswa na mawasiliano?” “Yaaa, nisaidie kama unahitaji pesa nitakuongezea” Kijana huyu akaka kimya akionekana kujishauri kichwani mwake, nikatoa noti ya dola mia nyingine na kumuwekea mezani. Akazichukua kwa pamoja na kuziingiza mfukoni mwake.

“Hembu simu yako?” Nikatoa simu ya iphone 6, akaitazama kisha akaniomba nimsubiri. Nikaka eneo hilo kwa dakika kadhaa, baada ya muda akarudi akiwa kava hilo mikononi mwake.

“Ninakuomba uwe makini sana” “Usijali, ila una uhakika wa kwamba hili ni kava halisi?” “Ndio” Nikalivisha kava hili kwenye simu yangu, kisha nikatoa dukani humu.

“Tunaelekea wapi bosi?” “Turudi hotelini” “Sawa” Safari ya kurudi hotelini ikaanza, njia mzima nipo kimya huku nikifikiria ni kitu gani ambacho ninaweza kukifanya ili kazi yangu iende sawa. Tukafika hotelini, nikamlipa huyu dereva dola mia, kisha nikachukua namba yake na simu.

“Nitakupigia nikikuhitaji” “Sawa bosi” Moja kwa moja nikaingia chumbani kwangu, nikafunga mlango kwa ndani. Nikatoa simu na kumpigia meja.

“Mawasiliano kwa sasa yapo salama meja” “Sawa hata mimi ninaona kwenye mtambo wangu hapa” “Nahitaji kuzungumza na raisi” “Sawa subiri kidogo niweze kumpigia, usikate simu” “Sawa” Nilizungumza huku nikiwa nimesimama pembeni ya dirisha langu nikitazama magorofa mengine yaliyopo karibu na hili gorofa.

“Dany unaweza kuzungumza sasa raisi yupo hewani” “Muheshimiwa raisi habari yako?” “Salama tu Dany nimeambiwa na meja kwamba umefika salama” “Ndio muheshimiwa raisi nimefika salama, vipi mke wangu amefanikiwa kufika salama?” “Ndio amefanikiwa kufika, na unaweza kuzungumza naye ndani ya muda mchache pale utakapo hitaji” “Sawa nitashukuru sana muheshimiwa raisi. Ila muheshimiwa raisi kuna tukio liliweza kujitikeza njiani nilipo kuwa kwenye ndege” “Jambo gani?” “Kuna magaidi wawili wa Al-Shabab walihitaji kuiteka ndege ila niliweza kufanikiwa kuwadhibiti” “Safi sana, ndio magaidi walio shushwa nchini Ethiopia?” “Ndio hao muheshimiwa raisi”

“Nashukuru sana kwa kuweza kuwaokoa maelefu ya watu waliokuwa ndani ya hiyo ndege” “Ni jukumu langu muheshimiwa raisi” “Tena mke wako huyu hapa amesha fika ofisini kwangu unaweza kuzungumza naye” “Dany” Sauti ya Hawa ikanisisimua mwili mzima, moyo wangu ukajikuta ukijawa na furaha kubwa sana.

“Naa mke wangu”

“Umefika salama?” “Ndio nimefanikiwa kufika, nahitaji kuanza kuianza kazi iliyo niletea huku” “Kuwa makini mume wangu, na ninakuomba uweze kurudi salama” “Usijali nitakurudi salama. Vipi unapata uangalizi mzuri katika hilo eneo?” “Ndio tena raisi ameagiza watu wake, wananihudumia vizuri sana” “Nafurahi kusikia hivyo mke wangu” “Ninakupenda sana mume wangu, wewe ndio mwanaume wa maisha yangu” “Hata wewe ndio mwanamke wa maisha yangu, nitakulinda kadri niwezavyo na nitahakikisha kwamba unajisifu kuwa na mwanaume kama mimi” “Shukrani sana Dany wangu” “Ok naomba umpatie simu muheshimiwa raisi”

“Sawa” “Ndio Dany” “Muheshimiwa raisi, ninahitaji kuianza kazi sasa” “Mungu akutangulie katika hili” “Shukrani sana” Nikakata simu na kushusha pumzi taratibu, nikachukua rimoti na kuwasha tv, nikajitupa kitandani huku nikipangilia mipango ya jinsi gani ninaweza kumpata Yemi Okocha. Tangazo katika Tv hii likanifanya ninyanyuke kitandani na kukaa kitako. Yemi Okocha siku ya leo ana tamasha la kuchagua vijana wanao hitaji kujiunga kwenye maswala ya mavazi. Nikaandika eneo katika husika katika simu yangu kisha nikampigia dereva taksi, akaniahidi ndani ya dakika kumi atafika katika eneo hili. Nikasimama mbele ya kioo cha kabati kubwa lililopo hapa. Nikajitazama vizuri kuanzia chini hadi juu, nilipo ona nina vigezo kadhaa vya kuwa mwana mitindo nikashusha pumzi huku huku nikiwa nimejawa na furaha. Baada ya dakika kazaa simu yangu ikaita, nikaipokea.

“Bosi nimefika” “Ninakuja” Nikatoka chumbani kwangu na kufunga vizuri, nikashuka gorofani, nikaingia kwenye gari nikamtajia jina la eneo ambalo ninahitaji kwenda.

“Tutachukua muda gani kufika” “Hapo tutatumia dakika ishirini hadi kufika” Ndani ya muda alio niambia dereva tukawa tumefika katika hoteli moja kubwa, nikakuta mlolongo wa vijana wakike na wakiume wakiwa wamepanga mistari kwa ajili ya kwenda kujisajili katika mashindano haya ya kutafuta wana mitindo, na mimi nikapanga mstari nikiwa ni mshirikia wa elfu moja na mia mbili. Muda ukazidi kwenda na foleni ikazidi kosogea, vijana walipo katika eneo hili wapo wengi wamependa, nikajitazama mweyewe nilivyo vaa na kimoyo moyo nikajishauri na kujiambia kwamba nina vigezo vya kuweza kushinda katika shindano hili.



Vijana wengi walio ingia katika chumba cha usahili wengi walitoka wakiwa katika hali ya huzuni, huku wengine wakilalamika kwamba majaji wanaringa. Hali hii ikaanza kunitisha kwani kazi yangu iliyo nileta hapa ni kuhakikisha kwamba ninakuwa karibu na Yemi Okocha. Ikafika zamu yangu, na mimi nikaingia katika chumba cha ushahili, nikakuta majaji wanne watatu wakiwa wa kiume na mmoja akiwa ndio Yemi mwenyewe niliye weza kumuona kwenye picha niliyo onyesha kipindi nilipokuwa kwenye kambi ya jeshi ya Wamarekani nchini Somalia.

“Peter umetuletea nini leo” Yemi alizungumza huku akinitazama usoni mwangu, swali la Yemi naamini kwamba hili ndio alio wauliza vijana wengi na wameshindwa kwani wengine wao ambao wameweza kushindwa wamevalia vizuri sana.

“Peter, Peter”

Yemi aliniita baada ya kuniona nikiwa nimeduwaa kwa sekunde kadhaa huku nikijishauri ni kitu gani ambacho ninaweza kukijibu. “Naam” “Umetuletea nini kipya hapa kama mwanamitindo chipukizi”

“Nimewaletea mbinu na namna ambavyo walinzi wa tajiri wanavyo takiwa kumlinda tajiri wao pale anapo vamiwa” “Mmmmm kivipi?” Jaji mmoja wa kiume aliniuliza huku akionekana kushangazwa sana kwa kile ambacho nimekizungumza.

“Ningemuomba jaji mmoja”

Majaji wakatazamana, akasimama jaji mmoja wa kiume aliye jazia mwili wake, akapiga hatua mbili mbele, ila Yemi akasimama na kumuomba jaji huyo arudi alipo kuwa amekaa kisha akanisogelea yeye.

“Haya nionyeshe ni jinsi gani unavyo weza kunilinda pale ninapokuwa nimevamiwa?” Nikatazama kamera zaidi ya sita zilizopo ndani ya hichi chumba na zote zinachukua tukio hili. Nikasimama nyuma ya Yemi, ambaye kusema kweli ameumbika, umbo lake limejazia makalio ya wastani, amebarikiwa urefu wa futi kama sita na nukta zake.

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Mwanamitindo anatakiwa kuwa mbunifu wa hali ya juu, hili ninalo kwenda kulifanya hapa nitakuomba uwe makini sana kwani kidogo ni hatari” “Wewe kuwa huru tu” “Kwa mfano adui anatokea mbele yako na mimi ndio mlizi na nipo nyuma yako. Ninatakiwa kufanya hivi” Kwa haraka nikamshika Yemi Okocha mabega yake na kumgeuza huku nikiwa nimemshika, akaangalia nilipo kuwa mimi, kisha na mimi nikawa sehemu alipo kuwa yeye huku mguu wangu wa kulia nikiwa nimeunyoosha usawa wa kiuno changu, nikimaanisha kwamba nimeweza kumzuia adui mwenye kisu. Yemi akiwa katika kushanga shangaa, nikampiga mtama huku nikutangulia kulala chini na akaniangukia kifuani mwangu, na kwa haraka nikamgeuza na kumlaza chini, ila nikahakikisha kwamba nguo yake hata moja haigusi chini kwani mkono yangu ilijitahidi kumshika kiunoni mwake.

“Hapa ni pale gaidi anapokuwa amefyatua risasi na mlinzi anatakiwa kuhakikisha kwamba bosi wake anaanguka chini kwa usalama” Nikamnyanyua Yemi Okocha juu na kumfanya ashushe pumzi kwani matukio yote hayo nimeyafanya katika sekunde ambazo nina uhakika hazizidi sitini. Jaji mmoja akaanza kupiga makofi, na kuwafanya wezake kumtazama kwa mshangaa kwa maana hata Yemi Okocha na yeye yupo katika hali ya mshangao mkubwa.

“Peter una kitu kikubwa ambacho vijana wengine walio kuja hapa sijapata kukiona” “Kitu gani wakati alihitaji kumuangusha jaji mkuu?” “Hapana jaji Ode. Peter anambinu ambazo vijana wengi wa kiume hapa wameingia wamejazia vifua, wamejazia mikono na kukata matumbo yao na kuwa six pack, ila hakuna anaye weza kufanya kama hichi anacho kifanya Peter. Chifu mkuu Peter ni aina ya wanamitindo wachache ambao tunawahitaji, yaani kwa mfano mdogo tu kama tukisema kwamba tunamtengenezea filamu Peter, kampuni yako jaji mkuu ninaamini kwamba itakwenda kuwa mara dufu na na hapa tulipo” Yemi akanitazama kwa sekunde kadhaa usoni mwangu, kisha taratibu akaanza kutembea kuelekea kwenye kiti chake, akaka huku akihema kidogo.

“Jaji mkuu hapa sijaona kitu chochote kutoka kwa huyu Peter” “Jaji Ode hicho unacho kizungumza ni ufinyu wa fikra, kama hamuamini, fundi mitambo hembu rudisha hili tukio niamini kwamba mutakuwa mumelirekodi vizuri” “Jaji mkuu hakuna haja ya kurudisha nyuma sijui tukio alilo lifanya, kuna watu wengine nje wanahitaji kuingia ndani” “Jamani nasema hivi kama hamjaona kitu kutoka kwa Peter na mukashindwa kunielewa kwa kile ninacho kizungumza basi ninawaambia, mimi nitajivua rasmi sasa hivi kisha nitamchukua mimi na nitamtengeneza chini ya kampuni yangu na mutaona ni kitu gani ambacho jamaa ayakifanya” Yemi Okocha akanyanyua mikono yake juu kidogo usawa wa meza ikiwa ni ishara ya kuwanyamazisha majaji hawa wawili wanao bishana kuhusiana na mimi.

“Fundi mitambo hembu rudisha tukio alilo lifanya Peter” Watu wote humu ndani tukaigeukia Tv kubwa iliyopo kwenye moja ya ukuta. Tukio nililo lifanya likaanza kuonyeshwa tena likiwa limepambwa na mziki mdogo wa filamu. Kusema kweli unaweza kusema ni tukio fulani ambalo lipo kwenye filamu, kwani hata makamera mani waliweza kutingisha vichwa vyao kwa kubaliana na tukio hilo.

“Mumeona, mumeonaa. Tazama jaji mkuu pale jinsi ulivyo geuzwa, tazama ulivyo lazwa chini pasipo wewe mwenyewe kujijua na wala kijiandaa. Tazama jinsi alivyo kushika kwa nguvu, hakuna hata nguo yako iliyo husa chini. Sasa hapo munasema munataka mwana mitindo wa ina gani jamani ahaaaaa” Jaji huyu ambaye hadi sasa sijamjua jina lake ameonekana kunikubali kwa asilimia kubwa sana.

“Peter” “Naam jaji mkuu” “Sijapata ona, una kipaji cha hali ya juu. Safi sana” Yemi Okocha alizungumza na kumfanya jaji huyu mwengine anaye nishabikia kunyanyuka na kushangilia sana, akanifwata sehemu nilipo simama, akanikumbatia huku akinipiga piga mgongoni mwangu.

“Nilisema huyu ni genius. Ode ulitaka watu wanao tukatizia katizia miguu hapa huku wakidunda dunda hahahaaaa” “Umeshinda Joo” “Peter elekea mlango ule” Yemi Okacha alizungumza huku akionionyesha mlango ambao ni tofauti na mlango wa kutokea. Nikawashukuru huku nikiwa nimetabasamu, nikaingia katika chumba nilicho onyeshwa, nikawakuta washiriki wengine walio shinda na kuchaguliwa, huku nao wakitazama matukio yanayo tokea kwenye chumba walipo majaji. Kila kijana humu alinitazama sana, nikatafuta kiti na kukaa huku nikiwa nimejawa na furaha ila moyoni mwangu nikijipongeza kwani kazi yangu sasa imesha anza.

Kila alipo toka mshiriki mmoja kwenye chumba cha majaji, kipande cha video ya tukio langu na Yemi Okocha kinaonyeshwa kwenye hii tv kubwa tuliyonayo humu ndani.

Baada ya masaa manne washiriki wakawa wamekwisha, ndani ya chumba hichi kwa haraka haraka tupo wanamitindo thelathini, wanawake wakiwa ni kumi na sita huku wanaume tukiwa kumi na nne. Yemi Okocha na jopo lake la majaji wakaingia ndani ya chumba hichi huku wakionekana wakiwa wamechoka sana.

“Tunamshukuru Mungu tumeweza kumaliza mchujo wetu kwa usalama, pia ninawashukuru nyinyi nyote kwa kuweza kufika leo na kupata nafasi hii ya kuwa chini ya kampuni yangu” Yemi alizungumza kwa sauti ya upole, kisha akaka kimya kidogo na kuendelea kuzungumza.

“Kwa leo mutaweza kulala katika hii hoteli, kesho tutaondoka hapa na tunawaambia ni wapi ambapo mutakwenda. Ila kumbukeni kwamba nyinyi ni wamaitindo ambao ni wabunifu kama rafiki yangu Peter hapo, hadi sasa kipande chake cha ubunifu wake alio nionyesha kimetazamwa na watu zaidi ya milioni kumi katika chaneli yetu iliyopo katika mtandao wa YouTube.” Wamaitindo waote wakapiga makofi ikiwemo na mimi, ila akilini mwangu ninatambua kwamba ni jambo la hatari kwani maadui zangu tayari wamesha weza kugundua ni eneo gani ambalo nipo.

“Yaani sikutegemea sana, ndani ya masaa matano kupata watazamaji wengi kama hao. Wazo la jaji Joo kwamba tumepata mtu kweli hapa tumepata mwanamitindo” Jaji Joo akanikonyeza huku akitingisha kichwa, akionekana akiwa anafurahia uwepo wangu uliopo katika eneo hili.

“Basi sisi tuawatkie usiku mwema, jaji Joo atawaongoza hadi kwenye vyumba vyenu na baada ya hapo mutapelekwa kwenye sehemu ya kula” “Tunashukuru” Jamaa mmoja alizungumza, tukatoka katika chumba hichi na kuongozana na jaji Joo, na moja kwa moj tuaanza kuonyeshwa kila mtu chumba chake.

“Peter” Jaji Joo aliniita baada ya kuingia katika chumba changu huku mimi nikiwa ndio mtu wa mwisho kabisa kuonyeshwa chumba changu cha kulala.

“Ndioo Jaji” “Hongera sana kwa kile ulicho tuonyesha, hivi ulitoa wapi wazo hili?” “Ahaa nimefikiria kwa haraka haraka, nikaona mbinu hiyo kidogo inaweza kunisaidia na kweli imenisaidia”

“Kazi nzuri Peter, ninauhakika ukijitahidi tutatengeneza pesa nyingi sana kupitia wewe. Ila kitu cha kuangalia hakikisha kwamba unasimamia kwenye maslai mazuri pale unapo ingia mkataba” “Nimekuelewa katika hilo”

“Basi tuelekee eneo la chakula” “Sawa” Tukaongozana na jaji Joo hadi kwenye ukumbi wa chakula ambapo nikawakuta wanamitindo wezangu wakiendelea kula taratibu.

“Kaa tu hapa” Jaji Joo alizungumza, nikaka kiti cha pembeni yake, nikaletewa chakula nilicho kihitaji, taratibu nikaanza kula huku kazi yangu ikiwa ni kuwasoma tabia zao wana mitindo wote waliomo ndani ya hichi chumba. Nilipo jirizisha na upelelezi wangu wa kimya kimya pasipo mtu kuelewa nikanyanyuka kwenye meza niliyo kalia na kuanza kueleka chumbani kwangu kujipumzisha kwani nimesha maliza kula.

“Hei Peter” Dada mmoja mwembaba aliniita huku akinyanyuka kwenye kiti alicho kalia. Nikasimama kumtazama jinsi anavyo nifwata.

“Ndio” “Naitwa Calx, kusema kweli nimevutiwa sana na wewe” “Ninashukuru Calx” “Ahaa naweza kupata namba yako ya simu?” “Nitakupatia asubuhi kama huto jali” “Kwa nini isiwe sasa?” “Sawa unaweza kunipatia namba yako ya simu kisha nikakutafuta mimi?” “Ndio” Calx akanipatia namba yake ya simu kisha nikaondoka eneo hili na kurudi chumbani kwangu. Nikaufunga mlango kwa ndani, nikazima taa ya chumbani kwangu na kutazama kwenye kuta zote kama kuna taa nyekundu ya kamera yoyote ambayo inaweza kutegwa humu ndani. Nikainama hadi chini ya uvungu wa kitanda kutazama kama kuna maera, ila sikufanikiwa kuona chochote. Nikawasha taa na kuanza kutafuta kama kuna kinasa sauti chochote cha kutegwa, kwani katika hoteli kubwa kama hizi hususani kwenye mashindao ya namna hii vitu hivi hutegwa kwenye vyumba vya washiriki ili kufwatilai nyendo zao. Sikuweza kufanikiwa kupata chochote, ikanibidi kuanza kukipanga vizuri chumba hichi kwani nikekichagua vibaya.

Nikataka kupiga simu Marekai ila nikasita kwani bado nafsi yangu inakataa kabisa kuweza kuamini hichi chumba kwani watu ninao shuhulika nao wana akili nyingi sana na pasipo kuwa mjanja basi ninaweza kujikuta nikistukiwa mapema sana.

Nikavua nguo zangu, nikachukua taulo na kujifunga kiunoni mwangu, nikaeleka bafuni na kuanza kuoga taratibu huku nikipanga ni jinsi gani ninaweza kujifanya nionekane bora na kuaminika mbele ya macho ya Yemi Okocha ili kuhakikisha kwamba ninafanikiwa kumteka kiakili na kufahamu kile kilicho nileta huku Nigeria.

Nikafungua mlango wa bafuni na kutoka, nikasimama mbele ya kioo kikubwa huku nikiwa sin nguo hata moja, taratibu nikaanza kujifuta maji yangu kwenye jogoo langu, huku nikiendelea kujitazama. Gafla taa ya chumbani kwangu ikazima, pasipo hata mimi kuizima, kioo cha dirishani kikavunjika na akaingia mtu aliye valia nguo nyeusi tupu huku ameficha sura yamebaki macho tu huku mkononi mwake akiwa amshika panga refu jambo lililo nifanya nijipange kwa kujihami haraka iwezekanavyo.


Kwakua nilikua mjanja mjanja, nilipata mbinu yakujiokoa nikiwa bafuni nikavunja kioo cha bafuni, nikatokea nje ya dirisha, nikatembe juu juu kwa kushikiria sehem za ukingo wa maji zilizojengwa kwa simenti na zege, nikavunja dirisha la jirani yangu wa chuma cha Saba, nikadumbukia chumbani kwake, lakini jirani huyo hakuwepo chumbani kwake, alitoka nje kuongea na ndugu zake kwa simu, baada ya hapo aliingia chumbani kwake ghafla, akanikuta mimi natetemeka kwa kuogopa huku nikimuomba msamaha kwa kuingia chumbani kwake kwa njia ya kuvunja dirisha. Kumbe alikua ni Calx na alifurahi sana kwa uwepo wangu chumbani kwake, Calx alisema nijiskie huru lakini dada huyu alisema ananipenda sana anaomba mimi na yeye tuwe namahusiano ya kimapenzi na ikiwezekana tufanye mapenzi kabisa, kwa bahatimbaya sikuwa na hisia zakimapenzi kabisa na ilinilazimu nimuadithie yaliyo nikuta kule chumbani kwangu kuhusu mtu huyo alio ficha zurayake na ameshika panga.

Calx nae hisia za mapenzi zilikata palepale na kuanza kuwapigia simu majaji kwa uvamizi ulio tokea.

Kumbe yule mtu mwenye panga aliona sitoki chooni ikabidi avunje mlango wa chooni ili anivamie aniue na kwabahati nzuri hakunikuta lakini aliona dirisha la chooni limevunjika na mimi kule sipo kumbe nipo kwa Calx.Katili huyo nae alitokea kwenye dirisha la chooni na aliangalia dirisha la chumba ambacho limevunjwa na akajua nilile dirisha la Saba tuliopo mimi na Calx na ndipo alipoanza kuja huyo katili huku pangalake akiwa amelichomeka kiunoni na alipo fika dirishani kwetu tulipo mimi na Calx kwenye chumba cha Calx, katili likaona polisi wametanda nje, mimi na Calx tukatoka chumbani mbio kupitia mlangoni na tukapishana na polisi wengine wanaingia chumbani kwetu.

Polisi walifanikiwa kuwakamata majambazi kumi na tano (15) inasemekana kuna washiriki wamitindo baadhi yao walipanga na hao majambazi ili nitekwe au niuwawe kwasababu nyota yangu ya ushindi inaonekana mapema kwa lile tukio nililolionyesha ile siku ya interview,

Calx alinivuta mpaka nje ya jengo kumbe alisha piga simu ili ije TAXI kutuchukua na tukaingia ndani ya gari hiyo tukaelekea hoteli nyingine hata siijui iliopo mbali na eneo la tukio tulilo hama, nilishangaa kuona Calx kulipia TAX na chumba ili tupumzike kumbe Calx alikua na pesa nyingi na nimtoto wakishua.

Mashindano ya mitindo yamevujwa kwa yale matatizo yaliyo tokea nasasa ninajiachia na mtoto waukweli Calx na nimesahau matatizo yote yaliyo pita.

Nilizidi kumuonyesha show zakibabe za kusimamia kucha mtoto akasema "AISIIIII.....U KILL ME" "ooosh, aaah, uuuuuu, uko vizuri" tumesha pagawishana na tumekua kama sikio lisilo sikia dawa.

Katika safari zangu za kimapenzi hii ndio safari yangu ambayo nimefika kabisa mwisho kwa kumpata mwanamke Calx mwenye mapenzi yakweli naniyafuraha kilasiku na huyu my sweet vanilla anapesa mpaka mimi najiona nilikua masikini wakutupwa nikilinganisha kwa uwezo alionao huyu Calx na matajiri wengine.

Siku moja walikuja watu kuniteka nikafungwa kitambaa usoni ili nisijue ninako pelekwa na nikajikuta nimeingizwa sehemu inabaridi kali nikiwa na huzuni ya kumuacha mbali Calx wangu,

Nilipo waomba waniachie huru, walikataa kwakusema hawawezi kuniachia mpaka bosi wao aje, bosi wao alipofika akaruhusu nitolewe kitambaa, nikajikuta nipo na hao walioniteka tukiwa ndani ya gari la bei mbaya V8 NEW MODEL 2017 BRAND NEW, wakiwa hawa jamaa wamevaa suti kali harafu mimi nimevaa pensi la kulalia, sasa wasiwasi bado umenijaa nikasema hivi mimi ninamkosi gani ktk hii dunia tena sasa ghafla naona bosi wao hawa anaingia na bonge la keki harafu wale watu wote walioniteka wakaanza kuimba Happy birthday peter, aakh kumbe alie beba keki ni Calx mpenzi wangu akaniambia hiyo ilikua ni surprise kwangu na hili gari aina ya V8 nizawadi yangu kaninunulia yeye.

Niliishiwa na pozi kumbe wale walioniteka ni mabodigadi wake wanao mlinda.

Kumbe nimeamini mungu ndio anaye weza kukupangia mpenzi wako wakweli ambae atafuta chozi lako na kinyongo chako utampata siku fulani yaani leo hii najikuta ninaishi kwa furaha full bata, nimekabidhiwa na nyumba za kifahari hizo nitazipangisha tu harafu nyumba moja ya Calx ndio tunaishi hivi sasa.

Calx nimkimya mkimya ambae hapendi kujiona tajiri, na kwenye mitindo alienda tu kama Bobbie yake.

Majaji walinifuata fuata wenyewe ili nipige nao dili niwe mwanamitindo wao lakini niliwapa masharti tupo wanamitindo mapacha wawili na siwezi kwenda sehem yoyote au kishiriki mitindo bila pacha langu la nguvu ambae ni my first lady Calx.

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

Maonyesho yote yamitindo nilishirikiana na my sweetie baby Calx na couple letu lilizidi kutikisa dunia.

Nimekua tajiri mwenye pesa kuliko raisi wa nchi yangu kwa kupitia mgongo wa mpenzi wangu Calx.

Kwakua tayari nina mke wangu Hawa, sikusita kumueleza ukweli Calx vilevile Calx alizidi kunipenda alipo niona nimekua mkweli na nimuwazi kwake, niliweza kumtumia mke wangu Hawa pesa nyingi tu na tulijenga majumba ya kifahali nchini kwetu Tanzania kwakutumia kampuni za wachina.

Mali zangu zilizopo Nigeria, nimali za mimi na mke wangu Hawa, Calx hakuwa na pingamizi hilo kwasababu alinipenda kweli ndio maana hakupenda kunitenganisha na Hawa alitaka nijitahidi kubalansi upendo wapande mbili. Hawa na Calx wanapendana sana na wanawasiliana sana kwa simu na nimejikuta nina wamiliki wote kwa pamoja na wanatembeleana sana na mimi ninaishi nchi mbili tofauti nikiwa nina wake wawili tupendanao na hii ilisababisha nizidi kumthamini Hawa kwasababu nilikua siamini kama angekubaliana na hali hii ya kushea mapenzi na kumpenda Calx yaani ilifika kipindi nikimkosea Calx, alikua ananishtaki kwa Hawa, Hawa nae anakasirika na alikua ananisema sana nisimuuzi kipenzi chake Calx.Vile vile nikimuuzi Hawa nae alinishtaki kwa Calx, Calx nae anakua hana furaha na alinisema sana.

Mwishowe nilijiona mimi ni mjinga sana kwasababu bahati kama hii niliyo nayo sasa haitokei kabisa ovyo ovyo, inawezekana ikawa imetokea kwa mimi tu nasijui kama kuna mwanaume mwingine kama inaweza kumtokea yaani nashangaa kuona hawa viumbe wawili wanaishi kama mapacha daaaaaah nilizidisha upendo kwa kweli.

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

Kama ulinituma nikufanyie kazi yako lakini sikuifanya kwa kipindi kile basi nilikua sioni hasara kukulipa pesa yako na kukuzidishia mara tatu yake yaani lazma utulie hata kama wewe ni rais.

Maisha yangu yalikua bamba tu bamba kama wimbo wa Darasa, Cash inaongea yaani mimi pesa ipo na wakezangu nao pesa zipo nao wanamiradi mikubwa balaa.

My world is Like a copy of paradise

**********MWISHO*********


0 comments:

Post a Comment

Blog