Search This Blog

Thursday 19 May 2022

UTAMU WA BINAMU - 3

 





    Chombezo : Utamu Wa Binamu

    Sehemu Ya Tatu (3)



    Hujawahi kumfumania na mtu yeyote niliuliza tena swali hilo kwa udadisi.Zamani sana nilimfumania na msichana wa kazi ambaye kesho yake nilimrudisha kwao.Tangia aje huyu ni miaka sasa lakini sijawahi hata kuhisi.Ila sa hivi ndo nimepata mbinu mpya kwa hiyo nitaanza kurekodi kila kitu ambacho kitakuwa kinaendelea mule ndani.



    Nitahakikisha nitaweka na kingine kwenye chumba cha wale wasichana.Kimoyomoyo nilishukuru maana tayari alishanipa siri hivyo nitakuwa makini sana.Ila jana kwa kweli ulinisugua sana yaani mpaka nimelala nakuota kwa jinsi ulivyonipa raha alisema mama huyo bila aibu.



    Yaani nitakupa chochote unachotaka ili tu uendelee kunipa huduma maana yule mjomba wako yeye ni nyuma tu.Wakati mbele ndo kuliumbwa kwa ajili hiyo aliendelea kusema mama huyo na kunichanganya kabisa.Kwa kuwa nyumba ya mzee huyo ilikuwa mafichoni kidogo na mpaka upate barabara kuu ya kwenda mjini ni ka mwendo tulifika mahali akanambai ebu simamisha gari kidogo.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Sikusimamisha kama alivyotaka bali nilipunguza mwendo.Akanambia paki hapa nimebanwa na haja ndogo.

    Mmmmmh jamani si tunetoka nyumbni sa hivi niliwaza na kupaki gari pembeni.Nikamwambia haya shuka ujisaidie Aunt.Mmmmh mimi naogopa unaweza kung’atwa hata na nyoka alisema mama mjomba.



    Sasa tufanayaje ilibidi nimuulize maana niliona ananichanganya tu.Hakunijibu tena kwa maneno bali alipandisha kioo ambacho kilikuwa na tinted akanambia nipandishe na cha kwangu kisha akanambia nenda siti za nyuma mimi nataka nijisaidie kwenye hili kopo.Alinambia hivyo huku akinioesha lile kopo la maji alilokuwa akishika.Eeeh makubwa nilijisemea kimoyomoyo huku nikiamia siti ya nyuma.



    Mara na yeye akaja huko nyuma na nikamuuliza vipi tayari.We naye acha kujifanya mtoto mimi sijabanwa mkojo wala nini.Na hisi kitumbua changu kinaniwasha hivyo fanya unikute hata dakika moja tu.Jaman hapa si tunaweza kukutwa nilimwambia kwa uwoga .



    Hamna shida hakuna watu wanaoipita njia hii na hata wakipita hawawezikuona kinachoendelea.Yaani wewe niingize kichwa tu tutakuja kufanya vizuri tukirudi nyumbani alisema mama huyo bila aibu.Akanivaamia na kuanza kunipa romance kwenye gari.Mmmmmh alikuwa wa moto utafikiri ndo yupo katikakati ya mzunguko wake wa mwezi.



    Akanipandishia mguu mmoja na huku mikono yake ikipepsa huku na kule.Yaani mimi siku hizo ilikuwa ukinipapasa kifuani tu tayari matarimbo unasimaa wima tayari kwa kungonoka.Ile mguu alinipandishia ulitosha kabisa kunipa mshawasha wa kumkuna huko panapowasha.



    Mama mtu mzima alikuwa amevaa kimini hivyo ilikuwa nirahisi sana maana nilikisogeza tu kwa juu.Nikapitisha mkono kuanzia mapajanai mapaka ikulu.Nikagusa kufuli lake na niligundua tayari lilishalowana na rasharasha za mvua zilizotekea baada ya romance hiyo fupi.Nikazidi kumpagawisha kwa kupapasa papasa juu ya kufuli hilo na hatimaye kulisogeza pembeni na kujaribu kupima kiwango cha mafuta wwa kuingiza mrija wangu.



    Nilijua kabisa kitendoo cha kuendelea kuchelewa kingeleta madhara maana hapo tulipaki sio salama kabisa.Sikutaka makosa niliingiza mrija wote na kuanza kuzungusha zungusha ili kupata utamu wa juisi ya shangazi.Niligundua kuwa mafuta yalikuwa mengi sana ndo maaana mama wa watu alisingizia mkojo.



    Nikajua kabisa kwa staili hiyo ni vigumu kumwaga maana siku hizi nimeshakuwa konkodi yaani nimezini mpaka mabao yakaisha huko mwilii hivyo kulipata hata hilo bao moja ni shughuli.Ilibidi nimueweke mkao mzuri ambao ungeweesha yeye kunikumbatia kwa nguvu na kuongeza mshawasha.



    Nilisikia akigugumia mara baada ya kumkunja vizur.Hapooooo hapoooooo yeeeeeh yeaaaaah uvuuuuu fuuuuuuuuuuuu alikuwa anafanya kama anapuliza moto wa kuni vile mara baada ya kugusa angle zilizokuwa zikiwasha.Mara pipiiiiii ni mlio wa gari iliyotupita.Sikutaka kusikiliza nikamalizia kumkuna na kumuacha akiwa hoi bin taabani.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Nikapandisha boxer yangu nikarukia siti ya mbele na kumuacha mama mtu mzima akiwa amelala hapo nyuma.

    Baadaye alikuja mbele huku nywele zikiwa timtim.Nilimwambia aweke nywele zake sawa.Eeeh asante sa hivi siisikii tena haja ndogo umeiondoa yote alisema mama huyo huku akitoa kioo na kitana kwenye pochi yake na kujiweka sawa maana tulikuwa tunaingia mjini.



    Akanambia tuende kwa mdogo wake kuna mzigo anataka kuchukua.Tukaenda kwa huyo mama ambaye alikuwa na duka kubwa la vipodozi na urembo.Yaani yule mama alinichangamkia sana na pia nilisikia akimwambia mama binamu huyo ndoa nani tena.Huyu ni mpwa wa mme wangu alijibiwa kwa kifupi.



    Ooooh karibu kijana siku ukiwa na babe unamleta hapa tunamfanya hang’are ng’are alichombeza mama huyo aliyekuwa anameremeta kama mwarabu.Basi wakaendelea kupiga stori mbili za hapa na pale.



    Baadaye aliingia binti ambaye kwa kweli nilishindwa kuvumilia kwa jinsi alivyokuwa mrembo.Akaanza kunisalimia mimi kaka mambo. Poa tu dada za kwako nilimjibu huku nikikagua uzuri wake.Yaani siku hizi sijui nilikuwaje maana nilivyoangalia tu jinsi yale makalio yalivyojibinua na kutengeneza kijungu uume wangu ulianza kusiamama.



    Sijui nimelogwa mwenzenu.Shikamoo mama mkubwa alimsalimia mke wa mjomba na kumkumbatia kwa nguvu.Ilionesha hata wao walikuwa na uwezo maana mavazi aliyovaa yalikuwa yaikishua sana.“Chriss huyu anaitwa Maurine yeye na Lisa wanaitana dada hivyo pia na yeye ni binamu yako” alisema mama mjomba.



    Nashukuru kukufahanu Maurine nilimpa mkono huku nikiendelea kukaagua uumbaji wa mungu.Ulaini wa mikono yake ulizidi kunisimua na kushindwa kuelewa kwa nini siku hizi nimekuwa dhaifu hivyo.Sasa Maurine kuna vile vyakula vya kuku kule nyumbani naomba uende na Chriss mkavichuke ili mpaka mimi namaliza kumremba mama yako mkubwa muwe mmesharudi alisema mama yake na Maurine.



    Jamani mama yaani mimi nirudi mpaka nyumbani sa hizi alilalamika Murine kwa sauti ya kudeka.Ebu acha kudeka kwani unaratiba gani mjini mama yake alimuuliza kwa ukali.Naenda kwa rafiki yangu kuna nguo nzuri amenambia ameninulia alisema Maurine kwa sauti ya upole.



    Sasa wewe mama mdogo si ndo vizuri maana Chriss ni dereva mzuri yupo na gari atakupeleka sehemu yoyote unayotaka alipendekeza mke wa mjomba.Ooooh kama hivyo sawa nikajua mpaka tuanza tena kuparangana na hice alijibu Maurine kwa furaha.



    “Chriss naomba umpeleke huyu binti anapotaka alafu kwanza anzieni nyumbani mchukue kabisa hivyo vyakula vya kuku” alisema mke wa mjomba.Niliitikia oda hiyo kwa kutingisha kichwa.Tukaondoka na binti huyo na safari ya kwenda kwao ikaanza. “Naomba niendeshe mimi” alisema Maurine mara baada ya kutoka nje ya duka hilo.



    Sikuona haja ya kumbania nikampa funguo na safari ikaanza.Tukiwa kwenye gari baada ya ukimya wa mda mrefi binti huyo mrembo akaanzisha mazungumzo. “Nambaie Chriss mbona umepooza hivyo tofauti na nilivyokuwa nikisimuliwa habari zako” alivunja ukimya Maurine ambaye na yeye ni sawa tu na binamuyangu. “Habari zangu? Nani amekupa habari zangu” niliuuliza kwa mshangao



    Aaaaah usishituke sana na mimi na Lisa ni kitu kimoja na huwa tunatunziaana siri alisema Maurine huku akizidi kupunguza mwendo wa gari. Ooooooh kumbe Lisa vipi kwani alikuambia mimi ni mchangamfu? Nilimuuliza kiudadisi.Sio mchangamfu tu, na mengine mengi alisema binti huyo huku akiniangalia usoni.



    Jamani na mengine mengi kama niliuliza kwa mshangao.We acha tu jinsi alivyokusifia mpka na mimi nikapagawa alisema binti huyo na kuzidi kuniacha njia panda.Kabla sijaongea akanambia ila naomba usije ukamuuliza utaharibu undugu wetu alisema Maurine kama njia ya yeye kujihami.Usijali wewe nambiae tu mimi ni msiri sana nilijaribu kumuakikishia usalama wake.



    Daaaah inaelekea Chriss unayajua sana mapenzi aliniuliza binti huyu.Hamna bwana niyajulie wapi na nimetokea kijijini nilimjibu kwa kujibaragusha.Basi dada yangu Lisa anakusifia sana na amenambia sasa hivi ameacha kabisa ile tabia yake ya Usagaji tangia akupate wewe alisema Maurine bila kificho.



    Mmmmmh niliguna kimoyomoyo na kujiuliza ina maana huyu dada binamu Lisa hajui kutunza siri.Wakati najaribu kumtafakari Lisa kwa nini ametoa siri Maurine akanambia haina haja ya kuwaza ilikuwa ni lazima Lisa anieleze ukweli kwa sababu mimi na yeye ni kitu kimoja na tunatunziana siri.Una maanisha nini unaposema wewe na dada yako Lisa ni kitu kimoja niliomba ufafanuzi.



    Changamoto za kimapenzi anazozpitia Lisa na mimi ndo hizo hizo nilizopitia tukajikuta tunakata tamaa na maisha ya mapenzi ya kweli tukajiiingiza kwenye mchezo wa kujipa raha wenyewe alizidi kufafanua Maurine.Unamaanisha na wewe ni msagaji? nilimuuliza kwa mshangaao.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Hapana mimi sio msagaji ila kabla hajamalizia alinyamza maana tulishafika kwenye geti la kuingilia kwao.Akashuka akafungua mlango na kuingia ndani.Tulivyofika sebuleni akanambia karibu jisike upo nyumbani.Nikakaa kwenye masofa yenye hadhi hapo sitting room kwao.Yeye aliekea kwenye moja ya chumba na nahisi kilikuwa ni chumba chake.



    Baada ya dakika kadhaa alitoka na kuniambia unatumia kinywaji gani.Nikamjibu chochote tu hata maji.Akafungua friji kisha akaniletea juisi na yeye akajimiminia tukaendelea kunywa.Nikamwambia eeh haya niambie ulipoishiaa nilianzisha mazungumzo.Mda ni mchache sana Chriss ila kwa sababu umeniambia kuwa wewe ni msiri hutomwambia Lisa wala kumuuliza chchote kuhusu mimi basi nitakueleza siku ingine tukipata mda wa kutoshaa.



    Kabla sijatia neno akasema kwa leo just chukua namba zangu au nipe za kwako tutawasiliana.Akanirushia simu yake na sikuona haja ya kumnyima nikamwandikia kisha nikajibep kwangu.Hapo namba ikapanda na jina nililosevu Lisa love.Nikakumbuka namba hiyo niliiba kwenye simu ya Lisa siku moja na yeye alikuwa ameisevu mpenzi.



    Nakumbuka nilipomuuliza Lisa kuhusu namba alizozisevu mpenzi, baby na zingine darling sweatheart alinambia hizo ni namba za wanafunzi wenzak aambao anashiriki nao vitendo vya usagaji.Hapo nikaanza kupata picha na maana ya kauli ya Murine kuwa yeye na Lisa ni kitu kimoja.



    Daaaha Lisa ni hatari ina maana hata huyo ni mpenzi wake nilijiuliza.Yeye hajali undugu wao yaani mpaka mtoto wa mama yake mdogo.Nilitulia kimya na kujifanya kama hakuna kitu nilichogundua.Basi tukaendelea na stori mbili tatu.Akanambia nimalize juisi tupakie hiyo mizigo tuliyotuma kisha tuondoke zetu.



    Akaingia ndani akatoka huku akiwa amevua suruali aliyokuwa amevaaa na kujifunga khanga.Hapo uzalendo ulinishinda nikamuuliza vipi mbona umebadilisha nguo.Akambia usijali huko stoo kuna vumbi na hivyo vyakula vya mifugo vipo kwa juu ya dali hivyo ningeeichafua ile suruali yangu nyeupe.



    Lilikuwa ni jibu zuri lakini sasa jinsi hiyo khanga ilivyovaliwa ndo ilikuwa ni tatizo.Michirizi ya kufuli lake ilionekana na kunifanya nianze kumtamani kwa jinsi alivyomtamu.Yaani siku hizi mwenzenu hisia zangu zipo karibu utazani jigoo akiona mtetea tu amekaa kihasara hasara anataka kumpanda.



    Akanipa hishara kuwa tuelekee huko stoo.Mungu wangu nikawa nipo nyuma yake nikihesabu hayo mawe aliyokuwa akinitupia.Sjui hawa wataoto kwa nini lakini kunitia majaribuni hivi yaaani kuduuuuu kuduuuuu kuduuuuu mpishano wa makaloi ndo ulikuwa ukinilimaza.Nikaona isiwe tabu nikaingiza mkono mfukono na kumzuia jamaa angu ambapo alishaanza kiherehere chake cha kutaka kuupanda mchuma.



    Tukaingia stoo kwa ajli ya kuchukua hivyo vyakula vya mifugo.Kweli ilikuwa ni stoo maana vitu vilikuwa ni vingi na vimeshonana sana.Sasa Chriss itabidi uishike hii ngazi vizur ili nipande huko juu maana ndipo vyakula vya mifugo vilipoifadhiwa alisema Murine.



    Ilibidi ni mwambie kama vipi nipande mimi lakini alikataa kwa madai kuwa nitachafuka.Basi nikashika ile ngazi vizuri na binti huyo akaanza kupanda.Akapanda ngazi ya kwanza na ya pili kisha akageuka na kuniambia usinichungulie bwana.Nilitamani kucheka maana yeye ndo aliyataka hayo kama alijua kuna kupanda ngazi sana kwa nini avae khanga moja.



    Macho hayana pazia nilifanikiwa kuona mapaja mazuri na kitumbua kikiwa kimehifadhiwa kwa kufuli zuri jeupe peeee kama saruji.Akaendelea kupanda ngazi tena kwa kusua sua.Jamani kwa nini majaribu haya kila siku nilikuta nikijiuliza maswali.

    Yaani hapo tayari msumari wangu ulishasimama wima na nilikuwa natamani hata adondoke kwa bahati mbaya tu aniangukie.



    Yaani mwenzenu siku hizi nikiona tu samaki basi natamani kumkaanga.Basi alifanikiwa kupanda na akaanza kushusha vifurushi vya vyakula hivyo vya mifugo na nikawa nampokea.Baada ya kumaliza akaanza kushuka na cha ajabu alikuwa akishuka kinyume nyume hapo nikazidi kuchanganyikiwa mwenzenu.



    Akawa anashuka kwa madaha yaani mguu nyuma mguu mwingine mbele.Mungu wangu lile shetani langu la mahaba likazidi kuniapnda.Inaeleka Maurine alikuwa akifanya makusudi na nia yake alikuwa anataka nimpunyue tu.Sijui hata alifanyaje maana ile kanga ilifunguka.



    Nikazidi kupandwa na nchecheto wa kutaka kuonja wa utamu wa binamu huyo wa kambo.Sijui hata ilikuaje nikajikuta nanyanyua mikono juu kama mtu anayetaka kuokota embe dodo liloiva lakini bado lipo mtini linataka kuanguka kwa upepo mkali unaovuma.



    Ukisikia mitage ndo hii sasa maana Maurine alibaki huko huko juu na kuniambia sorry my causine naomba niokotee hiyo khanga.Nikashindwa hata kuokota hiyo khanga nikabali nimeduwaaa tu nikishangaa sahngaaa chachandu la ukweli alilokuwa amelivaaa binti huyo.



    Maurine kuona nimeduwaa alishuka na alipofika chini aligeuka na kunikuta nimesimama wima kama nguzo ya nyumba.Sio kusimama wima mwili tu bali mpaka mche waasabuni uliokuwa umejificha ndani ya suruali yangu ulisimama wima.

    Wakati mimi nikipigwa na butwaa na kushangaa chachandu na jina la mkuu wa mkoa wa zamani Steven Mashishanga kwenye kiuno cha Murine yeye alikuwa akishangaa jinsi suruali yangu ilivyokuwa imetuna kwa mbele.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Kuonesha kuwa alishitushwa eti aliweka viganja vya mikono yake kwenye kinywa kama mtu aliyetaamaki baada ya kuona kitu cha ajabu.Akaniuliza utaweza kuzichezea hizi shanga kwa mda mchache au tuache nitakupa siku ingine?Kabla sijjibu akainama na kuokota ile khanga yake.



    Uvumilivu ulifika mwisho maana ule mbinue ulinifanya nitamani kuvunja amri ngumu ya sita huko huko stoo.



    Potelea mbali wacha nimuonje hayo ndo baadhi ya mawazo yaliyonijia kwa haraka haraka mara baada ya binti huyo kuinuka na kuanza kufunga khanga.Nilimvamia kwa nguvu na kuanza kumpa romance huku mikono yangu ikikimbilia kwa mkuu wa mkoa wa zamani yaani Mashishanga.Nikaipitisha kwa mbele na kwa kasi ya ajabu nikaperuzi na kudadisi kwa spidi kubwa sana ya 4G internet mpya ya tigo.Oooooooh my God (OMG) alitamka Maurine mara baada ya kuupandisha mguu wake mmoja kwenye ngazi za.Ule mwingine ukabaki nyuma na kuzidi kubinua sehemu rasmi kwa ajili ya kale kamchezo ketu.



    Mmmmm na yeye sio mbulula maana alipandisha zaidi na kumfanya akae angle ya pembe 90.Ka mduara kadogo kalichojitengeneza kwa nyuma kalitosha kabisa kwa mimi kuingiza sindano yangu kwenye tundu hilo.Ishiiiiiiiiiiiiiiii ishiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ulikuwa ndoo mlio wa kwanza mara baada ya kuingiza kichwa cha nyoka pangoni.Ilikuwa ni lazima kuanza na kichwa maana wakati mwingine pangoni wanaingiaga siafu hivyo usipokuwa makini utashindwa kukaaa.



    Baada ya mguno huo dada binamu huyo wa kambo alijibetua vizuri na kunifanya mimi niweke mikono yangu kiunoni huku nikiendelea kuchezea Shanga alizokuwa amezivaaa.Nikamwingiza nusu na kuanza kusugua.Bado mashine yake haikuwa kuuu kuu maana ilitaiti vizuri na kunifanya nianze kusugua kwa nguvu huku nikijaribu kuingiza taratibu ili asiumie.Niliihisi kulikuwa na mtelezo mkali sana maana nilikuwa nasereka bila taaabuuu.



    Mmmmmmmmh mmmmmmh yeaaaaaaaaaaah yeeeeeeeees yeeeeeeeees babeeeeee.Nipeeeeeeee nipeeeeeeee nipeeeeeeee Lisa babeeee nipeeee tuuu nipeee toooooteeeee.Yeah yeaaaaaaa hapo haoooooooo mmmmmmmmmh raaahaaaaa.

    Hee yaani utamu ulimzidia mpaka akamtja dada yake Lisa.Hapo nikaamini kuwa Lisa dada binamu alishamuharibu hadi huyu na alikuwa akimsaga na kumpa mautamu kwa kiungo cha bandia.



    Alikuwa akihema na kutoa miguno mingi huku akionesha alikuwa amimiss sana hiyo huduma.Utamu ukatukoleeea na mimi nikakazana kuchochea pedeli za baiskeli maana mlima uliuwa ni mzito kuupanda.Oooooooooopp ooooooooppppp oooooooooopppp puuuuuuuu pupuuuuuu sijui hata ilikuwa ni lugha gani alikuwa akiongea binti huyo.Nikaazana na niipoona nataka kufunga goli nilichomoa kwa nguvu na kufunga kweye nyavu za nje.



    Akageuka akachukua khanga yake akajifunga na kunipa ishara kuwa tuondoke.Ilikua hakuna namna maaana simu zilishaita mara kibao.Tukachukua vile vyakula vya mifugo tukaweka kwenye gari.Maurine akaivaa nguo zake na ilikupoteza harufu ya mautamu aliyoipata alijipulizia marashi.Safari hii alnirushuia funguo ili niendeshe mimi.



    Alionekana kuwa mpole gahala kama mtu aliyekuwa akijutia kitu alichokuwa akikifanya kule stoo.Hata mimi nilijutia ila kwa mautamu yale ya mitego aliyonionesha nisingeweza kuvumilia kwa kweli.Mpaka kufikia kumla stoo ujue swala la kufanya mapenzi kwangu lilishakuwa kama kitu cha kawaida.



    Yaani sijui aliyeniloga aliniloga saaa ngapi maana nimekuwa nikipata bahati ya kuangukiwa na embe dodo mara nyingi nikiwa chini ya mnazi.Mbona umepoa sana Maurine niliamaua kumuuliza ili kuvunja ukimya.Wewe acha tu nafikiria ile dozi uliyonionjesha natamani tungepata kanafasi tufanye zaidi alijibu binti huyo.Kabla sijasema kitu akaendelea kusema “Sasa nimeanza kuamini kwa nini Dada Lisa alikuwa anakusifia na kusema yupo tayari kuacha usagaji.



    Kwani umegundua nini ilibidi nimuulize.Wewe unafikiri ningegundua nini zaidi ya utamu wa binamu alijibu Maurine kwa kunichombeza.Lakini Maurine ujue sisi ni ndugu huoni kwamba tulichofanya sio sahihi ilibidi nijibaraguze.Mimi na wewe hatuna undugu wowote labda kama ubinamu wa kambo ila wewe na Lisa ndo ndugu hivyo itakupasa uachane naye uwe na mimi alesema Maurine bila aibu.



    Ilibidi ninyamaze kimya maana tulishakaribia kufika.Akawa ananitengeneza kola ya shati langu vizuri.Tulibaki gari vizuri na kuingia kwenye duka hilo.Bora mmekuja maana tulikuwa tuwafuate huko alisema mama yake Maurine.Haya kwa nini wote wawili hamupokei simu alidakia mama mjomba.Mimi nilikaa kimya nikumuacha mpira Maurine ajibu swali hilo.



    Tulichelewa si nilisema naenda kwa rafiki yangu kwanza alafu mda ule mnapiga ndo tulikuwa stoo tukifanya yetu.Mmmm tukifanya yetu kauli hiyo ilinishitua kidogo na kushindwa kuelewa alikuwa anajiamini nini.Wakati kauli hiyo ikiniweka mimi kwenye wakati mgumu mama yake naye alishangaa na kuuuliza mkifanya yenu? Yenu yapi alidakia mama mjomba.



    Jamani kwani nyie mmefikiria nini si tukishusha mizigo alifafanua Maurine huku akijichekesha chekesha.Yaani wewe endelea tu kujichetua chetua sa hivi ushaukuwa mtu mzima uache utoto alisema mama yake kwa upole.Jamani si utani tu alisema Maurine huku akijiechekesha chekesha.Mimi nilikaa kimya ila moyoni niikuwa najisemaa ukiona manyonya ujue kaliwa.



    Waliagana kisha mimi na mke wa mjomba tukaondoka na kuelekea supermarket ambapo tulifanya shoping kisha tulimtafuta yule mtu ambaye nilitakiwa nimpelekee CV zangu lakini alituambia tumeshachelewa hivyo niende kesho ofisini kwake.Baada ya mambo yote hayo tuliamua kurudi nyumbani maana mda ulikuwa umeenda.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Tukiwa njiani stori zilikuwa ni zile zile.Yaani Chriss natamani tusirudi nyumbani tupitie mahali ukanimalizie ile dozi maana pale kweye gari nahisi ulinipapasa tu wala hukunikuna vizuri alisema mama mtu mzima bila kificho.Mimi niliendelea kuwa kimya na mpole kama mtu ambaye alikuwa kwenye dimbwi zito la mawazo.Ilikuwa ni lazima niwe mpole maana nilishavuruga mambo na nilihisi naendelea kuwa mtumwa wa mapenzi.



    Tulifika nyumbani na moja kwa moja nilikimbilia bafuni na kuoga.Baada ya hapo nilirudi chumbani nikabadilisha nguo kisha nikajilaza.Dada binamu akanipigia na kuniambia amenimiss sana ila niendelee kuvumilia maana bado kidogo tu atarejea.Baada ya kukata simu yake nikakumbuka kuna vidonge vya miti shamba binti huyo alinipa eti kwa ajili ya kukuza uume na kuongeza nguvu za kiume.



    Niliamua kivimumunya maana nilihisi kuwa napungukiwa na nguvu za kiume maana nilishatumika sana.Dawa hizo sijui alizipata wapi lakini kwa kweli zilikuwa na matokeo makubwa sana.Maana kila siku mtarimbo wangu ulizidi kuwa mkubwa

    mnene na wenye afya.



    Kuongezeka kwa unene wa kifaa changu hicho cha kukunia nazi kulinifurahisha na kuamini hiyo ndo itakuwa dawa ya kuwa nyoa wote waliojipendekeza.Nilijilaza hapo huku nikiendelea kufikiria mustakabali wa maisha yangu.Je niendelee kukaa hapo au nisonge mbele kwa kuondoka na kurudi kijijini?.



    Wakati nikiendelea kuwaza na kuwazua nilisikia dada wa kazi akigonga mlango.Nilijiinua kizembe zembe na kwenda kufungua mlango nikakutana na tabasamu zito la binti huyo.Akanambia chakula kipo tayari babaee alafu na hamu ya chakula cha usiku leo alichombeza binti huyo na kuondoka.



    Nilielekea mezani na kwa mara ya kwanza nilimkutta mama mjomba na yeye akiwa dinning room na yeye akijipatia msosi.Ilikuwa ni nadra sana kwa mama huyo kujumuika pamoja na sisi kujipatia msosi.Tulianza kula na alikuwa na juisi aliyoitengeneza yeye mwenyeewe.Akamtuma dada wa kazi jikoni akamletee pilipili.



    Kwa macho yangu nilishuhudia mama mjomba akiweka unga unga kwenye ile glass ya juisi.Nilishanga maana sikujua ni nini. Akaitingisha vizuri kisha akapiga pafu moja na kunisogezea na kuniambia hiyo itakusaidia kukuongezea nguvu kwa ajili ya kazi ya leo usiku.



    Mmmmh kazi gani tena nilimuuliza kwa shauku .Wewe kunywa mtoto wa kiume hatakiwi kuwa muoga alisema mama huyo kwa kujiamini.



    Samia alirudi na sikutaka ajue kilichokuwa kinaendelea nikaichukua ile juisi na kuinywa.Nilijiamini kuwa haina madhara kwa sababu hata mama mjomba aliinywa kabla hajanipa.Akamminiana juisi Samia tukaendelea kupata msosi.Mama leo inaonekana una furaha sana ilikuwa ni neno la kwanza la Samia.



    “Kwa nini? mbona kawaida” tu alijibu mama mjomba kwa mtindo wa swali.Mmmmh yaani mara ya mwisho mimi kula na wewe ilikuwa kipindi kile kwenye sherehe ya kuzaliwa ya dada Lisa.Yeah usijali dada leo nimeona umuhimu wa kula wote si unajua siku zingine nakuwa nimechoka au nakuwa nimeshakula huko kabla ya kurudi hapa aliendelea kufafanua mama mjomba.



    Basi tuliendelea kula huku mke wa mjomba akipiga stori mbii tatu na dada wa kazi Samia.Vipi Chriss mbona wewe umepooza sana aliuliza mke wa mjomba huku akiniangalia usoni.Hamna shangazi nawasikiliza siunajua tulifundishwa shuleni kua wakati wa kula sio vizuri kuongea nilijitetea kwa kauli hiyo.Kwa hiyo sisi tunakosea alidakia Samia.



    Sijuia lakizi unaweza hata kupaliwa na chakula kama utaendelea kuongea wakati unakula, nliaribu kumuelewesha.

    Kauli yangu hiyo ilifanya kila mtu awe kimya akifakamia chakula chake.Tulimaliza kula dada Samia akatoa vyombo kisha mke wa mjomba akanambia kuna kazi anataka nimsaidie pale sebuleni.



    Basi tukakaki pale kwenye sofa na kusubiri ni kazi gani alitaka kunipa usiku huo.Akaenda chumbani kwake kisha akaja na lap top na tablet na kile kifaa alichokitega kama kikamera kwa ajili ya kuangali kama mme wake alifanya mapenzi na Samia.Basi akanambia kuna data nimsidie kuingiza kwenye lap top akawa ananisomea na mimi naingiza.Mda ukazidi kwenda huku akiwela miziki milaini ya kutuliwaza.



    Baada ya Samia kuona tupo bize na kwenye lap aliaga na kusema anaenda kulala.Mama alimjibu kwa tabasamu na kumwambia haya usiku mwema.Alivyoingia tu chumbani kwake mama alibadilisha kazi akaniwekea movie ya utamu.Akaniacha hapo sebuleni alafu yeye akaenda chumbani kwake.Sikujua alienda kufanyaje lakini alichukua mda kidogo kurudi.



    Alikuja huku akiwa ameshika funguo mkononi.Na nilipoziangalia nikagundua kuwa ni za Samia maana zilikuwa zimeandikwa jina hilo kwenye holder.Nishamfungia kwa nje alale mpaka asubuhi alisema mama huyo huku akiwa amejipulizia marashi yaliyonukia vizui na huku akiwa amepunguza nguo na kubaki na khanga moja tu aliyojifunga kuanzi kifuani mpaka chini kidogo ya mapaja.



    Nilishajua nia yake kuwa alitaka utamu na ndio maana alienda kujiandaa.Itakuwa labda alienda kukisafisha vizuri.Yaani ukijumuisha na ile movie ya utamu na jinis alivyvaa nilianza kupata tabu ya kukaa pale kweny sofa.Akenda kwenye friji akachukua chokulate ya maziwa.Akaifungua na kuanza kuilamba huku akinipa na mimi.Mimi sikujivunga nilichuka na kuweka mdomoni.



    Akaisogeza lap top pembeni na kuniambia naamini kwa ile dawa niliyokupa lazima atamudu mechi hii ya kihistoria.Akaleta midomo yake kweye kinywa changu.Mmmmmm utamu wa chokulate ya maziwa ulinifanya tunyonyane kwa nguvu mpaka nikahsii mate yanakakauka mdoni.



    Nilikunywa mate ya kutosha kama lita moja hivi na kwa jinsi mama huyo alivyokuwa anateleza sikuchoka kupapasapasa mgongani.Akaanza kuhema kwa ngvu huku akionesha kuwa alikuwa a papara ya kamchezo hako.

    Hapo sasa nilianza kuisikia ile juisi aliyonipa ikifanya kiiz maana nilisikia mtarimbo wangu ukipiga pushapu za ukweli.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Yaaani ulikuwa ukipanda juu na kushuka chini huku ukitoa jasho jembamba na macohzi hasa sehemu ile ya kichwa.Kwa kuwa mimi nilikuwa nimekaa kwenye sofa na yeye amenipandia kwa juu ilikuwa ni rahisi sana kumsugua sugua kutokana na pushapu nilizokuwa zikipigwa na uume wangu.



    Akaanza kunivua shati kwa utaratibu kisha akapitisha mikono huko kunako.Sikutaka kuchelea nilimsimamisha kisha na mimi nikavua zote.Hakuzubaa mama mtu mzima alijua anachotakiwa kufanya na yeye alichojoa zote.Akanisukuma nikarudi kukaa pale pale kwenye sofa.Kisha akanipandia kwa juu.



    Yaani macho yake yakawa yanaangalia kwa nyuma ya mgongo wangu.Mama mjomba au shangazi akaanza kujiachia na kufanya yake.Alifanya kama ananilalia alafu uso wake akaupeleka pembeni kushoto kwangu.Matiti yake makubwa aliyojaliwa yakawa yameweka pozi kwenye kifua changu.



    Yakawa ayakinitekenya tekenya na kunifanya nisike raha.Jamani ni wizi lakini ni raha maana mama alikuwa vizuri.Kweli nimeeamini ng’ombe hazeeki maini yaani alikuwa akijituma utafikri alikuwa ndo dada binamu Lisa.Ilionekana alikuwa na hamu sana ya kusuguliwa njia hiyo ya mbele.



    Nililuwa na mimi najitahidi hivyo hivyo japo alikuwa amenikandamzia lakini niliweza kuingiza na kuizungusha huko huko ndani.Akawa amegundua kuwa alikuwa ananinyima pumzi akajinyanyua vizuri akawa amekaa hapo sasa kila mmoja aliongeza speed hiiiiiiiiiiiiiii hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii uuuuuuuuuuuuuhhhhhhh mmmmmmmmhhhh ni vikorombezo vilivyokuwa vikitolewa na mama mtu mzima na kunifanya niongeezee spidi ya kumsugua.



    Wakati yeye akinogewa kuimba nyimbo za mapenzi kwa kutumia sauti yake laini ya kwanza mara nilisikiaa kama mtu akipiga makeleeee. “Mama nakufaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mamaaa nakufaaaaaaaaaaaaa” sauti hiyo ilijirudia mra mbili kutoka kwenye chumba cha Samia msichana wa kazi wa mjomba.



    Sauti hiyo haikunisitua mimi tu bali hata mke wa mjomba.Akanyanyuka kwa nguvu kisha akanipa ishara kuwa nikimbilie chumbani kwangu.Alafu yeye akaenda kufungua ule mlango wa beki tatu.Nini wewe unapiga makele usiku aliuliza mama huyo kwa ukali mara baada ya kumfungulia.



    Mimi nikachukau simu yangu ambayo niliiicha chumbani na nilikuta kuna mesji nyingi sana za Lisa na Samia. “Kumbe mmenifungia kwa nje ili mchakachuane hiyo ilikuwa ni meseji ya juu kabisa.Wakati nikiendelea kusoma meseji za Lisa nilisikia mama mjomba akimkalipia binti yule kwa madai kuwa amefanya ujinga.



    Nilimsikia Samia akijitetea kuwa ni ndoto mbaya aliota.Basi mama mjomba alimsii alale aache mambo ya uwoga.Ingawa alimkalipia lakini ukweli ni kwamba binti huyo hakufurahiswa na kitendo cha mama huyo kumfungia mlango.Nilisikia mama mjomba akitoka na kurudi chumbani kwake.



    Mimi nikafunga chumba changu na kuwa kimya kama mtu aliyepitiwa na usingizi.Baada ya dakika tano nilisikia mtu akigonga mlango wangu.Hapo nikazidi kulivuta shuka kwa nguvu na kujifunika gubigubi.Mara nikasikia sauti ya mama mjomba “Haya na huku kwenye mlango wa Chriss umefuata nini aliesma mama huyo mara baada ya kumbamba Samia akiwa ananigongea mlango.



    Samahani mama nilikuwa namgongea hili anipe lap top niangalie move mana ile ndoto imekata usingizi wangu wote.Pumbaaavu wewe haya rudi upesi chumbani kwako na ndoa maana nilikufungia nilihii tu kuna kitu kinaendelea baina yako na Chriss aliendelea kusema mama huyo kwa ukali.Kwanza huko ndani si kuna TV kama sio kuwashwa tu aliendelea kufoka mama huyo.





    Nisamehe mama alisikika Samia akisema kwa sauti ya upole.Nilisikia mlango wa Samia ukifunguliwa na kufungwa kuhashiria kuwa aliingia chumbani mwake.Ikapita kama dakika tano huku kimya kikitawala na mimi kuvuta utamu na utelezo wa ngozi laini ya mama huyu.



    Hapa mjomba aliokota dodo kwenye mkuyu.Yaani sipati picha enzi ya ujana wake huyu mama inaelekea alikuwa ni tishio sana hayo ni baadhii a mawazo yaliyokuwa yakinijia hapo kitandani.Mara sms ikaingia kwenye simu yangu “ haya njoo muone mjomba wako na huyu mbwa wakifanya ushenzi” ilikuwa ni meseji ya huyo mama.Sikuelewa alikuwa na maana gani lakini nikahisi ni zile kamera alizomtegeshea wakati sisi tukienda mjini.



    Naomba uje tafadhali uthibitishe mwenyewe kuwa mjomba wako ana mambo ya ajabu ilikuwa ni meseji ingine.Nikasema isiwe tabu ngoja niende nikajionee mautamu ya mjomba akimkula dada wa kazi.Nilikuta mlango upo wazi hivyo niliingia moja kwa moja kwenye chumba cha mjomba ambacho ni marufuku kwa mtu yeyote kuingia.



    Mungu wangu aliyeakumu sio matusi nilikaribishwa na mautamu ya mama mjomba.Alikuwa amejilaza kitandani huku miguu yake ikiwa juu.Nilishangaa hiyo staili maana alinyanyua miguuu juu ambayo ilipewa sapoti na kufuli ambalo alikuwa amelipandisha juu ili limpe stamina.Yaani alikuwa amelala kimgongo alafu amejipanua na miguu ameiweka juu huku sehemu za viwiko zikiwa zimeshilikwa na chupi ambayo ilivutika kwa kadiri ya mpanuo wake alioutaka.



    Maini firigisi utumbo na kila kitu cha ndani ya ikulu vilikuwa nje.Nilikiona kinina kikiwa kimetuna kwa juu huku mashavu ya pampuchi yakiwa yanahema na kuhema kama mtu aliyekuwa akipiga mruzi.Niliganda kwanza pale mlangoni nisiaamini ninacho kiona.



    Wakati nikipigwa butwaa na staili hiyo inayohitaji mazoezi mama huyo alinipa ishara kuwa nifanye haraka kwenda kupakua chakula hicho cha usiku.Nilisogea nikapanda kitandani kisha nikapiga magoti na kiulaaini kama nanawa vile nikamuingiza nyoka pangoni.Ule mtungi ulikuwa umejibitua wote kwa mbele hivyo ikawa rahisa sana kwa mimi kuingiza yote.



    Niliingiza yote kunako na kuanza kusukuma kama vile nasukuma gunia zito la mahindi.Kila nikitaka kuishusha miguu ili nimpumzishe nilishindwa kwa sababu ilikuwa inazuiliwa na kufuli lilokuwa juu.Nilijua atachoka mapema lakini wapi ndo kwanza alizidi kujidibiisha.



    Basi nilisugua sugua na wewe lakini mama hachoki nikaona hapo nitakuwa natwanga maji kwenye kinu.Nikaishusha ile miguu kisha nikalivua lile kufuli na kumpanua zaidi.Nikaanza kumchezea kile kinina ambacho kilikuwa ni tofauti na wanawake wote niliowahi kukutana nao.



    Chenyewe kilikuwa nikinene chenye afya na ulaini wa hali ya juu.Juu yake kwenye kuta za ikulu kulikuwa na vimanyoyamanyoya laini kama nyele za mtoto mchanga.Hapo nikaona ile chokulate ya maziwa iliyokuwa pembeni.Kwa sababu ilikuwa na uzito kama uji au maziwa mgando mawazo ya kiufundi yalinijia haraka haraka.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Nikaimimini hapo kunako kisima cha raha.Ubaridi ulimfanya kumshitua mama huyo na kuangalia ni nini nilimuwekea.Ili kumuwahi nilianza kulamba na kunyonya ikulu yake.Niliilamba kama vile paka akilamba maziwa kwenye sahani.



    Jamani raha utamu wa vanilla wee utamu wa chocolate.Heee kumbe mwenzangu alikuwa hoi bini taaabani akizidiwa na mlambo huo.Mimi sikuona kinyaa mana nilikuwa Napata ladha ya chocolate ya maziwa.Nililamba mpaka mama mtu mzima akaanza kuimba zeze.Mumuuuuuuu mumuuuuuuu muuuuuu mmmnaaaaaaaaaaa uvuuuuuuuuuuuuuuuuuuu fuuuuuuuuuuuuuuuuuuu ni raha za sauti alizokuwa akitoa.



    Nilijitoa ufahamu kwa kuendelea kuzungusha ulimi wangu na kupiga vigelegele huko ndani ya harusi ya mama mjomba.Alikuwa bado haamini kilichokuwa kikitokea nilijivuta na akiwa hivyo hivyo na staili yake ya kifo cha membe niliingiza mchuma ndani ya gari.Sikutaka kujichosha nilifanya kama mlevi aliyeotea demu sehemu nilijiachia nikamlalia na kutulia akaona namzingua akanigeuza na yeye akapanda juu na kuanza kujipimia kadri alivyotoka.



    Mda mfupi kila mtu alikuwa bandarini akitia nanga kuashiria mwisho wa safari ulikuwa umefika.Nilikuwa hoi sana na yeye alikuwa hoi sana.Nilivuta pumzi nzito na kujiachia hapo kitandani.Nilifunga funga macho kuashiria kuwa nilitosheka na chakula hicho cha jioni.



    Nikaamini kweli ile juisi ilikuwa nikiboko maana tulienda raundi moja tu lakini ilikuwa ni ndefu sana utafikiri ni raundi tatu.Baada ya kupumzika nilimuona mama huyo akinyanyuka na kwenda kuchukua ile tablet yake na kukonect kile kikamera.Mungu wangu nilimona mjomba akifanya vitu vyake.Kweli hii dunia imelaaniwa maana nilimuona mjomba akizicheza chuchu za beki tatu huku akitamka neno chuchuuuu chuchuuuuuuuuu trariraaaaaaaaaaaa chuchuuuuu chuuuuu na beki tatau akirembua macho kwa madaha ya ajabu.



    Akampandisha beki tatu juu ya kiti kisha akachuchumaa huku akijbinua kidgo.Saa hiyo matarimbo wa mjomba umesima vya kutosha inaelekea alishafanya yale mambo yake ili isimame.Heee mjomba akaanza mchezo wake wa kula nyama ya bata tena akiwa mwenye tabasamu zito.



    Alimsugua vya kutosha akanyanyula naye mpaka kitandani ambapo aliendelea kumpa dozi binti huyo ambaye na yeye alijua kucheza na hisia za mzee huyo.Cheki mjombaa wako anavyofunga macho sijui yupoje huyu mzee na safari hii sikubali lazima nimwachishe kazi huyu binti alisema mke wa mjomba kwa hasira na kuizima ile tablet.Mpuuzii sana huyu baba aliendelea kulalamika.



    Moyoni nikawa najisemea si angeacha tu tuone ufundi wa mjomba.Umeona Chriss hi indo sababu inayonifanya mimi nikupe mautamu yote aliyostahili kupewa mjomba wako.Ameniuzi sana huyu mwanaume.Bado na mwisho wa mwezi anataka pedi zetu zenye uchafu wa period aliendelea kulalamika mama Lisa.



    Vitu vingine ni aibu sana yaani sasa ndo nini hii alilalaima mama mjomba huku akienda kufunga mlango.Na mimi niliamka na kumwambia naomba usifunge nitoke nikalale kwenye chumba changu n.Wewe una kichaa kweli yaani uondoke uniache kwenye dimbwi la mawazo alisema mama huyo.



    Akafunga mlango na kunioneshea kuwa nirudi kitandani.Nikamwambia ujue jinsi wewe inavyokuuma ndivyo hivyo itakavyo muuama mjomba pindi akijua unamsaliti.Si bora mimi namsaliti kuliko yeye anayeendekeza mambo yake ya kishirikina alisema mama huyo huku akija nyuma yangu na kunikumbatia.



    “Chriss” aliita mama huyo.Nakusikia Aunt.Nakupenda sana na nipo tayari kwa lolote.Kabla sijamuuliza kivipi akaanza tena kunispapasa kifuani mwangu.Nataka nikufungulie biashara kubwa sana na usiendelee kukaa hapa bali upange chumba chako.Sawa nimekuelewa je unafikiri mjomba akigundua haya tunayoyafanya itakuwaje.



    Acha habari zako wewe alisema aaunt huku mikono yake ikishuka chini kidogo kwenye maeneo yangu ya hatari.Nilianza kusisimka tena na kuhisi majanga yataanza tena mda si mrefu.Akapiga magoti akiwa hivyo hivyo nyuma yangu ishara kuwa kuna utundu anataka kuufanya.



    Nikaona ameanza kunilamba lamba makalio yangu.Mmmmmh huyu naye hizo si huduma anatakakiwa apeewe mwanamke niliwaza na kwa haraka nilijigeuza.Akakimbilia kuushiika mtarimbo kisha akaanza kuninyonya .Huku nikiwa nimesimama nikaanza kusikia raha ya ajabu.



    Alilamba kwa utaratibu sana huku akipita mpaka kwenye kirungu kwenye wale mapacha wawili.Akaanza kunitekenya tekenya lile kende langu la kushoto ambalo ni dogo kuliko la kulia.Mmmmmmh…..





    Hakuishia hapo akaendelea na huduma kwa kuchezesha ncha ya ulimi wake kwenye kitundu cha kichwa cha maiki yangu.Nilihisi kizunguzungu cha raha miguu ikaishiwa nguvu na kutaka kudondoka .Akaingiza mdomoni koni hiyo na kuendelea kuimung’unya kama ubuyu vile.



    Aliendelea kufanya yake mpaka nikajikuta nafunga bao hili hali mashine yangu ikiwa ndani yam domo wa mama mjomba.Alivyoona lava na uji uji mweupe umetoka aliitoa kisha akifuta vizuri na kabla hajalala aliishilia na kuendelea kuisigua sugu kwa kutumia pete ya ndoa.



    Aliushika mkia huo na kunipeleaka kitandani.Akiingiza saizi aliyotaka na kuendelea kupena raha mpaka kila mmoja wetu alipotosheka.Sikujua hata ilikuwaje maana wote wawili tulipitiwa na usingizi na tulikuja kushituka ilishakuwa ni asubuhi ya siku nyingine.****



    Ni siku ya tatu sasa tangia mjomba aondoke huku mapenzi ya wizi yakiendelea kwenye jumba hilo.Mara kwenye mabanda ya kuk mara kwenye swimming pool basi maradi tu mama huyo afidie ladha na raha alizozikosa mda mrefu.Alinipenda sana na alikuwa akinipikia vitu hadimu akisisitiza kuwa nahitaji kula vizuri ili niwe na nguvu ya kuhimili mikikimiki ya kufanya mapenzi kama jogoo mda wowote na mahali popote.



    Wakati upendo ukikolea kwa mama mjomba pia Maurine naye hakuacha kunisumbua kwa simu anataka tuonane.Aling’anga’ania niende mjini hasa kwao kwa sababu mda mwingi yupo mwenyewe.Siku moja nikapata nafasi ya kwenda mjini mara baada ya kupigiwa simu na yule rafiki wa mjomba kuwa nipeleke CV zangu na vyeti kwa ajili ya kutafutiwa kazi.



    Nilimwambia mama mjomba na alinisuhusu niende kesho yake kupeleka vyeti hivyo.Nikaona hiyo ndo itakuwa nafasi ya mimi ya kuonana na Maurine dada binamu wa kambo aliyetokea kupagawa na mimi mara baada ya kusimuliwa habari zangu na dada binamu Lisa.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Nilimmaliza kabisa siku ile niliyompunyua manyonya kule stoo kwao ambapo mguu moja ulikuwa juu ya ngazi.Utamu wake ndo ulinifanya nimtafute nimsikie alikuwa na lipi jipya.



    Basi kesho yake nilipewa gari nikaingia zangu mjini.Nikaenda moja kwa moja nilipotakiwa kuonana na boss wa kampuni moja nikamkiuta yupo bize kidogoo hivyo ikanipasa kumsubiri kidogo.Nikiwa kwenye viti hapo nnje ya ofisi “Kaka habari yako” ilikuwa ni sauti ya binti mwembamba mrefu aliyajaliwa rangi ya asili ya weusii wa kuvutia.



    Nzuri tu dada nilimjibu huku nikiendelea kukaagua umbo lake zuri la kimiss alilopewa na Mungu.Alikuwa ni mwembamba sana lakini mwenye umbo la kuvutia.Yaani watu kama hawa huwa ni watamu sana maana mashine inapita yote bila kikwazo hayo yalikuwa ni mawazo ya kipuuzi niliyowaza mara baada ya dada huyo kukaa pembeni yangu.



    Naitwa Vailet muhitimu wa chuo kikuu mwaka jana katika chuo cha Dodoma hope your Chriss” alisema dada huyo huku akitabasamu.Eeeh nilishituka kidogo amenijuaje na mbona mimi simfahamu kabisa.Mbona umeshituka sana kwani mimi hukuwahi kuniona pale chuoni aliuliza dada huyo kwa mshngao .



    Kwa kweli sikukumbuki kabisa na hata hiyo sura yako ni ngeni kwangu nilijaribu kumwambia ukweli.Kwani wewe si umememliza chuo mwaka juzi aliuliza dada huyo.Ndio nimemaliza mwaka juzi nilikubalina naye.Akendelea basi mimi nakujua kupitia dada mmoja hizi anaitwa Asha mlimalizana naye.Oooooh Asha yula alikuwa ni rafiki yangu sana.



    Wewe na Asha mpoje nilimuuliza mara baada ya kuona kuwa ni kweli huenda alikuwa akinjiua.Ni marafiki tu ila tulitokea sehemu moja huku huku Mbeya mitaa ya Mwanjelwa.Kwa hiyo na yeye yupo Mbeya niliuliza kwa shauku.Ndio yupo tena mtoto wake amekuwa mkubwa sana sa hivi anakimbia.



    Hapo akanikumbusha jinsi nilivyokuwa namsaidia binti huyo kumfanyia assignment na hata kwenye test alikuwa akikaa nyuma.Binti huyo kipindi hicho alikuwa ni mjamzito hivyo nilimsaidia kimawazo.Aisee itabidi unipe namba zake nimtafute.Sa hivi hana simu ila unaweza kuchukua za kwangu ili siku ukitaka kuonana naye una nipigia mimi nakupeleka alipendekeza Vailet.



    Nikafurahi maana aliponisalimia tu nilianza kujiuliza nitazipataje namba zake.Alinitajia namba nikaandika na yeye akasevu za kwangu.Ile tunamaliza tu kupeana namba mimi nilitwa na kuingia ofisini.Nikaongea na meneja muajiri akaniuliza maswali mawili matatu kisha nikamkabidhi vyeti vyangu na kutoka.



    Kutoka kwangu ilikuwa ni ishara ya Vailet kuingia huko ndani.Niliona haina haja ya kuendelea kupoteza mda wakati tayari nilishachukua namba zake.Nilitoka zanu mpaka nje ya geti sehemu ambayo nilikuwa nimepaki gari tayari kwa kuondoka kwenda kuonana na Maurine.



    Wakati natafuta jinsi ya kutoka ili nisije kukwaruza gari la mtu maana yalikuwa yamepaki karibu karibu simu yangu iliita.Kuangalia alikuwa nia Vailet akipiga.Nikapokea na akanambia naomba nisubiri hapo getini nakuja nimeshamalizana nao.Mda mchache baadaye alitoka na nilimpigia honi ishara kuwa mimi nilikuja na usafiri.



    Akaingia kwenye gari na kuniambia mbona naonekana na haraka sana kwaini nawahi wapi.Nikamwambia kuna mahali nimetumwa hivyo nahitajika kwenda chapu ili niwahi kurudi nymbani.Nilipomtajia mitaa niliyokuwa naelekea akafurahi na kuniambia mbona hata yeye anakaa mtaa huo huo.Nikamwambia basi haina shida ngoja tuende huko.



    Safari ikaanza huku tukipiga stori za hapa na pale.Aliukwa ni mcheshi sana binti yule na muongeaji kwani sikuwa boadi kwa kweli.Bahati mzuri unaanza mtaa wao kisha wa unafuata wa kina Maurine.Niimshusha tukaagana na mimi nikasonga mbele.



    Nilienda moja kwa moja mpaka kwa kina Maurine baada ya honi alinifungulia geti nikaingia.Kama kawaida ya mabinti wengi wakiwa nyumbani huwa wanajiacha kwa kuvaa kanga moja au nguo simple hivi.Nilijiamini kwenda kwa kina binti huyo maana mama yake alikuwa amesafiri hivyo alikuwa mwenyewe na dada yake mkubwa huwa anarudi usiku sana.



    Niliingia ndani kwa kujiamini na nilikuwa tayari kwa lolote.Huku zile vidonge vyangu vya kuongeza nguvu vikiwa vipo tayari kwa ajili ya kuongeza nguvu kama ikitokea binti huyo akataka mautamu.Nilimkuta tayari ameshaandaa makulaji ya kufa mtu.Sikujivunga nilikula na baada ya hapo akaanza mbwembwe zake.



    Yaani bora umekuja Chriss wangu maana wiki ijayo Lisa ndo anarudi na najua akirudi kukupata sio rahisi tena alilalamika binti huyo.Kwa nini unasema hivyo nilimuuliza.We acha tu mimi najua jinsi gani yule mwanamke anakupenda na yupo tayari kwa lolote juu yako.



    Kama nilivyokwambia lakini hakufai kwa sababu yule ni ndugu yako kabisa bora mimi aliendelea kuongea Maurine huku safari hii akinisogelea zaidi na kuja kukaa pembeni yangu.Alikuwa akiongea vitu vingi lakini vyote vilimaanisha alikuwa akitaka kunimiliki mimi na hakutaka niendelee kuwa na Lisa.



    Nikawa najiuliza sasa kama ni hivyo kwa nini Lisa alimsimulia binti huyu habari zangu.Kama walikuwa wakiaminiana sasa mbona wanataka tena kupinduana.Tukiwa hapo sebuleni Maurine akaanza kupitisha mikono yake kwenye kifua changu.Akafungua vifungo vya juu huku akisema nimesikia una garden love nzuri sana ebuu nione.Mmmmh jamani alikuwa na papara huyu binti utafikiri labla alikuwa ametoka jela hivyo anaugwadu wa miaka mingi.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Akaona hapo sebuleni ni noma akanipa mkono nikamfuata kinyume nyume na kuelekea chumbani.Kitu cha kwanza alichokifanya ni kunilaza na kufungua zipu ya suruali yangu.Nilikuwa sitaki kufanya kitu chochote nione hata fanyaje.Akaivuta suruali mpaka chini kisha akaniacha hapo kitandani.





    Sikujua alienda wapi aliporudii aliakuwa na chupa yenye asali.Wakati najiuliza anataka kufanya nini niliona akiifungua ile chupa kisha akalamba kidogo na kunisogelea.Akanambia nivue nguo zote na nilitii amri.Nilikuwa kama boya ninayefuata mawimbi ya maji yanapoenda.



    Baada ya mimi kuvua na yeye alivua zote na kubaki kama alivyozaliwa.Sikutaka kumuangalia maana ningepata nchecheto wa haraka na kumfakamia kama fisi aliyeona mzoga.Akamwagia ile asali kwenye uume wangu.Mmmmh mtoto akaanza kutoa huduma ya kulamba sehemu hizo.



    Jamani mimi sikuwahi kufikiria kuwa kuna mapenzi ya kulambishana asali ya nyuki.Mtoto akawaanalamba mpaka anapitiliza sehemu za tundu la haja kubwa.Jamani nilisikia raha ya ajabu ambayo sijawahi kuisikia huku duniani.Nilijikuta nikipiga ukunga wa raha nilizokuwa napatiwa.Nilijikuta nageuka chocolate ya kulambwalambwa sehemu hizo zilizo na mautamu.



    Nilitoa miguno ya kiume ooooooh yeaaaah babay mmmmmh aaaaaaaahhhh nilizidi kuchnganyikiwa mtoto huyo mtundu alpoanza kusukutua mtarimbo wangu kwenye meno yake.Akawa anaisugulisha kwenye fizi za juu za mdomo wake.Utamu sio utamu raha sio raha jamani wacheni tu mapenzi yaendeshe dunia.Nikazidi kuamishwa dunia na kupelekwa dunia ingine kabisa mpaka nikamaliza raundi ya kwanza kwa mtindo huo.



    Hapo sikutaka kumbania tena na mimi nikaanza kumpa huduma kama zile alizokuwa akinipa yeye.Ila mimi nilianza kwa kuimimina na ile asli kwenye matti yake na kuanza kuyalamba lamba.Eeee kumbe haka kamchezo kanampa raha mpka mnyonyaji.



    Nikawa nazichezea zile chchu zake kwa kutumia nch ya ulimi wangu.Uyuyuyuyuyuyyuuuuuuuuuuuuu,, yyuyuyuuuuuyuyuuuuuuuuu,,sheeeeeeeeeeeeehhhhhhh,,ishiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiihh akunalaaaaayeeeyiiiiii aliendelea kulalamika kimasia biti huyo kuashiria utamu wa asali alikuwa akiusikilizia mpa kisogoni.



    Sikuishia huko tu nilimwagia ile asali na kwenye mtungi na nikaanza kulamba kama mtoto wa mbwa yatima aliyekosa mazima na sasa amewekewa mchuzi wa nyama kwenye sahani ya bati.Mtoto wa watu alizidi kupagawa na kutoa ringtone za zile suimu za phileps dwiiiiiiiiiiii dwiiiii dwiiiiiiiiiii ngriiiiiiiiiiiiiiiiii ngriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii oooooooooooooohhhh nipe nipe nippeeeeeeeeeee mmmaaaaaaaaaaaaaa.Eeeeeh makubwa kumbe naniii yangu kimahaba inaitwa mmaa.



    Sikutaka kumchelewesha nilifanya kama alivyokuwa akihitaji.Kwa kuwa mimi nilikuwa chini ya kitanda na yeye juu lakini miguu yake ikiwa kitandani staili rahisi ilikuwa ni yeye kupiga magoti na mimi kusimama na kufanya yangu.Sijui wenyeewe ndo mnaiitaje hii staili lakini mimi nilisimama nikashika sehemu za nyuma ya kiuno chake na kuingiza yote.



    Nilijikunja kama mbwa anayefanyatendo hilo kwa mara ya kwanza.Milio yote ya Maurine iliisha ikabaki milio ya mlalamikoo ya kitanda cha chuma kwiichiiiiiiiiii kwichiiiiiiiiiii kwichiiiiiiiiiiiiiiiiiii chwiiiiiiiii mpaka nilitamani kucheka maana kitanda chenyewe kilikuwa kinasikia utamu tena utamu wa kihindi babuuuu.



    Niliendelea kufanya yangu huku nikiamini kwa uzoefu nilioupata tangia niingie jijini Mbeya unataosha kabisa kumudu mpambano huo hata kwa dakika 45 bila kufikia mshindo mkuu wa mabomu.Ilifika mahali nikachoka nikawa nimeweka mkono wangu mmoja nyuma ya kiuno changu na mwingine juu ya kisogo nikisikilizia utamu wa mauno ya binti huyo.



    Kuna mda nilihisi miguu kuishiwaa nguvu maana nilikaribia kumwaga uju uji mzito kwenye chungu hicho chungu chenye joto na unyevu nyevu wa huba.Nilimsukuma kwa makusudi kisha nikamlalia kwa juu nikawa nimetulia tuli tuli huku yeye akiyabana na kuyabinya makalio yake na kwa kwenda chini na kuyarudisha juu.Jamani bao lilitoka kwa speed ya boti mpya za Kilimanjaro zifanyazo masafa yake ya kati ya Dar na Zanziber.



    Sikuwa na jinsi zaidi ya kuendelea kulala hapo juu ya mwili wa Maurine kabla ya yeye kujitingisha tingisha mtingisho ulionifanya niangukie pembeni na kuvuta pumvi nzito ufuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu asantee babyyyy nilimwambia huku nikimpa tabasamu zito tabasamu liloambatana na kufunga funga kwa macho mara baada ya kunipiga na mto uliokuwa pembeni ishara ya mapenzii ya kizungu.



    Tuliendelea kupumzika kabla ya kurudia tena kamchezo hako.Akapanda juu binamu huyu wa kambo kisha akafanya yake na kunifanya nimshau Lisa, Samia na mama mjomba kwa mda.Uzuri wa haka ka mchezo ukikiendekeza yaani kila binti atakaye kuonjesha utahisi ni utamu mwingine kabisa.



    Ila sishangai maana kila nyama inautamu wake.Uwezi kuniambia nyama na mbuzi na kondoo zote zinautamu sawa. Hapo nikakumbuka kuna CD ya utamu nilikua naangalia ukionesha aina ya injini za wanawake na utamu wake.Yaaani huku duniani kuna mambo sana eti kila aina ya pampuchi ina ladha na utamu wa iana yake.



    Ila mimi siamini sana nachojua ni ufundi tu kulingana na maumbile ya mwenza wako.Kama ya kwake kubwa basi unatumia staili nzuri za kuufanya mnao kwenye sehemu hizo na kama ni ya wastani hivyo hivyo au hata kama ni ndogo.Cha msingi ni maufundi tu hata kama utakuna na nini hakikisha una mridhisha tu.



    Maana nishasikiaga wanaume wakilalamika ooooh ya kwake kubwa, sijui eti kinina chake kimechongoka kama kisu hata kikiwa kama nini cha msingi ni ufundi tu sio kulalamika.Kwani mungu wakati anaumba maumbile ya aina mbalimbal hakujua hayo?.Tuyaache hayo ila mashine ya huyu ilikuwa ni ya wastani yenye ladha tamu kama ile asali aliyoniletea.



    Baada ya kurizishana mimi nilitumia mda huo kumdadisi kuhusu dada binamu Lisa.Ebu nambie Maurine wewe na Lisa ni wapenzi? Alitulia kimya kama mtu ambaye hajasikia swali hilo?Nikarudia tena naomba uniambie tu ukweli wewe na Lisa ni wapenzi?.



    Kuwa huru na mimi nipoo tayari kukusaidia kama tu utanambia ukweli nilijaribu kumuondoa hofu ili afunguke.Ni hivi Chriss mimi wewe nisingekujua bila Lisa na Lisa ndo amesababisha yote haya maana alikuwa akinisimulia habari zako jinsi ulivyokuwa ukimpatia raha.



    Lakini pia ni yeye ndo alinisabaishia nikutafute maana alinambia kwa sasa anataka kuacha huduma ya raha ambayo alikuwa akinipatia kama mpenzi wangu.Kwa kifupi mimi nilikuwa na boyfriend wangu ambaye tulipendana sana hata dada Lisa alimjua.Kaka huyo kwa kuwa alijua na mpeda sana na yeye ndo alikuwa mwanaume wangu wa kwanza basi alikuwa anatumia nafasi hiyo kucheat na kuzinyanyasa hisia zangu.



    Ikafikia mahali anamtongoza mpaka rafiki yangu na kutoka naye kimapenzi.Niliumia sana na kujikuta nayachukia mapenzi na sio mapenzi tu hata wanaume kwa ujumla wao niliwachukia sana.Nikaanza kuishi maisha ya upweke na sikuona nini thamani ya mapenzi.



    Lakini kama unavyojua binadamu hatuwezi kuvumilia mda mrefu bila kufanya mapenzi.Nilijitahidi kwa mda kama wa mwaka mmoja lakini baadaye nilipata mwanume mwingine.



    Mapenzi ya kakolea lakini kiukweli alikuwa ni mdhaifu sna kitandani.Yaani akienda raundi moja hawezi kusimamisha tena.Nikawa na mvumilia lakini kuna siku nilimuomba ushauri dada Lisa na akanambia raha ya mapenzi ni kumpata mtu anayekurizisha hivyo kama hakurizishi ni vizuri kumuambia tu ukweli.Nikafanya kama nilivyoshauriwa nikamwambia ukweli boy wangu kuwa atafute njia ya kuondoa tatizo hilo.



    Ikiwa kila tukikutana mambo ni yale yale kunipandishana nyege tu na kuniacha njia panda.Uvumilivu ulinishinda maana niliona ni bora kubaki mwenyewe kuliko kuwa na mtu hasiyenitosheleza aliendelea kusimulia Maurine.Basi kwa kuchagizwa na ushauri wa dada yangu Lisa nikajikuta naachana na yule mwanaume kwa sababu alishindwa kubadilika na kunifuta machozi yangu ya kuachna na mwanume wangu wa kwanza.



    Basi nikabaki singe mpka leo alimaliza na kukaa kimya binamu huyu wa kambo.NdioMaurine umenisimulia lakini bado hujaniambia ilikuwaje wewe na Lisa mkawa wapenzi.Oooooh kumbe unataka nikueleze kila kitu alisema Maurine kwa mshangao.Basi ni hivi tangia siku hiyo nikawa nikisikia hamu ya kufanya mapenzi najichua kwa maji ya moto na wakati mwingne natumia vitu kama ndizi mbivu kujipa raha.



    Basi siku moja tulienda beach na dada Lisa huko tulijiachia vya kutosha.Nikashangaaa tulipokuwa tumejilaza pembezoni ya bahari huku tukiwa tunejifunga vikanga mchwara alianza kunielezea jinsi mwanamke anavyopata raha akifanyiwa huduma ya kujichua na mwanamke mwenzake.Akawa ananishawishi sana anifanyie mchezo huo lakini mimi nilikataa.



    Siku moja nilienda kwao nikamkuta anaangalia video za wadada wakisagana.Nilipomuuliza kwa nini anapenda mambo hayo alinicheka sana na kuniambia nimpe nafasi siku hiyo anifanyie.Basi kwa kuwa na mimi mizuka ilinishanipanda nikamruhusu.



    Weee lazima nikiri yule Lisa ni kiboko alinipa mautamu ambayo mpaka leo bado nayakumbuka.Sijui hata alijufunzia wapi maana alikuwa na mpaka uume wa bandia.Nikajikuta nampeda ghafla na kujiingiza kwenye usagaji.Ikawa kila tukikutana basi ndo ka mchezo ketu mpaka ikafikia mahali tunaitanaga wapenzi.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Kwa hiyo kati ya wewe na Lisa nani sasa alikuwa ni mwanaume niliuliza swali la kizushi.Aaaaaah alicheka Maurine na kuniambia sasa wewe unafikiri nani alikuwa mwanaume kama sio binmu yako.Lile ni jike dume usilione vile alisisitiza Maurine.

    OK pole sana sasa kwa nini uliruhusu akufanyie mambo hayo nilimuuliza.



    Nikwamwambie kitu Chriss kuna kipindi ambacho mwanadamu anatakiwa kujaribu jaribu vitu amabvyo watu wengine wanavisifia.Nazani ilikuwa ni sahihi tu kwa mimi kufanya hivyo kutokana na sababu nilizokuambia za kutompata mwanaume aliyenifurahisha kama mwanaume wangu wa kwanza.



    Hivyo Lisa amenambia nisimuite tena babe na sasa anaacha usagaji kwa ajili yako.Hivyo hakuna namna ingine kama yeye anaacha usagaji kwa ajili yako basi hata mimi naacha uswagaji kwa ajili yako alisema Maurine.Hivi huoeni kuwa Lisa akigundua kuwa mimi na wewe tupo kwenye uhusiano ataleta noma alibidi nimuulize.



    Sasa hivi sitaki tena maswali yako alisema binamu huyo wa kambo huku akinyanyuka na kuacha mautamu yake kwa nyuma yakinitia hamasa ya kutaka kumpunyua tena manyoya.Niliangalia saa iliyokuwepo ukutani nikagundu mda ulikuwa umeenda sana hivyo nahitaji kuondoka.Nilinyanyuka haraka nikavaa nguo zangu na kutoka huko chumbani.Sijui hata huyu binti alienda wapi ila mimi nilielekea sebuleni.



    Eeeeh sinikakutana naye kwenye korido akitokea maliwatoni.Sasa unaenda wapi jamani alilalamika Maurine.Mda umeisha ngoja niende mama mjomba ameshapiga simu isije ikawa soo tena nilimjibu huku nikipiga hatua na kuondoka zangu.Wewe nani wa hivyo yaani mimi nienda bafuni kukiosha vizuri alafu wewe unataka uondoke uniachi hivi hivi siwezi kukubali nipe cha kuniaga alisema Maurine huku akijaribu kunishika mkono.



    Alikuwa hajavaa kitu chochote hivyo niliona njia pekee ni kusonga mbele maana nikichelewa tu itakuwa noma.

    Akakimbia na kupita mbele yangu na kwa kuwa pale sebuleni kuna kiti tena vile vya ofisini Maurine alikikimbilia.Mmmmh nilishangaa maana alikiweka kile kiti kuzuia njia kisha yeye akajiingiza shingo ikawa kwa mbele miguu kwa nyuma.



    Akajiachia shingo huku miguu ikiwa imetelekezwaa upande wa nyuma wa kiti.Hii kwa kweli nilikuwa sijawahi iona maana mmmmh mashine yake ilikuwa imejibinua juu juu.Nikaona isiwe tabu nikavungua zipu na kutoa nyoka wangu ambaye alishaanza fujo za kutoka pangoni mara baada ya kuona mautamau ya dada binamu wa kambo.Nikampandia kwa juu nikaichomeka na kuendelea kumpa haki yake.



    Nikaendelea kufanya yangu huku nikijitaidi kuongeza spidi ili tu niwahi kumaliza niondoke zangu.Mara ngriiiii ngriiiiiiiiiiiiiiiiiii ngriiiiiiiiiii ni kengele ya geti iliita kuhashiria kuwa kuna mtu alikuwa akigonga getini.Ooooooh My Gooood moyo wangu ulishituka ghafla na kupata hofu ambayo sikuitegemea sijui hatakuwa ni nani tena niliwaza huku nikifunga zipu yanguu.



    Dada binamu wa kambo akavuta kile kiti pembeni kisha akaitimua mbio kuelekea chumbani kwake maana alikuwa uchi wa mnyama.Baaada ya dakika moja mara tena ngriiiiiiii ngriiiiiiiiiiiiiiiiiiiii griiiiiiiiiiiii ile kengele ya geti lao ikazidi kuita.Nikazidi kupatwa na mshituko.



    Nikasema kama itakuwa ni mama yake basi nitakuwa nimeumbuka maana ni lazima atamwambia mama mjomba.Niliendelea kukaa na hofu kabla ya Maurine kutoka huko chumbani kwake na kwenda kumfungulia.Alinipia hishara kuwa nitulie pale pale sebuleni.Mara wakaingia wameongozana na mdada mmoja hivi ambaye alionekana alikuwa na haraka sana.Bila hata kutambulishwa kwa harka haraka alikuwa ni dada yake.



    Alionekana kama mtu aliyechanganyikiwa huku akimfokea Maurine kwa kuchelewa kufungua mlango..Akatoka huku akisema yaani huyu mwanaume atanitambua leo haiwezekani nimempa kila kitu mpaka gari nimemuonga alafu bado atembee na yule boya asiye na mbele wala nyuma.



    Hapo ilibidi na mimi nisimame na kuongozana na dada huyo ambaye alikuwa ameshika kamera yake ya digital.Nikajua kabisa lazima kutakuwa na tukio baya limemtokea.Alitoka nje huku akipiga simu yake “helow Juma mapiki piki huko wapi…??.” Jamani nataka uje unichukue unipeleke Bembea guest house sitaki kwenda na hii gari yangu.Nipo mbali sana ilisikika sauti ya kijana ambaye alikuwa anazungumza naye.



    Dada akaendelea kupigapiga miguu kuhashiria kuwa alikuwa amechanganyikiwa.Mara Maurine akatoka na kumwambia si umuombe huyu binamu akupeleke.Huyu ni binamu yako kivipi aliuliza dada huyo wa makamo kwa mshangao?.Hee huyu ndo Chriss binamu yake na Lisa alifafanua Maurine.



    Oooooh Chriss haya twende nishakujau nilisikia habari zako kwa Lisa.Neno nilisikia habari zako kwa Lisa lilijirudia rudia masikioni mwangu huku nikiwasha gari na kuelekea huko bembea guest house.Habari zangu zipi niliendelea kuuliza huku nikongeza spidi ya gari hilo.Kata kata kushoto tafadahali ilikuwa ni sauti ya dada yule ambaye mimi nilikuwa namsikiaga kwa jina la mama Juniour.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/





    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog