Search This Blog

Thursday 19 May 2022

AISIIIII.....U KILL ME - 4

 



Chombezo : Aisiiiii.....U Kill Me

Sehemu Ya Nne (4)


ILIPOISHIA

Muhudumu alizungumza, huku akinitazama, nikashusha kijipazia kidogo ambacho kinanifanya nishindwe kuaona kitu kinacho endelea nje. Hazikupita hata dakika mbili, tukasikia mtikisiko mzito kwenye ndege na kutufanya abiria wote kuhamaki.

“Abiria tunaomba mufunge mikanda yenu”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

Tuliisikia sauti ikitokea kwenye kipaza sauti. Walio ifungua mikanda yao wakaanza kufanya hivyo, hata Vivian naye akafanya hivyo, ukatokea mtikisiko wa pili ulio tufanya abiria kuanza kusali sala wanazo zifahamu wao. Gafla taa zote zikazimika, ndege ikaanza kuyumba na kupelekea mizigo iliyo wekwa sehemu maalumu kuanza kuanguka hovyo hovyo, hapo ndipo nilipo anza kusikia vilio vya wamama na watoto wakilia huku wakiliita jina la Mungu aliye umba mbingu na ardhi.

ENDELEA

Hali ndani ya ndege ikazidi kuwa mbaya baada ya ndege kuanza kuzunguka kwa kasi sana. Mabegi yakendelea kutuangukia. Kusema kweli wewe sikia tu kwamba kuna ajali za ndege ila usitamani kuwa ni mmoja kati ya watu wanao kumbwa na janga hili la kutisha sana. Sikumuona wala kumsikia Vivian aliye kuwa amekaa pembeni yangu kwa maana hata siti za ndege hii zimeanza kung’oka na kupeleka hali hii kuwa mbaya zaidi.

“Mungu nisamehe zambi zangu nilizo zifanya.”

Nilizungumza maneno hayo baada ya kuona kipande cha ndege kimeguka na kuufanya upepo mwingi kuingia ndani ya ndege, na kuanza kuwatoa watu wengine ambao viti vyao vimeng’oka. Kitu ambacho nimekisikia ni mivunjiko ya matawi ya miti, nikajikuta nikijigonga kichwa changu kwenye moja ya kitu kizito na hapo giza zito likatawala mfumo wangu wa kuona na nikatulia kimya.

***

Milio ya risasi nikaanza kuisikia kwa mbali sana kwenye masikio yangu. Milio hii inayo sikika kwa kupokezana, ikanifanya nijitahidi sana kuyafumbua macho yangu. Nikafanikiwa kufumbua jicho la upande wa kushoto, ila jicho la upende wa kulia limejawa na giza zito. Nikayachunguza mazingira ya eneo hili nililopo, mwanga unao ingia kwenye kijidirisha kidogo, ukanisaidia kuona vitu vichache katika chumba hichi ikiwemo, kijikitanda kidogo ambacho nimelalia. Pembeni ya hichi kitanda kuna kijikiti kidogo cha chuma.

Nikajitazama miguuni mwangu, nikaona mguu wa kushoto ukiwa umefungwa bandeji kubwa sana, hadi maeneno ya pajani. Taratibu nikajigusa jichoni mwangu, napo nikakutana na bandeji zito likiwa limezunguka kichwa changu kizima na sehemu ambayo ina uwazi ni masikio, jicho moja, mdomo pamoja na pua. Mikono yangu nikaitazama, nikaikuta na makovu mengi yaliyo pakwa pakwa dawa.

Nikajikuta nikishusha pumzi nyingi, huku nikitazama dari la chumba hichi ambalo limesindikwa na udogo mwingi. Kumbukumbu za ajali zikaanza kujirudia tena kichwani mwangu, kitendo cha kumbukumbu kunijia kichwani mwangu, kinanifanya kichwa changu kuniuma sana.

Akaingia binti aliye valia baibui, lililo ficha sura yake na kubakisha macho yake. Mikononi mwake ameshika kikombe chenye kijiko. Alipo ona ninamtazama, akasimama kwa muda akataka kutoka, ila akanisogelea na kukaa kwenye kijikiti hichi cha chuma. Akakoroga kitu kilichopo kwenye kikombe hichi, kisha akachota kidogo kwenye kikombe na kunisogezea mdomoni majimaji haya yenye rangi ya kijani.

Nikafumbua mdomo wangu taratibu na kuyapokea maji haya ambayo, kitendo cha majimaji haya kugusana na ulimi wangu, nikahisi uchungu ambao tangu kuzaliwa kwangu sikuwahi kuupata. Nikashindwa kabisa kuyameza majimaji haya na kujikuta nikitatema pambeni.

Msichana huyu akanitazama kwa macho makali kidogo, kisha akarudia kuchota dawa hiyo kwa kijiko na kunisogezea mdomoni mwangu. Nikajifikia kidogo, kisha nikaipokea kijiko hicho kwa kufumbua mdomo wangu. Uchungu wa hii dawa, kusema kweli imezidi hata uchungu wa dawa moja inayo itwa Cloroquin. Nikaendelea kujikaza kunywa vijiko hivyo vya dawa hadi kikombe kikaisha kabisa. Msichana kwa kupitai macho yake nikaona akiwa amejawa na furaha. Akanyanyuka kwenye kiti alicho kalia, na kutoka ndani ya chumba hichi. Kitu kinacho nishangaza ni jinsi milio ya risasi inavyo endelea nje ya chumba hichi na wala msichana huyu aliye toka wala hakuonekana kuonyesha kwamba ana wasiwasi wowote katika hilo.

Baada ya lisaa milio hiyo ya risasi ikanayamaza, nikiwa katika kuendelea kusikilizia kama hiyo milio itaendelea tena. Mlango wa chumba hichi kikafunguliwa na akaingia Mzee mmoja mwenye ndevu nyingi kwenye kidevu chake pamoja na msichana ambaye aliniletea dawa, japo sijaiona sura yake ila kifua chake kilicho fungasha chuchu zilizo chongoka, zikanifanya nitambue kwamba huyu ni msichana.

“Asalam alyakum”

Mzee huyu alizungumza huku akikaa kwenye kijjiti hichi cha chuma na msichana huyu akasimama pembeni ya mzee huyo.

“Salama”

Nikawajibu kwa kiswahili, mzee huyu akatazamana na msichana huyu kisha wakanitazama tena kwa nyuso zilizo jaa furaha.

“Naitwa General Ahamad Suleima. Huyu ni binti yangu anaitwa Hawa Ahamad Suleima, sijui wewe mwenzetu unaitwa nani?”

“Naitwa Dany”

“Karibu Somalia”

“Eheee!!”

Nilishangaa huku nikimtazama General Ahamad kwa jicho langu hili moja.

“Usishange sana, binti yangu alikuokota huko porini kwenye ajali ya ndege, hali yako iliuwa ni mbaya sana, ila Mwenyezi Mungu, amesaidia hadi sasa umeamka”

Mzee huyu alizungumza kiswahili chenye lafuzi ya Kikenyaa kwa mbali japo anajaribu kunyoosha maelezo yake kwa ufasaha.

“Umekuwa nasi kwa wiki ya pili sasa tangu kuletwa kwako, Binti yangu amekuwa akikuhudumia kwa kipindi chote hicho”

Nikamtazama binti huyu ambaye muda wote ananitazama usoni mwangu.

“Asante dada”

“Karibu sana”

“Umetokea nchi gani?”

Nikaka kimya kwa muda ili kujaribu kufikiria jibu ambalo nitalitoa lisije likaniletea matatizo ambayo kusema kweli yanaweza kunipelekea kifo changu.

“Kenya”

“Ohoooo Kenya na sisi pia tuna makazi”

Mzee Ahamad alizungumza kwa furaha sana, huku akinitazama usoni mwangu.

“Hawa, mletee chakula Dany, naamini hapo utumbo unamchemka sana”

Hawa akatoka kwenye chumba hichi na mimi nikabaki na mzee huyu, ambaye kwa haraka haraka ukimtazama utatambua kwamba ni gaidi, japo usoni mwake ana tabasamu la kumshawishi mtu na kuficha makucha yake.

“Dany mwenyezi Mungu atakusaidia na utakuwa sawa”

“Amen”

“Kikubwa ni kula ili afya yako irudi, dokta ametuambia kwamba jicho lako limepata itilafu kidogo ila baada ya muda litarudi katika hali yake ya kawida, hata huo mguu wako wa utapona”

“Asante sana kwa kunisaidia mzee wangu”

“Wala usijali hilo kabisa. Mimi kwako sasa ni sawa na baba, nitakuangalia vizuri na kukutunza”

“Nashukuru sana kwa hili Mungu atakubariki”

Nikajitia na mimi kumuunga mkono kwa maswala yake, ila tayari nimesha jua ni kitu gani kinacho endelea, kwa maana nchi hii ya Somalia kila mtu anajua kwamba ni makazi ya vikundi vikundi vingi ya ugaidi huku vikiongozwa na kundi la Al-Shabab, ambalo kwa mara kadhaa limekuwa likifanya matukio ya kutisha nchini mwake na hata nje ya nchi yake.

Hawa akaingia huku akiwa ameshika sahani yanye wali pamoja na maharage juu yake. Baba yake akampisha kwenye kiti alicho kuwa amekaa. Hawa taratibu akaanza kunilisha chakula hichi, ambacho nina muda mrefu sijakila. Tumbo ni kweli lina njaa kali kwa maana hata kijiko ambacho ninapewa, ninakitafuna kwa haraka haraka kisha ninakimeza na kupokea kingine. Kasi ya kutafuna ikaanza kupungua taratibu baada ya kuhisi tumbo langu kuanza kushiba.

“Kula kula Dany, unatakiwa kupata nguvu”

Mzee Ahamad alizungumza kwa furaha sana, huku akinitazama usoni mwangu. Nikajitahid kula hadi nikamaliza sahani hii iliyokuwa imejazwa ubwabwa.

“Sasa hapa ukimpatia na maji basi mambo yatakuwa vizuri sana”

“Sawa baba”

Hawa akanyanyuka kwenye kiti hichi na mzee Ahamad akakaa kwenye kiti hicho.

“Nakumbuka nilipo kuwa kijana kama wewe nilipataga ajali kama hiyo yako. Sema ya kwangu ilikuwa mbaya sana. Miguu yote ilifunnyika, mbavu zangu za upande wa kulia nazo baadhi zilivunjika. Yaani kila nikiikumbuka ile ajali huwa nahuzunika sana”

“Kwa nini?”

“Nilimpoteza mama Hawa, na ndio kwanza hawa alikuwa ana miezi sita. Cha kumshukuru Mungu hawa hakupata jeraha lolote wala hakuumia popote, yaani daaa”

Mzee Ahamad alizungumza huku machozi yakimlenga lenga, akajifuta machozi kwa kiganja cha mkono wake wa kulia baada ya Hawa kuingia ndani ya hichi chumba akiwa ameshika kikombe na jagi. Hawa akamimina maji kwenye kikombe na kunikalisha vizuri kitandania na kuanza kuninywesha maji haya.

Nikagugumia vikombe viwili vya maji, hapo ndipo nilipo hisi tumbo kuvimbiwa na kuhisi haja kubwa kwa mbali.

Siku zikazidi kwenda mbele, hali yangu kusema kweli ninamshukuru Mungu, kwa dawa anazo nipatia Hawa kila asubuhi, dawa zake zinaijenga misuli yangu, kwani hata mguu wangu ukaanza kupata nguvu. Japo dawa zake ni chungu sana ila zinanisaidia kwa kiwango kikubwa. Ila katika siku zote ambazo Hawa ananiletea dawa, chakula na maji. Sijawahi kuiona sura yake kabisa, amekubwa ni mtu wa kuificha sura yake.

“Itabidi leo unze mazoezi ya kutoka nje”

“Sawa”

“Ngoja nikakuletee magongo”

Hawa alizungumza huku akinyanyuka kwenye kiti, kidogo nikapata fursa ya kumtazama kwa nyuma. Japo amevaa baibui refu hadi chini, ila maeneo ya makalio amebahatika kupewa mzigo wa wastani. Akafunga mlango pasipo kufahamu kwamba nimemchunguza. Baada ya dakika tano, akarudi akiwa ameshika magongo ambayo hutumia kutembelea watu ambao wana matatizo ya miguu.

Taratibu nikajikaza kunyanyuka kitandani peke yangu na nikafanikiwa. Akanipatia magongo yote mawili nikayashika na makwapa yangu yakapita kwa juu yake, nikapata muhumili wa kusimama kisawasawa pasipo msaada wa Hawa.

Hawa akasimama pembeni yangu na taratibu tukaanza kutembea kuelekea nje, huku nikiwa makini kwa kila hatua ninayo piga. Tukatoka nje ya nyumba hii. Sikuamini wingi wa watu ninao waona mbele yangu wakiwa katika mafunzo ya kijeshi. Hii ni ngome kubwa na kuna ulinzi wa kila manma. Kitu kilicho zidi kunishangaza, ni kuwaona vijana wadogo nao wakiwa ni miongoni mwa wanajeshi katika hii ngome. Bendera yao yenye rangi nyeusi na iliyo andikwa maneno kwa lugha ya kiarabu, nikafahamu kabisa hawa ni Al-Shabab, tena nipo kwenye makao yao makuu.

“Twende huku”

Hawa alizungumza huku akinishika mguu, tukaendelea kutembea kwa utaratibu, huku baadhi ya wanajeshi ambao hawapo kwenye mazoezi, wananitazama sana. Hawa akaendelea kunionyesha baadhi ya maeneo yah ii ngome yao iligo zungushiwa ukuta mmoja mrefu kwenda juu.

“Hii yote ni ngome ya baba yangu, na yeye ndio anamiliki wanajeshi hawa wote”

“Unataka kuniambia baba anamiliki haya yote?”

Nilijifanya mjinga kuuliza uliza maswali kwa maana ninahofia kujulikana kama nilikuwa ni mpelelezi wa serikali ya Tanzania.

“Ndio anamiliki kila kitu, hili ni kundi kubwa sana ambalo baba analimiliki. Wapo wanajeshi zaidi ya laki moja, seme wengine wapo kwenye kambi nyingine kubwa maili kumi kutoka hapa tulipo.”

“Ahaa baba kusema kweli amejitahidi”

Nikiwa katika kuwatazama tazama wanajeshi hawa wa kisomali, nikamuona kijana mmoja ambaye naye amenikazia macho. Kumbukumbu yangu ikarudi hadi siku ambayo tulikuwa Tanga na raisi, na njiani tukakutana na magari ya wasomali, na tukapambana nao na kuwaua wote. Mmoja wa vijana ambao nilipambana nao ni huyu anaye nitazama sana. Kijana huyu akasimama huku bunduki yake akiwa ameishika vizuri, akaanza kupiga hatua huku akinifwata akionekana kuwa na jazba kubwa usoni mwake. Nikatamani kufanya kitu ila uwezo sina, na kitu kingine ninaogopa sana hawa watu wakifahamu kwamba mimi nilikuwa mpelelezi nchini Tanzania na nimiongoni mwa watu nilio sababisha vifo vya ndugu zao wengi sana jambo ambalo nahisi hadi leo wameweka uhasama mkubwa na nchi ya Tanzania.



Cha kumshkuru Mungu hawa akawahi kumzuia kijana huyu, na wezake wawili wakakimbilia sehemu tulipo na kumkamata huku wakimpokonya bunduki yake. Hawa akaanza kuwafokea vijana hawa, walimo mkamata mwenzao kwa lugha ambayo siielewi. Wakaondoka nakijana huyu huku wakiendelea kumvuta na kumbeba juu juu.

“Samahani mwanye Dany”

“Bila samahani”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Huyu kijana ana matatizo ya akili, kwa hiyo akiona watu wapya basi inakuwa ni shida, sana. Sasa sijui imekuwaje hadi wamemuachia akatoka nje”

“Ahaa kumbe”

“Yaa akili yake haipo sawa kabisa, yaani anashida sana.”

“Kwani hapo mwanzo alikuwa na hali kama hii?”

“Hapana, huyu kijana nimekuwa naye kabisa, akili zake zipo kama kawaida, ila tatizo linalojotokeza alipo okoka kufa, nchini Tanzania. Kuna kazi moja walikwenda kuifanya, basi kati ya watu wote walio kuwa wamekwenda kule yeye ndio wa pakee ambayo elinusurika kufa”

“Duuuuu”

“Yaa ndio hivyo bwana”

Hawa alizungumza huku tukiendelea kutembea taratibu akinionyesha baadhi ya maeneo katika ngome hii iliyo jekwa kwa uimara mkubwa sana. Hata ukuta wake ninaweza kuufananisha na kuta kubwa zilizo kuwepo kwenye ngome za kifalme huko nchini Italia

“Sasa baada ya hao wezake kuuwawa, mumeamuaje?”

“Daaa ni mpango mkubwa sana ulio andaliwa dhidi ya Tanzania, ila utaufahamu, hali yako ikiwa vizuri”

“Ahaa sawa sawa”

Nilizungumza kana kwamba sielewi kitu ambacho kinaendelea. Sikuhitaji kuuonyesha wasiwasi wangu mbele ya Hawa, kwa maana hili nalo linaweza kuwa kosa, na wala sikuhitaji kuuliza swali jengine juu ya huo mpango wao ambao wameupanga dhidi ya Tanzania. Kwa mwendo huu wa taratibu tunao utembea tukafika sehemu ambayo kuna jishe la wasichana na wanapata mafunzo yao.

“Hili ni jeshi langu, hawa wote unao waona hapa, wapo chini ya mamlaka yangu”

Kwa haraka haraka wasichana hawa nimewahesabu idadi yao wanafika kama hamsini hivi. Mafunzo wanayo fundishwa kwenye hivi viwanja unaweza kusema kwamba si watoto wa kike kwa maana wapo kikakamavu kama wanaume. Tukaendelea kuzunguka na kuelekea maeneo mengine ya kutengenezea silaha za kivita.

“Hapa kuna wataalamu wengi sana wa kutengeneza, bunduki, mabumo, majambia. Yaani tumejipanga kisawa sawa”

“Kweli hata mimi naona. Ila kwa nini unaniambia mimi haya yote?”

Nilimuuliza Hawa swali hili kwa kumtega tu, kwa maana sijaielewa maana yake ya kunieleza mimi kila kitu isitoshe hawafahamu kwamba mimi ni nani na ninamaisha gani kabla sijafika hapa.

“Ninakuonyesha haya yote kwa kuwa, hadi sasa wewe ni moja ya wanachama wa kundi la baba yangu. Na yeye ndio ameagiza mimi kukuonyesha haya yote. Naamini hadi hapo utakuwa umenielewa?”

“Yaaa”

“Naamini ukipona utajifunza haya yote ambayo wezako wanafundishwa”

“Kweli nitaweza?”

“Utaweza, wapo ambao walikuja hapa hata ngumi kurusha hawawezi, ila kwa sasa nikikuonyesha huto weza kuamini”

“Wee”

“Njoo huku”

Tukaingia kwenye moja ya ukumbi, tukakuta watu wanajifunza maswala ya kareti. Hawa akaanza kunionyesha mtu mmoja baada ya mwengine ambao kipindi wanaingia kwenye huu ukumbi walikuwa hawajiwezi kabisa katika maswala ya mapambano. Kila anaye nionyesha yupo vizuri katika kupamban.

“Kweli mimi ninaweza kuwa kama yule jamaa pale?”

Niliuliza huku nikimnyooshea jamaa mmoja mkono.

“Ndio, na kwa jinsi ninavyo kuona unaweza kuwa zaidi hata ya yule jamaa pale”

Siku yote hii nzima tukaimaliza katika kuzunguka katika maeneo ya hii ngome hadi tukaimaliza. Hawa akanirudisha chumbani kwangu, nikapata chakula cha ukiku na kulala. Kadri muda na siku zinavyozidi kwenda ndivyo jinsi Hawa alivyokuwa akiutumia muda wake mwingi kuwa na mimi huku akinifundisha lugha yao wanayo izungumza. Cha kumsukuru Mungu akili yangu ni mzima sana na inashika vitu kwa haraka sana. Nikaanza kuielewa luga wanayo itumia kuizungumza, ikafikia hatua na mimi nikaanza kuizungumza kwa ufasaha kiasi. Ila katika siku zangu zote ninazo kaa na hawa na kunipatia mafundisho ya luga yao sijawahi kuiona sura yake, kila siku ni mtu wa kuificha sura yake.

“Waooo kwa sasa unaweza kuzungumza kiarbu vizuri eehee”

Hawa aliniuliza huku tukiwa tunatazama macho yetu.

“Yaaa”

Nilijibu huku nikiwa ninatabasamu pana usoni mwangu, ila kwa leo nimadhamiria kuiona sura yake. Kwa maana hadi sasa sijawahi kuiona sura yake na ni mwezi wa pili unakwenda mwezi wa tatu.

“Safi, sijawahi kuwa karibu na mtu na kumfundisha hii lugha”

“Kwa nini?”

“Mara nyingi huwa sipendi kuwa karibu na wanaume, ila ulivyo kuja wewe, kidogo nimejitahidi kuwa karibu na wewe”

“Unawachukia wanaume?”

“Hapana siwachukii ila sipendi tu kuwa karibu nao”

“Ninaweza kukuomba kitu kimoja?”

“Kitu gani?”

“Ni miezi sasa sijawahi kuiona sura yako, ninakuomba niweze kuiona”

Hawa akaka kimya kwa muda huku macho yake yakiwa yamebadilika na kuwa kama mtu mwenye hasira, sikulijali hilo sana kwa maana jambo lililopo moyoni mwangu tayari nimesha weza kulizungumza.

“Mtu ambaye anaiona sura yangu, ni baba yangu peke yake. Dany kwa hilo ninakuomba unisamehe”

Hata sauti ya hawa imebadilika katika kuzungumza kwake, imekuwa ya msisitizo sana, hata vicheko vyake alivyokuwa anavicheka muda mchache ulio pita vibakwisha kabisa. Hawa akasimama na kutoka chumbani kwangu. Nikabaki nikiwa na vitabu vyangu vilivyo andikwa kwa kiarabu na kutafsiriwa kwa Kiswahili.

Mguu wangu cha kumshukuru Mungu upo katika hatua za mwisho mwisho kupona. Hata jicho langu nalo lipo katika hatua za kupona kabisa kwa manaa hata bandeji ambayo ilikuwa imezunguka kichwa changu kizima, nilisha itoa wiki kadhaa nyuma. Siku iliyo fwata nikaanza kufanya mazoezi madogo madogo, hawa hata ukaribu wake na mimi ukaanza kupungua jambo mbalo ninahisi limetokana na mimi kuhitaji kuiona sura yake. Baada ya wiki moja, mguu na jicho langu vikapona kabisa. Nikaanza mazoezi na watu ambao nao ndio wanao anza, karibia asilimi tisini na tano ya haya mazoezi tunayo yafanya ninayafahamu, ila ninajifanya mjinga nisiye jua kitu cha aina yoyote.

Mwalimu wangu wa mazozi ya kijeshi taratibu akaanza kuonyesha upendo wake kwangu, kwa jitihada ambazo ninazifanya katika kila zoezi ambalo ananipatia.

“Dany baada ya mwenzi moja mbele, ukiendelea na hii kasi yako utakuwa vizuri sana katika kupambana”

“Asante mwalimu”

“Huu ni mwaka wa kumi na mbili sasa ninafundisha vijana kwenye hii kambi, ila sijawahi kupata mwanafunzi asiye jua na anahitaji kujua kama wewe, kwa kweli unanipa hata moyo naamini kwamba utanifuta aibu”

“Nitakufuta aibu ya nini mwalimu?”

“Vijana wengi ambao wanatoka kwenye mikono yangu, na kwenda kufanya kazi za nje, wengi wao wanafia huko na kurudi wachache, jambo ambalo linanifedhehesha”

“Kwani tukimaliza haya mazoezi, tutapangiwa kazi?”

“Ndio nilazima mupangiwe kazi, kisha mukitoka huko ndio munakwenda kwenye hatua nyingine”

“Ahaa sawa sawa mwalimu, na kazi zenyewe zinakuwa za aina gani?”

“Inatokana na mzee atakavyo hitaji ni wapi muende kuifanya hiyo kazi. Kikubwa ni umakini tu”

“Sawa mwalimu nitahakikisha kwamba kila jambo linakwenda vizuri”

“Kama mutakwenda nitapendekeza wewe upewe uongozi wa kikosi”

“Sawa mwalimu”

“Haya kapumzike ni usiku sasa”

“Asante mwalimu”

Nikaichomeka basola yangu kiunoni na taratibu nikaanza kutemebea kueleka kwenye chumba changu, bahati niliyo ipata ni kwamba nina chumba changu binafsi, ila wezangu wanalala kwenye mabweni yao kama zilivyo nyumba za bweni. Ngome imetulia na watu wanao katiza katiza ni walinzi kwa maana muda wa kulala ulisha fika. Kutokana ninajulikana kwa sasa karibia na watu wote ndani ya kambi, hakuna mlinzi ambaye alinitilia shaka. Nikafika katika mlango wa chumba changu kidogo nikaona kuna utofauti, kwani asubuhi nilivyokuwa ninatoka, kitasa nilikifunga vizuri, ila sasa hivi nimekikuta kipo wazi, inamaanisha kuna mtu aliingia na kuucha mlango wangu wazi.

Nikaichomoa bastola yangu kiunoni na kuishika vizuri. Kwa mwendo wa taratibu nikaanza kuusukuma mlango wangu kwa ndani, huku nikiingia kwa kunyata kabisa. Nikaingia ndani na kuwasha taa. Nikamkuta Hawa akiwa amekaa kwenye kiti ambacho siku zote huwa akakaa akiwa ananifundisha.

“Karibu”

Hawa alizungumza huku akinitazama usoni mwangu, nikaichomeka bastola yangu kiunoni na kuufunga mlango wangu kwa ndani.

“Mbona usiku wote huu?”

Hawa hakujibu kitu chochote zaidi ya kusimama. Tukaendelea kutazama kwa muda kisha mimi nikachomoa bastola yangu na kuiweka juu ya meza.

“Dany”

“Nakusikiliza”

“Ahaa, ahaaa”

Hawa alijing’ata na kunifanya nimtazame kwa mara nyingine tena kwa maana sikujua ni kitu gani ambacho kinamfanya ajing’ate ng’ate.

“Nakusikiliza, kwa maana nakuona siku hizi upo bize sana, ukaribu na mimi ukauvunja”

“Sio hivyo Dany, kwenye maisha yangu sijawahi kuonekana sura yangu kirahisi, na wewe ulivyo hitaji kuiona basi nilizidi kuwachukia wanaume kama swali lako ulivyo niuliza”

“Nilijua kabisa kwamba unawachukia wanaume na ndio maana sikuhitaji kuendelea kukuusumbua katika hilo, ila hapakuwa na umuhimu wa wewe kukata mawasiliano na wewe, ikiwa wewe ndio mtu uliye yaokoa maisha yangu na kunileta hapa kambini”

“Yes Dany hilo nalijua, nimelifikiria sana na nikaona ni ujinga, ni kwa nini niukatishe ukaribu wangu kisa sura tu”

Hawa alizungumza kwa sauti ya upole huku akinisogelea kwangu taratibu. Tukatazamana macho yetu kwa muda.

“Geuka nyuma”

“Nyuma?”

“Ndio, kama unahitaji kuiona sura yangu geuka nyuma”

Sikuwa na kipingamizi taratibu nikageuka nyuma. Nikasubiria kwa dakika moja nzima

“Geuka”

Taratibu nikageuka nyuma, macho yangu yakakutana na sura ambayo kusema kweli ni nzuri kupita maelezo, sura ya Hawa imebarikiwa vigezo vyote vya kuitwa msichana mzuri. Weupe alio nao usoni mwake, na nywele kazaa zilizo shuka usoni mwake zinazidi kumfanya kuonekana mrembo.

“Hivi ndivyo nilivyo, mimi ni mzuri sana. Uzuri huu niliuchukua kwa mama yangu, ndio maana baba yangu alinitunza kwenye maisha ya kuificha sura yangu ili nisipendwe na mwanaume wa iana yoyote na hivyo ndivyo nilivyo kua”

Maneno ya Hawa, yakanifanya nibaki nikiwa nimemtumbulia macho tu. Hawa taartibu akanisogelea huku akiwa ananitazama kwa macho yake yaliyo ulegevu. Sura zetu zikasogeleana kwa ukaribu sana.

“Dany sijawahi kufanya hichi ninacho kifanya kwa mwanaume wa aina yoyote, nakuomba u……..”

Hawa hakumalizia sentensi yake na taratibu akazilete lispi zake kwenye lipsi zangu, kitendo cha lipsi zetu kugusana, tukasikia king’ora cha hatari kikilia nje jambo lililo tufanye tubaki tumetazamana tusijue ni kipi tukifanye kwanza kati ya kuwahi hatari iliyopo huko nje au kupeana burudani ya uhakika kwa wakati huu.

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/


Hapakuwa na jinsi zaidi ya Hawa kurudi nyuma, akavaa ninja yake na kubakisa macho yake. Akazima taa kisha akatoka chumbani kwangu pasipo kuzungumza kitu chochote. Amezima taa kwa sababu haitaji kuonekana na mtu yoyote kwamba ametoka chumbani kwagu. Nikajiweka sawa na mimi kisha nikatoka huku bastola yangu ikiwa mkononi mwangu.

Moshi mwingi kutoka upande wa mashariki kwangu unaonekana ukipanda juu, na askari wote wanakimbilia katika hilo eneo. Na mimi nikaungana nao kwenda kujua ni kitu gani kilicho tokea kwa maana hadi sasa hivi sijasikia mlio wowote wa risasi.

‘Ohoo Yesu wangu!’

Nilijisema kimoyo moyo pasipo kuitoa sauti yangu nje kwa maana, jengo ambalo linahifadhia chakula cha askari linateketea kwa moto mwingi sana, na kila ninaye muona hapa nje sidhani kama anaweza kuingia ndani ya jengo hilo kuokoa hata gunia moja la chakula. Kadri ya uwezo wetu tukajitahidi kuzima moto, ila uwezo wetu haukufua dafu kwani moto uliendelea kuteketea hadi majira ya saa kumi na moja alfajiri.

Katika kupepesa pepesa macho huku na kule, nikamuona Hawa akiwa amekaa chini, akionekana kuchoka sana kwa mawazo. Kwa hatua za taartibu nikamfwata ba kukaa pembeni yake. Ukimya ukatawala kati yetuu huku nikifikiria ni kitu gani ambacho ninaweza kumshauri kwa muda huu.

“Baba anasema nihakikishe askari wanapata chakula, na hili swala haitaji kulisikia kama limetokea ndani ya kambi yake”

Hawa alizungumza kwa sauti ya upole na iliyo jaa majonzi mengi sana.

“Hakuna akiba yoyote ya chakula?”

“Hapana, hii ndio sehemu ambayo tulikuwa tunahifadhi chakula chote, sijui hata asubuhi askari watakula chakula gani, na hata askari awe jasiri kiasi gani nilazima apate chakula kwanza ndio ujasiri wake uweze kuonekana”

“Yaaa ni kweli, na tunatakiwa kulitatua hili swala kabla haijafika saa nne asubuhi.”

“Ni nini nitafanya Dany, wakati chakula ndio hichi kimesha teketea?”

“Nina wazo”

“Wazo gani?”

“Nitakuonyesha”

Nikanaynyuka, kisha nikampa mkono Hawa, nikamnyanyua. Tukaongozana hadi kwenye ofisi yake iliyopo kwenye moja ya jengo kubwa ambalo ndipo anapo ishi mzee pamoja na viongozi wengine wakubwa wa hichi kikundi.

“Funga mlango”

Nilimuambia Hawa na akafanya hivyo, akasimama mbele yangu na kutoa ninja anayo vaa na kubakiwa na sura yake halisi.

“Una sura moja nzuri kwa nini tusiitumie kutafuta matani ya vyakula ambavyo vitakuwa mara mbili ya chakula kilicho teketea”

“Nitaitumia kivipi na huoni kwamba inaweza kiniletea shida kwa baba yangu?”

“Hadi hapa ulipo upo kwenye shida na baba yako. Leo majira ya saa moja kamili asubuhi kuna chakula cha wakimbizi kinasafirishwa kupelekwa kwenye moja ya Kambi yao hapa Somali”

“Umejuaje?”

“Ni moja ya data nilizowasikia wezangu wakizungumza mazoezini na wanavyo onekana kwamba wanafahamu ni wapi hicho chakula kinapelekwa ila kinatokea Mogadishu”

Hawa akakaa kimya huku akionekana kutafakari nilicho muambia. Akanitazama usoni mwangu kwa umakini.

“Unaweza kunitafutia hao wazungumzaji?”

“Ndio ninaweza?”

“Fanya hivyo”

Hawa akavaa ninja yake, nikatoka ofisini kwake, kwa bahati nzuri nikakutana na mmoja wa wanafunzi wezangu ambaye naye alikuwa mchangiajia mada mkubwa kwenye kuhusiana na swala la chakula cha wakimbizi.

“Yosea, mkuu anakuita”

“Mimi?”

“Ndio”

Tukaongozana na Yosea anaye onyesha kuwa na wasiwasi mkubwa, kwa maana hili swala lililo tokea hapa kambini ni kubwa na ukitegemea hadi sasa haijulikani nini chanzo au nani munzililishi. Tukaingia kwenye ofisi ya Hawa na kumkuta akiwa ameitandaza ramani kubwa ya nchi hii ya Somalia juu ya meza yake.

“Ohooo ni huyu mapepe?”

“Ndio mkuu”

“Ninamjua sana Yosea ni mr porojo man”

“Ila ni vyema tukamuuliza kwa ktu hichi tulicho kifikiria”

Hawa akamtazama Yosea ambaye amabarikiwa kuwa na kijimwili kidogo kidogo na ni mtu ambaye ni muongeaji sana katika hii kambi na kwa uongeaji wake wa kufurahisha watu amekuwa maarufu sana ndani yahii kambi.

“Yosea nahitaji umuelezee mkuu kuhusiana na lile swala la usafirishwaji wa chakula cha wakimbizi leo asubuhi”

“Ohoo, hilo. Mkuu swala lipo hivi, shirika la UNHCR na serikali ya Kenya wamerudisha wakimbizi wengi nchini hapa kutokana na ukimya wetu, wanaamini kwamba bado kuna amani. Chakula kingi kinanapakiwa kwenye magari leo ya shirika hilo, na kuepelekwa Afgoye. Pale kitahifadhiwa kwa ajili ya kuwagawia hawa wananchi chakula hicho. Sasa kama tunaweza basi kukipata hichi chakula hata kabla hakijafika hapo Afgoye, basi tutakuwa tumefeli na hali halisi unaiona”

Yosea alizingumza kwa msisitizo hadi Hawa akatingisha kichwa, huku sura yake akiwa ameifunika na nina amini mimi na baba yake ndio tunaifahamu sura yake.

“Nimewapata hii kazi kwa haraka haraka itahitaji watu wangapi?”

“Wasio zidi kumi, mkuu. Kikubwa ni kuteka magari yake, na tunayaleta hapa na mchazo utakuwa umekwisha”

“Kuna usindikizaji wa askri?”

“Hilo ni lazima muheshimiwa, si unajua nchi yenyewe. Na wanajeshi wa UN hapo watahusika”

“Nitakwenda na nyinyi wawili pamoja na kikoasi changu, nendeni kajiandaeni”

“Sawa mkuu”

Yosea akatoka ofisini na kuniacha mimi na Hawa.

“Mbona unanishangaa, nenda kajiandae”

“Sawa mkuu”

Nikatoka ofisini huku na kueleka hadi kwenye eneo la kihifadhia silaha pamoja na mavazi ya mapambano. Nikaanza kujiandaa haraka haraka huku nikikusanya magazine za kutosha zenye silaha.

“Dany kuna kazi unayokwenda kuifanya?”

Mwalimu wangu aliingia pasipo mimi kumuona, sauti yake ndio imenifanya kugeuka nyuma na kumtazama.

“Ndio mwalimu. Madam amecharukwa na mimi amenijumuisha kwenye kazi”

“Ila bado hujawa fiti, japo unajitahidi kuonyesha kwamba unahitaji kufahamu zaidi mafunzo”

“Kweli mwalimu, ila kwa hali aliyokuwa nayo mkuu Hawa si rahisi kwa mimi kuweza kukataa amri yake na kama unavyo fahamu mimni nipo hapa kambini kutokana na yeye”

Mwalimu akaka kimya akionekana kuyatafakari maneno yangu.

“Munakwenda kuifanya kazi gani?”

“Kuteka magari yanayo beba chakula cha msaada”

“Mungu wangu, hapo jeshi la umoja wa mataifa si litakuwepo?”

“Ndio mwalimu”

“No haiwezekani, utakwenda kufa bado ukiwa unahitajika kwenye hichi kikundi ngoja nikazungumze na mkuu”

“Mwalimu nakuomba usiende mkuu yupo kwenye hali mbaya”

“Hata yeye hapaswi kwenda kuifanya hiyo kazi, kwa maana majukumu kama hayo wanatakiwa kufanya watu wengine, hivi akipata matatizo uhahisi ni nani atamjibu baba yake. Sisi sote tulipo chini tunaweza kuuwawa”

Mwalimu baada ya kuzungumza maneno hayo akatoka kwa haraka katika sehemu hii, kutokana sijamaliza kujiandaa, sikuweza hata kumzuia. Nikajiandaa vya kutosha, risasi ambazo nimezibeba nina imani zinanitosha kabisa katika kuifanya hii kazi. Nikatoka na moja kwa moja nikaelekea ofisini. Nikaingia ndani na kumkuta mwalimu akiwa amewekewa bastola ya kichwani na Hawa huku wasichana wezake wanne wakiwa wamesimama pembeni kikakamavu kama hawaoni kinacho endelea.

“Sihitaji kufundishwa kwenye kazi yangu, kaa pembeni kabla sijakufumua ubongo wako”

Maneno ya hawa yanaashiria kabisa amekasirika. Taratibu mwalimu akajisogeza pembeni. Hawa akairudisha bastola yake kiunoni na kutoka nje, sisi sote tukamfwata nyuma na kumuacha mwalimu ndani ya hiyo ofisi.

Tukafika nje na kukuta gari mbili ambazo dereva wake ni wasichana zimesha washwa tayari kwa kuondoka eneo la hii ngome. Gari hizi aina ya PICUP, nyuma zina bunduki kubwa ambayo imetengenezewa vyuma maalumu vya kuzuia risasi kwa mpigaji pale anapo itumia. Tukapakia nyuma, huku Hawa na baadhi ya wasichana wakipanda mbele.

Kama kawaida yetu, ni lazima nyuso zetu zifunikwe na vitambaa maalumu, ili kuficha sura zetu na ndivyo tulivyo fanya. Yosea yupo kwenye gari jengine na mimi huku nyuma nimepanda na msichana mmoja wa kikosi cha Hawa. Geti kubwa la hii ngome likafunguliwa na safari ya kuelekea nje ikaendelea. Kwa mara ya kwanza leo ndio ninatoka nje, na sehemu ambayo ngome yetu ipo ni katikati ya jangwa, hakuna mti wala nyumba na sehemu kubwa imetawaliwa na vilima vilima vya mchanga. Hapa ndipo nikagundua hata kazi nyengine ya hivi vitambaa ambavyo tumejifunga kwenye nyuso zetu, kumbe vina zuia mchanga kuingia machoni.

Madereva wanao endesha hizi gari ninaweza kusema kwamba ni wenda wazimu, kwa maana gari wanaziendesha kwa kasi kubwa sana, kinacho saidia ni kwamba eneo zima halina barabara zaidi ya machanga ndio maana madereva wanafanya hivi. Binti niliye kaa naye yupo kimya muda wote, akiitazama tazama bunduki yake, nikatamani kumsemesha ila nikaona hapa nisilete unoko nikiwa kwenye kazi mambo yanaweza kunibadilikia na kuwa mabaya bure jambo ambalo sihitaji kulioa kwa muda huu.

Gafla gari zikasimama kwenye moja ya kilima cha mchanga. Hawa na wasichana wawili wakashuka. Kwa kutumia darubini zao, wakaangalia eneo la mbali sana ambalo si rahisi kwa macho ya kawaida kuweza kuona. Sikujua wameona kitu gani, walicho kifanya ni kurudi kwenye magari na safari ikaendelea.

Hatukwenda umbali mkubwa gari zikapunguza mwendo na kusimama kabisa. Watu wote tukashuka kwenye magari. Hawa akachukua darubini yake na kutazama tazama, kisha kwa ishara ya mkono akaniita mimi na kunikabidhi darubini yake. Nikaiweka machoni mwake, kwa mbali nikaona magari makubwa aina ya Scania, sita na yenye matela yakiwa yameongozana na yanakwenda kwa mwendo wa kawaida katika hili jangwa, huku mbele kukiwa na gari mbili za jeshi na nyuma ya magari hayo kukiwa na gari nyingine za wanajeshi wa umoja wa mataifa UN.

“Ni wakati wa kufanya ambushi sawa”

“Ndio mkuu”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Rudini kwenye magari, kazi inaanza. Wanne gari moja na watatu gari nyingine”

Kauli ya Hawa ikatufanya tugawanyike kwa bahati nzuri mimi nikapanda naye gari moja ambapo tupo watatu, dereva yeye na mimi ambaye nipo nyuma ya bodi nikiwa nimeshika bunduki hii kubwa iliyopo kwenye gari. Yosea na wasichana wengine wamepanda gari jengine. Kila gari likapita upande wake, sisi tukaeleka mbele ambapo tunakwenda kuuzuia huu msafara, huku gari jengine likielekea nyuma kuufunga msafara. Kwa mara nyingi nilisha wahi kuona filamu za kimarekani wakiwa na wasomalia na tabu zote wanazo pata waigizaji wa kimarekani kwenye hizo filamu zao, na hichi tunacho kwenda kukifanya ninaona kama nipo kwenye filamu ila nipo kwenye uhalisia wenyewe. Hatukuchukua muda, gari letu likawa limesha fika kwenye barabara ya mbele, umbali kidogo kutoka ulipo msafara. Hapakuwa na swala la kusubiria amri au kusubiri wafike karibu. Hapo hapo tukaanza kushambulia gari za wanajeshi wa umoja wa mataifa. Gari zote zikasimamishwa na wanajeshi wakajitahidi kupambana nasi ila hakuna kitu kibaya kwenye maisha ya ulinzi kama kuwahiwa na hichi ndio kitu ambacho kinatusaidia. Tulipo hakikisha wanajeshi tumewadhibiti na kuwaua wote nata maderava wa magari haya tukaalisogelea gari moja na kulifungua kwenye moja ya kontena. Tukakuta shehena kubwa ya chakula ikiwa impengwa vizuri kwa mfumo wa vigunia. Tukiwa katika kutazama chakula kilichopo kwenye makontena haya, kwa mbali tukasikia milio ya helicopter za jeshi. Haikupita hata dakika mbili, helicopter mbili zikawa zimefika aneo la tukio na tukaanza kushambuliwa kutokea juu, jambo ambalo likaanza kutupa wakati mguu sana na kumchanganya kila mmoja aliyopo katika hili eneo hususani Hawa ambaye alisha anza kusherekea ushindi wa chakula hichi kingi kupita hata kilicho teketea kwenye ghala la chakula.



Sote tukajibanza kwenye magari haya kwa maana mtu usipo kuwa makini unaweza kujikuta unapoteza maisha. Hawa akatoa ishara nikamuona msichana mmoja akitambaa chini ya magari haya hadi kwenye moja yagari letu tulilo jia. Akachukua bomu moja la kutungulia helcopter, akapiga goti moja chini huku mwengine akiwa amelikunja, kisha akailiweka bomu hilo juu ya bega leke. Akaipima moja ya halcopter, kisha akaliachia bomu hilo ambalo, halikukosea kuelekea kwenye helcopter ambayo lilitumwa.

Helcopter hiyo ya wanajeshi wa umoja wa mataifa akalipuka, na kubaki moja. Msichana huo mwenye nguvu kama za kike akachukua bomu jengine na kukaa mkao kama alio kuwa amekaa hapo awali, akafyatua bomu hilo na kuipiga helcopter ya pili, iliyo anza kuzunguka kwa kasi hewani huku ikiwaka motona kuanguka chini.

Baada ya shambulizi hilo, sote tukatoka chini ya magari huku tukiwa tunashangilia. Tuakingia kwenye magari haya, na kuanza safari ya kuelekeea kwenye ngome yetu. Gari ninalo liendesha, lipo nyuma ya kabisa. Huku nyuma yangu kukiwa na gari ndogo moja tuliyo kuja nayo. Safari yetu ikachukua zaidi ya lisaa, tukaw tumesha fika katika ngome yetu. Tukayaingiaza magari hayo yote kwenye ngome yetu, na ulinzi ukazidi kuimarishwa.

“Mkuu kuna taarifa”

Kijana mmoja alizungumza kwa lugha ya kiarabu huku akimtazama Hawa machoni, na mimi nilipo jaribu kuyakutanisha macho yetu na kijana huyo akaonekana kuyakwepesha. Kutokana sikuwa na haja kufwatilia ni taarifa gani ambayo inayo endelea, ikanibidi kuondoka katika eneo hili kueleka katika chumba ambacho tunahifadhia silaha nzito.

Kabla sijatoka katika chumba hichi, wakaingia jamaa wawili wakasimama nyuma yangu.

“Dany upo chini ya ulinzi”

“Chini ya ulinzi!!?”

“Ndio”

“Kwa kosa gani?”

“Utakifahamu tu, ukiwa katika chumba cha ulinzi”

Kutokana walio agizwa kunikamata ni afiki zangu, sikuhitaji kufanya fujo yoyote. Nikakubali kuvishwa pingu ya mikononi na nikaongozana nao hadi kwenye chumba maalumu cha mahojiano, ambacho kimefungwa kameza kama sita na kina Tv kubwa inayo onyesha pembe zote za kila kamera ndani ya hichi chumba.

Akaingia moja ya kiongozi ambaye kwa siku zote ambazo huwa nina msalimia hakuwahi kuipokea salamu yangu. Akanitazama kwa macho makali huku akikuna kuna ndevu zake ndefu kama za Osama Bin Laden.

“Asalam alyakum”

Alinisalimia huku akikaa kwenye kiti kilichopo mbele yangu na tumetenganishwa na meza ya chuma katikati yetu.

“Salama”

“Wewe ni nani?”

Swali lake likaanza kunistua akilini mwangu, ila nikajifanya kama sio mtu ambaye ninajijua mimi ni nani.

“Mimi ni Dany”

“Ahaaaa nje ya Dany”

“Nje ya Dany mimi ni mwanajeshi wa AL-Shabab”

“Una uhakika?”

“Ndio”

“Nani alihusika na tukio la kuchoma chakula?”

“Siwezi kufahamu”

“Wewe ndio muhusikaaaa”

Alizungumza kwa hasira huku akinyanyuka na kuisogeza sura yake karibu yangu kabisa. Akanitazama kwa macho makali, nikaachia tabasamu pana usoni mwangu.

“Una ushahidi wakunionyesha kwamba mimi ndio muhusika?”

“Ndio”

“Nionyeshe”

Akapiga mluzi, mlango ukafunguliwa akaingia jamaa ambaye kwa mara ya mwisho kuonana naye, Hawa aliniambia kwamba akili zake hazipo vizuri na alitaka kunivamia. Pia kwa mara ya kwanza niliwahi kupambana naye nchini Tanzania, nikiwa kama mlinzi wa raisi. Alipo niona akanitazama kwa macho makali kisha akasimama pembeni ya huyu mkuu wangu.

“Huyu jana nilimuona usiku akiwahsa moto kwenye chakula”

Hata alicho kizungumza, kinaonyesha huyu jamaa akilini mwake kuna hitilafu tena kubwa.

“Unasikia”

“Muheshimiwa ninahisi kwamba umepubazwa na huyo jamaa hadi kupelekea kunihisi kwamba nimehusika katika swala la kuchoma chakula. Ingekuwaje leo niende kuhusika katika kazi ya kutafuta chakula kingine na kukileta hapa kambini?”

Swali langu likamfanya jamaa na huyu mkuu wangu hapa kutazamana.

“Nilikuona jana”

“Mkuu kuna watu wa kuwahisi kwamba wanaweza kufanya hilo jambo ila si mimi”

Mlango ukafunguliwa na Hawa akaingia, akatutazama wote tulivyo kaa. Akachomoa bastola yake na kumnyooshea huyu jamaa ambaye ni chizi.

“Kuishi duniani nahisi umechoka si ndioo?”

Hawa aliuliza kwa ukali hadi jamaa akaanza kutetemeka. Kwa haraka nikanyanyuka na kumshika hawa mkono wake alio shika bastola kwa maana sauti aliyo zungumza nayo ninaitambua vizuri na akizungumza kwa sauti hiyo ambayo haina masihara ndani yake, kwa kile alicho kizamiria basi ni lazima atakifanya kwa sekunde yoyote.

“Tafadhali mkuu nakuomba umsamehe”

Hawa akanitazama kwa macho makali, ila sikuhitaji kuyakwepesha macho yangu. Akainyoosha bastola kwa mkuu huyu mwenye mandevu.

“Na wewe unapelekeshwa na huyu mwanao chizi, kitu anacho kizungumza wewe unaona ni ukweli si ndio?”

Hawa akaendelea kufoka, mkuu huyu akaka kimya kabisa, pasipo kujibu kitu chochote.

“Kuanzia sasa huto kuwa mkuu wa kitengo cha chakula na ninakuvua vyeo vyako vyote. Utabaki kuwa askari wa kawaida”

Hawa baada ya kuzungumza hivyo akamsogelea kiongozi huyu, akakivua kitambaa chenye nyota mbili. Kisha akatoka ndani ya hichi chumba, na kuniacha nikiwa nimeshangaa. Nikamtazama mzee huyu nikamuona jinsi anavyo gugumia kwa kulia moyoni mwake, japo sauti haitoki ila macho yanaonyesha mzee anamwaga chozi. Sikuwa na haja ya kuendelea kukaa ndani ya hichi chumba. Nikatoka huku pingu zangu zikiwa bado mikononi mwangu.

“Nifungueni”

Nikawambia rafiki zangu walio kuwa wamekuja kunikamata, kwa maana hawakuwa mbali na chumba hichi cha mahojiano kwa manaa kila mmoja alishangaa kukamatwa kwangu.

“Imekuwaje huko ndani?”

“Ahaa babu ni aibu”

“Aibu?”

“Ahaa mzee, kavuliwa cheo, sasa hivi hana tofauti na sisi tu”

“Weee”

“Ohoo analia na lile chizi lake humo ndani”

“Hahaaaa, kwani chanzo kilikuwa ni nini?”

“Mzee jinga sana, eti alikuwa akinihisi kwamba mimi ndio nimechoma ghala la chakula, shahidi eti anakuja yule chini”

“Haaaaaa, huyu mzee kweli kazi zilimshinda”

“Ohoo yupo ndani huko analia”

Galfa tukasikia mlio wa risasi ukitokea kwenye chumba cha mahojiano na kutufanya sote kustuka. Tukaanza kukimbilia kwenye chumba hicho, hata kabla hatujafika mlangoni tukasikia mlio mwengine wa risasi ulio tufanya tuzidi kuwa makini sana.

Nikawa wa kwanza kuingia ndani ya hichi chumba. Nilicho kutana nacho naamini ni kile ambacho kilidhibitishwa na milio ya risasi hizo. Jamaa ambaye akili zake hazipo vizuri, nikakuta akiwa amelala sakafuni huku damu nyingi zikimwagika kichwani mwake. Baba mtu naye, kichwa chake kimechanguka kwa nyuma, kwani alisokomeza bastola yake mdomoni na kujilipua.

“Ohoo Mungu wangu!!”

Rafiki yangu mmoja alizungumza baada ya kuziona hizi maiti mbili hapa. Baba kaamua kumuu mwanaye na yeye akajiua. Nikashusha pumzi nyingi huku nikitoka chumbani humu, nikakutana na Hawa akiwa ameongozana na walinzi wake wa kike, hakunisemesha chochote zaidi ya kuingia katika chumba hichi. Sikwenda mbali na hichi chumba ambacho kadri muda unavyozidi kwenda ndivyo jinsi wanajeshi wanavyo zidi kufika katika hili eneo.

“Ilikuwaje?”

Niliisikia sauti ya hawa nyuma yangu.

“Hata mimi sielewi, ila nilimuacha mzee akilia. Naona ameamua kujiua mwenyewe”

“Jing asana”

Sikuzungumza chochote zaidi ya kukaa kimya.

“Leo usiku nitafanya kijisherehe kidogo, utapata muda?”

“Kinafanyika muda gani?”

“Kuanzia mbili, kule kwenye jumba la baba”

“Nitakuwepo, vipi mzee amrudi?”

“Hapana hajarudi, atarudi wiki ijayo”

“Sawa”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Hakikisheni munawazika hao”

“Sawa”

Hawa akaondoka na walinzi wake, sikuhitaji kukaa hapa, na mimi nikaelekea chumbani kwangu. Kutokana na uchovu mwingi, nikapanda kitandani na kulala. Usingizi mzito ukanipitia na kulala fofofo.

***

Taratibu nikafumbua macho yangu, nikaka kitako kitandani huku miguu yangu ikiwa imekanyaga chini. Nikatazama dirishani, mwanga hafifu wa jua linalo elekea kuzama, likanionyesha dhairi kwamba jioni inaanza kuingia. Nikanyanyuka kitandani na kuanza kujinyoosha viungo vyangu huku nikipiga miyayo ya usingizi iliyo jaa uchovu mwingi sana.

Nikavua nguo hizi za kazi na kujifunga taulo, nikaelekea bafuni ambapo ni nje kidogo ya chumba changu. Sikukuta watu kabisa katika hili bafu, jambo ambalo si la kawaida sana kwa maana mida ya jioni huwa watu ndio wanaoga. Nikataka kufungua bomba la maji, ila nikasita kidogo kwa manaa nimesha anaza kuhisi kuna jambo ambali si la kawaida katika eneo hili.

Nikachungulia nje, kila mwanajeshi anaendelea na shuhuli zake, nikarudi bafuni na kuanza kuoga, nikiwa katikati ya kupga wakaingia watu wawili walio valia nguo nyeusi huku nyuso zao wakiwa wamezifunga ninja na wamebakisha macho tu.

“Mumetumwa?”

Niliwauliza kwa lugha ya kiarabu, ila hapakuwa na aliye nijibu zaidi ya kuanza kunishambulia kwa kasi sana. Kutokana mimi mwenyewe ninajiweza kwa kila hali, nikaanza kurupushani nao. Piga teke, nipige ngumi. Ukichangia na mafunzo ambayo Livna alinipatia, basi jamaa hawa wawili nilianza kuwatembezea mkong’oto mzito ambao hawakutarajia kuupata kutoka kwangu. Wote wawili wakiwa chini wakijishauri kunyanyuka kutokana na kipigo nilicho wapa, nikasikia mlio wa makofi kutokea mlangoni. Akaingia mwalimu wangu wa mazoezi,

“Safi sana”

Alizungumza huku akwia amejawa na sura ya tabasamu, jamaa hawa wawili wakavua vitambaa vilivyo ficha sura zao, wote ninawafahamu, ni miongoni mwa wanafunzi bora wanao ongoza darasani kwa kujitahidi.

“Mtihani wangu umekwenda vizuri sana, juhudi yako kweli ninaiona Dany”

“Asante mwalimu kwa maana nilihisi labda ni wavamizi?”

“Yaa ni wavamizi unatakiwa ikitokea kama hivi uhakikishe kwamba unafanya kama unavyo fanya hapo”

“Sawa sawa mwalimu”

“Maliza kuoga, naona sherehe inakwenda kuanza”

“Sawa mwalimu”

Wakatoka huku jamaa hawa wawili wakiwa wanachechemea. Nikamaliza kuoga nikarudi chumbani kwangu. Nikavaa suruali yangu moja ambayo ni safi, nikavalia na tisheti. Nikazichana nywele zangu ndogo vizuri, nilipo hakikisha nimependeza vizuri. Nikavaa buti zangu na kuelekea kwenye jengo kuu lililopo humu kwenye hii ngome. Viongozi na wanajeshi wacheche ndio tumealikwa na Hawa, kufanya hii sherehe ya kufanikiwa kupata chakula ambacho ni mara mbili na chakula ambacho kimeteketea kwa moto. Sote tuliomo ndani ya huu ukumbi mdogo sura zetu tunaonana, ila Hawa hata iwe sherehe, hakuna mtu ambaye anaiona sura yake kutokana na kitambaa cheusi alicho kivaa usoni mwake.

Baada ya Hawa kuzungumza maneno mawili matatu, mziki ukafunguliwa na watu wakaanza kuserebuka. Mziki wenyewe sikuweza kuucheza kutokana siuelewi hata unavyo imbwa kwa maana umeibwa kiarabu. Ila viongozi na wanajeshi wengine wakaendelea kuucheza wakiwa wamejawa kwa furaha, ila ninacho kipenda kwenye huu mziki ni neno Golo golo, ambalo hata sielewi maana yake.

Hawa kwa mbali akanikonyeza, kisha akaondoka katika ukumbi pasipo watu wengine kuwaona zaidi ya mimi na walinzi wake wawili wa kike, nikanyanyuka kwenye kiti na kumfwata sehemu anapo elekea, nikamuona akipandisha katika ngazi za kuelekea gorofani, nikamfwata kwa nyuma. Akaingia kwenye chumba kimoja na mimi nikaingia chumbani humo. Akaufunga mlango kwa ndani, kisha akanivamia na kunikumbatia huku akivua kitambaa kilicho ificha sura yake. Alipo hakikisha kimeanguka chini, akaanza kuninyonya midomo yangu huku akitoa pumzi nyingi, kitendo kilicho nifanya na mimi kuanza kuipitisha mikono yangu kwenye kila kona ya mwili wake, nikimtomasa kisawa sawa.




“Dany stop”

Hawa alizungumza huku akichomoka mwilini mwangu. Akapiga hatua hadi kwenye sofa na kujibwaga na kukaa. Nikatemeba kwa mwendo wa taratibu hadi kwenye sofa alilo kaa.

“Dany sijawahi kufanya kiu kama hichi”

Hawa alizungumza huku akihema sana.

“Kweli?”

“Ndio na sihitaji kufanya hichi kitu, hadi kufa kwangu”

Maneno ya Hawa yakanifanya nibaki nikiwa na kigugumizi. Kwa haraka haraka sina kitu cha kumuuliza kwa maana sielewi nianzie wapi kuuvunja msimamamo wake.

“Kwa nini huhitaji kufanya hichi kitu?”

“Dany, mimi ni binti wa kislam, baba yangu amenilea kwenye mazingira ya kidini sana. Nina msimamamo kuliko wasichana wote nahisi, japo msimamamo wa kitu changu kimoja ndio nimeweza kiyumba ila sinto weza kuyumba kwenye kitu kingine. Wewe ndio mwanaume uliye iona sura yangu tofauti na baba yangu, ila sinto weza kumuonyesha mwanaume yoyote hii sura. Pili kwenye swala la kuvunjwa bikra yangu, sinto kubaliana nalo hilo kabisa”

Hawa alizungumza kwa msisitizo kabisa, hata sauti yake imebadilika kwa kiasi kikubwa sana.

“Ahaa sio mbaya ukiwa na msimamo kama huo”

Ilinibidi kuunga mkono hivyo hivyo japo kimoyo moyo nina maumivu ya kukikosa kitumbua cha Hawa.

“Ila ninakuomba unisamehe katika hilo”

“Ahaha hakuna tatizo, mimi nipo sawa tu”

“Dany kwenye maisha yako ya nyuma umesha wahi kuwa na mpenzi?”

“Nilisha wahi kuwa naye, ila kwenye ile ajali ya ndege iliyo tokea, naamini nilimpoteza hapo”

“Pole sana”

“Asante”

“Ok fanya uurudi ukumbini isije watu wakatudhania vibaya”

“Pao”

Nikatoka chumbani humu huku nikiwa nimejawa na hamu kubwa ya kufanya mapenzi isitoshe nina miaezi mingi sana sijawahi kukutana kimahusiano na mwanamke yoyote. Nikafika ukumbini, wala sikuona haja ya kuendelea kukaa ukumbini hapa. Nikaelekea kwenye jengo ambalo lina chumba changu. Nikajifungia ndani, na kuwasha taa, nikajitupa kitandani huku nikiwa na mawazo mengi sana kichwani mwangu. Nikiwa katikati ya dimbwi la mawazo, mlango wa chumbani kwangu ukagongwa, nikakurupuka kwa haraka kitandani, nikaichukua bastola yangu niliyo kuwa nimeiweka pembeni ya kitanda changu. Nikapiga hatua hadi mlangoni, nikaufungua na kukutana na rafiki yangu mmoja ambaye ni miongoni na watu walio kuja kunikamata. Ila cha kushangaza amevaa mavazi ya kawaida na si mavazi kama tuliyo zoea kuvaa wanajeshi wa hichi kikosi cha kigaidi cha Al-Shabab.

“Aisse nilivyo ona taa imewaka, nikaona bora nije kukucheki mwanangu”

“Kuna nini tena?”

“Twende zetu disko tukatembee”

“Disko?”

“Ndio, twende ukawaone watoto wazuri wa kisomali.”

“Muna ruhusa ya kwenda huko”

“Ahaa Dany hapa ishu ni kutoroka, niajua njia za kutokea humu kwenye kambi”

“Munakwenda wangapi?”

“Tupo mimi na jamaa, sasa tukaona tukupitie mchizi wetu”

“Sasa kama unavyo ona mimi sina pamba za kutokea”

“Twende sisi tutakupatia”

Kutokana tangu kuingia ndani ya hii ngome nimetoka mara moja na tena nimekwenda jangwani asubuhi hii kwa kazi ya kuteka magari ya chakula sikuona haja ya kuendelea kubaki humu ndani ikiwa nina hamu kubwa ya kukutana kimwili na msichana wa aina yoyote. Nikaongozana na Ruben, hadi kwenye chumba chao. Wakanichagulia jinzi pamoja na tisheti zilizo nitosha vizuri mwilini mwangu. Wakanipatia na kofia niliyo ivaa vizuri, kila mmoja akaiweka bastola yake sehemu anayo fahamu yeye kwenye mwili wake.

“Sasa huko nje tutatokaje?”

“Tulia kaka”

Ruben alizungumza huku akivuta kitanda pembeni na kukisukumiza hadi kwenye mlango. Wakafungua kapeti walilo litandaza chini, nikaona mfuniko wa mbao, wakaufungua nao, nikaona shimo kubwa.

“Dany hii ndio njia ambayo tunaweza kutokea ndani ya hii ngome”

“Weee mbona kunga giza”

“Chukua tochi hiyo hapo”

Kila mtu akachukua tochi yake, tukazima taa za ndani ya chumba hichi. Tukaingia kwenye shimo hili ambalo hakina urefu sana kuelekea chini. Tukaziwasha tochi zetu na kuanza kutembea kueleka mbele. Hili ni bomba kubwa ambalo lina upana wa katosha unao muwezesha mtu kutembea pasipo kuinama wala kujibana.

“Tunatokezea wapi?”

“Tutatokezea kwenye fukwe moja hivi ya bahari.”

Kitu liacho kizungumza Ruben nikaanza kukifananisha na kitu ambacho kiliweza kutokea miezi kadhaa nyuma nilivyo kuwa ninatoroka na Vivian kwenye moja ya gereza kubwa. Jambo hili likaanza kunipa mashaka, ila sikutaka kuonyesha wasiwasi wangu upo wapi. Tukatembea zaidi ya dakika thelethini na kutokea kwenye fukwe moja ya bahari.

Mandhari ya hili eneo ni mazuri sana. Tukaanza kutemeba kwenye fukwe hizi kwa dakika kadhaa na tukaanza kukutana na watu tofauti tofauti ambao wapo kwenye starehe zao, ambapo kuna ukumbi mmoja mkubwa wa starehe.

“Tuna msaa matatu, hadi kurudi kambini. Pointi ya kukutena ni kwenye ile sehemu tuliyo tokea pale. Sawa Dany”

“Poa washkaji, sasa ninaingiaje humu sina mapene”

“Ohoo ngoja”

Ruben akatoa noti kumi za dola mia mia na kunikabidhi. Kisha kila mmoja akatawanyika na kuelekea anapo pajua yeye kwenye huu ukumbi mkubwa wa starehe. Nikaiweka kofia yangu vizuri, nikalipa kiingilio kwenye huu mlango na kuingia ndani.

Wingi wa watu katika huu ukumbi kweli kulikuwa na haja ya kila mtu kuingia kwa namna yeka, kwa maana kama tungeongozana basi mtu ukimpoteza mwenzako basi unaweza kujikuta unachnganyikiwa, ila kwa jinsi tulivyo ingia basi kazi kubwa ni kwenda na masaa.

Nikatembea moja kwa moja hadi kwenye kaunta ya vijwaji, ambapo kuna viti viwili tu ambavyo havina watu, viti vingine vyote vimejaa watu wakipata vinjwaji. Nikajiweka vizuri tisheti yangu na kukaa kwenye hichi kiti kirefu, nikihakikisha kwamba hakuna mtu anaye iona bastola yangu mezani. Nikatazama tazama vinywaji vyote vilivyopo, nikaagiza kijwaji kinacho itwa Savana kwa maana ni kinywaji ambacho ndio ninakifahamu hata nchini Tanzania vipo, ila hivi vingine sihitaji kuagiza hata kimoja.

Taratibu nikaendelea kunywa huku macho yangu nikitapeleka huku na kule kutazama binti mzuri ambaye ninaweza kumchukua ili akanikate kiu iliyo nitawala kwa miezi mingi sana.

“Hi handsome”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

Binti mmoja mweusi na mrefu alizungumza huku tukiwa tumeyagonganisha macho yetu. Sikuhitaji kumjibu chochote kwa manaa simuelewi elewi hata muonekano wake, japo nina hamu kubwa ila si kwa binti huyu.

Nikaendelea kuwatazama wasichana wengine ambao nitaona wanaweza kunivutia. Nikampata msichana mmoja ambaye anacheza na mwenzake, nikampa muhudumu wa kaunta noti ya dola mia, nikamueleza ninarudi. Nikaanza kucheza ninavyo jua mimi huku nikiwa nimewakusudia kufika kwa wasichana hawa. Japo ninaminyana minyana na watu ila nikakutana nao. Nikaanza kucheza huku nikiwa nimememtazama msichana niliye mkusudia mimi kufika hapo, nikaanza kumkonyeza, huku nikimuonyesha ishara ya kumuomba tuzungumze pembeni. Msichana huyu ambaye ana uzuri ambao unavutia wanaume wengi humu ndani, akabaki akitabasamu tu huku akitingisha kichwa.

Sikujua ana maana gani ya yeye kutingisha kichwa, nikaendelea kumbembeleza hadi akakubali, akaanza kutangulia kutoka katika kundi hili kubwa la watu ila na mimi nikamfwata kwa nyuma.

Kitu kilicho nishangaza baada ya kumuona amesimama kwenye moja ya sehemu ambayo anaweza kuzungumza ni hili wanaume wanne walio simama pembeni yake huku wakiwa wamevalia suti nyeusi. Nikataka kusita kwenda eneo hilo, ila akaniita kwa ishara. Nikawatazama jamaa hawa ambao nao wamenikazia macho, nikatembea kwa kujiamini hadi katika eneo alipo.

“Mambo vipi?”

Nilimsalimia kwa Kiswahili, akatabasamu kidogo.

“Mimi sijui vizuri kiswali. Ila sana zungumza Engilish na Somalia lugha”

“Ohoo mwenyewe, kisomali ninakifahamu japo ni kidogo sana”

“Ok mimi naitwa Delfina Lameck ni President daughter wa hapa Somalia”

Kidogo nikapata nikastuka, mimi huyu msichana nilihisi labda ni malaya wa humu ndani ya huu ukumbi kumbe ni mtoto wa raisi.

“Ok mimi ninaitwa Dany”

“Dany nani?”

“Dany John”

Ilibidi kuongopea jina la ukoo wangu kwa mana jina la baba yangu ni maarufu sana na inawezekana linafahamika karibia dunia nzima.

“Ohoo hiyo imekaa vizuri. Ok elezea shida yako”

Nikawatazama hawa jamaa walio kaa karibu na binti wa raisi, nikakosa hata cha kuzungumza kwa maana nikajikuta nina aibu kubwa sana.

“Haloooo”

Delfina alizungumza huku akinitazama usoni mwangu kwa maana niliduwaa kwa sekunde nyingi sana. Gafla nikamuona mlinzi mmoja akianguka chini huku damu nyingi zikimwagika, sikukaa vizuri akafwatila mlinzi wa pili kuanguka chini. Jambo lililo nifanya nimuinamishe Delfina chinia na kumsogeza sehemu ambayo ina usalama mkubwa sana kwa manaa risasi ambazo zimewapiga hawa walinzi wawili zimetokea kwa mtu ambaye ni mdunguaji na bunduki yake haitoa mlio wowote na imefungwa kiwambo cha kuzia sauti. Walinzi wawiliw alio baki wakafyatua risasi juu nak uwafanya watu wote kuchanganyikiwa na kuanza kukimbia kimbia hovyo wakijitahidi kutoka ndani ya huu ukumbi ili kuyaokoa maisha yao.

“Tulia chini”

Nilimuambia Delifina huku nikichomoa bastola yangu kiunoni mwangu, nikatazama ni wapi alipo mdunguaji. Walinzi hawa wawili walio jibanza kwenye moja ya viti wakaendelea kufyatua risasi kwenye moja ya sehemu ya juu iliyopo gorofa ya kwanza na hapo ndipo alipo jificha mdunguaji huyo anaye jitokeza mara moja moja kufanya shambulizi kwa walinzi hawa walio jificha.

Walinzi wakaendelea kujibu mashabulizi ya muuaji huyu anaye onekena ametumwa na amedhamiria kuja kufanya mauaji kisawa sawa kwa binti huyu wa raisi.

“Ni njia gani ambayo tunaweza kutokea?”

Nilimuuliza Delfina, ila hakunijibu chochote zaidi ya kuyaziba masiko yake huku mwili mzima ukiwa unamtetemeka kwa woga. Nikamshuhudia mlinzi wa kwanza akianguka chini naye akifa. Ikawa ni muda wa mimi kujibu mashambulizi kwa mshambuliaji huyo ambaye ana silaha zenye uwezo mkubwa kuliko bastola tunazo tumia.

“Hei broo ni linde nitoke na Delfina”

Nilimuambia mlinzi aliye salia akaninyooshea dole ngumba la mkono wa kulia. Akabadilsha magazine ya bastola yake kisha akaanza kufyatua risasi mfululizo zilizo mfanya mshambuliaji kujibanza kwenye nguzo aliyo kuwepo. Hii ndio nafasi ya pekee kutoka na Delfina katika hili eneo, nikamshika mkono Delifina na kuanza kukimbia naye kuelekea nje. Tukafanikiwa kutoka nje, huko nako, tukakuta watu wengi wakiwa wamepigwa risasi za wameanguka chini.

“Njia hii”

Delfina alizungumza huku akinishika mkono akikimbia akihakikisha anajitahidi kufika atika eneo la maegesho ya magari. Watu si chini ya wanne wakiwa na bunduki mikononi mwao wanatukimbiza. Kazi yangu ni kujibu mashambulizi huku Delfina akijitahidi kukimbia kwa uwezo wake wote. Akafika kwenye maegesho ya magari, gari alilo kusudia kuingia, kwa bahati mbaya akakuta limefungwa.

“Funguo anazo mlinzi mmoja na amesha kufaa”

Delifina alizungumza huku akihema.

“Inama chini”

Nilitoa kauli hiyo baada ya watu hawa kutukaribi, tukajibanza kwenye moja ya gari huku sote tukigema. Akanitazama usoni mwangu, sote jasho jingi linatumwagika, uzuri kofia yangu haijaanguka, kwa jinsi nilivyo ivaa si rahisi kwa mtu kuweza kuiona sura yangu halisi.

Nikatoa magazine yangu, nikaikuta ina risasi mbili tu ndio zimesalia. Delfina akanitazama usoni mwangu pasipo kuzungumza kitu chochote. Pembeni ya haya maegesho ya magari kuna kiporomoko chenye miti mingi mirefu kwenda juu.

“Unawajua hawa watu wanao hitaji kukuua?”

Nilimuuliza Delfina kwa sauti ya chini.

“Ndio ninawaju……..”

Hata kabla hajamalizia sentensi yake, risasi ikapasua kioo cha gari hili tulilo jicha. Nikaingiza magazine kwenye bastola yangu. Nikaiweka sawa na kufyatua risasi moja iliyo mpata adui mmoja ambaye alikuwa karibu kabisa na hili gari. Wezake wote wakajibanza kwenye magari mengine, nikamshika mkono Delfina na kuanza kuingia naye kwenye huu msitu huku tunakimbia kwa kasi kubwa. Watu hawa wanao taka kumuu Delfina nao wakaanza kutukimbiza kwa kasi kubwa.

Kitu ambacho nimekikubali kwa haraka kwa Delfina ni mwepesi sana kwenye kukimbia. Yeye ndio akawa ananiongoza wapi tupite. Risasi zinaendelea kutuandama nyuma yetu, ila sikukata tamaa zaidi ya kuendelea kukimbia kwa kasi sana. Hadi ikafikia hatua tukawapoteza hawa wauaji.

“Dany mimi nimesha fika nyumbani”

Delifina alizungumza huku akisimama, nikatazama kwa mbali nikaona uwanja wenye nyasi nzuri na kwa mbele kuna majengo yanayo waka taa.

“Hapa ndio ikulu?”

“Ndio”

“Ni watu gani ambayo wanahitaji kukua?”

“Ni adui wa baba yangu, anaitwa Livna Livba na hii sio mara yake ya kwanza kuhitaji kuniua. Asante sana Dany na Mungu akubariki”

Delfina alizungumza akanibusu shavuni na kuondoka huku akikimbia. Taswira ya Livna amsaliti wangu ikaanza kunijia kichwani mwangu, nikajikuta nikitawaliwa na hasira kali na kwa haraka nikageuka na kuanza kurudi msituni huku nikikimbia, nikihitaji kumkamata mmoja wa watu wake nimpatie meseji atakayo ipeleka kwa bosi wake





Ndani ya msitu mzima kazi yangu ni kuhakikisha kwamba ninawapata watu wa Livna Livba. Ila kadri nilivyo zidi kusonga mbele sikuweza kuona dalili yoyote ya mtu ndani ya huu msitu na nikajikuta nikitokea sehemu ya maegosho ya magari. Japo polisi na waandhishi wa habari walisha jitokeza kuchukua matukio ambayo yametokea katika hili eneo. Nikajipenyeza penyeza kwa watu ambao wamekusanyika pemebi wakitazama jinsi polisi wakifanya uchunguzi wao. Nikaanza kurudi kuelekea sehemu ambapo tulitokea kutoka kwenye ngome yetu ya Al-Shabab. Nikafanikiwa kufika salama pasipo mtu yoyote kuniona, nikawakuta Ruben na rafi yetu ambaye tulitoroka naye.

“Dany ulikuwa wapi?”

“Babu pale lile tukio lilivyo tokea, nilijibanza kwenye moja ya kona ndio muda huuu ndio ninatoka baada ya kuona mambo kutulia”

“Ahaa ilikuwa bado nusu tuingie kwa maana tulihisi ni miongoni mwa watu walio kufa”

“Ahaaa sifi kirahisi namna hiyo”

Sikutaka marafiki zangu kuweza kufahamu kwamba kuna jambo gani ambalo nimelifanya. Tukaingia kwenye shimo letu, tukachukua tochi zetu, tukaziwasha na kuelekee sehemu ambayo inatokezea katika chumba kilichopo ndani ya ngome hii. Hatukuchukua muda sana tukafika kwenye shimo letu, akapanda mmoja mmoja. Tukafunika sehemu hii tunayo tokelezea, chumba tukakipanga vizuri, nikabadilisha nguo zangu na kuvaa nguo nilizo kuwa nimezivaa.

“Sasa waskaji?”

“Poa bwana Dany japo mambo yameharibika”

“Musijali, mukipata nafasi nyingine kama hii musisahau kunialika”

“Usijali kaka, sisi kila weakend tunatoka”

“Poa poa”

Nikafungua mlango na kutoka kaatika chumba hichi. Japo ni majira ya usiku sana ila nikajitahidi kutembea kwa kujiamini kama nipo kwenye lindo. Nikafanikiwa kufika chumbani kwangu, nikaingia, nikawasha taa kuangalia kama usalama wa chumba kipo, kisha nikaizima na kulala kitandani. Sura ya Livna Livba kwa mara kadhaa ikaanza kunitawala kichwani mwangu, kila muda ninajaribu kufikiria ni jinsi gani ninavyo weza kumpata.

‘Au atakuwepo hapa Somalia?’

Nilijiuliza maswali mengi. Matumaini yakaanza kunijaa moyoni mwangu kwa maana tayari nimesha gundua njia ambayo inaweza kunisaidia kutoka katika hii kambi pasipo watu wengine kunistukia, kumshuhulikia Livna Livba kisha nitafwatia na K2 hawa ndio wanawake ambao ni maadui zangu wakubwa chini ya hili juu. Hadi kuna pambazuka kichwa changu kimesha panga mipango ya kipelelezi ya chini chini, kuhakikisha ninampata adui yangu mmoja baada ya mwengine.

“Ni muda wangu sasa”

Nilizungumza huku nikijinyoosha viungo vyangu, nikaanza kufanya mazoezi madogo madogo ndani ya chumba changu. Nilipo hakikisha nipo vizuri, ndio nikatoke nje kuelekea kwenye mazoezi ya kikundi.

“Jana usiku ulikuwa wapi?”

Mwalimu wangu wa mazoezi aliniuliza kwa sauti ya chini sana pasipo mwajeshi mwengine kusikia. Kidogo nikastuka ila akili yangu sasa hivi nimesha iweka katika hali ya kuweza kupanga na kupangua matatizo kwa ustadi wa hali ya juu.

“Nilikuwa kwa Ruben”

“Ohoo baada ya sherehe nilikuja chumbani kwako ila sikukuta”

“Yaa jana sikumaliza sherehe, nikaona nikapige pige stori na waskaji”

“Sawa sawa, jiandae kwa mazoezi”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

Mwalimu wangu alizungumza na kunifanya nianze kujitayarisha kwa maozezi ya leo. Mazoezi yakaendelea kama kawaida, huku kila mwanajeshi akihakikisha anajitahidi kwa kadri anavyo weza yeye mwenyewe, ila mwalimu wangu kwa mara kadhaa mananitupia macho. Taratibu nikaanza kuhisi kuna kitu ambacho amekigundua kutoka kwangu na kitu chenyewe ni juu ya uwezo wangu. Siku zote nilikuwa mtu wa kuigiza kama mjinga ila watu walio nivamia bafuni ndio wana mfanya mwalimu wangu kunihisi, anavyo nihisi. Kwa uzuri huwa ninauweo wa kuyasoma mawazo ya mtu kuliko jinsi hata yeye anavyo hisi.

‘Potelea pote, nikimaliza kazi yangu, ninarudi Tanzania kwa ajili ya K2’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikiendelea kufanya mazoezi kwa juhudi sana.

“Dany unaitwa”

Mwajeshi mwengine alikuja kunipa taarifa hiyo. Mwalimu akaniruhusu kwa ishara. Nikaacha ninacho kifanya na nikaanza kuongozana na mwanajeshi aliye kuja kuniita hadi kwenye ofisi ya Hawa ambaye ndio mkuu wa jeshi, amekaimu nafasi hii kutokana na baba yake hayupo.

“Unaweza kwenda”

Hawa alimuambia mwanjeshi aliye nileta hapa ofisini kwake. Hawa akaniomba nikae kwenye kiti kilichopo mbele ya ofisi yake. Nikaka huku tukitazama kwenye.

“Kuna kazi ambayo imekuja kwa muda huu, nimezungumza na baba, akakubali niifanye kutokana ina pesa nyingi sana iliyo weza kutolewa kama ofa”

“Kazi gani?”

“Kazi ni ya mauaji, kuna kifaranga kimoja kinatakiwa kuweza kuuwawa iwe isiwe nilazima kiuwawe”

“Kifaranga?”

“Ndio, siwezi kusema ni mtu kwa maana ni msichana mdogo tu makamu yangu, anamsumbua mwana mama mmoja na anahitaji msichana huyu leo hii aweze kuondolewa duniani”

Akili yangu moja kwa moja nikaipeleka hadi kwa Delfina, ila siuhitaji kumtilia mashaka kwa maana wana wekeana visasi ni wengi katika huu ulimwengu.

“Huyu msichana yupo vipi?”

Hawa akanisogezea bahasha nyeupe, nikaichukua na kuifungua kwa ndani, nikaichomoa picha iliyomo humu ndani, sikuamini macho yangu kuikuta sura ya Mariam. Nikayakaza sana macho yangu kwenye hii picha ya Mariam ambaye Vivian alisha nieleza kwamba Mariam ni mfu kwa sasa.

“Huyu binti ana mahusiano na kijana mmoja wa kitajiri hapa Somali, kijana huyo alisha andaliwa mwanamke wa kumuoa tangu kipindi alipo kuwa mdogo. Sasa huyo binti amekuja kuharibu mahusiano ya wapendanao hao wawili. Kijana haoni wala asikii kwa huyo binti. Na huyu mama aliye ileta hii picha hapa anahitaji binti huyo kuuwawa mara moja iwezekanavyo”

Nikajikuta nikishusha pumzi huku nikiendelea kuitazama picha ya Mariam. Hakuna kitu hata kimoja kilicho badilika katika sura ya Mariam, hapo hapa duniani binadamu ni wawili wawili, ila Mariam ninamtambua vizuri sana.

“Kwa nini mumenipa mimi hii kazi?”

Niliuliza swali la mtego ili kuweza kuyasoma mawazo ya Hawa, anafikiria kitu gani juu yangu mimi.

“Hii kazi baba ndio aliye agiza upewe wewe, ukiifanikisha upendo wa baba juu yako utazidi kuwa karibu sana na unaweza kuwa hata mlinzi wake wa karibu”

“Ningeomba unipe maelezo binti huyu anapatikana wapi, ila hata kama ni kazi niweze kuifanya kuanzia muda huu”

“Nyuma ya hiyo picha kuna maelekezo ya sehemu anayo fanyia kazi kikubwa ni wewe kuhakikisha kwamba unakwenda kuifanya hii kazi, tena kwa uangalizi mkubwa sana kwa maana ninasikia kwamba huyo binti yupo vizuri kwenye maswala ya upambanaji, ndio maana watu wengi walio tumwa kumuu, waliambulia patupu”

Maneno ya Hawa yalinifanya nizidi kuamini kwamba huyu anaye mzungumzia hapa ni Mariam ninaye mfahamu mimi, kwa maana Mariam yupo vizuri sana kwenye maswala ya upambanaji.

“Basi inabidi munipatie hata siku mbili kuhakikisha kwmaba hii kazi nina ikamilisha. Kama unavyo jua, mimi sio mwenyeji wa hii nchi, na maeneo haya uliyo nieleza hapa ninatakiwa nifike kwa kutmia ramani ambayo mutanipatia”

“Usijali hilo jambo la ramani, siku za kuifanya hii kazi, basi nitahakikisha kwamba unapata kile unacho kihitaji. Kwa sasa nenda kajiandae kwa ajili ya safari, utapatiwa suti mbili, pamoja na gari moja”

“Pesa”

“Dola elfu tatu itakutosha kabisa kwneye hii kazi kwa maana hapa Somalia pesa yetuu haina thamani kubwa sana”

“Sawa sawa”

Nikatoka ofisini kwa Hawa na moja kwa moja nikaelea hadi chumbani kwangu. Nikaka kitandnai na kuanza kuitazama picha ya Mariam. Taratibu nijakuta nikiipeleka picha yake hadi mdomoni mwangu na kuibusu. Mwili mzima ukasisimka kwa hisia kali za mapenzi, kwa maana Mariam ni mwanamke ambaye nilimpenda mimi mwenyewe kutoka moyoni mwangu, japo mapenzi yetu yalijaa hatari za hapa na pele, bali hii ndio nafasi ya pekee mimi kwenda kuonana naye kwa mara nyingine tena.

Nikaelekea bafuni na kuoga kwa haraka, nikajiweka sawa, suti za ina mbili zikaletwa chumbani kwangu na Hawa, akanikuta nikiwa nimejifunga taulo tu kwa manaa ndio nimetoka kuoga.

“Suti hizi hapa, kitambulisho cha nchi hichi hapa. Hakuna askari atakaye kukamata na kukusumbua kuhusiana na kitambulisho”

“Asante sana”

“Funguo ya gari hii hapa, pesa nazo hizi hapa. Hakikisha hii kazi unaifanya kiufasaha. Ninakupa siku nne, nitahitaji urudi na majibu mazuri”

“Hakuna tatizo mkuu nitahakikisha kwamba kila jambo linakwenda vizuri kama nilivyo kusudia”

“Itakuwa ni vizuri sana. Gari ipo sehemu ya magesho, hii simu ina GPRS System itakuongoza hadi kwenye mji ambo huyu binti anapatika. Tutakuwa tunawasiliana mimi na wewe kupitia hii simu, utanipa ripoti ya chochote kitakacho endelea. Kama ni kuhitaji msaada wangu basi hakikisha unanitaarifu mapema na msaada utaupata sawa”

“Sawa mkuu”

“Vaa nguo, ninakusubiria nje”

Hawa akatoka chumbani kwangu na kurudishia mlango. Nikaichukua suti moja iliyo andaliwa na kila kitu chake kuanzia viatu, tai, shati hadi miwani. Nikavaa kila kitu sehemu inayo husika katika mwili wangu kisha nikamalizia na miwani kubwa kiasi. Nikachukau bastola yangu na kuichomeka kiunoni mwangu, nikachukua magazine nne na kuziweka kwenye mifuko ya ndani ya koti la suti. Picha ya mariamu yanyo nikaiweka kwenye koti la suti, pesa na kitambulisho changu nikaviweka mfukoni mwangu.

‘Muda umewadia wa kufanya kile ninacho kihitaji kukifanya’

Nilizungumza moyoni mwangu, huku nikifungua mlango wa chumba changu, nikamkuta Hawa na walinzi wake wakiwa wananisubiria. Hata hawa alivyo niona kidogo macho yake yakaonekana kuonekana kuwa na furaha kiasi japo hakuhitaji kuseme chochote kwangu. Nikaongozana naye hadi kwenye maegesho ya magari.

“BMW X6 naamini itakusaidia kwenye kazi yako si ndio?”

“Ndio mkuu”

“Nikkuitakie kazi njema na mafanikio mema”

“Asante”

Gari hii nikaitazama vizuri, kwaasilimia kubwa inafanana na gari yangu ambayo nilipewa na raisi wa jamuhuri ya muunganowa Tanzania. Nikafungua mlango na kuingia.

“Hakikisha unaendesha vizuri, askari wa usalama barabarani wapo wengi sana”

“Sawa mkuu”

Nikafunga kioo cha gari na kuondoka katika eneo la maegesho ya mgari na kuelekea katika geti kuu la kutokea katika hii ngome. Nikaendelea kuendesha gari kwa umakini huku nikifwata ramani inayo onekana kwenye hii simu aliyo nipatia Hawa. Nikiwa katikati ya jangwa, ila kuna barabara ya lami iliyo nyooka vizuri nyuma, yangu nikaanza kuona gari mbili nyeusi zikija kwa mwendo wa kasi sana huku zimewasha taa. Wasiwasi ukanipata kidogo ila nikaendelea kuzitazama kwa umakini jinsi zinavyo zidi kuja kwa kasi, zikazidi kunikaribia, gafla gari moja ikanipita na kusimama mbele ya gari langu na kujikuta nikifunga breki za gafla gari nyingine ikasimama nyuma yangu. Wakashuka watu wawili kwenye gari la mbele wakiwa wamevalia suti nyeusi huku wakiwa na bunduki mikononi mwao. Kwa kioo cha pembeni nikatazama nyuma napo nikaona watu wengine wawili walio valia suti wakiwa wamesimama huku mikononi mwao wakiwa wameshika mitutu ya bundiki wakininyooshea mimi kwenye gari langu, jambo lililo nifanya nijiulize hawa watu wanahitaji nini kutoka kwangu.




Taratibu nikaanza kuichomoa bastola yangu sehemu nilipo iweka, ila hata kama wakianza kulete mashambulizi kwangu basi ninaweza kujilinda. Mtu mmoja kutoka mbele ya gari langu akaanza kutemeba kwa utaratibu huku bunduki yake akiwa ameninyoonyesha mimi. Alipo fika karibu na kioo cha upande wangu. Akaonekana kama kushusha pumzi nyingi na bunduki yake akaishusha chini. Akaanza kuzungumza na wezake wakionekana kulaumiana, kwa ishara wakaniomba niweze kuondoa gari langu, inavyo onekana walio kuwa wakimtafuta gari lake limefanana na mimi.

Nikairudisha bastola yangu sehemu nilipo ichomo na taratibu nikaanza kuondoka huku nikiwatazama kwenye kioo changu cha pembeni jinsi wanavyo geuza magari yao na kurudi walipo tokea.

Nikaendelea kufwata muelekezo wa ramani iliyopo kwenye simu yangu hadi nikafanikiwa kufika kwenye mji wa Adale ambapo ndipo ninapo elezwa kwamba ndipo anapo patikana Mariam. Huu mji umejaa Nyumba zilizo jengwa kama nyumba zinazo jengwa Iraque. Watu wengi wa hili eneo mavazi yao ni kanzu kwa wanaume na wanawake wengine wamevalia mabaibu na mitandio katika vichwa. Mji huu hauna watu wengi sana, nikatafuta moja yua hoteli ambayo ni ya kawaida, nikaegesha gari langu kwenye moja ya maegesho ya hii hoteli. Baada ya kuyasoma mazingira katika hii hoteli taratibu nikashuka kwenye gari langu huku nikiwa makini. Nikaingia kwenye mlango wa hii hoteli.

“Asalam Alykum”

Muhudumu wa kiume alinisalimia lugha hii ambayo ni ya kidini haswa.

“Salama, ninaimani unafahamu kiswahili?”

“Ndio ninafahamu”

“Nahotaji chumba”

“Chumba vipo unahitaji gorofani au chucha cha chini?”

“Ninahitaji gorofani, je usalama upo?”

“Upo mkuu wangu, wala usiwe na wasiwasi wowote”

“Sawa naomba, nipatie ninalipia kwa siku mbili”

Nikatoa noti ya dola hamsini na kumpatia muhudumu. Akaniomba kitambulisho changu, akaingiza jina langu kwenye computer yake, akanirudishia kitambulisho changu na kunipatia funguo ya chumba alicho nielekeza kwamba kipo gorofani. Nikapanda hadi gorofani, nikakuta kordo yenye vyumba vingi vinavyo tazamana milango. Nikaanza kutafuta namba ya chumba changu hadi sehemu kilipo, nilipo kipata nikafungua na kuingia ndani. Nikaanza kukichunguza chumba hichi kwa umakini wa hali ya juu, kila kona kila sehemu nikaipitishia jicho, nikageuza gadi godoro. Nilipo hakikisha kuna usalama wa kutosha nikapanga kitanda changu vizuri. Nikafungua dirisha na kuanza kutazama mandhari ya nje ya huu mtaa.

Nikatoa simiu yangu mfukoni, nikatazama idadi ya namba zilizomo kwenye simu, nikakuta namba mbili tu, na zote zina jina la Hawa. Nikampigia na kuiweka simu yangu sikioni, simu ikaita kwa sekunde kadha kisha ikapokelewa.

“Habari mkuu?”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Salama vipi hali ya safari?”

“Nzuri nimefanikiwa kufika salama, na nipo kwenye moja ya hoteli. Jioni hii ndio ninahitaji kuanza hii kazi ya kumtafuta huyu msichana”

“Nashukuru kusikia hivyo hakikisha kwamba unaifanya kazi hii kwa ufasaha na umakini wa hali ya juu”

“Sawa mkuu”

“Nikutakie kazi njema na jioni njema”

“Nawe pia”

Nikakata simu, nikatoa picha ya Hawa mfukoni, nikaipiga picha kwa kutumia simu yangu kisha nikairudisha kwenye begi. Nikaka ndani ya chumba changu hadi majira ya saa moja na nusu usiku, sikuona haja ya kuvua suti hii niliyo vaa kwa maana ndio kwanza ninaianza kazi. Nikatoka katika chumba changu na kukifunga vizuri. Nikafika mapokezi na kumkuta muhudumu mwengine tofauti na muhudumu ambaye nilimkuta.

“Samahani kuna yule kaka aliye kuwa hapa mida ya mchana yupo wapi?”

“Ametoka shifti yake, ila bado hajaondoka hapa hotelini”

“Nitampata wapi?”

“Ngoja nimpigie”

Kijana huyu wa kisomali akanipa ushirikiano mzuri sana. Akampigia simu mwenzake huyo ambaye nina shida naye mhimu sana.

“Anakuja ninakuomba ukae kwenye vile viti”

“Shukrani kaka”

Nikaka kwenye viti vilivyopo hapa mapokezi. Haukupita muda sana kijana huyo akaja akiwa amesha badilisha mavazi yake ya kazi.

“Vipi kaka?”

Alinisalimia kwa furaha, kwa haraka haraka mtu unaweza kusema sisi ni marafiki wa kipindi kirefu sana ila ndio kwanza tumekutana leo. Ila ninavyo hisi tumetokea kuzoeana gafla sana.

“Safi ninahitaji msaada wako ndugu yangu”

“Msaada gani kaka?”

“Kama unavyo fahamu mimi hapa ni mgeni, ninahitaji kuzunguka zunguka kwenye huu mji”

“Hakuna tabu kaka, tena ndio nimesha toka shifti itakuwa ni vizuri sana”

“Kaka asante kwa msaada wako”

“Hakuna tabu kiongozi”

Tukatoka nje na kijana huyu moja kwa moja tukaeleka kwenye maegesho ya magari. Tukaingia kwenye gari langu.

“Kusema kweli tangu kuzaliwa kwangu, leo ndio nimepanda hili gari”

“Hahaa ni vitu vidogo mbona”

“Ahaaa kwa hapa Somalia kupanda gari kama hili ni shuhuli kubwa sana, si unajua nchi yenyewe amani imesimamia mguu mmoja”

“Kweli, nalitambua sana hilo”

“Ila inabidi kuwa makini sana na hili gari kwa maana kuna vijana wanavijikundi kundi vyao, basi wanateka magari sana”

“Weee”

“Ohooo kweli, kazi yao wanateka magari na kwenda kuyauza kwa watu wanao yabadilisha”

“Sawa sawa, hapa kuna Club gani nzuri?”

“Ahaa huu mji bwana umetawaliwa sana na dini, maswala ya Club, disko disko huku, hakuna kabisa”

“Weee!!”

“Kweli kaka sikutanii, huu mji ukitaka kuuwawa siku yoyote yaani, wewe fungua baa, disko au kasino utakiona cha mtemakuni. Na hata hapa hotelini kwetu, hatulazi watu wa jinsia mbili pasipo wao kuwa na cheti cha ndoa”

“Kweli hiyo nimeipenda”

“Yaani katika miji iliyo tulia tulia huu umetulia. Ila kuna disko moja lipo nje ya huu mji, lipo jangwani, kwa maana sisi hapa tumepakana na jangwa hapo mbele tu kidogo. Ila disko hilo usalama wake ni mdogo sana”

“Tunaweza kwenda?”

“Kwenye hilo disko…..!!?”

“Ndio”

“Ahaa kaka kunipeleka huko haiwezekani kabisa, mama yangu bado ananitegemea isitoshe ni mgonjwa. Kwa hichi kidogo ninacho kipata ndio hicho hicho kinacho muuguza. Nikienda huko ninaweza kufa ikwa tabu nyingine kwa mama yangu”

“Kwani mama matibabu yake yanagarimu kiasi gani?”

“Haizidi hata dola mia tano, ila ishu ni kuipata hiyo pesa”

“Na kwa sasa mama yako yupo wapi?”

“Yupo nyumbani tu”

“Tunaweza kwenda kumuona?”

“Hakuna shaka”

Nikawasha gari, kijana huyu akaanza kunielekeza wapi nipite na wapi niende.

“Hivi unaitwa nani, kwa maana tume zoeana sana”

“Mimi ninaitwa Rashid, najua wewe unaitwa Dany”

“Yaa hujakosea”

“Umekuja hapa kwa kazi gani, kwa maana wengi wanoa kuja kwenye huu mji wanakuja kwa kazi maalumu”

“Unajuaje kama wanakuja kwa kazi maalumu?”

“Wenyeji wa hapa kazi yetu sisi ni kusali misikitini na kufanya kazi ndogo ndogo, nyingine kama hizo za kutunza nyumba za wageni.”

“Ahaaa”

“Simama hapo kwenye hiyo nyumba”

Rashid alinielekeza. Nikasimamisha gari langu na tukashuka, akanikaribisha ndani kwenye hii nyumba yenye mandhari ya kawaida tu.

“Ngoja nimtazame mama chumbani kwake kisha nitakukaribisha uweze kumuona”

“Sawa”

Nikabaki nikiwa nimesimama kwenye kordo kwa maana hakuna chumba. Hazikupita hata dakika mbili Rashidi akatoka kasi huku akiwa anahema.

“Kaka Dany mama yangu, hali yeke ni mbaya sana”

“Ni mbaya?”

“Ndio njoo nisaidie kaka yangu tumuwahishe hospitalini”

Ikanibidi kuingia ndani ya chumba hichi, nikamkuta mama Rashid akiwa amejinyoosha kitandani huku mwili wake ukiwa umekakama. Kutokana nina nguvu kuliko Rashidi kwa haraka nikamnyanyua na kumbeba. Tukatoka nje na kumuingiza ndani ya gari. Rashida akanza kunionyesha njia za kupita hadi tukafanikiwa kufika hospitali. Menesi wakatusaidia kwa kutupatia kitanda cha wagonjwa chenye matairi. Nikamlaza vizuri katika hichi kitanda, manesi wakaanza kukisukuma kitanda hichi wakikipeleka katika chumba ambacho wataweza kutoa huduma ya kwanza kwa mgonjwa.

Rashidi hakuzungumza kitu chochote zaidi ya machozi kumwagika usoni mwake. Ikanibidi nianze kazi ya kumfariji ili ajikaze na nguvu yake aipeleke katika kumuombea mama yake.

“Atapona jikaze mdogo wangu”

“Asante sana kaka kwa msaada wako. Yaani Mungu ni mkubwa laiti kama ingekuwa si wewe kunichunuku mimi ninahisi sasa hivi mama yangu anguwa kwenye hali mbaya zaidi ya hii aliyo kuwa nayo”

“Usizungumze hivyo Mungu ni mwema, kila kitu kitakwenda vizuri”

Simu yangu mfukoni ikaita, nikaitoa na kukuta Hawa ananipigia.

“Ndio mkuu”

Nilizungumza kwa sauti ya chini huku nikisimama na kusogea mbali kidogo sehemua mbayo Rashidi wala mtu yoyote anaweza kunisikia.

“Kwenye hiyo hospitali umefwata nini?”

Hapa ndipo nikagundua kwamba hii simu yangu imeunganishwa na satelaiti kila ninapo kwenda Hawa ananiniona.

“Nipo kwenye harakati za kumtafuta adui”

“Kwani umepa habari kwamba yupo hospitalini?”

“Hilo ni jibu ndio maana nikaja hapa.”

“Kuwa makini”

“Asante”

Nilijikuta nikianza kumchukia Hawa, kwa maana kwenye maisha yangu sipendi kitu kinacho itwa kufwatiliwa tena kila ninapo kwenda niwe ninaonekana. Nikaitazama hii simu nikatamani kuipasua ila ikanibidi kughairisha zoezi hili. Nikairudisha mfukoni, nikamtazama Rashidi sehemu aliyo kaa, nikamuona akiwa amekaa na kujiinamia chini. Nikaelekea sehemu ya mapokezi kwenye hii hospitali.

“Habari yako dada”

“Salama”

“Kuna mama tumemleta muda huu, sasa ninahitaji kulipa garama zote mimi”

“Hakuna shida kaka”

“Itagarimu kiasi gani?”

“Hadi tufahamu majibu ya daktari”

Nikatoa waleti yangu na kutoa noti sita za dola mimi mia. Nimamuwekea nesi mezani.

“Naomba risiti, endapo kutakuwa na garama nyingine zaidi basi nitahitaji munieleze”

“Sawa kaka”

Nesi akaanza kuniandikia risiti, kisha akanikabidhi. Nikatoka nje na kuelekea sehemu ya maegesho ya magari. Nikasimama kwa muda, huku nikitazama gari nyekundu aina ya benzi inayo simama pembeni yangu. Dereva wa gari hili akafungua mlamgo kidogo, na kuanguka chini, jambo lililo nifanya nibaki na mshangao, ila nilipo mchunguza kidogo, nikagundua ana jeraha la risasi kwenye kifua chake na nidamu nyingi zinazo endelea kumvuja katika jeraha lake na endepo nisipo fanya msaada wowote kwake basi anaweza kupoteza maisha mbele yangu.





Kwa haraka nikamuwahi kumfwata hadi sehemu alipo anguka, nikamnyanyua na kumbeba mikononi mwangu, japo ana uzito mkubwa kidogo ila nikajitahidi, cha kumshukuru Mungu manesi waliweza kuniona mapema, wakanisaidia kwa kusogeza kitanda cha wagonjwa, akalazwa na moja kwa moja akapelekwa katika chumba cha upasuaji kwa matibabu ya haraka.

“Amepata tatizo gani?”

Daktari mmoja aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu.

“Sifahamu, nilikuwa kwenye maegesho ya magari, akafika akiwa katika hiyo hali”

“Ok asante kwa msaada wako”

“Sawa sawa”

Nikarudi katika sehemu nilipo muacha Rashidi. Sikumkuta ila kwa bahati nzuri nikamkuta nesi akiwa anatoka katika chumba alicho lazwa mama Rashidi.

“Huyu binti aliyekuwa amekaa hii sehemu yupo wapi?”

“Yumo humu ndani”

“Mama yake amepata nafuu?”

“Ndio”

Kwa uwazi mdogo wa mlango nikamuona Rashidi akiwa amekumbatiana na mama yake. Sikuona haja ya kuwasumbua, taratibu nikaondoka na kuelekea nje. Nikalivua koti langu la suti ambalo limejaa damu za jamaa aliye kuja akiwa na jeraha la silaha. Gari nyeusi aina ya Verosa ikasimama mbele ya gari langu, sikuamini macho yangu nilipo muona Mariam akishuka kwenye hii gari. Hakuniangalia mimi, akaanza kukimbilia ndani huku akionekana ni mtu mwenye wasiwasi. Sikuhitaji kufanya papara ya kumfwata Mariam, nikaanza kutazama pande zote za hii hospitali, sikuona mtu ambaye ninaweza kumtilia mashaka katika, nikafungua nyuma kwenye buti ya gari na kuliweka koti hili lenye damu. Nikalichunguza koti langu sikuona doa lolote la damu. Taratibu nikaelekea ndani kufwata Mariam huku bastola nikiwa nimeicha ndani ya gari.

“Huyu dada aliye ingia muda huu amelekea wapi?”

“Kule”

Nesi alinionyesha huku akinyayua mkono wake, nikamuona Mariam akiwa amekaa nje ya mlango wa chumba alicho ingizwa jamaa niliye msaaidia. Nikatembea kwa kujiamini hadi sehemu alipo kaa, huku akiwa amejiinamia chini. Nikavua miwani yangu na kukaa pembeni yake, kitu kilicho mfanya kunitazama.

“DANY……!!!”

Mariam aliniitwa kwa mshangao huku akiwa ameyatoa macho yake.

“Usionyeshe dalili ya kunifahamu”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

Nilizungumza huku nikiwa ninaangalia mbele sikuhitaji mtu yoyote katika hii hospitali aweze kufahamu kwamba mimi nina fahamiana na Mariam kwa maana hadi muda huu sifahamu nani yupo nyuma yangu katika kunifwatilia kuona kama ninaweza kuikamilisha hii kazi niliyo pewa kwa maana inaweza kuwa moja ya mtego kwa wana kikundi cha Al-Shabab kuufahamu kwamba mimi ni nani.

“Imekuwaje hadi leo upo hai?”

Mariam aliniuliza kwa sauti ya chini sana huku akiwa amejiinamia chini akionekana kama mtu mwenye mawazo kwa mgonjwa wake.

“Mimi ndio nikuulize imekuwaje hupo hai na hapa Somalia unafanya nini?”

“Ni historia ndefu sana, je wewe kwa upande wako?”

“Pia ni historia ndefu. Ninaomba tuweze kuonana nje ya hapa?”

“Hilo halina shaka, ngoja niweze kupata majibu ya mgonjwa wangu?”

“Huyu jamaa ni mgonjwa wako?”

“Ndio, kwani unamfahamu?”

“Hapana, niambie ni wapi tuweze kuonana?”

“Kesho saa moja asubuhi tuonane kwenye mgahawa mmoja haupo mbali sana na hii hospitali”

“Sawa kuwa makini sana katika hili”

“Ok”

Nikanyanyuka na kuondoka katika eneo hili. Moja kwa moja nikaelekea kwenye gari langu, nikaanza safari ya kurudi hotelini. Nikafika hotelini salama. Bastola yangu pamoja na magazine za bastola hii nikatotoa nazo na kuelekea chumbani kwangu.

Furaha niliyo nayo moyoni mwangu ikazidi kunitawala kadri muda unavyo zidi kwenda. Kuonana na Mariam ni moja ya mafanikio makubwa kwangu kwenye kazi hii ambayo nimepanga kuifanya nina amini kwamba itakwenda kama vile ninavyo hitaji kwenda. Kijiusingizi kakanipitia kidogo nikiwa nimekaa kwenye sofa.

Mwanga wa jua unao ingia kupitia dirishani, ukanifanya niweze kufumbua macho yangu na kunyanyuka kwenye sofa nililo kali. Nikaingia bafuni na kuoga, nikajiandaa kwa kutoka. Sikua na muda wa kupoteza nikatoka ndani ya chumba changu, nikaingia kwenye gari langu, na kuelekea kwenye mgahawa ambao ndio upo pekee katika eneo la karibu la hospitali. Nikatafuta sehemu iliyo jificha nikaka, nikatoa simu yangu mfukoni na kumpigia Hawa.

“Ndio mkuu”

“Vipi umefanikiwa?”

“Kuna asilimia kadhaa ambayo ninaamini nitafanikiwa”

“Jana ulifanikiwa kumuona huyo adui?”

“Hapana sikufanikiwa japo nilikaa hadi muda wa usiku sana”

“Ukihitaji msaada hakikisha kwamba unanifahamisha”

“Sawa mkuu”

“Asubuhi njema”

“Nawe pia mkuu”

Nikakata simu, haukupita muda mwingi, akaingi Mariam, akatazama kila kona ya huu mgahawa, alipo niona akanifwata hadi sehemu nilipo kaa huku akiwa amevaa kofia kubwa ambayo si rahisi kwa kuweza kuiona sura yakeyote kirahisi.

“Habari yako”

“Salama”

Marim akaka kwenye kiti ambacho tunatazama na katikati tumetenganishwa na meza. Ukimya ukatawala katikati yetu, kila mtu akiwa anamtazama mwenzake usoni.

“Dany hujabadilika chochote mume wangu”

“Hata wewe haujabadilika, ila ninahitaji kufahamu vitu vingi sana kutoka kwako kwa maana sielewi kitu kinacho endelea?”

“Ni kweli unahitaji kufahamu mambo mengi sana kutoka kwangu. Tangu nilipo chukuliwa na Livna Livba na kunipeleka katika ngome ambayo tulitokea, waliweza kunipatia mateso makali sana. Mateso yale yalinipelekea kukubaliana kwa kile ambacho nilikuwa wanahitaji mimi niweze kukifanya”

“Kitu gani?”

Mariam akaka kimya huku akinitazama usoni mwangu.

“Ni kitu kimoja kikubwa sana kwenye maisha yangu, sikuwa na jinsi nyingine zaidi ya kuhakikisha ninafanya hivyo”

“Ndio uniambie ni kitu gani hicho”

“Ahaa Dany tuachane nacho hicho kitu. Naomba tuzungumzie yaliyo tukutanisha hapa”

Japo ninahitaji kufahamu ni kitu gani anacho anakizungumzia ila nikanyamaza ili mradi nifahamu mambo mengi kutoka kwake.

“Somalia umefikaje?”

“Baada ya kumaliza kazi ambayo nilipatiwa na Livna, niliweza kuwa huru kufanya chochote ambacho ninatakiwa kukifanya. Niliamua kabisa kuachana na mambo yote ya ugaidi, niishi kama wasichana wengine. Ndipo nikafanikiwa kupata mwanaume ambaye alinipenda, japo nilianza kumpenda taratibu”

“Vizuri sana”

Nilizungumza kauli ambayo sikutarajia kama inaweza kunitoka, ila kwa mbali moyo wangu ukaniuma sana kusikia kwamba ana mwanaume mwengine.

“Dany natambua kwamba unajisikia vibaya katika hilo”

“Ahaa hapana kwa maana huna kosa lolote, Je ulisha wahi kwenda Tanzania?”

“Tanzania nilisha hama kabisa, mimi na mama yangu”

“Kwa hiyo mama yupo hapa Somalia?”

“Ndio yupo hapa Somalia”

“Tunaweza kwenda kumuona muda huu?”

“Ndio”

“Umekuja na usafiri wako au twende na wangu?”

“Tuongozane”

Tukatoka kwenye huu mgahawa, kila mmoja akaingia kwenye gari lake. Tukaeleka hadi nyumbani kwa Mariam. Mandhari yah ii nyumba ina ulinzi wa kutosha na imezungushiwa gati kubwa na kuna walinzi kadhaa nje. Tukasimamisha magari yetu katika sehemu maalimu ya maegesho, tukashuka, Marima akanikaribisha ndania kiwa na furaha. Tukaingia sebleni, nikamkuta mama Mariam akiwa anatazama Tv, alipo niona kwa haraka akanikimbilia na kunikumbatia kwa nguvuu. Joto la mama Marima likamfanya jogoo wangu kuanza kufurukuta ndani na kujikuta akianza kunyanyuka taratibu. Mama Mariam akazidisha kunikumbatia huku akiniminya minya kiunjanja kwenye mbavu zangu pasipo Mariam kuona chochote.

“Dany ninahamu na wewe, kum**na mkund** wangu vilivyo kuona vyote vimeniwasha baby”

Mama Mariam alizungumza kwa sauti ya chini, huku akizidi kunifinya kwenye mbavu zangu kwa hisia kali sana



Taratibu nikamuachia mama Mariam huku nikiwa na tabasamu pana usoni mwangu.

“Shikamoo mama”

Nilisalimia kwa kuzuga tu ila Mariam asifahamu ni kitu gani ambacho kinaendelea.

“Marahab mwanangu, aisee umebadilika sana”

“Kwa nini?”

“Umezidi kugangamala mwili wako”

“Mama siku hizi una maneno, kwani Dany si yupo kawaida tu”

“Mmmm labda macho yangu”

“Dany mwaya karibu kwenye sofa. Unatumia kinywaji gani?”

“Chochote aisee”

“Mletee wyne”

“Asubuhi yote hii mama?”

“Ahaa Dany namjua anapenda sana kunywa”

Mariam na mama yake walizungumza kwa furaha sana. Sikuzungumza chochote zaidi ya kuendelea kumtazama mama Mariam, jinsi anavyo zidi kumeremeta kama sio mtu mwenye umri mkubwa.

“Ehee Dany ulikuwa wapi siku zote hizo kwa maana ni muda mrefu sasa tangu tuonane?”

“Mizunguko ya maisha tu mama yangu”

“Ahaa ndio uwe bize. Sisi hadi tunahama Tanzania, ninamuambia Mariam akautafute anasema kwamba haupo kabisa”

“Ni kweli nilikuwa na mizunguko mingi sana, isinge kuwa rahisi kwa Mariam kuweza kuniona mimi”

“Kweli isinge kuwa rahisi kwa yeye kuweza kukuona, tena kwa staili ile ya kujibadilisha muonekano na kuwa msichana basi ilikuwa ni ngumu sana”

“Ehee Dany ulijibadilisha kuwa msichana?”

Mariam alizungumza kana kwamba hafahamu kitu chochote kilicho kuwa kinaendelea ilaukweli ana fahamu kila kitu kuhusiana na mimi na hata dakika ya mwisho alishuhudia jinsi tukio la usaliti lililo fanywa na Livna Livba.

“Ahaa weee acha tu, hali ilikuwa tete nilisakwa hadi nikajifanya mwanamke”

“Ila hadi tunaondoka, haukuwa unatangazwa kwenye vyombo vya habari”

Mama Mariam alizungumza huku akinitazama usoni mwangu kwa macho ya mitego kidogo.

“Kwani muna muda gani hadi kuwa hapa?”

“Kama miezi sita sasa etii Mariam?”

“Ndio miezi sita”

“Ahaaa, ila Tanzania hali ipoje kwa manaa nina muda sasa sijarudi?”

“Tanzania mambo ni yale yale hakuna jipya. Ila kuna mauaji mabaya yalitokeaa”

“Mamaaa………”

Mariam alizungumza huku akimtazama mama yake kwa uso ulio jikonja kidogo. Ikambidi mama Mariam kutabasamu na kubadilisha mada hiyo.

“Ndio hivyo Tanzania yetu ipo, raisi anafanya kazi yake tu”

“Sawa”

Sote tukamtazama Mariam baada ya mlio wa simu yake kuanza kuita. Akaipokea na simu kuiweka sikioni mwake.

“Ndiooo”

“Ni mbaya?”

“Ninakuja sasa hivi”

Marima akakata simu huku akionekana kuwa na wasiwasi mwingi.

“Kuna nini?”

“Ally hali yake inazidi kuwa mbaya ngoja nielekee hospitali kumuona”

“Sawa”

“Dany nakuomba usiondoke hadi nirudi, jisikie hapa upo nyumbani”

“Aondoke aende wapi, leo atalala hapa hapa nyumbani”

“Mpe pole mgonjwa”

“Sawa Dany”

Marim akachukua funguo za gari lake alizo kuwa ameziweka mezani, akatoka ndani hapa na kuniacha mimi na mama yake. Mama Mariam akasimama na kukimbilia dirishani, akachungulia kwenye pazia nje, baada ya dakika mbili akanigeukia.

“Vipi?”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Nilikuwa namtazama kama anaondoka”

Mama Marim alizungumza na kuufwata mlango wa mbele, akafunga kwa ndani kisha akarudi na kusimama mbele yangu huku akiwa ananitazama kwa macho malegevu. Nikaipanua miguu yangu, taratibu akapiga magoti chini na kunikumbatia kwa nguvu sana. Akaanza kuninyonya midomo yangu kwa kasi sana huku akihema, jogoo wangu aliye kuwa ametulia kidogo akanyanyuka na kunizidishia midadi. Nikajikuta na mimi nikidisha kasi ya kunyonya midomo ya mama Mariam, mikono yetu ikawa na kazi ya kupita sehemu mbali mbali za miili yetu.

Tukaanza kuvuana nguo huku, kila mmoja akiwa na midadi ya kuweza kupata penzi la mwenzake. Hata dakika moja haikuisha sote tukawa kama tulivyo zaliwa. Mama Mariam akamshika jogoo wangu vizuri na kuanza kumnyonya taratibu huku akiminya minya makend** yangu. Mama Mariam hakuishia hapo, akaanza kuyalamba makend** yangu kwa ulimi wake, huku kwa mara kadhaa anatumia lipsi zake kuyaminya minya, kitendo kilicho nifanya nianze kutoa miguno kadhaa huku nikihema.

Akanza kumpigisha pisha jogoo wangu kwenye mashavu yake, alipo hakikisha ameridhika kucheza na jogoo wangu ambaye ana hamu kwa kipindi kirefu sasa. Akaka kwenye sofa huku ameipanua miguu yake, nikaanza na mimi kunyonya kitumbua chake, mama Mariam akaanza kutuoa miguno ya mhaba huku akiyachezea chezea maziwa yake kwa kuyaminya miya. Nilipo hakikisha ameridhika na unyonyaji wangu, shuhuli ikaanza. Jogoo wangu akawa na kazi moja tu, ya kuhakikisha kwamba anakishuhulikia kitumbua cha mama Mariam hadi yeye mwenyewe aridhike.

Tukakaa mikao ya kila aina yote ni kuhakikisha kwamba tunaridhishana, kwa manaa kila mmoja ana udhoefu na mwenzake.

“Dany”

Mama Mariam aliniita kwa sauti ya mahaba huku akimkalia jogoo wangu taratibu.

“Ehee”

“Nifir** honey”

“Ehee!!”

“Yeahaa nipe mpenzi wangu”

Mama Marim alizungumza huku akimuhamishia jogoo wangu kutoka kwenye kitumbua hadi kwenye mkund**. Japo huu mchezo huwa siupendi sana, ila una utamu wake. Mama Mariam akaanza kuzungusha kiuno chake huku makalio yake yakinipigia piga kwenye mapaja yangu. Na kwa jinsi alivyo nipa mgongo, nilijikuta ninazidi kusikia furaha sana, kwa maana anayeweza.

Mama Mariam akahakikisha anajikuna haswa haswa hadi anaridhika, akamrudisha joo wangu kwenye kiumbua chake, hapa ndipo akazidi kuongeza mautundu hadi sote tukajikuta tukiumaliza macheazo kwa pamoja.

“Nakupenda sana Dany wangu”

Mama Mariam alizungumza huku akihema sana.

“Nami pia”

“Nawe pia nini?”

“Ninakupenda”

“Asante baby. Nyanyula tukaoge, isije huyu mtoto akaja akatukuta hivi tukadhalilika bure”

“Sawa”

Nikanyanyuka na tukaelekea bafuni, huku mama Mariam akiwa mbele yangu na mimi nimekumbatia kwa nyuma. Akafungua bomba la maji ya mvua, taratibu yakaanza kushuka kwenye miili yetu.

“Dany yaani ubora wako haujapungua, yaani nimeona umeongezeka mara dufu”

“Mmmm”

“Uisigune, huo ndio ukweli. Yaani hapa ninajisikia mwepesi sana, nilikaa kwa kipindi chote nikijichokoa choa na mbo** za bandia tu”

“Kwa nini haukuwa na mwanaume mwengine?”

“Ahaa nimpatie wapi, yaani wanaume wengine nawaona machok** tu, hakuna anaye weza kuniimili zaidi yako, kwa maana unafahamu jinsi ya kucheza na kuta za kum** yangu”

“Mmmm sawa. Muda ule ulisema kuna mauji makubwa yalitokea Tanzania?”

“Ndioo tena ni mauji ya kusikitisha sana”

“Weeee ni mauaji ya nani?”

“Tumalize kwanza kuoga baby, kisha tunywe chai na nitakuelezea mambo mengi yaliyo tokea Tanzania”

“Sawa”

Hatukuchukua muda mrefu sana tukamaliza kuoga. Mama Mariam akanifunga taulo, ambalo lipo humu bafuni. Tokatoka huku yeye akiwa kama alivyo zaliwa, tukaingia kwenye chumba chake cha kulala. Taratibu akaanza kunifuta maji mwilini mwangu.

“Yaani Dany mama aliye kuzaa ninampa hongera sana”

“Kwa nini?”

“Amejua kutengeneza kipande cha mwanaume, yaani wewe sijui nikufananishe na nani”

“Mungu ndivyo alivyo kuwa amepanga”

“Kweli, yaani pale nilipo kuona mimi mwenyewe nilihisi mwili mzima ukinitetemeka kwa furaha”

“Mwenyewe Maram alipo niambia kwamba upo nyumbani, wala sikuona haja ya mimi kuendelea kukaa naye kwenye huo mgahawa nilicho kuwa nimekihitaji ni kukuona wewe”

“Hivi Dany unajisikiaje kuwa na mimi?”

“Ni furaha, sana ila kwa sasa ninakuomba kaniletee nguo zangu, si unajua Mariam anaweza kurudi muda wowote”

“Kweli, tena ngoja nikazilete”

Mama Mariam akatoka chumbani huku akiwa amefunga taulo niliko kuwa nimejifunga mimi. Hakuchukua muda mwingi sana akarudi huku akiwa na nguo zetu sote wawili. Nikaanza kuvuaa nguo ya ndani, kisha nikafwatia na suruali yagu, nilipo hakikisha kwamba nimevaa vizuri nikatoka chumbani humu na kumuacha mama Mariam akivaa vaa vizuri.

Nikaitazama tazama nyumba hii ya Mariam, nikaona moja ya chumba amacho mlango wake upo wazi kidogo. Sikusita kufungua taratibu na kuingia ndani. Chumba hichi kimehifadhiwa vitabu vingi vilivyo pangwa vizuri kwenye sehemu maalumu zilizo jengewa kwenye kuta za chumba hiki. Nikachukua kitabu kimoja, nikakuta kimeandikwa na maandishi makubwa TANGA RAHA. Nikafungua kurasa kadhaa, na kuzipitishia pitishia macho kisha nikakirudisha katika sehemu ambayo kilikuwepo.

“Dany”

“Naam”

Ikanibidi kutoka katika chumba hichi baada ya kuisikia sauti ya mama Mariam ikiniita.

“Ohoo kumbe upo huku maktaba”

“Yaaaa”

“Njoo unywe chai, uchangamshe tumbo lako, kwa maana kitomb** ulicho nipatia, naamini hapo ulipo una njaa ya kutosha”

“Yaaa nina njaa kido kiasi”

Nikaka kwenye kiti, mama Mariam akaniandalia kifungua kinywa akaninawisha mikono, kisha taratibu tukaanza kula.

“Imekuwaje umefika huku Somalia?”

“Ni mihangaiko tu, si unajua mwanaume popote ni kambi”

“Kweli popote ni kambi, tena nimekumbuka ngoja nionyeshe picha za mauaji ambayo yametokea nchini Tanzania”

Mama Mariam akanyanyuka na kuelekea chumbani kwake, huku akinitingishia makalio yake makubwa, hii yote ni uchokozi wa kimapenzi. Nikaendelea kula chakula taratibu, mama Mariam akarudi akiwa ameshika simu yake mkononi aina ya Samsung Galax Note 5.

“Yaani Tanzania sasa hivi, yanatokea matukio ya kutisha sana hembu tazama hizi picha”

Mama Mariama akanipa simu yake, nikaipokea taratibu, kabla sijatizama picha anazo taka kunionyesha, mlango ukafunguliwa, akaingia Mariam huku akiwa katika hali ya huzuni. Kwa mwendo wake wa kinyonge akatembea hadi sehemu tulipo kaa, akanibwaga kwenye kiti komoja wapo, huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake.

“Kuna nini?”

Mama Mariam aliuliza huku akimtazama Mariam usoni, hata mimi mwenye nikabaki nikiwa ninamtazama Mariam.

“Ally amefariki”

“Ally huyu huyu mpenzi wako uliye kuja naye jana mchana hapa?”

“Ndio mama”

Mariam alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake, mama Mariam akanyanyuka kwenye kiti alicho kalia, akamsogelea Mariam na kumnyanyua taratibu, wakakumbatiana, huku mama Mariam akiwa na kazi ya kumbeleza Mariam. Kutokana ni mama na mwana wapo kwenye hali ya majonzi, ikanibidi nitazame picha ambazo mama Mariam alihitaji kunionyesha. Picha ya kwanza nikaona watu wakiwa wamekatwa shingo zao na wametupwa barabarani. Nikatazama picha ya pili, nikaona askari mmoja akiwa amepigwa risasi ya kichwa, picha ya tatu ikanifanya ninyanyuke kwa haraka huku macho nimeyatoa. Ili kuhakikisha ninacho kiona ni chenyewe na si utani, nikaikuza picha ya mama yangu anaye onekana kuchinjwa kikatilia sana jambo lililo nifanya nianze kutetemeka mwili mzima, huku nguvu za mwili nikihisi zinaanza kunishia. Nikajikaza hivyo hivyo kusogeza picha ya mbeleni, hapo napo nikamuona Diana mdogo wangu akiwa amachinjwa huku maziwa yake yakiwa yamekatwa jambo lililo nifanya nijikute nikiiachia simu ya mama Mariam ikaanguka chini, hata mimi mwenyewe siku sikumaliza hata sekunde tatu, nikajikuta nikianguka chini na kutulia tuli.




Kwa mbali nikamuona Mariam akimuachia mama yake na kuniwahi mimi hapa chini nilipo anguka.

“Mama umefanya nini, kumuonyesha Dany hizi picha lakini?”

Niliisikia sauti ya Mariam ikilalama kwa mbali sana.

“Mshike huko tumuweka hapa kwenye sofa amezimia”

Nikahisi nikinyanyuliwa, nikawekwa kwenye sofa.

“Mama kalete maji ya baridi”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

Vitendo vyote wanavyo vifanya Mariam na mama yake ninavisikia kwa mbali sana, japo mwili na viungo vyangu havina nguvu ya kuweza kukabiliana na hii hali. Maji ya baridi niliyo mwagiwa kichwani mwangu, yakanifanya nikurupuke katika hali ya kusizi. Nikasimama wima huku macho nikiwa nimeyatoa, mimi mwenyewe nikakiona kifua changu jinsi kinavyo panda na kushuka kutokana na mapigo yangu ya moyo kunienda kasi sana.

“Dany”

Mariam aliniita huku akiwa ameninyooshea mkono wa kulia, nikamtazama kwa umakini sana, akausogeza mkono wake na kunishika bega la upande wangu wa kulia.

“Dany tulia, tulia”

Mariam alizungumza huku akizidi kunisogelea. Nikajaribu kuzungumza kitu, ila kinywa changu hakikuweza kunyanyuka kabisa, taratibu Mariam akanirudisha na kunikalisha kwenye sofa walilo kuwa wamenilaza muda mchache ulio pita. Nikaendelea kufikiria nilicho kiona ni sahihi au nilikuwa ninaota. Nikamnyooshea mama Mariam mkono, jambo lililo mfanya kubaki amenitumbulia macho.

“Simu”

Nilizungumza kwa ufupi, mama Mariam akageuka nyuma na kuitazama simu yake iliyo anguka katika sehemu ambayo nilianguka. Akapiga hatua taratibu na kuifwata hadi sehemu nilipo aungukia, akaichukua na kurudi nayo, akanikabidhi pasipo Mariam kuzungumza chochote. Kwa bahati mbaya kioo cha simu hii kimepasuka na hakifanyi kazi ya aina yoyote.

Nakaanza kuikagua simu hii, nikaifungua nyuma na kutoa chipu ya kuhifadhia kumbukumbu(memory card). Nakaito chipu iliyopo kwenye simu yangu na kuiweka chipu hii ya mama Mariam, haikuchukua sekunde nyingi, ikawa imekubali kufanya kazi kwenye simu yangu, kwa haraka nikaingia kwenye upande wa picha, nikaanza kuziona picha za mwanzo nilizo ziona. Nikaiona picha ya mama yangu, machozi ya hasira taratibu yakaanza kunimwagika usoni mwangu, nikatazama picha ya Diana, nikapeleka mbele, hapo nikaona picha ya Asma, pamoja na mwanagu nao wakiwa wamechinjwa kikatili sana.

Nilihisi kama moyo unakwenda kupasuka kwa hasira na maumivu ninayo isikia, mwili mzima ukaanza kusisimka huku meno yakikaza, jasho jingi likaendelea kunimwagika.

“Dany”

Mariam aliniita kwa sauti ya upole sana, ila jicho nililo mtazama nalo, hakuweza kuendelea kuzungumza tena akaka kimya, ukimya ukatawala ndani ya seble hii. Mlio wa simu yangu, ukanistua na kunifanya nitazame anaye nipigia. Jina la hawa lililo jitokeza juu ya simu yangu, likanifanya nibaki nikiwa nimelikodolea macho tuu, kwa hasira niliyo kuwa nayo sikuweza kuzungumza kitu cha ina yoyote.

Taratibu nikanyanyuka, kwenye sofa nililo kalia, nikaanza kutembea kueleka nje. Mariam kwa haraka akwahi mlangoni na kunizuia kwa kuichanua mikono yake, ili nisipite.

“Dany nakuomba unisikilize tafadhali”

“PISHA NJIA”

Hata sauti yangu imebadilika, inatoka ikiwa imekusanya besi kubwa, na mikwaruzo ambayo tangu kuzaliwa kwangu sikuwahi kuisikia.

“Dany siwezi kukupisha pasipo wewe kunisikiliza katika hili ninalo kwenda kulizungumza”

Mariam alizungumza kwa msisitizo sana, nikaendelea kumtazama kwa hasira, kwani anacho kifanya ninaona kama nikipingamizi kwangu.

“Dany natambua kwamba kifo cha familia yako ni lazima kinakuuma sana, ila tukae chini tuzungumze tufahamu kwamba tunaanzia wapi katika hili”

Nikaupeleka kwa nguvu mkono wangu wa kulia, ukaushika mkono wa Mariam, nikamvuta pembeni na akaanguka chini. Nikapiga hatua mbili mbele, Mariam akaniwahi kunidaka mguu wa kulia akiendelea kunizuia kuondoka. Nikageuka nyuma na kumtazama kwa hasira sana, Mama Mariam aliye simama pembeni akishuhudia kinacho endelea, usoni mwake anamwagikwa na machozi mengi asijue anafanya kitu gani.

“Dany unajua ni jinsi gani ninayo kupenda, unajua ni jinsi gani ninavyo umia kukuona katika hiyo hali, tafadhali Dany, nakuomba usiondoke”

Mariam alizungumza huku machozi yakimwagika sana. Sikuhitaji kusikiliza porojo zake, nikauvuta mguu wangu kwa nguvu na ukaponyoka kwenye miguu yake. Kwa haraka nikatoka ndani kwao. Moja kwa moja nikaelekea nilipo lisimamisha gari langu, nikafungua na kuingia ndani, bastola yangu niloyo kuwa nimeiacha chini ya siti ta hili gari nikaiweka magazine na kuikoki vizuri, simu yangu nikaiweka kwenye siti ya pembeni, nikawasha gari kwa haraka na kuanza kulirudisha nyuma ili kuliweka sawa kueleka getini. Mariam akatoka ndani na kusimama mbele ya gari langu huku akinitazama machozi yakiendelea kumwagika usoni mwake.

Mama yake naye akatoka akiwa analia, akasimama barazani, akitazama kinacho endelea. Nikamtazama Mariam machoni mwake, huruma ya kibinadamu tayari imesha niondoka moyoni mwangu, nikaichukua bastola yangu na kushuka kwenye gari, nikamnyooshea Marima, ambaye bado amesimama mbele ya gari langu.

“Dany niue tuu, naomba nafasi unisikilize”

Mariam alizungumza huku akinitazama, nikaendelea kumsogelea huku nikiwa nimemnyooshea bastola, moyoni mwangu nikaanza kusikia sauti mbili zikishindana, moja ikiniomba nimsikilize Mariam anacho hitaji kuzungumza huku nyingine ikiniomba nimpige risasi na nitaenda kujua mbele ya safari nani ni muhusika wa kifo cha familia yangu.

“Sihitaji kukuua Mariam, kwa mana sina chuki na wewe, japo nilishatumwa kukuua wewe na bosi wangu, ila sijafanya hivyo, tafadhali ninakuomba unipishe kabla sijafanya hivyo”

Niliendelea kuzungumza kwa sauti ya kukoroma, walinzi wa Mariam kwa haraka wakafika katika eneo tulilo simama huku wakiwa wameninyooshea bunduki.

“Dany ni vyema ukaniua, ni vyema nikafaa mimi. Kwa nini unashindwa kunisikiliza, kwa nini unashindwa kuheshimu ombi langu. Unajua nani ni muuaji wa familia yako”

Mariam alizungumza kwa sauti ya juu iliyo jaa ukali na uchungu ndani yake.

“Nani ni muuaji? Livna, K2 au?”

Nilizidi kumuuliza Mariam kwa ukali zaidi, akaka kimya, baada ya kuona anaendelea kunipotezea muda, nikarudi kwenye gari langu, nikaingia ndani na kufunga. Nikakanyaga mafuta na breki, jambo lililofanya tairi za gari langu kuanza kuserereka kwa kasi sana. Mlizi mmoja alipo ona gari linaaza kusogea akamuwahi kumrukia bosi wake na kumsogeza pembeni nikapita kwa spidi sehemu alipo kuwa amesimama Mariam. Kasi yangu ikaishia getini baada ya kuoga geti limefungwa, kwa haraka nikashuka kwenye gari, nikalifungua geti nikarudi kwenye gari na kuondoka kwa mwendo wa kasi.

Kutokana si mwenyeji katika nchi hii ya Somalia, akili yangu kwa haraka ikanituma kutafuta ramani kupitia hii simu, ambayo itanipa maelekezo ya kuweza kufika Tanzania kwa kutumia gari. Nikasimamisha gari pembeni ya barabara umbali mrefu sana kutoka sehemu ilipo nyuma ya Maria. Haikuchukua muda sana kuweza kuiunganisha huduma ya GPRS, iliyo anza kunielekeza kwa mshale maalumu, kuanzia sehemu nilipo na sehemu ninayo hitaji kuelekea. Masaa niliyo yayo hadi kufika Tanzania ni masaa thelathini na tano sawa na siku mbili na masaa kumi na moja kwa mwendo wa gari. Kwani kuanzia hapa nilipo hadi kufika Tanzania, nikipitia nchi ya Kenya itachukua kilomita elfu mbili mianne na nane.

Cha kumshukuru Mungu pesa zote alizo nipa Hawa ninazo, na kiasi nilicho nacho kinaweza kunifikisha Tanzania, katika siku hizi mbili. Mafuta niliyo nayo ni nusu tenki, katika kuendesha kwangu muda mwingi nikawa nitazama tazama kama ninaweza kupata sheli ya kujaza mafuta. Kwa bahati nzuri nikafanikiwa kupata sheli, taratibu nikasimama kwenye moja ya mashine ya kujazia mafuta. Nikashuka, huku nikiwa na kiasi cha kutosha cha pesa kwa maana katika jengo la hii sheli kuna Supermakert ya kununulia vitu mbali mbali.

“Lita ngapi muheshimiwa?”

Kijana wa kiume wa kisomali aliniuliza huku akiwa ameshika bomba la kujazia mafuta.

“Hadi tanki ijae”

“Sawa”

Akaanza kujaza mafuta, nikaelekea ndani ya suoer makert. Nikaanza kuchukua vitu vya kula njiani pamoja na maji mengi ya kutosha. Nilipo hakikisha kwamba vitu nilivyo vichukua vinanitosheleza, nikalipia, wakaniwekea vitu vyangu kwenye mifuko mkubwa na kurudi navyo kwenye gari. Nikamkuta kijana huyu ambaye ni miongoni wa wahudumu kwenye hii sheli, akiendelea kujaza mafuta kwenye gari langu.

“Dogo bado?”

“Bado kidogo mkuu”

“Muna uaza madungu”

“Yaliyo na mafuta au matupu?”

“Yaliyo na mafuta”

“Hayo yametuishia, kama vipi nikuuzie dumu tupu, kisha nikujazie mafuta”

“Sawa hakuna shida katika hilo”

Dogo akamaliza kuweka mafuta katika gari langu, akafungu vizuri mfuniko wa tanki la mafuta yangu, nikahakikisha amekkaza vizuri mfuniko huo, nilipo jiridhisha, nikasimama pembei ya gari langu nikimsubiria kijana huyu kurudi. Nikaisikia simu yangu ikiita ndani ya gari langu, jambo lililo nifanya nifungue mlango na kuichukua simu. Nikakuta ni Hawa anapiga, nikaipokea na kuiweka simu sikioni.

“Dany ni kitu gani ambacho unakifanya?”

“Kivipi?”

“Umepoteza mawasiliano, huku sikuoni. Tafahadhali rudisha hiyo chipu kwenye simu”

Hawa alizungumza kwa ukali sana, nikakitazama kioo cha simu kisha nikairudisha sikioni mwangu.

“Nina kazi muhimu ambayo ninahitaji kuifanya ukiachilia mbali na kazi yako ambayo ulinipatia”

“WHAT………..!! Wewe ndio wa kunijibu mimi hivyo kumbuka mimi ni mkuu wako”

“Sijakuvunjia heshima, nawala sihitaji nikivunjie heshima, ila hutambui ni kitu gani kinacho endelea katika maisha yangu, hujui maisha yangu ya nyuma Hawa. Hii ni nafasi ya mimi kufanya kile ambacho kilikuwa nyuma ya maisha yangu”

“Bosi huruhusiwi kuzungumza na simu katika eneo hili la sheli”

Kijana anaye nihudumia aliniambia, jambo lililo nifanya nikate simu na kuitupia ndani ya gari, huku nikiwa nimejawa na hasira mara dufu.

“Bosi wewe ni Mtanzania nini?”

“Kwa nini unaniuliza hivyo?”

“Watanzani wanajulikana, hushangani kwa nini nilikuongelesha Kiswahili?”

“Ok kwa hiyo?”

“Ahaa hapana, ila mimi mwenyewe ninapafahamu Tanzania, kuna kaka zangu, wapo maeneo ya Dar es Salaam maeneo ya Kariakoo wana maduka yao huko”

“Dogo niwekee mafuta, sipendi blaaa blaaaa nyingi”

Nilizungumza kwa ukali, hadi kijana wa watu akapoteza tabasamu usoni mwake. Akanijazia dungu langu mafuta ya kutosha, kisha nikafungua buti ya gari, akaliweka dungu la mafuta na kulifunga buti la gari langu.

“Sina pesa ya kisomali, kama vipi ninakupatia Dola. Niambie itagarimu dola ngapi?”

“Ahaahaa…..ahaa dola kama mia nne”

Nikampatia noti za dola mia mia zikiwa nne, kisha nikaingia kwenye gari na kuufunga mlango kwa nguvu.

“Kaka uendeshe gari kwa umakini, hasira sio nzuri”

“Nenda kamuambie baba yako”

Nilimjibu kijana wa watu vibaya huku nikisindikiza na msunyo mkali, kisha nikapandisha kioo cha gari langu na kuondoka katika eneo la sheli. Nikajifunga mkanda wa siti na kuendelea kuendesha gari langu kwa kasi huku nikifwatisha ramani ya simu inayo niongoza. Simu yangu ikaita tena, nikaichukua, sehemu nilipo iweka, nikaitazama kwa muda kisha nikapokea.

“Ndio”

“Dany hujui unajiingiza kwenye matatizo ya aina gani, hujui majibu yako ni jinsi gani yanavyo mkasirisha baba, tena anakusikia hapa ninavyo zungumza na wewe, kwa nini Dany unafanya hivyo lakini”

“Hawa, nimeishi katika mikono ya baba yako na wewe kwa kipindi kirefu sasa, ila hakuna hata mmoja wenu aliye weza kuniuliza maisha yangu ya kiundani sana, si wewe wala si baba. Nina wapenda tena sana, kazi ambayo baba na wewe mumenipatia imezalisha kazi nyingine. Kazi ambayo hata kama ungekuwa ni wewe usinge weza kuiacha kuifanya. Ni kazi ambayo imegarimu maisha yangu, ni kazi ambayo imeupasua moyo wangu, hakuna siku hata moja ambayo Hawa umenisikia mimi nikizungumza katika hali na sauti kama hii.”

Nikanyamaza kidogo huku nikijipangusa machozi, kwa maana maneno niliyo yazungumza yananitoa machozi ya uchungu.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Sikuwahi kukuvunjia heshima, nimekuwa mtiifu kwa kila mtu ndani ya hiyo ngome, nimekuwa nikijitahidi kwa kila jambo ambalo ninalifanya ninalifanya kwa juhudi na moyo mmoja, kwa nini leo hii nimekuwa hivi. Kwa nini Hawa unashindwa kuniuliza kwa umakini zaidi eheee?”

Niliendelea kuzungumza huku nikilia, kasi ninayo liendesha gari langu, huku nimeshika mskani kwa mkono mmoja, inaweza kunihatarishia maisha yangu muda na wakati wowote, ila silijali hili.

“Dany mwanangu kuna kitu gani kimetokea”

Nilisikia sauti ya baba Hawa, hapa ndipo nikaamini kwamba kila ninacho kizungumza mzee ananisikia.

“Baba, mimi nilikuwa na familia. Ilikuwa nchinia Tanzania, mama, dada yangu, mke wangu pamoja na mwanagu mdogo wa kike. Ila hadi muda huu ninavyo zungumza, sipo nao tena. Wameuliwa kikatili, wamechijwa kikatili, sababu sijui ni nini. Ni vyema wangeniua mimi, ila si familia yangu, nimepoteza watu ambao ni muhimu sana kwenye maisha yangu”

Nikamsikia mzee akishusha pumzi, ukimya wa sekunde kadhaa ukatawala kati yetu.

“Wewe umejuaje Dany?”

“Ngoja nikutumie picha, nilifahamu hilo swala kutoka kwa mtu ambaye muliniagiza mimi kuweza kumuu.”

“Tutumie kwenye hii simu ya Hawa”

“Sawa mzee”

Nikakata simu, huku nikiwa ninaendesha gari, nikaanza kumtumia picha moja baada ya nyingine kupitia mtandao wa Whatsapp. Picha zote zikafunguliwa katika muda huo huo ambao nimezituma.

Nikaendelea kuendesha gari kwa mwendo wa kasi huku nikijitahidi kwenda na muda kwa mana ninahitaji usiku unikute nikiwa nipo kwenye mpaka kati ya Kenya na Somalia, naamini hapo nikifika usiku ninaweza kuhonga ma askari wa mipakani na itakuwa ni rahisi kwa mimi kuweza kupita hilo eneo kiurahisi sana. Simu ikaita tena, nikaipokea na kuiweka sikioni.

“Dany rudi kambini, kama ni kazi hii itafanywa na vijana maalumu”

Mzee alizungumza jambo lililo nishangaza sana akilini mwangu.

“Unasema?”

“Umenisikia, ninatoa amri kama mkuu wako wa kambi, na si baba tena. Rudi kambini kazi hii nitawakabdhi vijana”

“Kwa nini uwakabidhi vijana na si mimi, ninaiweza kuifanya kazi hii peke yangu. Na hakuna ambaye atanizuia, si wewe wala si mwanao. Ninakwenda kuifanya hii kazi mwenyewe”

“NITAHAKIKISHA HUTOKI NJE YA SOMALIA, NA NITAHAKIKISHA UNALETWA MBELE YANGU UKIWA HAI AU UMEKUFA, MWANA HARAMU MKUBWA WEWEEEE”

“Hahahaaa, mimi ni mwana haramu tena mkubwa sana, endapo nitajua umehusika na wewe katika hili. KICHA CHAKO, nitakikata kwa mikono yangu mimi mwenyewe, na mbaya zaidi. Mimi ni mpelelezi niliye fuzu mafunzo mbali mbali tofauti na hayo unayo wapatia NGEDERE wako. Na ninakuhakikishia kwamba hiyo NGOME yako nitakuja kuifumua chini juu, juu chini. PUMBAVUUU”

Nikampiga mkwara mmoja ambao ninaamini ni mtakatifu kwa baba Hawa, kisha nikakata simu na kuongeza mwendo kasi wa gari langu, nilio kuwa nimeupunguza kidogo ili kuzungumza na huyu mzee mjinga.



Naamini kila ninapo katiza watu watakuwa wananishangaa kwa mwendo kasi wa gari langu ninalo liendesha. Nikaendelea kujitahidi kuhakikisha kwamba ninatoka ndani ya nchi hii ya Somalia haraka iwezekanavyo kwa maana hai ya hatari baba Hawa amesha itangaza kwangu mimi. Simu yangu ikaita, nikaitazama na kuona ni namba ngeni inaingia, kwa mara ya kwanza nikasita kuipokea, ikaita hadi ikakata. Simu ikaita tena, ikanibidi kuipokea ili kufahamu ni nani anaye nipigia.

“Dany, Dany please msikilize baba, usiende kinyume na sheria yake”

Niliisikia sauti ya Hawa akizungumza kwa majonzi sana.

“Hawa naamini unafahamu uchungu wa familia, kwa mfano angeuwawa baba yako kipenzi wewe ungechukua maamuzi gani?”

Swali langu likamfanya Hawa kukaa kimya kwa takribani dakika moja.

“Dany upo wapi?”

“Sio jibu la swali nililo kuuliza?”

“Nimekuuliza kwa maana nahitaji kukusaidia, natambua ukiwa katika hali hiyo ya asira huto weza kufanya jambo lolote mwisho wa siku utaishia pabaya”

“Sijalishi hilo, nipo tayari kufa, na wala sihitaji msaafa wako Hawa. Umeyaokoa maisha yangu, asante sana kwa hilo”

“Dany tafadhali niambie ni wapi ulipo niweze kukusaidia?”

“Wewe na baba yako ni kitu kimoja, kama kweli unahitaji kunisaidia mimi subiri nikifika nchini Tanzania, ndio nitahitaji msaada wako”

“Sawa, ila kila mpango ambao baba yangu ataupanga juu yako nitakueleza”

“Nitashukuru kama ni kweli”

“Nafanya haya yote kwa ajili ya upendo wangu kwako, tafadhali Dany sihitaji kukuona unapoteza maisha yako”

Nikashusha pumzi nzito huku nikiyafikiria maneno ya Hawa kichwani mwangu.

“Dany”

“Naam, ninakusikia”

“Fikiria hilo, nipo tayari kupoteza uaminifu wangu kwa baba yangu, kwa ajili yako. Tafadhali usife Dany wangu ninakupenda”

Niliendelea kumsikia Hawa anaye zungumza huku akilia kwa uchungu.

“Sawa nitaishi”

“Safari njema”

“Ok”

“Alafu Dany, unitafute kwenye hii namba, ile nyingine anayo baba. Pia usiiweke hiyo memory card uliyo itoa kwenye simu”

“Sawa

Nikakata simu, nikairudisha katika sehemu ambayo nimeitoa. Safari ikazidi kusonga mbele huku baadhi ya maeneo ambayo ninahisi kuna askari wa usalama wa barabarani, ninapunguza mwendo. Hadi inafika majira ya saa sita kasoro usiku nikawa nimefika eneo la Afmadow, mpakani mwa Kenya na Somalia. Bastola pamoja na magazine nikazivisha katika sehemu ambayo si rahisi kwa askri wakaguzi kuweza kuziona. Nikaandaa noti zangu mbili za dola mia mia. Taratibu nikaendesha gari langu hadi kwenye geti la kuingilia nchini Kenya.

“Habari yako mkuu”

Nilianza kujipendekeza kwa askari ambaye amefika karibu yangu, akiwa na bunduki mkononi mwake.

“Salama, washa taa ya gari lako”

Nikatii amri ya kuwasha taa ya ndani ya gari huku nikiwa na tabasamu pana usoni mwangu.

“Unaelekea wapi usiku huu?”

“Ahaa ninarudi nyumbani hapo Ijara, nimetoka Somalia mara moja”

Ilinibidi kudanganya kwani mji unao fwata kutoka nikisema ninakwenda mbali na hapo, wataanza kuniletea longolongo jambo ambalo sihitaji linitokee kwa muda huu.

“Naomba kipande chako”

“Ehee!!”

Niliuliza kwa mshangao kwa maana kingereza cha kikenya na kitanzania vina toafauti kubwa sana.

“Unashangaa ina maana hutambui kipande ni nini?”

“Ok ok muheshimiwa, kidogo nilipitiwa”

Nilizungumza huku nikianza kujipapasa mfukoni mwangu. Galfa askari huyu akaanguka chini, huku milio ya bunduki ikisikika ikitokea nyuma ya gari langu. Kwa kupitia kioo cha pembeni nikaona gari mbili zikija kwa mwendo kasi sana. Kwa haraka sana nikafungu kioo cha gari langu, huku nikianza kuliondoa eneo hili kwa kasi ya ajambu nilikilifwata geti lililopo barabarani. Askari waliopo kwenye hui mpaka wakaanza kushambulia watu ambao ninatambua fika wamegizwa na baba Hawa.

Nikaligonnga getu na kuliangusha chini, nikaendelea kuongeza mwendo kasi wa gari langu, sikujali kama limebonyea seheu ya mbele.

Watu wa baba Hawa wakazidi kuniandama, kadri ninavyo watazama kupitia kioo changu cha pembeni, ndivyo jinsi ninavyo waona wanavyo zidi kuongezeka. Si magari mawili kama nilivyo yaona mwanzo, ila hadi sasa ninaona gari zisizo pungua saba, na zote zinakuja kwa mwendo wa kasi sana. Nikaichomoa bastola yangu, sehemu nilipo ificha, nikaweka magazine moja na kuanza kujibu mashabulizi ya wanajeshi wa Al-Shabab.

Hali haikuwa nzuri kabisa kwa upande wangu, kwani kadri ninavyo zidi kuongeza mwendo kasi wa gari langu, ndiovyo jinsi wana jeshi hawa wananikaribia, hadi ikafikia hatua nikaanza kukata tama. Nikaitazama simu yangu pembeni, mtando haupo kabisa jambo lililo ifanya hadi ramani ambayo nilikuwa ninaitegemea, kupotea kabisa. Gari sasa za wanajeshi wezangu, zikanisogelea pembeni hadi zikaanza kuwa karibu na mimi. Wakaanza kuligonga gari langu kwa kutumia ubavu wa gari zao. Sikuhitaji kuwa mnyonge, na mimi nikaanza kuendesha kwa kuyagonga magari yao kwa kutumia ubavu wa gari langu, japo yanabonyea ila dawa ya ubishi ni ubishi.

Kitu kilicho zidi kunishangaza kwa hawa wezangu, kitendo cha wao kunikaribia hakuna hata mmoja aliye thubutu kufyatua risasi kwangu, hapo ndipo nikagundua kwamba wameagizwa wanipeleke nikiwa hai. Nikatumia nafasi hii kwa kuwa jeuri zaidi, nilicho kifanya ni kuanza kupunguza mwendo kasi wa gari langu huku nikitazama gari hizi mbili zilizopo pembeni yangu kwa maana wameniweka kati kati na nyuma kuna magari mengie.

Nilipo waona nao wamepunguza mwendo kasi, nikaongeza mwendo kasi, nikawafanya nao kuongeza mwendo kasi, nilipo fika mbele kidogo nikafunga breki za gafla huku nikiwa nimekaza meno, mzinga ulio lia nyuma ya gari langu, ninaujua mimi na Mungu wangu, kwani gari mbili zilijikuta zikinivaa kwa nyuma na kulifanya gari langu kuhama kabisa kutoka barabarani, japo niinajitahidi kufunga mbreki, ila likaendelea kuserereka kwa maana limepoteza muelekeo katika barabara. Gari langu likaserereka hadi kwenye mti mkubwa ulipo karibu na barabara, likabamiza kwa nguvu na kutulia. Nikaanza kujitoa kwenye ftuza kubwa lililo tokeza kwenye mskani, kipindi nilipo funga breki za gafla. Japo nina maumivu sehemu mbali mbali katika mwili wangu, nikajitahidi kutola hivyo hivyo kwenye gari huku nikimwahikwa na damu za pua.

Nikajaribu kusimama, ila nikajikuta nikiyumba yumba kwa kizungu zungu kikali ambacho kimenitawala. Nikaanguka chini, huku nikiwaona wanajeshi wengine wakinisogelea kwa haraka huku wakiwa na bunduki mikononi mwao. Nikajaribu kuinyanyua bastola yangu hata mikono haikuwa na nguvu kabisa. Kitu kizito kikatua kichwani kwangu, na kusababisha giza kali kutawala kwenye macho yangu.

***

“Mfungeni vizuri”

Niliisikia sauti ya baba Hawa kwa mbali sana, taratibu nikajitahidi kuyafumbua macho yangu, ila sikuona vizuri. Nikaanza kusikia maumivu ya mikono pamoja na miguu yangu katika sehemu ya viungio.

“Kaza na huko”

Niliendelea kuisikia sauti ya baba Hawa. Nikamwagiwa maji ya baridi usoni mwangu. Kidogo nikaanza kumuona baba Hawa pamoja na wanajeshi wengine wanne walio valia mabushori meusi yaliyo ficha sura zao. Nikaanza kujitazama, nikajikuta nikiwa sina nguo hata moja, huku mwili wangu unameremeta sana kwa mafuta ya kupikia niliyo mwagiwa mwilini mwangu.

“Mwanaharamu mkubwa wewe, uliye nipumbaza kutokana na meneno ya mwangu, nikakuamini. Nikakupenda na nikakujali kumbe ni mpelelezi, na siku zote huwa nachukia wapelekezi”

Baba Hawa alizungumza kwa hasira kali hadi mate kwenye mdogo wake yakawa yanamwagika mdomoni mwake. Woga wote ambao siku zote ninamuogopa huyu mzee, nikashangaa ukiwa unanitoweka moyoni mwangu. Nikajikuta nikicheka kwa dharau, baba Hawa akanitandika ngumi nzito ya tumoni iliyo nifanya nigugumie maumivu ya ndani kwa ndani.

“Ahaaaa haaaaa!!”

Niliendelea kucheka, huku nikijikaza tumbo langu.

“Nilikuambia huto toka ndani ya hii nchi, ukaniletea dharau si ndio?”

“Hivi wewe ni binadamu wa aina gani, wewe ni mtu wa aina gani usiye tambua uchungu wa familia. Eheheee……??”

“Ohooo siku zote ninapo agiza kazi yangu, sihitaji mtu kwenda kinyume na kile ninacho kipanga, ila wewe ukakiuka sheria zangu. Katika hilo sihitaji kukusamehe”

“Niueeeeeee, siogopi kufa, kwa maana mimi nimesha kufaa”

“Ohooo safi?”

Baba hawa akachukua fimbo aina ya mjeledi. Akasimama mita chache kutoka sehemu waliyo nifunga, pasipo kuwa na huruma ya aina yoyote akaanza kunichapa kwa nguvu. Nikaendelea kugugumia kwa maumivu makali sana, ila baba Hawa akaendelea kupitandika kwa mjeledi huu ambao akivuta basi anaondoka na nyama za mwili wangu.

“Wewe ulikuja nikupeleleza au?”

Sikumjibu chochote baba Hawa zaidi ya kumtemea mate yaliyo tua kwenye sura yake. Akaendelea kunitandika mijeledi, hadi mwenyewe akachoka kabisa.

“Hakikisheni munaimarisha ulinzi hapa na asiingie mtu yoyote”

“Sawa mkuu”

“Na musimfungue na wala asipate chakula cha aina yoyote wala maji”

“Sawa mkuu”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

Baba Hawa akatoka katika chumba hichi. Nikatamani malaika mtoa roho, ashuke na kuichukua roho yangu, kwa maana hadi hapa nilipo fikia nimepabaya sana, sidhani kama ninaweza kurudi katika mapambano dhihi ya maadui zangu. Mwili wangu umejaa majeraha ambayo, yatachukua muda mwingi sana kupona. Nikaendelea kukaa huku miguu na mikono ikiwa imechanuliwa na kamba zake zimefungwa kwenye engo tofuati tofauti katika hichi chumba.

Hapakuwa na mwajeshi hata mmoja ambaye alinigeuzia sura yake kwa kunitazama, kila mmoja alibaki akiwa amesimama upande wake.

“Heii”

Nilizungumza kwa sauti ya kukoroma, nikiwa na lengo la kuwaita wanajeshi hawa walio jikausha huku wakiwa wamesimama kama milingoti.

“Hei mimi si mwenzenu, mutaishi kwa kufwata amri hadi lini?”

Niliendelea kuzungumza kwa kujikaza sana, huku damu zikiwa zinanimwagika mdomoni mwangu.

“Ni umasikini au nini, kukubali kuona kijama mwenze….nu nikifa kwa mateso kisa amri ya huyu mzee. NI kipi anacho tupa zaidi ya chukula, maladhi na nguo. Tumekuwa watu wakujitolea muhanga kwa ajili ya huyu mseng** mmoja. Ni moja wa kubadilisha mifuno ya akili zetu”

Nilizungumza maneno ya kuwahamasisha hawa wezangu wanao nilinda, ila sikuona dalili yoyote ya hata mmoja wao kunielewa kwa kile ninacho kizungumza.

Mlango ukafunguliwa akaingia baba hawa akiwa amebadilisha mavazi yake.

“Za asubuhi wewe bweha”

Baba hawa alizungumza huku akinisogelea sehemu nilipo. Nikamtazama kwa macho ya dharau huku nikimpandisha na kumshusha.

“Kanileteeni maji, pilipili ya unga na chumvi”

“Sawa mkuu”

Mwanajeshi mmoja akatoka, hakuchukua muda mwingi sana akarejea akiwa na ndoo pamoja na mfuko mweusi. Akakabidhi baba Hawa mfuko mweusi huku ndoo ya maji akiiweka mbele ya baba Hawa.

Mzee huyu akaanza kuchanganya pilipili pamoja na chumvi kisha akaviweka kwenye ndoo hii yenye maji yaliyo jaa. Alipo rishika akaanza kunimwagia maji hayo mwili mwangu.

Hata kama mtu ni jasiri kiasi gani ila kwa maumivu ninayo yapata kwenye majeraha yangu, nikatamani ardhi ipasuke niingine na inimeze.

“Kidume huwa hapigi kelele iweje leo unapiga kelele”

“KUM** WEWEEE”

Nilimtukana baba Hawa, akaiweka ndoo chini kwa hasika. Akatembea hadi kwenye meza iliyomo ndani ya hichi chumba huku imejaa makorokocho, akachukua mkasi mrefu na wenye makali, akanisogelea, kisha akamshika jogoo wangu kwa mkono wake wa kushoto, akaupitisha mkasi katikati ya jogoo wangu na kuanza kumkata taratibu, jambo lililo nifanya niangue kilio kikali sana ambacho tangu kuzaliwa kwangu sikuwahi kulia kilo cha aina hiyo.




Mlango ukafunguliwa hadi baba Hawa akasitisha zoezi la kumkata jogoo wangu japo alisha anza kumbana taratibu. Macho yetu yakamshuhudia Hawa akiingia kwa kasi ya ajabu, huku macho yake akiwa amemtumbulia baba yake.

“Umefwata nini humu?”

“Baba hii sio haki, huyu Dany unakumbuka kwamba unamchukulia kama mwanao wa kiume iweje leo unamtesa kwa kiasi hichi”

“Unatambua kwamba mtu mwenye dharau, tena ni mpelelezi kwangu huwa hana msamaha”

“Hata kama, unatambua ni jinsi gani Dany alivyo kuwa mtiifu kwake, hata wawo la kwenda kuiba chakula cha wakimbizi na kuwalisha wanajeshi wako, lililotoka kwako. Tazama hali halisi ya matatizo yake aliyo kueleza, tazama hali halisi ya shida yake alivyo izungumza kwako, so leo hii unaona hakuna umuhimu katika hilo si ndio.?”

Hawa alizungumza kwa sauti ya msisitizo huku akimtazama baba yake usoni mwake. Baba hawa akaka kimya pasipo kujibu kitu chochote kwa mwanye huyu.

“Hata kama ingekuwa ni mimni, wewe umeuliwa katika mazingira ya kutatanisha, na mtu mwengine ananijibu kama ulivyo kuwa unamjibu Dany, lazima ningebadilika na kuwa mkali kwako”

Maneno ya Hawa nikaanza kuhisi yanaweza kubadilisha msimamao wa huyu mzee, kwa maana akinikata jogoo wangu ndio basi tena, ujanja katika nyanja za vitumbua nduo nitausikia kwenye bomba, yaani ni bora hata unipige risasi kuliko kukata jogoo wangu ambaye kwa mara kadhaa ameniraisishia katika vitu vigumu kwenye maisha yangu.

Hawa akanitazama jinsi mwili wangu ulivyo chakaa kwa majeraha ya vidonda ambavyo nimevipata kwa kuchapwa kwa mjeledi.

“Mshusheni”

Hawa aliwaamrisha wanajeshi walio simama ila hakuna hata mmoja aliye weza kutii amri yake.

“NIMESEMA MSHUSHENI MWENZENUUU”

Hawa aliendelea kuzungumza kwa kufoka, ila wanajeshi wote wakabaki wakiwa wamesimama kikakamavu kama hawasikii kile anacho kizungumza.

“Toka humu ndani”

Baba Hawa alizungumza kwa ukali hadi mwili mzima ukanisisimka. Hawa akamtazama baba yake kwa mshangao mkubwa sana.

“Baba!!”

“Mkamateni na mumtoe humu ndani, hakikisheni munampeleka katika chumba cha uangalizi na anakaa humo hadi mimi mwenyewe nije”

Wanajeshi wakaifwata amri ya baba Hawa, wakataka kumkamata Hawa, ila kwa ishara ya mkono akawazuia wasimshike mavazi yake. Wakaongozana na Hawa wakiwa wamemuweka katika ulinzi mkali. Mlango ndani ya chumba hichi ukafungwa, nikabaki mimi na baba Hawa.

Baba Hawa hakunisemesha kitu chochote zaidi ya kuchukua pasi iliyopo mezani, akachomeka waya wa pasi hiyo kwenye soketi ya umeme. Akaiwasha, hayo yote yakiendelea, moyo wangu, unanienda kasi, kiasi kwamba naanza kumuona malaika mtoa roho akiranda randa katika eneo hili la chumba, akisubiria muda wake tu, kuja kuichukua roho yangu. Pasi ilipo kolea moto, baba Hawa akapiga hatua hadi katika sehemu nilipo, akazunguka nyuma yangu. Nikafumba macho taratibu kwa maana maumivu ninayo kwenda kupata hapa ni makali zaidi.

Katikati ya mgongo wangu, nikasikia uzito wa pasi hii, jinsi inavyo unguza kwenye mwili wangu. Machozi yaliyo anza kutulia kidogo, yakaanza kunibubujika kwa wingi sana, maumivu yakazidi kiwango ambacho binadamu hufikia, taratibu nikajikuta nikipoteza fahamu na nisijue kinacho endelea kuanzia hapo.

***

Mtetemeko mkali katika kifua changu, ukanifanya kuyafumbua macho yangu kwa haraka sana huku nikigema. Nikaona kundi la madaktari wakiwa wamanizunguka, huku daktari mmoja akiwa ameshika mashine ya umeme inayo tumia katika kustulia mapigo ya moyo.

“Ameamka”

Nesi mmoja alizungumza, wakaanza kunihudumia, huku mashine ya kuhesabu mapigo ya moyo ikiendelea kulia kijimlio kinacho ashiria mapigo yangu ya moyo kwamba yapo sahihi. Sindano za ganzia ambazo wamenichoma, zinanifanya nisijisikie chochote wanacho kifanya kwenye mwili wangu. Wakaendelea kufanya kila wanacho kifanya katika mwili wangu.

“Dokta chumba cha ICU kipo tayari”

“Haya sasa ni muda wa kumtoa”

Taratibu wakanishika vizuri na kuniweka katika kitanda kingine cha matairi, manesi wawili wanao kiongoza kitanda changu, mmoja akiwa mbele na mwingine akiwa nyuma anakisukuma. Wakanitoa katika chumba hichi na kunipeleka nisipo pajua. Nikaingizwa kwenye chumba ambacho kipo kimya sana na kina mitambo kadhaa ya kuhemea na kuhesabu mapigo ya moyo. Wakaanza kuniwekea kifaa maalumu cha kuhemea kwenye mdomo wangu, kisha wakaniweka vifaa maalumu kwenye kifia changu ambavyo vinasaidia mimi kuhema.

Nikatamani kuzungumza ila nikajikuta nikishindwa kabisa, menesi hawa baada ya kuniandaa, wakatoka katika chumba hichi na kuniacha mwenyewe. Nikajaribu kukumbuka kitu kilicho tokea hadi mimi kufika katika hospitali hii ambayo sifahamu ipo nchi gani, ila sikuweza kukumbuka chochote.

Muda na siku zikazidi kwenda, huku nikiendelea kuhudumiwa na manesi pamoja na madkatari katika hii hospitali. Kila siku nikatamani kufahamu imekuwaje kufika katika eneo hili, ila sikuweza kupata nafasi nzuri ya kumuuliza nesi wala daktari kwa maana kila wakija, wananihudumia na kuondoka zao.

“Habari yako bwana Dany?”

Daktari ambaye mara nyingi huwa anakuja kunihudumia alizungumza na mimi kwa mara ya kwanza tangu kuletwa katika hichi chumba.

“Salama”

Nilijibu kwa sauti ya unyonge huku nikimtazama usoni.

“Leo ni siku ya ishirini na mbili tangu kuletwa katika hospitali yetu. Kwa utaratibu wa kazi na huduma zetu pamoja na matatizo ambayo ulikuwa nayo. Ilitubidi tusikusemeshe ndani ya siku zote hizo ili tusiuvuruge mfomo wako wa ubongo ambao kidogo ulipata itilafu, ila tunashukuru Mungu kwa kupindi hicho chote mfumo wako wa ubongo umeweza kurudi katika hali ya kawaida”

Daktari alizungumza huku akinitazmaa usoni mwangu.

“Nilikuwa na tatizo gani?”

“Ubongo wako ulipata itilafu ya kupoteza uwezo fulani wa kukumbuka matukio ya nyuma, ila kwa siku zote hizi ishirini na moja tuliozo kaa kimya pasipo kuzungumza na wewe, ubongo umeweza kukaa sawa na hali yako kwa sasa inaendelea vizuri”

“Majeraha yote katika mwili wako yamesha funga kilicho baki hivi sasa ni kukupa dawa ambazo zinaweza kufuta majeraha hayo yote”

“Dokta ni nani aliye nileta katika hii hospitali?”

“Hakuhitaji kujulikana, ila aliweza kusema tukuhudumie hadi upone, kisha yeye atakuja. Ila garama zote za matibabu ameweza kuzilipa”

“Ni mwanamke au mwanaume?”

“Ni mwanaume”

Nikabaki nikiwa na maswali mengi kichwani mwangu kwa manaa sifahamu ni mwanaume gani ambaye anaweza kunisaidia mimi kutoka katika kifo nilicho kikosa kosa kwa baba Hawa.

‘Au ni baba Hawa? Hapana haiwezekani akawa yeye?’

Nilijiuliza maswali kadhaa kichwani mwangu, ila sikupata jibu sahihi ambalo lingeweza kunisaidia.

“Hapa nipo wapi?”

“Upo Nairobi Kenya, ulitetwa majira ya usiku, siku ishirini na mbili zilizo pita. Mwili wako wote ulijawa na majeraha mengi, tueyashuhulikia na sasa yanakwenda kuisha”

“Dokta je mbo** yangu?”

Niliuliza kwa shauku kubwa sana.

“Hahaa haina tatizo, japo kulikuwa na kijitatizo gidogo, ila sasa hivi ipo sawa sawa. Na tumeiweza kuifanyia kazi ambayo itakuwa bora zaidi ya ilivyo kuwa mara ya kwanza”

“Kweli dokta?”

Niliuliza huku nikiupeleka mkono wangu wa kushoto kwenye jogoo wangu, nikaanza kumpapasa, kweli nikahisi mabadiliko kidogo kwa maana, kitendo cha kumshika kidogo akaanza kusimama huku akiwa na uzito pamoja na urefu ambao ni tofauti na mwanzoni. Daktari akaachia tabasamu pana usoni mwake huku akitingisha tingisha kichwa. Nikashusha pumzi nyingi huku nikiwa nimejawa na furaha kubwa moyoni mwangu.

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Dawa ambazo tutakupatia zitakusafisha makovu yote mwilini mwako kwa siku sana. Kwa hiyo tungekuomba uwe mvumilivu kwa manaa umesha pona kabisa”

“Sawa sawa dokta, nashukuru kabisa”

“Unaweza kushuka kitandani na kutembea tembea eneo la hospitali, ili uweze kuuchamsha changamsha mwili”

“Sawa sawa dokta”

Nikajikuta nikishuka kitandani huku nikiwa na furaha siku zote nilizoea kushuka kitandani na kuingia chooni au bafuni ambavyo vyote vipo ndani ya hichi chumba changu. Nikavaa vijindala ambavyo siku zote ninavivaa. Nikaongozana na daktari huyu hadi nje ya hospitali hii yenye majengo makubwa sana na yakupendeza.

“Hii hospitali mara nyingi huwa tunahudumia wagojwa walio patwa na majeraha makubwa ambayo wanaamini kwamba hawawezi kupona, ila wakija hapa wanapona kabisa na wanarudi katika hali zao za kawaida. Hata mtu akija amekatika mkono, kuna mbinu za kidaktari ambazo tunazifanya hadi mtu huyo mkono wake tunaweza kuurudisha”

“Dokta ina maana hata mkono uwe umekatika katika munaweza kuurekebisha?”

“Ndio tunaweza, kila kitu kinawezekana, yaani kitu tunacho kihangaikia sasa hivi ni kuweza kutengeneza roho ya binadamu, tukifanikiwa katika hilo basi tutakuwa matajiri kabisa”

Tuakiwa katika moja ya bustani ambayo pembeni yake kuna barabara, likapita gari jeusi la kifahari, likafika maeneo ya maegesho, likasimama wakashuka walinzi wawili, mmoja akapiga hatua hadi mlango wa nyuma wa gari hilo, akafungua mlango wa gari hilo. Akashuka kijana mmoja aliye valia suti nyeupe pamoja na miwani ya macho.

“Ohoo tena mtu aliye kuleta yule pale”

Daktari alizungumza huku akiondoka, ikabidi kumfwata kwa nyuma huku nikijaribu kumtazama kijana huyu ambaye inasadikika kwamba amenileta katika hii hospitali. Kusema kweli sijawhai kumuona siku hata moja kwenye maisha yangu. Tukafika hasi sehemu alipo wakapeana mikono na daktari huku wakiwa katika furaha kubwa sana.

“Ohoo hali ya Dany ninaiona jinsi ilivyo kamili gado”

“Yaaa tumejitahidi katika uwezo wetu wote na tumefanikiwa kufanya leo hii kuwa vizuri”

“Dany naamini utakuwa unanishangaa, ila tukikaa tutazungumza mambo mengi na utanijua mimi vizuri”

“Sawa sawa hakuna tabu”

Nikaendelea kumtazama huyu jamaa ambaye kwa haraka haraka anaonekana kunipita kiumri, kwa miaka kadhaa.

“Daktari kilicho bakia kwa Dany ni kitu gani?”

“Ni kufuta haya majeraha, atakaa hapa hospitali hadi siku saba, baada ya hapo tutaweza kumruhusu kuondoka”

“Ohooo sawa sawa, mimi kwangu hilo halina tatizo kabisa. Ila Dany tunaweza kupata muda wa kuzungumza mimi na wewe”

“Sawa kaka”

“Twende tukakae pale kwenye bustani”

Nikatembe na jamaa huyu hadi kwenye bustani, huku walinzi wake wakiwa nyuma yake. Tukaka kwenye moja ya benchi zilizo tengenezwa kwenye hii bustani. Jamaa huyu akatoa simu yake mfukoni, akaanza kutazama tazama baadhi ya vitu kisha akanipatia simu yake. Nikaiona picha ya K2 ikiwa katika kioo cha simu yake.

“Naamini kwamba unamfahamu huyo vizuri?”

“Yaa ninamfahamu, ila kabla hatujasonga mbele ninahitaji kuweza kukufahamu wewe ni nani, na kwa nini uliamua kunisaidia?”

“Usiwe na haraka mdogo wangu, kunifahamu utanifahamu tuu. Ila kwanza tuzungumzie kuhusiana na swala la huyu K2. Nimeweza kufwatalia wewe tangu upo katika kisosi cha NSS. Hadi walivyo kubambikia kesi, na kukufunga gerezani. Kipindi chote hicho nilikuwa nikikufwatilia kwa ukaribu sana pasipo wewe kuweza kufahamu kama unafwatiliwa.”

Nikastuka sana kumsikia jamaa akizungumza maneno kama haya, kwa maana kila anacho kizungumza ni ukweli na kimesha nitokea kwenye maisha yangu miaka kadhaa ya nyuma.

“Sikukata tamaa ya kukudwatilia kwa kipindi cha miaka yote hii, kwa manaa hata mfumo wa utawala nchini Tanzania kwa sasa umebadilika”

“Umebadilika. Tangu lini?”

“Hahaa ni kajihistoria kimoja kirefu japo si sana, ila mfumo wake umebadilika. Raisi ailiyo sasa madarakani sio yule ambaye unamjua.”

“Kwa sasa Tanzania inatawaliwa na mwanamke, jambo ambalo hakuna anaye penda kuliona nchi kubwa kama Tanzania ikitawaliwa na mwanamke”

“Ngo….ngoja kwanza, unataka kuniambia kwamba Tanzania raisi sasa hivi ni K2?”

“Yaaa na ameingia madarakani hivi juzi juzi tu kwa hiyo kuna kazi kubwa mbayo ipo mbele yetu. Picha hiyo unayo iona kwa sasa ni jinsi K2 alivyo ingia madarakani kama raisi”

Nilijihisi kichwa kikinigonga kwa maumivu, mwanamke mshenzi aliye niharibia mfumo wa maisha yangu leo hii anakuwa raisi wan chi yangu kirahisi namna hii, kusema kweli haiwezekani.

“Naamini unatambua kwamba familia yako kwa sasa ipo mbinguni?”

“Yaaa”

“Na pia nina imani una hisi kuwa kuna mtu au watu wapo nyuma ya tukio la mauji ya familia yako?”

“Ndio”

“Basi sogeza picha ya mbele utamuona muhusika wa mauaji ya familia yako”

Nikasogeza picha ya mbele katika simu hii. Nikamuona mwanaume mmoja ambaye ndio mara yangu ya kwanza kuweza kumuona.

“Huyu ni nani?”

“Anaitwa EDDY GODWIN, huyu ndio mster plan wa maujia ya famili yako. Akiwa bega kwa bega na K2 ambaye kwa sasa ni mtu na mke wake?”

Maneno ya huyu jamaa yakanifanya nibaki nimemtumbulia macho, nisielewe ni kitu gani kinacho endelea.

“Naitwa JONH ni mkuu wa D.F.E”

Jamaa huyu alizungumza huku akinipa mkono wake wa kulia, huku sura yake ikiwa imejawa na tabasamu pana, nikabaki nikiwa ninautazama mkono wake pasipo kuupokea kwa maana bado sielewi ni kitu gani ambacho kinaendelea.




Taratibu nikaunyoosha mkono wangu wa kulia na kuukutanisha na mkono wake. John akaonekana kuwa na furaha sana baada ya kuukutanisha mkono wangu na mkonno wake.

“Samahani nina swali moja”

“Uliza tu Dany”

“D.F.E ndio nini kwa maana sijaelewa?”

“Ohoo kirefu chake Destination of my enemies. Kundi hili muasisi wake anajulikana kwa jina mzee Godwin, mtoto wake ndio huyo Eddy Godwin”

“Sasa mimi hapa nitahusika kwa jambo gani?”

“Tutayazungumza, kikubwa ni hali yako kuweza kuwa sawa kwa kipindi hichi”

“Na ulikuwaje nikatoka katika mikono ya Al-Shabab, wakati nilikuwa katika hati hati ya kupoteza maisha?”

“Ni mengi sana yametokea katika wiki hizi mbili tatu ila usiwe na shaka kila jambo litakwenda kuwa sawa. Umenielewa Dany?”

Ikanibidi kutingisha kichwa tu kwa ajili ya kumridhisha John ila kusema kweli sijaelewa jambo hata moja.

“Utabaki chini ya uangalizi wa madaktari, baada ya wiki moja niakuja rasmi kukuchukua”

“Sawa”

Tukasimama kwenye benchi tulilo kalia. Taratibu tukarudi hadi sehemu tulipo muacha daktari.

“Dokta hakikisha mgonjwa hali yake inakuwa sawa”

“Usijali bosi, tutahakikisha kwamba anapona na kuwa fiti zaidi ya hapo mwazo”

“Shukrani dokta”

John na walinzi wake wakaingia kwenye gari na kuondoka, wakaniacha nikiwa nimesimama na daktari huku tukilisindikiza gari lao jinsi linavyo toka getini.

“Huyu John, miguu na mikono yake yote tuliipandikiza sisi, alikuwa amekatwa kabisa”

“Sijakuelewa?”

“Yaani hakuwa na miguu wala mikono, ila tulimfanyia Oparesheni, ambayo tulipandikiza miguu na mikono yake na kwa sasa kama unavyo weza kumuona anatembea yeye mwenyewe”

“Mmmm!!”

“Yaaa hii hospitali yetu ni mwisho wa matatizo”

“Sawa”

Tukaendelea kuzunguka katika maeneo haya ya hii hospitali huku akili yangu ikiwa na kazi ya kuhakikisha kwamba ninayahifadhi maeneo yote kwenye kumbukumbu ya kichwa changu, kwa maana hasira ya kulipiza kisasi kwa K2 bado ipo pale pale, na wala sihitaji mtu wa aina yoyote kuweza kunisaidia wala kuwa chini yake katika kulitekeleza azimio langu.

Siku zikazidi kusonga mbele nikiendelea kupatiwa matibabu ya kuweza kufuta makovu yaliyo jaa mwilini mwangu. Wazo la kutoroka katika hii hospitali taratibu likaanza kunijia kichwani mwangu. Zikiwa zimebaki siku tatu kabla ya kutimia siku saba, nikaanza kuchunguza mfumo mzima wa magari yanayo ingia na kutoka katika hii hospitali. Kuna gari moja la mataka taka ambali kila ifikapo saa ukumi na mbili asubihi linakuja kwenye hii hospitali na linaondoka hospitalini hapa saa moja asubuhi, na huwa getini halikaguliwi kabisa.

‘Hili ndio litanifanya mimi kuondoka hapa’

Nilisema huku nikilitazama gari hili linavyo tokomea nje ya geti. Nikarudi chumbani kwangu baada ya kumaliza kufanya mazoezi mepesi ya viongo. Nikaingia bafuni na kuanza kuoga taratibu, huku nikiwaza maneno ya John.

‘Haiwezekani K2 kuwa raisi wa Tanzania, kwanza ameanzia wapi?’

Nilijiuliza huku nikiyasikilizia maji ya bomba la mvua jinsi yanavyo mwagika mwalini mwangu, sikupata picha jinsi nchi yangu ya Tanzania hivi sasa jinsi inavyo ongozwa.

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

‘Nitajua mbele ya safari’

Nilizungumza huku nikifunga maji ya bomba hili, nikachukua taulo na kujifunga kiunoni mwangu, nikasimama mbele ya kioo kilichopo humu bafuni, nikajitazama kila kona ya mwili wangu, makovu ambayo yalikuwepo, sasa yananza kupotea, na mengine yamepotea kabisa. Misuli iliyo jijenga vizuri kwenye mwili wangu, bado ipo katika hali nzuri ya kuridhisha, na wala sijanenepa kwa siku hizi nilizo kaa kitandani nikiuguza majeraha yangu.

Nikatoka bafuni na kurudi chumbani, nikamkuta nesi ambaye kila asubuhi huwa ananiletea kifungua kinywa na baadhi ya dawa.

“Habari yako dada Linda”

“Salama tu, eheee nilijua upo nje?”

“Hapana, nilikuwa nina oga oga”

“Naona sasa makovu yako yanapotea?”

“Yaa kweli dawa zenu zinasaidia”

“Kweli kikubwa ni kuhakikisha kwamba unafwata masharti ya dawa jinsi yanavyo hitaji. Tena leo nimekueletea mafuta ambayo ukipaka yatasaidia sana ngozi yako kuondoa makovu haraka iwezekanavyo”

“Kweli?”

“Yaa haya hapa”

Nesi Linda akanipatia mafuta ambayo yamekaa kama losheni, nikaanza kuyasoma taratibu na kweli yameandikwa yanasaidia katika kufuta makovu ya mwili.

“Sasa haya ninapaka kwa siku mara ngapi?”

“Pale unapo maliza kuoga basi unapaka”

“Inabidi uwe unanipaka kwa maana kama huko mgongoni mimi sinto weza kujipaka”

“Usijali lala kifudi fudi nikupake”

Nikajilaza kitandani huku nikiwa nimelalia tumbo. Nesi Linda akachukua mafuta kiasi akayamimina kwenye kiganja chake cha mkono wa kulia kisha akaanza kunipakaza mwilini mwangu taratibu. Mikono ya nesi Linda yakaufanya mwili wangu kusisimka sana, hadi nikaanza kujitingisha.

“Dany vipi?”

“Mikono yako ina nisisimu”

“Weee acha utani”

“Kweli dada Linda”

“Mimi mke wa mtu bwana”

“Ahaa kwani mke wa mtu umefungwa na kufulia”

“Hahahaaa Dany kumbe mjinga sana eheee”

Nesi Linda alizungumza huku akicheka kwa maana siku zote amezoe kuniona nikiwa mpole na mkimya sana.

“Ndio ukweli, ungekuwa mke wa mtu alafu amekufunga kufuli hapo sawa, ila ni mke wa mtu alafu ipo kama ilivyo…….”

“Ipo nini?”

“Si nanilio”

“Nanilio nini?”

“Kum***”

“Yesu wangu, Dany kumbe wewe ni muongeaji ehee?”

Nikajigeuza na kulala chali huku nikimtazama nesi Linda usoni mwake. Nikayashusha taratibu macho yangu hadi kifuani mwake kwenye chuchu zilizo jazia kiasi, sikuishia hapo nikazidi kushuka chini hadi kwenye kiuno chake kilicho shikilia hispi mbili zilizo jazia japo zimefunikwa na koti refu jeupe alilo livaa ila zimetanuka vizuri.

“Dany unaniangalia nini jamani, hadi unanitisha”

Sikutaka kumjibu chochote, nikamshika mkono na kumvuta hadi kifuani mwangu, mkono wangu wa kushoto nikaupitisha kwa haraka kiunoni mwake. Tukabaki tumetazamana kwa macho yenye matamanio.

“Dany nimeolewa na ndoa yangu bado ni changa sana”

Nesi Linda alizungumza huku akinionyesha vidole vyake vya mkono wa kushoto, huku kidole kimoja kikiwa kimevishwa pete ya dhahabu ambayo ni ya ndoa.

“Kwa leo”

“Mmmm Dany”

“Noo, nani atakaye jua, utamuambia mume wako kwamba umenipa penzi?”

Nesi Linda akaka kimya akikosa cha kuzungumza, taratibu akayafumba macho yake, moyoni mwangu nikajawa na furaha kwa maana mpango wangu unaanza kuzaa matunda taratibu taratibu. Mkono wangu wa kushoto ukawa na kazi ya kucheza na kiuno chake huku nikikiminya taratibu. Nikazipeleka lipsi zangu hadi kwenye lipsi zake, nikaanza kumnyonya kwa fujo jambo lililo mfanya nesi Linda kulegea kisawa sawa. Nikamgeuza kwa haraka na kumlaza kitandani. Kwa haraka nikashuka kitandani na kuufunga mlango wangu kwa ndani, uzuri wa chumba changu kipo gorofani kwa hiyo hakuna haja ya kufunga pazia.

Nikarudi kitandani na kuendelea kumnyonya nesi Linda midomo yake ambayo ni milaini sana. Ndimi zetu zikawa na kazi ya kupigana pigana kwenye midomo, hapa ndipo nilipo amini kwamba ndoa ni bwebwe tu.

Nesi Linda yeye mwenyewe akaanza kuvua nguo zake haraka haraka huku akionekana kuhitaji kupata kile ambacho kipo mbele yetu sote wawili. Nesi Linda akanivuta taulo langu, nikabaki kama nilivyo zaliwa, taratibu akaanza kumshika jogoo wangu, aliye simama kidedea. Nikaanza kumuonyesha utundu wangu nesi Linda. Mikono yangu na ulimi wangu, vikawa na kazi ya kupita kila sehemu ya mwili wake. Nilipo muona amesha fikia hatu ya kumuhitaji jogoo wangu aweze kumla kitumbua chake, basi sikuwa na kipingamizi.

Taratibu jogoo wangu ambaye kidogo ameongezeka urefu na ujazo, akaanza kuzama kwenye kitumbua cha nesi Linda.

“Dany taratibu pleaseee”

“Ok”

“Usiingize yote, utanichana”

Nesi Linda alizungumza kwa sauti nyororo, nikafanya kama anavyo hitaji, kwa mana ninahitaji kumpa burudani kabambe. Kilia mudu unavyo zidi kwenda ndivyo jinsi nesi Linda alivyo zidi kumfurahia jogoo wangu na kutamani azidi kuingia ndani. Kwa mara zaidi ya nne, nesi Linda akawa analalamika kwamba anafika kileleni, ila kwa upande wangu, ndio kwanza ninazidisha kasi. Hadi ninawasikia waarabu weupe wakihitaji kutoka, nesi Linda amesha fika kileleni mara ambazo hata sikumbuki ni ngapi. Waarabu wangu nikawatolea kwenye kifua chake na kumfanya nesi Linda afurahi sana.

“Ahaa Dany mmmmmm”

“Nini?”

“Sijawahi kufika kileleni tangu nizaliwe”

“Heeee”

“Haki ya Mungu vile. Yaani leo ndio mara yangu ya kwanza kufikishwa kileleni na mwamaume”

“Mmmm mumeo ana kazi gani kwako?”

“Ahaa unajua hawa wanaume wetu wa hapa Kenya, wanaweka kusoma mbele na kazi ila kitandani ni sifuri sana”

“Poleni, hamieni Tanzania”

“Kwa staili hii hata leo ukiniambia twende nitakwenda”

“Hahaaa, upo kwenye ndoa lakini”

“Kwani ndoa, ni sheria ambayo itanifanya ninyongwee?”

“Si sheria ila mulifunga kanisani”

“Hata kama, huwezi amini ndoa yangu ina miezi sita, ila sijawahi kupata furaha y ambo** kama hii niliyo ipata leo. Kumbe Mungu naye anajua kuwakutanisha watu”

“Kwa nini unasema hivyo?”

“Laiti ningekuwa sijakuleta mafuta haya na kifunga kinywa si ningekuwa sijapata hii raha”

“Kwani kila siku si huwa unaniletea?”

“Ndio, ila nilikuwa ninakuchukulia wa kawaida sana, na wala sikuwa ninahitaji mazoe na wewe”

“Imekuwaje leo?”

“Yaani imetoke tu wala sijui imekuwaje”

“Hahaa pole”

“Asante, yaani sijui kwa nini sikukuzoea mapema nikawa ninapata hizi raha”

“Kama inawezekana leo tunaweza tukatoka nje ya hospitali tukaenda kupeana raha huko mbele ya safari”

Nesi Linda akaka kimya kwa sekunde kadhaa kama mtu ambaye anafikiria jambo fulani.

“Alafu kweli, ngoja nifanye mpango wa kukutorosha”

“Mumeo itakuwaje?”

“Mumewangu tangu jana amekwenda Arusha kwenye kikoa atakaa wiki nzima huko, sasa wiki yote si utakuwa umesha nikamua nyege zangu zote zitaisha”

“Usijali katika hilo”

“Ngoja nioge fasta fasta, nikaanze kutengeneza mazingira”

“Poa”

Nesi Linda akaingia bafuni, akaoga haraka haraka, akatoka, kwa kutumia taulo langu akajifuta maji mwilini mwake, kisha akavaa nguo zake. Akajiweka vizuri nywele zake, alipo hakikisha yupo vizuri, akatoka chumbani kwangu na mimi nikaelekea bafuni.

“Yes, mimi ndio Dany”

Nilijikuta nikizungumza kwa furaha huku nikiwa nimesimama kwenye kioo. Nikaoga kwa haraka nikarudi chumbani, nikapata kifungu kinywa, kisha nikameza dawa zangu za adubihi. Siku nzima nimejawa na furaha hata daktari anaye nihudumia aliligundua hilo.

“Dany leo una raha sana kuna nini?”

“Ahaa yani hali yangu kuwa vizuri ninafurahi sana”

“Utazidi kufurahi makovu yakiondoka, zimebaki siku chache utakuwa vizuri”

“Nitazidi kufurahi sana”

“Sasa mimi nilipita kukuona mara moja, ninatoka sasa hivi, kidogo kuna sherehe ya mdogo wangu ana olewa leo, kwa hiyo ninahitaji kuwahi”

“Hakuna shaka kaka, ninaamini kesho utanijia na keki kubwa kubwa”

“Hahaa, usijali tutaangalia uwezekano katika hilo”

“Sawa ndugu kesho”

“Poa ushinde salama”

“Sawa”

Daktari akatoka na kuniacha chumbani kwangu nikiwa na furaha yangu ambayo kusema kweli haifichiki. Masaa yakazidi kusonga mbele, nikaletewa chakula cha mchana na nesi mwengine, nikataka kumuuliza kuhusiana na nesi Linda ila nikasita, nikaona niachane nae. Nikapata chakula cha mchana na kuendelea kukaa ndani ya chumba changu, sikuhitaji kuubandua mguu wangu ndani ya chumba hichi, isije nesi Linda akaja akanikosa ikala kwangu. Hadi inafika saa moja usiku sikuona dalili yoyote ya nesi Linda kuweza kufika hapa hospitalini, furaha ikaanza kupungua taratibu, ikafika saa mbili usiku, sikumuona, hapo wasiwasi ukaanza kunijaa akilini mwangu. Macho yangu yakawa yanacheza na saa ya ukutani, nikatamani masaa yasimame na nesi Linda aweze kufika, ila mawazo yangu sio sheria ya kufanya masaa wala dakika kuweza kusimmaa. Hadi inatimu saa nne usiku nesi Linda hajatokea, hata chakula ambacho huwa ninaletewa saa mbili na nusu usiku, sijaletewa. Nikajikuta nikinyanyuka kitandani kwangu, nikapiga hatua hadi mlangoni, taratibu nikaufungua mlango na kuchungulia nikaona askari wa ulinzi wakiranda randa kwenye kordo wakiimarisha ulinzi katika hii hospitali, jambo lililo nikatisha tamaa kabisaa ya kutoroka katika hii hospitali.


CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/


Sikuwa na namna nyingine ya kufanya zaidi ya kurudi chumbani kwangu na kujitupa kitandani.

“Pisssss…….”

Nilisikia sauti ikitokea dirishani, kwa haraka nikanyanyuka kitandani.

“Zima taa”

Sauti ya nesi Linda niliisikia ikitokea dirishani, kwa haraka nikawahi kwenye swichi na kuzima taa ya chumbani kwangu. Nikafungua dirisha langu ambalo ni la kioo, nikachungulia nje, nikamkuta nesi Linda akiwa amevalia mavazi meusi huku akiwa amejibanza kwenye ukuta na nisehemu ndogo sana amekanyaga katika ukuta huu.

“Ni muda wa kuondoka sasa”

Alizungumza kwa sauti ya chini huku akiendelea kuniangalia, nikabaki nikiwa nimemkodolea macho kwa maana sikujua ana ujuzi kiasi gani unao mfanya kuweza kufanya anacho kifanya.

“Dany ni muda wa kuondoka sasa unashangaa nini?”

“Po…poa poa “

Nikachungulia chini, japo kuna umbali, ila sikuwa na jinsi zaidi ya kufanya kama anavyo fanya nesi Linda. Taratibu nikatoka kwenye dirisha kwa umakini wa hali ya juu. Uzuri kwenye madirisha haya ya hospitalini hayana nondo ambazo zinaweza kumzuia mtu anapo hitaji kutoka. Nikasimama vizuri kwenye kijisehemu kidogo ambacho ni cha kukanyagia, huku mikono ikiwa nimeigandamiza vizuri kwenye ukuta.

Kwa mwendo wa taratibu tukaanza kutembea kuelekea kwenye dirisha la chumba kingine. Baada ya kufika katika dirisha hilo, nesi Linda akaingia, kisha nikafwatia mimi. Akawasha tochi kubwa ambayi sifahamu ameitoa wapi. Nesi Linda akanifwata na kunikumbatia kwa nguvu huku akihema kwa pumzi nzito ya mahaba.

“Dany hatuna muda wa kukaa hapa, niwakati wa kuondoka sawa mpenzi wangu”

“Sawa ila chumba hichi ni cha nini?”

“Hii ni stoo ya nguo za madkatari, sasa ni muda wa kuvaa nguo haraka haraka”

“Poa”

Nesi Linda akaanza kumulika baadhi ya makabati, akanitolea nguo za kidaktari pamoja na vitambaa malumu wanavyo jifunga kwenye midomo pamoja na pua zao kipindi wanapo kwenda kufanya upasuaju. Alipo hakikisha kwamba nimemaliza kuvaa nguo hizo na kukivunga kitambaa hichi chenye rangi ya kijani vizuri.

“Kuna viatu hivi vaa”

Nikavaa viatu hivyo, akanipatia kitambulicho nikakivaa shingoni kamba yake na kikaning’inia kifuani. Nesi Linda naye akamalizia kuvaa mavazi ya kidatkari, taratibu akausogelea mlango akachungulia nje.

“Dany njoo”

Nesi Linda aliniita kwa sauti ya chini, taratibu nikamfwata hadi sehemu alipo. Akazima tochi kisha taratibu tukatoka chumbani humu. Tukaanza kutembea kwenye kordo hii kwa kujiamini sana. Tukapishana na walinzi pasipo kusemeshana nao na kila mlinzi hakuwa na shaka na sisi kabisa. Tukaelekea maeneo ya maegesho ya magari, nesi Linda akaingia kwenye gari la wagonjwa na mimi nikaingia ndani ya gari hilo.

“Pale getini si kuna ukaguzi?”

“Hilo niachie mimi nitajua nini cha kufanya”

Tukatoka na gari la wagonjwa taratibu hadi getini. Kama kawaida askari wa getini wakaanza kutukagua.

“Tunakwenda kumchukua mgonjwa nyumbani kwake tumepigiwa simu ni dharura”

“Ohoo sawa dada munahotaji usindikizaji wa askari?”

“Hapana kaka sio mbali na hapa tunakwenda kumchukua mgonjwa”

“Sawa dada”

Nesi Linda akarudisha kitambaa chake usoni, akapandisha kioo cha gari na kuondoka eneo hili la hospitali pasipo walinzi kuweza kunistukia kwamba mimi niliye kaa pembeni sio daktari.

“Mbona imekuwa kirashisi hivyi tofauti na hata nilivyo kuwa nimefikiria”

“Ahaa hao ninawajua mimi, laiti tungetumia gari la kawaida, ingekuwa ni shida sana kwetu, kwa maana wangehitaji hata wewe kuvua kitambaa chako usoni”

“Shukrani sana Linda, kwa maana nilikuwa ninatamani sana kutoka katika ile hospitali ila nikawa ninashindwa”

“Kwa nini ulitaka kutoka, wakati upo pale kwa ajili ya matibabu?”

“Ni mambo mengi sana tukikaa na kutulia tutayazungumza vizuri”

“Usijali kuna sehemu nimeacha gari langu hapo”

“Na hili gari vipi?”

“Tutaltelekeza”

“Huoni kwamba unaweza kuisababisha kazi yako kuingia katika matatizo”

“Yaani mimi hapa Dany nimesha acha kabisa na ndoa sitaki tena”

“Eheee”

“Ahaa sasa unahisi ninaendelea kukaa kwenye ndoa kufanya nini wakati raha y ambo** siipati”

“Heee!!”

“Shangaa tu, ila Dany umenipa kitu ambacho sikuwahi kukipata katika maisha yangu, sijali ni kitu gani ambacho kinaweza kutokea kwenye maisha yangu ila ukweli ni kwamba umenichanganya kabisa, sioni wala sisikii”

Linda alizungumza huku akiongeza mwendo kasi wa gari lake. Tukafika kwenye moja ya kona, akasimamisha gari.

“Tushuke”

“Ila hapa ni kwenye kona”

“Yaaa tushuke”

Tukashuka kwenye gari, pembezoni mwa barabara kuna korongo moja refu.

“Gari naliweka free nalisukumia huko”

Linda alizungumza kwa kujiamini, akatafuta jiwe lenye uzito kiasi, akaliweka sehemu ya kukanyagia mafuta wakati wa kuendesha gari. Taratibu gari likaanza kusogea mbele akalikatisha kona kwa kutumia mskani huku akiwa nje. Gari likaanza kushuka kwenye korongo hilo na kuangukia chini. Tukaanza kuingia kwenye msitu na kuanza kutembea kwa kujiamini.

“Tunaelekea wapi?”

“Hapa tunavuka boda la Kenya na Tanzania, gari langu nimeliacha huko Tanzania ndio maana unaweza kuona kwamba nilichelewa kufika kukuchukua”

“Sasa sawa, ila nikuulize kitu Linda”

“Niulize”

“Kabla ya kuwa nesi ulishawahi kufanya kazi gani?”

“Daaa ni story ndefu sana ila tuvuke huu mpaka ndio tutazungumza”

“Poa”

Mwanga wa mbalamwezi unatusaidia kuona tunapo elekea, japo ni porini kubwa tunalo likatiza ila hakuna ambaye ana wasiwasi, lengo letu kubwa ni kuweza kufika sehemu ambapo Linda ameliacha gari lake. Tukafanikiwa kufika katika sehemua mbayo Linda ameliacha gari lake aina ya Toyota VX V8.

“Kuna nguo nilizichukua zipo huku nyuma ya gari itabidi kubadilisha”

“Poa”

Linda akafungua gari lake kwa nyuma, na kweli nikakuta nguo kadhaa pamoja na begi moja juesi, sikujua linakitu gani ndani yake, na wala sikuhitaji kujishuhulisha kuweza kufahamu kwamba lina kitu gani. Tulipo hakikisha tumebadilisha mavizi yetu tuliyo kuwa tumeyavaa, tukaanza safari ya kulitafuta jiji la Arusha huku mimi nikiwa ni dereva kwa maana nina ufahamu vizuri mkoa wa Arusha na barabara zake.

“Tupumzikie Arusha?”

“Hapana nilikuambia kwamba mume wangu yupo hapa kikazi, so inaweza ikatokea bahati mbaya tukakutana naye ikawa ishu”

“Sawa”

Saa iliyopo kwenye gari inatuonyesha ni saa tisa usiku. Safari ikazidi kusonga mbele hadi inatimu saa kumi na moja alfajiri, tumefika Mombo.

“Dany upo vizuri katika kuendesha gari”

“Asante”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Laiti ingekuwa ni mimi wala tusinge kuwa hapa, ndio kwanza tungekuwa nyuma huko”

“Uzuri wa gari lako lina uwezo wa kuhimili mwendo kasi”

“Kweli eheee?”

“Yaaa, sasa tunaelekea mkoa gani kwa maana sasa, tupo mkoa wa Tanga?”

“Dany mimi nakusikiliza wewe tu yaani popote mimi nitakwenda”

Sikuona jaya ya kwenda mkoa wa mbali tofauti na Tanga, moja kwa moja nikaelekea Tanga mjini, ambapo tukafika katika hoteli moja iitwayo Nyinda, ambapo tumefika majira ya saa mbili asubihi, na ndio kwanza baadhi ya watu wanatoka kwenye hii hoteli kuendelea na maisha yao.

“Dada habari?”

“Salama vipi kaka”

“Safi, ninaweza kupata chumba”

“Yaa vipo, vimebaki vyumba vya V.I.P ni shilingi elfu stini kwa siku”

Ikanibidi kumgeukia Linda kwa maana hapa nilipo sina hata senti tano. Linda akafungua pochi yake ndogo na kutoa kibunda cha elfukumi kumi za kitanzania, akanikabidhi.

“Nitalipia kwa siku nne ni kiasi gani?”

“Laki mbili na arobaini”

Nikahesabu kiasi anacho kihitaji huyu muhudumu, nikampatia kiasi hicho. Akatukabidhi funguo za chumba, akatupa maelekezo ni wapi chumba kilipo, nikalibeba begi jeusi la Linda na kueleka katika chumba chetu. Tukaingia na kufunga mlango kwa ndani, kwa haraka Linda akanifwata na kunikumbatia kwa haraka. Tukaanza kunyonyana midomo yetu, huku kila mmoja akiwa na hamu ya kupata penzi la mwenzake.

Ndani ya dakika moja kila mtu nguo zake zikawa hazipo mwilini. Nikambeba juu juu Linda na kumuweka juu ya dreasing table kubwa iliyopo katika hichi chumba. Mikono yetu ikawa na kazi ya kukatiza kila sehemu ya miili yetu. Taratibu tukaianzisha safari ambayo Linda anaifurahia sana, sikuwa na hiyana zaidi ya kuhakikisha kwamba ninampa Linda kile anacho stahili kukipata kwa muda huu.

Mchezo ukamalizika, Linda akiwa anafuraha sana, tukaingia bafuni kuoga kwa pamoja na kurudi chumbani.

“Dany kwa nini ulitaka kuondoka pale hospitalini”

Swali la Linda likanifanya nimsogelee kitandani alipo kaa, nikakaa pembeni yake huku nikimtazamaa usoni mwake. Sikuhitaji kumuamini sana kwa maana kidonda cha kumuamini Livna bado hakijapona moyoni mwangu.

“Unajua kwenye maisha yangu sijazoea sana kuishi maisha ya kukaa ndani sehemu moja huwa siyapendi”

“Ahaa, ilikuwaje ikaletwa pale ukiwa na majeraha mengi mwilini mwako?”

“Nilitekwa na majambazi, wakanitesa hata na fika pale hospitalini kwenu sikumbuki hata ilikuwaje”

“Pole sana mpenzi wangu sasa kwa nini walikuteka?”

“Ahaa kuna siri yao moja walihisi kwamba ninaifahamu, ila kusema kweli sikuwa nina ifahamu kabisa. Vipi kwa upande wako?”

Mimi nilikuwa ni mmoja wa mabinti ambao nilikulia katika maisha ya kikamanda”

“Kivipi?”

“Nilipo kuwa mdogo niliweza kuchukuliwa na kupelekwa kwenye kambi moja, ambayo huko tulikuwa tunaishi watoto wa kike pekee. Ni kambi ambayo kazi yetu tulikuwa tunafundishwa kuua na kuwa na roho mbaya, nilipo bahatika kupata nafasi ya kutoroka katika kambi hiyo, basi niliweza kujichagulia maisha ya kuwa daktari”

“Hiyo kambi yenu ilikuwa wapi?”

“Kusema kweli hata mimi sifahamu kwamba ilikuwa wapi, ila tulikuwa tupo kwenye meli kubwa na katikati ya bahari”

Historia ya Linda inaendana kabisa na Mariam pamoja na Livna Livba. Sikutaka kujionyesha kama ninafahamu kitu chochote katika histori yake. Linda akasimama kwenye kitanda na kuanza kutembea kwa mwendo wa madoido huku akitingisha makalio yake. Akawasha Tv kisha akarudi kitandani nilipo kuwa nimekaa.

“Dany ninaomba unisaidie kitu kimoja”

“Kitu gani?”

“Ninahitaji kumuua raisi wa hii nchi”

“Unahitaji kumuu raisi wa Tanzania!!”

Niliuliza kwa mshangao huku nikimtazama Linda usoni mwake, nikiwa ninajifanya mjinga mkubwa sana nisiye elewa ni kitu gani kinacho endelea.

“Ndio, nimekushirikisha hili swala ila ninakuomba usimuambie mtu wa ina yoyote, pia ninakuomba tushirikiane katika hili swala”

Moyoni mwangu nikajikuta nikijawa na furaha kwa maana mpango wangu unakwenda kukamilika, taratibu na kwa kumtumia Linda, nitakwenda kulipiza kisasi changu cha kimya kimya pasipo mtu yoyote kuweza kunistukia.




“Siwezi kumuambia mtu wa aina yoyote. Ila ni kwanini unataka kumuua raisi?”

Niliuliza kuweza kumfahamu Linda vizuri.

“Raisi kuna mamb mengi ambayo amenifanyia kwenye maisha yangu moja wapo likiwa ni kuiangamiza familia yangu”

“Eheee, hembo ngoja mara moja, unataka kuaniambia raisi ameweza kuua familia yako?”

“Yaa kipindi walipo kuwa wananichukua, kunipeleka katika kambi yake ya mafunzo, baba na mama yangu waliweza kuuwawa kikatili sana jambo ambalo hadi leo linausumbua sana moyo wangu na nilazima nilipize kisasi”

Taarifa ya ziara ya raisi mkoa wa Tanga, ikaanza kuonyeshwa kwenye Tv iluyopo humu ndani. Nikamuona K2 jinsi anavyo zungumza na wananchi huku maandishi madogo yakiandikwa kwa chini kwamba yeye ndio raisi wa hii nchi, jambo lililo anza kuniumiza kimya kimya moyoni mwangu. Sikuhitaji kumuonyesha Linda kwamba hata mimi nimejeruhiwa na K2, ambaye ninahisi ana maadui wengi kati hii nchi ya Tanzania.

“Nilazima kumuu huyu mwanamke”

Linda alizungumza huku akiyakaza macho yake kwenye Tv hii kubwa.

“Anakuja lini hapa Tanga?”

“Wala sielewi, ila nitauliza uliza kuweza kufahamu kwamba ni siku gani ambayo anakuja”

“Dany fanya hiyo niweze kujua ni lini anakuja, tutatumia garama ya aina yoyote kuhakikisha kwamba mpango wetu unafanikiwa.”

“Sawa”

Nikachukua simu ya mezani, nikawasiliana na muhudumu na kumuagiza chakula. Linda akachukua begi lake jeusi na kuliweka kitandani. Akalifingua, ndani ya begi kuna baadhi ya nguo pamoja na silaha. Akatoa nguo na kuziweka juu ya meza, kisha akatoa bastola nne pamoja na magazine zake na kuziweka juu ya kitanda. Chini ya begi kuna pesa nyingi noti za Kenya, zilizo pangwa vizuri.

“Hii pesa inatutosha katika kuikamilisha kazi yetu”

“Ni kiasi gani?”

“Milion kumi za kenya”

“Nafikiri zitatosha, ila kuna jambo ambalo nimeliwaza”

“Jambo gani?”

“Leo nahitaji kuingia mtaani kwenda kufanya upelelezi mdogo kisha badae nitarejea na jibu, ni wapi na niwakati gani ambao raisi anakuja Tanga”

“Sawa, ila mimi utaniacha ndani?”

“Yaa hii kazi ninahitaji kuifanya peke yangu”

Mlango wa hapa chumbani kwetu ukagongwa, nikajifunga taulo kiunoni mwangu kisha nikausogelea taratibu kwa umakini, nikaufungua. Nikamkuta muhudumu akiwa ameshika sinia kubwa lenye sahani mbili zenye chakula, nikakipokea chakula na kuufunga mlango.

“Chaku mbona kinanukia vizuri?”

“Ndio mambo ya kitanga hayo”

“Mmmm hadi kimenipa hamasa ya kula”

Linda alizungumza huku akinyanyuka kitandani, akanipokea chakula hichi na kukiweka mezani. Taratibu tukaanza kula huku kila mmoja akiwa katika hali ya furaha, japo ni masiano yaliyo anza kwa muda mfupi tu ila mimi na Linda tunajikuta tukiwa katika furaha ambayo kwa mara ya kwanza ukituona unaweza kuhisi labda tumeonana siku nyingi za nyuma.

“Honey mimi niahitaji kwenda kuianza kazi”

“Sawa, ila Dany ninakuomba usichelewe mume wangu”

“Sinto chelewa mke wangu”

Nikavaa nguo zangu ambazo nilikuwa nimezivaa jana usiku, nikachukua kiasi cha kutosha cha pesa za kikenya. Nikatoka nje ya hoteli, sikutaka kutumia gari la Linda kwa maana bado sijamfahamu vizuri, nikakodi taksi, nikamuagiza dereva anipeleke kwenye moja ya duka la kubadilisha pesa.

“Barabara ya kumi na mbili, kuna duka moja la kubadilisha peza za kigeni”

“Hakuna tabu, baada ya hapo nitahitaji unipeleke chumbageni”

“Sawa bosi”

Hatukuchukua muda mwingi sana tukawa tumesha fika katika duka hilo la kubadilishia pesa, nikashuka na kuingia ndani ya duka hili. Nikakutana na dada mmoja wa kiarabu.

“Habari yako dada”

“Salama tu”

Nilimsalimia dada huyu huku nikitoa noti kadhaa mfukoni mwangu, macho ya dada huyu wa kiarabu muda wote yakawa yananitazama usoni mwangu hadi nikaanza kujistukia.

“Ahaa ninabadilisha elfu mbili”

“Sawa hakuna tabu”

Nikamkabidhi dada huyu noti za kikenya, akaanza kuzihesabu kwa mashine maalumu, ila muda mwingi huyu dada macho yake anayatupia kwangu.

“Dada mbona unanitazama sana”

“Ahaa kuna kaka mmoja ninakufananisha na kaka mmoja hivi”

“Ahaaaa”

“Yaa kuna kaka mmoja kuna siku alinipa lifti akiwa na mwenzake nilicha na basi pale Lugoba, ni miaka mingi ya nyuma sijui kama utakuwa unakumbuka?”

Tukio la dada huyu likarudi kichwani kwangu haraka sana, nikakumbuka siku ambayo tuliweza kumpatia dada huyu lifti nilikuwa ninatoka Dar es Salaam nikiwa na dererva wa kampuni baada ya kupewa likizo na K2 kutokana na kupata na majeraha ya kuungua na moto.

“Ohooo ninakumbuka sasa”

“Ndio wewe?”

“Yaa za masiku?”

“Safi kaka yangu, aissee yaani nilijaribu kusubiria simu yako nione kama utanipigia ila sikuona chochote hadi leo”

“Ahaa kuna matatizo kadhaa ambayo yalitokea ndio maana nikawa bize kwa miaka mingi hiyo”

“Pole asieee, sasa sijui leo tunaweza kupata hata muda wa kuzungumza mimi na wewe”

Dada huyu wa kiarabu anaonyesha hali ya uchangamfu mkubwa sana kwangu, nikajifikiria kwa muda, nikijaribu kuupanga muda wangu kama ikiwezekana niweze kuonana naye kwa leo.

“Ahaa kwa leo ninaona ratiba yangu haipo vizuri dada yangu, labda kwa kesho”

“Tafadhali kaka yangu ninakuomba kwa leo”

“Kuna jambo muhimu ambalo unahitaji kuniambia?

“Ndio ni la muhimu”

“Unaweza kuniachia namba yako ya simu, nikakutafuta?”

“Kwa leo?”

“Yaa kwa leo”

“Ninaweza kukutajia hapo?”

“Ahaa sina simu kwa sasa”

“Ngoja nikuandikie”

Dada huyu akaniandikia namba zake kwenye kikaratasi na kunikabidhi, akanikabidhi pesa zangu. Nikaagana naye na kutoka nje, nikaingia kwenye gari.

“Twende sasa chumbageni”

“Sawa mkuu”

Nikaanza kumpa maelekezo dereva hadi kwenye nyumba ambayo tulikuwa tunaishi hapo zamani na mama yangu. Taratibu nikashuka kwenye gari huku mwili mzima ukiwa unanisisimka, nikajikuta nikipiga hatua hadi kwenye geti. Nikaunyanyua mkono wangu taratibu ili niweze kubisha hodi ila nikajikuta nikishindwa kubisha hodi.

Gafla nikasikia mlipuko mkubwa ukitokea eneo la mbali kutokea katika sehemu hii, si mimi peke yangu ila kila mwananchi aliweza kustuka kutokana na mlipuko huo. Nikapiga hatua za haraka hadi karibu na gari nikatazama upande wa kaskazini ambapo ndipo mlipuko huo umetokea.

“Ni nini hicho?”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

Dereva taksi aliniuliza huku akishuka kwenye gari akiwa katika hali ya woga sana. Moshi mwingi unao samba hewani uliniashiria kabisa kwamba mlipuko huo ni wa bomu.

“Twende kwenye hiyo sehemu tukashuhudie hilo tukio”

Nilimuambia dereva taksi, akatii amri yangu kama mteja wake, japo anawasiwasi mwingi ila kutokana anahitaji pesa ikambidi kufanya ninacho muelezea.

“Hasani, mlipuko umetokea wapi?”

Dereva taksi alizungumza na simu huku akizidisha mwendo kasi wa gari.

“Weeee imekuwaje?”

“Poa poa ninakuja”

Dereva taksi akakata simu huku akiiweka pembeni.

“Umetokea wapi mlipuko”

“Pale hoteli ya Nyinda tulipo anzia safari yetu”

“NINI?”

“Yaa hapo hapo”

Nilihisi kuchanganyikiwa kwa maana katika hoteli hiyo ndipo nilipo muacha Linda.

“Ongeza ongeza mwendo bwana”

Nilimuhimiza dereva kuendesha gari kwa mwendo wa kasi sana. Dereca akazidi kuongeza kasi hadi kila sehemu ambayo anapita ikamlazimu kupiga honi ilimradi watu waweze kumpisha. Tukafika kwenye hoteli, kwa haraka nikachomoa pesa mfukoni wala sikujua ni kiasi gani, nikampa dereva na kwa haraka nikashuka kwenye gari na kuanza kukimbilia sehemu ya tukio japo, watu wengi walipo katika hili eneo wanaudhurika na tukio hili la mlipuko wa bomu.

Asilimia kubwa ya jengo hili la hoteli limebomoka, na watu wengi wamefariki. Hata mlango wa kuingilia ndani ya hii hoteli hauonekani. Nilijihisi kuishiwa nguvu, gari la zima moto likafika eneo la tukio, huku magari ya wagonjwa yakizidi kumiminika katika eneo la tukio.

“Usinishike”

Nilizungumza kwa hasira huku nikumsukuma mtu aliye nishika nyuma yangu, akili yangu yote kwa wakati huu inamfikiria Linda.

“Ondoka eneo la tukio”

Ikanibidi kugeuka na kutazama mwanaume huyu aliye valia mavazi ya askari wa zima moto. Nikamtazama kwa macho ya hasira sana ila akaendelea kunisisitizia kuondoka katika eneo la tukio. Taratibu nikasogea katika eneo hili la tukio ambalo bado moshi mwingi unaendelea kurindima katika eneo zima.

Eneo la maegesho ya magari katika eneo hili, silioni gari la Linda, jambo lililo anza kunipa wasiwasi kidogo, nikatembea hadi katika eneo ambalo nililisimamisha, sikuliona kabisa. Taratibu nikamfwata dereva mmoja wa bodaboda ambaye muda ambao nilikuwa niondoka hapa hotelini alikuwepo.

“Vipi kaka?”

“Safi”

“Imekuwaje hapa “

“Daa kuna gari moja nyeusi iliondoka hapa kwa kasi, tazikupita hata dakika mbili mlipuko ukatokea”

“Gari ya aina gani?”

“Gari moja aina ya V8, yale wanayo tembelea nayo wabunge”

“Aliondoka nayo nani?”

“Dada mmoja hivi mrefu kiasi, mweupe”

Huyo dada ambaye ananieleza huyu dereva bodaboda, hafananii kabisa na Linda, kwa maana Linda ni mweusi japo ni mrefu kiasi.

“Alitoka katika mazingira ya aina gani?”

“Alitoka anakimbia, tena kama picha nilimpiga kwenye simu yangu, yaani ni bonge la totozi”

Dereva bodaboda alizungumza huku akinipatia simu yake, nikaichukua na kuitazama picha hiyo. Sikuamini macho yangu baada ya kumuona Yudia kwenye hii picha akiingia kwenye gari la Linda, jambo lililo nifanya nijikute nikianza kufura kwa hasira kwa maanaYudia na mwenzake na K2 bado wananiandama sana kwenye maisha yangu.




Nikiwa katika hali ya mshangao, nikaona kitanda cha wagojwa, kikiingizwa kwenye gari la wagojwa, kwa haraka nikakimbia hadi kwenye gari, madaktari wakajaribu kunizuia ila nikawazidi nguvu kwa maana nimemuona Linda akiwa yupo hoi maututi.

“Ni mke wangu”

Nilizungumza huku machozi yakinilenga lenga, daktari alipo niona ninamaanisha kwa kile ninacho kizungumza akaniruhusu ili niweze kumuonda Linda, ambaye niliweza kumfahamu mkono wake alio vaa saa, ambao ulikuwa unaning’inia kwenye kitanda.

“Linda, Linda”

Nilimuita huku nikiwa ninamtazama uso wake ambao umechakaa kwa kuungua kwa moto na mwili wake una majeraha mengi ya moto.

“Da….dy Dany”

Linda aliniita kwa sauti ya chini sana iliyo zidi kunitisha.

“Ndio nipo hapa nipo hapa mpenzi wangu”

“Ch….chuk….”

Linda alizungumza maneno huku akifumbua kiganja cha mkono wake wa kulio japo umeungua sana, ila akajikaza sana. Nikaona kadi ndogo ya kuhifadhia kumbukumbu, nikaichukua taratibu huku nikiendelea kumtazama usoni mwake.

“N….ili…pi…zie kisasi”

Linda aliendelea kuzungumza kwa sauti ya kukata kata huku hali yake ikiwa mbaya

“Kaka tunakuomba utoke tumuhudumie mgonjwa”

“Dany…..ni…ni…nakupendaa……”

Linda baada ya kuzungumza maeneno hayo akatulia tuli, kwa haraka madaktari wawili wakaanza kuhangaika naye huku wakinihitaji niweze kusogea pembeni kwa maana gari lilisha anza kutembea. Machozi yakaendelea kunimwagika usoni mwangu, sikuamini kwamba Linda anakufa kirahisi namna hii, ikiwa ni msichana ambaye alikuwa na malengo makubwa sana kwenye maisha yake. Kila madaktari walivyo jitahidi kuhakikisha kwamba wanajaribu kuyaokoa maisha ya Linda wakawa wamechelewa, hadi tunafika hospitali ya Bombo, Linda, akashushwa kwenye gari, akapakizwa kwenye kitanda ambacho hakupelekwa tena kwenye wodi ya kuhudumiwa, ila moja kwa moja akapelekwa kwenye jengo la kuhifadhia maiti jambo lililo zidi kuumiza moyo wangu.

“Dokta nitahitaji maiti yangu kuifadhiwa hadi niweze kurudi”

“Hapa maiti ikikaa kwa muda mrefu huwa manispaa inachukua jukumu la kumzika”

“Hata kama, ila hakikisha kwamba maiti yangu inakaa kwa kipindi chote hadi pale nitakapo rejea, akizikwa kabla ya mimi kurudi, basi utachukua nafasi yake”

Nilizungumza huku nikiwa nimejawa na hasira sana, hadi daktari akabaki akiwa amenitumbulia macho nikatazama namba ya droo ambayoa ameingizwa Linda, nilipo hakikisha nimeihifadhi vizuri kichwani mwangu nikatoka katika jengo hili la kuhifadhia maiti, huku kichwa changu kikiwa kinamfikiria ni kitu gani ambacho ninaweza kumfanya Yudaia ambaye tayari alisha futika kwenye kichwa changu, ila kwa hili nitahakikisha kwamba nilazima ninamuua tena kwa mateso ambayo hajawahi kuyafikiria kwenye maisha yake kwamba yatatokea kwenye maisha yake.

Kitendo cha kutoka nje ya geti la hospitali, nikakumbuka namba niliyo pewa na binti wa kiarabu kwenye duka la kubadilishia pesa, nikakitoa kikaratasi kwenye mfuko wangu nikaitazama namba ya simu ambayo ameiandika. Nikatazama huku na kule, kwenye mabenchi ya kusubiria wagonjwa, nikawaona baadhi ya vijana wakiwa wamekaa wakichezea chezea simu zao. Nikapiga hatua hadi walipo.

“Madogo niaje?”

“Poa poa bro”

“Oya dogo simu yako ina vocha hapo, kuna mtu nahitaji kumpigia”

“Yaaa ina bando la kutosha”

“Ninakuomba uniazime”

“Poa ila pigia hapa hapa si unajua mjini hapa”

“Usijali dogo”

Dogo akanipatia simu yake, nikaanza kuingiza namba ya simu ya binti wa kiarabu. Kwa bahati nzuri namba yake ikaanza kuita, haikuchukua hata sekunde nyingi ikapokelewa.

“Mambo vipi?”

“Safi nani?

“Dany, ni muda mchache nilitoka hapo dukani kwako, nilikuja kubadili pesa za kikenya”

“Ahaa Dany mambo vipi, upo wapi?”

“Nipo Bombo hapa hospitalini, kuna mgonjwa nilikuja kumuona”

“Sawa, ninaweza kuja kukuchukua?”

“Ndio maana nikakupigia, ila namba sio ya kwangu, mimi nimekaa kwenye hizi benchi ukija hapa utanikuta nimekaa”

“Sawa nipe dakika kumi na tano nitakuwa nimesha fika hapo”

“Sawa”

Nikakata simu, nikamkabidhi dogo simu yake huku nikimpatia noti ya shilingi elfu kumi kama asante.

“Asante sana kaka”

“Usijali dogo”

Nikakaa benchi hizi huku nikiendelea kufikiria ni wapi ambapo ninaweza kumpata Yudia. Nikatazama memory card hii ambayo nimepatiwa na Linda. Sifahamu ndani imehifadhiwa vitu gani ila nina hamu sana ya kuweza kufahamu ni kitu gani ambacho kipo humu ndani. Gari nyeusi iana ya Toyota Harrier ikasimama pembeni ya benchi hizi, honi ya gari hilo likamfanya kila mtu aliye kaa katika hii sehemu kulitazama gari hili, kioo kikashushwa nikamuona binti wa kiarabu akiniita, nikanyanyuka na kumfwata sehemu alipo.

“Ingia”

Alizungumza, nikafungua mlango wa mbele wa gari, nikaingia nikatzama siti ya nyuma hakuna mtu. Binti huyu akafunga kioo cha gari, akageuza gari na kuondoka eneo hil la hospitalini.

“Za muda Dany?”

“Safi tu”

“Ulikuja kumuona nani?”

“Ahaa kuna rafiki yangu nilikuja kumuona, kidogo malaria inamsumbu”

Nilimdanganya binti huyu na wala sikuhitaji aweze kunifahamu kwamba mimi ni nani.

“Ila anaendeleaje?”

“Yupo vizuri kiasi, siku mbili hizi watakwenda kumruhusu”

“Pole yake, ehee vipi unaelekea wapi kwa sasa?”

“Kusema ukweli kwa sasa sina pa kuelekea, ndio maana nikaona nikupigie ili kuweza kuonana na wewe tuzungumze”

“Kweli huna pa kuelekea Dany?”

“Yaa sina pa kuelekea, labda upange wewe”

“Okay, mmmmm…….tuelekee Tanga beach resort”

“Hakuna shaka katika hilo”

Binti huyu akaonyesha furaha kubwa aliyo kuwa nayo, sikujua lengo lake kubwa haswa ni nini, japo akili zangu zinanipekeka kwamba amenipenda kimapenzi japo sina uhakika sana katika hilo.

“Hivi unaitwa nani vile?”

“Radhia, ila mara nyingi sana huwa wananiita Cajol”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Basi na mimi nitakuita Cajol”

“Sawa upendavyo wewe”

Tukafika kwenye hoteli hii iliyopo pembezoni mwa bahari. Tukatafuta sehemu iliyo tulia kisha tukaketi. Kila mmoja akakaa kimya kwa dakika kadhaa akisubiria mwenzake aweze kuzungumza. Cajol akabaki akiwa anatabsamu tu, muhudumu akafika sehemu tulipo.

“Msikilize kaka hapo”

Cajol alizungumza huku akinitzama usoni mwangu, muhudumu akanitazama.

“Muna chakula gani?”

Akanipatia kkitabu kilicho andikwa idadi ya chakula kilichopo katika hii hoteli, nikakisoma taratibu kisha nikamuonyesha ni chakula gani ninacho kihitaji. Nikamuagizia na kinywaji ambacho ni kilevi hadi Cajol akanitazama.

“Unatumia kilevi?”

“Mara moja moja tu”

“Okay na mimi niletee kinywaji kama alicho agiza yeye”

“Je chakula”

“Hicho hicho kama chake”

Muhudumu akaondoka na kutuacha tukiwa tunatazamana, nikayatazama mandhari ya hili eneo, yananikumbusha kipindi nilipo kuwa na mama alipokuwa anatafutwa na majambazi wa meya wa jiji.

“Mbona unalishangaa lile eneo pale?”

“Ahaa…linanikumbusha mbali sana”

“Ulisha wahi kuja na mpenzi wako hapa nini?”

“Hapana, nilikuja na mama yangu, ambaye kwa sasa ni marehemu”

“Ohoo pole sana Dany, hata mimi mama yangu kwa sasa ni marehemu”

“Pole na wewe”

“Asante. Dany kusema kweli siamini kwenye maisha yanagu kama leo hii nipo na wewe, kwa maana ni kwa kipindi kirefu sana nilikutafuta ila sikuweza kukuona”

“Ni mihangaiko ya hapa na pele ndio ilinifanya niwe bize sana”

“Pole sana, Dany nahisi kwamba unaweza kunishangaa kwa kile ambacho nitakwenda kukizungumza”

Muhudumu akafika kwenye meza yetu na kutufanya tukatishe mazungumzo yetu, akatuwekea vinywaji tulivyo muagiza.

“Karibuni, chakula kinakuja muda si mrefu”

“Asante”

Muhudumu baada ya kuondoka, Cajoli akaendelea kuzungumza huku akinitazama usoni mwangu.

“Dany ni aibu kwa mtoto wa kike kuweza kuweka hisia zake za mapenzi mbele ya mwanaume, ila kwangu ninaomba niweze kuweka hivyo kwa maana kuseme kweli ninakupenda kutoka moyoni mwangu, na hilo jambo hadi baba yangu analifahamu, na nilikataa wanaume kadhaa ambao walipanga kunioa.”

Nikajikuta nikishusha pumzi huku nikimtazama Cajoli usoni mwake.

‘Masikini weee, laiti angejua moyo wangu kwa sasa hauna mapenzi ya kweli kwa mwanamke, wala asinge zungumza hichi anacho kizungumza’

Nilijisemea kimoyo moyo, huku nikimtazama Cajoli, sikuhitaji kuyakwepesha macho yangu usoni mwake, kwa maana ninahitaji kufahamu kama ni mkweli au ni muongo. Machozi yakaanza kumlenga lenga Cajoli hadi nikabaki nikkiwa ninamshangaa.

“Dany nilijipangia kukaa kwa miaka kumi ndio nije kukubali kuwa kimapenzina mwanaume tofauti na wewe, kwa maana ningefahamu kwamba umekufa au upo mbali na sehemu nilipo mimi na ingebaki kuwa kama ndoto tu kwamba nimekutana na mwanaume ambaye nilimpenda ila sikuweza kumueleza kile ambacho nipo nacho moyoni”

“Cajol”

“Mmmmm”

“Unaniamini kitu gani hadi unanikabidhi moyo wako kwangu, ikiwa hunijui kama ni mkweli kwenye mahusiano au nimuongo”

“Danya kulifahamu au kuto kulifahamu hilo swala ni jambo ambalo wala halite niumiza moyo wangu, kikubwa ni kuweza kufahamu kwamba nimekupata wewe. Tazama sasa ni mwaka wa nne huu nimekuwa nikikusubiria wewe huoni ni…….”

Cajoli akanyamaza baada ya muhudumu kufika katika hili eneo. Akakiweka chakula mezani, akatukaribisha na kuondoka.

“Cajoli utakubali kuwa na mimi katika hii halia mbayo nipo nayo”

“Dany hali yako mimi sinto ijali, sinto jail kama ulikuwa unatafutwa na askari au laaa”

Nikastuka kidogo baada ya kugundua kwamba mimi nilikuwa nikisakwa na askari Tanzania nzima, ila ni miaka michache iliyo pita nyuma.

“Nilikuwa nikikuombea kila siku, nilikuwa nikihakikisha kwamba haipiti siku ninakuombea mwenyezi Mungu kuweza kukulinda na mikasa yote hiyo ambayo unapitia na wala sikuwahi kumuambia mtu yoyote kwamba mwanaume ambaye ninampenda ni gaidi ambaye anatafutwa na serikali, japo nilijaribu kutembea kwenye mikoa ambayo nilihisi ninaweza kukupata ila sikufanikiwa”

Maneno ya Cajoli yakanifanya nizidi kuwa mpole, kati ya wanawake ambao nilisha wahi kuwa nao sikuwahi kusikia mwanamke hata mmoja ambaye anasema kwamba aniombea ili niwe wake.

Nikiwa katika kutazama tazama watu wanao ingia katika eneo hili, nikamuona Yudia akikatiza kwenye moja ya bustani ya hii hoteli akiwa ameongozana na jamaa wawili walio valia suti nyeusi, nikataka kunyanyuka kumfwata ila Cajoli akaniwahi kunishika mkono, akanyanyuka na kunikumbatia kwa haraka na kuanza kuninyonya denda, na kuniziba sura yangu kwa kupitia jicho langu la upande wa kushoto, nikamuona Yudia akisimama na kunitazama kwa macho makali sana jambo lililo nifanya nizidi kumnyonya denda Cajoli huku nikiiziba sura yangu kwenye uso wa Cajoli ili Yudia na watu wake wasije kunzisha varangati nikiwa na huyu binti wa watu ambaye sihitaji matatizo yangu niliyo nayo yamkumbe yeye kama yaliyo mkuta Linda ambaye kwa sasa yupo mochwari.





Yudia na watu wake wakaondoka, na kunifanya nimuachie Cajoli ambaye tayari alisha anza kulainika kwa jinsi ninavyo mnyonya denda.

“Nisubirie mara moja”

“Unakwenda wapi Dany?”

“Ninakuja mara moja usiondoke”

“Sawa”

Nikaanza kutembea kwa mwendo wa haraka kuelekea sehemu alipo kwenda Yudia. Nikatoka hadi nje ya hoteli na kuona gari aina ya Toyota VX V8 likiondoka katika eneo hili la hoteli, nikazitazama namba zake za usajili na kuzikremisha.

“Samahani dada hili gari lililo toka wamepanda watu wangapi?”

Nilimuuliza muhudumu wa hii hoteli ambaye nimemkuta kipindi ninatoka nje.

“Wamepanda watatu, mdada mmoja na wengine ni wanaume”

“Shukrani sana, huwa wanapendaga kuja hapa?”

“Hapana ndio kwanza ninawaona leo”

Asante dada yangu”

Nikarudi sehemu nilipo muacha Cajoli, nikavuta kiti na kukaa.

“Mwenzio nimesha anza kula”

“Hakuna tabu, ehee niambie”

“Safi, natamani tukitoka hapa twende kwangu”

“Hilo halina tatizo kabisa”

“Kweli Dany”

“Yaa”

“Yaani sitamani hata kula hichi chakula naomba twende sasa hivi nyumbani kwangu”

“Tumalizie kula kwanza”

Tukaendelea kula haraka haraka, hadi tukamaliza kula. Tukamuita muhudumu aliye tuhudumia, Cajol akamlipa kiasi cha garama zote wanazo tudai, kisha tukaondoka eneo hili la hoteli.

“Mimi ninaishi maeneo haya haya ya hapa Sahare”

“Ahaa”

“Yaa kwangu sio mbali sana na hapa”

Cajol aliendelea kuzungumza huku akiendesha gari lake. Tukafika kwenye moja ya nyumba yenye geti kubwa, akapiga honi, geti likafunguliwa na mlinzi. Taratibu akaingiza gari lake ndani na kulisimamisha kwenye maegesho yaliyomo ndani ya hii nyumba yake.

“Dany karibu sana hapa ndio kwangu”

“Asante”

Cajol akatoa funguo kwenye pochi yake na kufungua mlango wa kuingilia ndani.

“Dany karibu jisikie upo kwako kabisa, na kuwa na amani”

“Asante”

Kitendo cha Cajil kufunga mlango wake wa mbele, akanikumbatia kwa nguvu na kuanza kuninyonya midomo yangu. Sikuwa na hiyana kabisa zaidi ya kuanza kumburudisha Cajoli binti kiarabu. Ndani ya muda mchache tukajikuta tukiwa tumezama kwenye dimbwi moja kubwa sana la mapenzi. Kila mmoja akajitahidi kwa uwezo wake kuhakikisha kwamba anamburudisha mwenzake.

“Dany nakupenda sana mwanaume wa ndoto zangu”

“Ninakupenda pia”

“Kweli Dany?”

“Ndio”

Majibu yangu yote hayana ukweli kwa maana kwa maisha yangu ya sasa sina upendo wowote moyoni mwangu, kwa maana nipo katika kipindi kikubwa sana cha kuweza kuwakabili maadui zangu ambao ndio kwanza nao ninahisi kwamba wanaaza kuniwinda. Cajoli akanikumbatiwa kwa nguvu huku machozi yakimwagika.

“Dany nakupenda sana, sihitaji kuwa mbali na wewe kwenye haya maisha yangu”

“Usijali kwa hapa nilipo fikia nitahakikisha kwamba ninakulinda na kukuheshimu, sinto hitaji adui yoyote kuweza kukushika wala kukudhuru”

Nilizungumza maneno ambayo sikufahamu hata yametokea wapi, machozi taratibu yakanza kunimwagika, si kwamba ninampenda Cajoli ika nikutokana na kuikumbuka familia yangu. Taratibu nikamuachia Cajoli na kujipangusa machozi yangu usoni.

“Una laptop?”

“Yaa ninayo”

“Unaweza kunisaidia pamoja na adapter, nikaweka memory card?”

“Ndio ninavyo njoo huku”

Tukaingia chumbani kwa Cajoli, nikiwa nimeishika shuruali yangu mkononi. Nikaitoa memory card ambayo nilikabidhiwa na Linda. Cajoli akaniwashia laptop yake na kunikabiza adapter ya kuwekea memory card. Nikaiweka, hazikupita sekunde nyingi, adapter ikasoma nikakutana na faili moja lililo andikwa kwa maandishi makubwa yanayo someka ‘SIRI’. Cajoli akanitazama usoni mwangu.

“Ngoja nikuapishe ufanye kazi yako”

“Sawa”

Cajoli akaingia bafuani na kuniacha chumbani, nikafungua faili hili na kukuta video tatu pamoja na faili moja ambalo limeifadhiwa maandishi kadhaa. Nikafungua faili hilo na kuanza kulisoma taratibu.

‘Hii ni siri ambayo ni kubwa katika maisha yangu, kwa jina ninaitwa Linda Jonson, mimi ndio mtu ambaye nimehusika na kumficha mke wa makamu wa raisi Eddy Godwin. Nilipewa kazi ya kumuua Phidaya na K2 kwa ajili ya wivu wake wa kimapenzi kwa kiongozi huyu.’

Nikajikuta nikimeza mate huku nikikaa vizuri kwenye kitanda nakuendelea kuisoma story hii.

‘Sikuwa ni mwanamke mwenye roho mbaya kwa maana niiye agizwa kumuua ni mwanamke mwenzangu. Kazi hii nilipewa na mwenzangu kwa jina anaye itwa Mariam. Mariam alipewa kazi ya kumua aliyekuwa mkuu wa mkoa Bi Joyce pamoja na familia yake.’

Nilijikuta nikistuka huku nikikaa vizuri kuendelea kuisoma stori hii ambayo sasa ninaanza kuupata ukweli kwa nani ni muhusika wa mauaji ya familia yangu.

‘Mariam aliweza kutekeleza azimio lake ambalo aliweza kuwepea, alifanya hayo yote kwa shinikizo la kuyalinda maisha ya mama yake.

Wahusika wakuu katika kuwateka na kuwatumikisha mabinti wadogo katika meli kubwa iliyopo katikati ya bahari ni K2, ambaye kwa sasa yupo mbioni katika kinyang’anyiro cha kuwa raisi. Msaidizi wake mkuu ni Yudia, ambaye ni adui yangu mkubwa sana. Wa tatu ni Livna Livba huyu ni mkuu wa kikosi cha kuongoza wasichana wote wanao patikana kwenye gereza hilo’

Mapigo ya moyo kwa mbali nikaanza kuyasikia yakinienda kasi. Sikutaka kuendelea kusoma maelekezo mengine, nikafungua video moja na kuanza kuona mandhari ya ndani ya meli hiyo ambayo ndipo walipo kusanywa wasichana wengi kutoka mataifa mbali mbali.

Nikafungua video nyingine, video hii inaonyesha jisni mama yangu aliyo kuwa akijitahidi kupambana na Mariam katika nyumba ambayo wala sielewi ni nyumba ya wapi. Mariam akafanikiwa kumtuliza mama yangu na kumchinja kabisa shingo yake.

Machozi yakaanza kunimwagika usoni mwangu, yaliyo changanyikana na hasira kali. Mauaji hayo hayakuishia kwa mama yangu yakendelea hadi kwa Asma, Diana na mwanangu wa kike. Matukio yote haya yamerekodiwa na kamera za ulinzi zilizopo kwenye eneo hilo la mauaji.

“Dany”

Nilisikia sauti ya Cajol akiniita pembeni yangu, nikamtazama huku machozi yakiendelea kunimwagika usoni mwangu. Taratibu akanisogelea na kukaa pembeni yangu.

“Hawa ni kina nani?”

“Hii ni familia yangu, yote imesha uwawa”

“Mungu wangu, ndio wameuwawa kikatili kiasi hichi?”

“Yaa. Cajoli mwanaume ambaye upo naye sidhani kwamba ni sahihi kwenye maisha yako”

“Noo Dany, mimi nimerdhika na wewe, sijalishi kwamba wewe ni gaidi, au laa. Mimi ninakupenda na ninakuhitaji kwenye maisha yangu. Nitakusaidia kwa chochote kila ambacho utasema nikusaidie”

“Cajoli wakati nilio kuwa nao kwa hivi sasa ni mgumu sana, ni wakati ambao ninaweza kukuingiza wewe kwenye matatizo, sihitaji kukupoteza na wewe, sihitaji kukuona damu yako inamwagika pasipo kuwa na kosa lolo……”

Cajoli akaniziba mdomo wangu kwa kutumia kidole chake.

“Dany sijalishi nitamwagikwa na damu, sijali hilo, ninacho kihitaji ni kuhakikisha kwamba unashinda, unakuwa na furaha. Mimi nina pesa, mimi ninajuana na watu wengi, ninaweza kufanya chochote kupitia pesa yangu”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Cajoli pesa katika hili aihitajiki, kwa maana watu wote ambao ninakwenda kukabiliana nao ni watu wenye nguvu kubwa sana hapa nchini, mmoja wao akiwa ni raisi huyu mpya wa hii nchi”

“Haijalishi Dany, mimi najua kitu cha kufanya, wewe niambie ni nini ambacho unakihitaji kwa sasa hivi”

“Ninacho hitaji ni kuanza kumsaka mtu mmoja baada ya mwengine nikiwa peke yangu, kama ni kunisaidia sihitaji ujulikane kama unanisaidia, kwa maana wakirudi kwako ni lazima watakuu”

“Sijali hilo Dany nitahakikisha kwamba kila jambo linakwenda vizuri mpenzi wangu”

“Sasa hivi ni saa ngapi?”

“Saa nne kasoro usiku”

“Ninaweza kupata wapi silaha”

“Silaha ya aina gani?”

“Bastola”

“Ninayo bastola yangu ambayo ninaitumia kwenye ulinzI binafsi”

“Unaweza kunipatia”

“Yaa”

Cajol akafungua kabati lake la nguo na kutoa bastola yake. Akanikabidhi, nikaikagua bastola yake na kukuta ina risasi za kutosha.

“Kwenye laptop yako ninaweza kuangali ni wapi ninapo weza kupata gari fulani”

“Yaa ninaweza kukufanyia hivyo”

Cajol akachukua laptop yake, nikamtajia namba ambazo nilizikremisha kwenye gari alilo ondoka nalo Yudia na watu wake.

“Ina search”

“Nimelipata, kwa sasa lipo maeneo ya Mkonge hoteli”

“Nahitaji kwenda sasa hivi”

“Muda huu?”

“Ndio, kuna kazi ninahitaji kwenda kuifanya, nikitoka hakikisha unafunga milango na usifungue hadi pale nitakopo rudi”

“Sawa”

Nikaingia bafuni na kuoga kwa haraka kwa ajili ya kutoa jasho la mapenzi, nikarudi chumbani na kumkuta Cajoli akiwa ameniandalia nguo zangu ambazo nilikuwa nimezivaa, ila akaniongezea na sweta mbalo lina kofia yake kwa juu. Nikavaa nguo kwa haraka haraka, nikavaa na sweta hili, baada ya kuhakikisha kwamba nipo vizuri, nikaagana na Cajoli.

“Dany chukua simu hii nitakuwa ninakupa maelekezo kama gari hilo linaweza kuondoka katika hoteli hiyo”

“Sawa”

Nikachukua simu nyingine ya Cajoli, akanikabidhi na funguo za gari lake kisha nikaondoka. Safari ya kuelekea katika hoteli ya Mkonge hoteli haikuchukua muda mrefu nikafika, nikasimamisha gari kwenye maegesho, simu ya mfukoni mwangu ikaita ikanibidi kuitoa simu na kuipokea huku nikiwa nimesimama pembeni ya gari langu.

“Dany umefika”

Niliisikia sauti ya Cajoli akizungumza kwenye simu, ila kabla sijajibu nikahisi kitu kizito kikinigandamiza kichwani mwangu huku nikisikia sauti nzito ya mwanaume ikiniamrisha kwamba nisigeuke nyuma la sivyo atanichangua ubongo wangu.





“Dany” Sauti ya Cajoli ikaendelea kusikia kwenye simu ikiniita jina langu, sikuweza kumjibu kitu chochote zaidi ya kukaa kimya na kusikiliza amri ya mtu huyu aliye simama nyuma yangu.

“Rudi nyuma” Alizungumza tena, nikafanya kama anavyo hitaji, taratibu nikaanza kurudi nyuma kwa hatua ndogo ndogo.

“Ingia kwenye gari” Mtu huyo alizungumza na kunifanya niingie kwenye gari jengine ambalo lipo pembeni ya gari ambalo nimekuja nalo na ninahisi huyu mtu aliweza kuniona kipindi ninashuka kwenye hili gari langu.

Nikautazama mlango wa gari hili ulio funguliwa, taratibu nikaingia, jamaa wa nje akafunga mlango na taa iliyopo ndani ya garihili ikawashwa. Pembeni ya siti ambayo nimekaa nikamkuta John akiwa anatabasamu.

“Vipi DANY?” John alizungumza akiwa amejawa na furaha nyingi usoni mwake. Jambo ninalo jiuliza ni jinsi gani ambavyo Jonh amweza kufahamu sehemu mimi nilipo wakati nilitoroka hospitali nchini Kenya pasipo kuweza kumuambia mtu yoyote.

“Safi tu” “Naona hospitalini uliondoka kinyume na makubaliano yetu?”

“Nikuulize swali?” “Yaa kuwa huru tu” “Huwa sipendi kuishi kwa kufwata amri ya mtu yoyote kwenye maisha yangu. Ndio maana mipango yote ninayo kwenda kuifanya ninahitaji kuifanya mimi peke yangu” “Hhaaaa Dany unanihitaji mimi, unahitaji msaada wangu pasipo mimi utaumia kwa maana watu unao kwenda kupambana nao sio wadogo, ni watu ambao wameishika hii nchi” “Sikia broo ninajiamini kwa kile ninacho kwenda kukifanya so ninakuomba usiingilie mipango yangu sawa” Nilizungumza kwa kufoka, cha ajabu John hakuonyesha kukasirishwa na maneno yangu, akabaki akiwa anatabasamu tu.

“Dany wewe bado ni mdogo sana, usihitaji kuumia peke yako. Tupo kaka zako tuna uwezo wa kukusaidia, tupe nafasi ya kukusaidia” “Jibu ni hapana, wewe ufahamu ni machungu gani ambayo ninayo kwa mauaji ya familia yangu” “Dany kila jambo halihitaji kutumia hasira. Kila jambo linahitaji utulivu, jambo la muhimu kwa hivi sasa ni kuhakikisha kwamba unatumia akili kubwa kuliko kutumia hasira. Wewe ni professional training agent so huwezi kutumia hasira kwenye mission ambazo unataka kuzifanya” “Ninajua ni nini ninacho kifanya, ninakoomba uniache niondoke” “Ok sihitaji kukubana ila ukihitaji msaada wangu, chukua hii kadi yangu ina namba zangu za simu” Nikaangalia bussines card ambayo ananipatia John, nikaichukua kisha nikashuka kwenye gari. Mlinzi wa John akaingia kwenye gari na kuondoka eneo hili na kuniacha nikiwa nimesimama nikilisindikiza gari hilo kwa macho jinsi linavyo ondoka katika eneo hili. Simu yangu ambayo bado ipo mkononi mwangu ikaita tena wala sikufahamu ni muda gani ambao Cajoli alikata simu.

“Ndio” “Dany upo Salama mume wangu?” “Yaa nipo salama, kuna mambo nilikuwa ninayafanya” “Lile gari limeosha ondoka hapo hotelini na lipo katika barabara ya kuelekea Raskazoni” “Nimekupata, ila sio mbali kutoka hapa” “Yaa sio mbali, ukilifukuzia unaweza kuliwahi” “Sawa” Kwa haraka nikaingia kwenye gari, nikaliwasha. Nikarudi nyuma kwa haraka, nikaliweka sawa na kuondoka eneo la hoteli kwa mwendo wa kasi. Nikatazama pande zote za barabara kuhakikisha hakuna gari linalo tokea upande wowote wa barabara nikaingiza gari langi barabarani na kuanza kuelekea barabara ya raskazoni walipo elekea Yudia na watu wake. Kwa mwendo wangu wa kasi, nikafanikiwa kuliona gari hilo, taraibu nikachomoa bastola yangu tayari kwa mashambulizi ninayo kwenda kuyafanya. Nikazidi kuongeza mwendo hadi nikalikaribia gari lao, nikalipia kwa kasi kisha nikafunga breki za gafla huku gari langu nikihakikisha linaziba barabara. Dereva wa gari la Yudia akafunga bereki na kusimamisha gari lake mita chache kutoka lilipo gari langu. Kwa haraka nikashuka huku bastola nikiwa nimeishika kwa mikono yangu yote miwili kwa ukakamavu. Nikapiga rasiai moja kwenye tairi la mbele la gari lao na kulifanya lishuke chini kwa upande huo wa tairi. Nikaanza kutembea kwa kunyata huku nikiwa ninajiamini sana, kitu kilicho anza kunipa mashaka ni pale nilipo ona mashambulizi yangu hayajibiwi. Nikiwa nimelikaribia gari mlango wa upande wa dereva ukafunguliwa, akashuka bibi wa kizungu, huku akitetemeka mwili mzima.

“Lala chini” Nilimuamrisha huku nikiendelea kutembea kwa mwendo wa tahadhari, nikaufungua mlango wa siti za nyuma, sikuona mtu yoyote kwenye gari. Siti ya mbele kuna mtoto mdogo wa kiafrika akiwa ameinama kwenye siti huku amejikausha kimya akiogopa kitu kinacho endelea.

Nikazunguka nyuma ya gari, namba za usajili za gari ni zile zile nilizo zikremisha.

“Fu**kkkkkkk” Nilizungumza kwa hasira huku nikirudi kwenye gari langu. Nikaingia kwenye gari na kumpigia simu Cajoli

“Vipi umefanikiwa?” “Hapana gari ni lenyewe ila wahusika sio” Nilizungumza huku nikuliweka sawa gari langu, nikaondoka eneo la ktukio na kumuacha bibi kizee wa kizungu akiwa amelala chini kifudi fudi.

“Imekuwaje?” “Hata mimi sielewi imekuwaje, ngona nirudi nyumbani tu” “Sawa” Nikakata simua na kuiweka pembeni, nikiwa maeneo ya Bombo darajani, nikapishana na gari mbili za polisi zikielekea kwa kasi katika eneo ambalo ninahisi ndipo kulipo tokea mlio wa risani. Moja kwa moja nikaeleka nyumbani kwa Cajoli, nikapiga honi mlinzi akafungua geti nikaingiza gari na kulisimamisha sehemu nilipo litoa. Cajoli aliye simama mlangoni kwa haraka akanifwata na kunikumbatia kwa nguvu, tukaingia ndani huku tukiwa tumeshikana mikono.

“Mbona muda ule nilisikia sauti ya kiume tofauti na yako kwenye simu?” “Kuna watu ambao wanahitaji mimi kufanya kazi nao” “Kivipi?” “Nina historia ndefu sana kwenye maisha yangu, kadri muda unavyo zidi kwenda ndivyo jinsi nitakavyo kuwa nikikuambia mambo kadhaa kuhusiana na mimi” “Sawa Dany ila walikuteka?” Cajoli aliuliza huku machozi yakimlenga lenga.

“Hapana hawakuniteka, ila ni mazungumzo ya hapa na pale. Hivi unafahamu raisi anakuja lini Tanga?” “Raisi anakuja kesho kutwa, ana ziara ila sijajua anazifanyia wapi?” “Inatosha siku moja” “Kivipi?” “Kumuua raisi” Cajoli akakaa kimya huku akifikiria kitu cha kunishauri.

“Dany ila kitu unacho taka kukifanya ni cha hatari sana” “Natambua ila nahitaji kufanya hichi, hii ndio nafasi yangu mimi ya pekee katika kutimia adhima yangu. Natambua Cajoli unanipenda, ila ninakuomba usinizuie katika hili ambalo ninahitaji kulifanya” “Sawa Dany mimi ninakuruhusu kwa moyo mmoja, japo hujaniadisia mengi ila kwa mauaji yale niliyo yaona kwenye familia yako ni vyema ukalipiza kisasa ila niahidi kitu kimoja” “Kitu gani?” “Naomba uhakikishe unabaki salama salimini” “Kwa hilo Mungu yu pamoja nami” “Kuna rafiki yangu, anamiliki ghala la silaha, asubihi nitawasiliana naye na tunakwenda kwake, utachagua silaha yoyote utalayo ihitaji katika kazi yako” “Sawa nitashukuru sana katika hilo” Cajoli taratibu akaanza uchokozi wa mapenzi ambao mwanaume yoyote atakaye fanyiwa ni lazima atasisimka hususani jogoo wake. Taratibu tukajikuta tukizama kwenye dibwi kubwa la mapenzi. Nikamuinamisha Cajoli kwenye sofa la hapa sebleni, nikakishika kiono chake vizuri na kuanza kula kitumbua chake, safari hii nikahakikisha ninampa haki kubwa ambayo sidhanikama nitampa tena, kwa maana kazi ambayo ninaiendea sidhani kama nitarudi hai.

Kelele za Cajoli zikaendelea kusambaa hapa sebleni, sikulijali hilo nilicho kijali ninampa heshima madhubuti. Waarabu weupe taratibu nikaanza kuwasikia wakitoka kwa mbali, sikutaka kuwamgwaga nje kama nilivyo fanya kwenye mtanange wa mwanzo. Wote nikawamwagia ndani ya kitumbua chake.

“Ohooooo” Cajoli akatoa mguno ulio endana na pumzi nyingi, kila mmoja jasho jingi linamwagika usoni mwake kwa maana shuhuli sio ndogo.

“Asante sana Dany, shahaw** zako ni tamu, yaani ninazisikia zinavyo tembea mwilini mwangu” “Kweli?” “Yaa na nipo kwenye danger zone, Mungu akitujali tukipata mtoto, itazidi kuwa furaha kwenye maisha yangu” “Kama ikiwa hivyo ninaomba umtunze mwangu na kumfundisha maadili yaliyo mema” “Kwa nini unazungumza hivyo, sema tutamtunza na kumlea katika maadili yaliyo mema. Dany ukimaliza hiyo kazi ninakuomba tuondoke Tanzania, twende tukaishi Dubai” “Dubai?” “Yaaa Dubai ndio nyumbani kwetu, japo nimezaliwa Tanzania, ila asili ya wazizi wangu ni Dubai” “Mungu abariki katika hili” “Nibebe”

Cajoli alizungumza kwa sauti ya kudeka, nikanyanyuka kwenye sofa nililo kalia. Nikainama kidogo akanipandia mgongoni mwangu. Nikambeba kama mtoto mdogo na kuingia naye chumbani. Tukaoga kwa pamoja na kurudi chumbani. Usiku huu, ninaweza kusema ni usiku ambao ninalala kwa amani kwenye maisha yangu, hisia zangu zinawaza mambo mengi juu ya kazi ambayo ninayo kwenda kuifanya. Cajoli kwa uchovu wa shuhuli niliyo mpatia, usingizi uliwahi kumpitia akiwa amekilaza kichwa chake kifuani mwangu. Taratibu nikamsogeza na kichwa chake na kililaza kwenye mto. Nikashuka kitandani na kuchukua Laptop yake aliyo iweka kwenye meza ya kioo iliyopo humu ndani. Nikaiwasha kwa bahati nzuri haina namba za siri, wazo likanijia kichwani mwangu, nikaingia kwenye mtandao wa N.S.S ambao ndio ofisi nilizokuwa ninafanyia kazi.

Ili niweze kupata habari za ndani kabisa katika huu mtando unao husika na kiosi cha ulinzi wa taifa, inabidi kuingiza namba za siri ambazo siku zote huwa wafanyakazi wa kitengo hichi wao ndio wanafahamu.

‘Nikiingiza namba yangu itakuwa ni shida kwangu’

Niliwaza akilini mwangu, nikijaribu kutuliza kichwa kuhakikisha ninakumbuka namba za K2, japo inaniwia ugumu katika kukumbuka namba zake ila nikazidi kuumiza kichwa na kukituliza kuhakikisha ubongo wangu unakumbuka namba za siri za K2.

Kwa bahati nzuri nikafanikiwa kukumbuka namba zake za siri, kwa haraka nikaziingiza kwenye sehemua mbayo inamuhitaji mfanyakazi kuweza kuingiza namba hizo za siri. Akaunti ya K2 ikafunguka, jambo lililo nifanya nishushe pumzi nyingi, kwa maana nilihisi nimekosea kile nilicho kiingiza.

Nikaanza kusoma taarifa zilizopo kwenye mtandao wao, nikaona pia ziara ya K2 kuja mkoa wa Tanga. Atafanya mkutano wa adhara wa kuwahutubia wananchi wa mkoa huu wa Tanga katika kiwanja cha Tangamano. Nikaona mabadiliko ambayo yamefanyika kwenye kitengo hichi huku mkuu wao kwa sasa akiwa ni Babyanka. Nikaendelea kusoma taarifa za kutafutwa kwangu, japo sasa hivi sitangazi kwenye vyombo vya habari ila kwenye mtandao wao nipo na wananitafuta kimya kimya kwa maana hadi sasa hivi hawana taarifa kwamba nipo hai au nimekufa.

Hadi inafika alifajiri, bado ninaendelea kusoma taarifa zao. Cajoli akaamka na kunikuta nikiwa nipo kwenye sofa.

“Umeamka mapema mume wangu?” “Yaaa umelalaje?” “Leo nimelala vizuri sana, sijawahi kulala usingizi mtamu kama huu kwenye maisha yangu” “Kweli?” “Ndio mume wangu” Cajoli akashuka kitandani taratibu na kunifwata hadi sehemu nilipo kaa. Akanikalia kwenye paja la mguu wa kulia huku akinikumbatia.

“Nakupenda sana Dany wangu” “Nakupenda pia, tujiandae twende kwa rafiki yako” “Sawa, ila ngoja nikuandalie kifungua kinywa, tule ndio twende sawa mume wangu?” “Poa mke wangu” Cajoli akatoka chumbani, nikaendelea kusoma taarifa katika mtandao wetu, kuna baadhi ya wafanyakazi wamefariki dunia na wengi wao ninawafahamu. Cajoli akarudi chumbani akiwa na sahani aliyo weka kifungua kinywa pamoja na glasi iliyo jaa juisi. Tukapata kifungua kinywa, kisha tukaingia bafuni na kuoga haraka haraka. Tukajiandaa na kuondoka nyumbani.

“Rafiki yako anaishi wapi?” “Maeneo ya Kange kule” “Sawa” Hatukuchukua muda mwingi tukafika maeneo ya Kange, tukasimama nje ya geti. Cajoli akapiga honi na geti likafunguliwa, tukaingia ndani ya nyumba hii ambayo inaonekana ni ya kawaida sana. Tukakaribishwa na rafiki yake huyo ambaye ni msichana wa kike.

“Huyu ndio boyfriend wangu niliye kuwa ninakuambi kwenye meseji” “Ohoo Dany karibu sana kwangu” “Asante sana” “Dany huyu ni wajina wangu anaitwa Cajoi naye” “Yaa tumefanana majina tangu utotoni tulikuwa tunafanya kazi kwa pamoja” “Nashukuru kukufahamu” “Alafu shem kama sura yako sio ngeni sana kwangu” “Yaa najua hilo, utakuwa umeniona sehemu” Tulizungumza huku tukiingia ndani.

“Twendeni huku” Tukaingia kwenye moja ya chumba ambacho kina ngazi za kushuka chini, tukaingia kwenye chumba kilichopo chini ya ardhi. Cajoli akasukuma mlango huu mzito ambao umetengenezwa kwa chuma tu. Tukaingia kwenye chumba ambacho nikikubwa, na kimejaa silaha za kila aina. “Dany jisikie huru kuna silaha na mabomu ya kila aina, hata ukihitaji bomu la nyuklia ninaweza kukupatia” “Nyuklia?” “Yaaa njoo ulione” Cajoli huyu akafunua moja ya turubai lililo funika moja ya meza, nikaona bomu la nyukila ambalo endapolitalipuka sehemu yoyote linaweza kuua mamilioni ya watu na wengi wao hawana hatia kwenye maisha yao.



“Hili bomu si zuri sana kwa kazi ambayo unahitaji kwenda kuifanya shemeji yangu”

“Yaa sio zuri, ila nitahitaji silaha kadha ambazo ninaweza kukamilisha hii kazi yangu”

“Chumba chote sasa ni mali yako kuwa huru”

“Shukrani”

Nikiaanza kuzunguka ndani ya chumba hichi huku nikichagua bunduki ambazo ninaona zinaweza kwenda kunisaidia kwa kazi iliyopo mbele yangu. Kwenye moja ya kabati nikaona nguo nyeusi zikiwa zimening’inizwa vizuri.

“Hizi nguo ni vipi?”

”Hizo ni nguo ambazo huwa nina shonesha mwenyewe. Kwa watu ambao wanahitaji nguo za kufanyia kazi basi inakuwa ni rahisi kwa wao kuchukua nguo kutoka kwangu”

“Ninaweza kuzijaribisha?”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Ndio unaweza shemeji yangu”

Nikazitoa kwenye kabati na kuziweka kwenye meza iliyopo humu ndani. Taratibu nikaanza kuvua nguo zangu, ikambidi shemeji kugeuka na kunipa mgongo. Nikazijaribisha nguo hizi, unaweza ukasema kwamba ziliandaliwa kwa ajili yangu kwa maana zimenikaa vizuri mwilini mwangu.

“Shem hizi nguo uliandaa kwa ajili yangu nini?”

Shemeji Cajoli akanigeukia na kunitazama, akaachia tabasamu pana huku akinitazama usoni mwangu. “Wajina umemtoa wapi huyu mwanaume?”

“Kwa nini?”

“Mzuri sana”

“Utani sasa huo wajina”

“Shosti ninakuambia, unatakiwa kuwa makini kumlinda mumeo si unajua wanawake wenyewe wa sasa shida tu, wanajitongozesha wenyewe”

“Hilo nalo neon wajina”

“Shem kuna bullet proof jakets zipo kwenye hilo kabati la pili unaweza kuwa na hata mmoja”

“Asante shemeji yangu”

Nikafungua kabati la pili na kukuta majaketi ya kuzuia riasai yakiwa yamepangwa vizuri. Nikachukua moja nikalijaribisha. Likanikaa vizuri mwilini mwangu.

“Kila kitu kipo vizuri, nipatieni begi ninaloweza kuweka zana zangu”

“Usijali katika hilo”

Cajoli akatoka na nikabaki na mpenzi wangu.

“Dany unauhakika na hichi unachokwenda kukifanya?”

Cajoli aliniuliza kwa sauti ya upole huku akinitazama usoni mwangu.

“Yaa am sure kwa kile ninacho kwenda kukifanya”

“Ila nimeanza kupata hisia mbaya katika hili”

“Hisia gani?”

“Sifahamu ni hisia gani, ila sipo vizuri katika hili ambalo umeamua kwenda kulifanya”

“Baby nisikilize, najua nilazima utakuwa na wasiwasi mwingi katika hili, ila tambua ya kwamba ninafanya hivi kwa ajili ya familia yangu. Ninafanya hivi kwa ajili ya kutengeza amani ya maisha yangu. Amani ya familia yangu ambayo ninakwenda kuitengenza mimi na wewe. Unahitaji niendelee kuishi kwa kukosa amani na kuandamwa na wabaya wangu hadi kwa wanangu ambao nitapata kutoka kwako?”

Nilizungumza huku machozi yakinilenga lenga, hadi Cajol naye akaanza kumwagikwa na machozi usoni mwake.

“Nafanya haya yote kwa ajili yako na wanangu. Nilipo fikia panatosha kabisa, sihitaji kukupoteza wewe. Sina mama, sijui ni wapi alipo baba yangu, sifahamu kama yupo hai au laa. Nimebaki mnyonge kwenye dibwi ambalo sidhani kama ninaweza kutoka. Kwa nini na mimi nisilipize kisasi nikiwa na nguvu zangu, au una hitaji waje walipize watoto wetu?”

“No Dany”

Cajoli alizungumza na kunikumbatia kwa nguvu, taratibu tukajikuta tukianza kunyonyana midomo yetu kwa hisia kali sana huku machozi yakiendelea kutiririka kwenye nyuso zetu.

“Mmmghgg”

Tulisikia sauti ya Cajoli nyuma yetu, tukaachiana na kumtazama.

“Shem begi hili hapa”

Shem Cajoli akanikabidhi begi kubwa jeusi, wote watatu tukaanza kusaidia kuingiza silaha ambazo nimezichagua, huku bunduki moja ikiwa ina uwezo wa kupiga risasi kwa umbali mrefu sana. Kazi haikuwa ngumu sana, baada ya muda mfupi tukawa tumemaliza kuingiza silaha zote kwenye begi huku nyingi zikiwa ni bastola na magazine zake.

“Jamani tupateni hata chakula cha mchana hapa kwangu?”

“Shem inabidi nikafanye maandalizi mapema kuhakikisha kwamba kazi yangu haiendi vibaya”

“Ila shem, kazi ambayo unakwenda kuifanya mbona kama ni kubwa sana huoni kama inaweza kuleta matatizo kwako”

“Bora wajina umenisaidia kuzungumza”

Cajoli alizungumza kwa sauti ya unyonge sana huku akinitazama usoni mwangu.

“Mimi ninawaomba muwe wapole na watulivu, kikubwa ni kuniombea kwa mwenyezi Mungu, ili kazi yangu iweze kutimia”

“Sawa shem, ila ukihitaji msaada wangu ninaomba unijulishe”

“Hapana shemeji, kazi hii sihitaji iweze kuingia kwenye maisha ya mtu mwengine. Nyinyi kikubwa mbacho munatakiwa kuweza kukifanya, ninawaomba muweze kuniombea kwa mwenyezi Mungu aweze kunifanikisha katika hili”

Maneno yangu yakawafanya Cajoli na mwenzake kukaa kimya, hapakuwa na mtu aliye weka kipingamizi kutokana na msimamo wangu nilio uamua kwa jambo hili. Tukaagaana na shem Cajoli na kuondoka nyumbani kwake huku begi la silaha nikiwa nimeliweka siti ya nyuma. Njia nzima wote tupo kimya, akili yangu ina kazi ya kuwaza ni kitu gani ambacho ninaweza kukifanya kuhakikisha kwamba ninaweza kumuua K2 na watu wake.

“Dany”

Cajoli aliniita kwa sauti ya upole na kunifanya nitoke kwenye dimbwi la mawazo, nikamtazama, kwa ishara ya macho akanionyesha mbele yetu. Nikaona askri barabarani wakiwa wanasimamisha magari yanayo ingia jiji la Tanga huku kizuizi chao wakiwa wamekiweka maeneo ya majani mapana, maeneo ya kiwanja cha ndege cha mkoa wa Tanga.

“Tulia usiwe na wasiwasi”

“Sasa wakikagua hili begi huku siti ya nyuma”

“Usiwe na wasiwasi Cajoli wewe tulia tena jifanye unazungumza kiarabu mimi nitakuwa mtafsiri wako, hao polisi ukizungumza nao kiarabu basi hawato elewa”

“No Danu hiyo hilo halitokuwa wazo zuri kwetum wanaweza kunisumbua na kuanza kuhitaji maswala ya passport”

“Ok wewe tulia wala usionyeshe wasiwasi wowote”

“Sawa”

Taratibu Cajoli akasimamisha gari pembeni kama polisi wa usalama barabarani alivyo hitaji afanye hiyo. Polisi akatembea hadi sehemu gari lilipo na kumfanya Cajoli kushusha kioo cha upande wake taratibu,

“Habri zenu wakuu”

“Salama tu kaka”

“Naomba driving leseni”

Cajoli akafungua kipochi chake kidogo na kutoa leseni yake na kukabidhi askari, akaisoma kwa dakika moja kasha akamrudishia. Akasoma kazi kadhaa zilizo bandikwa kwenye kioo cha mbele, alipo jiridhisha akarudi kwenye kioo.

“Safari njema waheshimiwa”

“Shukrani na wewe kaka”

Cajoli akafunga kioo cha gari na tukaendelea na safari yetu. Tukafika nyumbani, nikafungua mlango nyuma wa gari nikatoa begi lenye silaha. Moja kwa moja nikaingia ndani huku nikimfwata Cajoli kwa nyuma.

“Njoo chumba hichi”

Cajoli alizungumza, tukaingia kwenye chumba ambacho kina vitu vichache ikiwemo meza kubwa.

“Nenda kaandae chakula, leo ninahitaji kula chakula chako mke wangu”

“Sawa, ila upo sawa Dany?”

“Yaa am, fine “

Sure”

“Yaa nina uhakika, kuwa na amani mke wangu, wewe ndenda kaandae chakula”

“Sawa honey”

Cajoli akanisogelea na kunibusu mdomoni mwangu akaondoka ndani ya chumba hichi. Nikaanza kupanga sila zangu, huku nyingine nikizifuita vumbi kuhakikisha kwamba utendaji wake wa kazi unakuwa sawaia. Kazi hii ikanigarimu zaidi ya lisaa limoja, nilipo hakikisha kwamba silaha zimekamilika kuwa sawa. Nikaanza kupanga ni ipi nianze nayo katika kuifanya kazi yangu. Nianyanyuka na kutoka katika chumba hichi, nikaingia jikoni na kumkuta Cajoli akiendelea kupika chakula.

“Bado hujamaliza?”

“Yaa bado sijamaliza, vipi wewe umesha maliza?”

“Kwa kiasi fulani, laptop ipo wapi?”

“Pale ulipo iacha asubuhi”

Nikatoka jikoni na kuingia katika chumba cha kulala, nikaichukua laptop na kuridi nayo kwenye chumba chenye silaza zangu za maangamiuzi. Nikaingia kwenye mtandao wa NSS, kuangalia kama kuna habari yoyote mpya. Sikukuta habari yoyote mpya tofauti na zile nilizo zikuta jana usiku.

Niafungua video ambayo sikuifungua kati ya video tatu zilizopo kwenye memory card aliyo nipatia Linda. Maandishi ya rangi nyekundu yakaonekana kwenye video hii ynayo someka kwa kusema.

‘Magaidi wakubwa Afrika na mitandao yao’

Picha ya kwanza ikaonekana K2, huku pembeni kukiwa na malezo yake, umiliki wa kundi kubwa la wasichana ambao kazi yao ni kuua pale wanapo tumwa kufanya kazi hiyo. Wakaonyeshwa watumishi wake wakuu ambao wa kwanza ni Livna Liva wa pili ni mama yangu mzazi, jambo lililo nifanya nibaki nimekodolea macho video hii, hadi ikanilazimu kuisimamisha na kuyasoma maelezo ya mama.

Mama yangu anaonyesha ni gaidi aliye ingia kwenye mfarakano na bosi wake ambaye ni K2. Chanzo kikubwa cha K2 na mama kuingia katika mgogoro mkubwa ni swala zima la kugombania madaraka huku kila mmoja akijona yeye ndio mwenye nguvu kubwa zaidi ya mwenzake.

K2 na mama walikuwa marafiki wa muda mrefu tangu walipokuwa jeshini, ila mama aliacha jeshi na kuingia kwenye maswala ya uongozi huku K2 akifanikiwa kuingia katika kitendo cha NSS. Hawa wote wawili wamehusika sana kwenye kifo cha raisi wa kwanza wa kike Tanzania ambaye ni bi Rahab na nafasi hiyo ikachukuliwa na kaka wa K2.

Histori hii kidogo ikaanza kunipa mwanga wa mambo ambayo nyuma yalikuwa yanatokea pasipo mimi kuweza kuelewa ni kitu gani ambacho kinaendelea.

‘Nahitaji uniletee kichwa cha K2 hapa’

Maneno haya ya mama yakajirudia kichwani mwangu, kwa hapo awali nilihisi mama anazungumza hivyu kutokana na ukatili ambao K2 alinifanyia kwa kunifunga kwenye gereza la giza pasipo kosa la aina yoyote. Nilihisi labda ni wivu wa mapenzi juu yangu kumbe kuna jambo ambalo linaendelea nyuma yake.

Historia kwa ufupi kati ya mama na K2 ikaishia hapo, nikaendelea kutazama magaidi wengine ambao wanafanya kazi na K2 jambo linalo nishangaza watu wote walipo chini ya K2 hakuna mwanaume hata mmoja, wengi wao ni wamama ambao sijawahi kuwaona hata siku moja kwenye maisha yangu.

“Dany chakula tayari honey”

“Sawa”

“Tuje kula huku au nikiandae mezani?”

“Twende tu tukalie mezani”

Nikazima laptop na kuelekea mezani kwa ajili ya chakula. Cajoli akaninawisha mikono kisha na yeye akanawa. Taratibu tukaanza kula ndizi nyama alizopika.

“Dany”

“Mmmm”

“Ninakuomba unapo kwenda huko uhakikishe unarudi salama mume wangu.”

“Usijali, ila kuna kazi ambayo ninahitaji kuifanya tofauti na hii ambayo nilipanga kuifanya”

“Kazi gani tena!!?”

“Kuudondosha mtandao wa K2, kwa maana hata nisikisema kwamba nimuue yeye, bado nitakuwa suijaipata amani ambayo ninaitafuta”

“Huo mtando wewe una ufahamu?”

“Ndio nina ufahamu, kupitia hawa watu wake, ndivyo jinsi nitakavyo kuwa nikimdhohofisha hadi itafikia kipindi atakosa nguvu, na akikosa nguvu ya madaraka basi kwangu itakuwa ni rahisi sana kumuangamiza”

Cajoli akashusha pumzi nyingihuku akinitazama usoni mwangu. Akaonekana ni mtu mwenye furaha ambayoa anaizuia kuionyesha usoni mwake.

“Ila kesho nitakwenda kwenye viwanja hivyo kusoma mazingira, nahitaji kumuona K2 jinsi alivyo livyo kwenye sura ya uraisi”

“Utakwenda na silaha”

“Yaa ni lazima kwenda na silaha kuhakikisha ninajilinda”

Siku nzima ikapita nikiwa ninapanga mipango yangu ya kimya kimya wala sikuhitaji kumshirikisha Cajili kwa kila kitu. Asubuhi ikawadia, huku moyo wangu ukiwa imejawa na shauku kubwa ya kuhakikisha kwamba ninahakikisha kwamba leo ninaondoka na roho ya K2. Nikachukua bastola zangu mbili nikazificha kwenye soksi za miguuni mwangu. Nikavaa jaketi la kuzuai risasi kisha juu yake nikavaa na swete lenye kofia.

“Cajoli ninakuhitaji ubaki ndani, tazama Tv kuangalia kinacho tokea sawa baby”

“Ila Dany nakuomba usifanye kinyume na kile ambacho umekipanga”

“Usijali katika hilo nitahakikisha kwamba sifanyi ujinga”

“Sawa mume wangu, ninakupenda”

“Ninakupenda pia”

“Utatumia gari?”

“Hapana, nitapanda pikipiki”

“Una pesa ya kutosha?”

“Ndio”

Tukakumbatiana na Cajoli kisha nikatoka nje. Nikatoka nje ya geti nikatembea hadi mtaa wa pili, nikamkodisha dereva bodaboda, nikampa maelekezo kueleka hadi katika viwanja vya Tangamano ambapo hapo K2 atakuwepo. Dereva akafanya kama nilivyo muagiza, nikafika katika viwanja hivi viliyo jaa watu wengi pamoja na askari huku walinzi wa raisi wakiwa wamezagaa kila mahala. Nikaingia kwenye gorofa moja linalo tazamana na uwanja huu wa Tangamamo. Nikaanza kupandisha kwenye ngazi kueleka juu, huku nikiwa makini sana, kwa naana huuwa ninajua walinzi wengine kwa mara nyingi huwa wanakaa juu ya magorofa wakiwa na bunduki zao maalimu za kupiga rasasi masafa marefu yote hiyo ni katika kuimarisha ulinzi wa raisi.

Nikaingia kwenye mlango wa juu kabisa katika goroa hilia mbao niliukuta ukiwa umerudishiwa tu. Nikamuona askari mmoja wa kikosi cha NSS, akiwa amejificha shemu na bunduki yake ya aina kama hiyo.

Kwa mando wa kunyata na kwa uamakini sana nikamsogelea, nikachomoa bastola yangu kwenye sokso ya mguu wa kulia. Kwa kutumia kitako cha bastola nikampiga nacho kwa nyuma na kumfanya adondokee pembeni.

Nikachukua mawasiliano yake aliyo yavaa sikioni, nikayavaa mimi vizuri, kila kitu ambacho wanapeana taarifa askari wote wa NSS katika eneo hili ninayasikia. Nikalala katika sehemua mbayo alikuwa amelala akikagua maeneo ya chini ya gorofa kwa kutumia darubini yake ambayo imefungwa kwenye bunduki hii.

“Zimebaki dakia mbili raisi kufika kiwanjani”

Nilisikia taarifa hiyo kutoka kwa sauti ya kike ambayo nina ifahamu sana, kwani ni Babyanka. Nikashusha pumzi nyingi huku bunduki nikiwa nimeinyooshea barabarani sehemu ambayo gari za raisi zitasimama. Gari nyeusi tatu zinazo fanana zikazimama kwenye sehemu maalumu zilipo andaliwa raisi kushuka. Walinzi wa riais anao tembea nao kwenye gari wakashuka kwa wingi huku wakiwa makini kuhakikisha raisi akishuka kwenye gari anakuwa salama. Mlizi mmoja akafungua mlango wa nyuma wa gari ya katikati. Nikamuona raisi akishuka taratibu kwenye gari huku akiwapungia mikono wananchi wake walio anza kumshangilia kwa furaha sana.

Nikamvuta taratibu K2 kwa kutumia darubini ya hii bunduki. Nilipo hakikisha msalaba mwekundu ninao uona kwenye hii darubini umekaa vizuri kichwani mwake, taratibu nikaikoki bunduki, huku nikishusha pumzi nyingi. Nikamuangalia K2 jinsi anavyo furahi na wananchi huku akiwapa mikono ya hongera. Gafla mwili mzima ukaanza kunitetemeka huku jasho jingi likinimwahika mwili mzima. Nikajaribu kuhakikisha kwamba ninajikaza kumuweka K2 katika tageti yangu, ila ninashindwa kabisa. Mapigo ya moyo yakaanza kunienda kasi, taratibu nikajaribu kunyanyuka ila nikashindwa kabisa na kujikuta nikiiangusha bunduki pembeni na kulala chali, huku nikitazama juu na kuona jinsi dunia inavyo zunguka kwa kasi jambo ambalo kwenye maisha yangu sikuwahi kuliona hata siku moja.


CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/


Nikaendelea kulala chini huku nikijishangaa sana kwa kitu hichi ambacho kimetokea kwenye maisha yangu. Taratibu nikajikaza kunyanyuka ila kwa kizunguzungu hichi nilicho nacho, nikajikuta nikishindwa kabisa na kurudi kulala chini tena. Zikapita zaidi ya dakika ishirini, nikajikuta nikipata nguvu na kunyanyuka tena. Nikachungulia eneo la uwanjani ila sikumuoa raisi katika eneo ambalo alikushudiwa kukaa.

“Sniper namba moja uanipata?”

Nilisikia sauti ya Babyanka kwenye masikio yangu, nikamtazama askari wa NSS, niliye mpiga kwa kitako cha bastola yangu akiwa amelala chini bado hajapata fahamu yoyote.

“Yaaa”

Nilijibu kwa kifupi ili sauti yangu kuto kujulikana kwa maana imeniwia urahisi kufahamu kwamba huyu ni mdunguaji namba moja kutokana na ukaaji wake na sehemu aliyopo, kwa maana sio jambo geni kwangu kwa maana mimi mwenyewe nilisha wahi kuwa katika kiosi cha NSS na ninawajua A hadi Z.

“Raisi yupo katika kugagua mabanda ya biashara”

“Nimekupata”

Nikaichukua bunduki na kuishika vizuri, nikaiweka sawa shemu ilipo kuwa kwa maana ina viguu vyake viwili vya kusimamia hii ni kutokana na uzito wake. Nikaanza kupitosha pitisha macho yangu kwenye mabanda ya biashara ambapo raisi anakagua miradi ya biashara.

Nikaona kundi la walinzi kwenye moja ya jengo la biashara, nikatambua kwenye hilo banda ndani ni lazima K2 atakuwemo. Nikaikoki bunduki vizuri nikakadiria ni mita ngapi kutoka hapa nilipo hadi kwenye banda hilo, nikaiweka bunduki sawa, huku nikishusha pumzi yangu.

‘Toka toka’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikitazama kutitia darubini, sikumuona raisi. Nikaona baadhi ya wafanyakazi wa hilo banda wakitoka mmoja baada ya mwingine, nikagundua ni lazima raisi atakuwa anatoka, nikabana pumzi yangu vizuri kuhakikisha kwamba riasi nitakayo ipiga inafika kwa mtu sahihi na muda sahihi ambao nimepanga mimi uweze kufika kwake.

“Nikamuona K2 akitoka, ila kuna mzee mnene akiwa amemziba na hakuna sehemu ambayo ninaweza kumpiga risasi na akafaa kwa maana ninaiona mikono na muguu yake, kichwa wala kiwili wili chake sikioni.

‘Comoonnnnn mzee ondoka hapo’

Nilizungumza huku nikiwa ninahasira sana.

“Freeziiiii”

Nilisikia sauti kali ya kike nyuma yangu, nikajikuta nikishusha pumzi nyingi kwa maana ninesha kamatwa.

“Ukifanya ujinga wowote nitakuua”

Sauti hii ninaitambua kabisa ni sauti ya Babyanka.

“Kuna muuaji nimempata gorofani, timu nzima mlindeni rai……”

Sikutaka Babyanka amalizie sentensi yake, kwa haraka nikajigeuza na kumpiga mtama mkali Babyanka na kumfanya anguke chini. Kofia la sweta nililo vaa kichwani mwangu likafunuka na kumfanya Babyanka kunitolea macho.

“Dany!!”

Sikutaka kumjibu kitu chochote kwa maana ninatambua Babyanka ananifahamu vizuri na hana uwezo wa kunipiga riasi kwa maana anatembua na kuelewa kila kitu kilicho tokea kwenye maisha yangu. Nikaanza kutembea kuelekea sehemu ulipo mlango.

“Simama nitakupiga risasi”

Babyanka alizungumza kwa ukali sana, nikasimama na kugeuka nyuma huku nikimtazama kwa macho makali sana usoni mwake.

“Timu mzima, kuna muuaji, narudia tena kuna muuaji kwenye gorofa namba moja. Sniper namba moja yupo chini”

Babyanka aliendelea kuwasiliana na wezake huku akiwa ameninyooshea bastola yake, nikatambua kabisa upendo wa Babyanka umetoweka juu yangu. Taratibu nikaanza kutafuta njia ya kuvuta bastola yangu niliyo ichomeka kwenye soski mguuni.

“Dany kwa nini unahitaji kumuua raisi. Huyui kwamba amechaguliwa na mamilioni ya Watanzania”

Babyanka alizungumza kwa sauti ya upole, nikatambua lengo lake la kuzungumza hivyo. Antaka kunizubaisha ili mradi wezake waweze kufika katika eneo hili na kunikamta kirahisi. Askari niliye mpiga kwa kitako cha bunduki akanza kunyanyuka huku akijivuta vuta chini jambo lililo toa mlio na kumfanya Babyanka kutazama nyuma. Kwa kasi ya ajabu nikachomo bastoka yangu mguuni. Nikampiga risasi Babyanka ya kifuani mwake na akaanguka chini. Ninatambua kabisa kwamba sehemu hiyo niliyo mpiga si rahisi kwa yeye kuweza kufa hii ni kutokana na jaketi la kuzuia risasi alilo livaa. Kwa kasi ya ajabu nikaufungua mlango wa kuingilia kwenye za kushuka kwenye hili gorofa. Nikaanza kushuka kwa haraka, ila ikafikia sehemu ikanibidi kusita kidogo, nikachungulia chini, nikawaona wana askari wa kikosi cha NSS, wakipanda kwa kasi huku wakiwa na bunduki zao.

Sehemu niliyopo haina mlango kabisa ambao ninaweza kusema kwamba ninaweza kuingia. Ikanilazimu kuanza kupandisha juu kwa kasi. Juu napo nikamuona Babyanka na yule askari ambaye nilikuwa nimepiga kwa kitako cha bastola wakishuka kwenye ngazi kwa kasi huku kila mmoja akiwa ameshika bastola yake.

Nikafyatua risasi sehemu wanapo shuka Babyanka na askari wake. Ikawawafanya askari wanao pandisha ngazi kujiahami kwa kufyatua risasi pasipo kutambua ni sehemu gani ambayo mimi nipo.

Nikaanza kujibu mashambulizi ya askari wote, wanao panda na wanao shuka, kwa bahati nzuri sehemu niliyo kuna mlango wa kuingilia kwenye chumba ambacho wala sitambui kina kitu gani ndani.

Nikaupiga kikumbo mlango huu, ila haukufunguka kwa kutumia bastola nipiga risasi kadhaa kwenye kitasha cha mlango, kisha nikaupiga kikumbo na ukafunguka. Chumba hichi kinacho tumika kama stoo, kina dirisha mmoja la vioo. Kwa haraka nikalisogelea dirisha hili, nikachungulia chini, nikaona kuna uwazi mdogo sana ambao ninaweza kupita kwa maana mbele kuna ukuta mwengine wa gorofa. Pembeni ya hili dirisha kuna bomba la maji ambalo ninaweza kulitumia kushuka chini kwa haraka. Akili yangu inayo fanya kazi kama compyuta, ikanituma kufanya hivyo. Kwa kasi ya ajabu nikaanza kushuka kuelekea chini. Nikafanikiwa kufika chini, sikuwa na muda wa kupoteza zaidi ya kuanza kukimbia kwenye kijiuchochoro hichi ambacho ni chembamba sana.

Nikafanikiwa kuingia kwenye moja ya nyumba eneo la uwani. Kwenye nguo ya hii nyumba kuna kamba iliyo anikwa nguo za kiume. Nikazichukua kwa haraka nguo hizi ambazo sikuli kama ni mbichi au zimekauka. Nikaona mlango wa chumba uliopo wazi, Kwa haraka nikabadilisha nguo zangu na kuvaa nguo hizi huku jaketi langu la kuzuia risasi nikiwa nimelivaa juu ya hii tisheti.

Nikachungulia nje, sikuona watu nikatoka kama mtu wa kaiwada na kuanza kutembea kwenye kordo ya hii nyumba. Nikafika mlango wa mbele, nikachungulia nje, nikaona gari za askari zikikatiza kila sehemu huku askari wa kikosi cha NSS wakikimbia wakihisi nimelekea huko wanapo eleka.

Raia ambao nao wamesikia milio ya risasi kila mmoja alihitaji kuokoa maisha yake. Nikatazama mazingira jinsi yalivyo kaa. Nikajitama na jaketi langu hili la kuzuia risasi, lipo tofauti na askari wa vikosi vyote waliopo katika hili eneo. Sikuwa na jinsi zaidi ya kulivua. Nijajichanganya kwenye kundi la wananchi wanao jaribu kuyaokoa maisha yao. Kitu kikubwa ambacho kinanisaidia ni hichi kifaa cha mawasiliano kilichopo masikioni mwangu, ninaweza kunasa mawasiliano ya wana NSS ambayo yaliweza kuniongoza na kupita sehemu ambazo wao hawapo. Kwa kutembea kwa kujihami na kujificha ficha nikafanikiwa kufika eneo la Makorora. Nikakivua kifaa hichi cha mawasiliano kwa maana nikizungumza na mtu basi sauti yangu itasikika. Nikakiangusha chini na kukikanyaga kwa kiatu na kukiponda ponda. Nikatembea hasi sehemu walipo waendesha pikipiki

“Inakuwaje wana”

“Poa vipi chief”

“Poa, oya mwana nirushe hapo Sahare”

“Buku nne mwana”

“Hakuna tabu”

“Oya wana ngona nimpeleke mchizi”

Dereva bodaboda, akawasha pikipiki yake, na mimi nikapanda tukaondoka eneo hili.

“Nasikia Tangamano kimenuka?”

“Kimetokea kitu gani?”

“Nasikia kuna milio ya risasi, wananchi wametawanyika kila mmoja ameokoa roho yake”

“Ahaaa, mimi sijaisikia hiyo ishu”

“Ahaa mwana kimenuka kishenzi aisee, yaani raisi timu, sijui hata raisi kama amesalimika”

Dereva huyu wa pikipiki aliendelea kunipa taarifa na mimi nikajifanya mgeni sana katika taarifa hii.

“Duu ila si anawalinzi raisi”

“Yaaa alafu raisi mwenyewe demu yaani tabu tupu”

“Ila si tulimchagua kwa kura zetu”

“Ahaa mimi sikumpa kura, nilikuwa ninamkubali yule raisi aliye pita ila sijui kwa nini aliumwa”

“Ahaa hayo ni mambo yao wenyewe.”

“Kweli kaka”

Nikamuelekeza hadi mtaa ambao ninaishi. Kitu kikubwa kilicho niumiza kichwa ni pesa, kwa maana nimeacha pesa zangu kwenye suruali niliyo ivaa, na nilijisahau kabisa kukagua mifuko ya suruali ambayo nimeivua. Nikaanza kuigiza kujipapasa mifukoni mwangu nikiwa kama sielewi hali halisi niliyo nayo.

“Vipi?”

Dereva boda boda aliniuliza huku akiwa amenitumbulia macho ya mshangao.

“Natafuta waleti yangu siioni mwana”

“Ahaa itakuwaje sasa?”

Dereva bodaboda sauti yake nikaona ikibadilika na kueleka katika hali ya hasira. Gari ya Cajoli ikasimama pembeni yetu.

“D”

Cajo aliniita baada ya kufungua kioo cha gari nikasogelea kwenye gari.

“Nipatie elfu tano”

Cajoli akanipatia shilingi elfu tano, nikampatia dereva bodaboda ambaye muda wote alikuwa akinitumbulia macho tu.

“Kaka pesa yako, shukrani”

Nikaingia kwenye gari na kuondoka na Cajoli.

“Nimesikia kuna tatizo limetokea Tangamano, wewe ndio umesababisha?”

“Ndio”

“Dany huoni kwamba hii hali itakuwa ni hatari kwako?”

“Natambua, ila nitahakikisha kwamba kila jambo linakwenda kutulia, ulikuwa unatoka wapi?”

“Nilikuwa ninakwenda huko Tangamano kushuhudia kwa maana niliona kwenye tv cha kumshukuru Mungu nimewexa kukukuta hapa”

Tukafika nyumbani n amoja kwa moja tukaelekea chumbani baada ya kushuka kwenye gari.

“Siamini kama nimeshindwa kumuua raisi”

“Dany ni kitu gani ambacho uliniahidi?”

“Yaa nilikuahidi, ila nikipata nafasi ni lazima nimuue”

“Dany”

“Cajoli hili swala ninakuomba usiliingilie kabisa natambua ni nini ninacho kifanya”

Nilizungumza kwa kufoka hadi Cajoli akaka kimya huku mwili ukimtetemeka kwa maana Cajoli kwa siku hizi mbili tangu tuanzishe uhusiano watu hakuwahi kuniona nikiwa nimekasirika kwa kiasi hichi.

“Am sorry mume wangu”

Cajoli alizungumza kwa sauti ya upole huku machozi yakianza kimwagika usoni mwake. Taratibu nikamshogelea na kumkumbatia.

“Usijali mke wangu nimekusamehe”

“Nimezungumza hayo yote kwa ajili ya upendo wangu tu kwako, sihitaji uondoke mikononi mwangu nimesha kuzoea.”

“Nimekuzoea pia mke wangu”

Nikamuachia Cajoli na kuwasha Tv, taarifa ambayo inaonyeshwa kwa wakati huu ni kusiana na tukio zima mashambulizi yaliyo tokea katika uwanja wa Tangamano. Muandishi akamuhoji mkuu wa ulinzi ambaye ni Babyanka kuhusiana tukio lililo tokea.

“GAIDI AMBAYE TUNAMTAFUTA ANAJULIKANA KWA JINA LA DANY, PICHA ZAKE TUTAANZA KUZISAMBAZA MUDA MFUPI KUANZIA HIVI SASA KWENYE VYOMBO VYA HABARI. ILA NINACHO TAKA KUMUELEZA DANY, POPOTE ULIPO NAJUA BADO UPO TANGA NITAHAJIKISHA SAA SITA USIKU HAIFIKI NITAKUWA NIMEKUKAMATA NA SHERIA ITACHUKUA SHERIA YAKE.”

Maeno ya Babyanka yakanifanya nichukue rimoti ya Tv na kuizima, Cajoli akabaki akiwa amenitumbulia macho na kukosa cha kuzungumza.





Nikazima tv na kuirudisha rimoti juu ya meza. Nikaka kwenye sofa huku kichwa changu kikiwa kimejawa na mawazo mengi sana.

“Dany si wanaweza kuja hadi hapa?” “Sidhani, ila ninahitaji kuondoka hapa” “Uondoke hapa!!?” “Natambua utapata sana shida wakifahamu kwamba mimi nipo hapa” “Dany no, siwezi kuruhusu hilo swala kuweza kutokea kwako, ni bora hata ufikiria mbinu nyingine ya kufanya ila si kuondoka hapa Dany” “Cajoli ila hii unaona hii ni hatari kwenye maisha yako” “Vyovyote Dany ila sitaki uondoke kwanguu” Cajoli alizungumza huku akimwagikwa na machozi mfululizo. Nikakaa kimya huku nikiendelea kufikiria ni mbinu gani nyingine ambayo ninaweza kuifanya” “Ok nimefikiria mbinu nyingine” “Mbinu gani?” “Nahitaji kukua” “Kukua?” “Ndio” Nikanyanyuka kwenye sofa na kueleka katika chumba ambacho kina silaha ambazo tulizihifadhi.

“Dany ila maneno yako kusema kweli sijayaelewa” “Najua kwa sasa hivi huto weza kuielewa” “Naomba unifafanulie kwa maana mimi ndio mtu wako wa karibu ambaye unaweza kunieleza kila kitu kinacho kusumbua”

“Cajoli nimeishia kwa miaka minne sasa, nikiwa ninaonekana kwamba mimi ni gaidi, ila kusema la ukweli mimi sio gaidi, nilikuwa ni mpelelezi katika kikosi cha NSS” “Imekuwaje ukaonekana wewe ni gaidi?” “Ni mambomengi ambao yametokea, kwenye maisha yangu, nikianza kukusimulia ninaamini leo hii itaishia nikiwa ninakusimulia” “Niambie kwa kifupi tu Dany, au huniamini?” Nikamtazama Cajoli usoni mwake, taratibu nikaanza kumsimulia historia ya maisha yangu kwa ufupi. Kitu nilicho kiepuka ni kumsimulia kuhusiana na maswala ya mahusiano ambayo niliyapitia hapo nyuma.

“Kwa sasa sihitaji kuwa mtu mwema” Nilizungumza huku nikiwa nimeyakaza meno yangu kwa hasira kwa maana maisha yangu yameharibika kutokana na mambo ya ajabu ajabu kwenye hii nchini. Watu wachache wananifanya nishindwe kuishi kwa amani, nishindwe kufanya mambo yangu kwa uhuru kama mwananchi wa kawaida ambaye ninahitaji kuyafurahia haya maisha kama wananchi wengine.

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/“Dany” “Mmmmm” “Nipo tayari kuhakikisha kwamba unakuwa mtu yoyote. Nimeumbwa kwa ajili yako, nipo kwa ajili ya kukusaidia, hukustahili kupitia magumu yote hayo ambayo umeyapitia. Bado kijana mdogo, laiti leo hii usinge kuwa umepitia matatizo hayo uliyo nieleza, ninaamini leo hii ungekuwa mbali sana” “Yaa” “Sasa unataka kuwa nani?” “Gaidi, gaidi kama wanaye msema wao” “Hata mimi nipo tayari kwa hilo” “Real” “Ndio Dany” Tukajikuta tukikumbatiana kwa nguvu huku kila mmoja akilia kwa uchungu, ninamshukuru Mungu kwa kunipatia Cajoli, japo nimepitia mambo mengi, ila Cajoli amekuwa ni msichana anaye jitoa maisha yake kwangu mimi, japo wapo wengi ambao walijitoa maisha yao kwa ajili yangu ila kila mmoja alikuwa na malengo yake kwenye haya maisha.

“Nakupenda sana Dany” “Ninakupenda pia honey” Taratibu tukajiuta tukianza kunyonyana midomo yetu, hisia za mapenzi zikaitawala miili yetu. Tukaanza kupeana raha ambayo inastahili kwenye mahusiano yetu, baada ya kuhakikisha kwamba tumeridhika na kila mmoja amepata haki kwa mwenzake, tukaingia bafuni na kuoga.

“Nahitaji umpigie shem Cajoli” “Nimueleze nini?” “Nahitaji kuitingisha serikali kwa huu mpango ninao uhitaji kuufanya. Nahitaji viongozi wote walio ingia madarakani kwa njia za short cut, nilazima watoke” “Sawa” Cajoli akachukua simu yake na kumpigia Cajoli.

“Unaweza kuja kwangu” “Nakuomba ufanye hivyo” “Poa best” Cajoli akakata simu na kurudi kitandani nilipo kaa.

“Anakuja ndani ya dakika kumi atakuwa hapa” “Yupo hapa hapa town?” “Sijamuuliza, ila huwa Cajol akisema dakika kumi, basi ni kumi kweli” “Unaweza ukaniletea zile nguo nyeusi nilizo zichukua kwa Cajoli” “Yaa zipo humu kabatini” Cajol akanitolea nguo hizo ambazo zipo kwa ajili ya mapambano tu. Nikazivaa, na kujitazama kwenye kioo vizuri.

“Hapa kazi inakwenda kuanza leo hii” Ndani ya dakika kumi, Cajoli akafika nyumbani kwetu.

“Shem wewe ndio umesababisha varangati lile?” “Yaani wee acha tu” “Mmmm ni shida aiseee kumbe una mtiti yaani huko njiani magari full kukaguliwa. Tanga sijawahi kuona foleni ila leo foleni ipo” “Watanisaka sana, ila nahitaji kuwakomesha kwa aina nyingine” “Kiaina gani” “Nahitaji kutega bomu la nyuklia na ninahitaji raisi atoke madarakani” Cajoli wote wakaka kimya huku kila mmoja akitafakari ni nini cha kunishauri kwa maana swala la bumu tena la nyuklia ni swala jengine sana kwenye maisha haya ya Watanzania.

“Dany” “Ndio shem” “Unajua uzito wa bomu la nyuklia?” “Ndio ninafahamu” “Unajua madhara yake yanakuwaje?” “Cajoli hadi kuzungumza hivyo ujue ninatambua kila kitu. Mimi nilikuwa ni agent wa NSS, hao unao waona sasa hivi barabarani wakinitafuta, mimi nilikuwa ni miongoni mwao” “Dany mume wangu, ila hili swala tulitazame kwa jicho jengine, kuna mamilioni ya watu ambao hawana hatia kwenye kisasi chako, sasa kwa nini unataka hao nao wahusike kwenye vifo vya bomu hilo” “Hamjanielewa maana yangu. Nilikuwa nina maanisha kwamba kwa kutumia bomu hilo nitaji raisi kuweza kuachia madaraka” “Asipo achia na bomu unalo inakuwaje hapo shem?” “Nina lilipua” Taratibu nikamuona Cajoli akikaa kwenye sofa huku akionekana kuchoka, ninahisi moyoni mwake anajutia sana kuwa katika mahusiano na mimi.

“Shem” “Naam” “Hili swala ni kubwa sana, ninakuomba tufikirie mbinu nyingine” “Munahitaji kunisaidia au laa?” Nilizungumza kwa ukali hadi wote wakastuka.

“Tupo tayari kukusaidia” “Shukrani shem, kuanzia sasa sihitaji muwasiliane na watu wengine zaidi yangu mimi” “Sawa”

“Natambua NSS akili zao, kwa sasa wananitafuta kwenye barabara, viwanja vya ndege, baharini. Huku kwenye majumba hawatoweza kunitafuta. Kama itawezekana nalihitaji lile bomu” “Dany kusema kweli bomu kulileta mjini hapa kwa njia ya gari ni ngumu sana. Labda cha kukushauri hapa twende Kange kule tunaweza kupanga kila kitu” “Wazo zuri, honey nikuombe kitu?” “Ndio” “Nakupenda sana mke wangu, ninakuomba hili swala niweze kulifanya mimi na shem” “Cajoli ni mtu muhimu kwetu ana uwezo mkubwa sana katika maswala ya computer na ugunduzi. Best au bado hukumueleza mumeo juu ya kipaji chako” “Nilihitaji kumfanyia suprize, ili nitahakikisha kwamba kila jambo linakwenda vizuri” “Basi nyinyi mutakwenda pamoja mimi nitajua wapi kwa kupitia” “Sawa, ila itahitajika pikipiki kuhakikisha kwamba unafika kwa wakati” “Pikipiki itapatikana wapi?” “Ngoja niwasiliane na Hassani” Shem Cajoli alizungumza, sikutaka kumzuia kwa maana ili niweze kufika kange kwa nja rahisi ni kuhakikisha kwamba ninapata pikipiki.

“Niletee pikipiki hapa kwa wajina” “Nahitaji mpya yenye uwezo mkubwa. Iwe full tank” “Acha kunihoji mswali mengi wakati maelekozo nimekupatia” Cajoli akakata simu na kututazama. “Pikipiki italetwa baada ya muda mchache kuanzia sasa” “Sawa, jiandaeni kwenda Kange. Hivi sasa ni saa mbili kasoro usiku” Cajoli na mwenzake hawakupinga chochote, wakaanza kujianda. Haukupita muda mwingi Hassani akaleta pikipiki aina ya boksa, akamkabidhi shem Cajoli, kisha jamaa akaondoka pasipo kielewa kitu kinacho endelea.

“Mlinzi weko hivi anatambua uwepo wangu?” “Sidhani honey” “Kwa shem, mlizi hakuwahi kukuona?” “Nikirudi nipo ndani ya gari, nikishuka ninaingia ndani. Hajawahi kuniona kabisa”

“Ngoja nimpe likizo” Cajoli akatoka na kuniacha na shemeji. Kwa kupitia dirishani nikamuona akizungumza na mlinzi. Kisha akarudi ndani, akachukua kiasi cha pesa na kwenda kumkabidhi mlinzi huyu ambaye hakuonekana kurishishwa na maamuzi haya ya muda mfupi.

“Sisi utatukuta Kange” “Sawa kuweni makini” “Poa” Cajoli na rafiki yake wakaondoka hapa nyumbani huku kila mtu akitumia gari lake. Nikakaa kwenye sofa huku nikisubiria masaa yazidi kusonga mbele ili hata nikuondoka basi asinione mtu yoyote. Nikawasha tv na kukuta habari yangu ikiwa ndio inatawala kwa wakati huu. Picha zangu zinarushwa kwenye kila kituo cha televishion huku mtu ambaye atafanikisha kukamatwa kwangu atazawadia shilingi bilioni moja ya Kitanzania.

“Wenda wazimu nyinyi” Nilijikuta nikizungumza huku nikielekea ndani ya chumba chenye begi lenye silaha. Nikachukua begi na kurudi nalo sebleni. Nikaanza kukiko bastola moja baada ya nyingine huku nikizichomeka sehemu mbali mbali katika mwili wangu, nikianzia kiunoni hadi miguuni, na uzuri wa suruali niliyo ivaa ina sehemu nyingi ya kufichia silaha.

Ilipo timu saa tano kamili usiku nikatoka nje na begi langu. Nikaliweka kwenye pikipiki vizuri. Nikaufunga mlango wa kuingilia ndani kwa Cajoli kisha funguo nikaificha kwenye kopo la maua lililopo karibu na mlango. Nikapanda pikipiki, taratibu nikatoka getini huku nikiwa nimevaa kofia maalumu la pikipiki, kwenye viganja nimevaa glovos ngumu na zenye rangi nyeusi kuhakikisha kwamba mikono haitelezi. Safari yangu nikainza huku nikiwa makini sana kila ninapo pita. Nikiwa katika maeno ya msikiti wa Madina, gari mbili za polisi nikaziona zikija nyuma yangu kwa kasi huku zikiwasha ving’ora, jambo lililo nifanya nizidi kuongenza mwendo kasi wa piki piki yangu aina ya Boxer, ambazo husifika kwa mwendo kasi barabarani.





Kadri nilivyo zidi kwenda kasi ndivyo jinsi nilivyozidi kuwaacha askari hawa umbali mkubwa na wala sifahamu kama wananifwata mimi au laa. Nikapita barabara za mkato hadi nikafanikiwa kufika nyumbani kwa Cajoli.

“Vipi hawajakustukia?” “Hapana, japo kuna gari mbili za polisi zilikuwa zikinifukuzia, ila sijajua kama ni mimi ndio waliokuwa wakinifukuzia au mtu mwengine” “Karibu tena nyumbani kwangu” “Usijali” Shem Cajoli akachukua pikipiki yangu na kuiweka kwenye moja ya chumba, cha nje kisha tukaingia ndani pamoja.

“Wife yupo wapi?” “Yupo huku chini” Tukashuka kwenye ngazi za kuelekea katika chumba ambacho kipo chini ya ardhi. Nikamkuta Cajoli akimunya minya batani ya computer iliyomo humu chumbani.

“Karibu honey” “Asante” Nilimjibu huku nikimbusu shavuni mwake.

“Ndio tunaanza kazi hapa na nimepata wazo jipya ambalo tulilizungumza na wajina hapa, tukaona ni vyema kukushirikisha” “Ehee ninawasikiliza makamanda wangu” Nilizungumza huku nivuta kiti kilichopo pembeni na mpenzi wangu Cajoli.

“Dany hii tunayo kwenda kuifanya ni biashara, ambayo kwanza italitingisha taifa, pili tutahakikisha kwamba tunaingiza pesa nyingi sana. Unatambua kwamba ukiwa na pesa unaweza kufanya kila kitu hata kumtoa raisi madarakani inawezekana kwa kutumia pesa” “Eheee niambie mama maana ninaona hilo unalo kwenda kulizungumza lina udabwidambwi ndani yake” “Hahaa shem kumbe una maneno ya Kiswahili namna hiyo” “Kawaida tu shemeji yangu. Baby endelea” “Hapa nipo katika hatua ya kutengeneza virus, ambavyo tutaviweka kwenye maji ambayo watu wakinywa. Hawato kufa ila wataugua ugonjwa wa kutoka mapunye mwili mzima” “Mapunye!!?” “Yaa mapunye haya yatawatoka mwili mzima. Na yatapelekea mtu kuoza mwili wake. Ila sisi tunaweza kutengeneza dawa, itakayo waponya mapunye hayo. Kwa njia hiyo tutaingia bilioni of shillings” Cajoli alizungumza kwa kujiamini sana.

“Shem hilo wazo ni zuri sana. Kutokana wewe unapambana na watu ambao wapo serikalini na unataka kuwaangusha kirahisi, hakuna haja ya kutumia nguvu nyingi sana. Hapa cha kutumia ni akili, maarifa na utalipiza kisasi chako taratibu na ninakuhakikishia kwamba utajikuta ukifika mbali sana” Nikakaa kimya kwa sekunde kadhaa huku nikitafakari mpango mpya ambao wasichana hawa wameuweka mezani.

“Hao virus watakuwa kwa njia ya maji maji au?” “Yaa watakuwepo kwenye maji machache tu. Na kwadakika moja virus hao ninao watengeneza watakuwa wakiongezeka kwa zaidi ya virusi milioni mia moja. Sasa piga picha lisaa moja lina lina dakika ngapi, siku moja nayo ina dakika ngapi. Ni watanzania wangapi kwa siku wanakunywa maji?” “Ni wengi, sasa kwa mfano wale wanao chemsha maji inakuwaje kwao?” “Honey hawa virusi ninao watengeneza hata akichemshwa, awekewe sijui water gurd hafi yaani hii ni taaluma ambayo ninayo mimi mwenyewe duniani kwa kutengeneza hawa virusi, mtu mwengine ni mama yangu ambaye kwa sasa ni marehemu” “Hao virusi katika maji wanaweza kuishi kwa kipindi gani?” “Zaidi ya mwaka mmoja na nusu” “Waoooo” Katika maisha yangu sikuwahi kufikiria wazo kama hili. Japo ni watanzania wengi ndio wanakwenda kuathirika na huu ugonjwa, ambao hakuna mtu atakaye kufa, basi kwangu ni furaha kwani kisasi changu kinakwenda kukamilika taratibu taratibu

“Na mtu atakapo kunywa maji ni baada ya muda gani anaweza kuathirika” “Lisaa, ninataka wachukue lisaa kuutawala mwili wa binadamu, ili isije kugundulika mapema kwamba tatizo kubwa lipo kwenye maji” “Hapo safi, na utachukua muda gani hadi kukamilisha kuwatengeneza” “Nina dakika kumi na tano mbele, nikisha watengeneza kuna kemikali nitazichanya baada ya hapo virusi watakuwa tayari kuanza kazi” “Shemeji mke wako yupo vizuri, nikuibie siri?” “Niibie tu” “Yeye ndio aliye tengeneza hili bomu la nyuklia” “Weeee!!” “Ohoo nakuambia hapo mukipata mtoto basi atakuwa genius” Kwa furaha nikajikuta nikimkumbatia Cajoli wangu.

“Hii kazi ikikamilika, ninawahakikishia mutaishi maisha ya furaha na yakijiri” “Mungu abariki katika hili” “Samahani injinia, sasa hivi mke wangu nitakuwa ninakuita injinia” “Bila sahamani mume wangu” “Hao virusi tukiwaweka kwenye maji, watasambaa kwenye maji Tanzania nzima kwa kasi ya kiasi gani?” “Yaani hawa virusi tukiwamwaga, kwa mfano kwenye chanzo cha maji ya dawasko hapa Tanga watasambaa kwa kasi ya yaa naweza kufananisha na kasi ya nini?” “Ferrari?” “Aghaa hilo ni gari mume wangu, ninaweza kuchukulia kasi ya sauti au hewa” “Duu ni kasi kibwa sana” “Yaa nahitaji hadi asubuhi kuna pambazuka tuna amka na habari hii” “Kazi nzuri mke wangu, ngoja tusikuchanganye tukuachie nafasi ya kufanya kazi” “Ahaa munaweza kubaki humu humu tu, mukaangalia jinsi ninavyo waunda” Ikatubidi mimi na shem Cajoli tubaki kuwa watazamaji wa kitu anacho kifanya Cajoli kwenye hii computer, jambo ambalo kusema kweli hadi sasa hivi sielewi kitu ambacho anakifanya kwa maana sisi wawili hatuna utaalamu wa mambohayo. Baada ya dakika kumi na tano, akatugeukia na kututazama.

“Virusi wetu wapo tayari, hapa kazi iliyo baki ni kuanza kuinda hiyo fumula niliyo iweka kwenye computer” “Hapo kumbe ulikuwa una unda fumula?” “Yaa, baada ya hapo ninachukua kemikali ambazo zinahitaji, kirusi chetu tunamuunda ndani ya dakika mbili atakuwa hai” “Sawa” “Wajina naomba zile kemikali nilizo undia bomu la nyuklia” “Poa” Shem Cajoli akatembea hadi kwenye moja ya ukuta katika hichi chumba. Kuna kijimlango cha chumba, akaingiza namba za siri kisha akakifungua. Akatoa chupa kadhaa alizo zishika kwa umakini, Cajoli akachukua glove pamoja na miwani kubwa, akazivaa na kuisogelea meza ambayo shem Cajoli ameweka chupa hizi za kemikali. Cajoli akawasha taa kubwa iliyopo kwenye meza yenye kemikali

“Nawaomba mukae mbali kidogo, kwa maana hizi kemikali sio nzuri pake zitakapo mdondokea mtu” “Sawa injinia” Tukasimama umbali kidogo kutoka katika sehemu alipo Camila, akaanza kuchanganya changanya kemikali zake haraka haraka. Alipo hakikisha zimekamilika akachukua kibakuli alicho changanyia kemikali hizo na kukiweka kwenye darubini(Microscope) na kuanza kupima.

“Njooni muone” Cajoli alizungumza huku akitabasamu sana. Tukakimbilia hadi sehemu alipo, akaanza kuchungulia shem Cajoli, kisha akanipisha mimi kuchungulia kitu anacho kiona kwenye hii darubini ya kidaktari.

Kitu ninacho kiona ni vijidudu dudu, vidogo sana na kila baada ya dakika moja vinaongezeka.

“Hivi ndio virusi?” “Yaa hivyo ndio virusi ambavyo nilikuwa nikiviunda, hapo ni lazima watu wataisoma namba” “Kazi nzuri mke wangu, sasa si tuanze na majaribio kwanza?” “Hakuna haja ya majaribio shem, hapa tunalibwaga bomu, alafu tukaa pembeni kusikilizia majibu” “Ila watu si hawato kufa mke wangu?” “Nakuhakikishia mume wangu hakuna mtu ambaye atakufa kwa maana hichi tunacho kifanya, ni kuiforce serikali hii ambayo leo hii wewe inakuita gaidi ila kesho au kesho kutwa watakuita daktari” “Kama ni hivyo ninakuomba virusi hawa tuanze kuwaachia kuanzi sasa” “Itabidi hapa tugawane kazi, vyanzo vyote vya maji yanayo tumiwa kwa watanzania tumwage hawa virusi” “Ila nimepata wazo jengine?” “Wazo gani?”

“Tukisema tutumie njia ya kupeleka kwenye vyanzo vya maji, inaweza kuwa ngumu sana. Nilicho fikiria kwamba hao virusi niwabadilishe kuwa katika hali ya hewa, nikiwaachia hewani. Wakimbilie sehemu yoyote ya maji ambayo hayajafunikwa” “Inawezekana kubadilishwa?” “Ndio inawezekana” “Basi tufaje hivyo” “Ila itachukua lisaa kufanya hivyo” “Hakuna tabu mke wangu” Cajoli kwa haraka akavuta kiti alicho kuwa amekalia. Akaanza kuminya minya batani za computer akatengeneza alicho kitengeneza kisha akarudi kwenye meza ya kemikali. Tukaa umbali kidogo, alipo hakikisha amemaliza kutengenza virusi hawa wawe kwenye njia ya hewa, akachukua kichupa kidogo na kuweka maji maji hayo kisha akakifunga.

“Hichi kichupa, wajina nitahitaji ukiweke juu ya nyumba yako ukifungue, maji maji hayo yatapungua kadri jinsi virusi watakavyokuwa akisafiri kwa hewa” “Sawa, sasa na sisi maji ya humu ndani?” “Tuanzeni kufunika, tuhakikishe kwamba maji tunayo kunywa yawe katika usalama” “Unaonaje ukatengeneza kinga yake” “Ni rahisi kuitengeneza na tutakuwa tunaitumia sisi wenyewe.” “Sawa, shem twende ukanisaidie” “Twendeni wote” Tukatoka katika chumba hichi kilichopo chini ya ardhi. Tukaanza kazi ya kufunika vyombo vyote vyenye maji. Tulipo hakikisha kwamba tumemaliza. Tukatoka nje, Cajol akanipa kichupa hicho, tukaweka ngazi sehemu ambayo ninaweza kupanda kwenda juu kirahisi. Kazi ya kupanda juu haikuniwia ugumu kabisa.

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

‘Mungu tusamehe katika hili’

Nilizungumza huku taratibu nikifungua kichupa hichi. Nikaanza kushuhudi jinsi kinavyo pungua maji yake taratibu. Nikashuka na kuwakuta Cajoli wakinisubiri,

“Kinapungua kweli aisee” “Yaa hiyo itakuwa ni kazi, hapa virusi hao wanakimbilia sehemu yenye maji. Na hewa hii itasambaa Tanzania mzima” “Vipi kwa wale wa Kenya, kwa maana hii hewa haina mipaka?” Ukimya ukatawala kati yetu huku kila mmoja akifikiria jambo hilo.

“Ngoja tuangalie itakuwaje, ikionekana vipi nao wacha waje tu. Ni moja ya biashara, unacho kihitaji wewe Dany ni pesa na nguvu” Cajoli alizungumza kwa kujiamini na kuzidi kunifanya nijione mshindi katika kisasi changu ambacho kwa sasa sihitaji kutumia nguvu sana kulipiza, ila ninatumia akili kuhakikisha maadui zangu wanaisoma namba.





Tukarudi ndani, huku kila mmoja akiwa na matumaini makubwa sana kwa kili ambalo tumelifanya.

“Kazi niliyo ibakisha ni kutengeneza antbiotic itakayo waua virusi hao endapo serikali itajitaidi na kushindwa kuhimili ugonjwa” “Ila wataweza kweli kutafuta dawa?” “Hakuna hawatoweza kutafuta dawa pasipo mimi. Kilicho salia hivi sasa ni kiwa macho katika vyombo vya habari kutazama ushindi wetu” Cajoli alizungumza na kuzidi kunipa matumaini kwa kile ambacho amekifanya. Cajoli hakuwa na muda wa kupoteza, akaanza kutengeneza dawa ya kuua virusi ambao kwa sasa tayari wemesha anza kusambaa kwa kasi kama anavyo seme. Hadi inafika saa kumi na moja alfajiri akawa amemaliza kila kitu.

“Inabidi upumzike sasa mke wangu” “Honey siwezi kupumzika hadi kufahamu ni majibu gani ambayo yatapatikana kwenye kile nilicho kifanya” “Basi twendeni sebleni, tukiwa tunasubiri kupata majibu kwenye Tv, mimi ninaendelea kutengeneza kifungua kinywa” “Shem hapo umenena la maana” Tukaelekea sebeleni huku kila mmoja akiwa na hamu na shauku ya kufhamu kilicho tokea. Shem Cajoli akawasha tv yake, mimi na Cajol tukakaa kwenye sofa moja na kuendelea kuangalia ni kitu gani ambacho kinaendelea kwa maelefu ya watanzani.

Hadi inatimu saa moja kamili asubihi hakuna taarifa yoyote ambayo inahusiana na ugonjwa ambao ni mpya.

“Jamani tunyweni chai kwanza” “Labda virusi wangu hawajafanya kazi?” Cajoli alizungumza kwa sauti ya unyonge na ya kukata tamaa, nikamvuta taratibu na kumlaza kichwa chake kwenye bega langu huku nikimpapasa pasasa kwa kiganja cha mkono wangu kwenye mgongo wake.

“Ngoja tuangalie muda mbona upo”

“Cajoli kwa hali hiyo hato kunywa chai mpaka jambo lake lifanikiwe”

“Honey twende tukanywe chai” “Hapana Dany, sina amani kabisa sipendi kufanya kitu na sikifanikiwe mpenzi wangu. Hususani kitu nimekifanya kwa ajili yako” “Natambua hilo mpenzi wangu ila ninakuomba tukanywe chai tafadhali” “Ngoja ngoja……” Cajoli alizungumza huku akichukua rimoti na kuongeza sauti kwenye tv. Sote na macho na masikio yetu yakaelekea kwenye Tv kuangalia na kusikiliza taarifa hii ya dharura katika kituo cha taiafa ya TBC1.

“Watu kumi, wamegundulika na ugonjwa ambao hadi sasa haujapatiwa jina. Ugonjwa huu ambao hadi sasa hivi haujajulikana umesababishwa na nini, umewakuta watu hao wambao kwa sasa wapo hospitali ya Taifa Muhimbili. Tujiunge na muandhishi wetu kwa taarifa kamili” Nikajikuta nikikaa vizuri kwenye sofa huku nikiitazama taarifa hii.

“Majira haya ya asubuhi wagonjwa wapato kumi wameweza kufikishwa kwenye hospitali yetu. Ugojwa huu ambao nnaweza kuufananisha na mapunye, kusema kweli kwa miaka yangu thelathini ya kazi sikuwahi kuuona. Hadi sasa madaktari wanaendelea kufanya uchunguzu kuweza kubaini kwamba ugonjwa huu umesababishwa na nini” Daktari alizungumza kisha taarifa hii ikakatishwa. Tukajikuta wote tukishangilia kana kwamba hili ambalo tumeliona ni jambo zuri.

“Baby umefanikiwa” Nilizungumza huku nikimkumbatia Cajoli kwa nguvu. Shem Cajoli naye akatukumbatia kwa pamoja kwa maana huu ni ushindi mkubwa sana kwenye maisha yetu. Tukajikuta sote watatu tukikaa kwenye meza moja na kupata kifungua kinywa kilicho andaliwa na shemeji.

“Jamani mimi inabidi niende mjini nikafanye uchunguzi kuangalia ni kitu gani kinacho endelea” “Sawa” “Wajina kama itawezekana ninakuomba umnunulie shemeji yako nguo. Si unamuona hana nguo za kueleweka” “Sawa hilo halina shida kabisa” “Shemji ikiwezekana ukiona wagonjwa huko mjini wewe wapige picha tuje kuwaona” “Hilo hata usinge lizungumza mimi ningelifanya. Nina kamera yangu, nitarekodi matukio yote. Nitakwenda hospitali karibia zote za hapa Tanga mjini, ili mradi nijionee watu walivyo kuwa” “Ila jamani tunashangilia kama mazuri” “Mmm baby huu ndio mwanzo wa kulipiza kisasa. Hapa akili ndio inahiyajika. Sijui useme uende kutumia silaha utajikuta unaingia kwenye matatizo makubwa sana” “Kweli mke wangu your genius” Shem Cajoli akamaliza kupata kifungua kinywa, akaelekea chumbani kwake akajiandaa, hakuchukua muda mwingi akatoka akiwa amejiremba sana.

“Ehee shem umejiremba kama unakwenda harusini” “Weee kwa staili hii hakuna ambaye anaweza kunigundua wala kunihisi kama mimi nipo nyuma ya mpango wa huu wa hili gonjwa jipya” “Kweli” “Wajina hakikisha unakuja na make up za kumbadilisha sura bwana mkubwa” “Usijali” Shem Cajoli akatoka nje huku akiwa ameongozana na Cajoli ambaye anakwenda kufunga geti. Cajoli akarudi ndani, kwa haraka akanikumbatia na kuanz akuninyona midomo yangu.

“Siamini kama nimefanikiwa mume wangu” “Sasa ninaanza kuona faida ya mimi kuwa na wewe” “Real”

“Yeaa akili yangu, mawazo yangu nikisha yapeleka katika utumiaji wa silha” “Usijali mume wangu, nitahakikisha kwamba tunawaangusha maadui zako wote” Taarifa nyingine ya habari inayo onyesha ongezeko la ugonjwa ambao kwa Tanzania ndio mara ya kwanza kuonekana, zikazidi kutawala kwenye kila televishion ya Tanzania. Hata mashirika makubwa kama BBC, SKY NEWS pamoja na CCN nayo yakaanza kutoa taarifa juu ya ungojwa huu.

Kadri muda ulivyo zidi kwenda ndivyo maelfu ya Watanzania ndivyo walivyo zidi kuongezeka kwa kuugua.

“Ngoja niangalie meseji kwenye simu yangu” Cajoli alizungumza huku akinyanyuka kwenye mapaja yangu, kwa maana muda wote alikuwa amelaza kichwa chake pajani. Akachukua simu yake kwenye meza ya chakula na kurudi nayo kwenye sofa.

“Wajina amenitumia picha Whatsapp” “Hembu zifungue” Cajoli alaanza kufungua picha hizi ambazo nizaidi ya ishirini.

“Mungu wangu!!” Cajoli alijikuta akishangaa, jinsi wananchi wanavyo pata shida juu ya ugonjwa huu. Mahospitalini wagonjwa wamejaa, si madaktari wala manesi nao wanaugua ugonjwa huu.

“Dany hembu angalia jamani” “Unawaonea huruma” “Ahaa jamaani roho inaniuma, sikudhani kama wale virusi wataathiri watu wengi kiasi hichi”

“Ndio hivyo honey, acha serikali ichanganyikiwe” Katika picha alizo zituma shem Cajoli, nikaona picha ya baadhi ya askariwa NSS akiwemo mkuu wao Babyanka naye akiwa ni miongoni mwa wagonjwa walio toka mapunye uso mzima.

“Dany unaonaje ukatafuta njia ya kuonana na raisi” “Ili?” “Muweze kuyamaliza haya, roho inaniuma kuona hadi watoto wadogo wakiwa katika hali mbaya kama hii” “Cajoli acha serikali itutafute, hadi jioni tutaangalia imekuwaje” Cajoli hakuwa na kipingamizi chochote katika nililo liamua. Majira ya saa tisa alasiri, wagonjwa ambao hadi sasa wameathirika wamefika idadi zaidi ya watu milioni ishirini.

“Dany kusema kweli ninazidi kuogopa kila ninapo iona hii taarifa” “Cajoli una niamini?” “Ndio ninakuamini” “Hili swala niachie mimi usiogope chochote, kwa kuwa hadi sasa hivi hakuna mgonjwa hata mmoja ambaye amefariki basi kuwa na amani moyoni mwako” “Sawa” Majira ya saa kumi na moja jioni shem Cajoli akarudi akiwa na begi kubwa la nguo pamoja na begi jengine la mgongoni.

“Jamani, sijapata ona, kwa hili pigo seriikali isipo fanya maamuzi magumu kwa ajili ya huu ugonjwa basi hadi kesho nchiwatu watakuwa na mapunye mwili mzima” Shem Cajoli alizungumza huku akikaa kwenye sofa.

“Rafiki yako hapa anaogopa” “Anaogopa nini?” “Anawaonea huruma wagonjwa?” “Weee, shosti kwa hili dili mimi ninakuambia tunakwenda kuwa matajiri” “Ila jamani tuangalie utu, watu wanateseka” “Honey ila hayo si mateso ya muda mchache” “Sawa, ila mwenzenu roho yangu inaniuma sana” Taarifa nyingine ya habari ikatufanya kukatisha mazungumzo yetu na kuitazama.

“Uchunguzi ambao tumeufanya hadi sasa hivi kwa kusaidia na madaktari kutoka nchini Marekani, tumegundua kwamba ugonjwa huu unasababishwa na maji. Tunawaomba ambao bado hawajakubwa na ugonjwa huu. Wahakikishe kwamba maji wanayo kunywa wanayechemsha kuhakikisha vilemelea vya ungonjwa huu vinakufa” Waziri wa afya alizungumza na waandishi wa habari ambao wamemzunguka.

“Bado wamefeli” Cajoli alizungumza na kutufanya tumtazame.

“Una maanisha nini wajina?” “Hawawezi kuwaua virusi kwa kuchemsha maji, kwa maana virusi wangu hawafi kwa mji ya moto” “Ngoja tuangalie” “Ila nina wazo moja” “Wazo gani?” “Nahitaji tujichome sindano za dawa ya hawa virusi hata tukiwa nje huko, kuna kupitiwa mtu unaweza ukanywa maji na kujikuta ukipata ugonjwa” “Sawa” “Shem nimekuja na make up ambazo ninahitaji kukufanyia kuibadilisha sura yako, hata ukikutana na watu ambao wanakujua washindwe kukufahamu kabisa” “Kweli, hilo mume wangu unaweza kulifanya hata ukutane na raisi” “Akutane na raisi!!?” “Ndio nimemuambia kwamba akutane na raisi ili kumshirikisha juu ya ugunduzi wa hii dawa yake” “Huoni kama inaweza kuwa hatari kwa shemeji?” “Hapana hiyo ndio itakuwa safari moja wapo ya yeye kuwa kulipiza kisasi”

“Hilo analo lizungumza Cajoli ni swala muhimu sana. Shem tuanza hiyo kazi haraka iwezekanavyo.” “Sawa” Cajoli akaelekea maabara akarudi akwia na chupa yenye dawa ambayo inaweza kutusaidi kujikinga na maambukizi ya gonjwa hili jipya. Akaanza kumchoma sindano shem Cajoli kisha, akanichoma na mimi, kisha na mimi nikachukua jukumu la kumchoma sindano hii aliyo weka dawa. Shem Cajoli akaanza kazi ya kunifanya mautundu ya sura kwa ajili ya kunibadilisha. Zoezi la shem Cajoli likachukua zaidi ya masaa mwaili.

“Hembu jiangalie kwenye kioo” Shem Cajoli akanikabidhi kioo, nikajitazama kusema kweli sura yangu imebadilika kwa kiasi kikubwa sana. Hotuba ya raisi K2 ikatufanya kuacha kila tunacho kifanya na kuitazama.

“Habari za muda huu Watanzania wezangu. Kila mmoja ninaamini atakuwa anafahamu ugonjwa huu ambao umeibuka nchini mwetu. Wanasiasa mbali mbali kutoka duniani, wamajaribu kuhakikisha kwamba wanafumbua dawa ya kuweza kuuzuia ila hadi wakati huu hakuna ambaye ameweza kutupatia jawabu la kuweleweka.

Nikiwa raisi wa Tanzania, nimeamua kufungua milango kwa madaktari wa tiba asili nao kujaribu kuliokoa taifa kwa maana ni mamilioni ya watanzania wanaugua gonjwa hili la hatari” “BINGO”

Cajoli alizungumza kwa haraka huku akinyanyuka kwa kasi katika sofa na kunikumbatia kwa furaha kwa maana mafanikio ya mpango wetu yanazidi kufanikiwa kadri muda unavyo zidi kwenda.




“Wameingia choo cha kike”

Nilizungumza huku nikiwa nimejawa na furaha sana moyoni mwangu.

“Honey kuna wao ambalo nimelipata”

“Zungumza”

“Kwa kuwa serikali imesha amua kuchukua hadi madaktari wa tiba hasili, ili kwenda kulishuhulikia hili jambo, ninakuomba uwezekutafuta namba ya simu ya raisi ili uzungumze naye moja kwa moj”

“Namba ya raisi!!?”

Shem Cajoli aliuliza huku macho yakimtoka.

“Ndio ninahitaji azungumze na raisi. Moja amuhakikishie kwamba ana dawa ambayo anaweza kutibu ugonjwa huu. Pili aingie makubaliano ya kulipwa kiasi ambacho yeye atakihitaji”

Nikaka kimya kwa sekunde kadhaa huku nikifikiria jambo alilo lizungumza Cajoli.

“Inabidi nibadilishe sauti yangu”

“Kwa nini shem?”

“Sauti yangu K2 anaifahamu vizuri sana, alisha wahi kuwa bosi wangu na nimedumu naye kwenye kazi hiyo kwa kipindi fulani hivi”

“Hilo la kubadilisha sauti honey ni jambo la muhimu sana. Kama itawezekana hii ndio itakuwa nafasi ya pekee kwetu kuwa mabilionea”

“Itawezekana, inabidi kuwasiliana na NSS, baada ya hapo wao ndio wanaweza kuniunganisha na raisi moja kwa moja”

“Kama inawezekana basi fanya hivyo mume wangu”

“Ile computer kule chini ina internert?”

“Ndio inayo”

“Twendeni”

Tukaelekea katika chumba kilichopo chini ya ardhi. Shem Cajoli akawasha computer. Nikaingia kwenye mtando wa NSS, nikaingiza namba za siri ambazo ni kupitia akaunti ya K2. Nikachukua namba ya sekretari katika kitengo cha mawasiliano. Nikamuomba shem Cajoli simu yake na kuingiza namba hizo na kumpigia sekretari.

“Tina kutoka NSS”

“Unazungumza na dokta Lameck, ninahitaji kuzungumza na raisi”

“Dokta Lameck unahitaji nini, hadi uzungumze na raisi?”

“Ametoa ofa kwa madaktari wa dawa za asili, ninahitaji kuzungumza naye moja kwa moja”

“Subiri”

Sikukata simu nikawa ninasikilizia anacho kizungumza sekretari huyu.

“Dokta Lameck raisi yupo hewani unaweza kuzungumza sasa”

“Habari yako muheshimiwa raisi”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Salama ninazungumza na nani?”

“Ninaitwa dokta Lameck David, nipo mkoa wa Tanga, nimeona huu ungojwa pamojana hutoba yako. Tafadhali kama ulivyo zungumza ninaomba nafasi ya kuweza kutibu ugonjwa huu kupitia dawa yangu”

“Nita amni dawa yako inaweza kutibu?”

“Nina amini dawa zangu zinaweza kusaidia mamilioni ya watanzania. Ila nitaifanya kazi hii kwa masharti mawili”

“Masharti gani?”

“Kwanza ninahitaji kuonana na wewe uso kwa uso, na uniandalie mgonjwa mmoja aliye athirika na huu ogonjwa, nimpatie dawa. Pili mgonjwa akipona, ili kulihudimia taifa nitahitaji serikali inilipe zaidi ya dola za Kimarekani Bilioni kumi, la sivyo sinto ifanya kazi hiyo”

Nikamshikia K2 akishusha pumzi nyingi, akakaa kimya kwa sekunde kadhaa nina amini anafikiria hili sharti langu la mwisho.

“Nimekubalina kuonana na wewe, na pia nimekubali kutoa kiasi hicho cha pesa. Sema ni saa ngapi tuweze kuonana hata kama ni usiku huu kazi hiyo iweze kuanza kufanyika mara moja”

“Muheshimiwa raisi kutokana nipo mkoa wa Tanga, ni vyema ukanitumia ndege mimi na timu yangu wa watu wawili. Wewe ndio utatuambia ni wapi tuweze kukuta na wewe”

“Ok nenda uwanja wa ndege hapo Tanga wewe na timu, mutachukuliwa katika ndege na moja kwa moja mutaeletwa hadi Dar es Salaam ikulu”

“Sawa muheshimiwa raisi”

Nikakata simu na kuwageukia Cajoli.

“Tujiandae kwa safari, tunaelekea Dar es Salaam sasa hivi”

“Sawa”

“Ila honey huu kweli sio mtego?”

“Mtego kivipi?”

“Wanaweza kutuhisi kwamba sisi ndio tumetengeneza hawa virusi”

“Hakuna ambaye anaweza kutushuku katika hilo, kwa maana akili za viongozi wengi ni juu ya hili gonjwa”

“Wajina usiwe na shaka, endapo watatubadilika nchi hii tutaigeuza juu chini, chini juu”

“Umeona eheee”

“Yaa tujiamini na wala tusiwe na wasiwasi katika hili”

“Okay”

Tukaanza maandalizi ya haraka kuelekea jijini Dar es Salaam. Kichupa chenye dawa ya kutibu ugonjwa nikakiweka kwenye brufcase maalumu ambayo sio rahisi kwa kichupa hichi ambacho ni muhimu sana kuweza kuvunjika. Nikavaa suti nyeusi ambayo ameniletea shem Cajoli. Kila mtu alipo hakikisha kwamba tumemaliza kujiandaa. Nikabeba brufcase na kueleka kwenye gari.

“Dany utaendesha”

“Honey jina la Dany life kwa sasa, muzoee kuniita Dokta Lameck David”

“Sawa dokta tumekuelewa”

Tukaingia kwenye gari, shem Cajoli akafungua geti, nikatoa gari nje, akafunga geti na kuingia kwenye gari na kuondoka hapa nyumbani kwake. Kutoka Kange hadi ulipo uwanje wa ndege ni muda wa dakika tano. Tukafika kwenye uwanja wa ndege na kupokelewa na mkuu wa wilaya.

“Dokta Lameck David”

“Yes habari yako muheshimiwa?”

“Salama, nimepokea taarifa ya ujio wenu”

“Ndio, nilizungumza na muheshimiwa raisi muda mchache ulio pita. Maandalizi ya ndege yapo tayari”

“Shukrani muheshimiwa”

Sikuona haja ya kuwatambulisha Cajoli kwa mkuu wa kilaya. Kwa jinsi ya sura yangu ilivyo badilishwa na shem Cajoli pamoja na miwani hii niliyo ivaa ni ngumu sana kwa mtu kuweza kunitambua kwamba mimi ni gaidi ambaye wananitafuta kila kukicha. Tukaingia kwenye ndege ndogo ya abiria watano. Safari ikaanza taratibu kuelekea jijini Dar es Salaam.

“Siamini kama hili swala limekwenda kama tulivyo panga”

Cajoli alizungumza kwa sauti ya chini sana ambayo sisi peke yetu ndio tumemsikia, hata marubani waliopo mbele nina imani kwamba hawajasikia kitu chochote kile.

“Mungu ni mwema”

“Ila jamani tuwe makini”

“Usijali shemji kila jambo mutaniachia mimi tukifika ikulu, nyinyi wala musizungumze kitu cha aina yoyote”

“Sawa dokta”

Ndani ya dakika arobaini na tano, tukafika jijini Dar es Salaam. Jiji ambalo niliondoka miaka kadhaa nyuma kwa kujificha ficha. Uwanja wa ndege tukapolewa na msemaji wa ikulu aliye jitambulisha mbele yetu kwa jina la Bwana Omary Saidi. Tukaingia kwenye helicopter ya ikulu iluyo kuja kutuchukua eneo hili kwa ajili ya kuepuka foleni pamoja. Taratibu helicopter ikashuka kwenye uwanja maalumu iliyopo hapa ikulu. Tukashuka kwenye helicopter, tukakaguliwa na walinzi wa hapa ikulu, kisha moja kwa moja tukapelekwa sehemu alipo raisi.

Tukaingia kwneye seble moja kubwa iliyo hapa ikulu, ambayo si mara yangu ya kwanza kuingia hapa. Kitu kilicho badilishwa kwenye hii seble ni thamani za ndani pamoja na rangi za ukutani tu.

“Muheshimiwa raisi atafika hapa ndani ya dakika tano kuna kikao ana kimalizia”

“Sawa”

“Labda muandaliwe kinywaji gani?”

“Hapana tupo vizuri”

Kama nilivyo walezea Cajoli, maswali yote wakaniachia mimi mwenyewe. Kweli baada ya dakika tano K2 na walinzi wake wawili wa kike wakafika ndani ya seble. Kwa heshima ikatubidi kusimama na kusalimiana naye. Kitendo cha kumpa mkono K2, hasira ikaanza kunipanda taratibu, mawazo ya mauaju ya familia yangu yakaanza kunijaa akilini mwangu.

‘Oohoo Mungu nisaidie’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikimtazama K2 usoni, huku nikiwa nimeachia tabasamu pana ila hasira ndio inafurukuta ndani ya moyo wangu.

“Karibuni”

“Asante muheshimiwa raisi. Ninaitwa dokta Lameck David. Huyu ni Cajol Lameck na huyu ni Cajoli Rajah”

“Ohoo ninashukuru kuwafahamu, huyu ni mke wako?”

“Ndio ni mke wangu na huyu ni shemeji yangu”

Sauti ambayo ninazungumza nayo hapa ni tofauti kabisa na sauti yangu ya kawaida ambayo K2 anaifahamu, cha kumshukuru Mungu nina uwezo mkubwa sana kwa kubadilisha sauti yangu na hata kipindi nilipo kuwa nimejibadilisha na kuwa msichana basi hakuweza kunifahamu kabisa.

“Karibuni sana wapendwa, hapa ndio ikulu ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania”

“Asante muheshimiwa”

“Tunaweza kuzungumza kikao, sijui tuzungumzie hapa au ofisini kwangu”

“Popote tu muheshimiwa, kilicho tuleta hapa ni kuhakikisha kwamba dawa ambayo tumeitengeneza basi inaweza kwenda kukabiliana na ugonjwa huu mpya unao endelea kumiza mamilioni ya Watanzania”

“Kweli hilo ndio jambo nilio penda kulisikia na ndio maana hata ulipo wasiliana nami niliweza kujawa na imani kubwa sana juu yako”

“Sawa muheshimiwa raisi, nitahakikisha kwamba hakuna jambo ambalo linakwenda kuharibika. Kikubwa ni kuanza kufanya majaribio ya haraka kwa mgonjwa ambaye ameathirika na huo ugonjwa”

“Mgonjwa yupo, na anasubiri matibabu yenu”

“Tunakuomba tumuone”

“Sawa”

Tukaondoka na raisi na kuelekea kwenye hospitali iliyomo humu ndani ya Ikulu. Tukaingia kwenye moja ya chumba, tukamkuta mtoto wa K2 akiwa hoi bin taabani.

“Huyu ni mwangu, huu ugonjwa ulimpata masaa matatu nyuma. Ujio wenu ninaimani mutamsaidia, hapa ninazunguma kama mama na si raisi. Dokta Lameck ninakuomba na timu yako kama kuna uwezekano wa mwangu kupona nitawaongezea mara mbili ya kiasi cha pesa ambacho mulikihitaji kutoka katika serikali yangu”

K2 alizungumza huku machozi yakimlenga lenga, nikatzamana na Cajoli, mwili mzima ukanisisimka baada ya kusikia maneno ya K2, hasira ya mauji ya mwangu pamoja na familia yangu ikaanza kunipanda mawazo ya kumuu mtoto wa K2 ikaanza kunijia kichwani mwangu taratibu na nikadhamiria kuhakikisha kweli leo ninaondoa maisha ya mtoto wa K2.




“Nimekuelewa muheshimiwa raisi, tafadhali tungeomba nafasi ili kuweza kumtibu mwano” “Hakuna shida mimi nipo tayari kukaa hata hapo nje ili mradi mwanangu aweze kupata matibabu na kupona”

“Sawa ila muheshimiwa raisi ninahitaji uweze kuitunza ahadi yako katika hili ulilo lizungumza” “Usijali dokta Lameck” “Okay” K2 akatoka nje na walinzi wake. Nikautazama mlango baada ya kufungwa, nikataka kwenda kuufunga ila Cajoli akaniwahi kunishika mkono.

“Unataka kufanya nini?” “Nahitaji kuufunga mlango” “Dokta Lameck” Cajoli alizungumza kwa sauti ya chini huku akinisogelea karibu yangu

“Natambua kwamba una hasira kali na unakisasi cha kikali dhidi ya K2. Tafadhali ninakuomba utulie” “Shem ni kitu gani kinacho endelea” “Nipo sawa shem tuanzeni kazi” Kila mmoja akachukua gloves nyeupe na kuzivaa viganjani mwake.

“Hapa hakuna kazi kubwa inatubidi kumchoma sindano huyu kijana” Cajoli alitoa maelekezo huku mimi nikifungua brufcase na kutoa kichupa cha dawa. Nikamkabidhi Cajoli akaisingiza sindano na kuvuta dawa kidogo na kumchoma kijana huyu kwenye mkono wake.

“Itachukua dakika thelathini kwa virusi wote kufa mwilini mwake.” “Una uhakika na unalo lizungumza?” “Yaa nina uhakika honey, tukae humu ndani ya hichi chumba hadi dakika hizo zitakapo kwisha” “Sawa” Kazi iliyo bakia kwentu ikawa ni kutazama saa ya ukutani jinsi inavyo zungusha mishale yake taratibu, kila nilipo jaribu kumtazama mtoto wa K2 roho ya kishetani na ya mauji inanikaba kooni mwangu huku moyoni mwangu nikisikia sauti mbili zikipingana, moja ikinihitaji nimuue mtoto wa K2 iwe njia moja ya kulipiza kisasi, huku roho nyingine ikinihitaji kuwa mvumilivu nichukue kiachi cha pesa alicho kizungumza K2 na niondoke zangu.

“Dokta” Shem Cajoli aliniita na kunifanya nigeule, nikamkuta akiwa amesimama pembeni ya kitanda cha mtoto wa K2. Mapunye punye yote yoliyo kuwa mwilini mwake yote yametoweka. Amerudi katika hali yake kama kawaida.

“Mambo kijana” Cajoli alizungumza huku akimtazama mtoto huyu usoni mwake.

“Safi” “Unajisikiaje?” “Vizuri tu” “Unaweza kushuka kitandani?” “Ehee” “Shuka” Kijana huyu akashuka kitandani, Cajoli akamshika mkono na kumsimamisha mbele ya kioo kilichomo kwenye hichi chumba kijana, huyu akaanza kujishangaa mwili wake jinsi ulivyo rudi katika hali yake ya kawaida.

“It’s me real” “Yaa ni wewe” “Mom” Mtoto huyu akaita kwa nguvu na kuwafanya walinzi wa K2 kuingia kwa haraka ndani ya chumba hichi. K2 akaingia, alipo muona kijana wake amerudi katika hali ya kawaida, akamkimbilia na kumkumbatia kwa nguvu huku akimpiga mabusu mfululizo mashavuni mwake. Machozi ya asira yakaanza kunilenga lenga, upendo anao uonyesha K2 kwa mwanaye kusema kweli roho yangu ina niuma sana.

“Dokta Lameck asante sana” K2 alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake. Nikabaki kutabasamu tu kwa maana sihitaji kuzungumza, isije kinywa changu kikateleza na kuvuruga hali ya hewa bure.

“Mom nimepona” “Yaa I see my son” K2 akatuomba tutoke katika chumba chumba hichi. Moja kwa moja tukalekea katika ukumbi wa mikutano ambapo hapo tukakutana na madaktari wengine ambao wameshindwa kutengeneza dawa ambayo inaweza kuwaua virusi hawa wanao tesa mamilioni ya Watanzania.

“Munaweza kukaa” K2 alizungumza huku akielekea kwenye kiti kilichipo mbele ya meza hii kubwa na ndefu yenye viti zaidi zaidi ya kumi kwa kila upande. Muhudumu katika ukumbi huu wa mkutano, akatonyesha viti vya kukaa katika hii meza. Taratibu tukaketi huku macho yangu nikiyapitisha pitisha kwa madaktari hawa ambao hakuna hata mmoja ambaye ninamtambua.

“Mabibi na mabwana, ninawatangazia kwamba dawa ya Virusi hivi vilivyo sambaa kwa maji, imepatikana kutana na dokta Lemeck David pamoja na timu yake” Ikatubidi sote watutu kusimama ili watu waweze kutuona.

“Dokta Lameck David pamoja na timu yake, wameweza kugundua dawa ambayo. Nilijitolea kufanyiwa majaribio katika mwili wa mwanangu na kama munavyo weza kumuona, mwangu yupo salama kabisa na ana afya nzuri na amerudi katika hali yake ya kawaida.” Madaktari wpte waliomo ndani ya ukumbi huu wakaanza kupiga makofi wakifurahia jambo kupatikana kwa dawa ambayo inaweza kuua virusi vinavyo endelea kuwatesa mamilioni ya Watanzania.

“Kusema kweli ninayo furaha kutoka moyoni. Nikiwa kama mama ninaumia kuona watanzani wanateseka, watanzania wanasitisha kazi zao. Leo nimepokea taarifa juu ya ajali nyingi barabarani. Utakuta dereva anakunywa maji na kupata ugonjwa huu, mwisho wa siku anashindwa kabisa kuhimili gari kwa kuchanganyikiwa na anajikuta akipata ajali. Kwa uvumbuzi wa dokta Lameck David, ningeomba sasa atupatie ufafanuzi wa hii dawa yake, pamoja na matumizi yake. Dokta Lameck David karibu sana” K2 alizungumza akiwa na furaha sana, nikashusha pumzi taratibu huku nikiwa na tabasamu pana usoni mwangu ila laiti kama mioyo yetu inge kuwa inaonekana kwa nje, basi K2 asinge niruhusu hata nimkaribie karibu yake. Taratibu nikasimama huku nikiwawazama madaktari katika chumba hichi.

“Habari za usiku” Watu wote wakaitikia, nikaliweka vizuri koti langu la suti kisha nikajikoholesha kidogo na kuiweka miwani yangu sawa ili mradi yote ni madoido ya kulisoma eneo la humu ndani.

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Kama muheshimiwa riasi alivyo weza kutanguliza utambulisho wetu, basi si vyema nikalisema jina langu kamili. Ninaitwa dokta Lameck David Alimeida, ni mtanzania halisi ila nimeweza kusoma inchini India, na nimesomea maswala ya udaktari na ugunduzi wa madawa. Wiki moja iliyo pita niliweza kuingia nchini Tanzania, nikitokea India, nikiwa nimemaliza miaka tisa ya kusomea maswala ya ugunduzi wa dawa za magonjwa sugu kama HIV, EBOLA, na kadhalika.” Nikanyamaza kidogo na kuiweka sawa miwani yangu, kwani kitu ninacho kizungumza vyote ni uongo mtupu na laiti wangejua kwamba sisi ndio chanzo cha virusi hawa wasinge kubali hata kukaa meza moja na mimi.

“Leo asubihi nilipo weza kuona ugonjwa huu wa kutisha, ikanilazimu mimi na timu yangu kuweza kuanza harakati za kutengeneza dawa ambayo itaweza kuokoa maisha ya mamilioni ya Watanzania. Tulipo hakikisha kwamba tumefanikiwa kutengeneza dawa hii kwa haraka iwezekanavyo, niliweza kuchukua jukumu la kumpigia raisi simu, huku nikiwa tayari nimesha fanya jaribio kwa mgonjwa mmoja ambaye ni jirani kabisa na sehemu ninayo ishi.” “Ninamshukuru mama hapa, muheshimiwa raisi kwa kuweza kuwa msikivu, Mungu aliweza kumuongoza, na kutukubalia vijana wake kuja kufanya hichi ambacho tayari tumesha kifanya. Nilikaa na timu yangu nikaona kwamba dawa hii tuipe jina la K2, jina la raisi wetu, kwa maana ni mama shupavu na ni mama ambaye ninaimani atalifikisha mbali taifa letu” Ukumbi mzima ukalipuka kwa makofi, laiti kama watu wengeruhusiwa kupiga vigelele gele basi wangepiga kwa shangwe sana. Yote niliyo yazungumza yanatoka kinywani mwangu na si moyoni mwangu, nimeyazungumza kuhakikisha kwamba ninazidi kuiteka akili ya K2 pamoja na watu wake.

“Ohoo this is real suprize, sikutarajia kama dokta Lameck unaweza kuipa dawa yako jina langu” “Yaa ninakuomba ulipokee kwa mikono yote muheshimiwa raisi” “Sawa, mimi sina kipingamizi katika hilo. Dokta Lameck nafani ni yako sasa, kuunda timu yako itakayo fanya kazi chini yako kuhakikisha kwamba untengeneza dawa nyingi nyingi za kuwaponya wagonjwa” “Nashukuru muheshimiwa raisi kwa cheo hicho. Ila ninawazo moja kubwa, ambalo linaweza kuifanya Tanzania kupona kwa wakati mmoja na kama si wakati mmoja basi watapishana kwa dakika kadhaa tu”

“Zungumza tu dokta Lameck” “Kutokana ugonjwa huu umeenea kwa maji,basi tunataka maji hayo kuweza kuyaweka dawa yetu, na itakwenda kuua virusi wote ambao wapo kwenye hayo maji na hii itakuwa ni njia raisi kwako muheshimiwa raisi kuwatangazia wananchi kwamba maji wanayo yatumia ni salama na ni dawa kwao” “Your so real genius. Sijui siku zote ulikuwa wpai kijana mwenye akili kama wewe?” “Nilikuwa India”

Jibu langu likawafanya watu wote ndani ya ukumbi kucheka,hata K2 mwenyewe akacheka sana.

“I real like you dokta Lameck. Okay, madaktari wote sasa hivi mutakuwa chini ya dokta Lameck, mutahakikisha kwamba munafanya naye kazi kwa usihirikiano kuhakikisha kwamba hadi inatimu saa moja asubihi basi kila jambo lipo kwenye mstari na huu ungonjwa, utakuwa ni historia kwenye nchi yetu” “Sawa muheshimiwa” “Dokta Lameck na timu yako ninawaomba tuongozane” Kikao kikaishia hapo, huku moyoni mwangu nikiwa nimejawa na matumaini makubwa sana ya ushindi katika ulipizaji wa kisasi. Tukaingia na raisi ofisini kwake.

“Nimeona niwatangulizie nusu ya pesa, ili muweze kupata nguvu ya kufanya kazi” “Sawa, muheshimiwa tutashukuru sana” K2 akachukua mkonga wa simu iliyopo mezani mwake, akaminya minya namba kadhaa kisha akapiga simu.

“Habari yako mkurugenzi” “Ninahitaji muweze kuingiza pesa katika akauti nitakayo kutumia dakika chache kuanzia hivi sasa. Na nitahitaji muingizi dola za kimarekani bilioni kumi” “Sihitaji msawali fanya kama nilivyo kuagiza” K2 akakata simu na kuirudisha sehemu alipo itoa.

“Watanzania bwana, mtu umemueleza kitu cha kueleweka, ila bado anahoji msawali” K2 alizungumza huku akitutazama kwenye nyuso zetu.

“Ndio nchi yetu muheshimiwa raisi” Cajoli alijibu.

“Kweli Cajoli si ndio?” “Ndio” “Ninaomba munipatie namba ya akaunti yenu” Cajoli akataja namba yake ya akaunti, K2 akaituma kwa mkurugenzi wa benki. Ndani dakika tano meseji ikaingia kwenye simu ya Cajoli akatuonyesha sote. Nilihisi kuchanganyikiwa kwa furaha kwa maana kwenye maisha yangu sikufikiria kumiliki kiasi kikubwa cha pesa kama hichi.

“Mukiifanya hii kazi, ninawahakikishia hiyo pesa nyingine ninawaongezea kutoka mfukoni mwangu mimi mwenywe” “Sawa muheshimiwa raisi” “Ngoja sasa niwapeleke maabara” Tukatoka katika ofisi ya raisi akatupeleka kwenye maabara. Akatuacha ndani ya maabara kwa ajli ya kuanza kuifanya kazi yetu.

“Shem jamani nina ushauri” “Ushauri gani?” “Ninakuomba Cajoli hiyo pesa uweze kuihamishia kwenye akaunti nyingine, isije ikatokea ikarudishwa, tukawa tumefanya kazi bure” “Kweli, ngoja niiweke kwenye akaunti yangu ya Dubai” “Sawa” Cajoli akaanza kuminya minya simu yake. Baada ya dakika tano akanyanyua uso wake ulio jaa tabasamu pana sana.

“Dubai wamekubali kuipokea pesa yangu na kuiingiza kwenye akaunti yangu” “Kumbe huwa wanasumbua sana?” “Sana, mara nyingi wanahofia kuingiziwa pesa za ufisadi na kuchafua jina la nchi yao” “Hapo kweli, sasa nitahitaji tuandae chupa za maji ishirini na nne. Kila chupa tuweze kuweka dawa, baada ya hapo chupa zote nitahiji tumuombe muheshimiwa raisi aweze kuzisambazo chupa hici kwenye vyonzo vyote vya maji” “Sawa dokta” Kabla hatujaanza kufanya jambo lolote, mlango wa maabara ukafunguliwa. Wakaingia wanaume wawili walio jazia miili yao kwa mazoezi huku wakiwa wamevalia sare za jeshi. Wakaniangalia kisha mmoja akazungumza kwa sauti nzito.

“Dokta Lameck David Almeida ongozana na mimi” Mapigo ya moyo yakaanza kunienda kasi, nikamtazama Cajoli, ninamuona kabisa amejawa na wasiwasi unao pelekea hadi kuanza kulengwa lengwa na machozi.





“Usijali, honey ninakuja. Endeleeni na kazi ambayo nimewaachia” “Sawa doktar” Shem Cajoli alinijibu, nikatoka ndani ya maabara na kuongozana na wanajeshi hawa ambao mmoja ametangulia mbele huku mmoja akiwa nyuma yangu. Sikuhitaji kufahamu kwamba ninapelekwa wapi pia sikuhitaji kuonyesha wasiwa wangu usoni. Tukaingia kwenye moja ya ofisi, nikakuta wakuu wa jeshi wapatao sita wakiwa na vyeo vya juu kabisa.

“Kaa pale” Mwanajeshi mmoja niliye kuja naye alizungumza huku akinitazama usoni mwangu. Taratibu nikatembea hadi kwenye kiti walicho niomba nikae kisha wanajeshi hawa wawili wakatoka ndani ya ofisi na kuniacha na walinzi hawa.

“Habari yako dokta Lameck David?” “Salama tu” “Tunatambua machango wako katika katifaa, muda mchache tumeweza kuangalia kikao chako ulicho kuwa unazungumza na raisi pamoja madaktari, ila tunakuomba kukuhoji maswali mawili matatu kama huto jail” Mzee mmoja mweusi alizungumza huku akiwa amenikazia macho usoni mwangu. Kwa kujiamini nikaanza kutazama kila sura ya kiongozi hawa wa jeshi waliomo humu ndani, kisha nikashusha pumzi kimya kimya pasipo mtu yoyote kuweza kugundua kwamba ninaouondoa wasiwasi wangu moyoni mwangu.

“Kabla hujaniuliza swali lolote muheshimiwa. Ningependa kufahamu kwamba kikao hichi raisi anakifahamu?” Wakuu hawa wajeshi wakatazamana kisha mzee ambaye ndio muongeaji tangu nifike humu ndani akanijibu.

“Ndio raisi anakitambua hichi kikao” “Ningeomba nizungumze naye kwenye simu ili niweze kukubaliana nanyi kwa kile munacho kizungumza” “Kwa nini unahitaji kuzungumza na raisi?” Mzee mwengine alizungumza baada ya kuona ukimya ulianza kuchukua nafasi yake.

“Nimekuja hapa kwa mamlaka ya raisi, nilizungumza naye kwenye kikao na amenipa majukumu ya kufanya. Nimekuja kunichukua nikiwa katikati ya kazi ambayo nimekabidhiwa na raisi, ndio maana nikahitaji kuzungumza na raisi” “Dokta Lameck tulikuita hapa kwa dakika japo tano, tulihitaji kuhoji maswali mawili matatu” “Siwezi kujibu maswali yenu pasipo idhini ya muheshimiwa raisi kwa hiyo ninawaomba munirudishe kule mulipo nitoa nikaendelee na kazi yangu kwa maana timu yangu haiwezi kufanmya kazi pasipo mimi” Wazee hawa wakaka kimya kwa maana akili zao nilisha zisoma kwa haraka sana ndio maana nikaamua kuwakatisha kwa kigezo cha kuhitaji kupata jibu kutoka kwa raisi, kutokana na kikao hichi kuto kuwa na uhalali wowote.

“Munaweza kuingia” Mzee ambaye alikuwa ni mzungumzaji alizungumza kwa sauti ya msisitizo huku akiwa ameminya batani kwenye simu iliyopo juu meza. Wakaingia wanajeshi ambao walinileta humu ndani.

“Mrudisheni maabara” “Sawa mkuu” Nikanyanyuka kwenye kiti nilicho kalia, moja kwa moja nikaongozana na wanajeshi hawa nilio kuja nao. Moja kwa moja tukarudi maabara na kuwakuta Cajoli wakinisubiria. Wanajeshi hawa walipo funga mlango na kuondoka, Cajoli akanifwata kwa haraka na kunikumbatia kwa nguvu huku akiwa amejawa na furaha.

“Wamekuambiaje?” “Nilikutana na viongozi wa jeshi walihitaji kunihoji maswali ila nikakataa kuhojiwa” “Umekataa!!?” “Ndio nimekataa kutokana sio kikao rasmi” “Kivipi shem?” “Ni kikao ambacho kimeitishwa na viongozi hao wa jeshi, ila raisi alikuwa hakifahamu” “Hapo umefanya jambo la muhimu sana mume wangu. Sasa tumesha weka dawa katika chupa zote ambazo ulihitaji tuziweke maji. Zipo tayari kwa kutumika” “Tunahitaji kuzungumza na raisi sasa, tumuambia kwamba kazi imekwisha kilicho baki ni dawa hii kusambazwa kwenye vyanzo vyote vya maji mikoani mwote” “Sawa” “Ngoja nikazungumze naye” “Sawa” Nikafungua mlango wa maabara na kutoka, nikamuuliza mlinzi mmoja sehemu ambayo ninaweza kumuona raisi. Akaniomba niongozane naye hadi kwenye ofisi, akazungumza na walinzi wa raisi, mmoja akaingia ndani ya hii ofisi iliyo tengenezwa kuta zake kwa vioo. Idadi ya viongozi waliomo ndani ya ofisi hii ninao waona kwa nje wanafika kumi na tisa, wengi wao wamevalia mavazi ya jeshi, huku ni wachache sawa ndio wamevalia suti. Nikamuona mlizi wa raisi akimnong’oneza K2 masikioni. K2 akanitazama kisha taratibu akanyanyuka kwenye kiti na kutoka nje na mlinzi wake.

“Ndio dokta Lameck” “Kazi imakamilika muheshimiwa raisi”

“Dawa mumetengeneza katika muundo gani?” “Muundo wa maji, ambayo yatamwagwa katika vyanzo vyote vya maji kwa kila mkoa, na maji hayo yatakapo samba, yataua kila kirusi kinacho patikana kwenye maji na wananchi wakitumia baada ya nusu saa watapona” “Safi sana daktari basi itabidi chupa hizo zikabidhiwe kwa wakuu wa mikoa na kazi ianze kufanyika usiku huu huu”

“Ni kweli muheshimiwa” “Ninashindwa kuongozana na wewe kwa maana nina kikao muhimu sana, nchi ipo katika kushambuliwa?” “Kushambuliwa?” “Ahaa wewe ni daktari haya ni mambo ya ulinzi zaidi, kwa hiyo sio vyema nikakuelezea” “Sawa ila kama kutakuwa na mbinu yoyoyote ya kuwasidia ninaweza kuwasaidia” “Hakuna tatizo. Anjelina ongozana na daktari Lameck hadi maabara atakupa kazi ya kufanya. Ukimalizia hakikisha munawapeleka yeye na timu yake katika chumba cha kupumzikia” “Sawa muheshimiwa raisi” Nikaongozana na mmoja wa walinzi wa raisi moja kwa moja tukaelekea hadi kwenye maabara, nikampa maelekezo ya kitu gani kifanyike akatii.

“Raisi ameniambia kwamba nchi ipo katika kushambuliwa” “Ipo katika kushambuliwa, kivipi?” “Hakuniambia kwa undani sana, ila kutokana tumeshapata mkwanja wetu ambao tuliukusudia kilicho baki ni kurocha rocha” “Ndio nini shem?” “Kuondoka” “Hahaa haki ya Mungu kumbe shem una maneno ya kihuni namna hiyo?” “Furaha tu” “Tunaweza kwenda chumba cha mapumziko” Mlinzi wa K2 alizungumza, tukatoka naye na kuongozana naye kweneye kordo zilizopo humu ndani ya ikulu. Kitu ambacho kinanishangaza ni hekaheka za wafanyakazi wa ikulu. Kila mmoja anaonekana kuwa bize sana usiku wa siku ya leo.

“Kuna kitu gani kinacho endelea dada?” “Hakuna kitu dokta” “Kweli dada?” “Ndio daktari, nilicho agizwa ni kuwapeleka katika chumba cha kupumzikia na hapo munaweza kumsubiri raisi” Angelina alizungumza kwa sauti ya msisitizo na kutufungulia katika chumba ambacho amegizawa tuweze kuwepo. Chumba hichi telvishion kubwa, masofa pamoja na friji kubwa.

“Tunashukuru” “Karibuni sana” Angelina alizungumza na kuondoka, shem Cajoli akajitupa kwenye kitanda huku akiwa na amechoka.

“Tumesha kuwa mabilionea jamani. Huu siamini” Shem Cajoli alizungumza huku akijilaza vizuri kwenye sofa alilopo.

“Mungu ni mwema, ninaamini mimi na mume wangu hapa tunakwenda kufunga bong…………” Cajoli hakumalizia sentensi yake, soite tukajikuta tukistushwa na mtetemesho mzito wa ardhi. “Ni nini hicho mume wangu” Cajoli alizungumza huku akinikimbilia na kunikumbatia.

“Lala kwenye sofa” Nilizungumza huku nikimlaza Cajoli kwenye sofa.

“Ninawaomba munisubirie hapa hapa ninakuja” “Dany” Cajoli aliniita jina ambalo hatukukubaliana kuniita, sikumjibu kitu chochote zaidi ya kuufunga mlago kwa nje. Kila mtumishi wa ikulu, anakimbia kuelekea anapo pafahamu yeye. Walinzi wa raisi nao wapo bize katika kukatiza kila kona ya hii ikulu, ikiashiria kwamba hali kwa sasa ipo mbaya. “Dada, dada, dada kuna nini huko nje?” Nilimuita dada mmoja huku nikimshika mkono kwa maana yupo katika harakati za kuyaokoa maisha yake.

“Magaidi, magaidi” “Wapo wapi?” “Waneivamia ikulu” “Mungu wangu!!” Nilijikuita macho yakinitoka, kwa haraka nikarudi ndani ya chumba ambacho nimewaacha Cajoli na shemeji.

“Tunatakiwa kuondoka hili eneo sasa hivi” “Kuna nni huko nje Dany?” “Ikulu imevamiwa na magaidi” “Imevamiwa na magaidi?” “Ndio, hatuna muda wa kuzungumza, tutafute njia ya kuondokea hapa ikulu haraka iwezekanavyo” Nilizungumza huku jasho likinimwagika usoni mwangu. Taratibu nikaanza kutembea kwa mwendo wa tahadhari hadi mlangoni. Nikaufungua mlango na kuchungulia nje, nikaona watu walio valia nguo nyeusi wakipambana na kikosi cha walinzi wa raisi.

“Jificheni nyuma ya masofa hakikisheni munanisubiria hapo” “Shemeji ninakuomba twende wote” “Hapana baki na Cajoli” “Shemeji mimi nipo vizuri sana kwenye maswala ya upambanaji kwenda peke yako inaweza kuwa hatari sana kwako” “Ok Cajoli baki hapo sawa?” “Sawa” Cajoli alinijibu huku machozi yakimwagika usoni mwake. Kitu nilicho kigundua kwa mke wangu, ni mwepesi sana kwenye swala la kumwagikwa na machozi. Tukatoka na shem Cajoli na kuanza kutembea kwa tahadhari kwenye kordo hii, huku macho yetu yakiangaza huku na kule kutafuta bunduki kwa maiti yoyote ambayo imepigwa risasi. Nikabahatika kupata bastola mbili, kutoka kwa mlinzi mmoja wa raisi niliye mkuta ameuwawa.

“Chukua hii” Nilizungumza huku nikimkabidhi shem Cajoli bastola mmoja, taratibu tukaanza kutembea kwa kunyata na kwa umakini katika hii kordo.

“Shem tunakwenda wapi?” “Kumtafuta K2” “Shem ngoja kwanza, K2 ni wa kazi g

ani kwa sasa. Kwa nini tusitafute njia ya kuondokea humu ndani” “Cajoli huu ndio muda wangu wa kuhakikisha kwamba ninaiondoa roho ya K2, sina nafasi nyingne nitakayo ipata kwenye maisha yangu zaidi ya hii” Nilizungumza kwa msisitizo huku nikiwa nimekazia macho shem Cajoli, usoni mwake, hakuwa na cha kubisha zaidi ya kutingisha kichwa kukubali kwa kile nilicho kizungumza mimi.




CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/


Tukaendelea kusonga mbele kuhakikisha kwamba ninampata K2, sehemu tulipo hijika kuua na kupambana na magaidi hawa ambao hadi sasa hivi sifahamu wametokea wapi na wala wametumwa na nani, ilitubidi kupambana kuyaokoa maisha yetu.

“Dany sidhani kama raisi anaweza kuwa hapa” Shem Cajoli alizungumza huku jasho likimwagika usoni mwake.

“Turudi” Tukaanza kukimbia kwenye kordo hii ndefu huku tukiwa katika sana. Tukafika katika chumba ambacho tulimuacha Cajoli. Kila mmoja wasiwasi mwingi ulianza kupata baada ya kukuta chumba kikiwa kitupu kabisa.

“Cajoli” Nilianza kuita huku nikiwa nimechanganyikiwa sana, tukawa tunasaidiana na shem Cajoli kumtafuta mke wangu ila hatukupata mafanikio yoyote. Hatukutaka kubaki ndani ya chumba hichi tukatoka na kueleka katika baadhi ya vyumba ambavyo tunahisi kwamba tunaweza kumpata Cajoli ila hatukufanikiwa kuweza kumpata.

Tukiwa katika kutafuta tafuta kwenye hivi vyumba, jeshi la ulinzi wa taifa likafika ikulu na kuwadhibiti magaidi ambao wamesalia katika ikulu.

“Dokta Lemeck David” Mkuu wa jeshi alinifwata huku akionyoosha mkono wake mbele.

“Ndio muheshimiwa” “Ninaitwa generali Dickson Konzo. Kwanza tunaomba pole kwa kila jambo ambalo limejitokeza kwa wakati huu” “Shurani muheshimiwa” “Muheshimiwa raisi alitutuma tuweze kuja kukuchukua katika eneo hili wewe pamoja na timu yako na ninamshukuru Mungu kwamba tumefanikiwa kukukuta hai” “Ni kweli, ila mke wangu hadi kwa sasa sijaweza kumuona” “Timu mzima, hakikisheni kwamba munatafuta kila eneo kuhakikisha kwamba tunampata mke wa doka Lameck David, ana asili ya kiarabu” Generali Dickson Konzo alizungumza kupitia simu yake ya upepo kufikisha ujumbe kwa vijana wake alio kuja nao katika eneo hili la ikulu.

“Muheshimiwa raisi anatusubiria kwenye kambi yetu ya jeshi” “Sawa generali, ila siwezi kuondoka eneo hili hadi niweze kumpata mke wangu” “Mke wako atapatikana, kikubwa ni kwenda kusikiliza wito wa raisi kwa kile anacho kuitia” Tukatazama na shem Cajoli, akatingisha kichwa chake akiniomba nikubaliane na kile alicho kizungumza mkuuw a kikosi hichi kilicho kuja nacho hapa.

“Ninakuomba unahakikisha kwamba unamtafuta mke wangu popote pale alipo” “Sawa dokta Lameck tutahakikisha kwamba mke wako anapatikana” “Shukrani” Tukaongozana na wanajeshi wanne, tukaingia kwenye gari nyeusi aina ya Hammer, ambazo nyingi zinatumiwa na wanajeshi. Katika gari letu kuna wanajeshi wawili walio kaa siti ya mbele huku nyuma kukiwa na gari jengine la jeshi likitusikindikaza katika safari hii. Safari ya kuepelekwa kwenye kambi ambayo hadi sasa hivi hatuitambui ikaanza. Tukapia katika daraja la Kigamboni, hapo ndipo nikaelewa ni wapi tunapo elekea, tukiwa katikati ya daraja hili, kwa mbele tukaona gari mbili nyeusi zikitufwata kwa kasi.

“Dereva vipi?” Niliuliza huku nikimtazama dereva wa huli gari.

“Hizi gari wala zizielewi”

Dereva huyu alizungumza huku mwili ukimtetemeka sana, nikashindwa hata kuelewa kama huyu ni mwanajeshi wa namna gani. Dereva wa gari letu akafunga breki za gafla, gari lililopo nyuma yetu, likatupita kwa pembeni na kutangulia. Cha kushangaza gari mbili zilio kuwa zinakuja mbele yetu kwa wmendo wa kasi zikasimama na kugeuza kuelekea tunapo elekea sisi.

“Hawa ni NNS” Dereva alizungumza kwa sauti iliyo jaa utetemeshi mwingi sana. Taratibu nikashusha pumzi huku kwa mkono wa kulia nikimshika shem Cajoli ambaye muda wote yupo kimya sana. Tukafika kwenye kambi ya jeshi iliyopo hapa Kigamboni. Tukasindikizwa kwenye ukumbi wa mikutano na kumkuta raisi pamoja na walinzi wake, huku kukiwa na wakuu wengine wa jeshi.

“Karibu dokta Lameck” K2 alizungumza akiwa na tabasamu usoni mwake.

“Shukrani muheshimiwa raisi” Nikaka kwenye moja ya kiti, kisha shem Cajoli naye akaka kiti cha pembeni yangu.

“Dokta Lameck nimeshauriana na wakuu wa jeshi hapa, tukaona ni vyema tukushirikisha katika hali hii ambayo inaendelea hapa Tanzania” K2 alizungumza huku akinitazama uosni mwangu. Nikabaki kimya nikiendelea kumsikiliza kwa umakini sana.

“Tanzania, katika siku chache zilizo pita, tuliingia katika mfarakano wa kidiplomasia na nchi ya Somali. Tatizo kubwa lililo tokea kati yetu sisi na Somalia, ni tukio la inchi ya Somalia kumtunza gaidi ambaye siku zote tulikuwa tunamtafuta kwa udi na uvumba” Tv kubwa iliyopo katika chumba hichi cha mikutano ikaonyesha picha yangu kipindi nipo katika kiosi cha Al-Shabab. Mwili mzima ukaanza kuzizima huku mapigo ya moyo yakinienda mbio sana, kitendo hichi shem Cajoli aliweza kukistukia kwa haraka sana na kujikuta akinifinya taratibu pasipo mtu yoyote kutuona.

“Jina lake anaitwa Daniel, alikuwa ni miongoni mwa wasaidizi wangu katika kikosi cha NSS. Kwa hapo awali alikuwa ni kijana mzuri sana, mwenye werevu na msikivu. Ila alibadilika gafla, na kuwa miongoni mwa magaidi ambao ni hatari sana Afrika” Maneno ya K2 yakaanza kunipandisha hasira taratibu hadi nikajikuta nikianza kukunja vidole vyangu vya miguuni taratibu japo nimevaa viatu vinavyo bana ila vidole vinamejikunja pasipo kupenda.

“Hii ni video ambayo inamuonyesha Dany akiwa katika mpango wa kulipua Tanzania kwa bomu la nyuklia” Video ikaanza kuonekana kwenye tv hii kubwa. Kitu kinacho nishangaza Dany ninaye muona kwenye hii video anafanana kabisa na mimi, sauti ni kama mimi, pembeni yake amesimama baba Hawa, pamoja na Hawa mwenyewe.

“Tanzania, ujumbe huu ninautuma kwa muheshimiwa raisi. Umeweza kuua vijana wangu katika uongozi wa raisi aliye pita kwa ukatili mkubwa sana. Nikaka kimya na kuiheshimu nchi yako kutokana ndio nyumbani kwangu nilipo zaliwa. Ukaona haitoshi, ukaua vijana wangu wengine ambao hawakuwa na mpango na wowote na nachi yako japo walikuwa wamejificha katika mapango ya Amboni kwa ajili ya usalama wao na mafunzo yao binafsi lakini wewe ukaingilia na kuwatekeza wanajeshi wangu hao. Hivyo basi muheshimiwa raisi K2 ifikapo tarehe kumi na mbili mwezi huu, tutahakikisha nchi yako itateseka na bomu la nyuklia litakwenda kulipuka majira ya saa sita mchaba baada ya wananchi wako kuteseka na kuumia vya kutosha.” Nikajikuta nikishusha pumzi na kujiuliza Dany huyu ninaye muona kwenye hii video ametokea wapi na imekuwaje Al-Shabab wamemtumia mtu anaye fanana na mimi katika kuhitaji kutekeleza azimio lao.

“Magaidi hawa, tayari wao ndio wamesababisha virusi hawa kwa kutumia maji, na tunashukuru sana dokta Lameck David kwa kuweza kutuletea dawa, na nimepata ripoti muda mchache ulio pita kwamba wananchi walio anaza kutumia maji hayo wamepata nafuaa na wengine wamepona kabisa.” “Asante muheshimiwa raisi kwa hilo” “Sawa, katika mazungumzo yako uliniambia kwamba wewe ni daktari ambaye ni mgunduzi katika maswala ya madawa” “Ndio muheshimiwa” “Tunahitaji kufahamu ni madhara gani ambayo yanaweza kutokea baada ya bomu hili la nyuklia ambalo kesho saa sita kamili mcha hapa Dar es Salaam linaweza kulipuka, na kuathiri wananchi wengi sana” “Muheshimiwa raisi, umeshasema kuna madhara makubwa sana ambayo yanaweza kutoke kwa wananchi wengi wa Dar es Salaam. Madhara makubwa ni vifo vya wananchi wasio na hatia” “Nahisi hujanielewa doka Lameck, lengo langu na nia yangu ni kwamba ni dawa gani ambayo tunaweza kuitumia pale bomu litakapo kuwa limelipuka, na wananchi walio salia wakaweza kutibiwa na hiyo dawa” Nikajikuta nikishusha pumzi, kabla sijazungumza kitu chochote, shem Cajoli akanikanyaga mguuni na akaanza kuzungumza yeye. “Muheshimiwa raisi hilo swali ninaomba nilijibu mimi, kwa maana hapa kichwa cha daktari wangu ninakiona hakipo sawa kutokana na kutoweka kwa mke wake” “Unaweza kujibu tu Cajoli” “Ili tuweze kugundua dawa hiyo ni lazima tuweze kujua bomu hilo litakuwa limechanganywa na kemikali za aina gani, tukisha lifahamu hilo basi tunaweza kuingi maabara na kutengeneza dawa hiyo” “Kweli muheshimiwa kama alivyo seme Cajoli ni lazima tuweze kugundua ni kemikali gani zimetumika katika bomu hilo. Pili kwa nini bomu hilo lisitafutwe na kuteguliwa kama inawezekana, kuliko kusubiria mamilioni ya watu wa Dar es Salaam yawakute matatizo ndio sisi tutengeneze dawa?” Ukumbi mzima ukaka kimya huku viongozi hawa wakitafakari cha kuzungumza.

“Upelelezi na uchunguzi unaendelea kuweza kugundua ni wapi bomu hili litategwa” ‘Muheshimiwa raisi kuna video nyingine’

Simu maalumu iliyopo mezani ilisikika ikizungumza, ikatubidi kukaa kimya, K2 akachukua rimoti mezani na kuiwasha Tv hii. Nikastuka sana baada ya kumuona Cajoli kwenye video hii akiwa amefungwa kwenye kiti huku akiwa amechuruzikwa na damu nyingi usoni mwake. Akasimama Dany huyu feki huku akitabasamu

“Kwenye ikulu yako tuligundua kwamba kuna mtu muhimu sana ambaye kupitia yeye basi tunaweza kubadilisha mawazo yetu. Tunamuhitaji dokta Lameck David ndani ya masaa mawili kuanzia hivi sasa, likishindikana hili basi mke wake na nchi nzima itaingia kwenye anguko” Video hiyo ikaishia hapo, jasho jingi likaanza kunitiririka, nikasimama kwenye kiti nilicho kalia na kuwafanya watu wote kunitazama. Shem Cajoli akasimama, akanishika mkono.

“Samahani waheshimiwa ninaomba nizungumze na shemeji yangu mara moja” Tukatoka katika chumba hichi, tukatafuta sehemu ambayo hakuna kamera ya ulinzi na kusimama.

“Shem shem hembu tulia” Shem Cajoli alizungumza huku akinishika mashavuni mwangu na kunifanya nimtazame usoni mwake.

“Kuna kitu ambacho kinaendelea hapa, siwezi kuamini huyu Dany ametokea wapi?” “Shii shem usizingumze kwa sauti kubwa ambayo inaweza kusikika” “Cajoli mbona nahisi kuchanganyikiwa” “Shemmmmm nisikilize, vuta pumzi na uishushe taratibu” Nikafanya kama anavyo nielekeza shem Cajoli, nikavuta pumzi nyingi kisha nikaishusha taratibu huku nikimtazama shem Cajoli usoni mwake.

“Cha kushukuru Mungu sura yako bado haijangundulika” “Make up uliyo niweka bado haijabadilika?” “Ndio badi ipo katika ubora wake. Ninaamini kwamba unawajua watu walio mteka wajina” “Ndio ninawafahamu vizuri sana, ila kitu ambacho kinacho niumiza kichwa ni kuhusiana na wao kufahamu mpango wetu wa kupandikiza hawa virusi, ambao kazi yetu kubwa ilikuwa ni kupata pesa kisha tunaondoka” “Hilo jambo ninahisi Cajoli baada ya kutekwa, basi wakaamua kumchunguza ili kuweza kujua ni kitu gani kinacho endelea” “Haileti maana kabisa akilini mwangu” “Ila tambua kwamba wanakuhitaji wewe” “Sihitaji kurudi kwenye kundi la Al-Shabab, na kwa nini wametumia sura yangu?”

“Katika hilo swala la kutimiwa sura yako kusema kweli mimi siwezi kufahamu, ila kitu cha kujadili hapa ni wapi Cajoli alipo, pili ni kuhakikisha kwamba tunamkomboa. Dany sote tunafahamu uwezo wetu katika upambanaji, si wakati wa kusubiria serikali itufanyie nini, kikubwa ni kumpata mwenzetu kisha hayo mengine yatafwata” Sikumjibu kitu chochote shem Cajoli zaidi ya kuanza kutembea kwa mwendo wa kasi hadi kwenye ukumbi wa mikutano. Nikaingia na kurudi katika kiti nilicho kuwa nimekalia, ila safari hii sikuhitaji kabisa kukaa kwenye kiti hichi.

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Muheshimiwa raisi, nitakuomba kuanzia sasa uniidhinishe niwe miongoni mwa watu watakao fanya kazi ya kumkomboa mke wangu na bomu la nyuklia, sinto hitaji kupelekwa katika kundi la Al-Shabab na taaluma yangu ikatumika vibaya tofati nay ale niliyo kuwa nimekusudia kuyapanga kwenye maisha yangu” Kauli yangu niliizungumza kikakamavu na kumfanya K2 kuanza kunyanyuka taratibu kwenye kiti alicho kuwa amekali huku akiwa amenikodolea macho akishangaa kwa kile ninacho kizungumza.


ITAENDELEA



0 comments:

Post a Comment

Blog