Search This Blog

Thursday 19 May 2022

KIJAKAZI WA KIUME - 3

 







    Chombezo : Kijakazi Wa Kiume

    Sehemu Ya Tatu (3)



    "si nimekuona"

    Aliokua mbele ya macho yangu alikua ni DADA LEA na muda huo nilikua nipo chumbani kwake na sijui ni kwanini alinileta huku

    "sasa hapa nafanya nini bwana?"

    "jems tulia nikuambie kilichokukuta"

    "kwani vp?'

    "unakumbuka muda uliopita tulikua wapi?'

    "eeee tulienda mjini"

    "na baada ya kwenda mjini?"

    "hapo sikumbuki ninachokumbuka kama nilikua na jesca"

    "skia sasa nikuambie sababu ya mimi kukujua kua wewe sio rijali"

    "usiseme kwa nguvu basii"

    "kwani unamuogopa nani?"

    "haya ongea ulinijuaje?"

    Wakati huo nimekaa tayari tayari kwa kuondoka maana nilikua chumbani kwake...

    "muda ule niliona mwanaume alijitokeza nyuma yako na kukuziba pua... sasa ndio nikajiuliza mbona kakufanya vile afu baada ya hapo wakakuburuza na kukupeleka kwenye chumba walichoaandaa wao.. kwaio toka hapo sikujua kilichoendelea maana walikuingiza ndani nami nilikua nje"

    "sasa nimefikaje hapa bwana? au itakua ni wewe"

    "ngoja sasa mbona una haraka jems? bado sijamaliza"

    "haya endelea"

    "basi sasa nilipoona kimya kimezidi na watu wenyewe hawatoki ikabidi nifatilie nyuma na kuja kugundua kua walishaondoka kitambo tu na wewe walikuacha kwenye hicho chumba... na ndipo nilipokukuta uchi wa mnyama ukiwa hujitambui wala kujisogeza.. ndio pale pale kabla ya kuomba msaada nikakishika kinanii chako na kugundua kua wewe sio rijali"

    "na baada ya kunijua ikawaje?"

    "si nikaomba msaada wa kukubeba na kukuleta nyumbani"

    "vp mama kasharudi?"

    "bado"

    Nikaona hapa chumbani kwake hapanifai kukaa kabisa ikabidi nimuage maana mama akinikuta humu itakua shida

    "sasa unaenda wapi na wewe jems?"

    "jamani dada si unamjua mama yako lakinii?"

    "sawa lakini haji sasa hivi"

    "kwani unataka nini?"


    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "yaani siamini kama kweli sio rijali jems"

    "bwana usiseme ivyo"

    "yaani na umbo lote hili ukiambiwa huezi jems?"

    "sasa mi nifanyaje dada?"

    Basi mtoto wa kiume niliamua niondoke bila hata kumuaga... nilipofika nje niliwakuta wale mahausi geli wananiongelea

    "sesk? ivi una habari kua jems anatembea na dada lea?"

    "weee acha utani?"

    "ndio tena sasa hivi wapo chumbani wanamalizia maliziar

    "wee meri muongo?? eti helena ni kweli anachoongea meri?"

    "ndio.. kwani mi nilimuona akiwa amem beba na kumuingiza chumbani kwake"

    "sasa tuacheni hilo lingine ni kwamba mimibniliwakuta mchana laivu wamekumbatiana"

    "haaa we meri muongo wewe"

    "kweli vile tena hadi mboga imeungua"

    Nikawaskia kila kitu walichoongea hawa mahausi geli

    Nikawapita na kuelekea ndani huku nikiangalia nanii yangu kama iliumia au vipi.

    basi muda huo ulikua ni muda wa jioni saa 12 hivi nikaenda kuoga mtoto wa kiume na kurudi kisha nikawa ninetulia kimtindo hapo geto kwangu huku nikiendelea kusoma vile vitabu vyAngu maana nilikuja navyo... Ikafika hadi muda wa kula ambapo nilikua na wasi wasi mno maana mama alisharudi kazini sasa naogopa Sije akajua chochote kile...

    Nilimaliza kula chakula cha usiku kisha nikajilaza kitandani na kupata usingizi wa ghafla... Nilikuja kuzinduka mida ya saa 4 usikua ambapo nilitoka tena nje kwa nia ya kuenda msalani tu.. niliporudi maana vyumba si vimeangaliana milango

    "mambo jems?"

    "aaahhhh mbona tunashtuana ivyo?"

    "pole jamani jems"

    Basi mtoto nikamshangaa kaiachia kanga ikadondoka chini.. sii mwingine bali alikua ni sesi

    "vp tena sesi mbona uko ivyo?"

    "jamani na wewe unajifanya hujui?"

    Basi mtoto saa hio tunaongea yeye alikua ananifata kwa utaratibu mzito sana...

    na hapo alipo alikua na chupi tu tena ilikua nyeupe aahh saangapi mtoto sesi asinirukie pale pale kwenye kikodro cha ndoo za maji na kuanza kula denda... na nakumbuka usiku wa jana nilikua nae pia tena alikua na helena.. basi nikamvutia chumbani huku mate yakiendelea kunyonywa taratiibu kabisa... tukafika kitandani nikam bwaga mtoto wa kike huyu Utafkiri nina meno vile kuumbe ni bonge la boya. Basi nikamshika shika mtoto kila mahali ninapo pajua mimi na mtoto alikua akilia haswa

    "nnnnhh uuuiiimmmm hhhhjjj aaaaaafffffuuu uuuuuuuuu mamammamamama jems mmmmm"

    Mtoto alikua akilia miguno mikali ilionisisimua na mimi.... na wakati huo namuomba mungu ata kisimame kwa leo tu ili kuificha aibu.. basi nilimuona mtoto anavua chupi mwenyewe na kuitupia uko kisha akanifata

    "jems nakupenda sana.. maana nimeskia unatembea na dada lea"

    "sio kweli umedanganywa"

    "bwana jems vua basi hilo libukta lako"

    Ayaa sasa hapo nikivua bukta nitaharibu kila kitu... basi nikaona ngoja nijaribu kuvua kwani huenda kikasimama na kuanza kumshuhulikia mtoto sesi

    Basi nikavua m bukta wangu na kuutuliza pembeni nikaona kama ni kujua wajue lakini natesti kama nipo fiti.. nikaanza kumkumbatia mtoto ili nipate joto lakini wapi kitu ndio kwanzaa kimedolooo..

    "jems bwana amudi yangu inashuka"

    "subiri au nitumie vidole nini?"

    "utumie vidole wakati nanii unayo"

    daahh leo naumbuka leo maana sasa mtoto anang'a ng'ania mzigo.. basi nikamlaza mtoto kifo cha mende kisha nikawa naisugulia pale ili ipate moto

    "mmmhh jems?"

    "naam"

    "mbona ni ya baridi ivyo?"

    "wala tu labda wewe unabaridi"

    "ok shuhulika basi jamani jems"

    Basi nikawa namgeuza geuza kila upande si unajua mtu asieweza maoenzi anahangaika tu basi mi nilikua namuangaisha sesi maana ni kweli simuezi

    "we jems kama huezi si uniambie kuliko kunipanua panua kijinga"

    Sesi yupo kama vile amejua kitu lakini hana uhakika na asilimia zote.... basi mtoto aliamka kitandani na kuanza kunitolea maneno

    "sasa dada lea ulikua unampa mpaje?"

    "tueshmiane sesi kwani mi siwezi kutembea na dada lea hata kidogo"

    "sasa nikune basi ili niende kulala maana naona unanisumbua tu kuniweka staili zako ambazo hazina maana"

    "we si usubiri kidogo"

    "we sema kama kitu hakipati moto maana ulivyonigusa nacho kilikua ni cha baridii"

    "amna mimi kitu changu kinainukaga mda unaotaka yeye"

    "heee makubwa"

    "makubwa manini sasa?"

    "mschiiiiiuuuuu kwenda uko kumbe ujanja wote huo huezi kazi duuu tu una hasara sii kidogo"

    "aaaahh sesi kua na heshma basi"

    Basi mtoto wa kike akashuka kitandani huku akitafuta lichupi lake

    "kwaio ndio unaenda sio?"

    "mschiiiiiuuuu kidume kizimaaa mumbe bomba tu"

    Nilinyamaza kimya mtoto wa kiume maana nikiongea tu kidogo napewa kubwa balaa

    "yaani na ujanja wote huo huezi kazi?"

    "we nenda bwana kalale"

    Basi mtoto aliondoka lakini yupo kama kajua ukweli wa mambo lakini hana uhakika wa kunizibitisha kua sisimamishi au yalikua maringo yangu tu

    +ASUBUHI NA MAPEMA+

    asubuhi kama kawa nawapeleka watoto shule na kurudi kuanza kazi maana watu saa hio watakua hawapo.... sasa mara simu yangu ikaingia meseji lakini namba ile niliisevu jina JESCA na meseji yenyewe siiyelewi maana inanishangaza kwa vile ilivyoandiknwa




    Nikaona labda huenda sii kosa lake ikabidi niisome ile meseji

    "SAMAANI SANA JEMS KWANI SIO MIMI NILIOTOA AMRI HIO YA KUKUTEKA BALI NI YULE MWANAMKE ULIENIKUTA NAE KULE KANISANI.. NDIO ALIONIAMBIA NIFANYE HIVYO KWANI ANAONEKANA ANAKUJUA YULE MWAJABU.. NA NDIE ALIENIPA HATA VIJANA WAKUKAMATE KISHA NISEX NA WEWE NDIO KWA BAHATI MBAYA NILIKUKUTA SIO RIJALI. NAOMBA UNISAMEE JEMS KWANI SABABU NI YULE MAMA ALIEKUPA SIMU... MAANA KASEMA ANAKUJUA NISAMEE SANA JEMS NA PIA NAKUPA POLE KWA UGOJWA ULIONAO MAANA HATA MIMI MWENYEWE NILIKUPENDA LAKINI YULE MAMA HASMA SIJUI ANA MAANA GANI NA NISHAMWAMBIA KUA WEWE SIO RIJALI NAOMBA NISAMEE BURE... NI MIMI JESCA"

    sasa nikashangaa kua yule mama niliomuona mpole ndio kanifanyia vile? na ni lazima nimrudishie simu na pesa zake alizonipa pale kanisani jana.. basi mtoto wa kiume nikaendelea na kazi lakini moyo wangu unanilazimisha nimpigie yule mama lakini kuna upande mwingine huniambia niache kwanza kwani nikikutana nae ndio itakua furesh..

    +BAADA YA WIKI KAMA MOJA HIVI BAADAE+

    zilipita siku chache toka nitekwe na yule mama ambae alinipa simu na pesa.. lakini tukio lile nilisha lisahau kabisa maana ni sku kadha zimepita sasa toka kutokee tukio lile... Na kama kawa leo nilikua kanisani tena leo nimekaa na bosi wangu kabisaa maana anajua nitatoroka muda sii mrefu..

    "leo mpaka tumalize ibada"

    "sawa mama kwani hua sitorokagi sema unanihisi tu"

    "si najua unajifanya ostazi na hakuna cha uostazi wala uostadhati hapa ni ibada tu.. hebu fumba macho tuombe uko"


    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "heee nifumbe macho tena?"

    "fumba bwana haraka mtumishi atamaliza kule"

    mmhh ikabidi nifumbe macho kijana mie lakini muda huo nafumba macho ili huyo mtumishi apitishe neno Mara simu yangu iliita na sikua najua ni nani kwani nilifumba macho.. Mara ibada ikaisha na nikakimbilia simu yangu na kuanza kuangalia mtu aliopiga ni nani

    "haaaa Anataka nini tena?"

    nilijisemea mwenyewe tena kwa sauti kwa mtu aliepiga

    Nikaona sijui nim bipu au nimtext... nikaona ngoja nimpigie na mida hio ilikua ni mida ya saa 6 hivi tunatoka kanisani na ndio nilikua mlangoni kwa kutoka chachi..

    "eehh halo vp mbona umenipigia saa izi na siku ile jlinifanya nini?"

    "njoo apa mbele wacha kupaniki ovyo na wakati hujui unaempanikia"

    "ulizani sikujui wewe? sikujui?"

    "unanijua wewe?"

    "heee we si mwajabu wewe na juzi ulikua na rafiki yako pale kanisani"

    "na leo pia nipo hapo kanisani we angalia mbele utaniona"

    Ayaaaa kweli bwana alikua yupo pale mbele ya kanisa tena alipaki gari aina ya vogu huku akitikisa ufunguo

    alionekana mtu mwenye majonzi mengi mno maana alikua kashika shavu huku akiwa kama ana mawazo mengi mno.. nikaona nibwage mahasira yangu hapa hapa bila kuchelewa nikaanza kubwatuka kama mwehu vile

    "we mwanamke kumbe jambazi mkubwa wewe unanitumia watu waje kuniua kwasababu gani?? kama umenipenda si uniambie kuliko kunusishana madawa afu sijui ulinifanyaje na sijui ulikua na maana gani kwa kunifanyia vile?? eti umpole una upole gani wewe? na rafiki yako kaniambia kila kitu.. haya sasa umejua kua mimi sio rijali umefaidika na nini sasa?? au ndio ulitaka unitoe kafara nini?? niambie basi"

    Wakati huo napiga tu kelele na wakina lea wameshapanda kwenye gari na kuelekea nyumbani maana waliniita hadi wamechoka na waliniacha kwakua leo sii siku yangu ya kazi kwaio ni ruksa kuzurura mtaani... sasa huyu mama ninaemropokea hapa wala haongei kapiga kimya tu tena huku akilia kabisa

    "hata ulie lakini ukweli ndio huo kama ningekua mwanao ugenifanyia vile wewe? nijibu sasa unalia kwa aibu"

    Nilikua nikiongea kwa hasira sana tena kwa nguvu bila kujali eneo tulilokuepo ni kanisani... huyu mama au mwajabu hakunijibu kitu bali alikua anapiga magoti na kuomba msamaha... sasa kama ni m baya mbona ananipigia magoti? kwaio pia huenda labda kuna mtu kamtuma afanye vile? maana hakunijibu chochote toka nilivyokua naropoka maneno yale.. nikaona hapana haiwezekani mtu kama huyu anipigie magoti kwa sistahili kabisa.. basi niliweza kumzuia na kumuomba msamaha maana unaongea na mtu ambae hasemi chochote

    "sharbiny sikupigii magoti kisa nilikutumia watu bali ni kukuomba upande kwenye gari twende mahali"

    "haa we unakichaa nini? yaani umeniponya ponya afu unataka ukanimalizie huko ndani ya gari?"

    "tafadhali sana sheby nipo chini ya miguu yako twende"

    Huyu mama alikua akilia na kunifanya nami michozi kunilenga lenga nikaona poa kama ni kufa wacha nife ikabidi nikubali.. na wakati huo mabosi wangu na watoto wao wameshaondoka kitambo sana kuelekea nyumbani.

    nikapanda kwenye gari huku nikiwa na wasi wasi mzito sana maana huyu mwana mama anaogopesha japo ni mzuri nami nam mezea mate maana leo alivaa kieshima lakini uzuri na umbo halifichiki... mama huyu au mwajabu huyu alijaaliwa mgongo balaa mpaka nilikua namchungulia kiuno wakati akiingiza gia na kamtandio nacho kanasogea basi napata kumuona hata angalau mbavu zake zilizo jaa jaa kimtindo... tukiwa njoani kwa kuelekea nisipopajua alikua ananiuliza uliza maswali swali yake ya ajabu

    "umetokea wapi wewe?"

    "sakina kibanda maziwa"

    "ah ah sio hapa arusha..huko ulikozaliwa%

    "aahh nimezaliwa kiteto maeneo ya kibaya"

    "ooohh we ni muislamu eeh?"

    "ndio"

    "sasa mbona unaitwa jems?"

    "aahh hapo ninapofanya kazi hakuna muislamu na hao mabosi hawaitaji muislami ndani kwao kwaio waliniambia nikitaka kazi basi nibadili jina na niwe kama wao waikristu"

    "oohh pole sana wangu"

    "lakini huku tunaenda wapi?"

    "usijali utajua tu"

    Nilikua namuuliza hata mimi maana saa hio sina hasira tena baada ya kujua mama wa watu hana shida na mtu na pia anafaa anikumbatie kumbatie maana ana nyama za kiuno hadi raha yani

    "ulivyokuja mjini ulikuja na wazazi wako?"

    Aliniuliza swali ambalo sijui ningemjibu vipi maana hata hao wazazi wangu siwajui kabisa

    "sina mzazi hata mmoja dada"

    Basi nilianza kulia pale kwenye gari na kumfanya huyu mama ashikwe na uchungu tena na kuanza kuangua kilio na yeye.. sasa nikajiuliza au na yeye hana wazazi nini? maana huyu mama namuita mama kwakua aliniambiaga nimuite mama na pia licha ya kuniambia nimuite hivyo lakini kasema kua ana mtoto mkubwa tu wa kike kwaio bado napaswa kumuita mama tu hata asingesema nimuite mama... katika akili yangu nilikua najisemea kua

    "je nikipata mama wa kambo hafai kupeleka kwa mganga?"

    nilijiuliza pasipo kupata majibu maana kama atafaa basi nijenge mazoea nae huyu mama ili mwisho wa siku nimpeleke kwa mganga kama mama wa kambo atafaa lakini..... basi mama alikua akikunja uskani wa gari ili kuingia katika geti flani ambalo liliandikwa

    +MOUNT MERU HOSPITAL+ iliopo jijini arusha

    Tuliingia ndani ya geti hilo nikajua labda kuna mgonjwa amekuja kumuangalia maana watu wenye pesa kwa kutoa misaa hawajambo ila ni wachache sana watoa misaada

    Alishuka huyu mama nami nikabaki kwenye gari

    "sheby shuka tumefika"

    "aahh we nenda tu mi nakusubiri hapa nje"

    "we twende bwana unipeleke kwani kuna mtu naenda kumuona"

    Nikaona sio kesi ngoja tu niongozane nae hadi pale mapokezi ya wagojwa tu maana nina aleji na maiti kabisaaa

    Sasa tulipofika mapokezi nilimuona mwajabu akinyanyua simu na kupiga

    "eeeh halo dokta habari yako?"

    nadhani alijibiwa nzuri maana sisikii sauti ya huyo dokta

    "nzuri uko wapi?"

    alimuuliza huyu dokta

    "nimeshafika hapa mapokezi njoo utuchkue"

    Alimjibu hivyo lakini hilo neno la njoo utuchukue mbona kama lina mkusanyiko wa watu wengi je ni mimi au kuna wengine??? nilijiuliza sana lamini majibu hakuna

    Mara nilimuona dokta wa kike alikuja na kupeana mkono na mwajabu kisha wakavutana chemba na kuongea yao ambayo sikuyasikia kwa wakati huo.. walimaliza kuongea na kunifata mimi

    "hujambo kijana?"

    Alinisalimia huyo dokta wa kike tena ni mzuri balaa

    "sijambo shkamoo"

    "marahaba"

    Baada ya kuniitikia yeye aliondoka na kuingia katika chumba fulani kisha mimi na mwajabu tukafata nyuma.. lakini mimi sikuingia kwenye hicho chumba

    "we sheby njoo"

    "sasa mi siumwi nije kufanyaje uko?"

    "we njoo tu kwani mimi si ndio naumwa"

    kweli nikamuona anachomwa sindano ya mkono na wakati huo kuna kichupa kidogo ambacho ndani kilion


    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/wakati huo mtoto wa kiume nipo katika ndoto kabisa tena najihisi sitoamka milele maana nilikua nina usingizi balaa.. Sasa baada ya masaa matano nilizinduka lakini nilikua kama sijielewi elewi vile nikaisi kuchoka choka utafkiri nilifanya kazi

    "pole kijana"

    Ilikua ni sauti ya dokta huyo wa kike

    "asante shkamoo?"

    Na akili zangu zote najua nimelala usiku mzima na ndoto juu tena ndoto yenyewe ni ya mapenzi... ila nilipoamka nikasahau ile ndoto

    "marahaba ujambo?"

    "sijambo"

    "vipi kijana kuna kitu unakumbuka?"

    "sikumbuki kitu ila naisi kama niliota ndoto flan"

    "ya aina gani hio ndoto?"

    Aaaahh nikaona haitokua ishu kama nitamwambia maana sio flesh kusema neno la mapenzi kwa mdada kama huyu ila mdada mwenyewe ni mrembo huyu dokta duu balaa....

    "yule mama niliekuja nae yuko wapi?"

    Nilimuuliza dokta

    "oohh yule? yule kaenda kukuletea chakula"

    "apana mwambie sintokula na sasa hivi naondoka zangu maana nimechelewa kazini"

    "usiondoke kijana kwani yule mama kasema anakuja"

    "nasema ivi sisubiri kitu"

    Nikaondoka kwa nguvu maana saa hio ilikua ni saa 11 kasorobo na ni mwisho wa mapumziko yangu.. maana kama unakumbuka kua siku za juma pili hua hatufanyi kazi humo ndani bali watafanya wenyewe... basi mtoto wa kiume nikawa natoka spidi hapo hospitali na kukutana na mwajabu mlangoni

    "sasa unaenda wapi sheby?"

    "nimechelewa kazini bwana we unataka nifukuzwe nini?"

    "haina shida tena kufkuzwa kwako ni furaha kwangu"

    "nini? ivi unaakili wewe?"

    "yaani we mtoto ungejua wala usingebishana kiasi hiki"

    "ebu niache niende mimi?"

    "bado hujapewa dozi ya kunywa nyumbani"

    "sasa kwanini asingenipa toka pale mwanzo?"

    Nikabidi nirudi kwa dokta spidi huku niki kimbia kimbia

    "dokta? dokta?"

    "nini wewe unanishtua"

    "nipe hio dozi basi niende"

    Kikubwa kinachonifanya niwe na haraka ni kazi tu na vinginevyo maana naheshim kazi balaa...

    "kijana wacha haraka kwani unaumwa tena?"

    "aaahh dokta sa maswali gani ayo si umenidunga dunga misindano yako apa afu tena unauliza?"

    Mara mwajabu kafika

    "sheby?"

    "naam"

    "kua na adabu kaa kwenye kiti pale"

    Hee nikashangaa huyu mdada atanipelekeshaje ivi? maana ninachowahi ni faida kwangu

    "skia we mdada nafanya kazi kwa faida yangu kwaio niache niiwahi kazi yangu"

    "sawa lakini ngoja ata upewe maelekezo hata ya kutumia hio dozi"

    "haya dokta nipe basi hayo maelekezo"

    Mimi ni mtoto mtiifu sana sina jeuri ni mpole mtaratibu nisiependa fujo.. lakini mbele ya kazi yangu walai tutagombana maana ndio inaniweka mjini

    "aahh kijana hapo ulipo huna gonjwa lolote lile wala kichwa hakitouma tena kwaio kuwa huru na maisha yako"

    "sawa asante sana mi naenda"

    "subiri mbona unaharaka hivyo"

    Ndio dokta akatoa amri kua wacha tu niende ila mwajabu aliamua kunisindikiza... Unajua nilimshangaa dokta akisema huna gonjwa lolote lile Wakati mimi mwenyewe najua nina gonjwa moja sugu ilo haaaa ni siri yangu mwenyewe.. basi tukiwa njiani na mwajabu akinipeleka nyumbani aliniuliza maswali

    "vp sheby unajiskiaje leo?"

    "mmmh mbona naisi kawaida tu"

    "hujiskii mwepesi hata?"

    "wala sijiskii wepesi najihisi kawaida"

    "sawa pole lakini?"

    "pole ya nini?"

    Hakunijibu bali alitulia kimya huku akizungusha usikani lakini nae alikua na furaha ya ajabu ila mi nilikua kawaida tu... Basi alinifikisha hadi karibu na nyumbani nikashuka vizuri kisha nikawa namuaga lakini kabla sijaondoka mwajabu aliniita

    "sheby?"

    "naam"

    "chukua hii katumie"

    Alinipa kitita cha pesa ambacho sikukihesabu kwa muda huo maana nilikua na haraka mno.. nikaondoka mara tena kaniita

    "sheby?"

    "nini tena jamani nachelewa eti"

    lakini kuna kitu alitaka kusema akasita kusema kitu hicho

    "nisalimie mama ako?"

    Nikaona bora niitikie maana sii kila mtu ajue kua sina mama

    "sawa nitamsalimia usijali"

    Basi nikamuona anageuza gari na kuishia zake kwake nami nikaingia nyumbani na kuwakuta mahausi geli wanasukana nje kwenye bustani.. maana leo ni ofu yetu sisi wafanyakazi.. nikawasalimia ila aliitikia helena tu.. maana meri ananichukiaga kitambo tu na sesi nae niligombana nae juzi kati kwa maana alitaka nimpe penzi lakini kwa bahati mbaya jogoo langu haliwiki... Basi nilipitiliza mpaka geto kwangu na kutulia Muda huo ilishafika saa 12:30 jioni nikawa nabofya bofya simu yangu maana sina kazi kwa muda huo.. basi nikawa nachezea simu ... mara meseji iliingia kwenye simu yangu lakini namba ilikua ngeni yaani siifahamu lakini kwa jinsi ilivyoandikwa nilijua fika atakua ni mtu wa humu ndani ila simfahamu ni nani.. na meseji iliandikwa hivi??

    "MAMBO? ULIKUA WAPI JEMS JAMANI? DADA LEA KAKUTAFUTA MUDA HUU HUU"

    Nikataka kumuuliza yeye ni nani lakini moyo ukasita lakini nikaona bora nimuulize ili nijue

    "SAMAANI WE NI NANI?"

    mara muda sii mrefu alijibu

    "NI MIMI MERI"

    mmmh nilishangaa kua meri leo kanitumia meseji na kwa jinsi ninavyopenda kua nae karibu kutokana na cheo chake cha upishi...

    "MMH UMEPATA WAPI NAMBA YANGU?"

    nilimuuliza kwa kutumia meseji.. yaani tulikua tunachati

    "NILIICHUKUA SIKU ILE ULIVYOLETA TUKUCHAJIE"

    leo sijui meri ana nini leo maana sii kawaida yake kwani meri ni mschana mzuri na mpole kuliko wote hapa ndani.. sasa nikiwa namuandikia meseji mara ikaingia moja na ni yeye meri...

    "WE JEMS DADA LEA ANAKUTAFUTA SASA HIVI TENA ANAKUJA HUKO KWAKO"

    mtoto wa kiume nikajiweka sawa sawa ila kabla hajaingia nikamuuliza

    "NI KWELI WEWE?"

    "NDIO TENA SJUI ANAKUTAFTIA NINI?"

    mara mlango wa geto kwangu ukaskumwa na kuingia ni kweli alikua ni dada lea tena alikua anatoka kuoga maana alikua anavuja maji maji miguuni afu pia alivaa kanga moja tu... yaani tena na huu mwili wake yaani we acha tu ni bonge la ndembe ndembe yaani kanga imefanya kunata nata kwenye makalio yake afu mtoto ana makalio utafkiri kama yale ya AGNES MASOGANGE jinsi yalivyo ndio kama dada lea bwana...lakini dada lea leo hakuja kimtego maana kashanijua hali yangu jinsi ilivyo kwaio yeye alichokifata ni kuniambia mambo ya kazi


    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "kesho ukifuta hakikisha unafuta hadi mule kabati sawa?"

    "sawa dada"

    Sasa kumbuka alivyokuja alikuja kimbele mbele sasa anavyoondoka ndio nayaona makalio jinsi yalivyo mazuri na vile yalivyo nata nata kwenye kanga na hakua na chupi... maana chupi yake naiona kaishika mkononi... sasa nilipokua namuangali niliona tofauti kubwa sana mwilini mwangu kwani nanii yangu ilikua inastuka stuka yaani inataka kusimama... sasa kutokana na furaha nikajikuta nimepayuka kwa nguvu

    "haaaaa"

    Mpaka dada lea akageuka

    "we jems unatamaki nini?"

    Sikumjibu ila nilibaki kujishika maeneo yale ya nanii yangu maana ilisimama kabisa tena ilikua na hasira balaa

    "mbona unapashika hapo vp?"

    Nilibaki nikicheka tu mwenyewe tena hakuna siku nilifurahi kama leo hii.. sasa dada lea aliona mi nishakua chizi maana nacheka cheka tu bila sababu lakini mi ndio najua kwanini nacheka tena nilikua na furaha ya moyo kuliko hata mtu alienunuliwa gari/nyumba na kadhalika... yaani furaha yake hainishindi mimi... kiukweli ilikua imesimama mpaka inauma tena mpaka najihisi kupizi maana toka nizaliwe sijawahi kuduu wa kusimamisha uume.. yaani ndio kwanza leo najishangaa.. lakini nikajiuliza je ni nani kafanya hivi maana haviwezekani bila mama.. au wale waganga walinidanganya nini?? kua nije na mama wakati haikua na haja.. niliacha kujiuliza maswali mengi.. na wakati huo dada lea bado ananishanga.. mara akaamua kuondoka lakini kama kuna kitu alisahau sasa akawa anarudi

    "jems? nilisahau kukuambia kua hizo sehemu za kufuta kwenye kabati hutoziona kwaio naomba kesho uanzie chumbani kwangu ili nikuoneshe sawa?"

    "sawa dada"

    Tena dada lea sasa hivi wala hana mpango wa kunirembulia yaani kawa simpo na heshma imerudi kama zamani.. unajua ni kwanini hanirembulii ni kwasababu ameshajua kua sina nguvu za kiume kwai hata akinirembulia itakua ni kazi bure tuu.. na kuja kwa nguvu za kiume hajui maana kama angejua basi hapa hapa tungemalizana.. ila sitaki ajue kitu kama nnazo nguvu za kiume... lakini hapo hapo jibu likanijia kua au Yule dokta ndio kanipa dawa nini maana nskiaga hata hospitali wanatibugi mambo haya.. ila maswali na majibu yangu hayakua nayaona ni sahihi saana




    "bwana nini we dada lea?"

    "jamani jems.. kumbe uko vizuri ivi?"

    Saa hio akisema maneno hayo alikua akinishika shika maeneo ya mapaja kana kwamba alikua anataka kunishika mjamaa wangu.. kiukweli mimi nina heshma sana kutokana na tatizo langu kuisha ndio naona bora nijaribu kama vinawezekana.. ila tabia hii hua siipendi saana maana mi ni mtu wa dini.. kwaio hapa ni kama nautesti mtarimbo kama upo sawa maana ulirudi jana tu.. nisije nikazubaa afu kakadoro tena wakati chakula chake kipo.. au kisijekua ni chakusimama tu lakini ukikapa haki yake basi kanakua ni kakisinzia tu

    "bwana dada mama atajua"

    "acha ushamba jems na wewe"

    wakati huo najifanya nakataa lakini moyoni mwangu namtamani mno.. maana nina ukame balaa

    "jems achana na hayo madasta uko"

    "ni kazi yangu lakini hii"

    "we yaache tu"

    Basi mtoto wa kiume nikawa namfata lakini nilikua bado nina hofu kubwa sana maana sijawahi kusex na kitu chochote kile.. kwaio najiona mshamba wa kupitiliza... NA UKITAKA KUFELI KWENYE TENDO LA NDOA PALE KITANDANI BASI WE TIA HOFU.. WAAALAI VILE LAZIMA UFELI TENDO HILO MAANA ULISHATIA HOFU ILA HOFU HII HUA NI KWA WANAUME TU MAANA MWANAMKE YEYE HASIMAMISHI UUME BALI NI MWANAUME TU..MAANA UKITIA HOFU PALE KITANDANI BASI UMEZIFANYA DAMU ZAKO ZIZUNGUKE TARATIBU NA KUSABABISHA UUME KULALA HATA KAMA ILISHAINGIA NA KAMA UNABISHA BASI WE TIA HOFU KWENYE TENDO UONE KAMA UTAWEZA KUENDELEA NA HII NI KWELI KABISA ILA KWA MAELEZO ZAIDI NIFATE INBOX COZ HII NI KWA WANAUME TU. NA HOFU HIO HUA HUSABABISHWA NA WANAWAKE... NJOO INBOX UNIULIZE KWANINI MWANAMKE ANASABABISHA.............

    basi bwana nikajikaza kiume huku mtoto lea akianza kufunua naiti dres yake ili nimtamani.. lakini ukweli ni kwamba nilishamtamani kabla hajanifunulia hio naiti dres yake...

    Basi mtoto wa kiume nikaanza kusisimkwa na mwili huku damu zangu zikienda mbio na kusababisha uume wangu kukaza zaidi ya mfupa.. basi dada lea kuona bado ni muoga muoga aliamua kuanza kunishika shika kifua na wakati huo nilikua na singlendi na bukta.. sasa ile kunishika yaani ikawa kama kanichokoza vile Basi nami sikumchelewesha nikaanza kumshika shika matiti yake madogo na yaliosimama kama michongoma vile.. na wakati huo namshika matt yeye alikua bado kavaa naiti dres yake kwaio nilikua nayashika juu juu tu.. nikaona ngoja nilitoe nyonyo kwa juu maana naona hataki kuvua hio naiti yake... basi nikayafyotoa matt kwa juu.. daaa yaani matt yake ni yale yenye mijicho mikubwaaa yaani yale yenye chuchu pana afu chuchu zenyewe zilikua nyeusiii afu vitt vidogo dogo wala havijalala

    "jimi ngoja nivue hii dres"

    Nikaona yees hapo sawa basi mtoto akapiga magoti kitandani pale na kuanza kuivua hio naiti dres ya juu nami nikawa navuta ile ya chini ambayo ni suruali.. sasa nilipoivua ile suruali nikakutana na chupi ya maua maua afi nyeupee

    "sssssssssssiiiiiiii aaaaaaaahhh"

    Yaani nilijihisi kupizi sio kupizi sijui nilijiskiaje maana mtoto alikua ana makalio makibwa na mazuri tena malainiiiiiii kama mrenda vile.. Sasa baada ya kumaliza kuvua hio nite dres yake sasa akawa kabakiwa na chupi ilioenea kwenye makalio yake yaani haikua bikini na ndio maana imeenea kwenye makalio..

    Basi baada ya kumaliza zoezi hilo mi nikamuuliza

    "mbona chupi huvui jamani?"

    Nilimdanganya tu ila haikua na haja ya kuivua

    "basi ngoja niivue kama inakuboa eeh?"

    "aahh basi nitaivua mwenyewe baadae"

    Basi tukawa tunaangaliana kwa hali ya matamanio makubwa mno huku bukta yangu ikirushwa rushwa na mjomba naniii...

    "sasa si uvue hilo bukta lako?"

    "sina bixer sasa si utanichungulia?"

    "mbona mimi nipo tayAri unione kila kitu... au unabisha nivue?"

    "vua"

    Nilimuona mtoto akiinama na kuivua fasta bila hata ya kupoteza muda kisha baada ya kuvua akapiga magoti na kuanza kuishika shika nanii yake kana kwamba ananiringishia afu akatoa mkono nikaona mzigo huu hapa..... aaahh yani kama nilisukumwa vile nilivua bukta langu kama kichaa na kulitupilia huko... sasa mtoto alivyoiona nanii yangu alikunja uso kisha akatamaki

    "jamani jimi uko vizuri kumne?"

    "aahh kawaida tu"

    Sasa mtoto akawa ananisogelea na kuanza kuishika shika naniii yangu nami sijakawiza mtoto wa kiume nikamuanza na mate huku mikono ipo juu ya matt yake na yeye mikono yake bado inachezea mzigo wa dhambi ( chululuu )

    basi mtoto wa kiume nikawa najipakulia mate kwa lea

    "uuuuunnn mmmmmhh ahhhhh jimi bwana utaning'ata ulimi mmmmmhhhh"

    ( JAMANI UKIFIKA SEHEMU KAMA HIZI ZA MAHABA BASI WEWE VUTA HISIA YA STORI YAANI UISOME KAMA ILIVYO KWA UTARATIBU WA MAHABA YALIVYO... SIO UKIFIKA HAPA UNAPASOMA UTAFKIRI UNAIMBA HIP HOP.... UKIFANYA HIVYO BASI HUTOONA UTAMU WA HII STORI YAANI WE PASOME KAMA JINS PALIVYO.)

    "nini we dadaa?"

    "umenikwaruza ulimi"

    "polee jamani mtoto mzuri eeh?"

    Basi kusema mtoto mzuri yaani ni kama nimeamsha midadi yake na kuanza kuninyonya hadi pua hahahahhahahahahaha zote hizo ni mbwe mbwe tu

    basi wakati huo nilikua navingirisha matt yake huku nikimnyonya shingo kwa upande wa nyuma.. baasi mtoto anavyoruka pindi nifikapo shingoni

    "jimi mpenzi?"


    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "mmmhh"

    Nilimuitikia maana leo nimeitwa mpenzi na mtoto wa kitajiri kama huyu baasi tena

    "au basi"

    "nini ongea tu"

    "naona nitakuudhi bwana"

    "apana we ongea tu kwani niko tayari kwa lolote"

    Baasi mtuto aliuchukua mkono wangu wa kulia na kuupeleka pale kwenye mambo ya kiutu uzima ( uke )

    kisha akauacha mkono pale lakini sikumuelewa alikua ana maana gani maana mi bado mshamba kidigo

    "una manisha nini?"

    "ni.......ni.....ni....ni....nit...i...e ..mmmhhh"

    "malizia basi jamani mpenzi"

    "v.v...v....id....o.....l....e"

    Daaahh yaani mtoto anataka atiwe vidole ndio anapendaga wakati wa maandalizi ya ngono.. basi nami sikukataa nikafanya kama alivyotaka mtoto lea

    "ssssssssss aaaaiiiiiii te...te..te..t...na k..i...i..d..o..g..oo"

    Dahh mtoto alikua ana hamu huyo duu noma sana yaani vile nilivyoingiza vidole mtoto kapizi kama vi2 hivi kwa pamoja... basi nikaanza kumminya minya makalio mtoto huku nikinyonya matiti yake

    "jimi vyatosha bwana afu nanii yako inavyonigusa inanipa midadi"

    "usijali nitakupa"

    "hadi saa ngapi bwana?"

    "sasa hivi tuu"

    Mtoto anaonekana tayari alishakaa mkao wa kula maana alikua akitaka nimuingilia kimwili na mimi nilikua bado sijamaliza kumuandaa.. basi mtoto nikamrusha mguu mmoja kule mwingine huku kisha nikapeleka domo langu paleee paliponyolewa na wembe.. kisha nikaanza kula kile kitunda kilichosimama pale.. Na nanii yake haijachoka kama ilivyoada ya wengine maana najua wengine ukiwakuta na hivyo vtu vyao vinatisha balaa maana vyeusiiii afu vimepondeka balaaa utafkiri alikua muigizaji wa kampuni flani iitwayo FONEROTCAL inayojishughulisha na maswala ya ngono huko majuuuu

    Basi mtoto huyu kitu chake kilikua kimeumbika vilivyo yaani kinafaa kunyonya vizuri sana teena bila shaka

    +ILA VINA MADHARA JAMANI OOOOHOOOO HAYANI+

    basi nilikua namkuna kile kidubwash kidogo pale kiitwacho kisimi ( kinembe )

    +NDIO MAANA HATUTAKI WATOTO HUMU MAANA HAKUFICHWI KITU KABISAAAA YAANI WAZI WAZI NA KAMA HUTAKI USISOME... NA STORI ZA MATATIZO / MIKASA / TABU NA SHIDA / SIANDIKI NG'OO MAANA WAPO WANAOZIANDIKA HIZO SIMULIZI.. SIO MWENZIO ANA DUKA LA FACEBOOK HAPA NAWE WAFUNGUA LA FACEBOOK HAPO HAPO.. SASA ITAKUA NDIO NINI HIVYO?? WEWE FANYA VYAKO NAMI NIFANYE VYANGUU KWAIO HII NDIO STAILI YANGU MAANA HAKUNA ANAEANDIKA HIVI.... TUWE WABUNIFU BWANAA.... EEEHH MAANA KUNA WALIONIAMBIA KUA "OOOHH WE SHEBY MBONA STORI ZAKO NI ZA MAPENZI TU KWANI MAISHA NA MIKASA HUIONI JAMANI?"

    NAMI NIKAMUULIZA

    "IVI WEWE UMEZALIWA MAREKANI AU UINGEREZA?"

    AKANIJIBU KUA AMEZALIWA TANZANIA NAMI NIKAMUULIZA SWALI LA MWISHO KUA

    "KUNA MTU ALIOZALIWA TANZANIA NA ASIJUE SHIDA NDIO NIJE NIMJUZE MIMI?"

    AKAPOTELEA HEWANI HAKUSEMA LOLOTE.... ILA MJUE KUA HAKUNA ASIEZIJUA SHIDA TANZANIA HIII KWAIO KILICHOBAKI NI KUJIPA RAHA WENYEWE MAANA MATAIZO ANAYO KILA MMOJA WETU APA .... AAAAAAALAAAAAA ....... TWENDE KAZI

    basi mtoto alikua akijiskia muliee balaa huku nimimnyonya ngome yake ile afu mikono yangu ipo maeneo ya matt nikiziminya chuchu zake... kiukweli mtoto lea alilegea vibaya mno na kukosa hata nguvu ya kuinua mkono yaani alikua tayari kwa kutafuna mtoto lea nikaona nisimtese mtoto wa watu ngoja nimpe haki yake ya msingi.. basi nikamgeuza mtoto na kumkunja kama chapati maana alikua mlaini na anakunjika jinsi utakavyo na hasemi kitu zaidi ya kuugulia tu na kulia kama mtoto mchanga vile.. baasi nikaishika dude langu na kulilengesha pale penyewe panapohusika kufanyiwa tiba... basi mtoto wa kiume nilifanikiwa kuuuummmmmhh

    "uuuuuuuwwiiii jems bwana umenishtua"

    "kwani vp?"

    "apana we .......we .....we.....k..ati...ka...tu"

    basi mtoto kaniruhusu nimkatikie mauno na kama unavonijua kua nina miaka au ni toka nizaliwe sijawahi kwaio leo mbona atakoma... basi nikaanza kukatiza mauno na nanii ikiwa iko nusu maana nikiingiza analia kama mtoto kwako nimeanza na nusu

    "yaani lea na ukubwa wote huo huiwezi hii nanii yangu?"

    "mmmhh mwaya we nataka raha au uniumize?"

    "haya bwana ... katika basi na wewe"

    Basi mtoto lea akawa anakatika kiuvivu huku mikalio yake inatikisika kama kiini cha yai vile kwa jinsi yalivyo malaini

    Sasa tukiwa ndio tunaanza kusex yaani hata bao moja hakuna alienza niliskia naitwa

    "we jems"

    "usiitike we endelea tu"

    "lakini ni mama anaita uyo"

    "sasa kwani ye mungu bwana?"

    "aisee nitafkuzwa kazi"

    "kwA kosa gani?"

    "si hili la kusex na wewe"

    "kwani mi sina hami ya mapenzi?"

    wakati huo tunabishana tulikua tumesitisha mpango wa kukatika mauno yetu

    "we jems pumbavu mbona unachelewa kutoka mbwa wewe"

    "mama natoka maa"

    "shiiiiiii inamaana unataka useme?"

    "bwana lea tusitishe ili swala"

    Kiukweli nilikua napenda kazi kuliko kitu chochote kile

    "sitaki sasa na kama ni kufukuzwa naufukuzwe"

    Sasa nikaona nitamuachaje lea na lea mwenyewe hataki maana nilishamfikisha katika mahali pa kumpakua sasa itakuaje... nikachomoa nanii yangu kisha nikasogea pembeni na kumuambia lea avae nguo haraka kabla mama hajaja... na mimi wakati huo bukta nishavaa kitambo sana... sasa lea alivyoona nimelitilia mkazo swala hili ikabidi aniombe

    "jamani jems plz huezi kuniacha na hali hii"

    "kwakweli lea hapo sifanyi kitu"

    "jems jamani hata kimoja tu cha fasta basi"

    "sitaki bwana niachie"

    wakati huo nanii yangu ilishalala kwa uoga wa kufukuzwa kazi

    "jamani jems lisimamishe basi unipe fasta tena cha kusimama"

    "sitaki bwana husikii wewe"

    "jems hutaki eeh? sawa utaona na sivai nguo wala nini wacha mama anikute niko uchi afu sijui utajibu nini?"

    "kwaio unanifkuzisha kazi sio?"

    "sio kazi tu na kufungwa juu"

    "haaaaaa hata jela nitaenda?"

    "sasa we ulifkiri mchezo nini yaani tena kifungo cha maisha"

    "aaasalala sasa unataka nini jamani dada lea?"

    "nitie hata vidole ili hamu yangu ipungue"

    Mara mlango ukagongwa kwa nguvu

    "we mpumbavu mkubwa mbona mumefunga mlango?"




    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/Nilikua ni mtu nilieshikwa na woga sana maana aliekua akugonga alikua ni mama.. sasa nikajifkiria kua niharibu kazi kwa kumfuata lea? au niponeshe kazi ili niachane na lea... Nimeona bora nifungue tu kuliko niende jela bora nimfungulie huyu mama aingie ili asije kunikuta na hali ya kingono ngono... basi nikausogelea mlango na wakati huo nausogelea mlango dada lea alikua hajavaa hata nguo moja lakini nikapiga moyo konde kua liwalo na liwe kama ni jela niende au kama ni kazi nifukuzwe.. yaani lea kwa masifa ndio kazidi kujipanua mapaja yaje eti ili nikiufungua mlango mama amuone na akishamuona tu basi nami kazi sina lakini sikujali hilo niliuendea mlango na kuuvuta kwa nguvu na mama akaingia... kwa bahati nzuri kumbe dada lea alikua akinizingua na alikua mwepesi mno kwani baada ya kumfungulia mama na kugeuka ili nimuone kama kavaa ama laa nikamkuta mtoto wa kike kajitupia bonge la gauni tena utafkiri hakua kwenye hayo mambo na kujifanya anafuta futa zile sehemu ambazo anaekaga chupi zake

    Mama sasa baada ya kuingia ndani akaanza wenge

    "we mlikua mnafanya nini humu ndani?"

    Mama alinitolea macho hadi nikashindwa kujitetea

    "si nakuuliza wewe?"

    "mama lakini si alikua anafuta kabati langu huku?"

    "ndio akae masaa yote hayo?"

    Nikaona nisipojitetea hapa basi kesi nitakua nayo maana mama alishavimba sura na kujua hapa lazima nilikua namlalia mwanae na huyo mtoto ni mkubwa tena ni wakujipangia mwenyewe lakini kama unavojua watoto wa kitajiri hata awe mkubwa vp lakini bado anaonekana ni mdogo.. basi nikaanza kujitetea kiume

    "mama? unajua dada lea aliniambia kua nikifutaga chumba chote hua kuna mahali sipafuti. sasa leo ndio akaniambia nije ili anionyeshe hio sehemu ambapo sifikishi dasta.. sasa alivyonionyesha hio sehemu kiukweli hata kupaacha haikua kosa langu mama maana sehemu yenyewe ni pale anapoekea chupi zake.. sasa nikamwambia zitoe basi nipafute anakataa eti ananiambia nitoe mimi.. sasa mama mimi ni mtoto wa kiume nitashikaje nguo zake za ndani?"

    MaMa kuskia hivyo akabaki kimyaa na kunitoa mbio

    "toka kaendelee na sehem zingine mbwa wewe.. eehee na wewe lea huyu si mtoto wa kiume iweje akutolee nguo zako? na mpaka saa hizi bado upo ndani kazini utaenda saa ngapi? si nakuuliza wewe?"

    Dada lea alikua akiulizwa maswali mengi mno lakini mimi tayari nilishaponea chupu chupu na kuendelea na kazi zingine

    +MCHANA MIDA YA KUPIKA+

    nilimaliza kazi zangu mapema mno na kukaa kwa sofa na kuangalia TV .. wakati huo ndani tupo wafanya kazi tu yaani hakuna hata mtu.. zaidi ya sisi wafanya kazi wanne mimi na mahausi geli watatu.. sasa nikiwa sebuleni nacheki tv niliitwa jikoni

    "we jems weee?"

    "naam"

    "njooo uku unakaa tu apo"

    Ahh alikua ni meri ameniita

    "unasemaje?"

    "we mama alikuambiajr?"

    "kwani alisemaje naisi nimesahau vile?"

    "we si uliambiwa ukimaliza kazi mapemba uje uniseidie huku ndani?"

    "aaahh sasa si nilikua nastarehe kidogo maana wakiwepo wenyewe siruhusiwi kukunja 4 kwenye sofa sasa kwanini nisiikunje wakiwa hawapo?"

    Basi mtoto nilimpatia maeneo hayo wacha aanze kucheka na angejua mi namtamani awe rafiki yangu duuu

    "hshahaha kumbe una vituko ivyo?"

    "aaahh kawaida eehee ulikua unaniitia nini sasa?"

    "njoo uniseidie kukata vitunguu"

    "sasa mi naweza kwani?"

    "we si ujaribu tu"

    Basi mtoto wa kiume nikavaa EPLON na kuingia jikoni na kuanza kukata vitunguu

    "sio hivyo shika hivi"

    "aaahh basi nimejua"

    "si useme umejua alafu uharibu oohoo"

    Basi mtoto wa kiume nilijitaidi ili mtoto meri anikubali

    sasa kuna mahari ilifika nikachoka kukata hivyo vitunguu maana ni vingi mno

    "mbona unaacha we jems?"

    "nimechoka asee"

    "umechoka mbona kula huchoki?"

    "lakini dad me"

    "lakini nini?"

    "mmhh basi yaishe"

    "kata sasa"

    "ngoja basi nipumzike"

    "aahh Haaa huli ubwa bwa leo"

    "aaahh dada meri acha izo bwana unajua hubwa hubwa ni msosi mtam sana?"

    "kata vitunguu ivyo ndio nitakupakulia tena nitajaza"

    "kwani hadi hivi viishe?"

    "ndio we ulifkiri pilau linapikwa na vitunguu viwili?"

    Basi mtoto wa kiume nikajitahidi lakini ni kwasababu ya hubwa hubwa.. sasa ilifika mahari nikajikata kidile

    "sssssii aaaaiii"

    "nini we jems?"

    "kisu kimenikata"

    "ssa umekataje hadi ukakatwa bwana?"

    "we nisaidie tu meri"

    daahh kweli nilijikata lakini ni kwa njia ya kua karibu na meri maana ndio mzuri kidogo na anaweka wambuzi balaa ( kununa ) basi nikajifanya naumwa mbaya.. Sasa kumbe mtoto anajua huduma ya kwanza na dawa yenyewe ipo chumbani kwao

    "twe kule ndani kwetu kuna dawa nikakupe"

    Basi tukaongozana hadi huko na kuingia chumbani kwao na ndipo nilipojua chumba chao kikoje... wakati huo mahausi geli wengine wapo bize na kazi zao.... hapo ndani kwao kuna vitanda vi3 kama jinsi walivyo wenyewe kwaio kila mmoja na kitanda chake

    "iyo dawa inawasha eehh?"

    "kwani unaogopa dawa?"

    "baadhi tu"

    "na ukubwa huo unaogopa?"

    "lakini maumivu si kwa mdogo tu hata mkubwa yapo sema uvumilivu tu"

    "sasa kwani usivumilie?"

    Basi mtoto akanipaka dawa kisha tukawa tunakiangalia jinsi kidole kinavyonyonya dawa huku tukiibiana macho ya mbali mbali...

    Mara meri kanikazia macho usoni kwangu

    "vp kuna tatizo?"

    "kwani vp?"

    "aahh naona unanichabo sana"

    "hii ni njia ya kumuona mtu kama amebarehe"

    "eeee"

    "eee nini?"

    "kwaio mimi umenionaje?"

    "we bado kidogo"

    "uuuunauumwa wewe yaani mi bado?"

    "bado sana maana unakimbiza kimbiza macho sana"

    "amna ni heshma tu"


    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "ni heshma eee? haya tuangaliane sasa"

    jambo la kuangaliana uso kwa uso tena jinsia tofauti ni jambo la hatari sana... hebu jaribu sasa hivi kukutana na BOY/GIRL usiemjua na aliobarehe vizuri kisha jaribu kumkazia macho uone kama hajayakimbiza haswa haswa wadada ndio walahisi sana kukimbiza macho yao.. na mdada ambae hakimbizi macho basi ujue atakua kahaba au mumezoeana kwa hali yeyote ile... sasa basi tukawa tunaangaliana na huyu meri ili kujua mshindi ni yupi lakini mimi ni mzee wa kutazama mbaya.. basi tulikua tukiangaliana kwa hisia kali mno... na kama ulikua hujui kua macho ni kitu ambacho kinashawishiana wenyewe kwa wenyewe... basi kwa makusudi yangu na kwa jinsi ninavojua kuyatumia mcho mtoto wa kiume..

    Nikarembua macho balaa huku tukiangaliana

    saa ngapi na yeye hajarembua yaani macho yalishawishiana na sii kwamba alikua ana mpango wa kunirembulia wala nini.. bali ilimtokea tu ghafla

    "mbona unalembua sasa umeshindwa nini?"

    Nilimuuliza mimi na kubaki kimya na kuendelea kurembua mimacho yake ile

    "we meri? meriii we meri?"

    "abeee we unanishtua"

    "umeshindwa kuvumilia umeona unirembulie sio?"

    "hhmm kama ulikua unanivutia vile jems?"

    "nakuvutia na nini sasa?"

    "nakuona kama HB vile jems"

    "mmmh ushaanza swaga zako izo we twende jikoni tukaendelee kupika"

    Nikaamka pale nilipokaa na kuanza hatua kadhaa

    "sasa unaenda wapi jems?"

    "kwani vp?"

    "njoo tupige stori"

    "ivi unajua kua umeacha chungu kule jikoni?"

    Niliona nimshtue asije unguza chakula kisha akafukuzwa kazi kwa ajili yangu..

    "twende basi kule kule"

    aliniambia kisha akaniminya mbavu mtoto wa kike nikajua hapa kimeshaiva tayari ni cha kula tuu

    Baasi tulifika jikoni na meri wangu huku kama akinitamani vile.. maana kumbuka kua meri hajuagi tatizo langu la jogoo kutowika maana sikua na mazoea nae na ndio leo mazoea yameanza...

    "mbona uko mbali hivyo jems au unaniogopa?"

    "wala tu"

    "sasa si usogee hapa nikufundishe?"

    Nikasogea karibu mtoto wa kiume kisha nikaendeleA kukata vitungu huku tukiibiana macho ya wizi wizi..

    "unaniangalia nini?"

    Aliniuliza mtoto wa kike huyu na kumjibu

    "aahh nakufananisha labda"

    "unanifananisha na nani? au na mpenzi wako?"

    "teh teh teh teh wala tu sina mpenzi"

    "mmmhhh muongo we jimi wewe"

    "kweli vile"

    "mmhhj mbona unaonekana romantic sana"

    "aahhh amna labda mwonekano tu lakini siko hivyo"

    "jimi?"

    "mmmhh"

    "kweli huna mpenzi?"

    "ndio sina"

    "mbona juzi nilikukuta na dada lea kakukumbatia hapa jiko? "

    "aaahh dada lea si tamaa tu ... au we na akili yako ataweza kua mpenzi wangu yule na hadhi yake?"

    "najua hawezi"

    "sasa je?"

    "kwaio?"

    "kwaio nini sasa na wewe meri si unyooshe neno"

    "ebu nijaribu kunibambia basi kwa nyuma ili nikuone ni mkali?"

    Daahh yaani disko limeingiliwa na mmasai yaani unamkabidhi fungu mmasai noomaa

    Basi mtoto wa kiume nikauzunguka mwili wA meri na kuanza kumshika shika maana ningezubaa angeniona boya.. basi mtoto nikaanza kumminya minya makalio yake yale.. na kuanza kumpandisha hisia huku namngonya shingo mtoto meri

    "jems basi bwana vinanipanda"

    "si ulitaka ujue ukali wangu?"

    "nishaujua kwaio kila kitu jioni tukilala"

    basi baada ya kusema vile nikaamua kumuacha mtoto apike

    +USIKU MIDA YA KULALA+

    nilikua geto nikimsubiri meri kwa hamu maana aliniahidi atakuja geto maana chumba changu na chao vimeangaliana... sasa nikiwa nipo geto mida ya saa 3 hivi usiku na muda huo wafanya kazi wapo chumbani kwao walipiga tu stori... mara uliskika mshindo kutoka huko nyumba kubwa na kuelekea huku tuliko wafanya kazi..

    sasa nikajiuliza ni nani huyo na wote hakuna alie nje maana mahaus geli wote wapo ndani na kama ni kuenda uwani kwa hawa mabosi au watoto wa mabosi hua hawatokagi nje maana wana vyoo vyao kule kule ndani kwao..

    sasa nikaamka kitandani na kuusogelea mlango ili nisikie ni nani.... mara nikasiki muito ukiita mtu lakini sauti ilioskika ni ya dada lea

    "we meri? meriii?"

    "abee dada?"

    waliitana kwa taratibu huku wakinyata nyata ili baba yake asisikie kitu kule nyumba kubwa...

    "unasemaje dada lea?"

    Nilikua nawaskia vizuri tu huku wakinong'onezana

    "sasa meri? samaani sana mdogo wangu"

    "bila samaani dada ongea tu"

    "nilikua na shida moja"

    "shida gani hio dada?"

    "naumwa na tumbo la kuharisha sasa nenda kalale kule kwangu afu we niachie huku kwa leo tu?"






    kutokana na meri au sisi wote tunavyomueshim dada lea Basi hata meri pia hakua na kipinvamizi zaidi ya kukubali tu.

    "sasa dada mama si atagomba?"

    "hatogomba kwasAbabu nishaongea nae"

    "sawa basi mi naenda"

    Yaani meri alimuaga lea kua ndio anaenda sasa hivi kulala katika chumba cha lea.. wakati huo wakiongea mimi nilikua nawaskiliza kwa kupitia tundu ya mlango.. basi meri aliondoka pale huku akiwa kama mtu ambae hajapenda tendo lile la kuhamishwa sehemu ya kulala

    Basi dada lea aliingia kwenye chumba cha wafanya kazi na kulala katika kitanda cha meri maana humu ndani kila mtu na kitanda chake..

    Na wale mahausi geli wengine hawakumhoji kitu maana waliskia kila kitu na licha ya kuskia pia wanamwogopa na kumueshim balaa...

    basi mtoto wa kiume nikarudi zangu kitandani na kulala zangu maana mtu niliemtegemea aje naona kabadilishwa kitanda na hata huyu lea sina imani nae kama ni kweli ana tumbo la kuhara au uongo tu

    Basi mtoto wa kiume nikavuta shuka na kujifunika.. Mara meseji imeingia kwenye simu yangu nikaamka ili kuisoma lakini meseji hio ilionekana inatoka kwa meri

    "NAJUA ALICHOKIFATA DADA LEA ..KAKUFATA WEWE"

    nami nikamjibu kua

    "WALA TU NI KWELI ANAUMWA NA TUMBO LA KUHARA"

    "ANAMDANGANYA NANI? KWANI TUMBO LA KUHARA LINATAKIWA ULALE NJE? SI WANA CHOO CHA NDANI KWA NDANI HAO SASA IWEJE AJE HUKO?"

    "MMHH MI SIJUI BWANA WE TULIA BHANA"

    tulikua tukichat na simu zetu za viganjani mimi na meri akiwa yupo nyumba kubwa kwenye chumba cha dada lea.

    "ILA JEMS NAKUOMBA USIFANYE NAR CHOCHOTE KWANI TAYARI NIMESHAKUINGIZA MOYONI MWANGU"

    "HAPANA SITOFANYA HIVYO"

    nilimuambia hivyo lakini moyoni mwangu najua demu wowote yule akija geto basi huyo atakua ni halali yangu..

    "KWA MUDA MFUPI TU NIMEKUZOEA NA KUKUAMINI JEMS WEWE JE? UNANIAMINI KWELI?"

    "NDIO NAKUAMINI SANA TU"

    nilimdanganya maana moyo wangu kwa sasa haupo na mwanamke yeyote yule.. sasa tukiwa bado tuna chat na meri mara iliingia meseji nyingine ambayo sikuisevugi ila ilikuepo Nikaifungua na kuanza kuisoma

    "SASA JEMS NIMEAMUA KULALA HUKU KARIBU NA WEWE ILI TUMALIZIE ILE ISHU.. ASUBUHI ULINIACHA NA MAUMIVU MAKALI SANA KWAIO NASUBIRI HAWA MABEKI 3 WAWILI WALALE AFU NIJE VP UPO TAYARI? HATA KAMA HUPO TAYARI JIMI KIFUPI NIMETOKEA KUKUPENDA KUTOKANA NA PALE ASUBUHI ULICHONIFANYIA.. I LOVE U JIMI MMWWAAHH"


    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    hee huyu alikua ni dada lea kama unakumbuka asubuhi nilimponya ponya kumpakua na kwa bahati mbaya mama kama alishtuka hivi ila ni kama alihisi na kutukatisha starehe ile iliokua ikianza punde tu..

    basi nami kwakua nina hamu ya toka nizaliwe basi sikua na hiana mtoto wa kiume... nikamjibu lea kua

    "NJOO TU ILA KUA MAKINI HAO WASIJUE UNAENDA WAPI SAWA"

    "SAWA BABY JIMI"

    daahh kiukweli dada lea kaonekana kudata na mimi maana leo tu kaanza kuniwaza namna hii kweli mapenzi ni noma jamani asikudanganye mtu

    Basi mtoto wa kiume nikaanza kubofya simu kwa mbwe mbwe Mara simu ilipigwa kucheki jina alikua ni meri..

    "halo? meri vp mbona unapiga saa izi?"

    "jamani bayby kwani ni kosa?"

    "mmhh kwani uhusiano mi na wewe ulianza lini jamani mbona baby zinakua nyingi?"

    "usitake kujua uhusiano ulianza lini kikubwa nilikua nakutakia usiku mwemba mpenzi wangu"

    Afu akakata simu nikaona huyu hanijui kua nimepona eehh? sasa ngoja nianze kumdengulia mtoto meri maana kitendo cha kumminya minya pale jikoni imekua kosa..

    +KAMA KAWA NGOMA SITA INAGONGA MTOTO WA KIUME BADO NIPO MACHO KUMSUBIRIA DADA LEA+

    kwa sasa ni mida ya saa 6:30 usiku tena sina hata usingizi maana isijekua kama jana nilivyopitiwa na usingizi na kumkosa helena wakati aliniahidi afu Usingizi ukanikatili na kustuka asubuhi...

    Sasa nikiwa najifkiria zangu mwenyewe katika kichwa changu mara meseji iliingia kwenye simu yangu na kuanza kuisoma

    "JEMS FUNGUA MLANGO NAKUJA"

    alikua ni dada lea

    "MLANGO UPO WAZI WE NJOO TU"

    nilimjibu dada lea huku moyo wangu ukitwita juu juu

    kwa raha maana dada lea si mchezo kwani nikisema nimfananishe basi ananzidi kidoogo AGNES MASOGANGE KWA UMBO LAKINI ILA KWA SURA DADA LSA NI ZAIDI YA YEYOTE MAANA MPAKA MI MWENYEWE NAJISTUKIA KUDUU NA MTU KAMA HUYU"

    Nadhani sii kwa wanaume tu ndio wanajistukia Hata wanawake pia kwani demu ukimcheki ana sura chachu lakini huyo jamaa wake ni bonge la HB yaani mji mzima hakuna... na kwa madume pia ni hivyo hivyo kupenda demu mkali afu sura chachu kama yangu vile... baasi nikiwa nabofya simu mara mlango ulisukumwa taratiibu kama mtu anaekuja kuiba hapo geto kuuumbe ni lea alikua ndio anatimba geto

    "ufunge mlango kabisa"

    Nilimuambia huku nikimkagua mwili wake kwani alikua kapitisha kanga moja tu tena sidhani kama chupi atakua nayo kweli maana huo mtetemesho wa hapo nyuma na hayo mapaja balaa... yaani ni zaidi ya kanga moja sasa sijui tuseme ni mtandio au kitenge??

    mi sijui ila jibu unalo bwana msomaji

    Yaani kwa raha na karaha zote nikajikuta natetemeka mwili maana huu mzigo ulikua uliwe na mtu ambae ni matajiri kama yeye na wenye sura kama yeye sasa mimi sina hata kimoja mtoto wa kihme sio sura wala sio pesa kifupi mimi ni bonge la maskini tena yule bushmen kabisa

    "mbona kama una hofu jems?"

    "wa wa wa wala tu niko sawa"

    Na kaa ukijua kua ukitia hofu/woga/ukijihisi butomfikisha kileleni/au atakudhara basi ni lazima ufeli kwenye tendo hilo maana utapunguza kasi ya damu iliojaa katika uume wako kwaio hofu haitakiwi maeneo hayo kwani utaumbuka...

    ( KIUKWELI SEHEMU KAMA HIO YALINIKUTA KWELI KIPINDI NDIO KWANZA NAYAANZA MAPENZI KWA MARA YA KWANZA NILISHINDWA KWA KUTIA HOFU KAMA NITAWEZA AU MBWE MBWE TU ILA KIUKWELI KABISA NILIMSHINDWA YULE DADA NA KUMUANGALIA HIVI AKIVAA CHUPI YAKE MPAKA AKANIACHA GETO NIKIWA NIMEZUBAA KAMA FALA FLANI HIVI KISHA AKANIAMBIA

    "SIKU UKIWA TAYARI NIITE ILA UNAONEKANA NDIO UNAANZA LEO POLE SANA SHEBY"

    ALIPOSEMA VILE ROHO ILINIUMA SANA NA KUJIONA KAMA HANISI FLANI HIVI... BASI SIKU HIO NAIKUMBUKA VIZURI SANA MAANA NILIIWEKA KUMBU KUMBU HADI LEO ILIKUA NI SI KU YA ALHAMISI TAREHE 9 MWEZI WA 11 MWAKA 2006 HIO NDIO SIKU YANGU YA KWANZA YA KUONA AU KUISHIKA NAANII YA KIKE JAPO SIKU HIO NILISHINDWA KWA UOGA NA PIA UOGA HUO ULISABABISHA HADI UUME WANGU KULALA SIKU HIO... ILA BAADA YA KULIJUA KOSA HAHAHAHAHAHA ALITAGA YULE DADA MAANA ALISHANGAA IVI KWELI NI MIMI YULE WA JANA AU??? NDIO MPAKA LEO MIMI NI BONGE LA JEMBE... HII NI STORI YANGU YA UKWELI KABISA NA HATA SEHEMU YA 19 NILIGOMBANA NA SESI HAPO GETO KWANGU AMBAYO NDIO INAHUSU HICHO KIJIPANDE CHANGU CHA UKWELI )

    Basi tuendelee na yetu tuachane na hio stori.. Basi nilijibu kwa mikato mikato kama mtu muoga hivi lakini nikajisemea mwenyewe kua

    "hapa nikijifanya muoga nitaumbuka vibaya kikubwa nijikazae kiume"

    Nilipomaliza kujisemea kipekeanguu nikashangaa mtoto kanirukia na kuanza kula denda taratiibu bila shida nami kama unavonijua kumtomasa mwanamke nilikua naweza toka nikiwa sisimamishi kana kwamba kila kitu katika mapenzi nilikua najua ila nilikosa kusimamisha tu.. Sasa basi mtoto wa kiume nikaanza kum binya binya makalio yake yale malaini na wakati huo nanii yangu imekaza hadi inauma mtoto wa kiume yaani natamani nimuingilie bila hata ya kumuandaa.. lakini nikaona ngoja nivumilie mpaka alegee yeye

    "uuuwiii jimiii bwana"

    "nini dada?"

    "bwana tukiwa hapa usiniite dada"

    "oohh poa nisamee"

    "ukitaka nikusamee leo unikune mpaka basi"

    "usijali nitakukuna mpaka utaumwa"

    "nitafrai kama itakua hivyo"

    Basi nilianza kumtomasa mtoto wa kike huku akilia vilio vyote vya mahaba maana sehemu ninazogusa hhmmm mi sisemi maana naisi kuna watoto wanasoma hii stori...

    "mmmhh aaaahhh mmhh aaaaiiiii jiiimiii hhhh hhhh aaaiiii uuuuhh nnnnhh ssssssssiiii aaaahhhhh"

    Mtoto alikua akilia miguno mizuri tupu huku akiwa anafumba macho na kujing'ata mdomo.. nikamvutia kifuani kisha nikaanza kuyasurubu matt yake yale yaliolisimama na kuyafanya yavimbe zaidi utafkiri ana mimba ya mwezi 9 kumbe ni utundu tu.. baasi dada lea alilegea mpaka basi yaani alikua hajiwezi kabisa.. nikaona ngoja nizame chumvini na kuanza kufanya yangu maeneo yale kisha vipimo vya tenki vikaanza.. sasa kumbe mtoto ukimuingizia vidole ndio shiiida

    Nikakinyoosha kidile changu kisha nikaanza upimaji waaa??? unajua sio hadi nitaje

    "uuuuuuwwwiii jem"

    Nilikimbilia kumziba mdomo maana sauti yake nilihisi itasikika mpaka OLDONYO LENGAI

    Basi mtoto alikua akihema juu juu kama kafukuzwa na mwewe vile... kumbe ni viganja tu.. na kiukweli mtoto hakuja na chupi bali ilikua ni ile kanga moja tu.. basi mtoto wa kiume wala sikupata shida ya kuzipambua nguo hizo nikaivuta tu kimtindo ila kanga yenyewe ilikua imeloana naniii sio maji wala mkojo ila ni zile zile za kikubwa zilizomfanya hadi awe hoi hoi... kiukweli dada lea hapa alipo hajitambui hata kidogo.. nikalishika dude langu na kulitikisa tikisa hivi kimtindo kisha nikalielekezea katika ngome ya lea tena kangome chenyewe kalikua kadogo afu kazuri

    Sikuchelewa wala kuvuta pumzi nyingi kilichomkuta lea

    "uuuuuuuuuuuuwiiiiii jems umeingiza nini? mbona vinauma ivyo"

    Mtoto aliinua kifua kidogo na kupiga makelele ya maumivu ila sikujali hilo nilianza shughulia ya kuanza kazi ya juu chini huku mtoto akilia kama mtoto wa mwaka mmoja vile na wakati huo nanii yangu imeingia nusu yaani ipo katkat

    "jems mbona unanipunja uhondo wangu?"

    "vp wataka niipigilie zaidi?"


    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "ndio.. ongeza kidoogo sana"

    Basi mtoto wa kiume nikajisukuma mbele kwa kuiongeza makali au kumhudumia lea ikiwa imepenya yote.. mtoto lea alikua ana ushanga mmoja wa rangi ya gold uliopendezesha kiuno chake... na wakati huo lea alikua akikatika balaa tena mtoto ana mauno balaa maana ananishinda hadi mimi kwa mauno.. staili niliompanga ni staili ya kifo cha mende niliomueka miguu yake begani kwangu.. lea alikua analia balaa na kuonekana kama anakaribia kuvunja dafu kwani hata mimi nilikua nakaribia kuvunja dafu

    "oooohhh ssii oo hh ssssii ooo sssii oohh aaaaiihhh"

    Tulivunja dafu wote lakini dada lea alikua hoi na sidhani kama atarudia raund ya pili kweli maana kachoka mpaka anasinzia na mimi wakati huo bado ngoma haijadondoka afu bao la kwanza lilikua bonge la bao si unajua ni toka nizaliwe sijawahi kutoa izi ishu kwaio mtoto lazima awe mzito sii bure... basi mtoto wa kiume nikamgeuza dada lea wakati huo kitu yangu imekaza balaa.. basi nikawa namgeuza lakini alionekana kukataa maana kabla sijamuingilia nakumbuka alishapizi mara 3 kwaio hii ni ya 4 lakini mtoto wa kiume nilionekana kama sijaduu vile sasa kila nikimshika mtoto wa kike hataki yaani tayari kachoka tena na usingizi juu.. kila nikitaka kupanua mapaja mtoto anaziba

    "sasa ndio nini lea?"

    "jems mi tayari nimeshafika kwani uke wangu unaniuma sasa hivi niache kwanza"

    Aliongea huku kama analia hivi lakini mkono wake kauziba kwenye nanii yaje eti nisimguse na wakati hapo nilipo nanii yangu inauma.. alikua kalalia tumbo

    ( kifudi fudi ) nikaona aataa hawezi kuniacha njiani kiasi hiki.. Basi mtoto wa kiume nikajikaza kiume kisha nikamkunja mguu mmoja akiwa kalala vile vile kisha nikashika tako lake moja afu nikamshika bega na mkono mmoja afu nikamvuta akawa kakaa staili ya mbuzi kagoma hapo hapo sijachelewa

    "uuuuuwiij jems utaniua lakini si nilikuambia siniskii tena"

    Nilijifanya sisikii maana nilikua nakatika mauno huku nimemshikilia nikiangalia saa ya ukutani ilikua ni mida ya saa 10 kasoro usiku au alfajiri... basi mtoto wa kiume nilimua napiga ile ya nje ndani kinachoskika hapo ni sauti ya miguno ya dada lea na makalio yaje jinsi yanavyonipiga piga kwenye mapaja yangu kwaio lazima yapige kelele mithili ya makofi ya kanisani maana alikua kaajaaliwa makalio kwaio vile nikijisukuma na kutoka basi makalio yake yanali

    "pwaa pwa pwa pwa pwa"

    kulingana na spidi yangu ya kukatiza maunoo

    Basi nikawa kama nataka kuvunja dafu la pili kweli sikukawia hata kidogo nilivunja dafu huku nikiwa nimemkumbatia lea kwa nguvu hii ni kwa ajili ya kuzikamua nanii hizo... lakini lea hakia na furaha hata kidogo zaidi kulia na kuugulia maumivu

    "jems nilikuambia lakini ona umeniumiza sasa"

    Daahh mtoto wa kike alikua anatokwa na damu maene ya nyeti zake

    "kwani ulikua bikra?"

    "wala tu.... kwani bikra ilishatolewa kitambo toka nikiwa msingi"

    "sasa hii ni nini?"

    "lakini nilikuambia jems sijisikii lakini hukunisikia"

    "pole bwana kwani umeumia sana? hebu nione basi"

    Basi nikawa nampangusa damu huku bado namtamani mtoto lea maana kila idara anatamanisha mtoto buyu basi lea hakua akiniogopa wala nini kwani nilipokua namfuta damu alikua kanipanukia panuuuuu wala haniogopi yaani kajiachi utafkiri tunacheza picha za X kumbe ni shiida tu... sasa baada ya kumaliza kumpangusa damu ile akawa anataka kusema kitu vile

    "jems unajua mimi nilikua na tamaa ya mapenzi tu lakini nilikua na tatizo ila niliogopa kukuambia"

    Nilishtuka kuskia maneno hayo maana niliwaza vibaya kua huenda akawa mgonjwa nini.. sasa mtoto wa kiume nikaanza kupaniki

    "sasa kwanini usingeniambia mapema?"

    "sasa si usikilize basi jamani jimi wangu"

    "haya sema sasa na sijui kama nitakuelewa kitu apa"

    "sawa hata kama usiponielewa lakini ukweli uujue kuusu mimi nilivyofanya mapenzi kwa tamaa yangu"






    Basi mtoto wa kiume nilikua na wasi wasi mno maana asije akaniambia ana ugonjwa wakati mtoto wa watu ndio nayaanza mapenzi..

    "sema sasa mbona kimya?"

    nilimfosi maana saa hio nilikua nina hasira kinoma

    "unajua asubuhi vile ulivyonishika ndio nilipata hamu ya kukufata huku kwako"

    "we sema una ugonjwa gani?"

    "sina ugonjwa ila kuanzia jana nilikua nipo kwenye siku zangu"

    "wee fala kweli wewe sasa kama upo kwenye siku zako kwanini ulikuja?"

    Nilimtukana bila kujali kua ni mtoto wa bosi wangu

    "ni tamaa tu jems nisamee bure"

    "ivi unajua madhara ya kusex wakati upo kwenye siku zako?"

    "ndio najua ila si nimekuambia nisamee"

    "kumbe ndio maana ulikua mdhaifu"

    "kwaio?"

    "kwaio nini?"

    "mi naenda si unaona kumepambazuka"

    "wee nenda tu"

    "mbona kama hupo sawa jems?"

    "yaani hakuna sikubniliokasirika kama leo yaani umeniuzi kupita kiasi"

    "pole jamani jems"

    "nenda bhana usije ukakutwa apa"

    Basi mtoto alitafuta kikanga chake na kukitupia mwilini kisha akaondoka lakini aliniacha nikiwa na mawazo mengi mno.. maana kusex na mtu aliokua kwenye siku zake ina madhara ya kupata/ kisonono kaswendwe/ gono/ na vingine vingi tu vipatkanavyo kwa mwanamke alie katika siku zake..... na ndio maana tunashauriwa kua haturuhusiwi kusex na watu kama hawo..hadi atakapomaliza siku zake tena inampasa akae siku 7 kutoka ile siku ya kupona... yaani mfano akipona leo basi hapaswi kusex hadi kue na siku za ziada ambazo zitaweza kukausha yale maji maji..maana mwanamke alie katika siku hua pale mahali hapakauki hata kidogo lazima utapakuta pako bize kwa kazi ya kutoa DAMU/MAJI MAJI.. nilijikagua mtoto wa kiume kama kuna shida katika nanii yangu..basi kama kawa mida ya asubuhi na mapema ni kupeleka watoto shule kisha nikarudi mjengoni na kuendelea na kazi zingine za ndani.. ila leo niliamua kuanzia kwa dada lea na kumkuta kalala kifudi fudi tena bado yupo na ile kanga tena kanga yenyewe imefunuka upande mpaka nikamtamani tena dada lea maana mwili wake wavutia si mchezo... lakini nikakumbuka kua yupo kwenye day zake bora nimteme tu ila kama sio day aaaahh ningeshamparamia kitambo tuu.. basi nikamfunika mtoto na kuendelea na kazi.. na leo dada lea anaonekana hatokwenda kazini maana ni mgonjwa

    +MCHANA MIDA YA KULA+

    kama kawaida yangu ya kumaliza kazi mapema na kuvuta story na mmasai pale nje huku tukila pilau

    "vp bwana masai upo?"

    "nipo ndugu yangu niende wapi sasa?"

    "aahh najua kazi yako hunaga pakwenda wewe"

    "ndio bwana ila leo nimemuona dada lea katoka huko kwenu asubuhi subuhi vp alifata nini mida hio?"

    "aahh si unajua mambo ya wanawake"

    "mmmh maana sio kawaida yake kutoka huko au unapitia nini mjombaa?"

    "aaahh wapi na hadhi hiii atakubali kweli?"

    "aahh haya mambo hua hayAnaga ufahari"

    Mara dada lea akaniita

    "jimi?"

    "naam?"

    "njoo"

    "mi nakula bhana"

    "we si uje mara moja tu"

    Daahh mtoto wa kiume nikaenda ili kumsikiliza anachosema ni nini

    "haya unasemaje?"

    "utanipeleka hospitali basi fasta"

    "saa ngapi?"

    "kama ngoma 10 au 9 hivi"

    "poa nitakupeleka lakini mama akigomba unitetee"

    "usijali mtoto mzuri eeh?"

    "nani mtoto?"

    "mmhh basi najua we sio mtoto maana ulichonifanya jana duu we noma kweli"

    Basi mtoto kaanza kunisifia kimtindo huku akirembua mimacho ile kama vigoroli..

    Basi nikarudi nje na kuendelea kula

    +SAA 9:30 ALASILI+

    ulikua ni muda wa kwenda hospitali maana tulishajiandaa sasa tulikua tunatoka tena tulikua sisi wenyewe bila kwenda na mtu yeyote zaidi ya sisi tu..

    Usafiri tulioutumia ni usafiri wa ndani yaani ni gari ya humo ndani..

    +MOUNT MERU HOSPITAL+

    Baasi kama kawa tulifika hospitali na kushuka vizuri huku dada lea akionekana kuwahi matibab..


    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "twende jems"

    "aahh mi siendi bwana"

    "sasa na wewe vp?"

    "mi sijiskii kuwaona wafu/wavonjwa"

    "yaani nawe jems unani oa eeb?

    Basi dada lea aliamua kwenda mwenyewe nami nikabaki kwenue gari Muda si mrefu nilimuona mrembo flani hivi mzuriii.. kanajipitisha maeneo yale nilipo. afu katoto kenyewe kadogo dogo afu kazuri balaa nikaona mbona mimi toka nizaliwe sijawahi kutongoza hebu ngoja nijaribu nijue kama nami nitaweza maana kama ni mademu wananipenda wenyewe sasa hebu nimtest huyu mtoto anaejipitisha hapo..

    "samaani anti?"

    "bila samaani kaka"

    "ok mambo?"

    "poa mzina wewe?"

    "aahh mi mzima sjui wewe?"

    "aahh mi mzima but sio sana"

    Nikaona mbona kama anataka kunimiksia na ngeli wakati mi mwenyewe ziro... saa hio moyo unadunda kwa kukosa mistari ya kutongoza... mtoto wa kiume muda huo Udomo zege umenijaa balaa vibaya lakini nikajisemea kua

    "liwalo na liwe ngoja nijaribu bahati yangu"

    Nilijisemea kimoyo moyo huku nikimuangalia mtoto anatabasam kimtindo

    "samaani sii mbaya tukafaamiana best au vp?"

    "ok mi naitwa hasma naishi mianzini palee mkwajuni"

    "oohh ok mi naitwa jems naishi sakina kibanda maziwa"

    "oohh napafahamu sana huko ni rafki yangu"

    "oooh ok ok ok ok ok ok ok Okeeeee"

    HahhahahahH mtoto wa kiume nimeishiwa mistari ya kuongeze pale nikabakia na neno OK .... jamani kutongoza nako fani duu.. noma sana

    "vp jems kuna shida?"

    Aliniuliza hasma huyu

    "eh eh rh aaahh hakuna shida ila sijui niiii aahh nishasahau"

    "umesahau?"

    Nikaona mbona mi nakia fala kiasi hiki Na pia unajua dunia nzima hakunaga domo zege hata mmoja bali ni kujiendekeza uoga tu.. nikaona poa kama ataniporomoshea matusi maana madem ndio zao kama huna saund kali ooohhoo atakuporomoshea mijitusi hio ooh

    "samaani best naomba tuongee kidogo"

    "kiukweli sina muda kwani mama kanituma dawa sasa hivi kwa ajili ya baba"

    "aahh tafadhali dakika mbili tu"

    "ok sawa but yasiwe maneno mengi"

    "usijali kwani maneno yenyewe yanahusu mapenzi kwaio hayatokua marefu sana"

    Ndoo nimeanza kutupia voko ivyoo kwa staili hio

    "unamaana gani kusema yanahusu mapenzi?"

    "aahh ina maana hujaelewa tu bibie?"

    "sijakuelewa bado tena ndio kwanza sikuelewi"

    Nikaona tuliposimama kuna shazi ya watu afu mi kutongoza bila kumshika hata mkono siwezagi

    "aahh samaani naomba tuongee kwenye gari maana si unaona mapishano na watu afu ni hospitali"

    "bwana nitachelewa si uongee tu?"

    "aahh hasmaa dakika mbili tu"

    "bwana unasumbua ila skai sana"

    Sasa kitendo cha kukubali kuingia ndani ya gari alikosea sana maana sehemu ya maficho kwangu ni ahueni kidogo.. basi tuliingia kisha tukapandisha vioo vya tintedi na kukaa siti za nyuma

    Na wakati huo nishamdanganya kua gari hii ni yetu kwaio asijali kitu chochote kuusu hilo

    "eehe sema bwana mi niende"

    "ok sawa... unajua ninj hasi?"

    "eehh"

    Huku tayari nishamshika mkono na kuusonola sonola hivi kimtindo

    "bwana jems nini? niachie"

    "kwani kuna shida best? eeh moyo wangu umetua"

    "umetua kivipi? nyoosha melezo basi"

    "aahh kifupi nimetokea kukupenda best tafadhali sana hasi"

    "akaa mi ninae mpenzi wangu na tunapendana sana"

    Yaani wadada wananiuzi hawa. yaani ukimtongoza tu lazima akuambie anae sijui wakoje hawa? Lakini nikaona bila kumshika shika huyu hatotulia ng'oo

    basi mtoto wa kiume nikaanza kumkanyaga miguu huku nikiwa kama namkuna kuna hivi na pia juu nimemshika mikono na kumshika shika mikpno yake

    "bwana jems nifungulie nitoke wewee?"

    "ngoja kwanza bwana best hata hatujajuana vizuri jamani?"

    "si nishakujua nawe umenijua kuna ki"

    Nilimkatiza maneno kwa kushika kiuono chake

    "nini mbona umesita kuonge best?"

    "bwana jems we ukoje bwana? ningejua nisingeingia"

    Huyu mtoto jamani msizanie ni mkubwa wa kutiisha nikama ana umri wa miaka 15-16 hivi lakini ana umbo la kushawishi wanaume afu pia ni mzuri wa kupitiliza

    "jamani hasi usijute kuingia humu"

    "sasa mbona unanishika shika bwana"

    "kama nilivyokwambia kua nakupenda tena nataka uwe mpenzi wangu wa dhati kabisa"

    "bwana lakini si nilikwambia ninae"

    "noo usiseme hivyo bwana we ulifkiri pesa zangu atakula nani kama sio wewe"

    Nikaanza kua muongo sasa na mali za watu

    "si wenyewe tunazo wala sina shida na pesa zako/zenu"

    "basi turidhiane hasma mbona hivyo?"

    "bwana mi nishkua ssssssiii aaahh"

    Nimkatisha mabeno yake ya kujirudia kwa kumshika matt yake madogo yaliosimama vyema..

    Sasa mtoto saa ngapi asianze kurembua na kujiona kama haelewi elewi hivi

    "jems wewe mchokozi"

    Nikaona mbona kama anaitika vile sasa nikawa namsogelea mdomoni maana alikua anarembua mithili ya kusinzia vile..nikautupia mkono wangu kunako mbavu zake na kuziminya kimahabq maana nimemuona kama analegea hivi

    "bwana we jimi unataka kufanya nini?"

    Kiukweli hata sauti yake ilibadirika basi pale pale nikamsogezea mdomo ili nijaribu kumuomba mate

    heee mara mtoto analeta mdomo kweli nikajua ananizingua nini au kweli? nami nikausogeza kwa nia ya kupokea denda

    "uuuuunnnnnn hhhhmmm oooohh iiiijnnnn hhhhh aaaa hhhhh uuuuuwiiiiii jems subiri mbona una haraka ivyo jamani?"

    Hahahahah siamini kama kweli mtoto kashakubali denda langu.. sasa kama unavojua after denda kutazaliwa mengine maoyaaa... basi nikaaza utundu wangu wa kumminya minya mbavu zake.. muda huo tumekaa kwenye siti moja huku tukishkana shkana miili yetu.. lakini hasma alionekana kua na hamu sana maana kila ninapomshika mtoto lazima aruke tena huku akipiga kelele za utamu... nilimshika mtoto mpaka alilegea vibaya..nikaona hapa hapa sikawizi kitu chochote kile Basi mtoto wa kiume nikamfunua lile gauni lake ambalo wanawake wakilivaa wanalishika kwa pale mbele afu kwa nyuma kunakua kumekaza.. yaani kama hujua maana ya kushika pale mbele basi utajua kua labda lile gauni ni refu kana kwamba analishika ili asiliburuze lakini sivyo hivyo hua wana yao hawa kua ili tuone INYE... basi nikalifunua na kumkuta mtoto kavaa bikini tena hakua hata na taiti mtoto wa kike huyu

    "we jems unataka kufanya nini?"

    Unajua ukitaka kuduu na demu usimuambie kua nataka kuduuu na wewe bali we fanya utundu wako tu pale mwilini mwake kwanj mwisho wa saa Atakuruhusu mwenyewe.. na kuna wale ambao wanaitwa geto kwa miadi kabisa yaani anaenda kwa jamaa wake lakini anajua fika kua kinachompeleka ni mapenzi.. lakini asilimia 85 ya wengine hua vinawakuta huko huko kwa kusababishwa na utundu wa mwanaume sasa ndio huyu hasma utundu wangu ndio utanifanya nimpakue na unajua kwanini nina haraka na kupakua?? ni kwasababu sintokua na nafasi nyingine ya kutoka na ndio maana nataka niduu nae

    "jems mbona unanivua nguo?"

    "hapana bwana sifanyi kitu"

    Saa hio mtoto kalala kwenye siti anahema juu juu yaani hata nikimuacha ataniona mimi ni mjinga tena sana.... basi nikaona nikilivua hili gauni basi nitaweza kupoteza muda kwaio bora nilipandishe juu

    Nikafanya hivyo mtoto wa kiume kisha nikaikuta bikini hii hapa lakini kuifungua ndio kizaa zaa nilihangaika nayo mpaka nikachoka Nikaona mbona kama inafaa kusogeza kwa pembeni na kazi ikaanza.. basi nikafanya hivyo na mtoto katulia tu maana nae pia anataka nimrarue sema kalikua kanabana kidogo basi pale pale nikamlaza kwenye siti kisha mguu mmoja juu

    Na kuanza kazi

    "jemsiiiii jemsiiii jemsiii taratibu bwana"

    Mtoto nilimlaza bonge la staili maana alikua anachungulia chini ya siti na saa hio mtoto alikua anaizuia nanii yangu ili nisiingize yote maana sio saizi yake.. hasma alikua analia vibaya mno utafikiri ndio anaanza kuliwa.. kumbe utakuta ni mzoefu afu katoto katamu balaa maana kalikua kanaita tu yaani kanafaa hata kuona

    "achia nanii yangu wewe"


    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "bwana jemsiii staki kwani utaingiza yooote"

    "siingizi yote bwana iachie"

    Mara mtoto akaiachia maana ilikua inaenda lakini yeye kuna kipimo kajipimia.... yaani mtoto nikimkatikia mpaka makalio yake yanatikisika kwa ulaini wake

    "jems ngoja nivue bikini"

    "apana hivi hivi vinatosha"

    Basi mtoto wa kiume nilikua nagfanya makamuzi huku nikimminya matt na wakati huo kabla ya kumuingilia yeye alikua kashapizi mabao ya kutosha maana ikini yake niliikuta imeloana nyege tupu.... JAMANI STAKI WATOTO HUMU OOOHOOO SIFICHI KITU KABISA NA KAMA HUTAKI NITAJE VITU LAIVU BASI NIINBOX KUA NISITAJE SAWA????

    basi mtoto alikua analia kwani kiuno changu kilikua kinachanganya spidi kwasababu nilikua nakaribia kuvunja dafu

    "mamaaaaa jems umeniumiza mimi"

    Mtoto hasma alikua analia kutokana na kupizi kwangu kwani nilimvunjia dafu ndani kwa ndani

    "hee mbona unatoka damu hasma?"

    "umeniumiza ukoo"

    "wala ata uoga wako tu"

    "uoga gani wakati umetoa bik bi bi bi bik bikra yangu"

    "unasema kweli?"

    "ndio jems sijawahi kuduu na mwanaume yeyote yule na ndio kwanza naanza na wewe"

    "pole basi jamani"

    Mtoto alikua anadondosha machozi mengi mno Sasa nikapata kazi ya kumfuta damu na kumuacha akiwa safi lakini alikua bado analia balAA sasa sijui vinauma

    ETI NYIE WADADA KWANI VINAUMAGA KWELI?? MAANA SISI WANAUME HATUJUI TUNAJUA KUUMIZA TU

    ( swali hili ^^^ ni kwa wadada tu )

    basi hasma alikua akilia sana basi nikawa nam bembeleza nikiwa tayari nimeshamvalisha vizuri

    "baaasi na wewe haa hadi watu wajue?"

    "niache mi niende"

    "uende wapi sasa? twende hospitali basi"

    Tena uzuri ni kwamba hapo tulipokua tulikua hospitalini sema tulikua ndani ya gari

    "niache nijitahidi mwenyewe"

    Sasa vile anafungua mlango tu wa gari akakutana uso kwa uso na dada lea..

    "hee we mtoto unatoka wapi huku?"

    Dada lea alimuuliza yule bint Lakini hakumjibu

    "we jems?"

    "nini?"

    "yaani hii gari imekua ya kufanyia ngono sio?"

    Alijua kwasababu alimuona yule bint akilia na kuchechemea

    "sijafanya chochote mbona dada?"

    "hujafanya na huyu anatoka wapi huku ndani ya gari?"

    "basi nisamee"

    "ivi we we mbona ni malaya hivyo?"

    "s sa unanipigia nini?"

    "ngoja tufike nyumbani utanikoma"

    Basi nikawa namsindikiza hasma huko alikotumwa maana nimemfanya kachelewa kuchukua dawa za baba yake.. sasa tulipofika pale mapokezi nikakutana na yule dokta ambae alishawahi kunitibu

    "shkamoo dokta?"

    "marahaba kijana hujambo?"

    "sijambo dokta"

    "vp kijana umepona sasa?"

    "dokta nakushkuru sana dokta"

    Nikatoa kitu kama laki moja na kumpa dokta na kumpa shukrani nyingi mno

    "usijali kijana mshukuru yule mama"

    "sawa lakini wewe ni zaidi dokta maana yule kanileta tu"

    "hapana kijana yule mama ndio kila kitu kwako"

    "ndio kila kitu kwangu kivipi?"

    "usijali kwani si ndio kakutoa huko na kukuleta hapa?"

    "ndio"

    "basi mshukuru yeye maana bila yeye mimi nisingekutibu"

    "ooohh sawa kabisa ninekuelewa"

    Basi mtoto wa kike akahudumiwa lakini dokta alikua anampa huduma yule dada huku akiniangalia na kutikisa kichwa ila sijamuelewa ana maana gani kutikisa kichwa mithili ya mtu anae kataa

    Basi hasma alipewa huduma ya kwanza lakini dokta alijua ni nani kafanya hivi.. basi akampa na dawa za kutumia pamoja na zile alizotumwa kisha nikalipia mimi dawa zote maana hela ninazo kwani mwajabu akinipa lazima ziwe laki 5- au 4 za kutumia

    Basi tuliondoka pale na kuelekea kunako gari

    "twende tukupe rift"

    Nilimuambia huyu hasma huku akichechemea kwa maumivu niliompa hadi huruma ikanijia mtoto wa kiume

    "hapana kwani hata mimi nimekuja na usafiri"

    Basi nikapanda gari kisha dada lea akawasha gari na kuondoka zetu.. Lakini gari analoendesha hasma kama nalijua hivi ila kwakua magari yana fanana basi wacha nipotezee tuu maana alikua anaendesha gari aina ya vogu.. basi tukiwa njiani mimi na dada lea ndani ya gari mara akaanza kuongea

    "ivi we jems mbona umekua malaya ivyo?"

    "dada nisamee bure"

    "kwani ungeniambia nikupe mbona ningekupa tu"

    "lakini we si unaumwa jamani?"

    "sawa lakini hata matt si ningekubania tu jamani ilimladi hamu yako iishe"

    "basi yaishe sintorudia tena dada"

    "sawa ila usirudie tena bwana jems unajua hakuna siku uliniuzi kama jana?"

    "ok nashkuru kwa kunisamee"

    "nimekusamee afu.... nipe mate kidogo basi"

    Basi tukasogeleana na kupeana mate na mushikana sbikana. a wakati huo tulipaki gari pembeni na kuanza kushikana shikana

    "we jems utaniamsha bure tuache"

    "poa niachie basi"

    "lakini jems mbona mtamu ivyo jamani yaani kila ninapokugusa natamani penzi lako maana una shoti ya kipekee sana jems"

    "usijali ukipona tu tutaendelea"

    "jamani sio hadi nikipona bwana sasa we ulizani nitapona lini?"

    "sasa mi siwezi kukuniaje ukiwa m na dam dam ivyo kwani we hujui kua kuduu na mtu alie kwenye siku zake lazima ubebe ugonjwa?"

    "kwaio tatizo ni hilo tu basi twende pale duka la dawa tuchkue box la kondom"

    "haa mbona una haraka ivyo si utapona tu? kwanza kondom zenyewe pia zina madhara kwaio we tusubiri hadi upone"

    Dada lea alikasirika sana kupita maelezo lakini ukweli ni kwamba haina jinsi kwani kuduu na mwanamke mwenye hali hio utakaribisha GONO/KISONONO NA MENGINE MENGI KWA KUDUU NA MTU ANAEBRID NI HATARI KWA AFYA SANA TENA SANA KWA ASILIMIA 98

    +BAADA YA WIKI MBILI KUPITA+

    nilikua nyumbani nikiendelea na kazi huku nikimseidia meri kupika mboga maana kazi yangu ni rahisi sana kwaio lazima niwe wakwanza kumaliza maana humu ndani kila mtu na kazi yake

    Sasa nikiwa nakAlangiza vitunguu saumu ili kupika mboga ilio bora mara simu yangu iliita Nikaipokea na kumsikiliza ama kuongea na huyo aliepiga ila namba ilikua ni ngeni kwani haikua na jina

    "ha halo halo nani mwenzangu?"

    "shkamo kakaa?"

    Ilikua ni sauti nzuuri ya kike

    "barhaba we nani?"

    "ni mimi mdogo wako tena nina furaha kuskia sauti ya kaka angu"

    "samaani umekosea namba"

    Maana mimi sina ndugu wala nini kwaio huyu nadhani alikosea namba

    "hapana sijakosea kwani mama ndio kanipa hii namba akaniambia ongea na kaka ako"

    "nakuambia umekosea namba we mtoto"

    "jamani kaka mbona hunielewi?"

    "kwani we unamjua huyo kaka ako?"

    "hapana simjui ila jina tu ndio nalijua"

    "anaitwa nani huyo kaka ako?"

    "mama aliniambia kua anaitwa sharbiny"

    "whaat huyo hu hu hu huyo mama ako anaitwa nani?"


    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "halo? haloo? halo?"

    Simu ilikata kisha ikadondoka chini kwasababu ya kutetemeka maana inashangaza kwani mi najua sina mama wala baba sasa iweje niwe na ndugu? ila nadhani atakua kakosea namba

    Basi nikaiokota simu yangu na kuiwasha lakini ile namba sikuiona tena kwani ilifutika baada ya simu kudondoka.. HUA SIMU IKIITA AFU IKADONDOKA NA KUZIMA KABISA KABLA YA KUPOKELEWA BASI HUEZI KUONA NAMBA ILIOPIGA TENA. NA HATA UKIPOKEA PIA KAMA HAIJAKATWA AFU IKADONDOKA BASI PIA HUTOIONA MAANA BADO HAIJAWA dial call WALA missed call KWAIO HADI IWE KATI YA HAYO NDIO UIONE ILA BILA HIVYO HUONI NAMBA YEYOTE ILE

    Basi niliumia roho sana kuikosa ile namba maana nilitamani kumpigia lakini namba haipo tena Ila nilijipa moyo kua huenda kweli kakosea namba maana mi naamini sina wazazi wala ndugu hapa mjini zaidi ya mjomba wangu tu basi..

    Basi mtoto wa kiume nikaendelea kukarangiza lakini muda huo meri alikua akinishika shika kiuno changu

    KAA UKIJUA KUA NI WIKI MBILI ZIMEPITA TOKA NISEX KWENYE GARI NA YULE BINTI KULE HOSPITALI KWAIO NINA HAMU YA KUFA MTU

    Basi meri alikua akinitekenya tekenya mbavu zangu na wakati huo dada lea hayupo maana wiki mbili kupita ni kwamba kashaapona hedhi yake.. kwaio hapo jikoni nilikua na meri na helena na sesi wapo nje na kazi zao

    "bwana meri tulia nikarangize kwanza"

    "nawe jems tulia nikushike shike kwani najiskia raha pindi ninapokugusa bwana"

    Basi mtoto alikua analia kimahaba eti nimuachie anishike na wakati huo tayari imefika mida ya ngoma saba saba hivi na nusu.. Basi nikawa naonja onja rosti ile huku nikijilamba kweli kweli maana huku naonja afu huku napapaswa na meri

    "jamani meri utaniamsha saa hizi bwana"

    "si ndio vizuri ziamke kwani mi si nipo"

    "njoo usiku bwana meri sasa mchana wote huu"

    "nani aje usiku? na dada lea nae ataliwa na nani?"

    "tueshmiane meri kwani mi nimetembea nae?"

    "basi yaishe ila najua juzi usiku ulilala nae"

    "unanikosea ujue?"

    Nilikua nakaza macho ili ajue kweli sijatembea nae lakini ukweli ni kwamba nimetembea na dada lea tena kama mara mbili hivi..

    "jems tulia basi jamani"

    "kwani wataka nini?"

    "ngoja nikunyonye chuchu zako jeeemsiii"

    Daahh mtoto naisi zimemuamka na mchana huu basi siku m bania hata kidogo kuninyonya kifua changu maana kilituna kutokana na joto la hapo jikoni... basi mtoto alipokua akininyonya huku mikono yake ipo nyuma ya mgongo wangu akinipapasa papasa na kujikuta nami hisia zikanijia na kumtani kumshika shika matiti yake maana alinitega nayo balaa kwa na vile yalivyosimama duuu nilidata mtoto wa kiume na kumtamani mazima na kuanza kumshika shika hapo hapo jikoni..

    "sssssssiiii yaaasi jems hivyo ndivyo nilivyokua nataka"

    "umeona eeh?"

    "ssssssiii nishike kiuno jems"

    Basi mtoto nilimshika shika vibaya mno na kumfanya alegee kama chura mwitu vile.. huku mtoto akilia miguno mizito mizito

    "jems ongeza sauti ya redio ili wasisikie"

    "haaa kwani tunaduu hapa hapa jikoni?"

    "sasa kwani kuna nini na wewe jem?"

    "apana bwana sio vizuri hivyo"

    "sasa vinaniwasha jems na siwezi kuvumilia hadi usiku"

    "aahhh bwana kua mtu mwenye akili bhasii"

    Sasa wakati tunabishana mara meri akanifunulia paja lake na kuiona TAITI YA PINK mpaka nywele zangu zilisisimka na kujikuta kama nataka kukubali tendo

    "we jems yaani nakupanulia alafu unaliinga chukua basi nikune fasta kisha tuwapakulie hao wajinga"

    Sasa mtoto meri akapandisha sketi yake kama ya shule hivi na kubaki na taiti tu nikashangaa kuona shanga kiunoni mwa meri maana sio umri wake wa kuvaa shanga sasa iweje

    "hee ivi na wewe unavaaga shanga?"

    "we shusha viwalo ivyo unipakue fasta Unauliza uliza shanga kwani zinakuusu?"

    "basi yaishe"

    basi mtoto wa kiume baada ya kuona shanga nilichanganyikiwa balaa na kuanza kuzichezea maana najua jinsi ya kuzitumia KWASABABU YA KUSOMA VITABU KULEE KIJIJINI WAKATI SISIMAMISHI

    Basi nikaanza kumchezea mtoto wa kike huyu na kumfanya aanze kulia kama mtoto wa kichaga vile tena mtoto alikua kashikilia jiko mithili ya mbuzi kagoma huku natekenya shanga. sasa nukiwa naendelea kumchezea mtoto meri

    NGOJA NIKUTONYE JINSI YA KUZITUMIA NA MAANA ZAKE...KWASABABU MWANAUME ANAKUTANA NA SHANGA KIUNONI KWA MPENZIWE HAJUI ZINA MAANA GANI WALA ZITUMIKEJE... hili somo ni kwa wote maana hata wanawake wenyewe hawajui hata jinsi ya kuzivaa..... SHANGA NI MOJA KATI YA UREMBO KATIKA KIUNO CHA MWANAMKE LAKINJ PIA NI LUGHA TOSHA KWA WALE WAPENDANAO

    RANGI AMBAZO HAZINA MAANA KWENYE SHANGA

    +kijani+njano+na kijivu+ HIZI HAZINA MAANA YEYOTE KATIKA KIUNO HICHO KWAIO NI UREMBO TU...

    SASA NGOJA NIKUPE RANGI NA MAANA ZAKE AU LUGHA ZAKE

    RANGI +NYEKUNDU+ IKIWA KIUNONI KWA MWANAMKE BASI UJUE DEMU WAKO YUPO KATIKA SIKU ZAKE KWAIO HAPASWI KUGUSWA...

    RANGI +NYEUSI+ INAMAANA KUA YUPO TAYARI KWA LOLOTE LAKINI UWEUSI WA SHANGA ILE INAASHIRIA KUA HAJANYOA ( MAVUZI ) KWAIO UTACHAGUA MOJA KUA UMPAKUE HIVYO HIVYO NA UWANJA WAKE AU UMSEIDIE KUNYOA MIRASTA ILE NA USIPOMNYOA BASI UJUE BAO LAKO LITAKUA ZITO KUTOKA NA HATA YEYE ATAKUA MZITO SANA KUFIKA KILELENI MAANA RASTA ZINABOA KWA KUCHOMA CHOMA UUME HIVYO KUMFANYA KIDUME KUKOSA MISISIMKO YA UKWEEEE...

    RANGI +NYEUPE+ INAMAANISHA KUA DEMU/MKE WAKO YUPO SAFI NA HANA SHIDA YOYO NA HATA RASTA KATOA KWAIO RUKSA KUPEANA MARAHA YENU......

    RANGI YA +BLUU+ INAASHIRIA BAHARI YAANI ANAKUTAARIFU KUA SIKU HIYO MWAPASWA KWENDA KUOGELEA BAHARINI MAANA NI SIKU POA SANA KWAKE....

    HIZO NDIZO RANGI ZENYE MAANA NA LUGHA ZAKE SIO LAZIMA ATAAMKE KWA MDOMK KUA OOOOHH

    +NIKO KWENYE HEHDI+

    +SIJUI LEO SIJANYOA+

    +AU LEO NIKO TAYARI KUDUU+

    +AMA LEO TWENDE BAHARINI+

    HAKUNA KUTOA SAUTI BALI SHANGA TU NDIO ZITAKUJULISHA KUA MKE/MPENZI WAKO YUPO KATIKA HALI GANI KWAIO HIO NI LUGHA TOSHA NA UJUMBE KWAKO... NA KUNA HAWA MABINT AU WAKINA MAMA AMBAO WANAVAAGA ILE MOJA YA DHAHABU AU SILVA ZILE HUA HAZINA MAANA NA HAZIMSISIMUI MWANAUME KWANI ILE NI FASHENI TU NA PIA IMEKAA KIBIASHARA SANA... ILA HIZO NYINGINE ZINA SISIMUA MNO KWA WANAUME NA KUWAFANYA WAKUKUMBATIE KWA HISIA KALI LAKINI HISIA HIZO ZIMETOKANA NA SHANGA ULIZOVAA FAIDA YA SHANGA KWA MWANAMKE NI KULINDA/KUPAMBA KIUNO CHAKE NA KUMFANYA MTOTO WA KIUME/MWANAUME KUKUTAMANI GHAFLA PINDI ANAPOZIONA HATA KAMA HAKUA NA HAMUDI HIO...KWAHIO MAANA NA FAIDA YA SHANGA AU CHACHANDU NDIO HIZO...... SIO MWANAMKE UNAJIVALIA TU KAMA KANGA VILE WAKATI ZINA MAANZA HIZO NA HATA NINYI WANAUME UKIMKUTA MKE/MPENZI WAKO KAZIVAA KIFUJO FUJO BASI MKATAZE MAANA HAJUI MAANA NA FAIDA..... EEEHH NASEMA HIVI KWASABABU KUNA MDADA MMOJA JUZI NILIKUTANA NAE SOKONI AKIWA ANACHAGUA BIDHAA SASA SI KANGA IKAPINDUKA KWA BAHATI MBAYA WACHA AANZE KUZOMEWA MAANA KWANZIVAA KIFUJO FUJO TU..... ZILE NI KWA FAIDA YA MUMEO TUUU NA SI MWINGINEE.................

    basi mtoto wa kiume nilikua nazichezea shanga za meri huku mapishi yanaendelea kupikwa

    "jems basi inatosha vua hii taiti yangu"

    wakati huo nami mtoto wa kiume nimezidiwa balaa maana nilikua nachezea shanga zile Afu nae pia kazivaa kifujo fujo..sema sio demu wangu ningemwambia asizivae kama hajui jinsi ya kuzivaa basi mtoto anataka nimvue taiti yake

    "we hakuna kuvua hapa ni mwendo wa kushusha tu"

    Basi nikatelemsha taiti yake hadi magotini tena nilichanganya na chupi yake pamoja... na kuanza kuiandaa ndonga yangu kwa shuhuli maalum

    Kiukweli mtoto alikua amejazia makalio balaa maana vile alivyoinama nami nikayapiga kibao yaani yalitetemeka kama mrenda vile duuu afu toto jeupee peeeeee nikaona mbona kama nachelewa mtoto wa kiume.. nikalinyoosha lindonga langu na kumuingilia meri...

    "aaaiii jems una nanii kubwa? mbona vinauma hivi?"

    "usijali au nichomoe nini?"

    "weee acha usenge hebu nikatikie uko"

    "aisee meri umtamu wewe duu noma sana"

    "umeona ee? basi usiende tena kwa dada lea kwani mimi nitakupa kila aaaaahhhh iiiiiiiiii jems taratibu bwana mwenzio vinauma"

    Mtoto wa kike huyu alikua kashika jiko yaani kakaa mithili ya ng'ombe kwaio na m batua kwa nyuma... sasa meri alikua akilia kwa sauti mno na wakati huo mimi nakaribia kupizi mtoto wa kiume na hua nikipizi hua napizi bonge la dongo.. sasa kile kilio chake kiliwashtua wakina helena


    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "we meri punguza kelele basii"

    "bwana utamu ndio unazidi jems"

    "wakina helena watakuja bwana"

    "bwana jems sasa unawaogopa? afu Unaonekana unataka kupizi eeh?"

    Aliniuliza mtoto meri

    "ndio jikaze na uvumilie sawa?"

    "ah ah bwana jems usije ukaliingiza lote bwanaa"

    "usijali nitajikontroo"

    Niliongea utumbo ambao hautokaa kuwezekana kamwe eti kujikotroo kupizi... sijui kama nitaweza

    Basi mauno yangu yalizidi kwa kasi kubwa mno na kufikia hatua ya kupizi

    "jemsiiiiiii niachieee utaniuaa mimi"

    Nilimminyia gongo lote mtoto wa kiume bila kujali kaumia wala nini nikaunganisha ndani kwa ndani... lakini kelele alizopiga ziliwashtua Akina helena kwa mara ya pili lakini meri halijui hilo maana alikua akiugulia utamu tuuu....

    "jemsi ngoja tule kwanza afu tuende ndani"

    "ngoja nigonge cha pili basi"

    Lakini kama niliskia kuna mtu anakuja maana niliskia hatua za miguu zikielekea na huku tuliko ambako ni jikoni.. nikachomoa mzigo maana ni bora tufumaniwe sehemu nyingine kuliko hapo jikoni.. basi nilivyochomoa ndonga mala meri akaanza kuililia tena huku akinizuia nisivae nguo na wakati huo kuna mtu anakuja spidi maana kaskia sauti za mahaba zikiendelea huku..

    "unaenda wapi jems?"

    "we meri kuna mtu anakuja bhana"

    "mbona mi simsikii?"

    "acha ujinga niachie ndonga yangu"

    Maana alikua kaishikiria ndonga tena anaivutia kwake ili tuendeleee na mechi lakini mi najua tukifumwa hapa jikoni basi tujue na kazi hatuna

    "we meri unaipenda kazi kweli wewe?"

    "kwa ajili ya hii basi siipendi"

    "we faaala nini kama hutaki kazi basi niache mi bado naipenda kazi yangu"

    "jems ingiza kamwisho bwana mpenzi we vp?"

    "ngojA bwana kuna mtu anakuja"

    "wacha tukutwe lakini sikuachi ng'oo"

    "jamani we jems ingiza basi"

    Sasa tukiwa tunabishana bara mlango wa jikoni ukasukumwa na wote tulikua tumeshusha nguo zetu yaani zipo magotini




    wakati huo mtoto wa kiume nilikua na wasi wasi maana hua mama anakujaga mida ya mchana.. Aisee sikuvumilia kabisa nilimsukuma meri pembeni kisha nikapandisha nguo fasta.. na meri pia hivyo hivyo kisha tukajifanya tunaendelea na mapishi

    "we meri mbona kuna sauti nimeziskiA au mlikua mnaangalia x nini?"

    Nikaona bora tuitie hilo kuliko kukataa maana atauliza kua.. sasa kama sio muvi ya X je ni nini

    "ndio bwana tena ni mimi ndio nilikua naangalia"

    Mimi ndio nilimjibu helena maana kumbuka nae nilishawahi kumponya ponya na Hawa wote hawataki wajuane kua wote nimetembea nao.. yaani kila mtu anataka niwe wake.. Basi baada ya kuongea lile Helena aliondoka zake na kurudi kwenye kazi yake... tukaivisha msosi pale kisha tulala fresh bila shida

    +BAADA YA MASAA MAWILI KUPITA+

    simu yangu ilikua imeisha chaji na kuzima kabisa lakini mimi sikua na chaja maana siku zote nachajigi na chaja ya sesi sasa leo sijui nitachaji na chaja ya nani maana sesi nimegombana nae baada ya kugundua kua sina nguvu za kiume na hata helena pia anajua hilo...Nikaona ngoja nikawaombe angalau hata kubusti tu ili nisikose mawasiliano Muda huo wakina helena walikua wamepumzika chumbani kwao wakipiga story lakini story yenyewe naskia kama inanihusu vile.. ikabidi niusogelee mlango wao ili kuiskia story hio ambayo wanabishania..

    HELENA: "ivi dada lea anampenda jems na jems najua jogoo lake haliwiki sasa anamfanyaje fanyaje?"

    SESI: "ni kweli mwaya helena maana jems nilimvulia nguo lakini kanishindwa yaani mtalimbo wake hauamki"

    HELENA: "we sesi kumbe hata wewe umeshamjaribu?"

    SESI: "ndio kwani si unajua hali yetu. maana nilijua nikiwa nae atanifanya niache usagaji"

    MERI: "ivi ninyi..... mnajua mnaongea pumba nyie?"

    HELENA: "hee hee haloo tunaongea pumba? wakati jems ni ni suruali tu"

    MERI: "sasa we helena kwa taarifa yako jems kanikunja pale jikoni mpaka machozi hivi tena jems ni mtami wewe hooo"

    SESI: "kakutia vidole uyoo sema hujaona tu.... akufanye wewe kwa lipi? aniache mimi na tako lote hili akufate wewe"

    MERI: "sasa mnabisha nini? au we helena hujaskia sauti afu ukaja na akakuambia kua alikua anaangalia X?

    HELENA: "lakini kweli niliziskia hizo sauti"

    SESI: "nawe helena unamsikiliza meri? huyu ni mwongo kifupi jems hawezi mapenzi ng'oo"

    MERI: "hayani nyie bisheni tu ila mtaamini wenyewe"

    Helena alionekana kukubali yaani kama kahisi ni kweli mimi naweza maana aliskia sauti za mahaba kule jikoni.. lakini sesi bado ni m bishi hataki kuelewa kitu.. sasa nikiwa bado naskiliza mara meri na sesi wakatoka

    "we sesi kile kipindi si ndio kinaanza sasa hivi?"

    "ndio mwaya twende kisije kikatupita sisi"

    "we helena huendi?"

    "aahh niacheni nilale mimi"

    "utajiju na roho yako"

    Basi nikatoka spidi hapo mlangoni kwao na kukimbilia geto..walipotoka nami nikatoka na kwenda kumuomba helena anichajie kwa kutumia chaja ya sesi

    "hodi?"

    "nani?"

    "mimi jems"

    "unataka nini?"

    "naomba unichajishie simu yangu"

    "una chaja?"

    "sina?"

    "sasa utachaji na vidole?"

    "mmh basi yaishe"


    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Nikawa naondoka baada ya kushindwana na helena maana pia nilishawahi kugombana nae...basi nikaona bora nami nikaangalie tv maana leo kuna vipindi vya maigizo maana leo ni juma mosi.. sasa nilipopiga hatua kama kumi hivi nilihisi naitwa

    "nani ananiita?"

    "njoo"

    Aliita kwa sauti ya upole huyu helena

    "nini wewe?"

    "njoo na wewe"

    "we si umekataa sasa wataka nini?"

    "chaja hii hapa"

    "aahh shika basi ichomeke fasta mi nikacheki tv"

    "we jems nawe acha ushamba ina maana mpaka leo bado unapenda tv?"

    "aahh sasa nitakaa na nani huku geto? maana bora ningekua na simu ningechati sasa sina"

    "si uje huku tupige story na wewe"

    "teh te heh teh huko si kwenu labda uje huku geto"

    "we njoo kwani unamwogopa nani na wewe?"

    "lakini story za kawaida tu"

    Muda huo tukiongea mimi nilikua mlangoni kwao na yeye alikua kalala Nikaona poa ngoja nipige nae story huku huku chumbani kwao.. sasa nikasukuma mlango

    "we we subiri nivae we jems"

    "fanya fasta basi"

    Inaonekana tulivyokua tukiongea yeye alikua yupo uchi maana si aliamua kulala..

    "tayari njoo"

    "oohh tayari ee?"

    "mmmm"

    "mbona unaguna?"

    "wala tu"

    Basi nikaingia ndani lakini cha kushangaza hio nguo aliovaa mi sijui ni nguo gani maana inamuonyesha mapaja tupu... na hata alivyoniambia ngoja nivae mi naona alikua anavua badala ya kuvaa

    "we si uliniambia ngoja uvae? sasa mbona umevaa upande wa kanga?"

    Hakujibu kitu ila kwa makisudi na dharau akaamka eti ndio snaenda kuvaa.. nikamuona anachagua chupi avae.. afi ananionyesha au mi nimpe ushauri

    "vp hii itanifaa"

    "tueshmiane helena maana we uliniambia unavaa sasa iweje uanze kuchagua chupi mbele yangu afu unaniuliza eti hii inafaa"

    "jamani jems kwani ni vibaya?"

    "kwani mi ni mwanamke mwenzio?"

    "jamani kwani mpenzi wako hajawahi kukuambia hivi?"

    "sasa kwani we ni mpenzi wangu?"

    "kwani siwezi kua?"

    "aah ntokee apa"

    asi mtoto akawa hakomi kunionyesha chupi zake yaani utafkiri yupo na mwanamke mwenzie

    "vp na hii je?"

    Yaani mtoto hasikii Afu sasa hivyo anavyonionyesha sii kwamba kaishika vizuri.. yaani anaipanua kabisa na kunionyesha ati nimshauri kua avae chupi gani

    Sasa vile anavyoipanua na kunionyesha hiyo chupi yake nami kuona chupi tu basi na mizuka ikapanda nikajikuta nimesmamisha ndonga balaa ila yeye hakuona..

    "vp jems nivae hii?"

    Nikaona ngoja nimuambie avae hiyo hiuo ili nione atafanyaje

    "hio ni nzuri vaa"

    "kweli?"

    Yaani chupi anunue yeye afu kuvaa aniombe ivi kweli inakuja akilini hio?

    Sasa saa ngapi mtoto asiivalie hapo hapo mbele yangu na kutokana na kale kaupande cha kanga kalivyo kadogo nikafanikiwa kuona paja lake tena sio paja la juu juu yaani nimeona mpaka pale karibu na nyeti yake ... nikajikuta nasimamisha ndoga kuliko kawaida maana kwanza hawa watoto wamenona wote sio sesi wala sii helena huyo meri ndio usiseme..kuacha meri twende kwa dada lea duuu yaani ndio hasemeki kwa kunona maana si ndio mtoto wa bosi huyo...

    Basi mtoto helena alinionyesha paja lake kwa vile anavyonyanyua mguu ili kuvaa chupi nilioikubali kisha baada ya kuvaa ile chupi akatoa ule upande wa kanga na kubaki na ile chupi tu yaani chupi tu..aisee huyu mtoto ni madi kweli.. Afi akawa anazunguka mithili ya mwana mitindo huku akiniambia

    "hhmmh nambie imenitoa eeh?"

    Sikumjibu ila vile anavozunguka ndio anazidi kunipa midadi mtoto wa kiume

    "niambie basi jamani jems mm?"

    "ivi una maana gani kua hivyo?"

    "hivyo hivyo utakavyofikiri basi itakua hivyo"

    Sasa mtoto wa kiume nimesimamisha mpaka inauma maana mtoto wa kike huyu hana nguo yeyote ile zaidi ya hio chupi kana kwamba matt yenyewe kayapitishia tu mkono ili kuziba zile chuchu tu...

    "ssssssssiiiiii helena unanitamanisha eti"

    "sasa si uombe mtoto wa kiume? yaani ufe na kiu baarini?"

    "una maana gani?"

    "kwanza utaweza?"


    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "nini?"

    "mmhh na wewe ina maana hujaelewa tu?"

    "nyoosha maelezo bhana"

    Mtoto kuona mi nakua mzito kumuelewa ishara zake ikam bidi ajiachie kabisa yaani hata ule mkono aliouzibia matt yake akautoa kabisa sasa alivyobaki utafkiri ni watu wanaotaka kuduu au waliomaliza..

    "sasa ndio nini ivyo"

    Sasa mtoto helena akaja karibu yangu kabisa tena alikaa kwa kubanana yaani kama vile nafasi ni ndogo kumbe waala.. sasa mtoto alivyokuja karibu na kubanana akawa ananigusisha makalio yake yale malainiii... kisha akaanza kuniuliza tena kwa utaratiibu kabisa

    "ivi we jems? unasimamisha kweli?"

    Nikaona huyu mtoto anadharau mno tena anahitaji dozi..

    "kwanini uulize hivyo?"

    "maana nakuona kama nanii vile"

    "nini sasa?"

    "kama huezi vile"

    "siwezi nini sasa?"

    "hebu basi niiangalie"

    Sasa mtoto akaanza kunisachi mzigo huku tukiwa tumekaa kitandani maana hichi chumba chao kina kabati tu na vitanda vi3..sasa mtoto alikua ananigusishia matiti yake huku mimi hamu ndio inazidi..

    "hebu basi niiangalie kama inasimama"

    "unaitakia ya nini?"

    Sasa kumuuliza vile ndio ikawa nongwa

    "unataka kujua naitakia nini?"

    "ndio"

    Saa ngapi mtoto hajaamka na kutaka kuvua ile chupi

    "sasa unafanya nini?"

    "we si unataka kujua subiri"

    Nikajiona mbona mi ni fala kwani namshinwa huyu? aaisee sikubali kabisa nilimuita mtoto helena na wakati huo chupi yake ilikua nusu yaani alitaka kuivua sasa nilivyomuita nilimkatisha kuvua lakini ilipoishia hata uwanja unaonekana ( mavuzi ) KAMA HUTAKI NITAJE VIUNGO VYA MWILI NI INBOX KUA HUTAKI MAANA WOTE HUMU NI WATU WAZIMA KAMA WEWE NI MTOTO BASI WE LOG OUT TU MAANA HATUKUTAKI HUMU NDANI...COZ MAMBO YA HUMU NDANI NI YA KIBABA BABA KWAIO HILO NI OOOOOONYOOOOOOO

    KWA WA TOTO WA DOGO WALIO LOG IN IN FACEBOOK

    Basi mtoto alivyokuja nikamshika tumbo lake huku nikamuona mtoto ananiangalia kwa kurembua vibaya mno

    "jeemsiiiiinnhh"

    "nini?"

    "umejua nataka nini?"

    Mtoto alikua ananinong'oneza kwa skio

    "ndio ila kidogo tu"

    mtoto akanigusishia matt yake yanayochoma kama ukoma

    "jemsiii sijawahi kukunwa hata sku moja"

    "sasa siku zote hizo mlikua mna fanya nini?"

    "nitakuambia lakini niahidi hutomwambia mtu?"

    "sisemi wala nini"

    "tulikua tuna nnnnhh"

    "nini si useme"

    "tulikua tunasagana na wakina meri"

    "sasa kwanini? masai si yupo?"

    "aahkaa mwaya siwezi kuumizwa mie"

    "akuumize na nini?"

    "naskiaga wana nanii ndefu"

    "sasa si ndio nzuri kwenu hizo?"

    "aaku mwaya mi nataka raha au karaha?"

    Mtoto alikua anarembua wakati hata sijaanza kumtomasa

    "jemsii? ivi wewe ni mzima kweli?"

    "mzima wa nini?"

    "nimekaa na wewe muda wote huo hata sijafurahi hata"

    Nikaona sasa haya ni matusi ya nguoni. nikaanza na matt mtoto wa kiume

    "jamani jeeems nnnnnhhhhhj"

    "tulia basi"

    basi nikaamua kumuanzishia mtoto maana mitego yake ilikua nje nje sema mi nilikua namzingua tu..

    "ssssssiii mmmhhhhhh jems una shoti wewe mmh"

    Mtoto anamwaga sifa tu huku kachupi chake tayari kameshaanza kulegea kwa uzito wa kuloa.... yaani mtoto kashapasua dafu mara hii

    "heee ushaloa mapema yote hii?"

    "ndio maana nakipenda maana nafikika kileleni mapema"

    "alafu mtoto mtamu wewe"

    "ninyonye basi jems au huezi?"

    "kunyonya nini?"

    "ninyonye K"

    "vua kichupi icho basi"

    "bwana kuvua chupi ni kazi yenu bwana"

    Basi mtoto wa kiume nikampiga mbuzi kagoma na kumvua chupi kisha nikaanza kumnyonya K kama alivyota.. na wakati huo nilishamchosha na mishiko shiko maana namshukuru mungu hua sichelewagi kumfikisha demu. yaani kitendo cha kumgusa tu lazima ajiachilie makojo ya kiutu uzima

    Basi mtoto alikua analia kutokana na jins ninavyomnyonya K kwa ufundi wa hali ya juu

    "Aaa aahh aaahh uuuuuu mmmmmhhh jemsiiii uuuwiii mmmhh aaaaaiiiiii ooooohh mamaa"

    "tulia basi watasikia hao wajinga"

    Mtoto alikua ana K tamu afu kapapiga bonge la upara yaani pananukia balaa..

    "jems kazana ooo yes oooOOOO"

    Mtoto alilia mno mpaka ikafikia hatua ya kutaka mzigo

    "jems jiandae basi na hiyo nanik yako"

    "bado bwana"

    "jems mi staki kunyonywa tena"

    basi mtoto alivyokua analia na huruma ikanijia ya kumshuhulikia mtoto helena

    Nikavua magwanda yangu na kuyatupilia uko kisha huku mtoto akiwa kajibinua utafkiri anachungulia uvunguni.. pale pale sikuchelewa mtoto wa kiume nikamsogeza vizuri na kumpanua kidogo ili nafasi mkatiko iwepo... Sasa vile nam binua tu kwa kua tayari kwa kula mara simu yangu iliita

    Kuangalia jina Aaaaayaaaaa sijui anataka nini huyu?

    "we jemsii zima simu bwana hamudi yangu itashuka"

    sasa mtoto anailengesha ndonga kunako K lakini mi mwazo yangu yapo kwenye simu na mtu aliopiga siwezi goma kupokea lazima niipokee..na helena nae hataki niipokee


    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/ITAENDELEA





0 comments:

Post a Comment

Blog