Search This Blog

Thursday 19 May 2022

MY SECRET DIARY - 1

 



    IMEANDIKWA NA : MICHAEL MEJAH



    *********************************************************************************



    Chombezo : My Secret Diary

    Sehemu Ya Kwanza (1)



    Nilichoka na maisha ya shule hasa baada ya kukaa muda wa miaka minne tena kulikuwa kama jera sikuwahi kutoka nje mpaka hapo nilipomaliza na kurejea nyumbani. Nilipitia stationary kununua diary kwa lengo la kuitumia kwa kuandikia nyimbo zangu kwani nilitamani kushiriki mashndano ya bongo starsearch.

    Nilifika home na kukuta mambo yamebadilika sana kwani maisha yalikuwa mazuri tofauti na kipindi kile baba alikuwa na pesa na waliajiri wafanyakazi wawili, mmoja alikuwa ni msichana wa kazi na mkaka wa garden na mazingira yote ya nje. Niliishi pale ndani kama king kutwa nacheza pc game na kuangalia tv maana hapakuwa na kazi ya kufanya hadi nguo nilikuwa nafuliwa.

    *********



    Baada ya mwezi mzima kupita nilianza kuona vituko mule ndani na kukumbuka diary yangu mpya nikaichukua na kuandika kitu kimoja nilichokiona ule usiku. Stori ilikuwa hivi, tangu nimaliza shule (form four) sikubahatika kuonana na baba kutokana na yeye kuwa besy ila hii siku nilipanga kuzama chumbani kwa amina yule house maid(dada wa kazi) nikasema "ngoja nilale kidogo nitaamka ndo nimvamie" nakumbuka hiyo siku nilipitiwa na usingizi na nilipokuja kushtuka ilikuwa ni saa6 usiku nilinyata nikafungua mlango taratibu na kuelekea kilipo chumba cha amina nilikuta mlango upo wazi nikafungua kwa tahadhari kubwa na kuingiza kichwa nilichokiona sikuamini macho yangu alikuwa ni baba na amina wakivunja amri ya sita pale kitandani nikafunga mlango taratibu bila ya wao kuniona.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Nilijikuta nguvu zinakwisha na kuvuta diary yangu nikainote ilikuwa tarehe 23/11 siku ya ijumaa, pale niliandika "baba na amina wavunja amri ya sita usiku wa saa sita ni usaliti dhidi ya mama"

    Ile asubuhi nilitaka niwahi niakikishe kama ni kweli nilichokiona ule usiku, mama akiwa anajiandaa kutoka kwenda kwenye biashara zake, nilisogea mpaka sitting room na kuchungulia nilimuona amina akimuweka kola sawa mzee na alipomaliza mzee nae akamshika kiuno na kuongea maneno ya chinichini "usijari nilivyoku ahidi nakumbuka" dada amina alikuwa na wasiwasi macho akiyapepesa kulia kushoto pale ndo nikagundua yale yote ni kweli nilirejea chumbani nikaitoa diary yangu chini ya godoro na kuangalia saa ilikuwa saa 12:32 asubuh nikaandika tarehe 24/11 siku ya jumamosi



    "amina na mzee waendelea na tabia ya mapenzi ya siri bila mama kujua hii ni ya pili" nikaificha ile diary kwa kujua kwa vyovyote vile ikionekana na mama ndoa imevunjika nami nisingependa hayo yatokee maana kuishi maisha hayo ni tabu, mfano mzuri nilikuwa namuona rafiki ya paulo ambaye wazazi wake wametengana anapata shida sana. Nilisikia mama akiniita kwa nguvu kidogo jacob jacob jacob, nilitoka fasta mpaka sebureni na kumkuta mama na baba wamemaliza kunywa chai wanataka kuondoka, baba alinishangaa



    "eeh! Jacob mwanangu muda hatujaonana vipi mitihani ilikuaje?" Aliuliza mzee



    "namshukuru mungu ilikuwa poa tusubiri majibu"



    "jacob mwanangu ujitahidi kusoma sisi wazazi wako tunaangaika kwa ajiri yako na urithi pekee kwako ni elimu" alisema mama

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Nilifurahi sana kwa jinsi wazazi walionesha kunijari lakini nilimshangaa sana baba kwa kuwa hypocritic person{mnafiki} nilimuomba mzee pesa akaniandikia kimemo niende dukani jb fashion nikachukue laki3 kwa ajiri ya matumizi yangu, hapo nilifurahi sana kwani nilikuwa na hamu na simu ya maana kwa ajiri ya kuchat na wenzangu huko snapchat na whatsapp. Nilijiandaa pale kwa furaha na moja kwa moja nikachukua gari mpaka pasiasi nikamkuta mdada mzuri pale dukani anaitwa angel nilimpatia kile kimemo akatoa pesa yote na kunipatia hapo nilizubaa nikimtazama mpaka akanigundua kuwa namtazama, sikumtazama tu kwasababu ni mzuri ila alikuwa kama mdada mmoja maarufu anaitwa masogange kwa ule mzigo 'tako'

    ***



    Nilitoka na kuelekea town kununua simu huku nyumbani nilimuacha mama akiwa amepumzika sitting room. Nilinunua simu haina ya tecno W4 maana niliipenda camera yake na ukubwa wa screen inchi 5:5 nikaanza safari ya kurejea nyumbani huku nikiwa na furaha kubwa kupata simu.



    nilipofika sebureni nilishangaa mama hayupo na huku alisema anataka kuangalia serias mpya na mara zote mama anapokuwa nyumbani upendelea kufatilia mno serias, nilitoka moja kwa moja na kwenda kumgongea angalau nimjulishe nimerejea maana aliniambia endapo nitarudi kuna kazi anataka kunipa. Nilipofika usawa wa mlango nilisimama kidogo baada ya kusikia sauti zinatoka za minong'ono kheee!! "Chumbani kwa mama au??





    "haiwezekani hapa kuna namna ngoja nitagundua kama kuna kitu kinaendlea alafu huyu Amina ni malaya usikute yupo na mageuzi wanafanya ufuska chumbani kwa wazee leo mbna watacheza bila kukunja goti"



    Niliendlea kugonga safari hii ilikuwa ni kwa nguvu kidogo na hapo mlango ulifunguliwa na mama alitoka akiwa kajifunga kanga kifuani na nyingne kiunoni.

    "vipi we nawe mbona msumbufu hivyo? Haya umekuja kunyonya?"



    Niliumia kwa kauli aliyonitolea mama hasa me wa miaka 18 sasa ninyonye niliondoka na kubamiza mlango kwa nguvu huku nyuma nilimsikia mama akisema

    "mpumbvu kweli yani hata hauna adabu mama yako amepumzika hata kuja kwa adabu unakuja na besi lako sijui unataka kunyonya? Ndo mlivyofundishwa uko shuleni kwenu ngoja baba yako arudi"

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Nilikuwa na hasira pale nje mara nikapata wazo ebu ngoja nikachungulie kujua kipi kinaendelea.

    "vipi mpenzi wangu mageuzi? Umeumia?" Aliongea mama



    "hapana mama sijaumia ila jacob amegundua?" Alijiami mlinzi



    "hata akigundua yule ni mwanangu mimi nikiona ananipa shda nampeleka kozi ya kukaa huko mpaka majibu yakitoka, asikusumbue"



    Niliumia sana hasa baada ya kusikia maongezi haya na nilimuona mama amelalia mapaja ya mageuzi huku anamchezea ndevu. "unajua huu mchezo wanaochezeana hawa wazee unajua ni utoto, ngoja nikaandike kwenye diary yangu kwa kumbukumbu"

    Nilifungua chapter ya pili na kuanza na tarehe 23/11 saa 8:35 "mama akiwa na mageuzi chumbani kwake amempakata wanajadili ni jinsi gani mama anataka kunipeleka kozi ya kukaa huko kuepusha usumbufu" nilipomaliza kunote niliweka charge cm yangu na kisha nikajilaza kwa bed mpaka nikapitiwa na usingzi.

    ********



    "vipi jacob unapakumbuka pale dukani nilipokutuma siku ile?"

    aliuliza daddy na mimi nikamuitikia kwa kichwa.

    Akanituma nikapeleke check ya bank kwa ajiri ya kudroo fedha za mishahara ilikuwa ni tarehe 28 hiyo. Na mimi bila ijizi nilichukua funguo ya noah nikakanyaga mafuta kuelekea dukani pasiasi.



    Nilimkuta angel reception/mapokezi jamani huyu mdada muonekano wake ulikuwa unabadilika kila siku na hapo nikajisemea moyoni "nitafanya juu chni ili nije kufanya kazi hapa dukani" alinihudumia vizuri sana sista Angel



    "nashukuru sana sista angel ila unaweza kunipatia namba yako tafadhari" nilijaribu bahati yangu



    "eeh jacob unaonekana mcheshi sana, mmh haya bwana lete nikuandiikie" aliongea angel kwa sauti nyororo



    Ile tarehe niliiandika kwenye diary yangu ya matukio ya siri. Tarehe 28/11 saa 9:41 "ni siku niliyopata nafasi ya kuongea vizuri na angel nae akanipa namba sasa nafungua ukurasa mpya"



    Chapter.03.

    Ilikuwa ni jumapili yenye mvua ya lashalasha/kidogo nakumbuka michale ya saa 10 jioni daddy alinipigia simu niende ccm kirumba, nilifuraije maana nilijua mida hiyo mzee anapata kilaji/pombe na nyama choma ni lazima atanitoa hela ya vocha 2. Kweli bwana nilimkuta songambele pub akiwa na mtoto mmoja mweupe amewiva ile mbya harafu sio mkubwa kama si miaka 20 basi 19, mzee alinipa kilo15 za nyama ya mbuni aliyoletewa na rafiki yake kisha akanipa elfu20 ya bodaboda maana sikuwa na gari. Baada ya hapo mimi niliwahi nyumbani nifikishe mzigo ii nirejea nijue mchezo utaishaje kati ya mzee na yule mdada/kimada ambaye sio tu mzuri pia alikuwa ni wa rika letu. Nilitulia pembeni nikawa nakunywa soda taratibu huku natazama mpira macho yote yakiwa upande wa pili alipo mzee.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Michale ya saa nne usiku nilimuona mzee akipanda gari na kimada chake hao taratibu wakawa wanaondoka huku mimi nikifatilia mpaka wakaingia kwenye nyumba mpya mpya nikagundua hapo ndo kile kimada kinaishi "anyday nitakuja tu hapa ngoja nirudi nyumbani" nilijisemea moyoni huku nikiondoka mikono nimeweka mfukoni.



    Nilirejea nyumbni saa5 kasoro na kuruka ukuta fyuuuuupu nilipotazama mbele yangu nilishangaa kumuona mageuzi na mama wameegemeana macho yao wote yalikuwa kwangu na walishtuka mno. aliponiona alinifokea kwa kuchelewa kurudi home ila nikampotezea wala sikumjibu na kuelekea ndani, nilipofungua mlango kumbe amina alikuwa anachungulia dirisha tukakutana uso kwa uso na amina aliyeonyesha kushtuka kwa kuingia kwangu ghafla alikuwa na uso wa aibu. Nilimtazamaa nikajisemea moyoni "sasa hapa leo naua ili goma"



    Huyu mtoto ana mitego na kanga yake hii ilivyomchora umbo lake na hata mimi sikutarajia kuingia kwenye ule mtego maana nilijua ni goma la mzee, eti nikamuuliza.

    "vipi leo mmepika nini" akatabasamu kabla ya kunijibu

    "wali na njegere, nyama ya kuku na mboga za majani"

    walai huu msosi napendaga kule skuli tunaitaga cha mtume. Nikaagiza aniletee kwa my room.

    "jacob jacob amka chakula tayari"ilikuwa sauti ya amina baada ya kufika kitandani na kupitiwa na usingizi muda mfupi baada ya kuagiza niletewe msosi sasa mwenzangu kuinama kwake si ndo shida na lile wowowo sijui mchina anajua mwenyewe lakini nilijikuta nadata na kusahau kuwa ni goma la mzee.

    Nilipeleka mkono wangu mpaka kwenye tako lake na kulitikisa mfumo wa mteja anatikisa tikiti maji pindi anapotaka kununua. "mmh jamani jacob kumbe na wewe unapenda kumbe" niliona kanidharau

    . "sasa kwani mimi sio mwanaume au? Leo uondoki mpaka unipe utamu wako" nilijikuta naongea kauli ya kishujaa wakati namvuta mpaka pale kitandani akaja na kunikalia mapajani mwangu sema alikaa vibaya mwenzangu si akamkalia babu wee nilimnyanyua na palepale nikampiga dole la matakoni. "wee jb me sipendi hyo michezo tutagombna" nikawa mpole na kulichomoa fataki langu lililokuwa linauma ndani ya nguo. Kupepeti nililipeti siku hiyo sema huyu mama nae kwa kuitaita hajambo ndo akanitibulia. Nilimuahidi nitakuja saa saba usiku akatoka nje.

    ***

    Jamani huyu dadie kiwembe hatari na anahonga nyumba tu yeye na material anayoyachukua ni vitoto vya chuo kama pale st.augustino sasa kuna kadada kaitwa merry amemjengea nyumba nyamagana pale siku hyo tulitoka dukani kununua gypsum, gypsum powder na ndoo za rangi nisijue tunapeleka wapi naona tunaenda tu mpaka nyamagana kwa mama antony hapa nyuma. Geti ilo likafunguliwa na mdada mrefu hatari yani ye dadie anamfikia begani kidogo mie angalau namkaribia. Mtoto anadeka kweli mwenzangu mie nachora ramani maana najua siku moja ntakuja peke yangu. Wakati naingiza rangi na gypsum stoo nilipata fursa ya kuongea na mamdogo rebecca(mchepuko wa mzee) kijana nina maneno sijisifu ila mpaka namba yake akanipa ya whatsup, unajua mzee ananiamini kuliko na hajui kama mwanae nimekua nikatoka na kumuacha mamdogo akitamani kuongea na mimi maana nina stori hatari ila sasa ili kuonyesha sina haraka nae nikaondoka. Hiyo nayo nikairecord kwenye diary yangu ya siri.

    Chapter.04.

    Mwenzangu kama safari ya mbwa sijui hata naenda wapi nikiwa maeneo ya ccm kirumba na baiskel yangu nikapata wazo nipite kwa mamdogo jesca yule aliyekuwa na dadie bar juzi nilifika mpaka kwenye geti nikabofya kengele ngwelengwele nikawa nasikilizia mara sauti ya hatua ikawa inasikika kwa ndani eeh! Mamdogo jesca huyu akanikaribisha ndani maana ananikumbuka vizuri sasa mimi naangalia the way alivyovaa kile kibukta kifupi mapaja yote mwaaa! Na wakati natafakari nilishtusha na sauti yake "jb karibu jisikie upo nyumbani, sijui unatumia kinywaji gani?" eeh huyu ananipa fursa ya kuchagua ngoja nimwage pombe mezani tule bata kwanza natumia pesa za dadie wala sikujari cha kuofia ni kufumwa. Kwa haraka haraka nilivyoangalia nilihisi huyu dada atakuwa ni mwanachuo maana kulikuwa na mapamphetis na laptop mezani hiyo tu ilidhirisha ni mwanafunzi sasa najiuliza " ina maana apartment yote hii anaishi peke yake? Mmh ni nani anayemlipia hapa sasa? Kama ni mzee huyu aki ya nani namwambia mama"

    Tulikunywa mpaka nikawa naona mwili wangu hauna stamina tulikunywa whisky imeandikwa kwenye chupa "grant's" mamdogo jesca alinyanyuka kuelekea maliwato kabla hajaanza kujisaidia nilisikia sauti ya vuuuu pah!.



    Nilijinyanyua fasta mpaka eneo la tukio khee! Mamdogo jesca alikuwa chali analia mwenzangu nilijisogeza na kumpa pole huku najiandaa kumwanyua kumtoa pale toilet. Niliweka mkono wangu wa kulia kwenye kiuno chake na wa kushoto kwenye shngo yake na huku yeye akipitisha mikono yake kuzunguka shngo yangu. Moja mbili tatu enhee! Nilimnyanyua kusema ukweli alikuwa na kilo ni kujikaza 2 la sivyo ningejikuta najamba saa ileilea. Nilijaribu kumuuliza swali la mtego na ile hali najua fika jibu lake "mamdogo nikupeleke wapi chumbni kwako au sebureni?" wewe sasa akanipa direction kwa mkono wake kuonyesha alitaka nimpeleke chumbni kwake.



    Nilimwaga kitandani puuu na kuanza kuvuta pumzi uuuuh! Unadhani mchezo kumbeba mtu mzima na kilo zake inabidi ujipange mwenzangu. Ona hii.



    "sasa mamdogo wacha mimi niwahi home maana nitakuwa nimechelewa ntakuja kesho" niliongea uku jicho natazama paja lile nilitamani kuitwa



    "hapna jb please ngoja kwanza unichue ebu chukua dawa hapo ndani ya kabati" mzee nikafungua kabati na kutoka na mafuta ya kufanyia massage na dawa ya kuchua nikaenda hadi jikoni nikachukua besini na kitambaa cha taulo na maji ya uvuguuvugu nikawa nikaanza kumchua sehemu alizoumia akawa analia maana ile dawa inavuta na wakati huo nikamwambia hatoe blauz yake mwenzangu akatoa hadi sidiria lakini alinipa mgongo hvyo sikuona chochote. Nilimuasha dakika kama 10 then nikaanza kumkanda na maji ya uvuguuvugu akawa anajisikia raha mno.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Nilifungua yale mafuta na kumimina juu ya mgongo wake kisha nikaanza kumfanyia massage mpaka raha hapo sehemu zangu za kikubwa zilianza kusisimka si unajua tena muda sijakutana na mwanamke sasa mamdogo alinitia majaribu. Nakumbuka niliamua kujaribu kupitisha mkono wangu mpaka kwenye kitovu chake eeh mdada alitulia tuli nikakichezea na taratibu nilianza kupanda hadi kifuani kwnye embe dodo na chuchu pana nikawa nazitomasa mpaka akaanza kurespond "no jb no usifanye hvyo jb no" maneno yake yalikuwa tofauti na matendo kwni muda huo alikuwa anajinyonga nyonga na kunipa fursa ya kuchuka mpaka kwa madiba nikapenyeza mkono wangu kwenye chp yake na kuifunua wacha kabisaaa! Kulikuwa na garden iliyokuwa inachomachoma kiganja changu nilisogeza tena mkono wangu na kushka kitu kama kakidole kabla sijaendlea mamdogo alinishka mkono na kunigeukia



    "jb ebu kuwa na adabu mimi ni mama yako mdogo unataka kufanya nini sasa? Hyo ndo kazi niliyokupa?"



    Nilikodoa macho kama nimefukuzwa kazi huku namuangalia mamdogo alionyesha kukasirika

    "mamdogo wangu toka lini mamdogo wangu ninayemjua nasra na samia, huyu namuhta mamdogo walai nasema lazima nipakue vyombo hyo lazima" nijisemea kimoyomoyo wakati bado mkono wangu wa kushoto upo kwenye nyapu ya mamdogo juu yake aliweka mkono nilijitia ushizi nikasukumiza mdole huu wa kati fyoko. Ishiii mmh haaaaa ishiii uwiìí alitoa kelele mamdogo hasira zake zikakimbia safari hii alinywea kwa jb. Ni muda cjashka nyapu za kina dada tokea kule shule. Ngoja nikusimulie kidogo mambo yalivyokuwa huko.

    Shuleni kawaida yangu ilikuwa hivi muda wangu wa kusoma ni usiku kwanzia saa nne usiku mpaka saa sita nalala kumi na moja alfajiri naamka tena kusoma sasa muda wa kusoma mchana na preparation usiku wa moja mpaka nne mimi nilikuwa napanga leo nikae na judith, ryidia, hasma, asnath ama riziki niliyetaka kukaa nae muda wa kula nilimpa taarifa kuwa leo nataka kustay na wewe nipangie meza na kiti. Hakuna kusoma hapo kwani nilikuwa nawachezea mademu nyapu zao kwa kuwatia vidole mpaka muda unaisha kama mtu akija kwa harakaharaka anaweza kudhani tunadiscuss kwakuwa vitabu vyetu tunaviweka mezani. So nilikuwa na uzoefu wa kuzichezea nyapu mpaka nawafanya wanamwaga kwa vidole2 hvyo walikuwa wanapenda sana kukaa na mimi kitu ambacho kilipa jina la utani dj zero ikiwa na maana ile sehemu imekaa kama payonea ya madj so me ndo nakuwa dj.

    Nilipomuona mamdogo jesca nikamkumbuka judith siku moja tukiwa class wawili nilimchezea mpaka nguo yake ya ndani ililowana chapa chapa alilia hatari mpaka miguu ikamuisha nguvu inshort mimi siwezi kumtia demu mpaka nimfanye hii kitu. Mamdogo sasa nilimlowanisha kwani mpaka akawa anaongea vitu vya ajabu. "unajua jb unajua wewe mtamu kuliko hata baba yake yule hajui wewe fundi nipe pipi yako taa'amu" khee kuja kuangalia chp yake imelowa chapa chapa mpaka muda huo kashajiharibia mara mbili sasa ndo nikatoa mashne yangu na kuitumbukiza kwenye ile nyapu mwenzangu si akanibana na miguu yake aliyoizungusha kwenye kiuno changu muda huo ile kitu ilizama yote nikawa naisugua kwa kuangalia angle.

    ***

    CHAPTER.06.

    Matukio yote niliyaandika kwenye kile kitabu changu hapa nikawa nafungua page ya sita nikawa nafikiria tukio gani nitaandika coz juzi nimetoka kumfanya kitu kibaya mamdogo jesca mpaka hadi leo ananisumbua kwenye simu utakuja lini utakuja lini? Mawazo yalinipa nianze kumtafuta angel yule mfanyakazi katika duka la baba la nguo pale pasiasi nikaangalia namba zake zipo wow! Kitambo nilimpotezea ngoja nimtafute tena.

    "hello mambo vipi!" Nilisalimia kwa bashasha

    "khee poa jb nimekumc ulinisusa kweli wangu" alijibu angel

    "kweli ulinimiss angel? Mbona me nipo2 home"

    "jamani njoo basi nyumbani kwangu kesho jumapili nitakuwa tu home njoo unishangamshe na story zako za uongo na kweli"

    "khaa umeanza na mambo yako ila poa kesho nitakuja we niandalie madikodiko utaniona 2 hapo" niliongea huku nachekacheka

    Angel akuamini nilipomwambia kesho nitaenda kwake maana mara nying huwa namdanganya sasa kesho nilidhamilia kupiga sound ikiwezekana nifaulishe mzigo.





    Hapana chezea maandalizi ya kwenda kwa angel ilikuwa kama vile me ni bestman wa mtu fulani anakwenda kuoa niliamua kupendeza hyo day ya jumapili tulivu. Nilitumia suruali ya kitambaa black, shati la pupple, koti la single batani lililonitait vilivyo na moka zangu down, dazain nikaweka na earphone kwa my ears, khee nilitaka kusahau zana{condom} maana lolote linawezekana mwenzangu nikabeba mbili na kuweka kwenye waleti yangu. Hapa sasa ni kumpanga mama anipe funguo za spacio maana ndo gari ambyo nimeruhusiwa kutumia na noah pekee.

    "khe mwanangu kulikoni leo una mtoko wa wapi?"

    "khaa mama bwana umesahau juzi nilikwambia kuwa mark yule best yangu ana birthday party kule bwaloni ndo hapa nimekuja unipe funguo ya gari na hata elfu 20 ya mafuta na kununua kijizawadi"

    "umeanza unapanga safari na hauna hela haya kama ningetoka ingekuaje? Nenda kachukue pale kabatini ni elfu20 tu usiongeze hata mia zipo kwenye mahesabu"

    ********

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Angel hakuamini aliponiona nilikuwa ni bonge la mkaka si unajua tena nguo zinaficha mengi, sikutaka tukae pale kwake hvyo tulipanga twende maeneo ya kujidai kule buzuruga tukale bata kwani nilikuwa na kama elfu60 mfukoni na gari lipo full tank.

    Wakati tunaendelea kunywa nilikuwa namchokoza angel na hakuwa msiri aliniambia ukweli kuwa hana mchumba anasoma st.agustino pale mwanza, ilo kwangu halikuwa tatizo kwani mimi sio muoaji me nakubariki tu. Niliangalia kile kimini alichopigilia angel kilitosha kabisa kuona kilichomo ndani na kufanya azma yangu iwe nyepesi.

    Taratibu nikaanza uchokozi nikapeleka mguu wangu kwenye mguu wake na kuanza kusugua kwa kumshawishi fulani au kumpandisha hisia mtoto akawa ananiangalia kisha anakwepesha macho mimi tena unanioneshea udhaifu wako ni sawa na swala kumpa simba mtoto amuangalizie, mzee nikasogeza kiti kwa ukaribu mpaka alipo yeye nikasogeza kamkono kangu mpaka kwenye paja lake taaaapu. Kama dakika2 ndo nikaanza kutambaa kwenye paja lake na kushuka uvunguni mwa paja nene, nyororo na jeupe unajua hapo2 kuna watu wamebarikiwa ebu nikwambie kitu wewe unaweza ukawa una uwezo wa kumteka mwanamke ila ukawa na uwezo wa kipaji kingne lakini mimi toka naanza mchezo wa kumchezea mwanamke nyapu ni lazima nitamgonga2 unajua kwanini?



    Gari lilinesa nesa na kuwafanya wapita njia wajiulize kuna nini, mara kiöo cha gari kiligongwa na tochi ilimulikwa kwa ndani wakati huo nimeshamkojolesha linah mara tatu na vidole vyangu, sasa hapo ndo kwanza nilikuwa naanza kuzamisha rungu hata goli sijapata, nilikuwa nim3ipitisha miguu ya angel kuzunguka kiuno changu na kutufanya mimi na yeye kuonana uso kwa uso.



    "nyie ebu tokeni nje mnafanya ufuska kwenye gari" aliongea jamaa mmoja njemba njemba mbona mapenzi yalisha palepale fasta nikajichomoa kutoka kwenye maungo ya angel na kukimbilia kwenye usukani na kuwasha gari fasta na kupga honi fasta nikaondoa gari yale maeneo kwani ilikuwa muda wa saa6 usiku na muda ule ni hatari kwani pale kulikuwa na mawili la kwanza kuporwa na kubakwa pia sasa me mwenyewe mtoto wa town naelewa ele michezo.

    "hahaha jb kumbe na wewe muoga ulivyojichomoa hata sijaamini na mwenzio nilikuwa nimekolea mno yani wangetaka kufanya kitu kibaya wangenifanyia kwa jinsi nilivyolegea"

    "we angel kumbe huijui vizuri ile mitaa yani ungebakwa kweli sema ni ujinga wetu tumekamatwa na ny** kiasi gani mpaka tufanye ndani ya gari hahaha ingekula kwetu"

    .

    "mmh we ndo ungekuwa chanzo mwenzangu maana umening'ang'ania mwenzangu mpaka na mimi nikajikuta nadata sema sio mbya si unalala kwangu tutapeana usiku kucha"

    "Kama unataka mimi nitasemaje kikubwa nitoe taarifa home kuwa sitarudi"

    ********

    Mahaba niue yalianza tena na kama ujuavyo mpaka nafumwa sikubahatika kupiga bao hata moja safari hii nilikuwa free nikamuanzia mbali toka bafuni nikambeba juujuu na jezi ya asili nikambwaga kwa bed "pwaaaa" utamu wa huu mchezo sijui niufananishe na nini yaani wakati nam mwaga pale kitandani niliweza kumuona vizuri sehemu zake za mbele{nyapu} palikuwa pamenona na kunifanya nivutiwe na kama una papara unaweza kujikuta hata mchezo haumalizi unaishia njiani ama ukawahi kufika kabla ya mwenza wako. Nilianza kujipakulia mzigo ebu nikwambie uzuri wa ile kitu ya angel yani ilikuwa inanata na beat alafu ilikuwa haina mimajimaji niliingiza kitu kilikuwa kama kinavutwa ndani zaidi nilishndwa kujizuia kupiga goli la kwanza japo lilikuwa la mapema sana kwenye historia yangu.

    ***

    Amina huyu nae kaanza lini kufanya usafi chumbani kwangu, nilijiuliza wakati naingia ndani na kumkuta ameinama uvunguni mwa kitanda rungu likasimama na kuitazama kanga nyepesi aliyovaa amina na kunifanya niyaone maboga yake vizuri "sasa amevaa kitu ndani kweli huyu? Ebu ngoja nikafunue nijionee maana dah! Amenitamanisha mwenyewe na hv mama hayupo" nilisema na moyo wangu kabla sijasogea na kuivuta ile kanga waaaap ikachomoka kutoka kwenye maungo ya amina na kubaki kwenye mikono yangu. Kheee amina!!!





    Amina! Amina mbona mitego hii sasa na ili hali unajua hiki chumba cha mtoto wa kiume amina jamani unanitafutia kesi lakini akijaaribika kitu popote alipo big body au jb huwa akiharibiki kitu" nilijikuta najiongelesha kimbea na ili hali mbele ya upeo wa macho yangu nilikwisha kuuchora vizuri mwili wa aminaa ashilia mbali ile chupi yake nyeupe iliyotambaa na mstari wa ikweta kwa kuzama mule ndani si hivyo tu yale maboga mawili mapacha yaliyokuwa kwenye kiuno ndo yaliua bendi nikakumbuka wale wamama maarufu kwa kule tanga "baikoko" nikasema leo ngoma ya baikoko inatimbwilika maghetoni kwangu bila hiyana kwani nani wa kunizuia nilikuwa na uwezo wa kufanya nitakalo kwa wakati huo na ndo maana unaona sijapapalika maana mafundi wote duniani wanaovaa jezi namba7 au cr7 huwa na hatari yao ndani na nje ya 18.



    Kozi niliyoipata ni ya kidato cha nne lakini usiulize kuwa shuleni kwetu napo walikuwa wanatoa kozi ya mapenzi najua jibu utakuwa nalo tayari unalo kuwa sio, lakini swali litabaki kuwa palepale nimeyajulia wapi haya yote? Ebu tulia kwanza nimpe mambo amina alafu atakuja kukusimulia magoli. M*** ni hatari wanasema weka mbali na watoto kwani haifai kuuzwa dukani wala hata ukipewa bure usichukue.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Amina alipokuwa akiniangalia mwili wangu kidogo anaweza kujua mimi ni mzembe mzembe na iki kijitumbo nilivyomnyanyua pale chini hakujua amefikajefikaje kitandani ni kitendo cha sek30 tayari nilisogeza kinywa changu katikati ya lips zake sikujali kama alipiga mswaki hama laa me nilinyonya saliva/,mate tunaita chachandu mpaka nilipoamishia majeshi kwenye kifua chake kichanga na mkono wangu wa pili nikaupeleka kwa madiba nilijua ingekuwa tabu kuikamata papicho yake lakini mwenyewe alitanua miguu yake mwaaa! Sasa unataka nini kingine, nilikunja vidole viwili nikatumbukiza hali ikabadilika akaanza kutoa kelele na ile mipaja yake akaibana. Hiki ndicho nilichokuwa nakitaka sio unamfanyia mtoto wa kike mambo kama haya kulia halia kujigeuza hajigeuzi anakutumbulia macho tu. Haya yaliwahi kunikuta nikiwa form two ile party ya welcome form5 namkumbuka georgiana kipindi iko yeye alikuwa form6 nilikuwa nasikia story zake kuwa yeye hawezi kulizwa na mwanaume mwenzangu me si kimbelembele changu hata mapenzi sijui ninachokijua mimi kuwa ukipewa goli unachomeka unachomoa mchezo umeisha sasa bwana party ilifanyika vizuri hapa katikati umeme ulikatika nikiwa nacheza na georgiana nikampiga dole la mk** kimya nikasema ooh leo nimepatikana wakati natafakari alinivuta mkono tukawa tunaelekea choo ya staff kule kulikuwa na ndoo za maji pale tulisafisha vizuri yeye akailalia kwa kuunganisha ndoo mbili mimi nikamtoa kasuku hata bila kumuandaa mwenzangu yeye alishangaa anapanuliwa miguu huyo kasuku akawa anapenya kuelekea madiba, mwenzangu kuna vitu unaweza kukosea lakini si tonge la ugali kuliweka mdomoni yani pamoja na lile giza ile sumaku ya kule ilimvuta mwenzake. Nilifanya weee cha kwanza kikatoka na kimbelembele chake lakini mwenzangu atoi mlio hata huo mguno sikuusikia mpaka namaliza la pili nisiondoke bila kuaga nini! Mwenzangu utadhani nilikuwa nafanya na jini. Kesho yake taarifa zilisambaa kama njugu nikajishushia heshma kwa kuonekana mnyonge bao mbili ila kwa kusema ukweli yule demu angenitoa damu eti alikuwa anataka tano aku mwenzangu nife kisa? Hicho kilikuwa kipindi hicho cha shule sasa niliapa nitalipa kisasi one kwa yule malaya tu.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Sasa amina alikuwa mwepesi sijawahi kuona, alimzidi hadi angel wa kumwaga kila dk5, yeye huyu madole tu tayari kijichafua mara3 sasa nikasema asije akachoka bure nikaunga tela mwenzangu nikaivamia baiskeli ya miti kwenye mteremko yani nilikuwa nafanya ikifika dk5 nachomoa mtoto akavunja dafu lake nilifanya hvyo kwa takribani robo saa ndo na mimi nikakojoa nikatulia pembeni nikiwa nimeyakumbtia maboga/makalio yake navuta pumzi. Mara nikasikia simu yangu inaita

    "Nani huyu anataka kuniharibia???



    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog