Chombezo : Dada Emmy (Muuza Ubuyu)
Sehemu Ya Nne (4)
(Simulizi ya fatuma au mama bakari).
Nilipita hadi jikoni nikachota maji na kumletea na kujitia ujasiri ili mama asifahamu chochote ila aliponitqzama akajawa hofu.
"Upo sawa wewe? Aliuliza mama
" nipo mama" nilijibu kwa hofu
"Upo ndio nakuona ila mmeshindaje?
" mama salama vipi hospitali?
Aliamua kutaka kupotezea mada
*********
Salum alikuwa rafiki mzuri wa jose sema salum akubahatika kufaulu kwenda form five na six yeye alikuwa ni fundi kinyonzi siku zilisonga alitambulishwa kwangu kama shemeji hivyo nilimumpenda pia kwani alikuwa ni mshechi mno na alipnda utani hamna mfano.
Mara zote salum alikuwa akiasha kazi yke ya kunyoa na kuja kunisaidia jioni kule mnadani uwepo wake pale hata faida niliiona maana sikudhurumiwa tena kama hapo awali.
Niliishi nae na nilimfanya mtu ambaye mwenye kunipa furaha shemeji yangu huyu, alikuwa na sifa nyingi sana za kuwa rafiki nikajikuta zile shida za kuingiliwa na baba yangu nikawa nazisahau taratibu.
Kuna siku nilikuwa nakaribia period(menustration cycle) ambayo muda wowote kwanzia hapo ningeingia nakumbuka ilikuwa ni asubuhi nyingine tena ya pilika kwa upande wangu, mama angalau matunda yake ya kwenda hospitali yalianza kuonekana kwa miguu ilipungua mno na kuwa kama awali kwangu ilikuwa ni furaha sana kwani uzima wake kwangu ni faraja kubwa.
Wakati naandaa biashara yeye alikuwa anaenda hospitali, kama kawaida yake mzee alishazoea kunifanyia ukatili alifanya hata siku hiyo bila ridhaaa yangu akanikaba na kuanza kuniingilia niliumia mno maana tarehe ile ilikuwa ni mbaya. Alipomaliza kuejaculate/kukojoa akanyanyua na kufunga taulo lake hapo ndipo mama akaingia na kutukuta pale chini sakafuni.
"Baba fatu naomba kadi yangu nilihisahau, fatuma mmeanza lini mchezo huu na baba yako? Aliongea mama huku anatoa machozi
Sikuweza kujibu zaidi ya huyo mmewe akijibaraguza
" fatu piga deki na huko uvunguni"
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
"Fatuma mwanangu asante mama baba fatu hiyo laana itakutesa maishani mwako mwote" alirudia maneno ambayo niliwahi kuyasema kwake ghafla tulisikia kishindo kikubwa kutazama mbele alikuwa ni mama ameanguka huku damu zikimtoka.
*************
Usione mtu analia ujui ni nini kilichopo moyoni mwake au ana uchungu kiasi gani ila mimi fatuma(mama bakari) nilimchukia mno baba yangu kama nimchukiavyo shetani kwani mpk hapo nilishampoteza mama yangu ambaye ndiye faraja yangu, ndiye kiongozi wangu na ndiye aliyekuwa mfariji wangu kamwe sitamsamehe baba.
Niliishi peke yangu baada ya baba kukimbia hata kwenye mazishi ya mama akuwepo, ilikuwa ni huzuni kwangu ila bado sikupoteza nguvu ya kutafuta maisha. Nilikaa mwezi mmoja ndipo nilipoanza kujihisi hali yangu tofauti maana nilikuwa mchovu na nilikuwa nakichefuchefu "mungu wangu isije ikawa mimba nitaficha wapi sura yangu" nilijisemea moyoni nikijitazama kwenye kioo wakati najaribu kufumua nywele zangu ili Ramla(mpenzi wa salum) aje kunisuka.
Nilijitahidi kuonyesha furaha usoni mwangu ila moyo wangu ulijaa uchungu sana hata wakati Ramla akiendelea kunisuka yeye ndiye alikuwa muongeaji zaidi mimi nikiitikia tu. Nilifikiria ni nani nitakayemshirikisha hili jambo mana nilizidi kuteseka nalo.
Tukiwa pale alikuja jose mpenzi wangu akunisalimu alimuita Ramla pembeni takribani dakika kumi walikuwa huko mpka mimi nikaanza kusinzia, nilishtuka Ramla aliponikanyaga.
"Vipi shoga" niliongea
"Achana na mimi mnafki mkubwa wewe wa kutembea na salum? Fyooooo na utaama kijiji hiki nakwambia ushoga mimi na wewe basi"
Aliongea maneno ambayo sikumuelewa
"Umepatwa na nini Ramla"
"Nakwambia sitaki ushoga na wewe kama vipi kila mtu na 50 zake" aliongea na kuondoka.
***************
Maisha yangu yalizidi kuwa magumu maana hata marafiki nao walianza kunitenga nakumbuka siku hiyo jioni nikiwa napita kwenda sokoni nilishangaa navutwa mkono kuangalia vizuri alikuwa ni salum.
"Fatuma vipi" aliongea kwa kuhema mno
"Pouwa niambie mbona unahema hivyo?
" fatuma mambo si mambo umeyasikia ya kuyasikia? Aliongea salum bado sikupata picha.
"Hapana sijasikia"
"Nimetoka kuonana na rafiki yako Ramla muda punde tu hapa anadai mimi na wewe ni wapenzi na anachosema tuachane ila laxima atalipa kisasi"
"Kheeeee salum huo upenzi umeanza lini jamani? Nilihoji kwa mshangao
" we acha hapa namtafuta jose nijue mstakabali unakuwaje"
Niliashana na salum nikaenda zangu kununua bidhaa soko wakati narudi nilimkuta jose na Ramla wakipeana romance nje yq nyumba yetu nilichoka nikakaa chini sikuamini jose anaweza kunifanyia vile, walinitazama wakaniacha na kuondoka zao huku ramla akisema kwa kejeri "chefuuuuuu na bado utazimia"
Matatizo yaliniandama mno nakumbuka siku ya pili yake usiku nikiwa nimelala jose alikuja na kugonga nikamfungulia kumbe alikuwa na rafiki zake wawili waliingia ndani kwa vurugu wakanibaka kwa zamu na kisha kunikejeri *bikra utakuwa wewe bwana"
Nililia mno hapo ndipo nilipata wazo la kuondoka pale handeni niende dar
*************
Nilianza safari ya kuja dar kwa shangazi yangu anayeishi mbezi kimara baada ya kuona hali ya kijijini kule ni mbaya dar sikuwa mgeni kwa mara kadhaq nilikuwa naenda na kurudi tanga hivyo nilipafahamu japo sio sana.
Mimba yangu ilikuwa bado ya miezi miwili na unene wangu isingekuwa rahisi kunijua hata shangazi hakujua pia. Nilijua pale nitapata furaha angalau nipate mwangaza wa kupata kazi ya kuweza kujikwamua kimaisha ila hata kabla ayo kutimia likaibuka jingine mume wa shangazi yangu akaanza kunitongoza.
nilimshangaa sana mjomba kunitongoza mimi na huku mke wake(shangazi) alikuwa na sifa kedekede kunizidi hata mimi, ila siku zote wanaume ni watu wa tamaa unaweza kumpa wanawake hata mia wazuri ukamwambia chagua mmoja mzuri akamchagua na bado hatajilaumu kupoteza wale 99 waliobaki. Nilikuwa nampiga chenga kila siku japo nilitumia indirect/mkato maana nilichohitaji ni kulizoea jiji la dsm kisha nipate fursa ya kuondoka pale nikaanze kazi.
"Fatumaaaaaaa" aliita shangazi walikuwa ndio wanarudi kutoka mihangaikoni.
"Abeeeeee shangazi".
" kuna nafasi za jeshi zimejitokeza nikuchukulie fomu ujaze?
"Aaaha shangazi asante lakini" nilikatishwa..
"Lakini tena nafasi haiji mara mbili shanhazi" alidakia mjomba haraka.
"Ila nina tatizo shangazi" ilibidi niweke bayana.
"Tatizo! Tatizo lipi? Kama utaki jeshi wee nenda kapike shaurilo mwenyewe umeridhika na kuwa house maid/dada wa kazi" aliongea shangazi
Siku ile ilipita nikimtafakari mjomba na kikubwa tabia yake ya kupnda kuja jikoni kunishikashika ipo siku dawa yake itachemka. Kama zali nampanga hivyo nae huyu sijui katoroka kaxini namuona mapeema mchana amekuja akanikuta natoka jikoni napanga vyombo kabatini, alinishika makalio yangu.
"Naomba niache mjomba sitaki"
"Aaha mjomba nini sasa kwani kuna ubaya kukushika mjomba wangu" alijitetea mjomba kwa kuchekacheka uku anaendelea kuperuzi mwilini mwangu.
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
"Naomba niache sitaki ushike mwili wangu wew mwanaume vipi uoni aya khaa uridhiki na mkeo" nilijaribu kufoka sio kitoto tu.
"Utataka tu leo mbona namba badala ya kuisoma utaiandika"
Alinishika kimabavu kwakuwa alikuwa na nguvu nyingi kutokana na kuhudhuria gym aliweza kunilaza chini akanijia juu na kunilazimisha aninyonye maziwa kitendo ambacho sikutaka watambue kama nina ujauzito ila alinitoa kanga ya juu alifanikiwa kuona tumbo langu.
"Una mimba fatuma" alikuwa km mtu asiyeamini
"Kama uonavyo" nilijibu kwa mkato.
Alisimama akanitazama akaniuliza tena "huo ujeuri hautakusaidia, unamjua aliyekupa mimba?
Aliuliza ili kunivuta mimi kipindi hicho bado nina hasira zangu.
" hayakuhusu fanya kinachokuhusu fyooooooo" nilim...
Nilishtuka kibao cha nguvu nikaanguka chini nilishangaa mjomba anakuja juu na kunivua nguo kisha akaanza kuniingilia kimaumbile sikuwa na hisia kwa siku hiyo alitumia virainishi akaweka ili kutimiza adma yake mpka mwisho akanibusi na kunifuta manii yake kiukweli yalikuwa mengi mno.
"Nisisikie kwa shangazi yako ole wako" alinipa vitisho mjomba.
Nilikaa kimya km mtu alitengwa nisijue nini cha kufanya nilimuomba mungu anifanyie wepesi ili nisije nikadharirika mjini hapa na sikuwa na pa kwenda zaidi ni pale nilipofikia
****************
Nilifukuzwa kama mbwa na mjomba na shangazi siku hiyo nakumbuka ule mfuko niliokuja nao niliondoka nao pia sikuwa na cha maana cha kubaki mjini. Nilipanda gari nakumbuka liliandika ubungo tandika nilkuwa na kiasi cha pesa cha kutokea kijijini, nilishuka sehemu inaitwa sokota ilikuwa ni kwa haraka sana. "Mmmh mimi sasa nitaenda wapi muda huu? Nilizidi kusaga na njia na kile kijua cha dsm kilivyo kikali nilipumzika kwenye vile vibenchi vya stend nikikumbuka uko nilipotoka machozi yalianza kunitoka maisha yangu yalifunguliwa kurasa mpya ya matatizo.
Walipita watu wengi sana nikiwa pale ghafla nilisikia naitwa " kheeee nani huyo anayenijua huku?
Nilikuwa usingizini niliponyanyua macho kutazama sikuamini macho yangu alikuwa salum nakumbuka mara ya mwisho tuliachana bila kule kijijini na tuhuma nyingi eti sisi ni wapenzi nikaamua iu nije mjini.
"Mimi naishi hapo mbele nimepanga" aliongea salum
"Dah aya sawa salum tupo tunaangaika"
"Wewe unaishi wapi? Aliniuliza salum
" mimi niishi wapi naranda na njia hapa na tumbo langu"
"Mungu wangu fatuma tuondoke tutajua mbele ya safari"
Nilimtazama salum ule moyo wake nikainama chini nikaangalia fedha niliyoifunga kwenye kanga sikuona hata kanga nikalia sana mpaka raia walikuwa wanashangaa
"Ningefanyaje salumu kama usingekuwepo???
(Emmy na mama bakari/fatuma)
Nilijihisi kuumia mno kutokana na ile simulizi ya mama bakari nilikuwa sijui kama anaitwa fatuma nimemzoea kwa jina hilo la mama bakari nilimshika mkono huku machozi yakinitoka kama mtoto.
"Emmy uwezi amini mwisho mwa mwaka jana nilikutana na baba yangu nikamtamkia kumsamehe kabisa akamuona mtoto wake(bakari) ila baada ya miezi miwili alifariki" aliongea mama bakari uku analia ikabidi nianze kumbembeleza.
"Nyamaza dada pole mungu atakusaidia usilie"
"Emmy usije ukagombana na ndugu yako kisa mwanaume mimi huyu baba bakari huyu siye mwanae ni mtoto niliyezaa na baba yangu mzazi na sijawahi kuona ajimnyanyasa wala kumtenga hata nilipomzaa halima(mdogo wa bakari) bado ameonyesha upendo kwao wote"
"Ndio huyo salum uliyesema alikusaidia? Ilibidi niulize baada ya kutoamin labda huyu ni mwanaume mwingin
" ndio huyu salum au kwasababu kazoeleka kwa jina la baba bakari? Aliongea huku anatabasamu kidogo
"Ahaaa dah ni wanaume wachache wanaweza kufanya hivi mama bakari, kwani una miaka mingapi sasa hivi? Nilitokea kumpenda sana mama bakari
" nina miaka 21 sasa hivi nakumbuka bakari nilimzaa nikiwa na miaka 17 na huyu dada yake ni mwaka jana nikiwa na miaka20 ndio hivyo sasa tunapambana tukamilishe nyumba yetu mbande uko tuamie" alizidi kuongea mama bakari uku namsikiliza kwa makini.
"Haaa pole dada jamani unafanya kazi gani sasa?
Niliendelea na maswali mengi
"Nina kazi wapi zaidi ya ususi huo nikipata wateja wawili watatu nina elfu 60 nacheza na michezo minne hapa kwahiyo nina uhakika wa kila mwezi kupokea laki 3 hadi na nusu zote nazipelekwa kwenye ujenzi nasaidiana na baba bakari nae akiangaika akaa!! Tunasogeasogea" alionyesha cheko lako nami nikatabasamu pia
"Sasa dada nashukuru kwa ushauri wako japokuwa zamani nilikuwa nakuona mnoko na wale rafiki zako hasa mke mdogo wa mzee yule(mzee mashaka father house) nakushauri lakini ule urafiki sio mzuri na ukiangalia rika lako bado mdogo wewe wa kukaa na wale miaka 30 watakushauri nini zaidi ya umbea" niliamua kumpa la rohoni maana nakumbuka yeye na wenzake kipindi hicho walikuwa awanipendi mno
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
"Mmh mdogo wangu we acha tu, hivi kwani emmy una miaka mingapi? Aliuliza dada fatuma
" miaka ishirini nadhani nafikisha mwezi wa tisa"
"Kheee basi hatujapishana sana, ila mwenzangu yale makundi nimeshaachana nayo sasa ndio kama unavyoniona na hapa nikipata kazi tu mambo yatakuwa sawa" aliongea dada fatuma na kunipa akili
"Sikia nikwambie kitu mimi nina biashara zangu nina sambaza ubuyu kwenye supermarket na mwezi ulioisha nimefungua cafe ya kuuza vinywaji na vyakula mbalimbali nina ndoto za kuwa mjasiriamali mkubwa sasa niweke kwenye nafaka ila tatizo niliyempa asimamie ananiibia sana" aliongea kwa masononeko
"Nani tena??
Aliuliza mama bakari/fatuma
" si huyo salma anayeishi karibu na mtendaji"
"Kheeee yule jamani yule msichana anahonga yule sijawahi ona mbona alikuwa anamtaka baba bakari nimegombana naye juzi tu na yule mwanaume wako yule bonge(alibariki) nahisi anatembea nae" aliongea kwa mshangao mkubwa
"Aaha sawa naomba niende nitakutafuta dada, halima.mama njooo chukua ya soda hii" niliamua kupotexea ile mada maana nilijua yatakuwa mengine pale nilitoa noti mbili za elfu kumi nikampa halima mtoto wa mwisho wa fatuma/mama bakari.
****************
Katika maisha yangu nimejifunza vitu vingi hasa kuishi na watu vizuri fatuma/mama bakari akuwahi kuwa rafiki yangu alikuwa ni miongoni mwa maadui zangu ila historia ya maisha yake imenipa hatua moja mbele ya kutafakari ni wapi nilipotoka, nilipo na wapi nitaka kuwepo. Mtu ambaye nilimuona ni adui kwangu sasa anekuwa rafiki ila yule ninayekula nae na kuishi nae na kumpa siri zangu(salma) kumbe utoka na kuzitoa nje kasahau kuwa mimi ni emmy na sio salma na asichokumbuka pia mimi ni rafiki na hatuna bloody relationship/uhusiano wa damu hivyo muda wowote naweza kuamua nichukue hamsini zangy nae achukue zilizobaki kwenye mia moja. Kinachoniumiza zaidi ni kutumia nafasi ya urafiki na mimi kufuja pesa zangu kwa kuhonga wanaume, amesahau kuna maisha baada ya hapo ni bora angefuja pesa na kufungua biashara au kumalizia upande wa pili wa nyumba yao ulikosa kuezekwa hata kwa makuti ili yeyw haondokane na aibu ya kulala na wadogo zake wa kiume hali inayomlazimu anapotaka kubadili nguo kuwatimua nje wadogo zake.
Mimi emmy kwa kuona matatizo hayo nilikubari kumsaidia rafiki yangu wa utoto mpka ukubwani salma nikijua labda atabadili.
Haya ndio malipo ya salma sasa anatembea na elibariki, ameshanitia hasara ya zaidi ya milioni sita, kibaya zaidi anasambaza taarifa za uzushi kuwa mimi namroga mamdogo ili nipate pesa, je mimi emmy ningekuwa na akili za kufuja mali leo hii nisingesoma maana hapa nilipo namiliki nyumba japo ya kupewa na mwanaume yenye thamani zaidi ya milioni mia mbili, nina kiasi cha shilingi milioni 35 benki, nina usafiri binafsi japo nimepewa na mwanaume lakini bado sijadharau shule maana najua nilipotoka na siku zote najua kusimamia ndoto zangu.
Nilikaa huku machozi yananitoka nikimkumbuka salma ninayemjua mimi roho inaniuma, acha huyo sasa nakuja kwa huyu aliyezaliwa tumbo moja na mama mdogo wake wa mwisho/mama mdogo rose. Sikatai amenilea mpaka najitambua ila ilifikia wakati wa yeye na mimi kuungana ila siku zote akutaka, mara nyingi nimekuwa nikimsihi tuanzishe biashara au hata aje kijichi tuishi pamoja amekuwa akikataa sijui ni kwanini lakini kumbe jibu ni jepsi tu hata wewe mama mdogo unatembea na mkamwana wako ashilia mbali na wetu kutopishana saana ila bado haiondoi heshima kati yetu roho inaniuma kusikia nawe unashiriki kusema eti "emmy ananiroga ndio maana mambi yangu hayafanikiwi" nimekuwa nikikaa na kutafakari nikapata jibu kuwa elimu ni mkombozi na hapo ndio unaweza kumtofautisha aliyesoma na asiyeenda kabisa darasani na watu hawa wawili uwezi wao wa kufikiri hauwezi kuringana.
Emmy huyu wa leo sio emmy wa nyakati zile asiye na elimu, emmy yule alikuwa ana kifua akisikia jambo akawii kukurupuka na kwenda kumkanyaga aliyelizungumza kwa maneno makali yaliyojaa vitisho, na hilo baba mwenye nyumba analijua na wapangaji wengine, unajua ni kwanini? Siku mama bakari aliponisimulia juu ya tabia ya mama mdogo na salma alitegemea ningekasirika na kuwafata tayari kuharibu uhusiano lakini si hivyo nataka nihakikishe kwa macho yangu na si kuruhusu masikio yawe shahidi pekee..
***********
Baada ya kutoka hospitali jioni nilimchukua mama mdogo nikamrudisha nyumbani hapo nilipata fursa pia ya kuonana na salma nilifanikiwa kusikia kauli moja ambayo ilinichanganya "pole shoga yangu sikujua kama yamekukuta ya kukuta au ni zile pombe za juzi zilikuzidia? Mie unavyoona mguu huu ndio narudi nyumbani kutoka uko las vegas nimekesha, nimekunywa ila nimeliwa laki tisa na uchee japo nimepata jibosi limenihonga laki tatu siku hizi mbili" alisikika salma wakati huo nilitoka nje kujisaidia aja ndogo. Nilipoingia ndio ukimya ulitawala.
"Salma mzima" nilimsalimia
" nipo poa mambo best, poleni kwa kuuguza" alijibaraguza hapo nikimuangalia usoni kama kahaba amejipodoa hamna mfano na amevaa cheni za gold, eleni za gold chini vikuku vya gold na bangili za gold nilijawa na ghadhabu juu yake ila nikakituliza kifua changu
"Jamani me naenda kama kutakuwa na tatizo mama utanipigia naomba usikae kimya au usitume message wewe nipigie tu" aliongea nikamuachia kiasi cha fedha kama laki na nusu kisha nikawa naondoka
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Kitendo kile kiliwachangaza hao wanaosema mimi simjali mamdogo wala kumtunza, kabla sijaingia kwenye gari nikamsikia salma anakuja kwa kukimbia
"Emmy emmy sikia nisubiri" aliita uku ana kimbia
"Samahani naomba niazime laki sita nitakurudishia jumanne" aliongea bila hata chembe ya aibu hajui wenzie tumeenda shuke kuliko anavyodhani
Nakumbuka wakati anamuahadhia mamdogo love alimwambia ameliwa laki tisa na kapata jamaa kamuhonga laki tatu hivyo nikimpa laki sita itakuwa laki tisa hivyo basi mwisho mwa wiki iliyoisha akuleta mahesabu ya biashara ambayo ni kama laki tisa na nusu kwa mawazo yake ile pesa nimpatie kisha afanye kama hesabu ya wiki hiyo. Nilicheka kidogo kisha nkamjibu
"Hesabu ujanipatia bado na ni laki tisa na nusu si ndio" nilimuuliza kwa mtigo maana wadaiwa wote waliniambia tayari wameshalipa
"Kheeenheeee ndio" alijibu kwa kigugumizi
"Sasa katika pesa hiyo uliyonayo nakukopesha hiyo laki sita unaweza kunipa laki tatu na nusu hapo? Niliamua kutumia ujanja
" aahaa ndio" alijibu pia kwa kusitasita huku anatoa pesakwenye poshi yake kulikuwa na laki tatu kamili zilizofungwa kwenye lababendi alinikabidhi na kurudi ndani kwa spidi nahisi alienda kumuazima shoga yake mama mdogo amuazime elfu hamsini
Dakika kumi nyingi alirudi akiwa na fedha hizo, akanipatia kisha nikamtazama alivyotokwa jasho
"Naomba ndani ya wiki ijayo uwe umenipatia hizo laki sita nilizokuazima" niliamua kuwa mkali
"Sawa lakini.."
"Nataka ndani ya wiki hii tafadhari hatutaelewana salma kuwa makini" niliongea nikaingia ndani ya gari na kuondoka.
Nilikuwa bado siamini kama love(mamdgo) na salma wanacheza kamari kwenye casino za hapa mjini nikawa nafikiria siku moha niwafumanie.
*************
Sikumpa tena mzigo salma nilifanya hivyo kwasababu niliitaji anirudishie fedha zangu kisha nimkabidhi rasmi kazi fatuma/mama bakari maana angalau yeye anajua maana ya maisha ni nini.
Jioni ya siku hiyo nilikuwa nimetoka darasani nikawa naondoka kurudi nyumbani niliona namba ngeni inaingia "mmmh nani tena huyu" nikapokea
"Hallo nani" niliuliza
"Kaka rafiki naongea" sikushtuka sana maana nilianza kumuelewa sana huyu kaka japo simjui ni nani
"Heee mzima kaka rafiki? Nikiongea kwa furaha
" emmy hapohapo ulipo njoo new africa hotel nipo na mama yako mdogo na rafiki yako salma hapa tunacheza kamari za nguvu" alinishtua kaka rafiki palepale nikageuza gari
Niliendesha kwa mwendo kidogo kuwahi huko casino maana nilikuwa natamani sana kujua salma na mamdogo love wana issue gani vinazowaunganisha, ndio kama bahati kaka rafiki akaniambia niwahi kule casino.
Pamoja na kuwa na foreni za hapa na pale nilibahatika kufika hiyo casino, sikujua cha kufanya maana sikuwahi kuingia casino toka nazaliwa ila kitu nilichokiwaza kwa wakati ule kwenye pochi nilikuwa na laki sita, sasa kwa vyovyote vile nikisema niingie nazo ninaweza kupoteza zote maana mambo ya kishwetani haya yana ushawishi mkubwa. Nilipiga hatua kama tatu mbele nikawa namkaribia mhudumu wa kiume aliyekuwa nje ya hotel ile kubwa ya kifahari nikamkumbuka kaka rafiki nikaamua kumpigia simu.
Simu iliita bila majibu nikawaza "huyu ameniingiza choo cha kiume nini?" Sikukata tamaa nikapiga tena mambo yakawa kama mwanzo simu haikupokelewa sasa wakati naendelea nilishangaa yule mhudumu anakuja kunifata.
"Hello madam welcome" alikuwa ni mkarimu mno km ni customer care ya hali ya juu
"Hello! Samahani kaka kuna mtu namsubiri hapa" niliamua kujidefend kidogo
"Anhaaa sawa ila kuna mtu ameniagiza kwako dada"
"Kheee! Kakwambia anaitwa nani? Niliuliza kwa mshangao kidogo
" ahaa hakunitajia jina ila kaniambia una watu wengine wawili pia mpo msafara mmoja" yule mhudumu alizidi kunishangaza ina maana huyo kaka rafiki yupo kweli mule ndani
"Unajua alipo huyo kaka? Niuliza kwa shahuku
" najua alipo" alijibu kwa haraka kidogo
"Nakusihi unipeleke" nilionyesha unyenyekevu
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Safari hii hakujibu chochote aligeuka na kuanza kutembea mimi nae nikaanza kumfata nyuma nyuma kama mkia na mbuzi, cha kunishangaza ni atmosphere/hali ya hewa ya mule ilikuwa ni nzuri ajabu, zile lights/taa zilikuwa zinawaka mng'aro wa kipekee kiasi kwamba kama una saa unaweza usijue majira kabisa, kilichozidi kunishangaza ni jinsi tulivyokuwa tunateremka chini zaidi km andaki ni ngazi tu kushuka chini. Ilishukua takribani dakika nane kufika kule mandhari ilikuwa amazing, watu walikunywa na kucheza kamari kuna sehemu hasa zile zilizokuwa na machine za kuchezea kamari zilikuwa na mwanga ang'avu ila zile ila kule kwenye pembeni mwanga wake ulikuwa hafifu, nilimtazama yule mhudumu usoni nikamuona nae akinitazama mimi.
"Yupo wapi sasa kaka? Niliuliza
" alikuwa hapa mara ya mwisho sasa sijui kaenda wapi, labda msubiri hapahapa" alizidi kunishanganya yule customer care
"Hivi kaka rafiki mbona unanifanyia hivyo lakini, au utaki nikuone sura yako? Nilijisemea nikiwa nabembekeza machozi cha ajabu hata nikilia ili nionewe huruma bado mhusika hayupo ni bure tu ilibidi kujikaza
" dada kama unahitaji kinywaji caunter pale pia mambo mengine unaweza kuuliza pale" alinionyesha upande wa kulia niliokaa nikageuza shingo nikatazama sekunde kumi hazikufika nikageuza shingo kama awali sikujua niende wapi ila sasa nilipotazama mule kwa harakaharaka vinywaji vilivyokuwa vinanywewa ni whisky, savannah, champagnee na pombe nyingine kali, kwa akili yangu ya haraka haraka nikawa najua vyote vile vina kilevi hivyo niliwaxa kuagiza soda au juice za kopo au za glass nilianza kusogea taratibu huku kichwani nikiwa na mambi mengi yananitatiza. Kabla sijauliza kinywaji tayari nilipewa juice kwenye glass ndefu nyembamba "karibu dada" alinikarihisha dada aliyekuwa pale counter.
"Dada haina kilevi" ilibidi niulize kwa woga kidogo
"Noo ni juice hiyo dada" alijibu yule dada
"Sawa juice ila haina kilevi" niliuliza kwa mara nyingne maana sikuwa na imani kabisa
"Hapana hatuwezi kumpa mteja kitu asichokipenda hata hivyo ni mkaka mmoja ndio aliyekuja na kutuagiza tukupatie kinywaji hicho alivyosema pia km utahitaji chakula ameshalipia kadi yako hii hapa" aliongea hukuanatoa kadi kutoka kwenye droo zake kwa ndani
"Nashukuru, naweza kukaa popote dada" niliendelea kuuliza
"Yeah upo huru dada ubanwi"
"Asante nashukuru"
Nilirejea nikaketi sasa pembeni yangu kulikuwa na wadada wawili na mvulana mmoja na mwingine inavyoonesha ndiye alikuwa anacheza kamarialiyo mbele yetu kidogo, ni kamari ya machine ambapo unabonyeza namba ya bahati kisha unasubiri majibu yako, nilipotazama vizuri nilimuona kwa mbali mamdgo alaaaaa!! Bado kichwa hakikukaa sawa niimuona na salma pia alivyovaa mungu anajua wanaume walikuwa wanamshika makalio mara wanchezee maziwa yake, cha ajabu kuna jamaa alikuwa anacheza akashinda nahisi huyo ndio alikuwa bwana wake aliruka akambeba juu na kuanza kumnyonya ulimi kwa macho yangu nashuhudia, nilisikia vibration kwenye mkoba wangu nikajua napigiwa nikafungua zipu ya mkoba nikatoa simu alikuwa ni kaka rafiki.
"Yeah emmy"
"Mbona umendoka?
" emmy nimekuita uwaone ndugu zako mimi siku ya kuonana na wewe haijafika ikifika nitakuita sehemu ya heshima sio kama hapo" aliongea kaka rafiki
"Sawa hao watu nimeshawaona ila nitajua cha kufanya asante sana kaka rafiki ama kweli wewe ni zaidi ya rafiki" nilimsifia kidogo
Niliendelea kuongea mengi kumbe alishakata simu mimi sikujua.
***********"""
Niliendelea kunywa kinywaji changu ile juice ila kadri muda ulivyozidi kwenda niliona nguvu zinaanza kuniisha "mmh hii juice kweli au??? Niliona niamke pale nikaanza kutembea taratibu kurudi parking ila nguvu nazo hazikuwepo mwilini nilijikuta natambaa kwa kutumia ukuta nilipoangalia nyuma niliona wakaka wawili wanakuja na pale nilipo ni kichochoro nikawa na wasiwasi juu ya usalama wangu
Niliona kizunguzungu na wale watu nyuma walizidi kunikaribia niliogopa mno ila nitatumia njia gani kuokoka? Nilishikiria ukuta nikawa nashuka nao taratibu huku moyoni nasema "heee yesu nisaidie niokoke na ili"
"Oya zigo lenyewe si ndio hili ebu limulike? Aliongea kaka wa kwanza(mrefu mweupe)
" ndio tunafanyaje sasa na tumepewa kazi dada mwenyewe kazima/unconscious/kapoteza fahamu" aliongea wa pili (mfupi mweusi)
Nilijifanya nimezimia kweli ila bdo nilikuwa macho sema hali yangu haikuwa nzuri, nilifikiria ni nani aliyenifanyia haya yote "ni kaka rafiki kweli kaniingiza kwenye huo mtego kweli" kabla sijapata jibu mmojawapo alipokea simu.
"Hallo eheee ndio tumempata, sawa bosi enheee ndio" alikuwa kaka yule mfupi mweusi
"Ni nani huyo? Aliuliza yule mwingine
" bosi elly huyo, tumpekele au tule mzigo tu, maana kule ana mawili kufa au kupona" alitoa tahadhari yule mweusi.
"Ila kiukweli bosi elly mimi namuheshimu tu anawajali malaya zake yule sijui love na salma na kale kadada kasalma sikapendi ila namtaka sana yule love" aliongea yule mrefu mweupe
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
"Ila nikwambie kitu francis? Niligundua yule mrefu mweupe alikuwa anitwa francis
" ndio"
"Bosi anajalia sana kuhonga wanawake ila sisi mishahara na pesa zetu atulipi mimi nimeshoka" aliongea yule mfupi
"Hamna juma hii kazi ya kumpeleka huyudada inakuwa?? Aliuliza yule francis
Kwa lengo moja walikubaliana wasinipeleke ila mungu ni mkubwa maana kabla walipanga kunibaka sasa nilipoteza imani na elibariki nilivyokuwa najua alikuwa nje ya nchi kumbe yupo hapahapa dsm anakula bata casino na kuamua kutembea na rafiki yangu na mama yangu mdogo.
" tumsaidie juma uwezi jua ya mungu mengi"aliongea francis
"Kweli ila tuzime simu zetu ili wasitutafute tuhakikishe uyu dada anafika kwake kwa namna yeyote" aliongea juma?
Nilikuwa sijiwezi nakumbuka hatua ya mwisho niliwapatia funguo ya gari baada ya kujua ni watu wazuri walifanikiwa kunifikisha mpk nyumbani lakini wakati huo sikuwa najiweza.
**************
Nilishtuka nipo kwenye usukani wa gari nje ya geti langu jana yake mpka nafika pale nyumbani nilikuwa najielewa japo sio sana ila ilitokeaje mpaka nikawaruhusu waondoke na wakati awakuchukua namba zangu za simu??? Nilijiuliza maswali mengi ila bado jibu sikuwa nalo "ooh shit!! Nimeharibu"
Mgongo ulikuwa unauma sana nilihitaji kupata hata message hapo ndipo nikakaa nikawaza juu ya vipi ninaweza pata message ingekuwa ni kipndi kile cha samson nisingewaza maana hata mimi mwenyewe ni mtaalamu wa mambo hayo since nafanya kazi saloon kwa elibariki enzi zile sina kitu kabisa.
Niliwaza mengi hasa juu ya kufungua saloon ya kike na kiume ambazo zitakuwa na message ndani yake ila sitamani kufanya kazi na wanawake tena kama salma mtu wa pekee ni mama bakari tena ni kwasababu ana shida zake bila hivyo nisingeweza kufanya nae kazi maana wanawake kwa wanawake tundharauliana sana.
Nilishika simu yangu nijaribu kumpigia rafiki yangu jenifa wa shule maana tulikuwa na group discussion siku hiyo, wakati naingia kwenye phonebook mara simu inaingia "mmh namba ngeni jamani nani huyu tena??"
"Hello Juma naongea, hu mzma dada??
" jumaa yule wa jana?? Wow! Me mzima niambie juma" nilishangamka mno
"Mzima unaendeleaje?? Alizidi kuongea juma kwa uhuru zaidi
" safi tu sijui nyie, tena afadhali umenipigia francis yupo wapi??
"Nipo nae pia" alijibu juma
"Sawa ninaweza kuwapata lini kwaajiri ya maongezi na nyie??
" siku yeyote dada wewe tu sisi hatuna kazi tupo tupo" alijibu juma roho ikaniuma vile kusema tupo tupo
"Kwanini lakini juma?? Niliuliza kwa upole mno
" ni story ndefu dada yangu ndio maana tunajiingiza kweny hizi kazi dada yangu" aliendelea kuongea juma
"Basi msiwe na shida nitawatafuta kesho jioni sawa?? Nilibidi nitoe promise
Ni ngumu kuonana na watu kwa wakati huu lakini nitafanyaje na inaonekana kuna siri nzito wanaweza kuijua juu ya watu watatu yani elibariki, salma na love(mama mdogo) ambao kwasasa ni watu wa kushinda casino na kucheza kamari na kunywa pombe kali, hiki kitu nilianza kukihisi mapema maana salma nilikuwa nikimpa pesa lei keshokutwa hana kitu na yeye kila pesa haimtoshi.
********************
Siku zilizidi kwenda kwa kasi na tarehe za kufanya mtihani wangu wa kidato cha sita ilikaribia, niliwaza mno kule nilipotoka haikuwa rahisi " yule emmy niliyeishia la saba huu kwangu ulikuwa ni mlima mrefu kuupanda mpk hapa nilipo ni mungu tu, ila sasa nazidi kumuomba anifanikishe nifaulu mtihani wangu niende chuo kikuu, huu mwezi mmoja uliobaki inapaswa niutumie vizuri mno"
Nilikuwa najitazama kwenye kioo nguo zangu nyingi zilizokuwa hazinitoshi mpk nikawa nafikiria kumpa salma sasa zilianza kunitosha na kupungua kuliko " eeh mungu wangu nina mawazo hivi mpka napungua namna hii" nilijisemea moyoni na ni siku hiyo nilikuwa na appointment/ahadi ya kukutana na juma na francis.
Gari yangu ilikuwa na vumbi ilibidi niipitishe kwa car washing mtongani wakati huo mimi niliingia cafe ya jirani nipate juice maan siku za karibuni sikuweza kutengeneza juice wala kununua supermarket.
"Hallo emmy"
"Kaka rafiki ulivyonifanyia juzi sijapenda hata kidogo" niliongea kwa lawama baada ya kupokea simu yake
"Emmy dhumuni langu sio hilo ninachotaka kukwambia naomba hiyo safari usiende" alinishangaza sana kaka rafiki
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
"Hapana nashukuru kwa ushauri wako ila mimi naenda wale watu nimeshakubaliana nao*
"Emmy siku zote nimekuwa nikikushauri mengi ukifata unafanikiwa hata hili nakuomba tafadhari usiende kuna mtego upo mbele yako' aliongea kaka rafiki
" najua na nakuheshimu na asante kwa huo moyo wako ila juzi ulivyonifanyia umepoteza iman yngu kwako tafadhali nakuomba niache na mambo yangu samahani" niliongea kwa hasira mno.
"Saw utakaponihitaji usisite kunitafuta, call me kaka rafiki" alimalizia hivyo.
"Toka uko kaka rafiki bongo? Yani ili kaka eti anawaambia watu waniwekee dawa kwenye kinywaji ili nibakwe sijui ili afaidike nini? Niliongea peke yangu baada ya yeye kukata simu
Nilikaa takribani dakika kumi mbele nawaza juu ya hiyo safari moyo ukawa unakataa tena nisiende nikapata visingizio vingi ila kikubwa nilishaweka mihadi ni ngumu kuvunja, nilipokuwa pale iliingia message " hello dada emmy mbona kimya upo wapi? Ulipoingia huo ujumbe ikabidi ninyanyuke niende kuangalia gari km tayari wamemaliza kuliosha.
"Dada gari tayari" aliongea mmoja wa waoshaji
"Nashukuru sana maana wiki nzma sijaliosha ni shilingi ngapi kaka?
" elfu tatu dada" Alijibu yule kaka
Nilifanikiwa kutoka pale na kuanza safari ya kuelekea huko ambapo nitakutana na juma na francis kichwani bado lindi la mawazo lilizidi kunisumbua "inawezekana huyu kaka rafiki kuna kitu anakitaka kutoka kwangu haiwezekani kwa hili akanizuia nisiende anajua kuna siri ipo hapo" nilizidi kufura/kujaa na hasira dhidi ya huyu kaka rafiki mtu ambye nilimuamini mno kipindi cha mwanzo ila inawezekana kuna kitu pia 'kusema ukweli huyu kaka ameniokoa na mengi kweli hii safari haiwezi kuwa ya mashaka kweli? Juma na Francis nimewajua juzi tu na lengo lao kwangu toka siku ya kwanza lilikuwa ovu nawezaje kuwaamini moja kwa moja tu?" nilikuwa na intra-personal conflict/mgogoro nafsia.
Simu yangu ndogo ilianza kuita japo sikuweka sauti ya juu mno nilifanikiwa kuisikia, nilitazama screen jina likatokea jimmy "khaaa! Huyu nae anasemaje? Nilijisemea moyoni kabla sijapokea.
" hello emmy za siku? Alisikika jimmy
"Nzuri sijui wewe" nilijibu km sipendi vile
"Emmy upo wapi now/sasa?
" nadrive/naendesha jimmy nitakupigia baada ya hapo" nilijitetea tu maana sikutaka story nae
"Unaenda wapi? Aliuliza swali la ajabu sana
" kuna watu naenda kuonana nao kwani vipi? Nilizidi kuchukizwa na conservations ile na jimmy
"Anhaaa kuonana na juma na francis aya kwaheri" aliongea jimmy na kukata simu
"Heloo hello hello jimmy, mmh amejuaje huyu jamani inamaana mazungumzo yangu kwenye simu watu wanayanasa au kuna kitu kinaendelea jmani" kichwa kiliniuma nikawaza mno jimmy nina muda mrefu sijaonana nae yawezekanaje akayajua haya.
************
Ilikuwa ni sehemu tulivu upepo ulivuma kwa uzuri na kumfanya mtu yeyote mahali pale afurahie uwepo wake pale, nilitazama kulia na kushoto nikaona mazingira ni mazuri kabla wageni wangu hawajafika maana ndipo tulipopanga tukutane. Kiza cha mahali pale kilianza kunitia wasiwasi na kikubwa zaidi lile eneo sikulifahamu hapo kabla ingawa ni sehemu ya public/wazi ila kwa sehemu niliyokaa mimi nilikuwa peke yangu.
Kwa mbali nilisikia sauti za watu zikizungumza nilijaribu kutulia ili nijue ni nini kinazungumzwa. Yalikuwa ni mabishano ya watu kama watatu wote hawa walikuwa wakionekana wamedhurumiana kiasi flani cha mgawo/fedha au lolote. Nikiwa bado na wazo lile mara ujumbe ukaingia "mwanangu emmy fanya haraka rudi nyumbani kipnzi" ilikuwa ni namba ngeni ila ni ujumbe wa mama mdogo moyo ulilipuka paaaah;!!! Nikaanza kusikia zile hatua zikija kwangu nilitetemeka na nilianza kusikia mkojo unateremka maana niligundua mahali pale hakuwa salama kwangu
"eeeh mola nitazame mja wako"
Nilianza kutetemeka mkojo nao ulianza kunibana kwa woga nikapata wazo " kimbia kajifiche" nilinyanyuka taratibu nikaanza kunyata kutafuta mahali pa kujificha. Nilifanikiwa kuingia kwenye stoo yenye makreti mengi ya bia na soda, kulikuwa ni kuchafu mno kuna tandabui nyingi, nikaanza kumuomba mungu kisha nikajikunyata na kuendelea kusali "eeh yesu nisaidie kwani umesema hata nijapopita kwenye bonde la uvuli wa mauti kamwe utaniasha nikumbuke baba"
Suddenly/ghafla nikasikia sauti zinazungumza "yuko wapi huyo emmy?
" alikuwa hapa ndvyo tulivyokubaliana" alijibu francis
"Franc ebu mpigie simu" alitoa wazo juma
Sasa mkojo niliusikis ukichuruzika maana simu yangu ilikuwa hewani tena ina sauti kubwa mno. Cha ajabu alitoka panya akakurupu puuuuu nilishtuka mno nikaanza kurudi nyuma ili wasinione baada ya kusikia kuna movement watakuja na toshi, kulikuwa na turubai chafuchafu pale nililichukua nikajifunika nalo nikatulia tulii.
Kwa mara ya pili niliweza kusikia jina la bosi wao ambaye ni elibariki likitajwa kama ni mtu ambaye ndye anayesimamia haya yote, sasa ilikuwa ni kwanini anafanya haya bado nilikosa jibu. Nilipumua kwa shida sana mwishowe wakaondoka, nikatoka zangu kwa tahadhari kubwa.
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Eneo lile lilitisha mno giza kubwa lilitanda pale sikuweza kusikia hatua za watu wala magari yakipita karibu na pale, ilikuwa ni rahisi kwangu kufanyiwa kitendo chochote cha ukatili kwasababu ile sehemu haikuwa na watu karibu.
Nakumbuka masaa manne yaliyopita, nilifika lile eneo ambalo juma na francis waliniomba nifike kwa ajiri ya maongezi wakati naangalia mazingira ya pale nilianza kuogopa kidogo maana kwanza kutoka lile eneo mpaka ilipo main road/barabara kuu ni kiasi cha kilometer mbili. Cha pili ile sehemu ambapo tulifika ilikuwa ni baa ya muda mrefu(chakavu) nilikuta wateja wachache mno wakiwa wamezunguka zile meza lakini cha ajabu walikuwa hawanywi chochote nilipata tabu kujua counter ilipo maana hata umeme pia haukuwepo, kingine kilichonitisha ni juu ya mazungumzo ya wale watu walionekana ni watu wanaodeal na mambo fulani ya uharifu na pale ndio ilikuwa camp/ngome yao.
Nilitazama gari yangu nikaiona ilikuwepo kwa kitendo kile nikajua sasa nitarudi nyumbani salama, nilifungua mlango kwa tahadhari kubwa kisha nikachomeka funguo kabla sijaixungusha nilishtuka navutwa nje(kutoka kwenye gari kuja nje) nilianguka kama mzigo vuuuuupuuu "mamaaaa" nilisikia mgongo ulivyojipa nilinyanyua uso wangu nikatazama sura zao hakuwa francis wala juma ni mibaba mingine kabisa nyenye miraba minne.
,"mnataka nini kwangu" nilitoa sauti ya kulia
"Tunataka roho yako", walijibu
" msinigombanie basi roho yangu nawapa jamani" niliongea kwa ujasiri ulishanganyika na woga.
Haikuwa rahisi kusikilizwa kumbe lengo lao lilikuwa ni kunibaka na kuniua kabisa waliipandisha blaux yangu juu na kuanza kuchezea maziwa yangu kwa kunyonya kwa zamu, wakatoa madudu yao na kuanza kuyapiga piga yule mmoja alikuja na kunishika kiuno ilikunitoa suruali yangu, nilikubali kujilegeza wakati natafuta upenyo, alifanikiwa kuivua ile suruali mpaka magotini akanibinua miguu juu na kupaka mate dudu lake na yule wa pili akaniletea mdomoni(,oral sex) nifungua mdomomkononi nilikuwa na funguo yule aliyetaka kuniingilia nilishika dudu lake kama nataka kuliingiza nikabinya korodani zake kwa nguvu kikasikika kilio "haaaaaaaaaaaaaaaazZZZZ" yule mwengine nikang'ata kichwa cha dudu lake na kuchoma na ule funguo wote wakaanguka chini.
Nilianza kukimbis kutafuta msahada, kumbuka kutoka nilipokuwa mpaka main road ni kilometer mbili hivyo kwangu ulikuwa ni mtihani ila kikubwa ni kuokoa maisha kwanza maana niliasha mkoba wangu ambao ulikuwa na simu na pesa(50000) na kadi ya benk ila sikuvingalia hivyo kwanza.
Wakati naendelea kukimbia mara likaja gari kwa nyuma nikaomba msahada kama bahati akasimama nilifurahi nikaona angalau naweza kukomboka.
Safari ilianza nilianza kumuelezea juu ya kilichotokea baada ya kumuona yeye ni mtu mzuri na kweli tulifika mpaka main road ambapo kulikuwa na magari mengi. Nilimwambia ninapohitaji kwenda akaniambia atanipeleka.
Nilikuja kushangaa nilipoona ananipitisha sehemu ambayo nisingeweza kabisa kufika nyumbani nilianza kupiga kelele kumsihi anisaidie lakini akuonyesha kuwa nq wasiwasi alicheka na kunishika kwenye mapaja
"Binti siku hizi hakuna msahada wa bure na jinsi ulivyo mzuri utanisamehe tu dada"
Baada ya kusikia yale maneno nilijua tayari sipo tena kwenye mikono salama, nilianza kuwaza nifanyaje kujiepusha na lile songombingo. Nilishangaa gari likisimamishwa akatoa mkanda na kugeukia seat ya pembeni ambayo ni seat yangu na kuvuta pumzi "mmmmmhiiiiiiiii"
"Vipi umechoka? Niliuliza kwa maana yangu.
" sana aisee ndio maana nataka unipe raha nipunguze uchovu"
"Aaaha sawa yeah ni kweli inabidi nilipe fadhila lakini unaonaje ukipajua kwangu kwanza hata kama mapenzi tukiyaanza leo yaendelee kudumu" nilicheza na mind yake.
"Mmh una kwako au unaishi nyumbani? Aliuliza
" nina nyumba yangy na ninaishi alone"
"Una bwana wewe? Aliuliza kwa mshangao kidogo
" bwana nilikuwa naye ila aliyonitenda simtaki tena nataka mwanaume ambaye yupo commited" nilizidi kumvuruga sycological
"Ahaa sawa kumbe ningeharibu kukufanyia kitendo kibaya" alijihukumu moyoni
"Kwani umeoa? Niliuliza swali kidogo km nilikuwa na majibu yake maana kwa muonekano ule inawezekana ni mwenye mke na watoto wakubwa tu.
" aaaha nilikuwa na mke lakini alichonifanyia sitakaa niwaamini wanawake" machozi yalianxa kumtoka.
"Naomba punguza hisia zako basi ila unamuamini mungu na unasali dini gani? Niliendelea kumvuruga kisaikolojia
" mimi ni mrutheri ila binti una roho gani wewe mpaka nashangaa imekuwaje, naona sasa ni usiku sana naomba nikuchukulie guest ulale mimi nitalala kwenye gari" aliongea kwa huruma sana.
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
"Hapana naomba tutalala humohumo kwenye chumba kimoja nimekuamini kwakuwa nawe umeonyesha kunielewa" niliamua kurisk/kuhatarisha maisha yangu lolote na liwe.
**†******************
Nilichelewa kuamka nikawa najinyoosha tu kitandani hata sikujua nipo wapi mawazo yangu nipo nyumbani, alarm ya kichwani ikagonga taaaap nikakumbuka yaliyotokea jana niliamka harakaharaka nikajitazama, nilishangaa kwanza ni nguo zilezile nilizovaa jana nilitupa macho sakafuni yule mtu sikumuona zaidi niliona karatasi na noti za elfu kumi mbili, nilishangaa mno, nilinyanyuka na kwenda kukichukua kile kikaratasi.
Dada usiku kucha sijalala nafikiria roho iliyo ndani yako imenibadilisha sana dhamiri yangu uwezi amini nimelia sana kama mtoto, naomba nisamehe kwa yote niliyoyatamka juu yako. Ninakwenda ila nitarudi naitwa Ford namba yangu ni hii 0655085519 unaweza nitafuta pia kama tutapishana.
Kilikuwa kimemo kidogo nilikisoma nikamshangaa sana mungu na kwa simulizi ile nikimwambia mtu awez kuniamini kama kwenye chumba hiki nimeashwa salama.
*********
UPANDE WA PILI.
baada ya mr ford kutoka pale guest alianza safari ya kurudi kule mbwabwe sehemu alipokutana na yule binti ule usiku wa manane, ni umbali mrefu unachukua takribani lisaa na nusu kufika uko, ila hatimaye akafika.
"Zunguuu niambie" ford alijulikana kwa jina la zungu kutokana na weupe wake.
"Jamani lile gari ni la nani? Aliuliza ford
" bwana bwana zungu kuna mdada mmoja jana katukimbia usiku wa manane boss anamuitaji sana yule dada maana inasemekana alikuwa mtu wa boss lakini boss anahofia michongo yake binti atamchoma hivyo anataka hampoteze, sasa hiyo jana alichotufanyia yule mwanamke mshenzi hasaaa hapa ndugu yangu babu hali yake sio mbaya" aliongea moja ya vijana mhalifu.
"Sasa hapa sio salama kabisa kuendelea kukaa kama inawezekana tuondokeni maana polisi muda wowote watatia maguu, ebu nipe funguo ya ilo gari niangalie oil na mafuta" aliongea ford/zungu huku anapokea funguo
"Aisee zungu yule mwanamke mwisho sasa ngoja nimuamshe babu tuamshe maana tulikuwa tunamsikilizia bosi tu hapa"
Mr ford aliona ule ndio ulikuwa upenyo wa kutoroka na lile gari, alipoangalia kwenye dashboard akakuta simu mbili, pochi ya kike ndani yake kulikuwa na pesa na funguo nyingi pia na vipodoz vya kike "anhaaa sawa hapa naweza kwenda maana oil kila kitu kipo poa"
*************
UPANDE WA EMMY.
Baada ya kumaliza kuoga nilikaa kitandani nawaza jinsi ya kutoka pale guest tayari ilikuwa saa tatu na busy asubuhi. Usoni sikupaka mafuta wala make up yeyote nikawa nawaza nitaondokaje pale mara mlango ukagongwa.
"Mmmh wenye vyumba wanataka chumba chao mmh ngoja nivae viatu niwaachie room yao" nilijisemea baada ya kuvaa viatu nikaenda kufungua mlango sikuamini macho yangu kumuona yule ford akiwa na pochi yangy mkononi na simu zangu.
"Habari yako dada* alisalimia kwa bashasha
" jamaniiiii salama pole na asante jamaniii yani sina cha kukuripa mungu akusaidie" nilikuwa ni mwenye furaha mnooo
"Shukrani ila nimepigiwa simu na bosi wangu nikwenda kufata mzigo mimi ni dereva wa kampuni ya gsm naomba niende ila tutakutana mungu akipenda"
Aliongea na kuanza kunyanyuka kisha akageuka
"Nilitaka kusahau gari nimepaki hapo kulia nimeshaweka mafuta nakutakia siku njema.... No no no nimesahau unaitwa nani?
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
" jamani hizo haraka mpka utaki tujuane naitwa emmy nakaa kijichi ccm ukifika pale ulizia kwa dada emmy muuza ubuyu"
"Kheee kumbe ni mjasiriamali mkubwa hivyo najua kwa umaarufu huo sio ubuyu huu ninaouna ukiuzwa mtaan" alitania
"Kidogo hivyohivyo kaka yangu"
************
Nikiwa ndani ya gari nilikuwa nawaza mno juu ya yule mtu ndipo nikamkumbuka kaka rafiki nikaanza kuandika namba zake maana nimezikariri kichwani wakati nataka kubonyeza call simu ngeni ikaingia.
"Hello emmy harakati zako nimezielewa nakupa siku tatu uache hizo harakati la sivyo nitakuua" ilisikika sauti nzito upande wa pili.
ITAENDELEA
0 comments:
Post a Comment