Search This Blog

Thursday 19 May 2022

FUNDI CHEREHANI - 3

 

Chombezo : Fundi Cherehani

Sehemu Ya Tatu (3)




Nilikata simu huku nikitamani aje fasta ili niende nikajilie vyangu.... Nikijiangalia kwenye suruali ilikua imevimba kwa nanii yangu ilivyosimama barabara kabisa, kisa imesikia mlo mpyaaa.... Sasa nilichokifanya kwa muda huo ni kumpigia mke wangu simu ili asilete chakula huku shambani, mana nakwenda kula vitu adimu


CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/


"Eeeeee mke wangu,... Leo nimeona nisikusumbue sana na jua"


"kwani kuna nini"


"aaaaaaaa nataka leo nikale maembe huko chini, hivyo naomba usilete chakula"


"heeeeee, sasa kwanini usiseme toka saa hio, mana mie nakaribia kufika shambani"


"Ati Nini????... Aaaaaaaahhhhh ona sasa ushaaribu mipango yangu, aahh, watu msiopendwa sijui mpojeeee"


Sasa nikajikuta naropoka tu kwa hasira zangu


"nimeharibu mipangi gani"


"ah ah hamna ulichoharibu"


"umeanza eee?"


"nimeanza nini"


"unajua mwenyewe..... Afu leo nikija nataka nikuseidie kulima mpaka tuondoke wote jioni"


"mschiuuuuu Nyoko wewe"


ENDELEA.........


Nilikua nina hasira mno kutokana na mke wangu kupenda kunibanabana, mi nimemuambia asije afu kaja,.... Daaahh sasa ishu yote imeharibika kabisa yani.. Muda huo nilishamkatia simu kitambo tu, sasa nilikua natafakari mpango mzima wa kufanya ili nisilikose hili jambo, Sasa nikiwa natafakari jinsi ya kujipanga, mara simu yangu iliita, kucheki jina alikua ni mke wangu....


"halooo, Enhee unasemaje"


Nilimuuliza huku nikiwa na hasira za hapa na pale,


"nilikudanganya, mie nipo nyumbani, afu ndio kwanzaa nafua"


"kwaio kama sio maembe huku, chakula ningeletewa na nani"


"si nilikua napika, sasa uliposema huji, ndio nikaanza kufua sasa"


"aaaa Oooke poa basi baadae"


"haya"


Nilianza kutabasam baada ya kukata simu, sasa ile nakata tu mara ikaita tena, kucheki jina alikua ni mama Mariamu


"eee halo"


"njoo basi nawewe mbona ivooo"


"kwani we upo wapi"


"mi si nakuona upo hapo shambani"


"ndio nipo hapa shambani, ila wewe upo wapi"


"nipo hapa bombani"


"aaaaa sasa kwanini usije huku"


"akuu namuogopa mkeo"


"ok poa basi.. Nakuja sasa hivi, but tangulia ili hao wambea wasije leta longo longo"


"poa"


Basi tulikata simu kisha nikamuona kweli akitangulia kuelekea kwenye kabarabara fulani hivi, nami nikachomeka panga hapo shambani pamoja na jembe, ili hata mke wangu akija akute vitu vipo, ili aamini kweli nimeenda kwenye maembe, Nilimfata nyuma nyuma huyu mama Mariamu, mpaka nikamkuta maeneo flani hivi chini ya muembe, alikua akinisubiria, mana si nilimuambia atangulie kwanza ili wanafiki wasione kitu, Nilipomkaribia mdada huyu alinirukia kwa furaha, huku akinikisi kwa spidi ya bila kikomo,


"nini wewe"


"Kiukweli nina furaha isio ya kifani, kwani toka tujuane mimi na wewe, nimekua mtu wa furaha muda wote"


"ok, twende basi"


Basi tuliiyanza safari ya kuelekea kwao mana gesti za hapa mjini haziaminiki, sasa mie nilikua kwa nyuma then yeye alikua kwa mbele, maskini ya mungu mtoto wa watu nilikua napata shida sana, mana huyu dada alikuja akiwa kakatia kanga na chupi tu, hivyo alikua akinitesa mpaka nikamsimamisha kwanza,


"nini dikii"


"uko kwenu nahisi ni mbali aisee kama vp tumalize humu humu kwenye mahindi"


"mmh mmh bwana mie sjazoea kunanii vichakani"


Kulikua kuna vimsitu vya mahindi, vilivyotanda na kusababisha kagiza giza fulani hivi mbele yetu, nilimminya makalio yake huku nikimchoma kifua chake kwa kutumia ndevu zangu, kiukweli hata yeye vilimsisimka lakini hakutaka tufanye hapo...


"dikii mi staki bwana, twende kwetu ukainjoi"


"amna bwana kwenu mbali"


"no diki mbona tumeshafika tu, ni hapo mbele tuu"


"staki bwana nipe kimoja hapa hapa"


"ok, lakini skupi ile kitu yako"


"aaaaaa sasa ni mambo gani ayo"


"basi twende nyumbani ili nikakupe"


Nilijikuta nikikubaliana nae, huku nikiwa na furaha, kisa tu ni 0714,... Basi tuliendelea na safari yetu, huku tukiwa tumeshkana mikono, hadi kufika maeneo yakwao.....


"ngoja nimuangalie mama kakaaje"


"booo, kumbe unaishi kwenu, aaaa sasa mbona utanitaftia matatizo mama"


"sikia diki, mimi bado sijaolewa, ila nina mtoto kama nilivyokwambia, na pia nitaenda wapi na wakati kwa mama kuna kila kitu"


Aliongea hayo huku akiwa anatoa sauti ya utaratibu kabisa ili tuende sote ndani kwao, kweli alimuangalia mama yake huku na kule, alionekana katoka, sasa mie nikaingia moja kwa moja hadi chumbani kwake huyu dada, kisha akanikalisha kitandani huku akinambia


"ngoja nikuletee chakula, mana una njaa wewe"


Nilitamani akilete chapu chapu mana ni kweli nilikua nina njaa ya ukweli, basi mtoto wa kike alileta wali na samaki, nami sikuukawiza niliupiga vizuri sana,


Baada ya kumaliza kula, mtoto aliitoa sahani kwa uoga wa kua ataonewa na mama yake,...


Muda si mrefu alirudi na kunisukuma kitandani kisha akaja juu yangu huku akiitoa ile kanga yake,


"vp nivue na chupi"


Aliniambia hivyo huku akiitupa kando hio kanga yake,


"no usivue"


"unajua diki leo nina mzuka sana"


"we tulia nitautuliza tu huo"


Tulianza kunyonyana denda huku kila mtu akikishika kiungo cha mwenzi wake


"iv diki, kwanini unapenda kufanya kinyume na maumbile"


"ah swali gani ilo sasa"


"no, naomba tu unijibu"


"ok, mi napenda tu kwasababu nako kuna utamu wake"


"mmhhh sasa mie sijawahi sasa itakuaje"


"jitaidi tu unipe angalao hata kimoja tu cha huko"


"mmhhh, kwani vinauma sana"


"mmhhh mi sijui sasa, ila haviumi"


"mmmhhh mwaya mi naogopa bwana utaniumiza"


"wala tu, sema ni uoga wako tu"


Nilikua nikiendelea kumshawishi mdada huyu au mama Mariamu, Kiukweli nilikua nina hamu na sehemu hio mana nina muda sijagusa, toka kipindi nilipokua tajiri, na mpaka sasa yapata mwaka hivi toka niache uchafu huuu.... Sasa nimekua mtu wa kukumbuka kula mara nionapo kalio kubwakubwa lenye kuvutia, yaani yale ndembe ndembe kanga moja, hua nikiona tu hivyo naweweseka kuipata sehemu hio,......


Niliendelea kumshawishi, mama Mariamu mpaka akakubali kunaniii huko, mtoto wa kiume kuskia hivyo mzuka ulinijaa mpaka nanii yangu imesimama kwa haraka mno,...


"skia mwaju, kwani huna hata mafuta malaini laini hapa kwako"


"heee mwanamke mzima nitakosaje mafuta"


Basi mwaju au mama Mariamu aliamka na kwenda kwenye kimeza chake na kuleta mafuta ya rosheni fulani hivi, kisha sikutaka kuchelewa wala nini, niliianza shuhuli huku mwaju akiwa anasumbua mno, mana ni kweli ilikua ndio mara yake ya kwanza kufanya kitendo hicho, hivyo simlaumu sana, Mafuta tuliyapaka lakini ikawa bado tu, yaani nikinanii nanii yangu, ilikua ikijikunja kunja, kana kwamba maeneo hayo yalikua ni mapya kwa tendo hilo, mwaju alikua akilia na utu uzima wake wote alishindwa kuvumilia kilio hicho, mana kila nikiingiza mwaju alikua anaruka sana, kila muda tulikua tukipakaa mafuta hayo ili tuweze kulainika,..... Nilivimba nae utafikiri kilikua kitu cha maana sana kumbe ni ujinga tuuuu


Hali sii hali nilifanikiwa kuipenyeza mahali husika, lakini mwaju alikua mwekundu usoni kwa kulia, kwani hata mwili wake ulibadirika rangi na kua mwekundu,... Sasa wakati huo akiwa analia tu mie nilikua nimemminyia kwa chini nikiendelea kula vitu vyangu, aiseee mwaju alikua ni mdada wa makamo yani mie anaweza kua mdogo wake hata wa tatu, lakini alikua akilia kama mtoto mdogo vile.. ... Sasa nikiwa naendelea kushuhulika, mara niliskia sauti


"we mwaju una nini huko"


Mungu wangu, nilishtuka mpaka uume wangu ulilala, na wakati huo bado sijapizi hata bao ila mlango ulikua tayari umeshatolewa kufuli,


"we mwaju, huyo anaekuuliza ni nani"


Nilimuuliza mwaju kwa utaratibu mzuri


"ni mama angu"


Mwaju alinijibu huku akiwa analia kabisa


"we mwaju, una nini lakini"


Mama yake aliuliza tena huku akigonga mlango kwa hasira,


"mwaju, itakuaje sasa dada angu"


Nilimuuliza huku nikiwa nimejawa na uoga kila mahari, nikicheki nanii yangu imesinyaaaaa kwa uoga, yaani hata iweje haisimami ng'o,


"mi sijui kitu, mana hapa nilipo hata kuamka siwezi"


"mungu wangu mwaju unaniletea balaa jamani"


Mara yule mama akagonga tena mlango


"we mwaju hebu fungua bwana"


"mama naumwa na tumbo tu usijali"


CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/


Alimjibu mama yake hivyo huku akilia kwa maumivu makali anayo yapata


"sasa si ufungue nikupeleke hospitali"


Mtoto wa kiume ujanja wote kwisha nilibakiwa na uoga tu. ....


"lakini mwaju, kwanini unilete kwenu jamani"


"lakini mi nilijua mama kaenda huko kwenye sheria zake"


"sheria gani bwana we muongo tu kunileta hapa"


"diki, mama angu ni mwana sheria wa kujitegemea, sasa mie nilijua hayupo"


"uuu..... Uuuuuuu..... Unasemaje"


"mama yangu ni mwana sheria wa kujitegemea"


"mtumeeeeee, Eeen mungu wangu eee, nishapotea mie, yaani naziona nondo zileeeee"


"nondo gani sasa"


"unauliza ni nondo gani? Ngoja aje ataje hivyo vifungu vyake vya sheria uone kama nitakosekana"


"we mwaju, kwahio hufungui si ndio"


Aliuliza huyo mama yake huku akigonga mlango... Kisha mwaju akamjibu kua


"mama naumwa na tumbo tuu usijali"


"mimi naona hunielewi, sasa ngoja nikamuite juma"


Sasa huyo mama Aliposema hivyo, nikamuangalia mwaju na kumuuliza,


"huyo juma ni nani"


"ni mwanajeshi mmoja hivi anaishi pale juuu"


"mmmmhhh ningejua ningekuja na samaki wabichi humu"


"samaki wabichi wanini sasa"


"eeenn we hujui kua huyo mwanajeshi akija si ataniambia nitafute samaki humu"


"lakini ni mzee sio kijana"


"weeeee mwanajeshi ni mwanajeshi hata awe kubabu wewe, hebu kafungue asije akamuita huyo juma"


Kiukweli mwaju hakua akiweza hata kutembea, mana alikua akitetemeka miguu yote....






Muda huo mimi mwenyewe nilikua nina wasiwasi juuu ya kufumaniwa, mbaya zaidi kumbe mama yake ni mwana sheria, yani akiamua kunifunga huyu mama ni kwamba nazamia gerezani mazima, na pia woga wangu ilikuepo pale nilipokua nikimuwaza mke wangu, je kama nitapata kesi kama hii, mke wangu ataishije, mana nampenda sana nayeye hapendi kunikosa katika maisha yake, niliwaza sana huku nikimuona mwaju akijikongoja kwenda kufungua mlango ili huyo mama yake aingie, aliwahi kufungua mlango na kumuita mama yake aingie, wakati huo mimi tayari nilishaingia uvunguni saa nyingi sana, nikiwa nipo na nguo zangu, nilikua nimevaa suruali tu, bado tisheti, japo zilikua ni za shambani lakini hivyo hivyo tu, basi yule mama alipoingia ndani alikaa kitandani na kumuuliza mwanaye kua,


"nini shida mwanangu"


Nilikua nikiangalia muguu ya mwaju ilikua ikitetemeka kwa maumivu ya hali ya juuu mno, mana sikumuingilia katika njia za kawaida, bali nilifanya ufuska wa kutisha katika mwili wa mwaju, na sehemu hizo kwangu zinakuaga tamu sana na nazifurahia mno, waliongea kidogo tu kisha yule mama akamchukua mtoto wake na kuondoka nae, mimi nikawa nimebakia humo ndani peke yangu, nilikua bado nipo uvunguni huku nikiwa muoga wa kutoka, mara simu yangu iliita, kucheki alikua ni mwaju, Nikaipokea fasta kisha nikaanza kumsikiliza kwa makini


"haloo sheby, plz mdogo wangu anakuja hapo kukuchukua ili utoke zako sawa"


"ok sawa, ila we upo wapi"


"nipo hospitali nafanyiwa vipimo"


"mungu wangu, sasa mama yako akijua je"


"hawezi jua, na kuusu hilo we usijali". "mmmmh sawa"


Sasa kabla sijamaliza kukata simu mara mlango ukasukumwa, mana si ulikua wazi tu, nilikata simu kisha nikatulia japo niliambiwa kua mdogo wake atakuja kunitoa humu ndani, nilikua naona miguu tu, mara akawa anaongea na simu,


"dada mbona hayupo"


"mmhhhh jamani hanifa hebu angalia vizuri"


"au atakua kabatini"


"alikua mvunguni"


"ooohh ok sawa basi"


Walikatiana simu kisha yule mdogo mtu akachungulia uvunguni na kuniona, kisha akaniambia,


"nimeagiziwa nije kukuchukua"


"sawa"


Muda huo nilikua sina imani saana kama ni kweli ila huu ndio mwanzo na mwisho kuja kufanya mapenzi kwenye nyumba za watu,,


Nilitoka kule uvunguni na kumuona vizuri yule dada..


Alikua ni mja mzito wa miezi kama nane hivi, kana kwamba hana muda atakwenda kujifungua,....


"mambo"


Nilimsalimia huku nikiwa nimejawa na uoga wa hali ya juu,.


"poa tu.... Heeeeeee wewe si yule fundi wewe au?"


Sasa huyu dada akawa ananiangalia mimi sana mpanga nikawa naogopa mno, afu alionekana anatoka kulala mana alikua ana kanga na chupi afu alikua ana uchovu uchovu wa usingizi hivi....


"wewe ndio nilietumwa kuja kukuchukua au kuna mwingine"


Nilishindwa kumjibu, mana dada yake ni mkubwa kwangu, tena ni mkubwa haswa sema umbo limembeba sana pamoja na uzuri aliokua nao


Sasa nikimuangalia vizuri nilikua naona chupi ya hanifa, mana alikua kakatia kanga tu...


"ndio mimi"


"mmmmhhh maakubwa"


Aliongea hivyo huku akiangalia kwenye kitanda na kuona mafuta aina ya bebi kea,


"heeeee na haya mafuta yalikua ni ya nini"


"si nilikua nae humu"


"ina maana wewe ndio umesababisha mpaka aende hospitali"


"hapana sema alikua hajiskii vizuri"


"ok, twende"


Kiukweli nilijikuta nikitamani umbo la huyu mwanamke na kutamani hata tufaamiane


"samaani dada, sio mbaya kama tukifaamiana mamy"


"sawa tu, sjui unaitwa nani, mana nakuonaga tu pale ofisini kwako"


"naitwa sadiki,"


"ok, nashukuru kukufahamu nami naitwa hanifa"


"jina zuri then umzuri sana mamy"


"mmmmhhh kushinda dada yangu"


"kabisa"


"mmmmhh haya asante"


Mtoto wa kike alikua akitembea kwa kujikongoja kiaina huku akitabasam....


"sasa, uwe unakuja basi pale ofisini kwangu hata tupige story mbili tatu"


Niliongea hivyo huku nikimkodolea macho katika mapaja yake, ambayo hakuyavalia hata taiti, bali alikua ana chupi flani ya pinki.....


"usijali nikipata nafasi nitakuja"


"njoo leo bwana"


Alikua ni mzuri na ana umbo maeneo flani hivyo ilinivutia mimi kua nae na sintojali hio mimba yake.....


Niliona anaweza asije, hivyo nilimuomba namba zake za simu kisha nami nikampa zakwangu na kuianza safari ya kuelekea shambani kwangu ambako niliacha jembe na panga kama kisingizio cha kwenda kula maembe, kumbe hakuna cha maembe wala nini...... Nilifika shambani na kuchukua zana zangu za kazi kisha nikarudi zangu nyumbani.....


BAADA YA SIKU HIO KUPITA


Na leo ni siku nyingine tena ya juma tatu, nikiwa nipo zangu ofisini nikiendelea na majukumu mengine ya kikazi, muda huo sikua na kazi yeyote ilionibana, hivyo nilikua nikiangalia tv huku nikichat wasap


Mara gari kali ilisimama mbele ya ofisi yangu, na kushuka mama mmoja ambae ni mara ya pili kumuona, na aliniachiaga kazi yake juzi tu, nami nimeshazimaliza kitambo tu


"shkamoo mamy"


"usijali mwanangu, ujambo"


"sijambo.... Ahhh mama zile nguo nadhani tayari sasa ni wewe tu kuzilipia"


"ok nashukuru sana kijana kwa kuzimaliza mapema japo watoto hawakwenda shule leo kwa ajili ya hizi nguo"


"ok nadhani kesho watakwenda sasa"


Mama alijipapasa katika koba lake na kutoa pesa nyingi kuliko nilizotaka mimi.. Mana mimi nilitaka elfu kumi tu, lakini katoa laki moja, nikapatwa na wasiwasi na kudhani kua, labda ana nguo zingine


"mama umezidisha pesa mama angu"


"hapana sijazidisha, bali nimekupa tu na kama hutojali naomba tukapate kinywaji hapo mbele"


"mmmhh mamy labda tufanye kesho tu"


"hapana bwana twende mara moja tu"


Siku hio sikua bize sana, mana nilishamaliza kazi za watu hivyo nilikua free kwa kiasi flani hivi, Kwa wakati huo sikutaka kumjulisha mke wangu kua labda kuna mahari nahitaji kwenda, hivyo nikajiamulia tu mana ni kwenda kupata kinywaji tu, niliamka hapo na kurudishia mlango tu, wala sijafunga na kufuli...


Nilipanda kwenye gari na kuondoka pamoja na huyo mama,.... Huyo mama alikua ni mzuri kiasi flani hivi, maana alikua na hipsi na umbo utafikiri ni mschana vile, kumbe ni mama na mitoto yake,


"naitwa zaituni ukipenda niite mama Kevin"


"ok, mimi naitwa Sharbiny ukipenda niite sheby"


Nilidanganya kutaja jina hilo japo ni jina ambalo ni langu kwa upande mwingine, ila mama yangu ambae ni anti mwaju alinambia jina la Sharbiny ni la babu yangu kwa yule mama wa kiarabu, hivyo anti mwaju alinambia kua jina langu halisi ni Sadiki, hivyo Sharbiny ulitumie tu ila sio la kweli..... Japo ni jina langu lakini nilionekana kumdanganya mana halikua official name,


CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/


"ok, mie pia nashukuru kukufahamu"


Aliongea hivyo huku akiingia kwenye Lodge flan hivi,


Tulishuka na kuelekea ndani ambako tulikuta watu wengi wakipata huduma ya chakula, tuliingia kisha tukakaa meza moja na yeye huku tukiagiza vitu fulani fukani....


"nipe redbull na nusu kuku"


Niliongea hivyo huku nikiwa nina shauku ya kuvila vitu hivyo,... Weita alileta mahanjumati mazuri, sikutaka kujua alichokua akikila mana sielewi elewi kwa wakati huo, nilikua bize na kuku niliomuagiza......


Ilifika muda mama Kevin kaanzisha maongezi yake flan flan hivi,


"nataka tukimaliza kula tukapumzike au?"


Nilishangaa na kutoa macho kwa kumtizama yeye


"tukapumzike? Tukapumzike kivipi tena"


"afu mi spendi maswali ya ajabu, inamana ukiambiwa kupumzika hujui maana yake"


"mmmhhh, lakini mamy, mbona mie sio saizi yako"


"weeeeee, weeeee, tena nyie ndio wazuri kuliko hata wazeee"


"mi staki mamy"


"acha ujinga boy, nitayabadirisha maisha yako kua mazuri"


"hata kama, lakini siwezi kwasababu wewe ni mtu mzima"


Alisachi mkoba wake na kutoa kibunda cha pesa nyingi mpaka nikakosa ujasiri na kuanza kuzitamani...


"hizi ni zako zote, na huo ni mwanzo tu, kazi kwako mwanangu"


Katika sura nilionekana kukasirika lakini moyoni nilishazipigia maesabu ya kuzifanyia kazi flani endapo nitazipata...


"lakini mamy"


"lakini nini mwanangu? Nakupenda na nataka uwe mpenzi wangu wa milele na staki uwe na mschana aina yeyote yule, na pia nipo tayari kukugharamikia kifedha... Please naomba unikubalie"


"ahhhh unajua nini mamy"


"sitaki kujua............. Weitaaa? Weitaa? Weitaa"


"nakuja boss"


"vyumba vipo?"


"ndio vipo"


"ok, hebu niandalie kimoja sasa hivi"


Heeeee nilitoa macho na kuwaza kua, je nitawezaje kumgalagaza huyu mama, japo sio mnene lakini ana umbo zito zito..


"sheby, nini shida baby wangu, au nikuongezee pesa"


"pesa sio tatizo mamy"


"staki uniite mamy tena.... Kwani una Tatizo gani baby"


Nataka nimuambie nina mke, mana asije akaniona nae siku mwisho ikawa shida, sasa naogopa pia kusema afu nampenda sana mke wangu......... Sasa sijui nifanyeje


"sasa kama ulivyosema hutaki kuniona na mpenzi, je?"


Kabla sijamaliza kusema akadakia


"yaani endapo nitamuona, ama zake ama zangu"


Niliposkia tu hivyo moyo ulinipasuka paaa, huku nikimuwaza mke wangu.... Sasa sijui nimuambie ukweli juu ya mke wangu? Au nitulie tu..






Nilianza kua na wasiwasi juu ya mke wangu, afu ukiangalia pesa bado naitaka tena naitaka haswaaa, ilinibidi nitulie tu juu ya swala la mke wangu, ila itanibidi niwe makini nae japo kisiri, mana ndio pesa zinavoingia hivi, sasa ukiziacha ujue ndio maisha yanajongea hivi,..... Muda huo waiter aliambiwa akaandae chumba, hivyo nami nikajua tu hapa lazima tukavunje amri ya sita na huyu mama,... Basi tuliendelea kupiga story nyingine huku tukipata kinywaji na nyama juuu, sasa kwakua toka nizaliwe sijawahi kufanya mapenzi na mwanamke mtu mzima, hivyo nilimuamuru waiter aniletee redbull iliochanganywa na konyagi ndani yake, mana sijazoea kutembea na mijimama ya mjini kama hiii, kwahio huyu mama usije ukamringanisha na yule mtoto wa wakili mama mariamu, mana mama Mariamu kwa huyu mama ni sawa na mama yake tu japo nae alikua ni mkubwa kwangu..... Kinywaji kilikuja kikiwa safi kama nilivyokiagiza, nilikinywa huku nikifumba macho mana mimi sio mnywaji wa pombe kabisa, bali ni kwaajili ya kujitoa ufahamu juu ya huyu mama mtu mzima,


"mbona unafumba macho, au kinywaji kimeexpaya nini"


"wala tu, ni mapozi yangu tu"


Nilimdanganya kihivyo huku nikiendelea kunywa kinywaji hicho, ilipofika mida ya saa 10 na nusu jioni.... Tukiwa ndio tunamalizia kula nyama ili tuingie uwanjani, mara weiter alikuja na kumuambia yule mama kua....


"boss chumba kipo tayari"


"ok asante na tukitaka kwenda tutakuambia tu"


Sasa yule weita aliniangalia, kana kwamba kama ananifurahia vile, ila sikumfatilia sana, muda huo mezani kulikua kuna kama laki tatu hivi alizonipa huyu mama mida ile wakati akinibembeleza nikubali kua mpenzi wake,


"sheby, twende basi mpenzi wangu"


Aliniambia hivyo huku akiniminyia jicho moja kuashiria tayari keshalegea kwa vinywaji, lakini mie nilikua nina wasiwasi juu ya mapenzi hayo kwa mtu mzima huyu, nana kuona nyeti ya mtu mzima mmmhh yataka moyo, lakini nikivuta kumbukumbu zangu za nyuma nilikumbuka kua nilishawahi kutembea na shangazi, kipindi kileeeeeeee nipo shule.... SECONDARY SCHOOL nilitembea na shangazi tena kwenye bustani yake,....


Basi tulimuita waiter na kutuongoza katika chumba hicho ambacho yeye alikiandaa kwa ajili yetu, na hotel hio ilionekana kua ya hadhi ya juu mno, mana kwenda kwenye hicho chumba tu unatumia lifti, wakati huo nilikua nazo zile pesa katika rasketi yangu,... Tulipanda mpaka juu ya gholofa ambako ndipo chumba hicho kilipo, tulipofika waiter yule ambae ni wakike, alitufungulia kisha yule mama akatangulia kuingia nami nikafatia nyuma, sasa nikiwa namalizikia tu kuingia, yule waiter alinishika mkono kisha akanipa pakti ya kondom, daaahh asee nilimshukuru huyu dada, mana wazo la kutumia kondom sikua nalo kabisa, hivyo nilikubali kuzipokea zile kondom, afu mtoto akanikonyeza, sasa baada ya kunipa pakiti hizi yeye akaondoka zake nami nikafunga mlango, hisha jimama likajibwaga kitandani na kufanya gauni lake liruke juu na kuacha mipaja yake yote ipo wazi, niliangalia pembeni kwa aibu, mana yalikua ni mapaja ya kiutu uzima hivyo woga lazima uwe nao kiasi flani tena ukizingatia Ndio kwanza unaanza nae kimapenzi, sikutaka kujivuta mpaka anistukie kua nina kauoga flan hivi, nilivua nguo zangu na kubakiwa na boxer tu, kusha nikawa naelekea bafuni ambako kuna maji ya kuoga, sasa aliponiona naelekea huko afu nina boxer alinyanyuka na kusema kua


"ngoja nije tuoge wote baby"


Daaahhh nilikua naitwa baby na limama jitu zima, basi niliingia kwenye jacuzzi la kuongea kisha nikafungulia maji ya uvugu vugu kiasi, mara naye akatokea huku akiwa kavaa chupi tu, tena ilikua chupi ya mistari myekundu na myeupe, halafu juu kakatishia kanga, kana kwamba hata sidiria hana, basi alipofika karibu yangu aliiachia kanga ile kisha nae akapanda juu ya jacuzzi kisha tukawa tunaoga wote, wakati huo nanii yangu ilikua imesimama, tena na vile ilivyo na urefu kuasi ilikua inauma kwa kujikunja, mama alikua akiishika shika kwa juu huku akifurahia kwa kile kitakachotokea juu ya kitanda, basi tulitoka juu ya jacuzzi lile kisha tukajisuuza na bomba la mvua huku nikiyaona matiti ya mama huyu pamoja na tumbo lake lenye kitovu cha kishimo, tulipomaliza kujisuuza, mama alianza kuishusha boxer yangu taaratibu huku kama akiniogopa, afu na yeye akaniambia.


"nivue basi na mimi"


Yani anataka tuende sawa kwa kile akifanyacho kwa muda huo, na nikaishika chupi yake ambayo ilikua imemganda mwilini mwake kwa ajili ya maji, mama alikua kajazia mpaka raha, sasa mama alipofikia kuona shina la nanii yangu akaacha kuvua boxer, akanisogelea karibu kisha akanishika kiuno changu na kunipa denda la nguvu, mwanzo alipoacha niliogopa na kujiuluza, labda atakua kagundua nini mwilini mwangu, lakini hakukua na chochote kile zaidi ya furaha moyoni mwake, wakati huo ile kinyagi iliochanganyiwa kwenye redbull ilikua imeshaanza kufanya kazi kichwani hivyo hata aibu aibu juu ya huyu mama zilikua zikitoweka taaratibu, huku nikiyakumbatia makalio yake makubwa, na mipaja yake ilikua ikiigusa nanii yangu... Mama alipomaliza kuninyonya mate, aliniachia kisha akaendelea kunivua bixer huku nami nikifanya hivyo, mama alikua ana cheni ya gold ilioizunguka kiuno chake, mama aliivua boxer yangu mpaka kwenye mapaja, nami nikaivua chupi yake, macho yangu yalikimbilia kuiangalia nanii yake kama jinsi ilivyo kawaida ya sisi wanaume


Sasa nilikua naangalia nanii ya mama, lakini ilikua ikizuiwa na mapaja hivyo sikua nikiiona vizuri, ila uwanja wake ulikua ni msafi mpaka raha yani, Tulimaliza kuvuana chupi zetu kisha kila mmoja akaanza kuifua chupi ya mwenzie, wakati huo mimi nanii yangu imesimama, yule mama mwenyewe alikua akiiyangalia kila saa kana kwamba anaitamani kwa udi na uvumba, mtoto wa kiume nilimaliza kuifua chupi ya mama kisha nikaisuuza na kuianika katika chuma flani kilichopo hapo hapo bafuni, na yeye pia alifanya hivyo hivyo ile boxer yangu, baada ya kumaliza mama alinibeba mgongoni huku wote tukiwa uchi wa mnyama, hakuna aliekua na aibu na mwenzake,... Tulipofika kitandani tulijibwaga kisha tukaanza kudendeka juu ya kitanda hicho, mama alianza kuitoa miguno ya kutaka kupizi huku mimi nikiendelea kucheza na mwili wake, aibu zangu zote zilifunikwa na konyagi ile iliichanganywa kwa kile kinywaji changu, nilicheza na mwili wake ndani ya nusu saa zima, mama yupo hoi bi taabani, nikimshika huku maeneo yake, mmmnhhh palikua pakiteleza kana kwamba alikua keshakojoa tena sio kimoja, mama alikua akijiskia raha pindi niingizapo vidole vyangu katika nanii yake... Sasa baada ya kuona mama keshakua bamia, niliamka na kuzichukua zile kondom, sasa nikiwa napasua pakiti moja, mama alisikia ule mlio wa ile pakini jinsi nilivyokua napasua,


"sheby unafanyaje"


Aliamka huku akiuliza hivyo, nami nikamjibu kwa kujiamini, mana najua atakifurahia kwa kujikinga na afya zetu


"tujilinde mama"


"Ati nini? Hio ni kitu gani hio, hebu tupa huko bwana"


"mamy, tutumie hii kwa afya zetu"


"kwahio huniamini mimi si ndio?, mbona mimi sikuwaza kuvaa kondom"


Aliichukua ile kondom na zingine kisha akaenda kuzitupa chooni.....


Alipokuja alinikuta nimekasirika, nilikua nimevuta mdomo.


"skia sheby, Kiukweli mimi spendi kufanywa na kondom"


"mimi napenda"


CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/


"mimi spendi"


"mimi napenda"


"mimi spendi"


Sasa tukawa tunabishana kama watoto ndani ya chumba hicho, wakati huo hata nanii yangu ilikua imelala kwa hasira, mana je kama hili limama lina magonjwa itakuaje, na mimi bado nampenda mke wangu, kwanini nipeleke ugonjwa nyumbani,


"skia sheby, naomba unifanye kavu kavu, na kama tatizo ni pesa, sema nikuongeze lakini suala la kondom kwangu sahau"


"basi na mimi staki"


Nikaamka ili kumtishia kwa presha ndogo ndogo


"please sheby usinifanyie hivyo mama ako eti, eee?, naomba wazo la kuvaa kondom uache, nipo tayari hata kukununulia gari lakini kondom staki.... Ebu ona ulivyo na mbo....... Nzuri leo uivalishe kondom si utaninyima raha mtoto wa mwenzio... Eti baba umekubali?"








Nilikua natamani kukubali mana nikiliachia tu hili limama lenye pesa zake, basi nitakua nimekosa mpangilio mzima wa kupata pesa, lakini papo hapo nami nikajifikiria kua, kama yeye ana msimamo wa aina hio,


"kwanini na mimi nisikaze but kukataa" Nilijisemea hivyo huku nikihisi labda ataniacha, lakini Kiukweli sikutaka kufanya nae mapenzi bila kinga, mana hujui ana gonjwa gani na pia sio mwisho kusex na mke wangu, lazima nitasex nae, sasa je kama huyu mama ana migonjwa yake uko itakuaje,.....


Niliona na mimi nitie mgomo mpaka akubali, tena hapa ndio nimempatia kweli mana tayari nimeshaanza kumuonyesha utamu wangu, hivyo hawezi kunikataa katu maishani mwake, mana mijimama nayo inapenda kijana wake awe na uume mrefu kiasi na wenye afya, kisha awe na nguvu na utundu wa hali ya juu, vyote hivyo keshaviona kwangu, Nilishuka kitandani huku nikichukua bukta yangu, na kuivaa hapo hapo akiona


"jamani mbona unavaa sasa sheby"


Ukumbuke kua mie naitwa sadiki ila sheby ni jina langu la zamani so nimelitumia kwa huyu mama, hivyo hatojua jina langu halisi naitwa nani labda asikie kwa mtu,


"sikia mamy, mi nahitaji tutumie kondom laa sivyo naondoka zangu"


Nilivaa suruali yangu na shiti, kisha nikamuacha pale chumbani, tena nilimuacha na zile pesa zake alizonipa ili ajue kua sio yeye tu ndio mwenye msimamo, bali hata sisi pia tunao msimamo, hivyo nisiwe mtu wa kujirahisi kila mahala, ukumbuke nimesahau boxer yangu kule bafuni, lakini srudi wala nini,... Kusex nae bila kondom Sikatai lakini je kama ana magonjwa? Si nitayapeleka nyumbani, kwahio akiweka msimamo na mie pia naweka msimamo mana hata kama ni pesa ila anatakiwa ajikontroo na yeye pia,..... Basi nikiwa zangu njiani kuelekea nyumbani mara simu ikaita, nikajua labda atakua ni yeye nini, lakini papo hapo nikawaza kua


"kama ni yeye, number kapewa na nani"


Nilijiuliza hivyo huku nikiendelea kuitoa mfukoni, nilipocheki kweli alikua sio yeye, bali alikua ni mke wangu kipenzi....


"haloo"


"uko wapi mume wangu, mbona dukani haupo afu hujafunga"


"oohhh aahh unajua mafuta ya cherehani yaliisha, sasa nikawa nimekuja kwa hapa jirani ili ninunue"


"fanya haraka basi uje tuondoke"


"sawa nisubiri tu hapo sasa hivi nakuja"


"sawa, ila nikuambie kitu"


Nikashtuka huku nikiangalia huku na huku, ili nisije kuongea na mtu anaeniona,


"kitu gani icho"


Nilihoji hivyo huku nikiendelea na safari yangu kwa miguu, mana hapakua mbali kivile..


"Nakupenda sana mume wangu, I Love You too my Husband"


"Nakupenda pia mke wangu"


Nilikata simu huku nikimuwaza lile jimama liliotaka kusex bila kondom, haya kwa hali hii mke wangu anavyonipenda namna hii kweli afu niendelee kumsaliti, aisee hapana...... Nilifika kwenye kiduka flani hivi ambacho kinauza spea za cherehani, nilichukua mafuta kisha nikaendelea kuja, ila mafuta hayo sio kua kweli niliishiwa, bali yalikua ni kigezo ama gia ya kuingia hapo dukani, mana nikiingia bila mafuta, maswali yatakua mengi...


Nilifika dukani, nikamkuta anaangalia tv


"waaaooo baba chidi, mambo"


"poa nambie"


"safi tu"


Saa hio kanikumbatia mpaka nikamtamani kufanya nae dhambi japo ni mke wangu, sema kinachoniuzi kwake, hanipi utamu wote, hua naishia katikati ya mchezo, kana kwamba mpaka nitafute demu mwingine ndio niridhike.. Wakati huo mke wangu alikua ana uvivu flani hivi hata wa kuamka, mana mimba yake sasa imekua mno, yapata kama miezi 7 hivi, basi nilimchukua na kukokotana mpaka nyumbani kana kwamba ndio tumefunga duka hivyo.. Kama kawaida yangu ya kumseidia kuteke maji korongoni, mana mtoni kuna kajimlima kadogo tu, sasa kanamshinda kupanda kutokana na mimba yake. Nakutana na watoto wakali lakini nikawa kama najifanya sioni. . Mana tanga ni raha sana, yani kama wewe ni mtanga hasa msambaa kama mimi, basi we jivunie kabila letu, mana tuna watoto wakali kwenye kabila hili, afu maumbo yao ndio usiseme... Ama Kweli TANGA RAHA jamani, kama wewe huna uhusino na tanga duuuu basi huna swaga...


Sasa nikiwa nimerudi nyumbani tayari nimeshamchotea mke wangu maji, sasa nikaingia kwenye kuchati... Mpaka chakula kilipoiva na kula kisha tukalala


Asubuhi na mapema nikiwa naelekea zangu dukani, muda huo mke wangu tayari keshanipa chai ya maziwa na vyapati mayai, sasa hapo nilikua nahemea juu juu tu, nilifika dukani mikafungua duka kisha nikawa naendelea na kazi zingine ambazo nimeachiwa kuzishona,... Ukumbuke hapo dukani kwangu nauza nguo za kike aina zote, mpaka chupi pia zipo, taiti za ndani magauni masketi sijui vibrauzia vitenge, mahijabu, madera, kanga, mitandio, kila kitu mpaka vitambas vya suti vipo... Na hili sio kua ni duka la nguo hapana bali nimeviweka vitu hivyo ili mtu akitaka nimshonee dera lake mwenyewe basi isiwe mpaka akanunue kitenge au kitamba ndio aje, bali vitu vyote ninavyo, kwahio nipo full kikazi zaidi, na hapa pako spesho kwa ajili ya kushonea tu, hizi nguo ni kwa ajili ya kushonea wateja vitu wavitakavyo....


Sasa nikiwa bize na dera moja hivi, mara kuna mtu alikua akiingia, nikainua macho na kumuangalia.. Alikua ni mdogo wake na mama Mariamu, yani yule mdada niliefanya nae mapenzi kinyume na maumbile yake mpaka tukakutwa na mama yake, japo sijaonekana...


"mambo fundi"


"poa nambie mdada"


Huyu mdogo wake mama Mariamu ukumbuke ana mimba, na ndie alionitoa kule nyumbani kwao juzi kati hivi,...


"ila mie sikuiti fundi kisa unashina"


"bali unaniita fundi kwa mpangilio gani"


Nilikua namuuliza huku nikiendelea kushona dera moja hivi,


"umeniumizia dada yangu mpaka kalazwa"


"amna bwana"


"mmmhh sasa nikudanganyie nini"


"mpe pole basi"


"ok sawa..... Ila kilichonileta nataka unishonee dera"


"ooookeee chagua rangi ya kitambaa ukitakacho apo"


Basi mtoto wa kike hata kutembea vizuri hawezi mana mimba yake ni kubwa kuliko hata ya mke wangu... Mana mke wangu yake inaendea kua na miezi 7 hivi, lakini ya huyu hanifa ina miezi kama 8 na siku kadhaa, hivyo ana mwezi mmoja tu aweze kujifungua, sasa alipokua akichagua nguo, kumbe kalikua kananiangalia tu mimi jinsi ninavyoshona


"eheee nataka dera kama hilo unaloshona"


"sawa, kama ni hili, basi kitambaa chake kile pale, ebu kilete"


"heeeeee fundi kumbe unauza hadi chupi za kike"


"kwani ni vibaya"


"aaakaa ila umezidi mmmhhh, haya ngoja niangalie rangi nzuri"


Basi aliniletea kile kitambaa kisha akawa anachagua chupi...


"yes hii hapa shing ngapi"


"hio ni elfu tatu tu"


"haas jamani mbona ghali ivo"


"ndio bei hata mjini ni hivyo hivyo tu"


"ok isiwe tabu, je vp unaionaje, itanienea kweli"


"mmmhh mi sijui"


"sasa we ni fundi gani unashindwa kujua viuno vya wanawake"


"ila chumba cha kujaribu kipo, kwahio isipokuenea, utaibadirisha tu"


"ok ngoja nikajaribu basi"


Sasa mtoto wa kike akaingia kwenye kile kichumba kisha akaibadiri,


"waaaoo ni saizi yangu hadi raha yani"


Kalikua kanajichekesha kenyewe huko ndani, ila mie nilikua bize na nguo za watu, sasa badala avae, eti ananiita nione ilivyomuenea,


"fundi chungulia kidogo tu uone nguo yako ilivyonienea"


Nami bila kusita nikapitisha macho ili niangalie, sasa kuona chupi ikiwa mwilini mwa mtu, kwangu ni kajikosa kadogo sana, nilijikuta namtamani hanifa pamoja na mimba yake, tena mimba yake ilikua kubwa kuliko hata ya mke wangu, niliingia kwenye kile chumba kabisa, saa hio yeye keshakimbilia kujifunga kanga huku akisema


"jamani fundi mi nimekwambia uchungulie tu"


Sikumjibu kitu, niliikuta ile chupi yake ya zamani ipo pale chini,


"sasa hii si uitupe tu"


"bwana wewe fundi usiitupe"


Hanifa alikua akitoa sauti za mitego bila kujua mie sipitwi na kitu chochote kilichopo mbele yangu, niliishika ile kanga na kuivuta chini


"bwana we dikiiiiii"


Mimi nilikua kimya saa zote izo nikiwa namchora tu,


"hii chupi ya zamani itupe tu"


"staki, kwanza haijachanika, ni nzima bado"


Sasa kitendo cha kunionyesha ile chupi ya zamani ndio midadi ya hamu inazidi kunipanda, nikatoa simu yangu na kucheki saa, nikagundua kua muda huu mke wangu atakua anapika, hivyo hata nikimchapa hanifa kimoja tu siwezi kukutwa, sasa hanifa kuona suruali yangu imetuna mbele akaanza kung'ata lipsi zake huku akisema


"jamani dikii, inamana kuona chupi yangu tu umenitamani"


"sikia hanifa, sisi wanaume sijui tumeumbwaje, coz hata tukimuona kichaa kakaa uchi, tunatamani kumuangalia na hata kumtamani pia, sasa kwako ishindikane kwanini, please hanifa, naimba nikuvue chupi angalao leo tu"


"mmhhh sasa ukinivua utaniacha kweli"


"Kiukweli siwezi kukuacha hanifa"


Sasa kumbe mtoto hanifa, alilitamanigi sana gemu langu, hivyo kuskia hivyo tu nilihisi kafurahi moyoni mwake... Mana niliposema tu siwezi kukuacha. Hapo hapo akaiachia ile kanga ikadondoka chini, hivyo akabakiwa na ile chupi mpya ambayo aliiva muda mfupi uliopita, sikushangaa mimba yake, mana hata mke wangu anayo, nilichokifanya ni kupambua nguo zangu kisha nikamfata na kumkalisha kitandani,... Nakumbuka kwa mara ya kwanza nilimkula dada yake hapa hapa, sasa leo nala mdogo mtu hapa hapa, sikutaka kumchelewesha, niliivua chupi yake ile mpya, japo alikua anagoma goma lakini ilivulika, sasa akawa hataki niione nanii yake hivyo aliiwekea mkono..... Nilimshika shika mpaka akaiachia mwenyewe, sasa kumbe alikua akiificha kwasababu ilikua tayari imekua kwa kiasi kikubwa mana si anakaribia kujifungua hivyo ilikua imekaa tayari tayari kwa kazi hio, kwahio pamoja na uume wangu kua mkubwa, bado nitakua naelea elea, yani haitobana, mana umbo la eneo hilo limeshakua kubwa......


"mbona huingizi dikii"


CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/


Nilikua nafikiria nimbinue kule kule kunako 0714 mana huku hakuna hata aptaiti ya kufanya chochote...


"dikiiiiii, usiniambie kua unataka kunifanya kama dada yangu"


Alimaanisha kua nataka kumfanya kama dada yake nilivyofanya nae mapenzi kinyume na maumbile yake...


Nilimjibu kwa kutikisa kichwa kuashiria ndio,


Alinyanyuka kitandani huku akisema,


"ivi wewe upoje, mbona upo tofaut na wanaume wengine"


"hanifa, please kimoja tu"


"sitaki"


Lakini kwa kawaida mnatakiwa kuelewana, ila mimi binfsi, sijui wewe mwanaume mwenzangu kama unajua...


Kwa mimi najua sehemu ya kumshika mwanamke ili usex nae kinyume na maumbile, ila sintokwambia jinsi ya kufanya mana ni vitendo vichafu.... Sasa kwakua hanifa amekataa, hivyo niliitumia hio njia..... Nilijifanya kama nimekubali kusex nae mbele, nae akajilegeza, nilikichukua kidole changu cha katikati na kukiweka katikati ya matiti yake, yaani kwenye ule mfereji wa matiti, kisha nikatumia kidole kingine cha mkono mwingine nilikiweka kidole cha kati huku mgongoni kwake, huku mgongoni kuna mshipa umepita, ambao unapeleka mawasiliano huko, hivyo nikaubana ule mshipa uliopita mgongoni kisha nikaubana na uli uliopita pale kifuani kwake... Niliibana yote kwa pamoja kisha nikatoa vidole vyangu,..... Baada ya sekunde 30 tu kupita... Nilimuona akianza kupeleka mikono maeneo hayo kana kwamba kuna muawasho unamsumbua....


"dikiiiiii mbona nawashwa"


Basi hivyo ndivyo nilivyokua nataka, nami sikukawia nikamueka vizuri na kutaka kuanza


"dikiiiiii..... Kwani vinauma sana"


"wala tu tena haviumi kabisa yani"


"ssssssssiiiiiiiiiii aaaaaaa haya ebu jaribu basi"


Nilikua namnyonya shingo huku nikimfikiria yeye na mimba yake, kana kwamba nimuache au nifanye nae tu... Nilikua naingiza lakini nikaona bora niache tu, sasa nilipokua naacha kumbe vile nilivyogusa gusa na ule muwasho kumbe kanogewa....


"mbona unatoka jamani"


"kwani bado vinawasha"


"ndioooo, tena ukiiweka vinatuliaaaa, please dikiii usiniache niwashwe"








Sikuamini maskio yangu kama hanifa kanikubalia kufanya nae mapenzi kinyume na maumbile yake, yaani kakubali kutokana na vile nilivofanya saa zile, kana kwamba mbinu yangu ya kumla kinyume na maumbile yake imefanikiwa, saa hio mtoto wa watu hanifa, alikua keshakaa mkao flani wa MBUZI KAGOMA, afu ameifanya sehemu hio ionekane kwa urahisi wa hali ya juuu.. (kapanua) sasa kutokana na kwamba ana uja uzito, basi ile sehemu yake ya mbele ilirudi nyuma, na kusababisha sehemu nilioitaka kua wazi, yani ni sawa na mtu alieniambia KAZI NI KWAKO, nami nikaa kupagusa gusa kwa kutumia kidole gumba cha kushoto, kana kwamba nilikua namuanzia kumui........ zia kidole gumba, hanifa alikua akiskia raaaha kwa kitendo nilichokua nikifanya katika mwili wake,... Nami nye..... ge zilinizidi na kuanza kuiingiza taratibu bila huruma ya kusema kua nimuache au niache kula TIGO kwakua ni mja mzito, lakini akili yangu haikua ikitaka niache kile kitendo mana ni kama kimeingia kwenye damu sasa, huezi amini kitendo cha kuingiza kale kakichwa tu, hanifa alianza kulia kwa kuskia maumivu makali maeneo hayo, lakini hakua akikataa mana muawasho niliomsababishia ulikua hauishi hivi hivi pasipo kuingiliwa huko,... Niliamka na kwenda kuchukua mafuta ya cherehani kisha nikajipakalia kwenye nanii yangu na ile sehemu yake (TIGO) kisha nikajaribu tena, japo mtoto hanifa alikua akilia ila mie sikua nikimsikia kwakua utamu ulishanikolea kimahaba, hanifa alipiga ukunga mkali pale nanii yangu ilipofanikiwa kuingia katika njia isio lasmi au ambayo haikuadhinishwa kimaadili au kivovote vile.... Sasa nilipokua nakatika mana tayari nilishaingiza yote, ila hanifa hakuacha kulia kabisa, tena alikua akinizuia ili nisiingize yote... Lakini wapi, nilikua ndio kwanzaaaa naipenyeza utafikiri nilikua nakula njia ya kawaida... Ilifika muda hanifa kapunguza kulia, nami ikawa Ndio spidi yangu ilipoanzia,.... Kama unavyojua ile mahari ipo Taiti sana (inabana) hivyo sikukawia kukojoa, tena nilimkojolea ndani kwa ndani kana kwamba lazima arudi kwangu tena....


Basi nilipomaliza kufanya vitu vyangu, nilimjulia hali kwa kumkagua kama ameumia lakini alikua hajaumia,


"ivi fundi, ni kwann unapenda kunanii huko"


Nilijifanya kama sijaskia huku nikimnyonya shingo, mtoto alikua anarembua, huku akinilalia kifuani, nilikua naishika shika ile mimba yake huku akiwa kama anaugulia maumivu flani hivi,


"mmmhhh"


"nini"


Nilimuuliza huku nikiliacha zoezi zima la kumshika shika na kumnyonya shingo


"vinaumaaa"


"vinauma nini"


"si huko uliponifanya"


"pole"


"sheby, yani nimeamini kweli ulimfanya dada yangu huko huko si kweli eee"


"amna, sema dada yako alikua ana muda hajakutana na mwanaume"


"mmmhhhh ila wewe una mboo, mmmhh"


"vp umeipenda eee"


"naomba nikifikisha miezi 6 baada ya kujifungua uje unitom..... be mbele, sawa baby"


"mmmhhh nishakua baby wako mara hiii"


"heeee tena ni zaidi ya baby, mana nimekupa sehemu ambayo hata mkeo hawezi kukupa"


"mmmhhh we unamjua mke wangu wewe"


"simjui kwanini, tena ni mja mzito kama mimi"


"mmmmhhh ulimuonea wapi"


"mtoniiii"


"mmmmhhh haya bwana"


Nilishangaa sana kuskia hanifa nae anamjua mke wangu, ila haikua shida mana karibia wasichana wengi ambao ninatembea nao wanamjua mke wangu.. Niliichukua ile chupi mpya ambayo aliichagua hapa hapa dukani kwangu... Na hata kuilipia bado hajailipia..


Sasa nikiwa namvalisha ile chupi, mara niliskia sauti ya honi ikilia huko nje, mara ya kwanza niliona labda ni kawaida kwakua palikua ni barabarani, Sasa jinsi inavyoendelea kupigwa, ndio nikajua kua mbona itakua inapigiwa nje ya duka langu,... Ukumbuke kua tupo ndani ya duka kwenye chumba cha kujaribia nguo, Ilibidi nimuambie hanifa avae nguo fasta mana huenda ni mteja kaja na kazi, Nilitoka fasta huku nikimalizia kuvaa shati, nilifungua mlango vizuri mana tulikua tumeurudishia tu, sasa ile kufungua tu mlango nilikutana uso kwa uso na mama Kevin, yule mama tulie enda gesti kisha tukashindwana na swala la kuvaa kondom, Nilipofungua tu hakutaka maelezo wala salamu ya mtu, bali alinishika na kunisukuma nyuma nyuma, sasa vile jinsi anavyonisukuma tulikua tukielekea kule kwenye kile chumba, na ndani ya hicho chumba kuna hanifa nimemuacha muda si mrefu, sasa nikawa namzuia ili tusiingie kwenye hicho chumba lakini alinizidi nguvu keakua yeye alikua ana mwili kiasi flani hivi, sasa tuliingia kwenye kile chumba huku akinisukuma kana kwamba alikua anataka mapenzi kwa muda huo, sasa ile kufika tu hapo chumbani nilishangaa kukuta chumba kipo tupu, yani sio vile nilivyotarajia, nilijikuta nakishangaa kitanda kile mana ndipo nilipomuacha kakaa, sasa iweje nisimkute, na vile alivyo na uja uzito ni ngumu kuingia uvunguni,.... Sasa mama Kevin kuona nashangaa sana ilibidi aniulize,


"we unashangaa nini"


"amna kitu"


Nilijibalaguza huku nikiwa na wasiwasi juu ya hanifa kutokuepo chumbani hapo,


Sasa kuangalia pale chini ya kitanda niliiona ile chupi ya hanifa ile ya zamani, yani ukumbuke kua alipoichukua ile chupi mpya aliivaa papo hapo, sasa ile ya zamani ipo pale chini ya kitanda tena nisipokua makini huyu mama anaweza akaiona afu ikawa balaa...... Sasa nilikua sitaki kufanya mapenzi na huyu mama kwa wakati huu, lakini ilinibidi nimgeuze ili asiione ile chupi, sasa nikawa namnyonya denda huku akiwa kaipa mgongo ile chupi, sasa nikawa namrudisha kinyume nyume kisha nikamlaza kitandani, sasa hapo ndipo nilipofanikiwa kuiokota ile chupi kisha nikaiweka mfukoni kwenye suruali yangu, kisha nikamuachia yule mama afu nikavuta mdomo kwa kumsunya...


"mschiuuuuuuu"


"sheby, yani unanisunya mimi"


Huyu mama nilimuambia kua mimi naitwa SHARBINY au SHEBY badala ya kumuambia naitwa sadiki, ila sheby pia ni jina langu,... Kwa wale ulioisoma simulizi ya SECONDARY SCHOOL mtakua mnanijua vizuri, mana ndipo nilipotokea huko....


"kwanini unakuja kazini kwangu bila taarifa afu unataka kusex na mimi, kwa nguvu"


Nilianza kukoroma koroma huku nikijisemea kua


"mmmhhh akikasirika hapa asije akatoa bastola bure"


Nilijiambia mwenyewe hivyo huku nikijifanya nina hasira kweli kweli kumbe walaaa ni swaga tu, ili nami nionekane na mimi nina msimamo wangu,


"basi nisamee kwa hilo baba, eee?"


"mi spendi bwana"


"nisamee baba"


"sawa, ila ningeomba uende mana nipo bize"


Nami nilianza kumpelekesha mana si ananipenda,


"lakini, naomba basi leo tuonane"


"kama nitakua free"


Nilikua namfanyia kusudi kumjibu majibu ya mkato mkato


"sheby mbona upo ivo lakini au kama ni pesa basi chukua zote basi"


Alinitupia ule mkoba wake wa kuweka kwapani, kisha akasema


"humo kuna shilingi milioni moja na laki tatu, nipe simu yangu we baki na hizo pesa"


Nikiangalia kweli kulikua na simu yake pamoja na hizo pesa, sasa kuangalia vizuri ndani ya huo mkoba, nilikuta pakiti tatu za kondom, ndio nikajua kua alikuja kwa ajili ya kufanya mapenzi na lile ombi langu la kuvaa kondom atakua kalikubali, ila sikuonyesha kufurahi mana ningevuruga msimamo wangu, nilimrudishia mkoba wake, kisha nikamwambia aondoke kwani sina shida na hizo pesa...


Saa hio tulikua tupo maeneo ya cherehani yaani tulishatoka kule chumbani sasa tupo kwenye duka lenyewe... Nami nilikua nimesimama karibu na cherehani,


"ok naomba namba yako basi"


Sikutaka kumbania, nilimpa simu yangu ili ajibipu mwenyewe, akaandika namba yake kisha akaisevu kwenye simu yangu afu akajibipu... Na kuipata namba yangu, sasa kuangalia jina alilolisevu yeye kwenye simu yangu, aliandika "MAMA MDOGO"


yaan number yake huyu mama kaisevu kwangu kwa jina hilo... Alafu akanionyesha jinsi alivyonisevu kwenye simu yake, aliandika MTOTO WA DADA


kana kwamba mtu yeyote atakaeona majina haya kwenye hizi simu hawezi jua kitu.... Sasa jasho lilikua likitweta mpaka kero, Hivyo niliingiza mfukoni na kutoa kanjifu ili nijifute,..... Heeeeeeee sasa kuangalia vizuri kumbe nilitoa ile chupi badala ya kanjifu, Afu mbaya zaidi mama Kevin kaona kila kitu....


"heeeeeee ulikua una chupi mfukoni"


"mmhh,...... Mmmgggg.... Nnnmm"


"mmmhhh mmmmhh nini, nakuuliza hio chupi ni ya nani"


"amna hii ni ya kuuza, sema kuna muda nilikua nairudishia uzi tu"


Nikajifanya naiweka kwenye kimfuko kujifanya ni mpya, ili tu asijue kitu,..... Sasa ile naangalia angalia chini kwa aibu nilishangaa kuona miguu ya mtu ikionekana kwa chini.... na mwili wa huyo mtu ukiwa umezuiwa na madera pamoja na kanga kanga, kiujumla alizuiwa na nguo zilizopo hapo. Sasa hapo ndio nikajua kua huyu ni hanifa alikuja kujificha hapa,..... Ila mbaya zaidi ni kwamba sehemu aliposimama mama Kevin au huyu mama ana uwezo mkubwa wa kuiona miguu ya hanifa, na jinsi ya kumfanya asione miguu hio.....


"hebu lete hio chupi"


CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/


Niliimpa kisha mimi nikawa naangalia tu ile miguu ya hanifa


"hii chupi sio mpya, afu imevuliwa nusu saa tu iliopita,... Sasa naomba unionyeshe huyo mwanamke ulie nae humu ndani"


"mwanamke gani tena mamy"


"hutaki si ndio"


"aaaAhaaaa ngoja kwanza"


"sitaki kuibiwa sheby"


Sasa mama Kevin alipandwa na hasira mpaka ikawa hakuna jinsi ya kumzuia zaidi ya mapenzi, hivyo nilimrukia na kumnyonya denda kisha nikampeleka kwenye kile chumba na kumsukumia kitandani... Ile anataka kuamka ili akatafute huyo mwanamke aliekua humu ndani, nikamuwahi kwa kumfata kwa juu kisha nikaanza kuingiza vidole vyangu ndani ya chupi yake, na wakati huo bado kaishikilia ile chupi ya hanifa, mama alitulia baada ya kuhisi kuna vitu vinatembea au kupitia pitia katika nanii yake, mama alilegea na kuiachia ile chupi ya hanifa.... Sasa nikiwa nataka nianze kumvua nguo zake, mara simu yangu ikaita,


Kucheki jina alikua ni Mke wangu JASMIN


Niliipokea fasta huku nikiwa nimepunguza sauti ili asije akasikia


"haloo"


"eee haloo, baba chidi, hilo gari hapo nje ni la nani"


"Whattt? Unamaanisha nini"


"naona gari hapo mbele ya duka letu"


"mmmhhhh mi mbona sioni, kwani we upo wapi"


"mi nimeshafika, tena nimekupikia chakula kizuriiiiiii"


"haya mama"


Niliitikia kiunyonge kisha nikakata simu na kumuamuru huyu mama aondoke,


"unasemaje wewe"


"samaan mama angu naomba unipigie jioni nije"


"sitaki, yani kila tukikutana unanipandisha nye...... ge zangu afu unaniacha, yani leo mpaka tufanye kitu ndio niondoke"


"please mamy nakuomba tu, tutakutana huko nje jioni"


"nimesema sitoki ng'ooooooooooooo"


Mungu wangu eeee, sijui nitafanyaje na mke wangu ndio huyo anakuja, mbaya zaidi ni kwamba huyu mama hataki niwe na mke au mwanamke yeyote yule, na pia mke wangu akinikuta nina mwanamke humu sijui itakuaje............


"mama Kevin, nimekubali kufanya na wewe bila kondom, lakini naomba uondoke mama angu"


"sitaki.... Nimesema sitaki, tena navua nguo kabisaaa, mana nimechoka kunyegeshwa kila siku afu sito.......... mbwi"






Kichwa kilipata joto la ghafla kutokana na swala la mama Kevin kuganda chumbani hapo, na muda huo mke wangu yupo njiani kuja hapa ofisini kuniletea chakula, nilikuwa nawaza nitamfichaje, mana yeye pia hataki kusikia kua nina mke au kimwanamke cha aina yeyote ile, na endapo atajua kua nina mke, huenda akamsumbua mke wangu, au hata kumuua pia ataweza, mana anayo bastola kwenye kimkoba chake.... Kichwa kilikua kikiniuma kwa mawazo juu ya hilo, japo bado mke wangu yupo njiani kufika hapa, tena yupo karibu mno, mana mpaka kaliona gari lipo hapo nje, basi ndo ujue kweli kafika... Sasa nikiwa katika harakati za mawazo, nikapata wazo moja babkubwaaaaaaa


"kwaio mama Kevin, unasema hutoki si ndio"


"nisikilize kwa makini we mtoto... Kukupenda kwangu isiwe njia ya kunidhalilisha mimi, ni mara ngapi tumekutana tena katika hali ya kufanya mapenzi, lakini kila ikiwa hivyo wewe unatafuta kigezo cha kuniacha nikiwa nipo njia panda, yaan hata kunigusa tu hunigusi... Sasa ni mapenzi gani haya"


"sikia... Mimi sio kua sipendi kufanya mapenzi na wewe, lakini mpaka sasa kinachonifanya nisifanye, ni kwamba mama yangu anakuja hapa na hayupo mbali... Sasa kama wataka kukutwa na mzazi mwenzio humu ndani, Endelea kuvua nguo na usiondoke"


"unasemaje"


" ndo ivo, we vua tu"


Kumbe wazazi saa mingine mnaogopana wenyewe kwa wenyewe, mana mama Kevin kusikia hivyo alivaa nguo kama umeme kisha akaniuliza...


"kafikia wapi"


"nenda zako kabisa asikukute hapa"


Ghafla akasahau mkoba wake,


"chukua mkoba wako wewe"


Nilimrushia fasta kisha mimi nikarudi kwenye kiti cha cherehani na kukaa kama vile nina kazi, Mama Kevin au Zaituni aliwasha gari lake na kuondoka,...


UKISIKIA ZAITUNI USIZANI NI ZAITUNI YULE WA "SECONDARY SCHOOL" YULE DADA YANGU...( DADA ZAI) HUYU NI ZAITUNI MWINGINE TENA NI MAMA NA FAMILIA YAKE


Saa hio mtoto wa kiume nilikua bize na kushona baadhi ya madela ambayo niliachiwa,... Sasa nikakumbuka kua Hanifa alikua huku ndani ya nguo humu.. Nikawa namcheki, mana alijificha huku baada ya yule mama kuja,... Lakini Hanifa hakuepo maeneo hayo, kwani alishaondoka, daaah nikaona afadhali, lakini nilikua nikimuwazia na ile mimba yake afu mbaya zaidi nimefanya nae mapenzi kinyume na maumbile yake, afu hajawahi kufanya kabla, roho iliniuma kwakua tayari haja yangu ilishaisha,.. Nafsi ilinisuta na kusema kua


"mbona mke wangu simfanyiii vitendo kama hivi, kama kweli navipenda kwanini mke wangu simgusi"


Nilishindwa hata kushona, hivyo nikawa nimeegemeza kichwa kwenye cherehani nikimuwazia hanifa.... Ghafla mke wangu aliingia na kunikuta nikiwa nimechoka na kunyong'onyea kabisa, nikiangalia tumbo lake lenye miezi kama saba hivi,...


"mambo"


Alinisalimia huku akinishika shika kwenye shingo,


"poa, mbona ulinipigia simu muda mreeefu lakini ndio kwanzaa umefika saa hiii"


"aaaahhh si nilikutana na rafiki yangu pale, ndio kanichelewesha"


"mmmhh ok"


"vp umekasirika mume wangu"


"wala tu"


Angejua kuchelewa kwake ndio ilikua furaha kwangu, mana vitu angelivikuta humu, sijui ingekuaje... Basi alinitengea chakula nami nikala huku nikijifanya nimechokaaa kumbe uongo uongo tu,


"lile gari mbona liliondoka kwa spidi sana"


"aaaahhh si unajua wateja wengine ukiwatajia bei za kazi zao wanakasirika... Yule kaondoka kwa kutokubali bei niliompa"


Nilichapia kiivyo mana mke wangu haambiwi ukweli, na ukimwambia ukweli umejiaribia mwenyewe,....


"mmmmhhh mtu ana gari kali vile ashindwe kulipia nguo"


"aaaahhh wasumbufu tu hao"


Sikutaka tuliendeleze lile jambo mana naweza kuongea mwisho nikajisahau bure, mana sikawiii kuropoka kwa bahati mbaya...


"ok... Sasa mume wangu, lile shamba kule mtoni, kwanini tusimlipe mtu akatulimia, mana naona upo bize muda wote, nafasi ya kwenda kulima huna, sasa zile mbegu si zitaoza zile"


"Eheeeee afu umenikumbusha kitu mke wangu"


"kitu gani"


"ivi zile mbegu uliziweka wapi"


"nimezihifadhi mahari pazuri, ila ukumbuke zina tarehe ya kuharibika ( Expire Date) kwahio tuziwahi kabla"


"ok... Wazo zuri... Ila mi siwajui watu wa kuwakabizi shamba ili waweze kulima"


"mimi niachie hio kazi, tena nakutaftia wanawake tu"


"haaaaaaa toka lini wanawake wakaweza kulima mashamba ya mboga mboga"


"kwanini wasiweze"


"mke wangu, mboga sio sawa na mahindi, mboga zina elimu yake mke wangu"


"mmmhhh sasa tutafanyeje"


"labda uwaite tuwape Elimu jinsi ya kulima na kupanda pamoja na kumwagilia"


"sawa nitawaita"


Basi ilikua ni majadiliano baina yangu na mke wangu ili tuweze kulima mboga mboga na baadhi ya matunda...


Kama kawaida ya wanawake waja wazito baadhi yao hupenda kulala, hasa mke wangu, hivyo aliondoka pale na kuingia kwenye kile chumba tayari kwa kupumzika, wakati huo umeme ulikua umekatika hivyo ndio mana akakimbilia kulala, Basi mimi baada ya kumaliza kula niliendelea na kazi huku nikiwa makini na simu yangu, kwani niliiweka Silent ili meseji au nikipigiwa isiskike,


Ilipofika jioni mida ya saa 11 hivi tulifunga duka na kuondoka zetu kama kawaida mke wangu hua ana majalibu ya hapa na pale, kwani alikua akinishika kiuno humo njiani ili watu wajue kua nina mke au ana mume, sasa kitendo kile sikua nikikipenda kwani najua wengi wa wapenzi wangu wanajua kua nina mke na wanamjua, lakini naogopa sana kama nitakutana na mama Kevin, mana keshanipa masharti ya kutokua na mke, sasa endapo ataona hivi huyo mwanamke hatopenda lazima amtafute mke wangu...


Tulifika nyumbani akanibandikia maji nami nikaoga, sasa nikawa nachati na mdada mmoja hivi aitwae Shamimu au sham, kama unamkumbuka ni jirani yangu kule dukani, nae anauza nguo za kike


"mambo fundi"


"poa nambie"


Tulikua tukichati kwa meseji za WhatsApp,


"poa, picha yako nzuri, ila Status imeniboa"


"kwanini ikuboe my"


"unaonekana Hensam, but change your status"


"afu huezi amini nimesahau nilivoandika hio status, please ebu nifowadie basi"


Nilimaanisha aikopi then anitumie hio status yangu, japo naijua ila ni kama nimempa jaribio tu


"I'm GoodBoy... Sina Stress Coz Sina Demu, Bali nina mke... Na nampenda sana, Hivyo mbarara wengine piteni hivi, Kwani Yeye Anitosha Kwa yote ayafanyayo I LOVE YOU MY WIFE"


Aliituma hio status yangu ambayo ilimboa kwa kua imeandikwa ikiwa na ujumbe unaowachoma wanawake wanaonipenda kama yeye,.... Saa hio nimeweka miguu juu kwenye sofa, afu nilikua nimevaa taulo tu afu hata Vest sikua nayo,...


"mbona status yangu ni nzuri tu mamy"


CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/


"ah ah bwana, naomba uibadirishe tu"


"ok, naomba mwongozo we wataka niandike vp"


"andika vovote tu but sio ile"


"ok nitaandika Badae"


Ghafla nikaona pale juu pameandika


( Sham is recording) Nikajua anarekodi sauti, hivyo meseji yake itakuja kwa njia ya sauti.... Mara ikaja na kufunguka hivi


"staki bwana nataka sasa hivi"


Nilishangaa kuskia sauti ya sham ikiwa katika hali ya kudeka deka hivi, na ni mdada mkubwa hivyo ujue,... Saa hio nilitamani nikimbilie chumbani ili nikamjibu lakini nilihisi mke wangu atanistukia kwanini nimeondoka hapo sebureni, na wakati huo nilikua nimeweka Earphones maskioni, hivyo hata ile sauti niliiskilizia kwa Earphones, sasa hio sauti yake ya kudeka ndio ilinisisimua... Ikabidi niende kwenye status na kuandika nyingine iliosomeka hivi....


( I'M GoodBoy... But sijawahi kupendwa na pia sijawahi kukataliwa)


Niliandika hivyo kisha nikamwambia kua


"tayari nimebadirisha"


"poa, ngoja nikaisome"


Baada ya hapo mimi nikamuuliza mke wangu


"vp mamy njaa inauma eti"


Nilimuambia hivyo huku nikisubiri jibu toka kwa sham, mana dalili za sham nimeshaziona kimtindo mtindo hivi naona anakuja kuja,


"mmmhhh yani wewe status zako sijui unazitoleaga wapi"


"kwanini"


"we muongo"


"kivipi, na wapi nimeongopea"


"kweli, huenda hujawahi kukataliwa lakini kupendwa umeshawahi"


Binafsi yangu kupendwa nimeshawahi, lakini ile ilikua kama status tu,


"Kweli sijawahi kupendwa"


"muongo wewe, yan na uhensam wote huo ukose mpenzi wa kujipendekeza kwako"


"acha kunipaka mafuta kwa mgongo wa chupa... Mahensam wapo mijini huko mie nipo kijijini nitakuaje hensam"


"basi hujiamini but ukweli ndo huo"


"ok poa Badae"


Nilijifanya namuaga ili nijue atakubali kuagika au mbwembwe tu,


"saa izi unaenda kulala, au mkeo yupo karibu nini"


"wala tu"


"basi usiende please, naomba tuchati"


Maongezi ya huyu shamimu yalikua yakiashiria kitu fulani hivi


"ok lete story"


"mi nataka nijue kama kweli hujawahi kupendwa"


"mmmhhhh mbona unaling'ang'ania sana hilo neno"


"ndio"


"sijawahi.... Na kama ungelikua mdongo basi ningelitamani uwe wewe"


Nilimtega kwa maneno hayo ili nijue anawaza nini kuusu mimi


"we fundi usiseme ivyo, kwani we una uhakika gani kama sikupendi"


"mmmhhh najua unanipenda kama mdogo wako"


"sahau kuusu ilo, sina ndugu wa kiume,... na ningependa lile neno la kutokupendwa ulitoe kichwani kwako"


"mmhhhhh mbona una maneno mazito hivi, una maana gani"


"fundiiiii, please andika hivi, NIMESHAWAHI KUPENDWA"


"mmmhhh lakini nitakua naandika kitu ambacho sijawahi kufanyiwa"


Saa hio ukumbuke bado tunachati kupitia WhatsApp... Mara nikaliona lile neno


( Sham is recoding)


Nikajua Ule msauti huooo unaachiwa


Mara ikaja, huku nikiwa na shauku ya kuifungua sauti ile ambayo imetumwa na shamimu


"fundiiii,... Mmhhh... Mmhhh... Hhhhmm... Hhhmmm, kwani...... Kwani...... Kwani nikikupenda mimi kuna tatizo"


Aiseeee nilijikuta nasimamisha nanii yangu kwa hio sauti ilivyo, mana alianza kuniita kisha akaanza kuguna guna mithili ya wapenzi waliopo kitandani...


"shamimu, please hebu punguza ukali wa sauti yako"


"kwani ina nini"


"apana we ipunguze tu"


Mara ( Sham is recording) Ikafika kisha nikaisikiliza


"Staki,... Afu naomba unijibu ombi langu"


Taulo lilikua likiinuliwa na nanii yangu, nilikua nahangaika hapo sofani, huku mke wangu yupo bize na mapishi, nikicheki muda ilikua ni saa mbili na robo usiku,


"ombi gani tena"


"nakupenda sheby, please naomba niwe wa kwanza kukupenda"


"mmmnhhhh dada shamimuuuuuu"


"nishakwambia sina ndugu wa kiume hapa mjini... Fundi sheby... Nijibu basi nilale"


"haaaaa kumbe upo kitandani"


"ndioooo"


"mmmmmhhh hebu piga picha nikuone"


"piga kwanza wewe, afu uambatanishe na jibu langu"


Nikamcheki mke wangu yupo bize na jikoni, nikakaa sawa kisha nikajipiga picha pale pale kwenye sofa, tena nilikua kifua wazi, afu kifua changu kilikua na geden love kiasi,.... Niliituma lakini sikuambatanisha na jibu alilotaka, niliona keshaifungua fasta, kisha akanijibu kwa kuandika ile Emoji ya kushangaa afu akasema


"jamani sheby, kumbe upo na taulo tu,.. Afu kifua chako kina vitu adimu kwangu"


"ok thenx, but na wewe je"


"ok wait a minute"


CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/


Basi nikawa na shauku ya kuiona picha hio ambayo anataka kuituma kwa muda huo..


Mara nikaskia mlio wa meseji nikaifungua fasta, na kukuta ni yeye,.. Ayaaa, aiseee mtoto alikua ana makusudi khaaaaaa, huezi amini alituma picha yupo kitandani afu kavaa pajama linaloonyesha kama mtandio vile.... Nikaizuum ile picha, Ayaaaaaa alikua kavaa chupi nyeusiii, afu pajama lenyewe lilikua la pink, ilionyesha mpaka ndani... Nilijikuta nahangaika kwenye sofa mpaka mke wangu akaniuliza....


"we vp mbona hutuliii"


"aisee mke wangu kuna mbu kaning'ata sjui yupo wapi"


Nilimdanganya lakini hakua mbu wala nini, ni hisia tu zilinizidi,....


"heeeeeeee mbu na baridi hii atoke wapi"


"aaaahh mke wangu we si unajua mbu wa tanga walivyo"


Mara meseji ikaja ya shamimu


"fundi, mbona kimya mpenzi"


"heeeeee nimeshakua mpenzi tena"


"eeeee mana naomba jibu lakini silipati afu umenisisimua na kifua chako"


"wewe je, umenifanya mpaka nabadili mikao kwa ajili ya hii picha yako"


"kwa ina nini si kawaida tu"


"mmmmhhh umezidi sham"


"vp umesisimkwa"


"sanaaaaa tena zaidi ya sana"


"tukutane basi jamani fundi"


"lini na saa ngapi"


"leo sasa hivi, we niambie upo wapi nichukue Bajaj nije"


"mmmmhhh tatizo ni mke wangu sham, sijui nitamdanganyaje anielewe"


"we ni mwanaume fanya uwezavyo, afu mi ndio natoka nyumbani hivi nikachukue Bajaj nije"


"ah ah we subiri kwanza"


Sasa kucheki vizuri alionekana hayupo online, kana kwamba ni kweli anataka tukutane, mana picha ambazo tumetumiana ni picha za kushawishiana tu..... Sasa baada ya yeye kufunga data nami nikafunga yangu kisha nikawa nawaza uongo wa kumdanganyia mke wangu....


"sasa mke wangu"


"nini"


Alivyoanza tu na hio nini, nikataka kukata tamaa,


"kuna mteja anasafiri alfajiri sana, hivyo anataka nikachukue nguo zake sasa hivi"


"heeeeee kakuambia saa ngapi, mana hakuna simu niliosikia kupigiwa hapa"


"ahahahahahahaha..... Amenitumia meseji sasa hivi tu"


"hebu niione kwanza hio meseji, Afu nijue ni wakike au wakiume"


Ayaaaa sasa mke wangu nae atanikoseshea ulaji, mana hio meseji yenyewe haipo, kwani ilikua ni njia tu ya kumdanganya....


"Enhehehehehe Ulisemaje vile mke wangu"


"nipe hio meseji nami niisome, Ndio nikuruhusu Uende japo ni usiku..."


"Alinitumia Kupitia Facebook, Afu MB zimeniishia Sasa hivi tu"


"Ngoja nilete simu yangu, Tuunganishe WIFI... "






Nilijikuta sina ujanja juu ya hilo, mana niliona nidanganye kua mb zimeisha kumbe yeye anawaza kuniunganisha na wifi, Sasa nikawa nafikiria akirudi nitafanyeje, mana hata akiileta hio simu yake tuunganishe wifi, bado hatokuta kitu mana ilikua ni njia tu ya kumdanganyia ili aniruusu niondoke... Unajua mimi ndio kichwa cha nyumba, ninauwezo wa kuamua lolote lile, lakini haitakiwi mana tumependana na hatuhitaji kuudhiana katika swala la ndoa yetu, hivyo ni vyema tuwe tunaagana, sio kwakua tu ni wakiume basi jukumu lote ni lako la kujiamulia, basi usingeoa ili usipate mizizi ya kukuzingira kila mara.... Na kuoa sio kua tunaona ili tuwe na familia, hapana bali kuoa tunaoa ili kupeana ushsuri kupanga mambo yenu kufarijiana katika maisha, hivyo ukuona mkeo anakukataza usiende mahari fulani, we kubaliana nae tu, au ombaneni lakini mridhiane, mana hata mlivofunga ndoa mliridhiana kwa mapenzi yenu, sasa kwanini uje kumtesa mtoto wa watu ati kisa we ni wakiume, Na ulimuoa wa nini kama huufatilii ushauri au katazo lake, basi muache ili uwe huru.... Yaani ukishachukua jukumu la kuoa, ni sawa sawa na kukubali kila kitu, kuanzia ngono upunguze au uache kabisa, matembezi ya ajabu ajabu yasio na msingi upunguze au uache kabisa, kula kula hovyo vibandani au kwa wamama ntilie upunguze su uache kabisa, kama ulikua unachati sana usiku, upunguze au pia uache kabisa maana charting nyingi za usiku huaga hazina faida yeyote ile, kama sio kuchati na wapenzi wenu tu, kwahio ukioa kuna vitu vingi sana vya kuacha au kupunguza, kikubwa pia UBABE unatakiwa upunguze au uache, mana mtakuja uana ndani ya nyumba... Kwaio tukilielezea sana swala la kuoa ni swala la kujipiga pingu, yaani vingi sana unatakiwa uache... Mambo ya starehe, kunywa mabia bia mengi yasio na maana, ukioa tu upunguze au uache kabisa.... Usione kuoa ni kukurupuka tu, kwanza kabla ya kuoa jiulize kwanza kuna kitu gani ambacho mkeo hatokipenda kukiona ukikifanya,... Basi unaanza kukiacha taaratibu kabisa kabla hujaweka mtu ndani, kwaio kujikontroo kabla ya kuoa ni kitu kizuri sanaaaaaaaa


Sasa nikiwa namsubiria mke wangu alete hio simu yake ili aniunganishe WIFI nilipata wazo la haraka haraka, niliichukua simu yangu ya kutafuta jamaa mmoja hivi ambae nafaamiana nae freshi tu, nikampigia mara moja,


"Eee haloo, John vp jamaa angu"


"poa nambie sheby"


Huyu ni chalii yangu yupo arusha, na anajua kua mimi nipo hai, mana wengi wao hawajui kua nipo hai,


"poa tu, sasa? Ebu ingia Facebook sasa hivi, nitumie meseji inayosema hivi... AISEE FUNDI NJOO UCHUKUE NGUO ZANGU MARA, KESHO NATOKA ALFAJIRI SANA.... fanya hivyo fasta, kuna msala apa nataka niusevu kiaina mshkaji wangu"


"ok poa nipe dakika moja"


"poa"


Nilikata simu kisha muda sio mrefu mke wangu kafika huku akiiminya minya simu yake kana kwa keshafungu Hotspot ya simu yake,


"haya fungua hio wifi yako tuone hio meseji uliotumiwa"


Aliniambia nami nikafungua kwa mbwembwe nyingiii mana najua meseji ipo kweli, coz muda sio mrefu nimetoka kuongea na john, hivyo atakua keshatuma, hivyo nilikua najiamini kweli kweli na hilo.....


Tuliunganisha kisha nikafungua Facebook, na sio kwamba mb nilikua sina lahasha bali ilikua ni njia ya uongo kwake, ila mb ninazo mpaka basi....


"mbona hakuna meseji humu"


CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/


"mmmhhh ili lisimu lako halina network kabisa hili"


Niliongea hivyo lakini sio kweli, bali ni hio meseji ilikua haijatumwa bado,..... Mara ikaingia, sasa mbaya zaidi imeandika Just Now.... Yaani ndio imeingia muda huo, ila kitu kilichoseidia mke wangu hatumii Facebook hivyo hawezi jua just Now ilimaanisha nini na pia ni ngumu kuijua kama humtaalamu wa Facebook,..


"umeona sasa? Umenichelewesha bure tu mke wangu, eee? Kwanini unashindwa kuniamini mimi"


Baada ya kuisoma ile meseji aliielewa kua ni kweli, afu na mimi saa hio hio nikaanza mikwara ya kumkoromea utafikiri kweli ninaenda kuchukua nguo, kumbe ni uharamia wangu tu ndio unanipeleka huko,


"nisamee mume wangu,.... Nilikua najaribu kuilinda ndoa yangu, ila sikua na maana ya kukuchelewa"


"usijali mke wangu nimekusamee"


Nami nilikua siriasi kinoma noma yani,


"basi nenda, nitakueka chakula kwenye hotpot sawa mume wangu"


"sawa"


Nilipokua namua nilimshika shingo na kumnyonya bonge la denda mpaka akawa analainika... Nikaona ngoja nimuache nisije kuziamsha bure...


"mume wangu"


"sema"


"ukirudi basi... Nataka"


Nilijua tu alichomaanisha, sasa kwa kuenda na muda nilimkubalia kua nikirudi tutananiii... Maana ana mimba lakini anajiskia naniiii naniiiii.....


Sasa mke wangu bila ya kujua akaniruhusu tena alinipa na pesa ya toyo ili niwahi kurudi, angejua naenda kufanya ufuska huko nje, sijui ingekuaje,..... Niliishika simu yangu na kumpigia shamimu


"Eeee halloo sham upo wapi now"


"waaaooo fundi, mkeo kakuruusu"


"ndio but kwa uongo wa hali ya juu sana"


"ok, mi nipo kwenye Bajaj naelekea hapa kwenye lami je wewe upo wapi"


"mi nipo kwenye toyo naelekea huko huko ulipo"


"poa basi njoo unikute hapa lami, afu tuende nyumbani"


"ati nini, kama ni nyumbani kwako mi siji"


Nikikumbuka siku ile nilivoponea chupu chupu kwa yule mwanasheria, sina hamu na kwenda majumbani kwa watu, hivyo niligoma kwenda nyumbani kwake mpaka tukaelewana twende gesti,.....


Tulikutana maeneo flani hivi kwenye lami ambapo ni karibu na gesti moja hivi iitwayo HOZI GUEST HOUSE Tuliingia hapo tena sham alikua ana kanga tu, haaa.... Tulichukua chumba namba flani hivi kisha tukaingia...


Tulijitupia kitandani wote huku kila mtu akimtamani mwenzie, ila ukumbuke kua shamimu ni mkubwa kudogo kwangu yani kanipita kama miaka minne hivi,...


"mmmmhhh dada sham, umekuja na kanga tu"


"ndio kwani usiku huu nani atajua nina kanga tu, afu istoshe nilikuja na Bajaj"


"okeee, vua basi"


"bwana dikiii mi staki haraka zako, mi nataka tukaoge kwanza"


Mimi nilikua nimevaa track flani hivi.. Basi tukaanza kuvuana nguo huku nami nikaanza kuishusha kanga yake,


"ssssssssssssssss Ayaaaaaa"


Nilikutana na ile chupi nilioiona kwenye picha ambayo alinirushia akiwa kitandani kwake


"nini fundi"


"mmmmhhhhhh dada sham"


"afu ukome mi sio dada ako"


"lakini umenizidi kiumri"


"najua but tusiliongelee hilo sio mahala pake, twende tukaoge bwana"


Sham alinivuta mkono kuelekea bafuni huku kila mtu skiwa kabakiwa na nguo moja moja... Tulifika bafuni sham akanisukumia kwenye Jacuzzi la kuogoe kisha akaja kwa juu na kuanza kuivua boxer yangu ambayo ilikua imeshaloa, alipata tabu kuivua mana nanii yangu ilikua imekaza afu boxer imeloa, hivyo kulikua na ugumu wa kuivua...... Alifanikiwa kuitoa kisha akawa anaishika shika na mikono yake milainiiiiiiiii, huku akiisotea sotea akiwa bado kavaa chupi ambayo nayo ilikua imeloa, Sasa ule mgusano wa chupi yake na uume wangu, afu na vile alivoikalia yani nilikua napata joto lisilo na kifani, nilijikuta napandwa na midadi ya mapenzi... Nilikishika kiuno chake kisha nikaivuta ile chupi yake na kuivua, kisha nikamgeuza akawa chini mimi juuu, saa hio naona kila kitu cha mwili wake, mtoto aliumbwa vizuri mpaka raha, yaani mashavu ya nanii yalikua mazuriiiii...


"unaniangalia nini bwanaaaaa"


"ah ah wala tu"


Nilimueka sawa kisha nikawa nataka kuanza gemu


"fundi bwana twende kitandani"


"staki nataka hapa hapa"


"No fundi hapa utaniumiza"


Nilimsikiliza hivyo mimi nilishuka juu ya Jacuzzi kisha nikambeba mtoto wa kike, na kumtupia kitandani, Tulikua tumeloa hivyo na kitanda nacho tulikua tunakilowesha..... Sham alikua akilia kama katoto, yaan alikua anasononeka kama mtoto vile,


"iiiiiiiii diki bwanaaaaaaa"


Sham alibana miguu baada ya kuona inananihii kwa ugumu


"sham acha utoto bwana"


"diki we huna hata huruma jamani, nanii taaratibu bwaaaanaaaaa"


Yaani kudeka kwake ndiko kunakonisisimua zaidi kuliko chochote kile.










Saa hio mtoto wa kiume simkumbuki mke wangu wala nani, nilikua nipo bize na penzi la shamimu, Kiukweli shamimu alikua ni mzuri wa ndani, na inaonekana hajachezewa sana, mana kitu bado piruuuu, nikaona nikiingiza bila kumuandaa nitakua sijamtendea haki yake ya kimapenzi, hivyo niliachana na swala la kuingiza nanii yangu na kuanza kumnyonya denda huku mkono wangu wa kulia ukiwa unamkuna kuna nywele zake, na mkono wa kushoto ulikua hukuuu kwenye buyu la asali, afu saa hio mdomo wangu ulikua ukinyonya ulimi wa sham afu nashuka kidogo nanyonya na matiti yake, baada ya muda mfupi sham alioneka kutikisa miguu huku akijikaza kimahaba, mtoto wa kiume hapo ndipo nilipoongeza masifa ya huku kwenye buyu la asali,


"sheby unaniumiza sio huku jamaniiiiii"


Kutokana na haraka niliokua nayo muda huo nilijikuta nananii kidole pasipotakiwa, yaani kidole changu kiliruka ukuta, na wakati wote huo sham hajuagi kua mie ni mpenzi wa hio sehemu, ila sihitaji kila mwanamke nimfanye kinyume na maumbile, Mtoto sham alilegea kama haragwe vile, Aliniachia mwili wote na kuniamuru nifanye chochote nitakacho


Sasa sham alikua hajiwezi kwani hata macho yake hayakua yakiamka, kama ilivyo siku nyingine, nikimshika mkono umelegea tepe tepe, Nilichokifanya ni kumueka sawa mtoto sham kisha nikayapanua mapaja yake malainiiii, sham alikua akijifikicha matiti yake ili hisia zisimpotee, basi mtoto wa kiume niliingiza mzigo kiulainiii, mpaka sham akainukia kifua kidogo kuashiria kua, imefika mahala pake, na Kiukweli katka naniii yangu namshukuru mungu alinijaalia vitu adimu, Basi mtoto sham alikua akiyakata mauno utafikiria feni, Tulifanya mapenzi katka style nyingi....


Baada ya masaa manne na sasa ilikua ni saa 6 usiku, saa hio sha kanilalia kifuani akiwa uchi wa mnyama, tena alikua akikoroma kabisa mana kachoka kwa kazi niliompa, Basi nilikua nikimuangalia nacheka mwenyewe mana nikianga umri wake na mimi, ni sawa na mdogo wake labda wa pili,... Nilitanani nimuamshe ili tukaoge lakini niliona ni usumbufu mkubwa kama endapo nitamkatia usingizi wake... Sasa baada ya dakika moja simu yangu iliita nikiangalia alikua ni mke wangu, nikaipokea kisha nikawa namsikiliza kwa umakini zaidi,


"baba chidi, why mpaka saa hizi hupo nyumbani, eee? Au umepatwa na nini baba"


Nilishindwa hata kumjibu mana nilianza kujiskia huruma, mana nilimuaga naenda kuchukua nguo kwa mteja, cha ajabu hadi saa 6 hii usiku sionekani nyumbani,


"samahani mke wangu, mtu mwenyewe niliomfata kwa bahati mbaya nilimkuta kapatwa na ugonjwa wa ghafla, hivyo niliamua kumpeleka hospitali, kwahio nipo hospitali na mgonjwa"


"oooohhh pole sana mume wangu, kwahio hutorudi leo"


"sintorudi kwakwelu, nitakuja asubuhi mke wangu"


"mmmhhh sawaa, ila leo nalala peke yanguuuuuu"


"usijali mke wangu, au nije na usiku huu"


"hapana usimuache mgonjwa peke yake"


"ok lala salama mke wangu"


"ok nawe pia baba eee"


"asanteee"


Nilikata simu lakini roho yangu ilikua ikiniuma kwa kumdanganya mke wangu ujinga, nilitamani kulia afu nikimuangalia huyo mgonjwa mwenyewe ni shamimu badala ya jamaa niliomkusudia,


"aiseee we ni muongo, yaan upo hospitali na mgonjwa? Lakini sio mbaya mana mgonjwa si mimi apa"


Aliongea shamimu huku akiniangalia nilikua nina hasira nyingi mno, lakini haina shida mana tayari imeshakua ivo,


"ebu amka basi uvae chupi basiiii"


"heeee, chupi yangu si ipo bafuni kule tena sijui uliitupa wapi"


"vaa kanga basi au hata shuka kuliko ukae uchi namna hii"


"diki mpenzi, sasa nivae nguo kwa kumuogopa nani, mana kama ni wewe umenipanuaaaaaaaa mpaka umetosheka mwenyewe, sasa nikuogopee nini, bwana we acha nilale hivi hivi tu"


"na mimi nikikutamani nitakunanii vidole, ohooo haya"


"mmmhhh utajua mwenyewe bwana, we nifunike shuka bwanaaaaa"


"ivi unajua kua nina mke"


"najua ndio"


"sasa unanidekea nini"


"jamani diki mbona ivooooo, au kisa sikuvaa nguo"


"we lala bwana"


Sham alichukua shuka kisha akajifunga,... kusema ukweli toka niongee na mke wangu, sikua najiskia raha kabisa, mana nampenda sana mke wangu, lakini sema ni tamaa za mapenzi, Iliniuma roho kwa kumdanganya kiasi hicho alafu hakukua na mgonjwa wala nini, badala yake ni uharamia tu... Basi Nililala zangu muda huo lakini nafsi ilinisuta sana kwa udanganyifu wa kijinga,


Ilipofika asubuhi mida ya saa mbili kasoro ndio nilikua nakurupuka kitandani kucheki shamimu kalala Fofofo nikamuamsha aamke tuondoke mana ilikua ni gesti,


"we shamimu"


"abeee, mpenzi wangu"


"amkaaaaaa"


"dikiiiiii"


"nini"


"nipe cha mwisho basi"


"wewe acha ujinga kumekucha tayari saa mbili hii"


"ati nini"


"ooohoooo"


"mungu wangu dikii, nitaendaje na kanga moja nyumbani"


"si ukachukue chupi yako kule bafuni"


"kwani we ulipoivua uliitupa wapi"


"ipo kule kwenye kona kule"


Shamimu aliamka hivyo hivyo uchi uchi na kwenda bafuni kuangalia chupi yake, Nami nikachukua track yangu na sweta kisha nikavaa, sasa yeye kurudi alikua kanunaaaa


"vp mbona umenuna ivo"


"bwana diki, sasa utaniseidiaje mpenzi"


"kivipi tena"


"aaaaa ile chupi haifai tena afu bado mbili afu ipo kwenye shimo la kutolea maji taka, mi siitaki tena"


"basi vaa kanga yako twende"


"hapana sheby, nitaonekanaje huko njiani, na ni mtu ninaejulikana jamani si nitaonekana malaya kwa kuvaa kanga tu"


"kwaio"


CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/


"dikiiiiii mpenzi wangu, naomba ukaninunulie chupi na gauni please diki nipo chini ya miguu yako"


Sasa kile kitendo cha kupiga magoti chini, nilijikuta namtamani kimapenzi tena kwa mara ya pili, nilimnyanyua kisha nikamrusha kitandani, sham alijua tu kua tayari midadi ilinipanda, hivyo hakutaka marumbano, mtoto sham alijiachia nami nikaivua track yangu na kumrudia tena, tena muda huo nilikua nina nguvu ya ukweli... Aisee nilimkunjua bao moja la ukweli, sham nae hajachelewa akapizi bao lake la asubuhi,.... Tulipomaliza tukaenda kuoga fasta kisha nikamuonea huruma kwa kwenda kumnunulia hizo nguo...


Unajua jana ilikua hivi, tulipokua tunachati WhatsApp mimi nilikua nina taulo na yeye alikua kavaa pajama, sasa tulivokubaliana kutoka saa mbili ile usiku, mimi nilivokubaliwa na mke wangu kutoka nikaenda chumbani na kuvaa track na sweta, sasa yeye huku kwao akavua pajama na kuvaa kanga moja na chupi, kwa niaba ya kuja kunichukua ili nikasex nae nyumbani kwao, lakini mimi nikakataa kwenda kwao, hivyo hapo hapo tukaanza safari ya kwenda gesti, kwa matarajio ya kutoka asubuhi subuhi saa 11 alfajiri, sasa usingizi umetupitia tumeamka saa mbili hiii, na yeye hawezi kutoka gesti na hio kanga moja tu mana hata chupi haifai kule bafuni,... Kwahio ndio mana kaniomba nikamnunulie gauni na chupi....


"sasa sham mi nitajuaje kiuno chako"


"diki jamani mpenzi, inamaana utashindwa kujua kiuno changu"


"ok wacha niende tu, nitakubashiria saizi ya chupi"


Nilikubali kwenda kumnunulia.... Sasa kutoka nje ya hotel hakuna kaduka chochote cha nguo,


"samahani dada, eti hapa jirani hakuna duka la nguo hapa"


Nilimuuliza mdada mmoja hivi...


"mmmhhh Kiukweli kwa hapa ni mpaka sokoniiii"


"mungu wangu eeee, ok asante"


"poa"


Basi kwakua niliamua kumseidia hivyo nilianza kuchanja mbuga kuelekea sokoni, nilifika sokoni kwanza nikaanza kununua gauni moja refu refu hivi, kisha nikawa naangalia sehemu wanapouza chupi, nilipaona lakini nilikua naona aibu kwenda, mana wanaweza nidisi nanunua mimi, sasa ili wajue kua namnunulia mwanamke, nililitoa lile gauni kwenye mfuko na kuliweka begani,.... Nilifika pale nikakaribishwa na huyo mdada muuza nguo, tena alikua ni mmama kabisa


"shkamoo"


"marahaba ujambo"


"sjambo"


Niliinama na kuchagua chupi flani hivi ya pink,


"mama, ni shingapi nguo hii"


"ni elfu 4 tu baba"


Sikutaka kubishana mana sijui bei zake, Nilimlipa yule mama kisha nikawa naikunja ili niiweke kwenye mfuko, sasa ile naiweka tu kwenye mfuko.....


"waaaooooo mume wangu, ndio mana nakupenda sana, na nilijua tu ulitaka unifanyie sapraizi"


Nilichoka karibia nidondoke chini mana hata hamu sina


"jamani hili gauni zuuuri, ila refu kuliko mimi, inamaana hujui hata kipimo cha mkeo"


Wakati huo mimi nipo kimyaaa siongei


"hebu hio chupi........ Waaaaooo tena ni ya pinki nimeipenda afu kiuno ulijuaje, ni saizi yangu kabisa... Asante sana mume wangu"


"aaahahahahaha umefrai eee"


Nilijibalaguza kwa kucheka ili asijue kua hizo nguo hazikua zake


"nimefrai sana mume wangu"


Kweli alikua ni mke wangu anatoka sokoni kununua bidhaa za nyumbani, yaani kanifuma patamu kweli yani,


"twende basi jamani"


"ok, twende, lakini si umezipenda"


"weeeee nisizipende tena, zilivyo nzuri, chupi ya pinki hadi raha... Afu nikuambie kitu"


"mmmhhh"


"nataka ukanivalishe mwenyewe unione nitakavyopendeza"


"sawa sawa kabisa"


Nilikua namjibu lakini akili yangu ilikua ipo kwa yule mtoto wa watu kule gesti, afu mbaya zaidi, hela alionipa haitoshi tena, mana alinipa Elfu kumi... Nikanunua gauni la Elfu 5 nikabakiwa na Elfu 5.. Nikanunua chupi ya Elfu 4 nimebakiwa na Elfu moja tu,... Afu sina hata hela, Kichwa kilikua kikiniuma ghafla kwa kumuwaza shamimu kule gesti.... Saa hio alikua katangulia mbele huku akiwa kabeba vyote, zile nguo pamoja na vitu vyake vya sokoni.... Nilikua nawaza sijui nimtoroke vipi, mana kutoa uongo hapa ni ngumu....


"Enheee nimekumbuka mume wangu, ivi huyo mgonjwa anaendeleaje"


"aaaaa kidogo anajiskia nafuuu"


Sasa hapo hapo nikapata bonge la wazo kutokana na swali lake.... Niliichukua simu yangu akiwa haoni nikaiweka Sailensi kisha nikamuambia kua


"ayaaaaaaa ivi unajua nimesahau simu hospitali"


"heeee unasema kweli mume wangu"


"ndio... Hebu ngoja niiwahi mara moja"


"twende wote na mimi nikamsalimie mgonjwa"


Duuuuuuuuu hapo ndipo nilipochoka na kukaa chini kabisaaaaaaaaa... Huku kichwa kikimuwaza mtoto wa watu kule atatokaje... Mana nguo nilizonunua mke wangu kazichukua, na hela yenyewe haitoshi tena afu mbaya zaidi sina hata mia mfukoni...... Haya sasa, nataka nidanganye ili nimtoroke, nae anataka kwenda uko uko..... Aaaaaaaaaaahhhhh. Kweli leo ni siku yangu leo.








Niliumiza kichwa juu ya swala hilo la kumtoroka mke wangu, lakini akili haiji kabisa, tena ukizingatia nampenda na ananipenda, ilikua ngumu kufanya hivyo,


"sasa mbona umekaa chini tena"


"mke wangu, unajua nakupenda sana, hivyo nafikiria nitaendaje na wewe afu jua kali hatuna hata mwamvuli, kwanini usingetangulia tu mke wangu"


Mama watoto wangu nashukuru mungu ni muelewa, na unapomtolea maneno matamu hua ndio anazidi kuchanganyikiwa zaidi na mumewe,


"baba chidi, sawa ila nashkuru kwakua unanijali mkeo, kwaio nikusubiri au nitangulie tu"


"mmmhh mi naona utangulie tu mke wangu mana naweza kukuambia usubiri, afu nikakutana na mambo mengine huko yakimsingi, nikajikuta nakuweka tu hapa, hivyo naomba utangulie mamy au sio"


"asante mume wangu, ila usichelewe kurudi jamani"


"yaani sasa hivi tu, tena usipongalia mie utanikuta nyumbani"


Basi mke wangu alinielewa nami nikawa napita njia ambayo inaelekea hospitalini, ila nilipofika mbele nikabadiri njia na kupita njia ya kurudi sokoni, nikafika mahari nikacheki waleti yangu ipoje,... Aaahhh aiseee ilikua ina shilingi elfu moja tu tena ni ile iliorudi kwenye nguo,.. Daahhh akili ilizima na kujikuta sina ujanja zaidi ya kukaa chini na kutafakari


"ooooohhh yesi"


Nilikumbuka kitu kimoja hivi kizuri, Nilikimbilia maeneo ya TIGO PESA nikajaribu kutoa hata elfu 10 mana sina kumbu kumbu kama nina kiasi chochote katika akaunti ya tigo pesa, Lakini nilishukuru sana kwa kukuta shilingi elfu kumi na mbili, nikaitoa elfu 10 kisha nikaelekea sokoni, Nilirudi pale kwa yule mama, nikanunu chupi moja ya rangi ile ile ya pinki pamoja na gauni flani hivi la pinki pia... Nguo za kike zinauzwa ghali aaaa, yaani chupi tu shilingi elfu 4 khaaa, bora sisi viboxer vyetu vya buku mbili mbili, imetoka iyo,... Aaa.. Sasa mtoto wa watu nilikua sina hata nauli hivyo nilijikuta nakimbia kwa spidi ili nimuwahishie mtoto wa watu nguo,.. Nilifanikiwa kufika huku nikihema juu juu


"unahema nini Mpenzi wangu"


"shamimu we acha tu, nimekutana na janga hilo, mmmm havisemeki mama"


"nini au umekutana na polisi"


"bora ata ingekua polisi au mwanajeshi, mana anganibutua vibao kisha ningeachwa"


"sasa umekutana na nani"


"shamimu, nimekutana na mke wangu sokoni uso kwa uso hivi"


"haaaaa sasa ikawaje jamani, mungu wangu diki pole"


"aaahhhh nashkuru nimeshapoa, yaani unaziona hizi nguo hizi, nimenunua mara ya pili"


"kwanini sasa"


"si alinikuta nachagua nguo zako, tena ndio alinikuta kwenye duka la nguo zenu za ndani, nikawa naivutia hisia ya kiuno chako kama itakuenea, saa ngapi hajanikuta hapo dukani"


"mungu wangu diki muongo wewe"


"sikia sasa,... Si nikaanza kujibalaguza, kabla sijasema akaanza kusema eti... (Jamani mume wangu umeninunulia chupi nzuri) ... Yaani kuskia hivyo tu nami nikakubali, nimemuacha aende nazo, afu nikarudi tena dukani na kununua hizi"


"lakini diki mpenzi, hayo yote ndio umeyataka mwenyewe"


"nimeyataka kivipi?"


"ivi unajua kua wewe bado ni mdogo sana, na hukupaswa kuoa dikiii, ulikimbilia nini, au uliambiwa tunaisha, hebu ona sasa hata raha ya kufurahia penzi letu hatuna"


"hebu vaa twende, mana naona unataka kunichefua tena"


Nilimkuta shamimu kavaa kanga yake moja tu, akaifungua na kubaki kama alivyozaliwa, kisha akawa anaichukua ile nguo ya ndani na kuivaa,


"heee dikiiii ulijuaje kiuno changu"


"Ebu geuka uku"


Sasa ujinga wangu mimi, yaani chupi nimeinunua mwenyewe wala sikua na shauku yeyote nayo, lakini shamimu alivyitia tu mwilini, nilianza kumtamani shamimu tena kisa ni ile nguo ya ndani, Nilianza kuingiza mkono wangu ndani ya ile chupi yake huku nikimminya minya pamoja na kuivua tena,


"diki mpenzi inamaana ushantamani tena"


"ndio"


"yaani diki, inaonekana sana mkeo anapata raha sana, yaan mwanaume kijogoo kila mara unataka"


"naomba nikuvue hii chupi sham"


"dikiiiiii ruksa kufanya hivyo, but nina ombi moja kwako mpenzi wangu"


"nini tena sham"


Nilikua nikimsikiliza huku nikiendelea kuivua ile nguo,...


"dikiiiiii, kwanini usinifanye niwe mke wa pili kwako"


"apana sham, itakua ngumu kwakweli"


"dikiiii, ugumu upo wapi lakini"


"sham, wewe ni mkubwa kwangu sham hivyo siwezi kukuoa"


"lakini nitakueshim kama mume wangu, japo utakua mdogo wangu lakini nitakupa heshma yako kama mume"


"hapana siwezi"


Sham alinuna baada ya mimi kukataa kumuoa kua mke wa pili


"dikiiiiii, nitamueshimu mkeo jamani, nipe hio nafasi ili tusiwe tunaiba iba"


Sikutaka kumjibu, nilikua nataka kumalizia kuvua ile nguo mara kaishika na kuipandisha juu,


"kwaio unanibania sio"


Nilimuambia hivyo baada ya yeye kuivaa upya, sasa alipoivaa vizuri akaendelea kulala tena kifudi fudi, yaani kalalia tumbo, sasa mtoto wa watu kuona wowowo kwangu ni shida, yaani mimi nikiona likiwa limevalishwa chupi, UuuuuuuWiiiiiiiiiiiii nachanganyikiwa.. Nilijikuta nalipapasa papasa, kimahaba huku nikiivuta tena ile chupi, wakati huo nanii yangu ilikua inauma, afu wazimu wa kula huko ulishakuja, nilianza kuivua tena ile chupi ila safari hii akili haitaki Normal Sex tena bali inataka Hard sex.. Nikisema HARD SEX namaanisha ufanyaji wa mapenzi kinyume na maumbile, na nikisema NORMAL SEX namaanisha ufanyaji wa mapenzi kwa njia ya kawaida.... Sasa hapo nilikua nataka Hard sex, japo sham alikua halijui hilo, Nilikua naivua lakini sham hakua akinipa sapoti yeyote ya kuivua ile chupi, hivyo nilikua napata shida kiasi.... Ilipofika kwenye miguu nikainua mguu wake mmoja kisha na mwingine na kuivua, wakati huo sham kanuna kisa nimekataa kumfanya mke wa pili,... Nilijikuta naanza kuyapanua panua makalio yake huku nikiingiza kido..... Huko huko, sham alishtuka lakini hakusema kitu.. Nilisimama kisha nikaivua track yangu na kumfata pale kitandani, nanii yangu ilikua imekaza afu imenyooka tiiiii, nilianza kumshika kiuno huku nikianza kuingiza nanii yangu,... Ghafla sham akakurupuka


"dikiiiiii, unataka kunifanyaje lakini mbona sikuelewi"


"shamuuuuuu mpenzi wangu, please naomba kimoja tu nienjoi"


"dikiiiiii, unamaanisha unataka uniruke ukuta"


Aliposema hivyo niliangalia chini huku nikitikisa kichwa, kua ndio


"Kweli diki siamini kama unatumiaga hizo njia, na kama ni hivyo sitaki tena"


Alikua anataka kuondoka nikamkumbatia huku nanii yangu ikiwa inamgusa gusa mgongoni kwake, baada ya kumkumbatia, nikawa nambembeleza sham anikubalie,


"sham mpenzi, please naomba kimoja tu"


"sitaki diki, stakiii"


"nitakufikiria lile ombi lako sham"


"ombi gani hilo"


"si hilo la kutaka nikuoe"


"sasa itakua ina maana gani kama utanioa afu sintopata mtoto"


"nani kakuambia hupati mtoto"


Nilikua nautumia ulimi wangu kumlaghai sham ili aweze kunikubalia, yaani Kiukweli uchafu kama huu kunikaa kichwani ni jambo baya sana, na licha ya huyu, hata mke wangu pia nilimponya ponya kufanya nae Hard Sex,


"dikiiiiii.... Mi mwenzio napenda kua na watoto, napenda watoto diki, mmhhh sasa nikikupa niwapataje"


"huyo aliokuambia alikudanganya"


"wala tu, mana naskia tukiwa tunajifungua hua nguvu hutokea huko, sasa mi nikifa je"


"sham jamani acha uoga, huo wote ni uzushi tuuu"


"diki lakini mbona unapang'ang'ania ivo"


"please sham, nitakuoa sham"


"diki we muongo"


" kweli vile, lakini unatakiwa unieshim ndani ya ndoa"


"dikiiiiii.... Kweli utanioa hhhhmm"


"kweli, vile sikutaniii"


CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/


"utanioa lini"


"si mpaka tupangilie, niwaambie wazazi wangu"


"dikiiiiii jamani usinidanganye"


"ahhhh basi bwana kama huniamini"


Nilimuachia kisha nikawa nateremka kitandani kwa kukasirika


"jamani diki, basi njoo"


"aahhh naona maswali mengi"


"lakini diki, mi mwenzio sijawahi sasa itakuaje"


"usijali"


Mtoto wa kiume nilikaa kitandani huku nanii yangu imenyooka tiiii,


"vp sasa umekubali mamy"


Mtoto alitikisa kichwa kuashiria kua amekubali,


"lakini dikii? Nitawezaje, ona hio nanii yako ilivyo kubwa afu kavuuu, jamaniiii"


"kwani we shida yako ni nini"


"mmmhhh naomba uipake kitu chochote kilaini, mana mmmhhh mwenzangu weee, Unalo"


"kwaio unaiogopa si ndio"


"kama ingelikua ni huku sawa, lakini huku, mmmhhh mwenzangu tafuta kifuta chochote ukipakalie ili tuenjoi wote utamu wa huko"








Kiukweli nilikua ni mtu ambae siwezi kusameheka kabisa mbele za mwenyzi mungu kwa tabia nilionayo ambayo haimridhishi mtu yeyote yule kwa kike ninachokipenda, sadiki hakuna sadiki tena bali alikua ni mtu kafiri, kwani Uzuri wa sura ya sadiki ndio ilikua tatizo kwa wasichana waliokua tayari kuingiliwa kinyume na maumbile yake,


Kwa siku ya leo sadiki alikua akimruka mdada ambae sio makamu yake, na kwa akili mbovu za huyo dada na ukubwa wake alijikuta anakubali kirahisi sana kwa kudanganywa na kijana mdogo kisa kutaka kuolewa,


"sasa nitapata wapi mafuta sham"


"kwaio diki, unataka uniambie kua unataka uniingilie hivyo hivyo"


"hapana sina maana hio"


Nilimjibu hivyo huku nikishuka kitandani na kuelekea bafuni, ambako nilikuta sabuni fulani lainiii, niliitumia ile kisha nikarudi kitandani huku nikiwa namtamani sana sham, mana sham alikua ana umbo zuri la kuvutia kiasi kwamba nisingeweza kumuacha kirahisi rahisi hivyo.... Nilipofika kitandani nilimkuta sham akiwa kaina ile mbuzi kagoma huku makalio kayabinua juu mpaka raha yani... Nilipofika nae nilimpakalia ile sabuni ambayo ilinibakia mkononi kisha nikaanza kumruka sham..


"dikiiii, ukipagusa gusa naskia raha"


Sham aliongea hivyo kwa sauti ya upole huku akiendelea kubinuka vizuri,...


Nilianza kwa utaratibu mzuri kana kwamba sham alikua akipata utamu uliomfanya aendelee kubinuka na kunifanya nipate urahisi na utamu wa kuingiza nanii yangu kunako 0714, nilifanikiwa kuingiza kale kich...... Huku sham akianza kulia kwa maumivu kiasi


"pole"


Nilimuambia pole huku nikiendelea kumruka,... Ilifika mahali nikajikaza vizuri na wakati huo pia utamu au hali ya kupizi ilikua inakuja hivyo nilijikaza na kuizamisha yote, kitendo hicho kilimfanya sham kuruka na kupiga kelele ambazo huenda hata waliomo karibu na chumba chetu waliskia, sham alikua akilia kwa pembeni lakini mimi nilikua nimeshapizi ndani kwa ndani kana kwamba tayari hamu yangu ilishaisha, nilimfuata sham na kumbembeleza kiaina ili aweze kunyamaza mana alikua akilia kwa sauti..


"dikiii umeniumiza mtoto wa mwenzio"


Alikua akilalama kiivyo na wakati huo nanii yangu ilishasinyaa kana kwamba kiburi chake kiliisha mara moja baada ya alichotaka kufanikisha... Nilimbembeleza sham lakini alikua hataki, aliamka pale alipo na kuingia bafuni kwa hasira, ila alikua akichechemea mithili ya mtu mwenye mguu mbovu, alienda kuoga nami nikaingia huko huko na kuoga wote, lakini sham alikua bado kanuna hivyo hivyo


Baada ya masaa kadhaa kupita tulishamaliza kuoga na sasa sham alikua akivaa nguo, ni zile ambazo nilimnunulia muda sio mrefu,


"sham unamaanisha hutowahi kunisemesha maisha yangu yote"


Nilimuuliza kutokana na ukimya wake wa muda mrefu,... Niliona bado hanijibu hivyo nilichukua jukumu la kuondoka na kumuacha hapo gesti,. .


Nilirudi zangu nyumbani ambako nilimkuta mke wangu kakaa


"jamani mume wangu, mi nilijua utawahi uje tule wote, ona sasa chakula mpaka kimekua cha baridi"


Ilikua ni mida ya mchana mke wangu alikua akilalama kutokana na kuchelewa kwangu, mana tulipatana niwahi lakini kwa bahati Mbaya si nikakutana na penzi lingine la sham na kumtamani kinyume na maumbile yake,...


"usijali mke wangu, mimi naweza kula chakula cha baridi, ila wewe usile"


"kwanini nisile"


"usile chakula cha baridi mke wangu"


"mmhh basi ngoja nipike tena"


"no nenda kanunue chipsi kuku ule mke wangu"


Basi mke wangu alinyanyuka na kwenda gengeni kununua chipsi na kuku,.....


Baada ya masaa kadhaa kupita ilikua ni jioni saa kumi na mbili, nikiwa naelekea mtoni kuteka maji, mana siku ya leo sikuenda ofisini, na huku shambani tulishawapa watu kazi ya kulima na kupandikiza mboga kutokana na ubize tulionao, sasa nikiwa naelekea korongoni niliona sio vibaya kama nitapitia shamba kwa ajili ya kulikagua mana ni karibu karibu na bombani,.. Nilipomaliza kukagua nikarudi kuteka maji, huku nikiwa peke yangu mana kagiza kalikuepo kanafanya kazi yake ya kuupamba ulimwengu, nilirudia rudia safari nyingi za mtoni mpaka ilipofika mida ya usiku saa moja hivi ambapo niliweza kukutana na mwai, kama unamkumbuka mwai ni rafiki yake na ashura, wadada wa kwanza kunipenda kwenye huu mji mmoja wapo ni huyu,.


"hebu subiri kwanza"


"nini mwai, mbona mkorofi ivo"


"sio mkorofi, ivi diki, una uhensam gani wewe kiasikwamba unatutesa sisi wasichana, ivi wewe ni malaika wewe"


"aahh lakini ni ubize tu mwai"


"ubize, ubize gani... Haya kama ni ubize nafasi ndio hii, unasemaje"


"aahhhh lakini hapa ni porini mwai"


"kwani uliambiwa porini haingii"


"aahhh sasa majibu gani ayo"


"dikiiiiii. Mi nina mashaka na wewe utakua husimamishi wewe"


"mwanaidiiiii, naona unanitukana sasa"


"sio nakutukana diki, ila umezidi kuninyima utamu wako kiasikwamba hata siamini kama wewe ni wa kiume"


Sasa alipomaliza tu kuongea hivyo mwai alinirukia na kukimbilia sehemu za siri kiasha akazishika kwa umakini.. Nanii yangu ilikua imesimama hivyo aliikuta ikiwa katika hali kama hio...


"whaaat, diki, yaani unaumia kiasi hiki na mie nipo"


Mwanaidi kwa uchu wa ngono alijikuta akiitupa ndoo yake ambayo ilikua bado haikutekwa maji, kisha akaanza kufungua zipu ya suruali yangu, nilikya nami hisia na yeye zilishaanza hivyo nilikua nataka kujua anachokifanya, mwai aliingiza mkono ndani akakutana na boxer ilimlinda mzee nani... Aliifurahia ile hali ya kukuta jamaa katuna ndani ya boxer... Mwanaidi alinivuta mpaka kichakani na kuzitandika kanga zake zote, na kubakiwa na taiti nyeusi na chupi peke yake,


"diki nataka leo niuonje urijali wako, haki ya mungu vile leo sikuachi"


Yalikua ni maneno ya mwai yakionekana kua na hamu na mimi,.. Mwai alinilaza pale chini alipotandika kanga.. Ilikua ni katikati ya mahindi yaani palifunga tena ukizingatia na usiku huo mida ya saa moja na nusu usiku, kulikua na kagiza cha kutosha, mwai alianza kunivua shati langu kisha akanivua na suruali pamoja na boxer, hivyo mie nikawa mtupu kama nilivyo zaliwa, ila mwai yeye hakua akiona kutokana na kiza kinene kutawala maeneo hayo, hivyo alikua anaifaidi kwa kuishika shika tu,... Papo hapo mwai nae akaanza kuivua taiti yake na kubakiwa na chupi tu, kana kwamba ile nguo iliobaki ndio ilikua inanipa hamasa ya kumduu mwai, nilimgeuza mwai na yeye akawa chini mimi juu


"dikiiiiii, yani siamini kama leo unasex na mimi"


"kwanini"


"nilikupenda muda mrefu sana, na toka nianze Upendo kwako sijawahi kuguswa mpaka na leo"


"usijali leo nipo tayari kukupa utamu wangu"


Nilimuambia hivyo huku nikilivua lile kufuli lake,


"diki, vua tu wala usijali, nakupa mwili wangu wote ufanye unavyotaka baby"


Nilifanikiwa kuivua chupi ya Mwanaidi na kuitupa huko kisha nikaanza kumpapasa kima0enzi,wakati huo sisi wote tulikua uchi wa minyama, yaani tulikua tukifaidiana kwa kushikana mana kulikuepo na kagiza kazito hivi,...


"dikii, naskia eti unapendaga kufanya mapenzi kinyume na maumbile, ni kweli"


"hapana, nani ka kudanganya ivo"


"niliskia tu mtaani"


"kwaio unataka sio"


"mmnhhh akuuuu, mi sijawai"


Sasa mtoto alionekana mwenyewe kua anataka kurukwa ukuta mana kaianzisha mada mwenyewe...


"dikiii, kwani vinauma ukimfanya mtu huko"


"ndio, au tujaribu"


"staki"


"nipe bwanaaaa"


"mi staki bwana dikii"


Mtoto alikua akiongea kwa sauti ya puani kiasi kwamba midadi ndio ilikua ikinizidi, nilianza kumshika shika kifua chake huku nikipitisha kidole changu huku chini ili kumpa utamu na kuiweka kumbukumbu katika kichwa chake,... Muda huo nanii yangu ilikua inauma kwa kukaza muda mrefu, nilianza kumuingilia mwai kwa njia ya kawaida, lakini alikua akitoa milio ilioashiria kua ilikua ikimuumiza mana nami nilikua sio haba niliumbika maenro flani hivi, hivyo nilikua natoa dozi nzuri kwa kila msichana anaeitaka dozi hio..


"dikiii, taratibu mpenzi, au kama una mafuta nikupe huku, si unapendaga"


Sasa aliposema hivyo ndio nikagundua kua mwai nae alishawahi kufanyiwa tendo hilo la kinyume na maumbile, hivyo kama nitamfanyia mimi, wala sintokua wakwanza kufanya hivyo.... Aliinekana dhahiri kua kuna alieanza nae kuruka ukuta na ndio mana anasikia maumivu sehemu ya kawaida mana amezoea kufanya huko,.... Katika siku ambayo nilikataa kula sehemu ya nyuma ni leo, mana hua spendagi kufunguliwa njia na mwenzangu, hivyo nilikataa kufanya hivyo na nikawa nafanya mbele tu,


"dikiiiiii..... Nakupa huku hutaki"


Sasa mwai akawa anaitoa huku na kuiingiza huku, yaani alikua ananilazimisha nimruke ukuta..


"dikiiii, nawashwa na huku, please diki, naomba uniingilie angalau kimoja tu"


"staki"


"diki, hakika nitakulipa kwa hilo"


"utanilipa nini wewe"


"nitaenda kukuibia pesa za baba angu alizouzia ng'ombe jana... PLEASE diki, hamia huku nitakupa pesa zote za baba angu, lakini uhamie hukuuuuuuuuuuu"








Kiukweli mwai nae alishabobea katika swala zima la kufanya mapenzi kinyume na maumbile, hivyo nami kusikia pesa ya ng'ombe, nilijikuta nikihamia kweli, ila kabla sijahamia huko, nilivuta wallet yangu na kutoa kondom, nikaivaa kisha nikamgeuza mwai na kumkuna sehemu alioitaka


"iiiiiiiiiiiiiiiii diki"


"nini"


"heeeeeee mb******, yako kubwa ee"


"kwani we umeskiliziaje"


"imenufurahisha sana"


"ivi mwai hii tabia uliianza lini"


"wewe hio yako uliianza lini"


"nimekuwahi mimi, so nijibu kwanza then nitakujibu na mimi"


"nilibakwa shuleni, sasa walikua wengi na wengine wakanifanya nyuma, ndio hadi leo napenda kufanywa huko"


"mmmhhh pole"


"asante, lakini vitamu diki"


"hata mi naona"


Mwanaidi alikua akijiskia raha sana baada ya mimi kukatikia juu ya makalio yake, yaani ilikua ni ukafiri mkubwa tuliokua tukiufanya,.... Nilipizi kisha nikaivua kondom na kuitupa, na happ kila mtu alikua yupo hoi, mana bao moja kwangu mpaka litoke ni shughuli nzito afu ukizingatia mchana uliopita nilikua kwa sham, hivyo bado siku na uchu sana sema tamaa ndio zilinizidi sana,


Muda huo nilikua navaa boxer yangu huku mwai akiniminya minya kifua changu, mwai alikua ana chuchu zimekaa vizuri sana,


"dikiii, asante, ila hela sikupi baba"


Sikutaka kumsikiliza mana najua ni hamu zake ndizo zilizompelekea hadi kunambia atanipa pesa za baba yake...


"diki chupi yangu uliiweka wapi"


"we angalia tu huko utaiona"


"bwana mi siioni chupi yangu"


"mwai, kesho nione nitakupa hela ukanunue nyingine sawa"


"lakini tatizo sio pesa, tatizo ni kuonekana na ikionekana nitajulikana ni mimi"


Baada ya kuona jasu analalama sana nilienda kumseidia kuitafuta nikaiona na kumvalisha, mwai alikua ana makalio hivyo hata chupi kupanda ilikua inasumbua,


"dikiiiiii mpenzi, naomba kesho tukutane tena vizuri.... Nipo tayari kuilipia gesti kwa ajili yako, mana una naniii nzuri"


"staki"


"afu diki, mbona hujanikumbusha nikunyonye jamani diki"


"spendagi kufanywa hivyo"


"jamani diki, mi napenda kunyonya mwenzio"


Mwai alikua akilalama kwakua hakuipata nafasi ya kuisolola nanii yangu, na hapo ndipo nilipogundua kua mwai alikua ni malaya wa kutupwa, na ndio mana nilikumbuka kuvaa kondom,...


"dikiiiiii, mbona nawashwa tena"


"sikiliza mwai mi siwezi kufanya na wewe tena iwe leo au sio leo, na kuanzia leo tafuta mwanaume mwingine lakini sio mimi tena"


"inatosha diki, maneno yako yananiumiza sana, au kisa umejua kua nashiriki kufanya mapenzi kinyume na maumbile yangu"


"nimesema sikutaki tena, mana una asili ya umalaya mwai, wewe ni malaya mwai si ukubali tu"


"ni kweli, lakini mimi nimekupenda, na sihitaji kukuuzia uchi wangu"


"sasa nasema hivi sitaki"


Niliongea kwa hasira kisha nikaondoka huku nikimuacha akiniita bila mafanikio ya kuitika kwangu...


Nilitoka hapo kichakani kisha nikaelekea kuteka maji, na kuondoka zangu, kikubwa nimeshatoa muwasho wa mwai basi nami sikua na sababu ya kuendelea kuwepo hapo


BAADA YA WIKI MOJA KUPITA


na leo ni siku nyingine nikiwa nipo ofisini kwangu nikiendelea kushona madera ya wanawake waja wazito,... . Mara simu yangu iliita


"haloo mke wangu vp"


"staki, niletee udongo"


"mungu wangu eee, sasa mi udongo nitautoa wapi we mwanamke"


"sasa mi naumwa na njaa"


CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/


"si upike sasa"


"njooo upike wewe"


"we mshenzi nini, nilikuoa wa nini kama mimi nitapika"


Nilikata simu kwa hasira huku nikimuwaza kua mke wangu kawaje tena mbona kaanza kua mjeuri kiasi hiki, au kapata mwanaume mwingine nini, Basi niliendelea na kazi huku nikiwa na hasira za huyu mwanamke kunambia mimi nikampikie chakula ale.....


Ilipofika mchana mida ya saa 8 hivi mke wangu alikuja, lakini cha ajabu hakuja na chakula kama ilivyo oda ya kila siku,


"enhee kulikoni bila chakula"


Alikaa kwenye kochi na kujilaza huku akisema


"kaniletee koka ndogo, afu utoke apa mana unantia kichefu chefu"


"ati nini"


Mke wangu aliamka na kusimama huku akisema


"nasema kalete soda ndogo ya baridi tena"


Niliunyanyua mkono wangu na kumzaba vibao kama viwili hivi, hata kama alikua mja mzito lakini kiburi chake kilipitiliza mahali pasipostahili kufika...


"ivi mke wangu umekuwaje siku hizi, toka juzi kazi ni kunituma tu mara umechoka unanituma tuma vitu ambavyo mi siwezi kuvipata, haya huo umeme uko wapi na hicho kisoda cha baridi utakipataje"


"dikiiiiii, yani umenipiga mimi, sawa haina shida"


Mke wangu aliondoka huku akiwa analia lakini hata mimi nafsi ilinisuta kwa kumpiga kibao mana sijawahi kufanya hivyo, kwaio kwangu ilikua kama ndio naanza hivyo, Nilifunga ofisini na kumfata nyuma nyuma, mana hakawiii kukusanya nguo zake na kuondoka...


Afu ukizingatia bado nampenda mke wangu, hivyo ni ngumu kumuacha aende. Nilipofika njiani nilikutana na sham,


"diki, we diki"


"nini"


"nisubiri bwana"


"niniiii"


"nimekuletea mteja mzuri tu ana kazi yake"


Nikaona ngoja nirudi nikafanye kazi, hivyo niliacha kumfatilia na kurudi kazini baada ya kusikia kuna kazi,


"ni nani huyo"


"kuna mama pale kanunua dera pale kwangu sasa anataka ulibane kidogo"


"yuko wapi"


"yuko pale dukani kwako"


Nilimuwahi huyo mteja na kumkuta kweli alikuepo ni mama mtu mzima akiwa ana mfuko uliowekwa nguo kwa ndani, nilifungua mlango kisha akaingia, na sham nae pia akaingia ila sham hakukaa bali alinikabizi mteja wangu kisha akaondoka zake.... Sasa hivi sham hataki mzoea na mimi kabisa na sijui ni kwanini... Sasa nikiwa nataka tu kuanza kufanya kazi ya huyu mama mara simu yangu ikaita, kucheki jina alikua ni mama angu mzazi,


"huyu kanikumbuka leo"


Nilijisemea mwenyewe mana mama angu hakuwahi kunipigia mpaka nimpigie mimi, na ni juzi tu hapa nimeongea nae


"halo mamy shkamoo"


"sitaki Shikamoo yako mbwa wewe"


"mami kuna nini tena mbona jazba hivyo". "umempigia nini mtoto wa watu"


"heeeeee yaani keshakupa taarifa tayari"


"pumbavu nakuambia kwanini umempiga mtoto wa watu, ivi diki mwanangu kwanini hunipi amani mama yako, haya mtoto wa watu kakufanyaje"


"mamiiii tatizo jasu ni mshenzi sana yaani toka hii wiki ianze jasu amekua mtu wa dharau, ananituma kama mtoto mdogo, afu mbaya zaidi anataka vitu ambavyo havipatikani kwa muda huo... Sasa mi kitu nilichompigia ni kuniambia niende nyumbani nikampikie ale, mara anataka soda ndogo baridi, mara anataka udongo wa kunukia, mara... Aaaahhhh yani kanichosha mama, kanichosha mtoto wenu"








"diki mwanangu, kumbe hujui tu, mwenzio anakaribia kujifungua huyo, tatizo sio yeye ni hicho kiumbe alichonacho, sadiki... Nakuomba sana baba usimpige tena, mana sio kosa lake na ni kawaida ya wanawake tukiwa katika hali hio.... Nakuomba sana baba usirudie tena kumpiga"


"tatizo kazidi sana mamy"


"sawaa kwani kabla ya hio wiki alikua akikutuma au kutaka hivyo vitu we mpe tu"


"ok sawa, nimekuelewa mamy wangu ila akizidisha nambutua"


"pumbavu wewe, mbona hunielewi mbwa wewe"


Mama alikata simu kwa hasira ya kutokunielewa mana nilikua nina hasira kupita kiasi,


Nilipomaliza kuongea na simu yule mama aliniuliza kua


"unaonekana una mke mja mzito wewe"


"ndio mama angu, ila anasumbua sana eti"


"lakini usimkasirikie mana sio hali yake bali imemtokea tu"


Niliimaliza ile kazi ya yule mama kisha nikafunga ofisi mana ilikua ni mida ya saa 11 jioni, sasa nikawa narudi nyumbani taratibu huku nikiwa na mawazo juu ya mke wangu, mana kama itakua ni ugonjwa je itakuaje,


"dikiiiiii nisubiri"


Alikua ni sham ndio aliniambia nimsubiri huku yeye akikimbia


"diki, yani siku hizi hata kuongea na mimi hutaki, au mkeo kakubana sana"


"mi na wewe nani alikataa kuongea na mwenzie"


"sawa nakumbuka ni mimi, lakini ni siku ile tu niliokua naskia maumivu yani hata kuongea nilikua staki"


"basi poa"


"kwaio"


"kwaio nini"


" nataka leo unipe tena kule kule, kutamu"


"staki tena"


"Whattt?"


"dikiiiiii, mi nataka uniruke tena"


"nimesema staki, nipo bize na mke wangu sasa"


"Enhee afu nimekumbuka, ivi swala letu la kuoana vp sasa"


"Ahahahaha hahahahahahahahaha, sham swala hilo we futa akilini mwako, yaani ni jambo ambalo kutokea kwa ni asilimia 1‰ tu, yaani haiwezekani kwa asilimia 99‰ mama hivyo sitaki"


"we msenge nini wewe, yaani umenitobonyoa huku kwa kutarajia kunioa afu unaniambia usenge wako huo, ulifikiri nitakuelewa"


"mimi ni msenge si ndio"


"ndio, kwani utanifanyaje"


"naomba tuepushe shari sham, kwasababu nitakubutua hapa sasa hivi"


"weeeee subutuuuu jaribu uone"


Nilitaka kumfata lakini nafsi ikanambia kua


"fata swala la mkeo na kuacha kugombana na vimada wa mtaani"


Niliacha kumfata na kuendelea na safari, huku bado ananifata na maneno yake ya kejeli,


"shoga wewe, huezi hata kufanya vizuri"


"tatizo nyie wanawake ni wajinga, yaani mnadanganywa na wapenzi wenu mnakubali tu kirahisi rahisi tu, ujinga uo"


Niliposema hivyo sham alichukua jukumu la kuondoka maeneo hayo huku akilia kwa maneno nilio yaongea....


Nilirudi zangu nyumbani na kumkuta mke wangu kakaa kwenye sofa katuliaaaa,


"vp mke wangu"


Hakuongea na badala yake aliniangalia tu.


"kwanza nashkuru kwakua upo"


"usiniguse"


Aliutoa mkono wangu katika bega lake na kuutupa kana kwamba hakua akinitaka kwa muda huo,


"nisamee mke wangu"


Nilimuomba msamaha kwa vile nilivyompiga vibao kule kazini, lakini hakutaka kunielewa, basi nikaingia jikoni kisha nikabandika maji ya kuoga na kuyapeleka bafuni.... Kisha nikarudi chumbani ili kuchukua sabuni, sasa kufika bafuni nilikuta maji yamemwagwa,


"jamani haya maji yamemwagwa na nani tena"


Sasa nikimuangalia mke wangu alikua anacheka kisiri siri kana kwamba ni yeye ndio kayamwaga


"umefrai sasa kuyamwaga"


CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/


"kaoge sasa pale chini si unapenda kuoga sana"


Nilishikwa na hasira nilitamani nimzabe mkibao mwingine, lakini nikikumbuka nilichoambiwa na mama daahhh sidhani kama ni kweli,


"afu nilikuambia uje na chipsi umekuja mikono mitupu"


Aliniambia hivyo huku akiwa kanitolea macho, na wakati hakuniambia nimletee chipsi


"labda nimesahau tu"


Nilimjibu hivyo kwa kumpooza mana toka nilipoambiwa sababu ni mimba sasa nimekua mpole nae kwa kiasi flani tu


"basi kaniletee juice ya embe dazeni moja tu na chipsi"


"nini... Yaani dazeni moja ya juice"


"mi naskia njaa"


"ngoja basi nipike mke wangu, napika ule"


"staki chakula chako kichafu"


Nilitoka nje kupunguza hasira kwanza mana nikikaa nae karibu naweza kumuua bure... Niliingia ndani na kumuuliza


"hizo juisi wataka za baridi au za moto"


"za baridi... Afu fanya haraka nina njaa"


Aisee kama ni hio mimba ajifungue tu, mana hii ni kero hii


Nilienda kwa mpemba mmoja hivi muuza duka, kisha nikamnunulia hio dazeni za jusi ya embe...


"asee mpemba, dazeni ya juice ya embe shing ngapi"


"elfu sita tu kaka"


"daaahhh... Nipe cha baridi basi"


"lakini hatuekagi dazeni kwenye friji labda nikupe kwenye mfuko tu"


"sawa fanya hivyo tu"


"kaka unefungua duka nini ndugu yangu.. Mana kama umefungua sasa tutauzaje tupo karibu karibu hivi"


"mpemba we acha tu, nina duka tumbo huko nyumbani aahhh"


"duka lako linaitwa tumbo"


"we nipe mi niende"


Nilichukua zile juisi kisha nikampelekea pamoja na chipsi,


"hivi hapa mama vitu vyako... Kula mama unenepe"


"hivi vimetimia 12 hivi"


"ndio hesabu uone"


"mbona vya koka hamna"


"jamani mke wangu, si uliniambia dazeni ya juice ya embe jamani"


"nilikuambia changanya na koka,.. Chukua mizigo yako uko, mi nataka ya koka na hio"


"haya anza kunywa hizi basi nikalete hio koka"


"we kalete vyote kwa pamoja"


"na hio ya koka nayo wataka dazen au moja tu"


"moja anywe nani, lete dazeni zote"


"mungu wangu eeeee.... Yaani mpaka uje ujifungue, huyu mpemba keshatajirika tayari"


"nenda bwana njaa inaniuma"


Niliondoka na kwenda kwa mpemba tena


"aisee niongezee dazeni ingine ya koka hapa hapa"


Ikaongezwa kisha nikaondoka huku nikifikiria atasema nini tena mana hapa tu elfu 15 imeshakata tayari.... Yaani akigoma tena na kuleta mambo mengine sjui itakuaje


"akikataa na hivi namtia mateke ya tumbo, staki hasra mimi"


Nilijiongelea mwenyewe huku nikielekea huko ndani... Yaani akivikataa nitamzabua mateke mpaka aache maringo, kama ni hio mimba itoke tu


"haya mama vitu vyako hivyoooo kula na uvimalize nikalete vingine"


"ondoka sasa nile, mana unanuka kama umejamba"


"Ati nini, yani mi nimejamba?"








Nilishikwa na hasira za hapa na pale kutokana na maneno mke wangu anaongea, lakini nilikuja kugundua kua, kweli huenda ni uja uzito, mana mineno kama hii hakuwahi kuniambia kabla, na sijui kama kuna mwanamke anaweza kumuambia mume wake maneno kama haya, Kiukweli nilikua katika wakati mgumu sana kwa wakati huo mana ni wiki ya pili sasa toka aanze hii tabia, amekua wa kuagiza vitu vingi mno kwa siku, afu kasahau maisha yetu na kitaka vitu vya bei ambavyo hatuna hata uwezo navyo,...


Niliondoka zangu maeneo hayo pamoja na kuambiwa nanuka kwa kujamba, nilikasirika lakini mamy alishanisihi nisirudie kumpiga kwa mara nyingine tena,


Siku ya pili kesho yake asubuhi nikiwa nipo kazini naendelea na majukumu yangu ya kikazi, nilikua nafanya kazi huku nikimuwaza mke wangu kua hili tatizo lake litaishia lini, mana hio mimba yake yenyewe ndio kwanza ina miezi 7,na kama havipungui hivyo anavyohitaji kila siku mpaka miezi 9 iishe, mbona tutauza kila kitu chetu humu ndani, mana hali alionayo sio hali ya kawaida, mana anaagiza vitu vingi lakini hamalizi kula sasa sijui ni mimba aina gani hii ambayo inaahiza dazeni nzima ya juisi afu kumaliza hawezi...


Nilikua na mawazo mengi sana kuusiana na hili, lakini haikua na jinsi kwa kuikabili hali hii,... Ilifika mchana mke wangu alileta chakula cha mchana nikajua labda madudu yake yatakua yamepungua kiasi, mana alikua ni wakawaida tu na hakua na majivuno kwa wkati huo, nilimpokea kwa shangwe nyingi huku nikikifurahia chakula alichokileta...


Nilianza kula huku nikimuangalia mana sasa hivi namhofia sana kuliko siku zote,


"niwekee muvi ya van dame"


"nini? Sasa muvi ya van dame mi naitolea wapi na wakati hiki ni king'amuzi"


"kwani si itaonyesha tu"


"haya subiri itakuja baadae"


Niliongea maneno hayo huku nikimpuuza, nikajiuliza kua


"hii ni mimba gani hii inataka hadi kuangali muvi ya van dame, duuu"


Nilijisemea mwenyewe kimoyo moyo huku nikiendelea kula, wakati huo nilikua nina kazi nyingi sana za kufanya, na wala sikua nahitaji kugasiwa na kitu chochote kile,


"afu mke wangu, unatakiwa kujifunza hii kazi ya cherehani, mana leo nipo kesho sipo utaishi vp"


"hilo nalo neno, ila nitajifunzaje sasa na hali hii mtumbo hivi"


"itabidi ujitahidi tu hivyo hivyo"


Basi pale pale nilianza kumfundisha mke wangu baadhi ya vipimo, na kukata yaani nilikua namfundisha CHEREHANI ili siku nikiwa sipo basi aweze kujitagutia rizki mwenyewe, mke wangu kuna saa hawi mkali, hivyo nautumia muda huo kumfundisha kwa kina,


Zilipita siku tatu kwa maisha haya haya ya kulazimishana na kununua mabitu yasio na maana mavitu mengi mpaka mtu anashindwa kula, Ndani ya siku tatu hizo nilikua namfundusha mke qanhu jinsi ya kushona na kichwa chake kilikua kirahisi sana kwa kufundisha, lakini siku zote hizo nilikua nikimfundisha kwa taimingi, na hakua mzito wa kuelewa


"mume wangu"


Aliniita mke wangu huku akiniangalia kwa jicho la huba, nikashangaa leo mke wangu ananiita vizuri hivi, tena kwa kulegezeana macho,


"sema mke wangu"


"leo tukirudi nyumbani, nina hamu"


"hamu ya nini, au untaka tena mi dazeni yako ya juisi"


"wala staki kitu ila nataka hio nanii yako"


"eenhee,unamaanisha unataka niku***** si ndio"


"sasa je"


"mungu wangu sasa na mimba yote hii itakuaje jamani jasu, miezi 7 sio midogo eti"


"mi nataka hivyo hivyo tu"


"apana bwana mi sintokugusa"


"utataka tu hata kwa lazima, tena nataka tutumie kale kamchezo kako"


"kamchezo kangu?.... Kamchezo gani hako"


"si kale ka kupakana mafuta afu ndio uingize"


"tooooba yarabi mungu eeeee"


Mimba ya Mke wangu inampelekea pabaya mpaka kitaka kutamani mapenzi kinyume na maumbile yake, nilihisi mke wangu kawa chizi na hii mimba, yaani kutaka vitu vya kula, mpaka anataka kufanya uasherati, lakini sikumkatalia mana haikua akili yake japo kitendo hicho kwangu nakipenda sana, hivyo akinikazia sana simuachi, nambenua kiasawa sawa,....


Mke wangu aliondoka zake pamoja na vyombo vyake ambavyo alileta xhakula cha mchana, punde sii punde tu yule mama wa VX alifika, kama unamkumbuka jimama lile ambalo nimeliponya ponya kama mara mbili hibi au tatu, na kukasirika sana, ilipita wiki mbili bila kuja kuiniona, sasa leo ndio kaja na sijui alikua na mada gani kwa siku ya leo,


"karibu"


Nilimkaribisha kama mteja wangu, mana hata kujuana kwake na mimi, kulitokana na kazi alionileteaga ya kutengeneza yunifom za shule za watoto wake wawili wa kike ila sikua nawjua bali ni nguo alizoniletea ndio nikajua kua ana watoto wawili wa kike, mkubwa na mdogo,


"asante,.... za masiku"


"nzuri"


Nilikua naitikia kishtkati mana nakumbuka siku ya kwanza nilimuuzi sana na hata nikikumbuka nilikua nacheka tu, mana alikua kitandani hapa hapa ofisini sasa mke wangu alipokua anakuja, nikamuambia huyu mama atoke mana mama yangu anakuja, aisee alikimbia baada ya kusikia ni mama yanhu anakuja... Na wala hakua mama yangu bali alikua ni mke wangu...


"shkamooo"


"toka lini ukaniamkia, ebu nitolee uxhuro apa"


CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/


"sasa kama imekasirika mamy, tutaongea vp"


"sijakasirika wala"


"aaaaaaahhh ok nambie"


"nikuambie niji........ Iv we mtoto, mbona unapenda kunitesa lakini, au pesa zangu kwako si kitu"


"una maana gani ukisema hivyo"


"nisikilije kwa makini jamani sheby"


Nakumbuka nilimwambia kua mimi naitwa sheby badala ya sadiki, japokua sheby pia ni jina langu la kwanza kabisa katika simulizi hiii... Na ndio REAL NAME katika maisha yangu, au BIRTH NAME katika maisha yangu... Hivyo majina yote ya sadiki au jemsi hua naandika tu lakini Sharbiny ndio real name for me,....


"nakuskiliza mamy ongea tu usijali"


"mmmhhh leo unaonekana kunifueahia ee"


"yes kiasi flani hivi"


"ok... Sasa mimi nina wazo juu ya mapenzi yetu"


Huyu jimama alinza kujiongelesha huku akinikonyeza kimtindo... Yaani mimi na mama Kevin tunajuana miili yetu ilivyo ila hatujawahi kuingiliana hata siku moja,.. Karibia mara mbili au tatu hibi tulikua tukikosana kosana kimtindo...


"wazo gani hilo"


"nataka uachane na hii kazi yako"


"heeeee we mama wewe, ivi inaotaaa au unamaana na hayo maneno yako"


"sio kua uache tu, bali nataka uje kwangu nikupe kazi ya kutufanya tuwe karibu"


"mmmmhhh hapana mamy hio ni ngumu kabisa"


"kwanini sheby jamani"


"wewe una mume mamy, sasa nikija kwako tutafurahia vp mapenzi haya"


"mume wangu hana shida, mimi ndio najua jinsi ya kum hendo mume wangu, na pia pale nyumbani kwangu hakuna House Boy, hivyo nitakupeleka kwa njia hio... please naomba ukubali mpenzi wangu"


Jimama lilikua linataka mpaka kulia kisa kukubali kuenda kuishi kwake afu mbay zaidi hajui kama nina mke... Na hapaswi kujua


"siwezi kuiacha kazi yangu inayoniingizia mashahara mzuri kwa mwezi"


"heeee kumbe tatizo ni pesa.... Sikia nikuamnie sheby, pale nyumbani house boy hua tunamlipa laki mbili, lakini kwakua ni wewe nitakupigia debe kwa mume wangu akulipe lakini 3 kwa mwezi, na mbali na hio laki tatu bado nitakuongeza laki mbili ambayo haipo kwenye mshahara wako.... Hivyo kwa mwezi utapokea laki tano kama mshahara wako wa mwezi, na kuachilia mbali hio laki tano kama mshahara wako,... Bali ukiingia na kutoka chumbani kwangu vizuri, lazima utoke na kitita cha pesa kisichopungua laki mbili na kuendelea..... please naomba ukubali sheby"


"mmhhh mbona bado pesa ndogo mamy"


"sheby mpenzi wangu.... Hebu fikiria utaingia chumbani kwangu mara ngapi kwa mwezi, na kila ukiingia na kutoka ni laki mbili mbali na mshahara wako... Je utaingia mara ngapi chumbani kwangu"


Kweli nikachekecha akili fasta fasta nikaona naweza kuingiza hata zaidi ya milioni kwa mwezi, tena kama takua anatoa hio lakini mbili kwa siku kama posho, nitakua naingia kila siku....


"lakini si mitakua narudi nyumbani"


"urudi nyumbani kufanya nini, uliona wapi house boy akafanya kazi na kurudi nyumbani"


"mungu wangu, eeee jasu itakuaje na kijacho wake"


Nilijikuta nimeropoka mbele ya jimama kuhusu jasu


"jasu gani huyo"


"aaahhh ni bibi yangu, kwani hapa naishi na bibi yangu na dada yangu anaitwa jasu sasa ni mjamzito"


"oooohhh pole sana baby"


Kiukweli jimama lilinipenda sana hadi kunifanya mimi kua mpenzi wake duuu


"sasa ngoja nikufikirie mamy, mana kukurupuka siwezi na ni lazima niongee na familia yangu yote ili waweze kunikubalia"


"nakupa wiki moja, kwa hilo"


"asante"


Mama Kevin aliondoka na kunibakiza na laki tatu kama sante ya kumsikiliza, yaani kumsikiliza tu kanibandika laki tatu mkononi


"utatumia hii kwa siku mbili tatu"


Yeye alisema siku mbili tatu lakini kwangu ni kama mwezi mzima, mana laki tatu kwa maskini ni pesa nyingi sana, basi saa ya kufunga ofisi ilifika nikafunga kisha nikaanza zangu mdogo mdogo kuelekea nyumbni, ikiwa ni mida ya saa 11 jioni, nilikua nina mawazo juu ya mke wangu, mana sidhani kama atakubali kirahisi namna hii, mana kwa mimi naweza kwenda huko lakini tatizo ni mke wangu.... Nilifika nyumbani na kukuta maji ya kuoga nimeandaliwa, dah mke wangu siku hizi ametulia hana wenge wenge tena nini au ni kwmba majini yake yametulia, mana yakimtuma vibaya hata maji ya kuoga hua naandaaga mwenyewe, nilimaliza kuoga... Ikafika mida ya kula tukala lakini kila nikitaka kumgusia hio ishu naona roho inasita mana nampenda sana mke wangu... Tulimaliza kula nikiwa sijamgusia chochote kile,... Ilipofika saa tau tukiwa tupo sebuteni, nikiwa nipo na taulo tu na yeye alikua kavaa shuka, yani kajigunika shuka huku akiangalia tv hapo sebureni, na hata hivyo alikua kanikalia mapajani, nikaona huu ndio muda mzuri wa kumuambia, lakini roho ilikua ikisita.. Niliona hili ni jambo la kesho hivyo nilitoka pale na kwenda chumbani, nanii yangu ilikua imesimama bara bara kabisa mana mke wangu alinikalia mapajani hivyo kale kajoto kalimuamsha jambazi kuu... Sasa ile najivuta mara mke wangu kaja na kulivuta lile taulo likadondoka chini nikabakiwa kama nilivozaliwa afu ilikua imesimama dede ile mbaya,.... Ghafla mke wangu akalitupa shuka lake, nae kumbe hakua na kitu chochote kile mwilini, alinirukia mpaka kitandani huku akiniambia kua


"unakumbuka ahadi yangu ya mchana"


"naikumbuka lakini sintoitekeleza"


"diki mume wangu, nina hamu mwenzio"


"mi siwezi kufanya na wewe nyuma"


"kwani si nimetaka mwenyewe lakini"


"hapana, nitakuumiza jasu mi sitaki"


"diki mume wangu kichwa tu"


Sasa alikua akiongea huku akinibinulia huko kiasi kwamba kuona vile kulinifanya nikubali mana nakupenda huko duuuu.... Sasa mtoto wa watu mpaka mate yananitoka, mana ukilinganisha na lile umbo la mke wangu, aya yayayayayaya.... Nilijikuta nachukua mafuta ya baby care na kupakana kila kona ya maumbile yetu. Kisha sikutaka kumuudhi mke wangu


MBUZI KAGOMA ni staili ilionifaa kwa mchezo huo,.... Nilikua najaribu kuingiza lakini haikua ikipita mana mke wangu hajawahi kufanya hivyo na sijui ni kwanini kapenda kufanya hivyo, alikua akilalama lakini mimi sikua nikijali, japo nilikua naihamisha na yeye anaihamisha, yani mimi nikiweka njia ya kawaida yeye anataka njia ngumu, hivyo tunakua kama tunashinda... Sasa ikafika mahali nikaamua moja tu...


"Aaaaaaaaaaaaggggggghhhhhhhiiiiiiii..... Umeniumiza mume wangu"






Niliamua moja tu la kufanya nae huko alipotaka yeye, mana ndio alikua akinilazimisha kufanya tendo hilo pasipo idhini yangu, lakini kwangu ilikua kama kicheko mana nilikiuka maamuzi yake na kufata maamuzi yangu binafsi, Kiukweli sikumgusa sehemu alioitaka bali nilipita njia ya kawaida, na kulia alilia kwasababu siku nyingi sijamgusa hivyo aliisikilizia utamu kisha akapiga ukelele mzuri ulionisisimua mimi na nanii yangu,


"Kweli nimeamini mume wangu unanipenda, mana nimekupa nyuma kwa hiali yangu, na umeshindwa kufanya, nakupenda sana mume wangu.... please naomba usiwe mbali nami"


Sasa kanisifia lakini neno la kusema usiwe mbali nami, nilihisi labda kajua ishu ya mimi kuondoka na kumuacha mana nina mpango huo kwa namna moja ama nyingine tena ukizingatia kuna pesa ndefu huko hivyo kuna ulazima wa mimi kua muajiriwa wa jule mama japo kazi kubwa itakua ni ngono ndani ya nyumba hio, niliendelea kufanya mapenzi na mke wangu.... Ilipofika asubuhi mida ya saa mbili nilimdokezea lile jambo lakini hakulipokea, alikataa katakata, tena hakua akitaka hata kunisikiliza kwa umakini... Nilienda kwa bibi Mgunya na kuongea nae kuusiana na jambo hilo, ila yeye alikubali lakini kishingo upande na kuniambia vp kuhusu mke wangu, nilimwambia kua yeye hataki niende...


Nilikwenda kazini na kuendelea na majukumu yangu ya kikazi zaidi, huku nikiwa nina mawazo mengi juu ya mke wangu, kukataa swala hilo, na sii kosa lake mana mimi ni mume wa mtu hivyo kutoka toka hovyo pasipo sababu za kimsingi sio sawa...


Kila siku nilikua nikimuomba mke wangu lakini hataki, kila siku nilikua namuomba mke wangu lakini hataki,


Mpaka wiki iliisha na yule mama aliweza kufika kazini kwangu akitaka jibu juu ya ombi lake la mimi kua mfanyakazi wake wa ndani, nilimuomba anipe siku 3 mbele mana nina watu wengi wa kuongea nao juu ya hilo...... Mama alinielewa na kunipa hizo siku tatu za kuendelea kumuomba mke wangu,...


Nilirudi nyumbani nikiwa mnyongee huku mke wangu akiwa kanuna ile mbaya, mana anajua sina neno jipya zaidi ya kumuomba kua nataka kufanya kazi sehemu fulani,


"mke wangu, naomba unifikirie jambo kama hilo, kwani mimi nikiingiza milioni kwa mwezi afu wewe ukiingiza hata laki moja kwa mwezi katika CHEREHANI kuna tatizo gani"


"diki, mume wangu, hio kazi ya wewe ulipwe milioni kwa mwezi ni kazi gani hio, yaani kulinda nyumba ya mtu tu ndio ulipwe milioni"


"hapana sii hivyo mke wangu, huyo jamaa anafanya kazi serikalini, yani ni mbunge, sasa yeye hana mke na ana bonge la nyumba, na kwakua kuna mawasiliano yangu na yeye hivyo akaona kuliko aliache jumba peke yake na watoto wake ni wa kupelekwa shule.. Na ana mfanyakazi wa kike"


"Enheee huyo mfanyakazi wa kike najua hutomuacha huyo"


CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/


Nilijikuta nacheka kwa bituko vya mke wangu, mana yeye anawaza mimi ni malaya kiasi kwamba kila ninachokifanya basi ni kumsaliti yeye, ila ana fiucha nzuri mana ni kweli kitu anachikiwaza ni hicho hicho..


"mke wangu, huyo mfanyakazi ni mtu mzima kabisa hata huyo mbunge mwenyewe anamuita mama, kwa ukubwa wa umri wa huyo mama"


"hapana diki, mimi ndio nakujua wewe, na hata kama unafanya kazi kwa raisi lakini hio milioni huezi kulipwa"


"nini, wewe kuna watu wana hela zao mke wangu... please nipe nafasi nikafanye kazi mama"


"utakua ukinitembelea kwa kila muda gani"


"kila wiki"


"lakini diki mume wangu... Nitaseidiwa na nani na kazi zote hizi afu na hali yenyewe nilionayo"


"tafuta mfanyakazi wa kike nitamlipa mimi"


"nataka wakiume"


"fara wewe basi fanya mwenyewe kazi zako"


"ahahahahahahaha mbona we hutaki mi niwe na mfanyakazi wa kiume"


"ivi uishi na mfanyakazi wa kiume hapa atakuacha kweli"


"ok.... Nitamtafuta huyo wa kike ila akizingua namtimua"


"ahhhh hio ni wewe tu na roho yako"


"poa, nimekubali lakini kwa masharti mawili..."


"mashariti gani tena mke wangu"


"kwanza huondoki mpaka nimpate mfanyakazi,... Pili.. Kila juma pili nikuone hapa uje kushinda siku nzima"


"ni hayo tu"


"ndio"


"basi nami nimekubali"


Basi ilikua ni furaha kubwa ndani ya nyumba yetu huku tukikumbatiana, binafsi nilikua nina furaha sana mana mke wangu alinikazia wiki nzima mpaka nilipigaga magoti kisa kumuomba alikubalie kwenda kwa huyo jimama huko anakoishi kunakoitwa UZUNGUNI kunaishi watu wenye pesa tu huko,... NDANI YA TANGA maeneo ya UZUNGUNI ndipo jimama hilo linapoishi na familia yake,...


Zilipita siku mbili mke wangu alishapata mfanyakazi wa ndani, hivyo mimi naweza kuondoka muda wowote ule kuanzia sasa hivi,... Nilimpigia mamy wangu mzazi na kumueleza habari hiii... Alikua anakataa kutokana na hali ya mkwe wake ilivyo lakini niliweza kumuelezea vizuri naye akakubaliana nami, hivyo moja kwa moja njia nyeupeee kuelekea huko, nilimpigia simu yule jimama na kumuambia kua mambo yameshakaa sawa, hivyo siku yeyote naweza kuanza kazi, ila mimi na wewe ndio tunajua kazi inayonipeleka huko kwa jimama.. Siku mbili tena zilipita bila mawasiliano na yule jimama...


Sasa nikuwa kazini mara ghafla simu yangu iliita na ilikua ni ya yule jimama..


"haloo"


"eee mambo mpenzi"


"safi shkamoo"


"mjinga wewe, ukome kuniamkia"


"ok samahani kwa hilo"


"sasa kesho nakuja kukuchukua"


"no no no no nitakuja hadi stendi hivyo naomba nikukute stendi mamy"


"ok poa nitafanya ivo"


Alipokata tu simu tu mara akaja yule dada anaetwa Hanifa.. Mdogo wake na mama Mariamu, yaani wale watoto wa wakili, kama unakumbuka nilianza kusex na dada yake afu akafatia mdogo mtu,.. Na wote nilifanya nao kinyume na maumbile yao, tena mwanzilishi akiwa ni mimi,....


"vp mbona unakuja ofisini kwangu afu umenuna"


"ivi wewe mwanaume, mbona ni mdhambi sana wewe, umeniulia mtoto wangu kisa ni wewe"


"mbona sikuelewi hanifa"


"mbona sikuelewi hanifa"


Aliniigizia vile nilivyoongea huku akiziba pua, kwa kuashiria nilichouliza kilikua ni pumba kwake,


"hujui ulichokifanya..... Ivi ni mwanaume gani usiojua maumbile halisi ya mwanamke"


"bado sijakuelewa kabisa"


"utanielewa tu..... Dada yangu mpaka leo hii anaumwa, kisa ni wewe tu, mimi nilikua ni mja mzito.. Lakini nimeshindwa kujifungua kisa ni wewe"


"naomba twende kwenye point sasa"


"hakuna cha point wala maksi hapa"


"basi toka nje ya ofisi yangu"


Sasa kuanfalia nje ayayayay watu walishaanza kusogea ili kusikiliza kilichokua kikiongelewa na huyu dada,..


"sitoki"


"haya endelea kuongea uchafu wako"


"wewe ni muuwaji, umenifanya kitu kimaya kwa kuniingilia kinyume na maumbile yangu, kwanini lakini diki kwanini, nimeshindwa kumsukuma mtoto wangu, nimepigwa makofi mimi nimetukanwa na manesi, nimemkosa mtoto wangu kisa wewe"


Watu waliopo nje walianza kunong'ona huku wakiziba midomo yao kwa kile kilichokua kikiongelewa pale,


"diki ni muuaji sana wewe, inamaana mbele kwangu hukupaona, mbona mkeo ni mja mzito humgusi"


"umejuaje kama simgusi"


"si tutaona akijifungua si bado miezi mitatu tu... Mwanaume mjinga sana wewe, yaani bila kufanya mapenzi kinyume na maumbile hujiskii raha kabisa"


"hanifa nakuomba uondoke"


"hata kama nitaondoka lakini sio vizuri kuwafanya wanawake visivyo vya kawaida.... Umeniingilia nikiwa mja mzito na mpaka sasa mtoto wangu kazikwa juzi tu, na nimeamniwa mtoto amekufa kwa ajili hio.... "


Hanifa alilia sana huku akianguka chini, na watu wakambeba hukua wakinishukia na maneno mazito mazito....


"tunakuona kijana mstarabu kumbe ni kafili kiasi hiki"


Hayo ni maneno ya baadhi ya watu wakiwa wananitolea mimi,...


Walipoondoka nami sikuchelewa nilifunga ofisi na kurudi zangu nyumbani, mana sasa hakukaliki, nilitamani hata niondoke leo mana hizi sifa sasa zikitapakaa itakua tabu sasa...


"vp mbona mapema leo kunani huko"


Alikua ni mke wangu akiniuliza kuhusiana na kurudi kwangu mapema


"aaahhh nimekuja kujiandaa kwa ajili ya kuondoka"


"kwani unaondoka lini"


"kesho"


"mmmhhhh jamani mume wangu ukiambiwa unaniacha peke yangu"


"ndio, hata mimi sio kua sipendi ila pesa mama ndio inasumbua watu"


"ok.... Twende basi ukanichape kidogo"


Mke wangu alinitamani ghafla kisa naondoka kesho... Kweli nilimpeleka kitandani na kumchapa mdude wa uhakika mpaka mwenyewe akasaliti amli mana nilimpa vitu bila kujali hali yake ya kitambi,...


Kesho yake asubuhi nikiwa na shauku ya kuondoka, maba sifurahii mapenzi ya jimama hilo bali nafurahia pesa nitakayoivuna huko,... Mke wangu pamoja na huyu dada mpya wa kazi walikua wakinikusanyia nguo zangu na kuzipanga katika begi moja, wakati huo mie nipo sebureni nikiangalia tv,.... Yule mama alinipigia simu nami sikuchelewa kupokea


"haloo"


"ee mamy sema"


"nipo stendi hapa nakusubiri"


"sawa nipe nusu saa"


Nilimuambia anipe nusu saa, mana pongwe mpaka kange, sio mbali sana, yaani pongwe ndipo tunapoishi,... Na kange ni stendi kuu ya tanga, yaani stendi ya mkoa wa tanga.. Na jimama linakaa uzunguni huko...


Walimaliza kumipangia nguo kisha wakanisindikiza mpaka sehemu ya kupandia daladala litakalonipeleka mpaka kange pale... Hapo sasa ndipo palikua pagumu, mana mke wangu hakutaka kuachia begi, kwani alikua akilia sana kwa mana alihisi sintorudi...


"mke wangu achia niende basi"k


CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/


"diki, utakua unanisaliti diki"


"naomba uelewe mke wangu... Nitakuja kila juma pili kama ulivyosema"


"No, No, No turudi nyumbani diki, sitaki tena, naomba tukaishi tu na shida zetu"


"Whattti????????"


ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog