Search This Blog

Thursday 19 May 2022

MUWASHO - 2

 





    Chombezo : Muwasho

    Sehemu Ya Pili (2)



    Skola aliisikia jinsi ilivyo muingia akatoa sauti ya juu kuashiria kuwa kilichoingia ni kikubwa kuliko mlango,



    "Seif please usiniumize jamani,"



    "Skola hutaumia tulia,"



    Seif alipoona akiizamisha kwa haraka atamuumiza alicho fanya alianza kutumia kichwa cha mtalimbo wake kuchezea juu mlango wa uke wa Skola ili kuona kama italainika achomeke mtalimbo bila kumuumiza,



    Seif alianza kusugua juu ya uke wa Skola kwa kutumia kichwa chwa cha mtalimbo wake kwa ustadi mkubwa kwani alikuwa akitumia kichwa kuchambua mashavu ya uke kama vile anaosha utumbo wa mbuzi tena utumbo wenye we wa kitabu,



    "aaaxsiiiii.....weeee...... Ohhuuuwiii...tamuuuu....tamuu....seif Mpenzi wanguu...,"



    Skola alianza kuongea maneno mengi sana yasiyo kuwa na vina kutokana na utamu wa kichwa ulivyokuwa unamchanganya,



    "Skola unanipenda kweli?"



    "Seeee.....iiiiif sikiaaa....aaa....nakupenda nakupendaaa....sanaaa...kuliko kitu chochote kile Duniani,"



    Skola alianza kuingia na kimeta kwenye akili kwani alianza kuongea maneno asiyo juwa yanatoka wapi,



    "Ohuuuwee......Seif.......rahaaaa rahaaa....jamaniiii.....,



    Skola alikuwa akilia huku akitoa maneno matamu na kukata kiuno chake kilichokuwa raini kama sponchi,



    " Skooo......laaa.....aaaa.....kata kataa hivyo hivyooo....."



    Seif utamu ulimuingia na yeye akaanza kutoa maneno ya kumsapoti Skola katika pulukushani za mahaba,



    Mchezo uliendelea seif akazidi kuchezesha kichwa juu asali akaona ili kuifanya iwe tamu zaidi ni kuiboresha kwa kuipa staili ya inajulikana kama moja ya mbili, stairi hiyo mguu mmoja wa Skola uliinuliwa na kuelekezwa juu ukawa kama unasota bati na mwingine ukabaki kwenye godoro umenyooka na seif akaingiza mguu mmoja katikati ya miguu ya Skola na mmoja ukabaki umenyoka ukiwa sambamba na ule mguu mmoja wa Skola na wakati mtalimbo ukiwa ndani kichwa kikiendelea kufanya yake ila baada ya dk5 tu Seif aliuzamisha ndani ya uke moja kwa moja mpaka ikagusa ndani katika kuta za uke ndani,



    "Nakufaaaa.......aaaa...... Mama yanguuu....weeee...."



    Skola aliupiga ukelele kuashilia maumivu makali katika azina,

    Seif alipoona mtalimbo umeingia hakuwa na papala ya kupampu mtalimbo wake kwa nguvu ndani bali alitulia akawa anauchezeshea ndani kwa ndani na kusikia raha ila upanda wa Skola hali ilikuwa tofauti kidogo kwani yeye alikuwa akisika maumivu yaliyoambatana na Utamu kwa kifupi ilikuwa ni kama chumvi imechanganywa na sukari,



    ........................

    Upande wa pili Mernah alikuwa akizidi kucheza makofi huku akiomba msamaha,

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "Ila si nimekuomba msamaha Monica,"



    Upole wake ulikuwa unamponza sana Merna alikuwa na uliopitiliza mpaka anaonekana mjinga mbele ya wenzie kwani mtu mzima huwezi kupigwa ukabaki umetulia tena anaye kupiga mko umri sawa,



    "Kuanzia nakwambia hivi sitaki nikuone unajikomba kwa Skola elewa kuwa kuanzia Jana Skola ni bwana yangu,



    (ukisitaajabu ya seif utaona ya chombezo msichana anamuita msichana mwenziye kuwa ni bwana yake tena anaongea kwa kujiamini asilimia mia kabisa)



    Tuendelee,



    "Sawa nimekuelewa,"



    Mernah aliitikia baada ya kukubali Monica aliacha kumpiga akaondoka zake,



    *kwanini nipigwe hivi kisa Skola? Hivi hata watu wakisikia tinamugombea Skola si watatucheka kweli?*



    Hayo yote yalikuwa mawazo ya Mernah alikuwa akiwaza na kuwazua ili kuona atapata jibu gani ila ikafikia sehemu akajiuliza kitu kingine,



    *acha nimuulize kwanza Skola nisikie yeye atasemaje kuhusu hili maana yeye ndiye mlegwa*



    Baada ya kuwaza mengi aliinuka na kuondoka na kuanza kurudi katika chumba chao ili akamuulize Skola juu ya mstakabali wake na yeye kuhusu kuwa wapenzi,



    ........................

    Upande wa pili raha ziliendelea ila kwa Skola alikuwa akipiga kelele kuwa anaumia,



    "Seeee....iiiif naumiaaaa.....mwenziyooo.....axsssiiii.....,,"



    "Tulia namalizia Skola,"



    Seif alikuwa kwenye korasi alikuwa anakalibia kufika ukingoni mwa safari akazidi kumkumbatia kwa nguvu Skola huku mtalimbo akiusukumiza ndani na kufanya Damu nyingi kumtoka Skola katika uke wake,"



    "Seiiiif unanipasuaaa...... ayiweeee.......nakufaaaa...... Mieeee hukuuu.....





    Skola alipigwa pigo la mwendo kasi kwani Seif alipofika kwenye chours hakutaka kujua tena kama mlango ni mdogo au laa aliingiza kichwa na mwili mzima ndani,



    "Seeee....iiiiif una...niii....umizaaaa... Niachiriee... Uwiiiieee.....,"



    Sauti ya seif ilikuwa haisikiki tena kwani alikuwa katika ya vita na nyukilia zilikuwa mlangoni zikitaka kufyatuka,



    "Seeeif jamaniii......nihurumiieee....miyeee. Jamaniiii....."



    Game lilifika ukingoni baada ya seif kufyatua nyukilia zake katika tundu la Skola,

    Seif akiwa anahemea juu juu alimwambia Skola,



    "Skola asante sana hakika umenipunguzia mzigo,"



    "Seif nimeumiaa mwenziyoo...,"



    "Pole Mpenzi wangu,"



    Wakati huo shuka zilikuwa zimetapakaa Damu jumlisha na yale yale majimaji meupe baai ilikuwa balaa..,



    "Seif pisha Mimi niende kwangu,"



    "Si upumzike?"



    "Naenda kupumzika kwangu alafu seif huna huruma kabisa,"



    "Kwanini Mpenzi wangu?"



    "Wewe nakwambia naumia alafu huniachii unaendelea kuishindilia tu,"



    "Pole swty pale nilikuwa kwenye chours,"



    "Mwrnziyo huku nasikia maumivu kwa ndani nasikia inawaka moto,"



    "Pole my Dear patapoa, ingia bafuni ujimwagie maji basi,"



    "Naenda kuoga kwangu,"



    Skola alijiinuwa kitandani alichofanya ni kuvaa kanguo kake kalikokuwa kamejikunja kunja kisha akatoa na mashuka akayaweka kwenye kamfuko kalikokuwa kwenye meza,

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "Mbona unakunja na mashuka?"



    "Siyaibi bali naenda kuyafua,"



    "aaahh Skola umesikia nasema umeyaiba? Au nimeuliza tu?"



    "Naenda kuyafua Mpenzi wangu,"



    "Kwanini uhangaike wakati kuna mtu anakujaga kunifuria,"



    "Kwa hiyo huyo mtu ndio aje afuwe Damu zangu na shahawa zako?"



    "Kwani tatizo liko wapi?"



    "Mimi ni msichana kwa hiyo kufua ni lazima,"



    "Sawa umeshinda,"



    ....................

    Upande wa pili Mernah alipofika chimbani hakumkuta Skola akajiuliza amekwenda wapi ila hakupata jibu ikabidi atulie amsubiliee,



    Baada ya Dk15 Skola alirejea ila alikuwa anachechemea kama mtu mwenye maumivu makali na kweli alikuwa na maumivu makali,"



    "Skola mbona unachechemea?"



    "Nimeumia,"



    "Umeumia wapi?"



    "Koma kuniuliza maswali mengi nani mwanaume humu ndani Nani mwanaume?"



    "Wewe hapo'



    " basis kama unalijuwa hilo funga bakuli yako,"



    Mernah alikaa kimya ila aliwaza mengi sana kuhusu msitakabali wa yeye kuonewa akaona bora achukue maamuzi magumu,



    *nitaonewa hivi mpaka lini? Sasa ni bora nichukue maamuzi ya kumpenda seif tu huenda nitapata faraja*



    Mernah aliwaza kuhamishia mapenzi yote kwa seif bila kujuwa kuwa rafiki au msagamaji mwenziye Skola ameisha chukua nafasi katika mwili wa seif,



    Skola akiwa amejilaza kitandani akiwa katika hali ya kusikilizia maumivu alikuwa akimuwaza seif,



    *seif hakika mapenzi anayajuwa kabla hajaniingizia mtalimbo wake wote nilikuwa nasikia raha ambayo sikuwahi kuisikia tangu nizaliwe, hakika nifanya kila niwezaro mpaka awe wangu tu sitomuachia kumuachia labda nife*



    Upande wa mernah naye alizidi kuwaza na kuwazuwa nini afanye ili kupata furaha katika maisha yake,



    *seif ndiye chaguo langu nimeamuwa hivyo na leo nitaenda kulala kwake nitampa chochote atakacho hitaji kutoka katika mwili wangu kwani nimeamuwa kumpa maisha, na kuanzia leo sitokuwa muoga kwa yeyote lazima nijisimamie na nifanye kile nafsi yangu inachotaka tena acha nimuandikie sms nimwambie ukweli seif*



    Mernah alishika simu yake alatafta namba ya simu ya seif kisha akaenda upande wa SMS akatuma ujumbe mfupi wa maneno,



    *Seif nimefanya maamuzi kutoka moyoni mwangu na maamuzi yangu ni kuwa nimeamuwa kukupenda na kukuweka katika moyo wangu, jina lako nimeliweka katika mishipa ya fahamu ya mwili wangu ili daima nikupende seif nakupenda sitokuumiza na wewe niahidi kitu"*



    Seif akiwa amejilaza amepumzika kutokana na uchovu aliokuwa kuwa nao alisikia mlio wa sms kwenye simu yake iliyokuwa pembeni yake akaichukuwa na kuisoma baada ya kusoma ujumbe akaujibu kama hivi,



    *Mernah na mimi nakupenda sina cha kukuahidi zaidi ya kukwambia nakupenda*

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Mernah aliufurahishwa na ujumbe wa seif akamwandikiya sms tena seif,



    *"asante seif kwa ujumbe wako mzuri pia napenda kukwambia kuwa leo nitakuwa mgeni wako nitalala kwako mpaka kesho"*



    Seif alipata ujumbe wa sms akaujibu kwa furaha,



    *hata Sasa hivi ukipenda uje hapa ni kwako usipaogope"*



    Seif alipomaliza kutuma ujumbe gafla sms kutoka kwa Skola iliingia,



    *"leo usile hotel nitakuja na chakula mida ya saa mbili na kuanzia leo nitakuwa kama nimehamia kwako"*



    Seif alipagawa.........







    Seif alishitushwa na ujumbe wa Skola kwani alikuwa hajajiandaa kuwa naye siku hiyo na alijuwa hawezi kurudi siku hiyo kutokana na kutokana na kulalamika kusikia maumivu makali, seif alimtumia sms ili kumzuia asije,



    *"Skola sitokuwepo leo nitakuwa mjini kwa rafiki yangu wana sherehe"*



    Ujumbe ulifika ila haukujibiwa na skola seif akawa anajiuliza kama ameupata au laa maana hakupata ujumbe wowote wa Skola,



    *mbona kakaa kimya atakuwa ameupata ujumbe kweli? Au haujamfikia? Ngoja nimpigie*



    Seif alipiga simu ya Skola ikaita na baada sekunde kadhaa ikapokelewa,



    "Skola mbona nakutumia ujumbe alafu hunijibu?"



    "Sorry Mpenzi wangu"



    "Ujumbe umepata?"



    "Ndio,"



    "Sawa baadae basi"



    "Sawa,"



    ...................

    Masaa yalikimbia kama upepo Mernah akawa anajiandaa kwenda kwa Seif, ila wakati akijianda Skola alimuuliza,



    "Unakwenda wapi mbona maandalizi hayaishi?"



    "Napokwenda napajuwa Mimi,"



    "Kwa hiyo Mimi sifai kupajuwa?"



    "Ingekuwa lazima upajue ningekwambia,"



    "Naona umeota mapembe siyo?"



    "Utakavyoona wewe,"



    "Unajua naweza kukuzuiya kutoka?"



    "Labda siku nyingine siyo leo, leo ni lazima nitoke na nitalala ninapo kwenda,"



    "Unasema Mernah?"



    "Kama ulivyo sikia"



    Skola alijiuliza kilichombadili Mernah ni nini ila hakupata jibu akamuwa aache kumhoji mengi kwa kuwa na yeye alikuwa na mipango yake,



    Skola na yeye alivaa baada ya kumaliza kuvaa alitoka bila kumuaga Merman,



    ..........................



    Upande wa pili seif baada ya kujiridhisha kuwa Skola hatokuja alimtumia tena sms Mernah,



    *"Mernah utafika saa ngapi hapa kwangu? Naomba uwahi Mpenzi wangu"*



    Mernah alipata ujumbe wa seif na bila kuchelewa akaujibu kama ifuatavyo,

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "*nakuja baada ya dk10 nitakupa nimefika hapo kwako wewe tafta cha kuniandalia*"



    Seif alipopokea ujumbe wa Mernah alitoka kitandani mbio mbio kaenda kwenye kiosk cha karibu akanunu juice kisha akarudi mbio mbio mpka kwenye chumba chake ila alipoingia alimkuta kitandani Skola,



    "Hheee!!! Skola mbona uko hapa?



    " unachoshangaa ni nini Seif?"



    "Nashangaa umefikaje chumbani kwangu?"



    "Kwa hiyo sikubaliwi kuingia hapa?"



    "Sijamaanisha hivyo ila si nilikwambia kuwa nitatoka?"



    "Tutatoka wote kwani kuna tatizo?"



    "Wewe si ulisema unaumwa ndio maana sikutaka kukusumbua,"



    "Nimepata nafuu baada ya kujikanda na maji ya moto na kunywa dawa za maumivu,"



    "Oky, basi nakuja kuwa unatumia juice,"



    "Sawa,"



    Seif alitoka nje ili kumsubili Mernah nje asije kuingia ndani akakutana na Skola,

    Seif alipotokeza nje tu alikutana na sura ya Mernah akiwa anakaribia kufika mlango,



    "Ohhh!!!! Mpenzi wangu karibu,"



    "Asante mambo vipi seif?"



    "Shwari kabisa nimefurahi kukuona nilijuwa hautokuja,"



    "Kwanini nisije?"



    "Unaweza kupata dharula,"



    "Kwako wewe Seif siwezi kukubali dharula labda iwe dharula ya kifo tu,"



    "Mernah unanifurahisha sana,"



    Seif alichezesha hakili afanye nini ili kuokoa jahazi akaona cha kufanya ni jambo moja tu ni kuondoka na Mernah eneo hilo,



    "Mpenzi hebu twende huku kuna sehemu nataka nikupeleke,"



    "Mhh wapi tena?"



    "Ni surprise Mpenzi wangu twende utapaona,"



    Seif aliondoka na Mernah na moja kwa moja akampeleka katika hotel ya garama wakakaa baada ya kukakaa seif akamuuliza Mernah,



    "Vipi Mpenzi wangu umepapenda mahala hapa?"



    "Sana tena sana Mpenzi wangu kwani nilikuwa nikipaona kwa nje tu,"



    "Basi leo chakula chetu tutakilia hapa na vinywaji tutanywea,"



    "Mhh.... Asante nimefurahi sana,"



    "Mernah nataka nikwambie kitu?"



    'Kitu gani Mpenzi wangu?"



    "Nataka nikwambie kuwa nakupenda sana, na ikitokea ukaona nimefanya kitu ambacho hakijakufurahisha naomba uniambie nijue sawa?"



    "Sawa Mpenzi wangu,"



    Seif alitoka akaenda kaunti kuchukua chumba baada ya hapo akarudi wakaendelea kula na kunywa ila akiwa amekaa gafla simu ya Mernah iliita na Mernah akaipokea kusikia mpigaji anataka kumwambia nini?



    "Hallow Mernah unaongea na baba yako hapa, uko wapi?"



    "Niko hapa hapa chuo chumbani kwangu,"



    "Niko hapa nje fungua mlango,"







    "Sawa baba,"



    Mernah alimuangalia Seif kwa jicho la huzuni na masikitiko kwani hakufikilia kama hayo yanaweza kutokea,



    "Mernah usiwe na shaka wewe twende ukaonane na Baba yako,"



    "Seif nisamehe,"

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "Hayo ni ya kawaida katika maisha wala usiyawazie sana,"



    "Sawa basi acha nichukue tax hapo nje niwahi,"



    "Sawa wewe wahi na Mimi acha nirudishe funguo za watu Niko nyuma nakuja,"



    "Sawa,"



    Mernah aliondoka hivyo na Seif akabaki anawaza sana dhamani ya chumba alicholipia sh.50,000 roho ikamuuma sana akaona hawezi kurudisha funguo hivi hivi akachukua simu akampigia Skola,



    "Hallo Skola uko wapi?"



    "Kwani wewe umeniacha wapi?"



    "Bado uko kwangu hapo?"



    "Sasa wewe unazani nimeenda wapi?"



    "Sasa Mpenzi wangu kwanini usiende kupumzika tu maana Mimi nikilala hapo na wewe ni lazima niombe game na wewe mwenyewe unasema unaumwa Sasa nitafanyaje?"



    "Kwa hiyo hicho ndio kimefanya usije kwako?"



    "Ndio kwa kuwa nakuonea huruma,"



    "Wewe njoo Mimi Niko vizuri tutanya tu hata kidogo,"



    "Sasa fanya hivi chukua tax umwambie akulete hapa GL.Hotel tutapakutania sawa?"



    "Sawa nakuja swty,"



    Skola hakutaka kuuliza mengi haswa kumuuliza seif kwa alimuacha ndani peke yake? Swali hilo aliliweka kipolo ili aje amuulize wakiwa wote,



    Kama alivyo ambiwa Skola ndivyo alivyofanya alichukua tax na mda mfupi tu alikuwa amefika katika eneo la GL.Hotel na kuonana na Seif,



    "Karibu swty,"



    "Asante,"



    "Vipi mbona kama hauko sawa,"



    "Niko sawa mbona,"



    "Kama uko sawa basi ni vizuri twende ndani,"



    Skola yeye alifuata nyuma kwani alikuwa hana analolijuwa Juu ya uwepo wake pale,



    "Karibu swty wangu hapa ndipo nilipo taka tupumzike siku ya leo"



    "Asante Mpenzi wangu kweli naona nimeamini unanijari,"



    "Nisipokujari wewe nitamjali nani?"



    "Mhh asante Seif,"



    Seif moyoni alikuwa akimuwazia Mernah kama amefika salama au laa kwani toka ameondoka alikuwa hajaongea naye,



    *Mernah atakuwa amefika kweli!? Inabidi nitafte mwanya wa kidogo nimpigie nijue kama amefika*



    "Seif asante kwa surprise yako nzuri na ya kufurahisha,"



    "Na wewe pia asante kwa kuifanya ikamilike,"



    "Sawa, ila naomba nikuulize kitu Mpenzi wangu,"



    "Uliza tu uko Free kwa chochote,"



    "Kwanini uliondoka bila kuniaga ukaniacha chumbani kwako?"



    "Nilifanya hivyo ili kuja kuandaa hii surprise,"



    "Seif masaa yote hayo?"



    "Ndio,"



    "Mbona hii karatasi ya bili inanesha ulipewa masaa mawili yaliyopita?"



    "Skola kwa hiyo hujafurahia hii surprise?"



    "Siyo kwamba sijaifurahia ila nimeuliza tu, kama nimekuboa nisamehe,"



    "Skola nilipita nikiwa na rafiki yangu baada ya kuacha ndio nikakupigia simu wewe?"



    "Mmmhh oky nimekubali,"



    Skola alikuwa kama anashitua kitu furani hivi kwa Seif japo mshituko wake haukuwa wa uhakika na jambo alilohisi,



    "Skola nakuja kidogo ngoja nikaweke oda ya chakula nakuja,"

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "Si uwapigie simu si naona simu ya mkononi ipo na namba hizo hapo,"



    "Kuna mpishi nataka nimuone mwenyewe nimuelekeze chakula nachohitaji,"



    "Sawa,"



    Seif alitoka mbio mbio mpaka nje alipofika gorofa ya chini alitoa simu akampigia Mernah,



    "Haloooh Mernah?.



    Seif aliita Mernah ila akaduwa simu ilipopokelewa na mwanaume,



    "Hallow wewe nani?"



    "Seif hapa,"



    "Sikia wewe paka kuanzia leo ukome kuwa unapiga simu za wapenzi wa watu usiku sasa hivi ni mda wa kupumzika,"



    "Bro ungeniambia vizuri siyo kunitukana,"



    "Ndio hivyo shika adabu yako,"



    "Sawa asante,"



    Seif alichanganyikiwa hata chakula hakukumbuka kuagizia tena bali aliwaza mengi kuhusu Mernah,



    *ni wapi nimekosea mpaka anifanyie hivi Mimi jamani? Mbona kama siamini? Mernah ni wa kufanya haya mambo ya mchanyo?*



    Seif hakuamini ila ilimbidi aamini tu japo roho ilimuuma kwani Mernah ndiye binti aliyekuwa anampenda kuliko wote,



    "Vipi mbona umerudi kama mtu mwenye mawazo sana kulikoni?"



    "Kawaida tu,"



    "Au chakula unachopenda kimekwisha?"



    "Hata sijafika huko,"



    "Mhh kulikoni?"



    "Nimeona nije nitumie simu maana sijamkuta huyo mpishi,"



    "Sawa,"



    Kabla seif hajapiga simu, simu yake iliita na mpigaji alikuwa ni Mernah.







    Seif aliangalia simu yake akawazia apokee au aache ila wakati anawaza Skola alimwambia,



    "Seif si simu yako inaita hiyo?"



    "Ndiyo naisikia naifikilia kwanza,"



    "Kuifikilia nini!?"



    "Niipokee au niache,"



    "Kwanini!?"



    "Nina sababu zangu mie mwenyewe,"



    "Sawa,"



    Seif alipokuwa anaongea na Skola simu ilikatika ila Skola alionesha hakupendezwa na kile tendo kwani alihisi huenda simu ile ilikuwa ni ya mwanamke wa Seif,



    Wakiwa kimya waote ukimya ulivunjwa na simu Skola ilipoita na kuipokea,



    "Hallow,.



    " mhhh niambie Mpenzi wangu Monica? "

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "Mimi nipo boadi tu hapa kwangu mume wangu sikuoni,"



    "Kuna sehemu nimeenda Mpenzi wangu,"



    "Ukirudi pita kwangu basi,"



    "Usihofu nitapita,"



    "Sawa,"



    Skola baada ya kuongea na rafiki yake alimsogelea Seif na kumkumbatia ila seif alikuwa amekasirika,



    "Mpenzi wangu mbona kama umekasirika hivi?"



    "Siyo kama nimekasirika kweli,"



    "Kwanini?"



    "Utaanzaje kuongea na simu wakati tupo faragha,"



    "Nisamehe Mpenzi wangu,"



    "Mimi nilipoacha kupokea simu sikuwa mjinga nilikuwa na akiri zangu, mtu unaweza kupigiwa simu ukapewa taarifa za ajabu ukakuta sitarehe zote zinasimama,"



    "Naomba unisamehe Mpenzi wangu, sikujua kama uliacha kupokea simu kwa maana hiyo,"



    "Basi yameisha, tuendelee na ya kwetu,"



    Seif ili kumpoteza Skola katika raundi abouti akichofanya alishuka na kuchukua mguu mmoja wa Skola na kuanza kuuchezea kwa kupitisha kidole chini ya unyao huku mkono mmoja ukiwa Juu ya paja ukipapasa papasa mdogo mdogo alipoona mtoto ameanza kupata nyota nyota alimvuta na kuanza kutumia ulimi wake kusafisha chini ya unyayo wa Skola,



    Skola nyenge zilimpanda akaanza kuhangaika kwa kutoa visauti vyake visivyoeleweka na kuanza kuzunguuka kitanda ila wakati anazunguuka na seif alikuwa akizunguuka naye,



    "Seeeeiiiif......asxiiii.....ohhh....axsssiii.....,"



    Seif alikuwa fundi wa Juu ya kitanda hakuwa msaidizi bali alikuwa ni fundi mkuu kaisa,



    Seif alipoona nyenge za mtoto wa kike zinazidi kuwa juu alichofanya alimvua chupi kisha akapenyeza mkono ndani mpaka kwenye mashavu ya uke anaanza kuyapembuwa kama anaangalia mboga za majani,



    "Seiiif....ja....ma....niiiii....urssoooo...wooouuu.....,"



    Skola alikuwa taabani kwa alikuwa katika ICU ya mahaba akiwa anatapa tapa asijue cha kufanya ila bahati yake Dokta wa mahaba Seif alikuwa karibu kutoa huduma imala,



    Seif alipembua mashavu akaona haitoshi kutumia vidole akatuma salamu kwenye ulimi kuhitaji msaada,

    Ulimi haukuwa na hiyana ulizama ndani ya uke na kuanza kulamba lamba Juu uke wa Skola mpaka ukasababisha Skola kuchanganyikiwa na kuanza kuongea kichini wakati China yenyewe anaisikia BBC Katika amka na BBC,



    "Woowuuu......hhhaaa.....xsiiii.....ayiiiiwee....seif....seif......seif . . tamuuu...... tamuuu.....,"



    Seif alizidisha majonjo kwa kutumia ulimi wake kwani safari hii ulimi wake ulikigusa kinembe na kusababisha mtekenyo Mkubwa uliotikisa mwili mzima wa Skola na kusababisha skola kujivua nguo zote na kumvutia seif juu ya kifua chake na kuanza Julia kuhitaji mtalimbo uzame ndani yake,



    "Seif....ingizaaa.......axssiiii.....ingizaa.....ohhhuuuwee......ingizaaa......ingii.....zaaaaa....jamaniiii.....,"



    Skola hali ilikuwa hali na mpaka kufikia wakati huo alikuwa ameisha chafua mashuka mala mbili alipoona haitoshi kuchafua bila pekee yake alitaka mtalimbo uzame amalize mambo,



    "Seif jamanii....jamaniii....mbona unamitesaaa.....ingi.....zaaa,"



    Seif aliona haina budi ngoja apunguze uzito wa mtoto wa kike ili waende sawa kwani yeye mtalimbo wake ulikuwa umisha simama mpaka misuli inauma,



    "Naingizaaa......achaa....kuhangaika.....,"



    "Seif hakutaka kutumia staili ngumu alitumia kifo cha mende kumaliza matatizo yote,



    Alimlaza vizuri Skola kisha akapanda juu ya kifua chake huku mtalimbo ukiwa umelenga kwenye tundu na tundu lilikuwa wazi kupokea mtalimbo, mtalimbo ulipozama kitu kilijifunga nakadili seif alivyokuwa akipampu ndani ndivyo raha zilivyozidi kusababisha vilio vya burudani kwa Skola,



    "oooxxssiiii.....tamuuu.....tamuuu.....seee.....iiiif....hapoooo......hapoooo....



    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/



    Hali ndani ya chumba ilikuwa ya chekecha chekecha mahaba yalichukua sehemu yake na kuwafanya watu kuongea kichina wakati hawakuwahi hata kujifunza hata sirabi za lugha hiyo,



    "Oxssiiii.....seeeeif.......oyiyeee........naisikiaaa......naisikiaaa......ohuuu.....naisikiaaaa..... Seiiiiif wanguu....,"



    Seif alilikuwa akizidi kuipepeta mbunye ya Skola kama anapepeta unga kwenye upepo kwani ukipepea unga kwenye upepo shariti ukujae usoni na muwili mzima kwa Seif ndio ilikuwa hivyo Utamu ulimzunguuka mwili mzima na kumfanya kujihisi yuko sehemu ambayo taishi ataishi mikele akiwa ndani ya utamuu...,



    "Skolaa....... skolaaaa...... Sikoooo........,"



    "Abeeee......abeeee.......oxsiiiiii......seif abeeee......,"



    "Skolaaaaa.......skolaaaa....... Ouwaohhhh...... Skola sikiaa nakuita.......,"



    "Nimeitikaaa.......nimeitikaaaa......abeeee.... Abeeee.....opsiiii...... Seif sikia nimeitikaa abeeee......,"



    Ama kweli mapenzi uyoga yakichanua huangaa na kubadilisha sura ya kitu au muoneka wa kitu,

    Seif alikuwa kama kachanganyikiwa vile alikuwa kama mtu asiye jielewa ni nani, kwa upande wa mwenziye yeye alikuwa kawa chizi kabisa kwani ubongo wake ulikuwa umefunga kupokea kupeleka taarifa mbadala ila wazi kupokea hisia za mapenzi tu,



    Hakuna linalokuwa na mwanzo likakosa mwisho hatime wawili hao walifika ukingo wa safari huku kila mmoja akiwa amemuosha mwenziye maji ya kutosha,



    "Ohhh..... Skola asante sana tiba yako kwani sasa nimejisikia ni mtu katika watu,"



    "Mhhh....seif bwana acha kunifurahisha mwenziyo kwani hukuwa mtu,"



    "Nikikuwa mzigo tu ambao ulikuwepo hauna pa kutua ila kwa sasa nimepata pa kutua,"



    "Mhhh....Seif sijui nisemeje ila kwa kifupi wewe ndie mtu uliyeniosha umuhimu wa Dunia au niseme Utamu wa kuwa Duniani,"



    "Mbona kawaida tu hapo, mambo mazuri na matamu yanakuja,"



    Waliongewa mengi yanayohusu mahusiano yao na utamu waliopeana siku baada ya akili zao kurudi na kuwa kwenye msitari,



    ........................

    Hatimae usiku uliisha hivyo na palipo kucha waliongozana na kurudi chuo walipofika kila mmoja alienda katika chumba chake kuendelea na ratiba zake za siku hiyo,



    Seif alipokaa akatulia alianza kuwaza mambo mengi kuhusu Mernah haswa tukio la jana yake usiku,



    *hivi yalitokea jana yalikuwa ya kweli kuhusu Mernah au nilikuwa naota tu? Mbona nashindwa kukubali kile nilichosikia jana kwenye simu? Mernah ni wakufanya hivyo kweli? au kuna kitu kilimpata? Wacha nimtafte kwenye simu, ila hapana nikianza kumtafta mimi ataniona zoba acha nikae kimya*



    Seif akiwa katika mawazo mengi sana gafla alisikia hodi ikipingwa mlangoni kwake na akamuitikia mgeni akiashiria kuwa aingie ndani, hakuwa mwingine mgeni huyo bali alikuwa ni Mernah mwenyeww,



    "Habari za asubuhi Seif?"



    "Nzuri vipi mzima?"



    "Kiasi chake,"



    "Kwanini kiasi?"



    "Ni mambo mambo tu."



    "Mhhh sawa,"



    Kaukimya kalipita katikati kila mtu akiwa kimya ila seif aliuvunja ukimya kwa kumuuliza,



    "Jana ulinifanyia nini Mernah?"



    "Seif nafikilia namna ya kukueleza ila naona itakuwa ngumu kunielewa, "



    "Wewe nieleze na swala la kukuelewa liko juu yangu,"



    "Jana ile simu iliyopigwa haikuwa ya Baba ila mpigaji alijifanya ni Baba nilipofika chuo ile niko mlangoni wakatokea wadada wawili wakanifanyia fujo wakachukua simu zangu wakanifungia chumbani simu zangu wameniletea asubuhi hii.



    "Mernah huo ni uongo dhahiri kabisa na kwa uongo huo mimi kuanzia leo sitaki ukaribu na wewe tena."



    "Seif please usiseme hivyo kwani nacho ongea ni ukweli kabisa wala sidanganyi kabisa,"



    "Sina cha kuongea zaidi ya hayo niliyokwambia kama umeyasikia naomba uyakubali na wala usizuwe mjadara,"



    "Seif please naomba unielewe,"



    "Nimekuelewa ila na wewe naomba unielewe kama nilivyokuelewa,"



    "Sawa Seif kama ndivyo ulivyoamuwa kwaheli,"



    Mernah alitoa machozi kwa uchungu kutokana na maneno aliyoambiwa na Seif, ila kabla machozi hayajafika sakafuni seif aliyadaka akamuangalia Mernah jicho la huruma, ila gafla mlango ulifunguliwa.



    ITAENDELEA



0 comments:

Post a Comment

Blog