Search This Blog

Thursday 19 May 2022

HEHEEE. KANTANGAZEEE!!! - 4

 









    Chombezo; Heheee. Kantangazeee!!!
    Sehemu Ya Nne (4)





    Baby anamwambia Njasi huku amekasirika kisa kaambiwa atauchafua mkuyati.

    “Hee umeamua kutupa na nani? Yaani kuna mtu mwengine umeshafanya nae starehe hii siku za nyuma?!!!”



    Njasi anamuuliza baby huku akiuchezea mkuyati kwa mkono wake laini.

    “Hehee, kantangazee, si huyo NGUBARIKIJAMA uliekuja nae hapa, akaondoka na kisirani chake mdomo mrefu kama chupa. Mambo yenyewe hana, mizungu



    haijui na michezo pia haitambui na yeye anajitia yumo inahuu?! Anajifanya anapesa wenye pesa hatuoni tumekaa hatuna wasiwasi tunalea vijana.”

    Baby anasema maneno hayo huku anajishebedua kupita maelezo.

    “Hee basi kazi ikibidi hivyo, kumbe yule shostito siku ile kule kazini kwake kanikatishia utamu wangu mie kaniondoa na nyege, kumbe na yeye alikuwa mzizi



    anautaka! Hehee akaoge! Naona Dada ushamtangaza meneja wake mtu, bado unitangaze mie tu!”

    Njasi anasema maneno hayo huku anautia mkuyati mdomoni.

    Huyu Njasi naona mzuka wake ni kunyonya bila shaka. Baby anakuja ananikalia. Njasi mashine yangu anaielekeza Porini kwa Baby, unaingia taratibu Ti, tii, tiiiii



    Unazama wote hadi makalio yake yanafika katika kinena changu.

    “Mwanamke kuruka ukuta babu wee, hasa mzigo ukiwa nao! Nyie wenye shepu kama Wahindi toleo la mwisho mtajiju. mtuache kwa raha zetu babu



    msituingilie!”

    Baby Mwanamtama anaropokwa maneno hayo huku mikono yake anaileta kwa nyuma anashika kwenye Sofa, kifua chake kinainuka juu, anacheza kiuno taratibu



    huku anahema kwa raha zake.

    “Mmmmm, oooooo, aaaaaa, asante, asante, ninyonye chuchu mdogo wangu, ninyonye najisikia raha, ninyonye chuchu, aaaaaaagh, tamu, tamu Dobe, asante



    bwana kwa burudani, asante sukari ya wanawake, ooooo Dobe Boy, nipe mkuyati huo, nipe napenda.”

    Njasi mkono mmoja anamchezea kinembe Baby, mkono mwengine anampekecha chuchu, na mdomo wake wenye joto, unamnyonya chuchu ya pili.

    Mimi nimekaa kitako mikono yangu, ninachezea matiti mazuri ya duara ya Njasi, ninachezea chuchu zake pana zenye burudani.

    Mkuyati wangu ukikaliwa namna hii, basi ndiyo hutaka sifa yaani ninaweza kucheza hadi asubuhi bila kukojoa lakini sikeshi!

    Ninacheza kiuno kumfatisha Baby anavyocheza kutokana na raha mchanganyiko anayoipata. Ni fully Matentelee.

    “Dobee nakojoa baby, yalaaaa aaaaagh tamuuuu oooooo, Dobe boy asante mpenzi, asante mume wangu, unanifikisha kilele cha raha, niliyamiss mambo haya

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    mie, sikuwa na nyege kabisa, sasa umenirejesha upya katika bahari ya raha ya kuta 4, Dobe Shikamoo mpenzi, shikamoo Dobe itikia, unanipunga jinni wangu



    Dobe, unajua Dobeeee, asante mama yake Dobe kwa kuzaa mwanaume mtamu, ooooo!!!!.”

    Baby amepagawa kwani analosoka kama kanywa maji ya chooni vile. Macho yake yanatoka machozi ya huba. Analia kwa raha, nahisi amekumbuka mengi.



    Macho yake yamemvimba lakini pia yamekuwa mekundu kama alietoka kulala punde. Kweli mchezo wa matusi, ukipata anaoujulia una burudani sana.

    Baby anampelekea ulimi Njasi wanakula denda huku makalio yake akiwa ameyashindilia katika mkuyati, anatingishika kama nyama ya kasa iliyokuwa



    kikaangoni.

    Baby anakojoa tena akiwa anapekecha pekecha. Njasi anawiva kwa nyege anauhitaji mkuyati, ila kumuondoa Baby anashindwa kwani ninamuona ananitazama



    kwa macho ya huruma lakini pia anasitisha huduma kwa Baby. Anajichezea ukeni mwake taratibu. Mwanamtama anautoa mkuyati porini, upo safi haujatoka na



    taka!

    “Asante Kungwi nimekubali.”

    Njasi anamwambia baby mwanamtama mara alipoutazama akauona mkavu, tena msafi.

    “Chezea mie wewe, utalala hoi?!!! Kuzaliwa Tanga peke yake ni digirii ya mahaba, sembuse ukapata na mafundo!”

    Baby mwanamtama anamwambia Njasi.

    “Dada Tanga mnaiga tu, mambo yapo kwetu Mombasa, ngoja nimpe Dobe mambo yetu, bila shaka yatakuwa mapya kwake, lakini hata kwako yanaweza kuwa



    mageni pia.”

    Njasi anamwambia Baby maneno hayo, kisha anapeleka mkono wake katika nywele zake anazirudisha nyuma kwani zinamfunika machoni.

    Ananifata nilipo nami ninajiandaa kupewa mchezo mpya. Najiweka tayari kwa mapambano.

    Hapa chumvi chumvi tu, ikiwa Mombasa na Tanga kuna Bahari, basi hata kwetu Bwagamoyo ipo Bahari vile vile, lazima niulinde mji sitaki kuwaangusha!

    Kabla hajanianzia Matentelee ya Mombasa, Kilindini, na Malindi, Kilifi, Mtwapa, Kisauni, Likoni, na Majengo, Baby Mwanamtama anamnyooshea mkono wa



    Stop!

    “He, he, he, heeee Bibi hebu tulia kwanza! Hebu taratibu Bibieee, umuoneshee Baby wangu Matentelee ya huko kwenu inahuu?! Wali wa hitima unaununulia na



    embe, kwani upo hotelini? Haya nia yako ipi niachwe au? Unanshangaza unakazwa porini unataka kuleta swaga za denda, na kubambiana inahuu?!!! Bibi hapa



    unakazwa kimoja tu unasepa, usiniletee mataalazi mengi ukamtia wazimu huyu Bwana, mtu mwenyewe wamuona huyo hapigiwi acheza leo ukamuwekea



    Baikoko si utanipotezea mtu!”

    Baby anasema maneno hayo akiwa hatanii hata kidogo. Njasi anatungua kicheko kikubwa.

    “Hehee, kantangazee, usiponitangaza nakutangaza wewe chezea Mombasa wewe, Mombasa mkasa ukenda hovyo utanasa! Sie tunapapasa, kisha tunatomasa,



    wala hatutaji pesa, mpingo wachagua pa kukesha, bwana akifilisika, pendo kwake limekwisha, upo?”

    Njasi anajishebedua Baby amjue, anazungumza kwa matao, huku kidole cha kati kimekunjwa kinasababisha kashda na matashtiti, kwa kwenda mbele. Ni shida



    tupu mie tena bichwa hiloo kama Tom wa Magomeni Kagera, hadi linanizidi kimo!

    “Baby mwiko umeupikia kisha umeuacha bila kuuosha vipi?! Unakuwa kama hujafundwa?”

    Njasi anamwambia Baby Mwanamtama. mie ananishangaza sana kwa kauli yake hiyo, kwani hapa hakukupikwa kitu, sikwambii mwiko kutumika! Maneno hayo



    yananipitia mbali kidogo. Ila ajabu ninamuona Baby anatabasamu huku akizungumza.

    “Mdogo wangu wee, hapa ushanitia Wahaka kwa huyu mume, basi ninasahau hadi kuuosha mwiko nilioutumia.”

    Baby anasema maneno hayo kisha anauchukua mkuyati, anautia mdomoni mwake anausafisha kwa mdomo!

    “Jamani huu mkuyati wangu ndiyo umekuwa mwiko tena?!”

    Ninawauliza Njasi na Baby lakini wao wananicheka tena kwa pamoja.

    “Hehee, Kantangazee!!! Mambo ya unyagoni hayooo!”

    Mie ninalo tena, nilipate wapi na hayo ni mambo ya unyagoni! Mie na unyago mbali mbali mie unambie jando, ningekuimbia tangu wimbo Fagia nyumba ya

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Baba, hadi wimbo wa mwisho pamoja na maada yake, lakini unyago wenyewe ni wanawake hivyo ninakuwa mpole tu.

    “Pole Baby wangu, ninakufumbulia fumbo hili. Mwanamke anapopika akimaliza kupika tu, basi anatakiwa mwiko wake ausafishe uwe safi. Maana yake akiwa



    anakumbuka kuuosha mwiko wake anaoupikia, basi pia ataweza kumsafisha mkuyati mpenzi wake baada ya tendo. Hiyo ndiyo maana yake. Mwanamke msungo



    tu ambae akishakazwa hakumbuki kumsafisha mpenzi wake, anageukia ubavu analala, matokeo yake asubuhi shuka amezichafua. Mwanamke anatakiwa kabla



    hajaanza tendo basi aweke kitambaa chakumfuta bwana wake, akimaliza tendo tu anamfuta siyo amuache mwanaume ajisafishe mwenyewe ni mwiko kabisa



    kitendo hiko. Na mwanamke akimaliza kufanyana anatakiwa aende chooni ukakojoe ili uzitoe shahawa zote, zilizokwama njiani, kwani katika njia ya mkojo



    ndipo zinapopitia shahawa hapo. Ndiyo maana mkojo ukimuuma mtu, hawezi kukojoa asilani, umeelewa Dobe?”

    Baby ananambia maneno hayo huku akiukamua mkuyati wangu kwa mkono wake, uliokuwa bado umesimama juu kama mwamvuli.

    “Alaa kumbe ndiyo mwiko huo eee, inamaana nikitaka kumjua mwanamke ambae bado hajachezwa, yaani haijui mizungu basi nimtazame wakati akishasonga



    ugali au akipika wali, yaani kama hajauosha mwiko basi ndiyo Msungo eee?”

    Ninawauliza hawa mafundi wawili waliokuwa mbele yangu.

    “Naam hasaa, mwanamke aliechezwa huwezi kumkuta mwiko wake umewekwa kwenye karo la vyombo unang’ong’wa na Inzi kamwe, kwani mwiko ndiyo kila



    kitu. Pia mwanamke aliechezwa utamuona hakikosi kigoda cha miguu mitatu kwenye nyumba yake!”

    Ninashangaa ninawauliza kwa taharuki kubwa.

    “Kigoda pia kina mambo eee?”

    Njasi anatabasamu kisha ananambia.

    “Dobe ukijua huu, na wenzako wanajua ule. Wewe umepewa kipaji na mungu cha kufanya vizuri, yaani kuanzia maandalizi hadi katika finishing upo njema sana,



    lakini kwenye vihendo hiyo ndiyo bahari yangu. Kigoda chawekwa kama mtu ataka kukaa juu lake, ikisha juu ya kigoda huwekwa kitambaa cheupe kimekunjwa



    mithili ya ngata ya kubebea kuni, chini ya kigoda limewekwa yai zima la kuku, unaujua mzungu huo weye?!!!”

    Njasi anaongea maneno hayo katika lafudhi ya Kimombasa. Kabla sijateguliwa mzungu huo, nami pia ninakumbuka ule mzungu wa kinu na mchi ninapata



    wahaka wa kutaka kujua maana zake. Lakini tukiwa uchi wa nyama sebuleni kabla Matentelee hayajaendelea mara tunasikia mlango ukigongwa kwa nguvu huku



    sauti ya kikakamavu ya kiume ikiamrisha kwa nguvu.

    “Fungua mlango huo, au tunauvunja sasa hivi!!!”





    Tunatizamana kwa mshangao, jibu la mgongaji ni nani hatulipati, wala kwa nini anagonga kwa shari namna hii. Nyege zinaniruka, zinanitumbukia nyongo,



    kiranga komo! Wahaka na presha inanipata, woga wa kijinga najishangaa unanitawala sana moyoni mwangu. Nasikia mkojo na haja kubwa kuwa zimenibana



    sana. Mkuyati sijui muda upi kwa hapa hata ulivyonywea sina habari, ninaiona imesharudi nyuma imekaa kama siyo hiyo iliyokuwa ikifanya matentelee muda



    mfupi uliopita.

    Ninaamua kuchukua upande wangu wa Khanga ninauvaa. Njasi nae anavaa nguo yake, chupi na sidiria anaifunika katika kitambaa cha sofa. Anajikausha kama

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    siyo yeye, aliekuwa katika burudani pevu muda mfupi uliopita.

    Baby Girl anainama anaiokota Khanga yake anaivaa, kisha ananipa ishara ya mie kwenda chumbani kwangu.

    Siifanyi ajizi ninainuka haraka ninachepukia chumbani kwangu kwa haraka huku mapigo ya moyo yananienda mbio kweli kweli. Ninaingia chumbani kwangu,



    ninaufunga mlango kwa ndani kwa funguo. Ninautoa ufunguo mahala pake, kisha ninaweka sikio langu katika tundu la funguo ninabanisha, ninatega sikio ili



    nisikilizie kunani huko sebuleni.

    Nikiwa chumbani kwangu ninasikia sauti ya mlango wa mbele ikifunguliwa. Ninazidisha umakini sana wa kusikiliza.

    “Wana usalama, tunatokea katika kituo cha Tabata, Je?! Dobe tumemkuta?”

    Ninaposikia askari wananiuliza mapigo ya moyo yanazidi kunienda mbio kama saa mbovu. Kosa langu silijui, hadi askari waje kunikamata nimefanya nini?!

    “Dobe ametoka asubuhi hii amekwenda kazini kwake kwani amefanya nini?!”

    Ninaisikia sauti ya Baby Mwanamtama akiwauliza askari ambao hadi sasa sijui idadi yao hasa ni wangapi kwani mzungumzaji ninamsikia ni mmoja tu.

    “Unaweza kutuonesha chumba chake ili tuthibitishe kama hakina mtu?”

    Ninaisikia tena ile sauti iliyoniulizia mwanzo, nami ninauweka kwa mapepe ufunguo katika tundu lake wala haujakaa vizuri, lakini kwa kuwa nimeshaufunga



    mlango kwa funguo, ninauacha katika hali hiyo, mie ninanyata hadi uvunguni mwa kitanda ninajisweka ninajipinda, ninaenea huku ninabana pumzi kwa



    mchecheto. Sasa kwa nilipo umbali wa kitanda na huku uvunguni nilipo, ninashindwa kusikia kwa kwa usahihi sauti zinazozungumza sebuleni.

    Dakika kama mbili tatu hivi tangu niwe hapa uvunguni ninausikia mlango wa chumbani kwangu, ukisukwa sukwa kuhakikisha kama umefungwa au laa.

    “Jamani mbona mnakosa ustaarabu, nimewaambia mtu hayupo amekwenda kazini, mlango wake ameufunga, ufunguo ameondoka nao mwenyewe, sasa nia yenu



    mnivunjie mlango wangu ama kitu gani? Kwanza amefanya nini huyo Dobe hata afatwe namna hii kama ameuwa mtu?”

    Hatimae ninasikia sauti ya Baby Girl kwa vile wanaongelea nje ya mlango wangu, wamesogea kutoka kule sebuleni.

    “Huyu Dobe ameiba pesa kazini kwake. Ameondoka tangu jana na simu amezima. Meneja wake amekuja kufungua kesi, na sie tumetumwa na mkuu wa kituo ili



    tumkamate twende nae kituoni, hata hapa anapokaa ametuelekeza huyo meneja wake, hadi chumba cha Dobe kilipo. Sasa wewe unapotuambia kuwa amekwenda



    kazini ndiyo hatukuelewi kabisa, wakati kazini kwake tayari amekorofisha, na meneja wake anatokea kazini kwake Dobe hayupo!”

    Ninaisikia sauti ya askari ikizungumza, nami mara moja ninaona Meneja wangu anataka kunipotezea muda tu kwa vile nimeikataa ofa yake ya kwenda kukaa



    katika nyumba aliyonipangia.

    “Dobe Boy hapa ameondoka asubuhi, amesema anakwenda kazini kwake kama kuna wizi huko mie sijui, labda akirudi nimwambieje?”

    Baby Girl ninamsikia akiwaeleza maaskari maneno hayo.

    “Sikia bi mkubwa, tunakuachia namba za simu, tafadhali ukimuona Dobe anaingia tu basi tutumie message tutakuja kumkamata.”

    Askari ninawasikia wakimwambia Baby Girl na ninasikia baadhi ya namba zikitajwa.

    Kimya cha muda kinapita ninafikiri ninafanyaje na janga hili na nishatangazwa kuwa mie nimekwiba? Mie kweli ningeiba Bosi angekuja jana kukazana nami?



    Haya hivi mwizi aliekuibia kweli malipo yake anapangiwa nyumba ya kukaa? Lakini sijui alichosema huko Polisi kwani aliewahi Polisi kufika, ndiyo



    anaesikilizwa kwanza na kupewa kipau mbele.

    Hakika meneja ameshamwaga fedha zake ili kunikomoa! Sasa ninafanyaje mie. Nikiwa nimezama katika lindi la mawazo, mara ninasikia mlango wa chumbani



    kwangu unagongwa taratibu. Mie sitaki niamini kuwa hawa jamaa wameshaondoka kwani Polisi wana mbinu nyingi sana za kumkamata muhalifu. Ninabana



    pumzi kimya ninatulia tuli.

    Macho yangu hamadi, ninamuona Nge anakuja mbele yangu huku mkia wake ameupindisha juu kabisa.

    Ohooo majanga haya sasa, wewe Nge wewe unanitafutia Lakaza tan maanani! Ninajisemea kimoyomoyo ninarudi nyuma nyuma taratibu, na Nge anaongeza



    mwendo kunifata. Huku masikio yangu nayo bado yanasikia mlango ukigongwa bila mtu kusema neno. Hatimae ninagota mwisho katika ukuta. Huku uvunguni



    kuna kiza, kisha nimeweka makolokolo kibao. Huyu Nge kutokana na rangi yake ilivyo, wala simuoni vizuri kama bado yupo au amekata kona maana



    nimejisweka mwisho kabisa nimejipinda kweli kweli. Macho nimeyakodoa hadi mwisho ninamtazama Nge, lakini mbele ya macho yangu simuoni! Sasa jasho



    linanitoka, kwanza kwa joto na hewa nzito ya hapa uvunguni, lakini pia presha ya kutaka kukamatwa na polisi kwa tuhuma ya wizi wa kutengenezwa. Lakini

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    huyu Nge yuwapi jamani, maana naona anatafuta kukamatishana tu huyu sasa!

    Ninatizama mbele ya uvungu kwa makini lakini simuoni. Ninaanza kujitisha mwenyewe katika fikira zangu. Huyu Nge mwenzake nimevaa Khanga tu sina



    ngu…….! Ninashindwa kumalizia fikira zangu, kwani khanga niliyokuwa nimevaa ninaiona chini nje ya uvungu wa kitanda! Eboo kumbe na hiyo Khanga



    yenyewe pia imenidondoka wakati ninaingia uvunguni hapa nipo uchi wa mnyama! Haya si balaa hili.

    Heee Nge we Nge wee, ushike adabu yako, na adabu ikushike. Kama ndiyo leo umeamua kuniuma basi chonde chonde niume popote niachie huu Mkuyati tu



    uwe salama. Maana ukiuuma huu ushanikhanithi ujue. Ninasema rohoni peke yangu kama mwehu. Hapa ukinipima mapigo ya moyo, basi ujue yamepanda hadi



    kilele cha kupanda! Huyu Nge kanitia fadhaa kweli kweli sina amani kabisa, kwani Nge mwenyewe kashiba au sijui ana mimba maana ni mkubwa hasa! Mara



    ninasikia katika mguu wangu kuna kitu kinanitambaa. Ninapigwa na ganzi mwili wote kwa kihoro. Kwani ninaona hapa nikijitingisha tu, huyu anaenitambaa



    kama ndiye yule Nge, alienipotea machoni mwangu, hakika atanimaliza huyu!

    Ninatetemeka kweli kweli kwa woga, kwani Nge anauma vibaya msinicheke mwenzenu. Hasa sumu yake weee ni balaa, ukizingatia nipo uchi maana yake hana



    hata kizuizi cha kuniuma yaani nina majanga siyo ya kitoto.

    “Wee Dobe fungua bwana washaondoka wale Polisi, sasa unakausha nini humo ndani?”

    Ninamsikia Baby Girl sauti yake akiniongelesha, lakini ninashindwa kumjibu mwenzake hali tete huku.

    “Wee Dobe wee, umelala hebu fungua huo mlango bwana tuulizane sasa utakaa humo ndani hadi lini?!”

    Baby Girl bado ananisemesha lakini masikini hajui madhila yanayonikabili mwenzie mbona asingenilaumu hivyo? Nikiwa ninataka kumuitikia mara ninamuona



    yule Nge alienipotea amesimama mbele ya uso wangu Hamadi! Ninampuliza, kwa mdomo kama napuliza moto vile, ili asogee mbali kwani akiniuma kidogo tu



    ni kelele hadi wale askari kama bado hawajenda mbali mbona watakuja kuniokota tu!

    Fuu, fuu, fuuuuuuuh.

    Nge kanikazia ananitazama macho! Mikono yangu nimeifunika katika Ashaakum. Nimeshika bara bara nikiwa nimelala kifudi fudi.

    Ninachanganyikiwa huyu anaenitambaa ni mdudu gani wakati Nge aliekuwa ananinyima amani ninamuona mbele ya macho yangu. Ninajitisha labda Nge Dume



    kwa vile huyu nimuonae hapa, ana kila dalili yakuwa ni jike.

    “Wee Dobe, husikii fungua mlango huo bwana wameshaondoka, dume zima unakuwa muoga wa Polisi namna hiyo!”

    Sasa sauti ya Njasi ninaisikia ikinishusha na kunitoa akili, lakini ninapita wapi, na jamaa amekaa mbele yangu, huku nyuma ni ukuta na kitanda kimefika mwisho,



    lakini pia sijui mdudu anaenitambaa sasa ni mdudu gani, kwani nae akiwa ndiyo Nge hapa maumivu yake ni mbele na nyuma.

    Jasho jingi linaendelea kunimwagika. Nikiwa ninatafakari mara ninasikia sauti ya funguo ikidondoka kutoka katika mlango! Inaonesha kuna funguo nyingine



    iliyoingizwa kwa nje imesababisha ufunguo wa ndani ambao haukukaa kwa vizuri kuanguka. Ninasikia sauti ya kitasa kikinyongwa na mlango kufunguliwa!

    “Wee Dobe wee, umejificha wapi mwanaume muoga kama wewe wala sijapata kuona hee tunakwambia Polisi wameshaondoka wewe bado huamini tu, au



    umeiba kweli wewe!”

    Baby Girl ninamsikia akiniulizia kwa dhihaka kwani kitandani hanioni na mie sina kabati aseme labda nimejificha kabatini! Chumba changu siyo Master aseme



    labda nimejificha chooni. Nahisi ameiona Khanga iliyokuwa pembeni ya kitanda, ninasikia sauti za miguu ikitembea kuja uelekeo wa kitanda kilipo.

    Mara kiza kinazidi hapa uvunguni. Baby Mwanamtama na Njasi kwa pamoja wanachuchumaa.

    Ninaanza kuiona miguu yao, kisha ninaona magoti yao na sasa ninaona sura zao wananichungulia uvunguni huku mikono yao wameshika kitanda.

    “Wee Dobe wee, haya kujiswekwa huku namna hii ndiyo nini, tangu mwanzo tunakwambia askari washaondoka wewe umebanisha tu huku, mwanaume unakuwa

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    muoga kama mwanamke?”

    Baby ananiambia maneno ya kejeli na mie wananizidisha hofu, kwani huyu Nge sasa na kiza hiki walichokisababisha wao anaweza kunidhuru huyu.

    “Ninaomba inueni kitanda taratibu.”

    Ninafanikiwa kusema maneno hayo kwa sauti ya chini.

    “Acha ujinga wee, mtanda huu ulivyo mzito nani umtoe ngwe ngwe hapa, kwani umeingiaje huku hadi sasa ushindwe kutoka, tokea huku huku.”

    Baby ananijibu bila kujua mwenzake ningeshatoka saa nyingi tu sema ndiyo nimekwama huyu Nge kakaa pabaya.

    “Jamani nitaumwa na Nge yupo mbele yangu mnamzinga simuoni, angalieni asije akawafata nyie akawauma, mwengine nahisi yupo mgongoni sijui, hebu inueni



    kita…….!”

    Kwani nimemalizia basi kusema kitanda, Njasi ameangukia kwake, Baby ndiyo usiseme kwani ameanguka mweleka wa chali, khanga imefunuka vyombo vyote



    nje!

    “Nge huyoo, Nge huyoo, nakufaaaa!”

    Baby anapiga kelele wala huyo nge mwenyewe hajamuona sikwambii kumuuma haya angemuuma ingekuwaje?!

    Ninafanya maamuzi mwenyewe ya kutoka hapa uvunguni. kwani nitakaa hapa hadi saa ngapi. Huyu Baby anavyopiga makelele je akijaza watu kisha na mie nipo



    humu uchi itakuwaje? Ninaamua kubimbilika upande ambao ninahisi nge nimemuacha kulia kwangu mie ninatoka nduki uvunguni.

    “Huyoooo Nge huyoooo!!!”

    Ninasema kwa sauti huku ninatoka uvunguni kwa wepesi, ninajigonga na fumbati la kitanda kichwani potelea mbali sijali bora maumivu haya kuliko ya Yule



    Fataani Nge.

    Ninafanikiwa kutoka huku ninapotoka ninamuona Baby anakurupuka pale chini alipolala khanga yake anaiacha chini mbio anawahi mlango akiwa uchi kama



    alivyozaliwa. Njasi anafanikiwa kuinuka nae anataka kukimbia hasa anaponiona mie ninajikung’uta huku mashaka yamenijaa anahisi asije kudondoka akamfata



    yeye.



    Nipo kama nilivyozaliwa ninainama naichukua Khanga yangu ninaikung’uta mara kadhaa ninaivaa, kisha ninachukua kiatu ninainua Kitanda ninafanikiwa



    kumuua Nge aliekuwa mbele ya uso wangu wakati Yule aliekuwa ananitambaa sijui kama ni mdudu gani wala sijamuona tena na sijui hata amedondokea wapi!

    Ninatoka sebuleni kabla sijakaa katika sofa, mara ninauona mlango wa mbele unafunguliwa mara meneja anaingia ndani ya sebule.

    Haa kumbe mlango hawajaufunga hawa dah! wakati ninamshangaa meneja mara njemba tatu nazo zinasogeza mlango kwa maana yakuufungua zaidi,



    wanajichoma ndani kwa kujiamini sana. Wanatembea hadi nilipo mikono yao wameiweka katika vifua vyao kama wamefunga swala wananitazama kwa dharau.



    Ninawatizama kwa mashaka, ninatizamana nao macho kwa macho!!!

    “Dobe upo chini ya ulinzi kwa kosa la kumuibia muajiri wako. Hivyo tunakwenda na wewe kituoni kwa maelezo zaidi”.

    Askari ananiamrisha na kuniweka chini ya ulinzi.

    “Sawa nimesikia ngoja nikavae kwani ndiyo nilikuwa ninataka kuoga hata sijaoga hapa.”

    Ninawajibu hawa askari, ili wanipe nafasi ya kujimwagia maji tu ili kuondosha Janaba, kwani majumba ya Mahabusu niende na majanaba, moyo wangu



    unakataa.

    “Kuoga hapana hatuna muda wa kupoteza ila kubadili nguo hilo ninakuruhusu unaweza kuvaa ukiwa chini ya usimamizi wa askari.”

    Ninainuka kuelekea chumbani kwa Baby Girl ili akanione kama nimekamatwa ili anifanyie maarifa. Kwani sina hata senti nyekundu nilipo na mambo haya



    dhamana bila kuwa na mpunga mfukoni huwa inakwenda pole pole sana.

    Ninamuona askari mmoja akinifata kwa karibu huku mkono wake wa kulia akiuweka karibu kabisa na kiuno chake. Nikafahamu hapo kiunoni lazima kuna



    mguu wa kuku umewekwa!

    Ninapoingia ndani chumbani yule askari anabakia nje ya chumba kunisubiri. Ninapiga hatua kadhaa kumuelekea Baby Girl kitandani alipojilaza akiwa amelala



    chali hana nguo, lakini pia akiwa anahema kwa tabu sana. Inaonekana Presha ya kushuka inamsumbua kwani amekimbia mbio, lakini pia mshtuko alioupata wa



    Nge umemsababishia kupoteza fahamu yake na presha kushuka chini.

    Ninajitahidi kumuamsha na kumsemesha lakini sipati ushirikiano wake. Baby nikiuinua mkono wake juu nikiuachia unaanguka peke yake! Nimetaharuki hapa

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    sina namna kwa kweli kwani moyo wangu unaniuma mie kwenda polisi wakati Baby yupo katika hali hii.

    Ninachukua Khanga ninamfunika kisha ninatoka nje ya mlango ninamwambia huyu askari.

    “Ninaomba msada waje wanawake wamvalishe nguo Baby wangu, kisha tumpeleke hospitali kwani hali yake mbaya sana.”

    Askari ananitazama kwa makini.

    “Wewe twende kituoni kisha ya huku nyuma yawache kama yalivyo.”

    Ninashindwa kumuelewa kabisa.

    “Yaani mtu yupo hivi unasema niyaache kama yalivyo?!”

    Ninamuuliza kwa ghazabu lakini yeye badala yakutilia maanani ananidharau na kunitolea tabasamu lake baya.

    Ninaelekea sebuleni ili kutaka msaada, lakini huyu askari niliekuwa nae ananishika kwa nyuma kwenye kiuno na kunisukumia mbele kama vile anipeleke



    kituuteni. Ninajaribu kugeuka lakini ninashindwa nguvu nae, hivyo ananipelekesha hadi mlangoni ninazuwia mlango kwa mikono yangu na miguu, huku



    nikilalamika.

    “Nimefanyaje hadi mnipeleke msobemsobe namna hii, mtu amezidiwa ndani wewe hunielewi bwana aaaagh mie mtaniulia hapa lakini siendi kama Baby



    hajapelekwa hospitali!”

    Ninaposema maneno hayo, mara ninaanza kupigwa ngumi za mbavu ili niachie mikono yangu. Lakini mie bado nimeng’ang’ana tu.

    “Mtamuumiza jamani, kwa nini msitumie busara tu kuliko hiyo nguvu isiyokuwa na ulazima.”

    Njasi analalamika kwa uchungu. Nami ninapata nguvu. Ninaanza kuleta ligi ya ubishi yakutotii sheria bila shuruti.

    “Dada usitufundishe kazi, sie tunatimiza wajibu wetu, huyu anapokaidi agizo halali ni kuvunja sheria kwa hiyo sheria inaturuhusu kutumia nguvu kadiri



    iwezekanavyo kama muhalifu hataki kutii sheria bila shuruti.”

    Askari anaposema maneno hayo, mie ninageuza sura yangu ninamtazama Meneja wangu, ninamuona ameweka mikono kifuani mwake, kisha ameuinua uso wake



    juu ili nisiyaone macho yake.

    Askari wakaongeza nguvu wote watatu wakaja kunibeba nikatolewa nje ya nyumba nami ninawaletea Ujela ninaivua Khanga inadondoka chini vyombo nje, watu



    kibao!

    “Mnanizalilisha namna hii, kwa sababu gani, wewe malaya nimekuibia pesa zako mie wewe, poa sana Polisi wamejengewa watu mie ninaenda lakini haibadili



    msimamo wangu kwako sikutakiiiii!!!”

    Ninamchana Live meneja ambae alikuwa ametoka nje na askari.

    “Wewe unaongea juu ya nini, mie ninataka wanaume wezi kama wewe! Utarejesha pesa zangu milioni tatu ulizoiba kazini kwangu jana!”

    Maneno ya meneja yamenirudisha nyuma kidogo. Mie nimeiba milioni tatu zake? Tuseme hiyo nyumba alilipia pesa hiyo kweli? Ninashindwa kupata jibu.

    Gari ndogo inasogezwa kwa haraka inafunguliwa milango ninaingizwa kwa haraka. Ninatupiwa Khanga yangu kisha kila upande anapanda askari, na askari



    aliekuwa ananiuliza maswali ninamuona anaingia katika gari nyingine na Meneja.

    Ninamtazama Njasi ninamuona analia huku anazungumza na simu yake, lakini sisikii anazungumza nini wala na nani.

    Baby Girl kwa heri wangu, mie ninakomeshwa kwa sababu ya maamuzi yangu tu, ama kweli mwenye pesa siyo mwenzako. Ninajisemea kimoyomoyo gari



    inaondolewa watu wakiwa wameanza kujaa.

    “Wewe Dobe umejifanya kutuwekea jeuri hapa kwenu sasa subiri ufike kituoni, utajuta kutufahamu, yaani wewe unagoma kukamatwa wewe!”

    Ninakamiwa hata kuko kituoni penyewe bado sijafika!

    “Lakini naomba mngeuvaa uhalisia wangu kama nyie ndiyo mngekuwa mie mnge…….!

    Sijamaliza kauli yangu ninanyukwa kibao matata sana ninaona nyota mbele ya macho yangu.

    “Kelele wewe usitulinganishe na wewe sie.”

    Haya ninalo tena, siku ya jana tu ilikuwa ninastarehe kwa raha. Nikahongwa pesa nikapikiwa chakula maalumu, ila naona siku ya leo ya majuto tu kwangu.



    Kwani Kasheshe lilianzia uvunguni na Nge, sasa nipo mikononi mwa Polisi makofi nayo ndiyo hivi, basi inabidi niwe mpole tu kwani chombo cha dola hapana



    chezea kabisa.

    Gari inasonga mbele tunaelekea kituo cha polisi mara ninamsikia askari aliekuwa pembeni yangu simu yake inaita, nae anaipokea.

    “Ndiyo kiongozi, ehee sawa kiongozi, ahaa hamna shida nimekusoma Afande, nitafanya hivyo.”

    Mie ninashindwa kuambua chochote cha maana.

    “Dereva peleka gari Sinza moja kwa moja!”

    Moyo wangu unaanza kwenda mbio Sinza tena siyo kituo cha polisi Tabata?!

    “Jamani msende kunitesa mie siyo mwizi, yule dada ananipakazia tu mie siyo mwizi kabisa.”

    Ninawaambia hawa askari lakini hakuna hata mmoja anaeshughulika na mie, kila mmoja ananinyamazia kimya.

    Gari inatembea tunafika kituo cha Polisi Tabata Shule, gari haiingizwi kushoto kituoni, badala yake inanyoosha tu! Ninawaza mengi sana katika akili yangu

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    lakini siyapatii majibu. Hivi hawa ni askari wa kituo cha Tabata vipi wanipeleke Sinza? Tabata ni wilaya ya Ilala sasa napelekwa wilaya ya Kinondoni kufata nini,



    hawa inavyoonekana siyo watu wazuri wanaweza kuniuwa bure. Akili yangu inaanza kuingia na wasiwasi na hawa watu kama ni askari wa kweli, au ni watu tu



    Meneja amewakodisha ili kunishughulikia.

    Gari inachanja mbuga hadi katika makutano ya barabara ya Mandela na Tabata, dereva anapinda kushoto tunaingia barabara ya Mandela tukielekea Ubungo.



    Nimenyamaza kimya sina maneno yashaniishia yote, natizama hatima yangu tu. Ubungo napo tunapafikia tunapinda kulia kama tunakwenda Manzese, kisha



    tukapinda kushoto katika barabara ya Shekilango. Gari imetembea hadi Sinza Madukani inapinda kulia na mara tukatokezea katika nyumba nzuri ya Kifahari na



    ya kisasa. Geti linafunguliwa magari yanaingizwa ndani, kisha wanatulia kabisa. Yaani ilikuwa kama wanaosubiri amri ili watekeleze.

    “Shuka chini Dobe.”

    Askari wananiambia nami ninashuka chini huku ninavaa Khanga yangu.

    Ninawaza mbona leo kazi ninayo? Wanaume hawa wakinilawiti nitakuwa mtu mie kweli?! Ninaongozwa hadi ndani ya nyumba hiyo na Mlinzi aliekuwa



    akizungumza na simu kwa lugha ya Kichaga cha Kimachame.

    “Dobe karibu sana nyumbani naona hapa kuna mawili aidha unirudishie pesa yangu uliyoniibia au ukaozee jela, maamuzi unayo mwenyewe!”

    Meneja ananambia maneno hayo huku akikaa katika Sofa matata sana la ngozi.

    “Askari asante sana kwa kufanikisha hili zoezi, huyu ninawaomba niongee nae, kama hataki kutoa ushirikiano basi ninawapigia ili mumfate mfanye yenu, lakini



    akikubali kunirudishia pesa zangu basi sitawaita tena ila tu msicheze mbali.”

    Meneja anamalizia maneno hayo ananitia uchungu sana. Wale askari wanaondoka ndani ya chumba hiki, Meneja ananitaka nikae katika sofa, lakini mie ninaamua



    kukaa chini ya Zulia. Ninayazungusha macho yangu katika ukuta wa nyumba, ninatizama picha nzuri na nyingi zilizowekwa.

    “Dobe hukuja hapa kushangaa picha, bali nimekuleta hapa kwa sababu maalumu. Kama utatii ninachotaka kutoka kwako ukaniridhia, basi utaishi katika maisha



    mazuri hamna! Lakini ukijidai kuniona unavyoniona nitayafanya maisha yako yawe mabaya sana! Unanielewa?”

    Ninamtazama Meneja bila kumsemesha jambo.

    “Dobe nimetoa pesa milioni tatu kukupangia nyumba hii. Na hapa ulipokaa ndiyo nyumbani kwako kupya kutoka sasa. Imekuwa vizuri umekuja hapa na upande



    wa Khanga tu, mie nitakununulia nguo na kila utakacho utapata kwangu, ila ni sharti moja ukilifanya hilo basi utakaa kwa wema sana, na utainjoi maisha.”

    Meneja anapoitaja milioni tatu ndiyo nakumbuka wizi nilioambiwa nimeiba milioni tatu kumbe alikuwa anamaanisha hivi? Haya mie nyumba ya milioni tatu



    ninaiweza wapi, kwa vitu gani Dobe mie nilivyokuwa navyo hata nipangiwe nyumba nzima.

    “Sharti gani hilo?!”

    Ninamuuliza meneja huku ninamtazama usoni mwake, hasira zimenijaa ila ninakuwa mpole kwani nikiwakumbuka wale watu walionileta wamejaa vifua kama



    nini, ninaona hapa nikijidai ubishi wanaweza Kunifula Kayaya.

    “Dobe jambo langu unalijua, mie katika umri wangu wote sijawahi kukojozwa na Mwanaume, hivyo niliiweka nadhiri kuwa siku ikitokea nikampata mwanaume



    wakunikaza mie na ubaya wangu huu, nikakojoa basi nitataka mwanaume huyo awe mume wangu kwa gharama zozote, tena awe mume wangu peke yangu siyo



    wa shirika! Upo hapo, sasa amua kusuka au kunyoa?!”

    Meneja ananambia maneno hayo uso wa Mbuzi hana masihala hata kidogo.

    “Kama unataka hivyo basi ninaomba nikampeleke Baby hospitali kisha nitahamia hapa bila ya shida.”

    Ninamdanganya ili nipate nafasi yakuwa huru na pia nijue hali ya Baby kwani anaweza kufa kisa mie kumwambia Nge! Lakini pia amenionesha mapenzi



    makubwa sana. Nilipo sina simu hata namna yakufanya mawasiliano nao kujua wanaendeleaje pia sina.

    “Dobe nisikilize kwa makini sana. Huyo unaemwita Baby yule mtu mzima hovyo leo hii ninataka afilie mbali. Kwani yeye ndiyo kikwazo kwangu, na



    ninakuhakikishia ninamuondosha katika dunia hii, kwani najua atanitangaza tu!”

    Meneja ananambia maneno hayo huku akiwa amechukia sana. Nikiwa nipo katika kuchanganyikiwa kwa maneno ya Meneja wangu, ninauona mlango



    unafunguliwa na mara anaingia mtu ambae hakika moyo wangu unapiga sarakasi ya Shufani kwa fadhaa!!!





    “Dobe hujambo, mbona na Khanga kulikoni?”

    Ninamsikia huyu mtu ananita kwa jina langu. Mie ndiyo mara yangu ya kwanza kumuona machoni mwangu, mashaallah mdada minal aal. Amependeza siyo



    kawaida yaani ni shidaa!

    “Umenijuaje jina langu na umetambuaje kama nipo hapa?”

    Mie nikiwa ninamshangaa huyu mrembo kwa uzuri wake hadi moyo wangu ukapiga sarakasi, ninashangaa zaidi ninapomuona Meneja wangu anamtazama mgeni



    huyu kwa mashaka! Meneja macho ameyatoa hana karibu wala habari. Mie nilidhani ni mshirika wake kumbe inavyoonekana ni watu wawili tafauti kabisa.

    “Nani wewe na umefata nini hapa?”

    Meneja anamuuliza huyu mgeni, huku akiwa ametaharuki vibaya sana. Kabla hajajibiwa chochote meneja wangu ananyoosha mkono wake kuichukua simu yake

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    ili apige wapi sijui, lakini hafanikiwi. Mgeni anaupiga teke mkono wa meneja, simu inaanguka mbali na kutua chini ikiwa imesambaratika kila kitu sehemu yake.

    “Angaifureni, mmachame unaejiingiza katika umafia usioufahamu madhara yake, unadiriki kukodisha genge la mabaunsa wakijifanya ni askari Polisi, unamtesa



    mtu na kumdhalilisha mbele ya jamii kwa tamaa zako za mwili tu, leo umefika mwisho wako shostito!”

    Ninamshangaa huyu mwanamke simmalizi kabisa, lakini mie siku zote sijapata kulifahamu jina la meneja wangu hata siku moja zaidi ya kumwita bosi au



    Meneja, kumbe anaitwa Angaifureni, lakini hili la kuwa ni mchaga ninalifahamu sana, sasa huyu mdada ni nani hasa huyu?! Akili inanidulu.

    “Nani kakutajia jina langu wewe, na umepajuaje mahala hapa?!”

    Meneja Angaifureni anamuuliza huyu mgeni mrembo kwa wasiwasi mwingi. Huyu mgeni badala yakumjibu meneja wangu badala yake yeye anatabasamu tu.



    Anapofanya hivyo ninafanikiwa kuuona mwanya wake mzuri kinywani mwake. Ana rangi ya kahawia, ana midomo mipana, macho yake makubwa yanapendeza



    kulia kungu manga. Wanja mpana amepakaa katika nyusi zake, rangi ya mdomo ameikoleza inameremeta mdomoni. Hayo mavazi ndiyo usiseme ni balaa. Hakika



    pamoja na hapa nipo katika matatizo lakini, mwili wangu unasisimkwa kwa mwanamke huyu.

    “Naitwa Qeenlyn George, tafadhali tosheka tu kwamba mie ni usalama wa raia na mali zao, wala hutakiwi kujua ninatokea kituo gani. Ila hapa nimemfata Dobe



    tu, sina shida na wewe Angaifureni, ingawa ukihitaji na wewe nikushughulikie basi nitafanya hivyo!”

    Hili jina analojitambulisha nalo, Qeenlyn George, linaufanya moyo wangu unapiga pah. Ninamkumbuka Baby aliwahi kunambia kuja kwa mtu anaeitwa kwa jina



    hilo, akamjibu majibu ya kunya akainuka akapangusa makalio akenda zake, kumbe huyu ni askari?! Kwangu alisema ametumwa na Njasi huyu, ninamtazama



    kwa utulivu lakini pia kwa makini.

    “Nisikilize bibie kwa makini, Dobe ni mfanyakazi wangu na bwana wangu pia. Hivyo ninaomba usituingilie katika mapenzi yetu”

    Meneja anamwambia Qeenlyn maneno hayo kwa hamaki.

    “Hehee, Kantangazee!!! Unanchekesha, Dobe hana akili akutake wewe? Mbele huchezi nyuma hutingishiki! Mja laana mjukuu wa mtwana, usiyejua maana! Sura



    kama mwanga wa mchana!!!”

    Subuhana llah, huyu dada anamaneno mabaya namna hii, askari gani huyu? Yaani huyu ni shangingi hasa kama ni askari basi pia huyu ni mtoto wa mjini. Lakini



    pia shepu anayo mashaallah. Sasa ndiyo natambua kwa nini Baby Mwanamtama alimpa mineno ya shombo kumbe hakika anaweza kumwiba mtu huyu. Mie



    mwenyewe akitaka kuniiba aka wala sina neno, aniibe mchana kweupee Mbuzi anakula majani! Hata kelele za mwizi sipigi! Maana anaonekana ni mwingi wa



    habari.

    “Samahani sana dada umekuja nyumbani kwangu ili kunitukana siyo! Basi ninakwambia tutaoneshana kama wewe askari mie ni raia ninaejiamini”

    Meneja wangu anajitutumua kwa kusema kwa ukali.

    “Dobe inuka nifate mie, tunakwenda wote hadi kituoni ili ukaandikishe maelezo yako ya kuvuliwa nguo na watu waliotumwa na Angaifureni, ukazalilishwa



    mbele ya umati wa watu, lakini pia kutekwa na kushambuliwa na watu hao.”

    Ninapoambiwa maneno hayo ninainuka huku ninamtazama Bosi wangu mwenye jina kama dawa ya mchango wa uzazi!

    Ninamuona nae ananitazama kwa chuki kubwa. Mie ninamfanyia ishara ya mikono kumuonesha kuwa sijui chochote.

    “Dobe nenda hapo nje kuna gari nyeusi ina askari ndani yake, ingia humo mie ninamazungumzo kidogo na Angaifureni, kisha nitakuja ili twende sote kituoni.

    Qeenlyn George ananambia maneno hayo mie nikiwa ninatembea taratibu kuelekea nje ya nyumba hii. Ninapotoka nje ninaiona gari nyeusi imeegeshwa na



    milango yake imefungwa, ina vioo vya kiza. Ninapoikaribia hii gari ninaona mlango wa nyuma unafunguliwa nami ninapanda ndani yake ninawakuta watu



    watatu. Nyuma wapo watu wawili, na dereva wa tatu. Kiti cha mbele cha abiria kikiwa kitupu nikafahamu kuwa hapo ni sehemu ya Qeenlyn. Hawa watu



    wamekaa kimya kabisa ninawasalimia lakini dereva peke yake ndiyo anaitikia salamu yangu.

    Ninakaa kimya bila kuongeza neno, inapita kama dakika tatu hivi tangu mie nilipoingia humu garini, mara Qeenlyn anatokea na kuufungua mlango wa mbele



    kisha anamwambia dereva kwa kujiamini.

    “Twende zetu.”

    Gari inafunguliwa geti na mlinzi, inatolewa nje ya geti inashika njia ya Shekilango. Sote garini tumekaa kimya hakuna mtu anazungumza neno lolote. Mara simu



    ya Qeenlyn inaita nae anaipokea.

    “Halow nambie wangu, eee, hapana hadi sasa bado ninamtafuta sijamtia machoni. Ndiyo hizo namba za gari ulizozitaja, tumeshazitangaza tunaitafuta hiyo gari.



    Akipatikana tu nitakujuza usijali wangu, vp na huyo Bibi anaendeleaje, weee dah huyo nae kujitia mpana kama pazia la Cinema, hee bibi anaupenda ujana na

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    vijana huyo!”

    Qeenlyn anamaliza kuzungumza na simu anaikata simu yake na kutulia kimya. Maneno hayo yananifanya nihisi kama vile walikuwa wakizungumza habari za



    Baby wangu, na kwamba ameshapelekwa hospitali. Ninajiuliza sana sipati majibu yake. Kwa nini Qeenlyn amwambie huyo aliekuwa akizungumza nae kuwa



    bado anamtafuta huyo mtu hajamtia mikononi?

    Ninajiuliza kama sie mie ni nani? Inanijia kumbukumbu ya Njasi alipokuwa akizungumza na simu, wakati mie nishatiwa kwenye gari ya mabazazi. Lakini pia



    ninawaza kuwa huyu Qeenlyn na Njasi ni marafiki, ninajiuliza je kwani huyu ni askari wa ukweli? Isije ikawa tena jambo likahama kwa mjambaji likenda kwa



    mtema mate!

    Dereva anakata kona ya kulia anaifata barabara ya Morogoro, anaingilia Ubungo maziwa. Tunachepuka kwani njia kuu imetawaliwa na foleni, tunatokea katika



    mitambo ya TBC ya idhaa ya nje, tunashika barabara ya Mandela tunaelekea Tabata. Gari inatembezwa kwa mwendo kasi watu tupo kimya kabisa hakuna mtu



    anaetia neno. Tunafika makutano ya barabara ya Tabata na Mandela, tunapinda kulia tunaelekea Tabata. Gari inaendeshwa kupitia njia ya Tabata ya Madson,



    tunakutana na barabara ya Tabata Mawezi, chombo kinakatwa kulia, gari inaendeshwa, hadi katika nyumba moja yenye geti jekundu, dereva anapiga honi, geti



    linafunguliwa chombo kinaingizwa ndani. Bado ninashangaa yaani ninatolewa sehemu moja ninapelekwa sehemu nyingine lakini kituo cha Polisi sipelekwi



    kabisa!

    Nikiwa bado ninatafakari Ninatakiwa kushuka ndani ya gari, ninashuka ninatembea kwa taratibu na Khanga yangu kiunoni kama shoga.

    Ninaingizwa ndani ya nyumba kisha gari inaondolewa ndani ya geti inashika njia. Qeenlyn ananifungulia mlango ninaingia katika chumba kimoja chenye choo



    ndani, ananambia

    “Kwanza ingia huko ukajimwagie maji, upige mswaki kisha unywe chai, ndiyo tuzungumze yangu”.

    Hakika nilikuwa ninayahitaji sana maji ya kuoga, kwa wakati huu, kwani mwili wote ninausikia unanata kwa jasho. Kinywa kizito kwa vile bado sijapiga



    mswaki asubuhi. Ninaingia bafuni ninajimwagia maji, ninaikuta miswaki mipya mitano imewekwa katika kidude maalum kilichokuwa na sabuni, dawa ya meno,



    pamoja na shampoo. Ninauchukua mswaki mmoja wa winsdom ninauweka dawa ninapiga taratibu. Ninapomaliza kujisafisha ninatoka chooni, ninagusa



    chumbani ninakuta chupa ya chai imewekwa kitandani, pia katika sahani ya udongo kumewekwa mikate. Nikiwa najiuliza hii chai ndiyo yangu mie, mara



    anaingia chumbani Qeenlyn akiwa amevaa mtandio wa dera akiufanya kama Khanga. Ameufunga mtandio kati ya kifua na mapaja, lakini namna mtandio



    ulivyokuwa mwepesi, ulikuwa unaruhusu chupi nyeupe aliyovaa, kuonekana kwa wazi kabisa ndani. Shanga chekwa zimebarizi katika kiuno chake. Nikiwa



    ninamtazama kwa mshangao anainua kinywa chake ananambia.

    “Dobe usishangae wangu, shoga yangu Njasi keshakutangaza kwangu tayari, amenambia kila kitu kuhusu mautamu yako, na mie nipe utamu huo ndiyo shida



    yangu kwako! Yeye Njasi ndiyo alienambia kama wewe umekamatwa na Polisi, ila namna alivyonambia maumbile ya hao Polisi, nikampigia Best wangu mmoja



    yeye baunsa wa Las Vegas Casino huwa anatumiwa sana na watu kujidai kuwa ni askari, akanambia kuwa amehusika katika oparesheni ya kukukamata, na yeye



    ndiyo aliekukamata kiuno kukuelekeza nje kwenye gari. Siyo polisi wale. Wale ni wajanja tu na yeye ndiyo alienambia kama upo pale amenieleza hadi pesa



    waliyopewa, na gea yakuingilia pale, ndiyo maana na mimi pia nikaja na gea za uaskari, lakini mie hata CCP sijakanyaga wala huo uaskari haunihusu! Ila



    nimefanya hivi kwa kuwa shoga yangu Njasi ameumia sana, kwa hiyo malipo yangu kwako Dobe ni hicho kichwa cha samaki tu upo?!”

    Anaposema maneno hayo anainua chupa ya chai ananitilia chai katika kikombe, kisha ananigeukia na kuniuliza.

    “Bwana Dobe, unatumia sukari vijiko vingapi?”

    Ninamtazama huku ninatabasamu ninamjibu.

    “Vijiko vidogo vitatu, mie ninapenda sana sukari kama Mmanyema vile.”

    Qeenlyn anatabasamu vijishimo vidogo vinatokeza katika mashavu yake. Mdomo wake mzuri, ninauingiza katika fikira zangu vipi kama mdomo huu ukiwa



    unanyonya Mkuyati? Nikiwa katika fikira hizo, ninauhisi mkuyati wangu ukichachamaa!

    Qeenlyn ananiwekea sukari anakoroga kisha ananikaribisha.

    “Karibu Shada mgombewa!”

    Ninatabasamu huku nikitikisa kichwa kwa masikitiko kuitwa jina hilo. Ninakunywa chai kwa pupa kwani njaa ilikuwa inanisumbua sana, sema kwa matatizo

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    niliyokuwa nayo sikuwa ninaifikiria namna ya kuitibu bali nilikuwa nayafikiria matatizo yangu.

    Ninamaliza kunywa chai, ninaomba maji naletewa maji ya Baridi lita nzima, ninayakata yote. Naona jasho jembamba linanitoka.

    “Samahani Qeenlyn, naomba unijuze hali ya Mwanamtama inavyoendelea kwani mie ndiyo sababu, nilipowaambia kuhusu Nge yeye na Njasi wakaanguka ndipo



    mshituko ulipompata.”

    Qeenlyn ananitazama kidogo kisha ananambia.

    “Baby wako anaendelea vyema kwani yupo hospitali amewekewa drip na hali yake inatengemaa. Haya unahitaji kujua nini tena Dobe?”

    Mie ninafarijika sana anaponambia hayo.

    “Sina jipya Qeenlyn nimemaliza labda kama wewe unalo la kunambia nakusikiliza.”

    Qeenlyn anaondosha vitu nilivyotumia kwa chai, kisha anapanda kitandani, anajilaza ananitazama kwa macho ya huba. Hakika moyo wangu kwa huyu Qeenlyn,



    unakamatwa mzima hautoki. Nami ninapanda kitandani namsogelea karibu yake, tunatazamana usoni.

    “Dobe usinibanie tafadhali, na mie nataka utamu, nipe kwa kadiri ya maujuzi yako.”

    Qeenlyn ananiambia maneno hayo kisha ananibusu busu zito la uso. Akili yangu inacheza kidogo kwa busu lake. Ninaipeleka mikono yangu katika mwili wake,



    ninampapasa nje ya mtandio kisha ninaufungua juu ya kifua chake ninayaona matiti yake mazuri kwa kunyonywa yanaonekana bila khiyana, Ninapeleka ulimi



    wangu kifuani kwake, ninamnyonya chuchu moja na ya pili ninaichezea kwa mkono wangu, mkono wa pili nimeuzungusha unaumalizia kuushusha mtandio.

    Qeenlyn ana joto jingi mwilini mwake. Ninaendelea kuushusha mkono wangu hadi kwenye chupi yake, ninaivuta na kuiachia inampiga mpira wa chupi kiunoni



    mwake.





    Ninamuingiza mkono ndani ya chupi ninatalii kwenye makalio, ninamuona hasisimkwi sana. Ninalitambua hilo ninauhamishia mkono wangu mbeleni kwake.



    Ninamshika Ukeni anaruka na kutoa mguno.

    “Aaaagh”

    Ninatambua huyu nyege zake zimebarizi huku chini. Ninamchezea kinembe kwa muda, huku ninamnyonya chuchu moja, na ya pili nikiichezea kwa mkono



    wangu wa pili.

    Qeenlyn anasisimkwa sana, yaani anahangaika macho yake makubwa yanalegea yanazidi kuupamba uso wake. Ninaliachia titi lake kulinyonya, ninashuka bondeni



    ninaivua chupi yake kwa meno. Huku mikono yangu inapapasa chuchu zake kwa ufundi, na eneo lote la kifua.

    “Hakika nimekubali Dobe wewe ni fundi, asante sana nipe raha hizo na mie.”

    Qeenlyn ananambia maneno hayo, nami ninajisemea kimoyo moyo kuwa hapa ndiyo kwanza mkoko unaalika mauwa!

    Mara tunasikia mlango umefunguliwa hamadi, tahayari inatujaa usoni!!!

    Moyo wangu unaniripuka, kwani mtu anaeingia humu ndani ndiyo nyongo mkalia ini wangu. Ninamuona tofauti na fikira zangu, kwani anaponiona wala



    hashituki, isipokuwa anatikisa kichwa chake huku machozi yakimtoka mfululizo.

    “Nisamehe shoga yangu, kwani na mie nilikuwa nautaka utamu wa Dobe, hivyo usilie siyo kama nimekusaliti, ila shetani na nyege zimenishinda nguvu shoga



    yangu.”

    Qeenlyn anamwambia Njasi alieingia chumbani macho yake yakiwa mekundu sana.

    Ninaacha kabisa kuendelea kucheza pambano, kwani Njasi ameharibu hali ya hewa, lakini pia analia tu. Ama kweli fumanizi baya hasa kwa mtu umpendae, kwani



    unaweza kufanya maamuzi mabaya kabisa.

    “Njasi hatujafanya kitu lakini, ndiyo tuli………!”

    “Kelele Dobe! Mmefanya hamjafanya mie hainihusu kimpango wenu!”

    Njasi anasema kwa ukali huku machozi yanaendelea kummwagika machoni mwake.

    Ninainuka nikiwa uchi, ninamfata aliposimama akituangalia huku analia, lengo langu nimtake radhi kwa sababu ya kumtia uchungu. Ninapomfikia ninanyoosha



    mkono wangu ili nimshike mkono nimkumbatie kisha nimpe Matentelee ashuke, lakini ninachezea bonge la kibao cha shavu!

    Ninakamata shavu langu, alama ya vidole ninaiona imetokelezea. Ninatambua Njasi amechukia sana, lakini angempiga shoga yake siyo mie, kwani mie nilikuwa



    nimekamatwa na wale washenzi, sasa nimempataje, au katika mazingira kama haya yaliyonitokea ningewezaje kukataa?

    “Njasi ni hili tu au kuna lingine?!”

    Ninamuuliza kwa upole kwani kibao chake kimeniingia sana, na sasa ninalihisi shavu langu linanichonyota kwa maumivu.

    “Njasi shoga yangu nisamehe mie, na ikiwa unataka kunipiga naomba unipige mie. Hakika Dobe utamuonea bure kwani mie nimemtoza nguvu hadi kunifanyia



    haya, na sikua na namna ila kutaka kupata utamu wake ule uliousema. Unajua tena sie wanawake tukiambiwa fulani mtamu kama nini, basi kama mie utamu



    nyumbani kwangu haupo, ninataka sana na mie nipewe huo utamu, hivyo yaliyopita si ndwele, tugange yaliyopo na yajayo.”

    Qeenlyn anamwambia Njasi huku anavaa chupi yake na mtandio wake vizuri, kisha anamfata shoga yake anamshika mkono anamketisha kitandani. Njasi hawi



    mbishi kwa shoga yake, ila kwa kushikwa na shoga yake sasa analia kilio cha kwikwi.

    “Qeenlyn apa haki ya Mungu kama kweli hujafanyana na Dobe.”

    Njasi anasema maneno hayo huku uso wake umerowa machozi.

    “Haki ya Mungu tena sijafanyana nae, alikuwa ananiandaa tu hata hatujatembea shoga yangu. Huo utamu wenyewe basi siutaki tena ushanitumbukia nyongo.”

    Qeenlyn anamwambia shoga yake huku akimfuta machozi.

    “Kama hujatembea nae kweli, basi mshukuru sana mungu wako.”

    Njasi anaposema maneno hayo, ninamtazama kwani sijamuelewa kabisa anamaanisha nini hasa.

    “Kwa nini unasema hivyo shoga yangu?!”

    Qeenlyn anamuuliza Njasi nami ninakaa vyema kumsikiliza maana naona anataka kumuondoa shoga yake katika upendo wangu.

    Njasi badala ya kusema analia sana kwa kwikwi kisha anashika mashavu yake kwa kukata tamaa.

    Mie ninaona ni wivu wake tu, ndiyo maana analia kwa uchungu, na anakuwa katika hali hii.

    “Shoga yangu, Dobe tumuogope kuliko Ukoma!”

    Njasi anasema maneno hayo ananitia fadhaa sana.

    “Njasi kwa nini unasema maneno hayo, au unanitilia zege mie? Lakini mie nishakuachia mpenzi wako na kama nilivyokwambia mie sijafanya nae mapenzi hasa



    zaidi yakuniandaa tu nakubahatika kuishika mashine yangu tu, lakini dudu hajanipa shoga.”

    Qeenlyn anamwambia Njasi maneno hayo huku akiwa hamuelewi kabisa.

    “Mwambie kweli shoga yako, kwa nini mniogope kama Ukoma?! Njasi wewe uliekuwa unalia wakati mie nimekamatwa! Ni wewe uliehakikisha hadi umefanya



    mapenzi na mie, leo nimekuwa niogopewe kama Ukoma?!”

    Ninasema maneno hayo huku ninatabasamu siyo kwa furaha, ila kwa kuuona uongo dhahiri unaotaka kutengezwa nae. Kwani nimeona utangulizi tu ameaanza



    hivi haya akiingia katika sura ya kwanza, si ndiyo ataniuwa kabisa?

    “Qeenlyn wewe ni rafiki yangu sana hadi tumekuwa ndugu na siyo marafiki tena. Natambua kwamba urafiki huisha lakini udugu kamwe hawishi. Kwani



    wazaramu wamepata kulonga kuwa, udugu jambo bora, kula chako nile changu, siku ya mashauri tuwe pamoja udugu jambo bora! Hivyo ninakwambia kuwa



    Dobe siyo mzima kabisa.”

    Njasi anaposema maneno hayo, ninamtazama sana kwa jicho kali kisha ninasema kwa kujiamini.

    “Njasi tafuta njia nyingine ya kumfanya shoga yako asiwe na mie lakini huko kuzuliana maradhi, tafadhali sana sipendi ujue.”

    Njasi kwa mara ya kwanza anatabasamu usoni mwake tangu aingie humu ndani, kisha ananitazama kwa kunisikitikia. Ananambia kwa utuo maneno yake



    yaniingie.

    “Dobe hakika nilikupenda sana, lakini kufikia sasa sina upendo hata kidogo na wewe. Tambua ushaumizwa na Baby wako. Mie ninatoka hospitali punde



    kumpeleka, kwa bahati nzuri pale hospitali kuna dakitari ninafahamiana nae, aliponiona akaniuliza nina matatizo gani, nikamwambia kwamba nina mgonjwa

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    nimemleta amepata mshituko, dakitari akanitaka nimuoneshe mgonjwa wangu, hivyo nikenda nae hadi kwa mgonjwa mwenyewe nikamuonesha. Nilipomfikisha



    kwa Mwanamtama, kumbe dakitari anamfahamu matandu na makoko. Basi kwa kuwa mgonjwa alikuwa ametundukiwa dripu, tukatoka nje akaniuliza nipoje nae



    yule mgonjwa, nikamwambia nimetoa msaada tu wakumpeleka hospitali sipo nae vyovyote, ndipo aliponichana habari zote za Mwanamtama, hapa nilipo uchi



    wangu nimeuchukia kupita maelezo!”

    Njasi anapofika hapo ninakohoa kisha ninafikiri kwa haraka ninaona hawezi kutunga uongo huu, kwani hakutarajia kama mimi atanikuta na Qeenlyn hivyo



    inawezekana maneno yake yakawa na ukweli ndani yake.

    “Ehee shost, habari zake zipi hizo, maana ushanitia wahaka hapa na shengesha juu!”

    Qeenlyn anamuuliza Njasi nami ninatoa macho tu kama Ng’ombe aliekuwa mnadani.

    “Amenambia Baby Mwanamtama, mumewe amekufa na maradhi ya Ukimwi. Na baby alipopima pia amegundulika na Ukimwi miaka mitatu nyuma, na sasa



    anatumia dawa za ARV, anaishi kwa matumaini. Amenambia kuwa mtu mwenye virusi akipata mshituko kidogo tu, kinga zinashuka sana kwani anakuwa hafikirii



    kitu ila anawaza Ukimwi tu. Haya na mie huo mchezo niliocheza kwa pamoja na yule mama nitasalimika kweli!”

    Njasi sasa ameuwa band kabisa. Mapigo ya moyo yananienda mbio kama saa mbovu. Mate yananikauka kinywani mwangu, sauti haitoki, kikohozi pia kinagoma.

    “Njasi umesema mumewe Mwanamtama kafa na ugonjwa gani?!!!”

    Ninafanikiwa kuyapata maneno, ninamuuliza swali hilo kama vile sijamsikia alivyosema awali. Nimetaharuki siyo mchezo, Ukimwi tena! Ninapandisha mikono



    yangu juu ninashika kichwa changu. Ama kweli kila mwenye kulia, anashika kichwa chake!

    “Shoga kwani huyo mama umeshere nae Dobe, wewe si ulinambia alikuandaa tu kule kwenye massage hajakufanya?!!”

    Qeenlyn anamuuliza shoga yake ambae sasa anatoa machozi mwa mwa mwa machoni mwake.

    “Pale mwanzo hakika nilikuwa sijatembea na Dobe, ila ile Plan B, ndiyo nilipoitumia leo hii, yaani ndiyo mara yangu ya kwanza napewa mkuyati na Dobe, na leo



    hii hii nahisi nimeuvagaa tayari. Yaani ninajuta kwa nini sikutumia kinga. Siku hizi kuna condoms za kike kama mwanaume hapendi au hataki kuvaa mpira,



    mwanamke unavaa, lakini wapi nimefanya ngono zembe sasa inanigharimu, ama kweli sikio la kufa halisikii dawa! Ninajuta majuto ya firauni. Burudani ya mara



    moja inaniingiza katika matatizo ya milele aaaagh!”

    Njasi anatungua kilio kikubwa sana. Mie nimejiinamia sina raha moyoni mwangu, sina amani, sina neno. Niyapate wapi maneno wakati Njasi keshasema hadi



    Tamati.

    “Daaah shoga yangu pole sana, kama ndiyo hivyo miwaya ushaikanyaga hiyo mwaya! Ila ninakushauri nenda ukapime asaa kheri unaweza ukawa hujaumia,



    kwani ulipokuwa unapewa Matentelee ulichubuka?!”

    Qeenlyn anamuuliza shoga yake mie sina wakuniuliza, nipo peke yangu kama Ng’ombe aso pembe!

    “Shoga wee, nimejitia ufundi wa kunyonya dudu pamoja na yule kizee, kumbe ana manyenyele sasa ananichagiza kwa mawazo. Haya dudu nimechangia leo, hata



    nikipima nitaonekana ninao kweli? Si hadi ipite miezi takribani mitatu? Mie miezi miwili nyuma nilikwenda kumtolea damu mgonjwa, nikapimwa damu yangu



    ikakutwa salama. Damu yangu ni group ‘O’ hivyo ilimfaa sana mgonjwa ambae nae alikuwa na damu kama group yangu, hivi ingekuwa damu yangu inawadudu



    angewekewa yule mgonjwa kweli, hao madakitari wamekuwa wana vichaa basi!”

    Njasi anazidi kujithibitisha kuwa yeye ni mzima wa afya kabla yakukutana na mie leo asubuhi.

    “Dobe out!”

    Qeenlyn ananambia huku hanitazami usoni.

    “Unasema?!”

    Ninamuuliza kwani keshanichanganya huku Tabata Mawezi na mie ninakaa Tabata Segerea haya ninaendaje na huu upande wa Khanga asubuhi hii?

    “Ninasema toka nje ya nyumba yangu.”

    Qeenlyn anayarudia maneno yake kwa msisitizo.

    “Samahani naom……..!”

    “Out!!!”

    Simalizii kauli yangu Qeenlyn ananikatisha. Ninamtazama kwa macho ya kutia huruma, lakini huruma inavuka bahari inakuwa mbali sana kwake. Anainuka



    anaifata Khanga yangu ananirushia kisha ananifungulia mlango ili nitoke nje.

    Ninavaa Khanga yangu kiunoni kisha ninamtazama Njasi ili kama vipi japo anipe pesa ya taxi ili nipande Taxi nisiadhirike lakini anatizama pembeni



    keshavurugwa.

    “Naombeni nauli basi nitaendaje katika hali hii jamani”

    Ninaposema hivyo Njasi ndiyo analala kabisa kitandani. Kama niliemwambia apumzike. Ninashika njia taratibu ninatoka chumbani humu nilipoingia bila hodi,



    hatimae sasa ninatoka bila kwa heri.

    Ninapotoka nje ya chumba Qeenlyn anaufunga mlango wa chumba chake, kisha ananifungulia mlango mkubwa wakutokea nje ya nyumba.

    “Qeenlyn nitazame hali yangu lakini, sina nguo, sina pesa, nitaendaje Segerea, basi bora ungeniacha kwa bosi alietaka kunipa maisha. Kuliko mhadhara huu



    mnaonipa.”

    Ninamwambia kwa huzuni na huruma lakini nilikuwa natwanga maji kwenye kinu. Au niseme ilikuwa kama nasomea maiti niondoke na Ujaka wangu. Sikupewa



    majibu wala pesa, bali nilikuwa ninafanyiwa ishara yakutoka nje ya nyumba. Dah Dobe mie niliekuwa ninagombaniwa, leo ninasusuikwa kama Paka aliekunya?!

    Ninatoka nje ya nyumba ninaingia mtaani taratibu machozi yananilengalenga huku watu wakinitazama kwa wasiwasi. Wapo walioniona nina upungufu wa akili,



    lakini pia wapo walioniona labda nimefumaniwa, ndiyo nimetolewa nduki. Lakini kuna dhana ya tatu hii siipendi kabisa nidhaniwe hivyo. Eti wapo



    walionidhania mie kuwa ni shoga! Kisa tu huu upande wa Khanga niliovaa! Aaah mie siyo shoga jama ni majanga tu yamenipata, mie ninaliza watu kwa furaha



    ila leo ninalizwa mie. Ama kweli kutesa kwa zamu. Ninatembea huku ninajiuliza itakuwa vipi kama kweli nikiwa nimeathirika? Nitakuwa mgeni wa nani mie,



    kwani kazini nishaharibu, kwa Baby nae ndiyo ameshayakanyaga mawaya sasa ninafanyaje?

    Mara gari inanikosa kunigonga inakanyaga breki zinasota, ninakimbia pembeni kwa fadhaa na taharuki kubwa, upepo wa gari unaikudua Khanga niliyovaa



    ninainama nikiishikilia kwa nguvu isitoke kabisa nikawa uchi kabisa.

    Nilipokuwa ninawaza huku ninatembea kumbe nilikuwa nipo karibu na barabara kubwa ya lami na ikawa ninaingia kati ya barabara sina habari. Ama kweli



    kuchanganyikiwa kubaya. Dereva wa ile gari anashuka katika gari yake ananifata nilipo ananiwasha vibao na matusi juu.

    Mie simlipi tusi wala kurejesha pigo, kwani kweli kosa ni langu, hivyo mie ninamuomba radhi tu. Hatimae ananitazama huku akiwa amefura kwa hasira.

    “Wewe unamatatizo gani wewe eee? Huo unga mnaokula na mibange yenu angalieni bwana mtakuja kufa mtupe matatizo tu!”

    Ananambia maneno hayo kisha huyoo anakwenda kwenye gari yake anaingia kisha kabla hajaiendesha anashuka nakunifata tena. Ninahisi sasa ndiyo mitama

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    inakuja kuchukua nafasi yake.

    “Broo kwani wewe unakaa wapi?!”

    Ananiuliza aliponifikia, huku mie nikiwa nimeshaitanua miguu yangu kujiandaa kwa mitama.

    “Ninakaa Tabata Segerea.”

    Ninamjibu bila kumtazama. Mara inasimama gari karibu kabisa miguuni mwangu, kisha inashusha kioo kilichokuwa kimefungwa ninamuona dereva akiwa



    ameshikilia usukani. Ananiashiria kupanda ndani yake.

    Kwa kuogopa aibu ya barabarani, kujaza watu, hatimae kupigwa picha na kuwekwa kwenye mitandao ya kijamii, ninaamua kufungua mlango wa mbele wa gari



    iliyosimama ninaingia ndani yake, bila kuuliza mara mbili.

    Gari inaondolewa eneo hilo huku kundi dogo la watu waliokuwa wamenijalia ninawaona wananicheka bila kufahamu mwenzao nimetingwa na jambo gani.

    Ninamtazama dereva wa gari ninavuta kumbukumbu usoni mwake, lakini sikumbuki kabisa kama nimemuona wapi mtu huyu. Yeye amenyamaza kimya anatia



    gia tu hana habari na mie. Ninataka kumsemesha mara moyo wangu unapatwa na mstuko, nyuma ya kiti nilichokaa ninasikia sauti ikinisemesha.

    “Dobe hatimae leo tumekutana tena!





    Ninaugeuza uso wangu nyuma kwa haraka, ninamuona mtu alienisemesha akiwa anatabasamu! Mwili wangu unaingiwa na baridi ya ghafla!





    Unaingiwa na baridi kwa kuwa mtu ninaemuona katika gari hii, nilimkimbia akiwa mjamzito nami wakati huo sikuwa na kazi nikalala mbele. Sasa leo



    ninamuona tena ishapita miaka saba nyuma, moyo wangu unaingia baridi kabisa.

    “Dobe umekuwa hivyo sasa, unatembea na Khanga tu mitaani umepatwa na jambo gani?”

    Anaponiuliza swali hilo ninaona vibaya kumueleza kilichonisibu, lakini bado ninakumbuka namna alivyokuwa akinambia ana mimba yangu siku hizo, na mie



    nikawa ninamsisitiza aitoe, lakini yeye akataka nimpe pesa ili akaitoe hiyo mimba, ila kwa kuwa sikuwa na pesa nikatimkia Dar es salaam, nikimuacha yeye



    katika mkoa wa Tabora. nilipokuwa naishi miaka saba iliyopita.

    “Tatu Matabane, nisamehe sana kwa yote yaliyopita, maisha yashanipiga wangu, naomba radhi kwa yaliyotokea.”

    Ninamwambia anisamehe kwani ninamuona sasa hivi yupo vizuri sana.

    “Dobe uliponikimbia ulidhani nitaaibika na kufadhaika, lakini mungu analipa hapahapa duniani, leo ninakuona mitaani ukiwa katika hali hii kweli? Wewe Dobe



    ninaekujua mwenye damu ya nguo unaejua kuvaa, wakuvaa Khanga tu kweli?! Tena upande mmoja”

    Tatu Matabane ananambia maneno hayo ninajiuliza mara mbili nimwambie au niuchune ninaona labda kisisema anaweza kunipa msaada wakunifikisha kwangu.



    Ninapojiuliza sana ninaiona gari ikipinda kulia Tabata Bima, inaelekea Tabata Liwiti.

    “Mie ninakaa Tabata Segerea ndipo ninapoishi sasa, madhila ya Dunia yamenifikisha hapa nilipo, ninaomba msaada wako Tatu.”

    Ninapomueleza maneno hayo, Tatu anaangua kicheko kikubwa, kisha ananiuliza kwa dhihaka!

    “Unataka nikusaidieje dobe?”

    Ninamueleza ninachokihitaji kwake kwa sasa. “Kwanza unifikishe Segerea nikavae nguo zangu, lakini pia uni……..!”

    “….Ukavae?!”

    Sijamaliza kauli yangu, Tatu ananiingilia kati mazungumzo yangu. Anaponiona sina jibu lakumpa, anaendelea.

    “Inamaana nguo unazo, ila umetembea na Khanga moja? Hivi wewe Dobe upo sawa kweli?! Maana sikuelewi.”

    “ Naam nipo sawa”

    Lakini katika hali ya kawaida bado siwezi kwa hali niliyonayo kumridhisha mtu kuwa sina matatizo.

    “Haya kama upo sawa, kwa nini uvae Khanga moja mtoto wa kiume, kisha utembee mitaani kule Mawenzi, na wewe unakaa Segerea?”

    Hapo Tatu ananibana ninabaki kimya tu sina jibu lakumwambia.

    “K,K. Twende Segerea mwaya. Huyu bwana sitomsahau katika maisha yangu, amenifungua bikira yangu, akanionesha utamu wa Sexy upoje, nilimpenda zaidi ya



    sana, lakini alichonitenda nimekuwa siwaamini tena wanaume. Kwani wanaume wanakupenda ukiwa huna tatizo, ila ukipata tatizo, tena wakati mwengine,



    walilolisababisha ni wao wenyewe wanakukimbia. Yaani nimelea mimba peke yangu miezi tisa, wazazi nao wakanifukuza kwa vile nimepata mimba isiyokuwa



    na baba, wakiniambia kuwa nimeitia aibu familia yetu. Hivyo nikawa ninaishi mapamba nje pamoja na mtoto wangu. Miaka saba leo ndiyo ninamuona bwana



    huyu akiwa na upande wa Khanga, eee Mungu asante kwa kunilipa mtoto wa Matabane.”

    Tatu anaposema hivyo machozi yananilengalenga sana.

    “Mwanangu yupo wapi tatu?”

    Ninamuuliza kwa uchungu kwani ninaona sitoweza tena kupata mtoto ikiwa kweli nimeshaathirika kwani mtoto huyo nitakuja kumpa mateso ya bure tu. Tatu



    Matabane anaangua kicheko kikubwa kwa mie kumuuliza mtoto wangu.

    “Hehee, Kanchomeke!!! Kantangazee imepitwa na wakati babu eee?!!! Dobe leo unamuuliza mtoto wewe, wapiii ushayatupa! mtoto wangu uliemkataa



    amechukuliwa na mzungu anaishi Ulaya, kwa watu wanaojua kuthamini na kulea, mie nimekuja Africa nina mwezi sasa, tunataka kuwekeza hapa ndiyo nilikuwa



    nafatilia masuala ya Ardhi na kwa kuwa mie ndiyo mzawa wa nchi hii, Mzungu atawekeza kwa jina langu na mwanangu, tukiwa tunafanya pamoja nae. Mungu



    hamtupi mja wake, na baada ya dhiki faraja!”

    Hakika Moyo wangu, uso wangu vyote vinatahayari kwa majibu hayo.

    “Basi Tatu ninaomba ajira mwenzio nimepigika maisha yangu yameingia husda na hasada, sina mbele wala nyuma yaani Mungu amenichapa bakora mbaya,

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    ninadhani ni dua zako mbaya Tatu, nisamehe Mzazi mwenzangu.”

    “Mie nishakusamehe bure wewe kitambo ila sitakusahau, ndiyo maana leo hii ninatoka kwa shoga yangu huyu Tabata Kimanga, nikakuona nikamwambia Kudrat



    Kenny au KK asimame ili nihakikishe kama ndiyo wewe Dobe ninaekufahamu au siyo.”

    Wakati huu, huyu dada anaeiendesha hii gari niliemfahamu kwa jina la Kudrat Kenny au KK, alikuwa yupo Sanene tunaelekea Segerea.

    “Ninaomba nijue tu basi, mwanangu anaitwa nani au ungenionesha japo picha yake tu.”

    Ninamwambia huku nikitia huruma sana kwani sasa Tatu ni mambo safi na mie ndiyo choka mbaya sana majalala ya chokoraa!

    “Dobe wewe huna mtoto wala sitokuonesha hata picha zake, na kwa taarifa yako tu ni kwamba, huyo mzungu niliempata amemfanya mwanangu kuwa ndiyo



    mwanae, hivyo hata mwanangu anatambua baba yake ni huyo mzungu, hivyo wewe huna chako Dobe kama ulivyomkataa akiwa tumboni. Tena hili ndilo



    litakuwa fundisho kwako na kwa wanaume wenzako wanaokataa mimba kisha wanataka watoto”.

    Kudrat anafika kituo cha kiitwacho kwa Bibi anapinda kona kisha ananiuliza.

    “Segerea ipi unayokwenda?”

    “Pale Sheli utapinda kulia kisha ukishafika pale kituoni, utapinda kushoto hadi katika msikiti, kwenye ukuta wa msikiti utapinda kulia unanyoosha hadi utatokea



    nyumbani kwangu.”

    Ninapomwambia hivyo Kudrat Kenny, au KK anatikisa kichwa kuonesha ameelewa nilivyomuelekeza, anakanyaga mafuta hadi Sheli anapinda kulia anapofika



    kituoni Segerea mwisho wa mabasi anapinda kushoto, ananyoosha hadi msikitini anapinda kulia ananyoosha ninamuelekeza nyumba ninayokaa anaegesha gari



    hapo, ninaiona nyumba ninayokaa imefungwa mlango.

    “Hapa ndipo nilipopanga, karibuni sana pia asanteni sana kwa msaada.”

    Ninawashukuru huku nikishuka kuelekea mlangoni ninaujaribu mlango ninauona umefungwa. Ninagonga mara kadhaa lakini sipati jibu.

    “Dobe kwa heri eee”

    Tatu Matabane ananiambia ameshusha kioo, kisha ninamsikia anamwambie KK atoe gari waondoke wakawahi mishe zao. KK anatia gia wanaondoka nami



    ninabaki peke yangu na Khanga yangu maungoni.

    Ninavuta subira labda Baby atatoka hospitali ili aje afungue mlango lakini muda unazidi kuyoyoma. Watu nao kwa umbea wamejaa mabarazani mwao,



    wananishangaa utasema nimefanya kituko gani sijui. Ingawa majirani wote wanadhani nimeachiwa Polisi. Isipokuwa hakuna hata mtu mmoja, si mwanamke



    wala mwanaume aliekuja kutaka kujua hali yangu au kilichonisibu zaidi ya kunitazama tu. Sasa ninachanganyikiwa vibaya itakuwa vipi kama Baby akilazwa



    asirudi nyumbani nitakuwa mgeni wa nani mie?

    Ninaendelea kusubiri kwa muda mara ninaiona gari ikija katika nyumba nilipo inafunga breki mlangoni. Wanashuka wanawake wawili, huku wakiwa na haraka



    mmoja ninamuona anatoa ufunguo na kufungua mlango. Ninaipata faraja kwa kuweza japo kuingia ndani ili nichukue simu yangu niweze kuwa na mawasiliano,



    lakini pia nivae nguo badala ya kukaa na Khanga. Ninapiga hatua kadhaa ninawakaribia hawa wanawake ambao sasa wameshaufungua mlango wanaingia ndani.



    Ninamuona dada mmoja anaruka na kuogopa mara anaponiona ameshituka sana. Bila shaka namna nilivyo anadhani labda mie ni punguani.

    “Pole sana dada kwa kukushitua mie ni mpangaji katika nyumba hii.”

    Ninajitambulisha kwao ili wasiwe na wasiwasi na mie.

    “Makubwa haya, Marehemu Mwanamtama alipangisha hadi wendawazimu?!”

    Ninamshangaa sana huyu dada siyo kwa kunifananisha na mwendawazimu, hasha wa kala. Bali anapomtaja Mwanamtama kuwa ni marehemu ananifanya



    niishiwe pozi kabisa.

    “Eti umesema mwanamtama ni Marehemu?!!!”

    Ninapouliza swali hili, wananishangaa sana kwani bado sijawaridhisha kuwa mie siyo mwehu.

    “Wewe Mwanamtama unamjua?!”

    Swali hilo lenye kushangaza ndani yake, linadhihirisha dhahiri shahiri kuwa mie ninahisiwa kuwa ni punguani kamili.

    “Sasa nisimfahamu vipi wakati nimewaambia kuwa mie ni mpangaji wake. Basi labda kwa faida yenu tu, mie pia ndiyo baba mwenye nyumba hii.”

    Ninaposema maneno hayo, ninawaona hawa madada wanatizamana, kisha wanatoka nje mbio huku wakiogopa sana. Ninapowafata nje ili niwafahamishe zaidi



    wao ndiyo wanazidi kuchimba mbio! Yaani ninachogundua ni kule kumtangaza Mwanamtama kuwa ni mtu wangu na kuwa baba mwenye nyumba wao ndiyo



    wakapigia mstari jibu lao kuwa mie hasa ni Chizi Majuzubu.

    Ninarudi ndani kwani nimepasubiri kwa muda mrefu sana, ili nikavae nguo. Ninaelekea chumbani kwangu ninavaa tayari, kisha ninachukua simu yangu



    ninaiwasha mara inaingia ujumbe mfululizo. Ninazitazama kwa haraka haraka zile meseji, mara ninaiona iliyotumwa karibuni ni ya meneja. Ninaifungua na



    kuisoma kwa wahaka mkubwa.

    “Dobe nilikuahidi kuwa nitafanya, na nimefanikiwa kufanya. Haya sasa tuone utakaa wapi?!”

    Ninairejea kuisoma mara kadhaa, lakini bado ninaielewa katika maana ile ile tu si nyinginezo. Nikiwa nimeshangaa, mara ninasikia sauti za watu wanaume



    zikiingia ndani huku wakizungumza.

    “Nyie nae, mwehu mwenyewe yupo wapi?”

    Ninatoka sebuleni ninawakuta jamaa wananisalimia na kunihabarisha.

    “Habari yako ndugu. Wewe ni mpangaji humu ndani?”

    Ninaitika kwa kichwa kuashiria kukubali.

    “Sawa. Naomba pokea taarifa kwamba, mwenye nyumba hii, wakati huu tunapozungumza na wewe, ni nusu saa tu imepita tangu roho yake imeacha mwili wake!

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Yaani Mwanamtama amefariki Dunia. Sie ni ndugu zake tumekuja kufunga chumba chake, msiba na taratibu za mazishi zitafanyika kwa mdogo wake Ilala”

    Kwa taarifa hiyo, ninapatwa na ganzi mwili mzima yaani Baby ninamuona mbele ya macho yangu akinipa Matentelee. Baby akinipikia vyakula na kunipa maana



    zake, Baby akinibeba ananilaza kitandani kwake, Baby akiniahidi kuwa ataishi na mie hadi kifo kitutenganishe ni kweli imekuwa!

    Dah Baby Girl, umezimika kama mshumaa?! Oooo Baby ninaumia sana moyoni mwangu kwa kuondoka kwako ghafla. Baby ningeishi na wewe japo



    umeathirika mpenzi. Hakika umenionesha mapenzi ya dhati, hukujali tofauti kubwa ya umri wetu. Baby kumbe pale kitandani leo ninakuinua mkono wako



    unaurudisha chini, ndiyo tulikuwa tunaagana? Nisamehe Baby, hakika nimesababisha kifo chako. Siwezi kuishi tena bila wewe Baby. Nge hakukuua nakataa, ila



    umeuliwa na mwanadamu Baby. Leo nilikuwa nawe asubuhi, muda huu umekuwa maiti?! Ama kweli akhera hakupo mbali.

    Mawazo hayo yanapita moyoni mwangu donge limenikaba rohoni. Machozi yananibubujika bila kujizuwia. Mwili wangu unakosa nguvu kabisa ya kuhimili



    kiwili wili changu, miguu inatepeta ninashindwa kujizuwia. Kichwa kinakuwa kizito, macho yanapoteza nuru ya kuona, ninaanguka mweleka chini, nashindwa



    kujizuwia ninapoteza fahamu!!!



    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog