Search This Blog

Thursday 19 May 2022

AISIIIII.....U KILL ME - 2

 





    Chombezo : Aisiiiii.....U Kill Me

    Sehemu Ya Pili (2)





    “Jamani nisameheni, nimefanya yote kwa ajili ya familia yangu. Yote nimefanya kwa ajili ya mke wangu na mwangu aliyopo tumboni”

    Lukas alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake. Akataka kunyanyuka nikamrudisha chini kwa kumpiga teke la kifuani, kitu kilicho mstua sana Latifa.

    “Dany stopppppp. Huyu ni agent mwenzako”

    “Lakini hawezi kufanya usaliti hata kama ni swala la familia”

    “Mbona mimi umenishirikisha kwenye swala la nyaraka za mama yako, umeona uzito uliopo hapo kati ya kazi na familia?”

    Latifa alizungumza kwa ukali jambo lililo nifanya nikae kimya huku ninamtazama kwa macho ya mshangao. Katika kuzubaa kwetu kwa haraka Lukas akasimama na kumpiga kabali Latifa na kumpokonya bastola yake na kumuwekea ya kichwa huku akinitazama na kutabasamu kwa dharau.

    ENDELEA

    “Luka…..”

    Latifa alijaribu kupiga kelele ila Luka akamuongezea kumkaba shingo yake kwa mkono, huku bastola akiendelea kuiweka vizuri karibu kabisa na kichwa cha Latifa.

    “Nyamaza wewe malaya”

    “Luka hembu tulia kwanza tuyazungumze”

    “Nyamaza na wewe kenge nini. Unahisi ulivyo kuwa unanitandika mangumi hapa nilikuwa siumii”

    “Nalijua hilo?”

    “Sasa nahitaji muniache niondoke, ukifanya chochote ninamuua Latifa hata kama ni rafiki yangu”

    “Sawa sisi tunakuacha uendee, naomba umuachie Latifa kwanza”

    “Noo siwezi kufanya ujinga wa aina hiyo”

    Luka alizungumza huku taratibu akirudi nyuma nyuma huku akimburuta Latifa, anaye endelea kuushikilai mkono wa Luka usizidi kumkaba zaidi na zaidi.

    Luka akakaribia karibu na ukuta ambao alikuwa amekusudia kuupanda hapo awali, akamsukumia Latifa kwangu, nikawahi kumdaka asianguke chini. Nikamshuhudia Luka akipanda ukuta huo na kuangukia upande wa pili na nikiasikia vishindo vyake vya kukimbia kuelekea anapo pajua yeye.

    “Dany”

    Latifa aliita kwa sauti ya chini huku akijiweka vizuri koo lake lililo kumbana na maswaibu ya kukabwa sana.

    “Ina maana Luka ni msaliti kweli?”

    “Kama ulivyo weza kuona”

    “POLISIIII”

    Tulisikia sauti kutokea getini, ikatubidi kugeuka kwa haraka, tukakutana na kundi kubwa la polisi, wapatao sita, huku mmoja wa polisi hao niliweza kumkumbuka kwa haraka ni yule polisi niliye weza kuonana naye nyumbani majira ya asubuhi.

    “Mikono juu”

    Mmoja alitoa sauti hiyo tukatii mimi na Latifa, kila askari aliweza kutunyooshea bunduki yake, kila mmoja akaonekana kushangaa mauaji yaliyo tendeka eneo hili kwa maana kumetapakaa maiti nyingi kila sehemu.

    Askari hao wakatufwata na kutufunga pingu za mikono huku mikono yetu wakiwa wameirudisha kwa nyuma.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Ninaomba nitoe kitambulisho changu”

    Latifa alizungumza huku akiminyana na askari wa kiume aliye mshika mkono.

    “Hakuna haja ya kitambulisho hapa, maelezo yote mutakwenda kuyatoa kituoni”

    “Niachieni nyinyi, munajua mimi ni nani?”

    “Hilo hatutaki kulijua tena kaa kimya, ukileta za kuongea ongea, tutakutandika makofi mtapisho sasa hivi”

    Askari huyo aliendelea kuzungumza kwa kujiamini, askari wa kike ambaye nilikutana naye asubuhi akabaki akiendelea kunitazama pasipo kuzungumza kitu cha aina yoyote. Wakatutoa nje ya geti ya nyumba hii. Tukakuta wananchi wengi pamoja na waandishi wa habari wakiwa wamekushanyika wakishangaa tukio hili huku waandishi wa habari kazi yao ikiwa ni kupiga picha.

    “Hamujui munadili na watu wa aina gani”

    Nilimuambia askari aliye pembeni yangu huku akiwa na bunduki.

    “Huo ni ujinga ambao sitaki kuusikia”

    “Ahaaaa ehee”

    Askari wa kike naye alitembea pembeni yangu huku kwa umakini akiwa anajaribu kutaka kuzungumza jambo ila anashindwa kuzungumza. Wakaniingiza kwenye gari aina ya defender, huku Latida naye akiingizwa katika gari nyingie. Katika defender hii wakaingia askari wanne akiwemo na askari wa kike yule ninaye fahamiana naye kwa kuonana. Akaka mbele yangu huku wazake wengine wakiwa wamesimama katika sehemu ya kuingilia, huku mitutu yao ya bunduki wakiwa wamishikilia vizuri.

    Gari ya aliyo ingizwa Latifa taratibu ikaanza kuondoka cha kushangaza ikaeleka upande tofauti na upande ambao ninaelekea mimi. Askari huyu wa kike akanikonyeza kwa umakini mkubwa, hapa ndipo nikaanza kugundua ishara za askari huyo kwa mana ishara anazo anza kunionyesha ni ishara za kipelekezi ambazo si rahisi kwa askari polisi kuweza kuzifahamu. Ishara moja tuliyo zungumza kwa macho pasipo askari kugundua, ni kuutumia mguu wangu wa kulia. Nikaelewa ni nini anacho kimaanisha. Nikaupeleka mguu wangu wa kulia katikati ya mapaja yake na kugusa sehemu za siri. Kitendo hicho kikamkasirisha askari huyu wa kike, aliye ninasa kofi tizo hadi wezake wakashangaa.

    “Mpumbau wewe unaidhalilisha kwa kunikanyaga sehemu zangu za siri ehee”

    Alizungumza huku hasira ikizidi kumpanda, akaninasa ngumi nyingine nzito za kifua

    “Afande Judith muache bwana”

    “Awezi kunidhalilisha mimi nikamuacha hivi hivi”

    Akanirukia na kunilaza chini, akaanza kunitandika makofi mfululizo huku askari wezake wakabaki wakiwa wamesimama, huku gari ikizidi kwenda kwa mwendo kasi, kutokana mikono yangu imefungwa pingu kwa nyuma sikuwa mnjanja wa kufanya chochote.

    Afande Judithi, akanipiga kichwa cha pua na kunifanya nipanue mdomo, sikuamini nilipo muona akinitemea funguo ndogo ya pingu niliyo iwahi kuibana chini ya ulimi kabla sijaimeza. Akasimama na kunikalisha kitako huku nikivujwa damu.

    “Pumbavu, huwa napenda waseng* kama nyinyi niwashuhulikie”

    Afande Judithi alizungumza huku akihema, akanipa ishara moja ambayo nikaitekeleza ndani ya sekunde mbili kama si tatu. Nilijibenua kwa haraka na mikono yangu nikaileta mbele, ni jambo rahisi sana kwa mfanya mazoezi kufanya hivyo. Askari wakaanza kuchachawa huku akigeuza vitako vya bunduki zao wakitaka kunipiga navyo ila wakawa wamechelewa tena sana, kwani niliweza kujifungua pigu hizo kwa funguo aliyo nipatia afande Judithi.

    Askari aliye shusha kitako chake cha bunduki ili anipige, nikakinyaka kwa haraka kisha nikampiga teke moja ala sehemu za siri lililo mfanya aiachia buduki yake hiyo aliyo kusudia kunipiga nayo. Nikaanza kuwashuhulikia askari hawa watatu wa kiume, nikashangaa kumuona afande Judithi akinisaidia kufanya hili. Askari aliyopo mbele anaye endesha gari alipo ona misukosuko na vishindo vilivyopo nyuma akafunga breki za gari. Kitendo cha askari huyo kuufungua mlango, akakutana na teke zito kutoka kwa afande Judithi aliye shuka pasipo hata kujua ameshukaje. Nikasikia askari huyo ambaye ni dereva akigugumia kwa maumivu makali. Askari wote watatu nikawa nimewaweka chini ya ulinzi mkali, hakuna askari aliye weza kufuruka hata mmoja, kila mmoja akawa na akaiz ya kuugulia maumivu yake. Kwa bahati nzuri eneo tulilo tulilopo hakuna watu wengi kwa mama ni moja ya njia ambayo pembeni kuna majumba ya kifahari na nimitaa iliyo tulia kabisa.

    Nikashuka kwenye gari hili na kuanza kuwashusha askari hawa, kila mmoja nikamfunga pingu yake, na kuwaweka pembeni ya barabara. Afande Judith akamshusha askari huyu ambaye ni dereva akiwa amelegea sikujua hata amempiga kipigo cha aina gani kwa mana amelegea hata kusimama hawezi.

    “Wapapase kaam wana simu za mawasiliano”

    Afande Judith aliniagiza na kujikuta nikitii, nikaanza kumkagua mmoja baada ya mwengine, mmoja nikamkuta na simu ya thamani aina ya iphone six, huku mwengine akiwa na kijisimu aina ya nokia vyenye jina maarufu la Nokia Obama.

    Nilipo hakikisha kwamba hakuna ambaye ana simu, bunduki zao nikazichukua na kuingia nazo upande wa dereva ambapo Afande Judith yupo ananisubiria. Afande Judithi akaliondoa gari kwa mwendo wa kasi huku akiwa kimya, akatatoa kitambaa cheupe kwenye mfuko wa suruali yeka ya kiaskari alio ivaa na kunikabidhi.

    “Kifute damu”

    Nikafanya hivyo kwa mana kuna michuruzo ya damu inanitoka puani mwangu.

    “Pole sana kwa kuweza kukufanyia kile nilicho kufanyia kwenye gari”

    “Asante ila ni kwa nini ulifanya vile?”

    “Ahaa, jina langu alisi ninaitwa Babyanka Martin, ni mlinzi wa siri wa raisi. Mwenzi mmoja kabla alinituma kuja kuandaa dhiara yake na kuniingiza katika kikosi cha jeshi la polisi kwa jina la Judithi Ndauka”

    “I…iii ina maana unafahamu kitu gani kinacho endelea?”

    “Ndio natambua mpango wako mzima kwa maana raisi aliniagiza leo kuweza kukufwatilia na nilisha mpa ripoti kwamba wewe ni mtu safi na unaifanya kazi kama vile inavyo paswa”

    “Ahaa sasa unafahamu raisi anakuja kwa njia gani?”

    “Kama aliweza kunipa taarifa zako, basi tambua kwamba natambua kwamba anakuja kwa njia gani. Hato kuja kupitia njia ambayo wewe unaizungumzi, kwa mana yule aliye kamatwa naye ni miongoni mwa wavujisha siri”

    “Nani, Latifa?”

    “Ndio wale askari nao pia ni miongoni mwao, pale anapelekwa kwa mkuu wa mkoa kwenda kuzungumza kile kitu kinacho endelea. Nilisha wasiliana na raisi, atakuja kupitia njia ya helcoptar na tutakwenda kumpokea majira ya saa nane usiku katika eneo la Maranzara, lipo Pogwe kwenye moja ya kiwanja cha siri sana. Hapo ninapafahamu basi itatupasa saa saba kamili tuwepo pale”

    “Sawa, sasa huoni kama itakuwa ni hatari kama tukitumia gari la polisi.”

    “Hatuto tumia gari la posili, ninakupeleka nyumbani kwako, kuna mtu tayari amesha lichukua gari lako na kulipeleka kwa mbunge muheshimiwa Eddy”

    “Umejuaje kama nimelichukua gari hilo kwa muheshimiwa Eddy?”

    “Ndio maana nilikueleza hapo awali kwamba nilianza kukufwatilia siku nzima na ratiba na mizunguko yako yote niliweza kuifahamu”

    “Mungu wangu…..?”

    “Nini?”

    “Kuna zile nyaraka zipo katika eneo lile tukio”

    “Ahaa hizo nyaraka kwa sasa hazina umuhimu kwa sana kwa mana maamuzi yatatoka moja kwa moja kwa raisi”

    “Mmmmm”

    “Yaa”

    “Sasa nikuite Babyanka au nikuite afande Judithi?”

    “Ni vyema sana kama ukiniita afande Judithi, jina langu halisi huwa mara nyingi sipendi liweze kujulikana kwa watu”

    “Sawa, naitwa Dany”

    “Nashukuru kukufahamu, japo tayari nilisha weza kulifahamu jina lako”

    Tukafika katika eneo la raskazoni kwenye moja ya nyumba ambayo imejitenga mbali sana na sehemu zilipo nyumba nyingine. Afande Judithi akashuka kwenye gari, akatembea kwa hatua za haraka hadi kwenye geti, akafungua na kuniomba niingize gari hilo ikanibidi kuhamia upande wa siti ya dereva. Taratibu nikaliingiza gari hilo katika eneo la nyumba hii nak umuacha Afande Judithi anafunga geti. Alipo maliza akatembea kwa mwendo wake wa haraka hadi sehemu nilipo simama.

    “Karibu”

    Alizungumza huku akitangulia mbele, akafungua mlango wa kuingilia ndani humo kwa kutumia namba za siri, ambazo ameminya minya kwenye batani nyingi zilizopo katika mlango huu. Mlango ukafunguka na sote tukaingia ndani, akawasha taa, hapo ndipo nilipo weza kupata fursa ya kuweza kuona kila kitu kilichopo hapa sebleni.

    Haikuwa seble kama nilivyo jua mimi, ila ni sehemu yenye mitambo ya mawasiliano makubwa. Afande Judithi akawasha moja ya computer yenye kiooo kikubwa kiasi, akaanza kuminya minya batani za copture hiyo kwa kasi ya ajabu sana kisha akasimama mbele yake, hazikupita sekunde tano nikaona video ya raisi akiwa amesimama eneo hilo akiwa ndani yake.

    “Muheshimiwa kijana Dany nimesha kutana naye”

    “Upo naye hapo?”

    “Ndio”

    Afande Judithi akaniita kwa ishara nikasimama pemebeni yake.

    “Asante sana kijana kwa kuweza kufanya kazi yako kwa uaminifu mkubwa sana”

    “Asante muheshimiwa”

    “Kama alivyo kueleza Babyanka, leo nitatumia njia hiyo, ila kesho kwenye msafara atakuwepo raisi huyu”

    Akasimama mtu mwengine ambaye ametengenezewa sura kama raisi, akasimama pembeni ya raisi. Kusema kweli hakuna utofauti wowote na raisi, raisi huyo feki akasogea pembeni na kumuacha raisi aendelea kuzungumza na sisi.

    “Ratiba ya viongozi wote ambao si waadilifu wa serikali yangu, nimeweza kuipata nawaahidi nikija huko nitahakikisha kwamba wote wanaweza kutumikia kile ambacho wamekipanda kwa muda mrefu”

    “Sawa muheshimiwa”

    “Tutaonana baadaya, na kuanzia sasa Babyanka, atakupatia mawasiliano ya kuwasiliana nami moja kwa moja”

    “Sawa muheshimiwa raisi”

    Afande Judithi akazima computer hiyo kisha akanigeukia.

    “Unatakiwa sasa ukaoge na kukupa vitendea kazi vyako. Njoo nikuonyeshe bafuni”

    Nikaongozana na afande Judithi hadi katika bafu, akanionyesha kisha akatoka, taratibu nikaanza kuvua koti la suti kisha shati. Nikavua viatu pamoja na shati kisha nikasimama mbele ya kioo huku nikijitazama majeraha niliyo yapata usoni mwangu. Nikiwa nimesimama mbele ya kioo nikaona mlango wa bafu ukifunguliwa ikanibidi kugeuka na kumuona Banyanka akiingia bafuni hapa akiwa amevalia chupi na siridia, kwa jinsi umbo lake lilivyo la kirembo nikabaki nimeduwaa.

    “Tuoge wote”

    Babyanka alizungumza na kunifanya nibaki nikiwa nimekaa kimya nisijue nini cha kufanya, huku jogoo wangu akianza kuleta fujo za kutaka kusimama taratibu.







    “Muambie alale huyo”

    Afande Judithi alizungumza huku akimtazama jogoo wangu, nikajihisi aibu kwa maana huwa siku zote ninaamini kwamba mwanamke akijileta kwa staili hii basi ni wa kumla kitumbua. Afande Judithi akavua chupi yake pamoja na siridia yake. Akasimama kando yangu na kuanza kumwagikiwa na maji ya bomba la mvua. Akachukua sabuni na kuanza kujipaka kila upande. Kusema ukweli Babyanka amebarikia umbo zuri huwa wanaume tunaitaga romantic body. Amejaliwa urefu kiasi, hispi kiasi makalio ya kiasi, na jinsi anavyo fanya mazoezi basi kila kitu kwneye mwili wake kipo katika usawa mzuri.

    “Dan yoga unanishangaa, ina maana hukupitia mafunzoni?”

    “Ahaaa…hahaa hapana”

    “Unashangaa, hii ni kum** tu hata ukiitomb** utaiacha hapa hapa kwangu”

    Sikutarajia kama Babyanka anaweza kuzungumza maneno ya aina hii kwa maana ukimtazama ni mpole na mstaarabu sana. Na mimi nikaanza kuoga taratibu huku nikijaribu kumzuia jogoo wangu na hisia zangu kumtamani Babyanka.

    “Dany hadi sasa hivi umetomb** wanawake wangapi?”

    “Eheee?”

    “Hadi sasa umepakua wanawake wangapi?”

    “Kwa nini unauliza hivyo?”

    Kwa sababu ninaona umekuwa mshamba wa kum* yangu unaishangaa sana”

    “Ahaaa kama mwanaume jarisi ni lazima nistuke nikiona kitu kama hicho”

    “Hahaaa kwa hiyo hapo mbo** yako inapata shidaa….?”

    “Wee acha tu”

    “Nikikupa sasa hivi uto kuwa makini na kazi ya kumlinda raisi?”

    “Ahaaa nikipata nitakuwa makini zaidi ya kuondoka na maumivu haya ya huyu jogoo wangu”

    Babyanka akachukua sabuni na kiganja chake cha mkono wake wa kulia kisha akaizungusha zungusga, mara kadhaa na kuchukua puvu jingi. Akanisogelea na kumshika jogoo wangu. Akaanza kumchua kwa kutumia povu hilo, jogoo wangu akazidi kukaza kwa kasi, nikaupeleka mkono wangu taratibu hadi kwenye kiuno chake nikamvuta kwa ukaribu zaidi. Chuchu zake ndogo kiasi zikagusana na kifua changu kilicho barikiwa kuwa kizuri kutokanana mazoezi makali ninayo yafanya.

    “Mbo** yako ipo vizuri sana”

    “Kawaida sana”

    Babyanka alipo hakikisha kwamba amemchua jogoo wangu, taratibu akanidandia mwilini mwangu na mimi nikamshikilia vizuri huku miguu yake akiwa ameipitisha kiunoni mwangu. Kutokana ni mwepesi sikuona uzito wa aina yoyote. Kwa mkono wake mmoja wa kulia akaushusha chini kidogo na kumshika jogoo wangu na kumuingiza kwenye kitumbua chake. Kazi ikaanza huku nikimshika vizuri kiuno chake. Kwa wepesi alio nao Babyanka ukanipa fursa ya kumchochoe kitumbua chake, na yeye hakuwa nyuma katika kujiachia. Babyanka akaniomba kushuka chini, nikamshusha taratibu, akashika sinki la kunawia kwa mikono yake miwili huku akibpong’oa. Shuhuli ikazidi kuendelea kwa mwendo wa kasi sana kiasi kwamba sote tukajikuta tunapata burudani iliyo jaa furaha sana.

    “Danyy nitomb**** weeeeee”

    Nikazidi kumuonyesha maujanja Babyanka hadi linatimia lisaa, tukajikuta tukimaliza kwa pamoja huku yeye akidai alisha tangulia magoli kadhaa mbele.

    “Mamaee Dany umenitomb*** hadi miguu nahisi kunyong’onyea”

    “Hahaaa”

    “Ahaaa wewe mashine nyingine, haaaaa sijawai pata ona aiseee”

    “Ila na wewe upo vizuri”

    “Yaani nimejaribu kutoa hadi vya uvunguni ili twende sawa, ila mmmm umenishindaa wewe mwanume”

    “Hhaaaa”

    “Yaani kama wewe ungekuwa ni bunduki basi ningekupa jina la AK47”

    “Sawa tuoge tupate chakula, tujue ni vipi tunaianza kazi yetu”

    “Poa”

    Tukaoga kwa pamoja, kisha tukatoka katika bafu, tukaingia kwenye moja ya chumba ambacho kina kabati kubwa pamoja na kitanda kimoja cha sita kwa sita.

    “Hii nyumba umeishi kwa kipindi gani?”

    “Hapa ni nyumba yangu ya siri, ila nimepanngisha maeneo ya Chumbageni kule”

    “Ahaaa”

    “Hapa kuna nguo za kazi ambazo ni nyeusi tu”

    “Uma maana gani kusema kwamba ni nyeusi tu”

    “Maana yangu ni kwamba ni nguo nyeusi. Hizi ndizo raisi aliniagiza nikupatie. Nguo hizi zina vifaa maalumu ambayo vinaweza kuzuia risasi yoyote ambayo inaweza kupigwa na maadui. Na hizi nguo wanavaa watu wanao mlinda raisi kwa ukaribu”

    Babyanka alizungumza huku akinipatia nguo hizo ambazo kwa kuzitazama tu zina utofauti. Nikavaa koti lake ambalo ni zito kiasi.

    “Unatakiwa kutanguliza suruali kwanza, kisha nitakuonyesha kitu.”

    “Kwa hiyo nivue hili koti”

    “Ndio vua”

    Nikafanya kama alivyo niagiza Babyanka, akanipatia boksa nikaivaa kisha nikavaa suruali ya hizi nguo maalumu, nikavaa shati hili lililo nikaa vizuri mwilini mwangu.

    “Nitazame?”

    Nikamgeukia Babyanka, akaninyooshea kidole gumba kwamba nipo vizuri katika vazi hilo, na yeye akavaa nguo hizo. Tukaa viatu vya jeshi, kisha tukatoka chumbani hapo, tukaelekea sebleni. Babyanka akafungua kabati moja, akanza kutoa silaha za kivita hususani bastola pamoja na visu maalumu vya kijeshi.

    Akanipatia kifaa maalumu cha mawasiliano ambacho ninakiingiza sikioni mwangu na si rahisi kwa mtu kuweza kukiona na ninaweza kuwasiliana na raisi moja kwa moja pasipo kumpigia simu.

    “Muheshimiwa unanisikia?”

    “Ndio ninakupata Dany”

    Niliisikia sauti ya muheshimiwa raisi vizuri. Tukaweka silaha zetu zirui, huku kila mmoja akiwa na saa yake maalumu inayo onyesha majira yanavyo kwenda. Ilipo timu saa saba kasoro usiku tukatoka nje ya jumba hili kila mmoja akiwa na silaha za kutosha huku tukiwa tunajiamini kwa kila kitu ambacho kinakwenda kutokea mbele yetu.

    Babyanka akazunguka nyuma ya nyuma hii, nikaona taa za gari zikiwa zinawaka nikatambua kwamba gari hilo amelificha nyuma ya nyumba hii. Taratibu Babyanka akaliendesha gari hio hadi sehemu nilipo simama. Ni gari aina ya Audi Q7, gari hizi ni gari za kifahari sana ambazo nimesha wahi kuziona kwenye filamu mbali mbali za wamarekani hususani filamu za Transpoter.

    “Ngoja nichukue gari nyingine”

    Babyanka alizungumza huku akishuka kwenye gari hili, moja kwa moja akaelekea alipo elekea mara ya kwanza ambapo ni uwani. Akarudi na gari jengine linalo fanania na gari hili.

    “Sasa Dany unaendesha hili au hilo”

    “Lolote”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Poa endesha hilo, ngoja nifungue geti”

    Babyanka akatangulia getini na kulifungua. Taratibu nikatoka na gari hili, kisha yeye akarudi ndani na kuchukua gari lake, akalitoa nje ya uzio wa nyumba hii kisha akashuka na kurudi kufunga geti hili. Akarudi kwenye gari na safari ikaanza huku tukiwa tumeongozana yeye akiwa ametangulia mbele mimi nikimfwata kwa nyuma kwa maana yeye ndio anatambua kwamba ni wapi anaelekea.

    “Dany unaoneka wewe ni Leaner ehee”

    “Leaner wa nini?”

    “Wa kuendesha gari kwa manaa upo slow sana”

    “Acha hizo so unataka nikuonyeshe maujuzi ya kuendesha gari?”

    “Nionyeshe”

    “Tangulia mimi nakwenda mdogo mdogo nakuhakikishia kwamba ufiki Kange nitakuwa nimekupita”

    “Haya sasa twende kazi”

    “Poa”

    Tulizungumza na Babyanka kupitia vinasa sauti tulivyo vaa masikioni, Babyanka akaanza kuongeza mwendo kasi wa gari lake, nikamuacha apotee mbele ya upeo wa macho yangu. Kisha na mimi nikaanza kumfukuzia kwa mwendo ambao ninaamini kwamba ninaweza kumpata. Uzuri wa gari zetu zina uwezo mkubwa wa kukimbia, na zina spidi mita mia mbili na themenini. Kutokana ni usiku barabara imetulia kwa kiasi kikubwa jambo lililo nifanya nizidi kuendesha gari hili kwa kasi. Sikuchukua muda mrefu nikamuona Babyanka kwa mbali maeneo ya Kange jeshini. Nikazidi kuongeza mwendo, hadi tunafika Kange stendi kuu, nikawa nimemkaribia na kuanza kumpita taratibu.

    “I told you”(Nilikuambia)

    “Nimekukubali, kwa mwendo wote huu umenikuta”

    “Wewe ndio leaner, unifwate nikufundishe kuendesha gari”

    Baada ya kuzungumza maneno hayo, nikampita Babyanka na mimi ndio nikawa ninaongoza msafara huu, kwa kasi ambayo tumeitumia, ikatuchukua dakika kumi kuweza kufika mji wa Pongwe. Nikapunguza mwendo na kumuacha Babyanka kutangulia mbele kisha na mimi nikamfwata kwa nyuma, tukakunja kushoto na kunza kuingia barabara ya vumbi inayo elekea kwenye kijiji cha Maranzara. Safari hii ikachukua dakika kama tano hivi tukafika katika kiwanja hicho ambacho ndipo raisi atakapo fika na helcoptar. Tukazisimamisha gari kwa mbali kisha tukashuka kwenye gari hizi tukalichunguza kama lina usalama. Tulipo hakikisha kwamba lina usalama tukasimama kwenye moja ya mti mkubwa ulipo katika eneo hili.

    Masaa na dakika zikazidi kukatika hadi ikatimu saa nane usiku, tukaanza kusikia mgurumo wa Helcpotar kwa mbali, tukajiweka tayari huku macho yetu yakiwa yatatazama kili kona kwa usalama. Mwanga wa helicopter tukaanza kuuona kwa ukaribu. Taratibu helicopter hiyo ikaanza kushuka taratibu hadi ikafika chini. Moja kwa moja tukakimbilia hadi sehemu ilipo simama, Banyanka akafungua mlango wa helicopter, wakashuka jamaa wawili walio valia suti nyeusi, kisha akashuka raisi. Tukasalimiana naye na kumuonyesha sehemu zilipo gari zetu na kuiacha helicopter hiyo ikondoka.

    Tukaanza kutembea kwa mwendo wa umakini huku raisi tukkiwa tumemuweka katikati yetu. Kila mmoja akiwa makini kutazama kila sehemu. Tukafika kwenye gari zetu, nikafungua mlango wa nyuma wa gari niliyo kuwa ninaendesha mimi. Raisi akaingia kisha akaingia na mlinzi wake mmoja, mimi nikataingia mlango wa mbele upande wa dereva. Babyanka na mlinzi mwengine wakaingia gari la nyuma. Taratibu Babyanka akaanza kuongoza msafara huku gari tukiwa tumeziwasha mwanga hafifu kuhofia chochote kinacho weza kutokea mbele yetu kwa maana mji alio kuja raisi ndani ya siku chache tu umeweza kutokea matukio mengi ya kuogopesha.

    “Munaweza kunipeleka nyumbani kwa mbunge muheshimiwa Eddy?”

    Raisi aliniuliza sikuweza kushangaa sana kwa manaa baba mkubwa ni mtumishi wa serikali ila ubaya ni kwamba baba mkubwa na familia yake hawafahamu kazi ambayo ninaifanya.

    “Ndio muheshimiwa”

    “Basi fanyeni hivyo”

    “Babyanka unapafahamu nyumbani kwa muheshimiwa mbunge Eddy?”

    “Ndio”

    “Ok tuongoze”

    Wakati huu tunatembea kwa spidi themanini, hatufanyi upuuzi wa kumkimbiza raisi wa nchi kwa mana akipata taizo basi serikali ya jamuhuri itatuhukumu sisi. Tukiwa maeneo ya kukaribia kufika Nguvumali, yukaona gari mbili zilizo jaa wapiganaji wa kisomali zikija mbele yetu, jambo lililo anza kumpa wasiwasi kila mmoja na kama ninavyo fahamu kuna mpango mbaya umepangwa kwa ajili ya kumuangamiza raisi.

    “Dany tanua barabara”

    “Sawa”

    Nikafanya kama alivyo niambia Babyanka, gari zetu zote zikatawala barabara huku kila mmoja akiwa makini kuhakikisha kwamba tunamuokoa raisi pili hawa wajinga wote safari yao ya kuingia Tanzania kinyemera inaishia hapa.





    Uzuri wa agri zetu tunazi zitumia, haziingii risasi hata kwenye vioo. Hichi ndio kitu cha kwanza kinacho tupa jeuri ya kufanya hiki tunacho kifanya kwa sana. Mwanga mkali wa gari zetu ukawafanya madereva wa gari hizi za Wasomali kujaribu kutukwepa, jambo lililo tupa nafasi mimi na Babyanka kila mmoja kuweza kudili na gari moja. Kwa kasiya ajabu niklipeleka gari langu kule kule anapo elekea dereva huyu na kumfanya ashindwe kulihimili gari na kujikuta akiparamia mti na kuanguka. Wapiganaji wa kisomali ambao walikuwa wakiruka ruka kutoka kwenye hilo gari kuyaokoa maisha yao, kila mmoja aliweza kupata majeraha yake kivyake. Nikafunga breki za gari pasipo kuuliza mimi na mlinzi mwenzangu wa raisi tukashuka kwenye gari huku tukiwa na bastola zetu mikononi. Hatukuwa na jambo la kufanya zaidi ya kuhakikisha kwamba tunawateketeza wapiganaji wote wa Al-Shabab. Kazi haikuwa ngumu kwa maana wengi walichanganyikiwa hawakutarajia kama kutatokea shambulizi la namna hii. Nikatupia macho upande upande wa pili wa kina Babyanka nikaona nao kazi yao wakiwa wanaimalizia malizia.

    Tukaanza kukagua maiti moja baada ya nyingi, raisi akashuka kwenye gari huku akiwa haamni kazi ambayo tumeifanya vijana wake. Tupo wanne ila tumeweza kususha watu zidi ya thelethini.

    “Muheshimiwa hii ndio hali ya nchi yako”

    Nilimuambia raisi huku nikimuonyeshea maiti zilizo zagaa chini wengine wakiwa bado ni vijana wadogo wa mika kama kumi na mbili hivi.

    “Haya yote unataka kunieleza kwamba yamefanywa na viongozi wangu?”

    “Ndio muheshimiwa”

    Nikamuona raisi jinsi sura yake ikibadilika kwa hasira, hakuzungumza kitu chochote zaidi ya kurudi kwenye gari. Akatuamrisha kuondoka eneo hili kabla hatujaonekena, tukatii amri na safari ikaendelea. Mara kadhaa nikawa na kazi ya kumtazama raisi kupitia kioo cha juu kidogo mbele yangu, ambacho kinaniwezesha kuona siti za nyuma.

    Tukafika nyumbani kwa baba mkubwa, raisi akawasiliana na baba mkubwa na kumfahamisha kwamba aamesha fika. Ndani ya a dakika tatu geti likafunguliwa, taratibu tukaziingiza gari zetu kwenye jumba hili la kifahari ambapo sasa nikakuta ulinzi umezidi kuimarishwa.

    Nikamuona baba mkubwa akiwa na mama mkubwa wakija katika gari zetu zilipo simama, sikutamani kushuka ila sikuwa na jinsi kwa maana kazi yangu ni kumlinda raisi na si kuionea haya familia baba mkubwa. Nikawa mtu wa kwanza kushuka kwenye magari, moja kwa moja nikazunguka upande wa mlango wa raisi na kumfungulia raisi mlango. Baba mkubwa na mama mkubwa wakabaki wakinishangaa, walihisi labda wamenifananisha, ila nikazidi kujikausha kama siwafahamu vile. Wakapeana mikono na raisi, wakamkaribisha wakiwa na furaha. Walinzi wote wanne muda wetu wote tukawa tunatazama kila kona ya eneo la hili jumba. Tukakaribishwa ndani, mimi na Babyanka tukaingia na raisi sebleni huku walinzi alio kuja nao raisi wakibaki nje wakiwa wamesimama mlangoni.

    Nikamkuta mama, Xaviela na Xaviena wakiwa wamekaa kwenye masofa naamini waliutambua ujio wa rasii. Walipo niona wote watatu wakastuka, ila mama hakustuka sana kwa maana ananitambua vizuri. Kama wanavyo nifananisha baba mkubwa na mama mkubwa basi ndivyo Xaviela na Xaviena wanavyo nifananisha, wakatamani sana kuweza kuniita ila` wakashindwa kutokana na uwepo wa raisi.

    “Karibu bwana muheshimiwa”

    “Nashukuru sana, mabinti wako wamekuaa asiee, si ndio wale waliokuwa wadogo miaka ile”

    “Ndio muheeshimiwa”

    “Kweli watoto wasikuhizi wanakua haraka sana”

    “Mkurugenzi habari?”

    “Salama tu muheshimiwa karibu sana Tanga”

    “Asante, nasikia ulipata misukosuko juu ya nyaraka za bandari?”

    “Ni kweli muheshimiwa”

    “Haina tabu kabisa hapo, nimekuja kutumbua majipu rasimi Tanga”

    “Tutafurahi muheshimwia kwa maana sisi watendaji tulio chini ya mkuu wetu wa mkoa basi tunapata tabu sana”

    “Huyo ndio jipu la kwanza, na nitalisweka gerezani, nilipo seme hapa Kazi tu, nilikuwa ninamaanisha hapa kazi, wala sibabaishi”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Ni kweli muheshimiwa tunashukuru”

    “Utendaji wako mimi bwana naufahamu toka siku nyingi, sasa ndugu yangu alikosea kukupa huu ukurugenzi wa jiji, nitahakikisha ninakupa mkoaa huu uunyooshee. Kwa maana nimeona kuna mambo mengi ya ajabu ajabu, ndio maana nimekuja usiku huu”

    “Kweli muheshimiwa”

    “Mama unaweza kutupisha na mabinti zako tukazungumza mambo kidogo ya kiserikali?”

    “Hakuna shida muheshimiwa”

    Mama mkubwa na wanae wakanyanyuka na kupandisha gorofani, tukabaki watu watano sebleni, huku mimi na Babyanka tukiwa kimya tunaangalia ulinzi wa ndani hapa.

    “Nitakapo kupa uongozi wa mkoa, hakikisha bandari inaisha na ianaanza kufanya kazi mara moja. Imarisha ulinzi maeneo ya bandarini hapo, na pembeni pembeni ya bahari kwani kuna kundi la Al-Shabab vijana wangu wamewadhibiti hapo juu juu”

    “Al-shabab mueheshimiwa!!?”

    Mama aliuliza kwa kushangaa kwa mana naamni hafahamu ni kitu gani kinacho endelea katika mkoa wake nahisi alihisi misukuko suko ya mkuu wa mkono na Meya ambaye kwa sasa yupo ahera, ni ya kawaida tu.

    “Ndio, kijana wangu hawa wawili ndio watakao nilinda katika dhiara nzima, na saa kumi na moja naamkia Bombo hospitali hapo kutumbua majipu”

    “Sawa sawa mkuu tutakuwa pamoja”

    “Ila kuna huyu mkuu wa polisi naye vipi?”

    “Huyo atawajibika kijeshi, naye nitamtumbua”

    Baada ya hapo mazungumzo yakaendelea ya kawaida huku wakipiga stori, hapakuwa na tu aliye weza hata kusinzia.

    “Muheshimiwa hivi unajua huyo hapo ni kijana wangu wa kumzaa”

    “Weee kweli?”

    “Ndio muheshimiwa”

    “Shemeji unataka kuniambia kwamba Dany ni afisa mzuri tena anaye mlinda raisi?”

    “Ndio mwenyewe si huyo hapo muulize”

    Nilibaki kutabasamu huku nikimtazama baba mkubwa kwa maana hakuamini kabisa kama nina uwezo wa kumlinda raisi.

    “Hapa una jina asiee kwa mana amepambana kuwaangamiza hao Al-Shabab, naamini polisi watakuwa huko wakitazama maiti zao”

    Raisi aliendelea kunimwagia sifa. Ikatimu saa kumi na moja kasoro raisi akaamrisha msafara wa kuelekea hospitali ya Bombo kuanza. Mama na baba mkubwa nao wakaingia kwenye gari lao, na kuongozana na nasi kuelekea hospitalini huko. Safari hii ikatubidi kubadilisha njia na kupita njia nyingine. Hadi inatimu saa kumi na moja na dakika tano tukawa tumesha fika katika hospitali ya Bombo. Nikashuka kwenye gari na kumfwata mlinzi, nikamuonyesha kitambulisho changu.

    “Saa hizi sio muda wa kuona wagonjwa”

    “Hivi kilicho andikwa hapo unakielewa?”

    “Ahaa hata kama”

    Nikataka kuchomoa bastola ila nikamuona baba mkubwa akishuka kwenye gari, akatufwata hadi sehemu tulipo. Mlinzi alipo muona baba mkubwa akaanza kutabasamu kwa manaa baba mkubwa ni mtu maarufu sana kwenye mkoa huu wa Tanga.

    “Kijana vipi tena”

    “Shikamoo mzee”

    “Marahaba, fungua geti tuna mgonjwa”

    “Ahaa hakuna shida muheshimiwa bwana, sahamani”

    “Sawa”

    Mlinzi kwa haraka akaelekea getini na kufungua geti, taratibu tumaingiza gari eneo la hospitali, tukazisimamisha sehemu ya maegesho, nikashuka kwenye gari huku nikiwa makini kutazama kila sehemi, nikamfungulia raisi mlango wa nyuma baada ya kuona ulinzi upo salama, akashuka. Walinzi wote wanne tukamuweka kati huku mimi nikiwa ninaogoza sehemu za kuelekea, baba mkubwa na mama wakiwa wanafwata kwa nyuma.

    Cha kwanza nikaelekea kwa daktari mkuu wa zamu, tukiwa nje ya mlango wake tukasikia miguno milaini ya msichana ndani humo. Kusema kweli kiroho kikaanza kunidunda kwa maana mchezo huu ndio nilio mfuma nao daktari jana nilipo elekea kutazama Yudia hospitalini kwake.

    “Fungu”

    Raisi aliniamrisha nikashika kitasa cha mlango, nikausukuma taratibu, ukafunguka. Raisi akaumalizia kuufungua kwa nguvu. Wote tukashuhudia daktari na nesi wakiwa juu ya kitanda maalumu kinacho kuwa katika ofisi ya daktari kwa ajili ya kupumzikia mgojwa. Wakifanya yao tena wakiwa na sare za kazi zao. Nesi akiwa amekipandisha kigauni chake juu, daktari akiwa ameshusha suruali yake chini, na koti lake refu likiwa limemfunika kwa nyuma. Walipo tuona, raisi akatoa simu yake mfukoni na kupiga picha kaza za uchafu wanao ufanya.

    Mimacho ikazidi kuwatoka kiasi cha sisi wote kukaa kimya. Wakaanza kupaparika wakijaribu kutaka kuvaa nguo zao.

    “Munavaa nini wakati tumesha waona maungo yenu hayo. Hii ndio kazi iliyo waleta hapa?”

    Swali la raisi likawafanya daktari na nesi kukaa kimya vichwa wakiwa chini.

    “Funga pingu wote hao”

    Babyanka sikujua hata ni wapi alipo zitolea pingu hizo, akawafunga kila mmoja pigu yake akaifunga na kitanda hicho cha chuma walichokuwa wanatumia kuburudika.

    Tukatoka ofisini humu na kuelekea kwenye wodi za wamama walezi na wajawazito, kila mmoja nikaona akikimbilia kuziba pua yake, kwani harufu kali na mbaya tuliyo kutana nayo mlangoni ilitufanya kufanya tulicho kifanya. Raisi akawa wa kwanza kuingia ndani humu, kila mmoja akaoenekana kushangaa mazingira machafu ya wamama hao wanapo lala. Vitanda vimejaa, huku wengie wakiwa wamelala chini. Hapakuwa na hata sehemu ya kuingilia, wamama wote walipo muona raisi wakaanza kutonyana na kuamshana kumtazama raisi.

    “Habari zenu jamani”

    “Salama”

    Wamama hao wakaitikia kwa pamoja walipo muona raisi, raisi akaka kimya huku akionekana kujawa na simanzi sana kwa hali hii, kwani kuna wamama wana watoto wachanga. Kama sisi watu wazima tumekutana na harufu hii kali na mbaya je hawa watoto wadogo wanao ishi humu ndani nao inakuwaje.

    “Nimeona hali munayo pata”

    “Kweli baaa, hali ndio kama hii unayo iona. Tunateseka sisi, tunanyanyasika, hata hizo hali za kununulia vitanda hazipo”

    Mama mmoja aliye lala kwenye kitanda kilichopo karibu na mlango alizungumza huku akimtazama raisi usoni. Wamama hao kila mmoja akaanza kutoa malalamiko yake, kwa muheshimiwa.

    “Nimeona na nimewasikila, nawahakikishia hadi saa moja usiku leo, hali haito kuwa hii humu ndani”

    “Tutakushukuru muheshimiwa”

    “Watanzania mumenichagua ili niwatumikie. Ni zambi kuona tajiri analalia kitanda cha sita kwa sita wakati huku hospitalini vitanda ni vichache. Hata Mungu hapendi asiii”

    “Kwelii”

    “Masikini tazama hichi kimalaika cha Mungu kilicho bebwa na huyu mama yangu, kweli ni chakulala chini na mama yake. Ahaa kweli sikubaliani na hili swala”

    Raisi alizungumza huku taratibu akichuchumaa, akakibeba kitoto kichanga ambacho imepakatwa na mama yake aliye kaa chini sakafuni.

    “Anaitwa nani?”

    “Bado sijampa jina, nimejifungua jana jioni”

    “Jamani ahaaa, haya mama zangu nimesikia kilio chenu na nyinyi mutaona mabadiliko le oleo”

    “Sawa muheshimiwa”

    Raisi akamrudisha mtoto huyo kwa mama yake kisha tukatoka katika katika wodi hizi na kuelekea katika wodi nyingine ambapo huko nako tukakuta madudu ya ajabu. Madaktari na manesi hawawajibiki, wanawanyanyapaa wagonjwa hususani wenye hali mbaya sana. Ni daktari mmoja tu kijana ambaye tulimkuta yupo bize akihangaika kuhudumia wagonjwa kwenye moja ya wodi ya wanaume.

    “Umeingia zamu yako saa ngapi?”

    “Kama siku mbili nyuma hivi muheshimiwa”

    “Siku mbili, kuna zamu ya siku mbili mfululizo?”

    “Hapana muda wa kufanya kazi ni masaa kumi na mbili kumi na mbili, ila sikuwa na jinsi kwani madaktari wengine wananitegea kila siku wanakuwa na udhulu”

    “Ni kweli muheshimiwa, mimi nina wiki nimelazwa kwenye hii hospitali. Ila huyu kijana ana juhudi sana na moyo wa kuipenda kazi yake, ila madakari wengine ni watoro kabisa”

    Mzee mmoja aliye lala kitandani alizungumza huku akimtazama raisi usoni.

    “Kwenye kitengo chako mupo wangapi?”

    “Kumi na tano”

    “Kumi na nne wapo wapi?”

    “Ndio hao wenye udhulu kila siku”

    “Aiseee kumbe ndio utendaji wao wa kazi”

    “Ndio muheshimiwa”

    “Niandikie majina yao sasa hivi”

    Daktari huyo akatoa kijikitabu kidogo cha kumbukumbu kwenye koti lake pamoja na peni, akaanza kurozesha majina ya madaktari wezake, akamaliza na kumkabidhisha raisi.

    “Nipelekeni kwenye daftari la maudhurio”

    “Sawa mkuu”

    Daktari akaongoza nyia, tukafika hadi kwenye chumba ambacho ndipo madkatari wote wanapotakiwa kufika kazini asubuhi wanasaini na pale wanapo toka wana saidi. Raisi akaanza kuligagua daftari hilo, nikaona akitingisha kichwa tu.

    “Naombeni koti na mimi leo niwe daktari nikaaa humu kuangali jinsi wanavyo kuja, nyinyi nilindeni kwa nje”

    “Sawa mkuu”

    Raisi akapewa koti la kidaktari kisha sisi tukatoka nnje ya chumba hichi kuendelea kuimarisha ulinzi. Muda wa kufika ofisini kwa mfanyakazi wa serikali mwisho ni saa moja na nusu tena kwa wale wa mbali ila hadi inafika saa mbili asubuhi hakuna hata mmoja aliye fika, jambo lililo nifanya niwaze sijui ni kitu gani watakacho fanywa na raisi hawa madaktari.





    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Tukaanza kuona makundi makundi ya madakatari wakija huku wakitembea kwa mwnedo wa taratibu wakipiga stori kama vile wanakwenda harusini. Hapakuwa NA Daktari aliye weza kustukia ni kitu gani ambacho kinaendelea kwa wakati huu. Hadi wanaingia ofisini humo, ndipo hapo wengine wakagundua kwamba vibarua vyao vipo hatiani kufutwa. Madaktari na manesi si chini ya thelathini wote wamekuja nje ya muda wa kufika ofisini kama mfanyakazi wa uma.

    Kutokana na wingi wa wafanyakazi hao hatukucheza mbali na raisi, ambaye amewaitisha kikao cha dharura ndani ya ofisi hiyo hiyo japo wote wamesimama.

    “Nasemea kuanzia sasa hivi ninavyo zungumza, kazi hamuna”

    Sura za manesi na madaktari zikabadilika kila mmoja aliweza kuweka pozi lake, mwenye machozi kumlenga lenga, yalimlenga lenga. Mwenye machozi kumtoka yakamtoka.

    “Nyinyi munakuja kazini kama hospitali hii ni ya baba zenu na mama zenu. Daktari mkuu hapa ni nani?”

    Mzee mmoja mweusi na mfupi akanyoosha mkono wa kulia.

    “Hii hospitali kila mwaka inapata ruzuku ya kiasi gani kutoka serikali kuu?”

    “Bilioni tano mkuu”

    “Bilioni tano hizo zinatumika katika kufanya nini?”

    “Kupaka rangi majengo na…..naa…..naaa

    aa…..”

    Daktari huyo akapatwa na kigugumizi kizito cha kujibu dhairi hawa wanaonekana ndio walaji wa pesa za serikali.

    “Hembu huyu muwekeni ndani akajibu hili swala takukuru”

    Mlinzi aliyekuja na raisi akamtoa daktari huyo na kumpeleka kwneye magari tulio kuja nayo. Raisi akatoa simu yake na kupiga namba anazo zijua yeye.

    “Ndio muheshimiwa raisi”

    Kila mmoja aliweza kuisikia sauti hiyo kwa manaa raisi ameweka simu yake, loud speaker.

    “Una madaktari wangapi wanao ingia makazini wiki hii?”

    “Zaidi ya elfu moja mia mbili”

    “Hembu niletee madaktari mia moja hospitali ya Bombo hapa Tanga, hadi kesho sijamaliza ziara yangu hapa Tanga wawe wamesha fika”

    “Sawa mkuu”

    Raisi akakata simu na kuirudisha mfukoni mwake. Akawatazama madaktari hawa na wauguzi kwa macho ya ukali.

    “Unajua munapo pewa dhamani na serikali ya kuahudumia watu wake basi musilete longolongo. Saa tatu nyinyi ndio munafika kazini kweli, mimi tangu saa kumi na moja nipo hapa. Nimekuta hospitali ovyo ovyo, ifike kipindi watanzania muelewe kwamba Hapa ni kazi tu na si kuishi kimazoea kama mulivyo kuwa mumezoea kuishi kimazoea”

    Raisi baada ya kuzungumza hivyoa katokaka na sisi walinzi wake tukamfwata kwa nyuma. Mojo kwa moja tukaelekea naye kwenye gari zetu, nikamfungulia mlango, akapanda nikaingia upande wa dereva na kuondoka eneo la hospitali huku tukiacha watu ambao wamemuona raisi kila mmoja akiwa anazungumza lake.

    “Nipelekeni soko la Ngamiani”

    “Sawa muheshimwa”

    Simu ya muheshimiwa ikaita, akaitoa mfukoni, akaipokea na kuiweka sikioni mwake.

    “Ok”

    “Nyinyi tu nendeni kwenye uwanja wa hapo Mkwakwani”

    “Hawawezi kukujua, mimi naendeleza ziara yangu”

    “Ulinzi uzidi kuimarishwa”

    “Ok”

    Raisi akakata simu, tukaelekea moja kwa moja kwenye soko la Ngamiani, mazingira ambayo tumekutana nayo hayakunistajabisha sana kwa maana ninalifahamu soko hili kwa uchafu. Wafanya biashara wakabaki wakiwa wamejawa na kigugumizi kwa maana wanatambua raisi yupo katika uwanja wa Mkwakwani kwa ajili ya kuzungumza na wananchi ila wanamuona huku sokoni muda huu.

    “Habari zenu?”

    “Salama muheshimiwa”

    “Naona bishara zinakwenda?”

    “Zinakwendaje muheshimiwa, wakati watoza ushuru wakatoza bei kubwa kila siku bei inapanda”

    Mfanya bishara mmoja alizungumza kwa sauti ya uchungu iliyo jaa gadhabu.

    “Ehee, wanawatuza shilingi ngapi?”

    “Muheshimiwa imtoka shilingi mia mbili hadi mia tano kwa kila kichwa kwenye hili soko”

    “Na mbona mazingira ni machafu?”

    “Ndio hapo sasa muheshimiwa, manispaa wanatunyanyasa sana, kwanza hawaji kufanya usafi, pili wanadai ushuru unapanda kwa ajili ya kodi unayo sema muheshimiwa”

    Wafanya bishara hao wakatoa malalamiko yao kila mmoja kwa wakati wake, raisi hakusita kuyaandika malalamiko hayo kwenye kijikitabu chake cha kumbukumbu. Akawaaga wafanya bishara na tukaondoka katika soko hili.

    “Hii Tanzania bwana, kiongozi wa juu anamuambukiza kiongozi wa chini madudu, huku nao wa chini wanafanya utumbo, ila mwaka huu watanijua mimi vizuri”

    Raisi alizungumza huku tukiwa ndani ya gari, tukielekea kwenye gereza la Maweni. Ni ngumu sana kwa mtu kuweza kutambua kwamba raisi tupo naye sisi kwenye hizi gari mbili, huku gari la baba mkubwa, likitufwata kwa nyuma. Tukafika kwenye gereza la Maweni huku tukiwa na daktari mkuu. Akashuka mlinzi wa niliye kuwa naye ndani ya hili gari, akamfwata askari aliye simama kwenye nje ya kibanda kilichopo hapa getini cha kuingilia eneo la gereza hili. Akazungumza naye maneno mawili matatu, geti likafunguliwa, gari zetu zikaingia. Moja kwa moja tukaeleka katika ofisi ya mkuu wa gereza, kwa bahati nzuri tukamkuta.

    Alipo muona rahisi, wasiwasi mwingi uliweza kumjaa, raisi akaachia tabasamu pana na kumsalimia mzee huyu aliye valia nguo za askari magareza.

    “Mzee mbona una wasiwasi?”

    “Kusema kweli muheshimiwa sijategemuea kama unaweza kuja eneo hili”

    “Unaogopa?”

    “Aaha hapana”

    “Nahitaji kuonana na wafungwa wote nao nataka kusikia maoni yao”

    “Sawa”

    Mkuu wa gereza akatoa amri kwa kijana wake, aende akaandae mazingira ya raisi kuweza kuoana na raisi.

    “Twende tu, hakuna haja ya kuandaa mazingira nahitaji kuona jinsi wafungwa wanavyo ishi”

    Ikabidi kijana huyo ambaye nayepia ni askari magareza kusitisha safari yake hiyo ya kwenda kuandaa mazingira mazuri ila hata raisi akienda asione mabadiliko. Tukafika kwenye moja ya uwanja ambo ni maalumu kwa mazoezi ila kitu tulicho kikuta kila mmoja alishangaa, ikatubidi sote wanne kuweza kuchomoa bastola zetu na kuziweka tayari kwa lolote litakao tokea. Kwanza uwanja huu umelowana kwa maji mengi yaliyo sababisha tope jingi. Wafungwa zaidi ya mia moja, wanapigishwa mazoezi makali huku wakiwa na vijibukta tu, sura zoa wala huwezi kuziona vizuri kwa kujaa damu kwani askari gereza wanawapiga kwa vitako vya bunduki wale ambao wanaleta ubishi katika kutekeleza kile ambacho askari hao wamekiamrisha.

    Raisi akamtazama mkuu huyu wa gereza ambaye mwili mzima unamtetemeka kwa woga kwa maana mafunzo wanayo yatoa hapa ni mafunzo ya kijeshi, ina maana kuna mpango mkubwa unao fanywa na wakuu hawa wa gereza kupitia wafunga hawa ambao hawawathamini kama binadamu.

    “Hivi ni macho yangu au nina ota?”

    Raisi alizungumza huku akiendelea kutazama wafungwa hao jinsi wanavyo pewa mazoezi makali, ata askari wanao fanyisha mazoezi hayo hawakuweza kujua ni kitu gani kinacho endela, wao kwa sifa wakazidi kuwashushia kipigo wafungwa hawa.

    “Wanafanya mazoezi kwa ajili ya nini?”

    “Ahaa….mu…mu….heshiii miwaaa. Unajuaa nini?”

    “Nini?”

    “Nchi hii kidogo ulinzi umeyumba yumba na sisi tunaandaa vijana wetu wame wakakamavu”

    “Wakakamavu wafungwa, wamekuja huku muwafundishe maisha bora ya kuja kuishi uraiani, nyinyi mutafundisha waje kuwa majambazi. Amrisha watu wako kuacha zoezi hili mara moja”

    Hapo ndipo nikamuona raisi akiwa amezungumza kwa kukasirika, huku akiiweka weka vizuri miwani yake sawa. Mzee huyo hata sauti haikumtoka, ikambidi kijana wake kumsaidia kutoa sauti ya ukali iyo wafanya askari magereza hao kuacha kile wanacho kuifanya. Wafungwa hawa miili yao imezohofika kwa njaa na mateso wanayo yapata. Askari magereza walio kuwa wanendesha mazoezi hayo walipo gundua kwamba raisi yupo hapa waliishiwa pozi kabisa kila mmoja alijihisi anavyo jisikia yeye.

    “Nani ametoa hili agizo la kuwafundisha mazoezi ya kijeshi?”

    “Ahaaa muhe…..”

    “Sitaki kusikia muheshimiwa, ni nani ametoa agizo hili”

    “Ni mkuu wa mko mzee”

    “Ahaa yeye ndio anaye badilisha amri ya nchi?”

    “Ahaaa”

    Raisi akaanza kuelekea katika uwanja huu, mimi na Babyanka hatukumuacha kusonga mbele, bado bastola zetu zipo mikononi, na tukimtazama kila aliye karibu na raisi.

    “Habari zenu”

    “Sala..maa”

    Wafungwa wachache waliweza kuitikia ila wengine walishindwa kasisa kufanya hivyo kutokana na kuchoka kwa kipogo kikali wanacho kipata.

    “Munafundishwa juu ya nini?”

    “Muheshimiwa bora yaani umekuja, sisi wengine humu tumefungwa kwa kesi za kusingiziwa, ila tumekuja huku tunakutana na mateso makali kama haya”

    “Yana muda gani?”

    “Miezi mitatu sasa, kuna wezetu wachache kila siku usi……”

    Mfungwa aliye kaa karibu na mfungwa huyu anaye zungumza akamuwahi mwenzake na kumfunga mdomo kwa nguvu. Mfungwa huyo aliye zibwa mdomo akampiga mwenzake kisukusuku cha kifua na kusababisha vurumai kuanza kutokea, kati ya wafungwa hao, jambo lililo tufanya mimi na Babyanka kuchanganyikiwa tukitafuta ni jinsi gani tunaweza kumuokoa raisi kutoka katikati ta watu hawa wanao onekana kujawa na hasira kali sana.



    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/





    Babyanka akapiga risasi mbili hewani na kuwafanya wafungwa wote kulala chini huku wakivifunika vichwa vyao.

    “Muheshimiwa tuondoke”

    Nilimuambia raisi huku nikihakikisha kwamba anakuwa salama muda wote, raisi akakubaliana na ombi langu kwa maana hali sio salama kabisa katika eneo hili. Tukampeleka raisi hadi kwenye ofisi tulizo kuwepo awali, huku mkuu wa gereza akiwawa kimya kabisa. Ukimya ukatawala ndani ya ofisi huku kila mtu akiwa kimya. Raisi akatoa simu yake ya mkononi, akaminya baadhi ya batani kisha akaiweka sikioni.

    “Andaa jeshi kudhibiti sekta zote za ulinzi”

    “Hakikisha kwamba, mkuu wa mkoa pamoja na kundi lake munawaweka chini ya ulinzi mkali”

    “Pia nahitaji vijana watakao linda hili gereza kuanzia sasa hadi pale nitakapo toa tamko jengine”

    Raisi akakata simu, huku akionekana kuwa na hasira kali sana, akamsogelea mkuu wa gereza akabandua vyota zilizopo begani mwake ikiashiria kwamba amevuliwa cheo.

    “Mkamate bosi wako kamsweke ndani”

    “Sawa muheshimiwa”

    Kijana wa mkuu wa gereza akamchukua aliye kuwa mkuu wa greza huku akimpiga pingu na kuondoka naye katika eneo la ofisini. Raisi kwa ishara akamtuma mlinzi mmoja kwamba afwatile hadi mkuu huyo atakapo wekwa ndani.

    “Tuondokeni”

    Kazi yetu ni kufwata amri ya raisi, tukaongoza njia, huku mbele nikitanguli mimi, nyuma akifwata Babyanka pamoja na mlinzi mwengine ambaye hasi sasa hatujajuana majina kabisa kutukana na mihangaiko ya kazi yetu hii. Tukaingia kwenye magari na kuondoka katika eneo la gereza hadi tunafika barabarani, raisi hakuzungumza kwamba ni wapi tuelekee.

    “Muheshimiwa mbunge yupo wapi?”

    Swali la raisi, likanifanya kusimamisha gari kwa maana hata wazo la kumtazama mama na baba mkubwa ambao tuliingia nao hapo gerezani, lilinipotea kabisa.

    “Mbona umesimamisha gari?”

    “Sifahamu kwamba tumewaacha wapi muheshimiwa kwa maana tangu tuelekee kwenye uwanja wa wafungwa hatujawaona”

    Raisi akatoa simu mfukoni mwake na kumpigia baba mkubwa Eddy, ila akaishusha simu hiyo kama sekunde kumi baada ya kuiweka sikioni. Akairudisha tena sikioni, akaishusha tena kwa muda mchache huo huo.

    “Hapatikani?”

    “Hapatikani?”

    “Ndio”

    “Ninakuomba nikawaangalie muheshimiwa”

    Raisi akaka kimya kwa sekunde kadhaa akionekana kulifikiria ombi langu.

    “Hapana tuendelee na safari, nimetuma vikosi vya jeshi vitakuja kuimarisha ulinzi katika eneo hili”

    Sikuwa na jinsi zaidi ya kuendelea na safari ya kuelekea Tanga mjini, akilini mwangu muda wote nikawa ninamfikiria mama na baba mkubwa huku nikijiuliza wamepotelea ndani ya gereza hilo au laa, kwa maana vurugu za wafungwa wale ninaimani zimeweza kuwatisha. Simu ya muheshimiwa raisi ikaita. Akaipokea kwa haraka na kuiweka sikioni mwake.

    “Mumefanikiwa?”

    “Sasa washikilieni hadi niwakute”

    Akakata simu na kunipa maelekezo nielekea kwenye mji wa Sahare.

    “Spidi mia na ishirini”

    “Sawa”

    Nilimpa Babyanka amri ya kuongeza mwendo kasi wa gari zetu kwa maana tunahitaji kuweza kudfika katika eneo hilo la Sahare ndani ya dakika kumi. Barabara ziliweza kutawaliwa na trafiki ambao wanaimarisha ulinzi wa baba bara hiyo wakiamini raisi aliyopo katika uwanja wa Mkwakwani ni raisi kweli kumbe ni raisi feki. Kila trafki aliye simamisha gari letu aliishia kuisima namba ya gari, hatukupunguza wala kuhofia kitu chochote, huku mimi ndio nikiwa ninauongoza msafara huu. Tukafanikiwa kufika eneo la Sahare. Tukaelekezwa hadi sehemu ya tukio ambayo ninaifahamu kabisa, ni sehemu ya jumba ambalo lilikuwa linatumiwa na Meya kuhifadhia wapiganaji wa Al-Shabab.

    “Tukashuka kwenye gari huku tukuwa makini, tukaingia kwenye jumba hili huku tukiwa makini sana, tukakutana na wanajeshi si chini ya kumi wakiwa na silaha za kivita, wakiwashikilia wapiganaji wote waliokuwa ndani ya jumba hili wapatao hamsini.

    “Mumewashika vipi?”

    “Walikuwa ndio wanajiandaa kugawanyika katika kwenda kuvamia mkutano wako”

    “Mukiwahoji wana kitua ambacho wanakizungumza?”

    “Hapana hakuna kitu ambacho wanakizungumza?”

    “Silaha zao mulizo wakamata nazo zipo wapi?”

    “Hipo huku”

    Mkuu huyo wa oparesheni ya kimya kimya alizungumza na raisi, na kuanza kuongozana naye kwenda kumuonyesha silaha hizi sehemu zilipo, sisi tukafwata kwa nyuma. Tukakuta silaha nyingi pamoja na mabomu vikiwa vimetandazwa chini, huku kukiwa na wanajeshi wengine wapatao sita wakiwa wameimarisha ulinzi sehemu hiyo.

    “Aisee hawa watu, dawa yao ni kufa kabisa”

    “Muheshimiwa, si tungewarudisha kwao na wakahukumie huko?”

    “Huko kwao wenyewe wanashindwa kuwahukumu, sasa nahitaji wote wafe mbele yangu”

    Amri ya raisi, hakuna ambaye anaweza kuipinga zaidi ya kuitelekeza. Tukarudi katia sehemu walipo shikiliwa wapiganaji hao. Wakaamrishwa kupanga mistari miwili, wakafanya hivyo huku wengine wakiwa wanavuja damu, wakionekana kushushuwa kipondo kikali kutoka kwa wanajeshi hawa wanao onekana kuwa ni makombandoo.

    Walipo maliza kupanga mstari, kila mwanajeshi, akaifunga bunduki yake kiwambo cha kuzuia risasi na hata kama wakipiga risasi mtu aliyeyopo nje ya jumba hili wala hatasikia chochote. Ikatolewa amri ya kijeshi ya kujiandaa, kisha ikatolewa amri ya kushambulia. Milili ya wapiganaji wa kikundi hichi cha Al-Shabab, wakaanza kudondoka mmoja baada ya mwengine huko wote wakiwa wametandikwa risasi zakichwa. Kwa mara yangu ya kwanza katika maisha yangu, ndio ninashuhudia maujia ya watu wengi kiasi hichi, japo jana usiku niliweza kufanya kazi ya kuwaua wapiganaji wengine ila hii ya leo inatisha sana.

    “Maiti zao hakikisheni kwamba munazitupa baharini mbali, ambapo hakuna mtu anaye weza kuziona wala kujua ni kitu gani ambacho kimetokea”

    “Sawa mkuu”

    “Je kuna kingine ambacho kimetoke?”

    “Kama ulivyo agiza mkuu wa mkoa tayari yupo chini ya ulinzi, anahojiwa kambini huko”

    “Ok hakikisheni kwamba kila kitu kinakwenda kama vile nilivyo agiza”

    “Sawa mkuu”

    Tukaondoka na raisi namoja kwa moja tukaelekea katika uwanja wa Mkwakwani, ambao umejaa wananchi wengi watanga wakimsikiliza raisi feki akitoa hotuba aliyo iandaa raisi tuliye kuwa naye.

    “Amefanya vizuri”

    Raisi alizungumza huku akiwa ndani ya gari hapakuwa na mtu aliye weza kushuka. Simu ya raisi ikaita, akaipokea.

    “Ndio muheshimiwa mbunge?”

    “Mupo salama lakini?”

    “Sawa”

    Raisi akakata simua na kuirudisha simu yake mfukoni.

    “Mama yupo salama”

    “Shukrani muheshimiwa”

    “Sasa safari ya kurudi Dar es Salaam itaanza sasa, nitaondoka na vijana nilio kuja nao na nyinyi jichanganyikeni katika raisi huyu murudi naye kesho”

    “Sawa mkuu”

    “Nimesha mtumia picha zenu kwa hiyo atawatambua pasipo nyinyi kujitambulisha”

    “Sawa mku”

    Nikashuka kwenye gari na kumuacha kijana wa raisi akiingia kwenye upande wangu wa dereva, huku kijana mwengine akishuka kwenye gari la Babyanka na kuingingia kwenye gari nililo shuka mimi, huku na mimi nikielekea kwenye gari la Babyanka. Raisi na vijana wake wawili wakandoka na kutuacha mimi na Babyanka uwanjani hapa.

    “Nina usingizi ile mbaya”

    “Wewe una nafuu, mimi hapa nilikuwa ninaendesha gari huku nasinzia sinzia, afadhali sijamuendesha raisi”

    “Daa tupate ata kamuda kakulala”

    “Sasa hatujajua raisi huyu naye anaondoka hapa uwanjani saa ngapi”

    “Ngoja nishuke nitafute ratiba yake.”

    Nikashuka kwenye gari huku nikiwa makini, nikatazama walinzi wengine walio zagaa kila kona ya uwanja huu wakiimarisha ulinzi, huku walinzi wengine wakiwa hawafahamu kwamba raisi waliye kuwa naye sio raisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania, kwani raisi mwenyewe alisha ondoka na huyu amevaa tu kinyago kinacho fanana na raisi wetu.

    “Kaka habari”

    “Safi”

    Nikamuonyesha mlinzi huyu kitambulisho changu, akakisoma vizuri, kisha akanirudishia.

    “Raisi akitoka hapa anaelekea wapi?”

    “Anaeleka mkonge Hotel kupumzika usiku atapata chakula na wazee wa jiji hili”

    “Ok asante”

    “Ila mbona unauliza kama ni mgeni wa hii ratiba?”

    “Hapana mimi muheshimiwa alipa kazi ambayo ndio nimeimaliza muda huu”

    “Ahaa sawa”

    Nikaachana na mlinzi huyu ambaye alianza kunitilia mashaka, nikaingia kwneye gari na kuufunga mlango.

    “Anasemaje?”

    “Akitoka hapa anelekea Mkonge hoteli”

    “Twende tukatafute sehemu tulale aisee”

    “Poa”

    Babyanka akawasha gari, tukaondoka eneo hili la hotelini moja kwa moja tukaeleka kwenye hoteli ya Maua INN, kwa maana ndio sehemu ya pekee ambayo si raisi kwa watu kutustukia kwamba sisi ni walinzi wa raisi, japo hoteli hii ipo kaikati ya mji ila imetulia sana.

    Tukafika katika eneo hili, tukasimamisha gari letu kwenye maegesho akaanza kushuka Babyanka akaingia ndani, akalipia chumba na moja kwa moja akelekea sehemu kilipo na kwa kupitia kifaa cha mawasiliano akaniambia ni chumba namba ngapi yupo, nikashuka kwenye gari na kufunga milango vizuri, moja kwa moja nikaelekea kwenye chumba hicho, wala sikumsalimia muhudumu wa hii hoteli aliye kaa mapokezi. Nikapandisha gadi gorofa ya nne na kuingai katika chumba alicho nieleza Babyanka. Nikamkuta akiwa amelala kitandani na nguo zake pamoja na viatu vyake huku bastola yeka ikiwa pembeni yake.

    “Dany mskaji wangu hembu naomba ukanichukulie maji nina kiuu”

    “Ahaa si upige simu?”

    “Ahaa sitaki wahudumu kujua jua chumba tulichopo”

    Kutokana sikuwa nimekaa sehemu yoyote nikageuza na kutoa chumba huku nikiufunga mlango wa chumba vizuri. Nikaanza kutembea kwenye kordo hii huku nikiwa makini kutazama nyuma na mbele. Mlango wa chumbani cha mbele ukafunguliwa, ikanibidi kupunguza mwendo wa kutembea, macho yakanitoka baada ya kumuona K2 na Lukas wamesimama mlangoni hapo huku wakipigana mabusu ya mdomoni, huku Lukas akiwa amejifunga taulo kiunoni na K2 akiwa amevalia suti yeusi, ila vifungo vya shati lake vikiwa havikajaa vizuri, kwa bahati mbaya, K2 akanitazama, kitu kilicho mstua sana hata Lukas naye alivyo niona akakimbilia ndani.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/





    Nikamtazama K2 kwa macho makali yaliyo jaa hasira. Sikutaka kumsemesha chochote zaidi ya kumpita na kuanza kushuka kwenye ngazi kwa kasi.

    “Dany, Dany”

    Niliisikia sauti ya K2 ikiniita kwa nyuma yangu, sikuona haja ya mimi kuweza kusimama, zaidi ya kuendelea kushuka kwneye ngazi.

    “Dany nakuamrisha kama bosi wako, simama”

    Kauli ya K2 ikanifanya nigeuke taratibu na kumtazama kwa macho yaliyo jaa dharau, nikamtazama jinsi anavyo hema kwa kuchoka kwa kukunikimbiza, kwenye ngazi hizi.

    “Ndio bosi”

    “Dany umefikaje fikaje huku?”

    “Hicho ndicho kilicho kufanya unisimamishe?”

    “Ahaa… kwa maana wewe unaumwa?”

    “Kwa hiyo?”

    “Sio vizuri kutembea tembea”

    “Ehee”

    “Ndio”

    “Ok”

    Nikaanza kushuka tena kwenye ngazi na kumfanya K2 kuniwahi na kunishika mkono wangu wa kulia, nikageuka kwa haraka huku mkono wake nikiwa nimeachanisha kwa nguvu na mkono wangu.

    “Hembu nisikilize wewe malaya usiye jitambua. Cheo chako unakitumia katika kutembea na vijana si ndio?”

    Nilimfokea K2 hadi akarudi nyuma huku akiwa amenitumbulia macho ya woga sana.

    “Upumbavu wako wote ulio kuwa unaufanya, na hichi nilicho kiona leo nimeutambua. Sasa mwisho uwe leo sihitaji mauhusiano na wewe tena. Umenielewa?”

    Nilizungumza kwa sauti nzito huku tinda za sura yangu zikiwa zimejikunja kisawa sawa. K2 hakuzungumza kitu cha aina yoyote zaidi ya kukaa kimya, woga ukiwa umemjaa. Nikaanza kushuka kwneye ngazi huku nikiwa nimejawa na hasira kali, K2 hakuthubutu hata kunyanyua mguu wake na kunigfwata, nikafika mapokezi na kumkuta msichana ambaye ni muhudumu wa hii hoteli.

    “Nahitaji maji makubwa na mzinga wa Vodka”

    “Sawa”

    Dada huyo akafungua friji kubwa lililopo nyuma yake na kunikabidhi chupa kubwa ya maji, kisha akanipatia na mzinga huo wa Vodka.

    “Naweza Kulipa kwa creadit card?”

    “Ndio”

    Nikatoa waleti yangu, na kuchomoa kadi ya malipo, akaipisha kwneye mashine moja ya kulipa kisha akanirudishia kadi yangu, taratibu nikaanza kazi ya kuzipandisha ngazi hizo nikielekea gorofani. Sikumkuta K2 katika sehemu ambayo nilimuacha. Moja kwa moja nikaelekea katika chumba nilicho muacha Babyanka, nikafungua mlango wa chumba hichi na kuufunga kwa ndani.

    “Hei nimerudi”

    Nilizungumza kwa sauti nzito huku nikiweka chupa ya maji mezani, kisha nikakaa kwenye sofa huku mzinga huu wa pombe ukiwa mkononi mwangu.

    “Na huo mzinga wa nini sasa?”

    “Nahitaji kukata uchovu?”

    “Dany hapana bado hatujaimaliza kazi tafadhali usinywe”

    Babyanka alizungumza huku akishuka kwenye kitanda, akaniwahi kunipokonya mzinga huu wa pombe kali.

    “Naomba unirudishie huo mzinga”

    Nilizungumza huku nikiwa nimekasirika kiasi cha kumshangaza Babyanka kwani ni muda mchache nimetoka nikiwa katika hali ya kawaida.

    “Hapana Dany siwezi kukupa huu mzinga”

    “Moja, mbili, tatu”

    Nilihesabu namba hizo huku nikimtazama Babyanka usoni, akaupigiza mzinga wa pombe chini kwenye sakafu na ukavunjika kitu kilicho niudhi maradufu na kujikuta nikutandika kofi zito la shavu na kumfanya ayumbe na kuangukia kwenye kitanda. Kusema kweli akili yangu imechangayikiwa kwa tukio la K2 alilo lifanya, mbaya ni mwanamke ambaye tayari alisha anza kuziteka hisia zangu japo ni mke wa mtu ila mapenzi ya kuiba nayo yana wivu wake. Isitoshe Latifa alisha zungumzia swala la K2 kutoka na mmoja wa jamaa amabaye yupo katika kitengo kingine cha serikali na nilichukualia ni mazungumzo ya kawaida kumbe hata Lukas ambaye naye alikuwa akiyasikiliza mazungumzo hayo kumbe naye ni mume mwenzangu.

    “Dany ni akili yako au?”

    Babyanka alizungumza kwa hasira huku akiwa amenitumbulia macho makali sana.

    “Am sorry”

    Nilizungumza huku nikikaa kwenye sofa, Babyanka akanifwata hadi katika sehemu niliyo kaa, akakaa pembeni yangu huku akionekana kuhitaji kufahamu ni kitu gani ambacho kimenipata kwa muda mfupi tu ambao nillikuwa nimetoka.

    “Dany kama kuna kitu nimekuudhi naomba unisamehe”

    “No hujaniudhi?”

    “Sasa imekuwaje upo katika hali kama hiyo?”

    “Ahaa, hapana”

    Nikajitahidi sana kurudi katika hali ya kawaida, huku nikifumba macho yangu na kutoa pumzi nzito ili kukipa kifua changu nafasi ya kutoa hasira iliyo nishika.

    “Kuna mtu amekuudhi, niambie ni nani?”

    “Hapana hakuna, ila sahani sana kwa kukupiga?”

    Nilizungumza huku nikimgeukia Banyanka, nikaona alama za vidole kwenye shavu lake jambo ambalo lilinifanya nijisikie vibaya sana kwa maana kitu nilicho mfanyia hakustahili kabisa kukutana nacho. Nikakipeleka kiganja changu hadi kwenye shavu la Babyanka, nikalishika taratibu huku nikimsogeza kichwa chake karibu yangu, taratibu tukajikuta tukinyonyana denda kitendo kilicho nifanya hasira yangu yote kupotea kifuani mwangu. Tukaendelea kunyonyana denda tena safari hii, ni denda la hisia kali kati yetu, taratibu tukaanza kuvua nguo zetu, huku kila mmoja akiwa na raha ya kufanya kitendo hichi. Tukabakiwa kama tulivyo zaliwa, nikamnyanyua Babyanka na kumkalisha kwenye mapaja yangu, taratibu akamkalia jogoo wangu. Nikakishika kiono chake kwa nguvu, na kuanza kunyanyua na kumshusha kwenye jogoo wangu. Babyanka akanipa ushirikiano wa kutosha.

    “Ohoo Dany, fuc** me my beutful puss”

    “Real”

    “Yeaah”

    “I got it”

    Tuliendelea kuzungumza mazungumzo yaliyo leta hamasa kubwa kwenye pambano hili ya kuiburudisha miili yetu. Ikafika hatua sote tukajikuta tukikamilisha mechi hii kwa pamoja huku kila mmoja akiwa amepiga shuti moja moja kwenye goli la mwenzake.

    “Asante Babyanka”

    “Asante na wewe Dany”

    Taratibu Babyanka akatoka mapajani mwangu na kukaa pembeni ya sofa huku akiwa anahema kwa nguvu, jasho likimwagika usoni mwake.

    “Dany nikuulieze kitu?”

    “Uliza?”

    “Una mwanamke?”

    “Hapana sina?”

    “Ucha kunitani?”

    “Huo ndio ukweli wangu kwa nini nikudanganye wakati sina”

    “Makazi yako ni hapa Tanga au wapi?”

    “Kwangu ni Dar es Salaam ila mama ndio yupo hapa Tanga”

    “Mimi kwetu ni Dar es Salaam sema kazi ndio hivyo imenifanya niwe Tanga, ila tukirudi hivi ikulu nitaomba uhamisho nibaki Dar es Salaam”

    “Itakuwa ni vizuri”

    “Dany tukaoge muda umekwisha”

    Babyanka alizungumza huku akisimama na kueleka bafuni, nikamfwata kwa nyuma hadi bafuni, tukaoga.

    “Hili kovu lako ni la nini?”

    “Moto uliniunguza kuna mtu nilimuokoa kwenye moto”

    “Pole, na kidonda bado hakijapona vizuri ehee?”

    “Yaa bado hakijakauka vizuri”

    Tukamaliza kuoga, tukarudi chumbani kila mmoja akavaa nguo zake, tulipo hakikisha kwamba tumejiweka sawa na silaha zetu tukiwa tumezichomeka kwenye viuno kama tulivyo kuwa tumezichomeka mara ya kwanza, tukatoka chumbani huku tukiwa tunatembea kwa kujiamini sana. Tukatoka nje ya hoteli, nikaingia kwenye gari na kuliwasha, Babyanka akazunguka upande wa pili wa gari hili na safari ya kuelekea uwanja wa Mkwakwani ikaanza. Tukafika eneo hilo na na kukuta msafara wa raisi ndio unatoka, tukaunga kwenye msafara huo huku gari letu likiwa la mwisho kabisa. Tukaeleka hadi kwenye hoteli ya Mkonge, tukashuka kwneye gari letu na moja kwa moja tukamfikia raisi feki, walinzi wake wakataka kutuzuia, ila raisi mwenyewe akawaruhusu watuache tuwe karibu yetu.

    Nikiwa katika kutazama tazama kila kona ya hoteli hii, nikamuona K2 naye akiwa na vijana wengine kutoka ofisini kwetu wakiwa nao ni miongoni wa waimarishaji ulinzi wa raisi huyu ambaye pasipo wao kufahamu kwamba raisi huyu sio sahihi.

    Raisi akaingia kwenye chumba chake ambacho kilisha andaliwa katika hoteli hii kwa ajili ya mapumziko ya muda mfupi kisha usiku atapata chakula na wazee wa mji huu. Raisi akatuomba kuweza kuonana na sisi, kila mlinzi wake mmoja alishangaa kwa maana hawakuwahi kutuona katika msafara mzima. Tukaingua chumbani kwake, akatukaribisha kwenye viti na kukaa.

    “Poleni kwa majukumu mazito muliyo pitia”

    “Asante”

    “Muheshimiwa dhiara yake imekwendaje?”

    “Imekwenda vizuri japo kulitokea mambo ya hapa na pale ila tuliweza kuyatatua na raisi amerudi akiwa salama salimini.

    “Ohoo asante Mungu kwa maana moyo wangu muda wote ulikuwa na wasiwasi, isitoshe mimi sio raisi halisi”

    “Ila mtu akikutazama hawezi kufahamu kama wewe sio raisi”

    “Kweli wataalamu walio nifanyia hii oparesheni ni wachini, kusema kweli hata mimi mwenyewe nilijishangaa pale nilipo jitaza kwenye kioo”

    “Hhaaa”

    “Basi asubuhi na alfajiri, nitarudi Dar es Salaam kama raisi alivyo zungumza anahitaji tuweze kurudi wote”

    “Sawa, sisi gari letu lipo safi”

    Babyanka alijibu huku tukimtazama raisi huyu, ambaye hata ukae naye karibu basi huwezi kumjua kwamba sio raisi mwenyewe.

    “Ila ninawaomba musikae mbali na mimi?”

    “Usijali katika hilo, kazi yetu ni kuhakikisha kwamba wewe unakuwa salama”

    “Nitashukuru sana, ila kuna watu wanahitaji kuniua, na huu ndio mpango ambao upo kwa sasa”

    Raisi huyu alizungumza huku machozi yakimlenga lenga, kwa maana watu wanao muwinda raisi wanamuwinda yeye wakuhisi kwamba ni raisi mwenywe.

    “Ni kina nani hao?”

    “Kwa sasa sijaweza kupata ripoti yao ila moyo wangu unahisi kuna kitu kibaya kitatokea usiku wa leo, ninawaomba sana tuweze kurudi Dar es Salaam pamoja nikatolewe hii sura ya bandia niwe katika amani kwa maana nimeona kazi ya kuwa raisi”

    “Sawa muheshimiwa”

    “Ninawaomba usiku wa leo muweze kulala chumbani kwangu”

    “Sawa”

    Tukaendele kuzungumza mambo mengi na raisi huyu feki hadi walinzi wake wanao mlinda wakaingia chumbani kutazama ulinzi wake, wakatukuta tukiwa tunacheka na kufurahi.

    “Muheshimiwa muda wa kuonana na wazee umetimi”

    “Basi nipeni muda wa kujiandaa ninakuja”

    “Sawa mkuu”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Walinzi wake hao wawili wakatoka na kuufunga mlango. Raisi akashusha pumzi kali huku akionekana kuwa na mashaka sana, hapo ndipo nikagundua kwamba raisi huyu ni muogo sana. Tukasimama kutoka katika vitu tulivyo kalia, Babyanka akaongoza kutoka chumbani huku mimi nikiwa nyuma na raisi mbele yangu. Walinzi wake wakajumuika na sisi kuelekea katika ukumbi maalumu ambao tayari umesha andaliwa vyakula vya kutosha. Tukiwa tunaingia ukumbini huku, macho yangu yakagongana na K2 alliye nitazama kwa macho makali, ila sikulijali hili. Hadi raisi anafika katika sehemu yake aliyo andaliwa kukaa, tukasimama. Kabla raisi hajakaa kwenye kiti hichi nikamzuia, huku macho yangu nikikitazama kiti hichi kwa umakini wa hali ya juu. Walinzi, wazee pamoja na viongozi wengine akiwemo mama yangu, wakabaki kunitazama ni kwa nini nimemzuia raisi kukaa kwneye kiti hichi. Taratibu nichuchumaa chini na kukisogeza kitambaa cha meza iliyopo karibu na kiti hichi, macho yakanitoka baada ya kukuta bomu la kutegwa ambapo raisi akikaa tuu kwenye kiti hichi na kuutingisha waya mwenbaba ulio fungwa kwenye bomu hilo, basi linakwenda kulipuka naye na huo ndio unakuwa mwisho wa maisha yake.







    Sikutaka kumuonyesha raisi huyu ni kitu gani ambacho kinaendelea katika eneo hili zaidi ya kumngong’oneza na kumuambia kwamba sehemu hii sio salama. Jambo hili likamstua sana raisi huyu feki nikamuona sura yake jinsi inavyo badilika kwa woga, moja kwa moja nina amini kwamba ndani ya umbumbii huu kuna watu ambao wamepanga kumuangamiza raisi na kuna muunganiko mkubwa sana hata wa watu ambao tupo katika usalama wa kumlinda raisi tunahusika.

    “Sasa inakuwaje?”

    “Hakuna cha kufanya zaidi ya wewe kuondoka katika eneo hili”

    “Sasa si tuwatangazie watu?”

    “Hapana”

    “Babyanka ondoka na raisi, natafuta jinsi ya kuliondoa hili bomu”

    “Sawa”

    “Mpeleke chumbani kwake”

    “Sawa”

    Babyanka akaondoka na raisi pamoja na walinzi wengine sikuwa na jinsi zaidi ya kuchuchumaa tena na kuliangalia bomu hilo jinsi lilivyo tengwa. Mlinzi mwingine akajumuika na mimi, alipo liona bumo mwili mzima ukawa unamtetemeka Watu ukumbini hawakujua ni kutu gani kinacho endelea na wala hatukuhitaji kuweza kuwatangazia kwamba kuna jambo baya, kwa maana inaweza kusababisha mvurugano ndani ya ukumbi kila mtu akiwa anajaribu kuyaokoa maisha yake.

    Taratibu nikaanza kulitegua bomu hili kwa umakini wa hali ya juu, nikaanza kukiachanisha kijiwaya hichi pamoja na bomu, baada ya kufanikiwa kufanya hivyo, nikalitoa bomu hili kwenye kiti kisha nikaliweka chini huku kajasho kakinimwagika.

    Mlinzi mwengine akalifunika bumu kwa koti kisha akatoka nalo ukumbini, moja kwa moja nikaelekea katika chumba ambacho Babyanka amempeleka raisi. Nikagonga mlango nikaruhusiwa kuingia ndani, nikamkuta raisi fake akiwa amesimama pembeni ya dirisha huku mwili mzima akimwagikwa na jasho, japo ndani ya chumba hichi kuna air condition ila jasho halikukata kumtoka.

    “Muheshimiwa tumemaliza unaweza sasa kwenda kujumuika na wazee hao”

    “Kweli bomu mumelitoa?”

    “Ndio muheshimiwa tumelito ahakuna tena kizui”

    “Nisije nikaenda nikafa mie”

    “Hauwezi kufa muheshimiwa, kila kitu kipo salama”

    “Ohoo Yesu wangu nisaidie”

    Alizungumza huku akijifuta jasho na kitambaa chake, tukatoka naye huku tuimarisha ulinzi, nikakivua kiti chake nyuma kidogo akakaa huku akishusha pumzi nyingi.

    Mc akaanza kuongoza shuhuli hii, ambayo wazee wakaanza kutoa mauoni yao wengine wakimuombea raisi na kumpa Baraka nyingi pasipo kuweza kufahamu kwamba huyu sio raisi alisi.

    Shere ikamalizika saa tano usiku, nikamuachia Babyanka jukumu la kumlinda raisi akiungana na viongozi wengine huku mimi nikielekea nyumbani nikiwa na mama. Tukafika nyumbani na mama, moja kwa moja nikaelekea chumbani kwangu na kukukushanya nguo zangu nilizo kuja nazo na kuziweka kwenye begi, nikatoka sebleni na kumkuta mama akiwa amejikalia kwenye sofa akinisubiria kwa ajili ya mazungumzo machache aliyo hitaji kuzungumza na mimi.

    “Yudia amekwenda wapi?”

    “Hivi sikukuambia?”

    “Hukuniambia nini?”

    “Yudia ni muiongoni mwa watu ambao walifanikisha nyaraka zako kuibiwa na yeye ndio aliye kuwa anaongoza mipango yote ya kutaka kukuua akishirikiana na meya”

    “Weeeeee……!!”

    “Ndio mama sikuhitaji kukuambia kwa mara ya kwanza kugopa kukupa presha zisizo na msingi”

    “Sasa si anaweza kuja kunifanyizia humu ndani nikiwa peke yangu?”

    “Hawezi kufanya hivyo nakuhakikishia katika hilo”

    “Dany mwangu mimi ninaogopa kama vipi nikaishi kwa baba yako mkubwa”

    “Utakuwa huru katika hilo?”

    “Itanibidi kuwa huru katika hilo hadi hali itulie, wewe mwenyewe si umejionea mambo yanayovyo teoke”

    “Sawa kwa hiyo nikupeleke kwa baba mkubwa”

    “Ndio kulala mwenyewe kwenye hili jumba mimi wala siwezi kabisa”

    Sikuwa na kipingamizi na ombi la mama kwa maana hali ya usalama juu yake bado haijakuwa vizuri. Nikaondoka naya ne kueleke kwenye gari, tukaondoka nyumbani kwetu na kueleke kwa baba mkubwa. Nikamfikisha hadi getini, akashuka na kuminya batani ya kengele iliyopo geti likafunguliwa na mlinzi akafungua geti na mama akaingia ndani, alipo funga geti na mimi nikawasha gari na kuondoka katika eneo hili. Safari ya kurudi katika hoteli ya Mkonge ikaanza, sikuchukua muda mwingi nikafanikiwa kufika katika hoteli hii.

    Nikaelekea chumbani kwa raisi na kumkuta akizungumza na Babyanka. Nikajumuika nao, usiku mzima hatukulala hadi ikatimu alfajiri na mapema tukamuacha raisi ajiandae na safari ya kurudi Dar es Salaam. Nikaeleka sehemu maalumu ya kupata chakula nikiwa na Babyanka, muhufumu akatufwata kwa ajili ya kuhitaji kutuhudumia, kila mtu akaagiza anacho hitaji kupata kwa asubuhi hii.

    “Dany”

    “Mmmm”

    “Wewe ni mzuri?”

    “Ahaa acha hizo”

    “Kweli Dany wewe ni mzuri kuanzi sura hadi umbo ila sujajua roho yako kama ni nzuri”

    “Mwnaume huwa asifiwi uzuir”

    “Ahaa nani kuakuambia”

    Kabla sijazungumza chochote nikamuona K2 akija katika sehemu niliyo kaa na Babyanka, nikamtazama hadi alipo fika, akasimama pembeni yangu .

    “Dany nakuhitaji kwa mazungumzo”

    Ikanibidi kunyanyuka na kuanza kumfwata anapo elekea, tukafika kwenye moja ya bustani, akasimama na kunigeukia.

    “Zungumza”

    “Kwa nini unanifikiria vibaya?”

    “Nina kufkiria vibaya kuhusiana na nini?”

    “Wewe umeniona jana nikiwa na Lukas ukaanza kunitukana na kuniseme vibaya”

    “Hembu tambua ya kwamba hapa unazungumza na mtu mzima mwenye akili zake na sio mtoto mdogo kama unavyo fikiria. Na kama ni swala la mapenzi mimi na wewe limesha kwisha itabaki kuwa ni mtu na bosi wake, na ikiwezekana pia ninaweza kuhama kitengo”

    “Dany tambua ya kwamba ninakupenda sana”

    “Eheee acha upuuzi, hivi kwangu unahitaji nini, kwangu unataka nini. Kama ni mbo** hata Luka anayo isitoshe Luka huyu huyo niu mtu ambaye alitugeuka mimi na Latifa na sasa hivi unataka kufanya nini”

    Nilizungumza kwa ukali ulio mfanya K2 kuwa mnyonge sana, hakudhubutu kuonyesha ukali wake wowo japo ni mkali inapo kuja swala la kazi.

    “Tena nikuambie kutu kimoja, koma kunifwatalia ukiendelea kufanya hivyo basi nitahakikisha unanifahamu mimi vizuri sawa”

    “Dany sipo tayari kukuacha, sipo tayari kukutenga nahitaji penzi lako, ndio maana ninaamua kufanya chochote kwa ajili yako”

    “Koma unafanya vitu vipi kwa ajili yangu, kunipa milioni zako ndio unaseme kwamba umefanya kila kitu kwa ajili yangu. Sikiliza usinione kwamba ninaishi kwenye chumba kimoja ukahisi kwamba sina pesa, nina imani kwamba mshahara wangu unaufahamu, pia kwetu tuna pesa nyingi tu so ninakuomba uwe na heshima katika hili”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Nilipo maliza kuzungumza maneno hayo nikaondoka na kumuacha K2 akiwa analengwa lengwa na machozi, nikarudi kwenye meza alipo Babyanka, nikamkuta akiendelea kupata kifungua kinywa.

    “Vipi mbona umerudi umenuna?”

    “Huyo ndio bosi wangu wa kitengo”

    “Umesha pangiwa kazi nini?”

    “Bora ingekuwa hivyo”

    “Ila”

    “Ahaaa tuachane nayo hayo mambo, tunywe chai fasta tuondokoje”

    “ Mimi nimesha maliza ni wewe”

    Nikaanza kunywa chai haraka haraka, ndani ya dakika tano nikawa nimesha maliza kunywa chai. Nikasimmaa na moja kwa moja tukaeleka chumbanu kwa raisi na kumkuta amesha maliza kujiandaa na kupata kifungua kinywa.

    “Muheshimiwa tunatakiwa kuondoka”

    “Hakuna tabu”

    Tukatoka na raisi huku walinzi wake tukiwa tupo makini sana, ila mimi na Babyanka ndio tupo makini sana kwa maana kati yetu wapo ambao wapo kinyume na raisi, akafunguliwa mlango wa gari na mlinzi wake, akaingia na sisi tukaingia kwenye gari zetu huku begi langu la nguo nikiliweka sitii ya nyuma. Safari ikaanza ya kueleke Dar Salaam. Gari ya raisi ipo mbele yetu huku mbele kabisa ya gari ya raisi kukiwa na gari si chini ya nne pamoja na pikipiki mbili za polisi usalama.

    Japo ni safari ndefu ya masaa kadhaa ila inatuhitaji umakini wa hali ya juu kwa maana bado hatufahamu nani ni mbaya na nani ni mzuri ndani ya walinzi wa raisi wabaya wanao tumiwa na viongozi wengine wapo tena wengi sana.

    Tukafika maeneo ya Segera, askari polisi wanao ogoza kwa pikipiki tulio toka nao Tanga wakageuza na kurudi Tanga, wakachukua askari wengine wawili wa usalama barabarani ambao tutakwenda nao hadi Chalinze na hapo Chalinze watabadilka wengine ambao tunatwenda nao hadi Dar es Salaam.

    “Mmmmm”

    Niliguna huki nikiendelea kuendesha gari hili tulio panda mimi na Babyanka.

    “Una guna nini?”

    “Tuwe macho sana na hawa maaskari tulio pewa hapa”

    “Kwa nini?”

    “Siwaamini, nimejikuta nikiwa na wasiwasi nao”

    “Usijali hakuna wanakacho weza kukifanya”

    “Sawa”

    Tukaendelea kutembea kwa mwendo wa kasi huku gari pamoja na pikipiki hizo zilito tanguliwa ytukiwa katika mwendo mmoja sawa wa spidi mia na ishirini. Pikipiki hizo zimejaliwa uwezo mkubwa ambao unaweza kuendana sawa na baadhi ya magari yaliyopo hapa katika msafara kasoro gari letu ndio lina uwezo mkubwa sana wa kukimbia kwa kasi. Kadri muda unavyo zidi kwenda ndivyo jinsi ninavyo jikuta nikipata wasiwasi mkubwa sana huku mwili wangu ukisisimka.

    “Babyanka kunatatizo”

    “Tatizo gani?”

    “Sijui ila hii safari kuna tatizo, mwili wangu unasisimka”

    “Mmmm, sasa inakuwaje?”

    “Ngoja nizipite hizi gari”

    “Tambua unavunja sheria”

    “Sheria siwezi kuvunja, kwa kuyaokoa maisha ya huyu jamaa”

    “Dany usifanye hivyo please unaweza sababisha matatizo”

    Hata kabla sijazungumza kitu, kwenye kona ya kushuka kwenye daraja la Wami, tukakuta lori kubwa la mafuta likiwa limeifunga njia, kitendo kilocho zifanya gari za mbele kuanza kufunga bereki za gafla, nyingine zikagongana gongana. Kwa umakini mkubwa, nikazikwepa gari hizo huku gari langu nikiliweka upande wa pili wa barabara nikijitahidi kufunga breki. Gari za mbele zikalivaa lori hilo na kusababisha ajali moja mbaya. Hata kabla hatujakaa sawa milio ya risasi ikaanza kusikika ikirindima eneo hili. Kila mmoja akawa amechanganyikiwa kivyake, nikamuona dereva wa gari la raisi akijitahidi kurudi nyuma ili kugeuza, ila akashindwa kufanya hivyo kwani nyuma gari lake limebanwa na magari mengine. Askari walio kuwa wakiendesha pikipiki, nikawaona wakiwa nao nimiongoni wa washambulijia wa msafara wa raisi.

    Kabla sijashuka tayari Babyanka akawa ameshuka na kuanza kujibu mashambulizi hayo ya risasi, nami nikashuka na kuanza kufatua risasi kwa watu hao. Nimewai kufanya kazi nyingi za kutisha na kuogopesha ila hii ambushi tukiyo kutana nayo hapa, inaniogopesha sana.

    “Byanka”

    “Ndio”

    “Tudili na raisi”

    “Powaaa”

    Nilizungumza kwa sauti ya juu kwa maana kelele ya milio ya risasi iliendelea kurindima, walinzi wengine wa raisi wakaendelea kuangushwa chini kwa kupigwa risasi kitu kilicho zidi kuniogopesha kwani kadri muda unavyo zidi kwenda nvyo wanavyo zidi kufa. Nikamuona naye K2 akipambana vya kutosha kuhakikisha raisi hafi, japo wezetu wanakufa.

    “Byanka nilinde”

    Nilizungumza hivyo huku nikishusha pumzi nyingi kwani ninahitaji kwenda kumtoa raisi kwenye gari aliloipo na kuondoka naye. Biyanka akaanza kufyatua risasi mfululizo, na kuwafanya washambuliaji kutulia kidogo, ikawa nafasi kwangu kukimbia hadi gari la raisi lilipo, kwa ishara nikamuomba afungue mlango wa gari lake kwa manaa pasipo yeye kuufungua kwa ndani mimi wa nje siwezi kuufungu. Raisi akafanya hivyo, japo ni jambo la hatari ila hakuna njia nyingine ya kufanya zaidi ya kufanya hivyo. Raisi akashuka huku kichwa akiwa amekiinamisha chini, nikaupitisha mkono wangu wa kulia kiunoni mwake, kitendo cha kugeuka na kumtazama K2 aliyopo upende wetu nyuma ya gari la raisi, nikakutana na uso wa bastola yake akiwa ameninyooshea mimi na raisi huku sura yake akiwa ameikunja akidhamiria kufanya hicho anacho kihitaji kukifanya kwa wakati huu.







    K2 pasipo na huruma akafyatua risasi moja iliyo nifanya kuyafumba macho yangu nikiamini kabisa ninakufa kwa mkono wa K2. Ila sekunde kadhaa zikapita nikafumbua macho baada ya kuwana hakuna kitu ambacho kimetokea kwa upande wangu. Nikamtazama raisi na kumkuta akiwa yupo hai, nikamtazama K2 nikakakuta akiendelea kupambana na wavamizi hawa, nikatazama nyuma yangu, kwa umbali kidogo nikamuona mvamizi mmoja aliye valia nguo nyeusi na kinyago cheusi usoni mwake akiwa amelalal chini anamwagika damu za kichwa. Hapo ndipo nikaielewa lengo la K2, kuninyooshea bastola yake kwani ameyaokoa maisha yangu na kama sio hivyo basi ningekuwa nimesha kufa. Nikaongozona na raisi kwa mwendo wa haraka hadi kwenye gari letu. Raisi huyu ambaye ni feki na watu hawafahamu kwamba ni feki, akaingia kwenye gari nikamfungia mlango wa ndani. Tukaendelea kujibu mashabulizi huku kila mmoja jasho likimwagika kisawa sawa. Nikamuona K2 anaanza kupiga sarakasi za haraka hadi kwenye gari tulipo jificha mimi, raisi na Babyanka.

    “Inabidi tuondoke hapa sasa hivi, watu wangu wote wamesha kufa”

    K2 alizungumza huku akigema sana, kwani shuhuli tunayo ifanya sasa hivi sio ndogo, ni kufa na kupona pasipo kufanya hivyo basi maisha yetu yanakwenda kufa. Sote tukaingia kwenye gari huku nikijirusha kwenye siti ya dereva, kwa haraka haraka nikaanza kulirudisha gari nyuma huku risasi zikiendelea kurindima, kulifwata gari letu, cha kumshukuru Mungu gari yetu haiingii risasi na hii ndio pona pona yetu la sivyo miili yetu ingejaa risasi kutoka kwa wavamizi hawa. Nilaligeuza gari kwa kasi hiyo hiyo na likageukia kule tulipo tokea. Nikakanyaga mafuta na kuanza kurudi tulipo tokea, ndani ya gari kila mtu akawa kimya nikamtazama raisi huyu feki nikamuona jinsi anavyo endelea kutemeka kwa woga. Tukiwa njiani tukapishana na gari za jeshi zikielekea eneo la tukio. Nikafika kwenye barabara ya bagamoyo inayo elekea Dar es Salaam, nikakunja kulia kwangu na kuendelea kuendesha kwa mwendo wa kasi japo nyuma yetu hakuna gari hata moja ambayo inatufukuzia.

    Masaa yakazidi kwenda mbio, hadi inatimu saa saba na nusu tukawa tumesha ingia jijini Dar es Salaam. Moja kwa moja tukaelekea ikulu, ambapo tukakuta pameimarishwa ulinzi mara dufu. Geti likafunguliwa baada ya askari kufika karibu ya gari letu, alipo muona raisi alituruhusu. Moja kwa moja nikaelekea kwenye maegesho ya gari za raisi. Tukashuka huku walinzi wengine wanne wakifika, karibu yetu nina imani taarifa ya kushambuliwa kwa msafara wa raisi ilisha tolewa ikulu. Moja kwa moja tukaelekea ndani na kumkuta raisi mwenyewe akiwa amesimama sebleni pamoja na viongozi wengine wakionekana wakiwa katika hali ya wasiwasi. K2 akastuka baada ya kumuona raisi halisi, aliye tufwata na kutupa mikono mimi na Babyanka.

    “Hongereni sana vijana kwa kazi mulio ifanya”

    “Asante muheshimiwa ni jukumu letu”

    “Pole bwana mdogo kwa kukuweka katika hali ya hatari”

    “Ahaa kaka wewe acha tuu, wapo wapi wale madaktari wa kichina wanivue hii sura yako”

    “Wapo watakuvuaa”

    Raisi feki akaondoka na kuelekea katika vyumba vingine vilivyopo hapa ikulu na kutuacha na muheshimiwa raisi.

    “Huyo ni mdogo wangu anaye nifwata mimi”

    Raisi alizungumza huku akitutazama sisi, akatukaribisha na kukaa kwenye sofa za hapa sebleni, akawaomba viongozi wengine kuondoka akiwemo K2 ambaye hakujua ni mazungumzo gani muhimu ambayo mimi niliye chini yake nimebaki.

    Baada ya mlango wa kutokea sebleni kufungwa raisi akashusha pumzi nyingi huku akitutazama kwenye nyuso zetu.

    “Kimtazamo munaonekana kwamba mumechoka sana na pilika pilika za hapa na pale”

    “Ndio muheshimiwa”

    “Musijali nitawapa muda wa kupumzi. Ila kitu kikubwa ambacho ninahitaki kuweza kuaagiza, ninahitaji sana muweze kufwatilia ni nani aliyopo nyuma ya mpango wa kutaka kuniangamiza. Hawa magaidi ambao wanajairibu kumshika paka sharubu, basi nilazima niwakate viganja vyao hata kabla hawajanifikia mimi. Laiti kama nikishindwa kufanya hivyo basi musiniite raisi.”

    Raisi alizungumza kwa msisitizo wa hali ya juu.

    “Nawahakikishia kwamba nitawalinda na kuwapatia kila kitu ambacho mutakihitaji kutoka kwangu ila kitu ninacho kihitaji ni kuweza kuwaangamiza haya magaidi, mafisadi”

    “Sawa mkuu ila kama mimi nipo katika kitengo cha NSS”

    “Usijali wewe baki katika kitengo chako ila hakikisha kwamba kazi nilyo kupatia unaweza kuifanya kikamilifu. Huyu Babyanka hapa huwa nikimpatia kazi hakuna kitu kinacho haribika”

    “Usijali muheshimiwa nitafanya kila liwezekanalo kuhakikisha kwamba unakuwa salama”

    “Wewe unaishi wapi?”

    “Sinza kwa Remy nimepangisha chumba kimoja”

    “Ohoo basi kuanzia kesho utapewa nyumba yako maeneo ya masaki utoke huko unapo ishi”

    “Asanyte sana mkuu”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Na zile gari mbili, nimewapa kama zawadi Babyanka utachukua moja na wewe Dany utachukua nyingine”

    “Shukrani sana mkuu”

    “Nawe Babyanka nyumba yako itakuwa Mbezi beach, nimewapa zawadi hizo ili muifanye kazi yangu kwa juhudi na umakini wa hali ya juu”

    “Shukrani sana muheshimiwa”

    “Ningewafanyia sherehe ila hali ya usalama hairuhusu, ukicheki kuna wezenu wamefariki kwenye shambulizi hilo. Kesho nitawapigia simu asubuhi, mutakuja kuchukuliwa katika sehemu mulizopo kila mtu akaonyeshwe nyumba yake”

    “Asante sana mkuu”

    Kusema kweli maisha yetu mimi na Babyanka yamebadilika katika muda mchache tu sikutegemea kupewa nyumba na gari zuri la kutembele na muheshimiwa raisi. Tukaagana na raisi huku tukitoka nje, nyuso zetu zikiwa zimejawa na furaha sana.

    “Sasa leo wapi?”

    “Naenda kwangu Sinza nikalale hadi nichoke mwenywe”

    “Mimi naelekea kwa nyumbani kwa wazai”

    “Poa tutawasiliana”

    “Simu hatuna tutawasiliana vipi?”

    “Kesho tutakapo chukuliwa tutaweza kuwasiliana”

    Tukagongesheana tano na Babyanka kisha kila mmoja akaingia kwenye gari maalumu ambalo limeandaliwa kutupeleka makwetu. Kabla gari nililo panda halijaondoka, dirisha la mlango wa nyuma nilipo kaa, likagongwa kidogo, nikageza chichwa na kumkuta ni K2. Tartaibu nikashusha kioo cha dirisha langu na kumtazama kwa macho ya dharau kidogo japo aliyaokoa maisha yangu ila bifu la mapenzi lipo pale pale.

    “Nahitaji kuzungumza na wewe”

    “Nitafute kesho tutazungumza”

    “Ni amri shuka ndani ya gari na uzungumze nami”

    Nikamtazama K2, kisha taratibu nikafungua mlango na kushuka kwenye gari, tukasogea pembeni mbali kidogo na sehemu lilipo gari.

    “Mumezungumza nini na raisi?”

    “Umeshindwa kwenda kumuuliza?”

    “Hilo sio jibu”

    “Basi nenda kamuulize raisi kwamba alizungumza nini kwetu”

    “Dany, jeuri yako itakuponza usione kukaa karibu na raisi ukaona ndio maisha umeyashinda, kumbuka kwamba wewe ni mtoto wa juzi tu na kwenye kazi nimekupokeaa mimi mwenyewe”

    “Ehee, sasa hayo yote yametokea, wapi au ni kwasababu ya wivu wa mapenzi. Nisikilize K2 ibaki mimi kuwa kama mfanyakazi wako kwenye kitengo chako, na swala la mapenzi hembu jaribu kulifuta kabisa kichwani mwako, mimi sio Dany yule ambaye ulimfikiria sawa”

    “Na kitu kingine cha kumalizia, kaa na familia yako na uitunze, acha kuhangaika na vijana wadogo maradhi yapo mengi sawa…….?”

    Nilipo maliza kuzungumza maneno hayo nikaondoka na kumuacha K2 machozi yakimlenga lenga, nikaingia kwenye gari na kumuomba dereva tuondoke. Njia nzima nikawa nawaza ni jinsi gani ninaweza kuingia katika nyumba hiyo mpya. Nikamuelekeza dereva hadi nyumbani kwangu nikashuka huku nikiwa nimejichokea begi langu la nguo nikiwa nimelishika mkono wa kulia.

    “Kaka nimeambiwa kesho nije kukuchukua”

    “Saa ngapi?”

    “Saa nne asubuhi”

    “Basi wewe ukija kesho njoo uniulizie hapa”

    “Sawa”

    Dereva akaondoka na mimi nikapiga hatua hadi getini, nikalisukuma geti taratibu na likafunguka, ukimya wa nyumba yetu haukunitisha sana kwa maana ni kawaida kwa nyuma hii kuwa kimya. Nikapandisha ngazi na kuingia kwenye mlango wa kuingilia ndani. Nikakutana na Asma akifungua mlango wa chumbani kwake huku akiwa amevalia kanga moja iliiyo shika mwili wake vizuri, na kunifanya niweze kuyaona maungo yake ya ndani vizuri hususani kalio lake lililo jazia.

    “Ohoo Dany mambo vipi?”

    “Safi za hapa”

    “Kwema”

    “Mbona nyumba kimya hivi?”

    “Ahaa wamekwenda kwenye harusi, ndio maana kupo kimya”

    Asma alizungumza huku akiwa amejiachia hakujali kama kanga hiyo imemshika kwenye mwili wake kisawa sawa.

    “Haya mwaya nimerudi”

    “Unasafiri kimya kimya hata kutujulisha jamani?”

    “Ahaa usijali, nimerudi, kuna lipi jingine jipya?”

    “Jipya labda ni movie tu si unajua mimi ni mama wa movie za kikorea”

    “Ahaa una movie fulani hivi ya kikorea inaitwa SPY?”

    “Yaa hiyo ninayo, ipo iliyo tafsiriwa”

    “Basi naiomba”

    “Powa ngoja nikutafutie”

    “Poa mimi nipo chumbani kwangu”

    Nikaachana na Asma na kwenda chumbani kwangu, nikatoa funguo kwenye begi langu na kuingia ndani, chumba changu nikakikuta kama nilivyo kiacha kwa uchovu nikavua nguo zangu huku bastola zangu nne nikiziweka kabatini kwangu katikati ya nguo, nikachukua taulo langu na moja kwa moja nikaelekea bafuni kuoga. Viongo vya mwilini mwangu vyote vimechoka kwa pilika pilika nilizo kutana nazo, nikamaliza kuoga na kutoka bafuni, nikaelekea chumbani kwangu, kitendo cha kufungua taulo nililo jifunga kiuoni mwangu nikasikia hodi mlangoni mwangu, nikatambua moja kwa moja ni Asma. Nikajifunga taulo vizuri na kuufungua mlango na kumkuta akiwa ameshika kava la filamu ya kikorea.

    “Ile Dany wala sijaiona kabisa ila kuna hii nimeinunua jana, kwangu naona stablaizer yangu inazingua, hadi Tv haiwaki”

    “Ahaaa”

    “Kama hutojali lakini ninaomba nije kuitazama huku kwako”

    “Mumeo?”

    “Amesafiri tangu jana, anaelekea Malawi”

    “Ok karibu”

    Nikamkaribisha Asma, akaingia chumbani kwangu huku mwilini mwake akiwa amevalia dera lililo mbana mwili wake na kuyafanya makalio yake kutingishika. Nikaufunga mlango kwa ndani, na moja kwa moja nikaichukua CD hiyo ambayo nimekuta ina picha nyingine tofauti ya wazungu huku ikiwa imendikwa Break Point.

    “Hii ni filamu au series?”

    “Ni Series ya kizungu, nimeipenda kama nini”

    “Ina husiana na nini?”

    “Na maswala ya upelelezi”

    Kutoana mimi mwenyewe ni mpelelezi nikajikuta nikianza kuitamani kuitazama filamu hii. Saa ya ukutani inaonyesha ni saa kumi na mbili kasoro. Baada ya kuiweka cd kwenye daki nikarudi kitandani na kukaa huku Asma akiwa amekaa kwenye sofa na miguu yake ameiweka juu ya sofa.

    Mwanzo wa tamthilia hii inaonyesha jinsi wanajeshi wa kiingereza wanavyo kwenda kumuokoa mwenzao aliye kamatwa na magaidi wa Al-Shabab.

    “Kuna vinjwaji humo kwenye friji fungua uchukue”

    “Sawa”

    Asma akashusha miguu yake kwenye sofa na kusimama kisha akapiga hatua hadi kwenye friji langu ambalo ni dogo kiasi, akafungua na kutoa soda moja ya kopo.

    “Nitolee na mimi”

    Asma akanitole soda moja na kunirushia kitandani, dakika zikzidi kusonga mbele huku tukiwa tunazifwatili tamthilia hii kwa umakini huku sote tukiwa kimya, ikafika sehemu moja, muhusika mkuu wa filamu hii akawa anashiriki mapenzi na mke wake na kila kitu kinaonekana live bila chenga. Nikamuona jinsi Asma akiupeleka mkono wake wa kushoto kwenye kitumbua chake japo upo juu ya dera ila nikaona jinsi anavyo kisugua taratibu huku macho yote yakiwa katika Tv yangu.











    “Vipi mbona mkono huko”

    Nilizungumza huku nikimtazama Asma, akautoa haraka mkono wake kwenye kitumbua chake huku akitabasamu.

    “Mmmm hakuna”

    “Naona wazungu wamekupagawisha?”

    “Yaaani weee acha tu”

    “Ila shemeji akirudi si atakupa mambo matamu kama wanayo peana hao jamaa hapo”

    “Mmmm kuna mtu pale, ni kuchezeana tu”

    “Sijakuelewa”

    “Ahaa Dany tuyaache bwana hayo”

    Maneno ya Asma yakajenga maswali kadhaa kichwani mwangu, nikaendelea kumtazama kwa mara kadhaa akawa ananitazama kwa macho ya kuiba iba. Hadi inatimu saa moja usiku hatukuzungumza kitu chochote zaidi ya kutazama tamthilia hii ya kimarekani ambayo imejaa mambo mengi ya chumbani. Jogoo wangu kwa mara kadhaa akawa anasimama, na kuifanya sehemu ya juu ya taulo alipo jogoo wangu kusimama kisawa sawa. Hata kinywaji ambacho ninakinywa sikukisikia ladha yake, nikatamani kumuomba kitumbua Asma, ila anavyo onekana sio mtu wa masihara kabisa na nimtu anaye mpenda mumewe japo alinimbia kwamba anachezewa. Nikanyanyuka kwenye kitanda taratibu, nikapiga hatua hadi kwenye sofa na kukaa pembeni ya Asma aliye nitazama kwa macho ya kuiba kisha akayarudisha kwenye Luninga.

    “Asma”

    “Mmmm”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Ulisema shemeji anakuchezea?”

    “Ahaa Dany huwa sipendi kuyazungumzia mambo ya chumbani kwangu”

    “Noo nimekuuliza hivyo nikiwa nina maana yangu”

    “Maana gani Dany?”

    “Kama hotojali naweza ku……”

    Nikanyamaza huku mkono wangu nikiuweka kwenye paja la Asma, akautoa taratibu huku akiendelea kutizama luninga. Nikauweka tena safari hii nikiwa ninaliminya taratibu paja lake. Asma akajaribu kuutoa ila kwa haraka mdomo wangu nikawahi shingo nimwake na kuanza kuinyonya shingo yake.

    “Ohoo jamani Dany mi……mi sitaki banaaaa”

    Asma alizungumza kwa sauti ya kudeka, ambayo tayari nikajua maana ya sitaki yake. Nikaendelea kumnyonya shingo yake huku mkono wangu ukindelea kulishika paja lake lililo nona kisawa sawa. Taratibu nikaupeleka mdomo wangu hadi kwenye lipsi zake za modomo, hakuukataa mdomo wangu akaupokea kwa utaratibu na hisia kali. Hapo ndipo safari ya kuanza kunyonyana na kuchezeana miili yetu kwa kasi ilipo anza. Pumzi nzito pamoja na vilio vya taratibu vikanifanya nizidi kupandisha mzuka wa kutaka kumla Asma mke wa mpangaji mwenzangu.

    Nikamvua Asma dera lake ndani nikamkuta na kijichupi kidogo aina ya bikini ambacho kimeziba kitumbua chake tu huku kimstari kidogo kikiwa kimezama katikati ya kalio lake kiasi kwamba hakionekani kabisa.

    “Dany ila usimwambie mtu”

    Asma alizungumza huku mkono wake wa kushoto ukiwa umemshika jogoo wangu, nikamjibu kwa kutingisha kichwa nikimaanisha kwamba sinto muambia mtu yoyote. Asma akakaa kitako kwenye sofa huku mimi nikiwa nimesimama mbele yake, akaanza kumyonya jogoo wangu taratibu. Asma ana utaalamu ambao wanawake wote nilio kutana nao hawana utalamu kama huu wa kunyonya jogoo wangu ambaye amesimama vizuri.

    Asma akaendelea kumnyonya jogoo wangu huku mkono wake wa kulia ukiwa na kazi ya kusugua kisimi chake. Nilipo tosheka kunyonywa jogoo wangu, nikamlaza kwenye sofa huku miguu yake akiitanua. Nikaanza kumnyonya kitumbua chake, vilio vya Asma vikanifanya hadi niongeze sauti ya redio ambayo inatokea kwenye Luninga yangu.

    “Dany nipe, nipe mpenzi”

    Nikamuweka vizuri, kisha taratibu jogoo wangu akaanza kazi ya kula kitumbu cha Asma. Mauno niliyo kutana nayo kwa Asma ni kama mauno aliyo nipa Lissa kipindi nipo Tanga, japo Asma ni mnene kiasi ana amejaliwa maungo makubwa hususani mapaja na makalio ila ni mwepesi kwenye swala la kukata kiuno. Kazi ya kummiliki Asma haikuwa ndogo, kwani inahitaji umakini pamoja na juhudi kubwa sana, japo nimechoka kwa heka heka za kazi yangu ila uchovu wangu wote umekimbia mbele ya Asma.

    Nikamnyanyua huku jogoo wangu akiwa ndani, miguu yake akaipitisha miunoni mwangu, huku mikono yake ikiwa imeshika mabegani mwangu na mimi mikono yangu ikishikilia kiuno chake chembaba vizuri na kwaumakini nisimuangushe. Nguvu zangu nilizo nazo zikanisaidia sana katika kuuhiili uzito wa Asma. Miguu nayo haikutetereka, mechi ikazidi kunogoa, Asma akinionyesha kwamba yeye anajua mambo haya.

    “Mamaaeee wewe mtoto ni kabila gani”

    “Mngoni”

    “Duuu ndio munavyo fundishwa hivi?”

    “Hamna”

    Asma alizungumza huku akizidi kukata mauno yake huku mimi nikiwa nimesimama. Nguvu zilivyo anza kupungua, tukahamia kitandani, hapo Asma akaniomba nilale kisha yeye akamkalia jogoo wangu, akaichukua mikono yangu na kuishikisha katika kifua chake kilicho jaa maziwa mazuri yaliyo jaa jaa. Akaanza kukata mauno, nikatamani kutoa ahadi kwamba nitamuoa ila nikashindwa kuzungumza hivyo kwani ni mke wa mtu na wala sikufahamu wamekutania wapi na Jumaa.

    “Danyyyyyyyy”

    “Mmmmmm”

    “Mbo***……Mbo*** yako tamu jamaniiii uwiiiiiiiiii”

    “Kweli?”

    “Yeahaaa aiiiissssiii you kill meeee honey”

    Asma akazidi kutoa vilio vya mahaba akizidi kukata mauno yake, mikono yake akiwa ameiweka kifuani mwangu. Nikamshika kiuno chake, nikamlaza kifua chake kifuani mwangu na mimi nikaanza kuonyesha maujuzi yangu ya kula kitumbua chake. Hapo ndipo mfanya Asma kutoa miguno mingi ya raha.

    “Hapo….hapoo Danyyyy yeaaah gusa kizazi baba gusaaaa”

    Sifa za Asma zikazidi kunivimbisha kichwa mwanaume, nikazidi kula kitumbua kwa kasi ya ajabu, nilipo ona waarabu weupe wanataka kuniletea uhuni wa kutoka, nikamlaza chini Asma, nikamgeuza na kumlaza kifudifudi na taratibu jogoo karudi kwenye kitumbua kuendelea kukitafutana.

    Asma akazidi kupagawa, kuino akazidi kukikata huku akitamani mechi isiishe sasa. Kwa mara zaidi ya saba nilimsikia Asma akisema kwamba anafika kileleni mwa mlima Kilimanjaro.

    “Nakuja Asma”

    “Njoo tu Dany unipe mtoto”

    “Mtoto!!!?”

    “Nooo njoo tu honey”

    Kutokana mwenyewe nipo kwenye hali ya utamu na burudani nikajikuta nikiongeza kasi na waarabu weupe nilio wazuri kwa muda mrefu wasitoke wakatoka kwa kasi ya ajabu na kuazama kwneye kitumbua cha Asma, nikahakikisha kwamba wote wameisha, taratibu nikajichomoa kwenye kitumbua cha Asma na kulala pembeni huku nikihema, jasho likinimwagika.

    Taratibu Asma akajivuta huku akiwa amelele kifudifudi, akajilaza kifuani mwangu huku naye akihema, akatoa tabasamu pana usoni mwake akanibusu mdomoni mwangu na taratibu akanifuta jasho kwa kiganja cha mkono wake wa kulia.

    “Pole baba yangu”

    “Asante na wewe pole?”

    “Pole ya nini Dany, wakati nime enjoy hadi najisikia mwepesi kupindukia”

    “Kweli?”

    “Yaaa, yaani nimekaa miaka mitatu katika ndoa bubu, sikuwahi kumsaliti Jumaa, ila leo kwa mara ya kwanza nimemsaliti na nimekutana na msaliti anaye jiweza asieee”

    “Mmmm”

    “Usigune Dany, yaani Jumaa siku zote ana kazi ya kunigusa gusa kisha anachoka, muda mwingi huwa najichua na maji ya moto kukata hamu yangu. Ila leo wewe umenikojolesha siamini”

    “Kwani Jumaa hakuwa kukukojolesha?”

    “Ahaa yaani Dany ninavyo kuambia kwamba ananigusa gusa uamnini ni kweli, hakuwahi hata siku moja kunikojolesha mwanaume yule, alafu anawivu wa kiseng** hadi anakera”

    “Kwani umempendea nini Jumaa?”

    “Ahaa unahisi nampenda, mtu akiniona anaweza kusema ninampenda ila naishi kwake kwa ajili ya maisha tu, sina pa kwenda Dar es Salaam hapa, nikimuomba pesa nianzishe hata kajimradi kadogo hataki anakuwa mbogo na siku nyingine ananishushia kipigo, yaani wee acha”

    “Tangu nimkunje siku ile anakupiga?”

    “Juzi tu nimepigwa, yaani nimeyachoka maisha haya”

    Nikaa kimya huku nikimtazama Asma usoni mwake, uzuri wake kusema kweli haustahili hata kuguswa na kofi ila mwanaume alie kuwa naye ndio matatizo matupu.

    “Dany hivi yule mwana mama anaye kuja hapa kwako ni mpenzi wako?”

    “Hapana ni bosi wangu”

    “Ahaaa nilijua ni mpenzi wako, ila Dany unaonekana hupendi maswala ya wanawake ehee?”

    Laiti Asma angenijua mimi vizuri nahisi hata asinge zungumza maneno haya ya kunisifai, nikatabasamu huku nikimtazama usoni mwake.

    “Kwa nini unaseme hivyo?”

    “Kwa maana tangu nikujue ni mwaka wa pili sasa nashinda hapa nyumbani sijawahi kumuona mwanamke hata mmoja akija chumbani kwako zaidi ya yule mamana mama ambaye umeniambia ni bosi wako”

    “Ni kweli sipendi bado natafuta mwanamke wa kumuweka ndani, si unajua wanawake wa hapa Dar tabu tupu”

    “Ni kweli Dany, ila laiti huyu Jumaa angekuwa ana upendo wa dhati, ningempa moyo wote kama mara ya kwanza, ila kadri siku alivyo kuwa akinitandika makonde ndivyo jinsi nilivyo kuwa nikimchukia, hadi sasa hivi moyoni mwangu hayupo kabisa”

    “Duu pole sana kama huto jail nitakuchukua”

    “Utanichukua?”

    “Ndio nitakuchukua na kwenda kuishi na wewe mbali”

    Nilijikuta nikiropoka maneno hayo huku wivu wa mapenzi ukianza kunijaa kichwani mwangu, sikutaka kuamini kwamba penzi la Asma limenipagawisha hadi na ninajikuta ninatoa maamuzi kwa kukurupuka tu.

    “Dany si nitakuweka katatizoni kwa maana huyu Jumaa ni mtu mbaya sana”

    “Mbaya sana?”

    “Ndio, ila Danya nakuambia hivi nakuomba usimwambie mtu hii ni siri na laiti Jumaa akifahamu kwamba nimeitoa nje basi ataniua, ndio maana nashindwa kuondoka nyumbani kwake”

    Nikajikuta nikimsogeza Asma kifuani kwangu na kukaa kitandani vizuri na yeye akaka karibu yangu huku akinitazama.

    “Siri gani hiyo?”

    Nilizungumza kwa sauti ya chini huku nikimtazama Asma usoni kwa umakini, akanitazama kwa sekunde kadhaa kisha akazungumza.

    “Jumaa ni jambazi na wala sio dereva magari makubwa”

    “Weeeee……!!!”

    “Haki ya Mungu nakuapia, tena yupo kwenye kikosi kimoja hivi sijui kinaitwaje, kazi yao wanapewa kazi na mabosi kisha wanakwenda kufanya hiyo kazi hata kama ni ya mauaji”

    “Wewe umejuje?”

    “Ananiambiaga yeye mwenyewe pale anapo karibia kumwaga shahaw** tukiwa kwenye mechi”

    “Kwa hiyo siku zote unaishi naye kumbe ni jambazi?”

    “Ndio ni jambazi tena jambazi wa kutupa, siku ile sikujua ni kwanini uliweza kumpiga, kirahisi vile, ila Jumaa ni mbaya sana kwenye mambo ya kupigana”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Nilijihisi nguvu za mwili wangu kuniisha, kwani tangu niamie kwenye nyumba hii miaka miwili iliyo pita, Jumaa ninamchukulia kama mtu wa kawaida sana na wiki kadhaa zilizo pita nilipo mpiga ndivyo nilivyo zidi kumuona ni mnyonge.

    “Dany nakuomba usimwambie mtu hii siri, Jumaa akijua ataniua”

    “Nataka nikutoroshe hapa?”

    “Dany unajiamini nini?”

    “Nataka ufanye hivyo, nataka kwenda kuishi mbali na wewe”

    “Dany Dany, Jumaa akifahamu mimi na wewe maisha yetu ndio yatakuwa ni mwisho wake”

    “Hakuna kitu kama hivyo, ninacho hitaji kukuomba sasa hivi, nenda chumbani kwako kakusanye kila kilicho chako kisha uvilete huku chumbani kwangu”

    Asma akakaa kimya kwa sekunde kadhaa huku akinitazama usoni mwangu, akatamani kuzungumza jambo ila akanyamaza akayafumba macho yake, kisha akayafumbua, akanitazama usoni mwangu.

    “Dany nakuamini, nafanya yote kwa sababu nilisha kupenda tangu siku ulipo niokoa mikononi mwa Jumaa asinichome kisu, na ninazidi kukupenda kadri siku zinavyo zidi kwenda, nakuomba nilifanye hili ukiniangusha basi tambua damu yangu itakuwa juu yako Dany”

    “Siwezi kukuangusha fanya hivyo sasa”

    Asma alipo ona sura yangu inamaanisha kwa kile ninacho kizungumza, akashuka kitandani akachukua dera lake kwenye kochina kulivaa, wala kwa ndani hakuvaa chupi yake, akafungua mlango kwa umakini, akachungulia kwenye kordo kisha akatoka. Nikashuka kitandani huku nikiwa na mawazo mengi sana.

    ‘Mpelelezi na jambazi wameishi nyumba moja pasipo kujuana, hii kali’

    Nilizungumza huku nikiwa ninatabasamu. Zikapita kama dakika ishirini, mlango ukafunguliwa na Asma akaingia akiwa na begi lake kubwa la nguo, pamoja na mabegi ya mkononi mwawili.

    “Umechukua kila kitu?”

    “Ndio ila kuna hii karatasi hapa ina namba ya huyo bosi wao wa majambazi, pamoja na namba nyingine za wezake Jumaa.”

    “Hembu nipatie”

    Asma akanipatia karatasi hiyo iliyo kunjwa vizuri, nikaikunjua na kutazama namba za simu zilizo andikwa humo hususani namba ya huyo bosi wa Jumaa, sikuamini macho yangu kuikuta nama ya K2 ambayo ninaifahamu vizuri hata kama nikiwa sina simu. Nikahisi sio yenyewe labda nimekosea, nikamuomba simu Asma, akanikabidhi, nikajaribu kuingia katika upande wa kutuma pesa wa Tigo pesa, nikaiingiza namba hiyo ya simu na kiasi ninacho hitaji kutuma, yakatokea maandishi kutoka katika hudumu hii yanayo someka ‘Ingiza namba yako ya siri kutuma pesa kwa K2 kiasi ni shilingi elfu kumi’. Nikajihisi nguvu zikiniishia huku taratibu nikikaa kwenye sofa, huku mapigo ya moyo yakianza yakinienda kasi sana.













    “Vipi Dany mbona umeogopa hivyo?”

    “Hapana, nahitaji nikuondoe usiku huu huu”

    “Mimi sina tatizo nakusikiliza wewe”

    Sikuwa na haja ya kuingia bafuni na kuoga zaidi ya kuanza kuvaa nguo zangu kwa haraka sana, kitu ambacho ninahofia ni Asma kuziona bastola zangu jambo ambalo silihitaji alifahamu kwa muda huu. Nilipo maliza kufaa nguo, nikatoka nje ya nyumba yetu ikiwa tayari ni saa nne usiku. Nikaelekea kwenye sehemu wanapo egesha taksi za kukodi, nikamuita dereva mmoja nikaelekea naye hadi nyumbani. Nikaingia ndani huku nikiwa makini sana. Nikamkuta Asma akiwa amekaa kwenye sofa ananisubiria,

    “Una baibui?”

    “Ndio”

    “Lipo karibu uweze kulivaa?”

    “Ndio”

    Haya litoe fasta fasta na ulivae”

    Asma akafanya kama nilivyo mueleza, begi lake la nguo nikaliweka kitandani, nikalifungua kwa haraka, akaanza kuchambua nguo huku akitafuta basibui lake, alipo liona, akavua dera lake kwa haraka, na kuanza kuvaa baibui lake hilo lenye kitambaa kinacho ificha sura yake. Nikamsaidia kurudisha nguo zake kwenye begi haraka haraka kisha nikachungulia kwenye kordo sikuona mtu, tukatoka huku nikifunga chumba changu na kuanza kutembea kwa mwendo wa umakini sana huku macho yangu yote yakiwa mbele na Asma akinifwata kwa nyuma. Tukafanikiwa kutoka nje kabisa ya nyumba pasipo kuonekana na mtu anaye tufahamu ila Asma ni ngumu zaidi kufahamika kwani sura yake ameificha kwa kitambaa hicho cha baibui kilicho mbakisha macho wazi.

    Tukaingia kwenye taksi, nikaanza kumpa dereva maelekezo ya wapi atupeleke. Safari ikaanza huku muda wote Asma akiwa amenishika mkono wangu wa kulia, akiwa na wasiwasi mwingi sana usoni mwake. Tukafika katika hoteli ya MK, iliyopo kwenye eneo la Mbezi Beach. Nikawa wa kwanza kushuka kwneye taksi na kumuacha Asma ndani ya taksi, nikaeleka hadi mapokezi, nikalipia chumba kimoja cha gorofani kisha nikarudi kwenye taksi.

    “Ngoja nikusaidie begi”

    Nilizungumza huku nikilishika begi la Asma.

    “Kaka haujanilipa bado”

    “Ohoo sorry ndugu yani nimejisahau bei gani?”

    “Elfu ishirini na tano”

    Nikanipapasa kwenye waleti yangu na kukuta shilingi elfu kumi, jambo lililo anza kunipa wasiwasi, kwani hoteli niliweza kulipia kwa kadi ya malipo ambayo ninatembea nayo popote niendapo.

    “Vipi?”

    “Nimepungukiwa elfu kumi na tano”

    “Ngoja”

    Asma akafungua kipochi chake na kutoa shilingi elfu shirini na tano na kumkabidhi dereva huyo aliye tuaga na kuondoka. Tukaeleka ndani ya hoteli, tukaingia kwenye lifti na kuelekea gorofa ya tano. Tukaingia kwenye chumba nilicho kikodisha. Nikafunga kwa ndani na Asma akaanza kuvua baibui lake kisha akanirukia na kunikumbatia kwa nguvu huku machozi yakimwagika usoni mwake.

    “Ohoooo Dany nakuomba usije ukaniacha, nimefanya haya yote kwa ajili yako”

    “Siwezi kukuacha Asma, natambua ni kipindi gani ambacho unapitia, ninakuahidi nitakulinda katika maisha yangu yote”

    Nilizungumza kwa hisia kali na kumfanya Asma azidi kunikumbatia kwa furaha na hisia nzito, tukaachiana na kuanza kunyonyana midomo yetu safari hii, kila mmoja akajiachia na kuwa huru kwa mwenzake kwa maana tumesha jihalalisha mioyoni mwetu kuwa wapenzi. Kusema kweli Asma ni mzuri na ana vigezo vyote vya kuwa mwanamke wa ndoa.

    Akaanza kunivua nguo na kubaki kama nilivyo zaliwa. Tukaingia kwneye mzunguko mwengine wa kupeana raha na burudani. Haikuwa mechi kama ya kwanza ila hii ikawa ni zaidi ya mechi ya kwanza. Tukapeana utamu halisi wa mume wa mke huk u kila mmoja akiwa anamwaga sifa kwa mwenzake, tukamaliza kwa wakati mmoja huku kila mmoja akiwa na furaha kubwa moyoni mwake.

    “Una njaa?”

    “No dady yaani nipo na wewe wala sitamani kula, uwepo wako kwangu ndio kila kitu”

    “Kweli?”

    “Ndio Dany, sikutaka kuziweka hisia zangu karibu yako kuogopa kuniona mimi ni malaya au mtu wa aina gani ila kusema kweli ninakupenda tena sana. Wewe ndio mwanaume uliye ifahamu thamani yangu”

    “Kivipi?”

    “Kama ile siku nilipo kuwa ninakimbwizwa na Jumaa, ulinisaidia na ingekuwa si kufanya hivyo sidhani kama leo hii ningekuwa hai, kwa maana aliniambia ataniua na kunizikia ndani kwake”

    “Mmmm ivi ulikana kutana vipi na Jumaa”

    “Kipindi nina umri wa miaka kumi na saba, wazazi wangu walifariki huko kijijini kwetu Songea. Nilibaki mimi na dada yangu ambaye alikuwa ameolewa na jamaa mmoja muendesha magari makubwa ya mizigo. Sasa yule shemeji yangu, rafiki yake mkubwa ni Jumaa na jinsi walivyo kuwa wanakuja nyumbani kwa dada pale, akatokea kunipenda na kuamua kunileta mjini Dar es Salaam, kuanzia hapo sijawahi kurudi tena Songea”

    Asma alizungumza katika hali ya unyonge sana, taratibu nikamsogeza karibu yangu na kumkumbatia. Kutokana na uchovu mwingi ambao umenijaa, usingizi mzito ukanipitia wala sikufahamu Asma amelala saa ngapi. Alfajiri na mapema, nikasikia sauti ya Asma akainiamsha.

    “Mmmmm”

    “Amka honey kumekucha”

    “Saa ngapi sasa hivi?”

    “Ni saa mbili”

    Nikakurupuka kitandani na kukaa kitandani, hadi Asma mwenyewe akanishangaa. Yamebaki masaa mawili tu ya kijana niliye panga naye ahadi ya kuja kunichukua nyumbani kwangu Sinza kutimia.

    “Mbona umestuka hivyo?”

    “Kuna mtu nimepenga kuonana naye nyumbani mida saa nne”

    “Sasa utaniacha mimi hapa peke yangu?”

    “Ndio baby, ningeomba nikuache hadi mchana kisha tutawasiliana”

    “Sasa Dany ndio unataka kunifanyia nini mimi, umenitoa kule nikihisi kwamba nitakuwa salama kumbe na wewe unataka kuwa kama huyo Jumaa”

    Asma alizungumza huku machozi yakimlenga lenga.

    “Sio hivyo mpenzi wangu, ni swala la kawaida nina kwenda kulishuhulika, niamini kwamba sinto weza kukuacha wala kukutelekeza. Nakwenda kuandaa nyumba ya sisi kuishi, nilitaka kuliweka hilo kama siri ila inalazimika mimi kuweza kulizungumza hilo”

    “Nyumba ya kuishi?”

    “Ndio Asma, niamini mimi nitarudi saa saba naamini nitakuwepo hapa”

    Asma akanitazama vizuri usoni mwangu, kile ninacho kizungumza ni kweli nina kimaanisha, tukashuka wote kitandani na kwenda bafuni, tukaoga kisha tukarudi chumbani, nikaanza kuvaa nguo zangu haraka haraka, kitu kinacho nifanya niweze kuwahi hivi ni kutokana kwamba sina simu ya mawasiliano. Nikachukua mkonga wa simu ya mezani, nikaminya namba kadhaa na kumpigia muhudumu wa mapokezi.

    “Nakuomba ufike chumba namba 226”

    “Sawa”

    Nikarudisha mkonga wa simu sehemu ulipo na kujiweka sawa suruali yangu.

    “Umemuita muhudumu wa nini?”

    “Nahitaji kumuachia maagizo ya kuongeza muda wa kukaa hapa hotelini pamoja na chakuka cha asubuhi na mchana”

    “Sawa”

    Mlango ukagingwa nikapiga hatua hadi mlangoni, nikafungua na kukutana na muhudumu ambaye jana usiku niliweza kumkuta mapokezi.

    “Ingia tu ndani”

    Akaingia, akamsalimia Asma aliye kaa kitandani amejifunga taulo jeupe.

    “Huyo hapo ni mke wangu, nahitaji muweze kumpa huduma zote atakazo zihitaji, pia nahitaji kuweza kuongeza muda way eye kukaa hapa”

    “Hilo halina tatizo, ila kwasababu mimi ndio ninajiandaa kutoka, basi nitamuachia mwenzangu mwengine maagizo hayo”

    “Ok, kama hutojali, ninakuomba tuongozane hadi mapokezi nikayatoe hayo maagizo na kila kitu nitalipia kwa kadi yangu ya malipo”

    “Sawa kaka”

    Nikapiga hatua hadi kitandani na kumbusu Asma mdomoni, kisha tukatoka chumbani humu nikiwa nimeongozana na muhudumu.

    “Kaka umepata mke mzuri”

    “Asante”

    “Kaka yangu kama kweli ni mke wako, pale unatakiwa kutulia, ana kila sifa ya kuwa mwanamke wa mtu”

    “Kwa nini unazungumza hivyo?”

    “Mimi japo ni mwanamke ila nina wajua wanawake wezangu, wengi tuliopo hivi sasa tunapenda pesa, ila huyu ni msikivu sana”

    “Asante”

    Tukafika mapokezi na kumkuta dada mwengine, nikampa maelelezo yote kisha nikalipia muda wa chumba changu kuongezewa muda wa siku nyingine, nikatoka nje ya hoteli nikapanda pikikipi iliyo nipeleka hadi kwenye moja ya benki, nikatoa kiasi cha pesa cha kutosha na kuelekea nyumbani kwangu nilipo pangisha chumba kimoja. Nikamlipa dereva pikipiki pesa yake na kuingia, ndani. Nikiwa kwenye kordo nikakuta mama Maria, Mariam na Jumaa wakiwa wamesimama huku wakionekana kuzungumza mada fulani.

    “Dany”

    Mama Mariam alipo niona akaonekana kufurahi sana, ila akajizuia kuja kunikumbatia. Hata Mariam mwenyewe akanikonyeza huku akiachia tabasamu pana.

    “Habari za hapa?”

    “Salama za safari?”

    “Safi tu vipi mbona mumesimama kuna nini?”

    Niliuliza swali huku nikijifanya kama sielewi ni kitu gani ambacho kinaendelea.

    “Kaka mke wangu ametoroka, nimerudi nimekuta amechukua kila kilicho chake, sijui atakuwa amekwenda wapi?”

    Jumaa alizungumza kwa sauti ya upole na unyonge, nikajifaya kushangaa, huku nikisikitika ila kika ninacho kifanya hapa ni kumng’ong’a Jumaa kwani mimi ndio kisababishi cha mkewe kuondoka katika maisha yake huku nikijiapia moyoni mwangu kwanba hato kuja kumpata Asma hadi kufa kwake.

    “Sasa kuna utaratibu wowote mumeuchukua, kama wa kuwauliza majirani, marafiki zake hata ndugu zake?”

    “Nimefanya hivyo ila kila mmoja anadai kwamba hajafika huko ninapo paulizia?”

    “Mulikuwa na ugomvi kwani?”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Jumaa akabaki kimya huku akinitazama machoni, swali hilo hakulijibu kabisa mbele yangu kwa maana anatambua kuna siku nilisha wahi kumpa onyo kali kama akifanya ujinga wa kumpiga tena mke wake basi nitamshuhulikia.

    “Au unaweza kwenda kutoa ripoti polisi?”

    “Hapana siwezi kwenda polisi, nitamtafuta hivi hivi kimya kimya hadi nitampata”

    Baada ya Jumaa kuzungumza mazungumzo hayo akageuka nyuma na kuingia ndani kwake na kuufunga mlango kwa nguvu. Sote tukabaki tukiwa tumeyatumbua macho yetu, hakuna ambaye aliweza kuchagia lolote katia wazo la Jumaa.

    “Za huko kwenu Tanga?”

    “Safi tu za hapa?”

    “Safi”

    Mama Marim dhairi furaha yake iliweza kuonekana hadi Mariam akakosa uhuru wa kuzungumza.

    “Mbona hujatujia na zawadi?”

    “Ahaa nimekuja mara moja, zawadi hakuna wapendwa”

    “Mmmmm Dany na wewe”

    “Kweli”

    Nikaingia chumbani kwangu na kuwaacha Mariam na mama yake kwenye kordo, nikafunga kwa ndani huku nikiwa sihitaji mtu wa aina yoyote kuweza kuingia ndani humu. Niakaanza kuchumbua nguo za kuvaa kabatini huku bastola zangu nikiwa nimeziweka juu ya meza. Nilipo pata moja ya suti ninayo ipenda, nikaivaa, kila bastola yangu, nikaificha sehemu ambayo ninapenda kuificha. Nikaichukua karatasi aliyo nipatia Asma jana usiku yenye namba za majambazi wote wakuu wakuu, huku kiongozi wao akiwa ni K2. Nikaiweka vizuri kwenye waleti yangu sehemu ambayo si rahisi kwa mtu kuweza kuiona. Nilipo hakikisha nipo tayari nikapiga hatua hadi mlangoni kabla hata sijashika ufunguo, ukagongwa na kujikuta nikijizuia kuufungua kwa muda.

    “Kaka Dany”

    Niliisikia sauti ya Mariam na kujikuta nikufungua, na kumkuta akiwa amesimama mlangoni.

    “Kuna mgeni wako nje?”

    “Yupoje?”

    “Yupo kwenye gari ni kijana mdogo mdogo na mpole kiasi”

    “Ok muambie ninakuja”

    Nikaurudishia mlango nikamuacha Mariam kuondoka mlangoni kwangu, kisha na mimi nikatoka. Nikaufunga mlango wangu, kabla sijapiga hatua nikamuona Jumaa akitoka chumbani kwake kwa haraka. Akanitazama kwa macho ya mashaka kisha akanisogelea huku akwiwa ni mtu wa kuhitaji kufanya jambo fulani dhidi yangu.

    “Vipi?”

    “Umempeleka wapi mke wangu”

    Jumaa alizungumza kwa sauti nzito iluyo jaa hasira kali huku macho yake yote akiwa amenikodolea mimi jambo lililo mstusha sana moyoni mwangu.









    “Kivipi, sijakuelewa kuhusiana na swali lalo?”

    “Ninazungumza kiswalihi sahihi na kinacho eleweka, umempeleka wapi mke wangu?”

    Sikutaka kuonyesha wasiwasi wowote usoni mwangu wala kuhofia kwa kile anacho kizungumza Jumaa kwa maana nimesha elewa ni kitu gani anacho kifanya alicho kiziba nyuma ya pazia kwa kujifanya mjinga kumbe ni mtu hatari.

    “Na mimi nina zungumza kiswahili fasaha, sijui unazungumza nini?”

    “Jana kuna mtu amekuona unatoka humu ndani na mwanamke amevaa baibui akiwa ameshika begi na ninatambua kabisa Asma naye ana baibui jeusi na ameondoka na begi?”

    “Ohooo hivi kila mtu akiwa anatoka humu ndani ni Asma. Fungua akili yako ndugu, huwezi kuishi na mwanamke anaye mtesa, unaye mnyanyapaa na kumuumiza. Leo ndio ninarudi kutoka safarini na wala jana sikuwa hapa. Huyo aliye niona nenda kaumuulize tena aliniona wapi kama yeye hausiki katika swala hilo”

    Nilizungumza kwa msisitizo huku nikimkazia macho Jumaa, akabaki akiwa amenitumbulia macho ya kuniamini kile ninacho kizungumza. Nikakatoka na kumuacha Jumaa kwenye kordo nikiamini kwamba ana maswali mengi ambayo anajiuliza kichwani mwake. Nikaingia kwneye gari nikasalimiana na dereva na safari ikaanza ila kichwani mwangu wasiwasi mwingi ukawa umenijaa.

    ‘Lazima nimlinde Asma kwa hali yoyote’

    Niliwaza kichwani huku safari ya kuelekea Masaki ikiendelea. Dereva akasimama kwenye moja ya jumba lenye geti kubwa na jeusi. Nikataka kumuuliza kwamba hii sehemu anayo nilete ndio aliopo agizwa au amekosea. Ila nikaa kimya kwa maana sikuhitaji kuwa na papara nisije nikaonekana mshamba wa mjini. Geti likafunguliwa na mlinzi wa getini, taratibu gari likaingia na kusimama kwenye maegesho yaliyopo katika eneo hili, ila kitu kilicho nifanya nifahamu kwamba hapa nilipo sio nyumba ninayo takikiwa kukabidhiwa, ni gari moja la kifahari aina ya BMW X6, likiwa katika maegesho haya.

    “Kaka tumefika”

    “Hapa ndipo ulipo agizwa kunileta?”

    “Ndio kaka”

    Nikashuka taratibu huku nikitazama madhari mazuri ya jumba hili la gorofa moja kwenda juu. Kijana akatangulia mbele huku na mimi nikiwa ninamfwata kwa nyuma nikiwa na shauku ya kufahamu ukweli wa hili jumba. Tukaingia ndani na kukuta vitu muhimu vya ndani vikiwa vinamaliziwa kupangwa na vijana wawili wanao onekana ni wafanyakazi kutoka ikulu.

    “Karibu bwana Daniel”

    Nilisikia sauti moja ya kike kutoka katika chumba kimoja cha jiko kilichopo karibu na seble hii kubwa. Nikamuona dada mmoja aliye valia suti nyeusi akinifwata sehemu nilipo simama, akanipa mkono na mimi nikampa wa kwangu kama ishara ya kusalimiana.

    “Ninaitwa Lutfia Magese, mimi ni mwanasheria wa raisi wa Jamuhiri ya muungano wa Tanzania”

    “Asante kwa kukufahamu”

    “Nilisha kufahamu tangu jana ila sikupata nafasi ya kuweza kuzungumza nawe. Lengo kubwa lililo niita hapa ni makabidhiano ya hii nyumba kama raisi alivyo ahidi kuwapa zawadi na kuwa watu weke wa karibu sana. Lutfia alizungumza huku akitembele kuelekea jikoni huku nami nikiwa pembeni yake kusikiliza kwa umakini kile anacho kizungumza. Tukaingia jikoni nikaona sururi mbili zikiwa juu ya meza.

    “Samahani bwana, nilikuwa ninajaribu jaribu haya majiko kama yana fanya kazi kwa maana hii nyumba ni mpya kabisa na kila kitu kimeingizwa leo”

    “Unataka kuseme vitu vyote vimeingizwa leo?”

    “Yaa tangu saa kumi na moja asubihi mimi pamoja na timu yangu tulikuwa hapa. Kusema kweli raisi amewafanyia kitu kimoja kizuri ambacho kwa uzoefu wangu wa kumjua raisi, tangu akiwa waziri hakuwahi kufanya kitu kama hichi kwa mtu yoyote ila wewe na Babyanka mumepata nafasi nzuri sana”

    “Duu, kweli Mungu ni mwema”

    “Yaa sasa niendelee na kile kilicho nileta hapa na kukusubiria kwa muda wote huo. Hii nyumba pamoja na vitu vyake vyote ndani vimegarimu zaidi ya shilingi za Kitanzania bilioni moja na nusu. Ni nyumba nenye vyumba vinne vya kulala na vyote vipo gorofani na ni master room. Chini huku kuna chumba cha mazoezi(GYM). Kuna jiko hili, kuna seble, kuna stoo, na sehemu ya kusomea”

    “Hati na nyaraka zote nitakukabidhi na utasaini na kuanzia hapo kila kitu kitakuwa cha kwako”

    “Shukrani sana”

    “Usinishukuru mimi, mtu wa pekee wa kumshukuru ni raisi, kitu kingine ni kwamba ile gari ambayo raisi alipanga kuwapa kila mmoja amegairi na gari hilo ulilo liona hapo nje ni gari lako kuanzia sasa na funguo zake hizi hapa, na kila kitu kimesajiliwa kwa jina lako”

    Nikajikuta nikikosa hata kitu cha kuzungumza kwa kushangaa, kila kitu kinacho tokea kwenye maisha yangu nikahisi kama ni ndoto ila ndio uhalisia halisi wa maisha. Lutfia akaanza kunitembeza sehemu moja hadi nyingine ya jumba hili, kuanzia vyumba vya chini hadi gorofani. Nikatamani sana kumpigia mama simu ili aweze kufahamu zawadi niliyo pewa na raisi ila sikuweza kutokana na kutokuwa na simu. Baada ya kumaliza kutazama vyumba vya ndani, tukatoka nje na kutembea kwenye maeneo yote ya nyumba, kusema kweli ni nyumba ambayo katika maisha yangu nilikuwa nikiiwaza ila uwezo wa kuweza kuipata nilikuwa sina, ila kwa kazi ya kujitolea maisha yangu kwa ajili ya raisi basi hii ndio zawadi ninayo stahili.

    “Hata mwenzako Babyanka naye amepewa nyumba yenye thamani kana hii ila sema yake ina muundo tofauti na hii”

    “Gari?”

    “Gari mumepewa yanayo fanana”

    Katika maisha yangu nimewahi kuwa na furaha ila hii niliyo nayo leo imezidi mara dufu. Tukaingia ndani na kukuta vijana wakiwa wamesha maliza kuweka Tv aya ukutani yenye ukubwa wa inch 55.

    “Karibu ukae kwenye sofa hilo”

    Nikaka huku nikiwa na shauku ya kuhitaji kufahamu ni nini kinacho endelea, Lutfia akatoa bahasha ya kaki kwenye pochi yake kubwa na kuiweka mezani. Akatoa na kalamu kisha akanikabidhi kalamu hiyo pamoja na hati ya nyumba na gari alizo zitoa kwenye bahasha. Akanionyesha sehemu ya kusaini baada ya kumaliza kusoma ninacho kisoma kwenye hati hii ya nyumba. Hapakuwa na kitu kilicho koswa, kila kitu kipo sahihi kuanzia jina langu. Nikasaini nilipo maliza, Lutfia na yeye akachukua hati hiyo na kusaidi na makabidhiano yakawa rasmi yamekamilika.

    “Sasa kila kitu ni cha kwako hapa”

    “Shukrani sana”

    “Usijali, pia kuna cheki hapa muheshimiwa amenikabidhi niwapatie”

    “Muheshimiwa raisi?”

    “Raisi wa pili muliye rudi naye kutoka Tanga naye ameona kazi mulio ifanya ya kuyaokoa maisha yake”

    Akanikabidhi cheki, nikaisoma kwa haraka nikakuta imendikwa kiasi cha shilingi miliioni kumi na tano.

    “Amekuambia hizo zitakusaidia kuanza maisha mapya ya utajiri”

    “Asante sana”

    “Usijali, sisi hatuna cha zaidi cha kufanya, wacha tuondoke tukaendelee na majukumu ya kusongesha hili gurudumu”

    “Asante sana dada Lutfia”

    “Usijali ila piga kazi uzidi kumfaidi raisi, ila ukiwa mzembe, atakutumbua jipu”

    “Haaahaha haya”

    Nikaagana na Lutfia pamoja na vijana wake wawili, nikatoka nao hadi getini.

    “Bob huyu ndio bosi wako mpya, sasa mutamalizana”

    Alimuambia mlinzi wa getini aliye wafungulia geti dogo hapo ndipo nikagundua kwamba nje kuna gari liekuja kuwachukua likitokea ikuli.

    “Sawa sawa muheshimiwa”

    “Dany kijana wako wa ulinzi huyu, ila kila kitu analipwa kutoka serikalini”

    “Sawa sawa”

    “Bob umakini katika kazi ndio unahitajika, usione umetoka kule kwangu huku ukaja kucheza cheza”

    “Hapana muheshimiwa siwezi kufanya hivyo”

    “Haya kuwa makini”

    “Sawa”

    Wakatoka na Bob akafunga geti, akanipa mkono wa salamu kwa maana tangu niingie hapa sikusalimiana naye, kiumri hatujapitana sana na hata kama nimempita basi atakuwa nimempita miaka miachache sana. Nikarudi ndani na moja kwa moja nikaelekea kwenye chumba changu huku nikiwa na hati zangu mikononi nikafika, nikafungua kabati langu ambalo halina kitu chochote. Nikaziweka vizuri, kisha nikalifunga na funguo nikaziweka mfukoni. Kitanda kilichopo katika chumba hichi ni kitanda ambacho sikuwa kukilalia kwenye maisha yangu, nimesha zoea kuona vitanda vya pembe nne ila hichi ni kitanda cha duara. Nijairusha godoro lake likanipokea vizuri sana huku kilinirusha rusha vizuri. Furaha hii ni kubwa kusema kweli, nimetoka chini hadi hapa nilipo ni kwa neema za Mungu.

    Nikanyanyuka kitandani na kusimama mbele ya kioo cha dreasing table kubwa nikaanza kujitazama huku nikizunguka zunguka.

    “Yeaaahaaaaaaaaaa”

    Maneno ya ajabu yalinitoka kinywani mwangu kwa furaha kubwa niliyo nayo, kwa haraka nikatoka chumbani kwagu na kuufunga mlango, nikaanza kushuka kwenye ngazi kwa haraka hadi nje. Nikaufunga mlango wa sebleni, na kuingia kwenye gari, kitendo cha kuliwasha nikasikia sauti ya kike ikitokea kwenye spika ndogo za gari hili.

    “Karibu Mr Daniel, funga mkanda kwa maelezo zaidi”

    “Mmmmm”

    Nilijikuta nikiguna huku nikifunga mkanda kwa maana haya mambo ni mageni kwangu na sijawahi kuyaona kwenye magri mengine.

    “Sasa gari lipo tayari kwa safari, kama unahitaji huduma ya ramani minya hapa na kama huitaji basi nakutakia safari nje”

    “Asante”

    Nikawasha gari na kuligeuza taratibu. Bob akanifungulia mlango na kutoka ndani hapa huku nikiwa makini sana na gari langu, nikatamai lipite hewani hata lisichafuke, ila ndio hivyo haliwezi. Moja kwa moja nikaeleka kwanza benki kwa ajili ya kuipata pesa ambayo nimepewa kwenye cheki. Nikashuka kwneye gari, kitendo cha kutaka kuingia kwneye mlango wa benki, vingora vya mlangoni hapo vikaanza kupiga kelele na kuwafanya askari wote kunielekezea mitutu yao ya bunduki kwangu huku wateja na wahudumu wakianza kuhaha kila mmoja kwa namna na jinsi ajuavyo mwenyewe.

    Askari wawili kwa pamoja wakaniamrisha mikono yangu ninyanyue juu nikatii, mwingine akaniambia nilale chini kifudifudi huku mikono yangu nikiwa nimeiweka kichwani, nikafanya hivyo. Wakaanza kunipapasa na kuanza kuzitoa bastola zangu. Mmoja alipo toa waleti yangu na kuifungua na kukuta kitambulisho changu cha kazi, akawaomba wezake kushusha bunduki zao chini.

    “Samahani mkuu”

    Mmoja alizungumza huku akinipa mkono wa kuninyanyua, nikanyanyuka nikiwa na tabasamu pana usoni mwangu kwa maana swala hili wala halijanitisha sana kwani nina furaha yangu moyoni na wala sikuhitaji mtu kuweza kuichafua furaha yangu. Wakanirudishia bastola zangu na kuzichomeka katika sehemu walipo zichomoa. Watu wakatangaziwa na muhudumu wa benki waendelea na shuhuli zao kwa manaa hakuna tatizo baya. Nikafika sehemu ya huduma kwa wateje, nikamsalimia dada mmoja mrembo aliyopo katika eneo hili.

    “Salama tu nikusaidie nini kaka?”

    “Kuna hii cheki yangu, hembu ifanyieni utaratibu”

    “Sawa”

    Msichana huyu ambaye ni kivutio karibu cha watu wote tulipo eneo hili la huduma kwa wateja, akachukua cheki yangu na kuandika namba kadhaa kwenye kompyuta yake iliyopo pembeni yake.

    “Kaka utasubiria kama dakika kumi hivi, ngoja niiipeleke kwa bosi hii cheki”

    “Hakuna shida mrembo”

    Akageuka na kuanza kuondoka, hapo ndipo nilipo jikuta mimacho nikiitumbua, si mimi peke yangu hata wanaume tulipo katika eneo hili sote macho yetu yakawa katika kalio lake kubwa lililo banwa vizuri na kijisketi cha rangi ya blue iliyo kolea.

    “Umalaya utakuua”

    Nilisikia sauti ya kike pembeni yangu na kunifanya nigeuke nikamkuta dada mmoja akimalizia kumsuta mpenzi wake kwa kidole na kumfanya akasirike.

    “Useng** wako siutaki”

    Jamaa naye alizungumza kwa sauti ya chini chini huku sauti yake ikiwa nzito

    “Useng** gani, mkeo nipo hapa unakazi ya kutazama makalio ya wanawake wengine”

    “Ahaa sasa mwenzako si anayo, kwani kuyatazama mimi nitayachukua si nayaacha kwake”

    “Hembu niachie upuuzi wako, nitaondoka sasa hivi na pesa sinto kutolea”

    “Ahaa basi yaishe mpenzi wangu, ni shetani tu”

    “Endelea kujibu jeuri, uone kama pesa yangu nitakupa”

    “Yaishe honey”

    “Haya”

    Hapo ndipo nikagundua kwamba mwanaume mzima hasira yake imetishiwa kwa kunyimwa kupewa pesa, nikajikuta nikitabasamu tuu kwa mana urembo wa dada huyo umeweka matatani mahusiano ya watu walipo katika eneo hili la huduma kwa wateje. Baada ya dakika tano dada huyo akarudi huku akiwa na tabasamu pana, moja kwa moja akanifwata usawa wangu na kuniambia kwa sauti ya upole na kubembeleza.

    “Bosi amesha ishuhulikia, si una akaunti hapa?”

    “Ndio ninayo ila sijaitumia muda mwingi sasa sijui hata kama itakuwa bado hai au imefungiwa”

    “Hembu nitajie jina lake”

    Nikamtajia jina langu, akaliingiza kwenye kompyuta, kisha akanitazama kwa macho malegevu kiasi yanayo tamanisha ukiwa mshamba unaweza kuhisi labda amekutamani na kukulegezea, ila ndivyo jinsi Mungu alivyo muumba macho yake.

    “Akaunti yako mbona ipo?”

    “Ipo?”

    “Ndio na ina salio la laki moja na ishirini na mbili”

    “Daa afadhali”

    “Pesa tunaziingiza sasa hivi”

    “Sawa, pia nitahitaji kutoa kiasi kidogo”

    “Sawa”

    Dada huyo mwenye weusi wa maji ya kunde, akaanza kuminya batani za kompyuta yake, alipo maliza, akanitingishia kichwa na kuniambia kwamba pesa tayari imesha ingizwa kwenye akaunti yangu. Gafla tukasikia mlio wa risasi ulio tufanya watu wote ndani ya benki kuhamaki, nikageuza macho yangu mlangoni nikamuona askari mmoja akiwa amenguka chini damu zikimwagika, huku majambazi sita wakiingia ndani ya benki wakiwa na bunduki pamoja na mabomu ya kurusha kwa mkono na mmoja kati ya majambazi hawa ni mwanamke na yeye ndio anaye ongoza msafara wa majambazi wezake huku mkononi mwake akiwa ameshika bunduki aina ya AK 47, bila hata ya kuhofia akapiga risasi mbili hewani na kufanya watu wote kulala chini hadi mimi mwenywe.









    Kila mmoja aliyopo kwenye eneo hili hususani ndani ya hii benki, mwili wake uliweza kutetemeka kwa woga, hapakuwa na mtu ambaye anapenda kufa kwa muda huu, hususani mimi ambaye ni masaa machache tu nimetoka kupewa zawadi nono kutoka kwa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

    “Toa pesa wewe malaya”

    Aliongea jambazi mmoja wa kiume huku akipapasa, watu waliokuwa wapepanga foleni ya kueleka katika dirisha la kuweka pesa au kutoa pesa. Jasho likazidi kunimwagika. Mtoto wa kiume ujanga sikuwa nao kusema kweli, japo nina mafunzo tosha ya kupambana na majambazi kama hawa ila hakuna kitu kibaya kwa mwanausalama yoyote dunia, kuwahiwa kushambuliwa, wenyewe kwa lugha yetu tunaita Ambushi.

    Nikatazama jinsi watu wakipapaswa huku majambazi wengine wakiwashika wahudumu wa benki na kuingia nao kwenye vyumba ili waonyeshwe pesaa.

    ‘Natakiwa kufanya kitu’

    Nilizungumza kimoyo moyo huku nikitazama majambazi hawa kwa umakini japo kichwa changu nimekilaza chini na mikono yangu nimeiweka kichani ila usawa wa macho yangu ulinitosha kuweza kuoana jinsi majambazi hawa walivyo simama huku wengine wakiendelea na shuhuli ya kutafuta pesa zilipo wekwa. Nikamuona jambazi mmoja akimfwata dada aliye kuwa ananihudumia, akamtandika kofi zito la shavu.

    “Toa pesa wewee”

    “S..si….si….na mimi”

    Jambazi huyo akamtandika, kitako cha buduki cha tumbo na kumfanya dada hyo kuanguka chini na kutoa mlio mkali wa maumivi.

    “Nyamaza wewe malaya nitakuchangua ubongo”

    Kauli ya jambazi huyo ilinizidi kunitisha, kwani bunduki yake amemuelekezea dada huyo huku akiwa ameikoki vizuri tauyari kwa kufyatua risasi.

    ‘Unapo kuwa peke yako kwenye uvamizi, mfano uvamizi wa benki, super makert na kadhalika, hakikisha kwamba unamuwahi kiongozi wa hilo tukio, ukimpata tu huyo wezake hawato weza kufanya chohcote dhidi yako’

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Maneno hayo ya mwalimu wangu yakajirudia kichwani mwangu kwa kasi ya ajabu na kunipa ujasiri wa haraka ulio nifanya, nimtafute mkuu wao ambaye ni mwanamke, nikamuona akimpitia mtu mmoja baada ya mwingine akimgonga gonga kwa mguu na kutazama kama ana silaha au laa. Taratibu akazidi kunisogelea mimi, na mimi nikajiweka tayari kufanya shambuli la haraka sana kwa maana nina hapa nilipo nina silaha za kutosha. Kitendo cha kunikaribi, ikawa ni moja ya kosa kubwa kwake, kwani kwa sekunde moja niliweza kujigeuza na kurusha teka lililo izoa miguu yake na kuanguka chini huku bunduki yaki ikiwa pembeni, nikampiga kabali, na kunyanyuka naye, na kuwafanya wezake zote kusitisha kile walisho kuwa wakikifanya.

    “Wote silaha zenu wekini chini”

    Nilizungumza kwa kufuko huku bastola niliyo kuwa nimeiweka kiunoni nikiwaelekezea bosi wao kichwani. Majambazi wakabaki wakiwa wameduwaa, nikarudia tena kwa ukali kwamba waweke silaha zao chini lasivyo nina mwaga ubongo mwenzao huyu. Dada huyu akatoa ishara ya vidole akiwaamrisha waweke silaha zao chini, kila mmoja akafanya hivyo.

    “Dany unafanya nini?”

    Sauti ya dada huyu ikanistua sana kwa mana ni sauti ya mtu ambaye ninamjua vizuri tena vizuri sana.

    “ASAMA………!!!”

    Nikataka kumvua kinyago alicho kivaa usoni mwake, ila nikastukia kitu chanye ncha kali kikizama kwenye mbavu zangu za kushoto na kujikuta nikimuachia Asma na mimi nikidondoka chini, hapo ndipo nikaona kisu alicho nichoma nacho kikivuja damu huku kikiwa kiganjani mwake. Majambazi wezak wakaokota bunduki zao kwa haraka. Mmoja wao akataka kunipiga risasi, ila Asma akamzuia kwa haraka.

    “Tuondokeni haraka haraka”

    Asma alizungumza na wakaanza ktoka huku wakiwa wamebeba mabegi yaliyo jaa pesa. Nikajajaribu kiusimam huku mkono mmoja ukiwa umeshika bastola na mwengine umejiziba sehemu niliyo chomwa kisu, nikajikuta nikirudi chini, ila kwa ukakamavu nikafyatua risasi mbili zilizo mpiga jambazi wa mwisho mgongoni na kumuangusha hata kabla hajaufikia mlango, na begi alilo lishika likaangukia pembeni. Wezake hawakuweza kurudi ndani kulichukua begi hilo kwani hali imesha kuwa tete kwa upande wao. Taratibu nikalala chali huku maumivu makali ya kisu nilicho chomwa yakizidi kuongezeka. Watu waliopo karibu yangu wakanyanyuka taratibu baada ya hali kutulia, wakanisogelea huku wakitaka kufahamu hali yangu.

    “Jamani yupo hai tumsaidie mkombozi wetu”

    Jamaa mmoja alizungumza huku akininyanyua kichwa na kukiweka kwenye mapaja yake, watu wakanza kunyanyuka mmoja baada ya mwengine.Kadri muda ulivyo zidi kwenda ndivyo jinsi nilivyo zidi kujisikia vibaya hadi ikafikia hatua macho yangu ninaanza kuyaona yakiingiwa na ukungungu na taratibu giza likatawala na kwa mbali niliyasikia mazungumzo ya watu ambayo sikuyaelewa wala kuyatilia maanani kabisa.

    ***

    Macho yangu nikayafumbua taratibu, kitu cha kwanza kukiona ni taa iliyopo kwenye chumba hichi inayo waka kwa mwanga mweupu. Taratibu nikakigeuza kichwa changu pembeni na kumkuta mama akiwa amekaa kwenye sofa huku mkononi mwake akiwa ameshika simu. Nikajaribu kukichunguza chumba hichi kwa umakini na kugundu kwamba hapa ni hospitali kwani madhari yote yananionyesha kwamba hapa ni hospitali.

    “Mama”

    Niliita kwa sauti ya chini na kumfanya anyanyue kichwa chake, kwa haraka akasimama kwenye sofa na kunifwata hadi kitandani, akaka pemebeni yangu na kunitazama usoni mwangu huku akiwa na tabasamu pana usoni mwake.

    “Dany mwanagu umeamka?”

    “Mmmmm”

    “Ohoo asanye Yesu, vipi unajisikiaje?”

    “Salama”

    Nikataka kukaa ila maumivu makali niliyo yapata kwenye mbavu nikajikuta nikiwa nimelala tena.

    “Usiamke mwanangu utapata maaumivu”

    “Nipo wapi hapa mama?”

    “Upo hospitali mwangu”

    Nikashusha pumzi taratibu huku nikiendelea kutazama eneo la chumba hichi. Kumbe sikuwa nimekosea pale nilipo tambua kwamba hapa ni hospitalini.

    “Nipo hapa tangu lini mama?”

    “Ni siku ya tatu leo, tangu nifike hapa, na tukio la ujambazi lilivyo tokea”

    “Wale maajmbazi walikamatwa?”

    “Ndio waliweza kukamatwa na wewe umepemba vichwa vya habari ukiwa kama shujaa uliye weza kupambana na majambazi”

    “Shujaa, mimi niwe shujaa mama…….!!?”

    Nilizungumza huku nikitabasamu, mama akanyanyuka akafungua pochi yake aliyo iweka juu ya kochi, akatoa gazeti na kurudi, akaka kitandani na kulikunja vizuri. Akanionyesha gazeti hilo la Mwananchi lilio andikwa kwa maandishi makubwa meusi. (MWANA USALAMA AKOMBOA MAMILIONI YA MAPESA BENK YA NNB)

    Chini ya maneno hayo kuna picha yangu, inayo nionyesha picha yangu iliyo patikana kupitia kamera za ulinzi jinsi nilivyo ishika bastola yangu na nikiwa nimemuelekezea jambazi aliye kuwa katika harakati za kukimbia.

    “Ila mama wameandika taarifa hii, si itakuwa ni tatizo kwa kazi yangu?”

    “Hapana sio tatizo, kwa maana unalindwa sana na hapo nje kuana walinzi kutoka katika kitengo chenu cha kazi wakiendelea kuimarisha ulinzi.

    “Ahaa sawa, gari langu umeliona?”

    “Ndio, kila kitu chako kipo salama”

    Malango ukagongwa na mama akanyanyuka na kuelekea kuufungua.

    “Karibu mwanya”

    “Asante mama”

    Mama akaongozana na yule muhudumu wa benki, aliye kuwa akinihudumia kabla ya tukio la uvamizi wa majambazi halijatokea.

    “Habari yako Dany”

    Dada huyo alizungumza huku akiwa ameachia tabasamu pana.

    “Salama tu za kwako”

    “Safi, pole sana mwaya Dany. Yaani siku zote nilikuwa na wasiwasi mkubwa juu yako”

    “Dany huyu binti alikuwa nawe pamoja tangu nafika hapa hospitalini na yeye huwa kila siku jioni anakuja kukutazama”

    “Ahaaa”

    “Naamini sura yangu sio ngeni kwako Dany eheee”

    “Yaa sio ngeni, si yule muhudumu pale benki?”

    “Ndio”

    “Nakukumbuka”

    “Naitwa Rosemary ila wengi wananikatisha wanaita Rose”

    “Ok asante”

    “Dany ngoja niwaache mara moja”

    Mama akanyanyuka na kutoka nje, sikufahamu lengo la yeye kutoka nje na kuniacha na Rose ambaye taratibu akaka kwenye sehemu aliyo kuwa amekaa mama. Ukimya ukatawala kati yangu na Rose sikuwa na kitu cha kuzungumza ziaid ya kutazamana. Rose aliye valia nguo zake za kazi akaendelea kunitazama usoni mwangu, huku akitamani kuzungumza kila ila akashindwa kabisa.

    “Vipi, tumbo lako limepona?”

    “Ndio, sasa hivi lipo vizuri sisikii maumivu”

    “Ahaa pole, ivi wale majambazi walikamatwa?”

    “Yaa walikamatwa, na mmoja wao ni mwanamke, yaani ni dada mzuri sijui kwa nini aliamua kufanya ujambazi”

    “Mmmm”

    “Picha zao ninazo hapa kwenye simu, zimeenea kwenye mitandao ya kijamii”

    “Hembu nizione”

    Akatoa simu yake kwenye kijipochi kidogo na kuanza kuiminya minya kwneye kioo, baada ya sekunde kadhaa akanigeuzia na kunionyesha picha za majambazi hao. Picha ya kwanza ni ya jambazi wa kiume, hata ya pili ila picha ya tatu, ikanifanya kidogo nikae sawa. Hakuwa mwengine zaidi ya Asma. Kusema ukweli ninajionea mapicha picha kwenye maisha haya. Asma anasema Jumaa ni jambazi, na yeye anajiweka ni msichana ambaye ni mnyonge na kila siku anapigwa na Jumaa, ikiwa ana uwezo mkubwa wa kutumia bunduki tena AK47.

    “Mbona sielewi hapa?”

    “Huelewi, huelewi nini Dany?”

    “Ahaa hakuna”

    Sikutaka Rose afahamu ni kitu gani kinacho endelea. Mlango ukafunguliwa pasipo kibishwa hodi, mama akaingia, kisha nyuma yake akafwatia Diana mdogo wangu. Diana alipo niona kitandani kwa haraka akanikimbilia na kunikumbatia kwa furaha.

    “Ohoo kaka Dany, mambo”

    “Poa vipi?”

    “Safi”

    “Dany nimekufanyia suprize, nilitoka kwenda kumpokea mdogo wako amekuja leo”

    Mama alizungumza huku akitutizama kwa furaha. Diana akanikumbatia tena kwa furaha kwani ni miaka kadhaa hatujaonana tango aondoke kueleke masomoni nje ya Tanzania

    “Yaani mama ulipo niambia kwamba kaka Dany amepata tatizo kiroho kilikuwa kina nicheza cheza wee acha tu”

    “Ila sio tatizo kubwa mama alikutisha”

    “Sio tatizo kubwa wakati unajeraha hapo”

    “Si dogo tu”

    “Mmm mama muangalie mwanao, eti jeraha dogo. Mimi tangu sijafunga shule hadi nimeondoka Marekani na kufika hapa alafu unaseme jeraha dogo”

    “Tuyaache hayo, huyo ni rafiki yangu anaitwa Rose. Rose huyo ni mdogo wangu anaitwa Diana”

    “Ohoo nashukuru kukufahamu”

    “Hata wewe pia nakushukuru kukufahamu, Dany ndio wifi yangu nini?”

    Swali la Diana likatufanya sote kukaa kimya huku tukitabasamu.

    “Ohoo nimeshafahamu ukimya pia ni jibu. Ila kaka Dany hapa una chombo aiseee”

    “Diana acha maneno mengi mwanangu”

    Tukaendelea kuzungumza stori nyingi hususani za Diana huko alipo toka masomoni. Ilipo timu saa tatu usiku Rose akaondoka na mimi nikabaki na mama pamoja na Diana.

    Siku zikazidi kwenda na kusonga mbele, baada ya wiki moja nikaruhusiwa kutoka hospitalini na kwa kipindi cha siku nne nyuma mama aliweza kuondoka hospitalini na kurudi Tanga akiwa ameteuliwa kama mkuu mpya wa mkoa wa mji huo. Siku hii ambayo nimeruhusiwa, Rose na Diana waka wapo hospitali, nikaongozana na walinzi kutoka katika kitengo cha NSS. Wakatupeleka hadi kwenye jumba langu nililo kabidhiwa na raisi kama zawadi. Diana na Rose hawakuamini kwamba ninaweza kumiliki jumba kubwa kama hili.

    “Ina maana Dany jumba hilo lote ni lako?”

    Rose aliniuliza huku akitizama usoni, cha kushukuru Mungu, ninaweza kutembea mwenyewe na kidonda kimesha kauka, japo kina maumivu kwa mbali.

    “Ndio”

    “Kaka Dany hii nyumba umeitolea wapi?”

    “Kwani nyumba mdogo wangu zinatolewa wapi?”

    “Ahaa unaweza ukawa umepanga ukasema ni yako”

    “Kweli ni yangu”

    Nikaka sebleni huku nikiwa ninamtazama Rose ambaye kwa leo amekuja amevalia mavazi ya nyumbani. Uzuri wake unaendana kabisa na jina lake.

    “Nyumba yako ni bubu, haina hata chakula cha kupika”

    “Nikupe kadi ya malipo muende Mlimani City mukanunue vyakula”

    “Utakuwa umefanya la maana, nataka kuendesha hiyo gari lako hapo nje”

    “Sawa, kwenye ile suruali yangu ndani ya hilo begi hapo kuna waletu yangu, nitolee”

    Diana akafanya kama nilivyo muagiza, akaitoa waleti yangu na kunikabidhi, nikatoa kadi yangu ya malipo ambayo huwa nina itumia kulipia vitu ninavyo nunu kwa baadhi ya maeneo yanayo tumia huduma hiyo ya malipo ya kadi. Nikamkabidhi Diana kadi, akaitazama kwa sekunde kadhaa, kisha akaanza kutangulia kutoka na kumuacha Rose akinyanyuka kwenye sofa taratibu, Diana alipo toka nje, kwa haraka Rose akanifwata nilipo kaa, akainama kidogo na kuanza kuninyonya midomo yangu kwa hisia kali.

    “I love you Dany”

    Rose alizungumza huku akiniachia na kukimbilia nje akiwa amejawa na furaha, Diana akaingia tena ndani.

    “Dany gari lako mbona silielewi?”

    “Ulielewi nini?”

    “Njoo bwana unielekeze”

    Nikanyanyuka taratibu na kutoka nje, nikafungua mlango wa gari na kukuta likiwa linawaka.

    “Huelewi nini hapa?”

    “Sasa nimewasha nalirudisha nyuma halirudi?”

    “Sasa Diana utarudishaje gari nyumba wakati lipo kwenye hand brake?”

    “Aahaa ushamba jamani”

    Diana na Rose wakaingia kwenye gari, Diana akageuza gari taratibu na kuondoka, Bob akawafungulia geti gari likatoka, kisha Bob akalifunga geti na kuanza kunifwata kwa mwendo wa haraka, akanisalimia kwa heshima.

    “Vipi”

    “Bosi kuna mzigo wako uliletwa juzi na dereva bodaboa mmoja”

    “Upo wapi?”

    “Nimeuacha kule chumbani kwangu, ngoja nikauchukue”

    Bob akakimbie hadi kwenye nyumba ya pembeni iliyopo katika uzio wa nyumba yangu, baada ya dakika kama mbili akarudi akiwa ameshika bahasha ya kaki. Akanikabidhi na nikamruhusu kuondoka, bahasha hii iliyo fungwa na gundi na kuandikwa maandishi makubwa kwa rangi ya blue, nikaichunguza vizuri huku nikitingisha, nikagundua ndani kuna simu. Nikaichana bahasha kiungalifu na kweli ndani nikakuta simu aina ya Samsung J7 pamoja na kijikaratasi kidogo. Nikakisoma kikaratasi hicho kilicho nipa maelezo ya kuwasha simu hiyo na kuelekea upande wa video, nikafanya hivyo na simu ilipo waka nikafungua upande wa video na kukuta video moja tu iliyo andikwa maandishi madoho Me and Dany.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Kwa shauku kubwa nikaifungua huku nikihitaji kufahamu ni kitu gani kilichopo ndani ya video hiyo, sikuamini macho yangu nilipo jiona mimi na Yudia tukifanya mapenzi sebleni kwa mama yangu, mwili na mikono vyote nikajikuta vikinitetemeka, nikajaribu kuipeleka mbele huko ndipo nilipo kutana na video ya Yudia akizungumza.

    “DANY FANYA ASMA ATOROKE JELA, LA SIVYO MAMA YAKO, MDOGO WAKO WATAKUWA MIKONONI MWANGU ISITOSHE PIA HII VIEDO NITAISAMBAZA HADI KWA RAISI WAKO ALIYE KUPA HIVYO NYUMBA”

    Nikajikuta nikkikaa chini mimi mwenywe hadi Bob akastuka na kuanza kunifwata nilipo kufahamu ni kitu gani kimenipata.











    “Bosi una tatizo”

    Bob alizungumza huku akinikaribi, nikamzuia asinisogelee kwa kumnyooshea mkono. Taratibu nikanyanyuka huku akinitazama. Kwa mwendo wa taratibu nikaingia ndani, moja kwa moja nikapandisha gorofani na kuingia katika chumba changu. Nikaka kitandani na kuyarudia kuitazama video hii, nikahisi kichwa kinataka kupasuka kwa mawazo.

    Nikiwa katika dibwi la mawazo simu hii niliyo letewa ikaita, nikatazamana kukuta namba tu isiyo andikwa jina. Taratibu nikakipitisha kidole ngumba kwenye kioo cha simu hii kisha nikaiweka sikioni.

    “Haloo Dany, inaonekana unashangaa, nimepajuaje kwako”

    Niliisikia sauti ya Yudia akizungumza kwa dharau huku sauti yake akiwa ameilegeza kimahaba.

    “Unataka nini kwangu?”

    “Ahaaa….ahahahaaaaa unauliza ninahitaji nini kwako, wakati nimesha kupa maagizo, au unahitaji nikuonyeshe kitu ambacho kitakufanya uweze kujua ni nini ninacho kihitaji?”

    Nikajikuta nikisimama huku mapigo ya moyo yakinienda kasi sana. Hata kujibu, nikajikuta ninashindwa kutokana na kigugumizi kilicho ambatana na hasira kali sana.

    “Ohooo Dany, kwa nini umefanya haya yote, natambua kwamba upo chumbani kwako na ninakuona kama huuamini hilo nenda sebleni, washa Tv yako na utajua ni nini nina maanisha”

    Kwa haraka nikatola chumbani kwangu huku nikiwa natazama kila kona ya kuta za nyumba yangu kuona kama kuna kamera ila, sikuona chochote. Nikafika sebleni, nikaitafuta rimoti ya Tv kwa haraka nikaiona ikiwa juu ya meza, nikaichukua na kuwasha Tv. Macho yakazidi kunitoka baada ya kumuona Yudia amekaa kwenye kiti huku nyuma yake wakiwemo wanaume wawili walio zifisha sura zao na mikononi mwao kila mmoja ana bunduki aina ya AK47.

    “Unaniona sasa?”

    Niambie umetega nini nyumbani kwangu?”

    “Ohoooo Dany Dany usikasirike mpenzi, wewe bado hujapona vizuri. Kazi niliyo kupa utaifanya ua hito ifanya?”

    “Siwezi kufanya kazi ya Mbwa, Malaya, Changudoa kama wewe”

    Niliachia matusi yote hayo huku nikiendelea kumkazia macho Yudia, aliye tabasamu kisha akanyoosha mkono wa ishara kwamtu aliyopo nyuma ya kamera yake. Kamera taratibu ikageuka, moyo ukazidi kwenda kasi baada ya kuanza kumuona Rose, karera haikuishia hapo nikamuona na Diana wakiwa amefungwa kamba miili yao, huku machoni wakiwa wamefungwa vitamba vyeusi wakilia kwa uchungu sana. Nikajikuta machozi ya hasira yakianza kunimwagika kwani ni muda mchache sana wametoka nyumbani kwangu hapa wakiwa wanakwenda Mlimani City.

    “Huyu naona ni ndio Malaya atatangulia kuzimu, kabla ya mdogo wako kwenda”

    Niliisikia Sauti ya Yudia akizungumza hivyo huku bunduki akiikoki.

    “Yudia ngoja kwanzaaaaa”

    Nilizungumza kwa uchungu huku nikiendelea kulia, maisha yangu tayari ninaona yameingia kwenye mgogoro mkubwa wa maisha mdogo wangu, Rose ambao wote hawana makosa wameingia kwenye mikono ya adui.

    “Nakusikiliza Dany, mtoto wa kiume kulia sio jambo la busara, ukitegemea unazungumza na mtoto wakike”

    “Ok ok ok, niambie chochote nitafanya ila si kumuua mdogo wangu na Rose”

    “Ohoo, ok. Nimekuagiza namuhitaji Asma hapa, humjui Asma kwangu ni nani hadi ukathubutu kuvuruga mipango yangu na siku zote huwa sihitaji mtu aweze kuvuruga mipango yangu”

    “Ok niambie ni wapi alipo niweze kumfwata”

    “Hiyo ni kazi yako, nakupa masaa mawili nitakupigia kutambua ni wapi alipo Asma”

    Yudia akakata simu, nikamuona anavyo msogelea Diana mdogo wangu, akamshika kichwa chake na kumgeuza geuza huku akimtazama kwa dharau, kisha akampiga busu la mdomoni na kamera hiyo ikazimwa na kufanya kioo cha Tv yangu kutawaliwa na rangi nyeusi.

    Taratibu nikajikuta nikiwa nimekaa kwenye sofa, kichwa kikizidi kuniuma, moyo ukiwa haujatulia kabisa, machozi yanazidi kunimwagika.

    ‘Lazima niwaondoe hawa washenzi wote kwa mkono wangu mwenyewe’

    Nilizungumza huku nikisimama, nikafungua begi langu nililo kuja nalo kutoka hospitalini, nikatoa bastola zangu ambazo nililetewa na mmoja wa wafanyakazi katika kitengo changu. Sikuwa na haja ya kuvaa nguo au kubakidi, kijikoti chepsi nilicho kivaa juu ya tisheti nyeusi, nikaona kinanifaa kabisa katika kuanza kuifanya kazi hiyo.

    Nikachomeka bastola moja kwenye soksi ya mguu wa kulia, kisha nikaichomeka ya pili katika mguu wa kushoto kisha nikafwata kuichomkea nyingine kiunoni kwa nyuma na nyingine nikaificha chini ya kochi. Ujumbe wa meseji ukaingia kwenye simu hii, nikaufungua kwa haraka na kuusoma.

    (HAPO ULIPO IWEKA HIYO BASTOLA SIO SALAMA)

    Ujumbe huu unatako wa Yudia, nikastuka sana, nikasimama sebleni na kauza kutazama ni wapi kulipo fichwa kamera zinazo onyesha kila ninacho kifanya katika nyumba yangu. Nikajitahi kadri ya uwezo wangu kutafuta kamera hizo ambazo huwa ni ndogo sana na wala si rahisi kwa mtu kuweza kufahamu ila ikaingia meseji nyingine iliyo nifanya kusitisha zoezi hilo na kuisoma.

    (UNAPOTEZA MUDA LIMEBAKI LISAA MOJA NA NUSU)

    Nikashusha pumzi huku jasho likinimwagika usoni mwangu, nikatoka nje. Bob akaniuliza swali ambalo wala sikulisikia vizuri kichwani mwangu zaidi ya kufungua geti na kutoka. Nikatembea hatua kadhaa hadi barabarani. Nikasimamisha muendesha pikipiki mmoja niliye muelekeza kunipeleka hadi katika jengo la ofisi yetu. Njia nzima nikawa ninawaza ni nini cha kufanya, ili niweze kujitoa mikononi mwa Yudia ambaye sasa amsaha tangaza na kuudhihirisha ukatili wake na ugaidi wake, kwa maana sikujua ni muda wagi Rose na Diana wanaweza kukamatawa. Nikafika katika jengo la ofisi yetu, nikashuka kwenye bodaboda kwa haraka na kuanza kualekea ndani.

    “Kaka kaka kaaa”

    Niliisikia sauti ya bodaboda huyo akiniita na kunifanya kusimama huku nikigeuka na kumtazama kwa macho makali.

    “Pesa yangu hujanilipa na umeshuka tu na kukimbilia huko ndani”

    “Sina pesa yako kwa sasa”

    “Unasemaje wewe”

    “Nimekuambia sina pesa yako kwa sasa, fanya uondoke mbele ya macho yangu kabla sijakuvuruga”

    “Kum**ako wewe mseng*** unahisi hii pikipiki amenunua basha wako eheeee?”

    Dereva pikipiki alizungumza huku akiporomosha matusi mazito na kunisukuma nyuma, kwa hasira nikarusha ngumi iliyo mpata usoni mwake na kumuangusha chini, akanyanyua sura yake na kunitazama kwa mshangao huku damu zikimwagika puani mwake. Akataka kunyanyuka kwa haraka nikachomoa bastola na kumuelekezea ya uso.

    “Danyyyyyy”

    Nilisikia sauti ya kike nyuma yangu, nikageuka na kumkuta Lucy binti niliye msaidia kumuokoa katika ajali ya moto katika jumba lao la kifahari, akiwa ameuziba mdomo wake kwa mshangao. Nikamtazama dereva bodaboda aliye nywea kama sio yeye aliye leta kibesi juu yangu.

    “Sina pesa yako”

    Nilizungumza huku nikirudisha bastola yangu kiunoni na kugeuka na kuanza kutembea kuelekea kwenye lifti ya kupanda gorofani kwa jengo hili zilipo ofisi ninazo fanyia kazi. Nikageuka nyuma na kumuona Lucy akimalizia kumkabidhi pesa dereva bodaboda niliye mpiga kisha akaanza kunifwata mimi kwa kasi. Nikasimama mbele ya lifti hii inayo onyesha inapanda juu na kunilazimu kuisubiria kwa muda.

    “Dany”

    Lucy aliniita huku akisimama pembeni yangu akihema kwa wasiwasi, sikuwa na sura ya kutabasamu wala kufurahi, sura yangu safari hii imejaa hasira na uchungu mwingi ambao hakuna mtu yoyote anaye ufahamu.

    “Nimekutafuta kwa wiki kadhaa sasa, huku nikija hapa ofisini kwako kukuulizia, ila ninaambiwa haupo”

    “Unahitaji nini?”

    “Ahaa…ahaaa nili….nilikuwa nataka kukuomba msamaha”

    Kwa jicho kali nililo mtazama nalo Lucy, akajikuta akiwa ameinamisha kichwa chake chini huku akitetemeka kwa woga. Lifti ikafunguka, nikaingia ndani, Lucy akajifikiria kwa sekunde kadhaa kisha na yeye akaingia. Milango ya lifti hii ikajifunga na taratibu ikaanza kwenda juu, sikuzungumza kitu chochote kwa Lucy, moyo, akili na nafsi kwa wakati havifikirii mwanamke yoyote zaidi ya Diana mdogo wangu, hata Rose hana umuhimu mkubwa sana kwangu.

    Hadi lifti inafunguka tukiwa gorofa ya nne, Lucy hakuzungumza kitu cha aina yoyote. Nikaanza kutembea kwenye kordo ya vyumba vya ofisi zetu, nikapishana na wafanyakazi wezangu walio jaribu kunisalimia ila sikuitika kabisa. Moja kwa moja nikaingia katika ofisi ya K2, na kukutana na sectretary wake.

    “Mambo Dany”

    “Bosi yupo wapi?”

    “Ana mgeni subiri hapo kwenye viti”

    Sikutaka kusubiri kama alivyo zungumza sectretary wa K2, nikausukuma mlango kwa nguvu na ukafunguka. Nikamkuta K2 na Luka wakiwa wanazungumza, wote walipo niona macho yao yakawatoka kwa maana nina amini hakuna aliye tegemea kuniona eneo hili kwa muda na saa kama hii.

    “Dany”

    K2 alizungumza huku akitabasamu, nikamtazama kwa macho makali yaliyo lifuta tabsamu lake usoni, kisha nikayaamishia macho kwa Luka, aliye jaribu kunyanyuka kwenye kiti chake. Nikamrudisha kwenye kiti chake kwa kumpiga teke la kifuani na kumfaya K2 kushangaa huku macho yakimtoka. Nikaichomoa bastola yangu na kumuwahi Luka, nikamuwekea mdomo wa bastola kwenye kichwa chake huku nikiwa nimekwida shati lake.

    “Wewe mwana haramu, yupo wapi mdogo wangu”

    Jinsi swali nilivyo liuliza ndivyo jinsi liliyo toka na ksisitizo wa sauti nzito.

    “Si…si sijui mimi?”

    “Nitakuua na sihitaji kusikia hiyo kauli”

    “Kwe…..kweeli Dany”

    “Dany STOP heshimu ofisi yangu”

    Nikamuacha Luka kwa haraka na kumnyooshea K2 bastola ya uso huku nikiendelea kumkazia macho, sikuwa Dany yule waliye zoea kuniona mchangamfu, mpole na mcheshi kwao.

    “WHO ARE YOU………!!!?”(WEWE NI NANI………!!!!?)

    “AM YOUR BOSS”(MIMI NI BOSI WAKO)

    K2 alinijibu huku akinyanyuka pasipo kuiogopa hasira yangu na macho yake akawa amenikazia.

    “Malaya kama wewe, unajiita bosi eheee”

    “Dany linda heshima ya kitengo hichi”

    “Heshimwa, heshima kwa kufirw*** mkund***. Eheeeeee!!”

    K2 akabaki akiwa amenikodolea macho, sikuogopa kupeteza kazi yangu, ila ninacho kihitaji kwa sasa ni mdogo wangu Diana kuwa salama. Nikaishika bastola yangu vizuri huku hasira ikizidi kunitemesha mwili mzima. Simu mfukoni mwangu ikaanza kuita, kwa mkono wa kushoto nikaitoa na kuitazama na kukuta ni Yudia ndio anaye piga.

    “Dany…..Mbona una haribu sasa. Kwa kosa hilo la kumtukana K2, basi huyu Rose atalipaa”

    Nikasikia mlio wa bunduki, kisha ukafwatia ukelele mkali wa kilio cha maumivu kutoka kwa Rose. Nikamtazama K2 na kumuona akitabasamu huku akinipandisha na kunishusha.

    “Huyu nimempiga risasi ya paja lake lililo nona, ukiendelea, basi nitafwata kichwa chake, fanya nilicho kuagiza”

    Simu ikakatwa, nikajikuta nikizidi kupandwa na hasira, nikatamani kufyatua risasi na kummaliza K2 kabisa, ila ninashindwa kufanya hivyo kwani nikifanya hivyo basi Diana na Rose ninawakosa.

    “Dany unayakumbuka maneno yangu pale ikulu. Enjoy the Game”

    K2 alizungumza huku akikaa kwenye kiti chake cha kuzunguka, nikamtazama Luka naye, akatabasamu huku akinitazama juu hadi chini kama wafanyavyo watoto wa kike. Taratibu nikaishusha bastola yangu na kugeuka na kuanza kuufwata mlango wa kutoke.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Dany kumbukaa, hii ni Tanzania, country of peacefull”

    Maneno ya K2 yakazidi kunikereketa, nikafungua mlango na kuufunga kwa nguvu hadi secretary wake akastuka.

    “Dany nini tatizo?”

    “Hayakuhusu”

    Jibu langu liliweza kumtosha secretary wa K2, nikatoka ofisini kwao na moja kwa moja nikaeleke hadi kwenye ofisi yetu. Nikawakuta wafanyakazi wezangu wanne wakiwa wanaendelea kufanya kazi zao.

    “Dany vipi?”

    Nikapitiliza hadi kwenye meza yangu, nikavuta kiti na kukaa, nikashusha pumzi nyingi kujitahidi hasira yangu kuweza kushuka taratibu.

    “Dany kaka vipi una tatizo?”

    Nikatingisha kichwa sikutaka kuzungumza chochote kwa maana nimegundua hii simu imetegwa vinasa sauti na chochote ninacho kizungumza lazima Yudia na watu wake kuweza kusikia ninacho kisema. Rafiki yangu mmoja akagundua lugha yangu ya ukimya, taratibu akaanza kunisogelea na kukaa karibu yangu. Nikaitoa simu na kuiweka mezani, hata kabla ya huyu rafiki yangu kuishika simu ikaita na kujikuta sote wawili tukiitazama. Nikaipokea na kuongeza sauti ya kusikia hata aliyopo pembeni yangu anaweza kusikia kinachozungumza na mtu wa upande wa pili.

    “Dany muda umeisha, nipo ripoti”

    “Sijafahamu alipo?”

    “Ohoo ujinga wako ndio umekufanya usifahamu alipo Asma, basi ngoja nimtangulize Rose kuzimu”

    Nikasikia mlio wa Risasi, na kuisikia sauti ya Diana akilia kwa uchungu.

    “Kaka Dany….wame…muuaaa wifiiiii”

    Nikaisikia sauti ya Diana akizungumza huku analia kwa uchungu sana, nikajikuta machozi yakinimwagika, hadi Khalid aliye kaa pembeni yangu akajawa na huzuni kubwa usoni mwake.











    Watu wote ndani ya ofisi wakatugeukia na kututazama mimi na Khalid, naamini ukimya wao waliweza kusikia mlio wa risasi katika simu yangu na sauti ya msichana akilia.

    “Dan……”

    Khalid akamkatisha Yohana kwa ishara ya mkono na kumuambia anyamaze na asizungumze chochote.

    “Nakupa lisaa jengine mbele ukifanya mchezo, huyu mdogo wako naye anaondoka duniani”

    Simu ikakatwa na kujikuta nikishusha pumzi nyingi nikiwa sifahamu nifanye nini kwa wakati huu. Marafiki zangu hawa wakajisogeza karibu yetu huku kila mmoja akihitaji kuweza kufahamu. Khalid akaanza kuzungumza kwa lugha ya vitendo na kuwaelezea tukio zima na kwamba simu hii hapa mezani ina vinasa sauti maalumu ambavyo tukizungumza tu basi majambazi walio mshikilia mdogo wangu watamuua. Kila mmoja mmoja akajitoa na kuahidi kunisaidia katika hili. Yohana akaleta laptop yake na kuiweka mezani kwangu. Akaitazama namba kisha akaiandika kwenye laptop, akaanza kuitafuta kwa kutumia Satelait, kila mmoja macho yake yapo kwenye kioo cha Laptop. Baada ya dakika mbili alamua nyekundu ikatokea kwenye kioo huku ikiwa na ramani ya kutuielekeza ni wapi Yudia alipo na kundi lake. Uzuri ni hapa hapa Dar es Salaam.

    Nikachukua karatasi na kuiweka mezani, kisha nikachukua na peni na kuandika maelezo yanayo wauliza wezangu ni nani anafahamu alipo Asma jambazi aliye kamatwa wiki moja iliyo pita.

    Kila mtu akatingisha kichwa na kudai hafahamu ni wapi alipoa.

    ‘Dany cha msingi ni kumuokoa mdogo wako’

    Yohana aliandika maandishi hayo kwenye laptop, nikatingisha kichwa na mimi nikaandika kwneye karatasi.

    ‘Hilo ndio jambo la muhimu, ila K2 asifahamu, baada ya hii kazi nitawaeleza kila kitu kinacho endelea kwa K2’

    Kila mmoja akanitazama usoni akiwa na hamu ya kutamani kusikia ni kitu gani ambacho ninakifahamu juu ya K2. Nikasimama nikaichomoa bastola ya kiunoni mwangu, nikatoa magazine na kukuta risasi za kutosha nikaichomeka magazine tena, nikaiweka simu mfukoni.

    Nikawapa ishara ya kutoka ofisini hapo mmoja baada ya mwengine ili kuto kustukiwa na mtu wa aina yoyote hata kama K2 akituona. Nikaanza kutembea kwenye kordo, nikafika sehemu ya lifti, nikafungua, nikaingia na kushuka chini. Nikamkuta Lucy akiwa amesimama sehemu ya maegesho ya magari lengo lake kubwa naamini kwamba ana nisubiria mimi.

    “Dany”

    Aliniita huku akinifwata, nikasimama na kumsubiria hadi sehemu nilipo simama. Akanitazama kwa macho ya aibu.

    “Zungumza nina haraka”

    “Dany ninaomba tuweze kutoka Dinner?”

    “Sina muda”

    “Hata kama ni kesho au kesho kuwa”

    “Baada ya hapo?”

    Nilimuuliza Lucy swali hilo huku nikiwa na hasira, akabaki akinitazama usoni mwangu kwa maana hakutarajia kukutana na swali zito kama hilo.

    “Sikia nenda nyumbani kwa sasa sina muda wa kuzungumza”

    Yohana, Khalid na Thomas wakatoka na kunifwata hadi sehemu nilipo, kwa ishara Khalid akaniombe peneni kidogo, nikasogea, akaninyooshea mkono akiniomba simu yangu, nikaitoa na kumpa. Akaitazama na kuibandika kijikifaa kidogo nyuma ya simu ambacho sikufahamu mara moja kazi yake ni nini.

    “Sasa tunaweza kuzungumza na sio kuwa mambubu”

    Khalid alizungumza huku akinikabizi simu wote watatu wakelekea kwenye gari Yohana aina ya BMB X3.

    “Sikia Lucy, leo nipo bize nitafute siku nyingine, tunaweza kupata chakula cha usiku pamoja”

    Nikamuacha Lucy hata kabla hajajibu chochote, nikaingia kwenye gari na kukaa siti ya mbele. Yohana anakwasha gari na tukaondoka eneo la ofisini.

    “Dany hicho kifaa kinasaidia kukata sauti pamoja na kuipoteza muelekeo wako”

    “Kivipi?”

    “Kupitia hiyo simu wanaweza kufahamu kila sehemu unapo kwenda jambo ambalo ni baya sana kwetu sisi. Iila kwa kifaa hicho kidogo, kule watakuona unaelekea eneo jengine wakati ndio hivi tunawafwata kwa sasa”

    “Duu asante sana ndugu”

    “Usijali”

    “Hivi si kila mtu ana bastola yake”

    “Yaa mimi ninazo mbili”

    “Mimi pia nna mbili”

    “Mimi nina tatu”

    “Asanteni waskaji zangu, sinto wasahau katika hili mulilo nitendea”

    “Usijali kaka”

    Tukafika maeneo ya Kimara mwisho, tuakunja kushoto na kuelekea mbele kabisa ameneo ya majumba mapye. Tukafika kwenye moja ya jumba la gorofa ambalo halijamalizwa kujengwa, ila lizezungushiwa ukuta. Ramani tunayo ifwata ikatuonyesha Yudia na watu wake wapo hapo. Yohana akatupa kila mmoja saa maalumu ambazo tunazitumia pale tunapo kwenda kufanya mashambulizi sehemu maalumu na huwa tunategesha muda sahihi wa kuweza kufanya tukio zima.

    “Jamani dakika tano zinatosha”

    “Kweli”

    “Tuzifunge viwambo bastola zetu”

    “Mimi sina”

    Yona akanipa kiwambo kimoja, nikakifunga mbele ya bastola yangu kisha tukashuka wote wanne. Saa zetu tukazitega muda sawa, na kazi ya kuparamia uzio wa jumba hili lililo kaa kama gofu ikaanza. Kutokana sote tulikuwa chuo kimoja na mafunzo tulipata sawa, japo kila mmoja ana fani yake, ila zoezi la kupanda ukuta kwetu ni dogo sana. Tulipo hakikisha kwamba tumefika juu ya kuta hizi tukajirusha kwa ndani taratibu. Tukaona mwanga wa taa kwenye moja ya chumba. Tukajigawa wawili wawili na taratibu tukaanza kuingia ndani ya jumba hili, huku mimi na Khalidi, tukisonga mbele kilipo chumba chenye mwanga wa taa.

    Taratibu nikachungulia kwenye chumba hicho, nikamuona mwanaume mmoja, akimtazama Diana aliye fungwa kamba na kuwekwa kitandani. Mwanaume huyo mwenye mandevu mengi akaanza kuvua shati lake huku akimfwata Diana.

    Nikataka kufyatua risasi ila Khalid akanizuia na kunimba niwe mvumilvu kwa maana hili eneo tulilopo hapa ni dirishani isitoshe kuna nondo. Tukazunguka upande wa pili, tukawakuta vijana wawili wakivuta sigara, hapakuwa na maswala ya kuulizana, nikafyatua risasi kadhaa zilizo waangusha vijana hao chini. Uzuri wa kiwambo cha kuzia sauti ya risasi inapo toka, huwa mtu hata akiwa chumba kingine hawezi kusiki chochote labda kishindo cha mtu kuanguka. Tukaanza kuingia kwa umakini mkubwa huku tukitzama kila kona ya jengo hili japo kuna mwanga hafifu wa mbalamwezi unao ingia kupitia madirishani na chumba alichopo Diana ndio kina mwanga wa taa ya chemli. Tukafika katika chumba alipi Diana na kulikuta jitu hilo kikiwa tayari limepanda kitandani na kutaka kutekeleza ubakaji wake kwa mdogo wangu kipenzi.

    Sikutaka kulipiga risasi ili life haraka, nikicho kifaya ni kumuwahi kwa kasi, kisha nikampiga kabala moja takatifu, nikihakikisha kwamba hafurukuti wala kufanya chochote, Khalidi akaanza kumfungua Diana kamba huku nami nikiendelea kukaza mkono wangu wa kulia kuhakikisha kwamba nina muuma huyu jamaa kwa maumivu ya shingo yake kuitenganisha na pumzi inayo ingia. Jamaa likajaribu kufurukuta ila akashindwa kwa maana kabala yangu imemzidi nguvu na taratibu akaanza kulegea. Nikamuachia kidogo ili aheme na kupata utamu wa pumzi unao ingia puani kwake.

    “Yupo wapi Yudia?”

    “Siju…..”

    Nikamkaba kwa nguvu tena zaidi ya mara ya kwanza, likaanza kuomba nimuachie atazungumza.

    “Yupo wapi?”

    “Ametoka na maiti ya msichana waliye muua”

    Diana alibaki pembeni akiwa amenitolea macho huku analia, Khalidi naye akawa anatazama jinsi ninavyo mminya jamaa huyu. Picha ya Rose ikanijia kichwani mwake, nikakumbuka ukaribu wake wote ambao alifanya juu yangu na leo wamemuua. Sikuona haja ya jitu hili kuendelea kuishi dunia, nikamvunja shingo yake kwa nguvu na kuhakikisha kwamba imevunjika nikakigeuza kichwa chake hadi sura ikawa nyumba na kichogo kikawa mbele.

    Diana akanikumbatia kwa nguvu huku akilia kwa uchungu. Wakaingia Yohana na Thomas wakiwa wanamwagikwa na jasho.

    “Jamani tuondokeni kazi imesha kwisha”

    “Poa”

    Nikamshika Diana mkono tukatoka ndani humu, huku tukiwa makini sana, Thomas na Khalid wakawahi kuruka ukuta na kushuka upande wa pili tulipo acha gari. Nikamnyanyua Diana na yeye akauparamia ukuta akapokelewa upande wa pili kisha, mimi na Yohana tukapanda na kuruka upande wa pili. Tukaingai kwenye gari na kuondoka.

    “Wamekuumiza mahali?”

    “Hapana kaka, ila wamemuua Rose”

    “Ohoo Mungu wangu, hawa watu ni wakatili sana ehee?”

    “Ndio”

    Diana alilia huku akijifuta machozi.

    “Walimpiga risasi za wapi hadi ukaamini kwamba amekufa?”

    Yohana aliuliza huku akiendelea kuendesha gari.

    “Mara ya kwanza alimpiga risasi ya paja, kisha mara ya pili wakampiga risasi ya kifuani”

    “Mmmmm, Dany hivi hawa watakuwa ndio wale Al-Shabab mulio wadhibiti Tanga?”

    “Nahisi kaka”

    “Isee munabidi kuwa makini sana kwa mana mtandao wao utakuwa ni mkubwa sana”

    “Kweli”

    “Dogo baada ya huyo Rose kupigwa risasi za kifua alitokwa na damu?”

    Swali la Thomas likamfanya Diana kunyamaza kama sekunde hamsini hivi akifikiria kitu kisha akajibu.

    “Hapana hakutoka damu hata kidogo”

    “Mmmm”

    Yohana aliguna hata mimi mwenyewe nikaanza kujiuliza maswali kadhaa kichwani mwangu.

    “Baada ya kupigwa risasi ya paja ilikuwaje?”

    “Walimtoa chumbanii na kumrudisha baada ya nusu saa, ila nakumbuka alifungwa bandeji”

    “Ahaa Dany huu ni mchezo hapa, huyo binti ni muhusika naye”

    “Wifi yangu hawezi kuwa muhusika, wamemuua tu jamani”

    Diana alizungumza pasipo kujua ni nini kinacho endelea, sikuwa na chakujibu zaidi ya kuwa kimya nikimtafakari Rose ambaye naye kwa sasa amekuwa ni msaliti.

    Kumbukumbu ya tukio la benki ikaanza kunijia taratibu kichwani mwangu, nikakumbuka jinsi jambazi mmoja alivyo mpiga kitako cha bunduki Rose tumboni kwa ubishi wake.

    Nikiwa katika dibwi la mawazo, nikaliona gari langu nililo pewa na raisi tukipishana lalo maeneo ya Ubungo maji.

    “Kaka Dany gari lake si lile, lile”

    Kauli ya Diana ikamfanya Yohana kupunguza mwendo, kila mmoja akatazama gari langu linalo kwenda kwa mwendo wa kasi likitokea mataa, ubaya ni kwamba sehemu tuliyopo hatuwezi kugeuza kutokana tayari tupo kwenye foleni.

    “Dany una gari kali vile kaka?”

    “Ndio ndugu”

    “Aiseee”

    “Tulifwateni nini?”

    “Haina haja”

    “Kwa nini unazungumza hivyo Dany”

    “Nitajua ni wapi kwa kulipata”

    Moja kwa moja tukaelekea nyumbani kwa Yohana, maeneo ya Manzese. Mke wake akatukaribisha huku akiwa anashangaa wingi wa wageni kwa maana tumefika pasipo taarifa. Kila mmoja akaandaliwa juisi yake huku Diana akielekezwa bafuni na mke wa Yohana.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Ehee Dany tuambie juu ya K2”

    Nikashusha pumzi huku nikiwatazama rafiki zangu hawa walio nisaidia katika zoaezi la kumuokoa Diana kisha nikaanza kuzungumza taratibu.

    “K2 ni msaliti”

    Wote wakastuka wakanikazia macho wakiwa hawaamini kitu nilicho kizungumza.

    “Nyuso zenu zinaonyesha kwamba hamuamini ninacho kizungumza ila huo ndio ukweli wenyewe”

    “Wee K2 huyu ninaye mjua mimi au laa?”

    “Huyo huyo, cha kushangaza zaidi yeye ndio mmiliki wa mtando mzima huu wa majambazi walio mteka Diana na wao ndio watu wali uvamia msafara wa raisi tukiwa Tanga”

    Nikamsikia mmoja mmoja akishusha pumzi nyingi, kwa maana taarifa ninazo zitoa kwao ni nzito na zinatisha kwa maana wote kati yetu hususani wezangu wanamuogopa sana K2.

    “Dany acha kututania mskaji?”

    “Huo ndio ukweli, wafusi wake ni Kukas yule mkurya pamoja na Lattifa japo sijambaini katika hili”

    “Ahaaa”

    “Ndio”

    “Mpango wao ni kumuangusha raisi madarakani, ila kuna sehemu ampapo wanapata msaada unao wapa kiburi na kwenda kinyume na serikali”

    “Jamani hii kazi siku si nyingi mimi nitaiacha”

    Yohana alizungumza huku akiweka glasi ya juisi mezani, kila mmoja alionekana kuchoshwa na taarifa hizi. Kabla sijazungumza chochote simu ikaita, taratibu nikaitoa mfukoni mwangu wote wakanitazama, kwa ishara Yohana akaniomba niipokee simu hiyo kwa maana ninaitazama kwenye kioo chake pasipo kuipokea. Taratibu nikaipokea na kuiweka simu sikioni mwangu.

    “Dany Dany Dany, umevuka mipaka sasa. Nakuhakikishia ninakwenda Tanga kuitoa roho ya mama yako na utanijua kwamba mimi ni Yudia. Umeniulia baba yangu Meya nikakuvumilia sasa umeniulia hadi kaka yangu, leo ni lazima mama yako mauti yamkute”

    Yudia alizungumza kwa sauti ya ukali na kukata simu pasipo mimi kuzungumza kitu cha aina yoyote, wasiwasi mwingi ukanijaa moyoni mwangu.

    “Nani simu yake ina vocha”

    Thomas akawa wa kwanza kunipatia simu yake, kwa haraka huku mikono ikinicheza cheza kwa woga na kuchanganyikiwa nikaanza kuingiza namba za mama kwenye simu hii, kisha nikaiweka sikioni, simu ya mama ikaanza kuita, baada ya sekunde kazaa ikapokelewa.

    “Halooo”

    “Mama, upo wapi?”

    “Nani?”

    “Dany hapa”

    “Vip…….”

    Mama hakumalizia sentesi yake nikasikia mlio wa bunduki aina ya SMG, na ukimya mkali ukatawala nikajikuta nikiita mama mama zisizo na idadi, ila ukimya ukatawala kugeuka nyuma yangu macho yangu yakakutana na Diana aliye jifunga taulo tu huku akiwa amejaa mapovu kwenye baadhi ya maeneo ya mwili wake, akionekana ametoka bafuni baada ya kusikia sauti yangu ikimuita mama kwa kuchanganyikiwa.











    “Dany kuna nini?”

    Yohana aliniuliza huku akinyanyuka kwenye sofa, Diana akabaki akiwa amenikazia macho pasipo kujua ni nini kichacho endele. Nikbaki nikiwa nimeishia simu yangu sikioni nikisikilizia kinacho endele. Mapigo ya moyo yakazidi kwenda mbio kukaa ninatamani kusimama nashindwa, nikitazama Diana natamani asifahamu ni nini kinacho endelea.

    ‘Dany’

    Nikasikia sauti ya mama akizungumza kwa upole sana.

    “Ndio mama, kuna nini kilicho tokea?”

    ‘Kuna majambazi wamevamia hii nyumba ya jirani hapa kwa muarabu’

    Mama aliendelea kuzungumza kwa sauti ya chini. Kidogo nikashusha pumzi na kaunza kupata amani moyoni mwangu kwa maana tayari nilisha anza kujisikia vibaya.

    “Askari naona wanapambana nao””

    “Askari wapi mama?”

    “Hawa wanao linda hapa kwangu, kwa maana kwa sasa ninalindwa na askari wanne”

    “Ahaa sasa mama”

    Nilizungumza huku nikitoka nje na kumuacha Diana akinisindikiza kwa macho, nikafunga mlango wa kutoke nje na kuanza kuzungumza na mama kwa umakini zaidi.

    “Ndio”

    “Yudia na watu wake wanataka kufanya mpango mbaya dhidi yako”

    ‘Yudia tena?”

    “Ndio mama, leo alimteka Diana ila nimejitahidi na kumuokoa na kuua baadhi ya watu wake. Mmoja wao anadai kwamba ni kaka yake, na yupo kwa ajili ya kulipiza kisasi kwa sasa, kwa hiyo mama nina kuomba uwe makini sana kama ni ulinzi uimarishe kweli kweli”

    “Usijali katika hilo, tena kwa sasa mimi ndio mkuu wa mkoa, basi wataisoma namba”

    Mama alizungumza kwa kujiamini sana hadi moyoni mwangu nikafarijika sana.

    “Kweli mama”

    “Wewe subiri, washenzi washenzi wote tutawafyeka, sasa arudi tena atanitambua kwamba mimi ni nani”

    Ila mama kuna wasaliti wengi?”

    “Hilo lisikuumize kichwa mwanangu, wewe endelea na maisha kama vipi hiyo Diana kesho apande ndege aje huku”

    “Sawa mama”

    “Haya usiku mwema, ngoja niangalia hawa majambazi, hapa kijana amenipa ripoti wamewaua majambazi wawili na mmoja amekimbia ila wanamtafuta”

    “Ohoo sawa mama”

    “Haya usiku mwema”

    “Nawe pia”

    Nikakata simu huku nikishusha pumzi nyingi. Nikarudi ndani, rafiki zangu wote wakanitazmaa walipo ona tabasamu langu kila mmoja akapatwa na amani. Nikawaelezea kila kitu kilicho tokea na alicho nieleza mama, hapo ndipo nilipo wazindua masikio yao na kutambua kwamba mama yangu ni mkuu wa mkoa.

    “Kesho leo ndio nimeanza likizo na mke wnagu kwao ni Muheza Tanga basi tutaondoka na mdogo wako na kumfikisha hadi nyumbani”

    Yohana alizungumza, nikashukuru sana kwa maaa Yohana ni miongoni mwa watu ninao waamini japo kwa sasa imani juu ya watu wote inaanza kutoweka ila ninamuamini kidogo. Khalid na Thomas, wakaaga na kuondoka. Tukapata chakula cha usiku nyumbani mwa Yohana, nikamueleza Diana juu ya safari ya kuondoka siku inayo fwata, hakuwa na kipingamizi kwa maana hali halisi ya jiji la Dar es Salaam amesha iona. Nikaonyeshwa chumba changu cha kulala, huku Diana naye akilala na dada wa kazi.

    Sikuweza kupata usingizi kabisa, mawazo juu ya genge la Yudia, liliniumiza kichwa sana, mkusanyiko wa waundaji wa kubwa wa genge hilo la uhalifu, linazidi kukifanya kichwa changu kuuma sana, japo sijapona vizuri jeraha nililo chomwa kisu na Asma, ila ninaapa kuliangamiza kundi zima nikianza na K2 mkuu wao. Hadi kuna pambazuka sikuweza kufumba hata jicho langu moja kupata usingizi. Nikaingia bafuni na kuaoga, kisha nikavaa nguo zangu na kutoka nje. Nikamkuta mke wa Yohana akiwa anamalizia kuandaa chakula mezani.

    “Habari yako shemeji”

    Alinisalimia kwa heshima huku akinitazama usoni kwa woga woga.

    “Salama mambo vipi?”

    “Safi pole kwa mikasa uliyo ipata”

    “Nashukuru sana”

    “Karibu upate kifungua kinywa”

    “Asante vipi Diana bado emalala?”

    “Wamesha amka ndio nilio saidiana nao kutengeneza hivi vifungua kinywa”

    “Ahaaa naomba umuite nizungumze naye”

    “Sawa shemeji”

    Mke wa Yohana akaondoka, nikaka kwenye moja ya sofa huku nikishusha pumzi. Diana akaja sebleni nilipo akiwa amesha maliza kujianda.

    “Vipi umelalaje?”

    “Salama shikamoo”

    “Marahaba. Safari ndio inaanza, watakupeleka hadi kwa mama. Ninacho kuomba muangalie mama vizuri sana”

    “Sawa kaka”

    “Usikaribishe karibishe watu usio wajua pale nyumbani, wala usitembee tembee sehemu za starehe muda wa usiku. Tanga imechafuka na yule binti aliye kuteka jana anaweza kukuteka tena na akifanikiwa kukuteka atakuua, sasa akili mwako kichwani mdogo wangu”

    “Usijali kwa hilo kaka, ila kuna kitu gani ambacho kinaendelea kati yako na hao maadui?”

    “Ni mambo ya kikazi ambayo hupaswi kuyafahamu ila nilicho kueleza ndio hicho. Muangalie sana mama, kuwa makini na marafiki zako pia uache kwenda kwenda disko, sijui Lacasa sijui chichi, watakuteka”

    “Sawa”

    Diana alijibu kiunyonge kwa maana sehemu nilizo mtajia ndio sehemu anazo zipenda kwenda kufanya starehe kipindi cha likizo. Yohana akatoka akiwa amesha jiandaa, kwa pamoja tukapata kifungua kinywa. Tukaingia kwenye gari la Yohana, wakanipeleka moja kwa moja hadi Ubongo kisha wao wakendelea na safari ya kuelekea Tanga, mimi nikakodi pikipiki hadi Sinaza kilipo chumba changu kimoja. Nikaingia nyumbani na kukutana na mama Mariam akiwa amevalia tenge moja, alipo niona akanikumbatia kwa furaha na kunipiga busu la mdomo.

    “Tulia basi Dany”

    “Noo hii sehemu hapa sio salama, ngoja niingie chumbani kwangu”

    “Nyumba nzima haina mtu nimebaki mimi peke yangu”

    “Hata kama ngoja niingie ndani kwangu”

    “Sawa, mimi ngoja nijiandae”

    “Na nini?”

    “Na kukupa kile unacho stahili Dany wangu, yaani nimekimis sana”

    Sikutaka kumjibu mama Mariam kwa maana ataanzisha mada nyingine ambayo sihitaji kuweza kuisikia kwa wakati huu. Nichukua funguo yangu ya siri ninayo ificha juu ya mlango, nikafungua ndani na kuingia. Nikajibwaga kwenye sofa huku nikiwa nina mawazo mengi yanayo endelea kukisumbua kichwa changu.

    “Nitaishi vipi kwenye ile nyumba?”

    Swali nilijiuliza mwenye na kukosa jibu kabisa katika hilo. Mlango ukafunguliwa, mama Mariam akaingia huku akiwa amejifunga khanga moja tu. Akaufunga malango kwa ndani na kuivua kanga yake. Akanifwata kwenye sofa na kunikalia mapajani mwangu akiwa na chupi ina ya bikini huku kiunoni akiwa amevaa cheni mbili za dhahabu.

    “Dany mbona kama huna raha na hili ambalo ninalifanya?”

    “Nina umwa”

    “Unaumwa na nini mpenzi wangu?”

    Nikafungua vifungo vya shati langu na kumuonyesha kidonda kilichopo kwenye mbavu zangu.

    “Dany mbona kila siku umekuwa ni mtu wa majanga”

    “Nilivamiwa, ila nikuulize kitu?”

    “Niulize tu mpenzi wangu?”

    “Jumaa amempata mpenzi wake?”

    “Mmm kusema kweli sifahamu kwa maana mimi hapa sio mshindaji sana hapa nyumbani kwani vipi?”

    “Hapana nilihitaji kuweza kufahamu hilo tu”

    “Ila Dany nina hamu na wewe jamani, nimesiii mkuno wako”

    “Kwa hali hii niliyo kuwa nayo siwezi kufanya hivyo”

    “MMmmmm Dany banaaaa, nitajihudumia mimi mwenyewe”

    Mama Mariam alizungumza huku taratibu akiupeleka mkono wake kwenye jogoo wangu. Akafungua zitu na kumchomoa kutoka kwenye boksa na kuanza kumchua taratibuu huku akinitazama usoni. Siku zote huwa napenda viganja vilaini vya mama Mariam pale anapo mshika jogoo wangu. Taratibu nikajikuta nikianza kukolea kwa jinsi anavyo cheza na jogoo wangu. Akaanza kumnyonya huku kwa mara kadhaa akimlamba lamba kama koni.

    Akataka kunivua suruali, ila nigoma kwa mana kiunoni mwangu nimechomeka bastola na hata kwenye soksi zangu pia kuna bastola mbili nimezichomeka.

    “Kwa nini hutaki honey?”

    “Noo tufanye nikiwa hivi hivi sijisikii vizuri mwenzako”

    “Hata”

    Mama Mariam akavua bikini yake, akaniandaa vizuri kwa kupaka kiasi cha mate kwenye kitumbua chake pamoja na jogoo wangu, kisha taratibu akaanza kumkalia huku akinipa mngo. Alipo hakikisha kwamba jogoo amezama vizuri, akaanza shuhuli yake ambayo unaweza kusema sio mwana mama mwenye umri mkubwa kiasi. Kiuno chake akaendelea kukikatajapo hajamfikia sana Asma. Mama Mariam kusema kweli anaweza kuumiliki mchezo huu, japo nilitamani kunyanyuka na mimi kuonyesha maujuzi yangu, ila nikakumbuka daktari alivyo niambia nisifanye kazi ngumu sana kwani kufanya hivyo kunaweza kuhatarisha nyuzi walizo zishona kwneye kidonda changu zinakwenda kufumuna na inaweza kuwa ni tatizio kubwa zaidi ya hili la mwanzo.

    “Aiiisssiiii you kill me Dany”

    “Real”

    “Yeaa”

    Mama Marima alizungumza huku akiendelea kunogewa na ukaliji wa jogoo wangu. Baada ya muda tukamaliza mechi yetu, taratibu mama Mariam akanikumbatia huku akihema na jasho likimwagika.

    “Dany nikuambie kitu”

    “Niambie”

    “Yaani mbo** yako huwa inanikuna vizuri sana”

    “Mmm”

    “Kweli Dany yaani inanifanya ukiwa mbali nijichue mimi mwenyewe na maji ya moto”

    “Usifanye hivyo sio vizuri”

    “Ni bora kufanya hivyo Dany kulilo kukusaliti wewe kusema kweli nina kupenda tena sana”

    Mama Mariam akajinyanyua taratibu kutoka kwenye mapaja yangu na kukaa pembeni huku akiendelea kuhema sana. Akamshuka jogoo wangu kwa mkono wake wa kushoto na kuanza kuminya minya ili kuwamalizia waarabu weupe watoke. Akanyanyuka na kulifwata taulo lililopo kitandani, akiwa karibu ya kitanda nikamuona akiinama chini kama anaokota kitu akanyanyuka na kunigeukia sura yake nikaiona ikiwa imebadilika, moja kwa moja nikayapeleka macho yangu kwenye mkono wake, nikaona akiwa ameshika chupi ya bikini.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Dany hii si chupi ya Asma, imefwata nini humu chumbani mwako”

    Mama Mariam aliniuliza kwa saui ya hasira hata sura yake ya mapenzi mazito aliyo kuwa ananionyesha dakika chache zilizo pita ikapotea kabisa.





    Nikabaki nikiwa nimemkodolea macho pasipo kuzungumza kitu chochote. Mama Marima akanifwata kwenye sofa nililo kaa huku akiendelea kuwa katika hali ya hasira.

    “Hii chupi ya Asma humu ndani kwako imefwata nini?”

    “Kwani hizo chupi zina majina?”

    Ilinibidi kumuuliza mama Mariam kwa ukali, hadi akapunguza hasira yake, taratibu akakaa pembeni yangu.

    “Umekazania kusema chupi chupi, huyo Asma ni lini nimeonana naye, lini ameingia ndani kwangu. Nimerudi nasikia amepotea narudi leo unaniambia maswal ya chupi wewe vipi, unahisi mimi ni mtu wa kumtomb** kila mwanamke humu ndani ya nyumba yako. Tuheshimieane bwana, kukupa nafasi ya kuwa na mimi sio kutaka kutawala kila kitu kwenye maisha yangu, utambue kwamba nina mpenzi wangu na anahaki ya kuja hapa muda wowote na si Asma au wewe”

    Nilizungumza kwa ukali hadi mama Fatuma akatulia kimya, hakuwa na chakuzungumza zaidi ya kutetemeaka kwa woga, kwa manaa tangu aweze kunifahamu leo ndio ameweza kuisikia sauti yangu ya hasira na hata sura yangu imebadilika.

    “Naomba unisamehe Dany mpenzi wangu ila…”

    “Ila nini, unaleta wivu wakitoto wakati wewe ni mtu mzima hata mimni ndogogo kwako. Hembu nisikilize vizuri, ninaweza hata haya mapenzi nikayaua kuanzia leo na huto weza kunifanya kitu cha ina yoyote sawa”

    Kuzungumza hivyo kukamchanganya zaidi mama Maria, aliye jikuta akipiga magoti chini kwa haraka na kuikusanya mikono yake mbele na kuniomba msamaha huku machozi yakimwagika. Nikamtazama kwa hasira iliyo changanyikana na uongo mtupu kwa maana kitu anacho kizungumza ni kweli hii chupi ya Asma, ila kutokana sihitaji ukweli kuweza kujulikana na huo Asma mwenyewe amekuwa ni adui kwangu, ilinibidi kuigiza ukali kumfanya mama Mariamu kuniamini na kuto nihisi vibaya.

    “Dany ukifanya hivyo utanniua mpenzi wangu, samahani sana kama nimekuudhi, maisha yangu kwa sasa yanakutegemea wewe kwa kunipa furaha please baba angu nisamehe”

    Nikaka kimya na kijifanya simuangalii kabisa usoni mwake, huku moyoni nikijisemea kimoyo moyo kwamba aliti angejua huyo Asma amemzidi viwango kwenye swala la kitandani wala asinge jisumbua kuniomba msamaha.

    “Dany tazama jinsi ninavyo kutunzia penzi lako. Ni watu wanaume wengi wanapenda kunitongoza na wana maisha yao mazuri ila nina kataa kutokana na penzi lako”

    “So unaniambia hivyo ukimaanisha kwamba wewe ni mzuri sana au?”

    “Hapana Dany, nazungumza hivyo ili uweze kutambua thamani ya penzi lako kwangu, sina mwanaume mwengine ambaye anaweza kulihiili penzi langu zaidi yako, ndio maana nina wivu na wewe”

    “Ila utambue kwamba nina mpenzi wangu”

    Hapo mama Mariamu akaka kimya huku akitafakari cha kuzungumza, taratibu akanitazama huku akijifuta machozi.

    “Dany nakubali hata kuwa mwanamke wa pili kwako, natambua umri ndio unafanya mapenzi yetu yawe hivi, umri ndio unafanya mimi kuwa mwanamke wa pili kwako”

    “Unaweza kuwa wa kwanza, ila hujafanya kitu cha kunifanya nikuweke wa kwanza”

    “Unataka nikufanyie kitu gani?”

    Nikacheka sana kimoyo moyo, japo usoni mwangu nimekunja ndita za hasira, nikatamani kuonyesha tabasamu langu hadharani ila inanilazimu kuonyesha hasira niliyo nayo.

    “Unataka kujua?”

    “Ndio Dany niambie mimi nipo tayari kufanya”

    “Ok nahitaji unipikie chakula kizuri kisha uniletee, hasira yangu ndio itakuwa imeisha”

    “Kweli mpenzi wangu?”

    “Ndio fanya hivyo”

    Mama Mariam akanyanyuka kwa haraka akiwa amejawa na furaha moyoni mwake. Akanipiga busu la mdomoni, akatafuta chupi yake ilipo, akavaa, akachukua na kitenge chake kisha akavaa na kutoka chumbani kwangu. Nikanyanyuka kwenye sofa huku nikiwa nimeishia chupi ya Asma, nikafungua kabati, nikaiweka pamoja na bastola zangu nilizo zificha katikati ya nguo. Nikalifunga kabati vizuri, nikavua nguo zangu, nikachukua taulo na kuelekea bafuni.

    Nikiwa bafuni, akilini mwangu nikawa nina waza ni kitu gani cha kufanya ili kumpata Yudia. Kazi niliyo kuwa nayo mbele yangu ni kubwa sana kwani kucheza kwangu vibaya kutapeleka maisha ya familia yangu kuwa katika hatari kubwa. Nikamaliza kuoga, huku nikikichunguza kidonda cha mbavuni mwangu, ninamshukuru Mungu kimefunga japo kina maumivu kwa mbali. Kila ninapo kitazama kidonda hichi, sura ya Asma inanijia kichwani mwangu, ninakumbuka ni jinsi ya penzi zito alilo nipa. Nikakumbuka historia ya maisha yake aliyo nieleza, pia nikakumbuka ushirikiano mkubwa alio nipatia wa kunionyesha namba ya simu ya K2, akidai ni miongoni mwa wakuu wa majambazi wanao kiongoza kikosi cha majambazi hapa Tanzania.

    ‘Imekuwaje na yeye kuwa jambazi?’

    Swali hili sikulipatia jibu akilini mwangu, nikatoka bafuni na kueleka chumbani kwangu, nikawasha Tv na kuanza kupitia pitia baadhi ya vituo vya televishion ili niweze kufahamu ni kitu gani kinacho endele. Kupitia chaneli ya Clouse Tv, nikaona taarifa ya habari inayo husiana na msimama wa mkuu wa mkuo wa Tanga kudhamiria kupambana na ujambazi na mji wake utakuwa mji wa raha kama hapo awali na sio mji wa karaa kama ilivyo kuwa katika kipindi hichi kifupi.

    “Nawahakishia wana wa Tanga, mji huu sasa hivi nitahakikisha hakuta ujambazi, wala wizi hata wa kuku. Mimi na jeshi la polisi tumejipanga vizuri, na tunatoa namba za dharura ukihisi mtu umuelewi elewi mtaani kwako, wewe tupigie simu tutahakikisha kwamba anakamatwa na kuwekwa ndani haraka iwezekanavyo”

    Maneno ya mama yakanifanya niweze kutabasamu sana, kati ya wanawake majasiri mama yangu ni mmoja wapo, ana maamuzi magumu kama mwanaume na huwa hajali wala kuhofia mtu pale anapo amua jambo lake, hapo ndipo nikakumbuka maamuzi ya nyaraka halali alio yaamua kuyachukua ili kumfikia raisi na meya pamoja na wajinga wezake wakawa wanatizata ili kufanya maamuzi yao ya kijinga.

    Taarofa hili ilipo weza kuisha, nikabadilisha chaneli nikiwa nimejawa na faraja kubwa. Nikaendelea kutazama vipindi mbalimbali vya televishion hadi ilipo timu majira ya saa saba mchana, mlango wangu ukafunguliwa, akaingia mama Mariam akiwa ameshika hotpot kubwa. Akaliweka mezani huku akiwa amtabasamu.

    “Nakuja”

    Alizungumza hivyo na kutoka chumbani kwangu, baada ya muda akarudi akiwa ameshika jagi lililo jaa juisi, akachukua sahanu moja sehemu ninapo ziweka, kisha akaandaa chakula ambacho ni biriani iliyo pikwa vizuri na nyama ya kukaanga.

    “Unapenda biriani?”

    “Umejuaje?”

    “Kweli Dany?”

    “Kweli ninaipenda tena sana”

    Mama Marima na yeye akanawa mikono na tukaanza kula kwa pamoja. Kwenye swala la chukula huwa mama Marim ana jitahidi sana. Tukamaliza kula na kunywa, nikamshukuru kwa chakula chake kitamu.

    “Usijali nitakuwa ninakupikia kila siku kama utakuwa unahitaji”

    “Kweli”

    “Yaa”

    Akatoa vyombo mezani na kuvipeleka nje. Akarudi chumbani kwangu huku sura yake ikiwa na wasiwasi kidogo.

    “Vipi?”

    “Dany unamgeni wako”

    “Mgeni wangu?”

    “Ndio amevalia suti nyeusi pamoja na miwani?”

    Nikafikiria kwa haraka haraka kichwani mwangu ni mgeni gani ambaye anavaa kwa staili ya suti na miwani. Sikupata jibu la kuweza kumfahamu mgeni huyo. Kwa haraka nikafungua kabati na kuchukua pensi pamoja na tisheti nikavaa mbele ya mama Mariam. Nilipo hakikisha nipo vizuri nikatoka na kueleka nje. Nikakuta gari kutoka ikulu pamoja na jamaa aliye kuja kunichukua wiki iliyo pita akiwa ananisubiria.

    “Habari yako kaka?”

    “Salama”

    “Nimekuja kukuchukua raisi anakuhitaji ikulu”

    “Ikulu?”

    “Ndio, nilikwenda kukutazama kwenye ile nyumba aliyo kupatia sikukuona, ila nikafikiria kuja hapa nnashukuru Mungu kukuta hapa”

    “Ok sawa naomba basi unipe muda niweze kwenda kujiandaa”

    “Sawa kaka dakika tano”

    “Poa”

    Nikarudi ndani kwa haraka, nikamkuta mama Mariam amekaa kwenye sofa.

    “Naomba nijiande kuna sehemu ninaelekea mara moja”

    “Dany yaani hata kiu yangu haijaisha unataka kuondoka?”

    “Nakuomba sana, hili swala ni muhimu sana, nakuomba unipishe nivae”

    “Si uvae tu mbele yangu”

    “Mama Mariam tambua hili swala ni muhimu usitake nikasirike”

    Nilizungumza kwa hasira kidogo na kumfanya mama Mariam kustuka, taratibu akaanza kutoka pasipo kuzungumza kitu cha ina yoyote.

    “Hei”

    “Mmmmm”

    “Nakuachia funguo yangu, naomba ufanye usafi humu ndani kama huto jail”

    “Sawa mpenzi si utarudi leo”

    “Yaa nitarudi kwa nini umeuliza hivyo?”

    “Kwa maana huwa ukiondokaga wewe kurudi ni kwa mashaka, sijui una mwanamke huko nje?”

    “Acha kufikiria hayo”

    Mama Mariam akatoka chumbani kwangu, nikaufunga mlango kwa ndani, nikafungua kabati, nikatoa moja ya suti yangu ya rangi ya kijivu. Nikatoa na shati jeupe na kuviweka kitandani. Kutokana hazijajikunja, nikaanza kuvaa kwa haraka, nilipo maliza kuvaa nguo pamoja na viatu nikaanza kuchomeka bastola zangu kwenye sehemu ambazo huwa ninazoea kuchomeka. Nikajiweka koti vizuri nikajitazama kwenye kioo, nywela zangu ndogo ndogo zimekaa vizuri, usoni sina haja ya kupaka mafuta. Nikaiweka wallet yangu mfukoni ambayo ina vitambulisho vyangu pamoja na kadi za benki. Nikajinyunyizia pafyumu kidogo kisha nikatoka chumbani kwangu. Nikamkuta mama Marim kwenye kordo akinisubiria.

    “Mmmm umependeza honey”

    “Kweli?”

    “Yaa”

    Akaniweka vizuri kola ya shati langu, akanipiga busu la mdomo kisha nikatoka nje. Nikaingai kwenye gari, safari ikaanza huku kichwani mwangu nikiwa ninawaza kuna jambo gani ambalo limetokea hadi raisi ananiitaji.

    “Kuna ishu gani ikulu?”

    “Kusema kweli sifahamu kaka, si unatambua muheshimiwa huwa sio muongeaji sana, huwa anatoa amri tu”

    “Yaa nalitambu hilo”

    Hatukuchukua muda mrefu, tukafika ikulu moja kwa moja nikaelekea katika ofisi ya raisi. Nikamkuta akwia yupo na Babyanka wakiwa wanazungumza.

    “Shukamoo muheshimiwa”

    “Marahaba habari yako Dany”

    “Salama muheshimiwa”

    “Ulikuwa umejificha wapi, tangu jana hupatikani”

    “Kweli muheshimiwa, nimefanya uzembe wa kuto kuwa na simu tangu nitoke hospitali”

    “Kweli aisee nilikosa muda wa kuja kukuangalia, ila vipi jeraha lako linaendeleaje?”

    “Ahaa kwa sasa lipo vizuri ninia weza kufanya kazi”

    “Safi”

    Tukasalimiana na Babyanka kwa ishara kwa maana muheshimiwa raisi ametawala sana mazungumzo. Nikaka kwenye kiti cha pembeni akatutizama kwa sekunde kadhaa kisha akachukua moja ya faili na kuliweka mezani.

    “Nyinyi ni vijana wangu ninao waamini. Katika safari ya kutumbua majipu ya wajinga wajinga, nyinyi ndio mutakao nisaidia.”

    “Hili faili hapa juu lina husiana na upotevu wa madini yenye thamani ya zaidi ya dola bilioni mia moja, hizo ni trionio za shilingi. Wahusika walio hujumu hizo pesa, wamekwenda kujiweka huko Marekani na wengine kujidai wamekufa na serikali isiwatambue. Ila mimi ndio raisi wa kuwatambua na kuwafufua huko walipo.”

    “Sasa nataka kuwatuma huko Marekani, kuna hili jikiongozi linaitwa Bahati na hili jengine hapa linaitwa Kaniki. Haya yanavyo julikana kwamba eti yamekufa, ila mtandao wangu wa kitelejensia umegundua yapo na yanakula maisha huko Las Vegas na yanamwaga pesa za watanzania kwa wadada wanao cheza uchi uchi tuu. Hii hapa ndio video zao”

    Raisi akatupatia simu yake, akatonyesha video inayo waonyesha viongozi hawa wakiwa kwenye moja ya kumbi kubwa ya starehe wakimwaga dola kwa wasichana wenye makali makubwa huku wakijitamba kwamba wana pesa.

    “Sasa hiyo yote imejitengenezea ngome za uhakika, ila ninacho kitaka ni wao kuwarudisha hapa Tanzania na kuifunga hapa hapa Tanzania, ni tutaifilisi kila kitu”

    “Sawa muheshimiwa tumekuelewa, tutaifanya hii kazi kwa siku chache na itakamilika”

    “Nitashukuru sana vijana wangu, ila munakwenda kule kama watalii, na wala sijawasiliana na ubalozi wa huko kama nina watuma vijana wangu. Nitawapa muongozo wa rafiki yangu mmoja yupo kule atawapokea na kila kitu kitakwenda kama tulivyo panga”

    “Sawa muheshimiwa ila mimi nina ombi moja”

    “Ombi gani?”

    “Ninaomba usalama juu ya mama yangu pamoja na mdogo wangu uweze kuimarisha, ni jana tu mdogo wangu alitekwa na kwa msaada wezangu ofisini tukafanikiwa kumuokoa”

    “Alitekwa na nani?”

    “Ni miongoni mwa watu walio hitaji kuweza kukuvamia msafara wako na kukuua. IIla tuliweza kuwadhibiti wachache, na mkuu wao aliweza kunipigia simu na kunipa ahadi ya kuiteketeza mafilia yangu. Ila ndani ya serikali yako katika watu wa ulinzi kuna kiongozi wa hilo kundi la watu wanao hitaji kukuua”

    Kwa maneno yangu, yakamfanya raisi kuweza kuvua miwani yake na kunitazama kwa mshangao.

    “Ninakuomba muheshimiwa kuanzia sasa, vunja kamati yako ya ulinzi na uwachuje au uwape mtihani mdogo hapo ndipo utakapo tambua msaliti ni nani”

    “Nimekuelewa Dany, huyo kiongozi wa hilo kundi ni nini?”

    Nikashusha pumzi nyingi huku picha ya K2 ikinijia kichwani mwangu, ninawaza nimtaje au nisimtaje.

    “Dany ni nani huyo nitajie sasa hivi nimfukuzee kazi na kumuweka ndani”

    “Msaliti ni K2 mkuu wa NSS na yeye ndio master plan wa maangamizi yako”

    Raisi taratibu akanyanyuka kwenye kiti huku akiwa amejawa na mshangao mkubwa sana, hata Babyanka akanitazama kwa mshangao kwa maana K2 jinsi anavyo aminika nina amini hakuna ambaye anaweza kuamini kitu ninacho kizungumza kwa sasa







    Ukimya ukatawala ndani ya ofisi huku raisi akionekana kutafakari jambo fulani kichwani mwake. Akatingisha kichwa huku akikaa kwenye kiti chake.

    “Dany kwa hapo umekosea tena umekosea sana. K2 ninamuamini na ndio mtu aliye simamamia kampeni zangu tangu ninaanza harakati za kugombania uraisi, laiti angekuwa msaliti asinge nilinda hadi leo kufika hapa”

    Raisi alizungumza kwa kujiamini na kunifanya nivunjike moyo kabisa kwa kitu ambacho nilihisi yeye ndio atakuwa msaada mkubwa.

    “Ninaomba unipatie muda katika kulifwatilia hili mkuu”

    “Hilo siwezi kukuachia ulifwatile kwa maana halina ukweli ndani yake sawa”

    Raisi alizungumza kwa ukali kidogo huku akinikazia macho.

    “Sawa muheshimiwa”

    “Sasa turudi kwenye point. Tiketi zenu na hati za kusafiria zipo tayari, ndege itaondoka saa tano usiku leo, pesa za matumizi kila mmoja zimeingizwa kwneye akaunti yake ni dola laiki moja moja kwa kila mtu”

    “Asante muheshimiwa”

    “Sasa muna masaa kujiandaa, niwaruhusu mukajiandae”

    “Sawa”

    “Chukueni na hili faili, taarifa nyingine mutapewa mukifika Marekani”

    Tukanyanyuka kwenye viti vyetu na kuanza kueleka mlangoni, ila kabla hatujaufika raisi akamuita Babyanka, ikanibidi mimi kutoka nje. Kitendo cha kufunga mlango nikashusha pumzi nyingi sana kwa maana kali niliyo itoa na mtu ambaye nimeeleza ukweli juu yake anaonekana kuaminika sana kwa muheshimiwa raisi. Nikatoka nje na kumsubiria Babyanka kutoka. Baada ya dakika tano akatoka na kunifwata sehemu nilipo simama.

    “So tunaanzia wapi?”

    “Nikupeleke kwako, kisha nielekee home nikajiandea na kuzungumza na mama nimuage”

    “Utakuwa umefanya jambo la maana vipi hati za kusafiria?”

    “I hope tutapewa muda si mrefu na sektretari wake, kidogoa metoka”

    “Tumsubirie”

    Tukaingia kwenye gari la Babyanka, akawasha mziki wa taratibu na kaupepo ka A/C(Air condition) kikaendelea kuiburudisha miili yetu kwa maana joto la Dar es Salaam kwa kipindi hiki limezidi mara dufu tofauti na hata miaka ya nyuma.

    “Dany”

    “Naam”

    “Hivi uliyo yanzungumza pale kwa raisi ni kweli?”

    “Nimeongea mengi, lipi moja wapo?”

    “Kuhusiana na K2, kwa maana umemfanya hadi raisi kuanza kuweka wasiwasi na wewe”

    “Weeee!!”

    “Yaaa nikaona ni vyema kukuambia wasiwasi alio kuwa nao juu yako, mpaka ameniambia kwamba nikutazame nyendo zako”

    Nikashusha pumzi huku kwa mbali mapigo ya moyo yakidunda kwa kasi, ikiwa kama binadamu kuwa na wasiwasi ni jambo la kawaida tena wasiwasi huo unataka kwa mtu mwenye mamlaka yote katika nchi yangu.

    “Kwa hiyo kuwa makini Dany na uyasemayo siku nyingine”

    “Nipo makini ila kama haniamini, ipo siku na msaa atakuja kuniamini tu”

    “Nimetambua ni kwa nini hakuamini na ulicho kizungumza kwake kimemchefua sana”

    “Ni kwa nini?”

    “K2 ni mdogo wake, mama mmoja ila baba tofauti”

    “Weeeee!!!”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Hiyo ndio habari uipate japo kwa Watazania haijafunguka sana, kupuka yale maneno sijui kaweka ndugu sikui kimenda kimeshuka”

    Taratibu moyoni mwangu nikajikuta nikianza kuingiwa na roho ya kukata tamaa, hata kazi ambayo umeagizwa nikaanza kuifikiria kwa upande mwingine ambao ni mbaya sana kwa watu tunao fanya kazi hii ya upelelezi.

    “Ila usife moyo, kama uliyo yazungumza yana ukweli ndani yake, ipos siku mambo yatakuja kudhihirika”

    “Kweli”

    Kioo cha dirisha la upande wa Babyanka likagongwa kidogo na kutufanya wote tugeuke, tukamuona dada aliye valia suti nyeusi akitutazama, taratibu Babyanka akafungua kioo cha gari.

    “Habari zenu wapendwa?”

    “Salama tu”

    “Hizi ni baasha ya kila mmoja wenu. Dany ya kwako hii hapa, humo ndani kuna hati ya kusafiria, kuna bank sleap pamoja na kadi ya bank itakayo kuwezesha kutoa pesa ukiwa nchini Marekanani. Husasni na kwako Babyanka kila kitu kipo humo kama nilivyo taja kwa Dany”

    “Asante sana”

    “Mimi niwatakia safari njema na kazi njema. Kikubwa kuweni makini na muifanye kazi kwa ufasaha kama anavyo penda muhesimiwa”

    “Mungu atutangulie katika hilo”

    “Haya kwaherini”

    Dada huyo akaondoka, Babyanka akapandisha kioo cha gari, kila mtu akafungua bahasha yake na kukuta kile tulicho elezwa, nyuma ya kirisiti kinacho onyesha pesa kuingizwa kwenye akaunti zetu kina namba za siri.

    “Huyu mzee tuienda naye vizuri, hadi mwisho wa madaraka yake ujue tumekuwa matajiri mskaji wangu”

    “Umeona ehee, mimi nitaacha hii kazi, nitafute chochote cha kufanya”

    “Huyu akistaafu tunamuomba hata atupe ukuu wa wilaya tukae na sisi maofisini sio kila siku kwenda kuyaweka maisha yetu rehani”

    “Umeona ehee hilo wazo zuri Babyanka”

    “Haya tuondoke zetu”

    Babyanka akawasha gari lake, akageuza na taratibu tukaeleka getini, akasaini kwenye kitabu maalumu cha watu wanao ingia na kutoka ikulu, kisha tukaondoka.

    “Usielekee Masaki twende Sinza”

    “Sinza kufanya nini?”

    “Ndio ninapo ishi?”

    “Kwani bado hujahama tu?”

    “ Bado rafiki yangu, ile lile jumba tangu nipewe sijawahi kulala”

    “Unaogopa nini?

    “Hapana, matatizo ya hapa na pale”

    “Mimi nimesha zoea kabisa yaani najisikia vizuri nikikaa kule kuliko hata kwa wazai”

    “Nitaanza kuishi nikirudi”

    Tukafika nyumbani kwangu tukaagana akaniahidi saa mbili usiku atakuwepo nyumbani kwangu. Nikaingia ndani, nikakutana na Mariam akitoka kwenye kordo yake.

    “Dany mambo”

    Alinisalimia kwa furaha kubwa sana kiasi cha kushindwa kuzuia hisia zake, akaja kunikumbatia.

    “Savi vipi bi mkubwa yupo?”

    “Hayupo ametoka”

    “Amekwenda wapi?”

    “Kwenye maswala yao ya vikoba huko”

    “Funguo yangu hajakuachia?”

    Nilimuuliza hivyo Mariam huku nikiwa nimesimama mlangoni mwangu.

    “Hajaniachia, labda niangalie chumbani kwake”

    “Ok hembu namomba uniangalizie”

    Mariam akaanza kualekea kwenye chumba chake, huku suruali aliyo ivaa ikilishikilia vizuri kalio lake lililo jaa vizuri. Baada ya dakika mbili akarudi akiwa ameishia funguo yangu, hakutaka kunipatia mkononi moja kwa moja akaichomeka kwenye kitasa na kufungua chumba. Akataka kutangulia ila nikamzuia.

    “Mbona unatangulia kama kama chumbani kwako?”

    “Mmm Dany hembu acha hizo, ni mara ngapi ninaingia chumbani kwako pasipo wewe kunizuia?”

    “Sawa, ila umesahau mimi ndio nimerudi natakiwa kuingia chumbani kwangu kwanza hata kama kuna mabomu niweze kuyategua”

    “Hahahaa mabomu yatokee wapi Tanzania hii, hembu niache bwana”

    Mariam akanisukuma kidogo na kuingia ndani na mimi nikafwata nyuma yake. Harufu nzuri manukati ndio imetawala ndani kwangu huku chumba kikiwa kimepangwa vizuri sana.

    “Mmmm Dany sio wewe uliye panga hivi?”

    “Kwani siwezi?”

    “Huu upangaji sio wa mwanaume hususani Dany wewe ninaye kujua nikiingia ndani kwako nakuta mashuka yamechanguka changuka”

    “Ni mimi bwana”

    “Tuyaache hayo, ya siku nyingi?”

    Mariam alizunumza huku akiipitisha mikono yake kiunoni mwangu, sikuwa na haja ya kumzuia kufanya hivyo kwani chembechembe za upendo juu yake bado zipo.

    “Safi”

    “Nimekusubiria Dany kwa muda mrefu, leo sasa naomba haki yangu tafadhali”

    Nikatabasamu huku nikimtazama usoni, akanisogelea na kunibusu mdomoni mwangu, msisimko ambao niliupata siku ya kwanza nilipo mpiga busu la mdomoni ndio msisimko ninao upata kwa sasa. Mariam akaanza kutoa miguno ya kimahaba nuku akianza kunivua koti langu. Mkono wangu wa kushoyo ukazidi kumvuta karibu sana, huku nikihakikisha mkono wa kulia ukiwa unayatomasa maziwa yake.

    “Dany ngoja nifunge mlango”

    Marim akaniachia huku akisukumiza mlango vizuri na kubana, akafunga kwa funguo kabisa na kuvua tisheti aliyo ivaa na kubakiwa na siridia. Akanirudika, pasipo hiyana nikamdaka vizuri mapaja yake aliyo yapitisha kiunoni mwangu na mikono yake akiipitisha mabegani. Tukazidi kunyonyana midomo yetu huku hisia kali zikiendelea kutawala miili yetu.

    Nikamlaza kitandani huku nikianza kuvua nguo zangu, sikuhofia kuhusiana na bastola zangu kama anaweza kuziona au laa. Kwa kuchangayikiwa na wingi wa hisia wala hukushangaa kuziona bastola zangu nikiziweka mezani. Nikavua suruali pamoja na boksa kisha na yeye nikamvua suruali yake pamoja ya bikini niliyo mkuta nayo. Tukabaki kana tulivyo zaliwa, nikayapanua mapaja yake na kuanza kukinyonya kitumbua chake ambacho ni kwa muda mrefu nina kitamani sana.

    Mariam akazidi kutoa miguno ya raha hadi nikawasha redio ili kama kuna mtu atapita dirishani asiweze kutusikia, nikazidi kuuchezesha ulimi wangu kwenye kitumbua chake huku nikihakikisha ninamnyonya hadi apagawe kabisa kwa maana alisha wahi kuniambia kwamba ni bikra.

    “Dany ooooooo, na piz……”

    Nikamuachia, kwa haraka akaka kitako kitandani na kuanza kumnyonya jogoo wangu aliye simama, vizuri na ujazo wa kutosha anaye weza kula kitumbua cha msichana yoyote hata awe na kitumbua kikubwa ataweza kukila na kukimaliza kisawa sawa. Mariam akatosheka kumnyonya jogoo wangu ambaye kwa mara kadhaa alikuwa akimpigisha pisha kwenye mashavu yake. Akalala chali na kuipanua miguu yake, taratibu nikaanza kumuingiza jogoo wangu, hata kabla kichwa hakijazama Mariam akakunja sura akionyesha anapata maumivu makali sana.

    “Vipi?”

    “Naumia Dany”

    “Taratibu naingiza”

    Akatingisha kichwa kunikubali, kitendi cha kicha cha jogoo wangu kuzama, kikapelekea damu kuanza kutoka katika kitumbua cha Mariam aliye ikunja sura yake akionekana kujitahidi kuvumilia maumivu. Kusema kweli kwenye maisha yangu yote nimepitia wasichana wengi ila sijawahi kubahatika hata kumpata mmoja mwenye bikra. Mariam ndio msichana wangu wa kwanza kumvunja bikra. Nikaendelea kula kitumbua kipya cha Mariam, kadri dakika na muda unavyo zidi kwenda ndivyo jinsi anavyo zoea utamu wa jogoo wangu, taratibu akaanza kukizungusha kiuno chake.

    “Ongeza kasi honey”

    “Huto umimi?”

    “Mmmm najikaza hivyo hivyo”

    “Sawa”

    Nikavuta pumzi ya kutosha kabisa ya kukaa kifuani mwangu, nikaanza kukila kitumbua kwa kasi iliyo mfanya Mariam kutoa vilio ambayo sikufahamu kama ni vilio vya raha au vilio vya maumivu. Nikajaribu kupunguza kasi ila akaniomba nizidi kuongeza kasi, ikanibidi kufanya hivyo, japo jogoo wangu ametawaliwa na damu ila sikulijali hilo, kadri muda ulivyo zidi kwenda ndivyo nilivyo zidi kumuona Mariam akilegea, kwa mara ya kwanza nikajua ni mapozi ya mapenzi, ila dakika tano mbeleni macho yakambadilika, kitu kilicho nitisha na kuniogopesha ni jinsi mboni za macho yake zilivyo potea na kutawalaliwa na rangi yeupe tu. Nikajikuta nikimchomoa jogoo wangu kwenye kitumbua cha Mariam, huku jasho likinimwagika kisawa sawa na mapigo ya moyo yakinienda kasi.

    “Mariamuuuuuuuuuuu”

    Niliisikia sauti ya Mama Marim iliyo zidi kunichanganya na kujikuta nikikaa chini sakafuni huku machozi yakinilenga lenga. Nikanyanyuka taratibu na kumtazama Mariam, jinsi alivyo lala hajabadilisha hata mkao, mapigo yake ya moyo yamesimama kabisa jambo lililo zidi kunichanganya maradufu na saa yangu ya ukutani inaonyesha ni saa mbili kasoro usiku na muda si mrefu Babyanka atakuja kunipitia kwa ajili ya kwenda Marekani kuifanya kazi ya muheshimiwa riaisi.







    Mlango wa chumbani kwangu ukagongwa na kuyafanya maoigo yangu ya moyo kuzidi kwenda kasi kwa maana ninatambu atakuwa ni mama Mariam. Nnikashuka kitandani kwa haraka, nikafungua friji nikatoa chupa yenye maji ya baridi na kumwagia maji hayo Mariam usoni. Cha kumshukuru Mungu, akakurupuka huku akiwa anagema sana.

    Nikawahi kumziba mdomo ili asiweze kupika kelele zitakazo sikika nje kwa maana mama yake amesha fika.

    “Dany”

    “Shiii”

    “Mariammuuuu”

    Tuliisikia sauti ya Mama Mariam akiita akiwa uwani na ttayari alisha ondoka mlangoni mwangu. Wasiwasi ukaanza kumjaa Mariam, akaanza kushuka kitandani huku akiwa anahema, akajaribu kupiga hatua mbili mbele ila nikagundua kwamba mwendo wake umebadilika na ana chechemea.

    “Mungu wangu, Dany mama si atajua kwamba nimeutoa usichana wangu”

    “Jikaze utembee vizuri, hatokustukia”

    Nilizungumza huku nikimkalisha kwenye sofa taratibu. Tukatazama usoni, hapakuwa na aliye muongelesha mwenzake, hata sauti ya mama Mariam inayo ita ikawa haiendelei tena.

    “Ngoja nitoke nikamzuge mama yako, hakikisha unafanya unatoka humu ndani asije kukustukia”

    “Sawa”

    Nikachukua taulo langu na kujifunga kiunoni mwangu, nikachukua sabuni yangu na kutoka chumbani kwangu, kwenye kordo sikumkuta mtu wa iana yoyote. Nikaelekea kwenye mlango wa mbele ambapo nilihisi naweza kumkuta mama Marim, kwa bahati nzuri nikakutana naye mlangoni akiwa anaingia. Nikamshika mkono na kutoka naye nje.

    “Vipi mbona unamwagikwa na jasho?”

    “Nilikuwa ninafanya mazoezi, nikaoge kwa maana kuna sehemu nahitaji kuelekea”

    “Unaeleka wapi tena honey”

    “Ninakwenda nje ya nchi kikazi, kwahiyo sinto kuwepo Tanzania kwa siku kadhaa”

    “Jamani Dany, hata kiu yangu hujaimaliza na wewe unataka kuondoka?”

    “Imetokea kwa dharula tu, ndio maana nilipo isikia sauti yako nikatafuta ili niweze kukueleza juu ya hili mpenzi wangu”

    “Na safari hiyo unaondoka saa ngapi?”

    “Saa mbili hii ndio naondoka, hapa nimemaliza kufanya mazoezi na ninahitaji kueleka bafuni, nijiandae niondoke”

    Mama Mariam akatazama kila sehemu ya eneo hili la nje tulipo kisha akanikumbatia na kuanza kuniyonya mdomo wangu. Tukalifanya tendo hilo kwa dakika kadhaa kisha tukaachiana.

    “Nakuomb nikaoge”

    “Sawa honey, ila Marim umemuona?”

    “Nilimuona pale nilipo rudi na nikamuomba ufunguo, baada ya hapo sikufahamu ni sehemu gani aliyo elekea”

    “Yaani huyu mtoto sijui atakuwa amekwenda wapi, ngoja nikamtazame hapo mbele kwa mama Jenifa”

    “Sawa”

    Mama Mariam akanipiga busu la mdomo kisha akatoka getini, alipo funga geti kwa haraka nikaingia ndani moja kwa moja nikaeleka chumbani kwangu, nikaufungua mlango na kuingia ndani. Sikumkuta Mariam, nikashusha pumzi na kuelekea chumbani kwake, nikamkuta akiwa amesimama katikati ya chumba huku amefunga kanga kifuani.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Mama yako amekwenda kwa mama Jenifa, sasa fanya ukaoge kisha urudi ulale sawa?”

    “Sawa”

    Tukatoka kwa pamoja, kisha akeleka kuoga na mimi nikarudi chumbani kwangu, nikalitoa shuka lenye damu kitandani kwangu na kuliweka chini ya uvungu, nikachukua shuka jengine na kulitandika vizuri, nilipo hakikisha chumba changu kipo vizuri, nikaanza kitoa nguo za kuondoka nazo haraka haraka, nikaziweka kwenye begi langu la mgongoni. Kila kiitu changu cha kusafiria ninakiweka kwenye meza, nikatoka na kuelekea bafuni na kukuta Mariam akiwa amemaliza kuoga. Kwa haraka haraka nikaoga na kurudi chumbani kwangu, nikaanza kuvaa kwa haraka. Nilipo hakikisha kwamba nimemaliza kuvaa, nikachukua simu ambayo nilipatiwa na kina Yudia. Nikaitoa laini na kuiwasha, nikatoka nje ya chumba changu, kwenye kordo hapakuwa na mtu yoyote nikausogelea mlango wa Mariam, nikaita kwa sauti ya chini kwa bahati nzuri akaisikia na kufungua mlango.

    “Utatumi hii simu hadi nitakapo rudi”

    “Asante sana Dany si Iphone hii?”

    “Ndio”

    Akataka kunikumbatia nikamzuia, nikarudi chumbani kwangu. Bastola zangu nikazichomea sehemu ambazo huwa ninazichomeka kila ninapo kuwa nazo. Nikabeba begi langu na kutoka nje ya chumba, nikaufunga mlango wangu na moja kwa moja nikaelekea nje, nikafungua geti na kukuta gari la Babyanka likiwa ndio linasimama. Nikafungua mlango wa gari na kuingia ndani.

    “Umependeza Dany”

    “Asante hata wewe umpendeza”

    Taratibu tukaondoka mtaani kwetu na kueleka uwanaja ndege wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

    “Naomba unizime simu yako”

    Babyanka akanipatia simu yake, nikaingiza namba za mama na kuiweka simu sikioni, Ikaanza kuita kwa muda kisha ikapokelwa.

    “Shikamoo mama”

    “Marahaba, mbona kila siku una namba mpya?”

    “Simu yangu si imepotea”

    “Ahaa haya vipi?”

    “Diana amesha fika nyumbani?”

    “Yaa amesha fika muda mrefu”

    “Sawa, mimi nipo njiani ninaeleka uwanja wa ndege, ninakwenda Marekani”

    “Marekani!!! Kufanya nini?”

    “Kikazi mama”

    “Eheee”

    “Yaa ndio nimekupa taarifa hiyo”

    “Sawa kuwa mkini tu”

    “Sawa mama yangu, ila vipi mumefikia wapi katika kumkamata Yudia?”

    “Bado anatafutwa na polisi?”

    “Sawa pia kuna gari langu moja nilipewa na raisi, walanalo nisaidieni kulitafuta”

    “Nitumie namba zake za usajili”

    Nikamtajia namba za usajili za gari langu, kisha nikakata simu.

    “Mama yako anaonekana ana kupenda ehee”

    “Yaa ananipenda, mimi ndio mtoto wake wa kiume”

    “Hivi ni kwa nini watoto wa kiume munawapenda sana mama zenu na watoto wa kike tunawapenda baba zetu?”

    “Kusema kweli hili mimi sifahamu ila huwa linakuja lenyewe”

    Tukafika uwanja wa ndege, tukashuka kwenye gari, tukashusha mabegi yetu na moja kwa moja tuakeleka kwenye ofisi maalumu za usalama, tukaorodhesha majina yetu na kukabidhi salaha zetu pamoja na funguo ya gari.

    “Twendeni huku”

    Tukaongozana na askari huyu wa ukaguzi, tukaingia kwenye moja ya ofisi na kumkuta mzee mmoja mweusi aliye valia nguo za kiaskari. Tukasalimiana naye na kutukaribisha kukaa kwenye viti. Akatupa moja ya faili tuweze kulipitia.

    “Huyo ni Cosmas Damson, ni miongoni mwa wana Interpol ambao wapo nchini Marekani na ndio atakaye wapokea nyinyi na kuwaatia silaha, ndio maana tukaamua muweze kuziacha hapa Tanzania kwa maana kwa sasa mfumo wa ulinzi wa dunia umebadilika sana hususani mpelelezi kutoka nchi moja kwenda kufanya kazi nchi nyingine kubwa kama Marekani. Kuingia kwenu na silaha nchini Marekani kunaweza kuvuruga mfumo wenu wa kazi ambayo mumeagizwa kuifanya na muheshimiwa raisi”

    “Je ana taarifa zetu?”

    “Ndio anazo taarifa zenu hadi picha zenu anazo na atawapokea katika uwanaje wa ndege kuwapokea”

    “Sawa muheshimiwa”

    “Nawatakia kazi njema”

    “Aante muheshimiwa”

    Tukatoka kwenye ofisi hizo tukiwa na mabehi yetu moja kwa moja tukaeleka sehemu ya abiria kupumzika.

    “Hii kazi inaweza kuwa ngumu sana mbele yetu”

    “Kwa nini?”

    “Yaani naanza kuiona dalili ya ugumu”

    “Ndio mara yako ya kwanza kuelekea Marekani nini?”

    “Yaa”

    “Usijali, mimi ninapafahamu vizuri Marekani nilisha wahi kumpeleka mdogo wangu Diana masomoni, na nilikaa huko kwa miezi kadhaa”

    Tukiwa tumekaa tunaendelea kuzungumza mazungumzo ya hapa na pale, tukaona kundi kubwa la askari wenye mbwa wakija usawa wetu, ikatubidi tusitishe kuzungumza stori zetu na kuwaangali, pasipo kuwa na wasiwasi wa aina yoyote. Gafla wakatuzunguka huku wakiwa wametunyooshea mitutu ya bunduki, jambo lililo tifanya tuwashangae.

    “Daniel upo chini ya ulinzi”

    Askari mmoja alizungumza huku akinisogelea na kujikuta nikisimama pia Babyanka akasimama.

    “Kwa kosa gani?”

    “La mauaji”

    “Mauaji…..!!! Mauaji ya nani?”

    “Hilo sisi halituhusu, ila unatakiwa kuongozana nasi”

    “Hei ngojeni kwanza mutajua sisi ni wakina nani?”

    Babyanka alizungumza kwa ukali sana huku akimtazama askari ambaye anazungumza na mimi.

    “Hili sisi tunalifahamu, Dany ni NSS na wewe ni NPS”(National President Service).

    “Hamuwezi kumkamata Dany ikiwa tupo katika kazi”

    “Hilo sisi

    Hatulifahamu tunacho kihitaji ni kumkamata kama tulivyo agizwa na bosi wetu basi”

    Nikawatazama askari hawa pamoja na mbwa wao, nikamgeukia Babyanka aliye aliye fura kwa hasira. Nikamkonyeza, akaelewa, kwa kasi ya ajabu tukaanza kuwashambulia hawa askari kwa kuwatembezea kipigo huku mbwa wao tukiwadhibiti kwa kuwapiga na vitako vya bunduki walizo kuja nazo. Ndani ya dakika tano askari pamoja na mbwa wao wakwa wamelala chini, tukachukua mabegi yatu na kuanza kukimbilia sehemu ya abiria wanao elekea kwenye ndege wanapaswa kwenda. Askari wengine wakaanza kutukimbiza huku ving’ora vya hatari vikiwa vinasikika vizuri.

    Kadri ninavyo kimbia ndivyo jinsi nilivyo kuwa ninajiuliza kuhusiana na kesi hii ya mauji waliyo kuja nao hawa askari. Tukakimbilia moja kwa moja kwenye uwanja na kuingia kwenye moja chumba cha kuhifadhia mizigo na kujificha huku kwa muda.

    “Mbona sielewi kinacho endelea Dany”

    “Babyanka nakuomba utulie”

    “Kutulia ndio naweza kutulia ila nielezee ni kitu gani kinacho endelea na ni mauaji gani ambayo umeyafanya”

    “Hapa ninahisi ni jana nilivyo kwenda kumuokoa mdogo wangu, niliwez kupambana na watekaji baadhi na kuwaua, ila sijui hapo kosa langu mimi lipo wapi kwa maana nisinge waua mimi, wao ndio wangeniua”

    “Ohoo Dany vitu kama hivyo unatakiwa kivizungumza mapema”

    “Ila si nilimuambia raisi kwamba mdogo wangu ametekwa, mpigie aweze kutuokoa katika hili”

    Babyanka akafikiria kwa sekunde kadhaa huku jasho likimwagika. Akatoa simu yake mfukoni na kuminya namba kadhaa kisha akaiweka sikioni.

    “Ndio muheshimiwa”

    “Samahani kwa usumbufu, tunataizo, kuna askari wanamuandama Dany na wanamuhisisha na kesi ya mauaji, nakuomba utusaidie mkuu”

    Babyanka akaa kimya kidogo akisikilizia, akaanza kunitazama kwa umakini kisha akanipatia simu na nikaiweka sikioni.

    “Ndio muheshimiwa”

    “Huwa sikuzote sipendi watu wazembe na wajinga kama ulivyo wewe, umeua watu na unategemea msaada wangu wa nini, kama unayapende maisha yako jisalimisha mikononi mwa hao askaeri la sivyo utakufa”

    Maneno ya raisi yakanishangaza sana, nikabaki nikiwa nimetoa macho, hata kabla sijafanya chochote mlango wa chumba cha mizigo tulicho jificha wakaingia askari wengi wakiwa na bunduki zao mikononi na kutuamrisha kunyoosha mikono yetu juu jmbo lililo zidi kuninyong’onyeza.









    Sikuwa na ujanja wa kufanya zaidi ya kunyanyua mikono yangu juu. Hata Bayabyanka akatii amri ya askari hao. Wakatusogelea kwa umakini na kutuvisha pingu. Tukatoka katika chumba hicho moja kwa moja wakatupeleka kwenye magari yao na kutuingiza. Njia nzima sikuzungumza chochote zaidi ya kuifikiria hii kesi ambayo ipo mbele yangu na nilihisi raisi anawesa kuwa msaada mkubwa kwangu ila ndio hivyo amenigeuka na kunikana kabisa. Tukiwa hatua chache kutoka uwanja wa ndege, gari za polisi ambazo kwa haraka haraka zipo sita, zikasimama. Nikashusha mimi na kulishwa kigunia kidogo cheusi kilicho nifanya nishindwe kuona kinacho endelea. Nikashangaa nikisukumwa na kuamrishwa kwamba niweze kutembea mbele.

    “Ingia kwenye gari pumbavu wewe”

    Nilisikia sauti nzito ya kiume ikizungumza huku nikisindikizwa na kofi zito la mgongoni. Nikaingia kwenye gari ambalo wala sijui ni gari la aina gani, nikaisikia milango ikifungwa tu, galfa nikaihisi kitu chenye ncha kali kikiingia kwenye shingo yangu upande wa kulia na taratibu usingizi mkali ukanipitia.

    ***

    Milio ya vyuma vinavyo gongwa gongwa, ndio vilivyo nifanya kuanza kuyafumbua macho yangu taratibu, kwa haraka sikuweza kuona chochoteza zaidi ya mawingu mawingu yaliyo tanda mbele ya uso wangu. Nikajitahidi sana kuyafikicha macho yangu ili niweze kuona hivyo vyuma vinagongwa na kina nani, kwa kitendo hicho cha kufikicha macho yangu, macho yangu yakaongeza ufanisi wa kuona mbele. Nikaona watu walio valia kaptula nyeupe pamoja na mashati meupe wakiwa wamefungwa nyororo za miguuni huku mikononi mwao wakiwa wameshika nyundo kubwa wakipasua mawe makubwa. Afya zao zimezohofika sana, kwa haraka nikazungusha kichwa changu kutazama hii sehemu ambayo nipo nikagundua kwamba tupo kwenye moja ya pango ambalo lina taa nyingi kila sehemu huku kukiwa na ulinzi mkali wa wanajeshi wenye silaha pamoja na mbwa wakubwa mara mbili ya mbwa ambao niliweza kukabiliana nao nikiwa katika uwanja wa ndege wa mwalimu Nyerere. Nikajichunguza na mimi, ninajikuta nikiwa nimevalia kapula nyeupe, na shati jeupe, huku miguu yangu ikiwa imefungwa nyororo ndefu inayo niwezesha kutembea.

    Nikahisi labda nina ota kwa hichi ninacho kiona, nikafumba macho ili niweze kurudi tena usingizini ili hata nikifumbua macho yangu niweze kuona nipo sehemu nyingine. Ila haikuwa hivyo kwani kufumbua kwangu macho kukanifanya nimuone mwanajeshi mmoja mwenye mwili mkubwa akiwa amesimama mbele yangu huku ameshika bunduki, kichwani mwake amenyoa nywele zote na kukipaka mafuta mengi kichwa chake na kukifanya king’are nga’are.

    “Simama wewe mtoto wa malayaa”

    Alizungumza kwa ukali sana, taratibu nikanyanyuka huku nikiwa nimechoka sana, viongo vyote vya mwilini mwangu vinaniuma kisawa sawa.

    “Nifwate”

    Sikumjibu chohcote zaidi ya kutii amri, nikaanza kumfwata nyuma nyuma huku nikiendelea kuwatazama wafungwa hawa walio kundeana sana, wengine wanashindwa hata kufanya kazi y akupasua miamba hii, ila wanakutana na kipigo kikali kutoka kwa wanajeshi hawa. Tukakatiza kwenye kordo moja ndefu iliyi jaa taa zinazo fanya paonekane kama machana. Tukaingia kwenye maja ya chumba ambacho kina viti viwili pamoja na meza moja tu.

    “Kalisha makalio yako hapa”

    Akanionyesha kiti kilichopo mbele ya meza hiyo nikakaa pasipo kuwa na kipingamiza. Akatoka na kuniacha ndani ya chumba hichi. Kila nilipo jaribu kuvuta kumbukumbu zangu kufahamu nimefikaje hapa katika hili eneo, ninashindwa kabisa na kitu cha mwisho ninacho kikumbuka ni jinsi nilivyo amrishwa kuingia ndani ya gari hilo na kuchomwa na kitu chenye ncha kali ambacho moja kwa moja ninatambua ni sindano ya usingizi.

    Nikiwa katika mawazo hayo mlango wa chumba nilichopo ukafunguliwa kwa nguvu. Sikuamini macho yangu nilipo muona K2 akiwa ameingia huku ameshika faili moja, akalitupia mezani, kisha taratibu akavua koti lake la suti kisha akaliweka kwenye kiti kinacho tazamana na mimi.

    “Kwa nini imekuwa hivi?”

    Nilimuuliza K2 kwa sauti ya upole na unyenyekevu kwa maana sina ujanja wa kuseme kwamba nitoke kwenye mikono yake. Hakunijibu kitu cha iana yoyote zaidi ya kukaa kwenye kiti hicho. Akaanza kufunua faili hilo lililo jaa picha nyingi wau walio uwawa. Katika kuzitazama vizuri nikaweza kuzigundua kwamba picha hizo ni za majambazi walio mteka Diana na kwakushirikiana na wezangu tuliweza kuwadhibiti kikamilifu.

    “Unawatambua hawa?”

    K2 alizungumza huku akinigeuzai faili hilo, nikazitazama picha hizo kwa mara nyingine tena kisha nikamtazama yeye usoni mwake. Nikatingisha kichwa na kumueleza kwamba nina wafahamu.

    “Nani aliye kupa oda ya kwenda kuwaua?”

    Nikaka kimya huku nikikosa cha kuzungumza. K2 akasimama taratibu na kunifwata sehemu nilipo kaa.

    “Nakuuliza ni nani aliye kupa oda ya kuwaua?”

    “Walinitekea mdogo wangu, ndio maana nikaamua kufanya hivyo”

    “Ohooo, walikutekea mdogo wako?”

    “Nilkuuliza wewe na Lu…….”

    Akanitandika ngumi nzito ya shavu iliyo nifanya nianguke na kiti changu chini. K2 pasipo kuwa na huruma akaanza kunitandika mateke ya tumboni huku akinishushia matusi mengi. Mlango ukafunguliwa na kwa haraka wakaingia wanajeshi wanne wa kike na kumshika K2 na kumtoa katika chumba hichi cha mahojiano. Machozi mengi yakanitiririka kwa maumivu makali niliyo yapata, mwanamke wambaye alinipa uhuru wa kuufanya mwili wake chochote nijisikiacho leo hii ananishushia kipigo kama hanifahamu.

    “Nyanyuka”

    Mwanajeshi aliye niiingiza kwenye chumba hichi alizungumza na mini, nikajikaza kume na kunyanyuka taratibu, sehemu ambayo nilichomwa kisu na Asma, ikaanza kuvuja damu iliyo nipa wasiwasi mkubwa sana, mwanajeshi huyo wala hakulijali hilo zaidi ya kuniongoza hivyo hivyo na kunipeleka kwenye chumba kingine chenye kijidirisha kidogo kwa juu na kunisukumia humo.

    “Ohoooo Mungu wangu ni nini hichi jamani”

    Nilizungumza huku machozi yakiendelea kunimwagika. Chumba hichi hakina kitanda zaidi ya choo kimoja cha kukaa. Nikanza kujifungua fingo vya shati langu, nikaangalia kidonda changu na kukuta nyuzo zilizo kuwa nimeshonwa zimefumuka kidogo. Kwa kiganja changu cha mkono wa kushoto nikajiziba huku nikiwa nimekaa sakafuni.

    Maskaa yakazidi kukatika na kwenda mbele, mlango ukafunguliwa, akaingia mwanajeshi mwengine aliye niletea sahani iliyo jaa ubwabwa na maharage, hakunisemesha kitu chochote zaidi ya kuweza sahani hiyo mbele yangu na kutoka kabla hajafika mlangoni nikamuita.

    “Sahamani kaka”

    Akasimama, taartibu akageuka na kunitazama.

    “Sahani kaka, hapa nipo wapi?”

    Akatingisha kichwa chake, kwa ishara ya macho akaniambia niweze kutaza kwenye koza za chumba hichi kwa juu, nikafanya hivyo nikaona kamera za ulinzi pamoja na kinasa sauti, akageuka na kutoka ndani ya chumba hichi. Kutokana nina njaa, sikuona haja ya kuacha kuto kula chakula hichi nilicho letewa taartibu nikaanza kukila, japo sio kitamu ila nikaendelea kukila hivyo hivyo hadi nikakimaliza.

    Masaa siku zikazidi kwenda, huku kila siku nikiletewa chakula kwa mara moja kwa siku.

    Nywele zangu zikazidi kukuka, pamoja na ndefu, kiufupi nilizidi kuchakaa, na kuwa mbaya sana. Nikiwa nimeamka kutoka usingizini, kabla sijaanza kufanya mazoezi mlango ukafunguliwa. Wakingia wanajeshi wawili walio valia vitambaa vyeusi machoni mwao huku wakiwa wamayaacha macho yao wazi tu.

    Mmoja wao akaniamrisha kunyoosha mikono mbele, nikafanya hivyo na wakanifunga pingu za mikononi, kutokana miguuni nimefungwa nyororo ndefu hawakuwa na haja ya kuweza kunifunga na miguu yangu.

    Mmoja akatangulia mbele na mwengine akawa nyuma yangu, tukaanza kutemeba kwenye kordo hii ndefu nyenye vyumba vingi. Tukatokea kwenye kiwanja kimoja kilicho jaa gari nyingi za jeshi. Nikakutana wanajeshi wengine wanne walio valia kama hawa wawili walio kuja kunichukua, wakiwa wamesimama na bunduki zao.

    Hapakuwa na mazungumzo zaidi ya kuniongoza na kuningiza kwneye moja ya gari jeusi ambalo ni kubwa kiasi. Ndani ya gari hilo nikaingia na wanajeshi wanne, wakiwemo wawili walio kuja kunichukua. Huku wengine wawili wakikiingia mbele ya gari hilo na safari ikaanza.

    Tangu kuzaliwa kwangu sijawahi kuona hili eneo nililipo wala kulisikia kwenye maisha yangu. Safari ikazidi kusonga mbele huku wanajeshi nilio kaa nao kwenye gari wakiwa makini sana katika kunilinda.

    Safari ikazidi kusonga mbele kwa kupitia kwenye kioo cha mbele cha gari hili nikaweza kugundua ni wapi tulipo. Ni katika mji wa mlalo, wilaya ya Lushoto mkoani Tanga. Imekuwa ni rahisi kwa mimi kuweza kuufahamu mji huu ni kuutokana nimesoma katika shule moja ya dini iliyopo kwenye eneo hili. Safari ikazidi kusonga mbele huku kwenye gari sote tukiwa kimya. Tukapita maeneo ya Lukozi, kisha tukafika kwenye eneo la Magamba kwenye msitu mmoja uno itwa Kha’ndekapaa. Gafla gari likayumba huku kwa nyuma tukiwa tumeangukiana. Dereva akajitahidi kwa uwezo wake na kuliweka gari sawa huku akifunga breki. Wanajeshi wote wakaniwahi na kuniweka sawa, huku kila mmoja akwia na wasiwasi mkubwa.

    “R one, ni nini kinacho endelea?”

    “Gari imepasuka tairi la mbele”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Ok wote kwa pamoja tuweni makini mmoja abaki kwenye gari na mfungwa wengine tushuke kuimarisha ulinzi”

    “Sawa mkuu”

    “A one baki kwenye gari”

    “Sawa mkuu”

    Sauti ya huyu mwanajeshi aliye ambiwa abaki na mimi kwenye gari na ndio aliye kuja kunichukua kwenye chumba nilicho kuwepo, ikanishangaza sana, nikajaribu kuvuta kumbukumbu zangu ni sehemu gani ambayo niliweza kuisikia sauti hii, ila sikuweza kukumbuka. Wanajeshi wakashuka huku wakiwa makin katika kuimarisha ulinzi wa eneo hili.

    Waakanza kufanya matengenezo ya gari lao, huku huyu A one, akinotazama kwa umakini huku bunduki yake akiwa ameishika vizuri mkononi mwake.

    “Muna nipeleka wapi?”

    Akaka kimya pasipo kunijibu kitu chochote, akatazama nje na kuwaona wezake wawili wakiendelea kulioshuhulikia gari huku mmoja wengine wakiwa wameimarisha ulinzi katika barabara hii. Isitoshe msitu huu ni msitu ambao unatisha sana kwa wingi wake wa miti na kipindi cha nyuma nilipo kuwa ninasoma, majambazi walikuwa wakiteka magari katika eneo hili na kuwapora kila kitu abiria na madereva.

    A one akatoa funguo ya pingu na kunipatia, sikujua maana ya yeye kufanya hivi ila akanikonyeza, nikaaificha funguo hii, baada ya kumuona mwanajeshi mmoja akichungulia. Alipo ona tupo salama, akaendelea kuimarisha ulinzi. Nikaanza kujifungua taratibu huku nikiwa makini, nilipo maliza kujifungua pingu hizo, akanipatia fungua nyingine za kufungua pingu za miguuni. Nikafanya haraka haraka, kisha akanionyesha bastola yake alipo ichomeka, nikaichomoa kwa haraka. Nikaikoki tayari kwa mashambulizi, taratibu tukanyata kwenye mlango, nikawatazama wanajeshi hawa jinsi walivyo kaa, nikautazama msitu huu na njia ambayo ninaweza kupita nikitoroka. Kwa kasi ya ajabu nikajirusha nje ya gari huku nikifyatua risasi kwa wanajeshi walio shika bunduki. Shambulizi langu likasaidiwa na A one ambaye naye yupo bega kwa bega na mimi katika kunisaidia.

    Wajeshi watano wote tukafanikiwa kuweza kuwaua. Kwa haraka, nikamvu mwanajeshi mmoja nguo zake, nikachukua bastola za kutosha na kuanza kuingia msituni nikiwa nimeongozana na A one. Pasipo kupumzika tukazidi kukimbilia ndani yam situ kuhakikisha kwamba tunaondoka kabisa karibu na eneo la tukio kwa manaa muda si mrefu jeshi linaweza kutumwa kututafuta.

    “Naomba….naomba nivae hizi nguo”

    Nilizungumza huku nikisimama nina hema sana. A one, akasimama na kunitazama usoni. Kwa ishara akaniambia nina weza kuvaa nguo hizo. Kwa haraka haraka nikavua nguo zangu hizi za kifungwa ambazo zinanuka, tangu nivalishwe siku niliyo ingia kwenye gereza hili ambalo lipo maeo ya Kitivo, sikuweza kubadilisha nguo. Kwa haraka haraka nikazivaa nguo hizi za kijeshi. Nilipo hakikisha kwamba nipo poa, tukaendelea kusonga mbele, pasipo kufahamu tunapo elekea ni wapi.

    “Huku”

    A one alizungumza huku akiongoza msafara huo wa kukimbia, kusema kweli hadi sasa hivi sijamfahamu kwamba yeye ni nani. Hadi inafika saa mbili usiku bado tukawa kweye msitu huu wa kiutisha.

    “Nimechoka naomba tumpumzike”

    Nilizungumza huku nikiinama, mikono yango nikaiweka kwenye magoti nikizidi kuhema sana. A one, akaninyoshea bastola yake kwa ishara akaniomba ninyanyuke na kuendelea na kukimbia. Sikuwa na jinsi zaidi ya kukaza moyo. Tukazidi kukimbia huku nikiwamfwata kwa nyuma. Tukafika kwenye moja ya njia inayo ruhusu gari kupita japo ipo poridini. Akasimama huku akitazama barabara hiyo, akatoa karatasi moja mfukoni mwake pamoja na kijitochi kidogo, akaangalia ramani ya msitu huu, alipo ielewa akaanza kuongoza njia huku tochi na karatasi yake akivizudisha mfukoni. Kutokana na mwanga wa mbalamwezi ulituwezesha kuona tunapo elekea. Tukafika mbele tukakuta gari moja jeusi aina ya BMW X5. Kidogo nikasita A one akalisogelea karibu, akagonga kwenye kioo la upande wa dereva, kioo kikashushwataratibu, sikuamini macho yangu nilipo muona mama yangu akiwa ndani ya gari hilo. Kwa haraka akashuka na kunifwata kwa kasi, akanikumbatia kwa nguvu huku sote tukiangua kilio cha uchungu. Mama akaniachia huku akinitazama usoni mwangu, akanishika uso wangu huku akitingisha kichwa akiendelea kulia sana. Akamgeukia A one na kumkumbatia naye kwa nguvi kisha akamuomba avua kitambaa alicho jifunga kichwani. Macho yakanitoka, huku mapigo ya moyo yakininienda kasi, kumbe mtu aliye nisaidia ni Asma, ambaye siku zote nilikuwa ninamtafuta kama adui yangu.







    Nikamsogela Asma huku nikiwa nimekunja ngumi mkononi mwangu. Nikakaribia na kumkaba koo lake na kumuegemeza kwenye gari kwa nguvu huku nikiwa na hasira kali.

    “Dany unafanya nini?”

    “Mama huyu ndio aliye nichoma mimi na kisu nikizani kwamba ni mtu mwema kwangu”

    “Dany nalijua hilo, acha kufanya hicho unacho kifanya”

    Mama alizungumza kwa sauti ya msisitizo huku akiniangalia, sikutaka kumuachia Asma koo lake, nikazidi kumkaba kwa nguvu.

    “Dany kwa nini unataka kumuua mzazi mwenzako?”

    Maneno ya mama yakanifanya nistuke sana huku taratibu nikiulegeza mkono wangu, nikamtazama mama nikaona jinsi anavyo mwagikwa na machozi usoni mwake. Hata Asma mwenyewe machozi yanamwagika, hakunifanya kitu cha aina yoyote zaidi ya kukubaliana na mimi katika kumkaba koo lake.

    “Mzazi mwenzangu?”

    “Yaa Dany, una mtoto wa kike”

    Nikamgeukia Asma na kumtazama, akatingisha kichwa na kunihakikishia kwamba ana mtoto wa kike.

    “Naomba unieleze huyo mtoto imekuwaje kuwaje?”

    “Ingia kwenye gari kila kitu tunakwenda kukizungumza nyumbani”

    Mama alizungumza huku akiwa amenishika mkono wangu wa kulia. Taratibu nikajikuta nikiingia kwenye gari huku nikiwa nimejawa na mawazo mengi kichwani mwangu. Mama akawasha gari na kuondoka eneo hili. Kwenye gari ukimya ukatawala, hapakuwa na mtu ambaye anazungumza jambo. Mama akasimamisha gari kwenye jumba moja lililopo katikati ya msitu maeneo haya haya ya Lushoto. Jumba hili limejificha sana na wala sio rahisi kwa mtu mwengine kuweza kuliona. Tukashuka kwenye gari na kuingia ndani. Sebleni nikamkuta Diana akiwa amembeba mtoto mchanga wa kike ambaye kaika kumuangalia tu usoni mwaili wangu mzima ukasisimka, na sura yake imeendana na mimi kabisa.

    Diana akanifwata na kunikumbatia huku akimwagikwa na machozi. Taratibu akanikabidhi mwanagu niliye mpokea kwa mikono yangu miwili. Asma akashindwa kuvumilia na kujikuta akiangua kilio kikubwa huku akinitazama usoni mwangu, nikamvuta karibu yangu na kumkumbatia na mwanagu. “Nimekumbuka sasa”

    Nilizungumza maneno hayo huku nikimtazama Asma usoni, kwa maana siku ambayo tulikutana kimwili anisha wahi kuniambia kwamba nimpatie mtoto japo nilimuuliza kuhusiana na maneno yake hayo yana maana gani ila anikataa na kudai ni burudani ninayo mpatia kitandani.

    “Dany namuomba mtoto, Asma atakupeleka chumbani kwenu na atakufanyia usafi wa mwili”

    “Sawa mama”

    Nikabidhi mama mtoto, kisha Asma akanishika mkono, tukaondoka sebleni huku tukiwaacha Asma na mama wakitutazama kwa furaha. Tukaingia chumbani kwetu, kitendo cha kufunga mlango Asma akanikumbatia na kuanza kuninyonya mdomo wangu. Kutokana na uchu mkali nilo kuwa nao kwa kipindi kirefu ambacho nimekaa kwenye grereza, sikutaka kuipoteza nafasi hii anayo nipatia Asma. Sikutaka manjonjo mengi, nikamvua suruali yake ya kijeshi hadi ikafika magotini na mimi nikafungua zipu na kumtoa jogoo wangu, nikaishusha chupi yake na kuanza kukila kitumbua chake huku nikiwa nimemuinamisha na ameshikilia ukuta.

    Asma kama kawaida yake aliyo barikiwa na Mungu, hakuacha kunikatikia kiuno, huku akitoa miguno ya kusisimua. Nikajikuta nikiwatoa waarabu weupe, ila jogoo akaendelea kusimama na kuunganisha mchezo. Mechi ikazidi kuwa kali hadi pale hamu ilipo katika ndipo nikamuachia Asma aliye choka sana. Tukakumbatiana kwa nguvu huku miili yetu ikiwa inamwagikwa na jasho.

    “Twende ukaoge mume wangu”

    Asma alizungumza huku akinishika mkono, taratibu tukaelekea bafuni. Tukavua nguo zote, nikasimama kwenye kioo, bado kidogo nikimbie kwa maana uso wangu umejaa mandevu ambayo ninaweza kujifananisha na gaidi moja wa Dunia anaye julikana kwa jina la Osama Bin Laden. Manywele marefu nayo yakapoteza kabisa muonekano wangu. Hata ule uzuri ambao nilikuwa nao umepotea kabisa.

    “Pole sana Dany wangu, ni mateso makubwa ambayo wameweza kukupatia”

    Asma alizungumza huku akichukua mashine maalumu ya kunyolea ndevu na kunipaka dawa maalumu, ya kunyolea ndevu.

    “Nina kipindi gani mimi kuwa gerezani?”

    “Ni mwakana na miezi nane sasa”

    “Mungu wangu?”

    “Yaa, nimebeba mimba ya mwanao hadi nimejifungua. Na mtoto ana miezi nene sasa”

    Nikajikuta nikifumba macho kwa uchungu na hasira kali ambayo nimeibana kifuani mwangu kwa kipindi kirefu. Nikiwa kama mfanyakazi wa serikali tena mpelelezi, siku stahili kuweza kufanyiwa hili nililo fanyiwa na serikali yangu pamoja na raisi wangu.

    “Ilikuwaje kwa uapande wako baada ya kukamatwa pale banki”

    “Niliachiwa, kwa maana nilikuwa katika kazi maalumu ya kumpeleleza Jumaa na kundi lake lote na wale ni watu ambao wapo chini ya K2”

    “Una taka kuniambia kwamba wewe sio jambazi?”

    “Ndio, mimi ni mpelelezi kutoka NPS, niliifanya kazi hiyo kwa siri sana pasipo mtu yoyote kuweza kufahamu. Kazi hiyo niliachiwa na raisi aliye pita ya kuweza kuchunguza kundi la majambazi ambao katika kipindi chake cha madaraka waliweza kumtesa na kumsumbua sana”

    Asma alizungumza huku akiendelea kuninyoa, nikabaki nikiwa nimejawa na mchangao kwa maana katikakumtazama wala huwezi kufahamu kwamba ni mpelelezi na ni mtu mwenye uwezo mkubwa wa kuigiza misha ya unyonge kwa maana kipigo alicho kuwa anapatiwa na Jumaa ni kipigo ambacho kwa msichana mwengine ni lazima kuweza kuachana na ndoa hiyo.

    “Japo kwa sasa sipo katika kitengo hicho, nimejitoa kutokana na kuona mambo yanayo endelea katika kitengo changu yamejaa usaliti mkubwa”

    “Hawajakutafuta kwa sababu umeacha kazi yao?”

    “Nilifanyiwa mpango na raisi mstafu na kunipeleka katika gereza lile uliopo, siku zote zikufahamu kwamba upo pale, kwa maana chumba chako hakikuruhusiwa mu yoyote kuingia zaiid ya yule ambaye alikuwa anakuletea chakula”

    “Amri hiyo ya kufungiwa alikuwa anaitoa nani?”

    “Raisi, na siku ya leo alihitaki upalekwe kwenye kikosi maalumu cha kwenda kufanya kazi Pakistani, ambapo kulikuwa na mpango wa wewe kwenda kuuwawa”

    Maneno ya Asma yakazidi kunijaza chuki dhidi ya riasi aliyopo madarakani. Asama akamaliza kuninyoa ndevu, akachukua mashine ya kunyolea nywele na kuanza kuninyoa taratibu.

    “Ninyoe nywele zote”

    “Sawa”

    Ukimya ukatawala huku mngurumo wa mashine ya kunyolea nywele ukitawala ndani ya bafu. Ndani ya dakika kumi kichwa changu kikawa hakina nywele hata moja. Nikasimama mbele ya kioo na kujitazama, sura yangu sasa ambayo nilisha zoea kuiona imerudi sawa sawa.

    Nikafungua maji ya bomba la mvua, yakaanza kunimwagikia mwilini mwangu. Uchafu mwingi wa nongo ukayabadilisha maji yanayo tiririka na kuingia kwenye kijishimo cha kutolea maji kwenye bafu hili. Asma akaanza kunisugua na dodoki, zoezi la kunisafisha mwili likachukua zaidi ya nusu saa, sasa hata rangi yangu ya mwili ikaanza kurudi taratibu na kubaki nikiwa katika muonekano ulio zoelekea kuonekana mwilini mwangu.

    Tukatoka bafuni baada ya Asma na yeye kuoga, nikajilaza kitandani huku nikiwa ninafikiria kitu cha kufanya. Asma akalala pembeni yangu.

    “Dany huu ni wakati wetu wa kulipiza kisasi kwa wale wote ambao wametufanyia unyama na ukatili. Tazama jisni malengo yako, yangu ya mama yalivyo vunjika”

    “Ya mama kivipi?”

    “Mama alisha fukuzwa kazi, tena kwa shutuma mbaya sana”

    Asma alizugumza huku akinyanyuka kitandani, akapiga hatua nadi kwenye droo ya dreasing table na kutoa gazeti moja na kurudi nalo kitandani. Akanikabidhi na taratibu nikaka kitako huku nikilifungua. Nukakutana na kichwa cha habari kinacho sema MKUA WA MKOA TANGA AIBA BILIONI MIA MOJA.

    Taarifa hiyo nikataza tarehe yake na mwaka wake nikaona ni ya mwaka juzi na hadi sasa imepita mwaka.

    “Hiyo taarifa ilitengenezwa na mkuu wako wa NSS, mis K2. Na yeye pia ndio aliye husika katika kuhakikisha kwamba mama anafukuzwa kazi na kuchukuliwa hatua za kisheria ikiwemo kufilisiwa kila kitu alicho kuwa nacho.”

    “Hii nyumba mama aliweza kunielezea kwamba aliijenga akiwa na baba yenu, japo nyinyi hamkulifahamu hilo ila ameijenga na leo ndio inayo tusitiri kwa kuishi humu japo ni porini sana ila tuna amani sana”

    “Naomba suruali kama ipo?”

    Asma akafungua kabati na kunitolea suruali pamoja na tisheti, nikavivaa kwa haraka kisha nikatoka kwenye chumba chetu na kuelekea sebeleni. Nikamkuta mama akiwa amekaa peke yake.

    “Diana yupo wapi?”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Amekwenda kumlaza mtoto”

    Nikaka kwenye sofa la pembeni na kumtazama mama usoni, ujio wangu uliweza kumuashiria kwamba nina mambo mengi ambayo ninahitaji kuweza kuzungumza naye.

    “Mama naomba unieleze kitu kinacho endelea kwenye hii familia kwa sasa”

    Mama akaka kimya huku uso wake akiwa ameuinamisha chini, akashusha pumzi nyingi kisha akanitazam usoni mwangu tena.

    “Dany maisha yetu kwa sasa sio maisha kama yale uliyo wahi kuishi pale awali. Mama yako sio mtumishi tena kwenye hii serikali. Utajiri hadi wa urithi alio kuwa ameuacha marehemu baba yako nimepokonywa. Lati nisinge kuwa na akili ya kumiliki hili jumba, leo hii ingekuwa ni aibu kubwa sana kwenye maisha yetu”

    “Imekuwaje kuwaje mama, ni kwa sababu yangu mimi au?”

    “Sio kwa ajili yako wewe na wewe usijilamu kwa kile ulicho kifanya kwa maana ulikifanya hicho kwa ajili ya kuyaokoa maisha ya mdogo wako, ndio maana ikawa hivyo”

    “ Mama nitahakikisha mali na utajiri wa baba yangu unarudi, na ni kweli ulichukua hizo pesa?”

    “Mwangu nimekuwa nikiishi kwa kuisimamia haki, sikuwahi kuchukua pesa ya serikali kwa matumizi yangu binafsi nilisingiziwa”

    Nikamtazama mama kwa muda, kisha nikanyanyuka na kurudi chumbani, nikamkta Asma akiwa anafanya usafi wa chumba chetu.

    “Kesho ninahitaki kueleka Tanga mjini, kuna vitu nahitaki kuhakikisha kwamba vinarudi kwenye mikono yetu”

    “Dany haujawa sawa kwa kuweza kufanya kazi hiyo unayo taka kwenda kuifanya”

    “Ninaweza kuifanya, hakikisha kwamba unailinda familia vizuri, na unamlinda mwangu vizuri sana”

    “Ila hadi sasa hivi mtoto hatujampa jina lolote zaidi ya kumuita Baby”

    “Mulikuwa muna subiri nini?”

    “Tulikuwa tunahitaji wewe kurudi ndio uweze kumaptia jina”

    “Ahaaa hivi ilikuwaje hadi ukafahamu kwamba mimi nipo kule”

    “Wapi?”

    “Kwenye lile gereza?”

    “Kuna siku nilipata nafasi ya kuingia kwenye chumba cha mawasiliano hapo ndipo nilipo kunona ukiwa katika kile chumba kwa maana tulisha kutafuta sana pasipo kupata mafanikio ya kukuona”

    “Niandalie silaha zangu kesho ninaianza kazi yangu, nitahakikisha raisin a K2 wanalipa katika hili”

    “Kuwa makini mume wangu kwa maana watu una dili nao wana nguvu sana”

    “Usijali mke wangu”

    “Nikundalie chakula?”

    “Hapana sina haja ya kula kwa usiku wa leo”

    “Ila hujakula chochote tangu asubuhi”

    “Yaa asubuhi naamini utanipikia chakula kitamu”

    Asama akapanda kitandani na kunikalia kiunoni mwangu.

    “Dany kila nikutazamapo huwa natamani sana kupata penzi lako, hata mtoto uliye nipatia ameweza kunipa furaha kubwa kwenye maisha yangu na kila siku niliweza kumkumbuka kupitia wewe”

    “Kweli?”

    “Ndio mume wangu, naamini hapa tutakuwa tunatafutwa ila nitahakikisha kwamba kila kitu kinakwenda vizuri ni lazima tuwaonyeshe hawa wanaharamu kwamba tunaweza kuitingisha hii ichi”

    Maenoya Asma yakazidi kunipandisha munkari wa kutamani kulipiza huki walicho nifanyia K2 na raisi.

    “Una mpango gani mke wangu?”

    “Mpango nilio kuwa nao kwa sasa ni kusoma mazingira ambayo wanayo kwa sasa, kisha kisasi chetu sisi tunakirudisha kupitia familia zao”

    Nikaa kimya huku nikitafakari kitu cha kufanya, wazo la Amsa ni wazo zuri sana nikaona hilo ndio nitakalo anza nalo kulifanyia kazi pale kutakapo pambazuka.









    Sikupata suingizi kabisa, kila muda nikawa ninawaza ni kitu gani ambacho ninaweza kukifanya kwa hawa washenzi walio haribu maisha yangu. Nikamtazama Asma na kumkuta akiwa amelala fofofo, nikashuka kitandani, nikachukua suruali yangu pamoja na tisheti. Nikapiga hatua hadi kwenye dreasing tabla nikafungua droo moja na kutoa bastola pamoja na magazine yake. Nikaichomeka vizuri na kutoka nje. Japo kuna baridi kali usiku huu ila sikulijali hilo. Nikaanza kuizungu nyumba yetu kuhakikisha kwamba kuna usalama wa kutosha. Nilipo ridhika na ukaguzi wangu nikarudi chumbani kwangu.

    Hadi kuna pambazuka sikufumba kabisa macho yangu, kama kawaida yangu niliyo jizoesha tangu nikiwa nipo gerezani, nikaanza kufanya mazoezi ya viungo, na kuzidi kuimarisha mwili wangu. Nilipo maliza nikaingia bafuni na kuoga.

    “Umeamkaje”

    Nilimsalimia Asma aliye kaa kitandani, bado akiwa na mawenge ya usingizi usingizi.

    “Salama baby, umeamka saa ngapi?”

    “Muda mrefu sana”

    “Ngoja nikamchukue mtoto”

    “Sawa”

    Amsa akachukua tenge na kujifunga kifuani kisha akatoka chumbani na kuniacha nikiwa ninavaa nguo kujiandaa kwa mpango wangu mzima wa kuhakikisha kwamba kisasi changu ninakifanya kwa kutumia akili kubwa sana na si kutumia nguvu.

    Asma akarudi akiwa amembeba mtoto wangu, akanikabidhi mikononi mwangu. Japo ni mtoto wa kike ila ana fanana sana na mimi.

    “Weeee”

    “Mpe jina mwanao, kwa maana jina la Baby sio jina official”

    “Mmmmm kuanzia leo atachukua jina la Anjelina”

    “Waooo jina zuri”

    “Yaa hilo ndio ninalo lihitaji”

    Asma akaingia bafuni na mimi nikatoka na mwanagu hadi sebleni na kumkuta mama akitazama Tv, taarifa ambazo zipo kwa sasa kwenye vyombo vya habari ni kutoroka kwangu, cha kushanga zaidi ni kwamba, wananitangaza maka gaidi.

    “Jamani kwa nini mwanangu wanaamua kumfanyia hivi”

    Mama alizingumza kwa lugha ya unyonge huku akiitazama taarifa hiyo ya asubuhi inayo tangazwa na kituo cha Star Tv. Nikaka kwenye sofa huku nikiwa nimembeba Anjelina, nikatazama picha zangu zinazo onyeshwa kwenye kituo cha hicho huku baadhi zikinionyesha nikiwa na ndevu nyingi.

    “Mama”

    “Mmmmm”

    “Nimempa mjuku wako jina lako la Anjelina”

    “Weee Dany”

    “Yaa mama nimeamua kumpa jina hilo kwa maana linampendeza na sikuona haja ya kuweza kuchagua majina ya watu wengine wakati mama yangu wewe upo”

    “Asante sana mwangu, vipi hiyo taarifa hapo umeielewa?”

    “Yaa, nina mpango wa kwenda Tanga mjini leo, kuhakikisha kwamba kila kitu kilicho potea mikononi mwetu kinarudi kwenye mikono yako”

    “Mmmmm sasa mwangu, huoni kama hiyo ni hatari na wanaweza kukukmata tena na ikawa ni kesi nyingine?”

    “Kwa sasa mama roho yangu na nafsi yangu zimebadilika sana, hakuna anaye weza kunikamata. Kama niliweza kuyahatarisha maisha yangu kwa ajili ya raisi, alafu leo hii pasipo sababu yoyote wananiita mimi gaidi. Sasa nataka maneno yao wanayo yazungumza yawe kweli”

    “No no no Dany, sikukulea hiyo na wala sihitaji uwe hivyo mwanangu. Tazama Anjelina anakutegemea baba yake kuweza kuishi maisha marefu ili aweze kufaidi matunda yako. Tanzama mdogo wako, mtazame mke wako, nitazame mimi sisi site macho yetu yapo kwako. Familia pasipo baba bado haijawa familia mwangu”

    Mama alizungumza huku machozi yakimlenga lenga, japo maneno anayo yazungumza yana uzito kwenye maisha yangu. Ila nimesha apa kwa Mungu kwamba hakuna anaye weza kuyabadilisha yale niliyo weza kuyapanga. Nilio wawekea nia nao ni lazima waweze kulipa kwa kile walicho nifanyia.

    “Dany nakuomba mwangu, kaa nasi sihitaji urudi huko mjini, kuishi kwako hapa kutaongeza furaha, amani na upendo.”

    “Mama nina kupenda, wewe kwanini wakuite mwizi, kwa nini mimi wakaniweke huko gerezani kwa miaka zaidi ya mmoja na miezi yake. Kwa kosa gani, kwa mdogo wangu kutekwa na watu ambao wanafanya kazi chini ya muamvuli wa serikali eheeee”

    Nilizungumza kwa hasira hadi mwanagu Angelina akaanza kulia, Diana kwa haraka akanifwata na kumchukua Angelina na kuondoka naye.

    “Mama sisi pia ni watu, tuna haki, maisha yetu hayawezi kuharibiwa na watu wachache mama, nahitaji kuwaonyesha kwamba sisi sio watu wabaya ila ubaya wameutafuta kwetu. Nimeishi miezi hiyo nikiwa kama mnyama. Siogi, fifui sitoki nje, naishi na kinyesi changu ndani ya chumba unahisi kwamba hayo ni maisha mama yangu eheee”

    Ni wewe na Asma tu ndio munao weza kusema kwamba sikuwa ninatoa harufu, ila nilikuwa ni mchafu, nanuka. Leo hii mama kweli nisiwalipizie kisasi wale walio fanya hivi?”

    Niliendelea kuzungumza kwa ukali huku machozi yakinimwagika usoni mwangu. Taratibu mama akanyanyuka kutoka kwenye sofa alilo kali na kuja kujaa jaribu yangu. Taratibu akaanza kufuta machozi yangu.

    “Dany wanangu ninaelewa ni uchungu wa kiasi gani ulio kuwa nao ila nakuomba utulie, nakuomba utazame familia kwanza”

    “Mama familia yangu ninaipenda tena sana, tambua leo hii ninkamatwa kwa kuitwa gaidi, watu wanao nifahamu, waliokuwa wakiniheshimu leo hii watanischukuliaje mimi, eheee. Leo nikikamatwa tambua wanakwenda kuninnyonga, so ni familia ipi nitakayo iangalia. Mwanangu atakapo kuwa atakuja kujivunia kama alikuwa na baba aliye nyongwa kwa kuitwa gaidi kwa kosa la kusingiziwa.”

    “Mama ninakuomba unipatie baraka zako tu, kama huyo nipatia nitafanya kile ninacho hitaji kukifanya. Hata baba huko alipo nina imani atakuwa akubaliani na kile unacho kizungumza. Atafurahi pale atakapo ona ninaweza kurudisha mali alizo zotafuta kwa miaka yake yote ya uhai wake zinarudi kwenye mikono ya hii familia na hilo ndio jambo la msingi mama”

    Mama akanitazama huku akishusha pumzi nyingi, kwa kile nilicho kizungumza, kikamfanya mama kuishika mikono yangu yote miwili huku akimwagikwa na machozi, akaiweka kifuani mwake.

    “Nakuruhusu Dany wangu, nakuomba urudi na ushindi mwangu”N

    “Asante mama”

    Nikanyanyuka, nikageuka nyuma nikawakuta Dianana Asma awakiwa wamesimama huku nyuso zao nao zikiwa zimejawa na machozi mengi. Wakanifwata na kunikumbatia kwa nguvu, naye mama akasimama na kunikumbatia huku machozi yakitumwagika.

    “Nawaahidi nitarudi na ushindi”

    Nilizungumza huku nikiwaachia, Asma akanishika mkono na kuniomba nikae kwenye kiti kilichopo pembezoni mwa meza ya chakula.

    “Naomba unywe chai hii mume wangu, niliyo kuandalia”

    Asma alizungumza huku akijifuta machozi usoni mwake. Sikuwa na kipingamizi chochote, nikaanza kunywa chai na wote wakajumuika na mimi na tukaendelea kunywa chai.

    “Anjelina yupo wapi?”

    “Anjelina, ndio nani?”

    “Ahaa Anjelina si mtoto wangu, nimempa jina la Anjelina”

    “Alafu muna tabia mbaya jamani, mimi hata hamujaniambia Shangazi wangu anaitwa Anjelina”

    “Basi ndio ufahamu shangazi yako anaitwa Anjelina”

    “Jamani naombeni simu kwa manaa huko ninapo kwenda nitahitaji kuwasiliana na nyinyi”

    “Simu, mimi nitakupa”

    “Hapana Asma usimpe, huyo Diana anatakiwa kumpa kaka yake simu, kwa mana namuona na simu simu nyingi tu”

    “Kwani mimi nimekataa mama kumpa simu, si wifi tu aliniwahi kuzungumza”

    “Sawa, mama hivi gari ni hili moja tu?”

    “Hapana kuna gari kama tatu, nitakuonyesha baada ya kula”

    “Sawa”

    Tukamaliza kula, mimi na mama tukatoka nje, tukazunguka nyuma ya nyumba kuna moja ya geti kubwa ambalo jana usiku sikulitilia maanani nilipo kuwa ninazunguka hii nyumba.

    Mama akaingiza namba za siri kwenye sehemu ya ukuta, geti hilo likafunguka taratibu hadi mimi mwenywe nikashangaa. Akawasha taa, sikuamini macho yangu kuona ukumbi mkubwa kwenye hii nyumba, ambao ndani yake umejaa vitu vingi vya thamani.

    “Hii nyumba mimi na baba yako, tulipata ramani yake kutoka kwa mjerumani mmoja hivi alikuwa ni mkurugenzi wa pale Simba Saruji alipo kuwa anafanya kazi baba yako”

    “Eehee sasa mama mbona hamkutuambia kwamba muna jumba kubwa hivi?”

    “Baba yako aliniambia nisifanye hivyo hadi pale utakapo oa ndio nikueleze au utakapo pata mtoto”

    “Mmmmm sasa kwa mfano kama ungeondoka duniani pasipo kutuambia ingekuwaje?”

    “Munge fahamu kwa mana ramani ya kufika huku iliikuwa katika nyaraka zangu za siri”

    “Ahaa sawa sawa mama”

    Mama akaanza kuvuta turubai moja baada ya jingine ambayo yamefunika vitu vyote ndani ya ukumbi huu. Tukasaidiana kuyachomoa maturubai yote, gari mbili za kifahari ambazo ni Aud A7, Benz AMG 565 na Rane rover Voge.

    “Mama hizi gari umezinunulia wapi?”

    “Ahaa Tanzania hapa mwanangu, hizi gari nilikuwa ninaziagizia kwa jina la Diana na wala hapakuwa na mtu aliye weza kugundua kwamba ni zangu na huku nilikuwa ninazileta kwa siri sana tena usiku”

    “Mmm mama una hatari wewe”

    “Yote haya maisha niliwaandalia wewe na mdogo wako, na kila mmoja atakapo pata watoto wake atawarithisha hizi mali”

    Mama alizungumza huku akifungua moja ya kabati la chuma. Sikuamini macho yangu kwa kuona vibunda vya dola mia mia za kimarekani vikiwa vimejaa kwenye kabati hilo. Mama akaanza kutoa vibunda na kuviweka kwenye meza ya pembeni.

    “Hizo pesa ni sawa na dola laki tatu, nakuomba uwe makini nazo kwenye mipango yako yote utakayo iendesha huko mjini”

    “Sawa mama”

    “Ngoja”

    Mama akafungua kabati jingine, nikaona bastola za kila aina zikia wa risasi zake, zimepangwa vizuri kwenye kabati hilo. Nikasoge karibu na kuanza kuzitazama. Kuna bastola mbili za rangi ya silva, nikatokea kuzipenda sana. Nikazichukua pamoja na magazine kumi zilizo jaa risasi.

    “Hapo kimebaki nini kingine…..?”

    Mama aliniluliza huku akinitazam usoni, sikuwa na chakujibu kwa maana kila ninacho kihitaji ameweza kunipatia. Akapiga hatua za haraka hadi kwenye kabati jingine, akafungua kabati hilo na kutoa tisheti moja nyeusi na ina uzito kisai.

    “Ivae”

    “Eheee ?”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Ivae”

    Nikavua tisheti niliyo ivaa na kuivaa tisheti hiyo iliyo ubana mwili wangu vizuri, mama akafungua kabati lenye bastola, akachukua bastola moja na kuiweka magazine kisha akaninyooshea, jambo lililo nifanya nistuke sana. Pasipo kugopa mama akafyatua risasi na kujikuta nikifumba macho kwa woga.

    “Acha uoga”

    Kauli ya mama ikanifanya kuyafumbua macho yangu, nikakuta risasi aliyo ifyatua kuja kwangu ikiwa imeanguka chini.

    “Hiyo tisheti haiingii risasi, kipindi nilipo kuwa jeshini nikiwa binti mdogo, maremu baba yangu alikuwa ni ngunduzi na alikuwa ni meja wa jeshi. Aliweza kuitengeneza hiyo tisheti ili ziweze kutumiwa na wanajeshi wakiwa jeshini hususani kipindikile cha vita ya Kagera. Ujuzi wake uliweza kupuuziwa na viongozi wa serikalini na kumjita kwamba ni mchawi na anataka wanajeshi kuwafanya kama wanajeshi wa Kinjikitile Ngwale, alio kuwa akiwanywesha maji na kuwaambia risasi kwamba hazito ingia kwenye miili yao, ila kwa bahati mbaya ndio hivyo wakafa”

    “Kitendo kile kilimkera sana babu yako na kuamua kunirithisha ujuzi huo wa kutengeneza tisheti hizo, kadri siku zilivyo zidi kwenda ndivyo nilivyo jikita ninakuwa mbunifu mkubwa sana japo hilo jambo sikuhitaji kulirithisha kwa mtu yoyote”

    “Kwa nini?”

    “Linaweza kuleta maafa makubwa sana hususani majambazi wakitambua tisheti hizi watakuwa ni hatari sana katika kufanya ualifu na hakuna risasi ambayo inaweza kupenya kwenye miili yao”

    “Kwa mfano nikiwa ninahitaji kukulenga kichwani au miguuni, risasi haito weza kukufikia kwani mita mbili kutoka ulipo inaishiwa nguvu na kuanguka chini”

    Mama alizungumza maneno hayo, kisha akafyatua risasi akiwa amenilenga kwenye mguu, na kweli risasi hiyo haikuweza kunifikia na ikaanguka chini. Nikajikuta nikitabasamu kwa manaa ni moja ya kifaa changu kikubwa kikacho nifanya niweze kuifanya kazi yangu ya kulipiza kisasi pasipo kuogopa kitu chochote.

    “Asante sana mama”

    Nilizingumza huku nikimfwata nikamkumbatia kwa nguvu, kisha nikamuachia huku uso mzima ukiwa umeja na furaha.

    “Hapo kwenye hiyo sura sasa ndio mtihani”

    “Usijali kuhusiana na swala la sura”

    “Ok nilitaka kusahau, kuna hizi kalamu hapa”

    Mama akanitolea boksi la kalamu, za kila aina na kalamu hizi sio mara yangu ya kwanza kuweza kuziona kwani kati ya kalamu hizo nimeshawahi kuzitumia kipindi nina soma.

    “Hizi kalamu ni mabomu ambayo yanaweza kusambaratisha watu hata watano amambao wanaweza kukaa karibu. Kalamu hizi nilizibuni mimi mwenywewe na nimezifanyia majaribio. Sio rahisi kwa mtu kuweza kufahamu kwamba kalamu hizi ni mabumu, kwa sababu zipo kama kalamu nyingine. Kalamu hizi zipo kwenye mifumo miwili, hizi ambazo zinafunguka kwa kuchomoa vifuniko, pale mtu anapo chomoa kifuniko basi analipuka na kuwa vipande vipande. Hizi za kuminya mimya mtu akiminya hili kuweza kuondika basi atalipukua. Kwa hiyo unatakiwa kuwa makini sana, na wala sihitaji kuonyesha majaribio yake kwa maana tutakufa”

    “Mama”

    “Bee”

    “Huu ujuzi wote umeupata wapi?”

    “Nilisha kuambia alinirithisha babu yako, na mimi niliutumia kufanya vitu ambavyo siku moja nilikuwa na ndoto ya kuja kuwa mbunifu wa silaha za kijeshi ila kila niliyo buni nikaona ina weza kumaliza hichi kizazi, naomba hapo uchukue kalamu nne tu zitakutosha nyingine narudisha kwenye kabati”

    Nikachomoa kalamu nne mbili zikiwa na vizibo na mbili zikiwa ni za kuminya ili mtu kuweza kuandika. Mama akasimama kwneye moja ya meza, akamina chini ya meza, hiyo ambapo kuna batani nyekudu. Pembeni ya meza hiyo kukatoka kioo kikubwa cha Tv ambacho kwa haraka haraka ni kama inch 52. Akaanza kugusa gusa kwenye kioo hicho.

    “Hapa ninaweza kuona kila kitu kinacho endelea maili moja kutoka hapa kwenye nyumba yangu, kila anaye ingia katika usawa wa maili moja nina weza kumuona, kwa hiyo kama ni mtu ana nia mbaya basi nina weza kumalizia huko huko”

    “Kummaliza?”

    “Yaaa, katika miti karibi elfu moja nimefunga kamera pamoja na silaha ambazo kupitia compyuta hii ninaweza kuziongoza nitakavyo mimi mwenyewe”

    “Kwa mfano ngoja nikonyeshe kitu hapa”

    Mama akaanza kuminya minya tena kioo cha compyuta hiyo, akanionyesha nyama mmoja aina ya swala akiwa katika msitu wa jumba hili.

    “Kama ninataka kumuua huyu swala, nafanya hivi”

    Mama akaminya kwenye kioo cha copyuta hii kilicho andikwa FIRE, sote kukashuhudia Swala huyo akianguka chini na damu zikianza kumwagika sana.

    “Risasi zake zinapo toka huwa hazitoa sauti, na kazi hiyo pia ninaweza kuifanya kwenye simu yangu tu na si lazima kuja huku ukumbini”

    Nikamtazama mama usoni na kijikuta nikikosa cha kuzungumza kwa manaa ukimuona kwa haraka haraka unaweza kusema ni mama wa kawaida sana na hata alivyo singiziwa kuiba pesa za serikali, sikuweza nikauona ameonewa, ila ni mtu mmmoja hatari sana.

    “Tuachane na hilo, hizo gari zote hapo hakuna hata moja inayo ingia risasi, ni gari ambazo kwa Tanzania wanazo watu wacheche japo kuna watu wana gari kama hizo ambazo zinaingia risasi, ila kuna utofauti mkubwa sana katika hilo”

    “Sasa hapa mama nitumie gari gani?”

    “Tumia hiyo Aud, hiyo Benzi iache ukiingia nayo mjini watu wengi watakushangaa, kwa maana sio kama benzi nyingine, hembu fungua mlango na utazame humo ndani. Nikafunua mlango upande wa dereva.

    “Ohooo my God!! Spidi mia nne”

    “Yaaa spidi mita mia nne, kwa hiyo ukiendesha hiyo gari, unaweza kujiua wewe mwenyewe wakati tunahitaji bado”

    “Mama nipe hili gari”

    “Noo chukua hiyo Aud hilo liache, naomba nielekeweke katika hilo”

    Sikuwa na ubishi, tukaanza kuuingiza pesa alizo nipatia kwenye begi alilo npatia mama, kisha ni nikafungua nyuma ya gari na kuliweka begi hilo, tisheti aliyo nipa sikutaka kuivua. Niakalitoa gari kwenye ukumbi huo na kulisimamisha mbele ya jumba letu. Asma na Diana wakanifwata nilipo simama huku Asma akiwa amebeba begi la nguo.

    “Humu nimekuwekea nguo za kubadilisha”

    “Asante honey”

    Asma akaliingiaza begi la nguo siti ya nyuma, mama akaja sehemu tulipo simama.

    “Simu uliyo pewa ipo wapi?”

    “Sijampa hii hapa”

    Diana akanipa simu aina ya Iphone six, mama akaichukua na kuanza kuminya minya huku akiwa na simu ambayo ni sawa na hii aliyo nipatia Diana

    “Mama unafanyaje au unakagua meseji zangu?”

    “Meseji zako za nini, hembu niachie ujinga”

    “Kwani hujafuta meseji zako?”

    “Nimefuta ila nilikuwa nina mtania mama”

    Mama akanikabidhi simu baada ya kumaliza alichi kuwa anakifahanya. Ukipata tatizo lolote simu yangu itaweza kunionyesha hapa, sehemu na tatizo ambalo umelipata hakikisha kwamba huiachi mbali na wewe hii simu”

    “Sawa mama”

    Nikaichukua simu na kuiweka mfukoni mwangu.

    “Ila kaka Dany na huo upara huko kichwani mmmmm”

    “Una nini?”

    “Ahaaa sijazungumza mimi”

    Nikakumbatiana nao wote watatu, kisha nikaingia kwenye gari, nikafunga mkanda na kufungua kioo kidogo. Mama akanifwata na kuinama kidogo.

    “Hakikisha unarudi na kichwa cha K2 hapa sawa”

    Maneno ya mama yakanifanya nimtumbulie macho, akanikazia macho na kunifanya nimjibu bila kupenda kwa kutingisha kichwa











    Mama akanishika shavu lango na kulifinya kidogo kisha akasimama akiwa na sura iliyo jaa tabasamu. Asma akainama pale alipo kuwa ameinama mama na kunibusu mdomoni mwangu.

    “Mwanao nitahakikisha anakua katika mazingira mazuri ya kupendeza”

    “Asante mke wangu”

    “Kuwa makini lakini”

    “Usijali katika hilo”

    Asma akanibusu tena. Diana akanipungia mkono, taratibu nikafunga kioo cha gari langu, na taratibu nikaanza kuondoka katika eneo la nyumba hili huku nikiwatizama kupitia kioo cha pembeni jinsi wanavyo nitazama. Ramani iliyopo kwenye tv ndogo ya hili gari, inaaniongoza njia za kupita kwa kutumia kijimshale maalumu cha kunielekezea. Mwendo wa masaa mawili nikawa nimefanikiwa kutoka msituni na kuingia kwenye kijiji kimoja ambacho sikukifahamu kinaitwaje. Ni kijiji kilicho jaa watu wengi pamoja na nyumba za udongo.

    Nikaendelea kuifwatisha ramani hiyo hadi nikatokea mji mmoja unao itwa Soni. Sikuhitaji kusimama sehemu yoyote zaidi ya kuendelea na safari yangu ambayo ni ndefu sana bado sijafahamu huko mbele nitakutana na changanoto gani.

    Kutokana sio mara yangu ya kwanza kupita kwenye hii barabara ya Soni kuelekea Mombo, nikawa makini sana kwenye kuhakikisha kona zote ninazipita kiusalama, hata mwendo wangu wa gari nikawa nimeupunguza kwa kiasi kikubwa. Nikiwa katikati ya kona, nikakutana na foleni kubwa za magari yaliyo simama, jambo ambalo si la kawaida kwa njia hii kuwa na foleni kubwa kiasi hichi. Ikanibidi na mimi kuweza kusimamisha gari langu huku nikiwa na wasiwasi mkubwa sana. Nikataka kushuka ila roho yangu ikasita kidogo.

    Nikiwa nimetulia huku nikisubiria foleni hiyo kwenda mbele, nikaona watoto wawili wakiwa wanatembea kwa miguu wakitokea huko ilipo foleni, taratibu nikafungua kioo cha gari ili niweze kuwauliza kitu.

    “Nyie watoto kuna nini huko chini?”

    Wakanitazama pasipo kujibu kitu chochote, akilini mwangu nikajiuliza hawaelewi Kiswahili au ndio ukimya.

    “Eti watoto wazuri kuna kitu gani kinacho endelea huko chini?”

    “Weshu tutonge”

    Mmoja alizungumza huku akimvuta mwenzake mkono, kwa haraka haraka nikatambua kwamba neno alilo lizungumza linamsisitizia mwenzake waondoke. Wakaondoka pasipo kunijibu kitu cha aina yoyote, taratibu nikafunga kioo cha gari na kuendelea kusubiria magari yasogee taratibu. Taratibu magari yakaanza kusegea.

    Kwa mbali kidogo nikaona askari wa usalama barabarani, wakikagua gari moja baada ya jengine, hapo ndipo wasiwasi ulipo anza kunipanda. Mapigo ya moyo yakanienda mbio sana, kwa maana sikuhitaji kukamatwa mapema kiasi hichi wakati nina jukumu zito mbele yangu. Kutokana gari zimesimama tena nikashuka kwenye gari na kuzunguka kwenye buti la gari, nikalifungua. Begi lenye pesa nikalifungua taratibu pasipo mtu wa gar lililopo nyuma yangu kuweza kuona chochote. Nikachukua kibunda kimoja cha dola za kimarekani, nikalifunga na kurudi ndani ya gari.

    Taratibu magari yakaanza kusonga mbele, na mimi nikafika kwenye sehemu ya kukaguliwa. Akanifwata askari wa kike aliye valia sare zake vizuri na kupendeza. Nikafungua kioo cha gar taratibu huku nikiwa nimeandaa noti tano za dola mia. Askari huyo akanitazama kwa sekunde kadhaa kisha akatabasamu.

    “Naomba leseni yako”

    Nikajifanya ninajipapasa huku kibunda cha noti za kimarekani nikikiweka kwenye siti ya pembeni. Nikamuona askari huyo anavyo tupia jicho lake kwenye kibunda cha pesa hizo.

    “Ahaaa samahani dada yangu kidogo, nimesahau waleti yangu nyumbani”

    “Shuka kwenye gari”

    “Ahaa dada kuna hichi kipesa hapa chukua ukale na watoto nyumbani”

    Nilizungumza huku noti hizo tano nilizo zikunja nikiwa ninamkabidhi. Askari huyo akatazama wezake wanao endelea kukagua magari mengine, kisha akapokea noti hizo.

    “Uwe makini siku nyingine barabarani”

    Askari huyo alizungumza huku noti hizo zkizibana kwenye sidiria yake na kufunga kifungo cha shati lake.

    “Ahaa asante, ila naweza kukuuliza swali?”

    “Bila shaka kaka yangu”

    “Kuna nini kinacho endelea, kwa maana juzi nilipita hapa sikuona foleni kubwa hapa?”

    “Yaa ni kweli, kuna gaidi mmoja ametoroka akiwa anasafirishwa kutoka gerezani. Basi ameua wanajeshi wengi na mmoja amachukua mateka”

    “Aisee kumbe Tanzania nako kuna magaidi?”

    Niliuliza nikiwa kama sifahamu vile, kwa jinsi nilivyo nyoo upara na hili gari la kifahari nililo nalo si rahisi sana kwa polisi wa kawaida kuweza kufahamu kwamba mimi ndio wanaye nitafuta.

    “Wee acha tu kaka yangu, ndio hivyo”

    “Haya asante”

    Nikafunga kioo cha gari langu na kuondoka. Nikafanikiwa kufika Mombo salama salimini, sikuishia hapo zaidi ya kuzidi kuendelea na safari yangu kuelekea jijini Tanga, njiani ukaguzi wa magari ya kumtafuta gaidi huyo bado unaendelea kwa kutumia pesa, nikafanikiwa kupita vikwazo vyote na kuingia jijini Tanga.

    Moja kwa moja nikaelekea ilipo nyumba ya mama. Nikasimamisha gari langu pembeni ya nyumba hii, kisha nikashuka na kuanza kuichunguza vizuri, mandhari ya hii nyumba yamebadilika kwa kiasi kikubwa hata rangi ya nyumba imebadilishwa. Nikasimama getini na kuminya kengele ya hodi. Baada ya dakika mbili mlango ukafunguliwa na mtoto kibonge mwenye asili ya kiarabu. Akanitazama huku akiwa amevimbisha mashavu yake na mkononi mwake ameshika ice cream iliyo mchafua mdomo mzima.

    “Wa…taaka nini?”

    Aliongea kwa sauti ya dharau.

    “Mama au baba yako wapo wapi?”

    “What do you wa……”

    Kabla hajamalizia kingereza chake cha ajabu ajabu, nikamninya shingoni kwenye sehemu ya mshipa wa fahamu na likapoteza fahamu, hata kabla hajadondoka, chini nikamuwahi, taratibu nikambeba, uzuri mtaa huu hauna watu kabisa, na watu wengi mida hii ya mchana huwa hawapo. Nikamuingiza kwenye gari na mimi nikaingia na kuondoka naye.

    Sikuhitaji kukaa hotelini, sehemu sahihi ya mimi kuishi kwa siku zote za maisha yangu katika hii kani ni ndani ya gari langu. Nikatoa simu yangu mfukoni na kumpigia mama yangu.

    “Nimefika mama”

    “Ehee hujakunata na vizuizi njiani?”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Nimekutana navyo, ila wakaguzi wenyewe ni askari wetu hawa, njaa tupu. Nimewahonga honga nimepita”

    “Hawajakufahamu?”

    “Kwa huu upara sio rahisi kwa wao kuweza kunifahamu”

    “Ahaa sasa umeanzia wapi?”

    “Nimeenda kwenye ile nyumba yetu kule Chumbageni, nimekuta kuna wahindi wanaishi mule”

    “Ehee”

    “Basi kuna litoto moja la kihindi, nimeliteka”

    “Umemteka…..?”

    Mama aliuliza kwa hasira

    “Ndio nimemteka kupitia huyu kazi yangu itakuwa ni rahisi kwangu”

    “Dany Dany wewe kwa nini umteke huyo mtoto wa watu”

    “Tulia mama nitakueleza kila kitu nilicho panga kukifanya”

    Nikamsikia kabisa mama akishusha pumzi nyingi kwa wasiwasi mkubwa alio kuwa nao.

    “Utakapo hitaji msaada niambie”

    “Sawa mama”

    Nikakata simu na kuelekea ya fukwe za bahari inayo itwa Jet, nikasimamisha gari langu sehemu ambayo sio rahisi sana kwa mtu kuweza kuona kinacho endelea ndani ya gari, uzuri vioo vya gari hivi vyote ni vyeusi kasoro kioo cha mbele tu na nyuma. Toto hili la kiarabu likazinduka kutoka katika usingizi wa kupoteza fahamu, likanitumbulia macho huku likiyafikicha.

    “Weee ni nani?”

    “Rafiki yako”

    “Sina rafiki mtu mweusi mimi”

    Niliongea kwa dharau, nikamzaba kibao kikali kwenye mshavu wake wa kuliana kulifanya lilie kwa sauti kubwa, nilipo ona haitoshi nikatoa bastola yangu moja ya kumuelekezea. Hapo ndipo nikatambua kwamba bastola haina mtoto ua mtu mzima. Kilio chote kikamkauka ndani ya sekunde moja tu, hata makelele aliyo kuwa akiyapiga yakakatika.

    “Nuamza kimya, nakuuliza swali, nijibu swali, ukileta ujinga nakuua”

    Akatingisha kichwa kukubaliana na mimi kwa kile ninacho hitaji kukifanya kwa wakati huu.

    “Ile nyumba niliyo kukuta ni ya nani?”

    “Ya baba”

    “Ahaa baba yako anaitwa nani?”

    “Raji”

    “Aahaa unaijua namba yake ya simu?”

    “Ndio kaka”

    Nikatoa namba ya simu, akaanza kunitajia namba za baba yake, zilipo kamilika nikampigia baba yake. Simu ikaita kwa muda kidogo kisha ikapokelewa.

    “Halo”

    “Habari yako bwana Raji?”

    “Nani wewe uliza mimi habari yangu?”

    “Sio muhimu wewe kunijua mimi ila mimi ni rafiki wa Raji kwa sasa”

    “Mwanagu hana rafiki sauti besi kama hiyo”

    “Ok ngoja niende kwenye mada yangu. Ile nyumba unayo ishi ninaomba uhame”

    “Pumbavu saa wewee taka mimi hapa kwenye nyumba yangu”

    Mzee huyo alizungumza huku akicheka sana kwa dharau.

    “Ohoo usipo hama, kesho asubihi nakuletea kichwa cha mwanao”

    “What…….??”

    Kicheko chote nilicho kisikia kwa mzee huyo, kikakatika.

    “Unataka mtoto, hama kwenye nyumba ile kama uhitaji subiri uone”

    “Ngoja ngoja mwanangu yupo wapi?””

    Nikamgeukia mwaye na kumuwekea simu sikioni.

    “Baba babaa”

    Mtoto huyo alipo zungunza maneno hayo nikairudisha simu yangu sikioni mwangu.

    “Naamini umesikia, kama unamuhitaji leo, hama, Hati ya nyumba nina ihitaji na kila kitu cha ndani mukiache sawa?”

    “Sawa elewa wewe, wapi mimi pata mutoto, kwenda hama sasa hivi nyumbani”

    “Kila hatua unayo ipiga nitaifahamu kuanzia sasa, na ole wako uwasiliane na polisi nitamkata mwanao mkono na kumtoboa jicho moja kwa kosa hilo”

    “Usifanye hivyo, toto yenyewe moja banaaa”

    “Nenda kahame sasa hivi”

    Nikakata simu, kwa haraka nikampigia simu mama

    “Ehee”

    “Mama nahitaji ile program ya kumuona mtu kila anapo kwende kwenye simu yangu”

    “Wait nakuunganisha, nitumie namba ya huyo mtu”

    “Sawa”

    Nikakata simu nikaingia upande wa meseji, nikamtumia mama namba hiyo ya simu. Kisha nikampigia tena.

    “Yaap”

    “Umeiona?”

    “Ndio naiunganisha hapa. Kwani hiyo namba ni ya nani?”

    “Ni namba ya mtu aliye inunua nyumba yako nahitaji aweze kuihama sasa hivi kwa kubadilishana na mwanaye”

    “Your so clever boy”

    “Asante mama”

    “Tayari angalia kwenye simu yako”

    Nikaangalia kwenye simu yangu, nikakuta meseji, nikaifungua na kunionyesha alama nyekundu ya sehemu alipo bwana Raji. Ramani ya simu yangu ikanionyesha akiwa anaelekea maeneo ya Chumbageni kulipo na nyumba yetu. Nikawasha gari na kuelekea chumbageni. Sikuchukua muda mrefuni nikawa nimefanikiwa kufika. Nikasimamisha gari mbali kidogo na nyumbani kwetu ila kila kitu mtu anaye ingia na kutoka katika geti la nyumba yetu ninaweza kumuona. Alama ya alipo Bwana Raji, inanionyesha yupo katika eneo la nyumba. Nikiwa nimetulia huku mwanaye akiwa amekaa siti ya nyuma kimya kabisa, akihofia kufa. Nikaona gari nyeusi moja aina ya Range Rover, akashuka kijana mweusi aliye valia suti, akazunguka upande wa pili wa gari na kumfungulia bosi wake mlango, nikamuona K2 akishuka akiwa amevalia suti nyeusi na kuingia ndani ya geti jambo lililo anza kunikumbusha mateso na machungu niliyo yapata gerezani na taratibu nikajikuta nikianza kuichomoa bastola yangu nilipo iweka na nikashika kitasa cha mlango tayari kwa kushuka kwa kwenda kukikata kichwa chake kama alivyo niaeleza mama.









    Kabla sijashuka simu yangu ikaita na kunifanya nigairi kufanya nilicho kuwa nimekidhamiria kukifanya. Nikaitoa simu yangu mfukoni na kukuta ni bwana Raji ndio anaye piga. Nikashusha pumzi huku nikilitazama toto lake lililo kaa siti ya nyuma.

    “Ndio”

    Nizungumza kwa sauti nzito

    “Nipo tayari hama kwenye nyumba hii, kabidhi managu”

    “Unacheza na akili yangu?”

    “Kwa nini?”

    “Huyo mwanamke aliye ingia kwako ni kutoka katika serikali, sasa kuanzia sasa njoo ushuhudie kichwa cha mwanao”

    Nikakata simu, nikawasha gari, nikalirudisha nyuma kwa haraka na kuondoka katika eneo hili, kwa haraka akili iliyo nituma ni kueleka katika barabara ya kuelekea Mombasa Kenya. Nikafika maeneo ya daraja la Utofu, gani nikalisimamisha pembeni. Kwa haraka nikashuka kwa hasira nikiwa nimeshika bastola yangu. Nikafungua mlango wa nyuma, na kumchomoa mtoto huyu kibonge. Nikatazama kila sehemu ya daraja hili hapakuwa na mtu wala gari linalo hitaji kupita.

    “Simama hapo”

    Kabonge kakasimama huku mwili mzima ukimtetemeka, nikatoa simu yangu na kuingia upande wa video, nikaanza kurekodi tulio ninalo kwenda kulifanya huku bastola nikiwa nimeiweka sikioni mwa mtoto huyu kibonge.

    “Moja, mbili, tatu”

    Nikafatua risasi pembeni ya mtoto huyu, kwa ule mlio na mstuko akajikuta akianguka chini na kuzimia. Nilipo hakikisha kwamba video yangu ipo vizuri, nikamnayanyua kibonge na kumuingiza ndani ya gari kisha na mimi nikaingia na kugeuza gari hilo na kurudi Tanga mjini. Nikafika nje ya mgahawa mmoja uliopo pembezoni mwa uwanja wa Mkwakwani. Nikashuka kweye gari langu, nikaka kwenye moja ya kiti katika mgahawa huu huku gari nikiwa nimelifunga kutokana kibonge hajazinduka.

    “Nikusaidie nini kaka?”

    Kijana mmoja ambaye ni muhudumu alizungumza huku akinitazama usoni mwangu.

    “Nahitaji chipsi kuku na juisi”

    “Chipsi yai au?”

    “Ndio”

    Akaondoka, nikaitoa simu yangu mfukoni, nikatafuta namba ya Bwana Raj na kumtumia video hiyo kwa njia ya Whatsapp. Ndani ya sekunde selathini video hiyo ikafunguliwa na mzee huyo, nikatambua kwamba ujumbe utakuwa umemfikia kisawa sawa. Hata kabla simu yangu sijaiingiza mfukoni, ikapigwa na anaye piga ni bwana Raji.

    “Ndio”

    “Bana bana acha fanya hivyo toto yangu ya pekee bwana”

    Bwana Raji alizungumza huku akilia kwa uchungu

    “Huwa sipendi kuchezewa akili, umewasiliana na mtu kutoka kikosi cha NSS, nahitaji hati ukiwa umeibadilisha jina kisha ninakupatia mtoto wako”

    “Tutaonana wapi sasa ndugu yangu”

    “Nitakujulisha”

    Nikakata simu, hata sikuona haja ya kuendelea kukaa eneo hili, nikanyanyuka na kuingia kwenye gari, nikaliwasha na moja kwa moja nikaelekea eneo la Forozani. Nikasimamisha gari langu pembeni nikashuka huku nikiwa makini sana kutazama kila mtu aliyopo katika eneo hili. Katika kutazama tazama kwa umakini nikafanikiwa kumuona Monnica, msichana ambaye anafanya kazi yake na kujiuza mwili wake na ninakumbuka nilisha wahi kulala naye akiwa na mwenzake Lissa na mimi nikiwa na rafiki yangu Hassani.

    Nikatembea kwa hatua za taratibu hadi katika kiti alicho kaa peke yake, akichezea chezea simu yake ya mknoni. Nikavuta kiti cha pembeni na kukaa pasipo kumsemesha kitu cha ina yoyote.

    “Samahani kaka, nina mtu hapo anakuja kukaa, ningeomba ukatafute sehemu nyingine ya kukaa”

    Monica alizungumza huku akinitazama usoni mwangu. Nikatabasamu kwa maana ninaamini ya kwamba amenisahau kabisa.

    “Rafiki yako Lissa hajambo”

    Nikaona sura ya Monica ikibadilika kidogo, akijaribu kuvuta kumbukumbu kama ananifahamu ila hana uhakika sana kwa maana tangu nikutane naye ni miaka miwili sasa imepita.

    “Umemjuaje Lissa?”

    Nikashusha pumzi nyingi huku nikimtazama Monica usoni mwake.

    “Unaweza kuniambia kwa sasa Lissa yupo wapi?”

    “Samahani wewe kaka, siwezi kukuambia rafiki yangu yupo wapi ikiwa sikufahamu wewe ni nani”

    “Ok kuna siku nilikuwa na rafiki yangu, tuliwachukua hapa hapa na kwenda kulala na nyinyi pale Mtendelea vipi hapo utakuwa umenikumbuka”

    Monica akanyamaza kimya huku akinitazama

    “Ahaaaa wewe ndio yule kaka mwenye naniliu kubwa eheeee”

    “Ewalaaa”

    “Nimekukumbuka, za masiku?”

    “Salama tu naona unazidi kupendeza”

    “Ahaa si unajua biashara yangu pasipo kupendeza huwezi kupata wateja”

    “Kweli hadi leo bado unaifanya?”

    “Ndio Dany, maisha yenyewe yapo wapi haya”

    “Duu sasa hapa unamsubiria nani?”

    “Kuna jamaa mmoja ananihitaji leo, ndio nina msubiria hapa”

    “Ohoo sasa naweza kumpiku?”

    “Kama una cha juu unaweza”

    “Ok twende basi kwenye gari langu”

    “Ok”

    Tukanyanyuka na Monica moja kwa moja tukaeleka nilipo lisimamisha gari langu, tukaingia ndani ya gari na kukaa.

    “Ehee vipi huyu kibonge wa kiarabu naye humu”

    Monica alizungumza huku akimtazama mtoto huyu wa kiarabu ambaye bado amelala ndani ya gari langu.

    “Huyo anaweza kukufanya uwe tajiri chap chap”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Kivipi?”

    “Nitakuelezea kama upo tayari kufanya hii kazi, pesa ninayo ya kutosha ya kuweza kukulipa wewe”

    Nilizungumza huku nikichomoa noti mbili za dola mia na kumkabidhi Monica mkononi mwake huku mkono wangu wa kushoto nikiwa nimeshika kibunda cha pesa.

    Monica akazichukua kwa haraka huku akiwa ameachia tabasamu pana.

    “Huyo mtoto nahitaji itakapo fika saa mbili usiku leo umpeleke kwa wazazi wake”

    “Hakuna shida ila ni wapi anatakiwa kupekwa?”

    “Nitakuambia ni wapi anatakiwa kupelekwa”

    “Hilo hali shida baada ya kumpeleka?”

    “Nitakupatia dola elfu kumi hiyo dola mia mbili niliyo kupa ni ya kunywa maji tu”

    “Asante sana Dany utakuwa umeniokoa, ehee Mungu nitaanza kufanya biashara sasa”

    “Kwani ndoto zako ni kufanya biashara”

    “Sana napenda sana kufanya bishara seme pesa ninayo pata katika kuuza kum* ni pesa ya madafu huwezi kufanya chochote cha maana zaidi ya kununu vipodozi ili uendelee kuwa katika chati”

    “Aisee sawa, sasa sijui hapa Tanga ni wapi wanabadalishi pesa”

    “Barabara ya kumi”

    “Ok twende”

    Nikawasha gari na kuelekea katika eneo hilo ambapo wanabadilisha pesa za kigeni, hatukuchukua dakika nyingi tukawa tumefika, akanionyesha sehemu wanapo badilisha pesa, nikashuka kwenye gari na kuingia kwenye duka hilo. Nikabadilisha dola elfu moja ambazo ni sawa na milio mbili za kitanzania, kisha nikarudi kwenye gari.

    “Nina njaa balaa”

    Nilizungumza huku nikifunga mkanda wa gari

    “Ina maana hujakula?”

    “Yaa tangu asubuhi sijapata chakula”

    “Pole twende sehemu nikakununulie japo chakula”

    “Sehemu gani?”

    “Mmmmm unataka chakula gani?”

    “Hata nyama choma”

    Monica akanieleza sehemu zinapo chomwa nyama, kutokana muda wa saa mbili usiku bado haujafika, ikanibidi tuelekea eneo hilo. Tulipo fika nikampatia Monica laki moja, akashuka kwenye gari na mimi nikabak nikiwa na kibonge aliye anza kunyayuka huku akifikivha fikicha macho yake kutokana na usingizi mzito alio lala.

    “Umeamka?”

    “Natamkata baba yangu”

    Bonge alilia huku akizungumza kwa sauti ya chini.

    “Unajua baba yako hana akili. Nilumueleza asipo fanya kile ninacho kihitaji basi ninaweza kukuua na ninampekekea kichwa chako”

    “Usiniueeeee mimi bado mdogooo”

    Maneo ya bonge yalinifanya nicheke. Nikamgeukia huku ninamtazama usoni mwake.

    “Futa machozi, wanaume majasiri huwa hawalii, ila wanahakikisha wanakabiliana vipi na changamoto zilizopo mbele yao”

    “Sasa si utaniua nikiacha kulia?”

    “Hahaha hapana, futa machozi”

    Kibonge akafuta machozi yake huku akinitazama usoni mwangu. Nikatoa simu yangu mfukoni na kumpigia baba yake.

    “Ndio”

    “Wewe ua manangu”

    “Mwanao yupo hai, nahitaji hati nikupatie mwanao”

    “Mimi leta hati ya nyumba, tayari hama kabisa nyumba hii”

    “Ikifika saa mbili usiku tuonane ndani ya uwanja wa mpira wa Mkwakwani sawa”

    “Sawa elewa wewe, kitu ingene hitaji”

    “Ahaaa nahitaji nusu ya pesa uliyo nunulia hiyo nyumba”

    “Ahaaa banaaa wewe sio kubaliano yetu hiyo”

    “Ukifanya makosa namuua mwanao”

    “Basi nitaleta, taka sikia Roja”

    Nikamuwekea simu sikioni kibonge

    “Baba……”

    Akamalizia na maneno ya kiarabu ambayo sikuelewa hata moja.

    “Umemsikia”

    “Ndio, mimi letea wewe hiyo hati pesa na kidogo hapa”

    “Ulinunua kiasi gani hiyo nyumba?”

    “Milioni mia tatu”

    “Utanipatia milioni mia”

    “Sawa sawa mzee”

    Nikakata simu, Monica akaingia kwenye gari akiwa ameshika kifuko cheusi

    “Ehee kibonge ameamka”

    “Yaaa”

    “Aissee huyu mtoto mbona ana mijishavu, kama ile mimbwa ya kizungu”

    “Hahaaa usizungumze hayo, mtoto huyu utampeleka kwenye uwanja wa Mkwakwani, saa mbili usiku”

    “Kwa sehemu gani pale Mkwakwani?”

    “Kwa ndani mule, nikakuambia nini cha kufanya”

    “Sawa”

    Tukaondoka eneo hilo, nikatafuta sehemu nzuri nikasimamisha gari langu, tukaanza kula hadi kibonge akashiriki katika kula. Ilipo timu saa mbili kasoro kumi tukaelekea katika uwanja huo. Nikamuomba Monica kushuka kwenye gari kutazama kama kuna dalili ya askari katika eneo hili. Monica akafanya kama nilivyo mwambia. Akatazama kila sehemu ya uwanja huu, kisha akarudi.

    “Hakuna dalili ya askari”

    “Poa, mchukue kibonge uingie naye humo ndani ya uwaja kupitia geti hilo”

    “Poa”

    “Nipe namba yako nikupigie simu”

    “Poa”

    Wakashuka kwenye gari, nikatafuta sehemu nikasimamisha gari, kisha na mimi nikashuka nikawaona wakiwa wanaingia ndani ya uwanja huo, nikaparamia moja ya ukuta wa uwanja, na kuingia ndani nikiwa na bastola yangu. Nikatafuta sehemu ambayo ninauona uwanja vizuri. Nikawaona wakiwa wamesimama pembezoni mwa goli moja la mpira. Nikampigia simu Monica.

    “Ndio”

    “Simameni hapo hapo hadi nitakapo kuambia usonge mbele”

    “Poa”

    Nikakata simu na kumpigia mzee huyo, akapokea simu

    “Upo wapi?”

    “Mimi fika hapa uwanjani?”

    “Ingia ndani ya uwanja, pesa za hati nazuhitaji”

    “Kuna shida”

    Baada ya dakika moja nikamuona mzee huyo mfupi na kibonge akiingia ndani ya uwanja akiwa peke yake. Nikampigia simu Monica

    “Moni unamuona huyo mzee mwenye brufcase, hakikisha kwamba anafikupa hati ya nyumba pamoja na hiyo brufcase ndani iwe na pesa”

    “Sawa”

    Nikaka simu na kumpigia mzee huyo

    “Mpatie huyo binti mwenye mwanao hiyo brufcase pamoja na hati”

    “Sawa”

    “Ukifanya ujinga nakupasua kichwa”

    “Mimi hakuna tania wewe, mimi taka mwangu”

    Mzee huyo akamfikia Monica, nikamuona akiifungua brufcase hiyo, nikampigia simu mzee huyo

    “Ndio”

    “Mpe simu huyu binti”

    “Ndio”

    “Pesa ipo?”

    “Ndio zipo nyingi sana”

    “Akupe hati”

    Nikasikia Monica akimuambia mzee huyo anahitaji hati, mzee huyo akampatia bahasha, Monica huku simu akiwa ameibana sikioni mwake, akatoa hati ya nyumba.

    “Ni hati yenyewe?”

    “Ndio ni hati nyenyewe?”

    “Ina jina gani?”

    “Raja Bahamuz”

    “Ok mpatie mtoto wake”

    Nilipo hakikisha Monica amekabidhiwa kila kitu nikasimama sehemu niliyo kuwa nimelala nikilifwatilia tukio hilo.

    “Nyoosha mikono yako juu na bastola yako itupe pembeni”

    Niliisikia sauti ya K2 nyuma yangu, jambo lililo nifanya mwili mzima kunisisimka kwa hasira kali.









    Taratibu nikanyoosha mikono yangu juu, huku bastola yangu nikiitupia pembeni.

    “Geuka nyuma”

    Alizungumza kwa ukali, nikafanya kama alivyo hitaji niweze kufanya. Taratibu nikageuka huku nikimtazama usoni. Alipo niona ni mimi akabaki akiwa ameduwaa, macho yamemtoka, nikahisi hata nguvu za mwili zimemuishia.

    “Halloo K2”

    Nilizungumza huku nikimtazama kwa macho ya dharau. Nikaitazama mikono yake nikaiona jinsi inavyo tetemeka kwa woga, nikatambua kwamba hii ndio nafasi yangu ya kuweza kumshambulia. Pasipo kufikiria kwa maya ya pili nikajituma hewani huku nikirusha teke lililo elekea maeneoa ya mikono ya K2 na bastola yake ikaangukia pembeni. Hapo ndipo K2 alipo jipanga kwa kukabiliana na mimi woga na wasiwasi ukamtoka. Akaanza kurusha ngumi za huhakikia ambazo nyingi katika hizo niliweza kuzikwepa japo kuna baadhi ya ngumi hizo zilinipiga kwenye baadhi ya mwili wangu.

    ‘Hakikisha unarudi na kichwa cha K2 hapa’

    Kauli ya mama ikanirudia kichwani mwangu, roho ya kinyama ikaniingia moyoni mwangu. Nikaanza kujibu mashambulizi ya K2 kwa kasi kubwa na nguvu. Ngumi zangu kwa wakati huu ninaimani zimeongezeka uzito, kila ngumi niliyo mpiga iliweza kumyumbisha.

    Gafla nikaanza kusikia milio ya risasi ikitokea uwanjani, nikageuza macho yangu na kuona kundi la wana kikosi cha NSS, walio valia suti nyeusi wakija kwa kasi. Nikampiga mtama mmoja K2 na kuanguka chini, na kuanza kubingiria kwenye ngazi za uwanja huu. Kwa haraka nikaifwata bastola yangu ilipo huku nikiwa ninaruka sarakasi zilizo nisaidia sana kuweza kukwepa risasi za wezangu hawa ambao kwa sasa tumekua kama maadui.

    Nilipo hakikisha bastola yangu nimeishika vizuri mkononi, sikuwa na haja ya kuanedelea kukaa katika eneo hili, kwa kupitia sehemu niliyo ingilia katika uwanja huu, ndio njia ninayo tumia kutoka. Nikashuka kwenye ukuta huo kwa haraka na kusimama nje. Nikatazama gari langu sehemu lilipo sikuliona hapo wasiwasi ndipo ulipo anza kunikabili.

    “Ingia kwenye gari”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Niliisikia sauti ya Monica akizungumza pembeni yangu huku akiwa amesimamisha gari langu pembeni yangu, nikamtazama kwa sekunde kadhaa kisha nikaingia kwenye gari, na akaliondoa kwa kasi katika eneo hili.

    “Ulikuwa umekwenda wapi?”

    Nilizungumza huku nikiwa ninatazama nyuma kuangalia kama kuna gari ambazi zinatufwata.

    “Nilichukua gari kuliweka sawa kwa maana nilisha kuona umewekwa kwenye ulinzi”

    “Ulijuaje kama ningeweza kutoroka eneo lile?”

    “Unaonekena ni kijana shupavu, sio mtu wa kukamatwa kiurahisi rahisi kiasi kile, tena na mwanamke”

    Manano ya Monica kidogo yakanitatanisha akilini mwangu, nikawaza labda alihitaji kuondoka na gari langu na kubadilisha mawazo yake, ubaya niliufunga mlango na kuondoka na funguo zangu.

    “Funguo za gari ulizipatia wapi?”

    “Nilizikuta nje ya gari zimeanguka”

    Nikajipapasa sehemu nilipo kuwa nimeziweka na ni kweli sikuzioona.

    “Sasa tunaelekea wapi?”

    Nilimuuliza Monica ambaye yupo makini barabarani akizidi kuongeza mwendo kasi wa gari.

    “Tunaelekea nyumbani kwangu”

    “Ni wapi?”

    “Wewe twende utapaona”

    Monica hakusimamisha gari, tukafika maeneo ya Jaje, akazidi kusonga mbele kueleka maeneo ya Pangani. Katikati ya msitu akakunja kushoto mwa barabara ambapo kuna barabara ndogo inayo ruhusu gari kuweza kupita. Tukazidi kusonga mbele, kidogo wasiwasi ukaanza kunipata, bastola yangu nikaishika vizuri endapo kutatokea jambo lolote la hatari basi ninaweza kujitetea.

    Tukafika kwneye moja ya nyumba ndogo ambayo kwa haraka haraka ndio imemalizwa kujengwa hata nje rangi haijapakwa. Akasimamisha gari nyuma ya nyumba hii.

    “Tumefika, hapa ni nyumbani kwangu, nimejitahidi tahidi na kujenga hapa”

    Monica alizungumza huku akigeuka nyuma na kuchukau brufecase pamoja na bahasha yenye hati ya yumba. Tukashuka kwenye gari, nikazunguka nyuma ya gari na kufungua buti la gari, kila kitu changu nilicho kiweka hususani begi la pesa, nikavikuta vipo humo. Nikafungua zipu ya begi na kukuta pesa yangu ipo kama nilivyo iacha. Nikafunga buti la gari, Monica akanikabidhi funguo ya gari, nikalifunga kiuhakika, kisha tukaingia ndani ya yumba yake.

    Akawasha taa, hapo ndipo nilipo weza kuona uzuri wa nyumba hii kwa ndani. Ni nyumba ambayo imepangika vizuri, kuna thamani za garama huwezi kuamini kama Monica ambaye anajiuza mwili wake anaweza kuwa na nyumba nzuri kama hii, japo ni ndogo ila inamtosha kwa mtoto wa kike kama yeye.

    “Nikupe kinywaji gani?”

    “Ahaa kwa sasa sihitaji kinywaji”

    Nilizungumza huku nikikaa kwenye sofa. Monica akanikabidhi brufcase pamoja na bahasha, kitu cha kwanza kukito ni hati ya nyumba kwenye bahasha. Nikaaanza kuikagua neno moja baada ya jingine, nikakuta ndio hata halali ambayo mama alipokonywa nyumba yake na kuuziwa huyu mjinga muarabu. Nikatoa simu yangu mfukoni na kuanza kupiga picha ya hati hii kisha kwa haraka nikamtumia mama. Monica akakaa kwenye sofa jingine huku akinitazama, nikafungua brufcase na kukuta vibunda vya shilingi elfu kumi kumi.

    “Nashukuru sana Monica kwa msaada wako ulio weza kunisaidia”

    Nikatoa kibunda kimoja cha pesa, kisha nikamsogezea brufacse hiyo Monica.

    “Nini?”

    “Zote ni zakwako”

    “What? Dany your not seriously?”

    “Am serious”

    Monica kwa haraka akanyanyuka kwenye sofa na kunifwata nilipo kaa, akanikumbatia kwa nguvu huku akiwa amejawa na furaha sana. Kwa haraka akaanza kuvua nguo zake alizo zivaa, huku akininyonya midomo yangu, msisimko mkali wa mapenzi ukaanza kutawala mwilini mwangu. Monica akaisogeza meza ya kioo pembeni kisha akanivua suruali yangu pamoja na boksa.

    Jogoo wangu tayari alisha simama, kutokana na msisiko huo ninao upata. Akamshika vizuri na kuanza kumnyonya taratibu huku akiwa anamchua kwa umakini wa hali ya juu.

    “I miss this mbo**”

    “Kweli?”

    “Yeah”

    Monica akaendelea kuinyonya, alipo ridhika, akajipaka mate kidogo aliyo yatemea kwenye kiganja chake kwenye ikulu, kisha taratibu akanikalia mapajani mwangu na jogoo wangu akamkalia huku akiyafumba macho yake kwa utamu anao upata.

    Mikono yake nikaipitisha kiunoni mwake, na shuhuli ya kupeana burudani ikaanza, ubora wa Monica bado upo pale pale, kiuno chake bado ana kihimili katika kumkatikia jogo wagu. Monica akamchomoa jogoo wangu kwenye kitumbua na kumchomeka mkund**i mwake, nikataka kumchomoa ila akajikaza na kunifanya nizidi kusikia utamu.

    Mtanange wa kukata kwa shoka ukaendelea hadi sote tukajikuta tunafikia tamani tukiwa tumechoka, na jasho linatumwagika.

    “Bado utamu w ambo** yako ni ule ule”

    “Real?”

    “Yeaahh”

    Monica alizungumza huku akichukua rimoti ya A/C na kuwasha. Akasimama na kutembea hadi friji lilipo kuwepo, akafungua na kutoa mzinga wa whyne na kurudi nao mezani.

    “Dany nikuulize kitu?”

    “Uliza tu”

    “Kwa nini umeamua kunipa pesa zote hizi?”

    “Kwa kitu ulicho nifanyia kina umuhimu mkubwa kuliko hata pesa ambayo ipo hapo mezani. Na wewe nikuulize kitu?”

    “Uliza?”

    “Kwa nini uliamua kuhatarisha maisha yako kwa ajili yangu?”

    “Dany ninatambua kila kinacho endelea, natambua kwamba unatafutwa na dau nono limetangazwa kwa atakaye fanikisha kukamatwa kwako. Ningeweza kukusaliti ila nikakumbuka maneno yako uliyo wahi kunieleza kuhusiana na maisha ndio hadi leo yaliishi kichwani mwangu, na kupitia mawazo yako ndio leo yalinifanya niwe na hii nyumba”

    Monica alizungumza huku akikilaza kichwa chake kwenye bega langu la mkono wa kushoto.

    “Dany ni bora ukakutana na mwanaume akakupa mawazo kuliko mwaname atakaye kupa pesa na kuandelea kukutumikisha katika utumwa wa ngono.”

    Monica alizungumza huku machozi yakimwagika.

    “Nilitamani hata siku moja niweze kukuona, ili niweze kupata mawazo mengi kutoka kwako. Nilitamani hata siku moja uje kuwa mwanaume wa ndoto zangu. Sisi malaya sio kwamba hatuna mioyo ya kupenda, tunayo Dany, ila ndio hiyo watu wanatuchukulia kwamba sisi ni watu ambo sijui ni kama kitu gani kibaya tuona kwenye jamii hii.”

    “No Monica usilie mamy”

    Nilizungumza huku nikianza kumfuta machozi, hata mzinga wa Wyne alio uweka mezani hapakuwa na mtu ambaye anatamani kuunywa.

    “Monica”

    “Bee”

    “Pesa niliyo kupatia hembu jaribu kuhakikisha kwamba unatengeneza maisha yako na biashara zako. Hata kama unaweza kuihama hii Tanga hama, nitakuongezea na pesa nyingine ili uweze kuyafanya maisha yako kuwa bora”

    “Asante sana Dany, ila kuna jambo nahitaji kukuomba”

    “Nakusikiliza”

    “Naomba tuwe pamoja maishani, nakuomba uwe mume wangu, nakuomba unipende, wewe ndio mwanaume mwenye moyo wa kujali hisia za mwanamke, sinto jail kwamba wewe wanakuita gaidi, sinto angalia hilo, ninacho kihitaji ni wewe kuwa wangu maishani mwangu”

    Nikajikuta nikishusha pumzi nyingi sana, sikutaka kumueleza kuhusiana na mahusiana yangu na Asma ambaye hadi sasa amenizalia mtoto mmoja wa kike.

    “Dany nipo tayari kufa ili niwe na wewe, hii pesa haina thamani kwangu endapo utakuwa si wangu. Sinto mvulia mwanaume yoyote nguo aweze kunitomb** wala kunifi**. Nakupenda Dany”

    Maneno ya Monica yakazidi kunifanya niwe kimya huku ninamtazama usoni. Sikuwa na jinsi ya kufanya zaidi ya kumkubalia tu Monica, kabla sijazungumza kitu cha aina yoyote simu yangu ikaita. Nikaichukua nilipo iweka juu ya meza na kuipokea na kukuta ni mama ndio anaye piga.

    “Ndio mama”

    “Umefanya kazi nzuri sana mwangu”

    “Asante mama”

    “Hii hati ni sahihi kabisa, ila ulinzi kwa sasa umezidi kuongezwa na unazidi kutwafutwa”

    “Usijali mama nipo salama hakuna anaye weza kunikamata”

    “Kwanza upo wapi?”

    “Nipo nje ya jiji la Tanga kabisa”

    “Ahaa sawa sawa, kikubwa uwe makini, hakikisha unaifanya kazi yako kwa usahihi kabisa, usimuamini mtu hata kama anakulilia kwa machozi ili umkubali”

    Maneno ya mama yakanistua kidogo, nikamtazama Monica anye weka wyne kwneye glasi.

    “Kivipi mama?”

    “Naamini ya kwamba wewe sio mtoto mdogo, hakikisha kwamba kila kitu unakifanya wewe kama wewe”

    “Sawa mama nimekuelewa”

    Nikakata simu na kuirudisha mezani. Monica akanipatia glasi ya wyne inayo tengenezwa Dodoma, taratibu tukaanza kunywa huku Monica akiwa amekaa pembeni yangu.

    “Dany wewe ni mzuri”

    “Hahaa hata wewe ni mzuri”

    Monica akawasha Tv iliyopo katika eneo hili, huku tukiendelea kunywa mvinyo huu taratibu. Tukamaliza kunywa chupa ya kwanza, akaleta chupa ya pili nayo tukaimaliza, kidogo nikaanza kuwa na mashaka na Monica na kujiuliza ni kwa nini anahitaji mimi kulewa kwa kisi hiki.

    “Usiniongezee kinywaji?”

    “Tumalizie tuu hichi honey”

    Monica alizungumza kwa sauti ya kilevi huku akinitazama usoni mwangu. Akaniwekea kiasi kidogo kilicho baki kwenye chenye chupa, na kunilazimisha kuanza kunywa. Sikukataa nikaknywa kwa haraka na glasi nikaiweka mezani. Nikanyanyuka huku nkiwa ninayumba yumba.

    “Glasi po wapi?”

    “Glasi…..!!?”

    “Ahaa no sio glasi ni choo kipo wapi?”

    “Kipo kule”

    Nikaichukua bastola zangu zote mbili, simu pamoja na funguo ya gari, nikainga chooni, kwa bahati nzuri nikakuta kuna sinki la kunawia mikono. Nikaweka vitu nilivyo vishika pembeni sehemu ambayo haviwezi kuinga maji. Nikafungua bomba la maji na kuanza kusokomeza vidole mdomoni. Kichefuchefu kikali kikanikamata, nikaanza kutapika pombe yote ambayo nimekunywa. Nilipo hakikisha kichefuchefu chote nikasukutua maji ya kutosha na kukisafisha knywa changu. Nikasimama wima huku nikvuta pumzi nyingi na taratibu nikaiachia. Wenge loto la pombe kichwani mwangu likawa limeondoka. Tishet ambayo mama amenipata sikuhtaji kabisa kuivua kwa maana ndio ulizi wangu namba moja. Nikachukua vitu vyangu nilivyo inga navyo na kutoka chooni huko, nikafika sebleni sikumuona Monica, ila kila kitu kipo.

    “Nimesema sikuhitaji kuanzia sasa hivi, na sitaki tena kazi ya umalaya”

    Niliisikia sauti hiyo ikitokea chumbani kwake, nikausogelea mlango na kusikiliza kitu anacho kizungumza.

    “Nina mume wangu nimekuambia, si kila siku unahitaji kuichezea kum** yangu sawa”

    Nikasikia vishindo vikija mlangoni, Monica akafungua mlango na kunikuta nikiwa nimesimama huku nimemkazia macho, jambo lililo mfanya mwili mzima kumtetemeka kwa woga hadi machozi yakaanza kumlenga lenga









    Monica akanikumbatia huku machozi yakimwagika, sikujua ni kwa nini analia au ni kitu gani kmemsibu hadi analia.

    “Unalia nini?”

    “Ni yule mwanaume niliye kuambia kwamba tulipanga kuonana leo, hapa amenipigia na kunitukana matusi ya nguoni, ina niuma sana Dany”

    “Shiiii usilie upo na mimi”

    “Kweli?”

    “Ndio, nipo karibu yako hakuna kitakacho kuumiza”

    Monica akazd kulia huku akiendelea kunikumbatia kwa nguvu, tukainga ndani kwake. Akanivua tisheti yangu, vtu vyangu nikaviweka juu ya meza iliyopo ndani ya chumba chake. Tukainga bafuni na kuanza kuoga.

    “Dany nisamehe kwa kuzungumza na mwanaume mwengine kwa wakati huu wa usiku”

    “Usijali nimekuelewa, unatakwa kuabadilisha namba ya siri”

    “Usijali, hata kesho nitabadilisha”

    “Vipi mdogo wako anaendeleaje na masomo?”

    “Kwa sasa yupo A level, yupo shule za bweni”

    “Ahaa sawa sawa, anafahamu kuhusiana na hii nyumba?”

    “Ndio, anafahamu na yeye ndio alinisaidia katika kusimamia ujenzi wa hii nyumba”

    “Ahaaa sawa sawa”

    Tukamaliza kuoga na kutoka bafuni, moja kwa moja tukapanda kitandani. Kutokana na uchovu mwingi tulio upata tukajikuta tukipitiwa na usingizi mzito. Nikiwa usingizini nikahisi hatua za watu wakitembea nje ya hii nyumba jambo lililo nifanya ninyanyuke taratibu kitandani, nikamtazama Monica na kumuona akiwa amelala fofofo, nikachukua bastola yangu moja nikaikoki vizuri, nikachukua taulo na kujifunga kiunoni na kuanza kutoka kwa mwendo wa tahadhari. Nikafungua mlango wa chumbani, nikatoka sebleni, mwanga wa mbaramwezi unao ingia hapa sebleni kupita madirisha haya makubwa, inaonyesha ni saa kumi na moja kasoro asubuhi.

    Taratibu nikalisogelea moja ya dirisha na kuchungulia nje, sikuamini macho yangu nilipo ona kundi kubwa la askari na wanakikosi cha NSS, wakiwa wameizunguka nyumba hii. Kwa haraka nikaifwata boksa yangu sehemu ilipo, nikavaa kwa haraka, kisha nikafwatia na suruali yangu, nikarudi chumbani na kumkuta Monica akiwa bado amelala hatambui ni kitu gani kinacho endelea.

    Niichukua tisheti yangu na kuivaa, simu yangu nikaiweka mfukoni mwa suruali. Nikamuamsha Monica, aliye kurupuka kwa haraka.

    “Shiiiiiiiiiiiiii, kuna askari hapo nje wanajiandaa kuvamia hii nyumba vaa haraka haraka tuondoke”

    Monica alitngisha kichwa kwa kukubaliana na mimi kwa kile nilicho kizungumza. Akavaa suruali yake nyeusi pamoja na tisheti nyeusi alipo hakikisha kweye mavazi yupo vizuri akavaa raba nyepesi ztakazo msaidia katika varangati hili lililopo mbele yetu.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Ujavaa viatu”

    Monica alizungumza huku akiniangala miguuni mwangu, sikulijali hilo tukatoka sebleni, tukiwa makini sana, nikachukua viatu vyangu sehemu vilipo nikavivaa kwa haraka haraka sana. Nikarudi dirishani alipo simama Monica anaye chungulia nje, hadi jasho linamwagika usoni.

    “Unaweza kutumia bastola?”

    “Hapana siwezi”

    “Ohooo ok”

    Katika kundi la askari na wana NSS, nikamuona K2 akiwa amesimama mbele ya gari moja, huku usoni mwake akiwa na plasta. Mkono wake mmoja ameshika kipaza sauti huku mkono mwengine ameshika bastola yake. Akatazama saa yake ya mkoni na kunifanya na mimi uyatupia macho kwenye saa ya ukutani ambapo inaonyesha n saa kumi na moja kasoro dakika mbili. Moja kwa moja nikatambua ya kwamba ikifika saa kumi na moja kamili ni lazima waweze kuvamia katika eneo hili. Nikaitoa simu yangu mfukoni na kumpigia mama, simu haikumaliza hata sekunde mbili katika kuita, ikapokelewa.

    “Mama”

    “Mbona mapema yote hii vipi?”

    “Nipo kwenye matatizo, nyumba niliyopo imezingirwa na askari na wana kikosi cha NSS”

    “Mungu wangu, sasa kuna njia yoyote ya kutokea?”

    “Hakuna mama na wala sielewi inakuwaje mama yangu”

    “Ngoja”

    Nikamsikia mama akishuka kitandani na sikujua ni wapi anapo elekea.

    “Ok una funguo ya gari?”

    “Ndio”

    “Ok kwenye hiyo funguo ya gari kuna batani nyekundu, minya hiyo huku ukiwa umeziweka karibu na simu yako, itakapo kuna signal itatokea kwenye simu yako ila hakikisha kwamba unawasha Bluetooth ya simu yako”

    “Sawa baada ya hapo mama?”

    “Gari lako litawaka, kwa kupitia simu yako utaona video chini ya gari lako mbele na nyuma kuna kamera inayo onyesha ni wapi unatakiwa kuelekea. Kupitia simu unaweza kuliendesha gari lako sawa”

    “Sawa mama ngoja nijaribu”

    “Fanya hivyo lisogeze hata karibu na mlango na kumbuka kwamba gari lako halingii risasi”

    “Sawa”

    Nikakakta simu, nikawasha bluetooth ya simu yangu, kisha nikaiminya batani nyekundu uliyopo kwenye kishkizo maalumu cha funguo za gari langu na kuna batani nne ambazo kila moja ina simu yake. Ni kweli alama aliyo nieleza mama kwenye gari langu ikatokea, video hiyo ikaniletea maandishi yanayo nihitaji nitumie kamera ipi ili kuendesha gari langu. Nikachagua kamera ya mbele, na ikajitokeza katika simu yangu, taratibu nikaanza kuliendesha kulielekezea mkononi muda wote huu, Monica alisha chukua brufcase ya pesa pamoja na hati ya nyumba na kuvishika tayari kwa kuondoka katika eneo hili. Milio ya risasi ikaanza kurindima nje, nikajua moja kwa moja askari hao wanalipiga gari langu risasa. Tukasogea hadi mlangon gari lilipo fka tu, nikafungua lango na kumuaomba Monica awe wa kwanza kutoka ndani, akafanya hivyo na kuingia kwenye gari, na mimi nikajitosha ndani ya gari na kufunga milango yote. Nikamkabidhi simu Monica, kisha funguo ya gari nikaichomeka katika sehemu yake. Nikamuona K2 jinsi anavyo wazuia vijana wake kushambulia gari langu kwa maana wanamaliza risasi zao tu na hakuna wanacho faidika. Tukatazamanana K2 huku nikikanyaga mafuta na breki na kulifanya gari langu kuserereka, likihitaji kuondoka eneo hili kwa kasi ya ajabu sana. K2 kwa kujiamini akaka mbele kidogo usawa wa gari langu huku akinitazama kwa hasira, kwa dharau nikamnyooshea kidole cha kati, kisha nikausogeza mguu wangu ulio kamata breki na kulifanya gari langu kuanza kuondoka eneo hili kwa kasi ya ajabu sana. K2 nilipo mkaribia, akajirusha pembeni na askari wake wakaanza kufyatua risasi huku wengine wakianza kunifukuzia.

    Monica muda wote amekaa kimya, akiwa amepatwa na bumbuazi hata mkanda wa siti hakuufunga, nikamfunga na kumfanya anitazame uson mwangu.

    “Dany naota bado au nimelala?”

    Monica alinitazama kwa macho ya mshangao sana, nikabaki kutabasamu tu huku nikizidi kuendesha gari langu. Simu yangu ikaita na nikaichukua kutoka mikononi mwa Monica na kuipokea.

    “Vipi umefanikiwa?”

    “Ndio mama na hapa ndio nawatoka hata wao wenyewe hawaamini”

    “Safi sasa unaelekea wapi?”

    “Sijajua, kwa sababu nipo porini na sijafika barabarani nitajua ni wapi nitakapo elekea”

    “Ohoo sawa, hao polisi walikupata kutokana na namba ya usajili wa gari aliitafuta kupitia GPRS”

    “Sasa si watanipata tena hata nkikimba?”

    “Nimeifuta kwenye system yao, so hakuna anaye weza kukukamata”

    “Shurkani mama”

    “Poa take care”

    “Okay””

    Nikakata simu na safari ikazidi kuendelea, nilipo tazama nyuma kupita kioo cha pembeni, sikuona gari hata moja ya askari wala kutoka katika kitengo changu cha NSS. Sikulishangaa hilo kwa manaana wana kikosi cha NSS, wengi ni waoga sana hususani kwenye mswala ya ambushi, na kati yao nimewaona rafiki zangu wengi ambao wameingizwa kwenye bifu la mapenzi lililopo kati yangu na K2 ana wala hakuna kitu kingine ambacho kinapelekea mimi kuteseka na kuishi kama gaidi ndani ya nchi yangu na familia yangu imepokonywa kila kitu na mama yangu amavuliwa ukuu wa mkoa.

    Sikuhitaji kurud tena Tanga mjini, moja kwa moja nikaendelea kuifwata njia inayo elekea Pangani, nikifika huko ninaweza kujua ni nini cha kufanya. Monica alipo geuka nyuma na kuona hakuna gari lolote linalo kuja, akakaaanza kuzungumza huku sura yake ikiwa na tabasamu kwa mbali.

    “Dany upo vizuri?”

    “Asante”

    “Sikuamini kama tunaweza kutoka katika eneo lile”

    “Ndio hivyo tumewatoka, washenzi wale”

    “Nilihisi nipo ndotoni, au natazama filamu, kumbe ni kitu ambacho kinaendelea hapa hapa”

    “Yaaa ndio maisha ambayo tumechagua kuyaishi. Kuanzia sasa maisha yetu yapo hatarini”

    “Dany”

    “Mmmmm”

    “Naogopa mpenzi wangu”

    “Usijali nitakulinda””

    Simu yangu ikaita, Monica akanipatia, nikaipokea na nikaiweka sikioni mwangu.

    “Dany mume wangu nasikia upo kwenye hatari?”

    Nilisikia sauti ya Asma liyo nifanya nianze kupunguza mwendo kasi wa gari, huku kwa macho ya kuiba nikiwa ninamtazama Monica anaye nitazama, ikanibidi kutabasamu kidogo ili kumuondoa wasiwasi Monica.

    “Yaa polisi walivamia kwenye nyumba niliyo kuwepo, ila kwa sasa nipo salama”

    “Ohoo asante Mungu, nakupenda sana mume wangu”

    “Nami pia, nakuomba ukate simu nipo barabarani”

    “Sawa”

    Asma akakata simu mimi nikaendelea na safari. Ndani ya masaa mawili tukawa tumefika mji wa Pangani, moja kwa moja tukatafuta moja ya duka la nguo, Asma akashuka kwenye gari huku akiwa na kiasi cha pesa cha kutosha, akaingia kwenye duka hilo, ndani ya dakika saba akawa amesha maliza kununua nguo ambazo alihitaji kuzinunua na kurudi kwenye gari.

    “Kot hili nah ii kofia zitakusaidia kuto kujulikana haraka kwa watu”

    “Shukrani, ni wapi kuna hoteli ya kitali ambayo tunaweza kukaa kwa muda kidogo”

    “Twende huku mbele kuna hoteli moja imejificha ficha, nilisha wahi kuja kama mara mbili hivi”

    “Sawa”

    Monica akanielekeza hadi ilipo hoteli hiyo ya kitalii yenye mandhari nzur ya kupendeza, ipo pembezoni mwa fukwe za bahari ya hindi na imezungukwa na miti mingi. Mlinzi mwenye asili ya kimasai akatufungulia geti, taratibu nikaliendesha gari hadi sehemu ya maegesho ya magari huku nikiwa makini sana kuangala hili eneo kama lina hatari yoyote kwangu.

    “Ngoja nikachukue chumba kabisa nitakuja kukustua”

    “Poa”

    Monica akashuka kwenye gari na kueleka mapokezi, nikachukua simu yangu mfukoni na kuanza kukagua kagua huduma za simu hiii. Siikuona chochote cha maana nikaamua simu yangu kuiweka mfukoni. Monica akarudi kwenye gari na kukaa.

    “Hawa vyumba vyoa gharama kama nini?”

    “Bei gani”

    Laki mbili na hamsini”

    “Kwa usiku mmoja?”

    “Yaa kwa usku mmoja”

    “Sio mbaya”

    “Kabla ya kushuka vaa koti kwanza, na hiyo kofia kwa maana kuna habari nimeiona nikiwa pale kaunta ikionyesha kutafutwa kwako”

    “Poa”

    Nikavaa koti hili lenye rang nyeusi pamoja na kofia nyeusi, nikajitazama kwenye kioo kilichomo ndani ya gari langu, nikana jinsi nilivyo badilika na kuwa sharobaro. Tukashuka kwenye gari, Monica akanifwata na kunishika mkono wa kushoto, tukaelekea kwenye vijumba vingi vilivyo jengwa katika hili eneo.

    “Kijumba chetu ni namba mia moja na ishirini”

    “Kwa maana hivi vijumba ndio vyumba?”

    “Yaa vina chumba, seble jiko bafu choo kila kitu muhimu katika nyumba hapa vipo?”

    “Duu kweli hii ni hoteli ya kitali”

    “Yaa wanaingiza pesa nyingi sana, hapa kuna siku unaweza kukuta vyumba vimeisha, na kuna vyumba zaid ya mia tano, wazungu wanatoka huko makwao wakiwa wamesha weka oda kabisa ya vyumba”

    Tukafika katika kijumba chetu ambacho nacho pia kimejengwa katika mfumo wa nyumba za msonge zilizo kaa mduara. Monica akafungua ndani na kuingia, chumba kina madhari mazuri sana hadi mwenyewe nikajikuta nikipapenda.

    “Kupo vizuri”

    “Yaa niliamini tukifika hapa utapapenda”

    Monica akaanza kuvua nguo moja baada ya nyingine alipo maliza akanisogelea na kunivua nguo zangu, taratibu tukajikuta tukiingia kwenye mahaba mazito sana, yaliyo fwatiwa na mtanange mkali wa kusisimua.

    “Dany nakupenda sana”

    “Nakupenda pia”

    Maneno hayo yalitutoka baada ya kumaliza mechi, nikasimama na kuichukua simu yangu kwenye mfuko inayo ita na kuiweka sikioni.

    “Ndio mama”

    “Unaweza kupata Laptop?”

    “Hapa nilipo sidhani kama ninaweza kuipata”

    “Kwani upo wapi?”

    “Pangani kwenye moja ya hoteli”

    “Sasa kuna ushahidi mmoja nimetumiwa na mtu utakusaidia katika kujisafisha na kuwa mwema”

    “Sasa inakuwaje?”

    “Hakisha unapata Laptop”

    “Sawa mama”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Nikakata simu na kuiweka simu mezani, Monica akanikumbatia huku akinitazama usoni mwangu.

    “Kuna nini?”

    “Mama anahitaji nitafute laptop”

    “Laptop kwenye lile duka la pembeni pale nilipo chukulia nguo kuna laptop mpya nimeziona zinauzwa”

    “Sasa nitafanyaje?”

    “Fanya uende ukanunue kama utakuwa unahitaji kununu”

    Nikaka kimya kwa dakika kisha nikaelekea bafuni, nikaoga na kurudi sebleni, nikaanza kuvaa nguo zangu moja baada ya nyingine huku Monica akinisaidia kuniweka sawa.

    “Hapa siwezi kugundulika ehee?”

    “Yaa hii kofia na hili koti vimekubadilisha sana”

    Nikambusu Monica mdomoni, nikatoka chumbani na kueleka kwenye gari huku silaha zangu nikiwa nimezificha sehemu mbalimbali za mwili wangu. Nikaondoka hotelini hapa na kueleka kwenye duka Monica alilo nieleza, sikuchukua muda sana kufika, nilipo fika gari langu nikalisimamisha pembeni kidogo ya barabara na kuvuka upande wa pili. Nikaingia kwenye duka hili na kuanza kuchagua Laptop ambayo inaweza kuwa nzuri katka matumizi yangu. Nikaipata latop moja aina Macbook. Nikalipa kiasi walicho hitaji kulipwa kwa Laptop hiyo, wakaniingizia kila program muhimu kisha nikaondoka, nikavuka barabara na kuingia kwenye gari langu, moja kwa moja nikarud hotelini. Nikachuka na brufcase yenye pesa huku hati ya nyumba nikiiweka kwenye buti la gari ndani ya begi lenye pesa. Nikaelekea kwenye kijumba chetu. Nikagonga mlango, Monica akanifungulia mlango, nikaingia ndani na kuiweka Laptop mezani na kuiwasha.

    “Unaelekea wapi?”

    “Napika chakula huku jikoni, niliagizia msosi”

    “Aaahaa sawa unapika chakula gani?”

    “Kuku, chispi na maini”

    “Ok”

    Monica akaondoka na kuingia jikoni, nikachukua simu na kumpigia mama.

    “Nimeipata”

    “Ok kuna video ninakutumia, ipitie kisha uniambie tuisambaze au laa”

    “Sawa mama unaitumia kwenye nini?”

    “Kwenye emal yako”

    “Ok”

    Nikakata simu, kwa bahati nzuri hii sehemu kuna huduma ya inteenet ya bure, hazikupita hata dakika mbili email kutoka kwa mama ikaingia, nikaifungua email hiyo kisha video hiyo. Video hii inaonyesha K2 akiwa katika moja ya jengo kubwa ambapo humo ndani kuna kiwanda cha kutengeneza madawa ya kulevya jambo lililo nifanya nibaki nimeduwaa nisijue ni nini cha kufanya.







    Ikanibidi kuirudia tena video hii aliyo nitumia mama ambayo inaonyesha kama imerekodiwa na simu kwa maana mrekodiji mwenyewe mikono yake inacheza cheza. Uzuri wa mchukuaji video hiyo aliweza kuivuta sura K2 karibu sana.

    Monica akarudi sebleni akiwa ameshika sahani yenye vipande vya kuku, akaviweka mezani huku akiitazama video hiyo.

    “Huy…u si ndio yule aliye kuja kutuvamia na watu wake?”

    “Ndio yeye”

    “Hembu”

    Monica akaigeuzia Laptop upande wake na kuitazama vizuri video hiyo, nikamuona anavyo shusha pumzi nyingi huku akinitazama usoni mwangu.

    “Sasa hii video s uisambaze kwenye mitandao ajulikane kwamba yeye ni adui wa hii nchi kwa maana huu n unga kabisa wa kuvuta”

    “Bado mapema, nahitaji ateseke kidogo kidogo hadi kufa kwake”

    “Ila Dany hapo utakuwa unakosea, tazama maisha yetu kwa sasa yanavyo andamwa, afadhali mimi ninanafuu, wewe kila muda unatangaza kwenye vituo vya habari”

    “Nimekuambia ninajua ni nini cha kufanya sawa”

    Nilizungumza kwa ukali huku nikiifunga Laptop na Monica akatulia tuli. Ukimya ukatawala ndani ya chumba huku nikijaribu kuumiza akili juu ya kulipiza kisasi changu kwa K2 pamoja na kaka yake ambaye ndio raisi wa hii nchi. Monica akachukua kipande cha paja la kuku na kunilisha, sikuona hata ladha ya nyama hiyo japo ameipika vizuri sana.

    “Usiku wa saa mbil tunaeleka Dar”

    “Dar!!”

    “Ndio, panga nguo zako na tunaondoka kama utakuwa tayari kuandamana na mimi katika hili”

    “Sawa mimi sina tatizo”

    Nikanyanyuka kwenye sofa na kuigia kwenye chumba, nikakisogelea kioo kilichopo humu ndani nikajitazama kuanzia chini hadi juu, nikatazama nguo za Monica alizo zimwaga kitandani pamoja na mawigi. Nikachukua moja ya gauni na kujipimisha kipimo cha mwili wangu, nikaona linananitosha.

    “Ehee na hilo gauni unataka kufanya nini?”

    “Nahitaji kulivaa, nataka uniweke na hili wigi”

    “Hahahaaa Mungu wangu, Dany hembu acha vituko vyako”

    “Vituko vya nini sasa, nahitaji kubadilika muonekano niwe mtoto wa kike, kuna watu wangu kupitia muonekano huu nitaweza kuwapata”

    “Mmmm hembu livae nikuone”

    Nikavua nguo zangu na kubakiwa na tisheti pamoja na boksa, nikalivaa gauni hil jeusi lililo jaa vimetometo vya dhahabu.

    “Waoooo it’s so amaizing”

    Monica alizungumza huku akinisogelea, akanifunga zipu kwa nyuma, kwa jinsi nilivyo nyoa upara na ndevu si rahisi mara moja kwa mtu kunigundua kwamba mimi ni mwanaume pale nitakapo vaa wigi.

    “Hembu jaribisha wig hili”

    Monica akanipatia wingi la nywele ndefu, huku likiwa na nywele kadhaa zilizo kuja mbele. Nikalivaa, kama nilivyo fikiria ndivyo ilivyo, sura yangu ya kiume ikaondoka kabisa. Monica akaaza kuniweka vizuri wigi hilo huku akinichana katika mfumo anao utumia msanii maarufu duniani Rihana, kwa kuziba jicho moja mbele. Akanipaka rangi yamdomo pamoja na wanja hapo ndipo muonekano wa kisichana ulipo kamilia kwa asilimia mia moja.

    “Hapa kifuani sasa naweka nini?”

    “Mmmmm kuna maziwa ya bandia na makalio ya bandia yanauzwa kwenye lile duka pale, tunaweza kuyanunua na ukayavaa”

    “Kweli?”

    “Ndio, kwani ni saa ngapi saa hizi”

    Nikachukua simu yangu na kutazama saa, na kukuta ni saa kumi na moja na robo.

    “Kumi na moja na robo naweza kuwahi kwenda kununua”

    “Kanunue basi”

    “Poa”

    Monica akachukua funguo ya gari na kutoka ndani na kueleka dukani. Taratibu nikajikuta nikianza kujawa na furaha kwa muonekano huu ambao kwa sasa unaweza kuikamilisha kazi yangu na kuifanya iwe rahisi kupita maelezo. Nikarudi sebleni huku nikijifunza miondoko ya kutembea, ili kusiwe na utofauti wowote na wasichana pale ninapo onekana mbele za watu.

    Katika zoezi la kutembea nikafanikiwa kufaulu kwa asilimia mia moja. Baada ya robo saa, Monica akarud akiwa na begi jeusi la wastani yanayo tumika katika kuwekea nguo.

    “Honey nimepata”

    Monica alizungumza huku akifungua begi hilo, akatoa umbo la plastiki lililo na maziwa ya kike pamoja na makalio makubwa kiasi.

    “Umbo hili nina imani litakufaa”

    “Hembu ngoja nijaribu”

    “Hili unavaa kabisa na unafunga na zipu yake, na nimekuchagulia rangi inayo kwendana na wewe kabisa”

    Nikavua gauni na kulivaa umbo hili la plastiki ambalo lina zipu kwa mgongoni, monica akanifunga vizuri, nikasimama kwenye kioo na kujiangalia.

    “Ahaa kum**maeee lazima wanikome mwaka huu”

    Nilizungumza huku nikiwa nimejawa na furaha sana moyoni mwangu, nikavaa na gauni hli, hapo ndipo nilipo jipatia asilima zote za uzuri unao onekana kama mwanamke.

    “Haya maziwa unayapandisha juu kidogo unayabania hapa”

    Monica akanirekebisha maziwa haya ya bandia, kwa jinsi yalivyo chora mstari mzuri wa kugawanyika kwa kujaa kwake ni lazima mtu atanitamani pale ayakapo nitazama. Monica akaniweka sawa kila kitu kikakamilika.

    “Viatu vaa hivi virefu ili hata mtu asiweze kukugundua”

    Nikajaribisha viatu hivi vya Monica, hapo ndipo nilipo pata shuhuli mpya ya kujifunza kutembelea viatu hivi kwa mara kadhaa nikajikuta nikiyumba yumba ila, Monica akaendelea kunifundisha pasipo kukata tama hadi nikafanikiwa kujihimili katika kutembela viatu hivi.

    “Sema Hiii….”

    “Haiiiii”

    “Punguza jibesi lako bwana, sehem Hiiiiii”

    “Hiiiiii mambo Monica”

    “Ewalaaaa hapo upo vizuri my huby”

    “Tukiwa na watu utaniita jina gani sasa?”

    “Mmmmm Latifa, kwa maana hilo ndio lililo nikaa kichwani”

    “Sawa, jiandae na wewe tuondoke, ila ngoja kwanza. Nipige picha nimtumie mama”

    “Ehee yamekuwa hayo”

    “Nipige picha nina maana yangu”

    “Haya”

    Monica akachukua simu yangu na kuanza kunipiga picha moja baada ya nyingine, kila picha anayo nipiga nikaweka mkao wake kama mwanamke kweli.

    “Zinatosha, hembu nizione”

    Monica akanipatia simu na tukawa tunazitazama kwa pamoja

    “Dany hapo umekuwa kama mwanamke aisseee”

    “Kweli duu kumbe wengine tuna sura za kike?”

    “Yaaa”

    Nikaka kitandani na kumtumia mama picha tatu kupitia whatsapp na kumuuliza kama anaweza kumfahamu mtu wa kwenye picha hiyo. Hazikupita hata dakika tano simu yangu ikaanza kuita, nikaipokea na kuiweka sikioni.

    “Mama”

    “Huyu uliye ntumia picha ni nani kwani?”

    “Hujaweza kumfahamu?”

    “Ndio maana nikakuuliza, sijamfahamu kabisa”

    Nikajikuta nikicheka sana, hadi Monica aliyopo bafuni akatoka na mapovu yake kutazama ninacheka nini.

    “Unachocheka ni nini?”

    “Nacheka kwa maana hata wewe umeshindwa kunitambua kwamba ni mmi”

    “Ni wewe?”

    “Ndio mama”

    “Mmmm hembu ngoja”

    Mama akakata simu na nikabaki ninacheka tu, haukupita muda akanipiga simu kwa mfumo wa video, ikanibidi kupokea, mama akabaki kuangua kicheko alipo niona sura yangu.

    “Eheee wewe mtoto una matatizo aiiseee ahaaa”

    “Kwa nini mama?”

    “Ya nini kujibadilisha na kuwa msichana mrembo hivi”

    “Ahaaa ndio hivyo mama, kazi imeanza rasmi”

    “Kama mimi mama yako mzazi niliye kuzaa sijaweza kukufahamu, basi hata mtu mwengine hato weza kukufahamu”

    “Kweli mama?”

    “Nakuapia mwanangu, hakuna anaye weza kukufahamu”

    “Ndio hivyo nahitaji kuifanya kazi kwa umakini mkubwa sana”

    “Sawa, ehee vipi kuhusiana na hiyo video?”

    “Hii nitabaki nayo, muda wake bado nataka wafe katika kifo cha taratibu na maumivu makali”

    “Sawa as you wish”

    “Ehee mama hivi ninaweza kubadilisha namba za gari?”

    “Ndio kwenye gari lake pembeni kwneye mskani hapa upande wa kulia kuna batani hiyo, ukiminya gari namba za gari lako zinabadilika na kuwa nyingine”

    “Ahaaa”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Na hilo gari lina namba zaidi ya tano, moja ni namba ya ikulu kwa hiyo ukiitumia hiyo sidhani kama unaweza kusimamishwa na polisi”

    “Sawa mama”

    “Haya jioni njema”

    Mama akakata simu hii aliyo piga katika mfumo wa video na tulikuwa tunaonana. Nikachukua bastola zangu, moja nikaiweka kwenye kipochi ambacho nitakitumia kukishika kwa kila wakati, huku nyingine ninafikiria ni wapi kwa kuiweka.

    “Unawaza nini?”

    “Nafikiria ni wapi kwa kuiweka hii bastola?”

    “Iweke mapajani?”

    “Ninawekaje?”

    Monica akafungua begi akatoa mkanda mmoja ambao si mgeni sana kwangu kwa maana natumiwa na wasichana wanapo ficha bastola zao maeneo ya mapaja. Nikafunua gauni hili lenye mpasua karibia na mapajani, nikaufunga mkanda huu maalumu, kisha bastola yangu nikaichomeka kwenye mkanda huo na si rahisi kuanguka hata nikiwa nina harakati nyngi. Monica akaanza kuvaa nguo zake taratibu, akajipamba vya kutosha na yeye kwa asilimia kubwa muonekano wake ukabadilika tofauti na tulivyo kuja hapa Pangani.

    Akaanza kuzikunja nguo na kuziweka kwenye begi, nikamsaidia kwa haraka haraka tukamaliza kuweka nguo hizo. Tukarudi sebleni, nikachukua laptop nikamkabidhi Monica akaiweka kwenye jipochi lake kubwa. Monica akatoa kibunda cha pesa kwenye brufcase na kukiweka kwenye pochi hiyo. Tulipo hakikisha tumekabilika tukakata kutoka ila Monica akanizuia.

    “Nini?”

    “Kuku wangu, wee njiani ninaweza kupatwa na njaa”

    “Sasa utawaweka wapi?”

    Monica hakunijibu zaidi ya kukimbilia jikoni baada ya dakika tano akarudi akiwa ameshika kifuko cheusi, akanyanyua begi lake la nguo.

    “Sasa tutoke”

    Nikabaki nikitabasamu huku tukiondoka chumbani hapa, tukaelekea nje tukiwa katika hali ya umakini mkubwa hususani mimi, ninaye jitahidi kutembea kwa mwendo wa kike. Tukafika kwenye gari, na beg la nguo nikafungua buti na kuliingiza na kuliweka pembeni katika begi lenye pesa, nikafungua begi la pesa, nikazikuta zipo kama zilivyo, pia hati ya nyumba ipo pembeni. Nikafunga begi pamoja na buti la gani na kuingia kwenye gari, nikawasha gari na kuminya batani aliyo niambia mama. Kwenye kitv kidogo kilichomo humu ndani ya gari kaka nionyesha kwamba namba zimebadilika.

    Safari ya kurud Tanga mjini ikaanza, njia nzima tukawa tunapiga stori za hapa na pale na Monica, pia tukazungumza mipango ya maisha ya hapo mbeleni pale hili sekeseke litakapo malizika.

    “Ila kusema kweli Dany umebadilika, umekuwa mwanamke halis kabisa”

    “Hivi ndivyo inayo takiwa”

    “Sasa kama polisi wakitukamata na kuhitaji lesin yako si itakuwa tabu”

    “Tena hapo umenikumbusha, kuna mtu yoyote unaye mfahamu anaye weza nitengenezea lesini au kitambulisho”

    “Mmmm…..Yaa yupo yupo. Kuna kaka anaitwa Amdala Maleseni, anaishi barabara ya kumi na mbili pale, ni muhindi fulani huyo jamaa ni balaa katika kutengeneza leseni na vyeti bandia”

    “Ahaa inachukua muda gani?”

    “Kama una pesa ya kutosha, hata robo saa hamalizi”

    “Tukifika Tanga mjini tutaanzia kwake”

    “Sawa hakuna shida”

    Mwendo wa masaa matatu kwa mwendo wa kasi, tukafanikiwa kufika Tanga mjini, cha kumshukuru Mungu hatukukuta na polisi wa aina yoyote. Moja kwa moja tukaeleka kwa Amdala Maleseni. Monica akawa wa kwanza kushuka kwenye gari akaingia kwneye moja ya ofisi, baada ya dakika tano akatoka na kunifwata kwenye gari.

    “Yupo twende”

    Nikazima gari na kushuka, nikaongozana na Monica hadi ndani ya ofisi hiyo, nikakuta na kijana mmoja wa kihindi aliye valia miwani, miwani kubwa.

    “Mambo”

    Alinisalimia kijana huyo kwa sauti ya matamanio huku akinitazama kuanzi chini hadi juu.

    “Powaa”

    Nilijubu kwa sauti ya kike, hadi Monica akanikazia macho ya mshangao.

    “Dada ake hapa alinielezea tatizo lako, sasa unahitaji leseni yenye maharaja gani?”

    “Yote tu”

    Nilizidi kuzungumza kwa sauti nyororo hadi Monica akaachia tabasamu pana

    “Moni huyu rafik yako wa ukweli umemtolea wapi?”

    “Ehee babu wee acha umalaya wako, fanya kazi uliyo pewa wengine wake za watu”

    “Mmmm hutaniwi Monica”

    “Kwani sikujui wewe”

    “Haya yaishe. Dada yangu njoo ukae hapa nikupige picha”

    Nikatembea kwa mwendo wa maringo hadi kwenye kiti hichi ambacho nyuma yake kuna pazia la rangi ya blue, akachukua kamera yake aina ya Canon D5 na kuanza kunipiga picha kadhaa ambazo ni passport saizi. Akamaliza na kuziingiza kwenye Laptop yake kwa haraka haraka akaanza kudili na kazi yake ya kushuhulikia lesini yangu ya udereva.

    “Jina nani dada”

    “Latifa Rashidi”

    “Ok, mwaka wa kuzaliwa?”

    “Themanini na nane”

    “Tarehe”

    “Kumi na sita, December. Alafu kaka unaweza kunitangenezea na cheti ya kura?”

    “Yaaa naweza ni kazi ndogo ila itabidi muniongeze dau”

    “Shilingi ngapi?”

    “Milioni”

    “Milioni”

    Monica alizungumza huku kijiziba pua yake na kuyarudia maneno ya Amdala Maleseni

    “Nyoo hiyo miloni unaizungumza kiurahisi tu”

    “Kwani wewe ndio muhusika?”

    “Mimi ndio nimemleta, ungesikia kwamba ni malaya ungeomba kum*** ukafanya bure. Umejua ni mke wa mtu unaanza kuropoka eti milioni”

    Nilibaki kutabasamu, kijaa huyo kazi akaifanya kwa haraka na vitambulisho akavitolea kwenye chumba kingine ambacho Monica ameniambia ndipo ilipo mitambo yake ya kutolea vyeti. Amdala Maleseni akarudi akiwa na kitambulisho cha kupigia kura chenye picha yangu pamoja na leseni. Akanikabidhi kuviangalia, kusema kweli hakuna tofauti ya iana yoyote vyote vina fanana na uhalisia.

    “Hapo hata wapitishe kwenye mashine ya ukaguzi kitu kinasoma kile kile”

    “Kweli?”

    “Ndio nina tumia mfumo wao kabisa wa makao makuu”

    “Mpenzi mpe milioni yake”

    Niliendelea kujikaza na kuzungumza kwa sauti ya kike, Monica akafungua pichi na kutoa laki tano na kumkabidhi Amdala Maleseni aliyo ipokea huku akitabasamu.

    “Acha utapeli siku nyingine”

    Monica alizungumza huku akismama na mimi nikasimama na kuweka vitambulisho vyangu kwenye pochi yangu na tukatoka katika ofisi hii na kuingia kwenye gari.

    “Aisee umejitahidi Dany”

    “Ahaa hapa koo linaniuma kwa kuigiza sauti ya kike”

    Nikawasha gari na kuondoka eneo hili, tukafia kwenye moja ya sheli iliyopo maeneo ya Chumbageni Fire, tukajaza mafuta tanki zima, tukalipa kiasi walicho kihitaji na safari ikaanza. Tukiwa maeneo ya Kange jeshini, tukakutana na kizuizi cha askari polisi, wanajeshi pamoja na wana SNN. Gari letu likasimamisha, taratibu nikapunguza mwendo nikiwa sina wasiwasi kabisa. Nikamuona K2 akilifwata gari letu pamoja na askari wake wawili wa kikos chake.

    “Usitemeke namalizana nao”

    Nilimuambia Monica aliye jikausha kimya kwenye siti yake, K2 akafika kwenye kioo changu, sikuhitaji agonge nikafungua taratibu huku nikitasamu jambo lililo mfanya K2 kunikazia macho makali uson mwangu







    Ukimya ukatawala kwa dakika moja huku nikitazamana na K2 pasipo kuwa na wasiwas wowote, nikakiona kifua cha K2 jinsi kinavyo hema taratibu huku akishusha pumzi kubwa.

    “Habari zenu”

    “Salama tu”

    Sauti yangu ya kuigza kama mwanamke ndio ilyo zidi kumchosha K2, kwa maana ninahisi kwamba nilazma kwamba atakuwa na wasiwasi na mimi.

    “Munaelekea wapi usiku wote huu?”

    “Tunaishi hapo Saruji ndio tunaelekea nyumbani”

    “Ahaa sawa safari njema”

    “Asante”

    Taratibu nikafunga kioo cha gari, nikaachia breki taratibu huku nikikanyaga mafuta na kuondoka eneo hl huku nikiwa ninacheka sana moyoni mwangu kwa vituko nilivyo mfanyia K2 kwa kujibadilisha muonekano wangu.

    Safari ikazidi kusonga mbele huku Monica akiwa amelala kwenye siti yake, sikuwa na wasiwasi wowote kwa maana ninatambua uchovu alio kuwa nao kwa maana siku nzima ya leo imekuwa ni ngija ngija ambazo kwenye maisha yake hakuwa kukutana nazo kabisa. Hadi inafika saa sita kamili usiku nikawa nimefika maeneo ya Segera. Sikuhitaji kusimama kabisa zaidi ya kundelea na safari, maeneo ya Mkata nikakutana na kizuizi cha Polisi, kama kawaida wakatusimamisha, polisi mmoja akanifwata, kama ilivyo kuwa kwa K2 nikafungua kioo.

    “Habari yako dada?”

    “Salama tu”

    “Habari za Safari?”

    “Salama, munaelekea wapi usiku huu?”

    “Tunaelekea hapo Chalinze tu?”

    “Ohoo, kusema kweli sasa hivi sheria za usalama barabarani zimebadilika kabisa, mwisho wa gari ndogo kusafiri pasipo kibali chohote, mwisho wake ni saa saba usiku na ukiangalia sasa hivi ni saa nane usiku, kwa hiyo ningeomba dada yangu safari yako iishie hapa”

    “Ohoo samahani kaka yangu, hii safari hata mimi kwangu haikuwa ya kupanga, ila nimeambiwa mama yangu hali yake ni mbaya, ninahitaji niwahi kufika, ili kesho alfajiri na mapema nimuwahishe India kwa vipimo zaidi”

    Nilizungumza kwa saui ya unyonge iliyo jaa mahaba ya kike ya kuigiza yaliyo mfanya askari huyu kukaa kimya kidogo huku akinitazama.

    “Muamshe huyo mwenzio wa pembeni hapo”

    “Moni, moni”

    “Mmmmm Dany vipi bwanaaa, nimechoka mwenzio”

    Monica aliropoka maneno hayo huku akifumbua macho yake, maneno yake sikutaka yatengeneze mstuko kwangu, nikabaki nikitabamu tu.

    “Anamuwaza mpenzi wake”

    “Ni nani yako huyo?”

    “Tumefika wapi?”

    Monica aliuliza huku akipiga miyayo ya uchovu wa usingizi.

    “Mkata, tupo kwenye kizuizi cha polisi”

    Monica akamtazama askari huyu aliye kaa kimya kwa muda akisikilza mazungumzo yetu. Monica akatabasamu kwa askari huyo kisha akajifikicha macho na kukaa vizuri.

    “Naomba leseni yako”

    “Ohooo sawa nilijisahau”

    Nikatoa leseni yangu kwenye kipochi changu na kumpatia askari huyu aliye ipokea na kuitazama vizuri hukua akisoma kilicho andikwa kwenye leseni hii kisha akanirudishia.

    “Dada yangu kitu cha kukushauri hapo mbele kama kilomita moja kuna Moteli, mungepumzika kwanza kisha kesho alfajiri mukaendelea na safari. Kwa maana kwa sasa hali ya usalama katika hii nchi imekuwa ni mbaya sana”

    “Sawa sawa kaka yangu, asante sana”

    “Sawa fanyeni kama nilivyo waambia, isitoshe nyote ni watoto wa kike inaweza kuwa shida kidogo linapo tokea tatizo hapo mbele”

    “Kweli afande, asante ehee”

    “Sawa”

    Nikafunga kioo na kuondoka katika eneo hili, sikujali wala kuyafikiria maneno ya askari huyu, lengo langu ni kufka Dar es Salaam usiku huu huu wa leo. Safari yangu ikazidi kusonga mbele, nikafanikiwa kupita daraja la Wami salama salmini huku nikikumbuka siku ambayo tulishambuliwa tulivyo kuwa na raisi feki. Hadi ninafika Chalinze sikukutana na kizuizi cha askari, safari ikazidi kuendele, had inafika saa kumi kamili Tayari nikawa nimefika Dar es Salaam.

    “Sasa usiku huu wote tutapata chumba kweli?”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Yaa zipo hoteli zinapoke watu masaa ishirini na nne”

    “Mmmm”

    “Yaaa huku mimi mwenyeji, sio Tanga hapa hotel zinapokea watu mwisho saa sita”

    “Kweli huwa wanaoboa kishenzi. Zile za uchochoroni ndio wanapokea watu masaa ishirini na nne”

    Tukafika kwenye moja ya hoteli kubwa, tukashuka na kuelea ndani, kwa bahati nzuri wahudumu tukawakuta, tukapangisha chumba kimoja kwa muda wa siku mbili. Wakatukabidhi funguo na kueleka ndani. Si mimi wala Monica, sote tumechoka kisawasawa, tukapanda kitandani hivyo hivyo tukiwa na nguo zetu na suingizi mzito ukatupitia.

    Kitu kilicho nistusha na kufumbua macho ni mwanga mkali wa juu aulio piga kwenye macho yangu, taratibu nikajikuta nikikaa kitandani huku nikitazama pembeni yangu sikumuona Monica, nikashuka kitandani kwa haraka, kabla sijapiga hata hatua nikamuona akitokea bafuni, akiwa amejifunga taulo.

    “Umeamka mume wangu?”

    Nikashusha pumzi taratibu huku nikimtazama Monica uson, akanifwata na kunikumbatia huku akinipiga mabusu ya mdomoni.

    “Inabidi uvue haya madude ukaoge, mimi nilijisikia vibaya hadi nikaamua kukimbilia kuoga”

    “Ahaa umenistua sana, nikajua labda kuna kitu kibaya kimetokea”

    “Ahaa hamna si ningepiga kelele na ungefahamu”

    Monca akazunguka nyuma ya mwili wangu, akanifungua zipu ya gauni, nikalivua kisha akafwatia kunifungua zipu ya mwili huu wa plastiki nilio uvaa.

    “Huko bafuni kuna maji ya moto na maji ya baridi kwa hiyo yale unayo yahitaji ndio unaweza kufungua na kuoga”

    “Ahaa sawa”

    Nikaitoa bastola yangu sehemu nilipo kuwa nimeichomeka, nikafungua na kijimkanda nilicho kuwa nimejifunga kwenye mapaja, nikavua boska pamojana tisheti yangu hii ambayo haiingii risasi.

    “Hapa najisikia mwepesi kishenzi”

    “Ukiogo ndio utazidi kuwa mwepesi”

    Nikaeleka bafuni, nikaoga haraka haraka na kurudi chumbani, nikamkuta Monica akiwa amebong’oa kitandani huku mguu mmoja akiwa amekanyaga chini na mguu mwengine amakanyaga kwenye kitanda akiupaka mafuta. Taratibu nikamsogelea na kumshika kalio lake huku nikilitingisha tingisha.

    “Jamani Danyyyy, acha uchokozi wako banaaaa”

    “Uchokozi gani, wakati unanitamanisha sana”

    “Mmmm jamani”

    Nikaendelea kuliminya minya kalio la Monica, taratibu akaushusha mguu wake na kusimama wima, akanigeukia na tukaanza kunyonyaa denda. Akanisukumia kwenye kitanda akanifwata na kunikalia kiunoni, tukaendelea kunyonyana denda huku tukiwa katika hisia kali za mapenzi. Taratibu Monica akamuingiza jogoo wangu kwenye kitumbua chake, na taratibu akaanza kumkatikia huku kifua chake akaiwa amekila kifuani mwangu.

    Nilipo ridhika, nikamlaza kitandani nikamlaza kifudifudi na kuendelea na mtanange hadi sote tukajikuta tunamaliza pamoja.

    “Dany kusema kweli, nimetembea na wanaume wengi ila sijapata ona anaye weza kumiliki kiuno cha manamke kama wewe”

    “Kweli?”

    “Yaa yaani unajua kona zote za Kum**, kuna wanaume wanatomb** tu moja kwa moja hawajui kwamba kuna kuta ambazo mwanamke anatakiwa kugusa, ukiona moja anapata utamu endelea kupasugua hapo hapo”

    “Hahaaaa”

    “Weee acha tu, yaani wanakerajee, utakuta mtu mapenzi hajui, kitandani hajiwezi yaani ni shida tupu alafu anajiona mwanaume kidume kumbe chok** tu”

    “Mmmm huko simo, ila najisikia njaa mbaya”

    “Ngoja nipige simu niagizie kifungua kinywa”

    “Itakuwa ni vizuri kama ukienda kuchukua huko chini”

    “Mmmm bana honey hapa nilipo nimechokaje, miguu haina yata nguvu yaani ukinitomb**ga huwa nguvu za miguu zinaniishia wala sifahamu ni kwa nini”

    “Pole mamyto wangu, basi ngoja nikachukue”

    “Sasa si utatakiwa kuvaa hili jiumbo la plastiki?”

    “Yaa ninalivaa, huwa napendaga chakula nikisimamie mimi mwenye”

    “Sawa”

    Nikashuka kitandani, nikalichukua mwili wa Plastiki na kuuvaa, Monica akanisaidia kuufunga zipo yake kwa nyuma kisha nikatafuta gauni jengine la Monica la rangi nyekundu, nikavaa wigi langu lililo badilisha muonekano wa mwili wangu kabisa, kisha kwa juu nikavalia na kijisweta chepesi kwa juu.

    “Dany yaani ungekuwa mtoto wa kike ungepagawisha wanaume wengi”

    “Acha zako”

    “Haki ya Mungu vile, aliti kama ungekuwa mwanamke sijui ingekuwaje kwa wanaume”

    Nikafungua brufcase na nikachukua kiasi cha pesa cha kutosha, nikatoka chumbani humu na kutembea kwenye kordo hadi kwenye lifti, nikafungua na kuingia ndani.

    Nikaminya batani ya kueleka chini, taratibu lifti ikaanza kushuka hadi chini, nikatoka na kueleka mapokezi.

    “Samahani dada ninaweza kupata kifungua kinywa?”

    “Ndio dada yangu, sijui unahitaji kifungua kinywa gani?”

    “Mmmmm si kuna watu wa jikoni?”

    “Yaaa”

    “Naomba nionane naye anitengeneze kile ninacho kihitaji”

    “Ok sawa tuongozane”

    Nikaongozana na muhudumu huyu wa kike anaye hisi kwamba mimi ni mwamke mwenzake kumbe ni kidume cha mbegu. Tukafika katika sehemu maalumu ya kulia chakula, akanikaribisha kwenye viti na kueleka kwenye jiko llilopo katika sehemu hii.

    Muhudumu niliye kuja naye eneo hili akatoka akiwa ameongozana na mpishi wa kiume aliye valia mavazi meupe.

    “Msikilize dada hapa”

    “Sawa karibu dada yangu”

    “Asante, munapika chakula gani hapa kwenu?”

    “Tunapika vyakula vingi sana, seme chochote tunakupikia katika ubora ambao haujautegema dada yangu”

    “Waooo”

    Nilizid kuongeza mikogo ya kike jambo lililo nifanya nizidi kujipa maksi kwamba mimi katika sekta ya uingizaji nina kipaji kikubwa kuliko hata waigizaji wenyewe wa hapa Tanzania.

    “Kwanza chai, nahitaji mayai manne ya kuchemsha, soseji hata nusu kifoko kile pamoja na chapat za maji. Kama ninaweza kupata na chai ya maziwa itakuwa vizuri”

    “Hakuna shida dada yangu katika hilo”

    “Kwa chakula cha mchana nahitaji unitengenezee pronsi rost, kuku pamoja na chispi kavu”

    “Hilo tu pia halina shida”

    “Muna juisi gan?”

    “Ahaa juisi sio kitengo changu dada labda nikuite mama anaye dili na utengenezaji wa juisi”

    “Hakuna tabu naomba uniitie”

    “Sawa na hiyo itakuwa ni bei gani?”

    “Ahaa kwa haraka haraka kama elfu stini hivi, ukijulisha chakula cha mchana na hichi kifungua kinywa ulicho hitaji wewe”

    “Sawa hakuna shida, na utatengeneza sahani mbili kwa hicho chakula cha mchana”

    “Sawa hakuna shida”

    Nikamkabidhi pesa aliyo ihitaji na nimuongezee, akaondoka na kueleka jikoni, baada ya muda akatoka na mama ambaye ninamfahamu vizuri. Nikabaki nimeduwaa nikimtazama mama huyo anaye kuja kwenye meza yangu akiwa amevalia na yeye nguo nyeusi. Akaka kwenye kiti cha pembeni yangu huku akinitazama. Kimoyo moyo nikahitaji kuita mama Mariam ila mdomo ukawa mzito sana kwa maana ni muda mrefu tangu niachane naye.

    “Dada nakusikiliza”

    Kwa mbali machozi ya furaha yakaanza kunilenga lenga, pale nilipo isikia sauti ya mama Mariam.

    “Na wewe umeweka nini hapo makalio yako, kazi umalaya tu hembu yanyua matak** yako ukatengeneze juisi”

    Kijana mmoja aliye valia suti nyeusi alizungumza huku akija kwenye meza yetu kwa haraka mama Mariam akanyanyuka akataka kuondoka nikawahi kumshika mkono.

    “Ona ona umeshatongozwaa sasa unataka kwenda kuachia kum** ehee”

    Kijana huyo alizidi kuzungumza maneno yaliyo nikera na kuniumiza moyoni mwangu.

    “Samahani dada yangu, naomba nikaendelee na kazi huyu meneja wangu ana shida sana”

    Nikanyanyuka huku nikiwa nimeushika mkono wa mama Mariam, nikasogea taratibu hadi sehemu alipo simama mama Mariam, neneja huyo akanitazama kwa macho ya dharau huku akinipandisha na kunishusha na macho yake.

    “Na wewe dada mzima unamtongoza jimama kama hili, unataka mukasaganeee eheee?”

    Nikashusha pumzi nyingi huku nikimtazama meneja huyu.

    “Nakuuliza usinikodolee macho kama umechomekwa mbo** ya mkund………”

    Sikumruhusu kumalizia sentensi yake, nikamtandika ngumi ya pua, iliyo muangusha chini mzima mzima na kutoa kishindo kizito hadi wapishi wwalipo jikoni wakatoa kushangaa ni kitu gani kinacho endelea huku nje.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    ITAENDELEA



0 comments:

Post a Comment

Blog