Search This Blog

Thursday 19 May 2022

SORRY MADAM - 1





      IMEANDIKWA NA : EDDAZARIAG.MSULWA



      *********************************************************************************



      Chombezo : Sorry Madam

      Sehemu Ya Kwanza (1)



      Ni siku ya jumamosi kama kawaida wanafunzi waote wa shule tunayosoma tunakwenda viwanjani kucheza michezo mbali mbali kama mpira wa miguu na michezo mingine ambayo wanacheza wasichana waliopo katika shule yetu ambayo nay a bweni yenye mchanganyiko wa wasichana na wavulana kuanzia kidato cha kwanza hadi cha sita na nishule ya mtu binafsi(PRIVET SCHOOL) iliyopo katoka mkoni Arusha.Kama kawaida yangu ya kuwa shabiki wa timu ya darasa langu la kidato cha tano ninachosoma ninaendelea kutazama mechi tunayocheza na kidato cha tatuhadi wakati huu tumeshafungwa goli mbili kwa moja huku dakika zikiwa zinakimbia kuelekea ukingoni huku mashabiki wa kike wa kidato cha tano wakiendelea kuwapa moyo wachezaji wetu waliopo uwanjani

      “Oya Eddy mcheki yule manzi pale”

      “Yupi?”

      “Yule aliyevaa sweta jeupe”

      CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

      “Ana nini?”

      “Cheki alivyo bomba majamaa kibao wamemtokea wamepigwa chini”

      “Yupo kombi gani?”

      “HKL”

      “Ndio maana angekuwa huku tulipo sisi wala asingekuwa mzuri”

      “Hembu acha pumba zako Eddy”

      “Kweli John unadani angekuwa science unazani angekuwa hivi wewe si unawaona wakina Matha walivyo kauzu class hadi kuwatongoza mtu unashindwa”



      Tukajikuta tukikatisha mazungumzo baada ya mchezaji wetu mmoja kufunga bao la kukomboa jambo lililoturudishia furaha hata ya kuwepo uwanjani.Kabla hata ya dakika mbili mbele mchezaji wetu yule yule akafunga bao jengine kupitia mpira wa kona uliopigwa na akaudumbukiza nyavuni kwa kichwa na kuamsha shangwe za wanafunzi wote wa kidato cha tano na kuwafanya mashabiki baadhi kuingia uwanjani huku wakishangilia kwa furaha kwani tayari dakika zilisha kwisha.Mimi na rafiki yangu John tokabaki nje ya uwanja huku sura zetu zikiwa na furaha kuoita maelezo

      “Wee dada jamaa anakuita hapa”

      John alimuita yule msichana tuliyekuwa tunamjadili dakika kadhaa zilizopita.Akatuangalia kwa dharau yeye na rafiki zake kisha wakaongea maneno ya kunong’onezana na kuanza kucheka kicheko kilichotufanya tuwe kimya kama tumemwagiwa maji ya baridi.Safari ya kurudi shuleni ikaanza kwani kiwanja chetu cha mpira kipo eneo la nje ya eneo la shule.Tukiwa tumeongozana na kundi la wasichana wa kidato chetu wakiimba nyimbo za usindi mimi na John tukawa na kazi ya kumfwatilia yule msiichana ambaye kusema la ukweli amejaliwa uzuri unaweza kusema alipewa siku yake ya pekee katika uubwaji wake



      Tukafika hadi kwenye duka la shule ambapo yule msichana alikwenda na rafiki yake ambaye kidogo naye anavutia japo si sana.Kutokana hatukuwa na lengo la kufika katika duka hilo kwa aibu tukajikuta tukinunua mifuko miwili ya pipi za Big boom

      “Claudia ile hela siioni”



      Yule msichana alizungumza huku akiwa anajipapasa papasa kwenye mifuko ya sketi yake huku akionekana kuwa na wasiwasi wa hali ya juu kwani tayari walishakunywa soda pamoja na kula keki za watu



      “Hembu tazama vizuri”

      “Kweli si unaona mifuko yote haina hela jamani sijui imeangukia wapi”



      Nikawatazama kwa huruma kisha nikatoa waleet yangu mfukoni iliyotuna kwa wingi wa pesa nikamuuliza muuza duka ni kiasi gani cha pesa anachowadai akaniambia nikawalipia ma chenchi iliyobaki nikamwambia muuza duka awapatie.Tukaanza kuondoka kabla hatujafika mbali Claudia akatuita na tukasimama wakaja katika lile eneo tulilosimama huku rafiki yake ambaye ndio aliyetufanya twende pale dukani kwa kumfwatilia akaawa analia

      “Samahani kaka zangu tunawashukuru”

      “Haina shida vitu vya kawaida,Eddy twende zetu”

      “Ngojeni kwanza”



      Claudia alizungumza huku akimshika John beda aliyeanza kugeuka na kutaka kuanza kuondoka katika eneo tulilo kuwepo

      “Mbona huyo mwenzako analia”

      “Amepoteza pokety money yake ndio kwanza ametoka kuipokea leo mchana kwenye basi”

      “Mmmm poleni”

      John alizungumza kwa maringo na kuanza kuondoka ikanilazimu mimi kubaki kwani roho ya huruma ilianza kunitawala huku wakati wote nikimtazama yule msichna ambaye bado sikulitambua jina lake

      “Amepoteza sh ngapi?”

      “Eti Salome umepoteza shii ngapi?”

      “Elfu semanini na tano”



      Nikakaa kimya kama dakika mbili nikifikiria nini nifanye,nikajikuta nikiitoa wallet yangu mfukoni na kuesabu noti tisa za elfu kumi kumi kisha na kuzitoa na kumpa Salome taratibu akazipokea huku akiwa haamini tukio linalo tendeka kwa wakati huo.

      “Zitakusaidia saidia siku mbili tatu”

      “Asante sana kaka yangu”

      “Powa ukiwa na shida utakuja darasa la PCB ndio ninaposoma”

      Nikawapa na mfuko wa pipi nilio nunua kisha nikaondoka huku moyoni mwangu nikijifariji kuwa tayari nimesha fanikiwa katika hatua ya kwanza ya kumpata motto mzuri.Tukafika bwenini tukaoga kujiandaa na sikukuu ya wanafunzi ambayo hufanyika kila mwisho wa mwenzi wakati wa usiku katikaukumbi wa shule.Sikukuu hii hutoa fursa ya wanafunzi kuonyesha vipaji vyao mbali mbali.Tukapiti katika cantin ya shule na tukanunua chakula kisha tukaelekea kwenye ukumbi uliojaa wanafunzi kuanzia kidato cha kwanza ahadi cha sita



      Shughuli zikaanza huku wanafunzi mbali mbali wakionyesha vipaji vyao huku wakishangiliwa na wanaofanya vibaya uzomewa.Ukumbi ukakaa kimya huku tukiwasubiria washiriki wa shindano la umiss wa shule kupita mbele yetu huku majaji wakiwa ni waalimu wetu wa michezo pamoja na wanafunzi baadhi.Wakaanza kuingia mmoja mmoja huku wakiwa wamependeza,nikajikuta ninanyanyuka kwa furaha huku nikipiga makofi hii ni baada ya kumuona Salome akiwa katika msururu huo wa mamisi waliochanganyika vidato mbali mbali.Wakajipanga mbele ya majaji na kuanza kuulizwa maswali mmoja baada ya mwengine kwa lugha ya kingereza.Ikafika zamu ya Salome kuulizwa swali wanafunzi wote wakaa kimya kumsikiliza atakacho kijibu

      “SALOME CAN YOU TELL US WHAT IS LOVE?”(Salome unaweza kutuambia upendo ni nini?)

      “Love is force of nature howevermuch we may want to,we can not command,demand or disapper love,any more than we can and in adition love cannot be bought,sold or trade.You cannot make some one to love you.Thanks”(Upendo ni hali ya msukumo wa kihalisia kwa jinsi tunavyo hitaji.Htuwezi kulazimisha,kukomalia au kutawanya upendo kwa kadri tunavyoweza na kwa kuongezea Upendo hauwezi kununuliwa kuuzwa au kubadilishana.Hauwezi kumfnya mtu kukupenda wewe.Asante”)

      CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

      Ukumbi mzima ukapiga makofi kasoro mimi kwani nikajikuta sentensi ya mwisho ya Salome ikijirudia rudia akilini mwangu “YOU CAN CANNOT MAKE SOMEONE TO LOVE YOU”(Huwezi kumfanya mtu kukupenda).Wakatoka ukumbini kwa wimbo walio ingilia kupisha mambo mengine kuendelea huku tukisubiri matokeo kutoka kwa majaji wetu.Muda wa matokea ukawadia huku washiriki waote wakisimama mbele yatu.Jaji mmoja akaanza kutangaza nafasi kuanzia ya tatu na ya pili huku nafasi ya kwanza akimkabithi mgeni rasmi ambaye ni mmiliki wa shule kuitangaza huku wakiwa wamebakia washiriki wanne.Tukakaa kimya kusubiria ni nani atakaye nyakua taji kwa mwaka huo

      “NA MSHINDI WETU NI……………………..SALOME ALEX EDWARD”



      Ukumbi mzima ukanyanyuka na kuanza kupiga makofi ikiwemo mimi huku John akinisukuma sukuma kila wakati huku akinionyeshe jinsi Salome alivyopendeza na kuzidi kuvutia kwenye macho ya wengi.Akaanza kuvalishwa vitu wanavyo valishwa mamisi pale wanapashinda huku akikabithiwa uwa kubwa na mgaeni rasmi.Muongoza shindano MC akamuomba Salome amchague mtu wa kwenda kucheza naye mziki kwa dakika tano.Salome akachukua kipaza sauti na sote tukakaa kimya kumsikiliza ni nani atapata bahati hiyo ya kuitwa mbele ya ukumbi huo.Salome akatizama tizama na macho yake akaelekea sehemu tuliyokaa sisi.Akanyoosha kidole chake watu wote wakaangalia tulipo sisi



      “Eddy hichi kidole ni chako”



      John alizungumza huku akinisukuma sukuma kwa kutumia bega lake.Nikanyanyuka kidogo ila Salome akatingisha kidole chake kwamba si mimi ni jamaa aliyekaa kiti cha nyuma yetu ambaye ni kaka mkuu wetu.Jamaa akanyanyuka kwa furaha huku wezake nyuma wakimtuma akama akamchezee Salome hadi alainike.Mimi na John tukabaki kama watu wasio amini huku mimi roho ikianza kuniuma kupita maelezo na kumfanya John kuachia msunyo mkali adi watu wa pembeni yetu wakamtazama na kuanza kucheka



      “Mademu wengine bwana was**e kama nini”



      John alizungumza huku akiendelea kutoa misunyo.Jamaa kama alivyoagizwa ana wezake akawa anazidi kumshika shika Salome mwili wake huku wanafunzi wakishangilia kwa furaha na kuzidi kunifanya niichukie sikukuu hiyo

      “John twende zetu tukalale”



      Tukanyanyuka kwenye viti vyetu kutokana na mlango wa kutokea upo mbele tukalazimika kuoita mbele ya ukumbi huku mcho yangu yaliyojaa hasira yakimtazama Salome ambaye naye alinitazama kwa sekunde kadhaa kisha akayapeleka macho yake sehemu nyingine.Tukashuka kwenye ngazi za gorofa lenye ukumbi wa shule.Kabla hatujafika chini mwanafunzi mmoja akatuita



      “Mwalimu wa zamu anawaita”



      Ikatulazimu kurudi juu kulipokuwa na ukumbi tukakuta mziki ndio unaisha Salome akaachiana na kaka mkuu(head boy) kwa ishara mwalimu wa zamu akatuambia tusimame mbele ya ukumbi kisha akaomba kipaza sauti na kuanza kuzungumza



      “Jamani munawaona hawa”

      Ukumbi mzima ukaitikia Ndio zilizochanganyikana na vicheko vya wasichana wa vidato mbali mbali

      “Sisi wezao shule nzima tupo humu ukumbini wao wanatoka kama si ni wezi wanao taka kwenda kuwaibia wezao mabwenini?”

      “Ndiooo”



      Nikajikuta ninatoa machozi ya hasira kwa jinsi mwalimu wa zamu anavyo tuzalilisha mbele ya wanafunzi wengine huku wanao tujua wakikaa kimya.Mwalimu wa zamu akachukua fimbo yake na kutuamuru tulale chini John akawa wa kwanza kuchapwa fimbo nne za nguvu kisha nikafwatia mimi,Nikashanga kuona mwalimu wa zamu akinichapa fimbo tano na kuniamrisha nikae vizuri anichape fimbo ya sita kwani anadai nimesunda.Nikanyanyuka kwa hasira na kuishika fimbo ya mwalimu wa zamu na kuivunja na kuwafanya wanafunzi na waalimu kushangaa tukio hilo



      Mwalimu wa zamu akanitazama kwa hasira akarusha kofi nikalikwepa na kurudi nyuma huku nikijiweka tayari kwa chochote atakacho jaribu kukifanya,Mwalimu wa zamu Mr Kikole akanirushia ngumi ambayo niliikwepa ikapita pembeni.Waalimu wengine wakaja kumshika mwalimu wa zamu anaye onekana kuwa na hasira na mimi wakamtoa njee ya ukumbi na kusababisha shunguli kusimama kidogo.Mkuu wa shule akaagiza walinzi wanipeleke kwenye kibanda chao wanacho lala na kesi yangu wataisikiliza asubuhi

      Usiku mzima sikulala kutokana na mawazo ya kuhisi inaweza ikawa ndio safari yangu ya mwisho katika shule hiyo.Ila kingine kinachonifanya nishindwe kulala ni kutokana na hali ngumu iliyokuwemo ndani ya kibanda hicho kwani kina meza na viti viwili na mbaya zaidi hawakunipa hata shuka la kujifunika kujikinga na baridi kali iliopo hapa mkoani Arusha.Kila wakati ninaangalia saa yangu ya mkononi huku nikiomba asubuhi iweze kufika kwa haraka.Saa kumi na mbili na nusu waalimu wakaanza kuingia katika geti la shule ambalo lipo karibu na kibanda cha walinzi.Nikamuona Madam Mery akiingia getini na kituo chake cha kwanza akafika katika kibanda nilichopo.Akasalimiana na walinzi waliopo katika kibanda hicho huku akionekana kunishangaa kuniona katika kibanda hicho

      “Ehee Eddy vipi mbona huku asubuhi yote!?”

      “Madam wee acha tu jana”

      “Niache nini sasa jamani kaka zangu naomba nizungumze naye”

      Walinzi wakatoka kwenye kibanda na kutuacha na Madam Mery ambaye kipindi ninaletwa na baba yangu kuja kujiunga na shule hiyo alinikabithi kwake na akawa kama mlezi wangu hapo shule,Nika muadisia mkasa mzima ulionikuta kati yangu na mwalimu wa zamu Mr KIkole.Hadi ninamaliza kumuadisia Madam Mery akaachia msunyo mkali uliozidi kuniogopesha

      “Yule mzee ni mlevi sana utakuta jana alikuwa amelewa.Kwa hiyo wamekulaza huku?”

      “Ndio”

      “Nani aliye agiza uje kulazwa huku?”

      “Head master”(Mkuu wa shule)

      “Ngoja nitazungumza nao”

      CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

      Madam Mery akaaga na kuondoka na kuniacha kibandani.Mida ya saa mbili na nusu nikaja kuchukuliwa na mwalimu mwengine ambaye naye ni mwalimu wa zamu,Tukaingia katika ofisi ya nidhamu na kuwakuta waalimu wengine akiwemo Mr Kikole na wakaanza kunihoji maswali ya tukio ambalo nililifanya jana usiku.

      “Inavyoonekana wewe kijana ni jeuri sana ehee?”

      “Hapana headmaster”

      “Mkuu wa shule unaona jinsi hata jibu lake anavyo ilwekea kibesi yaani anajifanya kidume cha mbegu”

      Mwalimu Kikole alinichochea kwa mkuu wa shule nikabaki nikimtazama kwa jicho la hasira

      “O level yako ulisoma shule gani?”

      “St Joseph nchini Kenya”

      “Ahaaa huko ndipo ulipo fundishwa kuwagomea waalimu na kutaka kuwapiga wewe unajiona ni mbabe sana au huo mwili wako mkubwa ndio unakudanyanya?”

      Mwalimu wa nidhamu alizungumza huku akinichunguza juu hadi chini

      “Hapana mwalimu ninaomba munisamehe”

      “Alafu hivyo viatu si sare ya shule na isitoshe hiyo suruali umeshona modal”

      “Ndio mwalimu viatu vya vya darasani vipo bwenini.Hivi ni viatu vya kushindia ila suruali hii pia ni yakushindia”

      “Kombi gani wewe?”

      “PCB”

      “PCB gani mjinga mjinga kiasi hicho?”

      “Baba yako anafanya kazi gani?”

      “Mwalimu samahani mumekuja kujadili kesi yangu ila si kuuliza kazi za wazazi wangu”

      “Hahaa haaa haaa wewe dogo ndio unamjibu head master kiasi hicho kwanza piga magoti unasimama simama unadhani upo kituo cha daladala Pumbavu wee”

      Mwalimu kikole akazidi kunichochea akionekana kudhihirisha chuki na mimi ambayo sikujua imetokea wapi,Nikapiga magoti na kuendelea na maswli yao ambayo asiimia kubwa ni maswali ya kipuuzi

      “Kijana utapotea unaleta ujinga mbele yetu kwanza lala nikumalizie kukuchapa ile fimo yangu ya jana”

      “Sir Kikole ngoja kwanza tumaliane naye hiyo fimbo utamchapa mwisho wa mazungumzo”

      Head master(Mkuu wa shule) alizungumza na kumfanya mwalimu Kikole kurudi katika kiti alichokuwa amekalia

      “Kijana hivi unatambua kuwa kwa kosa ulilo lifanya unastahili kufukuzwa shule”

      “Mkuu mimi ni sawa sawa na mwanoa sidhani mtoto akinyea kiganja unakikata tafadhali baba yanguu ninaomba nafasi yenu ya mwisho na ahidi sinto fanya tena ujinga kama nilio ufanya jana”

      Nilizunumza huku machozi yakinitirika usoni mwangu huku nikimuona mkuu wa shule akiingiwa na huruma.Wakaniomba nitoke nje ya ofisi hiyo wajadili nini watakacho kiamua.Nikiwa nimekaa kwenye benchi lililipo nje ya ofisi za nidhamu nikamuona Salome akiwa ameongozana na rafiki yake mwengine wakielekea katika ofisi za utawala wa shule.Salome akaninyooshea mkono wa kunisalimia wala sikumfwatiliza zaidi ya kumuangalia kwa macho yaliyo jawa na hasira

      Waalimu wakaniita tena ndani ya ofisi kusikia hukumu waliyo ipanga.Wakafikia hatua ya kunisimamisha shule kwa wiki moja kisha nirudi na mzazi siku ambapo adhabu yangu itakapoisha.Nikakabidhiwa barua ya kusimamwisha shule.Nikamfwata Madam Mery ili aweze kunishauri kwani ninapofikiria kurudi nyumbani ninaogopa kupata kipigo kutoka kwa baba yangu ambaye ni mwanajeshi na siku zote huwa hapendi nifanye ujinga ninakumbuka mara ya mwisho kunichapa hadi nikapoteza fahamu ni pale nilipofeli kidato cha pili na kushika nafasi ya kumi bora kwani siku zote amezoea kuniona nimeshika nafasi ya kwanza au ya pili ndio roho yake huridhika.Na mbaya zaidi mama yangu yupo nje ya nchi kikazi

      “Madam siwezi kwenda nyumbani kwani yule mzee ataniua”

      “Sasa Eddy mwanangu utaishi wapi?”

      “Ninapesa ya kutosha nitachukua chumba hoteli yoyote”

      “Ok ila kama huto jail utakuja kukaa kwangu ili kuokoa pesa yako ya matumizi”

      “Nitashukuru sana Madam”

      “Nenda bwenini kachukue madaftari yako ili uwe unajisomea kwa kipindi chote cha adhabu yako”

      “Sawa madam”

      “Nenda nakusubiri nikupeke nikakuache”



      Kidogo furaha yangu ikaanza kunirejea nikaenda bwenini kuchukua madaftari yangu pamoja na vitabu kisha nikarudi nilipo muacha madam Mery na safari ya kwenda kwake ikaanza.Atukuchukua muda kufika kwake kutokana si mbali sana na ilipo shule yetu.Akanikaribisha katika masofa mazuri yaliopo katika sable yake iliyo pangwa vizuri na kutawaliwa na vitu vya thamani

      “Madam unaishi na nani?”

      “Peke yangu kwani vipi?”

      “Kwako pazuri umejua jinsi ya kupapanga”

      “Eddy mwanangu acha kunifurahisha.Mimi ni mwanamke inaniladhimu kuwa msafi hivi ungeingia ukakuta mavitu yamekaa shaghala baghala nahisi hata wewe usinge kubali kuishi hapa”

      “Ila kweli Madam.Ninaruhusiwa kuwasha TV?”

      “Washa tu jisikie upo huru kama nyumbani kwenu kwa mzee Godwin.Hivi ameeacha ukorofi wake?”

      “Mmmm ukorofi aache wapi yaani hapa nafikiria jinsi gani nitamuanza juu yah hii kesi ili aje huku na akija nahisi ataninyonga mbele yenu”

      Nilizungumza huku nikitafuta rimoti ya Tv(luninga) pamoja na redio sabufa iliyopo sebleni humo hukuu madam Mery akinioshea matunda na kuniwekea kwenye sahani.Gafla sote tukajikuta macho yetu tumeyatazama kwenye TV(luninga).Kwa bahati mbaya CD iliyopo kwenye redio hiyo ni CD ya filamu za ngonoo ikionekana Madam Mery aliisahau alipokuwa akiitazama sikujua ni siku gani.Madam Mery akanitazama kwa jicho la kuiba iba jinsi ninavyo itazama filamu hiyo waliocheza wamarekani weusi huku wakionekana kukubuhu katika swala la kucheza filamu hizo.

      Madam Mery taratibu akaweka sahani yake nyenye matunda kwenye meza ya kioo hapo ndipo nikastuka na kujikuta nikiizima TV huku karoti yangu ikiwa inafurukuta katika suruali yangu ya shule niliyo ivaa.Madam akaondoka sebleni pasipo kuaga huku akionekana kuwa na aibu na kuingia katika moja ya chumba ambacho kina pazia kubwa na zito.Nikaanza kula tunda moja baada ya jindine huku nikijiuliza maswali kumbe hata Madam ni mpezi wa filamu za aina hiyo,Nikamsikia Madam akizungumza na simu huku maneno niliyoyasikia vizuri ni akimuomba mwalimu mwengine kumsaidia vipindi vyake kidato cha pili kwani yeye atachelewa kurudi shuleni hajisikii vizuri.

      Baada ya simu kukatwa sikusikia sauti yoyote zaidi ya ukimya kutawala,Sikutaka kufwatilia sana zaidi ya kuendelea kula matunda huku nikifungua fungua kitabu changu cha Physics na kupitia pitia mada rahisi rahisi.Ukimya ukaanza kutoweka taratibuu baada ya kusikia vilio na miduno kutoka katika chumba alicho ingia Madam Mery.Kama ilivyo wanafunzi kutaka kujionea kila kitu,nikanyanyuka taratibu na kupiga hatua za taratibu hati kwenye pazia.Nikajikuta nikitahayari baada ta kukuta mlango umefungwa.Nikalisogeza sikio langu taratibu hadi likagusa mlango na kusikilizia ni nini Madam Mery anacho kifanya chumbani kwake kwani miguno inayosikika si ya kawaida

      Vilio vya mama mama vikazidi kutawala chumbani kwa Madam Mery huku mihemo kama ya mtu anayefanya mapenzi ikisikika.Nikaanza kupata hofu huenda Madam amepatwa na ugonjwa ambao anahitaji kupelekwa hospitalini.Nikaunyanyua mkono wangu nikijiandaa kuudonga mlango ila nafsi yangu ikasita.Vilio vikanyamaza gafla na kujikuta nikianza kupiga hatua za haraka kurudi sebleni nilipokuwa nimekaa.Nikasikia vitasa vya mlango vikifunguliwa nikajua Madam anatoka chumbani kwake,nikajifanya nipo bize katika kusoma ninacho kisoma.Nikayapandisha macho yangu taratibu kutoka chini ya miguu mizuri nyenye rangi nzuri ya kuvutia huku ikiwa imevalishwa vijicheni kwa kila mguu na kuendelea kuyapandisha macho yangu yakatua kwenye magoti mazuri yaliyounganisha mapaja yaliyozibwa na kanga iliyoanzia kifuani na kuficha chuchu zilizo jaa vizuri na kuonekana vizuri.Macho yangu yakatua usoni kwa sura ya Madam Mery iliyojaa jasho kwa mbali

      “Eddy unasoma nini?”

      “Kuna maswala ya Electrons ninayatazama tazama”

      “Soma mwaya ngoja mimi nikaoge kuna panya nilikuwa ninamtafuta huko chumbani kwangu ana niharibia nguo kama nini”

      “Ume mpata huyo panya?”

      “Sijampata labda ukanisaidie”

      Nikanyanyuka na Madam Mery akaniruhusu niingie katika chumaba alichotoka dakika kadhaa zilizo pita kisha yeye akaelekea bafuni.Nikajikuta nimesimama huku nikiwa nimejishika kiuno nisijui ni wapi nianzie kwani vitu vizuru ambayo vipo kwenye mapangilio mzuri sikuamuni kama kuna panya anaweza kuishi humo ndani.Nikapiga magoti na kuinama na kuchungulia chini ya uvungu ila sikuona dalili ya kuwemo kwa panya.Ila nikakiona kitu kirefu kiasi nikanilazimu kuingiza mkono wa kulia kuweza kukitoa kitu hicho.Nikabaki nimeduwaa baada ya kitu hicho kufanania kama karoti za wanaume

      Nikiwa ninaenedelea kuichunguza vizuri Madam Mery akaingia huku khanga yake aliyo ivaa ikiwa imelowana kwa maji na kushikamana na mwili wake na kumchoresha maungo yake vizuri ikiwemo makalio yake makubwa ambayo siku zote akipita mbele ya wanafunzi wa kiume tuliishia kunong’ona nong’ona huku tukibaki tunamtamani kwa macho

      “Madam sijamuona panya”

      Nilizungumza kwa kujishtukia huku karoti yake ya bandia nikiificha kwa nyuma ili asiione.Madam Mery akanitazama kwa macho yanayo ashiria kitu ila sijui ni kiti gani na taratibu akaanza kupita mbele yangu na kwenda alipo tundika taulo lake na kuanza kujifuta maji huku akiwa amenipa mgongo huku mguu wake mmoja akiuweka juu ya meza kisha akainama kidogo ili kuvifikia vidole vya mguu huo alio uweka katika meza na khanga aliyoivaa kwa jinsi ilivyonaatana na mwili wake imeingia kidogo katikati ya mstari wa makalio yake na kuyafanya yagawanyike kama vilima viwili vy Kibo na Mawezi tunavyoviona katika mlima Kilimanjaro

      CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

      Madama akaendelea na kazi yake ya kujifuta maji pasipo kunijibu chochote.Nikapiga hatua za taratibu huku nikinyata kuelekea mlango wa kutokea ndani ya chumba hicho kabla sijaufungua Madam Mery akaniita

      “Eddy unakwenda wapi?”

      Swali la Madam likanifanya nikae kimya wala sikujua nijibu kitu gani kwani ninapokwenda ninapajua ni sebleni ila jinsi ya kuzungumza nikajikuta mdomo mzima unakuwa mzito kama ninakunywa uji wa dengu.Madam akageuka na kunitazama jinsi ninavyo babaika mlangoni nilipo simama

      “Umeficha nini huko nyuma kwako?”

      “Eheeee!”

      “Nikitu gani ulicho kificha huko nyuma kwako?”

      Nikakaa kimya huku nafsi yangu ikinishawishi niitoe karoti ya bandia niliyoikuta chini ya uvungu nikitafuta panya kuepuka kujiongezea matatizo kwani hapo nilipo ninatatizo la kusimamishwa masomokwa wikimoja.Nikaitoa karoti yake ya bandia na kumuonyesha Madam nikadhani atakasirika ila nikashangaa akitabasamu na kutoa kicheko kidogo

      “Iweke tu hapo kwenye kitanda”

      Nikaiweka kitandani huku akiwa ananitzama kwa umakini.Nikafungua mlango na kutoka na kwenda sebleni kukaa huku nikiyasikilizia mapigo yangu ya moyo jinsi yanavyo kwenda kwa kasi japo kuna baridi kali ila jasho usoni lina nitiririka.Baada ya mauda kadhaa Madam Mery akatoka chumbani kwake huku akiwa amevalia nguo nyingine zilizo mpendezesha na kuzifanya umbo lake kuonekena viziri huku nywele zake ndefu akiwa amezibana kwa nyuma



      “Sasa mwanangu mimi ninaondoka tutaonana mchana.Kama utahitaji kunywa chai utachukua mkate kwenye friji pia kuna soseji kama wewe ni mlaji unaweza kuzila”

      “Sawa Madam je chai ipo wapi?”

      “Chai sijapika.Njoo nikuonyeshe jikoni”

      Nikanyanyuka na Madam akaende kunionyesha jiko lililopo humo humo ndani ya nyumba yake ambayo kila kitu muhimu kinachohitajika katika nyumba kipo ndani na imezungushiwa ukuta mrefu.

      “Si unawez kutumia jiko la gesi?”

      “Ndio”

      “Basi ukiwa na njaa chai utakuja kuipikia hukuu.Eheee kuna jengine?”

      “Mmmmm hakuna”

      “Sasa mbona hujaniuliza visufuria vipo wapi au utapikia mikono yako?”

      Madam alizungumza hukum akinipiga kibao kidogo cha shavuni huku akiatabasamu na kunifanya nibaki ninashangaa.Nikazidi kushangaa zaidi pale Madam Mery alipo nipiga busu la mdomoni na kutoka ndani ya chumba hicho cha jiko huku akitingisha makalio yake na kuelekea zake shule hata visufuria akasahau kunionyesha ameviweka wapi.Nikarudi sebleni nikachungulia dirishani kama Madam Mery tayari ameshatoka getini.Nikamuona ndio analibana vizuri geti la kuingili katika nyumba hii.Nikaiwasha TV(Luninga) ambayo mwanzoni nilikuwa nimeizima kutokana na filamu ya ngono iliyokuwa ndani ya redio.Nikapunguza sauti ya redio hadi ikafika moja na nikatafuta mkao mzuri wa kukaa katika sofa huku nikainza kuitazama filamu ya ngono.Kadri muda ulivyozidi kwenda ndivyo filamu ikazidi kuninogea.

      Hisia kali zikaanza kunitawala huku nikitamani nipate mwanamke kwa wakati huo ili aitulize karoti yangu ambayo imesimama hadi nikahisi misuli yake inaweza ikakatika au kupasuka kwa maumivu makali niliyo nayo.Nikanyanyuka na kwenda katika chumba cha Madam nikaanza kutazama ni kopo gani la mafuta linaweza kuwa na mafuta mazuri.Kwa bahati nzuri nikaliona kopo la mafuta ya Baby Care likiwa wazi na mafuta yake yakiwa yamejaa kiasi.Nikachukua kidogo kwenye mkono na kuvua suruali yangu na kukaa katika meza ambayo Madam alikuwa ameiwekea mguu akijifuta maji mwilin mwake.

      Hisia za wacheza filamu ya ngono niliyokuwa nikiitazama ikaaza kutembea kama mkanda wa video katika akili yangu huku taratibu nikianza kuipaka karoti yangu mafuta taratibu na kuanza kuichua huku picha nyingine ya Madam Mery alivyokuwa ameinama katika meza niliyo ikalia ikanijia kichwani huku nikijikuta ninavutuia hisia ya makalio yake yaliyo makubwa.Nikazidisha kasi ya kuichua karoti yangu na taratibu nikayafumba macho yangu huku nikisikilizia utamu ninao upata kuanzia katika unyayo hadi kichwani huku miguno ya raha ikinitoka.Nikazidisha kasi zaidi pale nilipolikumbuka busu la Madam Mery alilo nibusu jikoni wakati alipokuwa anatoka kuelekea kazini.Nikajikuta nikitukana matusi yasiyo na idadi maalumu.Karoti yangu ikatoa risasi zilizo ruka sehemu mbali mbali ndani ya chumba cha Madam.

      Nikafumbua macho taratibu huku nikihema kama nimetoka kukimbia mbio za Maradhoni.Moyo wangu ukanipasuka kama umepigwa bomu la nyuklia baada ya macho yangu kukutana na macho ya Salome akiwa ananishangaa huku akiwa amesimama mlangoni.Nikafumba macho yangu kwa mara nyingine huku nikihisi ninaota na kuyafumba tena ila nikamkuta Salome pale pale akinitazama kwa mshangao sikujua hata ameingiaje ndani kwa Madam pasipo mimi kusikia chochote.Kwa aibu nikanyanyuka na kuipandisha suruali yangu na kujifunga vizuri mkanda

      “Unataka nini?”

      “Madam ameniagiza unipe simu yake ameisahau juu ya meza ya Tv chumbani kwake”

      Nikageuza macho yangu na kuikuta simu ya Madam juu ya meza, Nikamuonyesha Salome akaenda kuichukua na kutoka ndani ya chumba cha Madam huku akitizama tizama nyuma.Nikauegemea mlango huku kajasho kakinitiririka.Nikamsikia Salome akizungumza na mwenzake

      “Shosti twende zetu achana na hito movie tunachelewa”

      “Mbona na wewe umechelewa kutoka humo ndani”

      “Nilikuwa siioni simu nyenyewe”

      “Huyo Eddy tuliye ambiwa tutamkuta umemuona?”

      “Sijamkuta sijui atakuwa wapi”

      “Ok twende zetu”

      Moyo ukazidi kunipasuka nikakumbuka kwamba sikuizima TV(Luninga) ambayo nilikuwa ninatazama filamu ya ngono.Nikasikia wakifunga mlango wa kutokea nje.Nikafungua haraka mlango na kwenda kuwachungulia dirishani nikamuona Salome akiwa na yule rafiki yake wa jana wakimalizikia kutoka getini,Nikaizima TV(Luninga).Nikarudi chumbani kwa madam na kuanza kufanya usafi katika kila sehemu iliyopata madhara ya risasi za karoti yangu kisha nikaelekea bafuni kuoga ikanilazimu kuifua suruali kwani nayo imepeta madhara.Sikuwa na nguo nyingine ya kuvaa zaidi ya boxer yangu,kutokana nipo peke yangu haikuwa tatizo nikaingia jikoni nikapika chai na baadhi ya soseji,Nikanywa chai ya nguvu kutokana na uchovu wa kutokulala jana usiku nilipokuwa kwenye kibanda cha walinzi nikajikuta nikipitiwa na usingizi mzito kwenye sofa

      Nikahisi kitu kikipita katika uso wangu taratibu huku kikichezea chezea lipsi zangu,nikayafumbua macho yangu taratibu ila kutokana na usingizi sikuweza kumuona vizuri mtu aliye kaa pembeni yangu.Nikajifariji atakuwa na Madam Mery nikalala kidogo huku nikihisi kitu cha baridi kikiingia katika sikio langu.Nikakurupuka kama mwanajeshi anaye sinzia lindo la usiku na kustushwa na sauti ya bosi wake.Nikamkuta Madam Mery akiwa amejifunga tenge na akawa ananicheka kwa jinsi nilivyo stuka

      “Shikamoo Madam”

      “Marahaba……..kumbe na wewe ni muoga ehee?”

      “Hapana ila nilikuwa ninajihami kama kamanda”

      “Kwenda zako huko kamanda gani wewe unayelala fofofo kama mtu aliyekufa yaani.Nimerudi nikapika chakula cha usiku hadi saa hizi saa mbili ndio nimeamua kukuamsha ule ila hukusikia chochote bado unajiona unasifa za kujiita kamanda?”

      “Ahhh unajua madam jana usiku sikulala wale jamaa pale getini hawakunipa hata shuka la kujifunika”

      “Mbona umelala na boxer suruali iko wapi?”

      “Suruali nimeifua nilipokuwa nimekwenda kuoga”

      Madam akawasha TV(Luninga) na kuweka upande wa chaneli tukaanza kuangalia taarifa ya habari.Madam akatandika kajimkeka kadogo ambacho nimezoea kuviona kipindi cha mfungo wakati watu wakifuturu.Kisha akaandaa chakula na kunikaribisha kukaa katika kijimkeka,Tukaanza kula huka Madam Mery akibadili mikao tofauti ya kihasara hasara na wakati mwengine ikapelekea hadi nikawa ninaiona nguo yake ya ndani

      “Eddy una umri gani?”

      “Miaka 20 ila mwezi ujao natimiza miaka 21”

      “Eheee kumbe bado wewe ni chalii mtu akikuona na hilo umbo lako anaweza kusema una miaka 25 na kuendelea”

      CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

      “Kweli wakati mwengine mpaka najiongezea umri kwani mtu ukimwabia nina miaka 20 anabi…..sha”

      Nikjikuta nikiimalizia sentesi yangu kwa shida baada ya tenge lote alilo jifunga Madam Mery likiwa limefunuka na kuyaacha mapaja makubwa ya Madam Mery kuwa wazi na hapo ndipo nikaiona vizuri aina ya chupi aliyo ivaa.Uvumilivu ukanishianda nikajikuta ninauweka mkono wangu wa kushoto usio na chakula juu ya paja moja la Madam Mery na akawa kimya akinitazama nitafanya kitu gani kingine

      “Eddy”

      “Naam”

      “Nakuomba uutoe mkono wako kwani utanipandisha majini yangu alafu ushindwe kuyashusha na ukanipa shida usiku wote”

      “Majini gani hayo madam”

      “Unataka uyaone jinsi yalivyo?”

      “Ndio”

      Madam Mery akacheka kisha akasimama wima na kunitazama kisha akatoa msunyo mkali ulio niogopesha na kujikuta nikirudi nyuma kidogo.Akaninyooshea mkono kwa ishara ya kutaka kuninyanyua ila nikasita kwani sura yake amejikunja kama mtu aliye chukizwa na kitu.Akarudia tena kunipa mkono safari hii sikutaka kuogopa nikaushika mkono wake kisha akaninyanyua tukaanza kupiga hatua za taratibu na kuingia chumbani kwake.Madam akalifungua tenge lake na kubakiwa na chupi aliyo ivaa.

      Nikamshika kichwa madam na kukivutia kwangu na kuanza kumnyonya denda la fujo huku nikijitahidi kubadilishana naye mate.

      “Eddy ngoja kwanza”

      “Kuna nini tena Madam”

      “Subiri kwanza”

      Madam akapiga hatua hadi kwenye dreasing table yake akafungua moja ya droo ndogo akatoa vifaa Fulani vidogo na sindano vijidogo viwili ambavyo ninakumbuka niliviona siku moja baba alipokwenda kutupima afya mimi pamajo na mama katika hospitali yao ya jeshi

      “Vya kazi gani madam”

      “Nataka tupimane HIV kabla hatujafanya chochote”

      “Khaa…..!!”



      “Unashangaa nini kwani ni ajabu?”

      “Hilo kwangu ni jipya”

      “Kwani Eddy unataka kuniambia kuwa wewe huna mpenzi?”

      “Mpenzi sina”

      “Hata kama unaye unadhani utasema.BAKI NJIA KUU ACHA MICHEPUKO”

      “Njia gani?”

      Madam akacheka huku akiendelea kivifungua vipakti vyenye sindano.Akachukua pamba akaipaka spirit kisha akachukua kidole changu cha mkono na kukipaka spiriti kwa kutumia pamba kisha kanichoma kasindano kwenye kidole hicho kisha akachukua kifaa hicho kidogo akachanganya na vitu vingine ambavyo sikujua kazi yake kisha akaviweka kwenye kifaa hicho na kikaanza kusoma taratibu.Madam Mery naye akafanya kama alivyo nifanya mimi kisha damu yake akaiweka katika kijifaa kingine kinacho fanana kama kifaa cha kwangu na wote tukawa tunasubiria majibu

      Dakika kdhaa majibu yakaanza kuonekana huku Madam akinionyesha jinsi alama za kifaa hicho kinavyotoa majbu,na kwa bahati nzuri sote tupo salama

      “Kwa hiyo Madam hiki kikisoma upande huu mtu anakuwa ameadhirika?”

      “Ndio kwani hapa kuna postive one na two yani damu ikisoma huku ujue mtu huyo tayari ameadhirika.Unabahati upo salama”

      “Kawaida”

      “Wewe sema ni kawaida alafu uanze kuruka ruka nitakuwa nakupima kila siku”

      “Mmmm sasa hiyo si itakuwa ni kero”

      Madam akanishika kiuno huku akinitazama machoni,taratibu akauingiza mkono wake kwenye boxer yangu na kuitoa karoti yangu

      “Uwiiii wee mtoto!?”

      Madam alizungumza huku akiwa ameishika karoti yangu na akionekana kushangaa

      “Nini tena madam?”

      “Mmmmm hili dudu lako mbona kubwa hivyo tofauti na umri wako?”

      “Hapana Madam mbona ya kawaida”

      Madam Mery akabaki akinitazama huku akiendelea kuichua chua karoti yangu na kunifanya nianze kuisikia raha kama niliyo jipa asubuhi.Madam Mery akaanza kunilamba kuanzia tumboni huku akishuka taratibu hadi kwenye karoti yangu kwa utaratibu akaizamisha mdomoni mwake na kuanza kuinyonya.Mkono wangu mmoja ukaanza kuminya minya chuchu moja la madam huku nikilirusha rusha chuchu juu chini chini juu.Madam akaichomoa karoti yangu mdomoni mwake kisha akachukua mkono wangu na kuanza kunyonya kidole kimoja baada ya kingine huku akitoa mihemo iliyozidi kunisisimua.Nikamvua madama chupi yake kisha kidole changu kimoja kikazama katika mgodi wake wa dhahabu na nikaanza kutafuta eneo gani litakuwa na madini ya dhahabu

      Nikamlaza Madam Mery kitandani na kuendelea kutafuta dhahabu katika mgodi wake kwa kutumia kidole changu.Madam akalegea kwa jinsi ninayo mfanya.Akaichukua karoti yangu na kuipaka mate katika kichwa chake kisha akaichomeka kwenye mgodi wake na taratibu huku miguu akiwa ameipannua huku mimi nikiwa katikati yake watoto wa mjini mkao huu wanauita kifo cha mende.Uchimbaji ukaanza kwa utaratibu wa hali ya juu huku taratibu nikianza kuusoma mgodi kwani ndio mara yangu ya kwanza kuuchimba mgodi wa Madam Mery.Kasi ya uchimbaji ikazidi kuondezeka kila muda unavyozidi kukatika.Madam akanilaza chini kisha akaikalia karoti yangu na kwa kasi ya ajabu akaanza kukata kiuno chake huku akipiga kelele za raha hadi ikafikia hatua nikamchomeke vidole mdomoni ili apunguze apunguze kelele zake ambazo hadi kwa wakati huo zimetawala chumba kizima

      Kwa nguvu nilizo nazo nika mbinua Madam Mery na kumuweka chini kama wacheza miereka kina Jon Cena wanavyo fanya kisha nikamlaza kifudi fudi huku miguu yake nikiipanua kisha karoti yangu ikazama taratibu kwenye mgodi wake wa dhahabu nikaendelea na uchimbaji wangu ambao Madam Mery anaonekana kupagawa kwa kila jinsi ninavyo chimba

      “Eddy nataka uwe mume wangu”

      “Kwani huna mume?”

      “Eheee si………siina mume”

      Madam alizungumza huku akitoa kelele za kupagawa.Nikaishika mikono yake miwili na kuivuta kwa anyuma na kumfanya Madam Mery kifua chake kunyanyuka kidogo,Nikamgeuza madam kisha nikamsogeza hadi kwenye kona ya ukuta nikampanua mapaja yake kisha nikaizamisha karoti yangu kwenye mgodi kisha miguu ya madam ikazunguka kiunoni mwangu na akaibana kwa nyuma huku akiwa amenikumbatia kwa nguvu akinihemea kwenye masikio yangu huku kiuno changu chepesi katika uendeshaji wa karoti kikifanya kazi kwa kasi ya ajabu na kumfanya Madam Mery kulalamika kwamba pumzi zinamuishia.Mtanange wa uchimbaji wa dhabu ukaishika huku Madam Mery akiwa anahema kwa fujo kama bata mzinga

      “Madam tuunganishe basi kwa mzunguko wa pili?”

      “Nyoo hembu niache utaniua mwana wa mzwenzio.Eddy nilikuwa nakuchukulia powa sana ila mmmmm yaani nimejisikia raha hadi kwenye ubongo wa kati”

      “Kweli”

      “Eddy sijawahi kumsifia mwanaume ila kwa wewe acha nikusifie yaani umenimudu hujanipa hata nafasi ya kuucheza mchezo”

      “Nikupe nafasi ili unifunge kizembe”

      “Mmmm hapa nilipo nimechoka kiuno kizima kinauma”

      Sikuwa na uchovu kivile kutokana ndio kwanza nimemaliza mzunguko wa kwanza ila Madam Mery akionekana hana hamu na mimi.Akajigeuza na kuelekea ukutani na kuanza kuutafuta usingizi.,kwauchokozi nikaanza kumpapasa madam Mery katika makalio yake makubwa aliyo yaelekezea kwangu huku nikimtekenye tekenya katika mbavu zake na kumfanya kujitingisha tingisha

      “Eddy bwana niache mwenzako kesho nitachelewa kuwahi shule”

      “Kidogo tuu cha mwisho”

      “Eddy jamani unajua nimechoka mwenzio?”

      Madam Mery alizungumza kwa sauti ya kulegea huku akijitingisha tingisha kwa ishara ya kukataa mgodi wake usichimbwe madini tena.Nikajigeuza na kuanza kuyalamba makalio yake moja hadi jengine huku nikiyapiga piga viao vidogo vidogo visivyo na maumivu,nikarudi kukaa katika mkao wangu wa kama mwanzoni.Kwa jinsi Madam Mery alivyojilaza na kunipa mimi mgongo hakunizuia kuendelea kumchezea mgodi wake.Nikaunyanyua mguu wake mmoja juu kama antena ya king’amuzi kisha nikaizamisha karoti yangu ndani ya mgodi,kutokana na Madam Mery kulalamika amechoka nikapunguza kasi ya uchimbaji wa madini na kumpa nafasi Madam Mery kutoa vilio vya

      “Aiissii ooohooooo…….mmmmmmm…..uuuuu”

      Vilio vya Madam vikanipa hamasa ya kumfanya ninavyotaka ili kumburudisha zaidi.Nikiwa katikati ya uchimbaji nikakumbuka juu ya kesi yangu ya kusimamishwa masomo kwa wiki moja

      “Madam”

      “Ohhooo mmmmm”

      CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

      “Nifanyie mpango kesi yangu iishe mapema nirudi shule”

      “Aisiiiiii ohooooo haa……yaaaa bee….ebeeibi niiiitaaa faaanya”

      “Lini?”

      “Eheeeeee”

      Kwa utamu sikujua kama madam ananielewa ninachokizungumza,Nikamgeza kisha nikamuinamisa japo aliinama kiuvivu vivu huku dhahiri akionekana kuchoka,nikamuwekea mto mmoja katika kifua chake kisha akaulalia huku akiwa amebong’oka,Nikazishika nywele zake ndefu na kuzivutia nyuma huku nikiendelea na uchimbaji na kumfanya Madam Mery kulia vilio vya kama mara ya kwanza.

      “Eddy nakufa mmmmmm…….”

      “Hufi madam……..”

      “Eddy niache mwenzio najisikia vibaya nahisi kutapika”

      Sikumsikiliza Madam kwani kwangu raha ndio inazidi kuongezeka,nikamuachia nywele zake kisha nikaikita miguu yangu kwenye godoro nikawa kama nimekalia stuli huku mikono yangu ikikishika kiuno cha Madam Mery na kuzidi kuongeza mwendo kasi wa kiuno changu katika kuiendesha karoti yangu safari hii nikawa ninachimba katika kuta zote za mgoni na kumfanya Madam Mery aanze kutoa miguno kama mtu anayehitaji kutapika.Mpaka ninamaliza kuchimba madini Madam Mery akanyanyuka haraka kitandani na kutoka chumbani.Ikanilazimu na mimi kumfwata kwa nyuma kwenda kujua ni kitu gani ambacho kimemtoa kasi namna hiyo.Nikamkuta Madam Mery bafuni akiwa ameinama kwenye sinki la kupigia mswaki huku akimalizia kutapika.Akasukutua mdomo wake kwa maji na kuanza kupiga mswaki

      “Madam vipi una tatizo gani?”

      Hakunijibu chochote zaidi ya kuniangalia kupitia kioo kilichopo ukutani juu ya sink la kupigia mswaki.Akamaliza na kuanza kurudi chumbani huku nikiwa nyuma yake nikiangalia jinsi makalio yake makubwa yasiyo na nguo yanavyo pishana wenyewe wanafunzi tuna kijiwimbo chetu cha kuwaimbia wanawake wenye makalio makubwa

      “Hamsini Hamsini*2 Mia”

      Madam hakuzungumza kitu chochote hadi tukafika kitandani akachukua shuka lake akajifuniaka na kuanza kulaa.Nikabaki na alama ya kujiuliza ni kitu gani kinacho mfanya Mada mery kununa kana kwamba kitu nilicho mfanyia sio kizuri.Nikajichukua shuka langu nikajifunika na kuanza kulala huku moyoni mwangu nikiwa na furaha kwani hata tatizo langu nikalisahau.

      Nikafumbua macho yangu na kumkuta Madam akiwa kama alivyozaliwa akijipaka mafuta mwilini mwake nikagundua kwamba kumepambazuka.Nikamsalimia akaitikaia salamu yangu kiunyonge na kunifanya ninyanyuke kitandani na kumfwata alipo kaa katika meza

      “Madam mbona unaonekana kama umenikasirikia tatizo ni nini?”

      “Eddy sijawahi ku***a kama ulivyo nifanya wewe jana usiku yaani hadi nimetapika mmmmm”

      “Sasa ilikuwaje kuwaje ukatapika?”

      “Si kwa jisi ulivyonibenua na kunivuta vuta nywele yaani hapa kichwa kizima kinaniuma inanibidi nikapime malaria wakati wa mapumziko ya saa nne”

      “Pole mwaya itabidi haka kawiki tusifanye chochote”

      “Hivi Eddy unajisikiaje unaponivuta vuta nywela mara mikono umeivuta kwa nyuma hivi unaonaje?”

      “Haaa kuna utamu wake”

      “Utamu gani wakati umeniumiza jana sikutaka kukuambia”

      “Pole basi Baby vipi tupige basi cha kuendea shule”

      “Eddy ninaumwa mwenzio niache”

      “Kimojaaa kwani sasa hivi saa ngapi?”

      “Saa kumi na moja na dakika kimi”

      “Sasa saa kumi na moja yoye hii Madam unataka kuniambia unataka kwenda shule kwani unadhamu?

      “Sina”

      “Sasa baki baki kidogo”

      “Eddy umenifanya niamke mapema yaani sijalala kwa amani nikijua utanifanya tena yaani hicho kitanda changu sina hamu nacho kabisa”

      “Hujanijibu tufanye kidogo”

      Madam Mery akanitazama huku akionekana kutaka ila nafsi yake inasita.Nikachuchumaa na kuyapanua mapaja yake yapo kwa mara ya kwanza aliyabana bana akiwa hataki niyapanue.Nikaingiza kidole kwenye mgodi wake taratibu huku nikimtazama machoni kwa jinsi anavyo fumba fumba macho kwa hisia kali.Nikaanza kuuchezesha ulimi wangu kwenye kisimi chake huku kidole kikiendelea kuichezea chezea Gsport iliyopo kwenye mgodi wake,mpaka Madam Mery akaanza kuinyanyua miguu yake juu huku akiwa anatetemeka kama amemwagiwa maji ya baridi.Kwa jinsi anavyo tetemeka ikaanza kuniogopesha nikamuachia na kumtazama huku naye akibaki ananitazama kwa macho yasiyo na nguvu ya kuona vizuri

      “Madam vipi mbona unatetemeka?”

      “Eddy nimekuambia nina umwa mwenzio naomba uniache.Hapa nilipo sijielewi elewi”

      “Basi ukitoka hapa ptia na hospitali kwanza ndio uende shule”

      “Sawa ila nitaenda kuwapa kazi ya kuandika kidato cha pili kisha mimi nitakwenda hosipitali”

      “Powa ila hakikisha hufanyi kazi kubwa itakayo kuletea tatizo”

      “Sawa mpenzi.Naomba hilo taulo nijifute”

      Nikampa Madam Mery taulo akajifuta katika mgodi wake na taratiu akaanza kuvaa nguo zake huku nikimsaidia kumvalisha viatu nikamnyonya denda kwa dakika kama tano.Tukatoka hadi sebleni huku nikiwa nimejifunga taulo,Madam akaanza kunywa chai huku akivuta vuta muda japo mwanga uchomoze vizuri kwani kwa hali ya Arusha juu huwa uchelewa kuchomoza kutokana na ukungu mwingi kutawala katika eneo la anga.Tukakaa hadi mida ya saa kumi na mbili na nusu huku tukiwa tunatazama taarifa za habari katika chanel za Tanzania.Nikampa Madam Mery koti lake tukaagana kwa mabusu kisha akaondoka na mimi nikarudi chumbani kulala

      Mida ya saa tano nikasikia mlango unagogwa nikanyanyuka nikaitazama suruali yangu nikaikuta imekauka nikavaa na kwenda kumfungulia mtu anayegonga.Nikakutana na msichana wa kidato cha pili ilikuwa ni rahisi kumgundua kwani katika shule yetu kila kidato wanafunzi wanavaa sare zao

      “Shikamoo”

      “Marahaba vipi?”

      “Safi wewe ndio kaka Eddy?”

      “Ndio”

      “Madam ameniagizanikuambie kuwa amelazwa katika hospitali ya shule ila anasema usiende mpaka atakapo kujulisha”

      “ Sawa hali yake ipo vipi?”

      “ Sio nzuri sana kwani alijisikia vibaya akiwa anatufundisha darasani kwetu ndio akapelekwa hospitali na Madam Rukia”

      “Powa mdogo wangu nashukuru kwa taarifa yako”

      “Sawa ila amesema usitoke toke kwenda kutembea kwani walimu wanajua umekwenda kwenu”

      “Powa..Dogo unamjua jamaa flani wa kidato cha tano anaitwa Jonh Magati?”

      “Hapana”

      “Powa mdogo wangu siku njema”

      “Na wewe pia”

      Mwanafunzi aliye agizwa na Madam Mery akaondoka na na mimi nikarudi ndani huku moyo wangu ukiwa unajilaumu ni kwanini nilimzidishia dozi Madam Mery kwani kuna mara kadhaa aliniomba kupumzika.Kabla sijaingia chumbani kwa Madam Mery mlango ukagogwa tena nikajua moja kwa moja atakuwa ni yule mwanafunzi wa kidato cha pili.Nikafungua mlango na kijikuta nikirudia rudia kuyapandisha macho yangu kutoka chini hadi juu nikimtazama jamaa mrefu aliye jazia kifua chake huku akiwa amevalia nguo za jeshi zilizo kamilika kuanzia juu hadi chini huku akiwa na nyota moja begani mwake na mgongoni mwake akiwa amevalia begi kubwa la jeshi huku akionekana kutoka safari

      “Shikamoo”

      “Marahaba”

      Jamaa akanijibu kiufupi kisha akapiga hatua za kuingia ndani ikanibidi kumpisha mlangoni huku nikiwa ninajiuliza jamaa ni nani kwani anaonekana kujiamini sana

      “Samahani kaka sijui wewe ni nani mwenzangu?”

      “Unaniuliza mimi ni nani ndani ya nyumba yangu?”

      Moyo ukanipigwa paaaa kama jiwe lililotua juu ya bati tena la nyumba ya uswahilini.Nikajua jamaa anaweza akawa mume wa Madam Mery mapigoa moyo yakazidi kunienda mbio pale jamaa alipoanza kupiga hatua za kwenda chumbani kwa Madam Mery kwani boxer na tisheti ya shule vyote vipo ndani ya chumba hicho na vipo sehemu ya wazi kwa mtu yoyote anayeingi lazima ataviona,na kingine kilichozidi kunipagawisha ni kitanda nilivyo kiacha kimevurugika kwani kinaonyesha hivi hivi kilikuwa ni kiwanjwa cha mechi za wakubwa

      CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

      Jamaa kabla hajafunua pazia ili aingie ndani simu yake ikaita.Akaitoa kwenye mfuko wa suruali kisha akaipokea na kuanza kuzungumza mazungumzo ambayo yalianza na ndio bosi.Jamaa akanitazama kisha akatoka nje nikahisi mazungumzo yake ni muhimu sana na niya siri sana ndio maana akatoka nje huku begi lake akilivua na kuliweka pembeni ya mlango wa kuingilia chumbani kwa Madam Mery.Ikawa nafasi kwangu kuingia chumbani nikachukua kila kilicho changu huku shuka lililo changungaka nikilitoa na kulisokomeza mvunguni mwa kitanda na kuliacha godoro likiwa na foronya yake tu pasipo kuwa na shuka,Nikarudi hadi sebleni na kumuona jamaa akirudi ndani kwani mlango aliuacha wazi kidogo.Ikanibidi boxer yangu niiweke mfukoni mwa suruali yangu huku tishet yangu nikiwa nimeishika mkononi huku nikitaka kuivaa

      “Dogo unakenda wapi?”

      “Ehee”

      ”Hujasikia…! Unakwenda wapi?”

      “Kununua vitafunio vya chai”

      “Dogo mbona unajifanya mjanja sana?”

      Maswali ya jamaa yakazidi kunichanganya akili na kunizidisia presha ambayo sikuelewa kama inapanda au inashuka.

      “Mjanja wa nini brother?”

      “Huendi kununua vitafunio ila sema ninakwenda kununua vitafunwa kwani vitafunio ni hayo meno yako”

      “Sawa bro nimekuelewa”

      “Ehee kwanza hujaniambia wewe ni nani? Nakuona upo upo tu humu ndani?”

      “Mimi ninaitwa Eddy”

      “Yuko wapi Mery?”

      Nkaanza kufikiria cha kumjibu huku maswali mengine nikijiuliza mwenyewe na kujijibu mwenyewe ndani ya moyo wangu hadi nikapata muafaka wa nijibu nini

      “Amelazwa kwenye hospitali ya shule”

      “Lini?”

      “Leo asubuhi”

      Lengo la kumjibu jamaa kiufasaha kila swali analo niuliza ni ili akienda kumuangalia Madam Mery iwe nafasi ya mimi kuondoka katika nyumba hiyo ili nikatafute hata sehemu ya sehemu ya kuishi nikisubiria siku zangu za kusimamishwa masomo ziishe

      “Powa dogo vaa tisheti yako unipeleke huku alipolazwa”

      Sikuwa na ujanja zaidi ya kuivaa tisheti yangu na kumalizia kuvaa viatu vyangu na kitu kilichozidi kuniweka mpole mbele ya jamaa ni pale alipoitoa bastola yake na kutazama kama inarisasi za kutosha kwenye magazine yake na kuirudisha kiunoni bastola yake huku akionekena kuridhika na risasi zilizomo.Safari ikaanza huko sote tukiwa kimya ila mimi nimetangulia mbele kama hatua moja huku yeye akifwatia kwa nyuma.Akili yangu ikawa inanituma nipige hatua za haraka haraka na kama kuna uwezekano nikimbie kwani ichochoro vyote ninavijua katika mji huo

      “Dogo nasikia kuna majambazi sana wamezuka kipindi cha hivi karibuni?”

      “Kusema ukweli bro mimi mwenyewe ninasikia ila sina uhakika kivile.Ila ni juzi kuna benki pale mbele ilivamiwa na pesa zote zikaibiwa”

      “Dogo subiri ninunue P.K hapa dukani si utakula?”

      “Ndio”

      Jamaa akaingia kwenye moja ya duka,nikamchungulia kwenye duka hilo nikamuona yupo bize na muuza duka.Nikaanza kupiga hatua za taratibu huku nikizuga zuga watu waliopo katika eneo hilo wasistukie kitu chochote ili nikifika mbali na duka hilo nianze kukimbia.Kabla sijafika mbali kidogo gafla nikastukia nikiguswa bega kwa nyuma.Nikageuka na kukutana na muuza mahindi

      “Oya broo yule jamaa pale mjeda ameniambia nikuletee maindi uchague”

      Nikatamani nimtukane muuzaji wa watu ila nikaona hana kosa taratibu nikaanza kuyatazama mahindi yaliyo chomekwa kwenye spoke za baiskeli zipatazo kumi na kuunganishwa katika mti mmoja.Nikachangua indi laini laini kwani sikuwa nimekula kitu cha aina yoyote tangu asubuhi.Jamaa akaja hadi tulipo akatoa noti ya elfu kumi na kumpa muuza maindi na kumuambia chenchi akae nayo

      “Aisee kamanda wangu Mungu akubariki sana”

      Muuza maidi alizungumza kwa lafudhi ya kichaga huku akipiga saluti na kumfanya jamaa acheke ila mimi sikuwa na hata hamu ya kuyakenua meno yangu.Tukaendelea na safari ya kwenda katika hospitali ya shule ambayo haikuwa mbali sana na shule kwani ilikuwa pia inatoa msaada wa kuwahudumia wananchi wa kawaida tofauti na wanafunzi

      Tukafika hospitalini na tukakutana na Madam Rukia akiwa nje ya wodi ya wagonjwa,nikamsalimia nikabaki nikiwatazama jinsi anavyo salimiana na jamaa huku wakicheka kwa furaha na kuonekana wakifahamiana kwa muda mrefu

      “Huyo mwenzako anaendeleaje?”

      “Kidogo joto lake limeshuka kwani asubuhi hali yake haikuwa nzuri kivile”

      “Tatizo lake ni nini haswa?”

      “Maleria alikutwa na vidudu sita ndio vimemlaza.”

      “Sasa mbona umekaa huku nje?”

      “Nilitoka mara moja kupunga punga hewa ila twende ukamuone”

      Wakati wote wanazungumza nilikuwa kimya nimetulia kama maji ya mtungini huku moyoni nikifurahia jamaa aingie ndani na mimi niondoke .Jamaa na Madam Rukia wakaanza kuingia ila jamaa akasimama na kuniangalia

      “Oya dogo twende ukamuangalie mgonjwa”

      “Huyu mwalifu umemtoa wapi?”

      Madam Rukia alimuuliza jamaa na kumfanya atabasamu ila kwangu nikazidi kuogopa,cha kumshukuru Mungu jamaa hakulijibu swali la Madam Rukia kwani tayari tulishafika ndani ya chumba alicholazwa Madam Mery.Jamaa akakaa kitandani na kumkumbatia madam na wote kwa pamoja wakawa wanatokwa na machozi ya furaha,sikujua kinacho waliza ni nini

      Wakaachiana huku jamaa akianza kumfuta Madam Mery machozi kwa kutumia kitambaa chake na kunifanya roho yangu kuanza kuhisi maumivu ya wivu

      “Lucka mdongo wangu ni wewe?”

      “Ehee….!”

      Nikajikuta nikihamaki hata kabla jamaa hajamjibu Madam Mery nikamfanya Madam Rukia kunitazama kwa jicho kali lililoashiria kunionya nifunge domo langu

      “Ndio dada yangu ni mimi kwanza pole kwa kuumwa”

      “Asante za huko Pakistani?”

      “Dada huko kuseme kweli si kwema ni kudra za mwenyezi Mungu miaka yote saba tuliyokuwepo kule ni kwarehema za Mungu”

      “Kweli hilo ni la kumshukuru Mungu mdogo wagu kwani kila siku nilikuwa nafwatilia taarifa ya habari kujua muna endeleaje ila sikuwa ninapata majibu kamili”

      “Yaani dada maisha ya kule ni bunduki mkononi wakati wote.Kuisikia milio ya risasi ni kitu cha kawaida”

      “Sasa mbona walikuongezea miaka miwili ya kuishi?”

      “Dada jeshini ni kufwata amri tuu huwezi kujiamulia kuwa nataka hichi hichi sitaki”

      “Basi miaka mitano ilipoisha nikawa kila mara ninakwenda makao makuu yenu.Basi wakawa wananizingu hadi baba yake huyo kijana ndio alinisaidia katika kujua taarifa zenu kidogo matumaini ya kukuona yakarudi upya kwani nilidhani umefariki ndio maana wakawa wanakataa kuniweka bayana”

      “Baba yake Eddy ni nani pele makao makuu?”

      “Ndio mkubwa wa sasa hivi katika makao makuu yenu,Baada yule muliye muacha si aliugua kansa ya damu na kufariki”

      “Ahaa sasa Napata picha unajua nilipomkuta Eddy kule kwako sura yake nikwa ninaifananisha na sura ya Mzee Godwin yaani hadi ongea zao zinafanana”

      “Tena wamefanana sana.Eddy huyo ni mdogo wangu wa damu baba mmoja mama moja na tupo wawili tu kwetu”

      Hadi wakati huo sikuwa ninaamini kama jamaa ni mdogo wake Madam Mery mawazo na fikra zangu zote zilipelekea mimi kujua ni mume wake na kwajinsi alivyokuwa akini hoji hoji maswali yake yaliyokuwa yakinichanganya

      “Nashukuru kukufahamu bro Lucka”

      “Alafu mzee wako alinipigia ule muda niliokuwa ninazungumza naye akaniambia nimuandalie mazingira kwani kesho au kesho kutwa anaweza kuja kukutembelea”

      Mawazo yakarudi upya,Tena ya safari hii yakazidi kunichanganya kabisa kwani mziki wa mzee ninaujua mimi mwenyewe na hapa nilipo ndio kwanza nina siku moja tangu nisimamishwe shule kwa wiki moja

      “Alafu Madam Rukia uliniambia Eddy ni mualifu?”

      “Tena mualifu sana mwambie mwenyewe akuadisie”

      Madam Rukia kama kawaida yake ya kuwachochea wanafunzi ndivyo alivyofanya kwa Lucka .Ikanilazimu nimuadisie mkasa mzima kuanzia wakati wa sherehe hadi waliponipa barau ya kusimamishwa wiki moja

      “Huyo mwalimu aliye kuchapa fala kweli kwani mtu ni lazima kukaa hadi mwisho wa sherehe?”

      Kauli ya Lucka ikamfanya Madam Rukia kunyamaza huku akionekna kuto pendezwa na Lucka kunitetea mimi

      “Hata mimi nashangaa yule Sir sijui anakisa gani na mimi”

      “Haya Eddy amka twende nikupeleke shuleni.Dada zangu jamani nitakuja muda si mrefu ndoja huyu raia nikamkabidhi kwa waalimu wake walio msimamisha.Alafu Rukia vipi lile ombi langu la kukuoa?”

      “Nilikuwa nakusubiri ni wewe tu kupeleka posa kwetu”

      Wote wakache natukatoka njee ya hospitali na kuelekea hadi shuleni.Moja kwa moja jamaa akanipeleka katika ofisi za mku wa shule hii ni baada ya kumuonyesha zilipo ofisi hiyo.Kwa bahati mzuri tukamkuta mkuu wa shule tena akiwa pamoja na mwalimu Kikole katika ofisi yake,akasalimiana nao kisha wakamkaribisha kukaa katika kiti ila kaka Lucka akasimama na kuniomba mimi nikae katika kiti hicho

      “Samahani mzazi wa Eddy hatutoweza kuizungumzia kesi ya mwanao kwani muda wake wa kutumikia adhabu yake haujapita”

      Head master alizungumza kwa suti ya upole huku akimtazama Lucka ambaye kwa jinsi sura yake alivyoiweka katika hali ya umakini nikahisi mkuu wa shule pamoja na Mr Kikole wakiogopa

      “Sikuja kusikiliza kesi yake ila nimemleta aendelee na masomo sawa”

      “Ila kijana wako ni mkorofi”

      Mr Kikole alidakia na kumfanya kaka Lucka kumtazama kwa jicho la hasira

      “Siongei na mbwa naongea na mwenye mbwa kwahiyo funga bakuli lako”

      Jibu la Kaka Lucka alilomjibu Mr Kikole likanifanya nicheke na waalimu wote wakanitazama huku mwalimu mkuu akionekana kuto kupendezwa na jibu la Kaka Lucka

      “Nimetoka jeshini nimeacha shughuli muhimu za kufanya na sijaja kupoteza muda cha msingi ni kumrudisha dogo darasani sawa”

      Head master akatingisha kichwa akionekana kukubaliana na kaka Lucka japo Mr Kikole alionekana kukasirika

      “Eddy yule mwalimu aliye kuchapa ni yupi.Nionyeshe ili niondoke naye nikamuhoji kambini?”

      Moyo wangu ukaingia furaha huku nikimtazama Mr Kikole nikamuona jinsi anavyo haha haha huku akiwa anatamani kuondoka katika ofisi hiyo.Mr Kikole akaanza kunikonyeza pasipo Kaka Lucka kumuona ili nisimtaje

      “Bro achana naye bwana”

      “Si alikuzalilisha mbele ya wanafunzi wezako ngoja na mimi nikamzalilishe kambini”

      Kusema kweli mwalimu Kikole anatetemeka hadi nikahisi kaka Lucka anaweza kumgundua ni yeye.Nikamtazama katika suruali yake nikaona jinsi inavyoanza kuchorra uwa lisilo na umbo maalumu kwani haja ndogo inaanza kumtoka hadi nikajikuta nikimuonea huruma.Kaka Lucka akatoa simu yake na kuiminya minya na kuiweka sikioni

      “Ndio mkuu”

      “Nimemfikisha dogo hapa shule hapa nasubiri anitajie huyo mwalimu aliyemdhalilisha na pia ningeuomba uwasiliane na mkuu wa hapa arusha ili aniletee vijana wawili na defender moja”

      Mazungungumzo ya kaka Lucka yakazidi kumchanganya Mr Kikole hadi nikashuhudia haja ndoho ikianza kuchuruzika kwenye kapeti lililopo katika ofisi ya mkuu wa shule

      “Eddy nionyeshe fasta fasta niondoke naye si unajua nipo kwa muda maalumu hapa”

      “Kaka hembu tufanye kama umemsaehe kwani mmmmmm”

      Nilizungumza huku nikicheka na kumfanya kaka Lucka kunitazama huku akinishangaa

      “Dogo unacheka nini.Alafu mbona mzee unatetemeka kiasi hicho ni wewe nini?”

      Kaka Lucka alizungumza haku akimpiga piga Mr Kikole kwenye bega lake cha kumshukuru Mungu hakumuangalia chini kwani Mr Kikole alikuwa amekaa kwenye kiti ambacho kanatazamana na mimi na hali yake ya hewa ilisha haribika muda mrefu.Nikamshika mkono Kaka Lucka na kutoka naye nje ya ofisi huku nikiendelea kucheka

      “Eddy mbona unacheka kiasi hicho”

      “Kaka nticha mwenyewe ni yule mzee pale uliyekuwa unampiga piga bega”

      “Haaa sasa mbona hukuniambia nikamnyanyua nimchangamshe damu kwa kichura chura?”

      “Ohhh mwenzako pale alipo kojo nje nje”

      “Amejikojolea?”

      “Ndio”

      “Masikini mzee wa watu,nilikuwa nawachimba biti kumbe muhusika yupo pale?”

      “Ndio”

      Sote tukajikuta tunacheka ila mimi nilizidi kucheka hadi machozi yakaanza kunimwagika.tukaagana na kaka Lucka akurudi zake hospitali kisha mimi nikaelekea darasani.Kabla sijafika darasani kuna mwanzafunzi akaja kuniita

      “Head master anakuita”

      “Yupo wapi?”

      “Ofisini kwake”

      Sikuwa na wasi wasi,nikaanza kwenda ofisni kwa mkuu wa shule nikamkuta yupo peke yake huku Mr Kikole akiwa hayupo,Nikakaa atika kiti ambacho nilikuwa nimekalia hapo awali na kutazamana na mkuu wa shule huku miwani yake akiiweka vizuri

      “Kijana nataka kukuambia kitu kimoja tu na ukiweke akilini na ukishike……..Usione kuwa tumekukubalia urudi shule kabla ya muda wa azabu yako kuisha ukazani tumekuogopa.Sasa ni hivi utafanya kazi ya kuchimba mashimo 15 ya taka hadi jumamosi adhabu yako itakapokwisha na utafyeka kila eneo la shule lenye nyasi ndefu.SAWA”

      Nikamtazama mkuu wa shule kwa macho ya dharau huku nikiwa ninajiamini na kumfanya mkuu wa shule kuikunja sura yake huku akianza kuhema kwa hasira.Nikajikuta ninamuuliza mkuu wa shule swali

      “Mbona hukuzungumza hivyo wakati kaka yangu yupo hapa?”

      Mkuu wa shule akasimama kwa hasira huku akiuvua mkanda wa suruali yake akitaka kunichapa

      “Wewe ni mshenzi kweli lala chini”

      Ikanibidi kuwa mnyonge nikamuomba msamahaa mkuu wa shule adi akanielewa na tukakubaliana adhabu ya kuchimba mashimo ianze kesho asubuhi.Nikafika darasani na kuwakuta wezangu wakijisomea.Wakanishangaa kuniona ninaingia darasani

      “Oya Eddy si tumetangaziwa una Sas P ya wiki moja?”

      John aliniuliza huku akinipisha kwenye kiti changu ninacho kalia darasani huku yeye akihamia kwenye kiti kingine

      “Kesi imeisha juu kwa juu ila nimepewa adhabu ya kuchimba mashimo……Ehee nipe stori vipi yule Salome umebonga(Zungumza naye) naye?”

      “Yule dogo anajisikia sana kama vipi kamdai zile pesa zako ulizo mpa”

      “Hembu acha masihara ndugu vipi aliniulizi?”

      “Akuulizie wewe ni nani?,Mbaya zaidi dogo nasikia anapigwa na yule jamaa aliye cheza naye ila sasa hii dogo tunapishana kama magari mabovu NO salamu”

      “Nikumbushe baadaye nikusimulie kilicho mkuta Mr Kikole”

      “Huyo msen** leo pia kanichapa zamu si yake ila ana kihere here kama amenyimwa penzi na mkewe”

      “Yule si kihere here ngoja nitakuambia wewe mwenyewe utacheka hadi mbavu zikuume”

      Tukaendelea kuzungumza na John hadi muda wa kutoka darasani mchana ukafika.Kendele ya chakula ikagongwa ikiashiria kidato cha tano wote tukachukue chakula.Tukaelekea katika sehemu ya kuchukulia chakula na tukapanga foleni kama walivyo panga wanafunzi wengine wa kidato chetu tulio wakuta

      “Samahani ninaweza kukaa mbele yako?”

      Nikageuka na kumkuta ni Salome ndio anaye niongelesha,nikasogea kidogo akapita mbele yangu kwa jinsi mstari wa chakula watu walivyo banana nikajikuta karoti yangu iliyoanza kusimama ikigusa makalio ya Salome na kumfanya ageuke geuke nyuma na kuniangalia usoni huku akitabasamu akionekana akifurahi kwa jinsi ninayo mgusa gusa na koroti yangu katika makalio yake yaliyo makubwa kiasi





      Mstari wa chakula ukaanza kusogea taratibu kuelekea mbele huku mimi na Salome tukiwa kimya hakuna aliye msemesha mwenzake.Ikanibidi niukate ukimya

      “Salome leo tunaweza kuonana?”

      “Saa ngapi?”

      “Kabla ya prepo”

      “Sawa nitaangalia kama kuna uwezekeno”

      “Nitashukuru sana.Ila vipi shemeji hajambo?”

      “Hajazaliwa bado”

      “Acha kuniongopea”

      “Kweli shem wako bado hajazaliwa”

      Kabla sijazungumza kitu chochote akaja kaka mkuu sehemu tuliyo simama katika mstari na kunifanya nikae kimya

      “Ahaa Salome mbona umepanga mstari si ungepita mbele?”

      “Naogopo yule prefect(kiongozi) anayesimamia pale mkali kama nini?”

      “Twende nikupitishe wewe ni mtu mkubwa bwana hapa shule”

      Jamaa akamshika mkono Salome na kumtoa kwenye mstari na kuondoka naye kitendo ambacho kimenikera kupita maelezo kwani kaka mkuu kanipeperushia ndege wangu.Nikiwa najifikiria kupita na mimi mbele ili niwahi kuchukua chakula na kumfwata Salome ili tuzungumze vizuri jamaa mmoja wa kidato cha tano akaja sehemu niliyo simama

      “Oya Eddy unaitwa na mwalimu wa nidhamu”

      “Yupo wapi?”

      “Ofisini kwake”

      CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

      Mapigo ya moyo yakaanza kunienda mbio kwani katika waalimu ninao waogopo katika shule hii ni mwalimu wa nidhamu ambaye anaonekana kutokuwa na masihara na mwanafunzi wa aina yoyote.Nikampa vyombo vyangu John anishikie huku nikianza kujichunguza kuanzia miguuni hadi kwenye shati.Sikuwa nimevaa sare za darasani kwani tangu juzi sikwenda bwenini zili po nguo zangu.Niaanza kuelekea katika ofisi za nidhamu.Maigo ya moyo yakaanza kunienda mbio zaidi baada ya kuliona gari la baba aina ya Hammer wanayo tembelea wakuu wa jeshi huku dereva wake akiwa ndani ya gari hilo.Nikaenda kumsalimia dereva kutokana nina juana naye,

      “Shikamoo brother P”

      “Marahaba vipi Eddy?”

      “Safi vipi home munaendeleaja?”

      “Tunaendelea vizuri vipi masomo?”

      “Safi,vipi mzee mbona kaja fasta fasta kwema”

      “Kwema yupo huko ofisini kwenu’’

      Nikajaribu kumchunguza dereva kuniambia juu yam zee kama amekasirika au laa ili niweze kujiandaa kwa chochote kwani mzee(baba) kurusha ngumi kwake ni kitu cha kawaida sana.Nikaachana na dereva na kwenda ofisini.Nikamkuta baba akiwa na Mwalimu wa nidhamu Mr Karata wakiwa wanazungumza maswala yao huku wakicheka .Nikawasalimi kwa pamoja wakaniitikia huku sura zao zikiwa na tabasamu

      “Oohh my first born how you?”(Ooh mtoto wangu wa kwanza hujambo?)

      “Am fine dady”(Nipo sawa baba)

      “Why your looking so scare what’s wrong of you?”(Mbona unaonekana kuogopa,Una tatizo gani?)

      “Nothing dady”(Hakuna kitu baba)

      “Ok be happy my son”(Sawa kuwa na furaha mwanangu)

      Nikaweka tabasamu usoni mwangu huku nikiwa ninashangaa leo baba anafuraha na mimi wakati katika vipindi vyote alivyokuwa akinitembelea shuleni alikuwa kauzu hadi waalimu wakawa wanashangaa ni maisha gani ambayo tunaishi na baba yangu na sheria nyingine ya baba akianza kuzungumza kingereza ni lazima na mimi nimjibu kwa lugha hiyo hiyo

      “Hapa nilikuwa nazungumza na mwalimu wako akinielezea kisa chako cha kuvunja fimbo ya mwalimu”

      Nikakaa kimya huku nikimtazama mwalimu wa nidhamu huku kimoyo moyo nikimlaani ni kwanini amemuadisia baba yangu juu ya mkasa huo kwani hashindwi kunichapa mikanda mbele yake

      “Mwanangu usiwe mkorofi sawa first born”

      “Sawa baba nimekuelewa”

      “Mimi nilikuja kukutembelea mara moja kwani wiki ijayo ninakwenda Iraq kwa ajili ya kazi maalumu huko tunakutana wakuu wa majeshi wan chi mbali mbali nitakaa mmwaka mmoja na nusu”

      “Sawa na mama anarudi lini?”

      “Mama yako anarudi kesho kutwa”

      “Atakuja huku kunitembelea?”

      “Nitamwambia aje kukutembelea ila cha msingi hakikisha unasoma kwa juhudi matokeo yako mwalimu hapa nimempatia Email yangu kila ripoti yako ya masomo atakuwa ananitupia…Sasa kazana na kusoma sawa?”

      “Sawa baba”

      Baba akatoa pesa na kunipa laki tano za matumizi ya kipindi chote ambacho nitakuwepo shule.Mwalimu wa nidhamu akaomba anishikie laki nne ili kuepuka kuibiwa,Sikuwa na ubishi nikampatia laki nne na nusu nikabakiwa na elfu hamsi nikachananya na pesa nyinine nilizo kuwa nazo.Baba akanipa simu mbele ya mwalimu wa nidhamu japo sheria za shule haziruhusu mwanafunzi kuwa na simu

      “Sasa Eddy uwe makini na simu yako ili waalimu wengine wasiione wakakupokonya kwa mimi ninakuruhusu kuwa nayo”

      Mwalimu wa nidhamu alizungumza huku akiwa anajichekesha chekesha baada ya kupewa laki moja na baba ila sikujua ni ya nini.Baba akaniombea ruhusa ya kwenda na mimi nje ya shule.Baada ya kuipata ruhusa hiyo tukaondoka shule na kwenda katika hoteli moja iliyopo karibu na shule.Tukanunua chakula tukiwa na dereva wa baba tukaanza kula huku mara kwa mara mzee akinihusia kusoma kwa juhudi huku akinipondeza kwa kumbishia mwalimu

      “Wale waalimu wenu wanaonekana wana tabu sana.Ila wakikuzingua kwa kosa ambalo utaona hawakutendei haki wewe wazingue.Ila wakiniletea kesi ambayo ni ya kijinga jinga kama umekamatwa na demu sijui umegoma kufanya mtihani jua nikirudi nitakuvunja kiuno tume elewana?”

      “Sawa baba”

      Baba akaniomba nimpeleke katika hospitali ya shule akamuone Madam Mery.Tukafika katika hospital ya shule tukamkuta Madam Mery akiwa na kaka Lucka ambaye baada ya kumuona mzee akampigia saluti.Wakazungumza na Madam Mery huku mazungumzo yao akimuhimiza anifwatile sana katika masomo yangu huku awe anampa taarifa kwa kili kitu nitakachokuwa ninakifanya

      Tukatoka hospitalini mida ya saa moja kasoro usiku baba na dereva wakanipeleka nyumbani kwa Madam Mery kuchukua madaftari na vitabu vyangu kisha wakanirudisha shuleni na kuagana nao wakaondoka mimi nikaelekea zangu bwenini.

      “Oya Eddy kuna kiji message chako hapa”

      “Kimetoka kwa nani?”

      “Aliye nipa ameniambi nisikuambie”

      Baraka akanipa kikaratasi nikakifungua na kukuta ujumbe ulio andikwa kwa mwandiko wa kike

      {Naomba tuonane kabla ya prepo kwenye kordo ya madarasa ya Arts ‘S’}

      Nikatambua kuwa ni Salome kwani tulipanga tuonane katika muda kama huo.Nikajiandaa haraka haraka na kumpa taarifa John anayeonekana kuto kuamini kwa kitu ninacho kizungumza.Tukafika katika madarasa ya Arts tukawakuta Salome na rafiki yake wakiwa wanatusubiria.Tukasogea pembeni na Salome na kuwaacha John akiwa amesimama na Claudia

      “Salome nashukuru kwa kukubali ombi langu la kuonana na mimi hapa”

      “Eddy hauna haja ya kushukuru wakati hata mimi ninapaswa kukushukuru kwa msaada wako wa pesa ulionipatia majuzi kwani bila wewe wala nisinge weza kushiriki mashindano ya umiss na kushinda”

      “Hakuna tabu vile ni vitu vy kawaida…..Salome na….”

      Kabla sijazungumza kitu nikamuona mwalimu wa zamu akija eneo tulilo simama na ikabidi tubadilishe mada

      “G.S(General study) sijaandika naomba uniadhimishe daftari lako”

      Salome akafungua begi lake na kujifanya anatoa daftari la somo nililo muomba huku tukimsubiria mwalimu wa zamu apite

      “Eddy nenda darasani kwenu muda wa kujisomea sasa acheni stori”

      “Sawa ticha hapa nimekuja kuazima daftari la G.S”

      Mwalimu akapita na kutuacha na kutuacha tumesimama na Salome.

      “Salome kama huto jali njoo class kwetu mida ya saa tatu tatu”

      “Powa nenda na hili daftari ili nipate kisingizio cha kuja Class kwenu”

      Tukaachana na Salome kila mtu akaelekea darasani kwao

      “Eddy nimempiga Sound Claudia amenikubalia”

      “Wee”

      “Chezea mimi,dogo ameniambia kesho tunane”

      “Haya mwaya”

      “Vipi na wewe huyo miss wako amekukubalia?”

      “Yule kwangu haruki mimi ndio Eddy mwengine photocopy”

      “Mmmmm unaweza ukawa una jiproud bure kumbe domo zege”

      “Haya mimi si domo zege utaona”

      “Nitaona nini sasa?”

      “Twende darasani tuachane na hizo mada”

      Tukaingia darasani na kila mmoja akakaa sehemu yake na tukaanza kusoma huku akili yangu ikihesabu masaa ya Salome kuja darasani kwetu kuchukua daftari alilo nipa.Mida ya Saa tatu kasoro Salome akaingia darasani kwetu na kuwafanya watu wengine kushangaa huku wengine wakimpongeza kwa ushindi nikawa najiuliza kwani siku zote hawakumuona ili wampe pongezi

      Salome akafika katika meza yangu,Nikachukua kiti ambacho hakina mtu na kmuwekea pembeni.Salome akakaa na kumfanya John akibaki akisikitika huku akinikonyeza

      “Eddy unasoma nini?”

      “Nisome wapi hapa nilipo nilikuwa ninahesabu muda wa wewe kuja”

      “Acha kunichekesha Eddy unataka kuniambia saa zote hujasoma kitu hata kimoja?

      “Kweli sijasoma hapa pia nashukuru kukuona hapa”

      Salome akaanza kucheka kwa sauti ya chini hapo ndipo nikapata fursa ya kumchunguza vizuri na kukubali kimoyo moyo kwamba Salome ni mzuri kwani kila kitu kilichokaa katika mwili wake kimekaa kwa mpangilio

      “Eddy mbona unanitazama sana?”

      “Salome si siri wewe ni mzuri yaani mpaka unafanya moyo wangu unauma”

      “Eddy wewe muongo”

      “Kweli yaani kila nikikuangalia mwili wangu unasisimka”

      “Asante ila hata wewe pia ni mzuri.”

      “Mzuri wapi best”

      “Wewe hujioni ila sisi tuna kuona ndio tunajua wewe ni mzuri”

      “Salome kusema ukweli ninakupenda japo wewe upo na kaka mkuu”

      “Hapana yule si mpenzi wangu”

      “Ila ni nani yako?”

      “Yule jamaa alinitongoza ila kwa muda mrefu sikumpa jibu lake”

      “Mmmm haya sisi yetu macho”

      “Kwa nini yenu ni macho?”

      “Sisi tulio wabaya tutaishia kufaidi tu kwa mimacho yetu”

      “Ila usijali mbina hata wewe unaweza kuf……”

      Kabla Salome hajamaliza kuzungumza kitu chochote gafla umeme ukakatika na watu wakaanza kushangilia.Salome akanisogelea na kunipiga busu la haraka la mdomoni na kunifanya mwili wangu kusisimka kwa raha

      “Eddy twende zetu huku”

      Salome akanishika mkono na kuanza kutoka darasani huku kukiwa na giza totoro ila wenye tochi zao waliombwa kuzizima na watu wenye kufanya yao na mademu zao.Tukafika katika vyoo vya shule na kuingia katika vyoo vipya ambavyo havijaanza kutumika.Tukaanza kunyonyana denda huku kila mmoja akionekana kuwa na humu na mwenzake japo kuna giza ila nikajikuta nikijiamini.Nikaipandisha sketi ya Salome juu na kumvua nguo yake ya ndani huku na yeye akinivua suruali yangu kwa haraka

      Kidole changu kimoja nikakiingiza katika mgodi wa Salome na kuanza kukichezesha na kumfanya Salome kuanza kutoa miguno ya raha huku naye akijitahidi kuanza kuichua karoti yangu,Sikutaka kupoteza muda nikaunyanyu mguu wake na kuushika na mkono mmoja kisha karoti yangu ikazama ndani ya mgodi na kuanza kuuchimba.Salome akanza kutoa miguno huku mara kwa mara nikimnyonya denda ili kuepuka kelele zake zisikike nje japo vyoo hivyo vipo mbali kidogo na madarasa.Nikazidisha kasi ya kuchimba kisima na kumfanya Salome alie kama mtoto mdogo

      Gafla tukajikuta tunakatisha zoezi baada ya kusikia mtu akifungua milango ya vyoo vya mwanzo na hapo tulipo ni choo cha tano kutoka choo cha kwanza.Salome akaanza kutetemeka huku akianza kuvaa nguo zake.Nikapandisha suruali yangu haraka haraka na sote tukaanza kuskilizia ni nani anafungua katika vyoo tulivyopo.Tukaanza kuuona mwanga wa tochi kwa kupitia uwazi wa mlango ukija katika choo tulichopo huku miguu ya mtu huyo ikizidi kusogea karibu na choo tulichopo.Tukasikia mtu huyo akigusa kitasa cha mlango wa choo tulichopo na kuanza kukivuta

      Mapigo ya moyo yakazidi kunienda mbio na kujikuta nikianza kuomba sala ya kuniepusha na kukamatwa kwetu kwani ni muda mchache ulio pita baba alitoka kunionya kwa ujinga kama huo.Nikamtazama Salome na taratibu nikamuona mwenzangu akilegea kabla hajaanguka nikamuwahi kumkumbatia ili asianguke chini na kunifanya nizidi kuchanganyikiwa



      Nikaendelea kumshikilia Salome ambaye anahema Kwa pumzi za taratibu kutokana na giza sikujua kama ameyafumba macho yake.Mlango ukatingishwa kidogo kama mtu anayetaka kufungua na kuingia.

      “Eddy…..Eddy”

      Nikasikia ni sauti ya chini ya John ikiniita nje ya mlango, Nikawa na wasiwasi huenda atakuwa yupo na walinzi au mwalimu ili iwe rahisi kwa kunikamata endapo nitaitiaka.Akarudia kuniita tena ila nikakausha kimya nikamsikia akiendelea kufjngua fungua vyoo vingine na baada ya muda sikumsikia tena.

      “Salome Salo”

      Nilimuita Salome huku nikimtingisha taratibu ila mwenzangu hakunijibu kitu chochote.Nikakumbuka baba alinipa simu nikaitoa mfukoni na kuiwasha nikammulika Salome nikakuta mwenzangu macho yake yamebadilika na kiini cheusi cha kati kati ya jicho sikukiona na kulifanya jicho lake lote kuwa jeupe.Mwili mzima ukaanza kunitetemeka huku taratibu nikihisi umoto moyo kwenye mapaja yangu na kuifanya suruali yangu kulowana nikajua moja kwa moja mtu mzima nimesha limwaga mbele ya Salome ambaye sielewi amepatwa na nini.

      Kwa jinsi miguu inavyotetemeka nikashindwa kuizuia hali ya kulimwaga kojo ambalo linachuruzika kwenye mapaja kwa kasi huku likiwa la moto moto na mbaya zaidi nimetoka kuchimba mgodi muda si mrefu na sikufiki mwisho wa uchimbaji.Kwa uzito wa Salome na kukosa kangu muhimili wa kusimama nikajikuta nikianza kushuka chini taratibu huku mgongo ukiwa una buruzika ukutani hadi nika kaa chini,Nikaendelea kumnong’oneza Salome ila mwenzangu hakuitika sikuwa na jinsi zaidi ya kuendelea kumkumbatia huku kichwa chake akiwa amekilaza juu ya kifua changu,cha kumshukuru Mungu ni vyoo tulivyopo hakuna hata kimoja ambacho kimetumika kwani ndio kwanza vipya vinamsubiria diwani aje kuvizindua siku mili mbeleni.Nikaanza kumlaani John kwa masihara yake nikahisi kwamba ilikuja kunitania na utani wake umweniachia majanga ambayo sijui niyamalize vipi kwani hata kusimama ninashindwa kwa jinsi suruali yangu ilivyo lowana na mbaya zaidi mwili mzima unanitetemeka

      Nikatazama saa ya kwenye simu nikakuta ni saa tano kasoro usiku,nikaendelea kusubiri huku mara kwa mara nikiwa ninamtingisha Salome ili azinduke.Baada ya masaa mawili kupita huku nikiwa nipo macho gafla Salome akaiga chamfya nikaiwasha simu na kummulika Salome usoni nikakuta anaanza kufumbua fumbua macho na matumaini ya kuto kulala chooni yakaanza kunijia kwani nilishakata tama nikajua ni lazima nitalala chooni.

      “Salome”

      “Mmmm”

      “Unajisikiaje”

      “Mmmmm”

      “Unajisikiaje….?”

      “Kidogo afadhali”

      “Unaweza kusimama?”

      “Mwili hauna nguvu”

      Ikanilazimu kusubiri ili Salome nguvu ziweze kumrudia.Masaa yakazidi kukatika huku kila nikimuuliza Salome juu ya kurejewa na nguvu anadai bado.Nikaanza kupata wasiwasi kwani hadi sasa hivi imesha timu saa tisa usiku.Kijimwanga kikaanza kuchomoza na kuingia katika uwazi wa chini katika choo.Nikashangaa Salome akikurupuka na kusimama kama mtu aliyekuwa akiota ndoto mbaya

      “Eddy tupo wapi?’

      “Chooni”

      “Tupo chooni Eddy…..bwenini kwetu hawajachukuliwa rollcal?”

      Swali la Salome sikujua nilijibu vipi kwani hata mimi mwenyewe sikujua kama bwenini kwetu watu wamehesabiwa namba

      “Salome cha msingi wewe uende mbwenini kwenu sasa hivi mambo mengine tutazungumza baadaye tukionana”

      “Kwani ni saa ngapi Eddy?”

      “Saa kumi na mbili kasoro”

      Nikafungua mlango wa chooni nikachungulia nje,nikaona kupo salama hakuna mtu nikampiga busu Salome kisha nikatoka na kuelekee kwangu bwenini kwa ajili ya kujiandaa kwa ajili ya msomo.Nikamkuta John akiwa bado amelala sikutaka kumsumbua nikapanda kwenye kitanda changu ambacho kipo juu nikajilaza ili kuupuumzisha mwili ila nikakumbuka kuwa nimejikojole.Nikaivua suruali pamoja na boxer yangu japo kuna baridi kali ila ikanilazimu kwenda bafuni kuoga

      Nikarudi na kukuta watu wengeni wakianza kuva nguo za darasani huku wengine wakiwa wanaelekea kupiga mswaki

      “John vipi hembu amka kwanza?”

      “Eddy mwanangu nina umwa?”

      “Una umwa na nini?”

      “Eddy wee acha tu mwanangu jana yaliyo nikuta nimakubwa”

      Kwa jinsi ninavyo mjua John kweli nikagundua anauwmwa kwani hata kuzungumza kwake ni kwa shida

      “Sasa nikufanyie mpango kwa Patroni(Mlezi wa kiume) akupeleke hospitali”

      “Ndio mwanangu hapa sijielewi kabisa”

      Nikavaa nguo za darasani na kwenda katika chumba cha Patron na kumueleza juu ya kuumwa kwa John.Ila Patron akaniomba nimsindikize John hospitali kwani yeye anakwenda kushuhulikia kumtafuta msichana mmoja aliye potea jana usiku.Moyo ukaanza kunienda mbio huku nikiwa na wasi wasi

      “Patroni huyo msichana aliye potea ni wakidato cha ngapi?”

      “Kidato cha tano”

      CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

      Sikutaka kujitia mawazo kwani moja kwa moja msichana aliyelala nje ya bweni alikuwa ni Salome na kwa jinsi wasichana wanavyo lindwa huwa huesabiwa kila mara wakati wa usiku nikamuaga Patroni na kutoka kwenda bwenini kumchukua John.Nikaikuta hali yake ikiwa imezidi kuwa mbaya kwani mwili mzima ulikuwa ukimtoka jasho.Nikasaidiana na rafiki zangu wengine kumuwahisha John hospitali huku moyo ukianza kupata mashaka juu ya hali ya John.Tukafika hospitali ya shule akapokelewa na manesi na kumtundikia dripu la maji.

      Wezangu wengine wakaenda darasani mimi nikabaki hospitali huku nikiwa na kazi ya kumfuta John jasho linalo mwagika huku wasiwasi ukizidi kunijaa juu ya afya ya John

      “Eddy”

      “Niambei ndugu yangu”

      “Eddy ninakufa kaka”

      “John husi kamanda wangu”

      John akacheka taratibu huku akinishika mkono huka anatetemeka.Nikazidi kupata wasi wasi huku machozi kwa mbali yakianza kunilenga lenga.Dokta akaanza kumfanyia John vipimo vyote ila hakumkuta na ugojwa wowote

      “Eddy jana mwenzako ni….nili…..kuwa nipo na Clau…..”

      “Ndio kaka”

      “Tulikuwa darasa la kule chini basi kuna ki…..tu ki….linipiga kifuani il…a siku..jua ni ni..ni”

      “Ikawaje kaka?”

      “Nikaja kukufwata kule ulipo ila sikukupata wakati naru…I pale darajani nikao…….oo….oo..”

      Gafla John akaanza kutingishika kama mtu mwenye kifafa huku akiwa amening’ang’ania mkono wangu.Manesi wakaanza kumshika ili kuutuliza mwili wake huku nikisaidiana naye.Machozi yakaanza kunimwagika kwani hali ya John ikazidi kuwa mbaya,Puvu jingi likaanza kumtoka huku puani akiwa anatokwa na damu

      “ED…….”

      John akajitahidi kuniita ila kinywa chake hakikuweza kufunguka na suati yake ikakata gafla na kunifanya nizidi kuchanganyikiwa.Sikuweza kuyazuia machozi yangu baada ya kumuona John akiwa ametulia kimya kitandani huku vidole vyake vikiwa vinajifungua taratibu kwenye mkono wangu alio ushika.

      “John…..John…..John kaka please wake up you can not die brother you my soujar please”(John…..John……John kaka amka huwezi kufa kaka wewe ni mwanajeshi wangu tafadhali)

      Nilizungumza huku machozi yakinitoaka nikiwa najitahidi kumtingisha huku kichwa chake kikiwa nimekiweka kwenye mapaja yangu.Dokta akampima John mapigo ya moyo na nikamuona akitingisha kichwa akimaanisha John amefariki dunia

      “John amka rafiki yangu nitasoma na nani mimi”

      Manesi wanishika na kunitoa nje huku nikiona wakimfunika John kwa shuka mwili wake mzima.Nikazidi kuchanganyikiwa na kujua hiyo ndio safarai yangu ya mwisho ya kumuona rafiki yangu John ambaye kwangu amekuwa zaidi ya ndugu.Manesi wakanikalisha kwenye benchi huku wakiendelea kunibembeleza

      Nikaana kundi kubwa la wanafunzi wa kike wa kidato cha tano likija hospitali huku wakiwa wamembeba mwenzao ambaye anaonekana kupoteza fahamu.Nikasimama na kumuona ni Salome aliye bebwa huku akionekana kuwa na hali mbaya kupita maelezo



      Nikazidi kuchanganyikiwa sikujua Salome kimempata nini,Nikataka kwenda kumuuliza mmoja wa rafiki zake ila Nesi akanizuia kwa kunishika mkono.Nesi mmoja akaondoka kwenda kusaidiana na wanafunzi wa kike wa kidato cha tano na kumuingiza katika chumba cha wagojwa mahututi.Kila nilipojaribu kuyazuia machozi yangu nikajikuta nikishindwa na nikaendelea kulia hadi wanafunzi wa waliobaki nje wakanifwata kwenye benchi huku kili mmoja akiwa anahamu ya kutaka kujua ni kitu gani kinacho niliza

      Nesi akanizuia nisizungumze chochote huku akiwa amenifnga mdomo kwa kiganja chake

      “Jamani mwenzenu anaumwa nawaomba mkakae kule”

      Nesi alizungumza na kuwafanya mwanafunzi mmoja baada ya mwengine kuondoka katika eneo nililopo kasoro Claudia ambaye anaonekana kuwa na mashaka

      “Nesi Maria dokta anakuhitaji haraka”

      Nesi aliyeniziba mdomo akanyanyuka haraka na kumfwata nesi mwenzake aliyekuja kumuita nikawaona wakiingia katika chumba alichoingizwa Salome.Claudi akaja kwa haraka hadi sehemu niliyokaa mimi huku naye machozi yakimwagika na akazidi kunichanganya akili kwani sikujua kinacho mliza ni kitu gani

      “Eddy Salome anaumwa sana ten asana”

      “Ooooh Mungu wangu naye anaumwa na nini?”

      “Yaani hata sisi hatujui amekutwa ameanguka nje ya vyoo vipya kule chini huku damu zikimtoka puani”

      “Ahaaa Mungu wangu ni nini hichi umefanya John naye amekufa,Salome naye aahaaa……Nakuomba Mungu usiwachkue wote”

      “Eddy what are you say…..!?”(Eddy unasemaje……!?)

      “John is dead”(John amekufa)

      Nilizungumza kwa uchungu huku machozi yakinimwagika yakiandamana na makamasi yakinishuruzika katika pua zangu.Claudia akaachia ukulele mkali a kulia huku akipiga hatua za kwenda walipo wezake huku akiwa anakimbia.Kwa bahati mbaya nikamshuhudia Claudia akikanyaga kamba ya kiatu chake cha shule na kumfanya miguu yake kugongana na kwa kasi kubwa akaanguka chini huku kichwa chake kikipiga kwenye ukingo wa msingi wa baraza ya kuelekea katika chumba alicho ingizwa Salome na kusababisha damu nyingi kuanza kusambakaa chini kwenye mchanga.

      Nikanyanyuka kwa haraka na kwenda kumuangali Claudia na kukuta akiwa yupo katika kauli ya mwisho huku akiwa ananiomba msaada nimnyanyue.Kila mwanfunzi aliyekuja katika eneo hilo nikamuoana akiondoka huku akilia na wengine wakiwa wanaziba macho yao wasione kilichotokea kwani ubongo uliochanganyikana na damu ulitapakaa chini huku mimi nikawa kama nimepigwa butwaa.

      Madaktari wawili wakaja tulipo simama huku wakishangaa ni kitu gani kimetokea,Mmoja akaniuliza swali ni kipi kilicho mpata Claudia sikuwa na chakumjibu kwani mdomo wangu haukuweza kufunguka.Nikaanza kupata wasi wasi na kwa mwendo wa haraka nikaenda katika chumba cha wagojwa mahututi nikaufungua mlango kwa nguvu na kumstua nesi anayemalizia kumfunika Salome shuka kichwani kwa shukanla kijani….Nesi akajaribu kunizuia huku akiniomba nitoke nje nikajikuta ninamsukuma na kwenda kwenye kitanda alicho lazwa Salome na kumkuta mwili wake umekuwa wa baridi huku macho yake yakiwa yamejifumba.Nikamtingisha huku nikikimuita

      “Salome mpenzi na wewe unakufa ni nani atabaki na mimi eheee amka mpenzi tafadhali”

      Salome hakunijibu kitu chochote zaidi ya kukaa kimya kama nilivyo mkuta nikarudia kumtingisha ila sikupata jibu.Nikaanza kulia huku nikilitaja jina la Salome

      “Salome Salome nakupenda mpenzi wangu yaani penzi letu limedumu kwa masaa please baby amka basi hata nione kicheko chako”

      Maneno yangu hayakuwa na nguvu ya kumrudisha Salome dunia,Nikastukia kitu chenye ncha kali kikinichoma mgongoni,nikageuka taratibu na kukuta nesi akichomoa bomba lenye sindano na taratibu macho yakajawa na usingizi na kichwa changu nikakiangushia kwenye kifu cha Salome

      ***

      “Wewe fala Eddy”

      Nikastuka huku nikinyanyuka kwa hasira nikitaka nimpige mtu aliye nitukana na kumkuta ni John,Moyo wangu ukanipasuka na kunifanya nianze kurudi nyuma huku nikiwa nina muogopa

      “Eddy jana umepiga bao ngapi best hadi umeshindwa kurudi bwenini?”

      John aliendelea kunisemesha na kunifanya nizidi kuchanyanyikiwa na kuanza kujiuliza kama nipo peponi mbona John mwenzangu amevaa nguo za shule na sote tupo bwenini isitoshe kama kawaida yake anatukana kiasi kwamba amenikasirisha

      “Eddy mwangu saa hizi saa moja kamili wewe bado umelala tena unaota unatupigia kelele za kumtaja Salome wako hapa…….Kumbe Eddy na ujanja wako wote unaweza ukamuota demu?”

      Jonh akaanza kucheka huku akinitazama nikayazungusha macho yangu chumba kizima nikamuona John peke yake,Nikajitazama nguo nizizo zivaa nikastuka kuona ni nguo za jana nilizozivaa prepo na sehemu niliyo kaa ni juu ya kitanda changu

      “John nipo wapi?”

      “Eheee wewe Eddy leo hii unaniuliza upo wapi kwani rafiki yangu wewe unavyohisi au unavyo ona upo wapi wewe?”

      “Nina maana yangu kukuuliza nipo wapi?”

      “Best upo kwenye Air Force One ya Obama”

      John alizungumza huku akizidi kucheka hadi akakaa kwenye kiti kilichopo ndani ya chumba chetu

      “Aisee Mzee bado munajichekesha chekesha hapa tokeni nataka kufunga milango”

      Patron alizungumza huku akiwa ameshika funguo nyingi kwenye mkono wake wa kushoto

      “Patroni tunaomba dakika kumi jamaa avae nguo”

      “Nakwenda mabweni ya O level nikirudi nisiwakute”

      “Sawa Patron…….Oya Eddy hembu hamsha ke**e zako hapo juu tumeshachelewa assemble”

      Nikashuka kitandani na kusimama chini na kusogelea John na kumgusa mkono nikaona ni John kweli kwani hana mabadiliko yoyote ikanibidi kutoka nje kuangalia mandhari nikayakuta ni bwenini na mbaya zaidi nikamuona mwalimu wa zamu akiwafukuza wanafunzi wa vidato vyengine ili wawahi mstarini huku akiwa anawachapa

      “Oya John mfumuko huyo anakuja”

      “Yuko wapi?”

      “Bweni la form four kule”

      “Oya mwanangu hembu vua basi hizo nguo zako fasta tuondoke na jamaa lilivyo na mijisifa lile litatucharaza bakora humu humu”

      Ikanibidi nikubaliane na hali halisi kuwa John hajakufa nikaanza kuivua surualia yangu haraka haraka huku John akifugua begi langu la nguo na kunitolea nguo za shule

      “Alafu Eddy mwanagu umelimwaga eheee?”

      “Kwanini?”

      CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

      “Wewe huoni suruali yako ilivyo chora mchoro hapo mbele sijui ni ramani ya kuendea wapi”

      “Mwanangu wee acha tu yaliyonikuta jana mmmmmm……”

      “Alafu jana ninakuja kukustua kwenye vyoo kule mwangu upo na huyo demu wako ukanikaushia”

      “Unajua wewe ndio chanzo cha kunifanya nirudi hapa saa kumi na mbili”

      “Weee umerudi saa kumi na mbili?”

      “Ndio jana dogo alizimia”

      Mwalimu Mfumuko akaingia chumbani kwetu huku mkononi akiwa na fimbo ya munzi

      “Munafanya nini?”

      “Ticha jamaa anamalizia kuvaa mara moja”

      “Munajua nyinyi Adivnce muna jeuri sana.Munataka kuifanya hii shule kama wamejega baba zenu si ndio…….Nyoosha mkono”

      Mwalim mfumuko akaishika fimbo yake vizuri na kumchapa John fimbo mbili za mkononi.Kisha na mimi akanichapa fimbo mbili za mkononi

      “Sasa ole wenu niende nirudi niwakute hapa”

      Akatoka na kutuacha ndani,Nikabadilisha boxer nikvaa nyingine safi,Nikajipilizia BODY SPRAY mwili mzima kisha nikavaa nguo zangu na kujiweka sawa.Nikachukua begi langu la madaftari na safari ya kuelekea shule ikaanza kwani mabweni yetu yapo mita chache kutoka shule ilipo.Tukaingia kwenye darasa moja kwa ajili ya kujificha kwani wachelewaji waote wa mstarini wanachapwa na mwalimu aliye simama katika eneo amalo huona kila mwanafunzi anayeingia katika eneo la mastarini

      “Eddy na mwenzoko muna fanya nini huku wakati wezenu wapo Assemble?”

      Madam Rukia alizungumza huku akiiingia kwenye darasa tulilo jificha na kutufanya tukae kimya

      “Alafu Eddy wewe mtoto mbona unamatatizo hivyo yaani hufananii na ukorofi unao ufanya?”

      “Madam you know……”(Madam Unajua……)

      “Najua nini wakati wewe umejificha na huyu mwenzako huku.Hembu waangalie macho yenu yanavyo wawaka kama ya bundi”

      “Rukia wana tatizo gani hao?”

      “Sir Masolwa hawa vijana nimewakuta wamejificha huku wakati wezao wapo mstarini”

      “Njooni…..Tena huyo mrefu si ndio alimgomea mwalimu Kikole?”

      “Ndio yeye mwalimu yaani huyu kijana sijui ana matatizo gani”

      Mwalimu Masolwa akatuamuru tulale chini kisha kila mmoja akatuchapa fimbo nne nne za nguvu.

      “Nahitaji mukafyeke nyasi zote zinazoelekea barabara ya getini.Mtafuteni kiranja was Stoo akawape makwanja na ole wenu mukimbie hiyo kazi mutanijua mimi ni nani.Poteeni mbele ya macho yangu”

      Tukaondoka na kwenda mstarini na kukuta watu ndio wanachanguka kuelekea kwenye madarasa yao.Salome alipo niona akanifwata na tukasimama pembeni

      “John yule kiranja yule pale muwahi basi atufanyie mpango wa makwanja”

      “Eddy mambo mpenzi wangu?”

      “Safi vipi kwema?”

      “Kwema tu ulifika salama bwenini?”

      “Ndio vipi wewe jana hamujahesabiwa?”

      “Jana hatujahesabiwa nahisi Matroni aliogopa giza.Alafu mwezio bado nina hamu kama nini?”

      “Usijali zitakwisha hapa tumepewa azabu ya kwenda kufyeka”

      “Mume fanyaje?”

      “Tumechelawa kuja hapa”

      “Yaani Eddy mpenzi wangu natamani hapa nikirukie tufanye hata hapa”

      “Hembu acha utoto..Claudia yupo wapi?”

      “Anamalizia kudeki kibaraza cha bwenini kwetu”

      “Ahaa powa bwana ngoja sisi tukafyeke tutaonana baadaye”

      “Powa I love you”

      “Love you too Salome”

      Tukaachana kila mmoja akaelekea sehemu yake huku akili yangu ikianza kuifikiria ile ndoto mbaya niliyo iota,Kila nikimuangalia John ninajihisi kulia lia huku hali hiyo ikiwa sawa ninapo muangalia Salome.Tukaelekea sehemu aliyotuagiza mwalimu Masolwa kufyeka,Tukaanza kufyeka huku tukiwa tunapiga story

      “Eddy yule Salome ni mtamu?”

      “Tena sana nanilio yake inajoto kama nini?”

      “Weee mjinga kweli kwani hizo naniliu za wengine hazina joto?”

      “Joto lina tofautiana wewe kuna wengine joto lake si kali kivile na huwa hazina utamu kivilee ila za wenye joto hata kama hujui ku Duu lazima tuu kiuno kitacheza”

      “Nyoo yako ni hayo tu”

      “Vipi na wewe Claudia?”

      “Ahhaa jana kazingua yule.Pale umeme ulivyo katika nikamfwata kule madarasani kwao.Nikashindwa kumuomba hata mchezo nikajikuta ninamuomaba tochi ndio niliyokuja nayo kule mulipo”

      Nikaanza kumcheka John kwa sauti ya juu na kumfanya Mr Kikole anayepita katika barabara inayotoka getini kuelekea shule kunitazama.Kicheko kikazidi kuongezeka nilipo muona Mr Kikole na nikajikuta nikilikumbuka tukio lake la kujikojolea jana ofisini.Akanitazama kwa macho ya unyonge kisha akaendelea na safari yake ya kuelekea shuleni

      “Mbona unacheka sana wewe kuomba tochi ndio unacheka kiasi hicho?”

      “John sikucheki wewe”

      “Ila?”

      “Unajua jana si nilikuambia kuna story nitakuambia iliyonikuta ofisini?”

      “Ndio”

      Nikaanza kumuadisia John kila kilichomkuta Mr Kikole hata kabla sijamaliza John akakaa chini huku akicheka huku akipiga piga ngumi chini

      “Eddy utanivnja mbavu zangu”

      “Kweli John jana mtu mzima alilimwaga…..Tena alilimwaga pale bro alipojidai anapiga simu kambini akiomba msaada wa defender ili amchukue Best kumbe hata yule Kikole ni muoga”

      ‘Chezea mjeda nahisi kwenye akili yake alikuwa akifikiria jinsi ya kwenda kuruka kichura chura na pombe anazo kunywa angekufa”

      “Alafu nasikia hanywi bia anakunywa matapu tapu?”

      “Mwenyewe ndio ninavyo sikia”

      Tukaendelea na kazi ya kufyeka huku tukipiga story mbali mbali ila nikajizuia kumuadisia John nilicho kiota.Hadi inafika mida ya saa nne bado hatukumaliza kufyeka eneo zima.Akapita Madam Rukia ikanibidi nimuite

      “Madam wapi hiyo?”

      “Ndio Kiswahili gani hicho?”

      “Ok unakwenda wapi?”

      “Unataka kujua ili iweje?”

      “Nilidhani unakwenda kwa Madam Mery ninataka kwenda kumuona”

      “Ninakwenda kwanza kwangu kisha nitakwenda kwa Mery”

      “Kwani ametoka hospitli?”

      “Amenipigia simu hii asubuhi kuwa amesharuhusiwa”

      “Madam tunaomba basi twende tukamuone mara moja”

      Madam Rukia akajifikiria kwa muda kisha akakubali,tukayaficha makwanja yetu kwenye michongoma kisha tukaongozana na Madam Rukia.Tukapita getini pasip kuulizwa na walinzi kwani tumeongozana na mwalimu ambaye yupo kwenye zamu

      “Tena nimekumbuka twendeni kwangu mukanisaidie kubeba trey za mayai ili tuzipeleke kwa Mery”

      “Sawa”

      Tukaelekea nyumbani kwa Madam Rukia na akatukaribisha ndani kwake mabapo ni pazuri.John kitu cha kwanza alichokiwahi ni kuchukua PAD za gemu ya PLAY STATION ambayo mara nyinyi huchezwa kwa kupitia TV.Akawasha na kukuta ina CD ya Game ya mpira

      “Oya Eddy njoo nikufunge funge”

      “Utaweza”

      Nikakaa karibu yake na kuchukua PAD nyingine na tukaanza kuchagua timu za kuchezesha huku Madam Rukia akiwa chumbani kwake hatukujua ana fanya kitu gani.Akatoka akiwa amejifunga tenge huku sketi yake ikiwa imechomoza kwa chini kwenye tenge lake

      “Haya nahitaji mmoja wenu aje anisaidie kuokota mayai kwenye mabanda ya kuku”

      “Eddy nenda mimi hapa nilipo ninajihisi vibaya vibaya”

      Sikutaka kubishana na John taratibu nikanyanyuka na kuongozana na Madam Rukia hadi kwenye mabandaya ya kuku wake wa kizungu(Kuku wa mayai).Uzuri wa nyumba anayoishi Madam Rukia imezungushiwa ukuta mrefu ambao si rahisi kwa vibaka kuingia na kuiba kuku.Tukaanza kuokota mayai huku tukiyaweka kwenye kindoo kidogo

      “Eddy nasikia wewe ni mtaalamu”

      “Mtaalamu wa nini?”

      “Ahhhaa unajua ila unataka kuwapa kuku faida”

      “Sasa Madam kama ningekuwa ninajua si ninge sema”

      “Hembu tutoke kwanza kwenye hawa kuku twende tukachukue trey za mayai”

      Tukatoka nje ya banda la kuku na kuingia kwenye chumba kimoja kisicho na kitu kingine zaidi ya trey za mayai zipatazo hamsini

      “Madam hapa unaishi na nani?”

      “Peke yangu sema hii nyumba bado mpya ila siku si nyingi itahamia watu”

      “Ni yako?”

      “Hapana ni ya mzee mmoja hivi wa kichaga”

      “Sawa”

      Madam Rukia akanitazama kwa sekunde kadhaa huku akiwa kama anahitaji kuzungumza kitu ila akawa anashindwa.Akalifungua tenge lake na kubaki na sidiria huku akiniomba nimkune mgongoni.Nikaanza kumkuna mgongoni taratibu kwa kucha zangu ndogo ndogo.Akaniambia nishushe mkono hadi chini chini kwenye kiuno nimkune sehemu hiyo.Nikafanya huku nikimeza vijimate vya uchu,Taratibu nikaushusha mkono na kuuingiza kwenye sketi yake sehemu ya nyuma kwenye makalio yake.

      Madam akageuka na kunishika shingo huku taratibu tukaanza kunyonyana denda,Nikamfungua sidiria yake na kuanza kuzitomasa chuchu zake taratibu taratibu.Nikaishika zipu ya sketi yake iliyopo nyuma na kuanza kuifungua kwa kwenda chini kisha sketi yake akaishusha haraka haraka huku nami nikivua shati langu la shule

      “Oya mwanagu Eddy Tanesco wamekata umeme bwana”

      Tuliisikia sauti ya John kwa nje na kunifanya nichungulie kwenye dirisha nikamuona John akiwa anaelekea kwenye mabanda ya kuku huku akichungulia chungulia ndani ya mabanda hayo akionekana kututafuta sisi



      Tukavaa nguo zetu haraka haraka baada ya kuona tupo sawa nikachungulia dirishani na kumuona John akiwa amejishika kiuno huku hajui wapi tulipo

      “Oya John sisi tupo huku”

      “Ahhh mwanagu hukuwa unanisikia kipindi ninakuita au?”

      “Sijasikia bwana tatiz lako wewe una wenge sana”

      Nilizungumza huku nikitoka katika chumba tulichokuwa huku nikiwa na trey nne sisizo na mayai.Nikaingia katika banda la kuku na kuchukua kindoo kidogo kilicho na mayai kisha nikatoka nacho na kuanza kupanga yai moja baada ya jengine huku Madam Rukia akitoka akiwa ameshika trey mbili zisizo na mayai

      ‘”Wewe mbona umesimama humsaidii mwenzako katika kupanga mayai”

      “Madam hapa nilipo nimechoka kama nini ninaogopa ninaweza nikayavunja hayo mayai ikawa ni kesi juu ya kesi”

      CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

      John alizungumza huku akiwa anatafuta sehemu ya kukaa kabla hata hajakaa akasikia redio ya madam ikitoa sauti ya mziki

      “Umeme huo umerudi ngoja nikamalizie mechi yangu”

      John akatoka mbio na kutuacha mimi na madam tukicheka kwani kwa vitendo anavyo vifanya John ni sawa na mtoto mdogo wa kidato cha kwanza

      “Hivi huyu mwenzako anaakili nzima”

      “Ndio tena ndio anaye tushikia darasani”

      “Ehhee makubwa basi mshauri akue aache utoto”

      “Sawa”

      Tukaendelea na kazi ya kuyapanga mayai kwenye tery huku mara kwa mara tukiwa tunatazamana kwa macho ya wizi wizi.Tukamaliza tukasaidiana kuzibeba trey hizo hadi kwenye meza ya sebleni kwake

      “Alafu Eddy kama utahitaji kuoga bafu hilo hapo kwani ninakuona unatokwa na jasho”

      “Sawa madam….Vipi chai tunakunywa au ndio siku inapita kavu?”

      “Ngoja niwachemshie mayai mangapi mangapi yatawatosha?”

      “Kumi kumi”

      “Eddy mwenzako anakazi ya kuakia wakati hata kuokota yai hata moja kwenye banda hajaokota”

      “Mwaya madam usimsikilize huy mayai mawili mawili yanatutosha”

      Madam akaondoka akaingia kwenye chumba nikagundua kitakuwa ni jiko kwani nilisikia akigonganisha visufuria vinavyoonekana vimewekwa kwenye mpangilio usio mzuri.Nikaingia katika bafu alilo ninyesha Madam Rukia nikavua nguo zangu na kufungua maji ya bomba la mvua nikabaki nimesimama huku mawazo juu ya ndoto niliyo iota yakanijia upya

      “Hivi si nilienda kuoga baada ya kupanda kitandani?”

      Sikuwa na kumbukumbu za kutosha kama wakati nilipo panda kitandani kuupumzisha mwili wangu nilikwenda kuoga au usingizi ulinipitia na kuanza kuota vitu vya ajabu.Nikasimama kwenye mchuruziko wa maji kisha nikaanza kujisugua kila kona ya mwili wangu.Nikamaliza kuoga na nikamuomba Madam anipe msaada wa wa taulo la kujifutia maji.Akampa John na akaniletea bafuni,Nikajifuta maji kisha na kuvaa nguo zangu za shule,sikuwa na jinsi zaidi ya kuzivaa hivyo hivyo japo zina nuka jasho kwa mbali



      Nikarudi sebleni na kumkuta John akiwa anaendelea kunywa chai,nikajumuika naye.Tukamaliza kunywa chai.Nikamuomba Madam Rukia anipatie japo pafyumu ili mwili uishiwe na kajiarufu ka jasho ambacho kalianza kunikera

      “Ingia ndani kwangu utakuta dressing table utachagua ni pafyumu gani unayo ihitaji”

      Nikaingia chumbani kwa Madam Rukia na nikaanza kutafuta ni pafyumu gani nitaweza kupulizia kwa bahati nzuri nikakuta body spry kama yangu.Nikaanza kujipulizia taratibu huku nikiwa nimefungua vifungo vya shati ili niweze kujipulizia katika makwapa vizuri huku nikiwa ninacheza.Mlango ukafungulia na Madam Rukia akaingia na akaanza kunishangaa kwa jinsi ninavyo cheza cheza

      “Kumbe wewe na rafiki yako akili yenu ni moja?”

      “Kwanini Madam?”

      “Kinacho kuchezesha chezesha hapo wewe ni kipi wakati wezako tunakusubiri?”

      Nikanyamaza kimya,Madam Rukia akapiga hatua na kunifwata na kuanza kunifunga vifungo huku akinitazama usoni

      “Mery anaonekana ana faidi”

      “Ana faidi nini?”

      “Ahaaa hakuna kitu”

      Hapa ndio nikaanza kupata picha ya swali alilo niuliza Madam Rukia kipindi tunaokota mayai.Alipo niuliza kuwa mimi ni mtaalamu nikajua moja kwa moja watakuwa wameadisiana na Madam Mery kila kitu tulichokuwa tunakifanya.Tukatoka huku mimi nikiwa nimetangulia mbele na kumuacha akiufunga mlango wa chumbani kwake

      “Haya hapo kila mmoja wenu abebe tray tatu tatu na mutembee kwa uangalifu musije mukaziangusha”

      Safari ya kwenda kwa Madam Mery ikaanza huku njia nzima John akiwa anatupigisha story zisizo na kwichwa wala miguu.Tukafika nyumbani kwa Madam Mery na tukakaribishwa na kaka Lucka,Kutokana nimekuwa mwenyeji katika nyumba hiyo nikazipeleka tray mayai hadi jikoni na kurudi sebleni

      “Broo Madam yupo wapi?”

      “Yupo ndani kwake amepumzika kwani ametoka kunywa dawa muda si mrefu”

      Tukakaa kidogo mimi na John tukaaga na kurudi zetu shuleni na kumuacha Madam Rukia akizungumza na kaka Lucka.Njiani tukaingia katika mgahawa mmoja na kuagiza chakula ili kuyaweka matumbo vizuri

      “Eddy kuna kitu nataka nikuulize?”

      “Niulize?”

      “Hivi huyu Madam Rukia wewe unamuonaje onaje?”

      “Kivipi?”

      “Ni mlaini au mgumu kama mtu akimtoke?”

      “Best hilo nalo jipya kwa hiyo unataka kwenda kumtokea Madam Rukia?”

      “Ndio mwangu yaani nikimuangalia kwa jinsi mapigo yake anayo tupia mimi mwili mzima unanisisimka”

      “Jitahidi”

      “Nijitahidi na nini?”

      “Ahaaa wewe si unamtaka….Jitahidi katika kumtogoza”

      “Laiki Madam mwenyewe kauzu kama nini”

      “Ndio maana nakumbia jitahidi”

      Tukamaliza kula na kurudi shuleni,kwa jinsi tulivyo shiba hatukuwa na hamu ya kufyeka tukatafuta sehemu yenye kivuli cha mti mkubwa tukakaa huku tukivuta vuta muda wa wanafunzi wengine kutoka darasani

      “Eddy hembu nimbie ukweli jana Salome ulimla au hukumla?”

      “Sasa John best yangu unataka kusema kwamba sijamla Salome au?”

      “Inawezekana ukawa umekwenda kupiga naye story tuu chooni alafu unanishangaa mimi niliyekwenda kuomba tochi”

      “Best najua huto niamini ila kusema ukweli jana Salome nilimla japo alizimia baada yaw ewe kuanza kuuvuta uvuta mlango wa kuingilia chooni”

      “Sasa alizimia nini?”

      “Mawazo na fikra zetu zote tulijua ni mwalimu au mlizi”

      “Eheee Eddy cheki yule demu pale anayeshuka darasa la kidato cha nne”

      “Ndio ana nini?”

      “Basi unaambiwa yule demu hapa shule hajawahi kuliwa na boy hata mmoja”

      “Kwa hiyo?”

      “Sasa ndio una nishushua au?”

      “Sio nakushushua wewe John sasa hivi umeshaanza tabia ya kupenda penda unakuwa kama chiriku”

      “Haya basi nisamehe mimi niliye kuonyesha huyo demu”

      Tukaendelea na mazungumzo ya kawaida hadi muda wa saa nane na nusu watutu kutoka madarasani tukajumuika nao kwenda mabwenini kuadilisha nguo.Nikavua suruali yangu ya darasani pamoja na shati la shule na kuvaa suruali ya kushindia pamoja na tisheti.Nikatoka na kwenda darasani kuchukua madaftari yangu ambayo ninahitaji nirudi nayo

      Nikakutana na Salome akiwa ameongozana na Claudia wakielekea katika Cantin ya shule kununua chakula.Nikasalimiana nao kisha Claudia akachukua vyombo alivyokuwa amebeba Salome na kutangulia mbele na kutuacha mimi na Salome tukiwa tumesimama

      “Salome nikuulize kitu?”

      “Niulize”

      “Unauginjwa wa kuzimia?”

      “Hapana mpenzi wangu ila jana nilijikuta tuu nina legea na kuisgiwa nguvu na jinsi ulivyokuwa ukiniita nilikuwa nikikusikia ila nikawa niashidwa kukujibu”

      “Basi nilidhani una ugonjwa huo ili tufanye mchakato wa kukutafutia dawa”

      “Mbona dawa ninayo?”

      “Dawa gani?”

      “Si hiyo nanilio yako”

      “Nini?”

      Sote kwa pamoja tukajikuta tunaanza kucheka na kuwafuanya watu wengine kutushangaa

      “Ehee munakwenda kununua nini?”

      “Chipsi na maandazi”

      “Powa ngoja basi nikupe hela na mimi uninunulie samaki kamongo watano”



      Nikajipapasa mfukoni nikastuka sina walett na nikakumbuka nimeiacha kwenye suruali yangu ya shule na kwa bahati mbaya nimeicha juu ya kitanda changu kwani nilitaka niifue nikirudi kuchukua madaftari

      “Mbona umestuka hivyo?”

      “Walett yangu ipo kwenye suruali yangu ya darasani na hapo nilipo iacha mmmm”

      “Basi nenda kaiwahi wasije wakakuibia.Nitakununulia hao samaki sawa baby?”

      “Powa”



      Nikaachana na Salome na kuanza kukimbia kuelekea bwenini huku akili yangu kuwa ikiwazia simu aliyonipa baba kwani ni simu ya gharama.Nikafika katika chumba chetu sikukuta mtu kwani watu wengine wamekwenda kuchukua chakula cha kwanza kukifunua ni begi langu la nguo na kuingiza mkono chini kwenye nguo cha kushukuru nikaikuta simu yangu kidogo mapigo ya moyo yakanitulia.Nikaichukua suruali yangu na kuikuta wallet ndani ya mfuko wa nyuma wa suruali.Nikaitoa haraka na kuifungua,Mapigo ya moyo yanakipasuka baada ya kukuta pesa zote hakuna zaidi ya shilingi hamsini iliyo baki na sikujua hata imeingiaje kwenye wallet yangu.

      Nikafungua zipu ya pembeni ambapo pia ninahifadhia hale ndogo ndogo za noti,nako pia sikukuta kitu zaidi ya karatasi ambayo sikujua ni nani aliye iweka.Nikaitoa na kuiangalia vizuri nikakuta imechongwa kwa urefu wa sawa na noti ya shilingi elfu kumi huku ikiwa imechorwa picha zinazo onekana katika noti hiyo huku ikiwa na maandishi makubwa yaliyo andikwa kwa wino mwekundu yanayosomeka ‘PESA HALALI YA MALIPO YA SHILINGI ELFU KUMI’ huku ikifwatiwa na tarakimu iliyo chorwa kwa ukubwa huku ikipinda pinda ya 10,000/=

      CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

      Nikajikuta nikianza kucheka mwenyewe huku nikirudia rudia kuisoma karatasi niliyo ikuta

      “Oya Emma hujamuona mtu aliye ishika suruali yangu?”

      “Hapana ndugu ndio ninarudi hivi kutoka class kwani vipi…?”

      “Mwanangu wamesha niliza na cheki wameniachia kikaratasi tuu”

      Nikampa Emmanuel kikaratasi na akaanza kukisoma naye akajikuta akianza kucheka hadi machozi yakawa yanamwagika

      “Mwanagu Eddy jamaa wamekukomoa”

      “Weee acha tuu”

      “Wamekuibia bei gani?”

      “Laki na ishirini”

      “Duuu best ilikiwaje na wewe ukaacha wallet kwenye suruali?”

      “Si unajua kusahau sahau”

      “Daaa pole ndugu yangu ngoja wanachumba waje tuwatangazie”

      “Alafu walivyo na roho za ajabu….Walet yangu wakairudishia kama walivyo ikuta”

      “Alafu wenye mtindo wa kuiba na kuandika vikaratasi ni O Level kwani juzi asubuhi niliona dogo mmoja analia huku naye akiwa ameshika kikaratasi kama chako”



      Hamu hata ya kukaa shule ikaanza kunipotea gafla huku mawazo yakianza kunitawala ni jinsi gani nitaaishi bila pesa na kila mwanachumba niliye muuliza akasema hajui.Na mbaya zaidi John naye amefulia kupita maelezo na kwa kipindi cha wiki mbili anakula kwa kupitia mfuko wangu

      “Mwanangu Eddy ndio tumesha fulia hivi”

      “Weee acha kaka yaani hapa nachanganyikawa na mbaya zaidi mzee atakuwa amesafiri”

      “Mmmm best hata shibe ya chipsi tulizo zila pale kibandani imesha kwisha”

      “Nimekumuka kitu”

      “Kitu gani”

      “Mwalimu wa ni zamu ana pesa zangu”

      “Mwalimu gani kwani waalimu wa nidhamu wapo wengi”

      “Sir Mayange”

      “Doo yule nilimuona anaondoka zake na kale kajipiki piki kake”

      “Kwake ninapajua”

      “Sasa itakuwaje?”

      “Itanibidi nitoroke niende kwake muda wa nyinyi mukiwa assemble ya jioni”

      “Hato kuzingua?”

      “Si dhani nitamuambia ukweli kwani sasa hivi muda wa ruhusa si muesha pita?”

      “Ndio”

      “Itanibidi nivae nguo za nyumbani”

      Nikasubiria muda wa saa kumi na moja kufika nikavaa nguo za nyumbani pamoja na kofia kubwa aina ya bushori wakati wezangu wakienda mstarini jioni mimi nikarika ukuta na kwenda nyumbani kwa Mwalimu Mayange.Kwa mwendo wa kujificha ficha nisionewe na waalimu ikanichukua kama nusu saa kufika nyumbani kwa mwalimu Mayange.Nikagonga na mlango wake ukafunguliwa na msichana kwa makadirio ya umri ni kama miaka 25.Ikanilazimu kumsalia ila hakitikia salamu yangu zaidi ya kunijibu powa

      “Sir Mayange nimemkuta?”

      “Ametoka kwenda kutafuta majani ya Ng’ombe”

      “Ninaweza kumubiria?”

      “Ndio unaweza kumsubiria ila siwezi kukuruhusu kuingia ndani pasipo kukujua wewe ni nani na una shida naye gani?”



      Ikanibidi kuivua kofia yangu aina ya bushori kwani ninahisi ndio inampa wasiwasi wa kunihisi mimi ninaweza kuwa mtu mbaya kwani kwa mkoa wa Arusha una waalifu wengi

      “Mimi ninaitwa Eddy ni mwanafunzi katika shule anayo fundisha nimekuja kuchukua pesa za matumizi”

      “Sasa mbona umevaa hivyo kama jambazi umetoroka?”

      “Ndio”

      Nikaanza kujiuliza mbona huyu msichana ana maswali mengi kiasi kwamba anaanza kunipa mashaka ya kuto zipata pesa zangu.Akanikaribisha ndani na nikakaa kweye kochi moja na macho yangu kuyaelekezea katika TV inayo onyesha miziki ya wamarekani weusi huku naye akikaa katika kochi jengine akinitahdimini

      “Wewe hapo shuleni kwenu unasoma kidato cha ngapi?”

      “Cha tano?”

      “Mchepuo gani?”

      “Sayansi”

      “Ahaaa nilikudanganya mwaya shemeji amekwenda kwenye kikao cha harusi pamoja na dada yangu hapa kurudi hadi saa mbili usiku kama utaweza endelea kumsubiria”

      “Sawa kutokana nina shida itanilazimu kusubiri hata kama ni asubuhi itabidi nikae hapa hapa”

      “Sasa kama unasema utalala hapa hapa je shuleni kwenu itakuwaje?”

      “Nitajua cha kufanya ila kutokana wanarudi basi itanilzimu kukaa hapa hapa niwasubirie”

      “Ahaaa ila vipi masomo?”

      “Kidogo tunajitahidi tahidi”

      “Mimi ninaitwa Manka ninasoma kidato kama chako na nipo sayansi”

      “Sasa wewe mbona upo nyumbani”

      “Kidogo kuna ishu Fulani hivi ilitokea katika shule ninayo soma ikatulazimu tufunge shule”

      “Ishu gani”

      “Mabweni yaliungua so hapa tunasubiri tamko la serikali kama tuhamishe kwenye shule nyingine za serikali au wajenge haraka haraka ili turudi uendelee na kitabu”

      “Kumbe nyinyi ndio ile shule ya girls iliyo ungua?”

      “Ndio tana afadali hivi kwenye Biology kuna topic ya Classifacation mumesha ifikia?”

      “Duu hiyo mbona tumeipita zamani”

      “Nisubiri mara moja”

      Akaondoka na kuniacha sebeleni hapo ndipo nikapata wasaa wa kumtadhimini vizuri.Baada ya muda akarudi akiwa na na daftari pamoja na kitabu kikubwa.Akaniita nikae katika kocho alilo kaa yeye.Akafunua kitabu katika sehemu anayo ihitaji na nikaanza kumuelekeza hatua moja baada ya nyingine katika kitau hicho.Kadri muda ulivyozidi kwenda ndivyo jinsi alivyonisogelaa na tukawa tumebanana

      “Hivi ulisema unaitwa nani vile?”

      “Manka ina maana mara moja hii umelisahau jina langu?”

      “Mawazo mengi ndugu”

      Nikaendelea kumuelekeza ila ikafikia hatua hata kasi ya kumuelekeza ikaanza kupotea kwani mkono wake mmoja ameuweka juu ya paja langu huku taratibu akiusogeza hadi kwenye karoti yangu.Kwa mara ya kwanza niliusogeza ila akaurudisha tena huku akinitazama machoni kwa macho yakulegea kiasi kwamba nikaanza kuhisi uvumilivu unaanza kunishinda.Tatatibu tukajikuta tunasogezeana modomo yetu na kuanza kupigana mabusu yaliyo fwatiwa na kunyonyana lipsi zetu.

      Manka akasogeza madaftari hadi yakaanguka chini kisha akakaa juu ya meza huku mikuguu yangu ikiwa nimeipitisha katikati ya miguu yake.Nikamshika kiuno chake kisha taratibu huku tukiendelea kunyonyana lipsi zetu hadi nikaanza kujishangaa mwenyewe imekuaje kwa Manka kunikubali gafla wakati kipindi ninakuja alinitisha kwa maswali yake adi nikahisi ni polisi.Nikamsimamisha na kumvua Suruali aliyo ivaa sikutaka kumvua nguo za juu kuhofia na mazingira tuliyopo si salama sana.

      Nikafungua zipu ya suruali yangu na kuitoa kariti yangu kisha Manka akaikalia na kuanza shuhuli ya kupeana raha.Manka anaonekana ana kipindi kirefu hajakutana na mwanaume kwani kwa mihemo ya fujo ina dhihirisha kitu hicho.Raha zikazidi kuongezeka kwani Manka kwa kitu alicho barikiwa ni kukata mauno kiasi kwamba anaanza kuziteka hisia zangu kwani raha ninayo ipata si yakiyoto.Nikasikia mlio wa pikipiki ukisimama nje ya nyumba nikastuka na kujua moja kwa moja ni Sir Mayange kwani mlio huo ni wa piki piki yake





      Nikamuachia Manka na akakimbila chumbani kwake huku suruali yake akiwa ameishika mkononi na mimi nikaifunga zipu yangu na kujifuka kajasho kanacho nitoka kwa kutumia kitambaa cha kochi na kujiweka vizuri nikimsubiria Mwalimu Mayange kuingia sebleni.Baada ya sekunde kadhaa nikasikia mlango wa kuingilia sebleni ukigongwa,Manka akatoka huku akiwa amejifunga tenge na kwenda kuufungua mlango.

      “Habari yako?”

      “Salama tu”

      “Mzee ameniagiza niilete pikipiki yake na hiki chakula”

      “Asante…wao wapo wapi?”

      “Wamepata safari ya gafla yule mwenye kikao chake cha harusi amefiwa na mama yake ila wameseme watakupigia simu”

      “Haya nashukuru kaka yangu”

      “Sawa basi ngoja nikusaidie kuiingiza hii pikipiki”

      “Wee acha tuu nitaiingiza wala usijali”

      “Haya kwaheri”

      Manka akafunga mlango huku mkononi kwake akiwa na kifuko cheusi kwa harufu nikajua zitakuwa ni chipsi.Manka akakiweka kifuko cha chipsi kwenye meza kisha akakaa karibu yangu huku akitabasamu

      “Manka una simu?”

      “Ndio nimeiweka chaji chumbani kwangu ngoja nikaichukue”

      Manka akarudi huku akiwa na simu mkonooni aina ya ‘Black berry’ na kurudi nilipokuwa nimekaa

      “Tena dada alinipigia simu”

      “Basi aomba umpigie shemeji yako ili nijue kama atarudi leo au hatorudi”

      Manka akafanya kama nilivyp muagiza na akaanza kuzungumza na Mwalimu Mayange

      “Shikamoo shemeji”

      “Ndio chakula nimekipata na pikipiki imeshaletwa”

      “Mutarudi leo au?”

      “Haya sawa.Poleni kwa msiba”

      Nikaanza kupata wasiwasi na wala sikujua kama amejibiwa kitu gani kwani sikusikia majibu ya mwalimu Mayange

      “Wamesema watarudi baada ya kuzika”

      “Khaaa hajasema ni lini?”

      “Hajaniambia”

      Nikashusha pumzi nyingi huku nikitafakari kitu cha kufanya.Nikasimama huku wazo la kuondoka likinitawala katika akili yangu.Manka akasimama na kulivua tenge lake akaaki kama alivyo zaliwa.

      “Eddy usiondoke nahitaji unikamue hadi nichoke”

      “Wala nisikudanganye hapa nilipo akili yangu wala haisomi kabisa”

      “Kwa nini?”

      “Sina hela”

      “Kwani Eddy pesa ndio inakufanya wewe usome?”

      “Ingekuwa sio pesa wala nisinge kuja kwenye hii shule”

      Nilizungumza huku nikiwa nimekasirika kidogo kwani Manka ananiuliza maswali ya kijinga ambayo nahisi majibu yake anayo kichwani

      “Eddy sikuwa na nia mbaya ya kukuuliza hivyo…..niambie unataka kiasi gani?”

      “Utanipa hicho kiasi ninacho kuambia au unataka tu ujue matatizo yangu?”

      “Ndio nitakupa kwani tatizo lako liko wapi?”

      “Nataka laki mbili”

      Nilizungumza kwa kumtega Manka nikashangaa mwenzangu akiokota tenge lake na kujifunga kisha na kuingia katika chumba kingine.Nikakaa kumsubiri arudi,baada ya dakika tatu akarudi huku mkono wake mmoja akiuweka nyuma,Akakaa nilipo huku akiwa najichekesha chekesha

      “Fumba macho”

      “Ili iweje”

      “No wewe fumba tuu macho”

      Nikafumba macho huku akilini nikiwazia pesa ambazo Manka amekwenda kinichukulia na kujikuta nikianza kuzipangia mahesabu hata kabla ya kukabithiwa.

      “Haya fumbua”

      Nikafumbu macho na kukuta Manka akiwa ameninyoshea bastola huku akiwa amesimama mbali kidogo kutoka endeo nililo kaa na sura yake kwa wakati huu ipo katika muonekano wa tofauti na mwanzoni na uzuri wake wote umepotea

      “Eddy sijawahi kumbembeleza mwanaume tangu nizaliwe na sitaki unipotezee muda.Sasa niambie utanila au hunili?”

      Sikuwa na chakuzungumza zaidi ya mwili wote kupoteza mawasiliano.Manka anaonekana kuzungumza kila ya kuwa nautani wa aina yoyote

      “Eddy nisikilize kwa umakini……Mimi ni katili na leo ninakuambia siri hiii.Nini ndio niliye ichoma shule niliyo toka baada ya headmaster kunizingua.Eddy mimi nina roho mbaya tena sana na huwa sina shobo na mwanaume.Wewe umeuona uchi wangu alafu unanizingua si ndio…..?”

      “Haa……haap…..”

      “Sasa unacho ringia ni nini……?”

      “Ehhheee”

      “Usiniletee habari za kifala simamisha kwato zako hizo”

      Nikasimama huku mwili mzima ukiwa una nitetemeka sikuamini kama Manka atabadilika ndani ya dakika chache kiasi kwamba amekuwa adui kwangu.Nikaanza kukumbuka jinsi alivyokuwa akinipiga mkwara mlangoni wakati nilipokuwa nikibisha hodi

      CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

      “Vua kila kitu ulicho kivaa”

      Nikaanza kuvua kitu kimoja baada ya kingine hadi nikabaki kama nilivyo zaliwa.Kwa ishara akaniamuru nikae kwenye kochi kisha akaniambia nianze kula chipsi zilizopo kwenye kifuko cheusi.Nikafungua kifuko na kuanza kula huku mwili ukiwa unatetemeka

      “Acha uboya wewe kula fasta fast na ujiandae kusali sala yako ya mwisho”

      Machozi yakaanza kunilenga lenga na nikazidi kufundia chipsi nyingi mdomoni ili nimalize haraka haraka.Manka akaikoki bastola na kuendelea kuielekeza kwangu,Nikaanza kusali kiroho roho ili kama kuna muujiza wowote ambao Mungu ataweza kuutenda wakati huu nikawa ninauhitaji.Nikamaliza kula kwa ishara Manka akaniamuru kusimama kisha akanimbia nitangulie kwenye chumba alicho ingia kwa mara ya kwanza baada ya kusikia hodi.Tukaingia ndani na akaniambia nilale kitandani na kuichanua miguu yangu na mikono,nikafanya kama alivyoniambia.Akachukua kamba aina ya manila iliyokuwa juu ya meza kisha akaanza kunifunga kila mguu mmoja kwenye kishikizo cha kitanda.Sikujua ni wapi nguvu za mwili zilipo kimbilia kwani ninauwezo wa kupambana na Manka ila hata kuunyanyua mkono ninashindwa.Akaufunga kila mkono wangu mmoja katika kila kona ya kitanda upande wa kichwani kwangu

      Manka akavua tenge alilo livaa na kuiweka bastola juu ya mweza kisha akakaa pembeni ya miguu yangu huku akinitaza kisha akaanza kuichua karoti yangu huku akiwa anainyonya.Haikuchukua muda kwa kariti yangu kusimama kisha Manka akaikalia na kuanza shuguli ya kujichimbisha mgodi.Sikuwa na raha kabisa na wala utamu wa kuchimba mgodi kusema ukweli sikuisikia.Manka akanitazama kwa macho ya kushangaa ikabidi aniulize swali

      “Wewe Eddy hukojoi au?”

      Sikumjibu zaidi ya kumuangalia,akajichomoa na kujilaza pembeni yangu huku akikichezea kifua changu taratibu

      “Eddy nisinge fanya hivi wala nisinge kupata……Leo nataka tukeshe usiku kucha nikijipa raha mwenyewe”

      Manka akaendelea kuzungumza vitu ambavyo sikumuelewa kabisa ninaona ananichanganya,usingizi ukampitia nikaanza kujitahidi kufungua kamba alizo nifunga kwenye mikono ila nikashikwa kutokana amezikaza sana.Na mimi usingizi ukaaza kunipitia taratibu ila nikaja kustuka na kumkuta Manka akijindaa kukaa katika karoti yangu

      “Manka nakuomba unifungue nirudi shule”

      “Eddy hilo halite wezekana niache hamu yangu inikatike ndio oondoke na kwa jinsi ulivyo mtamu ndio kwanza hamu zangu zimeanza upya”

      “Manka ila ngoja kwanza…..Natambua wewe ni mwanamke huwezi kunifaidi kwa mtindo huu wa kunifunga funga mijikamba nakuomba unifungue”

      “Eddy mimi si mtoto mdogo wa kunidanganya kiasi hicho”

      Manka hakunimini kabisa zaidi ya kuanza kuichua karoti yangu taratibu hadi ikasimama laity kama ningekuwa na uwezo ninge iamuru karoti yangu kulala na isisimame.Manka akaikalia karoti yangu na kuanza kujiburudisha mwenyewe.Kwa vilio na kiuno jisi anavyo vikata nikajikuta nikifikia mwisho wa uchimbaji madini.Manka akashuka kitandani na kujifunaga tenge lake na kutoka chumbani huku astola yeke ikiwa mkononi.

      “Wanawake wengine wase**e kweli”

      Nikajikuyta nikitukana kwa sauti huku hasirs ikinipanda.Manka akafungu mlango na kukaa juu ya meza kisha akawasha sigara na kuanza kuvuta huku akinitazama

      “Eddy hata ukitukana haisaidii kitu”

      “Hivi wewe ni mwanamke wa aina gani?”

      “Eddy goja nikuambie kitu……Mimi nilikuwa na boy wangu aliye nitoa usichana wangu au bikra……Nilikuwa ninampenda sana tena sana mpaka nikawa ninampa pesa yoyote aliyokuwa akiniomaba…….Kwa ufala wake kuna siku nikamkuta na chiki mmoja hivi wakilana danda yaani kunzia ile siku nikawa nawachukia maboy sana.Lakini sikumuacha hivi hivi yule boy nilimtumia raia wakamla kiboga mpaka leo yule fala na ni respect sana.Na mimi mtu hawezi kunifanya chochote kwasababu mshua wangu ni mjedaa

      Manka alizungumza kwa sauti ya kibabe na kunifanya nibaki nikimtazama pasipo kumuunga mkono kwenye mazungumzo yake.Akavuta fumba kubwa la moshi wa sigara kisha akaja kunipulizia usoni na kunifanya hasira zizidi kuongezeka

      “Huyo ticha wenu mayange kwangu hapa ana nihanya siku nikimuanzishia mtiti yeye mwenyewe ana bwela……Kuna siku nilimkuta anamkoromea sister kilicho mpata anakijua mwenyewe”

      “Manka mpenzi wangu nakumba unifungue basii?”

      “Hhaaaaa wewe fala mimi sio mpenzi wako usijidai una gia za uongo uongo alafu ukadhani mimi ni kenge kiasi hicho kugekuwa na semu yoyota ninaye soma naye ungemuuliza kuwa Mamka G. ni nani?”

      Manka akamaliza kuvuta sigara yake kisha akatoka chumbani huku bastola yake ikiwa mkononi.Nikaona nikiendelea kujilaza kitandani utakuwa ni ujinga wa karne.Nikajivuta juu kidogo na kuanza kuifungua kamba ya mkono wa kulia kwa kutumia meno japo ninapata maumivu ila nikayapotezea,Nikafanikwa kuifungua kamba kisha kwa haraka nikaifungua kamba ya kumkono wa pili na kumalizia kamba za miguuni kala sijanyanyuka kitandani nikajikuta tunatazamana na Manka huku bastola yake akiwa amenielekezea kwangu.Nikamrukia Manka kabla hata sijamfikia nikstukia kitu chenye ncha kali na chamoto kikipenya ndani ya kifua changu na kuningusha chini



      Maumivu makali yakanitawala katika kifua changu nikajishika kwenye kifua changu na kugungua kuna damu zinanitoka ikanibidi niukaze mkono wangu ili kuzuia damu nyingi kuendelea kuvuja katika sehemu risasi ilipoo pita.Manka akaanza kuweseka huku akiwa kama haamini kwa tukio alilo lifanya.Akaitupa bastola chini na kupiga magoti kuangalia eneo aneo alilo nijeruhi kwa risasi

      “Eddy nilikuwa ninakutania”

      Manka alizungumza huku akilia na kuonekana kuchanganyikiwa kwa kitendo alicho nifanyia.Taratibu nikahisi nguvu zikiniishia huku mwili ukizizima kwa kukosa uwezo wa kufumbua machona taratibu nikajikuta hali nzito ambayo sikuwahi kuipata katika maisha yangu ikiutawala moyo wangu



      ***



      Macho yangu yakafunguka na kujikuta Mama akiwa amekaa pembeni yangu huku puani kwangu nikiwa na mashine ya kupulia.Mama alipo niona nimefungua macho yangu akaanza kuliita jina langu na nikamuitikia kwa sauti ya chini

      “Mwanangu unajisikiaje?’

      Nikataka kunyanyuka ila nikashindwa na mama akanirudisha chini na kugundua kuna bandeji kuwa nimefungwa kwenye kifua changu.Kumbukumbu zinanikumbusha dakika za mwisho nilikuwa na Manka ila kuanzia hapo sikuelewa kitu kilicho enedelea hadi mama akawa pembeni yangu.

      “Mama nipo wapi?”

      “Mwanangu upo hospitalini?”

      “Nani kanileta?

      “Ni story ndefu kidogo mwanangu ila kwa sasa pumzinka nitakuadisia ukipata nafuu”

      Simu ya mama ikaita akaitazama kwa muda kisha akaipokea na nikamuona sura yake ikiwa imebadilika kidogo na kuwa sura ya hasira

      “Ndio ameamka”

      “Godwin nakuomba unielewe hapa huna mtoto na huyo mwanao aliye mfanyia mwanangu hivi nilazma nimfunge”

      “Ahhhh kwahiyo wewe ndio umemtuma amuue mwanangu si ndio?”

      “Sasa lazima nimfunge na kumbuka kuwa tangu mwanangu akiwa utotoni hukuwa na mapenzi naye sasa naomba umuache na wala sihitaji urudi uje umuuone”

      Mama akakata simu huku akiachia msunyo mkali,sasa sikuelewa anazungumza na nani na kumfokea kiasi hicho

      “Mama unazungumza na nani?”

      “Ahaaa mwanangu nitakuambia”

      Mama alanijibu huku akiwa anatabasamu kisha akanibusu katika paji la uso wangu.Simu yake ikaiita tena na ikamlazimu kutoka nje.Sikutaka kujisumbua mama anamfokea nani niahisi watakuwa ni watu wa serikali anao fanya nao kazi.Mama akarudi na kukaa karibu yangu huku machozi yakimlenga lenga akionekana kuwa na hasira kubwa na tangu nizaliwe sikuwahi kumuona mama akiwa katika hali kama hiyo.

      “Mama nipo hospitali gani?”

      “Ni KCMC”

      Mlango ukafunguliwa akaingia mzee wa makamo akiwa amevalia nguo za polisi huku akiw na vyeo vingi

      “Habari yako muheshimiwa?”

      “Salama vipi mumesha mkamata aliye sababisha hili tukio?”

      “Ndio muhesimiwa ila ninashindwa kuelewa kwani mzee ananiambia nimuachie huru ili we……”

      “Nisikilize wewe mimi si ndio nimetoa amri yule binti kukamatwa?”

      “Ndio”

      “Sasa mbona unaniletea Kiswahili.Muwekeni ndani hadi mimi nije sawa”

      “Sawa mkuu”

      Askari akatoka na kutuacha ndani ya chumba na ukimya ukatawala huku mama akonekana kusongwa na mawazo na mara kwa mara akawa anasunya sikujua kinacho mfanya asunye ni nini.



      Nikakaa hospitali kwa wiki moja nikapewa ruhusa japo sikuwa nimepona vizuri.Safari ya kwenda uwanja wa ndege wa KIA ikaanza huku dereva anayemuendesha mama akiwa makini katika uendeshaji wake kutokana Dokta ameniambia nisifanye kazi ngumu wala kupata mitingishiko ya aina yoyote kwani kidonda changu kinaweza kisipone kwa haraka.Tukakuta ndege ya kukodi ikiwa tayari kwa ajili yetu mimi na mama.Tukapanda na dereva akaondoka na gari ya mama na tukaahidiana naye atatukuta nyumbani.Safari ikaanza taratibu huku ndege aina ya Fast Jet tuliyo ipanda ikizidisha kasi kadri tmuda unavyo kwenda tukiwa angani

      “Pole kaka”

      Muhudumu wa kike wa ndege akanipa pole huku akiniwekea juisi kwenye kimeza kidogo kilichopo mbele yangu

      “Asante”

      “Muheshimiwa huyu ni mwanao”

      “Ndio ni mwangu wa kwanza na wamwisho”

      “Aisee mtu akikutizama wala hata amini kama unamtoto mkubwa kiasi hichi”

      “Unajua kipindi sisi tulipokuwa tunamaliza kidato cha sita mika ya themanini tulipelekwa jeshini sote na ilitusaidia kuweza kuzilinda afya zetu ni tofauti na hao kina Eddy mtu nikimwambia mwanangu ana miaka 20 haamini”

      “Mmmm mama umekosea nina miaka 21”

      “Sasa sib ado haijatimia”

      “Sasa muheshimiwa nyinyi si mupo huku ngazi za juu kwanini musirudishe sheria ya wanafunzi wanao maliza kuingia jeshini?”

      “Ile imerudishwa sasa sijui huku mwanagu kama ataweza kwa maana mmmm”

      “Mama wewe unaniona mimi nimeoza sana”

      “Wewe hujioni”

      Tukacheka sote na safari ikaendelea,haikuchukua mud asana kutua katika uwanja wa ndege wa mwalimu JK Nyerere.Gari ya serikali ikaja kutuchukua na kutupeleka nyumbani maeneo ya Masaki.Nikakumbuka kuna kitu ninakihitaji kukijua vizuri kutoka kwa mama kwani kila nilipohitaji kumuuliza nilijikuta nikisahau

      “Mama hivi pale hospitalini nilifikaje?”

      “Eddy mwanagu hata hatujapumzika umeanza kwa maswali?”

      “Ndio ama nataka kujua?”

      “Kavue nguo zako chumbani kwako upumzike kisha wakati wa jioni tutazungumza ngoja mimi niende ofisini jana kuna kazi niliiacha”

      “Kwani mama jana ulikuja ofisini?”

      “Ndio kila siku nilipokuwa ninakuja hospitali nilikuwa ninalala Dar asubuhi ninakuja kwa ndege jioni au mchana ninarudi kwa ndege”

      “Mmmmm mama mbona nyumba ipo kimya dada wa kazi yupo wapi?”

      “Nimemfukuza”

      “Kwa nini?”

      “Nitakuja kukuambia jioni nikitoka kazini”



      Mama akaondoka mimi nikaelekea chumbani kwangu,sikukuta kina mabadiliko ya aina yoyote tangu nilipo kiacha ipindi nanakwenda shule.Nikaingia bafuni nichukua taulo na kulichovya kwenye maji na kuanza kujisujgua sehemu ya mwili kwani ndio oga yangu tangu nikiwa huspitalini hii ilisaidia kidonda kuto kuingia maji.Nikamaliza na kurudi kitandani kutokana nimeshiba nikaamua kulala.

      Nikaamka mida ya saa moja jioni na kutoka chumbai kwangu na kumkuta mama akiwa anaandaa chakula.Nikamsalimia na kukaa kwenye moja sofa zilizopo katika sabule yetu.

      “Umekunywa zile dawa za kutuliza maumivu?”

      “Hapana?’

      “Kwa nini wakati unatakiwa kuzinya kila jioni?’

      “Mama sib ado sijali.Nikila nitameza”

      “Unanjaa nikupakulie chakula?”

      “Mmmm nitakula baada ya kuzungumza na wewe”

      “Eddy yaani mwanangu ukishikilia bango kitu yaani hadi kikamilike”

      “Ila mama hiyo tabia si nimeridhi kwako”

      “Kwenda zako mimi sina tabia za king’ang’anizi kama wewe”

      Mama alizungumza huku kija kukaa karibu yangu na kuanza kukichunguza kidonda changu kikiwa ndani ya bandeji kubwa iliyo zungushwa nusu kufua na kufungiwa kwa mgongoni

      “Alafu hicho kidonda ukikitia maji kitachelewa kukauka”

      “Sijakitia….eeeha mama kwanza swali langu la mimi nimefikaje pale hospitalini ujanijibu hadi leo?”

      “Pale hospitalini ulipelekwa na wasamaria wema ambao walikuokota pembezoni mwa mto huku ukiwa umevalia suruali ya jeansz na ulikuwa kifua wazi.Kwa mashuhuda nilio zungumza nao katika kituo cha polisi waliseama ulitupwa mida ya saa kumi na moja asubuhi na binti aliyekuwa na pikipiki”

      “Sasa ikawaje?”

      “Kuna bibi alikuwa yupo na mmjukuu wake wa kiume walikuwa wakielekea shamba ndio wakakuona pembezoni ya mto huku mtu waliyemuona akiwa anakimbia na piki piki……Unamjua mtu huyo?”

      Swali la mama likaniweka njia panda huku nikijiuliza maswali ni nini nimjibu mama kwani nikisema nina mjua ataniuliza ni nani na nikisema simjui atasema nilikuwa ni wapi ninatoka wakati wa usiku

      “Ninamjua”

      “Ahaaa basi baada ya watu hao kukuwahisha hospitalini kwani hali yako ilikuwa mbaya sana ikawalazimu madaktari wapewe namba ya baba yako na mmoja wa waalimu aliyedai dai ni shemeji wa yule binti kisha baba yako ndio akanipigia mimi”

      “Alafu mama nilikusikia kama ukibishana na simu kuwa kuna mtu alimtuma yule binti aniue?”

      Mama akakaa kimya huku akinitazama kwa macho yaliyo jaa masikiiko na kwa mbali machozi yakaanza kumlenga lenga

      “Mwanangu kuana historia ndefu sana unatakiwa kuijua ila kwa kipindi hiki nakuomba usome kwa juuhudi sana na uaache michezo”

      “Mama na hisoria gani?”

      “Utakuja kuijua tuu”

      CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

      “Mama nataka kuijua kwani mama una mtoto mwengine zaidi yangu wa kumwambia mambo yanayo familia yetu”

      Mama akanitazama kwa macho yaliyo jaa uchungu na machozi yakaanza kutapakaa kwenye uso wake na kunifanya na mimi nimpokee kwa machozi yalio anza kunichuruzika na kwa mistari mistari kwani mara ya mwisho kumuona mama analia ni miaka kumi iliyopita siku ya kifo cha mama yake.

      “Eddy nakuoba uwe na moyo na koo la kuvumilia hiki nitakacho kuambia kwani kinahitaji moyo wa ujsiri na nisiri ambayo sijawahi kumuambia mtu wa aina yoyote zaidi yako na ninakuambia hivi kwa sababu wewe ni mwangu wa pekee”

      “Niaimbie mama”

      “Eddy nilikutana na baba yako kwenye ajali moja ya basi iliyotokea kipindi mimi ninaelekea chuo katika kumaliza mafunzo ya mwisho ya udaktari.Katika ajali ile watu wengi walijeruhiwa na kama sijakosea ni watu wawili tuu walipoteza maisha.Mimi nana mshukuru Mungu sikupata majeraha makubwa zaidi ya michubuko midogo midogo ila kwa upande wa baba yako yeye alipata majeraha makubwa sana katika maeneo ya kiunonina kutokana mimi nilikuwa ni daktari wa upasuaji basi nilijumuika na madaktari wezangu kumfanyia baba yako upasuaji chini ya kitovu ambapo tulikuta mirija yake ya uzazi imeharibika na tukashauriana na madaktari wezangu ambao walinishangaa kuniona nina uwezo mkubwa wa kumfanyia mtu upasuaji japo kuwa nilikuwa bado ni mwanafunzi tukaona ni vyema tukamtoa……..”



      Mapigo ya moyo yakanipasuka na kujikuta nikikaa vizuri kwenye sofa na kumtazama mama ambaye uvumilivyu unamshinda na kujikuta akiendelea kutokwa na machozi.Mama akameza fumba la mate kisha akaendelea

      “Tuliishoma sindano mirija yake ya uzazi ili kuwatoa bacteria ambao wangeweza kushambulia mirija hiyo kwa jinsi ilivyokuwa imeharibika.Lakini mwanangu kusema kweli ile sindano haikuwa nzuri kutokana inamfanya mwanaume kukosa uwezo wa kuzalisha mbegu zenye nguvu zitakazo mpelekea mwanaume kumzalisha mwanamke”



      Nikajihisi mwili mzimwa kupoteza nguvu kutokana na maelezo ya mama na moja kwa moja hisia za baba niliye naye sasa hivi si baba yangu zikaanza kuutawala moyo wangu na kujikuta nikiwa mapigo ya moyo yakianza kunienda kwa kasi hadi na kwa maumivu ya kifua yanayotokana na jeraha la risasi yakanisababishai kizungu zungu kikali kilichonipelekea kujilaza kwenye kochi na nikaanza kuliona giza kubwa likitawala macho yangu kama ilivyokuwa siku niliyo pigwa rasasi na Manka





      Nikafumbua macho yangu na kujikuta nikiwa nimelala kwenye sofa jengine lililopo sebleni huku mama akiwa pembeni yangu pamoja na mzee mmoja ambaye nilikuwa nikimuonaga akija kumtibu mama kipindi akipandwa na presha.Mama akabaki akinitazama huku sura yake ikiwa haina tabasamu wala huzuni

      “Kijana unajisikiaje?”

      “Afadhali kidogo”

      “Kwa sindano niliyo kuchoma itakusaidia na utakuwa sawa kwani ni mstuko mdogo uliupata”

      “Eddy nikuletee chakula mwanangu?”

      “Ehhee ila usinitilie chakula kingi”

      “Inakubidi ule ili nguvu zikurudie mwanangu wewe ujioni mwili ulivyo isha tofauti na ulivyokuwa ukienda shule”

      “Sawa mama ila chakula kidogo kitanitosha”



      Mama akaondoka sebleni na kuelekea kwenye meza ya chakula na kunipakulia chakula na kurudi nacho nilipo kaa

      “Haya nyanyuka sasa nikulishe”

      “Mmmm mama nitakula mwenyewe”

      “Sawa”

      “Muheshimiwa naona hali ya mwanao sasa imekuwa nzuri ngoja niwaache”

      “Dokta mbona unakimbia wakati chakula kipo mezani?”

      “Muheshimiwa yaani pale uliponipigia simu nilikuwa mezani ninakula kwahiyo hapa nipo sawa”

      ‘”Jamani dokta kaa basi ule hata vijiko viwili vitatu”

      “Muheshimiwa hapa ni sawa na nyumbani kwahiyo siku yoyote nitakuja kula tena na sasa hivi upo wizara yetu ya afya basi ninajisikia faraja kwa hilo yaani ni zaidi ya kula”

      “Sawa ila na wewe siku utanialika kwako alafu sinto kula”

      “Muheshimiwa sasa huyo yatakuwa ni malipizo kwani si mara nyingi huwa ninakula chakula hapa…….ila nimekumbuka kitu muheshimiwa”

      “Kitu gani?”

      “Unajua muheshimiwa Raisi alipo kuhamishia kutoka uwaziri wa maliasili na utalii na kuwa waziri wa afya nikaona kidogo kile kilio chetu kitakuwa kimesikika kutokana nitakuwa na fursa ya kuzungumza na wewe pamoja”

      “Kilio gani Dokta Amdanil?”

      “Mama kwani umehamishwa wizara?”

      “Mwanangu siku zote ulikuwahujui?”

      “Sijui kwani shule kwenyewe hata TV yenyewe hatutizami?”

      “Ehee makubwa hayo sasa ni kwanini hamtizami TV?”

      “Waalimu wanatubania”

      “Mwanangu siku hizi unakiswahili cha kiuni kubaiwa ndio nini?”

      “Hawataki”

      “Eheee dokta endelea mwaya kwani huyu mtu akianza kuzungumza hapa hamalizi na sasa unaweza kusema amemeza CD ya mziki”

      “Mamaaa!”

      “Mama nini wakati huo ndio ukweli”

      “Kweli hali yake imekuwa nzuri uchangamfu kidogo umemrejea………Muheshimiwa mimi ombi langu naweza kusema nimaombi yangu pamoja na madaktari wengi…..Muheshimiwa hembu naomba kidogo mishahara yetu muifikirie kwa mara nyingine kwa maana kodi kila kukicha inaongezeka na ukitazama mishahara haipandi”

      “Hilo ndio nitalipa kipaumbele tukirudi bungeni mwezi ujao na wala usiwe na mashaka na hilo”

      Nikanyanyuka na kujiweka pensi yangu ya michezo vizuri na kuwafanya mama na Dokta wakinitazama

      “Unakwenda wapi?”

      “Toilet”(Chooni)

      “Hizo ngazi za gorofani upande taratibu usije ukaanguka na urudi umalizie chakula chako”

      “Mama nimeshashiba”

      “Nimekuambia urudi uje kumalizia chakula chako”

      “Sawa mama Eddy”

      Nikaondoka na kuwaacha mama na daktari wakiendelea kuzungumza mambo yao ya kikazi,nikaingia katika chumba changu kilichopo gorofani na moja kwa moja nikaingia katika choo kilichopo ndani ya chumba changu na kujisaidia haja ndogo.Nikakumbuka kwenye kabati la chumbani kwangu kuna simu yangu ambayo niliiacha kipindi ninakwenda shule nikatoka chooni na kufungua kabati langu na kuaanza kuchangua vitu na kuanza kuitafuta kwani katika sehemu niliyo iweka haikuwepo.Nikatafuta zaidi ya dakika tano sikuuiona ikanibidi nitoke chumbani kwenda kumuuliza mama ila kabla sijashuka kwenye ngazi nikasikia swali la daktari na kunifanya nisimame na kuyasikiliza mazungumzo yao pasipo wao kuniona

      “Yule dada wa kazi amekwenda wapi?”

      “Yule niliamua kumrudisha kwao kwani amenivurugia familia yangu”

      “Kivipi?”

      “Dokta yaani ni makubwa sana yaani watu wa nje wanapo ona mtu uanishi katika jumba kubwa magari mazuri wanahisi haya ndio maisha mazuri ila kusema kweli dokta yaani ingekuwa sio haya majukumu ya kiserikali ningeondoka nchini na mwanangu kwenda kuishi mbali na Tanzania”

      “Muheshimiwa kwa nini umezungumza hivyo wakati Mungu amekujalia kila kitu katika maisha”

      “Ndio amenijalia kila kitu katika maisha ila sio amani katika ndoa yangu…..Daktari ninakuambia hivi kutokana wewe ni sawa na kaka yangu na mamo mengi umekuwa ukinishauri ila hata hili nahitaji unishaur kutoka kwako”

      “Kwani kuna kitu kibaya kilicho tokea kati yako na mzee?”

      “Ndio tena ni kikubwa sana ambacho kinaninyima usingizi kila nikikifikiria……Si nilikuwa masomoni kwa kipindi kirefu kidogo”

      “Ndio”

      “Basi huku nyuma nilimuacha huyu kijana wangu yule binti wa kazi na mzee”

      “Ndio”

      “Wakati nikirudi nchini sikutaka mume wangu atambue kitu chochote…..Nilifika hapa Tanzania mida ya saa saba usiku na pia sikutumia gari yangu kohofia dereva wangu anaweza kumuambia mume wangu kuwa ninarudi”

      “Sasa ni kwanini hukutaka mzee ajue?”

      “Nisikudanganye dokta kwa jinsi nilivyokuwa nikimpenda baba Eddy basi kama kuna kitu chochote kibaya kitakuwa kanamtokea basi mimi moyo wangu hujikuta na wasi wasi sana kiasi kwamba hata kama anakuwa na safari ya muhimu huwa nina mzuia asiende na akibaki ujue kuna tukio baya litatoke sehemu aliyokuwa anahitaji kwenda…….Basi miezi mine nyuma hali hiyo ikawa inanisumbua sana kiasi kwamba nikaanza kuwa na mashaka kuwa kuna kitu mume wangu atakuwa anakifanya ambacho ni kinyume na makubaliano ya ndoa yetu……..Basi niliingia hapa usiku kama saa nane kasoro hivi kwa kutumia taxi ya kukodi hadi askari wa getini akanishangaa.Sikustuka kutokana ni kawaida ya nyumba yangu kuwa na ukimya,nilipitiliza moja kwa moja hadi ndani kwangu…..Dokta huwezi amini yaani nilimkuta Baba Eddy akiwa amelala na yule binti”

      “Weeeee…..!!?”

      “Ndio dokta na mbaya zaidi juu ya kitanda changu nilicho kinunua kwa pesa yangu”

      “Yule binti kumbe anatabia chafu kiasi hicho?”

      “Dokta weee acha tuu hapo ndipo nikaamini ule usemi wa mfadhili mbuzi kuliko binadamu kwani anamaudhi.Na ninamshukuru Mungu ile siku presha yangu haikupanda”

      “Sasa hapo ndio naanza kupata pichaa”

      “Picha gani dokta?”

      “Mwezi uliopita yule binti alikuja pale hospitalini kwangu”

      “Alifwata nini?”

      “Ndio nakuja huko ulipo niuliza……Alikuja kwa lengo nimtoe mimba?”

      “Mimba…..!!?”

      Mama aliuliza kwa sauti ya juu hadi na mimi nikstuka nilipo simama na kunifanya niwachungulie na kumuona mama akiwa amekaa katika kochi lake nililo muacha huku akimtazama dokta kwa umakini

      “Ndio alikuwa na ujauzito wa mwezi mmoja na nusu”

      “Sasa hiyo mimba atakuwa ameipataje pataje wakati mume wangu hana uwezo wa kumzalisha mwanamke?”

      “Ehhee mbona uwezo huo anao tuu wakumzalisha mwanamke?”

      “Dokta mbona unanichanganya na wewe…..Mimi ninazungumza hivyo kutokana mimi nilihusika katika oparesheni ya mume wangu kipindi amepeata ajali na tulimchoma sindano ambayo asinge weza kumzalisha mwaanamke wa aina yoyote,K?umbuka hata mimi nilikuwa ni daktari?”

      “Ndio nalitambua hilo kuwa wewe ni dokta ila hichi ninacho kuambia mimi nina uhakika kutokana miezi mitano hivi ya nyuma kuna madaktari wa wachina walikuja pale hospitalini kwetu wakijishuhulisha na maswala ya wanaume walio na tatizo kama hilo unalo lisema.Mzee alikuja kunitembelea ila hakujua kama kuna huduma hiyo ya kupima wanaume inatolewa pale hospitalini.Katika mazungumzo yatu nikamtania kiutani utani akapime na yeye ili ajue kama ana uwezo au hana…….Alipo pima kama ulivyo sema wewe kuwa hana uwezo wa kumzalisha mwanamke ndivyo majibu yake yalivyo kuwa.Kutokana wezetu wachina wapo mbele kwa taaluma hiyo basi wakamfanyia upasuaji mdogo akarekebishwa katika mirija yake akapewa dawa na akapona kabisa”

      “Ndio akaamua majaribio yake ya kama amepona ua hajapona ndio akaamua ayachukulie kwa mtoto wa watu?”

      “Kwa hilo hata mimi sijui….Basi yule binti alinibembeleza sana niweze kuitoa mimba aliyo kuwa nayo kwa akili za haraka haraka nikajua mimba amepewa na vijana wako wa kazi…..Ila nikaja kupata mashaka zaidi pale binti siku ya pili alipo nijia na milioni tano ili nimfanikishe kumtoa mimba”

      :Na wewe ukamtoa?”

      “Sikudhubutu ukiachilia mbali maadili yangu ya kazi hayaruhusu daktari kumtoa mwanamke mimba pia hata imani ya dini yangu hairuhusu jambo hilo”

      “Ehee ikawaje?”

      “Nilimfukuza akaondoka akiwa analia.Nikachukua jukumu la kuwasiliana na mzee nikakutana naye ila mimi kama dokta kwa jinsi mzee alivyokuwa akinijibu nikaanza kupata mashaka ila nikaja kuachana nalo kutokana nilijua mzee atalifanyia kazi”

      “Kwa nini na wewe usinipigie simu ukanieleza hilo swala?”

      “Muheshimiwa niliogopa kutokana wewe upo masomoni na isitoshe ulikuwa unakaribia kipindi cha mitihani”

      Mwili wangu ukashikwa na ganzi iliyonifanya nitulie sehemu nilipo huku machozi yakinilenga lenga sikuamini kama baba anaweza kutembea na msichana wa kazi na mbaya zaidi msichana wa kazi maisha ya kwao sio mzuri kabisa na ndugu zake wanasomeshwa na kwa pesa ya mama

      “Muheshimiwa futa machozi silie”

      “Dokta inauma mwanaume niliye mwamini na kumuinua kimaisha leo hii ananifanyia kitu kama hichi”

      “Muheshimiwa hizo ni changamoto za maisha”

      “Hapana dokta huo ni upumbavu tena upumbavu ulio pindukia yaani pia nashukuru sijazaa na huyu mwanaume”

      Nikastuka kusikia mama akizungumza kitu kama hicho huku akiwa analia kwa uchungu na kunifanya na mimi kujawa na hisia za huzuni na taratibu machozi yakaanza kunitoka,Kutokana na hali yangu ya kuumwa sio nzuri sana ikanilazimu kukaa katika ngazi ya juu huku nikiwa nimeuegemea ukuta na kuendelea kuwasikiliza mama na daktari

      “Muheshimiwa unataka kuniambia huyu kijana si mtoto wa mzee?”

      Kabla daktari hajajibiwa swali lake na mama simu yake ikaita,akaitoa na kupokea na kumfanya mama akae kimya

      “Ajali ya basi gani?’

      “Majeruhi 34?’

      “Ninakuja ninakuja sasa hivi”

      “Dokta ni ajali ya basi gani?”

      “Basi la Msulwa Express limegongana na roli la mbao maeneo ya maili moja”

      “Eheee wamekufa watu wangapi?”

      “Watano ila majeruhi nao wana hali mbaya kiasi kwamba hali ya vifo itaongezeka wakati wowote na majeruhi wapo hospitalini kwetu”

      “Duu poleni.Haya mwaya Dokta nikuache ukatumikie majukumu yako”

      “Sawa muheshimiwa hali ya mgojwa wangu itakavyo endelea utanijulisha”

      “Sawa nahisi atakuwa amelala”

      “Haya kama atakuwa bado yupo macho utamuambia mimi nimesha ondoka”

      “Hakuna shaka juu ya hilo”

      Nikasikia mlango wa kuingila sebleni ukifunguliwa na kufungwa nikajua moja kwa moja dokta atakuwa ameondoka.Mama akanza kupandisha ngazi akaanza kupata wasi wasi baada ya kuniona nimekaa katika ngazi huku machozi yakinimwagika

      “Eheee mgonjwa bado hujalala na unalia nini mwanangu?”

      “Mom who is my father?”(Mama baba yabgu ni nani?)”

      Mama akabaki kimya huku akinitazama akionekana kuto kulitarajia swali kama hilo nililo muuliza.Akapanda ngazi na kukaa ngazi niliyo kaa mimi

      “Eddy my son i will tell you tomorrow now your supporse to relax”(Eddy mwanangu nitakuambia kesho sasa hivi unatakiwa upumzike)

      “Momy i can’t relax because i don’t know who is my real blood father”(Mama siwezi kupumzika kwasababu simjui baba yangu wa damu)

      Nilizungumza kwa hasira huku machozi yakinimwagika na kumfanya mama aniegemeze kichwa changu kwenye bega huku akinibembeleza

      “Eddy my son do you love me?”(Eddy mwanangu unanipenda mimi?)

      “I love you mother but i need know the truth”(Nakupenda mama ila nahitaji kujua ukweli)

      “Ok my son am happy to hear that you love me.I need you to listen me very carefull”(Sawa mwanangu ninafuraha kusikia kuwa una nipenda.Nahitaji unisikilize vizuri kwa umakini)

      “Ok mom am listen up”(Sawa mama nina kusikiliza)

      “Now is night give me a chance to go and prepair my some of the office work and tomorrow after i came back i will give you good explaination and i will tell you who is your real father”(Mwanagu sasa hivi ni usiku,nipe nafasi ya kwenda kuandaa baadhi ya kazi za ofisini kwangu na kesho nitakapo rudi nitakupa maelezo mazuri na nitakuambia nani ni baba yako)

      Mama alizungumza huku akinifuta machozi kwa kutumia kiganja chake na kunifanya nizidi kulia kwa uchungu

      “Mama sitaki tena nimesema sitaki nahitaji kumjua baba yangu ni nani kwa jinsi ninavyo ona hauto shindwa kusema mimi sio mwanao wa kumzaa”

      CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

      Nilizidi kuzungumza kwa hasira iliyo changanyikana na uchumgu na nikaanza kujihisi upweke ambao nikaanza kuufananisha na mtoto aliye kosa wazazi wote awili

      “Eddy what are you say?”(Eddy unasemaje?)

      “Yeah you can tell me that your not my mother”(Ndio unaweza ukanimbia kuwa wewe sio mama yangu)

      Nlizungumza kwa hasira nikastukia kofi likitua shavuni mwangu kutoka kwa mama na kumfanya anyanyuke kwa hasira na kuelekea chumbani kwake na akaubamiza kwa mguvu mlango wa chumbani kwake.Nikamfwata na kumkuta akiwa amelala gubi gubi kitandani kwake huku akiwa analia taratibu nikakaa kitandani na kumgusa mgongoni

      “Momy am sory i d…”(Mama samahani si……)

      “Eddy leave me alone now”(Eddy ondoka na uniache peke yangu sasa hivi)

      “Mom am sory i din’t mean to say that words”(Mama samahani sikuwa na maana ya kusema maneno yale)

      “Eddy do you whant me to die?”(Eddy unahitaji mimi nife?)

      “No mamy”(Hapana mama)

      “Your father comfused me and you too so if you need me to die kill me now”(Baba yako ananichanganya na wewe pia.Sasa kama unataka mimi nife niue sasa hivi)

      Mama alizungumza kwa hasira huku akiuchukua mkono wangu mmoja na kuuweka kwenye koo lake ili nimkabe afe nikajikuta nikiogopa na mwili mzima ukianza kutetemeka kwani sikuwahi kumuona mama katika hali ya hasira kiasi kwamba anataka mimi nimuue



      Machozi yakaanza kunitiririka kwa wingi huku moyo wangu ukijawa na maumivu ni kwanini nilizungumza kitu kama kile,nikautoa mkono wangu koo ni mwa mama na kumkumbati na kukiweka kachwa chake begabi mwangu na kuanza kumbembeleza taratibu.

      “Eddy mwangu kwa nini unataka kuwa kama huyu baba yako?”

      “Mama ninakuomba unisamehe sio kusudio langu kuzungumza hivyo”

      Nikaendelea kumbembeleza mama taratibu hadi akanyamaza na taratibu usingizi ukaanza kumpitia baada ya muda kidogo akalala,Nikachukua shuka lake na kumfunika vizuri kisha nikatoka ndani ya chumba chake huku nikizima ta ya chumbani kwake na kushuka gorofani na kukaa kwenye sofa huku maneno ya mama akiwa anazungumza na dokta yakaaza kunirudia taratibu katika akili yangu huku yakiwa yanapita kama kanda wa video aina ya VHS.Kitu kinacho niumiza kichwa sana ni nani baba yangu na kitu kingine watu wengi wanasema ninafanana sana na baba yangu

      “Au mama atakuwa amechoka ndio maana akazungumza hivi?.........ila hata kama ni kuchoka itakuwaje akamwambia daktari mtu asiye husika katika familia yetu?”

      Nikaendelea kujiuliza maswali yasiyo na majibu kiasi ya kujikuta taratibu nikiaanza kupitiwa na usingizi na kujikuta nikilala kwenye kochi.Nikaanza kuisikia sauti ya mama kwa mbali ikiniita taratibu huku akionekana akiomba msaada,Nikayafumbua macho yangu na kuuta mlango wa kuingilia hapa sebleni nikatazama nje na kukuta bado kuna giza jingi.Nikanyanyuka kwa haraka na kwenda chumbani kwa mama nikakuta mlango wake ukiwa wazi nikaingia na kukuta kuna mwanaume yupo juu yake akimkaba huku kichwani kwake akiwa amevaa maski(Kinyago).Nikachukua chombo cha dogo kilichowekewa uwa la pambo na kwenda kumpiga nalo la kichwani na akaangukia kwa pembeni baada ya kuniona mimi akachomoka na kukimbia sikumjali zaidi ya kumuangalia mama kama yupo sawa au laa.Mama akanyanyuka huku akiwa anakooa huku akiwa amejishika koo.

      “Mama unajisikiaje?”

      “Vizuri mwangu fungua hiyo droo yangu ya kabati na unitolee bastola yangu”

      Nikafanya hivyo na kuitoa bastola yake kisha mama akanyanyuka kitandani na kuvaa raba zake za kufanyia mazoezi na taratibu tukaanza kutoka ndani kwa umakini wa hali ya juu huku na mimi nikifwata kwa nyuma.Tushuka chini na kutoka nje kabisa ambapo kwa safari hii mlango umefungwa.Tukazunguka nyumba nzima kutazama kama kuna usalama kwa bahati nzuri kuna usalama.Tukaelekea getini ambap hukaa askari ila hatukumkuta na wala hapakuwa na kitu chochote kinacho ashiria kuna tatizo lililo tokea katika eneo hilo

      “Eddy kimbia kaniletee simu yangu ndani”

      Nikaaza kujikongoja kongoja huku nikipiga hatua za haraka nikaamini kuwa mama amesahau kuwa mimi ni mgonjwa.Nikapanda ngazi kwa mwendo wa haraka kidogokitendo cha kushika kitasa cha mlango wa kuingilia chumbani kwa mama nikasikia milio mitatu ya risasi ikitokea nje.Nikabaki nikiwa nimesimama huku miguu yote ikiwa inaaza kuishiwa na nguvu kuingia ndan kuchukua simu ya mamai nikawa ninataka kutoka nje nikawa ninataka.Nikaaona hakuna haja ya kuingia ndani kuchukua simu moja kwa moja nikakimbilia jikoni na kuanza kukitafuta kisu ila sikkukiona zaidi ya kuona Umma wa kulia chipsi,nikiona unanitosha kwends kupambana na kito chochote bitakacho kutana nacho nje

      Nikafungua mlango na kujikuta mapigo ya moyo yakianza kumienda mbio huku wasiwasi ukiinza kuukamata mwili wangu kwani katika sehemu nilipo muacha mama sikumuona,Nikajikuta ninaaza kupata kiwewe cha miguu kila nikijaribu kusogea mbele ninajikuta ninasheindwa sasa sikujua ni woga ndio unachania kwani sikujua ni wapi mama yupo.Nikiwa bado nimesimama nikasikia mlio mwengine wa risasi ukitokea nje ya geti kwa mstuko nusu nijikojolee kwani sikujua huo mlio ni nani aliye pigwa nao kwani kipindi nipo mdogo mara kwa mara baba alikuwa akinifundisha jinsi ya kutambua milio ya risasi pale inapokuwa imempiga mtu au kumkosa na moja kwa moja mlio nilio usikia nikajua moja kwa moja risasi iliyo lia imetua kwenye mwili wa mwanadamu

      Nikajikaza kiume na kuunza kupiga hatua za kwenda nje ila kwa umakini huku uma wangu nikiwa nimeushika kwa umakini wa hali ya juu huku nikiwa makini kwa chochote kutacho jitokeza huku mwili mzima jasho lilinimwagika.Nikafungua geti dogo taratibu huku nikiwa nimetanguliza kichwa,Nikamkuta mama akiwa amesimama na askari kama watano wakiwa na bunduki zao mikonini huku kukiwa na mtu mmoja akiwa amelala chini huku mwili wake ukiwa unavuja damu nyingi.Nilicho kikumbuka kwa haraka haraka ni nguo alizo zivaa mtuu huyo na kukumbuka ni yule mtu niliye mpiga na bakuli la dongo lililo kuwa na uwa la pambo.

      “Alafu bado kijana mdogo sana”

      “Ndio huyu nahisi ametuwa na mtu wa humo ndani kwako kwa maana haiwezekani ajiamini kiasi kwamba ya kujua moja kwa moja chumani kwako”

      “Hilo usemalo litakuwa na ukweli ndani yake”

      Mama akaendelea kujadiliana na askari wanaolinda eneo tunalo ishi akiwemmo na askari wetu huku mama akimshushia lawama askari wetu ni kwa namna gani mtu anaingia ndani pasipo yeye kufahamu,askari wengine wakaja na gari lazo na kuchukua maiti huku wakimchukua askari wa getini kweyu kwenda kumuhoji maswali



      ***

      Mama akamfungulia kesi ya mauaji Manka huku lengo lake kubwa ni Manka kwenda kufungwa kifungo cha maisha,Siku ya kesi kusikilizwa ikawadai huku mahakamani kukiudhuriwa na watu wachache baadhi yao wakiwemo ndugu wa upande wa Manka akiwemo dada yake na pamoja na mwalimu Mayange.Tangu tukiwa nyumbani mama niweze kuzungumza kitu kitakacho muhukumu Manka.Ila moyoni mwangu nikaanza kuhofia endapo atasema tulifanya mapenzi itakuwa aibu kwangu na mama yangu.Watu wakiwa wanaaza kuingi ndani ya chumba cha mahakama mimi nilikaa nje huku nikimdanganya mama kuwa kuna mtu nina mpigia simu na muda si mwingi nitaingia ndani.Alipo ingia nikaelekea katika sehemu yenye mtuhumiwa na kawaonga kila askari elfu hamsini na walikuwa wanne ili wanipe nafasi ya kuzungumza Manka ambaye kwa wakati wote sura yake ilijaa machozi na huzuni hadi na mimi nikajikuta nikiwa na huzuni moyoni mwangu

      “Eddy nakuomba unisaidie katika kesi hii wewe ndio kiongozi wangu wewe ndio unaweza kuzizima ndoto zangu katika maisha yangu……..Eddy sikukusudia kukuua na wala sikuwa na lengo baya la kukudhuru yote yalitokea kwa sababu ninakupenda Eddy na sikujua ni jinsi gani ya kukushawishi ili unipende nilidhani utanichezea na kuniacha”

      Manka alizungumza kwa huzuni huku akilia kwa uchungu akionekana kujutia kwa kitu alicho kifanya

      “Sasa Manka kwa nini hukuwa mstaarabu mpaka tushikiane bastola kwa kitu kidogo”

      “Eddy nakuomba unisamehe ila nakuomba unisaidie katika hili swala”

      “Manka siwezi kukusaidia katika lolote inakubidi na wewe ulipe kwa kitu ulicho nifanyia”

      “Kaka muda umekwisha anatakiwa kuingizwa kizimbani”

      Askari alizungumaza na kunifanya nianze kupiga hatua za kutoka nje ila Manka akaniwahi na kunishika mkono huku akilia

      “Eddy hata nikinyongwa au kuhukumiwa kifungo cha maisha ila tambua kuwa ninazawadi yako nitakayo kupa kama ukumbusho katika maisha yangu”

      Nikautoa mkono wake kisha nikaondoka na kwenda katika chumba cha mahakama,Manka akaingizwa na askari huku akiwa analia huku sura yake akiielekeza chini ila mara kwa mara nikiwa ananitazama.Kesi ikaanza kusikilizwa huku mawakili wa pande zote mbili wakianza kumuhoji maswali Manka na kila kitu ambacho Manka alicho kuwa akiulizwa hakujibu zaidi ya kulia.Ikafika zamu yangu ya kuhojiwa maswali na nikaanza kuhojiwa swali moja baada ya jengine

      “Mr Eddy ulifwata nini kwa nyumbanni kwa Mwalimu Myange?”

      “Nilikwenda kuchukua pesa ya matumizi”

      “Ulikuwa una ruhusa ya kwenda kwake?”

      “Hapana?”

      “Kwahiyo ulitoroka shuleni kwenu?”

      “Ndio”

      “Basi ninaweza kusema kuwa wewe ni jambazi umwekwenda kuvamia nyumbanni kwa mwalimu mayange ndio maana Manka akakupiga risasi?”

      Wakili wa upande wa Manka akaendelea kunibana na maswali yake ambayo ni magumu kupita maelezo nikamtazama Manka kwa jicho la kuiba na kumkuta sura yake akiwa bado ameielekeza chini

      “Mimi sio jambazi na Manaka si mtu aliye nipiga risasi”

      Miguno ikaanza kusikika ndani ya mahakama nikamtazama mama nikaona jinsi sura yake ilivyo badilika gafla na kuwa na hasira,kutokana na minong’ono hakimu ikamalzimu kugonga nyundo mezani na kuwaomba watu wakae kimya

      “Kwa nini unasema kuwa Manka siye aliye kupiga risasi na kwa madai yenu ya washtaki munasema Manka anahusika na wewe kupiga risasi?”

      “Narudia kusema Manka hausiki na kitu chochote katika kunipaga risasi wala kunijeruhi mimi.Nilikwenda nyumbani kwa Mwalimu Mayange na kukuta hayupo ila nikamuomba Manka nimsubiri mwalimu hadi atakapo rejea ila kutokana alipata safari ya gafla yeye na mke wake ikanilazimu kuondoka na kupita njia za vichochoroni ndipo nikakutana na majambazi walio waliokuwa wakinilazimisha nitoe pesa ila kutoka na ubishi wangu mmoja wao akanipiga risasi ya kifua na baada ya hapo sikujua ni kitu gani kinacho endelea”

      Mahakama nzima watu walikaa kimya huku wakinisikiliza ninavyo zungumza kidogo nikamuona Manka akiwa na tabasumu usoni mwake.

      “Kwa hiyo Manka sio mtu aliye kupiga risasi?”

      “Wewe vipi kwani hukunisikia nilivyokuwa nikizungumza au?”

      Nilizungumza kwa jazba kidogo na umfanya wakili anaye nihoji kuanza kujichekesha chekesha

      “Sijasikia labda wewe ndio unaweza ukawa unaidanganya Mahakama tukufu Mr Eddy”

      “Sijamdanganya mtu na Manka hajanipiga risasi na muheshimiwa hakimu moja ya sura za majambazi nilio waona mmoja kama ni huyo wakili anaye nihoji maswali yake ya ajabu ajabu”

      “Wewe kijana kama umekosa kitu cha kuzungumza sema kuliko kuanza kunipakazia vitu vya kishenzi”

      “Kwa hiyo mimi mshenzi si ndio….Hakimu ndivyo jinsi munavyo afundisha hawa mawakili wenu kutukana watu?”

      Nilizungumza huku nikiwa makini na kuzidi kumchanganya wakili ambaye nimeamua kumeuzia mastaka

      “Muheshimiwa hakimu huyu kijana atakuwa amechanganyikiwa ninaomba mahakama yako akapimwe akili”

      “Nani akanipime akili kama si wewe uliye nipiga risasi nna wezako na mbaya zaidi wewe si ulikuja kunichimba mkwara hapo nje kuwa nikikutaja utaniua au sio wewe?”

      Hakimu akalazimika kuihairisha kesi na kuomba turudi ukumbini muda wa mchana kwa ajili ya keundelea kwa kesi,Mama hakunisemesha kitu hadi tukatoka nje ya mahakama na kuingia ndani ya gari

      “Hivi wewe mtoto ni kitu gani kilicho kupata?”

      “Mama hakuna kilicho nipata zaidi ya kwamba Manka hakunipiga risasi ila ni yule wakili na alikuwa na wezake wamelewa”

      “Sasa mwangu mbona hayo yoyote hukuyazngumza wakati uatambua fika kwamba Manka ninamchukia kama baba yake?”

      “Baba ya ke yupi?”

      “Ok tuachane na hiyo mada”

      “Mama tena nakumba unaimbie ni kitu gani kinacho endelea kati yako wewe na baba kwani niliwasikia maneno yenu yote kuanzi mwanzo hadi mwisho”

      “Unataka kujua ukweli si ndio ni hivi Manka ni mtoto wa baba yako alizaa na mwanamke mwengine kabla hajakutana na mimi”

      Nikaanza kuhisi kijasho kikianza kunimwagika huku mwili ukinza kunitetemeka huku nikaanz kufikiria ni jinsi nilivyokuwa nilifanya mapenzi na Manka

      “Kwa hiyo nilifanya mapenzi na dada yangu?’

      “Unasemaje wewe?”

      Nlistuka baada ya mama kuniulizwa swali ambalo nilijikuta nikiopoka bila kutarajia kuwa nitazungumza kitu kama hicho,nikabaki nikimtazama mama huku naye akinitazama kwa macho ya uchungu na hasira





      “Hapana mama sijasema kitu chochote”

      “Ujasema kitu chochote wakati umezungumza hicho ulicho kizungumza?”

      “Mama tupotezee hiyo mada”

      “Eddy Eddy wewe lete huo ujinga wako tuu na ole wako nichunguze hilo swala alafu nijue ni kweli oune jinsi itakavyo kama sinto kufunga”

      Mama alizungumza kwa hasira huku akishuka ndani ya gari na kuelekea sehemu aliyoingizwa Manka.Sikujua atakwenda kuzungumza nani ikanilazimu nishuke ndani ya gari na kumfwata kwa haraka,nikamkuta mama amesimama na Manka huku akimuonya

      “Nisikie siku una uhusiano na mwangangu utanitambua mimi ni nani hapa si anajifanya anakutetea ila ukiingia ndani ya mikono yangu utajuta kuzaliwa”

      “Mama mbo……”

      “Tena na wewe funga bakuli lako nenda nikukute kwenye gari”

      “Lakini mam……”

      “Hakuna cha lakini nimekuambia funga bakuli lako na sihitaji uzungumze upumbavu wowote sawa.Angekuua huyo ndio ungefurahi si ndio?”

      “Ila mama si nimesha sema Manka hausiki na kitu chochote”

      Mama akanitazama kwa jicho la hasira kisha akanisunya na kutoka huku akitembea kwa hatua ndefu kurudi kwenye gari huku mlinzi wake akimfwata kwa nyuma akimtuliza jazba.Wakati wote mama alipokuwa akizungumza Manka alikuwa ameinama chini huku analia kwa uchungu,nikamsogelea taratibu na kumkumbatia japo mikono yake imefungwa pingu kwa mbele.

      “Eddy niache tu nikafungwe mama yako amesha tengeneza chuki juu yangu”

      “Manka ni maneno gani unayo yazungumza ehee sipo tayari iwe kama hivyo nahitaji utilize akili katika hili nakuomba tena sana mmmm”

      “Eddy hata nikiwa huru sinto weza kuwa na uhuru kama mwazonni….Laiti baba yangu angekuwapo nisinge nyanyasika kiasi hichi”

      “Kwani baba yako nyupo wapi?”

      “Ni historia ndefu Eddy ila kwa ufupi baba yangu ana uwezo mkubwa wa kiuchumi ila alimtelekeza mama baada ya kunizaa mimi……….ila sijui ni wapi alipo japo ninasikia sikia amependishwa cheo kazini kwake”

      “Ulisha wahi kukutana naye hizi siku za karibuni?”

      “Hapana mara ya mwisho kukutana naye nilikuwa na umri wa miaka mitano kuanzia hapo nina msikia sikia”

      Nikajikuta ninapata maumivu mengi moyoni mwangu huku mawazo ya kwa nini baba anafanya hivi yakitawala kichwani mwangu.

      “Eddy mama yako anacho kizungumza ni kweli nakuomba uniache nikafie jele”

      “Manka acha kuzungumza kitu kama hicho ila tambua kuwa nipo upande wako hadi dakika ya mwisho”

      Nilizungumza na kuondoka na kumuacha Manka akibaki ananishangaa.Muda wa kuingia mahakamani ukawa tayari umesha wadia sikuhona haja ya kumsubiria mama kuingia naye kwenye ukumbi wa mahakama nikatangulia mwenyewe na kumkuta mwalimu Mayange na familia yake wakiwa wamekaa kwa masikitiko

      “Eddy”

      Mwalimu Mayange liniita na nikamfwata katika sehemu waliyo kaa

      “Eddy mwanangu nakushukuru kwa masaada wako japo tunasubiria majibu ya mahakama”

      “Usijali mwalimu Mungu atasaidia yatakwisha”

      “Kumbe mama yako ni waziri?”

      “Ndio”

      “Hongera”

      “Asante”

      Nikaondoka na kwenda kukaa katika eneo nililo kuwa nimekaa mwazoni na baada ya muda kesi ikaanza,kutokana muhusika mkuu nilikataa Manka kuwa sio muhusika ikalazimika kesi kufutwa na Manka kuachiwa huru.Upande wa familia ya Manka ikatawaliwa na furaha ila kwa upande wangu mama amekasirika

      “Kwenye gari langu hupandi na utakuja kwa miguu”

      “Mama….

      “Hakuna cha mama Zuhura hembu mpe alfu ya daladala”

      “Sawa bosi”

      Mlizi wa mama akafungua kipochi chake na kunipa alfu moja ya daladala kisha wao wakaingia ndani ya gari na wakaondoka nikabaki nimesimama ninawashangaa kwani sikuamini kama mama anaweza kunifanyia kitu kama hicho.Nikiwa bado sijui cha kufanya nikasikia sauti ya Manka ikiniita kwa nyuma nikageuka na kumkuta amesimama huku akiwa na tafbasabu usoni mwake

      “Eddy nashukurukwa msaada wako yaani sijui hata nikushukuruje”

      “Usijali best yangu”

      “Ila Eddy nina zawadi yako kama nilivyo kuambia pale mwazoni”

      ‘Una zawadi gani?”

      “Nina ujauzito wako”

      Kusema kweli mapigo ya moyo nikahisi yamepoteza muelekeo na kunifanya mwili mzima kuanza kuzizima kiasi kwamba jasho likaanza kunimwagika huku mdomo ukiwa mzito kuzungumza kitu ninacho taka kukizungumza hadi Manka akahisi kitu

      “Eddy una tatizo?’

      “Hapan…..munarudi Arusha leo?”

      “Ndio ninamsubiria shemeji aje kutuchukua amelipeleka gari gereji”

      “Ahaa basi Mungu akibariki hilo swala la mtoto tutakuja kulizungumza huko Arusha”

      “Lakini mbona unaonekana kama huna furaha nilivyo kuabia kuwa mimi ni mjamzito?”

      “Haaa nimefurahi ila tutatafuta muda tulizungumze”

      Tukaagana na Manka kisha mimi nikaondoka na kumuacha akazungumza na ndugu zake kisha,Nikakodi boda boda ya pikipiki hadi nyumbani nikamuacha jamaa getininikingia chumbani kwangu kumchukulia pesa ambayo ilipungua kwenye malipo yake kisha nikarudi ndani na kumkuta mama sebleni akionekana akinisubiri.Nikaanza kupandisha ngazi za kwenda ndani kwangu

      “Wewe Eddy”

      “Naam”

      “Hembu shuka hapa”

      Nikashuka na kukaa kwenye moja ya sofa kisha na yeye akakaa kwenye sofa jengine

      “Hembu wewe mtoto niambie ni nani aliye kupiga risasi?’

      “Mama kile nilicho kizungumza mahakamani ndio hicho hicho”

      “Ila Eddy manangu kwanini siku ya kwanza nilivyo kuuliza ukasema Manka ndio muhusika?”

      “Hapana labda nilikosea”

      “Kukosea tena mwanangu…..Ila na kwanini ulisema umetembea na Manka?”

      “Ahaaa mama ulinisikia vibaya”

      “Eddy Eddy mwanangu jua kuwa mimi ni mtu mzima na kila unacho pitia,mimi pia nilisha pitia kipindi ninakua sasa usitake kunidanganya hembu niambie ukweli mwanangu ni kweli Manka ulitembea naye?”

      “Sijatembea naye wewe si umesema ni dada yangu?”

      “Ndio ni ndugu yako……Kachukue begi lako la nguo dereva akupeleke shule”

      Mama jioni yote hii derive anipeleke shule?”

      “Maamuzi ndio hayo kavae ngui zako za sule derive akupeleke Arusha”

      “Lakini mama sijapona vizuri”

      CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

      “Hujapona vizuri au unataka kujidekeza dekaza kumbuka kuwa wewe ni A level tena mwenyewe unajiita PCB sasa sijui huko shule kama unasoma au ndio kuruka ruka vaa upelekwe shule”

      Kitendo cha mama kuniambia nijiandae nirudi shule kikanikosesha amani katika moyo wangu na sikuwa na jinsi zaidi ya kujiandaa na taratibu ili dereva anirudishe.Hadi namaliza kujiandaa ikawa imeshatimu saa kumi na moja jioni.Nikabeba begi langu la nguo na kulipakiza ndani ya gari

      “Eddy nataka huko shule ukasome sihitaji michezo ya kijinga jinga tambua kuwa wewe umesha kuwa mtu mzima unapaswa kuaanza kufikiria maisha yako na yawanao ila sio kufanya ujinga kama ulio ufanya”

      “Sawa mama”

      “Kama mutakuwa munachelewa mutalala kwenye Hotel yoyote njiani”

      “Sawa”

      Mama akanipa kiasi cha kutosha cha matumizi ya pesa ya kutumia shukeni pamoja na pesa ya matumizi njiani na safari ikaanza,kutokana na foleni iliyopo jijini Dar es salaam ikatifanya tusimame simame san njiani

      “Kaka naomba niendeshe niendeshe gari”

      “Ningekupa mdogo wangu ila huna leseni”

      “Kwani usiku huu ni trafki gai atakaye tusimamisha njiani?”

      “Mbona wapo wengi hii ni bara bara ya mkoani ni lazima tutawakuta wengi”

      “Sawa”

      Safari ikaendelea huku nikiwa nimelala kwenye siti ya gari na kumuacha dereva kufanya kazi yake.Dereva akaniamsha na nikakuta tumesha fika katika sehemu moja inaitwa Mombo kwenye hoteli moja inaitwa Liverpool,tukaingia na kuapata chakula cha usiku na tukarudi dani ya gari na safari ikaanza.Kutokana sikuwa na mazoea na huyu dereva mpya wa mama nikaona ni bora kulala kwani sikuwa na chakuzungunza naye.Nikastushwa na breki kali za gari letu na kunifanya nistuke na nikamkuta dereva akijitahidi kuikwepa gari ndogo aina ya PREMORE inayo pinduka pinduka katikati ya barabara.Gari inayo bingiria ikatulia na kuingia ndani yam taro ikamlazimu dereva kulisimamisha gari letu mbele kidogo kutoka sehemu gari ndogo ilipo angukia.Mimi na dereva tukajikuta tumetulia kama kwa dakika tano huku kwa upande wangu mapigo ya moyo yakinienda mbio kiasi kwamba nikashindwa nifanyaje

      “Kaka imekuwaje?”

      “Mmmmmm?”

      “Imekuwaje?”

      “Nilikuwa ninamuomba dereva wa lile gari anipishe njiani ila akawa anashindana na mimi katika kukimbiza gari…..ila kutokana na taa za gari zangu kuwa uwezo mkubwa basi nikajikuta ninamuwashia zote ndio jamaa akaanza kijuchanganya changanya hadi akadondoka”

      “Mmmmm huu msala tusepe zetu basi”

      “Mmmm siwezi hata kuendesha gari”

      “Ngoja mimi nije kuendesha”

      Nikashuka ndani ya gari nikiwa ninazunguka nyuma kwenye gari ili niiingie kwenye siti ya dereva nikapata mstuko baada ya kumuona msichana akianza kujivuta taratibu kutoka ndani ya gari huku akilia kwa maumivu makali ikanibidi nianze kupiga hatua za kwenda kumsaidia ila kadri jinsi nilivyo zidi kwenda moyo ukazidi kunipasuka kwani mtu anaye jitahidi kujitoa ndani ya gari ni Manka



      Nikaongeza hatua za haraka kwenda kumsaidia Manka,nikamkuta anatokwa na damu nyingi katika paji la uso wake huku mguu wake mmoja ukiwa umebanwa katika siti,Nikajitahidi kuitoa siti iliyombana Manka hadi nikafanikiwa kisha nikamuweka kando kwenye barabara na kwenda kutazama majeruhi wengine akiwemo Mwalimu Mayange.Nikachungulia chungulia ndani ya gari na ila sikuona mtu yoyote anaye omba msaada kwani ukimya mkubwa ulitawala ndani ya gari na kutokana na giza jingi nikajua moja kwa moja watu waliomo ndani ya gari watakuwa wamefarika dunia ua kupoteza fahamu.

      Nikarudi barabarani kumtazama Manka na kukuta hali yake inazidi kuwa mbaya nikamnyanyua na kwenda naye ndani ya gari na kumkuta dereva akiwa amekaa kwenye siti niliyokuwa nimekaa mimi huki akiwa kama amepigwa na bumbuazi kiasi kwamba hawezi kufanya kitu chochote huku jasho jingi likimtoka japo ndani ya gari letu aina ya VX G8 lina Air condition(A.C) ya kutosha.Nikamuingiza Manka ndani ya gari na kumuweka siti ya nyuma kisha na mimi nikaingia kwenye upande wa dereva na kuwasha gari na kuondoka kwa mwendo wa kasi,nikafika kwenye moja ya zahanati na kumkuta daktari mmoja na nesi ambao wapo zamu ya usiku

      Nikamtoa Manka ndani ya gari na kumuweka kwenye kitanda cha matairi kilicho tolewa na nesi kisha wakamuingiza ndani ya chumba na kuniomba nisubiri nje na kunihitaji nikatafute PF3 ya polisi ili hata kama kuna hali yoyote itajitokeza juu ya Manka wao wasihusike kwa chochote.Nikarudi kwenye gari na kumkuta dereva nje ya gari akiwa amejiegemeza kwa unyonge huku akionekana kuwa na wasi wasi mwingi

      “Oya kuna kituo cha polisi hapa karibu”

      Nilimuuliza dereva na kumuacha akiwa ananitazama kama hajalisikia swali langu nililo muuliza

      “Oya broo mbona kama umesizi ni wapi kwenye kituo cha polisi ambacho ninaweza kupata huduma yao?”

      “Hapo mbele”

      “Wapi?”

      “Labda Mombo kule nyuma tulipo toka kwani bado tupo Mombo”

      “Powa ingia kwenye gari”

      Nikawasha gari na kuanza safari ya kurudi kule tulipotoka na safari hii gari nillizidi kuliendesha kwa kasi ili kuwahi kupata alicho niagiza daktari.Nikajikuta nikifunga breki za gari gafla na kusimama hii ni baada ya trafki mmoja kunisimamisha katika sehemu waliyo pata ajali Manka na ndugu zake na kukuta kuna askari wengine wakiendelea na vipimo vya ajali imetokea tokea vipi huku kukiwa na watu watatu wakiwa wamelazwa kando ya barabara na huku wakiwa wamefunikwa na mashuka maalumu ya polisi na baadhi ya wananchi wakiwa wanashangaa shangaa ajali

      “Dreva washa taa ya ndani au ushuke ndani ya gari”

      Nikawasha taa ya gari na nikamuona trafki akistuka nikajichunguza na kugundua kuwa chati langu la shule kidogo lina damu.Trafki aliye nisimamisha akaniomba tena nishuke ndani ya gari huku bunduki yake akiishika vizuri na sikuwa mbishi nikashuka huku funguo nikiingiza mfukoni

      “Ninaomba leseni yako na kadi ya gari”

      Nikaanza kujipapasa kama ninatifafuta leseni yangu kwenye mifuko yangu japo najua kuwa sina leseni ya aina yoyote kwenye mfuko wangu zaidi ya wallet yangu yenye kitambulisho cha shule na pesa za matumizi

      “Afande nahisi nimeishahau leseni yangu kwenye gari”

      “Mbona shati lako limejaa mijidamu.Lete funguo za gari”

      Nikamkabidhi trafki funguo za gari na kwaishara akaniomba niende kumchukulia leseni yangu na kumuacha akimnong’oneza mwenzake.Nikafungua mlango wa gari na kumkuta dereva akiwa na wasiwasi mwingi

      “Oya kaka hivi una leseni yoyote hapo ulipo?”

      “Ninayo ya kwangu”

      “Siwezi kutumia ya kwako?”

      “Huwezi kwani ina picha yangu”

      Nikaufunga mlango na kumfwata trafki aliye nisimamisha na kila nilipozidi kumfwata huku nikimuita akajifanya kama hanisikii na kuzidi kwenda mbele kuwafwata wezake walipo huku mwenzake aliyekuwa akizungumza naye akielekea kwenye gari letu huku akimulika mulika ndani ya gari kwa kutumia tochi aliyo nayo.Nikamkimbilia trafki kidogo na kumshika shati

      “Afande si nina kuita”

      “Nahitaji leseni yako na kadi ya gari”

      “Kiukweli mimi sina leseni ya aina yoyote hapa nilipo nilikuwa ninakuja kituoni kwenu kuchukua PF3 ya majerugi wa hiyo ajali hapo”

      “Ahaaa kumbe nyinyi ndio muli wasababishia ajali hawa watu?”

      “Hembu kuwa na akili wewe mimi nimsababishie ajali alafu nije kwenu.Mimi nimewasaidia kama masamaria mwema tu”

      Nikajikuta nikizungumza kwa hasira huku nikimtazama trafki kwa jicho la hasira.Kabla hajazungumza kuna mwenzake mmoja akamuita akitokea lilipo gari letu huku akimuamrisha dereva wa gari letu kushuka ndani ya gari

      “Oya afande John haya ni mijambazi huku kwenye gari lao kumetapakaa mijidamu siti za nyuma na hakuna mtu”

      Askari aliyekuwa kwenye gari letu alizungumza na kuwafanya wezake wapatao sita kuzikoki bunduki zao na kuzielekeza upande nilio kuwepo mimi na dereva

      “Wee jamaa yangu vipi hivi ukituona hapa kuna sura ya jambazi.Mimi nimemsaidia huyu mmoja wa majeruhi katika hii ajali na wewe unaniletea habari za kise***”

      Nilizidi kuzungumza kwa hasira na kuwafanya askari kunijia juu huku kila mmoja akizungumza lake kwa hasira huku mmoja wao akitishia kunipiga mateke

      “Jaribu kunipiga hayo mateke yako uone kama hii nchi utaiona tamu kama unavyo iona sasa hivi”

      “Afande hembu niachie nimuonyeshe shuguli huyu kijana tandu nitoke depo nijamuwasha mtu mateke siku nyingi”

      “Aroo hembu lipige pingu hilo jambazi linajifanya jeuri.Na haya ndio yale yanayoiba magaria Moshi na kwenda kuyauza Dar”

      Dereva wetu akakubali kufungwa pingu na akaanza kupelekwa kwenye gari ya polisi aina ya Toyota.

      “Aisee wewe nimekuambia lifunge pingu hilo likijana lisiumize vichwa vyetu”

      “Sikilizeni hamuwezi kunifunga pasipo kujua kosa langu ni lipi kwani hamuwezi kukuta damu ndani ya gari na moja kwa moja mukaniambia kuwa mimi ni muhalifua”

      “Aisee wewe lipige risasi kama linaleta ujinga”

      Nikaitoa simu yangu mfukoni na kumpigia mama ila simu yake ikaita hadi ikakatika,nikarudia tena kuipiga na akapokea simu huku akionekana alikuwa amelala

      “Vipi wewe mbona muda huu mumesha fika?”

      “Hapana mama kuna askari wametukamata eti wanasema kuwa sisi ni majambazi”

      “Majambazi tangu lini na mumekamatwa wapi?”

      “Maeneo ya Mombo njia ya kuelekea Arusha…..”

      Gafla askari mmoja akanipokonya simu na kuanza kuzungumza na mama huku akionekana kuw na hasira nyingi

      “Kumbe wewe ndio unaye watuma hawa washenzi wako waje wateke teke magari ya kifaharii na munakazi ya kujikalia na kuitana mama mama pumbavu weee mwanamke mzima umekalia kazi ya kuwatumikisha vijana wadogo ili wakuletee mijigari ya kifahari na hili limoja umelivalisha minguo ya shule ili idanganyie raia barabarani wakati wa usiku Malaya mkubwa wee”

      Askari akakata simu na kuidumbukiza mfukoni mwake na kuzidi kunipandisha hasira kwani katika maisha yangu kitu nisicho kipenda ni kuzalilishwa kwa mama yangu

      “Aisee hatukubembelezi wewe”

      “Sasa niacheni nitakwenda mimi mwenyewe sitaki munishike”

      “Pumbavu hakuna kuliachia ndio maana jishati lako limejaa damu kwa ujambazi ujambazi wako”

      “Mabroo nawaheshimu sana sitaki tuvunjiane heshima”

      “Nenda kule”

      Askari mmoja alizungumza huku akinipiga makofi mazito ya mgongo akinisukumia kwenye gari lao na kuninyanyua juju na kunisukumia ndani ya gari na kujikuta nikiangukia kifua na maumivu makali yakaanza kutawala katika kifua changu



      Dereva akanisaidia kuninyanyua na kunikalisha katika sehemu aliyo kaa yeye kisha baada ya muda wakaziingiza maiti moja huku ikiwa imefunikwa na askari wawili wakapanda na kukaa nyuma tulipo sisi huku wakiwa na bunduki zao kusha mwengine wawili wakapanda mbele upande wa dereva na safari ikaanza

      “Yaani nyinyi ngojeni tu mutaona ngoja mama aje”

      “Funga bakuli lako shenzi kabisa wewe na mama yako wote tutawasweka ndani munakazi ya kukaa na kuiba iba”

      “Sawa sisi si majambazi basi nyinyi ndio mutakuwa majambawazii”

      “Unasemaje dogo”

      “Nasema kwa pua mdomo unatia saini”

      Nilizungumza maneno ya kejeli yaliyo andamana na hasira kumfanya askari kukasirika nusu anizabe kofi la kichwa

      “Mimi nawaambia masaa yenu ya kujidai ni sasa hivi ila ngoja hiyo asubuhi”

      “Alafu wewe dogo mbona unaongea ongea kama mtoto wa kike unajua tutakupeleka Soweto ukafanyiziwe”

      “Mpeleke baba yako wewe k*** nini?”

      Nilizungumza kwa hasira na kumfanya askari kumkabidhi mwenzake bunduki kisha akanishika shati langu na kunivuta kisha akanipiga kichwa kimoja kaniangusha na kujikuta nimeilalia maiti ambayo sikujua ni ya nani kisha akaninyanyua na kunitandika ngumi mbili za tumbo na kujikuta nikitoa vilio vya maumivu makali

      “Oya bro Sele muache utamuua mtu mwenyewe anaonekana mwili maji huyo”

      “Muache nimfundishe adamu analeta maswala ya kiboya,watu tupo kazini hatupo kwenye sherehe”

      “Kaka tuliza jazba mpotezee ngoja tufike kituoni”

      “Oya Suka hawa moja kwa moja tuwapandishe Lushoto”

      “Powa kamanda OVER”

      “Eddy mdogo wangu hembu kuwa mstamilivu”

      Dereva alizungumza kwa sauti ya upole huku akinitazama kwa masikitiko kwani nilianza kuchuruzika damu kwenye sehemu aliyo nipiga kichwa askari.

      “Powa wewe nionee sasa hivi ila zamu yako itafika”

      “John unajua nitamchakaza huyu mwehu kwa risasi alafu nipotelee zangu huko milimani”

      “Broo wewe mpotezee”

      “Oya suka simamisha gari”

      Askari aliye nipiga alimuamrisha askari mwenzake anaye enedesha gari kulisimamisha naye akafanya kama alivyo ambiwa.Kisha akashuka na kwenda kukaa siti ya mbele na mwenzake mmoja akaja kukaa tulipo sisi.Kutokana ni usiku hakuna magari mengi tukawahi kufika wilaya ya Lushoto mjini na moja kwa moja wakatupeleka kwenye ofisi zao

      “Msachi huyo chalii na atoe kila kitu”

      Yule askari aliye nipiga alimuamrisha askari mmoja tuliye mkuta katika kituo chao.Jamaa akaanza kunipapasa na kutoa waleti yangu kisha akaiweka pembeni kisha yule askari niliye mkremisha kwa jina la Sele akaichukua wallet yangu na kuanza kuhesabu pesa nilizo kuwa nazo na kukuta kuna laki mbili na sabini

      “Kweli hi mijamaa ni mijambazi tazama pesa zote hizi”

      Alizungumza huku akiwaonyesha wezake waliopo ndani ya kituo hicho ambacho ndio kikubwa katika wilaya nzima ya Lushoto

      “Wewe jishaue na hizo pesa zangu najua humo kuna laki mbili na sabini ole wako nikute kumepungua hata kumi”

      “Alafu huyu dogo ananitafuta tangu tukiwa kwenye gari hivi unataka nikufanyaje?”

      “Usijichekeshe chekeshe kama umepata bwana wa bure acha hizo pesa na ole wako ipungue hata kumi”

      Nilizungumza kwa hasira na kuwafanya baadhi ya askari kumcheka mweznao kichini chini kwa maneno niliyo muambia ila alivyo wageukia wezake wote wakakaa kimya.Jamaa akampokonya mwenzake kifimbo alicho kishika na kutishia kunipiga nikasimama nikimtazama huku mwili wangu ukiwa umejaa kwa hasira

      “Hembu waingize chemba nisije nikavunja sheria za Jamuhuri bure”

      Nikageuka na kumtazama dereva nikamuona mwenzangu akitetemeka mwili mzima huku machozi yakimwagika kisi kwamba hadi nikaanza kumuonea huruma.

      “Oya broo simu yako iko wapi?”

      “Nimeiacha kwenye gari niliichomeka kwenye chaji”

      “Ahhaaa sasa kwa nini na wewe usishuke nayo”

      “Niliisahau ndugu”

      “Ahaa na wewe umezidi uzembe”

      Askari aliye kuwa akitukagua akatusukuma akiashiria tutembee kuingia ndani ya chumba chenye mwanga hafifu wa taa ya duara kwa haraka haraka ni kama Walti 40 huku kikiwa na nondo ndefu na pana kwenye mlango wake kiasi kwamba sio rahisi kwa mtu kuuvunja mlango huo

      “Ingieni ndani hizo story zenu mutazizungumzia humo ndani”

      “Na wewe acha sifa za kutusukuma sukuma unajua hili shati limenunuliwa shilingi ngapi?”

      “Sina haja ya kujua limenunuliwa shilingi ngapi cha msingi wewe ingia huko chemba ukakutane na vigego wezako”

      “Sawa ila sio kutusukuma sukuma uachage ufala wewe”

      “Powaa mimi fala ila ingia ndani”

      Sikujua hata maneno machafu nina yatolea wapi kwani nilizungumza maneno yasiyo na maana na kwa mtazamo wa haraka haraka mtu ukinitazama huto tegemea kuwa ninaweza kuzungumza vitu vya ajabu kiasi hicho.Tukaingia ndani ya chumba na kukuta kuna njemba(Jamaa wenye misuli mikubwa) nne zimakaa huku wakiwa hawajavalia mashati na kuvifanya vifua vyao vikubwa kuonekana kirahisi huku sura zao zikiwa mbaya na za kuogopesha kiasi kwamba mtu hata uwe mbabe kiasi gani ni lazima uyasome mazingira ya humo ndani na ndio uendelee na ubabe wako

      “Niaje raia?”

      Niliwasalimia kwa ucheshi huku nikijitahidi kuiweka sura yangu katika tabasamu ila salamu yangu haikuitikiwa na mtu hata moja zaidi ya wao kuniangalia kwa macho makali.Dereva akazidi kutetemeka hadi ikafikia hatua suruali yake ikaanza kulowa akiashiria ameshindwa kuizuia hali ya kujikojolea.Mkojo wa dereva ukaanza kusambaa kwenye baraza uku ukienda kwenye mfumo wa kajimstari na kufika katika sehemu aliyo kaa jijamaa moja jeusi lenye mwili mkubwa na ndevu nyingi kama za masanii maarufu duniani Rick Rose

      “Oya jibaba huyo mse***kakukojolea”

      Jamaa jengine lilizungumza kwa sauti nzito na ya kuogopesha na kumfanya mwenzake atazame mstari wa mkojo ulio igusa suruali yake iliyo chafuka kisha kamtazama dereva na taratibu jamaa likaanza kunyanyuka na kunifanya nikae kimya huku mapigo ya moyo yakinienda mbio kiasi kwamba ujeri wote ukakata kama umeme wa Tanesco

      “Oya unyonye huo mkojo wako”

      Jamaa lilizungumza huku likimuinamisha dereva wetu kwa nguvu zake zote na kumfanya aanguke kifudi dudi na mimi nikajibanza kwenye kona ya ukuta nikiaangalia nini kitakacho fwata kwa dereva.

      “Usinitazame kwa macho ya kike kike nimekuambia linywe hilo kojo lako”

      Jijamaa lilizungumza huku mguu wake mmoja akiuweka mgongoni mwa deeva na kumfanya dereva kuanza kuunyonya mkojo wake uliopo juu ya sakafu inayo onekana ni mpya na haina sikiu nyingi tangu iwekwe

      “Nimekuambia fastaa”

      CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

      Jijamaa likazidi kumuamrisha dereva wetu na kumfanya aongeze kasi ya kuunyonya mkojo wake hadi akaumaliza ndipo jamaa akamruhusu dereva kukaa kando.Jijamaa likanitazama mimi kwa macho makali na mimi nikanyanyuka na kujifanya na mimi ninamtazama kwa macho ya kibabe ila ndani ya moyo wangu unao enda mbio kama saa mpya laiti jamaa akijaribu kunitisha kwa kitendo chochote ninaweza kudondoka na kuzimia kwa woga hapo hapo

      “Dogo unaonekana mjanja sana wewe”

      Kwa sentensi ya jamaa kidogo mapigo ya moyo yakakaa sawa na kijiubaridi kikapenya kwenye mwili wangu kwani tangu niingizwe ndani ya hichi chumba sikuweza kuihisi hali ya ubaridi

      “Yap”

      Jamaa likanitazama kwa muda kisha likatafuta sehemu na kukaa hapo ndipo nikapata wazo la haraka haraka la kuzungumza huku nikikaa katika sehemu yangu

      “Broo yaani ingekuwa sio polisi hawa kutuwahi ningemalizia kumkata yule mwenye gari kichwa chake kama nilivyo wafanya watoto wake wawili na mkewe”

      Maneno yangu kidogo yakawafanya jamaa kunitazama kwa wasiwasi huku wakinitazama kwenye shati langu na kuziona damu zilizo jaa kidogo laiti wangejua ni damu za Manka nahisi wangenibamiza mamgumi mengi

      “Alafu ninausongo wa kujito muhanga na bomu bora nife kuliko kwenda jela.Hivi ule mfuko wa mabomu uliuficha pale pale ulipo uficha?”

      Nilimuuliza dereva swali amabalo naye akabaki anashangaa kwani nahisi ananiona kama nimechanganyikiwa ila lengo langu ni kujitengenezea hofu ya kuogopwa na mijamaa kwa maana bila ya kufanya hivyo usiku kwetu utakuwa mbaya na mrefu japo kwa dereva ulishaanza kuharibika.Nikamkonyeza kwa haraka dereva akatingisha kichwa kwa ishara ya kukubali

      “Tatizo lako wewe muoga ndio maana ukashindwa kuyachukua yale mabomo sasa kwa mfano polisi wakiyashika itakuwaje?Na huo uoga uoga wako ndio umekufanya umekunywa mikojo yako laiti ingekuwa ni mimi ningehakikisha asubuhi haifiki chumba kizima kimetapakaa damu”

      Mijamaa ikanitazama huku ikionekana kuwa na wasiwasi huku nahisi kila mmoja ananifikiria kivyake.Nikaanza kujipapasa kwenye mifuko yangu huku nikijifanya ninatafuta kitu ambacho sikujua ni nini

      “Kile kisu hao jamaa wamekichukua?”

      “Ita..akuwa”

      “Ingekuwa sio hivyo ningeondoka na roho ya mtu”

      Jijamaa moja likavunja ukimya wao huku likijikoholesha koholesha na kunifanya nikae kimya kumsikiliza anataka kusema kitu gani

      “Oya daogo umeshatoa roho za watu wangapi hadi sasa hivi?”

      “Daaa wengi sana kama kwenye tisini na nane au tisini na tisa”

      “Ahaa utaonaje wewe ukamalizia list hiyo na ukawa wa mia moja”

      “Mmmm……?”

      “Usigune kwa maana tangu uiingie humu ndani una kazi ya kuropoka ropoka tuu oohhoo sijui nijitoe muhanga ohhooo nitamwaga damu.Jinsi unavyo tuona sisi humu ndani ni waauji na nimajambazi sugu tena sana kama unajipenda funga domo lako tuna mawazo yetu sawa?”

      Jamaa alizungumza na kunifanya nikaae kimya bila kuzungumza kitu cha aina yoyote huku nikimuomba Mungu asaidie asubuhi ifike mapema ili jamaa wasije wakanifanyia kitu cha aina yoyote.Asubuhi na mapema akaja askari huku akiwa ameongozana na mwanamke mmoja aliye valia suti na nikajua moja kwa moja nikajua atakuwa ameagizwa na mama kujua kutuoa

      “Ni wapi hao unao watafuta kati ya hao watu humo ndani?”

      Askari alimuuliza mwanamke yule na akaanza kutuangalia mmoja baada ya mwengine na mwisho wa siku akatingisha kichwa kuashiria hayupo mtu anaye mtafuta kati yetu nikajikuta machozi yakianza kunilenga lenga huku nikimtazama mwanamke aliye simama nje ya ya mlango wa nondo.Mwanamke akaondoka na kumuacha askaria akisimama na kututizama kisha akaanza kucheka

      “Dogo bado upo eheeee”

      Askari akazidi kucheka huku akininyooshea kirugu chake na kuanza kukipiga piga kwenye nondo za mlango wa chumba hicho

      “Oyaaa wewe fala unatupigia kelele”

      Jijamaa limoja lilizungumza kwa sauti ya kukwaruza kwaruza huku likimnyooshe askari kidole

      “Nyamaza wewe subirini hukumu yenu ya kunyongwa”

      “Afande hadi sisi!?”

      Nilimuuliza askari kwa mshangao na kuyafanya machozi yaanze kunimwagika

      “Tena nyinyi ndio mutakuwa wa kwanza na hiyo minjemba mine itafwatia”

      “Acha kumrusha roho dogo wewe hembu tutolee hiyo sura yako kama kisigino chenye magaga”

      Jijamaa linguine likamjia juu askari japo amembeza askari kuwa ana sura mbaya ila sura ya jamaa imezidi kwa ubaya kwani imechanwa chanwa kiasi kwamba imekuwa kama mistari ya mipaka kwenye ramani ya Dunia.Askari akaondoka huku akicheka,akili yangu ikaanza kumkumbuka Manka na sikujua kama yupo hai au amekufa na kujikuta nikizidi kutokwa na machozi ya uchungu na nikaanza kumuomba Mungu atende muujiza ili aweze kuyaokoa maisha ya Manka.Mida ya saa tatu asubuhi akaja askari mmoja na kutuita mimi na dereva na kabla sijatoka nikawaaga mijamaa kisha tukamfwata askari na kuingia kwenye ofisi ya mkuu wa polisi wa wilaya na kumkuta mama akiwa amekaa kwenye kiti huku amekasirika kiasi kwamba hata sikuweza kumsalimia

      “ Na wewe hapo kichwani umechanika na nini?”

      “Shikamoo mama”

      “Marahaba ehee ninakuuliza apo umechanwa na nini hapo kwenye paji la uso?”

      “Kuna askari jana alinipiga kichwa na ngumi za kifuani”

      “Kijana unaweza kuniambia huyu askari yupo vipi?”

      “Mrefu hizi mweusi anaitwa Sele”

      “Ahaa ok ngoja”

      Mkuu wa polisi akanyanyua mkonga wa simu ya mezani kisha akaiweka sikioni na kuanza kuzungumza na mtu wa upande wa pili wa simu

      “Nakuhitaji ofisini kwangu haraka”

      “Ehee na nyinyi hembu nielezeni imekuaje kuaje hadi mukawa hapa?”

      Mama alituuliza na dereva akaanza kuzungumza huku akijing’ata ng’ata na anavyo onekana anamuogopa sana mama.Ikanilazimu nianze kumuelezea mama kila kitu kilicho tukuta ila sikutaka kumumbia majeruhi niliye muokoa ni Manka.Yule askari aliye nipiga jana usiku akaingia ofisini kwa bosi wake na kumpigia saluti na akaonekana kustuka kumuona mama akiwa ofisini humo

      “Wewe ndio uliye mjeruhi mwanangu kiasi hichi?”

      “Muheshimiwa mwanao ni mkorofi tena sana na anamaneno machafu sana”

      “Kwahito ndio ummpige kiasi kwamba amechanika hapo usoni,wewe unajua ni jinsi gani nilivyo pata naye tabu huyu mtoto hadi kufikia hatua hiyo aliyo kuwa nayo?”

      “Hapana mama yangu ila ukitaka kuhakikisha mwanao ni jeuri jana nilirekodi kila kitu alichokuwa akinijibisha na mimi”

      Afande Sele akatoa simu yake kisha akaweka sehemu sauti zetu tulizo kuwa tuna jibishana jana usiku kuanzia tulipokuwa barabarani hadi tulipofika kituoni.Mama akaachia msunyo mkali huku akinitazama kwa macho makali kiasi kwamba nikajikuta ninaanza kuogopa

      “Haya afande asante na samahani kwa kukusumbua……Afande Methew huyu kijana wangu niachie mimi nitamnyoosha tuu tembo hawezi kushindwa na mkonga wake”

      “Sawa muheshimiwa waziri nimestuka san akukuona huku kwetu asubuhi asubuhi”

      “Aaaa wee acha tuu ni kwaajili ya huyu mjinga mmoja hapa.Haya kachukueni kila kitu chenu na niwakute kwenye gari”

      Tukatoka na dereva na kup

      fitia mapokezi na kukabithiwa kila kitu kilicho chetu kisha tukaenda kwenye gari la mama ambalo ni gari la kazini kwake.Baada ya muda mama akatoka huku akiwa ameongozana na yule asjari aliye nipiga huku wakiwa wanazungumza kama marafiki kisha wakapeana mikono na kutufwata sisi tulipo na safari ikaanza huku akiendesha dereva wa kazini kwake

      “Eddy hicho kinywa chako kichafu umekianza lini na nani aliye kufundisha matusi?”

      “Hakuna mama”

      “Kwa hiyo siku hizi wewe umekuwa hadi unawatukana askari wa watu si ndio?”

      “Mama wao walipo anza kukutukana wewe ndi…..”

      “Ndio na wewe ukaamua kuwatukana….Unajua Eddy sishindwi kukuweka ndani hadi hicho kichwa chako kikae sawa…Unaljua hilo?”

      “Likini mama wao ndio chanzo mimi nilikuwa ninarudi kuchukua sijui PF nini huku ili nikamtibu majeruhi tuliye muokoa sasa wao ndio wakaaanza chockochoko hadi wakanilaza ndani”

      “Na wewe Hamisi kwa nini ulimuachia huyu mwehu aendeshe gari kazi imekushinda?”

      “Hapana mama nakuomba unisamehe”

      “Sasa ni hivi itabidi ukanionyeshe huyo majeruhi wanu aliye wachanganya hadi mukajikuta munafanya vitu vya ajabu”

      “Mama si wewe uendee tuu”

      “Niende wapi?”

      “Dar”

      “Tena tukitoka kwenda kumtazama huyo mgonjwa wenu sote tunarudi Dar ukanieleze huo utumbo wako ulio ufanya”

      “Sawa je na gari tulilo kamatwa nalo lipo wapi?”

      “Limesha pelekwa nyumbaini”

      “Na nani?”

      “Eheee usinihoji hoji maswali yako ya kijinga sawa?”

      “Sasa mama hilo ni swali la kijinga?”

      “Eddy mwanangu hembu niache kichwa changu kitulie”

      Kila tulivyo zidi kuifika Zahanati tuliyo mpeleka Manka jana usiku moyo wangu ukaawa unapoteza amaini kisi kwamba nikaanza kuhisi hali yahatari kichwani mwangu.Tukafika kwenye Zahanati na madaktari walipo muona mama wakaanza kuhaha kwani wanadhani amekuja kwa ajili ya kuwakagua.Mtu wa kwanza kukutana naye ni mganga(daktari) mkuu wa Zahanati hiyo

      “Huo ndio utaratibu wenu wa kazi?”

      Mama alizungumza huku akimshika shati huku likiwa limejikunja kunja kama limetafunwa na ngombe kisha likatwemwa

      “Ha….haapa muheshimiwa”

      “Na koti la kazi lipo wapi?”

      “MMmmm lilipo ofisini?”

      “Sasa hivi saa ngapi na muda wa kuripoti kazini ni saa ngapi?”

      Daktari akaanza kubabaika babaika huku akijikuna kuna nywele zake zilizokosa kupitiwa na kitana kwani zimejinyongorota kiasi kwamba ni shida tupu

      “Daktari mzima huna hata saa ya mkononi,pili haupo smart kimavazi unazani huyo mgojwa ukikuona wewe si ugonjwa wake unaweza kuongezeka kutokanan na uchafu wako,tatu unaonekana ndio unatoka kuamka mida hii na bado unanuka pombe kiasi kwamba unatia kinyaa.Sijui hata huo udaktari umeupataje”

      “Hapana muheshimiwa”

      “SNikimaliza unione”

      Mama akamuacha daktari na kuafwata wananchi walio kaa kwa wingi kwenye foleni isiyo sogee kiasi kwamba wagojwa wamechoka sana. na foleni hiyoAkawasalimia wananchi na wakamuitikia kwa furaha kisha akaanza kuwahoji mwaswali,nikapata upenyo wa kwenda katika chumba alicho ingizwa Manka jana usiku na nikajikuta wasi wasi wangu ukizidi kuongezeka hii ni baada ya kumkuta Manka hayupo ndani ya chumba hicho





      Nikabaki nimesimama huku sielewi ni kitu gani nifanye nikageuka kiunyonge na kukutana na daktari tuliyemkuta jana usiku akiwa anatembea mwendo wa kasi sikujua ni wapi anapoelekea ikanibidi nimsimamishe

      “Daktari vipi”

      “Salama mdogo wangu nakomba tuzungumze baadaye mimi ngoja niondoke hali imeshakuwa mbaya”

      “Sijakuelewa dokta?”

      “Kuna waziri wa afya amekuja hapa tayari dokta mkuu ameshapigwa chini wewe nakuomba tuondoke kama vipi njoo tuzungumze nyuma huku”

      Nikatoka huku nikicheka kimoyo moyo na kusema laity anegejua huyo mtu anaye mkimbia ni mama yangu wala asinge zungumza na mimi

      “Ehee kijana shida yako ni nini?”

      “Dokta jana nilileta mgojwa hapa mida wa usiku alipatwa na….”

      “Ohooo nimekumbuka huyo mgonjwa wako tumemsafirisha kuelekea katika hospitali ya K.C.M.C”

      “Hali yake ikoje?”

      “Si nzuri sanaa na kama tungembakisha hapa angetufia bure…..Kijana hembu nakuomba uniache niende kwani huyo mama namuona anakuja huku”

      Dokta alizungumza huku akichungulia chungulia kupitia mlango tulio tokea nje huku akianza kupiga hatua za haraka kuelekea kwenye njia ya kichochoro iliyopo karibu na Zahanati hiyo.Nikarudi ndani huku nikiwa nawaza ni nini nifanye ili mama aweze kunielewa kama ni kuenda shule niende siku hiyo hiyo.Mama akamaliza kuzungumza na madaktari pamoja na manesi alio wakuta

      “Ehee wee huyo mgonjwa wako yupo wapi?”

      “Wamesema wamemuamisha hospitali”

      “Nani kasema?”

      “Waulize hao madokta hapo”

      “Eti kuna mgonjwa aliletwa jana amepata ajali?”

      “Ndio muheshimiwa”

      “Ahaa bahati yako haya jamani tekelezeni yale niliyo waambia ni bora mupoteze kazi nyinyi kuliko kupoteza nguvu kazi ya taifa kwa vifo vinavyo sababishwa na uzembe wenu na kuanzia sas hivi Kiongozi mkuu atakuwa huyo hapo bwana nani vile?”

      “Bwana John Henry”

      “Ok bwana John ndio atakuwa kiongozi wenu kwa muda hadi pale wizara itakapo leta mtu daktari mwengine sawa jamani”

      Madaktari na Manesi wakamuitikia mama kisha akaagana nao pamoja na wananchi kisha tukaingia ndani ya gari na safari ya kurudi nyumbani ikaanza.Tukafika nyumbani mida ya saa saa nane mchana.Wakanishusha getini kisha mama akaelekea kwenye mishuhuliko yake.Mida ya jioni mama akarudi huku akionekana amechoka nikamsalimia na moja kwa moja akaenda chumbani kwake na kulala.Nikakaa nyumbani kwa siku mbili na bila ya kuzungumza na mama kuhusiana na swala la kurudi shule

      “Eddy shule unakwenda lini?”

      Mama aliniuliza baada ya kupita mbele yake nikitokea nje huku yeye akiwa amekaa sebleni akitazama taarifa ya habari ya saa mbili usiku

      “Mama nakusikilizia wewe?”

      “Unanisikilizia mimi hivi una akili kweli mwanangu?”

      “Sasa mama kuzungumza hivyo ndio mimi sina akili?”

      “Nakuona bado una akili za kitoto.Sasa anaye soma ni mimi au wewe?”

      “Ila kumbuka mama wewe ndio uliye niruduisha nyumbani”

      “Nilikurudisha iliakili yako ikae sawa.Na sijui hiyo PCB yako unaisoma vipi?”

      “Mama mimi Genius”

      CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

      “Mmmm genius uwe wewe,kesho shule na uondoke na gari ya kwanza uwahi kufaika shuleni?”

      “Mama siwezi kusafiri ijumaa”

      “Pumbavu wewe usiniletee ujinga nimekuambia kesho alfajiri nikitoka kwenda kazini ninakuacha ubungo sawa”

      “Ila mama hizi safari zako za kustukiza huwa sizipendi kama nini”

      “Upende usipende kesho shule”

      Kama alivyozungumza mama safari ya kurudi shule ikaanza na akaniacha stendi ya mabasi ya Ubungo mida ya saa kumi na moja asubuhi kisha yeye akaelekea ofisini kwake sikujua ni kwanini siku hiyo amewahi sana kwenda ofisini.Nlicho kifanya ni kutafuta nyumba ya wageni(gest house) iliyo karibu na stendi kwa bahati nzuri nikapanda chumba nikaingia na kulala hadi mida ya saa tatu asubuhi kisha nikarudi stendi na safari ikaanza kwa kutumia basi Dar Express na katika siti niliyo kaa nipembeni yangu kuna msichana amavalia baibui ninja na ningumu kuweza kuiona sura yake.Hatukusemeshana chochote kiasi kwamba safari nzima kila mtu akawa kimya,kwa bahati mbaya tukakuta ajali ya roli mbili zimegongana maeneo ya Wami kiasi kwamba ikatuchukua muda mrefu kukaa barabarani tukisubiria gari hizo kuja kuondolewa kutokana zimeifunga barabara na hapakuwa na uwezekano wa magari kupita

      “Aisee hii ajali inatuchelewesha”

      Msichana niliye kaa naye alizungumza na kunifanya nimtazame kwa muda kisha nikamjibu

      “Wee acha tuu yaani nilisaa la tatu tumekaa hapa na hiyo foleni hapa hadi tuimalieze ni shughuli”

      “Ndio tatizo la nchi yetu kukitokea jambo kama hili basi wahusika wataanza kujivuta vuta usishangae hapa tunakaa zaidi ya masaa kumi”

      “Kweli na hapa mtu huwezi kusema utahairisha safari kwani nyuma yetu kuna foleni mbele huko ndio usiseme”

      “Kuna biashara zangu nilitaka kuziwahi ila hapa nimesha chelewa itanilazimu kulala Arusha kitu nilichokuwa sijakipanga kabisa”

      “Ulitaka urudi le oleo?”

      “Ndio ila kwa hali hii nahisi hapa kuna kulala”

      “Wewe ni mfanya biashata?”

      “Ndio ninachukua mizigo ya nguo za wanawae na watoto kutoka Dar na kwenda kuiuza Arusha”

      “Ahaa hivi hiyo biashara inalipa?”

      “Ina lipa pale mtu unapokuwa mchakarikaji ila ukiwa goi goi utaiacha kazi…..Vipi wewe uanashughulika na nini?”

      “Mimi ni mwanafunzi nipo kidato cha tano”

      “Ahaaa ila si hamjafunga bado?”

      “Ndio ila mimi kuna matatizo kidogo yalinipata ndio nikarudi nyumbani ila sasa hivi kidgo nipo powa”

      “Soma bwana sisi wengine tulikimbia shule na sasa hivi tunazunguka zunuka na dunia”

      “Sawa ila hata wanao soma pia wanaangaika na dunia”

      “Ni kweli ila huwa ninawashangaa sana wale wanaosoma na kutaka kuajiriwa.Wanashinda kutumia elimu walizo nazo katika kubuni miradi itakayo waingizia pesa wanakazi ya kukaliaa kuhangaika na vijibahasha vyao kwenye maofisi ya watu na mbaya zaidi unakuta mshaara anao lipwa ni waajabu sana”

      “Yaani wee acha tuu mdoi maana mimi katika maisha yangu sijapanga kuja kuajiriwa nahitai nijiajiri mimi mwenyewe”

      “Ukiwa na nia na malengo utaweza hakuna kinacho shindikana chini ya jua”

      Gafla tukasikia mlipuko mkubwa ukitokea katika magari ya mbele ya magari yetu na ikatulazimu tushuke kwenye gari haraka kwenda kuangalia ni nini.Tukakuta moshi mwingi mweusi ukisambaa angani na hauku magari mawili ya mbele ikiwemo roli la mafuta lililo pata ajali yakiteketea kwa moto mwingi.Watu waliopo kwenye magari ya karibu na magari hayo yanayo waka moto wakaanza kukimbia kurudi nyuma tulipo sisi na kusababisha msongamano mubwa wa watu wanao jaribu kuziokoa roho zao

      “Huu moto utakuja tuu huku”

      Msichana alizungumza huku akiwa anafunua kitambaa kilicho iziba sura yake na kujikuta nikimeza fumba kubwa la mate na kubaki nikimtazama jinsi alivyo jaliwa uzuri wa sura kiasi kwamba nikajikuta nashindwa kumjibu kitu

      “Vipi mbona unanishangaa?”

      “Ha…haaa pana”

      Kabla sijajibu chochoye gari nyingine mbili zikashika moto na kuanza kuteketea na kwa mahesabu ya haraka haraka gari letu ni la nane kutoka katika gari nne zinazoteketea kwa moto.Polisi wa kikosi cha barabarani wakaanza kuwaomba watu kurudi nyuma kwani hali sio nzuri na muda wowote magari mengine yanaweza kufwata katika kuungua kwa moto.Nikaingia ndani ya basi na kuchukua begi langu la nguo pamoja na pochi kubwa ya msichana huyo kisha nikashuka na tukajumuika na watu wengine kurudi nyuma huku tukizipisha gari za zima moto kufanya kaziyao

      “Kaka unaitwa nani?”

      “Ninaitwa Eddy wewe je?”

      “Mimi ninaitwa Sheila”

      “Una jina zuri”

      “HAhaaaaa wapi mbona jina la kawaida”

      “Ebwaane ehee hapa safari inaweza ikaahiriswa?”

      “Sijui tusubirie matoke kwa maana hapa hali imeshakuwa mbaya”

      Kazi ya kuuzima moto unao waka ikaanza kuwashinda wazimaji kwani magari mengine yakaanza kushika moto kwa kasi na mbaya zaidi katika eneo tulilo kuwepo upepo wake ni mkali kiasi kwamba husababisha moto huo kuyapata magari mengine.Watu baadhi wakaanza kupanda boda boda za pikipiki kuondoka katika eneo hilo huku watu wengine wakiyalilia magari yao yanayo teketea kwa moto na kujikuta nikaanza kumcheka jamaa mmoja anayelia

      “Eddy unacheka nini?”

      “Yule jamaa pale aliye kaa chini kwenye majani ameunguliwa na ile Nohah yake kule mbele”

      “Ndio unamcheka mwenzoko?”

      “Hapana ninachokicheka mimi ni maneno yake anadai gari ameichukua juzi kwa mkopo wa benki alafu leo limeungua moto”

      “Masikini wee kaka wa watu hadi huruma”

      “Kweli anatia huruma ila vitu vya mkopo vinapo pata majanga kama haya hukufanya upagawe na kulia kama mtoto mdogo”

      Tukaendelea kukaa kwa masaa matatu mbeleni ila matumaini yetu yakaanza kupotea taratibu huku sote tukishuhudia basi letu likiwa ni miongoni mwa magari yanayo teketea kwa moto.Nikiwa nimeduwaa simu yangu ikaita na kukuta mama ndio anaye piga

      “Wewe umeshafika wapi?”

      “Mama ndio tunakaribia kuingia Moshi”

      Ikanilazimu kukaa kumdanganya mama kwani tangu ninaondoka nyumbani alikuwa akinisema sema na kuniona mimi ni mzembe wa kuto kupenda shele isitoshe aliniambia niondoke na gari la kwanza kwenda Arusha mida ya saa kumi na moja alfajiri ila kwa uzembe wangu nikaondoka na gari la saa nne asubuhi

      “Ahaaa nilijua umekwama hapo WAME”

      “Hapana tumepapita muda mrefu sana hapo wami kwani kuna nini?”

      “Kuna magari yamepata ajali hapa natazama breaking news kwenye Tv ndio maana nikakuuliza”

      Moyo ukanipasuka kwani katika sehemu niliyo kuwepo kuna Camera za waandishi wa habari ila sikujua ni waandishi wa kituo gani cha habari.

      “Haya mama simu yako inakata kata sikusikii vizuri “

      Mama akakata simu ikanibidi nimshike mkono Sheila na kusimama naye mbali kidogo na walipo waandishi wa habari

      “Vipi mbona ngija ngija za kuvutana?”

      “Ahaa nimeamua tuje tusimame huku nifanye mpango wa kutafuta pa kwenda kulala ka maana hapa naona safari hakuna tena”

      “Si urudi nyumbani?”

      “Nyumbani hakurudiki itanilazimu nikalale hoteli”

      “Mmmm basi fanya hivyo ngoja mimi nione kama kuna uwezekano wa kuendelea na safari”

      “Sidhani kama utaweza kuendelea na safari”

      “Eddy mbona unanikatisha tama?”

      “Sikukatishi tamaa ila ndio ukweli wenyewe”

      “Powa basi twende kwangu”

      “Kwako?”

      “Ndio unaogopa nini kwani?”

      “Siogopi ila nisije nikavunjwa meno tu”

      “Uvunje meno na nani?”

      “Na wanao miliki mali yao”

      “Hakuna kitu kama hicho”

      “Sawa”

      Tukapanda boda boda za pikipiki hadi chalinze na tukakodi taksi hadi nyumbani kwa Sheila maeneo ya Kimara na tukasimama mbele ya nyumba ya kifahari nyenye geti kubwa.Sheila akamlipa dereva taksi kisha tukashuka akafungua geti na kuingia ndani na nyumba imetawaliwa na ukimya mkubwa

      “Mbona kupo kimya?”

      “Ninaishi peke yangu”

      “Kumbe una maisha mazuri hivi?’

      “Wapi nimepanga tuu hapa”

      Tukaingia ndani na Sheila akanikaribisha kwenye sofa zake na kunipa kunipa maji ya baridi kisha yeye akaingia ndani.Ktokana kupo kimya sana nikaona ni bora niwashe Tv iliyopo hapo sebleni na nikachagua chagu CD zilizopo juu ya spika za redio na kuipata CD moja isiyo na maandishi ya aina yoyote wala kuwa na picha.Nikaiweka kwenye deki kisha nikapunguza sauti hadi mwisho kwani ninakumbuka yaliyo nikuta kwa Madam Mery kwa kukuta CD ya ngono.Kajacho kembamba kakaanza kunimwagika baada ya kuona CD hityo ikionyesha mazingira ya humu sebleni na katika kochi nililo kaa mimi kulikuwa na jamaa amekaa huku akipiga kelele na akionekana analia kama mtoto mdogo.Camera ikashushwa chini kidogo na nikaona jamaa akivuja damu nyingi sehemu zake za siri kiasi kwamba damu zikaanza kunisisimka.Mapigo ya moyo yakazidi kunienda mbio baada ya kumuona msichana akiwa amesimama mbele ya kamera huku akiwa uchi na mkononi mwake akiwa ameshika uume wa mwanaume ulio katwa

      Mwanamke huyo akaishika kamera na kuipandisha juu kidogo na kuiona sura Sheila huku akiwa ametabasamu na kuzungumza maneno yaliyozidi kuniogopesha

      “KILA MWANAUME KWANGU NIKITEGA UCHUMI HAHAAAAAAAAAAAAAA…………”





      Baada ya Sheila kuzungumza maneno hayo akaanza kuutafuna uume wa mwanaume alio mkata na kunifanya nifumbe macho kwa kuogopa kitu anacho kifanya.Kishindo cha mtu kukaa pembeni yangu huku akionekana kujirusha juu ya sofa hilo ukanifanya nistuke huku nikiyafumbua macho yangu na kumkuta Sheila akiwa amekaa huku ameshika glasi ya maji ya kunywa

      “Mbona umestuka?”

      “Haaaaa…..?

      Nilijibu kiwoga ila nikajitahidi kujikaza ili Sheila asijue kuwa nimeogopa kwa kitu nilicho kiona kwenye CD hiyo.Kwa macho ya kuiba nikaitazama movie niliyo iweka na kumuona Sheila akicheka pamoja na watu wengine wawili ambao ni wanaume wakiwa wamevalia boxer,Ikanibidi sura yangu kuigeukia kioo cha luninga huku nikiwa na wasiwasi kwa mbali huku jicho langu moja nikimtazama Sheila kwa umakini.Nikazidi kushangaa baada ya kumuona jamaa aliyekatwa uume na Sheila akisimama na kumfwata Sheila aliye simama mbele ya video camera na kumkumbatia kwa nyuma huku wote wakipunga mikono yao kwa mtazamaji kwa ishara ya kumuaga mtazamaji.

      “Hii movie imeniingizia pesa nyingi sana,japo mara ya kwanza ilinipa shida katika uchezaji wake”

      “U…nata…ka kusema hii ni m…ovie?”

      “Ndio ni movie ila hao jamaa nilio cheza nao ni Wamarekani na sio Watanzania….”

      Nikashusha pumzi taratibu huku nikimgeukia Sheila na kumtazama machoni,tukatazamana kwa dakika kadhaa kisha nikayarudisha macho yangu kwenye kiooo cha Tv(Luninga) na kukuta kioo kimeandika SAMSUNG DVD ikimaanisha ni jina la deki hiyo na CD niliyo iweka imefikia mwisho

      “Sheil bado sijakuelewa…….Unataka kusema hii ni Movie?”

      “Ndio jamani ni movie hiyo na hiyo CD uliyo itazama ni CD ya DEMO?”

      “DEMO…..Demo ndio nini?”

      “Eddy kwa ujanja wako wote unao onekana unataka kusema wewe huijui DEMO ni nini?”

      “Ndio maana nikakuuliza”

      “Ok…..Demo ni kipande cha kazi au kazi nzima ya filamu kikiwa hakijafanyiwa marekebisho au kimefanyiwa marekebiho tayari ila si rasmi katika kuuzwa”

      “Hapo kidogo nimekupata pata…..Sasa hii movie si mumecheza uchi kabisa?”

      “Ndio kama nilivyo kuambia pale mwanzoni kuwa hii filamu ilinipa shida sana katika kuicheza na hicho ulicho kitazama ni kipande kifupi tuu.Mkanda wenyewe upo chumbani kwangu”

      “Sasa kwa nini uliamua kucheza filamu kama hiyo ambayo ni kinyume na maadili ya Kitanzania?”

      Sheila akaanza kunitazama kwa macho ya unyonge kisha akanyanyuka na kukaa mbele yangu kwenye meza na akanyanyua glasi ya maji ya kunywa na akapiga mafumba mawili ya maji kisha akakohoa kidogo kulisuuza koo lake kisha akainama kidogo huku mikono yake akiiweka juu ya mapaja yake na kuikutaniha kwa pamoja na kuanza kuminya minya vidole vyake kimoja baada ya kingine

      “Eddy katika maisha kuna vitu vingi ambavyo wanadamu huwa tunapitia…..Hii yote ni ili tupate mafanikio ambayo yanaweza kukufanya ukaishi maisha uyatakayo”

      “Ni kweli ila sijajua ni kwanini ulichukua maamuzi kama hayo ya uchezaji wa filamu za uchi?”

      “Eddy japo leo ndio siku ya kwanza kuonana mimi na wewe ila nimetokea kukuamini na utakuwa ni mtu wa kwanza kujua historia ya maisha yangu ila nitakuadisia kwa ufupi tuu na sinto hitaji maswali mengi……..Nimeishi na bibi yangu tangu mimi nipo mdogo na kwa kipindi chote nilichokuwa nikiishi na bibi yangu sikuwahi kusikia story zinaso husu wazazi wangu.Kasi kwamba ikafikia hatua nikawa ninamlazimisha bibi yangu niweze kuwajua wazazi wangu.Sinto isahau siku ya Octobar 5,hii siku inanikumbusha mambo mengi ambayo kusema kweli yananiumiza”

      Sheila alizungumza huku machozi yakianza kumchuruzika taratibu huku akiendelea kuviminya minya vidole vyake taratibu akachukua tena glasi ya maji na kunywa kidogo kisha akaendelea kuzungumza

      “Sku hiyo bibi yangu alianza kuugua,nikamkimbiza hospitali ya Muhimbili na uchunguzi wa madaktari ulionyeha kuwa bibi yangu moyo wake ni mkubwa tofauti na kiasi chamoyo unavyo takiwa kuwa.Wakaniambai kuwa ninahitajika kufanya utaratibu ili niweze kumpeleka nchini India kwa matibabu zaidi…..Nakumbuka kipindi icho nilikuwa nipo katikati ya mtiani wa kumaliza kidato cha nne.Sikuwa na jinsi zaidi ya kwenda kwa rafiki wa bibi zangu ambao walikuwa ni manesi wezake,Huwezi kuamini wale rafiki zake walitoa visingizio vingi sana ikimaanisha hawataki kumsaidia rafiki yao……Na wengine wakaanza kuzusha eti bibi ni mchahwi na kwakipindi chote nilicho ishi na bibi yangu sikuwahi kumuona ndugu yake hata mmoja akikanyaga katika nyumba tunayo ishi na pia sikuwahi kumuona bibi akikosa kuhudhuria Kanisani siku za jumapili……Eddy kuanzia hapo ndipo ndipo nilipo anza kuamini kuna watu na viatu humu duniani kwani nilikwenda kanisani kuonana na mchungaji wa kanisa ambalo bibi alikuwa akisali na alikuwa mzee wa kanisa na mimi pale nilikuwa ninafahamika sana kutokana nilikuwa muimbaji mzuri wa kwaya na mmoja wa wanamaombi katika kanisa lile.Mchungaji akaniahidi kunisaidia swala la bibi yangu ila akanipa sharti moja ili aweze kunisaidia”

      “Lilikuwa ni sharti gani?’”

      “Mmmm aliniomba nimpe penzi ndio amsaidie bibi yangu….Kutokana bibi yangu alikuwa na hali mbaya nikaona sina ujanja katika hilo ikanilazimu nimvulie chupi mchungaji na akawa mwanaume wangu wa kwanza kumvulia chupi……Eddy huwezi kuamini yule baba hakunipa hata shilingi kumi na mbaya zaidi akatangaza kanisani kuwa mimi ninamlazimisha kufanya naye mapenzi na ikafikia hatua kanisa likanitenga.Niliumia sana tena sana,hali ikazidi kuwa mbaya pale nilipofika nyumbani na kukuta nyumba tunayo ishi imefungwa na makufuli mengine na benki waliitaifisha kwa madai bibi yangu alikwenda kukopa shilingi milioni hamsini na takribani miaka mitatu ilipita na hakuweza kurejeha kiasi walicho kubaliana kwa mwenzi.Na nilipo muuliza bibi juu ya mkopo huo akasema ni kweli.Ila alisema aliweka milioni 45 DESI naamini unaikumbuka ile benki ya kuweka na kuvuna baada ya miezi mitatu?”

      “Ndio ninaikumbuka”

      “Basi pale bibi yangu alikwenda akaziweka hizo pesa na hakuna kilicho tokea katika kuzirejesha kiasi kwamba bibi yangu ndipo alipo anza kupata matatizo hayo ya moyo”

      “Ilikuwaje hadi benki wakamkopesha pesa zote hizo?”

      “Kusema kweli hata mimi sijui ni kwanini walimkopesha kiasi hicho cha fedha…..Baada ya hapo nikaanza kujihisi mabadiliko katika mwili wangu na kwakipindi hicho nilikuwa nikiishi kwa jirani zangu huku nikiendelea kulishuhulikia swala la bibi.Kunasiku nilianguka kwenye chumba cha mtihani wa mwisho wa kidato cha nne na kukimbizwa hospitalini nikajulikana nilikuwa ni mjamzito wa wiki moja na nusu.Nilizidi kuchanganyikiwa kwa uchungu na sikua na jinsi ikanibidi niweze kuitoa mimba aliyonipa mchungaji japo natambua nilifanya kosa mbele za Mungu ila sikuwa na jinsi…..”

      Sura ya Sheila ilitawaliwa na machozi na kunifanya na mimi kwa mbali achozi kunilenga lenga kwani kwa jinsi nilivyo mchukulia baada ya kuiona CD yake sivyo alivyo

      “Nilitumia kidonge Fulani katika kuitoa mimba yangu hata jina silikumbuki la kidonge hicho alichonipa dokta mmoja aliyekuwa akifanya kazi na bibi…..Lengo la dokta lilikuwa ni kunitaka kimapenzi na baada ya mimba kutoka akaniomba anisafishe ili kizazi changu kisiharibike…Ila kipindi anamaliza kunisafisha aliniingilia kinguvu hadi akafanikiwa kunibaka….Basi ilinibidi nianze kufanya kazi ya kuuza mwili wangu huku pesa ninayo ipata ninamlipia bibi pesa ya kukaa wodini kwani hata ningesema nimrudishe nyumbani hatukuwa na pakuishi……Mwaka jana mwezi wa pili nikakutana na hao jamaa kupitia Facebook na wao ni waongozaji wa movie za ngono wanao chipukia nchini Marekani……Nikawasiliana nao na nikawaelezea maisha yangu kuwa nina mgonjwa nina muhudumia ikawalazimu wao kuja huku Tanzania kwani walinihitaji mimi niwafwate kule na wakakodisha nyumba hii na kulipa pango kwa miaka mitatu.Ndipo hapo nikajikuta nikiigiza filamu hiyo ili lengo langu bibi yangu nimuuguze apone……..Siku ambayo ninatoka kuwasindikiza jamaa Airport na tayari walisha nipa changu ndipo nesi mmoja akanipigia simu na kunipa taarifa kuwa bibi yangu amefariki dunia”

      Nikajikuta nikishusha pumzi taratibu huku jicho mmoja likichuruzikwa na machozi na kujikuta nikitoa kitambaa na kujifuta machozi

      “Eddy nililia sana tena sana kwani juhudi zangu za kuuza mwili wangu na kufanya shunguli za kishenzi ila sikuweza kutimiza adhima yangu ya kuyaokoa maisha ya bibi yangu…..Inaniuma tena sana”

      Sheila alizungumza kwa uchungu na kuitupa glasi ya maji chini na kunyanyuka na kuanza kuikanyaga glasi hiyo kwa kutumia miguu yake iliyo vaa kandambili(malapa).Ikanibidi nimshike kwa nyuma Sheila kumzuia kuendelea kuikanyaga galsi hiyo kisha nikamnyanyua na kumlaza juu ya sofai kaba sijanyanyuka akanivuta shati na tukabaki sura zetu zimesogeleana huku kila mmoja akimwagikwa na machozi.Nikaushusha mdomo wangu taratibu kuelekea zilipo lipsi za Sheila ila akaukwepa mdomo wangu na kujikuta mdomo wamgu ukitua kwenye shavu lake.

      “Samahani Sheila”

      “Hapana hujanikosea”

      Sheila akaniomba anyanyuke kisha taratibu akanishika mkono na kuninyanyu na kuelekea chumbani kwake.Akanikalisha kitandani na kufungua droo yake na kutoa Laptop na kuja nayo kitandani akaiwasha na akaanza kufungua fungua mafile na kuweka filamu aliyo icheza.

      “Hii filamu walinitumia kwenye mtandao baada ya kumaliza kuifanyia Editing”

      “Na walikulipa kiasi gani?”

      CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

      “Ni siri yangu nimekuamini kwenye mambo mengine ila sio pesa”

      “Kweli ni ngumu kuniamini mimi kwani ndio leo tumekutana na nikapata bahati ya kuyajua masha yako ya kiundani”

      “Ni kweli uacho kizungumza”

      “Hivi yule jamaa ulimkata uume wake kweli au?”

      “Hapana kuna vitu walifanya wakampaka paka kama damu kisha ile niliyokuwa ninakula iliyokaa kama uume ilikuwa ni keki iliyotengeneza kwa mfano wa uume”

      “ Weee inamaana sio uume wa kweli uliokuwa ukiutafuna madomoni?”

      “Ndio sio kweli mambo mengine wezetu wapo mbali katika maswala ya utengenezaji wafilamu”

      Tukaendelea kutazama filamu ya ngono aliyo cheza Sheila na kunifanya taratibu hamu ya kufanya mapenzi kuanza kunipanda na kujikuta mkono wangu mmoja nikiupeleka kwenye kifua chake na kuanza kuyachezea maziwa yake yaliyo jazia vizuri kuanza kuyaminya minya taratibu,Sheila akanitazama kwa sekunde kadhaa kisha akaushika mkono wangu uliopo kwenye kifua chake na kuuweka pembeni kwenye kitanda na akanyanyuka kitandani na kufungua kabati lake na kurudi akiwa na pakti za tano za kondom

      “Eddy natambua wewe ni mwanaume rijali ambaye ukiona vitu kama hivi ni lazima usisimke mwili wako…..Nakupenda na sitaki nikuaribie maisha yako kama yalivyo haribika ya kwangu japo hujanisimulia historia ya maisha yako”

      “Sijakuelewa bado?”

      “Nina maana yangu kuzungumza hivyo nahitaji nijue maisha yako kiujumla na wazazi wako?”

      “Ahaaa mimi nimezaliwa katika familia ya maisha ya kawaida sana,Mama yangu ni mwalimu na baba yabgu nimuuza nafaka….Hsafiri kwenda mikoani kununua magunia ya mchele,nahindi na vitu vitu vingine na huvileta hapa Dar na kuviuza na kwetu mimi nipo peke yangu”

      “Ahhh kwa hapa Dar unaishi wapi?”

      “Mbagala rangi tatu”

      Ilinilazimu kumdanganya Sheila kwani katika maisha yangu huwa sipendi kumuadisia mtu juu ya ukweli wa wazazi wangu na uwezo walio nao.Sheila akasimama na kuanza kuvua nguo moja baada ya nyingine na akabaki kama allivyo zaliwa kisha na mimi nikazivua nguo zangu kwa haraka na kubaki mtupu.Sheila akaishika Koki yangu na kuanza kuinyonya ratatibu huku akizilamba lamba kokwa zangu zilizopo chini ya koki yangu na kuifanya mwili mzima kusisismka kwa raha.Nikamlaza kitandani na kuyapanua mapaja yake na taratibu ulimi wangu nikaanza kuupeleka kwenye ikulu yake ila Sheila akajiziba na mkono

      “Usininyonye”

      “Kwa nini?”

      “Huwa sipendi kunyonywa”

      Ikanilzimu kuingiza kidole kimoja kwenye ikulu yake na kuanza kukichezesha kwa utaalamu mkubwa na kumfanya Sheila kuanza kutoa vilio vya raha.Sheila akatoa kondom kwenye kipakti chake na kunivisha kisha akaishika koki yangu na kuingiaza kwenye ikulu yake taratibu huku miguu yake akiwa ameipanua.Shuhuli ikaanza taratibu huku nikiwa na hamu ya kummuonyesha Sheila ujuzi nilio nao kwenye mambo ya mechi za wakubwa kwani kwa jinsi filamu yake inavyo onyesha ni mjuzi na mtaalamu wa haya mambo kupita maelezo

      Mechi ikawa ni piga nikupige kila mmoja akijitahidi kumuonyesha mwenzake shughuli pevu kiasi kwamba ndani ya dakika arobaini na tano tuajikuta miili yetu ikiwa imelowana kwa jasho kiasi kwamba shuka tulilo lilalia limelowa kwa jasho letu na Sheila akajikuta amenilalia kifuani kwagu baada ya mzunguko wa kwanza kuisha

      “Eddy”

      “Naam”

      “Mmmm nimekukubali”

      “Umenikubali na nini?”

      “Shughuli unaijua”

      “Wewe mwenyewe umenipeleka”

      “Mmmm wewe ndio umenipeleka hadi pumzi zikawa zinaniishia……Tangu nianze kuwajua wanaume skufichi wewe ndio umenifikisha pale ninapo pataka”

      “Kweli?”

      “Kweli Eddy…..Sijawahi kumsifia mwanaume ila kwako nimelazimika kufanya hivyo”

      “Kwa nini walikuwa hawakufikishi?”

      “Kipindi nilipokuwa ninafanya biashara ya kujiuza tulikuwa tunafanya mapenzi kwa muda ili mtu uweze kuwahi wateja wengine,Kwahiyo ile ladha yenyewe ya mapenzi mtu ulikuwa huipati kutokana kuna mikaao ukimuwekea mwanaume hazipiti dakika hata kumi ni lazima akojoe”

      “Eheeee!”

      “Kweli na mimi leo nimejitahidi kukuwekea wewe ila mikao yote umeweza kujizuia hadi mimi mwenyewe nikawa nimechoka kupita maelezo”

      “Pole”

      “Asante mwaya…..Unajua katika swala zima la kupeana raha siku zote kila mwanamke anahitaji watu wa aina yako wanaume wengi huwa hawawafikishi wake zao kikamilifu……Utakuta mwengine anajizuia vizuri ila ni mvivu kupita maelezo akikuweka mikao miwili basi unamkuta anahema kama bata mzinga na shuguli yote anakuachia mwanamke”

      “Sheila wewe kiboko lakini….Kuna mkao wako Fulani umeniwekea nikajiuliza hivi hapa sinto kuvunja shingo kweli ila nimejikuta nimeridhika”

      “Mkao upi?”

      “Ule alio weka mikono chini na mimi nime simama na kuyashika mapaja yako kwa juu”

      “Ahaaa…..nisikudanhanye ile ndio mikao yangu ya mwisho mwisho katika mechi nikiona umwanaume unashindwa kuhimili basi najua wewe unaitilafu”

      “Alafu nimekumbuka…..Mbona ulikataa nisikunyonye?”

      “Nina ugonjwa wa YUTIAI nikaona sio vizuri kukuacha unyonye na kupata bacteria”

      “Mmmmmm pole”

      “Asante….Ngoja nikaandae chakula”

      Sheila akashuka kitandani na kutoka chumbani kwake na kuniacha mimi nikichezea chezea laptop yake.Kwa uzuri wa Sheila huwezi kuamini kama alikuwa anafanya biashara ya ngono,Nikanyanyuka kitandani na kujifunga taulo lililokuwa limening’inizwa kwenye kamba msumari uliopo nyuma ya mlango na kutoka kwenda sebleni.Nikamkuta Sheila jikono akikaanga mayai na soseji huku akiwa amejifunga khanga moja na kuyafanya makalio yake kujichora vizuri kiasi kwamba mwili ukaanza kunisisimka.Nikamfwata na kumshika kwa kiuno kwa nyuma na kuanza kukiminya minya taratibu

      “Eddy bwana tulia”

      “Mmmmm kigogo tuu”

      “Eddy unajua nitaunguza hivi vitu huku jikoni”

      “Sawa ngoja nikuache”

      “Umekasirika?”

      “Hapana wewe endelea ni hutaki nikushike”

      “Njoo”

      Sheila akanivuta mkono na kunipiga busu la mdomoni kisha akaanza kuninyonya lipsi zangu taratibu huku mkono wake mmoja akiupeleka kwenye koki yangu na kunishika taratibu na kuanza kuiminya minya

      “Ohhh unaunguaza”

      Sheila akaiachia koki yangu na kugeuza geuza vitu anavyo vipika kisha akaviepua na kuzima jiko lake la umeme na kunigeukia

      “Tule au tunanilio kwanza…..?”

      Sheila aliniuliza huku akiibinua midomo yake na kumfanya azidi kuonekana mzuri kiasi kwamba nikajikuta nikiwa sina jibu la kumpa

      “Eddy Eddy”

      “Naam”

      “Mbona umeduwaa?”

      “Natazama hizo dimpozi zako”

      “Ndio zinakufanya uduwae kiasi hichi?”

      “Ndio”

      “Haya twenda tukale”

      Takasaidiana kubeba vyakula alivyopika Sheila na kuviweka kwenye meza ya chakula kisha akatoa juisi ya matunda kwenye friza na kuiweka mezani na taratibu tukaanza kula

      “Eddy hivi unamchumba?”

      “Sina mchumba”

      “Nyinyi vijana wa bongo ndio zenu ukiulizwa unamchumba unasema huna”

      “Kweli siwezi kukudanganya”

      “Mbagala yote hiyo umeshindwa kupata mchumba?’

      “Nilikuwa naye ila nimeachana naye”

      “Kwa nini uachane naye?”

      “Hajatulia na anapenda penda sana hela”

      “Alikufanya kaji ATM?”

      “Umejuajee”

      “Mshamba huyo”

      “Kwa nini?”

      “Sikuhizi mwanamke hutakiwi kumtegemea mwanaume.Maisha ni kujitaftia ukisema ujibweteke usubirie mwanaume akupe utanyanyasika”

      “Ni kweli….Je wewe una mwanaume?”

      “Tangu niache kazi ya kujiuza sikuwa na haja ya kuwa na mwanaume wa aina yoyote….Namshukuru Mungu nilipima sikukutwa na HIV”

      Nikabaki kimya nikijaribu kuvuta picha ya wanaume wote alio tembea nao Sheila imekuwa kuwa vipi hajaweza kupata HIV kama anavyosema yeye mwenyewe

      “Mbona kimya?”

      “Mmmm hongera kwa kuepuka kwenye hilo gonjwa”

      “Weee acha tuu yaani hapa nilipo nimemrudia Mngu wangu na sitaki ujinga na mwanaume ila nimeshangaa wewe umeziteka hisia zangu na nikakuvulia chupi yangu”

      “Kweli….?”

      “Kweli Eddy huwa mimi ni mtu msema kweli na siku zote katika maisha yangu naogopa sana kumdanganya mtu….Ngoja nikuonyeshe kitu”

      Sheila akasimama na kwenda chumbani kwake na akarudi akiwa amezishika karatasi kadhaa mkononi mwake na kuja kunikabidhi.

      “Hizo ni karatasi zinazo onyesha vipimo vyangu vya HIV kila baada ya miezi mitatu na mara ya mwisho kupima ilikuwa juzi”

      Nikaanza kupitia karatasi moja baada ya nyingine na zinaonyesha Sheila hana virusi vya ugonjwa huo nikaziweka pembani na kumnyuka na kumsogelea Sheila kwenye kiti alicho kaa na kuimnyanyua na kuivuta khanga yake na kuzisogeza shani za chakula pembani huku nyingine zikianguka chini kisha nikamlanza juu ya meza na kuanza kuichezea ikulu yake kwa kidole kimoja kisha nikashika koki yangu na kuanza kuuingiza kwenye ikulu yake

      “Ila Eddy kumbuka nina yutia?”

      “Ila si inaponyeka?”

      “Ndio”

      “Hakuna tatizo”

      Mechi ikaanza huku huku safari hii nikiwa ninaipangua mitego ya Sheila anayo niwekea kiasi kwamba katika mzunguko huu wa pili nikajikuta nikiumuonea kupita maelezo na kutokana mimi ndio mchezeshaji mkubwa wa mechi Sheila akajikuta akianza kumwagikwa na machozi ya furaha na sikujua ni kwanini machozi hayo yanamwagika.Nikambeba na kumuweka kwenye sofa na kazi ikaendelea huku nikijitahidi kumpagawisha Sheila hadi ikafikia kipindi akaniomba apumzike.

      Mapumziko tukaenda kuyafanyia chumbani na baada ya mida mechi ikaaendelea kiasi kwamba tukajikuta tumechoka zaidi ya mara ya kwanza huku tumboni mwangu nikijihisi njaa kunitawala.Hada mechi inaisha hakuna mwenye hamu na mwenzake,tukanyanyuka kiuvivu vivu na kuingia bafuni tukaoga na kurudi kitandani ambapo Sheila akabadilisha shuka na kuweka shuke jengine safi na sote tukalala.Kutokana na ndoto mbaya niliyo ota ya baba kumuua mama kwa kutumia kisu nikaijkuta nikistuka huku jasho likinimwagika na kukaa kitandani.Saa ya ukutani inaonyesha ni tisa usiku

      “Eddy una nini?”

      “Nimeota ndoto mbaya”

      “Ndoto gani?’

      “Baba anamuua mama kwa kumchinja”

      “Usiwaze sana ni ndoto tuu”

      “Kweli ila nimewaacha wakiwa hawana maelewano vizuri”

      “Mmmm si unasimu?”

      “Ndio”

      “Hembu mpigie mama”

      Nikashuka kitandani na kuitoa simu yang kwenye mfuko wa suruali yangu na kumpigia mama,simu yake ikaita kwa muda kisha akaipokea

      “Shikamoo mama”

      “Marahaba vipi mbona usiku usiku”

      “Nilitaka kukusalimia kwani hapa ndio ninatoka darasani kujisoea”

      “Ahaa mimi nipo salama ila kesho ninakwenda kuonana na baba yako Pakistani”

      “Kuna nini?”

      “Kuna maswala nataka nikayaweke sawa”

      “Ninakuomba usiende mama yangu”

      “Kwa nini?”

      “Mmm sipendi tu uende huko Pakistani”

      “Ni mara moja kwani nina muwakilisha Raisi kwenye ziara yake kuonana na waziri mkuu wan chi hiyo”

      “Mama….”

      “Eddy iyo ni kazi mwangu”

      “Unaondoka saa ngapi?”

      “Mchana na ndege ya shirika la KLM”

      “Mama nakuomba usionane na baba”

      “Eddy kwanini unazungumza hivyo?’

      “Nakuomba sana mama yangu usionane na baba huko Pakistani”

      “Sawa mwanangu….Jitahidi kusoma kwa juhudi sawa baba?”

      “Ndio mama nimekuelewa”

      Nikakata simu na kubaki nikiitazama nikastukia kibao kizito kutoka kwa Sheila na kujikuta nikimtazama kwa mshangao

      “Eddy wewe nimuongo”

      “Kwa nini…..!?”

      “Umenidanganya wazazi waako ni watu wa maisha ya kawaida kumbe mama yako ni muwakilishai wa Raisi.Wewe umeona ukiniambia ukweli mimi nitafanyaje?”

      Sheila alizungumza kwa hasira huku machozi yakimtoka

      “Katika maisha yangu nawachukia watu waongo sana.Nimedanganywa sana na wanaume,wewe umenidanganya juu ya familia yako unadani afya yako si utakkuwa pia umenidanganya?”

      “Shee..ila naku…..”

      “Huna cha kuniomba Eddy.Wewe ni muongo nakuomba utoke ndani kwangu sasa hivi”

      “Sheila nakuomba unipe nafasi nijielezeee”

      “SITAKI NASEMA EDDY TOKA NDANI KWANGU”

      Sheila alizungumza huku akinisukuma kitandani na sikuwa na kipingamizi nikashuka huku machozi yakinilenga lenga na kuichukua surualia yangu na kuivaa taratibu.Nikachukua shati langu na kuliweka begani na huku begi langu nikiwa nimelishika mgongoni

      “Sheila ninaondoka huu usiku na umenifukuza mimi kama mwizi…Ila ninakuombea maisha mema.Mimi ngoja nikalale pembeni mwa geti lako ili huu usiku upite nakuomba kwa hilo”

      Nilizungumza huku machozi yakinimwagika na nikafungua mlango na kutoka taratibu huku nikiwa siamini kiu kilicho nitokea



      Nikaendelea kupiga hatua za taratibu hadi nikafika getini na kusimama baada ya kuisikia sauti ya Sheila ikiniita

      “Eddy unataka kwenda wapi?”

      “Kwani wewe unataka kujua hivyo kama nani?”

      “Hapana Eddy mpenzi wangu ninakuomba unisamehe ni hasira tuu,nilidhani kuwa wewe ni wale wale walio niongopea”

      “Kwahiyo mimi unanifananisha na hao watu wako?’

      “Hapana Eddy ila nawaogopa sana wanaume ila kwako hadi ninajishanga ni kwanini imetokea nikakupenda gafla”

      Sheila alizungumza huku akinivua begi langu nililo livaa mgongoni kisha akanishika mkono na tukaanza kurudi ndani taratibu

      “Kwa nini lakini umehitaji niuondoke usiku huu?”

      “Eddy jamani si tumesha yamaliza mpenzi wangu”

      Sheila alizungumza huku akinishika kiuno taratibu na kuanza kuifungua zipu ya suruali yangu na kukiingiza kiganja chake kwenye koki yangu na kuanza kuiminya minya huku akitoa mihemo mizito iliyo anza kuusisimua mwili wangu.Nikaipeleka mikono yangu kifuani mwa na Sheila na kuanza kushika shika chuchu zake moja baada ya nyingine nikainyonya na kumfanya Sheila kuzidisha mihemo yake.Nikamnyanyu na kumuweka juu ya kitanda kisha nikaivu suruali yangu na kuitupa pembeni huku nikiimalizia khanga yake aliyo ivaa kwa kuitupa pembeni

      Vidole vyangu viwili vya kati vikaingia kwenye ikulu ya Sheila na kuanza kuitafuta Gsport kwenye sehemu ilipo jificha huku nikiendelea kunyonya ziwa lake la upande wa kushoto.Sheila akaanza kutoa kilio kingine kilichozidi kunipagawisa kiasi kwamba nikazidi kuviingiza vidole vyangu kwenye ikulu yake.Nikamshika kiuno Sheila na kumgeuza akalala kifudi fudi kisha miguu yake nikaichanua na kwa nguvu nikayabananisha makalio yake makubwa kiasi kisha nikayaachia na kuanza kuyachezesha chezesha kwa viganja vyangu huku nikiyapiga makofi madogo madogo na yakazidi kutingishika

      Koki yangu nikaipaka mate kiasi kisha kwa mkao wake wa kulala na huku akiwa ameipanua miguu yake nikaizamisha kwenye ikulu huku mikono yangu nikiwa nimeikita kwa ngumi kwenye godoro zuri la kitandani taratibu nikaanza kuikarabati ikulu ya Sheila huku nikijitahidi kupiga pande zote nne za ikulu hiyo.Nikagundua kuna upande mmoja nikiukarabati Sheila hutoa kelele za hali ya juu nikajua hapo ndipo anapo pata raha zaidi.Nikazidi kupashambulia kiasi kwamba Sheila akaanza kukichezesha kiuno chake huku makalio yeke yakitingishika kama vibration ya simu,Akajibinu kidogo na kukifanya kiuno cheke kunyanyuka juu kidogo na shughuli ikazidi kunoga na kujikuta nikianza kulalamika huku matusi yakinichomoka mdomoni

      Sheila akjichomoa kwenye koki yangu kisha akanilaza chali na kwa haraka akaikalia koki yangu huku akinitazama kwa macho malegevu na shughuli ikaendelea kwa kasi ya ajabu huku akiwa kama amepandisha mashetani,Kiuno chake kikawa na kizi ya kuizungusha koki yangu kiasi kwamba nikajikuta ninazidi kupagawa kwa shunguhi anayo nionyesha Sheila.Mikono yangu ikashika kiuno cha Sheila na kuanza kumsaidi kumpeleka juu chini chini juu pale ninapo muona akiwa amechoka na kuisiwa na pumzi.Nikamvuta na kifua cheke akakilaza juu ya kifua changu kipana kiasi na kukiminya kwa kutumi mikono yangu na kusababisha chuchu zake kuleta msisimko mlaki mwilini mwangu na shuhuli ikaendelea huku ikiwa kazi yangu ni kukichezesha kiuno changu

      Nikaipanua miguu yangu vizuri huku koki yangu ikiwa ndani ya ikulu ya Sheila na nikavuta pumzi ya kutosha na kwa kwasi ya hali ya juu nikaendelea kuishambulia ikulu ya Sheila na kumfanya azidi kuchanganyikiwa ila sikutaka kumuachia kifua cheke kwani kinanipa joto la kutosha linalo zidi kunipa nguvu na kasi ya kumshambulia Sheila.Kazi ya kiuno cha Sheila ikaanza huku akiendelea kuizungusha koki yangu kama kirungu cha gia kwenye magari aina ya ‘manuel’

      “Eddy nakupenda sana”

      “Na mimi pia Sheila”

      “Mpingoo wako mtamu sana baby”

      “Hata wewe ikulu yako tamu sanaa”

      “Ohoooo…..iiisssss”

      Sheila akazidi kuchanganyikiwa tulipokutanisha viuno vyetu vinavyo katika kwa kasi ya ajabu na kusababisha hali ya chumba kutawaliwa na makelele ya raha.Sheila akajichomoa na kuishika koki yangu kisha akaidumukiza mdomoni karibia yote na kuitoa ikiwa imejaa mate mengi na kuanza kujipiga piga nayo mashavini mwake hadi akaridhika

      “Eddy mpingo wako ni mzuri hadi rahaa”

      “Kweli”

      “Ndio baby….Yaani ninausikilizia hadi masikioni ukiingia kwenye himya yangu”

      “Hata wewe Ikulu yako ina joto la kutosha hadi natamani usiitoe”

      “Ninavyo itoa ninakuudhi?”

      CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

      “Hapana”

      Sheila akairudisha tena koki yangu mdomoni mwake na safari hii akajitaidi kuiinginza yote kisha akaitoa na kuanza kuisugua kwa viganja vyake vilaini.Nikanyanyuka na kushuka kitandani kisha na yeye akashuka kama vile alijua akajiinamisha huku akishika uzio wa kitanda kwa mikono yake miwili huku taratibu koki yangu ikirudi kwenye ikulu yake na kuendelea na kazi.Kutokana nimesimama kwa miguu yote miwili kasi ya ukarabati ikazidi kuongezeka na kumfanya Sheila kuanza kunitukana matusi mazito yaliyozidi kunipa nguvu ya kuendelea kuishambulia ikulu yake

      “Shei……..”

      “Ehe…….”

      “Kwa nini ulinifukuza…….”

      “Ni…..likuwa nat….ania……baby”

      “Kweli?”

      “Ehheeee…….”

      “Unanipenda?”

      “Nd…ii…..ooooo….Uwiii mamaaa weeeeee”

      Nikazidi kuongeza kasi huku misuli ya mapaja yangu ikiwa imejitokeza ikonekana kweli imehimili vishindo vya mashambulizi ninayo yafanya

      “Ulilipwa bei gani katika filamu yako”

      “Mii…..lionim….oja na nu…suuuuu”

      “Unanidanganya eheee?”

      Nikaongeza kasi huku kiganja changu kimoja nikimshika Sheila nywele zake ndefu na kuzivuta kwa nyuma nilipo mimi

      “Haaa…..ppppppaaaaanaaaaa Edddy…”

      “Sasa sema ulilipwa kiasi gani?”

      “Mil…..ioni moja ba….by ya…..kimarekani”

      “Utakuwa na mwaname mwengine zaidi yangu?”

      “Haaaaaapana E….E….Eddyyyy….”

      Sheila alizungumaza kwa sauti ya kukata kata kiasi kwamba nikamuonea huruma na kumuachi nywele zake kisha nikamchomoa kwenye koki yangu na kumbeba huku miguu yake akiipitisha kiunoni mwangu na kuiunganisha kwa pamoja kwa nyuma huku mikono yake akiipitisha kwenye shingo yang.Nikaizamisha koki yangu ndani ya ikulu na mikono yangu ikayashika makalio ya Sheila vizuri na kuendelea kuyawezesha katika kuikalia koki yangu ambayo inahasira kali kama Mbogo aliye jeruhiwa na risasi.Sheila akanza kuninyonya masikio kwa ulimi wake na kujikuta nikizidi kupagawa na kuongeza kasi ya kumkalisha kwenye koki yangu.Nikahisi kuchoka kusimama na taratibu nikakaa kwenye kiti ambacho mara nyingi ninaviona kwenye maofisi makubwa na hutumiwa na mabosi wengi

      Sheila akaanza kazi ya kukatika huku akinitolea jicho kali akionekana anakimbilia kufika kileleni na mimi sikutaka nimchoshe sana na nikazivuta hisia zangu kwa kasi ya ajabu na kwa mbali nikaanza kusikia risasi zikijiandaa kutoka.Gafla Sheila akanyanyuka na kufanya risasi zisimame na akageuka na kunipa mgongo na kuikalia koki yangu huku mguu mmoja akiuweka kwenye paja langu na kuanza kukizungusha kiuno chake huku akiyachezesha makalio yake na kuzidi kunipa raha ambazo mwanaume yoyote rijali ni lazima atatoa miguno endapo atakunata na mtu kama Sheila

      Sheila akazidi kukichezesha kiuno chake na safari hii amejiinua kidogo na kuanza kuikatikia koki yangu maeneo ya kwenye kichwa na kujikuta nikifumba macho yangu na kwa mbali nikianza kuitukana safari ya kwenda shule huku nikiaanza kupanga mipango ya kukaa kwa Sheila japo kwa wiki moja ndio niende shule na uzuri wenyewe mama anaondoka nchini kikazi.Sheila akashika chini kwa mikono yake na kuanza kukatika kwa kasi ya ajabu na kujikuta miguu yangu nikiinyanyua taratibu nikisikilizia jinsi risasi zinavyo kuja kwa kasi ya ajabu na zote zikatoka kwa mfululizo na kuingia kwenye ikulu ya Sheila na kumfanya apunguze kasi ya kuishambulia koki yangu hadi akatulia tuli huku akiwa ameikalia koki yangu na sote tukihema kama tumetoka kukimbia mbio ndefu

      Sheila akajilaza chini kwenye zulia na mimi nikalala taratibu kwenye zulia huku kila mmoja akiwa kimya kiasi kwamba hakuna aliye msemesha mwenzake na sote tukawa na kazi ya kuliangalia feni lililo fungwa juu jinsi linavyo zunguka taratibu

      “Sheila leo siendi shule”

      “Kwa nini?”

      “Kwa raha zote unadhani kuna kusoma kweli shule”

      “Mmmm Eddy mpenzi wangu shule ni muhimu japo na wewe umenipa raha nilizo zikosa kwa wanaume wote walio nipitia”

      “Kweli”

      “Ndio Eddy wangu hapa nilipo kiuno kizima hakina kazi”

      “Hata mimi mwenyewe miguu yote nahisi kama sio yakwangu”

      “Eddy mama yako ni nani?”

      “Mama yangu ni waziri wa afya”

      “Ehee kumbe wewe mtoto wa kishua?”

      “Sio sana”

      “Hata kama ni sana unadhani utasema…..Alafu Eddy unaonekana msiri sana”

      “Huwa sipendi kujitangazia na hata shule rafiki wangu wa karibu hajui kama mama yangu ni waziri na wengi wao ninawaambia mama yangu ni mwalimu”

      “Ila nivizuri…Je baba anafanya kazi gani?”

      “Yeye ni mkuu wa jeshi”

      “Waoo eheee kumbe upo kwenye maraha”

      “Raha wapi….Usione watu wanatembelea na Miji Hammer ukasema wana amani majumbani mwao ila ukweli hakuna familia zenye migogoro kama familia za kitajiri”

      “Weee kwanini unazungumza hivyo?”

      “Ahaaa nimeona sehemu nyingi nyingi kwenye familia za matajiri mfano mzuri ni familia yangu”

      “Kwanini familia yako haina amani wakati baba anapesa,mama ni kama hivyo?”

      “Mama na baba hawapatani kutokana kuna swala fulani hivi sio vizuri nikakuambia sasa hivi lilitokea na kupelekea hali kama hiyo kutokea kati ya baba na mama ndio maana nilijikuta nikiota mambo mabaya mabaya”

      “Mmm pole baby…..Ila tambua ya kuwa wewe ni mwanaume na kama mtoto unatakiwa kuweza kusimama katikati ya baba na mama na uwapatanishe na amani irudi kati yao”

      “Sheila ndio maana nimekumambia hizi familia zetu zina matatizo mengi sana kiasi kwamba swala kama hilo kutokea kati yetu ni vigumu kwa mwana familia kuweza kulitatua labda atokee mtu wa njee kabisa ambaye baba na mama wanaweza kumsikiliza”

      “Sasa Eddy mimi leo nahitaji nifike Arusha na nikikaa hapa kama unavyo taka sijui kama mipango yangu itakwenda sawa…..Nimepata wazo moja hivii”

      “Wazo gani?’

      “Unaonaje tukaende wote Arusha na leo ni jumamosi kisha tukafikizia hotelini tukalala na jumapili mimi nikirudi zangu huku wewe uanakwenda zako shule”

      “Kweli ilo wazo ni zuri baby unaonaje ukakaa hadi jumatatu asubuhi ndio ukarudi Dar”

      “Ni wewe tuu mpenzi wangu ila tutaangalia ratiba itakaa kaa vipi?”

      “Sawa.Tunaondoka na gari la saa ngapi?”

      “Tuondoke na gari la saa kumi na mojana na nusu ili nikifika Arusha nifanye mizunguko yangu kisha tujiachie zetu Hotelini”

      “Powa itatubidi tujiandae sasa hivi kwani hiyo saa hapo inaonyesha ni saa kumi na dakika kimi usiku”

      “Mwenzio hapa hata kunyanyuka ninaona uvivu”

      “Tupige kingine cha kuichangamsha miili yetu?”

      “Mmmm Eddy wewe unataka kuniua……Huu umzunguko ulio pita nilijikaza tuu usinione nimeshindwa na mechi”

      “Mmmm kweli ulijikaza mpenzi wangu”

      Tukanyanyuka na kuingia bafuni na Sheila akafungua bomba la maji na taratibu tukaanza kuoga huku kila mmoja akimuogesha mwenzake na kwa furaha tuliyo nayo unaweza kusema tumeonana siku nyingi kumbe ni jana tu ndio mapenzi yameanza.Tukamaliza na kurudi ndani na tukaanza kuvaa taratibu.Sheila akafunga kabati lake na aktoa raba nyeupe nzuri ambazo ni zakiume akanipa

      “Asante baby”

      “Usijali hiyo raba nilinunua majuzi juzi nilipotoka china kuchukua mzigo”

      “Sasa ilikuwaje ukanunua raba za kiume?”

      “Yaani imetokea nikazipenda sana na kujikuta nikizinunua na kuziweka tuu kabatini”

      Tukamaliza kuvaa Sheila akanipulizia manukato yake kwenye nguo zangu zote zilizopo ndani ya begi langu

      “Unapesa ya matumizi ya kutosha mume wangu”

      “Yaaap ila si unajua maisha ya shule siku yoyote inaweza ikaibiwa au kuisha”

      “Aaaahaaa basi unikumbushe nikupatie pesa ya matumizi na kama una laini ya Voda nitakuwa ninakuingizia pesa kila wiki kutumia M-pesa”

      “Nitashukuu sana mpenzi wangu.Ila nitakuwa ninakuomba pale nitakapokuwa nimepungukiwa”

      “Sawa ila sipendi uende ukateseke”

      “Usijali mpenzi wangu”

      “Huwa nasikia munakuala ugali wa dona na maharage yenye funza?”

      “Hapana ila inategemea na shule”

      Tukatoka nje na Sheila akafunga mlango wa kuingilia kwake kabla hatujatoka getini nikamuuliza swali

      “Baby unataka kusema wewe huna gari?”

      “Gari mbona mimi ninalo ila sijawa dereva mzuri na pia ninaogopa gari nililo nalo ni la gharana sana”

      “Mbona silioni?”

      “Lipo chini ya ardhi”

      “Chini ya ardhi……!! kivipi?”

      “Ngoja nikuonyeshe”

      Sheila akalazimika kufungua tena mlango wake wa kuingilia ndani kisha akarudi akiwa na rimoti mkononi mwake na yenye batani tano tu

      “Sogea nyuma kidogo”

      Nikasogea kutoka sehemu niliyo simama kisha akaminya batani moja ya rimoti hiyo na taratibu ardhi ikaanza kufunguka kwenda juu nikabaki nikishangaa.Akaminya batani nyingine na taa zikawaka katika chumba kilichopo ardhini na taratibu tukaingia ndani kwenye chuma hicho

      “Aisee kama ulaya vile”

      “Ulaya wapi mume wangu au unataka unimbie na ujanja wote huo hujawahi kuona kitu kama hichi?”

      “Sijawahi kuona mke wangu zaidi ya kwenye movie.Nani alikutengenezea?”

      “Wale jamaa walikuja na mafundi wao ndio waka nitengenezea mfumo huu”

      “Sasa siku ukitaka kuhama itakuwaje?”

      “Hii nyumba ni yangu”

      “Ahaa kumbe na wewe ni muongo?”

      “Jamani Eddy?”

      “Sio Eddy kumbe na wewe unajua kudanganya?”

      “Eddy tuachane na hiyo mada kwani sikutaka ujue kama mimi ninamiliki vitu kama hivi ungeanza kunihisi vibaya mapema”

      “Nisinge kuhisi vibaya kutokana ni kila binadamu ana uwezo wake wa kiuchumi”

      “Hembe fungua hiyo kamba iliyofungwa kwenye chuma”

      Nikaifungua kamba iliyo nielekeza Sheila na kusababisha turubai lililo funika gari lake kufunguka na macho yangu yakakutana na gari aina BMW ambayo tangu niijue Tanzania na kutembea kwangu sikuwahi kuiona MBW ya muundo huu

      “Duuuu hii ngoma bei gani?”

      “Jamaa wameniambia ni laki mbili na nusu za kimarekani”

      “Kudadadeki ni kama Milioni 400 za Kitanzania”

      “Ndio maana yake”

      “Funguo yake iko wapi?”

      “Unataka twende nalo?”

      “Ndio”

      “Eddy hatuta kamatwa na polisi?”

      “Si imesajiliwa kila kitu?”

      “Ndio”

      “Basi kalete funguo yake”

      “Ipo hapo hapo kwa juu kwenye vidude vya kuzuia jua”

      Nikafungua sehemu aliyo nielekeza Sheila na kukuta funguo ikining’inia na haraka haraka nikaichomeka kwenye sehemu yake na kuizungusha funguo yake kama ninavyo washa magari ya kawaida ila cha kushangaza gari halikuwaka

      “Mbona haliwaki sasa?”

      “Kwani ni lako hadi liwake?”

      “Ehee hembu njoo unielekeze bwana linawashwa washwa vipi?”

      “Eddy mpenzi wangu kama kuwasha unashindwa je kuendesha utaweza kweli?”

      “Wewe njoo unionyeshe linawashwa washwa vipi”

      Sheila akazunguka upande wa pili na kukaa siti ya pembeni kisha akaminya kitufe chekundu kilichopo pembeni yangu kilicho andikwa ‘VOICE’ kisha akanitazama usoni na kuachia tabasamu

      “BMW 007 START”

      Nikastuka gari likiwaka na kila kitu kikaanza kusoma kwenye dashboard yake na kujikuta nikibaki ninashangaa

      “KARIBU BI.SHEILA KWENYE GARI LAKO BMW 007 JE UNAHITAJI KUELEKEA WAPI TUKUONYESHE RAMANI”

      Sauti ya msichana ilisikika kwenye spika za gari hilo na kubaki nikikaa kimya

      “Nahitaji kuelekea mkoani Arusha”

      “SUBIRI KWA DAKIKA”

      Tukasubiri kwa sekunde kadhaa huku nikibaki kimya na kila nilicho kiona machoni mwangu ninakiona kama ni kipya na ramani ikajitokeza kwenye kioo cha ya gari hilo dashboard

      “RAMANI YAKO IMEKAMILIKA JE UNAHITAJI HUDUMA NYINGINE”

      “Ndio”

      “CHAGUA KATI YA HIZI ZIFWATAZO 1.TAZAMA USALAMA WA GARI LAKO, 2.TAZAMA UJAZO WA UPEPO ULIPO KWENYE MATAIRI YAKO, 3.BADILISHA DEREVA 4…….”

      “Tatu”

      “DEREVA MPYA ATAJE JINA LAKE”

      Sheila akanikonyeza na kunifanya nikohoe kidogo huku nikiwa ninafuraha kwani sikuwahi kuona gari kama hilo zaidi kuona gari linalo endana na hilo kwenye filamu za JAMES BOND

      “EDDY GODWIN”

      “KARIBU BWANA BWANA EDDY GODWIN KWENYE BMW 007 WEKA KIDOLE GUMBA CHA MKONO WA KUSHOTO KATIKATI YA KIENDESHEO CHA GARI”

      Nikaweka dole gumba katikati ya mskani ambapo kuna kioo kidogo na mstari mwekundu ukaanza kupita kwenye kidole changu kuanzia chini hadi juu

      “UMEFANIKIWA KUWA DEREVA WA BMW 007 NAWATAKIA SAFARI NJEMA NA UENDESHAJI MWEMA”

      Sauti ikakata na gari ikaaendelea kunguruma taratibu ikisubiria kuanza kwa safari.Kutokana nina uzoefu kidogo kwenye uendeshaji wa magari haikuwa ngumu.Nikakanyaga taratibu mafuta na gari likaanza kusogea kwenda mbele,nikalitoa kwenye chumba hicho na kulisimamisha pembeni na Sheila akashuka na kuminya rimoti yake na kila kitu kikajifunga na akairudisha ndani na kufunga milango yake kisha akafungua geti la mbele na nikalitoa gari nje na kumsubiria Sheila akimalizia kufunga geti lake na kuingia ndani ya gari

      Mwanga wa jua bado haukuwa umeanza kuchomoza ikanilazimu kuwasha taa za gari ambazo zina mwanga mkubwa kupita maelezo.Nikaingia kwenye batabara kuu ya mikoani huku ramani ikinionyesha wapi nielekee.

      “Hivi hii gari ina spidi ngapi?”

      “380 na ina Turbo”

      Ilinibidi nimuulize Sheila kutokana hakuna mishale inayoonyesha mwendo kasi zaidi ya kiio tu kinacho onyesha mfumo mzima wa spidi zinavyo ongezeka kama saa ya kawaida

      “Mmmm tumuobe Mungu”

      “Kweli mume wangu safari ni ndefu”

      Nikaendelea kukanyaga mafuta huku moyoni mwangu nikiwa ninafuraha kuendesha gari kama hili ambalo nahisi ni watu wachache sana walilo nalo Tanzania au hakuna kabisa.Safari ikazidi kwenda mbele huku mara kwa mara nikijipima uwezo wa uendeshaji wa gari kwa mwendo wa kasi kiasi kwamba Sheila akaanza kuniomba nipungunze mwendo.

      “Tulia mimi ndio dereva hatuwezi kupata ajali apa najitahidi niifike Segera mapema”

      “Eddy lakini muda si upo?”

      “Ndio ila najitahi pia kuepukana na trafki”

      “Haya dereva”

      Safari ikazidi kusonga mbele huku magari madogo na mabasi makubwa nikiyapita japo yapo kwa mwendo wa kasi ila niliyapoteza sana.Hadi ninafika Korogwe tayari ni saa moja na dakika zake na tukaingia kwenye Hotel ya High Way kupata chakula kwani kwa shuguli tuliyo ifanya muda mchache uliopita ni pevu kupita maelezo.Tukaagiza kifungua kinywa na kuanza kula taratibu huku nikiendelea endelea kumtazama Sheila machoni

      CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

      “Mbona unanitazama hivyo?”

      “Ninakuangalia jinsi ulivyo mzuri mpenzi wangu”

      “Mmmm muongo wewe”

      “Kweli baby”

      “Asante kama ni kweli”

      “Shei umeliona hilo basi linalo ingia?”

      “Ndio”

      “Unakumbuka tulilipita wapi?”

      “Si tulilipita Kabuku”

      “Sasa hivi ndio linaingia hapa na hili ndio basi la kwanza kuondoka Dar kuelekea Arusha”

      “Na lilikuwa lipo kasi”

      “Ehee ila ndio hivyo tumelipita”

      “Ila wewe uendeshaji wako ni wafujo”

      Tukamaliza kula na kulipa tulicho kula kabla hatukatoka jamaa mmoja akanifwata na kunipa mkono huku akicheka

      “Kaka hongera sana”

      “Kwa nini?”

      “Wewe jamaa si ndio ulikuwa unaendesha ile gari pale?”

      “Ndio”

      “Wewe ni dereva.Yaani mimi nilijitahidi kukanyaga mafuta ili nikupate nakukuta hapa”

      “Ahaa ile ngoma pale mziki wake tofauti na hizi gari nyingine”

      “Mimi ni dereva wa hilo basi hapo”

      “Ahaa kumbe wewe ndio tuliye kupita ukawa unatupigia honi?”

      “Ndio kaka….Unaelekea wapi?”

      “Arusha”

      “Kaka naomba uniachie namba zako tunaweza tukawasiliana kama huta jali”

      “Powa”

      Nikampa dereva namba yangu ya simu kisha na yeye akanipa namba yake

      “Ni save nani?”

      “Save RAMA”

      “Powa utanisave kwa jina la Eddy”

      Nikamkuta Sheila ndani ya gari na safari ikaanza na sehemu isiyo na trafki nikaendesha kwa kasi na tukafanikiwa kufika Arusha mida ya saa sita mchana bila ya kusimamishwa njiani na trafki kwani hapa nilipo sina leseni.Tukachukua chumba kwenye hoteli moja ya kifahari na kumuacha Sheila akienda kwenye mizunguko bila ya kutumia gari yake na mimi nikabaki nikiwa nimelala kwa uchovu nilio upata wa kuendesha gari kwa safari ndefu.Nikaamka saa moja usiku baada ya kusikia simu ikiita na kukuta ni Sheila ndio anaye piga

      “Mmm vipi?”

      “Safi baby mimi nimesharudi nipo hapa chini hotelini shuka huko gorofani basi tuje kula mpenzi wangu”

      “Umeagiza chakula gani?’

      “Nakusubiria tuagize pamoja”

      “Powa ngoja nivae”

      “Ulikuwa bado umelala nini?”

      “Ndio”

      “Fanya basi uje mumwe wabgu ninakupenda”

      “Ninakupenda pia”

      Nikakata simu na kunyanyuka kitandani huku mwili ukiwa umechoka kidogo,Nikaingia bafuni na kunawa uso ili kuutoa mikunjano ya usingizi kisha nikavaa shati langu vizuri na kufungua mlango.Moyo ukanipasuka baada ya macho yangu kugongana na macho ya Salome akiwa ameshikwa kiuno na mkuu wa shule wakitoka ndani ya chumba tunacho tazamana huku nao wakionekana kukosa pozi baada ya kuniona

      Tukatazamana kwa dakika mbili huku kukiwa hakua anayemsemesha mwezanke na gafla nikamshuhudia Salome akilegea na kuanguka chini na kuzidi kumfanya mkuu wa shule kuweweseka.Nikataka kupiga hatua kwenda kuwafwa ila roho yangu ikasita na kujikuta nikisimama huna nikiitoa simu yangu mfukoni

      “Wewe kijana njoo unisaidie kumnyanyua mwenzio”

      Sikutaka kumjibu kitu chochote mkuu wa shule kwani taratibu nikajikuta hasira zikianza kunipanda

      “We….ewe naniii……Eddy njoo basiiii”

      “Wewe mzee una mapepo nahisi…..Starehe mule wenyewe alafu unasema mimi nikusaidie”

      “Ahaaa kijana usinifanyie hivyo”

      “Mpuuzi nini wewe kumbe ndio kazi yako kuwatorosha wanafunzi na kuja kuwamega huku hotelini?”

      “Kijana wangu nakuomba basi…Njoo basi hata tumbebe tumuingize ndani”

      Nikapata wazo la haraka nikaingia upande wa kamera kwenye simu yangu aina ya HTC kisha nikaanza kuwapiga picha Salome na mkuu wa shule kitendo kilichozidi kumpagawisha mkuu wa shule

      “Wewe si Malaya sasa nautangazia ulimwengu mzima waone kitu ulicho kifanya na huyo mwanafunzi wako”

      “Haki ya Mungu wewe mtoto lazima nikufunge”

      “Unasemaje wewe boya?”

      “Lazima nikufunge”

      “Sasa ili unifunge vizuri nampigia simu waziri wa elimu sasa hivi tuone kama nitafungwa mimi au wewe?”

      “Acha kunitaisha wewe”

      Mkuu wa shule alizungumza huku akimnyanyua Salome na kurudi naye ndani walipo toka na kabla hawajafunga mlango na mimi nikaingia.Mkuu wa shule akamuweka Salome kitandani na kinigeukia mimi huku akicheka

      “Unajua kijana mimi ndio nimetangulia kuliona jua kabla yako…..Naomba hiyo simu?”

      “SITAKI HUNA HADHI YA KUWA NA SIMU KAMA HII”

      Nikazidi kumpiga picha kila hatua anayo ifanya nikaona haitoshi nikaanza kumrekodi video

      “Eddy nimekuambia ninaomba hiyo simu”

      “Sitaki”

      Mkuu wa shule akapiga hatua hadi kwenye kitanda na kukaa akimtazama Salome nikapanda juu ya sofa ili niwarekodi vizuri kwa juu

      “Endelea kumchezea chezea nywele”

      “Kubabak* wewe mtoto nitakuua”

      Mkuu wa shule alizungumza huku machozi yakimlenga lenga na macho yake kuwa maekundu mithili ya mtu alite vuta bangi.Mkuu wa shule akainama kama anafunga kamba za viatu vyake na gafla akanyanyuka huku akiwa ameshika bastola kwenye mkono wake

      “Utatoa simu hutoi”

      Nikakaa kimya huku tukio la Manka kunishikia bastola likanijia kichwani na kuanza kulifananisha na tukio la mkuu wa shule kunishikia bastola na kuufanya mwili wangu kunitetemeka

      “Nakupa sekunde 30 jifikirie unanipa simua au nikifumue kichwa chako”

      Mwili ukaendelea kunitetemeka huku mkuu wa shule akionekana hana masihara na kitu anacho kizungumza.Nikamuona Salome akinyanyuka taratibu kitandani huku akijishika shika maeneo ya kichwani mwake.Akabaki ameshangangaa kumuona mkuu wa shule akiwa ameshika mbastola huku akiwa amempa mgongo.Nikamkonyeza Salome na kwa haraka akamsukuma kwa nyuma mkuu wa shule na akaangukia kwenye meza ya kiio hadi ikavunjika na bastola yake ikaangukia mbali.Nikamshika mkono Salome na kumyanyua kitandani kabla hatujatoka Salome akarudi alipo angukia mkuu wa shule anaye lia lia kwa maumivu aliyo yapata

      Salome akaanza kumpiga mateke ya kwenye makalio mkuu wa shule huku akionekana kuwa na hasira

      “PUMBAVU WEE……SHENZII……MTU MZIMA HUNA HAYA MALAYA MKUBWA WEWE….”

      “Salome twende bwana”

      “Huyu mzee mshenzi”

      “Sawa tutazungumza mbeleni”

      Nikamshika mkono Salome na tukafungua mlango na kutoka njee kitendo cha kupiga hatua mbili mbeleni huku nikiwa nimemshika mkono Salome nikakutana na Sheila akiwa yupo kwenye mwendo wa haraka akija sehemu tunayo tokea.Sheila akasimama kwa muda akionekana akishangaa na akaanza kupiga hatua za kuja sehemu nilipo huku akionekana kupandwa na hasira.Cha kwanza alicho kifanya Sheila ni kutuachanisha mikono mimi na Salome kisha akamgeukia Salome

      “Malaya wa kiarusha kumbe wewe ndio unachukua mabwana za watu si ndio”

      “Sheila ninakuomba unisikilize”

      “Weee Eddy nyamaza huwezi ukaniweka nje kule mimi kama roboti kumbe upo na Malaya zako huku”

      Sheila akamshika Salome nywela na kuanza kumtingisha tingisha huku akipiga makofi na ikanilazimu kumshika Sheila kwa nyuma na kumuachanisha kutoka mikononi mwa Salome ambaye kwa kiwewe akaanguka chini.Tukiwa tunageuka ili nimpeleke Sheila katika chumba tulicho fikia gafla mlio wa bunduki ukasikika na huku macho yangu yakikukutana na macho ya mkuu wa shule akiwa ameishika bastola yake huku ametuelekezea sisi.Nikaanza kuhisi maji ya moto yakiaanza kuvichoma viganja vyangu na taratibu nikanza kwenda chini baadaya ya mwili wa Sheila kuniegemea na kunizidi uzito

      Hadi ninakaa sakafuni nikaona damu nyingi zikimwagika kifuani mwa Sheila huku akitetemeka kwa woga

      “Eddy ninakufa mume wangu”

      “Huwezi kufa baby”

      Nlizungumza huku nikimziba kwa nguvu Sheila kwenye jeraha lake na nikaamshuhudia mkuu wa shule akianza kukimbia akipita katikati yetu.Nikanyanyuka kwa haraka huku mikono ikiwa na damu nyingi na kuanza kumkimbiza,kabla sijamfikia askari wawili wenye bunduki wakatokea mbele yetu na kutuomba tusimame.Nikasimama huku nikitazama nyuma na kumuona Salome na watu wengine wakitoka kwenye vyumba vingine wakimuhudumua Sheila aliye lala chini.Mkuu wa shule akanyanyua mikono juu huku akiwa ameishika bastola yake

      “Hilo ndio jijambazi lililo mpiga risasi mke wangu”

      Askari wakanisikiliza na kumfunga pingu mkuu wa shule na mimi nikarudi kwenye kundi la watu walio mzunguka Sheila.Tukasaidiana na watu wengine na tukashuka chini kwa bahati nzuri hoteli hiyo ina gari la wagonjwa aina ya Landcruzer za zamani zenye mkonga mweusi.

      “Salome nenda nao mimi ninakuja na gari kwa nyuma”

      Salome akaingia kwenye gari pamoja na meneja wa hoteli kisha mimi nikaelekea kwenye maegesho ya magari na kuingia kwenye gari letu tlilo kuja nalo.Nikaingiza funguo na kuminya batani nyekundu kama alivyo fanya Sheila asubuhi kilicho andikwa ‘VOICE’

      “BMW 007 START”

      Gari halikuwaka nikarudia kuzungumza tena kama mara nne halikuwaka nikujikuta nikilipiga piga kwenye mskani kwa hasira huku nikitukana na kuwafanya watu walio karibu nami kunisogelea huku wakiwa wananishangaa.Nikafungua mlango kwa hasira na kuufunga na kukuta watu wakiongezeka huku kukiwa na jamaa mmoja akinipiga piga picha kwa kamera na anaonekana ni mwandishi wa habari kutokana na kitambulisho alicho kivaa dhinoni na kuning’inia kwenye kifua chake.Nikamsogelea mtu anaye nipiga picha na kumpokonya kamera yake na kuitupa chini na kuaanza kuikanyaga kanyaga na kusabiabisa mtafaruku mkubwa huku jamaa akionekana kupandwa na hasira akitaka kunipiga ila watu wakawa wanamzuia wengine wakimlaumu kwa umbea wake anao ufnya

      “Mimk muandishi wa habari hawezi kunivunjia kamera yangu”

      “Na wewe ni mbea imekuaje kupiga piga watu wa watu usio wajua”

      “Haykuhusu na wewe”

      “Sio hayanhusu ingekuwa mimi ni huyo chalii hapo ningekutia vitasa vya kutosha”

      “Jaribu”

      Vurugu zikaongezeka na polesi waliopo eneo la tukio wakatuchukua mimi na mtu niliye mvunjia kamera na wakatupeleka kwenye moja ya kituo cha polisi kwa mahojiano zaidi

      “Kwanini ulivunja kamera”

      Askari mmoja aliniuliza swali huku nikiwa nimekaa kwenye kiti pembezoni mwa meza kubwa kiasi iliyopo kwenye chumba cha mahojiano

      “Nisikilize bwana afande……Mimi sijui jamaa ana maana gani ya kunipiga mimi pichaa”

      “Hata kama hutakiwi kuchukua sheria mkononi huoni umemnyima jamaa haki kama muandishi wa habari?”

      Afande kuna maswala ya haki na mengine ya kipuuzi……Haiwezekanai mimi mpenzi wangu apigwe risasi na ninajitahidi kwenda kuwafwata hospitali eti anakuja mtu kunipiga piga picha hivi niakili kweli?”

      “Na wewe unahusika kwenye tukio la binti kupigwa risasi?”

      “Sijakuelewa unavyosema nimehusika?”

      “Wewe ndio uliye mpiga risasi”

      “Acha bangi maswali ya kiseng* mimi siyataki umenielewa wewe afande na kama umekosa cha kuzungumza muite mkuu wako mimi ndio nitazungumza naye na si wewe”

      Askari akaanza kucheka huku akinyanyuka kwenye kiti alicho kikalia na kuanza kunizunguka huku akipiga makofi ya kejeli

      “Bwana mdogo jua upo kwenye mikono ya dola na ukileta mchezo utakwenda kunyea debe”

      “Hivi wewe unadhani nitanyea debe kirahisi rahisi…..Na huyo fala niliye mvunjia camera yake nenda kamuulize ameinunua kiasi gani nimlipe”

      “Hujanijibu swali langu la awali?”

      “Sawali gani?”

      “Umehusika kwenye tukio la ujambazi lililo tokea hotelini”

      “Sasa wewe naona unanichanganya ni hivi nikiendelea kuzungumza mimi mutaniweka ndani kwa maana ninajijua.Sasa siwezi kukujibu chochote hadi mwanasheria wangu aje hapa na sinto ongea na wewe kenge nitazungumza na mkuu wako”

      “Kijana ninaona hunijua wewe”

      Askari alizugumza huku akiviminya minya vidole vyake na vikaanza kutoa mlio watu wenyewe hukiita kitendo hicho ni kuvunja koda.Akanisogelea na kunishika shati langu na kunivuta jua hadi nikasimama kabla hajanipiga kofi mlango ukafunguliwa na akaingia mkuu wa polisi na kumfanya jamaa kuniachia

      “Mjomba vipi tena mbona hapa saa hivi?”

      Mkuu wa polisi alizungumza na ninavyo kumbuka nilisha wahi kumuona hospitalini kipindi nimepigwa risasi na alikuwa ni rafiki yangu ambaye aliweza kunipa taarifa za kumkamata Manka na mara nyingi alikuwa pia akizungumza na mimi

      “Ni hawa vijana wako mjomba wananisumbua sumbua”

      “Ispekar ninakuomba utupishe”

      “Sawa mkuu”

      Askari akatoka na kutuacha tumasimama ndani ya chumba hicho

      “Haya niambie mjomba ni yapi yaliyo kukuta?”

      “Mjomba bwana nilikuwa pale hotelini kuna tukio limetokea la mchumba wangu kupigwa risasi sasa nimekwenda kwenye gari letu kuna jamaa akaanza kunipiga piga picha kutokana nina hasira nikampokonya jamaa kamera yake na kuivunja ndio hawa vijana wako wakanileta hapa”

      “Ahaaa wapumbavu kweli….Unajua nilipigiwa simu kuwa mkuu wenu wa shule amempiga risasi binti mmoja hotelini sasa nikajua basi yeye ndio yupo humu anahojiwa ndio maana nikaingia mara moja ili nimpatie dhamana kutokana yule ni kama kaka yangu”

      “Mjomba huyo usimpatie dhamana kwani amempiga risasi mchumba wangu”

      Mkuu wa polisi akashusha pumzi huku akionekana akifikiria cha kufanaya kisha akanitazama kwa sekunde kadhaa na kuzungumza

      “Sasa mmjomba ni kwanini hujakwenda shule?”

      “Mjomba leo ndio nimetoka Dar nimekuja na mchumba wangu ili arudi na gari home na mambo yamekuwa kama hayo unayo yaona”

      “Huyo mchumba wako mama anamjua?”

      “Mama hamjui na ninavyohisi mama atakuwa amesha ondoka na kwenda nje ya nchi”

      “Ahaaa twende hospitali”

      Tukatoka na mkuu wa polisi na kuwafanya askari wengine wakiwa wanashangaa akiwemo yule askari aliyekuwa akinihoji maswali ya ajabu ajabu.Jamaa niliye mvunjia kamera yake alipo niona akanyanyukwa kwenye benchi alilo kaa na kunifwata kwa hasira na kabla hajanifikia askari wengine wakamuwahi

      “Namdai kamera yangu huyo na nyinyi munamuachia”

      “Sema hiyo kamera yako ni bei gani nikulipe sasa hivi?”

      “Laki tatu”

      Nikafungua waleti yangu na kuanza kumuesabia pesa anayo ihitaji na kabla sijailipa mkuu wa polisi akanizuia

      “Huyo mpiga picha ndio mwenye makosa muwekeni ndani hadi nirudi na nimkute ….Twende mwaya mjomba”

      Tukatoka nje na kuingia kwenye gari analo tembelea mkuu wa polisi huku likiendeshwa na askari mwengine na haikuchukua muda tukafika kwenye hospitali aliyo pelekwa Sheila ambayo ni hospitali ya kanisa la katoliki na kumkuta Salome akiwa amekaa kwenye benchi huku akilia na alipo niona akanikimbilia na kunikumbatiaa na kuzidisha kilio na kunifanya nianze kuchanganyikiwa na kuhisi Sheila atakuwa nimempoteza

      “Sheila yupo wapi?”

      Salome akanionyesha kwa ishara ya kidole chumba alichoingizwa Salome na nikamuachia na kupiga hatua za kwenda kuingia kabla sijafika manesi wawili wakanizuia

      “Samahani kaka hiki ni chumba cha oparesheni haruhusiwi mtu yoyote kuingia humu ndani zaidi ya madaktari”

      “Mpenzi wangu anaendeleaje lakini?”

      “Madaktari wanajitahidi kuyaokoa maisha yake tunakuomba uwe mpole na mtulivu”

      “Ila si atapona na kuwa mzima kama zamani”

      “Ndio”

      Nilizungumza huku machozi yakinimwagika nikatafuta sehemu na kukaa juu ya viti vilivyopo katika kordo ya kuingilia ndani ya chumba hicho.Mkuu wa polisi akanifwata na kuniaga

      “Mjomba nitakuja asubuhi kuangalia hali ya mgonjwa inaendeleaje mimi ngoja niende nikashuhulikie hili swala”

      “Sawa mjomba”

      “Ila usije ukamjulisha mama hili swala mimi nitalishughulikia hadi mwisho”

      “Asante mjomba”

      Mkuu wa polisi akaondoka na kuniacha nikiwa nimejiinamia,Salome akatoka kwenye kiti alicho kaa na kuja kukaa kando yangu huku na akilia kichini chini.Hatukusemeshana kitu chochote zaidi ya kila mmoja kuwaza anacho kiwaza yeye mwenye.Nikanyanyuka na kukaa upande mwengine wa viti na kumfanya Salome unyanyuka na kuja kukaa karibu yangu

      “Salome rudi ulipokuwa umekaa”

      “Eddy samahani kwa kilicho tokea”

      “Nimekusamehe ila sihitaji ukae karibu yangu”

      “Ndio Eddy ninalijua hilo ila ninakuomba tafadhali nikae karibu na wewe”

      “Ukae aribu na mimi….Mfwate basha wako ukakae naye ila sio mimi sawa”

      Nilizungumza kwa sauti ya juu na kuwafanya manesi na baadhi ya watu waliopo eneo tulilo kuwepo sisi wakitutizama kwa mshangao

      “Eddy”

      “Eddy jina langu…..Ila Salome ninakuomba ukakae sehemu uliyo kuwepo na sihitaji kukuona hapa”

      Salome akazidi kulia kwa uchungu kiasi kwamba akazidi kunikasirisha,nikasimama na kuelekea nje kupata upepo japo kuna baridi ila mwili wangu umetawaliwa na joto kali.Salome akanifwata sehemu niliyo kaa huku akilia

      “Eddy ninajua kuwa unanichukia kwa sababu nimekuwa chan…..”

      “Nyamaza kwani tatizo lako wewe ni nini?”

      “Nakuomba unisamehe”

      “Haya nimekusamehe nenda zako sasa”

      “Eddy usinifukuze kama mbwaa kumbuka kuwa mimi ninakupend……”

      “Malaya wewe unanipenda mimi……Niachie unafki wa kiseng* seng*,Wewe si nisuper star wa shule basi tembeza mbaliga zako nenda shule aua unataka nikuchomeshe kwa askari?”

      “Hapana”

      “Powa nakuomba unipotezee”

      Salome akanyanyuka kiunyonge nyonge na kubaki akiwa ananitazama huku akionekana kama anahitaji kuzungumza kitu ila anashindwa na kuanza kutembea taratibu

      “Unashangaa shangaa nini wewe?”

      “Mmmmm”

      “Njoo”

      Salome kapiga hatua hadi sehemu niliyo kaa na nikanyanyuka taratibu na kufungua waleti na kutoa noti mbili za elfu kumi na kumpa Salome

      “Nenda zako shule na sihitaji nikuone hapa”

      “Wewe utakuja?”

      “Hilo halikuhusu wewe nenda zako”

      Salome akaondoka huku akiangalia angalia nyuma akapanda bajaji na kuondoka,Sikuwa na hata hamu ya kula nikarudi ndani ya hospitali na kukuta manesi wakisukuma kitanda kutoka katika chumba alicho lazwa Sheila.Nikakimbia na kuwapata na kumkuta Sheila akiwa amewekwewa mashine ya gesi huku macho yake ameyafumba na uzuri wake ukazidi kuongezeka.Wakamuingiza kwenye moja ya chumba na kilicho tulia huku na mimi nikiwa ninafwatia kwa nyuma kisha wakamuweka juu ya kitanda tulicho kikuta humo na kumzifunga mashine za upumuliaji vizuri

      “Nesi atapona kweli mke wangu?”

      “Usijali kaka kwa maana hapa risasi imetolewa na uzuri zaidi risasi haikumdhuru kitu chochote ndani ya mwili wake”

      “Sasa nesi unataka kuniambia hadi kesho atakuwa ameshapona?”

      “Kaka nakuomba uwe mvumilivu na utulie kutokana mgonjwa wako hali yake ni nzuri hapo amelala kutokana na sindano ya nusu kaputi aliyo chomwa kwa ajili ya kufanyiwa oparesheni.Cha msingi nikuendelea kumuombea kwa Mungu”

      “Sawa nesi”

      “Ila uanatakiwa usipige kelele na kama una simu yako iweke silence ili isije ikamsumbua mgonjwa”

      “Sawa nesi…..Naruhusiwa kulala humu humu?”

      “Hapana kutokana hichi chumba ni chawagonjwa mahututi ila tunakuomba utoke nje kuna mavazi malumu ya kuvaa ili uweze kuingia humu ndani”

      Tukatoka na manesi hao na tukaingia kwenye moja ya chumba wakanivalisha nguo maalumu amabazo nimezivaa juu ya nguo zagu kisha nikarudi ndani ya chumba alicho lazwa Sheila

      “Kaka tunakupa dakika kumi na tano za kukaa na mgojwa wako”

      “Sawa nesi”

      CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

      Nikasimama pembeni kwenye kitanda alicho lazwa Sheila na kujikuta machozi yakianza kunimwagika kwa uchungu.Kumbukumbu ya maisha ya nyuma aliyo nisimulia Sheila nikaanza kuikumbuka na maisha magumu aliyo yapitia na nikajikuta ninazidi kuhuzunika na machozi yakazidi kunimwagika

      “Ohhh Mungu wangu najua kuwa wewe ndio kimbilioa langu.Natambua mimi ni mtenda dhambi ila ninakuomba unisamehee mimi na huyu mpenzi wangu Sheila.Nakuoma umpe nafasi nyingine ya kuishi……Risasi hii nilistahili mimi na sio yeye nakuomba umpe mwangaza wa kuona tena….”

      Nilijikuta nikizungumza huku machozi yakinimwagika kiasi kwamba mwili mzima ukapoteza nguvu na kujikuta nikikaa kwenye kiti kilichopo pembeni na kitanda na taratibu kichwa changu nikakilaza pembeni na mwili wa Sheila huku nikiendelea kulia kwa uchungu.Taratibu usingizi mzito ukanipitia.Kwa mbali nikaanza kuisikia sauti ikiniita jina langu nikaipotezea na kadri muda ulivyo zidi kwenda ndivyo ikaendelea kuniita ikanibidi nifumbue macho taratibu na kutazama ni nani anaye niita

      Nikamkuta Sheila akiwa analia taratibu huku akiniita kwa sauti ya hini nikanyanyuka na kukaa karibu yake huka nikimtazama kwa huruma na sote tukajikuta machozi yakitumwagika kiasi kwamba hakuna aliye weza kuzungumza chochote kwa wakati huu.Mwanga wa jua metawala ndani ya chumba chetu ukiashiria asubuhi imesha fika

      “EDDY KWANINI UMENISALITI MPENZI WANGU?”

      “No Sheila sijakusaliti na siwezi kukusaliti”

      “Eddy unaniongopea….Unajua ni jinsigani ulivyo uchoma moyo wangu ehee”

      “Sheila usizungumze kwa sauti ya juu utajitonesha kidonda”

      “Eddy acha nitoneshe kidonda na jua hii risasi nimepigwa kwa ajili yako.Eddy ni nini nilicho kufanyia baba yangu hadi umeamua kunisaliti”

      “Sheila nakuomba unisamehe mke wangu ila tambua mimi pia ninakupenda na siwezi kufanaya ujinga kama huo”

      “Eddy wewe ni muongo”

      “Sio kweli mke wangu nakuoma unielewe kwa hilo”

      Sheila akatabasamu huku machozi yakizidi kumwagika kwa uchungu na kunifanya na mimi nizidi kumwagikwa na machozi mengi

      “Eddy niahidi huto nisaliti?”

      “Nakuapia kwa MUNGU wangu sinto kusaliti”

      “Sawa baby…..Gari ipo wapi?”

      “Nimeiacha hotelini nimeshindwa kuiwasha”

      “Pole baby nenda kaingize namba za siri ni mwaka wangu wa kuzaliwa na wakwako”

      “Umeujuaje mwaka wangu wa kuzaliwa?”

      “Kipindi pale hotelini unazungumza na yule jamaa nilikikuta kikadi chako cha bima ya afya kikiwa na mwaka wako wa kuzaliwa ndio nikabadilisha na kuweka na namba ya miaka tuliyo zaliwa”

      “Wewe mwaka gani?”

      “1991 na mbele utaweka mwaka wako”

      “Je sauti itakuwaje?”

      “Nimebadilisha mmfumo wa uwashaji na kuweka huo wa kuingiza namba za siri”

      Sheila alijikaza kuzungumza kwa sauti ya chini sana kutokana sauti ikiwa kubwa anaweza kujiumiza kidonda,Kabla sijatoka nesi wa jana usiku akaingia na tukasalimiana naye

      “Jana usiku nilikuja nikakukuta umelala nikaona nisikusumbue”

      “Kweli nesi kidogo nilikuwa nimechoka”

      “Dada unaendeleaje?”

      “Salama japo maumivu yapo mengi kifuani”

      “Ohoo pole utapona mwaya hapa namsubiria dokta kuna dawa atakuja kukuchoma ya kukausha vidonda”

      “Baby nikuchukulie chakula gani?”

      “Mmmm baby sijisikii kula”

      “Kaka usimletee chakula kutokana hapa hospitalini tunatoa huduma ya chakula na huyu itambidi apatiwe chakula maalumu kwa jinsi ya ungojwa wake ulivyo”

      “Ahaaa baby mimi ngoja nikalichukue gari lisije wakalichukua bure”

      “Eddy njoo”

      Nikarudi na Sheila akaniomba nimbusu kwenye shavu nikafanya hivyo na kutoka nikaingia kwenye chumba nilicho vaa nguo maalumu za kuingilia kwenye chumba cha wagonjwa mahututi kisha nikatoka nje ya geti la hospitali.Nikajikuta nimesimama kwenye moja ya kibanda cha magazeti na kutazama gazeti moja lililo andikwa kwa maandishi makubwa meusi

      ‘HEAD MASTER AUA KISA MAPENZI’

      Ikanibidi kutoa pesa mfukoni na kulinunua,kutokana nina haraka nikalikunja na kukodisha pikipiki ikanipeleka hadi hotelini na kumlipa muendeshaji huyo wa pikipiki na moja kwa moja nikaelekea kwenye maegesho ya magari na kulikuta gari letu likiwa kama nilivyo liacha jana usiku.Nikaingia ndani ya gari na kuziingiza namba alizo nimbia Sheila na gari likawaka na nikalizima.Nikakumbuka kuna begi langu la nguo kwenye chumba tulicho kodisha jana.Nikapandisha gorofani kwenye chumba chetu na kulikuta likiwa salama,Kutokana chumaba tumekodisha kwa siku mbili sikuona haja ya kulichuku.Nikachukua wallet ya Sheila yenye kadi zake mbili za benki pamoja na pesa kiasi.Nikiwa ninashuka kwenye ngazi za kushuka chini muhudumu mmoja wa kiume akanisimamisha

      “Samahani kaka jana wakati ugovi ulipokuwa unatokea kuna hichi kitambulisho kilidondoka”

      Jamaa akanionyesha kitambulisho cha Salome ambacho ni chashule

      “Nakiomba”

      “Ahaaa kaka sio kirahisi rahisi hivyo kuna polisi walikuja kukagua ila nikaibania nikijua utarudi tu”

      “Kwa hiyo wewe unataka nini?”

      “Japo ya maji ya kunywa si unajua sote vijana”

      “Powa”

      Nikatoa elfu hamsini na kumpa jamaa kisha na yeye akanipa kitambulisho na tukaagana na mimi nikaelekea kwenye gari.Nikajifikiria kwa muda ni wapi nianzie nikaona ni bora niende shule kukipeleka kitambulisho cha Salome isije ikatokea polisi wakanihitaji tena kituoni na kunikuta na kitambulisho hicho na kumuingiza Salome kwenye matatizo hayo.Nikawasha gari na kuondoka nikaingia kwenye moja ya sheli nikajaza mafuta ya kutosha kwenye gari na safari ya kwenda shule ikaaza.Nikafika getini na na walinzi wakanifungulia geti na wakaonekana wakinishangaa,Nikaachana nao na moja kwa moja nikafika kwenye maegesho ya magari katika endeo la shule na kushuka na baadhi ya wanafunzi wa vidato vingine wakaendelea kunishangaa hadi nikawa ninajiuliza kinacho wafanya wanishangae mimi ni nini

      Nikakutana na Madama Mery akitoka ofisini huku akiwa ameongozana na madama Rukia na wote walipo niona wakanifwata na kila mmoja akaonekana kunifurahia ila kwa Madam Mery nikaanza kumuona anamabadiliko katika mwili wake

      “Eddy mpenzi wangu unaendeleaje?”

      Madam Mery akashindwa kuficha hisia zake hadi machozi yakamlenga lenga

      “Salama sijui wewe?”

      “Mimi nipo powa…..Mbona umekuja hivyo na nguo za nyumbani hurudi tena shule”

      “Narudi mbona kama tumbo limekuwa kubwa?”

      “Madam Mery akainama chini na kuanza kuvichezea vidole vyake nanikaona pete ya ndoa kwenye kidole chake cha mkono wa kushoto

      “Eddy nimeolewa”

      “Hongera”

      Nilizungumza huku nikilitazama gari la shule linalo simama na kumouna mkuu wa shule akishuka huku akiwa na mkewe wakicheka kwa furaha na kwabahati mbaya hakuniona.Nikapiga hatua za haraka hadi alipo simama mkuu wa shule na kumgusa bega kitendo cha yeye kugeuka na kuiona sura yangu akastuka na kwa kasi ya ajabu mkono wangu wa kulia nilio ukunja ngumi ukatua kwenye shavu la mkuu wa shule na kumfaya ayumbe kwa nguvu na kumkumba mke wake na wote wakaanguka chini





      Madam Mery akaniwahi kunishika shati na kuanza kuniomba niache vurugu,mkuu wa shule akanyanyuka kwa hasira na kunisogelea na kunizaba kofi lililopelekea nikazidi kupadwa na hasira,Madam Mery akaendelea kuning’ang’ania kwa nguvu zake zote ila kutokana na nguvu nilizo nazo nikajitoa mikononi mwa madam Mery na kumfwata mkuu wa shule na kuanza kumrushia ngumi zisizo na idadi na uzuri zaidi kipindi nipo mdogo baba yangu alikuwa akinifundisha mbinu za kuweza kupigana kiasi kwamba hadi ninakua mkubwa swala zima la kupigana kwangu ni lakawaida.Waalimu wa kiume waliopo eneo la shule wakaja kutuzuia japo kuwa mkuu wa shule ni mzee kidogo ila na yeye alijitahidi kunipa makonde kadhaa yaliyo niingia vizuri sehemu mbali mbali za mwili wangu

      “Eddy nakuomba uwe mpole kumbuka hapa tupo shule”

      Madam Mery alizungumza kwa upole huku nikiondolewa eneo la tukio na waalimu wapatao wanne na kwajinsi nilivyo na nguvu na iliwalazimu kutumia nguvu nyingi katika kunizuia kwenda kuendeleza ogomvi na mkuu wa shule

      “Wewe kijana mshenzi sana hujafunzwa huko kwenu hadi unapigana na mume wangu na nitahakikisha shule huna wewe mpumbavu mkubwa weee”

      Mke wa mkuu wa shule alizungumza maneno yaliyozidi kunipandasha hasira laiti angejua mumewe kitu alicho toka kukifanya jana usiku wala asinge zungumza ujinga anao uzungumza

      “Sawa waalimu wangu nimewaelewa ngoja mimi niondoke zangu naombeni muniachie”

      Nilizungumza kwa upole na kuwafanya waalimu wa kiume walio nishika kuniachia taratibu na huku wakiniomba niondoke sehemu ya eneo la shule.Kwa haraka nikamsukuma mwalimu wa mbele yangu akaanguka chini nikapata nafasi ya kukimbilia eneo alilopo mkuu wa shule na nikamchomoa katikati ya watu wanao mpa pole na kumpiga kabali moja takatifu iliyotupeleka hadi chini ardhini na watoto wa mjini wenyewe tunaiita kabala ya mbao na kuwafanya walinzi na waalimu wa kiume kuanza kuushika mkono wangu na kuanza kuuvuta kwa nguvu ili kuyanusuru maisha ya mkuu wa shule.Wakafanikiwa kunichomoa huku mwili wangu ukiwa umejaa jasho jingi huku misuli ya mwili mzima ikiwa imetuna kiasi kwamba mtu aliyezoea kuniona kwenye mazingira ya kawaida atabisha kuniona kwenye hali ya hasira niliyo nayo sasa na atasema sio mimi

      Mke wa mkuu wa shule akaanza kumfuta futa mumewe mchanga kwenye uso wake kiasi kwamba baadhi ya wanafunzi wakaanza kumcheka kwa jinsi anavyo tisha sura kwa kuchafuka.

      “Oya Eddy tutakuchukulia hatua za kisheria sisi kama shule”

      “Tea na wewe mwalimu wa nidhamu ninakumind kama nini sasa na wewe ingia kwenye kumi na nane zangu……Wewe unajua huu ugomvi umetokea wapi au unazungumza zungumza kumpa bichwa huyo choko wenu sifa……”

      Nikasimama kwenye sehemu iliyopo juu na kuwafanya watu wote wanitazame kwa umakini huku wakinisikiliza akiwemo mkwe wa mkuu wa shule

      “Huyo mzee wenu anahabari za kiseng* sana….Kazi yake ni kuwachukua wanafunzi wa kike na kwenda nao kwenye mahoteli makubwa na kufanya nao mapenzi.Ushahidi ninao na kama mwalimu yoyote atake bisha nitautuma kwenye wizara ya elimu tuone kama hii shule haito fungiwa”

      Nilizungumza na kumuona Salome akijikatiza katikati ya wanafunzi na waalimu na kuja kupanda sehemu niliyo simama mimi huku akionekana kuwa na asira kali.Nikamtazama kwa jicho kali kiasi kwamba akatulia na kuzidi kuwafanya wanafunzi kuzidi kuongezeka wakitokea mabwenini na madarasani wakitaka kujua ni nini kinacho endelea

      “Hapa nina gazeti linaelezea mambo ya huyo mzee aliyo yafanya jana usiku isitoshe alitaka kuniua kwa kunipiga na bastola ila kwa bahati mbaya akampiga mpenzi wangu na sasa hivi ninavyo zungumza amelazwa hospitalini”

      Minong’ono ya wanafunzi ikaanza kutawala eneo tulilopo na nikaanza kazi ya kuwanyamazisha wanafunzi wezangu na kumfanya mkuu wa shule kuzidi kunitumbulia mimacho ya hasira na kila alipotaka kuondoka mke wake akawa anamzuia asiondoke

      “Ngoja niwasomee habari ya hili gazeti na mukiwa amuamini nitawawekea video au picha za huyo mzee muone mambo mauvu anayo yafanya…….Kichwa cha habari cha hili gazeti kanasema HEAD MASTER AUA KISA MAPENZI habari ukurasa wa pili ianasema hivii….Mkuu wa shule moja jina tunalihifadhi anajiukuta akiangukia kwenye mikono ya polisi baada ya kumpiga risasi”

      Nikapunguza sauti ya kulisoma gazeti kwani kitu kilicho andikwa kwenye gazeti kilianza kunichanganya kidogo na nikazidi kukisoma kimya kimya bila mtu kusikia

      “Binti mmoja na kumuua kabisa.Muobgozaji wa filamu hiyo inayoitwa SCONGA LOVE imeshirikisha wasanii wengi maarufu kutoka nje na ndani ya mipaka ya Tanzania.Star wa filamu hiyo ambaye amecheza kama mkuu wa shule inasemekana ameweza kuziteka hisia za wasanii wezake alio wafanya nao kazi.Muandishi wetu alikutana na msanii huyo na mahojiano yalikuwa hivi”

      Nikanyanyua macho yangu na kuwatazama wanafunzi na watu wengine wakisubiria niwasomee kilicho andikwa ndani ya gazeti hilo.Gafla sauti ya Salome ikaanza kusikika kwa sauti ya juu na kunifanya nimtazame

      “Huu ndi mwisho wa manyanyaso ya wasichana wa kike kwenye hii shule…..Waalimu wengi hapa shule hututumia sisi kama vituliza nyeg* japo wana wake zao na wengine magirl friend zao……Mfano mzuri ni mimi.Jana asubuhi nilimuomba mwalimu wa zamu Pass(Ruhusa) ya kwenda kununua matumizi yangu binafsi kabla sijatoka getini mkuu wa shule akaomba anipe lipfti kwenye gari lake hadi mjini.Sikuwa na hiyana zaidi ya kukubali kutokana tumememzoea kama baba yetu wa kimwili na kiroho”

      Salome alizungumza huku machozi yakimwagika na kunifanya na mimi niungane na wanafunzi wengine kumsikiliza kwa umakini wa hali ya juu

      “Basi tukiwa ndani ya gari alipandisha vioo vyake vya gari lake na kuanza kunitongoza huku akidai atanipa kila nitakacho taka ikiwemo kunivujishia mitihani ya nusu mwaka kwa sisi A LEVEL……….Nilikataa na mwenzangu akazidi kuliendesha gari lake kwa kasi na sikuweza kushuka kwani hata mjini kwenyewe alinipitisha na tukafika kwenye moja ya hoteli na akanitolea bastola na kuniambia endapo nitakataa kushuka ndani ya gari ataniua.Sikuwa na ujanja zaidi ya kufanya kama alicho niagiza.Tukapitliza moja kwa moja kwenye chumba na head master akanilazimisha nifanye naye mapenzi bila kinga…….Na isitoshe aliniingilia kinyume na maumbile”

      Mwili mzima ukafa ganzi nikabaki niemeduwaa huku wanafunzi wengie wakianza kutokwa na machozi wakimuonea haruma Salome.Ukelele mkali ukasikika katikati ya wanafunzi na ni mke wa mkuu wa shule alizidi kupiga makelela huku akiongea kichaga na kumpiga piga mumewe kwenye kifua

      “Baba Evance mtoto wa watu umeshamuua wewe si unajijua kuwa sisi ni waadhirika ni kwanini sasa umefanya hivyo baba Evance”

      Salome baada ya kuyasikia maneno ya mke wa mkuu wa shule akalegea mwili wake na kabla hajafika chini nikamnyaka na kumlaza taratibu na vilio vya wanafunzi wa kike vikaanza kutawala huku wengine wakidai wametembea na mzee huyo bila kinga na nimiongoni mwa wanafunzi walio ambukizwa virusi vya ukimwi.Waalimu wa kiume wakaanza kumchukua mwalimu mkuu na kumuingiza ndani ya gari la shule na wakaondoka kwa kasi katika eneo la shule kwani wanafunzi walianzisha vurugu za kuwarushia mawe

      “NANI YUPO PAMOJA NAMI”

      Wanafunzi karibia wote wakanyoosha vidole juu akiwemo rafiki yangu John ambaye alikuja wakati wa mwisho mwisho wa tukio na ninavyo mjua alikuwa ametoroka.Wanafuzni wakaanza kurusha mawe kwenye ofisi za waalimu na kuvunja vioo,nikamnyanyua Salome nikisaidiwa na wezake na tukamuingiza ndani ya gari langu huku John akiingia kwenye siti ya upande wangu huku akijichekesha chekesha.Nikawasha gari na kwa kasi ya hali ya juu nikanza kufwata njia ilipo elekea gari la shule kutokana katika eneo hiko kuna njia moja tu ya kutokea.Kwa mwendo kasi wa gari langu nikaanza kuliona gari alilopanda mkuu wa shule kwa mbali likikata kona kusoto kushika njia ya kuelekea porini kwenye migomba mingi

      “Eddy na huyo Salome tunakwenda naye wapi?”

      “Huko huko”

      “Huko huko wapi akitufia mtoto wa watu itakuwaje?”

      “Potelea pote ila cha msingi nilazima mkuu wa shule alipe kwa hili”

      “Eddy mtu mwenyewe mbona kama haemi”

      “John hembu niachie kelele”

      Johnalizungumza kimasihara kiasi kwamba ninaona anazidi kunichanganya,Simu yangu mfukoni ikaanza kuita na ninamba ngeni ndio inayo ingia ikanilazimu kuipokea na kuweka loudspeaker

      “Eddy mume wangu uko wapi?”

      Ilikuwa ni sauti ya Sheila ikizungumza kwa upole

      “Baby usijali ninakuja…hii namba ni ya nani?”

      “Ni namba ya nesi nimemuomba”

      “Umeshakula baby?”

      “Ndio mume wangu……nakuomba ndani ya dakika kumi uwe umefika hapa la sivyo nitameza vidonge nijiue kabisa”

      “Mke wangu usiseme hibyo”

      “Nasema hivyo kutokana nina hamu na wewe na ninahisi upo na mwanamke mwengine”

      “No baby naomba usinifikirie vibaaya”

      “Sawa ila fanya hivyo nakuesabia dakika mume wangu”

      “Sawa”

      Nikakata simu na kuzidi kuongeza kasi ya gari langu hadi nikafanikiwa kulipita gari alilopo mwalimu mkuu kisha nikalisimamisha gari langu gafla kitendo kilichomfanya dereva wa gari alilopanda mwalim mkuu kunikwepa na kugonga mti mkubwa uliopo pembeni ya barabara nagari lao likasimama kiasi kwamba ndani ya dakika mbili hapakuwa na mtu yoyote aliye shuka kutoka ndani ya gari lao.Nikashuka na kuitoa simu yangu na kuanza kurekodi tukio moja baada ya jengine hadi ninafika kwenye gari la shule nikamkuta dereva wa gari hilo akiomba msaada wa kutolewa ndani ya gari hilo hii nibaada ya kubanwa na mskani wa gari kwenye kifua.Kitu kilicho nishagaza sikuweza kumuona mwalimu mkuu wala waalimu wengine wa kiume walio toroka eneo la shule

      “Mkuu wa shule yupo wapi?”

      “Ni…liwas…shusha…..njiani”

      “Wapi?”

      “Kul…e kwenye shamb…..a la migomba”

      “Fuc*”

      Nikamuacha derava akiendelea kubanwa na mskani wake na nikaingia ndani ya gari huku John akifwatia kwa nyuma na kuingia ndani ya gari na kufunga mkanda

      “Eddy si tungemsaidia jamaa wa watu”

      “Siwezi kusaidia mijitu mipumbavu kama yeye”

      “Kwa nini?”

      “Hii vita yeye haimuhusu kilicho mfanya aingilie ni nini?”

      “Eddy kuwa na roho ya kibinadamu yule jamaa yupo powa sana huwa……”

      “JOHN KAMA UNATAKA KUMSAIDIA SHUKA NDANI YA GARI LANGU NA UENDE UKAMSAIDIE”

      Nilizungumza kwa sauti kali iliyo jaa hasira kiasi kwamba John akastuka na kukaa kimya,Nikageuza gari na kabla sijafika umbali kutoka lilipo gari la shule lilipo pata ajali nikasimamisha gari

      “Eddy nishushe nikamsaidie jamaa wa watu”

      “Powa shuka”

      John akashuka ndani ya gari na mimi nikaendelea na safari ya kurudi mjini huku gari nikiliendesha kwa mwendao wa kasi ili nimuwahi Sheila aliye nipa dakika la sivyo anaweza kufanya kitu kibaya cha kujiua.Kitendo cha kufika hospitli nayo simu yangu ikaita kwa namba ile aliyo nipigia Sheila kwa mara ya kwanza nikaipokea

      “Eddy mume wangu hutaki kuja eheee?”

      “Nipo hapa nje”

      CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

      “Kweli?”

      “Ndio mke wangu”

      “Sawa”

      Nikamuita nesi mmoja na kumuonyesha Salome tuliye mlaza siti ya nyuma na kumuomba amtoe na kumfanyia huduma ya kwanza.Nikapitiliza moja kwa moja hadi chumba alicholazwa Sheila na kumkuta akiwa ana wasi wasi

      “Baby mbona umechelewa”

      Nikaanza kumuadisia Sheila kuanzia mwanzo wa tukio hadi mwisho wa tukio lilivyo tokea ila nilimficha juu ya uwepo wa Salome kwenye hospitali hiyo

      “Sasa huyo mkuu wa shule yeye yupo wapi?”

      “Sijui yupo wapi na mbaya zaidi jana alipo toka kufanya tulio la kukupiga risasi polisi wakamuachia huru”

      “Mmmm mume wangu ninakuomba umpotezee”

      “Siwezi kufanya hivyo yule mzee anatabia chafu na isitoshe anawaambukiza wanafunzi wa kike HIV kimakusudi”

      “Weeee”

      “Ndio hapa shule wanafunzi wengi wa kike nimewaacha wakili na nahisi ametembea na wengi sana”

      “Mmmm kweli huyoo si mtu wa kuacha uraiani.Sasa wewe kama wewe umeamuaje?”

      “Hi video nitaituma kwa mama kisha atajua nini cha kufanya”

      “Ngoja kwanza ukimtumia mama yeye akikuuliza ulifwata nini hotelini utamjibuje?”

      “Nitajua cha kumuambia mimi mama yangu hana neono”

      “Mmm mimi ninakushauri usimtumie ni bora ukaituma kwa huyo waziri wa elimu”

      “Umesha kula?”

      “Ndio na wamenichoma sindano ya kukausha kidonda”

      “Wamekuchomea wapi hiyo sindano”

      “Kwenye makalio”

      “Kwahiyo wamekushika mpododo?”

      “Bwana Eddy hembu acha utani wako”

      “Ngoja nikachukue msosi tangu jana tulipo kule njiani hadi sasa hivi sijaweka kitu mdomoni”

      “Sawa mume waangu ila usichelewe kurudi”

      Nikamnyonya lipsi Sheila na kutoka nje chumba na kwenda alipo lazwa SALOME na kukuta madaktari wakimshughulikia

      “Dokta amepata tazizo gani?”

      “Amepata mstuko wa moyo”

      “Mmmm kwahiyo itakuwaje?”

      “Ndio tunamshuhulikia kuurudisha moyo wake kwenye hali yake ya kawaida”

      “Sawa dokta kila kitakocho endelea unijulishe kwenye hii namba”

      “Sawa”

      Nikamuachia daktari namba yangu ya simu kisha nikatoka na kwenda kwenye mgahawa wa karibu na hospitali na nikaagiza chakula na kuanza kula taratibu huku nikitafakari ni nini nifanye juu ya ushaidi wa kumkamata mkuu wa shule.Tv(Luninga) iliyopo kwenye mgahawa Chaneli Ten ikaonyesha habari iliyo wafikia kwa wakati huo(BREAKING NEWS) na kunifanya niache kula na kuitazama kwa umakini.Nikashuhudia jinsi askari wakijitahidi kutuliza fujo zinazo endelea shuleni kwetu huku ofisi za waalimu zikiwa zinateketea kwa moto

      “Wanafunzi bado wanaendelea kupambana na askari wa kutuliza ghasia na madai yao makubwa ni mkuu wa shule hiyo kuwaambukiza vijana wa kike wapatao kumi na sita virusi vya ugonjwa hatari wa UKIMWI kimakusudi huku akitumia nguvu katika kulifanya hilo”

      Mtangazaji alizungumza huku kamera ikionyesha jinsi wanafunzi wa shuleni kwetu wakiwarushia mawe askari huku wengine wakiwa na mipini ya mejembe na makwanja wakiendelea kupambana na polisi

      “Mkuu wa jeshi la polisi amewaahidi wanafunzi hao kufanya kila linalo wezekana katika kumkamata mkuu huyo wa shule ambaye hadi sasa hivi haijulikani yupo wapi.Serikali nini maana ya elimu? Wazazi wanajitolea pesa zao ili watoto wao wapate elimu iliyo bora ila mwisho wa siku hali ndio hii.Tunaiomba wizara ya elimu kuunda tume ya kuchunguza tabia za waalimu hususani katika haya mashule ya watu binafsi.Tutaendelea kuwajulisha kitakacho endelea….Nikikutangazia kutoka Mkoani Arusha mimi ni Upendo John Chanel Ten”

      Nikasusha pumzi na kuwatazama watu waliomo kwenye mgahawa huo ni jinsi gani walivyo ichukulia hiyo taarifa ya habari na kila mmoja anaonekana kukasirishwa na kitendo cha mkuu wa shule kufanya jambo la kikatili kama hilo.Nikalipa nilicho kula na kuingia ndani ya gari na safari ya kuelekea shule ikaanza,Nikapitiiza moja kwa moja kwa Madam Mery na nikafika nyumbani kwake nikapiga honi kwa muda nikaona kupo kimya ikanilazimu kushuka kwenye gari na kuligonga geti na kwakupitia uwazi mdogo nikamuona Madam Mery akichungulia kwenye mlango wa kuingilia kwake huku wakiwa na Madam Rukia wakishauriana kuja kufungua huku wakionekana kuwa na wasi wasi.

      “Madam ni mimi Eddy fungueni”

      “Eddy yupi huyo?”

      “Sasa hivi hunijui au?”

      “Ahaa Eddy nakuja kukufungulia?”

      Madam Rukia akatoka ndani na kuja getini na kunifungulia geti nikarudi ndani ya gari na kuliingiza gari ndani na kushuka na Madam Mery akanifwata huku akionekana kuwa na wasi wasi

      “Eddy umesalimika?”

      “Ndio ila sijampata mkuu wa shule”

      “Sasa si utulie jamani mpenzi wangu”

      “Siwezi kutulia hadi nijue muafaka wa mkuu wenu wa shule”

      “Eddy jamani huoni kama unajiingiza matatizoni?”

      “Maji nimeyavulia nguo acha niyaoge…..Ngoja nielekee shule”

      “Shule tena?”

      “Ndio”

      “Eddy huko unapokwenda kuna vurugu nyingi na askari wanawakusanya wanafunzi wanao fanya vurugu na kuwapeleka polisi”

      “Ache iwe hivyo wewe nilindie hili gari sawa”

      “Eddy jamani mpenzi wangu nakuomba usiende”

      “Madam mimi sasa hivi sio mpenzi wako kutokana tayari wewe umesha olewa na nimjamzito kwaiyo siwezi kuvunja kile alicho kiunganisha MUNGU”

      “Eddy ila tambua ya kwamba ninakupenda tena sana”

      Madam Mery alizungmza huku machozi yakimwagika huku akining’ang’ania mkono wangu nisiondoke

      “Sory Madam ninakuomba uniachie niende na ninakuomba umpende mume wako kama ulivyo nipenda mimi ninakuomba unisamehe kwa hilo siwezi kuwa na wewe”

      “Eddy Eddy ndio unaniacha?”

      “Sio kama ninakuacha ila nitakuheshimu kama mwalimu wangu na si vinginevyo”

      Nikauachanisha mkono wa Madam Mery kwenye mkono wangu kisha nikaanza kupiga hatua za haraka kuelekea getini

      “EDDY TAMBUA NIMEBEBA MWANAO NA MUME WANGU NIMEACHANA NAYE BAADA YA KUJUA MIMI NINAUJAUZITO AMBAO SI WAKE”

      Niksimama na kugeuka taratibu huku nikiwa ninamtazama Madam Mery anaye lia huku akiwa amekaa chini akionekana kuwa na uchungu na kunifanya nizidi kuchanganyikiwa



      ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog