Search This Blog

Thursday 19 May 2022

PENZI LA SHEMEJI - 3

 





    Chombezo : Penzi La Shemeji

    Sehemu Ya Tatu (3)



     Nilipigwa na butwaa kutokana na yale maelezo

    ya Joan " Na ndiye aliyekupigia anakwambia

    kuwa ameona damu chumbani kwake?" nikauliza

    " Ndiyo,jaman Jun nisaide jaman me ntauawa

    hivi hivi najiona" akasema Nilikaa kitandani kwa

    dakika kama tano nafikiria nikashindwa kitu cha

    kuamua " Kwanza katokaje selo?" nikajikuta

    naongea bila kujijua " Kwa maelezo uliyonipa

    alivyo gaidi unashangaa imekuwaje akatoka selo?

    Pole me naondoka hapa Jun sasa hivi asije

    kuniua" akasema Joan Joan aliposema hivyo tu

    na mimi nikapata wazo la kufanya pale pale "

    Panga nguo zako tuondoke" nikasema "

    Unasema?" akauliza " Nimesema panga nguo

    zako tuondoke" nikamwambia tena " Tunaenda

    wap jaman si useme?" akauliza " Sirudii tena

    panga nguo tuondoke" nikasema tena Joan

    akaondoka na kuanza kupanga nguo zake pale,na

    mimi nikaondoka na kwenda chumbani kwangu

    na kukusanya nguo zangu ovyo ovyo kwenye begi

    na kisha nikachukua kadi zangu na za shemeji

    kwenye droo za benki nikatoka "

    Uko tayali?" nilimuuliza " Yap niko tayali"

    akajibu " Nifate" nikamwambia Tukatoka mpaka

    nje nikataka kuchukua gari ila nikasita na kutoka

    mpaka nje Nje tukachukua gari ya kukodi "

    Tupeleke uwanja wa ndege tafadhali" nikasema

    Muda wote huo Joan alikuwa ananiangalia tu

    huku akishangaa kila nilichokuwa nakifanya Gari

    ilienda speed kama tulivyomwagiza dereva "

    Lakini tunaenda wapi shemeji?" akauliza "

    Naomba kuanzia sasa usiniite shemeji tena,na

    utajua" nikasema " Sawa nikuiteje sasa?" akauliza

    " Sijui ila ita jina llote utakalopenda lakin sio

    shemeji na naomba usiulize maswali mengi

    mengi" nikamwambia Alinielewa na

    kunyamaza,muda woote huo nilikuwa nafikilia

    namna ya kumkimbia shemeji na kuishi mbali

    naye kwa aman Moyo wangu ulishanasa kwa

    Joan, nilihisi nampenda kwa kiwango kikubwa

    sana mpaka hapo sikutaka kumpoteza kabisa na

    nilikuwa tayali nife ila yeye abaki salama na

    ndiyo sababu ya kuona bora nitoloke naye "

    Najua shemeji anaweza kufanya chochote

    kunizuia ila nitajitahidi kufanya chochote

    ilimradi niwe mbali na mikono yake" niliwaza

    Kwa bahati nzuri tulipofika uwanja wa ndege wa

    mwalimu Julius Nyerere tulipata ndege iliyokuwa

    na ratiba ya kuondoka dakika kumi baadae

    kwenda zanzibar Tulikata tiketi na kukaa sehemu

    ya kusubiri usafiri " Mungu nisaidie tufanikiwe

    kutoloka salama" niliwaza Na kweli mungu

    alikuwa upande wetu na baada ya muda mfupi

    tulifanikiwa kupanda kwenye ndege na safari ya

    kwenda Zanzibar ikaanza

    " Joan" niliita " Naam baby" akajibu " Nafikiri

    huu ni wakati mzuri sana wa kukaa mbali na

    mikono ya shemeji,nahitaji kuishi kwa amani

    tena na mwanamke ninayempenda, ndiyo sababu

    nimeona nikuchukue na kuja huku tujifiche kwa

    muda wakati tukiangalia cha kufanya"

    nikamwambia " Na pia nahisi nakupenda sana

    tena sana mke wangu,nahitaji uwe wangu wa

    maisha,kwa sasa bora nife mimi ila wewe ubaki

    salama kwa hiyo nitakupigania mpaka

    mwisho"nilimwambia Joan aliniegemea kifuani

    kwa madeko kabisa ya kimapenzi " Ahsante sana

    Jun, nimeamin unanipenda sana,na mimi naahidi

    nitakupenda milele" akajibu

    Tuliendelea kupiga story mpaka ndege

    iliposhuka uwanja wa ndege pale Zanzibar

    Tulichukua gari ya kukodi na kumwambia

    atutafutie Hotel ya bei ya kati,isiwe ya gharama

    sana wala ya bei ya chini sana ili yule nyang'au

    asitupate Alitupeleka Ukwajuni Lodge kupumzika

    Ilikuwa ni sehemi iliyotulia kiasi chake

    Tulichukua chumba na kuingia chumbani

    kupumzika Joan alitupa mabegi kwenye sofa

    iliyokuwepo pale na kisha akanirukia na

    kunikumbatia "Nitakupenda milele mme wangu"

    akasema Kabla sijajibu simu yangu ililiia mlio wa

    kuonesha kuna sms imeingia,nikaichukua na

    kusoma " Kalibu Ukwajuni lodge mme

    wangu,nimeshaweka oda ya chakula

    ukishamaliza kuoga njoo tule huku sehemu ya

    kulia chakula" Sms ile ilitoka kwenye namba ya

    simu ya shemeji!!! Jasho lilinitoka!!!!





     Baada ya kupokea ile sms kutoka kwa shemeji nilijikuta nikitokwa na kijasho chembamba bila kutarajia Nikajibweteka kwenye kitanda cha pale Lodge kama mzoga! Nilichoka " Heeee! Mbona umebadilika ghafla baby? Kuna nini?"akauliza Joan Joan alipoona simjibu chochote aliichukua ile simu na kisha kuisoma ile sms Alichoka,na dhahiri akaoneka kuishiwa nguvu na yeye akaja na kujitupa kitandani

    Tulitulia kwa zaidi ya dakika kumi kila mmoja akiwaza ya kwake " Nahisi kuna mchezo unaucheza na huyo mke,nahisi mnataka kunitoa kafara" akasema Joan " Kafara? Kivip? Mbona sikwelew?" nikauliza kwa mshangao " Kama sivyo kwa nini kila tunachokifanya shemeji anajua? Na cha ajabu mpaka hotel hii kaifaham? Bora angefaham tuko huku pekee lakin mpaka hotel? Na amesema yuko hapa" akalalamika " Sikia baby,mimi na uhakika shemeji hayupo hapa Zanzibar ila kuna watu watakuwa wanatufatilia ili kumpa yeye taarifa" nikajibu "

    Hata kama lakini sio kwa mpaka hotel" akasema " Tuache kulaumiana ila cha msingi tutafute namna ya kufanya" nikajibu " Cha kwanza nenda kaangalie kama kweli yupo kisha njoo tubadilishe hotel" akashaur Joan Uzuri wa Joan ni kwenye ushaur,likitokea tatizo mimi wakati sijapata cha kufanya yeye huwa ameshapata jibu

    Nikatumia wazo la Joan na kuelekea sehemu ya chakula na kuangaza macho kila mahali sikumuona Nikazunguka sehemu mbalimbali za lodge ile ila sikumuona na hapo ikabidi nianze kuuliza baadhi ya wafanyakazi wa ile Lodge ila kila mmoja alidai hajaona mtu wa hivyo Nilipohakikisha sijaona chochote ikabidi nirudi chumbani "



    Kama nilivyokwambia, huyu atakuwa kaweka mtu kunifatilia cha msingi tuondoke hapa ila lazima tuwe makin" nikasema Joan hakuwa na kipingamizi,alibeba mizigo ambayo tulikuwa hatujaifungua na kuondoka eneo lile Nje tulipanda gari ya kukodi na kumwomba atutafutie Hotel nzuri tupumzike " Kaka hakikisha unapoendesha uwe unaafatilia kila gari inayoonekana nyuma yako,tunahisi kuna mtu anatufatilia" nilimweleza dereva.

    Kweli wakati tunaendelea na safari tukashtukia gari ikitufatilia ila kwa mbinu za yule dereva kutokana na uzoefu wake akafanikiwa kumpoteza yule aliyekuwa akitufuatilia " Si nilikwambia lazima amepandikiza watu wake kila sehemu cha msingi inabidi tutoloke Zanzibar mapema kwa sababu na uhakika kwa sasa atakuwa anajiandaa kuja huku" nikasema " Umejuaje?" akauliza

    " Kwa sababu tumempoteza jamaa yake hivyo atachukia na kutaka kuja kututafuta,inabidi kesho asubuhi sana twende Dar na boti ya kukodi na huko tupande ndege kwenda Mombasa" nikaeleza " Kwa nini Mombasa? Na sio hapa hapa Tanzania?" akauliza " Hapa Tanzania shemeji ana mtandao wake nahisi kila sehemu,sihitaji kukuingiza kwenye matatizo hivyo kubaliana na mimi" nikamwambia Joan hakuwa na cha kusema kwa wakati huo mbele yangu kwa sababu alikuwa akitegemea kila kitu kutoka kwangu Kutokana na uchovu hakuna aliyejishughulisha na mwenzake kabisa,baada ya kuoga tulilala mpaka asubuhi ilipofika asubuhi tulijiandaa na kwenda kutafuta boti ya kukodi ili twende Dar kisha kuelekea Mombasa ili kujificha.

    Tulibahatika kupata boti kwa gharama kubwa na ikaondoka na sisi kwenda Dar Hakuna tatizo lolote tulilopata njian mpaka tunafika Dar Nilinunua kofia mbili zilizotusaidia kuficha sura zetu na pia tulivaa nguo na miwani isiyofahamika kwa shemeji Tulichukua gari ya kukodi mpaka uwanja wa ndege na kukata tiketi za kuelekea Mombasa'

    Tulipata ndege inayoondoka asubuhi ya saa nne Tulikaa eneo la kusubiria abiria na pembeni yetu akaja na kukaa akiwa kavaa kofia ya kuficha sura na miwani myeusi pia Muda wa kuondoka ulipofika tulipanda ndege na baada ya muda mfupi ndege ikaiacha ardhi ya Dar " Nashukuru Mungu tumeshamkwepa yule baradhuli" nikasema " Mimi pia na furaha"akajibu

    Joan " Samahan jaman" sauti ya kike ambayo ni kama tunaifaham ikatushtua Tulipogeuka tukakuta ni yule mdada aliyekuwa kaziba sura yake,, Akaivua miwani na kofia " Mama yangu" akasema kwa nguvu Joan Alikuwa shemeji mwenyewe!!!! " Na nyie mnaenda Mombasa?" aliuliza



     Nilishtuka kiwango cha kuweza kuzimia ila nikabaki kujikaza ili nisije kuonekana nimeogopa mbele yake

    Ila kwa wakati huo mapigo yangu ya moyo yalikuwa kasi ambayo siwezi kuisema kabisa nilhisi kama moyo unataka kuchomoka

    Sijui kwa upande wa Joan ilikuwaje ila nilimuona akiinama chini

    " Mimi au sisi? Kwa sababu nipo peke yangu hapa" sijui akili hiyo niliipata wapi

    " Lakini nawaona mpo wawili?" akauliza

    " Huyu ni abiria mwenzangu na tumekutana tu kwa sababu ya safari na si zaidi" nikajibu

    " Sikia nikwambie Jun,wewe ni mtoto mdogo sana kwangu na ukweli ni kuwa huwezi kufurukuta japo kwa sekunde chache kama unataka kuendelea kuishi tulia usilete ujanja ujanja" akasema

    " Na mimi naomba nikwambie kitu,sikuogopi hata kidogo! Sawa? Sikuogopi kabisa na hapa nipo na mwanamke ninayempenda naomba utuache huru" nikaongea tena kwa ujasiri

    " Waoooh! Na wewe Joan unaamin hivyo? Unajidanganya! Jun kakuona siku moja kesho yake mkafanya mapenzi halafu anakudanganya anakupenda? Jun ni wa kwangu peke yangu na si mtu mwingine!" akafoka

    " Nampenda Joan tena sana na wewe sikupendi tuachie huru wetu tafadhali" nikasema

    Nilijalibu kuonesha ujasiri mbele ya shemeji ili nipate hadhi ya uanaume mbele ya Joan ila katika ukweli halisi nilikuwa namuogopa kuliko mwanajeshi

    " Sawa kama umesema hivyo ila nikuulize unahisi unaweza kunikimbia?" akauliza

    " Najua umenifunga kifaa chenye Gps na hicho kinasababisha kila nachokifanya ukione! Ila nakuahidi nitakiondoa tu siku moja na nitaishi huru" nikajibu

    " Hata ukikiondoa bado nina vijana wangu kila sehemu Jun hivyo huwezi nikimbia" akasema

    " Tambua kuwa siku moja nitakuwa huru kutoka mikononi mwako" nikasema

    " Sikia Jun,kuna kesi ya mauaji ya kaka yako ambayo nina uwezo wa kuifufua na kuigeuza kuwa ya kwako na ukumbuke wewe ndiye uliyemuua kweli na pia kuna kesi ya Dokta pia! Mtetezi wako ni mimi,kumbuka nafanya hivi kwa sababu nakupenda tena sana lakin naweza kukupoteza kwa sekunde chache sana" akafoka

    " Nilishaapa kuwa wewe ndiye mwanaume niliyewahi kumpenda peke yake hivyo atakayekatisha katikati yetu itabidi nimpoteze,sasa kama kweli unampenda Joan mwache aende huru na turudi nyumbani" akassema kwa upole

    " Nakufahamu Lily,hata nikimwacha hapa utatuma vijana wamuue,siko taayali bora utuue wote" nikajibu

    " Naona una kiburi sana eee? Sasa subiri uone mziki wangu" akajibu

    Kwa hasira shemeji aliondoka eneo lile na kwenda kukaa kwenye siti yake kisha akatulia

    " Sikia Joan tukifika uwanja wa ndege naomba twende kituo chochote cha polisi pale nje na kuripoti juu ya kutishiwa kuuawa na huyu mbwa ili tupate nafasi ya kumtoloka" Nikamwambia Joan

    " Sawa mpenzi ila jitahidi utoe hicho kifaa kinachosababisha atuone,yaan mimi hapa nahisi kifo kinaniita kabisa" akasema

    " Usijal baby nipo na wewe hawezi kukufanya kitu huyu" nikampa moyo

    Ila kwenye nafsi yangu nilimfahamu shemeji vizur sana na nilijua mziki wake hivyo nilitegemea chochote kile kutokea

    Tulifika uwanja wa ndege wa Mombasa kwa amani na kuanza kushuka

    Nilifatilia nyendo za shemeji pale wkati wa kushuka ila hakuonesha kuwa na haraka

    Tulitumia ile nafasi ya shemeji kuzembea kutoka na kutoka haraka na Joan kisha tukachukua mizigo yetu na Joan tukaelekea eneo la ukaguzi

    Baada ya kukaguliwa tuliondoka eneo lile kwa kasi kwenda nje

    Huko nje tukaanza kuangaza angaza macho ili kutafuta kituo chochote cha polisi

    Tukabahatika kumuona askari mmoja tukamfata na kumwomba atuelekeze kitu

    Akatuchukua na kutupeleka kwenye gari moja nyeusi

    " Ingia hapa mtapelekwa kituo kilipo" akajibu

    Tuliingia kwenye ile gari ikiwa na dereva pekee akatuambia tunasubir askari yule ili tuondoke

    Ghafla kwenye lile gari akaingia shemeji na vijana watatu wenye mili mikubwa ya kimazoezi

    " Nafikiri wakati niliowaahidi wa mtu kulamba ardhi umefika kwa sababu mmshindwa kunisikiliza! Dereva twende" akasema

    Joan alianguka na kupoteza fahamu!!!



     Nilishtuka kuona Joan analegea taratibu mpaka akaniangukia na kupoteza fahamu

    " Joan.....Joan......jaman huyu atakufa"nikasema kwa hamaki

    Hakuna aliyeoneshwa kushtushwa na hali ile ya Joan hivyonilibaki nikipambana mwenyewe

    " Tafadhal shem,mimi ndiye niliyekukosea na si Joan msaidie tumpeleke Hospitalini" nikaomba

    " Sinakutosha kweli Jun?" akauliza

    " Tuyaache hayo shem,tafadhali nakuomba msaidie" nikaendelea kubembeleza

    " Naona umejimilikisha,sasa unavyoniita shem ina maana Joan ndo mmiliki halafu mimi ndiye shemeji yako si ndiyo?" akauliza

    " Nisamehe baby msaidie" nikabadili usemi

    Hakuna aliyenijibu,safari iliendelea kwenda nje kidogo ya mji wa Mombasa

    Baada ya kutembea umbali kama wa kilometa sita gari ikaacha njia kuu na kuingia kwenye nyumba inayoelekea kwenye makazi ya watu

    Gari ilienda mpaka kwenye jumba moja la ghorofa mbili zuri sana na geti jekundu likafunguliwa na tukaingia

    Baada ya gari kuingia na kusimama,tulishuka na Joan akabebwa na yale mabaunsa na kutolewa nje

    Kwa pale nje alitokea jamaa mwenye asili ya kisomali akiwa analindwa na vijawa wanne

    " Asalaam aleykum ustaadh" akasema shemeji

    " Aleykum salaam Ustadhat" akajibu

    Na wakakumbatiana kwa kupigana taratibu makofi mgongoni

    Kisha yule jamaa msomali akaja na kuniangalia

    " Vip huyu mbona kafa?" akauliza akimaanisha Joan

    " Hajafa sema anajifanya tu ili asikutane na adhabu" akajibu shemeji

    " Leteni maji tumwamshe" akatoa amri yule msomali

    Vijana wawili wakaondoka eneo lile na baada ya muda mfupi wakarudi na ndoo ya maji kisha wakamwagia Joan yote mwilini

    Haikuchukua muda Joan akashtuka na kuanza kukohoa kwa fujo kutokana na maji yale kuingia kwenye pua zake

    " Sasa ustadhi nashukuru kwa msaada wako kwanza"akasema shemeji

    " Wala usijal kwa hilo,kwani wewe ni sawa na ndugu yangu kwa sasa,bila wewe vijana wangu wangeshindwa kupenya siku ile uwanja wa ndege kule kwenu bana" akajibu

    " Ila bado nina ombi dogo" akasema shemeji

    " Ombi lako kwangu ni amri,sema na nitatekeleza" akajibu yule Msomali

    " Nahitaji kuwapa adhabu hawa vijana ambayo itawafanya wasinisahau milele aidha wakiwa hapa Duniani,au wakiwa huko akhera" akasema shemeji

    " Nafaham ila mimi nakushauri twende nao kwenye msitu wa Nyeri au kule Ukikuyuni na kuwapiga risasi kisha tuwatupe huko" akasema Msomali

    " Hiyo haitawatosha" akajibu Shemeji

    " Shehe mwenzangu Majid hapo nyuma anafuga Chui aliowashika huko Tanzania,unaonaje tukiwarusha pale ndani wawe chakula cha wale Chui?" akauliza tena

    Muda huo wao wanajadiliana nikiri wazi kuwa haja ndogo zilipenya taratibu sana kwenye suruali yangu na kuchuruzika kwenda chini

    " Eee! Mungu wangu,najua nimeshakukosea sana hapa Duniani ila na uhakika sijawa wa kufa,naomba sana uwepo wako uingie hapa na uweze kuninasua kwenye hili janga! Nakuomba sana baba" nilikuwa nawaza

    " Baba nakuahidi ukinisaidia mara moja hii pekee nikipona hapa nitaokoka kabisa na kuwa mlokole,na kuacha dhambi zote,nisaidie baba mungu" Kumbe Joan naye alikuwa akiwaza yake

    " Baby ujue sisi ni binadam na hatujakamilika hivyo kukosea ni sehemu ya maisha yetu,naomba utusamehe na tunakuahidi kweli hatutarudia tena" nikasema huku machozi yakinitoka

    " Kweli dada hata sisi tuna mapungufu kama wanadamu wengine,ni tamaa ndo zimeniponza,tafadhali naomba unisamehe dadangu sitarudia" akasema Joan

    " Nyamaza!!!!" alifoka na kila mtu akakaa kimya

    " Hata hilo la chui bado hawatapa maumivu nayotaka wayapate ustadhi,nipe wazo jingine,nataka wapate maumivu kidogo kidogo mpaka wajue wamekosa na wengine wajif*nze kupitia wao" akasema Shemeji

    " Sasa ngoja nikushauri kitu,tuondoke nao kwenda kwenye pori moja liko mpakani mwa Kenya na Somalia huko tutajua cha kufanya" akasema jamaa

    " Sawa,na nyie mbwa amkeni twende kwenye kifo chenu" alisema akimpiga Joan ngumi kali sana ya pua mpaka damu zikaanza kumtoka



     Safari ya kuelekea mpaka wa Kenya na Somalia ilianzia kwenye nyumba ya yule Msomali rafiki yake na Shemeji

    Kitu kilichokuwa kikiisumbua akili yangu ni kutokujua ni jinsi gani shemeji ameweza kuwa na mtandao mkubwa kiasi kile mpaka nje ya nchi

    Mpaka hapo nikaamini shemeji ni zaidi ya Mafia na nikajua siwezi kupambana naye kirahisi namna hiyo kwa kumkimbia bali nitafute mbinu zaidi ya kupambana naye

    " Ila huyu shemeji ana weack point moja na ni mimi,ananipenda sana na najua hawezi kunfanya kitu kibaya hivyo yapaswa nitumie udhaifu huo kummaliza kabla hajanimaliza" niliendelea kuwaza

    Kwa muda huo woote Joan yeye kazi yake ilikuwa kulia peke yake,alilalamika sana huku lawama akinitupia mimi peke yangu

    " Usingenishawishi haya yote yasingenikuta Jun,nilikuwa naheshimiana na dada yangu ila ukanishawishi mpaka yamefika hapa" alilalamika sana

    " Baby naomba usimamishe gari kisssha unipe faragha ya kuongea na wewe maneno ya mwisho" nikajitutumua na kusema

    " Unahisi yatasaidia?" akauliza

    " Shida yangu sio hayo maneno yasaidie bali kuna kitu ambacho hukijui katika maisha yangu nahitaji ukijue kabla sijafa" nikasema

    Hapo nilikuwa najalibu kucheza karata ya mwisho kabisa katika tukio lile ili kuokoa nafsi yangu na ile ya Joan

    " Kipi sikijui kuhusu wewe? Labda kama una UKIMWI hapo naweza sema sijui hilo" akajibu

    " Usijal ila ni muhimu sana kuongea na wewe sasa hivi" nikasema

    " Kwa hiyo unatakaje? Si uongee hapa?" akasema

    " Sitaki mtu yeyote asikie maneno yangu kwa sababu yananihusu mimi na wewe peke yetu" nikasema

    " Ustaadhi tafadhali simamisha gari nimsikilize huyu" akamwambia yule Msomali

    " Utakuwa unacheza karata mbaya sana bana,kumbuka huyu kakufanyia jambo baya sana ukicheka naye atakujeruhi kabla yako" akasema yule Msomali

    Maneno ya yule msomali yalikuwa ya kweli na niliona wazi yanaweza yakazuia mbinu yangu kufanya kazi

    " Shekhe najua naenda kufa,na wala siendi kumbembeleza huyu aahirishe madhumuni yake bali nahitaji kumwambia jambo la siri sana kuhusiana na siri zetu mimi na yeye ambazo hakuna anayezijua na kumbuka nikifa bila kumwambia hili jambo likitokea litamgharimu sana" nikasema

    Maneno yangu yakawaingia wote wawili nikawaona wakiinama kwa muda kila mmoja akimuwazia mwenzake na baadae gari zikasimamishwa

    Nikamfinya Joan kwa ishara ili aelewe kuwa pale najalibu karata ya mwisho ya kujiokoa

    " Haya ongea" akasema Shemeji

    "Siwezi kuongea hapa mbele za watu nitakuhalibia mambo yako yote hivyo naomba faragha na wewe" nikasema

    Shemeji aliniangalia kwa makini kwa muda kisha akawaomba wale watu watupe gari moja tusogee nayo kwa mabi kidogo

    " Lakini huogopi kuwa anaweza kukudhuru na kutukimbia?" akauliza yule Msomali

    " Hawezi hata kidogo,nafikili unanifahamu Ushtadhi sishindiw jambo,kumbuka ila kazi tuliyofanya Eldoret nilivyowalambisha mchanga wale askari jeshi wanne sembuse huyu kikaragosi asiye na mafinzo yoyote?" akajitapa shemeji

    " Sawa nakumbuka ila kumbuka huyu mtu yupo katika dakika za mwisho za kupigania uhai wake,anaweza kufanya chochote,kuwa zaidi ya makini" akasema Msomali

    " Usijali kwa hilo" akajibu Shemeji

    Tukapewa Range moja na shemeji akanilazimsha niendeshe mimi ili iwe ngumu kule ta ujanja ujanja

    Nikaendesha ile gari kwa kama mita mia tatu

    " Simamisha hapa kwa sababu umabu huu unatosha" akasema

    Nikasimamisha ile gari na kumgeukia kisha nikamtazama machoni kwa muda

    " Unaweza kuniambia?" akasema



      " Niambie unachotaka kuniambia" akasema shemeji



    " Una haraka ya kukijua?" nikamuuliza



    " Kwani hapa umenileta tuangaliane?" akauliza



    " Lily naomba uniangalia machoni tafadhali" nikamwambia



    Akageuza kichwa chake na kuniangalia kwa muda mfupi kisha akainama chini



    " Nimekuomba uniangalie na wala sio kuangalia chini" nikamwambia



    Akaniangalia tena kwa muda mfupi zaidi na kisha akainama kwa aibu za kike



    Hicho ndicho nilichokitaka kwake

    Kutumia udhaifu wake kwa kunipenda ili tupate nafasi ya kupona



    " Unajua kwa nini unashindwa kuniangalia kwa muda mrefu?" nikamuuliza



    " Sijui? Ila ujue nimekuja kukusikiliza?" akasema



    " Lily unanipenda na mimi ninakupenda" nikasema



    " Wewe hunipend ndo maana unakimbia na huyu dogo na kuniacha" akasema



    Kila mtu ana udhaifu wake na mimi nilitumia udhaifu wa shemeji kumdhoofisha



    " Wewe ndo umesema ila naomba nikwambie kitu, sisi wakristo tunamuamin Yesu kama mwokozi wetu,sasa fikiria kama yule unayemtegemea akuokoe na jehanam alisalitiwa unafikiri sisi binadam wa kawaisa tutaishi bila kusalitiana?" nikashuka mistar



    " Mimi ni binadam,nina makosa na pia nina mapungufu,kama Yuda alitembea na yesu kwa miaka ile yote akiona miujiza yote ile na bado akamsaliti basi hata mimi imetokea usishangae! Lakin sio kwamba yuda alikuwa hampendi yesu! Alimpenda sana na ndiyo maana yesu alipokufa na yeye akajiua na hivyo hivyo mimi sio kwamba sikupendi wewe

    Hapana nakupenda kuliko mwanamke yeyote hapa Duniani kwa sababu wewe ndiye uliyenitoa katika maisha ya ukuku wa kienyeji na kunifanya wa kisasa" nikasema



    " Kwa hiyo na wewe umeona umtoe Joan ukuku wa kienyej?" akauliza



    " Lily jifunze kusamehe,tena mimi mme wako,laazizi wako,kipenzi chako wa kumoyo! Ushindwe jaman ? Mpaka uwaze kuniua? Hapana baby" nikasema huku nikimfinya



    " Usinifinye bana" akasema kwa kujibaraguza



    Nikaendelea kumfinya kwa kumtekenya huku akijalibu kushindana na mimi ila mwishowe akacheka



    " Jaman!!!! Kwa mara ya kwanza baada ya muda mrefu umecheka laazizi wangu,nimeviona vidimpozi vyako! Hakika u mrembo malkia wangu" nikamwambia



    " Wee muongo! Ningekuwa mzuri ungeniacha ukaenda kwa Joan" akasema huku akinifinya kidevu



    " Joan alinitega bana na kanguo kamitego! Af achana na hizo habari za Joan baby! Ngoja nikwambie kitu! " nikasema



    " Nambie mpenzi wangu" akajibu jibu lililonipa matumaini ya ushindi kwenye ule mchezo niliokuwa naucheza



    " Unakumbuka niliwahi kukwambia wewe ni mtam kuliko wanawake woote?" nikamuuliza



    " Unanitania baby" akasema



    " Me sikutani,yaan misukosuko yoote hii ilipokuwa ikitokea nilikuwa nafika hatua nakuota na kulikumbuka sana penzi lako" nikamwambia



    " Acha uongo kwani Joan hakukupa penzi tam?" akauliza



    " Hapa habari za Joan sinafata nini tena?" nikawa mkali



    " Basi samahani mpenzi wangu"akajibu kwa upole



    " Sasa wale ndugu zako tunawapanga vip waondoke? Mimi nataka turudi bongo leo leo ukanipe raha bana" nikamwambia



    " Wale nitawaachia Joan wamalizane naye halafu sisi tutasepa zetu" akasema



    Nikashtuka kusikia Joan anataka kuingia matatizoni na mimi natoka



    Kwa mpango niliokuwa nao kichwani niliujua mwenyewe



    Na kawaida nilishajifunza kuwa mwanamke akiwa anakupenda hata awe mkali kama simba akikuona hana usemi kabisa



    Kwa hilo nikammaliza shemeji likabaki la Joan



    " Kwani umepanga kufanya nini kwa Joan baby?" nikamuuliza



    " Huyu dogo alichonifanyia dada yake kunichukulia bwana nataka hawa jamaa mabaunsa wambake wote mpaka apoteze fahamu kisha akatwe miguu na kuwekwa mtaani abaki ombaomba" akasema



    Nilitetemeka kwa sababu bado nilikuwa na mipango yangu kichwani na Joan!!!



     Sikufurahia alichojih kwenye bu shemeji na nikaanza kufikiria jinsi ya kumpanga tena shemeji anielewe mpaka amsamehe na Joan



    " Hivi unajisikiaje unapomfanyia hivyo mdogo wako?" nikamuuliza



    " Na yeye alijisikiaje kunifanyia vile?" akajibu kwa mtindo wa swali



    " Sikia nikwambie Lily! Nakupenda sana,nitakupenda saana kuliko mtu yoyote hapa Dunianiila nahitaji sasa haya mambo ya mauaji yaishe" nikasema kwa amri kama mwanaume



    " Sawa ila kwa huyu utanisamehe" akasema



    " Naomba umsamehe mpenzi" nikasema



    Sikutaka ajibu,nikahitaji kufanya vitendo ili iwe njia nyingine kufanikisha lile.



    Nilimvuta kwangu shemeji na kuanza kupata denda na shemeji kwa muda



    Huku mikono ikitalii sehemu mbalimbali za mwili wake



    Niliamua kwa akili zangu kumpa shemeji kitu tofauti kabisa pale pale kwenye gari



    Nilimshika sehemu zile ambazo nilijua ni za hatari sana kwa shemeji nikaanza kumuona akilegea huku pumzi ikianza kukata



    Sikutaka kuchelewesha kwa sababu nilijua yule msomali alikuwa akitusubiri



    Nikapeleka kidole changu maeneo na kufanikiwa kuigusa G-sport yake na kuanz kuisugua kwa kasi sana



    Jinsi nilivyoongeza speed ndivyo alivyozidi kulegea pale



    Nilipoona amelegea sana nikamgeuza kwa style ya Kindurunyi na kuanza kumpa mambo kwa speed ya ajabu



    Style ya Kindurunyi ilimfanya aweke pozi ambalo hakuweza kuhimili kukanyaga chini kwa muda kabla hajaanza kutetemeka miguu



    Kwa style ile mhogo wa jang'ombe ulizama mpaka kunako kwenyewe



    Nikamuona aking'ata meno kwa uchungu huku akifurahia lile tendo



    Wale waliokuwa kule kwa mbali walibaki kuona gari ikicheza cheza peke yake



    " Mmmmmmh! Aisee huko kumekucha" yule msomali akasema



    " Mmmmh! Mapenzi noma" akajibu baunsa



    Niliendelea kumpa shemeji mambo kwa speed kali sana mpaka nikahisi nitamfanya achanganyikiwe kwa sababu sijawahi kumpa mambo mazito kama yale



    " Baby utamsamehe Joan?" nilimuuliza nilipoona gemu imemkolea



    " Ho-n-ey uju-e am-eniudh-i saaaaana" akasema kwa kitetemeshi



    " Msamehe baby tafadhali nakuomba ili uendelee kupata mambo matam kama haya"nikamwambia



    " Sawa baby" akajibu



    Niliendelea na speed kali vile vile mpaka nilipoona shemeji akipanda mlima Kilimanjaro kwa kasi sana huku kiuno kikiongeza speed



    Hatimaye alifika salama Kibo



    " nashukuru kwa kumsamehe Joan pia baby" nikamwambia



    " Kwani nimemsamehe?" akauliza



    " Ndiyo na nakuomba usije kutengua kauli kwa sababu nitakachokifanya na mimi hutanisahau" nikasema



    " Usijal baby kwa penzi hili ulilonipa nitamsamehe ila niahidi utakuwa unanipa kama haya ya leo na utamwacha kabisa?" akauliza



    " Kwa hilo usiwe na wasi wasi baby" nikasema



    " Ila kumbe penzi la mazingira magumu na la kuiba ni tamu hivi? Sikujua! Kila siku kitandani weeee! Kumbe kuna zaidi ya pale?" akauliza



    " Ndo ujue sasa,tena ukikutana na ya vichakani ndo matam saidi" nikasema



    Shemeji akabaki anacheka tu



    Tulijiandaa pale na kisha tukarudi pale tulipowaacha wenzetu



    " Tunaendelea na safari?" akauliza yule msomali



    " Hapana itaishia hapa na nitaondoka na hawa watu kurudi Tanzania" akasema shemeji



    Tukashuka kutoka kwenye gari



    " Hapana Lilian,kwenye kazi yetu hatuna msamaha,kumbuka hawa kwa sasa wanajua baadhi ya siri zetu lazima tuwaondoe" akasema Msomali



    "Nimesema hafi mtu hapa" akajibu Shemeji



    " We hunijui eee? Ngoja nikuoneshe" akasema yule Msomali



    Akaingiza mkono kwenye kanzu yake



    Kitendo bila kuchelewa nikashangaa Shemeji akiruka hewani na kumpiga yule Msomali teke moja kwenye upande mmoja wa shavu na ile bastora aliyokuwa ameitoa yule msomali ikapaa juu



    Shemeji akaiwahi na kuidaka na kulala chini kisha akajigeuza pale chini kwa kujizungusha kama tairi na kuachia risasi bila kukosea hata moja



    Na zote zikawapata wale mabaunsa



    Sekunde chache baadae watu sita wote walikuwa chini tayali wakiwa mizoga!



     Nilibaki nimekodoa macho kwa kushangaa kila kitendo alichokifanya shemeji pale kwa muda mfupi ule

    Na hap ndipo nilipokumbuka kuwa shemeji alishaniambia ameshaua wanaume wengi sana ila hakunimalizia ile simulizi ya maisha yake

    Nikapanga mwenyewe kuwa haya mambo yakitulia lazima nitamuuliza vizur ili aendelee kunisimulia na nijue namna ya kumkabili kwa sababu yale mambo niliyoona akiyafanya kwa wale waarabu lazima iwe ngumu kukabiliana naye

    " Tundokeni eneo hili haraka sana kwa sababu hapafai kabisa hapa,ndugu wa huyu Msomali wananifaham,wakisikia kilichofanyika kwa ndugu yao na kisha wanione hapa Kenya watajua ni mimi peke yangu" Shemeji aliongea huku akiwa na wasi wasi saana

    Sisi hatukuwa na cha kuongea na tulibaki wasikilizaji na watekelezaji wa kila alichotuagiza

    Nilipogeuka kumwangalia Joan alikwepesha macho nikagundua hakutaka kujihusisha tena na mimi hasa baada ya kuona mambo makubwa aliyoyafanya dada yake kwa wale wasomali

    Tulipanda gari moja kati ya zile na nakumbuka ilikuwa Land cruser mkonga

    Najua shemeji alichagua ile kwa sababu alijua inaweza kupenya eneo lolote

    " Hapa tukisema turudi Mombasa na kupanda ndege yawezekana baadhi ya walinzi binafsi au wasomali ambao wanajuana na jamaa wakatuona na kutuletea nongwa"akasema shemeji

    " Kwani baby huyu jamaa ni mtu mkubwa mpaka watu wamjue hivyo? Na wewe ina maana watu wengi huku wanakujua?" Niliuliza maswali yenye mantiki kubwa sana

    " Huyu jamaa ana mtandao mkubwa sana, mimi mwenyewe ni mmoja wa watu wa mtandao wake,mafunzo yangu yote nilipewa na yeye hapahapa Mombasa hivyo asilimia kubwa ya vijana wa hapa Mombasa wananijua hivyo wakiniona itakuwa nongwa sana" Akajibu

    Jibu lake likawa fumbo kwangu

    Aliwahi kushi Mombasa?

    Akichukua mafunzo?

    Na kwa nini alichukua mafunzo?

    Ina maana kuna vitu vingi sana vimejificha kwa Shemeji nisivyovijua?

    Na kama ni Al shabaab inakuwaje akaolewa na kaka?

    Hayo maswali nilihati mtu wa kuyajibu na si mwingine bali huyu huyu Shemeji ila muda na sehemu tuliyokuwepo havikuruhusu hicho kitu

    " Hakikisheni mikanda imekaza viunoni kwa sababu mwendo tutakaoenda nao si wa kitoto" akatoa onyo

    Muda huo wote Joan hakuwa na usemi,alikuwa kimya sana tena kajikunyata

    " Hadi nakuonea huruma Joan wangu,ila endelea hivyo hivyo kwa sababu kwa mpango nilionao ukijifanya mjinga ndo utafanikiwa ila ukivunga mjanja utaumia" nilimuwazia Joan wangu

    Safari ilianza rasmi kutoka eneo lile la kalibu na mpaka wa Kenya na Somalia

    " Tunaenda kuvukia Tanga hivyo muwe makini na kila anayewaangalia,sio mnkodoa kodoa mimacho yenu mpaka mshtukiwe" akaonya

    Safari iliendelea ila pale pia nikapata kitu tofauti na nilivyotegemea kwa shemeji

    Gari ilikuwa inakimbizwa kwa mwendo ambao sijawahi kuuona hata kwenye mashindano ya magari ya langalanga

    Kuna wakati tulipokuwa tukipishana na magari mengine madogo gari yetu ilipepesuka kalibia kuanguka kutokana na speed kali ya shemeji

    "Llily utatuua" nilimwambia wakati huo nilihisi utumbo unachomoka kutoka tumboni

    "sitaki kelele tafadhali,nashindana na kifo.kwa sababu huwajui wasomali ndo maana unaongea hivyo"akajibu

    Safari ile ambayo nahisi kwa mwendo wa kawaida tungetumia saa sita mpaka nane tulitumia masaa manne peke yake tukawa kwenye mpaka wa Tanzania na Kenya kule Tanga

    Cha ajabu wakati tunafika pale mpakani tulisikia Helikopita ikipita angani na kuzunguka zunguka

    "Majid bashir keshafanya yake,sijui kama tutavuka hapa salama! Muombe sana mungu"

    Kwa mara ya kwanza nikamuona shemeji akiwa kaogopa,na pia akimtaja Mungu

    " Mmmmh! Shemeji anamjua mungu? Hapa hatar yake sio ya kitoto" niliwaza

    Shem alitutoa kwenye gari na kukimbilia kwenye kichaka kidogo kilichokuwa pembeni ya eneo lile na kujificha

    Muda mfupi baadae ile helikopita ikatua eneo lile tuliloficha gari na vijana wanne wakashuka na kuanza kulikagua lile gari

    Nilimuona shemeji akitetemeka!!!!!



    Eneo tulilokuwa tulikuwa tukiwaona wale wasomali vizur sana kila walichokuwa wakikifanya

    Mmoja wa wale vijana aliyeonekana kama kiongozi wa kile kikundi alikuwa akiongea na simu mara kwa mara huku wenzake wakizunguka zunguka maeneo ya jilani na pale kukagua

    " Majid,,,,,,,,,,,nikipona leo lazima nitafute namna ya kukumaliza Majid,,,,,,,wewe ndiye uliyebaki tishia kwang" Shemeji aliongea mwenyewe

    " Majid ndo nan?" Nikajikuta naropoka

    " Shiiiiiii!!!!! Taratibu, Majid ndo yule anayeongea na simu pale,nilikuwa naye mafunzoni kule Kismayu na Iral Somalia na tukaajiliwa wote na huyu Msomali,ndiye pekee anayeweza kupambana na mimi akaniweza,ni mtu mbaya sana,muombe mungu tusikamatwe" akasema

    Nilizidi kupatwa na wasiwasi hasa baada ya kuona Shemeji mwenyewe ana wasiwasi

    Wale vijana waliendelea kuzunguka zunguka pale

    Ghafla tukaona Majid akiwaita kisha kuwapa maelekezo flani na kuwatawanyisha

    vijana wale watatu wakagawana vichaka vilivyokuwa eneo lile kila mmoja

    " Popote ulipo na watu wako Shamim naomba ujitokeze kabla hatujawapa mauti" akasema Majid

    Pale pale nikapatwa na swali lingine

    Shamim ni nan?

    Hivi huyu mwanamke gaidi hivi kaka alimtolea wap?

    Majid alirudia lile tangazo kwa sauti ya juu kwa dakika nzima tukimsikia

    " Jaman laleni chini kwa tumbo nahisi hawa wanataka kufyeka vichaka kwa risasi,hapa sasa kila mmoja apiganie roho yake ukifa kwaheri na umsalimie kaka yako" akasema Shemeji

    Kile kitendo cha kulala chini tukasikia vitu vikifyeka vichaka vile kwa muda

    Kumbe zilikuwa risasi zilizotoka kwenye bunduki zenye viwambo vya kuzuia sauti

    " mahallay waihak slaam nalahim" nilisikia Majid akiongea kiarabu kwa style nisiyoelewa

    Samahani najua nimekosea kuandika ila nimeandika kulingana na nilivyosikia ingawa sikuelewa chochote

    Baada ya Majid kutamka hivyo nikashangaa wale vijana wakisogelea vile vichaka kisha wakaelekeza bunduki zao

    Ghafla bila kutarajia shemeji alibinuka kwa kutanguliza miguu mbele na kupaa mpaka kwenye shingo ya yule jamaa aliyekuwa amelekeza bunduki kwenye kichaka tulichokuwapo

    Ni kitendo cha sekunde kadhaa yule jamaa akawa amevunjwa shigo yake na kuanguka chini akiwa mzoga

    " Achen" Majid alifoka baada ya kuona wale vijana wake wengine wakitaka kumshambulia shemeji

    " Shamim huwez kufanya chochote hapa wallaah nakuapia,naujua uwezo wako ila nakuomba ujisamishe mwenyewe" akasema Majid

    Nikabaki najiuliza shemeji anaitwa Lily kama tunavyomfaham? Au Shamim kama hawa Wasomali wanavyomuita

    " Siwezi kujisalimisha Majid labda muniue" akajibu

    Majid hakumjibu kitu Lily alibaki akimwangalia tu

    Kisha akatoa bastora yake na kuja kwenye kichaka tulichokuwa tumejificha

    " Mungu wangu hili balaa liko nje ya uwezo wetu naomba utuokoe" niliwaza

    Lily alimwangalia jamaa akitufata huku wale wengine wakiwa wamemwelekezea bunduki yeye

    Jamaa alipotufikia alininyenyua na kuniwekea bastora yake kichwani

    " Shamim najua akili yako ilipo kwa sasa

    Yale mauaji uliyofanya tulikuwa tunakuona

    Umesahau kuwa tunafanya mambo yetu kwa umakin sana

    GPS iliyowekwa kwa kila mmoja wetu na wewe mwenyewe ukiwemo haiwezi kuficha chochote

    Tunajua huyu ndiye macho yako:na roho yako

    Sasa jisalimishe au niufumue ubongo wake" akasema Majid

    Nilibaki natetemeka mpaka nikahisi mavi yanagonga kyupi kisha yanarudi ila mkojo ulishapita wenyewe

    " Sina shida naye kwa sasa mmalizeni tu" akasema Lily

    Nilitaka kumtukana tusi ambalo hajawahi kulisikia

    Nimalizwe???

    " Moja,,,,,,,,,,,,,,,,mbil,,,,,,,,,,,," alihesabu yule Msomali akiwa kaikoki ile silaha yake



     Niliposikia yale maneno ya Majid kuwa kama sijawahi kukutana kimwili na shemeji kwa kutumia mpira basi nijihesabu nimeumia



    " Kaka unayoyasema kweli?" Niliuliza



    " Jun huyu ni mwongo anataka kutugombanisha"akasema Shemeji



    Yule jamaa hakujibu kitu zaidi ya kunyama kimya mpaka tulipofika Mombasa



    Kwa upande wa shemeji alikuwa na hasira kali sana ila Joan yeye alikuwa analia tu kama mtu asiyejielewa



    Tulipofikishwa tulishushwa na kuingizwa ndani ya ile nyumba mpaka kwenye chumba kilichoonekana kama stoo kutokana na kujaa vitu vichafu vichafu



    Kijana mmoja aliondoa meza na vitu vilivyokuwa vimesongamana pale chini na kisha Majid akaenda ukutani na kubonyeza switch kama ya kuwashia taa



    Baada ya Majid kubonyeza ile switch pale chini palifunguka nikaona ngazi zinazoshuka kuingia kule chini



    "Mmmmh!! Handaki" Niliwaza



    Baada ya kushushwa kwenye zile ngazi tuliendelea kushuka mpaka chini kisha tukazungushwa kwenye vyumba kama vinne



    Tatizo la kule chini kila chumba kilifanana na kingine hivyo hata mtu ukitaka kutoloka hutajua unaingia wap na unatokea wapi?



    Baadae ukatokea tena mlango wa chini ya ardhi tukashuka na kufika kwenye chumba kilichoonekana kujaa damu na vyuma mbalimbali kama bucha ya kuchijia



    Tulimkuta kijana mmoja kati ya wale mabaunsa shemeji aliowapiga risasi kule mpakani mwa Kenya na Somalia akiwa kafungwa kwenye kiti akiwa hoi na damu imezagaa kila mahali



    Majid alitoa bastora yake na kumchapa risasi yule kijana ya kichwa mbele yetu



    " Kazi yake imeishia hapo kamsalimie boss mwambie Majid anaongoza kikosi" aliongea kwa kibur Majid



    Nilitetemeka vibaya sana ila sio mimi pekee bali hata Joan alionekana kuishiwa pozi na nguvu



    Nilianza kuona dalili za malengo yangu ya kuja kuishi huru na Joan kama mke na mme zikiyeyuka kirahisi sana



    Vijana waliondoa ule mwili pale haraka sana na Shemeji akashikwa na kufungwa kwenye kile kiti



    Miguu ya shemeji ilipanuliwa na chuma cha kutesea kikaingizwa katikati ya miguu yake



    Yule aliyeingiza ile miguu akaanza kuibana na kile chuma ambacho kilikuwa mithili ya mkasi



    Shemeji hapo ndipo nilipoanza kugundua kuwa ni gaidi wa ukweli



    Walikaza kadri ya uwezo wao ila shemeji alikuwa anang'ata meno peke yake bila kulia



    Wakambana kwa nguvu sana ndipo shemeji akapiga yowe kali sana



    Nikajikuta naanza kumuonea huruma shemeji ingawa nilikuwa nikitamani afe



    Majid alipoona shemeji ni gaidi mwenzake akabadili mbinu



    " Kama unakumbuka vizur upinzani wetu ulianza tukiwa mafunzoni:najua unafahamu kuwa kufa kwa bos mamlaka yalipaswa yabaki kwangu au wewe sasa nimekuwahi tena kwa kosa la wazi lazima ufe Shamim ila kabla hujafa nataka upate uchungu mkubwa mno"alisema Majid



    "Tutaanza na huyu binti ambaye unampenda sana na ni mdogo wako akishakufa tutaingia kwa mpenzi na mahabuba wako akifa ndo tunamalizia kwako"akaongea Majid



    "Jaman nisamehen sihusiki kwa chochote kile na hawa watu mimi sina ubaya jaman msiniue"alijitahid kubembeleza Joan ila hakuna aliyemsikiliza



    Alikamatwa kwa nguu na kulazwa kwenye mashine iliyomfunga miguu:mikono:tumbo,na shingo kiasi cha kutokuweza kufurukuta



    Kisha akawekewa kitambaa kizito usoni



    Kijana mmoja akabeba dumu la maji ya lita ishilini na kuanza kuyamwaga usoni kwa Joan taratibu



    Yale majiyalikuwa yakimziba Joan pua na mdomo kiasi cha kushindwa kupumua vizur



    Joan alikikiruka pale kwa muda wa dakika moja na nusu huku maji yakiendelea kumiminwa usoni pake



    Taratibu juhudi zake za kuipigani roho yake zikaanza kupungua na mwishowe akatulia kimya



    Nilidondokwa na chozi!!!



     Joan alijalibu kupambana kwa uwezo wake wote ila taratibu nguvu zikaanza kumuishia na mwishowe akatulia kimya



    " Joaaaaaaaaaaaaaaaa......" nililia kwa uchungu sana ila kabla sijamaliza kulitaja jina la Joan nikasikia milio ya risasi eneo lile



    Kuja kushtuka na kugeuka ili kujua risasi zinatokea wapi nikashangaa kumkuta Majid akiwa kalala chini huku kifua chake kimechalazwa na risasi vibaya mno



    Pembeni ya Majid alisimama kijana mwingine wa Kisomalo aliyejazia akiwa kashikilia silaha ya moto sana aina ya AK 47



    Wale vijana waliokuwa wakimmwagia maji Joan walishushwa sana na kile kitendo hivyo wakajalibu kuziwahi zile bunduki zao walizokuwa wameziweka chini ili kumtesa Joan



    Hawakufanikiwa kufika popote ale jamaa akawawahi na kuwamiminia risasi vifuan wakaanguka chini na kutulia



    Kila mmoja alipigwa na bumbuwazi kwa nini yule kijana anafanya vile wakati wale ni wenzake



    " Shamim nataka kukuokoa ila kwa sharti moja"akasema yule kijana



    "Niko tayal Abdul nipe hilo shart"akajibu Shemej



    " Majid hapendwi hapa na unajua hilo na pia unajua wote tulijua kuwa akifa boss we ndoungechukua madaraka ila kosa ulilolifanya limesababisha haya,lakin ujue wote hapa hatumpendi Majid kutokana na vitendo vyake hivyo nahitaj uthibisho wako kuwa na wewe hutak madaraka nikufungulie uende ili nichukue madaraka" akasema Abdul



    " Nafikiri una kumbukumbu kuwa nilishakataa haya madaraka tangu mwanzo hivyo siyahitaj nahitaj kuishi kwa aman na mpenzi wangu nipe huo uhuru Majid"akasma Shemej



    " Mimi nitawafungua na kuwasaidia kuwatolosha hapa na kisha nitasema ulimuua Majid wakitaka tukutafute tayali ntakuwa kiongozi ntajua namna ya kulimaliza ila niahid hautarud kunisumbua"akasema Abdul



    "Sitarud Majid nakuahid we nifungua tafadhal"akasema shemeji



    Abdul alianza kumfungulia shemeji na kisha akaja kwangu ila mimi kwa wakati huo nilikuwa namuwazia Joan peke yake



    Mara baada ya kufunguliwa nikamkimbilia Joan



    "Wewe acha utoto hii ni nafasi ya sisi kupona achana na huyo ameshakuwa maiti tayal"alisema shemej



    "Kijana hakuna nafasi ya kumfikiria huyo tafadhali ondoken"akasema Abdul



    Sikuwasikiliza kwa sababu kwa wakati huo nilikuwa namuwazia Joan peke yake



    Nilipomfikia niliegesha kichwa changu kwenye kifua chake na kusikiliza kwa muda



    " Hajafa! Hajafa jaman anapumua kwa mbali sana" nikajikuta napiga kelele kwa nguvu



    Ikabid wote waje na kusikiliza mapigo ya Joan



    " Hata kama ni mzima ila hali yake ni mbaya sana baby tafadhal mimi nipo kwa ajili yako naomba tuondoke " Akasema Shemeji



    " Na hata mkisema mnaondoka naye hamtaweza kwa sababu hana faham na njia nazotaka kuwatoroshea ni za hatari sana tafadhali kijana ondoken"akasema



    " Naomba nitamke wazi kuwa nakupenda sana sijui Lily sijui Shamin na hata kesho nikiambiwa wewe ni Abdalah sitashangaa kwa sababu nahisi wewe pia unaweza kuwa jini ni hivi mimi hapa ndani siondoki bila ya Joan kwa sababu hana hatia ni bora nife mimi au wewe na si Joan kwa sababu tumemuingiza kwenye matatizo wenyewe" nikasema



    " Junior unacheza na akili yangu,kumbe hunijui? Unajifanya unanipenda kumbe unafiki tu unayempenda ni Joan sasa tutaondoka bila huyo malaya wako upende au usipende" akasema shemeji



    " Labda nirudie hilo mimi hapa ndani bila Joan sitoki labda muondoke na maiti yangu" nikajibu kwa kujiamin



    Shemeji aliniangalia kisha akamuangalia Abdul na kumpa ishara



    Kitendo kilitokea kwa muda mfupi sana Abdul aliruka na kunibinya shingoni nikajikuta naona kizunguzungu na kupoteza faham



    Kisha Shemeji akamwonesha Abdul ishara nyingine akaanza kumsogelea Joan pale alipolala....



    Baada ya Junior kupoteza fahamu Lily ambaye kwa wakati huo alijulikana kwa jina la Shamim ambalo lilinichanganya chanzo chake kutokana na kutolifaham alimwonesha ishara yule kijana aliyekuwa akitaka madaraka yale akijulikana kwa jina la Abdul

    Abdul akaanza kumsogelea Joan pale alipolala na kisha akaishika shingo yake na kutaka kuivunja

    "ila acha "akasema shemeji ghafla

    "kwa nini shamim?"akauliza abdul

    "unajua madhara nitakayoyapata kama nitamuua huyo?"akauliza shemeji

    "hapana ila nafikiri ndiye anayekubania nafasi ya kuwa na huyu kijana au?"akauliza abdul

    "ndiyo ndiye anayenibania lakin kumuua litakuwa kosa kubwa zaid"akajibu shemeji

    "niweke wazi tafadhali kwa sababu bado sijakwelewa!!!"akasema abdul

    "sikia namjua huyu kijana akili yake,nikimuua huyu anaweza fanya kitu kibaya sana au akanifanyia mimi kitu kibaya ndo maana nashaur tumuache ili nimtumie kwenye kumlazimisha huyu kijana kuwa na mimi akikataa basi namuua huyu binti"akatoa maelezo yake shemeji

    "nimekwelewa ila hudhani kuwa wanaweza kuungana na kukuua ili waishi kwa aman?"akauliza abdul

    "sio rahisi kwa sababu huyu kijana nimemfunga GPS hivyo kila anachokifanya na nyendo zake zote nazipata kwenye kile chumba chetu cha siri"akajibu shemeji

    "hapo sawa" akasema abdul

    "ila bado ntahitaji msaada wenu ina maana mnatakiwa kuwa na mimi bega kwa bega kwa sababu huko Tanzania nina kesi nyingi za kujibu,nikipata tatizo msisite kunikomboa"akasema shemeji

    "usitie shaka kwa hilo shamim

    Baada ya kumaliza majadiliano yao wakaanza namna ya kututoa mule ndani tukiwa hatuna faham

    "kuna vijana ambao wamekuwa wakifanya kazi chini yangu hata kipindi cha Majid acha niwaite wawatoe humu"akasema

    "wazo zuri"akajibu shemeji

    Abdul akachukua simu binafsi na kupiga kwa vijana wake na kuwaita

    Wale vijana walipofika pale walishtuka kumkuta sheemeji akiwa hajafungwa na Majid akiwa kalala chini huku kafa na damu zikimvuja kwa fujo

    Wakajua labda kuna tatizo hivyo wakajalibu kumuweka shemeji chini ya ulinzi

    "acheni,hii ni kazi yangu,nafikiri sasa ni wakati wa sisi kuchukua madaraka ya kikosi na shamim atatupa msaada pale tutakapohitaji"akasema abdul

    "sawa mkuu tupo pamoja na wewe"walijibu wale vijana na kuinama kwa ishara ya heshima

    "nahitaji shamim na hawa watu waondolewe humu ndani haraka ila kwa siri vijana wa majid wasifaham chochote na warudishwe tanzania wakiwa salama"akasema abdul

    "boss kamera"akajibu mmoja wa wale vijana

    "naenda chumba cha camera kuzima za njia ya riwath pitieni huko"akasema

    "sawamkuu"wakajibu

    Wale vijana walitubeba na kuanza kuondoka na sisi eneo lile haraka sana

    Kama alivyoahid Abdul alienda na kuzima camera za njia ya riwath na sisi tukapitishwa salama

    Nilikuja kuzinduka masaa mawili baadae na kujikuta nikiwa kwenye gari ikiwa kwenye mwendo kasi sana

    nilipogeuka pembeni yangu nilimuona Joan akiwa bado amelala na upande mwinginealikuwepo shemeji akiniangalia

    "Jun tulipokuwa Mombasa kuna mambo mengi sana yamekuchanganya juu yangu nafikiri sasa ni wakati wako wa kujua mimi ni nasni"akasema

    "Nimezaliwa Tanga wilaya ya Muheza......."alianza kusimulia



    SHEMEJI ANASIMULIZA HISTORIA YA MAISHA YAKE

    Nimezaliwa mkaon Tanga kama nilivyokwambia awali

    Nilizaliwa na mama peke yake na mpaka umri huu simjui baba yangu kabisa

    Nilipozaliwa nilipewa jina la Shamim na sio Lily kama wengi mnavyofahamu

    Mimi ni sio mkristo kama mlivyokuwa mnajua ila nilifanya vile ili kukamilisha kazi niliyopewa na kikundi kile

    Sijabadili jina mara moja pekee bali mara nyingi sana

    Kama mama alivyonisimuliza kuwa baba yangu alimtelekeza kiwa na mimba na kupotea kabisa kutoka maeneo yale ya Mheza baada ya kupewa taarifa ya ile mimba na mama

    Na baada ya kupotea na pia akiwa sio mkazi wa pale hivyo hakuna aliyejua alikotokea na hata alipokimbilia hakuna aliyejua

    Baada ya mimi kufikisha miaka kumi mama yangu alipata bahati ya kuolewa na bwana mmoja mfanya biashara Tanga mjini

    Bwana huyo alimkuta mama akiuza mahindi njiani na kumpenda ndipo walipoanzisha uhusiano wa siri sana lakin hatimaye ukaja kuwa wazi kwa watu woote

    Baada ya muda mfupi yule mzee alilipa pesa kidogo ya kuwapooza wazee wa mama na akanichukua mimi na mama tukaenda kuishi nyumbani kwake rasmi

    Mwanzoni maisha yalikuwa mazuri sana kwa upande wetu tukiishi kwa upendo na amani na yule baba mlezi

    " Huyu ndye baba yako mwanangu na huna baba mwingine,mheshimu na kumsikiliza sana kwani hatuna tegemeo lingine zaidi ya hili,siku nikisikia umebishana naye chochote nitakuua! Akikwambia kitu kubali hapo hapo bila kuuliza uliza! La sivyo utakuja kuuona moto wangu" Mama aliongea mbele ya yule mzee

    Wakati mama anaongea hayo nilikuwa na miaka kumi na mbili pekee nikiwa kabinti kadogo hakujua kuwa yale maneno anayotamka yanaweza kuja kugeuka na kuwa sumu pale ndani

    Niliandikishwa shule nzuri na ya gharama pale pale Tanga mjini nikaendelea na masomo yangu vizuri

    Kimbembe kwenye ile nyumba kilianza mara baada ya mama kugundua kuwa yule mzee ana mke mwingine Dar

    Kilichofanyika awali ni yule mzee kuwa na bishara sehemu zote Kule Tanga na huko Dar hivyo alipokuwa akiaga kwenda kwenye biashara Dar alikuwa akienda kwa bi mkubwa na akirudi Tanga anakuja kwa mama ambaye ni bi mdogo

    Kilichosababisha hayo mambo yashtukiwe ni mchezo aliokuwa akiucheza yule mzee kushtukiwa na mkewe mkubwa

    Kumbe alikuwa na simu nne anazomiliki na zingine zilikuwa za vimada

    Akiwa anaenda kwa bi mkubwa alikuwa wakati wa kuondoka Tanga anajifanya kuwa busy na mwisho wa siku anaiacha simu pale nyumbani akisingizia kuwa kasahau

    Na pia akiwa anatoka Dar kuja Tanga pia anajifanya ubusy na kusahau simu inayotambulika kwa bi mkubwa na kulalamika kasahau

    " Dah! Hizi biashara zitaniua mke wangu leo tena nimesahau simu yangu kwenye gari yako! Ngoja ntatumia ya ofisi ya Tanga kuwasiliana na wewe usijal nakupenda sana mke wangu mwaaaah!!" aliuzoea kuwalaghai kwa maneno ya uwongo na matam

    Mchezo mzima wa siku hiyo ulitokea ghafla alipompigia mke wake mkubwa wa Dar simu kumjulia hali na namba ya ofisini

    " Mwanangu mwanao Rajabu anaumwa kalibia kufa tafadhali fanya juu chini uwe hapa leo hii hii jaman" mkewe alimwambia

    Siku hiyo hakukumbuka kusahau simu ya Tanga hivyo aliunga moja kwa moja kutoka ofisini kuelekea Dar kumuwahi mwanae

    Kwa speed aliyokuwa nayo aliwahi sana kufika kwa mkewe

    Na moja kwa moja akaelekea Amana hospitali kumuona mwanye

    Kimbembe kilitokea wakati alipotakiwa kutoa damu kwa mwane hivyo simu na kila kitu akakabidhi kwa mkewe mkubwa ikiwepo ila ya Tanga



    SHEMEJI ANASIMULIA

    Yule mzee alipopaswa kutoa damu ili mwane aongezewe alichukua vitu vyake vyote na kumkabidhi mkewe mkubwa

    Wakati anatoa vile vitu ndipo akaitoa na simu anayotumia kuwasiliana na bi mdogo ambaye ndiye mama yangu wa Tanga

    Alitaka kusita kumpa yule mkewe ila tayali ilishaonwa akaona inaweza leta matatizo makubwa sana kwake hivyo akampatia zote

    Yeye akaongozana na Daktari kuelekea kwenye chumba maalumu ili kutolewa damu

    Mkewe aliondoka na kwenda sehemu ya kupumzikia kisha akakaa

    " Mbona hii simu sijawahi kumuona nayo mme wangu? Au ndo alinunua tuwe tunawasiliana wakati akiwa Tanga?" Bi mkubwa alianza kujiuliza maswali

    " Eee mungu nisaidie ile simu isiite na wala yule mwanamke asiikague isije ikaniletea majanga" mme alikuwa akiwaza hivyo wakati mke kule naye alikuwa akiwaza ya kwake

    Huku upande wa Tanga mama akawa kamaliza kupika chakula cha mchana na kama kawaida yake anampigiaga mme wake ili aje wale pamoja na akanyenyua simu ili kupiga

    Wakati mama ananyenyua simu ili apige kwa mmewe kumuomba aje kula chakula yule bi mkubwa alikuwa kaifungua simu upande wa meseji na kukutana na jina la kwanza " wa ubani wangu" alipochunguza namba ya mtumiaji mwenye hilo jina ikawa ngeni kwake

    Akaingia kwenye kikasha cha kupokelea ujumbe na kufungua na kukutana na meseji za hilo jina zikiwa nyingi mpaka akashindwa aanze kusoma ipi kati ya zile

    Wakati anajiandaa kufungua ya kwanza na mama naye akawa ndipo amepiga simu

    Simu ikaitia mkononi mwa bi mkubwa jina la mpigaji likiwa " wa ubani wangu"

    Mama yule mwenye busara na hekima akajiuliza kama ni uungwana kupokea ama la!!!

    Ila kwa sababu aliamini yeye ndiye mke halali wa ndoa anayetambulika kwa ndugu wa mmewe akapokea kwa heshima

    " Mme wangu chakula tayali naomba uje tule tena leo nimepika kile unachopenda" mama aliongea baada ya simu kupokelewa

    Maneno ya mama ylikuwa kama mwiba mkali sana kwenye moyo wa yule Bi mkubwa ila hekima ikatangulia

    " Samahani dada! Nakuomba usikate simu kuna mambo ya msingi tunapaswa kuongea kama wanawake! Tafadhali usitukane tuongee kiungwana naamin sisi wote ni watu wazima wenye akili zetu hivyo tutaelewana"aliongea kwa hekima sana yule mama

    Mama yangu kwa upande wake alishtuka sana simu ya mmewe kupokelewa na mwanamke lakini maneno ya hekima ya yule mama yakamshusha moro

    " Asijekuwa mama mkwe! Acha niwe msitaarabu" aliwaza mama yangu

    " Usijali lakini naomba kwanza kukufaham kwa sababu hii ni simu ya mme wangu" akasema mama

    " Usijal naitwa Noryn Mahmud ni dada wa mmeo"akdanganya yule bi mkubwa

    " Aaaah! Kumbe wifi za kwako jaman?"akaongea mama bila kujielewa

    " Ni nzuri ila samahani naomba nikufaham.wewe ni mke halali wa kaka?"akauliza

    " ndiyo wifi yangu"akajibu mama kwa kujiamin

    " Mlishafunga ndoa? Na mlifungia wap? Mbona mimi sikufaham?"akauliza tena bi mkubwa

    " Ndiyo wifi kwani wewe hujui? Au haukwepo nchini? Tulifunga hapa hapa Tanga na ndugu wa mme wangu kalibia wote walikuwepo mbona? Hajakwambia jaman wifi?" akasema mama

    " Ukweli mimi nilikuwa nje ya nchi ndo maana! Kwa hiyo umesema upo Tanga? Na mna mda gani tangu mfunge ndoa wifi yangu?'akaendelea kudadisi yule mama

    " Tuna miaka miwili wifi yangu kwani mko wapi? Si ungekuja na kakako nimeandaa chakula japo nikufahamu wifi yangu na mengine tutaongea hapa hapa?" akasema mama

    " Samahani wifi hivi mmeo alishawahi kukwambia ana mke mwingine Dar es salaam?"akauliza yule bi mkubwa

    Mama alihisi msumali wa moto ukichoma mbavu zake kuanzia kulia mpaka kushoto!



    Mama aliposikia habari ya mme wake kuwa na mke Dar alishtuka mpaka akahisi tumbo linamkata

    " Labda sijakwelewa wifi! Mke kivip?"akauliza

    " Sikia wewe si ni mwanamke kama mimi ?"akauliza Bi mkubwa

    " Ndiyo ila sijakwelewa"akasema mama

    " Utaelewa tu ila naomba uongee kistaarabu kwa nitakachokwambia kwa sababu nimekupigia kistaarabu na wala sijaongea kitu kibaya au kukutolea lugha chafu"akasema bi mkubwa

    " Una maana gan?"akauliza mama

    " Nina maana kwa nitakachokwambia uwe mtulivu na msikivu ili tuweze kuelewana sisi sote ni wanawake na tuajua uchungu wa mme hivyo hatupaswi kutoleana lugha chafu cha msingi tuelewane"akasema bi mkubwa

    " Nimekwelewa wifi yangu we ongea tu usijal"akasema mama

    Ila wakati huo tayali mapigo yake ya moyo yalikuwa kasi sana na alishahisi hatari ikiwa mbele yake

    " Mimi sio wifi yako ila ni mke mwenzako dadangu"akaongea yule mama kwa kujiamin

    " Mke mwenzangu? Sijakwelewa!! We si ulisema ni wifi?"akauliza mama

    " Niliongea vile ili nipate ukweli juu ya hiki nilichokiona kama ni kweli au naota! Nimeshangaa sana kwa nilichokishuhudia! Mme wangu kweli kaoa mke mwingine Tanga? Hata kuniambia hakuna? Nimeumia saana dadangu basi tu Mungu anajua"aliongea kwa uchungu bi mkubwa

    Mama alijikuta anabaki kushangaa tu akidhani kuwa anaota kwa anayoyasikia na sio kweli

    Alikuwa kasimama ila ikabidi akae kwenye sofa na kuendelea na mazungumzo

    " Kwani wewe mmeoana mwaka gani dadangu?" ikabidi mama aulize kistaarabu

    " Miaka kumi na mitano iliyopita ndugu yangu na wewe?"

    Jibu la yule mama lilimuacha mdomo wazi! Alitegemea yeye ndiye angekuwa bi mkubwa na huyo kaingilia ndoa yake ila ikawa kinyume

    " Mama yangu! Ina maaana nimeishi na mme wa mtu muda wote huo bila kujua?" mama alijikuta karopoka

    " Kwani mna mda gani dadangu?"akauliza bi mkubwa

    " Huu ni mwaka wa pili kwenye ndoa dadangu ila ukweli sikujua chochote jaman! Eee Mungu wangu!"akajibu mama

    " Sikia usipaniki tafadhali! We si umesema ndugu zake walihudhulia harusi na unawafahamu vizuri?"akauliza bi mkubwa

    " Ndiyo tena nawakumbuka wote na wengine bado tunawasiliana"akajibu mama

    " Sasa fanya mambo kiutu uzima usikurupuke tafadhali! Wasiliana naye kama kawaida na mimi nitafuta record zetu za mawasiliano ila andaa safari ya kuja huku kwa ghafla kesho na yeye asijue kisha nitawaita ndugu zake na kesho nitaitisha kikao bila yeye kujua kisha wewe nitajua namna ya kukuleta kwenye kikao kisha mbivu na mbichi zitajulikana pale"akasema bi mkubwa

    " Naogopa dadangu isitoshe mimi nimetoka familia maskini na yeye ndo ananihudumia"akasema mama

    "usiogope! Hata akikukataa nitakuhudumia na nitakupa pesa nzuri ya biashara wewe ni mwanamke mwenzangu najua lililokutokea litakuathili tafadhali nielewe,nakutumia laki tano sasa hivi ya maandalizi ya safari jitahidi asubuh sana uondoke na kuja Dar" akasema bi mkubwa

    "sawa dada"akaitikia mama

    "na ujitahidi usioneshe mabadiliko yoyote unapowasiliana naye nakuomba uniamin"akasema bi mkubwa

    " nimekwelewa na usijal"akajibu mama

    Baada ya kukata simu yule bi mkubwa alifuta mawasiliano yaliyofanyika kati yake na mama na kumsubiri mmewe aje ampe vitu vyake bila kuonesha dalili za tatizo lolote kutokea

    Upande wetu mamangu alilia sana kiwango cha kunifanya nishindwe kuvumilia na mimi nianze kulia

    " Kwa nini wanaume wananifanyia hivi? Nimewakosea nini mimi? Baba yake Shamim alinizalisha na kunikimbia na huyu tena jaman? Wanaume ni watu wabaya sana tena saana"alilia sana

    Maneno ya mama yalipenya kwenye ngome za masikio yangu na kuingia mpaka ndani kabisa ya moyo wangu na kukaaa na kuanzia siku hiyo nikawachukia wanaume sana







     Mama alisema maneno mabaya sana juu ya wanaume ambayo yaliuchoma sana moyo wangu na nikajikuta kuanzia siku hiyo ninawachukia sana wanaume

    " Nikiwa mkubwa nitawafanya wanaume wajute kuwaumiza wanawake,lazima nitawafanyia kitu ambacho hawatanisahau" niliwaza mwenyewe

    " Shamim mwanangu maisha ndivyo yalivyo yawezekana sisi tulipangiwa maisha ya shida ila nitafanya chochote kwa sababu yako laiti nisingekuwa na wewe ningeondoka kwa huyu mwanaume leo hii"aliongea mama kwa uchungu sana

    Maneno aliyokuwa akisema mama hakujua ni jinsi gani yaliniathiri kwenye akili yangu! Nilimchukia sana huyu baba mpaka nikafikiria nimuue asimsumbue mama

    Mara baada ya mama kumaliza kulia alitulia na kuingia chumbani kwake

    Mzee yyle baada ya kumaliza kumtolea mwanaye damu alitoka haraka na kumuwahi mke wake

    Akamkuta bi mkubwa kaka kwenye benchi la watu wanaosubiri huduma

    Alipofika cha kwanza alimwangalia bi mkubwa usoni ili ajue kama kuna mabadiliko yeyote yale akashangaa bi mkubwa yuko sawa kabisa

    " Vipi mmemaliza mme wangu?"akauliza bi mkubwa

    " Ndiyo tumemaliza salama mke wangu! Vip hakuna aliyepiga simu?"akauliza

    " Hapanamme wangu ila tumshukuru Mungu umewahi kuja na mwanetu amepata damu sasa nina furaha atapona"akasema mke huku akichukua kila kitu cha mme wake na kumpatia

    " Aaaaaaaah! Hivi nimekuja na hii simu ya yule kijana? Sijui atakuwa anatumia nini sasa? Hii simu niliichukua kuwasiliana na wewe mara moja mke wangu ila nimejikuta kwa haraka nimekimbia nayo"

    Mwenye dhambi siku zote dhambi yake inamsuta na ndivyo ilivyomtokea mzee yule kutunga uongo ili mkewe asiulize kuhusu ile simu

    "Wala usijal mme wangu"akasema mwanamke

    Waliondoka eneo lile la hospital baada ya kuombwa na madaktari kuwa wawaache wafanye kazi yao kwa uhuru na wanaweza rudi jioni

    Walipokuwa njiani kwenda nyumbani waliongea vizuri bila mme kushtukia kama kuna kitu kinaendelea

    Mwanamke yule alikuwa mtu wa kipekee kwa sababu alikuwa na busara za kipekee tofauti na wanawake wengine wakisikia kuna mwanamke mwingine anatembea na mmewe

    Baada ya kufika nyumbani mwanamme alitegea kwenye gari mkewe akatangulia ndani ila alishajua kuwa huyu anahitaji kufanya mawasiliano na bi mdogo

    " Vip mke wangu? Samahani nimepata dharura ya ofisi kuna mzigo wangu umekamatwa bandarini hivyo nimeondoka ghafla kuja Dar kuushughulikia ndo maana sijaaga mke wangu unisamehe nakupenda"akadanganya kwa mara nyingine kwa mke mwingine ambaye alikuwa Tanga bila kujua ukweli uko wazi

    " Usijal mme wangu kwa sababu unahangaika kwa sababu ya maisha yetu mimi sina neno zaidi ya kumuomba Allah akutangulie"akajibu mama kiungwana

    " Nashukuru kwa kuwa mwelewa mke wangu! Nakupendaa sana na najivunia kuwa na mke bora kama wewe"akajibu mme

    "usijal mme wangu basi baadae napika"alisema mama na kukata simu kwa sababu alihisi donge likimkaba kooni kwa sababu ya kudanganywa huku akijua,akaona bora akate simu ili asije jikuta anahalibu mambo

    Bi mkubwa alipanga mipango yake vizuri sana na kuwasiliana na wifi zake ili wawepo kwenye kikao na pia shemeji zake woote wajitahidi wawepo

    " Kwani kikao kinahusu nini shemeji na ni kwa nini tusimwambie kaka?"alileta upinzani mmoja wa mashemeji

    "Sikia shem kuna kitu kizuri sana nimepanga kumfanyia kaka yenu ila sitaki ajue kwa sababu ni suprise! Naomba tafadhali usimwambie ila nikijue umemwambia basi mimi na wewe mbwa na paka"akasema kwa onyo Bi mkubwa

    Kwa sababu wale wote walifahamu chimbuko la mali za kaka yao ni mkewe na akiamua kuondoka kaka yao atabaki maskini basi wakafanya siri

    siku ya kikao sisi tulishasafiri kutoka Tanga na kufika Dar na yule Bi mkubwa alishakusanya watu wote kwenye kikao

    " Mme wangu kuna bonge la suprise nimekuandalia hapa nyumbani tafadhali wahi sana usipokuja tunakosana na sikununulii tena zawadi"akasema

    "Dakika moja nakuja mke wangu! Ndo maana nakupenda"akajibu

    Kweli baada ya robo saa honi ya gari ikasikia kwenye geti na likafunguliwa







     Mzee yule aliposhuka kwenye gari yake ili aingie ndani alishtuka kuyakuta magari mawili ya ndugu zake yakiwa pale nje

    Akashtuka na kushangaa na hapo hapo kengele ya hatari ikalia kichwani kwake

    "Kweli kuna aman hapa? Mmmmh!!!"aliwaza

    Hakuwa na jinsi kwa sababu alishafika nyumbani na wote waliokuwa pale wana taarifa juu ya ujio wake ikabidi aingie tu na hata hivyo hakujua kilichopo ndani

    Kule ndani kwenye kikao tayali mke wake mkubwa alishawaeleza ndugu wote kila kitu kuhusiana na mama yangu na wote wakaafiki kitu kimoja

    Mzee yule alifungua mlano na kuwakuta ndugu zake na mkewe mkubwa wamekaa

    " Habari zenu na huko mtokako?" akawasalimu

    " Salama kaka sijui hapa kwako ndugu yetu?" wakajibu na kumtupia tena swali

    Alipowajibu walitaniana mambo ya hapa na pale kisha akamgeukia mkewe

    " Utaniua kwa presure mke wangu! Nimetoka speed huko nikitaka kujua suprise yangu nambie basi mama nisife kwa kiroho"akasema

    " Usiwe na wasiwasi baba watoto! Vip uko tayali nikuletee suprise yako?"akauliza bi mkubwa

    " ndiyo iliyoniwahisha hapa au ndo hawa ndugu zangu ambao hawataki kunitembelea mpaka iwepo "akaongea kwa utani

    " Aaaah! Kaka mbona tunakukumbuka jaman!"wakajitetea

    " Msijali jaman! Kaka yenu kwa utan hajambo! Sasa mme wangu jambo nalotaka kuliweka wazi ni kubwa sana ila naomba tujadiliane kiutu uzima na kwa busara ili tufikie muafaka mzuri"akasema bi mkubwa

    " Jambo tena? Jambo gani hilo? Au kuna tatizo jaman?"akauliza

    Tayali kengele ya hatari ikalia kwenye kichwa cha mzee yule

    " Tafadhali usijal! Haya wageni wetu kalibuni!"akatuita yule mama kule walikokuwa wametuficha ili asije kushtuka baada ya kutuona sebuleni

    Tulipotokeza pale sebuleni mzee yule alipigwa na butwaa sana!!!

    Hakuamin macho yake kama anaowaona pale mbele yake ni sisi! Hakutegemea kabisa kuwa ile siri yake inaweza kuja kugundulika

    Kwa sababu ya mshtuko alioupata mzee yule akajikuta akipandwa na presure na kuanguka chini kwa kishindo

    Hakuna aliyekumbuka kama kuna kesi iliyokuwa ikiendelea tena pale bali kila mmoja akawa anahangaika kuyanusuru maisha ya mzee yule

    Wakati wanahangaika pale na mama yangu akiwa katika kundi lile mimi nilikuwa nimesimama nikiwashangaa

    Nilishajenga chuki kubwa sana moyoni mwangu juu ya mzee yule kutokana na kumuumiza mama yangu kipenzi

    Walimtoa nje ili wammpeleke Hospitalini akapata matibabu ila Kaka yake akashauri kuwa wampeleke kwenye bustani ya ile nyumba na kumpepea atakuwa sawa

    Walihangaika pale kwenye bustani kumsaidia kwa kumpepea mpaka taratibu akaanza kurejewa na fahamu zake

    Ila bado pamoja na kurejewa na fahamu alikuwa na maluwe luwe sababu ya mshtuko alioupata

    Watu woote walitulia naye pale huku wakimjibu baadhi ya maswali aliyokuwa akiuliza

    Baada ya muda alikuwa sawa na kuelewa kinachoendelea na ikabidi turudi ndani na kikao kiendelee kama kawaida

    " Mme wangu unawajua hawa?"akauliza Bi mkubwa

    " Mpaka hapa tulipofikia hakuna namna ya kudanganya ni kweli nawafahamu huyo ni mke wangu mdogo na huyo ni mwanaye"akajibu

    " Kwa hiyo mme wangu umeoa si ndiyo?"akauliza tena Bi mkubwa

    " Ndiyo nimeoa mke wangu na isitoshe taratibu zetu zinaruhusu kuwa na mke zaidi ya mmoja"akajibu kwa kujiamin

    "lakini taratibu hizo hizo zinadai kuwa lazima mke mkubwa apewe taarifa na aridhie juu ya ndoa ya pili"akajibu bi mkubwa

    " Samahani kwa hilo mke wangu!"akajibu

    " Na hao ndugu ulioenda nao ni wapi kaka?"akauliza mdogo wake

    " Ndugu wa bandia"akajibu kwa aibu

    " Bandia? Jaman mme wangu unajua maumivu anayoyapata huyu dada wa watu haapa? Kakuamin na kujua kapata mme kumbe unamdanganya jaman! Si laana hiyo"akasema dada mtu

    " Samahani wote"akaongea mzee jicho kavu

    " Samahani haitasaidia mme wangu! Yaaan!! Sijui nisemeje! Ila tufike mwafaka tafadhali naomba kati yangu na bi mdogo uchague unampenda nani? Na uko tayali kuishi na nan? Naomba useme hapahap!"akasema kwa hasira bi mkubwa





      Mzee yule baada ya kuambiwa achague kati ya mama yangu na yule bi mkubwa alitulia kwa muda na kututazama



    " Naona kikao kinaongozwa na mtu mmoja peke yake! Ila nadhani gurudumu lingehamishiwa kwa mtu mwingine yawezekana nikapewa nafasi ya kuongea"aliongea taratibu sana kiasi cha kila mmoja kumwelewa



    " Tumekwelewa kaka ila tambua kuwa shemeji ana hasira juu ya kilichotokea ndo sababu anaongoza kikao labda nichukue jukumu la kuongoza kikao hiki"akasema kaka wa mzee yule



    Nilimwangalia bi mkubwa ili nijue ni maamuzi gani aliyonayo juu ya swala lile ila alikuwa kainama chini



    " Kama nimepewa nafasi ya kuongoza kikao naomba nianze kukuuliza maswali mdogo wangu kabla hatujakuhukumu kuwa una hatia! Je ni kweli umemuoa huyu binti?"akauliza



    " Ndiyo nimemuoa na ni mke wangu halali"akajibu kwa kujiamin mpaka bi mkubwa akainua sura yake kumtazama kwa makini



    " Unasema ni halali? Je kuna uthibitisho wa kuhalalisha hilo?"akaulizwa tena



    " Ndiyo nina uthibitisho wa ndoa halisi tulifungishwa na shehe Ali Jumbe wa chumbageni tanga"akajibu



    " Lakin mme wangu sheria ya ndoa kwetu sisi waislam inasema lazima bi mkubwa akubaliane na wewe ndo unaweza kuruhusiwa kuoa"akauliza kwa busara bi mkubwa



    " Inawezekana ikawa hivyo lakin je? Kama bi mkubwa asipokuruhusu kuoa mke mwingine na wewe unaona ndoa yako na yeye haina thaman tena? Ufanyeje?"akajibu kwa kujiamin



    " haina thaman? Kwa hiyo ndoa yangu na wewe kwa sasa haina thaman? Ahsante..."aliongea bi mkubwa ila akakatishwa na yule kaka wa mzee



    " Kuna ndugu yeyote aliyehudhulia harusi yako?"akauliza



    " Ndiyo! Mtoto wa shangazi yetu aishie Tanga alikuwepo na wadogo zake"akajibu



    " Umesema kuwa uliamua kuona kwa sababu gan hasa?"akaulizwa tena



    " Na sababu kubwa mbili! Ya kwanza sikupendezwa na maisha ya ndoa yetu na ya pili nilikuwa na biashara Tanga na Dar na nisingeweza kuishi Tanga bila kuwa na mtu wa kunipa maisha ya ndoa la sivyo ningeangukia kwa makahaba na kumletea mke wangu UKIMWI ndo maana nikaona bora kuoa"akajibu



    " Je ulishawah kumwambia mkeo kuwa mshilikiane na kwenda Tanga kuepisha wewe kutumbukia kwenye dhambi?"akaulizwa



    " Ngoja nikwambie kitu! Kwa sababu huyu mwanamke ameshindwa kuniita mwenyewe tuyamalize sasa acha niweke kila kitu wazi"akaongea



    " Kuwa huru kaka uwanja ni wako"akajibu kaka yake



    " Nafikiri wote nimemuoa huyu mwanamke akiwa na mali nyingi sana! Kwa muda wa miaka kumi na saba tulioishi kwenye ndoa na mimi nimechangia biashara hizi kukua na mali kuongezeka ila yeye hajawahi kufikilia hilo! Amekuwa akiniburuza kama mbwa utafikiri mimi ni mfanyakazi wake na sio mmewe!

    Hajawahi kunilipa basi niseme yuko sawa kunitumikisha

    Mapenzi napewa kwa kulazimisha na wakati mwingine nambaka hata ilifikia kipindi tukatengana vyumba kwa sababu hakutaaka kunipa haki yangu ya ndoa na mara kwa mara ukiomba anadai amechoka na kazi...."akakatishwa



    "Lakin mme wangu si hayo tulishayaongea yakaisha? Na ukweli si unajua navyokuwaga busy na kazi mpaka usiku jaman?!"mama yule akalalamika kwa kujitetea



    " Wewe ndo unajua tumeyaongea yakaisha! Sema ukweli kwa mwezi tunakutana kimwili zaidi ya mara moja?"mzee akaamua kuumbua kabisa



    " Sawa mme wangu lakini sisi sasa ni watu wazima hatuwezi kuwa tunafanya kama vijana! Hata hiyo mara moja mbona inatosha?" akalalamika mke



    " Nani alikwambia ng'ombe anazeeka maini? Labda yako! Me bado mbichii kabisa miaka hamsini sijafikisha unaleta habari za uzee! Mara ngapi wakati tunafanya nikitaka tubadili style unakuwa ugomv na unaamua tuishie hapo na inakuwa imekula kwangu?"akafoka mzee



    " Jaman mme wangu mbona tunadhalilishana?"mwanamke akajitetea



    Kipindi hicho ilishakuwa aib tayali mbele za watu



    " Hakuna cha kudhalilishana! Wewe umeniitia kikao unidharirishe sasa nani anadhalilika? Wee unadhani ndoa ni nini zaidi ya tendo la ndoa? Kwanini wasingeita watoto ndo tendo la ndoa? Sio wajinga! Walijua hicho ndo kiunganishi cha ndoa! Sasa wewe unaletwa habari za uzee hapa unataka nani anipe hayo mautam sasa kama sio vijana kama huyu binti?"mzee akafoka



    Bi mkubwa akajiinamia kwa huzuni!!d!







     Bi mkubwa aliishiwa pozi kabisa na kubaki akiwa kajiinamia!

    Kwa upande wangu yaliyokuwa yanatokea pale ingawa yalikuwa na faida kwa mama lakini mimi yalizidi kunichefua kwa sababu yalinifanya nimuone yule mzee kama msaliti na mwenye roho mbaya ambaye anaweza kukufanya kitu kibaya bila kufahamu

    " Sema sasa! Si ulitaka niyaweke wazi? Haya hayo hapo nimeshayaweka! Hivi unafikiri ungeishi na mimi kama mme ukinitimizia mahitaji yangu yote ningefikia hatua hiyo ya kuoa tena?"akaongea mzee

    "Samahan mme wangu sikujua kuwa yatafika mbali hivyo nisamehe tafadhali"aliongea kwa huruma huku akionesha mtu wa kuonewa huruma sana

    " Hapa hakuna cha samahani wala nini wewe umeshalikologa basi naomba nilinywe mimi kuanzia sasa nahamia kwa Mama Shamim kwa sababu ananihandle kama mke na sio wewe unayeishi na mimi kama mwanaume mwenzangu"akapiga mkwara Mzee

    "Mme wangu tusifike huko jaman kumbuka mimi ni mkeo wa ndoa! Tafadhali tusameheane yaliyopita na tuanze upya mme wangu nakuomba sana"alisema yule mama akishuka kutoka kwenye sofa na kukaa chini

    "Hakuna cha samahani nimeshasema! Mimi naondoka na mke wangu kuanzia leo tumeachana"akasema

    "Mme wangu ntaaibika mwenzako jaman! Nisamehe nakuomba tafadhali niko chini ya miguu yako! Fanya kwa ajili ya wanetu tafadhali"akazidi kutoa huruma bi mkubwa

    Yule mzee alinyenyuka kama anayetaka kuondoka ila kaka yake akamwahi na kumrudisha chini

    " Maaana ya sisi kuja hapa ni kuhakikisha suluhu inapatikana na aman inakuwepo tafadhali keti tuyamalize na wewe Bi mkubwa keti tutayamaliza"akaongea kwa busara

    Wote wakarudi kwenye nafasi zao na kuketi huku Bi mkubwa akiendelea kulia taratibu

    " Bi mkubwa umeshasikia ya mwenzako labda tukupe nafsi na wewe uongee"akasema kaka wa yule mzee

    " Jaman nampenda mme wangu na naipenda ndoa yangu! Naomba mme wangu anisamehe kwa kila kitu nitabadilika! Sikujua ndoa inaweza vunjika kwa hayo mambo na kwa upande wangu nimekuwa nikiyachukulia kama mambo madogo ila leo akili imefunguka na kuelewa! Nitalekebisha kila kitu nisamehe mme wangu"akasema

    " Nawashangaa kitu kimoja mmekuwa mkimuongelea huyu mama peke yake wakati kuna yule naye! Au kwa sababu yuko kimya? Hebu na yeye mumuweke kwenye mjadala"akasema wifi aliyekuwa kwenye kile kikao

    "Umeongea jambo la msingi sana mdogo wangu! Huyu naye ni mke wangu inabidi na yeye mumuhusishe"akasema mzee

    " Haya bi mkubwa hata mmeo akisema amekusamehe ila tayali ameshaoa tena bila ruhusa yako! Hilo unaliongeleaje?"akauliza mwenye kiti wa kikao

    " Jaman mimi sijui nisemeje kwa sababu nampenda mme wangu sana na siko tayali kumpoteza"akasema

    " Ndo maana nikasema tuachane mimi nibaki na huyu anayenijali"akafoka mme

    " Basi mme wangu isiwe kesi! Kwa sababu kwa sasa mapenzi yako kwa huyo binti mbichi basi naomba nikubali mke mwenza"akasema

    " Tatizo sio kukubali! Tatizo ni heshima na kuukubali uwepo wake! Ukikubali hakuna shida tutaishi na wote"akajibu yule mzee

    "Sawa nimekubali mme wangu ila nisamehe na mimi uendelee kunipenda kumbuka tumetoka mbali sana"akajibu

    Karatasi zikaleta maandishi yakawekwa na Bi mkubwa akasaini kukubali kuwa alimruhusu mmewe kumuoa mama ili asamehewe na akubali mama kupokelewa na ukoo

    Baada ya kusaini wote tulikumbatiana kwa minajili ya kutakiana heri katika maisha mapya ya uke wenza

    " Tunashukuru haya mambo yameisha salama! Mama kalibu kwenye familia na ukoo wetu! Wewe sasa ni mmoja wetu na tunakuchukulia kama ndugu"akasema mwenyekiti wa kikao

    "Ahsanteen jaman"alisema mama huku akijifuta machozi ya furaha kwa kutoamin yale mambo yameisha kwa heri

    " Huyu ni mme wangu! Siwezi kuchangia mme na takataka kama wewe tena mali unazotumia zikiwa za kwangu! Lazima nifanye kitu kwa ajili yako nyang"au wewe!"Bi mkubwa aliwaza

    Nilipogonganisha naye macho aliniangalia kwa jicho baya sana!





     Bi mkubwa alikubali yaishe ili tu asiachwe na mme wake lakini wakati anaitisha kikao kile aliamini mme wake atamtelekeza mama

    "Pesa zangu,mali zangu na bado niletewe bi mdogo? Lazima kieleweke tu hapa" aliwaza

    Kikao kilivunjwa kwa makubaliano ya mzee kuruhusiwa kumiliki wanawake wote wawili na akipaswa kuwahudumia kwa usawa kabisa

    Baada ya kikao mama na bi mkubwa walipeana mkono wa heri

    " Haya ni sehemu ya maisha mwenzangu! Na siwezi kukulaumu kwa sababu hukuelewa kuwa mwenzio ana mke! Hivyo jisikie huru kabisa na aman"akasema bi mkubwa

    "Ahsante mwenzangu kwa kuwa mkalimu kwangu"akajibu mama

    Baada ya kikao tulisafirishwa na mzee kwenda kituo cha mabasi na kisha akatupandisha kwenye basi kurudi Tanga

    "Usiogope mke wangu haya yataisha na aman itaendelea kuwepo! Kesho nitakuja"akasema mzee

    Mama hakujibu ili kumuonesha kuwa kachukia

    Tulipanda basi na kuelekea Tanga

    Tulipokuwa njiani ilibidi niweke dukuduku langu kwa mama

    "Mama mimi na wasiwasi tunaweza kupatwa na matatizo juu ya hili jambo"nikasema

    "Kwa nini Shamim?"akasema mama

    " Yule mama alivyokuwa anakuangalia kwangu mimi ilikuwa inanionesha hatari kubwa sana"nikasema

    "Usijal mwanangu yule mama ni muungwana sana labda wasiwasi tuweke kwa mzee"akajibu

    Sikutaka malumbano ila tayali nilishampa tahadhali sikutaka kuendelea

    Baada ya kuondoka Bi mkubwa alichanganyikiwa na aliona dalili za ndoa yake kuyeyuka kwa sababu aliamin hawezi kupambana na binti mdogo kama mama kwenye swala la kumhudumia mwanaume kitandani

    Baada ya wageni kuondoka hakutulia

    Aliwasha gari na moja kwa moja akamfata shoga yake ambaye alikaa kiswahili swahili sana maeneo ya Tandika ili aweze kumshauri cha kufanya

    Baada ya kufika alimweleza yule shoga yake mkanda mzima ulivyokuwa tangu mwanzo mpaka mwisho

    " mmmmmmh! Shoga balaa linakuja kubwa sana kwako! Usipochukua hatua za mapema yatakuja makubwa zaidi"akasema shoga yake

    " Jaman shoga hata mimi nimeshaona sitaweza kupambana na yule binti! Nishazeeka ila yeye bado damu inachemka

    Kingine kumbuka yule wa Tanga nasikia hao hata ukijampa wanatoa pole! Maji ya kuoga wanaunga! Sasa hayo ntayaweza kweli!?"akalalamika

    "Tena ndo ameshajua ana mpinzani shoga nakwambia mme wako akicheka anapewa pole kwenda sebuleni anabebwa! Atadekezwa mpaka basi na ukiangalia mali zako chukua hatua"akajibu yule shoga

    "Shoga mimi sijui kitu jaman! Nisaidie ndo maana nimekufata"akasema bi mkubwa

    "Hapa umefika shoga ni wewe tu uchagueD nikupeleke kwa manyau nyau? Mautepe? Kindimbo? Wakishindwa tunaenda nje ya mjiD bagamoyooo!! Kwa mtaalam zaid"akasema yule shoga aliyeonekana kubobea kwa yale mambo ya waganga

    "Sasa shoga me nawajua hao akina manyaunyau! We ndo unajua nani kibokoD nichagulie bana ila wataweza kuwaachanisha? Kwa sababu nimemchukia yule mwanamke ghafla"akasema bi mkubwa

    "Basi shoga usiwe na presure! Nipe pesa kidogo niende kuona ratiba yake niweke na apointment kabisa ili kesho tuongozane ila ujiandae!! Ukihalibu ndo bas"akajibu

    Bi mkubwa akachukua mkoba na kutoa noti nyekundu tano akamkabidhi shoga yake

    " Shoga nakutegemea sana ujue! Bila wewe ndoa yangu ndo hivyo inaota mbawa"akasema

    "usijal shoga tumetoka mbali lazima nikusaidie"akajibu

    Bi mkubwa aliondoka na kurudi nyumbani huku akionekana mwenye mawazo sana

    Alipofika nyumbani aliingia kulala ili apate nafasi ya kuwaza vizuri zaidi juu ya lile swala!





      Mama alikuwa anajiamini sana hasa baada ya kuona bi mkubwa alivyolipeleka lile swala kistaarabu akaamini kuwa ni mstaraabu sana



    Tulipofika nyumbani mama alielekea kwenye duka alilofunguliwa na mzee na kuangalia biashara zinaendeleaje kwa vijana aliowaajili



    Upande wa Bi mkubwa alilala nusu macho nusu usingizini na akili yake haikuwa sawa kabisa



    Hakumuongelesha kabisa mme wake kwa lolote mpaka kunakucha



    Kulipolucha aliamka mapema sana akajiandaa vizur na kuondoka huku akiwa hajaongea chochote na mmewe na mme hakuhangaika kumuongelesha bali alinyamaza



    Safari ya moja kwa moja kwa shoga yake kushughulikia tatizo lake



    "mmmmmh! Shoga umewahi sana una kimuhemuhe"akasema shoga



    "acha hizo bana! Vip lakin ulifanikiwa?"akauliza



    "ndiyo na mganga alisema saa moja kamili itakuwa nafasi yetu"akajibu



    Hakukuwa na muda wa majadiliano bali waliondoka moja kwa moja mpaka Mbaga kwa mganga yule kwa jina manyaunyau



    Walipofika msaidizi wa mganga aliwachukua na kuwaingiza kwenye chumba cha kazi ili wamsubiri mganga



    Bi mkubwa aliogopa sana kutokana na mwonekano wa kile chumba kutisha sana



    Baada ya muda mfupi mganga akaingia na kuwasalimu



    "rudi nje na uvue viatu na huo ushungi wako"msaidizi wa mganga alitoa maelekezo



    Wakatoka na kuvua vitu walivyoagizwa kisha wakarudi ndani



    "Shika hii pembe na ongea shida yako na kisha uende kwenye kile chungu kinachotoa moshi na useme shida yako"akatoa maagizo msaidizi



    Muda huo mganga alikuwa busy akiimba nyimbo kwa lugha aliyofahamu yeye mwenyewe



    Bi mkubwa alijikokota kutoka pale chini mpaka kwenye pembe ile



    "nisaidie mme wangu amuache yule mwanamke abaki na mimi"akasema



    Kisha akahama na kwenda kwenye chungu na kusema maneno yale



    Mganga aliletewa karai yenye maji na kuanza mbwembwe zake za kuonesha yeye ni bingwa



    Akaongea lugha za ajabu ajabu anazozijua yeye mwenyewe kwa muda kisha akawaita waangalie



    Walipoangalia kwenye maji yale ya kalai wakaona giza tupu



    "Mnaona nini?"akauliza mganga



    "Tunaona giza peke yake mkuu"wakajibu



    "Mtu mnayepambana naye ni mzito sana hamtamuweza na inaonekana hana hatia! Kawaida yangu sidhuru mtu asiye na hatia bali mwenye hatia"akasema mganga



    "Tafadhal mganga tusaidie yeye ndo ameingilia ndoa ya rafiki yangu"akalalamika yule shoga yake bi mkubwa



    "Nitawaidia subir tujalibu tena"akasema



    Akafanya tena mbwembwe zake za kuita mizimu na kupiga kelele kwa muda kisha akaangalia kwenye yale maji



    "Sina uwezo wa kupambana na huyu mtu! Analindwa sana "akajibu mganga



    "Utatusaidiaje mganga?"wakauliza



    "Nyie mnachotaka hasa ni nini?"akawauliza



    "aachane na mme wangu"akajibu bi mkubwa



    "yeye kama yeye hatuwezi kumdhuru labda tumdhuru mmeo kwa sababu ndiye mwenye hatia"akasema



    "mme wangu tena jaman? Mimi ntabaki na nan?"akauliza bi mkubwa



    "Namaanisha tumtumie mmeo kumpumbaza kisha afanye mambo yasiyoeleweka na mwisho waachane na tutamrudisha kwa akili yake"akajibu



    "jaman mimi naogopa asije kupitiliza moja kwa moja nisimpate mme wangu tena?"akauliza yule mama kwa wasiwasi



    "hapana nakuhakikishia tutamrudisha na atakuwa vizur" akasema mganga



    "sawa kama unaniahidi"akajibu bi mkubwa



    "sasa chagua kati ya haya matatu tukisha mpumbaza alifanye ili waachane



    1. Akamtongoze mama mkwe wake

    2. Amchome kisu mke wake huyo?

    3. Ambake binti wa yule mke wake



    Lazima uchague moja ambalo unaona akilifanya litawatenganisha na yule mwanamke"akasema mganga



    "Ngumu kuchagua ila me nachagua........"



    Upande wetu mama alipotoka dukani alirudi tukalala mpaka asubuhi



    Siku hiyo mama alichelewa kuamka mpaka nikashangaa



    " mwanangu leo naona kichwa kinagoma kufanya chochote nahisi kuna hatari inakuja mbele yangu"akasema mama



    Kabla sijamjibu simu yake ikaita na akapokea



    "Za asubuh mme wangu?.....ndiyo......mbona mapema? ....sawa"akakata simu





     Mama alipomaliza kuongea na ile simu alinigeukia na kuniambia

    "Baba yako amesema anakuja kwa sababu bi mkubwa amemnunia usiku mzima"aliongea kwa furaha

    "Unaona hiyo kama dalili nzuri kwako mama?"nikamuuliza

    "Ndiyo mwanangu,unajua kwa sasa tupo kwenye mashindano na kosa la mwenzako nifaida kwako! Hivyo anavyofanya makosa yeye kwa upande wangu napata faida"akanijibu

    "Mimi sidhani kama ni sawa! Naona dalili za hatari sana kwenye maisha yetu mama"nikamwambia

    "Acha mawazo finyu mwanangu! Hakuna baya litakalotukuta mimi nimefungwa na babu yangu na hakuna wa kuniweza"akasema mama

    "Haya mama"nikamjibu

    Upande wa Bi mkubwa alipata kigugumizi cha kuchagua moja kati ya yale mambo

    "Mbona ngumu? Nichague lipi jaman"akasema bi mkubwa

    "Hupaswi kufikilia mara mbili juu ya hili bali unapaswa kuamua mara moja"akasema msaidizi wa mganga

    "Ambake mwana wa yule bi mdogo nahisi atachukia na kuachana"akasema bi mkubwa

    Mganga akatetemeka sana mpaka wakashtuka

    "Umechagua jambo zito sana kwa sababu yule bi mdogo yupo kwenye maandalizi ya kumfunga na mwanaye ila nitajitahidi kadri ya uwezo wangu"akasema mganga

    "Nitashukuru mkulu"akasema bi mkubwa

    Mganga akawatoa nje na kuanza kupambana mwenyewe akiwa na msaidizi wake kule ndani

    Upande wa mzee alijiskia kama kuendelea kukaa Dar es salaam ni kujipa mzigo kutokana na kununiwa na Bi mkubwa hivyo akaamua kumpigia simu mke mdogo na kumtaarifu kuwa anaenda kule

    Aliondoa gari lake Dar kwa kasi akishika njia ya kuelekea Chalinze kisha Segera na kupanda kwenda Tanga

    Njia nzima alikuwa anajisikia furaha ya ajabu ambayo hakuitambua inatokana na nini?

    Laiti angefahamu ile furaha inatokana na nini asingeenda Tanga muda ule

    Ila muda huo yeye anafurahia safari yake ya Tana mganga alikuwa ameshafanya yake kutoka eneo lake la kazi

    Mzee alianza kusikia harufu ya kuvutia mfano wa Pafyumu ndani ya gari yake tofauti kabisa na alizozoea kutumia

    "mmmmmm! Hii harufi ya nini tena? Mbona inavutia hivi?"alijiuliza

    Hakujali sana ila kumbe kosa kubwa alilofanya ni kufunga vioo ili aifaidi ile hewa na hapohapo ndipo dawa za mganga zikawa zinaingia na kufanya kazi kwenye mwili wake

    Asingefunga vioo vile vitu vya mganga visingefanya kazi yake vizuri

    Mama akiwa njiani akielekea dukani kwake kuangalia uwezekano wa kufunga ili arudi na kumpokea mme wake alihisi hali isiyo ya kawaida

    Alisimamisha gari yake na kufikilia kile kinachomfanya awe vile ni nini?

    "Au kuna mtu anapambana na mimi? Isijekuwa mwanangu kahisi ukweli? Ila ngoja nitafanya mambo yangu nikirudi nyumbani na nimkinge na mwanangu kwa sababu mimi mwenyewe nina muda sijajizindika"aliwaza

    Nayeye akawa kafanya kosa kubwa saa

    Wakati alipohisi lile tatizo alipaswa arudi mapema nyumbani na kupambana na wabaya wake na alikuwa na uwezo wa kuwashinda ila kitendo cha kuzembea kikawa kimewapa nguvu wapinzani

    Mzee alifika nyumbani mapema tofauti na mama alivyotegemea kutokana na kuwa na hamu ya kuwahi kufika iliyosukumwa na vile vitu vya mganga vilivyoingia mwilini

    Alipofika alinikuta sebuleni nasoma vitabu vyangu vya shule akapita bila kuniongelesha hata pale nilipomsalimia hakunijibu

    Sikujali chochote kwa sababu nilidhani amekuwa hivyo sababu ya matatizo yaliyotokea

    Kule ndani mzee alipofika akavua nguo na kujifunga taulo akaoge

    Alipojimwagia maji bafuni tu vile vitu vya mganga vikaanza kufanya kazi mwilini kwake

    Ghafla akajihisi hamu kubwa sana ya kufanya mapenzi

    Alipojalibu kujizuia akashindwa na kujikuta akijifunga taulo yake na kurudi chumbani

    Mke wake hauwepo na ile hali ikazidi kumbana hata zaidi ya mtu aliyetumia dawa za kuongeza nguvu a kufanya mapenzi

    Akakumbuka jhuu ya uwepo wangu pale sebuleni

    Akatoka na kusimama akiniangalia pale nilipokaa

    Nikiwa sina hili wala hile nikashangaa yule mzee akinifata na kunishika kwa nguvu





     Baada ya mganga kupambana na nguvu za mama kwa muda na kufanikiwa kumshinda kutokana na mama kutorudi nyumbani kupambana na ile nguvu aliyohisi kama mapambano

    Mganga aliwaita wale wanawake ndani na kuwapa dawa ya kunyunyiza kitandani kabla ya kulala

    "Yule mwanamke ana nguvu kubwa sana ila kuna kosa amefanya nikamzidi nguvu ila yawezekana madhara ya hili jambo yakawa makubwa zaidi ya tulivyofikilia ila hii dawa itakulinda kama atajalibu kulipa kisasi! Jitahidi uwe unainyunyiza kitandani kabla ya kulala"alisema mganga

    "sawa mganga nashukuru sana"akajibu Bi mkubwa

    "Pita pale nje kwa msaidizi na uweke ulichonacho! Hakikisha haubaki na pesa yoyote ile weka yote uliyonayo"akasema mganga

    Bi mkubwa aliondoka pale ndani na kupita nje alipokuwa msaidizi wa mganga na kutoa pesa yote aliyokuwa nayo akaiweka kisha akaondoka

    "Nashukuru sana shoga yangu kwa kunisaidia! Naomba tupitie nyumbani nikupe ahsante"akasema Bi mkubwa

    " Usijal we ni shoga yangu hivyo siwezi kukuacha na matatizo lazima nikusaidie"akajibu

    "Nashukuru sana ngoja tuone sasa majibu ya mganga kwa huyo boya"akasema bi mkubwa

    "Atajuta kuzaliwa"akajibu shoga yake

    Walienda mpaka nyumbani na bi mkubwa akaingia ndani na kuchukua pesa kiasi cha laki mbili na kumpatia shoga yake

    "Mama baba ameniaga na akaniambia ukija nikwambie ameenda Tanga"msaidizi wa kazi akasema

    Wakaangaliana na kufurahia ile kazi yao na kuamini inaenda kufanyika ilivyopaswa

    Mama akiwa kazini alihisi kichwa kimekuwa kizito sana na moja kwa moja akajua kuna tatizo

    "Lazima niwahi nyumbani nahisi kuna mtu anapambana na mimi! Hii hali sio nzuri kwa upande wangu"akawaza mama

    Akafunga duka na kuwaachia wafanyakazi warudi makwao kisha yeye akapanda gari na moja kwa moja akaja nyumbani

    Huku nyumbani nilishangaa kumuona mzee akiwa na taulo peke yake huku akiwa na mapovu mwilini akinifata

    "Baba vip? Umekuwaje tena?"nikauliza

    Hakunijibu bali alinishika kwa nguvu zake zote na mimi nikajalibu kujitetea ili aniachie

    "Niache,,tafadhali niache baba! Nitamwambia mama akija wee subir"nikasema huku nikijitetea

    "Unakumbuka mama yako alikwambiaje wakati anakutambulisha kwangu?"akaniuliza

    "Hapana baba sikumbuki kitu"nikamjibu

    "Mama yako alisema usinikatalie kwa lolote na wala usibishane na mimi hivyo chochote nachotaka unipe"akasema

    "Kwani kuna nini baba?"nikauliza

    "Sio kuna nini? Hapa ni kazi tu"akajibu

    Alinibeba wakati huo nikijalibu kupambana naye kwa kumng'ata ila sikufanikiwa

    "Niacheeeeeeee!! Jaman ananiua"nikapiga kelele

    Kwa bahati mbaya nyumba yetu ilikuwa nje ya mji na ilikuwa na geti kubwa kiasi cha kuwa vigumu kwa watu walioko nje kusikia kinachotokea ndani hata nipige kelele

    Alinibeba mpaka chumbani kwa mama na kunirusha kitandani kisha akavua taulo yake

    Kwa mara ya kwanza nikiwa na umri mdogo sana wa miaka kumi na moja nikafanikiwa kuyaona maumbile ya kiume ya mtu mzima live

    Niliogopa sana na kufumba macho

    Mzee alinivamia pale kitandani na kuanza kunichania nguo zangu huku nikijalibu kupambana naye bila kufanikiwa

    Mzee akafanikwa kunivua nguo zote na kubaki na chupi pekee na yenyewe akaichana chana

    Kisha akanipandia kwa juu na kulazimisha maumbile yake yazame kwangu

    Nilipata maumivu yasiyoeleweka kabia na kusimulika kabisa

    Nilihisi kama nakufa kwa yale maumivu ambayo yalikuwa zaidi ya kukatwa na kisu

    Mzee aliendelea na zoezi lake lile la kuniingilia huku nikilia kwa uchungu mkubwa

    Niliendelea kusulubika mpaka nguvu zikaanza kuniishia taratibu

    Mwisho nikawa sielewi kinachoendelea nikimaanisha nilipoteza fahamu

    Mama naye muda huo huo ndiyo alikuwa anaingia getini na kupaki gari

    Aliposhuka moja kwa moja alielekea kwenye chumba chake chenye mazindiko

    Akabeba vifaa vyake na kuja chumbani kwake

    Alipofungua mlango alichokiona hakuamini macho yake!!!!







     Mama alishtuka sana kumuona mzee yule akiwa anafanya mapenzi na mimi pale kitandani tena kwa nguvu

    Vile vitu alivyokuwa kabeba vikaanguka chini na kupasuka na unga uliokuwa ndani ya vile vitu ukamwagika chini

    Mzee yule alishtuka sana na kugeuka ndipo akamuona mama akiwa kasimama akimwangalia na machozi yakitililika

    Mzee yule aliniachia ghafla na kutaka kukimbia ila mama akamshika na kumrudisha ndani

    Mama alipandwa na hasira kali sana kutokana na kitendo kile ndipo akaelekea jikoni na kuchukua kisu akaja nacho kule chumbani kwa nia ya kumchoma yule mzee

    Alipofika akamfata yule mzee na kunyenyua kile kisu ili amchome nacho ila yule mzee akamuwahi na kumshika mkono

    Katilka kupambana ile kile kisu kimchome yule mzee

    Mkono wa mama uligeuzwa na kile kisu kikamtazama yeye ila hakutaka kushindwa akazidi kupambana kwa nguvu

    Yule mzee hakuwa na ujanja pale bali kumsukuma mama kwa nyuma na kile kisu kikatua moja kwa moja kwenye shingo ya mama

    Damu ilisimama wima kutoka kwenye shingo ya mama na yeye akaanza kuhangaika kutafuta nguo za kuziba eneo lile ili damu isitoke kwa wingi

    Kumbe wakati purukushani zile zikiendelea mlinzi wetu wa Getini alisikia na kuamua kuja kuchungulia

    Alipoona ule mpambano wa mama na yule mzee akatoka mbio mpaka kwa mwenyekiti wa mtaa

    "Pale nyumbani kuna matatizo makubwa sana"alisema huku akitetwa

    "Hebu tulia kwanza ndipo ueleze taratibu nikuelewe"akasema mwenyekiti

    "Nitulie vip wakati nimekwambia kuna matatizo?"akasema mlinzi

    "Matatizo gani?"akauliza mwenyekiti

    " mzee amembaka mwanaye na pia amemchoma mama kwa kisu"akasema

    Mwenyekiti alishtuka sana kusikia taarifa kama ile kwa sababu hakutegemea kusikia matatizo makubwa kama yale

    "Una uhakika na unachosema kijana?"akauliza mwenyekiti

    "Sidanganyi kwa sababu nimeona kwa macho yangu"akasema

    Mwenyekiti alipaniki kwa habari ile na pale pale akachukua simu na kutafuta namba ya mkuu wa kituo cha kalibu na eneo lile

    Namba hiyo alipewa na mkuu huyo wa kituo kipindi ambacho ujambazi ulizidi eneo hilo ili iwe inamsaidia kuwasiliana na polisi haraka

    "Haloo afande"alisema mara baada ya simu kupokeelewa

    "Ndiyo mzee wangu! Kuna tatizo?"aliuliza mkuu wa kituo

    "Ndiyo afande kuna tukio la mauaji eneo hili naomba muwahi kabla muhusika hajatoloka"akasema

    "Sawa sasa hivi tu tutakuwa hapo"akasema mkuu wa kituo

    Walisubiti kwa muda mfupi pale na kweli wakaona defender ya polisi ikiingia eneo lile kwa sababu hapakuwa mbali na kituo

    "Tukio liko eneo gan mzee?"aliuliza yule askari

    "Ni kwenye hiyo nyumba ya mama Shamim huyu mlinzi amenielezea"akasema mzee yule

    Gari zikaingia eneo lile kwa fujo

    Mara baada ya mzee kufanya tukio lile la kumchoma kisu mama alijikuta akili zake zinamrudia na zile za mganga zikapotea

    "Mama yangu nimefanya nini hiki? Nimewezaje kufanya hivi Mungu wangu"alijishangaa

    Badala ya kutafuta namna ya kukimbia tatizo lile ama kulitatua alijikuta nguvu zikimwishia na akakaa chini akilia

    Alilia sana pale alipokuwa amekaa bila kuwaza namna ya kuepukana na tatizo lile

    Alishtushwa na mlio wa gari za polisi ndipo akaamka kutoka pale chini

    "Mama yangu nakamatwa kizembe hivi? Hapana"aliwaza

    Akaamka na kuvaa nguo zake zilizokuwa pale chini kisha akaanza kutafuta namna ya kutoloka

    Alizunguka mpaka kwenye mlango wa nyuma wa nyumba ile na kufungua taratibu

    "Najua watataka kuingilia ule mlango wa mbele acha nipitie hapa niondoke jumla hawatanipata"aliwaza

    " Tafadhali jisalimishe kwenye mikono ya polisi kabla hatujavamia hapa ndani"polisi walitangaza

    Mzee yule alisikia lile tangazo la polisi kutoka eneo la nyuma la nyumba yake wakati akijalibu kuepuka mkono wa dola

    Akafungua mlango taratibu!!!



     Askari wale walipofika kwenye ile nyumba waliizingira yote ndipo kiongozi wao akaanza kutoa tangazo la kujisalimisha kwa yule mzee

    Wakati yule mzee anafungua mlango wa nyuma ya nyumba ili atoloke hakujua nyumba nzima ilikuwa imezingirwa

    Alipotokeza nje tu akakutana na midomo mitatu ya bunduki ikimwangalia

    "Tulia hivyo hivyo ukifanya kinyume na hapo mwili wako halali yetu"alisema mmoja wa wale askari

    Mzee hakuwa na ujanja tena ikabidi anyooshe mikono yake na wale askari wakamtia pingu mikononi

    Walimchukua mpaka upande wa mbele wa nyumba walipokuwa askari wengine

    "Huyu si ni mme wa huyu dada anayeishi hapa?"akauliza yule mkuu wa kituo

    "Ndiyo na tunashangaa nini kinaendelea hapa?"akajibu mweyekiti wa mtaa

    Askari wanne wakaingia ndani ya nyumba kwa uangalifu mkubwa sana

    Hakuna kikwazo walichokutana nacho mpaka wanafika chumbani na kukuta mwili wangu ukiwa hauna fahamu na ukiwa uchi na mwili wa mama ukiwa umelala chini huku damu zikiendelea kumtoka shingoni

    Wakaitana pale ndani na kuja kushuhudia lile tukio la kusikitisha

    "Beba hii miili muipeleke kwenye gari iwahishe hospitalin na huyu mtuhumiwa tutakuja naye! We mlinzi utaongozana nasi kuandikisha maelezo kituoni"akasema yule mkuu wa kituo

    Askari walisaidiana kutubeba na kutupandisha kwenye gari kisha safari ya kutupeleka Hospitalini ikaanza

    Wakati sisi tunapelekwa Hospital mlinzi na mwenye kiti walipelekwa kituo cha polisi kuandikisha maelezo

    "Elezea tukio zima lilivyokuwa usiache kitu na sisi tutakuwa tunayachukua maelezo yako "akasema mmoja wa wale askari

    "Mzee alikuja nyumbani jioni na akaingia ndani

    Baada ya muda flani nikasikia kelele za huyu mtoto wake ila sikujua kinachoendelea

    Mimi nilidhani anamwadhibu mwanaye

    Baadae nikamuona mama naye anakuja nikamfungulia akaingia ndani

    Na yeye muda mfupi baada ya kuingia nikasikia kelele kubwa ndipo nikaenda kuchungulia na kukuta huyu mzee akipambana na huyu mama mpaka akamchoma kisu"mlinzi alieleza kifupi

    Walimuuliza maswali mawili matatu pale kisha wakampa karatasi ya maelezo akasoma na aliporidhika akaweka sahihi yake pale

    Sisi tulipofikishwa hospitalin mama alipelekwa chumba cha wagonjwa mahtuti na mimi nikafanyiwa vipimo na kugundulika nimepoteza fahamu peke yake baada ya kupata mshtuko kutokana na kile kitendo nilichofanyiwa na yue mzee

    Mama alianza kupewa matibabu ya kuziba sehemu ile inayovuja damu

    Kazi haikuwa rahisi hata kidogo kutokana na kile kisu kuzama ndani sana.

    Upande wa Bi mkubwa alikuwa na furaha kubwa kwa sababu aliamin mganga anaenda kumsaidia kumtenganisha mama na yule mzee ili aishi na mmewe kwa furaha

    Asubuhi ya siku iliyofata mara baada ya kuamka alijalibu kupiga simu ya mme wake na haikupatikana

    Kawa kawaida mleta magazeti alipopita aliacha magazeti pale nyumbani

    Mama yule alipofika sebuleni akakuta yale magazeti mezani

    Habari kubwa kwenye gazeti la UWAZI ikamvutia kuisoma

    "DUNIA YAFIKA MWISHO! BABA AMBAKA MWANAYE NA KUMCHOMA KISU MKE WAKE TANGA"ilisomeka habari ile

    alishtuka sana

    Ikabidi achukue lile gazeti na kuliangalia vizuri na kukuta picha ya mme wake akiwa kafungwa pingu mkononi

    "Mama yangu ndo nini hiki tena?"alijiuliza

    Akafungua ukurasa ambao ile habari ilikuwa ikipatikana na kuanza kusoma

    Baada ya kuisoma kwa muda akagundua kuwa anayeongelewa pale ni mmewe na yule bi mdogo

    "Lakini haya siyo makubaliano yangu na mganga! Tulielewana ambake mtoto peke yake kisha waachane na mme wangu arudi kwangu salama?"aliwaza

    Akajikuta akipandwa na kisebusebu na kumpigia shoga yake simu ili kumtaarifu yaliyotokea na hata ikibidi wamfate yule mganga

    "Shoga yamekuwa makubwa sana shoga yangu"akasema kwenye simu

    "Makubwa kivipi tena shoga yangu?"akauliza yule shoga yake

    "Hujasoma gazeti la uwazi la leo?"akauliza

    "Bado kwani kuna nini?"akauliza yule shoga

    "Mme wangu amekutwa na balaa! Badala ya kufanya vile tulivyotaka yeye ameua kabisa!!!!"akasema





     "Sijakwelewa shoga amebaka na kuua kivip?"akauliza shoga yake na bi mkubwa

    "Bwana ee naona tunazungushana tu hapa cha msingi we jiandae nakuja twende kwa mganga wako feki huyo"akasema bi mkubwa na kukata simu

    Alitoka na kupanda gari bila kujiandaa na kuliondoa speed mpaka kwa shoga yake

    "Panda fasta sina muda wa kupoteza"alifoka

    Kwa jinsi alivyokuwa ilikuwa vigumu kwa shoga yake kumuhoji chochote hivyo akaingia ndani ya gari na safari kwenda kwa manyaunyau ikaanza

    Walipofika waliwakuta baadhi ya wagonjwa na wanaohitaji huduma wakiwa kwenye foleni ila kwa hasira bi mkubwa hakupanga foleni na alipita moja kwa moja mpaka kwa mganga

    "Ndo nini umefanya? Ndiyo makubaliano yetu hayo?"alifoka

    Mganga alimwangalia na kuwaangalia wateja waliokuwa wanahudumiwa pale akawapa ishara watoke kwanza nje

    "Mbona unaingia kwenye ofisi yangu bila kufatta utaratibu?"akauliza mganga kistaarabu

    "Utaratibu? Utaratibu gani unaouongelea hapa? We umefanya kinyume na mipango yetu unaongelea utaratibu?"akaendelea kufoka

    Mganga hakumjibu bali alitulia akimwangalia

    "Shoga taratibu basi! Mganga mbona umefanya tofauti na matarajio yetu?"akajalibu kutuliza jahazi shoga mtu

    "Wakati napambana na nguvu za yule mwanamke sikuwaambia maafa yanaweza kuwa makubwa zaidi ya tulivyotarajia?"akauliza mganga

    "Kwa hiyo maafa kuwa makubwa ndo yasababishe nimpoteze mme wangu? Kama uliona yatanipotezea mme kwanini hukuniambia tuahirishe zoezi? We si unajua nilikuja kwako ili nimrudishe mme wangu? Sasa badala ya kumrudisha ndiyo unamuweka kwenye matatizo? We mganga gan? Au mganga koko?"akatoa maneno ya kashafa bi mkubwa

    "Angalia usinitukane mama naweza kukugeuza kungulu au paka hapahapa"akasema kwa hasira mganga

    "Unigeuze paka? Unaniona wa kuja sana ee? Jigeuze wewe matako yako yazibe usinye wala kujampa tujue kweli we kiboko"akafoka bi mkubwa

    "Narudia tena kuwa na heshima na kazi yangu mama nitakufanya kitu kibaya sana"akasema mganga

    " Kamfanye mama yako hicho kitu kibaya tena kamgeuze mama yako awe na maumbile ya kiume bwege wewe"aliendelea kufoka

    Baada ya muda malumbano yalipozidi kuwa makubwa Bi mkubwa alichukua kibuyu kilichokuwa na daawa za mganga akamwaga chini kisha akapiga teke kila kitu kilichokuwa pale ndani kwa hasira

    "we si mganga kiboko yao ? Unajiita mapakapaka? Basi nifanye hayo mapaka tuone"akasema na kutoka

    Hakumsubiri shoga yake bali alipanda gari kwa hasira na kuondoka eneo lile

    "Tafadhali msamehe mganga hajui anachokifanya ni hasira tu"akajalibu kumbembelezea shoga yake

    "Nimsamehe? Kwa haya yote aliyofanya hapa? Hapana tena na wewe toka nisije nikakuunganisha naye"akafoka mganga

    Shoga mtu akanyenyuka kimyakimya na kuondoka ili na yeye asije akaunganishwa

    Upande wetu vipimo vilifayika kwangu nikagundulika kuwa nimeingiliwa kimwili kwa nguvu

    Kwa tafsiri nyingine wanasema nilibakwa

    Nilipewa matibabu ya uhakika na baada ya zaidi ya masaa matano nikainduka

    Jambo la kwanza kuuliza niliporejewa na fahamu ni kumuulizia mama yangu alipo

    Sikupewa jibu linaloeleweka zaidi ya kuchomwa sindano ya usingizi ili nisilete usumbufu

    Upande wa mama madaktari walihangaika usiku kucha na kufanikiwa kuziba baadhi ya mishipa iliyokuwa ikitoa damu na pia kuziba kile kidonda na damu ikakata

    "Huyu kweli atapona?"aliuliza Daktari mmoja

    "Sidhani ila hata akipona lazima atapooza sehemu kubwa ya mwili wake kwa sababu mishipa iliyokatwa na kisu imehalibika sana"akajibu mganga mkuu

    "Ila watu wana roho mbaya sana unawezaje kumtendea hivi mkeo na mwanao?"akauliza mmoja wao

    "Ndo utambue Dunia imefika mwisho ndugu yangu!"akajibu mwenzake

    Waliendelea kumhudumia mama yangu akiwa hajitambui pale kitandani



     ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog