Karibu Katika Maktaba ya Simulizi, Riwaya, Chombezo na Hadithi Afrika Mashariki. %% Welcome to the Library of Stories, Novels, Comedy and Stories in East Africa.
BURE SERIES: https://bure0.blogspot.com/
Sijui
ni kwanini nimekosa namba za nyumbani. maana hii ndoto imenishtua sana, Daahh
niliendelea kulala huku nikiwa na hamu ya kwenda nyumbani kuiona familia yangu.
kwani kwa sasa nimeshakua tajiri wa kutupwa, yaani nimekua bnge la
tajuri.....
BAADA YA MIEZI MIWILI KUPITA
Siku
zilizidi kwenda na pesa nazo zilizidi kunielemea kwa wingi mno, maana rumu yangu
yote inanukia pesa tu. na hata kitambi kimeanza kuota..... Nilikua ni mtu
ninaependa starehe sana Nilikua natembea na wanawake wawili wawili tena kwa
kumwaga pesa kibao... naweza kulala na mwanamke mmoja kwa shilingi milioni 1
tena bila kupunguza kitu. Kiukweli nilikua ni malaya sana, yani hakuna demu
ninayemkosa mbele ya macho yangu, hata awe nani
Basi nilikua
natoka zangu NOVO hotel nikiwa nimekumbatia mademu wawili wawili tena nikiwa
nimelewa chakali, Lakini nilipofika karibu na gari yangu Nilimuona yule msichana
ambae nilishawahi kumkuta ndani ya gari yangu.... ni kama miezi miwili mitatu
hivi imepita toka nionane nae.
"afu wewe dada wewe? miezi michache
iliopita ulinisababishia kesi ya mimi na bosi wangu kisa wewe tu,, umesababisha
mpaka nimeenda kukaua kambuzi kawatu kisa ni wewe tu... Kwahio naomba sana
usinizoee tena"
Sasa hawa wasichana niliokua nao waliniona labda mimi ni
kichaa au ndio kichaa kinaanza.. maana walishangaa kuona naongea na gari tu.
lakini ukweli ni kwamba wao hawamuoni huyo niliokua nikiongea nae Hivyo waliona
labda ni uchizi wangu au ni pombe ndio zinanisumbua akili yangu, Kwahio waliamua
kuniacha pale na kuondoka zao, ila ni kwasababu nilishawakatia chao na ndio
maana wameondoka
Niliendelea kumsemesha yule mschana wa
kiislamu ambae hayupo kibinaadamu kama sisi ila sijui ni nani,
"dada
tafadhali sana naomba usinisogelee maana tukigusana tu kwangu itakua ni kesi
kubwa kwa bosi wangu, hivyo kaa mbali na mimi kwani hua sipendi kuchinja vimbuzi
vya watu hovyo hovyo tu"
Ghafla yule dada aliongezeka mara 4 na
wale wanne walikua wamevaa nguo nyeupe pyeeee, Nilianza kuogopa ghafla na
kujikuta sina ulevi tena, Alafu wale watu walikua hawapo tena, Niliwasha gari na
kukimbia mbio za kuelekea nyumbani kwangu.....
sasa kufika
tena nyumbani kwangu nilikutana na gari ya mzee joakimu... yule mzee
alieniunganisha na hii kampuni yao,
Nilimkuta pale nje akiwa kapaki gari
akinisubiria
"mbona unakimbiza gari hivyo kuna
nini?"
"aaaahh ni matisho tu ndio nayaona"
"matisho gani
sasa?"
"kuna mdada ananifatilia sana na sijui ni nani... ila tuyaache
hayo vp mbona hujaingia ndani mzee?"
"Ahahaha usijali kijana kwani kuna
ujumbe nimeagiziwa nikuletee"
"Na nani? Bosi nini
asee?"
"ndio"
"Ehe ujumbe gani huo?"
"leo saa 8 usiku
kuna kikao cha wafanyakazi wote.... kwani tumekaa muda sana bila kutoa
sadaka"
"oookee hakuna shida. kwahio leo tunakua wote ndani ya
uwanha?"
"ndio.. ila hakikisha unakuja na mbuzi dume"
"Aaayaaaa
Acha utani mzee kupanda vyeo? duuu ila sasa mbuzi saa 3 hii nitamtoa wapi
mzee?"
"mimi mwenyewe sina. na ndio natarajia kwenda katika mabanda sasa
hivi"
Basi
tulikwenda katika mabanda ya mbuzi yaliopo katka maeneo ya machinjioni ya nyama
za kuuza kama kwenye mabucha hivi. Tulinunua kila mtu mbuzi wake na kumuweka
ndani ya gari, Tulikus tuna furaha kwa kufanikisha mbuzi
wetu.......
Kila mtu alienda makwao kujiandaa na mkutano wa usiku wa leo
ambao utajumuisha wafanya kazi wote wa kampuni hiii.
Ilipofika
mida ya saa 8 usiku tulikutana katika tempo moja ambalo kulikua na kama ukumbi
fulani hivi maana kulikua na viti mithili ya kanisa. Afu kule mbele nikiangalia
nilikua naona shimo tu katika eneo la steji... ambapo mkuu au bosi ndipo
atakaposimamia.... nikiangalia watu wote humo ndani tulikua tumevaa majoho meusi
yenye mistari miekundu, Huku kila mtu akiwa kashika mbuzi wake kwa ajili ya
kafala la kujitolea mikosi,
Mara ghafla mkuu ameingia katika
steji na kuanza kuongea
"nashukuru sana kwa kuwaona mpo wote tena kwa
furaha sana.... ila nadhani kila mmoja amekuja na kinyama
chake?"
Tuliitikia kwa wote huku tukisema
"ndiooooo
mkuu"
"sawa kabisa.... sasa nadhani kila mtu ana kisu chake maalum cha
kujichinjia knyama huyo... sasa naanza kuita majina. na ukisikia jina lako.
unatakakiwa hapo hapo ulipo weka chungu chako chini na umchinje mbuzi huyo na
hakikisha damu yake iingie katika hicho chungu sawa?"
1. "keneth
Dominic?"
"ndioo"
"nipe jinsia ya mbuzi"
"ni mbuzi wa
kike"
"ok chinja"
Baada ya huyo ikafata
2. "Ashishy
Mpacha?"
"ndio mkuu?"
"jinsia?"
"mbuzi wa
kike"
"chinjaaa"
3. "Denic
Jackson?"
"ndioo"
"jinsia?"
"beberu"
"chinjaaa"
4...
"masanza
kemchoz?"
"ndioo"
"jinsia?"
"kajike"
"chinjaa"
5...
"khalfan yusuph?"
"nipoo"
"jinsia"
"mbuzi wa
kike"
"chinjaa"
6... "Ally Jfour?"
"nipo
mkubwa"
"jinsia ya mbuzi"
"kondoo"
"nani kakuambia ulete
kondoo?"
"ooo sory mkuu kumbe ni
kabeberu"
"chinjaa"
7..."Swaaleh
Twalha?"
"ndio?"
"jinsia"
"wa kike
mkuu"
"chinjaaa"
8...."Oswald A
halla?"
"ndiooo"
"jinsia"
"mbuzi
mchanga"
"chinjaaa"
9...."Issa
juma?"
"nipo"
"jinsia?"
"kajike
mkuu"
"chinjaa"
10...Ommy mtupa?"
"nipo
mkuu"
"jinsia"
"beberu"
"chinjaaa"
Walikua watu
tupo wengi sana tulikua tupo kama watu 500 hivi
sasa mkuu aliiita na
kuita mpaka ikafikia zamu yangu ya kuchinja kinyama changu
"rashidi
tandu kingazi?"
"ndioo"
"jinsia"
"mbuzi dume
mkuu"
"chinjaaaa"
Nilimchinja mbuzi wangu na damu ile ya mbuzi
ikaingia ndani ya chungu.... sasa huku nikiendelea kuikamulia damu iingie vizuri
katika chungu... ghafla kuna jina nililiskia likiitwa. na jina hilo nalifahamu
kabisa... na si mwingine bali ni kaka yangu yule alienifukuza kule kwenye nyumba
yake.... heee kumbe na yeye ni mmoja kati ya wafanyakazi wa hii kampuni?....
Lakini sawa haina shida ila je? yeye kaja na kinyama gani cha kujitolea
sadaka?
"hatibu tandu
kingazi?"
"nipooo"
"jinsia?"
Nilikua
nasubiri ndugu yangu aitaje jinsia ya mbuzi wake,
"hatibu tandu
kingazi?"
"nipooo"
"jinsia?"
"wa
kike"
"chinjaa"
Duuu kumbe yeye alikuja na mbuzi wa
kike.
Ila nashangaa sana kumuona broo nae yupo katika hii kampuni ya
kitajiri kiasi hiki, afu kumbe sisi ndugu zake tulikua tunakufa na njaa kiasi
hiki, Duuuu kweli pesa ni mwana haramu .. Lakini namlaumu mwenzangu tu? mbona
mimi mwenyewe toka niingie katika hii kampuni sijakanyaga hata siku moja kule
kijijini, Basi waliisha wote kuchinja vinyama vyao kwa kujiwekea ridhiki za pesa
nyingi..
Baada ya kumaliza kuchinja vinyama hivyo. Mkuu alitoa
agizo kwa wafanyakazi wote wa kampuni hiii,
"nadhani mnajua kua pesa
yetu haitumiki katika njia mbili.... na ili kujua njia hizo basi muulize
aliokuleta ili ujue kabisaaa..... Nadhani sina la ziada ila papo hapo ulipo beba
chungu chako kisha tuelekee katika kampuni yetu"
Tulitoa kwa mstari
utafikiri ni wana kwaya fulani hivi,
Lakini tulipofika njiani
tukielekea kule kwenye kampuni... maana huku tulikua katika ukumbi mmoja ambao
ni kama tempo lao la ibada, Sasa kwa jinsi tulivyokua tukitembea kwa mistali
tena tukiwa tumevaa majoho utafikiri ni wanafunzi waliohitimu vyuo vikuu...
Sasa nilikumbuka siku moja niliona kitendo kama hiki. Watu wakiwa
wamebeba vitu fulani katika vifua vyao. huku wameinama chini, Kumbe wale watu
ndio walikua ni hawa. ila siku ile niliona kidogo tu maana nilipatwa na usingizi
wa ghafla siku ile, na nilipokuja kuzinduka ndio nikakutana na kwato za ng'ombe
mbele yangu, Sasa nikaanza kujiuliza hiii ni kazi gani hii ya kubebana na madamu
hivi??? Mnhhh Aiseee kesho lazima nimuulize mzee. ili anipe jibu sahihi kuhusu
hii kazi ni kazi gani? ili isije kua tunatumikia mashetani bure....
Basi
tulifika katika kampuni na kupitiliza moja kwa moja hadi katika lile korongo,
Kisha tukaimwaga ile damu kule chini kunakolia watu, na baada ya kumwaga damu
wale watu walionekana kunyamaza, kiaskwamba wamezikubali kafala
zetu.......
BAADA YA SIKU MBILI KUPITA
Na leo
ni siku nyingine nikiwa nyumbani kwangu, Nilikua naangalia visuruali
nilivyomnunulia side wangu pamoja na mama yake Bila kumsahau dada yangu na mama
yangu pia. Lakini nikiwa naangalia nguo hizo ghafla kuna simu iliingia Niliitoa
simu kisha nikaipokea.... Alikua ni mzee ndio ananiita katika ofisi yake
binafsi...
Sasa katika hali ya kuangalia namba zangu za simu,
nilikutana na jina SABRINA sasa nilipoona hili jina ndio nikakumbuka kua tanga
nilikua na demu aitwae sabrina, na namba zake za simu ndio niliziweka kichwani
kwa urahisi, maana si demu wangu
NADHANI HATA WEWE NAMBA YA
MPENZI WAKO IPO KICHWANI
kwani namba ya mke wangu nilishindwa
kuiweka kichwani kwakua ilikua ni mpya hivyo sikuweza kuishika.... pia ya kaka
yangu sikuishika kabisa kwani ilikua ni ngumu... ila namba ya sabrina nakumbuka
ilikua ni maziro ziro mengi tu, Sasa kwakua ndio namba pekee ninayoijua hivyo
niliiweka kwenye simu na kuipiga. Ilikua inaita duuuuuu naomba iwe ndio
yenyewe
"halooo?"
"eee halo mambo?"
"poa tu nani
mwenzangu?"
"aaa naitwa rashidi"
"rashidi nani?"
"si
rashidi tandu"
"mmhh mi sikujui"
"ok kwani wewe unaitwa
nani?"
"mimi naitwa sabrina"
"yesi hata huyo niliempigia pia
anaitwa sabrina"
"mmhh mi sikujui bhana.. Enhee shida
yako?"
"aaahh kuna namba ya ndugu yangu nilikua naitaka sasa sijui
utamjua?"
"mhh sasa kama wewe sikujui je? yeye
nitamjuaje?"
"kwani dada we si upo tanga maeneo ya kikokwe
au?"
"ndio kwani we ni nani?"
"mimi naitwa rashidi ambae ni
kijana tuliokua tunalima kwenu mimi na kaka yangu juma"
"haaaaaaaaaaaaaa
chidi? mungu wangu umepotelea wapi jamani? huku kwenu ni majanga kila siku ya
mungu"
Daaahh simu ilikata aiseee Nilijaribu kupiga tena huku mapigo ya
moyo yakinienda mbio. Daahhhh
"Samahani namba ya mteja unayopiga
haipatikani tafadhali jaribu tena baadae.... Thank you for
cho"
"Aaaaaaaaaaaiiiiiiiii mambo gani tena haya daaa Asa tena
hapatikaniki jamani aaaaaiiiii"
Niliondoka hapo nyumbani kwa hasira huku
nikielekea kwa yule mzee. maana kama unakumbuka aliniita niende ofisini
kwake
Niliwasha gari na kutoka mbio huku nikiwa na wasiwasi juu
ya familia yangu. kua kuna majanga Sasa ni majanga gani hayo? Nilitoka kwa spidi
sana na kufika kwa mzee huku nikihema juu juu kama mbwa mzee.
"shkamoo
mzee?"
"marahaba vp?"
"safi tu..Aaaa umeniita
nafikiri?"
"ndio nimekuita nije nikupe data nzima ya kampuni yetu jinsi
inavyokwenda"
"aaaa wala siihitaji hio data mzee labda usubiri mpaka
nirudi kijijini. maana nina mpango wa kwenda kesho"
"uende kijijini
kufanya nini?"
"naisi kuna matatizo mzee"
"hupaswi kwenda popote
pale"
"Nini???? labda unifunge jela ila kwa swala la kwenda lipogo
tuu"
"sasa kijijini unakwenda kufanyaje?"
"aseee mzee mbona una
maswali mengi hivyo? si naenda kuisalimia familia yangu"
"familia gani
tena? na wakati familia yako ndio hizo pesa ulizonazo"
"mzeee naomba
tueshimiane mzee maana nitatamani kukuvuruga sasa hivi... maana nilikua
nakuheshim sana ila heshima naona imeshuka tayari sasa"
"sikia kijana...
ulioyafanya ni mambo makubwa sana hivyo hupaswi kupaniki endapo utayasikia mambo
hayo"
"mambo gani?"
Mara simu yangu iliita... nikaitoa mfukoni
na kuangalia namba ilikua ni ya sabrina..
"haloo sabrina ulisema kuna
nini kwetu?"
"huyo ndugu yako juma unaemsemea ndio huyo anaezikwa leo
au?"
"unasema ndugu yangu anazikwa leo?"
"ndio... si yule kaka
yako mliokua mkilima nae vibarua? afu kama mkorofi korofi hivi?"
"vigezo
vyote hivyo ni vyake lakini kwa huyo anaezikwa sio kaka yangu"
"wewe ivi
unajua kua nipo maeneo ya kwenu"
"upo kwetu?"
"ndio na
tunasubiri kuzika tu. kwani hata baba yangu ninae hapa"
"we we .... we
....we ..we unamjua mke wangu?"
"aakaa simjui"
"oooo shit ebu
mpe baba yako niongee nae"
Nilianza kuongea na yule mzee ili nijue huyo
jamaa anaezikwa ni nani.. Sasa ile nataka niongee na baba yake
sabrina..
Ghafla huyu mzee akanipokonya simu
yangu,
"khaaa we mzee vp bhana ebu nipe simu yangu
bhana"
"hapana sikupi maana hii simu ndio inakupa kiburi cha kujua kila
kitu"
Nilimshangaa mzee akitoa betri katika simu yangu.... kisha
akaikata kata laini na kuipasua ile simu yangu. Nilishindwa kumuelewa hivyo
nikabaki kumuangalia tu kwa hasira
"sikiliza kijana.. kama msiba
umetokea huko kwenu. ni kweli kuna msiba.... na unaruhusiwa kwenda kumzika ndugu
yako. ila kwa sharti moja tu"
"hupaswi
kulia wala kusikitika yaani tena unapaswa kucheka kabisaaa sawa?"
"wewe
ni mpumbavu nini wewe"
Nilimtukana kisha nikatoka zangu na
kuwasha gari kwa spidi huku nikitokwa na machozi.. Nilielekea Eapoti kuchukua
ndege binafsi....
Kama unavyojua usafiri wa ndege sio daladala.
hivyo ilinichukua lisaa limoja hadi kufika nyumbani... niliondoka na helkopta
binafsi.
Kweli nilikuta watu wamejaa pale nyumbani kwetu.
Lakini kitu kilichonishangaza nilikutana na wanafunzi wa vyuoni. Sasa
nikajiuliza na hawa wanafunzi nao ni vipi.... Sikupata jibu sahihi kuhusiana na
hao wanafunzi wa vyuoni.
Cha kwanza kabisa nilikimbilia
kuingia geto kwangu. Na kukuta hakuna hata mtu tena kulikua kumevurugika sana.
basi nikajua mke wangu na mwanangu watakua wapo kwa mama kule...... Wakati huo
watu wananishangaa mimi tu..
Nilipofika nyumba kubwa yaani kwa
mama.... daaahhh sikuamini macho yangu,
"Yaani hapa nyumbani
kulipita sunamiiiiiiii au kulikua na ugonjwa wa ghafla?"
Nilijisemea
mwenyewe huku nikilengwa na machozi kwa mbali Na nilipewa sharti moja tu la
kutokulia wala kusikitika Sasa kwa hali hii kweli nitavumilia kweli? mungu
wangu....
Nilishindwa kuelewa kwa mambo nilioyakuta pale
nyumbani, Yaani sikuamini macho yangu kiukweli nilikuta maiti mbili ya dada
yangu pamoja na kaka yangu. Lakini sasa cha kushangaza ni kwamba sikua namuona
mke wangu kwani nilijua nitamkuta akiwa huku kwa mama....
Kwa
usalama nilioukuta ni kwamba nilimkuta mama yangu pamoja na bibi yangu tu....
Nilimkimbilia mama yangu Lakini mama alionekana kukasirika sana juu ya mimi
kupotelea mjini na kuwaacha ndugu zangu wakiisha mmoja baada ya mwingine.
Nilikua nalengwa na machozi juu ya vifo hivi, kwani mimi mwenyewe nilijua ni
kaka juma tu, kumbe hadi dada yangu aseeeee duuuu.. Nilikua natamani kulia ila
nikifikiria yale masharti duu hata machozi yanakata
yenyewe
Nilijifanya kulia tu kwa uongo na kweli ili mama
anionee huruma maana kakasirika kweli, Nilimkuta pia na bibi yangu mzaa mama
wakiwa katika hali ya kulia kweli kweli, yaani hata muda wa kuomba msamaha
nilikua sina, Niliingia ndani na kuwaona ndugu zangu waliokua wamelala moja kwa
moja na siwezi waona tena, Nilitamani kulia kabisa Japo nilikua nimevaa suti ya
maana lakini sikutaka kuvumilia kitu,
Nilitoka zangu nje huku
tukisubiri muda ufike waende wakazikwe.... Lakini cha kushangaza simuoni mke
wangu kabisa, sasa sijui kaenda kwao au sijui kasafiri na yeye, Maana hata ile
geto yetu haina hata mvuto tena kwani imeshakua banda la kuku.. . sasa mke wangu
atakua yupo wapi?. Nilipotoka nje nilikutana na mzee yule ambae ni baba yake na
sabrina,
"shkamoo mzee?"
"marhaba kijana
hujambo?"
"sijambo mzeee"
"pole sana kijana..ila ndio hivyo kila
marefu hayakosi kua na ncha, hivyo tumewapoteza ndugu zako, hivyo basi tu ni
kazi ya mungu kijana"
Mara ghafla sabrina katokea huku nae machozi
yakimlenga kwa msiba huu, kwani dada yangu pia alikuaga ni best yake. kabla
hajaenda chuo... hivyo anamkumbuka sana kiasi flani
Ilifika
mida ya kuzika ndugu zangu. hivyo nami nilishiriki katika mazishi yale, Na
tuliwazika katika shamba letu la bondeni kule....
Ila
nilipofika hapo shamba niliona utofauti mkubwa sana, na sikua na mtu wa
kumuuliza zaidi ya mama yangu.... Basi mazishi yalifanyika vizuri na mimi pia
nilitupia mchanga huku watu wakiniangalia kwa jicho baya, Maana nimekuja na
ndege binafsi. sasa wanashangaa kuona nimekuja na ndege afu huku kijijini wazazi
wangu wanalala kwenye nyumba ya majani,
Tulimaliza kuwazika
wote na hatmae sasa narudi kule nyumbani, ili nikampooze mama angu. kwani katika
watu walioumizwa na msiba huu ni yeye peke yake, Niliwakuta wote yeye na bibi
pamoja na wamama wengine waliokua wakimpa pole, Huku wakimbembeleza sana. aisee
nilitamani kulia asee yaani nilitamani kulia kabisaaa. Ila nikikumbuka kua mzee
aliniambia kua pesa hii haiseidii ndugu wala kumseidi
masikini...
Yaani kama unakumbuka siku ile mkuu wetu alisema
kua tumieni pesa mnavyotaka ila kasoro sehemu mbili tu... na nilipomuuliza mzee
pale ofisini kwake aliniambia kua pesa ya kampuni hiii haiseidii ndugu wala
maskini yeyote yule na katika majengo ya ibada pia
hairuhusiwi......
Niliona sasa hii ni kazi gani? kazi
isioseidia hata familia? Hapana mi siwezi... Niliona kua siwezi kuondoka bila
kumjengea mama yangu nyumba, Yaani mwanae nina pesa kiasi hiki mpaka naumwa, afu
leo nimuache katika nyasi? haiwezekani... Pale pale nilianza kuagiza tofari na
mawe ili nyumba ijengwe
Lakini kila nikitoa pesa watu
wanairudisha na kusema kua pesa hio haitumiki...... sijakaa vizuri mara niliskia
sauti ambayo sikujua ilipotokea,
"hahahahahah Aaaahahahaha tulikuambia
usimseidie mtu hata awe nani, pesa hizo zinatumika vizuri sana. ila kwakua sio
destuli zetu kuseidia watu. hivyo hao hao watu wataiona hio pesa haitumiki ila
wewe tu ndio utaiona... sasa unahitajika urudi mjini sasa hiviiii, hivii,
hiviii, hiviiii"
Sauti hio ilikua ni sauti ya mkuu wetu wa ile
kampuni,
Niliingia ndani kwetu na kumkuta mama yangu akiwa na huzuni
muda wote.
"mamaa? baomba unisamee mama angu nilikua natafuta maisha
mama angu"
Nilianza kulia ili wanionee huruma.,...
"mamaa? mimi
bado ni mwanao tu lakini mbona kaka hatibu hajawahi kurudi. ila bado tu
unampenda mama?"
Bibi alinisamee na mama pia ilibidi tu anisameee maana
mimi bado tu ni mtoto wake hata iweje
"lakini mama? lile shamba la
bondeni umeliuza nini?"
"mwanangu kweli nina shida kubwa sana ila siwezi
kuuza hazina za watoto wangu siwezi kabisa mwanangu"
"sasa mbona lina
makaburi mengi vile? maana mi najua kulikua na kaburi la baba tu.... Afu mama
saidi kaenda kwao au kaenda wapi? maana toka nije hapa sijamuona
kabisa"
"mwanangu? yaani huna taarifa yeyote kuusu mkeo?"
"mamaa
mimi simu nilipotezaga hivyo hata namba zake sina za kwako sina za kaka juma
yenyewe sina sasa ningejulia wapi mama angu?"
"mwanangu? kwanza pole
sana kwani hata mimi nilikua nampenda sana mjukuu wangu ila ndio
hivyo"
"mamaaaaa mbona sikuelewi?"
"hayo makaburi yaliozidi
kwenye shamba lenu ndio mkeo na mtoto wake"
"u. u. u. u. u. uuuuu
unase...unasemaje mama?"
"alianza mtoto wako... na ni kama miezi 8 hivi
toka mtoto wako afariki.. kisha haikupita hata miezi mitatu. mkeo nae akafariki
dunia.. hivyo yale ndio makaburi yao...
Aiseeeee
niliambiwa nisilie lakini hapa haki ya mungu sinyamazi... Nilitoka hapo nyumbani
kama kicha na kuelekea shamba bondeni huku nikilia kwa uchungu mkubwa sana...
yaanu kama ungeniona jinsi nilivyo basi hata wewe usingeacha kulia. nilifika
kwenye kaburi la mtoto wangu na kugalagala kwa uchungu huku nikilia kama mtoto
mdogo...
"saidiiiii mwananguuu aiiiiiii kidume changu hicho kimekufa
uuuuuuuuwiiiiii aaaaaaaaahhhhhoooooo uuuuuuuuu mke wangu eeeeeeeee mama saidi
eeeeeeeeeee saidi wangu saidi wangu eeeeeee.... mwanangu amkaaa nimekununulia
majinsi makali kinyama aseee uuuuuwiiiiiiii.... we mama saidi weeeee
nimekununulia tentemente sita na madera kumi uuuuuuywiiiiiii mama saidiii
weeeeeeeee mwanangu said? said? saidiiiiiiiiiiii Ahahaha uuuuuuuuwiiiiii
uuuiiiiiiii eeeee mungu nimekukosea nini mimi? nimeenda mjini kwa kuitafutia
familia yangu afu leo wamekufa wote uuuuuiiiiiiiiiu ooooooo mungu wangu wainue
basi hata niwaone.... aaaaaaahhhh saidi baba amkaaa.. mke wanguuuuuuuuu
aaahahaha uuuwiiuuu......"
Kiukweli siku hio nilikua kama
kichaa vile, na niliamua kulala hapo hapo na jioni yote. maana watu walikuja
kunichukua lakini sikutaka kuondoka kabisa katika makaburi hayo,
Na watu
nao waliniacha pale pale huku nikiwa nimechafuka suti yangu kwa kuyagala galia
makaburi hayo.. Nililala pale bila kumuogopa mtu wala mnyama yeyote yule.
Nililala pale mpka asubuhi
Asubuhi mida ya saa mbili watu
wananikuta nimechakaa vumbi kama katuni... yaani nimelia mpaka macho yanauma.
Watu walinichukua huku nikileta fujo kua sitaki kutoka hapo kabisa kwani. nina
hamu na familia yangu....
Nilibebwa juu juu tena kwa nguvu kweli.
Walinipeleka hadi nyumbani na kuniacha hapo, Yaani nilikua ni mtu wa kulia tu
muda wote. sina wa kujivunia tena kama mtoto....
Nilikaa
nyumbani kama siku mbili nzima Sili sinywi wala sikua na raha hata kidogo.......
Basi na leo ni siku ya kuondoka ila siamini kama namuacha mama yangu bila hata
kumuachia senti tano....... Sikuamini macho yangu kama kweli mama yangu nimuache
katika maisha kama haya na wakati mwanae nina pesa mpaka nazichezea? Hapana hii
kazi sio ya kufanya kabisa na siitaki tena...
"mwanangu yani
unaondoka na kuniacha hivi? mwanangu sina hata pesa ya kula"
Yaani
kumsikia tu mama yangu akilalamika hivyo nilianza kushikwa na hasira
hizo......
Lakini ghafla nilimuona mtu mmoja akiwa kasimama
kwenye mti. na nilimjua mtu huyo... na nilimfuata mpaka pale
alipo.
"umeona madhara ulio yafanya?"
Aliniambia huyu mdada
mwenye miguu kama ng'ombe wa kienyeji..
"kwani mi nimefanyaje
tena?"
"ooohh hujui? ok chukua hii pesa mpelekee mama yako afu
tuondoke"
Alinipa bahasha moja nzito na nilipoichungulia ilikua imejaa
noti za kibongo tuuuu... Sikutaka kuuliza wala nini. nilimpelekea mama yangu na
kumkabidhi bahasha ile.
"mamaa nilitaka kukujengea nyumba ila muda wa
kuwepo tena hapa kijijini sina hivyo chukua hizi pesa utaendelea kujenga jenga
tu mwenyewe taratibu tu mama angu"
"mwanangu nashukuru sana mwanangu,
ila jua nimebaki na wewe tu na huyo bedui mwenzio lisiotaka kuja kwao..
nakuombea mwanangu"
"asante mama na wacha mi niende maana nimekuja na
ndege iko pale uwanjani"
"nashukuru mwanangu na nakuombea safari njema
na uendelee kufanikiwa mwanangu"
"haya mama.. ila upatie na bibi ya
ugolo maana kahasi kuniomba ya ugolo kweli yani"
"sawa mwanangu nitampa
bibi yako usijali"
Niliondoka huku nikijiuliza maswali mengi
kua,
"je? kama ningetafuta pesa yenye kutumika na kila mtu... mbona
ingelikua ni furaha ya hali ya juu... ila hii nionayo ni kazi gani hasa. ambayo
pesa yake ni marufuku kuseidia ndugu au masikini wenye
shida?"
Nilijiuliza maswali hayo huku machozi madogo madogo yakinilenga
lenga kimtindo. kwani tayari nimeshaitilia mashaka hii kazi nilio nayo sasa
hivi.... ambayo kila miezi 3 tunatoa kafara.....
Nilifika
kwenye ule mti na kumkuta yule mschana mrembo kweli afu mweupeeeee.
"kwaio?"
Nilimuuliza hivyo. maana tayari nimeshamzoe na hali
yake ya king'ombe ng'ombe.
"twende"
"mimi nimekuja na ndege
lakini?"
"najua ila kuna mahari nataka nikupeleke nikakuonyeshe
kitu"
"kitu gani?"
"we twende tu"
"ok ngoja nimjulishe
rubani aondoke zake"
Basi baada ya hapo nilijikuta ninefika
eneo fulani hivi liliojaa gold na madhahabu kibao. yaani hata kitanda chenyewe
ni gold tupu.
"sikia chidi. katika kikosi ulichojiunga nacho sii kikosi
cha kawaida"
"kivipi labda"
"wewe hapo ulipo tayari ni member wa
freemason"
"nani? mimi au?"
"ndio ni wewe"
"hapana
siwezi kua freemason hata siku moja"
"sasa ndio hivyo. na kama huamini
ona pale"
Alifungulia tv moja iliopo ukutani na kunionyesha jnsi
nilivyoanza kumchinja mtoto wangu siku ile... afu nikaona na siku ambayo
nilimchinja mke wangu... afu nikaona na
"aiseeee basi zima tu zimaaa
aaaaaaiiiiiii uuuuuuuuwww kumbe nimewaua kwa mikono yangu... uuuuwiiiiii
aaaaahhhh mungu wanguu aaaaiiiiii"
Nilijikuta nlia kwa mara nyingine....
huku nikiiangalia mikono yangu ilioua familia yote.
"sikia sio wewe peke
yako ndio ulioua.. bali hata kaka yako yule hatibu ni mmoja kati ya kundi
hilo... na yeye ndie aliemuua dada yako wa kike na pia wewe mwenyewe upo kwenye
prosesi ya kutolewa kafara na huyo ndugu yako. hivyo kua makini
sana"
"eeeeee mungu wangu ee kumbe hata kaka yangu ni freemason
pia?"
"ndio....tena yeye alianza na baba yenu"
"haaaaaaaa yani
ni kumbe broo ndio alimuua baba?"
Niliamka kwa hasira na
kuzunguka hapo kwenye hicho chumba
"samaani dada naomba nitoke eneo
hili"
"hupaswi kutoka kwenda mahali"
"dada naomba sana nitoke
nipo chini ya miguu yako"
"ok ila hupaswi kuendelea nao"
"sawa
nimekusikia."
Baada ya dakika kadhaa tu nilijikuta nipo
uraiani.... sikupoteza muda nilielekea moja kwa moja mpaka kwenye ofisi ya
mzee
"we mzee kuma mae zako... we mzee kwani ilikuambia uniunganishe na
hili kundi lenu? kwanini umeniungasha mzee? si ungeniacha na umaskini wangu ee?
kwanini usingeniambia kwanini? ona sasa mimi sina hata ndugu kisa ni huu
ufreemason wenu"
"Aaaaaaahahahahahaha kumbe ulikua hujui? na hakuna
jinsi ya kutoka tena, afu isitoshe mkuu anakuita kule..... tena wamekuekea kikao
wewe. nenda ukawasikilize"
"kuma mae wewe"
"haijalishi kitu hata
utukane matusi yote"
Ani nilikua natetemeka kweli kwa hasira za hali ya
juu... Niliitisha gari yangu ikaletwa kisha nikaelekea huko kwenye ofisi
zao...
Ila nilipoingia tu yule mdada alinikataza nisiingie.. lakini
sikumsikia maana nilikua nana hasira ya kugombana na huyo LUSIFA mwenyewe ambae
haonekaniki, Nilipoingia kweli niliwakuta wapo kwenye kikao cha kunijadili mimi.
Nilifika kwa hasira zangu nyingi na kutulizwa juu kwa juu.. kabla hata sijaongea
nikaskia
"umefanya makosa mengi sana kwenye kampuni hii... tulikuambia
ukifika kwenye msiba usilie... lakini kwa jeuli yako umelia... tukakuambia kua
hatutaki uwe na yule mschana husikiii... alafu bado umetoka kumgombeza mkuu wako
ofisini kwake.... sasa kwa adhabu ya makosa hayo inakuja hivi"
"weeee
lusifa acha usenge wewe mimi nimeua ndugu zangu wote afu unasema usenge wako
hapa we ni hanisi nini wewe?"http://deusdeditmahunda.blogspot.com/
"hilo
ni kosa lingine.... na adhabu yake ni hiii.... .
2.... basi la mtei leo limejaza vizuri
sana hivyo nataka lidondoke pale darajani
3.... na mama yako
tunamtaka
Kama utavikosa hivi vitu basi tutakutoa kafara wewe
mwenyewe..na vitu hivyo vifanyike leo leooo, leoo, leoo, leoo, leoo,
leoo"
Nilishtuka sana kuskia hivyo, kwani kuua albino watatu?
au kuua umati wa watu. kusa ni mimi tu? hapana
"kwanini lakini mnafanya
hivi?"
"hatutaki maswali, haya uliyataka mwenyewe hivyo maswali nengi ni
marufuku kwetu"
Sikua na jinsi ni lazima nivifanye hivyo vitu
nilivyoagizwa kutoka kwa wakuu hawa.
"basi mi naacha kazi yenu na pesa
zenu na majumba yenu magari yenu kila kitu chenu chukueni na sivitaki
tena"
"ahahahahahahaha huezi kukitoa katika ulimwangu mpya na mpana.. au
The New World Order... ama WWW ( WORLD WIDE WEBSITE ) huezi kutukimbia katika
ulimwengu huu mpana na wenye kukamata kila mtu mwenye akili mbovu kama yako...
sasa ili uendelee kuishi tufanyie hizo kazi haraka"
"lakini kwanini
mnakua makatili kiasi hiki? basi nipeni chaguo kati ya hivyo nipunguzieni
basi"
Niliomba wanipunguzie japo hata mbili tu, maana kuteketeza basi la
mtei au albino watatu au mama yangu. sii kazi ndogo asee..
"ok
tunakupunguzia mbili na ubaki na hizi mbili"
"ndio kabisa asante. ila ni
zipi sasa?"
"mama yako au wewe mwenyewe. na ukifanikiwa kumuua mama yaki
basi na cheo tunakupandisha tena"
Daaahh nilichoka kabisa kusikia hivyo.
maana nilijua swala la mama yangu limetoka, lakini ndio kwanzaa lipo
palepale.... Nililia sana kuona vile.......
Basi sikua na jinsi
ya kufanya bali nilitoka pale huku nikijifikiria mara mbili mbili kuusiana na
swala hilo la kujipeleka mimi au nimtoe mama angu afu niendelee kula pesa
zangu?
Lakini kabla ya yote nimeona niende kwa yule dada akanipe ushauri
juu ya hili
Sasa kwakua sikua na mahari pakumpatia hivyo kuna
kitu alinipa ambacho niki kigusa tu anakuja nilipo. Na ni kweli haikuchukua muda
mrefu nilishangaa yupo nyuma yangu Wala sijui amekujaje, Alinishika tu mkono na
kunipeleka mahali ambapo nilitoka muda sii nrefu, yaani pale kwenye chumba
ambacho kina gold chumba choteee.
Sasa yeye alikaa mahari huku
akiniambia
"chidi? najua kwa sasa una mawazo mengi sana kuusu hivyo
ulivyoambiwa na mr lusifa. ola hutakiwi kutekeleza hata kimoja"
"kwanini
nisitekeleze? lazima nifanye hivyo maana bila hivyo nitakufa asee"
"bora
ufe kuliko kuendelea kuuwa watu"
"kwaio nifanyaje dada
angu?"
"kifupi ni kwamba achana nao hawa watu..... na hata mwanzo
nilikuambia siku ile nilipokukuta kwenye toroli umelala.. nikakuambia kabisa
nikiachana na wewe kuna mwingine atakuja.... sasa ndio huyo keshakufanya muuaji
tayari"
"afu Eeheeeee nimekumbuka hebu niambie wewe ndio ulienipeleka
hospitalini siku ile?"
SASA HAPA WE MSOMAJI KUA MAKINI... MAANA
HAPA KINAONGELEWA KILA KITU AMBACHO KILITOKEA HUKO NYUMA NA HUKUKIJUA.. SASA
HAPA NDIO ATAELEZA YOTE SASA... ILA KAMA HUKUIANZA MWANZO HII STORI BASI UJUE
HUTOELEWA KITU CHOCHOTE KILE
"sikia nikuambie rashidi, mimi
nilikua ni binaadamu kama wewe, ila wakuu wa majini wa nchikavu waliona kua mimi
nafaa kuwa mmoja wao, hivyo nikawa mbali na binaadamu na kua jini wa nchikavu.
ila ni majini wa wa nchikavu na wasio na hatari yeyote ile.... Toka nilipoingia
katika sekta hio nilikaa muda mrefu bila kua na mahusiano ya kimapenzi na
binaadamu, japo naweza kujiweka katika hali ya kibinaadamu na kuishi na
binaadamu..... katika kundi letu sisi kulikua na vijana wawili na wasichana
wanne, hivyo kulihitajika kijana mmoja ili tuwe saba... kwani sheria yetu hua
tunakua waschana wanne na wavulana watatu na sio kila mtu inaweza kumuangukia,
bali kuna vigezo vya kiroho lazima uwe navyo ndio ujiunge na majini. na nafasi
hio ilikuangukua wewe kabla hujaingia katika ushetani. Hivyo wakuu wangu
waliniambia nikufuatilie mwanzo mwisho ili nijue matendo yako, na kuweza
kukupeleka kwa wakuu wangu... Na mara ya kwanza kukufatilia ilikua ni
hapa
***********************************
"Broo tuache
masihara bwana mbna mnarusha mawe?"
"nani karusha mawe
wewe?"
"ok poa twendeni"
Tulianza safari huku tukipiga stori za
hapa na pale
Lakini ghafla niliguswa usogoni mithili ya mtu
alienisodoa...
"aiseee broo mbona mi sielewi?"
"nini
wewe?"
"nani kanigusa kwa nyuma?"
"sasa mimi nipo mbele
nitakugusaje kwa nyuma?"
"eeeehh??"
"Eeenhh eee eee Eeee nini
sasa?"
"eeee?"
**********************************
Na
mara ya pili nilikuja ndani kwako usiku na kukuonya kua usiende mjini maana
nilishayaona maisha amvayo ungeishi,
na mara ya tatu
nilikufatilia siku ile ulipokua unakwenda kwenye mdumange... kile kitendo
sikukipenda kwani ulikua una mke na mtoto... afu pia mimi mwenyewe nilishaanza
kukupenda taratibu, hivyo sikupenda uende kwenye mdumange.. na ndipo
nilipowatuma wenzangu waanze kukuzuia... na wa kwanza ni yule uliemuona kwenye
mti siku ile.... kisha baada ya muda nikatokea na kukurudisha
kwenu...
Na siku nyingine ni pale kwenye ajali. ile ajali
haikua kosa la dereva bala mule ndani ya gari kulikua kuna baadhi wengine sio
watu. ila wewe na wengine mliwaona kama watu... ile gari ilipinduliwa na
mfanyakazi mmoja wa kampuni hio ulionayo kwa sasa..... nae alipewa azabu kama
hio uliopewa wewe.. na ilikua mfe wote mliopo katika magari yote mawili.. ila
ulipona kwasababu mimi nilikua nyuma yako... na nakumbuka kuna muda nilikushika
macho ili uone yanayofanyika tofauti na macho yako ya kawaida sasa pale
ulipojifanya unaweza kutoka nje ndipo ulipopigwa kibao na kupoteza fahamu
kabisa.
walikuchukua wale watu kisha wakakutenga mahari ili
wakuuwe kiukatili. ila walipoona kua wewe ni wa muhimu kwao hivyo wakakuacha
pale pale chini ukiwa huna fahamu.... nami ndipo nilipokuchukua na kukukabizi
kwa yule mama dokta....... Na hapo ndipo wakaanza kukufatilia kwa kumtuma yule
mzee.... na hata hivyo yule mzee na wale WADUDU WA DAMPO ni kitu kimoja hivyo
ulikua ukisomewa wewe tu uingie katika chama chao hicho cha
mauaji
Na sehemu nyingine nilipokufatilia ni pale mochwali
ulipotaka kusex na maiti yule... hivyo nilitumwa tu nidhibitishe kama kweli
ungefanya nae?
Na sehemu nyingine ni pale nilipokukuta umelala
katika mkokoteni, Na ndipo freemason walipotoka katika tempo lao walilokwenda
kutolea kafara... na wangelikuona basi ingelikua ni shida na tatizo kwao...
hivyo nami pale pale nikakupa usingizi wa ghafla... na ulipozinduka asubuhi
ndipo ulipokutana na kwato za ng'ombe.. nilikuambia maneno machache tu kisha
nikaondoka...
Na sehemu nyingine ni pale ulipokua unachinja
mbuzi mchanga... hua sisi hatunaga sheria ya kumzuia mtu kwa kile alichoamua
yeye bali tunamuambia tu kwa mdomo... ila mimi nilijitahidi kukushika mikono
lakini bado ulikua hutaki.... kwani yule ndio alikua ni mwanao saidi, ila wewe
ulijua ni mbuzi mchanga.
Na sehemu nyingine ni pale uliponikuta
nipo ndani ya gari yako... na kunifanya univute kiisia mpaka nikakupa mate yangu
japo wewe ulijua kua nimefuata pesa zako lakini hapana... Na pale pale kama
unakumbuka nilishtuka. Sasa pale ni mkuu wangu alinionya nisirudie tena jambo
kama lile... na ndio maana sikuendelea kukaa kabisa.. na ndipo ulipopewa adhabu
ya kuchinja mbuzi aliozaa uzao mmoja tu... ila yule hakua mbuzi bali alikua ni
mkeo...... Na pale kwenye korongo ambapo watu wanalia? huko chini kuna watu aina
ya mashetani. ambao ndio husababisha wewe na mwingine kuwa na pesa. yaani vile
wanavyolia ndivyo na pesa inavyoingia katika akaunti yako au chumbani kwako..
maana wameshaifurahia damu ya ndugu au mke au mtoto. au
mama...
Na sehemu nyingine ni pale NOVO hotel ambapo ulikua
umeshika wadada wawili wawili. tayari kwa kusex nao.... kitendo kile sikukipenda
kabisa kwakua hata mimi nilikua na chembe chembe za mapenzi na
wewe....
Na sehemu ya mwisho ni pale nilipokuja tanga
kukuchukua Baada ya kuwazika ndugu zako.
Haya hebu niambie
mungu ataweza kukusamee kwa dhambi ulizozifanya? na sasa bado wataka ukaendelee
kuuwa tu. ivi unaona raha tu kuuwa si ndio?"
MMNHHH KIUKWELI
DADA KAONGEA MENGI SANA
"sasa mimi nitafanyeje? maana
nitakufa"
"nimeshakuambia ni bora ufe.. ila sio wakuue wao bali ujiue
mwenyewe na kifo cha mateso ndipo utaweza kusamehewa dhambi zako.... na kuweza
kuwarudisha watu wote uliowaua kwa mkono wako... kwani watu hao hawakufariki
bado. na hata kuzika mumezika migomba tu. ila watu wapo hai kabisa jambo sio kwa
dunia hiii.... hivyo wanatakiwa kukombolewa kwa kutumia damu yako tena ujiue kwa
hiali yako wewe mwenyewe. ila sio wakuuwe wao"
"haaaaaa kwahio nikijiua
mimi na familia yangu itarudi kuwa hai?"
"ndio"
"oooo bora
nifanye hivyo saidi wangu na mama yake na kaka yanguuu na pia dada yangu warudi
aseer"
"hapana dada yako hawezi kurudi kwani hukumuua wewe, bali dada
yako aliwawa na kaka yako hatibu... hivyo haitowezekana kwa yeye kurudi labda
atubu kwa kukiua kama wewe"
"niue basi familia yangu irudi... kwani ni
bora waendelee kuishi wao kuliko mimi"
"sio uuliwe na mtu bali ujiuwe
mwenyewe na kifo cha mateso sana.... kama vile kujitupia gholofani... au
kujitupia katika moto au maji.. na hivyo vyote havipo katika ulimwengu huu, bali
vipo mahali nitakupeleka... kwani huko kuna ukubwa wa mara 70 ya vitu vya
duniani... yaani khama ni gholofa huni hata chini... na kama ni ukali wa moto
basi ni mara 70 ya duniani.... na kama ni maji basi ni zaidi ya sunami yaani ni
sunami mara 70 sasa chagua moja uende wapi?"
"bora hio
gholofa"
"kwahio umeridhika?"
"ndio mama nimeridhika... ila nipe
basi hata denda la mwisho kwani si unajua sirudi tena?"
"kurudi utarudi
ila sio kwa sura hio wala kwa jina hilo bali utakua ni mtu mtakatifu... hivyo
ukirudi tu utanikuta. ila nikikupa denda kwa sasa utaniletea shida kwa mkuu,
kwani alishanikataza kuusu hili.... ila bado nakupenda chidi. hivyo hata mimi
sio kua napenda ukajiue ila ni njia ya kukutengenezea njia
mzuri"
Sasa alipomaliza tu kuongea Tulijikuta tupo juu ya
gholofa... yaani hilo gholofa hakuna kabisa na sio kua hakuna kwa hapa tanzania?
bali ni kwamba hilo gholofa sijawahi ona na wala hakuna na halitowahi kuwepo
duniani kote...
"ngoja kwanza chidi... nakuomba fungua moyo
wako juu ya hilo. kwani ukienda kwa roho mkunjufu ndio utafanikiwa. ila ukiwa
hupendi hata hao ndugu zako hawatorudi kabisa. kwani hukupenda
kuwarudisha"
Kwa jinsi alivyokua anaongea nilihisi kama ndio
ananichelewesha kufa vile... hivyo nilijitupa bila kufikiria kitu huku nikifumbs
macho kwa upepo ambao ulikua ukinipuliza.
Yaani gholofa ilikua ni ndefu
kiasi kwamba hata ukimwaga tenki la maji halifiki ng'ooo. maana ni parefu
mnooo..
Nguo zangu zote zilikua zikichanika kwa upepo mkali
ambao ulikua ukinipitia nikiwa nashuka chini..... Huezi amini nilihisi kama robo
saa imeshapita lakini hata katikati sijafika..... Nilikua naomba tu nisijeku,
Lakini ghafla nilikutana na moto mkali ulioanza kunichoma kwa mbali.... Sasa
nilipokua naukaribia ule moto ambao ndio 7 mara
70....
Nilishangaa naitwa huku nikisukumwa sukubwa na
kuambiwa
"we sheby? sheby mwanangu amka uende shule"
"Eee? Nini
nyie bwana mi nataka kuikomboa familia yangu nimeiua yote"
"we mtoto una
nini hebu amka bwana ona sasa umechelewa shule"
"haaaaaa ni saa ngapi
mamaa?"
"si saa 4 hii mwanangu, kwani ulikua unafanya nini? hebu ona
jasho lilivyokutoka"
HAAAAAAAA KUMBE NILIKUA NAOTA AISSE DUUUU
TENA WALA SIITWI RASHIDI.... JINA LANGU NI SHARBINY RASHIDY TENA BADO I
MWANAFUNZI WA KIDATO CHA TATU......
"mamaa? kuna ndoto
nimeiota"
"ndoto gani hio mwanangu?"
"mamaa? nilikua na mke na
mtoto afu nimeota eti nimeua ndugu zangu afu kuna dada mmoja akaniambia ili
niwarudishe watu hao nilio waua eti nijitupe kwenye gholofa nife, ndio
wafufuke"
"jamani mwanangu pole sana... na washindwe na walegee kabisa
hao waliokuotesha jamani"
Mama angu alikua ananipenda sana
kupita kiasi......
"kwaio utaenda shule?"
"ndio mama ntaenda
tu"
"utachapwa mwanangu usiende"
"ah ah wacha nikachapwe
tu"
SASA ONE DAY YES IMEISHIA HAPO JUUU..... ILA STORY YA ONE
DAY YES INA MUENDELEZO WAKE AMBAO JINA NI TOFAUTI NA HILO
YAANI
MUENDELEZO WAKE UTAKUA NA JINA TOFAUTI LA STORY... ILA CHIMBUKO LA MUENDELEZO NI
HIO ONE DAY YES..
KWAHIO ONE DAY YES ILIKUA NI NDOTO TU....
SASA HUUU NDIO MUENDELEZO WAKE AMBAO UTAKUA NA JINA
LIGINE......
KWAHIO ~ONE DAY YES~ IMEKWISHA KWA STAILI
HIO...
ILA NAWAONJESHA KIONJO CHAKE AMBACHO SIKUAMBII JINA LA
STORY HIII ILA BUNIA JE? INAITWAJE
HEBU TUONJE KIONJO
KWANZA
story hiii mimi ni mtoto wa kitajiri ile mbaya... na
wakiume nipo mimi mwenyewe na nina dada zangu wawili wenye asili ya kiarabu.
kwani mama yangu yeye pia ana asili ya kiarabu.....
Ninae dada
yangu ambae ana umri wa miaka 25 huyo ni wa kwanza na keshamaliza shule muda
tu... kisha ninae dada yangu mwingine ambae tumefuatana.. yeye ana umri wa miaka
22 na yeye bado yupo kidato cha 4... afu anafatiwa na mimi kidume sharbiny
rashidy mwenye umri wa miaka 20 na yupo kidato cha 3.... familia yetu ilikua ni
familia ya kitajiri sana yaani tulikua ni matajiri
waliopindukia....
Ila katika watoto wote wa mzee rashidy mimi
peke yangu ndio nilikua nina rangi tofauti na dada zangu wote. Ila nyumba yetu
imezungukwa na wafanyakazi wengi mno. kama kwa raisi vile kumbe ni kwa mtu tu wa
kawaida...
"mwanangu utaenda kesho tu"
"mamaa mi
sijawahi kukosa kwenda shule hivyo nisipoenda naisi kama nitaumwa
yani"
"mmhh haya ila njoo unywe chai basi"
"nitakula huko huko
mamaa"
"mwajabu? we mwajabu?"
"abee dada?"
"umeona mtoto
wangu anaenda shule na njaa?"
ndani kwetu tulikua tuna mfanyakazi ambae
ni mtu mzima kabisa na ndio alionilea mimi toka nikiwa mtoto.... hivyo roho
inaniuma sana pindi ninapoona anafokewa kwa ajili yangu,
"kakaa njoo
unywe chai"
Aliniita yule mdada wa makamo kabisa tena hata sio mdada ni
mmama kabisa. kwani alitulea mimi na dada zangu wote, lakini dada zangu asa huyu
mdogo hua hamueshimu huyu mama na sijui ni kwanini....
"mamii nimeshiba
usijali"
Nilimuambia kwa kwa utaratibu na heshma zote alizonilea yeye
mwenyewe.
"sheby mwanangu, sema ukirudi unataka ule chakula
gani?"
Alioniuliza ni mama yangu mzazi
"aaaa chochote tu
mamaa"
"yaani we mwajabu humuulizi mtoto atakula nini umeuchubua
tu"
"mamaa mbona ivyo lakini?"
"amna mwanangu ni huyu mtu naona
hakujali kabisa yani"
"ok nitakula ugali na mrenda"
"haaaaaaa
sheby mwanga chakula gani hicho cha kishenzi hivyo?"
"sikia dogo humu ndani maiti ikiletwa na
kuandikiwa kua keshakufa. basi hata kama kwa bahati mbaya hajafa afu ukamuona
yupo hai? huruhusiwi kutoa taarifa popote pale"
"haaaa kwanini
sasa?"
"unajua ni kwanini?"
"sijui"
"mtu tayari
keshaandikiwa kufa na faili lake limewekwa X hivyo akizinduka hapa mochwari hua
anamaliziwa. ili tusiwaharibie madokta wengine vibarua"
"haaaaaaa
kwanini lakini mfanye hivyo?"
"we vp mbona huelewi? jakobo? hebu
lieleweshe hili toto, maana halinielewi kabisa yani"
"sikia dogo... hua
dokta pale anapoandika kua mtu huyu tayari ni mfu na faili lake lipo katika
orodha ya wafu. basi huyo hapaswi kupona kama atakua ni mzima.. maana tukimuacha
awe hai huyu mfu.. basi yule dokta atafunguliwa mashtaka kwa kumfosi mtu kifo
afu ataonekana pia wengine waliokufa basi ni yeye kawaua hivyo hatutaki kupoteza
vibarua vya wenzetu kwa mtu ambae keshaonekana kua mfu.. nadhani umenielewa
hapo?"
"mmhh nimekuelewa ila sidhani kama ni sahihi kufanya
hivyo"
"ok tunajua huo ni ugeni tu. bali utazoea na tena utawamalizia
wewe mwenyewe kwa bereshi"
"haaaaaaaa mnawamaliziaga kwa kuwapiga na
bereshi?"
"sasa je?"
"mungu wangu eeeee?"
Daaahhh
kiukwwli nilichoka kabisa kusikia maneno kama hayo ambayo walikua
wakisema
Nikaona ngoja niwaulize kuhusu huyu mait wa kike
hapa
"Eti mzee? vp mbona kama mnamtomasa tomasa huyo dada wa
watu?"
"kwani we unaonaje? huyu lazima aliwe.. na sio sisi tu hata wewe
ni lazima umle?"
"nimle?? nimle kivp sasa?"
"jakobo hebu
muonyeshe mfano huyu"
Sasa nikawa nipo makini kuona huo ulaji wenyewe..
sasa hawa jamaa wapo watatu na mimu ni wanne.. niliona wawili wamempanua panuuu
kama msamba vile afu yule mwingine aliiingia kati.. aiseee mungu wangu eee
wanasex na maiti duuu... kumbe ndio maana niliskia neno
"aisee bado
wamoto bwana yaani hajakaza kabisa" kumbe nia yao ilikua ni kusex nae yule
maiti...
Sasa hawa ambao wameshika wakawa wananiongelesha
kua
"dogoo we tulia tu kwani hawa watu wakiwa njiani hua wanaringa sana
sasa hii ndio dawa yao"
"lakini mjue ni zambi hio wazee wangu
nyie"
"heeeee sikuhizi hata mtoto wa miaka mitano ana dhambi hivyo
hatudanganyiki"
Kiukweli haviangaliki kabisa kabisa kwani
walikua wakifanya kwa zamu huku wamempanua miguuu... yaani kama kifo cha mende
vile. maana si bado hajakauka hivyo bado alikua ni mlaini.... sasa mimi nilikua
nimeinamia chini kwani nilihisi hata nikiangalia nitajiona na mimi namkula huyu
mdada mrembo kweli sii haba... ila ukafiri kama huu kaamwe mi siwezi kufanya
maisha yangu yote... ni bora umbake mtoto mdogo kuliko kusex na
maiti...
Sasa nilipokua nimejiinamia nilishtuliwa na sauti
ilionipasua tumbo kwa uoga wa lile neno
"we dogo?'
"naam mzee
mshaamaliza?"
"ndio... Sasa ni zamu yako uje
kula"
Kiukweli sikua naipenda ile tabia tena ndio
watanifanya niache kazi kwa tabia yao mbaya kama hii. Nilikua nimejiinamia zangu
kichwa chini huku nikitafakari mbele ya maisha yangu
itakuaje?......
Sasa nilipokua nimejiinamia nilishtuliwa na sauti
ilionipasua tumbo kwa uoga wa lile neno
"we dogo?'
"naam mzee
mshaamaliza?"
"ndio... Sasa ni zamu yako uje
kula"
Nilistuka kuskia hivyo kua imefika zamu yangu ya kwenda
kusex na maiti.... Eee mungu wangu haya ni maisha gani tena. Nilianza kulia kama
mtoto ili nisiambiwe niende nikalale na maiti.... Maana hio ni laana kubwa mno
kulala na mait.
"we dogo ni kwamba husikii au?"
"mzee mi siwezi
mzee"
"huezi kwanini? Utaweza tu njoo"
"apana mzee sitaki
kufanya hio laana"
"kwaio sisi tunachokifanya ni laana
sio?"
"sijui ila kwangu ni hivyo"
"kwahio utamla au
humli?"
"hapana simli"
"Aaahaaa sasa kuanzia leo tusikuone humu
ndani... na pia tutakusingizia kua huyu mtu alikuja mzima afu wewe ukasex nae na
kummalizia kabisa"
"Aaaa sasa mzee ndio nini hivyo?"
"tuambie
utakula huli?"
"ok basi nitakula lakini sio huyo labda aje mschana
mwengine maana huyo si keshakauka"
"safi sana kwa kukubali haya kaa
utulie pale"
Niliongea vile ili wasinilazimishe kwa muda huo. Basi
walimuosha tena baada ya kumaliza kazi yao ya kusex nae.. Eti wanamtoa
janaba
Nilikaa pale lakini roho ilikua ikiniuma sana kwa kuona
ukafiri unaoendelea humu ndani.
BAADA YA SIKU 4
KUPITA
Nikiwa bado naifanya kazi yangu vyema ndani ya
hospitali. Nilikua kila siku naombaga asiletwe maiti wa kisicha. maana maiti
MZEE, MTOTO, MWANAUME hua hawashuhuliki nao. ila wanata msichana kuanzia miaka
18 mwisho 40... kwaio kuanzia 40 hawakugusi kwasababu Eti hana joto. Kwaio kila
siku nilikua namuomba mungu wawe wanakuja maiti watoto na wazee na wanaume tu...
kwani wakija wasichana nitaambiwa nilale nao kimapenzi
Sasa
siku hio nilikua zangu nimetulia kwenye kiti huku nikiwa na wasiwasi wa hapa na
pale.. maana nywele zilishaanza kunisisimka kua kuna kitu kitatokea. hivyo
niliingiza simu yangu mfukoni.. maana nilikua naichezea ili kupoteza fikra za
humo ndani... kwani watu wanaokaa mochwali ni lazima wawe walevi au wavuta
bangi. tena kwa kila muda. na ndio maana hawa wazee wameshachizika
kiakili........ Sasa mida hio ilikua ni mida ya saa 8 usiku.. nilikua peke yangu
pale mochwali... kwani wazee walienda chooni kuvuta bangi na kunywa
pombe...
Sasa nikiwa nashangaa shanga humo ndani. Taa zilianza
kuzima zima afu zinawaka. Nilishindwa kuelewa ni shida gani hio?
Sasa
nikiwa naendelea kuushangaa umeme ukikata na kurudi..
Nilishangaa kuona
majokofu yalioekea maiti yakianza kufunguka yenyewe... Yaani yalikua yanajivuta
afu yanajirudisha ndani... Maana majokofu yenyewe yapo kama droo ya meza au hata
kabati... ZILE DROO ZA KUVUTA sasa ndio kama haya majokofu... Sasa yalikua
yanafunguka kwa kushindana Kwa kufunguka na kujifunga, Niliona au huenda ni
wenge langu nini, Nilishindwa kuvumilia hivyo nikachukua gongo langu la
kutembelea. Kisha nikaamka huku nikiangalia majokofu kwa umakini wa hali ya juu
sana, Sasa sijakaa vizuri mara kwenye jokofu moja ukatokea mkono wa mtu....
Nilipasukwa na roho huku mapigo ya moyo yakienda mbio. Mara mwingine kainua
kichwa juu.... Aaahh nilishindwa kuvumilia aisee nilianza kukimbia huku
nikichechemea....... Sasa cha ajabu na cha kushangaza Niliona na wale maiti wa
chini wakianza kutetemeka kama vile wanaskia baridi. Daaahh yaani hapo hata
kukimbia nilishindwa na kubaki naburuzika tu chini.... sasa nikiwa najitaidi
kukimbia kwa magoti,, ghafla nikashikwa mguu kwa nyuma na maiti mmoja. mpaka
nikaona huenda akawa ni mzima huyu mtuu..
"acha uga mtoto...na ndio maana michwali hakutakiwi vijana
wadogo kama nyie"
"Eeheee mzee umeona katingisha mkono
umeonaaa?"
"aaa we unatukatia tu stimu zetu... oyaa twendeni tukaendelee
kupombeka bwana.. mwacheni huyu dogo anazingua tu"http://deusdeditmahunda.blogspot.com/
"Aaaise
hamuniachi tena asee.. walai vile twendeni wote huko huko"
"Acha ujinga
we dogo kaa hapo si tukamalizie vinywaji"
"sitaki bhana na kama ni kazi
na ife tu"
"kwaio utaki kazi tena?"
"mi skai peke yangu
kule"
Nilienda nao huko wanapokaa wao maana huku ndani kumesha
chafuka kabisaa hakufai, Nilienda kukaa nao huko nje wanakovuta bangi zao japo
mimi sikua navuta..
BAADA YA SIKU 2 KUPITA
Na
leo ni usiku mwingine na wa mwisho kwa wiki.. Ilikua ni mida ya saa 9 usiku
ikiwa ni siku ya jumaapili yaani kukipambazuka tu nachukua pesa yangu ya wiki
afu nifikirie kuendelea. Sasa ilipofika saa 9:30 kulikuja gari imebeba maiti
wengi ambao walipata ajali usiku huu... Nikaanza kujisemea kua hii ndio gundu
hii daa..
Walikuja maiti wa kila lika na wengine ni majeruhi wakapelekwa
huko kwenye wodi zao.. na maiti wote wakaletwa humu ndani.. afu walikua
wametapakaa damu chungu nzima... yaani hawatamaniki wala
hawaangaliki..
"dogo leo kuosha kutakuusu maana maiti ni nyingi
sana"
Nikaona sio mbaya pia kwani ni kazi yangu
Basi maiti wote
wakawekwa mahali pakuoshea maiti kisha tukaanza kuwaosha... ila wenzangu walikua
spidi sana maana wamezoea.... kwahio baada ya kama nusu saa hivi tukawa
tumemaliza kuwaosha hivyo tukawatoa wale pale chini na kuwaweka kwenye jokofu
afu hawa wapya ndio walale chini
UNAJUA UKIMPELEKA MAITI WAKO
AU HATA KAMA KAFIA PALE PALE HOSPITALI... BASI KAMA ATAPELEKWA MOCHWALI KULE,
UJUE HATOWEKWA KWENYE JOKOFU MOJA KWA MOJA.. KWASABABU YA KUMUANGALIA KWANZA
KAMA NI MZIMA... HIVYO HAWEKWI KWANZA HUKO KWENYE BARAFU.... ANAWEKWA CHINI KWA
SIKU MIJA AU MASAA KADHAA KWA UHAKIKA WA KWAMBA NI MFU NDIO AWEKWE HUKO... ILI
WASIJE WAKAINGIZA MTU AMBAE YUPO HAI NDANI YA JOKOFU... HIVYO ANAWEKWA CHINI
KWANZA NDIPO APANDE JUUU....... SASA HAPO TULIWATOA WALE WA TOKA JANA NA WA
MASAA KADHAA YALIOPITA AFU TUNAWAWEKA HAWA MAITI WA LEOO
Basi
tulifanya hivyo na kuwaweka ndani ya jikofu kisha wapya tukawalaza chini. Baada
ya hapo nikawaona wazee wanagawana pesa. nikana wacha nisogee huenda na mimi
nikapata hata buku moja...
"we unaenda wapi?"
"mnhh Ah Ah mi
naangalia tu"
Wakawa wanaendelea kugawana pesa za kuoshea maiti ambazo
zimekuja hivi punde...
"afu uyu dogo kaosha maiti
wangapi?"
"kaosha mmoja tu"
"haaaaaa yaani maiti karibia 25
kaosha mmoja tu?"
"ndio"
"we dogo ivi unafanya kazi au
unatutegea tu?"
"lakini mzee si unaona mi nilivyo kilema
mzee"
"hakuna cha ukilema hapa"
"basi wakija wengine
nitajitaidi"
"ndio ivoo haya chukua hii buku 5 utulie... afu yule dada
uliemuosha umeshampa mambo fulani?"
Nikastuka huku nikijiuliza kua
wasije wakanilaza na maiti hawa
"ndio aaa tena ni mtamu
kweli?"
Nilidanganya kua nimesex nae lakini siafanya hivyo
"ivi
we unatudanganya hadi sisi?"
"kweli vile mzee nimemla"
"njoo....
hebu niambie huyu kaliwa huyu?"
"ndio"
"joni ebu lete kondom
arudie tuone.... asilete utani apa"
"lakini mzee kwani ni
lazima?"
"ni lazima ndio...we utakaaje na sisi utuchore
tu"
Daaahhh ililetwa kondom aisee ili nisex na yule dada aliekufa...
"haya sema unakula au hauli"
Sasa kabla sijaanza kula niliona
watu ukutani wamesimama afu wananiangalia mimi. na hawa watu wamevaa magauni
meupeee afu mmoja kavaa gauni jeusi...
"aisee mzee wale ni akina
nani?"
"ntakutia mkonzi huo we dogo.. unamtisha nani? ivi pale na akili
yako kuna watu pale?"
"mzee kweli watu wale pale"
"sikia
nikuambie hapa leo huruki lazima umridhishe huyu mtoto wa kike"
"mi
sifanyi hio tabia"
"lakini dogo ukumbuke kua umeshamaliza wiki
tayari.....hivyo usishangae ukatoka bila hata senti"
"kwanini mzee
nikose pesa?"
"ili ulipwe ujira wako haya shika kondom hiii anza
kazi"
"mzeee"
"niniiii kama hutaki useme ila asubuhi ukitoka
unanyooka nyoooo njee bila hata malipo. na si hivyo tu ni hurudi
tena"
Sasa nikafikiria laki mbili kweli niziache? hapana aiseee yaani
kisa ni kumla huyu demu....
Afu nikiangalia wale watu naona bado
wananiangalia tu kama video flani hivi... yaani wanataka washuhudie
ninachokifany......
Lakini nilikua nawaza pesa yangu itaishia chini
kweli? kisa ni kutosex na huyu dada.....
"oyaa okoa muda bwana unaona
nje kunaanza kupambazuka ujue"
Nikaona potelea mbali nikaichana
ile pakti na kuitoa kondom nje..... yaani kile kitendo tu cha kuitoa ile kondom
na kutaka kuivaaa
Nilijikuta nikianza kutetemekwa na mkono mpaka
miguuu.... kana kwamba ninachokitaka kukifanya ni ufirauni
uliopitiliza..
Nikiangalia wale watu waliopo ukutani walikua
wameinamisha vichwa vyao chini mithili ya watu wenye aibu fulani
hivi........
"dogo vp mbona umeduaa?"
Nilikua nawaza jinsi ya
kuanza huo mchezo wa kusex na maiti wa kike. daa kiukweli sikuipe ile tabia ya
kusex nao hivyo niliamua kugoma na kama n pesa bora nikose kabisaa kuliko
kufanya ufirauni ambao hata shetani mwenyenyewe hakai eneo hilo.
"ivi
we una kichaa? yaani ufanye kazi wiki yote hio afu uje kuacha pesa yako
leo?"
"mzee nimesrma hivi nasubiri tu kupambazuke niondoke zangu. kuliko
kufanya huu ushenzi usio na kichwa wala mguu"
Baada ya kuongea vile
niliwaona wale watu waliokua pale ukutani wakiwa wameondoka. kana kwamba walikua
wanataka wanishuhudie kitu nilichokua nataka kukifanya kwa wakati huo. Kweli
niliwakatalia hawa wazee kwa kuonesha msimamo wangu zaidi. Baada ya hapo
nilienda zangu mahali nikakaa ili nisubiri kupambazuke ili niondoke kazini tena
naacha kabisa...
"oyaa dogo mbona umekaa kiuzuni hivyo?"
"ivi
mnaona mlichokua mnanilazimisha ni sahihi kweli?"
"Aaahh sikia dogo...
unajua sisi hatutali kukaa na mtu ambae yupo tofauti na sisi.. kwasababu
mshahara tunapokea sawa na kazi pia tunafanya sawa sasa kwanini na vitendo
tusiendeane sawa?"
"naacha kazi yenu"
"ila chunga mdomo wako
huko mtaani"
"wala ata simwambii mtu"
"tunafurahi kwakua tutakua
huru.. maana mambo mengi ulikua unatubana sana.. kwasababu kuna saa zingine
tunakula 0714 ila mbele yako hatukulifanya hilo"
"mzeee sihitaji stori
zako hapa"
"mmhh sawa kijana ila nakutakia safari
njema"
Baada ya masaa mawili kupita. Na sasa ni saa 1 kasoro
asubuhi.. walikuja watu wa shift ya mchana na kuingia kazini nasi wa shift ya
usiku tukatoka kwa kwenda kupumzika.....
Wenzangu walipitia
ofisini kuchukua malipo yao ya wiki lakini mimi sikupitia kwa maana waliniambia
kama nitapitia pesa basi wataweza kunisemea kwa boss wao kua.. nilifanya kitendo
fulani na mtu aliokua mahututi na kumsababishia kifo chake...
Lakini
nilipokua natoka nilikutana na yule mama akiwa anaingia kazini. nilitamani
nisimuone kabisa maana najijua kazi ndio naacha hivyo. maana sitoweza kulala na
maiti kamwe..
"Ee kijana nakuona ndio unatoka? vp umechukua pesa
yako?"
Nilikaa kimya na kuangalia tu chini kama kondoo... Mama labda
alihisi kitu fulani kuusu mimi hivyo alinishika mkono na kuenda nae
ofisini....
Tulipofika ofisini kwake mama alianza kunihoji
baadhi ya maswali fulani tu..
"vp kijana wangu? mbona leo huna raha
kabisa?"
"mmhhh mama ni kweli sina raha kwani leo nimeamua kuacha
kazi"
"kwanini chidi? Na ukiacha kazi hii utafanya kazi gani
tena?"
"mama wacha nikafanya hata kazi za mtaani tu... ila hii siiwezi
kabisa"
"ooopppsss hata hivyo nilijua tu kua utaacha... kwani kazi hii
inahitaji uvumilivu wa hali ya juu sana"
"ndio mama kwaio nilikya tu
naomba ruksa yako juu ya kuiacha kazi hii maana wewe ndio umenileta
hapa"
"sina cha kukuzuia, ila pesa yako umechukua?"
"mngh hapana
sijachukua"
"kwanini sasa? hebu twende kwa
boss"
Alinishika mkino na kuelekea huko kwa bosi ambako ndiko
mshahara unapotoka kwa wafanyakazi wa mochwali. Tulipofika tuliwakuta wale wazee
wakusaini saini pesa zao. Walishangaa kuingia nikiwa na dokta mkuu. na
kunidhania kua huenda nikawa nimemwambia kwa ushenzi wanao, Tulipofika pale mama
aliongea na yule boss kisha nikakatiwa mshiko wangu.... kumbe hawa jamaa
hawakujua kua nililetwa na huyu mama. hivyo waliogopa mno kuona nipo karibu na
dokta mkuu, japo sikumgusia jambo hilo.
"chidi ila nakuomba
usihame nyumbani, kama una shuhuli zako we fanta tu lakini sijakufukuza nyumbani
sawa?"
"sawa mama"
"nenda nyumbani basi ukanywe
chai"
"ndio naenda mama usijali"
Nilitoka pale na
kuelekea kwa yule mama...
mama huyu ana mtoto mmoja wa kiume na mmoja
wa kike ambae bado ni mdogo kama miaka 8 hivi na wa kiume ndio yule kelvin ambae
tulikuaga wote sero... ila kelvin yeye ana hurka ya uhuni sana. hua hatulii kwao
wala halalagi kwao siku nyingine asile kwao... yaani duu janga
hilo....
Sasa nilipofika hapo nilimkuta house girl akiandaa
andaa mambo ya chai huku akionja
"Eee hata kuandaa nako
kunaonjwa?"
Katoto kalijichekesha kinafki huku kakirembua... lakini kwa
muda huu mimi sikua na hamu ya mapenzi na mtu yeyote yule. Kichwa changu kilikua
bize juu ya maisha yangu... Nilikua ni mtu wa kuwaza kila siku ya
mungu..
Lakini nikiwa hapo sebureni nilikua naangalia tv. hivyo
nikasikia maswala ya kusafisha nyota. na wakaweka na namba zao kabisa.. tena
alikua ni mtu wa kigoma huyo mganga... Nilizichukua namba zake huyo sultani
msafisha nyota.....
Nilikua nina shaukua ya kuijua nyota yangu na vp je
kuhusu maisha yangu? Mbona kila kazi kwangu ni ngumu na za ajabu
tuuu..
Ilipofika asubuhi niliamkia safari, ila sikumuaga mtu
kua naenda wspi zaidi ya kuwaambia kua naenda mihangaikoni. Nilienda kupanda
mabasi yaendayo kigoma ili nikakutane na huyo mganga ambae anaangalia nyota za
watu......
Safari ilituchukua masaa 8 njiani.... nilipofika
kigoma nilimuulizia huyo mganga ili nikakutabe nae. na mganga huyo pia naskia
anatoa utajiri wa hali ya juu kama utatimiza vigezo
vyake...
Nilionyeshwa mganga huyo na kufika hadi kwake. nikiwa na
maswali mawili tu.... KUANGALIA NYOTA NA UTAJIRI
Daahh ilikua ni
mikwara ya mganga kujifanya kaniona na wakati bado sijafika mlangoni
kwake...
basi nilifika kama ilivyo ada ya waganga hua hawanaga nyumba za
maana kwa kazi zao.. yaani wanaishi katika vibanda ya majani au kuzungushia
nguo... kisha kazi yao iendeleee....
Nilipofika kwanza
kajifanya kajua shida yangu.
"kijanaaaaaaa najua unataka
utajiriiiii"
"ndio ndio broo"
"usiseme broooooooo... sema
hewalaaaaa sawa?"
"sawa babu"
"kwanza unataka kujua nyota
yako?"
"hewilooo"
"sio hewilooo pumbavu...sema
hewalaaa"
"sawa sawa babu"
"unataka kung'arisha nyota
yako?"
"heeeewaaaalaaaaa"
"basi weka mkono wako hapa kwenye maji
kisha fumba macho"
Nilifanya kama alivyotaka mganga huku akinishika
kichwa changu na kukitikisa kwa nguvu
"ooooooo kijanaaaaaaa una maswaibu
mengi sana... na nyota yako imefunikwa na ndugu yako..."
"ndugu yangu???
ndugu yangu nani huyo?"
"sema kwanza hewalaaaa"
"niambie kwanza
ni ndugu ganii?"
"sema hewalaaa"
"hewala"
"eeeeeee hapo
sasa ruksa kuulizaaa"
"nataka kumjua huyo ndugu yangu"
"ni ndugu
yako na ana pesa nyingi sana.... na bila nyita yako atafirisikaa... maana
utajiri wake ulikua ni wakooooooooo"
"Aiseee babu
unanichosha na hio hewala yako bhana"
"sema hewalaaa"
"Aaaahhhh
hewalaaaa"
"Shart la kwanza nenda ukalete panya aliezaliwa akiwa hana
mkia"
"heeeeeeeeee sasa nitamtoa wapi huyo?"
"sharti la pili,
nenda kalete jogoo mwenye mguu mmoja"
"Duuuuuuuu"
"shart la tatu
nenda kalete ngozi ya kichwa ya kaka yako tajiri"
"ah ah kwa hili swala
la nyota hebu tuliache kwanza. . maana siwezi kuleta hivyo vitu
mimi"
"sema hewalaaa"
"aaaa aiseee ubasumbua daaa
Hewalaaaaaa"
"teileeeee sema kingine kilichokuleta"
"nataka kuwa
fogo"
"pumbavu majini yangu hayajui hilo neno la fogo"
"aaaaa
babuu si nataka kua zimba"
"unaleta utanu sio?"
"hapana
babu"
"haya sema hewalaaa"
"aayaaaaaa Haya
hewalaaa"
"haya ulikua unasemaje?"
"utajiri"
"teileeee
mizimu imekusikia na inataka kukupa mashart utayawezaaa?"
"ntajaribu
tu"
"sisi hatutaki ujaribuuuuu"
"Eee haya"
Nilikua
natetemeka ile mbaya maana naskia watu wengi ni matajiru kupitia huyu mzee...
hivyo nilikua naamini atanipa utajiri wa kudumu...
"kwanza kabisa njia
za utajiri zipo aina tatu. je wewe wataka ipi?"
"mmmhhh mi sijui hata
moja babu"
"sawa sawa sema hewalaaa"
"hewalaa"
"kuna
njia ya kupata utajiri kupitia kuku"
"kuku?? heee ngoja nikawanunue. ni
kuku wangapi unataka?"
"tulia kijanaaaa sio kuku huyo unaemjua
wewe"
"sasa ni kuku yupi?"
"kuku tunae sisi... na kuku huyo
tunamrushia punje za muhindi zipataza 7 akila zote 7 basi utajiri pamoja na uhai
wako utadumu kwa miaka hio saba"
"heeeeeeee na kama akila punje moja
je?"
"utaishi kifalme kwa mwaka mmoja"
"heeee kwahio itategemea
na ulaji wake?"
"teileeeee"
"haaaa Aaa hio sitaki... na je
nikija na kuku wangu?"
"haifai"
"mmmn haya
nyingine"
"nyingine ni kufa kwa siku 7 afu hio siku ya saba ndio ufufuke
ukiwa nyumbani kwako... na hio unapaswa uwe na mke mjasiri. ili aweze kuokota
wale wadudu wanaotoka katika mwili wako"
"heeeeee kwaio nitaoza
kabisa?"
"ndio.... tena utakufa moja kwa moja kama mke wako atapiga
kelele"
"apana pia hio siitaki.... ehe na hio ya tatu?"
"ya tatu
ni kuzuiliwa kitu fulani kwa miaka fulani"
"mmhhh sijakuelewa hapo
babu"
"yaani utakapokua tajiri unaweza kupewa shart moja kati ya
haya..... KULALA CHINI YA SAKAFU MIAKA YAKO YOTE, KULALA CHOONI MIAKA YAKO YOTE,
KUTOKUA NA MAHUSIANO MIAKA YAKO YOTE, KUTEMBEA PEKU MIAKA YAKO YOTE, KUVAA NGUO
CHAFU MIAKA YAKO YOTE, KUTEMBEA NA VIATU AU KANDAMBILI TOFAUTI MIAKA YAKO YOTE,
KUVAA NGUO TOFAUTI MIAKA YAKO YOTE..... na vyote hivyo utavifanya ukiwa ndani ya
utajiri"
"eee mungu wangu...sasa raha ya utajiri ukuapi hapo? bira
nikagange tu mtaani ila hio siwezi... ila hio ya kutembea peku ngoja
nikaifikirie hio sawa babu?"
"hewalaaaaa hakikisha ukirudi njoo na jogoo
wa ngama"
"sawa babu... ni shing ngapi?"
"weka chochote hapo
kwenye ungo"
Niliweka kama elfu 20 hivi kisha nikawa natoka
nje
"toka kinyume nyume na usigeuke nyumaaaaa"
Daaahhh
nilipotoka nilikimbia mbio huku nikijiuliza kuusu yale masharti ya kua mchafu au
kulala chooni... Sikupata jibu nichague lipi kati ya yale
mart..
Nilipanda gari na kurudi zangu arusha japo ngefika usiku.. maana
nimepanda gari saa 11 jioni ambalo ni kama private car ( gari binafsi ) Walinipa
kama lift tu kwa haya magari makubwa....
Nilifika arusha usiku
karibia saa 6 hivi. najiuliza pakulala kwa muda huo. maana sio vizuri kwenda
kugonga kwenye nyumba ya watu kule kwa dokta. Nilizunguka hapo mjini kwa
kutafuta sehemu ya kulala ila sio gesti bali natafuta chobisi....
Kwa
bahati nzuri nikakuta mikokoteni imepakiwa mahari nami sikujiuliza sana.
niliingia ndani ya mkokoteni mmoja na kujifunika na kisalfeti cha
mkaa.....
Usingizi ulikuja vizuri tu. kwani maisha ya tabu ni
kama changamoto kwangu na pia nime yazoea sana tu. Nililala huku nikiota tu yale
mavitu ya mochwali.. hivyo na kunifanya usingizi ukate kabisa ... sasa nikiwa
nashangaa shangaa kwa kuinua tu kakichwa niliona msalagambo wa watu wengi
wasiopungu mia hivi.. wakiwa kama wamebeba vibakuli flani afu kama vina maji kwa
ndani. Walikua wamevaa majoho kama vile maaskofu fulani.... na majoho hayo yana
mstari miekundu kwa pembeni..
Sasa nikiwa bado nashanga ghafla nilipatwa
na usingizi nisio utarajia. tena sikua nasinzia wala kua na usingizi... lakini
nilijikuta nimelala ghafla tu
Nilipokuja kuzinduka ilikua ni
mida kama saa 11 arfajili ambako niliskia tu muazana msikitini.. ndio nikajua ni
saa 11.. sasa nikiwa najifikicha macho ili kuutoa uchovu wa usingizi.
nilishangaa kuona Kwato za ng'ombe zikiwa zimesimama mbele yangu... ila cha
ajabu ni kwamba simuoni huyo ng'ombe mwenyewe kwani nilikua naona kwato
tu...
Lakini cha ajabu na cha kushangaza ni kwamba mkono wangu
na mguu wake vilikua haviumi kabisa. tena sijiskiii kua na ukilema tena kwani
hata yale mabendeji ya mkono na mguu sikuyakuta tena... Nilishangaa sana kuona
kua siba mguu mbovu wala mkono ... kiufupi ni kwamba nimepona kabisa. ila sijui
nimeponaje, maana najua jana nimelala nikiwa na mabendeji ya kutosha lakini cha
ajabu leo siyaoni tena.... sasa nikiwa bado najishangaa
Mara
ghafla zile kwato zikarudi nyuma... saa hio mimi mavi debe yaani kukimbia
siwezi. wala kuongea siwezi
Sasa leo kwa mara ya kwanza ndio namsikia
sauti yake... ila sikua namjua kwa sura wala nini. kwani hapa naona kwato
tu...
Na sauti yake ilikua ikijirudia rudia hivi mithili ya
mwangwi...
"usiogope siogope siogope"
Ilikua ni sauti ya kike
tena nzuri kupitiliza
"nimetumwa na mkuu, na mkuu na
mkuu"
Ukisoma hivyo mara mbili mbili ni kwamba ndivyo sauti yake
inavyojirudia kama vile upo ndani ya shimo fulani hivi au korongoni au ndani ya
karavati ama daraja....
"umetumwa na nani? afu we kwani ni
nani?"
"damu yako, damu yako, damu yako"
"heee damu
yangu?"
"damu yako ina thamani kubwa sana mbele yetu, mbele
yetu"
"tafadhali sana dada angu naomba unisamee kama nina
kosa"
"nasema tunakuitaji, kuitaji, kuitaji"
"mh mh hapana
siwezi kwenda kwa watu nisiowajua"
"Nimesema tunakuitaji uwe upande
wetuuuuu, wetuuu, wetuuuu, wetuuu...... Damu yako pia inaweza kupambana nao,
nao, nao.....ila ukikataa pia unaweza kuungana nao nao, nao, nao, nao, ....sasa
chagua moja... kwenda kulia ama kushotoooooo, shotoo, shotoo, shotoo,
shotooo?"
Alikua akiongea kwa sauti kubwa utafikiri anautangazia umati
fulani hivi. Nami nikawa najiuliza huko kulia ni akina nani? na huko kushoto ni
akina nani?...... Nilijikakamua kuuliza japo kwa upole kidogo
"Sasa
kwani wewe upo upande gani?"
Niliuliza huku nikijawa na uoga
mwingi mno, Maana nilikua naongea na mtu ambae simuoni sura wala mwili, bali
nilikua naona miguu ya ng'ombe tu. Yaani nilikua natetemeka kwa kusikia sauti ya
mtoto wa kike afu simuoni wala nini. Lakini toka nilipomuuliza yeye alikaa
kimya. na haikuchukua muda niliona zile kwato za ng'ombe zikitoweka bila
kutembea.. yaani zilipotea katika madhingira ya kutatanisha. ila sasa nimebaki
na maswali juu ya huyu mwanamke... Je? huyu ndio yule anaenifatilia toka
kijijini au huyu ndio huyo upande wa kushoto? Nilijiuliza maswali mengi mno
lakini sikupata jibu hata moja litakalo nitoa wasiwasi juu ya mtu huyu..... Na
pia nataka kujua yule alienipakata na kunipeleka hospitali siku ile ya ajali,
Nikiangalia madhingira niliona tayari kumesha pambazuka. yaani ilishafika muda
wa saa 12 asubuhi. Ambapo niliendelea kuwepo pale pale kwenye mikokoteni
iliopakiwa kwa mapumziko, Ilipofika saa 1 asubuhi Walikuja wenye mikokoteni yao,
na kuniuliza uliza maswali kadhaa ya kwanini wamenikuta hapo.. nami sikuficha
shida yangu... Hivyo walinielewa na kunipa mpaka tena ya kwenda kubebana na
mikaa kutoka mahali fulani mpaka mahali fulani.. Tulipomaliza kubeba magunia ya
mikaa tulienda katika soko la kirombero. ambako tulipewa dili ya kubeba karoti
na makabichi... Kiukweli siku hio ilikua kama siku ya neema kwangu... kwani kazi
zilikua nyingi mpaka raha. Sasa ilipofika mida ya saa 10 hivi jioni Ambapo ni
muda wa kugawana mshiko nzuri kwa kazi ambayo tumeifanya...
"jamani leo
tumepiga kazi kweli au kisa ni huyu mgeni nini?"
Aliongea jamaa mmoja
ambae ni mmoja wetu tuliokua nae mchana kutwa
"usikute ni huyu mgeni
kaja na ridhiki huyu"
Walikua kama wananisifia hivi. Ila mi nilikua
kimya tu nasubiri mshiko..
"sasa we mgeni kama buku 2 na
jero"
"haaaaa broo? ani kazi yote ile unanipa buku 2500?"
"weee
weee dogo nitakubutua mangumi sasa hivi ujue?"
"basi broo
yaishe"
"yaishe nini maamae wewe, au ubajifanya unajua pesa sana
sio?"
Nilikua natokwa tu na machozi maana nilikua najituma kwa nguvu
zote nikitegemea leo sikosi kiasi cha elfu 20 safiiii..... lakini huezi amini
Eti nimepewa elfu 2 tu... Nilinyoosha ni mikono juu na kumshukuru mungu. Na
kulitaamka lile neno langu la ONE DAY YES kwani naamini sitokua masikini siku
zote, kwani mimi ni mtu wa kupigana na maisha.. .
Nilitoka
hapo nikiwa nafuta machozi ya huruma. na kwenda katika kihotel kidogo kilichopo
maeneo ya stendi kwa ajili ya kwenda kupata chochote cha kuweka tumboni.
Nilifika hapo nikala msosi wa buku moja... na kuongea na broo mmoja hivi aliopo
katka mgahawa huo,
"shamoo broo?"
"maraaba vp?"
"poa tu
broo.... aaa broo nilikua nina shida kidogo"
"shida gani?"
"vp
apa sipati ata kakazi cha kuosha vyombo broo?"
"duuuu hapa waoshaji
wanatakiwa wanawake dogo"
"vp ata kwenye chipsi pale siwezi kukaa
pale?"
"kweli kabisa.. kwani pale kwenye chpsi sina mtu.. ila una uzoefu
wa kupika chipsi?"
"Daaa kiukweli sina kaka angu lakini mimi ni mtu
mzima na ukinielekeza tu baweza"
"ok usijali kazi utapata ila si unajua
kua biashara haitegemeki?"
"kivp labda?"
"Yaani mara leo tumeuza
mara kesho tusiuze. ila siku tukiuza utatoka na buku 2 na siku tusipouza utatoka
na buku 1 tu au sio?"
"sawa broo haina shida"
"ila hata vyombo
utaosha osha kidogo sawa?"
"sawa broo"
Basi mtoto wa kiume
nilianza kazi siku ile ile. Ila kazi zilikua ni nyingi mno... kwani kumenya
kukata na kukaanga ilikua ni mimi tu... siku zote hizo bado naishi kwa yule mama
dokta....
Siku zilizidi kwenda na leo ilikua ni siku fulani ya
usafi.... hivyo manispaa ya jiji la arusha walikuja katika kimgahawa chetu na
kuanza kutuuliza maswali ya hapa na pale.. kisha wakataka rushwa ya shilingi
laki moja.. Ambayo ilikua ni ngumu kuipata maana walisema hiki kibanda
kinatakiwa kitolewe, kwakua kulikua kuna msafara wa raisi kwa kutembelea jiji la
arusha.. ila kama atatoa rushwa hio wataachwa. kwani hilo ni jukumu lao kutoa
vibanda vilivyopo karibu na barabara ya lami..... Yule jamaa hakua na hio pesa
hivyo kibanda kilivunjwa kiubabe na manispaa ya jiji hilo.. kwaio kama kibanda
kimevunjwa na manispaa ya jiji hili. hivyo kwa upande wangu nitakua sina kazi
tena. Hivyo nikaanza tena kazi ya kutafuta kazi, Nilikaa karibia siku tatu bila
kazi
Siku fulani nikiwa natafuta kazi katika masoko. hata
nipate ya kuuza mtumba pia haina shida. Nilipitia sokoni pale nikakuta watu
wanabeba magunia ya viazi na makaroti kwa kuingiza katika gari au
kutoa.
Niliomba nafasi sehemu hio na kupata kazi ya ukuli (
kibega au mbeba mizigo ) Nilianza ile kazi lakini sikuiweza kwa maana ya afya
yangu ilivyo ndago. kwani yalikua ni magunia ya haswa Kama kilo 100 hivi. Sasa
kilo 100 na mimi mwenyewe nina kilo 45.. duuuu si itakua ni kifo hicho???
Nilijaribu gunia moja ila sikufika nalo mbali likanidondokea na kuniumiza kiasi
fulani. ila sikuendelea tena maana ningekufa. ..... Kwani mungu hapendi kusikia
unafanya kazi huku ukinung'unika hovyo...
Sasa baada ya kuumia
nilikua nimetulia zangu mahari huku nikiuguza maumivu ya gunia.... Niliskia honi
ikipiga mahari. Jikaona aahhh labda ni honi honi zao hizi hivyo sikumfatilia
huyo mpiga honi Kwani nilikua nimejichokea kwa kuanguka na gunia la karoti,
Nilikua kama nasinzia hivi huku nikiwa sina hata pakuenda kula na mchana huo.
kwani naona hata aibu ya kwenda kula kule kwa yule mama dokta... hua napenda
nile jioni tu. na sio mchana
Nilikua hapo chini ya mti fulani
karibu na barabarani.
Niliendelea kuisikia ile honi nikaona kama
inanisumbua vile. Haikupita hata dakika tano mara nilishikwa bega kwa nyuma na
mtu nisiemfahamu kua ni nani, Hivyo niligeuka na kumuangalia huyo
alienigusa
"Aaaaaaahhh shkamoo mzee"
"marahaba kijana
hujambo?"
"aaa sijambo mzee wangu"
Alikua ni yule mzee
alienipaga biznesi kadi yake na kunipa shilingi elfu 50.. tena kwa bahati mbaya
aliibiwa shilingi milioni 10 na WADUDU WA DAMPO kama unakumbuka hata mimi
nilikua mmoja wao, na ndio nilikua nchora map wao....
"vp si nilikupa
namba zangu unitafute kijana?"
"ndio mzee ila ile kadi ilipoteaga mzee
wangu"
"ooo pole sana kijana wangu na vp umekula?"
"mmhhh mzee
kula kwangu ni kwa mnyato sana mzee. yaani hapa unavyoniona sijala toka
asubuhi"
"kwanini kijana ufe njaa na wakati una mwili wa kufanya kazi?
afu vp mbona huna yale magongo yako?"
"mzee we acha tu, Kwani hata mimi
sijui nimeponaje kwakweli"
"mmhh pole sana kijana... basi twende tukale
pale novo"
"Novo??"
"ndio au hupendi?"
"mzee mzee ivi na
hali yangu hii naweza kuingia novo kweli?"
"aaaahahahaha usijali hapa
upo na mtu mzitooo hebu twende bwana"
"sawa mzee"
Novo
ni hotel moja ya kifahari sana hapa jijini arusha... kwa jina halisi inaitwa
~Mount Meru Hotel~ sasa ukisikia Neno NOVO basi ujue ni huko....
"mbona
kijana una nguvu za kufanya kazi tu?"
"mzee mzee? ni kweli naweza
kufanya kazi yeyote ile. ila sasa kama unavyojua serikali yetu ilivyobana kazi
hivi?, ulizani nitapata ajira mzee?"
"kijana wanguuu usiseme hivyo,
mbona kazi zipo nyingi tuuu... we niambie kama kweli unataka kazi nikitafutie..
tena ni kazi ya maana kijana?"
"mzee hata sasa hivi kama ipo nipeleke.
ila isiwe ya watu waliosoma sana. maana mimi ni darasa la saba
mzee"
"usijali hilo kwani kazi zetu sisi hua hazina haja ya
elimu"
"lakini si zina malipo mazuri mzee?"
"mmhhh mi sisemi ila
utajionea mwenyewe huko huko"
Tulifika Novo hotel kisha
nikapiga diko la kitajiri ambalo ni binge ya msosi, Tulikula tena kwenye meza
moja bila ubaguzi wowote, Baada ya kula tulitoka na kuelekea ofisini kwake....
kiukweli alikua ana ofisi kali utafikiri ni ofisi ya raisi Haaa palikua
panapendeza sana kiukweli,
"ila kijana utaiweza
kazi?"
"mzeeee hakuna kazi inayoshindikana hapa mjini
mzee"
"nakuuliza tena. utaiweza kazi kijana?"
"mmhh mzee mbona
tunatishana tena"
"ok usijali... kazi utapata endapo utakuja na wenzako
watano ukiwa wewe ni wa sita"
"mmhhh mzee mimi hapa mjini sina
ninaemfahamu hata mmoja kwakweli kwahio sina wa kukuletea mzee"
"yaani
hata watu wawili utakosa?"
"ndio mzee wangu"
"mmmhh
unaonekana huna nia na kazi wewe"
"mzeee na mateso haya kweli nisiwe na
nia na kazi mzee?"
"ok kazi ipo ila kuna kiingilio
kinahitajika"
"kiingilio?? kiingilio gani tena?"
"unahitajika
ulete mbuzi mchanga"
"mbuzi mchanga? sasa mbuzi mchanga wa nini
tena?"
"huyo ni kwa ajili ya kukutolea mikosi na laana
zote"
"Aaaaaaa okeeeee sasa mi sijui pakumpata huyo mbuzi
mtoto"
"nitakuelekeza pakumpata mbuzi huyo.. na chukua hii laki 5 kwa
ajili ya kwenda kumnunua mbuzi huyo"
"heeeeee huyo mbuzi anauzwa laki
5?"
"hapana bali hio nyingine utatumia tu"
"asante mzee wangu
nashukuru sana"
"usijali kijana, kwani ni jukumu letu kuwaseidia vijana
kama nyie"
"kwahio sasa nitampeleka wapi huyo mbuzi?"
"aaaaa
kwanza kabisa twende nikupeleke katika kampuni yetu kuubwa kabisa"
"sawa
mzee"
Tulitoka hapo na kupanda gari yake kali
kuliko
"kijana gari kama hizi kwako zitakua kama viatu tu"
"aaaa
wapi mzee.... usawa wenyewe ndio huu wa manati?"
"mi sisemi bali
utajionea mwenyewe tu"
Tulikua tunapiga stori za hapa na pale huku
tukielekea katika kampuni yao ambayo ina wafanyakazi wengi kuliko kampuni yeyote
hapo jijini arusha.....
Tulifika katika jumba moja kubwaaaaa
lenye uwanja usiopungua heka kumi.. yaani utafikiri ni kiwanda fulani hivi kumbe
ni kampuni yao huyu mzee....
"hapa ndio kwenye kampuni yetu na
hata huyo mnyama unapomleta utamleta hapa hapa ndani"
"Eeeeeeee mzee hii
yote ni kampuni yenu hii?"
"ndio kabisa"
Niliingia huko ndani
kwao... duuu yaani kuanzia getini ni tailizi mwanzo mwisho hadi tumeshuka kwenye
gari ilikua ni full tailizi duuu mpaka naogopa kuikanyaga aisee.. . Basi
tuliingia pale ndani ambapo ndipo kwa sekretali. ila huyu mzee sikupita nae
huko
"kijana? utanikuta huko mbele sawa?"
"wewe unakwenda wapi
tena mzee?"
"utapewa maelekezo yote hapo"
Mmmhhh nilishindwa
kuelewa hapa inakuaje hapa...
Mmm basi nilipitia huko kwa sekretali wa
kampuni hii na kuongea nae
"karibu"
"asante... aaa kuna mzee
kaniambia utanipa maelekezo ili nikakutane nae huko mbele"
"oohoooo basi
pitia hapo mbele.. utakuta sinki la kunawia maji... utanawa kwa maelekezo
utakayosikia hapo"
"maelekezo???"
"ndio we nenda
tu"
Nilishangaa kusikia mambo ya kuelekezana... afu mbaya zaidi
wafanyakazi wenyewe wapo siriasi na hawakuangalii usoni...
"ukifika pale
bisha hodi"
Basi nilianza kutembea taaratibu huku nikiwa na wasiwasi
mwingi mno, maana nipo katika jengo kubwa ambalo sijawahi kuingia hata siku
moja, Nilipofika hapo nilipoambiwa nibishe hodi? nilifanya kama nilivyo ambiwa
na secretari kua nikifika hapo mlangoni basi napaswa kubisha
hodi...
"hodi, hodi, hodi,
Nyumba ilikua inatoa sauti mara mbili
mpaka nikawa naogopa. maana naisikia sauti yangu ikijirudia
rudia
"karibu, karibu, karibu,"
Niliitikiwa na mtu ambae sikua
namuona ila hakukua na giza wala nini..... kwani taa ndio zilichukua nafasi ya
giza katika nyumba hio. hivyo kuona giza humo ndani ni ndoto...
Kwakua
sauti ya huyo mtu alionikaribisha ilikua ni nzito na ya kiume hivyo nilimsalimia
huyo mtu
"shakamoo, kamoo, kamoo, kamoo?"
"marahaba hujambo
kijana, kijana, kijana?"
"sijambo, sijambo, sijambo,
sijambo"
"kwanza unaitwa nani?, nani, nani?"
"naitwa rashidi,
rashidi, rashidi"
"una ndugu?, ndugu, ndugu?"
"ndio, ndio,
ndio"
"kwahio una familia kubwa tu, kubwa tu, kubwa tu?"
"ndio
ninayo, ninayo, ninayo"
Nilijibu hivyo ili kama ni mshahara nipewe
mkubwa. maana najua familia yangu ni kubwa mno... na inanitegemea
mimi
"sawa kabisa Sasa sogelea hio sinki na unawe mikono yako na kusema
kua ( naunawa umasikini na kuingia utajiri ) anza sasa, sasa, sasa,
sasa"
Niliisogelea ile sinki la kunawia kisha nikataamka hayo maneno
alioniambia mwanzo
"tayari nimemaliza, maliza, maliza"
"sawa
kabisa Sasa kwakua umekosa kutuletea wafanyakazi watano. hivyo itakugarimu
kuleta mbuzi mchanga sawa? sawa, sawa?"
"sawa
kabisa unaweza kwenda kwa kupanda hio ngazi, ngazi,
ngazi"
Baada ya hapo nilipanda ngazi fulani ambazo nimeelekezwa
kisha nikashuka na kumkuta yule mzee kakaa sebuleni. Yaani hio sebule yenyewe ni
kama uwanja yani duuuu... afu hio Tv saaa... ndio kituko kabisaaa... maana tv
utafikiri ni ukuta mzima duuu...
"vp kijana tayari?"
Aliniuliza
yule mzee huku kama haamini amini kama nimepita salama huko
nilipotoka......
BAADA YA SIKU HIO KUPITA
na
sasa ni siku nyingine tena nikiwa tayari nimeshampata yule mbuzi aliotakiwa kule
ofisini..... Tulipanda gari na mzee kisha tukaondoka zetu kuelekea huko kwenye
ile kampuni..
Tulipofika tuliingia nyuma ya huo mjengo ambao
upo kimya sana siku zote.
Nilishangaa kukuta vijana wenzangu wakiwa
wamejipanga mstari huku wakiwa wameweka mbuzi wao chini kila mmoja. tena walikua
wameshika visu. Nilisikia tu
"tulikua tunakusubiri wewe"
Ni mkuu
wa kampuni hio ndio aliniambia mimi..
Basi nami nikaweka kambuzi changu
chini kisha nikaletewa kisu kimoja kikali na cha ajabu kweli... Ila sikujali
kitu.
Lakini nikiangalia hawa watu wengine ambao wanashuhudia uchinjaji
huu. walikua wamevaa majoho kama maaskofu vile.... na nikivuta kumbu kumbu ni
kama vile kuna mahari niliwaona hawa watu... ila sikumbuki
sana....
Mara mkuu akatoa amri kua
"haayaaa kila mwenye
kinyama chake achinje mwenyewe kwa kujiondolea mikosi na balaa katika maisha...
Kila mmoja aanze kushika kichwa cha mbuzi wake na kuweka kisu
sawaaa"
Tulifanya maelekezo tunayopewa na mkuu huyo ambae haonekani sura
kwani nguo alioivaa imemfunika usoni kabisa.....
Lakini cha
ajabu na chakushangaza mkono wangu ulioshika kisu ulikua unavutwa na mtu
nisiemuona... tena huyo mtu inaonekana labda hataki nichinje kinyama hicho.
hivyo nilikua kama napambana nae vile..
"mkuu mbona kuna mtu
ananipokonya kisu?"
"nimesema chinjaaaaaaa.... naesabu mpaka tatu nione
visu vyenu vikichuruzika damu sawa?"
Tukaitikia sisi ambao tumeshika
visu
"sawa mkuuu"
Lakini bado nilikua napokonywa kile kisu ila
sikua nataka kupokonywa kwa maana ataniharibia maisha yangu kwa kutojitolea
mikosi na mabalaa kwa kutumia mbuzi huyu....
"1…………2……………3......... Nani
bado hajachinja kinyama chake??"
Kiukweli nilikua ni mtu
nisiwezaga kuchinja, kwani hata kijijini kwetu nilikua naogopaga kuchinja hata
kuku. Hivyo hata hapa katika uchinjaji huu. Niweza lakini ni kwa mbinde
sana.......
"1…………2……………3........... Nani bado hajachinja kinyama
chake??"
Tuliitikia kwa wote tena kwa sauti
"wote tumechinja
mkuu?"
"safi sana, pongezi kwenu?"
Lakini kwa upande wangu roho
ilikua ikiniuma sana. na sijui ni kwanini... Sikukaa muda machozi yalinitoka kwa
wingi utafikiri nimepigwa nyundo ya kichwa. Kiukweli roho yangu ilikua ikiniuma
sana huku machozi mengi yakinitiririka kwa wingi. Ila sikujali kikubwa ni kwamba
nashukuru kwa kujitolea mikosi na mibalaa ya hapa na
pale.....
Tulipotoka pale machinjioni tuliingizwa katika chumba
kimoja kama darasa vile. maana lilikua lina vitu na vimeza vyake. ni kama sehemu
ya mkutano yani ila imekaa kama darasa.
Tulipoondoka tuliviacha vile
vinyama pale pale nje. ndio tukaingia katika hicho chumba fulani kwa ajili ya
mahojiano zaidi, Tulikaa kimya sana maeneo hayo na mkuu wa hii kampuni alikuja
na kutupa mpangilio mzima wa kazi, Tulikua kimya kwa kumsikiliza huyo
mkuu
"habari zenu vijana?"
Tuliitikia kwa wote huku kila mtu
akiwa katika wasiwasi wa mahojiano hayo, ( Interview )
"salama tu
mzee"
"sawa kabisa... aaaa kampuni yetu sisi hua haipendi kuajiri mtu
mwenye mikosi na mabalaa aliotoka nayo kwao... hivyo kila unaemuona hapa kwenye
kampuni hii basi ujue kafanya kama hivyo ulivyochinja kinyama
hicho"
Tulikua makini sana kwa nasaha ambazo tulikua tukipewa kwa wakati
huo
"kwahio hapa leo tupo pamoja ila tutakua tukikutana kwa siku ya
vinyama tu.. au iwe tusionane kabisa, hivyo kuhusu kazi ni kwamba mumeshaipata
hivyo kabla hamujaanza kazi kuna masharti munayopaswa kuyajua"
Aliposema
hivyo watu wakaanza kuangaliana kwa kujiuliza uliza kua ni masharti gani
hayo?
Ila hatukua na jibu zaidi ya mkuu Hivyo tuliendelea kumsikiliza
kwa umakini
"kwanza kabisa kila miezi miwili ni lazima tuchinje
vinyama.. kwa ajili ya kujilinda na watu wabaya.... pili pesa ya kampuni hii
unapaswa uitumie unavyotaka ila kasoro sehemu mbili tu. ndio hupaswi kuitoa, na
ya tatu hutakiwi kulalamika kua huna pesa na wakati kampuni yetu ni kisima cha
pesa... nadhani masharti yetu ndio hayo tu. je? mutayaweza?"
Tukaitikia
kwa wote tena kwa furaha
"ndiooooooooo"
"sawa kabisa.. kwahio
ukitoka hapa utamuona aliekuleta kisha atakuonyesha makazi yako mapya.. kwani
sisi hua tunampa mtu kazi pamoja na nyumba na gari... hivyo vyote utamuona
aliokuleta hapa.."
Yaani kwa hizi nasaha zilizokua zinaongelewa
na huyu mkuu wetu zilinifurahisha sana... kwani kutoa nyumba gari na kadhalika
ni dhahiri kua maisha yangu tayari yameshakua ya kitajiri. Basi tuliendea
kumsikiliza mkuu kwa masharti ya kampuni yake hio.
"vp kuna mwenye swali
lolote?"
Aliinuka kijana mmoja hivi niliokua karibu nae
"mkuu
nina swali moja tu"
"uliza"
"ulisema tutumie pesa jinsi
tunavyotaka..ila kasoro sehemu mbili tu. je? hizo sehemu ni
zipi?"
"swali zuri sana... Kwa hizo sehemu hautoambiwa leo. bali
utaambiwa na mtu wako aliekuleta na sio leo lakini. hivyo umuulize baada ya
kuchinja kinyama cha pili sawa?"
"sawa mkuu"
"sasa kuanzia leo
mpaka maisha yako yote umeshajiunga na kampuni ya POWER TO PEOPLE ( NGUVU KWA
WATU ) hivyo kujitoa yaweza garimu maisha ya mtu... kwahio kueni makini sana na
kazi zenu...na nawatakia maisha marefu na yenye upendo juu yenu. ahsanteni
sana"
Mahojiano au interview ilikwisha na sasa kila mtu
anapelekwa katika makazi yake mapya ya kitajiri...
"vp kijana? umeona
kampuni yetu ilivyo na ubinaadamu?"
"daaahhh mzee siku zote ulikua wapi
mzee? Eee hebu ona sasa na mimi naweza kusimama mbele za watu na kutoa ushauri
fulani na ukasikilizika vizuri.... kiukweli mzee nakushukuru sana mzee wangu
yaani nashukuru sana mzee wangu"
"usijali kijana kwani sisi ni watu wa
kumseidia mtu.. na mimi naamini mungu asingeweza kukuseidia maisha yako
yote"
"mmhh kwanini mzee useme hivyo?"
"nasema hivyo kwasababu
kama mungu anaseidia watu basi wewe leo ungeshakua tajiri. lakini ona umekua
tajiri kupitia binaadamu mwenzako"
"ni kweli kabisa hata mimi naamini
mungu haseidii aisee"
"umeona
eee?"
"kabisa"
Tulikua tupo kwenye gari tukielekea huko
njiro ambako pia kaka yangu anaishi huko huko maeneo ya njiro.. Tulifika katika
nyumba hio na kufunguliwa geti na mlinzi... Tulishuka katka gari na kuanza
kuikagua nyumba mpyaaa....
"hii sasa ndio nyumba yako ya maisha yako
yote"
"haaaaaaa mzee acha utani mzee... heeeee na zile gari tatu pale ni
za nani?"
"nilikuambia kua gari kama hizi kwako zitakua kama viatu tu...
sasa zile ni gari ulizonunuliwa na kampuni yako.. na huko ndani kuna droo za
pesa ambazo utachukua kiasi cha kama milioni 10 hivi ukafanye shoping ya
nguo"
"haaaaaa mzee acha utani. yaani milioni 10 nifanye shoping ya nguo
tu?"
"ndio.. au huamini? njooo uone mabegi ya pesa kwa ajili
yako"
Niliongozana na mzee hadi ndani ya chumba changu cha kulalia. na
kufungua mabegi fulani yaliojaa pesa za kitanzania aina shilingi elfu kumi kumi
tuuuu... mabegi yalikua yapo mawili yaliojaa pesa tupu, Nilishangaa kwa kuona
vile
"mzee hizi pesa zote ni zangu?"
"na bado huu ni mwanzo
tu"
"mh mh Hapana mzee naomba uniambie hii ni kazi gani inayotoa malipo
ambayo hata raisi mwenyewe halipwi hivi"
"ndio maana ukaambiwa kampuni
yetu ni ya kipekee sana duniani kote... na ina matawi katika dunia
nzima"
"sasa hizi pesa nimelipwa kwa kazi gani
nilioifanya?"
"hizi pesa zimetoka katika supa maketi ambayo itakua ni
kitengo chako cha kazi na wewe ndio msimamizi wa supa maketi hio... hivyo haya
ni mauzo tu"
"toobaaa yarabi roo yangu... kwahio mimi kazi yangu itakua
ipo kwenye supa maketi?"
"yaani wewe ndio boss wa hio supa
maket"
"aaaaiseee nashukuru sana mzee wangu. nashukuru sana mzee kwa
kunifanya na mimi nionekane mtu mbele ya watu"
"ok
nitakufundisha mimi mwenyewe na tutakwenda kukutafutia leseni yako sawa
kijana?"
"sawa mzee wangu"
BAADA YA MWEZI MMOJA
KUPITA
Leo nilikua katika ofisi yangu ndani ya supa maketi.
ambayo ndio naimiliki....
Kiukweli natamani sana familia yangu ije
mjini. kwani kijana wao nimekua na pesa mingi mno kuliko hata kaka yangu hatibu.
Nilikua nina usongo wa kwenda kwake kumringishia utajiri lakini haina maana
kuenda huko..... Basi leo Ilipofika mida ya jioni nilitembelea katika moja ya
maduka makubwa makubwa kwa ajili ya kununu nguo za mtoto wangu.. Japo sijui kwa
sasa ana umri gani. maana ni muda mrefu sana sijawasiliana nae muda mrefu,
kwasababu namba zao hua sinaga kabisa. kwani toka siku ile simu yangu itupwe
mferejini na wale askari. hivyo sikua na namba yeyote ya huko kijijini.
Sasa nilipotoka katika duka la nguo nilimkuta mtu kakaa ndani
ya gari yangu afu kama kainamia chini kichwa chake. tena yupo kwa mbele afu
kavaa nguo nyeusiiii.... Ilikua ni mida ya jioni jioni kama saa 12 hivi. Basi
kwakua ni gari yangu sikusita kuifungua na kuingia na mizigo yangu ya nguo za
saidi...
Kwanza nilitamani kumuona lakini sikuweza kumuona kwakua alikua
kajiinamia. Nilimuuliza tu
"samaani sijui ni nani
mwenzangu?"
Sikujibiwa ila alionekana kuamka tu na kuniangalia.. . ...
Alikua ni msichana mmoja mzuri sijapata kuona dunuani kote. yaani alikua ni
mweupe afu ni mzuri wa ajabu na anaonekana ni mtu wa heshma sana. afu pia alikua
kavaa hijabu na uchungi wa kawaida tu.... Sasa nilipomuona hivyo nikajua huyu ni
muislamu tu hivyo nilimsalimia kiislamu tu
"asalam
aleykhu?"
Alikua pia yupo kimya na kuniangalia tu huku machozi kama
yakimtoka vile.... nilishindwa kutambua hii mambo inaendaje
sasa..
"unaineka mstaarabu sana lakini roho yako imejawa na tamaa nyingi
sana"
Aliongea hivyo nami nilikua namsikiliza tu kwa utumbo wake anao
uongea.
"ulikua ni kijana mzuri sana ila tamaa imekupoza sana..... Sasa
hebu niambie hizo nguo umemnunulia nani?"
"kwanini uniulize hivyo? we
kama wataka pesa semaaaaa... najua mshaanza kujigonga gonga kwangu na kujufanya
una heshma na wakati ni kahaba tu wewe"
"ok
nashukuru kwa dharau zako ila hizo nguo utavaa
mwenyewe"
"Aaaaaahahahahaha Aaaaahahahahahaha uuuuwiiiii..... ungejua
nina kidume cha mbegu wala usingesema kua nitavaa mwenyewe.. sasa kwa taarifa
yako nina kidume hicho we acha tu... na nina mpango wa kwenda kuwachukuwa wotee
na mama yangu waje kula maisha mjini umenielewaaaa Aaahahahahahahaha uyooo mbona
upo kimya?"
"umeongea sana ila mimi sina cha kuongea. lakini najua
utalia sana... kwani tayari umeshanunua kilio ndani ya moyo
wako"
"waaaapi weweeee hayo ni maneno ya mkosaji tuuuu"
"sawa
nashukuru kwa kutokunisikiliza maneno yangu"
"sawa sasa vp mdada una
mchumba wewe?"
Hakunijibu alibaki kuniangalia tuu kwa muda mrefu kisha
akasema
"kwani si una mke wewe? sasa mimi ni wanini tena"
"aaaaa
we ni mrembo sana njoo basi karibu mamiii... tena kama ni pesa hapa ndio kisima
chaooo"
Heeeee sasa mdada alikua anakuja kweli kunipa denda eti....na
mimi nilijua ni utani... huezi amini nilikula denda bila wasiwasi huku nikiwa
namshika shika mbavu zake.... nilimminya matiti yake madogo dogo na
yaliosimama.... Lakini ghafla alishtuka kama mtu alioitwa vile. Kisha papo hapo
aliniachia na kushuka ndani ya gari.....