Search This Blog

Thursday 27 October 2022

MUUZA CHIPSI - 5

 http://pseudepigraphas.blogspot.com/2019/12/muuza-chipsi.html

    Chombezo : Muuza Chipsi

    Sehemu Ya Tano (5)





    Saida alikuwa akishikiliwa na mhudumu huyo ili aweze kulipa pesa hio, kinywaji chenyewe kilikuwa ni grass moja tu lakini ni kinywaji cha gharama sana,...

    "utajua mwenyewe bwana.. Nipe pesa ya kinywaji ulichokunywa"

    Aliongea mhudumu huku akiwa kamshika saida, na saida sio kuwa kashindwa kulipa, bali anataka kidume yeyote ajitokeze ili apate mbegu zake

    "kwani kuna nini hapa weita"

    Alikuwa ni Ibrahim ndio kajitokeza

    "si huyu dada kanywa waini afu hana hela"

    Ibrahim kwa siku hio hakuwa na hamu na mwanamke hata kidogo kitu kilichowashangaza wafanyakazi wake,.. Mana hajawahi kupitwa na mschana mzuri kama huyo

    "kwani hicho kinywaji ni kiasi gani"

    "kanywa grass moja ya Tsh elfu 50..."

    Ukiskia grass ni Tsh elfu 50 basi chupa itakuwa inauzwa hata laki tatu,.. Hivyo ni vile vinywaji vya mabilionea sio wewe mwenye pesa ndogo zako..

    "ok shika pesa hio, mwache aende"

    Saida alishangaa kulipiwa alafu aliemlipia hakuwa na mudi ya kumtaka kimapenzi,...

    "boss... mtoto mkali hivyo unamuacha aende"

    "aaahhh leo sijiskiii"

    Lakini saida yeye hakutaka kulipiwa na kuondoka nia yake ni mbegu za kiume, na zile za chidi keshazitupa kule dampo,..

    "vipi dada una shida"

    Aliuliza Ibrahim baada ya saida kurudi pale kwa akina Ibrahim,

    "ndio naomba tuongeee"

    Kiukweli hata wafanyakazi hawakuamini kama kweli boss wao leo hana mudi na mwanamke...

    Ibrahim alitoka na mtoto huyo mpaka kwenye meza nyingine..

    "kaka we mstaarabu kweli yani"

    Saida aliongea hivyo kwa sauti ya kuvutia mana shida yake ni mbegu za kiume hivyo anamlegezea ili wakasex, na saida roho inamuuma sana kwa kuingiziwa uume na kila mwanaume lakini ni katika hali ya kumsaidia chidi na mdogo wake,

    "aaahh unajua tumepata pesa kwa ajili ya kuseidia watu"

    Saida alianza kurembua macho ya kumvutia Ibrahim, maskini Ibrahim alikuwa kama ana machale siku hio, lakini mwanamke akiamua mitego yake kwako, aaaaahhh huezi kuipangua hata kidogo, lazima uingie laini na kukubaliana nae,.. Wanaume ni wadhaifu sana mbele ya mapenzi hivyo.. Ibrahim alijikuta anamnyonya denda mdada huyo kisha wakavutana mpaka kwenye chumba namba flani hivi hapo hapo hotelini... Na saida ana kondom zake kwenye mkoba..

    "nilijua tu boss hawezi kumwacha yule mtoto"

    "lakini tuacheni utani kale katoto ni kazuri"

    "aahhhhh we unauliza shombe shombe tena... Hao hawaulizwi"

    Wakiwa wapo chumbani saida na Ibrahim, "we mtoto wa kike, mbona ghafla hivi unanipata utamu"

    "jamani we mkaka, mi nimekupenda tu ghafla"

    Ibrahim alianza kumvua nguo saida huku madenda yakichukuwa nafasi yake,..

    Lakini Ibrahim kila akimvua nguo saida, anaona huyu sio demu wa kawaida, yaani hakuwa mtu wa kushindwa kulipa ile pesa pale, mana mwili wake tu ulionyesha dhahiri kuwa, huyu ni mtoto wa tajiri au akawa tajiri mwenyewe,.. Mana kiunoni saida alikuwa na goldi ya thamani kubwa, nguo zake za ndani tu sio hizi za madukani kama za wengine,.. Hata sehemu yake ya siri, sio kama jinsi alivyojileta,.. Mana malaya wa kike sehemu yake ya kike ina utofauti na mschana ambae hana tabia za kimalaya..

    "unaitwa nani mtoto"

    Aliuliza Ibrahim huku akimalizia kuvua chupi

    "naitwa saidati"

    "kweli sura yako na hilo jina, vinaendana haswa"

    Sasa Ibrahim yeye ni mzee wa kavu kavu

    "no, no mi staki tufanye kavu"

    "aahhh saidaaa, mtoto mzuri kama wewe nivae kondomu kweli"

    "please naomba kwa leo utumie baby"

    Sauti ya mwanamke kama ataitumia vizuri, basi ni njia nzuri sana ya kumteka mwanaume, Ibrahim alikujikuta anakubali kuvaa kondomu kwa sauti nzuri alioitumia saida, tena wakati macho ya saida yani yalikuwa dhahiri kuwa ni ya wizi lakini kwakuwa Ibrahim hakujua nia ya saida,. Alivaa kondomu kisha akaanza kumshughulikia saida...

    "ila kimoja tu hua kinanitosha"

    Aliongea saida huku akimnyonya Ibrahim denda zito...

    Nusu saa mbele,.. Tunamuona saida anaifunga ile kondo vizuri ikiwa imejaa mbegu za Ibrahim ambae ni kaka yake na chidi, ila saida yeye hajui kama huyu ni kaka yake na chidi ambae kalala nae asubuhi ya leo,..

    "sasa si utupe hio kondom"

    Aliongea Ibrahim mana alimuina saida kama anaipenda sana ile kondom,

    "wacha nikaitupe huko nje,.. Yaani tukiitupa humu nahisi kama nimeiacha chumbani kwangu"

    "ahahahahaha basi we msafi sana... Uzuri wako unaonyesha kabisa kuwa we msafi... Ok vipi una nauli"

    "aahhh wala usijali ninayo"

    Saida ana pesa kuliko hata Ibrahim, yaani utajiri wa akina saida, kwa Ibrahim ni kama kapuku tu,.



    Baada ya masaa mawili kupita, tunamwona saida akiwa yupo kwenye gari yake akiwa anaiangalia ile kondom yenye mbegu za Ibrahim, kisha akaiweka kwenye mkoba wake...

    "yes, mpenzi wangu chidi kaponea chupu chupu, nampenda sana ila anisamehe kwa kumsaliti na jidume lingine"

    Saida aliongea hivyo huku akichukuwa simu yake na kumpigia mama yake,

    "haloo mama"

    "abeee mwangu upo wapi"

    "mama nimeshazipata zile mbegu"

    "Whaaaat.... Unasema kweli saida"

    "ndio mama... Ninazo hapa kwenye mkoba wangu"

    "harakisha uje nazo... Tuwahi kwa mganga, tena leo tunapanda helikopta sio gari tena"

    Wakati huo nae saida alikuwa ana ahadi na mama yake kuwa atanunuliwa gari yenye gharama kubwa, na aliahidiwa hata akifanikiwa kuzipata mbegu za kijana huyo ambae ni chidi atanunuliwa hio gari yenye thamani ya shilingi milioni 800 (mianane)... Ndio saida akaingizia hapo hapo ishu yake ya gari, lakini mbali na hapo saida alizifikisha zile mbegu kwa mama yake... Na siku hio walikwenda airport kupanda ndege hivyo kila kitu kilifanikiwa...



    MWISHO WA STORI JINSI MBEGU ZA CHIDI ZILIVYOPONEA CHUPU CHUPU YA KUPELEKWA KWA MGANGA, HIVYO CHIDI NDIO MAANA HAJADHURIKA KWASABABU SIO YEYE....



    Sasa ikiwa ni pale hotelini walipokutana na saida, kisha saida akamwambia chidi kuwa ana mimba yake na chidi akaikataa, ndio hapo saida akaongea ukweli, lakini bila hivyo tusingejua ridhiwani kaponaje ponaje.. Kwahio mpaka sasa hivi inaonekana Ibrahim ana tatizo la nguvu za kiume mana ndio aliokutwa na janga hilo..

    "sawa, hiii mimba siitoi, lakini mtoto ni wako na nimeipokea kwa moyo wote"

    Aliingea saida huku akitaka kuondoka..

    "sasa hebu ngoja kwanza.... Kwahio hizo mbegu zangu zilikuwa zina kazi gani kwenu"

    "mdogo wangu, hakuzaliwa na nguvu za kiume, hivyo tulikupointi wewe ndio mwenye nguvu halisi"

    "na nyie mmenijuaje mimi mpaka mkanifuata"

    Chidi alihoji maswali mengi sana mana kama kajua basi wacha ajue,..

    "rafiki yake mama yangu ndio anakujua, na ndio kaniunganisha na wewe, lakini mimi nikakupenda na kunogewa na penzi lako na ndio maana sijataka kuzifikisha mbegu zako chidi"

    Huezi amini mpaka chidi analengwa na machozi mana kweli kama zingelipelekwa mbegu hizo, sijui angelikuwa mgeni wa nani tena,.. Chidi aliikubali kuwa ni mimba yake mana kama kasema ukweli kuwa kwangu hakuja kwa kunipenda bali alikuja kwa kutaka kitu fulani na hatimaye akakipuuza kwakuwa anampenda...

    Chidi aliinama chini na kulibusu tumbo la saida kuashiria kuwa keshaikubali mimba hio...

    Maskini saida mpaka analia mana haamini kama kweli chidi kakubali mimba hio..

    Alipoamka alimnyookea mpaka mdomoni na kumnyonya denda la furaha

    "saida... "

    "abeee"

    "tutailea wote... Ni mtoto wetu wote"

    Saida alilia kwa furaha ya hali ya juuu

    Lakini chidi bado kabakiza swali moja kwa saida

    "saida... Nina swali nataka kukuuliza,.. Yaani ukinijibu nakupenda milele"

    "kwahio ina maana sasa hivi hunipendi"

    "haoana sina maana hio... Yaani namaanisha nitakuoa kabisa"

    Saida kuskia kuolewa, ndio kachanganyikiwa kabisa,

    "niulize basi jamani... Mbona unachelewa baby"

    Saida alikuwa na hamu na swali hilo ili aolewe, yaani akiulizwa swali lolote hata kama ni siri kwa mama yake, anaweza kusema bila chenga... Kweli saida alidata na chidi sio utani...

    "naomba uniambie, huyo rafiki yake mama yako ni nani na unionyeshe na picha yake"





    Saida kuskia hivyo akawa kimya na kuanza kulia,

    "sasa walia nini"

    Aliuliza kijana chidi huku akimshika saida wake au mama wa watoto wake mkono,

    "chidi.... Kulia kwangu ni kumaanisha kwamba kama ulipanga kunioa kwa kusema hivyo basi hutonioa"

    "kwanini... We niambie tu"

    "chidiiii mi sijui kama utanielewa kwakweli"

    Aliongea saida huku machozi yakimtoka kwa utaratibu mzuri, yaani saida hata akilia ni uzuri tu umetawala katika sura yake,..

    "we niambie tu saida"

    "kiukweli kabisa mimi simjui... Nakumbuka mama ndio alinipa namba yako kuwa katumiwa na huyo rafiki yake, hivyo mimi simjui huyo rafiki yake mama"

    "yaani hata namba yake huna"

    "yaani mimi nimepewa habari zako na mama tangu na mama yangu nae kapewa na huyo rafiki yake, hivyo mimi nilipewa namba na kuambiwa anafanya kazi za hoteli, sasa ndio nikapata kigezo cha kukuanzia lakini hata mimi nilikuwa sikujui na hata nilivyoambiwa nije nisex na wewe nilikataa kabisa, lakini nikaona mdogo wangu ni wa kiume nami nahitaji wifi ikabidi nikubali kukutafuta, ndio nikapewa namba yako na mama yangu mimi, lakini mama yangu nae alitumiwa na rafiki yake... Ni hivyo tu lakini huyo mama mimi simjui"

    Chidi hakuwa na jinsi ya kuendelea kumuuliza mana ni dhahiri alioyaongea yalikuwa ni Ya kweli tupu...

    "basi mamy, amka na unyamaze kulia"

    "umenielewa lakini"

    "yes"

    "thenx my love"

    Saida alimuegemea chidi kifuani huku akifutwa machozi na chidi,... Chidi alikuwa katika wakati mgumu sana kwa wakati huo...

    Sasa chidi akiwa kakumbatiana na saida kwa kumnyamazisha... Mara simu yake iliita, chidi kuangalia alikuwa ni mama sarah

    "haloo mamy"

    "chidi jamani unachelewa baby"

    "nakuja sasa hivi"

    "wahi basi saa tisa hii jamani"

    "ok nakuja"

    "ok poa baby"

    Simu ilikata kisha chidi akamuinua saida akae katika kiti chake

    "sasa baby mi naondoka"

    Aliongea chidi na kumfanya saida nae aamke kwa ajili ya kuondoka...

    "sawa twende"

    Saida alitaka waende wote huko chidi anapokwenda

    "hapana, naomba uende nyumbani saida"

    "lakini kwanini chidi hunipendi, kumbuka nina mtoto wako tumboni eti"

    "sawa... Kwani kuwa na mtoto wangu tumboni mwako ndio tutembee wote kila mahari, mbona hata mke na mume hawafanyi hivyo"

    "ok sawa, basi wacha mi niende nyumbani"

    Aliongea saida huku akichukuwa kipochi chake na kwenda kwenye gari yake, chidi yeye hana hata gari lakini anamilikiwa na matajiri wakubwa jijini hapo...



    Tukija huku ofisini kwa Ibrahim, akiwa ndio anarudi peke yake mana alipopigiwa simu na mke wake ile asubuhi aliambiwa asifike ofisini, sasa saa hizi saa tisa hiii ndio anakwenda hapo ofisini, lakini alipofika alishangaa wafanyakazi wote waliokuwa wakimchekea leo wamenuna wote,... Hakuna aliokuwa na furaha nae hata mmoja,.. Na yeye alijua mke wake alitania lakini haikuwa utani, Ibrahim kastopishwa kazini mana kampuni ilikuwa inayumba kwa matumizi yake kuwa mabovu,...

    Ghafla secretary anamzuia asiingie ndani zaidi

    "boss kasema huruusiwi kuingia ndani, yaani hata huyo mlinzi mwenyewe yupo matatani kwa kukuruhusu uingie ndani"

    Aliongea secretary tena akiwa siriasi kweli

    "batuli wewe si ulikuwa unaniheshim wewe"

    "ni kwasababu ya pesa, ila kwa sasa pesa ipo nje ya himaya yako, hivyo kukuheshimu ita take time kidogo"

    Lakini Ibrahim alipokuwa hapo, kuna kitu alikikumbuka, na huenda kikamseidia... Basi Ibrahim hakutaka kubisha alitoka hapo na kupanda pikipiki mpaka benki,.. Na kuwa kote tajiri lakini hana hata gari ya kutembelea... Alipofika benki cha kwanza ni kuingia ATM CARD yake... Lakini pale pale presha ilimuamka na kudondoka chini,... Wasamalia wema walimueka katika gari na kumuwahisha hospitalini...



    Tukija huku kwa chidi aliokuwa anakaribia kufika nyumbani kwake,.. Mara simu iliita, kucheki jina alikuwa ni sarah

    "mambo chidi"

    "safi niambie mamy"

    "saaafi, upo wapi"

    "nipo nyumbani"

    "weee leo hujaingia kazini"

    "ndio"

    "sasa... Leo Nakuja kwako nataka nilale huko"

    "uje?... No leo nimechoka sarah"

    "no baby, mi nakuja jioni, wacha nimsubiri mama arudi afu nami nakuja"

    Chidi alikata simu, mana hawezi kumkataza kuja na pia hawezi kumwambia njoo na wakati mama sarah yupo, ila chidi hajui kama huyo sarah na mama sarah ni kitu na mwanae hio yeye hajui kabisa...

    "waooooo boy wangu nimekusubiria hapa nje mpaka nimechoka yani"

    Alikuwa ni mama sarah aliokuwa nje ya nyumba ya chidi alipopangisha,.. Basi chidi na jimama lake waliingia ndani huku wakishikana shikana, ila mpaka sasa mama sarah amebaki na maswali toka miezi iliopita kuwa, kama ni Ridhiwani kapona lakini mbona boy wake bado yupo vizuri na aliamniwa kuwa kazi ikiisha huyo kijana nanii yake italala doro,. Kumbe hajui kuwa saida kafanya yake hivyo chidi ana nafasi kubwa sana ya kumshukuru saida,..

    Mama sarah alikuwa ana hamu ya mapenzi na kijana huyo japo juzi juzi tu walitoka kitandani ila si unajua mijimama inavyotumia pesa zao kwa vijana,.. Mama alijikuta anabakiwa na chupi tu,

    "mmnhhh mama wa chupidera"

    "yes zile zile unazopenda.."

    Hata chidi nae alikuwa na hamu na mama sarah hivyo wote walikuwa kama wamemisiana hivi... Chidi hatujamsahau kwenye mambo yake,.. Mama sarah alikuwa akirusha tu miguu kwa kung'atwa ng'atwa love bite za shingo... Shanga alizovaa ndio zilikuwa dili kubwa kwa kijana chidi,.. Mama sarah hakutaka kuzidiwa na chidi, aliishika zakaria ya chidi na kuanza kumfanya kama Roll Pop, hii ni kwa mara ya kwanza mama huyo kufanya kitu kama hicho kana kwamba kwa sasa mama sarah kampenda chidi mpaka kufa, yaani yupo tayari kwa lolite, mana mwanzo alikuwa yupo kipesa zaida, sasa pesa kapata na mtu wake bafo yupo vizuri hivyo kazidisha upendo mara dufu zaidi, alichokuwa anakihisi chidi anakijua mwenyewe... Mama sarah alilala kwa kualalia tumbo na kumuachia chidi mgongo aufanya atakavyo, chidi akiangalia ile chupi ya mama sarah ilivyomkaa kwenye makalio basi alikuwa anavuta hisia za mambo mengine,.. Chidi alianza kumfanyia kama masaji lakini wazo lake kuu, ni hatari...



    Tukija huku kwa jasmini tunamuona akiwa katika moja ya gari yake, alikuwa anashuka kwenye mjengo mmoja mkubwa sana, na jengo hilo sio jengo la kawaida yaani kama gharama basi huenda limegharimu hata Bilioni 100 kwa ujenzi tu peke yake... Alipofika mahari kwanza alistopishwa na mtu mmoja alikuwa kafunika uso wake,..

    "unakwenda wapi"

    "niliambiwa baada ya kujifungua nifike mahari hapa"

    Aliongea jasmini na wakati huo kampakata mtoto wake,...

    "amefikisha miezi mitatu"

    "bado, hata siku nne hana"

    "basi hafai na hata mkuu hawezi kukuruhusu... Kazaliwa tarehe ngapi"

    "tarehe 7 mwezi wa nne"

    "basi mlete tarehe 7 mwezi wa 7 apewe chanjo"

    Pale pale jasmini aligeuza na kupanda gari,.. Lakini pia ndani ya gari sabra alikuwepo ila hakutaka kushuka,..

    "vipi dada nini kinaendelea"

    "kinachoendelea ni tarehe 7 mwezi wa 7"

    "ok...sasa na Ibrahim sasa atakuwa wapi"

    "tayari nimeshamfukuza kazini"

    Lakini ile anamaliza tu kuongea simu yake inaita,...

    kucheki jina alikuwa ni Ibrahim ndio aliokuwa akipiga kwa wakati huo

    "anapiga simu ya nini tena huyu"

    "ni nani kwani"

    "si huyu shoga"

    "shoga... Shoga nani tena dada"

    "Ibrahim"

    "ooohhh shem.... Mpokelee tu"

    "shemu wako kwa nani"

    "heeeeeeee ina maana hata kuja nyumbani asije"

    "afuate nani, kamuacha nani kule"

    "lakini kumbuka kuna mdogo wake kule"

    "hata kama, tena kama vipi aje amchukuwe na kichelewa asinilaumu"

    "ina maana tarehe 7 mwezi wa 7 na mdogo wake pia"

    "huko mbali sana, yaani kuanzia sasa hivi... Nina uchungu na pesa zangu, kwanza kaka yake katumia pesa nyingi sana kwa matumizi yake... Hivyo lazima zirudi kupitia halima"

    Sabra alishtuka, mana hii familia ni familia ya kitajiri lakini utajiri wake jamani mmmmhhh ni hatari...

    "lakini dada"

    "hakuna cha lakini.... Shida yangu ilikuwa ni mtoto na sii mwanaume, na hata Ibrahim sio kwamba nilikuwa nampenda, sema nilikua nataka mtoto toka kwake, na nilipojua hawezi kunipatia mtoto ndio nikamshawishi amlete huyo mdogo wake, lakini wazo la mdogo wake huyo likapotea baada ya kumuona mdogo wake wa kiume, ndio nikadhini nae ili nipate mtoto, hivyo mpaka sasa halima hana muda, simpendi mtu yeyote yule"

    "mmmhhhhh"

    Sabra aliguna huku akiwa haamini ukatili wa dada yake japo hata yeue ni mmoja wapo lakini hakuwa na roho hio...

    "mshike huyu mtoto,.. Nikaulize kitu kule ndani"

    Aliongra jasmini kisha akaingia ndani ya hilo jengo,... Ukweli ni kwamba jengo hilo ni jengo la kishetani, UA MTU UPATE PESA ndio kauli mbiu ya jengo hilo...



    Tukija huku kwa akina chidi na jimama lake,... Chidi alianza kuwaza ushetani juu ya mama sarah,.. Chidi alikuwa akiyashika shika na kuyaminya makalio ya mama sarah, kana kwamba yupo tayari kwa lolote,

    Chidi aliivua chupi ya mama sarah kisha akamsogelea sikioni na kumuambia kuwa

    "I like it please mamy"

    Aliongea hivyo huku akisha sehemu alioimaanisha

    "No, chidi... Mimi ni mtu mzima siwezi kufanya hivyo"

    "mamy kidogo tu"

    "chidi mwanangu, wewe ni sawa na mtoto wangu, kwanini unifanyie hivyo, au kwakuwa umeshajua nakupenda"

    "No, sio hivyo"

    Chidi alikuwa haelewi neno lolote juu ya mama sarah,... Ukweli ni kwamba chidi alikuwa anataka kuruka ukuta sasa mama nae anakaza

    "chidiiiiiiiiii... Mimi siwezi kukunyima, ila kwa hiari yako naomba uniache, fanya kote lakini huko acha chidi, nimezeeka eti itakuwa sio vizuri"

    Sasa chidi akiwa analazimishia kupewa hivyo, mara simu yake iliita kucheki jina alikuwa ni Sabra,.. Akaipuuza simu hio na kuendelea kumbana mama ili ampe anachokitaka,...

    Mara simu ikapiga tena... Alikuwa ni Sabra huyo huyo

    Chidi kwa hasira akaipokea

    "we vipi mbona msumbufu hivyo"

    Aliongea chidi baada ya kupokea simu..

    "sikiliza we chidi.. Niwe msumbufu nisiwe msumbufu, nenda nyumbani kule kamchukue mdogo wako sasa hivi"

    "aaahhhh mtu yupo kwa kaka yake kule achana nae kwanza umenivurugia mambo yangu kata simu"

    "sawa mi nakata simu, lakini ukichelewa utajuwa mwenyewe, sisi tupo mbali mpaka tufike nyumbani utakuwa umeshamchukuwa mdogo wako... Sasa jione kama anapendwa wakati ni kiingizo cha pesa"

    "Ati nini... Kwenda bwana, aingize pesa gani na wakati anasoma"

    "utajua mwenyewe bwana mi nimeshakua, na hio ni tisa tu kumi utajua mwenyewe... Alafu kaka yako hayupo tena na dada yangu kazi kafukuzwa na mdogo wako yupo hatatini, sasa kataa utajua mwenyewe"

    Simu ilikata, lakini chidi haamini maneno ya Sabra...

    "ana maana gani huyu mtu"

    Aliongea chidi huku akitaka kupiga simu lakini roho haitaki...

    "we mama, nipe dakika tano narudi sasa hivi"

    Aliongea chidi na kuyafuata maneno ya sabra..

    "chidi jamani, unaniacha kisa nimekataa ulichokitaka kwangu"

    "ebu tuyaache ayo"

    "chidi jamani, basi nimekubali njoo basi"

    Eeehhh chidi kuskia mama sarah kakubali kurukwa ukuta, mana anampenda sana chidi na hatamani kumpoteza... Chidi alishaanza kuondoka lakini kuskia kakubaliwa tu, alijikuta anasita kutoka, mana anaitamani sana hio sehemu....







    Chidi alirudi mpaka kitandani na kuanza kumshika shika mama sarah, wakati huo mama sarah tayari keshakubali na tena kakaa mkao ule ule unaorakiwa, mana kakubali kwa hali yake, na chidi alivyo mwehu wala hakutaka kumkopesha,...

    Lakini kadri anavyozidi kumshika shika mama sarah, akili yake haikuwa sawa, yaani alikuwa anawaza maneno ya sabra kuwa akamchukue mdogo wake kule alipokuwa,....

    Chidi hakuwa mjinga kiasi hicho

    "kama ni huyu mwanamke yupo, nitamshuhulikia nikirudi"

    Chidi alijisemea kimoyo moyo kisha akamuacha mama sarah bila hata kumgusa kitu,..

    "we chidi una nini lakini"

    "narudi muda sio mrefu"

    "lakini mbona sikuelewi"

    "narudi, tena nipe gari yako mara moja niwahi"

    Chidi aliomba gari kwa mama sarah na kuondoka kwenda kule kwa akina sabra,..



    Tukija huku kwa akina miriam tunamuona miriam anatoka na kupanda gari yake,... Alikuwa akimfuata sarah kule hotelini kwao, mana alimpigia simu ili aje lakini sarah alisema mama yake hayupo

    Hivyo miriam akachukuwa jukumu la kumfuata sarah kule hotelini kwao...

    Robo saa mbele miriam alishafika kwa akina sarah

    "heeeee Miri umemuacha nani huko hotelini kwenu"

    Aliuliza sarah baada ya kumuona miriam kafika hotelini kwao, mana kwa sasa hoteli ilishanunuliwa na akina sarah, hivyo sio ya akina miriam tena

    "mama yupo na nimemuaga"

    "Enhee sema shost, uliniambia kuna kitu unataka kusema"

    "ndio shost,... Mama si alinifuma naongea na omary,.. Mwenzangu ila safari ya kwenda Uingereza imeanza tena"

    "heeeeeeeeee mama yako nae, sasa anataka upate mwanaume wa aina gani, au anataka mzungu"

    "mi ata sijui, yaani natamani hata kujiua sarah"

    "apana miri, huko mbali sasa unapofika, usiseme hivyo"

    "sasa nifanyeje sarah,.. Mana nikiumwa tena ataona ni kamchezo kangu"

    "mmmhhh kiukweli leo sina hata cha kukushauri miri wangu"

    Miri alikuwa anatamani kulia bila kujua atafanya nini mana anampenda sana omary wake,.. Na hatamani kumuacha

    "Sarah, mi nachukuwa uamuzi mgumu, liwalo na liwe, ila naomba uniseidie kitu sarah please"

    "kitu gani tena miri"



    Walichokiongea walituficha mana waliongea kwa siri sana lakini tutajua huko mbele,..

    Baada ya kufanya maongezi yao miriam aliondoka kurudi hotelini kwao... Alipofika tu alikutana na mama yake

    "haya, umeshajiandaa... Mana kama ni tiketi nimeshakata mchana hivyo keaho nakutakia safari njema"

    Miriam hakuwa na la kusema lakini moyoni mwake kuna jambo kalipanga baina yake na sarah, sasa sijui itakuwaje
    http://deusdeditmahunda.blogspot.com/



    Sasa tukija huku kwa chidi, akiwa ndani ya nyumba ya shemeji yake anamtafuta halima ambaye ni mdogo wake,.. Lakini hakumuona nyumba nzima,.. Aliingia mpaka chumbani kwa shemeji yake ambaye ni jasmini,

    Aliangalia lakini hakumuona, sasa ile anaondoka, alishangaa kuona masanamu yakiwa ndani ya kabati la vioo, afu masanamu yenyewe, yameashiria alama za kishetani mambo ya freemason,.. Chidi aliduaa na kushindwa kuelewa, lakini mara simu yake inaingia sms, kucheki alikuwa ni sabra

    "we chidi, sisi tupo karibu sa kama upo ndani toka haraka, mana dada kabadirika sana yaani sio yule unaemjua"

    Chidi alipomaliza kusoma sms hio alitoka lakini hajamuona halima, alipofika kwa mlinzi akamuuliza

    "oya eti kale katoto kametoka nje"

    Chidi alimuuliza mlinzi wa geti hilo

    "ndio ameenda twisheni"

    "unapajua hapo twisheni"

    "hapana sipajui"

    Chidi alikasirika sana,.. Lakini hakutaka kupoteza muda alitoa gari mpaka nje ya nyumba na kuondoka mbali kidogo kule alipoelekezwa na mlinzi kuwa ni njia hio ndio ya kuendea tuisheni lakini hapajui twisheni penyewe..

    Haikupita hata dakika tano jasmini na mdogo wake sabra ndio wanaingi, yaani angechelewa tu kidogo angelikutwa,... Lakini jasmini aliona kuna tairi za gari jingine...

    "we kapwiku, ni gari gani imeingia huku"

    Aliuliza jasmini

    "ni yule kijana mdogo wake boss"

    Mlinzi alijibu kuwa ni yule kijana mdogo wake boss,.. Jasmini alijua tu atakuwa ni chidi... Hakutaka kuuliza tena lakini moyoni mwake alikuwa akijiuliza kuwa

    "huyu chidi kafata nini huku"

    Alijiuliza mwenyewe kimoyomoyo huku akiingiza gari lake kwenye paking,... Lakini kabra hajaliweka sawa aliina ngoja aulize tena

    "we kapwiku... Huyo kijana alifuata nini"

    "alikuwa anamuuliza mtoto boss"

    "mtoto gani"

    "yule mschana"

    Jasmini kuskia ni yule mschana aliwasha gari haraka ili awahi kumchukuwa halima mana yeye ndio anajua hio twisheni ilipo, ila wakati huo chidi kapaki pembeni kama atamuona mdogo wake, lakini huku kwa jasmini nae anakuja kuelekea twisheni,.. Mana keshajua kuwa chidi anataka kumchukuwa mdogo wake, hivyo amuawahi kabla hajakutana nae..

    Sasa na wakati huo twisheni ndio wanatoka, sasa chidi akawa katulia tu hapo barabarani ili kuona kama atapiata hapa, lakini mara akaona katoto kamoja kamebeba daftari...

    "mtotooo ujambo"

    "sijambo shkamoo"

    "marahabaaa... Unatoka wapi"

    "natoka twisheni"

    "twisheni yenu ipo wapi"

    "pale mbele, unaingi hivi afu utaona kibao cha twisheni yetu"

    Chidi kuambiwa hivyo aliondoa gari fasta bila kuchelewa, lakini kwa ile spidi anayokuja nayo jasmini sijui kama chidi atawahi,.. Mana mpaka aangaze macho afuate kibao mpaka lini,..

    Sasa kama bahati tu, Halima katokea barabarani,

    "dadaaa we dadaa"

    Chidi alimuita mdogo wake kwa heshima

    "abeee kaka"

    "njoo haraka,... Ingia kwenye gari"

    Alimfungulia mlango kisha akaingia... Yaani ile anaingia tu na jasmini ndio anafika hapo na kushuka kwa haraka kuelekea huko ndani ili akamchukue, lakini halima alishaingia kwenye gari saa mingi sana, na kwakuwa jasmini hajui gari ilioingia kule kwake, alishindwa kujua kama ndio gari hii alioipita hapa,... Chidi hakuchelewa, aliondoa gari ili kurudi nyumbani,...

    Sasa jasmini kutoka alishangaa kuona gari alioipita hapa sasa hivi tu haipo,.. Ndio akajua basi keshachukuliwa... Lakini akilini mwake alikuwa akijiuliza, hii taarifa kapewa na nani.. Mana alikuwa hajui,..



    Sasa chidi akiwa njiani mara simu iliita, kucheki alikuwa ni miriam.

    "haloo boss"

    "acha zako chidi, boss niwe mie"

    "ok sema"

    "naomba unipitie hapa mnarani"

    "kuna nini"

    "we njoo tu utajua baadae"

    Simu ilikata lakini chidi hakuelewa kwanini aliambiwa ampitie hapo mnarani,



    Sasa huku hotelini kwa akina miriam, mama alikuwa akimtafuta miriam ampe tiketi yake akae nayo hamuoni, lakini gari ya miriam ilikuwepo maeneo ya paking hivyo ilionyesha kuwa miriam yupo na hakwenda mbali,...

    Chidi alifika mnarani na kumkuta kaketi chini ya mti, yaani alivyokaa utafikiri sio matajiri yaani alikuwa tofauti sana...

    Miriam aliingia ndani ya gari lakini hio gari alioingia anaijua mwanzo mwisho..

    "omary, hii gari umeipata wapi"

    "ni ya mama mmoja hivi"

    "mama sarah si ndio eee"

    Sasa chidi yeye hajui kama anaitwa mama sarah, hivyo alikataa

    "hapana anaitwa grace"

    "sa ndio mama sarah huyo"

    Sasa chidi kuona mbona kama kinasanuka kitu ikabidi akubali huku akisema

    "ni yule mama alienileta kule hotelini kwenu"

    "ndio huyo huyo, ana mtoto anaitwa sarah"

    "ok sasa wewe vipi... Unaenda wapi"

    "kwako"

    Chidi alitoa macho kuskia miriam anakwenda kwake

    "mamuu, unakwenda kwangu kufanya nini"

    "ina maana ni vibaya kuja kwako"

    "aaahhh mamuuu"

    "nini babuu we twende... Afu huyu ni mtoto wako nini"

    Aliuliza miriam huku akimuangalia kwa umakini ili kumfananisha na chidi na ni kweli walikuwa wanafanana kwa mbalii sema halima alikuwa ana uweusi kidogo na chidi yeye ni maji ya kunde yaliong'aaa,

    "hapana ni mdogo wangu"

    "muongooo"

    "kweli"

    "waooooo basi ni kawifi kangu... Njoo mwaya wifi yangu"

    Miriam alimchukuwa halima na kumpakata,.. Halima alikuwa na umri wa miaka kama saba au nane, ni mkubwa kidogo alikuwa ana kaumbo kazuri hivyo kila mwanamke anaemuona basi anampenda tu,..

    "mamuu mi sijakuelewa unajua"

    "chidiiiii, mi nataka leo nikalale kwako"

    "mi nadhani unataka kuniletea kesi mamuu"

    "nimeaga nimesafiri hivyo nitakuwa kwako kama siku mbili hivi"

    "mamuuuuuuu... Siku mbili?... Hapana aisee utaniletea shida... Sasa huko uliposema umesafiri wakiulizwa afu wakisema haupo"

    "usijali"

    "mamuuuu"

    "please baby... Naomba uniamini"

    Chidi alichoka hata kuongea hivyo aliwasha gari na kuelekea nyumbani kwa chidi mahari alipopangisha kijana huyo,..

    Lakini chidi roho inamdunda kwasababu mama sarah yupo kule, afu mbaya zaidi alimuacha yupo uchi, afu ana miriam je itakuwaje, yaani ni bonge la msala,..

    Chidi alimtumia mama sarah sms kuwa

    "mamy vaa nguo zako nakuja na mdogo wangu"

    "ujinga gani huo chidi jamani, mbona unanikata mudi"

    "kweli kuna shida imetokea hivyo nakuomba mamy"

    Chidi aliweka simu pembeni wakati huo miriam na halima walikuwa wanacheka mno, yaani miriam tayari keshazoeana na halima ndani ya dakika chache tu..



    Punde sii punde gari inaingia nyumbani kwa chidi,.. Miriam anashuka kwenye gari huku akiwa kampakata halima,..

    Na chidi nae kashuka na kuzima gari

    Lakini miriam alishtuka kwa kuona viatu vya kike, tena haviukuwa vya kitoto,... Unajua miriam yeye anajua chidi kaachiwa gari na mama sarah lakini hajui kama mama sarah yupo ndani,.. Yaani anajua kaachiwa tu gari,..

    "omary.. We omary"

    "nini tena si uingie"

    "hebu njoo babuu"

    "nini..."

    Chidi alitoka nje tena mana alikuwa keshaingia

    "hivi viatu ni vya nani"

    Sasa mama sarah nae kasikia sauti ya kischana schana, ikamshawishi atoke ili amuangalie huyo mschana anaeongea na chidi, mana chidi alimtumia mama sms na kumwambia kuwa anakuja na mdogo wake,.. Sasa mdogo gani mkubwa hivyo, sasa mama sarah ile anapanua pazia aone huyo mdogo wake chidi,..

    Alishangaa kumuona ni mtoto wa rafiki yake, tena anaheshimiana nae kupita maelezo,.. Sasa miriam nae kupiga jicho kamuona mama sarah,... Na alikuwa hajui kama atakuwepo huku ndani japo kajua kuwa gari ni yake, lakini hajui kama atamkuta humu ndani..

    "we miriam umekuja kufanya nini huku"

    Aliuliza mama sarah huku akitoka nje ili aulize vizuri... Wakati huo miriam kimyaa

    "si nakuuliza we mtoto, umefuata nini huku"

    Mama sarah alikuwa anachimba mkwara lakini hata yeye alikuwa anaona aibu kukutwa ndani tena peke yake kwenye chumba cha kijana ambae hajaoa..







    "lakini mamdogo, kwani na wewe hapa umefikaje, mana mimi kuna pesa nimekuja kuichukuwa huyu kijana aliondoka nayo"

    Miriam alivunja ukimya juu ya mama sarah na hata mama sarah kuskia hivyo ikabidi naye awe kimya, mana chidi ndio mpishi mkuu wa chipsi katika hoteli ya akina miriam MIRAS HOTEL,

    "kwani hio pesa alishindwa kuileta kesho"

    Mama sarah aliongea hivyo lakini chidi akaingilia kati,

    "skia mamy,.. Hio pesa nilipewa mimi nikanunue maandalizi ya chipsi hivyo kutokana na kuchoka nikawa sijaenda, na kesho pia sidhani kama nitaenda na ndio maana katumwa aje kuchukuwa"

    Aliongea chidi na kumaliza mzizi wa fitina.. Hata mama sarah mwenyewe katulia baada ya kuyaamini maneno ya chidi,

    "na huyu mtoto ni nani"

    "huyu ni mdogo wangu kabisa, anaitwa halima"

    "ok sawa.. Vp si tayari umeshamaliza mizunguuko yako"

    "ndio, tayari nimeshamaliza"

    "ok.. Naondoka zangu"

    "sawa boss, tutaonana kesho"

    Mama sarah alishagunduwa kuwa hapa hapakuwa na la ziada mana kama ni kuachwa njiani kimapenzi keshaachwa na kwasasa kufanya mapenzi ndani ya hii nyumba kumeisha kwasababu kuna mtoto mdogo humo ndani hivyo itakuwa ngumu mama sarah kuja kufanyia humu labda wakutane gesti..



    Basi chidi alimkaribisha miriam ndani lakini miriam alikasirika sana kwa kitendo cha kumkuta huyu mama humu ndani,

    "yupo kama nani? Na kama kamseidia tu kumleta pale hotelini ndio sababu ya kuja mpaka nyumbani kwake?"

    Miriam alijiuliza maswali kipeke yake peke yake,..

    Basi walipoingia ndani miriam alikuwa kachoka sana lakini kama mwanamke alijitahidi tu kupanga chumba cha chidi, lakini chidi anashindwa kuelewa, kwanini miriam kaja huku anataka nini... Chidi alikuwa akijiuloza maswali mengi sana, lakini mara miriam kashindwa kuvumilia na kumuuliza chidi

    "hivi omary, huyu mwanamke kaja kufanya nini huku chumbani kwako"

    Aliuliza miriam huku akikaa kitandani ili kupata majibu

    "lakini mamuu, si unajua kuwa huyu ndie alioniunganisha na kazi pale kwenu"

    "sawa najua hilo, lakini swala lile sio lazima aje mpaka huku kwako, ilitakiwa atende wema aende zake, sasa anakuja kufanya nini huku jamani"

    Chidi aliona miriam atagundua kitu hivyo akamsogelea kisha akaanza kumshika shika

    "we omi kuna mtoto bwana"

    Chidi akaacha kufanya hivyo baada ya kuambiwa kuna mtoto karibu..

    "afu omi, huyu mtoto atalala wapi sasa"

    Hilo nalo lilikuwa jambo la msingi kweli

    "si tutalala nae hapa hapa"

    "nyoooooooo kwenda uko... Ina maana usiku woote huo tutalala tukiwa tumetulia tu"

    Miriam aliongea hivyo kumaanisha kuwa usiku atataka ahudumiwe, afu huezi amini miriam hajawahi kuguswa,... Kama unakumbuka sababu ya kutokuguswa walikuwa ni wasagaji na rafiki yake hivyo imewapelekea kutotamani mwanaume, lakini sarah yeye aliwahi kukutana na wanaume lakini miriam hajawahi hata siku moja yaani utamu wa uume yeye haujuagi..

    Sasa hapo chidi ndio akapata jibu kuwa miriam kaja kwake ili amfanyie huduma ya upasuaji wa sehemu muhimu,

    "sasa ngoja nikachukue kitanda fasta"

    Aliongea kijana chidi huku akiamka..

    "sasa ukichukuwa kitanda atalala wapi"

    "si hapo kwenye korido"

    Unajua nyumba ya chidi ni kubwa.. Yaani kapangisha dabo rumu, ambayo ina choo humo humo bafu humo humo, yaani ipo kama kaselfu flani hivi kakijanja,.. Hivyo kuna kachumba kengine kadogo ambako kamewekea masofa.. Hivyo chidi alitoka na kwenda mjini kununua kitanda kwa ajili ya mdogo wake, ilikuwa ni majira ya saa 12 jioni...



    Sasa tukija huku kwa akina sabra, jasmini alikuwa akimfokea sana mdogo wake kwa kumuhisi kuwa labda yeye ndio kamwambia chidi kuwa mdogo wake yupo hatarini na ndio maana kaja kumchukuwa

    "sasa mimi nimemwambia saa ngapi na wakati tulikuwa wote"

    Aliongea sabra huku akionyesha msistizo kwa kulia kabisa

    "sasa kajuaje kama tutakuja kumchukuwa, au yeye ni nabii kaota... Acha ujinga wewe"

    "lakini dada mimi sijamwambia mtu"

    "kajuaje sasa"

    "mi sijui"

    "nina hofu na wewe sabra"

    "wala usijali dada mimi nipo na wewe"

    Aliongea sabra kana kwamba yeye hayupo tofauti na yeye,...

    "unajua wewe hujui baba aliniambia nini na ndio maana unafanya ujinga mkubwa sana... Tutaishi kimaskini kama usipokuwa makini"

    "lakini mimi sijui na hujaniambia, mana baba alipofariki alikuachia usia wewe"

    Aliongea sabra huku akitamani kuijua hio siri alioambiwa na baba yake... Mana sabra yeye alikuwa shule hivyo usia hajaachiwa sabra bali aliachiwa jasmini,..

    "sikiliza sasa... Leo nataka nikuambie ukweli juu ya baba alichoniambia mpaka kufika hatua hii ya leo"

    Aliongea jasmini ili kumhakikishia mdogo wake....



    Sasa tukija huku kwa akina chidi wakati chidi ndio karudi kutoka mjini kununua kitanda cha halima ambacho ni kidogo na ni spesho kwa watoto kama halima, kila kitu kiliwekwa sawa na mambo yakawa mazuri,... Wakati huo chidi akiandaa sehemu ya kulala ya halima, huku upande wa miriam alikuwa ndio kwanzaa mboga inaiva,... Kwa mara ya kwanza chidi anaona raha ya kuwa na mke ndani, mana nyumba leo imewashwa moto na chakula kinapikwa, hakuna raha kama kuoana watu mnaopendana kwa dhati,.. Binafsi chidi alijiskia raha sana kwa kuona miriam alivyoenea vizuri katika jiko.. Toka nyumba hio ihamiwe haijawahi kupikwa hata siku moja, chidi akirudi keshakula kwa mama ntilie hivyo hana muda wa kupika,.. Na uzuri ni kwamba chidi alikuwa na stoko ya chakula hivyo hata miriam hakuona tabu kupika,... Wakati huo halima alikuwa akisuuza vyombo mana vilikuwa ni vya kusuuza vumbi vumbi kwasababu havikuchafuka kwakuwa hakukuwa kukipikwa ila kila kitu kilikuwepo,... Chidi alitamani akamkumbatie pale jikoni lakini halima alikuwepo hivyo subira ilifanya kazi yake,



    Sasa tukija huku kwa mama yake na miriam, ikiwa ni mida ya saa mbili za usiku... Mama alikuwa hata kula hali mana miriam hakuepo nyumbani,..

    "uyu mtoto yupo wapi mama miri"

    Aliuliza baba yake miriam huku akimuangalia sana mke wake...

    "yaani hapa sina hata raha baba miri,.. Sijui mwanangu kapatwa na nini huko"

    "lakini si ulikuwa nae kazini wewe"

    "aliondoka na hakuniaga.. Na pia gari yake ipo kule kazini"

    "sasa kaenda wapi.... Au yupo kwa rafiki yake yule nani yuleeeee..... Aahhh nani yule rafiki yake Mweupe Mweupe hivi ana kimwili hivi nani yuleeeee"

    "Sarah"

    "Enheeee sio atakuwa huko kweli"

    "sidhani hebu ngoja nimpigie"

    Yaani miriam kutofika nyumbani mapema kwao lilikuwa ni tatizo kubwa sana katika familia hio, afu ukizingatia ni huyo mmoja tu...

    Miriam yeye hakuwa na tabia ya kuchelewa nyumbani, yaani akitoka kazini ile saa 11 au 12, moja kwa moja mpaka nyumbani na akitoka nyumbani moja kwa moja mpaka kazini.. Hivyo saa mbili hii wazazi wake wanaona kama vile ni saa 8 usiku, mana sio mazoea yake

    "eeee mwanangu hujambo"

    "sijambo mama shkamoo"

    "marahaba... Ebu nipe niongee na miriam mara moja"

    Mama alitumia akili ya kuto kuuliza kama yupo au hayupo badala yake alitaka aongee nae...

    "mama mbona miriam hayupo huku... Hajaja tena nina muda sjamuona"

    "jamani sarah, mwenzio hajarudi nyumbani mpaka saa hizi"

    "lakini mama ukimpigia simu yake hapokei au"

    "simu yake haipatikani kabisa"

    "mmmhhh lakini huku sipo nae"

    Mama miriam alikata simu kwa hasira huku akiwaza mtoto wake yupo wapi...

    "au kazini atakuwa kakwazika nini"

    Aliuliza baba yake miriam na kumfungua macho mama miriam

    "aaaahhhhh ni kweli... Kuna kijana maskini anamnyemelea miri.. Sasa nataka nikatishe huo ujinga kwa kumwambia miri aende Uingereza kimasomo..... Nadhani ni hivyo"

    Sasa mama ndio anapata picha kuwa huenda jambo hilo ndilo liliomfanya asije nyumbani...

    "huyo kijana ni nani"

    "ni mfanyakazi wetu"

    "mmmhhhh bwana nyie mtajuwa wenyewe lakini nataka mtoto wangu arudi"

    Baba hataki kujua kama kapendwa na maskini au tajiri lakini mtoto wake arudi,. Heeee chidi analo hilo... Sasa mama miri akavuta kumbukumbu ya chidi alikujaje pale kazini

    "ooohhh yes, aliletwa na mama sarah... Ngoja nimpigie"

    Oooohoooo na mama sarah ndio mtu wa kwanza kujua miriam alipo, mana walikutana kule ndani... Mama miri kavuta simu na kumpigia shostito wake kumuuliza kuhusu chidi

    "haloo mama sarah habari yako"

    "nzuri tu mama miri habari yako"

    "sio salama sana"

    "kwanini tena mama miri"

    "nina shida na yule kijana, na naomba kesho unipeleke kwake, hawezi nitoroshea mwanangu kisa mapenzi"

    "Whaaaaat??? Ina maana miriam na yule kijana ni wapenzi"

    Mama sarah kaamshwa madudu yake, yaani mtu amhudumie mipesa kedekede nyumba analipia yeye, afu leo ana mpenzi mwingine, tena mbaya zaidi mpenzi mwenyewe ni mtoto wa rafiki yake

    "ndio.. Wanaanza anza sasa ndio nataka niyakatishe miriam aendelee Uingereza... Hivyo nataka kesho nichukue jeshi la polisi tuende hapo anapoishi huyo kijana,... Mama sarah nitakupa kiasi chochote cha pesa lakini nijue alipo huyo kijana.. Sawa mama sarah"

    Mama sarah kuskia kuna kiasi chochote cha pesa, weeeeeeeeeee alitokwa na macho kwa kuskia pesa...

    "Mama sarah"

    "Abeeeee"

    "mbona kimya shosti wangu... Au kama kesho upo bize hebu nitajie namba ya nyumba anayoishi huyo kijana kesho niende,.. Atasema mtoto wangu yupo wapi"





    Aliongea mama miriam huku akionekana kuwa na hasira na kijana chidi,... Sasa mama sarah kabla hajakubali aliwaza mengi sana kuhusiana na kijana chidi

    "mbona huyu mtoto ana balaa hivi, na kila ishu inayomuhusu lazima nipewe pesa,.. Sasa hii itakuwaje"

    Alijiuliza mama sarah katika moyo wake, lakini aliona potelea mbali

    "lakini mama miri, yule kijana mimi aliniomba tu kazi wala sijui anapoishi"

    "ooohhh shit, sasa mama sarah kwanini umpe kazi mtu ambae humjui,.. Sasa kama angeondoka na mabilioni ya fedha ingelikuwaje sasa... Ok sawa basi kesho"

    Aliongea mama miriam huku akiwa na hasira juu ya kukosa njia ya kuanzia...

    "mama miri, wewe ndio mwenye makosa lakini"

    "jamani baba miri sasa mimi kosa langu ni lipi"

    "kwanini umwambie aende Uingereza, kwani mimi nilivyokuoa kwenu ulikuwa tajiri wewe, au mimi nilikuwa tajiri?.. Si tumezipata tukiwa wote, sasa kwanini wataka matajiri ili iweje... Mimi nataka nimuone mtoto wangu"

    Baba alikuja juu kuhusiana na swala hilo, lakini ghafla mama miriam anacheka huku akimsogelea mumewe baba miriam kisha akamnong'oneza kitu katika skio lake,.. Lakini maneno hayo yalionekana kuwa matamu mpaka baba miriam alicheka na kusema..

    "kumbe una akili wewe"

    Sasa je ni nini alikiongea mama miriam mpaka baba miriam kacheka na wakati alikuwa mbogo muda si mrefu,.. Usikose ili kujua huo mnong'ono wa mama miriam uliomfurahisha baba miriam..

    Lakini ghafla mama miriam anaanza kulia huku akisema

    "lakini yote ya yote je mtoto atakuwa wapi saa hizi"

    "mi sijui.. Na wewe ndio ulikuea nae kazini"

    Baba miriam kageuka tena kawa vile vile mkali kama mbwa koko...



    Sasa tukija huku kwa akina sabra na dada yake kama unakumbuka sabra alikuwa na hamu ya kujua siri ya mali zao

    Mana katika usia sabra yeye hakuepo alikuwa shule hivyo alidokezewa tu kidogo, jasmini hakutaka kumficha mdogo wake mana akiendelea kumficha huenda akaharibu na mambo mengine,..

    "dada mimi nakumbuka baba alipofariki mimi nilikuwa shule, hivyo sijui alisema nini"

    Aliongea sabra huku akiwa karibu sana na dada yake, wakati huo yapata muda wa saa tatu usiku wakiwa mezani wakipata chakula

    "sikiliza sabra... Nakumbuka siku ile baba anakufa, hata mimi sijui lolote kuhusu mali zetu.. Ila nakumbuka aliniambia hivi"



    SASA TUUJUE UKWELI JUU YA MALI ZAO

    ****************************************



    Siku hio mzee Juma akiwa mgonjwa sana na ndio tajiri aliokuwa akijulikana katika mji huo,.. Siku zilikwenda huku akitafakari amuambie nani siri ya utajiri wake, mzee huyo ni baba wa watoto watatu lakini kwa bahati mbaya mmoja alifariki dunia,..

    Siku moja mzee juma akiwa kazidiwa na hali mbaya,.. Na alikuwa anauguzwa nyumbani, wakati huo mtoto aliokuwepo hapo alikuwa ni jasmini peke yake,.. Na sabra alikuwa yupo shuleni... Shule za bweni,.

    Baba aliwaomba wauguzi wote watoke nje na abaki na mtoto wake peke yako

    "nakumbuka siku ile baba aliniita peke yangu,.. Madokta wote walitoka nje mana alikuwa akiuguzwa nyumbani"

    Huyu ni jasmini sasa anamhadithia mdogo wake...

    "mwanangu jasu... Mimi baba yako kwa sasa sina muda tena wa kuishi nanyi"

    "ndio baba"

    Jasmini aliitika huku machozi yakimtoka mana mzee anaongea maneno mazito sana,

    "mwanangu, ninachokuambia leo naomba umshirikishe mdogo wako, ili akipata yeye basi nawe umepata au ukipata wewe basi naye kapata"

    "sawa baba nitamwambia"

    Aliongea jasmini na asijui baba anataka kusema nini

    "jasu... Kama unavyoona mali zetu ni nyingi sana tena sana... Lakini sio za halali mwanangu"

    Jasmini alishtuka kuskia mali zao hazikuwa za halali bali kuna nguzo imeegemea kwenye mali hizo,..

    "baba una maana gani"

    "dada yako Ashura ndio hizi mali"

    Jasmini ndio kazidi kuingiza hofu juu ya maneno ya baba yake...

    "babaaaaa"

    "mali hizi nawaachieni ninyi, lakini zina nguzo za kuzizuia... Wahenga walisema,.. UWA MTU UPATE VITU... Mali hizi bila kuua mtoto wako hutokaa kuziona tena.. Utazisikia kwa wenzio mwanangu. Na mimi nimezitunza toka mkiwa wadogo mpaka sasa mumekuwa ina mana utashindwa kuziendeleza"



    Sasa tuachane na kumbukumbu, tuje huku kwa akina chidi akiwa na miriam, wakati huo halima kesha lala kitambo sana lakini sasa miriam alikuwa anaogopa kulala kitandani na kijana chid, yaani miriam alivaa nguo za kulalia vizuri tu, lakini sasa chidi si kaona kinguo cha ndani ile stimu yake, baada ya kuona zakaria nae kaanza kusumbua, hivyo miriam anaogopa kulala

    "ila omi we sijui upoje, nanii yote hio jamani"

    Aliongea miriam huku akiwa kakaa kitandani,

    "we panda, na licha ya yote mi sikufanyii chochote"

    "mmmhhh na uvimbe huo kweli usinifanye chochote wewe"

    Chidi wala hakuwa na haja ya kumlazimisha miriam

    "mi naenda kulala na wifi yangu kule"

    Chidi hakukataa alimwacha aende mana anajua huyo ni sawa na kuku wake hivyo hawezi kumshikia manati,..



    Nusu saa mbele miriam alikuwa kalala kwenye sofa, mana alikuwa kachoka sana hivyo alivyojitupia tu kwenye sofa na usingizi ukamchukuwa,.. Chidi aliamka na kwenda kumchukuwa kisha akamlaza kitandani,.. Kiukweli miriam alikuwa kaumbika yaani chidi alikuwa anamkagua mwanzo mwisho,... Chidi hajawahi kumuona miriam kwa ukaribu lakini leo ndio anamuona akiwa hajitambui,... Alianza kumpapasa mapaja yake huku akimbusu kila kona ya shingo yake,.. Lakini kumbe miriam alikuwa hajalala wala nini, sema alikuwa anaogopa mwanzo utakuwaje hivyo kushikwa kote huko alikuwa anajisikia raha mno,.. Lakini sasa chidi hajui kama miriam alikuwa yupo macho

    "kufanya mapenzi pasina hiari ya mtu sio sahihi ni sawa na kubaka"

    Chidi alijisemea kimoyomoyo huku akimfunika blanketi,.. Miriam alichukia sana kwa kuona kaachwa,... Miriam kwa kusudi alilitupa lile blanketi afu akajibinua vizuri kitu kilichomtamanisha chidi aendelee kumshika shika

    "mamuu, we mamuu"

    Chidi alimuita miriam lakini ghafla miriam kakurupuka na kumgeukia chidi, na chidi alijua anakandamizwa kibao, lakini alishangaa miriam kuukimbilia mdomo wa chidi na kuanza kuunyonya denda, chidi aliduaa na kujiuliza kuwa

    "huyu si alikuwa hataki huyu"

    Chidi nae kuona hivyo alianzisha jalamba aliolitaka miriam,.. Miriam alikuwa ni mwanamke mwenye aibu mana toka azaliwe hakuna mwanaume aliefanikiwa kuivua chupi yake ispokuwa chidi tu na ndio anaanza leo hii... Kwanza ile kanga ilitolewa pembeni, kisha chupi ikawepo peke yake,... Kama kawaida vidole vya chidi vilianza kuishambulia naniii ya miriam

    "babuuuuu,.. Unataka uitoe na vidole nini jamani? heeee"

    Aliongea miriam baada ya kuona mashambulizi ya vidole yanazidi kuwa makali.. Chuchu za miriam zilikuwa kama za mtoto wa darasa la sita, yaani ni zaidi mwiba kwa jinsi zilivyokuwa kali... Umbo lake sijui lilikaaje kaaje yaani hakukuwa na mfano kiukweli, mana kila mwanamke anapendezeshwa na sehemu moja tu... Kuna mwingine mzuri wa sura lakini umbo hakuna, na kuna mwingine ana umbo la maana lakini sura hakuna.. Lakini kwa huyu mtoto wa kike, mmhhh sijui ni sehemu gani ilio tofauti.. Milio baina yao ilianza kusikia haswa haswa kwa miriam alikuwa na mdomo usiowezekana kufumbika,..



    Tukija huku kwa wazazi wake na miriam maskini mama alikuwa anatetemeka kitu ambacho hakijawahi kutokea, yaani alikuwa ana wasiwasi juu ya mtoto wake

    "wewe mwanamke si ulale lakini"

    Aliongea baba miriam huku akiwa kalala

    "najua nitamuona mwanangu... Lakini kama kaenda kulala na mwanaume, basi mtoto wangu hana thamani tena"

    Aliingea mama kana kwamba naye anajua kuwa mtoto wake ni bikra hivyo kama kalala kwa mwanaume basi...

    "una maana gani ukisema hivyo"

    Aliuliza baba miriam lakini mama miriam hakutaka kumwambia kama mwanae ni bikra mana huyo ni baba, hatakiwi kujua siri ya mtoto wake wa kike...

    "wala tu sina maana nyingine"

    "hebu lala bwana tutajua kesho.. Yule ni mtu mzima"



    SASA TUENDELEE NA KUMBUKUMBU YA AKINA JASMINI WAKATI BABA YAKE ANAMUACHIA USIA



    "hapana baba, nitaweza.... Ila baba sasa mimi nitafanya nini"

    Alijibu miriam baada ya kuulizwa na baba yake kuwa, mali hizo alikuwa nazo toka wakiwa wadogo, sasa yeye atashindwa kuziendeleza.. Ndio jasmini akajibu ndio ataweza ila atafanya nini ili ziendeleee

    "kwanza nikuulize... Una mchumba"

    Baba alimuuliza mwanae kama ana mchumba

    "mmhhh ndio baba"

    "vizuri sana... Sasa mlazimishe akupe mimba,.. Ukishajifungua huyo mtoto mpeleke katika lile jengo tunalosalia kama kanisa,.. Kuna karatasi zipo kwenye droo hizo ndizo zitakazokutambulisha kuwa wewe ni mtoto wangu.. Na huyo mtoto uhakikishe ametimiza umri wa miezi mitatu, yaani ile tarehe ya kuzaliwa kwa mtoto huyo, hakikisha inafika tarehe kama hio lakini iwe imetimiza mwezi wa tatu"

    "sawa baba, nimekuelewa"

    "lakini pia kuna masharti.... Na masharti hayo, unaweza kuyakosea wewe au akayakosea mdogo wako, hivyo unapaswa kumwambia mapema ili ajue"

    "baba niambie hayo masharti, nipo tayari kuyatekeleza"

    "naomba nisiki.... Nisikilii... Ni.... Ni.... Ni... Nisi.... Nisi.... Nisi

    .. Kwa.... Maki... Makiiiiin... Makini mwanangu"

    "ndio baba nakuskia"

    "sharti la kwaa.... Kwaaa... Nza... La kwanza... Ni... Ni.... Uu... Uuu................"

    Mzee aliongea kwa tabu, lakini alieleweka, ila haikuchukuwa muda mzee alifariki dunia....



    SASA HAPO NDIO MWISHO WA KUMBUKUMBU YA JASMINI KUMWAMBIA MDOGO WAKE UKWELI WA MALI ZAO

    ***************************************



    "hhhhhhhhmmmmmmmm"

    Sabra aliguna baada ya kuambiwa ukweli, ila jasmini hakukaa kimya kwa ugunaji wa sabra

    "unaguna nini"

    "hayo masharti dada"

    Masharti hayo sisi hatujayasikia lakini sabra kayasikia na kayajua na ndio mana kaguna,...

    "yana nini, mbona simpo tu... Au kuna moja umeshaharibu wewe"

    "dadaaaaaaa"

    Jasmini alianza kuogopa mana Sabra alionekana kuna sharti moja keshalikosea

    "Sabra, hebu niambie umekosea lipi kati ya hayo matatu"

    Wakati huo jasmini alikuwa analia lakini sabra alikuwa akifurahi ndani ya moyo wake





    Katika kutafuta pesa kwa njia isio ya halali, hua ina masharti yake, sasa tabu ni pale unapoyakosea masharti hayo, jasmini alikuwa akiyafahamu masharti aliopewa na baba yake, hivyo anajua akiyakosea basi kuna balaa litawakuta kwa kuharibu masharti hayo,.. Sabra hakuwa akicheka kama ilivyo kawaida bali alikuwa ni mtu mwenye furaha kimoyomoyo baada ya kutajiwa basdhi ya masharti yanayotakiwa kutimizwa na wote, yaani kuna sharti moja linatakiwa litekelezwe na wote,.. Sasa jasmini alipata hofu baada ya kumsikia sabra ameguna kwa kusikia moja ya masharti hayo,

    "yana nini, mbona simpo tu... Au kuna moja umeshaharibu wewe"

    "dadaaaaaaa"

    Jasmini alianza kuogopa mana Sabra alionekana kuna sharti moja keshalikosea

    "Sabra, hebu niambie umekosea lipi kati ya hayo matatu"

    Wakati huo jasmini alikuwa analia lakini sabra alikuwa akifurahi ndani ya moyo wake



    "dada, mimi niliguna tu, lakini hakuna nilichokosea"

    Aliongea sabra baada ya kuulizwa na dada yake kuwa, alikosea sharti gani kati ya hayo matatu, lakini sabra kumbe aliguna tu kwa furaha lakini sio kuwa kuna kitu alikosea

    "ok, kwahio umeshajua kinachotakiwa kufanywa, hivyo naomba tumlinde huyu mtoto ndani ya hio miezi"

    "sawa dada, mana kuishi bila pesa sijazoea hivyo haina budi kufanya hivyo"

    "sio haina budi, yani ni lazima iwe hivyo mana baba katuachia lasilimali nyingi hivyo hatuwezi kuzipoteza"

    Aliongea jasmini huku wakiendelea kupata chakula cha usiku,..

    "lakini dada, kampuni zetu ni nyingi, na jinsi baba alivyotuachia utatakiwa na wewe umuachie mwanao kama ulivyoachiwa... Sasa utamuachia nani"

    "heeeee si bado tunazaa bwana.. Mbona baba kamtoa dada saumu na mpaka leo hajatoa tena ndio tunatoa sisi"

    "hhhhhmmm apo sawa"



    Sasa tukija huku kwa akijana chidi na miriam, ukumbuke walikuwa katika levo zingine zenye msisimko wa ajabu...

    Midomo miwili kati yao ilikuwa ikipishana katika ustadi ulio tulivu,.. Miriam alikuwa ana kitovu cha kishimo kilichomfanya chidi apagawe kwa kukiona,

    "iiiiiiiii mamuuu, kumbe una kitovu shimo"

    Aliongea chidi huku akiingiza kidole katika kitovu hicho

    "buana chidi, uuuuwiiii... Aahhh... Ahhh"

    Miriam alikisikia kidole hicho kikimtekenya haswa, chidi aliona kidole hakitoshi, alichomeka ulimi kabisa kwenye kitovu hicho, kitu kilichomfanya miriam amshike chidi kichwa kwa utamu aliokuwa akiupa,... Sasa chidi alikiwa anakinyonya kitovu hicho, ukumbuke miriam alikuwa bado hajavua chupi, chidi kuona chupi ya miriam ikiwa imemkaa vizuri yaani ilikuwa inatia msisimko zaidi katika mwili wa chidi,.. Mana chidi hisia zake zinazidi kupanda kwa kasi pale anapoona chupi, hata kama haijavaliwa kikubwa iwe ya kike tu, yaani anapandisha mzuka fasta na huenda akabaka mtu kwa kuona nguo hio... Chidi alipoikagua ile chupi ya miriam ilikuwa nzito haswa kana kwamba mtoto kazidiwa mpaka kapizi magoli ya kutosha, alishindwa kujizuia tena ukizingatia hajawahi kufanya kitendo hicho hivyo alikuwa ana mzigo wa kutosha...

    Chidi aliivua ile chupi na kuitupa pembeni, mungu wangu, nanii ya miriam ilikuwa ndogooooo,.. Kauwanja kalikuwa kama ka kiarabu vile,.. Chidi anazidi kupagawa na mtoto wa kike,.. Na hapo njia ilishalainika mpaka basi, chidi alitamani kumnyonya lakini miriam alikataa, kana kwamba kachoka mpaka hatamani hata kuguswa na kidole wala ulimi, yaani hapo anataka zakaria ifanye kazi yake,... Kijana huyo alikuwa bado ana boxee mwili japo ilikuwa ikimbana kutokana na zakaria yake kuvimba,.. Miriam aliifanya kazi ya kumvua mpenzi wake ile boxer

    "uuuuwiiii"

    Ilikuwa ni kelele ya miriam baada ya kukutana na zakaria ilionyooka mpaka mishipa imetokelezea kwa juu,



    Miriam alisita kuivua ile boxer, ma alichokiona mpaka kafumba macho...

    "nini na wewe"

    Chidi alimuuliza miriam, na wakati huo miriam kaweka mikono machoni kwa kujificha eti asione tena,

    "babuuuuuuu, ivi naota au"

    "nini kwani"

    "iv hio kitu unaingiza kwa nani"

    Miriam alikuwa akihoji huku akiiangalia kwa wizi wizi, kana kwamba anaitamani sana lakini ataiweza,.. Chidi alimalizia kuvua hio boxer yake kisha akamfuata miriam na kumlaza kitandani

    "uuuuwiiii babuu"

    "nini mamuuu"

    Miriam alianza kuyabana mapaja yake kana kwamba alikuwa kama hataki, lakini kwa chidi, ilishindikana kubana kwa muda mrefu... Chidi alimueka sawa mtoto wa watu kisha akaanza shughuli yake

    "uuuuuuuuuuu subiri kwanza jamani babuu"

    Miriam alikuwa muoga sana, kwani ndio mara yake ya kwanza kuingilowa kimwili hivyo mlango ulikuwa ni Mdogo kiasi flani hivi...

    Miriam alimruhusu chidi aendelee na kazi yake lakini wakati huo miriam kaishika zakaria ya chidi ili isije ikateleza sana,

    "achia basi jamani mamuu"

    "No, siwezi kuachia... Huna hata huruma babuu"

    Chidi alihisi huo ni uoga wa miriam hivyo alimweka sawa, na kuanza tena

    "uuuuuuuuuuuwwwwiiiiiii... Ngoja kwanza"

    Chidi alichoka na kelele za miriam hivyo anataka kufanya hata kwa nguvu, mana mwanamke bikra hua ndivyo alivyo,.. Chidi alimkusanya miriam kwa nguvu kiasha akakaa kumi na nane zake

    "No, No, babuu... Sitaki kuona damu babuu, niache"

    "mamuu upoje lakini"

    "babuuu.. Hata mimi ni binaadamu, naumia eti"

    "haya basi hebu turudie cha mwisho"

    "No, wacha nipumzike kwanza"

    Chidi alikasirika sana mana wakati huo miriam alikuwa kashuka kitandani kabisa, chidi alijibwaga zake kitandani na kuuchapa usingizi,... Alimwacha miriam akiwa kaketi kitandani...



    ASUBUHI MIDA YA SAA MBILI HIVI



    Chidi akiwa tayari kesha amka huku akijiandaa kwenda kazini, na wakati huo miriam bado kalala,... Yaani chidi akimuangalia miriam hana hata hamu nae kwa kukataa kutoa bikra yake,...

    Chidi alichukuwa chai na kuendelea kupasha tumbo mana chai hio ilipikwa jana na miriam, na ilikuwa katika Chupa,. Sasa miriam anazinduka usingizini anamkuta chidi ndio anamalizia kunywa chai na yupo tayari kwenda kazini

    "babuu mambo"

    "staki"

    Chidi alikasirika sana kwa kukataliwa kuitoa bikra ya miriam,

    "kuna nini tena babuu mbona umebadirika ghafla"

    "jiandae twende"

    "wapi... Kama ni kazi huna"

    Aliongea miriam huku akimwangalia chidi, na wakati huo miriam alikuwa uchi wa mnyama na hata chidi hakuwa akimtamani tena mana anajua tu hatofanikiwa.. Miriam ni mschana muoga sana katika mapenzi

    "sina kazi... Notes ya kazi nani kanipa"

    "babuu mama kasema huna kazi tena"

    "kwani nimefanya kosa gani mimi.. Ebu vaa nguo twende"

    "mi siendi popote,.."

    Sasa chidi ndio kafungua simu yake, namba ya kwanza kupiga ilikuwa ni namba ya boss, ambaye ni mama miriam, aliipokea haraka, mana hajui kitu kinachoendelea

    "haloo boss"

    "eee haloo omari, upo wapi huku chipsi hakuna mpikaji mbona unachelewa leo"

    Chidi alishangaa kuskia leo anaitwa na boss na ni kitu ambacho hakijawahi kutokea

    "boss nakuja sasa hivi boss nipo njiani sema jamu kubwa boss"

    "wahai basi, wateja wataondoka"

    "sawa boss nakuja"

    Hata chidi leo alishangaa kupigiwa simu na boss, na siku zote anapigiwa na miriam tu sasa leo kapiga boss mwenyewe,...

    Sasa simu ilipokatika miriam kaja juu huku akiwa hana hata nguo moja

    "we ni mama huyo si ndio eee"

    "ndio... Hupo kazini na ndio mana mama yako kapiga"

    Chidi alimwambia miriam hivyo huku miriam akiwa na wasiwasi juu ya wito huo

    "babuu... Nakuomba sana, usiende"

    Aliongea miriam kitu kilichomfanya chidi ashangae mno, yaani leo miriam yupo tayari chidi akatae kauli ya mama yake

    "unasemaje wewe"

    "usiende.. Huo ni mtego"

    Chidi alizidi kushangaa mana hajui kinachoendelea,

    "mtego gani"

    "babuuu, mama alisema we usiende tena kazini"

    "kwa kosa gani,.. Kwani mi si nilikuwa hospitalini kwa mke wa kaka yangu amejifungua"

    "sawa, ila mama kasema kwa wewe kazi basi"

    "afu mamuu mi spendi utani wako wa kijinga huo, hebu vaa twende"

    Chidi alikuwa anahisi ni utani, na pia hajui miriam kwanini kaja kwake toka jana afu ni mzito kutoka,

    "babuu,.. Nakupenda sana babuu, na mimi ndio chanzo"

    Sasa chidi akaona mbona kama inaenda kuwa siriasi hivi..

    "we mamuu, hebu sema vizuri, kuna nini huko kazini"

    Aliuliza kijana chidi, huku akikaa kitandani...

    "babuu, naomba nikuambie ukweli.... Mimi.... Mimi.... nimenanii"

    Miriam alikuwa akiongea kwa kusita sita mana anajua fika neno atakaloongea haliwezi kukubalika mbele ya chidi..

    "nini sasa... Umefanyeje, au umekula pesa ya hoteli"

    "bora ningekula pesa ya hoteli"

    Aliongea miriam huku na yeye akikaa kitandani na kumshika chidi bega, na wakati huo miriam hajavaa hata nguo moja.. Sasa kamshika chidi katika bega ili hata akimwambia, asiruke sana

    "haya... Umefanya nini"

    Chidi alianza kuhisi kuna uhatari baina ya miriam na mama yake... Lakini hizo ni hisia za chidi..

    "babuuu..... Mimi staki kwenda Uingereza.. Hivyo nimetoroka nyumbani, na staki kurudi tena,... Nataka niishi na wewe"

    Heeeeeeeeeeeeeeeeee Chidi alitoa macho kama mbwa mwizi, mana chidi hakuna kitu anachokipenda kama kuishi kwa amani, sasa kwa taarifa hii ataishi vipi na miriam....





    SONGA NAYO.......



    Katika maisha ya kila siku, kumbuka kuna mahusiano ndani yake, ila ni asilimia chache sana mtoto wa kitajiri kumpenda mtoto wa kimaskini, labda iwe kwa mwanaume kidogo haina shida lakini mtoto wa kike wa kitajiri kuolewa na maskini, ni asilimia chache sana tena sanaaaaaaa....

    Chidi aliingia katika shida na balaa kubwa baada ya kupendana na mtoto wa kitajiri ambaye ni miriam, na wazazi wake hawataki kabisa binti yao aweze kuishi na kijana huyo, chidi anampenda sana binti huyo lakini tatizo lipo kwa wazazi wake kutotaka mahusiano nae,...

    Miriam ni mschana mzuri tena ni zaidi ya wazuri mana hana kiungo cha kizungu hata kimoja na hatumiagi SKALA wa PODA ni yeye na mafuta yake ya mgando na mengine yasio na kemikali, hivyo hatumii mafuta yenye michubuo ya ngozi, sasa chidi anajikuta anaingia katika balaa zito baada ya kusikia miriam alitoroka kwao na kuja kwa chidi

    "haya... Umefanya nini"

    Chidi alianza kuhisi kuna uhatari baina ya miriam na mama yake... Lakini hizo ni hisia za chidi..

    "babuuu..... Mimi staki kwenda Uingereza.. Hivyo nimetoroka nyumbani, na staki kurudi tena,... Nataka niishi na wewe"

    Heeeeeeeeeeeeeeeeee Chidi alitoa macho kama mbwa mwizi, mana chidi hakuna kitu anachokipenda kama kuishi kwa amani, sasa kwa taarifa hii ataishi vipi na miriam....



    "unasemaje wewe"

    Chidi aliuliza huku aishangaa na kukaa vizuri kitandani, mana ilikuwa ni taarifa mbaya na ya kushtukiza mno

    "nimetoroka kwetu kwa ajilo yako"

    Chidi kuskia hivyo hata nguvu zilimuishia na kubaki kimya mana haamini kama jela ileeee au kifo kileeee, mana hatari kubwa mno kwa kuwa na miriam tena kwa kutoroka, hakika sidhani kama kijana huyo atapona kwa mazingira ya mpenzi wake huyo..

    "ivi nani kakushauri ufanye hivyo"

    "heeeee kwani kukupenda nimefanya makosa,.. Kama hunipendi nifukuze na kama unanipenda niache niishi na wewe"

    Alionge miriam huku akitafuta chupi yake avae

    Chidi aliona kama kuna utani hapa mana haamini kama ni kweli miriam katoroka kwako

    Chidi hakutaka kumfokea mpenzi wake na aliamini kweli ni upendo, mana kama kathubutu kuacha mali, pesa zao zote na kuja kwa kijana kapurwa kama chidi tena furaha juu kama masihara vile,...

    "ivi nikuulize kitu"

    "mie tena... Uliza"

    "ivi jela na kifo kipi kizuri"

    "I think Jela ni nzuri kuliko kifo"

    "Eti eeeee"

    "ndio"

    Chidi alishikwa na hasira na kutaka kuondoka, lakini miriam alimkimbilia vile vile akiwa bado hana hata nguo,.

    "babuu jamani sasa unaenda wapi... Hebu njoo kwanza"

    Chidi alisimama ili kumsikiliza mpenzi wake japo kuna moto mbele,..

    "nini"

    "sikiliza... Nakuomba sana kazini usiende.. Afu chupi yangu imeloa mi siwezi kuivaa tena afu nguo sina,.. Chukuwa hii ATM CARD yangu kaninunulie nguo... Nadhani namba za siri unazijua, nenda babaaa"

    "sasa si ukavae nguo kwanza"

    "aahhh mi kuvaa gauni bila chupi sijiskii vizuri"

    "sasa halima akiamka akikukuta hivyo inakuwaje"

    "basi ngoja nikavae boxer yako"

    "shida yako uichane si ndio ee"

    "heeeee naichana na nini"

    "kwahio mpaka hapo ushanifanya nami nina hispsi kama zako si ndio"

    "bwana we nenda,.. Ngoja nivae hiii"

    Yaani chidi bado haamini kama hii ishu inakuwa kweli kama jinsi ilivyo, na hakuwa na budi kukubaliana navyo,.. yaani chidi kila akitembea anahisi jela ipo mbele.... Hapo alipo mkononi ana ATM CARD ya miriam, anaijua hii akaunti ina pesa nyingi sana, yaani ina kama milioni 600 hivi, mana anakumbuka siku ya mwisho alipewa hii kadi ili akatoe pesa ya kutuma nyumbani baada ya kusikika wazazi wake wanaumwa, lakini hakuwa yeye ila bingo lilimdondokea siku ile...



    Sasa tukija huki Dar es Salaam kwa mr Jackson na salma, waliokuwa wakigombana kwa ajili ya siku ya ndoa

    "umenitoa kwa mume wangu ili unioe, lakini ona sasa mpaka leo mwaka unaisha huu sioni cha ndoa.. Ilifikia mahari pazuri tuka andaa kila kitu lakini ikaahirishwa.. Ivi una nini lakini Jackson"

    Aliongea salma yule mke wa chidi wa kule kijijini, ukumbuke ana mtoto nae mmoja hivyo,.. Sasa wakati huo Jackson alikuwa kimya katulia tu

    "sikiliza salma, harusi yetu iliahirishwa kwasababu baba yangu alikuwa anaumwa, kungelikuwa na raha gani ya harusi na wakati baba yupo kitandani,.. Rafiki zake kitoka arusha, mbea, Mwanza, na sehemu nyingi walikuja kwa ajili ya harusi yetu, sasa tufunge ndoa na wakati baba anaumwa"

    "sawa, lakini toka baba apone, ni miezi mingapi imepita"

    "najua ni mingi sana"

    "sasa kwanini hatufungi ndoa,... Jackson kumbuka nimeacha mtoto wangu na mume wangu kwa ajili yako eti"

    Sasa wakati anaongea hivyo kumbe familia ya Jackson ilikuwa inasikia, na waliokuwa wakisikiliza ni mama yake na Jackson na dada zake, mana akina Jackson walikuwa chumbani kwao, hivyo walishangaa kusikia miriam alikuwa na mtoto, tena mbaya zaidi kumbe alishaolewa kwa ndoa

    "ina maana huyu fedhuli kumbe ana mtoto,.."

    Alikuwa ni mama mtu akimwambia mtoto wake wa kike

    "mimi hata sijui ndio najua leo"

    Salma alikuwa ni mschana mzuri na mrembo sana, hivyo pasina kukuambia kuwa ana mtoto, huezi mjua mana ana umbo lisilo onyesha kama yeye ni mama wa mtoto mmoja,..

    "hapana, mwanangu hawezi kuoana na mzee kiasi hicho"

    "lakini mama... Wao wamependana,.. Na hata Jackson anajua kuwa huyo mdada ana mtoto"

    "hata kama,... Janet? Jackson ni mdogo wako lakini sio haki aoe mwanamke aliokwisha zaa"

    "mamaaaaaa...."

    "nini.... Ina mana wewe tukutafutie mbaba mtu mzima tukuozeshe"

    "sawa kama atakuwa anavutia na tupendane tu"

    "nyooooooooooo... Sasa nasema hivi mimi sitaki mkwe aliokwisha zaa"

    Mama alikuja juu baada ya kusikia kuwa miriam aliacha mtoto huko kijijini,... Lakini Jackson licha ya kusema kuwa harusi iliahirishwa kwa kuumwa kwa baba yake, pia hakuwa upande wa salma, yeye alikuwa akimpenda mschana mwingine...

    "kwahio Jackson.. Utanioa au hunioi"

    "ngoja kwanza basiiii"

    Jackson alitoka na kukutana na rafiki yake aitwaye jems,...

    "woooza jema jems nambie mkali wangu"

    Alisalimia Jackson huku wakipeana mikono

    "ebana poa.. Nambie bwana jack"

    "safi tu.. Leo bata wapi"

    Aliuliza Jackson huku wakiendelea kukumbatiana, mambo ya salamu za kizungu

    "Maisha Club pale kuna bonge la shoo, watoto wengi kinoma"

    "aaahhhhhhh wachaaaa"

    "nikutonye na pengine"

    "Enheeeee"

    "Mnazi mmoja... Kuna party ya maana... Manzese yenyewe kuna party nyingine ya ahatari"

    Aliongea jems huku wakijisifu kwa kula bada jijini hapo,..

    "tuchague pakwenda sasa jems"

    "ahhhhhh lakini we Jackson una demu wako wewe utatoka nae nini"

    "aaahhhhhhh uyo mchafu kuoga nani atoke nae"

    "eehhhh mchafu kuoga tena?... Mbona umeishi nae muda mrefu ivo"

    "waapi.. Nalifariji tu apo ili asijione mbaya,.. Hana lolote mtu mwenyewe keshazalishwa uko kijijini, afu anataka nimuoe"

    "lakini Jackson we mnafki wewe..."

    "unafki wangu nini sasa na wewe jems"

    "si ulitakaga kumuoa wewe, afu mpaka kadi zikaandaliwa kila kitu nini"

    "aahhhhh... Sikia sasa ishu yenyewe, ile harusi alijua anaolewa yeye... Lakini nilikuwa namuoa yule demu wangu wa mbezi beach,... Sema tu kuumwa kwa dingi ndio maana imeahirishwa kwa muda tu"

    "aahhhhh Ebwana eee we mkali kinoma asee"

    Lakini kumbe Salma nae alisikia kila kitu, mana Jackson na jems walikuwa wakiongea nyuma ya nyumba hio hio, bila kujua kuwa Salma alikuwa akiwasikiliza maneno yao... Kwahio salma akajiona kumbe yeye sio kitu katika nyumba ya watu,..

    Salma alilia sana na kuanza kumkumbuka mume wake ambae ni kijana chidi,.. Salma alilia sana tena sana, na haamini kuwa kumbe hata ile harusi haikuwa yakwake bali ilikuwa ni ya mtu mwingine.. Alilia sana tena sana.. Ila hatujui atachukuwa uwamuzi gani hapo..

    Wakati huo akina Jackson wapo ndani ya gari lake... Yaani Jackson alichukuwa gari yake na kutoka nayo yeye na rafiki yake baada ya kukubaliana wanaenda kula bata sehemu fulani ya kuinjoi mana kama nipe wanazo za kutosha...



    Sasa tukija huku jijini Arusha tunamkuta chidi kaingia katika duka la nguo za kike, tena duka la gharama kubwa haswa,.. Chidi alinza kuchagua nguo, magauni, sketi, kanga na kila kitu, sasa kafikia kwenye kuchagua chupi kasahau saizi ya mpenzi wake... Alikumbuka pale alipotoka nyumbani alimuuliza miriam kuwa

    "sasa hizo chupi mi nitajuaje saizi yako"

    Alimuuliza huku akiiangalia ile chupi nyingine ambayo aliishika miriam na kushindwa kuivaa mana imechafuka kwa vile vitu vya jana...

    "heeeeeeeeee ina maana na kunishika shika kote huko jana usiku bado hujakijua kiuno changu ni namba ngapi... Hebu nenda ukoo,.. Kama vipi jipime wewe"

    "izo dharau sasa mamuu"

    Chidi alitaka kumpiga ile kiutani huku miriam akikimbilia kitandani....

    Chidi alimaliza kumbukumbu zake akiwa yupo hapo dukani

    "we kaka, nguo hizi hapa unataka saizi gani"

    Aliuliza yule dada muhudumu kisha chidi akaziangalia zile chupi, kisha akanyoosha tu mokono...

    "nipe size hio hapo"

    Alichagua size ile anayopenda kuiona,

    "ok... Ngapi"

    "mmmhhh nipe kumi,.. Kwani moja ni shilingi ngapi"

    "moja ni elfu kumi"

    "khaaaaaaaaa.... Hio ni chupi au Dera"

    "kaka... Duka letu ni Spesho, sio kama hizo za mtaani"

    "mmmhhh haya nipe basi"

    "ok.. Sasa kama ni kumi inabidi uchukie kumi na mbili dazeni nzima"

    "duuuuuuuuuuuu.... Sawa nipe tu sasa"

    Chidi alifungiwa kila kitu na kununua begi papo hapo hapo...

    "aahhhhhhhh yaani laki tano imeisha hapa hapa, kwa begi moja tuuuu"

    Aliongea chidi huku akitoa pesa mfukoni mana alinza kwenda benki kwanza...



    Sasa chidi wakati wa kurudi, akajiuliza maswali

    "ivi nikizidi kujificha nitaonekana kweli ninae,.. Sasa dawa ni kwenda huko huko"

    Chidi aliamua kwenda kazini huku akiwa kashika begi lake....

    "kama kweli mama miriam anahisi mimi ndio ninae mwanae sasa ajue kuwa siko nae"

    Chidi alijipa moyo,.. Huku akielekea hotelini na alishaambiwa kuwa huko ni hatari asiende...



    Wakati huo huku kwa mama miriam alikuwa akipiga simu kituo cha polisi

    "eeeehh haloo afande... Yule kijana nimeshamuita ila sijui kama atakuja"

    "hakikisha kama anakuja ili sisi tuje tuizingire hio hoteli yote"

    Aliongea afande huyo huku mama akiangaza macho nje kama atamuona, lakini ukweli ni kwamba chidi anakuja na yupo njiani

    "ngoja basi nimpigie"

    Mama miriam alikata simu kisha akampigia chidi...

    Chidi kuona simu ya boss kaipokea chap chap,

    "haloo boss"

    "eeeew omari.. Upo wapi huku jikoni unasubiriwa utengeneze chipsi"

    "nipo njiani nipe dakika tano boss"

    "ok sawa"

    Mama alikata simu na kuwapigia polisi

    "eee haloo afande.... Anakuja, sasa mimi nitawapigia mje hapa hotelini"

    "sawa sisi tukiona simu yako tu tunakuja"



    Dakika 5 mbele chidi kafika hotelini hapo na yupo tayari kwa kufanya kazi,... Ebwana chidi kawa jasiri wa ujinga, mana kajiingiza jela peke yake,.. Hata wafanyakazi walikuwa wakimuangalia chidi vile alivyokuwa akiingia,..

    Wakati huo boss alikuwa yupo ofisini kwake na hajajua kama chedi keshafika.. Ila ghafla simu yake inaita..

    "haloo"

    "boss, yule omari huyo anakuja yupo ndani, anaelekea jikoni"

    Haikujulikana ni nani aliotoa hio taarifa

    Ila boss kuskia hivyo tu katoka ofisini kwake na kuja huku jikoni ili kumzuia asiingie kwanza... Sasa ile chidi anataka kuingia tu,.. Aliskia sauti

    "we kijana unakwenda wapi uko"

    Chidi kuinua macho kakutana na boss uso kwa uso....

    PATAMU APO







    Baada ya chidi kumaliza kuchagua nguo za mpenzi wake, akiwa anafikiria ni jinsi gani ataweza kujiaminisha kwa mama yake miriam kuwa yeye hako nae bali huenda ni fikra zake tu,.. Chidi aliamua kwenda kazini ili mama miriam aamini kweli chidi haishi na miriam na hako nae, mana kama chidi angelikuwa nae na kama ishu anaijua, asingelikuja kazini, sasa hio ndio sababu maalumu ya chidi kwenda kazini ili ajulikane haishi na miriam na hajui alipo na pia hajui kinachoendelea baina ya familia hio

    "haloo"

    "boss, yule omari huyo anakuja yupo ndani, anaelekea jikoni"

    Haikujulikana ni nani aliotoa hio taarifa

    Ila boss kuskia hivyo tu katoka ofisini kwake na kuja huku jikoni ili kumzuia asiingie kwanza... Sasa ile chidi anataka kuingia tu,.. Aliskia sauti

    "we kijana unakwenda wapi uko"

    Chidi kuinua macho kakutana na boss uso kwa uso....



    Chidi hakutaka kuonyesha kama kashtuka baada ya kuitwa na mama miriam au boss wake,.. Lakini aliogopa kimoyomoyo ila hakujionyesha na kujifanya hajui kitu chochote kile baina ya mama huyo na kijana huyo

    "shkamoo boss"

    Chidi alimsalimia mama miriam huku akiwa kainamisha kichwa chake chini

    "marahaba.. Wewe jana ulikuwa wapi"

    Mama alijikuta anauliza maswali badala ya kuita polisi,...

    "mke wa kaka yangu jana alikuwa hospitalini hivyo tulimpeleka sisi, na hata hivyo nilimuaga boss miriam, hata umuulize nilimuaga kweli boss"

    Sasa mama miriam akafikiria mambo mengi, kama kweli miriam yupo kwa chidi, sasa mbona hata yeye hajui... Lakini mama lile begi lilimtia mashaka pia na kuzania kuwa labda chidi alikuwa akitoroka kwa kuhama mji..

    "nenda kaendelee na kazi"

    Mama miriam alimruhusu chidi aingie ndani lakini nia yake ni kumkamata akiwa ndani huko anaendelea na kazi, ili hata polisi wakija wasipate shida ya kukimbizana nae huku na kule,.. Basi chidi aliona bora akaandae chipsi kisha aondoke zake,....



    Chidi akiwa yupo jikoni anaendelea na mapishi ya CHIPSI... Lakini kwake ilikuwa ni mtego wa yeye kukamatwa kiulaini bila tabu..

    Lakini wakati chidi anaendelea na kazi, mara ghafla mama miriam kafika jikoni hapo, tena alifika kwa makusudi flani hivi

    "we omari kuna kitu gani kimepungua hapo"

    Aliulizwa kijana chidi mana yeye ndio mkuu wa wapishi katika kitengo cha chipsi tu... Huko kwingine hahusiki..

    "nadhani hata viazi sio vingi kwa ajili ya balansi ya usiku... Ila hebu muulize boss miriam atajua tinafanya nini"

    Yaani chidi alikuwa akijifanya hajui kitu, na mama nae pia anazidi kupata mashaka mtoto wake yuko wapi kama huyu hajui,...

    "aahhhhh sasa njoo nikuoe pesa tu ukanunue gunia moja kwanza kisha tutaagiza gari ilete gunia kumi"

    "sawa boss"

    Chidi aliacha ile kazi na kumfuata boss ili akapewe pesa ya kwenda kununua viazi kwa ajili ya usiku,... Lakini mama miriam ana sababu ya kumtuma sio bure tu kirahisi rahisi..

    Chidi alichukiwa tax na kwenda sokoni kununua viazi, wakati huo mama yupo juu kabisa ya ghorofa akimwangalia chidi anavyo ondoka kwenda sokoni kununua viazi gunia moja.....



    Sasa tukija huki kwa mama sarah akiwa yupo hotelini kwake, wakati huo sarah mwenyewe yupo ofisini kwake na wakati huo ana hamu ya kukutana na chidi ila sema bize inamzidia...

    Lakini wakati huo mama sarah yeye alikuwa na mawazo mengi sana juu ya kijana wake chidi,

    "yaani chidi ananifanyia hivi kweli,.. Anatembea na mtoto wa rafiki yangu kipenzi, hapana lazima waachane"

    Aliongea hivyo mama sarah huku akishika simu yake na kutaka kupiga,..

    Alifikiria mengi sana lakini ghafla anaahirisha kufanya hivyo, mana kuna jambo kaliwaza kubwa sana kiwa.. Endapo atanwambia mama miriam kuwa anajua mwanae alipo, chidi atakamatwa afu mama sarah anatamani kumtoa, hapo lazima watu wajue chidi na mama sarah wana mahusiano ya kimapenzi, hivyo ndio mana kasita kufanya hivyo,...

    Wakati huo sarah anapiga simu kwa chidi

    "haloo chidi mambo"

    "poa baby nambie"

    "safi tu.. Nimekumisi baby"

    "mimi ni zaidi mamy"

    "leo lazima nije kulala kwako"

    Aliongea sarah huku akitia ulazima wa kwenda,..

    "Sarah usije.. Dada yangu kaja"

    "waaooooo... Safi sana nataka nije nimjue wifi yangu"

    "amnaaa, sema nae yupo bize..."

    "kwani huyo dada yako analala hapo hapo"

    "kwani si yule mdogo wangu.. Yupo bize na shule hivyo mchana hutomuona na usiku atakua kalala"

    Chidi alizidi kujitetea kwa njia hio lakini anajua fika kule nyumbani kwake hakuingiliki mana kuna miriam, na pia chidi hajui kama sarah na miriam ni marafiki tena zaidi ya marafiki, na siku wanajua hii ishu sijui itakuwaje...

    "na gesti je, pia itakuwa ngumu kuja"

    "labda huko, lakini nikipata nafasi ndio nitakwambia uje hoteli flani tuinjoi au sio baby"

    "sawa baby"

    Simu ilikata kisha sarah akaendelea na kazi zake huku moyo wake ukiwa mweupeee



    Sasa tukija huku kwa chidi, alikuwa anarudi kazini kutoka sokoni alipotumwa kununua viazi,.. Aliisimamia ile kazi vizuri sana kisha akaingia jikoni kuendelea na kazi,...

    Lakini haikupita hata nusu saa simu yake iliita, kucheki jina alikuwa ni kaka yake Ibrahim,...

    "haloo kaka shkamoo"

    "samahani kijana wewe ni ndugu yake na Ibrahim"

    "ndio kwani we nani"

    "mimi ni dokta tunahitaji uje hospitalini mara moja"

    "hospitali gani dokta"

    "maunt meru hospital"

    "ok nakuja dokta"

    Simu ilikata, kisha chidi akaenda katika ofisi ya bosa wake

    "boss, kuna shida kidogo naomba ruksa"

    "shida gani tena omari, hizo CHIPSI zitaandaliwa na nani"

    "biss, kaka yangu anaumwa sana na yupo hospitalini"

    "Ufyuuuuuu.... Lakini umeshatengeneza kidogo mpaka jioni"

    "zipo mpaka jioni, na pia sio kuwa sintorudi, naenda kumuona kisha narudi boss"

    "ok hebu nenda.. Afu una pesa ya hospitali"

    Heeeeeeeeeee chidi alishangaa sana leo anaulizwa mambo ya pesa,.. Na pia inashangaza kwanini mama miriam keshabadirika ghafla, yaani kawa mpole kama maji ya mtungi na hata sijui ni kitu gani kimemfanya awe katika hali kama hio

    "ndio boss ninayo"

    "sawa ila saa 10 uje, uandae chipsi za usiku sawa"

    "sawa boss"

    Chidi aliingia jikoni na kuchukuwa begi lake, kisha akamuaga rafiki yake saidi

    "oyaa saidi, mi nawahi hospitali aisee"

    "hospitali??... Kuna nini"

    "braza Ibrahim anaumwa aisee"

    "aaaahhh chidi acha utani"

    "kweli na ndio naenda sasa hivi"

    "daaa mpe pole aisee, unajua wewe ndio unaepewa nafasi ya kutoka, lakini sisi hatupewi nafasi hio"

    Chidi hakutaka kupoteza muda aliondoka lakini huku nyuma mama miriam alikuwa akioiga simu, yaani huyu mama anakula na kupuliza hataki akukwaze,..

    "haloo afande"

    "yes bosa sema tuje sasa"

    "hapana msije kwa leo"

    "sawa boss"

    Je? Ni kwanini mama miriam kaahirisha kumkamata chidi, hatujui ni kwanini lakini ndio imekuwa hivyo...

    Chidi alichukuwa tax, ili awahi nyumbani kwanza kumpa miriam nguo zake, kisha aondoke kwenda hospitali,...



    Robo saa mbele kijana chidi anafika nyumbani, na kumpa miriam begi lake lililojaa nguo mpya zote

    "chukuwa hebu jaribu hizo za ndani... Afu halima yupo wapi"

    "atakuwa nje anacheza, ila keshakula tayari"

    Sasa begi lilipofunguliwa lilionekana kuchanguliwa sana,... Lakini chidi alipotezea na kuona labda ni mtikisiko wa gari...

    "sasa mbona na hii ATM CARD umeiweka huku kwenye begi"

    "aahhhhh ni pale dukani, nilikuwa na haraka sana, sasa nikaona uvivu kuiweka kwenye waleti, ndio nikaitupia tu humo kwenye begi"

    "iiiiiii una hatari babuu"

    "sorry mamuu wangu"

    Basi miriam alianza kujaribu zile nguo, na zilimuenea vizuri sana, yaani chidi kama alipima kiuno cha mtoto wa kike,.. Na nguo zote alizipenda...

    "sasa mamuu... Nilikuwa nina ombi moja"

    "nini tena babuu"

    "kaka yangu anaumwa sana na nahitajika kule hospitalini"

    "sasa wataka nini"

    "nilikuwa naomba nitembee na hii kadi yako ya ATM ili iniseidie kwa mambo madogo madogo, si unajua wenyewe mnavyochelewesha mishahara"

    "Khaaaaaa sasa kitu kidogo hicho unaniuliza mimi.. Kwani huyo kaka yako hanihusu mimi??... Ebu twende uko"

    "hapana miriam, hutakiwi kwenda.. Afu leo nilikuwa kazini"

    "Whaat??... Ulienda kazini.. Na umefanya kazi"

    "ndio"

    "waaooooo Amaizing thing, so i wish mama kakukubali"

    "ila nimewnda kwa kujifanya sijui, hivyo hajui kama nipo na weww, mana hata mimi nimejifanya sijui kama haupo pale kila saaa nakuulizia"

    "ahahahahahaha,..."

    Saa ngapi miriam asimrukie chidi na kuanza kupeana madenda ya hali ya juu,..

    "omari... Leo usiku nakupa haki yako, sintoogopa tena"

    "aahhh tena umenikumbusha, wewe hufai kabisa wewe"

    Aliongea kijana chidi huku akiondoka

    "babuu jamani, leo usiku ntoe bikra bwana nipo tayari"

    "wapi uongo tu"

    "kweli babuu, yaani leo nakupanulia pyuuuu"

    "kwendaaaaa huna lolote wewe"

    "sasa utaona leo, labda ushindwe mwenyewe"

    Basi chidi hakutaka kuchelewa kwenda hospitalini...



    Ile ile tax iliomleta nyumbani ndio hio iliompeleka hospitali,.. Kijana huyo alifika hospitali na kuanza kuulizia wodi aliolazwa kaka yake,... Chidi bila kuchelewa alikwenda ofisini na kuuliza wodi aliolazwa mr Ibrahim

    "shkamoo dokta"

    "mara haba ujambo kijana"

    "sijambo... Aahhh mzee mimi ndio mdogo wake na Ibrahim"

    "aaahhhh ndio wewe eee"

    "ndio dokta"

    "hebu nikuulize, kaka yako alikuwa anaishi ishi vipi"

    "kivipi dokta.... Lakini hebu tuulizane baadae nataka nimuone broo yupo wodi gani"

    "kijanaaa, punguza hasira,... Ila nitakachokwambia usishtuke"

    "una maana gani dokta... Hebu niambie, nisishtuke kwa sababu gani"

    Chidi alianza kupata wasiwasi juu ya maneno ya dokta...

    "sikiliza kijana, nisitake kukuzungusha sana mana wewe ni mtoto wa kiume,... Ukweli wa hali ya kaka yako ni kwamba...





     kaka yako kapatwa na mshtuko wa ghafla uliopelekea kufumua magonjwa mengine yaliojificha"

    Aliongea dokta huku chidi akiwa na wasiwasi juu ya kaka yake,..

    "kwahio sasa nini kifanyike ili kaka yangu apone"

    "aahhhh hospitali yetu ni kubwa lakini kwa bahati mbaya haina madaktari bingwa, hivyo ombi letu sisi ni ninyi ndugu mtie saini, kisha mgonjwa ahamishwe hospitali"

    "sasa dokta, kama hospitali hii imeshindwa, je? Ni hospitali gani tena itakayoweza matibabu ya kaka yangu"

    Aliongea kijana chidi huku akiwa na jazba juu ya dokta huyo

    "hapana kijana... Hatumaanishi apelekwe hospitali ya hapa jijini, bali anatakiwa apelekwe Dar es Salaam"

    "duuuuuuuuuuu.... Dar es Salaam... Huko Dar es Salaam anakwenda na nini"

    "kwakuwa ni mgonjwa na hahitaji mtikisiko wowote ule itabidi pande ndege"

    "UuuuuuuuuuuuWiiiiiiiii haya mambo ya ndege tena ya nini jamani dokta.. Au gharama zinakuwa kwa nani"

    "kwa familia yake"

    Chidi alichoka na kuchoka kabisaa baada ya kusikia mambo ya usafiri wa ndege unamuhusu.. Chidi alijikuna kichwa kisha akatoka nje na kumpigia simu Miriam

    "aahhhhh nimesahau kumbe simu yake kaizima duuuu"

    Aliongea chidi baada ya kusikia simu haikuwa ikipatikana kwa wakati huo



    Kijana aliita tax kisha akarudi nyumbani, alipofika kitu cha kwanza alimkimbilia Miriam na kumuomba kiasi cha pesa,.. Unajua chidi sio kuwa hana pesa ila kuna vipimo anavipima kwa miriam, lakini kwa pesa anazo tena za kutosha tu, japo hakuti pesa za mpenzi wake huyo,..

    "Enheee Babuu vipi shem anaendeleaje"

    Aliuliza miriam huku akionekana kuwa na wasiwasi sana juu ya shemeji yake...

    "aahhh hali yake ni mbaya sana, ila kuna kitu kinaniumiza kichwa"

    "nini tena babuu, nawewe unaumwa tena au"

    "hapana siumwi, ila nina shida kidogo"

    Aliongea chidi huku akiwa anataka kuomba kiasi cha pesa mana karuhusiwa kuitumia pesa ila sio kwa nauli za ndege,

    "nini kwani jamani babuu"

    "kaka yangu, anahitaji kuhamishwa hospitali apelekwe Dar es Salaam, ila hatakiwi kutumia gari, lakini sas..."

    Kabla chidi hajamaliza kuongea kanyamazishwa na Miriam

    "shiiiiiiiiiii.... Tulia hapo hapo,.. Ivi we mwanaume umeshaona tuna pesa za kuchezea eee"

    Miriam kageuka, hata chidi haamini kama miriam angelikuwa mkali kiasi hiki,

    "lakini sijatumia mamuu kama ni kadi yako hio hapo"

    Lakini ghafla miriam alianza kucheka tena kicheko cha kutoa mpaka machozi kabisa

    "ivi mi naweza kuigiza eeee.... Sema nimecheka mapema, nilitaka nione ujanja wako"

    Miriam aliongea hivyo huku akikaa kitandani mana alinyanyuka wakati ule anamsuta chidi wake

    "una maana gani"

    "No, nimekutania tu babuu,.. Sasa huyo shem keshapanda hio ndege au"

    "bado, si ndio nimekuja kuomba kwanza"

    "ivi kwanini unajali pesa kuliko utu, ina maana mimi huyo kaka yako hanihusu mimi"

    Chidi kuskia hivyo wala hakuchelewa kushangaa shangaa, alitoka na kuita tax mpaka hotelini, lakini kabla ya kwenda ofisini kwa boss, alimpitia saidi na kwenda nae mpaka kwa boss sasa haijulikani kuna nini hapo

    "nimerudi boss"

    Aliongea chidi baada ya kufika ofisini kwa boss ambaye ni mama yake na miriam,.. Na wakati huo saidi yupo kwa nyuma

    "sawa endelea na kazi"

    "hapana boss"

    Mama miriam alishtuka kuskia chidi kakataa kuendelea na kazi,

    "kwanini"

    Aliuliza mama miriam huku akiwa na wasiwasi

    "kaka yangu anaumwa sana, na anahamishwa kwenda Dar es Salaam, hivyo kule Dar es Salaam hakuna mtu wa kuwa nae,.. Hivyo naomba ruksa kati ya mimi au saidi aende kuwa nae kule Dar es Salaam"

    Mama kuskia hivyo akapumua kidogo mana alijua chidi ndio anatoroka na mtoto wake nini japo hana uhakika sana kama chidi yupo na miriam, mana kama angelikuwa nae angeliogopa kuja kazini...

    "kwani huyu kijana mnafahamiana"

    Aliuliza mama miriam huku akishangaa,

    "ndio.. Huyu ni mtu wa kijijini kwetu"

    "Alaaaaa, mbona taarifa za kujuana kwenu sizijui mimi"

    "tusamehe boss"

    "ok.. Sasa bora aende huyu, ila wewe baki mana ndio unatakiwa uandae chipsi"

    "sawa boss"

    "una pesa ya kutumia huko aendako"

    "ndio boss tunayo"

    "ok.. Safari njema kwa weww unaesafiri"

    Aliongea mama miriam, na kuwapa ruksa kwa safari yao, lakini kijana chidi yeye haendi, ataenda saidi tu.. Basi waliondoka wote na kwenda hospitali kumchukuwa mgonjwa na kumpeleka Airport kwa safari zaidi..



    Lakini sasa huku kwa mama miriam akili yake haijakaa sawa mana chidi haonyeshi kama kweli anaishi na miriam,...

    "nisije kumkamata kijana wa watu afu asiwe na kosa"

    Aliongea mama miriam huku akipokea simu iliokuwa inaita hapo ofisini kwake..

    "halooo afande... Hebu subiri kwanza mana huyu kijana ananichanganya sana, mana kuna kidhibiti nimekiona ni kweli anae, lakini yeye mwenyewe anaonyesha hako nae, yaani yupo kawaida kabisa yani"

    "kwahio tufanye boss"

    "hebu subiri kwanza ila kesho lazima niwape kazi ya kumkamata lakini leo tumuache kwanza"

    "sawa boss"

    Mama miriam aliongea na kukata simu,.. Yaani akili alioifanya chidi inampa mama wa watu tabu,... Na hivyo chidi ndivyo alivyotaka iwe yaani aaminike lakini kumbe ni joka la kidisa,... Mtihani wa chidi unafaulu mana hicho ndicho alichokitaka chidi kiwe..



    Tukija huku kwa sarah akiwa anatafuta chansi ya kutoka mana mama yake alikuwepo karibu,...

    Lakini akaona kwanini ajitese buuure

    "mama natoka kidogo naenda kwa rafiki yangu"

    Aliamua kuaga kabisa kuliko kutoroka toroka

    "wapi tena... Kama ni miriam si hayupo"

    "sio kwa miriam"

    "afu... Mwambie miriam kuwa aachane ujinga"

    "kwanini mama"

    "miriam katoroka kwao na mimi ndio najua mpaka alipo"

    "mmmmhhh mamaaaaaa we nani kakwambia siri hio"

    "we nenda zako ila usichelewe kurudi nami nina safari zangu"

    Sarah hakutaka kuuliza sana kuhusiana na sehemu alipo miriam, japo anajua yupo kwa mpenzi wake lakini sarah hajui nyumba wanayoishi,

    Sarah alichukuwa gari yake kisha huyoo akaondoka zake, haikujulikana anakwenda wapi

    http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Tukija huku kwa akina sabra na dada jasmini, wakiwa wapo sebuleni wakimchezea mtoto huyo,..

    "lakini dada haka katoto ni kazuri eti"

    "hata mi mwenyewe nakapenda kweli, ila duuuu"

    "ivi dada, hatuqezi kuarisha mpango"

    "weeeeeee... Weeeeeee... Weeeeeee... Ishia hapo hapoooo... Nani aishi kimaskini hivyo"

    "lakini dada"

    "hakuna cha lakini.... Kwanza siku zinazidi kwenda na wewe huoni hata kuwa kampuni zetu zinashuka kabisa"

    "ni kweli dada ila mmhhh, au basi tu"

    Sabra alionekana kutokupendezwa na hali hio, lakini dada yake ndio mwenye nia ya kufanya ushetani huo

    "yaani uyu mtoto anafanana na chidi aaahhh yaani utafikiri sura imebandikwa"

    Aliongea sabra huku akimkagua mtoto huyo

    "wamefanana ni kweli, tena si unaona hata hii alama hapa usoni, hata chidi anayo"

    "dadaaa,.. Tafuta mtoto mwingine dada"

    "sabra nitagombana na wewe, nishakwambia tutagombana"

    "basi yaishe"

    Sabra alitulia kama mdogo mtu mana hakuwa na maamuzi juu ya hilo lakini sabra yeye yupo tayari kuishi hali ya kimaskini kuliko kuuwa mtu ndio upate pesa....



    Tukija huku kwa chidi akiwa ndio anarudi Airport kumsindikiza saidi na kaka yake waliokuwa wanakwenda Dar es Salaam kwa matibabu zaidi,.. Lakini wakati anarudi ghafla simu yake inaita kucheki jina alikuwa ni sarah, aliipokea simu hio tena kwa furaha nzuri

    "haloo baby chidi wangu upo wapi"

    "nipo hapa tanapa, natoka Airport"

    "kufanya nini"

    "kaka yangu anaumwa hivyo anapelekwa Dar es Salaam kwa matibabu zaidi"

    "ooohhh so vp nipo HALF HOTEL hapa nakusubiria"

    "wachaaaaaa.... Nakuja sasa hivi mana hata mimi nina hamu na wewe mpaka basi"

    Chidi alifurahi baada ya kusikia kuwa sarah alikuwa akimsubiria, mana hata yeye ana muda hajakutana nae,.

    "Eti eee... Njoo basi"

    "subiri dakika tano nipo hapo... Dereva kimbiza gari fasta, twende hapo HALF HOTEL chap chap kuna mtoto apo"

    "poa poa boss"

    Basi chidi aliiweka simu yake mfukoni huku akimvutia kasi mpenzi wake sarah,...

    Dakika tano mbele chidi anaiona gari ya sara ikiwa imepaki nje ya hoteli fulani hivi jijini hapo,... Sasa chidi kujisachi, alijikuta hana pesa ya kulipa taxi, mana utoaji wa pesa kwenye akaunti ya miriam hua anatoa pesa inayotakiwa yaani hatoagi na balansi, kama inatakiwa lakini tano basi ni hio hio ndio inayotoka,..

    "boss nipatie pesa basi"

    Dereva aliongea hivyo huku akinyoosha mkono wake... Chidi alishika simu yake na kumpigia sarah aje pale alipokuwa kasimama,. Kweli Sarah alimwona chidi wake na kumkimbilia...

    "jamaaani chidi wanguuuuuu"

    "niambie baby... Sasa baby ebu lipia hii tax kwanza kisha tuendelee na mengine"

    Sarah hakutaka kuuliza ni kiasi gani alitoa elfu 50000 na kumpa dereva tax... Chidi alitoa macho mana pesa aliopewa dereva ni kubwa na wenyewe walielewana shilingi elfu 30 tu kutoka hospitali mpaka Airport kisha kumrudisha mjini... Chidi alitaka kusema pesa kubwa lakini akatulia tu ile kiume, lakini imemuuma kweli dereva yule kupewa pesa ndefu vile, mana chidi ni bahili kinoma na ndio mana anajiita #tAfBoy (Tanzania's Frugal Boy)... Basi dereva aliondoka zake kisha chidi na sarah wakaingizana ndani ya hoteli hio...



    Walipofika chumbani wakiwa wameingia na nyama choma na vinywaji vingi tu...

    "ina mana baby umekosa hela ya kulipa tax"

    Aliongea sarah huku akimvizia amnyonye denda

    "yaani ata sijui kwanini sijatembea na pesa"

    "waaapi we muongo jamani baby... Suruali lote hili halina hata mia,.. Usifanye hivyo baby, ungenipigia hata simu nikutumie pesa"

    "aahhh hua spendi kuomba"

    "afu we utakuwa na pesa sema ulifanya kusudi tu, ili mi nilipe"

    "kweli sina sachi uone"

    Kweli Sarah ile kiutani utani kaanza kumsachi chidi katika mifuko... Chidi akatoa waleti iliokuwa imetuna lakini haikuwa pesa, bali yalikuwa ni lisiti za vitu alivyokuwa akivinunua kule hotelini, pamoja na vitambulisho vyake,... Basi chidi akaitupa pale kitandani ile waleti huku sarah kuingiza mkono mfukoni lakini kaenda kushika vitu vingine vya ndani

    "sarah jamani sasa unatafuta pesa au dudu yangu"

    "hii dudu ndio naitaka sina shida ya kujua pesa zako"

    "ngoja basi nivue nguo baby"

    "aio wewe tu, hata mimi navua"

    Dakika mbili mbele wote walikuwa na vichupi tu,...

    "mmmhhhh leo umevaa chupi nzuri jamani sarah wangu"

    "wewe pia una boxer nzuri... Ila nimependa zaidi kilichofichwa na hii boxer"

    "mmmhhhh kichupi chako chantia nyege"

    "afu mi naona unapendaga kuwashikia kuku wako manati ee"

    "kwanini"

    "sasa mbona unanitamani tu lakini mbona huivui chupi yangu ili ule vyako"

    Sarah hata yeye alikuwa ana hamu na chidi kuoita maelezo yaani hapo mtoto anafanya kutetemeka kwa hamu...

    "Ayaaaa... Ni nini hiki kinaniumiza baby"

    Ooohhh Sarah aliilalia ile waleti na kujihisi kama kaumia

    "aahhh ni hio waleti ilete tuiweke huku"

    "afu kwanini umejaza mikaratasi tuuuu yaani nachukia mimi... Hebu ona haya makaratasi yote ya nini humu..... Haaaaaaaa chidi hii kadi umeitoa wapi"

    Heeeeeeeeeeeee Sarah kaona ile kadi ya miriam ambayo chidi anatembea nayo, chidi kuskia hivyo tu, moyo wake ulimpasuka paaaa..

    "unasemaje, kadi gani hio"

    Sarah alishuka mpaka kitandani huku akiwa kaishika hio kadi ya rafiki yake mpendwa,.. Sarah anajiuliza maswali mengi ni kwanini chidi anatembea na kadi benki ya rafiki yake, tena rafiki yake kama ndugu...

    "chidi,... bila kupata kigugumizi naomba uniambie hii kadi umeipataje pataje, kutoka kwa mwenyewe, na kakupa ukiwa kama nani"





    Aliongea sarah huku akiwa kakasirika ghafla,...

    "ngoja kwanza, kwani unamjua huyo dada"

    Chidi Alimuuliza Sarah huku akiwa ana hofu juu ya hilo

    "huyu, ni sawa na ndugu yangu,.. Yaani toka watoto mpaka leo hii tupo pamoja, sasa ndio nashangaa kuona kadi yake kwako"

    Sasa chidi kuskia hivyo, hofu ilimtoka kwasababu tayari keshajua njia ya kuanzia, mana kama wanajuana vizuri basi hata makazi yao wanajuana... Hivyo chidi akatulia kama sekunde kadhaa hivi kisha akaanza kuongea trna kwa kujiamini mno...

    "sasa kama wewe ni ndugu yake na huyo dada, mbona hata wafanyakazi wake huwajui"

    Aliongea chidi tena kwa kujiamini mno..

    "una maana gani"

    "mimi nafanya kazi kwenye hoteli yao"

    Sasa sarah kuskia hivyo akavuta kumbukumbu kuwa kuna siku miriam alimwambia kuwa...



    "Sarah, kwenye hoteli yetu kumeletwa kijana mpya, hakiyamungu vile nimempenda bure, yaani nampenda mpaka basi"

    Aliongea miriam siku hio walipokuwa chumbani, na siku hio miriam alienda kulala kwa sarah,..

    "eeeeehh yaani kaka wa watu kuja leo tu ushampenda"

    "kiukweli nampenda, ila sijui njia ya kumnasa"

    "heeeeeeeee kwani yupo kitengo gani hapo kwenu"

    "Ni mpishi wa chipsi... Anajua kupika chipsi huyo, Uuuuuuuwwwiiiiiiiii"

    "booooo yaani unampenda mpika chipsi.. Heheeeew halooooo bora ya mie ninaemiliki jambazi kuliko mpika chipsi.. Mtu aungue na moto ukoo"

    Aliongea Sarah twna huku akiwa anacheka kwa dharau baada ya kujua miriam kampenda mpika chipsi,..

    "sarah, naomba tueshimiane please tutagombana"

    "Eheheheheeheheheheheheh halooo shost umebugi, tafuta watoto wa maana kama wangu"

    Miriam alikasirika sana lakini hivyo ndivyo ilivyokuwa....



    Sasa baada ya sarah kukumbuka maneno hayo, Sarah Alimuuliza chidi swali moja tu

    "wewe ni mfanyakazi wake si ndio, je upo kitengo gani"

    Chidi kabla hajajibu kitu akayachuja yale maneno mara moja kisha akamjibu...

    "mimi ni mtu wa nyama,.. Au ulishakuja kule upande wa nyama choma ukanikosa"

    Chidi aliongea hivyo mana anajua tu hakuna siku kaja pale hotelini, hivyo hata sarah atabaki kimya...

    Sarah baada ya kujua kuwa chidi ni mchoma nyama pale hotelini basi hakuwaza kibaya tena

    "ok na hii kadi umeipataje"

    "aahhhh nakumbuka jana mchana mama yake alikuwa katoka kupeleka pesa benki,.. Lakini nyama iliisha jana mchana, na ofisini hakukuwa na pesa, ikabidi miriam anipe kadi yake nikanunue ng'ombe mzima, hivyo mpaka sasa nimebaki na kadi yake na hata leo asubuhi sijamuona, ila leo nataka nikampe mama yake"

    Sarah alikosa la kuongea baada ya kusikia maneno hayo, aisee chidi lina akili, lakini spati picha aiku akikamatika, na uzuri ni kwamba tayari keshajua kuwa huyu sarah na miriam ni marafiki tena wakubwa sana,



    Basi Sarah alimuelewa kijana chidi kisha akairudisha ile kadi katika waleti, mambo yalianza upyaa,.. Chidi na sarah walianza kunyonyana madenda huku chidi akimminya minya Sarah makalio yake alio yavalisha chupi lainii na chidi ndio alizokuwa akizipenda mana zinampaga hisia za mapenzi kwa haraka mno.. Sarah alikuwa kajivisha uchupi wa bluu, mlainiiiiii, chidi alikuwa akiishambulia kwa kuishika shika na kuifanya kama anaivua hivi, wakati huo boxer yake imetuna na ilikuwa ikimgusa sarah katika mapaja yake

    "jaa yako anakasirikaga mapema ee"

    Aliongea Sarah kumaanisha kuwa Zakaria wa chidi anasimama mapema sana kana kwamba ni rijali wa hali ya juu,... Sarah aliingiza mkono wake ndani ya boxer ya chidi na kukutana na zakaria,.. Sarah keshaizoea zakaria hio na ilishamla siku za nyuma tena sio mara moja,..

    "chidi hebu vua hii miboxer yako basi"

    Chidi aliivua boxer hio ili asimuuzi mtoto wa kike,.. Wakati huo sarah kashika zakaria ya chidi tena kwa ustadi mzuri,... Sarah alimsukuma chidi mpaka kitandani kisha akaiwahi zakaria ya chidi na kutaka kuitupia mdomoni

    "saraaaaa, acha bwana usifanye hivyo"

    Chidi alikataa kunyonywa dudu, mana anajua madhaifu yake yaani ukimnyonya basi hakawii kupizi mana hakuna kitu nyenya joto kama mdomo,.. Sasa chidi yeyw hataki kitendo hicho kifanyike,..

    "chidi jamani kwani mi nani wako"

    "najua na wewe unajua lakini sipendi kufanyiwa hivyo"

    "kwahio hutaki kuniridhisha mpenzi wako"

    "napenda sarah, lakini mimi sijaoga siku kama ya tatu hivi"

    Chidi aliamua kumdanganya ili aone ni pachafu, mana mambo ya kunyonyana yanahitaji usafi hivyo lazima mtu ataacha pale atakapogundua ni pachafu,..

    "hata kama lakini nakunyonya tu"

    "sarah, unataka uniuzi sasa"

    Chidi hataki kwasababu akinyonywa atapozi mapema kuliko muda anaotaka apizi kwa wakati wake..

    Sarah alikuwa mpaka analia kwa kutaka kuinyonya zakaria ya chidi, basi chidi hakuwa na budi, alimwacha sarah afanye anachotaka.. Chidi alianza kujiskia vibaya kila sarah anapoinyonya nanii yake,... Tena alikuwa akiinyonya kwa ufundi wa hali ya juuu mno.. Chidi alikuwa anakaribia kuachia wazuri akamtekenya sarah mbavuni ili amuachie.. Alipomwachia tu chidi kamuwahi na yeye, kaivua ile chupi vizuri kisha akaanza na yeye kufanya yake,...

    "aaahh.... Ahhhhh... Ahhhh... Hahhhh... Aahhh"

    Milio ya Sarah iliskika baada ya chidi kuanza ufundi, sasa kitu kilichomfa sarah apige kelele za kufika kileleni, kumbe chidi alikuwa akimnyonya sarah huku kidole chake kipo kwa huku,.. Hili zoezi ni baya sana kana kwamba kwanamke anashindwa kujizuia kutoka na sehemu zote kutumika...

    "chiiii.... Chiiiii. Chi.... Chidiiiiiiiiiii... Aaahhh aaahhh bahhh. Uuuuuuuwwwiiiiiiiii"

    Sarah aliweza kufika kileleni bila tabu.. Chidi akawa hakomi tu anaendelea na zoezi lile lile la kumnyonya sarah sehemu yake nzuri..

    "chidiiii... Nifanyie kazi basi"

    Sarah alimaanisha sasa kesha lainika tepe tepe,.....



    BAADA YA SIKU KAMA TATU KUPITA



    Leo chidi akiwa yupo kazini, tena alikuwa gana hofu hata kidogo mana miriam bado anae na mama hajui kama miriam yupo kwa chidi, lakini huezi amini mama miriam leo kachafukwa, yaani siku zote alimuacha kwasababu kuna kidhibiti alikiona kuashiria mtoto wake yupo, lakini pia ana hofu kwasababu anaweza kumkamata mtoto wa watu kumbe mwanae hayupo kwake, hivyo ndio maana mpaka leo mama miriam katulia huku akifanya upelelezi wa kimya kimya,...

    Sasa chidi akiwa yupo jikoni tena bize kweli... Huku ofisini mama miriam anawapigia simu polisi waje wamkamate kijana huyo,.. Lakini sasa kama vile chidi alikuwa na machale japo hakujua kinachofuata, haikupita hata dakika 5, difenda ipo nje ya hoteli hio Chidi alikuwa akisisimkwa na nywele, lakini asijue kuwa kuna baya linakuja....



    Ghafla anasikia sauti ya mama miriam ikitoa amri ya kukamatwa kwa chidi

    "kijana mwenyewe ni huyo hapo, mkamateni"

    Heeeeeeeee hata wapishi wenzake wanashangaa kuna nini tena, mana hata wapishi hawajui kinachoendelea, maskini chidi anashikwa na kufungwa pingu kisha afande mkuu akasema kuwa....

    "lazima ukatuonyeshe mtoto wa huyu mama yupo wapi"

    Aliingea afande huyo huku chidi akipelekwa kwenye gari msobe msobe huku akiwa na pingu mikononi,... Chidi alirushwa kwenye gari kisha akasimamishwa ili atoe ramani ya kwenda mpaka huyo mtoto wa kike alipo...

    "lakini afande mimi sijui lolote"

    Aliongea chidi huku akiwa anatia huruma sana,..

    "nasema kimya, nataka twende nyumbani kwako sasa hivi"

    Aliongea afande huyo huku mama akifuata nyuma na gari yake aina ya Vogue,.. Wakati huo chidi kapigwa pingu hivyo hata kutumia simu hawezi na anajua fika miriam yupo nyumbani kwake,..

    Haikupita muda wakafika mpaka nyumbani kwa chidi,.. Maskini ya mungu miriam akiwa yupo jikoni anapika chakula cha mchana, na halima alikuwa yupo ndani,..

    "onyesha ni chumba gani"

    Aliongea afande mmoja huku akitaka kumpiga chidi.. Lakini mama miriam akatoa amri asipigwe amtaje tu alipo kwa upole,... Sasa miriam kuskia zile sauti alijua kuna sauti ya mama yake kaisikia, miriam haraka haraka alijificha ndani ya chumba hicho hicho..

    "sema ni chumba kipi"

    "ni hicho hapo"

    Mama miriam kuonyeshwa tu kuwa ni chumba hicho yeye ndio alikuwa wa kwanza kuingia ndani ya chumba hicho mana,.. Mazingira alioyakuta humo nfani yalionyesha dhahiri kuwa kuna mwanamke humo ndani,.. Lakini mwanamke mwenyewe haonekani,... Mama sarah kwakuwa yeye ndio. Mwanamke hapo, ilibidi aingie bafuni kwa kuhisi labda miriam atakuwa bafuni kwa wakati huo, mama alifungua mlango wa bafu kisha akaangaza macho hakukuwa na mtu, lakini mama miriam alitabasamu tu baada ya kuona mazingira ya bafu yalivyo.. Mama alitoka mpaka sebuleni lakini mpaka hapo moyo wake ulikuwa na amani kuwa mwanae yupo, sasa sijui kaona nini kule bafuni.. Sasa afande walipekuwa kila kona lakini hawakuona mtu mwingine zaidi ya halima waliomkuta anaangalia tv, Ila hawajui miriam kajificha wapi na humo humo ndani ya nyumba, wakati huo mama miriam yupo nje na hakuwa na wasiwasi kabisa, mana alijua tu mwanae yupo tena ndani ya nyumba hio hio sema hajamuona,..

    Sasa afande wote walitoka nje na kumfuata chidi...

    "we mpumbavu tuonyeshe mtoto wa boss yupo wapi"

    Aliongea mmoja wa maafande hao,..

    "hayupo kweli vile"

    Chidi alipata nguvu baada ya wao kutafuta na kumkosa, ila hata chidi alijiuliza huyu miriam wa watu kaenda wapi na alimwacha ndani hapo....

    Sasa kuna afande wa mateso yupo eneo hilo, aliitwa na kuanza kumtesa chidi ili aseme mtoto wa mama huyo yupo wapi,... Na chidi kashikwa kwenye mbavu kitaalamu zaidi, sehemu ilimfanya chidi apate maumivu makali na kupiga kelele...

    "sema mtoto wa boss yupo wapi"

    Aliongea afande huyo huku akiendelea kumminya chidi katika mbavu zake....

    Sasa huku ndani, miriam alianza kuumwa na roho, yaani mpenzi wake anateswa kwa ajili yake... Miriam roho ilimuuma na kushindwa kuvumilia alikurupuka sehemu alipokuwa kajificha...

    "aaaaaaaaaaaaaiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii"

    Hizo ni kelele za chidi kwa mateso aliokuwa akiyapata... Miriam alikuwa akilia huku akiamua kutoka nje ili chidi aachiwe,

    "basi mwacheni....

    Iliskika sauti ya kike iliowafanya watu wote wageuke na kumwangalia huyo aliosema chidi aachwe, Lakini sauti hio haikuwa ya miriam wala mama yake,





    Sasa turudi nyuma kidogo kabla ya polisi kuitwa na mama Miriam,.. Wakati huo mama miriam akiwa ofisini kwake akiwaza ni jinsi gani ataweza kumpata mtoto wake, mana mtu anaemtarajia kuwa nae haonyeshi kama kweli yupo nae, japo kuna baadhi ya vizibitisho keshaviona juu ya mtoto wake kuishi kwa kijana chidi... Lakini akiwa yupo hapo ofisini kwake mawazo yakiendelea kumsonga, ghafla simu yake inaita, alishtuka sana mana alikuwa katika dimbwi la mawazo mazito sana,.. Kuangalia jina la aliepiga alikuwa ni mama sarah,

    "haloo mama Sarah habari yako"

    "salama tu mama miri, vp miriam kesharudi nyumbani"

    "waaapi mama Sarah, yaani hapa nilipo kichwa kinaniumaa mana nashindwa nianzie wapi kutoka sasa"

    "mmmhhhh pole sana, na vipi kuhusu huyo kijana, umeshamkamata"

    "nashindwa kumkamata kwasababu huenda nikamuonea kijana wa watu afu kumbe sie aliohusika, japo kuna maadhi ya vizibitisho vinavyoonyesha yupo kwake"

    "kwanini usimfuatilie mpaka kwake huyo kijana"

    Aliongea mama Sarah huku kama anataka kumwambia ukweli..

    "sijui anapoishi sasa"

    "sikiliza mama miri,.... Mtoto wako keshakuwa mtu mzima sasa na anajua alitendalo... Nenda kwa huyo kijana utamkuta mtoto wako"

    "What???..... Ina maana kwamba hata wewe ulikuwa unalijua hilo mama sarah"

    "ndio nilikuwa nafahamu sana tu, ila nilijua siku ile miriam atarudi nyumbani na ndio maana sikutaka kumchonganisha yule kijana na wewe,.. Lakini sasa roho inaniuma ninaposikia kuwa mpaka leo hajarudi"

    "ok kwahio una uhakika miriam yupo kwa omari"

    "omari gani tena??"

    Mama miriam yeye anamjua chidi kama omari kama jinsi alivyojitambulisha kijana chidi, sasa mama Sarah alishangaa kuskia anatajwa kwa jina la omari..

    "si huyo kijana"

    "huyo haitwi omari, anaitwa Rashidi"

    "Alaaaaa, kwahio inaonekana alikuja kwa nia hio eee"

    Aliongea mama miriam

    "hapana sema ujana tu ndio ulimsumbua"

    Mama Sarah kila kitu alikuwa akimtetea kijana chidi,..

    "ok hebu nielekeze kwenye hio nyumba anayoishi"

    Basi mama Sarah alimwelekeza mama miriam nyumba anayoishi huyo kijana.. Siri ikawa imefichuka kwa mama mzazi wa miriam.. Lakini mama miriam hakutaka kuanza kupata shida ya kuifuatilia nyumba hio badala yake aliita polisi wamkamate chidi ili waende nae katika nyumba aliopo mtoto wake, mana keshapata uhakika juu ya miriam alipo.. Hivyo chidi akakamatwa mpaka nyumbani kwake



    Walipofika nyumbani kwa chidi kama jinsi ilivyokuwa mama mzazi wa miriam aliingia mpaka bafuni na kukuta nguo za ndani za kike, na ndio maana mama miriam alipoingia bafuni alitabasamu kwa furaha mana kajua mtoto wake yupo,.. Na hizo nguo za ndani sio mara ya kwanza kuziona, bali kuna mahari alisha ziona kabla ya hapo, sasa sijui alizionea wapi... Sasa mama miriam ile anatoka tu bafuni akamuina mtoto mdogo ambae ni halima

    "shikamoo"

    Halima alikuwa kaketi katika kiti kizuri sana huku akitoa salamu kwa mama yake miriam,

    "marahaba ujambo mama"

    "sijambo"

    "mama ako yuko wapi"

    "kaenda dukani.."

    Sasa mama miriam alizidi kupata amani juu ya maisha ya mtoto wake baada ya kuona baadhi ya nguo nyingi ndani hapo,.. Basi mama sarah alipotoka wale afande ndio wakaingia na kuanza kutafuta kila kona lakini hawakumwona miriam,.. Lakini mama miriam alitumia akili moja ya ziada,.. Aliwaita wale afande na kuwaambia kuwa

    "sikilizeni, huyo msichana wangu hayupo mbali, na wanaonekana wanapenda mno, hivyo kama kuna mmoja wetu anaweza kutoa mateso kwa huyo kijana, atoe na miriam atatoka huko alipo"

    Mama alitoa wazo moja zuri sana ambalo hata maafabde hao hawakuliwaza.. Chidi alishushwa juu ya gari na kisha akaanza kubanwa katika mbavu, maumivu aliokuwa akiyapata huku akiulizwa na afande kuwa

    "sema mtoto wa boss yupo wapi"

    Sasa chidi kuina kuwa wao wametafuta mpaka basi na hawajampata, akaona wacha aendelee kukaa kimya japo alikuwa akiumia sana...



    "Aaaaaaaaaaiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii"

    Hizo ni kelele za kijana chidi zikiashiria kuumia sana kwa kutokusema ukweli...

    Sasa huku ndani, kumbe pale alipokaa halima na kuonekana kama kiti kizuri kumbe ndio miriam alijiweka pale kama kiti fulani hivi afu akajifunika na kanga... Yaani kwa jinsi alivyokaa ni ngumu kujua kama huyo ni mtu, lazima ujue ni kiti, tena kwa juu kuna mtu kakaa, basi ni dhahiri kuwa huezi jua kama kuna mtu,.. Miriam kuskia sauti ya chidi aliamka pale alipokuwa kakaa na kutoka nje,.. Miriam alihisi anaumia yeye kwa jinsi anavyompenda kijana huyo,.. Lakini sasa ile anatoa tu mguu kuna sauti iliskika kwa nyuma



    "basi mwacheni huyo kijana, kwani hamumuoni miriam huyo hapo keshakuja"

    Iliskika sauti ya kike iliowafanya watu wote wageuke na kumwangalia huyo aliosema chidi aachwe, Lakini sauti hio haikuwa ya miriam wala mama yake,

    Alikuwa ni mama sarah ndio alioongea kauli hio ya kuachwa kwa chidi,..

    "mwache mpenzi wangu,.. Muachieeeeee"

    Miriam alianza kugombana na maafande wakati wakiwa wamemshika vibaya.. Mama miriam kumwona mwanae alimfuata na kumnasa kibao kimoja saaafi kabisa, kisha akamsukumia ndani ya gari na milango ya gari ikafungwa...

    "huyo kijana mpelekeni ndani akashike adabu"

    Aliongea mama miriam huku akiingia kwenye gari yake aina ya vogue.. Na miriam alikuwa ndani ya hio gari ya mama yake akiwa anatafuta mahari pakutokea ili aweze kumseidia mpenzi wake...

    Lakini milango yote ilikuwa imelokiwa vizuri,... Mama sarah baada ya kuona mama Miriam kaondoka, Aliwataka wale maafande wasije wakamtesa kijana huyo mpaka mama Miriam atakapo lizika kwa kutoa adhabu kwa kijana huyo.. Basi mama miriam alitoa fungu la kutosha kwa askari hao ili chidi asije kupitia matese akiwa yupo sero.. Unajua mama sarah anaheshimiana sana na mama miriam hivyo kwa wakati huo hawezi kumseidia chidi awepo uraiani kwasababu ataonekana yeye ndio chanzo cha miriam kutoroka, hivyo ikabidi atulie tu,... Mama sarah kaondoka zake na zile difenda nazo zinaondoka, ila sasa wakati wameshafika mbali chidi ndio anakumbuka kuwa kule ndani kuna mdogo wake, na mdogo wake huyo bado hajajua hata kujipikia mwenyewe,...

    "afande naombeni dakika mbeli tu nirudi nyumbani"

    "wewe, usitufanye tukiuke sheria ya yule mama kuwa tusikutese, we tulia hivyo hivyo"

    Chidi alitulia tu lakini alikuwa akilia sana juu ya mdogo wake halima..

    Na wakati huo huku nyumbani halima alikuwa akilia maana action zote kaziona, kamuona wifi yake akiingizwa katika gari tena kwa lazima, alimwona kaka yake akiteseka kwa kuminywa mbavuni, hivyo kwa sasa kabaki hana mtu wala hajui atakula nini na wakati huo njaa inamuuma sana, na pia walikuwa wakipiga chakula cha mchana yeye na wifi yake...



    Sasa huku kwa akina miriam,.. Miriam alifungiwa chumbani kwake huko tena mama yake akafunga na ufunguo kabisaa,... Lakini miriam pia alikuwa analia kwa kumuacha halima peke yake kule ndani,.. Miriam bila kuchelewa aliiwasha simu yake, maana aliizima siku zote hizo alipokuwa anaishi kwa chidi,.. Namba ya kwanza kuitafuta ilikuwa ni ya sarah,... Alimpigia sarah



    Lakini wakati huo huku kwa chidi nae ndio alikuwa anatupiwa sero,.. Lakini utamu wa sero ya chidi aliwekwa kwenye sero ya peke yake na yote hio ni kwamba polisi walihongwa pesa na pia waliahidiwa kuwa mama sarah atakuja kumwona kila mara, hivyo kutokana na pesa kuwepo chidi alitenganishwa na mahabusu wengine walipo eneo hilo,.. Mahabusu wengine walikuwa wakiulizana kuwa huenda chidi ni mtoto wa kiongozi fulani au kidogo fulani nchini, mana katenganishwa na wao....



    Tukija huku Dar es Salaam katika hospitali kuu jijini hapo, Ibrahim alionekana kupata nafuu, kwani hata kula alikuwa anakula vizuri,... Ni siku tatu toka aende Dar es Salaam, na hali yake ilionekana kurejea, saidi akiwa ndio muuguzi wake, tena alikuwa yupo karibu mno,... Sasa hata kuingea alikuwa anaweza kuongea kabisa,...



    Sasa turudi jijini arusha, Sarah akiwa anaiona simu ya rafiki yake miriam ikimpigia, alishtuka sana mana miriam alipoondika alimwambia nitazima simu yangu kwa muda usiojulikana,... Sarah aliipokea simu hio

    "haloo miri... "

    "Eeeee Sarah mambo best yangu"

    "safi tu miri upo wapi"

    "nipo nyumbani sarah nimefungiwa yaani hata kutoka sijui nitatokaje"

    "heeeeee mama yako kajua ulipo"

    "ndio ila mama yako ndio kamuinyesha mama yangu kule nilipo"

    "Ati nini.... Kwani Huyo mama yangu anajuana vipi na mpenzi wako"

    Sarah alishangaa sana kwa kusikia kuwa mama yake anajuana na mpenzi wa miriam

    "mi sijui.. Ila kuna kitu naomba uniseidie"

    "kitu gani tena..."

    "mpenzi wangu ana mdogo wake wa kike... Sasa tumemuacha kule nyumbani kwake na hana mtu wa kuwa nae"

    Aliingea Miriam huku akilia kwa uchungu mzito..

    "kwani huyo mpenzi wako yupo wapi"

    Aliuliza sara huku akisubiri jibu kwa hamu..

    "kapelekwa jela"

    Aliongea Miriam bila kumficha rafiki yake kipenzi..

    "Mungu wangu jamani miriii, pole shost yangu.. Ila ndio hivyo vumilia tu"

    "Sarah... Naomba please ukamchukue wifi yangu, ni mdogo hajui hata kupika please nakuomba Sarah wangu"

    Sarah machozi yalishaanza kumtoka mana ilikuwa ni action ya aina yake juu ya swala hilo,..

    "sawa, nitakwenda... Nipe namba ya nyumba nikamchukuwe"

    Hapo sasa ndipo pabaya kabisaaa, mana Sarah anapajua nyumbani kwa chidi, maana alishakwenda mara kadhaa tena alishawahi kulala huko huko usiku mzima, hivyo namba ya nyumba sarah anaijua ila kwakuwa wote hawajuani, mi sijui nini kinatokea...

    "Ni kule sakina, mtaa unaitwa mtaa wa sita alafu nyumba namba 42.. Chumba chake niiiii... Aaahhhh namba ya chumba niiiii,... Aaaahhh kama imenitoka kidogo"

    Miriam alisahau namba ya chumba lakini sasa sarah yeye kwa jinsi mwanzo alivyotaja sarah alijua inaelekea kwa mpenzi wake... Sarah akaitaja namba ya chumba hicho makusudi ili ajue kama ni chumba hicho, mana namba ya nyumba ndio hio hio aliopo chidi lakini sasa namba ya chumba ndio noma...

    "miriam taja namba basi niende"

    "nimeisahau ila naikumbuka kwa mbali"

    "ok... Ni chumba namba 14 au"

    Sarah alitaja namba ya chumba hicho, lakini huku miriam alishaanza kukunja sura ghafla baada ya kusikia sarah kajuaje namba ya chumba cha mpenzi wake.. Miriam alimwita best yake... Kwa hasira ya chini

    "Sarah????"

    "Nini"

    "Hicho chumba umekijuaje wewe"



    Kila mmoja alikuwa na wivu juu ya mpenzi wake, hivyo kila akisikia ujirani mwingi baina ya mpenzi wake na mtu fulani hua hasira zinajaa kichwani mwake, kama miriam kuskia tu sarah kakijua chumba cha chidi basi hasira tayari zimeshapanda, tena wakileta utani huenda wakauvunja hata urafiki mana kila mmoja wao anampenda chidi, yaani kila mtu yupo tayari kufa kwa ajili ya kijana chidi, ila sasa chidi ndio kwanza juzi ndio anajua kuwa sarah na miriam ni marafiki wakubwa sana, hivyo hata yeye kichwa kinamuuma kwa siku ambayo ndio wanajuana, itakuwaje?...

    Maongezi ya miriam kumwomba sarah aende nyumbani kwa chidi kumchukuwa halima, yalianza vizuri lakini ghafla yalibadirika na kuwa kama ilivyo..

    "ok... Ni chumba namba 14 au"

    Sarah alitaja namba ya chumba hicho, lakini huku miriam alishaanza kukunja sura ghafla baada ya kusikia sarah kajuaje namba ya chumba cha mpenzi wake.. Miriam alimwita best yake... Kwa hasira ya chini

    "Sarah????"

    "Nini"

    "Hicho chumba umekijuaje wewe"



    Aliuliza miriam huku akiwa makini kuskia sarah atasemaje kuhusu chumba hicho

    "lakini miri, we utakuwa umekosea namba ya nyumba anayoishi huyo mpenzi wako.. Mana hata mimi mimi mpenzi wangu anaishi nyumba namba 42 chumba namba 14, sasa huenda mpenzi wako na wangu vyumba vyao vinafanana namba, lakini kwa namba za nyumba labda umekosea miri"

    "aahhhhh lakini kwa namba ya nyumba naikumbuka ni hio ila sina uhakika sana, ila namba ni hizo hizo"

    "basi wacha mimi niende... Huyo mtoto anaitwa nani"

    Sarah aliuliza kuwa huyo mtoto anaitwa nani ili asije akabeba mtoto wa watu

    "anaitwa halima"

    "ok wacha mi niende... Kwahio wewe unasema umefungiwa ndani"

    "ndio Sarah, yaani sina hata njia ya kufanya hapa"

    "ok wacha nikamchukue wifi yako kwanza kisha, tutajua cha kufanya"

    "sawa sarah asante shost"

    "usjali"

    Basi sarah alikata simu lakini kwa jinsi namba zilivyotajwa na miriam hata yeye zilimpa wasiwasi juu ya mpenzi wake,... Lakini yete na yote aliamua kuondoka na kwenda kumchukuwa halima ambaye hata yeye ni wifi yake..



    Wakati huo huku kwa chidi akiwa bado yupo ndani ya sero au mahabusu, akiwa bado hajui nani atamtoa au nani atamtetea katika kesi hio, na mama miriam alikuwa yupo siriasi na familia yake hivyo hakuwa akitaka utani na mtoto wake,.

    "oya afande njaa inauma jamaa angu"

    Aliongea kijana chidi baada kuhisi njaa akiwa ndani ya sero,..

    "kaa kimya mjinga wewe, tutakuchanganya na wale wenzio kule we tupigie kelele hapa"

    Chidi akiangalia wale mahabusu wengine wanavyogombana kila mara, Aisee hatamani kabisa kuchanganywa na watu hao,.. Mpaka hapo alimshukuru sana mama sarah kwa kuhonga kuwa akiwa sero asiteseke,... Haikupita muda mara msosi huo umekuja na tena ulikuwa msosi wa maana,... Wale mahabusu wengine walikuwa wakimtamani chidi kwa vile alivyotenganishwa na vyakula vizuri

    "kuna mama kaleta hicho chakula"

    Aliongea askari aliokuwa akilinda sero hio

    "anaitwa mama Sarah"

    "sasa unamuuliza nani?"

    "basi yaishe boss"

    "kula fasta... Msenge wewe unakula chakula kizuri tu kisenge senge"

    Chidi alitulia tu huku akila kwa haraka mana hapo alipo alikuwa na njaa ya hatari, afu pia haikuwa sehemu ya kula kistaarabu mana ni sehemu ya kijeshi jeshi...



    Tukija huku Dar es Salaam kwa akina salma na Jackson, Salma akiwa anataka kutoroka nyumbani hapo na mabegi yake mana hakutaka kuonekana kama anatoka... Na kaamua hilo baada ya kujua kuwa hapo alikuwa sio kwa ajili ya kuolewa

    "sasa nitatokaje na haya mabegi"

    Aluongea Salma huku akichagua nguo za kutoka nazo, mana hatamani hata kukaa katika nyumba hio.. Siku zote alikuwa akizani kuwa kuna ndoa lakini sivyo kumbe alikuwa anachoreka tu kama sanamu,.. Salama alichukuwa tu baadhi ya chupi na nguo zingine chache sana na kuziweka katika mkoba wake wa kwapani (kipima joto).. Alivyotoka alitoka kama mtu anekwenda mjini na kurudi hivyo hakuna aliomtilia mashaka japo wengi wa familia hiyo hawapendi mtoto wao Jackson aoe mwanamke ambae tayari keshazalishwa na mijidume mingine,.. Salma akiwa mtaani kuelekea stendi ili akapande gari, lakini kwanza alikaa mahari na kuanza kukumbuka maisha aliyokuwa akiishi na mume wake ambaye ni chidi,.. Alianza kujutia maisha yale na kumuacha mumewe.. Tena akikumbuka mbinu aliotorokea kule kijijini ilikuwa ni mbinu moja ya kijinga sana,...

    "nitafanya nini mimi... Nitawaambia nini wakwe zangu"

    Aliongea salma huku akilia, na hapo alioo ana mwaka mzima toka aje Dar es Salaam, hivyo hata mwili wake sio ule wa kijijini tena, kwa sasa anaonekana ni mdada mkubwa sana lakini hata miaka 20 hajafikisha lakini kutokana na maisha mazuri aliokuwa akiishi jijini Dar es Salaam, yamemfanya kunenepa kwa kiasi kikubwa, uzuri wake umezi kuonekana, alikuwa hana Shindu (chura) lakini kwa sasa ni balaaa,.. Lakini yote ya yote anajikuta kumbe alikuwa akiishi kama sanamu ndani ya nyumba hio, na yeye alichokifata kwa akina Jackson ni pesa, na pesa zenyewe azipate kwa kufunga ndoa na Jackson, sasa Jackson ndio huyo hana mpango wa kuoa mwanamke aliozaa,.. Hivyo baada ya kuligundua hilo aliona bora aachie ngazi afanye mpango wa kurudi kijijini kwao, ili akaombe msamaha...

    Salma alitoka hapo na kuelekea stendi ili kufanya mpango wa kupanda basi.. Na hapo alipo alikuwa na pesa kidogo,.. Lakini alipofika sehemu moja ya mama ntilie aliingia ili kupata chakula, lakini kutokana na matatizo aliokuwa nayo, Salma alijikuta anapatwa na mawazo hata kula akajikuta hali,... Mama muuza akamuuliza salma

    "we mtoto una nini"

    Aliuliza mama huyo huku kama akimuonea huruma hivi,...

    "we acha tu mama yangu nina matatizo, hapa sijui nitalala wapi, mabasi yenyewe nimechelewa"

    "kwani wewe unatoka wapi mwanangu"

    "nilikua nafanya kazi za ndani ila nimefukuzwa"

    "oooohhh pole sana mwanangu.... Sasa unakwenda wapi"

    "narudi tanga tu"

    "jamani pooole"

    "Ahsante mama"

    Salma alikuwa akitoa machozi lakini keshadanganya kuwa yeye alikuwa ni mfanyakazi wa ndani hivyo kafukuzwa,

    "ila mwanangu, mimi nina shida na msaidizi wa hapa hotelini aniseidie, lakini sasa sina pakumlaza.. Hivyo kama utaweza kupangisha chumba, mimi nitakupa kazi"

    Salma kuskia hivyo tu kanyoosha mikono juu na kumshukuru mungu, mana hakutegemea kama angelikutana na kazi kama hio mana mawazo yake yalishanyooka kwenda nyumbani...

    Salma aliona ile ile pesa aliokuwa nayo aitumie kupangisha chumba

    "Ahsante sana mama angu, mimi nitafanya mpango wa chumba mama angu"

    Alionge salma huku mikono juu kwa kumshukuru mungu kwa kupata kazi kwa mama ntilie,... Kwahio swala la kurudi kijijini tena halipo kabisaaaa.. Mana keshapata kazi

    "usijali mwanangu.. Sasa kama huna pa kulala, hebu nikupe siku hizi mbili utafute chumba, mana hapa Dar es Salaam chumba ni ngumu kupata, ila usipangishe mbali na hapa"

    "sawa mama angu, ahsante sana mama"

    Salma alimwona mama huyo kama mungu wa pili vile, mana hakutarajia kama angelipata hio kazi hapo,.. Basi salma anapewa siku tatu ili atafute chumba,.. Maskini pesa haitoshi kununua hata kagodoro kadogo, mana akilipa tu kodi ya nyumba, basi pesa yote imekwisha, hivyo itabidi aanze maisha kwa kulalia box,..



    Sasa tukija huku arusha kwa mwanadada sarah akiwa ndio kafika katika eneo hilo,.. Sasa yeye alikuwa anaangalia nyumba nyingine ili akaingie chumba namba 14, lakini kila akiangalia bado haoni nyumba nyingine ya selfkontena ambayo vyumba vyake vina kila kitu ndani,.. Sarah alibidi aende tu kule kule kwenye chumba cha mpenzi wake.. Japo hana uhakika kama ni hicho,.. Lakini sasa Sarah alipofika kwenye boma hio, alions sura ya mtoto wa kike ambae alishawahi kumwona pale stendi, siku ileeeee chidi anakuja nae kutoka tanga, na ndio siku ile ile sarah na jasmini waligombana pale stendi..

    Sarah aliona ni bora aingie mpaka ndani ili ahakikishe zaidi,.. Sarah mpaka ndani anakutana na magauni, kanga, sketi, na vingine vingi tu, sasa akaingia bafuni na kukuta nguo za ndani za kike tena baadhi zilikuwa mbichi kabisa kana kwamba masaa kadhaa yaliyopita alioga mwanamke hapo,.. Sarah alianza kulia huku hasira kali zikijongea katika kichwa chake,

    Sarah aliketi kitandani huku akilia,.. Alikumbuka siku ile kama wiki moja hivi nyuma alimwona chidi akiwa anamiliki kadi ya benki ya miriam, lakini chidi alimwambia kuwa hio alipewa ili akanunue nyama,.. Lakini leo anahakikisha mwenyewe kuwa chidi na miriam ni wapenzi, tena sio wapenzi wa mchezo mchezo.. Sarah kwa hasira kashika simu huku machozi yakiendelea kutoka

    "antiii unalia nini"

    Aliuliza halima huku akiwa anamwangalia kwa huruma

    "kichwa kinauma tu antii, lakini nipo sawa"

    Alimjibu sarah huku simu ya miriam inaita,.. Miriam kuona simu ya sarah alifurahi kweli mana anajua fika rafiki yake keshamwona halima, na sarah hakuwa na haja ya kumuuliza huyu mtoto kuwa anaitwa nani, mana alishawahi kumwona akiwa na kaka yake chidi, hivyo mpaka hapo jibu analo.. Huku miriam anapokea simu kwa mbwembwe nyingi mno bila kujua tayari kimeshanuka baina yao

    "haloo shost sarah, vipi umeshamuona wifi yangu??"





    Urafiki uliodumu toka miaka hio, yaani kabla hawajawa matajiri toka wakiwa wanasoma shule za kimaskini kule iringa, na baadaye kuhamishiwa shule za pesa baada ya wazazi wao kuzipata pesa.. Marafiki hao waliishi pamoja kama ilivyo kwa mama yao, yaani jinsi walivyo kwa sasa ndivyo jinsi walivyo mama zao kipindi hicho,.. Marafiki hao walipendana sana lakini leo mmoja wapo anagundua kuwa, kumbe walikuwa wakimtumikia mwanaume mmoja na sii kila mtu na mwanaume wake,...

    Sarah baada ya kuligundua hilo aliamua kupiga simu kwa Miriam..

    Wakati huo Huku kwa miriam anapokea simu kwa mbwembwe nyingi mno bila kujua tayari kimeshanuka baina yao

    "haloo shost sarah, vipi umeshamuona wifi yangu??"

    Aliongea Miriam huku furaha ikimjaa katika moyo,.. Sarah anaijua vizuri furaha ya rafiki yake, hivyo hakutaka kuiharibu kwa wakati huo

    "ndio nimempata"

    "oooohhh thenx Sarah, nakushukuru ndugu yangu.."

    "usijali... "

    Sarah alikuwa akiongea huku akijikaza tu lakini naye alikuwa akilia, na huku miriam pia alikuwa akilia lakini ni kwa furaha, ila sarah yeye alikuwa akilia kwa uchungu wa hali ya juu,..

    "sarah, wewe ni ndugu yangu.. Naomba ukae nae siku mbili hizi nikitoka tu huku chumbani nitakuja kumchukuwa"

    Sarah roho ilikuwa inamuuma sana mana huyu mtoto anajua yeye ndio alitakiwa awe wifi yake,..

    "sawa usijali miri"

    Aliongea Sarah lakini alikuwa analia kwa uchungu wa kumkosa chidi..



    Sarah alipanda gari yake na kurudi nyumbani,.. Alipofika nyumbani kwao alimkabidhi halima kwa mfanyakazi wa ndani kisha sarah yeye akarudi kazini mana alitoka kazini pale miriam alipomtoa..

    Wakati huo miriam alikuwa na furaha baada ya kujua halima yupo salama salimini, tena yupo kwa rafiki yake kipenzi ambae ni sarah,... Sasa miriam aliitafuta namba ya shangazi yake pamoja na mama mkubwa wake, yaani aliitafuta namba dada wa baba yake, afu akamtafuta na dada wa mama yake,.. Aliwaambia kila kitu kuwa mpaka hapo alipo kafungiwa ndani kisa ni kupendana na mtu ambae hana pesa.. Wawili hao walikuwa wakimpenda sana mtoto miriam,.. Kwanini wasikusanyane wote,..



    Tukija huku hotelini Sarah alikuwa ni mtu wa mawazo sana hata kazi ilikuwa haiendi kama ilivyotakiwa, yaani hata mama yake alishangaa sana kuona mtoto wake kudhoofika kiasi kile, na haikuwahi kutokea hata siku moja yaani sarah hata akasirike vipi hawezi kuwa hivyo alivyo leo. "wewe una shida gani huko ulipotoka"

    Alimuuliza mtoto wake huku akisubiri jibu zuri toka kwake...

    "wala tu mama sina kitu sema uchovu tu"

    Alijibu sarah huku akijifanya anachangamka kwa kiasi fulani,

    "hebu nenda nyumbani kapumzike mwanangu"

    Mama sarah alimwambia mwanae kuwa aende nyumbani ili aweze kupumzika, mama sarah alijua hali ya mtoto wake japo hajui sababu ya hali hio...



    BAADA YA MASAA KADHAA KUPITA



    Jioni mama Sarah anarudi nyumbani kwake, moja kwa moja mpaka chumbani kwake ili aweze kuoga, baada ya kumaliza kuoga mama sarah au grace alitoka na kwenda chumbani kwa mtoto wake, mana anajua mtoto wake hana hali nzuri kiafya toka mchana...

    Lakini mama sarah kufika chumbani alimkuta mtoto mdogo badala ya sarah,... Wakati huo sarah yeye alikuwa bafuni anaoga, mana alipokuja mchana alikimbilia kulala tu ili kutuliza akili yake,...

    "shikamoo"

    "marahaba Ujambo"

    "sjambo"

    Mama Sarah anamjua huyu mtoto na sio mara yake ya kwanza kumuona, bali alishawahi kumuona siku ile Miriam ndio anaingia ndani kwa chidi wakakutana mlangoni mama Sarah na Miriam, na miriam alikuwa kambeba halima,..

    Ghafla sarah anatoka kuoga huku akiwa na taulo tu, jamani huyu mtoto ni shida, yaani mmmhhh nyie acheni tu mngemuona sarah mngelipiga saluti na huo weupe wake ulivyo mzuri..

    "we sarah, haya huyu mtoto ni wa nani"

    Mama Sarah alijifanya hamjui huyo mtoto, ila mama sarah kwa wakati huo alishapata presha kwa kumuona huyo mtoto... Mama alijua tu mtoto wake ana mahusiano na chidi na ndio maana presha imekuja,.. Mana huyo mtoto anamjua kuwa ni mdogo wake na chidi...

    "huyu ni mdogo wake omari, mpenzi wake na miri"

    Sarah alijikaza kudanganya, kana kwamba hajui kama mama huyo anajua kila kitu...

    "aahhh wifi yake miri"

    Alisema mama Sarah huku sarah akiitikia kinyonge sana

    "ndio mama"

    "aaahh sawa"

    Mama alikubali lakini angelijua kuwa sarah nae yupo katika kundi hilo hilo la chidi..

    "sasa huyo mpenzi wake yupo wapi"

    Mama aliuliza kama vile hajui, na wakati anajua kila kitu kuhusu chidi,..

    "anasema kachukuliwa na polisi"

    Sarah yeye mwenyewe roho inamuuma mana huyo huyo mpenzi wake miri ndio huyo mpenzi wake afu yupo sero.. Hivyo hata yeye anaumwa na roho kwa kitendo cha chidi kuwekwa ndani ya sero,.. Lakini sarah alikuwa analia kabisa mpaka mama yake anajiuliza kwanini analia, kama aliokwenda sero ni mpenzi wa miriam, sasa mbona yeye analia kwanini, mama alianza kushtukia hio ishu ila hakuwa na uhakika sana...



    BAADA YA SIKU NNE KUPITA



    Chidi akiwa bado yupo sero na hakukua na mtu wa kumwekea mzamana, tena hata sero ya peke yake keshatolewa na kachanganywa na mahabusu wengine waliokuwa wakikamatwa kila kukicha,.. Chidi matese ya sero ndio alianza kuayaona toka alipohamishiwa huko kwa watu wengi,... Sema wengi wao walikuwa ni wapya wapya mana sio kuwa sero utakaa sana bali utakapopata mzamana ndio utatoka ila usipopata mzamana ndani ya siku 14 unapelekwa jela moja kwa moja mana hakuna wakukuseidia... Chidi alikuwa kama kapurwa, mfukoni hana kitu chochote hata waleti yake yenyewe haipo,...



    Sasa tukija huku katika nyumba ya akina miriam wakiwa wamekaa kikao baada ya ile simu kupigwa na miriam, siku ile akiwa kafungiwa ndani,.. Sasa miriam keshafunguliwa siku ile ile lakini leo ndio kikao cha familia akiwemo dada yake wa mama, na dada wa baba, pamoja na dada yake miriam aitwaye neema, ambae ni mtoto wa mamkubwa wake,..

    "huyo kijana yupo wapi"

    Shangazi mtu aliuliza

    "yupo jela toka majuzi"

    Aliongea miriam huku machozi yakimtoka mana karuhusiwa kutoka chumbani lakini hakuruhusiwa kutoka nje ya nyumba yao,...

    "mama miriam, kwanini una roho mbaya hivyo... Kama watoto wamependana yanini kuwazuia"

    Aliongea shangazi yake miriam ambae ni dada wa baba yake, yaani baba yake miriam akimuona huyu mama ni dada yake...

    "ni kweli mama suzi,.. Huyu mdogo wangu ana makosa, je yeye mume wako alipokuja nyumbani kwetu alikuwa tajiri.. Au wewe ulikuwa tajiri, mbona mnamfanyia hivyo kijana wa watu"

    Aliongea mama mkubwa wake na miriam ambae ni dada yake na mama yake miriam, yaani hapo wamekuja wale madada zao, mana mabibi hawapo tena duniani..

    Lakini mama miriam sijui ana maneno gani ya kuwaridhisha hawa watu, mana baada ya hawa madada kuongea, mama miriam aliwanong'oneza kila mmoja maneno yake, nao walionekana kutabasamu,.. Miriam alibaki kushangaa mbona watu wa kumtetea leo wanacheka cheka tu kuna nini kati yao.. Ukumbuke kuna siku baba yake miriam alitaka kuamsha fujo juu ya mtoto wake lakini mama akamtuliza na maneno ya kawaida tu ambayo mpaka sasa hatuyajui ni maneno gani...

    Haikupita muda wale wadada wakaaga kana kwamba walikuja kusuruhisha tu, sasa kama imeshindikana basi,.. Miriam alijikuta kabakia yeye na dada yake ambae ni neema,..

    "we dada ney mbona wameondoka sasa"

    Aliongea miriam huku akiangua kilio kwa mara nyingine, mana shida yake ni chidi atoke kule sero,..

    "mi sijui miri"

    Aliongea neema huku akimchukuwa mdogo wake na kuingia nae ndani,..



    Tukija huku kwa akina sarah na mama yake, sarah hata mwili ulianza kupungua toka alipojua tu kuwa chidi wake na miriam wana mahusiano ya kimapenzi, tena mapenzi mazito haswa..

    "sarah,.. Ivi unajua kuwa jinsi ulivyo utaamsha ugonjwa"

    "mama wala mi sina kitu nipo sawa tu"

    "tatizo nini, inakwenda wiki sasa huna hata raha kwanini mwanangu?... Hebu niambie ukweli"

    "ukweli gani tena mama"

    "au kisa ni huyo shemeji yako kuwa sero"

    "wala tu"

    Yaani mama anaposema shemeji ndio anazidi kumuumiza mtoto wake, yaani mpenzi wake leo aje awe shemeji, ni kitu ambacho hakiwezekani kabisa,..

    "basi nakuruhusu ukamtoe"

    Aliongea mama Sarah na kumfanya sarah ashtuke na kupayuka kwa nguvu

    "unasema kweli mama"

    Hapo ndio mama akajua kuwa hapo kuna walakini kati ya sarah na chidi..

    "ndio... Nilikuzuia usifanye hivyo lakini nakuruhusu"

    Kumbe Sarah alizuiwa asiende kule sero kumuona chidi wala kumtoa,.. Na mama sarah yeye hakutaka kumtoa mana angepoteza uaminifu kwa rafiki yake agness na wakati walikua wote, yaani maisha waliyatafuta wote sasa kwanini waje wagombane kwa kitu kidogo kama hicho...

    Sarah akiwa yupo sehemu ya paking anachukuwa gari yake, na kwenda polisi kumtoa kijana chidi, tena alikuwa ana haraka mno,...

    Robo saa mbele sarah keshafika na kamaliza kila kitu juu ya chidi na saa hio walikuwa wanatoka nae,.. Tayari keshakatiwa mzamana lakini kesi bado inaendelea tarehe fulani,..

    "yaani siku zote hiizo ndio unakuja leo"

    Aliongea chidi huku akifungua soli ya kiatu chake,.. Kumbe ile kadi ya benki aliiweka kwenye soli ya kiatu hivyo hakuingia nayo sero bali ilibakia kwenye viatu,..

    Sarah aliiona tena ile kadi lakini kwa leo hakutaka kuuliza tena mana keshajua ukweli kuwa hawa watu ni wapenzi lakini yeye anampenda mno hivyo wala hajali kama miriam yupo nae, na kitu kinachomfanya asijali ni kwamba chidi hawezi kumuoa miriam hata iweje haiwezekani,..

    "chidi mpenzi wangu, mimi nilikuwa sijui,.. Ndio nimeambiwa na mama angu sasa hivi"

    Sasa chidi ndio anashangaa, mama sarah ni nani mana hamjui mama yake sarah,

    "mama yako... Mama yako ni nani kwani"

    "huezi kumjua ila ndio kaniambia"

    "na yeye huyo mama yako kajuaje kama mimi niko polisi"

    "mama yangu na mama yake miriam ni mapatna na pia ni marafiki wakubwa tu"

    "ooohh kwahio mama yako kaambiwa na mama yake miriam"

    "ndio"

    Lakini sasa chidi akakumbuka aliompeleka pale alikuwa ni mama sarah,

    "au huyu grace ndio mama yake na huyu sarah nini... Mana ndio alionipeleka pale hotelini"

    Alijisemea kimoyomoyo huku akimwangalia sarah,..

    "una picha ya mama yako hapo kwenye simu"

    "ndio tena nyingi tu si hizi hapa"

    Sasa kabla chidi hajaangalia hizo picha ghafla simu yake inaita.. Kucheki aliopiga alikuwa ni saidi yule aliokwenda na kaka yake Ibrahim kumuuguza kule Dar es Salaam,..

    "halo saidi vipi"

    "poa chidi, sasa mi nakuja hapo hotelini si nitakukuta"

    "hapana njoo nyumbani sasa hivi"

    "poa ila kuna tatizo chidi"

    "tatizo gani tena"

    "ngoja nije nyumbani broo"

    Chidi mawazo yalimjia upyaa yaani kajiwa na mawazo upya baada ya kuambiwa kuna tatizo..

    "ona sasa picha za mama angu"

    "aahhh hebu achana nazo kwanza kichwa changu hakipo bizuri.. Naomba nishukie hapa nichukue toyo"

    "chidi jamani si useme nikimbize gari jamani, panda twende"

    Aliingea Sarah huku akimbuta chidi ndani, wakati huo chidi keshashuka kwenye gari anataka kuita toyo,..

    "chidi mpenzi wangu, wacha nikimbize gari nitakuwahisha"

    Chidi alikubali kupanda gari mpaka nyumbani kwake na kumkuta saidi kakaa nje ya nyumba huku akiwa kajiinamia,

    "saidi, we saidi kuna nini... Afu kaka yangu yupo wapi"

    Aliongea chidi huku akiwa ananuka mijasho ya sero tu huko

    "utanisamehe chidi... Kaka yako nimemuuguza vizuri mpaka akapona kabisa,.. Lakini kaka yako ka.....





    Katika maisha ya kibinaadamu kupata matatizo ni jambo la kawaida sana kama utalisikia kwa mwenzako, lakini pale linapofika kwako, unaliona ni jambo zito sana,... Kijana chidi muda huu huu ndio anatolewa ndani ya sero, afu hajakaa vizuri saidi kuna taarifa anaileta juu ya kaka wa chidi,..

    Yaani hapo alioo kijana chidi moyo wake ulikuwa ukimwenda mbio kuliko kawaida, hayo yote ni matatizo tu,

    Saidi alikuwa ana taarifa aliyotoka nayo Dar es Salaam, wakati wakiwa hospitalini

    "saidi, we saidi kuna nini... Afu kaka yangu yupo wapi"

    Aliongea chidi huku akiwa ananuka mijasho ya sero tu huko

    "utanisamehe chidi... Kaka yako nimemuuguza vizuri mpaka akapona kabisa,.. Lakini kaka yako kagoma kuja arusha"

    Aliongea saidi huku chidi akipumua kwa nguvu baada ya kusikia kumbe kagoma kuja tu,..

    "saidi sasa hilo sio jambo la kutiana presha jamaa angu.. Haya sasa kagoma kwasababu gani"

    "we acha tu kaka yako mbishi kweli,.. Ila kasema eti hatamani kuja huku mana akikumbuka maisha ya utajiri aliokuwa akiishi afu leo aje aonekane bwege, ni bora abaki Dar es Salaam"

    Aliongea saidi huku chidi akikaa chini kwa mapumziko zaidi mana matatizo yamemuandama sana,

    Sarah aliona hapa hakutokuwa na maongezi zaidi mana chidi alikuwa kachoka sana, Sarah alitoa pesa na kumpatia chidi kama lakini 5 hivi kwa ajili ya kuendelea na mambo ya sasa hivi,.. Sarah hakutaka kujali kuwa chidi ana kadi ya benki ya Miriam, na anajua kabisa kadi ya Miriam haikosagi pesa kabisa, lakini sarah hakujali hilo kama chidi ana kadi ya miriam,...

    "tutaonana baadae chidi wangu ee"

    Aliongea Sarah huku akitaka kuondoka, chidi alimwangalia sana sarah kushindwa hata kumshukuru,..

    "mbona unaniangalia hivyo chidi"

    Aliongea Sarah wakati chidi anamwangalia,..

    "nashindwa hata jinsi ya kukushukuru"

    "wewe tena"

    Aliongea Sarah huku akirembua,.. Chidi aliamka na kumkamata sarah kisha akaanza kumnyonya denda, sarah hakujali kama mtu huyo alikuwa sero, kampa mate kama ilivyotakiwa,... Saidi kuona hivyo aliingia zake ndani kuendelea na mambo mengine...

    "basi chidi niache niende baby.."

    Aliongea sarah huku wakiachiana

    "poa uje basi mida flani"

    "ok poa.. But mdogo wako nipo nae home kwetu"

    Aliongea Sarah huku chidi akishangaa, kuskia mdogo wake yupo nyumbani kwao

    "kafika fikaje kwenu"

    "siku ile nilipigiwa simu na miriam nije kumchukuwa"

    "khaaaa.. Afu yeye akiwa wapi"

    "sijui"

    Sarah alianza kumkandia miriam taaratibu,

    "ina mana miriam hakumrudia tena mdogo wangu"

    "kwani we na miriam mpoje"

    Sarah aliuliza na kujifanya hajui kitu lakini kajua kila kitu

    "aahhh ni boss wangu tu"

    "mmhhh sawa.. Basi mi naenda ila mdogo wako yupo salama na anajisomea vizuri tu, tena nina mpango wa kumtafutia shule"

    Chidi alijikuta anampenda zaidi sarah kutokana na kuwepo kwa mdogo wake, lakini sasa bado chidi hajajua kuwa sarah na mama sarah ni kitu na mtoto wake, tena hata chidi hajui kama grace anaitwa mama sarah, ila yeye anamuitaga mamy tu...

    "sarah... Sitaki kuongea mengi sana, ila ngoja nipumzike nitakutafuta"

    Aliongea chidi huku akimshika sarah kiuno, na vile sarah alivyoumbika sio siri kambamba haswa...

    "chidiiiii... Ivi unajua Mama angu analia sana juu yangu eti"

    Sarah alianza kuongea vitu vya poiti anavyovitaka

    "analia na nini sarah"

    "katika familia yetu mimi nipo mwenyewe tu, hakuna mtoto wa kiume"

    "kwani vipi Sarah"

    "nahitaji mume chidi... Na sioni mume mwingine zaidi yako,.. Nipo tayari hata unioe leo,.. Kwanza sherehe sio lazima, mi hata ndoa ya mkeka nitakubali na hata dini nitabadili"

    Katika maisha yote ya uchakaramu wa chidi hakuwahi kukutana na maneno yenye busara kama hayo,..

    "sarah, hayo maneno umetoa wapi, mbona hata sijawahi kuambiwa na mwanamke yeyote yule"

    "chidiiiiiiiii... Nipo tayari kuwa mkeo,.. Yaani nataka niwe chini yako"

    Sarah alikuwa analia kabisa, yaani mpaka hapo tayari anamruka miriam kabisaa, na hata chidi sasa anarudi upande wa sarah..

    "Sarah.. Sema nimechoka sana lakini ningelikwenda mpaka kwa wazazi wako wakanione"

    "chidiiiiiiiii, mbona muda bado unaruhusu bado... Mi naomba tuende kesho juma pili mama yangu yupo nyumbani"

    "sawa... Nitakwenda ila uje unichukuwe basi kesho"

    "sawa baby..."

    Sarah haamini kama keshafika sehemu alipo... Sarah wala hakutaka kuboronga mambo mengine, alipanda gari yake kisha huyooo kaondoka zake... Chidi anaingia ndani anamkuta saidi anaandaa mambo ya kula,..

    "aahhhhhh chidi mwenzangu kwa watoto wenye pesa hujambo aisee"

    "we acha tu, afu mtoto anataka nimuoe eti"

    Aliongea chidi huku akivua shati ili aende akaoge,

    "heeeeeeee we chidi? Unataka umuoe huyo sarah afu na miriam inakuwaje"

    "nani huyo katili... Wala asinizoeee, tena akae mbali na mimi kabisaa"

    Aliongea chidi huku akiwa kakasirika mno

    "kwanini tena chidi na wewe ulisema unampenda sana"

    "yaani anakula raha huko kwao na pesa zao, mdogo wangu kamuacha huku peke yake.. Afu anafanya kupiga simu eti aje achukuliwe,.. Sasa huyo ni mwanamke kweli"

    "mmmhhhhh siingilii mambo yenu bwana"

    Basi chidi alichukuwa taulo na kuingia bafuni, lakini ile kufika tu bafuni anakutana na chupi za miriam.. Kwa hasira alizitoa na kwenda kuzichoma yaani hakutaka hata kuziona katika macho yake,..

    "yaani toka niende jela mtu hata kuja kuniona haji, ni mtu gani huyo"

    Aliongea chidi huku akimalizia kuchoma chupi za miriam ambazo kaziacha...

    "chidi chalii yangi.. Hizo ni hasira tuu.. Basi choma na hizi nguo zingine za kwenye mabegi huku"

    "aahhh hayo madera na kanga bado mapaya hayo atavaa mke wangu"

    "mkeo nani uyo"

    "si Sarah"

    "Duuuuuuuuuuuuuuuu"

    "duuuuu nini sasa"

    "roho inaniuma kumuacha boss miri"

    "atajua mwenyewe uko, siwezi kuishi na katili mimi... Tena nimalize kuoga unipeleke kwao nikampe kadi yake"

    Chidi alimchukia sana miriam yaani hata hamu nae hana, yaani kuskia tu mdogo wake yupo kwa sarah, baasi mapenzi mazito yote yakahamia kwa sarah... Chidi aliingia zake bafuni na kuendelea kuoga...



    Tukija huku kwa sarah akiwa keshafika nyumbani, tena alikuwa akicheza na mdogo wake chidi vizuri mana tayari ombi la kumleta chidi kwao limeshakubalika, siku hio ni siku ya Jumamosi mama yake karudi mapema,..

    "shikamoo mamii"

    "marahaba vipi,.. Naona leo una raha kweli mwanangu"

    Aliuliza mama yake, huku nae akionekana kufurahi baada ya kuona mtoto wake ana furaha mno.. Lakini mama alijua tu furaha hio ni kwasababu ya kumtoa chidi mikononi mwa polisi,..

    "mama kuna kitu nataka nikuambie"

    "kitu gani tena mwanangu"

    "kesho staki utoke, nataka nimlete mchumba wangu umuone na itakuwa siku ya kuvalishana pete"

    "waoooooo yaani kesho nitakuepo home, ila huyo mchumba wako,.. Ana heshima na kakupenda wewe au kapenda mali zenu tu"

    "kiukweli tunapendana sana mama,.. Yaani naomba umpokee"

    "usijali mwanangu, kikubwa tu awe na heshima nzuri"

    "kwa hapo mi nadhani utafurahi mwenyewe"



    Tukija huku Dar es Salaam kwa Ibrahim akiwa ndio kwanza bado yupo hospitalini, lakini keshapona sema bado hajapata chumba cha kuishi, hivyo hapo ndio alikuwa anataka kutoka ili kwenda kutafuta chumba,.. Mana kama ni pesa ya kupangishia chumba anayo,.. Ibrahim alitoka hospitalini hapo na kuianza safari ya kuingia uswahilini, na hapo alipo ni mgeni hajui atapata wapi chumba,...

    Alipita njia nyingi ikiwa ni mida ya saa 10 jioni chakula cha mchana hajala lakini anajipa moyo tu atapata chumba na kuyaanza maisha upya..



    Sasa kutokana na njaa alionayo Ibrahim aliona kihoteli cha mama ntilie, na kihoteli hicho hicho ndicho kinachuzwa na salma, ambae ni shemeji yake kwa chidi...

    "hodi jamani"

    Alibisha hodi huku akiwa kashika tumbo kumaanisha ana njaa kali mno, salma kumuona alimkimbilia kama mteja lakini kati yao hakuna anaemjua mwenzake,... PATAMU APO... Yaani Ibrahim anajua kuwa mdogo wake alioa kule kijijini lakini mke hamjui, mana Ibrahim alitoka kule kijijini kabla chidi hajaona,.. Mana Ibrahim ana miaka kama 7 hivi toka atoke kijijini, na chidi ana miaka mitatu toka aoe kule kijijini, hivyo Ibrahim hamjui shemeji yake ila walikuwa wakiwasiliana kwa simu tu, lakini kwa sura hakuna anaemjua mwenzake..

    "karibu kaka"

    Salma alimkaribisha Ibrahim bila kujua kuwa huyo ndio yule shemeji yake aliokuwa akiwasiliana nae wakiwa kijijini... Unajua hakuna kitu kibaya kama mtu kupotelea mjini.. Mana Ibrahim aliondoka kijijini kabla hata chidi hajamaliza shule, hivyo kuoana kwa chidi na salma, Ibrahim alikusikia tu akiwa mjini, na hakuja mpaka leo mwaka wa saba huu toka atoke kijijini...

    "Ahsante dada angu"

    Salma ni mdogo sana kiumri lakini kwa maisha ya Dar es Salaam yalimpenda na kumfanya awe na mwili mkubwa, ukimuangali utasema bonge la mama kumbe ni katoto kadogo sana..

    "nikupatie chakula gani kaka"

    Yaani Salma aliongea kwa heshma ya hali ya juu, mana kaambiwa na huyu mama mwenye hoteli kuwa awaheshimu wateja na awe mnyenyekevu sana kwa wateja wake.. Ibrahim alishangaa ivi wanawake kama hawa wapo kweli dunia hii...

    "nipatie wali samaki"

    Basi salma kwa heshma ya wateja alianza kuchakalika haswa, tena ndio ana siku kama ya tatu au mbili toka aanze kazi hapo..

    Ibrahim alikula mpaka akashiba kisha akalipa pesa ya chakula

    "Ahsante kaka"

    Yaani hio Ahsante mpaka salma kainama kifogo ile kiheshma... Ibrahim anazidi kushangaa..

    "Samahani dada,.. Ivi hapa naweza kupata sehemu ya kupika chispi hapa hapa"

    "hhhmm mimi sio mwenyewe, kuna mama ndio anamiliki hapa ila katoka kidogo"

    "aaahhh atachelewa sana"

    "kaondoka muda ila sidhani kama atachelewa"

    "wacha nimsubirie kidogo.. Mana natafuta chumba, huko mtaani kwenu hakuna chumba huko"

    "hhhhhhmm hakuna"

    Basi Ibrahim aliendelea kukaa hapo mpaka giza likaingia lakini mama huyo hatokei,... Ibrahim hapo alipo hajui atalala wapi.. Mida ilizidi kwenda lakini mama mwenye kihoteli hatokei.. Lakini ghafla simu ya salma inaita, kuangalia jina alikuwa ni huyo mama

    "haloo mama shikamoo"

    Yaani salma alijikuta anakuwa na heshima ya ajabu, yaani kusalimia tu kwenye simu mpaka ainame kidogo, kitu ambacho Ibrahim kinampa shida sana na kushindwa kumwelewa ni mschana wa dizaini gani na katoka wapi..

    "marahaba ujambo"

    "sijambo mama"

    "vipi kazi zinaendaje"

    "aahhh tunashukuru mungu hali sio mbaya mama"

    "ok.. Sasa wewe funga hapo uende nyumbani, mana mimi nimebanwa huku hivyo siwezi kufika hapo"

    "sawa mama"

    "eeeehh funga sasa hivi mana inakwenda saa nne hii"

    "sawa mama"

    Simu ilikata kisha salma akaanza kazi ya kuingiza vitu ndani, majiko mikaa... Ibrahim aliona ngoja amseidie mtoto wa kike kuingiza vitu mana kama ni kuchelewa keshachelewa, na hapo alipo Ibrahim ana pesa kama laki nne hivi..



    Sasa ilipofika saa ya kuondoka Salma alikuwa na pesa ya watu ya mauzo, sasa anaogopa kwenda mwenyewe nyumbani kwake,..

    "kaka naomba nisindikize mpaka pale kwenye toyo"

    Aliongea salma huku Ibrahim akikubali

    "sawa twende tu usijali"

    Ibrahim hakumsindikiza mpaka kwenye toyo badala yake alimpeleka mpaka kwake kabisa na salma kahakikisha kaingia ndani..

    "sasa utalala wapi kaka.."

    Aliongea salma huku akimuonea huruma kaka wa watu,...

    "usijali, wacha nikajibane tu kwenye vibanda huko ili kesho niamkie kutafuta chumba"

    "hhhmmmm sawa, mana mi siwezi kukulaza huku mana mi. Mtoto wa kike"

    "lakini mimi hata kwenye kochi tu nitalala tu"

    Salma akiangalia chumba chake kina godoro peke yake yaani hata vyombo vyenyewe hakuna, ana ndoo ya maji tu,..

    "yaani kaka hata sofa sina.. Yaani mimi mwenyewe maisha nimeanza jana tu"

    "haaaaaaaa kumbe hata wewe ni mgeni mji huu"

    "aio mgeni sana ila ni stori ndefu kaka yangu"

    Stori zilinoga hapo huku mida ikizidi kwenda... Salma aliona huruma kumuacha kaka wa watu na wala hakuwa na shida,..

    Salma kwa huruma aliingia jirani na kuomba mkeka,.. Mambo yakawa mazuri kwa kijana Ibrahim... Na salma alikuwa na godoro lake peke yake, tena lilikuwa jipyaaa, Ibrahim kuona maisha ya salma yalivyo aliona afadhali hata ya yeye... Basi wawili hao wakawa wamelala chumba kimoja ila salma yeye alikuwa halali mana hawezi kumwamini Ibrahim moja kwa moja kama ni mwema au sio mwema... Masaa kadhaa mbele salma aliamka na kuwasha taa... Alimkuta Ibrahim kalala mpaka anakoroma, kana kwamba hana mpango wa kuwaza mambo mengine.... Sasa salma alianza kumwangalia Ibrahim kwa ukaribu mana alikuwa kalala fofofo kwa kuchoka,..

    Salma alimkagua mwanaume wa watu mwanzo mwisho.. Lakini sasa salma alipomwangalia vizuri Ibrahim, kuna kitu alikiona...

    "khaaaaaa mbona sielewi mimi"

    Aliongea salma huku anakuna kichwa





    Ibrahim anakuja kupata hifadhi kwa mke wa mdogo wake lakini mbaya zaidi ni kwamba, hawajuani hata tone la maji,.. Ibrahim alikuwa hospitali na hakuwa na sehemu ya kulala, lakini kwa bahati nzuri anakutana na mschana mzuri na kuamua kumseidia sehemu ya kulala, lakini mschana huyo ni mke wa chidi wa zamani na ana mtoto nae,.. Ibrahim hamjui mke wa mdogo wake, na hata mke wa chidi nae hamjui kaka yake chidi,.. Mana alipoolewa hakumkuta Ibrahim bali alisikia tu kuwa chidi ana kaka yake anaitwa Ibrahim,.. Sasa salma baada ya kumseidia mkaka huyo, lakini yeye hakuwa akilala, aliamka usiku wa saa nane na kuanza kumwangalia kaka wa watu,.. Lakini sasa salma alipomwangalia vizuri Ibrahim, kuna kitu alikiona...

    "khaaaaaa mbona sielewi mimi"

    Aliongea salma huku anakuna kichwa na kuendelea kusema kuwa

    "sasa kama ana pesa mbona anateseka hivi, si aende gest"

    Aliongea salma,.. Kwahio salma kumbe kaona pesa zikiwa mkononi mwa Ibrahim, mana kaogopa kuziweka mfukoni zisije zikadondoka bure, mana Ibrahim kwa sasa anaiheshimu pesa kuliko kiti chochote kile..

    Lakini salma hakuwaza kitu alijua tu huyu ni mwanaume anaejua thamani ya pesa ni nini na ndio mana hajahangaika kutafuta gesti.. Salma alitabasamu kidogo kwa kujua tu kuwa Ibrahim alikuwa mtu anaebana matumizi ya pesa.. Huezi amini salma alichukuwa kanga na kumfunika Ibrahim kama mtoto..

    "lala salama"

    Aliongea salma huku akiamka kwa tabasamu zito.. Kumbe salma tayari keshamkubali Ibrahim, yaani kwa kuona tu, Ibrahim kalala kwenye mkeka alafu kashikilia pesa mkononi.. Basi huyu ndio anafaa kwa upande wake... Salma keshapenda mtoto wa watu... Alipojibwaga kwenye godoro lake jipyaa, alijifunika huku akimwangalia.. Na kujisemea kuwa

    "lakini pia ni hensam kiasi chake"

    Aliongea salma huku akijichekea mwenyewe hapo kwenye godoro.. Yaani wote wameridhika na maisha hayo wanayoishi....



    KESHO YAKE MIDA YA SAA MBILI ASUBUHI



    Tukiwa jijini Arusha kwa akina chidi na rafiki yake saidi wakiwa wanakunywa chai,

    "sasa chidi sjui niende kazini"

    Aliongea saidi huku wakiendelea kunywa chai,..

    "ah ah saidi,.. Usiende kwanza mi nataka unipeleke kwa akina miriam mi sipajui kwao"

    "chidi, ivi upo siriasi humtaki miri"

    "Ohooooo yaani we utaona, we nipeleke kwao"

    Kweli chidi hakuwa wa mchezo mchezo katika mapenzi

    "duuuuuuuu"

    "skia saidi, mwanaume usipokuwa na msimamo katika mapenzi, utakuwa sio mwanaume"

    "ni kweli lakini kwa miri? Sikupatii picha aisee"

    "kwani miri ana nini haswa"

    "aaahhhh yule mtoto, kaacha mali zao zote kaja kuishi maisha haya hapa geto"

    "hilo sio tatizo chalii yangu we subiri kitu nafanya"



    Wakati huo huku nyumbani kwa sarah alikuwa ni mtu mwenye furaha toka jana,.. Akiwa yupo kitandani kaandaa pete ya kumpa chidi ili amvalishe mana chidi hana uwezo wa kukununua pete, mana sio pete tu kama pete, ni pete ya gharama kubwa, hivyo hapo kaishika huku akiibusu kana kwamba saa ikifika atavishwa na kijana chidi ambae ni mpenzi wake,...

    "Enheeeee nataka miri aje ashuhudie kuwa chidi ni mpenzi wangu na sio wake"

    Sarah alikusudia kabisa na miriam awepo katika swala hilo la kuvishana pete, Yaani sipati picha itakuwaje hapo,.. Sarah alichukuwa simu yake na kumpigia miriam. Simu ikiwa inaita ghafla mama yake sarah kaingia chumbani kwa sarah,

    "haloo miri mambo"

    "safi sarah mzima wewe"

    "mzima wa afya"

    "Enheee niambie shost angu"

    "sasa miri, leo navishwa pete na mchumba wangu, nataka uje bwana"

    "wachaaaaaaa weeeeeeeee... Jamani raha ilioje iyoooo"

    "kwahio si utakuja miri"

    "weeeee mimi tena, yaani ndio wa kwanza bibie"

    Miriam aliongea tena kwa mbwembwe zile za kishangingi haswaa,

    "fanya hivyo basi mida ya saa 5 hivi"

    "usiwaze baby Sarah yaani mimi ndio kimbelembele wako"

    "nitafraije jamani miri"

    "kweli Sarah, tena wacha nijiandae hapa"

    Aliongea miriam huku kweli akijiandaa kweli kweli,.. Simu ilikatika kisha sarah akitabasamu kwa dharau huku akisema



    "njoo uwe kimbelembele wa kulia,.. Na vile vichozi vyako vipo karibu tutaona sisi"

    Sasa akiongea hivyo na mama yake alikuwepo karibu

    "we unaongea na nani"

    "ni miriam"

    "sasa aje kulia kwasababu gani"

    "atalia kwasababu yeye ndio alitaka kuanza kuvishwa pete na mpenzi wake lakini mimi nimemuwahi, hivyo talia mana nimempita mipango"

    Sarah hakutaka kusema kuwa, miriam na yeye wanamgombania mwanaume mmoja,.. Mama sarah hakuta kuendelea na mengine aliondoka zake... Lakini huku sarah anawaza miriam akija itakuwaje mana itakuwa mziki wa kutosha yaani hapatokalika afu wote ni watoto wenye pesa, sema kwa akina miriam wana utajiri mkubwa wakifuatiwa na akina sarah,..

    "atajiju mwenyewe anywe sumu asinywe potelea mbali na kupenda kwake.. Lakini chidi simuachi ng'ooo"

    Sarah aliongea huku akiamka na kwenda kuoga, mana wakati huo ilikuwa ni kama saa tatu hivi,...



    Tukija huku kwa akina chidi, wakiwa ndio wanatoka kwenda kwa miriam ili kumpelekea kadi yake,..

    Lakini muda huo huo simu iliita, kuangalia jina alikuwa ni saida..

    "haloo mamy mambo"

    "yaani chidi mume wangu mbona hivyo lakini"

    Aliingea saida ambae ana ujauzito wa kijana chidi, kama unamkumbuka saida ndio yule mwenye mdogo wake ambae hakuzaliwa na nguvu za kiume, na chidi ndio msaada lakini imegeuka kwa Ibrahim, hivyo Ibrahim kwa sasa ni doro kabisaa hata haisimami mana mbegu zilizomponyesha ridhiwani ni mbegu za Ibrahim..

    "kwani nimefanya nini mamiii"

    "yaani mwezi mzima hata simu hupigi jamani"

    "no sio hivyo.. Mi nilipata matatizo, mimi niliwekwa ndani eti"

    "ndani??.... Kwa kosa gani"

    "we acha tu mamii ni matatizo tu"

    Aliongea chidi huku wakiwa wanapanda gari kuelekea kwa miriam,

    "ok basi naomba leo tukutane, ata uone mtoto wako anavyokuwa tumboni"

    "sawa ila nitakapopata nafasi nitakupigia simu"

    "wewe muongo, wala hutonipigia mi najua"

    "lazima nikupigie hata kama ni jioni mladi tukutane tu"

    "ok poa baby"

    Simu ilikata huku chidi akiwa ndani ya tax kuelekea kwa akina miriam,..



    Tukija huku Dar es Salaam kwenye kihoteli ambacho anafanya kazi salma,.. Ibrahim nae alikuwepo hapo kwenye kihoteli akiwa anataka kuongea na mama mwenye kihoteli ili aweke jiko lake la chipsi,.. Mama huyo hakuweza kukataa kwasababu hata salma alitia neno kuwa huyo ni kaka yake hivyo mama alikubali Ibrahim aweke jiko la kupikia chipsi,.

    Baada ya Ibrahim kukubaliwa, walitoka pembeni yeye na salma, na kuongea

    "sasa ibu, tunafanyeje hapo"

    Aliongea salma huku wakiwa tayari wameshakuwa marafiki na wote wanafanya kazi sehemu moja, japo Ibrahim bado hajaleta majiko yake, na sio kuwa anayo, bali atatakiwa kununua majiko upya na vifaa vingine

    "sasa hapa nina laki nne tu, sasa nikipangisha chumba itapungua tena afu mtaji wa chipsi nitapataje sasa"

    Aliongea Ibrahim wakiwa wanajadiliana na salma,..

    "sasa skia ibu, fanya hivi.. Hio pesa tufanye mpango wa mtaji, na kama ni kulala tutaishi wote, au kuna shida kwani"

    "hhhhhhhmmmmm, lakini sasa"

    Kabla Ibrahim hajamaliza kuongea alikatizwa na salma

    "hakuna cha lakini ibu... Hata hivyo mimi sina mtu wa kuishi nae, sio mbaya tukaishi wote"

    Salma aliongea huku akiangalia chini kwa aibu mana alimaanisha kitu kikubwa sana sema kama akili huna huezi jua kama kamaanisha nini... Ibrahim haamini kama ataishi na mtoto mzuri kama huyu, tena mwenye heshma zote za kuitwa mke..



    Tukija huku jijini Arusha chidi akiwa ndio anafika katika nyumba ya akina miriam,.. Saidi ndio wa kwanza kugonga kengele ya kubishia hodi na wakati huo huko ndani miriam alikuwa akijiandaa ili kwenda kwenye kasherehe kadogo cha rafiki yake, bila kujua huyo huyo chidi ndio mvisha pete,..

    Mlinzi alifungua geti na kukutana na sura ya saidi, mlinzi huyo anamtambua saidi mana wanakujaga huku kuchukuwa baadhi ya vitu vya hitelini,..

    "vipi saidi"

    "safi broo"

    "ingia basi"

    "hapana nilikuwa namuomba boss miriam"

    "aahhh yupo ndani kwake huko"

    "naomba uniitie tafadhali"

    Wakati huo chidi kakaa pembeni tena mbali kidogo,..

    Dakika tatu mbele miriam huyu kaja, lakini alikutana na saidi uso kwa uso

    "waaaoooo saidi jamani mambo"

    "safi boss hali yako"

    "nzuri tu... Ivi saidi ulishakwenda kumuona rafiki yako? Anaendeleaje kule"

    Kabla saidi hajajibu,.. Chidi katokea na kujibu

    "kama wewe hujaja yeye atakuja kufanya nini"

    Miriam kusikia sauti ya chidi tu mana hajui kama keshatoka sero,... Miriam alimkimbilia chidi kwa nguvu zote tena kwa furaha ilio ya juuu,.. Lakini chidi akarudi nyuma na kumwambia kuwa

    "sitaki kuguswa.."

    Miriam haamini kama chidi kaongea maneno hayo...

    "omari, una nini lakini"

    "nimesema usinisogelee... Kama ni kadi yako chukuwa afu hio pesa nilioitumia nitakurudishia pesa zako"

    Chidi aliirusha ile kadi pale chini, kisha akawa anaondoka na kwenda kupanda tax, lakini kabla hajapanda tax hio, simu yake inaita

    "haloo chidi jamani mbona huji"

    Alikuwa ni sarah ndie aliopiga simu hio

    "nakuja sasa hivi mamii wangu"

    Chidi alikata Simu kisha akataka kuingia katika gari

    "omi jamani mimi nimefanya nini lakini"

    "mamuu staki mazoea na wewe... Wewe sio wa kumwacha mdogo wangu peke yake, mpaka mtu mwingine akaishi nae.. Je nikikuuliza mdogo wangu yupo wapi utanijibu nini wewe"

    "yupo kwa sarah ambaye ni rafiki yangu"

    "kwanini akakae huko kwa rafiki yako kwani hapa kwenu kuna nini"

    Chidi alikuwa na hasira kali, lakini miriam alikuwa akilia tu na kuzidiwa kuongea

    "omariii... Mimi nilikuwa nimefungiwa ndani jamani,.. Sasa ningewezaje kwenda kumchukuwa,.. Na huyo alie nae ni rafiki yangu na bila mimi hata yeye asingelijua alipo"

    "hata kama... Alafu hata kuja kuniona kule sero hujaja, ivi si katili wewe.. Tena naona kama unanichelewesha hapa.. Dereva twende"

    Miriam alilia bila kuongea lolote mana hawezi kuongea kabisa yaani yeye ni mtu wa kulia tu,... Chidi na Saidi waliondoka na kwenda kwa akina sarah...

    "sasa chidi mi ngoja niende job nikawasili"

    "ok we nenda wacha mi niende kwa sarah"

    Kila mtu aliondoka njia yake, huku chidi akipelekwa na tax nyumbani kwa akina sarah,..



    Dakika 20 mbele chidi alimpigia simu sarah kuwa kafika maeneo hayo ya kwao lakini chidi hajui nyumba ya akina sarah ila mtaa kaujua kasoro nyumba tu ndio haijui,..

    Sarah alifika na kumchukuwa chidi mpaka nyumbani kwao,.. Chidi aliona viatu vingi sana hapo nje, kana kwamba huko ndani kulikuwa na watu wengi sana,

    "subiri hapa kwanza nimuite mama akuone kwanza"

    Sarah alimwambia chidi kuwa akae hapo kwenye korido ili aonekane kwa mama kwanza kabla ya watu wengine,..

    "mama,... Sapraizi mama angu"

    "Sapraizi ya nini tena"

    "mkweo kaja... Yupo kulee"

    Aliongea Sarah huku mama mtu akiwa na shauku ya kumwona huyo mkwe...

    "kwahio sasa naendaje kumuona"

    "we nenda tu mama kwani si mkweo.. We vaa vizuri hapo uende"

    Mama alivaa fasta fasta mana ni mume wa mtoto wake hivyo heshima itawale juu yake...

    Mama alitoka na mbwembwe zote, ili kwenda kumsaminisha mkwe kabla hajasaminishwa na watu wengine, Lakini mama sarah alishangaa kumuona chidi kakaa hapo koridoni,

    "heeeeeeee we chidi umefata nini hapa, au nawewe umealikwa??"

    Wakati huo chidi mwenyewe katoa macho tu, haelewi elewi





    Baadhi ya Wamama watu wazima ambao ni mashuga mamy, hua wanapenda kutembea na vijana ambao ni lika la watoto wao, ila hua hawapendi watoto wao wajue uhusiano huo, yaani wanakuwa watu wa siri sana kuliko hata mahusiano ya kiuwanafunzi, yaani wato secret sana, ili tu kulinda watoto wao wasijue chochote kile kuhusu mahusiano ya mtoto mdogo na mtu mzima,... Ila mama atakasirika sana tena hata kuuwa anaweza pale anapogundua kuwa yeye mama mtu na mtoto wameshiriki kufanya mapenzi na mwanaume mmoja,.. Yaani kula kuku na mayai yake,..

    Basi mama alipoambiwa kuwa atoke akamuone mkwe wake hapo koridoni

    Mama alitoka na mbwembwe zote, ili kwenda kumsaminisha mkwe kabla hajasaminishwa na watu wengine, Lakini mama sarah alishangaa kumuona chidi kakaa hapo koridoni,

    "heeeeeeee we chidi umefata nini hapa, au nawewe umealikwa??"

    Wakati huo chidi mwenyewe katoa macho tu, haelewi elewi

    "we chidi si nakuuliza lakini"

    "mbona wewe umealikwa hata hujaniambia"

    "nimealikwa... Yaani nyumbani kwangu nimealikwa"

    Chidi kuskia nyumbani kwake alishangaa na kutoa jicho,...

    "ina, ina, ina mana huyu ni mtoto wako"

    "kwani we umeletwa na nani hapa"

    "na sarah"

    "kwaio.. Wewe ndio huyo mchumba"

    Chidi alikosa cha kusema,... Hivyo alibaki kimya,.. Punde si punde halima kaja na kibox ambacho kina pete ndani yake

    "kakaaa... Shikamoo kaka"

    "marahaba ujambo mamy"

    "sijambo"

    Halima alimpa kaka yake kile kibox na chidi alielewa,...

    "nenda kacheze sasa"

    Chidi alimtoa halima ili mama sarah aendelee kuongea ila wakati huo sarah yupo ndani anajiandaa kwa sherehe,..

    "we chidi,... Ivi kwanini umenifanyia hivi lakini"

    "mamy Samahani, mimi pia sikujua kama ni mwanao"

    Mama sarah alikuwa anataka kulia kwa hasira,.. Lakini ghafla mwanae katokea, hivyo mada ikabadirika papo hapo

    "karibu sana baba"

    Aliongea mama sarah huku akiinama ile kiheshima mana si mkwe,..

    Sarah alisogea mpaka pale chidi alipo na kumshika shika mabega huku akisema

    "chidi mpenzi.... Huyu ndio Mama yangu mzazi, mama mzaa chema"

    "ooohhh mi nilijua ni mmoja kati ya waalikwa tu... Shkamoo mama"

    Chidi nae kaamka ile kiheshima na kumsalimia mama sarah,.. Lakini mama sarah alikuwa anaumia moyoni tena anamchukia sana kijana chidi..

    "marahaba baba karibuni nyumbani"

    Yaani mama sarah alikuwa ana duku duku la moyoni tena duku duku la mana haswa, yaani kamchukia chidi mpaka basi,...

    Sasa pale pale wakachukuana mpaka kwenye sebule ambayo ilikuwa ni kubwa sana, yaani ilikuwa ni kama sherehe ya kifamilia tu,.. Basi wale ndugu waalikwa walipiga vijiukelele vya hapa na pale baada ya kumwona mchumba wa mtoto wao,.. Yaani mama sarah alikuwa akitetemeka kwa hasira, yaani kaliwa yeye na mtoto wake tena mwanaume ni huyo huyo, bora ata wangelikuwa ndugu wawili, kuliko mtoto mdogo kama huyu kuwachanganya mtoto na mama yake,..

    Sasa Sarah kuangalia vizuri wageni waalikwa, alishangaa kutokumuona miriam, Sarah alishika simu na kumpigia miri wake

    "haloo miri, mbona hujaja shost yangu, au ndio ushaanza kuntenga ivo"

    "miri, mimi siwezi kuja tena huko... Siweziiii"

    "heeeee miri, mbona unalia kuna nini tena"

    "we acha tu sarah, nina bahati mbaya mimi"

    "nini tena miri"

    "nitakwambia kesho wacha leo nitulie tu"

    Basi sarah alikata simu kisha kasherehe ka kuvalishana pete kalianza,.. Na unajua ni kwanini haikuwa sherehe kubwa? Ni kwasababu sarah anataka iwe fasta fasta tena alitaka iwe mbele ya miriam, lakini kwa bahati mbaya miriam kapata tatizo,...

    Sarah alivalishwa pete na mpenzi wake chidi,.. Picha nyingi zilipigwa waalikwa walikula vizuri vinywaji, yaani kasherehe kalikuwa ni kakubwa haswa lakini mama sarah hakuwa na raha hata kidogo yani



    Tukija huku hotelini kwa akina miriam, saidi akiwa ndio anafika kazini, alikutana na boss mlangoni..

    "shkamoo boss"

    Saidi alimsalimia mama miriam ambae ni boss wao,..

    "marahaba... We huyo omari ndugu yako yupo wapi"

    Aliongea mama miriam huku akijifanya kama hajui kama yeye ndio kampeleka sero

    "niliskia yupo sero karibia wiki inaisha hii"

    Saidi hakutaka kusema kama chidi keshatoka

    "Ati nini? Yupo sero?"

    "ndio"

    Mama miriam alijifanya hajui... Sasa baada ya kuambiwa chidi yupo sero, alichukuwa simu yake na kumpigia mtu fulani...

    "halooo... Mama sarah, si nilikwambia umtume mtoto wako akamtoe yule kijana"

    "mbona keshatoka tayari mama miri"

    "mbona kazini hafiki sasa"

    "mimi najuaje sasa na safari zake"

    "ok sawa"

    Mama miriam alikata simu na kumgeukia saidi

    "we unanidanganya si ndio"

    Aliongea mama miriam huku akimkazia saidi jicho..

    "ni kweli boss, omari katoka, lakini alisema nisimwambie mtu"

    "anatakiwa afike kazini hapa... Afu mwambie aachane na mtoto wangu nitampoteza ndugu yenu"

    Sasa saidi akaona kuliko rafiki yake aendelee kufikiriwa vibaya bora aseme ukweli tu...

    "tayari wamesha achana"

    Sasa maneno hayo yalimshtua sana mama miriam, wakati ndio alitakiwa kujiskia raha kwa kuambiwa wameachana...

    "kwasababu gani?... Mana ana bahati nilikuwa nampeleka maweni kule tanga"

    "omari alipokua sero, boss miri hakwenda hata kumuona, afu mdogo wake kaishi kwa watu afu yeye hakujali... Hicho ndio chanzo cha kuachana kwao boss"

    "safi sana.... Ngoja nimpigie simu"

    Chidi alipigiwa simu na boss wake aliomweka ndani takribani siku 5 hivi bila hata mzamana

    "haloo we kijana... Nakutaka uje kazini sasa hivi"

    "sawa boss"

    Chidi hakuwa na chuki juu ya boss wake hata kama kamweka ndani lakini bado alikuwa anaipenda kazi yake,... Lakini mama miriam papo hapo alimpigia na mtoto wake aje kazini saa hio hio, sasa sijui alikuwa na maana gani... Ila tumeshajua kuwa huyu mama miriam ndio aliotoa amri ya kutolewa kwa chidi kule sero, ila alimtuma mama sarah ili mama sarah amtume mtoto wake.. Na ndivyo ilivyokuwa..



    Dakika chache mbele chidi alikuwa keshafika ndani ya hoteli,.. Alifika mpaka kwa boss wake hata kama kamweka ndani lakini hakujali hilo..

    "shkamoo boss"

    "marahaba ujambo"

    "sijambo"

    "naomba uendelee na kazi... Tusameheane kwa yaliotokea... Unaweza kwenda"

    Chidi hakutaka kuongea mengi aligeuza na kuingia jikoni kama kawaida yake ya kukaanga chipsi kiprofesheno zaidi..

    Haikupita hata dakika tano miriam nae huyo, mpaka kwa mama yake..

    "hali yako vipo mwanangu.. Afu mnona umekasirika hivyo"

    "wala tu nipo sawa"

    "ooohhhh shit, ebu kampe omari hii pesa ya pole kwa matatizo aliyo yapata"

    "mamaaa... Mimi nitamuona wapi omari saa hizi"

    "yupo jikoni"

    "Whaaaaat... Ina maana omari kaja kazini mama"

    "ndio.. Yupo jikoni huko"

    Miriam kuskia hivyo aliinyakuwa ile pesa na kukimbia jikoni, lakini mama nae kumbe ana akili kama mchwa,.. Mama kiguu na njia, hatua ya miriam yakwake nyuma, kana kwamba anataka kuhakikisha ni kweli wamegombana au kadanganywa..

    "jamani omiiiiii, nisamehe mpenzi wangu"

    Yaani miriam alikimbilia kuomba msamaha, na hapo mama anaona kila kitu kinachoendelea

    "miriam, niache bwana niache.. Familia yako hainitaki... Afu kwa roho yako ilivyo mbaya mimi nipo jela hata kuja kuniona hukuja.. Roho gani hio, mdogo wangu anaishi kwa watu kule wewe upo unakula raha tu... Roho gani hio... Niachieeeeeeee"

    Chidi aliongea tena kwa sauti ya juu, mana hakuwa akitaka utani kweli..

    "kwahiyo hunipendi omi"

    "nakupenda sana,... Ila kwa roho yako ilivyo mbaya na ya kijinga bora nisikupende kabisa.. Afu kadi yako si nilishakurudishia asubuhi wewe.. Sasa wataka nini tena kwangu"

    "omiiii"

    "niacheeeeee"

    Miriam alikuwa analia na kulia kabisa, tena kwa kupiga magoti, lakini chidi ndio kwanzaa haelewi la muazini wala la kanisa...

    Mama miriam aliondoka taratibu huku akifurahi moyoni mwake, yaani hapo kuna kitu keshagundua, hivyo hana wasiwasi tena na mtoto wake,..

    "uchunguzi wangu umekwisha... Ajiandae tu"

    Aliongea hivyo mama miriam akiwa ofisini kwake, ila hatujui alimaanisha nini kusema hivyo..



    Miriam akiwa bado anaomba msamaha, lakini kila akimkumbatia chidi kuna pafyumu anaisikia, na hio pafyumu inapendwa sana na rafiki yake sarah, na chidi mwenyewe hatumii pafyumu aina hio,... Miriam aliomba msamaha mpaka ikashindikana, miriam aliondoka na pesa yake mkononi kana kwamba chidi kaikataa, hapo miriam akaamini kuwa penzi lao ndio limekufa, yaani haamini kama kweli inakuwa hivyo, lakini ghafla simu yake inaingia sms akiwa ndio anaingia ofisini kwa mama yake,...

    "mama, kakataa pesa yako"

    "kwanini sasa"

    Miriam alikuwa analia tu huku akiifungua hio sms... Kucheki zilikuwa ni picha zilizotumwa,... Lakini ghafla miriam anatoa macho na kushangaa... Sasa mama kumwangalia mtoto wake, anamuona anakwenda chini taratibu, yaani alikuwa anazimia kwa kile alichokiona katika simu...

    "miri... We miri una nini lakini"

    Mama yake aliita kwa sauti kubwa huku nae akianza kulia kwa mtoto wake kudondoka chini ghafla, na haijawahi kutokea, mama akaichukuwa ile simu ili aone kilichosababisha mpaka mtoto wake kuzimia.. Lakini hakuona chochote kwasababu simu iliingia lock....

    Lakini Sasa cha ajabu tunamuona mama miriam anacheka, huku akiwa anatikisa kichwa,





    Mama miriam ni mwanamke anaetumia akili nyingi sana, yaani hapendi mtoto wake aingia katika shida na ndio maana baadhi ya vitu vyake vinakuwa ni vya kutisha tisha tu, mtoto kadondoka chini lakini mama mtu anacheka sasa huoni ni balaa hilo,...

    Chidi akiwa jikoni anaendelea na shughuli zake za mapishi ya chipsi, ghafla anamwona mama miriam kaja jikoni huku akiwa kama mtu mwenye wasiwasi sana

    "jamani naombeni msaada miriam kadondoka kule ofisini kwangu"

    Aliongea mama miriam huku akiwa analia kabisa... Ukweli ni kwamba UPENDO HUJITENGA MBALI NA HASIRA, chidi kuskia miriam kadondoka tu, upendo ulijionyesha wazi na hasira ilikaa pembeni,.. Kiukweli chidi anampenda sana miriam, lakini sema tu hasira zake za karibu ndizo zinazomfanya kukaa mbali na miriam....

    Chidi alikuwa wa kwanza kufika eneo la tukio ambako miriam kadondoka, Chidi kufika tu hakutaka maelezo, kamsomba mtu begani anatoka nae nje, yasni liwalo na liwe wacha aseidie mtu kwanza lakini kabla hajatoka nje, ghafla ambulance imefika, mana huyu ni mtoto wa tajiri, anaitiwa ambulance chap chap... Basi chidi alimwingiza katika gari hio huku mama akiwasha vogue yake kuifuata ile ambulance,...

    http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Nusu saa mbele wakiwa wapo hospitalini chidi na mama miriam wakiwa wamekaa karibu na miri,.. Ghafla miriam anazinduka, mtu wa kwanza kumuona ni chidi, na wakati mama yake yupo apo apo,...

    "jamani Omiiiiiiiiiii"

    Miriam alizinduka na kumkumbatia chidi mbele ya mama yake yaani hakujali kitu chochote kile,... Kwa mara ya kwanza tunamuona mama miriam anaondoka mbele yao, lakini alipofika mlangoni alikutana na dada yake, na dada wa mume wake.

    "grace,... hawa watoto hebu waache sasa, utamkosesha miriam mwanye upendo ukataka tajiri kumbe ni katili.. Waache sasa.. Kwani wewe ni pesa gani unazitaka tena?"

    Aliongea dada yake, huku dada wa mume wake akifuata

    "ni kweli wifi yangu... Unaweza kung'ang'ania aolewe na mtoto wa tajiri kama wewe, lakini wakaishia kugombana kila siku mana kila mtu anajivimbisha kwa pesa zao... Waache sasa"

    Mama miriam hakumjibu mtu kati yao, bali aliondoka na kwenda wodi ya pili kukaa, ila alikuwa anaona kinachoendelea kule kwa akina miriam na chidi,.. Hata shangazi wa miriam na mamkubwa wake kuona chidi na miriam wamekumbatiana, wakarudi nyuma ili kuwapa nafasi, mana ndio walikuwa wanakuja kumjulia hali..



    Sasa huku miriam akaona kabla chidi hajarudisha hasira zake, bora aongee ukweli, mana chidi hakawii kukasirika

    "omari... Nakumbuka siku ile tulikamatwa wote, mimi nilijua unakwenda jela, lakini wewe hukujua kuwa mimi nakwenda wapi... Mama yangu alinifungia ndani siku tatu, chakula chenyewe napewa kwa dirishani,.. Mimi ningewezaje kutoka kwenda kumchukuwa mdogo wako,.. Na nani angejua kama mdogo wako yupo pale??.... Pia ningewezaje kuja kukuona huko jela,.. Nimefungiwa chumbani kwangu siku tatu, nilipofunguliwa, sikutakiwa kutoka nje ya geti, tena hiii leo ndio mara ya kwanza kutoka nje, lakini toka siku ile siijui nje ilivyo babuu,... Unanionea babuu, nisamehe"

    Miriam aliongea hayo huku akishuka miguuni mwa chidi taaratibu kabisa kwa kuomba msamaha, lakini chidi kumbe kitambo tu keshamsamehe mana kuna sababu iliomfanya chidi atulie na kusikiliza maneno ya chidi..

    Wakati huo mama anaona kila kitu kinachoendelea, yaani sijui alikuwa na maana gani kuwaangalia,..

    "babuu, msamehe mkeo"

    Miriam alikuwa akiongea huku machozi yakimtoka,...

    Chidi hakusema kwa mdomo kuwa kamsamehe, bali alirudisha kumbatio kama la mwanzo tena likiwa limeambatana na makiss murua...

    "lakini babuu, kuna kitu nataka nikuonyeshe hapa"

    Sasa miriam anatafuta simu haoini, mara chidi kaitoa simu ya miriam na kumpatia

    "shika"

    Hata mama miriam alishangaa sana kwa kuona simu ya miriam inatokea mfukoni kwa chidi na wakati yeye aliiweka pembeni muda ule..

    "heeeeeeee we umeipataje pataje hii simu"

    Aliuliza miriam kisha chidi akakumbuka muda ule alipokuwa kaingia ofisini kwa boss, na kumkuta miriam kalala, na ukumbuke chidi baada ya kuambiwa kuwa miriam kadondoka yeye ndio wa kwanza kuingia kwenye ile ofisi,.. Alipofika kitu cha kwanza aliona simu ikiwa chini, Aliichukuwa ile simu na kuiweka mfukoni,.. Sekunde chache tu mama mtu huyo yaani ilibaki tu kidogo chidi afumwe akiwa anachukuwa simu ya miriam... Pale pale chidi akamsomba miriam mpaka kwenye ambulance,... Ukumbuke kuwa mama miriam aliifuata ambulance kwa nyuma akiwa na vogue yake... Sasa huku ndani ya ambulance chidi anajua kufungua lock iliopo kwenye simu ya miriam,... Chidi alipofungua tu ile simu, alikutana na picha za kumvisha pete sarah,.. Hivyo hapo hapo ndio akajua kuwa miriam alizimia kwa ajili ya hizo picha.... Na ndio maana hata pale odini chidi alikubali kukumbatiwa na akakubali kumsamege mana kuzimia kwa picha tu sio kitu cha mchezo Mchezo ni ishara kubwa kuwa kuna upendo mzito ndani yake..

    Sasa miriam keshaipata simu yake, akaifungua lock na kukutana zile zile picha

    "ivi babuu hizi picha mbona sizielewi elewi"

    Aliongea miriam huku akimwonyesha chidi hizo picha, wala chidi hakuwa akiangalia mana anazijua

    "babuu nijibu basi, ni kweli au zimetengenezwa tu"

    "ni kweli"

    Miriam kuskia ni kweli mwili wote ulimlegea

    "kwanini lakini babuu... Tena kwa rafiki yangu mkubwa ndio unanufanyia hivi kweli"

    "kwani kuna tatizo"

    "hivi, hivi, yani hivi afu hakuna tatizo kweli"

    "hio sio pete ya ndoa... Hio ni pete ya uchumba tu, ikimaanisha kwamba, Nitamuoa,.. Lakini uoe usioe haidhuru.. Ni kama wewe unavyosema NITAKUJA lakini bado hujaenda hivyo kuna uwezekano usiende"

    Miriam kuskia hivyo alimkumbatia chidi kwa furaha kana kwamba kweli chidi alimaanisha hatomuoa Sarah,.. Sasa kumbatio hilo lilipelekea mpaka wakaanza kupeana mate hapo hapo wodini.. Mama kuona hivyo kaondoka zake huku akimuita nesi na kumwambia kuwa

    "nesii"

    "abeee"

    "waambie hao wajinga hapa ni hospitalini sio sehemu ya kuanza ujinga wao"

    Mama miriam alitoka huku akiwa anatabasamu, sasa sijui kamkubali chidi au inakuwaje

    "hhhhhhmmmmmmm"

    Nesi aliguna kidogo alipofika mlangoni... Chidi na miriam waliachana kunyonyana mate,.. Kisha wakaondoka zao...

    *

    *

    *

    BAADA YA MIEZI MITATU KUPITA



    AFTER THREE MONTHS LATER

    *

    *

    *

    Jijini Dar es Salaam akiwepo Ibrahim na mpenzi wake salma, sasa wanaishi kama mke na mume japo ndoa bado haijapita,... Lakini sasa kitu cha kushangaza juu yao ni kwamba salma tayari ameonyesha katumbo, kana kwamba tayari ana mimba... Sasa hio mimba kapewa na nani na wakati Ibrahim ni doro, baada ya mbegu zake kutumika kumponyeshea ridhiwani,.. Mana mganga alisema kuwa, mtu atakaetoa mbegu zake ni lazima awe dori, yaani ile hali ya ridhiwani inahamia kwa huyo aliotoa mbegu, lakini kwa muonekano wetu, mbegu za Ibrahim ndizo zilizotumika kumseidia ridhiwani mpaka akapona.

    Ibrahim na salma kwa sasa nao wanataka kufungua kihoteli chao, baada ya kufanya kazi chini ya mama huyo,.. Katumbo ka salma kalionekana kuwa na miezi miwili hivi, furaha juu yao ilitawala mpaka raha,.. Chumbani kwao sasa hivi hakuna mkeka wala godoro la chini,.. Tena wamepangisha dabo rumu,.. Kifupi maisha yao yalikuwa ya kawaida lakini yalikuwa ni yenye furaha, lakini sijui itakuwaje siku salma anakutana na chidi afu mbaya zaidi, ni kwamba mdogo mtu ndio kawa shemeji mtu.. Sipati picha sehemu kama hio... Sasa wakiwa wapo nyumbani kwao leo walikuwa wanajadiliana ni jinsi gani wataweza kufungua kahoteli kao, mana salma kwa sasa keshakuwa mpishi mzuri, na Ibrahim kama tunavyomjua kwenye chipsi hua sio mtu wa spoti spoti, ni professional haswa...

    "lakini mume wangu, kwanini tusiendelee kufanya kazi kwa yule mama ili tujikusanyie pesa nyingi"

    "hapana mke wangu... Mimi nataka tuwe na hoteli yetu na sisi"

    "mimi sikatai.. Lakini pesa tulizo nazo hazitoshi mme wangu"

    "tulia mtotoooooo.... Nina mdogo wangu yupo arusha, lazima atusaidie kiasi cha pesa"

    "heeeeeeee ndio huyo uliokuwa unaniambiaga"

    "ndio"

    Ibrahim na chidi ni ndugu wanaopendana mno, sema Ibrahim alimtesa sana mdogo wake kipindi cha nyuma lakini mdogo mtu hajali kitu chochote huyo ni kaka yake tu,..

    "ebu mwambie basi shem wangu"

    "subiriiiii Inaita subiri"



    Wakati huo huku jijini Arusha chidi akiwa yupo kazini, simu iliita kucheki jina alikuwa ni kaka yake Ibrahim

    "waoooo broo huyo"

    Kwa sasa chidi hafuatiliwi tena na miriam, mana hapo anapika chipsi huku akiwa kashikwa kiuno na miriam,... Kana kwamba kwa sasa wapo free na mapenzi yao... Sasa simu ikiwa inaitwa chidi mikono yake ilikuwa imeshika maji, hivyo hawezi kupokea hio simu,... Miriam kawa mpokeaji na kumuekea sikioni..

    "haloo broo shikamoo"

    "marahaba ujambo dogo"

    "sijambo... Afu vp uko mbona kama una furaha hivi"

    "aaaahhh hakuna chochote,.. Ila nilikuwa na shida kidogo uniseidie"

    "sema tu broo nitakuseidia"

    "nipo na shemeji lako hapa... Sasa tunataka tufungue kahoteli ketu, sema mtaji haututoshi mdogo wangu"

    "kama kiasi gani mnataka"

    "aaahhhh ,ni...ni...ka..ka kama milioni 5 hivi zitatosha tu"

    Sasa chidi kuskia milioni 5, akatulia kwanza ili kujua atawatumia kwa njia gani, sasa Miriam yeye alijua chidi katulia labda hana hio pesa,... Saaa ngapi Miriam hajaongea yeye

    "usijali shem, tutakutumia milioni kumi kabisa, mana hio ni moja ya mafanikio kwetu"

    Chidi alishangaa kuskia hivyo

    "we ni nani tafadhali"

    Aliuliza Ibrahim baada ya kuskia sauti ya kike

    "shemeji yako"

    "heeeeeeee mbona hamjatualika kwenye harusi yenu"

    "mbona hata wewe hujatualika kwenye harusi yenu"

    "sisi bado"

    "muongo shemeji"

    "kweli vile ongea nae mwenzio si huyu hapa"

    Ibrahim alimpa simu mke wake ili aongee na Miriam, wakati huo chidi ilibidi aendelee na kazi,..

    "halooo mambo mke mwenzangu"

    Aliongea Miriam huku akiwa na furaha ya hali ya juu

    "safi tu,.. Unaitwa nani wewe"

    "naitwa Miriam.. Wewe je"

    "mie naitwa salma"

    "ok... Ongea na shemeji yako"

    Simu imefika kwa chidi ili aongee na shemeji yake, ambae nu mke wake wa zamani lakini hajui kama ndio huyo, sasa sijui watajuana kwa sauti?

    "haloo shem mambo"

    Alianza chidi huku salma akifuatia kujibu

    "safi shem habari za huko"

    "nzuri tu, sjui ninyi"

    "aaahhh Tunamshukuru mungu"

    "haya.. Ongea na kaka ako"

    Chidi aliisikia sauti ya shemeji yake lakini hakuweza kuijua kuwa ni nani.. Nitakwambia kwanini hawakujuana sauti,

    "sasa chidi,.. Mbona uyo mchumba wako kasema atarusha milioni kumi,.. Kadanganya au kweli"

    "kweli, na tunakurushia jioni hii ya leo"

    "chidi, ivi huko upo kitengo gani wewe, mbona pesa kubwa hivyo"

    "usijali broo"

    Ibrahim alitilia wasiwasi juu ya kazi anayoifanya chidi,

    "afu chidi, mtoto wangu anaendeleaje uko"

    "aaahhhhh kiukweli hata sijui broo, nina muda mrefu sana sijawaona wale watu, hata simu hawajawahi kunipigia"

    "aaahhh ipo siku nitakuja kiwaona"

    "ok poa"

    Simu ilikata huku Miriam akiwa na furaha kwa kuongea na familia ya chidi,...

    "chidiiii, kaka yako yupo wapi"

    "yupo Dar es Salaam"

    "afu huyo mke wake mzuriii"

    "mi kwani namjua basi"

    Unajua chidi hakuijua sauti ya sakma kwasababu salma alikuwa akiongea kwa rafudhi ya Dar, na chidi pia alikuwa akiongea rafudhi ya Arusha, hivyo sauti walizo zoeana kuongea kwenye simu wakati huo, zimebadilika sana kutokana na rafudhi walizokuwa wanatumia.. Na ndio mana hawakujuana hata kwa sauti... Sasa wakiwa bado wanaulizana baina ya chidi na Miriam, ghafla simu ya chidi iliita tena, Miriam kazi yake ni kupokea na kumuekea chidi sikioni mana chidi kashika maji maji... Lakini sasa Miriam kuangalia ile namba alikuwa anaijua, japo chidi kaisevu vizuri kwa jina la Mamy... Ila kwa chini inaonyesha namba ya huyo mamy,.. Na mamy mwenyewe alikuwa ni mama sarah.. Afu mama sarah alimchukia chidi toka siku ile wanavishana pete, na hakuwahi kupiga toka siku ile, leo ndio mara ya kwa...

    "chidiii huyu mtu una kazi gani nae"

    Aliuliza huku simu bado inaita

    "usipokee"

    "kwanini nisipokeee"

    "nishakwambia usipokee"

    "hapana babuu mi napokea, mi nataka nijue una ishu gani na huyu mwanamke"

    "sina"

    "No babuu, niruhusu please"

    "ok pokea"

    Miriam alipokea kisha akaweka raudi spika, ili wote wawili wasikie japo kuna watu wengine hapo walipo.. Miriam alipokea simu hio kisha wakasikiliza, chidi yeye alijua tu kutakuwa na shida sio bure... Sasa mama sarah hajajua kama aliopokea sio chidi, akajikuta anaongea tu maneno ya ajabu mbele ya miriam

    "mwanaume rijali uliofanikiwa kula kuku na mayai yake..... "

    Kabla hajaendelea chidi aliinyakuwa ile simu na kuikata, wakati huo Miriam katoa macho kwa kuskia kuwa kuna kuku kaliwa na mayai yake,.. Miriam alipatwa na kigugumizi cha ghafla papo hapo... Kisa kuku na mayai yake..





    Kiukweli hakuna kitu kibaya kama kufanya mapenzi na ndugu wawili au kitu na mama yake,.. Ila pia huenda kukawa na makosa pale mmoja wapo anapogundua na kukaa kimya, hio ndio mbaya, lakini kama kati yao hakuna mtu yeyote anaejua basi hali hio haina shida, ila akijua afu akaendelea hua sio hali nzuri... Miriam akiwa kama mpokeaji wa simu za chidi ambazo zinapigwa

    Lakini katika kupokea pokea alijikuta akipokea simu ya mama sarah na kuweka laudi spika ili wasikie, na mama sarah hakulijua hilo, yeye alijua ni chidi peke yake ndio kapokea kumbe hata miriam anasikia, "mwanaume rijali uliofanikiwa kula kuku na mayai yake..... "

    Kabla hajaendelea chidi aliinyakuwa ile simu na kuikata, wakati huo Miriam katoa macho kwa kuskia kuwa kuna kuku kaliwa na mayai yake,.. Miriam alipatwa na kigugumizi cha ghafla papo hapo... Kisa kuku na mayai yake..

    "chidi..."

    Miriam alimuita chidi huku akimuangalia,.. Sasa hivi chidi hajiiti omari tena mana keshajulikana hivyo hakukuwa na haja ya kuendelea kuitwa omari na ndio mana hata sasa hivi miri anamuita chidi,

    "nini tena"

    "kwanini umeikata hio simu"

    Aliuliza miriam huku akianza kununa

    "no, mamuu, niliona ananicheleweshea kazi tu kwa stori zisizo na maana"

    "Anhaaa.... Enhee na hio kuku na mayai ina maana gani"

    Unajua miriam ni mtoto wa kishua, afu istoshe mambo ya mapenzi kayaanza akiwa na chidi, yaani hajawahi kufanya mapenzi mapaka hivi amekutana na chidi ndio kayajua mapenzi,.. Hivyo hata ile misemo ya Kiswahili swahili hua haijui sana, hususan kuku na mayai, ni fumbo ambalo kama ni mtoto wa kifaru tena hata mjini yenyewe hupajui kwasababu ya kuishi ndani muda wote,.. Sasa miriam hata mafumbo kama haya hayajui

    "aahhh unajua mama Sarah kuna siku alinunua kuku, sasa yule kuku alikuwa anataga,.. Akaniambia nikamfuge,. Lakini sikufanya hivyo, yule kuku nilimpelekea shemeji yangu kamla... Sasa mama sarah anahisi mimi ndio nimekula yule kuku na mayai yake"

    Chidi aliongea hivyo huku miriam akiamini ni kweli, japo kaelezea vizuri lakini sio kuku kama kuku bali hao ni watu ndio walioliwa,..

    "aanhaaa.. Afu yote tisa... Kumi toka lini ukawa na utani na mama sarah, mana mwanamke kukuita mwanaume rijali, bila kitu chochote huo ni utani mkubwa sana"

    "mbona mama sarah ni tunatanianaga tu"

    Chidi alizidi kujitetea juu ya maswali ambayo miriam alikuwa akiyauliza



    Miriam aliondoka zake na chidi akiwa tayari keshamaliza kazi yake sasa kajipumzisha mahali tu... Ghafla simu ikaita tena, kucheki alikuwa ni sabra

    "haloo"

    "eehhh chidi mambo"

    "poa nambie"

    "safi tu... Yaani hata kuja kumsalimia mtoto wako hutaki"

    Sabra anachomaanisha ni mtoto wake kweli yaani ni mtoto wake kabisa na sii mtoto wa kaka yake, sasa chidi yeye akiambiwa mtoto wako anajua ni mtoto wake lakini ni mtoto wa kaka yake...

    "aahhhhh kazi nyingi hivyo nakosa nafasi"

    "ivi chidi nikuulize kitu"

    "uliza tu"

    "ebu naomba tukutane sasa hivi kuna kitu nikuambie"

    "tukutane wapi"

    "nipo sorare apa"

    "ok nakuja sasa hivi"

    Hapo alioo kijana chidi na huko sorare ni jirani sana hivyo ni kitendo cha kulizunguka jengo moja na kwenda lingine,... Chidi kwa wakati huo ana hamu ya ngono ila cha ajabu hamuombi miriam na wakati ni mpenzi wake,.. Na kwa sasa chidi na sarah hawaongei tena kisa ni chidi kurudiana na sarah,.. Na mama sarah mwenyewe toka siku ile hakupiga simu ndio kapiga leo na kuongelea mambo ya kuku na mayai,..

    Dakika chache mbele chidi alishafika hapo sorare lakini hakumuona sabra, chidi alikaa katika kiti mana hapo sorare ni kiji restaurant kidogo, hivyo chidi alikaa hapo na kuweza kumpigia simu, lakini kabla hajafanya hivyo, alishtuliwa kwa kutekenywa,..

    "hhhhmmmm chidi unazo heee, ina mana huna hata kademu ka kukupunguzia mzigo"

    Alikuwa ni sabra, ndio kamtekenya hivyo chidi aliruka kwa hamu ya ngono,..

    "aahhhh mademu wenyewe si ndio nyie mnazingua kinoma"

    "mmmhhhh kwani ulishawahi kuniomba nikakataaa"

    "ok tuachane na hayo, sema pointi iliotuleta hapa"

    Chidi alikuwa akimwangalia kwa hamu mtoto sabra,...

    "afu mbona unaniangalia hivyo"

    "natamani nichukue chumba"

    "i think utakuwa unachelewa.. Coz ulitakiwa uamke hapo na ufanye hilo tukio, coz hata mimi nimekumiss"

    Chidi kuskia hivyo tu kamuita waita kwenye hicho kiji restaurant ambacho kina gest kwa pembeni,...



    Dakika chache tu sabra tayari kabakiwa na chupi wakiwa kitandani mana wote walikuwa wakitamaniana mno,..

    "chidi, sikuja kwa ajili ya mapenzi, sema tu imetokea but nilikuja kukuambia kuwa, mtoto wako anaumwa"

    Aliongea sabra huku akimvua chidi shati lake

    "aahhhhh ebu ngoja nimpigie baba yake,.."

    "baba yake nani sasa"

    "baba yake ajue kuwa mtoto anaumwa"

    Sabra aliinyakuwa ile simu na kukata, mana ilikuwa inataka kuita..

    "yule mtoto sio wa Ibrahim, yule ni mtoto wako wewe... Dada alikuficha tu lakini yule sio mtoto wa kaka yako"

    "Ati unasemaje wewe"

    "ndio hivyo, ile ni damu yako"

    "sabra acha masihara yako"

    "kwani wewe hujawahi kulala na dada yangu bila kondom"

    "mmmhhh.. Nimeshawahi tena sio mara moja"

    "sasa kwa taarifa yako, yule mtoto ni damu yako baba"

    Chidi alichoka na kulegea kabisa baada ya kusikia kuwa mtoto aliozaliwa na jasmini sio wa Ibrahim bali ni wakwake,..

    "ok anaumwa na nini"

    Chidi alibidi akubali tu mana kufanya mapenzi na mwanamke huyo walishafanya tena sio mara moja, ni mara kadhaa hivi

    "sijui ata, labda ni maralia"

    Sabra alitamani kumwambia ukweli lakini anaogopa kusema kutokana usiri wa kishetani,.. Anaweza kutoa siri afu akapata shida,...

    "ivi chidi leo ni tarehe ngapi vile"

    "leo si tarehe 6 mwezi wa 7 au"

    "basi kesho njoo tushinde nyumbani ata umchekeshe mtoto wako"

    Sabra alitumia njia ya kumwambia chidi aje nyumbani kesho, na hio kesho ndio tarehe 7 mwezi wa 7,siku ya kutoa kafala la huyo mtoto ili mali zao ziendelee kudumu maisha yote,. Sasa sabra hapendi kitendo hicho kitime mana anajua ni dhambi kwa Mwenyezi mungu,.. Kwa akili yake aliona ni bora chidi aje ashinde kule nyumbani ili zoezi lisifanikiwe, na siku ikipita tu basi haiwezekani tena,

    "keshi nitakuwa kazini"

    "chidi,.. Siku ya kesho ni siku muhimu kwa mtoto wako, kwanza ni siku anazaliwa hivyo sio mabaya hata tukimfanyia Birthday"

    "heeeeeee birthday ya miezi mitatu ni Birthday gani hio"

    Laiti kama chidi angelijua anaitiwa nini huko, wala asingelikataaa...

    "we njoo tu"

    "ok... Ebu tuyaache hayo,.. Njoo hapa"

    Chidi alimrukia sabra na kuanza kunyonyana vibuyu vyao...

    "chidi siku hizi, unanichetuaga hhhmm"

    "sabra"

    "abeee"

    "naomba niingize kichwa tu jamani"

    "chidiiiiiiiiiiiii.... Hii tabia umeanza lini lakini"

    "natamani eti"

    "acha bwana... Mi spendi"

    "kichwa tu"

    "No, siwezi,.. Kula mbele chidi huko mi staki"

    Chidi na zile hamu aliona kama anachelewa, alimkusanya sabra na kutaka kumruka ukuta, sabra akajikwepesha ikaingia mbele,.. Akawa hajafanikiwa kupewa tigo,..



    BAADA YA SIKU HIO KUPITA NA LEO NI TAREHE 7 MWEZI WA 7...



    Chidi anapokea simu akiwa kazini, kwa sasa chidi yupo free popote anaweza kwenda tena kwa kutumia hata gari ya boss, mana tayari keshapewa uhuru wa yeye na miriam

    "haloo"

    "Ehhh chidi.. Ebu njoo hapa nje ya hoteli yenu"

    "kuna nini"

    "we njooo"

    Alikuwa ni mama sarah ndio kampigia chidi na kumuita kibabe babe

    Chidi alitoka na kwenda mpaka hapo nje

    "enhee"

    "ingi kwenye gari"

    Sasa miriam alikuwa kaona jinsi chidi anavyoingia kwenye gari ya mama sarah..

    "babuu? unaenda wapi"

    "narudi sasa hivi, naenda kumpa kuku wake asinizoeee"

    Sasa chidi kusema vile, mama sarah akashangaa

    "ati nini"

    "amana kitu........ Mamuu narudi mama"

    Miriam hakuwa na budi ya kuridhika.. Yaani ukiwa na mke mzuri jiandae kuibiwa, ukiwa na mume hensamu jiandae kuibiwa, yaani hakuna kuzuri kote ni balaaaaa... Mama sarah aliwasha gari na kuondoka na chidi,.

    "tunaenda wapi"

    "tulia"

    Mama Sarah wakati huo kavimba mno, yaani alikuwa na hasira toka siku ile mtoto wake wanavishana pete za uchumba na kijana chidi,..

    Chidi alikaa kimya mpaka mama sarah akafika sehemu alioitaka, palikuwa ni uwanja wa ndege wa kisongo...

    "ivi we mtoto,.. Kwanini umenichanganya akili yangu"

    Mama sarah aliongea huku akiwa kakasirika sana, afu saa hio gari imesimama na wote wapo ndani ya gari,..

    "kivipi sasa"

    "kwanini umtongize mtoto wangu na wakati mimi na weww ni wapenzi"

    "sikujua."

    "chidi, mimi nitakuuwa, nitakupiga risasi sasa hivi... Hata siku ile kwenye sherehe sikutaka tu mtoto wangu ajue lakini nilikuwa na hasira kuliko siku zote za maisha yangu"

    "nisamee mamy... Afu kama ningelijua kama wewe na yeye ni kitu na mtoto wake, basi wakumkataa alikuwa ni wewe"

    "kivipi"

    "mtoto wako ndio wakwanza kuwa nae kabla yako"

    "unasemaje wewe"

    "ndio,... Mwanao nilianza kuwa nae, tena yeye ndio alionipeleke hospitali na kunilipia kila kitu, siku hio wakati ndio naingia mjini wakwanza kumuona ni yeye... Wewe si ulinikuta nauza chipsi pale kibandani, ndio ukaamua kuniseidi na kuniombea kazi.. Sasa mimi kosa langu ni lipi... Basi niue basi kama ulivyotaka"

    Mama sarah alikuwa kashika bastola kweli na alitaka kumuua chidi..

    Lakini mkono wake ulimlegea baada ya kusikia kuwa mtoto wake ndio wa kwanza kuwa nae katika mapenzi, hivyo yeye ndio alioingilia penzi la mtoto wake,..

    "lakini hata hivyo hukutakiwa kuendelea nae"

    "hata nisinge endelea nae, tayari nimeshalala nae ingeseidia nini, na je ningelijuaje kama ni mtoto wako"

    Mama sarah yeye alitaka aachwe mtoto wake afu aendelee na yeye

    "chidi hebu usiongee kwa kujiamini,.. Naumia mimi... Tena nikifikiria jinsi nilivyokuseidia hio mboo yako, alafu unakuja kutembea na familia yangu"

    Sasa chidi akashangaa kuskia kuwa kaseidiwa mboo yake, na huyu sio mtu wa kwanza kumwambia hivyo, hata saida pia alishasema hivyo... Sasa kwanini na huyu mama anasema kamseidia chidi??.. Sasa mama sarah na saida nani kamseidia chidi....

    "Eti unasema umenisaidia nini wewe"

    Aliuliza chidi huku nae hasira zikimjaaa teleeeeeee





    Safari hiii kila kitu kinajulikana yaani hakuna kufichana hata chembe,.. Leo kijana chidi anashangaa pale anapoambiwa kuwa kaseidiwa na mama sarah, na wakati maneno hayo yalishasemwa na mwanadada saida, sasa kwanini leo mama sarah anasema kuwa hata yeye kamseidia vilivyo katika moja ya viungo vyake, na kama sio yeye basi mpaka sasa kijana chidi angeshalikuwa hanisi wa kiume yaani angelikuwa shoga sio shoga sa sjui tungemuitaje

    Sasa mama sarah na saida nani kamseidia chidi....

    "Eti unasema umenisaidia nini wewe"

    Aliuliza chidi huku nae hasira zikimjaaa teleeeeeee

    "skia chidi.. Kwanza naomba unisamehe kwasababu ilikuwa ni msukumo wa kipesa,.. Ni muda mrefu sana nilipewa hio kazi japo sikujua kama ingelikuwa kwako... Nakumbuka siku moja nilikusifia mbele ya rafiki yangu, lakini sifa hizo zilimshangaza na kuanza kunipa kazi ya kukufatilia wewe ili niweze kuzipata mbegu zako, kiukweli yule rafiki yangu alinipatia pesa nyingi sana ili niweze kuoata mbegu zako,.. Lakini nakumbuka aliniambia tu nizipate ila sijui kazi yake.. Lakini mwisho wa siku aliponiambia kuwa ni kwasababu ya kumponya mtoto wake afu wewe utakufa nguvu za kiume,.. Niliahtuka sana na hata kazi hio nikawa naifanya kwa kusita sita japokuwa kulikuwa na pesa, nakumbuka kuna siku nilikulazimisha uvae kondom nabukavaa, lakini zile mbegu hazikufika mbali tukapata ajali,... Kutokana na hilo nikastopishwa hio kazi lakini pesa yangu ilikuwa pale pale, nakumbuka kazi hio alimpa mtoto wake aitwae saida,... Huyo mtoto alifanikiwa kupata mbegu zako, lakini kwa mimi sikutaka wafanikiwe kwa mbegu zako.. Nakumbuka siku ile tunaondoka na ndege, mimi niliwahi Airport, nikadiliki kufanya mapenzi na mfanya usafi wa pale Airport na kufanikiwa kupata mbegu zake na ndio mana siku ile nilichelewa chelewa,.. Tukiwa juu ya ndege nikabadirisha zile mbegu zako nikazitupa na kuweka mbegu za huyo mfanyakazi niliotembea nae mimi, hivyo hata mama saida hakujua hilo mana aliniamini kunionyesha zile mbegu, na ndio mana mpaka sasa hivi wewe una nguvu zako, bila mimi we ungelikuwaje,.. Na hata huyo mwanangu asingekupenda kama ungelikuwa husimamishi... Hivyo ndivyo nilivyokuseidia mimi"



    Mama sarah aliongea yote yaani kamwaga siri zote, lakini sasa kutokana na maelezo ya mama sarah, mpaka sasa tumeshajua kuwa aliomseidia chidi ni saida, hivyo mama sarah yeye kamseidia kaka yake chidi ambae ni Ibrahim, mana Ibrahim mpaka sasa bado ana nguvu zake zote hana shida, tena mkewe ana mimba kwa sasa,.. Kwahio aliomuokoa ridhiwani ni huyo mfanya usafi wa Airport ambae ndio katembea na mama sarah ili kumuokoa chidi, lakini kumbe chidi alishaokolewa kitambo sana na saida, hivyo mama sarah alimseidia Ibrahim ambae alitembea na saida baada ya kuzitupa mbegu za chidi...



    Chidi haamini kwa hio hali aliokuwa anaipata, yaani sasa asingelikuwa chidi tena, sasa sijui ingelikuwaje

    "ok, kwa kifupi mi nasema Ahsanteni sana, ila naomba kwa sasa nitulie na mke wangu"

    "mkeo yupi, sarah au Miriam"

    "siwezi kumuoa sarah kwasababu siku anajua kuwa mimi na wewe tupoje, anaweza hata kunywa sumu"

    "nilijua bado upo na mawazo ya kuwa na sarah, binafsi pia sitaki uendelee kuwa na sarah"

    "sio sarah tu, ni mtu yeyote yule kuanzia wewe"

    "we mshenzi nini wewe... Unaongea ujinga gani uo"

    "kwaio we watakaje... "

    " nakwambia lazima umuache sarah lakini kwa mimi.. Hata uoe nitaibia tu iwe isiwe"

    Mama sarah aliwasha gari na kurudi kule tulipotoka,

    Lakini chidi akiwa ndani ya gari simu yake iliita ghafla, kucheki jina alikuwa ni boss, akajua enheee kimeshanuka sasa,

    "haloo boss"

    Aliipokea kijana chidi huku akiwa na hofu mana kaondoka bila kuaga

    "uko wapi"

    "nakuja boss, kuna mahali nilitoka kidogo"

    "ok, ebu wahi huku nyumbani"

    "nyumbani au kazini boss"

    "nyumbani kwangu"

    "sawa boss"

    Chidi alishangaa kuitwa nyumbani kwa boss, hakujua kuna nini huko nyumbani,



    Tukija huku kwa akina jasmini, tunamuona sabra anahangaika sana katika nyumba yao na hatujui alikuwa anatafuta nini,

    "we umeanza kuwa chizi siku izi ee"

    Aliingea jasmini ambaye ni dada yake, mana sabra alikuwa akizunguka nyumba nzima

    "dada, musa yupo wapi"

    Aliuliza sabra kwa dada yake,... Musa ndio yule mtoto wa chidi, anaitwa musa, sasa sabra toka asubuhi haoni mtoto akilia wala nini,..

    "heeeeeeee ivi una akili wewe,.. Kwani hujui leo ni tarehe ngapi"

    "najua leo ni tarehe 7 mwezi wa 7, lakini sasa mbona simuoni"

    Lakini kabla jasmini hajasema mtoto yupo wapi, ghafla simu yake inaita, kucheki ilikuwa ni namba ambayo haijaseviwa lakini anaijua

    "haloo boss"

    Aliongea jasmini baada ya kuipokea simu hio

    "mtoto wako kakataliwa na zachesi... Kwasababu kuna masharti umeyakosea, Anahitaji mtoto mwingine kwa kafala"

    "mungu wangu weeeeee.... Kwahio nije kumchukuwa huyo"

    "haiwezekeni tena, mtoto alishakufa siku nyingi sana, na zachesi kasema huyo ndio kafala juu ya masharti mliokosea"

    "mungu wangu mimi nimekosea sharti gani jamani"

    Jasmini alianza kulia mana mtoto hana na bado kafala halijafanikiwa

    "kwa sasa hatakiwi kumiliki kampuni yeyote ile na nyumba unayoishi unatakiwa kuondoka haraka mpaka hapo utakapo pata mtoto mwingine, na zachesi anataka mtoto wako tu na siii damu nyingine, au ukikosa mtoto kama una ndugu uliozaliwa nae unaweza kumtoa zawadi"

    "hapana siwezi tena... Lakini huezi ongea na Zachesi anipe muda"

    Jasmini alitamani kupewa muda zaidi ili kuitafuta zawadi ya zachesi,..

    "amri yake hua haigeuki mara mbili mbili"

    "sa... Sa... Sawa... Lakini sisi tumeharibu sharti gani"

    "mumetembea na mwanaume mmoja"

    Jasmini kuskia hivyo hata simu ilimdondoka mpaka chini huku sabra akiwa katulia tu

    Simu ilikata baada ya kudondoka chini

    "we mpumbavu, ina mana ulishiriki mapenzi na mume wangu Ibrahim"

    Aliongea jasmini huku akimsogele mdogo wake,...

    "hapana dada, mimi sijatembea na Ibrahim,... Ni chidi"

    "kumanina mshenzi wewe, kwanini usingesema sasa mbwa wewe, mpaka tumekiua kiumbe cha watu, kwanini lakini"

    "lakini dada mimi sikujua na hukuniambia kabla"

    Sasa kumbe sharti la tatu kama unakumbuka siku ile jasmini alimwambia sabra masharti matatu, lakini sharti la mwisho, sabra aliguna, alipoulizwa kwanini kaguna, sabra alikataa kuwa hakukuwa na kitu, sasa kumbe sharti lilikuwa ni hivi, hawaruhusiwi kutembea na mwanaume mmoja, awe ni mume au hata kijana yeyote yule,.. Na ndio mana kuna siku chidi alipewa milioni 50 na jasmini ili akae mbali na sabra, kumbe alikuwa akiepua sharti hilo, lakini sasa sabra alivyo hasikii na pia hakujua, alimtafuta chidi mpaka wakafanikiwa kufanya mapenzi, na ndio mana siku ile sabra aliguna, kwasababu kama ni sharti hilo tayari keshaliharibu, ila hakusema kama kaharibu...

    "we mwana kumanina mbwa wewe, haya katafute mtoto sasa umlete hapa,.. Kwanini husikii sabra, sasa ona kiumbe cha watu kimekufa bila faida... Kafiri wewe, haya sasa hatuna kampuni wala nyumba na kila mtu ajue anapokwenda... Mbwa wewe"

    "heeeeeeee dadaaaa, unasema hatuna kampuni"

    "nitoleee ushenzi wako mimi... Toka apa"

    Jasmini alikasirika mpaka macho yamekuwa mekundu mana kafeli kila kitu, we ulifikiri atatoa wapi mtoto kwa sasa hivi??....



    Tukija huku kwa akina miriam chidi akiwa ndio anafika katika jumba hilo la kitajiri,... Lakini kabla hakuingia alikutana na mdogo wake halima akiwa na miriam, mana toka walipopatana halima alienda kuishi kwa akina miriam,..

    "waaoooo jamani mume wangu"

    Aliongea miriam baada ya kumuona chidi ndio anafika

    "weeeeee mamuu tulia, mama yako akiona je"

    "heheheeee...babuu ondoa shaka, sasa hivi mambo ni poa tu"

    Aliongea miriam huku akimshika chidi na kuingia nae ndani

    "shkamoo kakaa"

    "marahaba ujambo mamii"

    "sjambo"

    Chidi aliingia mpaka ndani, lakini alishangaa kukutana na watu wengi sana hapo ndani, wamama wakiwepo wakutosha na baba yake miriam alikuwepo, chidi alisalimia mmoja baada ya mwingine kiheshima zaidi

    "karibu sana kijana"

    "ahsanteni sana mama zangu"

    Chidi hakujua kinachoendelea hapo sebuleni,

    "kijana... Kwanza naomba mnisamehe wewe na mwenzio miriam"

    Aliongea mama Miriam tena kwa heshima kubwa tu,..

    "hakuna shida mamy nilishasamehe muda tu"

    "kiukweli kukuwakataza kwenu sio kuwa nilikuwa sipendi mahusiano yenu, bali nilikuwa nataka nijue mnapendana kweli au laa,.. Nakumbuka siku ile mtoto wangu katoroka sikujua kama yupo kwako, lakini nakumbuka kesho yake ulikuja na begi kazini,.. Nilikutuma ukanunue viazi ili nikague begi lile.. Nilifurahi sana kuona nguo zile zilikuwa ni za miriam na nilijua hilo kwasababu niliikuta kadi ya benki ya miriam... Na ndio mana sikutaka kufatilia sana mana nilijua upo nae,.. Na sikukueka sero kwa kukutesa, bali kuna hali nilikuwa naipima... Mpaka hapo nimegundua unampenda sana mtoto wangu na hujampendea kwa ajili ya mali zake... Mpaka sasa nimemaliza uchunguzi wangu.. Kilichobaki sasa hivi nataka tukaone mazingira ya nyumbani kwenu huko kijijini"



    Mama Aliongea mengi na yupo tayari mtoto wake aolewe na chidi, na chidi kafurahi sana kuskia hivyo, lakini kichwa kilianza kumuuma baada ya kuambiwa waende kijijini kwao wakaangalie mazingira ya hapo nyumbani kwao.. Sasa chidi akifikiria nyumba yao ilivyo imetoboka toboka ukutani yaani kiufupi maisha ya kijijini kwao hayakuwa mazuri...

    "chidi... Rashidi.... We kijana"

    "Ennh,... Eehhn.. Sawa mama sawa"

    Chidi alikuwa katika dimbwi la mawazo mazito sana kwasababu ya mazingira ya nyumbani kwao...

    "wala usiwe na wasiwasi juu ya hilo, kikubwa tunataka familia yenye upendo... Na huko huko ndiko tunakwenda kuwafungisha ndoa,... Kazi kwenu na maandalizi yenu, nasi tunaanza kukusanya watu wa kwenda nao huko"



    Chidi alipotoka hapo kwenye kikao cha ghafla, kichwa chake kilikuwa hakifanyi kazi... Kitu cha kwanza chidi alimpigia simu kaka yake

    "haloo broo shkamoo"

    "marahaba ujambo"

    "sjambo... Sasa broo, ebwana kesho tunakwenda nyumbani, nakwenda kupata mke sasa"

    "aahhh sasa mbona muda ule tuliongea hukuniambia"

    "yaani broo hilo jambo ndio nimeambiwa sasa hivi na mama mkwe, mana mapenzi yetu na huyu mtoto wa kike yalikuwa ni ya kuiba iba, sasa leo ndio tumepewa ruksa kamili, na kesho tunakwenda tanga"

    "aahhhh sasa mimi nitawahi vipi ili nijiandae"

    "mnatakiwa mje sasa hivi huku arusha ili tuondokeni wote"

    "sasa tutakuja na nini"

    "pandeni ndege,.. Tumieni ule mtaji wenu afu nitakurudishia ukifika huku"

    "sawa dogo tunakuja sasa hivi"

    Basi Ibrahim nae kwenye mambo ya ndege, aahh anayafahamu sana mana si alikuwa boss katika kampuni za akina jasmini,..

    Sasa miriam ndio alikuwa na furaha zaidi kuliko hata chidi,.. Miriam alitoa gari yake ili waende mjini kujiandaa na safari hio



    Wakiwa wapo duka la wana harusi wakiwa wanachukuwa mavazi ya uwana harusi, lakini ghafla simu ya chidi inaita... Kuangalia anaepiga alikuwa ni sarah

    "halooo"

    "mume wa mtu sumuuu... Naskia unakwenda kuoa sasa"

    Aliongea sarah tena yalikuwa ni maneno ya kejeli juu ya ndoa yao,..

    "sarah naomba tueshimiane sawa"

    "akuheshimu nani... Univishe pete mimi afu ukamuoe mwingine??.. Mi nasema hivi haiwezekani yaani lazima nihakikishe hufanikiwi"

    "sawa tutaona sisi"

    Sarah alikuwa akiwapiga mkwara akina chidi na miriam eti ndoa yao haitotimia



    Wakati huo ndugu wa akina miriam nao wapo maandalizini, kumbe mama alishatoa taarifa muda mrefu kuhusiana na ndoa hio, ila sema alichobakiza ni kumalizia kwa chidi tu,.. Lakini hofu ya chidi ni kule kwao jinsi kulivyo kwa kimaskini, heeee anahisi anaenda kutia aibu kubwa sana, mana kajumbe chenyewe ni kajumba ka matofali alafu pia bati zenyewe zimechakaa...



    BAADA YA LISAA LIMOJA KUPITA



    Miriam na chidi wakiwa wapo geto kule wakiyafurahia mavazi walio yanunua ya bwana hatusi na bibi harusi, na mpaka hapo pesa inatumika ni pesa ya mama miriam mana alisema atagharamia kila kitu,.. Lakini wakiwa hapo geto, simu ya chidi iliita kuangalia jina alikuwa ni kaka yake,..

    "haloo broo, vipi"

    "aisee tumeshafika hapa lakini hatukuoni sjui upo wapi"

    "mumefika Airport"

    "ndio.. Nipo hapa mapokezi na shemeji yako"

    "ok.. Ngoja nije sasa hivi"

    Chidi alitoka hapo na miriam kuelekea kisongo ambako kuna Airport,

    "kaka yako keshafika Airport"

    "yes.. Kafika na mke wake"

    "waaooooo natamani kuwaona yani we acha tu babuu"

    Aliongea miriam huku akifurahi sana kwa kuiona familia ya chidi, tena ndio wamekuja wakati muafaka haswaaaa



    Salma na mume wake mtarajiwa ambaye ni Ibrahim,...

    "baby... Shem mbona anachelewa hivyo"

    Aliingea salma huku akiwa na shauku ya kumuona shemeji yake ambae ni rashidi,..

    "anakuja, sema atakuwa na furaha sana, kwasababu ndio anataka kufunga ndoa hivyo"

    "wooooohhhh, sasa kwanini na yakwetu tusifunge hapo hapo"

    "mmmhhhh kiukweli wacha aanze yeye japo mira zetu za kisambaa haziruhusu mdogo kuoa kabla ya mkubwa"

    "eeeeeeeeee na nyie mna mambo"

    Ghafla wanasikia sauti ya honi mbele yao, alikuwa ni chidi keshafika Airport ila alikuwa hajamuona salma vizuri mana alimuacha akiwa na mwili mdogo na sasa ana mwili mkubwa yaani ni mmama haswa.. Sasa chidi anashuka na mpenzi wake ili kwenda kuwapokea, na wakati huo salma alikuwa kavalia Kiislamu hivi, lakini haikusababisha chidi asimuone,

    Lakini ghafla salma alisita kuja kumpa mkono chidi, na chidi alikuwa bado hajampiga macho vizuri salma mana alikua kajitanda kislamu.. Sasa kumbe salma keshamjua chidi na ndio maana kasita kuja,..

    "vipi broo,... Afu shem yupo wapi.. Aahhh mbona yupo mbali hivi"

    Sasa chidi kumuangalia vizuri huyo shemeji yake,.. Alishikwa na butwaa, lakini sasa hilo ni dogo, kumbe huku miriam na Ibrahim nao pia wanafahamiana, hivyo walikuwa nao wanashangaana, kwahio kila mmoja alikuwa akimshangaa mwenzie... Salma na chidi, afu miriam na Ibrahim.. Ukimya wa ghafla ulitawala eneo hilo,...

    "we rashidi huyu ndio mkeo mtarajiwa"

    Aliuliza Ibrahim, lakini chidi nae kabla hajamjibu kaka yake, nae akabandika swali juu ya swali...

    "na mimi kabla sijakujibu, hebu niambie huyu ndio huyo mkeo mtarajiwa"





    Kilikuwa ni kitendo cha kushangaza sana kwa wapenzi hao, mana kila mmoja alikuwa akifahamiana na mwenzie,.. Lakini kwa chidi hakukuwa na shida ila kwa huyu miriam ndio kuna shida, yeye kajuana vipi na Ibrahim, ambae ni shemeji yake

    Salma na chidi, afu miriam na Ibrahim.. Ukimya wa ghafla ulitawala eneo hilo,...

    "we rashidi huyu ndio mkeo mtarajiwa"

    Aliuliza Ibrahim, lakini chidi nae kabla hajamjibu kaka yake, nae akabandika swali juu ya swali...

    "na mimi kabla sijakujibu, hebu niambie huyu ndio huyo mkeo mtarajiwa"

    Aliuliza kijana chidi huku akimsogelea salma, na salma kaganda pale alipo hata hamu ya kuondoka eneo hilo

    "nimekuuliza nikiwa kama kaka yako, we nijibu kwanza"

    Aliongea Ibrahim, Lakini Sasa chidi akahisi mbona kama anafatilia kitu ambacho anakifahamu, hebu ageuke nyuma ajue huyu miriam na Ibrahim wanajuana kivipi...

    Chidi akamlazimu kuachana na Salma na kuja huku kwa mke wake mtarajiwa..

    "kwani vipi apa.. Nyie mnajuana"

    Aliuliza kijana chidi huku akimnyookea miriam,

    "ndio.. Kama huyu ni kaka yako ni mkorofi huyu"

    Miriam aliongea hivyo huku akionyesha kumchukia sana Ibrahim,

    "we umemjuaje kaka yangu"

    Chidi nae alikuja juu huku akimsogelea miriam kwa ukaribu, tena ikiwezekana hata kumnasa kibao amnase pale atakapojua kuwa kuna uhusiano baina yao..

    "huyu alikuwa mteja wetu mzuri tu, na alikuwa anakuja kupata lanchi na wafanyakazi wake,.. Ila alikuwa akimuhitaji mwanamke, anafanya nguvu"

    "haaaaaa kwahio, hata wewe alikupata kwa nguvu"

    "hapana chidi.. Ila namshangaa kumuona hapa na wakati mara ya mwisho alikamatwa na polisi na mimi ndio niliwaita pale hotelini kwetu"

    Chidi baada ya kuskia hivyo alimgeukia kaka yake na kumuuliza

    "sasa broo kumbe ni hivyo tu, mbona sasa unashangaa sana au kuna jipya"

    "yaani mdogo wangu, mimi nashangaa kwa furaha, mana katika mke uliopata, basi huyu ni mke, kwanza hapendi ukorofi, cha pili ni mpole... Kweli kuna siku tulitia hasara kubwa sana pale hotelini kwao lakini aliishia kuleta polisi wanitoe nje tu, mana nilikuwa nimelewa, hivyo toka aiku hio sijawahi kufika hapo, ndio leo tunaonana hivi"

    "aahhhh kumbe ujinga tu mananiumiza akili yangu buuuure"

    Sasa chidi kugeuka akamuona salma, sasa hapo mada ikahamia kwao akina Ibrahim na salma...

    "sasa broo... Ivi unajua kuwa unaishi na mke wangu ambe sijampa hata talaka"

    Aliongea chidi lakini Ibrahim akaona kama ni utani hivi,..

    "we babuu ulioa lini wewe, unamdanganya kaka yako bure"

    Aliingilia mdada miriam,

    "sio kuwa namdanganya... We hukumbuki nilishawahi kukuambia kuwa nina mtoto kijijini"

    "yes, nakumbuka hilo"

    "sa mama yake ndio yule"

    "heeeeeeee we babuu mbona muongo hivyo"

    Aliongea miriam kuhisi labda ni utani wa chidi tu



    "broo, ulipolenga sio pabaya... Ila yule ndio huyo mke wangu wa kijijini, na sijui mlikutana wapi na vipi but huyo ndie"

    Ibrahim kumuangalia salma, alimwona kainamia chini huku aking'ata kucha taratibu...

    "eti wife anachosema huyu bwege ni kweli"

    Salma bila kusita wala kugwaya gwaya, aliitika na kusema ni kweli

    "ndio"

    "chidi, hebu haya mambo tukayaongee nyumbani, ila tutokeni hapa Airport"

    Aliongea Ibrahim huku wakichukuwa mizigo yao,



    Tukija huku kwa akina miriam tunaona mabasi kama kumi hivi yakiwa tayari kwa ajili ya kubeba watu, yaani mama miriam alidhamiria kabisa kumuozesha mtoto wake kwa chidi, tena aliahidi mwenyewe kuwa ataigharamikia kila kitu mpaka mwisho,.. Mama miriam alikuwa bize kwa kualika watu, yaani spati picha huko kijijini, yaani kijana chidi anakwenda kutia aibu ya mwaka,.. Mana familia nzima ya baba na mama woote pamoja na marafiki zao wote, na watu wengine, kule kijijini kwa akina chidi kuna hali mbaya sana ya kimaisha, yaani ni aibu inakwenda kutokea huko kijijini, kwasababu nyumba ya akina chidi ina matobotobo kila mahari yaani sijui itakuwaje,... Baba yake na miriam nae alikuwa katika shamra shamra za kualika marafiki zake,

    Mama miriam alinyanyua simu na kumpigia mama sarah

    "haloo mama sarah habari yako"

    "nzuri mama miri, hali yako"

    "safi tu,.. Sasa si unajua kesho tunakwenda ukweni"

    "ukweni??... Ukweni wapi tena"

    Mama sarah alinifanya hajui kitu lakini anajua kila kitu juu ya ishu hio

    "si unajua mwanao tunakwenda kumuoza kwa yule kijana uliomleta pale kazini kwangu"

    "aaahhhhhh kumbe kesho ndio mnaenda"

    "ndio, na wewe nakutegemea sana shost"

    "heeeeeeee we ulifikiri nitaachaje kwenda"

    Aliongea mama Sarah huku akiwa na furaha ya kwenda huko, lakini anajua atafanya huko,..

    "ahsante sana shost wangu, basi wacha tuendelee kuandaa hapa"

    "sawa, tutajua kesho tutaondoka saa ngapi"

    "sawa"

    Simu ilikata huku mama sarah akiwaza ni jinsi gani anampenda chidi kwa moyo wake wote, afu leo ndio huyo anaekwenda kufungishwa ndoa,... Ghafla sarah anakuja ofisini kwa mama yake,

    "mama vp mbona kama una mawazo"

    Aliongea sarah huku mama yake akisita kusema

    "utaenda harusini"

    "harusi ya nani"

    "si ya kipenzi chako miriam"

    "akaaaaa sina kipenzi kama yule,.. Hawezi kunipokonya mpenzi wangu nikamuangalia tu"

    Sarah alimshtua mama yake kwa kuongea maneno hayo

    "heeeee we sarah wewe, sasa unataka kufanya nini, na si nilishakuonya uachane na chidi"

    "hapana mama sio kirahisi rahisi namna hio"

    "Sarah,... We sarah. Wewe"

    "mama, yaani huko kwenye harusi lazima niende, hata kama sijaalikwa lakini kwenda ni lazima, yaani sio ombi, na nitahakikisha ndoa haikamiliki"

    "we sarah pumbavu wewe,.. Unajua nitakuachia laana wewe,.. Nasema achana na chidi na usimzoee tena"

    Mama sarah bado hatamani kumuacha chidi, anampenda sana na katika vidume waliomkuna kimapenzi namba moja ni kijana chidi,.. Yaani mama sarah kampenda chidi mpaka kaoza yani...



    Tukija huku nyumbani kwa kijana chidi, wakiwa wameshafika nyumbani kutoka Airport

    "salma mke wangu, ina maana ni kweli we ulikuwa ni mke wa mdogo wangu"

    Aliongea Ibrahim huku chidi akiwa hana hata wasiwasi na salma,

    "ni kweli, lakini ilikuwa ni tamaa ya maisha mume wangu... Lakini kwa sasa nimeshamsahau na sihitaji kumfikiria yeye, ispokuwa wewe tu"

    Aliongea salma huku akilia kwa uchungu

    Chidi aliona yote ni maisha, hivyo kikubwa ni kusameheana tu mana kwa sasa huezi kuwatenganisha Ibrahim na salma mana tayari wameshapendana tena wanapendana kuliko hata kipindi wakiwa na chidi...

    "skia broo,... Kwa sasa hata mimi sina wazo na huyu mwanamke... Kwa sasa nina mke wangu mtarajiwa ni huyu hapa,.. Na mpaka sasa nitamueshimu mkeo kama shemeji yangu,.. Naomba unisamehe kaka mana hukulijua mapema hili... Ila kazi kubwa nadhani ipo kule nyumbani... Sijui ataombaje msamaha kwa wazazi wetu ili kurudi tena katika familia yetu, ila kwa mimi nimesamehe na pia nimesahau kabisa"

    Aliongea kijana chidi huku akitia heshma kwa shemeji yake

    "shemeji Rashidi, naomba unisamehe kwa kumuacha mwanao kijijini, nisamehe sana"

    Sasa chidi hakuna kitu kilimuuma kama kuachwa kwa mtoto wake... Hasira zilimpanda upya, kawa mbichiii...





    Lakini chidi alifikiria sana kutokana na swala la kugombana na salma,.. Binafsi aliweza kujizuia hasira zake, mana tayari ni mke wa kaka yake, hivyo wakigombona mbele ya kaka sio vizuri, kikubwa ni kusameheana tu,

    "mimi nimeshakusamehe kitambo tu baada ya kujua upo na kaka yangu,.. Lakini ombi langu kwako, naomba umpenda kaka yangu, na usije ukamkimbia kama ilivyo kwangu"

    "siwezi, kwani nimeshakula kiapo juu yake"

    "ok.. Sasa naombeni twendeni dukani ili tukawanunulie nguo kwa ajili ya kuipamba harusi yangu, tena mumekuja wakati muafaka"

    Miriam na salma walichukuwana kama wake wenza, na chidi na kaka yake walichukuwana nao kwenda kwenye gari...



    Walipofika dukani chidi aliingia na kaka yake katika upande wa kiume na Miriam kaingia na mke mwenzie katika upande wa kike,.. Salma alikuwa ana ujauzito mkubwa tu,..

    "natamanije na mimi niwe kama wewe"

    Aliongea Miriam huku akilishika tumbo la salma,

    "mmmhhh mbona mume wako atakupa tu"

    "ni kweli lakini khaaaaa... We si unamjua shemeji yako alivyojaaliwa, yaani kanishinda"

    "jitahidi jamani.. Mi mwenyewe siku ya kwanza nililia lakini nilivumilia tu"

    Salma aliongea kwa kumpamba Miriam na kumtoa hofu juu ya chidi,.. Salma anasema siku ya kwanza alipokutana na chidi alilia sana lakini alivumilia tu

    "afu sasa kuna kitu nataka nikuulize kuhusu chidi... "

    Aliongea Miriam huku salma akiwa na shauku na swali hilo

    "nataka nijue anachokipenda katika mapenzi.. Mana nashindwa nimhendo vipi"

    "tatizo lenu nyie watoto wa mjini.. Mmezoea kuruka ruka tu"

    Aliongea salma huku akitaka kumwambia ukweli

    "sio kuruka ruka, sema mie mwenzio nimekulia maisha ya pesa pesa sana hivyo mambo mengi ya uswazi siyajui"

    "skia sasa nikwambie ukweli... Cha kwanza mumeo anapenda kuona chupi kubwa kubwa afu zile lainiiiiiii... Yaani ukivaa hizo kila siku upo nae kitandani"

    "Uuuuuuuwwwiiiiiiiii.... Kumbe ndio mana alishawahi kuniletea chupi kubwa kubwa"

    "sasa je"

    "basi mke mwenzangu umenipa njia nzuri sana, na nitaifanyia kazi hio... Nampenda sana mume wangu"

    Aliongea Miriam baada ya kupewa siri jinsi ya kumhendo chidi..

    "ukiwa na swali lingine juu ya mumeo niambie, ntakwambia tu mana staki kukuficha"

    Yaani kwa muda mfupi tu Miriam na salma walijikuta wanapendana mno, yaani damu zao ziliendana sana...

    "ila kuna swali natamani kukuliza"

    Miriam alikuwa ana maswali mengi sana ya kumuuliza salma, mana salma kakulia kijijini afu pia kaishi Dar es Salaam mji wenye vijembe vitupu,...

    "swali gani tena hilo mke mwenzangu"

    "eti naomba uniambie maana ya kuku na mayai"

    Kumbe Miriam lile jambo hakulimalizia pale, kumbe bado lilibaki moyoni mwake...

    "hahahaha ina maana hujui maana ya kuku na mayai"

    "hapana"

    "mmmhhhhh mke mwenzangu pole sana kama ni wewe ndio umefanyiwa hivyo nakupa pole"

    Miriam alizidi kuogopa zaidi huku akiwa makini kusikiliza jibu lake

    "kwani ina maana gani, niambie basi wifi yangu"

    "skia... Maana ya kuku na mayai... Ina maanisha hivi, ni mwanaume aliofanya mapenzi na mama pamoja na mtoto wake, hio ndio maana ya kula kuku na mayai yake"

    "mungu wangu weeeeeeeee, siamini macho yangu mimi Uuuuuuuwwwiiiiiiiii"

    Hali ya Miriam ilianza kubadilika ghafla na kukunja sura..

    "pole wifi yangu"

    Wakati huo kijana chidi wanamaliza kuchagua suti kali mana kwenye harusi kaka mtu anatakiwa kupendeza kwenye harusi ya mdogo wake,... Na huku kwa akina miriam nao walishamaliza japo walikuwa wanaulizana maswali mengi juu ya chidi..... Wanakutana kwenye gari lakini miriam alikuwa hana raha tena, chidi alijua tu miriam hakuwa na raha kwa wakati huo,... Basi waliwasha gari mpaka nyumbani kwa akina miriam na kumtambulisha Ibrahim kuwa huyo ni kaka yake mkubwa, familia ya akina miriam ilifurahi sana kuendelea kuijua familia ya upande wa pili... Kila kitu kilikwenda sawa mipango yote ilikaa sawa...



    BAADA YA SIKU HIO KUPITA



    Na leo ni siku nyingine tena, wakiwa katika jengo la kitajiri la akina miriam, leo katika jengo hilo kulikuwa kama stendi vile mana kulikuwa na mabasi yasiopungua kumi, na gari ndogo za private zilikuwa nyingi sana.. Mabasi yenyewe yamejaa watu mpaka wengine wamekosa nafasi,... Kaka wa chidi na mke wake ambaye ni salma walikuwa wamevalia vizuri sana, tena mke wa Ibrahim ndio alikuwa mtu wa karibu wa miriam

    ( Best Woman ).. Wakati chidi bado hajulikani wake atakuwa nani, na hapo ni safari tu ila harusi bado... Na hio nafasi ya Best Woman ilikuwa inamuhusu Sarah peke yake, lakini sarah na miriam kwa sasa ni simba na chuo na hakuna anayemtamani mwenzie hata kama wametoka mbali,

    "mama.. Naomba usiwape kadi za mualiko mama sarah na mtoto wake, sitaki wafike kwenye harusi yangu"

    Aliongea miriam baada ya kujua kuwa kuku na mayai maana yake ni kwamba, Sarah na mama yake wamehusika kumharibu mpenzi wake

    "miri, unaongea nini mwanangu, mama sarah si mama yako yule sasa kwanini asije kwenye harusi"

    "sitaki tu, yaani sitaki"

    "ivi una mashetani wewe"

    "mama yaani sarah ndio sitaki kumuona kabisa yaani hata kuisikia sauti yake sitaki"

    Miriam aliongea hivyo huku hasira zikimtawala,..

    "miriam mwanangu, sarah hana makosa, na mimi ndio niliomtuma sarah avishwe pete ili nione wewe utafanyaje"



    Heeeeeeee kumbe ile pete aliovalishwa sarah kumbe mama miriam ndio alimtuma sarah.... Sasa mama anakumbuka siku anaongea na sarah ilikuwa hivi

    "Haloo sarah... Sasa skia ukishamtoa huyo kijana kule sero, hakikisha unatumia njia yeyote hata kama ni pesa yeyote mpe ili akubali akuvishe pete, alafu piga picha ukiwa unavishwa pete kisha mtumie miriam hizo picha"

    "kwanini mama nifanye hivyo"

    "nataka nijue kama miriam anampenda chidi au inakuwa vipi.. Kikubwa nataka nichuje wanapendana kweli au wanadanganyana"

    "mmmhh sawa mama nitafanya hivyo"

    "ok.. Ngoja nikutumie milioni moja ili ukanunue pete afu pesa nyingine umhonge mpaka akubali"

    "sawa mama nitafanya hivyo"

    Sasa simu ilipokana sarah alicheka sana, mana ni sawa na mbuzi kufia kwa muuza supu,.. Mama miriam hakujua kama sarah na chidi wana mahusiano, hivyo sarah kufanya vile ni kutimiza lengo la mama miriam, lakini binafsi yeye kama yeye, alifanya kweli tofauti na mama miriam alivyotaka kumchanganya mtoto wake... Sarah alifurahi sana kwa kukumbushwa ishu kama hio mana ilikuwa haipo kwenye akili yake,

    "sasa kama yeye anataka iwe hivyo, sasa mimi nataka miriam aje aone live ninavyovishwa pete na mpenzi wake, na sifanyi utani kama mama yake anavyotaka"

    Aliongea Sarah huku akiitafuta namba ya miriam na kumpigia, miriam alikubali kuja kwenye kuvishana huko, lakini kama unakumbuka chidi alikwenda kumtibua miriam kwa kumrudihsia kadi yake, hivyo miriam akakasirika sana na kushindwa kwenda kwenye pete ya rafiki yake....



    Lakini sarah hakuishia hapo,.. Kama unakumbuka kuna siku miriam alizimia ofisini kwa mama yake kisa ni picha zilizotumwa na sarah ambazo chidi alikuwa akimvisha sarah pete... Lakini miriam akiwa kazimia pale chini mama sarah aliiwahi ile simu na kuona picha ya sarah akiwa na chidi, ndipo ile simu ikajiweka lock ikiwa mkononi kwa mama sarah.. Afu mama sarah akaanza kucheka na kutikisa kichwa kichwa kuashiria kweli miriam alikuwa akimpenda chidi.. Ila sasa mama miriam alifanya kama mchezo wa kumchezea mtoto wake, bila kujua kuwa sarah alikuwa ni mpenzi wake wa kweli, hivyo sarah hakufanya mchezo mchezo kama alivyotaka mama miriam..... Mama anamaliza kukumbuka, miriam analia



    "mama ina maana kumbe ulitaka nigombane na rafiki yangu bure tu"

    "sikuwa na maana hio mwanangu nilitaka nijue kama kweli mnapendana na kijana wako"

    Miriam hata yeye hajui vizuri uhusiano wa chidi na sarah, bali alipoona zile picha ndio akajua sarah na chidi wana uhusiano....

    Miriam alitoa simu yake na kumpigia sarah, sarah aliifutaga namba ya rafiki yake, lakini anaijua kwa kichwa

    "haloo wewe nani"

    Sarah aliuliza lakini anajua kabisa ni miriam

    "sarah shost yangu, nisamehe best yangu,.. Sikujua kama mama ndio alikuwambia uvishwe pete na chidi wangu"

    Sasa Sarah ni mschana wa akili mingi kama mama yake,.. Aliona bora akubaliane nae ili akaharibu huko huko kijijini.. Hivyo sarah alikubali,.. Kumsamehe miriam, lakini ana lake moyoni

    "usijali shost, hata mimi nilishangaa sana kwanini iwe hivyo"

    "sarah kipenzi changu, naomba uje twende please nakuomba sana"

    "sawa nakuja twende"

    Best Man wa chidi alikuwa ni Saidi..

    "sasa broo, itabidi wewe uyatangulie haya mabasi mana hawajui nyumbani"

    Chidi alimwambia kaka yake kuwa yeye ndio aongoze msafara wa hayo mabasi mana madereva wa hayo mabasi hawajui nyumbani kwa akina chidi,...



    Safari ilianza kwa shangwe za hali ya juu sana huku vigelegele vikilindima kwenye magari,... Mama miriam akiwa sambamba na mama sarah katika msafara huo... Mabasi ndio yalikuwa magari ya kwanza yakiongozwa na gari alilokuwa akiendesha Ibrahim... Tena Ibrahim alibeba watu kadhaa ambao walivalia suti ila hatukuwajua ni akina nani.. Baada ya mabasi gari iliofuata ni gari ya bwana harusi na bibi harusi, dereva akiwa mbele na best man.. Na best woman nae alikuwepo katika gari hio,.. Hivyo kwa ujumla walikuwa watu kama watano hivi katika gari la mabwana harusi, gari liliofata lilikuwa ni gari ya mama sarah akiwa na rafiki zake, gari iliofata ni gari ya sarah, nae alikuwa na baadhi ya rafiki zake... Hivyo kulikuwa na gari ndogo kama tano hivi ukijumlisha na ile ya Ibrahim kule mbele........



    Vijiji, Miji, Mikoa ilipitwa na kilometa nyingi walitembea, na sasa walikuwa wamebakiza kama kilometa 1 hivi wafike nyumbani kwa akina chidi ambako ndoa ndipo inapofungiwa,.. Lakini chidi kuangalia mbele alishangaa kuona gari ya Ibrahim inarudi tena kwa spidi kali mno,.. Yaani ilikuwa inarudi kana kwamba yeye keshafika, mana si alikuwa wa kwanza kwa kuongoza mabasi.. Sasa alikuwa akirudi na haikujulikana mabasai kayaacha wapi, mana yaliwapita na kutangulia kabisa.. Ibrahim alishika breki mbele ya gari la bwana harusi na bibi harusi... Kisha akashuka na kuwafata akina chidi...

    "nini tena broo"

    Chidi alimuuliza kaka yake kuna nini mbona karudi

    "chidi mdogo wangu... Ni aibu tupu, yaani hakufai kwenda huko"

    "kuna nini sasa si useme"

    "huezi amini familia yetu haipo, na pale tulipokuwa tunaishi na wazazi wetu pameuzwa na sasa ni mali ya tajiri mmoja aliokuja kuwekeza pale, hivyo hata ile nyumba yetu haipo tena, sijui baba na mama watakuwa wapi"





    Ibrahim ana zaidi ya miaka 7 toka atike nyumbani, yaani hata wazazi hajui wanaishi vipi, pesa yenyewe alikuwa hatumi, sasa leo mdogo wake kamsomba kwenda kwenye harusi yake, hivyo Ibrahim kakutana na utofauti wa hali ya juu, yaani kakuta jumba la kifahari ambalo kwa hapo tanga nzima kuacha mjini,.. Basi hukuja jengo kama hilo,..

    Sasa Ibrahim alikuwa akiyaongoza mabasi kwasababu madereva wa mabasi hayo hawajui nyumbani kwa akina chidi...

    Sasa chidi kumbe anajua kila kitu kuhusu hio nyumba...



    Chidi anakumba siku ile anaongea na baba yake,... Ilikuwa hivi

    "haloo baba"

    "eeeh vipi mwanangu.. Nimeshawapata wale watu"

    "baba una uhakika wanaweza hao"

    "ndio nimekwenda kuwachukuwa tanga mjini... Yaani ni mafundi wale professional"

    "ok.. Sasa kuituma hii pesa itasumbua sana, wacha nikuletee, pamoja na ramani ya nyumba"

    "sawa baba wahi wahi"

    "sawa mzee"

    Kumbe chidi ile pesa yote aliokuwa anapewa na mama sarah, aliopewa na miriam, aliopewa na saida, aliopewa na jasmini... Yaani ni pesa nyingi sana kama milioni 250, afu pesa yote akaipeleka kijijini na kutafuta mafundi professional,.. Kisha nyumba ikajengwa,.. Hivyo nyumba hio imegharimu kiasi cha shilingi milioni 200,... Kwa kule kijijini ni jumba la kifalme, lakini kwa huku mjini milioni 200 ni nyumba ya kifahari ya kawaida tu, na sio nyumba ya kushangaza sana, lakini kule kijijini ni jumba moja kubwa kuliko, mana kijijini vitu vingi sio ghali kama mjini, hivyo nyimba ni kubwa mno,... Na ukubwa wa jumba hilo kama ni mjini basi huenda ingegharimu bilioni moja na pointi, kama lingejengewa mjini.. Lakini kwakuwa ni kijijini basi imegharimu shilingi milioni 200,...



    Chidi anamaliza kukumbuka huku anacheka

    "sasa unacheka nini chidi,... Tugeuze msafara, tudanganye kitu chochote chidi, ni aibu"

    Miriam pia hajui kitu kuhusu nyumba hio

    "lakini babuu, kwanini usingejenga hata kijumba kidogo"

    Chidi alikuwa anacheka tu huku akifuraha mana anajua kuwa jumba hilo ndio jumba lao... Na hata kule mjini alijifanya kwao nyumba mbovu lakini alikuwa anatuzuga tu...

    "kaka Ibrahim, ingiza gari kwenye hio nyumba"

    "sasa nitaingizaje kwenye mjumba wa watu, ivi we umeuona huo mjumba ulivyo.. Sio wa mchezo mchezo chidi"

    "hio ni nyumba yetu, kaongoze msafara bwana"

    Ibrahim haamini kwa kile anachokiongea chidi,.. Na hata Ibrahim kwa maisha alioishi kwa muda mfupi yale ya kitajiri, angeweza kujenga, lakini kwakuwa alikuwa ni mtu wa wanawake basi alishindwa kuitunza familia yake,.. Mpaka mdogo wake tena wa mwisho ndio kaja kufanya mambo makubwa kiasi hiki... Ibrahim mpaka alilia sasa sijui ni kwa furaha au ni kwa uchungu....

    Basi msafara uliendelea kwenda huku akina mama sarah na mama miriam wakifuata nyuma na magari yao ya kifahari,...



    Tukija huku arusha kwa akina sabra na dada yake walionekana kupaki vitu katika mgari ili waweze kurudi kwao ambako ni hapo hapo arusha lakini ni katika kamji kengine wanachokaita USA,... Kafara la mtoto wake lilifeli baada ya sabra kuharibu masharti ya kutembea na chidi na wakati dada yake alishatembea nae, hilo ni moja ya masharti waliopewa,

    Lakini jasmini kila akimuangalia mdogo wake, yaani haamini kama ndio kafelisha huo mpango,.. Maskini kitoto cha watu cha chidi kimeuawa bila hatia kiasa ni mali za kishetani.. Na hapo wanahamia nyumbani kwao na kama endapo watapata mtoto wanaweza kurudi arusha mjini na kuweza kuurudisha utajiri wao, ila ni kitu kinachohitaji moyo...



    Sasa tukija huku kwa akina saida wakati kawekwa chini na wazazi wake ili aseme hio mimba ni ya nani mana yapata miezi mitatu na wiki kadhaa,

    "saida mwanangu, sisi hatuna nia mbaya na wewe, tunataka tujue huyo kijana ni nani"

    Aliongea mama yake saida huku akimwomba mtoto wake aseme kijana mwenye hio mimba...

    "na usiposema uhame nyumbani kwangu, pumbavu wewe"

    Aliongea baba yake saida mana wote walikuwepo hapo..

    "baba saida mbona unamfokea mtoto, we mbona... "

    "shiiiiiiiiiiii kimyaaaaaaaa"

    Mama saida alikatishwa maongezi aliotaka kuongea, baba wa saida alimsihi asiseme mana mama saida alitaka kusema mbona yeye alimpa mimba kabla hajamuoa, na mtoto mwenyewe ndio huyo saida.. Na katika familia hio watoto ni wawili tu, ambaye wakwanza ni saida na wapili ni Ridhiwani, ni hao tu na hakukuwa na mwingine, na ndio maana mama saida aliona uchungu wa kumseidia mtoto wake wa kiume...

    "saida achana na baba yako, we sema huyo mwanaume ni nani"

    Mama alikuwa anataka kujua mwanaume aliompa mimba mtoto wake ni mwanaume gani huyo... Baba saida alipoondoka, Saida alitoa simu yake na kumwonyesha mama picha ya huyo mwanaume,..

    "hiii hapa mama... Huyu ndio alionipa mimba, nampenda sana mama"

    Mama saida hamjui chidi kabisa bali anaijua namba yake mana alisharushiwa namba lakini hajawahi kumwona kwa sura yake,... Laiti angelijua huyo ndio kijana waliotakaga kumfanyia unyama kipindi cha nyuma, sasa sijui leo angelikuwa nani mkwe..

    "saizi yako kabisa.. Lakini hali yao ipoje"

    Mama aliuliza hali yao ipoje kumaanisha kuwa nao ni matajiri au choka mbaya,..

    "una maana gani mama"

    "namaanisha ni kama sisi au"

    "kuhusu pesa si ndio"

    "eeeennh"

    "no ni wa kawaida tu"

    "umeshaanza kutuunganisha na familia za kimaskini tena, kwanini usiolewe na jemsi"

    "mama.. Mimi nipo tayari kuacha pesa zenu, ila siwezi kuachana nae.. Siwezi, nasema hivi, siwezi kuachana nae"

    Mama alishangaa kuskia saida yupo tayari kuachana na mali zao lakini sio kumuacha chidi.. Yaani saida angelijua kuwa chidi mwenyewe ndio kwanza anakwenda kuoa huko kijijini kwao, saida yeye halijui hilo, sasa sijui itakuwaje pale atakapo jua kuwa chidi kaoa mwanamke mwingine badala ya yeye,.. Na wakati alimuahidi kumuoa na ndio maana kakubali kuibeba mimba hio..



    Tukija huku kijijini kwa akina chidi wakiwa ndio wanaingia ndani ya jengo huku wakipokelewa na vigelegele,... Kumbe hata mama yake chidi na ndugu wengine walikuwa wanayo taarifa za ndoa, hivyo kitendo cha wageni kuingia hakikuwa cha kustukiza kwao, na hata maandalizi walisha yaandaa mapema mana siku ile chidi anaambiwa tu,.. Akampigia mama yake simu na kumwambia ajiandae na kupanga kila kitu... Kwahio hapo hakuna asiojua ishu hio,.. Kwasasa familia ya chidi inaishi kitajiri sana, mana baba yake katupia suti kali, mama mtu ndio usiseme, katupia zile za kinigeria,.. Yaani walipokutana na mama miriam na kutambulishwa kuwa huyo ndio mama mzaa chema.. Basi ilikuwa ni furaha kubwa sana,

    Na wakati huo mababa nao wapo sebuleni wakiendelea kupiga stori,.. Yaani baba yake miriam na baba yake chidi walikuwa sebuleni wakiangalia TV huku wakipiga stori za zamani,.. Kwa sasa baba yake chidi anaongea kama tajiri wa zamani, mana na yeye ana pesa kwasababu ya mtoto wake chidi...



    Lakini sasa mama miriam na mama chidi walipokuwa wanasalimiana,.. Ghafla mama anamuona mtoto wake wa kwanza ambae aliondoka miaka 7 iliopita, mama yake chidi mpaka anatetemeka kwa kumuona chidi,.. Ila hajakaa vizuri akashangaa kumuona salma akiwa sambamba na Ibrahim,.. Na wakati huo chidi na miriam wapo chumbani kwao na hawaruhusiwi kutoka kwa wakati huo mana kesho ndio ndoa yao,..

    "sasa mama chidi, wacha nikawapokee wageni niliokuja nao ili waendelee kuzoea"

    Aliongea mama miriam huku akiondoka kwenda kwenye yale mabasi ili kuwaingiza wageni ndani, mana hawakuweza kuingia ndani bila ya wenyeji,..

    "sawa mama miri"

    Wamama hao walijikuta nao wanapendana kwa dakika chache tu, yaani damu zikiendana basi hakuna kitu kitaharibika,.. Sasa mama miriam alipo ondoka

    "haya wewe umekuja hapa ukiwa kama nani"

    Mama hakutaka utani tena kwa Ibrahim

    "mama, ni maisha tu"

    "mbwa wewe unamwambia nani hivyo, eeh?...... Baba chidi.... Baba chidi"

    Mama alimuita mume wake ili aonane na mtoto wake

    "nini tena, na wakati nina mgeni huku"

    "muone mtoto wako huyo"

    "haaaaaaaaa.. Huyu mwehu katokea wapi huyu"

    Aliongea baba yake mzazi huku akimsogelea kwa ukaribu...



    Sasa huku ndani chidi aliskia kile kiito cha mama yake kumuita mumewe... Chidi alijua tu kuna tatizo huko nje,

    "unaenda wapi mume wangu"

    Aliongea miriam huku akimzuia chidi asiondoke mana chidi hajui mambo ya kuwekwa ndani,.. Mana hata ndoa ya mwanzo ya yeye na salma walifunga ndao ya mkeka tu,..

    "nakuja mamuu"

    Chidi alitoka afu nyumba ni kubwa na walikuwa mbali sana,.. Mana nyumba ni kubwa mno, yapata vyumba kama 70 hivi yaani ni bonge la jumba,.. Na nilikwambia ingejengewa mjini, basi ingegharimu hata bilioni moja,.... Kiukweli chidi wamejenga jumba kubwa sana, japo ana ndugu wengi wa pembeni lakini hata hivyo hawawezi kuimaliza kwa kuishi peke yao..



    Sasa chidi ile anatoka nje, anakuta Ibrahim anatoka nje ya geti

    "broo unaenda wapi tena"

    "weweeee wacha ujinga mwache aende"

    Aliongea mzee king huku akiwa anatetemeka kwa hasira,..

    Lakini chidi aliona hapa kuna tatizo

    "baba, hebu tuliongee hili swala, we ulifikiri wageni watatuelewa vp kama tunaanza kufukuzana"

    "mjinga huyu kaka yako"

    "sawaaaa mzee... Hebu tuyamalize, mana upande wa ukweni washamjua, sasa asipoonekana kwenye harusi itakuwaje"

    Baba yake chidi kwa hasira aliondoka na kuona ni sawa, kama Ibrahim ataondoka, afu familia ya ukweni wanamjua itakuwa sio vizuri...

    Basi chidi alikwenda kumuita kaka yake aliokuwa yupo nje...

    "rashidiiii"

    "naam mzee"

    "njoo nao huku ndani"

    Aliongea mama yake chidi kuwa aitwe Ibrahim na huyo salma waingie ndani



    Wakiwa wapo katika chumba kimoja wakiwa wanayaongea... Walikuwa ni baba yake chidi na mama yake,.. Salma na chidi pamoja na Ibrahim

    "mzee.... Samahani sana mzee wangu, najua nimefanya kosa, ni ujinga wangu, uzembe, ulimbukeni wa mjini... Kweli maisha yangu yalikuja kuwa mazuri, lakini maisha hayo yalinichanganya sana na kuisahau familia yangu.... Nilimnyasa nyasa sana mdogo wangu nikiwa naishi nae,... Mama na baba, naombeni mnisamehe, nimekosa sana tena sana.. Sikuwajali wazazi wangu, na huenda kutokana na hilo ndio mana hali yangu imekuwa mbaya... Nimejifunza wazazi wangu, nisameheni sana... Nipo chini ya miguu yenu"



    Ibrahim aliongea sana tena wakati huo alikuwa analia kabisa, yaani machozi na magoti juu mbele ya wazazi wake,..

    "ni kweli mzee, msameheni kaka angu, nanyi ni mwanaenu hata mkimkataa bado ni mtoto wenu tu.. Naombeni mumsamehe mtoto wenu"

    Waliongea sana tena sana, mpaka wazee walielewa na kumsamehe mtoto wao, mana hakuna baya alilofanya zaidi ya kutowakumbuka kifedha... Sasa mama kahamia kwa salma,

    "Enheeee na wewe, unataka kuwamaliza watoto wangu wote si ndio"

    Aliingea mama huku akimkazia macho salma,..

    "hapana mama... Ibrahim sikujua kama ana undugu na chidi, sikujua kabisa"

    "muongo wewe, ina mana ulikuwa hujui kuwa chidi ana kaka yake yupo mjini"

    "nilikuwa najua mama, ila simjui na sijawahi kumuona mama"

    Salma alikuwa mpole sana tena sana

    Baba yake chidi kuskia hivyo aliondoka zake mana yeye ni baba hivyo havimuhusu sana,..

    "mama, kama unawasamehe wasamehe tu, mana hata mimi nilishangaa lakini haikuwa na jinsi mana wamekutana wenyewe huko Dar es Salaam, wala hawakuwa arusha hawa"

    Chidi aliongea ili kuwatetea kaka yake na mpenzi wake japo zamani walikuwa ni mashemeji,..

    "sasa kama kaweza kukukimbia wewe atashindwa kumkimbia kaka yako"

    "hawezi tena mama, for now tuna maisha mazuri so hawezi ondoka coz aliondoka kwa tamaa tu"

    Unajua hii familia haijui kama salma aliondoka na mwanaume, wao wanajua alijifanya chizi, na kuondoka zake lakini hawajui kama aliondoka na Jackson,

    "lakini mbona mnaitia aibu hii familia"

    Aliongea mama yake chidi,..

    "nisamehe mama.... Ibrahim nampenda sana, na siwezi kumkimbia na kwa sasa sihitaji tena kuhangaika nataka nitulie kwenye ndoa"

    Aliongea salma huku akifuta machozi kwa kulia,..

    "mimi mnanichosha sasa nyie watoto aahh,... Haya nenda kamsalimie mama yako, afu uje mana nyie ndio mnajua maandalizi ya mjini mjini"

    mama yake chidi alimwambia salma kuwa akamsalimie mama yake, afu aje waendelee kuandaa andaa,.. Mana salma nae si kaishi mjini hivyo mbwembwe mbwembwe za harusi anazijua vizuri na yeye ndio Best Woman,.. Hivyo anatakiwa akae karibu na bibi harusi

    "sawa mama, ahsante"

    Aliongea salma huku akiondoka,..

    "na wewe chidi hebu ingia ndani, we haruhusiwi kuonekana hovyo hovyo bwana"

    Aliambiwa chidi na kukimbilia ndani kwa mke wake mtarajiwa,.. Nyumba ilikuwa ni kubwa sana hivyo karibia nusu ya wageni waliweza kupata nafasi ya kulala, lakini nusu ni ya wale wasichana wanaopenda kukesha,.. Usiku huo baikoko ililia mambo ya ngoma za kisambaa zililindima eneo hilo, hata wageni walifurahia sana hali hio... Lakini ilifika muda wamama wote wa pande mbili walikutana na kuanza kuongea ile kiutu uzima,.

    "aahh sisi kama familia ya kijana wetu, tulitaka tujua heshima ya mtoto wako kwetu, mana nasi tuna heshima zetu tunazozipenda.. Labda mtoto wako umemlea vipi"

    Aliongea bibi yake chidi, na wakati huo hata bibi yake miriam alikuwepo hapo, yaani hapo ni wamama wawili na wabibi wawili tu basi

    "Kiukweli mtoto wangu nimemlea kimaadili, yaani yale maadili ya kifamilia yote anayo"

    "na je vipi mjukuu wangu atakuwa ni wakwanza kwake ama"

    Aliuliza bibi yake chidi huku mama chidi akiwa kimya tu

    "Kiukweli nina uhakika mtoto wenu atakuwa wa kwanza kwa mtoto wangu, ila sidhani kama watakuwa wamelisubiri hilo"

    Aliongea mama miriam, lakini ghafla bibi yake miriam aliongeza kuwa

    "ni kweli, mana vijana wa sasa hivi hawana kasumba ya kusubiriana, hawajui kama kuna mambo ya mahari"

    "basi kama huna uhakika hebu tuwatenganishe usiku wa leo"

    Maongezi yaliishia hapo na walimalizana...



    BAADA YA SIKU HIO KUPITA



    Na leo ni siku nyingine tena,.. Ikiwa ni mida ya saa 11 alfajiri, tukiwaona mabibi wakiwa na miriam chumbani kwake, huku chidi nae akiletwa katika chumba hicho, na wao hakuna walichokuwa wakikijua... Lakini muda huo huo mama miriam alikuwa ana hofu sana juu ya hilo, sasa sijui ni kwanini...



    BAADA YA MASAA KADHAA KUPITA



    Ikiwa ni mida ya mchana miriam na kijana chidi wakiwa katika jukwaa maalum la mabwana harusi, wakati huo shekhe akiwa pembeni tayari kwa kuwafungisha ndoa,...

    "tuna furaha sana juu ya tukio hili kwa watoto wetu kufunga ndoa"

    Aliongea shekhe huyo aliokuwa kashika vitabu vya mungu na kutaka kuwafungisha ndoa,..

    "nawauliza tena vijana wenu,.. Mnapendana na mmeridhia kuoana??"

    Miriam na chidi waliitikia kwa furaha tena kwa sauti moja, wakati huo miriam kafunikwa shera mpaka usoni afu chidi kavaa suti kali sana akiwa na mpambe wake saidi, na miriam akiwa na mpambe wake ambae ni mke wa chidi japo alikuwa mjamzito

    "ndio, tunapendana"

    "basi nawakaribisha kuchukuwa pete hizi kwa ajili ya ndoa kamili"

    Lakini chidi alipomwangalia miriam usoni alimuona analia kana kwamba kama vile hakupenda ndoa hio.. Sasa shekhe yeye hakulijua hilo mana miriam alikuwa kafunikwa na shela mpaka usoni

    "je? Kuna mwenye kipingamizi na ndoa hiiii??"

    Aliongea shekhe kwa kuwauliza waalikwa, lakini kulikuwa kimyaaa

    "narudia tena, tunakwenda kukamilisha ibada hii muhimu kwa vijana hawa... Je kuna mwenye kipingamizi na ndoa hiii"

    "ndio"

    Heeeeeeee watu wote walishangaa na kuamka kumwangalia huyo mwenye kipingamizi na ndoa hio, sii mwingine bali alikuwa ni sarah, tena alikuwa kashika mkanda wa video kumaanisha kiwa ana ushahidi wa kuipinga ndoa hio... Mama sarah haamini kitu anachofanya mtoto wake, mama miriam hata yeye haamini macho yake..

    "mama sarah?? mwanao anafanya nini sasa"

    "mwache afanye anachotaka, kwani hata yeye ni mpenzi wake"

    Mama sarah nae kamgeuka mama miriam, sasa Sarah na mama yake wamekuwa kitu kimoja...





    SONGA NAYO.....



    Ndoa ya kijana chidi na miriam imekuwa ndoa ilioandamwa na mambo mengi sana.... Lakini kabla ya kuanzia hapo hebu tuanzie ile saa 11 asubuhi chidi alipokuwa anapelekwa chumbani kwa miriam wakati huo chidi hajui asubuhi yote hio anapelekwa wapi, mana jumba ni kubwa, na wakati huo kafungwa kitambaa cha usoni hivyo hakiwa akiona kitu,...



    Lakini tukiachana na hayo huku mama miriam alikuwa na hofu sana, sasa sijui kulikuwa kuna ishu gani,..

    "mama miriam, usiwe na hofu kiasi hicho, kwani hata asipo olewa na mtoto wangu, ataolewa na mtu mwingine"

    "lakini mama chidi, kama mtoto wangu atakosa bikra basi mtoto wako ndio aliomtoa mwenyewe"

    "una uhakika gani kama ni yeye,... Sisi hatuwezi kulikubali hilo, mtoto wangu nataka apate mke bora na sio bora mke"

    Sasa kumbe hofu ya mama miriam ni kwamba anahofia mtoto wake anaweza kuikosa bikra... Mama miriam alikumbuka muda ule walipokuwa kwenye kikao cha utu uzima aliambiwa kuwa...

    "endapo mtoto wako atakosa bikra, basi sisi kama familia hatupo tayari kumpokea"

    "na kama mtoto wenu ndio kamtoa je itakuwaje"

    "kama katolewa na mtoto wetu, basi tuleteeni KITAMBAA CHEUPE tukione"

    Aliongea bibi yake chidi huku mama miriam akiingiza hofu, kana kwamba hata kama ni chidi ndio kamtoa bikra, je familia italigunduaje hilo... Hapo mama miriam ujanja mfukoni, na kujua kiwa kumbe wazazi wanaofatilia hali kama hii bado wapo

    Lakini ghafla bibi yake miriam alisema kiwa

    "naamini na nina uhakika mjukuu wangu ana bikra,... Lakini je, tukimkuta mjukuu wangu anayo, sisi tunataka mali yeyote tunayoihitaji"

    Aliongea bibi yake miriam huku bibi yake chidi akiamka juu...

    "hata mtake zizi zima la ng'ombe tutawapa, lakini mtoto akutwe nayo"



    Mama miriam alipomaliza kukumbuka hicho kikao hana hata raha, mana familia ya akina chidi imekubalo kutoa mahari yeyote ile kama miriam atakutwa na bikra,.. Lakini swali linakuja hivi, miriam atakutwaje na bikra na wakati waliishi na chidi chumba kimoja, shuka moja, kitanda kimoja, tena wakiwa uchi.. Ndani ya siku nne nzima, hivi kweli ni mwanaume gani ataweza kulala na demu wake na amuache, mana kule mjini nakumbuka siku ya kwanza walishindwana je siku ya pili na tatu na nne walishindwana kweli??... Hebu tuone..

    "mama chidi, hebu tuwekane wazi, ina maana mtoto wangu miriam akiikosa bikra ni kwamba huu umati niliokuja nao nitafanyeje"

    "kiukweli mama miri, mimi sijui... Mtarudi tu na watu wako"

    Mama chidi aliondoka hapo na kumuacha mama miriam katika dimbwi zito la mawazo...



    Wakati huo chidi anavuliwa kitambaa na bibi yake,.. Sasa alishangaa kumuona miriam mbele yake akiwa uchi,.. Tena alikuwa na bibi yake, yaani kila mtu na mimi yake... MILA NA DESTURI ZA KISAMBAA ndivyo zilivyo pale wazazi wanapotaka kujua kuwa mtoto wa kike ana bikra,.. Hua wanandoa hao huingizwa katika chumba kimoja ili waweze kuitafuta bikra, ili mahari halali iweze kutolewa kwa wazazi wa mwanamke... Chidi alikuwa anaona aibu kuvua nguo mbele ya bibi yake miriam, mana bibi yake miriam alikuwa hajazeeka sana kwasababu si alikuwa mjini, hivyo alikuwa sio mzee kivile na sio bibi yake mzaa mama bali bibi yake na huyu bibi yake wamezaliwa na baba mmoja hivyo ndio kaja hapa kuwakilisha...

    "weeww babu vua nguo"

    Aliongea bibi yake miriam...

    "jamani baba vua"

    Yaani hapo walikuwa ni mabibi tupu hakukuwa na mtu yeyote yule, tena walikuwa wawili tu... Daahh chidi na miriam hawalijui hili na kama ingelikuwa wanajua basi wangelifanya usiku sana japokuwa saa hio ilikuwa ni alfajiri muda ambao mtoto wa kiume ambae ni rijali hua jogoo lake huwika ifikapo saa 11 alfajiri... Chidi alivua nguo zake zote,..

    "waooooo mjukuu kama huyu ndio tunamtaka sisi"

    Walimtamani chidi ile kiutani utani....

    Sasa ghafla wale mabibi wakamkimbilia miriam pale kitandani na kumshika miguu,.. Mana miriam alikuwa anaogopa na kuona aibu mbele za watu lakink ndio mla za kisambaa pale wanapotaka kujua ubora wa mwanamke... Basi chidi alipanda kitandani huku mabibi wakiwa wameshika miguu ya miriam ili asije kuibana na kumsumbua chidi, Chidi aibu ilimtoka na kumsogelea miriam huku mabibi wakiangalia zoezi hilo, yaani kama una aibu unaweza kusinyaa muda huo huo ukatia aibu... Lakini mabibi wanajua kuwa ukimtoa asubuhi Zakaria haiwezi kulala hovyo mana ilisimama yenyewe pasina hisia zozote za kike



    Wakati huo mama yake miriam analia hapo mahari alipo, yaani ana hofu, atawaambia nini waalikwa aliokuja nao huku, na kama angelijua hilo ni bora asingekuja huku, yaani hata hio ndoa isingelikuwa,... Mama miriam leo ujanja hana tena yaani ule ukali wote uliishia hapa, na ukiangalia ni kweli, unajua sisi vijana tunajiolea tu lakini kisheria tulitakiwa tuoe mwanamke ambae ni bikra,.. Ila kwakuwa wanawake hao hawapatikani inabidi tuoane tu hivyo hivyo, mana tunaowataka hawapo... Ila kijijini kuna wazazi ambao bado wana itikadi hio ya kutaka wakwe mabikra, na wazazi wa chidi ni namba moja,... Wakati huo baba yake miriam hajui lolote kuhusu hilo, alikuwa mahari fulani na baba mwenzie ambae ni baba yake chidi, wakiwa wametupia vyuti vyao (suti zao)... Baba ana raha lakini mama ndio kwanzaa anatamani warudi mjini kabla haijagundulika, mana anajua lazima wasikute kitu kama hicho na aliokitoa ni huyo huyo chidi, kwasababu walishii siku nne chumba kimoja,.. Yaani hawawezi

    "kama ni hivyo bora nisitishe swala hili, siwezi kueibika kwenye miji ya watu"

    Aliongea mama miriam huku akiamka na kwenda huko chumbani,.. Lakini sasa ile anapiga tu hatua ya kwenda huko,.. Alisikia zile kelele za furaha kuashiria mambo ni mazuri.. Hua vinaitwa VIGELEGELE

    "tururururrururururururururururururuuuuuuuu"

    Zilikuwa ni kelele za mabibi hao wakifurahia kana kwamba mambo ni mazuri,... Mama miriam haamini maskio yake kwa kile anachokisikia,.. Yaani mama miriam mpaka analia kwa furaha, tena alikuwa kakaa chini analia,.... ghafla mama chidi anakuja

    "hongera sana mama miriam,.. Umenizalia mkwe"

    Mama miriam hata kuongea hawezi kwa furaha alionayo, na muda mchache tu alikuwa anakwenda kusitisha jambo hilo, yaani ni kama mungu tu kaseidia,..



    Wakati huo huku ndani mabibi wanabadirishana wajukuu, Yaan bibi yake chidi anakwenda kumuogesha miriam na bibi wa miriam anakwenda kumuogesha chidi,.. Yaani mpaka wamalize kuoga ndio waachane na mabibi hao..

    "mama chidi ngoja nikamuone mwanangu mpendwa"

    Aliongea mama miriam kuwa anataka kwenda kumuona miriam wake kwa jinsi alivyompa furaha yaani mama huyo kafurahi kupita kiasi

    "mama miriam,.. Hakuna anaeruhusiwa kuingia huko ispokuwa mabibi zao tu,.. Yaani mpaka wamalize kuoga"

    Mama chidi na mama miriam walikumbatiana kwa furaha sana huku machozi yakiwatoka kwa furaha..

    Basi kutokana na furaha hio wote walianza kuandaa harusi kwa furaha,.



    BAADA YA MASAA KADHAA KUPITA



    Miriam akiwa chumbani kwake na chidi akiwa chumbani kwake pia, yaani wametenganishwa,.. Miriam alitolewa huku chidi nae akitolewa na kupelekwa msikitini,.. Miriam ni Mkristo hivyo anapelekwa msikitini kusilimishwa na kuwa muislamu, mana yeye ni Mkristo na ndio mana anaitwa MIRIAM.... Taratibu zote zilifanyika na kupewa jina lile lile lakini lilibadirika herufi mbili tu... Kutoka MIRIAM ambalo ni jina la kikristo, na kupewa jina la MARIAMU ambalo ni jina la kislamu... Dakika chache mbele hakuna miriam tena, bali ni Mariamu,.. Hivyo kwa sasa ataitwa Mariamu, na kama unakumbuka chidi anapenda kumuita MAMUU.. Na Mamuu ni kifupi cha Mariamu,.. Hivyo chidi alikuwa analazimisha jina la kislamu na wakati alikuwa Mkristo,.. Miriam Maria ni kwa Kiswahili, ila kwa Kingereza ni Marry (Merry)..... Kwa sasa hatuna mtu anaeitwa miriam tena bali ni Mariamu... Hii ni sheria na sio ombi, kuwa mwanamke hana dini mfano kama muislamu na mumewe ni Mkristo basi mwanamke huyo atatakiwa kubadilisha dini awe Mkristo kama mumewe... Yaani mwanamke hana dini.. Na endapo mwanamke atakataa kubadili dini, na wanapendana, basi hio sio ndoa ya kidini bali ni ndoa ya kiserikali, haihusiki na dini yeyote hivyo hata kuachana wataachana kwa njia za kiserikali zaidi,.. Na hapo ni mikataba itahusika na sidhani kama ndoa ya kiserikali ina talaka, sina hakika na hili



    Walipofika nyumbani, moja kwa moja walipanda katika jukwaa maalum kwa ajili ya wanandoa hao,

    Shekhe alisoma dua zake ili kuiombea ndoa hio inayokwenda kufungwa dakika chache zijazo, Baada ya kusoma dua zake... Shekhe aliomba kuuliza umma uliopo hapo kama kuna mwenye pingamizi na ndoa hio, na ni lazima liulizwe swali kama hilo..



    "je? Kuna mwenye kipingamizi na ndoa hiiii??"

    Aliongea shekhe kwa kuwauliza waalikwa, lakini kulikuwa kimya kana kwamba hakukuwa na mtu mwenye kipingamizi chochote kile juu ya ndoa hio...

    "narudia tena, tunakwenda kukamilisha ibada hii muhimu kwa vijana hawa... Je kuna mwenye kipingamizi na ndoa hiii"

    "ndio"http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Heeeeeeee watu wote walishangaa na kuamka kumwangalia huyo mwenye kipingamizi na ndoa hio, sii mwingine bali alikuwa ni sarah, tena alikuwa kashika mkanda wa video kumaanisha kiwa ana ushahidi wa kuipinga ndoa hio... Mama sarah haamini kitu anachofanya mtoto wake, mama miriam hata yeye haamini macho yake..

    "mama sarah?? mwanao anafanya nini sasa"

    "mwache afanye anachotaka, kwani hata yeye ni mpenzi wake"

    Mama sarah nae kamgeuka mama miriam, sasa Sarah na mama yake wamekuwa kitu kimoja...

    Mama Mariamu haamini macho yake kuwa leo rafiki yake kipenzi kamgeuka na kuwa upande wa mtoto wake,... Na yule mwenye kipingamizi juu ya ndoa hio haruhusiwi kuzuiwa, kwani anatakiwa atoe pingamizi lake,.

    Mariamu alipoinua macho yake haamini kwa kumuona sarah ndio mwenye kipingamizi na ndoa yake,..

    Sarah alifika jukwaani na kushika maiki au kipaza sauti,...

    "kwa jina naitwa Sarafina John... Ni mschana pekee katika familia yetu,.. Nina huzuni kubwa sana juu ya ndoa hii, kwasababu mwanaume anaekwenda kufunga ndoa ni mchumba wangu mimi na sio miriam au Mariamu kama alivyo silimishwa"



    Aliongea sarah tena kwa kujiamini sana,...

    "aahhh tafadhali sana dada yetu,.. Tunaomba utujuze ni kwanini una kipingamizi juu ya ndoa hiii"

    Yaani mtu mwenye kipingamizi hua ana haki ya kuzungumza kile anachohisi kuzungumza,.. Yaani ndoa haitaki bughudha hata kidogo inatakiwa ifungwe mbele ya haki zote mana hata mwenyezi Mungu anaisimamia vilivyo, na hata malaika wapo karibu na ndoa hio kuwa kama mashahidi,...

    "Mariamu ni rafiki yangu toka utotoni, lakini tumekuja kugombana kwasababu ya huyu huyu mwanaume"

    Waalikwa wote wanashangaaa..

    "haaaaaaaa jamaniiiiiiiiiiiiiiiiiiii dada wa watu kumbe ni mume wake"

    Ni maneno ya waalikwa au wageni waliokuja hapo..

    "Enheee endelea"

    Wakati huo mama mariamu katulia kimyaa anasikiliza tu mana ni sheria kuongea kwa sarah hivyo haruhusiwi kuvamiwa na mtu yeyote yule...

    "nina ushahidi wote wa video siku wakati tinavishana pete ya uchumba na huyu mwanaume"

    Watu wanashika midomo kwa mshangao, yaani hawaamini macho yao... Mama mariamu alikuwa akipigiwa simu na kila anaemjua hapo na kuulizwa kuliko swala kama hilo....

    "Enhee dada endelea"

    Shekhe alimuamuru Sarah aendelee na maongezi yake yenye pointi kwa kila mgeni aliopo hapo...

    "ushahidi wa CD hii hapa ninayo.. Lakini kwakuwa hapa karibu hakuna TV,.. Bado nina ushahidi wa sauti ya video hio,.. Naweza kuiweka hapa tusikie wote"

    Chidi wakati huo aliingiza hofu juu ya swala hilo japo aliambiwa kuwa sarah alitumwa kufanya vile,.. Lakini mariamu bado alikuwa analia muda mrefu tu,... Chidi hakuelewa kwanini mariamu analia



    Lakini kumbe chidi mkononi mwake kashika kirimoti kidogo tu,.. Alikibonyeza kile kirimoti walitokea wanaume wanne waliovalia suti nyeusi na miwani nyeusi,.. Wakati huo sarah alikuwa anaitafuta ile sauti ya ushahidi katika simu yake.. Hivyo nia ya chidi kubonyeza hio ripoti ni ili swala hilo la kuweka sauti mbele ya watu wote hawa lisikamilike,... Na hao watu ndio wale walipakia katika gari aliokuwa anaendesha Ibrahim wakiwa safarini kuja hapo.. Kuna watu wanne walipakiwa na Ibrahim kumbe chidi ishu kama hii aliijua tu na ndio maana akaandaa watu kama hao.. Lakini sasa wale watu walipotaka kumshika sarah ili wamtoe pale jukwaani,.. Iliskika sauti ya mtu mmoja ikisema

    "Noooo, Muacheni Huyo mschana"

    Watu walishangaa kuskia sauti hio, na hakuwa mwingine, bali alikuwa ni mama mariamu ndio kusema hivyo, huku akipanda jukwaani na kushika maiki au kipaza sauti...

    "nashukuru sana wageni waalikwa kwa kufika katika hafla hii... Nashukuru sana,.. Na nitakayosema hapa ni ukweli mtupu, mbele ya Biblia na kitabu cha Kiislamu naongea ukweli"

    Sasa hapo kila mtu akawa na amani kati ya chidi na mariamu....

    "Enhh mama... Kwanini umekuja hapa kuna neno inalotaka kuongea??"

    "ndio.. Nataka nifanye haki itendeke sitaki waje wagombane hapo baadae, wacha nichukue maamuzi magumu juu ya hili"

    Mama mariamu aliongea hivyo huku akiseti maiki vizuri ili itoe sauti nzuuiuri sana

    "Enheee toa neno mama mzaa chema"

    Aliongea Shekhe anaefungisha ndoa, huku kila mgeni aliokuja kwa ajili ya mama mariamu kashika kichwa.. Hata mama sarah haamini kama mama mariamu kaenda kuvunja ukimya... Na wakati huo sarah yupo karibu na wale jamaa wanne, wanasubiri ruksa tu, wamtoe Sarah hapo jukwaani....

    "mimi ni mtu mzima... Mimi ni mama wa huyu mtoto hapa mbele yenu,.. Mimi ndio mama mariamu,.. Anachokisema huyu binti sio uongo,.. Ni ukweli tena ukweli usiojificha"

    Watu walishika kichwa na kuziba midomo yao, mana ni jambo la kushangaza... Sasa huku mariamu kaanza kulegea na kutaka kudondoka baada ya mama yake kusema ukweli.. Chidi kuona mariamu anataka kuzimia, akamzuia kimya kimya na hakuna mtu aliojua, mana mariamu kamuegemea chidi lakini keshazimia tayari, wakati mama mariamu anaongea kila kitu na kuiharibu ndoa ya mtoto wake.. Sijui mama mariamu kapewa nini kwa muda mfupi tu...

    "sarah huyu ni sawa na mtoto wangu, hivyo sipendi kuongea uongo juu yake.. Anachokisema kuwa kavishwa pete ya uchumba na huyu kijana, sio uongo, ni kweli rashidi alimvisha pete huyu mschana......





    Mama Mariamu alikuwa mkweli juu ya familia yake yaani hakutaka kuongopa hata neno moja,.. Mariamu wakati huo kamuegemea rashidi, na alikuwa kazimi kutokana na kauli ya mama yake iliodhibitishwa kuwa ni kweli chidi na sarah walifunga ndoa.. Chidi alimwita jamaa mmoja kati ya wale wanne,..

    "nipatie maji baridi"

    Aliongea chidi lakini ni kwa sauti ya chini mno, mana hapo walipo wapo jukwaani hivyo hata zile Action za kuambizana zinaenda kwa usiri sana, hawa jamaa ni maprofessional mpaka raha, kwani kila anachoagiziwa anacho papo hapo hivyo sio mpaka aondoke, japo maji hayo yapo kwenye kijichupa kidogo, na maji hayo ni spesho kwa ajili ya kuwaamshia watu waliozimia, mana hicho kijichupa kina sehemu ya kubonyeza na maji yanatoka kwa spidi kali, afu yabaridiiiiii.... Chidi alifanya hivyo kwa mariam ili amsikilize mama yake vizuri,..

    Dakika mbili baadaye mariam alionekana kufumbua macho baada ya maji yale kumwagiwa usoni,..

    Wakati huo mama yake ndio anaendelea kumwaga maneno makali juu ya mtoto wake...

    http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "sarah huyu ni sawa na mtoto wangu, hivyo sipendi kuongea uongo juu yake.. Anachokisema kuwa kavishwa pete ya uchumba na huyu kijana, sio uongo, ni kweli rashidi alimvisha pete huyu mschana, Lakini pete hio mimi ndio nilioinunua kwa pesa yangu"



    Watu wakazidi kushangaa kwanini mama mariamu kanunua pete ili kumuozesha sarah na sii mariamu,



    "najua mtajiuliza sana kwanini nimenunua pete hio na kumpatia sarah,... Mimi ni mwanamke mjasiriamali, mfanyabiashara na kila kitu, na Namshukuru Mungu kwa kile alichonipa ili niweze kuihudumia familia yangu.. Nakumbuka walipokuwa wanaanza uhusiano hawa watu wawili, rashidi na mariamu, sikuwa na imani kama kweli walikuwa wakipendana, wazo langu nilijua tu huyu kijana atakuwa kampenda mwanangu kutokana na mali zao lakini huenda hampendi katika moyo, mwisho mtoto wangu akaanza kuteseka... Nilianza vituko vingi sana ndani ya mahusiano yao, lakini hawakujua nia yangu... Maana yangu ni kujua kuwa huyu kijana anampenda kweli mwanangu au anatania,.. Ilifikia mwanangu mpaka anatoroka nyumbani na kwenda kwa huyu kijana, na alikaa huko siku nne chumba kimoja, namshukuru sana huyu kijana mana kawa mvumilivu kwa mtoto wangu"



    Watu sasa wakawa wamekaa mkao wa stori mana stori ilikuwa tamu na hawaijui, sasa wageni wakajikuta sasa wanamsikiliza mtu mzima na maneno yake, na sasa hata nyuso za wageni zilionekana kutulia...



    "mtoto wangu alipotoroka nyumbani, sio kuwa nilikuwa sijui kama yupo kwa chidi, ila nilikuwa nataka kujua atarudi lini na je akirudi atakuwa kashindwa kuishi nae ndani ya hizo siku, na ndio maana nikawaacha siku nne nzima waishi ili wajuane tabia zao,.. Lakini nikashangaa siku zinazidi kwenda, mtoto hatokei,.. Nakumbuka kijana huyu ni mfanyakazi wangu katika hoteli yangu na mtu aliomleta alikuwa ni mama yake na huyu sarah, na mama yake sarah akasema kuwa huyu ni mtoto wa dada yangu, yaani huyu rashidi, nami kwakuwa nilimuamini basi nilikubali kumpa kazi huyu kijana na ndio wakaanza uhusiano na mtoto wangu..... Sasa wakati nawaza mtoto wangu harudi nyumbani basi huenda kafurahiwa na huyu kijana, hivyo nikampigia simu huyu mama sarah mana yeye ndio anaemjua mana si mtoto wa dada yake???.. Mama sarah aliweza kunipa ramani ya sehemu anayoishi huyu kijana,.. Lakini sikutaka kubabaisha namba ya nyumba na kuwasumbua askari,.. Hivyo nikawaamuru askari wale wamkamate kijana huyo hapo hapo kazini kwangu kisha tukaenda nae mpaka nyumbani kwake... Namshukuru mungu kwa kuwa nilimkuta mtoto wangu tena akiwa na afya nzuri sana hivyo sikuchukia kwa lile... Na hapo bado uchunguzi wangu wa kuwachunguza kama wanapendana kweli au wanapendana kwa pesa.. Kijana huyu nilimsweka ndani siku hio, na Mariamu nae nilimfungia chumbani kwake ili wasionane tena, lakini hapo ilikuwa ni uchunguzi bado... Nia ya kumfungia Mariamu ni ili asipate nafasi ya kwenda hata kumuona, ili rashidi atakapotoka lumande akasirike kwanini Mariamu hakwenda kumuona, na kama asipokasirika basi ningelijua kuwa hakuwa akimpenda mtoto wangu bali alikuwa akimpendea pesa, lakini rashidi alimpenda sana mtoto wangu kwani siku anatoka lumande alimjia juu sana Mariamu wangu mpaka nikaogopa na siku ile nilikuwa nawaona ila wao hawakuniona,.. Rashidi alifikia hatua mpaka anamtupia Mariamu kadi ya benki mana walipeana mpaka kadi za benki lakini siku hio chidi aliirudisha kuashiria kukasirika sana, na kingine kilichomkasirisha ni kitendo cha mdogo wake kuishi na sarah wakati yeye yupo, hapo ndipo nilijua wanapendana kweli"



    Story ilikuwa tamu mapaka watu wanapiga mamofi, kuashiria kumbe wawili hawa walipitia misukosuko ya aina yake,.. Na wakati huo sarah katulia tu na hakuwa na la kusema na hakuruhusiwa kusema



    "Lakini pia, sikutaka kumpima mwanaume tu peke yake,.. Mana nimeshajua kuwa chidi anampenda sana Mariamu,.. Sasa je na Mariamu anampenda Chidi kwa dhati??? Hapa sasa nampima mwanangu Mariamu kama kweli anampenda huyu mtoto wa kiume....

    Akili nilioitumia ni hivi, Huyu huyu Sarah ndio niliomtuma akamtoe Rashidi kule lumande, yaani kule polisi,.. Lakini nikamwambia kuwa, ukishamtoa, nataka ununue pete kisha akuvishe pete hio na upige picha misha umtumie Mariamu wangu,.. Na hio pesa ya pete nilimtumia mimi pamoja na pesa ya kumpatia mana mi najua rashidi na sarah ni ndugu wawili mtoto wa mama mkubwa kwa mama mdogo hivyo kunichezea action kama hio nilijua wataiweza,.... Sarah kweli aliniheshimu na kufanya hivyo kwasababu sarah na Mariamu nao ni marafiki sana tena sana.. Hivyo nikajua Mariamu atakapoona hizo picha,.. Kama kweli anampenda chidi basi lazima wagombane na sarah lakini kama hampendi chidi basi lazima angeachana na swala la kuendelea na chidi.. Nakumbuka kesho yake Baada ya Action ya kuvishana pete,.. Mariamu alipokea ujumbe wa meseji za picha ambazo alitumiwa na sarah wakati wa kuvalishana pete na huyu kijana,.. Mariamu wangu alizimia kabisa baada ya kuziona picha zile,.. Ila kwakuwa mimi ndio niliotengeneza ule mchezo sikuzishangaa picha zile mana mimi ndio chanzo cha picha hizo,.... Mpaka hapo nikajua hata mwanangu pia anampenda sana rashidi,.. Kwahio kutoka hapo nikawapa ruksa ya kuwa pamoja na sintowafatilia tena... Ndipo baada ya miezi mitatu nikawaita hawa wawili Rashidi na Mariamu, tena mbele ya baba yake na bibi yake... Tukawapa mipango ya harusi ambayo ndio hii leo tumekuja hap... Sasa ndio nashangaa kuskia Sarah anasema kuwa yeye ni mpenzi wake kabla ya Mariamu, na nakumbuka huyu ni mtoto wa mama mkubwa wake, sasa hebu niambieni kuna ndoa ya ndugu katika dunia hiii... Hebu niambie jamani,.. Au labda kaja kusherehesha kwa aina yake hapa... Na sauti ya kumwambia akanunue pete amvishe chidi ninayo hapa kwenye simu yangu.. Tena ngoja niiweke muisikie"



    Wageni kuskia hivyo wakasema kwa sauti kuwa

    "maneno yako yametosha kukuamini achana na hio sauti,... Shuka mama watu wafunge ndoa"

    Mama Mariamu alifurahi sana na hata Mariamu pia alifurahi kwa hilo,



    Sasa kwa Sarah baada ya kuona kabanwa sana na maneno ya mama Mariamu ikabidi ashike maiki au kipaza sauti na kusema kuwa...

    "Eheheehehehe,.. Nashukuru sana kwa kuifanya harusi hii ijawe na wasiwasi juu yangu, kifupi ni kwamba hakukuwa na lolote juu yangu na rashidi,.. Bali nilitaka kuwatia watu wasiwasi juu ya ndoa hio.. Nashukuru sana mana nimefanikiwa kuwatia hofu"

    Wageni walishangilia na kupiga kelele za furaha kuwa sarah alikuwa na maana hio...

    Lakini ghafla sarah kazima maiki yaani kile kipaza sauti kakizima au kakiweka off, kisha akawasogelea mabwana harusi na kuwaambia kuwa



    "ama zangu ama zenu.. Tutaonana peponi"



    Sarah aliongea hivyo kisha akawasha maiki na kushuka jukwaani, lakini hakuna aliosikia baina ya chidi na Mariamu,.. Wakati huo wageni wanamshangilia sarah kwa jinsi aliwatia hofu watu,.. Laiti wangelijua kuwa tayari watu wameshatishiwa maisha, wasingemshangilia kiasi hicho,... Lakini kiukweli sarah alikuwa ana sumu ya kipekee yaani alikasirika kuliko siku zote na kama sio kule kuirudia maiki na kusema alifanya utani, basi angeaibika kwenye umati wa watu, hivyo kajiondolea aibu afu chuki ipo pale pale... Tena ndio kama wamemchokoza mtoto wa watu, yaani sumu imepanda upyaaaa...



    "sasa ndoa ya vijana wetu inakwenda kukamilika,.. Na sina tena maswali juu yenu,.. Na mimi najua mnapendana,.. Tukianza kwa bwana Rashidi Kingazi Omary,.. Chukuwa pete hii na ufuate maneno haya nitakayo kwambia"



    SHEKHE__"mimi Rashidi"



    RASHIDI__"mimi Rashidi"



    SHEKHE__"namvisha pete hii Bi Mariamu kuwa mke wangu"



    RASHIDI__"namvisha pete hii Bi Mariamu kuwa mke wangu



    SHEKHE__"nitamsikiliza katika maisha yangu yote na sintokuwa kaidi kwake"



    RASHIDI__"nitamsikiliza katika maisha yangu yote na sintokuwa kaidi kwake"



    SHEKHE__"Eeehh Mungu Ijaalie Ndoa Yetu mimi na mke wangu tuishi kwa amani na upendo katika maisha yetu yote"



    RASHIDI__"Eeehh Mungu Ijaalie Ndoa Yetu mimi na mke wangu tuishi kwa amani na upendo katika maisha yetu yote"



    "Haya mvalishe pete na uinue mkono wake juu kuuonyesha uma kuwa umeshalitekeleza agizo la Mwenyezi Mungu"



    Wageni waliamka kwenye viti na kupiga vigelegele vya furaha

    "Turururururururururururururururururururu"

    Ilikuwa ni furaha kubwa katika familia hizo......



    "tukimalizia kwa Bi Mariamu, chukuwa pete hii na ufuate maneno nitakoyo Kwambia"

    Mariamu alichukuwa pete na kuanza kufuata maneno ya shekhe



    SHEKHE__"mimi Mariamu"



    MARIAMU__"mimi Mariamu"



    SHEKHE__"namvisha pete hii bwana Rashidi Kingazi Omary Kuwa mume wangu"



    MARIAMU__"namvisha pete hii bwana Rashidi Kingazi Omary Kuwa mume wangu"



    SHEKHE__"nitamsikiliza katika maisha yangu yote na sintokuwa kaidi kwake"



    MARIAMU__"nitamsikiliza katika maisha yangu yote na sintokuwa kaidi kwake"



    SHEKHE__"Eeehh Mungu Ijaalie Ndoa Yetu mimi na mume wangu tuishi kwa amani na upendo katika maisha yetu yote"



    MARIAMU__"Eeehh Mungu Ijaalie Ndoa Yetu mimi na mume wangu tuishi kwa amani na upendo katika maisha yetu yote"



    "Haya mvalishe pete na uinue mkono wake juu kuuonyesha uma kuwa umeshalitekeleza agizo la Mwenyezi Mungu"



    Wageni waliamka kwenye viti na kupiga vigelegele vya furaha

    "Turururururururururururururururururururu"



    Ilikuwa ni furaha iliopitiza kwa ndoa hio kukamilika..... Lakini watu wakiendelea kufurahi, ghafla mabibi wawili wanakuja, yaani bibi yake rashidi na bibi yake Mariamu,.. Walimuwa wameshika KITAMBAA CHEUPE kilichotapakaa damu, sasa chidi kuangalia akakumbuka kile kitambaa walikilalia asubuhi walipokuwa wanatafuta bikra kama kweli Mariamu alikuwa nayo... Sasa huo ni uthibitisho unaletwa mbele ya waalikwa wote waone kweli mtoto wa kike alikuwa bikra, na mtoto wa kiume ni rijali haswa...

    Watu hawaamini kabisa mana ni Amaizing sana yani.... Mama Mariamu alikuwa analia kwa furaha, mana pongezi alizokuwa anapewa ni nzito mno,... Inashangaza sana kwa mschana wa umri huo kuwa na bikra, yaani mama Mariamu alikuwa na furaha mpaka ikageuka kilio,... Bibi wote na wamama zao walikuja kuwakumbatia watoto/wajukuu zao,..

    Mama chidi anafurahi mpaka analia kwa kuamini kuwa mtoto wake ni rijali



    BAADA YA MASAA KADHAA KUPITA



    Ndoa ikiwa imeshakamilika na hata wageni walikuwa na furaha kwa kuja tanga mana kuna wengine hawaijui tanga walikuwa wakiisikia tu, hivyo walianza kutalii (kuzunguka zunguka kuangalia mandhari ya mji huo).. Walipakiwa kwenye gari kisha haooo wanakwenda kutalii talii....



    Sasa huku nyumbani kukiwa kuna visherehe sherehe vilivyobakia bakia, chidi akiwa ndani na mama yake na mke wake Bi Mariamu,..

    "mama, lakini toka nilipokuja sijamuona mtoto wangu"

    Chidi alimuulizia mtoto wake ambaye ni Kingazi na mama yake ni huyu salma..

    "na shamra shamra zile usingeweza kumuona, na hata kwenye harusi alikuwepo sema nilikuwa nimempakata... Tena sijui atakuwa kalala"

    Aliongea mama yake chidi kisha Mariamu akaongea kuwa,...

    "ndio huyo mtoto ulioniambia"

    "ndio huyo"

    "sasa yupo wapi jamani nina hamu ya kumuona"

    Mara mtoto mwenyewe ndio huyo anakuja

    "kaleeee ndio kanaanza kutembea"

    Mama chidi aliwaonyesha akina chidi

    Kingazi alikuwa kavalia suti kali tena wakati huo alikuwa na babu yake mzee kingazi,..

    Mariamu alimkimbilia kingazi na kumpakata

    "shkamoo baba"

    Mariamu alimsalimia mzee kingazi ambaye ni baba yake chidi

    "maraha mama poleni sana kwa misukosuko aliowapa mama enu huko mjini"

    "Ahsante sana baba"

    Basi Mariamu aliondoka na king na kuja nae huku walipo,... Wakati huo salma yeye alikuwa hayupo kaenda kwa mama yake yeye na mume wake mtarajiwa ambae ni Ibrahim, hivyo salma ataolewa ndani ya familia hio hio, lakini na mwanaume mwingine, ila ndoa yao bado haijafika..

    "babuu, mi nataka nikaishi na huyu mtoto"

    Aliongea Mariamu huku akionekana kumpenda sana yule mtoto,.. Mana king alikuwa ni chata ya chidi sana yaani chidi hua anafyetua machata yake tu,...

    "mama unasemaje kuhusu hilo, mana kama vile tunakupokonya mjukuu sasa"

    "jamaniiiiiiiiiiiiiiiiiiii.... Sasa jumba lote hili mnazidi kupungua tu, mimi nitaishi na nani, na baba yenu hakaagi hapa mchana hua anakwenda kazini sasa mkimchukuwa na huyo, mimi nitabaki na nani, na tayari nimeshamzoea kelele nyingiiiii mpaka raha nyumba inachangamka.. Haya mkiondoka nae je"

    "mama... Wacha tukuondolee tabu"

    Aliongea chidi, akachokoza moto

    "we mshenzi nini, kwani nilikuambia nimemshindwa... Nipeni mjukuu wangu nendeni katafuteni wenu huyu ni wangu"

    Basi ilikuwa ni furaha sana siku hio mana bibi hakutaka mjukuu aende mbali na yeye mana keshamzoea

    "chidi mume wangu.. Tumuachie mama tu, ili asiwe mpweke ila nimempenda nikaishi nae mjini"

    "sawa wacha tumuachie tu. Ila kata mimi nilipenda kwenda nae lakini kwakuwa hataki, basi tutamtafuta wakwetu"

    Aliongea chidi wakiwa wapo chumbani kwao...

    Walitoka na kumfuata mama tena

    "nini mnataka tena kuniomba mjukuu wangu"

    "aahh hapana mama.... Sisi tunataka kukuaga kesho sisi tunataka kuondoka... Ili tuwahi na shughuli zingine"

    "sawa kwani si kesho tutaagana"

    Basi akina chidi na mkewe waliingia ndani na kucheza ile kiutani utani...



    BAADA YA SIKU HIO KUPITA



    Na leo ni siku nyingine tena Magari yote yakiwa yanarudi mjini sasa, hata wale aliokuwa wana talii walisharudi na leo ni safari ya kurudi mjini,... Ibrahim aliapa kuja nyumbani kila baada ya miezi mitatu, yaani hatopotea tena kama ilivyokua awali, chidi aliwaachia wazazi wake kibunda cha pesa kama matumizi yao,... Jumba liling'aaaa ghafla likabakwa na watu wachache sana ambao ni familia ya akina chidi... Jumba kubwaaa lakini watu wachache...



    BAADA YA WIKI MOJA KUPITA



    Akina Mariamu wakiwa nyumbani kwao katika nyumba mpya huku mjini, mana lile geto kwa sasa anaishi Ibrahim na mke wake, mana chidi kamzuia kaka yake asiende Dar es Salaam tena hivyo wataishi wote hapo jijini Arusha,.. Hivyo Ibrahim anaishi kwenye ile selfkontena ya kupangisha aliokuwa anaishi kijana chidi... Na wakina chidi wamezawadiwa nyimba kubwa na mama yake Mariamu, hivyo kwa sasa wapo kwao katika jumba lao,...

    "baby.. Kwanini tusitembee tembee huko mitaani"

    "aahhhh kama nimechoka choka vile"

    "buanaaaaa... Sasa si tuifanye mili ichangamke"

    "mmhhhh sawa twende"

    "lakini hatutumiii gari"

    "haaaaaaa kwa mguuu"

    "ndio kwani kuna nini, au utaumwa"

    "hhhmm wala... Haya twende ila nakuhofia wewe"

    "mimi sina shida wewe"



    Basi chidi na mke wake walitoka nje kwenda kutembea tembea mjini, na wakati huo walikuwa wameshikana mikono kama mume na mke, yaani hapo hakuruhusiwi mtu kumtamani mtu mwingine,... Lakini sasa wakiwa mjini kati huko walikutana na sarah,..

    "babuu yule sio sarah yule"

    "yupo wapi"

    "si yule pale anatoka supamaketi"

    "Eehh ndio yeye... "

    "twende tukamsalimie basi"

    "achana nae"

    Mariamu alikazania mpaka chidi akakubali kwenda kukutana na sarah

    "sarah, we sarah we"

    Sarah kugeuka anakutana na chidi uso kwa uso,..

    "unamuita nani hivyo,.. We unanijua wewe,.. Achana na maisha yangu miri nakuomba sana"

    "tafadhali sana kwa sasa siitwi miri kwa taarifa yako,... Naitwa Bi Mariamu"

    "hainihusu Tena kaa mbali na mimi... Nitakufanya kitu mbaya wewe na mume wako hamtokaa kuamini macho yenu"

    Aliongea Sarah huku akiwa kakasirika mno...



    "Heheeeee Halooooo.... Mlichonfanyia mume wangu wewe na mama yako vinatosha... Huyu sio Sex Machine,... Mlimuweza kipindi hicho ila sio sasa hivi,... Kwa sasa ni sex Machine kwa ajili yangu tu, na sio kwa mtoto na mama yake kama ilivyokuwa kwenu"

    Sasa kumbe Sarah alikuwa hajuagai kuwa yeye na mama yake walikuwa wakishea penzi moja kwa chidi... Sasa leo ndio anajua kumbe yeye na mama yake walimtumikia mwanaume mmoja....

    "ati unasemaje we mwanamke"

    Sarah aliuliza hivyo kana kwamba kama vile hajasikia vizuri

    "nasema na mdomo pua ikinong'ona.. Upo shost,... Special Machine For me"





    Ama kweli wahenga walisema kuwa, kabla hujafa hujaumbika, haya maneno ni yakweli kabisa na hayakuongopa hata kidogo... Mabinti wawili waliokua pamoja toka wakiwa wadogo kabisa, mpaka kuanza shule ya msingi wote darasa moja, mpaka SECONDARY SCHOOL nalo darasa moja, kipindi hicho familia zao bado hazija jaaliwa pesa, hivyo walikuwa na maisha ya kawaida sana,.. Wasichana waliosoma IRINGA GIRLS SECONDARY SCHOOL kipindi hicho bado hakuna hata mzazi mwenye pesa, wote walikuwa hali ya chini sana,.. Baba yake na Mariamu pamoja na baba yake Sarah walikuwa wakifanya kazi katika mgodi maarufu kwa jina la Melerani huko mbuguni sjui wapi huko.. Na wote walibebana kwakuwa familia zao zilikuwa zikiishi pamoja,..



    Mungu sio asumani, baba wa Mariamu alifanikiwa kupata jiwe kubwa la thamani, na wakati huo baba yake na sarah bado hakufanikiwa kupata.. Baba yake Mariamu alikuwa ni mchimbaji wa kawaida tu, lakini siku hio aliweza kutoweka na jiwe hilo lenye thamani ya shilingi bilioni 3 na pointi kadhaa,. Mzee huyo aliacha kazi za migodi na kurudi nyumbani ambako ipo familia yake,.. Mama Mariamu alishirikishwa na kutoa wazo wafanye nini..

    "mume wangu, kwanini tusijenge hoteli"

    "mmmhhh mke wangu,.. Hapa Singida ujenge hoteli italipa kweli"

    Aliongea mzee huyo kana kwamba hakutaka kujenga hoteli katika mkoa huo wa Singida, mana ndipo walipokuwa wakiishi na ndio kwao.

    "sina maana tujengee hapa singida,.. Kwanini tusihamie Jijini Arusha"

    "Enheeeeeeee, hilo sasa ndio neno...andaa familia yako vizuri twende"

    "hapana mume wangu, we tangulia kwanza ukanunue nyumba kisha nasi tuje"

    Basi mzee alitangulia kuingia mjini na kufanya mambo yote ya msingi, mana kwa sasa ni matajiri wakubwa. Baada ya wiki moja mzee karudi Singida kuichukuwa familia yake,.. Wakati huo baba yake sarah hakurudi toka aondoke inakwenda mwezi wa pili sasa,...

    "hivi mke wangu baba sarah yupo"

    "mmmhhh mume wangu, toka umeondoka nae mpaka leo hajarudi"

    "aaahhhh sijui rafiki yangu kaibuka huko aahh.. Lakini watoto wanaendelea na shule"

    "ndio, ila inabidi sasa tuwahamishe.. Sasa tuna pesa kwanini wasiende vyuo vikubwa vikubwa"

    Wakati huo akina Mariamu na sarah ndio nwaka wao wa kwanza kuingia chuo, ila walikuwa wakisoma katka vyuo vya hali ya chini sana..

    "sawa mke wangu... Alafu, unajua mjini nimenunua hoteli mbili"

    Aliongea mzee huyo huku mama Mariamu akifurahi sana kuskia hivyo

    "safi sana mume wangu... Moja utakaa wewe na nyingine nitakaa mimi"

    "hapana mke wangu... Mimi sihitaji kushiriki katika shughuli za hoteli, nataka nirudi mgodini nikawe mnunuzi wa madini... Huko kwenye hizo hoteli utajua wewe utafanya nini"

    Baba kaongea na kamaliza,.. Yaani kiujumla familia hizi zilikuwa na urafiki mpaka kwa mababa zao mana si walikuwa wakiishi jirani,.. Kwahio hata mama zao pia walikuwa marafiki vivyo hivyo yaani walivyoishi hawa akina Mariamu na Sarah, ndivyo walivyoishi mama zao...



    Baada ya baba kuachana na mambo ya hoteli karudi zake mgodini kununua madini.. Huku mama Mariamu anafikiria atafanya nini katika hizo hoteli mbili mana kama Mariamu angelikuwepo basi moja angeimiliki Mariamu, ila alikuwa hayupo kwa wakati huo yupo chuo kikuu cha Dodoma (UDOM)

    Wakati huo mama Mariamu tayari wapo mjini, na wazo la kumiliki hoteli ya pili asingeliweza hivyo kampatia rafiki yake kipenzi Grace au mama sarah aimiliki na amletee hesabu kila mwezi....



    Na kule mgodini nako baba Sarah nae kaibua jiwe lake lenye thamani ya bilioni moja na pointi kadhaa, nae kawa mnunuzi mdogo mdogo wa madini, akiongozwa na baba yake Mariamu,... Mpaka kufikia hivi sasa wote ni matajiri wakubwa, sema wanazidiana pointi za kwenye benki,.. Baba yake Mariamu kidogo alikuwa na mpunga mrefu kiasi...



    Baada miaka kadhas ndio mama sarah akaja kuinunua hio hoteli aliopewa na mama Mariamu, tena pesa alionunulia ni ile aliopewa na mama saida kwa kazi ya kumponyesha mtoto wake,.. Hivyo akachanganya na yakwake na kuinunua hoteli hio... Na mpaka sasa ni matajiri wote...



    Lakini kwa watoto nao walikuwa vizuri na walipendana sana, waliweza kufichiana siri zao, tena huyu anaenda kulala kwa huyu na huyu kesho atalala kwa huyu... Yaani walipendana sana, lakini mmoja alikuwa hapendi mambo ya mapenzi, kwasababu keshazoea ile tabia ya boding... Wanajua wenyewe, kwani ilimfanya asitamani mwanaume..... Lakini wawili hao waliopendana kama ndugu kumbe ni rafiki, leo wanatengana tena kwa vitisho vya hali ya juuu kisa ni mwanaume mmoja tu waliokuwa wakimgombania, lakini sarah alikuwa hajui kama mwanaume huyo huyo alikuwa akitembea na mama yake mzazi,... Lakini leo walipokutana katika supamaketi moja hivi jijini Arusha iitwayo NAKUMAT SUPERMARKET,.. Mariamu alimwaga siri yote juu ya chidi na mama Sarah.. Sarah anashangaa na kuduaaa



    "ati unasemaje we mwanamke"

    Sarah aliuliza hivyo kana kwamba kama vile hajasikia vizuri

    "nasema na mdomo pua ikinong'ona.. Upo shost,... Special Machine For me"

    Aliongea Mariamu kisha hao wakaondoka yeye na mume wake huku wakiwa wameshikana mikono, magari yapo nyumbani lakini wanatembea kwa mguu,..



    BAADA YA SIKU HIO KUPITA



    Na leo ni siku nyingine tena, tukiwa katika jengo la kitajiri la mama Sarah,

    Walikuwa wanakula chakula cha mchana, ikiwa ni siku ya juma pili,.. Lakini sarah alionekana kukosa raha kabisa hata chakula hakishuki

    "Sarah mwanangu, toka jana uliporudi supamaketi huna raha kabisa, na nilishindwa kukuuliza mwanangu nikajua umechoka, sasa kwanini mpaka sasa huongei, furaha yako nilioizoe leo siioni tena"

    Aliongea mama sarah au Grace, huku Sarah akizidi kububujikwa na machozi

    "sarah mwanangu, kwani kuna nini... Au kwasababu Mariamu kaolewa na mpenzi wako"

    "ishia hapo hapo mama... Ivi kama yule kijana angelinioa mimi ingekuwaje, tungeishi vipi mimi na wewe,.. Angekuita nani na mimi angeniita naniiiii... Uuuuuuuwwwiiiiiiiii hihihihihihihi.... Iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii....... Uiiiiiiiiiiiii.... "

    Sarah aliongea huku akilia kwa sauti ya juuu,... Mama kusikua tu vile alijua moja kwa moja kuwa sarah keshajua kila kitu kuhusu mahusiano yake yeye na chidi...

    "mwanangu sarah"

    "sitaki,.. Yaani namchukia Mariamu wa watu kumbe na wewe ulikuwepo.. Yule chidi si mwanao kabisa mama.. Uuuuuuuwwwiiiiiiiii iiiiiiii.... Iiiiiiiiiiiiiiiiiiiii"

    Mama alijua moto umeshawaka hapa na hauzimiki, ilibidi mama aende akalale kwanza ili mtoto atulize hasira zake... Lakini mama sarah wakati huo huo kavuta simu na kumpigia chidi,

    "we mpumbavu kwanini unataka kunigombanisha na familia yangu.. Kwanini lakini"

    "mamiiii, mimi nimefanya nini kwani"

    "kwanini umemwambia Sarah ujinga wako huo"

    Sasa chidi ndio akakumbuka kuwa jana Mariamu aliongea vile pale supamaketi,...

    "lakini mama... Bora mtoto ajue tu"

    "mbolo yako wewe,.. Mimi sio mama yako mbwa wewe... Afu kwa taarifa yako nina ukimwi, na nimeshakupa ukafie mbele na huyo fara wako"

    Mama Sarah alikata simu, sasa kumbe sarah alisikua yote aliyoongea mama yake, lakini jambo liliomchoma ni kusema ana ukimwi.

    "mamaaaaa, ina maana kweli una ukimwi mama"

    Sarah alianza kulia upya mana kama mama ana ukimwi basi hata mtoto mtu anao, mana wote walitembea na chidi...

    "mama umeniua mwanao mama"



    Wakati huo huku hotelini chidi akiwa ndio boss mkuu wa hoteli hiyo, mana mama Mariamu keshawakabidhi hio hoteli, yeye kapumzika nyumbani hataki tena presha, sasa vijana ndio wanahangaika na hoteli hio.. Kitu na mkewe kwenye kazi moja.. Mke akiwa katika nafasi yake ile ile ya keshia kama zamani,.. Na chidi akiwa ofisi kuu... Lakini wakati huo chidi anahaha hapo ndani yaani jasho linamtoka kila kona kwa kusikia kuwa mama sarah ana ukimwi, yaani chidi alikuwa mwekundu ghafla kwa wasiwasi,..



    Chidi hakutaka kuteseka kwa mawazo bora atende akahakiki kama ni kweli au laa, mana anakumbuka kuna kipindi walipima na mama sarah na akawa hana,...

    "babuu unakwenda wapi tena"

    Aliuliza Mariamu huku akitaka kulia, yaani Mariamu anadeka ile mbaya, yaani kuuliza tu anataka hata kulia

    "nakuja baby.. Sasa hivi nakuja"

    Chidi alikimbilia Hospitalini fasta fasta, mana siku hizi kuna vipimo na majibu papo hapo, yaani lisaa limoja tu umeshajijua afya yako... Chidi kakaza moyo kweli, mana kuliko akonde kwa kuwaza anao au hana bora ajue moja....

    "vipi dokta"

    "salama hali yako boss"

    "aaahhh safi tu... Sasa hebu nipime ugonjwa"

    "ugonjwa... Ugonjwa gani sasa"

    "nipime H_H"

    "H_H ndio nini"

    "ukimwi bwanaaaa.... "

    "aaahhhhh HIV si ndio"

    "sasa kwani nimekwambia umalizie hizo herufi.. Mi sitaki watu wajue na ndio mana nikasema H_H... Ebu nipime sasa"

    "ok.. Ngoja tusubiri damu ipoe kwanza"

    Chidi alisubiri mpaka vipimo vikachukuliwa na kuanza kupimwa.. Wakati huo roho juu juu hana hata chembe ya raha....



    Tukija huku kwa mama sarah akiwa na mtoto wake....

    "mama umeniua mwanao mama"

    Aliongea Sarah huku machozi mengi yakimtoka kwa spidi...

    "hapana mwangu... Nimemtishia tu yule mjinga, ili tu aanze kuikosa amani"

    "heeeeeeee ina maana huna"

    "wala sina mwanangu.. Nataka nimtie jamba jamba tu"



    Sasa Sarah kuangalia umbo la mama yake, kiukweli lilikuwa linaita, yaani yeye na mama yake wana maumbo yasiozeheka, hivyo mama yake alikuwa bado anaita tu, japo ana umri.. Sara akitabasamu kwa kuona umbo la mama yake bado bichi, hivyo hakuwa na kosa kutembea na chidi..

    "hivi mama, kama chidi angenioa.. Ivi ingelikuwaje"

    Sarah aliuliza hivyo lakini hakuwa na hasira tena...

    "mmhhhh mwanangu ningeacha, mana tayari keshakuwa mkwe, hivyo ningeachana nae"

    "mmmmhhh mamaaa, chidi alivyo mtamu vile ungesubutu kweli"

    Mama sarah kuskia hivyo alijiskia furaha na kujua kuwa mwanae kesharudi katka furaha yake..

    "Sarah, mimi sikutaka kushiriki mwanaume mmoja na wewe,.. Kwasababu chidi angelikuwa mfanyakazi wetu, lakini nikaona mnaweza kupendana pale ikawa tabu, ndio nikampeleka kule kwa Mariamu,.. Nikajua lile jike dume halijui kupenda, kumbe ndio mbuzi kafia kwa muuza supu"

    "kwahio ulimpeleka kwasababu ya mimi nisimuone"

    "ndio.. Na nikakukataza usiende hotelini kwa akina Mariamu"

    "mmmhhh mama kumbe msiri wewe"

    "ni msiri kwa ajili yako mwanangu, lakini imeshindikana, lile toto la kahaba hata haliridhiki na mwanamke mmoja"

    "basi mama angu.. Mimi nimeshakusamehe... Lakini be careful mama angu"

    "siwezi tena kufanya hivyo mwanangu"

    "lakini mama... Chidi sintomuacha lazima alipe huu uharibifu wa familia yetu lazima alipe tu"

    "saraaaaa mwanangu unataka kumfanya nini"

    "kwani unampenda tena"

    "hapana... "

    "basi tulia kimya.. Atalipa yote"



    Tukija huku hospitalini chidi alikuwa anatoka huku akifurahi, kumbe alichezewa kamchezo tu, lakini alikuwa poa, hana ugonjwa wowote ule...

    Lakini ghafla simu inaita.. Kucheki jina alikuwa ni saida, yule dada yake na ridhiwani..

    "haloo saida mambo"

    "yaani mkeo unaniita saida"

    "mke wangu nani tena"

    "sitaki uniite saida chidi.. Kwa sasa nina mimba yako na nataka niolewe na wewe"

    "aaahhhh saidaaaaa"

    "please hebu tukutane chidi"

    "wewe upo wapi"

    "nipo hapa Rasco hoteli"

    "ok naja hapo"

    Chidi aligeuza gari mpaka Rasco hoteli, na kumkuta saida kavimba tumbo,.. Yaani mimba imekuwa kubwa mana ana miezi kadhaa hajaonana nae

    "waooooo saida, hii ni ile mimba kweli"

    "ndio mume wangu"

    Saida alikuwa anatamani aolewe, tena anampenda chidi kuliko.. Lakini chidi hakutaka kumficha kuwa ana mke

    "saidaaaa..... "

    "abeee mume wangu"

    "Samahani sana..."

    "nini tena baba king"

    "mimi nina mke saida... "

    Maskini ya mungu saida alianza kulia bila mpangilio, yaani alitia huzuni sana kwa chidi kwani saida ndoto yake ni kuolewa na chidi..

    "pole saida"

    "hapana... Lazima uwe mume wangu chidi"

    "sasa mimi nina mke saida"

    "sawaaaa... Kwani nyie si mnaruhusiwa kuoa wake wanne"

    "duuuuuuu"

    Chidi alishangaa kuona ni ajabu mwanamke kutaka awe mke wa pili

    "chidi... Nipo tayari kuwa mkeo wa pili.. Nitamueshim mkeo.. Utalala kwangu siku mbili afu utalala kwa mke mkubwa siku tano.. Nipo tayari, kikubwa nami niitwe mke wa mtu chidi Please"

    Yaani chidi alishangaa sana kuskia hivyo, hakuwahi kukutana na maneno kama hayo, yaani mwanamke anaetaka kuwa mke wa pili...

    "sawa ebu niachie hilo jambo nilifanyie kazi"

    "lakini nataka mkeo ajue.. Sitaki kuiba, nataka ajue kuwa mimi ni mmoja kati ya wake zako.. Ila nitamheshimu sana mkeo.. Naomba ulifanyie kazi chidi wangu.. Siku mbili kwa mke mdogo afu siku tano kwa mke mkubwa.. Nitaridhika iwe hivyo kikubwa uwe mume wangu chidi"

    "saida.. Hebu niache nilifanyie kazi, mana jinsi unavyoongea nazidi kupata machungu eti,.. Lazima niwe muneo ila mpaka niongee na mke wangu"

    "au twende nikaongee nae"

    "saidaaaa acha haraka utaharibu sasa"

    "sawa baba... Ila Fanya haraka tufunge ndoa kabla sijajifungua basi"

    "usijali.... "

    Chidi aliamka na kumchapa mate ya nguvu, na kumfariji saida.. Mtoto wa Kiislamu aliojawa na upole wa hali ya juu.... Basi chidi na saida waliachana huku saida akiwa na furaha ya hali ya juu mno



    Ilikuwa ni jioni chidi kapitia hotelini na kumchukuwa mke wake,..

    "afu ebu tukamsalimie mke mwenzangu"

    Aliongea Mariamu kumaanisha tukamsalimie mke wa Ibrahim, kule alipokuwa anaishi chidi zamani, mana kwa sasa chidi na Mariamu wamezawadiwa mjengo na Agness au mama Mariamu..

    Walipofika walimkuta Ibrahim na mke wake wapo hapo nje wanapunga upepo,.. Walisalimiana pale lakini chidi alikuja na pointi moja ya msingi

    "kaka..."

    "sema dogo langu"

    "mi naona wakati wa ndoa yenu imefika sasa"

    "ni kweli, lakini kwanini usituache kidogo"

    "niwaache kwanini"

    "hali si hali mdogo wangu"

    "sikiliza kaka.. Mimi nitaigharamikia ndoa hio mwanzo mwisho"

    Ibrahim hakuamini, yaani mwanaume mkubwa lakini machozi ya furaha yalimtoka,.. Tena akikumbuka alivyomnyanyasa chidi,.. Ndio alizidi kutokwa na machozi..

    "sawa mdogo wangu, nipo tayari kufunga ndoa hata kesho"

    "aaahhh nitawapa mwezi mmoja mbele kabla ya ndoa... Na kuhusu kazi, mi naona tutafanya kazi wote pale hotelini... Au vipi mke wangu"

    Chidi alimgeukia mkewe ili kupeana mawazo ya hapa na pale..

    "heeeeeeee kwani mi ndio boss,.. Boss si wewe mwenyewe"

    Aliongea Mariamu huku wakiangua vicheko...

    "kiufupi ni kwamba kwa kazi unayo.. Ila ndoa tufanye mwezi ujao"

    "Ahsante sana mdogo wangu... Mungu akubariki kwakweli"

    Basi chidi na Mariamu waliaga ili waondoke zao, mana ujumbe waliouleta umeshafika... Lakini Mariamu kamvuta mkono chidi na kumwambia kuwa

    "unamuona mke wa kaka yako alivyo"

    Aliongea Mariamu huku akimuangalia mumewe

    "ndio.. Namuona mweupe hana hata chunusi, labda tumuulize siri ya urembo wake"

    "babuu mi spendi unizingue ujue"

    "kwani vp tena"

    "yule shemeji yako pale ana nini"

    "aaaaahhh ahh si kavaa dera, tena kapendeza kweli"

    "unajua ntakutia kichwa cha meno... Ivi unaweza kuniambia sababu ya lile dera"

    Sasa chidi ndio akaelewa kuwa Mariamu alikuwa anataka nae awe mjamzito kama shemeji yake...

    "usijali mke wangu.. Twende tukakitafute hicho unachokitaka"

    Basi ilikuwa ni furaha kubwa ndani ya familia hio....



    BAADA YA MWEZI MMOJA KUPITA



    Na leo ndio siku ya kufunga ndoa ya kaka yake na chidi... Jukwaa lilipamba moto kwa burudani zilizokuwemo humo.. Mke wa chidi ndio alikuwa mtu wa pembeni wa bibi harusi, lakini alikuwa akiserebuka huku akishika tumbo lake lililo onyesha kuwa na yeye ni mjamzito wa mwezi mmoja.. Tena inaonyesha kabisaaaa, lakini Mariamu hakuwa akijali kama ni mjamzito, yeye alikuwa akifurahi kwa ndoa ya shemeji yake ambae ni kaka yake na chidi..... Sasa chidi kahisi wivu jinsi mke wake anavyocheza na bibi harusi pamoja na watu wengine.. Ikabidi chidi nae aingie kati na kuanza kucheza na mke wake.. Furaha ilizidi kuwepo ndani ya ukumbi huo...



    Lakini ghafla ulisikika mlio wa Risasi kila mtu kinyaa,.. Lakini chidi alishangaa mkono wa mke wake unamuachia taratibu,.. Kumbe hio risasi ilimpata mke wa chidi ambaye ni Mariamu, chidi haamini macho yake kwa kile kinachotokea,.. Chidi kwa hasira alisimama ili kuangaza macho,... Cha ajabu na cha kushangaza alimuona sarah kashika bastola,.. Sasa ile chidi anataka kushuka jukwaani ili kumfata Sarah pale alipo, Sarah bila kujali, alimfyatulia chidi risasi ya kichwa,.. Chidi alidondoka pembeni ya mke wake.. Wakati huo Mariamu ndio anamalizikia kuiaga dunia, chidi alipapasa pembeni ili kumshika mke wake,.. Ikiwa ndio safari yao ya mwisho

    "mamuuu mke wangu"

    Chidi alijitutumua na kumuita mke wake,

    "mamuuuuu"

    Aliita chidi, huku na yeye nguvu zikimwishia... Alishangaa mkono wa mke wake umelegea ghafla.... Na yeye alikuwa analegea vivyo hivyo,..

    "Mamuuu mke wanguuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu"



    *************************************



    "we pumbavu wewe, nani mkeo... Yaani mimi ni mkeo mimi"

    Heeeee kumbe chidi alikuwa anaota

    "mamy,.. Mke wangu yupo wapi"

    "we mtoto ushakuwa chizi sasa, huyo mke we ulimuokota wapi"

    "mama.. Mimi nimeoa eti,.. Afu tukapigwa risasi"

    "hebu amka mi nataka niende supamaketi sasa hivi"

    "kwaio wataka nikupeleke au"

    "hapana... Usije ukaondoka"

    Aiseeee kumbe chidi alikuwa anaota, hakuwa na mke wala ndugu yake mke,.. Hakuna cha Mariamu wala Sarah,.. Mara ghafla mdogo wake wa kiume kaingia

    "kaka sheby, mpira umeanza twende"

    "nani na nani"

    "Man U na Arsenal"

    "ayaaaaa bonge la game hiloo ngoja naja"

    Kijana huyo aliamka na kwenda kuangalia mpira hapo sebuleni kwao, tena walikuwa ni matajiri haswa haswa... Tena haitwi Rashidi.. Anaitwa Sharbiny (Sheby).. Na mdogo wake aitwaye Rajabu...



    MWENDELEZO WA SIMULIZI HII, INAITWA MKE JEURI.... NA HIO MKE JEURI, IMESHAPITA KABLA YA HII... KWAHIO HII NI KAMA PARTY ONE, LAKINI IMECHELEWA KUANZA KWASABABU FULANI ZA UANDISHI...http://deusdeditmahunda.blogspot.com/



    SASA MKE JEURI NDIO PARTY TWO, IMEWAHI KABLA YA HII... ILI UELEWE VIZURI, NENDA KASOME MKE JEURI Sehemu Ya Kwanza, utajua kweli hii ina mwendelezo ambayo ni MKE JEURI,..... Njoo WhatsApp Ujipimie yote........



    MWISHO WA CHOMBEZO LA MUUZA CHIPSI 

0 comments:

Post a Comment

Blog