Search This Blog

Thursday 27 October 2022

MUUZA CHIPSI - 4

 http://pseudepigraphas.blogspot.com/2019/12/muuza-chipsi.html

    Chombezo : Muuza Chipsi

    Sehemu Ya Nne (4)







    Sasa shemeji yake chidi sijui haoni maduka ya nguo, na sijui anabmaana gani kwenda kuomba nguo za kimaskini na wakati wao ni matajiri tena wa hali ya juu sana, sasa iweje leo akaombe kanga zilizochoka

    "kwanza kabisa,... Nataka nizinunue zile kanga zako"

    "heeeeeee mama king,.. Na utajiri wako woote unakuja kununua kanga kwangu,.. Tena zimeisha namna ile"

    "mimi nitakununulia Kabati zima la nguo mpya tupu, lakini unipe hizo kanga zako zilizoisha isha, mi nimezipenda tu"

    Yule mama mlala hoi alishangaa sana kuskia sauti ya mama king kutaka kuzinunua kanga ambazo zilikuwa zimechoka sana tena sana, tena kuna zingine zilikuwa zimechanika kwa pembeni lakini mama king au jasmini alikuwa akizitaka tu hivyo hivyo,..

    Mlala hoi aliona kama ni ndoto kwa tajiri huyo kuja kumuomba nguo ambazo zimeisha...

    "mmmhh sawa nitakupa, lakini ujue wewe ni tajiri sana, hivyo watu wakikuona nazo mtaani itakuaje"

    "usijali wala sivai nje"

    "ok nitakupa ila sitaki nguo zingine kama ulivyosema kuwa utanipa kabati la nguo"

    "sasa wataka nini"

    "kiasi chochote tu"

    Mlala hoi aliona hio ndio chansi ya kupata chochote angalao asukume maisha,.. Ila huyo mlala hoi mwenyewe sio haba, si unajua mijimama ya tanga inavyojiachia,...

    "ok nitakupa... Ila kuna kitu nataka unifundishe"

    "kitu gani tena mama king"

    "mama saimon... Unajua wewe ni mwanamke wa kitanga,... Ila mwenzio mi sijui hata kumtega mume wangu"

    "heeeeeee mama king acha kunichekesha, ina maana na umbo lako hili zuri namna hii unashindwa kumtega mumeo"

    "ndio,... Yaani nataka kila akija anikute nimevaa kanga moja, yaani sijui nifanyeje mana saa zingine anarudi akiwa kachokaaa sasa mimi sitaki achoke"

    "mmmhhh ni hilo tu"

    "ndio mama saimon"

    Mama saimon kweli alikuwa ni jimama la kitanga, saa ngapi hawajaingizana chumbani, mama king kapambua nguo zake zote akabakiwa na chupi tu, kisha akaanza kufundishwa jinsi ya kumtamanisha mwanaume hata kama hapendi lakini akikuona tu, ni lazima apende... TAKA USTAKE UTAKULA TU yaani ni mtindo wa kufosiwa kimapenzi ila kwa hiari yako mwenyewe,.....

    Baada ya Nusu saa kupita, mama king alikuwa kawiva mambo ya kitanga yaani Ibrahim atakoma,...

    "hii laki tano si inakutosha"

    Mama saimon hakuamini macho yake kama angeliweza kupewa pesa yote hio

    "mama king, hii pesa ni kubwa sana nikisema ni ndogo nitapata dhambi sana"

    "ok poa asante"

    Mama king alifungiwa kanga zake kama pea tatu hivi...

    Na kanga hizo kazichukiwa kwa ajili ya kumvalia mume wake kanga moja na chupi tu,.. Mana hua kanga mpya hazinogeshi na wala hazigandi kwenye mwili, ila kanga ilioisha inaganda mwili sasa kama una umbo, mungu wangu huyo atakaekuona sidhani kama atakuacha, yaani atatoka ute mpaka basi,



    Tukija huku hotelini ambako kijana chidi yupo jikoni akikaanga chipsi za members wa hoteli hiyo, ili aonekane bora katika pishi lake,.. Wakati huo chidi akiwa yupo katika stoo ya mkaa, mara miriam kaingia pale jikoni na kumuulizia mpishi mgeni

    "yule mkaka mgeni yupo wapi"

    Aliuliza miriam huku akiangaza macho mana anatamani kumuona hata sura mana yeye ndio boss wa hapo kuacha mama yake,..

    "yupo stoo"

    "aah ok basi"

    Miriam baada ya kuskia kuwa chidi yupo stoo aliondoka zake na kuachana na swala la kumuona sura,...

    Chidi alipotoka stoo alikutana na wapishi wenzake wakimpa taarifa ya yeye kufatwa na boss,.. Miriam ni mschana mdogo sana ila kwa pesa walizonazo lazima umuone mkubwa mno...

    "chidi, boss alikuwa akikuulizia"

    "boss nani tena"

    "boss mdogo"

    "aahhh ok nitakwenda kumuona"

    Basi chini akiwa kwenye interview ya mapishi tena alikuwa bize mno...



    Masaa machache mbele chidi akawa keshamaliza kukaanga chipsi hizo, sasa wahudumu wakaanza kuzisambaza kwa memba wa hoteli hio,... Yaani kila mfanyakazi mkubwa wa hoteli hio ni lazima aonje pishi la kijana chidi maana kusifiwa sana na mama sarah kuwa huyu kijana ni Profesional wa kupika chipsi, hivyo maboss wake wakampa kazi ya kuwaonyesha kiwango chake,...



    Baada ya lisaa limoja chidi aliitwa ofisini kwa boss mdogo,... Chidi alienda katika ofisi ya miriam huku akiwa kainamisha kichwa chake chini,

    "ivi mimi ninatisha ee, si ndio"

    Aliongea miriam huku akimwangalia kijana chidi,

    "hapana boss"

    "sasa kwanini kila unapofika kwangu macho yako yanakuwa chini kwanini"

    "samahani boss"

    "hebu niangalie haraka"

    Chidi alifosiwa kumuangalia miriam uso kwa uso, mpaka miriam akajikuta uso wake unakunjuka, yaani alikuwa ana hasira lakini zilipungua baada ya kumuona kijana chidi,...

    "ivi kuna mtu alikulazimisha kuifanya hii kazi"

    "samahani boss, nina kazi kule jikoni naomba niende"

    "afu unaonyesha we ni kiburi sana si ndio"

    "hapana boss, nisamehe kwa hilo"

    "haya shika fomu hii ya kujaza... Utajaza majina yako yote hapa ulipotoka namba zako za simu kila kitu ili tukuekee NSSF yako sawa"

    "sawa boss"

    Chidi alikaa pale na kuanza kuijaza ile fomu,... Lakini kabla hajajaza katika upande wa majina alikumbuka maneno ya kaka yake yaliomwambia kuwa

    "unapofanya kazi mahari usipende kutumia jina sahihi, jina sahihi linaseidia lakini pia lina haribu, hivyo jaribu kudanganya ili kutakapotokea balaa, basi iwe ni vigumu kupatikana haraka, lakini ukiandika jina sahihi kukiwa na balaa, watafika hadi mlangoni kwenu... Mimi mwenyewe hapa naitwa Ibrahim, lakini kuna mahari mimi naitwa bakari, hivyo usiwe mkweli kwa kila kitu"



    Alipomaliza kukumbuka hilo, hakutaka kuchelewa, chidi aliijaza ile fomu yote kisha akampa miriam ambae ndio boss wake,..

    "tayari boss"

    "okeee... Oohhh kumbe unaitwa Omary"

    "ndio boss"

    "Omary Rashidi?"

    "nipo"

    "ahahahahaha Sema jana na leo"

    "sasa boss mi si nimeanza kazi leo, sasa hio jana alikuwepo nani"

    "ooohh ok poa nenda kaendelee na kazi"

    Chidi aliondoka lakini miriam alikuwa akimwangalia sana kijana chidi,...

    "hiki kitoto ni kihensam mmhh"

    Basi yalikuwa ni maneno ya miriam akimsifia kijana chidi kwa uzuri aliokuwa nao,...

    Masaa yalisonga mbele na ilipofika mida ya saa 12 na nusu jioni muda wa kuondoka wale wa mchana na kuingia wa usiku,..

    Kijana chidi alipitiwa na mama sarah ili akachukuwe chupi yake kule kwa kijana chidi....

    "heeee mamy kumbe ulikuwepo hapa nje"

    "ndio.... mana najua huu ndio muda wenu kutoka"

    "ok... Sawa"

    "sasa... Nataka twende nikachukue ile chupi yangu kule kwako"

    "ati nini"

    "kwani umesahau"

    "aahhh ok sawa sawa"

    Sasa chidi alikuwa na wasiwasi juu ya mama huyo kwenda kule, mana licha ya yeuw kutotaka kwenda kwake, lakini kule bafuni kuna chupi ya sarah, sasa huyu mama nae anataka waende wote kule nyumbani,... Sasa chidi kwakuwa ni mgeni kwenye hio hoteli alijikuta anatoka na Eploni ya kazi,..

    "heeee sasa hii Eploni ni ya nini huku"

    "ayaaa, nimesahau..."

    "irudishe mi nakusubiria"

    "hapana we tqende tu"

    Mama sarah kawasha gari kisha haoo wakaelekea kwa chidi,.. Lakini chidi aliomba gari iharibike ili safari iishie hapo hapo, mana ile nguo kule hajaificha wala nini,... Tena mbaya zaidi zimeanikwa kwenye kamba moja, sasa itakuwaje...

    Chidi alikuwa anawaza sana jinsi itakavyokuwa kule ndani...

    Walifika nyumbani kwa chidi... Yaani chidi alitamani awe wakwanza kuingia ndani kwake,.. Sasa mbaya zaidi hata mama nae ana haraka ya kuondoka zake yaani kaja kuichukuwa tu hio nguo yake, kana kwamba hata chidi hana haja ya kuingia huko,.. Japo funguo anazo mwenyewe,..

    Chidi alifungua mlango huku mama sarah akiwa nyuma yake, kana kwamba akifungua tu, mama yupo ndani mana hata yeye ana haraka... Chidi alifungua mlango na mama kaingia ndani tena kwa haraka haraka mno

    Chidi alibaki kashika kichwa, atajibu nini kama ataiona ile chupi ya sarah, na licha ya kuiona tu bali anaweza hata kuijua mana ni chupi ya mtoto wake, ila chidi hajui kama sarah na mama huyo ni kitu na mtoto wake...



    Mama sarah yeye alikuwa anawahi kuchukuwa nguo yake ya ndani ambayo aliiacha toka jana, hivyo leo aliamua kuipitia,... Lakini kule kulipowekwa nguo ya mama hio bado kuna nguo nyingine tena ya mschana wa haja, Kawaida ya mashoga mamy hua hawapendi vijogoo vyao (viserengeti boy) viwe na wasichana wengine, yaani wanataka wawe wenyewe tu katika swala la mapenzi,.. Mana unakuta mama anamgharamikia kijana wake, kumbe kijana huyo huyo anamaliza pesa sehemu nyingine, yaani wamama hawa wapo tayari kukupiga hata risasi mana kaona kama unacheza na akili yake, bado unacheza na pesa zake, yaani yeye anakupa pesa afu wewe unampa mwingine, heeee atauwa mtu siku hio... Na hicho ndicho anachokihofia kijana chidi, anaogopa mama huyo atajua kuwa chidi ana mschana mwingine,.. Na mbaya zaidi mschana mwenyewe ni mtoto wa huyu mama, ila hakuna anaejua hilo...



    Sasa chidi kufungua tu mlango mama kapita mbio kuelekea bafuni kuchukuwa nguo yake, chidi alishindwa kumfatilia kwa nyuma mana angeshtuka zaidi, hivyo wacha aende aone afu atafute uongo, mana Mashalah wanaume tumejaaliwa kwa uongo, yaani piga ua ukiwa na demu asilimia 80 ya maneno ya mwanaume huwa ni uongo, hivyo wadada mna kazi ya ziada kwa kuupokea uongo wetu,... Mtanisamehe ila ukweli ndio huo..

    Sasa ile mama anakaribia katika mlango wa bafu mara simu yake iliita,... Kucheki alikuwa ni mtoto wake sarah, ikabidi apokee simu hio, sasa hio nafasi chidi akaitumia kuingia bafuni na kuitoa ile chupi ya sarah, akaichomeka kwenye mfuko wa Eploni (nguo ya kazi) ambayo alitoka nayo kule hotelini,... Kisha akajifanya kaingia kunawa ili asishtukiwe alifata nini huko ndani,.. Mara mama kaingia na kuichukuwa nguo yake

    "yes imekauka.... Twende wewe mi nachelewa"

    Mama sarah alimwambia chidi kuwa waondoke mana wanachelewa.... Unajua pale wakati wanakuja, chidi alimwambia mama sarah kuwa, yeye anaenda kwa kaka yake atarudi baadae,.. Ila mama akamfosi aje huku afu atampeleka kule chidi anapopataka yeye,... Chidi hakupata hata nafasi ya kuweka ile nguo, ilibidi atoke nayo mana mama kamsimamia kwa haraka ili asimcheleweshe,... Basi chidi alipanda kwenye gari kisha, haoo wakaondoka zao..



    Chidi alifikishwa sehemu fulani hivi ambapo ni karibu na nyumbani kwa kaka yake, chidi hakutaka mama huyo ajue nyumbani kwa kaka yake, hivyo alishushiwa mbali kidogo, chidi akachukuwa toyo kisha akamalizia safari yake,... Alipofika getini alibonyeza alamu, Mlinzi alitoka akafungua mlango kisha chidi akaingia, mana anajulikana na sio mara ya kwanza kuingia hapo...

    Ikiwa ni mida ya saa moja kasoro hivi za jioni,..

    Katika nyumba hio hapo getini kuna kamera zilizopeleka sistimu mpaka ndani pale sebuleni, sasa jasmini na mdogo wake chidi ambae ni halima waliona kupitia kamera,...

    Chidi alimwona halima akimkimbilia huku shemeji mtu akifuata kwa nyuma kwa mwendo wa bata,.. UNAUJUA MWENDO WA BATA WEWE??? CHEZEA MWENDO BATA WEWE???...



    Sasa chidi akiwa kambeba mdogo wake, alikua akitoa macho kwa mwendo wa shemeji yake aliokuwa akija nao,.. Chidi aliinamisha kichwa chidi ili asionekane kuwa na tabia mbaya, tena shemeji alikuwa kavuta tabasam zuuri kabisa..

    "waaooo shem langu mambo"

    Alianza salamu ile ya kukumbatiana (Hugg) chidi alimweka mdogo wake chini kisha akamkumbatia shemela wake, lakini lilikuwa ni kumbatio liliompa shida kijana chidi, kawaida ya mikumbatio hua mwanamke anajitahidi kifua chake kisimguse mwanaume katika kifua chake, lakini kwa jasmini ilikuwa kama makusudi mno, mana hata jasmini hakuvaa nguo nyingi sana na wakati huo kaka mtu alikuwa bado hajaja kutoka kazini...



    Chidi alijibandua katika mwili wa shemeji yake, mpaka jasmini alitaka kuanguka, mpaka hapo tunasema jasmini keshampenda kijana chidi, sema anashindwa kusema mana chidi akikataa itakuwa ni aibu kwa jasmini,..

    Basi waliingia ndani, kisha jasmini akampigia mume wake simu kiwa chidi amekuja

    "haloo baba king"

    "eee halo mke wangu"

    "mdogo wako kaja"

    "weeeeee acha utani"

    "ndio... Kaja sasa hivi"

    "Ok...sasa malizana nae, we mwambie tunataka aishi hapo, mimi nitachelewa kidogo, lakini hakikisha anakubali kuishi hapo"

    "sawa mume wangu, ila hicho chuo tunachotaka kumpeleka vipi umeshakipata"

    "aaahhh tayari na kulipa nimeshalipia kwa mwaka"

    "safi sana, sasa we niachie mimi"

    Aliongea jasmini huku akijigamba kwa hali na mali, ila wakati huo alikuwa chumbani kwake...

    "sawa mke wangu"

    Simu ilikata kisha mama king alianza kuangalia baadhi ya nguo za kuvaa vizuri, kana kwamba hizo alizovaa sio heshma mbele ya shemeji yake...



    Wakati huo kijana chidi alikuwa akicheza na mdogo wake pale sebuleni, yaani halima akimuona chidi anafurahi sana mana anamjua kuwa huyo ndio kaka yake aliokuwa akimuona miaka yake yote, ila Ibrahim alikuwa akimsikia tu kwasababu Ibrahim aliondoka wakati halima ni mdogo sana,..

    Wakati huo huku kwa jasmini aliingia bafuni kisha akaoga na kutoka, lakini cha ajabu alizivaa zile kanga za mama saimoni, zile kanga za kimaskini afu mbaya zaidi ile nguo ya ndani alioga nayo na hajaikamua wala nini, hivyo alivyotupia ile kanga iliokuwa nyepesi mithili ya mtandio,... Ile kanga ilimganda mwilini kutokana na maji maji ya mwili, chidi hakuamini kuona shemeji yake akiwa katika hali kama hio... Chidi anakumbuka siku ile alilazwa chumba gani,.. Alipokumbuka hilo hakuendelea kukaa hapo mana hata hivyo asingeliweza kuondoka kwakuwa tayari ni usiku,..

    Chidi alienda chumbani kwake moja kwa moja mpaka bafuni, mana nyumba za kitajiri hua kila chumba kina bafu lake na choo chake,.. Chidi alioga fasta kisha akatoka na kujifuta maji, mara shemeji alikuja tena

    "shem mbona umekimbia pale na nilikuwa nataka kuandaa chakula"

    "haina shida, kikiwa tayari nitakuja, au utamwambia house girl aniletee huku"

    "sawa... Ila ni maagizo kutoka kwa kaka tako"

    "maagizo gani tena"

    Sasa jasmini akakaa kwenye kisofa kilichopo chumbani gapp tena akiwa kavaa vile vile, tena huenda hata pale kwenye sofa atapaweka maji, mana chupi ilikuwa mbichi sana,.. Yaani alizidisha mitego...

    "kaka yako anataka uishi hapa"

    "ati nini"

    "chidi, msamehe kaka yako, anaomba radhi juu yako"

    "siwezi, nina chumba changu hivyo kuishi hapa ni ngumu"

    "chidiiiii, kumbuka huyu ni kaka yako eti, kwanini una hasira na damu yako, kama angelikuwa anakuchukia asingekutuma ukamlete halima"

    "ni kweli, mimi sikatai ila nuna chumba changu"

    "tafuta mtu akae huko"

    "hapana... Siwezi"

    "chidi... Mimi ni nani wako"

    "shemeji yangu"

    "naomba uniheshim kama shemeji yako"

    "sawa nakueshim shemeji yangu, ila hilo swala la kuishi hapa kiukweli sidhani"

    "naomba,.. Please kwa niaba yangu naomba uishi hapa"

    Shemeji mtu alitoka pale na kwenda alipokuwa chidi, tena ni kitandani,

    Lakini kabla hajafika kwa chidi, ghafla mlango uligongwa, Jasmini akamwambia chidi kuwa

    "muulize ni nani"

    Chidi nae hakunyamaza, aliuliza kama alivyoambiwa,

    "nani"

    "joy... Kaka chakula tayari"

    "sawa nakuja"

    Chidi alimaliza nafasi yake ya kuuliza kisha akamuuliza jasmini kuwa

    "huyo joy ni nani"

    "ni house girl.... Vp ushampenda"

    Shemeji alimuuliza kwa mtego mtego,

    "bado sijamuona, so nikimuona naweza kumpenda mana hata mimi ni mwanaume"

    Jasmini kuskia hivyo alisisimkwa na mwili mzima,.. Huku macho yake yakifumba kiuchokozi,..

    "basi mi nakuletea mwenyewe hicho chakula,.. Tena ngoja nikufutie meza"

    Jasmini alianza kufuta meza ile ili akalete chakula, lakini huo mtindo aliokuwa kainama, ulikuwa unamtesa sana chidi, chidi alikuwa akijifanya anachati lakini akili inamnyooshea kule kule tu,...

    Chidi alijifunika mpaka blanketi ili tu asiangalie, jasmini alipoona hivyo alimfuata chidi pale pale huku akimwambia

    "shem kuna kitu nataka nikuambie"

    Aliongea jasmini huku akiwa juu ya kitanda,... Kiukweli jasmini alikuwa anataka kugusa asali yake hata sasa hivi yaani kama ni kumuwasha, hakiyamungu vile jasmini zinamuwasha haswa,...

    Sasa chidi akaamka na kukaa huku shemeji akiwa kwa pembeni,..

    "Enheee, unataka kuniambia nini"

    "inaonekana wewe sio rijali shem... Tena Utakuwa mgonjwa wa naniii"

    Jasmini aliongea huku akiangalia chini kwa aibu ya maneno alio yaongea mbele ya shemeji yake,... Sasa chidi kabla hajamjibu, akaona ile kanga imefunuka kidogo na ile chupi ikaonekana,... Heeeee kiugonjwa cha chidi,.. Saa Ngapi zakaria haijaanza kushtuka huku chini... Chidi akaishika kisha akataka kujifunika tena blanketi... Lakini kabla hujajifunika,.. Jasmini alilishika lile blanketi kisha akasema

    "lakini shem si nimekuuliza jamani, nijibu basi niende"



    Ama kweli manfongo kaleta balaa, na sio kitu cha uongo bali ni kweli hii ni Hainaga Ushemeji,... Jasmini alipomwona kijana chidi kwa mara ya kwanza kule stendi alitokea kumpenda ghafla tu, hivyo alikuwa anatamani aishi hapo nyumbani ili ile nyimbo ya Hainaga Ushemeji ichukuwe nafasi yake,.. Na Jasmini alikuwa ni mwanadada aliojaaliwa kwa namna zote, sio shepu sio sura vyote vipo sawa, Kijana chidi yeye alikuwa akimueshim sana Shemela wake, ila kama shemela ndio analeta swaga za Hainaga Ushemeji, basi hana budi kukubaliana nalo ila kwa maringo ya kijana chidi sidhani kama jasmini atafanikiwa kuwa na shem wake,.. Jasmini alimtega kishemeji chake hicho lakini kama vile alikuwa anagonga mwamba, hivyo akaamua kutumia njia ya kumzarau kupitia viungo vyake, mana asilimia kubwa ya mwanaume alie rijali haswa, hua akiambiwa hana nguvu au anazo lakini hawezi kuzitumia, hua inamuuma sana mwanaume, lakini mbali na hayo kijana chidi yeye akiambiwa kuwa yeye sio rijali hua anakasirika sana yaani hata kama ni dada yake yupo tayari kufanya nae mapenzi ilimradi tu asimzarau,..



    "lakini shem si nimekuuliza jamani, nijibu basi niende"

    Aliongea jasmini au mama king, na wakati hua alikuwa akiangalia chini kwa aibu huku chidi akimwangalia sana shemeji yake,...

    "ndio, mimi sio rijali, kwani vipi"

    "aahhh basi nilitaka tu kujua, lakini we muongo"

    Jasmini aliongea hivyo kisha akawa anaamka kwa mitego huku akijibinua binua kimapenzi,.. Chidi alikuwa akiumia lakini atafanyeje ni shemeji yake hivyo hawezi kufanya kitu,..

    Sasa jasmini alipokuwa anajifunga kanga vizuri, alikuwa akifanya kusudi kumwonyesha chidi chupi yake,... Chidi alijifunika blanketi kabisa huku zakaria yake ikiwa imesimama haswa,.. Sasa jasmini kuona chidi kajifunika na hakuwa akiona kinachoendelea,

    "huyu mtoto nikimlegezea simpati, na hivi kalivyo kahensam hivi, nikikaacha nitapata dhambi afu mwenyewe keshasema akimuona House Girl atampenda tu, sasa kabla ya House Girl kwanza nianze mimi.... Naomba tu mume wangu asije sasa hivi"

    Jasmini alijisemea kimoyomoyo huku akikisogelea kitanda cha chidi,... Yaani jasmini hakuwa na subira hata chembe,.. Sasa jasmini kuina chidi alikuwa haoni kwasababu alijifunika blanketi, jasmini alimdandia chidi mgongoni kisha akamuinamia pale shingoni na kumwambia chidi kuwa

    "mimi ni shemeji yako tu,... Mimi ni halali kwako hata kama nimeolewa na kaka yako,.. Nakuruhusu ufanye chochote katika mwili wangu,... Sheeeeeeemm, Naomba tuishi wote kwenye hii nyumba, please,.. Mi nataka chupi yangu ivuliwe na watu wawili tu, wewe na kaka yako tu basi"

    Alipomaliza kuongea, alilifunua blanketi kwenye kichwa kisha akamwingizia chidi ulimi wa skioni

    "sssiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Aiiiiiiiiiiiiiiii"

    Chidi alipiga ukelele wa utamu kwa kuingiziwa ulimi wa skioni,..

    "pole shem wangu"

    Aliongea jasmini huku akiwa kakaa juu ya mgongo wa chidi, na hata chidi hisia za maprnzi zilianza kumuingia, mana mpaka kukubali kukaliwa juu ya mgongo na shemu wake,... Jasmini alikuwa ana makalio malainiiiiii kana kwamba hata chidi alikuwa akijiskia furaha sana kwa kukaliwa mgongoni,...

    "shem"

    Aliita kijana chidi, kana kwamba alimuita jasmini tena kwa upoleee

    "abeee shem"

    "naomba uondoke muda huu"

    "kwanini lakini shem, kwanini hujui anaekupenda"

    "wewe ulishapendwa na kaka yangu"

    "sawa sikatai, lakini nahitaji utamu zaidi ya kaka yako,... Nimeona kuliko nitoke nje, bora wewe, mana hata kaka yako akifa wewe si ndio mrithi wake au?"

    "kwa leo sitaki labda siku nyingine"

    Chidi alionekana kukubali lakini sio kwa siku hio

    "Eti eee,... But swala la kuishi hapa vipi"

    "nitakuwa nalala tu, ila asubuhi nitaondoka zangu na kurudi jioni"

    "ok... But kuna chuo tumeshakutafutia, kama vipi ukasome"

    "Ati nini?? Yaani mimi nimeshajua hela leo unipeleke chuo"

    "mmmhhh hio ya chuo ni ya kaka yako, yangu ni kunikubalia tu, hivyo kwangu umekubali sasa kwa kaka yako ukubali usikubali mtajuana wenyewe.. Ngoja nikuletee chakula baby"

    Jasmini aliongea mengi kisha huyoo akaenda kuleta chakula,.. Lakini jasmini alikuwa na furaha kubwa sana juu ya kukubaliwa kushiriki tendo la ndoa na shemeji yake....



    KESHO YAKE MIDA YA SAA MOJA HIVI ASUBUHI



    Chidi akiwa anakunywa chai na kaka yake katika meza moja,

    "chidi mdogo wangu, binafsi naomba unisamehe kwa yale niliokufanyia kipindi cha nyuma, najua nilifanya vibaya sana kutokukujali kama ndugu yangu na hatimaye nikakufukuza mpaka kazini,nisamehe ndugu yangu"

    Ibrahim aliongea mengi sana kwa kumuomba msamaha mdogo wake

    "mimi mbona nilishakusamehe muda tu"

    "nashukuru sana, na kwa sasa nataka uende chuo"

    "kwa upende wa chuo mimi siwezi kwenda, kwasababu tayari nimeshajua jinsi ya kutafuta pesa, hivyo sintoweza kusoma, mtapoteza pesa zenu tu"

    "kwani kwa sasa unaendelea na kazi gani"

    "bado nakaanga chipsi"

    "hio kazi haikufai chidi,... Nataka nikakuweke ofisini kwangu, uwe badala yangu mimi"

    "jambo kama hilo linahitaji kufikiria zaidi kwasababu tayari nimeshapata kazi tena ndio nimeanza jana tu"

    "ok, wewe endelea na kazi yako, kama kusoma hutaki, ila jambo la kufanya kwa sasa ni kuja karibu yangu, kwenye kampuni yangu kuna nafasi moja ya juu, na hio ni spesho kwa ajili yako"

    "nahitaji kufikiria sana"

    Basi kaka na mdogo mtu wakiwa wanabadirishana mawazo ya hapa na pale kwa ajili ya maisha yao ya baadae japo Ibrahim tayari keshafanikiwa kimaisha,...

    Chidi aliondoka zake kuelekea kazini, kwani yeye anaruhusiwa kuingia saa mbili asubuhi, ila wengine hawakupewa ruksa hio, na nafasi hio chidi alipata kwasababu aliletwa na boss, yaani kaletwa na mama sarah, hivyo akapewa nafasi hio pia kutokana na uprofesheno wake,.. Mana kijana chidi tayari keshakubalika katika hoteli hio baada ya kukaanga chipsi nzuri kwa mara ya kwanza.. Chidi alifika kazini na kuweka Eploni yake mahari na kuendelea na kazi



    Tukija huku kwa mama sarah akiwa yupo njiani kuelekea moshi na siku hii ya leo alikuwa peke yake katika gari, kama unakumbuka mama sarah alishindwa kuitumia njia ya kwanza ya kuweza kuzipata mbegu za kijana chidi, hivyo anarudi kwa mganga ili apewe njia nyingine..

    Mama sarah alikuwa na mawazo mengi sana juu ya kumkosesha chidi nguvu zake na yote hio ni kwasababu aliahidiwa bilioni moja kama atafanikiwa kuifanya kazi hio,..

    "chidi wangu, utanisamehe sana mana nimekuja mjini kwa ajilo ya pesa,.. Naangalia pesa kwanza, mapenzi baadae"

    Mama sarah aliongea hayo akiwa peke yake,..

    Dakika kadhaa mbele mama sarah ndio anaingia kwa mganga tena akiwa ana shauku ya kuijua hio njia ya kufanya ili aweze kuipata hiyo bilioni moja,....

    "karibuuuuuuu"

    Aliongea maganga huyo huku akimwandalia mteja kiti chake



    Tukija huku hotelini kwa akina miriam, chidi akiwa yupo ndani jikoni akiwa anapiga stori na rafiki yake saidi,..

    "ivi saidi umefikaje hapa, mana hii hoteli ni kubwa katika jiji hili afu ghawtu upo huku"

    Chidi alimuuliza rafiki yake kuwa kufika fikaje hapa

    "unamuona yule mama boss mwenyewe"

    "aaahh yule mama"

    "Enhee uyo uyo... Kanikuta siku moja pale kijiweni tulipokuwepo pale kwa kaka yako"

    "Enheeee"

    "mama kaonja chipsi nilizokuwa napika.. Mana ulivyoondoka wewe mimi ndio nikawekwa pale,.. Mama kuonja radha ipo vizuri,... Akanivuta huku, nikamuacha kaka yako peke yake, ata sijui alimwajiri nani pale"

    "duuuuu saidi una zari wewe"

    "oohhh lakini we hujaniambia umekujaje hapa"

    "We acha tu, kuna jimama limenipenda ambae ni boss mwenzie na huyu boss wa hapa,.. Unakumbuka hata vile vitu vya ndani siku ileee"

    "Eeeeeeee nakumbuka"

    "yeye ndio alininunuliaga na kunipa pesa ya chumba, ambacho wewe ndio ulikitafuta mwenyewe"

    "nakumbuka sana tuuu"

    "basi huyo ndio kanileta hapa,.."

    "huyu mama ana mtoto mkali, Heeee yaani ukimuona tu unasisimkwa, na hapo hajakugusa"

    "ah ah saidi, fanya kazi kwanza wanawake achana nao"

    "eeeee kwani naweza kumpata sasa?"

    "najua huwezi lakini mawzo yatahamia huko"

    "usiwaze chidiiii, hapa ni MALENGO MBELE, STAREHE MWISHO"

    "umeona eeee.... Afu side, usiniite chidi, nimebadili jina hapa naitwa Omary"

    "Heeeee Tena,... Ahahahahahaha au kuna mtoto nini hutaki akujue"

    "amna,... Sema broo alishawahi kuniambia nikiajiriwa mahali nisipenda kutaja jina halisi"

    "aina noma Omi"



    Sasa huku kwa miriam, akiwa anamuuliza mmoja kati ya wahudumu

    "weeeeee eti yule mkaka mgeni yupo wapi"

    "si atakuwa yupo jikoni"

    "aahhh Ok sawa basi"

    Miriam haijulikani alikuwa anamtafuta chidi wa nini,.. Wakati huo kijana chidi yeye alikuwa anapiga stori huku chipsi zikiendelea kuiva katika jiko,...

    "skia bwana Omi, mfano we umepata jimama kama hilo,... Ivi usikute unaliangalia tu"

    "sasa wataka nifanyeje"

    "mchuneeeee, fanya maisha wewe, hawakawii kuwatema pale anapopata mwingine"

    Sasa wakati huo chidi na saidi wakiwa wanaongea... Huku miriam alikuwa akija kumuona mpishi mkuu wa chipsi, japo ni mgeni lakini keshapewa kijicheo kidogo kidogo,.. Sasa kumbe nia yake alikuwa anataka kumpongeza kijana chidi kwa kuwa mpishi mzuri wa chipsi,. Hivyo alitaka kumpatia pesa kidogo,... Sasa ile anataka kuingia katika mlango wa jikoni huko alipo chidi, alikutana na mpishi mwinhine akiwa anatoka nje

    "we mkaka samahani, Omary yupo ndani uko"

    "aahhh Nadhani atakuwa bize sana"

    "aaahhh ok basi"

    Miriam alikata tamaa ya kwenda jikoni sasa akawa anarudi, ila alipoangalia kwa pembeni, alifanikiwa kuona Eploni ya kijana chidi, mana kila Eploni ina jina la mtu anaeivaa Eploni hio,...

    "nisha nisha... Naomba kalamu na karatasi"

    Miriam aliomba kalamu na karatasi kisha akaandika anachokijua yeye,... Alipomaliza aliifuata ile Eploni ya kijana chidi kisha akafungua zipu kwenye mfuko wa Eploni hio,.... Kumbuka kwenye Eploni ya chidi kuna chupi ya sarah ambayo kama unakumbuka aliichukuwa kule kwake na akakosa muda wa kuihifadhi mahali, hivyo akaja nayo huku kazini,... Sasa miriam ndio anakwenda kuiona...

    "aahhh kaweka nini humu"

    Aliongea miriam huku akikitoa kitu hicho

    "aaahhhh hiki kitambaa ni cha nini huku.... Heeeeeeee mbona ni chupi hiii"

    Aliongea kwa mshangao huku akichukuwa ile Eploni, na kuangalia ile chupi kama ni kweli ni yenyewe au macho yake

    "heeeeeeee... Afu mbona kama naijua hii, mungu wangu"

    Miriam alivuta kumbukumbu siku anaiona hio nguo ilikuwa hivi.... Wakati wakiwa na sarah kitandani, tena ilikuwa ni ule wakati wanafanya yale mambo yao ya kike kike, yaani walikuwa wanashea penzi wao kwa wao..

    "mmhhhh sarah chupi yako ina rangi nzuri"

    "bwana we miri, nivue tuendelee bwanaaa"

    Miriam alikumbuka kitu kama hicho,.. Sasa akawa anatafuta simu yake ili ampigie sarah kuhusiana na hilo..





    NATANGULIZA SAMAHANI KWA WAHUSIKA WALIOTAJWA HUMU...



    Sarah na miriam ni marafiki walioshibana haswa, yaani wanekuwa kama ndugu, kwani wanaishi pamoja mara kwa mara, licha ya kuishi pamoja pia wamesoma wote shule moja, iitwayo IRINGA GIRLS SEC SCHOOL, na baadae kufaulu mpaka kufikia Chuo cha Dodoma ( UNIVERSITY OF DODOMA (UDOM)..) na pia huko walisoma pamoja tena wakiwa bweni moja yeye na sarah wake,.. Lakini kama unavyojua mschana jinsi anavyokuwa basi hua ni muhitaji sana wa vitu vingi, haswa katika hisia za mapenzi,.. Lakini kule IRINGA kuna katabia flani hivi walitojana nako kwani hakukuwa na wavulana, bali ilikuwa ni shule ya wasichana tupu, nadhani inafahamika hio IRINGA GIRLS SEC SCHOOL, Katika kukua kwao walitamani sana kushea mapenzi na wavulana, but kutokana na kuwa walikuwa wakiishi bweni moja, basi kulikuwa na vishawishi vya hapa na pale, ambavyo viliwapelekea katika hali ya kusisimuana baina yao wenyewe, na kujikuta wanaingia katika moja ya tabia za kusagana



    Sasa baada ya wao kuanza tabia hio wakiwa shule ya sekondari tena ya bweni, hivyo walipofaulu wote kwenda UDOM walienda na katabia kao, hivyo kwakuwa kaliwanogea vilivyo, hawakuweza kutamani hata mwanaume, yaani mwanaume kwao ilikuwa ni sumu, tena walipokuwa wanawaona wasichana wenzao wakuwa na wavulana basi huwachukia sana,... Katabia hako walimaliza nako chuo mpaka kufikua uraiani, kana kwamba wameshahitimu elimu zao za vyuo vikuu,.. Kila mtu alisoma fani alioitaka yeye mwenyewe lakini kutokana na kazi za wazazi wao kuwa tofauti na fani zao, hivyo walijikuta wanaigilia fani ama biashara za wazazi wao,.. Miriam akawa Meneja, ama Keshia au Boss wa pili kutoka mama yake,.. Na kwa sarah napo kilikwenda hivyo hivyo kama kwa miriam,.. Lakini wawili hao bado hawakuweza kuachana kutokana na upendo wao na pia upendo wa wazazi wao ambao ni Agnes na Grace, nao pia walikuwa kama watoto wao jinsi walivyo kwa sasa,... Kwakuwa hata huku majumbani mwao walikuwa wanalala pamoja, hivyo kale katabia kalikuwa kanaendelea kufanyika, huku wakuwachukia wavulana, kana kwamba hawatoweza kuwapa raha kama wanaojipa wao wenyewe.... Tabia hio iliwafanya kila mmoja agundue kuwa leo mwenzangu kanunua chupi mpya, mana walikuwa wakivuana wenyewe,... Hivyo usishangae miriam kuijua chupi ya sarah mana walikuwa wakiishi kihisia wao wenyewe...

    http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    SASA TUENDELEE NA PALE TULIPOISHIA, KWANI HAKO KALIKUWA NI KASTORY, ILI UJUE KWANINI MIRIAM KAIJUA NGUO YA NDANI YA RAFIKI YAKE,... HIVYO NADHANI MPAKA HAPO HUTOKUWA NA MASWALI JUU YA HILO....



    "heeeeeeee... Afu mbona kama naijua hii, mungu wangu"

    Miriam alivuta kumbukumbu siku anaiona hio nguo ilikuwa hivi.... Wakati wakiwa na sarah kitandani, tena ilikuwa ni ule wakati wanafanya yale mambo yao ya kike kike, yaani walikuwa wanashea penzi wao kwa wao..

    "mmhhhh sarah chupi yako ina rangi nzuri"

    "bwana we miri, nivue tuendelee bwanaaa"

    Miriam alikumbuka kitu kama hicho,.. Sasa akawa anatafuta simu yake ili ampigie sarah kuhusiana na hilo..



    Miriam alikuwa akijisachi katika gauni lake refu ambalo ukiangalia sana utajua umbo lake lakini ukigusia jicho hutoweza kugundua umbo Amaizing la mtoto huyo,

    "aahhh lakini naweza kufanya kitu cha Kijinga,.. Mbona Omi ni mtoto wa kiume na hawezi kukosa mpenzi,.. Na nguo zinafanana, sasa kwanini niumize kichwa changu na wakati utakuta anampelekea mpenzi wake"

    Miriam aliongea hivyo huku akiirudisha ile nguo katka ule mfuko wa Eploni ya kazi,

    Hivyo miriam jagundua ile nguo ni sapraizi ya demu wa Omi,.. Sasa hivi chidi anaitwa omi, mana kabadiri jina baada ya kuingia katika hoteli hiyo...

    Miriam alipata maandishi mengine ya kujazia kwenye kile kikaratasi alichokuwa anamuekea chidi kwenye Eploni yake, huku akiwa kashika kitu kama laki mbili kama zawadi ya mpishi mzuri kuingia katika hoteli yao,... Ujumbe huo aliuambatanisha na pesa kisha akaiweka pale pale kwenye ule mfuko kisha akaondoka zake...



    Tukija huku kwa mama sarah, kama unakumbuka alikuja kwa mganga ili kupewa njia ya pili kwa ajili ya kupata mbegu za kijana chidi, mana kuna kijana anaetakiwa kurudishia nguvu za kiume kupitia mbegu au nye***e za chidi,....

    "Karibuuuuuuu"

    Aliongea mganga huyo huku akiandaa kiti cha mteja wake ambae ni mama sarah,... Mama sarah bila woga alikaa katika mkeka maalumu kwa ajili ya kukalia wateja,...

    "najua umekoseaaaaaaa"

    Aliongea mganga huyo huku akizungusha ule mkia wa ng'ombe,...

    "nd.. Nd.. Ndioo dokta"

    Alijibu mama sarah huku akiwa tayari kupokea njia ya pili ili kuweza kuzipata mbegu hizo,..

    "hujachelewaaaaaaa... Tena ni bora umewahi kuja"

    "ndio dokta"

    "sasa nisikilize kwa makini mama"

    "ndio dokta"

    "nakupa njia ya pili na ya mwisho kwako, na ukishindwa hii, basi apewe kazi mtu mwingineeeee"

    "sawa dokta, ila naamini sintokosea"

    "sawaaaaaaaaaa"

    Dokta huyo alikuwa ana vitu vingi sana, lakini mama alishangaa kuona boksi la kondomu likitua mbele yake,..

    "toa mwenyewe pakiti moja uiweke hapa kwenye chungu"

    Mganga alisema hivyo huku mama sarah akiingiza mkono katika boksi hilo na kutoa pakiti moja ambayo ndani yake ilikuwa na pakiti tatu za kondomu,..

    Mganga alianza kuziombea mabinzuluza yake ya hapa na pale, kisha akamwambia mama sarah kuwa aziokote na kuziweka kwenye mkoba wake... Mama sarah alifanya kila alichoambiwa na mganga huyo,

    "hizo kondomu, zina dawa maalum ambayo itafanya mbegu hizo ziwe za moto na zisiyeyuke"

    Aliongea mganga kwa kujiamini sana,..

    "mbona hujaweza hio dawa babu"

    "kwa wewe mwenye macho ya kawaida huezi ona, maana yake ni kwamba hata yete hawezi ona,... Na hizo dawa kazi yake ni kulinda hizo mbegu tu"

    "sawa babu,.. kwahio hizi kondomu avae"

    "Taireeeeeee... Avae ila anatakiwa avae mbili, mana akivaa moja ikipasuka utakuwa umekosa hivyo avae mbili"

    "lakini dokta, akivaa mbili atachelewa kutoa mbegu"

    "hata akae masaa kumi, kikubwa uzipate tu"

    "sawa dokta"

    "ondoka na usiangalie nyuma... Nakutakia mafanikio mema"

    Mama sarah aliondoka zake kuelekea Jijini Arusha,.. Ili aweze kupata Bilioni moja kwa ajili ya kazi hio



    Tukija huku Miras Hoteli, ambako chidi alikuwa akipiga stori na rafiki yake saidi,

    "wewe Omi wewe, utakula dhiki mpaka lini, eee? Kama kuna limama unalimiliki sasa kuna haja gani ya kuja kuungua na moto huku"

    Aliongea saidi, lakini chidi alikuwa hamuelewi anamaanisha nini,..

    "wala ata sikuelewi side"

    "sikiliza omi,. Mchune mama huyo nawe uwe nazo, hao wamama hawakawii kutuacha akipata mchapakazi kuliko wewe, anakuacha tena kwa matusi"

    "sasa wewe unalenga nini labda"

    "omba hela wewe... Au kama kuna kitu anakipenda sana kwako,.. Siku akikitaka Linga Linga mpaka akupe pesa"

    "mmmhhh afu kweli eeee"

    "Eeeehhh hao hawakawii kuacha, anakuacha atakuacha mtupu huna hata senti"

    "hilo wazo umelitolea wapi, mana kama limechelewa sana hilo wazo"

    "sio kwamba limechelewa, wewe kuwa makini na maisha, mjini hapa... Wanasema mjini akili, nguvu peleka kwenu"

    Chidi alijikuta anajazwa ujinga na rafiki yake, kitu ambacho kikikubalika ni kizuri lakini pia kikigoma, kitakuwa kibaya mno,



    Ilipofika mida ya saa 11 jioni akina chidi wakiwa ndio wanafunga jiko ili waweze kuondoka zao,.. Mana chipsi zipo kwenye kabati maalumu la kuzipa chipsi joto, hivyo wale wa shift ya usiku, watakuwa wanatoa tu Oda za chipsi mana zipo tayari kwenye kabati..

    Basi chidi akavuta Eploni yake ya kazi lakini leo alikumbuka kuiacha hio Eploni,.. Sasa wakati chidi akiendelea na mpango wa kutoa ile nguo kule ndani, kumbe Miriam hakuwa ameondoka na mbaya zaidi alikuwa akimuona kwa mbali kile anachokifanya kijana huyo,.. Chidi kuingiza mkono kakutana na vikaratasi vingi tu,. Chidi alishindwa kuelewa ni nani kamuekea karatasi hapo kwenye mfuko wa Eploni yake... Miriam bado anaangalia Action ya chidi inavyokwenda,..

    Chidi alitoa na kukuta kuna pesa nyingi lakini hakujua ni kiasi gani, lakini aliooangalia vizuri kulikuwa na ujumbe mmoja ila umeandikwa mara mbili,.. Yaani juu ni jambo lingine na chini ni jambo lingine, lakini kaandika kwenye karatasi moja,..

    Chidi aliweka Eploni yake huku akiondoka, lakini bado alikuwa na wasiwasi juu ya pesa hio alioikuta kwenye Eploni yake.. Sasa akiwa bado anatafakari pesa hio, mara Meseji imeingia kwenye simu yake,

    "soma huo ujumbe usiteseke bure"

    Chidi ndio alizidi kuwa na wasiwasi juu ya pesa hizo,... Na wakati huo chupi keshaiweka mfukoni kitambo tu, hivyo hio pesa ndio kimbembe,... Akaona mbona kweli anateseka bure na wakati kuna ujumbe hapo... Sasa ile anasoma tu mara simu yake ikaita,.. Kuangalia jina alikuwa ni mama sarah,.. Lakini ghafla simu zinaingiliana.. Kwenye Sikrini inaonekana mama sarah, lakini kwenye TaskBar ya simu inaonyesha jina la SHEM kana kwamba simu zimeingiliana, hivyo achague akate ipi au apokee ipi...





    Chidi akiwa anaumiza kichwa juu ya pesa ambayo aliikuta katika Eploni yake ya kazi, na wakati huo chidi bado hajui ni kiasi gani cha hio pesa ambayo kaikuta katika Eploni yake,.. Lakini Miriam alikuwa karibu akiwa anamfatilia chidi, ili ajue atafanya nini baada ya kuipata pesa hio,...

    Lakini punde sii punde chidi anapigiwa na mama sarah, kwa jinsi anavyompenda mama huyo, tena na vile alivyoambiwa na saidi jinsi ya kumchuna jimama, basi mpaka muda huo alikuwa anawaza mama sarah angelimpigia saa ngapi,.. Lakini pia kabla hajapokea simu hio, ghafla ikaingia simu nyingine ambayo ni ya shemeji yake,... Sasa akawa anaumiza kichwa ampokelee yupi baina yao,



    "huyu shem hana swaga"

    Aliongea hivyo huku akimpokelea mama sarah,

    "haloo chidi mambo"

    "poa niambie mamy"

    "safi... Sasa chidi mi naja kwako leo nataka nilalie uko"

    "aaaaahhh mamy, leo nipo kwa broo wangu"

    "jamani sasa si uje jamani boy wangu"

    "ooohhh ni mbali mamy"

    "wapi huko mi nakuja kukuchukuwa"

    "Mamy tufanye kesho"

    "au chidi,.. Kesho nikuombee ruksa tuwe wote mchana"

    "mmmhhh sawa mamy"

    Chidi alikubali kuombewa ruksa ili ashinde na mama sarah mchana kutwa,..

    Basi chidi na mama sarah walikubaliana kesho watakuwa pamoja,..

    Chidi alikata simu kisha akawa anaondoka taratibu,.. Sasa kumbe alisahau kama kuna kitu cha kusoma,.. Ikabidi atoe kile kiujumbe na kuanza kukisoma



    "NAKUPONGEZA KWA KAZI NZURI, HAKIKA UNAIWEZA KAZI"



    huo ndio ujumbe wa kwanza kuandikwa, lakini alipoona kuna nguo ya ndani pale kwenye mfuko, ikabidi aandike tena kwa chini yake



    "ZAWADI UNAYOMPELEKEA NIMEIPENDA NZURI, BUT MSIACHANE"



    chidi alizidi kuumiza kichwa ni nani alioandika hivi,.. Ghafla anakumbuka kuna namba ilimtumia meseji kuwa asome huo ujumbe,.. Aliitafuta hio namba kisha akaipiga, lakini haikuwa ikipatika tena,... Na ile namba ilikuwa ni namba ya ofisi, yaani haikuwa namba ya miriam,.... Kwa hasira aliifuta kabisa mana haipatikani na hata ukituma meseji haiendi,

    Chidi alikumbuka kwenda kuiweka ile nguo ya sarah geto kwake, ili asije akaenda nayo kule kwa kaka yake Ibrahim,.. Hivyo akaenda geto na kuiweka afu akachukuwa toyo mpaka kwa kaka yake,

    Wakati huo mke wa Ibrahim alikuwa akimsubiri sana shemeji yake, na ukumbuke kuwa kuna muda alipiga simu ila hakuipokea, maskini jasmini kafia kwa shemeji mtu, yaani anampenda kuliko maelezo

    "waaooooo sheeeem mambo"

    "poa nambie"

    "safi tu"

    Wakati huo jasmini alikuwa kavaa dera lainiii afu limembana kiasi flani katika mwili wake, sasa ukilinganisha na hilo umbo lake, huwezi kuchoka kumuangalia jasmini alitaka denda kwa chidi lakini chidi alimkwepa na kukataa

    "nini tena shem"

    Aliongea jasmini huku akiwa kama anashangaa, mana jana walikubaliana leo, sasa iweje anamkwepa,...

    "tulia kwanza shem"

    "chidi jamani, si unajua kaka yako hakawii kuja, saa hizi ni saa moja hii na yeye anakuja saa nne au saa tatu, so please twwnde bwana"

    Aliongea jasmini huku akimpapasa chidi kifuani kwake, jasmini alikua akizichezea gaden Love za chidi... Basi chidi taaratibu alianza kulainika huku akiingiziwa vidole vya maskioni,...

    "sasa shem"

    Aliongea chidi huku akimgeukia jasmini

    "abeee shem"

    "Halima"

    "halima ana nini"

    "yupo wapi"

    "aahhh tayari nimeshamlaza kitambo sana, leo sikutaka hata kumuona hapa sebuleni"

    Jasmin alipomaliza kuongea hivyo, alimsukuma chidi mpaka kwenye sofa,.. Na wakati huo chidi kawa mdebwedo, kwa kushikwa shikwa na shemeji yake,.. Chidi akahisi akizubaa tu anaweza kutoa wazungu muda sio mrefu.. Mana jasmini alikuwa anagusa zile sehemu zenyewe zenye akili chafu,...

    Chidi alimbeba jasmini pamoja na umbo lake mpaka kitandani na kumtupia huko,.. Chidi anajua cha kufanya,.. Alilivua lile dera huku akiitamani chupi alioivaa jasmini, siku hio jasmini kama vile alijua kiwa hisia za chidi zinaamshwa na chupi tu, na wala sio uchi, yaani akiona tu hio nguo, yaani hata kubaka anaweza kukubaka,... NA NI KILA MTU NA HISIA ZAKE, KUNA MTU AKIONA UNYAYO WA MWANAMKE TU, YEYE HOI... MWINGINE AKIONA PAJA TU, ANATAMANI KUBAKA YANI, KUNA MWINGINE ANAPENDA SHINGA TU, HATA UWW MZURI VIPI KAMA HUNA SHANGA NENDA KWENU



    Sasa kwa kijana chidi yeye ni chupi tu ndio inayompa kiwewe,.. Chidi alianza mambo yake ya kitandani, yaani haka kitoto ni kadogo lakini mambo yake, mmhhh utafikiri ni mzee kumbe walaaa, mautundu yake tu ndio yanayomchanganya mtu,... Wakati huo chidi hana muda wa kuhangaika na kufuli la jasmini,... Yeye alikuwa anacheza na kifua cha shemeji yake, huku vidole vyake bikiwa vinafanya kazi huku chini ya chupi,.. Jasmini ni mwanamke aliojaaliwa sauti taamu ya mahaba, hivyo hapakuwa kimya kitandani hapo bali palitawaliwa na sauti za milio ya kimapenzi tena ile ya kweli,... Yaani jasmini alikuwa akijigeuza geuza bila hata ya kuambiwa, Mchupi wke wa pinki ulishaanza kuloa kana kwamba mtoto yupo tayari kwa kuingiliwa, lakini chidi hua haangalii hilo,.. Jasmini alikuwa ana shanga kama tatu hivi kiunoni,.. Hizo shanga ndizo zilizomuhukumu jasmini mana chidi ni mzuri sana katika swala la kuzichezea shanga hizo,.. Hivyo jasmini alijikuta hata macho hayaamki, miguu yake ilishaanza kutetema kama kitoto kichanga,... Wakati huo chidi nae kabakiwa na boxer peke yake,

    "chidi basi bwana, nichomeke hilo dude lako"

    Jasmin aliongea kwa sauti ya juu kana kwamba amesikia raha mpaka imekera, mana ili utamu utimie, basi ni lazima zakaria ifanye kazi yake...

    Chidi bila hiana, aliivua chupi kiufundi zaidi huku ikiwa imeganda pale kwenye buyu la asali,.. Yaani hata ilipokuwa ikitolewa jasmini alikuwa anajiskia murua kabisa... Baada ya hapo chidi hakumchelewesha, kitu ya kaka yake, leo anakula na yeye, jamani jamani mashemeji mna huruma nyie, AHSANTENI kwa huruma zenu



    Tukija huku, kwa mama sarah alikuwa akimpigia simu boss mwenzie ambaye ni mama miriam...

    "haloo mama miriam habari yako"

    "salama mama sarah mzima wewe"

    "mimi mzima... Sasa mama miriam, nilikuwa nina shida na yule kijana, angalau lisaa limoja tu"

    "kijana gani tena"

    "yule niliomleta juzi"

    "aahhhh ok, sasa kwanini asingekuja asubuhi aapike chipsi kwanza kisha aje"

    "aaahhhh, sawa kama ni hivyo lakini itakosti kidogo"

    "mama sarah, naomba aje saa nne, apike kwanza chipsi ndio umuite, yaani hata ukae nae masaa matano lakini awe tayari kesha andaa chipsi kabatini"

    "ok sawa basi wacha nimsubirie"

    "sawa mama sarah, usiku mwema"

    "nawe pia"

    Basi chidi aliombewa ruksa ya masaa kama matano hivi akutane na huyo mama kisha atarudi,.. Hapo chidi kaombewa majanga



    Tukija huku kwa akina sarah na rafiki yake miriam wakiwa ndani chumbani, Sarah kama kawaida yake akija kwa akina miriam, anajua tu kaja kufanya kale kamchezo kao, japo sarah kwa sasa ana mpenzi na huo mchezo hautaki tena, ila kwakuwa miriam hana mpenzi, hivyo sara anakuja kumridhisha rafiki yake,...

    "miriam bwana, vua basi mi nataka nilale"

    Aliongea sarah wakati wapo wote kitandani,

    "weeeee ishia hapo hapo,.."

    Aliongea miriam kana kwamba hataki tena mchezo huo

    "heeeee kulikoni tena shost"

    "sitaki tena huo mchezo, for now nina mpenzi"

    "Whaaaaaat"

    "nini sasa, kwani ajabu mi kuwa na mpenzi"

    "ni ajabu tena kubwa,.. Wewe leo umependa wewe au unantania"

    "sarah, unajua maisha ni safari, na kila safari haikosi kituo,.. Kiukweli nina mpenzi japo hajui kama nimempenda, so nataka nimtunzie huu utamu"

    "heeeeeeeeee, Maaakubwa ya jongo mie"

    "mnona we unae lakini sishangai"

    "ok fine,... Sasa kwanini usimwambie tu ukweli"

    "mhhhhh sarah, naogopa eti"

    "heeee sasa unaogopa nink, au niambie ni nani nikuseidie, mana najua hata kitonhoza huezi"

    "ni kweli siwezi, lakini kutokana na wadhifa wangu, naogopa kumtaamkia"

    "kwani anafanya kazi gani uyo boy wako"

    "MUUZA CHIPSI tu"

    "Boooooooooo yaani na akili zako zoooote na pesa zako zooooote unadiliki kumpenda MUUZA CHIPSI??? Ama kweli mapenzi ni upofu, yaani kapurwa namna hio unampenda"



    Tukija huku kwa akina chidi na shemeji yake wakiwa wanakula raha za mapenzi, jasmini si kuchoka gani huko,... Na chidi alivyo na makusudi hakuvaa hata kondom alimgonga shemeji yake kavu kavu,... Sasa wakati huo sarah kajiachia kitandani, kakaa staili ya kutamanisha kinyume na maumbile, chidi alimsogelea na kumbusu makalio yake makubwa afu malainii, huku akiyapiga piga kibao, wakati huo jasmini hajui hili wala lile, kumbe mwenzie keshampenda zaidi, kuliko yeye, chidi alianza kuleta matani ya kujifanya anaingiza zakaria maeneo hayo, lakini cha ajabu jasmini alikuwa ametulia tu kimyaa,... Tena ndio kwanza alokiwa anajitega vizuri

    "heeee ina maana shem anafanyiwaga kinyume na maumbile"

    Chidi aliongea kimoyomoyo huku akiendelea, na kilichomshawishi chidi ni ulalaji wa jasmini, ndio uliomtamanisha chidi hadi kujikuta anazua tabia asioijua na pia hajawahi kuifanya,..

    "sheeeeem bwana acha"

    Jasmini alikuwa kalegea lege, yaani chidi akiweka zakaria yake pale maeneo ya 0714 jasmini anatoa, chidi akawa anadundisha dundisha kichwa pale pale kama vile anadundisha mpira,.. Jasmini anaskia raha, chidi akajaribu

    "uuuuwiiii... Sheeeeem kumbe una tabia mbaya"

    Aliongea jasmini huku akimrembulia shemeji yake,...

    "kidogo tu"

    "akuuuuu, staki"

    "kidogo shem... Unajua una umbo zuti huku"

    "bwana shem kama hujatosheka tuendelee huku huku mbele"

    "No... Mi naomba kichwa tu"

    Chidi alijikuta ananogewa na sehemu hio bila kujua uhatari wake

    "Siwezi kukunyima shem wangu, ila naogopa kuumia, naskia vinaumaga eti"

    "No, sio sana bwana, afu sema nitaingiza kiufundi"

    "Eti eee.... Afu niliwahi kuskia kwa shosti kuwa eti ni vitamu, ila nilikuwa naogopa kumwambia kaka ako aninanihiiiiiii"

    Jasmini aliongea huku akijishika makalio yake

    Chidi alimgeuza shemeji yake, na kuanza kumruka ukuta

    "uuuuuuuuuuuuuuuuwiiii... Subiri kwanza shem"

    "nini tena... Jamani shem vitamu, please tuendelee"

    "vinauma bwaaaaaaa"

    "nikuambie kitu shem"

    "nini tena chidi"

    "lete mafuta ya mgando"

    "Eti eeee.... Ngoja basi nikalete, mana ushanionjesha"





    Katika ujinga namba moja, wanawake wanaongoza kiwa wajinga tena haswa kwa nchi zetu za Kiafrika, kwa takwimu zangu mimi kwa nchi za Afrika Mashariki kwa sasa Tanzania inaongoza kwa wanawake wanaofanya mapenzi kinyume na maumbile yao, yaani sasa hivi imekuwa kama torati ya tendo na mwanamke alivyo mjinga anashindwa kukataa eti kisa ataachwa na mpenzi wake,... Sasa wacha nikuambie siri ya sisi wanaume, kwa taarifa yako sasa wewe mwanamke, hua hatuoi mwanamke aliefanya mapenzi kinyume na maumbile yake, wanaume wengi tunapenda kuitwa baba, sema maisha tu ndio yanatufanya tusilifanikishe hilo ila tunapenda sana kuliko mnavyofikiria,... Hivyo mwanamke anaetaka kwenda leba hawezi kufanya ujinga kama huo, kuna hatari kubwa sana ya kumpoteza mtoto pale mwanamke anapojifungua,.. Sitaki kuingia ndani sana juu ya hilo, mana kuna watu wazima wanaisoma hii, kwahio sipendi kuweka wazi sana jambo hilo, ila kama utataka kujua zaidi nifate WhatsApp niulize swali lolote bado hapo sitaki kuingia ndani zaidi, itakuwa sio heshma, mana nikimdhalilisha mwanamke mwingine, ni sawa na kumdhalilisha mama yangu pia,.. Ila ukija WhatsApp nitakuambia....



    Sasa bas, hio ndio hatari namba moja ya mwanamke ambae anafanya tabia hiyo ya kichafu,.. Tukija katika upande wa dini, unaambiwa ni bora kutembea na wanawake miamoja (100) au kutembelewa na wanaume miamoja (100) kuliko kufanya mapenzi kinyume na maumbile yako kwa tendo moja,... Yaani wewe mwanamke kuliko kufanya mapenzi ya tigo, ni bora utafute wanaume miamoja (100) utembee nao kuliko kufanya hivyo unavyotaka kufanya,.. Kitendo hicho mbele za mungu ni kichafu kichafu zaidi ya kichafu, na unaambiwa kuwa shetani anawashawishi mfanye, na pale mtakapoanza kufanya yeye hayupo, anakimbia mana ni kitendo ambacho hakifai katika jamii na hata kwa shetani ni kitendo kibaya, ila anawashawishi mkikubali tu, yeye anaondoka na kutokomea zake, na ndio mana pale mnapomaliza huwa waliotenda wanajijutia kwanini wamefanya hivyo, wanajuta wakati shetani keshaondoka hapo ndio wanaona sio sahihi.... Wanawake punguzeni ujinga wa aina hii, huo ni ulimbukeni wa mapenzi, Na sisi hatuoi wanawake wa aina hio hata kama tumewafanya wenyewe, hatuwaoi ng'oooo mtabaki na vidonda vyetu mkizurula mitaani tu,.. Sisi wanaume tunaoa kutokana na tabia ya mwanamke sasa leo umeshaguswa huko mwanaume nani mjinga akuoe, atakuoa yule mwanaume asiokujua maisha yako na tabia yako, na akijua tatamani akuache au akaishi tu na wewe hio basi tu kishingo upande,... Kueni makini wanawake, kama mwanaume anapenda huko nyuma basi jua huyo hakupendi bali anataka kukudhalilisha katika jamii yako, na sio kila anaekuomba huko tigo kuwa anataka kweli, wengine tunawapima wakikubali kama wana misimamo au ndio wale wale, ukikubali tu hapo hapo anakudharau na anakufanya kweli hata kama hakuwa na nia ya kufanya,.. Lakini ukikataa, anaweza kuchukia kwa siku hio lakini kwenye akili yake anajua wewe ndio mke bora mana umekataa kitu kama hicho, lakini kwa akili finyu za wanawake mmejaliwa kukubali kila kitu,.. Jamani nyie ndio wamama zetu lakini tabia zenu sio sahihi, punguzeni jamaniiiiii, sisi tunawapima tu ila mkikubali hatuwaachi na hatuwaoi ng'ooo,... Sasa ngoja nikupe siri ya mwanamke ambaye yupo ndani ya ndoa na ana tabia hio,... Kwa wanawake ambao wapo ndani ya ndoa, afu wana tabia hii, hua inakuwa hivi... Wanawake waofanya hivi hua kwa asilimia 5 ndio wanafanyiwa na waume zao, lakini kwa asilimia 95 wanafanyiwaga na Mchepuko, maskini ya mungu unakuta mume hajui kama mkewe anafanyiwa kitendo ambacho sio kizuri, lakini akitoka anafanyiwa na Mchepuko ila mume hajui, kwasababu anaogopa kumwambia mume wake kuwa anatamani afanyiwe hivyo lakini hawezi,.. Alafu hapo hapo mume huyo huyo nae anapenda kufanya mapenzi ya tigo, ila ni kwa mke wa mwenzie sio yule wakwake, kwahio wanakutana wanandoa wote wawili wana tabia moja, lakini hawaambiani na wala hakuna anaejua kuwa mwenzie anapenda tigo,.. Sasa je? Swali linakuja kwenu nyinyi wanawake kuwa...

    Kama mchezo huo ni mzuri, mbona kwenye ndoa wanafichana? Na je ni kwanini jamaa kaoa mwanamke mwenye mapenzi ya tigo??.... Kumbuka pale juu nilisema kuwa, mwanamke huyo atakuja kuolewa na mwanaume ambae hajui maisha yake, wala hajui tabia yake.. Lakini sio yule aliokufanyia kitendo hicho, kamwe hawezi kukuoa, na akikuoa jua kuna kitu kimemfanya akuoe,... Eidha unaweza kuwa na mali nyingi, hapo hata ni mimi nitakuoa mana una chochote cha kunipa... Ila sio rahisi kwa yule anaetaka mke mwema na mwenye heshima ya ndoa,... Kwa taarifa yako utahudhulia ndoa za wenzako tuuu, ila ndoa yako utaihudhulia ndotoni peke yake, labda uolewe na dume lisiokujua....



    JAMANI SAMAHANINI SANA WADAU WANGU,... SIMULIZI ZANGU MIMI NAPENDA ZIKUBURUDISHE NA PIA ZIKUELIMISHE, HIVYO MTANISAMEHE KWA KUWEKA SPICHI KAMA HIZO, NA KIUKWELI SINTOACHA KUANDIKA SPICHI KWA KILE KIBAYA KILICHOPO MACHONI KWANGU... CHOCHOTE KILE KINACHONIUMA LAZIMA NIKIONGEEE...

    SASA TUENDELEE NA SIMULIZI LETU, ILA MNISAMEHE SANA WADAU WANGU



    "uuuuuuuuuuuuuuuuwiiii... Subiri kwanza shem"

    "nini tena... Jamani shem vitamu, please tuendelee"

    "vinauma bwaaaaaaa"

    "nikuambie kitu shem"

    "nini tena chidi"

    "lete mafuta ya mgando"

    "Eti eeee.... Ngoja basi nikalete, mana ushanionjesha"

    Aliongea jasmini huku akiamka na kujifunga kanga yake mana wapo chumbani kwa chidi,.. Jasmini aliondoka kwenda chumbani kwake kuchukuwa mafuta ya mgando ili aje waendelee na mchezo wao,... Chidi alishanogewa na kalio la shemeji yake, hivyo hakutaka kulitamani tu bali alitaka hata kulionja, na utamu wa sehemu hio kamwe huezi kuacha kwa yule muonjaji, tena haswa kwa wanaume kuacha ni ngumu yaani yupo tayari kutoa hata laki nzima ilimradi apate laini ya tigo mana ina vifurushi vinavyobana matumizi ya Internet,... Sasa huku kwa jasmini, ile anatoka tu mlangoni, kuangalia kwenye screen iliopo hapo sebuleni kwao, aliona gari ikiingia kule getini, mana kule getini kuna kamera ilionganishwa mpaka huku sebuleni hivyo mtu akigonga unamuona kabla hujarnda kufungua,... Hivyo Jasmin alimwona mume wake ambae ni Ibrahim, jasmini alirudi chumbani haraka na kuweka mafuta aliokuwa kayachukuwa kwa ajili ya kwenda kujipaka yeye na shemeji yake,



    Tukija huku kwa akina miriam na sarah, wakiwa wanaongea kuhusiana na wapenzi wao walivyo na mazingira magumu,

    "Sarah naomba tueshimiane sawa"

    Aliongea miriam huku akiwa kakasirika mana sarah alimwambia miriam kuwa, yeye na akili yake yoote, anadiriki kumpenda MUUZA CHIPSI, wakati hajui kuwa muuza chipsi huyo ndio huyo huyo mpenzi wake sarah ila hakuna anaejua kati yao,

    "heeeeeeee Eti sarah tueshimiane, wewe ulivyoniambiaga kuwa mi mpenzi wangu ni jambazi, we hujui nilikuwa naumia kiasi gani kwa kumuita mpenzi wangu jambazi"

    "sasa kwani ni uongo, huyo chidi wako si jambazi"

    "na wewe huyo MUUZA CHIPSI wako si anaungua na moto tuu"

    "hata kama lakini ni kazi ya halali kuliko huyo mwizi kuibia watu kila siku"

    "we miriam mpenzi wangu kwani kakuibia wewe,... Unaniuzi bwana mi naenda zangu kwenu ushaniuzi"

    "we sarah sasa unaenda wapi usiku huu"

    "staki niache"

    "basi njooo"

    "sitaki,... Baki na MUUZA CHIPSI wako"

    "nataka nikuombe ushauri sarah njoo bwana leo lalia huku"

    "wewe Unaniuzi sana, mpenzi wangu kakuibia nini lakini, kila siku unamuita mwizi"

    "basi nisamehe sarah wangu, njoo basi"

    "mi spendi bwana"

    Kawaida ya marafiki wawili wale wa moyoni hawawezi kugombana kamwe, hata kama watagombana ni lazima tu watarudiana tena,...

    "sasa sarah, mi nataka unipe njia ya kumpata huyo Boy"

    "inamaana na elimu yako yote ya chuo unashindwa kumtongoza mwanaume"

    "saraaaaaah kumbuka hadhi yetu mimi na wewe ni sawa, we ulifikiri nitawezaje kumtongoza mwanaume wa hali ya chini kirahisi hivyo"

    "ok mi naelewa, ila Mbona wakwangu nilimwambia tu"

    "nipe basi hata njia, ili nifanikishe"

    Miriam alikuwa ni mschana anaechukia wanaume, hivyo hata ule ukaribu na wanaume hana, hivyo anamtegemea sana sarah amseidie njia ya kumpata mpenzi mpya,..

    "skia, kwanza fanya mpango upate namba yake ya simu"

    "weee ninayo, ninayo kabisa"

    "Alah, sasa kumbe unayo unasubiri nini"

    "sasa niifanyie nini"

    "skia,.. Anza kuchati nae lakini asijue kama ni miriam wewe"

    "mmmhhhh sasa hapo nijifanye maskini au"

    "ah ah, mpe uhalisia wako wote, ila asikujue tu kuwa ni wewe miriam Boss wake, ajue ni miriam mwingine lakini sio wewe"

    "safi sana... Ndio mana nakupenda jamani"



    Tukija huku kwa akina jasmini, aliokuwa chumbani baada ya kumaliza kuoga,.. Alichukuwa simu na kumpigia chidi kuwa

    "haloo chidi"

    "sema shem mbona huji shem"

    "weeee kaka yako keshafika... Sasa skia nitunzie chupi yangu nitaichukuwa kesho"

    "poa, ngoja nami niingie bafuni basi"

    Zoezi la kufanya mapenzi kinyume na maumbile lilishindikana, hivyo hawakuendelea tena na mawazo hayo



    BAADA YA SIKU HIO KUPITA



    Na leo ni siku nyingine tena chidi akiwa yupo kazini tena alikuwa mwepesi na alikiwa na furaha ya hali ya juu, mana ni mwepesiiiii,.. Shemeji yake kampunguzia mzigo mkubwa sana katika mwili wake

    Chidi alikuwa akikaanga chipsi lakini alikuwa anayo taarifa ya kutoka baada ya kumaliza kuandaa chipsi vizuri,.. Lakini akiwa anaendelea na zoezi hilo mara simu yake iliita... Kuangalia jina alikuwa ni mama yake mzazi wa kijiji... Alikuwa anataka kuipuuzia lakini akaona wacha apokee tu

    "haloo mama shkamoo"

    "marahaba baba, umzima wewe"

    "mimi mzima mama sjui nyie"

    "tunashukuru mungu baba tuna usalama"

    "ok sawa mama, naomba niendelee na kazi"

    "mmhh mmhh sawa baba lakini, kuna kitu nimekiona kiukweli nimeogopa sana mwanangu ndio maana nimekupigia simu"

    "kitu gani hicho mama"

    "ngoja akuambie baba ako mi siwezi kukuambia"

    Chidi alijikuta anaacha hata kupika chipsi na kuanza kusikiliza hicho kilichoonekana huko kijijini ni kitu gani,

    "haloo baba shkamoo mzee"

    "marahaba ujambo mzee"

    "sijambo baba.... Baba kuna kitu kasema mama kuwa kakiona ni kitu gani"

    "ahaaahhhh hata mimi sina uhakika nacho ila ni mama yako ndio kakiona"

    "kaona nini sasa mzee, niambie"

    Mara chidi akaskia sauti ya mama yake ikimuambia mume wake kuwa

    "mwambie mtoto asije akaivaaa bwana"

    Sasa chidi akajiuliza, asije akaivaa nini, chidi hakuelewa ila ikabidi awe mpole,..

    "aahhh mwanangu chidi hakuna lolote sema mama yako kuna ndoto kaiota usiku wa leo sasa anasumbua sumbua tu hapa"

    Aliongea baba yake chidi..... huku Mama yake chidi akainyakuwa ile simu na kusema kuwa

    "kama ni heshima wacha ivunjike kuliko mtoto wangu azulike,... Nipe nimuambie mwenyewe hata kama haistahili mimi kusema"

    Aliongea mama yake chidi huku akiskika kuchukuwa simu kwa mume wake na kuongea na chidi

    "halooo baba mwanangu hujambo wewe"

    Sasa mama nae anaona aibu kusema mana huyo ni mtoto wake wa kiume na anampenda sana....

    "mama kwani kuna nini"

    "mwananguuuu.... Lakini si upo salama"

    "ndio nipo salama mama kwani kuna nini"

    Mama alipiga moyo konde liwalo naliwe kama ni aibu bora impate kuliko kipenzi cheke kizurike....

    "baba mwanangu?... Jana usku nikiwa nimelala...



    Katika dunia jua kuwa wewe hapo ulipo una miungu mitatu,... Wa kwanza ni mungu wako aliekuumba wewe,... Wa pili ni mama yako aliekuzaa wewe... Wa tatu ni baba yako aliekulea wewe mpaka kufikia hapo ulipo,... Wazazi ni watu wa kuwaeshim sana kuliko kitu chochote kile hapa duniani, lakini utamkuta mtu anamtukana mzazi wake,... Mama yupo kijijini analia shida ya shilingi elfu 10 tu, mtoto wa kiume huku mjini unahonga elfu 50, tena mama akikuomba pesa kuoitia simu unasunya kana kwamba ni usumbufu, lakini malaya wako akikuomba elfu 10 unamwongezea na elfu 10 nyingine,... Ndio mana hatufanikiwi, tunaishia kupata za kuhongea tu lakini za maendeleo hatupati, mana kuna miungu wawili ulioambiwa uje uwaheshim na kuwatunza, lakini mtoto wa kiume ndio kwanza unaona mama anakupa usumbufu,.. Kila siku wewe hela huoni inapokwenda lakini hujiulizi tu ni kwanini,. Kweli sikatai kuwa maisha ya mjini ni magumu kwa upande mwingine, lakini ndani ya mwezi mmoja huezi kukosa hata elfu 5 tu ya kutuma nyumbani angalao wanunue hata sukari, mtoto wa kiume kila juma pili ikifika unawaza umpigie demu gani kwa siku hio, mana unao wengi mno,... Acheni ulimbukeni wa mapenzi vijana, kumbukeni kule mlipotoka jamani... Ni kweli hata mimi sio kwamba natuma kila siku, bali pale wanapolalamika kitu, basi hata kama ile pesa ilikuwa ninunulie nguo unampa kwa moyo mmoja, afu angalia huo mwezi ujao au hata huo huo, pesa ndogo ndogo zitakavyo kutembelea,....

    Kwahio pale unapompenda mama yako, basi hata yeye pia anakupenda zaidi kuliko hata wewe unavyompenda.. Na kila baya linalokukuta, mama yako anaweza kupata vision (maono) juu ya baya lako unalolipata, lakini vision hio inaweza kuja kupitia ndoto, na akishaiona anaweza akaipuuzia au akaichukulia Siriasi, sasa pale atakapoichukulia Siriasi ndipo atakapokwambia kuhusiana na ndoto hio, ila akiipuuzia na kuona ni ndoto tu ya kawaida, afu baada ya miaka kadhaa mbele ile ndoto inakuja kuwa kweli,.. Ndio anakumbuka kuwa alishawahi kupata vision kama hio na akaipuuzia, kwahio mama ni mtu mmoja wa kumueshim sana hapa duniani, gawaneni kile mlicho nacho na wazazi wenu..



    Chidi akiwa anapoke simu ya wazazi wake na kutaka kumwambia kitu cha maana ambacho ni cha kweli, lakini wazazi hao walikuwa wakihofia kuwa watamkosea heshma mtoto wao pale watakapomwambia kitu kama hicho,...

    "halooo baba mwanangu hujambo wewe"

    Sasa mama nae anaona aibu kusema mana huyo ni mtoto wake wa kiume na anampenda sana....

    "mama kwani kuna nini"

    "mwananguuuu.... Lakini si upo salama"

    "ndio nipo salama mama kwani kuna nini"

    Mama alipiga moyo konde liwalo naliwe kama ni aibu bora impate kuliko kipenzi chake kizurike....

    "baba mwanangu?... Jana usku nikiwa nimelala niliota unaumwa mwanangu"

    Mama aliongea hivyo lakini sio neno alilotaka kusema, hio ilikuwa ni hekima ya mama kwa mtoto wake wa kiume, mama ikabidi apige chenga,.. Lakini kwenye simu iliskika sauti ya baba yake na chidi ikicheka, kana kwamba mama alimnyang'anya mumewe simu ili aongee lakini mama pia kashindwa,.. Hivyo mzee alikiwa anacheka tu na wakati huo mama kakasirika mana anakosa Confidence ya kuongea,..

    "mama mimi nipo salama mama angu"

    "sawa baba,... Lakini si utaoa tena"

    Sasa mama baada ya kushindwa kuongea moja kwa moja ikabidi aanze kuongea kwa mafumbo,.. Mana hawezi kuongea jambo hilo mbele ya mtoto wake, mana chidi akisema hato Oa basi mama atajua moja kwa moja chidi kakutwa na tatizo,...

    "ndio mama kwanini nisioe, na bado umri wangu unaruhusu mama"

    "aahhh sawa ila niliuliza tu mana toka salma alipokukimbia mpaka leo sisikii fununu zozote huko"

    Baba yake chidi alikuwa anacheka sana hapo pembeni kwa kitendo cha mke wake kukosa Confidence ya kuongea,..

    "hakuna shida mama angu"

    "haya baba mchana mwema"

    "sawa mamy wangu"

    Simu ilikata lakini chidi alibaki na maswali mengi juu ya wazazi wake kuuliza jambo kama hilo,.. Hakupata jibu

    "Oya Omari chipsi zitaungua huku achana na simu hio"

    Aliongea rafiki yake saidi huku akimseidia rafiki yake kugeuza gueza, mana kila mtu na kitengo chake japo pishi ni moja,.. Kuna anaekata viazi, kuna anaeosha, sasa chidi yeye ni kukaanga tu basi,..



    Tukija huku kwa wazazi wake na kijana chidi Sasa huku kijijini, baba alikuwa akimcheka mke wake kwa kigugumizi alichokipata kuongea na mtoto wao

    "sasa unacheka nini baba chidi,.. We unadhani ni jambo dogo hilo"

    "unajua mama chidi wewe huna akili wewe,.. Mimi ndio ningeliweza kuongea nae yule mtoto, sasa wewe ukanipokonya simu, haya ona sasa kusudio lako limeshindikana"

    "lakini baba chidi mimi sikubali, lazima nilifuatilie hili jambo"

    "lakini mama chidi una uhakika na ndoto yako"

    "sina uhakika sana lakini sio vizuri kama tutapuuzia baba chidi"

    "ok sawa,.. Ila kwani wataka tufanye nini kwenye swala kama hilo"



    Tukija huku mjini kule kwa mke wa Ibrahim akiwa chumbani kwa kijana chidi alikuwa anatafuta chupi yake, baada ya mume wake kuondoka, aliitafuta lakini hakuiona, ikabidi ampigie shem wake ili amuulize,

    Wakati huo chidi alikuwa bize sana na chipsi, mana keshaambiwa kuwa apike chipsi kisha aondoke,.. Hivyo yupo bize sana na hata simu ilikuwa ipo mbali kidogo,...

    Lakini alifanikiwa kuipokea japo yupo bize sana

    "haloo shem vipi tena"

    "poa shem,... Sasa mbona ile nguo siioni"

    "nguo gani tena"

    "chupiiiiii"

    "aaahhh ipo hapo chini ya godoro"

    "weeeee sheeeem, yaani chupi yangu umeiweka chini ya godoro"

    "samahani shem, niliogopa kuiweka holela holela mana joy anaweza kuja kufanya usafi akaiona afu akahoji tushindwe cha kufanya"

    "ooohhh basi sawa shem, nimekuelewa"

    "poa mamy wangu"

    "poa,... Baadae basi shem"

    "poa shem"



    Tukija huku kwa mama sarah akiwa yupo hotelini kwake, Alikuwa anaiangalia ile kondomu aliopewa na mganga ambayo chidi ndio anatakiwa kuitumia,.. Papo hapo mama sarah akanyanyua simu na kumpigia chidi wake,... Chidi nae akiwa ndio anaweka chipsi katika kabati spesho kwa ajili ya chipsi,.. Ghafla simu yake inaita, chidi kuangalia alikuwa ni mama sarah ndio aliokuwa akimpigia..

    "haloo mamy"

    "eee chidi wangu mambo"

    "safi mamy"

    "vipi ushamaliza kuandaa chipsi"

    "ndio nimeshamaliza"

    "ok nakupitia hapo basi"

    "sawa"

    Chidi alikata simu kisha akamaliza kazi yake na kwenda kuoga, mana hapo hapo kuna bafu,... Alipomaliza chidi alichukuwa chai fasta fasta na kuinywa,.. Mana ilikuwa ni kama saa nne hivi asubuhi inaenda saa tano,..

    Haikupita muda mama sarah alikuwa keshafika katika hoteli ya akina Miriam, kisha akampigia simu mpenzi wake chidi..

    Chidi hakuchelewa kutoka,... Haooo waliondoka zao

    Wakiwa wapo njiani kuelekea nyumbani kwa chidi,.. Mama sarah alinyanyua simu yake na kumpigia mama saida

    "haloo shosti"

    Aliongea mama sarah huku chidi asijue chochote kinachoendelea hapo

    "eee mama sarah vp tayari"

    "hapana ila nataka ujiandae na hio nguo yako, mana ndio soon inakuwa poa"

    "aaahhh ok ngoja nimuite mtoto wangu basi nae ajiandae"

    "sawa"

    Simu ilikatika huku mama sarah akiwa na furaha kubwa sana,

    "inamaana mamy, umenitoa kazini kisa ni mapenzi tu"

    Aliongea chidi huku akiwa natabasam kana kwamba bado hajui kinachoendelea,

    "chidiiiii, huezi amini mwenzio nimekamatika eti, nina hamu mpaka basi"

    Mama aliongea hivyo huku akimrembulia chidi na kujibinua binua mbele ya chidi,...



    Haikupita muda walifika nyumbani kwa chidi, chidi nae japo jana alikuwa na shem wake lakini kwa mama bado pia anamtamani,.. Hivyo hata chidi alikuwa na hamu na mama sarah,.. Mama sarah alikuwa na haraka sana tena hata kuandaliwa alikuwa hataki, yani yeye alikuwa anataka kufanyiwa vitu tu na kikubwa zaidi anataka chidi aivae kondomu iliotoka kwa mganga,... Maskini chidi akiwa hajui lolote lile mama kapambua nguo zake zote, kitu ambacho sio kawaida yake, yaani hua wamezoea kuvua nusu nusu, lakini leo kavua zote...

    "chidi,... Ila leo nataka uvae kondomu"

    "ati nini... Kwanini leo nivae kondomu"

    "chidiiiiii.... I think leo nipo kwenye siku zangu, afu nina hamu kweli na siwezi kuacha, hivyo naomba uvae kondomu,.. We ulifikiri na umri huu nibebe mimba kweli???"



    Mijimama tunaipenda sana lakini ikitajiwa pesa tu, basi jua hapo hakuna mapenzi tena, yaani hapo anatafuta pesa tu, sasa huezi amini leo kijana chidi anakwenda kuingia katika mtego wa mama sarah au Grace,...

    "chidi,... Ila leo nataka uvae kondomu"

    "ati nini... Kwanini leo nivae kondomu"

    "chidiiiiii.... I think leo nipo kwenye siku zangu, afu nina hamu kweli na siwezi kuacha, hivyo naomba uvae kondomu,.. We ulifikiri na umri huu nibebe mimba kweli???"

    Aliongea mama sarah huku akimshika shika kijana chidi kama kumlegeza legeza ili akubali kufanya mapenzi na kondomu,

    "hapana mamy, yaani nanutamu wako wote mi nitumie kondomu"

    "kweli chidi mi mtamu ila leo sijielewi naomba tu please"

    Wakati huo wakiongea hayo woote walikuwa kama walivyozaliwa na wapo kitandani, chidi alishuka kitandani na kujifanya anataka kuvaa nguo,.. Yaani chidi ni kama vile ana machale na sijui kama yatafanya kazi, mana mijimama kama ina vishawishi vingi sana, hata ufanyeje lazima akushawishi mpaka ukubali,...

    Sasa chidi alipokuwa anataka kuvaa nguo, akakumbuka maneno ya rafiki yake chidi kuwa

    "kile anachokitaka kataa, na ukifanye kwa pesa"

    Chidi akajisemea kimoyomoyo

    "Yes, sasa hapa nianze kuvuna nilichopanda"

    Alijisemea kijana chidi huku akisuasua kuvaa nguo mana kama kapata wazo zuri

    "bila milioni kumi hapa sikubali kuvaa kondomu"

    Chidi bado alikuwa akijisemea kimoyomoyo huku akijipa moyo wa kupata pesa,..

    "chidi mpenzi wangu usivae nguo"

    "sitaki, mi nimeshasema sitaki"

    "chidiiiiiiii, nikupe nini ili usinifanye bila kondomu"

    "mi nakuambia hivi, hata unipe milioni 50 sitaki ng'ooo"

    Chidi alijikuta tu anaropoka maneno hayo lakini hakudhamiria kusema hivyo, lakini hata mama sarah hakuonekana kushtushwa na maneno hayo kana kwamba yupo tayari kwa lolote,... Chidi alivaa boxer yake kisha akavuta suruali na kutaka kuivaaa,

    "chidii mpenzi hata milioni mia (100) hutaki"

    Heeeee chidi kuskia hivyo aligeuza shingo kama kichaa, huku akimuangalia mama sarah kwa hio pesa alioitaja,

    "unasemaje?"

    Chidi aliuliza mara mbili mbili huku akiwa katoa macho kweli kweli

    "nakuandikia cheki ya milioni mia ukachukue, lakini nataka tutumie kondom"

    Maskini ya mungu chidi mpaka huruma ikamjia, kana kwamba ni kweli mama huyo hakuwa akihitaji kufanywa bila kondom,...

    "hata hio pesa asiponipa wacha nimfanye na hio kondomu, mana nimeamini kweli yupo kwenye siku zake"http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Chidi alijisrmea kimoyomoyo huku akivua boxer,.. Hivyo chidi kukubali hata kama asipopewa hio pesa, lakini mama hajui kama chidi kakubali hata kama asipompa hio pesa,... Maskini ya mungu kijana chidi anaingia pabaya kisa ni pesa ama ukweli wa mama sarah,.. Bila hia chidi alikuwa kalala chali huku mama sarah akimvisha chidi kondom iliotoka kwa mganga,...

    "aahhh mbona nywele zinanisisimka, kuna mchawi nini humu ndani"

    Aliongea chidi huku mama akiendelea kumvalisha chidi kondomu, tena mama sarah mwenyewe ndio anaifanya kazi hio ya kuivalisha kondomu hio, mana aliambiwa na mganga kuwa umvalishe mwenyewe,... Mama sarah alifanikiwa kuivalisha kondom hio, lakini chidi alisisimkwa na nywele wakati kondom inavalishwa,... Lakini hakujua lolote kuwa kondom hio ilitoka kwa mganga, na chidi hakuvalishwa kondomu moja bali zilivalishwa mbili ili ikipasuka moja nyingine ibaki,... Baada ya kondomu hizo kuvalishwa mama hakuchelewa, alimpandia kwa juu na kuingiza zakaria ya chidi kwa mama sarah,... Chidi alishangaa sana kwanini leo mama sarah hataki kuandaliwa, chidi alijua ni hamu ya mama sarah ndio ilimfanya awe na haraka kiasi hicho,.. Mama sarah alikuwa juu ya kijana chidi, yaani mambo aliokuwa anayafanya mama sarah, hata chidi hakuwahi kufanyiwa na mama huyo, mama aligeuka kuwa mschana ghafla, yaani alikuwa hapo juu mithili ya feni, kondomu zilikuwa mbili lakini chidi alikuwa anahisi kupizi,... Maskini ya mungu kile kinachotakiwa ndio hichoo kinatoka,.. Kwa kawaida ukivaa kondomu zaidi ya moja basi hata kupizi itakuwa ngumu, utapizi lakini utachukua muda mrefu sana na pia hakutokuwa na raha yeyote pale utakapovaa kondomu zaidi ya moja,.. Lakini sasa mama sarah yeye anajua kuwa mwanaume akivaa zaidi ya kondomu moja, hakuna raha na hawezi kupizi kwa haraka, hivyo mama sarah ndio maana akaamua kuingia uwanjani na kuudhihirishia uma kuwa anaweza kucheza mpira vizuri,... Maskini chidi hapo kitandani alikuwa akitupa tupa tu miguu yake, kana kwamba yu karibu kutoa mbegu ambazo mama sarah anazitaka,...



    Tukija Huku katika hoteli ya akina miriam ambako chidi ndiko anapofanyia kazi, miriam alitoka ofisini kwake na kuelekea jikoni, ila haijulikani alikuwa anafuata nini kule jikoni,... Alipofika aliwakuta wapishi wengine lakini chidi hamuoni

    "omari.."

    Miriam aliita mana hakujua kama chidi hayupo hapo

    "omari hayupo boss"

    "kaenda wapi na kapewa ruksa na nani"

    "boss mkubwa ndio kampa ruksa"

    "kwanini hakuniaga mimi... Na Kaondoka saaa ngapi"

    "saa nne"

    Aliokuwa akijibu alikuwa ni rafiki wa chidi mana wale wengine hawapo vizuri kwa chidi

    "hivi huyu omari ana kichaa,.. Yaani kaanza kazi juzi tu sasa hivi kaanza utoro, ngoja aje hapa"

    Aliongea miriam huku akiwa kama kakasirika hivi,..

    "ndio boss, hata chipsi zake ni za kawaida tu"

    Aliongea mfanyakazi mmoja ambae ni mpishi wa chipsi pia

    "na wewe nyamaza, kama unaweza kupika hizo za kawaida kwanini usingepika"

    "samahani boss"

    "uache kiherehere chako mbwa wewe"

    Miriam alijikuta anammalizia hasira huyo jamaa alioropoka kuhusiana na chidi,..

    "sawa boss"

    "we saidi.. Unajua chidi alipokwenda"

    "hapana, ila aliniambia kuna mama anakuja kumchukuwa"

    "Mama?... Mama gani"

    "ata mimi simjui boss"

    "ni mama yake au"

    "hapana sio mama yake boss"

    "ok poa endeleeni na kazi"

    Miriam aliondoka na kuingia ofisini kwake huku akiwa na mawazo chungu nzima, yaani hata pesa zinakuja yeye anasaini na kuweka tu lakini hahesabu kama imeletwa kiasi gani,.. Miriam alijihisi mpweke sana kwa dakika chache tu za chidi kuondoka... Angelijua huko chidi alipo yupo pabaya,...

    "huyu boy kaenda wapi... Na atarudi au,... Au atakuwa kuacha kazi"

    Miriam alikuwa akijisemea mwenyewe bila kupata jibu,.. Lakini ghafla alipata wazo la kumtumia sms, mana namba yake anayo, na siku ile alimtumia sms kwa kutumia simu ya ofisini, sasa leo anatumia namba yake yenyewe.... Alichukuwa simu yake na kuanza kuandika SMS kwenda kwa chidi... Ili tu ajue yupo wapi.....



    Tukija huku kwa akina chidi na mama sarah wake, Baada ya Dakika tano mbele mama sarah yupo hoi, mana yeye ndio aliokuwa anacheza mziki peke yake, kwasababu yeye ndio anajua alichokuwa akikifanya,

    Wakati huo nanii ya kijana chidi ilikuwa bado inataka mzunguuka wa pili, yaani leo chidi alishangaa nanii yake haijalala, imekaza vile vile na mzunguko wa kwanza tayari keshaumaliza,.. Kana kwamba kilichotakiwa kiingie kwenye kondomu kimeshaingia,...

    "mamy mi bado nataka"

    "chidi boy wangu, nimechoka we huoni nilivyokuwa nakatika miuno"

    "ni kweli ila mi bado si unaona"

    "No, No wacha niwahi kazini chidi wangu, ngoja nikuvue hii kondomu uende ukaoge"

    "mmmhhh sawa, ila si twende tukaoge wote"

    "hapana tangulia, mi ngoja nilale lale"

    Wakati huo wanaongea kondomu ipo mkononi mwa mama sarah, kana kwamba hapo kushikilia shilingi bilioni moja za kitanzani,... Yaani hapo yupo tayari hata kufa kuliko umnyang'anye hizo mbegu zilizopo kwenye kondomu,.. Maskini chidi bila kujua lolote anatoka na kuingia bafuni, na wakati huo hawazii pesa wala nini na wala hakuwa na shida na hio pesa aliokubali mama kuitoa,..

    Sasa chidi akiwa bafuni, huku simu yake iliingia meseji,... Mama sarah alipoangalia alihisi hio namba anaifahamu, lakini sasa alikuwa ana haraka ya kuvaa nguo,... Hivyo aliachana na ile meseji ilioingia kwenye simu ya chidi, akaendelea na mambo yake,.. Kaona namba tu lakini sms hajaona ilivyo andikwa,...



    Chidi akiwa bafuni anaoga taaratibu, bila shanka na wakati huo yupo mwepesiiii, bila shaka mtoto wa kiume anakoga maji yake,... Dakika kumi mbele anatoka bafuni huku akijifuta maji na taulo,

    "haya nenda na wewe ukaoge twende"

    Aliongea chidi huku akijifuta usoni, lakini alishangaa kutojibiwa na mtu, kana kwamba hakukuwa na mtu hapo ndani,.. Sasa kutoa taulo usoni,.... Ohooooo hakukuwa na mtu wala nguo,.. Chidi akatoka nje na kuangalia gari haipo, kana kwamba mama sarah kesha ondoa zake,

    "ataondokaje sasa na nilimwambia anisubiri"

    Chidi alijisemea huku akiifuata simu yake ili ampigie,.. Lakini alipoinyanyua ile simu chini kulikuwa na karatasi ya kutolea pesa bank (Cheki) lakini kabla hajataka kupiga simu alikutana na SMS mbili... Moja ni namba asioijua na nyingine ni ya mama sarah,... Alianza kusoma ya mama sarah

    "samahani chidi wangu, nimepigiwa simu ya kikazi hivyo nisamehe kwa kukuacha... Ila nimekuachia cheki ya pesa uliotaka, hivyo unaweza kwenda bank kuchukuwa hio pesa muda wowote"



    SMS ya mama sarah iliishia hivyo, kwahio hata chidi hakuweza kupiga simu tena baada ya sms hio kuandikwa hivyo, chidi haamini kama kweli amepewa milioni mia moja (100) keshi,...

    "hivi hii cheki ni ya kweli au anatania"

    Alijisemea kijana chidi huku akiiangalia sana ile cheki,... Lakini akiwa anaangalia cheki hio mara sms ikaingia,.. Ilikuwa ni sms ya pili kwenye ile namba ambayo chidi haijui,... SmS ya kwanza iliandikwa

    "mambo"

    Na sms ya pili iliandikwa

    "jamani mambo zako best"

    Chidi hakuijua hio namba lakini hakutaka kuipuuzia,..

    "poa tu nani mwenzangu"

    Chidi nae alijibu kwa sms vile vile..



    Sasa tukija huku kwa mama sarah, alikuwa anampigia mama saida ambae ndio mhitaji mkuu wa mbegu hizo

    "haloo mama saida... Vipi umeshajiandaa"

    "bado, kwani vipi umeshazipata hizo mbegu"

    "haaaaa tayari shost, hapa nilipo ninazo zamotomotoooo"

    "waaooooohhhh siamini macho yangu mama sarah"

    "fanya haraka basi mama saida, umesahau kuwa tumepewa masaa saba tu"

    "ni kweli ngoja nimuite mwanangu"

    "fanya haraka, afu hio chupi si ushaiandaaa"

    "ndio, itatumika hii hii nilioivaa sasa hivi"

    Kazi ya mama sarah ilienda sawa sawia tena bila shaka na wala hawazii kutoa milioni 100 kisa hizo mbegu

    Maskini kihana chidi ndio kwaheri nguvu zake..... Wakati huo mama saida tayari keshamchukuwa mtoto wake mkubwa tu umri unaendana na chidi vile vile, sema kazaliwa akiwa hana nguvu za kiume, na mbegu hizo za chidi ndizo zinazokwenda kurudisha nguvu za kijana huyo ambaye ni mtoto wa kiume wa mama saida, yaani mdogo wake na saida,...

    Mama sarah na mama saida akiwemo na kijana huyo ambaye hana nguvu za kiume hata tone,...

    Safari ya kwenda moshi kwa mganga ilianza, tena gari ilikuwa inakwenda kwa spidi kali ili masaa saba yasipite,.. Mana wamepewa masaa saba kutoka Arusha kwenda moshi ndani ndani huko, na yakipita masaa saba hizo mbegu hazina kazi tena,..



    Tukija huku kwa kijana chidi Wakati huo ndio kwanza anatoka ili kwenda kujaribu hio cheki kama ni kweli au sio kweli mana haamini amini kama ni kweli hio ni cheki original,... Ila wakati huo bado alikuwa anachati na ile namba asioijua,

    "naitwa Miriam, sjui wewe mwenzangu"

    "mmhhh Miriam gani huyo... Unaishi wapi na namba yangu umeitoa wapi"

    "hhhmmm samahani, nitakuwa nimekosea best, ila sio mbaya kama tutaendelea kufahamiana zaidi"

    "ok poa basi naomba nicheki baadae kwa sasa sina muda wa kuchati"

    "sawa best"

    Chidi alishindwa kuelewa

    "mtu kakosea namba lakini bado anataka tujuane, aahhh watu wengine bwana"

    Alijisemea chidi, ila wakati huo ndio anakaribia benki kutoa hio pesa kama ni kweli au kadanganywa,... Alishushwa na pikipiki hapo nje ya benki huku moyo wake ukimuenda mbio kana kwamba kama ni kweli itakuwaje.. Pesa kama hio huwa unaingia ndani kabisa.. Customer Room Only... Wale wateja wenye kutoa pesa ndefu hutolei dirishani pale kama ilivyo ada,... Chidi aliinyoosha ile cheki kwa mmoja wa wahudumu,... Heeeeeeee hata mhudumu mwenyewe akashangaa, cheki ndefu kweli...

    "we dogo vipi"

    "toa pesa hio mbona unauliza hivyo"

    Mhudumu alionyesha wazi kuwa cheki ilikuwa ni original na sio feki na wala chidi hakudanganywa.... Chidi akiwa kakaa kwenye viti vya wateja akisubiria huduma ya kukabidhiwa pesa yake,... Dakika chache mbele chidi alishangaa anapewa begi ndogo ambayo ni ya pesa

    "we unanipa begi la nini nipe pesa"

    Chidi aliongea hivyo huku akilikwepa lile begi,

    "chukuwa pesa zako we kijana"

    "unasemaje wewe? inamaana hio pesa ndio ipo kwenye kibegi chote hiki"

    "ndio"

    Chidi alilipokea lile begi lakini haamini kama kweli amepata pesa kama hio..

    "mungu wangu pesa nyingi sana"

    Chidi hakuamini macho yake baada ya kufungue kile kibegi kilichojaa milioni 100 taslimu. Chidi aliondoka pale benk huku akiwa anachekelea mno....



    Lakini wakati huku chidi anachekelea pesa hizo... Huku kwa akina mama sarah na mama saida pamoja na mtoto wa kiume wa mama saida, wakiwa bado wapo njiani, ila hawakuwa mbali na kwa mganda, tena zimebakia kilometa chache sana wafike kwa mganga,...

    "mama sarah, yaani siamini kama kweli unazo shost"

    Aliongea mama saida mana hajaziona bado ila ameambiwa zipo lakini hajaziona

    "heeeee mama saida ina maana huniamini... Ona hizi hapa"

    "waaaooooooo Tena nzito mpaka raha"

    "usijali mama saida, kijana wako anakwenda kupona"

    Wakati wakiongea hivyo mama sarah alitoa simu yake na kuonyesha picha ya chidi,

    "chidi mwenyewe ni huyu hapa, Jamani tunaomba tumuage"

    Aliongea hivyo mama sarah huku wakicheka kwa furaha

    "heeeeee umuage wewe si ndio mpenzi wako, afu kalivyo kahensam maskini ya mungu"

    Aliongea mama saida huku akicheka kwa dharau

    "sasa tulieni nimuage kamwisho mana ndio mwisho wa kuwa nae tena"

    "we muage tu baby wako wala hatuna shida nae"

    "Chidi mpenzi wangu, naomba unisamehe sana, ni pesa ndio imenipelekea kufanya hivyo,... Ugua pole chidi wangu"

    Mama sarah alipomaliza kumuaga chidi kwa kutumia picha,... Walianza kucheka wote wawili kwa kicheko cha kejeli huku gari ikiwa spidi kali kana kwamba hapo wamebakiza dakika 15 tu kufika kwa mganga kwa hio spidi wanayoitembelea wao ili kuwahi masaa saba yasiishe

    "He heeeeeeeeee HaaaaaLooooooooo.... Mwenetu umeponaaaaa"

    Sasa kumbe Dereva wa gari hio, ndio huyo huyo kijana mwenyewe anaekwenda kushughulikiwa nguvu za kiume......





    Mama sarah alikuwa ni mtu mwenye furaha sana kwasababu kazi yake inakwenda kukamilika, na sii yeye tu bali ni wote waliokuwemo ndani ya gari hio, na humo ndani walikuwamo watu watatu tu, MAMA SARAH, MAMA SAIDA,NA RIDHIWANI ambae ndio mgonjwa wa gonjwa hilo, hata ridhiwani alikuwa akifurahia mana ameahidiwa kwenda kupona, na kupona kwenyewe ni kwa kutumia imani ya kishirikina zaidi, bila hivyo asingeweza kupona,... Sasa mama sarah na mama saida wakiwa siti za nyuma wanafurahia kuona mbegu za chidi,...

    "sasa tulieni nimuage kamwisho mana ndio mwisho wa kuwa nae tena"

    "we muage tu baby wako wala hatuna shida nae"

    "Chidi mpenzi wangu, naomba unisamehe sana, ni pesa ndio imenipelekea kufanya hivyo,... Ugua pole chidi wangu"

    Mama sarah alipomaliza kumuaga chidi kwa kutumia picha,... Walianza kucheka wote wawili kwa kicheko cha kejeli huku gari ikiwa spidi kali kana kwamba hapo wamebakiza dakika 15 tu kufika kwa mganga kwa hio spidi wanayoitembelea wao ili kuwahi masaa saba yasiishe

    "He heeeeeeeeee HaaaaaLooooooooo.... Mwenetu umeponaaaaa"

    Sasa kumbe Dereva wa gari hio, ndio huyo huyo kijana mwenyewe anaekwenda kushughulikiwa nguvu za kiume,....



    Sasa yeye nae alikuwa ana shauku sana ya kuongea na wamama hao waliokuwa wakicheka na kumtaja kuwa keshapona,... Sasa kile kicheko cha mama sarah na mama saida kilimfurahisha ridhiwani na kumfanya ageuka na wakati gari ilikuwa na spidi kubwa mno,...

    "mama nashuku...... "

    Sasa kabla ridhiwani hajamaliza kuongea neno kwa mama yake, ghafla mama kuna kitu kaona katikati ya barabara...

    "wewe ridhi angalia mbele"

    Maskini ya mungu ridhiwani alikuwa ni kijana mwenye huruma na binaadamu wenzie, kwani mbele ya gari hio palikuwa na mwanamke mzee aliokuwa akivuka katika barabara hio,.. Ridhiwani kwa umahiri wake alikata kona kubwa ili kumkwepa yule bibi kizee asimgonge,.. Kwa kufanya hivyo imekuwa ni kosa katika familia hio,.. Kwakuwa gari ilikuwa kwenye spidi kubwa ambayo ridhiwani alishindwa kuidhibiti,... Huezi amini gari ilibingilika mara tatu mpaka kichakani, Lakini sasa cha kushangaza ni kwamba yule bibi kizee aliokuwa anavuka barabara mbona haonekani tena,.. Hapo kuna maswali ya kujiuliza juu ya hilo, kunani hapo, sasa wakati huo pale kwenye gari ikiwa imetulia haijulikani kama watu wamekufa au wapo hai,

    "mama... Mama"

    Alimwamsha mama yake huku akitamani kulia,.. Marah mama sarah ndio alizinduka wakati huo wamejaa vumbi kila mahari,... Haikuchukuwa muda na mama saida nae kazinduka... Lakini sasa mbona ajali ni kubwa lakini hakukua hata na majeruhi,..

    "mama sarah umzima wewe"

    "mi mzima wala sijaumia popote"

    "we Ridhiwani hujaumia mwanangu"

    "ndio mama mi mzima"

    Wote walijishangaa sana gari yao imebonyea kila kona lakini wao ni wazima wote, kitu cha kumshukuru Mungu kwa Neema zake juu ya familia hio,... Lakini walishangaa sana kuona gari yao ipo pembezoni mwa barabara na wakati waliingia mpaka kichakani kabisa

    "nani katuseidia mama sarah"

    "mmmhhh mwenzangu mi hata sijui"

    Kiukweli hata hawakumbuki chanzo cha ajali hio ilikuwaje,

    "heeeeee mama sarah, hebu angalia saa yako"

    "uuuuuuwwwwiiii... Mungu wangu weee tusije tukachelewa kwa mganga"

    Walipoangalia saaa bado ilikuwa inaruhusu kwenda na wamebakiza kilometa moja tu wafike kwa mganga,.. Ridhiwani alijaribu kupiga Stata ya gari, lakini cha kushangaza gari iliwaka na wakati imepondeka pondeka sana lakini iliwaka...

    "khaaaa we mama sarah... Hiii ni ajali gani hii jamani"

    "mimi hata sijui shost"

    "eeee mungu weee hebu twende haraka"

    Wakati huo mama sarah kachukuwa mkoba wake ili atoe simu yake aongee na familia yake,...

    "heeeeeeee mama saida"

    "abee mama sarah"

    "mbona kile kitu sikioni"

    "kitu gani tena mama sarah"

    "ile kondomu"

    "Whaaaat?"

    Mama sarah alikung'uta mkoba wake kama kichaa huku moyo wake ukiwa upo juu juu,..

    "mama sarah jamani au hujaangalia vizuri"

    "mama saida, si tulikuwa tunaiangalia wote hapa"

    "jamaaaani mtoto wanguuuuuu"

    Mama saida alianza kulia huku akisachi katika mkoba wa mama sarah, kana kwamba haamini kama kweli ile kondom yenye mbegu za chidi imepotea,...

    "na mimi niliifungia na zipu kabisa,... Mbona pesa na simu zipo"

    "lakini mama sarah wewe una makosa, kwanini usingenipa mimi"

    "tusameheane mama saida ila sio kosa langu"

    Wakati huo ridhiwani kuegemea kwenye steringi ya gari huku akilia kiume, ile kimya kumya,...

    "basi turudini, mana kitu muhimu tumeshakikosa"

    Aliongea mama saida huku akimpoza mwanae tu kuwa atapona tu,.. Ridhiwani aliwasha gari hio japo ilipondeka sana lakini iliwaka na kuondoka zao kurudi mjini Arusha,...

    "lakini mama saida nipe muda tena, mana hata mimi imeniuma kwa kutoa pesa yangu buree"

    "mimi nitakulipa hizo pesa zako zote lakini hebu jaribu tena"

    "sawa,.. Ila naomba tusifanye kwa huyo kijana tena"

    "kwanini isiwe hivyo"

    "yule mtoto anaonekana ana mungu, mana hata wakati namvalisha ile kondomu, nywele zake zilisisimkwa, kana kwamba kapewa ishara tu kuwa hapo alipo kuna kitu kibaya.. Mimi nilifahamu lakini yeye hakujua kama ni ile kondomu niliomvalisha"

    "wewe mama sarah, mambo ya yeye na mungu wake mwachie yeye,.. We fanya kazi yako tu"

    "hhmmm sawa nitajaribu tena.. Lakini jua natumia pesa ivo"

    "kwenye Bilioni moja nitakuongezea Milioni 500 kwa ajili ya hizo pesa zako unazompa"

    "sawa nitajaribu, mana hio ya mara ya kwanza tu yenyewe ilikuwa ni mbinde"

    "au mama sarah... Mimi nimepata wazo jipyaaaaa"

    Mama saida alionekana kupata wazo juu ya jambo lao hilo la kumsaidia Ridhiwani,

    "wazo gani hilo mama saida"

    "we twende tukaliongelee nyumbani"

    Basi ridhiwani aliendelea kuendesha gari kwa kurudi Arusha, ili kuanza kazi upyaaa



    Tukija huku kwa kijana chidi akiwa yupo kitandani kwake, akiwa kazimwaga pesa hizo kitandani, huku akizilalia kwa furaha ya ajabu, mana hajawahi kupata pesa kama hio toka kuzaliwa kwake... Sasa wakati anaendelea kucheza na pesa hizo mara sms ikaingia katika simu yake

    "best, bado upo bize"

    Alikuwa ni miriam aliokosea namba ila kwa sisi wasomaji tunajua kuwa huyo ni miriam yule yule boss wake, sasa kaja kwa njia ya kama miriam mwingine,..

    "ndio nipo bize subiri"

    "heeeee kwani unafanya nini"

    "Hayakuusu bwana we subiri kwanza.. Afu ukiendelea kuchati na mimi naweza kukublock eti"

    "mmmhh sorry,.. Nitasubiria basi"

    Maskini chidi hajui kama huyo anaemtolea nje ni boss wake wa kazini, yaani laiti angelijua sijui ingekuwaje...

    Chidi aliendelea kuzifurahia pesa hizo huku akizirusha juu kama vile anagawa sadaka,...

    "kumbe side alichoniambia ni cha kweli ee... Aaahhhh sasa watanikoma wale matajiri wote wanaojipendekeza kwangu, afu hata sarah namlia taimingi mana anaonekana yumo katika wale waliomo"

    Chidi alijiongelea mwenyewe huku akiweka pesa zake hizo katika begi

    "kweli mjini shule, nguvu peleka kwenu... Sasa hapa nimefunguliwa, afu hata shemeji pia akizingua namchuna, yaani sibagui wala sichagui, yeyote yule yupo usoni kwangu ni hela tu"



    Sasa tukija huku kijijini kwa wazazi wa kijana chidi, waliokuwa wametulia ndani huku wakiwaza tukioa ambalo mama mtu kaliota usiku wa kuamkia leo,...

    "baba Rashidi, mimi nilikuwambia nilichoota ni cha kweli wewe umebisha"

    "aaaahhh mi najuaga ndoto ni ndoto tu mke wangu"

    "sawa ndoto ni ndoto, lakini sio zote ni ndoto bali zingine ni maono yajayo unaonyeshwa kupitia ndoto"

    "sawa mke wangu,... Lakini si tayari tumeshalisuruhisha"

    "hapana, yaani hapa sina amani kabisa mpaka baba aniambie kama limefanikiwa au vipi"

    Aliongea mama yake chidi, kana kwamba kuna kitu wamefanya watu hawa,...

    Sasa wakiwa wapo hapo nyumbani, mara ghafla simu iliita, kuangalia jina alikuwa ni baba yake na mama yake chidi, yaani babu yake chidi

    "haloo mzee"

    "aaahhh mwanangu,... mjukuu wangu alikuwa anapotea"

    Aliongea babu yake chidi huku mama yake chidi akiwa anasikiliza kwa makini sana,..

    "baba.. Lakini si umeshamseidia"

    "aaahhh tayari, na kile kitu tumeshakitokomeza mbali"

    "nashukuru mzee wangu"

    Huyo mzee, ni babu yake chidi lakini sio babu yake mzaa mama bali, babu yake chidi mzaa mama na huyu mzee, wamezaliwa tumbo moja, hivyo ni babu yake tu, mana wamezaliwa na babu yake mzazi...

    Sasa Kumbe wazazi wake na kijana chidi walionekana kuwa kuna kitu wamekifanya juu ya mtoto wao,... Sasa cha ajabu na cha kushangaza, kumbe ile jana walipokuwa wanataka kumwambia chidi na wakaogopa kumbe hawakuishia pake... Sasa twende sawa ili ujue walifanya nini wazazi hawa.....





    Sasa tuanzie siku ile walipokuwa wanaongea na mtoto wao chidi, yaani ile siku kabla ya kuvaa kondomu ambapo mama yake alitamani kusema lakini alishindwa, kutokana na heshma ya mama na mtoto... Sasa siku ile ilikuwa hivi...



    Baba alikuwa akimcheka mke wake kwa kigugumizi alichokipata kuongea na mtoto wao

    "sasa unacheka nini baba chidi,.. We unadhani ni jambo dogo hilo"

    "unajua mama chidi wewe huna akili wewe,.. Mimi ndio ningeliweza kuongea nae yule mtoto, sasa wewe ukanipokonya simu, haya ona sasa kusudio lako limeshindikana"

    "lakini baba chidi mimi sikubali, lazima nilifuatilie hili jambo"

    "lakini mama chidi una uhakika na ndoto yako"

    "sina uhakika sana lakini sio vizuri kama tutapuuzia baba chidi"

    "ok sawa,.. Ila kwani wataka tufanye nini kwenye swala kama hilo"

    "twende kwa babu yake mzee juma ili tujue"

    "aahhhhhhh ona sasa umeshalifanya jambo liwe la kishirikina tena"

    "kama hutaki naenda mwenyewe"

    "basi ngoja nikusindikize mke wangu"

    "twende sasa"

    Wazazi wake na kijana chidi walikuwa wakipendana sana, tena walikuwa wakimpenda pia na mtoto wao... Kama kawaida kama unavyojua kijijini usafiri ni baiskeli na baba yake chidi alikuwa nayo baisikeli ya zamani kweli,... Basi mzee alimpakia mke wake kisha haooo wanaelekea kwa babu yake na chidi ambae ni mganga wa kienyeji na anaweza kumuona mtu kupitia moja ya nguo yake,...



    Walipofika kwa mzee juma ambae ndio babu yake na kijana chidi...

    Baba yake chidi ndio alitangulia kwenda kutoa maelezo, mana ni vigumu huyu mama kumweleza baba yake matatizo ya mjukuu wake, hivyo baba yake chidi akaenda kuongea na baba mkwe wake,.. Waliongea kwa muda mrefu na hatmae walimaliza, hapo mama akaruhusiwa kuingia ndani mana alikuwa nje ili mazungumzo yanapoongelewa asisikie mbele ya baba yake mkubwa,..

    "mumekuja na nguo yake yeyote ile"

    "ndio baba kuna tisheti yake hii hapa"

    Basi mzee juma aliichukuwa ile tisheti na kuisomea mambo yake kisha akaichovya kwenye maji yenye dawa zake mwenyewe anazozijua...

    Baada ya hapo aliipiga ile tisheti kwenye kioo chake kinachotumika kama tv, wanaiita TV asilia... Lakini mganga huyo ambae ndio babu wa chidi, alipopiga ile lamli yake pale kwenye kioo, alishangaa kuona kuna pande mbili badala ya moja...

    Moja wamemuona chidi akiwa benki.. Ndio pale chidi alipoenda kuchukuwa pesa ile shilingi milioni miamoja,... Alafu upande mwingine wanaona majani yanatembea kwa spidi maana yake ni kwamba kuna gari iliokuwa ikitembea kwa spidi kali mno... Sasa unajua kwanini waliiona hio gari, ni kwasababu kule kwenye gari kuna kondomu afu ndani ya kondomu kuna damu ya kijanja chidi, hivyo ndio maana kioo chake kimemuonyesha sehemu mbili tofauti...

    "hiii gari inaenda wapi, afu yeye mbona kama yupo benki huyu hapa"

    "baba... Angalia vizuri hio gari"

    Babu akafanya mambo yake pale... Alipogundua ikabidi amwambie yule mwanamke atoke, ambae ni mama yake chidi... Afu baba yake chidi ndio akabaki sasa

    "mzee mwenzangu... Hapa kwenye huu mkoba wa huyu mwanamke, kuna kitu kinachohusiana na mjukuu wangu"

    Aliingea mzee juma huku akimuonyesha baba chidi, wakati huo mama yake chidi yupo nje ya nyumba hio, moyo ulikuwa ukimuenda mbio.... JAMANI UPENDO WA MAMA NI KITU KINGINE, NA USIKIFANANISHE NA JAMBO LOLOTE LILE,...

    "itakuwa ndio hicho nilichokwambia mzee jumaa"

    "sasa... Hapa hawafiki mbali"

    Mzee juma alisema hivyo huku akichukuwa tunguli zake, na kuchanganya madawa yake mwenyewe ambayo hayajulikani,... Alichana vitambaa vingi na kutengeneza midoli mitano mfano wa watu.. Kisha ile midoli akaiwekea dawa kwa ndani, na kuanza kuisomea.. Lakini katika hio midoli kuna mmoja ni kama mzee kamtengenezea fimbo kabisa... Mzee juma alianza kusima mambo yake, kichina sio kichina kikorea sio kikorea, sijui ni lugha gani aliokuwa akiiongea mganga huyo ambae ni baba wa mama yake chidi, lakini sio wa kumzaa, Ni baba yake mkubwa...

    Sasa mzee juma baada ya kuongea hayo mambo yake,... Baba yake chidi alishangaa kuona watu wapo mbele yao, kana kwamba ile midoli ndio imegeuka kuwa watu.... Baada ya kugeuka kuwa watu, papo hapo akawatuma katika njia ya moshi katika gari inayokwenda spidi ya ajabu,....

    "nawatuma katika hii barabara.... Mnaiona hii gari hapa"

    Aliwauliza hao vinyamkela vyake ambavyo kavitengeneza sasa hivi tu

    "ndio tumeiona"

    "nendeni... Mkaisababishie ajali hii gari, lakini asiumie mtu wala asife mtu, hakikisheni mnawakinga asiumie mtu hata mmoja"

    "sawa mkuuu"

    "mkishaisababishia ajali, watu hao muwazimishe... Afu unaona huu mkoba mwekundu hapa"

    "ndio"

    "huu mkoba una kondomu yenye mbegu za kiume.... Hivyo naomba mchukue hio tu basi"

    "tumekuelewa mkuu"

    "mkishaipata hio kondomu, ileteni tuiteketeze isije ikavutwa na wenzetu, tukamkosa mjuu wetu... Haya nendeni haraka sana"

    Alioosema tu hivyo wale vinyamkela walitoka kama upepo vile,... Sasa hapo mama chidi akaingia ndani japo kuna baadhi ya maneno aliyasikia

    "mwanangu punguza presha, hilo limekwisha"

    "ahsante baba"

    "tena mumefanya vizuri sana kutopuuza ndoto hio,... Bila hivyo, mjukuu wangu angeitwa tu rashidi lakini asingelikuwa na lolote lile"

    "Tunashukuru sana baba.... Ila baba, baada ya kufanya hivyo hatuwezi kumkinga na kinga yeyote ile"

    "aahhh kiukweli hatuwezi ni mpaka aje yeye, ila kumpa kinga kwa mbali haiwezekani"

    "sawa, itabidi tumuite aje umkinge mjukuu wako"

    "hakuna shida... Sasa nyie mnaweza kwenda tu nyumbani, nitawajulisha kile kilichotokea"

    "sawa mzee, Tunashukuru mzee wangu"

    Basi wazazi wa kijana chidi walipanda baiskeli yao kisha haooo wakarudi zao nyumbani.....



    Sasa tukija huku njia ya moshi kwa akina mama sarah wakiwa ndani ya gari wanaongea, kwa furaha kubwa sana mana wanakwenda kumaliza tatizo la ridhiwani ambae amezaliwa akiwa hana nguvu za kiume...

    Katika kichaka kimoja hivi mbele kabisa, walionekana wale vinyamkela waliotumwa na mzee juma

    "sasa hapa tunafanyeje jamani"

    "mbona ni kazi rahisi tu, kwa hio spidi yao wanayokuja nayo ni kazi rahisi sana"

    "sasa, hebu wewe nenda pale ndani ya gari puliza upepo wa kuwafanya wacheke sana... Ili huyu dereva aangalie nyuma... Na akiangalia nyuma, hapo hapo huyu bibi kizee avuke,.. Afu sisi tutaizungusha hio gari pasina kuumia mtu"

    Walipanga mipando yao, kisha wakaanza kugawana kila kinyamkela kiende katika nafasi yake,... Vinyamkela hivyo tayari vilishapangilia mambo yao... Na yule mmoja alienda kwenye gari na kupuliza sumu ya umbea... Yaani waanze kuonge umbea umbea ili vicheko viwe vingi mpaka yule dereva ageuke nyuma... Hivyo kinachotafutwa ni dereva ageuke nyuma kwa utamu wa vicheko vya mama zake.... Baina ya mama sarah na mama saida.....



    Sasa huku ndani ya gari, yule mmoja akafanikiwa kumwaga sumu ya umbea mule ndani ya gari na ni kweli, umbea ulianza hivi.....

    "sasa tulieni nimuage kamwisho mana ndio mwisho wa kuwa nae tena"

    "we muage tu baby wako wala hatuna shida nae"

    "Chidi mpenzi wangu, naomba unisamehe sana, ni pesa ndio imenipelekea kufanya hivyo,... Ugua pole chidi wangu"

    Mama sarah alipomaliza kumuaga chidi kwa kutumia picha,... Walianza kucheka wote wawili kwa kicheko cha kejeli huku gari ikiwa spidi kali kana kwamba hapo wamebakiza dakika 15 tu kufika kwa mganga kwa hio spidi wanayoitembelea wao ili kuwahi masaa saba yasiishe

    "He heeeeeeeeee HaaaaaLooooooooo.... Mwenetu umeponaaaaa"

    Sasa kumbe Dereva wa gari hio, ndio huyo huyo kijana mwenyewe anaekwenda kushughulikiwa nguvu za kiume,....



    Sasa yeye nae alikuwa ana shauku sana ya kuongea na wamama hao waliokuwa wakicheka na kumtaja kuwa keshapona,... Sasa kile kicheko cha mama sarah na mama saida kilimfurahisha ridhiwani na kumfanya ageuka na wakati gari ilikuwa na spidi kubwa mno,...

    "mama nashuku...... "

    Sasa kabla ridhiwani hajamaliza kuongea neno kwa mama yake, ghafla mama kuna kitu kaona katikati ya barabara...

    "wewe ridhi angalia mbele"

    Maskini ya mungu ridhiwani alikuwa ni kijana mwenye huruma na binaadamu wenzie, kwani mbele ya gari hio palikuwa na mwanamke mzee aliokuwa akivuka katika barabara hio,.. Ridhiwani kwa umahiri wake alikata kona kubwa ili kumkwepa yule bibi kizee asimgonge,.. Kwa kufanya hivyo imekuwa ni kosa katika familia hio,.. Kwakuwa gari ilikuwa kwenye spidi kubwa ambayo ridhiwani alishindwa kuidhibiti,... Huezi amini gari ilibingilika mara tatu mpaka kichakani, sasa wakati huo pale kwenye gari ikiwa imetulia haijulikani kama watu wamekufa au wapo hai,



    Lakini kulionekana wasamaria wema waliowahi kuwaseidi,...

    Walikuwa ni watu wachache sana lakini huezi amini Eti walilileta gari mpaka pembezoni mwa barabara, kazi ambayo ilitakiwa ifanywe na katapila lakini wao wameweza,.. Lakini pia katika hao hao wasamalia wema kuna mmoja alionekana kuwa mwizi, kwani alikuwa akitafuta pesa katika mikoba ya akina mama hao na wakati huo mama sarah na mama saida pamoja na ridhiwani woote walizimia lakini hatujui kama wamezimia ama wamekufa, mana hawajatolewa katika gari,..

    "kama huoni beba mkoba wote"

    Aliongea mmoja kati ya wasamalia hao

    "oohhh hiii hapa"

    Waliona walichokuwa wakikitafuta, Lakini ghafla walitoweka katika mazingira ya kutatanisha,...

    Sasa baada ya watu hao kuondoka ndio tunaona gari inatikisika kana kwamba kuna mmoja wao yupo hai,.. Alioanza kuamka alikuwa ni Ridhiwani,

    "mama.... Mama... We mama amka"

    Ridhiwani aliwaamsha wamama hao wote wakaamka na hakuna alieumia wala aliekufa, woote walikuwa wazima kabisaaaa



    HIVYO NDIVYO ILIVYOKUWA, KABLA YA AJALI KUTOKEA, ILISABABISHWA NA NINI.... SASA TUENDELEE NA STORY YETU, IKIWA KUMBUKUMBU IMEISHIA HAPO... NADHANI KUANZIA HAPO ANAPOMUAMSHA MAMA YAKE, MNAJUA KILICHOENDELEA HAPO... SASA TUENDELEE NA STORY MBELE KWA MBELE



    Tukija huku mjini kwa akina mama sarah na mama saida, wakiwa wapo hotelini wakijipongeza kwa kunusurika katika ajali iliokusudiwa, walikuwa hawaamini kama kweli wamepona,..

    "mama saida,... Wewe usijali kushindwa kwa njia ya kwanza haimaanishi kuwa tutashindwa na njia ya pili"

    Aliongea mama sarah huku akimfariji mwanamke mwenzie, kana kwamba wapo pamoja kwa kila jambo...

    "usijali mama sarah, mimi mbona sina presha, ila tatizo ni mwanangu, anaumia sana pale anapoona wenzake wana wasichana"

    "sawa..... Ila mama saida... Kule njiani uliniambia una wazo, je? Ni wazo gani hilo"

    Aliongea mama sarah ili ajue kama ni njia mpya wajue waanze vipi,..

    "kweli nina wazo juu ya kazi yako... Ila sijui kama utanielewa vizuri"

    Mama sarah alishtuka baada ya kusikia hivyo mana anajua hapa kibarua kitakuwa kimeota nyasi...

    "huyu mama saida anataka kuninyima hili dili nini.... Ina maana Bilioni moja nitaikosa hivi hivi... Haiwezekani aniachishe kirahisi kama ndio wazo lake"

    Aliongea kimoyomoyo huyu mama saraha kana kwamba labda mama saida ana nia ya kuikatisha hii kazi ya kupata mbegu za kiume,.. Mama sarah hataki kuiacha Bilioni moja hata kidogo...

    "mama sarah,... Najua kwa upande wako umri umesonga sana kama mimi mwenzio... Na hii kazi kwako nahisi kama nakuonea mama sarah"

    Aliongea hivyo mama saida huku mama sarah akianza kukasirika kana kwamba anapkonywa tonge mdomoni...

    "mama saida... Ina maana unataka kuniambia niachane na hii kazi jamani??"





    Kweli mama sarah alikuwa ana nia ya kumuumiza kijana chidi, tena alikuwa hata hajali tena kama chidi ni kipenzi chake tena, kwa sasa alikuwa akiangalia pesa kwanza kisha ubinaadamu pembeni, sasa leo mama saida kachafukwa, anataka kumnyang'anya kazi mama sarah mana inachukuwa muda mrefu sana pasina kufanikisha lengo, Roho ilikuwa ikimuuma sama mama wa sarah huku akiwa kama haamini kama mama saida ataweza kumnyima hio dili ya bilioni moja, tena aliambiwa ataongezwa milioni 500 kwa hio pesa anayotumia kununulia hizo mbengu, mana chidi kakataa kuvaa kondomu mpaka apewe pesa

    "mama sarah,... Najua kwa upande wako umri umesonga sana kama mimi mwenzio... Na hii kazi kwako nahisi kama nakuonea mama sarah"

    Aliongea hivyo mama saida huku mama sarah akianza kukasirika kana kwamba anapkonywa tonge mdomoni...

    "mama saida... Ina maana unataka kuniambia niachane na hii kazi jamani??"

    Aliongea mama sarah huku akiwa kama kakasirika, mama sarah alikuwa hataki kabisa kuacha kuifanya kazi hio

    "mama sarah, mimi simaanishi uiache kazi, ila kuna njia nataka kuitumia hapo"

    "njia gani mama saida"

    Aliongea kwa mshangao mama sarah kana kwamba ana shauku ya kujua njia inayotakiwa kutumiwa na mama saida...

    "mwanangu saida, nataka nimshirikishe... Nama naona wewe unatumia pesa nyingi sana alafu hukamilishi mama sarah"

    "mmmhhhh mama saida, katoto chako kalivyo kazuri vile unataka ukaingize kwenye haya mambo"

    Mama sarah alianza kuwa na pingamizi kwasababu, saida ni mschana mzuri sana ambae hakuna hata mwanaume mmoja aneweza kuoisha na saida asimuangalie... Yaani mtoto mwenyewe kakaa kama muarabu sio muarabu.. Yaani ni Afrikast, (mtu aliochanganywa mbegu) saida ni mzuri haswa yaani ni kazuri vibaya mno, sasa mama saida yeye anataka kumtumia mtoto wake saida ili matumizi ya pesa kama alioitoa mama sarah yasiwepo tena,...

    Sasa mama sarah hataki kitendo kama hicho mana hataki kijana chidi awe na mpenzi mwingine zaidi yake, haya leo aende akanogewe na kitoto kama hicho huoni hata mapenzi kwa mama sarah yatapungua...

    "Kwahio kama mimi sitoki kwenye kazi, je kazi yangu mimi ni ipi"

    Mama sarah aliuliza swali zuri sana kwa mama saida,

    "mimi nataka wewe umuonyeshe saida huyo kijana"

    "sasa kama ni hivyo, huoni malipo yangu yatapungua"

    Mama sarah yeye alihofia malipo yatapungua

    "wala hata hqyawezi pungua,.. Ila kazi yako ni kumuonyesha huyo huyo kijana na ikiwa tofauti, hapo sintotoa pesa"

    "ok... Kwahio unaamini mtoto wako ataliweza"

    "bila shaka, ataliweza. We unamwonaje saida"

    "kweli saida ni mzuri, tena ni zaidi ya mzuri"

    "najua hizo pesa hawezi kutumia kqma wewe ulivyotumia"

    Mama sarah na mama saida walimaliza kikao chao hapo hotelini huku wakipata moja moto moja baridi,....



    Tukija huku hitelini kwa akina miriam,... Maskini ya mungu miriam kama ni kupenda basi kazidisha upendo mara kadhaa, mana alikuwa hatulii katika kiti chake cha kibosi kila mara anakwenda jikoni kumwangalia chidi kama karudi,... Kila akitaka kumwandikia meseji anakumbuka vile alivyojibiwa kunya, afu akamwambia asubiri kwanza, hana hata hamu ya kutuma sms,... Kila mara miriam anakuja jikoni kuangalia kama mpishi huyo kesharudi ama vipi,.

    "oya washkaji eee, mbona omari anauliziwa sana na huyu boss"

    Aliuliza mpishi mmoja wa chipsi, na alimuuliza mpishi mwenzie

    "aahhh si unajua omari ni mgeni hapa, afu isitoshe omari si ndio mpishi mkuu kwa sasa"

    "Aaahaaaaaaaa sawa nimeelewa... Lakini kama ni chipsi mbona zipo bado au kuna kitu anataka apikiwe nini"

    "wala tu, sema omari ni mgeni hivyo anachungwa sana mana anaonekana ni mtoro sana wa kazi"

    "aahhh afukuzwe tu"

    Kuna baadhi ya vijana hapo hitelini walikuwa hawampendi kijana chidi,... Walikuwa wakitamani afukuzwe ili hio nafasi aliopewa chidi apewe mmoja wapo,...



    Tukija huku nyumbani kwa Ibrahim,... Mke wa Ibrahim akiwa anaongea na simu wakati huo wa jioni kama saa 11 hivi,

    "wewe sabra umepanda gari gani mbona hufiki"

    Mke wa Ibrahim alikuwa akiongea na simu, lakini alionekana ni yule mdogo wake aliomwambia kuwa aje huku Arusha amtafutie chuo, mana kafeli form four,..

    "heeee dada mimi nimeshafika kitambo tu, sema nimepitia kwa mashost zangu"

    "we mtoto mjinga kweli wewe, yaani mimi naumiza kiiiiichwa kumbe upo huko kwa felia wenzio... Ndio mana umefeli we mjinga sana"

    "dada nakuja"

    "fanya haraka giza linaingia hili"

    "sawa nakuja"

    Simu ilikata huku mke wa Ibrahim akiwa na hasira sana na mdogo wake,... Yaani kafika mapema lakini kapitia kwa mashostito zake,...

    "huyu chidi mbona nae harudi jamani"

    Mama king alijiuliza huku akiendelea kufanya kazi zake,... Wakati huo halima alikuwa akijisomea huko chumbani kwake...



    Tukija huku kwa chidi, aliokuwa kashiba pesa, yaani hata kutoka hatamani kabisa, anahisi akitoka tu zile pesa zitaibwa,.. Kaganda huko ndani hataki hata kutoka, macho yake yoote yapo kwenye lile begi tu, na hapo alipo hata njaa hasikii ng'ooo mana pesa imejaa kwenye kibegi, milioni miamoja ulizani mchezo nini wewe, ukiipata hata wewe unaweza kupagawa, Sasa chidi akiwa hapo mara simu yake inaita, kucheki jina alikuwa ni shem lake,

    "haloo shem"

    "eee chidi jamani mbona hurudi"

    "aaahhh leo nipo nyumbani bwana nyumba yangu imefubaa"

    "kwaio leo huji"

    "aahhh kwa leo siji wacha nilale huku huku"

    "chidi jamani, au mtoto wa kike nini hapo"

    "wala tu nipo peke yangu"

    "njooo bwana nikupe"

    "No, hata hivyo kama ningekuja nisingetaka"

    "basi leo ulikuwa na demu wewe"

    "ndio"

    "haaaaaaaaaaaaaaa... Chidiiiiiiiiiiiiii, ina maana mimi sijakuridhisha ile jana"

    "uliniridhisha sana ila sema nilikutana na kitoto kisu kweli nilishindwa kuvumilia"

    "chisi we malaya eeee"

    "heee shem unanitukana ivyo"

    "no ni utani tu bwana usichukie"

    "ok poa, but leo siji napumzika kwangu"

    "mmmhhh sawa"

    Simu ilikatwa huku chidi akiendelea kulala zake,... Na hapo hajala chakula cha mchana afu jioni ndio hio inakuja

    "nikileta usenge hapa naweza kufa njaa kisa ni pesa, kwanini nisizizoee"

    Chidi alijiuliza hivyo kisha akatoka zake nje kutafuta chakula... NDIO MAANA UNAAMBIWA PESA HAINA MSAADA KULIKO UTU,... HEBU TUKUPE HATA BILIONI MIAMBILI AFU TUKUFUNGIE NDANI BILA CHAKULA, TUONE KAMA UTAKULA HIZO PESA HUKO NDANI... KWAHIO WACHENI KUJALI PESA KULIKO UTU, MJALI MTU KISHA JALI PESA,.. UKIFUNGIWA NA PESA NDANI UTAKULA HIZO PESA AU???... MANA ILI ULE NI LAZIMA UTOKE NJE UZITUMIE HIZO PESA BILA HIVYO UTAKUFA NAZO...



    Sasa tukija huku kwa akina sarah na mama yake wakiwa wapo nyumbani, tena ndio walikuwa wanarudi nyumbani,.. Mama kaenda zake kuoga lakini akili yake ni kwa kijana chidi tu,... Mama sarah alimaliza kuoga na kuingia chumbani kwake,...

    Baba yake sarah sio mtu wa kuwepo nyumbani mara kwa mara, yeye ni blocker (mtu wa madini), hivyo kazi zake ni mererani, mbuguni huko na sehemu nyingi zitokazo madini, hivyo kumkuta nyumbani ni nadra sana,..

    Sarah nae aliingia bafuni kwake na kutaka kuiga, lakini bomba la mvua la hapo bafuni kwake lilionekana kuwa na mushkeli kidogo hali ya kuwa halikuwa likitoa maji kwa wakati huo,.. Sarah alienda mpaka chumbani kwa mama yake na kumpa taarifa ya bomba la bafuni kwake halifanyi kazi..

    "mama"

    "nini wewe mbona wanishtua hivyo"

    "mbona kule bafuni kwangu majukumu hayatoki"

    "aaahhh kwanini hayatoki"

    "mi sijui"

    "wewe mtoto mwongo sana, mimi si nimetoka kuoga muda huu huku bafuni kwangu"

    "lakini kule kwangu hayatoki"

    Aliongea Sarah kwa kudeka huku mama yake akiendelea kuchati... Aisee mama anapenda kuchati huyu khaaa tuu machi kwa kweli,..

    "we nenda kaoge huko kwangu, afu kesho tutaita fundi"

    Aliongea mama sarah huku akiendelea kuchatika, sarah alionekana kuna mahari anawahi hivyo hakutaka kuchelewa, aliingia bafuni na kuto kikanga chake alichokikatishia kifuani na ndani alikuwa na chupi tu na hio kanga,.. Alipotoa kanga yake, sasa ile anairushia kwenye henga ya kuwekea nguo, aliona nguo ya ndani ambayo alishawahi kuino sehemu, sarah alivuta kumbukumbu siku alipoiona hii nguo ilikuwa hivi....



    "baby"

    Sarah aliita huku akiendelea kuiangalia nguo hio

    "nini tena mamy wangu"

    "njoo"

    Chidi alijua anaitwa kimahaba, mana mpenzi wako akikuita bafuni ni raha kweli, hivyo chidi kaenda na mbwembwe zote,..

    "hiki kigaguro hapa ni cha nani"

    "haaaaaaaaaaaa"

    Chidi alitamaki ila alipoiona aliijua, sema sasa hakujua kama iliachwa huku bafuni,.

    "chidi mpenzi wangu, ina maana umetoka kulala na mwanamke sasa hivi tu, tena huyu mwanamke hata sio saizi yako jamani"

    Sasa chidi ni mtoto wa kiume ila sidhani kama mawazo yake yataweza kumtuliza sarah,

    "aaahhhh babiiii, hio ni sapraizi jamani sarah"

    "sapraizi???... Sapraizi ya nini"

    "nilikununulia wewe"

    Chidi aliongea huku akijiamini kwelikweli,

    "ivi we chidi, na akili yako yote hii nguo inanienea kweli hii"

    "amnaaa, hio ni saizi kabisa"

    "ok.. Haya mbona imefuliwa muda huu"

    "ndio.. Coz nilipoileta, ilidondoka hivyo nikawa nimeifua"

    "ok.. Kwahio unasema hii chupi ni mpya si ndio"

    "haswaaaaaaaa"

    "mbona kuna baadhi ya sehemu zimefumuka uzi"

    "aaaaaaYaaaaaa.... Huyu fundi atakuwa feki,... Ebu ngoja nitaipeleka kwa fundi"



    Alipomaliza kukumbuka alijikuta anaikagua vizuri

    "mungu wangu, mbona ndio ile ile, hata ile sehemu iliofumuka hii hapa"

    Sarah aliongea huku akiwaza mambo mengi sana kuhusiana na nguo hio,..

    "ina maana ile siku mama alikuwa na chidi,... Lakini chidi mbona aliniambia ni jirani yake ndio aliisahau baada ya kuja kuoga kwenye bafu lake"

    Sarah alijiuliza maswali mengi sana lakini maswali yote hayo, mama hakosi kujibu hata moja

    "Ina maana kwamba mama yangu ana uhusiano na mpenzi wangu???.... hapana, ngoja nimuulize mama Tarehe 9 mwezi huu hiii chupi ilikuwa wapi,... Na akishikwa na kigugumizi tu basi ni kweli"

    Kweli sarah alijifunga kanga yake, kisha akaichukuwa na ile chupi ya mama yake na kuianza hatu ya kumfuata pale kitandani mana bafu hilo lipo chumbani kwa mama yake, maana yake ni kwamba, hilo bafu ni la mama yake..

    "mamaaaa"

    "nini jamani sarah... We si uoge ukampumzike mwanangu"

    Wakati huo sarah kaishika ile nguo ya mama yake lakini mkono ulioshikia nguo upo kwa nyuma, kana kwamba mama bado hajaona,.... Hasira zilishaanza kumjaa mtoto wa kike, na hata machozi yalikuwa yakimlenga lenga kwa mbaali sana..



    Hakuna kitu kibaya kama kushea penzi kwa mwanaume mmoja na mama yako, binafsi inauma sana, mana ukiangalia yeye na mama yake wapo katika uhusiano na mwanaume mmoja, afu mbaya zaidi ni mtu anayempenda mpaka basi,..

    Yaani yeye sarah hawazii kushea penzi moja na mama yake, bali anawazia kwanini mama afanye mapenzi na mpenzi wake... Hayo ndio mawazo ya mwanadada huyo huku akiwa kaishika nguo hio,

    "mamaaaa"

    "nini jamani sarah... We si uoge ukampumzike mwanangu"

    Wakati huo sarah kaishika ile nguo ya mama yake lakini mkono ulioshikia nguo upo kwa nyuma, kana kwamba mama bado hajaona,.... Hasira zilishaanza kumjaa mtoto wa kike, na hata machozi yalikuwa yakimlenga lenga kwa mbaali sana..

    Lakini kabla hajaongea hivyo sarah alifikiria mara mbili kuwa, huenda akamshambulia mama yake bure na wakati nguo huenda zinafanana, Sarah alizidi kuificha ili mama yake asiione mana tayari keshaamua kuachana nalo

    "ngoja nitamuuliza chidi ile nguo kama ipo au haipo"

    Alijiongolea kimoyomoyo huku akirudi zake bafuni kuendelea kuoga zake... Aliirudisha nguo hio katika henga ya kuanikia huko huko bafuni,..

    Baada ya muda mfupi tayari keshamaliza kuoga



    Tukija huku nyumbani kwa chidi akiwa kalala zake ila jicho halitoki katika pesa yaani haondoi jicho kwenye ile pesa,.. Na ukumbuke kuwa wakati huu ni mida ya saa moja hivi jioni,.. Ghafla alipokea sms kutoka kwa miriam ambae hamjui,..

    "mambozako best, za mchana kitwa"

    Hio ni sms iliotoka kwa miriam ikimjulia hali kijana chidi,..

    "safi tu zakwako"

    Alijibu hivyo huku akiwa na furaha kiasi flani.. Basi hapo miriam alijiskia raha sana kwa kujibiwa vizuri salamu yake mana chidi akiwa na hasira, sahau kujibiwa vizuri, tena huenda akakukaushia kabisaaa...

    "salama tu, nisalimie wifi yangu"

    Alijibu miriam huku akiongea hivyo ili ajue kuwa chidi ana Girlfriend au inakuwaje,..

    "sawa nitamsalimia kwa ajili yako"

    Miriam kuona sms hio alikasirika kwani hakutaka kujibiwa hivyo,..

    "mmmhhhh poa"

    "nini mbona umeguna"

    "sijapenda hilo jibu lako"

    "lipi hilo"

    "kumbe una mpenzi"

    "aaahhh poa basi kesho"

    "unalala jamani"

    "ndio"

    "ok... Njozi njema"

    Chidi hakujibu chochote kile akalala zake fofofo ili kesho awahi kazini



    Tukija huku kwa mke wa Ibrahim ambae ndio shemela wa kijana chidi,..

    Leo nyumbani kwao kulikuwa na ugeni wa mdogo wake aitwaye sabra,. Mtoto wa kike mwenye umbo la kipekee na weupe wa asili,

    "dada mi naenda kulala chumba kile pale"

    Sabra alimuaga dada yake kuwa anakwenda kulala katika chumba alichokipenda, lakini chumba alichochagua ni kile chumba cha chidi

    "weeee hicho chumba ni cha shem hicho"

    "sheeem... Shem nani huyo"

    Sabra aliuliza kuwa ni shemwji gani huyo anaelala katika chumba hicho

    "si mdogo wake Ibrahim, shemeji yako"

    "heeeee kwani shem Ibrahim ana ndugu"

    "ndio... "

    "yuko wapi sasa mbona sijamuona mezani"

    "aaahhh sema ana kwake, hivyo kuja kulala huku hua anaamua tu"

    "aahhhh... Sasa kumbe anaamuaga kuja tu, wacha nikalale mimi"

    "sabraaaaaa... Lakini akija utampisha"

    "sawa, ila nikinogewa na hiki chumba itabidi yeye alale chini mie juu"

    "mjinga wewe... Nitakupiga sasa hivi umlaze mkaka wa watu chini"

    "mmmhh dada nimekutania tuuu... Ila mbona umepaniki hivyo"

    "nimepaniki kwasababu jumba kubwa namna hii afu unataka umlaze mtu chini"

    Jasmini au mke wa Ibrahim alikuwa akimgombeza mdogo wake, kwa kutaka kumlaza chidi chini, na wakati shemela anajua umuhimu wa chidi kuwepo ndani ya nyumba hio...

    Basi jasmini alimruhusu mdogo wake akalale katika chumba hicho,...

    "ooohhh jamani hii ajali ni mbaya mmhh"

    Alikuwa ni jasmini akiwa anaangalia video flani katika simu yake,...

    "ni ajali gani dada"

    "hiiii hapa nimerushiwa WhatsApp sasa hivi"

    "iiiiiiii hebu nirushie niisambaze kwenye group la wasap"

    Basi jasmini akawa anaituma kwa kutumia wasapu, lakini katika chati ya wasapu namba ya chidi ilikuwepo.. Na picha yake kabisa...

    "heeeee huyo boy hapo ndo nani"

    "eeeee weee naaaawe... Kila kitu wataka kujua tuuu aahhh tu unanichosha sabra"

    "jamani dada kwani nimeuliza tuuu"

    "haya ndio huyo mdogo wake ibrah"

    "heeeeeee hebu.. Kumbe mdogo mi nilijua libaba"

    Sasa sabra akachukuwa simu ya dada yake na kuikuza ile picha...

    "heeeeeee... Mbona hii sura sio ngeni kwangu"

    Aliingea sabra huku akiiangalia ile picha kwa umakini mkubwa,

    "we kweli kichwa chako kibovu na ndio mana ukafeli, yaani wewe kila kitu wakijua.. Haya huyo mtoto wa watu nae ulimuona wapi wewe"

    Aliongea jasmini huku akimwangalia sana mdogo wake,...

    "ila sema niliomuona mimi hakuwa mweupe kama huyu"

    "hebu lete simu yangu,... Huna lolote wewe"

    Sasa sabra akawa anavuta kumbukumbu siku alipomuona kijana huyo, alikuwa hakumbuki kwa haraka ila anamjua kabisaa, ila sijui walikutana wapi...

    PATAMU APO



    Baada ya siku hio kupita, na leo ni siku nyingine tena.... Tukiwa huku Hotelini kwa akina miriam ambako chidi ndipo anapofanyia kazi,... Ikiwa ni mida ya saa tatu ya asubuhi, chidi akiwa bize na kazi,

    "oya omari ee"

    "sema side"

    "aisee boss mdogo jana alikuwa anakuulizia kila saaa"

    "nani.. Boss miriam"

    "ndiooo"

    "wachaaaaaaa.... Ishakuwa tabu nini"

    "amna.. Lakini we si uliaga, au ulitoka kimya kimya"

    "niliaga na hii ishu boss mkubwa anaijua"

    "aaahhh hapo fresh, ila kama usingeaga ingekuwa tabu mzee"

    Haikupita hata muda boss Miriam keshafika katika jiko la chipsi na kumuita kijana chidi

    "omariiii"

    "naam boss"

    "nione ofisini"

    "sawa boss"

    Miriam kajikaza ile mbaya kwa kuja kumuita chidi kibabe babe,... Afu huyoo akaondoka, huku chidi maskini keshaanza kutetemeka mana hata Miriam ana uwezo wa kumfukuza sio lazima afukuzwe na boss mkubwa,..

    Chidi alipofika ofisini kwa miriam alimkuta anaweka karatasi kwenye bahasha, chidi akajua hapo baasi kibarua kimeota nyasi,.. Mana hata barua ishaandikwa tayari,..

    "ndio boss nimefika"

    Aliongea chidi baada ya kufika ofisini kwa miriam....

    Sasa miriam akaanza kukumbuka yale majibu mabovu aliokuwa akijibiwa kwenye SmS na kijana huyo ila sema chidi hajui kama ni miriam huyo,..



    *******************************

    "best, bado upo bize"

    Alikuwa ni miriam aliokosea namba ila kwa sisi wasomaji tunajua kuwa huyo ni miriam yule yule boss wake, sasa kaja kwa njia ya kama miriam mwingine,..

    "ndio nipo bize subiri"

    "heeeee kwani unafanya nini"

    "Hayakuusu bwana we subiri kwanza.. Afu ukiendelea kuchati na mimi naweza kukublock eti"

    "mmmhh sorry,.. Nitasubiria basi"

    ***********************************



    "mmmhhhh poa"

    "nini mbona umeguna"

    "sijapenda hilo jibu lako"

    "lipi hilo"

    "kumbe una mpenzi"

    "aaahhh poa basi kesho"

    "unalala jamani"

    "ndio"

    *********************************

    Kiufupi majibu ya chidi yalikuwa hayamfurahishi miriam kabisa, yaani ndio kwanza yamemwongezea hasira

    "kaa kwenye kiti unanisimamia nini"

    Miriam aluongea hivyo lakini roho haikupenda kumjibu hivyo, ni basi tu kutokana na hasira ya zile sms walizokuwa wakichati... Kwahio hapo chidi ataadhibiwa kwa kosa ambalo halijui, ila yeye anajua ni hilo la kutokuwepo jana..

    Miriam alikumbuka tena jana alipomuuliza mama yake kuhusiana na chidi kutokuwepo kazini

    "mama ivi yule omari kakuaga"

    "Omari... Omari yupi uyo"

    "si yule kijana mgeni"

    "aaahhhhhh... Eeeee kaniaga na pia kaagiwa na mama yako mdogo mama sarah... Hivyo hana shida atakuja kesho"

    "hhhooo sawa"



    Miriam alipomaliza kukumbuka alitoa macho kuyafanya yawe makubwa lakini haikuwezekana mana ana vijicho vidogo kwahio hakiweza kumtishia chidi kwa macho...

    "we jana ulikuwa wapi"

    Alimuuliza ingawa anajua jana alikuwa wapi

    "samahani boss, kuna ubize kidogo nilikuwa nao"

    "ubize gani huo"

    "Sorry... Nilimpeleka mtoto wa kaka yangu hospitali"

    Sasa miriam kuskia hivyo, hasira zikapungua huku akijisemea kimoyomoyo kuwa

    "kumbe ndio mana alikuwa ananijibu kwa hasira,.. Kumbe alikuwa hospitali?... Eeeh mungu nisamehe mana sikujua hilo"

    Alijiongelea hivyo huku akishusha pumzi kubwaaa...

    "Nisamehe omari eee"

    "hakuna shida boss"

    Sasa miriam ana akili za kijinga sana, yaani anampenda chidi mpaka basii yani, sasa pale pale chidi akiwa kainamisha kichwa kwa uoga wa kufukuzwa kazi... Miriam alijaribu kuandika SMS kisha akamtumia... Ghafla chidi anashituliwa na mlio wa sms, alitoa simu mfukoni na kuangalia, alikuwa ni miriam aliomsevu WRONG NUMBER...

    "aahhhh"

    Chidi aliguna kisha akarudisha simu mfukoni bila kujua kuwa huyo huyo aliokuwa nae ndio anaemtumia sms ila chidi hajui kama ni miriam huyo..

    "nini"

    Aliuliza miriam huku akiandika sms nyingine

    "aahhh kuna lijitu linanisumbua kila saa tu"

    "ati nini... Lijitu, lijitu ndio linini"

    Miriam alishtuka kuskia neno lijitu, mana inamlenga yeye,...

    "kuna mtu ananitumia sms na wakati nipo kazini"

    "sasa si umjibu tu"

    "aaahh achana nalo"

    Miriam roho inamuuma mana ni yeye ndio katuma hio sms,..

    Mara sms nyingine ikaingia tena,..

    "ok sasa we nenda nitakuita baadae"

    Aliongea miriam kisha chidi akaondoka zake kwenda jikoni kufanya mapishi ya chipsi,..

    Haikupita muda mara sms nyingine imeingi... Chidi alikuwa akikasirika mno mana itamfanya afukuzwe kazi bureee, chidi hakuhangaika nazo kabisa, tena alizima na simu kabisaaaaa



    Tukija huku kwa akina mama saida na saida mwenyewe, mama saida kamuita mtoto wake huyo saida ili amweleze kazi anayotaka kumpa... Saida mwenyewe alishangaa kuona mama yake leo kamuita faragha kabisa yani tena chumbani wakiwa wenyewe,...

    "mama kuna nini mbona tupo wenyewe huku"

    Aliongea saida huku aking'ata kucha mtoto wa kike alio mzuri tena mixer mixer hivi, Mwarabu sio Mwarabu Mwafrika sio Mwafrika, yaani yupo kote kote....

    "mwanangu.... Kwanza nafurahi sana kupata mtoto mrembo kama wewe"

    Aliongea mama saida huku akimshika mtoto wake, kana kwamba kuna kitu kizito anataka kusema au kufanya,...

    "mama najua mimi ni mrembo, lakini luna nini mana bado sijaelewa"

    "ni kweli mwanangu,... Ila tatizo ni mdogo wako"

    Mama alikuwa anaogopa hata kumwambia saida, mana hii ishu ya ridhiwani anaijua baba na mama tu,..

    "nani huyo, ridhi au"

    "ndio"

    "ana nini... Mbona kaenda kazini asubuhi na hajasema kama anaumwa"

    "mwanangu.. Mdogo wako ana shida kubwa, lakini shida hio inawezekana kutatulika ila ukiwemo wewe"

    "mama mbona sikuelewi mama angu"

    Mama alikuwa anaogopa kisema, ila hana budi kumwambia ukweli juu ya mdogo wake huyo..

    "ukweli ni kwamba, mdogo wako ridhiwani, sio mwanaume aliokamilika"

    "ati nini... Una maana gani mama"

    "mdogo wako hana nguvu za kiume toka alipozaliwa"

    "Whaaaaaat..... Mamaaaaa unanidanganya"

    "nakuambia ukweli.... Ila nilienda kwa wataalamu wakaniambia kuwa inawezekana... Lakini sasa wewe ndio utakaeiweza"

    Huezi amini saida alianza kulia machozi baada ya kuujua ukweli wa mdogo wake ulivyo, mana anaishi nae lakini hajui kama kweli mdogo wake ana hali hio,..

    "mama kwani wataka nifanyeje sasa"

    Aliingea saida huku akilia kabisa kwa uchungu

    "ili ridhiwani apone... Kunahitajika mbegu za kiume, kwa mwanaume rijali"

    "mamaaaa... Sasa si twende hospitalini"

    "hapana mwanangu... Sio hizo za huko. Bali kuna kijana ambae ni rijali haswa na ndio huyo tunazitaka mbegu zake"

    "mama... Ni nani huyo, mi mipo tayari kutafuta majambazi tukamkamate"

    "saidaaaaaa.... Sio kila kitu ni mabavu tu, mengine tutumie akili tu"

    Aliongea mama na kumwacha saida njia ya panda

    "tufanyeje sasa"

    "unatakiwa kutembea nae,.... Ili tupate hizo mbegu zake"

    "Whaaaaaat.... Yaani mimi nimsaliti mpenzi wangu nitembee na mjinga mjinga tuuu kisa ni hizo mbegu, hapana mama siwezi"

    "sawa mwanangu... Mimi sikulazimishi... Lakini fikiria mara mbili mbili kuwa... Huyo mpenzi wako na ndugu yako, nani mwenye thamani... Na kaa ukijua kuwa ukiwa na kaka, basi utarajie kupata wifi.. Je kwa hali ya mdogo wako utapata wifi wewe???.....saida mwanangu, wewe utaolewa hata kama asiwe huyo mchumba wako, Lakini je mdogo wako?? Aolewe na yeye si ndio??"



    Mama saida yeye pia alikuwa hajui kama mtoto wake yupo na hali hio ya ukosefu wa nguvu za kiume, kwani siku alioojifungua aliona ni kawaida tu baada ya kukosea alichokosea,.. Na ridhiwani nae pia kipindi ana miaka kama 15 hivi, aliona labda kila mtu na hisia zake, kana kwamba kusimamisha kutategemea na balehe, hivyo ndio maana akachelewa kuongea mpaka sasa ana umri wa miaka 22, umri sawa na kijana chidi,.. Sasa baada ya kuona mbona hasimamishi ikabidi aongee na baba yake kuhusiana na ishu hio,... Alipoongea na baba yake waliondoka wote mpaka hospitalini, wakafanyiwa vipimo vyote na madaktari wakagundua tatizo lilikuwa wapi mpaka mtoto huyo kushindwa kusimamisha,... Ndipo baba akaja kwa mama na kumueleza kila kitu kuhusiana na mtoto wake huyo,... Ndipo mama kuanzia siku hio akaanza kumhangaikia mtoto wake ili aweze kuwa na nguvu za kiume kama vijana wengine,...

    Ikafikia mpaka kuzivizia mbegu za kijana chidi ili mtoto wao ridhiwani apate kuwa wakiume kamili,... Na kupata mbegu za kiume sio lazima awe chidi tu, bali ni kwa mwanaume yeyote yule anafaa, ila sema mama saida tayari keshasikia sifa za chidi hivyo ndio maana akamkazania huyo huyo ndio anataka mbegu zake, lakini sio lazima awe yeye....



    Mama saida alimpa kazi mama sarah ambae ni rafiki yake wa muda mrefu, lakini mama sarah alionekana hajui kumshawishi mtu kwa kutumia maneno, mpaka atoe pesa nyingi ndipo afanikiwe,.. Sasa mama sarah kaamua kumtumia mtoto wake saida ambae ana uzuri wa aina yake yaani saida kila kona ni mzuri, na kana kwamba hata akimwambia mwanaume avae kondomu atakubali bila kipingamizi, mana uzuri wake tu unajitosheleza kumzibiti mwanaume...

    Lakini mama saida alijikuta anagonga mwamba baada ya saida kukataa katu katu kufanya mapenzi na mtu asiomjua na hata kama angalimjua pia isingelikuwa rahisi kufanya nae mapenzi..



    "Whaaaaaat.... Yaani mimi nimsaliti mpenzi wangu nitembee na mjinga mjinga tuuu kisa ni hizo mbegu, hapana mama siwezi"

    "sawa mwanangu... Mimi sikulazimishi... Lakini fikiria mara mbili mbili kuwa... Huyo mpenzi wako na ndugu yako, nani mwenye thamani... Na kaa ukijua kuwa ukiwa na kaka, basi utarajie kupata wifi.. Je kwa hali ya mdogo wako utapata wifi wewe???.....saida mwanangu, wewe utaolewa hata kama asiwe huyo mchumba wako, Na je mdogo wako?? Aolewe na yeye si ndio??"

    Aliongea mama saida kisha akaondoka zake, Saida alibaki hapo chumbani kwa mama yake huku akiwa analia machozi kwa jinsi anavyompenda mdogo wake afu leo unaambiwa kumbe ni kidume hewa...



    Tukija huku hotelini kwa akina miriam, chidi akiwa yupo jikoni anafanya mapishi,

    "oyaa omari mbona simu yako haipatikani"

    Huyo alikuwa ni rafiki yake saidi ndio aliomuuliza kuwa mbona simu yake haipatikani,..

    "aahhhh kuna lidemu linanisumbua kinoma yani"

    "aahhh sasa demu si umpokelee tu"

    "sijiskiii"

    "utakuta keshakupenda huyooo"

    "anipe wakati hanijui,... "

    "duuuuu kumbe hamjuani"

    "ndio wala silijui... Ila aliniambia anaitwa miriam"

    Mara kuna jamaa kaingilia kati baada ya kusikia kuwa mtu anaemsumbua chidi anaitwa Miriam.... Sasa kumbe wakati huo miriam yupo mlangoni hapo alikuwa akisikiliza maongezi ya watu hao

    "heeeee au atakuwa anapendwa na boss nini... Jamaa ana zali huyu"

    Ni huyo jamaa ndio aliongea hivyo huku akimuangalia chidi

    "weeeeeeeeeeee akipendwa na boss Miriam mi nakunya pale mezani,.. Yaani naenda kufukuza wateja napanda juu ya meza nadondosha kitu pale"

    Aliongea rafiki yake chidi ambae ni saidi huku akiwa katoa macho kweli,..

    Basi wapishi wote wakacheka kwa maneno ya saidi kusema kuwa, kama kweli chidi atapendwa na boss miriam basi saidi atapanda juu ya meza na kuangusha kinyesi juu ya meza za chakula....

    Wakati huo miriam nae alikuwa akicheka huku alipokuwa akiwasikiliza,.. Mana ni kweli ni miriam boss lakini chidi hajui kama ni huyo boss,..



    Sasa mara ghafla miriam akaingia hapo,

    "eeehhh ata boss hatajwi.. Huyo anakuja jamani tulieni"

    Aliongea saidi huku wapishi wote kimyaaa

    "we omari mbona simu yako haipatika, mi nataka nikutume sokoni hupatikani"

    Aliingea miriam kana kwamba kama vile alikuwa anagomba hivi

    "samahani boss,.. Lakini mbona watu spesho wa kuenda sokoni wapo"

    "sawa, lakini ukumbuke wewe ndio mpishi mkuu wa chipsi, sasa ukiwa hupatikani we ulifikiri itakuwaje"

    "ok sawa,... Nitume basi niende"

    "tayari nishamtuma mtu, ila usirudie kuzima simu tena sawa"

    "sawa boss"

    Miriam aliondoka kama vile mtu mwenye hasira nyingi, lakini alipofika mbele alitabasamu... Huku akisema

    "lakini mbona kama nazidi kumtia uoga"

    Aliingea hivyo miriam huku akielekea zake kwenye ofisi yake....

    "duuuuuuuuuuuu mi ndio mana spendi cheo chochote kile, yaani nachukia sana kufatiliwa"

    Aliingea kijana chidi huku akikaa kwa kuchoka

    "lakini ulikitaka mwenyewe, sasa ngoja ukione cha mtema kuni"

    Aliingea mpishi mwenzie mmoja huku wakiendelea na kazi ya upishi wao

    "kwani mi nilikitaka basi.... Wao wenyewe ndio walinipa mcheo wao.... Ohhh mpishi mkuu mpishi mkuu,.... Nauchukia sana huu upishi ukuu"

    Aliongea chidi huku akiwasha simu yake, SMS nyingi sana ziliingia na zilikuwa ni za huyo huyo miriam aliomsevu WRONG NUMBER...

    "aaahhhh demu anakera huyuuuuuu khaaaa"

    "demu nani tena Omi"

    "aahhhh si uyo miriam aliokosea namba"

    "chonga nae,... Usiwe na hasira kiasi hicho hao ndio starehe zetu"

    "aahhh sio kwangu"

    Chidi alizifungua zile sms lakini zote zilikuwa ni salamu tu na kuambiwa mbona hajibu sms...



    Masaa yalisogea na sasa ni mida ya jioni kama saa 11 hivi,... Tukiwa huku kwenye mjengo wa kitajiri wa akina saida, wakati huo ridhiwani ndio alikuwa anarudi kazini, mana anafanya kazi kwenye kampuni yao wenyewe,.. Ridhiwani aliingia chumbani kwake huku akiwa kachoka sana,.. Aliingia bafuni baada ya muda katoka kabadili nguo kisha akaenda zake kuketi sebuleni na kuangalia TV,... Haikupita muda dada yake alifika

    "mambo ridhi?"

    "safi tu dada angu, hali yako"

    "nzuri tu... Pole na kazi"

    "aahh tunamshukuru mungu kazi zinakwenda vizuri"

    "pole sana kaka angu"

    Saida alitoa pele kwa kusudio fulani mana keshajua mdogo wake sio mwanaume kamili,...

    "ahsante"

    Ridhiwani yeye hajui kama hio pele alipewa kwa maana gani,.. Saida alitamani kulia pale pale lakini aliwahi kuondoka ili ridhiwani asijue kuwa kwanini dada yake analia mbele yake,..

    Saida aliingia chumbani kwake na kujifungia huku akilia sana kuhusiana na mdogo wake huyo...



    Tukija huku kwa kijana chidi aliokuwa akitoka kazini kuelekea nyumbani kwa kaka yake, ikiwa ni mida ya saa moja kasoro jioni...

    Chidi alichukuwa pikipiki iliomfikisha mpaka nyumbani kwa kaka yake,... Lakini kufika getini hakutaka kuingia ndani kabisa bali aliishia pale kwa mlinzi, basi chidi na mlinzi wakaanza kupiga stori za hapa na pele,.. Wakati huo kuna giza giza hivi taa zilikuwa zimeenea nyumba nzima, lakini pale walipokaa akina chidi palikuwa na giza hivyo kwa kule ndani ni ngumu kuwaona kwa kuoitia kamera walizofunga huku getini,...

    "vp broo karudi"

    "aahhhh bado,... Kaka yako hajagi mida hii"

    Alikuwa ni mlinzi ndio kamjibu kijana chidi wakati huo bado stori zinanoga sana tu

    "aahhh mzee wa tungi yule hawezi kuwahi kurudi"

    Chidi alipoongea hivyo aliamka na kutembea taratibu kuelekea ndani,... Lakini wakati huo chidi hajui kama kuna mgeni ndani, afu mbaya zaidi mgeni huyo anadai eti anamjua chidi, kitu ambacho hata sisi wasimaji tunabaki mdomo wazi kuhusiana na hilo...

    "waaoooooo shem mambo"

    Alikuwa ni jasmini aliomkimbilia kijana chidi kwa kumkumbatia,.. Lakini walipokumbatiana jasmini kuna neno alimwambia chidi....

    "nina hamu kweli ila sintoweza mana mdogo wangu yupo"

    Aliongea tena kwa sauti ya chini mno,..

    "sawa"

    Chidi hakutaka kuuliza sana kuhusiana na mdogo wake huyo, ila alitii amri kuwa leo awe na heshma kiasi fulani...

    Sasa chidi akawa anaelekea kule chumbani kwake ambako sabra kakung'ang'ania kuwe kwake...

    "shem shem... Subiri kwanza.. Huyo mdogo wangu kachagua kulala chumba hicho, sasa sijui utachagua chumba kingine"

    Aliongea jasmini huku akifikicha vidole vyake na wakati huo ujicho wa jasmini ulikuwa ni ule wa kuita..

    "sawa.. Nitalala chumba kipi"

    Aliuliza kijana chidi.. Na shem akamuonyesha chidi chumba alichotakiwa kulala,.. Kilikuwa ni chumba cha jirani sana na kile cha mwanzo ambacho sabra kakigandia huko....

    Kwakuwa kila chumba kina kitanda chake, hivyo chidi aliingia na kuoga kisha akawa kapumzika....

    Mara ghafla chidi anaitwa

    "shemmmmm"

    Alikuwa ni jasmini ndio aliokuwa akimuita chidi

    "naam"

    "chakula"

    Chidi aliamka huku akiwa kugonga kabukata chake, afu kavaa vest pale kwenye kifua kuna viunywele kidogo vinaonekana kwa mbali...

    Sasa chidi alikuja kama nguruwe kichwa chini na kukaa kwenye kiti,... Sasa ile kuinua macho tu kakutana uso kwa uso na sabra,... Chidi alishtuka, ila wakati huo jasmini alikuwa bado anaandaa chakula,.. Hata sabra pia alishtuka kana kwamba alichokisema kuwa anamjua, sio uongo ni kweli na hata chidi pia alionekana kumjua... Tena chidi alipovuta kumbukumbu yake,.. Ni demu ambae alishawahi kumpa namba za simu ila hakumbuki ni wapi.. Yaani huyu sabra alishawahi kumpa chidi namba za simu, ila chidi hakumbuki... Lakini walionekana kujuana haswaa...





    Kijana chidi alishangaa sana kukutana na sabra ambae hakumbuki walikutana wapi siku hio,... Chidi alikuwa akila chakula huku akivuta kumbukumbu juu ya mwanadada huyo ambae hata kumbukumbu haimjii kabisa lakini anamjua haswa kuwa huyu tulishawahi kukutana mahari,...

    "huyu mtoto wa kike tulishakutanaga wapi huyu"

    Alijiongelea mwenyewe kimoyomoyo huku akiendelea kula....

    Mara chidi aliipata kumbukumbu sahihi siku waliokutana... Ilikuwa ni siku hiii wakiwa kwenye basi, kama unakumbuka siku ile chidi anakuja arusha kuna dada alikutana nae kwenye basi, na walileteana shida sana... Wacha nikupe kwa ufupi ili ukumbuke.. Ilikuwa hivi



    "lete nauli ukae hapo"

    Kijana chidi kwa kutia huruma alitoa pesa yote mpaka mfuko unaning'inia kwa kukosa pesa zingine,...

    "mbona bado elfu tano"

    "jamaa angu, sina hata shilingi na laiti kama usingeandika hio tiketi ningeshuka nikatafute gari nyingine"

    Mara watu wakaanza kumuombea, chidi asamehewe,

    "msamehe tu kijana mwenzio"

    "amana mzee hawa wanafichaga pesa hawaa"

    "lakini keshakwambia hana, au mpe pesa yake akupe tiketi yako"

    "aahhh ebu kakae pale.. Unazingua tu"

    Sasa siti alioandikiwa kulikuwa na mrembo mkali anajishaua huyo, hapo alipo yenyewe alikuwa na Headphone maskioni huku kashika lisimu likubwa mno, anakula mziki,...

    "nikakae pale"

    "kaaa pale hueleweki Kiswahili ww bwege nini"

    Aahhh kijana chidi alikuwa akikutana na vikwazo kama hivyo,

    Sasa chidi ikabidi akae tu mana ndio siti alioandikiwa

    Sasa ile kukaa tu, yule demu kaanza mdomo

    "we kaka vipi, ina maana huoni pakukaa mpaka uje hapa,.. Lione vile sjui halijaoga"

    Watu wote walitulia kimyaaaaaa wakisubiri chidi ajibu kitu..



    BAADA YA DADA HUYO KUKAA CHINI NA KUGUNDUA HAKUFANYA KITU KIZURI KWA BINAADAMU MWENZIE.. AKAJIKUTA ANAJISOGEZA TARATIIBU KWA CHIDI... NA MWISHO AKAMUANDIKIA KAUJUMBE WAKATI NDIO KESHAFIKA KWAO USA RIVER.. UJUMBE ULIKUWA HIVI....



    "naitwa saumu, nashukuru kwa ukarimu wako, na nilikuwa na vingi vya kuongea sema muda hautoshi,.. But yote 9.. Kumi ni kwamba naomba unisamehe kwa yale nilioyafanya mwanzo... Nimekiri kosa langu kwako,... Natamani niwasiliane nawe, lakini nimeona aibu kukuomba namba ya simu lakini naomba tuwasiliane kwa namba hii ni yakwangu, Please usinisahau"



    HUO NDIO UJUMBE ALIOANDIKIWA KIJANA CHIDI... LAKINI ALIPOTAKA KUMPA NA YEYE NAMBA YAKE,.. SAUMU AKAWA KESHASHUKA KWAO AMBAKO NI USA RIVER....



    Chidi anamaliza kumbukumbu haamini kama ndio huyu... Na mbona kule alisema anaitwa Saumu lakini huku anaitwa sabra.. Chidi hakutaka kumuuliza kitu lakini alimjua vizuri sana, tena alimtia aibu kwenye gari siku chidi anakuja arusha... Ili kukumbuka vizuri nenda kasome Sehemu Ya 7 na 8 utamjua huyo sabra vizuri siku hio alimtiaje chidi aibu kwenye gari na kumwambia unanuka kama mbuzi,na hastahili kukaa na mimi siti moja... Chidi hakuleta vurugu yeyote siku ile, alikua mpole sana sasa upole wake ndio ulimfanya sabra au Saumu kujirudi na kumuomba chidi msamaha baada ya kumwambia hajaoga ananuka kama mbuzi..... Chidi roho ilimuuma sana hata chakula kilikuwa hakishuki kwa hasira, kila akikumbuka siku ile anaambiwa hajaoga ananuka kama mbuzi vile, kisa wao wanapesa... Chidi alikasirika kwa kukuta kumbe mtu huyo ndio anakuja kuishi nae nyumba moja....

    Kijana chidi aliondoka mezani na kuelekea chumbani kwake mpaka kitandani tena akajifunika shuka kabisaa, sasa huku mezani sabra nae pia alikuwa hamkumbuki vizuri.. Sasa ndio anakumbuka kuwa huyo ndio yule kijana aliomnyasa nyasa kwenye gari kisa alikuwa anatoka kijijini bado mshamba mshamba,...

    "mungu wangu, sasa nimemkumbuka maskini ya mungu kumbe katakuja kuwa kashemeji ketu"

    Aliongea "kata" lakini sio "Ni" shemeji yetu, kwahio kuna hali ambayo ni ya tofauti katika hii nyumba, ila tutajua mbele

    Jasmini alipokuja mezani alishangaa kukuta chidi hayupo mezani,

    "kaenda wapi"

    "kaenda kulala"

    "mbona hajala sasa"http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "mmhh mi sijui"

    Jasmini alienda chumbani kwa kijana chidi, na kumkuta kajifunika shuka kabisaa wala hakuwa akitaka hata maneno na mtu

    "we chidi, mbona hujala chakula na ulitoka kwa ajili ya kula"

    "aahhh nimejiskia kushiba tu ghafla"

    "jamani.. Au unaumwa"

    "hapata siumwi wala nini"

    Aliongea chidi huku akifunua shuka ili amuone shemeji yake,...

    "chidiiiiii"

    "naam"

    "naomba nikunyonye japo denda tu"

    "No mdogo wako ataona bwana"

    "deeeeenda tu chidi please"

    Kabla chidi hajakubali shemeji mtu keshamuwahi mdomo na kuanza kumnyonya chidi mate,.. Lakini kumbuka hakuna kitu kinachopandisha hisia kama denda,.. Demu akishakubalo kunyonywa denda geto, basi ajue kuna Asilimia 90 za kufanya mapenzi taka asitake lazima hisia zitamlazimisha afanye....



    Tukija huku kwa akina Miriam, ambako leo sarah kaja kulala kwa rafiki yake miriam, mana kama unakumbuka sarah leo alioga katika bafu la mama yake hivyo kuna kitu aliona lakini alishindwa kumuuliza mama yake mana isingelikuwa tabia nzuri kumuuliza mama yako kitu kama kile,.. Hivyo alitulia tu na wala hakumuuliza...

    "ivi miri umeishia wapi na yule mtu wako"

    Sarah alimuuliza Miriam kuwa kaishia wapi na swaga za kumtumia sms chidi,..

    "mmmhhh we acha tu shost, yaani anavyonikatia, sina hata hamu na yeye kwakweli"

    "au kama vipi mpasukie ukweli tu"

    "mmmhhh natamani kufanya hivyo ila nitaanzaje"

    "ok ngoja nikupe njia... Yeye si mpishi wa chipsi"

    "ndio"

    "nenda kwenye chumba hapo hapo hotelini, afu mwagizie alete chipsi afu muda huo vaa nguo za kulalia"

    "mmmhhh saraaaaaa mi sijazoe kukaa hivyo"

    "booooo utajua mwenyewe kama humpendi sasa si umuache"

    "nampenda, lakini naogopa"

    "sasa nakupa njia lakini hutaki"

    Sarah alikuwa akimshauri Miriam jinsi ya kumpata chidi, ila laiti angelijua kuwa chidi huyo huyo ndio hhuyo chidi wake, sijui ingelikuaje, na siku wakijuana kuwa wapo na mwanaume mmoja, sielewi kama urafiki utaendelea au vipi apo..

    "kwaio unanishauri vipi sasa"

    "nenda na nguo za kulalia ambazo zinaonyesha kwa ndani"

    "mmmmhhhhhh je akikataa afu kaniona"

    "weeeeeee chezea mwanaume rijali wewe?... Nani kasema mwanaume akiona mwili wa mwanamke ataacha"

    "kwahio ni lazima atakubali"

    "we nenda kajaribu.... Afu ngoja nimpigie chidi wangu kuna kitu nimuulize"

    Aliongea sarah huku akitafuta namba ya chidi na kumpigia, afu wakati huo huo na miriam nae anaandika sms amtumie omari wake ambae ni huyo huyo chidi sema majina tu ndio tofauti lakini mtu ni mmoja,...

    "haloo baby mambo"

    Alikuwa ni sarah akimsalimia chidi, na chidi wakati huo kalala kitandani baada ya kupewa denda na shemeji yake, mana shem aliomba denda tu, na kapewa kile akitakacho kisha akaondoka zake,...

    "poa niambie mamy"

    "safi... Nimekumisi baby"

    "mi pia"

    Sasa ghafla simu ya chidi ikaingia sms wakati bado anaongea na sarah,

    "afu baby kuna kitu nikuulize baby"

    "kitu gani hicho"

    "ivi ile nguo nilioiona kule bafuni kwako bado ipo"

    "aaahhh ipo mpaka leo, afu yule mama nashangaa haji kuichukiwa sasa sijajui ni ubize wa kazi au vipi"

    "aaahhh ok poa baby ni hilo tu"

    "aahhh poa basi kesho"

    "ok... Ni kiss basi jamani"

    "mwaaaaahhh"

    "nawe pia"

    Simu ilika huku miriam akiona wivu kwa sarah aliokuwa akiongea na mpenzi wake tena kimapenzi

    "mmmhhh mwenzangu unainjoi eee"

    "mapenzi ni kujinafasi bibie"

    "nakwambia huyo omari nimemtumia sms mpaka sasa hivi hata hajibu"



    Sasa tukija huku kwa chidi, ambapo ndio alikuwa anafungua hio sms,

    "mambo best, umelala"

    Chidi aliona amjibu tu mana sio vizuri kumjibu vibaya kila mara

    "wala sijalala"

    "waoooo nikajua upo na mpenzi wako"

    "aahhhh wala na hata sina mpenzi"

    "mmmhhh we muongo we mtoto wa kiume"

    "kweli vile sina"

    Miriam leo alikuwa na furaha kubwa sana mana ndio kwa mara ya kwanza leo anachati na chidi vizuri

    "samahani... Nachati na wewe lakini sikujui vizuri"

    Aliongea miriam huku akijifanya hamjui

    "oke, naitwa rashidi"

    Sasa chidi kule kazini anajulikana kwa jina la omari afu hapa kajitambulisha kwa jina rashidi... Sasa miriam akashtuka mnona ananiambia ni rashidi

    "we sarah... Mi namjua anaitwa Omari mbona ananiambia anaitwa rashidi tena"

    "kwani unajua jina la baba yake"

    "ndio"

    "anaitwaje"

    "anaitwa Omari Rashidi"

    "sasa huoni hapo katumia jina la baba yake tu"

    "oooohhhhh sawaaaa"

    Sasa huku kwa chidi akaona mbona kimya hivyo na chidi nae tayari keshanogewa kuchati na miriam boss wake ila hajui kama ni miriam huyo....

    "mbona kimya we mdada"

    "ok.. Sa sjui na mimi nijitambulishe"

    Aliandika miriam kwenye Meseji kisha chidi nae akamjibu

    "sio mbaya kama itakuwa hivyo"

    "Ok nadhani nilishawahi kukuambia kuwa naitwa miriam ila sio mbaya kama nitarudia tena.... Mimi naitwa miriam ni mtoto pekeee kwenye familia ya kitajiri"

    Heeee chidi kusoma kuwa na huyo miriam nae pia ni tajiri,.. Alishtuka na kumfanya aamke kitandani

    "miriam mtoto wa kitajiri.... Ivi sio miriam boss kweli??"

    Chidi alijiongelea mwenyewe kwa sauti, lakini pale pale akiwa anamtafakari huyo miriam,... Ghafla mlango wa chumbani kwake unasukumwa na kuingia mtu..

    "samahani chidi... Nimekukumbuka vizuri na nimekuja kukuomba msamaha, na najua umeacha kula kwasababu yangu"

    Alikuwa ni sabra au saumu kama alivyojitambulisha awali kule kwenye basi,

    Sabra alisogea mpaka pale karibu na kitanda kisha akapiga magoti kabisa,... Na kisabra ni kisabra kweli yaani ndugu wa damu utawajua tu, hawakosi kuendana hata kwa maumbo yao..

    "nisamehe chidi... Na nakumbuka nilishakuomba msamaha kule kule kwenye gari, lakini nahisi labda haitoshi"

    Sasa chidi akiwa bado anafikiria kuhusu miriam mtoto wa kitajiri, afu bado kuna huyo sabra anaemuomba msamaha hapo mbele yake,... Afu ghafla simu yake inaita. Kucheki jina alikuwa ni shemeji yake.. Aliipokea simu ya jasmini

    "haloo"

    "eeeee chidi... Nakuja chumbani kwako, mdogo wangu atakua keshalala,.. So nataka uje unipe hata kidogo tu, mana lile denda linanisumbua mwenzio... Fungua mlango nakuja"

    Heeeee afu simu ikakata hapo hapo,... Chidi alikuwa kama chizi hapo ndani mana kama atamkuta mdogo wake sijui itakuaje, na mdogo mtu hakuja kwa nia mbaya... Afu dada mtu nae ndio anakuja huku huku kwa kudhani kuwa mdogo wake sabra atakuwa keshalala, lakini sivyo mdogo mtu ndio kwanza yupo chumbani kwa chidi....





    Sabra alimnyanyasa sana kijana chidi siku ile wakiwa katika basi la kuja mjini,.. Uwepo wa pesa zao ndio uliompa dharau mschana huyo na kumdharau kijana wa watu,... Chidi alikubali kudhalilika siku ile lakini hakumjibu kitu mschana huyo, wakina mama pia walimdharau sana mschana huyo kwa kumfananisha binaadam na mnyama, mana alimwambia hajaoga ananuka kama mbuzi, hivyo hawezi kukaa nae siti moja, lakini chidi ni mtu wa kusamehe sana hivyo baada ya dada huyo kuhisi kitu alichokifanya sio kizuri, alianza kumuomba msamaha kule kule kwenye gari, na chidi kiroho safi alimsamehe mwanadada huyo,... Urafiki uloanza huko huko kwenye gari hivyo kwa ushamba wa chidi aliokuwa nao akaona ni zali la mtende kupata mtoto mzuri kama Saumu au sabra...



    Lakini sasa leo walipokutana katika nyumba moja, chidi aliyarudisha machungu ya kuambiwa yeye ananuka kama mbuzi, yaani alipokumbuka hilo, wala hakuwa na hamu na mschana huyo tena, chidi ikambidi aache chakula pale mezani na kukimbilia chumbani kwake,.. Lakini baada ya dakika chache mbele sabra alimfuata kijana chidi kule kule chumbani kwake ili kumuomba msamaha mana wamekumbukana vizuri,

    Lakini sasa kama unakumbuka dada mtu kuna muda aliomba denda kwa shemeji yake na hakunyimwa, sasa denda hilo lilikuwa likimsumbua mpaka kufikia hatua ya kumpigia chidi simu na wakati yupo na sabra kule ndani japo sio kwa ubaya...

    Ghafla simu yake inaita. Kucheki jina alikuwa ni shemeji yake.. Aliipokea simu ya jasmini

    "haloo"

    "eeeee chidi... Nakuja chumbani kwako, mdogo wangu atakua keshalala,.. So nataka uje unipe hata kidogo tu, mana lile denda linanisumbua mwenzio... Fungua mlango nakuja"

    Heeeee afu simu ikakata hapo hapo,... Chidi alikuwa kama chizi hapo ndani mana kama atamkuta mdogo wake sijui itakuaje, na mdogo mtu hakuja kwa nia mbaya... Afu dada mtu nae ndio anakuja huku huku kwa kudhani kuwa mdogo wake sabra atakuwa keshalala, lakini sivyo mdogo mtu ndio kwanza yupo chumbani kwa chidi....

    Na wakati huo dada mtu ndio anakuja hapo chumbani



    Sasa tukija huku kwa akina miriam na rafiki yake sarah

    "mbona hajibu jamani"

    Aliongea miriam baada ya kimya kirefu kutawala,..

    "kwani umemwambiaje wewe"

    "aliniuliza unaitwa nani... Nikamwambia, Mimi naitwa miriam ni mtoto pekee kwenye familia ya kitajiri"

    "mmhhhh mbona hio sio mbaya... Au atakuwa anafikiria ni miriam wewe au vipi"

    "itakuwa"

    Walikuwa wakishauriana sarah na rafiki yake miriam,.. Na hata hivyo ukumbuke kuwa wawili hawa bado hawajui kama mwanaume wanaemtumia ni mmoja sema hawajui kama ni huyo mmoja...

    "sasa we muache usiendelee nae tena we nyamaza mpaka kesho kwenye mitego yako"

    "ok poa"

    Sarah na miriam walilala baada ya kumaliza maongezi yao...



    Tukija huku kwa mama saidi ikiwa bado ni mapema sana, inakwenda saa tatu kasoro hivi usiku, hivyo kwa mjini bado ni mapema sana,...

    Leo tunamuona saida akimuita mama yake chumbani, hatujajua wana maongezi gani

    Mama alijua saida kakubali nini, ila wacha akajue hali halisi ya wito kwa mtoto wake huyo

    "unasemaje mwanangu"

    Aliongea mama baada ya kufika chumbani kwa mtoto wake saida

    "mama, mimi nilitaka kujua tu... Ivi Ni kweli ridhiwani hasimamishi hata kidogo"

    Saida alimuuliza mama yake ambae ndie aliompa taarifa hizo za ridhiwani kukosa nguvu za kiume,..

    "mwanangu saida, yaani kama sio undugu ningelikwambia nenda kamtongoze,.. Hakiyamungu vile hakugusi hata kidogo, lakini hisia anazo lakini haisimami"

    "eeehhh mungu wangu, mamaaaaaaa"

    "hio ndio hali ya mdogo wako.. Ila kwakuwa nawe unapenda awe kama wewe sawa"

    "jamani mama usiseme hivyo.... Sawa basi mimi nimekubali kufanya na huyo mtu wenu"

    Saida leo kwa mara ya kwanza anakubali kufanya mapenzi na mwanaume ambae hata hamjui, ilimradi tu afanikiwe kupata mbegu zake za kiume

    "mwanangu saida unasema kweli"

    "mama mi nipo tayari, nionyesheni huyo mtu"

    "asante sana mama angu,.. Asante"

    Aliongea mama yake huku akimpigia mama sarah simu.. Sasa sijui alitaka nini

    "haloo mama sarah habari yako"

    "safi tu mama saida habari yako"

    "nzuri tu, sasa.. Saida wangu kakubali, kwahio nilitaka unipe namba ya huyo kijana ili watafutane wenyewe"

    "sawa, ngoja nikutumie basi"

    "sawa, afu na zile kondom vipi"

    "zile kondomu zimeisha... Ila mganga alisema hata zile za kawaida zinafaa, ila zikipitisha masaa zaidi ya saba tu hizo mbegu hazifai"

    "mbona zile alisema hata zaidi ya masaa saba"

    "ndio... Kwasababu zile zakwake, kuna dawa kaziwekea ambazo zinailinda hio mbegu isiyeyuke kuwa maji... Lakini hii kondomu ya kawida ikipitisha zaidi ya masaa saba itakuwa haifai hio mbegu mana haina dawa.. Hivyo atumie tu hizo za kawaida"

    "ok sawa, ebu nitumie hizo namba"

    Simu baina ya mama sarah na mama saida ilikatwa, wakati huo mama sarah alikuwa keshalala zake muda mrefu tu, na mtoto wake yupo kule kwa akina miriam...



    Mama sarah aliituma ile namba katika simu ya mama saida, na mama saida akampa saida namba ya kijana chidi,.. Saida moja kwa moja akakimbilia kumuangalia WhatsApp ili aone yupoje huyo mwanaume mwenyewe,... Lakini alipoangalia chidi alikuta kaweka picha ya kuinama, hivyo sura haijaonekana sura,lakini kwa yale mavazi tu, saida alijiridhisha kuwa nae kwa ajili ya mdogo wake,

    "mama... Nipo tayari kumseidia mdogo wangu,.. Ila itanichukuwa muda kidogo"

    "kwanini tena saida mwanangu"

    "nipe wiki moja au mbili... Mana kujifanya kukosea namba sio kitu cha mchezo mama lazima umsuke haswa"

    "ni kweli, lakini wiki mbili nyingi mwanangu"

    "Enheeeeeeee... Ivi ulisema ni MUUZA CHIPSI"

    "ndio ila kwa sasa yupo kwenye hoteli flani hivi ya patna wake na mama sarah"

    "oohooo basi nishapata wazo"

    "wazo gani tena"

    "nataka nimwambie nina hoteli, hivyo nahitaji kijana"

    "enheee hapo sawa sasa utakuwa umemueza"



    Tukija huku kwa mke wa Ibrahim akiwa ndio anafunga kanga vizuri kuingia ndani, wakati huo chidi alikuwa akihaha pakumtoa sabra

    "we chidi una nini"

    Aliuliza sabra, mana chidi alikuwa akizunguka hapo chumbani

    "we sikia,... Kaa pale kwenye kabati"

    Aliongea chidi kuwa sabra aingie kwenye kabati na ajifiche

    "we chidi kwani kuna nini"

    "naomba tu ujifiche pale,... Kama ni kukusamehe nimeshakusamehe we nenda"

    Sasa chidi akawa anamlazimisha sabra akajifiche kwenye kabati la nguo, kama unavyojua makabati ya kitajiri hua ni vijumba vilivyojengwa kama kabati vile vile, ila ni kabati la papo hapo halitoki.. Sasa chidi akawa anamlazimisha kuingia kwenye kabati... Sasa ile kushikana shikana, kumbe sabra alikuwa kavaa kanga moja na chupi peke yake,... Kanga ilidondoka na kubakiwa na chupi tu,.. Chidi hakujali hilo,... Chidi aliokota ile kanga lakini kwa haraka haraka ile kanga hakumfungia nayo ndani bali aliingiza kwenye kabati lingine ila chidi yeye alijua kamuingiza na kanga yake humo ndani..



    Sasa ile anamaliza tu, jasmini huyo yaani hata hodi hana, alipofika tu alimrukia kijana chidi mpaka kitandani, sasa chidi yeye akawa anakataa kwasababu anajua kuna mtu hapo chumbani afu mbaya zaidi ni kwamba mtu mwenye ni mdogo wake,..

    "chidi kimoja tu please boy wangu"

    "No, No, naomba iwe kesho"

    Aliongea kijana chidi huku akimkwepa, yaani siku hio jasmini alishikwa na hamu ya ajabu,

    "kimooooooooja tu please, kaka yako atarudi kuniendeleza jamani"

    "Noooo njoo kesho shem"

    Lakini chidi alibanwa, mpaka akavuliwa nguo na shemwji yake, kama unavyojua mwanaume rijali kusimamisha hakawiii,..

    Vitu viliendelea baada ya chidi kumkubalia



    Nusu saa mbale chidi alikuwa keshamaliza round ya kwanza...

    "shem nipe tena"

    Alikuwa ni jasmini akitaka warudie tena, chidi akakataa kabisa kabisa yaani liwalo na liwe,.. Mke wa Ibrahim kuona chidi kakataa hakutaka kulazimisha sana, aliondoka zake, sasa ile anaondoka tu na sabra nae ndio anatoka kabatini, chidi anafikiria sabra atamwambia nini na ishu yote kaisikia mpaka alivyokuwa anafanya mapenzi na dada yake,.. Sabra bila aibu alitoka na chukiwa kanga yake kisha akaivaa mbele ya chidi yaani alikuwa hamuogopi chidi tena kama mwanzo...

    "kwanza nashukuru kwa kunisamehe... Ila lazima nimwambie kaka yako umefanya mapenzi na mchumba wake"

    Sabra aliongea hivyo kwa hasira huku akiondoka zake, chidi alimzuia sabra asiondoke

    "usinishike mimi.... Yaani mwanaume mjinga kama wewe sijapata kuona... Kaka yako bado hajaoa hapo afu we unaingiza dudu lako, ivi una akili wewe"

    "ati unasema kaka hajafanyeje"

    "wewe ni fara... Na tena namtumia kaka yako sms sasa hivi"

    "sabra, ivi unasema kweli kaka Ibrahim bado hajamuoa dada yako"

    "Tena msipoangalia mtafukuzwa humu ndani... Mana mnajishaua sana na nyumba za watu"

    "sabra???... Mbona sikuelewi na haya maneno yako wewe"

    "utanielewa tu..."

    Chidi alishindwa kuelewa maneno ya sabra yaliokuwa yakimpa kizungu zungu na wasiwasi katika moyo wake

    "ina maana, hii nyumba sio ya kaka Ibrahim"





    Maisha ni mzunguko na katika mzunguko kuna changamoto nyingi za kimaisha, kijana chidi alioitwa mjini na kaka yake ili kuja kuyahendo maisha Ibrahim alikuwa ni mkaanga chipsi tu na hakuwa na kazi yeyote ya maana zaidi ya kukaanga chipoo, hivyo alimuita mdogo wake chidi ili waje kuyahendo wote maisha na waweze kuiseidia familia yao iliopo kijijini,.. Lakini Ibrahim alipomwita mdogo wake, alianza kumnyanyapaa na mwishowe akamfukuza ndani... Kijana chidi anateseka ndani ya miezi 7 huku maisha yakimchapa haswa tena bila huruma,.. Baada ya miezi hio saba kupita chidi akiwa na hali yake ile ile ya kusukuma mkokoteni, lakini baada ya kukutana na mama sarah maisha ya chidi yalibadirika na kuwa mazuri, na wakati huo ndani ya miezi 7 hio kaka yake ambaye ni Ibrahim tayari keshakuwa tajiri wa kutupwa, anashinda baa na wanawake wa kila sampuli,.. Ibrahim alikuwa tajiri ghafla tu huku chidi maisha akiyaanza baada ya kukutana na mama sarah....



    Toka miezi hio kila mmoja tunajua utajiri alionao Ibrahim ni wakwake lakini sivyo, slei hii kijana chidi anashangaa kwa kusikia kuwa kumbe hii nyumba sio yakwake,

    "Tena msipoangalia mtafukuzwa humu ndani... Mana mnajishaua sana na nyumba za watu"

    "sabra???... Mbona sikuelewi na haya maneno yako wewe"

    "utanielewa tu..."

    Chidi alishindwa kuelewa maneno ya sabra yaliokuwa yakimpa kizungu zungu na wasiwasi katika moyo wake

    "ina maana, hii nyumba sio ya kaka Ibrahim"

    Aliuliza kijana chidi huku akitoa macho kweli kweli, kana kwamba kama ni kweli basi haina haja ya kukaa katika nyumba hio mana chidi anaishi hapo akijua kuwa mjengo ni wa kaka yake, kumbe hata sivyo, sasa chidi anataka kujua nyumba ni ya serikali au ni yakwake?...

    "sikiliza nikuambie.. Hizi mali ni za kwetu, kaka yako kapendwa tu"

    Chidi kuskia hivyo alichoka,.. Mpaka basi

    "kwaio hata huyu dada yako hajaolewa"

    "kaolewa saa ngapi.. Watu bado ni wachumba afu unakuja kula mchumba wa kaka yako... We bogazi kweli wewe"

    Sabra alitoka hapo chumbani na kuelekea chumbani kwake, wakati huo ni mida ya usiku mida ya saa nne hivi..

    "mungu wangu weeee chidi sijui atanichukia miee"

    Aliongea sabra huku akijiandaa kulala

    "na dada akijua kama nimesema ukweli, nitagombana nae, mana hii ni siri iliotunzwa kwa muda mrefu"

    Alikuwa bado akijiongelea katika moyo wake,

    "au nikamuombe msamaha tena nini.... Mana nilijikaza haswa kumtolea manrno yale"

    Sabra alitamani kwenda kumuomba tena chidi msamaha lakini alisita na kurudi zake kitandani,..



    Baada ya siku hio kupita, chidi akiwa yupo kazini mida ya asubuhi kama saa tano hivi,... Lakini chidi alikuwa na mawazo mengi sana juu ya kaka yake

    "ivi huyu broo ana akili kweli huyu... Yaani anschezea pesa baa, kumbe hata sio zake... Aisee jamaa ni msenge huyuuu"

    Alijiongelea mwenyewe kimoyomoyo huku akiwa kakaa mahari baada ya chipsi kuipuliwa, kana kwamba wote walikuwa bize kwa kuchati mana walishapika chipsi, na hazina kupacha zipo katika kabati maalumu linalopasha chipsi taaratibu hivyo ni kuchota na kuuza tu au kupika chipsi mayai.. Hivyo kila mtu alikuwa bize sana na simu kwakuwa hakukuwa na kazi... Lakini chidi yeye alikuwa bize sana kwa mawazo..



    Ghafla chidi anaitwa na muhudumu wa kiume ambae yeye ni wa nje tu

    "omari,.... boss mdogo anataka chipsi kule chumba namba sita"

    Aliongea mhudumu huyo huku chidi akiamka kwa mawazo mengi na kuanza kutengeneza chipsi, mana anajua chipsi anayopenda boss mdogo..

    Baada ya dakika chache chidi alichukuwa chipsi na kwenda chumba namba sita ili kuweza kumpatia chipsi, na chumba hicho chidi sio mara yake ya kwanza kuingia bali ni kama mara ya pili hivi,..

    Chidi aliingia mpaka ndani lakini kama unavyojua aibu za chidi, hawezagi kukuangalia usoni moja kwa moja, lazima aangalie chini kisha akuangalie,... Gauni alilovaa Miriam likuwa ni kubwa mpaka chidi lakini lilikuwa ni jepesi mno, tena lilikuwa nikionyesha mpaka kile kinguo cha ndani,.. Mana gauni hilo la kulali lilikuwa ni jeupe sana, na kile cha nfani kilikuwa cheusi hivyo kulikuwa na mgongano wa rangi hapo,.. Chidi mpaka hapo hakuweza kuangalia kabisa baada ya kuona hivyo

    "boss, chakula hiki hapa tayari"

    "sasa hapo unapoweka unaona ni sahihi"

    Aliongea Miriam, kwasababu chidi alikuwa akiweka sehemu sahihi ila ili amfanye anyanyue kichwa juu na aangalie mbele,... Chidi alizidi kuona mitego ya miriam inavyozidi kutegeka,.. Na miriam ni mschana alieumbika vilivyo licha ya kuwa na pesa bali ni mzuri mwenye sura asilia na umbo lake pia ni asilia,..

    Chidi alipomaliza kuweka chakula hicho alitaka kuondoka lakini akazuiwa

    "sasa unaenda wapi?... Nani aondoke na hizo sahani"

    Aliongea miriam huku akiwa kamshika chidi mikono, kana kwamba leo kudhamiria kitu fulani kwa chidi,...

    "ivi wewe hujawahi kuna hata na mwanamke"

    Aliongea miriam huku chidi kaangalia pembeni, mana kupenda anapenda lakini ataanzaje na wakati huyo ni boss wake,..

    "nilishawahi kuwa nae"

    "alikuwa na pesa"

    "ndio"

    "sasa unaogopa nini... Yaani sijawahi kuingea na mwanaume nikiwa katika hali hii ya nguo za kulalia"

    "samahani boss naomba niende kazini"

    Miriam nae domo zege likamjia, ikabidi amuachie aende ila bado hajajua kama amempenda kimapenzi... Sasa ile chidi anatoka tu mlangoni aliskia sauti ikisema kuwa

    "Mimi naitwa miriam ni mtoto pekee kwenye familia ya kitajiri"

    Heeeeeeeee sasa chidi aliooskia hivyo, alikumbuka kuna meseji ilitumwagwa na yule mtu aliokosea namba, tena ni jana...

    "ina maana ni miriam wewe"

    Miriam hakujibu bali alisogea taaratibu bila hata kumuogapa chidi, wakati huo chidi alikuwa akisubiri ajibiwe kuwa ni yeye au sie... Miriam bila uoga alimuinamia chidi na kuanza kumnyonya ulimi, kitendo hicho chidi ni vigimu kukataa,.. Mana miriam kwa ni matajiri wa kutupwa, afu mbaya zaidi ni Mzuri hivyo chidi hawezi kukwepa kinywa cha miriam,... Chidi ananyonywa denda lakini haamini kama ni kweli huyu ni miriam anaemjua au anaota.. Chidi alijifinya ili kama ni ndoto azinduke, lakini wapi haikuwa ndoto wala nini..

    "mbona kama huna raha omi"

    Aliongea miriam baada ya kuona hata chidi hakujishuhurisha na denda hilo,.. Ila chidi alikuwa na mawzo juu ya kaka yake tu yaani hilo tu...

    Sasa miriam akakumbuka muda mfupi kabla ya kuita chipsi, alinyata mpaka kwenye jiko la chipsi na kuskia sauti ya chidi ikisema

    "mama, nitatuma pesa tu hali ni mbaya mama angu.. Uaijali mama nitatuma pesa"

    Sasa kumbe yule alioongea hivyo hakuwa chidi, bali miriam yeye alijua ni chidi ndio aliongea na mama yake lakini hakuwa chidi, hivyo kwakuwa alikuwa akisikiliza tu na hajaona,... Kwahio moja kwa moja akajua chidi ndio ana shida na pesa, mana hajaona, bali alisikia tu maongezi

    "ooohoooo basi nimeshajua.... Ila usiwe na mawazo kiasi hiki omi"

    Aliinhea miriam baada ya kugundua kuwa chidi ana shida na pesa kwa ajili ya kutuma huko kwa wazazi wake, lakini ukweli ni kwamba aliongea na mama yake sio chidi.. Bali ni mpishi mwenzie ndio aliokuwa akiongea na familia yake,..

    "skia, sema mi siruhusiwi kutoka hapa kazini, ila wacha nijifanye nimekutuma... We shika hii kadi ya benki, nenda katoe kiasi chochote kile utume nyumbani,.. Nafikiri mama mkwe atakuwa anaumwa.. Wahi sasa uitume,.. Katoe pesa yeyote"

    Chidi alishangaa huku akiiangalia ile kadi ya benki, yaani mpaka hapo chidi haelewi kitu, yaani kuzubaa sio kuzubaa, yani yupo yupo tu..

    "namba ya siri"

    "1996"

    Chidi alitoka hapo na kuingia jikoni, kisha akaiangalia ile kadi ni yenyewe kweli au..

    "oya saidi... Eti hii ATM Kadi ni yenyewe kweli"

    "hebu.. Kwani ni ya nani.... Haaaaaaaa mbona ni kadi ya boss mdogo hii"

    "ndio"

    "kakupeje kupeje sasa"

    "mi ata sielewi jamaa angu nimejikuta tu ninayo mkononi"

    Chidi alikuwa anaongea na jamaa zake huku kweli hawaamini kama kweli chidi kamiliki kadi ya mtoto wa boss kama huyo,... Chidi hakuchelewa, alitoka mbio na kwenda benki, kisha akachomeka ile kadi kisha akacheki balance iliopo kwenye akaunti hio...

    "khaaaaaahhh milioni miasita sabini (. 670.) Chidi haamini kama atakuta kiasi kama hicho kwenye hio akaunti...

    Yaani hapo kuna milioni 600 (mia sita) na milioni 70 (sabini) hivyo bado milioni 30 (thelathini) itimie milioni 700 (mia saba). Chidi bila huruma wala uoga, akachukuwa ile ile shilingi milioni 70 yote, akabakiza milioni 600 (miasita) kamili

    Milioni 70 ni kubwa hivyo iliwekwa kwenye kabegi kadogo hivi ka kushika hata mkononi,...

    Chidi alichukuwa tax kisha huyoo mpaka nyumbani kwake... Alipofika alichukuwa ile pesa nyingine aliopewa na mama sarah, ambayo ni milioni 100 akachanganya ikawa milioni 170 keshi,.. Chidi alitoa milioni mbili na kuziweka mfukoni, wakati huo mfuko wake ulivimba mana milioni mbili mfukoni lazima mifuko ivimbe haswa kwa wingi wa pesa,... Ila hatujui anapeleka wapi hizo pesa, sasa sijui nae keshaanza kuhonga,..

    Aliziweka pesa zake hizo kisha akatoka zake nje, na kupanda tax... Lakini alioofika njiani simu yake iliita... Kuangalia namba ilikuwa ni ngeni lakini aliipokea tu

    "halooo"

    "eeee mambo best"

    "poa nani mwenzangu"

    "naitwa saida... Samahani nina shida na wewe nataka tuongee biashara"

    "biashara gani, mana mimi sio mfanya biashara"

    "aahhh hata kufanya kazi pamoja ni biashara, hivyo biashara sio lazima kuuziana vitu"

    "aaahhh ila kwa sasa nipo bize kidogo hivyo hebu niache kama lisaa limoja hivi"

    "ok poa"

    Alikata simu huyo dada anaeitwa saida, ila chidi hamjui huyo saida, lakini kwa nyinyi wasomaji, nadhani mnajua saida ni nani....

    Chidi alifika kazini kwake, na kumkuta miriam ofisini kwake, Alimpa kadi yake na kumpa asante, ile chidi anaondoka tu akashikwa mkono huku miriam kama vile anataka kuangasha hilo jicho...

    "nakupenda Omi... Please usinifikirie vibaya, ni moyo wangu umechagua pa kutua"

    Aliongea miriam huku kama anataka hata kulia kwa msisitizo zaidi

    Lakini chidi hakujibu kitu, alibaki kumuangalia tu...

    "ok... Vipi tayari umeshatuma pesa nyumbani"

    Aliuliza miriam huku huku akiweka kadi yake katika mkoba

    "ndio... Na ahsante sana mamy"

    "huna haja ya kunishukuru kiasi hiki"

    "ok... Naomba nikaendelee na kazi"

    "ok.. Naomba jioni nikusindikize kwako"

    Chidi hakujibu kitu ila alionyesha ishara ya kukubali

    Chidi alipofika jikoni kwao kwa wapika chipsi,...

    "jumaaa.... Ngoja mshahara utoke tutakuchangia utume pesa nyumbani"

    Waliongea baadhi ya wapishi ili wamchangie juma ili atume pesa nyumbani, mana juma kapata matatizo na huyo huyo juma ndio kasikiwa na miriam, afu miriam akajua ni chidi.. Kumbe sie...

    "haina haja ya kumchangia...mimi nitampa peke yangu"

    Aliongea chidi huku akiitoa ile shilingi milioni mbili na kumpa juma... Na yeue chidi ndio anajua bila huyo juma hio pesa asingelipata...

    "aaahhhhh omi jamaa ngu, pesa zote hizi"

    "katume nyumbani sasa hivi ili kama kuna mgonjwa apone haraka"

    "ahsante sana ndugu yangu... Tulikuwa tunakuchukia sana lakini tulikuwa hatujui mtu tunamchukia yupoje"

    "hakuna shida, we wahi katume hio pesa"



    Ghafla simu ya chidi inaita tena, kucheki hiyo namba ndio ile alio ongea nayo muda sio mrefu, na dada mmoja anaeitwa saida

    "haloo"

    "eeehh chidi, nimefika hapa kazini kwenu"

    "heeeee we umejuaje kama nafanya kazi hapa"

    "najua na kuna mtu kaniambia.. Ila samahani naomba usiwe na hasira, njoo hapa kwenye meza tuongee biashara,.. Utanikuta meza ya mwisho ni mschana mweupe nimevaa gauni jekundu"

    "mmhhhh ok nakuja"

    Chidi kaja mjini kutafuta pesa, hivyo akiskia dili la pesa tu yeye hajivungi hata kidogo,...

    "ndio yule nini"

    Alijisemea chidi huku akimfuata huyo mschana, na ni kweli alikuwa ni saida mwenyewe,..

    "we mkaka, ni mimi apa"

    Aliongea saida baada ya chidi kutofanya haraka ya kumfuata,..

    Chidi alifika pale kwenye meza kisha akakaa nae

    "mambo chidi"

    "poa nambie"

    "safi tu"

    Sasa kumbe wakati huo Miriam alikuwa anaona kila kitu sema alikuwa hasikii tu maongezi yaliokuwa yakiongelewa pale mezani

    "we dija, hebu kawaulize wale wanatumia kinywaji gani... Wakishasema we njoo unipe Eploni yako nikawahudumie mimi"

    "bosiiiii lakini we huruusiwi kutoa huduma"

    "dija unabishana na mimi"

    "ok sawa boss ngoja niende"

    Kweli mtoto wa kike aitwae hadija alikwenda mpaka pale kwenye meza ya akina chidi na kuuliza

    "samahani mnatumia nini"

    "aaahhh tuletee juice tu"

    Dija na chidi wanajuana mana ni wafanyakazi wa hapo hapo japo chidi yeye ni wa jikoni na dija ni muhudumu wa nje..

    Dija alikwenda mpaka kwa miriam kisha akapewa Eploni na kuivaa kama muhudumu,.. Kisha akachukuwa juice mbili na kuzipeleka pale kwa akina chidi na saida,..

    Wakati huo baadhi ya wahudumu walikuwa wanatetemeka mana wakikutwa na boss mkubwa, wataeleza kwanini miriam anahudumia wakati wao wapo...

    Miriam alijifanya anaguta meza poole pole ili tu asikie kinachoongelewa na watu hao,.. Miriam ni wivu ndio unamsumbua na sii kingine

    "chidi... Mi nataka nikupe kazi kwenye hoteli yangu,.. So naomba uache kazi hapa"

    Miriam alishtuka karibia adondoshe juice

    "we dada vipi, unaugua ukoma"

    Aliongea saida kwa dharau huku akimuangalia juu mapaka chini mana hajui kama huyo sio muhudumu bali ndio tajiri mwenyewe,..

    "samahani boss"

    Aliongea miriam huku akijifanya kama muhudumu

    "aahhhhh chidi samahani sana.... Ebu tuendelee.... Kwaio sasa. Mimi nitakulipa mara tatu ya hapa lakini acha kazi"

    "we unajua nalipwa kiasi gani hapa"

    "aahh kiukweli sijui ila nitakulipa mara tatu ya hapa, mana nimeambiwa unaweza kuandaa chipsi vizuri"

    Sasa kama unavyojua saida wao hawana hoteli wala nini na kaja hapa ili ampate chidi hivyo hashindwi hata kusema anampenda, ni bora aonekane malaya lakini apate anachokitaka...

    Saa ngapi saida hajaanza kusogeza mkono wake kwa chidi ili amshike mkono, heeeeee miriam si kaona... Tena katoa macho haswa huku akiuangalia ule mkono unaemsogelea chidi....



    Ukumbuke kuwa mwanadada saida yupo katika mikakati ya kumpata chidi kimapenzi ili apate kile kinachohitajika kwa ajili ya matibabu ya mdogo wake ridhiwani,... Hivyo usishangae kumuona saida akijirahisisha kwa kijana chidi, hapo yupo kazini japo hajapenda lakini imembidi afanye hivyo ili kuokoa nguvu za mdogo wake,...



    Saida kabla ya kumpigia chidi simu kwanza alipewa taarifa nzima kuhusu yeye, na aliotoa taarifa hizo ni mama sarah,.. Kuwa chidi ni Profesional wa kupika chipsi na anafanya kazi katika hoteli kubwa hapa jijini,... Hivyo kumtoa pale yataka akili ya ziada ili awe karibu nawe,.. Saida baada ya kupata taarifa za chidi ndio akaanza kumpigia simu huku akijifanya ana hoteli ya kumwajiri kijana huyo, chidi amekuja mjini kutafuta pesa na sii kuuza sura, hivyo kiwango alichokisema kwa kumlipa chidi, ni dhahiri kuwa chidi kuna uwezekano wa kuacha kazi hapo alipo... Saida alielekezwa mpaka mahari anapofanya kazi kijana huyo na kufika ili kuanza mazungumzo na yeye....

    "aahhhhh chidi samahani sana.... Ebu tuendelee.... Kwaio sasa. Mimi nitakulipa mara tatu ya hapa lakini acha kazi"

    "we unajua nalipwa kiasi gani hapa"

    "aahh kiukweli sijui ila nitakulipa mara tatu ya hapa, mana nimeambiwa unaweza kuandaa chipsi bizuri"

    Sasa kama unavyojua saida wao hawana hoteli wala nini na kaja hapa ili ampate chidi hivyo hashindwi hata kusema anampenda, ni bora aonekane malaya lakini apate anachokitaka...

    Saa ngapi saida hajaanza kusogeza mkono wake kwa chidi ili amshike mkono, heeeeee miriam si kaona... Tena katoa macho haswa huku akiuangalia ule mkono unaemsogelea chidi....



    Miriam leo ndio alimpasukia chidi kuwa anampenda, lakini chidi bado haamini kama kapendwa na mtoto wa tajiri kama huyo,... Japo sarah nae ni mtoto wa tajiri lakini chidi hana taarifa nzuri ya familia ya akina sarah, japokuwa anamuona na gari nzuri kila siku wanapokutana, hivyo chidi ana vijibahati vya kutembea na matajiri japo hana tabia ya kuomba pesa,.



    Sasa wakati saida anasogeza mkono ili kumshika chidi,..

    Lakini sasa chidi kabla hajashikwa alishangaa kuona vidole vya huyo muhudumu,.. Mana katika zele hoteli kubwa za heshima hua hakuna muhudumu anaepaka rangi kucha, mana sio kila unamhudumia ni mhuni.. Hivyo hoteli kubwa zenye hadhi huwa wahudumu kucha zao ni fupi alafu hazina hata rangi ya kupaka, sasa chidi akamshtukia huyo muhudumu lakini hakutaka kujionyesha kama kajua, na kamjua mpaka muhudumu mwenyewe, kwasababu wahudumu wa hapo kuna baadhi huwa wanavaa mask maalumu ili unapoongea na mteja usimkere, hivyo ukiwa kichwa rungu huezi jua...

    Sasa ile saida anafikisha mkono kwa chidi, chidi akakwepesha mkono wake,.. Lakini chidi pia alionekana kumtamani saida mana saida ni mtoto mzuri na mwenye shepu lake la maana hivyo hakuna mwanaume atakaemkataa mdada huyo,.. Miriam baada ya kuona chii ana msimamo aliondoka zake na kujivunia kupata mwanaume bora na mwenye msimamo... Kwa sasa chidi anajua kuwa miriam anampenda,.. Hivyo hakuna tabu kwa sasa....



    BAADA YA WIKI MBILI KUPITA



    Ikiwa leo ni siku ya Jumatatu kama mida ya saa saba hivi, chidi akiwa yupo na kaka yake katika baa moja hivi wakipata moja moto moja baridi, lakini chidi yeye moja moto yake ni vinywaji vya kawaida tu, ila kaka yake alikuwa anabanjuka kweli kweli, tena anabanjuka vile vinywaji vya gharama kubwa

    Chidi alikuwa anamuangalia sana kaka yake

    "weitaaa zungushia wale pale kama walivyo"

    Alikuwa ni kaka wa chidi akiwanunulia watu wengi vinywaji,..

    "brooo.... Ivi hizi pesa hazina kazi... Ebu nipe mimi nikuonyeshee kazi"

    Aliongea chidi tena huku akiwa na hasira ya hali ya juu,..

    "weweeeeeeee unataka unifundishe matumizi ya pesa"

    "sina maana hio... Ila ukumbuke kuwa mali sio zakwako kwanini usijivunie zako"

    Chidi aliongea hivyo makusudi mana anakumbuka kuna siku sabra aliongea kuwa hata ile nyumba kule sio ya Ibrahim, bali ni nyumba ya mwanamke yaani ni nyumba ya akina sabra,..

    "hata kama sio zangu... Natumia kwasababu sio zakwangu.. Nimpelekee mwanamke hela zote nina kichaa"

    Aliongea Ibrahim huku akionekana kulewa sana, na hapo ni mchana kweupeee,.. Na wakati huo mpaka wafanyakazi wapo wanapata lanchi,...



    Ghafla simu ya kijana chidi inaita.. Kucheki jina alikuwa ni Boss mdogo ambae ni mpenzi wake miriam..

    "haloo boss"

    Chidi wala hana majigambo kuwa mpenzi wake ni boss afu aanze maringo

    "baby upo wapi lakini... Yaani wiki yote hii unasua sua kuja kazini sikuelewi Omari una shida gani"

    "aahhh mi nimechoka na kazi bwana"

    Chidi aliongea hivyo, mana ana kazi nyingine kutoka kwa saida

    "sawa, umechoka na kazi jee mimi"

    "aaahh... Lakini Mamuu si tumekutana muda sio mrefu mamy"

    "ni sawa babuu lakini si unajua mapenzi kumiasia hata kwa dakika moja tu"

    "ok baada nitakuona basi"

    "kwahio na kazi vipi"

    "mshahara wenu mdogo"

    "najua yule mwanamke wa juzi kakudanganya na kazi yake... But wacha niongee na mama ili tufanye mpango wa kukuongezea mshahara"

    "sawa ongeeni"

    Simu ilikata huku chidi akiendelea kumwangalia kaka yake jinsi anavyokunywa pombe kwa hasira,.. Chidi alimchukuwa kaka yake na kumpakia kwenye gari kisha akaondoka nae pale baa, wakati huo Ibrahim kalewa chakali yaani hajiwezi hata kidogo,..

    "broo kwanini unashindwa kujielewa ndugu yangu,.. Upo katika nafasi nzuri, kwanini usijichumie na wewe zakwako"

    Aliongea chidi huku akiwa anaendesha gari, ila Ibrahim alikuwa kalewa sana tena sana, hata macho yanaona kwa shida,.. Chidi alimfikisha kaka yake nyumbani lakini alikuwa hajiwezi kabisa

    "chidi, kaka yako kafanyeje"

    Jasmini alitoka mbio na kumpokea mume wake

    "aahhh kapiga grasi mbili naona zimemchosha"

    Chidi alimtetea kaka yake kwa njia hio lakini Ibrahim alikuwa chakali sana

    Mara ghafla sabra katokea huku nae akimkimbilia shemeji yake,...

    "we chidi shem kafanyaje"

    "si kalewa au huoni"

    "sa mi najuaje"

    "ndo ujue sasa"

    Chdi alikuwa kakasirika sana kwa nafasi aliokuwa nayo kaka yake inatosha kabisa na yeye kuwa tajiri, mana makampuni anayosimamia Ibrahim ni makampuni ya huyu mwanamke, yaani wazazi wa jasmini walipofariki walimuachia jasmini na sabra mali zote, hivyo mwanamke aliona hana kidume cha kuweza kuiendesha kampuni, ikabidi wakapendana na Ibrahim, lakini Ibrahim anashindwa kujielewa..

    Sasa wakiwa hapo sebuleni mara chidi kapigiwa simu na saida

    "haloo baby mambo"

    Alikuwa ni saida, na tayari wameshakuwa wapenzi ila bado hawakutana kimapenzi,

    "poa... Sasa saida hio kazi yako vipi, napata au spati, mana naona mapenzi mengiii lakini kazi sioni"

    "usijali baby... Ila nakumbuka juzi nilikupa milioni 5 ili ikukidhi mahitaji yako, but leo nakuletea milioni 10 ila achana na hio kazi kabisa yaani acha kazi hapo ulipo"

    Kumbe chidi kuacha kwake kazi tayari keshanogeshwa na vimilioni milioni anavyopewa.. Mana akina saida ni matajiri haswa yaani hata akina miriam hawaoni ndani,.. Na saida aliambiwa kuwa huyo kijana yupo bize sana hivyo kumpata kwako itakua ngumu na ili umpate mtoe pale kazini ndio utampata kirahisi.. Sasa ndio maana saida akaanza kumhonga chidi vimilioni vyake na chidi kweli akaanza kuisaliti kazi yake, sasa anaenda siku akitaka yeye mwenyewe,..

    "ok sawa.. Sasa upo wapi sasa hivi"

    "mi nipo nyumbani na nilikupigia ili leo nije nijue kwako"

    Saida aliongea hivyo ili waende wakafanye mambo yao

    "sawa tuuu sawa we njoo nina nafasi"

    Chidi alipenda saida aje mana toka waanze mahusiano yao hawajawahi kulala kitanda kimoja hivyo chidi anatamani sana saida aje geto kwake..

    Chidi hakukawia hata kidogo aliondoka hapo hata kuaga hajaaga



    Tukija huku kwa akina sarah, tunamkuta ndio anajiandaa kwenda

    "mama mi naenda sasa"

    Alimwambia mama yake kuwa ndio anaondoka kwenda kwenye shughuli ya kumseidia kaka yake,..

    "mwanangu kuwa makini asikugundue sawa"

    "usijali mama"

    "saida mwanangu, mimi huku najiandaa yaani ukifanikiwa tu, nipigie simu"

    "sawa mama we kaa tayari tayari"

    Saida alitoka na kuingia supermarket iliopo jirani yao, kisha akanunua kondomu pakiti moja yenye kondomu tatu ndani,.. Aliiweka kwenye kimkoba chake kisha akapanda gari yake kisha huyoo mpaka nyumbani kwa chidi... Maskini chidi yeye alishafika kitamboo akiwa anamsubiri saida aje...

    "waooooo baby,... Kweli wewe kichwa chako chepesi yaani maelekezo tu umefika mpaka ndani"

    "haaaaaaa mimi tena"

    Saida alimsukuma chidi mpaka kitandani kisha saida akaanza kuzipambua nguo za chidi.. Chidi anajiskia raha za kidunia kwa siku hio kufanya mapenzi na mwanamke mzuri kama kakiarabu vile.. Chidi nae alianza kumvua saida nguo, lakini saida roho inamuuma sana kwa kitendo cha kuvuliwa nguo na mtu asie mpenzi wake,.. Mana chidi yeye hajui kama hayo mapenzi ni ya muda mfupi tu, ila saida yeye ndio anajua kuwa mapenzi hayo ni ya muda mfupi tu...

    Chidi kama tunavyomjua utundu wake,.. Alimbinua saida na kumfanya awe chidi kisha akaanza kumvua nguo kwa matambo ya hali ya juu mno,... Mtoto saida alinyonywa kila mahari yaani hapo alipo hajielewi kabisa,... Chidi kuangalia maeneo ya chupi yalikuwa tayari yamejulisha kuwa yupo tayari kwa kumtaka zakari wa chidi... Chidi aliivua chupi ya saida, mtoto wa watu aliokuwa na kakitu kadogoo afu keupeee, yaani hata viunyoya vyake vimelala kama muarabu, kumbe ni Afrikasti,..

    "please chidi naomba uvae kondomu"

    Aliongea saida huku akiziba pale penyewe ili zakari isije ikaingia bila kondomu,..

    "aaahhh saida... Yaani hivi ulivyo nivae kondom kweli"

    Alilalamika kijana chidi huku akiwa kama anakata tamaa

    "chidi mpenzi wangu, lakini ukumbuke mimi mwenzio bado mwanafunzi eti,.. Sasa ukinipa mimba itakuwaje jamani"

    Chidi aliona alafu ni kweli,... Basi mtoto wa kiume kapasua kondomu kisha akaivaa,.. Angelijua hata asingelivaa. Basi chidi kauchomeka uzakaria wake na jinsi anavyouchomeka, siri ya raha hio wanaijua wenyewe wanaoutumia...

    Maskini ya mungu chidi nafanya mapenzi ya kumkuna mtoto wa kike, lakini mtoto wa kike mwenyewe hana haja ya kukunwa,..

    "chi... Chi... Chidi... Mbona hupizi jamani"

    Saida utamu ulimkolea vizuri, yaani hapo saida anaendeshwa na utamu sio akili yake tena

    "uuuuwiiii... Ah... Ah.. Ah... Ah... Ah... Aaaiii"

    Saida alikuwa akiupata utamu,.... Sasa wakati huo zakaria ya chidi inataka kutoa wazungu.... Saida alijua hio spidi ya chidi anayoenda nayo, ndio vile vituuu vinawasili,

    Sasa cha ajabu na cha kushangaza zaidi ni kwamba.....



    Katika mzunguko wetu wa maisha hakuna kitu kibaya kama kujaribu mapenzi, mapenzi ni kitu cha ajabu sana katika dunia hii,... Unaweza ukajaribu lakini mwisho wa siku ukajikuta umependa kweli

    Saida ni mtoto wa kitajiri haswa yaani ile mbaya,... Saida nafanya hivyo ili kuweza kumseidia mdogo wake ridhiwani ambae alizaliwa akiwa hana nguvu za kiume,.. Saida kakubali ili kupata mbegu za kiume ili mdogo wake apone,... Na mbegu hizo huezi kuzipata pasina kutembea na mwanaume ili ujue nguvu zake, usije ukauziwa mbuzi kwenye gunia,.. Na mbegu hizo bila kondomu huezi kuzipata, Saida alifanikisha yote hayo na sasa wapo kitandani na kijana chidi wakiwa wanakula raha zao...

    "uuuuwiiii... Ah... Ah.. Ah... Ah... Ah... Aaaiii"

    Saida alikuwa akiupata utamu,.... Sasa maskini chidi ndio zakaria ndio inataka kutoa wazungu.... Saida alijua hio spidi ya chidi anayoenda nayo, ndio vile vituuu vinawasili,

    Sasa cha ajabu na cha kushangaza zaidi ni kwamba, Saida kwa mikono yake aliichomoa kondomu ile kana kwamba chidi hakustahili kufanyiwa vile, mapenzi ni kitu cha ajabu sana tena kwa wanawake kimezidi kuwa cha ajabu... Saida anaitoa kondomu na kuitupa, na chidi hakutaka kuuliza kwasababu ndio alikuwa kwenye wakati wa kutoa wazungu, hivyo ilivyotolewa ile kondomu, chidi aliendelea na kazi akiwa kavu kavu.. Chidi aliikamulia bila huruma,... Baada ya dakika chache mbele, kijana chidi akawa amemaliza mshindo wake wa kwanza

    "we saida mbona umeitoa sasa"

    Chidi alimuuliza saida kwanini aliitoa hio kondomu

    "chidiiiiii.... Yaani huo utamu niliousikia, kiukweli sikutaka uwatupe hao watoto"

    Saida hakuwa na jibu zuri la kumjibu chidi, mana yeye ndio anajua sababu ya kumvalisha kondom na sababu ya kumvua kondomu hio,.. Saida hakutaka maswali mengi yawepo, Alimtaka kijana chidi waendelee na kitendo hicho, sasa hapo saida yupo kimapenzi zaidi na sio kikazi tena...



    Tukija huku kwa mama sarah katika hoteli yao

    "mungu wangu sijui yule mtoto atafanikisha"

    Mama sarah alijiuliza mbele ya mtoto wake, tena kwa sauti kubwa mpaka mtoto wake sarah akasikia

    "atafanikisha nini, na ni nani huyo"

    Mama anakuja kushtuka kumbe kaongea ujinga mbele ya mtoto wake,..

    "aaahh unajua ile nyumba tunayojenga kule, sasa kuna fundi nimemwagiza mapambo ya pale sebuleni, sasa ndio najiuliza kama atakua kafanikisha au vipi"

    Mama alibafilisha mada mara moja lakini hakumaanisha fundi wala nini, ila alimaanisha saida kafanikisha kupata hizo mbegu za kiume,..

    Mama sarah alichukuwa simu yake na kumpigia chidi, lakini simu ilikuwa haipokelewi,.. Kajaribu tena na tena lakini wapi simu haipokelewi,



    Sasa tukija huku Dar es Salaam kwa akina Jackson na salma,... Kama kawaida ndoa ilikuwa bado lakini ilikuwa inakaribia kufungwa,

    "lakini Jackson... We ulisema ndoa ni wiki hii mbona kama siku zinazidi kwenda tu"

    Aliuliza salma huku wakiwa chumbani kwao,..

    "salma ebu kwanza tutafute pesa kisha ndoa itafuata"

    "lakini Jackson.... Ina maana hizi pesa zenu hazitoshi mimi na wewe kufunga ndoa, kila siku unasema wiki ijayo wiki ijayo tu"

    "we mwanamke mbona unanipigia kelele"

    "Jackson, lakini ukumbuke umenitoa kwa mume wangu"

    "najua"

    "sasa kwanini huyaheshim maamuzi yangu"

    "subiri jamani... Baba yangu kapata matatizo Akaunti yake imezuiliwa sasa pesa hatuna"

    Baba yake Jackson hatujui alikuwa anafanya kazi gani lakini inasemekana akaunti yake ya benki imefungwa, mana ameonekana kuwa na pesa nyingi sana, hivyo serikali inataka kujua pesa hizo katoa wapi...



    Tukija huku kwa akina chidi na mpenzi wake mpya saida,..

    Walikuwa wametulia kitanfani baada ya kumaliza shughuli yao ya kuburudishana, lakini saida alikuwa hoi bin taabani, na wakati huo anamwangalia chidi kimapenzi kana kwamba hakutegemea kukutana na kidume kama hiki

    "kumbe ndio mana wanataka nguvu zake"

    Aliongea saida kimoyomoyo huku akijifariji na swali lake

    "lakini, mama kajuaje kama huyu kijana ni rijali kiasi hiki"

    Alijiuliza saida lakini hakuweza kupata jibu kwa haraka...

    Ghafla simu ya kijana chidi inaita, kucheki jina alikuwa ni shemeji yake

    "haloo shem"

    "eeee chidi, hebu njoo bwana huku mbona umetukimbia sasa"

    Aliongea jasmini huku akionekana kulia"

    "Ok nakuja hapo, lakini kuna shida gani"

    "we njoo tufanye mpango wa kumpeleka hospitalini"

    "ok nakuja"

    Basi saida na chidi walienda kuoga wote kisha wakatoka wote,.. Saida alimpa chidi lifti mpaka karibu na nyumbani kwa kaka yake,..

    "chidi... "

    Aliita saida baada ya chidi kushuka katika gari

    "naam"

    "shika pesa yako"

    "oohhh ni ile milioni 10 ulioniambia saa ile"

    "yes.. "

    "ok asante mamy"

    Chidi aliootaka tena kuondoka mara kaitwa tena

    "chidi... "

    "saida we mtoto mbona unaita ivyo"

    "chidiiiiiiiiiiiii"

    "nini sasa si useme"

    "I LOVE YOU"

    "waapi uongo"

    Chidi aliposema uongo, saida alishuka kwenye gari na kumrukia chidi, wacha aanze kumnyonya denda mbele za watu, na saida ni matajiri wanaojulikana haswa jijini hapo,.. Saida alimng'ang'ania chidi, huku akimkamua kama lita kadhaa hivi, mpaka chidi akakubaliana nae

    "sawa saida nimekubali"

    Chidi ni mzew wa madenda lakini hivyo alivyoshikwa na saida, mpaka sasa hivi wote wanahema juu juu pumzi zimewaishia...

    "chidi, nakupenda... Nakupenda sana, na sintorudia kuja kufanya ujinga niliotaka kuufanya"

    Sasa chidi akajiuliza, ni ujinga gani saida aliotaka kuufanya

    "ujinga gani huo"

    "si wa kutokwambia I love you mapema"

    Saina alikuwa yupo tayari hata kumwambia kuwa yeye alikuja kwa ajili ya kuzichukuwa mbegu zake, lakini kutokana na utamu wa chidi, saida akaairisha kufanya hivyo..

    Chidi na saida waliagana kila mtu kaondoka kivyake



    Chidi aliingia mjengoni na kuwahi kule ndani ambako kaka yake yupo na kazidiwa na pombe kali sana

    "afadhali umekuja shem..."

    Aliongea jasmini huku akimvuta chidi mpaka chumbani kwake ambapo ndipo kaka yake alipo,..

    "aaahhh huyu mtu kanywa lakini hajala bado, kaanza kunywa kabla ya kula"

    "kwaio tufanyeje shem... "

    "apikiwe supu safi apewe"

    Jasmini hakuchelewa alienda sebuleni na kufungua friji ili achukuwe nyama ampikie mume wake, lakini kwenye friji hakukuwa na nyama, bali kulikuwa na samaki

    "sabraa... We sabraa"

    "abeee dada"

    "hebu washa jiko bandika maji, nilete nyama mara moja"

    "sawa dada"

    Jasmini kweli alikuwa anampenda mume wake, sema wanawake sijui ni kwanini michepuko inawazidi,.. Jasmini aliwasha gari na kutoka nje mana bucha la nyama lipo mbali na hapo alipo



    Sasa huku nyumbani chidi akiwa yupo na kaka yake,

    "broo, yaani kitu unachokifanya ni kitu cha kijinga sana"

    Alikua akimwambia kaka yake lakini kaka alikuwa hoi bin taabani hata hasikii wala haoni

    Chidi alitoka pale chumbani ili kumharakisha shemeji yake afanye haraka,.. Lakini shemeji mtu katoka nje kununua nyama, ila chidi hajui kama katoka, hivyo akaingia jikoni lakini alimkuta sabra peke yake,...

    "we shem yupo wapi tena"

    "si useme demu wangu yupo wapi... Shem shem na wakati umeshamla"

    "sabra mbona una maneno mamy wangu"

    "sio maneno chidi,.. Tatizo uhensamu wako unautumia vibaya"

    "aahhh ok samahani kwa hilo"

    Kutokana na maneno ya sabra chidi alikasirika na kwenda kujitupa kitandani kule chumbani kwake...

    Haikupita muda mara sabra kafika

    "sema mla wake za watu"

    "sabra naomba tueshmiane lakini"

    "chidi, mimi nakuheshim sana sema wewe tu ndio hujiheshim"

    "ok.. Naomba nipumzike basi"

    Chidi alikuwa bize sana na hakutaka kuendelea kuongea na mschana huyo

    "eenheee, afu nimekumbuka... Kwanini siku ile ulinivua nguo? Ina maana ulitaka kunibaka"

    "sabraaaaaaaaaa.... Kichwa kinaniuma eti"

    "haya nibake sasa, we si ulitaka kunibaka,.. Dada yangu hakutoshi mpaka ukanivua nguo nikabaki na chupi tu, haya endelea sasa"

    Sabra alishampenda chidi, ila sema hawezi kuongea nae kwa utaratibu, toka siku ile agundue kuwa chidi amefanya mapenzi na shemeji yake... Tena mbaya zaidi bado hawajaoana, lakini chidi keshachungulia huko... Sabra alijikuta anatoa kila kitu mwilini mwake kisha akakaa mbele ya chidi

    "haya siku si uliniacha hivi, haya endelea sasa"

    Chidi kwa wakati hakuwa na hamu ya mapenzi hata kidogo mana muda sio mrefu ametoka kukamuana na saida,.. Sabra alibaki na chupi kama siku ile alipolazimishwa kuingia kabatini, na kujikuta kanga imemdondoka,..

    Sasa leo sabra kaamua moja, anamtaka chidi kwa lazima, uzuri ni kwamba sabra hajuagi kubembeleza kimapenzi,.. Hivyo anataka kufosi.

    "skia nikwambie sabra,... Wenzako wakimtaka mwanaume kimapenzi, hua hawawi wakali kiasi hicho, afu wanakuwa wapole, lakini wewe upo kama malaya hivi"

    "ati nini??.... Yaani mimi ni malaya chidi.. Lakini sawa tu,.. Ila chagua moja, kuimalizia hii chupi, au niende kumwambia kaka yako umemla mchumba wake"

    Sasa wakati huo dada mtu tayari yupo sebuleni na kesharudi buchani, sasa alikua akimtafuta sabra ili ampe nyama akate kate,.. Alienda mpaka chumbani kwake hakumkuta, ikabidi aende chumbani kwao kule kwa mlevi,.. Alipofika alimkuta mume wake yupo peke yake wala hakuwa hata na muangalizi,.. Akamuuliza mfanyakazi wa ndani

    "we Joyce, sabra kaenda wapi"

    "mmhh ata sijui, ila kuna muda nilimsikia akiongea ila sijafatilia"

    Sasa Sabra akagundua kuingia katika chumba cha chidi,..

    Sasa huku chidi kaona kuliko hii ishu aisikie kaka yake ni bora amvue sabra chupi ili mambo yaishe,.. Chidi aliishika chupi ya Sabra na kuanza kuitoa, wakati huo sabra ndio anajiskia raha, lakini huku mlangoni jasmini nae ndio anakibonyeza kitasa ili kuingia ndani

    "sasa si uvue haraka jamani chidi.. Au mpaka dada aje"

    Sauti hio jasmini aliisikia na ndio iliompa kichaa cha kuingia ndani.. Lakini kabla hajamaliza kuvuta kitasa, aliskia sauti nyingine ikisema

    "yaani chidi bila kunifanya chochote, naenda kumwambia kaka yako ukweli wote kuhusu wewe na mchumba wake"

    Sasa jasmini huku kasikia kuwa kumbe mdogo wake anajua kuwa yeye kalala na mdogo wake Ibrahim, yaani kalala na shemeji yake

    "mungu wangu, kumbe sabra anaijua hii ishu"

    Sasa jasmini yupo kwenye njia panda, amuache mdogo wake afanywe ili siri iwe siri, au aende kuzuia wasiliwe na mwanaume mmoja...





    Katika familia moja ambayo ina watoto wa kike angalau kuanzia wawili,.. Hivyo katika familia ambayo inajiheshima sana na inajua nini maana ya familia,.. Fanya madhambi yako huko nje lakini hakikisha familia haijui kitu, kwani endapo itajua mabaya yako basi hata dharau zitaanza ndani ya familia yenu, kwahio wanafamilia naombeni sana kujiheshim katika familia zenu... Sasa ikiwa kuna wasichana zaidi ya wawili katika nyumba moja au wamezaliwa pamoja, kwa wale wanaoelewa thamani ya familia ni nini, basi hawawezi kushiriki mapenzi na mwanaume mmoja kama watakuwa wanajua, lakini kwa ambao hawajui wao hawalaumiwi ila mwanaume atakuwa na makosa kama atakuwa anaju kuwa hapa nakula ndugu wawili, itakuwa ni dhambi kubwa sana kwa Mwenyezi mungu,.. Kula mtu na dada yake au mtu na mama yake, ni dhambi sana.. Ila iwe unajua lakini kama hujui kama watu hao wapoje basi, iwe kila mtu hajui.. Lakini mmoja wapo tu akijua kuwa hapa kuna wawili kwa mmoja basi ishakuwa nongwa,... Kidini Hairuhusiwi mwanaume mmoja kutembea na familia moja kimapenzi,.. Labda uwe hujui, na pia hata kama hujui bado una dhambi mana Mwenyezi Mungu kaagiza mje muijaze dunia ila sio kuzini na kila mwanamke.. Maana ya kuijaza dunia ni kwamba uoe au uolewe ili muijaze dunia, lakini sio uzini hovyo, hivyo mbali na kufanya mapenzi na watu wawili wenye ukaribu, bado una shehena ya dhambi kwa mungu wako,.. Kwahio familia ambayo inajiheshim haswa, hawawezi kukubali kushea penzi moja kwa mwanaume mmoja, lazima kuna mmoja atajitoa au wajitoe wote endapo watafahamu hilo,.. Yaani kitu cha ajabu sana kwa wanawake wawili kufanya mapenzi na mwanaume mmoja, yaani namaanisha ndugu sina maana ya mwanamke tofauti tofauti,.. Hii inalenga kwa ndugu wawili kwa mwanaume mmoja,....



    Sasa tukija huku kwa akina jasmini ambapo kasikia mdogo wake yupo ndani na mbaya zaidi ni kwamba mdogo wake ambaye ni sabra anajua kila kitu kiwa chidi alishawahi kutembea na dada yake,.. Hivyo sabra bado ni mschana mdogo hivyo heshma ya familia yeye haijui, hivyo kama angelijua basi asingediriki kumtaka chidi tena na wakati keshajua katembea na dada yake,.. Lakini jasmini yeye ndio mkubwa yaani wamebaki wawili tu, baada ya wazazi wao kufariki na kuachiwa mali hizo, hivyo kaa ukijua hapo Ibrahim hana hata peee hizo ni mali za hao watoto wa kike... Sasa jasmini yeye anajua kabisa kafanya mapenzi na chidi alafu sabra nae anamtaka chidi afanye nae mapenzi kitu ambacho kinamuuma sana mwanadada jasmini mana ndio anajua maana ya familia,...

    Jasmini akiwa yupo mlangoni asijue cha kufanya, kwamba aache ili siri iwe siri au azuie na akizuia sabra anaweza kusema na mambo yakaharibika.. Mana hata jasmini anampenda sana mme wake japo kuna tete za bado hawajaoana, ila wanapendana sana,..

    Jasmini ni mwanamke anaejua maana ya familia, hivyo hakutaka kuchelewa kuingia ndani baada ya kuoata jibu moja tu,

    "kama ni mbaya wacha iwe mbaya... Kuliko atumiliki wote"

    Aliongea jasmini huku akiminya kitasa na kuingia ndani,..



    Hamad anawakuta ndio walikuwa wanavuana chupi, yaani chidi ndio alikuwa anamalizia kuvua chupi ya sabra,

    "we sabra ivi una akili wewe"

    Sabra aliinyesha uoga mana ni dada yake, na hata chidi pia mana kama dada mtu kajua hilo basi huenda kuna kitu kitaharibika,

    "Nisamehe dada"

    "wewe ni mjinga sana, ina maana hujui kama kaka yake atanioa mimi huyu"

    "lakini mbona hata wewe umefanya nae"

    "lini"

    "si juzi wiki iliyopita, ulikuwa nae huku mi. Nilikuwa kabatini pale"

    "muongo mkubwa wewe, hebu nenda kapike nyama kule"

    Jasmini alimchukuwa chidi na kumtoa nje, sabra alibaki kule chumbani kwa chidi

    Walipofika nje jasmini alikuwa mpole sana kwa chidi

    "chidi shemeji yangu, mbona ivyo lakini"

    Aliingea jasmini huku akimshika chidi, mana jasmini bado anampenda chidi na sijui ni kwanini anmpenda kiasi hiki..

    "lakini mdogo wako ndio kaanza"

    "sawa, lakini we unajua tayari uneshafanya na mimi sasa mdogo wangu wanini tena jamani chidi"

    "ok, Nisamehe basi"

    "No, No, chidi I think mtarudia tena... So kuna kitu nataka nikuombe chidi.. Nipo chini ya miguu yako, nitakupa pesa kiasi chochote kile utakacho lakini ondoa fikra za kutembea na mdogo wangu.. Najua mdogi wangu ni malaya sana lakini asiwe malaya kwako mana wewe tayari umeshanifanya chidi"

    Chidi alivyotajiwa pesa hapo roho ilimdunda haswa,..

    "lakini kwanini hutaki nitembee na mdogo wako, na mimi na mdogo wako huoni ni saizi kanisa"

    "chidi... Ni bora ungelikuwa muoaji, lakini najua huna muda wa kuoa, hivyo unamchezea tu na hapa nimemleta ili aendelee kusoma... Sasa ukimnogesha na penzi lako utaniharibia mdogo wangu"

    "aahhhhhhhh"

    "aahhhh nini chidi jamani,.. Nitakupata pesa yeyote ile"

    "kiasi gani... Mana nataka ukinipa pesa nisimuwaze mdogo wako, tena hata kuja hapa sintakuja"

    "kwani we wataka milioni ngapi chidi,.. Nitakupata"

    Yaani chidi kuskia jambo la milioni, alizidi kujilamba mdomo huku akipiga mahesabu amtajie kiasi gani

    "aahhhh nadhani milioni 50 itakuwa ndogo sana kwangu, sasa sijui we utaongeza ngapi hapo"

    Chidi aliongea kwa matambo utafikiri pesa kama hizo anazo nyingi kumbe choka mbaya tu

    "chidiiii zaidi ya milioni 50 kwangu itakuwa ngumu,.. Kweli ninayo lakini nikikupa wewe nitaiua kampuni yetu"

    "kwaio"

    "chukua hio hio milioni 50 chidi, nikipata nyingine nitakupata... Mana sasa hivi mwezi unakaribia huu wafanyakazi watataka kulipwa, sasa nikikupa yote nitawalipa nini"

    Yaani chidi ndio magoli yake anayopiga hayo hua hakoseagi hata kidogo, akilenga jiwe lazima lipige ndege wawili,.. Chidi alikubali na jasmini aliingia ndani na kutoka na kimkoba cha kike lakini ndani kina pesa taslimu shilingi milioni 50,

    "sasa mbona koba la kike hili"

    "we nenda bwana kaka yako asije kuskia basi"

    Chidi hakuchelewa aliondoka zake mpaka geto kwake na kuanza kuhesbu pesa, kisha akazichanganya na zile zingine,... Kwahio hapo hakosi kama milioni 200 hivi na laki za kutosha,... Hii ndio raha ya kutembea na matajiri, sio uishie CHIPSI KUKU tu,..



    Baada ya siku hio kupita na leo ni siku nyingine tena,... Ikiwa ni hoteli fulani hivi tofauti na zile za akina sarah na miriam,..

    "lakini saida mbona umebadilika kiasi hiki"

    Alikuwa ni mpenzi wake na saida aitwaye jemsi, alikuwa akilalamika mabadiliko ya mpenzi wake saida

    "sikiliza jemsi, nishakwambia niache mbona huelewi lakini, we mwanaume gani usioelewa mapema"

    "lakini nimekufanyia kosa gani saida wangu"

    "sitaki kujua lakini naomba uwe mpole na mimi"

    Saida alianza kumchukia jemsi wa watu kisa tayari keshaonja utamu wa chidi, yaani hapo mama yake asitegemee dawa tena bali ajue ndio kapata mkwe,..

    "kama kuna kosa nisamehe basi"

    "jemsi mnona huelewi... Mi nishakwambia nipo kwenye siku zangu mbona hunielewi"

    "aahhhh basi ungesema mpenzi wangu kwani mi nitalazimisha sasa"

    "sawa umeshajua ondoka.. Au kama unabaki haya"

    Saidi aliondoka kwa dharau kubwa sana, yaani yule mpenzi wake ambae hakutaka kumsaliti leo ndio anamsaliti bila chenga, na ndio maana nasema mapenzi siku zote hayajaribiwi,...



    Sasa leo tukija huku hotelini kwa akina miriam, leo chidi kaja kazini lakini bado anakuja siku akitaka ila sio kwamba kaacha kazi kabisa, ila yeye anasubiria kazi kutoka kwa saida, na wakati saida hana cha hoteli wala nini,..

    Chidi wakati huo yupo jikoni anaendelea kupika na hakukuwa na boss hata mmoja aliejua kama leo chidi kaja,... Ikiwa ni mida ya saa tano hivi, miriam ndio anaona chipsi zilizokuwa zikipelekwa kwa wateja kutoka pale kaunta..

    "we hizo chipsi kapika nani"

    Miriam aliuliza mana chipsi za chidi zinajulikana

    "kapika omari boss"

    "omari kaja"

    "ndio"

    Miriam alitoka mbio mpaka jikoni, yaani hakuuliza kwanini chidi hakuja kama siku mbili hivi mfululizo, bali alimkumbatia kwa kummisi... Wapishi wote wa chipsi wanajua kuwa chidi na miriam ni wapenzi hivyo kitengo cha chipsi chote, kilikuwa kinamuita miriam shemeji, /ana wanajua kitambo tu,..

    "chidi mpenzi wangu ulikuwa wapi lakini"

    "aahhh nilikuwa naumwa kidogo boss na hata leo nimejikaza tu"

    "kwanini sasa hujaniambia mimi ningelijua"

    "samahani bosa"

    "nani boss wako"

    "basi nisamehe mamy wangu"

    "babuu, mi nilikuwa na hofu juu yako"

    "basi siku nyingine nitatoa taarifa"

    Sasa wakati huo kumbe mama miriam alikuwa akiona kila kitu, yaani vile miriam alivyokumbatiwa na kuanza kumbusu mashavuni... Kumbe mama aliona kila kitu ila hajasikia maongezi kwasababu alikuwa kwa mbali kidogo.... Mama miriam aliondoka na kwenda ofisini kwake,...

    "sasa chidi ngoja nikaongee na mama kuwa ulikuwa unaumwa"

    "sawa"

    Miriam aliondoka na kwenda ofisini kwa mama yake na kuongea nae

    "mama... Omari amekuja"

    "kwahio watakaje labda"

    "anaendelea na kazi"

    "ebu muite kwanza hapa, naona anacheza na akili yangu"

    "mamaaaa... Lakini alikuwa anaumwa"

    "sawa, lakini nina maongezi nae kidogo"

    "sawa wacha nikamuite"



    Tukija huku kwa akina jasmini na mdogo wake wakiwa wapo sebuleni baada ya kupata chai, walikuwa wakiongelea lile swala la jana la sabra kutaka kufanya mapenzi na chidi,..

    "ivi sabra mdogo wangu, kama wewe umeniona nimefanya kitu na chidi sasa wewe ulikuwa unataka ili iweje"

    "dada... Lakini ukumbuke kuwa na mimi ni mschana eti"

    "funga domo lako mshenzi wewe, mschana ndio tufanye mapenzi na mwanaume mmoja, ivi tutadharaulika kiasi gani"

    "lakini mimi na chidi tulikutana kabla"

    "unataka kusema mlishawahi kusex"

    "hapana ila tulipenda kitambo tu toka hata wewe hujaanza kukutana na kaka yake ila hatujafanya"

    "sasa sitaki ufanye,.. Utaidhalilisha familia yetu, hata yeye atatudharau sana mtu na dada yake kumpenda mwanaume mmoja ni kosa sabra mdogo wangu"

    "lakini mbona wewe umefanya nao na ni ndugu lakini umetembea nao wote"

    "ni kweli... Lakini sio kuwa chidi nampenda, ila kuna sababu ilionifanya nifanye nae mapenzi"

    Aliongea jasmini lakini wakati huo alikuwa hana hasira sana mana tayari siku ile ilishapita na hata mumewe mtarajiwa keshaenda kazini...

    "dada... Mapenzi ni mapenzi tu hata kama kuna sababu"

    "lakini nashukuru, hata nikiachana nae.. Ilimradi tu lengo langu limetimia"

    "Lengo??????...... Lengo gani hilo dada, mbona mambo mengine hunishirikishi na wakati mali ni zetu wote"

    "sabraaa, we bado mdogo... Sio kila jambo ulijue"

    "sawa dada mimi nakubali, ila hebu niambie sababu ya kulala na chidi na umefanikiwa lengo gani"

    "sawa... Ila nikikuambia usimuwaze chidi tena mdogo wangu, ni vibaya mno tukishea penzi moja kwake"

    Aliongea jasmini tena kwa huruma kubwa kumaanisha kweli hapendi sabra ashee penzi na chidi

    "sawa, kuanzia leo sitaki kuwa nae, japo keshaniona uchi wangu"

    "haijalishi lakini usisex nae hata siku moja"

    "sawa dada nimekuelewa.... Haya basi niambie sasa hio sababu ya kusex na chidi na wakati ni shemeji yako mtarajiwa"



    Kulikuwa kuna sintofahamu hapo katika hio familia japo hatujui kile kinachojiri kwanini jasmini alifanya mapenzi na chidi, afu kumbe hampendi wala nini,..

    Siri hio tunataka tuijue baada ya sabra kutaka kufanya mapenzi na chidi, ila sabra yeye kapenda kweli lakini jasmini yeye alikuwa ana sababu zake binafsi za kutembea na kijana huyo, ila sio kuwa kulikuwa na mapenzi ya kweli hapo

    Jasmini baada ya kubanwa sana na maswali ya mdogo wake ilibidi tu aongee ukweli ili tu mdogo wake asije kuja kutembea na chidi, mana watadharaulika sana katika familia yao



    "sabraaa, we bado mdogo... Sio kila jambo ulijue"

    "sawa dada mimi nakubali, ila hebu niambie sababu ya kulala na chidi na umefanikiwa lengo gani"

    "sawa... Ila nikikuambia usimuwaze chidi tena mdogo wangu, ni vibaya mno tukishea penzi moja kwake"

    Aliongea jasmini tena kwa huruma kubwa kumaanisha kweli hapendi sabra ashee penzi na chidi

    "sawa, kuanzia leo sitaki kuwa nae, japo keshaniona uchi wangu"

    "haijalishi lakini usisex nae hata siku moja"

    "sawa dada nimekuelewa.... Haya basi niambie sasa hio sababu ya kusex na chidi na wakati ni shemeji yako mtarajiwa"

    Aliongea sabra huku akiwa siriasi mno wala hakuwa na utani na alitaka kuijua hio sababu ili asitishe kufanya mapenzi na chidi,..

    "ni kweli mdogo wangu... Binafsi mimi ni kwamba, nampenda sana Ibrahim, yaan nampenda haswa..... Ukumbuke mdogo wangu sisi tumebaki wawili tu katika familia yetu, na katika mali zetu hatuna ndugu wa kiume hata mmoja ambae ataweza kutupigia kifua pale shida inapotokea,.... Binafsi yangu mimi nilikuwa natamani sana nipate mtoto, haswa haswa mtoto wa kiume ili baadae mali zetu zipate wa kuzisimamia vizuri kuliko sisi... Ibrahim nilitamani anipe mimba hata wakati ule tunaanza mahusiano, lakini kwa bahati mbaya nakumbuka nilienda kupima mbegu zake na kukuta hazikuwa na ubora wa kutunga mimba kwa haraka, yaani anatakiwa akae zaidi ya mwezi mmoja kisha aje kufanya mapenzi na mimi, hapo ndio afadhali anaweza kutungisha,.. Nakumbuka nilishawahi kumzuia zaidi ya mwezi mmoja asisex na mimi, mana mimi ndio ninaejua udhaifu wake,.. Lakini pia bado haikuseidia ila nadhani Ibrahim alikuwa na wanawake wa nje, na ndio maana hata nilipomruhusu pia hakufanya lolote zaidi ya ngono ya kawaida tu,.. Nilikuwa natamani sana kumsaliti nje ili tu nipate japo mtoto mmoja tu, lakini sasa niliposikia ana mdogo wake wa kiume.. Ndio nikafanya juu chini aje mjini, ili huyo huyo mdogo wake anipe mimba ili niwe na damu ya mdogo wake... Hio ndio sababu ya mimi kutembea na chidi, ni ili anipe mimba"



    Aliongea kwa kirefu nwanadada jasmini huku machozi yakimtoka kwa hasira,..

    "kwahio hapo ulipo tayari una mimba"

    Sabra alimuuliza dada yake kuwa kwahio keshapata kile alichokitaka..

    Lakini kabla sabra hajajibiwa na dada yake, ghafla jasmini anaamka mezani kwa haraka na kukimbilia bafuni, alichokiskia sabra huko bafuni, alijisemea tu mwenyewe

    "tayari umeshapata mimba ulioitaka, lakini mimi sikutaka mimba, mimi nakapenda tu mana nilishakapenda toka siku ile anakuja mjini... Kwahio kama ni kusex nae basi mimi ndio ningelikuwa wa kwanza,.... Utanisamehe dada angu, lazima chidi nionje utamu wake,.. Yaani nitamtafuta kwa gharama zozote,.. Mpaka aniingizie ub**** wake"

    Alijisemea kimoyomoyo huku dada yake akiwa bado yupo bafuni anatapika kana kwamba tayari mimba imeanza kutungwa huko,.. Ila sio mbaya mana chidi na Ibrahim wote ni damu moja, hivyo jasmini ndicho alichokitaka hakutaka kuleta mtoto wa nje sana, bora atembee na huyo huyo mdogo wake.... Wakati huo sabra ndio keshaapa lazima abakwe na chidi iwe isiwe..

    Jasmini anarudi mezani kalegea hata macho yameshaanza kuwa mekundu..

    "vipi dada unaumwa kwani"

    Aliuliza sabra ilihali anajua sababu ya dada yake kwenda kutapika

    "no,.. Sabra, ni hio mimba ndio imeanza kunichefua"

    Aliongea jasmini huku akiwa kama kachoka choka hivi, mana ndio mimba yake ya kwanza kuipata kwa kupitia mbegu za chidi,..



    Sasa tukija huku hotelini kwa akina miriam kama unakumbuka sehemu iliopita tuliishia mahali miriam anakwenda kumuita chidi baada ya mama miriam kumtaka chidi kwa ajili ya maongezi zaidi,... Miriam alimka na kwenda jikoni lakini hakuwa na furaha kabisa alionyesha dhahiri kuwa kuna kitu kitamtokea chidi,..

    "omari... Boss anakuita ofisini kwake"

    Aliongea hivyo kumaanisha mama yake anamuita ofisini kwake,.. Chidi alishtuka na kujua enhee sasa kitakuwa kimenuka, mana kakaa nyumbani siku mbili mfululizo bila kuja kazini,..

    Chidi alijikokota huku miriam akiwa nyuma yake,

    "we omari.. Akikuuliza we mwambie ulikuwa unaumwa sawa"

    "sawa"http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Miriam anajuwa ukali wa mama yake,.. Anajua mama yake ni mbogo hua hatakagi mambo ya kijinga

    "ingiaaa"

    Ni sauti ya boss ikimuamuru chidi aingie baada ya kubisha hodi,..

    "shkamoo boss"

    Alisalimia baada ya kufika katika ofisi hio, ghafla miriam nae katokea na kukaa katika kiti,..

    "miriam... "

    "abee mama"

    "naomba uende ukaendelee na kazi"

    "lakini mama.. "

    "nimesema nenda"

    Miriam aliogopa sana kuhusiana na chidi, ila hakuwa na budi yeye kwenda kuendelea na kazi kuliko kukaa hapo pasina lolote na wakati kule keshia hakukuwa na mtu yeyote yule,.. Baada ya miriam kutoka mama alimuuliza chidi

    "wewe kijana... Ivi nataka kukuliza mimi nina undugu na wewe"

    Aliuliza mama huyo huku akiwa kakunja sura haswa, mpaka chidi akawa anaanza kutetemeka kwa uoga

    "hapana boss"

    "sasa kwanini unachezea kazi yangu"

    "nilikuwa naumwa boss"

    "taarifa ulimpa nani"

    "hakuna niliompa taarifa, ila naomba unisamehe boss"

    "hilo ni moja.... Pili, ukaribu na mtoto wangu uliabza lini"

    Mama aliuliza mana kaona live bila chenga watu wakikumbatiana na kubusiana,..

    "hapana boss, sina ukaribu wowote na boss miri"

    "unajua unanichefua we mtoto... Nitakupasua kichwa hicho... "

    Mama miriam huezi amini pale alipo alitoa bastola na kumnyooshea chidi..

    "wewe umekuja kufanya kazi au umekuja kutamani watu"

    "nimekuja kufanya kazi boss"

    Mama miriam alikuwa anatetemeka mkono huo huo ulioshikia bastola,.. Mana anajua fika huyu kijana ana mahusiano na mtoto wake,...

    "sasa sikia, kaa mbali na mtoto wangu, laa sivyo nitakupoteza kwenye hii dunia... Ni bora uniibie mali kuliko uniharibie mtoto wangu"

    Aliongea hivyo kisha akashusha ule mkono wenye bastola chini, na kuhema kwa nguvu zote....

    "sawa boss nimekuelewa"

    "tokaaaaaaa, mbwa wewe"

    Chidi alitoka hapo akiwa na hasira nyingi, sana sasa miriam kumbe hakuwa mbali sana hivyo alimuona chidi akiwa anatoka ofisini kwa mama yake,.. Miriam alimkimbilia na kutaka kumkumbatia ili amuulize kaambiwa nini huko ndani

    "omari... Omariii... We omari nisubiri basi jamani"

    Huezi amini mambo yamekuwa si mambo, penzi limeingia doa... Ila sasa sijui chidi atakaza kuwa nae au ndio kwishnei tena...

    Wakati huo miriam anaita pasina mafanikio yeyote ya kuitikiwa...

    "jamani omari mpenzi wangu mbona ivyo"

    Aliongea miriam baada ya kufika karibu na chidi,...

    "kwani vipi"

    Chidi aliuliza hivyo baada ya kuona miriam anamgasi sana

    "mama kakuambia nini"

    "kuniuliza kwanini sijaaga kama nilikuwa naumwa"

    "lakini si unaendelea na kazi baby"

    "ndio... "

    "Ooohhhhh Thenx God for the last chance....ok twende zetu jikoni basi"

    Miriam alimshika chidi kiuno huku akimwambia waende jikoni, kule wanakopika chipsi.. Chidi aligoma kwenda, tena alimgeukia miriam na kumwambia kuwa

    "naenda mwenyewe"

    Miriam alishtuka kuskia hivyo mana sio kawaida ya chidi kujibu hivyo...

    Lakini kabla hajauliza kwanini chidi kamjibu hivyo, ghafla anakuja mhudumu na kumuita miriam

    "Boss unaitwa na Boss mkubwa"

    Maana yake ni kwamba miriam anaitwa na mama yake kule ofisini,...

    "omari,... Nakuja huko jikoni, ngoja nikamsikilize mama kwanza"

    Miriam aliondoka lakini kila akipiga hatua akili haimtumi kuhusiana na lile jibu la chidi kuwa hataki kuongozana na miriam kwenda jikoni, badala yake akasema naenda mwenyewe....

    Miriam alipofika ofisini kwa mama yake alimkuta ndio ananyanyuka kwenye kiti ili aondoke zake... Miriam alimuwahi kumuuliza

    "mama.... nimeambiwa unaniita"

    Aliuliza miriam huku akiwa kaangalia chidi kwa heshima kubwa kwa mama yake

    "ndio... Jiandae uende Uingereza kimasomo"





    Uhusiano wa heshma ulikuwa unakwenda kuvunjika baada ya mzazi kugundua kuwa kuna uharibifu wa mtoto wake,... Nikisema uhusiano wa heshma namaanisha kwamba toka waanze uhusiano huo hakuna hata mmoja aliowahi kumuomba mwenzi wake tunda la msimu,.. Chidi kwa Miriam alionekana kupenda haswa, lakini hakuwa na jinsi mana bila hivyo atakufa kwa ajili ya mwanamke... Hivyo hana budi kuachana naye... Miriam aliitwa na mama yake wakati akiwa kasimama na chidi... Miriam alikatisha maongezi na chidi kisha huyoo akaitika wito wa mama yake

    Miriam alipofika ofisini kwa mama yake alimkuta ndio ananyanyuka kwenye kiti ili aondoke zake... Miriam alimuwahi kumuuliza

    "mama.... nimeambiwa unaniita"

    Aliuliza miriam huku akiwa kaangalia chidi kwa heshima kubwa kwa mama yake

    "ndio... Jiandae uende Uingereza kimasomo"



    Miriam alitoa macho, japo ni madogo lakini yalitoka kwa kusikia anakwenda Uingereza kimasomo... Afu mama hakutaka maswali nengi juu ya neno lake, na licha ya kutotaka maswali, pia aliondoka kabisa hapo ofisini kwake na kuanza kuzunguka hoteli nzima ili kuweka mazingira vizuri, mana ana muda hajazunguka katika hoteli hio,... Miriam hakuwa na wa kubishana nae alirudi ofisini kwake na kujilaza na wala hakuwa na hamu hata ya kufanya kazi,..

    Sasa huku kwa chidi nae kichwa kimejaa mawazo

    "oya omari, vipi mbona toka ulivyokuja hapa huna hata raha"

    "aaahhh.. Nimekaa nyumbani bila kuaga sasa boss naona kachafukwa"

    Wakati huo hajui kama Miriam kaambiwa aondoke Tanzania, yaani hatakiwi kuonekana kabisa,...

    "lakini si bado tupo kazini"

    "ndio.. Kwa kazi bado nipo"

    "daaahh afadhali jamas etu upo kazini"

    Waliongea wale wafanyakazi wenzie,.. Kwa sasa hakukuwa na mtu aliokuwa anamchukia chidi, mana kuja kwa chidi mpaka sasa hivi wameongezewa mshahara umekuwa mzuri na inapendeza, na nzuri zaidi ni kwamba chidi anawafundisha jinsi ya kutengeneza chipsi nzuri na za kupendeza... Mana kiazi ni kimoja lakini mapishi ni tofauti, na kila mtu ana uprofessional wake juu ya kazi yake.. Hivyo chidi anajua kazi ya kuoika CHIPSI vizuri sana.. Mana hakuna chipsi tamu kama za mtaani, mana zile ni asili kabisa, lakini kwenye mahoteli huko,.. Zinatunzwa sana mpaka inapitiliza kwenye utunzaji...

    Sasa Miriam akaona wacha akamshirikishe chidi kuwa yeye anakwenda Uingereza ili aone atalichukuliaje swala hilo...



    Tukija huku kwa akina saina, tunamkuta saida anagombezwa na mama yake, baada ya mama kuona kimya kinazidi kutawala na mtoto hafanyi kazi kama inavyotakiwa

    "mama, lakini tunaenda taratibu mama angu"

    Aliongea saida huku akiwa kakasirika

    "taratibu kitu gani mdogo wako anazidi kukua tu, sasa kwa taarifa yako zimebaki siku mbili tu, mdogo wako atimize miaka 21 kamili, na inatakiwa kabla ya kutimiza umri huo awe tayari kesharudisha nguvu zake... Yaani kesho kutwa ni siku ya kuzaliwa kwa mdogo wako... Na ikipita hio siku,.. Inabidi umpe sketi zako na chupi zako kila kitu avae uende nae huko kwa wanaume zako na yeye awe kama wewe.. Mshenzi wewe"

    "mamaaaaaaa... Kwanini unaongea hivyo lakini"

    "hiii kazi ilikuwa inafanywa na mtu, lakini nikaona niutumie uzuri wako mwanangu mana niliompa hii kazi alikuwa anatumia pesa nyingi sana afu hafanikishi... Sasa hata wewe mdogo wako mno unamfanyia hivyo"

    "mama basi jamani... Nipe siku ya leo usiku"

    "kama hutaki uniambie hata mimi nina kum*.... Naweza kwenda kumpa huyo kijana"

    Saida kuskia hivyo alikimbia hata hakutaka kuendelea kumsikiliza mama yake... Saida alipanda gari, tusijue anapoelekea.... Wakati huo mama anachungulia dirishani ili kuona kama anaondoka au vipi,....

    "hawa watoto bila mkwara hawafanyi vizuri, shenzi yake... Na nimempa mkwara wa kutosha, lazima afanye kazi"

    Aliongea mama saida huku akijifuta jasho, mana aliongea maneno yenye uchungu wa hali ya juu, mpaka saida mwenyewe akaona akiendelea kukaa hapo abaweza kuachiwa hata laana, maba hayo maneno yaliomtoka mama huyo, ni maneno makali mno...



    Sasa Tukija huku kwa akina sarah na mama yake.. Sarah akiwa yupo ofisini kwake akitaka kumpigia chidi

    "jamani nimemmisi chidi wangu"

    Aliongea hivyo huku akiitafuta namba ya chidi, kisha akampigia

    "haloo chidi mambo"

    "poa niambie"

    "safi tu... Afu mbona kama huna raha baby"

    "aaahh ni kidogo tu sio sana"

    "eti eee, jamaaniiiiiiiiiiiiii leo nije kwako"

    "mmmhh no, leo nimechoka sana mamy"

    "nimekumisi jamani"

    Alizidi kuongea sarah huku akijiona ni mwanamke mwenye bahati sana kwa kumpata chidi....

    Wakati huo huo simu ya chidi ilikuwa inatoa muito wa kuwa kuna mtu mwingine aliokuwa akipiga,..

    "sarah ebu subiri kidogo nakupigia"

    Alikata simu ya sarah kisha akapokea simu ya saida,..

    "haloo chidi mambo"

    "poa niambie"

    "safi tu... Vp leo tunaweza kukutana"

    "hapana... Leo nitakuwa bize kidogo"

    "basi leo nalalia kwako... Nataka unipe nyama yako tena"

    "heeeeee we si jana umetoka geto kwangu wewe"

    Sasa wakati chidi anaongea hayo, kumbe Miriam alikuwa anasikia kila kitu, mana ukumbuke alitoka kwenye ofisi yake ili akampe chidi taarifa kuwa ana safari ya kwenda Uingereza, sasa aliootaka kuingia ndio akasikia hayo maneno, ikambidi asimame kwanza ili asikilize vizuri.. Lakini mmoja wa wapishi wa chipsi alimuona shem lao limejaa kwa mbali, hivyo akamfuata chidi taratibu bila Shemela wao kujua

    "oya omari, ongea taratibu shemela yupo nyuma yako"

    Chidi aliposkia hivyo akabadirisha topiki

    "sasa kwani jana kile kitabu hujakichukuwa"

    Sasa topiki aliobadilisha yule saida haijui

    "kitabu gani tena we chidi, au umenisahau jamani"

    "aaahhh kama hujakichukuwa we njoo, utakichukuwa.. Nimekubali uje ukichukue (nimekubali uje ulale)" aliongea kimafumbo lakini saida hakuwa akielewa chochote kile,...

    "chidi sikuelewi, mi nataka nije nilale kwako nina hamu"

    "sasa si nimekwambia njoo.... Njoo uchukuwe kitabu ila utarudisha kitabu changu"

    "chidi, mi staki kitabu"

    "nimekwambia njooo mbona huelewi Kiswahili"

    "unamaanisha umekubali nije kulala kwako"

    "ndio"

    "sasa mbona ulikuwa unanitajia mambo ya vitabu"

    "nina sababu"

    "ooooohhh basi nimeelewa,.. Apo utakuwa upo karibu na bi mkubwa si ndio ee"

    "ndio... Kata simu basi"

    Simu ilikatwa kisha chidi akajifanya hajui lolote kama miriam yupo nyuma yake,..

    "nani uyo anataka kitabu"

    Ni jamaa yake ndio alimuuliza makusudi tu ili miriam ajue kuwa hakukuwa na shida... Na miriam yeye hajui kama mwenzie alishikiwa bastola kule ndani kwa ajili yake

    "aaahhh si yule mdogo wangu, jana kaja geto kuna kitabu nimemnunulia sasa kumbe alivyoondoka kakisahau, afu sasa hivi anataka kuja tena na wakati sipo"

    "aaahhh we mpe tu"

    Pale pale miriam alijitokeza lakini hakuwa na raha

    "aaahhh shemmmmmm"

    Walimuita wote waliokuwa hapo jikoni,

    Lakini miriam hakuwa na raha kabisa na sio yeye tu, hata chidi hakuwa na raha hata kidogo,

    "omari... Nataka kwenda Uingereza kesho"

    Aliongea hivyo miriam lakini cha ajabu chidi wala hakustuka wala nini,.. Hata miriam alishangaa kuona chidi mbona hata hashtushwi na maneno hayo...

    "omariiiiiiii si nakuongelesha lakini"

    "kwahio wataka nikakukatie paspoti au,.. Au mimi ndio rubani"

    Heeeeeee hata wapishi wenzie walishangaa kwa kumsikia chidi akiongea maneno ya ajabu

    "oyaa omari, huyu ni shemela Miri eti"

    "hata angelikuwa mirinda, angenywewa tu"

    "oya omari... Mbona leo hupo sawa toka ulivyotoka ofisini kwa boss"

    Sasa miriam kuskia vile akajua badi, yote hayo yametibuliwa na mama yake.. Miriam ni msomi hivyo alijua tu hio haikuwa dhamira yake kutaamka maneno hayo...

    "omari mpenzi wangu, mboba umebadilika ghafla tu"

    "nani mpenzi wako wewe... Ebu jieshimu bwana,.. We unanipenda mimi nina nini.. Maskini wa kutupwa namna hii.. Nakuja kuungua na moto,.. Mimi ni msukuma mkokoteni, na ni mchunga mbuzi... Nenda kapende watu wenye pesa kama wewe"

    Kila mtu hapo ndani kimyaaaa.... Sasa wakati huo mama anaona na anasikia kila kitu,.. Yaani mama anafatilia mwanzo mwisho.

    "omari jamani, nani kakujaza maneno yote hayo"

    "tena usinizoeee... Fata mambo yako.. Tafuta pesa kama mama yako,.. Achana na mimi nayapenda maisha yangu,.. Tena kama ni huko Uingereza kwako we nenda na wala usiniage,.. Kwendaaa"

    Miriam alitiririkwa na machozi mfululizo bila kupata jibu kwanini chidi kawa hivyo..

    Chidi hapo hapo hakutaka mazoea ya kukaa aliondoka zake kwenda nyumbani.. Mana haoni hata hamu ya kukaa huku ndani... Mana anampenda sana miriam tena ana nia nae hata kuishi nae lakini chidi ni maskini hawezi kuwa na mschna wa kitajiri kama huyo...

    Sasa papo hapo miriam akiwa anajiuliza ghafla kapata wazo,..

    "nitajua tu kama kuna sababu au kaamua mwenyewe"

    Aliongea hivyo miriam kisha huyoo kaondoka zake kwenda ofisini kwake..



    Baada ya siku hio kupita na leo ni siku nyingine tena ikiwa ni mida ya saa 12 asubuhi, chidi akiwa kalala na saida..

    "we saida"

    "abeee"

    "kwanini jana hujanipa tunda mpaka sasa hivi ona kumeshakucha"

    "jamani chidiiiiii... Nilikuwa nataka nikupe asubuhi"

    Nia ya saida ni kutaka kumpa tunda asubuhi ili ile mbegu iwahishwe kwa mganga, kama unakumbuka wamepewa masharti kuwa mbegu hizo hazitakiwi zikae zaidi ya masaa saba kwenye kondomu mana zitayeyuka na kuwa majimaji,.. Sasa ndio maana saida alimnyima chidi usiku wa jana, mana angelimpa jana, je? Hizo mbegu zingepelekwa saa ngapi?... Hivyo ndio maana akategea asubuhi ampe mzigo ili azipate hizo mbegu za kiume.. Saida alitumia akili kweli

    "saa hii nataka kuwahi kazini eti"

    Aliongea chidi huku akifunua pazia kuangalia hali ya hewa ipoje,

    "lakini si nilikuambia uachane na hio kazi"

    "sasa hio kazi yako siioni sasa"

    "ok usijali... Nipige kimoja basi"

    Mbegu zinazotakiwa haijalishi ni kimoja au viwili kikubwa zifike ndani ya masaa saba...

    "saidaaaaa"

    "please chidi... Hata usiponivua chupi, ipenyeze tu"

    "aaahhh sasa hii kondomu ni ya nini"

    "vaa kondomu,.. Naskiaga mimba za saa 12 hua sio nzuri chidi"

    "aaahhhh sasa mambo gani ya kutumia kondomu haya"

    "tumia please... Mbona juzi uliivaa nikaivua mwenyewe"

    Wakati huo zakari wa chidi kasimama ndi ndi ndi,...

    Basi chidi alikubali kuvaa kondomu

    "lete nikuvalishe mimi basi"

    Saida aliomba amvalishe mwenyewe,.. Lakini huezi amini saida leo hakuwa na utani yaani alikuwa akizitaka mbegu hizo kwa udi na uvumba... Maskini ya mungu chidi hajui hili wala lie kama mbegu zake ni dili kwa watu wengine...

    "una uume mzuri, tena uliosimama kama kisiki cha mpingo... Lakini leo ndio mwisho wako wa kusex na mimi... Hiii ni kum** ya mwisho kwako,.. Utabaki kuzila kwa macho tu,.. Wacha nikamponyshe mdogo wangu, nae ajue raha ya kum** ikoje"

    Aliongea saida kimoyomoyo huku akiipanua miguu yake, na chidi hajachelewa kuingiza zakaria yake... Mkao alioka saida ni mkao wa kumfanya mwanaume afike haraka kileleni...



    Baada ya masaa mawili kupita, tunamwona saida akiwa yupo na gari yake kuelekea nyumbani,... Ila wakati huo alikuwa akipiga simu kwa mama yake

    "haloo mama"

    "abeee mwangu upo wapi"

    "mama nimeshazipata zile mbegu"

    "Whaaaat.... Unasema kweli saida"

    "ndio mama... Ninazo hapa kwenye mkoba wangu"

    "harakisha uje nazo... Tuwahi kwa mganga, tena leo tunapanda helikopta sio gari tena"

    Sasa saida kumbe ana ahadi yake aliopewa na mama yake kuwa, akimaliza chuo, atanunuliwa gari aina ya Lamborghini, gari yenye thamani kubwa kuliko zote duniani... Inaitwa Lamborghini ina thamani ya shilingi milioni mianane mpaka Bilioni moja na pointi,.. Gari yenye thamani kubwa.... Sasa saida nae akaona hapo hapo anaitaka hio gari ndio atoe hizo mbegu, mana tayari keshampenda chidi...

    "lakini mama... Uliniambia utaninunulia lile gari, kwahio nalipataje"



    Saida alianza mbwembwe zake za kutaka kuzikwepesha mbegu hizo,.. Saidi alitokea kumpenda chidi na wakati huyo huyo ndio dawa kwa mdogo wake... Hivyo saida kaabza kutafuta sababu ili tu zile mbegu zisifike huko zinapotakiwa,.. Na safari hii wanaenda na helikopta, kitu cha nusu saa tu wamefika eneo husika..

    Saida alianza kumchemsha mama yake amnunulie gari hio nyenye thamani kubwa sana duniani...

    Sasa saida akaona hapo hapo anaitaka hio gari ndio atoe hizo mbegu, mana tayari keshampenda chidi...

    "lakini mama... Uliniambia utaninunulia lile gari, kwahio nalipataje"



    "saida mwanangu.... Unapoteza muda mwanangu, wahi tukamponyeshe mdogo wako eti"

    "kama hutaki mi naitupa hii kondomu ikanyagwe na magari"

    "basi mama njoo... Chonde Chonde mwanangu,... Nitakununulia hata gari mbili, ila uje na hizo mbegu"

    Saida alifurahi sana kuskia atanunuliwa, kikubwa alete hizo mbegu, basi hata spidi ya gari iliongezeka ili awahishe mbegu nyumbani....

    Kweli alifanikiwa kuzifikisha mbegu hizo na kumkabidhi mama yake,..

    "mama... Ulichonituma hiki hapa"

    "waoooooohhhh"

    Lakini mama alivyozipokea tu zile mbegu alimnasa kubao saida kisha akabeba mkoba wake mpaka kwenye gari,... Wakati huo ndani ya gari alikuwepo ridhiwani akiwa kama dereva kama siku ile,...

    Mama aliziweka vizuri kwenye mkoba wake kisha safari ya Airport ikaanza

    "haloo mama sarah, umeshafika hapo Airport"

    "ndio, nimefika muda tu ila sikuoni"

    "subiri dakika 10 tu nipo hapo... Nilikuwa nazisubiria, afu mtoto mwenyewe alikuwa ananichemsha akili yangu"

    "lakini si umeziona"

    "ndio.. Ninazo hapa kwenye mkoba wangu"

    "ok.. Usisahau chupi sasa"

    "ninayo mama usijali shost"

    "ok wahi basi"

    Simu ilikata lakini mama sarah roho ilikuwa ikimuuma maana ni kaserengeti kake ndio kanakwenda kuteketezwa nguvu za kiume



    Mama sarah huku airport alikuwa hatulii kwenye viti pale mapokezi katika uwanja wa ndege maeneo ya Arusha Kisongo, alikuwa hatulii mana, hata siku ile walipopata ajali na ile gari kisha zile mbegu zikapotea binafsi yeye alijiskia raha sana, na hasira zilimjia baada ya kupokonywa hilo dili japo malipo yake yapo pale pale endapo watalifanikisha hilo,..

    Mama sarah alianza kuzunguka hapo airport ili kujua nini cha kufanya, mana ndio kwanzaa mpenzi wake anakwenda kufa, mana kaona chidi ni wa muhimu mno kwake



    Sasa tukija huku hotelini tunamwona miriam akiwa kakaa katika ofisi yake, lakini alikuwa na mawazo mengi sana juu ya safari ya yeye kwenda Uingereza,.. Lakini akiwa hapo ofisini kwake alikumbuka jana usiku alipokutana na sarah rafiki yake... Sasa ndio anatuambia ilikuwaje walipokutana na sarah

    "miri.. Mbona kama huna raha mama"

    Aliuliza sarah huku akimshika rafiki yake kama kumfariji hivi

    "we acha tu shost, yaani sjui nifanyeje"

    "kuna nini miri,.. Au omari kakukataa"

    "mmmh bora hata angenikataa, mana ningelifanya juu chini mpaka anikubali"

    "sasa kuna nini sasa"

    "huezi amini kesho kutwa naenda Uingereza"

    "heeeeeeeee kufanya nini tena jamani"

    "mama, kajua nina mahusiano na omari, hivyo kaamua nikaendelee kusoma huko, ila mi staki kwenda"

    Aliongea miriam huku machozi yakimtoka

    "we umejuaje kama kajua"

    "jana nilienda kuchukuwa ile mkanda uliorekodi jana, mana kule ofisini kwa mama kuna kamera... Tena nimeona kamnyooshea bastola kabisa"

    "wewe miri muongo"

    "yaani we acha sarah.. Sina hata raha mwenzio"

    Miriam alikuwa hajiskii hata kufanya kazi kwa siku hizo, mana alikuwa yupo katika maandalizi...

    "mmmhhhh sasa utafanyeje miri"

    "nipe hata ushauri basi"

    Aliongea miriam kuwa apewe hata ushauri juu ya jambo hilo, afanyeje au akamwambie nini mama yake ili safari isiwepo,..



    "mmmhhhh nina ushauri lakini sidhani kama utafaa"

    "ushauri gani, ebu niambie basi"

    "jifanye unaumwa, mana kule huna mtu wa kuishi nae hivyo ukiwa unaumwa hawezi kukuambia uende"

    "aaahhhhh kweli wazo zuri lakini si nitapo, na nikipona je"

    "wewe usipate ahueni mapema sasa mpaka asahau"

    "safi sana, mi naona hilo ni wazo zuri"



    Sasa miriam anamaliza tu kukumbuka tunamuona kalegea legee hapo mezani kwake kana kwamba hio dili la kuumwa ndio limeanzia hapo... Mhudumu anakuja kuleta pesa, anamkuta boss wake kama kadondoka vile, ikabidi aingie ndani amuamshe,..

    Lakini hakuwa ameamka,.. Mama aliitwa mara moja gari ilisogezwa hospitali wamefika,.. Hali ya mgonjwa ilikuwa ni mbaya, lakini hio ni triki ya kutoondoka kwenda Uingereza,.... Mama miriam alikuwa anahaha, hakuwa na raha kabisa, na miriam nae ndio kalegea legeeeee



    Wakati huo huku hotelini chidi alikuwa kazini kama kawaida yake,.. Mara taarifa zinakuja

    "oya omari... Shem anaumwa"

    "shem nani tena"

    "si boss miriam"

    "Ati nini.... "

    Lakini sasa vile alivyoshtuka ghafla SMS inaingia kwenye simu...

    "omari mpenzi wangu,.. Usiwe na hofu siumwi chochote bali nimeigiza kama naumwa lakini nipo vizuri na afaya njema, hivyo ondoa hofu juu yangu.... Kikubwa ni kwamba sitaki kwenda Uingereza na kukuacha peke yako, siwezi hata ukatae siwezi kamwe"

    Chidi alipomaliza kusoma hio sms alimwambia yule mhudumu kuwa

    "ok poa jamaa angu aina noma. Asante sana kaka"

    "Usijali ndugu"

    Huyo alikuwa ni mhudumu ambae sio wa ndani bali ni wa nje,.. Ndio aliokuja kumpa taarifa kijana chidi



    Tukija huku kwa shemeji ya chidi,.. Akiwa yupo ndani analishika tumno lake ambalo tayari lina mimba ya wiki mbili sasa na tayari limeshaanza kumchefua, sabra wakati huo alikuwa yupo ndani anatafuta njia ya kutoka hapo nyumbani kwao ili tu atoke akamtafute chidi,... Sabra alitoka na kuchukuwa gari yake mana wana magari hapo nyumbani kwa dada yake na hizo mali ni zakwao,.. Sabra alitoka nia yake ni kukutana na chidi ili tu afanikishe kile anachokitaka na namba yake anayo muda tu hivyo hakuna ugumu wa kumpata,... Sasa kwakuwa wakayi huo chidi alikuwa bado yupo kazini na asingeweza kumpata, sabra alipitia kwanza kwa mashost zake,...



    Tukija huku airport tunamuona mama saida akiwa keshafika airport lakini mama sarah hakuwepo hapo airport, haijulikani kaenda wapi,... Mama saida alienda mapokezi na kulipia helikopta binafsi ili waondoke,.. Alioomaliza kulipia alimpigia mama sarah,

    "wewe mwanamke upo wapi"

    "nilikuwa toilet shost"

    "wahi sasa twende"

    Mama sarah kweli alikuwa chooni, mana alivyokuja alikuwa akijitengenezea nguo zake vizuri,.. Mama sarah na mama saida pamoja na ridhiwani walipanda ndege ya private kwenda moshi kwa huyo mganga,.. Sasa chidi hana lolote tena, mana hio ndege hapo ni robo saa tu wamefika kwa mganga,...



    Tukija huku hotelini tunamuona mama miriam anakwenda jikoni kwa wapishi wa chipsi

    "we kijana njoo ofisini kwangu"

    Mama miriam alimwita kijana chidi mpaka ofisini kwake,.. Chidi alikuwa mwoga kiasi fulani mana jana tu alifokewa na mama huyo,.

    "wewe ndio unamsababishia mwanangu kuuguwa wewe"

    "boss, mbona mimi sina lolote na mtoto wako,... Ni marafiki tu lakini sina shughuli yeyote na boss miri"

    "sikiliza we kijana... Nitakupoteza kama hutoyajali maisha ya mtoto wangu"

    "niyajali kivipi boss"

    "kuyajali kwako ni kuwa mbali nae"

    "basi naomba kuacha kazi boss"

    "sijakwambia uache kazi... Bali sitaki mazoea na mtoto wangu... Masikini mkubwa wewe"

    Chidi alikasirika sana kwa kuitwa masikini mkubwa,.. Lakini hakuwa na la kufanya mana hana pesa za kushindana nae,... Chidi aliondoka wala hakutaka kubishana na mama miriam,.. Chidi hata kukaa tena hapo kazini hakuona umuhimu tena kwa siku hio, aliamua kuondoka lakini alikuwa na mawzo sana juu ya miriam kuambiwa aende, mana anampenda sana miriam wake lakini ndio hivyo safari inawiva kwani hata huko kujifanya kuumwa sio kitu kwasababu ni lazima atapona,.. Akikumbuka na vile alivyoambiwa masikini mkubwa ndio kwanza hana hata raha....

    Lakini akiwa hapo nje ya hoteli simu yake iliita kuangalia jina, alikuwa ni sabra, na wakati huo ni mida ya saa 10 jioni...

    "haloo"

    "eeee chidi mambo"

    "safi niambie"

    "poa... Upo wapi"

    "nipo nyumbani kwani vipi"

    "naomba tukutane basi"

    "kuna nini kwani"

    "chidi bwanaaaaaaaaa"

    "mmmhhhh ok nipo hapa miras hoteli"

    "nisubiri hapo hapo"

    Chidi alikata simu kisha akatulia hapo nje, mana anaekuja ni kama shemeji yake hivyo hana budi ya kumsubiri, lakini hakuwa na raha, mawazo mengi yalimtawala kijana huyo,... Ghafla sabra katokea akiwa na gari kalii

    Chidi akaona huyu huyu ndio ampeleke nyumbani mana hana hali nzuri, alikuwa na mawazo mengi sana

    "tena bora umekuja na gari, nipeleke nyumbani asee nimechoka sana"

    Sabra binafsi alijiskia raha sana kwasababu ndio nafasi aliokuwa anaitaka



    Nusu saa mbele walikuwa wameshafika nyumbani

    "heeeee hapa ndio kwako"

    "ndio"

    "hhhhmmmm pazuri"

    Chidi alikuwa mchovu sana hivyo alienda bafuni ili kuoga, lakini sabra ukumbuke nia yake ni kumpata chidi,... Saa ngapi sabra hajafungua mlango wa bafuni na kuingia

    "we sabra mbona huna adabu lakini"

    "we mbona juzi uliniona uchi wangu sijasema"

    "lakini sabra"

    "hakuna cha lakini.... Heeeeeeeee chidi umejaaliwa we mtoto, na hapa bado tu haijasimama je ikisimama itakuwaje"

    Chidi kushikwa tu alishtuka sana... Haikupita muda sabra alibakiwa na chupi tu,.... Lakini huezi amini chidi hakusimamisha hata kidogo,.. Sabra alikuwa mzuri na mwenye umbo la kunoga, lakini chidi hakuvuta hisia za kusimamisha,...

    "chidiiiiiiiii.... Mbona unanifanyia kusudi lakini... Mbona juzi ilisimama haraka afu leo unajifanya hutaki"

    Hata chidi nae aliingiza hofu juu ya hilo,..

    "ebu achia"

    Aliongea chidi wakati Sabra alikuwa kaishika zakaria ya chidi... Maskini ya mungu sijui imekuwaje, au ndio kule moshi wameshafanya yao nini... Lakini chidi kwakuwa hajui lolote alihisi labda imechoka.... Sabra alikaa mikao yote ya kumtamanisha chidi lakini waaapi,... Sabra aliiweka kinywani mwake lakini waapi... Huezi amini chidi alianza kulia kama mtoto mdogo...

    "hivi kwanini unanifanyia hivi chidi, niambie kama hunipendi basi nijue"





    Sasa chidi anakuwa kama ridhiwani mtoto wa mama saida,

    Chidi hakuwa na hamu na sabra lakini baada ya kuona sabra tayari keshavua nguo na kubakiwa na chupi, chidi hakutaka kumuacha mtoto wa watu mana kaja kwa ajili yake hivyo akimuacha itakuwa ni dharau kubwa sana juu yake,... Chidi alitoka bafuni na kwenda kitandani huku sabra akifuata nyuma kwa kumshika kiuno, sabra hawezi kushtukia kitu chochote kwamba huenda chidi ni mwanaume suruali, mana alishawahi kumuona akimla dada yake, afu siku ile alipokuwa nae mpaka wakafumwa chidi alisimamisha kama kawaida na sabra anajua, sasa leo sabra anajua fika chidi alikuwa akifanya kusudi, lakini chidi hakusoma sana lakini alizingatia sana somo la sayansi, hivyo alimuomba sabra atulie na alale angalau masaa kadhaa,...

    Hata sabra pia hakuwa na haraka ya kuindoka tena yupo radhi hata kulala alale



    Sasa turudi nyuma kwa kule moshi jinsi ilivyokuwa,...

    Kwa sasa ni mida ya saa 10 jioni, na kule wamefika saa 6 mchana, hivyo saa 10 akina mama saida wapo nyumbani na walisharudi kitambo sana,..

    Sasa turudi masaa matatu nyuma kabla ya saa 10... Wakiwa juu ya helikopta mama saida alikuwa na furaha sana mana tatizo la mtoto wake ridhiwani linakwenda kupona,.. Walikuwa wakicheka kama safari ile ya mwanzo vicheko vya umbea vilitawala katika ndege hio... Na humo ndani wapo watu watano tu... Rubani na mtu wake wa pembeni,.. Mama sarah na mama saida pamoja na ridhiwani,..

    Haikupita hata nusu saa wameshafika kwa mganga, mama saida haamini kama kweli kafika salama, hivyo hata kuchelewa kuingia kwa mganga hakutaka kupoteza muda,...

    "karibuni karibuni taireeeee"

    Yalikuwa ni makaribisho ya mganga kwa wateja wake,

    Mama saida ndio wakwanza kuingia ndani mana alihisi anaweza kupata ajali hata hapo nje ya mlango wa mganga,.

    "babu fanya haraka basi mana isije ikaharibika"

    "subiri mamaaa.... Tukifanya haraka tutaharibu,.. Hebu lete hio kondomu"

    Mama saida alitoa ile kondom pale kwenye mkoba wake na kumpa mganga, wakati huo mama sarah alikuwa anaumwa na roho na wasiwasi juu ya kijana anaekwenda kufanyiwa kitu kibaya, lakini mama sarah alinyanyua mdomo na kuongea na mganga

    "eti babu, kama itafanikiwa huyo kijana atakuwa hana nguvu tena"

    "taireeeeeee...... Huyo kijana mwenye hizi mbegu, itabidi tu avae kanga na magauni mana hana hadhi ya kuwa mwanaume tena"

    Mama sarah aliona hata bilioni moja haina thamani tena kwa yule kijana wa watu,.. Lakini mama sarah hawezi kufanya lolote tena, mana mbegu alishapokea mganga na mbegu hizo ni nzima kabisa tena bado zamoto utafikiri zimetoka muda huo... Lakini mama saida yeye alikuwa akifurahi sana,..

    "nipatie nguo yako ya ndani"

    Mganga aliongea hivyo ila wakati huo ridhiwani aliachwa nje kwanza ili asijue kuwa nguo ilimponyesha ni nguo ya ndani ya mama yake,..

    Mama saida bila kumuogopa mganga, alivua chupi yake pale pale mbele ya mganga,...

    "hiii hapa babu"

    "weka hapo kwenye chungu"

    Mama saida aliiweka ile nguo katika chungu, kisha mganga akachukuwa ile kondomu yenye mbegu za kijana chidi, kisha akazimimina kwenye kikarai flani hivi anakijua mwenyewe, kikarai hicho kilikuwa na dawa ya maji, hivyo ile dawa ndio ilichanganywa na mbegu hizo kisha ikamiminiwa kwenye kile kiungio cha chupi pale katikati,..

    "muite kijana mgonjwa"

    Mganga alimaanisha aitwa huyo mgonjwa,.. Mganga aliichukuwa ile nguo ambacho kaimiminia dawa iliochanganywa na mbegu za chidi,.. Maskini chidi wa watu hakuna haja ya kuitwa chidi tena,..

    Basi mganga aliingia katika chumba kingine kisha na ridhiwani nae akamfuata mganga,....

    "kijana.... Si unajua kilichokuleta hapa"

    "ndio babu"

    "sasa vua nguo zako zote"

    Kijana bila uoga alivua nguo na kuwa mtupu kama alivyozaliwa,.. Mganga alimkabidhi kijana nguo ya mama yake mzazi ambayo imepakwa mbegu za chidi ambazo zimechanganywa na dawa za mganga huyo,...

    "sasa hio dawa pakalia kwenye uume wako kwa kutumia hio nguo"

    Waliitumia nguo ya kike tena ya mama yake ili kumvutia hisia za kimapenzi

    "hakikisha unapakalia uume mzima mpaka isimame afu uhakikishe hapo unatoa na zakwako bila kutoa zako utasimamisha lakini hutotoa mbegu"

    Maana kijana alitakiwa awe kama vile anajichua (punyeto) kwa kupitia nguo ya ndani ya mama yake na sii ya mtu mwingine,... Kijana alianza kazi hio mana anajua alichokifata kwa mganga huyo,...



    Dakika 10 mbele mama saida alikuwa akitega skio huko chumba cha pili ambacho yupo ridhiwani anajichua, na kilainisho ni mbegu za chidi na dawa za mganga,.... Sasa ndani ya dakika hizo ridhiwani alionekana kufika mshindo

    "jamani tayari mganga twende tukaone"

    "hapana, huruhusiwi kumuangalia mtoto wako"

    Ridhiwani alipiga mshindo wa kwanza tena kwa kelele ya hali ya juuu, mana ndio mara yake ya kwanza kufanya hivyo yaani toka azaliwe hajawahi kutoa mbegu zake, yaani hata utamu wa mapenzi haujui ila anausikia tu..

    Basi mganga aliingia chumba cha pili na kumkuta ridhiwani kaganda na chupi ya mama yake, mana raha alizosikia hajawahi kupata...

    "haya lete sasa... Zunguka pale ukaoge"

    Ridhiwani hakuamini kama kweli kapona na anaweza kuwa na mwanamke kama wanaume wengine, lakini kupona kwake kumegharimu mtu mwingine kupoteza nguvu za kiume na sii mwingine bali ni kijana chidi.. Mganga alitoka na ile nguo kisha akaifunga kwenye kitamba chenye rangi tatu, kisha akakiweka katika mfuko mweusi na kumkabidhi mama saida..

    "hiii hapa, fanya juu chidi ukaitupe baharini,... Ikishindikana baharini, basi utatakiwa kuitupa mahari ambapo mtu yeyote hawezi kufika, hata ni msituni sawa lakini sio msitu mdogo... Ukifanya hivyo ni sawa na kuyatupa matatizo yote ya mtoto wako.. Na ukiilimbikiza nyumbani basi jua unazidi kulimbikiza matatizo ya mtoto wako... Fanya juu chini ukitupe baharini ndio kunapotakiwa"

    Aliongea mganga tena kwa msistizo mkali mno, kwasababu hio nguo ndio imejaa matatizo ya mtoto wake huyo..



    Pale pale mama saida alishukuru na kumuachia mganga kitita cha shilingi milioni 3 kwa kazi alioifanya mganga huyo... Sasa mama saida walipotaka kuondoka, mama saida akaamua kuondoka moja kwa moja mpaka Dar es Salaam ili kwenda kuitupa nguo hio, mana wapo katika ndege ya private.... Na nia ya kwenda Dar es Salaam ni kwamba, Arusha hakuna bahari, hivyo aliamua kwenda Dar es Salaam kuitupa hio nguo,

    Safari ilianza ya kuelekea Dar es Salaam



    Wakati wakiwa juu ya ndege ridhiwani alikuwa ni kama kabeberu fulani hivi mana muda wote nanii yake ilikuwa ikisimama,.. Mana mama sarah nguo aliovaa ilikuwa ndefu lakini ni nyepesi mno, hivyo kijana alikuwa kila muda hamu zinamjia.... Kama unavyojua usafiri wa ndege ni tofauti na safari zingine,... Kutoka moshi mpaka Dar es Salaam ni kuhesabu madakika tu..

    Na kama unavyojua helikopta hua inatua sehemu yeyote ile kasoro sehemu ya mchanga mchanga,... Lakini kwakuwa kitu chenyewe ni cha kutupa katikati ya baharini, hivyo hakukuwa na haja ya kutua mahali badala yake walishuka mpaka jirani na bahari katikati kabisa huko,... Kisha mama saida akaitupa ile nguo kana kwamba ndio katupa matatizo ya kijana wake ridhiwani, yaani hayatojirudia tena,... Helikopta inapaa juu ili kuendelea na safari yake ya kwenda Arusha,...... Sasa wakiwa njiani tena mbali na Dar es Salaam afu wapo kilometa nyingi sana,... Saa ngapi ridhiwani hajaanza kuumwa, uume ulisimama na kukaza bila sababu kana kwamba kwa wakati huo alikuwa akitaka mwanamke, lakini haikusimama kwa hiari yake bali ulisimama wenyewe, tena ridhiwani alikuwa akigalagala chini huku akiwa kajikunja kwa maumivu makali..

    "ridhiwani mwanangu una nini baba"

    Alikuwa ni mama saida ndio alimuuliza mtoto wake

    "mama imesimama na Inauma sana"

    "mungu wangu... Mama sarah za sa tufanyeje"

    Mama sarah kapiga kimya, na hapo wanawake ni wawili tu mama yake mzazi na rafiki wa mama yake... Na ridhiwani kazidiwa na maumivu makali

    "mama sarah jamani, au kisa sio mtoto wako"

    "sasa mama saida, mimi nifanyeje"

    "nipe ushauri basi jamani"

    "skia mama saida... Maana ya hio kitu kusimama ni kwamba inatakiwa apewe"

    Aliongea mama sarah bila kumficha rafiki yake

    "mungu wangu mama sarah.... Sasa atapewa na nani jamani... Mimi ni mama yake mzazi na wewe ni sawa na mwanao... Nipe ushauri basi mama sarah, mwanangu anakuwa mwekundu eti jamani"



    Ridhiwani alishkika mno, nguvu za kiume zilimjia kwa ghafla na kujikuta anahitaji mwanamke,

    Akina mama saida walikuwa wakihaha humo ndani, mana hakukuwa na mwanamke mwingine zaidi yao wao wawili tu, na ni ngumu wao kujitoa mana ni wazazi wa kijana huyo,..

    Ridhiwani akiwa katika floo anagalagala ghafla alitulia kimya.. Mama saida alikumbuka sharti la mganga kuwa,

    "itakuwa inamsumbua lakini sio mara kwa mara, yaweza kuwa kwa mwezi mara moja au mara mbili, mana hio sio asili yake... Hivyo itamsimama kwa maumivu makali sana, na mwisho wake atazimia,.. Akishazimia nayo itatulia"

    Mama saida alipumua kwanguvu mana kwanza haamini kama mtoto wake kapona,..

    Kweli baada ya dakika mbili, suruali ya ridhiwani ilionekana kutulia na unaambiwa itamjia kwa mwezi mara moja au mara mbili tu, itategemea na jinsi anavyofanya mapenzi,.. Akiwa kicheche sana basi hata maumivu yatampungua katika zakaria yake...



    Ridhiwani alilazwa mahari pazuri huku ndege ikiwa bado katika safari yake ya kurudi mjini,..

    Nusu saa mbele wakawa wapo uwanja wa ndege jijini Arusha,.. Na kila mmoja alikuja na gari yake, mama sarah alikuja peke yake, ila mama saida yeye alikuja na mtoto wake,.. Ridhiwani alihamishiwa kwenye gari akiwa bado kazimia,..

    "waaooo mama langu umerudi"

    Aliongea jamaa mmoja ambae ni mhudumu wa hapo airport..

    "we vipi, nani mama yako"

    Aliongea mama sarah, na ndio haswa aliopointiwa kwa kuitwa mama na jamaa huyo,..

    "heeeeee mara hiii ushanisahau tena"

    "watu wengine sjui ni machizi, hebu nitokee mimi"

    Aliongea mama sarah huku akikwea gari yake

    "kwani mama sarah huyu kijana ni nani, na mbona anaonekana kukufahamu sana"

    "wala hata simjui, tuondoke zetu bwana"

    Mama sarah na mama saida waliwasha gari zao na kuanza kuondoka

    "sawa mama lakini najua utanikumbuka tu,.. Mimi ndio Richard bwana, na unajua vitu vyangu"

    Aliongea kijana huyo kwa kujigamba sana kana kwamba kuna zuluma imefanyika hapo, sasa sijui ni mambo ya paking hawajalipana mi sijui..



    Mama saida na mama sarah waliingia katika hoteli moja ya maana hapo jijini, mama saida alitoa kitabu cha kuandikia cheki, kisha akaandika kiasi cha pesa kinachotakiwa na mama sarah mana walikuwa katika dili na dili limekwisha,.. Mama saida aliandika cheki yenye thamani ya shilingi Bilioni moja na nusu akazitoe mama sarah kama jinsi alivyomwambia kuwa angelimpa bilioni moja kisha atamuongeza kidogo,..

    Mama sarah alifurahi sana kuona cheki hio,..

    "hapa sasa sina usemi"

    Aliongea mama sarah huku akiiweka cheki hio katika mkoba wake, kisha kila mmoja aliondoka kivyake,... Mama saida alipofika nyumbani alimwingiza ridhiwani katka chumba chake huku akiseidiana na saida pamoja na wafanyakazi wengine,..

    Baada ya hapo mama saida alimvuta mwanae saida na kumueka chini.. Alitoa cheki ya kiasi cha milioni mianane na kumpa saida ambaye ni mtoto wake wa kwanza,.. Na alimuahidi akifanikisha atamnunulia gari ya gharama kubwa kuliko gari zote duniani... Saida alifurahi lakini moyoni mwake kuna kitu alikuwa akikiwaza na ndicho kilichozidi kumpa furaha katika moyo wake... Kwahio mtoto wa mama saida ambae ni Ridhiwani keshapona kabisa yaani kwa sasa anasimamisha kama wanaume wengine..



    HIO NI KUMBUKUMBU JINSI ILIVYOKUWA KWA MGANGA MPAKA KUPONA KWA RIDHIWANI........ SASA TUENDELEE NA SIMULIZI MBELE KWA MBELE..

    http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Tuliishia chidi akiwa kitandani na mdogo wake jasmini ambae ni sabra, kama unakumbuka vizuri,...

    Chidi baada ya kushindwa kusimamisha uume wake ili kumpa sabra haki alioifuata, lakini mtarimbo ulikuwa doro, maskini sabra alikata tamaa ya kufanya mapenzi na mtu huyo mana kamseidia vyakutosha, sabra aliinyonya sana aliingiza kila tundu liliopo katika mwili wake, lakini bado haisimami... Basi waliamua walale usiku huo mana hata sabra asingeliweza kuondoka na usiku huo japokuwa ana gari yake....

    Lakini chidi akiwa bado kalala, ghafla simu yake inaita, kucheki jina alikuwa ni mama sarah

    "haloo mamy"

    "yes chidi wangu mambo"

    "safi tu"

    Chidi alionekana kuwa mnyonge sana kwa siku hio,

    "chidi upo na nani hapo"

    "nipo peke yangu tu"

    Mama sarah aliuliza kana kwamba labda alikuwa akiibiwa kazakaria kake,..

    "chidi mpenzi wangu... Mwenzio nina hamu"

    Aliongea mama sarah huku kama akideka ili lujua kama kweli kamekufa au

    Mana yeye anajua fika kameshakufa,..

    "mi mbona sijiskii kabisa"

    "jamani chidi wangu... Afu mwenzio nimevaa ile chupi unayoipenda"

    Chidi alikuwa akiskia mambo ya nguo za ndani za kike, yaani anasisimkwa na mwili wake, lakini leo doroooo

    "ok sawa we vaa tu"

    "kwani vipi chidi mbona kama huna raha"

    "sina raha ndio... Mana nina masaa zaidi ya matano sasa lakini haisimami"

    "Whaaaaaat"

    Mama sarah alishangaa sana tena mpaka simu ikamdondoka,.. Lakini swali linakuja, ni kwanini mama sarah kashangaa tena na mshtuko juu na wakati anajua ishu nzima ya kijana chidi... Baada ya simu ya mama sarah kudondoka chini, na chidi nae alizima simu yake, kisha akaendelea kulala....



    Ilipofika mida ya saa 11 alfajiri chidi akiwa kalala, alishangaa kuhisi uume umesimama tena,... Chidi haamini kama kasimamisha tena, na ilikuwa ni kweli... Chidi alimuamsha sabra kwa mbwembwe nyingi sana,.. Sabra kuamka anakutana na zakaria ya chidi imesimama barabara kabisa na ipo vile vile katika ubora wake... Sema sasa chidi yeye hajui kama kuna ishu alikuwa akichezewa na mama sarah,...

    Chidi alinza kumchezea mtoto wa watu mpaka ikafikia wakati sabra anaililia zakaria hio,... Chidi alimvua sabra chupi yake taaratibu kisha ndude ikaingia kwenye kidude,. Sabra aliutamani uume wa chidi toka kitambo sana sasa leo anakutana nao live bila chenga,.. Chidi alimsulubu mtoto wa watu, yaani hatokaa amsahau kamwe kwa kitu anachomfanyia sabra wa watu ni miguno tu ya kimahaba ndio iliokuwa ikisikika..



    Ivi unajua ni kwanini uume wa chidi ulilala?

    Ni kwasababu alikuwa na msongo wa mawazo, hata wewe ukiwa na mawazo mengi sana unauathiri mfumo mzima wa nguvu za kiume,.. Mawazo yana kiwango chake, lakini ukipitiliza inakuwa ni shida.. Sasa ili uamini kuwa mawazo ni kitu kibaya sana katika mfumo huo,.. Hebu kuwa na mwanamke kitandani.. Afu akuambie jambo la kukudhi wewe, yaani jambo hilo likufanye ukasirike, na ukikasirika tu Hapo hapo hata kama ilikuwa ndani ya K, lazima itasinyaa mana ubongo umepokea taarifa mbaya,.. Hivyo mpaka damu zije zitulie, utatakiwa kupumzika kwanza, ili kila kitu kikae sawa,.. Yaani hata kama mwanamke kakukosoa kutokana na ufanyaji wako,.. Yaani ukikasirika tu ile kutoka moyoni, lazima ngoma ilale, yaani sio hiari bali ni lazima... Mana uume unasimamishwa na damu,



    Chidi alimaliza shughuli yake ya kumkamua sabra,.. Wote waliingia bafuni na kuanza kusuguana sehemu zao,...

    Baada ya yote hayo chidi ni muda wake wa kwenda kazini, na sabra yeye aende nyumbani kisha aende zake chuo, mana tayari keshatafutiwa chuo ili asome na weze kujua mengi zaidi japo wana utajiri mkubwa sana...

    Chidi na sabra wanatoka wote, lakini sabra alikuwa akitamani kulala na chidi kila siku,..

    "chidiiii"

    "sema"

    "kesho naja tena"

    "ushaniona mie mashine si ndio"

    "no sio hivyo,.. Unajua chidi wewe unayajua mapenzi, yasni unayajua haswa, mwanamke nani atembee na wewe afu asitake tena, we mtamu chidi"

    "ok poa but usije kesho"

    "nije lini sasa"

    "njoo siku yeyote ile ila sio kesho"

    Aliongea kijana chidi huku akiwaza kazi yake

    Lakini akiwa yupo njiani kuelekea kazini ghafla simu yake inaita, kuangalia jina alikuwa ni baba yake mzazi..

    "haloo mzee shkamoo"

    "marahaba ujambo"

    "nipo poa tu"

    "sasa mwanangu... Ile kazi ulionipa nimeshaifanikisha, sasa ni wewe"

    "wanaweza kazi vizuri hao... Mana nataka kijiji chetu kiheshimike"

    "nimeenda kuwachukuwa mjini kabisa na hivi ninavyoongea nipo nao"

    "ok... Sasa kesho we njoo uchukuwe mzigo kamili mzee ila hakikisha kila kitu kinakuwa sawa"

    "Usijali, hawa watu wanafahamiana na rafiki yangu mmoja hivi na wana kazi nyingi sana walizofanya"

    "sawa basi we kesho njoo nikupe mzigo"

    Chidi alimuita baba yake aje mjini kuna kitu ampe, sasa hatujui chidi na baba yake waneanza kuuza nini, kitu ambacho hatukifahamu,.. Mana inaonekana kuna biashara haramu imeshaanza hapa baina ya baba na mtoto....

    Chidi alikata simu na kuendelea na safari yake ya kwenda kazini...



    SAA... SIKU..... WIKI.... MIEZI... ILIKATIKA



    Baada ya miezi kadhaa mbele,.. Leo chidi akiwa hospitali yeye na kaka yake Ibrahim, wakiwa wapo nje ila hatujui mgonjwa alikuwa ni nani,..

    Lakini ghafla nesi anatokea na kutoa taarifa juu ya mgonjwa waliokuja nae akina chidi...

    "hongereni, tumepata mtoto wa kiume"

    Ibrahim alifurahi sana kuskia kuwa kumepatikana mtoto wa kiume,.. Kana kwamba jasmini ndio kajifungua leo, lakini ndugu msomaji nadhani unakumbuka hii mimba ni yanani,.. Ila chidi hajui kuwa jasmini ana mimba yake, yeye chidi hajui kitu, lakini hio mimba au huyo mtoto ni wa chidi, lakini chidi hajui kitu..

    Pale pale wakiwa wanafurahia kupata kwa mtoto, mara sabra kaja kumvuta chidi pembeni kisha akamwambia chidi

    "chidi, hongera kwa kupata mtoto, tena umefanana nae mtoto wako"

    Chidi alikuwa hajaelewa mana mtoto wa kaka yako ni wako pia mana atakuita baba kama baba yake, lakini sabra yeye hakumaanisha hivyo, bali sabra anajua kuwa mtoto huyo ni wa chidi na sio mtoto wa Ibrahim kama inavyojulikana,..

    "lazima nifanane nae, mana mimi ndio baba mdogo wake"

    Sasa sabra akawazaa sijui amwambie ukweli kuwa huyo ni mtoto wake na sio mtoto wa kaka yake... Sabra alikuwa anataka kuharibu hali ya hewa iliotulia..

    "chidi...huyo mtoto huko ndani ni mtoto wako,.. Ila ukichelewa kumchukuwa, atakuwa ni mtoto wa tarehe 7 mwezi wa 7"

    Sabra aliongea hayo maneno lakini chidi hakuyaelewa...

    "mbona sikuelewi sabra"

    "utanielewa siku ikifika tarehe 7 mwezi wa 7"

    Sabra aliondoka na kwenda wodi ya wazazi na kukaa na dada yake karibu,..

    "tarehe 7 mwezi wa 7"

    Aliongea sabra huku akimshika shika yule mtoto..

    "sabra, hebu funga domo lako... Usiambiwe kitu basi wataka kila mtu ajue"

    "dada,.. Leo ni tarehe 7 mwezi wa 4 sasa nani atajua tarehe 7 mwezi wa 7"

    "hata kama ila naomba ukae kimya"

    "jamani katoto kazuri kama baba yake mzazi... Ila tarehe 7 mwezi wa 7 sijui itakuaje"

    Sasa huku nje chidi alikuwa ndio anaumiza kichwa kuhusiana na hio tarehe 7 mwezi wa 7, kuna nini kwenye hio tarehe,... Na leo ni tarehe 7 mwezi wa 4, hivyo kuna miezi mitatu mpaka ifike hio tarehe 7 mwezi wa 7....

    Chidi alimfuata kaka yake na kutaka kumuuliza kuhusiana na hio tarehe..

    "eti broo... Ivi unaijua hio tarehe 7 mwezi wa 7"

    Aliuliza kijana chidi huku akisubiri majibu kutoka kwa kaka yake Ibrahim....

    "hapana siijui, mana sijafika huko"

    Lakini huku wodini sabra alikuwa akiusifia uzuri wa mtoto huyo...

    "ivi dada, ni kweli hio tarehe utafanya hicho kitu"

    "nitafanya kama nilivyo agizwa"





    Katika maisha kuna njia nyingi za kuyafanikisha maisha,... Na sio kila mwenye maisha basi ana maisha, ila jua maisha yako ndio maisha, mana kuna wanaoishi kwa ajili ya maisha ya watu wengine, hivyo kuwa makini katika kutafuta maisha... Maisha yangu nayapenda sana kwasababu ndio maisha yangu ya kila siku na hayategemei maisha ya mtu,... Na ukiwa unaishi kwa tegemezi la maisha ya mtu basi jua katika maisha haya haya hutokuwa na amani hata kidogo.....



    Tuje kwenye simulizi yetu...

    Sabra na dada yake walionekana kuna kitu wanakijua katika maisha yao ila kwa sisi wasomaji bado hatujakijua kuwa ni kitu gani hicho,

    "eti broo... Ivi unaijua hio tarehe 7 mwezi wa 7"

    Aliuliza kijana chidi huku akisubiri majibu kutoka kwa kaka yake Ibrahim....

    "hapana siijui, mana sijafika huko"

    Lakini huku wodini sabra alikuwa akiusifia uzuri wa mtoto huyo...

    "ivi dada, ni kweli hio tarehe utafanya hicho kitu"

    "nitafanya kama nilivyo agizwa"

    Alijibu jasmini tena kwa kujiamini sana, Sabra hakuwa na cha kumuuliza yena dada yake lakini alionekana kuchukia kwa kiasi fulani ila kwakuwa bado ni mdogo hawezi kuzuia uamuzi wa dada yake, mana katika familia yao ya kitajiri wapo wawili tu,..

    Wakati huo huku nje kwa chidi alipigiwa simu na saida

    "haloo"

    "eee mambo chidi"

    "safi hali yako"

    "poa tu, sasa chidi... Mimi kuna kitu nataka tuongee"

    "sawa ongea tu"

    "no, no naomba tukutane mahari please"

    "ok poa ngoja nifanye mpango tukutane"

    Basi chidi pale pale alimuaga kaka yake kuwa anatoka kidogo wakati huo kaka mtu alikuwa na furaha sana kwa kuoata mtoto mana ndio kilio chake cha siku zote,...



    Tukija huku hoteli kwa akina sarah, tunamuona mama sarah akiwa ofisini kwake na mtoto wake wakiwa wanapiga mahesabu ya siku hio, mana kwa sasa hoteli walishainunua toka mama huyo alipwe ile pesa na mama saida kwa ajili ya kumponyesha mtoto wake,... Hivyo hoteli ameshainunua tayari na sasa ipo chini yake,..

    "ngoja nikamsalimie chidi wangu"

    Aliongea mama sarah tena kwa bahati mbaya, na kujikuta sarah anamuuliza

    "chidi wako??... Ina maana mama una mtoto mwingine, na kwanini ana jina la kiislamu"

    Mama alijikuta anadondoshewa maswali ya hapa na pale kwa kuropoka kwake..

    "sio mtoto wangu, ni mtoto wa rafiki yangu, ila nakapenda sana hako katoto"

    Mama sarah alikuwa na njia nyingi sana za kumtoka mtu, huezi amini sarah keshaachwa kwenye mataa, haelewi kitu tena..

    "kana miaka mingapi"

    "mmmhhh kama kumi hivi au nane"

    "mmmhhh haya mi nipo hapa"

    Mama sarah aliondoka baada ya kumtoka mtoto wake kimaneno,..



    Sasa tukija huku hoteli kubwa, kwa akina miriam,.. Miriam akiwa kakaa katika ofisi yake ya keshia alikuwa akiwaza mambo mengi sana katika kichwa chake,... Kama unakumbuka miezi kadhaa iliopita aliambiwa na mama yake kuwa aende Uingereza kimasomo kisa tu alikuwa na mahusiano na kijana chidi, lakini miriam alifanya ujanja wa kila aina mpaka safari ikafa,.. Na kijana chidi mpaka leo hajaacha kazi katika hoteli hio na mahusiano yao yanaendelea lakini ni kwa siri sana hata mama hajui kama chidi na miriam wanaendelea,..

    "chidi mpenzi wangu, mbona leo umeondoka mapema hivyo hata sijakuona"

    Aliongea mwanadada miriam huku akiwa na huzuni sana juu ya kijana chidi,.. Inaonekana chidi alikuja asubuhi kisha akaondoka na sasa keshazoeleka tabia yake ya kuja na kuondoka,..

    Miriam alichukuwa simu na kumpigia chidi, lakini kumbe wakati huo anapiga simu mama yake ndio alikuwa anakuja pale kwenye ofisi ya miriam,..

    "haloo chidi mambo baby"

    Mama kasikia hayo maneno ikabidi atulie kimyaa ili amsikilize ataongea nini...



    Tukija huku kwa saida akiwa ndio kwanza keshafika katika hoteli walioambizana wakutane, saida alikuwa tayari keshafika katika eneo la tukio,

    Wakati huo huo kijana chidi akiwa njiani kuja hapo hotelini, alipokea simu ya mama sarah

    "halooo boy mambo"

    "safi mamy niambie"

    "poa... Nimekumisi kweli yani"

    "mmmhhh mamy si juzi tu kushinda jana"

    "ni kweli, kwani hio juzi kuna kitu tulifanya"

    "kweli, hatujafanya chochote"

    "basi leo nipo kwako nakusubiria"

    "ooohhh shit tayari umeshafika"

    "ndio nipo nje hapa kwenye gari"

    "duuuuuu nipo mbali kweli mamy"

    "nakusubiria tu hivyo hivyo"

    "ok poa"

    Basi chidi alikata simu kisha akawa anaelekea hotelini...



    Tukija huku hospitalini walipokuwa akina sabra na dada yake,.. Waliokiwa wamesharuhusiwa, Ibrahim akiwa ndio dereva tena alikuwa ni mtu mwenye furaha ya hali ya juu kwa kupata mtoto wa kiume,..

    Walipofika nyumbani Ibrahim aliwaaga kuwa anakwenda kazini,... Hivyo Ibrahim aliondoka zake kwenda kazini mana ilikuwa bado mapema sana,

    "dada... Si umwambie chidi tu ukweli kuwa ni mtoto wake"

    "sabra, naomba tueshimiane sawa"

    "lakini sura ya huyu mtoto na chidi, yaani vinaashiria kabisa"

    "hata kama,.. Shida yangu sio mtoto kwa taarifa yako, we mshenzi nini"

    "dadaaaaa.. Yani mi ni mshenzi"

    "tena ukiendelea kunitibua nitakuziba vibao sasa hivi"

    Jasmini alibadirika ghafla tena hakuwa mtu wa kawaida, pamoja na uzuri wake na umbo lake lote lenye kuvutia lakini kumbe ana roho mbaya kiasi kikubwa yaani sijui alikuwa na maana gani,..

    Sabra hakutaka kuendelea kukaa karibu na dada yake mana wangelitibuana vilivyo,..



    Tukija huku ofisini kwa akina Ibrahim, aliokuwa akiwachukuwa wafanyakazi wote ili wakafurahie siku ya kuzaliwa kwa mtoto wake,... Walichukua kosta nzima na kwenda katika hoteli ya Miras hoteli ili kufurahia maisha ya mtoto wake,.. Ofisi ilibaki na mlinzi peke yake, kana kwamba hata kama kuna mteja atakuja basi hatokuta mtu na hivyo ndivyo wanavyofanyaga akina Ibrahim,.. Kisa kampuni sio yakwake,... Lakini walipoondoka tu, Mlinzi kapiga simu kwa tajiri mwenye kampuni ambae ni jasmini

    "boss, uliniambia wakiondoka nikuambie"

    "enheee vipi wamekwenda wapi"

    "sijui ila wameondoka wote kufurahia basdei ya mtoto wake"

    "aanhaaaa sawa haina shida... Kuwa makini hapo sawa"

    "sawa boss"

    Sasa ndio tunaanza kuyaona makucha ya jasmini kumbe jasmini alikuwa ni upole wa bure, lakini ni mtu wa tofauti sana, na hii ni baada ya kujifungua mtoto huyo na ndio maana kaanza kubadilika,...

    Wakati huo huo huku nyumba kwa jasmini alikuwa akimpigia simu mume wake ambae ni Ibrahim,.. Mana hawezi kutoka kutokana na uzazi aliokuwa nao hawezi kutoka...

    "haloo mke wangu hali yako"

    Aliongea Ibrahim lakini ilikuwa ni sauti ya pombe

    "sikiliza ibra... Kuanzia hapo ulipo schana na kampuni yangu, fanya mambo yako binafsi"

    Ibrahim pombe ilimuisha ghafla bila kutarajia,..

    "unasemaje mke wangu"

    "kampuni yangu sio ya kuchezea kiasi hicho"

    "nimeichezea na nini tena... Ila mke wangu kwa utani wewe tu hujambo"

    "sina utani.. Yaani hapo ulipo tu fanya mpango ujue pakwenda sina pesa za mchezo mimi"

    Aliongea hivyo kisha akakata simu,.. Jasmini mwenyewe ndio huyo sasa, na sijui ni kwanini alikuwa mpole, yote tutayajua mbeleni....



    Sasa tukija huku hotelini kwa akina miriam,.. Akiwa anaongea na kijana chidi

    "halooo chidi mpenzi wangu mambo"

    Aliongea miriam huku mama yake akimsikiliza kwa umakini

    "poa niambie mamuu wangu"

    "safi tu babuu.... Sasa mbona umeondoka mapema hivyo hata sijakuona babuu"

    "no, nilikuwa hospitali"

    "hospitali??... Kuna nini"

    "aahhh ni shemeji yangu amejifungua sasa tulimpeleka hospitalini"

    "ooohhh sasa si utakuja babuu"

    "hapana... Kwa leo kuna ubize nipo nao mamuu"

    "nimekumisi babuu"

    "ngoja nitakupigia baadae"

    "poa"

    Ile anakata simu tu mama yake katokea, akiwa kasikia kila kitu kuhusu chidi na mtoto wake,..

    "hivi Miriam mwanangu, kumbe bado unaendelea na huyo mjinga wako"

    Aliongea mama yake Miriam huku akiwa anatetemeka haswa

    "mama.... Kama ni huu utajiri wetu mimi basi lakini huezi kunichagulia sehemu ya kupenda.. Basi wacha niwe maskini kama yeye ili tuendane"

    Miriam alichoka kuwa na mahusiano ya kujificha kwa muda wote huo na wakati anampenda sana mpenzi hivyo yupo tayari hata kuwa masikini ili tu aendane na chidi,...

    "unasemaje we pumbavu... Yaani wewe ndio wa kuniambia maneno hayo mimi"

    "mama, sina maana ya kukuvunjia heshima yako... Ila nimechoka kuishi kama mkimbizi katika mapenzi.. Kiukweli chidi ndio chaguo langu, na tena nataka anioe kabisa"

    "funga domo lako mbwa wewe... Tena jiandae uende kusoma... Safari inaanza upya taka usitake utaenda tu"

    Miriam alianza kulia kwa kitendo cha kuambiwa ajiandae safari ianze upyaa

    "mama... Niachee"

    "tena na huyo mwehu mwenzio staki kumuona hapa kazini kwangu"

    Aliongea mama yake Miriam huku akiondoka kwa hasira nyingi sana



    Sasa tukija huku hoteli flani hivi walipokubaliana wakutane kijana chidi na saida, saida akiwa kamsubiri chidi kwa muda mrefu sana,..

    "chidi jamani,.. Kwanini unanitesa hivi"

    Aliongea saida baada ya kumuona chidi ndio anakuja,..

    "samahani kuna mambo yalinitinga sana"

    "lakini si ungeniambia... Mpaka naonekana mzugaji hapa"

    "samahani mamy"

    "ok poa.. Nishakusamehe babaa"

    Saida ni mschana mzuri sana yaani kitoto kama cha kiarabu na ni kizuri mno, hata umbo lake japo sio kubwa lakini lilimtosha pamoja na sura yake,...

    "leo inaonekana kuna jambo zuri la kuongea"

    Aliongea chidi huku akiwa anamshika saida mkono,..

    "ndio, tena jambo zuuri unaweza kulifurahia"

    Saida ndio yule aliotumwa mbegu za chidi ili zikamponyeshe mdogo wake, na mdogo wake kapona na sasa anatembeza dudu mpaka kero,..

    "jambo gani hilo"

    "chidiiii mpenzi wangu"

    "sema mamy"

    "ivi unanipenda kweli babaake"

    "haaaaa... Hilo swali lifanye liwe jibu"

    "muongo wewe"

    "haaaaa basi, ila ukweli ndio huo"

    Mara saida kashika tumbo kuashiria tumbo lilikuwa likimuuma,..

    "nini tena saida"

    Chidi alishtuka baada ya kuona saida kashika tumbo huku kama ana maumivu makali sana

    "ivi mbegu zako zina uwanja eee"

    "kivipi tena"

    "mbona kama anacheza mpira, mi simuelewi uyu boy huku"

    Saida alionekana kuwa na uja uzito wa kijana chidi,

    "una maana gani saida mbona sijakuelewa hapo"

    "chidiiiiii.... Nina mimba yako"

    Chidi kuskia hivyo tu, hata ule mkono alioushika aliuachia,.. Na licha ya kuachia mkono wa saida, ila hata sura imeshabadilika kwa kiasi kikubwa sana..

    "unasemaje saida"

    "jamani chidi mume wangu, ina maana hujasikia au"

    "we toka lini kondomu ikaingiza mimba... We si ulikuwaga unataka kondomu wewe"

    "sawa, lakini ni miezi ile iliopita.. Lakini mbona wiki mbili zilizopita nilikupa bila kondomu na nia yangu ni unipe mimba"

    "aaahhh hapana, sikumbuki siku niliofanya bila kondomu"

    "chidi jamani,.. Kumbuka tu, ila mimba ni yako"

    "ah ah ah... Tafuta baba wa huyo mtoto bwana"

    Saida alianza kulia yaani hakuamini kama chidi angeliikataa hio mimba,..

    "chidi, nakupigia na magoti baba, mtoto ni wako"

    "saida... Kuna kingine ulichoniitia"

    "chidi... Sina kingine, ni hicho tu,.. Ila naomba uikubali tu, kama ni kuilea nitailea mwenyewe, lakini we kubali tu"

    "hapana bwana... Mi siwezi kutia mimba juu ya kondomu"

    Chidi alikataa katu katu kuwa sio mtoto wake, ila chidi aliikataa damu yake hivi hivi,..

    "sawa... Nashukuru sana chidi, lakini huo urijali wako mimi ndio nilioulinda mpaka sasa unaitwa mwanaume, bila mimi hata hio mimba usingenipa,.. Ila mapenzi yangu ya kweli yamenifanya nimsaliti mama yangu, na mpenzi wangu... Ahsante sana chidi, mimba sintoitoa we baki na urijali wako"

    Saida aliongea maneno mengi lakini kuna maneno chidi yalimgusa,...

    "unasema bila wewe mimi ningelikuwaje"

    "sikutaka kukuambia mapema lakini bora ujue tu mana ni upendo wangu"

    Chidi alikuwa kasimama, hivyo alijikuta anarudi mezani na kuketi katika kiti ili aambiwe kwanini kama sio saida angelikuwa sio rijali tena

    "saida.... Kuna maneno sijayaelewa hapo"

    "chidi mpenzi wangu... Nilimsaliti mama yangu kwa kukulinda wewe, mana nilikuwa na tegemeo la uwe mume wangu"

    "kwani umefanya nini hebu niambie"

    "mbegu zako za kiume zilikuwa zikihitajika kwa udi na uvumba na mimi ndio niliotakiwa kuzichukuwa, lakini kwa mapenzi yangu,... Nikafanya kitu tofauti na nilivyoagizwa.. Unakumbuka siku ile tumemaliza kufanya mapenzi, ulipoenda tu kuoga uliporudi hujanikuta"

    "Enheee ndio sijakukuta"

    "siku ile ulitakiwa ukose nguvu za kiume, na nguvu hizo zihamie kwa mdogo wangu ambae alizaliwa akiwa hana nguvu za kiume.... Lakini siku ile nilipotoka kwako bila kukuaga nikiwa na mbegu zako kwenye kondomu..





    Katika dunia hii hakuna kitu kinachoshindikana chini ya ardhi, akishindwa huyu basi huyu ataweza, maana yake ni kwamba kila mtu kapewa uwezo wake... Binafsi mimi naamini haya mambo ya imani yapo, tena ukileta mzaha yanaweza kukuumbua kiukweli,.. Ridhiwani ni kijana alioumbwa akiwa na nguvu za kiume, lakini mama yake alifanya makosa flani wakati wa kumzaa ridhiwani,.. Jambo hilo ambalo hakuwa akilijua lakini alihisi huenda likawa tatizo kwa mtoto wake, ukweli ni kwamba ridhiwani hakuweza kusimamisha uume wake kutokana na baadhi ya viungo alivyozaliwa navyo kugusana na uume wake, hivyo kisayansi inasemekana ni kweli ila kiimani sijajua vizuri,.. Familia ya ridhiwani kama jinsi ilivyomhangaikia mtoto wao mpaka sasa kapona na anapiga dudu kwa kwenda mbele..... Ila sasa uwezo huo ulitokana na mbegu za kijana chidi ambazo zilichukuliwa na saida katika kondom ili mdogo wake akapone,.. Nadhani waliosoma sehemu za nyuma mnaelewa nini kiliendelea mwanzo mwisho.. Lakini kitu tusichokijua ni siku saida anaondoka na mbegu hizo za chidi, lakini cha ajabu ni kwamba chidi hajazurika kwa kupoteza nguvu zake, na ilijulikana kuwa mwenye mbegu ni lazima aipokee hali aliokuwa nayo ridhiwani.. Lakini ridhiwani kapona na chidi bado yupo na nguvu zake kama kawaida.. Sasa saida anatujuza ilikuwaje siku ile....... TWENDE KAZI



    "kwani umefanya nini hebu niambie"

    "mbegu zako za kiume zilikuwa zikihitajika kwa udi na uvumba na mimi ndio niliotakiwa kuzichukuwa, lakini kwa mapenzi yangu,... Nikafanya kitu tofauti na nilivyoagizwa.. Unakumbuka siku ile tumemaliza kufanya mapenzi, ulipoenda tu kuoga uliporudi hujanikuta"

    "Enheee ndio sijakukuta"

    "siku ile ulitakiwa ukose nguvu za kiume, na nguvu hizo zihamie kwa mdogo wangu ambae alizaliwa akiwa hana nguvu za kiume.... Lakini siku ile nilipotoka kwako bila kukuaga nikiwa na mbegu zako kwenye kondomu"

    "Enhe endelea"

    Sasa hapo saida akaanza kutoa stori siku ile ilikuwaje



    TUJUE SIKU ILE ILIKUWAJE MBONA CHIDI HAKUDHURIKA KAMA ILIVYOJULIKANA...



    "una uume mzuri, tena uliosimama kama kisiki cha mpingo... Lakini leo ndio mwisho wako wa kusex na mimi... Hiii ni kum** ya mwisho kwako,.. Utabaki kuzila kwa macho tu,.. Wacha nikamponyeshe mdogo wangu, nae ajue raha ya kum** ikoje"

    Aliongea saida kimoyomoyo huku akiipanua miguu yake, na chidi hajachelewa kuingiza zakaria yake... Mkao alioka saida ni mkao wa kumfanya mwanaume afike haraka kileleni...



    Staili ya mbuzi kagoma na ile ya kifo cha mende afu demu abane miguu akiwa staili ya kifo cha mende, basi mwanaume hua hachelewi kuachia vitu vyake tena ukizingatia ilikuwa ni asubuhi mno,.. Chidi aliachia wazungu wake na kuwajaza katika kondom,

    "chidi tosha, we wahi kazini"

    Aliongea saida huku akiichomoa ile kondomu iliojaa mbegu za chidi,.

    "saida nipe cha mwisho basi mamy"

    Chidi aliomba mzunguko mwingine na saida alitamani sana kumpa chidi.. Ila alishindwa kumpa na kujikuta anaongea kimoyomoyo kuwa.

    "kiukweli chidi penzi lako ni tamu na hakuna mwanamke atakaeweza kulichoka,.. Lakini utanisamehe nipo kikazi zaidi"

    Saida alijisemea mwenyewe kimoyomoyo, huku akimaliza kuivua ile kondom katika uume wa chidi, na wakati hui chidi yeye bado kasimamisha kisiki

    "chidi mpenzi wangu we nenda kaoge uje nikuwahishe kazini kwako"

    Kweli chidi kuangalia saa ilikuwa inakwenda kuwa saa mbili hivi asubuhi, chidi bila hiana yeye alitoka na kwenda kuoga

    "wahi ili nami nioge"

    Aliongea saida huku akiifunga vizuri ile kondom ili isiingize hewa na kuzifanya mbegu hizo ziyeyuke na kuwa maji, mana mbegu za kiuke zikiwa zinapigwa na upepo basi zinapoteza ule uhalisia wake zibakuwa maji ila zikiwa sehemu ya joto zinaweza kuishi ndani ya muda fulani... Sasa chidi ile anaingia tu bafuni,.. Huku chumbani saida alivaa chupi yake na nguo zake zote kisha akaichukuwa ile kondom yenye mbegu za chidi kisha akaziweka katika mkoba wake... Dakika mbili nyingi sana kwa saida kutoka hapo,..

    Maskini chidi anatoka bafuni haoni mtu

    "khaaaaaa uyu mtoto wa kike kaenda wapi tena"

    Chidi alijiuliza maswali mengi huku akichukuwa simu yake na kumpigia saida, lakini alipoangalia kwa pembeni aliona kitita cha pesa kama milioni 10 hivi zikiwa zimefungwa kwa rababendi tena zilikuwa mpyaaaaa

    "haloo saida upo wapi mamy"

    "ooooh sorry mpenzi wangu, nimepigiwa simu na mama niwahi kazini mara moja"

    "ok haina shida mke wangu, kazi njema"

    Sasa saida ana aleji ya kuolewa yaani pamoja na uzuri wake wote, hajawahi kutaamkiwa neno mke wangu, au nitakuoa,...

    "chidi"

    "sema"

    "umeniitaje vile"

    "saidaaaaa, kwani we hufai kuwa mke"

    Saida ni mschana mzuri sana, na wana pesa nyingi sana, ila hajawahi kuitwa mke na kitu anachokipenda katka maisha yake kuwa ipo siku atakuja kuwa mke wa fulani,...

    "chidi mpenzi wangu... Ina maana una nia ya kunioa"

    "kwa mwanamke mzuri kama wewe, sidhani kama nitashindwa kufanya hivyo"

    "chidiiiiiiii"

    "naaam"

    "Sorry for that"

    Saida aliongea hivyo kisha akakata simu tena na kuzima kabisaa kwani hakuhitaji kubugudhiwa na simu yeyote ile,...

    Sasa chidi anajiuliza kwanini saida aseme sorry for that kuna nini... Au kafanya nini... Chidi kakosa jibu, na kila akipigiwa anaambiwa mteja, (simu ya mteja unaepiga haipatikani).... Chidi alivaa nguo zake na kuelekea kazini..



    Sasa huku njiani kwa saida akiwa kaegesha gari mahari tena akiwa analia lakini hakuwa akilia kwa uchungu bali ni kwa furaha

    "katika maisha yangu, sijawahi kuitwa hata mke, japo sijaolewa... Na chidi ndio mwanaume wa kwanza kuniita mke,.. Kwanini nimfanyie hivi mume wangu"

    Oooohoooo saida kadata na neno mke,.. Yaani kwa mwanamke anaejielewa neno mke ni jina kubwa sana mbele za mungu kuliko hata hilo jina lako,.. Mi nawashangaa wasichana mnaojiita wazuri tena mnajisifu kwa maumbo yenu kuwa makubwa na mazuri,.. Lakini mbina hamuolewi au sisi wanaume hatuwaoni,.. Ni kwamba mnashindwa kujitambua, mnajifanya ni digitali, utaishia kupaka rangi za kucha na kujipiga picha huku ukijiangalia makalio, mana ndio zenu mnaringia makalio wakati sisi tunataka heshima ndani ya ndoa... Nani kasema ndoa ni mpaka uwe mzuri? Au uwe na umbo... Na jiulize ni wangapi wenye maumbo yao na bado wanabaki kuchezewa tu.. Unajiita mrembo... Kweli ni mrembo lakini ni Urembo wa pesa na sio heshima,.. Mwanamke una miaka 25 hajawahi kuambiwa nitakuoa, na hata dalili za kuolewa kwako hata huzioni, lakini bado wajiita mrembo... Nyoooooookoooooo.... Na ndio mana hata sisi ni chapa ilale, mana nyie wenyewe mnataka pesa na sio heshima, wanaume hatuoni hata mwanamke wa kuoa mana wote ni wafanya biashara, sasa mwanaume nani aoe mfanya biashara,.. Utaishia kujikwatua kila siku wewe na kioo, wakati wenzako wanawauliza waume zao kama wamependeza, sasa wewe utaulizana na kioo chako huku siku zinakwenda... Na ukumbuke kuwa kioo hakidanganyi hata siku moja, hivyo ipo siku utaona ngozi yako itaanza kuvutana,... Hapo hukosi miaka 45 kwenda juu, huna hata ndoa ya kuachika...



    Sasa saida kama mwanamke anaejielewa akiwa anafikiria ni jinsi gani atazipeleka mbegu hizo...

    Lakini akiwa hapo katika gari, mara simu yake inaita, kuangalia jina alikuwa ni mama yake

    "haloo mama"

    "eee mwanangu umepata hizo mbegu"

    "bado mama subiri kidogo"

    Saida alimdanganya mama yake kuwa bado na wakati anazo hapo kwenye mkoba wake..

    "sawa changamka basi"

    "sawa mama"

    Saida alipokata simu aliamua uwamuzi mmoja tu,.. Alilisogeza gari lake mpaka kwenye dampo la takataka kisha akaitupa ile kondom yenye mbegu za chidi,..

    "wacha nimsaliti mume wangu, lakini ni kwa kumseidia"

    Aliongea hivyo kisha akafungua kioo cha gari aite mwanaume afanye nae mapenzi hata hapo hapo kwenye gari ilimradi tu apate mbegu... Lakini sasa kila mwanaume aliokuwa akimuona wala hakuna aliompenda hata mmoja,.. Yaani wote hakukua na mtanashati hata mmoja,.. Yaani kama pangelikuwa na mtanashati kidogo, basi angeangukia zari la kufanya mapenzi na mtoto mzuri kama huyo mana hakuna mwanaume ambaye angeweza kukataa... Saida aliondoa gari yake mana hakukuwa na mwanaume aliomtaka.... Aliondoka hapo na kwenda kwenye hoteli flani hivi kubwa,

    "yes, hapa sikosi wa kuduu nae"

    Aliongea hivyo mdada saida huku akishuka na kuingia katika hoteli hio, kwa gari aliopaki hapo nje na hio hoteli, viliendana haswa,..

    Lakini sasa ndani ya hoteli hio kulikuwa na kundi la wafanyakazi fulani waliokuwa wakipata breakfast kwa pamoja... Na sii wengine bali ni kikosi cha kaka yake chidi, Mana Ibrahim ana tabia ya kwenda kunywa chai na wafanyakazi wake, na hata mchana kwenye lanchi anaenda na wafanyakazi wake... Ukumbuke kwa sasa Ibrahim kastopishwa kazi... Na hapa ni stari ya miezi kadhaa huko nyuma kabla ya kustopishwa.... http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "yes... Wacha nijipitishe kwenye hii meza nipate mmoja tu mwenye kiherehere"

    Aliongea saida... Lakini kabla hajaanza alipata wazo jipya... Saida alikaa katika meza ya karibu na wao, kisha akaagiza kinywaji kidogo tu, lakini kilikuwa na bei ghali sana, yaani ni grass yenye wiski inayouzwa bei kubwa sana... Alipewa kinywaji hicho kisha akakinywa kwa haraka... Afu akawa anaondoka,

    "we dada hujalipa kinywaji tafadhali"

    Aliongea mhudumu mmoja na kumzuia asitoke nje,..

    "jamani mi sina hela"

    Aliongea saida huku akijisogeza kwenye kile kikosi, na kikosi hicho mlipa bili ni Ibrahim peke yake,..

    "sasa umekunywa wiski ya nini na wakati huna pesa"

    "Nisamehe dada"

    "hapana lazima ulipe, na kama huezi kulipa ongea na wanaume vizuri upate kinywaji kingine"

    "jamani weita mi sina tabia hio"

    "utajua mwenyewe bwana.. Nipe pesa ya kinywaji ulichokunywa"







    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog