Search This Blog

Thursday 19 May 2022

KIJAKAZI WA KIUME - 2

 







    Chombezo : Kijakazi Wa Kiume

    Sehemu Ya Pili (2)



    nilikua muongo zaidi ya muongo anaeitwa mwaongo. basi baada ya kumuambia vile mtoto tausi nilimuona akigeuza shingo yake nzurii iliojaa pingiri kama toto dogo vile...

    "jamani sheby tuduu kwanza?"

    "aah mi staki basi tena hata hio ela yako siitaki"

    Nikajifanya nazila mtoto wa kiume lakini hapo nilipo nawaza pesa tu. maana ndicho kilichonileta mjini. sasa baada ya kumtishia mtoto kua naondoka zangu haaaa mbona alilainika mwenyewe tu maana sehemu nilipomfikisha ni sehemu ya kula mzigo. afu kama unavonijua mwezako sina uwezoooo tarimbo doloo

    "basi nenda pale kwenye droo kuna laki sita ambayo niliuza asubui.. maana kuliko uniache na hali hii chukua kisha unipe vitu adimu sheby au vp?"

    Ata sikutaka kumuitikia maana hio laki sita naisikiaga tu kwenye radio na kwa watu au kwenye video lakini sijawahi kuiona laivu laivu hivi machoni kwangu.. basi niliwahi pale aliponielekeza

    "kaa mbona nyingi ivi nitazibeba kwenye nini?"

    Nilikua najisemea kimoyo moyo nikiwa bado nipo kwenye droo nikaona karambo kadogo nikazijaza maana laki sita zikipangwa ni kidogo sana lakini zikichanguka hee utafkiri milioni. sasa hizi zilikua zimechanguka na sikua na muda wa kuzipanga ikabidi nizijaze kwenye karambo hako.. kisha nikasogea na pale alipo tausi.. yaani nimemkuta mtoto anasinzia sinzia kwa raha huku akijiingizia mikono hukooo kwenye Mmhhhh yake nikaona sijui nikimbie maana toto saa hio lilishavua nguo liko uchii wa mnyama na linavutia kwakweli mpaka nikalitamani. lakini pale pale roho nzuri ikanijia kua

    "mwenzako katafuta pesa kwa shida afu unazichukua tena bila kumpa anachotaka sasa si bora umuachie mtaji wake"

    Mara kama kuna nafsi nyingine ikanijia

    "wewe usimamishi dude ilo sasa kilichobaki we tafuta pesa"

    sasa nichague lipi kati ya hizo maana kweli sijalelewa katika maadili ya kuiba na hapa nitakua naiba

    "daahh yaani ningekua na uume ningemchakaza kisha anipe hizo pesa kwa mikono yake mwenyewe"

    nilikua naongea peke yangu huku machozi yakinitoka kwa fujo.

    "we sheby mbona unalia jamani?"

    Daahh tena ukiangalia mtoto wa watu hana shida sasa yanini nimuibie bora nimpe pesa zake tu.

    "wala silii mbona?"

    "hulii wakati nakiona unalia"

    "shika pesa zako"

    "kwanini sasa jamani sheby?"

    "sitofanya hicho kitendo"

    "jamani au ni kidigo? ngoja basi nikuongezee"

    "wala usiongeze dada angu"

    "kwanini jamani? njoo basi unipe hata kimoja tu"

    Nililia sana maana kusex nae kungenifanya kua na maisha mazuri kidogo maana anaonekana ni mtoto wa kigogo flan hivi..

    "njoo afu tukimaliza tunaenda benk tukatoe pesa ya kutumia na ya kukufungulia DOX la nguo viatu kila kitu yani kitakuepo kushinda hata hili"

    Yaani alivyosema hivyo ndio kanipandisha machungu ya kulia

    "aaaiiiiii uuuuwiiii Iiiiiiiii aaaaa uuuu mmmmm"

    "sasa unalia nini sheby mpenzi"

    nikaona kuliko nimfiche afu anisumbue tu . bora nimuambie ukweli wa mambo..

    "skia tausi"

    "nakuskilizA mpenzi wangu"

    DAaahh yaani mtoto keshadata na mimi leo tu

    "mimi siwezi kuduu"

    "huezi? huezi kivp?"

    "dolo"

    "dolo ndoo nini sasa?"

    "sijui mapenzi"

    "heee hujui mapenzi na huyu alienishika shika hapa alikua nani?"

    "mumu"

    "sasa iweje useme huezi?"

    "mbona hunielewi jamani?"

    "nieleweshe basii fasta uje unichok no no no no e"

    "huko kuchokonoa ndio siwezi"

    "jamani mbona sikuelewi wewe?"

    "unataka kujua sio?"

    "ndio"

    "usije ukanifukuza apa?"

    "sikufukuzi kweli vile"

    "nipe hela ya nauli kwanza"

    nilisema hivyo ili akinifukuza tu nawahi mkokoteni kulee sokoni.

    "shika hii 5000"

    "mmhhh kwaio wataka kujua eehh?"

    "ndiiio"

    "sina nguvu za kiume"

    "unasemaje wewe?"

    "si ulisema unataka kujua sasa ndio ujue sasa"

    "acha utani bwana we sema unaninyima haki yangu"

    "kweli haisimami walai vile nakuapia kwa mungu"

    "jamani sheby mwili wote huu Ukiambiwa huwezi?"

    "tulia basi maana unanitia machunguuu iiiiiIIIIIIIIiiiiiiii uuuuuuu mmnn aaaaaaaa"

    "basi sheby usilie"

    "naumwa na roho sana kuliko yoyote yule"

    "jamani pole sheby"

    "asante naomba niwahi biashara kama nitaikuta"

    "sawa nenda ila nitakutafuta usijali"

    "sawa naenda eeh?"

    "sawa karibu tena.. aahh we sheby?"

    "eehh?"

    "njoo"

    "sema"

    "chukua hii laki mbili afu nenda maeneo wanapopaita matejoo kuna mtaalam mfate atakusaidi"

    "asante sana dada angu"

    Daahh niliondoka pale nikiwa na furaha nyingi mno huku nikikagua ile pesa jinsi ilivyo nzuri kwa uwekundu wake. Mara


    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "mwiziii mwizi jamani mwiziiii jamani nimeibiwaa"

    "wee vp una nini?"

    "nimeibiwa na yule kule bhana sogea nimkimbize"

    "we usiende uko uchochoroni watakukula nanii wewe"

    Eeee niliposkia ivyo nimerudi na kumuacha yule mtu... daahh ndoo nishaibiwa ivyo tena ni zile laki mbili zote nimebakiwa na ile elfu kumi na tano tu ambayo elfu tano nilipewa ya nauli na hii elfu kumi niliuza chupi chupi pale sokoni...

    "daahh kweli ng'ombe wa maskini hazai na akizaa basi ni dume"

    Nilijisemea huku nikikimbia kwa kasi kuwahi mkokoteni wa nguo kule kilombero ili kujua kuna usalama au laa. basi nilikua nimeshafika maeneo ya sokoni lakini cha ajabu na cha kushangaza niliukuta mkokoteni pale pale.. lakini naona kuna binti kasimama kwa pembeni nikausogelea mkokoteni kisha nikamsalimia maana alinipa mgongo kwaio sijamuona sura

    "mambo mdada? aahh kumbe ni wewe?"

    "we ulikua wapi? na tausi yuko wapi?"

    "kwani ulikua hapa muda wote?"

    "ndio... na nilikua na tausi pale sasa kugeuka simuoni nikajua labda kaja hapa kwako ndio nikaja hapa lakini sikuwakuta. nikajua labda umetoka kidogo nikaona ngoja nikusubiri maana nami nina jambo langu na tausi ndio alikua akinizuia kuongea sasa bora kaenda"

    Nikajisemea moyoni kua

    "ungejua nilipotoka wala usingesema kitu wewe"

    Kwanza moyo wangu ulifurahi sana kukuta mkokoteni upo na aliesababisha kuepo ni huyu lusi ambae ni rafiki wa tausi yulee niliemponya ponya kumchapa mboko.. basi nikamuuliza huyu dada

    "eenhee sema hilo jambo lako"

    Sasa kabla hajasema mara mjomba huyo katokea Yaani ningechelewa tu kidogo asingenikuta na sijui ningemjibu nini

    "vp mjomba?"

    "aahh safi tu habari ya kazi uko?"

    "safi mjomba... mjomba? leo nina furaha sana"

    "furaha gani tena mjomba?"

    "muudumie huyu mteja kwanza"

    "aahh huyu keshanunua tayari enhe niambie?"

    "bwana umepata kazii"

    "waacha bwana? kazi gani?"

    "nitakuambia nyumbani usijali"

    "aahh nambie mjomba bwana"

    "usijaliii we twende nyumbani"

    "ah ah sasa wewe tangulia na huu mkokoteni kuna dawa naenda chukua pale juu chap"

    "kwani unaumwa mjomba?"

    "hapana siumwi mjomba ila nakuomba tu mjomba tangulia"

    "haya mjomba ila angalia sana maana kwa mpango huo maisha huyapati ng'oo"

    "usijali mjomba"

    basi mjomba aliondoka kisha nikabaki na lusi pale na nia ya kumwacha mjomba aende ni kwamba mi nataka niende kwa huyo mganga nilioambiwa na tausi na kwakua sipajui nimeona bora nimtumie lusi anipeleke hadi huko..

    "samaani lusi nikuombe kitu"

    "sawA tu usijali"

    "kuna mahali nahitaji kwenda ila sipajui"

    "ni wapi apo?"

    "matejoo"

    "kwa nani na kufanya nini?"

    "kuna mganga namfata huko"

    "we mkaka kumbe we ni mshirikina?"

    "we futa hio kauli yako"

    "sasa unaenda kufanyaje kama sio?"

    "toka juzi nasokotwa na tumbo sasa nimekunywa kila aina ya dawa lakini wapi sasa nimeona bora niende huko"

    "aahh kumbe ni hilo tu?"

    "ndio hilo tu"

    "kwani unaenda sasa hivi?"

    "ndio"

    "kabla sijakupeleka kwanza nijibu swali langu"

    "haya uliza"

    Sasa baada aulize naona anaanza kuning'atia lips na kurembua rembua kimtindo huku akinishika kifua na kusema maneno ambayo hayasikiki vizuri

    "unaju-a kifua cha cha cha chaaaak -o nakipenda"

    "kwaio kama ndio ivo tufanyaje?"

    "naomba tukalale kwangu leo"

    "DAAHH KUDADADEKI YAANI HUNA MENO AFU BABA AKO ANA BUCHA NA KILA SIKU NYAMA ZINABAKI"

    Niliongea hivyo kwa sauti kubwa hadi lusi akashangaa

    "kwani baba ako ana bucha?"

    "hujaelewa tu?"


    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "sijakuelewa kabisa labda urudie"

    "nasema hivi HUNA MENO NA NYAMA ZINAKUJA KILA SIKU UNAZIANGALIA TU"

    "bado sijakuelewa bwana na mafumbo yako siyawezi we twende nikupeleke huko matejoo"

    "daah nitashkuru kama nitapata hio dawa"

    "lakini hujanijibu swali langu"

    "we twende kwanza nitakujibu tukirudi"

    Basi tulipanda tax maana si ninayo nauli.... baada ya dakika kama 15 hivi tulifika kwa mganga na lusi hakusita kunionyesha

    "ni pelee kwenye ile nyumba mbovu pale"

    "oohh ni pale eeh?"

    "ndio... twende"

    "ah ah we baki hapa maana sichelewi"

    "fanya fasta basi"

    "poa usijali"

    Basi nikaenda hadi pale nilipoonyeshwa na kubisha hodi

    "hodi mzee?"

    "karibuuuuuu"

    "asante mzee"

    "habari yako kijana?"

    "nzuri afu mbaya"

    "kauli kama hizo hua hatutaki sawaaa?"

    "sawa kabisa"

    "unashida gani kijana?"

    "mzee mimi sina nguvu za kiume kwaio naitaji unisaidie mzee"

    "oohh kazi ndogo sana ila kuna mambo mawili nikuulize sawaa?"

    "sawa mzee"

    "swali la kwanza.. Wewe ni shoga??"

    "apana mzee wala sifikiri hata kidogo"

    "sawa kabisa maana shoga hua sina tiba zake sawaa?"

    "sawa mzee"

    "swali la pili.. Je una mama mzazi aliokuzaa?"

    Daahh yaani aliposema hivyo tu nikakata tamaa ya kupona kabisa. lakini nikaona hebu nimuulize na mimi swali langu moja

    "sasa mzee? kwani mama anahusika nini na hili?"

    "wewe haikuhusu kikubwa we sema unae au huna ili tujue moja"

    "kwani hakuna njia m-badala zaidi ya hio mzee?"




    Baada ya kumuuliza vile mzee nilimuona akitikisa kichwa kuashiria hakuna kitu kingine zaidi ya mama

    "kijana nasema lazima uje na mama yako hapa"

    "mzee je ndugu ya mama?"

    "ni wa kike au wakiume?"

    "ni wakiume"

    "hafaiii kesho we mlete mama yako hapa"

    "mmhh kweli naamini sitopona mzee"

    "kwanini kijana?"

    "sina wazazi mzee walishafariki wote"

    "pole sana kijana wangu ila usichoke kumuomba mungu wako kwani ndie kila kitu kwako sawa?"

    "sawa mzee.. kwaio imeshindikana?"

    "kijana? bila mama kupona kwako ni ngumu sana"

    Mzee kusema vile tu nikaanza kulia maana inaniuma roho mno maana sina meno na nyama zinakuja tuu. mpaka najihisi kufa muda wowote maana sioni sababu ya kuishi.

    "kijana jikaze mwanangu wewe ni mtoto wa kiume"

    "sawa mzee lakini roho inaniuma sna mzee"

    "najua na pia ndio nguvu ya mwanaume ilipo. nyamaza usilie kijana"

    "asante mzee? na naomba nikuache mzee?"

    "usijali kabisa kijana na kama utakua na tatizo lingine tofaut na hili usisite kuja mwanangu sawa?"

    "sawa mzee wangu"

    Basi nilitoka pale kwa mganga nikiwa na huzuni kubwa na hasira nyingi mno.

    "umefanikiwa hio dawa?"

    lusi aliniuliza huku akiniangalia kwa umakini kabisa

    "hapana kasema leo hajaenda porini kuchimba dawa"

    "lakini mbona upo tofauti sana?"

    "usijali lusi ni tumbo liliniuma pale ndani na akanipa dawa ya kupooza ambayo ilikua chungu mno"

    "ooh pole baby wangu eeh?"

    "unasemaje wewe"

    "jamani wewe inamaana ishara zote izo tu hujajua kuusu mimi na wewe?"

    "sijazijua bado"

    "ok nakupenda basi hhmm?"

    "sitaki"

    "jamani we mkaka kwani nina kasoro gani? nimependa tu hili bodi lako limekaa vizuri"

    "sawaa we lenda bodi lakini sio mimi"

    Mara mtoto kanirukia na kuanza kula denda mdomoni kwangu. lakini alipokua anakula denda kuna kitu aligundua mdomoni kwangu na kuutoa haraka haraka

    "we ulikua na tausi ee?"

    "nani alikua na tausi?"

    "mbona mdomo wako unanukia harufu yake?"

    Nikakumbuka kweli muda mfupi kabla ya kuja huku kwa mganga nilikua kwa tausi na nilinyonya denda la uhakika na kunibakizia utamu wa denda lake lile. lakini huyu iusi kajuaje kua mimi nilinyonya mdomo wa tausi?

    "aahh uko si kunukia tu"

    "wapi wewe si useme ukweli kama ulikua nae?"

    "sikua nae"

    "muongo maana mimi mdomo wa tausi naujua vilivyo"

    "basi mtakua MNASAGANA NYIE?"

    "sikia muuza mitumba nikuambie kila kitu"

    Lusi ananiita muuza mitumba kwakua ndivyo nilivyomwambia maana hajabahatika kuskia jina langu zaidi tausi tu ndio analijua maana nilimuambia mwenyewe

    "enhe sema"

    "mimi na tausi ni marafiki wa muda mrefu sana na kila siku tukikutana tu basi kila mtu analia na wanaume kwa kusalitiwa"


    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Wakati huo ananipa stori tupo njiani tukielekea kila mtu kwao maana ilikua ni mida ya saa 12:30 jioni. tulikua tunatembra wamguu huku stori kwa wingi

    "enhe endelea"

    "unajua kua kila tukikutana tunalalama kuusu wanaume zetu jinsi wanavyotusaliti.. ndio toka siku hio tulipokua ndani tena chumbani tausi alikua anabadili nguo nami nilikua nachat na simu.. sasa tausi siku ile kuna chupi aliivaa ambayo nilikua naipenda sana ila sikua najua jina lake"

    "kwani maduka huyajui wewe?"

    "we si usubiri nikusimulie kisa cha mimi kujua mdomo wa tausi"

    "hayaaa endelea"

    Basi mtoto akaanza kumwaga siri yao ambayo haikupaswa mtu yeyote ajue zaidi yao wenyewe.

    "sasa nilipoina ile chupi nikatamani kwenda kuikagua wepesi wake na kujua lebo ya jina lake. nilifika pale alipo tausi na kuanza kuikagua ile chupi yake ikiwa bado hajaivua yaani bado ilikua mwilini. sasa nilipokua naishika shika ile chupi juu ya makalio ya tausi.. kumbe mwenza pale nilipogusa ndopo mashetani yake yalipo"

    "mashetani gani ayo?"

    "we nawe unajifanya hujui?"

    "mi sijui si uniambie?"

    "ni sehemu ambazo ukimshika mwanamke huweweseka sana"

    "aahh nimekuelewa enhe endelea na stori maana tam"

    "uangalie usije ukajipizia"

    "aahh amna sina ukame wa namna hio"

    Lusi angejua kua haisimami kabisa wala asingesema niangalie nisije kujipizia kwa stori anayonipA

    "basi sasa nilipokua namshika kumbe mwenzangu anaskia raha hee saa ngapi asinigeukie na kuniambia kua nirudie tena kumshika.. baada ya kurudi nilimuona kama kafika kileleni vile.. nikamuuliza vp mwenzangu? akanijibu kua ni raha mtindo mmoja basi akanambia nimshike shike na mati. Mara naye akanishika shika sasa tukajikuta tunaingia kwenyebkundi la usagaji bila kujijua.. na ndio kuanzia siku hio hatukutaka wanaume wala kuwatamani kimapenzi maana ni wasumbufu na toka siku hio kila mtu akapAnga kua akipata mwanaume basi hatokua mjanja bali atampenda mwanaume m-bushi bushi hata kama hajui mapenzi ili amlee na hata mimi pia nina mpango huo kua sihitaji tena vijana wa mjini maana wanakasumba... na ndio maana hata tausi alikua akikung'ang'ania pale na sii tausi tu hata mimi pia nakupenda tena kwa dhati na nitahakikisha nakupa kila kitu ukitakacho kwani kama ni pesa ninazo za kutosha tatizo ni wakutumia tu ndio hakuna...na ndio maana mpaka kesho naujua mdomo wa tausi maana nilikuaga namnyonya denda kwaio hapa tulip kila mtu ana hamu na mwanaume ila hakuna anaetamani kwa hawa wanaume wa mjini"

    "mmhh stori tamu"

    Basi mtoto alimaliza kunipa stori yake hio iliotam ya kusagana.. Basi tulitembea na hatmae kufika katka kona na kuagana kila mtu kwao. kwa upande wangu kwetu au kwa mjomba sii mbali basi niliweza kufika na nilichelewa chakula kwaio nilikuta washakula tena mama ndio kwanza wala hajali kutokula kwangu.. Mara mjomba akanitoa nje kidigo

    "skia mjomba? chukua hii buku kapate hata chai pale mgahawani sawa mjomba?"

    "sawa mjomba ila ile kazi ulioniambia vipi?"

    "usijali nitakupeleka kesho asubuhi sawa?"

    "sawa"

    basi nilienda mgahawani na kukuta watu wengi sana wakipata chakula huku wakiwa wanabishana kitu ambacho kwangu ningependa kukiskia kwa umakini sana..

    "kijana nikupatie nini?"

    Niliulizwa na mfanya kazi wa mgahawa huo kisha nami nikamjibu kwa upole kama jinsi nilivyo mpole

    "nipatie chai na skonzi mbili"

    basi vililetwa kisha nikamlipa kabisa na kuanza kunywa chai ile huku watu waliopo humo ndani wakibishana

    "wewe ulishawahi kunywa supu ya pweza wewe?"

    "oohh niliwahi lakini sikulala kaka"

    "kwanini hukulala?"

    "weee kitu ilikaza balaa mpaka nikavaa msuli"

    "sasa vilipunguaje?"

    "wee hee kwani kuna cha kupungua wenyewe?"

    "eehh?"

    "nilienda shivazi kaka ndio ikawa afadhali"

    Nilitamani kuwauliza kua hio supu ya pweza inapatkana wapi lakini nikaona sio kila mtu ajue hali yangu kwani ni bora nikamuulize mjomba huenda akawa anajua kuusu hio supu ya pweza ilipo.. nilimaliza kunywa fasta na kumuwahi mjomba asije akalala ili nimuulize.. nilifika nyumbani na kumkuta mjomba kakaa kochini na mama pia alikuepo kwaio nikashindwa kumuuliza kuusu hilo swala.. ila nikaona bora nimvute chemba ili tuongee. nilimvuta chemba na kuanza kumuuliza

    "mjomba? eti supu ya pweza inapatkana wapi?"

    "supu ya pweza?"

    "ndio"

    "we wataka ya nini?"

    "aahh we niambie mjombaa"

    "kwa asilimia nyingi supu ya pweza hupatkana maeneo ya pwani pwani hukoo ila huku bara hua ni adimu sana mjomba"

    "ayaa sasa nitaipataje?"

    "we sheby kwani una tatizo la uuunaniliu?"

    "kwani hujui mjomba?"

    "mi nitajulia wapi mjomba?"

    "ndio ivyo sasa"

    "sasa kwanini usingesema mapema ili tuhangaike?"

    "nimehangaika kidigo lakini hakuna lolote"

    "kwani wanakuambiaje hao waganga?"

    "wanasema eti lazima awepo mama"

    "oohh kwaio sii kidogo ni toka uzaliwe?"

    "ndio mjomba au unajua tu unanikejeli?"

    "mjombaa kwani mimi nimekulea mjomba? eeh mi mwenyewe nimekuja kukuona umeshakua mkubwa sasa ningejuaje mjomba"

    "sawa ila ndo ivyo"

    "lakini huyo pweza unaemtaka ananywewa na watu wenye tatizo la upungufu wa nguvu za kiume ila sii yule aliekosa kabisa"

    "kwaio nikinywa mimi haiseidii?"

    "kiukweli haitoseidia mjomba wangu nisikutanie bure mjomba"

    "kweli mjomba mimi sina kabisa nguvu za kiume"


    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "pole sana mjomba ila we mwombe mungu atakusaidia"

    "sawa mjomba"

    Mara ikaskika sauti ya kike ikiongea kwa hasira na kejeli nyingingi

    "kumbe watu muna migonjwa yenu mnatuletea hapa kwanini? kwani sie ni madokta? kama huezi huna jipya mtoto wewe heehee halooooo eti waulizia pweza kumbe huna kabisa? unaloo babu weye"

    Yaani nilikua natetemeka kama mtu mwenye majini yaliompanda akiwa usingizini. kisha nikawa namfata kama zombi sio zombi na zote ni hasira tuu

    "jamani nakufaa baba saidi mzuie mjomba wako uuuwiii jamaniiiii"




    Yaani nilimshika mama kiaskwamba kama nilikua naua vile maana ni bora angenitukana tusi lolote lile kuliko kunikejeli kwa tatizo ambalo nateseka nalo kila siku yaani ni bora angenivunja hata mguu kuliko kunipa maneno makali kama yale.. kiukweli vimeniuma sana na ndio maana nilimrukia bila kujali kua ni mke wa mjomba au mama yangu.. Basi wakati namkamata mama. mjomba aliamua kuingilia kati na kututetea.. ndipo nilimweshimu mjomba kama unavojua watu wapole walivyo hua ni wazuri afu ni wabaya zaidi kuliko chochote sii kwa wanaume tu hata wanawake wapole hua ni wabaya mno kuliko hata kobra..

    Basi nilivyomuachia mwanamke huyu alikua anakohoa huku akisema kua

    "sitaki nikuone nyumbani kwangu mnwa wewe"

    Alikua ananifukuza huku mjomba ananiombea msamaha maana sina pakulala zaidi ya hapa japokua pana mgogoro wa hapa na pale.. aliombwa msamaha lakini hakutaka kukubali.. basi mjomba alinichukua na kwenda kuniombea kwa rafiki yake

    "sikia mjomba umefanya vizuri kumnyorosha mwanamke yule maana maneno alioyaongea hata mimi yameniuma sana utafkiri mimi ndio naumwa"

    "usijAli mjomba kikubwa ni kazi tu mjomba"

    "kuusu kazi we usijali lala hapa kwa leo tu kisha kesho nikupeleke kwenye kazi kesho sawa mjomba?"

    "nitashkuru sana mjomba kama nitapata kazi"

    "sawa mjomba usiku mwema basi"

    Basi mjomba aliniacha pale kwa rafiki yake na kurudi nyumbani.. mida hio ilikua ni saa 4:30 usiku katika akili yangu nilikua nawaza hio kazi tu kua itakua ni kazi gani? maana sijamuuliza kuusu hio kazi ni kazi gani.. lakini nikaona haina shida nitajua hio hio kesho kutakapo pambazuka.. basi tulikua tukipiga stori za hapa na pale na huyu rafiki yake na mjomba......

    +ASUBUHI NA MAPEMA+

    Nimeshaamka ikiwa ni mida ya saa 3:15 asubuhi nikaenda nyumbani kuwasalimia maana nililala tofauti na wao.

    basi nilifika na niliwakuta wanakunywa chai

    "we sheby nilikuambiaje?"

    "nisamee mama kwani zilikua ni hasira tu"

    "lakini mama saidi si umsamee mtoto lakini? sasa utamnunia hadi lini? na ndio kijana wetu uyo"

    "kijana wenu na nani? usinizeeshe mie sina mtoto kilema mie"

    "mjomba unamsikia anavyosema mama?"

    "mwache usijali njoo unywe chai mjomba"

    "anywe chai kwani kaileta apa"

    "basi mjomba usilie bwana"

    "mwache na wewe unalibembeleza la nini?"

    "mama saidii?"

    "unikome na wewe na huyo mjomba wako"

    Aliondoka zake kuelekea kazini huku akituacha na mjomba pale mezani.. basi nikanywa chai ya kishida shida ivo ivo maisha yanaenda

    "kwani mjomba? mama anafanya kazi gani?"

    "mmhh mi sijui ila kaniambia yupo kwenye kampuni moja hivi ya usafirishaji wa makontena kuelekea nje za nchi ila siijui ni kampuni gani na wala sitamani kwenda kabisa"

    Basi tuliendelea kupiga stori za hapa na pale huku tukinywa chai tupu bila vitafunwa.. maana viliisha

    "sasa mjomba? mi naona twende nikupeleke huko kwenye hio kazi ili ukaanze kazi rasmi"

    "safi sana mjomba umenihangaikia mno ila ni kazi gani hio?"

    "we twende utaijulia huko huko ila itakua ni kazi ya muda tu huku nikiendelea kukutaftia gereji sawa?"

    "haina shida mjomba ni wewe tu?"

    "ok twende basi"

    Basi tuliondoka maeneo yale na kupanda TOYO ili tuwahi maana tulishachelewa huko kwenye kazi.

    katika mawazo yangu najua tu itakua ni kazi ya kutembeza tembeza biashara yeyote ile au kwenye dula liwe la nguo au la kawaida.. lakini cha ajabu na cha kushangaza tulishuka kwenye nyumba moja ya kitajiri yaani bonge moja la mjumba yaani ni bonge la selfu yaani hilo geni lenyewe linafunguliwa na rimonti.. na kuna sehemu ya kubonyezea kengele ili mtu aje kufungua.. lakini hapo hapo hua pana kipaza sauti yaani kama atakuuliza kua ni nani basi yeye aminye rimonti na uingie... sio ile unaulizwa na mtu yupo ndani eti

    "naniiiiiii?"

    Sasa hapa hamna iyo yaani anakuuliza utafkiri mnaongea na simu kumbe ni mtu yupo ndani.. basi nilimuona mjomba akiminya kidude kile kilichopo ukutani

    "mjomba unawasha taa za watu saa izi?"

    "hahahahahahah hii sio taa ni king'ora"

    "kingora? kingora ndio nini?"

    "sio kingora ni king'ora"

    "aahh kinaniii?"

    "kinini sasa?"

    "aahhh Au basi maana kina jina gumu"

    Mara mlango ulifunguka bila kuona aliefungua

    "aahh kumbe ukiminya hapo ndio vinafunguka?"

    "hAhhahahaha we usijali utajua tu"

    basi tuliingia ndani lakini mi nilikua bonge la mshamba maana hii nyumba jinsi ilivyojengwa ni ya kipekee sana na ni ya kitajiri mno afu ni kubwa balaa na ina kila kitu ndani kama vile GADENI+ SWIMPULI+ SEHEMU YA UWANJA WA MPIRA+ NA SEHEMU YA KUBEMBEA WATOTO+ PIA KUNA SEHEMU IPO KAMA BAA AU WANAIITA KAUNTA+ PIA KUNA SEHEMU YA KULIA CHAKULA NA KUPUMZIKIAA NA HAPO NI NJE TU BADO NDANI... JEE NDANI KUTAKUAJE??

    basi niliingia ndani lakini nilikuta mabinti watatu wazurii ambao siwafahau na ndio waliotukaribisha na kupokelewa na mama mwenye nyumba ambae limama lenyewe ni linene mbaya afu lina inye kubwa balaa..

    "karibuni jamani?"


    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    mama mwenye nyumba alitukaribisha na mimi kwa ushamba nilikaa chini maana hizo sofa ni noma

    "we kijana mbona unakaa chini?"

    Aliniuliza huyu mama huku kama akinitikisia kichwa kuashiria kua ushamba wangu huenda ikawa hasara kwao..

    "hapana mama hapa hapa panatoshaa"

    Niliongea kwa upole wa hali ya juu kama jinsi nilivyo. Mara nikaskia vicheko kwa nje vikicheka tena kwa dharau huku kama wakigongesheana mikono

    "heeheee halooo kweli kazi ipo ya kuwatich watu"

    hilo neno la kuwatich ndio sikulijua maana yake maana mtoto wa kiume ni Ziro kwenye kingereza yaani sijui kitu..

    "sasa mama ndugu yangu ndio huyu niliekuambia"

    "oohh ndio huyu? karibu sana kijana?"

    "asante mama"

    "mama mi nadhani hakuna cha ziada kikubwa nimuache muendelee kuongea wenyewe"

    "usijali bana nashkuru maana kazi nyingi hapa ndani"

    "haya mama mi narnda... sheby hapa ndio kazini kwako kuanzia leo sawa?"

    "sawa mjomba"

    Nilishindwa kumuulizA kua sasa humu ndani nitafanya kazi gani? ila nikaipotezea tu kwasababu huyu mama yupo....

    basi mjomba aliondoka na kuniacha pale na yule mama akanichukua na kwenda kuniacha kwa wale mabinti watatu ambao pale walikua wanapembua mchele au HUBWA HUBWA basi yule mama aliacha maagizo kwa wale mabinti kua

    "nyie? muonyesheni bafu na chumba chake kisha aje hapa nimpe kazi saweni?"

    "sawa mama"

    Basi mtoto wa kiume niliingia hapa bafuni na kukuta tofauti kabisa ya jinsi nilivyozoea maana kuna sehemu nyingi za kubonyeza ili maji yatoke lakini sikua najua hata moja japo viliandikwa lakini ni kwa kingereza

    basi sikufanya chochote pale bafuni zaidi ya kubung'aa tu kama popo.. sasa kwa bahati nzuri kulikua na ndoo pembeni ambayo ilibakia maji nusu ikabidi niyaoge hayo hayo maana sijui kuyafungua hayo makoki ya watu maana sio kama hizi za kawaida bali zilikua ni za kipekee sana kuliko nilivyozoea. na kufungua naogopa maana nahisi nitaharibu vitu vya watu.. sasa nikamaliza kujimwagia ile nusu ya ndoo ambayo ilibakizwa.. sasa nikawa natoka huku nikijiona nimeng'aaa balaa.. sasa wale mabinti si wakaniona jinsi ninavotoka bafuni, Mara nikawaskia kama wananisemea kwa mama yao kana kwamba kuna kosa nimelifanya mtoto mie

    "mamaaa? we mamaa?"

    Sasa nikajiuliza nimefanyaje jamani mbona wananisemea kwa huyo mama

    "nini nyie?"




    sasa walipokua wanasema mimi nikaanza kujikagua kwamba labda huenda sijang'aa.

    "katoka na kandambili za bafuni"

    "sasa si mumuelekeze na nyie?"

    daah nilijiskia haya afu ukizingatia bado ni mgeni katika jumba kama la kifalme vile. basi nilirudi bafuni mbio na kwenda kuyaacha makandambili ya watu maana mimi nilikuja na masendeu basi nilivyo yavua kisha nikaingia kwenye hicho chumba changu nilichoonyeshwa na mmoja kati ya hawa mabint watatu..

    "mmhh kunanukia huko duu"

    nilijisemeza mwenyewe huku nikikishangaa chumba hicho. ila chumba chenyewe kinaonekana kama kulikuaga na mtu anaishi maana kuna maurembo urembo. basi nikacheki mezani nikaona mafuta mazurii. nikayamimina mwanaume na kuanza kujipaka. mara mlango ukafunguliwa bila hodi.

    "hee we utapakaje mafuta usioyajuA? lione kaa zoba cheki likichwa lile kaa boga"

    Ayaaa ni mmoja kati ya wale mabint aliniletea mafuta ya kujipaka na taulo ja shuka na dasta kama tano ivi ila sikuzijua kazi yake..

    "nisamee"

    "mschiiiiuuuuu eti Nisaaameee lione vile kaa mwehu mwehu vile"

    "nisamee dada angu kwani sikujua"

    "sasa si uulize... unapaka tu mafuta usioyajua"

    "basi yaishe.. sogea basi ninadili nguo"

    "si uvae kwani una kipi cha kunitisha?"

    "sogea basii"

    "sisogei sasa amua unalotaka"

    Mara nikaskia kama anaitwa mtu vile

    "merii?"

    "abee mama?"

    "umeshaampa vitu vyake?"

    "ndio mama"

    Alimjibu huku akitoka nje na ndio nikamjua kua anaitwa meri basi nikafungua lirambo langu na kutoa kasuruali kangu na kukatinga.. maana nilikuja na nguo 4 tu suruali mbili na mashati mawili tu basi. yaani kiujumla nina nguo nne tu.. basi baada ya kumaliza kuva nguo nikakaa hapo kitandani na kuwaza na kuwazua kua katika nyumba poa kiasi hiki je nitafanya kazi gani itakayonifaa na elimu yangu.. sipati jibu mtoto wa kiume.. mara nikaitwa

    "we mkaka unaitwa na mama"

    "sawa nakuja"

    nikafika haraka tena kwa heshma kubwa kama jinsi nilivyo.. nikakaa chini kama kawaida yangu ya ushamba huku tv ikiwa imewashwa yaani ni bonge la tv tena ni yale ya kunata ukutani.

    "naam mama?"

    "skia kijana?"

    "ndio mama nakuskia vizuri mama"

    "kazi iliokuleta hapa ni uwe mfanyakazi wa ndani sawa?"

    Mmhh nikatulia kwanza na kufikiria kua mfanyakazi wa ndani ni lazima AOSHE VYOMB+ KUFUA+ KUPIKA+ KUMLISHA MTOTO WA BOSI+ KUDEKI NA KUFANYA USAFI WA NYUMBA NZI.. lakini sikutaka kukataa maana maisha yangu ni magumu sana afu licha ya maisha magumu pia kuna kesi kule kijijini na inanihusu japo nimesingiziwa.. sasa dawa ni kukubali kwasababu mjomba alinambia kua nifanye kazi hii kwa muda tu huku akinitaftia gereji..nikaona bora nikubali tu maana hakuna njia nyingine zaidi ya hii

    "sawa mama niko tayari"

    "utaweza kijana? maana unaonekana mnyoonge"

    "nitaweza mama hakuna shaka"

    "safi kabisa.. na umeona zile dasta ulizoletewa?"

    "ndio nimeziona"

    "zile ndio ofisi yako"

    "kivipi mama?"


    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "vitambaa vile kazi yake ni kufuta fanicha za nyumba nzima kila baada ya masaa 6 na kila siku kasoro juma pili tu?"

    "kwaio mi kazi yangu ni kufuta meza na viti tu?"

    "na vitanda makabati sofa meza sistimu ya mziki na meza yake yaani kila kilichotengenezwa na mbao itakua ni kazi yako sawa?"

    "sawa mama"

    "una swali?"

    "aahh je kupika je?"

    "kupika ....kufanya usafi.... kufua. hio sio kazi yako labda useidie kukwaruza matunda na kumletea mpishi anachokitaka sawa?"

    "sawa.. kwaio kila siku asubui napita chumba hadi chumba kufanya usafi?"

    "yaani nyumba nzina kasoro kwangu tu huruhusiwi kuingia wala kuchungulia... hata hivyo vyumba vingine utavifanyia usafi hadi watu waende kazini.. na ndio maana nilikuambia juma pili hufanyi usafi bali watafanya wenyewe sawa?"

    "sawa mama?"

    "nenda kwanza kapumzike kwanza kisha waje familia yote tukutambulishe sawa?"

    "sawa mama"

    "hao mabinti unaowaona hapo nje ni wafanyakazi wenzako na hao kila mtu ana kazi yake.. humu hakuna kutesana na ipo siku ya mapimziko"

    "haina shida mama kwani nitafanya kazi kwa bidii zote"

    "sawa nenda kapumzike"

    Basi nilitoka nje na kwenda kujipumzisha Sasa nikiwa nipo ndani niliitwa na meri

    "we kijana uko ndani?"

    "naam"

    Wakacheka eti kisa nimeitika naam

    "nimefika jamani"

    watoto ni wakali balaa yaani kama ningelikua na meno wangenikoma balaa hata kama wananichukia.

    "kawapokee watoto hapo nje"

    "nikawapokee?"

    "nenda sasa araka"

    "sijakuelewa dada angu"

    Mara mama katoka

    "ninyi mnapiga kelele za nini?"

    "si uyu tunamuambia akachukue watoto afu anashangaa shangaa apa"

    "lakini mwenzenu si mgeni jamani?"

    Basi baada ya mama kusema vile mmoja ndio akaamka na kwenda kupokea hao watoto. basi mi nikarudi ndani kupumzika ili nianze kazi kesho Mara baada ya kutulia tu kama dakika 5 niliskia watoto wakimuita mama yao huku kama wakikumbatia.. wapo kama watatu hivi bila kukosea wakike wawili na wakiume mmoja.. wakiwa wanarudi shuleni kama kawa mtoto wa kiume ninetulia... Mara nikapitiwa na usingizi mzito tena ule wa kukoroma kabisa.. sasa nilipokuja kushtuka naona mwanga tu kuashiria kua tayari ni usiku na taa ziliwashwa.. sijatulia vizuri mara nikaitwa ndani tena sebuleni pale.. haa kufika hapo sebuleni nilikuta watu wengi hao haaa sasa sijui ni wageni... mara nikamuona meri nikaona ngoja ata nimuulize japokua ananichukia

    "eti hawa wageni walikuja saa ngapi?"

    Sasa huyo meri anaangaza pale sebuleni ili amuone huyo mgeni

    "mgeni yupi?"

    "si hao wengi ivo?"

    "we fala kweli wewe .. hao ni watu wa humu ndani"

    "haaa wote hao?"

    "tulia mama anakuja"

    Basi mtoto wa kiume nikakaa chini kama kawaida ya mtu mshamba..

    "heee sasa mbona unakaa chini wewe?"

    Aliniuliza mfanyakazi mwenzangu aitwae meri

    "hee we wataka niaibike eeh?"

    "uaibike na nini sasa?"

    "we huoni mviti yenu yanavyonesa nesa"

    "hahahahahaha mmhh maakubwa mwaya"

    wakagongesheana mikono na mwenzie kwa furaha ya kunicheka mimi.. Mara mana mwenyenyumba huyo kaja

    "yule kijana yuko wapi?"

    "mimi apa"

    sasa ile kuamka na kusema mimi apa ndio nikawaona watu vizuri kulikua na waschana wanne tofauti na mabeki tatu na kulikua na m baba mmoja naisi huyo ndio mzee mwenyewe afu pia kulikua na wale watoto watatu afu kuna wamama wawili tofauti na mama mwenye nyumba afu kuna vyumba vingine nikiangalia kutumia mwanga wa taa naona kuna watu.. Daahh yaani kuna watu wengi balaa mpaka nikachoka hata kuwahesabu kwakweli duu..

    Basi mama aliniita na kunisimamisha kati huku akiwaambia wana familia wake kua

    "huyu ndio kijana wetu wa kazi ndogo ndogo"

    watu wakaitikia

    "tumemuona ila hatumjui jina"

    "we kijana watajie jina ili wakujue"

    Basi mtoto wa kiume nikajikaza kutaja jina.. afu waliosema nitaje jina ni hawa mabint wa kazi na wale mabint wanne wa bosi..

    "naitwa sharbiny"

    "eehh nani?"

    "sharbiny ndio jina langu"

    "hee mbona mjina mgumu ivyo?"

    "ndio ilo tu"

    "eti we mama utaweza kulitaamka hilo jina?"

    SasA mama mwenyenyumba akaniuliza

    "umesema unaitwa shabibi au shabibu?"

    "naitwa sharbiny"

    "muislam au mkristu?"

    "muislam tena siachagi hatA swala moja"

    "unasemaje? uislamu wako huko huko na kuanzia leo tunakupa jina la kiikristu na utaenda kanisani kama sisi na uache huo uislam wako sawa?"

    "haaaaa aisee mi siwezi kusema yusu ni bwana jamani"

    "unasemaje wewe?"

    mara na baba akaingilia kati

    "kijana unataka kazi hutaki kazi?"




    Nilijikuta nashikwa na kigugumizi na woga wa ajabu baada ya kuona mzee mzima kaingilia kati.. kwaio haina budi kukubali tu maana duu maisha magumu

    lakini kabla sijawajibu nikafikiria kwanza kwa haraka ili kutoa jibu lililosahihi

    "inabidi nikubali kwa hilo jina lakini ni kwa ajili ya kazi tu na nitakua na dini yao kisura sura tu lakini kimoyo moyo bado nipo na dini yangu"

    Baada ya kujisemea hayo ilibidi niwape jibu kua nimekubali

    "sawa nimekubali"

    Sasa baada ya kukubali kua upande wao maana wote humu ndani ni waikristu na hata hawa wafanya kazi wote humu ndani pia walibadiri dini zao na kua sawa na hawa mabosi wao.. kwaio nami nitakubali kutokana na shida ya maisha ila ni kimwili tu lakini kiroho bado mi ni muislam..

    Sasa baada ya kukubali Hapo hapo nikapewa jina na huyu mama

    "kuanzia leo utaitwa JEMSI ( JAMES) sitaki kuskia hilo jina lako la shabibu sijui nani uko sawa?"

    "sawa mama"

    "na watu wa humu nda utawaheshim kama dada/wadogo zako sawa?"

    "sawa mama"

    "kuanzia kesho utaonyeshwa vyumba vya kuingia kasoro changu na vya wafanya kazi wa kike sawa?"

    "sawa mama nitafanya utakavyo"

    Basi tulikubariana na watu wote wakanikubali kua KIJAKAZI WA KIUME AMA ( HOUSE BOY )


    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Baada ya kutambulishwa nikaambiwa kua hapa bado waschana wawili kukamilika familia

    "kijana?"

    "ndio mama"

    "wote unaowaona hapa ni wana familia na kuna mabinti wawili wapo SHULENI ( BOARDING ) sawa?"

    "sawa nimekuelewa"

    "kesho kazi yako ya kwanza utawapeleka watoto barabarani kupanda gari waende shule sawa?"

    "ndio mama"

    Yaani zangu ni kuitikia tu maana hata nikisema sitoskika

    "chumba chako umekijua eeh?"

    "ndio nilionyeshwa na hawa hapa"

    "sio hawa hapa unapaswa kuwajua"

    "haina shida mama"

    nilikubali kila kitu walichosema bila kukataa au kusita

    "jemsi?"

    "ndio mama"

    "umeshakula?"

    "bado"

    "we meri mbona hujampa chakula mwenzio?"

    "alikua kalala mama"

    "ooh kampe chakula ale apumzike kisha kesho aanze kazi sawa meri?"

    "ndio mama"

    Basi kila kitu kilienda sawa na kumaliza utambulisjo juu yangu. na kuruhusiwa kuondoka

    "kama ukimaliza kazi zako mapema basi utakua unamseidia meri kazi ya kupika sewa?"

    "sawa mama"

    "kwa maana humu ndani kila mtu na kazi yake. MERI NI MPISHI NA MFANYA USAFI WA VYOMBO++ NA HELENA NAR NI MFUAJI TU++ NA SESI NAE NI MFANYAKAZI WA KUDEKI NYUMBA NZIMA PAMOJA NA NJE.. na kila atakaemaliza kazi yake mapema basi anaruhusiwa kupumzika sawa kijana?"

    "sawa mama"

    "juma pili hakuna atakaefanya kazi kati yenu zaidi ya kwenda kanisani tu sawa kija?"

    "haaa na mimi nitaenda kanisani?"

    "ndio tena kesho nitakuletea bibiria yako sawa?"

    "kimyaaaaa"

    "we jems? jems?"

    "ndio mama?"

    "nini mbona hujibu?"

    "aahhh sawa mama nitakwenda"

    lakini nilisema nitakwenda huku roho ikiniuma maana kama nasaliti dini yangu vile

    "unaweza kuondoka ila ufanye kazi kwa bidii"

    "haina shida mama kila kitu kipo sawa tu"

    "basi nenda kale kisha pumzika"

    basi mtoto wa kiume nikarudi katika chumba changu ( geto )

    basi nilivyorudi nikawa nimetulia ili kumsubiria meri aje anipe dina maana yeye ndio muusika wa msosi wa nyumba nzima...

    na pia inabidi niunge urafiki na meri kutokana na cheo chake kizuri kuliko wote

    "jems?"

    "ndio dada?"

    Alikua ni meri analeta msosi tena kama kawa ulikua ni hubwa hubwa.. napendaga msosi kama huu balaa na ndio maana napenda kuanza urafiki na meri

    Basi meri alinipatia msosi kisha na masharti juu

    "ukiumaliza na vyombo uoshe sawa?"

    "aaaa sasa ndio nini ivyo dadaa?"

    "unapaswa useme sawa dada si aaaaa"

    "lakini sio kazi yangu"

    "tuliaa kama ungeambiwa na mama uoshe vyombo ungemjibu je?"

    "ningemjibu sawa mama"

    "sasa mbona mi unagoma?"

    Nikawaza huyu ndio mpishi kama nitagombana nae basi nitakuja kula ukoko bara nikubali tu

    "sawa dada"

    "eenhee hivyo hivyo mi ndio nataka"

    Yaani huyu mama sijui aliwapata wapi wafanya kazi wazuri kama hawa maana nyumba nzima haina msichana m baya hata mmoja tena wanaonekana wamemaliza fom 4 maana ni wajanja wajanja mno

    Basi yule dada aliondoka baada ya kukubaliana na mimi kua nikimaliza nioshe vyombo vyangu tena ving'ae balaa..

    Basi mtoto wa kiume nilimaliza kula kisha nikaangalia ili kumuona meri... nikagundua hayupo yupo sebuleni anaangalia tv... nikavitupa vyombo kisha nikalala zangu sasa baada ya kama masaa mawili hivi nilisikia makandambili yakiburuza kuelekea huku niliko

    Nikaamka ili kuchungulia na muda huo ilikua ni saa 3 usiku

    Aaaahh mara naona kama wanaingia huku niliko tena wako wote watatu wakaingia katika chumba kimoja wote

    "aahh inamaana wanalala humu?"

    nilijiuliza mwenyewe bila kutoa sauti.. na ni kweli walikua wameingia kulala.. hii nyumba ipo nje ya nyumbabkuu yaani ile ya mabosi japokua inatosha hata tungelala wafanyakazi wote katika nyumba hio kubwa au ya mabosi basi tungeweza toshea bali hio ni ya mabisi na watoto wake nasi tuna yetu kwa nje ila sio nje ya geti ah ah ni ndani ya geti ila haijaungana na nyumba kubwa... sasa hii nyumba ya wafanya kazi jinsi ilivyojengwa imejengwa kama dabo rumu vile ila kuna vyumba viwili cha kushoto ni changu na cha kulia ni cha hawa wadada na katikat hakuna nafasi kubwa sana ila pamewekwa makabati ya nguo. naona zitakua ni za hawa wadada..

    Basi mtoto wa kiume baada ya kujua hayo nilirudi kulala

    +ASUBUHI SUBUHI+

    niliamshwa na sesi huku akiwa katika usingizi mzito sana

    "mambo?"

    nilimsalimia mtoto huyu mreembo utafkiri ni mtoto wa bosi bwana kuumbe ni mfanya kazi

    "poa.... twende nikakuonyeshe sehemu ya kuwafikisha watoto wapande gari"

    "sawa twende"

    Basi tulifungua geti na kutoka.. ilikua kama mida ya saa moja kasoro hivi ndio tulitoka na hao watoto watatu

    Mara sesi akakutana na mafanyakazi mwenzie wa nyumba ya jirani

    "hee sesi mumeletewa mwingine?"

    "ndio mwenza ila lipo kama bunju bunju vile"

    "mbona mi naona yupo sawa tu"

    "wala ata si likwaru ( mjanja )"

    hapo sikujua hilo neno likwaru lakini neno hilo linamaanisha mjanja

    "kwani yule ulishammhh?"

    "wala ata kwani lile lilikua mkono wa sweta bibie?"

    "haaa we sesi unasema kweli?"

    "ndio"

    "na yohu ej? ( na huyo je?"

    hapo walibadiri maneno kinyume ili nisijue na ni kweli sikujua maana sikua mtundu na maneno kama haya

    "yuhu juisi ( huyu sijui )"

    waliokua wakiyaongea sikua nayajua yote bali ni baadhi kwa yale watakayoongea kwa kiswahili sahihi maana hayo wanayageuza kinyume chake

    "tuwapeleke watoto we sesi"

    "nyie? mwonyesheni mjombaa mnapopandaga gari"

    Aliwaambia wale watoto kisha wakawa wanaendelea kuongea mambo yao

    Basi nilipajua na niliwafikisha watoto na kurudi nyumbani... sasa saangapi nisisahau njoa kwani nilijua hata tulipopitia? sijui hata moja wacha nianze kubuni njoa huku muda wa kuanza kazi yangu kule ndio unazidi kwenda... basi mtoto wa kiume wacha nianze kujichomeka kwenye vichochoro bila kuju ndio nazidi kupotea kabisaa na sijui itakuaje kuusu kazi tena ukizingatia kazi yenyewe bado mpyaaaaaaaaa


    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/sasa nilipokua naenda mtoto wa kiume kumbe ndio napotea ivyo.. sasa kwa bahati nzuri nikakutana na mmama mmoja ambae hata ja.a kwenye utambulisho pale ndani alikuepo na walikua wamama wawili sasa huyu ni mmoja wapo

    "we jems unaenda wapi uku?"

    "nyumbani lakini naisi nimepotea mamaa"

    "kwani ulikua unafanyeje mpaka ukafika huku?"

    "niliwaleta watoto wapande gari ya shule sasa kurudi nikasaau njia niliopita"

    "kwani hawajakupa mtu wa kukuonyesha?"

    "mtu wa kunionyesha nilikua nae lakini alikua anaongea na mwenzie"

    "twende basi njoa hii huku"

    Basi ikawa afadhali maana ningepotea sijui ingekuaje na mji wenyewe ni mkubwaa... basi tulifika nyumbani na moja kwa moja nikaanza kazi ya kupangusa fanicha na wakati huo wenye vyumba hawapo wameenda kazini. Basi kama kawa nikaanza sebuleni kufuta futa tena leo hadi mama hayupo... sasa mara akajipitisha meri nikaona hebu nijaribu hata kumuuliza

    "eti mama kaenda wapi?"

    "unamuuliza nani?"

    "si wewe jamani"

    "kwani uliambiwa hana kazi?"

    "hilo ndio jibu au swali?"

    "unamwambia nani ivo?"

    "mmnh baasi yaishe eeh?"

    basi nikaendelea kufuta fanicha za hapo ndani kwani ndio kazi yangu

    +BAADA YA WIKI MBILI KUPITA+

    nilikua nimeshazoea na kuzoeleka kabisaa na hata kwenye masofa nakaa lakini ni kwa uoga sana maana naisi yatanidondosha chini maana yanaruka ruka hayo duuu noma sana... basi mtoto wa kiume nimezoea kazi na na kuwajua jua kidogo hata tabia za wengine na leo ni siku nyingine ya juma pili kama kawa kama dawa ya kwenda chachi na haikia siku yangu ya kwanza kwenda chachi... maana nilishakuambia kua baada ya wiki mbili... kwaio hizo wiki mbili nilishawahi kwenda nao chachi kwahio hii ni mara ya 3 sasa naenda chachi nikiwa katika nyumba hiii na hua tunaendaga na gari ya humu ndani. kama kawa kama vijidawa nina bibilia mkononi na nimenunuliwa nguo za kuendea kanisani

    "jems leo umependeza"

    Alikua ni mtoto wa bosi wa kwanza ambae ni wa kike na anaitwa LEA

    "asante dada"

    sasa tukawa tayari tumeshakamilika familia nzima sasa kabla ya kupanda gari kwanza ni kudondosha dua ya bwana yesu

    "jems tusomee dua ili kubariki safari"

    "aayaa jamani bado sijakarili hizo sehemu za dua"

    "sasa unaendaga kanisani kwa ajili ya nini?"

    "ni kwa ajili ya kumuomba mungu"

    "sasa kwanini hujui somo lake?"

    "lakini mnajua fika kua hii dini mlinipa tu kwaio kuishika kichwani yaani sitarajii kabisa"

    "unasemaje wewe hebu msifu yesu kristo kwa neno ulilonena"

    "wanamsifuje sasa?"

    "yaani kweli katka machizi hili ndio kiongozi wao"

    Basi sesi alidondosha dua pale kisha tukapanda gari na kuondoka kwenda kanisani tena ile misa ya pili maana ya kwanza ni ya watoto

    Basi tulifika kanisani na kuingia ndani lakini mimi kila nikiingia lazima kichwa kiniume ila nikitoka kinakua sawia... lakini leo nilienda na dawa mkononi ili nipate muda wa kuskiliza neno la bwana kama jinsi wanavosema... basi nikakaa karibu na mdada mmoja hivi na wakati huo pasta myamba anaendelea kutoa neno la mungu kwa waumini wake.... kanisa tuliloenda lilikua ni kanisa liitwalo SAFINA lililopo maeneo ya KERAI kutoka MBAUDA huku JIJINI ARUSHA

    basi pasta myamba akitoa neno lakini kwa upande wangu kichwa inauma balaa nikanywa dawa ili nisitoke nje maana siku za nyuma nilikua natokaga nje kwasababu ya kichwa kinauma.. sasa baada ya kunywa dawa kikapungua basi nikawa naliskia neno vizuri sana.. Mara huyu mdada niliekaa nae karibu akaanza kunisemesha

    "tumsifu yesu christo?"

    Nikaona huyu dada katumwa nini? maana ananisalimia na dini ambayo haipo moyoni mwangu.. lakini kadada chenyewe kakali hako duu noma sana.. basi nikaona nikimchunia itakua sio freshi kwasababu nimeikubali kwa shida zangu na yeye havimuhusu.. basi nilimjibu kama alivyotaka yeye au hata wengine

    "milele amina"

    "mbona umefikiriiia utafkiri umelazimishwa?"

    Huyu dada angejua kweli nimelazimishwa wala asingeniuliza mara mbili mbili

    basi mtoto wa kiume naendelea kuskiliza neno huku huyu dada bado anaendelea kuniongelesha tu

    "unaitwa nani mwenzangu?"

    "kwani waikristo ni lazima kujuana?"

    "hapana ila nimeamua to kukujua"

    "oohh basi naitwa jems"

    "kuna uliekuja nae humu ndani?"

    "kwani vp mbona maswali mengi ivo?"

    "samaani unajua jins ulivyo kila mtu atatamani kua na wewe"

    "kivp? mbona skuelewi"

    "namaanisha utahitaji nkulee?"

    "unilee?"

    "ndio au umeshapata wa kukulea?"

    Sasa kabla sijamjibu mara kichwa kikanianza tena... nikanywa dawa lakini wapi na ni kila nikiingia humu ndani ndio kichwa kinauma mno.. sikuweza kuvumilia nilitoka nje ya kanisa na kwenda kutulia ili kipungue pungue... sasa nilivyotoka pale nje mara yule dada akanifata pale nilipo

    "pole jems pole umekunywa dawa?"

    "ndio nimekunywa"

    "umekunywa dawa gani sasa jamani jems?"

    "aahh nimekunywa parasetam tu"

    "noo twende pale kwa rafiki yangu ananisubiri kuna dawa kwenye gari"

    basi sikukataa maana kujuana na watu ndio kutoka kimaisha.. basi tulifika hadi hapo kwenye hio gari yake na kufungua mlango ili achukue dawa anipe ninywe na ni kweli ndani kulikua ja mdada mmoja hivi mremboo

    "we jesca ivi unajua nakusubiria wewe ili tukafanye ile biashara?"

    "usijali mwajabu ninatoka kanisani sasa hivi"

    Saumu ni huyu mdada aliopo kwenye gari tena anaonekana ana pesa balaa maana nguo alizovaa ni za kitajiri kama zile anazovaaga bosi wangu.. basi ikabidi nimsalimie yule mdada aliopo kule ndani ya gari


    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "shkamo mama"

    "maraaba ujambo?"

    Nilimsalimia kwa kumtukuza kama mama vile ili tu anione nina heshma na kujenga mazoea nao hawa... muda huo nimeacha ndugu zangu kanisani afu mimi nipo nje na hawa wanawake..

    "mmmh mwajabu unapenda ukubwa duu"

    Aliambiwa na rafiki yake jesca kua anapenda ukubwa

    "we jesca unajua mimi sio lika lako ujue?"

    "sawa nalijua hilo ila utajizeesha bure"

    "napaswa pia maana nasomesha mtoto wa form 4 sasa"

    "aaahh wa kike na wakike anavokua haraka ivyo"

    "je we unae?"

    "hata kama mi nachota vichuru ( wadogo ) wakanipe raha za dunia"

    "na utaishia hivyo hivyo"

    Mara yule dada akashuka kwenye gari kisha akamuuliza jesca ambae ni rafiki yake

    "dogo ana chest umeokoa wapi iyo?"

    "ndani uko"

    "mmmhh Mchaguzi wewe"

    Sasa huyu dada mwajabu ambae yeye ni muislam na kaja hapa kanisani kwa ajili ya kumsubiri mwenzie ili wakafanye biashara sasa akaniuliza

    "etibkijana wangu unaitwa nani?"

    Mara jesca kaingilia kati

    "weee uwe na mtoto mkubwa ivyo ulinge"

    "kwani mtoto wangu hasma hamfikii huyu mbona ni sawa tu?"

    "huyu ni wa kiume na yule ni wa kike bibie makizi ni tofauti kabisaa"

    "hata kama lakini si ninae?"

    "sawa mwaya"

    basi akaendelea kuniuliza maswali huyu mdada mrembo kushinda hata jesca

    "unaitwa nani kijana?"

    "naitwa jems"

    "oohh jems nani?"

    Sasa nikashindwa kujibu maana siwezi kumuambia kua naitwa JEMS RASHIDY ni ngumu na hata yule mama alivyonipa hili jina la jems hajaniambia kua nitaitwa jems bin fulani maana hadi sasa hivi sijui jina la yule mzee au bosi wangu... kwaio inabidi tu nimuambie jina langu ambalo linaweza kua na ubini wake.. maana jems halina ubini kwani nilipewa kama jinsi lilivyo

    "aahh kiukweli naitwa sharbiny"

    "nani?"

    "sharbiny"

    "sharbiny nani?"

    "sharbiny rashidy kingazi abuu abl"

    "baasi hee unamtajia majina yote hayo kwani anakujua huyu?"

    "we jesca hebu kua mstaarabu basi"

    jesca ndie alienistopisha kuto taja majina yangu"

    "enhee umesema unaitwa nani vile? maana sijaskia vizuri kwa ajili ya huyu mwehu"

    "naitwa sharbiny jamani eeh"

    "unasema unaitwa sharbiny??"

    "ndioo... na mbona umeshangaa ivyo? kwani unanijua?"




    nilimuuliza lakini alionekana kua na kigugumizi flan

    "ah ah ah apana nilikua na dereva wangu wa kiume munafanana kweli na hata jina pia ni hivyo hivyo"

    "aahh kumbe ni hivyo?"

    "ndio"

    Mara jesca akamuambia mwajabu kua

    "mmhh na wewe mwajabu umempenda nini?"

    "jesca tafadhali sana naomba tueshmiane sawa?"

    "hee mwajabu mbona umebadilika ghafla ivyo?"

    Huyu mwajabu hakumjibu kitu jesca bali nilimuona mwajabu akivuta mkoba wake na kutoa ktita kama cha laki 2 hivi kisha akanipatia

    "chukua hii hapa itakuseidia kwa dawa eeh?"

    "asante sana dada angu"

    "hapana mimi nina mtoto kama wewe kwaio sio dada ako bali niite mama sawa"

    "hee mwajabuuu eehh we noma kweli"

    Basi baada ya kupokea kile kiasi cha pesa nikabidi niwaage ili mimi niingie kanisani maana nilitoka kwa ajili ya kichwa kiliniuma sana

    "basi mi ngoja nirudi kanisani"

    "kwaio we jems unaniacha kisa umepewa hela eeh?"

    "we usimuite jems bwana"

    "hee we vipi mwajabu? si useme kama unamtaka tu?"

    "jesca naomba utulie hili swala halikuhusu hata kidogo"

    "mmmhh sawa mwaya"

    Sasa kabla sijaondoka huyu mwajabu aliniita

    "sharbiny?"

    "naam mama"

    Nilimuita mama kama alivyotaka nimuite

    "una simu?"

    "hapana mama"

    "sasa? unajua mi ningependa nikuajiri uwe dereva wangu"

    "mimi niwe dereva?"

    "usijali utaweza tu"

    "mmhh sijui kama nitaweza mama"

    "kwanini unajikatia tamaa ivyo?"

    "elimu yangu ni ndogo sana mama"

    "kuusu ilo isiwe tabu nitaweza hata kukusomesha"

    Mara jesca akaingilia kati hili swala

    "kwani we zakumu? we ndio uliomleta hapa nje?"

    "jesca jesca jesca tafadhali sana naomba utulie"

    "hayaa endelea na kiserengeti chako"

    Basi tukawa tunaongea na yule mama kisha akanipatia simu yake tena ina line juu.. nikaichukua mtoto wa kiume huku nikijua huyu mama atakua kanipenda tena.. na hii nafasi sii achi ng'oo lazima niwe nae karibu ili nile vingi... basi mtoto wa kiume nikarudi kanisani kwa ajili ya kumalizia ibada.. sasa ile nafika katika mlango wa kanisa nikakutana na mama ambae ni bosi wangu

    "we pumbavu ulikua wapi?"

    "nilikua naumwa na kichwa mama"

    "we muongo sana we mtoto wewe sema hutaki tu"

    "hapana mama niliumwa na kichwa kweli"

    "twende uko"

    "kwani ibada imeisha?"

    "si ndivyo ulivyotaka iishe ukiwa hupo?"

    "mmhh basi nisamee mama"

    "mschiiiuuuu"

    Alisunya kisha tukapanda gari na kuondoka huku yule mama au mwajabu akiniangalia sana jinsi tunavyoondoka pale kanisani..

    Basi tukafika nyumbani kama kawa leo ni siku ya juma pili hua wafanyakazi hua hatufanyagi kazi humu ndani.. yaani ni mapumziko yetu Basi nilipokua geto nikawa najifunza kutumia ile simu maana ilikua ni simu aina ya NOKIA X2 lakini saa hio sikua naijua kua inaitwa hivyo basi nikawa najifunza kuitumia simu hio maana siijui kuitumia na kumuambia sijui huenda nikatia aibu kubwa tu.. baasi niliitumia hadi ikaisha chaji na yule mama hakunipa na chaja yake Kwaio inabidi niwaombe hawa wafanya kazi wengine kama watakua na pini ndogo

    "hodi?"

    "nani wewe?"

    Walinijua ni mimi lakini waliamua kuniuliza tu japi ilikua ni mida ya jioni kama saa 10 hivi

    "ni mimi jems"

    "unataka nini?"


    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "naombeni pini ndogo kama munayo nichajie simu yangu"

    "hee jems na wewe una simu duu kweli dunia imeisha"

    Waliongea maneno ya kejeli lakini kwangu sii kitu

    "nipeni basi kama munayo"

    "lete tukuchajie"

    Basi niliwapa kisha nikaelekea zangu kuoga na wakati huo mida inazidi kwenda kweli kweli..

    +JIONI MIDA YA KULALA+

    niliwagongea tena ili wanipe simu yangu

    "sesi? sesi? we sesi wee?"

    "nini wewe mbona msumbufu ivyo?"

    "nipeni simu basii"

    "ngoja kwanza ni log out"

    "nini? ulongoti?"

    "ni log out"

    "bwana nipeni bwana simu yangu nyie vp?"

    "haaa unamuambia nani ivyo wewe?"

    "basii yaishe"

    "haya subiri nakuletea"

    "usiicheleweshe basi"

    "we lala si umeshiba?"

    "tatizo sii kushiba tatizo simu hiyoo"

    "nakupa we subiri"

    Basi kidume kaptura mie nikarudi geto kulala huku nikiwa na libukta langu ambalo nililinunua juzi kati tu..

    Basi ikiwa ni mida ya saa 3:30 usiki nilijikuta napitiwa na usingizi mzito tena ule wa pono.. Mara kuna mtu kaingia lakini sikumuona ila niliskia tu mlango ukifunguka kwa fujo

    "we jems? jems jemsiii?"

    nilikua nimelala wala sijitambui Sasa nikiwa nimelala na baada ya kuniamsha siamki aliamua kukaa na kuniangalia kwa umakini sana na sii mwingine bali alikua ni sesi mtoto wa kimburu huyo basi mtoto akaniangaliaa kisha akaanza kushika shika gaden love zangu huku akitabasam taratibu kabisa

    Mara nikakurupuka usingizini

    "mmhh jems nisamee mwaya eehh?"

    "nikusamee kwa lipi?"

    sasa alivyoona sijajua kitu alibadili majibu

    "nisamee kwa kukucheleweshea simu yako"

    "kwani ulikua unaifanyia nini?"

    "nilikua nipo INSTAGRAM"

    "hio instaburama ndio nini nyie?"

    "sio instaburama na wewe hee?"

    "ni nini na kinaseidia nini?"

    "ni mitandao ya kijamii hio"

    "mm bwaana ee mi sijui uko"

    sasa nikawa navuta shuka huku najikunja kwa ajili ya kulala tena nikajifunika kabisaa na shuka juu

    Mara sesi akalivuta lile shuka nililojifunika

    "nini wewe mbona unanifunua shuka langu bwana?"

    "yani unalala baada tupige stori"

    "aaaahh mi naskia usingizi bwana"

    "basi namimi nalala hapa hapa ndani kwako"

    "acha ujinga wewe mama akitukuta huku itakua shida"

    Najua tu sesi alitaka nimshike shike tena na kumnanii kabisa ila mi najijua ni dhaifu na siwezi huo mpango

    "toka bwana mi nalala"

    Nikajifunika gubi gubi mtoto wa kiume huku nikiwa nimelala chali

    "jems yani unalala mwenyewe?"

    Sikumjibu mtoto wa kike huyu mi nikabaki kimyaa bila shida wala kokolo

    "we jems si ninakuuliza?"

    pia sikumjibu nikabaki kama nilivyojifunika... mara akalifunua lile shuka kwa nguvu tena kwa hasira

    "we jems mbona ivyo lakini"

    Kasaut cha huyu mtotot wa kike kalikua ni kale kasauti cha chumbani

    "jamani we jems tabia gani iyo ya kunyamazia wenzio?"

    Sasa pale pale nikajifanya nakatikia kitanda ili kumchokoza maana najua ndicho anachotaka huyu mtoto wa kike

    Mara saa ngapi asinirukie apa juu ya tumbo langu huku akisema maneno ya taratiibu kabisa

    "kumbe una hamu afu unalinga linga ivyo"

    Pale pale mtoto akanisogezea mdomo.. ila nami nikajisemea kua

    "bora nimuandae kisha nimuache kuliko anione siwezi"

    Basi mtoto akanipa mdomo wake mlainii kama pipi vile

    "jems una joto zuri jamani"

    sikumjibu mtoto wa kike nikabaki kimya

    "uuuunnnmmhh uuuuuwwiik aaahhjjj bbuuuuuiiii iiioooo oohh uuuummhhh mmmmhh"

    Basi hizo ni sauti za romansi kati yangu na sesi... mpaka mtoto akalegea na kunivulia kasidilia chake na kuniambia nimnyonye matiti yaje mazuuri kama nini sijui

    "jems?"

    "mmmmhh"

    "ssssssssiiiiiiii ninyo----n-y.e h.a.p.a"

    "wapi apo?"

    "si. ha. pa k.w.en.ye..ma.t.it.i"

    "aaahhj hapo tu"

    Basi nikapapelekea domo langu kubwaa kama bakuli la uji vile na kuanza kuyakamua matiti ya sesi

    Nikiwa nafanya hivyo niliweza kuingiza mkono wangu kunako chupi yake na kuanza kupima Oil kimtindo.. basi nilimfanya alegee kwa haraka sana mtoto huyu

    "jems sasa vp?"

    "kuusu nini sesi?"

    "hio ishu"

    "ipi iyo?"

    Nikajifanya sijui kumbe najua kila kitu

    "nipe bwana umeshAnikuna vya kutosha"

    "bado bwana sesi"

    Kumbe nilikua namdanganya lakini ilikua tayari keshalegea tipwa tipwa

    Nikaona ngoja hata nijue uke wake ulivyo mzuri nikampambua nguo zote mpaka chupi kisha nikaanza kumkagua kana kwamba ningelikua na meno basi hata huu ukaguzi usingelikuepo kabisa

    Sasa nilipokua namkagua mtoto nilikaa mkao kama wa kula vile kumbe kula siwezi

    Mara mlango ulisukumwa kwa nguvu na mtu akaingia ndani

    "we sesi kuleta simu tu ndio umekaa masaa yote hayo? haaaa seeeesiii mnafanya nini ivyo?"




    Nilimtupa sesi pembe huku nikajifunika shuka fasta na kujifanya sijui chochote kuusu hicho alichoona

    "wee sesi mbona una tabia mbaya ivyoo?"

    "nini na wewe?"

    "we huoni jinsi ulivyo"

    "ondoka bwana we helena mbona ivyo?"

    Sasa wakiwa wanabishana mi nilikua nimejifunika sura na miguu huku nikiwasikiliza tu wanavyobisha

    "siondoki sasa"

    "jamani helena ndio nini ivyo sasa?"

    "nishaasema siondoki maana unajua ugojwa wetu humu ndani kwaio kama umeanza niache nimalize"

    Alikua akiongea huku akibinua midomo na vidole kupinda pinda..

    "jems amka basi tuendelee achana na huyu bwege"

    "aaa ee mi bwege sio? sasa utaona kwa mama"

    Akaondoka kwa hasira huku akimuangalia sesi kwa jicho la hasira mnoo

    "we sesi nenda usiniletee balaa mimi"


    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "we nawe acha uoga wa kijinga ivyo"

    "sio uoga bwana we si utoke"

    Basi sesi alivyoona napiga kelele sana aliamua kuondoka lakini roho yaje haikua inataka kuondoka maeneo yale.. Basi waliondoka na pia nilishukuru ila kama ningelikua na meno wala nisingemtimua ng'oo

    +ASUBUHI KAMA KAWA+

    niliwapeleka watoto kupanda gari ili waende shuleni kisha nikarudi na kuanza kazi yangu ikiwa ni siku ya juma tatu asubuhi nikaanza na sebuleni kisha nikaenda chumbani kwa dada lea na kuanza kufuta kitanda chake vizuri na kabati Meza na vitu vyote vya humo ndani... kisha nikatoka na kuelekea kwa wale wamama pia nikamaliza mpaka kwa watoto.. nikawa nimemaliza kazi yangu Lakini nakumbuka niliambiwa kua nikimaliza kazi yangu mapema basi nimseidie meri kukata au kazi yeyote iliomzidi.. siku hio dada lea hakwenda kazini bali alikuepo tu ila nilipokua nafuta kwake yeye alikua katoka na sikujua alipoelekea na nikimuangalia helena kachukia balaa pamoja na sesi na wote hao walikua bize na kazi zao.. kama unavojua humu ndani kazi zilivyo

    sasa nikawa nimekaa na MLINZA ( JASTIN) tulikua tukipiga stori za hapa na pale na mlinzi huyu ambae ni Mmasai.. maana sina kazi ya kufanya na kazi yangu nilishamaliza.. ikiwa ni mida ya saa 7 mchana nilipokua na mlinzi nikaskia naitwa nje

    "jems?"

    "mmmhh nani uyo ananiita nje?"

    Nilimuuliza mlinzi huku nikitega skio ili kujua ni sauti ya nani

    "atakua ni dada lea huyo"

    Mlinzi alinijibu hivyo nami nikamuuliza

    "kwani leo hajaenda kazini?"

    "hajakwenda kwani si anafanya kazi kwao kwaio hakuna shida"

    Aliongea hivyo huyu mmasai au mlinzi akinisii niende huko ninapoitwa

    "nenda sasa sijui anakuitia nini uko"

    Nikaona kweli ngoja nienda Nilipotoka nje ya geti nilikuta gari aina ya VX lakini sikuona mtu nje ya gari kumbe alikua ndani Nikamgongea kioo kisha akashusha na kuniambia

    "umemaliza kazi yajo?"

    "ndio nimemaliza"

    "njoo basi tupige stori"

    "mmhhh nipige stori na wewe?"

    "eeeh kwani kuna shuda?"

    "teh teh teh teh teh hakuna shida"

    "njoo basi Panda uje uku ndani ya gari"

    Huyu lea ukimuangalia vizuri ni mdada wa makamo tu kama umri wa miaka 24 hivi au 25

    "nimeskia una simu?"

    "teh teh teh teh aahh ni kimeo tu"

    "hebu niione"

    Nikaitoa ile simu kisha nikampa aiangalie

    "mmhh nzuri umenunua shung ngapi?"

    "aahh HapAna sijanunua ila nilipewa na mmama mmoja hivi kule kanisani"

    "aahh nipe basi namba yakoo"

    "teh teh ya nini sas dada?"

    "usiniite dada niite lea tu"

    "nikiskiwa na mama nitafokewa"

    "ok basi kwa usalama wako niite tu dada sawa?"

    "sawA dada.. haya basi mi naenda"

    "sasa unaenda wapi na wewe?"

    "mmhh mama akinikuta humu kwenye gari atagomba"

    "haji saa hii we tupige stori tuu"

    "mmhh mi sina stori zozote bwana dada"

    "basi mi naanza kama we huna"

    "anza sasa nakuskiliza tu"

    Basi nikawa tayari kwa kupiga stori na dada angu lea huku mtoto huyu kavaa kimini cha jins tena ni kifupi mno yaani hata kutembelea nje hakifai kabisa maana kinamuonyesha nusu mapaja kabisaa

    "una mpenzi wewe?"

    Mmhh nikajiuliza sasa hizi ndio stori gani tena mbona hazina macho wala miguu.. lakini kwa kumueshimu tu sina budi kumsikiliza kwa umakini na kumjibu

    "ndio nilikuaga nae zamani"

    "waacha bwana?"

    "ndio"

    "ulikua unampa vitu vitamu eeh?"

    Mmnhh sasa hapa nitamjibuje huyu dada maana namueshim balaa kuliko haba mam mwenyewe

    "teh teh teh teh apana kawaida tu"

    "ok naona unaskia aibu kwa stori hizi vp unaweza kucheza karata?"

    "mmhh Hapana sijui kucheza"

    "we twende ndani nitakufundisha tu sawa"

    "sawa"

    Basi tulishuka kwenye gari na kwenda ndani huku wakina helena wakitukodolea macho tena sesi akaninyooshea kidole ili kunikanya kua niache mazoea na mtoto wa bosi.. na siku ya leo tupo watu sita tu nyumba nzima kwani tulikua MIMI + LEA + MLINZI + HELENA + MERI NA SESI basi tulipofika ndani tukakaa kwenye masofa huku yeye akichangisha karata na kuanza kunigawia mimi karata zangu.. sasa nikaanza kumpeleka kimchezo mpaka akawa anaficha karata kwenye makalio yaani anazikalia kwenye sofa.. nami nikamuona jinsi anavozificha sasa nikawa nataka kuzitoa zile alizozificha kwa kuzikalia.. sasa nikawa mi nataka niitoe lakini yeye hataki niitoe hio kalata sasa tukawa tunakamatana huku tukifurahi kimtindo lakini sasa katika moja ya kukamatana ili nimpokonye hio karata alioificha Nikajikuta nimemuona chupi yaje maana si alikua kavaa kimini sketi kwaio nikamuona chupi tena ilikua ni bikini kwaio niliona hapa mule pembezoni mwa ngome yake.. kama unavojua bikini hua haifuniki uke wote lazima pembezoni kuwe wazi kwaio niliona baadhi ya maeneo ya uke wake ule.. sasa baada ya kumuona vile nikawa naogopa maana nimemuona mtoto wa bosi uchi wake kwaio naogopa kwakua huenda akanisemea kua nina tabia mbaya sasa nikawa natetemeka.. na yeye akajiangalia mara mbili mbili na kugundua kua ni kweli nilimuona sasa tukawa tunaangaliana kwa machi ya kuibiana maana mchezo wa karata umeshakufa kitambo tu... sasa nikaona nisiendelee kukaa hapa asije akachukia mwisho akapiga simu kwa mama yake kua mimi nina tabia mbaya.. sasa nikawa naondoka taratii kuelekea nje huku nikiwa na wasi wasi mkubwa.. Mara akaniita

    "jems"

    Nikageuka huku nikimuangalia kuashilia kua namsikiliza anachoongea kwaio sijaitika

    "jemsiii?"

    ilibidi tu niitike maana ataniona m bishi

    "naam"

    "usijali sijakasirika"

    sikumjibu kitu bali nilitoka tu nje huku nikitabasam na roho yangu mwenyewe mtoto wa kiume

    Mara nikaskia naitwa pande za jikoni nikajua tu huyu atakua ni meri

    "jemsiiiii?"

    "naam"

    "njooo uko"

    nikaenda huku nikiogopa ogopa mtoto wa kiume

    "unasemaje mdada?"

    Alieniita kweli alikua ni meri

    "hebu kata kata ivyo vitunguu apo"

    Mara sauti nyingine ikatokea kwa nyuma

    "unampaje kazi kama hizo mtoto wa kiume"

    "nisamee dada"

    Alikua ni dada lea

    "haya sogea leo mpishi ni mimi na jems"

    "haaa dada unataka kupika na mimi huku jikoni?"

    "ndio...kwani ni vibaya? nawe si uondoke unang'aa ng'aa nini mimacho apa"




    Basi meri alifukuzwa leo kukaa jikoni eti akae dada lea

    Nami nikaona nhoja niondoke nisijeleta kesi maana hakawii kugomba

    "sasa unaenda wapi jems?"


    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "mm? ah ah siendi mahari"

    basi nikarudi pale ili kuendelea nae lakini apo nilipo naogopa mtoto wa kiume

    "unajua kukata vitunguu?"

    "mmh apana sijui"

    Sasa niliposema apana si akaacha kuandaa vingine akaja nyuma yangu eti anifundishe jinsi ya kukata vitunguu.. Sasa vile alivyotaka tu kukaa nyuma yangu nikamkwepa

    "sasa unaogopa nini na wewe?"

    "mmmh bwana utanigusa gusa na nanii afu itakua nanii"

    Nilikua naongea huku simalizii maneno maana namuogopa balaa.

    "au unaogopa kisa umeniona uchi wangu?"

    nikatikisa kichwa kuashiria ndio

    "kwani hujawahi kua na demu?"

    "nimewahi lakini we si mtoto wa bosi"

    "kwani mtoto wa bosi hapaswi kufanya mapenzi?"

    "anapaswa lakini sio mimi"

    "kwani we sio mtu?"

    "ni mtu lakini mimi sio hadhi yako hata kidogo"

    "mimi ndio nataka sasa kwani shida iko wapi?"

    Nilishangaa mno ila sikusema kitu chochote

    "usijali kitu chochote jems kama ni pale tulipokua tunacheza karata.. wala haikua bahati mbaya nilikaa makusudi ili unione kwaio wala usijali kuu lile jambo?"

    "nenda kule basi dada jamani"

    "si nataka nikufundishe kukata vitunguu?"

    "simama pale basi"

    "kwani hapa pana nini?"

    "aah hakuna kitu ila ungesimama tu"

    Lea hakuskia kitu chochote nilichomwambia basi akaja mgongoni kwangu na kuanza kunifundisha kukata vitunguu lakini wakati huo yeye ananigusishia matt yake mgongoni kwangu yaani mithili ya kubambiana Eti ndio ananifundisha kukata vitunguu... Basi mtoto wa kiume nikawa nainama ili yale matt yasiniguse maana ni dada angu huyu japo sijazaliwa nae.. basi nikawa nainama nae anazidi tu kuinama huku tukiwa tunakata vitunguu wote tena kwa kutumia kisu kimoja na kitunguu kimoja yaani kanishkisha kitunguu na kisu ili anifundishe..

    "we jems mbona unakua kama mshAmba ivyo?"

    "kwanini? au kisa siwezi kukata vitunguu?"

    "ah ah sio ivyo tatizo unainama nini sasa?"

    "sasa wewe si unanigusa na nanii zako izoo"

    "nini?"

    "si nanii hizo"

    "bwana acha zikuguse kwani zina moto?"

    "bwana dada lakini un"

    "lakini nini jems?"

    Basi mtoto wa kiume nikawa najitaidi kusimama ili asinichukie bure... ili kama ni kunigusa aniguse tu

    Sasa akinigusa damu zangu zinasisimka japo ishu haisimami lakini kuna msisimko nausikia kama nitagusana na mwili wa kike.. kwaio yeye akinigusa mgongoni? nami najikuta nabonyea kwa mbele yaani ili asiniguse kwasababu atazua jambo ambalo sitoweza kulifanya.. sasa alivyoona mimi bado ni m bishi akaamua kunikumbatia kabisa na kunisugulia matt yake mgongoni kwangu afu vitt vyenyewe vinachoma balaa

    "nini bwana dada?"

    "haya sasa nimefanya kwani vp?"

    Nikataka kuondoka Mara akanidaka tena kwa nyuma tena kwa kunibambia kisha akaanza kunilamba shingo huku akinihemea basi nikawa najihisi kama niko mbinguni lakini mnyama ndio kwanzaa wala hajali

    "dada niachie bwana mi staki"

    "tulia jems jamani afu una joto ilo"

    Mara meri kaingia bila hata hodi

    "dada mbona kuna kitu kama kinaungua?"

    Aliongea hivyo huku akiziba pua kana kwamba kuna kitu kilikua kikiungulia jikoni

    "we nani kakuambia uje uku jikoni?"

    "nisamee dada laki"

    "lakini nini? mschiiiiuuu"

    Alimsunya kisha dada lea akatoka pale jiko na kuelekea chumbani kwake huku meri akijitaidi kukaanga vilivyoungulia na meri alikua kanuna kweli kweli.. sasa nikataka kutoka nje mara meri akanisemesha

    "we jems utafukuzwa kazi wewe oohoo"

    "kwani mi nina kosa gani? sio mimi niliounguza"

    "sijakuambia wewe ndio umeunguza"

    "eeh kwanini sasa?"

    "si unatembea na mtoto wa bosi"

    "sasa kwani si ka"

    Mara nikaitwa na dada lea

    "jems?"

    "naam"

    "njoo"

    Sasa nikawa naenda maana yupo chumbani kwake

    "we jems usiende wewe"

    Aliniambia meri kua nisiende kule kwa dada lea

    "nisipoenda nitafukuzwa kazi sasa"

    "haya we nenda lakini ujue kibarua kitaota nyasi icho"

    "apana ngoja nikamsikilize tu"

    "nenda lakini usikubali akukumbatie kama nilivyowakuta hapa jikoni"

    "mmmm sawa"

    "sio mmm we kataa utafkuzwa kazi ujue?"

    "sawA nimekuelewa jamani"

    "we jems usikii si ninakuita?"

    "naja dada"

    Basi nikatoka lakini nilipofika sebuleni mara simu yangu iliita

    "mmh ni nani huyu tena? na namba yenyewe mpyaa"

    Nilijisemea huku nikijiandaa kuipokea

    "haloo nani mwenzangu?"

    "nini mimi jesca"

    "jesca? jesca yupi uyo mbona sikujui"

    "jamani si tulikua wote jana kanisani"

    "aaahh yule dada mweupe eeh?"

    "ndio"

    "namba yangu umepata wapi?"

    "kanipa yule dada aliekupa simu"

    "aahh enhee sema unataka nini?"

    "naomba tukutane"

    "siwezi kuja kwani nipo kazini"

    "naomba kidogo tu tukutane"

    "sitoweza bwana labda juma pili"

    Sasa kabla sijamaliza au simu kukatika mara dada lea kaja

    "twende nikupeleke usijali sawa?"

    "na mama nae si atagomba?"

    "kwani kazi yako si imeisha?"

    "ndio"

    "sasa unaogopa nini?"

    Basi ikabidi nimjibu sasa huyu jesca kua tukutane wapi

    "nikukute wapi sasa?"

    "njoo hapa kona ya nairobi msikitini"

    "sawa naja sasa hivi"

    Nikakata simu kisha dada lea akaniuliza

    "amesema umkute wapi?"

    "amesema nimkute kona ya nairobi msikitini"

    "oohh karibi tu twende... masai fungua geti"

    Basi tulitoka na gari na kuelekea huko kona ya nairobi

    Sasa tukiwa njiani tukielekea huko yaani dada lea ananifanyia vituko tu... mara apandishe ile kimini yake ...mara atoe titi moja.. mara anionyeshe kiunoo duuu yaani ilikua ni kama sinema vile


    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    +KONA YA NAIROBI+

    "si alisema mkutane hapa?"

    "ndio ngoja nimpigie"

    Nikatoa simu kisha nikabofya na kumpigia

    "ee halo uko wapi sasa maana nishaafika sasa"

    "ooh njoo pale kwenye ile gesti ilioandikwa PEPA PEPA GEST HOUSE utanikuta apo"

    "oohh sawa nimepaona na nakuja sasa hivi"

    "ok fanya fasta basi ila usije na mtu maana naona una mtu apo"

    "sawa nakuja mwenyewe"

    Basi nikashuka na kuanza kuondoka pale

    "we jems mbona unaniacha?"

    "ngoja naja maana mtu mwenyewe kaniambia nisiende na mtu"

    "usichelewe basi"

    "sawa"

    Basi nikatoka pale na kuenda kumuona huyo jesca

    "ooh mambo jems?"

    "poa eenhe sema fasta nina hara"

    "twende tukapate lanchi pale"

    "lanchi? lanchi nini?"

    "tukale pale na chakula kipo mezani tayari"

    "sihitaji kula nambie tatizo ni nini?"

    Sasa baada ya kukataa kula maana ni kweli nina haraka maana nimetoroka kazini afu bado kuna mtu nimemuacha kwenye gari... sasa jesca nikamuona anakonyeza lakini hakua ananikonyeza mimi bali alikonyeza mtu wa nyuma yangu.. sasa hazikupita hata sekunde 2 baada ya mkonyezo ule kukonyezwa nikajikuta nimekabwa na kunusishwa kitu kama poda ivi lakini sikujua ni nini... kisha pale pale nikapoteza fahamu lakini tukio lile hata dada lea aliliona kwa mbali sana... toka nilipopoteza fahamu sikujua kilichoendelea kwa wakati huo kwani sikua na fahamu hata kidogo.... sasa baada ya masaa 6 hadi 7 ambapo sasa imefika jioni kama mida ya saa 11:30 hivi nikaanza kupata ufahamu na kumuona mtu ninaemfahamu mbele ya macho yangu... na kabla sijamuuliza chochote aliniwahi yeye

    "kumbe jems wewe sio rijali ee?"

    "umejuaje wewe jamani?"


    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/ITAENDELEA



0 comments:

Post a Comment

Blog