Search This Blog

Thursday 19 May 2022

KIJAKAZI WA KIUME - 1

 







    IMEANDIKWA NA :  MoonBoy



    *********************************************************************************




    Chombezo : Kijakazi Wa Kiume

    Sehemu Ya Kwanza (1)





    KIJAKAZI WA KIUME ni kijana mmoja aishie MANYARA WILAYA YA KITETO VIJIJINI HUKO KATIKA MTAA UNAOITWA KIBAYA. kijana huyo aitwae SHARBINY au unaweza kumuita SHEBY yaani ni nusu ya jina lake. kijana sheby ni kijana mpole mwenye heshma na adabu na kumueshim kila mtu alie mbele yake. lakini kija huyo alikua akiishi maisha magumu mno tena magumu zaidi ya magumu. kijana sheby alitamani kusoma hadi vitabu vimkimbie lakini kutokana na maisha alionayo basi aliweza kuishia DARASA LA SABA. kijana sheby ni kijana ambae hana wazazi yaani ni yatima na wazazi wake walifariki toka yeye akiwa mtoto mdogo sana. kwaio hajui hata sura za wazazi wake zikoje. kijana sheby alitamani hata kujua wazazi wake waliuwawa na nini lakini atamuuliza nani na kijana huyu alikua akiishi na bibi ake wa upande wa baba. na kila anapomuuliza kuhusu swala la wazazi wake bibi yeye anasema hajui na wala hawajui tena maana ni muda sasa. basi sheby alibaki kukaa bila wazazi siku zote na miaka yote anachojua tu ni kwamba ana mjomba wake ambae yupo mjini arusha aitwae said. sheby alikua ni mkulima mzuri sana wa mazao mbali mbali hususani kama mahindi Na majirani na watu wote walimpenda kijana huyo kutokana na kuchapa kazi vizuri. na hata mabint pia walikua wakijikwaa sana kutokana na uchapakazi wake. UNAWEZA UKAULIZA KUA KWANI SHEBY ALIKUA HENSAMBOY? MIMI NITAKUJIBU HAPANA. KWANI MJINI NDIO WANAPENDA VIJANA MAHENSAMBOY BALI KIJIJINI WANAPENDA VIJANA WACHAPA KAZI NA WENYE NGUVU. ILA KIJANA HUYO HAKUA HENSAM BALI ALIKUA ANAKAMVUTO KA MWILI YAANI ANA KABODI FLANI HIVI KALIKOJAZIA VIZURI. MAANA ANAPENDAGA KUKIMBIA KIMBIA KILA SUBUHI NA PUSHAPU KIDOGO. SASA USIJE UKASEMA KUA SHEBY NI HENSAM.. HAPANA BALI SHEBY MCHAPA KAZI MZURI SANA

    basi bwana.. sheby alikua ni kijana mmoja mpole kuliko wapole wote hapa duniani. kana kwamba kama kungelikua na mashindano ya kumtafuta mtu mpole duniani basi sheby angenyakua taji la upole dunia nzima. sheby ni kijana anaemueshim kila mtu au kila lika. yaani kosa ni lako lakini atakuomba msamaha yeye badala ya wewe mwenye kosa. sheby alipendwa na kila mtu kutokana na ukarimu wake pia sheby alikua mcheshi yaani sifa zote nzuri yeye anazo... yote tisa kumi chidi alikua ni muislamu mzuri sana yaani hakosa swala hata moja afu anajua dini vibaya mno.. chidi alikua ni mchunga ng'ombe na mbuzi za watu maana akikaa tu nyumbani atamlisha nini bibi yake. na bibi yake hawezi kuhangaika sana japo ana nguvu kidogo. bibi ake sheby wa upande wa baba ukimuangalia vizuri utagundua kua si mkongwe saana kama ana umri wa miaka 58 hadi 65 ivi kwaio si mkongwe sana. na hata ukihesabu umri wake basi utapata jibu kua hata wazazi wa sheby baasi si wakubwa sana labda wawe na umri wa miaka kama 38 au 40 hivi maana sheby yeye ana miaka 20 au 21 hivi maana aliambiwa tu na bibi ake kua ana umri huo. na sheby alikua akimuuliza bibi ake kua je bibi na babu wa upande wa mama wako wapi?? bibi anasema wamefariki dunia muda mrefu tu. na story alizopewa na wamama wanaompenda sheby walikua wakimuadisia story ya wazazi wake jinsi walivyokutana kua walikutana shuleni na wakajikuta wamepeana uja uzito ambao ndio wewe na kipindi hicho kulikua na sheria kali ya mwanafunzi yeyote 

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    /bebesha mimba atahukumiwa miaka kadhaa jela au asubiriwe mtoto azaliwe kisha auwawe mtoto huyo ili wazazi wake waendelee na masomo. kwaio kutokana na sheria zile wazazi wa sheby hawakukubali mtoto wao auwawe mbele ya macho yao. na ndio ilipofika siku ya kujifungu katika hospitali moja iitwayo KIBAYA HOSPITAL mama yako alijifungua mtoto wa kiume ambae ni wewe na wakati huo anajifungua nje kulikua na askari kadha wa kumlinda mama yako na baba yako ili msitoroke. ndipo mama ake sheby alipomaliza tu kujifungu alimpa jina pale pale kitandani. kisha akamshika mkono mume wake na kutoka nae nje wakati huo sheby kaachwa kitandani sasa mama sheby na mumewe au mchumba wake walipofika nje waliwaambia wale askari kuoa "kuliko auwawe mtoto wetu ni bora tufe sisi na kuliko mutuu ninyi maaskari bora tukajitungike porini tuliwe na wanyama"

    Na ndipo walipochukua jukumu la kukimbia na kuelekea maporini kujiua na toka hapo hajaonekana mzazi wa sheby hata mmoja.. ndipo akalelewa na bibi ake mpaka sasa.

    sheby alikua ni mtu anaependa shule lakini kaishia la saba kutokana na hali ngumu ya maisha.. maana wazazi wake waliishia darasa la sita kwa kubebeshana mimba.. kijana sheby alikua akifanya kazi nyingi sana ambazo hata mtu mzima hawezi kabisa maana

    alikua akitoka asubuhi saa 11 alikua anawahi kulima mashamba ya watu ili apate pesa kisha inapofika mida ya saa 3 asubuhi anakwenda shambani kwake na inapofika saa 6 anakwenda kuchunga mifugo ya watu ili apate pesa ya kumkidhi mahitaji yake.. sheby ni kijana anaependa kujisomea sana lakini cha ajabu geto lake limejaa vitabu vya mapenzi tu.. na ni vya kiswahili maana kingereza hajui hata tone zaidi ya neno YES au NO lakini kiswahili kidoogo anakijua kukisoma na kuandika maana kama unavojua shule za vijijini uspokua makini basi utatoka ziro.. basi kijana sheby kila akilipwa pesa ya machugaji yeye asilimia nyingi hununua vitabu vya mapenzi

    SASA TWENDE NAYO HUKO ILIKUA NI UTAMBULISHO TU ILI UJUE MWANZO WA MAISHA YA SASA SONGA NAYO....

    Siku moja nilikua natoka machungani na ilikua ni mwisho wa mwezi yaani ilikua ni siku ya malipo yangu kwa kazi ya uchungaji ng'ombe na mbuzi. na kwa kawaida naendaga mida ya jioni saa 1 hivi. basi nikaanza kupitia pesa zangu kwenye nyumba moja hivi ya mdada

    "hodi? hodi? hodi wenyewe?"

    "karibuu"

    "asante"

    "naniii?"

    "ni mimi mchungaji"

    "aahh enhee unasemaje?"

    "nimekuja kupitia hela yangu"

    "ni sh ngapi?"

    "ni elf 3 tu"

    "heee we mtoto elf 3 kwa siku nani atakupa?"

    "sii kwa siku mamaa"

    "eeh kwa wiki au?"

    "hapana ni kwa mwezi"

    yaani kila nyumba yenye mfugo basi ni elf 3 kwa mwezi

    "hee we mtoto hebu nikuone ivi utakua mzima kweli wewe?"

    "kwanini?"

    "elf 3 kwa mwezi?"

    "basi elf 2000 kama hio ni kubwa"

    "hebu ingia mpaka ndani we kijana"

    basi nikaingia mpaka ndani na kumuona huyo mama mwenyewe.. hata hivyo mama mwenyewe alikua ni mgeni yaani alitoka mjini na ndio maana alikua anauliza maswali mengi sana kuusu pesa.

    "shkamo"

    "marahaba ujambo?"

    "sijambo mama"

    "wewe ndio mchungaji?"

    "ndio mama"

    "jamani mbona hufananii kabisa"

    "ndio kazi yangu mama"

    "jamani pole?"

    "asante sana"

    mara akatokea mwenyeji wa nyumba hio

    "kumbe ndio maana nasikia harufu ya mbuzi mbuzi kumbe ni huyu mchungaji?"

    yule mama mgeni alimuangalia vibaya huyu ndugu yake

    "eti kijana unaitwa nani"

    "unamuuliza wanini bwana mpe hela yake atutolee harufu apa"

    "we mama jeni kua na huruma basi"

    "bwaanae nipishe uko"

    yule mama mgeni alitoa noti ya elf 10 na kunipa mimi

    "hee unampa elf 10? yanini yote hio au kakuambia anatudai?"

    "hapana nimeamua kumpa tu"

    "we mchungaji we?"

    aliniita huyu mama jeni

    "naam"

    "hio ni miezi mitatu sawa?"

    "sawa"

    "nawe unakubali tu si umuambie nimepewa tu"

    "aahh wacha tu nifanye anavotaka maana wewe utarudi mjoni kwenu afu huyu ataninyima pesa zangu endapo nitakufatiliza wewe"

    "basi usijali mwanangu hebu twende nikutoe"

    baasi mama alinitoa hadi nje kisha akaniongezea elf 10 nyingine

    kisha akaniambia kitu fulani kwa kuninong'oneza

    Lakini kitu chenyewe kilinipa mawazo pale pale kutokana na jinsi nilivyo. sasa nikajikuta nimeduaa

    "we kijana? we kijana? we mtoto usije ukanifia bure hapa mbona huongei?"

    nilibaki kimya nikitafakari jambo aliloniambia



     "we kijana kwani unaumwa?"

    "hapana mi mzima tu"

    "sasa mbona mnyonge hivyo na unyonge wenyewe umekuja baada ya kukuambia"

    "usijalili mama wala tu niko na furaha nzuri"

    "jamani poa basi kama hivyo"


    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    hawa ndio wale wamama wa mjini hawa na hili li mama ni lizuri duu noma maana kwa mawe tu anayo

    basi aliniruhusu kuondoka ili niendelee kudai pesa zangu za uchungaji wa mbuzi. Basi nilifanya hivyo na kumaliza kudai kwa baadhi ya watu. basi nikarudi nyumbani na kumkuta bibi anapika kaubwa hubwa tena kananukia hako duu.

    "aah bibii naona unawaumiza pua tu"

    "ooh jamani kamume changu hako kanarudi"

    basi kama unavojua matani ya mabibi au babu

    "shkamo bibi"

    "maraaba za porini vipi uko?"

    "aahh uko poa tu wewe tu vi hubwa hubwa vyako hapa"

    "na nimepika mtamuu kwa ajili yako na bado nasubiri kadigi digi au leo hali mbaya?"

    "aahh leo sijapata digi digi labda sungura"

    "yuko wapi sasa?"

    "si yule pale ivi ulikua hujamuona?"

    "sikumuona jamani kamume wangu hakoo"

    Basi ilikua ni moja ya matani ya hapa na pale maana bibi yangu ananipenda mno.

    "sasa bibi ngoja nikayaoge korongoni"

    "wee saa izi mtoni?"

    "bibii mbona bado mapema tu"

    "kwani ni saa ngapi?"

    "si saa mbili hii"

    "fanya haraka basi chakula kinaiva icho"

    Daahh basi nilitoka na ndoo yangu ili nikaoge kisha nielekee msikitini kuswali. Basi nilitoka pale nikiwa na kindoo changu cha kuogea huko mtoni. nilifika mtoni niliwakuta wadada kadhaa wakiwa wamekaa pembeni ya mto wakiwa bado hawajachota maji. nikapita kimya kimya bila hata salam yaani upole wangu ulizidi kiaskwamba hata kumnyanyulia msichana mdomo nashindwa. kwa upande wa kutongoza watakuita DOMO ZEGE basi nikapita kimya kimya na wakati huo ni usiku kuma mbalamwezi. UNAJUA MJINI KUUONA MWEZI NI HADI UANGALIE JUU.. JIULIZE KWANINI ILA KWA HUKU KIJIJINI MWEZI NDIO UMEME WETU.

    Basi nilipofika mahali pakuchotea nikawa nachota maji

    mara nikaskia sauti kwa mdada mmoja

    "yaani we mkaka utupite bila hata salam afu bado uchote maji wewe?"

    "lakini si mlikua mumekaa tu"

    "ulitakiwa uulize kua uchote au laa"

    "basi nisameeni wadada"

    "hakuna cha samaani wala nini kifupi mwaga maji ayo afu tuanze sisi"

    sasa kuliku kuna wasichana watatu ila mmoja hakua upande wao bali alikua akinitetea

    "inamana husikii au?"

    "wee asha muacheni mkaka wa watu"

    "aachwe nini na wewe au unampenda nini?"

    "yes of coz"

    mmhh hapo niliskia tu ile yes lakini ile of coz siijui maana yake

    "basi nenda kamchotee kama unampenda"

    "naenda ndio"

    yule dada mmoja nikamuona anashuka na wakati huo nilishayamwaga kweli. maana mtu yeyote mpole na anaijua dini vizuri baasi hua hapendi malumbano na mtu. basi yule dada alikuja pale nilipo

    "mambo?"

    "poa tu"

    sasa wale wengine acha wacheke

    "hee hee heee haloooo"

    huyu dada hakujali vicheko vyao aliendelea kuteka maji na kunipandishia hadi juu maana kulikua na kamlima kadogo hivi.

    "vp nikupelekee nyumbani kwenu?"

    "hapana wala usijali maana naenda kuoga pale kichakani"

    "hee saa izi kweli?"

    "ndio mbona ni kawaida yangu tu"

    "apana usiende bwana kuna giza"

    "usijali mbona ni mapema mno"

    "sawa ngoja nichote nami niende maana baba angu mkali"

    "haina shina ila asante kwa kunichotea maji"

    "usijali mwaya"

    "poa basi baadae"

    "jamani we mkaka huna hata cha kuniambia?"

    "labda asante tu na kalale salama"

    "jamani ni hivyo tu?"

    "kwani we wataka nisEmeje?"

    "nikikuambia utasema?

    "ndio nitasema"

    "au basi nenda kaoge tu"

    "aya poa basi baadae"

    "haya usiku mwema"

    "haya nawe pia"

    basi bint aliondoka na wenzake huku wakisutana

    lakini mtoto sina wazo lolote lile basi nikaoga kisha nikawa narudi zangu nyumbani taratibu. Mara nikakutana na yule bint alienichotea maji muda ule

    "hee unarudi tena mtoni?"

    "hapana nilikua nakuja kukuangalia kama umeondoka"

    "aaahh ndio nimetoka sasa hivi tu"

    "lete nikusaidie hayo maji basi"

    "aahh usijali nitayabeba tu"

    "lete bwana"

    basi nilimpa maji anisaidie na safari hii hakua na rafiki zake bali alikua peke ake. daahh afu mtoto alikua katupia kanga na wakati muda ule hakua nayo. basi tulifika hadi nyumbani na kumkuta bibi ananisubiri. sasa nikataka kumzuia huyu dada asikaribie sana nyumbani au bibi asije akamuona maana huenda akagomba kuhusu hili

    "sasa?"

    "mmhh"

    "ungeishia tu hapa"

    "kwanini?"

    "aaahh si unajua hawa wabibi saa zingine walivyo"

    "sawa kesho basi"

    Mara nikaskia sauti iliotoka nyumbani kwetu

    "we sheby mlete nimuone mke mwezangu jamani"

    daahh akili yangu nilijua bibi atagomba maana kitendo hiki cha kutembea na bint mrembo kama huyu hakijawahi kutokea na huyo m-baya pia haijawahi kutokea kwaio toka nizaliwe sijawahi kua na msichana hata mmoja.

    "jamani leo umeniletea bibi leo Ululu lulu luluuu"

    eti bibi anapiga vigere gere kwa kuja na huyo bint nyumbani.

    "yaani siamini macho yangu kama umefikia hatua hii"

    "kwanini bibi?"

    "ni story ndefu sana ila kama uko sawa hongera"

    mmhh sikuweza kufatilia maneno yake lakini kwa mimi najua. basi yule bint na bibi yangu ziliivana sana mpaka wakaandaa chakula pamoja kisha tukaanza kula. mara bibi akamuuliza huyu bint

    "jamani mke mwenzangu unaitwa nani?"

    yaani uyu bibi anamatambo duu maana mimi hata kumtongoza sijamtongoza lakini bibi anamuita mke mwezie.

    "naitwa hadija"

    yaani mimi na kutoka nae korongoni sikumuuliza jina lakini bibi kamuuliza. daah kweli mi ni bogazi la ukweli

    basi nami nikajua jina lake baada ya kuulizwa na bibi

    sasa tukamaliza kula nikaona ngoja nimsindikize bint wa watu na muda huo tayari nimesha swali.

    "jamani ndoo unaenda bibi?"

    "ndio bibi usiku mwema"

    "haya nawe pia"

    Mara bibi kaniita

    "bibi na wewe si nilikua tu sasa hivi tu hapa"

    "we mtoto yani sasa unampeleka wapi?"

    "sasa atalala wapi bibi na wewe?"

    "si huko geto kwako"

    yaani bibi aliposema geto kwako nilikasirika kwa muda mfupi tu na sijawai kasirika kama siku hio. maana haya maneno anayosema bibi kwa upande wangu yananichoma mno. maana anajua afu anajifanya hajui. niliondoka kwa hasira pale huku nikimsindikiza hadija kwao

    "sheby?"

    "mmhh"

    "mbona kama umekasirika jamani?"

    "wala ata sijakasirika"

    "unajua sheby leo tu nimeshakujua sura yako ya furaha na ya chuki"

    "sijakasirika bhana"

    "mmhh sawa bwana"

    basi nilimfikisha kwao kisha tukawa tunaagana

    "sasa sheby? asante kwa kunisindikiza"

    "usijali mamaa"

    "poa basi kesho sheby?"

    "poa tutaonana kesho"

    "okay"

    nikageuka kisha nikawa naondoka taratiibu kuelekea geto kulala lakini punde sii punde nikaskia tena naitwa

    "sheebyy?"

    "nini tena jamani?"


    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "jamani mbona hujaniaga vizuri?"

    "aahh sasa wataka uagajwe?"

    "mmhh basi yaishe"

    "kesho bhana"

    Basi tuliachana na hadija pale kwao nami nimefika geto nikawa najiandaa kulala maana usingizi ulikua machoni. Sasa wakati nataka kulala Nilikumbuka maneno ya yule mama mgeni kulee kwa mama jeni muda ule ilikua hivi

    "chukua hii elfu 10 nyingine afu mida ya saa nne uje pale senta kuna ngoma za asili zinapigwaga. sasa naomba uje unibambie na hiki kifua chako kizurii"

    Hivyo ndivyo alivoniambia muda ule nilipokwenda kudai pesa zangu. na mimi nikapata mawazo mengi sana kuhusiana na yale maneno. maana yanaashiria mapenzi kabisa na hata huyo mama wenyewe sii mkubwa saana bali kutokana na jinsi ninavoheshimu watu basi ni lazima nimwite mama. Basi mtoto wa kiume usingizi uliniisha kabisa na kutoka nje kwa kujiandaa kuondoka kwa yule mama. lakini nilikua ni mtu mwenye mawazo mengi na mazito kwa ajili ya safari hio maana sitegemei kukosa penzi la yule mmama maana dalili zake zilishaonekana toka alipoanza kunipatia ile elfu kumi ya kwanza. basi saa hio nipo njiani tena nakaribia kufika mahali aliposema nimkute. kweli nikafika mpaka mahali husika

    ~NGOMANI~

    kama kawa hii ngoma ilikua ni ngoma flani za makabila ya KISAMBAA ambayo wanauita MDUMANGE mi mwenyewe nilishangaa kuona makabira hayo maana manyara kiteto huku ni maeneo ya WAMASAI ila najua hakuna mkoa au wilaya isiokua na kabira tofauti. basi nilifika ila sikumuona muusika mwenyewe alioniita maeneo haya. Mara nikamuona kwenye mzunguko wa watu huku akiyakata mauno kama unavojua watoto wa kisambaa walivyo. sikuchelewa wala kupoteza muda nilimuita kisha akaja sasa tukawa tunaongea kwa pembeni.

    "mmhh nakuona mama unaburudika tu"

    "ndio si unajua ngoma zenyewe ni za msimu"

    "kwaio we wataka kila siku uje?"

    "ndio"

    "na mumeo je?"

    "sina mume bwana"

    "kwanini mama angu?"

    "aahh waume ni wasumbufu tu bora kutulia na mwanao basi"

    mmhh Hivyo alivyosema bora kutulia na mwanao sijamuelewa ila sikutaka kuuliza kua hilo neno lina maana gani

    "twende tukacheze basi"

    "mmhh mi siwezi kucheza miduara"

    "bwana ni leo tu maana kesho wataondoka zao"

    "kwani hawaishi hapa?"

    "ndio hawa ni watu wa tanga na wataondoka kesho njoo bwana"

    "mmh we kacheze tu mi sina mtu wa kucheza nae na huu mfhezo ni lazima mue wawili tena jinsia tofaut"

    "heee makubwa we nawe kwani si nipo"

    "mmhh?"

    "mmmhh nini sasa?"

    "aahh we mkubwa bwana"

    "hebu usiongee huo ujinga wako wa ukubwa tena njoo huku"

    Daahh nikawa sina ujanja wa kukataa lakini moyoni mwangu najua hili gemu siliwezi kabisaa ila kwa akili yangu mimi kuna ninachokitafuta tena ni kwa faida yangu. basi niliingia katikat ya msitari uliowazunguka wapiga ngoma. kwa kule daa wanauita VIGODORO basi mmama huyu akaitoa kanga iliokua imezunguka katkat ya makalio yake. wanauita KIBWEBWE basi nikaingia kati mtoto wa kiume huku naogopa ogopa maana sijawahi kucheza ngoma yeyote ile zaidi ya KASWIDA TU. sasa mama alipotoa ile kibwebwe akabakiwa na kanga moja tu yaani ndani alikua na chpi na hio kanga.. kwa jinsi nilivyo mtu wa dini na mpole tena nisiopenda kuona uchi wa aina yeyote ule hadi nitakapokuja kuoa mke halali. lakini sii kwamba siheshim dini au simuogopi mungu laahasha bali ipo sababu inayonifanya niyafanye haya ila sii kupenda kwangu. sasa kutokana na sina mazoea ya kucheza miduara au zozote zile kwaio kwa hapa nilikua hadi natetemeka. yaani nimelelewa kianalojia kabisa tena vijijini kabisa huko hata gari ikija tunashangaa.

    "inamaana hujawahi kucheza na mwanamke?"

    Aliniuliza huyu mama huku akinishika kichwa

    "sijawahi na sikua na tegemeo la kuwahi kua na mwanamke"

    "acha masihara bwana henu nibambie basi"

    "apana we ni mkubwa wangu"

    nasingizia kua yeye ni mkubwa wangu lakini sii kweli ni kwamba siwezi kitu

    "usijali kwani si nimetaka mwenyewe hebu ona nilivyo mlaini"

    aliuchukua mkono wangu na kunishikisha makalio yake yenye kanga na chupi tu. mtoto wa kiume sii kua sijui pakumshika mwanamke najua kila kona ya kumsisimua lakini sii kwa vitendo ila ni kwa masomo kwani hua napendaga kusima vitabu vya mapenzi sana.. kama unakumbuka sehemu ya kwanza kuna mahali paliandikwa kua hua napenda sana kununu vitabu vya love story haswa vya kiswahili maana vya kingereza sijui.. na hii ni sababu moja wapo inayoifanya ninunue vitabu ili kujua vingi kuusu mapenzi. Sasa nikamuona mama anafungua kifundio flan hivi katka pembe ya kanga yake na kutoa sh elfu 20 na kunipatia

    "labda unataka pesa eti eeh?"

    Sikumjibu lakini sii kwamba ninashida na pesa ndio nimpe vitu adimu. lakini ukweli ni kwamba siwezi kitu

    Basi mtoto wa kiume nikaona ngoja nijitaidi kucheza mduara huo ili asije akaniumbua. basi nikajitaidi mtoto mie huku nikitetemeka mwili. basi kweli nikajitaidi kucheza ili kumridhisha tu maana katoa pesa zake na hapo kijijini ukiwa na elfu kumi. kama ni malaya basi unaweza tafuna hata nusu ya dangulo. basi kwakua sikua naweza kucheza basi yeye alikua akinisaidi kimtindo.

    "mbona hata hunigusi gusi na hio nanii?"

    alivyosema hivyo tumbo langu lilikata kwa woga maana hapa ninapocheza naomba mungu asije akanitamani kufanya mapenzi japo dalili zinaonyesha kua kuna mapenzi mbele yake. sikua mtundu hata kidogo bali nilikua nimemshika kiuno tu.

    "wewee ingiza basi kamkono huku"

    aliushika mkono na kuupeleka pale katkat ya mapaja yake. Eti niingize mkono pale penyewe ili nimkune kune kinanii chake. basi tulimaliza kucheza sasa tukawa tunaondoka huku nimemshika kiuno chake kilichojaa SHANGA nyingiii.

    "ivi dogoo unaitwa maana sijakuulizaga"

    "naitwa sharbiny"

    "nani?"

    "sharbiny au sheby"

    "mi nitakuita sheby sawa eeh?"

    "nawe unaitwa nani?"

    "mimi naitwa ZUENA"

    "ooh sawa"

    "vp utakubali wiki ijayo twende mjini?"

    "nani mimi?"

    "ee wewe"

    "sidhani kama nitayaweza maisha ya mjini"

    "acha ushamba wewe twende ukatulie mtoto mbona unalipa tu"

    "nalipa? nalipaje sasa?"

    "ok tuyaache hayo vp tunaenda kwangu saa izi"

    "nini? siendi kulala kwa watu kwani nitafokewa na bibi"

    heee si akanitoa ule mkono kiunoni kisha akasimama mbele yangu huku kashika kiuno

    "unasemaje wewe? hebu rudia tena niskie"

    Nikaona nikisema sitaki basi anaweza nipokonya na nina shida na hizo pesa ili nikanunue kitabu.

    "aahh nilikutania tu bhana twende"

    basi nilijikuta naenda kwa huyu mama bila kupenda lakini moyoni mwangu najua hakufanyiki kitu uko. na akajionee mwenyewe maajabu ya musa. Basi tulifika hadi nyumbani kwao anapoishi na yule mama jeni. lamini huyu kwakua ni mtu wa starehe sana alikua anaishi chumba cha nje.

    "ingia sheby usiogope"

    mida hio ilikua ni mida ya saa 7 au 8 usiku. basi nikaingia kwa mmama huyo na kujitupia kitandani maana licha ya magonjwa pia nilikua nimechoka mno

    basi nilijitupia nae pia akaja juu yangu kisha akaanza kutoa nguo moja moja baada ya ingine. sasa yeye vile anavonivua nguo na mimi nilikua nalala tu.

    "wee amka bask mbona ivyo?"

    "kwani tunafanya mapenzi?"

    "we fala nini kwani nilikuleta ulale apa?"

    "aisee nimechoka eti"

    zuena hakutaka kuelewa kiti chochote.. alinipaamia na kuanza kula denda taratiibu kabisa huku akiwa uchi wa mnyama na ndio ilikua mara yangu ya kwanza kuona uchi wa mwanamke yaani sii kula bali kuona ... unajua kama hujawahi kuiona basi hata kuila ujue hujawahi pia... basi bhana sasa kutokana na kua najua jinsi ya kumhamasisha mwanamke basi zuena kwangu alikua kama mtoto mdogo vile yaani alilegea tepe tepe yaani kama ni kupizi basi atakua kamaliza hadi za hakiba. basi bhana zuena akawa anaitafuta nanii yangu ilipo ili imchape mikwaju ya uhakika

    "wee sheby mbona sikuelewi lakini?"

    "kwanini?"


    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "mbona kuna sehemu zingine sizielewi"

    "utaelewa tu usijali"

    zuena kuna tofaut aliiona mwilini mwangu japo hama uhakiki wa asilimia mia. basi zuena hakukata tamaa ya kuitafuta nanii yangu.

    mara kaipata tena alifurahi sana baada ya kuikuta ina urefu wa kumtosheleza kimapenzi. lakini pale pale akakasirika baada ya kukuta nanii yangu ni ya baridiii kupita kiasi yaani haikua hata na dalili ya kustuka

    "we sheby?"

    aliniita tena huku akinitolea mimacho mikali

    "naam"

    "kwanini usingeniambia kua wewe sio rijali?"




     mmhh nilishindwa nimjibu nini maana swali lake ni gumu mno. sijui nitamwambia nini na tayari alishalegea tepetepe mwanamke huyu

    "we mwehu si nnakuuliza wewe?"

    "mmhh?"

    "mmhh nini?"

    "sijakuskia vizuri"

    "utaniskia vizuri leo kua mi ni nani"

    nikajikuta naogopa hadi kufikia kutetemeka balaa maana ilikua ni saa 8 sasa hivi na sijui akinitoa nitafikaje nyumba maana mtaani kwetu kuna wachawi balaa. sasa akawa anavaa chupi maana keshajua sisimamishi mtalimbo kwaio ameona tukiongea akiwa uchi hajiskii poa. sasa alipomaliza kuva kijichupi chake

    "yaani na bodi lote hilo kumbe ni hanisi loo"

    "lakini maneno yote hayo ni yanini zuena?"

    "wee tena jina langu sahau maana nahitaji kuitwa na mtu anaeweza kazi"

    "basi naomba unisamee"

    "sasa kwanini usingenambia?"

    "naomba nisamee bure tu"

    "haiwezekani na siwezi kukusamehe kamwe maana umenidhalilisha"

    "aahh nimekudhalilisha na nini tena?"

    "umeona nyeti yangu afu Umeshindwa kuifanyia kazi"

    "jamani mbona we umeona yangu?"

    Aliachia msunyo mrefu balaa

    "mschiiiiuuu kwa kitu gani ulichonacho wakati naona suruali tu"

    "basi hadi watu wasikie"

    "na wasikie kwani una faida gani?"

    "sawaaa"

    "tena vaa migagulo yako na uondoke haraka"

    "haa saa izi jamani?"

    "mschiiuu inamaana hunisikii au?"

    "basi basi natoka natoka"

    "toa kimjusi chako ndani kwangu kwanza umeniletea gundu mbwa wewe"

    "sawa lakini hata wewe kama huna mtoto basi utakuja kua na mtoto"

    sasa nilivyozema hivyo nilimuona kalegea legee na kulitupa lile rungu alilokua kashika. Na kuanza kunizuia

    "basi sheby nisamee"

    nikaona sina haja ya kuukataa msamaha wake kwasababu nikikataa nitaendaje geto kwangu na ni usiku mno. ilibidi nimkubalie msaamaha wake

    "pole sheby unajua ni hasira tu"

    "haina shida tayari nimekusamee"

    "usiende basi jamani tulale wote tu hadi asubuhi"

    "sasa tukilala wote si nitakusisimua"

    "haina shida uta..ni..ti..a.vid...ol..e..tu"

    Daahh mwanaume roho iliniuma sana kwani namtia mwanamke vidole wakati naniliu ninayo kweli hakuna kero kubwa dunia kama ukiwa huezi kazi ya aina hii

    basi nilivua nguo na kuendelea kulala naye pia alivua kile kichupi chake. basi nikawa nimelala huku nimemkumbatia kwa nyuma huku nikijiminya na kuiingiza ingiza pale kwenye mapaja na makalio yake maana tupo uchi kama tulivyozaliwa. sasa nikawa naiingiza kwenye makalio yake ili kuipa joto labda huenda ikasimama dede. lakini hakuna kitu.

    "chidy?"

    "mmMh?"

    "nijaribu kukunyonya?"

    "kuninyonya??"

    "eehh"

    "utainyonyaje sasa?"

    nilikua mshamba kwani hata kunyonywA sijui vinanyonywaje

    "si na mdomo"

    "eeehh ukining'ata je?"

    "we acha ushamba wewee"

    Nikawaza usemi mmoja wanaousema kua BORA PENGO KULIKO JINO BOVU--- LAKINI KWA UPANDE MWINGINE MI NAONA BORA JINO BOVU KULIKO PENGO yaani namaanisha kuliko aning'ate nanii yangu bora nibaki hivi hivi.. lakini hapo hapo nikafikiria kua

    "huenda akininyonya itaweza saidia"

    nilijisemea kimoyo moyo huku nikimuona zuena anajiandaa kuishika nanii yangu ili ainyonye japo huko kunyonywa kwenyewe sikujui kukoje. basi nililala chali mtoto wa kiume huku nikijaribu hata kujiminya minya mapaja ili misuli ishtuke. lakini wapi haikusaidia kitu Mara zuena akapiga magoti na kuishika nanii yangu na kuipeleka mdomoni kwake na kuanza kuinyonya.. yaani hakuna raha yeyote ninayosikia zaidi ya mikwaruzo ya meno yake tu.. aklifanya bile mpaka alichoka lakini hakukua na dalili yeyote ile ya uume wangu kusimama. baada ya kufanya bile aliamua kuipitisha pitisha juu juu ya matiti yake.. kisha akaikalia kalia na kuiingiza ingiza kwenye uke japo haiendi lakini alilazimishia.. pia haikua na dalili yeyote ya kustuka.. akajaribu mpaka kuipitisha katika sehemu tofaut na maumbile yake yaani nyuma lakini wapi haijastuka wala baba yake na kustu. mpaka zuena alichoka kuniseidia kwa jinsi anavyojua.

    "we sheby?"

    Aliniita kwa upole mno

    "naam?"

    "sababu ya hili tatzo unalijua?"

    "hapana silifaham kabisa kabisa"

    "au wameshakuloga nini?"

    "mmhh sidhani maana nimezaliwa hapa hapa na mi najua kua mwenyeji harongwi"

    "wewee mchawi hachagui mgeni wala mwenyeji kwani akikutaka ufe au udhulike basi lazima iwe hivyo"

    "mmhh sasa unanishaurije?"

    "kwanza kabla ya yote niambie hili tatizo lilikuanza lini?"

    "aaahh mi mwenyewe sijui maana siku niliokuja kujijua kua sisimamishi nilikua na umri wa miaka 7 hivi"

    "mmmh kwaio hujawahi kusex na mwanamke yeyote yule?"

    "wachilia kusex hata kukiona kiungo cha mwanamke kilivyo nilikua sikijui. na ndio mara ya kwanza kukiona kwako"

    "mmhh makuubwa"

    "makubwa nini tena?"

    "sasa? yaani nashindwa sijui nikuseidieje mi sielewi"

    "kama kuna unachojua juu ya tatzo hili nisaidie tu"

    "basi kesho tukutane mida ya jioni ili nikupeleke kwa mtaalam mmoja hivi"

    "mmmhh sawa"

    "ila ana sharti lake moja tu ambalo kama unalo basi yeye hawezi"

    "shart gani tena?"

    "kama wewe ni shoga basi tusijisumbue kwenda maana hawezi mtu wa namna hio"

    "hapana sio"

    "sio nini sasa?"

    "sii ivo ulivyosema"

    "una uhakika?"

    "ndio"

    "basi kesho mida ya saa 10 uje hapa sawa? au una simu?"

    "mmhh sina"

    "basi asubuhi nitakupa ile nokia toch kisha mi nitabaki na hii tecno sawa?"

    "sawa"

    Basi tulilala lakini moyo wangu ulikua kidogo unafuraha maana nahis naenda kupona sasa

    "alafu sheby una kauume kazuri cheki kalivyochongoka mbele hadi raha yani duu"

    "ungejua ninavoumwa na roho hapa we zuena"

    "usijali utapona tu"

    "nitashkuru sana dada angu"

    "usijali we ni sawa na mdogo wangu tu"

    ~ASUBUHI NA MAPEMA~

    ilipofika mida ya saa moja kamili asubuhi niliamka na kuvaa nguo zangu huku zuena akiwa kalala kimtego mtego yaani kimatamanio tupu lakini kwangu ilikua ni sawa na mfupa kwa kibogoyo. basi nilimuamsha lakini alikua kalala kwa kuchoka Basi nilichofanya ni kumfunika maana alikua uchi wa mnyama.

    "yaani ningekua mzima lazima ningeondoka na cha asubuhi"

    nilijisemea kimoyo moyo nikiwa naangalia nyeti ya zuema huku nikiangali chululuu yangu isiojua kua naumia moyo kuacha chakula nilichokipika na kukitenga mezani nisikile duu.. Basi nilimfunika shuka kisha nikaondoka bila hata ya kumuaga kumbe alikua hajalala

    "we sheby?"

    "aahh inamaana hujalala?"

    "hapana nilikua nakutega tu maana wanaume hua mijogoo yenu huwika asubui subui"

    "aahj wapi jino bovu ni bovu tu hata liwe vipi halitokula mfupa ng'oo"

    "usijali sheby nitakusaidia tu hadi mwisho wangu"

    "nitashukuru sana kama nitapona"

    "usijali dia wangu"


    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "ok mi naenda bhasi"

    "ngoja nikupe ile simu"

    basi aliiendea meza yake na kutoa simu nyeusi aina ya nokia toch

    "chukua hii hapa ili tuwasiliane"

    "asante sana dada angu"

    "bwanaa usiniite ivyo"

    "nikuiteje sasa?"

    "nii mpenzi bwana"

    "sawa lakini nafasi yenyewe siiwezi"

    "usijali bwana nitakushuhulikia"

    "sawa baadae basi"

    "poa chukua namba yangu hii hapa"

    "aahh ndio hii eeh?"

    "mmhh na yako inaishia na ngapi?"

    "sijawahi kutumia simu na huu ndio mwanzo"

    "basi utanitumia meseji kua hio ndio nambali yako sawa?"

    "sawa"

    niliitika tu sawa kwani hata kuandika hio meseji siwezi

    Basi mtoto wa kiume nikatoka na kwenda moja kwa moja hadi dukani na kununu laini ya tigo mwanawani na kuipachika kwenye simu fasta na kuiwasha.

    "samaani namba yangu inaishia na ngapi?"

    nilimuuliza muuza duka huyo

    "si hio hapo juu ya kadi"

    "aahh ndio hii 0714419487 eeh?"

    "eehh"

    "sawa asante"

    Basi hio ndio namba yangu hadi leo hii unaposoma hayA maneno. basi sikua na haraka ya kumpigia zuena maana ahadi yetu ni jionii

    ~NYUMBANI~

    nilifika nyumbani na kumkuta bibi anapika chai

    "hee we sheby toka lini ukalala nje?"

    "nisamee bibi niliku"

    alinikatisha maongezi kwa kuniziba mdomo

    "wala usijali najua ulikua na mke mwenzanguu"

    "wala tu bibi kuna mahari nilikua"

    "haya kama unanificha njoo unywe chai?"

    "na viazi au miogo?"

    "viazi ulivileta? utakula mihogo mpaka basi"

    basi nikaingia geto tena leo siendi shamba wala kuchunga mbuzi kwasababu nimechoka afu nina misele ya kwenda kutengeneza mwili wangu

    basi nililala sana siku hio yaani toka niwe mtu mzima sijawahi kulala mchana. bAsi nilikuja kushtuka ni mida ya saa saba mchana. nikavuta kitabu kimoja kinachiotwa UTAMU WA HAMU ambacho nilikinunua leo asubuhi. na najia hujui sababu ya mimi kununua vitabu vya mapenzi na hio ni mbali na kujifunza mapenzi japo sijayafanyia kazi. ila sababu kubwa kuliko zote zinazonifanya ninunue vitabu ni kwamba.. kutokana na tatizo langu la kutokua rijali basi nanunua vitabu ili kupata ushauri wa tatizo langu ndani ya vitabu hivyo. na kwa jinsi nilivyosoma nilivyosoma vitabu hivyo basi viliandikwa kua MTU MWENYE TATIZO LA NGUVU ZA KIUME BASI ANAPASWA KULA VITU VYA ASILI NA VISIVYO NA MAFUTA MENGI AU SUKARI NA APENDELEE KULA MATUNDA MBALI MBALI NA KUFANYA MAZOEZI KWA WAKATI. na ndio maana mwili wangu umejazia kimtindo na kukubalika kwa wanawake. yote hayo ni kwa ajili ya kujenga afyanjema lakini nilichotaka kipone hakiponi kama ilivyoada ya maandishi ya vitabu bali naambulia kujaza mwili tu na tatizo haliponi.. sasa wakati nasoma kitabu changu pale kitandani mara mlango wa geto ukagongwa

    "ngo ngo ngo"

    nikajiuliza kua ni nani huyo anagonga na sina miadi na mtu kukutana geto ikabidi niamke ili nimchungulie ni nani.. lakini nikaona bora nimuulize ni nani ili nisije kufungulia majini wa mchana mchana bure.

    "ngo ngo ngo ngo"

    "naniiii?"

    "ni mimi"

    ilikua ni sauti ya kike lakini siifahamu wala siikumbuki kabisa kabisa

    "we nani taja jina basiii?"




    "jamani sheby ni mimi hadija"

    "ayaaa sasa huyu dem kaambiwa na nani nipo au bibi atakua kamwambia"

    nilikua nikijisemeza mwenyewe kabla ya kufungua mlango. sasa nilipojua ni yeye ndio nikaficha vitabu vyangu vyote. ili asije kuviona kisha nikafungua mlango

    "mambo sheby?"

    "mmh poa"

    "mbona mmh tena vp? au kuna shida kuja hapa?"

    Sasa nikajisemeza kua sijui nimuambie ndio lakini nikaona haitokua vizuri kumuambia ndio

    "hapana ni vizuri tu"

    "poa kama ni vizuri. eehe za toka jana vipi?"

    "aah poa tu sjui wewe?"

    "mi niko poa"

    kiukweli mtoto hadija alikuja kiuchokozi kabisa maana kaja na kanga moja na tishet kwa juu tu.

    "eeh mungu we mbona mimi nipo ivi jamani ee? nirudishie uzima basi jamani"

    nilikua nikijisemea mwenyewe kimoyo moyo huku nikiwa naangaza tu macho juu juu. na kushindwa cha kuongea kwa muda mrefu mno

    "sijui nimuanzajee?"

    Nilijiuliza mwenyewe Mara kaanza yeye

    "sheby huna gazet jamani"

    "ahaha sina kwani sina ninachokipenda kusima ndani ya gazeti"

    "mmhh muongo bwaana"

    sasa hivyo alivyosema muongo akanipiga kibao cha kwenye paja langu kisha akaufikicha mkono wake juu ya mpaja wangu. Daah yaani unakufa na kiu katkat ya bahari? hii kali kinoma

    Mara hadija akazidi kusogea karibu yangu na kuanza kuniegemea mabegani.

    "sheby? fanya kitu basi"

    "kitu gani?"

    "bwanaaa"

    Daahh yaani mtoto jicho tayari lisharembua mara hii

    "sema basi nitafanya"

    Alichokisema nakijua ila kibaya zaidi sikiwezi kukifanya sasa naona bora nimzungushee mpaka mida iende ili achoke maana sikumtongoza lakini utafkiri ni wapenzi. kuumbe mwenyewe tu kajigonga

    "nanii?"

    "nini?"

    "sheby na wewee"

    yaani hizi dalili anazonipa hapa hatakama ungelikua chizi lakini ungejua tu kua hapa anataka mapenzi lakini mimi ndio kwanza najifanya sijui maana sivijui kuvishuhulikia. basi mtoto akaendelea kunishika shika mipaja yangu lakini walaa atA sishtuki na msisimko eala nini yaani vile anavonishika shika sipati msisimko wowote ule ila tena ndio naisi kama ananisumbua tu

    Mara mtoto anaanza kung'ata lips zake na kurembua mijicho hioo.

    "shebiiii?"

    Aliniita kwa sauti ya chiniii

    "mmmh"

    hakujibu kitu badala yake alinishika kiuno na kunibonyeza kimahaba. nikaona hebu nimuulize kitu

    "afu hadija mbona sikueleta?"

    "kwanini shebi?"

    "naona unanishika shika tuuu na hatuna uhusiano"

    Sasa kusema vile kumbe ndio kama nilimpa spidi 120 ya kuendelea. hadija alinirukia mdomoni na kuanza kuninyonya nikataka kum bania lakini nikaona wacha nimpe denda mtoto . lakini ajue mtarimbo hapa hapati ng'o maana umelala dolooo. basi nikaanza kula denda taratiibu huku tukidondokea kitandani. tena kitanda chenyewe ni cha KAMBA kama unakijua lakini

    Basi mtoto nilimpa denda la kiutu uzima mpaka akawa anahema juu juu kama mbwa mwizi vile

    "yaani mtarimbo ungesimama angenikoma huyu duu labda nisipone tu"

    nilisemea moyoni huku nikimtazama usoni kiukweli ni kazuri kwa hapo mtaani kwetu hakuna zaidi yake na yapo majamaa yanamtamani lakini kwa bahati nzuri kadondokea kwangu mtoto na kwa bahati mbaya pia kakita mtarimbo dolooo.

    SEHEMU HII ^ NAKIMBUKA NYIMBO MOJA YA TAARABU YA JAHAZI IKISEMA HIVI

    ( NINA MWANANGU MWANAJUMA NAMTAFUTA )

    ( AKANI NUNULIE KITU MAFUTA )

    ( NA KWA BAHATI NZURI AKAYAKUTA )

    ( NA KWA BAHATI MBAYA AKAYAPITA OOH )

    sasa ndio huyu demu maana kapata sehemu yenye kujua mapenzi lakini kwa bahati mbaya kakuta mambo sii mazuri kiafya

    basi muda huo tulikua tukiangaliana kana kwamba tuna tamaniana kimapenzi. Mara hadi alishindwa kuvumilia ikabidi avue tishet na ile kanga na kubakiwa na chupi flani ya blue nzurii.

    "sheby?"


    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "mmh"

    "nakupenda sheby plz"

    "teh teh teh sawa tuu"

    Nilikubali lakini moyoni nikajisemea kua

    "sawa unanipenda je nani atakukula we mtoto?"

    Nikabaki namtazama tuu Mara akaanza kujishika shika matiti yake yalio simama wima kuashilia kua nimshike pale. Maana tabia ya wanawake akiona hufikishi mkono pale anapopataka umshike ili ajiskie utaona tu anauvuta mkono wako na kuuwacha pale anapo pataka umshike. Ila kuna wengine hawakushiki mkono bali atakuonyesha kwa ishara tu.. Ukiona demu wako hakushirikishi katika mwili wake basi ujue ana njemba jingine nje uyoo.

    Basi baada ya kufanya vile nami sikulaza damu nikampapAsa vizuri sana huku mate yakiendelea kunyonywa kwa kasi. nilimshuhulikia mtoto bizuri sana

    mpaka hadija akaanza kuitisha mzogo yaani nimuingili kimapenz kwa muda huu. nikafikiria fasta fasta kisha nikaanza uongo.

    "aaii tumno linauma aisee"

    "nini tena sheby?"

    "tumbo linauma sana hadija"

    "jamani sheby ndio nini ivo?"

    "muite bibi aje"

    saa hio nilikua najifanyisha ili tusifanye au asijue kua si rijarlli. basi hadija alivaa kanga yake fasta na kwenda kumuita bibi. baada ya dakika 1 bibi alifika akiwa na hadija

    "ana nini mwenzio?"

    bibi alimuuza hadija kua mimi nina tatizo gani kwa muda huo

    "sijui bibi maana ni ghafla"

    sasa bibi akaniangalia vizuri kisha akamuangalia hadija na bibi aligundua kitu kuusu mimi pale pale bibi aligeuka na kwenda zake. na hadija nae akavaa kila kitu chale maana muda huo ninaumwa na tumbo kwaio siwezi kufanya mapenzi lakini sii kweli kua naumwa na tumbo ila ilikua ni janja yangu tu ili hadija asijue kua mimi siwezi kufanya nae ngono yaani sina uwezo wa kusimamisha na ndio maana nimejifanya kuumwa na tumbo.. bibi alimuita hadija kule nje na kumuambia kua aende akalete miti shamba ili ninywe lakini pia bibi alikua na lake jambo kumtuma hadija shambani. sasa baada ya hadija kutumwa nami nikaamka kitandani na kuangalia muda ilikua ni saa 10 kasoro nikanyanyua simu na kumpigia zuena

    "ee halo dada?"

    "eh sheby upo wapi?"

    "nipo nyumbani"

    "njoo bwana tutachelewa"

    "sawa nisibiri dakika mbili tu nishafika"

    nikatoka spidi pale geto bila hata kuaga

    "we sheby we unaenda wapi?"

    "narudi bibi"

    "njoo nikuambie kitu"

    "kitu gani bibi?"

    "we njoo tu"

    nikaona itakua ni utani wa bibi tu bora niende zangu kwa zuena

    "narudi saa hii bibi usijali"

    nilikua naongea huku nikikimbia na kua na shauku ya kufika kwa huyo mganga ili nitibiwe

    ~ KWA ZUENA~

    "we sheby mbona umechelewa?"

    "nisamee dada twende basi"

    "tutaenda na nini sasa?"

    "si wamguu"

    "hapana tuite baskeli"

    Basi ikaitwa baskeli kwani toyo hakuna kabisa. tulipanda mshkaki ( wawili ndani ya usafiri mmoja )

    ~KWA MGANGA~

    "karibunii karibuni sana?"

    "asante babu"

    aliitikia zuena huku tukiwa tunavua viatu

    "shkamo babu?"

    nilimsalimi mimi

    "tawile tawileee"

    sasa akaanza kusema zuena

    "babu nina shida?"

    "shida ganiii?"

    "huyu kijana ni binamu yangu"

    "sasa ana niniii?"

    "anaumwa ugonjwa wa kutokupakua"

    "aaahh nilijua tuuu"

    kama unavojua mbwembwe za waganga

    "ndio babu tusaidie"

    "kijana naomba utoke nje ili niongee na binam wako"

    "sawa babu"

    nilitoka nje huku nikiwa na kafuraha kidogo maana ninamawazo mengi mno kuusu. na mimi ni mtu mwenye imani ya kidini lakini kutokana na hili mungu anisamehe tu. Dakika kama 5 hivi zuena alitoka nje na kuanza kuongea yale alioambiwa

    "sheby?"

    "ndio"

    "mtaalam kasema?"

    "kasema nimepona au?"

    "bado hujapona bwana"

    "sasa kasemaje?"

    "sheby una mama?"

    "aayaaa kwani mama ana nini?"

    "ndio dawa pekee kwako"

    yaani pale pale nilinyong'onyea na kukosa nguvu

    "we sheby vip una nini?"

    "twende tu nyumbani"

    "lakini hujanijibu"

    "sina mama wala baba kwani walishakufa muda mrefu sana"

    "pole sana sheby maana mama ndio kila kitu"

    Yaani kwa hasira sikutama hata kumuuliza kua huyo mama atatumikaje kua dawa yangu. tuliondoka pale kwa mganga na kukata tamaa ya kupona kabisa

    Basi tulirudi majumbani kwetu na zikapita siku kama 3 hivi toka tuende kwa mganga na kukosa mafanikio yoyote yale ya kiafya kwa upande wangu

    ~BAADA YA SIKU TATU KUPITA~

    siku moja nilikua zangu shambani nalima lima mahindi yangu. mara niliskia sauti kwenye kichaka flani hivi zikiita

    "samaani kaka"

    nikataka kuangalia kua ni nani anasema samahani nikasogea sogea na panga langu mkononi ili kama kuna kibaya nikishuhulikie fasta.

    "samaani kaka naomba uniseidie kukata hii kuni"

    kumbe alikua ni bint mmoja ambaye simfaham ila namuonaga tu mtaani

    "una shida gani dada?"

    "hii kuni inanishinda kukata"

    "kwaio?"

    "naomba unisaidie"

    kwakua mimi ni kijana mwenye heshma na kupenda kila mtu basi niliamua kumpa msaada wa kumkatia lile gogo la kuni. nikalikata kisha nikamfungia vizuri na kum bandika kichwani. lakini kumbe yule dada alikua akifatiliwa nyuma na maaskri wa kijiji hicho

    "eeheee jamani yule kijana anaetuharibia watoto wetu huyu hapa kamateni uyo"

    walikuja watu wengi mno kumbe huyu bint ana ujauzito na kaabanwa ili aseme lakini hakusema na ndipo wazazi wakaamua kumfatili nyendo zake. na kwa bahati mbaya ilinikuta kwangu.

    "kwanini unatuharibia mabint zetu?"

    "jamani kijana wa watu sio huyo"

    ni huyu bint ndio aliojibu

    "mshenzi mkubwa wewe unataka kumficha kua sie wakati ndie"

    "we kija kwenu ni wapi?"

    "ni pale chini tu"

    "twendeni kwa wazazi wake pumbavu mkubwa we"

    ~NYUMBANI~

    bibi kuskia kelele kelele alitoka mbio huku kashika mwiko wa ugali kana kwamba alikua akipika

    "hee hee hee haya ana nini uyo mjukuu wangu?"

    "mjukuu wako ni mharibifu wa wanafunzi"

    bibi kuskia vile alibaki mdomo wazi

    "twende ukalale ndani leo pumbavu mkubwa wewe"

    sasa bibi kuskia mambo ya kwenda jela akamsimamisha yule askari.

    "we mama hebu tuache tufanye kazi yetu"

    "hebu we mpumbavu mkubwa wewe hivi hujui hata sura za kutia mimba?"

    "una maana gani we mama?"

    "huyu ni mjukuu wangu na hapo alipo hana uwezo hata wa kumtamani mwanamke"

    "ivi we mama unaakili wewe?"

    "nina akili zote aalaa niachie mjukuu wangu"

    Sasa pale pale mawazo ya kwenda jela yalikatika kichwani kwangu na kubaki mdomo wazi baada ya kumsimkia bibi akitaamka kitu ambacho nilijua najua mwenyewe tu kumbe hata bibi analijua hili

    "bibi kumbe unajua tatzo langu afu unaniangalia tu?"


    bibi alibaki kimya huku akiangalia chini

    "bibi si ninakuuliza lakini?"

    nilikua namuuliza huku nikiwa chini ya ulinzi wa maaskari wa kijijini hapo

    "jamani muachieni basi"

    "hapana sisi tutaamini vp kua hawezi uyu?"

    "huo ndio ukweli lakini"

    "hapana huyu sisi tutamlaza sentro leo kisha kesho tukampime lakini hatumuachi

    "sawa maana najua mtamrudisha tu ila naombeni niongee nae kidogo"

    walimsikiliza bibi huku wakinifungua kamba na kuniacha niingie mpaka ndani huku maaskari wakiwa wapo nje wananisubiri kwa hamu. tulifika ndani mimi na bibi angu akilini mwangu nilikua natamani nimuulize kuusu mimi lakini muda hautosh hata kidogo.

    "sheby kaa nikuambie kuusu wewe jinsi ulivyo"

    "bibi kweli napenda nijue ila sina muda"

    "huna muda wa nini tena?"

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "hebu nipe namba ya mjomba niongee nae"

    "yanini wewe?"

    "we nipe bibi"

    "mmhh haya ngoja nikachukue hicho kitabu cha namba"

    basi bibi alileta namba na kunipatia. kama kawa nina simu kwani nilipewa na zuena yote yotee. basi pale nilimpigia mjomba huku maaskari wananisubiri nimalize maongezi ya mwisho na bibi yangu

    "e halo mjomba?"

    "halo nani mwenzangu?"

    "ni mimi sheby mjomba"

    "aahh ivi una simu wewe?"

    "ndio tuachane na hayo mjomba nina tatizo huku nyumbani"

    "tatizo gani tena?"

    "mjomba ni story ndefu sana na haitoisha na saivi"

    "ehee kwaio watakaje sasa?"

    "mjomba yaani hapa nilipo nipo ndani na maaskari wapo nje wananisubiri ili wanipeleke jela"

    "kwa kosa gani uende jela mjomba?"

    "kuna watu wamenisingizia kua nimemppa mimba bint mmoja hivi"

    "oohh pole sana mjomba"

    "asante mjomba"

    "kwaio wameafiki vipi?"

    "yaani hapa nilipo ningelikua nimeshapelekwa jela kitambo tu sema bibi kawaambia ngoja niongee kamwisho na mjukuu wangu na ndio maana nimepata nafasi ya kukupigia simu"

    "mmhh mjomba una majanga wewe eehhee sasa itakuaje mjomba?"

    "mjomba mjomba mjomba nipo chini ya miguu yako naomba nije mjini mjomba maana usoni kwangu naona jela tu"

    "sasa mjomba kama unavojua maisha ya arusha magumu mno mjomba afu istoshe nina mke na chumba ni kimoja tu sasa nitakuweka wapi mjomba?"

    "mjombaaa yaani unaniacha nipotee mjomba?"

    "hapana unajua we ni mwanangu maana ni mtoto wa dada yangu sasa siwezi kukuona ukiumia na hayo majanga"

    "mjomba nitalala hata chini mjomba au hata nje ya hio nyumba ilimladi hili tatizo lisinipate mjomba"

    "unajua unaniliza sana mjomba lakini sawa pamoja na hayo kama unavojua mitumba yenyewe haiuziki je nitapata wapi nauli ya kukupa uje?"

    "mjomba kuusu nauli usihofie kabisa we niambie nije ili hapa nilipo nitokee mlango wa nyuma na kwenda kulala popote ili kesho nije mjomba"

    "haaa kwaio waja kesho?"

    "ndio mjomba sina jinsi ya kukaa tena nitapotea eti jamani"

    "ok basi mjomba usilie bwana maana utaniliza na mimi mjomba... basi we fanya hivyo mi nitakupokea kesho sawa mjomba?"

    "asante sana mjomba"

    Basi nilimaliza kuongea na mjomba wangu aliopo mjini arusha

    "jamani sheby mjukuu wangu ndio unaenda mjini?"

    "ndio bibi si unaona hali yenyewe hiu"

    "usiende sheby kwani si watakupima"

    "sawa lakini kaa ukijua sisi ni mafukara na kweli nitakutwa na tatizo la kutokua mwanaume lakini hata wakijua ni kweli hawatoniacha maana mwenye pesa sio mwenzako na hata hivyo naweza kusingiziwa kwani sasa hivi ni kweli hio mimba ni yangu? mbona umewaambia lakini hawataki kujua?"

    "basi mjukuu wangu lakini sitokuona tena"

    "bora hivyo maana ni mwaka wangu mmoja tu mjini huku watakua wameshasahau kuliko miaka 30 si nitakukuta umekufa wewe?"

    "sawa nakutakia safari njema mjukuu wangu"

    "asante sana bibi"

    Nikajisachi vizuri nikajikuta nina kama elfu 40 hivi ni ile niliochunga mbuzi na ng'ombe mwezi mzima sasa hii ndio pesa ya malipo yake.

    "bibi shika hii elf 20 itakusaidia"

    "na wewe je?"

    "mimi nitabaki na hii 20 kwa ajili ya nauli tu"

    "jamani mjukuu wangu nakutakia maisha mema na ufanikiwe"

    "nashkuru bibi angu mpendwa sasa we baki na hii simu bibi maana kule ni mjini nitapata ingine"

    "sawa na hii namba sijui munaita laini sijui"

    "hata hio kaa nayo bibi kwani nikifika nitakupigia na simu ya mjomba"

    "sawa safari njema.. hebu nikushike mkono basi"

    bibi ana mila zake za kizamani sasa huko kushikwa mkono ndio iweje sasa

    "we toka afu mi niwaangalie sawa?"

    "sawa bibi"

    basi bibi aliwachungulia na kugundua kua wamekaa kwenye kivuli. na ni kwakua ni maaskari washamba maana askari mjanja hakupi nafasi ng'oo

    "haya toka hara uende sheby"

    basi bibi aliniruhusu nitoke kwa mlango wa nyuma ili wasinione na wakati huo ilikua bado mchana kweupee basi nilitokomea na huko maporini maana sina pakukaa zaidi ya porini. nilipita mapiri na mapori lakini nilifika pori moja hivi niliona mifupa ya watu wawili ikiwa chini ya mti tena ni yamuda mrefu mno nikajua tu hawa watakua ni wazazi wangu maana wanavosemekana walikuja kujiulia porini basi sikupoteza muda niliondoka pele msituni na msitu ni msitu kweli yaani anaekuja huku ni mtu anaehitaji kufa. maana kuna wanyama wakali na wachawi pia pamoja na majini ya hao waganga ndele. basi nilikua nakata misitu na misitu ili nitokee kwenye geto moja hivi la rafiki yangu wa hapo kijijini. nikiwa bado nakatiza msituni niliskia sauti za vitisho visho maana mi hio ilikua imefika saa 12 jioni. yaani huu msitu unavyoogopewa ni balaa na kwa pale kijijini ukimwambia achague moja kati ya viwili kua aingie nadani ya msitu dakika kumi tu au upewe ukimwi heee kama asipokuambia nipe ukimwi sio mimi maana huu msitu ni hatari mno ila ukijitolea kufa ndani ya huu msitu hufi ng'oo.

    basi nilikanyagana hadi kutokea bara barani na kuanza kunyookea geto la rafiki yangu

    "oya we joshua?"

    "nani bwana unagonga saa izi?"

    "fungua basi chalii yangu"

    "we nani kwani?"

    "ni mimi sheby"

    "ayaa apana bhana usiniletee kesi saa izi maana unatafutwa kama mbuzi wa shuhuli.. sheby bora ukalale pengine kwa hapa sigungui bwana"

    "aisee joshua hata mimi jamaa ako?"

    "kaka jela hakuna cha ujamaa"

    "poa bhana haina noma"

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    niliondoka pale kwa unyonge sana maana sijawahi kulala nje maskini ya mungu mimi nitalala wapi na sina mtu mwingine niliomzoea hapa kijijini kwetu. mara nikapata wazo muda huo huo

    "dawa ni kwenda kulala kwenye lile banda la mbuzi pale"

    nilijisemeza mwenyewe huku nikielekea kwenye banda lakina joshua likiwa limejaa mbuzi kibao lakini siogopi kitu maana mimi ndio mchungaji wao. basi niliingia kwenye banda hilo na kulala bila tatizo

    ~ASUBUHI NA MAPEMA MNO~

    niliamka asubuhi sana kama mida ya saa 11 kasoro nikaanza kuswaga miguu kuelekea mahali panapoitwa kibaoni kunako vibasi vya kupanda na kwenda mjini maana mtu wa kiteto ukimuuliza mjini ni wapi atakuambia aru"sha yani ndio mjini yetu hio maana DAR twaisikiaga tu . basi kidume mie nilifika kibaoni hapo na kupanda basi moja litokalo saa 11:15. na hatmae basi kuondoka sasa basi likiwa katkati ya safari nilimuona binti mmoja hivi na anaonekana kwao wanazo maana alikua kavaa NIKUPEE huku akiwa ana ma hedfoni makubwa afu mkononi kashika I POD lakini hapo sikua naijua kua inaitwa i pod nimewaambia tu kua ni i pod lakini kistory story siijui. sasa yule bint alikua ananiangaliaa sasa nikajiuliza huyu dada ananiangalia nini nikajiangali kwenye shati nililovaa nilijikuta nina magoya ya mbuzi kwaio huyu dada ndio alikua anaangalia hayo magoya ya mbuzi sasa kugeuza macho mbele ya basi nikaiona sura ya mmoja wa wale maaskari wa jana. sasa nikaanza kujificha ficha chini ya siti maana huyo askari alikua anaenda siti ya nyuma nami nipo siti ya katkati na bado hajanipita sasa kumbe yule bint aliusoma mchezo mzima maana nilikua nahaha pale kwenye siti balaa sasa yaani yule askari anakaribia tu kufika siti yangu yule dada alinivalisha ile NIKUPEE yake na kusababisha yule askari asinijue kabisa. sasa yule alienivalisha nikupee NIKUPEE NI ZILE KAPERO AMBAZO HAZIJAKUNJWA PALE MBELE YAANI NI KAPERO ILIOSIMAMA AU PIA UNAWEZA ZIITA KOFIA ZA KISHAROBARO YAANI ILE KEPU YAKE HAIJAKUNJWA KAMA KOFIA ZA KIHUNI..

    sasa yule dada alionivalisha ile kofia alijikuta ananirembulia mtoto wa kike maana ile kofia ilinitoa nikawa hensam hoy wa hatari yaani hata alienizaa akiniona hanijui tena. sasa kutokana na vile tulivyokua tukitazamana tulijisahau kabisa. na tulivokuja kushtuka hatujui yule askari kaelekea wapi sasa nikawa namtafuta kwa macho ya chini chini.. mara nikaguswa kwa nyuma tena mikono yenyewe imekomaa balaa



     sasa nikawa mwoga kugeuka maana kama ni yule askari baasi nimekwisha. na nikimuangalia huyu demu naona nae katulia kimyaa nikaona liwalo naliwe na kama ni kukamatwa wacha nikamatwe. sasa ile nageuka tu nikakutana na na tiket aaahh kumbe alikua konda wa hilo basi na alikua anataka nilipe nauli basi nikanipapasa freshi

    "shingapi?"

    "elf 15"

    sasa ile kujipapasa sioni hata chembe ya noti

    "haa hii pesa iko wapi jamani"

    niliongea kwa sauti na konda akasikia kama unavojua makonda walivyo hawana stara.

    "dogo usintanie mimi oohoo"

    "kaka kweli sina"

    sasa nikakumbuka kua pale nilipolala kwenye banda la mbuzi nilitoa lesa kwa nia ya kwenda kupata msosi mgahawani japo kwa siri sana. sasa nikiwa nimezishika zile pesa mkononi palepale nikapitiwa na usingizi wa ghafla na kushtuka asubuhi ile na kukurupuka tu.

    "ayaaa"

    "we dogo hakuna cha aya apa nipe auli?"

    "mjombaa taratibu kaka"

    "hakuna cha tarati"

    mara

    "we kaka kwani vp mbona una gasia ivoo?"

    "namdai huyuu"

    "tsh ngapi?"

    "elf 15"

    "kaa mi nilijua midola kumbe ni hio tu? hebu shika haya si tayari?"

    "ahh hapa haina shida dada"

    "potea basi"

    konda aliondoka zake na yule dada akakaa karibu na mimi na wakati huo bado nimevaa ile kofia yake

    "pole"

    alinipa pole huyu dada

    "asante dada angu umenisaidia sana tena sana"

    "usijali .... afu unaitwa nani?"

    "naitwa sharbiny"

    "nani?"

    "sharbiny"

    "oohh mmh una jina gumu"

    "teh teh teh wapare hao ndio mjina wao"

    "kwani we ni mpare?"

    "ndio"

    "mmmhh naskia wapare wagumu ivi ni kweli?"

    "ndio ila ni zamani sii sasa"

    "ooh vp unatumiaga INSTAGRAM?"

    "instangama ndio nini?"

    "sio instangama sema instagram"

    "instangwamba si hivyo eeh?"

    "jamani nawewe unaniebisha bwana"

    "sasa si sijui jamani"

    "jee twiter upo?"

    "twiter? twiter ndio nini? Aaaahhh nimekumbuka twiter si vile visupika vya sabufa vile?"

    "uuufyuu"

    "nini unaonekana umechoka eeh?"

    "yaani hata twiter hujui?"

    "najuaa si zile supika za sabufa"

    "na facebook unatumia jina gani?"

    "bwana mi nimechoka na hayo mambo yako sijui facebook sijui twiter na hio isutaburama sijui uko mmh"

    "ama kweli we bushman kweli wewe"

    "eehh?"

    "aahh aahh"

    "ndio umechukia kwakua sijui facebook au? aahh lakini book si kitabu?? kama ni kitabu basi ninavyo hata hapa nilipo nikuoneshe?"

    Mara akaondoka pale karibu yangu nikajua nimemuuzi nini? maana na vile nisivojua kubembeleza. mara baada ya masaa 4 hivi nikamsikia konda akitangaza

    "haaya Arusha Arusha Arusha Arusha Apooo"

    nikawaza ndio tumefika nini maana sielewi elewi Mara yule dada kanyanyuka na wengine wengi wakashuka

    "we shuka wataka uende BABATI nini?"

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "nani akalalie mabati yaani mi nilale juu ya bati?"

    "acha ushamba hio ni wilaya inaitwa BABATI ipo hukoo mbele"

    "aahh kumbe? ushamba bwana"

    sasa nimeshuka kweli ni arusha stand kuu lakini kibaya zaidi ni kwamba mjomba atakujaje kunichukua na simu nilimwachia bibi kule kijijini. nikaona dawa ni kumuomba huyu dada simu chap maana namba ya mjomba ninayo kwenye kikaratasi

    "samaani dada? naomba nimpigie mtu aje anichukue"

    "una namba zake?"

    "ndioo"

    "shika"

    "eehh una simu mbili kumbe?"

    "hii sio simu hii inaitwa I POD sio simu"

    "mmh mdanganye mtoto ila sio mimi"

    "kwaio unaona nakudanganya?"

    "sasa je? we huoni kua ni simu hio?"

    "aahh piga fasta niende bwana"

    "mbona sioni vya kubonyezea?"

    "ivi we umetokea kijiji gani?"

    "kwa mvimbe kulee kuna misitu kibao"

    "kumbe ndio maana"

    "ndio maana nini?"

    "hebu lete uko"

    yaani huyu dada nilijikuta nimemzoea ghafla kama tunajuana vile kumbe ndio mwanzi tunakutana. mara nikaskia sauti

    "mjombaa vp?"

    "aah mjomba umefika?"

    "mbona hukunipigia simu kua umefika?"

    "ndio nimefika saa hii"

    "ooh na huyu ni nani tena"

    aliniuliza kuusu huyu dada maana alikua ndio ana andika namba ya mjomba ili ampigigie ndio kwa bahati nzuri akatokea

    "huyu dada kaniseidia sana ndani ya basi maana nilidondosha nauli toka kulekule nyumbani"

    "aah dada abari?"

    alimsalimia

    "salama za kwako?"

    "aahh zangu safi tu"

    sasa walipomaliza kusalimiana nikaanza kumtambulisha kwa mjomba

    "dadaa? huyu ndio mjomba angu"

    "ooh nashkuru kumfaham"

    "sasa sijui nikuache maana. imechoka balaa"

    "haina shida we nenda tu"

    basi niliondoka pale stand lakini kabla sijafika mbali nikamumbuka kua bado nilikua na kofia yake

    "we mdadaaa?"

    akaangalia kisha nikamuonyesha kwa ishara kua nimejisahau kukupa kofia yako... ngoja basi nikuletee

    "usijali hio ni zawadi yako"

    "lakini samaani sikujui hata jina jamani?"

    "sio jina tu hata kingine ukitaka utajua"

    "aahh mi naraka jina tu"

    "naitwa VANESA"

    "poa basi tutaonana eeh?"

    "poa"

    basi mdada aliniangalia kwa jicho fulani hivi la kuitana itana. basi kama kawa maeneo ya mianzi.i ndipo anapoishi mjomba wangu na ndipo nilipofikia

    ~KWA MJOMBA~

    baada ya dakika chache nilifika kwa mjomba na kukaribishwa na mkewe

    "karibu"

    lakini sura yake haikua na furaha ya kumkaribisha mgeni. basi mjomba alikaa kwenye kochi na mke wa mjomba wangu ambae nitamuita mama. basi mjomba akaanza kunitambulisha kwa mkewe maana sikua namjua na hata ndoa sijui walifunga au laa ila hayo hayanihusu kabisa

    "mama saidi? huyu ni mjomba wangu mtoto wa dada yangu kabisa"

    "mmhh nimemuona"

    alijibu kwa nyodo lakini mjomba hakumuambia kitu japo aliliona lile tukio. basi mjomba akaendelea kunitambulisha mbele ya mkewe

    "aah mke wangu? kijana huyu tutaishi nae pamoja akiwa katika mihangaiko yake mpaka atakapo pata chumba"

    "atalala wapi?"

    "jamani mke wangu si atalala kwenye makochi tu"

    "na kula je?"

    "tutakula hicho hicho tutakachokula"

    "kwakua ana kazi ni jasho langu?"

    "sasa mama saidi yote hayo ni yanini?"

    "yaani we umeona hio mitumba yako unayouza huko itaweza kulisha watu watatu kweli?"

    "nae pia atafanya kazi"

    "kama ipi mtu mwenyewe ndio huyo mshamba ivyo?"

    "sio sababu kwani kuna aliozaliwa anajua?"

    nikaona ngoja niwaingilie kati kwa kuwasawazisha

    "skia mjomba na mama"

    "nani mama ako? wee usinizeeshe mtoto wa mwenzio eeh?"

    "mama saiidiiii?"

    "nini na wewe?"

    "endelea mwaya mjomba



     nilikua naitaji kuongea kitu lakini kama sijiskii maana haya maisha sizani kama nitayaweza. basi nikajitaidi tu kuongea jambo watu hawa hawana maelewano. lakini mimi naamini nitaishi vizuri tu maana hua mimi ni mwepesi sana wa kuomba msamaha na mtu kama huyo popote anaishi

    "mjomba? Mimi ni kijana na ni mtu mzima sasa kwa hapa mjini hakuna kazi itakayonishinda na kuusu kulala nitalala hatA hapo nje ya geti kikubwa ni kunikubalia kuishi hapa. hasa mama ndio naomba unikubalie nitafanya chochote kile utakacho au sio mjomba?"

    "ndio... umesikia sasa mama saidi?"

    "sikia we mwanaume mtafutie ndugu yako kazi maana wiki ijayo nina wageni kwaio sihitaji kikaragosi chako kikijipitisha pitisha hapa mtafutie kazi kisha na chumba kabisaa maana sipo kwaajili ya kulea eeh?"

    Alisema hivyo huyu mke wa mjomba huku akiondoka kwa nyodo na mikogo mingi ya kutikisa makalio. sasa baada ya mama au mke wa mjomba kuondoka nikamuuliza mjomba

    "mjomba? huyu ndio mama sio?"

    "we vumilia tu najia hukosi kazi hapa mjini"

    "mmh sawa mjomba"

    ~JIONI MIDA YA KULA~

    tulikua tunakula pamoja lakini mimi mawazo yAngu ni sehemu ya kulala maana mjini kwanza kaza kisha sehemu ya kulala. tulipokua tunakula mke wa mjomba alikua akiniangalia kwa jicho kali yaani ni lile la roho mbaya kabisaa

    "mtu mwenyewe ana matonge ivyo"

    "jamani mama saidi mbona hutulii muda wa kula?"

    "kwani we humuoni mjomba wako anavokula?"

    "sawaa lakini kwani hutoshiba?"

    "kwakua yeye yupo basi sishibi ng'oo"

    nikaona hata aseme siachi ng'oo maana nikiacha nitakula wapi tena zaidi ya hapA. basi mama huyu alisema mengi sana juu yangu bila kumuogopa mjomba wala nini

    "sasa hii ni ndoa gani isio hatA na heshma kidogo.. na huyu mjomba sijui alifumba macho wakati wa kuchagua mke?"

    Nilikua najisemea huku nikiutandika ugali kisawaasawa bila kujali mdomo wake mrefu kama nguchiro. basi tulimaliza kula pale kisha namuuliza mjomba kuusu sehemu ya kulala fofofo ni wapi

    "mjomba? sasa nitalala wapi?"

    "utalala hapa kwenye makochi usijali"

    Mama aliposkia hivyo aliuvuta mdomo kinoma. basi kama kawa muda wa kulala mi ndio wa mwisho na ndio wa kwanza kuamka kutokana na kufanya usafi

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    ~ASUBUHI~

    Mida ya saa 12:00 asubuhi nikaamshwa pale kwenye kochi na mama au mke wa mjomba ili adeki nami sikua m bishi kuamka na nia yake alijua akiniamsha nitasumbua ili animwagie maji ya uso lakini kwakua nami ni mzee wa kudaamka asubuhi subuhi alinikuta nimeng'aa macho tu...

    basi mida ya saa 3 asubuhi mjomba alinichukua na kwenda kunionyesha kijiwe chake.

    "unajua nini mjomba?"

    Aliniuliza mjomba wangu

    "ndio mjomba?"

    "nataka nikuonyeshe kijiwe changu ili ukae wewe nami niende nikapige mishe zingine au sio mjomba?"

    "safi sana mjomba itakua safi mno"

    "ndio na ninafanya hivyo kwasababu ya mama ako yule si unamjua alivyo?"

    "ndio.. ila watu kama wale hua hawanitishi kabisa mjomba"

    "we vumilia tu maana ndio maisha hayo mjomba"

    "sawa mjomba"

    ~KIJIWENI~

    tulifika hapo kijiweni kwa mjomba na kuanza kunionyesha kazi ya kufanya kwa muda huo.

    "mjomba unauona huu mkokoteni?"

    "ndio nauona"

    "hapa ulipo una nguo za kila lika na kila aina na kila moja ina bei yake mjomba sawa?"

    "sawa ila hata hizi pia unauza?"

    "ndio kwani vp?"

    "mmhh hizi si zina duka lake maalum?"

    "hapana mjomba huku mi mixer hakuna kubagua"

    "mmhh sawa nitafanya kama nilivyokuta mjomba"

    "vizuri sana kuskia hivyo"

    "kwaio nauzia hapa au?"

    "hapana hapa ni pakulazia mkokoteni tu ila tunauzia KILOMBERO AU SOKO KUU ila leo twende kilombero"

    basi tulifika mahali pakuuzia kisha akanipa bei za bidhaa jins nitakavyouza kisha nae akaondoka na kwenda kufanya mishe zingine... siku hio nilikua ni mtu mwenye furaha sana maana kazi ndio hio inaanza

    +BAADA YA WIKI MOJA KUPITA+

    kama kawa nishazoea mjini sasa nimekua mwenyeji wa mji maana wiku tu lazima uwe mjanja kidogo. siku hio nikiwa nipo soko kuu arusha nilikua bize na wateja hasa wakike

    "we hii shing ngapi?"

    "elf 2000 mdada"

    "wee mbona gali ivyo?"

    "ndio bei"

    "jamani nipunguzie basi wewe"

    "aipungui bhana afu sijaambiwa nipunguze"

    "wee nawe nguo zako gali eeh"

    "hapana tunaangali upya wa nguo"

    "mmhh hii ya zamani ivo?"

    "kwani we ndoo uliundaa?"

    "nipunguzie sasa"

    "kwani lazima?"

    "shika mchupi wako utauvaa mwenyewe uo"

    "yaani wanawake wa mjini mna maringo duu"

    "nikupe buku jero?"

    "sitakii"

    mara mteja mwingine kaja tena alikua ni mmama

    "we bikini zikuapi mbona sioni?"

    "eehh?"

    "eeh nini sasa nionyeshe bikini"

    "duu hii kazi ngumu mmh sasa bikini ni nini?"

    "teh teh teh teh yani hata bikini hujui makubwa"

    "yaani huyu kijana sijui akoje mi nimemuambia anipunguzie kakataa"

    "mpunguzie mtoto wa kikee mbona mgumu ivyo we kijana"

    "jamani sijaambiwa nipunguza"

    "afi ana chupi nzuri"

    "ni nzuri lakini halipunguzi"

    sasa yule mama akaondoka akabaki yule mkorofi anaetaka kupunguziwa bei.

    "nipunguzie bwana na wewe"

    "afi mbona usikii wewe?"

    "ukinipunguzia ndio nitasikia"

    "acha kusikia"

    "afu una kabodi wewe"

    "umeanza uchokozi sasa eeh?"

    "jamani sasa usisifiwe we kijana?"

    "sitakiii"

    "au husimamishiii maana saa zote ungeshanipunguzia na tungeshaelewana"

    "tuelewane nini?"

    "usijali kwani unaitwa nini?"

    "naitwa muuza mitumba"

    "acha utani basi unajua unauza sana na hilo chesti lako"

    "mbona unanitamani tamani ivyo au we freemaso nini?"

    "basi yaishe chukua hii elfj mbili nifungie hio nguo niende"

    Mara akaja rafki ake huyu dada mkorofi

    "hee LUSI mambo?"

    lusi ni huyu mdada mkorofi anaependa kupunguziwa bei

    "hee jamani TAUSI nimekumisi wewe duu"

    tausi ni huyu aliekuja sasa hivi na kuanza kumuuliza lusi

    "sasa unafanya nini hapa?"

    "nimekuja kuchukua angalau hata kufuli moja mwaya"

    "mambo mkaka?"

    "safi tu"

    sasa nilivyoitikia mara yule tausi akaniangaliaa kwenye kifua changu kisha akamuangalia rafiki yake ambae ni lusi kisha kama walikua wanaongea kitu vile. ila nikapotezea mara huyu tausi akaniangalia kwa jicho fulani hivi kisha

    "samaani kaka naomba nikuulize kitu?"



     "uliza tu usijali dada"

    "ni swali la kizushi tu"

    "we nawe si useme unajibubuja nini sasa?"

    Aliambiwa na mwenzake ambae ni lusi

    "eetii unaendaga jim?"

    "ee ndio swali lenyewe ilo?"

    ""kwani baya?"

    "hee we tausi dakika mbili tu ushaanza kumrembulia mkaka wa watu?"

    "kwani yanakuusu?"

    "hatakama lakini umezidi"

    "mbona we muda wote ulikua hapa?"

    "sasa si nilikua namiungisha"

    "Aaahh mbona kama mnataka kugombana jamani?"

    "wala tu hatugombani mwaya"

    Alijibu tausi huku akiendelea kuchagua chagua mibano

    "twende bwana tausi"

    Sasa vile alivyomwambia twende bwana tausi huyu lusi alirudi nyuma ya rusi kisha akaninyooshea kidole ambacho sikujua maana yake na jambo lile tausi hakuona wala nini.

    "ngoja kidogo nawewe lusi"

    "muda unaenda bwana"

    Unajua huyu lusi anampelekesha mwenzie ili nisiongee nae na sijui ana maana gani kwakweli

    "kwanza unaitwa nani?"

    "eti anaitwa muuza mitumba"

    "kwani nimekuuliza wewe?"

    "baasi eehh"

    "eti unaitwa nani?"

    "kama hivyo alivyokwambia"

    "kwaio unaitwa hivyo?"

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "ndioo"

    Nilimuona tausi katoka na kuelekea dukani na sijui anaenda kufanyaje kule dukani

    "lusi nisubiri hapo hapo nakija"

    "fasta basi"

    baada ya tausi kuondoka huyu lusi akaanza kunisemesha

    "we kaka huyu mdada ni malaya na atakurubuni tu"

    "kwanini useme ivyo?"

    "najua kashakupenda yule tausi na usimkubalie"

    Nikajisemea tu kimoyo moyo kua

    "mngejua mnapo penda sipo nyie hayeni"

    Mara tausi karudi ila hakua na chochote alicho shika mkononi au popote pale.

    "hhmmh nimerudi jamani?"

    "twende basi we tausi jamani"

    "tangulia naja jamani"

    "sikuachi ng'oo maana wewe?"

    "mimi nina nini?"

    "yaishe bibi wewe"

    sasa tausi akawa anachagua tait huku akinionyesha eti nimpe ushauri kua inamuenea

    "vp inanifaa hii?"

    "sasa nitajuaje dada angu? we chagua saizi yako uende"

    "jamani kwani we huna aidiA na viuno?"

    "ninavyo ila sio hicho chako"

    nilidanganya ili nionekane na mimi ni mjanja wa madem. kumbee ndio kwanza sijui kiuno cha msichana wala mtoti.

    "una mpenzi?"

    "mmhhhj?"

    "una demu?"

    "ndio ninawo"

    nilimdanganya kua nami ni romantic kumbee bonge la boya

    "jamani sio mmoja tu?"

    "mmoja hatoshi maana wanazingua sana"

    "mmhh sisi tunazingua na nini?"

    "mnajijua wenyewe"

    nikajifanya bonge la mjanja wa tauni na kuanza kuwadanganya wadada wa watu.

    "we tausi saa 9 hii eti"

    "twende basi eeh"

    Mara wakaamua kuondoka ghafla bila hata ya kuniungisha na wakati huo tausi anaangalia nyuma huku akinionyesha tait yake kiunoni kua niangalie ile tait alioishika shika kuna kitu kaweka kwenye hio tait

    Nikaisachi ile tait fasta na kukuta kamfuko katait kanako zipu. ndani ya kamfuko hako nilikuta karatasi yenye maandishi kwa juu.. sasa ile kufungua ndani ya karatasi hio nikakuta noti tano za elfu kumi kumi. nikaziangalia ili kujua ni nzina kweli...

    "hee mbona ni hela kweli hizi?"

    niliongea kwa sauti kubwa ila hakuna aliesikia kitu. yote tisa... kumi ni hili karatasi lililoandikwa hivi

    """"SAMAANI KAKA NINA OMBI LANGU JUU YAKO NA UKIKUBALI NITAKUTOA KIMAISHA NA NITAKUFUNGULIA DUKA KUBWA LA NGUO ZA GHARAMA NA LITAKUA LAKO..... NI KWAMBA NIMEVUTIWA NA WEWE.. YAANI NAITAJI PENZI LAKO PLZ JAMANI FANYA HIVYO BASI"""""

    kisha akaandika namba za simu nikaona bahati ya mtende hii. pale pale sikupoteza muda... nikamuona anaishiria zake huku akiniangalia nikafikiria maisha ninayoishi si bora nimkubalie tu.. aahh aisee nilimuita kwa signo ya kiganja cha mkono.. fasta aligeuza na kuja pale nilipo huku nikiona kama nimetoka kimaisha bila kuhangaika sana. alipofika akaanza kunirembulia huku akinishika mkono wangu na kuniambia kua

    "naisi umenikubalia Ombi langu eeh?"

    "bila shaka ni hilo tu"

    "kweli?"

    "ndioo"

    lakini akili yangu ni kwamba mi nataka anipatie hizo pesa za hilo duka afu nimuache mitini maana anachokitaka kiukweli sikiwezi ambachi ndicho kinachoniumiza kichwa muda wote kila ninapoona warembo wakijipitisha mbele yangu na kuona wenzangu wamewashikilia viuno na kuingia nao katika moja yastarehe zao.. basi baada ya pale aliniambia kua.

    "twende kwenza dukani kwangu ukapaone"

    "mmmh ni mbali sana?"

    "sii mbali kwani vp?"

    "aahh si unajua hii biashara hapa"

    "achana nayo twende nikakuwezeshe mtoto wa kiume"

    "sasa si vitaibiwa?"

    "twende nikakuchanie vitita vya pesa uachane na shida wewee"

    "sawa twende basi"

    Kutokana na ujinga wangu nikajikuta naacha biashara ya mjomba salim huku nikibuluzwa na huyu dada

    "yule mwenzio yuko wapi?"

    "yule pale anatusubiri"

    "aahh tunaenda nae yule?"

    "ndio au tumuache nini?"

    "tupite ivi bwana achana nae"

    basi tulipita njia tofauti na kule alipo lusi na kumuacha akiwa anatusubiri.

    Tulipanda tax na kupelekwa hadi kwenye hilo duka lake... na ni kweli ana duka tena bonge la doksi na huyu mdada anaonekana kwao matawi balaa na ni mzuri huyu mdada... basi tuliingia ndani ya hilo duka na kukaa humo ndani.. lakini akili angu ni kupewa hio pesa kabla ya chochote kile

    "niambie jina lako basi mpenzi"

    Mmm Nikajichekeshea tumboni kwa kuitwa mpenzi na mtoto mwenye pesa kama huyu.

    "teh teh teh teh Naitwa sharbiny"

    "waaoo jina zuri my dia"

    "teh teh teh hata lako"

    "njoo basi mbona muoga ivo?"

    mtoto wa kiume nikasogea pale karibu yake kisha akanivuta kifuani kwake na kuanza kunipa denda la nguvu tena mtoto alikua ana mdomo laini kama chips kuku vile. basi nilijitaidi na kujikwaza na madenda ya uhakika ili hata akihesabu hicho kitita akitoe kwa moyo wote. na ndicho nilichokifata hicho kitita basi denda lilikolea na kupamba moto tukiwa hapo hapo dukani. mara nikamuona anasogeza nguo kisha tukaingia katikati ya nguo na kuanza kushikana mpaka sehemu za siri

    "siiiiiii shebiiii"

    "nini tena?"

    "kabodi chako kananipagawisha"

    "mmhh uuuunnhhh uuuuhhhhmmm sssiiiiiiiii aaaiii uuuuuwiiiiii ah ah ah ah ah siii ah sii ah ssii ah ahh sii ahh mmhh uuuuhh siiii uuunnnhh siii mmmhh uuummhh shebiiiii ngoja kwanza usinivuee"

    Nilikua najifanya kuvua kumbe nilikua namtishia tu maana kitu hakinyanyuki na kabla hajajua kitu hainyanyuki basi ngoja nimshike shike afu nimlainishe kisha nimuombe hio pesa.. yaani akinipa tu nakimbia kama mbwa mwizi. basi nikamfunua gauni lake lile ambalo hua munapendaga kuyashika hapa mbele mkiwa mtaani na kufanya makalio yaonekane.. basi nilipofunua nikakuta bikini lakini sikua najua kua inaitwa bikini basi nikakasogeza kisha nikaanza kumnyonya mtoto tausi.. lakini uume wangu haukua na dalili hata ya kustuka na kama ingesimama.... huyu tausi angekoma kulinga. basi mtoto alikua anapiga kelele balaa kwa raha ninazompa tausi huyu

    JINSI YA KUMUANDAA MWANAMKE KIMAPENZI NIMEJULIA KWENYE VITABU KWAIO USIULIZE KWANINI NAJUA MAPENZI LAKINI KULA SIWEZI??? NI VITABU VYAKINA SHIGONGO NA ZUBEG AKILIMIA NDIVYO VILIVYONIFUNZA MAPENZI ILA KULA NDIO SIWEZI

    "aaaaahhh ssssiii aaahhh ssssiii aaahh mmmmmmhh uuuunnnnnh aaaaii ah ah ah ah ah ah ah ha ha ha ha ha mmm mmm mmm mm ssssssssssiiiiii basi ni ni ni ni ni nikune na na na na hio nanii yaakooo"

    Daahh mtoto anataka ishu sasa sijui itakuaje hapa mungu wangu eehh tena mtoto anaipapasa mwenyewe kwa jinsi alivyozidiwa mtoto wa kike huyu sasa vile alivyokua akinipapasa nikakwepesha kisha akauliza

    "mbona unanitesa hivyo nipe baasi bwana"

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Nikaona hapa hapa nimuambie anipe mkwanja kabisAa

    "nipe basi hiyo pesa kwanza ndio nikukune na mtalimbo tena ninao wa uhakika"

    "jamani kweli ni kubwa???"

    "ndio tena hapa nilipo imesimama hadi inauma"





    ITAENDELEA 

0 comments:

Post a Comment

Blog