Search This Blog

Thursday 19 May 2022

PENZI LA SHEMEJI - 2

 





    Chombezo : Penzi La Shemeji

    Sehemu Ya Pili (2)



    Nilishtuka na kutaka kukimbia ila shemeji akanishika mkono "Unakimbia nini?" aliuliza " Hapana sikimbii" nikamjibu " Basi kaa utulie" akasema " Unaham ya kufa kijana?" kile



    kichwa kikaongea Nilistuka tena na kutoka mbio na kwa bahati nzuri Shemeji alikuwa amejisahau hivyo nikamuacha amekaa pale pale Nilikimbia speed kali ajabu ambayo nahisi hata



    Usain bolt angetokea pale asingenishika kwani nilikuwa nakanyagia vidole vya miguu.

    Spee yangu haikunifikisha sehemu kwani mita mia mbili kutoka eneo lile nilishangaa kukuta nyoka mkubwa sana kalala njiani Nikageuza njia na kuelekea upande mwingine kwa speed



    kali zaidi ya ile ya kwanza ila sikufika mbali nikakuta mwili wa binadam ukiwa umelala bila kichwa. Nilichoka sana,nikasimama nikiwa nimepigwa na butwaa kwa muda ila akili



    iliponirudia nikageuza na kuelekea upande mwingine tena.

    Kwa wakati huo nilibaki nakimbia huku naangalia nyuma mpaka nilipojikuta nagongana na kitu kwa mbele Kugeuka nikakuta jamaa mmoja akiwa uchi wa mnyama ameanguka chini



    kutokana na kile kikumbo changu ila pembeni yake alikuwepo mwenza. Wale jamaa walikuwa wanafanana ajabu,na cha ajabu zaidi yule aliyeanguka aliposimama alikuwa na jicho



    moja na mguu mmoja kama mwenzake wakaanza kurukaruka huku wakija upande niliokuwepo,nilipogeuka nyuma ili niondoke nikashangaa kuona chini kile kichwa cha yule mganga



    " Kijana huwa sikimbiwi,,hahahahahahahahah!!hahahahahahaha!!!" kile kichwa kilitoa sauti na kumalizia kwa kucheka Nilijikuta nguvu zikiniishia pole pole na kisha

    nikaanguka chini kama mzigo UPANDE WA DOKTA Tangu tunaondoka pale Dokta alihisi kuna hatari inayomsogelea hivyo akaanza kuandaa mipango ya kuuiba mwili wa kaka



    kisha atoloke nao kwenda nje ya nje " Mke wangu naomba uandae safari yangu ya ghafla nataka kwenda Afrika kusini" alimwambia mkewe kwenye simu " Kuna nini mme wangu?

    Na mbona mapema?" aliuliza mkewe " Utajua nikija" akajibu kifupi na kisha akakata simu Aliondoka na kwenda kuitisha kikao cha ghafla na madaktari wenzake ili awaeleze tatizo



    linalomkabili yule mgonjwa " Jaman,huyu mgonjwa wetu yuko hatari......" hakumalizia sentensi yake akakumbuka agizo la Shemeji " Mimi ni hatari zaidi ya unavyofikili,umekataa



    kufanya kazi yangu,nimekuacha hai kwa sababu maalum,kama una akili funga mdomo wako ila kama unajifanya jeuri fungua mdomo wako,tutakutana mbinguni"

    Alipokumbuka maneno ya Shemeji alijikuta akipata kigugumiizi " Nini Dokta? Haatari ip?" akauliza mmoja wa wale madaktari " Aaah! Hapana nilitaka kusema kuwa nahitaji



    kumsaidia huyu mgonjwa,hivyo nahitaji kuondoka naye kesho asubuh kwenda Afrika ya kusini kwa matibabu ila nataka hili swala libaki siri ya Hospital" akajibu Majadiliano



    yalichukua saa nzima kwa sababu wale madaktari walitaka kupewa sababu halisi ila baada ya majadiliano ya muda wakakubali kumruhusu Baada ya kupewa ruhusa ya kumsafirisha



    Kaka,Dokta alijiandaa na kisha akaondoka kuelekea nyumbani kwake Kitu ambacho Dokta hakujua ni kuwa alikuwa akifatiliwa nyendo zake zote na vijana wa shemeji Musa



    aliyekuwa kiongozi wa ule msafara aliwaacha vijana wake wamfatilie Dokta na kuhakikisha wanamteka na yeye akabaki hospitalin Alijitahid kwa mbinu zote akampata Daktari mmoja



    na kwa kutumia ushawishi wa pesa akafanikiwa kupata siri ya kaka kusafilishwa kisiri kuelekea Afrika kusini na yule Daktar " Alipanga kesho kumsafilisha jamaa kwenda Afrika



    kusini ili atibiwe....ndiyo.......muda si mrefu vijana watakuwa naye mkoni....ndiyo bos.....unahitaji tuondoke na huu mwili wa mme?......sasa hivi?.....sawa bos...umesomeka"



    aliongea kwenye simu Mussa na shemeji





    Baada ya kukutana na mauzauza kama yale nilijikuta nguvu zikiniishia na taratibu nikaanza kwenda chini mwisho nikapoteza fahamu. Kilichoendelea wakati nimepoteza fahamu



    sikujua ila nilikuja kushtuka nikiwa kitandani nimelala na shemeji akiwa pembeni yangu " Pole sana baby wangu" alisema huku akinibusu " Ahsante baby wangu kwani nimekuwaje?"



    nikauliza huku nikiwa sina kumbukumbu ya kitu chochote kilichotokea kwangu " Ulishikwa na kizunguzungi ghafla na kujikuta ukipoteza faham honey" alisema "

    Ooooh! Sor kwa kukusumbua mpenzi ila sasa najisikia niko poa kabisa" nikamwambia Alinisaidia kunyenyuka na kunikalisha kitandani nikajalibu kujinyoosha pale nikahisi nguvu



    zikinirudia taratibu Mpaka hapo sikuwa na kumbukumbu yeyote ile ya kilichotokea kwa upande wangu kutokana na Shemeji na yule mganga kufanya ya kwao Shemeji aliniletea supu



    nikapiga mpaka ikaisha kidogo nikajihisi nguvu zimenirudia na nikashuka kutoka kitandani "

    Lazima uoge kwanza baby wangu" akasema shemeji " Nashukuru kwa kunijali mpenzi,nakupenda sana" nikamjibu huku nikimbusu mdomoni Shemeji alinivua nguo zote kisha



    akanifunga taulo na kunibeba mpaka bafuni. Kule bafuni alianza kuniogesha taratibu huku tukicheza michezo mbalimbali ya kimapenzi Sikuwa na kumbukumbu yeyote ile na niweke



    wazi hili kuwa kwa pale nilikuwa namuona shemeji akiwa mzuri sana nilitamani hata kumbaka pale pale bafuni.

    Nikaanzisha uchokozi wa chini chini kwa shemeji mara nimfinye vichuchu vyake,mara nimshtue kwenye ikulu yake " Mmmmmh! Wewe! Umeshaanza uchokozi? Unataka?" aliuliza "



    Ndiyo buana,na ham sana baby wangu" nikamjibu " Basi si unakumbuka nilikuambiaga kuna style moja inaiywa kitotatota?" akaniuliza " Ndiyo nakumbuka" nikamjibu " Basi leo



    utaiona mwenyewe" akaniambia Nilikaa mkao wa kula ili niifaidi hiyo kitotatota

    Shemeji alinivagaa pale pale kwenye sinki la kuogea na kuanza kunipandishia mizuka yangu Aliubugia mhogo wa jang'ombe kinywani na kuanza kuushughulikia Nilihisi raha ya ajabu



    sana na asikwambie mtu kuna utam wa ajabu ukinyonywa huko Shemeji alifanya hilo zoezi kwa muda kisha akahamia masikioni,alizungusha ulimi wake kwenye maskio yangu



    kiufundi sana mpaka nikaanza kuhisi natetemeka

    Nikaona nisizubae ili asije akatangaza ushindi kwenye ile mechi nikamgeuza na wakati akichezea vile vitenesi viwili chini ya mhogo na mimi nikazama chumvini na kuanza kupachezea



    kiufundi na ulimi wangu Shemeji alianza kulainika mwenyewe mpaka akashindwa kuendelea kuniandaa,nikaingiza kidole changu na kuishika g-sport na kisha nikawa naisugua taratibu

    Baada ya kuanza kuisugua g-sport shemeji alianza kulalamika kimahaba sana na mimi kipindi hicho nikawa nipo fiti kwa mechi wakati njia yake ilishalainika vya kutosha Nikamgeuza



    shemeji ili nianze kumshughulikia " Subir le nitakupa kitotatota bana" akalalamika kimahaba

    Nikaka mkao wa kula ili niione hiyo kitotatota,kwanza akaelekea kwenye switch ya umeme pale pale bafuni na kuwasha taa ya rangi ya blue Kisha akachukua kitambaa laini na



    kukipitisha sehemu flani mwilini na kufungulia bomba la maji ya kutoka juu Ile nguo ikalainika kwa sababu ya maji na mwili wake ukajichora vizur,nikasisimkwa balaa " Njoo"



    akasema shemeji

    Nikamfata pale alipokuwa na akanipokea kwa denda kali sana mpaka nikahisi pumzi zinataka kukata Baada ya denda akaniachia na kushika sehemu flani kisha akatengeneza mkao



    mmoja kwenye sinki ambao sijawahi fikilia binadam anaweza kuwa vile " Hii ndo kitotatota njoo umalize kazi ila usisimulie watu ikoje" akasema shemeji Nilipigwa na butwaaaa "



    Kitotatota!!!!!!?" nikajisemea.





    Nilimfata shemeji pale alipokuwa kajiegesha kwa ile style yake ya kitotatota na kuanza kmshughulika kwa speed ya ajabu Shemeji alinifurahisha kwa mauno yake balaa na hasa kile



    kicheni chake kilikuwa kinanitekenya na kunipandishia genye balaa Kazi haikuwa nyepesi na ya mchezo kwani kila mmoja alionesha utundu wake balaa na mpaka namaliza Shemeji



    alishamaliza mara mbili " Ahsante shem we ni mtam sana" nikamwambia "

    Na wewe ahsante shem,pia wewe mtam sana na mashine yako ilivyokubwa nasikia unanichokonoa mpaka mwisho" akajibu Tulioga kisha tukarudi chumbani na kupiga story mbili



    tatu na shemeji " Kuna kitu nataka nikuoneshe" akasema shemeji " Haina tatizo shem" nikamjibu Alinivalisha nguo kisha tukatoka pamoja na kupanda gari kisha tukaondoka kutoka



    pale nyumabi Tukiw njiani shemeji alitoa simu na kupiga mahali " Musa jiandaeni tunakuja....ndiyo....kwisha habari yake na sasa ananisikiliza mimi" akasema shemeji

    Sikutilia maanani alichokuwa anaongea shemeji kwani niliamin hakinihusu bila kujua anayeongelewa ni mimi mwenyewe Tulienda mpaka Kimara mwisho kisha tukashika barabara ya



    vumbi kushoto na kuingia kidogo kisha shemeji akapaki nje ya geti kubwa jeusi na kupiga honi Geti lilifunguliwa baada ya dakika chache kisha tukaingia na kupaki gari. Kijana



    mmoja aliyejazia mwili kimazoezi alikuja na kutoa heshima kwa shemeji kisha akatuongoza kuingia ndani. Tulipitiliza mpaka ndani kwenye chumba kimoja tukaingia na kukuta



    chumba kilichoonekana kama stool kikiwa na dam nyingi sana.

    Ndani ya kile chumba kuna watu wawili walikuwepo wakiwa wamechoka sana Nilipomwangalia yule aliyekuwa kafungwa kamba kwa kuning'inizwa nilimtambua kuwa ni Dokta



    aliyekuwa akimtibia kaka na yule aliyelala chini akiwa na bandeji mwili mzima alikuwa kaka Kutokana na madawa niliyofanyiwa sikushtuka wala kushangaa chochote kile " Kumbe



    hawa bado wako hai baby? Si watatuharibia mambo yetu?" nikamuuliza shemeji " Usijal baby tutawaondoa tu" akanijibu Yule Dokta aligeuka kwa shida sana na kunitazama kisha



    akatikisa kichwa " Kijana wameshakuchukua?!" aliuliza huku akishangaa "

    Huyu ana kichaa nini? Wameshanichukua kivip? Uliwachukuaje kutoka Hospitalin baby?" nikamuuliza shem " Nilimtuma Musa amchukue huyu nguchiro aliyekuwa akijifanya mjanja



    na Mungu saidia vijana wa Musa walifanikiwa kumkamata wakati akiingia mitaa ya nyumbani kwake" akajibu Shemeji "

    Hana ujanja tena,na huyu jamaa?" nikauliza huku nikimsonta kaka " Huyu ilikuwa kazi ndogo sana,unajua huyu Dokta alikuwa na mipango ya kumtolosha kakako kwenda nje kwa



    matibabu,kwa hiyo vijana wa Musa walipomteka walimlazimisha akamchukue kaka kwa kudanganya kuwa pale Hospialin usalama ni kidogo" akajibu Shemeji " Wewe?



    Hakuwatoloka?" nikauliza " Asingeweza kwa sababu tulimdanganya kuwa tumeishikilia familia yake asipofanya kazi tunaimaliza, alipomchukua kaka na kutoka alitaka kuleta ujanja ila



    nikatumia dawa niliyopewa na mtaalam wangu kumaliza nguvu zake zote ndo maana yuko hapa" akanijib "

    Good work,sasa tunaweza funga hata ndoa tukiwamaliza hawa nguchiro" nikasema Shemeji alipiga makofi kwa furaha kisha akaja na kunikumbatia kisha akanipa denda kitendo



    kilichomuumiza sana Dokta " Nataka uwaue hawa wapuuzi wanaotuingilia baby" alisema shemeji akinikabidhi silaha Nilimfata Dokta na kuiweka kichwani pale ili nimmaliza " Kijana



    hata ukiniua ni kazi bure,hujui ulifanyalo kwa sababu wameshakupumbaza ila nakuhakikishia huyu mwanamke anakutumia na akishamaliza shida zake na wewe atakuua" akasema



    Dokta.



    MIAKA KUMI ILIYOPITA HANDENI TANGA

    Latifa ( shemeji yangu huyu wa sasa) alikuwa akiishi na mama yake na baba yake wa kambo. Baba huyu alichukua mama yake miaka miwili nyuma na kuanza kuishi naye kwa ile



    style ya kuzeekeana pamoja. Baba yangu mzazi sikubahatika kumfahamu kutokana na maelezo ya mama yangu kuwa alikuwa na asili ya uarabu ndani yake na aliondoka kurudi kwao



    Oman.

    Nilikuwa nimeanza kuingia katika umri wa balehe hivyo mwili wangu ulianza kujitengeneza na kuanza kuvutia sana. Umbo lango lilijichonga na kuwa la kuvutia sana,ukiongeza na ule



    mchanganyiko wa uarabu na utanzania wa mama yangu hakika nilikuwa navutia sana. Baba yangu wa kambo alianza kuonesha kuvutiwa na mimi mapema kabisa nilipotoka likizo



    yangu shuleni Ashira huko Moshi Kila wakati ambao mama alikuwa akiondoka nyumbani na kutuacha wenyewe baba yule alijalibu kunisifia na mara kwa mara nilimkwepa "

    Unajua Latifa wewe ni mzuri sana kiasi kwamba najuta kumjua mama yako kabla yako,tafadhali kuwa wangu wa siri nitakufanyia chochote utakachohitaji" alibebembeleza baba yule



    bila haya Nilimkatalia mara zote na kuendelea kumkwepa kitendo kilichomuudhi sana mzee yule. Siku moja mama alipatwa na msiba huko kijijini kwao Handeni na kutuacha mimi na



    yule baba peke yetu pale nyumbani Nililia sana nikimsihi mama abadili uamuzi tuende wote ila alikataa katakata na kuomba nibaki nikimsaidia baba mapishi Mamma yangu hakujua



    kinachoendelea hivyo sikuwa na jisni ya kuepuka hali ile.

    Kama nilivyotarajia ndivyo ilivyotokea,usiku yule mzee alianza mbinu zake chafu kwangu na mimi nikapambana ili asifanikiwe Mwenye nguvu ana nguvu yule mzee aliwasha redio



    yake kwa sauti ya juu sana na kisha akatimiza lengo lake kwangu. Nilikuwa kigori nisiyemjua mme hivyo yule mzee ndiye alikuwa mwanamme wangu wa kwanza kabisa. Nilipatwa na



    maumivu makali sana ukeni ila yule mzee hakujali chochote kila "

    Usiwaze Latifa hii hali huwakuta wanawake wote wanapoanza mapenzi ila taratibu huanza kuzoea na kusahau maumivu na mwisho huanza kusikia raha" aliongea ujinga wake mara



    baada ya kumaliza Alipomaliza aliondoka huku mezani akiwa ameacha pesa kama elfu hamsini akidai ni kifuta jasho na ili nitunze sirri Usiku huo sikulala bali nilibaki nalia sana usiku



    kucha kwa kitendo nilichofanyiwa. Asubuh yule mzee alinibembeleza kwa maneno matam na mimi nikaamini amejutia kosa na kile kitendo hakitajirudia tena. Alipoenda kazini



    nilitumia fursa hivyo kujikanda na maji ya moto ili kupunguza yale maumivu

    Bado nilishinda nikiwa sina raha yeyote ile pale ndani. Jioni aliporudi kama kawaida alikuwa na furaha sana,aliniletea zawadi nyingi sana na sana sana midoli ambayo nilipenda



    kuipamba kwenye chumba changu Kwa akili yangu nikajua anafanya hivyo ili nimsamehe na kutomwambia mama kumbe nilijidanganya kabisa Usiku kama kawaida yule mzee alianza



    kunishika shika pale pale sebuleni sehemu mbalimbali za mwili wangu Nilichukia sana kutokana na kitendo kile ambacho niliamin atakuwa amejua ni kosa na kuacha

    Nilimsukuma kwa hasira wakati tukiendelea na kile kitendo mpaka akaanguka chini kwa bahati mbaya aliangukiwa kichwa na damu zikaanza kumtoka Nilipoajalibu kumwamsha



    hakuamka kabisa,nikajalibu kwa jitihada zangu zote haikuwezekana Pamoja na umri mdogo niliokuwa nao ila nilijua kabisa kuwa yule ameshapoteza maisha Niliogopa na kutetemeka



    sana,nikachukua nguo zangu chache na kukimbilia kwenye kanisa moja ya kiroman katoliki iliyokuwa jilani na pale nyumbani.





    CURRENT DAR ES SALAAM

    Baada ya shemej kunikabidhi ile siraha ndo iliyofungwa kifaa cha kuzuia sauti isitoke nilijihisi mwepese na mwenye hamu ya kufanya mauaji. Nilielekeza ile silaha kwa Dokta na kisha



    taratibu nikabonyeza kitufe cha kuruhusu risasi itoke kwenye silaha Risasi nne zilitua kwenye kichwa cha yule Daktari na akanyamaza kimya huku kichwa chake kikiwa kimeachama



    na kuumwaga ubongo wake nje " Paa...paaa....paaa" shemeji alinipigia makofi "

    Wewe ndiye mwanamme niliyekuwa namhitaji katika maisha yangu,mwanamme asiyeogopa kufanya chochote kwa ajili ya faida yake" akasema " Sio faida yangu pekee baby wangu



    bali faida ya wote mimi na wewe" nikamjibu " Haya mme wangu faida yetu sote" akasema Wakati tunarumbana simu ya shemeji ikaita na yeye akanionesha ishara ya kukaa kimya "

    Haloo mama.....ndiyo......si nzuri....yah ni kweli kama ulivyosikia.....yaan hapa nilipo nimechanganyikiwa kabisa,Muhimbili wameshauri tumpeleke India na pesa nyingi aliibiwa



    wakati anapata ajali...ndiyo mama...haya kalibu"akamaliza " Vip? Kuna nini tena?" nikauliza " Mamamkwe" akajibu " Mama yangu?" nikauliza " Ndiyo" akajibu " Anasemaje? Maana



    na yeye naye mmmh! Hajambo kwa maneno" nikauliza "

    Ameniuliza kuhusu kaka yako,sijui nani kampelekea umbeya tena,ila umesikia nilivyompanga kwa hiyo huyu jamaa hakuna haja ya kumuua,kwa sababu wanakuja kumuona,cha



    msingi tumwache kwa sababu hali yake ni mbaya ila wakiondoka tu tunamwondoa" akasema " Aaaah! Me nilitaka nimwondoe sa hivi bana atatuzibia baby" nikalalamika "

    Hapana, tufanye vitu kwa akili,ukimwondoa tutakamatwa,acha mama aje amuone hali aliyonayo ila akija tujifanye hatuna pesa na hali ni mbaya kwa sababu nimemweleza kuwa pesa



    iliibiwa ili akiondoka tummalize jamaa" akajibu Tulimbema kaka akiwa kwenye ile hali yake ya kupoteza fahamu mpaka kwenye gari kisha safari ya kurudi nyumbani ikaanza



    Tulipofika nyumbani tulimbeba kaka na kumpeleka chumba cha wageni kisha shemeji akatoka kidogo na aliporudi baadae alikuwa na maji na vifaa vya kufungia mgonjwa



    akamuwekea kaka,na akawa kama amelazwa kabisa Tuliingia kulala ila siku hiyo hatukuwa na hamu ya kufanya mapenzi kutokana na kusikia kuwa mama anakuja " Baby inabidi



    tumwondoe huyu binti wa kazi" alitoa wazo shemeji "

    Kwa nini baby?" nikauliza " Kwa sababu anajua kinachoendelea hivyo anaweza kuwa mwiba kwetu siku zijazo" akasema shemeji " Kwa hiyo unamrudisha kijijini kwao lin?"



    nikauliza " Sio kijijini kwao,namaanisha tumuue" akasema shemeji " Kwa nini? Kwani ana tatizo?" nikauliza " Tukimwacha hai lazima kuna siku ataleta balaa huyu" akasema " Sasa



    nani atakuwa anatusaidia kazi hapa?" nikauliza " Nitamleta mdogo wangu yule aliyemaliza form four" akajibu " Aaah! Kama ni yule poa" nikasema " Poa? Sio poa kisa mzuri uje



    unigeuke?

    Nitakuua kwa mikono yangu" akasema kwa chuki Nilibaki nimejiinamia ila katika hali halisi alikuwa na haki ya kusema hivyo kwa sababu mdogo wake alikuwa mzuri mara sita zaidi



    yake na alikamilika kila idara. Tulilala kimya kila mmoja akitafakari la kwake,mimi kwa upande wangu nilikuwa najalibu kupiga picha juu ya mdogo wake na shemeji alivyokuwa



    mpaka usingizi ukanipitia Asubuhi tuliashwa na yule binti wa kazi kwa sababu kulikuwa na mgeni. Shemeji alirudi chumbani speed na kuniomba niwahi kutoka kwa sababu mama



    amefika " Mama atatufumania baby pz tafuta namna utoke humu chumbani" akasema





    Nilishtuka sana kusikia mama kaingia asubuh yote hiyo wakati hata kuamka hatujaamka. Nilinyenyuka fasta na kuvaa flana yangu nikajikuta nimeigeuza nashangaa hata shemeji



    hakuona hilo kisha nikawahi kutoka na kuingia chumba cha wageni Nilikaa dakika chache niliposikia mama ananiulizia nikaamka kama ndo ninaamka na kuelekea sebuleni "



    Shikamoo mama" niliamkia " Marhaba mwanangu za hapa ?" akauliza " Za hapa sio nzuri mama kama ulivyosikia" nikajibu huku nikijifanya kuwa na majonzi "

    Pole baba,lakin mbona hamkunipa taarifa? Mpaka napigiwa simu na yule ndugu yenu anayeishi tabata" akasema mama " Tusamehe mama tulichanganyikiwa" akadakia shemeji "



    Haya,vip mwenzenu? Yuko wap? Na anaendeleaje?"akauliza " Mmmmmh! Bado hali yake ni mbaya,hivi tunajiandaa kumfata tumrudishe nyumbani kwa sababu madaktari



    wameshindwa na wamesema anapaswa apelekwe nje ya nchi" akasema tena shemeji " Jaman sasa ndo tutafanyaje? Na hiyo pesa ya kumpeleka huko mnayo?" akauliza mama "

    Mmmmh! Yaan hapa ndo maana tukasema tumechanganyikiwa mama,kwa sababu mme wangu alichukua pesa kalbia yote na akaondoka nayo kwenda kuchukua mzigo ,hao



    wenzake walimshaur abebe nyingi ili wampe mzigo mkubwa tupanue biashara,alivyopata ajali yote iliibiwa" akasema shemeji " Mungu wangu,siku ya kufa nyani miti yote inateleza,na



    kwenda nje ni kias gan?" akasema mama " Ni gharama mama,nasikia zaidi ya million thelathini" akasema shemeji bila kuwa na uhakika " Jaman mwanangu atakufa namuangalia ndani



    " akalalama mama "

    Shemeji jiandae tukamfate kwa sababu Dokta ameshanipigia simu" akasema shemeji Mama alijiiinamia pale kwenye sofa na kulia kilio cha kiutu uzima taratibu sana mpaka



    nikamwonea huruma " Mwanangu kwa nini nisingekufa mimi wewe ubaki?

    Tulikutegemea wewe,umeleta mabadiliko kwetu! Mungu badilisha maamuzi sasa" alikuwa akilalamika Nilitoka na kuelekea kwenye kile chumba changu ch nje na kunawa uso isha



    nikajiandaa kwa safari hiyo ya shemeji Baada ya dakika chache tulikuwa tumeshajiandaa ili kuondoka " Mama ngoja sisi tumfate kaka basi" nikamuaga " Naomba niongozane na nyie



    jaman" akasema mama huku akinyenyuka na kufunga kitenge chake vizur "

    Aaah! Hapana mama,pale hospitalin hawaruhusu kulia,najua ukimuona utapatwa na majonzi utalia utupe kesi tena,we subiri mamangu" akamuwahi shemeji aliposhtuka kuwa mwili



    wa kaka haukuwa hospitalin bali kule mafichoni " Jaman! Haya basi" akasema mama kwa style ya kulalamika Tulitoka na shemeji kisha tukapanda kwenye gari ili tuondoke "



    Tukicheza hapa mambo yataharibika" akasema shemeji " Kwa nini unasema hivyo?" nikamuuliza " Tunamuacha mama na yule housegirl unafikili hatasema?" akauliza "

    Dah! Hilo nalo tatizo,basi mwite mama twende naye" nikasema " Tatizo lako kichwa chako hakifikirii vizur,tukiondoka na mama mwili tunaufata hospitalin?" akauliza tena "



    Tunafanyaje?" nikauliza Shemeji alifungua sehemu flani kwenye gari yake na kutoa kopo kama la rungu dawa ya mbu na kunipatia " Shika hii,namwita yule demu,akifika



    nitamwambia aingie kwenye gari,akishakaa siti hizo za nyuma geuka ghafla kisha mpulizie hii dawa ya usingizi kisha tutaenda kumuuliza kule dokta aliko" akasema Nilimwelewa



    vizuri sana shemeji,nikalichukua lile kopo na kulificha chini ya siti yangu Shemeji alitoa simu na kupiga " Marry...njoo mara moja kwenye gati" kisha akakata





    Baada ya yule msaidizi wa kazi kufika alimfata shemeji dirishani " Naam dada?" akasema " Fungua mlango huko nyuma uingie" akaongea shemeji bila kumuangalia Yule mdada wa



    kazi alifungua mlango na kisha akaingia na shemeji akapandisha vioo vya gari Baada ya kuingia ndani,nilitoa lile kopo la dawa kisha nikageuka nalo na kumpulizia usoni "

    Nini tena jaman? Aaaagh!" aliongea na kutoa ukelele kisha taratibu akaanza kupoteza uwezo wa kupambana na ile dawa na mwishowe akalegea na kuangukia kwenye ile siti ya pale



    nyuma " Tayali ondoa gari" nikamwambia shemeji na yeye akageuka na kumwangalia kisha akawasha gari Tuliondoka eneo lile kuelekea kwenye kambi yetu ya kule Kimara



    tulikomuacha kaka na ile maiti ya Dokta

    Tulichelewa sana kufika kutokana na foleni kubwa iliyokuwa barabarani. Tulipofika moja kwa moja tulipiliza ndani na kumkuta Mussa akiwa anatusubir " Kwenye gari kuna boya



    mwingine anayeweza kutuletea matatizo naomba ukamlete hapa" shemeji alimwambia Mussa Mussa aliondoka na kumleta yule binti wa kazi " Mussa mmalize huyu akiwa usingizini



    kwa sababu tukimwacha anaweza kuja kuwa shida na kikwazo kwenye njia yetu" akasema shemeji

    Tulimbeba Kaka mpaka kwenye chumba maalumu na kumfanyia usafi wa mwili kisha shemeji akatoka na kununua bandeji tukavifunga vidonda vya kaka kisha tukampakia kwenye



    gari na kuondoka Safari ya moja kwa moja mpaka Nyumbani na kumkuta mama akitusubir Tulimbeba Kaka na kumuingiza ndani kwenye chumba cha wageni tukamlaza " Jaman



    mwanangu,kila mtu anakutegemea wewe tafadhali usife mwanangu,utaniacha kwenye hali mbaya sana mamako!

    Tafadhali baba usife" aliongea mama huku akilia Shemeji alimfata na kujalibu kumbembeleza mama ila ilikuwa kama anamwongezea speed ya kulia ikabid amwache na kutoka.



    Shemeji alirudi baadae na maji ya drip kama zile za Hospitalin kamfungia kaka,kisha akaniita chumbani kwake " Huyu mama hawezi kuondoka leo au kesho na sisi tunahitaji



    kummaliza huyu ili tubaki huru tufanyeje?" akaniuliza " Yaaan hapa nilipo kichwa hakisomi kabisa shemeji" nikasema " Weee vip? Unafikiri kuwa mwanamme ni kuvaa suruari pekee?



    Lazima uumize kichwa bwana" akasema kwa hasira " Sasa mbona unanitukana?" nikamuuliza "

    Sikutukani ila nakwambia,umiza kichwa basi" akasema " Ok,una wazo gani?" nikamuuliza Shemeji aliniinamia kisha akaninong'oneza kitu ambacho kilinishtua sana " Haaaaaaaaah!



    Sa nani atafanya hiyo kazi?" nikamuuliza " Utaifanya wewe mwenyewe" akajibu " Aaaaaah! Me siwezi bana tafadhali sana" nikajitetea "

    Hilo swala halina mjadala,ni lazima ufanye hivyo" akasema shemeji " Sa mbona unaniburuza kwenye maamuzi?" nikauliza " Sikuburuzi ila tunashilikiana" akasema Tulipomaliza



    maongezi yetu na kukubaliana tuliondoka na kuendelea na majukumu kama kawaida " Yule binti wa kazi yuko wapi jaman?" aliuliza mama " Kwani hajarudi hapa?" akauliza shemeji "



    Tangu mmeondoka naye sijamuona" akajibu mama "Tumefika hapo dukani na kumnunulia vitu vya chai akarudi" akasema shemeji "

    Basi sijamuona" akasema mama " Huyu binti itabidi nimuachishe kazi huwa ananitoloka na kwenda kwa wanaume na kulala huko akirud anaomba msamaha namsamehe ila leo



    sitamsamehe" akalalama shemeji Siku mbili zilipita tukiwa vizuri bila kushtukiwa na mtu yeyote yule na mama alikuwa habanduki kitandani kwa kaka,alimsaidia kwa kila kitu huku



    kaka akiwa hana fahamu

    Siku ya tatu tulipotoka na shemeji alinishushia getini kisha nikaruka ukuta na kuingia ndani kwa kutumia mlango wa nyuma na kujificha chumbani kwa shemeji bila mama kujua



    Nilitulia mle ndani nikisubir wakati ufike nikamilishe kazi yangu niliyoagizwa na shemeji Ila nilijihisi kutetemeka mwili mzima!



    Nilitulia pale chumbani nikisubiria muda wa kufanya like tukio aliloniagiza shemeji ufike ili nilitekeleze niondoke bila kushtukia " Niko ndani nasubiri muda nifanye yangu" nilimtumia



    sms shemeji " Poa ngoja nimuondoe mama ili umalize kazi" akanijibu kwa sms Muda si mrefu nilisikia simu ya mezani kule sebuleni ikiita na baada ya muda nikamsikia mama



    akitembea kuelekea sebuleni " Haloo.....Ndiyo mama.....hapa dukan ee?....sawa mamangu...sawa" aliongea mama na moja kwa moja nikajua kuwa alikuwa akiongea na sheemeji



    Muda mfupi mesage iliingia kwenye simu yangu " Mama anaondoka hapo muda si mrefu kwenda kwa Mangi kuchukua mkate atakaonywea chai hivyo maliza kazi"

    Niliielewa ile sms ilikuwa ina maanisha nini ila nilijikuta ujasiri wote ukinitoka na kubaki nikitetemeka Kweli dakika chache baadae nilimsikia mama akifungua mlango wa kutoka nje na



    kutoka nikaenda na kuchungulia nikamuona akifungua geti na kwenda nje. Nilirudi ndani na kukimbilia chumbani kwa kaka na kuchukua mto aliokuwa amelalia kisha nikamfunika nao



    usoni. Kazi ilikuwa nyepesi sana kwa sababu kaka hakuwa na faham kabisa hivyo alitapatapa kwa muda mfupi kisha akatulia

    Nikaaangalia kama kweli ameshakufa au la!? Nilipohakikisha amekufa nikaurudisha ule mto ulivyokuwa kisha nikajiandaa kuondoka Pale pale nikasikia mlango wa sebuleni



    ukifunguliwa ikanibidi nizame uvunguni kwani nisingeweza kuwahi kutoka Kweli mama aliingia pale chumbanina kumuangalia mgonjwa,hakuelewa chochote kwa sababu alimuacha



    kaka akiwa hana faham na pia akamkuta akiwa kimya vile vile "

    Mmmmmh! Hii si ni laini ya simu? Ni ya nani tena? Mbona haikuwa hapa chini wakati naondoka?" aliongea mama akiiokota Nilitetemeka sana kugundua kuwa wakati nafanya lile



    tukio line yangu ya simu iliyokuwa kwenye mfuko wa shati ilidondoka bila kujua na mama aliiokota Mama aliondoka na kwenda nje ili kumuuliza mlinzi kama kuna mtu ameingia na



    mimi nikatumia wakati huohuo kutoloka na kwenda chumbani kwa sheemeji. Nilipitia mlango wa nyuma na kuruka ukuta kama mwanzo na kisha nikaondoka eneo lile.

    Nilitafuta bajaji na kukodi kisha nikaondoka kuelekea kazini katkati ya mji Nilipofika nilimweleea shemeji kila kilichotokea " Una uhakika hujamgusa kwa namna yeyote ile usije ukawa



    umeacha alama za vidole?" akauliza " Nina uhakika huo sema kuna tatizo dogo limejitokeza" nikamwambia " Tatizo gani tena?" akauliza " Wakati nimejificha uvunguni mama aliingia



    na kuokoya line kumbe wakatai nafanya tukio nilipoteza line yangu pale" nikasema Shemeji alitulia kwa muda akitafakari sana juu ya lile "

    Dah! Angekuwa mpelelezi tungeshasema tumekwisha sema mama!!!!! Mmmh! Tuombe Mungu" akasema shemeji Tulituilia na kuendelea na kazzi za pale dukani kwa muda wa saa



    mbili ndipo simu kutoka kwa mama ikaingia " Ndiyo mama....unasema?......imekuwaje tena?.....umejuaje?...subiri nimpigie Dokta tuje naye....sawa mama usiwe na wasi wasi ni



    mzima huyo...sawa" aliongea kisha akakata simu " Yameshasanuka" alisema shemeji

    Alinyenyua simu kisha aakampigia Dokta wake wa magumashi na kumwambia pa kukutana tuelekee home Tulipokutana safari ya kwenda home ikaanza. Tulipofika tulimkuta mama



    akilia sana pembeni ya kitanda cha kaka Jamaa akachukua vifaa na kupima kwa muda kisha akavitoa " Poleni sana jaman,mwenzenu hatunaye tena" aliongea Pale pale shemeji



    akaangua kilio hasa,cha ajabu mama hakulia ila nilipomwangalia nikakuta na yeye akiniangalia kwa jicho baya sana mpaka nikashtuka!



    Nilishtuka kuona mama ananiangalia kwa jicho baya vile ila nikajikausha kama sijamuona " Mama poleni sana hii ni hali ya kawaida sana na inawatokea wengi,naomba niwaache



    mkiendelea na taratibu za kawaida za kuaandaa msiba" akasema yile jamaa ambaye alikuja kama Dokta " Sasa wewe Dokta mbona haushauli chochote kuhusu marehem?" akauliza



    mama " Kivip mama?"jamaa akauliza " Mfano apelekwe mochwari unataka tuishi nye humu ndan?" " aaaah! Samahan mama nimepitiwa,ndiyo mnapaswa mmepeleke akachomwe



    dawa za usingizi nma kutunzwa wakati taratibu za msiba zikiendelea" akasema jamaa

    Wakati huo shemeji aliendelea kulia kwa nguvu hali iliyosababisha majirani waanze kujazana pale " Beba majukumu ya kiume Hun" akasema mama akiwa haniangalii usoni Nilitoka na



    kuingia ndani nikabadili shati na kuvaa t shirt yangu nyeusi kisha nikatoka mlangoni nikakutana na mama " Heeee! Mwenzetu ulishajiandaa kwa msiba tayali ee? Mbona nguo mpya



    kabisa hiyo?" akauliza kisharishari " Hapana mama,niliinunua zaman sema nilikuwa siivai" nikamjibu na kupitiliza nje,

    Nilikutana na majirani zeti wakiume na kushauriana tuupeleke mwili wa marehemu mochwati,waliingia na kunisaidia kubeba kisha tukaweka mwili kwenye gari na kuondoka kuelekea



    Muhimbili huku nyuma tuliacha shemeji akitulizwa na akina mama " Mme wangu eeeee!!....mmme wangu umeniacha bado mdogo....umeniacha mbali mme wangu....hujaniachia hata



    mtoto wa ukumbusho jaman....mme wangu si bora ningetangulia mimi badala yako? .....kila mmoja wetu alikutegemea jaman" alilia sana kiasi cha kuwaliza na wenzake waliokuwa



    wakimpooza Tulipofika hospitalini tulipokelewa na kulipia gharama zilizokuwa zikihitajika na kisha tukaacha wakiendelea na taratibu zao sisi tukarudi nyumbani.

    Nilipofika nilimkuta mama na yeye ameshikwa na uchungu analia sana kiasi cha watu kushindwa kumpooza Nilienda na kukaa sehemu ya wanaume kisha tukapiga soga za kupoteza



    muda Jioni ya siku hiyohiyo wagemi ambao ni ndugu zetu walianza kuwasili pale nyumbani na hali hiyo ikasababisha tukae kikao cha ukoo ili kuamua pa kuzikwa kaka "

    Jaman nafikiri kila mmoja amefika hapa akijua yaliyotukuta,kwanza poleni" aliongea baba mdogo wa Kinondoni " Ahsante" wakajibu " Kikao chetu ni kifupi na ni cha kuamua



    sehemu maalum ya kuzikwa kijana wetu kati ya kijijini kwetu Kibosho au hapahapa Da" akasema " Hakuna utaratibu katika kabila yetu sisi wachaga ya kuzika mtu tofauti na



    nyumbani kwao na isitoshe kijana wetu alishajenga mji wake pale Somsom hivyo lazima akahifadhiwe kwake" akaongea mjomba "

    Jamani hilo no wazo la mjomba wa marehemu sijui wengine mnasemaje?" akauliza bandogo " Sidhani kama hilo linahitaji mjadala la msingi ni utekelezaji jaman au kuna mtu



    anabisha?" akauliza ndg mwingine " Hakuna" wakajibu " Basi kwa kutokana na maongezi niliyoongea na mdogo wa marehem mpaka sasa mambo hayajakaa sawa,marehemu



    aliibiwa kiasi kikubwa sana kwenye ajali na pia acc zake benk hazijatolewa ruhusa ya kutumia hivyo naomba tutoboke kidogo ili mambo yaende sawa" akasema bamdogo

    Mama alinipiga jicho kali sana kwa mara nyingine nikaangalia pembeni. Michango ilitolewa na kisha taratibu za kuusafirisha mwili wa marehemu kuelekea Kibosho umbwe kwa ajili



    ya mazishi zikaanza Asubuhi ya siku iliyofata ndipo msafara ulipoanza kuelekea Moshi kwa ajili ya msiba Msafara ulikuwa mkubwa hasa kutokana na kaka kuwa na marafiki wengi



    sana kibiashara Dar Tulifika Mombo saa sita za mchana na kushuka ili tupate chakula na cha kushangaza mama akanishika mkono na kunivuta pembeni " Sikia,taratibu zetu wachaga



    ni kuwa ukimuua mtu usisogelee kaburi lake wakati wanazika hivyo kuwa makini sana Jun,sitaki niwapoteze wote" alinambia Nilitumbua macho kwa mshangao!!!!







    Nilishtuka sana kusikia mama ananieleza habari ile ambayo sikutarajia kabisa kama atakuwa anaijua “ Unaongea nini mama? Mbona sikuelewi?” nikamuuliza “ Unasema hunielewi?



    Basi endelea kubisha tuone tatizo litaamkuta nani kati yangu na wewe”akasema Katika hali halis nilikuwa nimeogopa kupita maelezo nilihisi kijasho chembamba kikinitoka gkwenye



    uti wa mgongo kushuka mpaka makalioni.

    “Lakini mama kumbuka mimi ni mwanao sasa hayo mambo ya uongo unayoongea watu wakiyasikia huoni kama utaniweka kwenye wakati mgumu?”nikajitia kuuliza kwa hasira



    “Sikia wewe mpuuzi,mimi nilizaa watoto wa kiume wawili peke yake,wewe na kaka yako,nilitegemea muishi kwa amani na upendo na kusaidiana matokeo yake yamekuwa kuuana?!!



    Hata siamin,nahisi hata ile ajali haikuwa ya kupenda kwa mungu bali ni mpango wa binadam,nasubiri msiba uishe ili unieleze vizuri”alifoka mama

    Nilitetemeka kabisa kiasi cha kuonekana dhahiri machoni pa mama “ Kama haukumuua kakako unatetemeka nini sasa?”akauliza na mimi sikuwa na cha kujibu ikabid nitulie kama



    sielewi kinachoendelea “Sikianiliporudi kutoka dukani nilikuta line ya simu pale chini wakati naondoka nilifagia chumba kile na sikukuta kitu kama hicho,nilishtuka na kujua kuna kitu



    kinaendelea pale ila sikujua ni nini?

    Nilitoka ili nikamuulize mlinzi kama aliona mtu akiingia ndani,alipojibu hakuona nikasikia kishindo cha chombo kikianguka ndani,nikazunguka kwenye maua pale ili nianue nguo ya



    kumbadilishia kakako ndo nirudi ndani,ndipo nilipofanikiwa kukuona ukiruka ukuta,nilishangaa sana kwa nini uruke ukuta? Kurudi ndani nikachukua simu yangu na kuweka line yako



    nikaziona message zako na mpuuzi mwenzio”akasema mama

    Nilikuwa mdogo kama piriton mbele ya mama!sikuwa na ha kuongea tena kwa sababu ukweli ulikuwa umeshawekwa wazi kabisa “ Jaman tunaondoka hivyo,tunaomba kila mmoja



    apande kwenye gari ili safari iendelee”aliongea mjomba kwa sauti Nikageuka kumwangalia mama “Sikia tukifika kibosh lia sana na ujifanye unapoteza faham ili wasije



    wakakulazimisha kulikalibia kaburi la marehemu,kumbuka ukikanyaga pale ndo kifo chako,nimbakiwa na kijana mmoja peke yake,sitaki kukupoteza ma wewe”aliongea kwa msisitizo



    mama Nilitishika sana!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!



    Mjomba aliendelea kutuita ili tuingie kwenye gari na kuendelea na safari na mama akageuka na kuelekea magari yalipo. Niliduwaa pale kwa muda kisha na mimi nikaunga tela na



    kupanda gari nililokuwa nimepewa siti ya kukaa tangu mwanzo. Safari iliendelea huku nikiwa mwingi wa mawazo sana,sikujua hatima ya lile sakata ni nini? Na hata mimi mwenyewe



    nilianza kujishangaa ilikuwaje nikaweza kutekeleza kitendo cha kinyama kiasi kile.

    Tulifika Moshi mjini mida ya saa saba za mchana na kushika barabara ya Mwika kuelekea Moshi vijijini eneo la Kibosho umbwe pembeni ya shule ya Somsom ambako ndiko



    nyumbani kwetu halisi. Baada ya kuingia eneo la migomba linaloelekea nyumbani akina mama wa kijijini pale na ndugu kadhaa walitupeokea kwa vilio sana mpaka wakanipa majonzi



    makubwa Nikaanza kujihisi hatia kubwa sana juu ya kitendo nilichokitenda "

    Hivi kwa nini nimefanya vile? Ni kitu gan hasa kilichonisukuma kufanya vile? Au shemeji kuna kitu alishanifanyia bila kujijua? Aaaah! Potelea mbali maji yameshamwagika sina cha



    kufanya" niliwaza huku nikipambana na ukweli halisi wa lile tukio Niliposhuka kwenye gari wakati mama amejichanganya na akina mama wenzake wakilia na kumfatiji niliondoka na



    kutafuta shemeji alipo. Nilimkuta Shemeji amekalishwa na mawifi nao wakijalibu kumfariji huku na yeye akilia kiuongo na kweli ili watu wasimshtukie,nikamshika mkono

    " Samahan jaman na shida naye kidogo tafadhali" nikawaambia Nilimvuta shemeji kuelekea kwenye migomba eneo la mbali kidogo ili watu wsitushtukie " Mwenzangu maji



    yameshamwagika" nikamwambia "

    Inabidi kuyaoga " akajibu kinyodo " Me naongea serious ila wewe unafanya matani?" nikawa mkali " Una maana gan kwan baby?" akasema " Sikia shemeji,mama anajua kila kitu



    kinachoendelea" nikamwambia " Sijakwelewa,!!! Anajua nini tena? Na nini

    kinachoendelea?" akahamaki " Ni hivi leo wakati tukiwa mombo,mama aliniita na kunieleza kila kitu ambacho tumekifanya" nikasema Shemeji alishtuka na hilo nililiona dhahiri sema



    hakutaka nijue kama kashtuka akajikausha " Imekuwaje akajua?" akauliza "

    Unakumbuka ile line niliyokwambia kuwa niliidondosha akaiokota?" nikamuuliza " Ndiyo" akajibu " Sasa siku ile kumbe wakati naruka ukuta ili kuondoka alikuwa anaanua nguo za



    kumbadilishia kaka kule nyuma akaniona na baada ya hapo akawa na wasiwasi na mimi ndipo alipoenda kuikagua ile line na kuona kila kitu" nikaeleza

    Shemeji alitulia kwa muda akiniangalia sana ,nilichompendea shemeji ni akili,alijua kukabiliana na tatizo kwa haraka sana " So wewe una wazo gan hapa?" akaniuliza " Me na wazo



    gan zaidi ya kuchanganyikiwa" nikajibu " Sasa wewe ni mwanamme wa aina gan? Mwanamme suruali? Tatizo likikukuta huwez kupata suluhisho bali unachanganyikiwa?" akafoka "



    Samahan ila me inabid tumtafute mama tuongee naye yaishe na yeye akaushe" nikajibu " Weeeeeee! Thubutu! Sikia uchungu wa pilipili haumzuii mlaji sawa" akajibu " Una maana



    gan?" nikamuuliza " Namaanisha yeye si pilipili kwenye chakula?

    Sasa tuondoe sehemu yenye pilipili kwenye chakula ili tuendeelee kula vizur" akasema kwa kujiamin " Sijakusoma ujue? Una maanisha tumuondoe mama?" nikasema kwa mshangao



    " Hilo sio swali labda uulize swali" akajibu kwa nyodo " Wewewewewewewe! Hapo ntakupinga mpaka kesho, nimebaki na mama peke yake,baba alikufa,kaka nimemuua



    mwenyewe na kwetu tulikuwa wawili af nimuue na mama?

    Unataka nibaki mwenyewe? Hapo NO tena big NO" nikajibu kwa hasira Kuna mzee mmoja alituona kama tunajibizana vile akatusogelea " Kuna nini jama? Mbona kama



    mnazozana?" akauliza " Aaah! Hapana baba hatuzozani ila kuna vitu namwelewesha shemeji hapa" akajibu shemeji " Aaah! Jaaman mbona dhahiri shahiri inaonesha kama mzozo?"



    akauliza tena " Samahan jaman naomba niwaache " nikasema kwa hasira kisha nikaondoka Shemeji alimwelewesha yule mzee mpaka akamwelewa na kisha akaondoka Kumbe yule



    mzee alibaki na maswali kichwani juu ya tukio lile!!!



    Yule mzee ambaye alikuwa ndugu wa ukoo wa baba ambaye mimi sikujuana naye sana alitilia mashaka kilichokuwa kikiendelea pale kati yangu na shemeji Alipotoka pale alirudi eneo



    walilokaa watu wengine lakini macho yake yakawa yanacheza kutoka kwangu kwenda kwa shemeji,alijitahid kutufatilia ili agundue chochote kinachoendelea kati yetu. " Hawa watu si



    bure! Mbona huyu kijana ni kama ana mawazo saana?

    Na akili yake ni kama haiko msibani? Na yule mkwe mbona analia watu wakiwa naye busy? Na anawasiliana sana na simu? Hapana" alijisemea yule mzee " Vip mzee mwenzangu?



    Umeanza kuhalibikiwa kama vijana wa kisasa wanavyodai?" mzee mmoja aliyekuwa kaketi jilani naye akamuuliza " Unasemaje?" akauliza kwa mshtuko na hamaki " Nakuona muda



    mrefu unaongea mwenyewe nashangaa mzee mwenzangu" akasema " Aaaah! Hapana ila kuna kitu kinanichanganya" akajibu yule mzee "

    Sema mzee mwenzangu? Yawezekana nikawa na wazo zuri na kujenga mawazo yako" akajibiwa " Twende pembeni" akasema "Sikia hapa kuna kitu nahisi hakipo sawa" akasema



    mzee wa kwanza " Kivip?" akajibu mzee wa pili maarufu kama Urio " Sikia Urio,hawa wenye msiba siwaelew elew,nimemkuta mkwe wetu na shemeji yake wanazozana sana na



    nilipojalibu kuwadadisi nikagundua hakuna maelewano sasa haya mambo kiukoo si sawa,ila pia nimamfatilia mama mzazi wa marehem na yeye naona hayuko sawa" akasema Mushi



    " Mmmmmh! Mbona sijakwelewa?" akasema Urio "

    Sikia nataka unisaidie,naomba tuwafatilie hawa watu watatu nyendo zao wote,na hasa wanapokutana wenyewe kwa wenyewe,nahisi kuna jambo zito limejificha hapa katikati"



    akasema Mushi " Aaah! Kama ni hilo aisee halina tatizo kabisa et! Me nikigundua kitu aki ya nan yesu na maria lazima nikwambie" akasema Urio Wale wazee wakaondoka na kurudi



    maeneo yao huku wakiendelea kufatilia nyendo zetu.

    Siku hiyo tulilala kwa amani na hakuna kati yetu aliyewasiliana na mwenzake. Asubuhi ya siku iliyofata ambayo ilikuwa ndiyo siku rasmi ya mazishi ndipo kizazaa kilipoanzia Muda



    wa saa mbili mama aliwakwepa wazazi wenzake na kunifata " Mwanangu Jun" akasema " Naam mama" nikajibu " Naomba kuongea na wewe pembeni kidogo" akasema mama "



    Haina shida" nikamjibu

    Nilinyenyuka na kuwaaga wale vijana wenzangu niliokuwa nimekaa nao kisha nikamfata mama Uzuri wa kule kwetu uchagani kuna migomba mpaka kalibu na nyumba kabisa hivyo



    tulielekea migombani ili tupate faragha

    Kumbe wakati mama ananyenyuka kunifata Urio alimuona na akamfatilia " Mwanangu narudia tena kukuonya usije ukasogea eneo la kaburi utakufa mwanangu,kumbuka nimebaki na



    wewe peke yako mwanangu" akasema mama " Usijal mama sitaenda" nikajibu " Lakin pia nakuomba mwanangu,kaa mbali na huyu mwanamke,sio mtu mzuri kabisa,najua



    unaniogopa ila elewa nipo na wewe nahitaj baada ya msiba tuongee mimi na wewe kama mama na mwane kisha tujue namna ya kumuondoa huyu mwanamke kwenye maisha yetu"



    akasema mama kwa hisia saana "

    Usijal mamamngu" nikamjibu Kitu ambacho hatukuwa nacho makini ni choo iliyokuwa nyuma yetu,kumbe mzee Urio alikuja na kusimama nyuma ya zile choo kisha akatusikiliza kila



    kitu Aliondoka pale na kumfata mzee Mushi " Aisee mzee mwenzangu kumbe ulikuwa unaongea ukweli,hapa kuna tatizo tena tatizo lenyewe ni kubwa sana" akasema Urio " Kivip?



    Umepara nini tena?" akauliza Mushi "

    Nimemfatilia yule mama,akaenda na kumchukua kijana wake kisha wakatoka kwenda chemba,nikawafatilia na kusikia yule mama akimzuia mwanae asiende kwenye kaburi la kaka



    yake na pia wamemwongea vibaya mkwe" akasema Urio " Aisee si nilikwambia! Sasa kwa kawaida mtu asipoenda kwenye kaburi la ndugu yake wakati wa maziko si huwa



    anahusika na kile kifo? Yesu na maria watakuwa wamemchukua et?" akaongea kwa mshangao " Kumbe??? Hapa lazima tuwaumbue! Haiwezekani!" akajibu Urio





    Baada ya kumaliza kuongea na mama nilirudi sehemu waliyokuwa wamekuwa wamekaa wale vijana niliokuwa nao mwanzoni na kuendelea kusogoa " Sema nini chali angu? Yaan



    chukulia easy tu mwanangu? Af komaa kwa sababu hapa umebaki peke yako mtoto wa kiume au sio?" akasema mmoja wao " Yaan umene?..umenena chal angu,unajua arifu mother



    ako kwa sasa aanakutazamia wewe kama muhimili wa familia yenu hivyo unapaswa kuwa str...strong man " akasema mwingine "

    Af mwanangu dah! Sema pole sana ndo ya dunia" akasema mwingine Nikainama chini kwa majonzi,kisha nikanyenyuka huku machozi yakianza kunitoka " Ahsante sana jamaa



    zangu,,ila imen-i-uma s-a-na.." nikajitengenezea mazingira ya kulia na kweli ndani ya muda mfupi nikawa nalia sana Niliamua kucheza kabisa nafasi ya uigizaji ili kuyanusuru maisha



    yangu kama mama alivyosema Nililia huku washkaji wakinibembeleza pale na watu wazima wakaanza kushtukia kuwa kuna kitu kinaendelea pale

    Ghafla nikabadilisha pigo langu na kuanza kuhema kwa shida sana Hiyo yote ilikuwa mbinu yangu ili nipone kwenda kwenye makaburi kuzika " Jaman hamuoni huyu kijana anakosa



    hewa ndo maana anapumua kwa shida? Sogeeni pembeni na mmwachie nafasi ya kutosha" akafoka mzee mmoja " Kuna nini tena hapa?" akasema mmama mmoja aliyetokea pale



    pia " Aah! Sijui hawa vijana wamemfanyaje mwenzano ghafla akaanza kulia huku pumzi inamuishia kama unavyomuona" akajibu yule mzee "

    Sisi hatujamfanya kitu babu,tulikuwa tunamfariji hapa ili asijisikie mpweke" akasema mmoja wa wale vijana niliokuwa nao pale Nilipoona najaza watu nikaamua kurusha pigo la



    mwisho ambalo niliamin litamaliiza mchezo mzima Nilipumua kama mara tatu kwa nguvu na kwa kuvuta sana pumzi kama inanikosa kisha nikajiachia na kulegea kama mlenda! Kazi



    ikawa imeisha "

    Kijana,,,,,kija,,,,,kijana,,,,,aya aisee jombaa huyu kesha tangulia tena kwa mw....kwa mwana wa maria chalii" akasema kijana mmoja pale Ikawa hekaheka pale kila mtu akawa



    anahangaika kuyanusuru maisha yangu Mzee mmoja akaniinamia na kusikiliza mapigo yangu kwa muda kisha akanyenyuka

    Alichokiongea ndicho kilichofanya niamin binadam ni wanafiki na ndo maana mtoto anaweza zaliwa leo ukashangaa wanasema anafanana na mtu " Jaman bado anapumua ila



    anapumua kwa mbali sana tena sana,kuweni makin na ongezen kumpepea ili asije akatutoka" akase0a yule mzee " Jaman kuna nini hapa?" nikasikia saut ya mzee mmoja " Aah!

    Hapa huyu kijana amepatwa na majonzi ndo unaona hali imebadilika,yaan hapa tukicheza tunampoteza" akajibiwa " Si nilikwambia? Mchezo umeanza" yule mzee akasema huku



    nikisikia " Dah! Kweli aisee,wanaweza kuigiza ee?" akajibu mwenzake " Kabisa,jaman huyu hajazimia kabisa" akaropoka yule mzee " Wee mzee zinakutosha? Hajazimia nani?



    Unatuchuria ee?

    Tunaomba uondoke hapa yasije yakakukuta makubwa" akafokewa na mzee mmoja wapo " Jaman mwenzangu anachowaambia ni kweli kabisa,huu ni mchezo hapa hakuna cha



    kuzimia wala nini,huyu kijana na mama ya......" hakumalizia kuongea yule mzee watu wakamshambulia kwa maneno makali sana

    Walitukanwa na kufukuzwa eneo lile kwa hasira na watu,nilitaka kufa kwa presha pale chini baada ya wale jamaa kutaka kuhalibu mchezo,sikujua ni akina nani mpaka baadae sana



    Wazee kadhaa waliwaamrisha wale vijana wanibeba kisha waakanipeleka ndani kwenye chumba chenye hewa ya kutosha kisha feni ikawashwa "

    Kaeni naye humu wakati tukijiandaa kwenda mazikon,akiwa sawa mtatushtua na akizidiwa tuambieni tumuwahishe hospitalin" akatoa maagizo Nilitulia vile vile kwa zaidi ya masaa



    mawili ndipo nikaanza kuchezesha vidole vya mkono na taratibu nikajifanya kuwa fahamu zinanirudia Wakati narudisha fahamu kule nje zilisikika kelele nyingi ambazo ziliashilia tukio



    lisilo la kawaida

    " Oyaa kuna nini?" wale vijana wakaulizana " Unauliza kuna nini wakati tuko wote humu chali? Mbona una dharau hivyo" akafoka mwenzake Yule aliyeuliza hakutaka makuu



    alinyenyuka na kwenda huko nje baada ya dakika tano akarudi na jibu " Oyaa kuna watu ni kat?...katili chali angu!" akasema " Kuna nini jombaa?" akauliza mwenzake " Wale wazee



    waliokuwa wanaleta mdomo pale kwa chali yetu kuwa hajazimia! Cha angu wamekutwa hapo shambani wamekatwa vichwa ujue" akasema " Yesu na mariia yeleeeeuiiiiiiiii" akasema



    mmoja wao Nilishtuka sana!!!!!!





    Nilishtuka kusikia kuna mauaji yamefanyika pale msibani tena mchana kweupe " Mmmh! Shemeji ameshaanza au? Na hawa nao wamemkosea nini tena?" nilijiuliza Nilitulia ndani ili



    watu wasije shtukia kinachoendelea kwangu kuwa sikuwa nimezimia bali niliigiza Kelele kule nje zilizidi kuwa nyingi sana,wakina mama walilia sana kila mmoja akawa anaongea la



    kwake " Jaman kuna nini kinaendelea hapa?

    Iweje hawa wafe kirahisi hivyo?" watu waliendelea kusemezana Wakati nimekaa na wale jamaa pale ndani nilishangaa kumuona shemeji anaingia " Vip shem mmeshazika tayali?"



    nikamuuliza " Ndiyo shem wangu,jaman samahani,naomba mnipe nafasi kidogo niongee na shemeji yangu hapa" aliongea kiupole

    Katika hali halisi ya kawaida ya kimaisha Shemeji alionekana binti mmoja mpole na mcheshi,asiye na makuu kabisa,hata pale msibani nilisikia watu wengi wakimsifia " Jaman mdada



    wa watu mpole na hana makuu kabisa! Leo anabaki mjane" watu wengi walikuwa wanamuongelea vizur " Shem kuna nini kinaendelea?" nikaongea kwa sauti ya chini sana "



    Nishukuru mimi bwege wewe!

    Af unavunga kuniona sifai,ungeshakufa mpaka sasa" akasema " Kwanini shem? Kuna nini kinaendelea?" nikauliza kwa mshangao " Sikia Jun,mimi ni tofaut na unavyofikilia,nafanya



    mambo yangu kwa utaratibu,wewe nimekutegeshea kifaa cha mawasiliano tangu msiba ulivyoanza,hiyo yote ni kuwa makini nisije nikafanya kosa lolote lile" akasema " Mmmh! Cha



    nini sasa? Unafikiri naweza kukusaliti" nikamuuliza "

    Sio kunisaliti,hasa hasa ni ulinzi wako,pia kila sehemu nayoenda lazima vijana wangu wawepo na wafatilie nyendo zote mbaya zinazonihusu" akasema " Sawa sasa hao wazee



    uliowaua wanahusika vip?" nikaendelea kuuliza " Wakati unaongea na mama kuhusu swala la kutokwenda makaburin kwa sababu ya mila zenu nilikuwa nawasikiliza lakini pia vijana



    wangu walikuwa wanafatilia nyendo za watu wote wanaoonesha shaka juu yangu au wewe" akasema "

    Nini kikaendelea?" nikamsaili " Wakati nyie mnaongea wale wazee walishawashtukia tayali hivyo walikuja na kusikiliza kila mlichokuwa mnapanga na vijana wangu walikuwa



    wanawaona vizuri" akasema Nilishtuka sana kusikia kuwa mipango yetu ilikuwa imeshajulikana " Ndo maana nilipozimia nilisikia wazee flani wakisema nadanganya?" nikauliza kwa



    mshangao " Sio kuzimia,sema kuigiza kuzimia" akanisahihisha " Aya ndelea basi ikawaje?" nikamwambia "

    Wale wazee walifatiliwa na vijana wangu na wakasikiwa wakipanga kukuumbua ukicheza huo mchezo na pia kukulazimisha wewe kwenda makaburini ili ufe au kuumbuka,nilipoona



    hivyo nikajua kuwa ukiumbuka wewe na mimi nipo hatarini" akasema " Mama yangu" nikabaki kushangaa " Vijana wangu wakatafuta upenyo wa kuwaondoa wale wazee,ila wakawa



    wanajichanganya na watu ikawa ngumu, ila wakati wale wazee wanakuja kukuumbua watu waliwafukuza na wao wakeelekea kule migombani na kupanga mbinu mpya za kukuumbua



    na huko huko ndipo vijana wangu wakawamaliza" akamaliza kusimulia " Duuuu! Kweli leo ningepatikana,lakini kwa nini wamewaua sasa?

    Wasingeweza kuwateka mpaka muda wa mazishi uishe?" nikauliza " walileta ubishi kwa sababu vijana walitaka kuondoka nao,na pia tungewaacha baadae wangeleta madhra"



    akasema " Sasa sikia, jitahid kuwa makini kwa kila unachokifanya" akasema na kunyenyuka kisha akaondoka Nilitulia pale ndani nikiwaza ule uwezo wa shemeji nikahisi kumuogopa



    Wakati nikiwa bado mawazoni nikasikia gari za polisi zikipaki pale nje Majadiliano yalifanyika kwa muda pale nje na ghafla mlango wa chumba nilicholala ukasukumwa na wakaingia



    ndani askari wawili " Habari kijana?" wakanisalimia " nzuri shikamoo" nilijikuta nimewaamkia kwa sababu ya uoga " Tunakuhitaji kituoni tafadhali amka twende" wakasema Nilihisi



    haja ndogo ikipita!!!





    " Kijana vip? Mbona unatetemeka hivyo? Hujiamin?" akasema mmoja wa wale askari " Ana haki ya kutetemeka kwa sababu ni kitu kigeni na cha kuogofya kwake" akasema shemeji



    ambaye hata sijui alipotokea " We ni nani unayemuongelea?" akauliza mmoja wa wale askar " Mimi ni shemeji yake,mimi ndiye mfiwa" akajibu kwa kujiamin " Okey mfiwa,tupo hapa



    tunamchukua huyu shemeji yako kwa mahojiano maalum" akajibu yule askar " Nipatieni kibali cha ruhusa ya kumkatama shemeji yangu" akasema kwa kujiamin Wale askar



    wakatazamana kisha wakajibu "

    Aaah! Unajua imetokea tu ghafla baada ya kupata maelezo kuwa vifo vya hawa watu vina uhusiano na huyu shemeji yako ndiyo tukaona tuende naye" wakajibu kwa kutokujiamin "



    Ni sheria ya wapi inayosema kuwa mtu anapelekwa polisi kwa kukamatwa bila kibali na pili akiwa mgonjwa! Ina maana hamuoni hali yake?" alikuwa anaongea kwa kujiamin sana



    mpaka nikashangaa " wee! Usitufundishe kazi sawa?

    Hapa nyamaza na huyu tunaondoka naye" akafoka mmoja wa askari " Nyie mnanijua vizur? Au mnanisikia? Chezeni na watu wengine na sio mimi hapa hatoki mtu,hamuwezi kuja



    kunivurugia msiba na kumchuka mfiwa,kama akili zenu zinafanya kazi hao wamepata matatizo huyu akiwa hana faham sasa mnamkamata kivip?" akafoka shemeji " Sasa unatufokea



    Mura?" akajibu askar mmoja mwenye lafudhi ya kikurya " Ndiyo nawafokea kwa sababu hamjui kutimiza majukumu yenu,,,,hebu subir" akasema kisha akatoa simu mfukoni na



    kupiga "

    Hellow......ndiyo advocate wangu,,,,,yah! Sasa fanya hivi,chukua ndege dakika ishilini uwe Moshi kuna watu wanataka kuniharibia msiba....ndiyo,,,wanataka kumkatamata dogo



    wakati hata kibali cha kumkamata hawana na pia hawana kosa la kumkamatia...ndiyo...make it faster" aliongea na simu kisha akakata ila kila mmoja alikuwa kaelewa aliongea na nan?



    " Sikieni kama mnajiamin na mna kiburi basi mchukueni huyo hapo muondoke naye na kisha tutajua pa kukutania" akasema wale askari waliangaliana kwa muda kisha taratibu



    wakapanda gari wakiwa na ile miili ya marehemu wale na kuondoka "

    Tunaenda ila nakuhakikishia tutarui hapa,kama kuna kitu kinaendelea mtajua tu" wakasema kabla ya kuondoka Walipoondoka Shemeji alimuita mama na mimi kisha tukakaa kikao



    cha siri na kipindi hicho tetesi mbaya zilishaanza kuzagaa eneo lile kunihusu mimi kuhusishwa na kifo cha Urio na Mushi " Mama usiwe na wasi wasi shemeji hatakamatwa kabisa"



    akasema shemeji " Sawa" akasema mama kiuoga " Subiri kidogo" akasema kisha akatoa tena simu "

    Hellow....unaonaje kwanza nikiwa siliana na Boaz hata nisaidia?....yah.......ok nipe dakika tano" akasema na kukata Shemeji alipekua simu kisha akapiga " Hellow...naongea na mkuu



    wa polisi mkoa kikanda wa kinondoni kamanda Boaz?....ndiyo....ni mimi Lilian bana mke wa marehem....ndiyo .....fanya kwa ajili ya upendo wangu kwako..kuna inshu hapa Moshi



    zinataka kuhalibu mambo naomba uwasiliane na mkuu wao haya mambo yasiende sehemu...ndiyo..nitatimiza unachotaka usijal baby...kwaher" akakata Kila mmoja pale alishtuka



    kuona shemeji anamuita Kamanda Boaz baby?!!!! Ila tukafanyia kichwani " Mnawaza nini sasa? Mnashangaa mimi kumuita baby?" akauliza " Hapana wala hatushangai" akajibu



    mama " Sikia wewe mama,unajua wewe ni mnafiki" akafoka shemeji " Kivip mwanangu?" akauliza mama " Ule mchezo uliokuwa unaucheza na Junior unajua ulishtukiwa na wale



    wazee? Na walipanga kuwaumbua na kumlazimisha Junior ajitokeze makaburini? Isingekuwa mimi kuwa makini unajua mngeshapotea? Nimeua kumlinda Junior,nitatembea na huyo



    Kamanda ili kumlinda Junior na kila nachofanya kwa sasa ni kwa ajili yenu na sio mimi Sasa angalia sana kwa sababu anayefatia kufa utakuwa wewe"akamalizia Mama alishtuka



    kidogo aanguke chini!!!!...



    Mama alishtuka sana kusikia shemeji anasema kuwa yeye ndiye anayepaswa kufata kwa wanaotakiwa kufa " mamangu,ni kipi kibaya nilichokifanya mpaka ufikie huko?"akasema



    mama kwa hofu kubwa "tatizo lako una kiherehere na unapenda kuingilia mambo yasiyo kuhusu"akajibu shemeji "lakin mamangu? kulikuwa na tatizo gani mpaka ukaamua kumuua



    mwanangu na bado unaendelea kuua? kwa nini usibadilike?"mama akaendelea kumuulia shemeji "matatizo ni mengi,sasa sijui unataka nikueleze lip? la mwanao? au kwa nini naua?"

    akauliza shemeji "kwanini unaua?akasema mama "hilo ni vigumu sana kukueleza kwa sasa,kwa sababu ni historia ndefu sana ila mimi nitakwleza kwa nini nilimuua mwanao"akasema



    shmeji "haya kwa nini ulimuua mwanangu? na kwa nini unataka kuniua na mimi?"akauliza mama

    "labda nikuulize wewe mimi na mwanao tulikuwa na miaka mingap kwnye ndoa bila mtoto?"akauliza "mitatu"akajibu mama 'na unajua kwa nini?" akauliza shemeji "hapana sijui,mimi



    nilidhani ni uzungu wenu wa kupanga uzazi?"akasema mama "hakuna uzungu hpo mama! mwanao alikuwa hana uwezo wa kunipa mtoto"aksema kwa kujiamin sana "heeeeee!!!!!



    unasem kweli mwanangu?"akauliza kwa hamaki mama

    "ndiyo,mwanao alikuwa tasa,nilivumilia hilo swala kwa muda mrefu sana ila nikafikia hatua nikashindwa,na mimi kama mwanamke yeyote yule napaswa kupata mtu wa kuniita



    mama, nilishafikilia kuachana na mwanao ila alipotokea huyu Junior nikaona haina maana ni bora kama ni mali zibaki katika mikono yenu na kama ni dam niipate kutoka katika familia



    hii hii badala ya kwenda nje,sasa nilifanya makosa?"

    akaeleza kirefu sana shemeji Mama aliinama chini machozi yakamtoka,alikuwa akilia hakika na alikuwa dilema ya kukubaliana na uamuzi wa shemeji au kuuukataa "lakini hukutakiwa



    kumuua"akasema mama "ilikuwa lazima nimuue kwa sababu bila kumuua msingenielewa na nisingepata nafasi ya kuishi na Junior mama"akalalamika shemeji "nipeni nafasi nitafakari



    hili jambo ni zito sana jaman,nikiwa sawa nitakuja na majibu muafaka"akasem mama "haya mama,ila kuwa makini sana"akasema shemeji "sawa"akajibu mama

    Baada ya mama kuondoka shemeji aliinama kwa muda kisha akanyenyuka na kuniangalia "itabid mama atupishe"akasema "una maana gani kuwa atupishe?"nikauliza "mama



    akiendelea kuwepo kitakuwa kikwazo kikubwa sana kwetu"akasema "kwa hiyo unataka kumuua mama? siko tayali"nikajibu "hivi unakumbukumbu nzuri kuwa wewe ndiye



    uliyemuua kakako? na hii kesi ikifumuka mtuhumiwa ni wewe na si mimi?akasema shemeji Nilishtuka baada ya kugundua kuwa huo ndo ukweli wenyewe "kwa sababu



    hiyo,ukikamatwa ina maana na mimi nitakamatwa kwa mauaji ya dokta na yale ya wzee na mimi sipo tayali"akasema 'tafuta njia nyingine ila sio kumuua mamangu'nikasema kwa



    kujiamin "sasa sikia,kwa ajili ya uhai wangu,kuna option mbili aondoke mamako au muondoke wote jiandae kwa hilo pia'akasema kwa kujiamin Nilishtuka



    sana!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!







    Nilishtushwa sana na maneno yale ya shemeji kuwa na mimi napaswa kufa " Sababu ya mimi kufa ni ipi shemeji?" nikamuuliza " Kwa sababu badala ya kutafuta jinsi ya sisi kushinda



    hili tatizo unakuwa upande wa mama yako" akajibu " Kwa hiyo unafikiri ukimuua mama ndiyo utapata suluhishi?" nikamuuliza " Haijalishi kuwa nitapata suluhisho au sitapa



    nachohitaj ni kuziba mdomo wake kwa sababu unaweza kuniponza baadae" akajibu " Please! Baby tusiende mbali na haya mambo,naomba mama asiuawe ila mimina wewe



    tukabiliane na hili swala" nikasema

    " Haina tatizo ila nipe muda nifikirie na ongea na mamayako akae mbali na haya mambo" akanionya " Sawa nieekwelewa" nikamjibu Tuliondoka na kuendelea na mambo ya msiba



    na mimi nikamtafuta mama na kuongea naye pembeni " Mama unajua nakupenda sana" nikaanza kumwambia " Najua mwanangu kwani tatizo nini?" akauliza " Sihitaji ufe"



    nikamwambia " Najua hilo" akasema " Kwa sababu hiyo naomba ukae mbali na hili swala kwa sababu ukiliongelea tu unajikalibishia mauti" nikasema " Sawa mwaanangu



    nimekwelewa" akajibu

    " Tutaendelea kukusaidia kama alivyofanya kaka,cha msingi wewe funga mdomo" nikasema " Sawa baba" akajibu Baada ya kuongea na mama tuliendelea na taratibu zingine za



    msiba Mida ya mchana wale askari walikuja na kibali ambacho kiliwaruhusu kunifanyia mahojiano pale pale msibani na kwa sababu shemeji alishafanya ya kwake sikuhusisha kabisa



    na lile tukio la mauaji. Baada ya siku tatu kikao cha ukoo kilikaa ili kuamua hatima ya mali za marehemu Shemeji alikuja na vielelezo vinavyoonesha kuwa alikabidhiwa umiliki wa mali



    za marehemu kaka ikitokea yeye hayupo.

    " Mama tunajua kuwa una nyar?...nyaraka zote tatizo wewe sio mchaga na kwa tamaduni zetu haturusu mwanamke asiye mchaga kumiliki mali" akasema " Hizo ni tamaduni zenu ila



    kwa sheria ya serikali nina haki ya kumiliki hizi mali" akajibu shemeji " Sawa ila na tamaduni lazima zifatwe" akajibu yule mzee ambaye alikuwa anaongoza kikao " Unajua siwaelew?



    Hebu semeni mnataka nini?" akasema shemeji " Kwa mujib wa tamaduni zetu tena ikizingatiwa hujazaa itabid urithiwe na mdogo wa marehemu ili kuendeleza ukoo wa marehemu"



    akasema yule mzee "

    Ni rithiwe? Yaani mimi niwe nalala na huyu shemeji?" akauliza " Hatujasema hivyo,ila unaweza kuwa naye kidogo wakati akisaidia usimamizi wa mali" akatumia siasa yule mzee "



    Kwa hiyo sio kuishi kamamke na mme?" akauliza " Aaah! Hapo mtaelewana wenyewe ila we kubali akusaidie kama mmeo" akasema yule mzee " Kama ni hivyo haina shida" akajibu



    shemeji Mpaka pale nilijua shemeji anaigiza ukali ili kumaliza lile swala la kuhisiwa kuwa tunahusika na mauaji ya kaka.

    Baada ya hayo kukamilika ,tulimaliza swala la msiba kwa amani na kurudi Dar es salaam salama salimini Hatukurud na mama kwa sababu ndiye mfiwa hivyo alihitajika aendelee



    kukaa pale kwa ajili ya pole na kuuangalia mji wake. Baada ya kufika Dar mapenzi yangu na shemeji yalirudi kama mwanzo na tukaendelea kusahau lile swala la kifo cha kaka. " baby



    naona hapa tunakuwa wapweke sana,unaonaje tukimfata mdogo wangu Joan ili aje apa kutupa kampani na hasa ikizingatiwa kuwa kamaliza mtihani wake wa kidato cha nne na



    amekaa tu" akasema shemeji "

    Haina shida baby wangu ni wewe tu" nikajibu " Basi haina tatizo ngoja nifanye utaratibu" akasema Baada ya siku tatu pale nyumbani tulipata ugeni wa mdogo wake na shemeji Siku



    ya kwanza namuona yule binti mwili wangu wote ulisisimka Nikajikuta namtaman sana,kwanza nikawa kila akipita mbele yangu najikuta katika wakati mgumu sana Yule binti alikuwa



    maji ya kunde moja inavuta sana, vichuchu vidogo sana ambavyo kwa mbele vimejaa kiasi cha kumfanya mwanamme yeyote rijali amtaman Tumbo lake lilikuwa doogo tofaut na



    madem wa siku hizi na kiuno kilikatika vizur kutengeneza umbo liwe la kuvutia Sehemu inayonipa shida ndo usiseme,alikuwa kiuno mbinuko! Vikalio vimejaa kidogo na kutengeneza



    kakiuoni kabinuke vile mavyopenda! Nilichachawa! " Lazima nimgonge huyu demu" niliwaza



    Nilimwangalia sana yule mdogo wake na shemeji na kupanga yangu kichwani Baada ya hapo shemeji aliamua kupasua jipu " Baby huyu ni mdogo wangu,nafikiri unamfaham vizur



    kwa sababu ulimuona kwenye msiba wa mama,anaitwa Joan,atakuwa hapa kutusaidia kutupa kampani kwa siku chache" akasema " Nashukuru kukubali kuja kutusaidia shemeji"



    nikamwambia nikimpa mkono " Usijal shemeji" akajibu

    Alipokuwa amenishika mkono nilisikia kama nimepigwa na shoti ya umeme,nilisisimkwa na mwili kuanzia unyayoni " Joan,huyu ni shemeji yangu ila kwa sasa ndo mme wangu kwa



    sababu huko msibani walisema lazima anirithi,hivyo naomba mheshimu kwa heshima zote,huyu sasa ni mme wangu,na wewe Jun huyu mheshimu! Nafikiri unanijua ukifanya upuuzi



    usinilaum" alisema shemeji huku akimaliza kwa kutishia "

    Usijal dada" akasema Joan " Kuwa na aman Joan jisikie uko huru" nikamjibu Joan badala ya shemeji Shemeji aliniangalia jicho baya na mimi nikawa nimeshajiongeza kwa akili yangu



    na kujifanya hakuna kinachoendelea. Baada ya pale sisi tulielekea kazini na kuendelea na mihangaiko yetu kama kawaida Nikiwa kazini akili yangu yote ilikuwa inamuwaza yule



    mdogo wake na Shemeji peke yake "

    Mmmmmh! Kile kiuno nikiacha labda niwe mjinga,af kwa sasa mim sio kuku wa kienyeji tena na pia kama shemeji ni mtam vile basi na mdogo wake lazima awe mtam,ngoja



    nimuonje nijue" nikawaza mwenyewe Tuliendelea na kazi huku fikra zangu zikimuwazia Joan peke yake,kuna kipindi nilikuwa nahstuliwa na shemeji kutokana naakili yangu kuw



    imeganda " Hivi wewe una mawazo gan leo? Mbona kila wakati unakuwa kama akili yako iko mbali sana?" akauliza "

    Niko sawa baby usijal" nilimjibu Shemeji Tukaendelea na kazi hivyo hivyo ila akili yangu haikuacha kukimbuka kiuno cha Joan " Hivi yule nikimkamata nikampa ile Kalichumbage



    aliyonifundisha shemeji,yale maujuzi yote yule dogo nimpe af asidate? Subir" niliendelea kuwaza na kuwazua Jioni kama kawaida tuliporudi nyumbani tulimkuta Joan akieandaa



    chakula cha jioni Tulimkuta Joan akiwa kavaa kanga peke yake na nguo ya ndani kama mabinti wengi wanavyovaa siku hizi wakiwa nyumbani na wengine hata mitaani

    Ile kanga nahisi iliendelea kuniweka katika wakati mgumu sana Kwa sababu kila alipopita mbele yangu ule mtikisikobwa pwani ulipokuwa ukitokea kwenye kale kakiuno mbinuko



    nilihisi kuchanganyikiwa

    Nilifikia hatua baada ya kumaliza kuoga chumbani nielekee sebuleni kujifany kama naangalia tv na nikakaa kwenye sofa ambalo lina mwelekeo wa kuweza kuona maeneo



    yanayoelekea jikoni Kwa sababu hiyo kila alipokuwa akitoka na kuingia jikoni nilibahatika kuuona ule mtkisiko wa pwani " Wewe! Vipe leo kuangalia tv?" nilishtuliwa na shemeji



    aliyekuwa amekuja kuniangalia " Aaah!

    Unajua kuna wakati nimeingia Facebook nikaona post za watu zinaongelea swala la sijui mawaziri wamejiuzuru ndo nataka nizione" nikamjibu " Wamejiuzuru kwa sababu gan tena?"



    akauliza "Nasikia wameanzisha opereshen ya kuondoa watu wanaoishi kalibu na hifadhi lakin opereshen imeendeshwa vibaya askari wameua na kubaka huko" nikamjibu " Mama



    yagu nchi yetu inafikia huko?" akauliza mpaka na mimi nikamshangaa kwa sababu kwenye swala la kuua kwake ilikuwa kawaida tu "

    Ndi hivyo" nikamjib "Mmmh! Wajiuzuru kabisa,acha na mimi niiangalie" akasema na kuja kukaa pembeni yangu uzuri ile tv ilikuwa imekaa usawa wa kalibu na mlango wa jiko hivyo



    ilkuwa rahisi kumuangalia yule mdada Baada ya muda akapita pale na kuja kutongelesha. Wakati anaongea niikamkonyeza!!!!



    Tuliendelea kuangalia tv mpaka kilipofika kipindi cha taarifa ya habari na habari ile kurushwa Tuliiskiliza kwa makini wote wakati huo na Joan alikuwa ameshakuja na kujumuika wote



    pamoja na baada ya ile habari kuisha ndo tukaanza kurumbana " Hapa angejiuzulu na pinda,mbona wamemuacha,mimi kaniudhi sana " akasema shemeji " Pinda katumia akili pale



    kapiga bao la kisigino" nikajibu "

    Katumiaje akili shem? Na kwa nini hajajiuzuru?" akauliza Joan Nilijihisi furaha kuiskia sauti ya Joan na nikamjibu haraka " yaan kama hawa mawaziri wangekuwa hapa bungeni woote



    na wakajiuzuru kabla pinda hajafika ingechukuliwa kama ni uzembe wa serikali kutowawajibisha watumishi wake lakin amekuwa mjanja na kuja kutangaza kuwafuta kazi na hapo



    itaonekana kama serikali imetimiza majukumu yake kwa kuwasimamisha" nikaeleza "

    Hapo nimekwelewa,kwa hiyo yawezekana Pinda alikuwa hata Dar kaja na ndege haraka ili asije akaenda na maji?" akauliza Joan " Ndo hivyo" nikamjibu Tuliendelea kupiga stor mbili



    tatu pale mpaka taarifa ilipoisha kisha Joan akatukalibisha mezani kula chakula Tulipokuwa mezani mimi na shemeji tulikaa sambamba kalibu huku Joan akikaa upande wa pili tukawa



    tunaangaliana.

    Tukaanza kula taratibu na kwa bahati mbaya nafikili Joan akarefusha miguu yake na kunigusa Nilifurahia hicho kitendo na mimi nikarudishia tena,nikawa namsugua taratibu na vidole



    vya mguu wangu nikipanda mpaka mapajan Joan aliona aibu pale ila akajitahid kutoonesha mabadiliko yeyote yale mpaka mtu aliyejua kinachoendelea kama mimi ndiye angeshtukia



    kuwayule anaona aibu Shemeji yeye alikuwa amekolea kwenye stor ya Pinda na hakujua kinachoendelea

    Baada ya kumaliza kula chakula Joan alisimama ili kuondoa vyombo na kwa bahati mbaya kaka ikataka kumvuka na kwa macho yangu ya kimbea nikawa nimeliona paja lake jeupe



    sana tofaut na la shemeji la maji ya kunde " Aisee huyu mtoto ana paja zuri balaa! Hivi kuna siku nitalichezea?" niliwaza mwenyewe Tuliondoka pale mezani na shemeji akaniongoza



    twende chumbani ingawa sikuridhika lakini sikuwa na namna ya kukwepa.

    Tulipofika chumbani na shemeji akaanza mbwembwe zake pale ili tuingie kwenye mtanange " Leo naomba twende bafuni tukapeane kitotatota baby" akasema " Poa" nikajibu kifupi



    " Lakin mbona hauko sawa baby?" akauliza " Niko sawa mpenzi usijal" nikajichangamsha pale Shemeji alinivua nguo moja baada ya nyingine na kisha akanibeba mgongoni na



    tukaelekea bafuni Kule bafuni alitoa nguo yake ya ndani safi na kuanza kunisafisha mwili wangu taratibu.

    Ingawa sikuwa na ham na shemeji bali mdogo wake ila nilipokumbuka mapenzi yake yalivyo matam nilijikuta nikisisimka sana Alinisugua sehemu mbalimbali za mwili wangu mpaka



    nikatakata na mimi ikaingia zamu yangu nikauogesha taratibu huku tukichezena mpaka akatakata Shemeji akanichukua na kunilaza kwenye sinki la kuogea kisha akainama kwa mhogo



    wa jang'ombe na kuanza kuumung'unya taratibu mdomon Maruhani yangu yakanipanda kutokana na utam niliokuwa nikiusikia mpaka nikabaki kupiga kelele za utam " Baby kuna



    kitu kizuur nataka nikwambie uko tayali?" akauliza " Nipo tayali nambie" nikajibu " Baby tayali nina ujauzito wako" akasema Nikapigwa na butwa!!!!!!



    Nilishtuka na kupigwa na butwaa kusikia Shemeji ambaye kwa wakati huo alikuwa kahalalishwa kuwa mke wangu kuwa ni mjamzito. Kilichonishtua sio ujauzito bali kwenye mipango



    yangu bado sikufikilia kama nilipaswa kuishi na yule mwanamke Kwa muda mfupi niliopata kuwa naye kwenye mahusiano nilishagundua ataniendesha sana na pia hakuwa wife



    material bali mwanamke wa kugonga na kuacha

    Ila kwa sababu nilimfaham shemeji nje ndani upande wake wa pili ule wa ukatili,sikutaka kuonesha mshtuko ule hadharani " Waoooh! Tayali baby?" nikauliza " Ndiyo baby ila



    mbona umechukua muda mrefu kujibu? Ulikuwa unafikilia nini?" akauliza " Hakuna kitu baby,jambo la heri hilo itabid tushelekee" nikasema

    Niliuvaa uigizaji halisi na kumvagaa kisha nikamporomoshea mvua ya mabusu sehemu mbalimbali za mwili wake Na yeye akafurahia na kuanza kujibu mapigo na tukaendelea



    kuandaana pale pale bafuni Shemeji alininyenyua na kunipeleka kwenye bomba la kuogea kisha akafungulia maji na kuanza kunipa style zake zile za kitotatota Alipanua miguu na



    kunyenyua mmoja akauzungusha kiunoni pangu kisha yale maji mithili ya mvua yakawa yanatulowanisha pale

    Nilikuwa sijisikii kufanya mapenzi kwa sababu bado akili yangu iiwaza lile swala la mimba yake Ila jinsi alivyokuwa akibadilisha mikao kwenye ile style yake ya kitotatota nilijikuta



    nanogewa mwenyewe na kujibu mashambulizi kwa speed kubwa Kitotatota style ilikuwa kitotatota kweli kwa sababu mechi ilipigwa sehemu zote za kitotatota mpaka kwenye sinki



    za kuogea Tulipomaliza ile ngwe ya kazi yetu ambayo ilikula muda wetu mrefu tulielekea kulala huku nikiwa nimechoka sana

    Shemeji alinikanda na mafuta laini ya kukandia mpaka nikapitiwa na usingizi Asubuh yake tulipoamka tulikuta tayal Joan katengeneza chai tukanywa na kisha kuelekea kazini Jinsi



    Joan alivyokuwa ananitrazama mwenyewe nilijua nikikomaa lazima nitang'oa ule mzigo Tukiwa kazini Shemeji alionesha furaha muda wote wa kazi kwa sababu ya lile swala la



    ujauzito wakati mimi lilinisumbulia sana akili " Yaan!

    Furaha yangu haina kipimo" alisema " Kwa nini baby?" nikamuuliza " Hujui honey?" akajibu "Kwa sababy ya ujauzito?" nikauliza huku nikijua ndiyo jibu " Ndiyo baby,unajua



    hakuna kitu nilichokuwa nakitaman kama kuwa na mwanangu kwa sababu ndugu yangu pekee hapa Duniani ni mama na alishafariki" akasema " Na Joan?" "

    Yule sio ndugu yangu wa kuzaliwa,ni mama yangu alimchukua kituo cha watoto yatima na kuamua kumsaidia" akajibu Jibu hilo liliongeza furaha kwenye akili yangu " Kumbe sio



    ndugu wa damu? Poa nalamba mzigo fasta" nikajisemea Mchana nilimdanganya shemeji kuwa kuna rafiki yangu aliniambia Kigamboni kuna kiwanja kinauzwa bei sawa na bure



    hivyo naenda kukiangalia na yeye hakuwa na hiyana akaniruhusu Mguu wangu ulijikuta kwenye kizingiti cha pale nyumbani kwetu na kwa uzuri gari nikalipaki nje na kuingia



    mwenyewe

    Niliingia kimya kimya na kumkuta Joan jikoni akipika chakula cha mchana Akiwa hajaniona nilienda taratibu mpaka nikazungusha mikono yangu kwenye kiuno chake kisha



    nikampiga busu sikioni mpaka nikamuona kasisimka mwili " Eeee! Jaman shemeji ndiyo nini hiki?" aliuliza huku karembua jicho kutokana na ule msisimko " Kawaida



    shemeji,nambie?" nikajibaraguza " Poa,mbona mapema?" akauliza " Nimerudi hapa kuna jambo la muhimu sana ambalo sihitaji dadako afahamu nataka kuongea na wewe"



    nikwambia " Dadangu asifaham? La kheri kweli hilo??"akasema



    " Shemeji ni jambo gani hilo unalotaka kuongea na mimi na hutaki dada ajue?" akauliza Joan " Kwanza niahid kuwa wewe ni mtu mzima na hata kama litakuudhi kiwango kikubwa



    hayatafika kwa dada yako?" nikamwambia " Hilo jambo basi sio jema maana kama unahidi linaweza niudhi mpaka kumwambia dada mmmmh! Akasema " Basi shem yaishe! Vip



    umepika?" nikabadilisha mada " Sitak!

    Unabadilisha maada ya nini? Sema ulichotaka kusema" akasema " Sa nitasemaje ilihali wewe umeshaanza kunitisha?

    Unataka unipe kesi bure?" nikamwambia " Amna bana me ni mtu mzima,nina akili zangu timamu na wala sihitaji kusema au kuongea na mtu juu ya mambo yangu,nina maamuzi



    yangu mwenyewe,jiamin na niambie tafadhali" akasema " Kweli?" nikauliza " Ndiyo sema tafadhali" akajibu " Hivi unaonaje? Navyoishi na dada yako?" nikamuuliza "

    Mbona kawaida kama mke na mme huku mkipendana kwa dhati" akajibu kwa style niliyosoma kama kunikwepa " Hivi wewe unakubaliana na tamaduni za kurithi?" nikamuuliza "



    Kiukweli nimeshangaa sana! Hivi ungekuta kakako alikuwa mwathilika na dada ungefanyaje lakin?

    Na wewe kwa nini ulikubali?" akauliza " Shem hili ni shinikizo jaman,mimi sijapenda na sifurahii hata kidogo,natafuta namna ya kutoka humu" nikajibu " Heeee! Kwa hiyo humpendi



    dadangu?" akauliza kwa mshangao " Ndiyo tena simpendi kabisaaaa" nikajibu " Jaman! Mbona huwa nikiwaona pamoja naona mahaba teele? Au unazuga? Na kwanini



    usimwambie?" akauliza "

    Dadako ni katili tofauti na unavyomfaham,namuogopa kwa kweli,na ninashangaa imekuwaje anipende kama alivuokuwa kwa kaka na hata siku ya kumbiwa kurithiwa hakukataa ila



    me simpen" nikajibu " Mmmmh! Una mtihani? Sasa wewe unampenda nani kama dada humpendi na unaishi naye?"akauliza " Mimi nakupenda wewe" nikamjibu " Mmmmh! "



    akaguna " Usishangae Joan ni kweli nakupenda tena nakupenda kwa dhati,tafadhali kuwa wangu" nikamwambia "

    Yaan shem unanichanganyia tu habari,unaishi na dadangu af mimi umeniona jana tu leo unanipenda huoni huo ni uongo wa wazi kabisa? Hapa unanitaman tu na unataka



    kunigombanisha na dada" akalalamika " Hapana Joan,mimi sijawahi kumpenda dada yako kabisa! Ila naomba utambue jambo moja la msingi kwenye neno kupenda,kupenda ni hisia



    na sio maneno,hisia huwa haziji kwa mwaka mzima au mwezi!

    Hapana,hata mtu unayekaa naye mwezi mzim bila kumpenda siku hisia zikija utajikuta tu! Kwa sababu hiyo hisia zinatokea ndani ya sekunde kadhaa ndipo moyo unapopewa taarifa



    ya kupenda,kama hisia hutokea kwa sekunde kadhaa basi hata mtu uliyemuona kwa mara ile ya kwanza unamuona hisia zikifanya kazi yake basi dakika hiyo hiyo na wewe utajikuta



    unampenda" nikamwaga sera "

    Kwa hiyo wewe unataka kuniambia hisia zilikushika jana au leo?" akauliza " Zimenishika jana ghafla baada ya kukuona na hapohapo taarifa ikapita kwenye ubongo mpaka kwenye



    moyo kuwa huyu ndiye chaguo langu,kwani una mtu?" nikamwaga tena sera " Me sina mtu shem lakin si sababu ya kuwa na wewe af kwani umenipendea nini shem? Na dada



    ananizid uzur?" akauliza kimadeko " Kwanza naomba ufute kauli,dada yako hakuzidi uzuri,wewe ni mzuri sana tena zaidi ya sana,angalia umbo lako linavyopendezea kila nguo



    unayoivaa, limegawanyika kiafrica zaidi utadhan Cleopatraza misri,pili angalia sura yako ya upole inavyovutia kuangalia kila saa, na kwa weupe wako huu sidhani kama kuna haja ya



    taa,angalia kiuno chako kilivyomegeka na kutengeza hipsi nzuri na zenye mvuto kwa kila mtu kuangali,,angalia mguu wak......." sikumaliza

    Ghafla kabla sijamaliza kumlainisha na sifa tukasikia kengele ya getini ikilia Nikaogopa mpaka nikahisi jasho jembamba likinitoka!!!





    Tuligeuka na kuangaliana kwa mshangao sana " Nani anagonga?" tukajikuta wote tukisema neno moja Kisha tukatabasam! Akili kwangu nilijua iwe isiwe huyo ni Shemeji "



    Nitafanyaje sasa akiwa shemeji?" nikajikuta nikiongea kwa sauti bila kujielewa " Jun jifanye kama unaumwa tafadhali kisha lala mimi ntajua namna ya kufanya" akasema Joan "



    Akiniuliza kwa nini sijamwambia?" nikauliza " Utamwambia umeona ukimwambia hatafanya kazi vizur na kufunga biashara jambo ambalo sio zuri kibiashara" akajibu

    Nilishangaa kuona yule binti ana mbinu zaidi yangu kwenye sakata kama lile ila hilo likaniaminisha kuwa atakubali kuwa wangu Niliondoka na kwenda chumbani kisha nikafunga



    mlango kwa funguo na kulala Joan alienda mpaka mlangoni akafungua na kweli akakuta wanaume wawili na mwanamke mmoja " Habari zenu?" aliwasalimia " Nzuri za hapa?"



    wakauliza " Nzuri,kalibuni" akasema " Tuna shida na wenye nyumba sijui tunaweza kuonana nao?" wakasema " Yupo shemeji peke yake dada yuko kazin" akajibu "

    Hata yeye sio vibaya tukionana naye tafadhali" wakasema " Sawa ingien bas" akawajibu na kuwapisha wapite Baada ya kuwakalibisha sebuleni alikuja kugonga mlango wa chumbani



    Nilishtuka kusikia mlango ukigongwa na moja kwa moja nikajua ni Shemeji ndiyo amerudi " Shemeji fungua basi" nikasikia sauti ya Joan Nikaamka na kufungua mlango ule kisha



    nikashangaa akipita moja kwa moja mpaka ndani "

    We kuna nini?" nikauliza " Kuna wageni wanaume wawili na mwanamke mmoja" akajibu Nikashusha presure na kupumua kwa nguvu ila pia nikaona hii ndo nafasi ya kujalibu kuona



    kama Joan kanikubalia Nikamshika na kumvutoa kwangu kwa nguvu na kisha nikamlazimisha kumla denda Alionesha upinzani kama kitendo kile hakukitaka ila kwa speed na nguvu



    niliyotumia alijikuta ameshakutana nacho " Kwa nini unanifanyia hivi shemeji? Kwani sisi ni wapenzi? Sio vizur" akasema kwa hasira "

    Am sor bas" nikasema kisha nikamshika kiuno Nilimuona akisisimka na kuruka kwa nyuma kisha akapumua kwa nguvu na kuniangalia kwa aibu " Nenda bana huwezi jua wanakuitia



    nini?" akasema " Poa" nikajibu Nilijiweka sawa kisha nikaondoka na kuelekea sebuleni na kuwakuta wale watu wamekaa kwenye sofa ya pamoja " Habari zenu jaman? Kalibuni"



    nikawaambia " Ahsante ndg" wakajibu "

    Ok,sijui niwasaidie nini wapendwa" nikawaambia " Aaah! Wewe ni nani kwenye nyumba hii kijana?" wakauliza " Mimi ndiye mwenye nyumba jaman sasa sijui mnashida gan?"



    nikasema kwa kujiamin hasa nikijua kuwa baada ya kaka kufa na mimi kumrithi shemeji ndiye mmiliki " Ok,ila tunamjua marehemu Michael kama mmiliki na kwa sababu kafariki



    tunaamini mkewe ndiye mmiliki sasa sijui wewe ni nan?" waksema "

    Mimi ni mdogo wake na marehemu" nikawajibu " Ok,tufupishe,tunaomba kuonana na shemeji yako tafadhali" wakasema " Yuko kazini kwa sasa" nikawajibu huku nikijiuliza hawa



    watakuwa akina nani? " Hili swala ni la dharula sana unaonaje ukitupeleka kijana?" wakasema " Kwa nini msije jion akiwa karudi? Kwa sababu kwa sasa mimi nimepumzika" nikajibu

    Nilijibu hivyo kwa sababu kubwa moja,waondoke ili nibaki na kujalibu kupigania penzi la Joan ambalo nilishaona dalili za kulichukua " Hapana kaka tunakuomba sana ni swala la



    biashara kubwa sana ya faida tunaomba tafadhali" wakasema Nikajikuta nashawishika hasa baada ya kusikia ni biashara kubwa Tukaanza safari kutoka nyumbani bila hata ya



    kumuaga Joan nikilenga kuwa nitarudi mpaka dukani kwa shemeji

    Kosa moja shemeji alilofanya nilipofika ni kunikumbatia mbele ya hawa jamaa " Ina maana wana uhusiano wa kimapenzi? Lazima kuna namna hapa" walisemezana na tukasikia "



    Samahani kwa usumbufu jamani,sisi ni maafsa wa polisi kutoka kitengo cha upelelezi,na tumekuja kuwachukua kwa sababu za kifo cha Dokta Rweyemamu" wakasema Nilitoa



    macho balaa!?!!





    Tulishtuka sana kila mmoja akabaki kuwaangalia wale askari kwa mshangao " Mbona mnashtuka? Mnahusika nini?" akauliza mmoja wa wale askar " Tunahusika kivip? Na mbona hatujui mnachoongelea? Kutukamata kwa kosa lipi hasa?" akauliza shemeji mfululizo " hayo maswali utayauliza kituoni" akasema afande mmoja " Naomba kutoa taarifa basi kwa ndugu mmoja kisha atawatarifu wengine" akasema " Fanya fasta" akafoka yule askar

    Shemeji akatoa simu yake na kisha akapiga " Mkuu.....vijana wako wamekuja kunichukua hapa kwa kosa nisilolielewa naom......." hakumaliza maongezi askari mmoja akamnyang'anya simu Hatukuwa na ubishi tena ikabid tuongozane nao kuelekea kituoni kwa ajili ya hiyo kesi yao Tulipofika moja kwa moja tukaingizwa ofisi moja iliyoonekana ya mtu mkubwa wa kituo kile "

    Ketini" akasema " Bila shaka wewe ni Lilian na huyu ni Junior mke na mdogo wa merehemu?" akauliza "Ndiyo" tukajibu " Mnaijua sababu ya kifo cha kaka yenu?" akauliza " Ndiyo ni ajali" akajibu shemeji kwa kujiamin " Aaaaah! Ajali? Kumbe? Na hiyo ajali ni halisi au ya kutengeneza?" akauliza "

    Hayo sifaham kwa kweli ila me nafikiri hapa ningeambiwa kosa langu la kuletwa kituoni" akasema shemeji kwa kujiamin " Kosa utaambiwa tu ila uwe mpole" akajibu yule mkuu " Kamanda unaandika maongezi haya ee?"akauliza " Ndiyo afande" akajibu yule mwenzake " Mnamfaham Dokta Rweyemamu?" akatuuliza " Ndiyo tunamfaham kwa sababu ndiye wa mwisho kumhudumia marehemu mume wangu" akajibu "

    Mara ya mwisho mlionana naye wap?" akauliza " Wakati tumemfata marehemu na yeye ndiye aliyetukabidhi tukaondoka naye" akajibu " Mbona wewe haujib bwana mdogo?" akaniuliza " Sio lazima tujibu wote hata mimi natosha" akajibu shemeji " Nataka ajibu mwenyewe" akasema " Shemeji ameshajibu sihitaj kuongeza" nikasema " Shemeji au mkeo?"akauliza " Hiyo haikuhusu" nikajibu "

    Nikisema mmemuua kaka yako ili muishi pamoja ntakosea?" akauliza kimtego " Kuwa na adabau Inspekta na uwe na adabu kabisa,mimi kuishi na huyu sijapenda ila tunafata mila za huko kwao jiheshimu" akasema " Sasa chagua kati yenu mmoja abaki ndani mpaka kesho wakati tutakapochukua maelezo kamili ya kesi yenu na mmoja aende nyumbani mpaka kesho ndiyo atarudi hapa" akasema " Nitaenda na atabaki" akasema shemeji "

    Wewe mwanamke hatuwezi kukuachia,ataenda shemeji yako na wewe utabaki kwa sababu hatukuamin" akasema " Poa,baby chukua hii simu yangu,jitahid umpigie Mkuu wa Polisi kanda maalum na IGP na waeleze kinachoendelea,nime wa save kwenye simu yangu" akasema kisha akanikonyeza Niliondoka eneo lile nikiwa mnyonge sana na kuelekea nyumbani kwa ajili ya kujiandaa na lile sakata Njiani nilifanya mawasiliano na mkuu wa mkoa kipolisi wa Kinondoni ambaye ndiye aliyekuwa akijuana na shemeji na si IGP kama alivyodai ila najua alifanya vile kuwa tisha pale

    Nilipofika ndani nilipitiliza chumbani nikiwa na mawazo sana kwa kilichotokea kwa siku hiyo Baada ya kuoga nilirudi sebuleni kwa ajili ya kupata chakula cha usiku Nilimkuta Joan akiandaa chakula mezani nikakumbana na maswali lukuki kuhusiana na kilichotokea na kuyajibu yote " Fanya kula basi nioge nakuja" akasema Niliendelea kula kwa muda kisha nikaelekea eneo la kupumzika na kuangalia Tv Baada ya muda Joan alitoka bafuni akiwa na kanga iliyoloa maji na kuja moja kwa moja sebuleni na kupita mbele yangu kuelekea mezani

    Nilisisimka mpaka utosini,na kwa maksud akawa analichezesha kwa style flani ya uchokozi Nilimwangalia kwa kugandisha macho eneo moja mpaka nikahisi mate ya uchu yananidondoka Nikasahau kuhusu kesi na kufikria namna ya kumla yule kuku wa kienyeji!!!



     Nilishasahau kabisa yaliyotukuta mchana wa siku ile na kuwa mwenzi wangu wa kurithi yuko Selo



    Nilikiangalia kile kiuno cha Joan kwa muda na yeye akaendelea kuzungukazunguka bila sababu pale mezani



    Alipochukua chakula akageuka na kuja kukaa kwenye sofa moja na mimi



    " Vip tule wote bas" akasema



    " Me tayal bana" nikajibu



    " Basi njoo nikulishe pz"Nafasi adimu kama ile sikutaka kuichezea



    Nikamsogelea na kumshika kiuno kwa kuzungusha mkono wangu kiunoni pale



    " Aaaaaaaaaa! Jaman shem" akasema kimadeko



    " Nini tena Joan mrembo?" nikauliza



    " Sio vizur hivyo,mwenzio ntashindwa kula" akasema



    " Sasa nikuibie siri,ukitaka chakula kipite vizur na ushibe kwa raha basi kula wakati unabembelezwa" nikamwambia



    " Mmmmmmh! Shem jaman,so unataka unibembeleze? Umesahau mwenzio yuko selo?" akasema



    Wakati anaongea hayo kimadeko mimi nilishakuwa hoi sana,jamaa alikuwa kachachamaa sana na nilikuwa nataman hata kumralua pale pale tulipokuwa



    " Naomba nizime taa pz Joan?" nikamwambia



    " Kwa nini jaman? Hutak mimi nile?"akasema



    " Hapana,weupe wako na uzuri wako unang'aa zaidi ya taa" nikamwambia



    Akaniangalia kisha akainama kwa aibu za kike na kisha akaendelea kula



    Nikanyenyuka kama nayetaka kwenda kuzima taaa na yeye akanishika na mkono wake wa kushoto ili kunirudisha kwa bahati mbaya akashika sehemu mbaya na kukutana na jamaa kachachamaa balaa



    ( Mmmmmmmh!" akaguna



    " Unaguna nini sasa? Ushanipa matatizo af badala ya kunisaidia unaguna sio poa jaman" nikalalamika



    Akaniangalia kisha akainama tena kwa aibu za kike,nilipoona analeta aibu nikapeleka tena mkono wangu na kuzungusha kiunoni pake na kuanza kuchezesha kucha zangu kama namtekenya kijanja sana



    Alipoona hivyo akajifanya busy sana na kula bila kuniangalia ila akawa anashtuka shtuka na kuendelea kula



    Dakika tano nyingi style mpya ya kumtekenya kwenye nyonga yake ikamfanya agande kama sanamu



    Mkono ukawa hausogei kutoka kwenye sahani kwenda kinywani nikajua amenogewa tayali



    Nikaongeza speed ya mashambulizi maeneo niliyojua yatampa shida sana



    Kweli dakika chache baadae akaanza kupumua kwa taabu sana,akawa anavuta pumzi kama mgonjwa vile



    Nikamnyang'anya sahani na kuiweka pembeni kisha nikamgeuza akaniangalia kwa muda kisha akafumba macho kwa aibu



    Tayali alishalegea,nilimsogeza pembeni yangu na kuanza kumpa denda taratibu na wakati huo mikono yangu ikiambaa ambaa sehemu mbalimbali za mwili ambazo nilijua nikipiga counter attack nitakuwa nimemaliza kila kitu



    " She--m--s-i-j-aw- mimi" akasema kwa shida sana



    Nikawa kama sijasikia chochote kila ila nilimsikia vizur sana



    Ikabidi nitumie ujanja kujua kama alichokisema ni kweli? Au ananidanganya



    Nikasogeza ule mkono uliokuwa kwenye kiuno kuelekea kwenye msitu wa solondo na kujifanya nachezacheza pale kwa muda kisha nikashuka na kufanya shambulizi la kushtukiza ambalo hakulitegemea kabisa na kukutana na ukuta kweli tena wa geti jekundu



    " Mmmmh! Kigori kweli huyu! Nafanyaje sasa? Hapa nikijifanya kuleta zile za kalichumbage huyu ataumia sana na sitakuja kumpata kamwe,inabidi nitumie akili ya ziada asiumie na siku nyingine atamani kurudia" niliwaza



    Nikambeba mpaka chumbani kwa shemeji na kumlaza kwenye sita kwa sita na kisha nikamchojoa nguo zake zote



    Mashalaaaaah! Mtoto alikuwa kaumbika kiwango cha ajabu



    " Mtoto manshallaaah! Kajaaliwa! Hapa ntatangaza ndoa tena mapema sana,sitajali yule muuaji" nikawaza







     Nilipomfikisha Joan pale kitandani nilimvua nguo zake zoote na kumwacha mtupu kabisa Aisee! Haihitaji kuelezea!!! Kwa sababu yule mtoto alibarikiwa kwa kweli! Nahisi alijichagulia mwili ule Niliangalia kuanzia kwenye vichuchu vyake vilivyojaa kias ingawa havikuanguka na havikuwa vidogo vikiwa vimejaziajazia kiasi

    Nikashuka kwenye kitovu chake kigogo kilichotengeneza kashimo kadogo kwa kwenda ndani Nikashuka mpaka kwa msitu wa solondo na kuucheki vizur kwa bahati nzuri taa iliyokuwa inawaka ilionesha vizur ulivyokuwa umejisokota kama nywele za kishombeshombe hivi mpaka nikadata mwenyewe "

    Itabid niunyoe huu msiti wa solondo"nikawaza Nikashuka eneo husika,hapo sikutaka kupaangalia sana kwa sababu pangenipa tamaa nikajikuta nambaka bure Nikashuka mapajani! Balaaa!! Meupeeeeeeee! Hakuna hata kadoa kadogo Nikaona nikiendelea kuufaidi huu uzuri bila vitendo nitakuwa mjinga Nikamfata pale na kisha nikaanza kuyanyonya yale manyonyo yake madogo kwa kusugua na kung'atang'ata kwenye kale ka weusi ka juu Akawa anashtuka na kulalamika kimahaba sana

    Wakati nafanya hivyo nikawa naitembeza mikono yake sehemu mbalimbali za mwili wake "Hii kitu ili niitoe bila bughudha lazima huyu mtu awe hoi sana,ngoja niapply skills za shemeji" niliwaza Niliinuka na kufungua droo ya Shemeji kisha nikatoa asali na kumpaka kuanzia kwenye vinyonyo vyake mpaka kalibia na magoti Kisha nikaanza kuilamba ile asali taratibu huku mikono yangu ikifanya kazi kubwa sana ya kucheza na sehemu zenye msisimko kwenye mwili wa mwanamke Nikaikumbuka G-sport.eneo pekee ambalo likiguswa kwenye mwili wa mwanamke hata awe kauzu ka konda wa daladala lazima aongee kichina



    Wakati nailamba ile asali nikaepeleka vidole vyangu mpaka nikaishika G-sport na kuanza kuisugua taratibu sana huku nikiendelea kuilamba ile asali Mpaka namaliza kuilamba ile asali na nikiwa naichezea G-sport Joan hakuwa japo na uwezo wa kusogeza kucha yake alikuwa kama amepoteza fahamu Nikaona huo ni wakati muafaka wa kumpa shughuli kamili Nikampandia na wakati najalibu kupenya eneo husika vidole vikawa havibanduki maeneo ambayo nilishagundua akiguswa anachanganyikiwa

    Nilipokuwa nikijalibu kupenya alikuwa akishtuka na kurudi nyuma,na mimi nikijua kuwa napaswa kuonesha uwezo wangu wa kubikiri nikaendelea kujitahid kumshtua taratibu asishtuke na kuumia Taratibu ule utaratibu wa kujalibu kuzama na kuacha akaanza kuuzoea na akaacha kurudi nyuma,nikasogeza sentimeta chache zaidi na yeye akashtuka na kurudi tena nyuma

    Mchezo huo wa kusogea sentimeta kadhaa kila akishtuka mpaka anazoea ukaendelea huku yeye akihisi raha mpaka wakati nilipofika sehemu ambayo iwe isiwe ili pabomoke lazima aumie japo kidogo na dam Imvuje Hatimaye nikamshtua kwa ghafla na kuzamisha yote,alishtuka na kujitahidi kurudi nyuma na mimi sikumpa nafasi nikajitahid kwenda naye taratibu huku akiumia nusu na kusikia raha nusu

    Mpaka namaliza mshindo wa kwanza akawa anaelekea kuzoea ingawa maumivu yalibaki kwake Nilipomaliza sikutaka kumpa nafasi ya kusikilizia yale maumivu yake,nikaendelea kucheza na sehemu mbalimbali ambazo ziliendelea kumsisimua mpaka alipokuwa sawa na kusahau maumivu Tulipokuwa sawa wote ndo story zikaanza " Baby mbona nasikiaga ni chungu na inauma ila mbona me sijaumia kivile?" akauliza " Hahahaha! Umekutana na profiesional baby" nikasema Nikashangaa akishtuka na kufunua mashuka,na mimi nikapata nafasi ya kuyatazama vizuri!damu tele!!! " Mama yangu kitandani kwa dada! Na mashuka yake yamejaa damu! Tutafanyaje?" akasema kwa uoga.



    Akili ndipo ilipoanza kunirudia na kugundua tumefanyia mapenzi chumbani kwa shemeji au mke wangu wa sasa

    " Dah! Hivi imekuwaje tukaja huku? Si tungeenda kule kwako?" nikajikuta nauliza swali la kipuuzi sana

    " Unaniuliza mimi? Mtu ambaye hata sikumbuki nimeingiaje humu?" akajibu

    Tulibaki tunaangaliana kwa muda kisha Joan akayakusanya yale mashuka na kisha akayaweka kwenye chombo maalumu na kwenda nayo bafuni kuyaloweka ili aje ayafue asubuh

    Wakati anatoka pale ndani nilimuona akichechemea kwa mbali kuonesha kuwa tayali ukigori ushapotea

    " Dah! Me kidume,mtoto keshakuwa mtu mzima sasa!!! Ila huyu itabidi nitafute namna ya kufanya kwa yule baradhuli apotee niishi naye kwa aman" nikawaza mwenyewe

    Alitulia bafuni kwa dakika kadhaa nikajua atakuwa anajikanda na maji ya moto ili maumivu yapungue kisha akarudi chumbani

    " chukua basi mashuka mengine utandike af tuhamie chumbani kwangu,humu hapafai tena" akasema

    Nikanyenyuka kivivu na kutoa mashuka nikamrushia pale,akayachukua na kutandika kitanda vizuri

    Nikachukua airfresh na kupuliza nyingi chumba kizima kisha tukafunga madirisha na milango kisha tukaelekea chumbani kwa Joan

    Tulipofika tulijibwaga kitandani na kuanza kucheza michezo ya kimapenzi

    " Naomba nikuulize kitu baby?" akasema

    " Uliza tu kipenzi changu" nikamwambia

    " Hivi unampenda dada?" akauliza

    " Simpendi hata kidogo,unajua kuna kitu kimejificha hapa katikati" nikasema

    " Kitu gani hicho baby wangu" akauliza

    " Unajua kuwa kaka hajaafa kifo cha kawaida?" nikamwambia

    " Heeeee! Sijui,usinambie,ilikuwaje?" akahamaki na kuuliza

    " Mimi niseme ukweli kila tulichokuwa tunakifanya sikukifanya kwa akili yangu,shemeji alinilazimisha tukawa na uhusiano wa kimapenzi kisha akaniendea kwa waganga na kuichukua akili yangu ndipo akapanga njama za kumuua kaka ili abaki na mimi tuoane" nikamwambia

    Nilimwona dhahiri akiwa kashtuka kutokana na taarifa ile,yawezekana hakutarajia kuwa dada yake anaweza kuwa katili kiasi kile

    " Kwa hiyo shemeji mlimuua?" akauliza

    " Habari ndo hiyo" nikajibu

    " Ushaniweka matatizoni tayali,kama mtu aliweza kumuua mme wake kwa ajili yako unafikiri atashindwa kuniua mimi?" akasema kwa uoga

    " Hapo ndipo napotaka tucheze mchezo wa hatari,kwa sababu yeye alimuua kaka na kuwa na mimi wakati simpenzi,basi sisi tumekutana tunaopendana inabidi tumuwahi yeye" nikamwambia

    " Una maana gan? Tumuue?" akauliza

    " Ndiyo,unajua shemeji kuna kifaa kinamitambo ya GPS amenifunga mwilini hivyo akirudi kazini akafungua laptop yake haya yote tulitofanya atayaona vizuri hivyo atakuua tu! Cha msingi tumuwahi" nikasema

    " Mama yangu Jun umeniweka kwenye kifo" akalalamika

    " Unanipenda?" nikamuuliza

    " Tena sana Junior" akajibu

    " Basi tumuue" nikasema

    " Tunamuuaje?" akauliza

    " Itabidi niibe pesa kwenye acc yake kwa sababu namba za siri ninazo kisha tukahonge na kupitisha chakula chenye sumu kule aliko kwa jina la mtu mwingine ili tusihusishwe akila na kufa sisi hatutaguswa na yule askari atakayetusaidia kazi hiyo tutamuua ili kupoteza ushaihidi" nikasema

    " Unaona njia hiyo itafanya kazi?" akauliza

    " Ndiyo,mimi kwa kukaa na dada yako nimejifunza njia nyingi sana haramu hivyo niamin" nikasema

    " Poa basi" akajibu

    Tuliendelea kupiga stor mpaka usingizi ulipotushika na kwa sababu ya stor hizo hatukuwa na hamu ya tendo tena

    Asubuh Joan alikuwa wa kwanza kuamka na kuelekea jikoni ili kuandaa chakula cha kumpelekea shemeji

    Cha ajabu sana akamkuta Shemeji akiwa kakaa sebuleni katulia tuli!!!







    Joan alishtuka sana kumkuta Shemeji akiwa pale sebuleni katulia na wala hana tatizo la kuonesha kuna tukio limemkuta

    " Vip? Mbona umeshtuka hivyo?" akauliza shemeji

    " Aaaaaaah! Hap...hapana,ila nashangaa umefikaje hapa? Na umeingiaje?" akasema kwa uwoga wa dhahiri Joan

    " Usijal hapa ni kwangu najua niingieje na sipangiwi muda wa kurudi" akajibu

    " Kalibu dada,za huko lakin?" akauliza Joan

    " Achana na mimi kwanza,huyu nyang'au kaenda wap?" akauliza

    " sijui dada" akajibu

    " Hujui eee? Unafikiri sijui kinachoendelea? Sasa subiri dawa iko jikoni inachemka,naona watu wana bep kifo hapa ndani" akasema

    " Sikuelewi dada" akasema Joan

    " Utanielewa tu siku ukiona mtu anakata roho mbele yako,wewe si hunielew? Subir" akajibu

    " Mtu nipo matatizoni,jana angewekwa yeye selo ila nikamuonea huruma anakuja kunifanyia mimi uhuni? Hamnijui nyie,mimi ni mhuni wa wahuni,kama jambazi basi mimi ndo mkuu wao,na lazima mtu alambe udongo hapa ndani" aliendelea kufoka

    " Sasa sikia mimi natoka ila mwambie huyo nyang'au kuwa hapa ndani ili aman irudi lazima mtu alambe ardhi hapa" akasema kwa vitisho na kuondoka

    Aliondoka na kutoka nje ya geti,Joan hakutaka kuamin kuwa kaondoka ilimbidi kwenda mpaka getini ndipo akaona gari ikipotelea mbali na upeo wa macho yake

    Alipohakikisha keshapotelea mbali alirudi ndani speed mpaka chumbani na kuanza kuniamsha kwa fujo

    " Wewe,,,amka,,Jun amka kuna matatizo" akasema

    " Wewe nini unanisumbua?" nikauliza

    " Please Jun amka mimi nakufa jaman,mama yangu marehemu nakufa bado mtoto mdogo kwa tamaa za kijinga mimi" aliongea kwa uchungu mpaka akaanza kulia

    Kile kilio chake namaneno yakanishtua ikabidi niamke na kupikicha macho yangu kuondoa usingizi

    " Kuna nini? Mbona unalia tu bila mpango hapa? Tlia sasa unieleze" nikamwambia

    " Jun umeniponza mwenzako jaman,kwanini lakin? Nakufa najiona jaman eeee baba yangu nisaidie jaman" aliendelea kulia

    Wakati anaendelea kulia simu yake iliyokuwa kwenye stuli ya pale chumbani ikaanza kuita

    Hakujali kujishughulisha nayo ila mimi niliitupia jicho na kuona jina la mpigaji

    " Shemejiiiiiii???????? Mmmmmmh!" nilishtuka sana kwa sababu mpaka muda huo nilijua yuko ndani na hajatoka

    Aliposikia nimetamka shemeji akashtuka na kuja kuiangalia simu,alipoona jina la dada yake alishtuka sana

    " Jaman nitamweleza nini mimi? Umeniponza Jun jaman" akasema

    Alikaa sekunde kadhaa akijalibu kuondoa ile sauti ya kilio ili aongee na dada yake

    " Haloo dada" akapokea

    " Uko nyumban?"

    " Ndiyo dada"

    " Huyo kenge yupo?"

    " Hapana dada"

    Hivi nikuulize ulishawah kuingia chumbani kwangu?"

    " Sijawahi dada"

    " Jana usiku ulifata nini kule chumbani?"

    " Me sijaingia huko"

    " Nani alibadilsha mashuka yangu na kuweka ya ziada? Na yale yalienda wap? "

    " Sijui dada"

    " Nikuibie siri?"

    " Ndiyo"

    " Jun hajui kutandika kitanda,na ndani kwangu nimekuta damu mbichi na utandikaji wa kile kitanda ni wa mwanamke tena msafi na sio Jun"

    " Sio....." hakumaliza kuongea simu ikakatika

    " Nini kinaendelea?" nikamuuliza

    " Wakati natoka chumbani nimemkuta dada

0 comments:

Post a Comment

Blog