Search This Blog

Thursday 19 May 2022

FUNDI CHEREHANI - 1

 





     IMEANDIKWA NA :  MoonBoy





    *********************************************************************************



    Chombezo : Fundi Cherehani

    Sehemu Ya Kwanza (1)



     Dokta alirudi katika chumba ambacho mimi nipo, lakini ghafla nilijihisi kuchomwa sindano, kisha nikafunikwa shuka mpaka usoni,.... Huku dokta akisema

    "mungu akulaze mahali pema peponi"

    Dokta alitoka taaratibu nje huku akionekana kujifuta futa machozi kwa kuashiria uchungu juu yake,.... Maafande pamoja na mama angu walimkimbilia dokta na kumuuliza...... Lakini dokta alimuita mama

    "mama nakuomba ofisini kidogo"

    Kabla mama hajaenda, mara afande mmoja akasema kua,

    "dokta, huyo dogo ni muarifu, hivyo tunapaswa nasi kujua hali yake ili usalama uwepo juu yake hapa hospitalini"

    "ok sawa njoeni kwa wote ofisini kwangu"

    Waliingia wote, mama na wale askari katika ofisi ya dokta........ .

    "mama, nafikiri kua yule kijana ni mtoto wako"

    "ndio baba ni mtoto wangu"

    "aaaaaaa kiukweli kijana yule alipoteza damu nyingi sana, na kwa bahati nzuri aina ya damu yake ilikuepo, lakini kwa bahati mbaya, duuuuuuuu pia tunapaswa kumshukuru mungu.... Kwa kila atendalo juu yake... Kifupi ni kwamba kijana wetu amepoteza maisha"

    Niliskia kishindo cha kuanguka mtu, na si mwingine bali alikua ni mama angu ndio alidondoka na kukata moto..... Nae akawa mgonjwa papo hapo na kupelekwa katika wodi za wagonjwa wa kawaida...... Kwa upande wa maaskari walikuja kuniona na kunifunua,..... Walikuta tayari nilishawekewa pamba katika tundu zangu za pua na masikio...... Askari walitoka huku kila mmoja akisikitika kwa staili yake,

    Kwa upande wa mama yangu kule alizinduka maana alipata mshtuko wa ghafla.... Sasa baada ya kuzinduka alianza kuwatupia lawama wale askari, huku mama yangu akilia kwa kugala gala hapo hospitalini

    "mama, hupaswi kutulaumu sisi, kwani nasi tuliagizwa na wakuu wetu tuje tumkamate mwanao, na katika ajali nadhani tuliona wote kua ni piki piki ndio ilimgonga mwanao"

    "hapana, kama sio nyie mwanangu leo ningekua naeeee"

    "mama, nasi pia tunaumia juu ya mwanao kupoteza maisha, kwani nae ni binadamu kama sisi"

    Mama yangu alikua akilia sana mpaka askari wakajua anaendea kua chizi,

    Muda si mrefu manesi walikuja kunichukua na kunipeleka mochwali kuniweka katika jokofu, ili nisiharibike..... Huku familia ikinifanyie mipango ya kunisafirisha kwa ajili ya maziko katika mkoa wa tanga mahali walipozaliwa. Wazazi wangu......

    Nilisikia sauti ya mama ikimuambia dokta kua

    "usimueke huko mi nataka nikae nae hapa hapa"

    "mama, huyu kijana aliumia sana hivyo akiwekwa mahali penye joto ataharibika"

    "sitakiiiiiiiiiiii nimtaka mwanangu uuuuuuwiiiiiiiiiii sadiki baba umeniacha mwanangu. . Uuuuuuwiiiiiiiiiii"

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    wale askari baada ya kusikia mama analia waliingia kule mochwali ambako ndipo mama yangu alipokua akilia, walikuja na kumbembeleza huku wakimpa pole nyingi na nyingi pamoja na kumuomba msamaha,

    "mama pole sana mama angu, tumuachie mungu ndio muweza wa yote mama etu ee"

    "mumemfungulia mwanangu kesi zenu za kishenzi kwanini lakini, kwani kamtia mimba huyo msichana wenu... Niachieni pumbavu nyie"

    "mama, kesi ya mwanao tumeshaifuta, maana yeye ndio mtuhumiwa, sasa amefariki tutampeleka nani mama angu"

    "mchukueni mkamzike sasa si ndio mlivyotaka, na ninawasusia hii maiti pumbavu nyie"

    "ah ah mama unifanye hivyo, utatukua umetuachia laana kubwa mama etu"

    "tokeni hapa na staki kuwaona, wana haramu nyie"

    Sawa mama.... Oyaa afande twenzetu"

    Kuliskika muondoko wa gari aina ya difenda, huko nje.... Huku mama yangu akiendelea kulia kwa uchungu.... Dokta alimfuata mama yangu na kumpa pole

    "pole sana mama angu ila tusimlaumu mwenyezi mungu kwa kile alichokifanya"

    Mama alipoambiwa hivyo niliisikia sauti kwa mbaali ikimuambia dokta kua

    "heeee hebu kelele na wewe, au unataka mwanangu afe kweli"

    "ok samaani mama... Ila inabidi tumuamishe kwenye hii wodi"

    "sawa muamishe ila hakikisha mtu yeyote asijue dokta"

    "sawa kwa hilo ondoa shaka na mwanao atakua mzima wa afya... Ila kwanza tuelewane mama"

    "tuelewane mara ngapi doktaa eee.... Si tumekubaliana nikupe milioni moja"

    "hapana mama hii ishu ni ngumu sana mama, tena ukizingatia tunaifichia serikali makosa, huoni ni hatari hii"

    "ok sawa, basi nitakupa milioni moja na nusu"

    "mama, ongeza nusu mama ziwe hata mbili"

    "dokta, unataka tushindwane"

    "mama hatuezi kushindwana ila ukinipa milioni mbili nitampeleka nyumbani kwangu na nitampa matibabu yote mpaka atapona mwanao"

    "heee umpeleke kwako? Kwani huko kwako hakuna watu watakaijui hio ishu"

    "hapana, maana watoto wangu wapo shule boding, na mke wangu yupo bize sana na kazi zake, na pia nina mfanyakazi"

    "hapana huko hakutokua na usalama kabisa"

    "mama, huko usalama upo, kwani nina vyumba vya siri na vipo kwa ajili ya binadamu na vina kila kitu... Na pia nina rumu moja nimeifanya wodi, hivyo hakuna shida, na hata hivyo ni nani atajua kua mwanao ana kesi ya kumpeleka jela"

    "ok hapo basi nakubali, ila atahudumiwa na nani wakati ukiwa huku hospitali"

    "nina nesi wa kike ambae namuamini sana"

    "dokta dokta dokta, angalia mwanangu asirudi kwenye mikono ya serikali.... Maana akionekana kua yupo hai basi lazima kesi ianze upya, tena wewe na mimi lazima tuhusishwe, kwahio kua makini sana dokta"

    "usijali mama angu, tena utamkuta mwanao ana afya nzuri kabisa"

    "ok... Vp umeshamtoa zile pamba za maskioni"

    "oooohhh shit nilijisahau mama angu sorry"

    "hebu mtoe haraka, tena naomba tumhamishe sasa hivi"

    "ok ngoja nikasogeze gari yangu"

    "ok fanya hivyo dokta"

    Dokta alienda kusogeza gari yake ili nipakiwe nipelekwe huko nyumbani kwa dokta, kweli walifanya hivyo hivyo kisha dokta alienda ofisini kwake na kutoka na box liliojaa dawa za kila aina...... Nilipakizwa kisiri siri sana utafikiri wanapakiza dawa za kulevya.... Mtoto wa kiume nilikua sijitambui hata kidogo maana nilikua nimeumia sana maeneo ya kichwa na kwenye mgongo, yaani shuka lenyewe lilikua limeloa damu,

    Baada ya robo saa hivi, nilihisi kama tumefika maana nilikua nashushwa kutoka kwenye gari,

    Waliniingiza ndani na cha kwanza ni kufanyiwa usafi maana nilikua nimeloa damu na vidonda kila mahari hivyo nilianza kufutwa damu kisha nikaogeshwa vizuri kabisa... Baada ya kuniogesha sasa kuanzia hapo nikaanza kuwekewa madripu ya damu na maji

    "Dokta mbona mwanangu hata hakushtuka au kafa kweli nini Dokta?"

    "mama ondoa shaka mwanao yupo hai, sema kuna sindano ya usingizi nilimpiga ili asije akastuka mbele ya wale askari, na dawa hio ya usingizi itamchukua siku mbili nzima, ndio ashtuke"

    "heeeeee doktaa hapana bwana siku mbili? Hapana"

    "ok basi ngoja nimchome sindano itakayopunguza makali ya hio dawa, ila kuamka kwake ni masaa mawili, ila hata akiamka haitaji usumbufu wowote ule"

    "sawa"

    "kwahio sasa kama utakua ukija kila siku sawa ila kama utakuja mpaka akipona pia sawa"

    "weeeeeeeeee doktaa nije mpaka akipona kweli nitakua nina akili kweli? Nakuja kila siku tena nashinda nae mchana kutwa mpaka apone"

    "ok sawa unakaribishwa"

    "ok sawa...... Sasa dokta mi naona nikuache kwa leo maana kule nyumbani kuna wasichana tu na wanaogopa sana kwakweli"

    "mama we usijali, yaani huyu namtibu kama mwanangu niliomzaa, yaani chakula atakula atakacho"

    "sawa, namuombea mwanangu apone"

    "mimi pia napenda apone"

    Basi nilisikia tu milango ikifungwa fungwa kuashiria mama angu ndio alikua akiondoka huku dokta akimsindikiza, na hapo kitandani nilibaki mimi na mtu mwingine ila sikumtambua kwakua nilikua nasikia tu, kwani hata mapigo yangu ya moyo yalikua ni madogo sana...... Na ukumbuke kua sikio la kufa halisikii dawa.... Yani Hata mtu aliekufa anasikia yote hata umtukane kasikia lakini kukujibu au kujitikisa ni ngumu, hivyo kwa upande wa mimi nilikua ni mzima ila nina asilimia chache sana za kupona, kwani ilibaki tu kidogo nipumulie mipira.......

    Sasa baada ya muda dokta alirudi na kunitundikia drip lingine la damu, huku akimuachia maagizo yule nesi ambae yeye anamuamini sana katika kazi zake za siri kama hizi,

    "fatu, hii ni kazi kama zile kazi zingine, huyu mtoto hatakiwi mtu yeyote kujua, na huyu mtoto ana dau kubwa kutoka kwa mama yake kuliko wagonjwa wote tulio wapa huduma za siri, kwahio kua makini na huyu mtu.... Na pia hutakiwi kukaa nje au kwenda sebureni kuangalia tv, unatakiwa ukae hapa hapa na mgonjwa, ili hata anapojigeuza uwe unamuona... Afu kama kawaida ya kuongeza damu ikifikia hapa milimita 2 unalitoa dripu na kumuekea lingine ambalo litakua la mwisho na kwa upande wa maji, madripu haya mawili yatamtosha, sawa fatu"

    "sawa dokta"

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "na pia kuusu chakula huyu mfanyakazi atawapikia na ataleta huku huku, ila hakikisha mgonjwa anakula ili dawa zisimzidi sawa"

    "sawa dokta"

    Baada ya dokta kumuachia maagizo yote nesi wake, aliondoka na kwenda kuimalizia siku yake hospitalini kunako wagonjwa wengi kuliko mimi.....

    Sasa kumbe nesi nilioachiwa ni mcharuko mtupu japo sikua nikimuona, kwa macho ila kwa maskio namsikia kwa mbali

    "haaa siamini kama mahensam pia mnaumiaga, yaani mtoto una sura nzuri kama mwanamke,.... Natamani nilijue jina lako, maana kwa uhensam uliokua nao, hapa siondoki bure, yaani nakuombea upone haraka, maana nimekupenda bure tu"

    Mimi niliisikia tu sauti akijisemea mwenyewe, lakini sikua na fahamu ya kumjibu wala kumuona mwanamke huyo ambae ndio nesi alie achiwa majukumu yote kuusiana na mimi....





    Kama kawaida skio la kufa hua halisikii dawa, ila mimi nilikua nipo hai, lakini nilizidiwa zaidi mpaka nilikua nakula kwa kutumia mipita, Mama yangu alichanganyikiwa sana baada ya kuiona hali kama ile ambayo kwa yeye binafsi hakuitarajia kuwepo katika famili yake,...

    Baada ya wiki moja kupita, pia sikua nimeamka na wala sikua na dalili zozote za kuonyesha uhai wangu, kwani hata mapigo ya moyo yalikua ni madogo mno, kiasi kwamba bila vipimo huezi jua kama nipo hai,

    Mama yangu alilia sana na kuhisi labda dokta alimdanganya kua mimi ni mzima ili tu alipwe hio pesa, maana yapata wiki moja sasa, sijaamka wala kutikisa mkono, yaani ni mtu wa kumsubiria tu afe,.... Mama alilia huku akisema kua, mwanangu anazidi kupungua mwili wake, yaani nazidi kukonda badala ya kunenepa..

    Siku zilienda na leo ilikua ni siku ya juma tatu tarehe 23 mwezi wa kwanza mwaka huu nikiwa bado nipo kitandani hoi hoi,

    "koh, koh, koh, koh, koh"

    "heeeee sheby mwanangu amka baba nikuone hata kidogo mwanangu"

    Mama alinisikia nikikohoa kuashiria kidooogo fahamu ilikua ikinijia, Mara hapo hapo dokta alikuja kwa spidi baada ya kuitwa na nesi wake kua hali yangu imeonekana na mapigi ya moyo yaliongezeka kiasi flani ambacho kililizisha wengi kuamini kua nitapo,

    "mama, muache mgonjwa aendelee kupumzika"

    "dokta, nimemsikia akikohoa jamani"

    "sawa, lakini ukimsumbua hapo utakua unamuumiza mgonjwa"

    "mmmhh sawa dokta nimekuelewa"

    "Eeeeee, kaa kwenye kiti na utulie"

    Mama alitulia kimya kama alivyoambiwa kua akae na atulie, maana aliponisikia nikikohoa alikuja na kuanza kunitikisa huku akiniamsha,

    Baada ya siku mbili kupita, hali yangu haikua mbaya sana ila sikua nimeamka toka nilazwe, na hata macho yenyewe sijawahi kuyafumbua, na ilikua yapata wiki mbili sasa sijaonyesha dalili yeyote ya kupona tofauti na siku ile niliokohoa, Kama kawaida yangu nilikua nasikia ila kuviweka kichwani vitu nilivyokua nasikia siwezi, yaani ni kama ndoto..... Kuna mtu unakuta anaota ndoto usiku lakini akiamka asubuhi haijui tena ile ndoto, kwahio ilikua ni sawa na mimi ambae nilikua nasikia kila kitu kilichokua kikiongelewa maeneo hayo, ila kukiweka kichwani ndio ilikua ngumu....

    Wakati huo dokta alikua hayupo na mama angu alichelewa kuja, na kama unavyojua natibiwa kwa siri mno katika nyumba ya dokta, ili nisijulikane na serikali kua nipo hai, maana wanajua nimefariki dunia na kufuta ile kesi iliokua ikinikabili mbele yangu, hivyo kwa sasa sipo hospitalini bali nipo kwenye nyumba ya dokta nikitiwa huko kwa siri zaidi, ....

    Ghafla nilisikia mlango ukisukumwa, na watu waliingia huku wakiongea,

    "unaskia fatu, huyu mtoto ni hensam mpaka basi, yaani sijui kwanini mungu asingemuepushia hio ajali"

    "weeeee afu mimi sijawahi kumuona sura yake"

    "yaani ukimuona, utamtamani mwenyewe"

    Waliokua wakiongea kuusu mimi alikua ni nesi na mfanyakazi wa ndani wa dokta aitwae fatu, kwahio huyo fatu ni mfanyakazi wa ndani wa hii nyumba ya dokta, ambae alipewa jukumu la kupika chakula na kuniletea huku ndani, na huyu nesi amepewa jukumu la kuniangalia na kunipa dawa kwa kutumia mipira, huku nikionyesha tofauti mbaya au nzuri ampigie dokta afike mara moja, hivyo huyo mmoja ni nesi na huyo mwingine ni mfanyakazi ea ndani kwa dokta,

    "naomba nimuone basi, ili na mimi nimsaminishe"

    Huyo ni mfanyakazi aliekua akimuomba nesi amfunulie pazia ili anione, maana chumba ni hicho hicho ila kimewekwa pazia katikati ya chumba, hivyo ili unione ni mpaka ufunue hilo pazia ndio uweze kuniona,

    "mh mh bwana dokta atanifokea"

    "heeeee nawewe nesi judi unanigeuka tena"

    "sio kua nakugeuka, mimi mwenyewe siruusiwi kumfunua mara kwa mara"

    "plz naomba nimuone afu nitakupa vile vitu vyetu"

    "kweli, afu umejuaje nina hamu"

    "naomba basi nimuone"

    Kweli yule judith au nesi alikubali kunifunua na yule fatu aliniona lakini mimi nilikua sijui hili wala lile, kwasababu nilikua nasikia tu

    "heeeee nesi, huyu ni mtoto au mtu mzima"

    "mi mwenyewe alinichanganya, na nilikuja kujua ukweli baada ya kuona kadi yake ya kuzaliwa"

    "mmmhhh we muongo"

    "kweli vile, tena kazaliwa tarehe 12 - 12 - 1995"

    "haaaa we mtoto wa watu bado mdogo wewe"

    "mmmhhh miaka 20 bado ni mdogo... Kubwa hili hata mimba linaweza kukupa"

    "ila kweli nesi,....... jamani ana mdomo wa kunyonya, hebu ngoja nimnyonye kidogo"

    "we, we, we, we, we, utaniharibia kazi shoti mh mh ditaki, heeee yaani upewe lifti utake na honi weeee"

    "nesiiiiiiiiiiii, mi najua hata wewe huezi kumuacha, sasa kwanini tusimfaidi wote"

    "akuuu mimi namsubiri apone ili anione mwenyewe na umbo langu"

    "heeeeeee ivi wewe na mimi nani mwenye umbo, halooo huna hata haya we mwana kulaaniwa wewe"

    "heeeee fatu, mimi ni mwana kulaaniwa mimi"

    "sasa nashangaa unanibania kumpiga hata busu"

    "nimesema sitaki, si usubiri apone ujilete mwenyewe"

    Walianza kutupiana maneno ya kukashfiana, huku kama walikua wanataka wapigane kisa ni mgonjwa aliekua hoi taabani kitandani, lakini mimi nilikua nikisikia tu maneno makali yalioambatana na matusi juu yake baina ya HouseGirl na nesi, kwahio inaoneka hawa watu wanalingana maana mimi sikuwahi kuwaona kabla ya kuumwa, Lakini nikiwa naendelea kuwasikiliza mara waliachana na topic ya kugombani mgonjwa alio hoi kitandani,

    "ok tuyaache hayo fatu, sasa vp ile ishu, mwenzio nina hamu"

    "aaaaa bwana umeniuzi sana leo"

    "hata mimi pia umeniuzi sana, ila haina haja ya kuchukiana na wakati sisi ni wamoja tu hata iweje na ukiangalia tumeshazoeana hata kabla ya huyu mgonjwa, hivyi mi naomba tuyaache hayo"

    "poa, basi wacha mi nikapike maana si unajua huu ni muda wa mgonjwa wako kula"

    "sawa ila vp sasa ile ishu"

    "nitakupa tukimaliza kula"

    Sikua najua walichokua wakiombana wadada hawa japo sauti zao zilizidi kulegea ngazi hadi ngazi, huku nikisikia mihemko ya hapa na pale ikiwaamsha hisia zao

    "ngoja nikapike kwanza"

    "fatuuuuuuu, mi mwenzio nina hamu"

    "sasa judi, tutafanyaje na njaa"

    "mi sina njaa"

    "nesi, leo hukulala na mpenzi wako ee"

    "mmhhhh kwani mimi nina mpenzi mwingine zaidi yako, afu pia hata kama ningekua nae je ningelala nae wapi na kila siku nalalia hapa"

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Nilishangaa wakiitana wapenzi na wakati wote ni wanawake,

    "mi mwenyewe pia nilikua nakuwazia"

    "yule mtoto umemlaza wapi"

    "atakua kalala kule kitandani kwao"

    "sasa"

    "nini"

    "twende kitandani kwako"

    "bwana nesi mi naskia njaaa"

    "tukimaliza nitakuseidia kupika bwanaa"

    "kupika sio tatizo, tatizo ni kuniruusu nimnyonye yule mgonjwa"

    "lakini kwanini unang'ang'ania hivyo fatu"

    "kwani we unamuonaje yule boy"

    "sawa, lakini si mgonjwa yule"

    "mi nataka denda tu"

    "hapana mpaka unipe sababu ya kupenda kufanya hivyo"

    "sikia nesi, mimi najijua nina umbo zuri kushinda hata wewe, ila sura sina hivyo nataka nimfaidi kabla hajaamka, maana na hii sura yangu naweza kujitongozesha na akanikataa"

    "mmmmhhhhh makuuubwa"

    "madogo yapo kwenye bukta"

    "kwahio sasa"

    "niruusu kwanza afu nikakupe mautamu"

    "mmmhhhhhhhh"

    "mmmhhh nini kwani ni ndugu yako"

    "weweee naogopa unaweza kumfanya vibaya mtoto wa watu"

    Nesi alizidi kukataa kata kata lakini mbaya zaidi ni kwamba nesi nae kuna kitu anataka kutoka kwa mfanya kazi huyu, yaani huyu nesi anaonekana ni Lesbian ( penzi la jinsia moja) Nesi alilegezwa na maneno na huyu HouseGirl ili tu aruusiwe kufanya anachokitaka kwangu..

    "sawa, ila leo naomba unikune mwenzio"

    "we usijali, tena tutaenda kitandani kwangu, maana hata mimi mwenyewe nina hamu"

    "kweli fatu"

    "kweli vile, sasa nikudanganyie nini"

    "basi nenda usichelewe, ila uangalie usije muumiza mgonjwa"

    "mmmhhh kwani mwili wangu ni chuma"

    "basi nenda"



    Nilikua nikiyasikia tu kupitia maskio yangu maana hata jicho sikuwahi kufumbua toka nipate ile ajali mpaka leo hiii sijawai kufungua jicho wala mdomo, kupumua yenyewe natumia mipira, hivyo kuona wanachokifanya ni ngumu, ila kwa kuskia naskia vizuri tu, yaani hata nikiskiskia nachinjwa siwezi kuamka wala kufungua macho,

    Sasa baada ya fatu kuruusiwa kuja kwangu, eti anipige tu kiss ndio ataridhika, lakini fatu alipofika nilihisi kushikwa shikwa mithili ya kutomaswa,

    Mara nesi akamuita fatu

    "we fatu"

    "nini wewe"

    "bado tu"

    "aaaa na wewe"

    Fatu alitoka pale nilipo na kumfata nesi kule alipo,

    "sio na wewe, toka saa hio hukumaliza tu"

    "bado sijamaliza bwana hebu niache kama dakika mbili hivi"

    Mara mlango wa chumba hicho ukafunguliwa bila kubisha hodi kwa huyo anaeingia,

    "shkamoo boss"

    "shkamoo dokta"

    "marahaba, vp huyu anafanya nini huku"

    "eee, nnneee, naniii, aaaa,.... Alikuja kuniuliza ampikie mgonjwa chakula gani"

    "kwanini wewe usitoke badala ya yeye kuingia"

    "nisameee dokta"

    "sikia nesi, hiki chumba hairuusiwi mtu wa aina yeyote kuingia humu zaidi ya wewe, mama yake na mimi basiiii"

    " sawa dokta nimekuelewa"

    "na wewe fatu, kuanzia leo staki kuona mtu huku ndani sawa,"

    "sawa boss"

    "haya toka haraka sana"

    Niliskia vishindo vya kukimbia huku mlango ukifungwa kwa hasira, dokta alimuuliza nesi wake kuusu maendeleo yangu,.... Mama nae alifika huku akiwa na shauku ya kuniona kama kuna nafuu kidogo ya kupona kwangu, japo nilidanganyiwa kufa ili kesi niliopewa iishie hewani, na hilo lilikua ni wazo la mama yangu, Japokua hali niliokua nayo haikua tofauti na mfu, maana licha ya kuambiwa mfu, lakini pia afya yangu ilikua mbaya zaidi kuliko kawaida, hivyo hata mtu ukimuambia kua nimekufa lazima aamini kua nimekufa maana hali yangu ilikua mbaya, na mpaka sasa pia hali yangu sio nzuri kabisa

    BAADA YA MIEZI MITATU KUPITA

    Mungu ni mwema, kwani niliweza kupona ila bado sikua vizuri kiafya ila kutembea angalau kwenda chooni nilikua naenda ila kwa kushikwa mkono, hata kula pia nilikua nakula kidogo,.... mwili wangu ulikonda yaani nilikonda mpaka nilikua najiogopa, yaani ule wembamba wangu wa siku zote umekua mara dufu zaidi, yaani nilikua nimeisha mpaka sura inaonyesha mifupa fupa,

    "baba pole"

    Alikua ni mama yangu mzazi MWAJABU au ANTI MWAJU ndio aliokua akinipa pole maana toka nilazwe kwenye nyumba hio ya dokta kwa siri mno, hakuwahi kukosa kuja hata siku moja, tena akija hua analia kwa uchungu, kwa kuniona jinsi ninavyoumwa,

    "asante,...... shkamoo mamy"

    "marahaba ujambo baba"

    "aaaa sjambo"

    "naona leo kidogo afadhali, maana hata kucheka unacheka, mmhh namshukuru mungu kwakweli"

    "ahahahaha aaa ila bado mbavu zinauma uma kiasi"

    "usijali mwanangu utapona tuuu"

    "asante, afu mamy, simu yangu ipo wapi"

    "sadikiii, kwasasa hutakiwi kua na simu baba"

    "aaaaa mamy, we nipe tuuu"

    "dikiii acha ubishi mwanangu, ila sawa lakini laini yako nimeichoma"

    "haaaaaa kwanini mamy"

    "kwasasa wewe ni mtu wa siri sana hutakiwi kujulikana"

    "kwanini nisijulikane mamy"

    "sadiki, nitakuambia pindi utakapo pona kabisa, maana inaonekana hujui kuusu hilo ila kwasasa watu wanajua kua umekufa"

    "haaaaaaaa yaani nimekufa mimi"

    "diikii mwanangu, wacha niluambie tu ukweli sababu ya wewe kudanganya kifo"

    "haaaa aisee hapana, yaani nimekufa mimi"

    "sikia sasa, kama unakumbuka kuna kesi ilikupata mwezi wa kumi na mbili mwishoni, lakini kwa bahati mbaya pale pale ukagongwa na toyo, na hali yako ilikua mbaya sana huku ukiwa unatokwa na damu nyingi mno, tulipokuleta hospitalini niliwaza mengi kuusu wewe, kutokana na hio kesi, hivyo niliweza kumfuata dokta na kumwambia kua akupige sindano ya usingizi afu atoe taarifa za uongo kua umekufa ili ile kesi yako iishe, na nilifanya hivyo na ikafanikiwa kweli kesi imefutwa, na namshukuru mungu umepona mwanangu"

    "ila mamy umenidanganyia kifo kweli, ila ok anewei je vp ni nani na nani anajua uzima wangu"

    "kiukweli hakuna mtu yeyote anaejua zaidi ya mke wako, maana alitaka kunifia mtoto wa watu, kwahio nikamuambia ukweli kua hujafa"

    "alitaka kukufia kivipi tena"

    "amesema hawezi kuishi bila wewe, bora na yeye afe, sasa nikaona kuliko mtoto wa watu afe, bora niseme"

    "Enheeee vp dada aisha anajua uzima wangu"

    "hajui, tena analia kila siku akiona picha zako yaani amechanganyikiwa toka aliposikia kifo chako"

    "yes, usimuambie kabisa yaan abaki hivyo hivyo"

    "kwanini"

    "yaani kwa jinsi ninavyomjua dada yangu, aisee usimuambie kabisa"

    Nilimuambia mama yangu kua asimuambie dada aisha kua mimi ni mzima, maana dada aisha nilishawahi kutembea nae kimapenzi na aliapa kutokuachana na mimi hata kama ni ndugu, kwahio ndio maana staki ajue kua mimi ni mzima maana atataka tufanye mapenzi na mimi, afu mimi sitaki tena maana nishajua kua ni ndugu yangu, ila yeye hataki kujua hilo kua sisi ni ndugu ila anachotaka ni kuuendeleza uhusiano wangu mimi na yeye

    UNAWEZA UKAJIULIZA KUA HUYO DADA YANGU NILIMKULA WAPI,..... HUYO DADA YANGU TULIANZA UHUSIANO KWENYE STORY ILIOPITA, IITWAYO ( "SECONDARY SCHOOL" ) NA NDIO MAANA NAKUAMBIA HUTOIELEWA HII STORY KAMA HUKUISOMA HIO "SECONDARY SCHOOL" KWAHIO NAKUSHSURI NENDA KAISOME HIO AFU UJE UENDELEE NA HIII... MAANA KILA NITAKACHO KIANDIKA HAPA KINATOKA KWENYE HIO STORY, HIVYO KAMA HUKUISOMA, KIUKWELI HII HUTOIELEWA

    "mmhhh haya, ila kesho nakuja na mkeo"

    "sawa, sasa nipe simu yangu"

    "sadikiii nakuomba sana nipo chini ya miguu yako mwanangu, kama kuna namba unaijua kwa kichwa, tafadhali sana naomba uisahau kabisa baba"

    "sawa nimekuelewa, ila laini mpya je siruusiwi kuitumia"

    "unaruusiwa, na tayari nimeiweka humo, nimekusajiria na kitambulisha changu"

    "sawa asante"

    "nikuletee chakula gani baba"

    "ugali tu"

    "ugali na nini,"

    "na maarage tu"

    "sitaki, nakuletea na nyama na samaki na mnavu sawa"

    "pia maarage ueke kidogo"

    "inaonekana una hamu nayo"

    "hehehehe ndio"

    Basi mama yangu aliondoka zake, na dokta wakati huo alikua hayupo, hivyo mama alipoondoka, nilimuona nesi nae anaingia huku akitabasam,

    "mambo dikii"

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Nesi alinisalimia huku akikaa karibu yangu,

    "poa tu"

    "simu yako nzuri"

    "mmhh asante"

    "tubadilishane namba basi"

    Nilimuangalia huyu nesi huku nikimshusha juu chini kisha nikamjibu tu kwa ustaarabu,

    "mmmhh namba yenyewe hata siijui kwa kichwa"

    "lete nijibipu basi"

    "mbona kama unaing'ang'ania sana"

    "kwani we hujui"

    "sijui ndio"

    "nataka siku ukiruusiwa, tusiache kuwasiliana"

    "apana utanisumbua mbele ya mke wangu"

    "jamani dikiii, nipe bwanaaa"

    "afu we ni mtu mzima lakini una akili za kitoto"

    "kama zako"

    "ivi una maana gani kuanza kunirembulia hivyo"

    Nilimuuliza huku yeye akiwa amerembua ile mbaya

    "kwasababu wewe ni hensam naaaaa unaonekana unayajua, maana nanii yako kubwa"

    "afu wewe ni mtu mzima ujue"

    "kwani mtu mzima hana tobo"

    "ati nini"

    "nilisema hivi, ivi sasa hivi mwanamke akivua nguo utamuacha"



    Nilishangaa sana kwa kusikia maneno ya huyu nesi, maana toka nipate ajali sikuwahi kufanya mapenzi hata siku moja, na dhumuni langu ni kuacha kufanya mapenzi yasio na mpangilio wowote, nilimuangalia sana yule nesi bila ya kumpatia jibu lolote maana nahisi anataka kunirudisha utumwani, kuanzia hapo nilianza kukasirika na kumwambia kua

    "samaani dada angu, naomba tueshmiane"

    "kwani nimekutukana jamani"

    "sitaki maneno yako"

    "basi nisamee, ni usichana tu unanisumbua"

    "basi kawasumbue wengine ila sio mimi"

    Nilikua ni mkali kuliko hata mbwa, maana safari hii sikua nataka mchezo kabisa, coz mapenzi hata uyafanyeje hayaishi bado yapo tu,....... Basi ikiwa ni mwezi wa tatu tarehe za katikati hivi hali iliendelea kuwa nzuri kiasi flani,

    BAADA YA MIEZI MITATU KUPITA

    Na sasa ni mwezi wa sita kwenye tarehe za mwanzoni kabisa, mtoto wa kiume nilikua nimeshapona, tena nina afya nzuri kuliko hata mwanzo, mishavu ilijaa hiha mtoto macho yamekua mazuri utafikiri demu, yaani nilikua nina afya nzuri na mwili uliokonda miezi mitatu iliopita, kwa sasa ukiniona huezi nikumbuka tena, kama ulikua kipindi bado nipo hoi hoi nahemea mipira,.... Kunenepa sijanenepa kwahio naomba utofautishe kati ya Afya na Kunenepa, hivyo nilikua nina afya nzuri na nguvu zaidi, sura yangu ilikua imekongoroka sana, lakini kwa sasa imerejea ikiwa inavutia utafikiri toto la mashavuni, kumbe ni choka mbaya,

    Baada ya kupona kabisa kabisa yaani hata dozi zote nilishamaliza tena mpaka yule nesi akarudishwa hospitalini kana kwamba zoezi langu limekwisha, ila mbaya zaidi sikua naruusiwa kutoka kutokana na RB nilionayo, maana nikionekana na wale askari heee sidhani kama wataniacha kwakweli, sasa kwakua sikua nikitoka humo ndani hivyo nilikua nikiseidia baadhi ya kazi ndogo ndogo pamoja na kumseidia yule mfanyakazi wa ndani, hata kufagia uwanja, maana ni bonge la mjengo afu lipo ndani ya geti, hivyo nilikua siruusiwi kutoka kabisa japo sikua nikiumwa kwa wakati huo, maana nimeshapona yaani mpaka kwenye kale kachumba cha matibabu siruusiwi kuingia tena, maana hapaniusu kabisa,

    Sasa nikiwa naendelea kufanya zangu usafi hapo kwenye gadeni, ghafla mlango ulifunguliwa, kwanza nilimuona mama akiingia, afu wa pili alikua ni mke wangu, dahhh mke wangu kuniona tu alifurahi mno

    "waaaaaaooo mume wangu nashukuru kwa kukuona tena, nakupenda sana mume wanguuu"

    Jasmini au jasu au mke wangu, alikua akilia kwa furaha ya kuniona nipo hai, maana alikua akiambiwa tu na mama kua nipo hai sijafa, hivyo hakua akiamini mpaka leo ndio siku ya kwanza kuniona toka nipate ajali, sikutaka kum'bembeleza maana alionekana kua na hamu na mimi kuliko chochote kile, Na pia nilishangaa kumuona mke wangu ana uja uzito wa miezi kama minne hivi,... Kumbe siku ile nilipokua nakamatwa aliniambia kua ana mimba ya wiki mbili, na ilikua ni mwezi wa pili hivi, duuuu kweli mke wangu alikua ana mimba, ila sikutaka kumuuliza maana alikua akinililia kwa furaha huku akiwa amekaa kwenye mapaja yangu ...

    "shkamoo mamy"

    "marahaba hujambo baba"

    "sijambo, naaa nadhani kwasasa nahitaji kufanya mazoezi zaidi"

    "mwanangu, hayo mazoezi utayafanyia wapi sasa, na unajua kabisa hapo ulipo serikali inakujua umekufa"

    "lakini mama, kama vipi twende police nikaombe msamaha kuliko kuishi kimashaka namna hii"

    "weeeeeee uende wapi, na ukisubutu kwenda tu, ujue umenifunga mimi mama yako pamoja na dokta na nesi wake"

    "kwanini"

    "kwasababu mimi nimewadanganya police kua umekufa, na nikamwambia dokta awadanganye kua umekufa, leo hii wakuone upo hai ulizani watatuacha, tena ni kosa la kuidanganya serikali yangu"

    "duuuuuuuu, lakini sasa mamy, nitakaa ndani mpaka lini"

    "mwanangu sadiki, sina maana ya ukae ndani, nia yangu ni upone kisha nikuhamishe hata uende kenya kwa muda"

    "heeeeee huko kwa maalshababu, siendi uko ng'oooo"

    "sema basi utaenda wapi"

    "mi nataka nikalime tu kijijini"

    "hebu nitolee ushenzi wako hapa, ukalime kitu gani, we unajua kulima wewe"

    Muda huo tulikua tukijadiliana mimi na mama kua nitaenda kuishi wapi, ili nisionekane hovyo maeneo haya, lakini nia yangu mimi ni kuelekea tanga kwetu, yaani kule wazazi wangu walipozaliwa, lakini mama angu alikua hataki niende tanga kwasababu sintoyaweza maisha ya vijijini, kwahio anahisi nitaenda kuteseka zaidi, lakini kwa mimi binafsi nimeridhia kwenda tanga,

    "mamy, mbona maisha ya kijijini ni mazuri tu, tena ukizingatia na huku kujificha jificha ndio kuzuri zaidi kuliko hata huko kenya unapotaka niende"

    "mwanangu sadiki, tanga utaenda tu kuteseka baba, maisha ya kijijini yanahitaji moyo kama hukuyazoea"

    "mama, huko huko ndio kuzuri, wacha nikalime mama, kuliko niendelee tu kula chakula cha buree"

    "mmmhhhh sawa ila mimi sijaridhika kabisa baba"

    "mamy, nakuomba uridhike mama angu, maana ukiweka kinyongo sintofanikiwa kwenye mazao yangu"

    "ok sawa nimekubali kwa moyo mmoja, ila unaenda na mkeo au"

    "nani? Huyo anabaki huku huku"

    Mke wangu aliposikia anabaki alishangaaa

    "weeeee nani abaki huku, sibaki ng'ooo, twende wote huko huko"

    "sasa utaweza kulima wewe"

    "nitaweza tu kwani nimezaliwa wapi"

    "mama, unamuona mkwe wako alivyo mjeuri ee"

    "lakini sadiki, utaendaje mahali umuache mkeo, lazima uende na mkeo"

    "sawa mamy but ataenda kulalia wapi"

    "kwani wewe unaenda kulalia wapi"

    "si kwa bibi"

    "na yeye pia huko huko"

    "sasa huyu kazoea umeme, je kule kwa bibi kuna umeme sasa"

    "weeee nyumba ya bibi ako mimi ndio nilieijenga, ina vyumba sita na umeme umejazana babu wewe, kwahio nenda na mkeo"

    Tuliendelea kubishana baina yangu mimi na mama pamoja na mke wangu, maana sikutaka kuenda nae kwasababu ya usumbufu usumbufu wa hapa na pale, tena mke wangu na vile ana mimba duuu ilikua ndio tatizo ambalo sikutaka aende,

    "aaaahhh sawa nimekubali kuondoka nae, lakini inatakiwa nitangulie kwanza mimi afu ndio na yeye aje"

    "heeeeee kwani wewe unakujua huko kwa bibi yako"

    "mmhhh hilo nalo neno, napanga kwenda mahari na wakati sipajui"

    "sasa skieni, hapa humuachi mtu, bali keshokutwa nitawapeleka sawa"

    "sawa mamy"...........

    Maelewano yaliisha na tulipanga tuende kuyaanza maisha tanga kijijini, ambako ndio kwetu kabisa

    JAMANI KUSEMA UKWELI, MTUNZI WENU WA STORY ZOTE MLIZO SOMA, NI MZAWA WA TANGA MAENEO YA PONGWE NDIO KWA BABA NA PANGANI NI KWA MAMA, HIVYO KWENYE STORY HII NITACHANGANYA BUT TRUE MIMI NI MTANGA HALISI ILA MBAYA ZAIDI NIMEKULIA NA KUSOMEA ARUSHA HIVYO ZILE SWAGA ZA KIGOSI SINA KABISAAAA..... MAANA HATA KWENDA HUA NI KUSALIMU TU THEN TUNARUDI UBARANI,.....

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Baada ya hizo siku mbili mimi nikiwa nipo ndani ya nyumba ya dokta, nikiwa tayari nimeshamuaga kua naondoka ila sidhani kama nitarudi, na pia walishamaliza mkataba wao baina ya dokta na mama, sasa nikiwa nje ya geti la nyumba ya dokta nikiwasubiri akina mama waje twende, Ghafla kweli niliiona ile gari aina ya lamborghine ambayo nilimpa dada aisha pamoja na mama liwe kama usafiri wa kuendea sokoni, yaani gari ya shilingi milioni mianane, eti ni ya kuendea sokoni, ila uzuri ni kwamba gari ilinunuliwa muda kidogo na mama yangu mlezi sonia, maana tulikua na pesa chafu mpaka zinamwagika, hivyo kama ingelikua ni mama yangu huyu asingenunua gari ya gharama kiasi hicho,......

    Lakini nilipoangalia vizuri ndani ya hilo gari, nilimuona dada aisha nae yumo, ikabidi nimpigie mama simu

    "haloooo, mamy mbona dada aisha namuona kwenye gari"

    "sadikiii, kwani aisha kakufanyaje, wacha dada ako akuone hata akupe baraka, yaani majirani wajue umekufa, hata dada yako pia?"

    "mamaaaaaaa yaani laiti ungejua ni kwanini namkimbia aisha wala usingesubutu kuja nae"

    "we njooo, maana dada yako alikua anaumwa kila siku kisa wewe, na nilipomwambia tu upo hai, yaani ndipo alipopata nafuu"

    "hapana bwana mi siji hapo kwenye gari, kama vp nyie nendeni tu"

    Unajua kama hukusoma secondary school basi hapa huezi paelewa kabisa, maana hapo ninakataa kwasababu dada aisha nilishawahi kutembea nae kimapenzi wakati hatujuani, sasa tulipokuja kujuana kua ni ndugu lakini dada aisha yeye hataki tuwe ndugu yaani anataka uhusiano uendelee zaidi, na mimi nataka aendelee kujua kua nimekufa ili uhusiano ukate kabisa..... Sasa ndio nashangaa mama kamuambia kua nipo hai,

    "unasemaje wewe? Hebu njoo upande twende wewe"

    "mamaa mi siji uko"

    "sadiki, unajua unanichelewesha we mtoto"

    "mamy mi siji, au kama vp mi nitakuja na basi"

    "pumbavu wewe hebu njooo haraka mshenzi mkubwa wewe"

    Daaaaahhh bimkubwa alimaindi kinoma, ikabidi tu nikubali kwenda,...... Nilifungua mlango wa gari, maana tulipokua tukiongea na mama hatukua mbali ila mimi nilikua nimejificha, hivyo nilijitokeza na kukutana uso kwa uso na dada aisha,.... Na dada nae alianza kunitabasamia huku akitamani kunikumbatia na kunipa denda, ila sema anavumilia kwasababu ya mama,... Niliingia ndani ya gari, kisha nikaketi siti ya nyuma pamoja na yeye aisha,

    "shkamo dada"

    Nilimsalimia japo kiumbo tupo sawa ila kiumri kanipita, alijitahidi kuitikia huku mimi nimekunja uso.....

    Mara mama akageuka, maana yeye ndio dereva,

    "sasa nataka mniambie kila kitu kuhusu nyie, ni kwanini mnachukiana, leo niijue hio siri yenu ni ipi"





    Duuuuhh nilianza kuhisi kua maza atakua katushtukia uhusiano wetu baina yangu na aisha, na kama atakua kajua basi itakua shida, ila kwakua nilikua ni mtoto wa kiume niliojawa na saundi nyingi, nilimpiga saundi mama angu mpaka ikakaa vema, yaani karidhika kabisa, hivyo hakujua kitu chochote baina yangu na aisha, maana ningezubaa tu basi angelijua kila kitu kupitia kwa aisha, mana alikua anataka kuropokwa kutokana na uhusiano uliopo kati yetu,

    Hata hivyo aisha hakua akisafiri, bali alikuja tu kwa nia ya kuniona kama kweli nipo hai,.... Alishuka na kwenda zake nyumbani nasi papo hapo tukaianza safari ya kuelekea tanga, tulikua watu watatu humo ndani ya gari, mimi na mke wangu pamoja na mama, tena mama mwenyewe ndio alikua dereva,

    Safari ilinoga huku story kwa wingi zikisikika humo ndani ya gari

    "yaani mwanangu sadiki umekua mzuri zaidi kuliko hata mwanzo baba"

    "aaaaa wapi mama unanichulia tu"

    "kweli vile, yani umebadirika sana, yaani watu waliokuona mwaka wa jana afu wakuone leo heeee watashangaa sana"

    "mmhh sawa many"

    Inavyosemeka eti nimekua hensam mpaka basi kuliko hata secondary school nilikua naibia uhensam,

    "ila sadiki, naomba uache ushenzi wako, naomba utulie"

    "mama, kwani mi nina nini"

    "umrudie mungu sadikii, ee, achana na wanawake hawatokuseidia kitu mwanangu"

    Mara mke wangu akadakia juu kwa juu

    "Enheeee ni kweli muambie kabisa, na pia nikifika kijijini lazima nimrekebishe huyu"

    "we nawe acha umbea nyoooo"

    Basi ilikua ni maongezi ya hapa na pale ambayo yaliambatana na utani ndani yake

    Safari ilikua ni ndefu sana, kwani ilituchukua masaaa nane hadi kufika katika kijiji chetu kiitwacho PONGWE ambapo ndipo wazazi wangu walipozaliwa, afu na huko MNYUSI ni kijiji alichozaliwa mama wa watoto wangu jasu,..... Tulifika hadi hapo kijijini kwetu ambapo kwa mgeni kama mimi nilipaona ni pazuri zaidi maana sikuwahi kufika kabla, kulikua kunavutia mno tena tulienda wakati wa mahindi kukomaa komaa, tuliingia katika nyumba ambayo ndio ilikua nzuri na ndio ilikua nyumba yetu ambayo ilijengwa na mama kipindi alipokua housegirl nyumbani kwetu kwenye story iliopita iitwayo secondary school, kumbe mshahara wake wote ulikua ukiishia huku kijijini katika ujenzi wa kumjengea mama yake ambae ndio bibi yangu,

    "waaaooi huyu ndio huyo sadiki ee"

    Hio ilikua ni sauti ya bibi iliokua ikimuuliza mama kua mimi ndio huyo sadiki, maana hakuwahi kuniona na mimi pia sijawahi kuwaona maana ndio kwanzaa naingia kijijini hapa,

    "ndio, huyu ndio huyo sadiki mumeo huyo"

    Mama alimuambia bibi huku wakicheka kwa furaha ya kumuona mjukuu wake wa kiume, kama unavyojua upendo wa bibi na mjukuu

    "jamaani mjukuu wangu wataniibia bwana"

    Bibia alikua akilalamika kiutani utani kua wataniiba kwa jinsi nilivyo hensam kiasi ambacho hakuna mwanamke nitakae mtongoza na akakataa, ila mbaya zaidi nimejaaliwa udomo zege mpaka basi, yaani mimi kwenye kutongoza ndio siwezi kabisaaa.....

    "watakuibia mara ngapi, na tayari umeshaibiwa"

    "heeeee jamani bora nimeibiwa kwa uharali kuliko kuibiwa njenje"

    Bibi angu mzaa mama alikua ni mcheshi sana yaani alikua anapenda utani mno,....

    Baada ya siku hio kupita nilikua nipo nje nashangaa shangaa mazingira ya maeneo hayo jinsi yalivyo mazuri,..... Pembeni ya nyumba yetu kuna boma flani hivi ya kiarabu ambayo kwa sasa ina wapangaji wa kawaida, sasa hao wapangaji walikua wakinishanga mimi, na wapangaji wenyewe walikua wamevaa ushungi na wengine kanga moko moko, ila mimi sikua na mawazo nao..... Mara nikasikia azana ya saa saba, nikaona ngoja niende msikitini

    Hivyo nikaanza safari ya kwenda msikitini.. Lakini kila ninapokutana na watu, naona wameshika nguo wengine unawasikia wanaenda kwa mafundi,.... Nikaona nami nilikua na kofia yangu ya kibaraka shekhe, hivyo nilipotoka msikitini nilienda kwa fundi cherehani kutia kilaka kofia yangu, lakini nilipofika kwa fundi nilikuta kundi la watu ambao walikua wakisubiri huduma ya kushonewa nguo zao, sasa nikajiuliza kua, watu wote hawa nitatoka na leo kweli, ilibidi tu niondoke zangu kurudi nyumbani... Lakini hapo hapo wazo lilinijia kua je nikifungua kakibanda changu na mimi, ili mke wangu awe anapata hata ya sukari afu mimi nakwenda kupiga ng'we, niliona inafaa niijue kwanza mimi kisha nimfundishe mke wangu....

    Nilirudi nyumbani huku nikiwa na wazo la kua fundi wa cherehani na ni baada ya kuona kua mtaa wote huu una fundi mmoja tu,

    Nilipofika nyumbani niliongea na mama kua naitaji kua fundi wa cherehani lakini mama angu alikataa kabisa, ikabidi nimbembeleze na kumpa sababu nyingi mpaka akakubali lakini ilikua ni kishingo upande

    "mwanangu, yani uwe fundi wa nguo kweli"

    "mama, mimi sitaki kua fundi kabisa, bali naenda arusha kujifunza afu nikija namfundisha mke wangu, lakini sina nia ya mimi niwe fundi"

    "mmmhhh haya lakini sitaki hio kazi ikukae, ni bora uwe mkulima wa mboga mboga kuliko uwe fundi"

    "sawa, mi nia yangu ni kumuacha mke wangu hapo nami niendelee na mboga mboga zangu"

    "sawa,..... Kwahio unarudi arusha tena"

    "ndio, ili nikapate utaalamu wa kuifanya hio kazi kwa umakini zaidi"

    "lakini kwanini usijifunzie huku huku mwanangu"

    "mamy, kule arusha nina yule fundi wangu aliekua akinibania suruali zangu, ni mtaalam sana na ninamuamini asilimia mia"

    "lakini sadiki, si unajua kua kule una rb ya kutoonekana, sasa utaendaje huko kwa fundi"

    "mamy, lazima nijibadirishe nisijulikane kirahisi"

    Basi mama alikubali afu nikaenda tena kwa mke wangu na kumpa hio taarifa,

    "bwana mi skuamini wewe unaweza usirudi"

    "aaaaa jasuuu kua na akili ya kikubwa basii"

    "sio akili ya kikubwa, we unaweza ukanitoroka wewe"

    "sasa nikutoroke kwa lipi"

    "unaweza ukajifanya ooohh naenda kujifunza cherehani, kumbe una nia ya kunikimbia"

    "aaaa mi nishazoe lawama zako, we niruusu kesho niondoke bwana"

    "mmhhh sawa, nakutakia utoro mwema"

    "acha mawazo finyu wewe"

    Nilimuacha mke wangu kule chumbani kwetu, nikawa nipo hapo nje naangaza angaza macho ili ifike saa kumi niende msikitini,......

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Sasa nilipokua nimekaa hapo barazani nasoma junzuu ambayo nimekuja nayo kutoka msikitini, maana mimi kwa dua bado nipo vizuri,.... Alikuja mdada mmoja mwenye umbo zuri, lakini mbaya zaidi alikua kavaa kanga moja tu na kujitupia mtandio wa kichwani

    "assalam aleykh"

    Alinisalimia huku akinipa mkono aliouzungushia mtandio wake ili nisigusane nae

    "waaleykh msalaam habari yako dada"

    "safi tu, ila we mtoto sana unafaa uniamkie"

    Alianza utani utafikiri ananijua kumbe hamna kitu

    "sawa, shkamoo"

    "utani tuuu, niambie mambo tu inatosha... Vp huyu bibi humu ndani yupo"

    "mmmhhh yes yupo ndani"

    "mbona umeguna"

    "yupo ndani"

    "ok poa"

    Sikua nahitaji utani wake kwani kwassa nimeamua kubadirika zaidi kuliko mwanzo

    Aliingia ndani huku akimuita bibi.... Mimi nilikua bize mno

    "mbona hayupo"

    "basi atakua kapumzika"

    "ok, samaani ivi unaitwa nani"

    "nani? Mie"

    "ndio, ni wewe"

    "naitwa sadiki"

    "mmmhhh nilijua tu"

    "ulijua nini"

    "jina limeenda na hio sura"

    Alianza maneno ya chini chini, ila mimi sikutaka aendelee, hivyo nilinyamaza ili na yeye anyamaze au aondoke zake,

    "we sadiki, dikiii, wewe unajifanya bizeee"

    "samaani dada naomba uniache"

    "sawa, but nakualika kwetu kuna dua, so nakutegemea boy"

    "sawa nitakuja"

    "ila ukija ujiandae, maana sintokuacha bure, lazima uibariki dua yangu"

    "nijipange kivipi"

    "mmhhh na wewe unajifanya hujui,... Njoo bwana"

    Mara mke wangu akatoka huku akiwa katoa macho

    "heeee we mdada mbona umemshika mume wangu, kulikoni"



    Yule dada aliniachia baada ya kuisikia hio sauti, tena alionekana kua na adabu zaidi kuliko hata mwanzo,.. Mimi muda huo nilikua nasoma zangu kuruani katika vitabu vitukufu vilivyotukuka mbele za mungu, Hususani mswahafu au junzuu, maana usishangae kuona kua nawezaje kuvisoma vitabu hivyo, na ndio maana kila kipande nitakukumbusha kua kama hukuisoma secondary school basi mengi yatakua yamekupita, na hii kutoielewa vizuri, basi mtoto wa kiume nilikua zangu bize nikawa najifanya sisikii wanavyoongea maongezi yao baina ya yule dada na mke wangu, na mke wangu alikua amekasirika kiasi flani hivi kana kwamba hakua akiongea utani hata kidogo,

    "we baba chidi, mbona umetulia tuuu inamaana umependa huyo dada alivyokushika si ndio"

    "mama rashidy, mbona una gubu hivyo ee, huyu si jirani kaja kusalimia tu mamaaa, ee, acha wivu mke wangu...... Ok we dada hebu ondoka tu ili uniepushie shari sawa"

    "ah ah, asiondoke kwanza mpaka aniambie hapa kamfuata nani"

    Yule dada maskini kumbe anaogopa mume wa mtu khaaa, huezi amini alinza kutetemeka mithili ya mtu anaehisi baridi katika kipindi cha joto,

    "samahani dada angu, mimi nilikuja kumsalimia mgunya"

    "heeee mgunya ndio nani humu"

    Nilidakia juu kwa juu, maana mke wangu kaja jana tu hivyo kumjua mgunya ni ngumu, ila mgunya ni bibi angu huyu tunaeishi nae humu ndani kwa sasa

    "we nawe mgunya si bibi"

    "kumbe bibi ndio anaeitwa mgunya"

    "ndio, si majina yenu ya kisambaa hayo"

    "ya kisambaa kwani we ni kabila gani"

    "hata kama, kwani mi nakijua hicho kisambaa chenu"

    "na utakijua tu..... Haya we dada unaweza kwenda, ila usirudie tena kushika shika wanaume za watu"

    "haya dada asante"

    Yule dada alitimua mbio, khaa yaani sikuamini kama wanawake wa tanga wanaogopa wake za watu, maana huyu dada kweli alionesha nia ya kunitamani kimapenzi, lakini sasa kakutana na mwenye mali,

    "we nawe umejilegeza tu apa mpaka unashikwa beka ulikua huoni au"

    "sasa mke wangu, je kama bega langu lilikufa ganzi, je ningehisije nimedhikwa"

    "uongo uooo, we sema ulianza kumtamani kisa kavaa kanga moja"

    "weeeee usiseme ivyo bwana, kwani huoni kua nasoma kitabu kitukufu hapa"

    "mschiuuuu, lione vile yaani we huachi utumbo tumbo wako tu"

    "kwaio wataka niache kusoma mswaafu ili iweje"

    Mke wangu alikua ana hasira sana juu ya jambo lile, kwani aliondoka huku akisunya kuashiria kua hakupenda tabia ile ya mimi kushikwa na mwanamke ambae alikuja kwa ajili ya bibi mgunya, sasa kakutana na mimi akajisahau mipango yake

    "we sadiki, mbona mwenzio kanuna vile kuna nini"

    Huyo alikua ni mama yangu mzazi ndio ananiuliza swali hilo baada ya kumuona jasu kanuna,

    "mamy, huyo mtoto anadeka sana uyo"

    "sadiki mwanangu, huoni hali ya mkeo ilivyo, hebu muonee huruma basi... Mkeo ana uja uzito wa miezi minne pale alipo tayari mtoto keshatunga hivyo haitaji buguza zozote zile"

    "mmmhhhhhhhhh sawa mama nimekuelewa"

    "ok, haya na hio safari imekuaje"

    "safari si kesho tunaondoka wote"

    "mkeo kakubali uondoke"

    "mmmh kakubali lakini ni kishingo upande tu"

    "basi jiandae ili kesho tuondoke asubuhi sana, maana si unajua nimemuacha dada ako tu kule"

    "sawa"

    Kesho ilikua ni siku ya mama yangu kurudi arusha, maana huku tanga alituleta kwakua tulikua hatujui kwa bibi etu, maana tumezaliwa na kukulia mjini mpaka hatujui kwetu kukoje, na hapa ni kwa mama tu, bado kwa baba hata sipajui ili ni tanga hii hiii,..... Sasa hapo nilikua nafikiri kesho ikifika ndio siku ya safari ya kuelekea arusha, ili nikajifunze ufundi wa cherehani, maana nimeona kua nikiwa fundi kwenye mtaa huuu nitapata kazi nyingi, maana yule jamaa niliemuona kajaza watu, kana kwamba cherehani ipo moja katika mtaa huo, hivyo mimi nataka niwe fundi wa pili katika mtaa huo, maana wanawake wa tanga wanavyopenda kushonesha duuu balaa tupu........

    Baada ya siku hio kupita na leo ni siku nyingine ikiwa ni mida ya saa moja asubuhi nilikua nimejiandaa tayari kwa kuianza safari ya kuelekea arusha, Niliingia kwenye gari na mama pia aliingia ili tuianze safari, mimi ndio nilikua dereva maana tulivyokuja mama ndio alikua dereva, gari tunayoitumia ni ile gari yangu ya kipindi kilee cha secondary school gari yenye thamani ya shilingi milioni mia nane na ushehe, tena kama sio kuwapa familia yangu ungekuta na hii nimeshaihonga, maana kwa jinsi nilivyo fara nilijikuta nahonga gari nyumba pamoja na makampuni ambayo nilipewa zawadi na wazazi wangu baada ya kumaliza kidato cha 4, Yaani kama sio yule mwanamke kunifanya zezeta, duuu saa hii ningelikua bonge la bilionea, maana nilikua nina pesa nyingi sana, ila nilikuja kuzihonga kwa mwanamke mmoja hivi ambae alikua ni mwalimu wangu wa darasa, sasa nilikataa kumpa tamu yangu hivyo akaenda kunifanyia mauzaUza mpaka nikajikuta nammilikisha nyumba yenye thamani ya shilingi milioni mia tano na ushehe pamoja na gari yenye thamani kama hio, pamoja na kummilikisha makampuni mawili yenye thamani ya shilingi bilioni 9.4, yaani kama sio kujonga, mungu wangu leo sijui ningekua nani, ila namshukuru mungu bado nipo hai na bado nadunda,..... YOTE HAYO YALITOKEA KWENYE HIO STORY YA SECONDARY SCHOOL



    Safari yetu ilikua ni ndefu, kama unavyojua kutoka tanga mpaka arusha, duuu ni kilometa nyingi mno mpaka kufika arusha, lakini mungu nae aliibariki safari yatu na hatimae tukafika arusha mida ya saa kumi na nusu jioni, kama kawa nilifikia nyumbani kwetu ambako ndipo anapoishi mama au anti mwaju,.... Na mjengo huo mimi ndio nilimnunulia kwa gharama ya dhilingi milioni mia tatu, kipindi alipofukuzwa na mama yangu mlezi baada ya kutumwa japo na kulikataa, maana mama huyu alikuaga housegirl wetu kipindi hicho.... Basi tuliingia ndani na hatukumkuta mtu yeyote yule katika hio nyumba, ila kwakua mama alikua ana ufunguo wa ziada basi tuliweza kuingia humo ila mimi nilikua nimevaa kofia ya kapero ili watu wasinijue kwa urahisi, maana nikioneka nipo hai, huenda kesi ikafufuka upya japo ilifutwa baada ya kujulikana kua nimekufa...

    Tulipofika mimi sikutaka kukaa maana muda bado ulikua unaruusu kwenda kumuona yule fundi, ili nijue naanza lini kujifunza ufundi huo,

    "unaenda wapi sadiki"

    "mamy, wacha nikamuone yule fundi ili akae akijua nitaanza kujifunza kwake"

    "lakini mwanangu si unajua kua una RB"

    "najua mama"

    "kua makini basi"

    "usijali mamy"

    "haya ila usichelewe, si unajua hujala kabisa, afu kwanza una pesa"

    "ndio mamy ninazo kiasiflani"

    "kama huna usema baba"

    Basi huyo ndio mama yangu mzazi aliekua akinipenda sana maana mimi ndio wa kiume peke yangu, japo nina dada yangu aitwae aisha, ila huyo baba ni tofauti,......

    Nilifika katika ofisi ya huyo mzee ambae ndio alikua akinishonea nguo zangu, na ni mtaalam sana kwa mambo haya, yaani huyu mzee anajua kushona vizuri mpaka raha, na ndio maana nimerudi kwa ajili yake ili anifundishe ujuzi huo,

    "shkamoo mzeee"

    "marahaba kijana, oooohoooo ulikua wapi kijana, ni kama miezi mitano minne hivi sikuoni kabisa kijana"

    "aaaa mzee nilisafiri kidogo si unajua tena"

    "najua mambo yako ya kipesapesa tu kijana, tena sasa hivi umekua na afya kuliko hata zamani, yaani huko ulipokua kunakupenda sana kijana"

    "ahahahahahahaha sawa sawa mzeee, nilienda tanga"

    "aaaaaa tanga sehemu gani kijana"

    "aaaaa ni sehemu moja hivi inaitwa pongwe"

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "aaaaa pumbavu sana, mimi kwetu ni mlanzi pale"

    "aaaaaaaa basi kumbe vijiji vyetu havipo mbali eee"

    "ndio, aiseee kumbe ni kijana wa nyumbani kabisa"

    "ndio mzee"

    "haya nipe mpya wanasemaje huko tanga maana nina muda kweli baba ako sikwenda huko"

    "aaaaaa wapo tu, na sasa ni kipindi cha kupalilia mahindi hiki yaani hadi raha yani"

    "aisee lazima nikawaone na mimi"

    "sawa sawa mzeee,... Aaaaaa sasa mzeee, mimi kuna jambo limenileta hapa"

    "jambo gani tena kijana"

    "mzeee, aaaaaahhhhh nilipoenda tanga, nilikua nafikiria sana nianze kazi gani au biashara gani, lakini nilikuja kubuni kua nikiwa mkulima mzuri wa mboga mboga na vitu vingine sintokufa njaa, lakini pia nikaona, kwanini niingize kipato mwenyewe na wakati mke wangu yupo, hivyo nikapendekeza mke wangu awe fundi cherehani nami niwe mkulima, ila nia ya kujifunza mimi ni ili nikamfundishe mke wangu, maana yeye hawezi kuja huku kila siku kutokana na hali yake sio nzuri, mzee nimeona nije kujifunza kwako mzee wangu"

    "kwanza kabisa kijana wangu nakupongeza kwa jambo la kuoa, halafu pia nakupa pongezi nyingine za kua mkulima katika kijiji chenu,..... Nami nakuahidi kua kujifunza kwangu we ondoa shaka, tena sintokuchaji hata senti tano na nitakupa ujuzi wangu wote kama mtoto wangu,.... Kijana yaani hata ukitaka uanze sasa hivi nipo tayari"

    "ahahahahahahaha mzee bwana unanichekesha kweli, nitaanza kesho ila leo nilikuja kukujuza tu, na kuusu swala la malipo mimi nitakulipa mzee, maana najua wewe una familia na inahitaji kula"

    "sawa kijana wangu yaani yote hayo ni maamuzi yako lakini kwa upande wangu nimekupa ruksa juu ya himaya hiii"

    "nashukuru sana mzee wangu"

    "haya kijana karibu sana, jiskie huru katika ofisi hiii"

    "asante sana mzee wangu"

    Niliondoka zangu huku nikiwa na furaha ya kukubaliwa na mzee huyo kukifunza ufundi, ilikua imefika mida ya saa kumi na mbili jioni kagiza kanataka kuanza hivi, niliona nirudi zangu nyumbani ili nikajipange na majukumu ya kesho, Nilipitia supermarket nikanunua mavitu ya kulakula nyumbani, kisha huyoo nikajongea zangu kurudi homu, Nilibonyeza alam pale gatini na mtu alikuja kufungua, na hakua mtu mwingine bali alikua ni dada aisha, nilikua siwezi hata kumuangalia, maana kufanya mapenzi na ndugu yako afu mkijuana inakua tabu kweli,

    "mdogo wangu diki, we si umeenda tanga ili nikusahau, sasa mbona umerudi tena"

    "aishaaa, kwani mama hajakuambia kilichonirudisha"

    "hajaniambia"

    Sasa kumuangalia vizuri, kumbe ndio alikua anatoka kuoga, yaani hapo alipo alikua kavaa kanga moja tu tena imemganda mwilini kwa yale maji maji ya mwili

    "ok naomba nipite basi, nitakuambia mi mwenyewe huko ndani"

    "pita tu"

    "aishaaaaaa kwaio mpaka tugusane ndio uone raha"

    "sadiki, nilikua najitaidi kukusahau baada ya kusikia umekufa, ila nilipojua tu upo hai, na moyo wangu ukarudi upyaaa, tena mbaya zaidi umerudi arusha na tunaishi wote nyumba moja, namshukuru mungu maana atakua kasikia kilio changu, sadiki mimi nimekubali kua ni ndugu yangu ila sio kirahisi namna hio, na kukuacha wewe ni mpaka nipate mwanaume mtundu kama wewe,... Sadiki mdogo wangu naomba upite hapa hapa ili unibane bane kidogo maana nimetoka kuoga maji ya baridi muda huuu,.. So naitaji joto lako mdogo wangu, eee?"





    Nilianza kukasirika juu ya lile jambo, kwani sikulipenda hata kidogo na ili ajue sikulipenda basi na kupita hapo mlangoni sikutaka kupita badala yake nikarudi nilipotoka,

    "sasa unaenda wapi?"

    "usiniulize"

    Nilikua kweli naondoka hata sijui pakuelekea,

    "lakini ukumbuke una RB oooohooo haya"

    Daaahhh sasa aliposema hivyo, ndio nikakumbuka kua, afu kweli inamana nikianza kuzurula hovyo itakuja iniletee shida, basi nilirudi tu ndani baada ya kuona aisha keshatoka pale getini, maana alikaa kimtego zaidi kiasi kwamba kwa rijali yeyote yule asingeweza kumuacha kwa hali ile, Basi niliingia zangu ndani huku nikiwa na usongo wa kesho kwenda kwa fundi kujifunza cherehani,

    Kama kawaida ndani ya nyumba tupo watatu, yaani mimi mama na dada aisha,kana kwamba mama akitoka tu inabidi nami nitoke maana kukaa na aisha humu peke etu tunaweza zua balaa zito zaidi, kama unavojua mitego ya wanawake ilivyo mikali kwa sisi wanaume, yaani haturuki hata kidogo na sijui ni kwanini

    Basi masaa yalizidi kwenda na siku hio ilipita vizuri sana, niliamka asubuhi nikapiga chai nzito kisha nikaelekea zangu kujifunza ufundi........... Njiani nimekua mtu wa kujificha ficha kila mara maana nilikua nimevaa koti langu kubwaa ambalo lilishikana na kofia kwa juu, kisha nikavaa mpaka miwani kitu ambacho sio kawaida na sipendelei kuvaa, ila kwa hizi siku mbili tatu itanibidi kuvaa miwani hio ili niweze kujikwepesha machoni mwa watu wanaonijua, kwani hapa siikimbii serikali bali nawakimbia mpaka watu wanaonifahamu kwa undani au hata kwa kuniona tu, kikubwa nisionekane na mtu yeyote yule anaenifahamu maana umbea ndio utaanzia hapo,.......

    Nilifika kwa fundi kama kawaida kwa fundi huyo kuna kajishule kachanga ambacho hufundisha wasichana tu, tena mke wa huyo mzee ndio anaewafundisha na mzee mwenyewe anaendelea na kazi ya kushona nguo za wateja,

    "ahaaaaaa kijana karibu sana mwanangu"

    "asante sana mzee wangu shkamoo"

    "marahaba ujambo kijana wa pongwe"

    "aaaa sijambo mzee sjui ninyi huku kwenu"

    "bwana weee huku salama tuuuuu.... Mama jamila, we mama jamila"

    "abeee"

    "unamuona kijana wa pongwe huyu"

    "shkamoo mama"

    "marahaba hujambo"

    "sijambo sikui wewe"

    "aaaaaaa mimi mzima, ila nimeshangaa kuambiwa wewe ni mtu wa tanga"

    "ahahahahaha inakubidi uamini hivyo mama angu, mimi ni mtu wa tanga asilia kabisa yaani wazazi wangu wote ni wazawa wa tanga, hivyo siwezi kuruka hata kidogo mama angu"

    "ila inapendeza sana kwa vijana kama nyie kutokumbuka kwenu, maana kuna mwingine ukimwambia kwenu ni tanga mtagombaaanaaa khaaa"

    "aaaa hao wanaokataa kwao ni malimbukeni wa mji tu"

    "kweli eee"

    "ndio mama angu"

    "haya karibu sana, na nimezipata taarifa zako kua tutakua wote hapa ukijifunza ufundi si kweli"

    "ndio ndio naaaa hata sasa ndio nimekuja kwa ajili hio mama"

    "ookeeee......... Baba jamila upo bize sana"

    "aaaaaa wala namalizia tu kitambaa hapa"

    "okee basi utakua nae maana sio vizuri nikamuweke na wasichana"

    "Eeehhh hata hivyo mimi sikupanga akakae huko, huyu mimi namfundisha mwenyewe na mkono wangu yaani nampatia ujuzi wangu wote na simdai hata kumi"

    "oke sawa basi ngoja mimi niendelee na hawa huku"

    "sawa we niachie huyu"

    Basi yule mama aliondoka na kwenda kuendelea kufundisha wasichana, ni maeneo hayo hayo tu ila tumetenganishwa na vyumba kadhaa vilivyopo sehemu hio, maana eneo hilo ni eneo la barabarani tena ni karibia na mjini,

    "kijana sasa, macho yako yanatakiwa kua bize maeneo haya sawa"

    "sawa mzee"

    "unachotakiwa kufanya kwa leo, kwanza ni kuniangalia mimi ninachokifanya hapa kuanzia kushona kukata na kupima kwani hivyo ndio vitu vikubwa vitatu unavyotakiwa kuvijua sawa"

    "sawa mzeeee"

    "KUKATA, KUPIMA, NA KUSHONA, hizi ndio siri kubwa za fundi mzuri"

    "okeeee"

    "kwahio wewe leo niangalie hapa ninavyoianza hii suti, na nilichelewa kuishona ili niishone mbele yako ujue vizuri na ujue kwa vitendo"

    "sawa sawa mzee wangu nimekuelewa vizuri tu"

    Basi mzee alikua akinifundisha kama mtoto wake wa kumzaa yaani familia yote ilikua ikinipenda kupita kiasi, na mazoea na huyu yalianza kipindi nikiwa naishi na mama muarabu, nilikua namletea suruali zangu anazibana, kama unavyojua swaga za sasa hivi tunanunua nguo nzimaaa, afu tunakwenda kuibana kwa fundi iwe mnyonyo, Sasa kule kumletea kwangu kulimfanya anipende anifanye kama mtoto wake wa kumzaaa, maana alikua akinipa bei ya kushona nguo mfano kubana ni buku mbili, basi mi nampa buku tano, hivyo kanizoea zaidi kuliko maelezo,.... Kama kawaida leo nimeambiwa macho yangu juu ya kile anachokifanya mzee huyu, yaani sikutakiwa kuyakwepesha hata kidogo macho haya, maana nikikwepesha tu nitavikosa vingine, Basi mtoto wa kiume siku yangu yote iliishia hapo huku kila ikifika muda wa kushwali nakwenda kuswali na huyu mzee japo hajui ni kwanini navaa makoti makubwa na makofia kiasi hiki,........

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/ Siku hio iliisha na kulienda giza na hata wale wanafunzi wa kike ambao nao walikua wakijifunza cherehani kwa mke wa huyu mzee walitoka, kana kwamba muda uliisha, nami nikicheki saa ilikua ni mida ya saa kumi na mbili hivi jioni,

    "kijana, vp umenyaka nyaka au bado"

    "mzeee, kwa nilichokiona leo nadhani kinatosha, hivyo nitashukuru sana kama kesho nitaanza kukata na kujaribu kushona"

    "hilo ondoa shaka kijana wangu, yaani kukuambia uangalie leo ni kwa ajili kukupa umakini zaidi"

    "asante sana mzee wangu"

    "sasa, nadhani huuu ni muda wa kwenda kupumzika,........ Mama jamilia"

    "abeee mume wangu"

    "kijana anakwenda sasa"

    "waaaooooo baba umeelewa elewa mwanangu"

    "ndio mama nimeelewa elewa kidogo tu mama angu"

    "usijali, ingawa baba yako ndio anakusimamia, basi utaelewa vikubwa zaidi sawa baba"

    "sawa mama nashukuru sana"

    "haya karibu nyumbani lakini"

    "usijali mama angu nitafika tu"

    Basi tuliagana pale na kila mtu, hususani mzee pamoja na mama, yaani familia hii inanipenda mno mpaka mwenyewe nashangaa ni kwanini wananipenda kiasi hiki,

    Sasa nikiwa njiani narudi zangu nyumbani, njiani nilikutana na msichana mmoja mkalii ile mbaya, lakini nilipomuangalia vizuri nilikumbuka kua nae alitoka pale kwa yule mama kujifunza cherehani, nilimpita kujifanya kama sijamuona vile,

    "we mkaka, we mkaka"

    Alinishtua yeye na wakati nia yangu nimpite

    "naam, Asalam Aleykh"

    Niligeuka kisha nikampa salamu ya kidini, na ni kweli nae alikua muislam kwani aliweza kuitikia barabara kabisa

    "waaleykh msalam khaifa"

    "twaib"

    "oookk aaaa mimi naitwa saumu sjui wewe boy"

    "aaa mimi naitwa sadiki"

    "aaaaa samaani kama nilikuona leo pale ofisini upo na yule baba"

    "mmmhh ndio ni kweli"

    "nawe unajifunza cherehani"

    "ndio"

    "mmmhhh umekua watofauti sana kutokana na kalne hii"

    "kwanini"

    Sasa tukawa tunaongea huku tukitembea taratibu huku akiporomoa maswali nami kama kidume nayajibu,

    "unajua wavulana kama wewe, ni ngumu sana kujifunzi cherehani"

    "ni hao masharo baro but kwa mimi najua ni njia moja wapo ya kutafuta kipato"

    "ni kweli"

    Sasa tukafika mahali, yeye anapita kushoto na mimi napita kulia, yaani tunaachana hapo.

    "sasa dada mimi nakatia hapa"

    "haaaa kumbe kwenu ni huko"

    "ndio"

    "ni mbali sana"

    "mmmhhh no sio mbali"

    "mmhh na wewe, kama kwenu ni mbali twende kwangu kwa leo tu"

    "we mtoto mdogo una kwenu au una kwako"

    "sadiki, sisi ni familia yenye uwezo kidogo na binafsi kama mschana niliwaomba wazazi wangu wanijengee nyumba ili niwe huru kiasiflani"

    "oooo sawa, ila kwetu sio mbali"

    "kwahio sasa, au nije kwenu"

    "eeeeee hilo nalo jambo gumu"

    "au kama hutaki nije kwenu basi twende kwangu, huko utaoga utakula, tena tutapitia shoping tukachukue nguo kwa ajili yako maana hili koti lako linanitisha"

    "samaani dada angu, tutaonana kesho kazini pale bye bye"

    Niliondoka mbio hata yeye hakuamini, maana alishaanza kunitamani kimapenzi na mimi tabia hii nimeshaiacha na hata kutubu nimetubu sitaki tena mapenzi zaidi ya mke wangu tu, Nilikua nakimbia hovyo tu ili yule dada asije akanifata kwa nyuma, na wakati huo ilikua ni mida ya saa moja kasoro jioni,........

    Nilifika nyumbani, nikabonyeza alam ya geti, na mtu alikuja kufungua, hakua mwingine bali alikua ni dada aisha

    "waaaooo dogo langu ilooo"

    Alinihagy nami sikumkatalia, nilimkumbatia kisha tukaachiana, sasa nae kama unavyojua na akili yake ya kitoto, alikua anataka nimkisi mdomoni nami nilikua nakwepesha, maana tulikua bado tumeshikana, sasa akawa anataka kiss la mdomoni na kama unavyojua kiss la mdomoni linawafaa watu wenye mahusiano ya kimapenzi, sasa huyu ni dada yangu japo nilishawahi kulala nae, sasa kanogewa mpaka leo ananisumbua mno

    "aisha mi staki bwanaas"

    "sadiki mdogo wangu, nipoze hata na kiss tuu"

    "stakiiii bwanaaa"

    "dikiiii nipe denda kidogo tu, mama asije akatukuta"

    "stakiiii, nitamuita mama oohooo"

    "dikiiii mdogo wangu, mbona unanitesa hivi, toka ujulikane umekufa hadi leo nimebakia nikikuwaza tu kama mpenzi wangu,....okeee mi sitaki tufanye chochote kile ila nipe denda tu niridhike"

    Sasa nilipokua ndio nainamisha mdomo ili nimtulize, niliskia sauti ya mama etu ikisema

    "aaaahaaaaa sasa leo ndio nimeijua siri yenu ya siku zote, nilikua natamani sana kujua sasa leo mungu kanionyesha pumbavu zenu nyie"







    Nilishtuka sana kumuona mama akiwa katika hali ya hasira mno, na pia sikutegemea kumuona

    Kiukweli wote tulikua tukitetemeka kwa uoga maana hatukua na jinsi zaidi ya kuogopa, tulianza kujing'ata ng'ata mimi na aisha huku kila mtu akiwaza yake, mimi nilikua nikiiwazia laana juu yetu, maana kitendo tunachojijumuisha nacho hakimfurahishi mtu yeyote yule, kwani hata mimi mwenyewe nilikua sihitaji kufanya kitendo hicho,

    "mamy, aisha ndio chanzo lakini"

    "kelele wewe, pumbavu mkubwa wewe"

    "tusamee mamy"

    "nasema mtanieleza vizuri huko ndani mambwa nyie"

    Kwanza tulipigwa makofi ya mgongo kila mmoja huku akituingiza ndani, huezi amini mama etu alikua akilia machozi juu yetu,

    "sadiki mwanangu ivi umekosa wanawake mpaka utembee na dada yako, na wewe aisha umekosa wanaume huko nje mpaka utembee na mdogo wako, jamani nyie watoto hivi nitaiweka wapi sura yangu jamani eee?"

    Mama alikua akilia kwa uchungu mno, huku akitufokea sana,

    "ivi ndugu wawili mnawezaje kua na mahusiano ya kimapenzi, sadiki mwanangu, malezi yote niliokupa kumbe ni bure... Bira hata huyo dada ako sikukaa nae kabisa sasa wewe je tena unaijua dini vizuri lakini kwanini ufanye hivyo"

    Mama alinirukia na kunishushia kibano cha maana, karibia angenivunja mkono haaaa, yaani kama sio kukimbilia chumbani mama alikua aniue, sasa nikawa nasikilizia tu kibano cha aisha huko anavyopewa,... Baada ya aisha kuadhibiwa niliitwa kishwa tukakalishwa chini

    "naomba kila mmoja aniambie huu ushenzi wenu mliuanzia wapi pumbavu nyie"

    Nilianza kuongea mimi mana aisha alikua hawezi hata kuongea kwa kibano kilivyomshukia,

    "mamy, tulianza mwaka jana siku nilipompeleka dada nusura kwenye harusi ya rafiki yake, ndio tulikutana huko"

    "mungu wangu, watoto mna laana nyie, haaaa tena hata shetani anawaogopa"

    "tusamee mama"

    "pumbavu sana, siwasamehi mimi hapa lazima mizimu ihusike katika hilo, wewe sadiki maliza kujifunza huo ushenzi wako alafu turudi kijijini wote"

    "haaaaa mamy, na huku mjini je"

    "mnaenda kupoza mizimu na kondoo, pumbavu nyie, na isipo wasamehe mtajiju wenyewe washenzi wakubwa nyie"

    Mama alifoka kupita maelezo, huku akisema tabia hio haikuwahi kutokea katika familia yao, sasa kwanini sisi tumekuja kuidhalilisha familia,.... Basi japo hilo lilishia hapo ila mimi na aisha tulikua tumevimba vimba kila konda kwa kufinywa na kupigwa faru utafikiri waizi wa kuku,

    Siku hio ilipita na leo ni siku nyingine tena ambayo ni kesho yake, Kama kawaida niliamka na kwenda kuoga.. Baada ya kuoga nikapiga chai kisha nikaamsha zangu kuelekea shuleni, kwenye shule ya kujifunzi cherehani, kama kawa mi hua sipendagi rakshali sana, kwani sehemu ya kwenda kwa gari mimi nakwenda kwa mguu, taratiibu kabisa huku nikiendelea kusikiliza kaswida zangu katika iafoni,.... Simu yangu ni ile ile ya gharama kubwa, sijaiuzaga wala nini, maana ni simu yenye bei mbaya kuliko simu yeyote unayojua wewe kua na bei mbaya, maana iliagizwa moja kwa moja kutoka hong kong,.... Sasa nilipokua nakaribia shuleni, nikakutana tena na yule mdada wa jana ambae nilimkimbia baada ya yeye kuniganda ganda kiaina, nilichukia sana kwa jinsi nilivyokutana nae, ila sikumuonyesha kua nimechukia

    "dikiiii, we diki"

    "ah naam"

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "unajifanya husikii jamani haa"

    "aaaa nilikua nasikiliza music hapa"

    "ok, mambo"

    "poa tu"

    "ivi nikuulize swali"

    "yes uliza tu"

    "ivi mi nang'ata ee"

    "mmmhhh mi sijui"

    "sasa kwanini jana ukanikimbia"

    "aaaa mi nikajua wauliza cha maana kumbe hicho"

    "ahaa kwahio kumbe hiki sio cha maana si ndio?, sasa kuanzia leo staki mazoea na wewe"

    "ebo, aaahahahahahahaha unanichekesha sana we mwanamke"

    Katoto kaliondoka kwa kukichetua kakajua labda nitakashobokea kumbe mtoto wa watu ndio kwanza sina hili wala lile, maana tabia hio nilishaiacha toka nilivyopataga ajali, Basi tulifika wote shuleni hapo kwani hata yeye pia anajifunza cherehani hapo hapo ila uzuri wa mimi nafundishwa kipekeangu pekeangu na huyo mzee, ila hawa wasichana wanafundishwa na mama mke wa huyu mzee, nilifika pale nikaanza kusalimia niliowakuta akiwemo mzee huyo ambae ndio ananifundisha mimi...

    "sasa leo kijana nataka ujue jinsi ya kupima na kukata"

    "sawa sawa mzee"

    Basi nikawa tayari kupewa ujuzi ambao nitaufanyia kazi kijijini kwetu,

    "kwanza kabisa ukitaka kukata kitambaa cha mtu, hakikisha umekipima vizuri, na kimetoa mapande vizuri, kisha baada ya kumpima ndio utajua utaikateje hio nguo,... Mfano kama nguo ya kupinda inapindiwa urefu wa 30 basi we ongeza nchi moja ili uipindie ile nchi ulioiongeza pale sawa.... "

    "sawa mzee nakuelewa vizuri sana"

    Basi mafunzo yalienda vizuri na hatimae na siku nazo hazigandi....

    BAADA YA WIKI MBILI KUPITA

    ikiwa leo mzee kaniachia kazi zake zote, yaani namseidia kushona nguo za wateja wake, afu yeye kalala, kwa kuchoka... Nami nilikua nikiifanya kazi yake bara bara kabisa, maana nimefuzu mpaka nimepitiliza, na leo kuna suti nilikua naifanyia kazi, baada ya kuimaliza nilienda kumuamsha mzee aikague hio suti kama bado nijue

    "mzee, mzee"

    "eeee kijana unasemaje"

    "hebu iangalie kama kuna makosa"

    Mzee akaikagua freshi mpaka mwenyewe akasnza kutikisa kichwa

    "yaani we mtoto sijui umenikopi, khaaa yaani hii suti mwenye nisingeitoa hivi, aisee kijana tayari umeshakua fundi sasa, natumai utakula pesa kama mimi baba yako"

    "kwahio mzee unaniambia iko sawa"

    "yaani asilimia mia na mia mbili juu"

    "lakini shukrani zangu zote zikufikie wewe mzee wangu"

    "yaani kijana, hio sehemu utakapoenda kufanya kazi siamini watu watajaaje"

    "aaahahahahahahaha mzee ushaanza kunitabiria tena"

    "ndio, kwasababu mimi naona kabla ee na ninaona kupitia uwezo wako"

    "nitashukuru sana mzee wangu"

    Basi tulifanya taratibu za kuagana na mzee maana ndio tayari nimeshakua fundi kamili, yaani sio wa kubabaika tena, Baada ya kuagana na mzee pamoja na mama pia na wale wasichana waliokua wakijifunza

    "mzee naona pongwe inaniita sasa"

    "sawa kijana nakutakia kila laheri na ufanikiwe juu yako"

    "asante sana mzee"

    Kabla sijaondoka nilijipiga tero na kutoa cheki ya shilingi laki tano na kumpatia mzee,

    "kijana, nilikuambia usinilipe kijanac

    "mzee hata mimi sijakulipa, na ukitaka nikulipe sema"

    "aaaaa kijana una vituko kweli wewe"

    "utakwenda kutoa hio pesa"

    "sawa kijana, mungu akubariki sana katika mambo yako"

    Baada ya kuagana na mzee mara yule dada kaja, yaani nimetokea kumchukia ghafla tu japo ni mrembo na ana umbo lakini binafsi roho yangu imemchukia sana

    "dikiii ndio unaondoka"

    "we si ulisema utaki mzoea na mimi, na toka utoa maneno hayo yapata wiki mbili sasa hujawai kunisemesha sasa iweje leo unisemeshe"

    "sadiki bwana usiseme hivyo"

    "sikia we mdada, usipoteze muda wako bure, binafsi mimi sikupendi sawa"

    "heeeeee kwani mi nilikuambia nakupenda"

    "sasa unanifatia nini, ebu chkua taimu bana"

    Dada aliondoka lakini alijiskia aibu kubwa ya kutolewa nje na mwanaume daahh,...

    Sasa ile nageuka tu niendelee na safari zangu, niligongana na mscha mzuri mlainii

    "we kaka vp huoni"

    "samaan dada angu"

    Sasa kumuangalia vizuri, mungu wangu alikua ni zaituni, sasa nikaanza kujibalaguza na kuishusha kofia vizuri ili asinione, afu mbaya zaidi nae keshaanza kunishtukia

    "afu we kaka, mbona kama nakujua vile, hebu funua hio kofia"

    KAMA ULISOMA ILE STORY YA SECONDARY SCHOOL BASI UNAMJUA ZAITUNI ALIKUA NANI YANGU, NA AKAWA NANI YANGU





    Nilikua sina wasiwasi juu ya dada zai, na asingeweza kunijua saana kivile maana nilikua nimevaa kofia flani hivi za kapero, tena ni zile za kichuga chuga, kwahio ukizingatia na koti kubwa niliovaa, ni ngumu kunijua kwa uharaka zaidi, japo kwa mwaka huu nina afya kuliko mwaka wa jana,....

    "samaani dada naomba uchukue time"

    "ok samaani na wewe, labda nilikufananisha tu"

    Aligeuka mwenyewe na kuondoka maana mavazi niliovaa ni mavazi ya kihuni ambayo kwa mschana yeyote yule huezi kusimama na mimi kwa muda mrefu labda awe ananijua vizuri,...... Kwahio zai aliondoka zake baada ya kujua kua mtu aliemuona angalau mdomo na kidevu alifanana sana na mdogo wake, ila ukweli ni kwamba huyo mdogo wake ni mimi na wala hakunifananisha, ila nimemkwepa kwasababu ya haya matatizo yangu ya kukamatwa kamatwa, maana nikijulikana kua bado nipo hai itakua balaa kwa serikali,

    Mschana huyu anaitwa zaituni, nadhani kuna wengine hamumfahamu, ila kwa wale mliosoma story ya secondary school utamjua huyu dada anaeitwa zaituni au zai,...... Kumbuka kua story hii ya FUNDI CHEREHANI ni part two ya SECONDARY SCHOOL, yaani muendelezo wa secondary school ni hiii fundi cherehani,

    Basi baada ya kupishana na zaituni, mimi nilijikataa zangu kuelekea home, mida hio ni mida ya saa 8 mchana, Nilikua natamani nikamwambie kua ndio mimi lakini roho ilikua ikisita kwenda, maana hata yeye alikua akigeuka nyuma mara mbili mbili, kana kwamba haamini kama sio mimi,..... Niliamuoa kuondoka zangu maana nikimshtua kua ni mimi huenda ikawa balaa kubwa, na wakati inatakiwa nisijulikane kama nipo hai au nipo hapa mjini,.......... Nilifika zangu nyumbani ambako niliwakuta watu wote akiwemo mama na aisha peke yake, maana tupo watatu tu ndani ya nyumba,

    "shkamoo mamy"

    "maraaba ujambo baba"

    "sjambo"

    "vp mbona leo umerudi mapema ivyo"

    "ndio mama, kwasababu nimemaliza kujifunza"

    "waaaaooo kwahio hapo ulipo upo vizuri"

    "ndio"

    "nikupe kitenge changu unishonee sketi"

    "tena mamy, nitaishona vizuri hio"

    "mmmhhh mtoto muongo wewe"

    "kweli mamy"

    Mara aisha alikuja, sasa kuja kwake kulimkumbusha mama safari ya kijijini,

    "Enheee, we sadiki si umemaliza ufundi wako, sasa kesho ni safari muanze kujiandaa sasa hivi"

    "sawa mamy"

    Niliitikia huku nikimuangalia aisha kichini chini, maana tanga ilitakiwa nirudi peke yangu tu, lakini imekuja kua wote kutokana na ushenzi tulioufanya mimi na aisha, kana kwamba bila ya kuchinjiwa kondoo hatuwezi kupona na familia yetu itapatwa na nuksi mikosi na vingine vingi,

    "sadiki, jiandae na vitu vyako"

    "sawa, but mamy? Naitaji niende mjini kwa sasa nikaandae vitu vyangu, kama mashine na mbegu mbegu kwa ajili ya shamba, pia naitaji ninunue angalau na vitambaa vya kuanzia na vitenge kadhaa pamoja na khanga"

    "mmmhhh na wewe, vitu vyote hivyo vya nini tena, ok chukua kadi hii katoe milioni moja tuuu, ikizidisha mimi na wewe, maana ndio nilitaka nikafungashe nguo kwasababu duka limepungua nguo, kwahio ukizidisha zaidi ya hapo utakula mtaji"

    "hapana mamy, tena hata hio milioni yaweza kua kubwa sana"

    "haya nenda uko"

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Basi mtoto wa kiume nilienda zangu benki ambako ndipo ninapokwenda kutoa pesa kwa ajili ya kwenda kuianza raski kazi ya UFUNDI WA CHEREHANI hivyo hapo natumia akaunti ya mama kwenda kutolea pesa, maana mimi akaunti yangu nilishahonga kwa mwanamke aliekua mwalimu wangu katika story iitwayo secondary school, nilifika benki nikatumbukiza kadi na kujaza minamba pale nikafanikiwa kutoa kiasi cha shilingi milioni moja tu, kama alivyoniambia, nikicheki kiasi kilichobaki ni milioni tatu na laki nane, ambayo ndio pesa ya kuendeleza mtaji ambao nilimfunguliaga kipindi tukiwa matajiri, baresa ni cha mtoto kwetu,...... Baada ya kutoa kiasi hicho cha pesa, moja kwa moja nilienda kwenye maduka ya wahindi na kununua mashine ya cherehani mpyaaaaaaa, iliouzwa laki mbili taslimu, baada ya hapo nilinunua masofa seti moja, na TV kisha nikaenda kwenye maduka ya pembejeo za kilimo, nikanunua mbegu za mboga mboga aina tofauti tofaut, pamoja na kila kifaa kinachohusu kilimo, hususani vitu vya kunyweshea mazao yangu pamoja na dawa dawa za kuuwa wadudu,..... Baada ya hapo nilikwenda kwenye maduka ya nguo nayo nikanunu baadhi ya vitambaa vya kuanzia kazi, pamoja na kila kitu kinachomhusu FUNDI CHEREHANI.......... Nikipiga maesabu ya vyote nilivyonunua, nimebakiwa na kiasi cha laki tatu na elfu themaanini, moja kwa moja nilivipeleka stendi kwenda kuvipakia kabisa katika buti, hayo ni mabasi yanayokwenda kesho, baada ya kuvipakia na kukata tiketi nilirudi zangu nyumbani ambako nilimkuta mamy na aisha, wakati huo tayari ni mida ya saa 11 jioni, ambako

    "heeee wewe hivyo vitu ulivyosema waenda nunu viko wapi sasa"

    "si nimevipakia tayari"

    "wewe, inamaani ni vingi visivyoweza kuingia kwenye gari yetu"

    "ndio"

    "haya nipe kadi yangu"

    Nilimpa mama kadi yake ya benki, kisha nikawa nimetulia kimyaa

    "kwahio wewe utapanda basi"

    "itanibidi iwe hivyo, maana vitu ni vingi mno"

    "sawa"

    Kwakua nilikua nimechoka nikaona wacha nikaoge zangu, niliingia chumbani kwangu ambapo kulikuepo na bafu la ndani kwa ndani, hivyo nilipomaliza kuoga nilijitupia zangu kitandani na kupitiwa na usingizi,

    Nilikuja kushtuliwa na aisha, tena kwa bahati mbaya alinikuta bado nipo na taulo nililotoka nalo bafuni, nilijaribu kumfokea kwanini aje chumbani kwangu bila ya hodi, lakini haikuseidia kitu

    "aisha, si unaona nina taulo tu, kwanini hukupiga hodi"

    "sadiki mdogo wangu, naomba unisamehe kwa hilo, ila kiukweli nimeshindwa kuvumilia mdogo wangu"

    "aisha, inamaana na kujulikana kote na mama bado wataka tu"

    "sadikiiiii, kua muelewa baba, mama hayupo kaenda mjini kuchukua zawadi zawadi za kuwapelekea kijijini"

    "hebu naomba utoke chumbani kwangu, mimi sitaki tufanye tena dada, mi staki"

    "sadiki, sadiki, sadiki, mbona hunielewi, kwanini dada yako nikaubebe ugonjwa bure huko nje wakati wewe upo humu ndani"

    Dada aisha alianza kusogea sogea taratibu huku mimi bado nimeshikilia taulo, maana lilikua lataka kudondoka,

    "sadiki mdogo wangu, nataka leo tu, na leo ndio siku ya mwisho ya kuuvunja uhusiano wetu, tena uzuri ni kwamba kesho tutaenda kuchinjiwa kondoo"

    "aisha, aisha, mi staki bwanaaaa"

    Dada yangu wa toka nitoke aliendelea kunisogelea taratibu huku akiwa anaiachia kanga aliokua kaivaa kwa wakati huo, na muda huo mimi nilikua nimesimamisha nanii yangu kwa kumtamani dada angu, na yote hio ni kwasababu yake ya kunilazimisha......

    "sadiki, ukikataa kusex na mimi angalau kamwisho mwisho, nitamuambia mama kua ulishawahi kuniomba huku"

    "aaaaaaa aishaaa ni maneno gani hayo unaongea"

    "we si hutaki"

    "kwani nilikufanya aisha"

    "lakini si uliniomba"

    "kwani nilifanya sasa"

    "haijalishi ulifanya hukufanya, mimi hainiusu ila kama hutaki poa"

    Aisha aliongea hivyo kisha akafunga kanga yake vizuri na kuanza kuondoka,

    "kwahio utamuambia"

    "pigia mstali hilo"

    "aisha plz plz dada angu usimuambie, ukimuambia utaongeza kesi"

    "sawa, mimi sintomwambia, je upo tayari kunilala kimoja tu kinanitosha"

    "aaaaaa lakini, lakini, lakini dada, lakini si"

    Nilipokua nataka kuongea nilishtukia kusukumwa kitandani huku dada aisha akija kwa juu yake, na kanga yake huku ikiwa imelegea,.....

    Sasa ile nataka niliwahi kulishikilia taulo langu ili asinivue, Kiukweli nilichelewa mpaka alinivua, alafu mbaya zaidi sikua hata na boxer





    Binafsi mimi na nafsi yangu, sikupenda kufanya jambo kama hili, maana tayari tulishajuana kua ni ndugu hivyo haikutakiwa kuendelea tena, lakini tatizo halikua kwangu bali tatizo lipo kwa dada aisha ambae ndio nlazimishi wa jambo hili, kiukweli sikua na jinsi kwa wakati huu, mana nina miezi minne mitano hivi sijawahi kukutana kimwili na mwanamke yeyote yule, hivyo kwa upande wangu nilishazidiwa na aisha, na kukikuta uume wangu tayari ulishaingia katika siri ya dada yangu, nilitamani kuichomoa lakini haikua rahisi maana alikua kanikalia kwa juu, sasa kutokana utamu na hisia kali za mapenzi, nilishindwa kujizuia na kumkataza, kwahio nami nikasapoti kukati viuno japo najua kua namkatikia dada anfu toka ntoke kasoro baba tu,

    "vuo hio chupi basi dada"

    "we iache tu, tena ikiwepo ndio inanipa utam maana inanibanabana"

    Aisha hakuivua chupi wakati akiingiza nanii yangu, yani aliisogeza tu pembeni kisha akaingiza nanii yangu iliosimama wima tena mpaka ilikua inatetemeka, mtoto wa kiume nilikua nina kifaratu hicho khaaaa, maana nilimgeuza dada angu na kunueka staili ninazozijua mimi mwenyewe, maana aliniweka staili yake ya kishamba shamba, nilimgeuza na kumkunja mguu mmoja, kisha nikaendelea na dozi,..... Aisee nilimtolea hasira za miezi yote ambayo sikufanya mapenzi na mwanamke yeyote yule, Dada aisha alikoma kulinga, maana hakutegemea kupata mziki kama huuu

    Baada ya masaa mawili hivi kupita, tulipitiwa na usingizi kidogo. . Ila mimi ndio wa kwanza kustuka, nilikuta shuka limejaa nyege kila mahari, hizo ni staili tulizokua tukikaaa

    "we aisha, we aishaaaaa"

    "abeee"

    "amka wewe, umejisahau kabisa yani"

    "heeeee ni saa ngapi"

    "saa kumi na mbili na nusu hiic

    "mama karudi"

    "mi sijui"

    "mtumeeeeee, kama karudi nitatokaje mungu wangu"

    "kwani geti hukufunga"

    "nilifunga"

    "basi atakua hajarudi"

    Sasa muda huo wote tulikua uchi wa mnyama, sasa aisha akawa ananiangalia angalia nanii yangu kana kwamba anataka tena,

    "unaona sasa ulivyochafua shuka langu"

    Niliongea maneno hayo huku nikitafuta taulo langu

    "nimechafua au tumechafua"

    "kwani nani kamfata mwenzie"

    "hata kama ni mimi, Ok fine nitaenda kulifua, maana leo umenikatikia mdogo wangu mpaka raha"

    "ila dada, hii tabia tuiache kabisa dada angu"

    "sadiki mdogo wangu, yaani kwa jinsi ninavyokupenda yaani natamani hata turuusiwe kuoana.... Kiukweli nasema hivi tutaachishwa kufanya mapenzi ya ndugu, lakini kaa ukijua kua sintokusahau maisha yangu yote, na hata kama tutachinjiwa kondoo, illa wewe ukitaka nakupa, ni bora nife kuliko niukose mwili wako diki"

    "umeongea mengi sana, chukua ilo shuka apo ukaliloeke kabisaa, afu kanifulie na hizo nguo zangu apo"

    "haina shida, ila mbona nanii yako imesimama, vp nikupe tena nini dogo langu"

    "sitaki"

    "bwaaanaaaaa chukua kamwisho mwisho diki"

    "aisha hebu ondoka bwana we vp"

    "ila leo umenikuna sana, hivyo natumai utakua umechoka dogo langu,... Lala unono nikiivisha nitakuita bye bye Ee"

    "we nenda bwana"

    "cheki nilivyo mwepesi kwa ajili yako"

    Dada aisha alikua akiutikisa mtako wake huku akiwa kavaa chupi tu, sasa imagen vinavutiaje? Nilijikuta namtamani tena,

    Nilimfata pale mlangoni anapojitingisha tingisha, kisha nikamshika makalio huku nikiishusha chupi yake,

    "waaaooo kumbe nimekutamanisha, aaaaaasssssssssii chukua mdogo wangu mpendwa, wala sikunyimi"

    Niliitelemsha chupi kisha nikamnyanyua mguu mmoja pale pale akiwa kasimama wima. .. Dada aisha kweli zilikua zimemshika, maana kitendo cha kuingiza tu kaachia, mtoto wa kiume nilimkula dada yangu mpaka magoti yangu yalikua yanauma utafikiri nilikua natembea safari ndefu kwa miguu,..... Sasa tukiwa tunaendelea na shughuli, mara tukasikia honi inapigwa nje ya geti, kana kwamba alikua ni mama ndio anarudi kununua zawadi za kupeleka kijijini,

    "sadiki mama uyooo niachie"

    "ngoja kwanza nimalizie kabao changu"

    "sadikiiiiiiiiii, tutakutwa"

    Nilikua nimemng'ang'ania kiuno yaani alikua hafurukutia

    "subiri aisha, vinakuja ivyoooooooooo"

    "uuuuuuuuuuuuuuuuWiiiiiiiiiiiiiiii sadiki basi umeniumiza"

    "haya sasa unaweza kwenda, maana kilikua kunakuja sasa ningekimwagia wapi"

    "mschiuuuuu fara wewe, lione vile kichwa kubwaa"

    Aliongea hayo huku akipandisha chupi kisha akafunga kanga yake, na kuondoka..

    Sasa alipoondoka tu, mimi nikachukua shuka jingine na kutandika fasta fasta, kisha nikaingia bafuni nikaoga fasta fasta... Nilipotoka bafuni nikachukua pafyum na kunyunyizia hapo chumbani, kisha nikajifuta maji na kujitupia kitandani,

    Baada ya kama nusu saa hivi mlango uligongwa,

    "nani"

    "chakula tayari"

    Alikua ni aisha ndio aligonga mlango, kucheki saa ilikua ni saa 2:30 (saa mbili na nusu) usiku, nikaamka na kuvaa suruali kila kitu na kutoka sebureni

    "shkamoo mama"

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "marahaba ujambo mwanangu"

    "aaaaa sijambo"

    "mbona ulikua umelala unaumwa"

    "mmmh wala tu, nilikua nimepumzika tu"

    Basi mtoto wa kiume nilikula msosi pale huku nikiwa kama mtu mwenye heshma balaa, tena tulikua kama tunaogopana mimi na dada aisha, ila ilikua ni kama kuinjoi tu maana muda si mrefu tumetoka kungonoka.......

    Tulimaliza kula na hatmae tukaagana ili kila mtu aende kulala chumbani kwake..

    "mamy, ila mimi kesho natangulia maana tayari mizigo ipo kwenye gari"

    "sawa, nauli na pesa ya kula si unayo"

    "yes ninayo"

    Basi mtoto wa kiume nilienda zangu kulala usingizi mnono kabisa tena huku nikiwa mwepesiiiiii niliopewa na dada aisha, japo ni laana kubwa lakini tatizo ni yeye kunitaka mie......

    Baada ya siku hio kupita na leo ni siku nyingine tena mida ya saa 12 asubuhi, nikiwa naburuza begi langu la nguo... Tena nilikua nimetupia Underrated yangu safiii, na barotracker safiii, afu chini nikamaliza na tims, bila kusahau flat dope kwa juuu, shingoni kuna kitu cha goldi kinawakaaaaaaaa.....

    "mamaaaaaa"

    "abeeeee"

    "shkamoo"

    "marahaba, ndio unaondoka"

    "ndiooo"

    "haya na sie twajiandaa, sasa hivi tunatoka"

    "sawa, kwaerini"

    "haya"

    Nilitoka nje na kuita toyo ilionifikisha mpaka stendi kunako basi litakalonipeleka tanga.... Nilipanda kwenye basi ambalo nilishakata tiketi toka jana, na vitu vyangu nilishavipakia ndani ya basi........

    Ilipofika mida ya saa moja asubuhi gari ilianza safri yake ya kuelekea tanga....

    Baada ya masaa kumi kupita, tayari nilishafika tanga stendi kuu, Nilimpigia simu mke wangu kua nakuja, na nimeshafika stendi,.... kutokana na uwingi wa vitu vyangu, niliita kigari kidogo aina ya guta au kirikuu, nikabeba vitu vyangu vyote kisha nikaianza safari ya kuelekea pongwe kunako makazi yetu huko,

    Ilituchukua lisaa limoja hadi kufika nyumbani, ambako nilimkuta mke wangu kakaa na bibi na majirani wengine wakike wazuriii walikua wanachambua mboga hapo nje, mke wangu alinikimbilia na kunikumbatia mumewe mie, na jasu sii haba, nadhani kwa wale mliosoma story ya nyuma mnamjua huyu,.... Sasa kwa jinsi nilivyokua nimetupia vitu vyangu mwilini, wale watoto wakike waliokua pale walikua wananiangalia vibaya mno, yaani daaa mpaka mwenyewe naona soo... Basi waliseidiana kuingiza vitu ndani, tv masofa pamoja na vitanda viwili vipyaa, bila kusahau cherehani yangu na mbegu zangu vyote vipo.... Nikamlipa mtu wa gari kisha nikarudi kupiga story na mke wangu maana nilimuacha huku akiwa na wasiwasi wa kutorudi, alijua namtoroka... Haikupita muda akina mama na aisha nao wanaingia na gari yao, mke wangu aliamka na kumkimbilia mama mkwe wake, pamoja na wifi yake,.. Na bibi nae kainuka kwenda kuwapokea, wale wasichana walimkimbilia aisha maana wanafahamiana nao, kwasababu aisha aliishi huku kabla ya kuja arusha, hivyo wanajuana vizuri na hawa wasichana ambao nimewakuta hapa nyumbani, Asikuambie mtu kijijini ni raha sana kwa sisi tunaotoka mjini, maana tunahisi kama tupo peponi vile kumbe duuuu........ Sasa mama na aisha pamoja na mke wangu bila kusahau bibi, walikua wakiingiza mizigo ndani nami nikiwemo mmoja wao,..

    "mambo"

    ni sauti ya mschana mmoja kati ya wale niliowakuta wakiwa wanachambua mboga

    "poa tu"

    Nilimuitikia kwa shotkat mana siwezi kurefusha maneno mengi wakati familia yangu ilikuepo japo walikua ndani wote wakiulizana mambo ya safari, sasa mimi nikawa bado nipo hapo nje na huyo mdada

    "ivi wewe ni mkubwa au mtoto"

    "kwanini uniulize hivyo"

    "sura yako tu inaonyesha kua wewe bado mtoto, yaani kama sio wa 94 basi ni 95 wewe"

    "aaaaa ni kweli hujakosea, but ni udogo kwa wewe but kwa wengine mimi sio mdogo"

    "unamaanisha nini ukisema hivyo"

    "wala tu sijamaanisha kitu"

    Mtoto wa kike alishaanza kunirembulia, na mimi mtoto wa watu nishaacha tabia ya kutembea na wasichana hovyo,

    "ivi jioni kwenye dua ya dada angu utakuja"

    "yes coz hata yeye aliniambia"

    "alikuambia lini na wakati umekuja leo"

    "mimi nilikuja kisha nikarudi tena"

    "okeee kwaio utakuja"

    "ndio"

    Kweli muda ulisonga na hatmae ilifika mida ya saa moja na nusu, ambapo nilikuepo katika dua hio iliokua ikiongelewa, sasa kwakua na mie kwenye kusoma kuruani ni noma, ilibidi niungane na mashekhe ambao walialikwa kwa ajili ya dua hio, nami nikiwa nimeshika mswaafu wangu mkononi, nilikua ninaingia ndani, na wakati huo hapo nje kulikua na kaswida ikipigika vibaya mno,... Na mke wangu nae alikuepo hapo kwenye kaswida hio, japo hana muda ataondoka.. Tulimaliza kusoma dua, tena mashekhe walinisifia kweli kwa jinsi nilivyowasomea dua hio, sasa nikiwa nipo nje nimeshikana mkono na mke wangu, nilishtuka kwa kuhisi kuvutwa shati afu mtu mwenyewe alikua ni mwanamke kajifunga uchungi, na huyo mtu alinivuta shati kisha akaendelea na safari yake kana kwamba alikua akiniita, ila mke wangu hakujua kinachoendelea

    "my wife"

    "sema mume wangu"

    "naomba niende msalani (kukojoa)"

    "heeeee twende tu kwani unaniogopea nini"

    "aaaaahhh mi nikikojoa kama pembeni kuna mtu hautoki"

    "we twende kwa mimi utakojoa tu"

    Mara akaitwa na mama mkwe wake ambae ni mama angu, maana hapo tulipo ni jirani tu

    "sadiki twende, mama anatuita"

    "umeitwa wewe au mimi"

    "ngoja, nakuja sasa hivi nikukute umesimama hapa hapa"

    Akaondoka huku akiangalia nyuma kwa kunihofia mimi

    Sasa baada ya kuondoka mimi nikamfata yule dada alienivuta shati,.....

    Mara nilivutwa nyuma ya nyumba na huyo huyo dada

    "mambo"

    "poa we nani"

    "mwantumu"

    "mmmhhh mwantumu ndio nani tena"

    "yule tulioongea jioni ya leo pale kwenu"

    "unataka nini kwangu"

    "heeeeeeee yaani ulivyo mzuri hivyo afu bado unaniuliza nataka nini"

    "niambie"

    "sadiki, yaani toka nilipokuona nimejikuta nikitetemeka muda wote kwa ajili yako, please sadiki nipo chini ya miguu yako, na nimeridhika kukuvulia chupi yangu mbele yako, Eti boy, I love you please nikubalie basi, na kama ni shanga ninazo mwenzio, please najua una mke ila mi sijali kitu chochote kile"





    Mtoto wa kike aliongea yake yote mpaka anataka kulia, ila mimi sikua nikimuelewa hata kidogo maana tabia hii nilishaiacha muda mrefu na pia hapa nilipo nina mke tena wa ndoa kabisa, hivyo kumsaliti mke wangu nilikua naogopa sana, ila huyu Mwantumu alikua aking'ang'ania kunipa penzi lake, ila kwa mimi aisee atakua kagonga mwamba, maana sikua na shauku yeyote ile ya mwanamke kwa wakati huo, Basi niliendelea kumkatalia katu katu mwanamke huyu, huku akilia kabisa baada ya kua na msimamo wa kukataa penzi lake,... Sijakaa vizuri mara simu yangu iliita pale pale nikiwa na Mwantumu maeneo ya nyuma ya nyumba, Aliekua anapiga si mwingine bali alikua ni mke wangu jasu,

    "haloo wife sema"

    "we upo wapi mbona sikuoni tena"

    "kwani we upo wapi mama"

    "mi nipo hapa kwenye kaswida, njoo twende bwana"

    "sawa nakuja"

    Nilikata simu na kumgeukia Mwantumu na kumuambia kua,

    "sikia mama, kiukweli kuusu mimi potezea tu mama sawa"

    "dikiii plz, nipe hata denda tu"

    Nilipoona mwantumu au kwa kifupi tunamuita tumi, anaendelea kunilegezea macho, niliamua kuondoka zangu na kumuacha akiendelea kuongea mwenyewe huku akiniita, lakini mimi sikua na hamu wala tamaa ya mwanamke, maana hata jana nilisex na dada yangu aisha, ni kwamba alinitega na mitego yake mpaka akaniweza, na kama sio kunitishia kua atasema kwa mama kua nilimuomba 0714 nisingemgusa, ila nilimgusa kwa sababu hio tu,

    JAMANI HUYU MWANTUMU SIO MWANTUMU YULE WA SECONDARY SCHOOL, YULE NI MWINGINE NA HUYU NI MWINGINE, KWAHIO MSIJICHANGANYE MAANA STORY NI ILE ILE TOFAUTI YAKE NI MAJINA YA STORY TU,

    Basi nilimkuta mke wangu kisha haoo tukaelekea nyumbani, kwani hapo palipokua na dua sio mbali na nyumbani, kwani tulikua ni majirani tu,.........

    Baada ya siku hio kupita na leo ni siku nyingine tena ambapo mama alitoka na kwenda kununua kondoo kwa ajili ya tambiko letu mimi na dada aisha, hivyo mama aliende kijiji cha pili kwenda kununua kondoo ili tuje tutolewe laana ya kufanya mapenzi kama ndugu wa tumbo,.. Basi mama alipotoka nasi hatukukaa mimi na mke wangu tukatoka ili tukatafute flame ya biashara, ( chumba cha kufanyia biashara ) tulitoka kwa miguu huku tukipiga story za hapa na pale kuhusiana na kijiji hicho kilivyo kizuri, Sasa huko njiani tunakutana na wasichana wazuri mno, ila nililua sina shobo zozote kwakua nilikua nipo na mke wangu....

    Katika pitapita zetu tuliona nyumba moja iliopo njiani, tuliingia pale ili tuangalie kama tutapata chumba,

    "shkamoni"

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Nilisalimia watu waliokua wapo balazani pale, tena kulikua kuna wadada fulani waliokua wakisukana,

    "marahaba ujambo kijana"

    "sijambo mama"

    "karibuni jamani"

    "aaaaa hatukai, ila tulikua tunaulizia chumba kama kipo"

    "unataka chumba gani, cha kulala au cha biashara"

    "nataka cha biashara mama"

    "oooo jamani, yaani sasa hivi tu ndio kimelipiwa, yaani ungewahi kidogo tu ungepata, tena si hicho hapo"

    "daaahh labda haikua ridhiki yangu"

    "jamani, ila vya kulala vipo"

    "aaahahahahahahaha usijali mama kama nitahitaji nitakuja"

    "haya baba karibuni tena eee"

    "asante sana mama"

    Tulitoka hapo huku mke wangu akiwa kanishika kiunoni, yaani ana wivu mpaka kero

    "niachie bwana"

    "sitaki, kwani we si mume wangu"

    "sasa nikiwa mumeo ndio unikabe kiuno, ebu niachie bwana unaniumiza"

    Nilitoa visingizio tele maana jinsi alivyonikumbatia ni kwamba anaashilia kua ni mume wangu, na mie sitaki kila mtu ajue nimeoa,... Basi tukaendelea kutafuta chumba mpaka tukachoka sasa,

    "sadiki mume wangu, mi nimechoka"

    "jitahidi bwana"

    "akuu mwenzio nimechoka"

    "aaaa mama chidi, hebu jitaidi bwana"

    "bwana staki, nahisi mtoto anacheza tumboni"

    "mmmmmmhhh mwanamke ni muongo weweeee, yaani mimba ya miezi minne anacheza tumboni, haaaa acha uongoo"

    "tupumzike bwana"

    "mmmhh sawa twende pale kwenye ile nyumba, ila uwe unafanya mazoezi"

    "sawa nitafanya, ila sio haya ya kutembea na jua kali afu chumba chenyewe hatupati"

    "tutapata tuuuu, Afu hata hapa kuna mzunguko wa watu, yaani tukipata hapa itakua hivi"

    "mmh hii nyumba yenyewe haionekani kama ya biashara"

    "we usiangalie nyumba, angalia mzunguko wa watu"

    "ebu tujaribu kuulizia huyu mbaba"

    "muulize wewe"

    "heee sasa wewe si ndio mwanaume"

    "hata kama, kwani hio pesa nimipata nakula mimi mwenyewe"

    "lakini imeandikwa kua nyie mtatafuta kwa jasho"

    "nyoooooo limekutua ilo, kwaio kama tutatafuta kwa jasho ndio niteseke... Haya na nyie si mnataka haki sawa, haya tafuta kwa jasho na wewe"

    "bwana diki tuache utani, hebu ongea na yule mzee"

    Basi mtoto wa kiume sikuchelewa kuongea na yule mzee maana ndio tulikua tunamuona maeneo hayo ya hio nyumba, na hio nyumba kwa pembeni kuna duka la nguo za aina zote, kwahio nikipata chumba hapa itakua poa kinoma.....

    "shkamoo mzee"

    "marahaba kijana habari yako"

    "ah habari yangu nzuri tu,.... Ah Samaani mzee nilikua naulizia chumba cha biashara maeneo haya hapa sijui nitapata"

    "aahhh kiukweli nyumba hii haina chumba, ila iwahi nyumba ile pale, kuna mpangaji katoka jana tu pale alikua anauza duka"

    "aaaahh asante sana mzee nashkuru"

    Basi tulitoka hapo na kuilekea hio nyumba aliotuelekeza yule mzee, ila kutoka hapo tulipokua mpaka hapo tunapokwenda hakuna umbali mrefu sana hivyo tuliruka chapu

    "hodi humu jamani"

    "karibuni"

    Tulikuta kuna watu wanagombana ila sikujua walikua na ugomvi gani, ila tulimfuata huyo mama mwenye nyumba aliokua akibishana nao na ndio alietukaribisha eneo hilo

    "shkamoo mama"

    "marahaba ujambo baba"

    "shkamo"

    "marahaba ujambo mama... Karibuni jamani"







    "aaahhh mama sisi hatukai, ila kwanza sijui kuna ugomvi gani hapa"

    Alijibu jamaa mmoja aliekua akigombana na mwenzie

    "haikuusu we pita na zako"

    Mara yule mwingine nae akajibu

    "ni kweli haikuusu we pita zako na mtu wako huko, uliona ni gest hii"

    Baada ya majibu hayo sikutaka ugomvi bali niliwanyamazia na kumuuliza yule mama

    "eti mama, kwani kuna nini hapa"

    "ah ni hawa vijana wanagombea chumba hiki, sasa mmoja analipa elfu 30 na mwingine analipa elfu 35, ila huyu wa 30 ndio wa kwanza kufika na mimi nataka huyu wa 35 sasa huyu wa 30 hataki kupitwa, ndio nikamwambia basi ongeza hio elfu 5 ili nikupe chumba hataki kuongeza pesa, ndio hapo ugomvi ukaanza baina yao"

    "aaaahaaaa sasa na hawa walitakiwa kulipa miezi mingapi mingapi"

    "mitatu tu"

    "okeee, yaani nyie jamaa hamuna akili kabisa, yaani mjini chumba cha biashara kilichopo barabarani kama hiki kinapangishwa kuanzia laki tatu mpaka tano leo mnaambiwa elfu 35 bado mnalia"

    "we dogo we, ebu jieshim bwana, huko ni mjini na huku ni vijijini"

    "ok, nisameeni mabraza zangu,... My wife hebu njoo tukione hicho chumba chenyewe kama kitatufaa"

    Nilimvuta mke wangu mkono na kuingia ndani ya hicho chumba na kukikagua kwa umakini

    "haaaaaa baba chidi, chumba kizuri tena kina sehemu ya kulala kabisa, aisee tusikiache"

    "umekipenda"

    "sanaaaa, tena we mwenyewe ukichoka kushona unakuja kulala zako tu hapa"

    "ok, sasa unanishauri tumlipe vipi huyu mama"

    "mpe elfu 38"

    "apana tumpe 40 ili tuwapikua hawa jamaa"

    "mbona kubwa sana hio mume wangu"

    "ah ah, we si unaona chumba chenyewe kinae hadi tailizi, yaani hapa tunapiga rangi tu"

    "sawa mpe"

    Tulitoka katika chumba hicho na kumfuata yule mama pale aliposimama na wale jamaa

    "enhe mama mumeelewana vipi"

    "bado wanazozana hapa"

    "sasa skia mama, mimi nalipa 40 kwa mwezi na nitalipa mwaka mzima"

    "afadhali baba umemaliza mchezo,..... Haya vijana nadhani mshindi kapatika sasa sijui kama muna la ziada"

    "we dogo sie kabisa wewe, unakuja kuvuruga ishu za watu"

    "oyaa nyie jamaa, kama vp niwape dili ya kupiga rangi apa si poa tu"

    "palipo yakiwa mazuri tunapiga mbona"

    "ila msipige vibaya kwakua nimewapokonya chumba"

    "amna wote ni upinzani na katika hilo lazima awepo mshindi"

    "sasa pigeni rangi ya pinki kwa ndani alafu kwa nje huku pigeni rangi ya zambarau... Afu andika jina pale juu"

    "jina gani tutaandika"

    "andika SADIKI FUNDI CHEREHANI"

    "heeee yaani na mbwembwe zote izo kumbe unafungua duka la kushona nguo"

    "haikuuusu we fanya yako upite ivi"

    "haina shida boss"

    Basi niliwaacha wale jamaa wakiendelea kukipiga msasa kile chumba, Niliondoka na yule mama hadi nyumbani kwake ambako ndipo tulipoenda kuandikishiana, tena tuliandikishiana mbele ya mwenyekiti wa mtaa huo,.... Baada ya hapo nilimlipa pesa yake ya mwaka mzima, kitu kama laki 4 hivi na masimbi simbi.... Baada ya kuchukua lisiti yangu ya kodi ya nyumba nilirudi nyumbani mimi na mke wangu huku tukipiga mahesaba

    "diki mume wangu angalia usimalize hela"

    "usijali, hapa nimebakiwa na laki nne tu, na hapa kuna laki ya wale wapiga rangi kule, hivyo nitabakiwa na laki tatu hapa"

    "heeee hela yote hio unawapa ya nini, unajua we unafanya kama upo mjini, hio pesa ni kubwa na usiwape hio laki yote"

    "aaaaa lakini ni kushauriana tu"

    "wape elfu 50 tu"

    "sawa"

    Sasa ile tunafika tu nyumbani tulikutana na mama kakasirika ile mbaya, sikuona wakumuuliza kwanini mama kakasirika kiasi hicho,

    "we mshenzi ulikua wapi"

    "nilienda kutafuta chumba mama"

    "yaani mimi nimerudi muda mrefu, mpaka tukamchukua mganga kaja kasubiri mpaka kaondoka"

    "mamy nisameee"

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "alafu na wewe jasu, ivi hujionei huruma mwanangu ee, wewe hapo ulipo una mimba unataka utulie, sasa na jua lote hilo mama, haya ingieni ndani nikamchukue huyo mganga tena"

    Basi mama alitufokea fokea pale lakini ikapita hio... Sasa mama akaondoka zake kwenda kumchukua huyo mganga ambae ndio atatumika kutuitia mizimu ambayo itatusamehe kwa jambo tuliolifanya mjini mimi na aisha,

    Baada ya masaa mawili kila kitu kilienda sawa, na muda huo ulikua ni muda wa saa 6:30 mchana na inatakiwa saa 7:00 tuwepo pale mizimuni,

    "we sadiki huku tunaenda wapi"

    "usijali utajua tu"

    "mmhhh maana naona tupo familia yote"

    "ndio"

    Hapakua mbali sana maeneo hayo, hivyo tulifika mida mizuri ambapo palikua na kichaka kizito sana tena palikua pamezungushiwa nguo nyeupee na nyeusi na nyekundu, kama vile kwa mganga, nikicheki hapo chini naona vichwa vya kondoo na mbuzi na vipande vya chungu, huku mifupa ya kondoo ikionekana kuwepo, mganga alimchukua yule kondoo tuliokuja nae kisha akamlaza pale chini kisha akamfunga na kamba....

    "jamani, naanza kuita mizimu yenu, ila mizimu yenu ikikataa kuchukua mnyama huyu, basi mjue kuna mmoja kati ya wawili hao atakua chizi au atakua kilema wa mikono na miguu pamoja na macho"

    Nilishtuka kuskia hivyo, yaani mpaka nikajuta kwanini nisingekua mpole kwenye mapenzi....

    "mganga hebu jitahidi wachukue tambiko letu"

    Ilikua ni sauti ya mama yangu ikimuamuru mganga, na mganga nae akamjibu kama ilivyo

    "nitajitahidi kuwaita mizimu yenu, ila wakikataa kumchukua mnyama huyu, itakua shida juu ya wawili hao"

    Tulipiga magoti chini huku mama na mke wangu wakiwa pembeni, ila sisi wahusika ndio tulikua mbele ya ile kondoo ambayo ndio itakayo tutakasa laana ya familia yetu

    "fumbeni macho wote, ili nianze kuwaita mizimu"

    Tulifumba macho wote mpaka mama na mke wangu pamoja na bibi mgunya, waliokua nyuma yetu

    "nikimaliza kuomba mizimu nitawaambia tufumbue ili tuone kama mumekubaliwa"

    Tulifumba macho kwa umakini mkubwa tena huku mimi nikiomba tukubaliwe tambiko hilo

    Mganga alianza kusema mambo yake na kuchanganya na kiruga chao, kisha akatuambia kua

    "sasa fumbueni macho, tuone maajabu ya mizimu"

    Lakini mimi nilipokua najiandaa kufumbua macho, kuna kitu kizito chenye joto mithili ya uji vilinimwagikia usoni kwangu, kana kwamba sikuweza kufumbua macho kutokana na hicho kitu kilichonimwagikia usoni,... Sasa katika akili yangu ikaanza kunukuu maneno ya mwanzo ya mganga kua

    "jamani, naanza kuita mizimu yenu, ila mizimu yenu ikikataa kuchukua mnyama huyu, basi mjue kuna mmoja kati ya wawili hao atakua chizi au atakua kilema wa mikono na miguu pamoja na macho"





    Nilianza kulia baada ya kuwaza maneno ya mganga kuusu hilo, nilikosa amani kabisa kutokana na maneno yake, ila kabla sijauliza kua labda kuenda ndio nimekua kilema, ghafla mganga alicheka kicheko kikubwa kilichonishtua na kufanya tumbo linikate kwa uoga wa kicheko chake,

    "hahahahahahahaha"

    Mama alimuuliza mganga kua

    "kwanini unacheka mganga"

    Muda huo mimi nilikua bado nimefumba macho, kutokana na kile kitu kilichonimwagikia usoni, hivyo sikuweza kufungua macho kwa urahisi, mana kimiminiko kile kilikua ni cha moto na kizito sana, Basi baada ya mganga kuulizwa swali hilo alilijibu kwa ufasaha kabisa kua

    "mizimu yenu ishukuliwe sana"

    "kwanini mganga"

    "mizimu yenu imekubali kuipokea kafara lenu, hivyo kijana tayari keshatakaswa machafu yake kupitia damu ya kondoo iliomwagikia usoni mwake, mizimu ishukuliwe sanaaa"

    Mganga alipomaliza kuongea hayo nami nikapata ahueni na kusema kua

    "nifuteni basi hio damu nifumbue macho"

    Haikupita muda mrefu kweli nilifumbua macho, ila cha kushangaza simuoni yule kondoo, kana kwamba kondoo yule keshachinjwa na mizimu ili kutukubalia maovu yetu amvayo tuliyafanya mimi na aisha, Mganga alilipwa kiasi chake kwa kaxi ya kuiita mizimu kwa ajiri ya kafara hilo

    BAADA YA MASAA MATATU KUPITA

    Tukiwa tupo nyumbani wote, bibi aliuliza swali kwa mwanae ambae ni mama yangu mzazi,

    "mwajabu, ivi kule kwa mganga tulienda kufanya nini, maana uliniambia tu twende ila hukuniambia sababu ya kwenda kule"

    "mama, kweli sikukuambia kilichotupeleka kwa mganga, ila kifupi ni kwamba, kwanza naomba unisamee mama, mana nilishindwa kumleta sadiki mapema kuja kuonana na ndugu zake hivyo aisha na sadiki walikua hawajuani"

    Mama hakutoboa moja kwa moja kua sisi tulihudhuria kitanda kimoja na dada yangu, ila kwakua bibi ni mtu mzima na ni muelewa, hivyo alipoambiwa tu kua Aisha na Sadiki walikua hawajuani, bibi alielewa moja kwa moja kua mimi na aisha tulishakutana kimwili,

    "lakini mwanangu mwaju, nakumbuka miaka kumi iliopita uliniambia una mtoto mjini ila ukasema hayupo katika himaya yako, je kwanini usingempiga hata picha aje tumjue huku, angalao hata wangejuana hata kwa picha"

    "mama, ni story ndefu sana kuusiana na sadiki, kwani yule boss wangu alikua akimpenda sana sana hivyo ilikua ni ngumu mie kupiga nae picha"

    "lakini si alikua mwanao"

    "ndio mama, ila sadiki nilimtoa sadaka kwenye ile familia, kwasababu mwanae alifia mikononi mwangu, hivyo nikamfanya sadiki kua mtoto wa ile familia kabla boss wangu hajajua kua mtoto wake kafariki dunia"

    KAMA HUJUI KUUSU HIO ISHU INAYOONGELEWA HAPO JUU BAINA YA BIBI NA MAMA, HEBU ITAFUTE STORY IITWAYO "SECONDARY SCHOOL" NDIO INA HUO UKWELI WOTE UNAOSEMWA HAPO JUU, ILA KAMA UMEISOMA HIO STORY YA SECONDARY SCHOOL BASI NAJUA UNAELEWA HAPO JUU.....

    "mmmhhhhh ila nyie watoto mna balaaa nyie, haaa kwanini hata msiwe na subira jamani, ila haya sawa, na hii ndio tabu ya kuzaa kila mahari ona sasa watoto wanakuja kua wapenzi na wakati ni ndugu"

    Maongezi yaliisha, na kila mtu akasambaratika kivyake, ila mimi na mke wangu tulirudi kule kwenye kile chumba ambacho tuliacha mafundi wakikipiga rangi ili kipendeze, Tulipofika tuliwakuta mafundi wanamalizia kupiga rangi ya mafuta, ikiwa ni mida ya jioni hivi mishale ya saa 12 kasoro hivi, Basi tulikaa hapo nje huku tukiangalia watu jinsi wanavyopishana barabarani, Ilifika muda mafundi walishamaliza kazi yao ambayo ni kukipaka rangi chumba hicho, ikiwa ni mida ya saa moja hivi kasoro,

    "Enhee wazee nambieni, kazi naiona iko poa sana, na nashukuru sana maana tuliigombea wote na hatimae mukaikosa, afu kwa bahati nzuri kumbe nanyi ni mafundi,..... Haya mnaniambiaje sasa"

    "Ebana dogo ee? Hapo we tukatie minane tu inatutosha mkubwa"

    "aaaa minane unaua bendi kaka, kweli vile minane unaua bendi kabisa yani"

    "ok kunjuka na saba mgosi"

    "aaaaa kuleni tano wakubwa"

    "apana asee tano haifai, we tufanyie hio saba mkubwa"

    "ok isiwe kesi, au sio wanangu"

    "tunakuaminia dogo"

    Basi mtoto wa kiume nilitoa shilingi elfu sabini "70000" na kuwapa mafundi wale ambao ndio tulikua katika kukigombea chumba hicho,

    "ebana hili jina limetoka kinoma asee"

    "eee si tunajua dogo letu we mkali"

    "poa poa wakubwa"

    Jina la ofisi hio niliandika SADIKI FUNDI CHEREHANI yaani hio ndio itakua ofisi yangu japo huku nalima hulu nashona nguo za watu,

    "sasa hiki chumba inabidi tukiache mpaka kikauke vizuri sawa mama"

    "mmmh sawa"

    "ivi huu umeme upo au geresha ya swichi tu hapa..... Ahh upo bwana, daahh kumbe ile tv sikuinunua bure tu"

    "kwani wataka kuweka tv"

    "sasa je, inatakiwa mteja akisubiri nguo yake huku anaangalia kideo"

    "duuuu maakubwa ya jongo haya"

    "kwaio hutaki sio"

    "akuuu wewe tu na kibanda chako"

    Basi tulikifunga chumba kile na hatmae tuliondoka zetu kururudi nyumbani ambapo ilifika mida ya saa tatu tumeshakula chakula cha usiku, kisha kila mtu alienda kulala, nasi mimi na mke wangu tukaingia chumbani kwetu na kuanza kulala ili tuamke kesho kuelekea shamba, maana nina mpango wa kulima mboga mboga coz hata mbegu nimeshakuja nazo kila kitu na vifaa vyake

    "yaani sadiki we ni malaya wewe haaa"

    "mama chidi, ayo matusi sasa, ntakuzaba vibao hivyo"

    "ah ah kwani ni uongo sasa"

    "haya umalaya wangu upo wapi"

    "yaani umetembea mpaka na dada yako Hhmm maakubwa ya jongo haya"

    "mama sadiki, naomba usinchefue, hebu lala uko mi kesho nataka niende shamba"

    "lakini wewe, hao wanawake woooote hukuwaona mpaka ukaenda kumvamia dada ako"

    "jasuuuuuuuuu, mbona una gubu we mwanamke, hebu lala bwana ahh"

    "sawa mi nalala, ila mbona siku hizi hunipi utamuc

    "acha utoto wewe, hukui tu"

    "nikue? Yaani kwenye tendo la ndoa kuna kukua, mi sikubali lazima leo unipe"

    "jasu mke wangu, kwani hujioni kua una mimba mke wangu"

    "sadikiiii mpenzi, yaani mimba ya miezi minne itufanye tusipeane utamu kweli"

    "wewe hujui kua miezi minne tayari uyo"

    "we bwana hebu amka uko unipe hata kimoja tu"

    "mama saidi mbona una keroooooooo, ahh hebu lala bwana... Mtu una mimba afu unataka tu"

    "mi nataka hivyo hivyo tu, na kama mimba inazuia mbona nasikia hamu?....mi sikubali nataka haki yangu ya ndoa, amka ukoo mi nshavua nguo tayari"







    Nilikua sina hamu kabisa na mke wangu, yaani kila nikimuona sijiskii kusex nae maana sina hamu ya mapenzi kabisa na yeye hivy mke wangu alikua akinilazimisha nimchubue na usiku huu ila sikutaka kukubali wala nini, niliendelea zangu tu kulala maana hata hivyo nilikua nimechoka sana,

    "nimesema sitaki bwana"

    "sawaa haina shida"

    Mke wangu alitulia kimya baada ya kumkatalia kufanya nae mapenzi, basi tulilala siku hio na ilipofika asubuhi asubuhi mida ya saa 12 hivi niliamka kisha nikapiga mswaki freshi kisha nikaenda mezani nikakuta chai na miogo nikapiga kisha nikaingia chumbani kwetu

    "we ikifika mchana uniletee chakula kule shambani"

    "nikuletee ukiwa kama nani"

    "heeeee yamekua hayo tena"

    "na yatazidi kua mengi,"

    "kisa cha kua mengi ni nini"

    "jana ulinikatalia nini"

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "boooooo kumbe ni hivyo tuu, ahh poa ntakula hata maembe tu mnadi siku ipite"

    Niliondoka zangu kuelekea shambani ambako kumekaa kimbugani mbugani hivi, kama vile kunalimwaga mpunga, nami ndipo ninapokwenda kulima mboga mboga kwa ajili ya kuuza, Shambani sio mbali kiasi kwamba labda mke wangu atashindwa kuniletea chakula,... Nilipofika niliangalia vizuri shamba letu limeishia wapi kisha nikaanza kulima, na siku hio ililua ni siku yangu ya kwanza kulima, yaani sikuwahi kulima kabla, hivyo nilikua natupa tupa tu jembe......

    Shambani hapo papo karibu na bomba la maji, kama unavojua mabomba ya kijijini yalivyo, ni yale ya kusukuma kwa mikono mithili ya mtu anaefanya mazoezi ya pushapu, hata huku mjini yapo ila ni baadhi sana, mana asilimia nyingi yanakuaga ni mabomba ya koki, ila huku kijijini hakuna mtu mwenye bomba la koki.. Sasa bombani hapo nilikuja kuona watoto wazuri wanakuja kuteka maji, mida hio ilikua ni mida ya saa 4 asubuhi nikiwa nimetoa n'ngwe kubwa tu, Sasa wasichana walikua wananiangalia mie maana nilikua sijui vizuri kulima, kwani mimi nilikua nalimia mboga mboga tu ila sio mahindi, sasa nilikua nalima huku nawaangalia kichini na wengine walikua wakinicheka kabisa, afu sasa watoto wenyewe wamefunga afu wazuriii, si unajua mitoto ya kisambaa mifupiiii afu imejazia kimtindo hivi, basi watoto walikua wakiteka maji huku wakiniangalia na kunicheka ila mimi nilikaza uzi hivyo hivyo no kumuita mtu wala nini, maana tabia hio nimeshaacha muda mrefu toka nilipopataga ajali na kulazwa hospitalini zaidi ya miezi mitano minne nipo kitandani tu,

    Ilipofika mida ya saa 6 mchana njaa ilikua ikiniuma ile mbaya, niliitoa simu yangu mfukoni na kumpigia mke wangu, alete chakula maana siku hio sikutaka kurudi nyumbani kabisa,....

    "halooo, mama chidi, nakufa huku mumeo"

    "nani wewe? Kama ni wewe kufa tu"

    "ivi upo siriasi kweli"

    "sasa, we ulijua natania"

    "aaaaaaaa sawa, haina shida, sasa si unajua hapa shamba kuna wasichana, sasa ngoja niwaombe wakaniletee ugali nyumbani kwao, uone kama watakataa"

    "Eti nini, kwanza siogopi fanya unachotaka"

    "eeeeee? Sawaaa"

    Nilikata simu kisha nikashika kiuno huku njaa inakwarua vibaya mno, nikicheki juu ya muembe naona maembe mabichi ila yamekomaa, niliyapandia kisha nikatulia juu ya muembe na kuanza kuyala maembe mabichi, Ilipofika mida ya saa 6 na nusu mchana, nikamuona jasu anakuja huku akiwa kabeba hotpot za chakula, tena alikua anatambusha ile kinoma kana kwamba eti anawahi nisije kuletewa ugali na mtu mwingine.... Sasa alipokuja hapo shamba hakuniona maana mie nilikua juu ya muembe nakula maembe huku, hivyo nikauchubua makusudi ili anitafute, alipo sipo akaenda pale bombani na kuanza kuniulizia,

    "za saa izi jamani"

    "salama tu za kwako"

    "nzuri, samaani eti yule kaka alikua pale kaenda wapi"

    Sasa yule alieulizwa anajua nilipo na nilipokua napanda aliniona, Sasa mimi nikatumia akali ya kumdanganya yule alieulizwa, nilimueleza kwa ishara ya vidole kua, amwambie kua nimeenda kwa mwanamke mwingine kula..... Kweli yule dada alinielewa na wengine waliokuepo hapo walinielewa ila mke wangu yeye hakuona maana alinipa kisogo,

    "kwani yule kaka ni nani ako"

    "ni mume wangu"

    Wale wadada walimcheka jasu kana kwamba waliona labda alijibebisha kua ni mke wangu, sasa wale wasichana walicheka kwasababu umri wangu pamoja na umbo langu lilikua ni la kitoto kiasi kwamba nikimuambia mtu kua nimeoa, hatoamini kama ni kweli mie nimeoa, maana umbo ni la kitoto na hata wale wasichana wengine wanajua mie mtoto tu,

    Sasa yule msichana niliemwambia kua amwambie kua nimeenda kwa mwanamke kula.. Sasa baada yeye aseme hivyo, hakusema na badala yake akajisemea yeye mwenyewe

    "oooohhh kumbe ni mume wako eee? Aaaa yule kaka alikuja kwangu nikamkaangia wali wa mayai, akala akashiba kisha nikapumzika nae kidogo afu mi nikarudi bombani, ila nimemuacha kwangu kalala"

    Mtumeeee mi mwenyewe hayo maneno yalinishtua ile mbaya... Ghafla mke wangu akaanza kulia huku akitetemekwa na mwili mzima, kana kwamba alikua anayadondosha yale mahotpot ya chakula, kweli aliyaachia chini kisha akaanza kufunga kanga vizuri kana kwamba anataka kupigana na yule mdada alimtolea maneno ya uchungu kwa upande wake....

    Sasa mtoto wa kiume nilikua juu ya muembe tena niliacha kula maembe baada ya kuona chakula kimekuja... Sasa mke wangu alipofunga kibwebwe vizuri ili ngumi zianze, nilijua yule mschana atakua mpole kwa hilo lakini haikua hivyo, kama unavyojua mambo ya bombani hakukosi mipasho ugomvi na kadharika, yule dada nae alifunga kanga tayari kwa kupigana, maana hajui kama kweli ni mke wangu..

    Sasa ile nataka kushuka ili niuwahi ugomvi ule usitokee, Niliona nyoka pale chini ya muembe, kitu kilichofanya niogope kushuka chini, na nikiangalia ugomvi karibia ndio ulikua unataka kuanza na wasichana wengine walikua wakitoa sauti za kupampiana ugomvi uanze, afu mbaya zaidi mke wangu ana mimba



    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog