Search This Blog

Thursday 19 May 2022

AISIIIII.....U KILL ME - 3

 


Chombezo : Aisiiiii.....U Kill Me

Sehemu Ya Tatu (3)


ILIPOISHIA

Nikanyanyuka huku nikiwa nimeushika mkono wa mama Mariam, nikasogea taratibu hadi sehemu alipo simama mama Mariam, neneja huyo akanitazama kwa macho ya dharau huku akinipandisha na kunishusha na macho yake.

“Na wewe dada mzima unamtongoza jimama kama hili, unataka mukasaganeee eheee?”

Nikashusha pumzi nyingi huku nikimtazama meneja huyu.

“Nakuuliza usinikodolee macho kama umechomekwa mbo** ya mkund………”

Sikumruhusu kumalizia sentensi yake, nikamtandika ngumi ya pua, iliyo muangusha chini mzima mzima na kutoa kishindo kizito hadi wapishi wwalipo jikoni wakatoa kushangaa ni kitu gani kinacho endelea huku nje.

ENDELEA

“Uwe na adamu na wanawake unao waona, pumbavu wewe”

Nilizungumza kwa sauti ya kike ila yenye kijiujazo kwa mbali hadi mama Mariam akanitazama usoni mwangu. Meneja huyo akajizoa zoa na kunanyuka huku akijifuta futa vumbi kililo jaa kwenye suti yake, hakuna mtu aliye msemesha zaidi ya kubaki kumuangalia, taratibu akaondoka akiwa apole kama sio yeye aliye kuja akitukana matusi mfululizo kwetu.

“Asante sana binti ila mimi kwangu kibarua ndio kimekwenda na maji”

“Usjali, hakuna jambo kama hilo”

“Mmmm”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Yaa niamini mimi”

Nikjitahi kuzungumza kwa sauti ya kike ili mama Mariam asinifahamu kabisa kwa maana kunifahamu kwake inaweza ikawa ni tatizo jingine kwa maana bado siweza kumuamini mara moja isitoshe nipo kwenye tatizo kubwa kama hili la kutafutwa nchi nzima kama gaidi.

“Naomba unitengenezee juisi na uniletee katika chumba changu”

“Juisi gani?”

“Juisi ya parachichini lililo changanywa na pensheni.”

Nikamtajia namba ya chumba mama Marimu kisha nikampa shiling elfu hamsini.

“Ya nini hii?”

“Kwa ajili ya usumbufu wa kuniletea juisi hiyo chumbani kwangu, nahitaji jagi zima”

“Sawa binti”

Nikaondokea huku nikitamani kuangalia nyuma kumuangalia mama Mariam ila nikashindwa, nikapanda gorofani kwa kutumia lfti, nilipo fika katika mlango wa chumba changu nikabisha hodi, Monica akanifungulia mlango na nikaingia ndani.

“Mbona umechelewa honey?”

“Nilikuwa natoa maelekezo kwa wapishi”

“Ahaa sawa”

Nikapanda kitandani huku nikiwa nimeshika rimoti ya Tv, niliyo ichukua mkononi mwa Monica, nikaanza kubadilisha chaneli moja baada ya nyingine, kuangalia ni kitu gani ambacho kinaendelea. Hapakuwa na jambo jipya zaidi ya picha yangu kutangazwa. Mlio wa simu ya Monica ndio ulio nifanya niweze kumgeukia na kumtazama, akanitazama machoni kisha akaipokesa simu yake.

“Halooo”

“Nini?”

“Ohooo Mungu wangu, jamanii”

“Ok ok”

Monica alizungumza huku akiwa amebadilika na kuchanganykiwa, wala sikufahamu ni jambo gani ambalo linamsumbua. Akakata simu na kuiweka pembeni na kuanza kumwagika na machozi, ikanibidi kumvuta karibu yangu na kumkumbatia

“Honey kuna kitu gani kilicho tokea”

“Ni mdogo wangu ohoooo Mungu wanguu jamani weeee”

“Mdogo wako amepatwa na nini?”

“Amegongwa na gari ohooo Mungu wangu”

Nilihisi na mimi kama mwili wangu ukizizima, nikawa kama nimepigwa na bumbuazi na wala sikuhitaji kusikia ni kitu gani ambacho atakizungumza kitakacho muhusu mdogo wake, nikaichukua simu yake na kushuka kitandani na kusimama mbele yake huku nikimtazama Monica aliye jiinaminia na nywele zake kuzichangua akionyesha ni kwa namna gani alivyo patwa na uchungu wa tukio lililopo mbele yetu. Nikaipiga namba hiyo, baada ya muda mfupi ikapokelewa.

“Habari”

Nlizungumza kwa sauti ya kike

“Salama tu dada”

“Kuna kitu gani kinacho endelea, kwa maani nipo na Monica baada ya kumaliza kupokea simu yako amechanganyikiwa kabisa?”

“Ohoo ni kweli dada yangu, hapa nimempa taarifa mdogo wake amegongwa na gari, na hapa hali yake ni mbaya sana na amewahishwa katika hospitali ya Bombo”

“Ok ngoja nifanye utaratibu, ila kuna kitu chochote kingine kinacho hitajika kama pesa au laaa?”

“Hapana hapa majirani zao ndio tupo hospitalini tunaangalia ni kitu gani ambacho kinaweza kuendelea”

“Ok asante”

Nikakata simu na kupiga magoti chini mbele ya Monica na kukinyanyua kichwa chake na kumtazama usoni.

“Baby baby, nisikilize”

Monica akabaki amenikodolea macho huku ananitazama usoni asinijibu kitu cha aina yoyote.

“Mdogo wako hajafariki, na hali yake madaktari wanaendelea kuishuhulikia, nakuomba utulie, tumuombe Mungu aweze kutusaidia madaktari waweze kufanikiwa kwa kile wanacho kihangaikia mbele ya mdogo wetu”

“Dany nahitaji kwenda Tanga, sasa hivi”

Nikajikuta nikishusha pumzi, nikamtazama Monica usoni kwa dakika moja pasipo kumsemesha kitu cha aina yoyote.

“Yaaa nahitaji kwenda Tanga. Dany natambua unanipenda na mimi nakupenda na nilikuahidi kwamba nitakuwa pamoja na wewe kila sehemu ila kwa hili la mdogo wangu, please Dany nakuomba niende. Nakuhakikishia kwamba nitalinda penzi langu hadi pale tutakapo onana”

Nikajikuta nikimkumbatia Monica kwa nguvu, huku machozi yakinilenga lenga.

“Dany kamilisha kile ulicho kianza, usikate tamaa, hata kama iweje nitahakikisha unaibuka na kuwa shujaa katika hili”

Monica alizidi kuzungumza huku machozi yakimwagika mfululizo usoni mwake.

“Nakuruhusu, ila sinto hitaji usafiri na basi”

“Noo Dany sihitaji uniepeleke Tanga kwa gari nitapanda basi tu”

“Hapana, vaa tunaelekea uwanja wa ndege sawa”

“Sawa”

Monica akavua taulo aliko kuwa emajifunga kiunoni mwake, na kuanza kuvaa suruali ya jease kwa haraka haraka kisha akavaa na tisheti, nywele zake akazibana vizuri kidogo.

“Nitakuongezea na pesa ili matibabu ya mdogo wako yawe mazuri, ikishindikana mlete huku Dar es Salaam”

Nilizungumza huku nikiwa nimeshika Monica kiuno chake, akimalizia kuchana nywele zake vizuri. Baada ya kuhakikisha kila kitu kipo sawa, tukatoka na kufunga mlango ila baadhi ya vitu nikaviacha kwenye hiki chumba. Tukashuka chini, Monica akiwa amebeba brufcase yenye pesa. Tukaingia kwenye gari na kueleka uwanja wa ndege wa mwalimu Julius Nyerere. Foleni haikuwa ndefu sana, tukafanikiwa kufika salama sakamin.

Tukashuka kwa pamoja tukaelekea kwenye sehemu ya kukata tiketi kwa ndege za kueelekea mikoani, kwa bahati nzuri kuna ndege inaondoka muda mchache kuelea Tanga na ni siti moja tundio ilikuwa imebakia. Tukakumbatiana na Monica.

“Dany wangu nakuomba uweze kubaki salama”

“Asante unijulishe kila kitu kinacho endelea na uwe makini sana”

“Sawa”

Monica akashindwa kunipiga mabusu kutokana na muonekano wangu na laiti akifanya hivi itakuwa ni habari ya kurushwa kwenye mitandao ya kijamii. Akaeelekea katika sehemu ambayo abiria wa kuondoka wanatakiwa kwenda. Nikaondoka uwanja wa ndege na kurudi hotelini huku kichwa kikiwa na mawazo ya kujiuliza ni wapi nianzie katika kuifanya kazi yangu.

“Samahani dada nina ujumbe wako wapa kutoka kwa watu wa jikoni”

Muhudumu alizungumza huku akinitazama usoni mwangu

“Ndio”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Waliniambia ukuridi niwafahamishe waweze kukuleta chakula chaho ulicho agiza”

“Sawa walete tu”

Nikaondoka na kueleka chumbani kwangu, nikaufunga mlango kwa ndani na kujitupa kitandani. Nikataka kuvua umbo la plastiki nililo livaa, ila nikakumbuka kwamba kuna wahudumu wa jikoni watakuja humu ndani. Ikanibidi kubaki katika muonekano wangu huu huu. Nikashuka kitandani na kuchukua laptop yangu nikaifungua, moja kwa moja nikaifungua video aliyo nitumia mama kwa umakini, nikachukua simu na kumpigia mama.

“Eheee”

“Mama umeweza kufanikiwa na kutambua kwamba hili jengo lipo sehemu gani?”

“Jengo gani?”

“Kwenye hii video ambayo umenitumia”

“Sijaweza kufahamu hadi sasa hivi ila bado ninaendelea kutafuta kuweza kufahamu ni eneo gani”

“Sawa mama kwa maana nahitaji kumshusha K2 kutoka juu alipo hadi chini”

“Kumshusha kivipi?”

“Kumfilisi kama walivyo kufilisi wewe”

“Sawa mwanangu kama nilivyo kuambia ufanye, rudi na kichwa chake hapa”

“Sawa mama baadae”

“Haya”

Nikakata simu huku, hata kabla sijafanya chochote mlango ukagongwa, nikanyanyuka kwenye sofa, nikapiga hatua hadi mlangoni na kufungua mlango. Nikakutana na muhudu wa chakula, akanikabidhi chakula changu, sikuwa na hamu hata ya kukila chakula hichi. Haukupita muda mwingi mlango ukagongwa, nikanyanyuka na kwenda tena kufungua mlango, nikakutana na mama Marima akiwa ameshika jagi la juisi.

“Karibu ndani”

Nilizungumza kwa sauti ya upole ya kike huku nikimtazama mama Mariam aliye nitazama machoni kwa upele kisha akainga na jagi lake akiwa amelishika, nikafungu mlango kwa funguo na kumkaribisha aweze kukaa kwenye sofa, japo usoni wasiwasi mwingi umemtawala.

“Ahaa nimekuletea, ninaomba niende kwa maana hadi sasa hivi sijafahamu hatima ya kazi yangu”

“Ohoo sawa mama yangu, hakuna shida ila ninahitaji kufahamu baadhi ya vitu vichache kutoka kwako”

“Nakusikiliza mwanangu”

“Kwani hii kazi unalipwa kiasi gani kwa maana sioni sababu ya wewe kuendelea kufanya kaz hapa”

“Hapa ninalipwa laki mbili tu”

“Mshahara mdogo sana huo”

“Ahaa binti yangu, ukisema hapa mjini uweze kuacha kazi ni ngumu kupata kazi”

“Ni kweli, vipi una mtoto?”

“Nilikuwa naye mmoja wa kike”

“Amekwenda wapi?”

“Ni miaka miwili sasa mepita, alipotea katika mazingira ya kutatanisha, nikatoa taarifa polisi juu ya swala hilo ila polisi hawakunisaidia kwa chochote. Tangu mwanangu kuondoka nimekuwa ni mtu wa mateso”

Mama Mariam alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake, taarifa aliyo niambia, ikaanza kuniumiza kichwa changu kufikirini imekuwaje kuwaje hadi Marim akapotea katika mazingira ya kutatanisha.

“Watu wanavyodai kwamba Maram alitwekwa na watu wasio julikana na hao ndio walio weza kuondoka naye hadi muda huu”

“Una uhakika kwamba alitekwa?”

“Sina uhakika katika hilo, ila……….”

Mama Marim akaka kimya akanitazama usoni mwangu, kisha akanisogelea huku akinikazia macho yake. Akauchukau mkono wangu wa kushoto na kuutazama kiganja chake. Akataka kuzungumza kitu ila akaendelea kunitazama hadi nikaanza kuogopa. Akashusha pumzi nyingi huku akikiachia kiganja changu. Akasimama na kuanza kupiga hatua za haraka huku akikimbilia mlangoni, nikasimama na mimi kwa haraka na kumuwahi kumzuia mlamgoni.

Nikatazama jinsi kifua cha mama Marim jinsi kinavyo nyayuka kwa mapigo ya moyo yanavyo mwenda kasi sana.




“Naomba utulie mama yangu uniembie ni nini kilicho tokea”

Mama Marim akaendelea kunikazia macho huku machozi yakimwagika uson mwake mfululizo. Akayafumba macho yake kwa muda nikabaki nikiwa ninamtazama, gafla nikastukia akilivuta wigi langu la kichwani na nikabaki na upara wangu, jambo lililo nifanya mapigo ya moyo yaniende kasi sana kwani mama Mariam ndio mtu wa kwanza kuweza kunifahamu uhalisa wangu.

“DANYYYYYYYY”

Marim aliniita kwa mshangao huku akiwa amenikazia macho tofauti na hata mara ya kwanza.

ENDELEA

Ukimya wa takribani dakika moja ukapita, sote tukiwa kimya pasipo kuzungumza kitu chochote wala kupiga hatua ya kwenda popote. Nikastukia kofi zito likitua shavuni mwangu, kisha mama Marim akanikumbatia kwa nguvu na kuanza kumwagikwa na machozi mfululizo.

Taratibu machozi yakaanza kunimwagika na mimi, mama Marima akaniachia na mikono yake akanishika mashavuni kwa viganja vyake vilaini kisha akanipiga busu la mdomo, lililo pelekeea kujikuta tuazama kwenye denda zito.

Taratibu tukaanza kurudi nyuma huku tukiendelea kunyonyana denda, mama Mariam akaanza kuvua nguo moja baada ya nyingine. Nikalivua gauni langu na kubakiwa na umbo la plastiki lililo mfanya mama Marima kucheka.

“Ndio nini Dany?”

“Nifungue”

Mama Marim akanifungua zipu ya umbo hili la plastiki, nikalivua, nikamsukuma mama Marim kitandani, uzuri wa mama Mariam bado upo vile vile, japo yupo katka kipindi kigumu cha kupotelewa na binti yake ila kusema kweli bado anajua kujitunza.

Mama Marim akanivua boksa yangu na kuanza kumnyonya jogoo wangu kwa fujo, alipo ridhika akahamia kifuani kwangu na kuanza kunyonya kila sehemu ya kifua changu, mikono yangu sikutaka kuiacha ikae kiholela holela, na mimi nikawa na kazi ya kucheza na maziwa yake, kila jinsi ya kuyaminya ninavyo yaminya ndivyo ninavyo nilivyo fanya.

Nikaanza kucheza na kitumbua cha mama Marima, nilipo hakikisha kimelainika vya kutosha, akapiga magoti kitandani huku kifuani mwake akiwa ameulalia mtu. Taratibu jogoo wangu akazama kwenye kitumbua chake, na kumfanya atoe mguno ambao kwa kipindi kirefu sikuweza kuusikia. Mama Marima, akaanza fujo za kukata kiuno chake kiasi kwamba akanifanya na mimi nizidi kuongeza kasi ya kuhakikisha kwmaba ninaendana na kasi ya kiuno chake na makalio yake yanayo cheza cheza kwa kutingisha.

Shuka mito mingine iliuyo salia, vikajikuta vikianguka chini, kwa kurupushani tunazo zifanya, inaonyesha ni kwa kiasi gani tulivyo weza kuwa na hamu kali japo mimi nimetoka kulala Monica, ila kwa mama Mariam sikuonyesha udhaifu wowote wa kwamba nimetoka kungonoka muda ulio pita. Mama Maria, akaweza kuhimili mchezo mzima hadi ninafika mwisho kabisa, yeye akawa amesha jifunga magoli zaidi ya sita niliyo weza kuyashuhudia kwa kumwaga maji yaliyo lainisha uwanja.

“Dany kumama….o siku zote ulikuwa wapi mseng** wewe?”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

Mama Marim alizungumza huku akihema kwa nguvu, jasho likimwagika shingoni

“Ni stori ndefu ila na wewe bado mbichi kama sio mtu mzima”

“Ahaaa niliitunza hii kum*** tangu ile siku unitomb** sijakutana na mwanaume na nilisha kataga tama kwamba siwezi kukuona, husuani pale nilipo ona unatafutwa kama gaidi ndio nikaishwa nguvu kabisa, kuna lizee likawa linananitaka laity ingekuwa si kuonana leo, kesho ningemkubalia”

“Duuu, hivi imekuwaje ukaweza kunifahamu mimi?”

“Nilikutilia mashaka tangu pale ulipo kuwa unaiambia kuhusiana na juisi, ila sikuwa na mashaka sana kutokana siku hizi wanawake wapo wanao fanana na wanaume, ila nilipo kaa pale kwenye kochi, nikaweza kukufahamu kwamba ni wewe japo ulikuwa unajifanya kuzungumza kwa sauti ya kike”

“Hahaaaa”

“Dany yaani mimi hata ungejibadilisha vipi ningekufahamu, lipsi zako siwezi kuzisahau, kuzungumza kwako ndio kabisa, kulinifanya niweze kukufahamu.”

“Chumba changu kwako bado kipo?”

“Kipo japo kuna wapelelezi walikujaga kipindi fulani cha nyuma, wakawa wanakigagua sijui walipata nini wakaondoka zoa”

“Kipindi wanakuja Marima alikuwa amesha potea?”

“Ndio, nikawaelezea juu ya jambo hilo ila hakuna aliye weza kunisaidia”

“Na nyumbani kwako kuna wapangaji wengine?”

“Wapo tena vyumba vyote vimejaa”

“Leo tutakwenda kwako”

“Kwangu na kutafutwa kwako si watakuja kunikamata hadi mimi?”

“Hapana nahitaji kuhakikisha kwamba tunampata Marim kwanza”

Mama Marim akaka kimya huku akinitazama usoni mwangu kisha akatingisha kichwa na kukubaliana na ombi langu japo usoni mwake ninamuona ana mashaka mengi.

“Naomba unisaidie kukusanya hizi guo uniwekee kwenye begi”

“Sawa”

Nikashuka kitandani na kuelekea bafuni, nikaoga huku nikiwa makini sana kwa masikio yangu kuweza kuyatega kuhakikisha kwamba mama Marima apigi simu kwa mtu wa aina yoyote. Nikatoka bafuni na kumkuta mama Mariam akiwa anamaliza kufunga zipu ya begi.

“Kuna tisheti nyeusi ilikuwa hapa kwenye sofa ipo wapi?”

“Nimeiweka kwenye begi”

“Nitolee pamoja na gauni niliko kuwa nimelivaa”

“Sawa”

Mama Marima akanitolea kile nilicho kihitaji, kisha akaingia bafuni kwa ajili ya kuoga, nikaanza kuvaa tisheti kisha boksa, nikavaa umbo la plastiki. Nilipo hakikisha lipo vizuri nikavaa na gauni nililo kuwa nimelivaa, nikajiweka sawa. Nikachukua bastola zangu na kuziweka kwenye kipochi changu cha mkononi. Mama Marim akatoka bafuni akavaa nguo zake, tulipo hakikisha kwamba tupo zivuziri, mama Marim akatangulio kutoka chumbani humu, kisha baada ya dakika tano na mimi nikatoka nikiwa nimebeba kipochi pamoja na begi la nguo, kwa muonekano huu wa kike hakuna mtu anaye weza kunigundu kwa haraka.

Nikaeleka lilipo gari langu, nikaingiza begi la nguo kwenye buti, begi la pesa zangu nikalifungua kuhakiksha kama pesa yangu ipo, nikakuta ipo sawa sawa. Nikaingia kwenye gari kama nilivyo kubaliana na mama Marima kwamba nitamkuta kwenye kituao cha daladala, mbele kidogo kutoka katika hoteli hii ndivyo alivyo fanya. Nikafika katika kituo hicho na kumkuta mama Mariam akiwa amesimama, nikashusha kioo huku nikipigia honi, kwa maana halifahamu gari langu. Alipo niona kwa haraka akapiga hatua na kuzunguka upande wa pili wa gari, akaingia na tukaondoka eneo hili.

“Ila Dany mwenzako nina wasiwasi kama nini?”

“Wasiwasi wa mimi kukamatwa?”

“Ndio”

“Niamini mimi, nitakaa hivi mpaka kazi yangu nitahakikisha kwamba nmeimaliza”

“Mmmm”

“Yaa niamini, nitakulinda na nitahakikisha Marim ninampata”

“Sawa”

Foleni ya ndio ikatufanya kuchelewa kufika Sinza. Nikasimamisha gari nje ya geti la mama Marima, kisha akashuka, hapakuwa na mabadiliko mengi kwenye huu mtaa zaidi ya baadhi ya nyumba kupwakwa rangi. Nilipo jiridhisha usalama wa mtaa huu upo nikashuka kwenye gari huku nikiwa nimebeba kipochi changu mkono wa kushoto na funguo ya gari nikiwa nimeishika mkono wa kulia. Mama Maria makatangulia mbele, tukakuta wadada wawili wakiwa wamekaa kwenye kibaraza wakisukana, wakamsalimia mama Marima kisha wakanisalimia na mimi, kama kawaidia nikawajibu kwa sauti ya kike kisha tukaingia ndani. Nilipo ona pazia la mlangoni mwangu mwili wangu ukasisimka na kukumbuka matukio mengi yaliyo weza kutokea katika chumba hichi. Mama Marim akanikaribisha chumbani kwake.

“Chumba chako kumbe kizuri hivi?”

“Yaaa namshukuru Mungu amenisaidia saidia kuongeza baadhi ya vitu”

“Ahaaa sawa sawa”

“Unakunywa nini?”

“Mmmm hapana ila sijui naweza kwenda kwenye kile chumba changu?”

“Hapana Dany”

Mama Mariam alizungumza kwa sauti ya upole huku akinisogelea karibu yangu

“Kile chumba hadi sasa hivi nahisi kuna mpelezi humu ndani”

“Ni nani huyo?”

“Hao wadada wawili walio kaa hapo nje, siwaamini kabisa kwa maana sifahamu hata kazi wanayo ifanya, wanatoka usiku wanarudi asubuhi sasa sifahamu wanafanya kazi gani”

“Ahaaa basi usijali leo nitaanza kuwafwatilia”

“Dany ndio utazidi kujiongezee matatizo”

“Usijali katika hilo”

Siku nzima nikashinda chumbani kwa mama Marim, akapika chakula cha mchana tukala kisha tukaendelea kutazama filamu kwenye Tv iliyopo humu chumbani mwake.

“Ikifka usiku naomba nikachukue nguo kwenye chumba changu”

“Sawa ila uwe makini”

“Sawa”

Masaa yakazidi kukatika na kuzidi kusonga mbele, ilipo timu saa nne usiku, kila watu wakiwa katka vyumba vyao, nikaeleka kwenye chumba changu ambapo mama Marim alinikabidhi funguo ambayo kama mama mwenye nyumba huwa hubaki nayo na mpangaji humpatia mbili. Nikaingia chumbani kwangu, sikuwasha taa yoyote, vitu vyangu kwenye chumba nikavikuta japo vimechanguliwa changulia, ikionyesha watu walio kuja kufanya upepelezi wao walipo maliza hawakukipanga chumba changu.

Nikafungu kabati la nguo, nikachukua suruali yangu nyeusi, pamoja na koti moja aina ya lazier. Nikachukua na kofia ya kot hili, kisha nikachukua na raba nyeusi. Kwa tahadhari kubwa nikatoka chumbani kwangu na kukifunga chumba.

Nikaingia chumbani kwa mama Marima, nikavua nguo zangu za kike, kisha nikavaa nguo zangu za kiumetayari kwa kuhakikisha kwamba ninaianza kazi yangu iliyo nileta Dar es Salaam. Nilipo maliza kuvaa nguo na viatu, nikaivaa kofia yangu na kusimama mbele ya kioo cha kabati lililopo humu chumbani kwa mama Marim.

“Dany Dany wale wasichana ndio wanatoka”

Mama Marim alizungumza kwa sauti ya chini huku akiwa amefungua pazia la dirisha linalo elekea getini, nikawahi kuchungulia, nikawaona mmoja wao akiwa amemalia kufunga getii. Nikatao bastola zangu kwenye pochi na kuchomeka moja nyuma ya kiuno changu na nyengine nikaichomeka kwenye soksi za mguu wa kushoto.

“Natoka by saa kumi nitakuwa hapa”

“Sawa kuwa makini”

“Sawa naiomba hiyo simu yangu hyo hapo mezani”

Mama Marim akaniletea simu yangu na kunikabidhi. Nikaiweka ufukoni huku nikiwa nimeiweka mlio wa mtetemesho(Vibration).

Nikatoka ndani kwenye kordo hapakuwa na mtu moja, kwa moja nikatoka nje kabisa, nikafungua geti nikachungulia kwa nje, nikawaona wale mabint wakimalizia kukatiza mtaa na kueleka mtaa mwengine. Nikaanza kutembea kwa mwendo wa haraka hadi kwenye kona waliyo kata, nikawaona wakipanda pikipiki moja. Na mimi nikasimamisha pikipiki, nikapanda

“Ifwate ile pikipiki ya boksa iliyo ondoka eneo hili”

“Poa bosi”

Kutokana na uvaaji wangu na kofia niliyo ivaa ni vigumu sana kwa dereva huyu kuweza kunifahamu kama mimi ni gaidi. Tukaendelea kuwafwatilia wasichana hawa ambao hadi sasa wanaeleka maeneo ya Tegeta.

“Kaka huku ni mbali na huu ni usiku”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

Dereva wangu alianza kulalamika

“Wewe twende, shida yako si pesa”

“Japo pesa ninaipenda, ila naangalia pia usalama wangu”

Dereva alizungumza huku akipungumza mwendo wa pikipiki na kusimama kabisa. Nikachomoa bastola yangu ya kiunoni mwangu na kumuelekezea. Kwa ishara nikamuomba aweze kushuka, kwa maana yeye ndio amenilazimisha mimi kumshusha kwa kutuma nguvu. Kutokana anapenda usalama wake na maisha yake akashukataratibu kwenye pikipiki.

“Kimbia”

Dereva huyo akaanza kujikwaa kwaa huku akikimba. Nikapanda pikipiki yake hii aina ya boxer na kuanza kuifwatilia pikipiki waliyo panda wasichana wanao ishi nyumbani kwa mama Mama Caro. Wakakatiaza kwenye moja ya njia inayo elekea kushoto mwa barabara na kuendelea na safari na huko wanapo elekea kuna majumba makubwa ya kifahari. Na mimi kwa umbali ambao hawawezi kustuka kwamba nina wafwatilia, nikakunja. Kwa mbali nikawaona wasichana hao wakishushwa kwenye moja ya jumba la gorofa tatu ikanibidi kusimamisha pikipiki yangu.

Wakazungumza na dereva huyo kwa sekunde kadhaa kisha wakaingia ndani na dereva huyo akageuza na kuondoka, nikaendesha pikipiki yangu hadi karibu na jumba hilo, nikaisimamisha pembeni kwenye moja ya mti wenye giza totoro kisha nikaanza kutembea kwa mwnedo wa haraka hadi kwenye jumba hili.

Nikakumbuka tukio la siku nilipo upanda ukuta wa jumba lililo kuwa lina wahifadhi wapiganaji wa kikundi cha kigaidi cha Al-SHABAB. Japo kwa juu ukuta huu umepitishiwa nyaya za umeme sikulijali hilo, nikarudi hatua kumi nyuma, nikakimbia kwa kasi na kuuparamia ukuta huo kwa kasi nikajivuta juu, kwa umakini mkubwa pasipo kugusa nyaya hizi za umeme nikajivuta juu kuchungulia ndani.

Nikaona gari tatu za ikulu ambazo anatembelea raisi zikiwa zimesimamishwa kwenye maegesho huku walinzi walio valia suti nyeusi wakiranda randa kika eneo. Nikamuona Babyanka akitoka kwenye mlango wa jumba hili la kifahari, akamuita mmoja wa walinzi na kuzungumza naye kisha akageuza kuchwa chake na kutazama sehemu nilipo na macho yetu yakakutana jambo lililo mfanya Babyanka kuchomoa bastola yake na kuanza kufyatua risasi kadhaa kueleka sehemu nilipo.




Nikajiachia na kwenye ukuta na kutua chini kwa umakini wa hali ya juu, nikaanza kukimbia kwa kasi kuelea kwenye mti nilipo iacha pikipikia. Nikafanikiwa kufika, nikashuhudia gari mbili za ikulu zikitoka nje ya geti hilo kwa kasi sana jambo lililo nifanya niiwashe pikipiki yangu kwa haraka na kuondoka eneo hili kwa kasi huku, huku gari hizo kutoka ikulu zikinifwata kwa nyuma. Sikuwa na namna ya kufanya zaidi ya kukatiza vichochoro na nikafanikiwa kupotezana na gari hizo kwa umbali mkubwa.

Sikuwa na namna ya kuendelea kuwepo katika eneo hili la Tegeta, moja kwa moja nikarudi hadi Sinza kwa mama Marima, pikipiki nikaisimamisha pikipiki sehemu nilipokuwa nimemsimamisha dereva bodaboda. Nikaanza kutembea kwa miguu huku nikiwa makini, gari langu nikalikuta nje likiwa kama nilivyo liacha hapakuwa na tofauti yoyote.

Nikainga ndani na kumgongea mama Marim dirishani kwake. Nikamsikia akifungua mlango wa chumbani kwake, kisha akaufungua mlango wa mbele katika hii nyumba. Tukaingia chumba kwa mama Marim na akafunga milango yote.

“Vipi?”

Mama Marim aliniuliza huku akinitazama usoni.

“Wale wasichana wanafanya kazi chini ya raisi, na muda wowote wanaweza kurudi hapa, inanibidi kuondoka eneo hili”

“Usiku huu?”

“Yaaa usiku huu”

Mama Marim hakuwa na kitu cha kuzungumza ziidi ya kukubaliana na kile ambacho nilikuwa nimekikusudia, nikaanza kuvaa mwili wa plastiki unao nifanya niwe na muonekano wa mwamake, nilipo hakikisha nimemaliza kuvaa gauni langu, nikatoka nje nikiwa na funguo ya gari, nikafungua nyuma ya gari kwenye buti. Nikafungua begi la pesa, nikatoa kibunda kimoja cha dola kisha nikafunga na kurudi ndani.

“Chukua hizi pesa hakikisha unafungua biashara itakayo kusaidia maisha yako, sihitaji urudi kwenye hoteli kuendelea na ile kazi ya kuzalolishwa na watoto wadogo”

Mama Mariam akazitazama pesa zangu ninazo mpatia huku macho yakimtoka. Nikamshikisha pesa hizo mkinoni kisha nikachukua nguo zangu za kiume nilizo kuwa nimezivaa nikazikunja vizuri na kuzishika mkononi.

“Dany siamini kama ninaweza kupata pesa nyingi kiasi hicho”

“Ndio uamnini, mimi kwa sasa sina muda wa kuendelea kukaa hapa ninaondoka”

“Sawa Dany asante sana”

“Nitaendelea kumtafuta Marim sawa”

“Sawa Dany nashukuru”

Nikamiga busu la mdomo mama Marim, kisha nikabeba kila kilicho kuwa changu na kutoka nje, nikaingia kwenye gari langu na kuondoka. Japo ni usiku sikuwa na sehemu ya kueleka zaidi ya kutafuta sehemu nitakapo simamisha gari langu na kupumzika hadi itakapo timu asubuhi. Nikafika kwenye moja ya msitu maeneo ya Mbezi Temboni, nikasimamisha gari langu na kuzima taa kisha nikaikunjua siti yangu kidogo kisha nikalala.

Mtetemesho wa simu yangu niliyo iweka pembeni mwa siti ya gari, ndio ukanistua, nikafumbua macho yangu, nikaichukua kwa mkono wangu wa kushoto na kukuta ni mama ndio anaye nipigia.

“Shikamoo mama”

“Marahaba, sasa upo wapi?”

“Nipo kwenye moja ya msitu nimepumzika”

“Nina habari mbaya”

Ikanibidi kukaa vizuri kwenye siti yangu huku nikijiandaa kuisikiliza hiyo habari mbaya.

“Habari gani hiyo mama?”

“Kuna kikosi maalumu kutoka nchini Somalia leo, kimeingia kwa siri nchini Tanzania, na kina mpango wa kutekeleza tukio la kigaidi katika uwanja wa taifa wa mpira na mechi itakuwa ni Simba na Yanga”

Nikashusha pumzi kwa maana ni moja ya tukio ambalo sikuwa nalo kabisa katika mipango yangu

“Ila mama hiyo sio kazi yangu”

“Natambua sio kazi yako, ila tazama ni watu wangapi watakao poteza maisha yao pasipo kuwa na hatia na hichi wanacho kuja kukifanya leo ni ulipizaji kisasi kwa wezao walo uwawa kipindi kile kwenye dhiara ya raisi”

“Mungu wangu, sasa mama mimi nina anzia wapi?”

“Nakutumia picha za vijana hao watakao jitoa muhanga leo katika uwanja wa taifa. Wapo vijana wanne, ukiweza kuwatambua picha zao basi unaweza kufanikisha swala hilo la kuwaokoa maelfu ya watanzania”

“Sawa mama”

Mama akakata simu, nikaiweka siti yangu ya gari vizuri huku nikiwa ninasubiria picha hizo, haukupita muda picha hizo zikainga kupitia ujumbe wa Whatsapp. Nikafungua picha ya kwanza nikakuta ni kijana mwenye ndevu kiasi na nywele zake zimelala. Nikafungua picha ya kwanza nikakutana na jamaa mwenye umri kati ya miaka thelethini na tano mpaka arobaini na tano. Picha ya pili nikakutana na mtoto wa miaka si zaidi ya kumi na tano. Picha ya nne hapo ndipo nilipo hisi utumbo ukinicheza kwa woga na wasiwasi kwani ni msichana ambaye ninamfahamu kabisa na ndio msichana wangu wa kwanza kamvunja bikra yake na si mwingine ni Marima.

Nikahisi mikono ikiishiwa nguvu, Marim kwenye picha hii amejifunga mtandio ulio bakisha sura yake tu ya kirembo. Simu ikaita nikaipokea taratibu huku nikiwa nimeishia wanguvu kabisa.

“Umeziona hizo picha?”

“Ndio mama”

“Sasa hiyo habari nimeipata katika watu ambao wapo katika kikundi chao huko Somalia na nimemuweka kwa ajili ya kuhakikisha ananipatia habari zote wanazo zifanya kikundi hicho”

“Shambulizi limepangwa kufanyika muda gani?”

“Ni saa tisa na nusu, mechi ikiwa imefikisha dakika thelethini na kama ni kuwahi basi inabidi uhakikishe kwamba unawahi kabla ya mechi kuanza lisaa moja kabla”

“Sawa mama”

“Dany hakikisha unakomboa maelfu ya Watanzania wananao kwenda kutazama huo mpira”

Mama alizungumza kwa sauti ya msisitizo na iliyo jaa huzuniko kubwa

“Sawa mama nimekuelewa nitahakikisha kwamba kila kitu kinakwenda vizuri”

“Sawa nakutakia kazi njema”

“Poa”

Nikakata simu, nikarudia kuitazama picha ya Mariam kwa mara nyingine, japo nilijidanganya na msemo unao sema duniani watu ni wawili wawili, ila moyoni mwangu hicho kitu sikikubali kabisa. Nikatoa bastola zangu kwenye pochi yangu nikatoa magazine moja baada ya nyingine, nilipo hakikisha kwamba zipo sawa nikazirudisha kwenye kijipochi. Nikawasha gari langu na kuondoka porini hapa. Nikafika kwenye hoteli ya Blue Peal liyopo Ubungo, nikaingia kwenye moja ya mgahawa na kupata kifungua kinywa huku nikiwa na mawazo mengi sana kichwani mwangu nikifikiria jinsi ukubwa wa uwanja wa Taifa na jinsi kazi ambayo nitakwenda kuifanya.

“Dada Dada”

Muhudumu aliniita na kunifanya nitoke kwenye dibwi kubwa la mawazo na kumtazama. Akanikabidhi kikaratasi.

“Cha nini?”

Nilizungumza kwa sauti ya kike huku nikiwa nimemtazama usoni mwake

“Kwa yule kaka pale”

Akanionyesha jamaa aliye kaa kwenye moja ya kibanda akiwa peke yake akinywa maji yake taratibu. Nikakichukua kikaratasi hicho na kukifungua na kukuta maandishi yaliyo andikwa namba ya simu. Nikakikunja na kumrudishi muhudumu ambaye amesimama akisuribiria jbu

“Muambie sihitaji upuuz”

“Sawa”

Muhudumu akaondoka akiwa ametabasamu, hata chai ambayo ninakunywa sikuona ladha yake kutokana na msongamano wa mawazo. Jamaa aliye tuma kikaratasi nikamuona akinyanyuka huku ameshika chupa yake ya maji na kuanza kuja sehemu nilipo, nikagundua kwamba hawa ndio wanaume wanao data kwa kusa ya mwamke pasipo kufahamu kwamba mimi ni mwanaume mwenzake tena rijari sana.

“Habari yako dada?”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

Alinisalimia huku akininyooshea mkono wake, sikuhitaji kuupokea mkono wake huo zaidi ya kuutazama. Akaurudisha huku akikaa kwenye kiti cha pembeni.

“Nimeona nisiondoke hivi hivi pasipo kuja kukusalimia mtoto mrembo kama wewe. Kusema kweli nimeona wasichana wengi ila wewe umewazidi wote aisee”

Jamaa huyu mwenye lafudhi ya kisambaa alizungumza maneno yake huku akitabasamu, jambo lililo zidi kunikera.

“Najua mtoto mzuri kama wewe, unatakiwa kuwa na wagosi wajanja kama sisi. Hapa nimefikia kwenye hii hoteli hapo pembeni kama vipi twende basi tukaenjoy”

“Umemaliza?”

“Hapana mremboooo, hata ukitaka milioni moja mimi nakupa, tena tunakwenda kucheki mechi ya Simba na Yanga mchana”

“Nakuomba undoke mbele ya uso wangu kabla sijakudhalilisha”

Nilizungumza kwa sauti ya kike, ila jamaa huyu akacheka kicheko hadi watu walio kaa vibanda vya pembeni wakatazama sehemu tuliyopo.

“Binti mimi ninapesaa, nitakununulia chochote unacho kihitaji acha kunywa chai binti mzuri kama wewe”

Nikashusha pumzi kidogo huku nikimtazama jamaa huyu, nikatabasamu huku nikilegeza macho kidogo

“Ok twende”

“Kweli?”

“Yaa twende”

Nikanyanyuka, nikachukua kipochi changu na kuongozana na jamaa huyu mwenye sura mbaya japo mimi ni mwanuame ila Mungu amenibariki kunipa sura na hata zoezi langu la kujiweka kama mwanamke linafanikiwa kirahsi kutokana na sura yangu ila kama ningekuwa na sura kama ya huyu jamaa basi zoezi lingekuwa ngumu. Tukaingia kwenye mlango wa hoteli hii, moja kwa moja tukaelekea eneo la lifti, akafungua na sote tukaingia. Tukafka gorofa la tano na kuelekea kwenye chumba.

Akafungua mlango wa chumba chake kwa kadi maalumu ya kufungulia mlango huo na tukaingia ndani.

“Binti ninapesa nyingi sana nipe mambo”

“Weka pesa mezani nikupe mambo”

“Pesa tu ngoja”

Akafungua kabati lake, akatoa begi la mgongoni na kulifungua, akanionyesha noti zake nyingi zilizo fungwa na rababend.

“Nipe tu mrembo pesa hapa ipo”

Alizungumza huku akinisogelea, akanishika kiuno, changu. Kwa kasi ya ajabu nikamshika mkono alio nishika kiuno, nikamgeuza na kumlaza chini, sikutaka kumupiga na kumuumiza, nikauchomoa mkanda wa suruali yake na kuanza kutandika mikanda mfululizo kwa kumshikisha adabu, kila alicho jaribu kujinasua mikononi mwangu akajikuta akishindwa kutokana nina ujuzi mkubwa wa kupambana na mtu kuliko yeye pili nina nguvu kumpita.

Nilipo hakikisha ameorojeka kwa kichapo cha mkanda wake, nikamlaza kifudi fudi na kuifunga mikono yake kwa nyuma kwa mkanda huo. Kisha nikachukua rimoti ya Tv na kuiwasha Tv kubwa liyopo ndani humu.

“Mpira wa Simba na yanga utautazama humu ndani mr sawa”

Nilizungumza kwa sauti nzito jambo lililo mfanya atokwe na macho ya mshangao. Katika kutazama taarifa kwenye hii Tv nikasikia taarifa kwamba mgeni rasmi kwenye mechi ya Simba na Yanga ni raisi wa hii nchi.

“Shitiiii”

Nilizungumza huku nikitazama Tv hii, mtangazaji akazidi kuzungumza kwamba raisi ataongozana na mkewe na mtoto wake. Nikatoka nje ya chumba hichi nikimuacha jamaa huyu akiwa chini akijibiringisha akitafuta jinsi aya kusimama. Moja kwa moja nikaelekea kwenye gari langu, nikaingia na kuondoka. Nikaelekea maeneo ya uwanja wa Taifa wa mpira wa miguu, moja kwa moja nikaelekea kwenye ofisi za kuka tiketi za kuingilia katika kiwanja. Kutokana magari yanaruhuswa kuingia kwenye uwanja huu wa kisasa wenye maegesho ya magari ndani kwa ndani, sikuona ubaya wa kulipia gari langu huku nikiwa na kazi moja kuhakikisha ninaokoa maisha ya watu ambao wamekususia kuja kulipoa kwenye uwanja huu. Gari langu nikalisimamisha kwennye moja ya maegesho ya ndani. Nikashuka kwenye gari, saa ya simu yangu inaonyesha ni saa saba mchana na kuna watu mashabiki wamesha anza kuingia uwanjani.

Sikutaka kuingia uwanjani na bastola kwa maana kuna mashine maalumu ambazo hukagua watu wanao ingia na silaha. Moja kwa moja nikaelekea ndani ya uwanje, sikuhitaji kuelekea kwenye siti niliyo lipia, nikaanza kuzunguka uwanjani huku nikiwa makini sana kuzitafuta sura ambazo tayari kwa sasa nina zifahamu. Japo ulinzi wa askari ni mkali sana ila natambua hawatambui ni kitu gani kinacho endelea. Hadi inafika saa nene kamili sikuona mtuhumiwa hata mmoja, sikukata tama kwa maana muda huu watu ndio wanazidi kumiminika kiwanjani kutazama mechi hii ya watani wa jadi.

Haja ndogo ikanishika, sikuwa na budi zaidi ya kuamua kueleka kwenye vyoo, sikuhitaji kuingi kwenye vyoo vya kiume kutokana na muonekano wangu, nikainga kwenye vyoo vya kike ambavyo wa kwati huu hakuna mtu zaidi yangu, nikaingia kwenye moja ya kijichoo na kujihudumia haja ndogo huku nikiwa makini hakuna mtu anaoniona jinsi ninavyo jisaidia haja ndogo kwa maana nimesimama kama kawaida. Nilipo maliza nikajiweka nguo zangu kama kawaida. Nikafungua kijimlango cha choo nilichopo, kitendo cha kupiga hatua mbili mbele nikamuona Marima akingia ndani ya choo huku akiwa ameshika begi mkono wa kushoto ambalo linaonekana limejaa vitu vizito.




Tukakatazama na kwa mda na Marima kisha akanisalimia huku akiwa ameweka tabasamu pana usoni mwake. Akanipita pembeni yangu na kuingia katika choo ambacho nimetoka mimi akiwa na beg lake. Nikatamani mlango wa choo hicho ila wakainga wadada wengine wawili wakiwa wanacheka sana wakiendelea na stori zao. Nikajikausha, nikatembea hadi sehemu ya kunawia mikono taratibu nikaanza kunawa mkono huku nikiwasubiria wadada hawa wawili watoke kisha niufunge mlango kwa ndani na nibaki na Marim tu.

Wadada hawa wakafanya walicho waleta humu kisha wakatoka, kwa haraka nikausogelea mlango na kuufunga. Kitendo cha kugeuka nyuma nikakutana na Mariam akiwa amenishikia bastola iliyo fungungwa kiwambo cha kuzuia sauti ya risasi pale inapo toka na kaama ni kunipiga risasi anaweza kunipiga pasipo mtu yoyote kuweza kugundua kitu ambacho kimetokea ndani.

“Marima”

Niliita na kujiwahi kumtaja jina lake kwa maana ninaelewa kitu ambacho kinakwenda kutoka, hususani mtu akiwa katika kikundi kama hichi cha magaidi huwa wanapandikizwa roho ambayo ni mbaya sana na huwa hawana huruma kabisa likija swala la wao kufwatiliwa.

“Umelijuaje jina langu?”

Marima aliniuliza huku akiwa ameikunja sura yake. Sikuwa na jinsi zaidi ya kuzungumza kwa sura yangu halisi ya mwanaume.

“Mimi ni Dany, nimektafuta siku zote mpenzi wangu”

Marima akacheka kwa dharau huku akiendelea kuishia bastola yangu, hakunielewa kabisa kwa kile ambacho ninakizungumza. Akaikoki bastola yake vizuri, kabla hajafanya maamuzi yake ambayo tayari nilishasoma, nikamrukia na kumungusha chini, bastola yake ikaangukia pembeni. Marima akajitoa mikononi mwangu na kusimama kwa haraka, akajaribu kunipiga teke ila nikabingiria na pembeni na teke hilo likapita pasipo kunipata.

Nikanyanyuka huku nikiwa makini sana, Mariam paisipo kufikira mara mbili akaanza kurusha mateke mfululizo. Kusema kweli Marim amabadilika sana kwani ufanisi wake katika kupigana upo vizuri na mafunzo aliyo yapata yameweza kumsaidia sana. Sikutaka kumpiga Marima kwa maana hatambui halitendalo na kama ni uwezo wa kupigana nimemzidi kwa kiasi kikubwa. Kitu ambacho ninakifanya ni kumkwepa mateka yake. Marim akachomo kisu kwenye kiatu chake alicho kivaa, akaendelea kufanya mashambulizi ambayo yote niliweza kuyakwepa.

“Marima acha kukifanya unacho kifanya unajisumbua”

Nilizungumza kwa ukali huku nikiwa nimethibiti kwa kumpiga kabari ya shingo huku mkono ulio shika kisu chake nikiwa nimeuthibiti vizuri.

“Dany tangu lini umekuwa mwanamke?”

“Tulia nikuonyeshe”

Nikamsukuma Marim pembeni umbali ambao hato weza kunishambulia. Nikavua wigi nililo livaa na ninakabakiwa kwenye sura yangu ya kawaida. Marima akanishangaa jinsi nilivyo kwa maana muda wote hakuamiini kwamba mimi ndio Dany halisi.

“Mimi ni Dany halis, mwanaume niliye kutoa bikra yako”

“Dany ulikuwa wapi siku zote?”

“Ni historia ndefu, ila natambua ni kitu gani kinacho endelea kwako kwa muda huu”

Marim kwa haraka akanifwata na kunikumbatia kwa nguvu huku macho yakimwagka usoni mwake. Tukajikuta tukianza kunyonyana mdomo yteu kwa hisia kali sana huku kila mmoja akiwa anahema kwa pumzi nzito sana.

“Baby hatuna muda wa kuendelea kukaa hapa naomba unieleze ni wapi mulipo yatega mabomu?”

“Umejuaje ikiwa wewe bado ni gaidi?”

“Natambua nyendo zetu ndio maana nipo hapa na ninamshukuru Mungu kwa kunikutanisha na wewe”

Marima akachukua wigi mkononi mwangu na kunivalisha kichwani mwangu, akaliweka vizuri. Kisha akaingia kwenye choo ambacho niliingia. Nikamfwata kwa nyuma, akanitoa bumo moja alilo kuwa amelitega nyuma ya mlango wa choo hichi.

“Kuna mabomu zaidi ya kumi yamo ndani ya huu uwanja, mimi nina mawili wezangu watatu nao wana mabomu mawili mawili kila mmoja”

“Yesu wangu!!”

Nilijikuta nikizungumza hivyo huku nikimtazama Marima usoni.

“Kila bomu moja lina kilo hamsini na mlipuko wake unaweza kuangamiza vitu vilivyopo zaidi ya umbali wa mita mia tano kutoka hapo lilipo”

Marim alinipa mazungumzo hayo huku akilizima bomu hilo ambalo tayari alisha litega tayari kwa mashambulizi.

“Sasa tunafanyaje?”

“Hapa kitu kibaya ziaidi ni kwamba sifahamu ni wapi wezangu walipo na kila mtu aliweza kuingia kwa njia yake na kati ya wote mimi ndio mwanamke”

“Hilo ninalifahamu, je una namba za hao wezako?”

“Tukiwa katika mission kubwa kama hii huwa simu hatuwashi na wala hatuwi na mawasiliano ya aina yoyote hii inasaidia kuepusha muingiliano wa kazi na ndani ya dakika kumi hichi kiwanja kinakwenda kuwa chini juu, juu chini na raisi akiwa ndani”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

Maneno ya Marima yakazidi kunichanganya, akaliweka bomu lake kwenye begi kisha akaokota bastola yake sehemu ilipo, tukatoka chooni na kusimama nje ya mlango kutazama ni wapi ambapo tunaweza kuanzia kwa maana kila sehemu imejaa watu wengi na mpira umesha anza kuchezwa kiwanjani na kinacho tawala sasa hivi ni kelele za mashabiki.

“Una simu hapo?”

“Ndio”

“Iwashe tuweze kupata kufahamu ni wapi wezako walipo?”

“Nikiwasha simu ni kosa kubwa sana, makao makuu watafahamu na zoezi linaweza kuharakishwa kufanyika hata ndani ya dakika tano milipuko ikaanza kulipuka hapa uwanjani”

Nikatoa smu yangu kwenye siridia yaliyo yabana maziwa haya ya bandia. Nikampigia mama, simu yake ikaita kwa muda.

“Mama kuna kaz hapa nahitaji unisaidie?”

“Kazi gani?”

Nikaanza kumpa maelekezo mama ya kufanya pamoja na kuanza kumtajia namba za mabomu ambayo Marim amezishika kwa kichwa.

“Dakika moja nipe”

Nikakata simu huku nikia ninahema, wasimwasi mkubwa umenitawala, ila Marima hakuonyesha wasiwasi wowote.

“Ila Dany huu ndio mthani wangu wa mwisho nikifanikiwa katika mlipuko huu ninapewa cheo kikubwa sana kwenye kikundi changu”

“Marima hapa hatuzungumzii kuhusiana na cheo unacho kwenda kukipata. Hapa tunazungumzia kuhusiana na maisha ya watu, maisha ya wamama, watoto wababa na kiongozi wa nchi. Ni damu za watu wangapi zitamwagika na isitoshe mama yako anaweza kuwepo eneo hili je yeye unataka aweze kufa?”

Nilizungumza kwa msisitizo huku nikiwa nimemkazia macho Marim usoni mwake hadi machozi yakamlenga lenga.

“Kwani mama yangu bado yupo hai?”

“Yupo hai na jana nilikuwa naye nyumbani kwenu, mama yako amebaki mpweke, anafanya kazi kwenye hoteli na anadhalilisha na mabosi wake kwa kutukanwa, yote kwa sababu haupo, laiti ungekupo na ungekuwa umeajiriwa ungemsaidia na yeye akaka nyumbani na kula matunda yako”

Nilizungumza maneno ya kumuhamasisha Mariam hadi machozi yakaanza kumwagika usoni mwake. Mama akapiga simu, nikaipokea kwa haraka

“Hayo mabomu yote yapo ndani ya uwanja, na sita yametengwa chini ya viti vya viti vya mashabiki ambavyo havina watu. Mawili yametengwa chini ya gorofa alipo raisi, kwa hiyo yakilipuka kwa chini raisi anashuka na watu wake”

“Sasa mama vtu hapa vipo vingi”

“Nakutumia ramani inayo onyesha mabomu yote sehemu yalipo”

“Asante mama”

Nikakata simu huku nikishusha pumzi, marima akatazama simu yake ya mkononi, kisha akanitazama usoni mwangu.

“Zimebaki dakika saba”

“Mungu wangu”

Ujumbe ulio ingia kwenye simu yangu kupitia emila, nikaufungua na kuona ramani ambayo inaonyesha mabumu hayo yalipo kwa kuonyesha alama nyekundu inayo waka waka na kuzima.

“Tunatakiwa kuhakikisha kwamba mabumu yote tunaweza kuya tegua”

“Huwezi kuyategua peke yako pasipo mimi kwa maana ni lazima kuingiza namba ya siri ili yasilipuke”

“Eheee. Ok”

Tukaanza kazi ya kukimba kwa haraka huku Mariam akiwa amelivaa begi lake mgongoni. Tukafanikiwa kufika lilipo bomu la kwanza, Marim akalitoa chini ya kiti kwa haraka akaingiza namba ya siri na bomu hilo likazima. Ikawa ni mshike mshike kuhakikisha kwamba tunayategua mabomu yangu, kazi yangu kubwa ni kuongoza ni wapi yalipo mabumu hayo.

Kadri jinsi tulivyo zidi kuoyategua mabumu hayo ndivyo jinsi muda ulivyo zidi kupungua tena kwa kasi sana.

“Yamebaki mawili kule”

Marim alinonyesha sehemu alipo kaa raisi pamoja na wapambe wake, umbali uliopo kati ya eneo tulipo na alipo kaa raisi ni kama mita mia moja na kumi ni lazima kuhakikisha kwamba tunakatiza katika kiwanja ili kufika eneo hilo.

“Niambie namba za siri”

Marima akanitajia kwa haraka namba za siri, nikazikremisha. Nikataka kuondoka Marima akanishika mkono wa kulia.

“Watu wote wanakutegemea wewe, na zimebaki sekunde sabinini tu”

“Sawa”

Mariam hakujali wingi wa watu walipo uwanjani, akanipiga busu la mdomoni kisha akaniachia mkono wangu, simu yangu nikaishika vizuri na kuanza kuporomoja kwenye ngazi zilizopo kwenye huu uwanje, nilipo fika kwenye fensi nikaziruka na kuingia uwanjani jambo lililo wafanya baadhi ya watu kunishangaa dada mzuri nikikatiza kiwanjani tena ninakimbia.

Polisi wakaanza kunifukuzia kwa nyuma, sikulijali hilo nilicho hakikisha ni kwamba ninaongeza mwendo wa miguu yangu kufika sehemu yalipo mabomu hayo. Watu wakazidi kushangilia, hata wachezaji wenyewe wakabaki wakiwa wamesimama wakinishangaa. Polisi wawili wakanizuia njia wakiwa wmashika virungu, nilicho kifanya ni kuruka juu ya kifua cha mmoja kwa kutumia mguu wangu wa kulia kisha huyu mwengine nikammalizia kwa kumtandika teke lililo mpeleka chini. Uzuri wa gauni nililo livaa lina mpasuo wa kutosha na litavutika kwa kiasi kikubwa na hata kitendo nilicho kifanya kikawa chepesi sana.

‘Sekunde hamsini’

Nilijisema kimoyo moyo huku nikirukia fensi za kuingilia upande wa pili chini ya jukwaa alipo kaa raisi, kwenye baadhi ya viti viwili ndipo yalipo mabumu hayo. Nikapandisha ngazi kwa haraka, cha kushukuru Mungu mashabiki hawakunizuia, walicho kifanya ni kupiga makofi wakinishangilia pasipo kufahamu kwamba vicheko vyao dakika chache vinaweza kubadilika na kuwa vilio vya kusaga meno kwa uchungu. Nikafika kwenye kiti cha kwanza, nikalichomoa bumu chini ya kiti jambo lililo wafanya hata mashabiki kubaki wakiwa wameduwaa.

Nikaingiaza namba za siri kwa haraka, bomu likazima sekunde zimebaki ishirini tu na bomu jengine lipo kiti cha mbali kidogo na sehemu nilipo, sikukata tama zaidi ya kuzidi kukimbia kueleke kwenye bomu hilo lilopo na kama ni kulipuka basi litanilipukia na mimi na nitakuwa mmoja wapo kati ya watu watakao kufa.

Nikafanikiwa kufika lilipo, nikalitoa chini ya kiti na kuanza kuingiza namba za siri huku sekunde zikiwa zimebaki saba. Cha kushangaza namba za siri nilizo ziingiza, zikakataa na sekunde za bomu zikazidi kurudi nyuma, sikuraka kuchanganyikwa, nikatuliza kichwa watu walio pembeni yangu wote wakakimbia na kuaniacha peke yangu

‘Sekunde nne’

Nilijiseme moyoni huku nikiingiza tena namba ya siri ambayo Marim aliniambia. Polisi walio kuwa wakinikimbiza nao wakasimama mbali na mimi kwa maana katika kufa hakuangalii kama wewe ni polisi au laa. Nikaiingiza tena namba ya siri aliyo niambia Marima ila nayo ikagoma jambo lililo nifanya nikate tamaa na nikabaki nikitazama sekunde mbili ziishe na tulipuke na kufia katika eneo hili




Wazo moja likanijia kichwani mwangu, kwa haraka sikuhitaji kuweza kulizembea kirahisi. Nikaandika jina la nchi ya Somalia kwenye batani za hili bomu, nikayafumba macho yangu kusubiria kulipuka kwa bumu hili huku nikisali sala yangu ya mwisho. Sekunde ambazo nilikuwa ninazisubiria ili bumu kuweza kulipuka zikapita pasipo chochote kutokea. Taratibu nikayafumbua macho yangu nikakuta bomu hili limezima. Jasho mwili mzima linanishuka, watu wote uwanjani walibaki wakinitazama mimi huku wengi wao wakiwa wamekaa umbali mkubwa kutoka sehemu nilipo hata mpira ulisimamishwa kutokana na taharuki hiyo iliyo jitokeza hapa uwanjani.

Nikamuona Mariam kwa mbali akinipunga mkono huku akininyooshea kidole gumba cha mkono wa kulia. Polisi wakaanza kunisogelea huku wakiniomba ninyooshe mikono juu, siwezi kukimbia kwa maana karibia polisi wote wamenizunguka.

Mashabiki walipo ona polisi wanataka kunifunga pingu mikononi, wakaanza kupiga kelelele huku wakikimbilia eneo nililopo na polisi hawa.

Hiyo ndio ikawa nafasi kwangu kuwatoroka polisi huu kwa maana umati mkubwa wa mashabiki umewazuia wasinikamate. Moja kwa moja nikaelekea kwenye maegesho ya magari, nikiwa ninalitafuta gari langu sehemu nikastulia risasi ikipiga kwenye moja ya gari la pembeni hadi kioo cha gari hilo kikapasuka, kwa haraka nikachuchumaa chini, na kujibanza kwenye gari hilo. Nikamuona Yudia akiwa na vijana wawili wenye bastola wakinyata kwa uangalifu wakija sehemu nilipo. Kitendo cha kuchungulia nikastukia risasi nyngine ikipiga kwenye gari hili na kujikuta nikirudi kukaa chini sehemu nilipo jificha huku nikihema sana kwa wasiwasi.

“Wewe malaya jitokeze huwezi kuharibu mipango yetu”

Yudia alizungumza kwa ukali jambo lililo nifanya nizidi kukaa chini nikifikiria nini cha kufanya kwa manaa, sina silaha yoyote ambayo inaweza kuniwezesha kupambana nao. Wakaendelea kufyatua risasai mfululizo ambazo zinatoka kimya kimya kutokana na viwambo vya kuzuia sauti walivyo vifunga kwenye risasi zao.

“Wewe malaya toka hapo chini lazima tukuue kum**ko”

Yudia akaendelea kurupoka, kwa bahati nzuri nikasikia milio ya risasi, katika kuchungulia nikaona polisi wakishambuliana na kina Yudia wakihakikisha kwamba wanawaweka kati. Sehemi nilipo sikuweza kujitoa kutokana na mirindimo hiyo ya risasi ambayo sikufahamu zinaelekea wapi.

“Wekeni mikono juu na bunduki pembeni”

Niliisikia sauti ya kiume ikizungumza kwa kuamrisha, taratibu nikajinyanyua na kuchungulia sehemu inapo tokea nikamuona Yudia pamoja na jamaa mwengien wakinyoosha mikono yao juu, huku mmoja akiwa amelala chini akivunjwa na damu.

“Heii na wewe nyanyuka”

Nilistuka sauti ya askari ikizungumza pembeni yangu, taratibu nikanyanyuka huku nikinyoosha mikono yangu juu. Yudia na mtu wake wakafungwa pingu, huku mimi nikiombwa kuongozana na askari wanne kuelekea katika chumba cha mahojiano ndani ya uwanja huu. Kutokana hakuna askari aliye weza kugundua kwamba mimi ni mwanaume, sikuweza kubisha nikaongozana nao hadi kwenye chumba cha mahujiano. Hapo nikakutana na mkuu wa askri wa upepelezi ambaye ninamfahamu vizuri japo yeye hanifahamu mimi. Askari walio niingiza kwenye chumba hichi wakatoka na kuniacha na mkuu wao huyu.

“Binti unaitwa nani?”

“Lissa”

“Kwanza nitangulize shukrani zangu kwa kuweza kusaidia kuokoa maisha ya Watanzania wengi katika huu uwanja. Pia…..”

Akanyamaza kimya baada ya simu yangu kuita, nikatazama ni nani anaye piga na kukuta ni mama ndio anaye piga, ikanibidi kupokea mbele ya mkuu huyu wa polisi kitengo cha upelelezi.

“Ndio mama”

Nilizungumza kwa sauti ya kike.

“Vipi mbona unazungumza na sauti ya kike”

“Mama nahojiwa na polisi, nitakupigia baadae”

“Wamekukamata au kwa maana nimekuona kwenye Tv?”

“Hapana hawajanikamata wanahitaji kunihoji tu mama”

“Ahaa sawa kuwa makini nao wasifahamu uhalisia wako”

“Sawa mama”

Nikakata simu huku nikitabasamu

“Mama yako naamini anajifu kuwa na mtoto wa kike kama wewe”

“Yaaa hapa ananiambia kwamba ameniona kwenye Tv”

“Kweli naona waandhishi wa habari waliweza kuchukua picha zako. Ehee niambie ulifahamu vipi kwamba hapa uwanjani kuna mabomu?”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

Nikanyamaza kimya kwa muda huku nikimtazama askari huyu kisha nikamjibu.

“Nilipo kuja hapa uwanjani, mapema sana leo, niliona kuna kaka watatu kwenye maegesho ya magari kule juu wakipanga mikakati ya kulipua huu uwanja. Nilianza kuwafwatilia nikaona jinsi wanavyo yatega chini ya viti hapo ndipo nilipo anza kutegua moja baada ya jengine, sasa yale ya mwisho mawili ndio yaliuwa kule kwa raisi”

Mkuu huyu wa polisi kitengo cha upelelezi akaka kimya kwa muda huku akiwa anatafakari kitu, kabla hajazungumza kitu chochote mlango ukafunguliwa na akaingia raisi na walinzi wake wawili huku mmoja wapo akiwa ni Babyanka. Nikajikausha kimya, mkuu wa polisi akanyanyuka kwenye kiti na kusalimiana na raisi.

“Binti habari”

Raisi alinisalimia huku akitabasamu, nikanyanyuka kwenye kiti na kuinama kwa heshima huku nikimsalimia.

“Aisee sijawahi fikiria kwamba hii nchi kuna wanawake majasiri ambao wanaweza kufanya kitu kama ulicho kifanya wewe leo”

“Asante sana muheshimiwa”

“Hivi umepitia kozi yoyote ya jeshi?”

“Hapana”

“Aiseee hongere sana. Mwaseba huyu anafaa kuingia kwenye kikosi chako bwana hakikisha munamchukua alicho kifanya sijawahi kuona kwenye maisha yangu”

“Sawa mkuu”

“Binti kusema kweli naruda tena kukushukuru kwa kile ulicho kfanya leo, nimetoka kuangalia yale mabomu kusema kweli leo ingekuwa ni historia mpya ya huzuni ingesomeka kwenye nchi yetu”

Nikatabasamu tu kwa maneno ya muheshimiwa raisi ila kimoyo moyo nikawa ninajisema kwamba laiti isinge kuwa mama yangu leo mbona wangefurahi na roho zao kwa maana ni lazima wangekufa.

“Ngoja nikaandae mpango japo leo uje kula chakula cha usiku ikulu”

“Asante sana muheshimiwa”

“Hembu nipatie namba yako ya simu”

Nikamtajia riaisi namba yangu ya simu, akainakili kwenye simu yake kisha akanipatia mkono na kuniaga, akaondoka na walinzi wake na nikabaki na mkuu wa polisi.

“Naona muheshimiwa raisi amekukubali”

“Yaa”

“Sasa ningeomba ombi moja kama alivyo seme muheshimiwa raisi unaweza kujiunga na kitengo cha polisi upande wa upelelezi na ukawa ni miongoni mwa vijana wangu”

“Mmmm siwezi kufanya maamuzi hayo peke yangu nilazima kumshirikisha mama yangu”

“Hilo halina tabu kwa maana ninatambua kabisa mama ndio kila kitu. Vipi baba yako sijasikia ukimzungumzia?”

“Baba alisha fariki tangu nikiwa bint mdogo”

“Aisee pole sana, sasa nipatie namba yangu na wewe uchukue namba yako ili tuweze kuwasiliana na wewe”

“Sawa muheshimiwa”

Nikamtajia namba yangu ya simu kisha na yeye akanitajia namba yake ya simu. Tukaagana na kuondoka katika chumba hichi huku nikiwa nimejawa na furaha kubwa moyoni mwangu nikiamini mbinu ya kujifanya ni mwanamke imefanikiwa. Nikajikuta nikikohoa huku nikirekebisaha koo langu kwa maana kuzungumza sauti ya kike sio jambo rahisi. Nikaelekea kwenye gari langu, nikaingia huku nikishusha pumzi.

Kabla sijaondoka kioo cha mlango wa dereva ukagongwa, taratibu nikashusha kiooo na kukutana na sura ya K2 akinitazama huku anatabasamu.

“Hongera binti”

Alizungumza huku akiubenua mdomo wake kwa dharau, moja kwa moja nikafahamu maana ya yeye kufanya hivyo.

“Asante”

“Ila take care usiingilie vitu visivyo kuhusu, utakufa”

Alizungumza maneno yaho huku akinyanyuka na kuondoka zake sikuhitaji kuzungumza chochote zaidi ya kufunga kioo cha gari langu na kuondoka eneo hili la uwanjani. Nikatoka nje ya uwanja salama salimini, nikatafuta maduka ya simu maeneo ya kariakoo nikanunua chaji ya smu yangu kwa maana imsha anza kupiga milio inayo ashiria kwamba chaji imekwisha, nikafanikiwa kununu chaji ya simu hii niliyo nayo, nikaondoka eneo la Kariakoo na kueleke kwenye moja ya hoteli iliyopo Mbezi Beach.

“Nitaka kwa siku saba”

“Sawa unaweza kufanya malipo na tukakufanyia punguzo la bei kutokana na kukaa kwa siku nyingi katika hoteli yetu”

“Ok nafanya kwa dola si sawa?”

“Ndio hakuna shida dada yangu”

Nikamuhesabia muhudumu kiasi cha pesa anazo zihitaji kisha akajaza jina langu na namba ya kitambulisho kwenye kitabu cha kumbukumbu za wageni, akanipa kalamu na kitabu hicho nikasaini kisha akanikabidhi funguo yangu na kueleke kwenye chumba changu nkiwa na beg langu la nguo.

Nikaingia ndani ya chumba hichi nikajifungia kwa ndani, nikaweka simu yangu kwenye chaji pasipo kuizima, nikavua nguo zote pamoja na umbo la plastki ambao hadi sasa hivi hakuna ambaye amweza kunifahamu uhalisia wangu. Nikaingia bafuni na kuoga kisha nikarudi chumbani, nikatoa laptop yangu na kuiweka juu ya kitanda, nikaiwasha na kungia kwenye mitandao ya kijamii kuangalia ni kitu gani ambacho kinaendelea, kutokana na uchomu nikajikuta usingizi mzito ukinipita.

Mlio wa mtetemesho wa simu yangu nikaanza kuusikia kwa mbali, taratibu nikaanza kufumbua amcho yangu kwa uvivu yaliyo jaa usingizi mzito. Muito ulipo zidi kudumu nikanyanyuka kabisa kitandan na kuichukua simu uliyopo juu ya sofa, nikakuta ni namba ngeni inayo piga, nikaipokea na kuiweka sikioni mwangu.

“Habari binti”

Nikaisikia sauti ya muheshimiwa raisi, kwa haraka nikajitahdi kuibadilisha sauti yangu.

“Salama tu muheshimiwa za muda?”

“Salama sasa nimeandaa chakula cha usiku kwa ajili yako, upo wapi vijana wangu waje kukuchukua?”

Nikamtajia jina la hoteli niliyopo, akasema anaifahamu na anatuma vijana wake, baada ya nusu saa watakuwepo kwenye hoteli hii. Akakata simu, nikeeleke bafuni kuoga kwa haraka haraka, ili kutoa uchovu kisha nikarudi chumbani. Nikaanza kuvaa tisheti yangu aliyo nipatia mama, kisha nikavaa

na vazi la plastiki ambalo kwa haraka haraka lina nipa umbo la kike kwa maana lina maziwa pamoja na makalo makubwa kiasi.

Nikaanza kumwaga nguo kwenye kitanda kutafuta gauni gan nivae, nikaonga gauni la rangu nyekundu, nikalivaa, nikachukua wigi langu na kulichana vizuri na kuliweka kichwani mwangu. Ndani ya robo saa nikawa nimemaliza kujiandaa. Na muonekanao wangu ukazidii kuwa kama msichana, kwa maana kwa sasa ninajua jnsi ya kujipara vilivyo.

Ndani ya nusu saa kama alivyo zungumza rasisi, simu ya mezani kwangu ikaita, nikaisogelea na kuipoke.

“Samahani dada yangu una wageni kutoka ikulu”

“Asante ninakuja”

“Sawa dada”

Nikachukua kipochi changu, bastola zangu nikaziweka kwenye begi la nguo na kuondoka nikiwa na vitambulisho vyangu pamoja na pesa kadhaa kwenye kipochi changu. Kila mwanaume niliye kutana naye kwenye kordo yangu hakusita kugeuza shingo yake nyuma kunitazama jinsi nilivyo pendeza. Nikafika mapokezi na kukutana na Vijana wawiliw alio valioa sut nyeusi wakiwa wamekaa kwenye sofa za mapokezi.

“Habar yako dada?”

“Salama”

“Tunaweza kuondoka sasa”

“Hakua shaka”

Nikatoka nao nje, na kuelekea kwenye gari lao aina ya bmw Z8.

“Ohoo jamani samani nimesahu simu yangu ndani naombeni nikaichukue”

“Hakuna shida dada yetu”

Nikarudi ndani kwa haraka nikafungua chumbani kwangu na kuchukua simu yangu niliyo iacha juu ya sofa nikaiweka ndani ya pochi yangu na kutoka ndani ya chumba changu huku nikifunga mlango. Nikawakuta vijaa hao wakinisubiria, nikaingia ndani ya gari na kuondoka nao huku nikiwa nimekaa siti ya nyuma. Ukimya ukatawala ndani ya gari huku nikmtazama dereva anavyo zidisha na kupunguza mwendo kasi wa gari, ila machale yakaanza kunicheza pale dereva alipo badilisha njia.

“Tunaelekea wapi?”

“Tunapita barabara ya huku chini, huko juu kuna foleni kubwa”

Ikabidi kukaa kimya kwa miaka hii miwili ambayo sikuwa Dar es Salaam labda barabara zimeongezeka, ila tukwa katkat ya safari tukstukia gafla gari mbili aina ya Range rove, moja ikifunga barabara kwa mbele na nyingine ikifunga barabara kwa nyuma jambo llilo mfanya dereva kufunga breki za gafla na kusimama. Cha kushangaza dereva na mwenzake wakashuka na kwenye gari nikabaki peke yangu mbaya zaidi dereva ameshuka na funguo, na kwenye gari hizo wakashuka jamaa si chini ya kumi wakiwa na bunduki zenye uwezo mkubwa na kuanza kulishambulia gari nililomo jambo lilili nifanya nilale chini kwenye siti yangu huku vioo vikiniangukia mgongoni





Milio ya risasi ikazidi kutawala huku nikishuhudia jinsi gari hili linavyo shambuliwa, na mashabulizi yakizidi zaidi ya hapa gari hili litalipuka muda wowote jambo ambalo ni hatari kwangu. Nikakumbuka kwamba nimevaa tisheti ambayo mama aliweza kunipa maelekezo ambayo kwa tukio hili lililopo sasa hivi itanisaidia kwa kiasi kikubwa.

Nikafungua mlango na kujirusha nje huku nikibingirika kwa haraka huku kipochi changu nikiwa nimekishika vizuri mkononi, kuelekea pembezoni mwa barabara. Majambazi hawa ambao natambua ya kwamba wametumwa mahususi kuja kunimaliza, wakaanza kuelekezea risasi zao upande ninao elekea, uzuri ni kwamba sehemu nilipo ingia kuna kichaka ambacho kina uchochoro wa miti miti kadha. Nikajibanza kwenye moja ya mti huku nikihema. Ukimya ukatawala, majambazi hao wakaanza kunitafuta kwenye kichaka hicho nilicho ingia.

Nikamuona mmoja akimpa ishara mwenzake kwamba ni sehemu gani ambayo nipo, jambazi huyu akaanza kuninyatia tarataibu, nikapata wazo la haraka nikatoa simu yangu kwenye kipochi nikaingia upande wa kamera, kutumia mwanga wa kamrera nikampiga picha jambazi aliye karibia kufika sehemu nilipo, kitendo kilicho mfanya afumbe macho. Kwa haraka nikapokonya bunduki yake aina ya Ak47 na sikuwa na huruma naye zaidi ya kumtandika risasi moja ya kichwa.

Sasa nikawa ninajiamini, sikuwa na haja ya kujibanza kwenye mti kwani risasi zote wanazo zipiga hakuna hata moja ambayo iliweza kuingia mwilini mwangu, ila risasi ninayo ipiga mimi inaingia pale nilipo kusudia, kama ni kichwani basi ni kichwani na kama ni kifuani basi inaingia kifuani. Ndani ya dakika tano nikawa nimewashusha majambazi ziaidi ya watano na wote wamepoteza maisha. Majambazi wengine walipo ona risasi zao hazifanyi kazi mwilini mwangu wote wakakimbia kueleka kwenye mgari yao, jambo ambalo sikulirhusu mapema. Nikafyatua risasi kwenye gari moja walilo panda, maiati yote yakapasuka na hawakuweza kwenda mbali na mimi. Nikazidi kuwaua hadi akabakia mmoja ambaye aliamua kujisalimisha yeye mwenyewe.

“Nani amewatuma?”

“K2 K2”

Nikamtoa nje ya gari kwa kumvuta, moja kwa moja tukaelekea kwenye gari lao jengine walio kuwa wamekuja nalo.

“Ukifanya ujinga ninakuu”

Nilizungumza hivyo huku nikimpapasa kuanzia chini hadi juu, sikumuona na silaha yoyote nikamuamrisha kukaa siti ya mbele na akatii ubishi wa ina yoyote. Nikaingia kwenye gari kwa bahati nzuri nikakuta fungua. Sikuzungumza kitu chochote zaidi ya kuwasha gari na kuondoka.

Moja kwa moja nikafika Ikulu nikiwa na jambazi huyu, sikuhitaji walinzi wanihoji nilicho kifanya ni kumpigia raisi simu na kumueleza nimefika nje ya geti la ikulu.

“Ngoja nipige simu wakufungulie”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Sawa muheshimiwa”

Geti likafunguliwa na moja kwa moja nikaelekea kwenye maegesho, nikashuka nikiwa na bunduki yangu jambo lililo wafanya walinzi wote kuchomoa bastola zao na kunielekezea mimi.

“Weka silaha yako chini”

Mmoja wao alizungumza kwa ukali huku akinitazama usoni mwangu, nikatabasamu kidogo na silaha nikaiweka chini, nikafungua mlango wa gari na kumtoa jambazi huyu na kumtupia chini.

“Nahitaji kuzungumza na raisi”

Nilizungumza kwa sauti ya kike, kabla sijazungumza kitu chochote raisi na walinzi wake wengine akiwemo Babyanka wakatoka wakiwa anatazama tukio hili.

“Wekeni silaha zenu chini, binti ni kitu gani kinacho endelea”

“Heshima yako muheshimiwa, huyu ni miongoni mwa majambazi walio nivama. Tisa kati ya kumi nimewaua na huyu pekee ndio amejisalimisha na akakitu anacho hitaji kuweza kukizungumza mbele yako”

Niliendelea kuzungumza kwa sautii ya kike huku nikimtazama raisi usoni. Babyanka akabaki akiwa amenikodolea macho hakuamini kile ninacho kifanya kama mwamamke mwenzake isitoshe nimekiri kwamba sijapitia mafunzo yoyote ya kijeshi.

“Kijana zungumza”

Raisi ailizungumza kwa sauti ya kumbembeleza kijana huyu ambaye nimekuja naye.

“Muheshimiwa, tulitumwa kuja kum……….”

Kijana huyo hakumalizia sentensi yake tukashukia akianguka chini, huku damu zikimvuja kichwani. Kwa haraka walinzi wa raisi wakamzingira raisi na kumuweka kati huku wakiwa wamemuinamisha. Kazi yangu ikawa ni kutazama ni wapi mpigari risasi ametokea. Katika moja ya dirisha katika jengo hili la ikulu nikaona dirisha hilo likimaliziwa kufungwa.

Kwa vipimo vya haraka haraka vya macho nikagundua kwamba muuaji wa kijana huyu alikuwa katika dirisha hilo. Kwa haraka nikaanza kuingia ndani ya ikulu, baadhi ya walinzi wakanizuia kuingia ndani ila raisi ambaye yupo katikati ya walinzi wake akawaomba waniruhusu.

Tukaingia hadi sebleni, ila sikuhitaji kukaa kabisa kwenye kochi hizi. Nikatamani kuanzisha masako wa haraka kuhakisha ninamtambua muuaji.

“Muheshimiwa raisi, muuaji yupo ndani ya hii ikulu yako na maisha yako yanaonekena hayapo katika hali ya usalama”

Nilizungumza kwa sauti ya kike, jambo lililo mfanya raisi kukaa kimya pamoja na Babyanka amabaye muda wote ananitazama kwa macho ya umakini sana.

“Hakikisheni munampata muuaji na data za kamera zote zilizo rekodi tukio hili katika dakika chake nahitaji kuletewa hapa”

“Sawa muheshimiwa”

Walinzi wa raisi wakaondoka na kuanza msako ndani ya ikuku jambo ambalo sio kawaida, hata wafanyakazi wengien wakabaki kushangaa.

“Babyanka mpeleke mwenzio akabadilishe hizo nguo zake, na apewe nguo nzuri”

“Sawa muheshimiwa. Binti nifwate”

Nikaongozana na Banyanka hadi kwenye moja ya chumba, tukaingia woye wawili. Chumba hichi kina makabati yenye nguo nyingi sana za kike.

“Hadi sasa hivi siamini kama msichana ambaye hujapata mafunzo ya kijeshi au namna yoyote unaweza kufanya kama haya uliyo yafanya hii leo”

Babyanka alizungumza huku akichambua chambua nguo kwenye moja ya kabati akinitafutia nguo nzuri ya kuvaa.

“Inaweza kuwa ni kipaji”

“Eheee kipaji!! Umesha wahi kuona kipaji cha kutumia bunduki tena Ak47, hapo unatudanganya”

“Kwani kuna ulazima wa kujifunza?”

“Ndio maana kuna vitengo vya mafunzo. Isitoshe nimegundua kwamba wewe sio mwanamke, niulize kwa nini, au unabisha?”

Maneno ya Babyanka yakanifanya nimkodolee macho, akanisogelea akiwa ameshika gauni jeupe. Tukatazmaa macho kwa macho.

“Macho haya sio mangeni kwangu, unaweza kujibadisha kila kitu ila si macho yako haya Dany”

Kitendo cha Babyanka kuniita jina langu mwili mzima ukasisimka kwa woga.

“Ila sio mbaya kwa staili ambayo umeitumia, mimi hadi leo bado nakuamini kwamba wewe sio gaidi, ila kuna watu ndio wamekuchonga na kukufanya wewe uwe gaidi”

Sikuha na haja tena ya kubaki na wigi langu kichwani, nikalivua na kulishika mkono, Babyanka akafungua mlango akachungulia kwa nje kisha akaufunga kwa ndani.

“Ni kina nani ambao wamenipa kesi hii?”

“Hilo sio swali, watu hao unawajua fika na teas sasa hivi wameongezeka”

“Wameongezeka?”

“Ndio la kiongozi wao ni K2. Sasa hivi hii nchi haogozwi na raisi peke yake”

“lla?”

“K2 ndio mwenye kauli kuliko raisi, yeye ndio anapanga na kupangua, raisi yeye anafwata maelekezo tu. Hata hili swala la walinzi wasake muuaji ni mbwembwe tu, wewe ngoja utaoana”

Babyanka alizungumza huku akinipatia gauni jengine nijaribishe kuvaa.

“Mmmmm sasa hapa inakuwaje?”

“Aahaa mimi natimiza majukumu yangu sitaki matatizo na mtu”

“Ila tunatakiwa kuhakikisha kwamba raisi anarudi kwenye mstar wake”

“Dany hilo swala ni gumu sana na ukumbuke hawa ni ndugu. Tumbo moja japo baba ni tofauti, kusema kwako ukweli leo Tanzama jinsi unavyo ishi maisha ya kutangatanga, tunajitolea maisha yetu kwa watu ambao hawahitaji sisi kujitoa”

Nikajaribu gauni alilo nipa Babyanka, likanikaa vizuri mwilini mwangu. Nikajiweka sawa huku Babyanka akinifunga zipu kwa nyuma na kuniweka vizuri wigi langu.

“Ila kuwa makini K2 yupo hapa ikulu asije kuja kukustukia ikawa ni balaa”

“Usijali katika hilo, vipi sauti ninayo izungumza ipo vipi?”

“Ni sauti ya kike ambayo so rahisi mtu kukustukia kwamba wewe ni mwanaume”

“Ok”

Tukatoka katika chumba hichi na kurudi sebleni na kumkuta K2 akiwa amekaa na raisi wakizungumza mambo ya kifamilia. K2 alipo niona akanikata jicho kali, sikujali hilo zaidi ya kukaa katika sofa ambalo Babyanka alinikaribisha.

“Katherina huyu ndio yule binti aliye tegua yale mabomu uwanja wa taifa”

Kwa mara yangu ya kwanza maishani mwangu leo kufahamu kirefu cha jina la K2.

“Ahaa habari yako binti”

K2 alisimama na kuninyooshea mkono namimi nikasimama na kuupokea taratibu mkono wake huku nikiwa na tabasamu pana usoni mwangu ila moyoni mwangu, ninapata maumivu makali ya moyo wangu kunichemka kiasi kwamba ninatamani hata kuking’ofoa kichwa chake.

“Salama tu”

“Huyu binti kusema kweli nimependa sana, ni wasichana wachache sana ambao wanauwezo mkubwa kama alio kuwa nao yeye”

“Ahaaa sawa sawa kaka, hivi binti umepatia wapi mafunzo yako?”

Swali la K2 likanifanya nijisogeze taratibu kwenye sofa na kukaa vizuri huku nikimtazama usoni mwake.

“Sijajifunza sehemu yoyote nilikuwa ninapenda sana siku moja nije kuwa afisa upepelezi, hata nilipo waona wale jamaa nikajifanya afisa upelelezi na ndio nikafanikiwa kufanya kile nilicho kifanya”

“Ni vizuri, sasa kaka niachie huyu binti nimpeleke kwenye chuo cha mafunzo naamini atatufaa zaidi katika kulijenga taifa”

“Kweli, sasa wakati wa chakula umefika twende ukapate dinner”

Raisi alizungumza huku akinyanyuka kwenye sofa, sote tukanyanyuka na kwenda kwenye chumba maalumu cha familia nzima ya raisi kupata chakula. Raisi akanitambulisha kwa wanafamilia wake akiwemo mdogo wake aliye mpa siku majukumu kama raisi feki.

Tukaendelea kula chakula kwa pamoja, huku tukizungumza mambo ya hapa na pale, huku raisi akinihojia kuhusiana na maisha ya familia yangu.

Kila kitu nilicho kizungumza ilinibidi kudanganya na nipo makini sana kwa kukumbuka kila jambo ambalo ninadanganya. Kwa mara kadhaa K2 akawa ananiangalia kwa macho ya kuiba iba akionekana kuchukizwa sana na uwepo wangu.

Chakula kikaisha, raisi akanikabidhi kwa Babyanka ili aweze kunirudisha kwenye hoteli niliyo fikia kwa maana muda umekwenda sana. Nikaagana na familia nzima ya raisi, akinikabidhi rasmi kwa K2 na aliye ahidi kunisaidia kutimiza ndoto zangu kuwa afisa upelelezi.

“Mmmmmmmm”

Niliguna mara baada ya kuingia ndani ya gari na kufunga mlango wa gari. Babyanka akawasha gari taratibu tukaanza kutoka katika eneo la Ikulu.

“Lazima ugune, unahisi kuigiza mwanamke ni ishu ndogo”

“Yaa kweli sio ndogo, ila itakuwaje kama nikirudi tena chuoni katika muonekano wa kike?”

“Wewe ninacho kushauri endelea kula na vipofu, ipo siku watakuja kukubali”

“Kweli hilo ndio jambo la msingi”

“Ila kuwa makini sana K2 ni lazima aweke watu watakao kupeleleza, ana mtando mkubwa kuliko hata huyo kaka yake”

“Hapa ni mwendo wa kucheza nao, kama kweli hajaweza kunitambua katika muonekano huu unahisi anaweza kunitambua nikizidi kubadilika”

“Ahaaa kama nilivyo kuambia mimi kazi yangu ni kutimiza majukumu yangu tu”

Tukafika katika hoteli ambayo nimekodi chumba, sote tukashuka kwenye gari na kuelekea kwenye chumba changu. Kitendo cha kuufunga mlango kwa ndani, nikamshika makalio Babyanka, kitu kilicho mfanya kutulia kimya huku akijigeuza geuza.

“Nini bwana Dany, wewe si mwanamke jamani?”

“Mwanamke nani?”

Nilizungumza katika sauti yangu ya uhalisia, huku nikipandisha mikono yangu kwenye kifua chake na kuendelea kuzitomasa chuchu zake. Nikamgeuza na kuanza kumnyonya denda, taratibu Babyanka akaanza kuvua koti lake la suti, huku mimi nikiwa na kazi ya kumfungua vifungo vya shati lake jeupe alilo livaa. Tukiwa katika mahaba mazito gafla dirishani likaingizwa bomu la machozi lililo anza kutoa moshi mzito ulio tufanya tuanze kukohoa, hata hatujakaa vizuri taa za chumba chetu zikazima na kuanza kusikia vioo vikipasuka na kuanguka kwenye sakafu jambo lililo zidi kutuchanganya mimi na Babyanka



Kwa haraka tukakimbilia bafuni, kitendo cha kuingia nikawahi koki ya bomba na kufungulia maji mengi na kuanza kunawa nyuso zetu kukata sumu ya bomu hili la machozi linalo fanya mtu mwagikwe na machozi na hata mbele usione.

“Chukua”

Babyanka alizungumza huku akinipatia basolola, nikaishika vizuri tayari kwa mashambulizo yoyote yatakayo tokea. Tukajibanza kila mtu kwenye kona yake ya ukuta wa mlango tulio uweka kati na upo wazi. Japo kuna giza ila tupoa makini sana kuhakikisha kwamba kila kitu kinacho kuja mbele yetu tunakisambaratisha.

Tukaona miyale myekundu myembaba inayo fungwa kwenye bundiki maalumu, ikikatisha katisha ndani ya chumba. Kutokana hatuonani na Babyanka tukashindwa kabisa kupeana ishara, kitu ambacho tunatakiwa kukifanya sasa hivi ni kuhakikisha kwamba tunashambulia tu.

Mlio wa simu yangu uliyopo chumbani kwenye kipochi changu ndio ulio wapotezea umakini watu hawa wanao tuwinda, tulicho kifanya ni kuaza kufanyatua risasi mfululizo kuelekea walipo watu hawa ambao idadi yao wapo sita.

Miguno ya maumivu ndio ilisikika ikiambatana na vishindo vizito vya watu kuanguka. Ndani ya dakika mbili ukimya mkali ukatawala ndani ya humba huku bunduki zote zenye myale hii myekundu zikiwa zimelala chini.

“Psiii”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

Babyanka aliita kwa sauti hiyo ya chini, taratinu nikamuona akiingia kwenye chumba akiwafwata watu hawa tulio waua, hata mimi nikamfwata kwa nyuma. Mlango wa hapa hotelini umefunguliwa, kwa haraka nikaufungua taratibu na kuchungulia kwenye kordo sikumuona mtu yoyote. Babyanka naye akachungulia kwenye dirisha hakumuona mtu wa aina yoyote.

“Ni kina nani hawa?”

Niliuliza huku nikiufunga mlango

“Sifahamu, ila hii sehemu sio salama kabisa”

Nikatafuta kipochi changu na kutoa simu yangu, nikawasha mwanga wa tochi iliyopo kwenye hii simu yangu na kuanza kuwamulika majambazi hawa walio valia vitambaa vyeusi machoni mwao na kubakisha macho tu.

Kila mmoja tuliye mkagua kifuani mwake ana tattoo ya pembe nne jambao lililo zidi kutuumiza kichwa na kujiuliza hawa wametumwa na nani.

“Sio watu wa K2”

“Sasa wanaweza kuwa ni watu wa nani?”

“Inabidi kuanza kuchunguza hawa ni watu wa nani”

Nikaanza kuwapiga picha mmoja baada ya mwingine kwenye vifua vyao, nilipo jiridhisha picha zote nikamtumia mama kupitia Whatsapp.

“Inabidi tuondokea, kwa maana kama hadi sasa hivi hakuna polisi walio weza kufika eneo hili na milio ya risasi imesikika basi hii ishu polisi pia wanahusika”

“Poa”

Nikakushanya kila kilicho changu, tukatoka kwenye chumba hichi tukiwa makini sana cha kushangaza ni kwamba ni chumba chetu tu ndio kimekatiwa umeme ila sehemu nyingine za hii hoteli kuna umeme. Mapokezi hatukukuta muhudumu yoyote, moja kwa moja nikaelekea kwenye maegesho ya magari.

“Hilo ni gari lako?”

“Yaa ni langu?”

“Ngoja kwanza”

Babyanka akaanza kuinama chini ya gari langu, nikamuona akiingiza mkono kwenye gari na kutoa bomu lililo tegwa na laliti kwamba ningeondoka na gari langu lingenilipukia na huo ndio ungekuwa mwisho wa maisha yangu.

“Umegunduaje kwamba kuna bomu chini ya gari langu?”

Babyanka akanionyesha maji yaliyopo chini ya gari langu ambayo ndio yamemsaidia kuona bomu lililo kuwa limetegwa, tukachunguza gari lote kwa kushirikiana tulipo ona lipo sawa. Nikafungua mlango na kuingia.

“Inabidi tueleke kwangu”

Babyanka alizungumza akiwa ameinama kwenye kioo cha gari langu akinitazama usoni mwangu.

“Sawa na hilo bumu vipi?”

“Hili natake kesho likafanyiwe uchunguzi ili tuweze kufahamu limetengenezwa nchi gani kwa maana mabomu ya aina hii Tanzania hayapo na kama yapo basi kuna watu wanayo yaingiza kwa siri sana na hata jeshi hawana”

“Umelitegua?”

“Yaa, nilisahau kukuambia kwamba mimi nilisomea maswala ya kutegua mabumu kwahiyo hili halinipi shida”

“Powa”

Babyanka akaelekea kwenye gari lake huku mimi nikifunga kioo, akalichunguza gari lake naye kuhakikisha usalama kisha akaingia na kuondoka katika eneo hili. Tukiwa njia tukapisha na gari za polsisi zikiwa zimewasha ving’ora wakielekea eneo la tukio jambo lililo nifanya nitabasamu kwa maana tuko limetokea zaidi ya nusu saa nyuma wao ndio tunapishana nao na isitoshe kituo cha polisi na hoteli tuliyopo ni karibu sana.

Tukafika katika jumba la Babyanka ambalo alikabidhiwa na raisi kama zaidi. Tukasimamisha magari yetu kwenye maegesho, kisha tukashuka huku mimi nikishusha begi langu la nguo nililo kuwa nimeliweka siti ya nyuma. Nikafungua buti ya gari na kukuta kila kitu changu kikiwa katika usalama. Nikalifunga gari langu na kuongozana na Babyanka hadi sebleni kwake.

“Unaishi na nani?”

“Naishi na mdogo wangu wa kike, ila ameondoka jana kwenda chuo hapo Nairobi ndio maana unapaona kimya hivi”

“Ahaaa haujategewa kamera kwa maana kwenye lile jumba langu washenzi walinitegea kamera, kila kitu nilicho kuwa ninakifanya walikiona”

“Ahaa chezea mimi wewe, hakuna kamera wala ushuzi wa kamera. Kamera zilizopo hapa nimezifunga mwenyewe kwa usalama wa nyumba yangu, na hata nikiwa mbali kupitia simu yangu ya mkononi ninaweza kuona kila kitu kinacho endelea.”

“Ahaa umendelea”

“Yaa unajua hii kazi yetu usipo jiwekea usalama wewe mwenyewe, basi unajiweza kujikuta unakufa kama kuku”

Babyanka alizungumza huku tukielekea ndani kwake, tukasimama mlangoni, akaingiza namba za siri kwenye kiboksi maalumu kilicho jaa namba, mlango ukafunguka na sote tukaingia ndani, mlango ukajifunga.

“Hizi program zote za kutengeneza milango kuiwekea namba za siri ulijifunzi wapi au kuna watu walikuja kukutengenezea?”

“Hapana nimetengeneza mimi mwenyewe. Mambo haya nilijifunza kwa mtu wako wa karibu sana”

“Mtu wangu wa karibu nani?”

“Mama yako”

“Mama yangu ndio amekufundisha haya mambo yote?”

“Yaa amenifundisha haya mambo yote ukimoigia hata simu sasa hivi ukumuuliza unamfahamu Baby, mwanafunzi wako atakuambia”

“Sasa mbona Tanga kipindi kile sikuona ukaribu wenu?”

“Ahaaa sote tulikuwa kazini, na kipindi nilipo kuwa nimeenda kwa upelelezi, mbona nyumbani kwenu nilikuwa nakuja sana”

Nikatoa simu yangu kwenye kipochi na kumpigia mama.

“Ndio, nimeona hizi picha hapa ndio najitahidi kufahamu hii alama inatumiwa na kundi gani la kigaidi”

“Sawa mama ila kuna jambo jengine nahitaji kukuuliza”

“Jambo gani?”

“Unamfahamu Baby mwanafunzi wako?”

“Ndio huyo anaye mlinda raisi?”

“Ndio”

“Yaa namfahamu, si yule uliye kuwa naye kipindi cha kumlinda raisi kwenye dhiara yake Tanga”

“Yaa ndio huyo huyo”

“Namfahamu ni mwanafunzi wangu sana, na nimemfundisha mambo mengi. Umekutana naye nini?”

“Yaa nimekutana naye na amenisaidia sana kwenye hili swala la kuwaua hao jamaa”

“Hembu mpe simu nimsalimie”

Nikampa simu Babyanka akaanza kuzungumza na mama, mazungumzo yao tu yanaonyesha ni watu wanao juana kwa muda mrefu sana.

“Haya mama usiku mwema”

Babyanka baada ya kuzungumza maneno hayo akanirudishia simu yangu, nikaagana na mama kisha nikakata simu.

“Unakumbuka siku tulipo kutana kwa mara ya kwanza pele nyumbani kwenu hadi Meya akawa anakukoromea, nikakukonyeza, hukujiuliza kitu?”

“Sikuwa na wazo la kujiuliza zaidi ya kuhisi kwamba umenizimikia”

“Mwehu wewee”

Babyanka akanisogelea na kunivuta karibu yake, mikono yangu nikiapitisha kiunoni mwake, taratibu takaanza kunyonyana denda.

“Twende tukaoge, hapa najihisi kunuka nuka damu tu”

“Sawa ni wewe tu, ila hapa kum** imesha anza kuwaka moto”

“Nifungue zipu”

Babyanka akafanya hivyo nikavua nguo zate na yeye akavua nguo zote kisha tukaingia bafuni. Ambako hata swala la kuoga halikukamilika kwani tukajikuta tukiingia kwenye dimbwi kubwa la mapenzi. Nikamgandamiza Babyanka ukutani na kuanza kuyanyonya maziwa yake yote mawili huku nikihakikisha ninayanyonya hadi Babyanka apagawe. Sikuishia hapo nikaushusha ulimi wangu hadi kwenye kitovu chake na kuanza kukinyonya taratibu jambo lililo zidi kumpagawisha Babyanka hadi ikafika hatua akaomba nizitulize nyeg** zake za muda mrefu.

Sikuwa na kipingamizi zaidi ya kuanza kukila kitumbua chake kilicho lainika kwa chai ya baridi. Uuzri wa Babyanka katika swala la kutomb**a, ni mwepesi sana na anajua jinsi ya kujituma na nimwana mazoezi kila unavyo muweka anakaa.

Mtanange ukachukua zaidi ya nusu zaa, ukaisha kila mmoja akiwa hajaridhika sana, tukaoga na kurudi kitandani, hata hazikupita dakika tano, tukajikuta tukirudi ulingoni, safari hii kila mmoja akiwa katika kasi ya ajambu kuhakikisha kwamba anamkomoa mwenzake kwa kumkamua hadi kamasi la mwisho litakapo timia. Japo sote ni wazoefu kwenye maswala ya kupambana, ila kwenye swala la kitandani nimemzidi Babyanka uzoefu. Tukamaliza mzunguko huu ambao umechukua muda zaidi ya lisaa. Babyanka kwa kuchoka akajikuta akinilalia kifuani mwangu na usingizi mzito ukampitia. Sikuchukua muda na mimi usingizi ukanipitia na kulala fofofo.

“Hei Dany amka ukanywe chai”

Niliisikia sauti ya Babyanka akiniamsha, nikafumbua macho yangu na kumkuta akiwa amekaa pembeni yangu huku amejifunga matenge mawili moja kifuani na jingine kiunoni.

“Saa ngapi sasa hivi?”

“Ni saa mbili”

“Huendi kazini leo?”

“Ninakwenda, nilizungumza na raisi kwamba nitachelewa na nikamuelezea kuhusiana na shambulizi tulilo fanyiwa jana, akanipa muda wa kupumzika hadi saa sita niwe nimefika ofisini”

“Ahaa sasa umemueleza ni wapi nilipo?”

“Yaa nilimuambia kwamba upo sehemu salama, akanishukuru kwa hilo ila sikumtajia kwamba upo kwangu”

“Ahaaa sawa”

“Unaweza kwenda kuoga, mwili ukaupa nguvu kidogo”

Nikashuka kitandani nikiwa kama nilivyo zaliwa, nikaingia bafuni na kuoga. Baada ya kuoga nikarudi chumban na kukuta Babyanka akiwa ameniandalia nguo za kuvaa.

“Nimeotea kukununulia saizi yako?”

“Kwani umeninunulia leo”

“Yaa niliamka saa kumi na mbili, kuna mchaga mmoja duka lake la nguo analifungua saa kumi na mbili kamili asubuhi, hapo ndipo nilipo kwenda kukununulia”

“Asante, nilijua kwamba ntavaa hilo jimwili la plastiki linachosha sana”

“Hivi ulilinunulia wapi hili?”

“Ahaa wee acha tu ni stori ndefu, twende nikanywe chai”

Tukaeleka jikoni ambapo kuna meza ya kulia chakula, Babyanka akaniandalia kifungua kinywa alicho kiandaa, taratibu tukaanza kunywa.

“Kuna siku flani kuna mabinti wawili nilikuwa ninawafwatilia usiku wakaja kwenye jumba moja maeneo ya Tegeta kule, katika kuchungulia nikakuona wewe na wewe ukaanza kunishambulia pasipo kunifahamu, mulikuwa mumefwata nini kule?”

“Ahaa kumbe ni wewe ndio ulikuwa unachungulia chungulia pale?”

“Ndioo”

“Kum**nina zako, tungekukamata naamini ungekufa ile siku”

“Kwa nini?”

“Bwana hawa viongozi wetu ni shida tupu kuna mambo mengine muda mwingine mtu unatakiwa ukiyaona unakaa kimya kama hujayaona vile”

“Ehee ni mambo gani hayo?”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Aahaa Dany hilo swala nisinge penda kulizungumza kwa maana sihitaji maisha yangu wala maisha ya wazazi wangu kuwa kwenye matatizo”

“Unahisi ukiniambia labda ninaweza kuzungumza kwa watu au?”

“Dany nakuomba sana, katika hili mimi siwezi kuzungumza chochote, nakupenda na nilikuweka moyoni mwangu tangu siku ya kwanza ulipo nitomb** ila kwa hili mmmmmm tutasameehana. Naamini unatambua kanununi na taratibu za kazi zetu. Hata kama kuna jambo baya umeliona mtu huruhusiwi kulisema hata kukikamatwa na kupewa mateso makali”

“Nalitambu hilo ila ni vyema ukanieleza kama ni jambo baya”

Babyakna akanyanyuka kwenye kiti chake, akapiga hatua hadi kwenye friji, akafungua na kutoa juisi ya kopo na kurudi nayo mezani. Akaweka kopo hili la juisi mezani huku akinitazama usoni mwangu, akashusha pumzi dhairi macho yake yanaonyesha kwamba ana wasiwasi wa kuzungumza kile anacho kifahamu.

“No Dany siwezi hii ni siri kubwa sana ambayo inapelekea taifa siku yoyote linaweza kuingia kwenye majanga makubwa zaidi ya haya tuuliyo nayo”

Babaynka alizungumza maneno hayo huku akinyanyuka kwenye kiti chake na kuondoka na kuniacha nikiwa ninamtazama tu kwa nyuma nikiyafikiria hayo majanga anayo yazungumzia.




Nikanyanyuka kwenye kiti changu na kuanza kumfwata Babyanka hadi kwenye sofa alilo kaa. Nikakaa kwa pembeni yake huku nikimtazama Babyanka usoni mwake. Nikamkazia macho huku nikiyatazama macho yake yayo onyesha kuna kitu anatamani kuzikuzungumza sema woga ndio unao msumbua.

“Baby please tell me, ni kitu gani ambacho kinaendelea?”

Babyanka akafumba macho yake huku kifua chake kikionyesha jinsi mapgo yake ya moyo yanavyo kwenda kwa kasi. Taratibu akayafumbua macho yake na kunitazama.

“Dany”

“Naam”

“Ile siku uliyo tuona kwenye lile jumba pale, ilikuwa ni siku ambayo raisi alikwenda kuingia mkataba mzito sana ambao hata mimi inaniuma kuona anaingia makubaliano hayo ila ndio hivyo hakuna jinsi”

“Mkataba gani?”

“Ameibinafsisha nchi kwa miaka mia moja”

Nilihisi mwili mzima ukizizima kwa kuishiwa nguvu. Macho yakanitoka wasiwasi mwingi ukanijaa moyoni mwangu nikahisi kitu alicho kizungumza Babyanka kama sijakielewa vile

“Amebinafsisha nchi ana baadhi ya sekta za serikali?”

“Amebinafsisha nchi kwa shinikizo ila si matakwa yake”

“Si matakwa yake na nchi ameiweka mikononi sijui kwa kina nani?”

“Nchi ameiweka mikononi mwa Wamarekani, kupitia K2 ndio haya yote yametokea”

“Kusema kweli sielewi najionea mapicha picha Babyanka. Ina maana huyu raisi anaye imiza watu kwenda kwenye mstari amebinafsisha nchi”

“Yaa ila si kwa matakwa yake. Ile siku kwa mara yangu ya kwanza niliweza kumuona raisi akilia kwa uchungu asana anaipenda hii nchi ila sijui amewekewa nini na K2, laiti angekuwa ni mkewe basi ningesema amewekewa limbwata. Ila ni kaka na dada”

Nikajikuta nikishusha pumzi nzito huku sura ya K2 ikinijia jia kichwani mwangu kuanzia pale tulipo anza mahusiano yetu hadi alipo anza kunifanyia vitu vya kijinga baada ya kugundua mipango yake yote iliyopo juu ya kuhitaji kumuangamiza raisi.

“Raisi hata yeye mwenyewe anafahamu kwamba wewe sio gaidi, ila vyombo vya habari vilivyo kupamba wewe kuonekana kwamba gaidi”

“Sasa kwa nini asiweze kulizuia hilo?”

“Atawezaje kulizuia hilo wakati raisi hana kauli kwenye nchi. K2 amemkalia kisawas sawa”

“Sasa amefahamu uhalisia wangu?”

“Hapana bado hajafahamu na sitaki aweze kukufahamu uhalisia wako kwani hii inaweza kuwa hatari kwa maisha yako. Ona hapa hawajakufahamu mambo yenyewe ni kama jana usiku”

“Nahitaji kuonana na raisi”

“Wa nini?”

“Nahitaji kuhakikisha huo mkataba alio ingia na hao watu unafutwa haraka iwezekanavyo hata kama kunatatizo tuweze kumsaidia”

“Hilo sio wazo zuri Dany. Angalia hali halisi, laiti kama ningeweza kumsaidia raisi si ningemsaidia, ila hilo unalo hitaji kulifanya wewe ni kuniharibia kazi wakati hii siri kati ya watu wote walio kwenda pale mimi raisi ndio tunao fahamu tu ukiachilia mbali huyo K2”

“K2222222222222222222222222222

22”

Niliita kwa hasira kwa maana mpumbavu mmoja anapelekea taifa kuingia katika wakati mgumu hata raisi anashindwa kufanya kile anacho takiwa kukifanya ndani ya majukumu yake. Ukimya ukatawala hapa sebeleni hapakuwa na mtu aliye zungumza kitu chochote.

Babyanka akanyanyuka na kuelekea chumsbani kwake na kuniacha nikiwa nimekaa sebeleni nikitafakari ni nini cha kufanya. Simu yangu ikaita na nikaitoa mfukoni taratibu.

“Mama”

“Nimefanikiwa kufahamu watu walio wavamia jana wanahusika na nani”

“Ehee niambie”

“Kuna vikosi viwili vikubwa vinavyo jihusisha na ugaidi. Vikosi vyote vipo chini ya K2, na vikosi hivi vinapata msaada mkubwa wa pesa, silaha, magari na nguo kutoka nchini Marekani”

“Hapo hapo mama kuna ishu nahitaji unisaidie”

“Ehee zungumza”

Nikaanza kumuelezea mama kwa sauti ya chini kabisa kila kilicho tokea kwa raisi.

“Mungu wangu sasa hapo inakuwaje?”

“Mama hata mimi mwenyewe sielewi”

“Unakumbuka muda wa wao walio kutana na tarehe pamoja na eneo?”

“Ndio”

“Nitumie”

Nikakata simu, nikamtumia vitu vyote alivyo vihitaji kwa njia ya Whatsapp, nikanyanyuka na kuelekea chumbani kwa Babyanka, nikakukuta umlango ukiwa wazi kidogo, nikausukuma na kuingia ndani, sikumuona ndani, ikanibidi kuingia bafanuni, nikamkuta akiwa amekaa kwenye sinki la kuogea huku ameshika bastola yake aliyo jiwekea kichwani. Jasho linamtirika huku uso mzima umajaa machozi.

“Nooo baby unataka kufanya nini?”

Nilimuwahi Babyanka na kumpora bastola yake.

“Dany nimetoboa siri kubwa sana na nilikula kiapo mbele ya raisi kwamba sinto izungumza”

“Shiti huu ni ujinga unao taka kuufanya. Raisi ni nani yako. Tazama maisha yako, tazama maisha ya watanzania, yanaingia matatizoni kwa ajili ya mjinga mmoja K2 kwa tama zake za mali ninacho kihitaji ni wewe kuamka, kuhakikisha kwamba kila kitu tunakitatua”

“Dany siwezi mpenzi wangu ni bora mimi kufa”

“Sihitaji ufe nitazame usoni mwangu”

Nikamshika Babyanka kwa mikono yangu miwili mashavuni mwake na nikamkazia macho huku machozi yakinilenga lenga.

“Bado wewe ni mdogo na siwezi kukuruhusu kufa kwa kujitakia. Hakikisha kwamba tunalifanikisha hili. Pia sihitaji uondoke karibu yangu, ninakupenda sana Babyanka”

Nilizungumza huku machozi yakianza kunimwagika

“Tazama tulivyo pambana na Wasomali wengi walio hitaji kumuu raisi mika ile, tazama kile tulicho kifana kwa pamoja kwa nini unahitaji kukirudisha nyuma wakati bado ni mapema”

“Dany naogopa?”

“Noo huu siio muda wa kuogopa, sijali damu zetu zitachukuiwaje katika hili taifa ila nahitaji damu zetu zimwagike kwa ajili ya nchi yetu”

Ujumbe ukaingia kwenye kwenye simu yangu kwa haraka nikaufungua, nikakuta mama akiwa amenitumia picha nne za watuy walio jumuika katika mkataba, huu wa kuibinafsisha nchi. Watatu wakiwa wazungu na mmoja akiwa ni raisi. Nikasoma na maelezo ya mama aliyo yatuma pamoja na majina yao. Nikampigia mama simu huku nikimtazama Babyanka usoni.

“Ndio mama”

“Watu hao wote wapo bado nchini Tanzania. Na leo saa mbili usiku wanaondoka kurudi Marekani na watakua na mkutano wa mwishokatika jumba hilo hilo saa kumi na mbili kamili jioni”

“Asante mama”

“Kuwa makini kama unahitaji kudili na hili swala”

“Sawa mama”

Nikakata simu na kumgeuzia Babyanka picha za hao watu wanne. Babyamnka akachukua simu yangu huku akiwa ameyatumbua macho.

“Dany umezipata wapi hizi picha?”

“Kazi imeanza, hakikisha unafwata kile ninacho kuambia. Sihitaji woga sihitaji upuuzi katika hili ni bora kufa ili kuhakikisha kwamba inchi inakuwa katika mikono ya watanzania sawa”

Nilizungumza kwa ukali hadi Babyanka akaniogopa.

“Sawa”

“Upo pamoja na mimi au utanisaliti?”

“Nipo pamoja nawe, ila kuna jengine hulifahamu?”

“Lipi?”

“Mtoto wa raisi wa kwanza wa kiume alishikwa na madawa ya kulevya nchini Marekani, tena ameshikwa na madawa mengi tu, kwa maana K2 ana kiwanda cha kuzalisha hayo madawa ya kulevya. Kwa kutumia kigezo cha mtoto wa raisi kutekwa ndio wakamshinikiza raisi kukubali kuibinafsisha nchi hii ili mwanye kuwa huru na leo ndio wanakwenda kuingia mkubaliano ya mwisho”

“NNalitambua hilo muda si saa kumi na mbili usiku?”

“Umejuaje hayo yote?”

“Nijibu swali?”

“Ndio na mimi nitakuwepo katika msafara wa kumlinda raisi”

“Basi nahitaji kuingia katika jumba hilo pasipo mtu yoyote kufahamu?”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Itakuwa ni ngumu kwa maana jumba hilo linaulinzi mkali sana”

“Kati ya hawa unavyo hisi wewe ni nani anaye ushikilia huo mkataba?”

“Huyu mzee mwenye upara na yeye ndio kiongozi”

“Sawa, unaweza kufahamu ni wapi walipo fikia, I mean hoteli walizo zifikia unazifahamu?”

“Ndio wote wapo Serena hoteli”

“Kuanzi sasa nitahiji tusaidiane katika hili”

“Sawa”

Babyanka akanyanyuka kwenye sinki la kuogea, tukarudi chumbani huku Babyanka akiwa anajifuta futa machozi yake.

“Huyu mzee nitakuja naye leo, nahitaji kutumia mbinu yangu ya kike kuhakikisha kwamba anaingia mwenyewe kwenye mtego”

“Na tukilifanya hili mtoto wa raisi inakuwaje?”

“Acha afe, ujinga wake wenyewe unataka kuigharimu nchi miaka na miaka mia moja”

“Ila Dany hujui ni jinsi gani raisi anampenda mwanaye huyo”

“Huo ni ujinga ichi iteketee kwa mtu mmoja. Amsha akili yako Babyanka wakimuua yeye zaidi ya watanzania milioni arobaini wanakwenda kunufaika”

Babyanka akaka kimya huku akinitazama usoni mwangu, sikuwa na muda wa kupoteza zaidi ya kuanz akuvaa nguo zangu, nikitanguliza tisheti ambayo mama alinipatia. Nikavaa mwili wa plastiki, Babyanka akanifunga zipu kwa nyuma.

“Huna gauni ambalo litanifanya niwe huru?”

“Labda suruali ya kike ambayo inavutika, ila magauni yangu hayatoweza kukuingia na hilo umbo”

“Hembu niione hiyo suruali”

Babyanka akafungua kabatini kwake na kutoa suruali ambayo inavutika. Nikaijaribisha cha kushukuru Mungu inaingia vizuri mwilini mwangu, akanipatia na tisheti kubwa ambayo imekaa vizuri mwilini mwangu.

“Huna mawigi mawingi?”

“Yapo mengi tu njoo uchague”

Babyanka akanifugulia kabati lake jengine analo hifadhi mawigi tu. Nikachagua wigi moja la nywele zilizo chambuka chambuka. Nikalivaa na Babyanka akaniweka vizuri wigi hilo kichwani mwangu.

“Hapo ngoja nikupatie na kofia nina imani itakufaa”

Babyanka akanipatia kofia nyeusi nikaivaa kichwani mwangu, kisha akaanza kunipara uso wangu kwa vipodozi vya kike, alipo maliza Nikajitazama kwenye kioo, kusema kweli mtu huwezi kuamini kwamba mimi ni mwanaume kwa kuniangalia mara moja. Akanipatia na kijicheni cha dhahabu kidogo nikakifunga mguu wa kushoto, akanipa na vijindala wanavyo penda kuvaa wasichana wengi hapa mjini.

“Nipe bastola zangu”

Babyanka akanipatia bastola zangu na kuziweka kwenye pochi kubwa kidogo alilo nipatia Babyanka

“Mmmm kitu gani kingine nimesahau?”

“Saa ya mkononi, vaa hii ili twende sawa na muda na sasa hivi ni saa tano. Tuna masaa matano mengine mbele kuhakikisha kwamba hili jambo linaeleweka”

“Nimekupata, mimi ngoja nieleke huko serena, nahitaji funguo ya gari langu?”

“Gari lako sasa hivi wame lifahamu inaweza ikakuletea shida tena”

“Njoo nje nikuonyeshe”

Tukaongozana na Babyanka hadi nje nikiwa nimebeba funguo ya gari langu pamoja na pochi hilo kubwa. Nikafungua mlango wa gari na kuminya batani ambayo mama aliniambia niiminye na namba za gari zitabadilika.

“Tazama nyuma umeona nini?”

“Waooo namba zimebadilika, sasa mbona umeweka ya ikulu?”

“Yaaa hiyo ni moja ya dili”

“Mmmm take care”

“Don’t worry. Fungua basi geti”

“Getilangu linajifungua, lina sensi moja hatari ukilisogelea tu karibu basi linafunguka”

“Sasa wakija watu wengine na mikweche yao si litafunguka?”

“Weee halifunguki mimi mwenyewe ninajua jinsi ya kulifanya hadi lifunguke kwa gari za namna hiyo”

“Haya mwanye”

“Nakufungulia kutumia simu yangu hapa”

“Powa”

Taratibu nikafunga kioo cha gari langu na kufika getini, taratibu likajifungua, na nikaondoka. Njia nzima ninafikiria jinsi gani ya kumfanya mzee huyu kuingia kwenye kumi na nane zangu. Nikachukua simu yangu na kusoma maelezo yake. Anaitwa Erick Donald Jr. Jina lake likanitosha kabisa kuweza kufahamu ni wapi nitaanzia.

Nikafika katika hoteli ya Serena, walinzi wa getini walipo ona namba za gari langu hawakuhitaji kulikagua sana, nilicho kifanya ni kipita na kulisimamisha kwenye maegesho ya magari. Nikaacha bastola moja chini ya siti ya gari, nikajiweka vizuzri kofia yangu, hata sura yangu haikuonekana vizuri.

Nikashika kitasa cha mlango wa gari langu, kabla sijaufungua nikamuona K2 akitoka na mzee niliye mfwata wakaingia naye kwenye gari kisha wakaanza kuondoka jambo lililo nifanya nibaki nimeduwaa nisijue ninaanzia wapi kwa maana gari si chini ya nne zimeongozana na gari la K2 na zote zinatoka katika ofisi za N.S.S(Nation Securty Service)



Taratibu nikawasha gari langu na kuanza kuzifwatilia gari hizo huku nikiwa nimeziacha kwa umbali mrefu kidogo. Nikatoa simu mfukoni na kumpigia Babyanka ambaye alisha iingiza namba yake kwenye simu yangu.

“Ndio Dany?”

“Dili limeharibika”

“Kwa nini?”

“Kipindi ninafika tu, nimekuta K2 anatoka na mzee yule wa Kimarekani”

“Ohoo Gody sasa inakuwaje?”

“Hapo ndio ninaumiza kichwa kufikiria ninafanyaje kwa maana wana msafara wa gari kama nne hivi na zote zimetoka katika kitengo cha N.S.S.

“Mmmm kwa sasa wanaelekea maeneo ya wapi?”

“Maeneo ya Mwenge”

“Mwenge Mwenge…..”

“Hembu usikate simu nimpigie mama atushauri juu ya hili swala tufahamu ni nini cha kufanya”

“Sawa”

Nikaingiza namba ya mama kwa haraka kisha nikampigia, simu ya mama haikumaliza hata sekunde tano kuita ikapokelewa.

“Mama kuna tatizo”

“Tatizo gani?”

“Huyu mkuu wa watu wanao husika katika kuibinafsisha nchi yupo mkononi mwa K2 na hapa ninavyo zungumza nimeongozana nao na sifahamu wanampelekea wapi?”

“Upo eneo gani?”

“Tunaelekea Mwenge huku”

“Mwalimu”

“Kumbe Babyanka yupo”

“Ndio mwalimu, mimi nipo nyumbani ila unaonaje kama tukazi control trafick Light?”

“Wazo zuri, Dany munatokea upande gani?”

“Upande wa huku Morocco”

“Ok nafungulia gari zinazo toka Mlimani kuelekea Mbezi Beach, nitawasimamisha hapo kwa dakika kum na tano, Dany hakikisha kwamba hii kazi unaifanya vizuri”

“Sawa mama”

“Dany mimi ninaelekea ofisini”

“Sawa”

Nikakata simu na nikaiweka pembeni, nikaanza kuyapita magri yaliyopo mbele yangu hadi gari za N.S.S. Lengo langu kubwa ni kuiwahi foleni na ninahitaji gari langu kuwa la kwanza. Kama nilivyo panga nivyo ilivyo kuwa. Nilipo fika tu kwenye foleni taa za kusimamisha magari upande wetu zikawaka na kufanya magairi yote kusimama.

“That cool baby”

Nilizungumza huku nikisimamisha gari langu, ambalo lipo mbele kabisa. Kwa kupitia kioo cha pembeni nikaona gari za N.S.S zikisimama nyuma ya mstari wa gari langu lilipo na nyuma ya gari langu kuna magari kama manne ya watu binafsi. Nikachukua bastola zangu nikazikoki vizuri nikazichomeka nyuma ya suruali yangu eneo la kiunoni kisha nikashuka kwenye gari. Nikaanza kutembea kwa mwendo wa madaha na kuwafanya baadhi ya madereva wa gari hizi binafsi kunitaza. Hata madereva wa gari za N.S.S wakabaki wakiwa wamenitumbulia macho ya uchu. Nilipo fika kwenye gari alilo pakizwa bwana Erick Donald Jr. Nikachomoa bastola zangu, na kuanza kushambulia gari hilo, milio ya risasi ikawachanganya hadi wana usalama wa N.S.S. Nikamuona K2 akishuka kwenye gari hili ninalo lishambulia akiwa na bastola mkononi. Nikafungua mlango wa nyuma wa gari hili, nikamshusha Bwana Erick Donald Jr, huku nikichukua na brufcase illiyopo pembeni. Kitu kilicho mshangaza K2 ni jinsi anavyo fyatua risasi zake kunijia mimi na risasi zote hazifikia karibu yangu, na zikifika mita chache tu hufa nguvu.

“Twende”

Nilimuamrisha `Bwana huyu wa kimarekanni huku nikiwa nimemuwekea bastola kichwani mwangu. Sikutaka kumuua mtu yoyote kwa maana wengi waliopo hapa walikuwa ni wafanyakazi wezangu. Nilipo ona K2 haitaji kukata tama katika kumuacha mzee huyu kwenda. Nikamtandika risasi mbili za kifua na akaanguka chini. Nikamuingiza kwenye gari mzee huyu mwenye upara, kisha na mimi nikaingia kwenye gari, kitendo cha gari kuwaka taa za kuruhusu magari upande wetu zikawaka na nikaondoka kwa kasi huku nikiwa na furaha kubwa sana moyoni mwagu. Kwanza nimemuua K2 pili nimempata huyu Mmarekani anaye hitaji kuifanya nchi yetu kuwa chini ya Marekani jambo ambalo linge waathiri watanzania wengi hususani vizazi vingine.

“Baby dili limekamilika”

“Umempata?”

“Ndio nimempata”

“Ok nitakujulisha kila kinacho endelea”

“Nahitaji kwenda kutulia naye kwako?”

“Sawa ukifika nitakufungulia geti”

“Powa”

Nikakata simu ya Babyanka na nikampigia mama.

“Ndio”

“Nimefanikiwa”

“Safi sasa unafanyaje?”

“Nitakuambia mama kila kitu kikikamilika”

“Sawa”

Nikafika nyumbani kwa Babyanka, nikamfahamisha kuhusiana na uwepo wangu. Akanifungulia geti lake alilo liunganisha na mitambo yake anayo ifahamu yeye mwenyewe. Baada ya gari kuingia ndani geti likajifunga. Nikashuka kwenye gari na kufungua siti ya nyuma na kumtoa Bwana Erick Donald Jr.

“Beba brufcase yako”

Akaichukua brufcase yake huku mwili ukimtetemeka sana. Nikampigia simua Babyanka kumuomba maelekezo ya jumba lake hili.

“Una stoo?”

“Ipo hapo ulipo nenda kulia utaiona”

“Ok usikate simu”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

Nikamuelekea mzee huyo kuongoza njia hadi stoo, nikafungua mlango wa stoo kwa uzuri nikakuta kamba nyingi za manila pamoja na kiti kimoja. Nikaichomeka bastola yangu nyumba na kumuamrisha mzee huyu kukaa kwenye kiti. Akalete ubishi wa kunivamia, ila kabla hajafanya hivyo nikamuwahi kwa kumtandika teke moja la miguu lililo mkusanya mzima mzima na kuanguka chini kama mzigo wa kuni Nikamnyanyua kwa hasira na kumkalisha kweye kiti, nikaanza kumfunga kamba nilizo ziunganisha na kiti chini. Nilipo hakikisha kwamba yupo salama nikaiweka brufcase juu ya meza pamoja na bastola zangu zote mbili.

“Welcome Tanzania”(Karibu Tanzania)

Nilizungumza huku nikiivua kofia yangu niliyo ivaa. Nikachukua kiti kingine na kukiweka mbele yake, kisha nikaka huku nikiwa nimemkazia macho

“Ni nani aliye watu”

“I don’t understand Swahli”(Sielewi Kiswahili)

“Ahaa hujui kiswahili eheee”

Nikamtandika ngumi nzito ya kichwa, akatoa ukelele mmoja mkali ulio nifanya nimuongezee na kofi kali katika upara wake.

“Hapo nimekubariki, nilazima utakuwa unajua kuzungumza kiswali sasa”

“Yaeee yaaa”

“Ni nchi yako ndio imekutuma au kuna mchezo wa kijinga unao endelea hapa kati”

Bwana Erick Donald Jr, akaka kimya huku akinitazama kwa macho ya hasira. Wala sikujali hasira yake nilicho kihitaji kukifahamu ni kitu gani kinacho endelea.

“Nahisi unifahamu vizuri, huwa nina asilimia sifuri ya huruma kwenye moyo wangu”

Nikanyoosha mkono wangu kwenye meza na kuchukua bastola yangu, nikaigandamiza kwenye paja lake huku akinitazama kwa macho ya hasira. Sikuwa na huruma yoyote zaidi ya kufyatua risasi moja iliyo ingia kwenye paja lake na kutokea chini na kuacha shimo linalo mwaga damu mfululizo.

Bwana Erick Donald Jr akazidi kutoa makelele ya machozi. Nikamsogezea brufcase yake na kumuamrisha kuifungua namba za siri zilizopo.

“Moja, nane, tisa, mbili”

Akanitajia namba hizo nikaziingiza kwenye sehemu ya kuingizia namba za siri katika brufcase hiyo, ikafunguka. Nikaifungua na kukutana na karatasi zilizo pangwa vizuri. Nikaanza kuzipitia moja baada ya nyingine. Sikuamini macho yangu juu ya vitu vilivyo orozeshwa katika mkataba huu. Cha kwanza ni mbuga zote za wanyama zitakuwa chini ya wamarekani, milima, misitu karibia asilimia tisini na tisa ya mali za Watanzania zimebinafsishwa kwa hawa wamarekani.

Nikatulia kimya nikiendelea kumtazama Bwana Erick jinsi anavyo gugumia kwa maumivu makali sana anayo yapata. Nikampigia mama simu kumuomba ushari.

“Unanishaurije mama yangu?”

“Umemjeruhi sana?”

“Sio sana ni risasi nimepiga kwenye paja, ila imemtoboka hadi upande wa pili”

“Dany mwanagu hilo ni kosa kubwa sana, ni bora ungetumia njia nyingine ya kumuhoji kuliko kutumia risasi”

“Mama ndio imesha tokea”

Ukimya ukatawala kwenye simu mama hakuzungumza kitu chochote.

“Mama”

“Nafikiria kitu cha kukushauri, kwa maana huyo jamaa hapa nimetoka kusoma detail zake ni Chief Sectretary ya raisi Marekani kwa hiyo kitu ulicho kianzisha ni kikubwa sana, kama unavyo tambua Wamarekani hawapendi kiongozi wao kuingia kwenye matatizo”

“Kama vipi tumuue”

“Ehee ehee Dany, hapo ndio utaharibu kabisa, tutatafutwa familia nzima na tunauwawa. Kizazi chako hakito onekena maisha na maisha umeona Osma walicho mfanya?”

“Sasa hapo mama unanikatisha tama”

“Sio nakukatisha tamaa Dany nazungumza kitu ambacho kipo, ila vipi kwanza kuhusu K2?”

“Nimempiga risasi za kifua”

“Amekufa?”

“Nahisi atakuw aamekufa”

“Usihisi unatakiwa kuwa na uhakika na unacho kizungumza. Uhakika utakuwepo pale tu utakapo niiletea kichwa chake”

“Sawa mama”

“Nipigie picha hizo nyaraka kisha na mimi nizisome”

“Sawa”

Nikaanza kupiga picha karatasi moja baada ya nyingine iliyo na maandishi. Kisha nikamtumia mama picha zote kwa Whatsapp.

“Hei wewe malaya hujui unadilia na mtu wa aina gani, nilazima ufee”

“Ahaa kumbe unajua kuzungumza kiswahili vizuri?”

“Utakufaa na nchi tutaichuku…….”

Hata kabla hajamalizia kauli yake nikampiga kichwani kwa kutumia kitako cha bastola yake na hapo hapo akapoteza fahamu. Nikafunga brufcase na kutoka nayo stoo, nikaufunga mlango wa stoo na kusimama nje huku nikiwaza ni nini cha kufanaya

Simu yangu ikaanza kuita mfukoni mwa suruali hii, nikaitoa kwa haraka, nikakuta ni Babyanka ndio anaye piga.

“Haloo”

“Dany ondoka mara moja hapo nyumbani?”

“Kwa nini?”

“Kuna timu kubwa imetumwa, hakikisha unaondoka na mateka”

“Wa….waa….wamejuaje nipo hapa kwako?”

“Huyo mzee ana kifaa kinacho munyesha ni wapi anapo kwenda, hakikisha kwamba unamkagua kwenye viatu vyake kwa maana ndio sehemu wanazo pendaga sana kuficha”

“Poa”

Nikakata simu na kuirudisha mfukoni, kwa haraka nikakimbilia ndani ya stoo, nikaanza kumvuu mzee huyu viatu. Kiatu kimoja baada ya kingine nikaanza kukibandua soli yake na kweli kwenye kiatu cha mguu wa kulia nikakuta kifaa kinacho weza kumsaidia mzee huyu kuonekana kila sehemu anapo kwenda. Kwa haraka nikakiua kifaa hicho kwa kukisaga saga chini kwa kitako cha bastola. Nilipo hakikisha kwamba nimemaliza zoezi hilo kwa haraka nikamfungua mzee huyu kamba niliyo mfunga, kisha nikambeba hadi kwenye gari. Nikafungua nyuma ya buti na kumdumbukiza. Nikajaribu kufunga buti ila nikaona halifungi. Kwa haraka nikatoa bagi la pesa na kuliweka siti ya nyuma. Nikajaribu kufunga tena, buti likafunga vizuri.

Brufcase ya mzee huyu nikaiweka siti ya pembeni yangu kisha nikaingia kwenye gari. Nikatoa simu yangu mfukoni huku nikiwasha gari langu, nikimpigia Babyanka aliye ikata simu yangu.

“Isiwe kesi”

Nilizungumza huku nikilirudisha kwa kasi gari langu. Nikalilenga geti kati kati. Nikakanyaga mafuta kwa kasi, kitendo cha kulikariba geti, likafunguka. Ila nikajikuta nikifunga breki kali baada ya kukutana na gari si chini ya kumi kutoka kitengo cha N.S.S zikiwa zimeliziba geti, huku watu wote wakiwa wameshika bunduki zao wakinisubiria nitoke tu kwenye geti. Nikiwa katika kushangaa shangaa, ikaingia meseji kwenye simu yangu. Nikaifungua na nikakutana na ujumbe mfupi kutoka kwa Babyanka.

(AM SORRY DANY)

Ujumbe huu ukanifanya nibaki nikiwatazama wana N.S.S, wengine ninawafahamu ila wengine ni wapya. Nikiwa ninaendelea kushangaa nikamuona K2 akishuka kwenye moja ya gari huku akiwa na hasira kali usoni mwake na tukajikuta tukitazamana macho kwa macho kila mmoja akwia na hasira na mwenzake.




Taratibu nikaichukua simu yangu ya pemebeni na kumpigia mama. Simu yake ikaita kwa madu pasipo kupokelewa, nikarudia tena kuipiga simu ya mama. Ikapokelewa na Diana.

“Haloo”

“Diana mama yupo wapi?”

“Yupo bafuni anaoga”

“Mpelekee simu”

“Si usubiri atoke bafuni?”

“Nimekumbia mpelekee simu”

Nilizungumza kwa kufoka. Nikasikia jinsi Diana anavyo kmbizana, ndani ya dakika moja akawa amesha mfikia mama.

“Dany”

“Mama nimevamiwa?”

“What…..?”

“Nimevamiwa na watu wa K2, yule mzee alikuwa na GPRS kwenye kiatu chake”

“Ngoja”

“Mama mbona unatoka na mapovu”

Nilisikia Diana akimuuliza mama, ambaye sikujua anataka kufanya nini.

“Ok ok Dany nakutafuta ulipo”

Nikasikia jinsi vidole vya mama vinavyo minya minya laptop yake.

“Nimekupa”

“Sasa mama nafanyaje watanishambulia hawa”

“Tazama kushoto kwako, kuna gari mbili, zinaupenyo. Ukipita katikati yao hizo gari zitzosogea. Kumbuka gari lako haliingii risasi, si kwenye kioo wala tairi”

“Sawa mama”

“Wait kidogo, huyo ninaye muona hapo mbele si K2?”

“Ndio”

“Ohooo my God. Ok fanya nilicho kuambia”

“Sawa mama”

Nikaiweka simu yangu pembeni pasipo kukata mawasiliano. Kwa kujiamini, nikaanza kuendesga gari langu kwa kasi nikifwata upenyo ulio acha na gari mbili. Kama mama alivyo zungumza ndivyo ilivyo, nikagonga gari hizo na zote zikaniachia upenyo hiyo ikawa nafasi ya mimii kuwatoroka huku nikiwaacha wakipiga risasi nyingi.

Skuhitaji masihara kabisa katika kuhakikisha kwamba ninawakimbia hawa wana N.S.S, kwa maana wao ndio wanao niandama na kuniumiza kichwa changu na kunivurugia mipango yangu. Natambua wengi wao wanafwata amri ya bosi wao K2 laiti wangefahamu K2 ni mwanamke wa aina gani wala wasinge thubutu kuendelea kuwa katika hiyo kazi. Ikawa ni kama mashindano, kwa mtu wa kawaida anaweza kusema ni filamu fulani inayo igizwa ndani ya Tanzania ila sio hivyo. Kitu kilicho kuwepo hapa ni mimi kujitahidi kuyaokoa maisha yangu.

“Mama niambie naweza kuzikwepa vipi hizi foleni?”

“Nenda nenda, pita njia ya Mwenge”

“Ehee”

“Ulekee Tegeta hakuna foleni, kutoka hapo ulipo hadi Mwenge kwenye mataa hapo, ni dakika nne na sekunde thelethini. Dakika mbili kabla nitahakikisha ninaachilia magari ya upande unao tokea”

“Shukrani mama”

Sikuogopa wala sikuwa na wasiwasi, nilicho kihakikisha ni kuwa makini katika kukwepa magari na watu wanao katiza barabara pasipo uangalifu. Kwa kutumia kioo cha pembeni nikashuhudia jinsi gari za wana N.S.S, wakinifwata kwa kasi, baadhi yao wakiwa wamejichomoza kwenye vioo wakinishambulia kwa risasi.

“Moja mbili, tatu”

Niliisikia sauti ya mama ikizungumza nikiwa katika mataa ya Mwenge. Gari za upande ninao tokea mimi zikaruhusiwa, nikiwa katika kasi hiyo hiyo nikapita na kuzidi kuendesha gari kwa mwendo wa kasi sana.

“Yeahaa that is ma boy”

Nilimsikia mama akizungumza kwa furaha. Kutokana njia hii haina magari mengi wakati huu wa mchana, ikawa ni rahisi kwa mimi kuendesha gari kwa jinsi ninavyo weza mimi mwenyewe. Wana N.S.S hawakukata tamaa kabisa ya kunifwatilia japo nimewaacha kwa umbali mkubwa ila niliwaona.

Simu yangu ikaanza kuita, nikaitazama na kukuta ni Babyanka. Nikaipokea kwa haraka na kuweka Loud Speaker.

“Hongera Dany”

“Hongera ya nini?”

“Mpango ambao umeniambia umekwenda kama tulivyo panga”

“Zungumza kitu cha kualeweka”

“Mikataba haijaweza kukamilika kutokana na muhusika mkuu upo naye”

“Ohoo sawa, asante kwa taarifa”

Niikakata simu na kuzidi kuendelea na safari yangu ya kuondoka kabisa mkoa wa Dar es Salaam. Nikiwa Bagamoyo, kwenye moja ya kona kali, gafla nikakutana na msichana aliye ificha sura yake kwa kutumia kitambaa cheusi huku na yeye amevaa nguo nyeusi, mwili mzima. Amesimama katikati ya barabara huku akiwa ameweka bomu tunayo yaita Rocket begani mwake. Kwa ishara akanionyesha sehemu ya kupita kwenye moja ya njia, iliyo ingia kushoto kwangu. Kwa kasi hiyo hiyo niliyo nayo, nikakunja na kuingia kwenye kinjia hicho cha vumbu huku nikifunga breki kidogo. Huku nyuma kupitia kioo cha pembeni yangu nikaona mlipuko mkubwa. Huku gari moja ya wana N.S.S ikirushwa juu na kutua chini kwa nguvu ikiwa matairi juu. Ikanilazimu kufunga breki za gari langu na kushangaa kitu kinacho tokea nyuma yangu. Nikamuona binti huyo akinifwata kwa kasi akiwa na pikipiki nyeusi kubwa. Kwa ishara akaniomba niendelee kuendesha gari. Nikaondoa gari langu kwa kasi huku nikiifwata barabara hii nyembaba ila ina uwezo wa gari kupita.

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

Kwa mwendo wa nusu saa, tukiwa tunakatiza kwenye huu msitu wenye hichi kijibarabara. Tukafika sehemu nikakuta, gar kubwa aina ya Scania likiwa na kontena kubwa lililo funguliwa nyuma. Kwa ishara watu wawili walio simama nyuma ya gari hili kubwa wakaniomba niigize gari langu kwenye kontena hilo ambapo wamaweka ngazi za gari kuweza kupanda. Binti aliye nisaidia akapitiliza moja kwa moja pikipiki yake ndani ya kontena hilo. Alipo isimamisha pkipiki yake ndani ya konteka akashuka na kusimama mbele ya kontena huku akivu kofia la pikipiki yake pamoja na kitambaa cheusi usoni mwake. Sikuamini kumuona ni Marima, kwa ishara akaniomba niingize gari langu kwenye kontena hilo. Nikarudisha gari numa na kuliweka sawa, kisha nikaliingiza kwenye kontena taratibu na watu walipo nje wakatufungia kwa ndani.

Taa zenye mwanga mweupe na mkali zikawaka ndani ya kontena nikashuka kwenye gari na Marima akanipokea kwa tabasamu pana sana.

“Karibu Dany wangu”

“Kumbe ni wewe?”

“Yaa, za tangu majuzi?”

“Safi, ulijuaje kwamba ninaandamwa na N.S.S?”

“Mkuu aliniambia nikusaidie”

“Mkuu”

“Ndio, alinipa taarifa hii, na amaniambia kwamba tuondoke nchini Tanzania twende mbali kidogo na hapa”

“Nahitaji kuzungumza na mkuu wako”

“Sawa”

Marim akachukua Laptop yake aina ya Mackbook iliyo juu ya meza iliyomo humu ndani ya kontena, ambalo lina urefu kuliko haya makontena ya kawaida. Na limewekwa vitu vyote muhim kama sofa, friji, Tv, pamoja na meza ya kufanyia kazi. Akawasha laptop yake, akaingiza namba za siri kisha akawasiliana na mkuu wake kupitia Skype.

Macho yakanitoka huku nikiwa siamini mtu ninaye muona mbele yangu. Taratibu nikainama na kuangalia vizuri kwamba ninaye muoana ni yule ninaye mjua mimi au laa.

“Dany mwanangu umekuwa sasa”

Sauti na sura vyote ni vya baba ambaye ninafahamu siku zote kwamba ni marehemu na tayari tulisha mzika. Nikabaki nikiwa na kigugumizi, sikuzungumza chochote zaidi machozi yakinilenga lenga.

“Naamini kwamba huamini kwamba nipo hai si ndio”

“Ba…baa”

“Yes son”

Machozi yakaanza kunimwagika usoni mwangu, kwenye maisha yangu hichi kitu sikukitarajia kabisa kama kinaweza kutokea. Simu ikaita kwenye gari, nikatazama nyuma.

“Nenda kaichukue tu simu yako”

Mariam akapiga hatua hadi kwenye gari, akafungua mlango na kuichukua simu, kwa haraka akaniletea hadi nilipo simama. Akanikabidhi, nikakuta ni mama anaye piga.

“Mama”

Nilita kwa sauti ya majonzi

“Ndio mwanangu”

“Nimemu….muona baba”

“Yes nafahamu mwanagu”

Baba akatabasamu huku akionekana kuyasikiliza mazungumzo yangu na mama.

“I…ina maana unafahamu kwamba baba yupo hai?”

“Ndio ninafahamu mwanangu, hii tuliifanya siri mimi na baba yako, ila Diana anafahamu kwamba baba yenu yupo hai”

Kigugumizi cha kuzungumza kikanikaba tena, japo baba amezeeka kidogo na kwenye nywele zake zina mvi kadhaa, ila sauti na sura yake havijanipotea kabisa kichwani mwangu.

“Pumzika, tutazungumza baadae”

Baba alizungumza huku akinitazama, nikajifuta machozi usoni mwangu huku nikishusha pumzi nyingi.

“Ukifika huko uwendapo baba yako atakueleza kila kitu kilicho tokea”

“Sawa mama, ila tunakwenda wapi?”

“Hilo swali utamuuliza baba yako, naamini anakuskia hapo”

“Unakuja nchini Korea ya kaskazini, ni safari itakayo chukua kipindi kirefu kidogo kwa njia ya baharini”

“Sawa baba”

“Maria mtunze vizuri kijana wangu”

“Sawa bosi”

Baba akakata mawasiliano, nikabaki na mama hewani kupitia simu.

“Dany nenda kajifunze mengi, acha sekeseke la huku liishe”

“Sawa na nyinyi?”

“Kuwa na amani hakuna kitakacho haribika”

“Sawa mama”

Nikakata simu huku nikiwa nimejawa na furaha.

“Vua sasa hilo umbo lako”

“Umeona ehee”

Nikavua tisheti, pamoja na suruali hii ya kike pamoja na umbo langu la Plastiki. Nikabakiwa na tisheti tu.

“Mmmm”

“Una guna nini?”

“Nina hamu na hiyo hapo mbele”

“Nini?”

“Hiyo iliyo lala”

Marima alizungumza huku akinisogelea. Taratibu akamshika jogoo wangu kwa mkono wa kushoto, akanitazama usoni mwangu kwa macho malegevu, taratibu nikakishika kiuno chake, tukaanza kunyonyana denda huku kila mmoja akiwa na hamu na menzake. Nikaanza kumvua Marim nguo zake, ni kwa muda wa miaka miwili sasa na zaidi tangu nilipo mvunja Marim bikra yake, kuanzi siku hiyo sikuiweza kuonana naye zaidi ya majanga kuandamana na siku niliyo kuja kuonana naye ni siku ambayo nayo tulikuwa na kazi ngumu sana. Marima akavua suruali yake, akabakiwa na bikini tu

Mkono wangu wa kulia nikaupeleka kwenye kitumbua chake, na kuanza kukichezea taratibu. Kwa kukuru kakara tukajikuta tukiangukia kwenye sofa, nikampanua Marima miguu yake, na kuendelea kucheza na kitumbu chake, hadi nilipo hakikisha kimelowana, jogoo wangu akaanza kazi ya kukila kitumba cha Marim kilicho nona vizuri. Kazi ikawa ni kugeuzana kwenye sofa hili, mara Marima akae juu, mimi nikae chini, mimi nikakaa juu yeye anakaa chini.

“Nakupenda sana Dany wangu”

“Nakupenda pia Marim”

“Unajua nini?”

“Ndio”

“Kwa mara ya pili leo ninakutana na mwanaume, katika maisha yangu. Tangu univunje ungo sikukutana na mwanaume kimwili hadi leo hii”

Marima alizungumza huku akikizungusha kiuno chake taratibu juu ya jogoo wangu.

“Kweli”

“Ya….”

Kabla Marima hajamalizia sentensi yake tukasikia kontena kiligongwa gongwa, kwa haraka Marima akajichomoa kwenye jogoo wangu, akatafuta rimoti ya Tv liyopo humu ndani, akawasha Tv ambayo inaonyesha mandhari ya nje. Tukawaona askari usalama barabarani wanne, wawili wakiwa pembeni ya kontena. Mmoja akizungumza na dereva akimuamrisha afungue kontena watazame ni mzigo gani walio upakiza, huku askari mmoja mmoja akiwa amesimama kwenye mlango wa kontena akitazama tazama tazama mlango, jambo lililo mfanya Marim kuchukua bastola yake na kuinyooshea kwenye mlango wa kontena tayari kwa shambulizi litakalo tokea mbele yake.





Nikamuona dereva akishuka kwenye gari huku akizungumza na askari aliye muamrisha kushuka. Uzuri wa gari hili limetegwa kamera nje ambazo s rahisi kwa mtu kuweza kuziona na ndizo zinazo tusaidia kuona kila knacho endelea nje.

Dereva akarudi nyuma ya gari na kumkuta askari mwengine aliye kuwa anatazama tazama nyuma ya hili gari. Taratibu dereva akaanza kufungua kufuli la kwanza, jambo lililo nifanya niichukue bastola yangu, huku nikiwa makini san.

“Ngoja kwanza tuzungumze”

Askari mmoja alizungumza huku akimzuia dereva kufungua nyuma ya gari, ikambidi dereva kumuangalia askari huyo, wakanong’onezana kwa muda kisha dereva akatoa waleti yake mfukoni na kuto noti tano za shilingi elfu kumi kisha akamkabidhi askari mmoja aliye tazama kila sehemu kisha pesa hiyo akaiweka mfukoni mwake. Akamruhusu dereva kufunga kufuli la gari kisha, akamruhusu dereva kuendelea na safari yake. Sote tukarudi kukaa kwenye sofa huku tukitabasamu kwa maana mchezo wetu ulikatishwa katikati.

“Hii nchi bwana”

Marim alizungumza huku akiniwekea mguu wangu mmoja kwenye paja langu.

“Ina nini?”

“Rushwa inanuka bado, japo raisi anajitahidi kupambana nayo”

“Yaa ndio hivyo, ila Mungu akibariki itakuja kuisha”

“Sio kwa nchi hii”

“Ok. Tuendelee”

“Ahaa stimu wala sina kabisa, wamenichefua hawa askari”

“Poa, ehee hembu niambie ilikuwaje kuwaje hadi ukawa kama ulivyo kuwa?”

“Ahaa ni stori ndefu sana, yaani ile simu uliyo niachia ilbadilisha maisha yangu yote”

“Kivipi?”

“lle simu nyuma si kulikuwa na kijidue kimebandikwa”

“Ndio”

“Basi mim nilikitoa kwa sasababu nikaona kama kinanichafulia pozi. Nakumbuka siku ile niliyo tekwa nilikuwa nimekwenda chuo kuna maswala nilikuwa ninayafwatilia. Sasa nilipo kuwa ninatoka, ikaja gari moja kali. BMW X6, akashuka dada mmoja mrembo akaniita, akiomba aniulize kitu”

“Ehee”

“Najuta hata kwa nini nilimfwata, nilistukia kitu chenye ncha kali akinigusa nacho, nakumbuka kalikuwa ni kajisindano. Kalinipa usingi nikajikuta nikiingia ndani ya gari hilo mimi mwenyewe, kuanzia hapo sikujua hata ni wapi ninapo elekea”

“Huyo dada ulendelea kumuona?”

“Huyo aliye nichoma kisindano?”

“Ndio”

“Si Yudia, mamaee zake yule dada, alinivurugia ndoto zangu zote”

“Ehehee ikawaje?”

Marima akamaa vizuri huku kwenye sofa, huku akinitazama usoni mwangu.

“Mimi kuja kuzinduka nilijikuta nipo kwenye moja ya bonge la meli. Humu ndani kuna viwanja vya kufanyia mazoezi yaani kusema kweli hakuna kutoroka, na hiyo sehemu hilo limeli lilipo kumezungukwa na papa wakali, yaani wale wanao kufa mazoezini, wala hakuna haja ya kuzika, wanatupwa tu baharini, ndani ya sekunde tu unaona jinsi anavyo gawanyishwa gawanyishwa vipande vipande”

“Mmmm hiyo meli inatembea?”

“Haitembei, kufika kwenye hiyo meli ni lazima uje na Helcopter, ukiwa na kijiboti kidogo sijui nini, ahaaa jamaa wanakufanya msosi”

“Mmmmm, hayo maisha ya humo ndani yapo vipi?”

“Humo ndani, ni mwendo wa mazoezi ya kivita, watu wanatengeneza bunduki, wanatengeneza mabomu. Kuna wasichana wengi wadogo wadogo humo, hadi kero”

“Mungu wangu?”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/“Ahaa unashangaa wasichana wadogo, kuna watoto wachanga kabisa wa kike wanaletwagwa kila wiki tena ni wengi hao, wanachumba maalumu. Wanalelewa na kukuzwa kwenye mazingira ya kijasusi wakitoka hapo ni wauaji wa kuogopesha”

“Kwa hiyo huwezi kutambua kwamba ni wapi hiyo meli ilipo?”

“Kusema kweli katika eneo hilo la meli ilipo, ni katikati ya bahari, sifahamu ni bahari gani. Pili eneo zima lina ulinzi wa kupindukia, meli au ndege inayo jaribu kupita eneo hilo usawa wa maili moja. Inatunguliwa. Yaani hiyo meli nilikubwa, na kuna watu wengi na sote tunavaa sare.”

“Kuna wanaume?”

“Hakuna wanaume, humo kuna wanawake tu, kuanzia waalimu, wanafunzi. walinzi sote ni jinsia ya kike. Humo kuna usagaji wa kufa mtu”

“Mmmmmm”

“Wee acha tu, ilikuwaje ukaungana na baba yangu?”

“Baba yako, anajuana na mwalimu mmoja ambaye pale ni mkubwa wa yake mafunzo. Kuna siku alikuja kuchukua mabinti wawili wa kuifanya kazi yake mmoja hivi alitupa. Kuanzia pale alitokea kunipenda sana, basi akaumuomba mwalimu wangu aninunue nifanye kazi chini yake, mwalimu hakukubali, ila mzee aliniambia kwamba nikipewa kazi moja nchini Tanzania basi hiyo ndio itakuwa safari yangu ya kuondoka katika utawala wa hawa majasusi wa kike”

“Stori yako inanisisimua mwili”

“Ahaaa wee acha, mule unapandikizwa roho ya kikatili, ukitoka pale unapelekwa kwenye moja ya kambi ya Wasomali, hapo unapata mafunnzo ya wiki moja kisha unaelekea kwenye mission mahususi ukwa umeongozana na vijana wengine. Ndio ile siku ambayo nilipewa ile kazi na wale vijana, cha kumshukuru Mungu wewe ndio ukatokea”

“Katika kuishi kwako ulifahamu mmiliki wa kile kikundi?”

“Mmiliki ni mwanamama mmoja anaitwa K2, sikuwahi kuiona sura yake sijawahi kuiona zaidi ya kusikia jina lake na hata sare tunazo zivaa zimeandikwa jina lake tu K2”

“Huyu mwana haramuuuuu”

“Unamfahamu?”

“Ndio ninamfahamu alikuwa ni bosi wangu, tena kama unakumbuka siku nyumbani pale nilitoka naye chumbani kwagu……”

“Yule niliye wakuta munafanya mapenzi ndani kwako”

“Ewalaaa ndio huyo huyo”

“Ahaaa kumbe ni Mtanzania?”

“Yaa ni mtanzania”

“Jamanii mbona yule mama haonyeshi kama ni katili cha kumiliki kundi kubwa la wasichana kama wale kwenye meli kule”

“Ahaaa usimuangalie mtu kwa macho, ana roho mbaya sana yule mwana mama na ana mtandao mkubwa sana”

“Mmmmm”

Kupitia kwenye Tvi iliyomo humu ndani ya kontena, tukaona madhari ya bandarini.

“Tutaondoka na meli saa tatu usiku”

“Hawata tustukia kwamba ndani ya gari kuna watu?”

“Haoana, huku pesa ilisha tembea, hawa vijana wawili ni vijana wa baba yako, wapo vizuri kwenye maswala ya kupambana, kwa hiyo hapa ulinzi mzuri tunao”

“Hapo sawa”

“Meli ambayo tunaondoka nayo ni meli ya mizigo, ambayo inamilikiwa na shirika la baba yako”

“Unataka kuniambia kwamba mzee ana pesa nyingi hadi anamiliki meli?”

“Yaa baba yako ni tajiri”

Kwenye buti ya gari tukasikia mitikisiko nikakumbuka kwamba Bwana Erick Donald Jr atakuwa amezinduka kutoka katika usingizi wa kupoteza fahamu.

“Kuna nini kwenye gari lako?”

“Kuna mjinga mjinga mmoja nilimteka”

“Nani tena”

Nikanyanyuka kwenye sofa na kupiga hatua hadi lilipo gari langu, nikafungua buti kwa nyuma, Bwana Erick Donald Jr, akanyanyuka huku akipepesa macho yake.

“Nipo wapi?”

“Karibu tena duniani”

Marima akanifwata sehemu nilipo huku nikiwa nimeshika bastola yake.

“Ehee hawa wazungu nao wametokea wapi?”

“Nitakuambia, ila huyu anatakiwa kufa”

“Usiniue usiniue, kama ni mikataba basi hatuingi tena na Tanzania”

“Anazungumzia mikataba gani huyu mbona haelewiki”

“Nitakuambia Marima, hembu mzimishe, tuje tutulie huku tukiingia kwenye meli ndio tutajua cha kuzungumza naye”

Nilizungumza huku nikiondoka, nikasikia kishindo nyuma yangu huku buti likifungwa kwa nguvu. Marima akanifwata kwenye sofa nililo kaa.

“Huyu mzungu vipi?”

“Hao ni miongoni mwa watu walio panga kuichukua nchi, kisa wamemkamata mtoto wa raisi, na master plan ni K2”

“Kuichuku nchi?”

“Ndio kuna mikataba ipo humo ndani ya gari ambayo inaonyesha kwamba raisi ameibinafsisha nchi kwa miaka mia moja”

“Mmmm hembu niione?”

Nikafungu mlango wa gari na kutoa brufcase, nikaifungua na kutoa karatasi hizi za mikataba na kumpa Marima moja baada ya nyingine.

“Mungu wangu kumbe kuna ushenzi mkubwa unao endelea hapa nchni?”

“Yaa yote ni kwasababu ya K2”

“Ohooo kuna mpango mwengine mkubwa zaidi ya huu juu ya Tanzania”

“Mpango?”

“Yaa, nakumbuka kipindi nipo kule kwenye ile meli, mwalimu aliniambia kwamba baada ya mpango wa kwenda kulipua uwanja wa taifa kwenye mechi ya Simba na Yanga, mpango mwengine ni kuifanya Tanzana kuwa giza”

“Kuwa giza kivipi?”

“Kuna mabomu makubwa matatu ya Nyuklia, moja litapiga Dar es Salaam, la pili litapigwa Dodoma na la tatu litapigwa Mwanza na mabomu hayo yataifanya Tanzania kuwa giza kweli na mbaya zaidi sifahamu ni siku gani yanakwenda kupigwa kwenye hizo sehemu tatu nilizo kutajia”

Maeno ya Marima yalinifanya niduwae tu huku sijijue ni nini cha kuzungumza, kwa maana endapo mabomu hayo yatakosa mtu wa kusababisha mpango huo kuzuiliwa basi Tanzania inakwenda kufutika katika ramani ya dunia



“Ni nini tutakacho kifanya?”

“Sifahamu, japo K2 ndio muongozaji wa hicho kikundi ila kuna tukio nasikia kaka yake alilifanya nyuma, la kuwaua baadhi ya Wasomali, sasa lile tukio ndio linapelekae wasomali hao kuamgeuka na kulipiza kisasi kitakatifu na hicho wanasubiria pale tu, K2 atakapo ichukua nchi ndio wanapiga hayo mambomu”

“Ahaa hadi K2 atakapo ingia madarakani?”

“Yaaa”

Kupitia Tv nikashuhudia gari letu likiingia kwenye meli kubwa ya mizigo yenye makontena mengine mengi yanayo safarisha kwenda nchi mbalimbali ikiwemo Korea Kaskazini. Ukimya ukatawala ndani ya kontena hapakuwa na mtu aliye weza kumsemesha mwenzake zaidi ya kutazama jinsi gari linavyo simamishwa sehemu maalumu.

“Hapa kuna nchi kama mbili tutapita kisha ndio tufike Korea Kaskazini”

“Kumbe ni safar ndefu”

“Yaa ni ndefu itatachukua hata siku ishirini na kitu, inategemea na nchi hizo tutakazo pita kutakuwa na usumbufu wa aina gani”

“Sawa sawa, ila nitahitaji nguo za kiume”

“Utaoata ngoja meli ianze kuondoka usiku, kwa sasa hivi hatuwezi kupata nguo kama wewe mwenyewe unavyo yaona mazingira yetu haya”

“Ok hakuna shida”

Nikajifikiria kwa muda kisha nikaichukua simu yangu juu ya meza na kuanza uitafuta namba ya simu ya mama, nilipo ipata nikampigia.

“Ndio nina ondoka hivi mama”

“Sawa nakutakia maoumziko mema”

“Ila mama kuna jambo jipya nimelisikia”

Marima akanitazama kwa macho makali huku akitaman kuzungumza kitu fulani ila akashindwa na kusubiria ni nini ntakacho kizungumza. Ila kutokana nimeisha isoma akili ya Marima nikabadilisha kile nilicho kuwa nimekusudia kuzungumza na mama kinacho husiana na mabomu pamoja na hiyo meli, na nikazungumza jambo jengine tofauti.

“Jambo gani?”

“Nasikia baba ana kampuni, hata hii meli niliyopo sasa hivi ni ya kwake?”

Baada ya kuuliza swali hilo nikamuona jinsi Marim akishusha pumzi nyingi, huku taratibua akiachia tabasamu pana

“Yaa ana kampuni kubwa sana tu, hata hizo gari yeye ndio alikuwa ananitumia pamoja na pesa”

“Ahaaa, ndio maana nikawa ninajiuliza pesa nyingi umezitoa wapi?”

“Ndio hivyo”

“Vipi kina Diana hawajambo?”

“Wapo poa kabisa, na leo wanampango wa kwenda kutembea huko mjini na wifi yake”

“Mjini wapi?”

“Bado hawajaniweka wazi ni mjini wapi ila wanakwenda kula bata wenyewe wanasema”

“Waambie wawe makini sana, mtoto wamuache nyumbani”

“Mjukuu wangu hawawezi kwenda naye popote”

“Sawa mama, ngoja sisi tusubirie ni muda gani ambao tunaweza kuianza safari”

“Haya”

Nikakata simu na kuiweka pambeni, nikastukia Marim akinikalia mapajani mwangu huku akinitazama usoni mwangu kwa macho malegevu.

“Nini?”

“Nataa dud**”

Sikuhitaji kuuliza mara mbili zaidi ya kuanza kumnyonya maziwa yake, jambo lililo mfanya Marima kuanza kujikunja kunja mwili wake huku akiwa amejawa na furaha. Kwa vituko hivi jogoo wangu hakuchukua muda, akasimama kwa haraka. Marima akampaka mate kidogo, kisha taratibu akamuingiza kwenye kitumbua chake huku akimsikilizia vizuri huku akiyafumba macho yake.

“Yaani kum** yangu ipo kama mara ya kwanza ulivyo itoa bikra”

“Kweli?”

“Yaa, kwani huisikii jinsi inavyo bana”

“Naisikia”

Mariam alizungumza maneno hayo huku akizidisha kasi ya kumkalia jogoo wangu anaye ifanya kazi yake kikamilfu pasipo kuhofia chochote kitakacho weza kutoka. Ikafikia hatua Marim akaanza kutiririkwa na machozi ya furaha.

“Asante Dany, mbo** yako siwezi kuruhusu mwanamke mwengine aikalie”

“Ehee!!”

“Ndio, nitakuwa tayari kumuua yoyote nitakaye fahamu ana kutamani wewe, naweka ii ahadi na ikae kichwani mwako”

Maneno yote ya Marima anayo yazungumza, anaonekana amedhamiria kweli kwa maana hadi machozi usoni mwake yanamwagika sana. Mechi haikuchukua muda mwingi sana ikamalizika huku Marim akiwa amajawa na furaha sana baada ya waarabu weupe kuingia moja kwa moja kwenye kitumbua chake.

“Bado ladha ya shahaw** zako ni ile ile, ni za moto tumboni hadi raha”

“Umejuaje ni za moto?”

“Si ninazisikia zinavyo ingia tumboni mwangu”

“Ahaa sawa”

Mariam akajinyanyua kwenye mapaja yangu, taratibu akanigeukia na kuyatingisha makalio yake kwa mtindo wa kuyachezesha moja kwenda juu, jengine kuja chini.

“Una maana gani sasa kucheza hivyo”

“Yaani Dany najisikia rah asana kuwa karibu na wewe. Wewe ni mwanaume uliye nivunja bikra, pili umekuwa ni mwanume uliye dumu moyoni mwangu kwa miaka yote hii sasa. Kusema kweli ninajisikia mwanamke mwenye bahati sana kupata mwanaume kama wewe”

Marim baada ya kuzungumza maneno hayo, akapiga hatua hadi kwenye friji na kufungua malngo wa juu wa friji hili lenye milango miwili, akatoa chupa mbili za bia na kurudi nazo kwenye sofa. Akafungua chupa zote na kunipatia chupa moja taratibu tukaanza kuznywa.

“Hivi Dany unanipenda kweli?”

Swali la Mariam likarudisha kumbukumbu zangu nyingi za nyuma zilizo nifanya nikumbe kipindi ninampenda na kumuhitaji kwenye maisha yangu. Nikakumbua hata busu la kwanza nililo mpiga kisha akalikataa. Kusema kweli moyo wangu una mapenzi na yeye, japo kina Asma wameingilia kati na nimezaa nao mtoto ila kusema kweli ninampenda bado Mariam.

“Dany”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Mmmmm”

“Unanipenda kweli?”

“Ndio ninakupenda, tena sana Marim wangu”

“Nashukuru kwa hilo Dany, natambua wewe ni mwanaume katika miaka hii hujaweza kukaa hivi hivi, ni lazima ulipata mwamke wa kumtomb** kama K2”

“Ahaa usimzungumzie K2 unaichefua nafsi yangu”

“Ooohoo sorry. Dany maisha yangu na yako ni lazima yakauwa kwenye hatari sana ya kuuwawa. Ninakuomba usije ukaja ukaniacha hii vita nikaipigana mwenyewe. Nilipata pia nguvu ya kuungana na baba yako baada ya kufahamu kwamba wewe ni mwanae, na nilijitahidi sana kukutafuta ila sikukupata”

“Nilifungwa jela ya siri, na K2”

“Jela?”

“Yaa kwa miaka kama mmoja na miezi yake. Tuseme ni maika miwili hivi”

“Jamani pole Dany”

“Ahaa pole wewe uliye pelekwa huko kwenye mmeli huo”

“Ni kweli, ila ilikuwaje ukafungwa?”

Taratibu nikaanza kumuadisia Marima visa vilivyo tokea maisha yangu ya nyuma, sikumficha juu ya mahusiano niliyo anzisha na Asma hata kazi yangu, japo moyoni Mariam anaonyesha kuumia kusikia kwamba nilikuwa na mahusiano na Asma, ila hakuwa na jinsi zaidi ya kukubaliana na ukweli uliopo. Mariam hakuweza kuimalizia hadithi ninayo msimulia, akajikuta akipitiwa na usingizi mzito. Tartiu nikamlaza kwenye sofa, kisha nikanyanyuka na kuchukua Laptop yake na kuingia nayo kwenye gari huku nikiwa pia na simu yangu.

Uzuri wa hii laptop ya Mariam haina namba za siri, ambazo ningetakiwa kuziingiza. Nikaanza kutafuta ni kitu gani cha muhmu kinacho weza kunisaida kufamu ni wapi kambi yao hiyo ipo. Ila sikupata chochote na inavyo onekana ni Laptop mpya kabisa.

Nikampigia mama simu na kumuelezea kila kiytu ambacho Marima ameniambia, nikamuomba mama anisaidie kutafuta ni wapi ilipo hiyo meli. Baada ya dakika tano mama akanipigia tena simu.

“Hakuna kitu kama hicho, nimejaribu kutafuta mabomu hayo, pamoja na hiyo meli ila hakuna kitu kinacho onekana”

“Hivi inaweza kuto kuonekana?”

“Yaa watakuwa wameua Satelait, kwa hiyo hakuna Satelaiti yoyote nayo weza kuitafuta hilo eneo, ila ngoja niendelee kutafuta”

“Sawa mama”

Nikatoka ndani ya gari na laptop nikairudisha sehemu nilipo itoa. Nikakaa kwenye sofa, nikiwa na kazi ya kutazama saa yangu ya mkononi mara kwa mara ili kufahamu saa tatu usiku itafika muda gani. Masaa hayakusimama japo niliyasubiria kwa hamu saa tatu kufika. Taratibu meli ikaanza kuondoka katika bandari ya Dar es Salaam, jambo lililo nifanya nitabasamu sana kwa maana ninakwenda kuishi maisha ambayo sio ya kuandamwa na kina K2.

“Mariam, mariam”

“Mmmmm”

“Amka safari imeanza”

Mariam taratibu akaamka huku akiwa machovu sana. Akayaelekezea macho yake kwenye Tv hii inayo onyesha mandhari ya nje kutokana na kamera ndogo zilizopo nje ya hili kontena. Mariam akanyanyuka na kusogelea Tv na kuminya batani moja iliyo badilisha picha zinazo onekana na kuwaonyesha dereva na msaidizi wake.

“Tukifika umbali wa maili kumi kutoka usawa wa bahari ninaomba munifahamishe tutoke”

“Sawa mkuu”

“Ila hakuna chochote cha kutarisha maisha kilicho tokea?”

“Hakuna mkuu”

“Basi musisahau, kwa maana tumechoka kukaa humu ndani”

“Sawa”

Mariam akaminya batani hiyo hiyo na kurudisha picha zinazo onyesha mandhari ya nje.

“Kwenye friji hakuna chakula cha kueleweka, hapa inatubidi kuvumilia kama masaa matatu au manne wakitufungulia humu, utakwenda kuona uzuri wa meli hii, japo ni meli ya mizgo ila ina uzuri wake.

“Hakuna tabu mama”

Mariam akatabasamu huku akianza kuvaa nguo moja baada ya nyingine.

“Sitamani hata kuvaa hilo umbo la plastiki”

“Utavaa la nini wakati upo sehemu salama kabisa”

“Naomba tishet yako”

“Hii tishet huwa namuoga sana baba yako akizivaa, sasa ni tisheti za ukoo au?”

“Hahaaa”

“Unacheka, kwa maana baba yako hata aende wapi hii tisheti ni lazima kwa ndani ya shati lake aivaa. Sema yeye anazo za kila rangi”

Sikutaka kumueleza Mariam kitu chochote kuhusiana na hii tisheti, japo nipo naye pamoja ila bado sijamuamini kwa sana, kwa maana ndani ya miaka hii michache tuliyo achana Mariam amebadilika sana.

“Ulionana na mama?”

“Yaa nilionana na mama ile siku nilipo toka uwanjani, nikamtafutia nyumba nyingine maeneo ya Mbezi Beach, nimenunulia na gari pamoja na kumfungulia duka kubwa la kuuza vitu vya ndani, kama redio, tv”

“Umemfungulia maeneo gani?”

“Pale Mlimani City”

“”Ahaa umefanya la maana.”

Masaa yakazidi kukatika, baada ya msaa aliyo yazungumza Mariam hapo nyuma, mlango wa kontena hili ukafunguliwa. Mariam akatembea hadi mlangoni na kuzungumza na dereva, kisha dereva akaondoka, haukupita muda sana akarudi na nguo mpya pamoja na viatu. Mariam akachukua na kuniletea, nikaanza kuvaa, nguo hizi nikianzia na suruali kisha nikafwatia na tisheti nyingine niliyo ivaa juu ya tishetu. Cha kumshukuru Mungu, nguo hizi zimenitosha vizuri, unaweza kusema kwamba dereva alinipima umbo langu. Tukatoka kwenye kontena hili tulilo kaa kwa masaa mengi kiasi. Moja kwa moja tukaelekea kwenye sehemu ambayo watu wote kwenye meli hupata chakula hapo. Mariam akaanza kunitambulisha kwa wafanyakazi wa hii meli kwamba mimi ndio mtoto wa tajiri wao.

Kila mmoja akatokea kuonyesha furaha sana, kutokana na uwepo wangu. Tulipo maliza kupata chakula hichi cha usiku, moja kwa moja tukapandisha kwenye gorofa ya tau ambapo kuna chumba maalimu cha manahodha wanao ongoza hili meli la kifahari. Akaanza kunitambulisha kwa manahodha hawa walio changanyikana kwa asili, wapo Wakorea, Waafrika na Wazungu.

“Karibu sana kwenye hii safari”

“Asanteni sana”

Tukiwa katika hali ya kutambulishana, alama nyekundu kwenye hichi chumba iliyo kwenye ukuta ikaanza kupiga.

“Nini?”

Nilimuuliza Mariam kwa wasiwasi, aliye anza kuchomoa bastola yake.

“Kuna meli ya maharamia wa Kisomali wanao teka meli za mizigo inatusogelea, sasa leo hawa wameingia choo cha kike”

Mariam alizungumza huku akitoka katika chumba hichi na kuniacha na hawa manahodha ambao nao pia kila mmoja akaanza kuchomoa bastola yake tayari kwa mashambulizi ambayo kwa haraka haraka yanaonekana ni mashambulizi makubwa, kwa maana kila mmoja yupo tayari kufa au kupona.



Sikuona haja ya mimi kuendelea kukaa katika eneo hili, nilicho kifanya na mimi ni kutoka katika chumba hichi cha manahodha na kuanza kumfwata Mariam kwa nyuma.

“Ni mpango gani unafanyika?”

Nilumuuliza Mariam kwa sauti ya juu kwa maana king’ora hichi kinatoa sauti kubwa sana, na tunapishana pishana na wafanyakazi wa hii meli wakikimbia huku na kule kujipanga na mashambulizi.

“Mipango gani Dany?”

“Juu ya hawa maharamia?”

“Mipango ni kuwazuia, tukishindwa wao ndio watatuua sisi, tutafute sehemu ambayo tunaweza kujibumashambulizi yao”

Marima alizungumza huku akitembea kwa mwendo wa haraka. Tukaingia kwneye moja ya chumba cha kuhifadhia silaha. Marima akachukua bunduki zenye uwezo zaidi ya bastola yake, hata mimi nikachangamkia uchukuaji wa silaha.

“Dany kumbuka, hii ni mali ya baba yako na wote humu ndani watakufa kwa ajili ya mali ya baba yako. Pambana na ninatambua kwamba wewe ni mpambananaji”

Mariam alizungumza huku akinitazama usoni mwangu. Nikatabasamu kwa maana kitu anacho kizungumza Mariam ninakielewa vizuri. Tukatoka katika chumba hichi na kupandisha juu kabisa ya meli na kutafuta sehemu iliyo kaa vizuri na kujificha. Hatukukaa hata dakika mbili tukaona meli boti mbili za maharamia hawa wa Kisomali zikija kwa kasi katika eneo la meli yetu.

Nikaishika vizuri bunduki yangu huku nikiwa ninatazama boti hizo jinsi zinavyo kuja. Mariam akaanza kushambulia boti hizo, jambo ambalo lilinifanya na mimi nianze kushambila boti hizi.

Hali ya sauti katika meli hii ikabadilika kabisi, haikuwa ya king’ora kinacho lia ila ni sauti ya milio ya bunduki hizi za kila aina. Maharamia nao wakajitahidi kujibu mashambulizi, ila hali ikawa mbaya kwao kwa maana watu zaidi ya mia moja wanawashambulia wao tu.

Boti moja ya maharamia, ikalipuka hata kabla hawajafika kwenye meli yetu. Mashabulizi yakahamia kwenye boti hii ya pili ambayo baada ya kuona mashambulizi yamezidi kuwa makali, wao wenyewe wakaamua kugeuza na kuandoka. Watu weoye kwenye meli wakashangilia kwa furaha kutokana na ushindi ambao tumeupata.

“Kazi nzuri”

Nilimuambia Mariam huku nikimgusa begani mwake, akabaki akiwa ametabasamu huku akinitazama jinsi boti ya maharamia hawa ikitokomea pasipo julikana.

“Dany unajua kwamba wewe ni msiri sana”

“Kwa nini?”

“Nakumbuka ulikuwa unatuambia kwamba wewe ni mfanya biashara mdogo mdogo, ile siku nilipo ona bastola zako chumbani kwako nilistuka sana”

“Kazi ambayo nilikuwa ninaifanya, sio kazi ambayo mtu unaweza kuiweka hadharani. Hivi unatambua kwenye nyumba yenu mpelelezi sikuwa mimi peke yangu”

“Mmmm kulikuwa na nini mwengine?”

“Asma alikuwa ni mpelelezi wa hatari”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Acha uongo, Asma huyu ambaye alikuwa anapigwa na mumewe kama mpira wa kona?”

“Huyo unaye hisi alikuwa ni mpira wa kona ndio mpelelezi. Tena Jumaa alikuwa ni jambazi wa hatari”

“Hahahahaa Dany acha uongo bwana. Watu wanaonekana maisha yao ya kawaida unataka kusema jambazi na mpelezi waoane?”

Marima alizungumza huku akicheka sana kwa maana anacho kisikia na stori ambayo ukimueleza mtu naye wafahamu Jumaa na Asma wala hawezi kuamini.

“Kwa mfano mimi muliweza kujua kwamba ni mpelelezi. Si nilikuwa na maisha ya kawaida?”

“Alafu kweli, ina maana hadi Asma kutoroka kwa mumewe alikuwa amesha maliza kazi yake?”

“Yaaa na kupitia Asma ndio nilitambua kwamba K2 ni mtu mmoja hatari sana”

“Hapo sasa nakuelewa”

Tukaanza kushuka kuelekea vyumba vya chini, kila tuliye kutana naye hakusita kutupongeza kwa kazi hii tuliyo shirikiana kuifanya . Tukarudi kwenye kontena letu ambapo ndipo kwenye gari langu na pikipiki ya Mariam.

“Huyu mtu wako unamfanyaje humu ndani ya gari?”

“Nafikiria cha kumfanya?”

“Muue asizidi kukuletea mijinuksi kwa maana watu kama hawa hawastahili kuishi duania”

“Kuna vitu bado nahitaji kuvifahamu kutoka kwake, so ngoja nimpe mpe muda wa kuvuta hii pumzi ya bure”

“Sawa, yangu macho tu”

Nikachukua Laptop ya Mariam, nikamuomba anisaidie kupiga simu kwa video kwa baba yangu, akafanya hivyo. Haukupita muda mwingi baba akapokea simu hiyo na tukawa tunaonana uso kwa uso japo sote tupo mbali.

“Nasikia umeongoza kikosi kushambulia hao maharamia?”

Hilo likawa ni swali la kwanza la baba mara baada ya kuipokea simu.

“Ndio baba”

“Hivyo ndivyo nilivyo hitaki uwe safi sana”

“Asante baba, ila nahitaji kukuuliza maswali wawili au matatu”

“Uliza tu mwanangu kuwa huru”

“Imekuwaje kuwaje hadi sasa upo hadi wakati tunafahamu kwamba ulikuwa umekufa. Mbili kwa nini uliificha siri hii kwa muda mrefu. Tatu mali zote hadi kampuni hii kubwa ya kumiliki meli kama hii umezitoa wapi?”

Maswali yangu niliyo yauliza kwa msisitizo yakamfanya hadi Mariam kunitumbulia mimacho. Baba akaka kimya kwa muda huku akinitazama usoni, akashusha pumzi taratibu.

“Maswali yako yote mwanangu nitakujibu tukionana huku Korea kwa sasa siwezi kuzungumza”

“Ila baba kumbuka kwamba mimi ni mtoto wa kiume na ninahitaji kuweza kufahamu kila kinacho endelea hapa katikati kwa mamana wewe na mama, pamoja na Diana mumenifcha kwa sababu gani?”

Swali langu likazidi kumpa baba wakati mgumu, hakujibu chochote zaidi ya kukata simu, jambo lililo nifanya nibaki na maswali mengi kichwani mwangu

“Dany”

“No niache nahitaji kuwa peke yangu”

Nilizungumza huku nikitoka kwenye kontena hili, kichwa changu kimejaa maswali mengi sana kuhusiana na haya maisha ambayo yapo hapa. Moja kwa moja nikaelekea kwenye baa kubwa iliyomo humu ndani ya hii meli yetu, japo ni meli ya mizigo, ila kuna sehemu ambazo mabaharia wanaweza kustarehee, kunywa, kula na kucheza mziki. Nikafika hadi kaunta na kukaa kwenye kiti kirefu kidogo.

“Muna pombe kali yoyote?”

“Nilimuuliza muhudumu huyu wa kike aliye valia sare zake kama wahudumu wengine”

“Ndio bosi”

Aliitikia kwa heshima hadi nikashangaa, ila sikuhitaji kulitilia sana maanani alicho nijibu.

“Naomba mzinga mzima”

“Wa pombe gani kali?”

“Wewe lete pombe kaliii yoyote”

Akageuka nyuma yake, akanyoosha mkono wake wa kulia hadi juu sana na kuchukua mzinga mmoja ulio kaa katika mfumo wa ‘round clonicak flask’(chupa ya mduara inayo patikana maabara). Chupa hiyo yenye kifaa chake cha kuisimamishia, akaiweka pembeni yangu, akanipa kijiglasi kidogo ambacho, nikakitazama kwa dharau.

“Hakuna glasi kubwa hadi unipe haka kadogo”

“Bosi hiyo ndio inayo tumika katika kunywea pombe hiyo”

“Hiki kidogo hivi”

“Ndio bosi wangu”

“Ahaaa”

Nliridhika kishingo upande huku nikifungua chupa hiyo na kumimina pombe hii yenye rangi ya ugoro kwenye kijiglasi hichi. Nikakinywa kwa pupa, kitendo cha kukimeza, nilihisi koo langu kama linapitishiwa msasa mmoja mkali ambao kusema kweli ulinifanya niikunje sura yangu kwa maumivu hayo.

“Vipi bosi?”

Muhudumu aliniuliza huku akinitazmaa usoni mwangu, ambapo macho yangu yanaanza kulengwa lengwa na machozi japo sipo katika hisia za kulia, ila ukali wa pombe hii umenifanya mwili mzima kuhisi unabanikwa.

“Ukinywa cha pili hito sikia maumivu”

Niliisikia sauti ya msicha pembeni yangu, ikanibidi kugeuza kichwa na kumtazama usoni mwake. Ni msichana wa kizungu aliye valia nguo nyeusi tupu pamoja na kofia kubwa lenye rangi nyeusi. Mikononi mwake amevaa gloves nyeusi, huku nywele zake zikiwa ni ndefu kiasi.

“Livna Livba”

Alizungumza huku akinipa mkono wa kulia kwa ajili ya kunisalimia. Nikautazama mkono wake kwa sekunde kadhaa, kisha nikamimina kiasi cha kotosha kwenye hichi kijiglasi. Msichana huyu akaka kwenye kiti cha pembeni na yeye akaomba kijiglasi kidogo na kumimina pombe yangu, sikumsemesha chochote kwa maana akili yangu ipo katika kufikiria kupiga fumba jengine la pombe hii kali.

Nikapiga fumba jengine la pombi hii, lililo nifanya niyafumbe macho yangu kabisa. Livna Livba naye akapiga fumba la pombe hii, huku akinitazama kwa tabasamu, mwenzangu hakukunja sura wala hakuonekana kama amepata maumivu yoyote.

“Unafanana na baba yako”

“Kwa hiyo?”

“Ahaa nimependa kufanana kwenu”

“Asante”

Nilimjibu Livna kwa mkato sana, ila hakuonyesha dalili yoyote ya kukasirishwa na kiburi changu ninacho mletea.

“Nmekaa kwa muda mrefu pale chini nikiwa ninakutazama tangu unaingia hapa unaonekana kama una mawazo mengi”

“Sikia Livna, sikufahamu, unifahamu maswala ya maswali binafsi huwa sipendi kuulizwa. Tafadhali nakuomba urud kwenye kiti chako ambacho ulikuwepo”

Nilizungumza huku nikimimia pombe kwenye hichi kijiglasi, japo ni kali kumeza ila kwa upande mmoja ama mwengine inaufanya mwili wangu kuburudika. Livna hakutetereka wala hakushuka kwenye kiti kirefu alicho kikalia alicho kifanya ni kumimina kiji glasi kingine na kunywa, akamimina kingine na kunywa tena. Nikanywa cha kwangu nilicho kuwa nimekimimina

“Tushindane, dola miatano miatano kwa atakaye mshinda mwenzake kunywa hivi”

Livna Livba alizungumza huku akinitazama uson mwangu, akaweka noti tazo za dola mia juu ya meza. Muhudumu akanitazama kama ninaweza kuikubali ofa hii ya mashindano. Kutokana nina pesa kwenye gari, sikuona haja ya kukataa ofa hii ya mashindano japo ni mara yangu ya kwanza kunywa pombe hii kali ila nikajikaza.

“Dada hesabu ni nani atakunywa viglasi vingi”

Nilimuambia muhudumua akakubali kutazama shindano letu, nikatazama nyuma, ukumbi mzima wa hii baa hakuna mtu hata mmoja wengi wamesha elekea kwenye vyumba vyao kulala. Tukaanza kunywa kwa kushindana huku muhudumu akituhesabia. Nilipo fikisha glasi ya kumi, nikahisi kama nimehamishwa kwenye hii dunia ya kawaida na kupelekwa kwenye dunia mbayo kusema kweli ina giza kikali, na inazunguka kwa kasi sana kiasi cha kunifanya niaze kujishika kichwa nikijaribu kufumbua macho yangu kuona ni wapi nilipo.

“Dany Dany Dany”

Niliisikia sauti ya Livna ikiniita, nikajaribu kumtazama vizuri usomi mwake ila nikaona mawenge mawenge makubwa hata sura yake yenyewe ninaiona kubwa. Nikajaribu kuuweka mguu chini, ila kitendi cha kufanya hivyo nikajikuta nikianguka mzima mzima chini kama mzigo.

“Dany”

Nikahisi nikinyanyuliwa na Livna Livba aliye nishika mkono wangu taratibu nikanyanyuka huku miguu ikiwa imekosa nguvu kabisa.

“Twende huku”

“Ehee”

“Twende huku”

Sikujua hata ni wapi tunapo elekea na Livna, muda mwingi ukanifanya nifumbe macho yangu, kwa maana mwanga wa taa unao nimulika usoni unayafanya macho yangu kuhisi kama yanachomoka nje.

“Lala hapa mwaya”

Akilini mwangu ninahisi kabisa nimelala kwenye kitanda, ila kufumbua macho ili kutazama ni kitanda ninashindwa kabisa, macho yanauma kiasi cha kunifanya nisitaman kuyafumbua kabisa. Nikahisi nikivuliwa nguo zangu.

“Unafanyaje?”

“Nakuvua nguo ulale vizuri”

Sikuwa na kipingamizi, nilipo hisi nguo zote zimevuliwa mwilini mwangu, nikapata hisia ya msisimko wa mwili. Jogoo wangu nikahisi amesimama na wakat huu ananyonywa taratibu na ulimi wa baridi kitu klicho nifanya nianze kuguna guna huku nikisikia raha.

“Dany”

“Mmmm”

“Nitomb** kum** yangu”

“Eheee”

Niliitikia maneno ya Livna Livba na taratibu utamu ukaongezeka, sikuwa nauwezo wa kucheza mechi hii kutokana na viungo vingine kukosa nguvu. Ila jogoo peke yake ndio amesimama na nguvu zake halisi, kitu kinacho mfanya Livna Livba kujihudumia yeye mwenyewe. Akajitahidi hadi waarabu weupe wakatoka.

“Ohooo kwa mara ya kwanza kupata mbo** tamu kama hii”

Nilisikia maneno ya Livna, ila usingizi ukanizidi nguvu na kujikuta nikilala fofofo.

“DANYYYYYYYYYYYYY”

Nilisikia sauti ya ukali ikizungumza pembeni yangu, nikajikuta nikufumba macho yangu, nikamkuta Mariam akiwa amesimama pembeni yangu huku ameshika bastola mkononi mwake. Sura yake imejaa hasira kali, nikatazama pembeni na kumkuta Livna Livba akiwa amekaa kitandani huku mwili mzima unamtetemeka kwa woga.

“Nakuua wewe malaya”

Mariam alizungumza huku akiuka kitandani na kumvamia Livna Livba na kuanza kumkaba koo, huku akimtandika mangumi ya uso, jambo lililo niacha nimeduwaa nisijue nianzie wapi, kukimbia au kutetea ugomvi huu ulio jaa wivu wa mapenzi na ni mchana tu Marima aliniahidi kwamba nikiwa na mwanamke mwengine ni lazima atamua.



Sikuwa na jinsi ya kunyanyuka kitandani nikiwa nipo uchi na kuanza kumvuta Mariam niliye mshika kiuno chake na kumuachanisha na Livna. Japo haikuwa kazi ngumu kwa Mariam kumuachia Livna ila nikahakikisha ninawaachanisha.

“Acha ujinga”

Nilizungumza kwa ukali huku nikimshusha Mariam chini ya kitanda.

“Acha nimuue huyu malaya wakizungu, hajaona mbo** zilzo jazana humu kwenye meli hadi akufwate wewe”

Mariam alizungumza huku akiminyanana na mimi akijaribu kujitoa mikononi mwangu, sikuhitaji haya mapigano yaendelea na kwa bahati mbaya Livna usoni mwake anavujwa na damu, kwa maana ngumi za haraka haraka alizo pigwa zimepekea yeye kuwa hivyo.

“Hahahaaaaaaaa”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

Livna akacheka sana kwa dharau huku akikaa kitandani akijipangusa damu zake kwenye uso.

“Dany unao dharau zake, acha nimmalize huyu malaya”

“Tulia Mariam sawa, sitaki ugomvi wa kijinga”

“Bwana wako ni mtamu sana, nitahitaji tena na tena anipatie ladha ya mbo** yake”

Livna aliendelea kuzungumza kwa dharau jambo lililo niudhi hata mimi mwenyewe.

“Kum**m**ako mseng** wewe kaa kimya. Utauliwa kwa dharau zako za kijinga”

Ilinibidi kumjia juu Livna, cha kushangaza badala ya kustuka akazidi kucheka kwa dharau kiasi kilicho mfanya Mariam kunichomoka mikononi na kumrukia tena kitandani. Safari hii sikuona haja ya kuamua chochote zaidi ya kutafuta boksa pamoja na suruali yangu nikavaa. Nikautazama mlango kwa ndani nikakuta ukiwa umefungwa kwa ndani. Mariam akaendelea kurusha makonde mazito ya ngumi kwa Livna ambaye muda wote anakubali makonde hayo kumuingia mwilini mwake. Nikataka kuamua tena ila nikasita huku moyoni mwangu nikizungumza kimoyo moyo, niacheLivna apigike atashika adabu yake.

Gafla mambo yakabadilika, Livna akazuia ngumi zote za Mariam, na kumgeuza Mariam na kumlaza chini. Mariam akaanza kupokea mfululizo wa ngumi, jambo lililo nifanya nikiwa kama refa, nipendelee upande wangu. Nikamshika Livna na kushusha kitandani. Nikahisi maumivu makali kwenye kifua changu, kisukusuku alicho nipiga Livna kikanifanya nimuachie na kujichua maumivu yangu. Marima akasimama kitandani akajaribu kumpiga teke Livna ila akalikwepa na yeye akamtandika teka la haraka sana la mguu ambao upo chini, hapo ndipo Mariam alipo anguka chini mzima mzima. Livna akajiweka sawa miguu yake pamoja na mikono yake tayari kwa kupigana. Jambo lililo nishangaza zaidi ni ukaaji wake wa kupigana. Mara nyingi nimezoe kuwaona wachina ndio hutumia mikao hiyo ya kupigana. Taratibu Marima akasimama na yeye akajiweka sawa, taratibu nikasogea pembeni na kushuhudia mapigano haya ya watoto wa kike, Mariam akiwa amevaa nguo huku Livna akiwa yupo uchi kama alivyo zaliwa.

Mariam akajaribu kurusha ngumi zake kadhaa kujaribu kumkabili Livna, ila ngumi hizo zote Livna alizikwepa na kimtandika Mariam ngumi ya kifua iliyo mfanya kurudi nyuma na kuanguka chini. Mariam akanyanyuka kwa sarakasi moja matata, akajiweka sawa na kuanza kurusha mateke mfulizo. Mateke yote Livna akayazuia kwa mikono yake, akapata nafasi nyingine, akamtandika Mariam ngumi ya mbavu Mariam akajikunja upande wa kulia wa mbavu zake zilizo pigwa ngumi hiyo, akasindikizwa na teke lililo mlanza chini chali hadi nikabaki nikiwa nimetumbua macho.

“Unanyanyuka tuendelee?”

Livna aliuliza kwa dharau huku akimtazama Mariam anaye jishauri kunyanyuka hapo chini alipo lala. Mariam akajaribu kuifwata bastola iliyopo pembeni yake huku akigugumia maumivu makali, ila Livna akawahi kumkanyaga kiganja ambacho Mariam alitarajia kuchukulia bastola hiyo. Taratibu Livna akaiokota bastola hiyo, akaikoki vizuri na kumuelekezea Mariam kichwani.

Sikuhitaji jambo hili la kijinga lijotokeze kwa Mariam, nikamrukia Livna na kumsukumia pembeni na bastola ikaangukia kando. Livna akanitazama kwa macho makali akajaribu kurusha ngumi usawa wa uso wangu, nikaiona vizuri na kujipindisha kidogo na ikapita na upepe mkali nilio uhisi kwenye ngozi yangu. Mapambano yakaamia kwangu, Livna akaendelea kurusha ngumi pamoja na mateke, nikajaribu kuyakwepa baadhi, ila mengine yakanipata vizuri sana. Na mimi nikajituma kuhakikisha kwamba ninakabiliana na Livna. Ila kila nilivyo jaribu kujibu mashambulizi nilijikuta nikiambulia kichapo kikali. Livna ambaye nilimuona dakika kadhaa zilizo pita aliye kuwa akipokea kipigo kutoka kwa Mariam sio huyu wa sasa. Mariam wala hakunyanyuka chinini alipo lala kunisaidia. Kipigo kwangu kikazidi kuwa kikali sana, hadi ikafika hatua viungo vyote vya mwili vikalegea.

“Smama Dany tuendelee”

Livna alizugu huku akinitazama chini jinsi nnavyo jaribu kujiinua inua ila viungo vyote vijanashindwa. Livna taratibu akachukua taulo lake na kuingia bafuni kuoga.

“Da…aany”

Mariam aliniita huku akinitazama usoni mwangu, sikumjibu kitu chochote zaidi ya kukaa kitako chini. Mariam naye akajinyanyua na kukaa huku akiegemea ukuta. Simu iliyopo juu ya dressing table iliyopo humu ndani ikaanza kuita. Livna akatoka bafuni akiwa na mapovu na kuipokea simu yake.

“Ndio bosi”

“Nimewafunza mbinu kadhaa wakiwa na akili wanaweza kuelewa”

“Bado hawana chochote, nimewapima ila wote ni midebwedo japo huwa wanaonekana ni wakali”

“Ahaa yupo vizuri, kwa kitandani hapo usiwe na shaka”

“Nimpe simu Dany au Mariam?”

Livna alizungumza huku akinitazama mimi, akanisogelea na kunipatia simu.

“Zungumza na baba yako”

Nikaitazama simu anayo nipa Livna taratibu nikaichukua na kuiweka sikioni mwangu.

“Haloo”

Nilizungumza kwa sauti ya upole iliyo jaa unyonge ndani yake.

“Mbona unakuwa mzembe sana?”

“Kivipi baba?”

“Unapigwa na mwamke ambaye umeweza kulala naye”

“Aha…aahaa ni pombe tu baba”

Nilizungumza huku nikimtazama Livna kwa macho ya kuiba.

“Muanze kujifunza huko huko mukija hapa muwe angalau mumekamilika”

“Kujifunza nini tena baba?”

“Kupigana bado mpo katika kiwango kidogo”

Nikakaa kimya kwa maana sina ubishi katka hili, kwani alicho nifanya Livna Livba, mimi mwenye nimekiona.

“Ukimya nalo ni jibu. Mpe simu Livna”

Nikamrudishia simu Livna, akaipokea na kuiweka sikioni, akaondoka na kuingia bafun na kutuacha mimi na Mariam tukiwa tunatazamana. Mariam akatafuta bastola yake akaichukua na kuondoka zake akiwa amekasirka. Taratibu na mimi nikajinyanyua, nikachukua shat na kuweka begani mwangu na kutoka katika chumba cha Livna.

Nikaelekea kwenye kontena lilipo gari langu, sikumkuta Mariam wala mtu yoyote, nikafungua nyuma ya gari na kumkuta Bwana Erick Donald Jr akiwa ametulia tu.

“Shuka”

Nilizungumza kauli hiyo huku nikirudi kukaa kwenye sofa. Bwana Erick Donald Jr akashuka kwenye gari, huku mwili mzima ukimtetemeka kwa kukosa njaa, na kukaa ndani ya buti la gari kwa masaa mengi. Kitu kingine ni kukosa damu mwilini, kwani jereha katka paja lake lilitoa damu nying sana hadi ikakata yenyewe.

“Ni bora uniue kuliko kupata haya mateso”

Bwana Erick Donald Jr alizungumza huku akiendelea kutetemeka mwili wake, nikamtazama jinsi alivyo pauka mwilini mwake. Nikayafumba macho yangu na kufikira ni nini cha kumfanya, sikupata jibu la haraka haraka, nikanyanyuka na kumshika mkono, nikaanza kumvuta hadi nje ya kontena, nikaelekea naye pembezoni mwa meli.

“Unaona hayo maji huko chini?”

Nilimuulza huku nikiwa nimemkazia macho, bwana Erick Donald Jr akatingisha kichwa kuashiria kwamba amayeona.

“Jitose mwenyewe, ukbahatika kupona ni wewe, ukifa ni wewe sawa”

“Sawa”

Taratibu bwana Erick Donald Jr akaanza kupanda kwenye kingo za chuma za hii meli, akasali sala yake ya mwisho tayari kwa kujirusha.

“SUBIRI”

Tulisikia saut nyuma yetu, nikageuka na kumkuta ni Livna, mwili mzima ukaniishia nguvu kwa kumuona.

“Ana tatizo gani huyo mzee?”

“Halikuhusu”

“Linanihusu, baba yako amenikabidhi wewe, kila kitu unacho takiwa kukifanya, inanibidi mimi kuweza kufahamu”

“Nimekuambia kwamba hili swala halikuusu. Mzee jitose, chaguo nililo kupa lisije likabadilika kwa mimi kukuua”

“Mzee ngoja mara moja, Dany nahitaji kufahamu nikitu gani kinacho ende………”

Sikutaka Livna Livba kumalizia sentesi yake, nikamsukuma Bwana Erick Donald Jr, kwenye maji kwa urefu tulipo simama kutoka juu hadi kwenye maji, ikamchukua bwana Erick Donald Jr sekunde kadhaa kuanguka hadi kwenye maji huku akipiga kelele. Livna akataka kuondoka kwenda kuomba msaada, nikamzuia.

“Nina roho mbaya, kunihimili pale chumbani usidhani unaweza kunihimili kwenye maamuzi yangu. NITAKUA”

Nilizungumza kwa msisitizo kisha nikaangalia sehemu alipo angukia Bwana Erick Donald Jr, sikuuona hata uwepo wake, nikaondoka na kumuacha Livna Livba akinishangaa. Sikuwa na furaha kabisa kwenye moyo wangu, kila nilipo kumbuka mateke na ngumi alizo nipiga Livna Livba.

‘Inakuwaje mwanamke anipige?’

Swali hili niljiuliza kichwani mwangu, sikupata jibu la aina yoyote. Nikatafuta sehemu ndani ya hii meli nikaa na kutulia huku nikizidi kutafakari nini cha kufanya.

‘Mafunzo yote niliyo yapata, Livna amenipiga? Hapana labda ni kutokana na pombe niliyo kunywa jana. Yaa ni pombe”

Niliendelea kujuliza maswali mfululizo kichwani mwangu huku nikijiaminisha na pombe ambayo jana ilipelekea matatizo mengi.

“Chukua”

Nikasika sauti ya Mariam pembeni yangu, nikageuka na kukuta akiwa ameshika bakuli lililo jaa supu, Nikalipokea, Marima akataka kuondoka nikamshika mkono.

“Unaenda wapi?”

“Kunywa ukata hang over yako ya jana”

“Hilo sio jibu”

“Dany, hivi mimi nitakuwa ni mwanamke wa aina gani, nikuone umelala la mwanamke mwengine, nifurahie, nijaribu kumdhibiti anipige alafu bado analete dharau”

Mariam alizungumza kwa hasira, hadi nikamuonea huruma kusema kweli anacho kizungumza hata mimi moyoni mwangu kinaniuma na ndio kitu nilicho kuwa nikikifikiria kwa muda wote ulio pita.

“Mariam lile ni kosa ambalo limetokana na ulevi wangu, so nakuomba unisamehe sana”

“Dany inaniuma, ua mim sio mzuri, au mimi sikutoshelezi hadi uende ukalale na yule mwanamke wa kizungu?”

Hasira ya Mariam ikachanganyikana na machozi, sikuwa na kitu cha kuzungumza, nikamvuta Mariam karibu na kumkumbatia.

“Samahani mpenzi wangu, nakupenda sana”

“Nakupenda pia Dany”

Mariam akanikumbatia kwa nguvu huku akiendelea kulia kwa uchungu. Taratibu nikaiweka bakuli la supu mezani na kuanza kunyonyana denda na Mariam, hisia za mapenzi zikaanza kupanda taratbu kati yetu, sehemu tuliyopo uzuri ni kwamba hakuna mtu yoyote. Mariam akanivua shati langu, nikamvua na yeye na tisheti na kaunza kuyanyonya maziwa yake, jambo lililo mfanya Mariam kuanza kutoa miguno ya mahaba.

“Huu si wakati wa kufanya mapenzi, twendeni mazoezini”

Sauti ya Livna Livba, ikatufanya tusitishe tunacho kifanya, Mariam akaniachia na kumtazama Livna kwa macho makali, akaachia msunyo mkali na kunigeukia na kuendelea kuninyonya denda jambo lillo mfanya Livna kumvuta Mariam kwa nguvu ili kuniachanisha naye.



Mariam hakukubali kunachia ndo kwanza akazidisha kunishika kwa mikono yake yote miwil huku akiendelea kuninyonya denda. Livna akatutizama akatingisha kichwa kisha akatoka ndani humu na kutuacha tuendeleea na tunacho kifanya.

“Shenzi zake”

Mariam alizungumza huku akiendelea kuninyonya mate kwa kasi hatukushia hapo zaidi ya kujikuta tunaingia kwenye dibwi kubwa la mapenzi. Kila mmoja akampatia mwenzake kitu ambacho ana stahili hadi ikafikia kipindi sote tukajikuta tunafika kileleni pamoja.

“Ahahaaaa……”

Mariam alshusha pumzi nyingi huku akinitazama usoni mwangu, taratbu akanyanyuka kwenye mapaja yangu na kila mtu akaanza kuvaa nguo zake taratbu.

“Mariam hivi tutatumia muda gani hadi kufika Korea Kaskazini?”

“Bado tuna vijiwiki kadhaa”

“Ahaa nimechoka kukaa humu ndani ya hii meli”

“Tena msimu huu tuna bahati kama ingekuwa ni msimu wa baridi kal ile ya barafu wala usinge tamani kabisa kusafiri na hizi meli”

Tukatoka katika chumba hichi huku tukiwa tumeongozana na Mariam, tukaelekea kwenye chumba cha Mariam, tukaoga kwa pamoja kisha tukabadilsha nguo.

“Hivi baba amefikira nini?”

“Kivipi?”

“Amefikira kitu gani hadi kumuweka Livna kuwa mwalimu wetu?”

“Katika hilo mimi wala bado sijalafiki, na wala hawezi kunifundisha kwa maana hapa hakuna mafunzo zaidi ya kuibiana mabwana”

Sikujibu kitu chochote zaidi ya kukaa kimya nikimtazama Mariam.

Masaa na siku zikazidi kusonga mbele, Livna akitupa mafunzo ambayo baba ameagiza tuweze kuyafanya ili kuzidisha ujuzi katika kupambana kwetu. Kadri muda ulivyo zidi kusonga mbele ndivyo tulivyojikuta tunaimarika, japo mikasa ya hapa na pale ya Livna na Mariam kufanyiana visa vya mapenzi inatokea ila cha kumshukuru Mungu hawapigani. Baada ya wiki takribani sita tukafika nchini Korea ya Kaskazini majira ya saa mbili asubuhi. Katika maisha yangu nilisha zoea kuisikia hii ichi katika vyombo vya habari juu ya uchokozi wake katika nchi ya Korea Kusini ambapo miaka ya nyuma zilikuwa ni nchi moja kubwa zilizo kuwa zimeungana.

Bandarin tukapokwewa na sekretari wa baba aliye ongozana na walinzi wawili wa baba walio valia suti nyeusi.

“Karibuni”

Alitukaribisha wote watatu, tukaongozana nao hadi kwenye magari waliyo kuja nayo. Nikapanda gari moja na sekretari huyu huku Mariam na Livna wakipanda gari jengine la nyuma yetu na safari ikaanza kuelekea tusipo pafahamu.

“Umefanana sana na baba yako”

Sekretari alizungumza huku akiminya minya simu yake kubwa kiasi.

“Asante”

“Jina si Dany eheee?”

“Yaaa”

“Vipi Tanzania?”

“Kwema tu”

Maswali ya sekretari yakaishia hapo na ukimya ukatawala ndani ya gari. Baada ya dakika kama ishirini na tano hivi tukasimama mbele ya gorofa refu kwenda juu, ambalo kwa haraka haraka idadi ya gorofa zake zinaweza kufika mia moja na kitu hivi.

“Karibuni ndani”

Tukaongozana na sekretari. Katika sehemu ya mapokezi katika jengo hili nikaona picha kubwa ya baba pamoja na sanamu lake lililo chongwa vizuri, huku pembeni kukiwa na herufi kubwa ya D. Katika jengo hili kuna wafanyakazi wengi wa asili tofauti tofauti. Tukaingia kwenye lifti ambayo ina ina batani nyingi zilizo fika idadi ya batani mia moja na ishirini. Taratibu lifti ikaanza kwenda juu, huku sekretari huyu akiwa ameminya batani ya mia moja na ishirini.

Hatukuchukua muda tukawa tumefika katika gorofa ya mia moja na ishirini, tukaanza kutembea kwenye kordo yenye walinzi wengi walio valia suti wakiwa wamesimama kkakamavu. Tukafika kwenye mlango mkubwa uliopo mwishoni mwa kordo hii. Taratibu mlango huu ulio tengenezwa kwa kioo kigumu ukafunguka na sote tuakingia ndani.

Kwa mara nyingine nikaonana na baba yangu uso kwa uso, baada ya miaka mingi kupita pasipo kumuona. Tukakumbatiana na baba kwa nguvu huku sote machozi yakitulenga lenga.

“Karibu mwanangu”

Baba alizungumza huku akinipiga piga mgongoni mwangu. Japo umri umekwenda ila bado baba anaonyesha ana nguvu nyingi na ni mwana mazoezi kwa sasa, kwa maana hata mikono yake imejazia kwenye mikono yake. Akaniachia na kuwapa mikono Mariam na Livna.

“Karibuni mukae”

Ofisi ya baba ni kubwa sana, imejengwa kwa utaalamu wa hali ya juu, kila kitu kipo kwenye mpangilio kuanzia sehemu ya kupumzikia hadi sehemu ya kufanyia mazoezi.

“Munatumia kinywaji gani?”

“Mimi nipo vizuri”

“Mimi pia”

“Mimi nilitee kahawa”

Niliagizia kahawa baada ya wezangu kukataa kunywa chochote, sekretari akatoka na kutuacha tukiwa na baba ambaye kwa mara kadhaa akawa ananitazama kwa furaha huku akionekana kuto kuamini kwa kile anacho kiona.

“Dany mwangu umekuwa sasa”

“Asante baba”

“Ehee Mariam vipi jamaa zako hawato kutafuta kweli?”

“Kusema kweli bosi, kunitafuta hilo swala lipo, kikubwa ningeomba ulinzi juu yangu”

“Katika hilo wala halina shida, nitahakisha nyote watatu munapata walinzi wa kutosha. Livna vipi baada ya bosi wako kufariki ni mpango gani mwingine ulio kuwa nao?”

“Muheshimiwa mimi sina mpango wowote zaidi ya kusikilizia mipango yako tu”

“Usijali katika hilo, hapa kazi zipo nyingi, isitoshe kampuni yangu inahitaji watu kama nyinyi”

“Shukrani sana muheshimiwa”

Sekretari akarudi akiwa ameshika kikombe chenye kahawa, inayo nukia vizuri. Akaiweka mezani usawa wangu, akatuaga na kutoka ofisini kwa baba.

“Mmmm nyinyi wawili nitazungumza nanyi baadae, ngoja sasa hivi nizungumze na kijana wangu, ni miaka ishirini sasa sijaonana naye”

“Hakuna tabu muheshimiwa”

Mariam na Livna Livba wakatoka ndani ya ofisi, na kutuacha mimi na baba. Baba akasimama kwenye sofa alilo kalia na kuja kukaa kwneye sofa la mbele yangu. Akanitazama kwa dakika kadhaa kwenye uso wangu huku akiwa amenikazia macho kisha akatingisha kichwa kama anakubaliana na kile anacho kitazama.

“Mama yako amekulelea vile nilivyo muagiza kukulea”

“Kivipi baba”

Baba akanyanyuka kwenye sofa na kuanza kutembea kwenye ofisi yake hii kubwa, na mimi nikanyanyuka na kuanza kumfwata kwa nyuma.

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Mama yako ninampenda sana, hata yeye pia ananipenda. Kwa kipindi cha miaka ishirini, nilijulikana kwamba nimekufa, japo siri hii ya uzima wangu inajulijana na watu wachache sana”

Baba alizungumza kwa mafumbo huku akikaa kwenye meza yake ya kioo, nikapiga fumba dogo la kahawa na kuendelea kumsikiliza baba.

“Nilikuwa na ndoto za kuwa tajiri, nilkuwa na ndoto siku moja nije kuwa mtu mashuhuri ili wanangu au kizazi changu muje kufurahia kuwa na baba kama mimi.”

“Ilinibidi kufanya mchezo wa hatari ambao wengi waliamini kwamba nimekufa, ila sikuweza kufariki na hadi leo ndio maana nipo hapa, watu wote ulio waona kuanzi ulivyo inga ndani ya hili jengo, wapo chini yangu na hili gorofa refu pia ni mali yangu na zote zipo katika umiliki wa famila yangu, ambayo ni wewe na Diana”

Maneno ya baba hadi wakati huu yananiweka njia panda, ila nikawa mvumilivu kuendelea kumsikiliza kwa kile anacho kizungumza, kabla baba hajaendelea kuzungumza simu ya mezani kwake ikaita.

“Sorry”

Baba alizungumza na kuzunguka kwenye meza yake na kuipokea simu hiyo, akaanza kuzungumza kikorea,a mabacho sikifahamu neno hata moja. Ila katika muonekano wa sura yake mazungumzo anayo zungumza yanaonyesha kuna jambo halijaenda sawa. Akatumia kama dakika mbili kuzungumza mazungumzo hayo kisha akakata simu.

“Vipi?”

“Kuja wajinga nahtaji kuwashuhulikia sasa hivi wanataka kuiyumbisha kampuni yangu”

“Kina nani hao”

“Twende ukawaone”

Tukatoka na baba tukiwa tumeongozana, kikombe cha kahawa nikakiweka mezani kabla ya kutoka ofisini humu. Kitendo cha baba kutoka walinzi wake wote wakajipanga na kutuweka kati, tukaanza kutembea kwenye kordo hii kuelekea kwenye lifti. Mlinzi mmoja akafungua lifti kwa kuminya batani ya kufungulia, sote karibia nane tukaingia kwenye lifti.

“Watanitambua kwamba mimi ni nani”

Baba alizungumza peke yake huku akionekana kukasika sana

“Kwani wamefanyaje?”

“Tutazungumza baadae”

Lifti ikafika chini, sote tokatoka nje, na kukuta gari nnne zinazo fanana aina ya CIA, zikiwa zimesimama nje, tukainga gari moja na baba, na safari mbayo sijui tunakwenda wapi ikaanza. Kazi yangu ikawa ni kutazama nje kushangaa shangaa uzuri wa magorofa haya marefu ambayo kwa Tanzania hakuna.

Safari ikachukua takribani lisaa zima, kutoka nje ya hili jiji, tukaingia maeneo ya milimani ambapo kuna nyumba chache sana.

Gari zote zikasimama nje ya gadauni kubwa ambalo lina geti kubwa. Walinzi wa baba wakashuka kisha wakatufungulia milango na sisi tukashuka. Wakatangulia walinzi wawili mbele huku mmi na baba tukiendelea kuwa katikati yao. Geti hilo kubwa likafungulwa, tukainga ndani na likafungwa.

Kwenye godauni hili kuna watumishi wachache waoa fanya kazi ya kupakiza samaki kwenye maboksi maalimu. Sikuhitaji kujishuhulisha nao zaidi ya kuendelea kumfwata baba na walinzi wake. Tukaanza kushuka kwneye ngazi zinazo elekea chini ya ardhi, sehemu yote hii imewekwa taa nyingi sana zinazo lifanya eneo lote kuonekana vizuri.

Tukapiga hatua kama ishirini, tukakunja kushoto napo tukatembea kwa hatua hizo ambazo si chini ya ishiri. Tukaingia kwenye moja ya ukumbi na kukuta watu sita wakiwa wamepigishwa magoti huku wamevishwa vigunia vyeusi kichwani mwao. Mikono yao iliyo rudishwa kwa nyuma wamefungwa kamba.

Pembeni ya watu hawa wamesimama jakmaa wanne wenye bunduki nzito za kivita, wakampa heshima baba kwa kuinama. Baba akasimama mbele ya watu hawa, akamuamuru kijana wake awafunue kigunia hicho na ndivyo alivyo fanya. Kila aliye funiliwa kigunia na kumuona baba mbele yake alianguka kifudifudi huku akilia na kuomba msamaha.

“Babawamefanya nini hawa?”

Ilinibidi kuuliza swali hili kwa maana kuna mzee analia hadi nikamuonea huruma.

“Hawa ni wezi, wanaiba biashara zangu na kuuza kwa makampuni mengine, pia wanaiba mipango yangu ya kibiashara na kuiuza kwa makampuni mengine”

“Kwa nini wanafanya hivyo?”

“Ni kutokana na tama zao tu za pesa, na hawa wote huwezi kuamini. Nimewajengea nyuma, ninawalipa mishahara minono, ninawasomesha watoto wao na sijui ni kitu gani kinacho wafanya wafanye hivi”

Baba alizungumza kwa msisitizo huku akiwatizama watu hawa wenye marika tofauti tofauti na kwa kukadiria mwenye umri mdogo anaweza kuwa na mikaa thelathini.

Baba akanyoosha mkono kwa mmoja wa watu wake, jamaa huyo akachomoa jambia refu linalo waka waka kwenye sehemu yake lilipokuwa limechomekwa. Baba akachomoa gloves zake vizuri kwenye mfuko wa koti alilo livaa, akazivaa taratibu kisha akachukua jambia hilo, pasipo kuwa na huruma baba akaikata shingo ya mzee ninaye muonea huruma, kichwa kikatengana na kiwili wili na kusababisha damu nyingi kuruka hewani na baadhi ya damu ya mzee huyu zikanirukia usoni jambo lililo niogopesa sana hadi nikajikuta nikianza kuingiwa na woga wa kumuogopa baba yangu kwa ukatili mkubwa anao ufanya mbele yangu.




Baba hakuishia hapo, akamkata mtu wa pili shingo yake, akaja watatu, wanne, watano na akamalizia wa sita. Nguo zote za baba zimejaa damu nyingi, akatupa jambia chini huku akiitazama miili ya watu hawa jinsi inavyo endelea kumwaga damu.

“Hakikisheni munachoma moto hii miili hadi inabaki majivu”

“Sawa mkuu”

“Dany twende huku”

Nikamfwata baba kwa nyuma nyuma, akapunguza kasi kidogo ya kutembea na nikajikuta nipo sawa naye.

“Kwa nini unakuwa muoga, wakati wewe ni kidume?”

“Ahaa…aha hapana”

“Jibu lako linaonyesha kwamba wewe ni muoga, kwani hukuwahi kumuua mtu kwenye maisha yako?”

“Ehee”

“Hujawahi kumuua mtu kwenye maisha yako?”

Baba alirudia swali lake huku akifungua mlango, wa bafu lililopo eneo hili.

“Nimewahi”

“Safi, siku zote huwa msaliti kwenye maisha yangu au yako, huyu astahili kuishi, na kama unaweza kumuua kwa mkono wako hakikisha unafanya hivyo”

“Sawa baba”

Baba akasimama mbele ya kioo kikubwa kilichopo kwenye hili bafu, akaanza kuvua nguo moja baada ya nyingine na akabakiwa kama alivyo zaliwa.

“Na wewe vua nguo zako uoge”

“Ehee”

“Vua uoge, hiv Dany bado una mambo ya kiafrika sana eheee?”

“Unajua sijawahi ona mtoto wa kiume kuoga na baba yake”

“Ndio uone hili”

Sikuwa na jinsi zaidi ya kuanza kuvua nguo zangu na nikabaki kama nimezaliwa. Nikasimama kwenye bomba langu la mvua, nikafungua maji taratibu yakaanza kunimwagikia mwilini mwangu.

“Mbo** yako unaitumia vizuri?”

Swali la baba likanifanya nipatwe na kigugumizi kinacho endana na kucheka.

“Eheee?”

“Yaaa……yap”

“Safi, hakikisha wanawake hawakuletei dharau, tomb** hadi waombe poo”

Nikashindwa kuvumilia ikanibidi kuangua kicheko kikali sana.

“Unajua ni kwa nini mama yako ananipenda?”

“Hapana?”

“Mama yako ananipenda kwa sababu natambua jinsi ya kumtomb**. Huwa nahakikisha akitoka hapo hana hamu na mimi, alafu ukicheki kwenye ukoo wetu tumebarikiwa mbo** zlizo shiba”

Maneno anayo yazungumza baba sikuyategemea kabisa akilini mwangu, nilibaki nikiwa ninajisemea kimoyo moyo kwamba hapa sina baba.

“Kweli”

Nilimuunga mkono maneno yake hayo, ili mradi mada iishe, kwani kwa mada kama hizi, baba kuzungumza kwa mwane wa kiume japo kwake ni sawa, ila kwangu ninahisi zinaniumiza masikio yangu kabisa.

“Tukitoka hapa, leo usiku nitakupeleka eneo moja hivi ukale raha, kwa maana umepata shida sana”

“Eneo gani hilo?”

“Wewe utaona ni eneo gani, alafu vipi mjukuu wangu anaendeleaje kwa maana nimemuona akiwa na bibi yake?”

“Naamin wanaendelea vizuri”

“Sawa sawa, tukifika nyumbani nikumbushe tuwasiliane nao”

“Hakuna tatizo”

Tukamaliza kuoga, tukachukua mataulo na kutoka ndani humu, tukaingia kwenye chumba kingine chenye nguo za kiume za kila aina.

“Mara nyingi huwa ninapenda kutokelezea kijanja zaidi, kuvaa vaa masutii labda nikienda kazini”

Baba alizungumza huku akivaa suruali iliyo chanika chanika mapajani, akachukua tisheti nyeusi akavaa.

“Vaa unanishangaa”

“Ahaa”

Na mimi nikaanza kuvaa suruali niliyo ichagua, tulipo maliza kuvaa, tukatoka katika chumba hichi. Kwa jinsi tunavyo fanana na baba, tukiongozana hivi unaweza kusema ni kama mtu na mdogo wake ila ukweli ni mtu na baba yake.

“Kipindi ninakupata wewe, nilikuwa na miaka ishiri na moja, enzi hizo, nilikuwa handsome kishenzi”

“Mmmmmm”

“Unaguna? Muulize mama yako atakuambia. Japo nilimtokeaga ila akawa ananichomolea chomolea. Kwa viwalo nilivyo kuwa ninatupia enzi hizo, ahaa yeye mwenyewe akangia mkenge nikampa mambo, akiwa form six, anamaliza mtiani wa taifa ana mimba yako”

“Hakufukuzwa kwao?”

“Ahaaa, bora angefukuzwa ningezema afadhali ninaweza kumlea kwa maana kipindi hicho ndio nilkuwa nimejiriwa, pesa ninayo kamata ni ndefu kishenzi. Ila songombingo likaja pale baba yake alipo anza kunisaka, mamaeee zake yule mzee alikuwa mjeda msaafu, basi muda wake wote alkuwa ananisaka. Uzuri hakunifahamu kisura, alinisikia sikia tu jina langu”

Baba alizungumza huku tukiwa tumesimama nje ya magari, mlinzi akafungua mlango na sote tukaingia ndani ya gari.

“Alkupata?”

“Atanipataje, hadi anakuja kufa yule mzee hakuwahi kuniona na mama yako alikuwa jasiri sana kwa kuto kunitaja, laiti angenitaja, sijui kama ningekuwa hai leo”

Uwepo wangu karibu na baba unamfanya kujiachia sana katika mazungumzo yake, hajali kama yupo na mwane, ila anacho kifahamu ni kuzungumza kile kinacho mtoka.

Safari ya kurudi tulipo toka ikaanza huku njiani baba akinionyesha baadhi ya maeneo na kunitajia majina ya maeneo hayo.

“Tunarudi nyumbani au tunaelekea ofisini kwako?”

“Tunakwenda nyumbani, ukapaone”

“Sawa”

Safari ikachukua lisaa na nusu, hii ni kutokana na foleni baadhi ya maeneo. Tukafika kwenye jumba kubwa la kifahari la gorofa tatu kwenda juu. Kusema kweli sikuamini kwamba baba ana miliki jumba kubwa kama hili wakati Tanzania mama alikuwa anaishi katika nyumba ya kawaida sana.

“Karibu nyumbani mwanangu”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

Baba alizungumza huku tukishuka kwenye gari, tukaanza kutembea kwa hatua za kawaida kuingia ndani. Japo tanzania kuna majumba ya kifahari ila hili alalo miliki baba limeyapita majumba yote hayo ya kifahari niliyo wai kuyaona. Tukaingia ndani huku walinzi baadhi wakibaki nje.

Mandhari ya jumba hili la kifahari yamepabwa kwa aina yake, kila eneo lina picha za familia yetu, nyingine zikiwa za kuchongesha zilizo zidi kuipendezesha hili jumba la baba.

“Hii ndio mali niliyo ihangaika baba yako kwa kipindi changu chote cha haya maisha yangu”

“Hongera sana baba”

“Shukrani, najua hizi zote ni mali zako wewe na Diana, nimejitahdi kwa maisha yangu yote hadi nimefikia hapa.”

Tukainga sebleni ambapo kuna vitu vingi vizuri na vinaonekana ni vitu vya thamani ya hali ya juu. Baba akaendelea kunionyesha maeneo yote ya hili jumba lake, alipo hakikisha amemaliza kunionyesha maeneo ya nje na maeneo baadhi ya ndani, tukaingia kwenye chumba changu.

“Hichi chumba chako kina kila kitu kinacho hitajika katika chumba cha mwanaume, ukihtaji kutengeneza mwili kwa mazoezi GYM ipo humu”

Baba alizungumza huku akifungua mlango uliopo ndani ya hichi chumba changu, nikakuta vifaa vya mazoezi, akaendelea kunionyesha vyumba vilvyomo kwenye hiki chumba chenye vyumba vinne katika chumba kimoja.

“Kwa hiyo baba kwenye hili jumba unaishi peke yako, kwa maana sijaona wafanyakazi wa ndani zaidi ya walinzi?”

“Ndio nipo peke yangu, kuna utofauti na maisha ya Tanzania, huku wafanyakazi wa ndani wanakuja siku maalumu katika wiki, na huwa wakija wanafanya kazi kwa masaa kadhaa na wanalipwa kutokana na masaa hayo ambayo wanafanya kazi”

“Ahaaaa”

“Kesho utabaki nyumbani, nitaagiza wafanyakazi waje kukupkia. Leo ngoja tukazunguke sehemu za mijini, ukaone mali za baba yako”

“Sawa mzee”

“Kama una njaa seme nikupeleke kwenye hoteli ukapate chakula”

“Nipo vizuri, nikiwa na njaa nitakuambia”

Tukatoka nje, mlinzi akatufungulia mlango wa gari na tukaingia na kuondoka katika eneo hili. Matembezi kwa siku ya leo kusema kweli ni marefu sana, tumezunguka sehemu nyingi sana, hadi giza likaanza kutawala angani, uzuri wa hii nchi ndio ukazidi kuongezeka mara dufu, kwani taa za kila aina zimezagaa kwenye magorofa haya marefu pamoja na barabarani.

“Nakupelekea kwenye kasino langu ninalo limiliki”

“Lipo wapi?”

“Halipo mbali sana na hapa”

Gari ikazidi kusonga mbele, huku dereva akiwa makini sana barabarani. Tukafika kwenye gorofa refu kwenda juu. Tukashuka kwenye gari baba akatazama juu na mimi ikanibidi kutazama juu.

“Umeione ile D pale juu?”

“Ndio”

“Ile ni chata ambayo ninaitumia kwenye kampuni zangu, bidhaa zangu na sehemu mbalimbali”

“Ina maana gani?”

“Ni herufi za jina lako na jina Diana, mimi na mama yako tumesha kuwa wazee vijana, itafikia hatua nyinyi nanyi munatakiwa kuongoza hizi mali”

Tukaingia ndani ya kasino hili lililo jaa watu wengi wakicheza michezo ya kamari zilizo halalishwa, kila sehemu tulipo pita baba alisalimiana na watu waliomo eneo hili, akawa anazungumza nao kikorea, na wala sikuelewa wanacho kizungumza, muda mwengine alinshika bega akiwa anazungumza nao, hapo kwa akili ya kawaida ninahisi ananitambulisha kwa rafiki zake hao.

“Wanakusifia kwamba mwangu wewe ni mzuri”

“Ila mimi mtoto wa kiume”

“Ahaaa kuwa wakume ndio kuto kuwa mzuri?”

Tukanza kutembelea gorofa moja baada ya jingine, kusema kweli hadi sasa hivi ninajiuliza baba pesa zote hizi za kuwekeza katika miradi mikubwa kama hii amezitolea wapi. Tukafika katka gorofa namba ishririni, kitendo cha lifti kufunguka macho yangu yakakutana na wasichana wengi ambao wapo uchi kabisa, kazi yao ni kuwastarehesha wanaume wachache waliomo humu.

“Huku ni V.I.P, kila mwanachama anaye jiunga na kuingia huku, analipa dola elfu mbili kwa siku, na hawa wasichana wote unao waona kazi yao ndio hii”

“Mmmmmm”

Nilibaki kuguna baada ya kuwaona wasichana wawili wenye makalo makubwa na wanaasili ya kiafrika.

“Unawahitaji wale?”

Baba alniuliza huku akinitazama machoni, na amegundua sehemu nilipo yaelekezea macho yangu yanayo washangaa wasichana hao wakiyatingisha makalio yao mbele ya mzee mmoja wa kichina.

Baba akanipiga piga begani kisha akaelekea walipo wasichana hao, akawanong’oneza, taratibu akaanza kurudi nao akiwa amewashika mikono yao. Wasichana hao walipo niona sura zao zikajawa na tabasamu pana.

“Mpelekeni chumbani”

Baba alizungumza, wasichana hao wakanishika mikono, na kuanza kuondoka na mimi, huku baba akinikonyeza. Tukaingia kwenye moja ya chumba kilicho puliziwa manukato mazuri sana, huku kukiwa na kitanda kikubwa pamoja na sofa kubwa.

Wasichana hawa wakanisukuma kitandani na kuanza kunivua nguo moja baada ya nyingine hadi nikabaki kama nilivyo zaliwa. Wakaanza kuninyonya jogoo wangu huku mikono yao ikiwa inakatiza sehemu mbalimbali za mwili wangu. Nikiwa katika raha hii ambayo kila mwanaume huipenda, akaingia baba akiwa na kipande cha sigara mkono, nikataka kujifunika shuka kutokana na aibu.

“Endelea nahitaji kuona jinsi unavyo tomb** msichana”

Kauli ya baba ikanifanya tubaki tumetazamana, kama kawaida yake akanikonyeza kuzidi kuniruhusu niwashuhulike wasichana hawa wenye hamasa kitandani.





Wasichana hawa wakawa kama wamezidishiwa kasi ya kucheza ya jogoo wangu, kila mmoja akawa na utaalamu wake wa kunyonya jogoo wangu. Kwa macho ya kuiba nikamuona jinsi baba anavyo tingisha kichwa akikubaliana na mapigo ya mabinti hawa wanao hitaji kupata sifa mbele ya bosi wao. Nikashusha pumzi nyingi, kisha nikanyanyuka na kushuka kitandani huku jogoo wangu akiwa amesimama.

“Baba swezi kufanya hivi mbele yako?” “Kwanini?”

“Baba umeona wapi mtoto akifanya mapenzi mbele ya baba yake” Baba akanitazama usoni jinsi ninavyo zungumza kwa msisitizo, akanyuka kwenye sofa alilo kalia na kuanza kupiga hatua za taratibu hadi sehemu nilipo simama.

“Hii ni dunia mpya, hakikisha unawatomb** hadi wakujue wewe ni mwanaume rijali” Baba baada ya kuzungumza maneno hayo, akatoka chumbani huku akinikonyeza, akawapa wasichana hao ishara, wakashuka kitandani, kisha wakanisukumia kitandani na kuanza kunilamba lamba kila kona ya mwili wangu. Nilipo hakikisha baba ametoka chumbani humu, nikamuinamisha msichana mmoja, nikajipaka mate kwenye jogoo wangu na kumsokomeza ndani ya kitumbua chake, jambo lililo mfanya kutoa mguno mzito.

Nikabana pumzi ya kutosha kifuani mwangu, na kuanza kukila kitumbua hichi kwa kasi ya ajabu, kama mfungwa aliye fungwa miaka mingi na kukosa kitumbua kwa kipindi chote hicho alicho fungwa jela. Msichana huyu akajitahidi sana kunihimili kazi yangu ila, nikamuona jinsi anavyo legea taratibu, hata mkao wake wa kupiga magoti chini ukaanza kubadilika na kijikuta akiwa amelala kifudifudi.

Nikakumbuka kipindi cha Monica na mwenzake Lissa katika hoteli ya Mtendelea jijini Tanga jinsi nilivyo washuhulikia hadi wao wenyewe wakachoka kwa mziki wangu.

‘……hakikisha unawatomb** hadi wakujue wewe ni mwaume jasiri’ Maneno ya baba yakajirudia kichwani mwangu, nikakaza meno yangu huku jasho likiwa linanimwagika, nikiendelea kuhakikisha msichana huyu wa kwanza ninampa dozi iliyo shiba. Msichana wa pili baada ya kuona mwenzake anaelekea kushindwa, ikabibi chukue jukumuu la kumuokoa mwenzake.

Akajipanua miguu huku akikipaka kitumbua chake mate, sikuta asubirie ajipange, nikaanz amashambulizi ya kukila kitumbua chake kwa kasi kali ambayo tangu nianze kukutana na wasichana sikuwahi kuifanya kwa maana ni kasi ambayo inaendana na kung’ata meno huku nikihakikisha kwamba ninawahimili hawa wasichana wawili. Kitu ambacho kinanishangaza kwa leo, waarabu weupe wanachelewa kutoka.

Msichana huyu wa pili kidogo anajitahidi kukana mauno ila bado nimeweza kumuhimili, kwa asilimia kubwa sana, kwa mbali nikaanza kuwasikia waarabu weupe wakianza kujiandaa kutoka nje. Nikamlaza kifudifudi msichana huyu, kisha nikaendelea kula kitumbua chake hadi waarabu weupe wakatoka kwa kasi na wote wakafikizia juu ya makalio yake makubwa. Taratibu nikajikuta nikilala kitandani chali huku nikihema mithili ya mwana riadha aliye kimbia mita elfu moja pasipo kupumzika.

Msichana wa kwanza wala hakujisumbua kunyanyuka kitandani, usingizi ulisha mpitia muda mrefu sana.

Kwa uchovu huu amabao nimeupata, nikajikuta na mimi usingiz mzito ukinipitia wala sikuja kama nimelala kwenye danguro la wasichana wanao jiuza.

Mwanga mkali wa juu, ukaanza kuniumiza macho yangu, taratbu nikaanza kufumbua macho huku nikijaribu kutazama ni nani aliye simama pembeni ya kitanda changu.

“Amka ni muda wa mezoezi” Nilimuona Livna Livba akiwa amesimama huku amevalia nguo za mzoezi, nikajaribu kutazama pembeni ya kitanda, sikuwaona wasichana nilio lala nao, pia mandhari ya chumba nilichopo ni tofautii kabisa na nilipo lala jana usiku.

“Nipo wapi hapa?” Niliuliza huku nikikaa kitako kitandani.

“Upo nyumbani kwa baba yako?” Ikabidi nirudie kutaza mandhari ya chumba kwa mara nyingine, kweli nikatika chumba amacho baba alinonyesha jana. Nikajifunua blangeti na kujikuta nikiwa kama nilivyo zaliwa.

“Poa toka ninakuja?” “Nahitaji unyanyuke sasa hivi na si nitoke” “Nitashukaje hivi bwana, toka kwanza nivae nguo” “Ungejua kwamba mimi ndio nimekuleta hapa jana usiku ukiwa uchi wala usinge niropokea upuuzi wako huo, shuka kitandani”

Livna alizungumza huku akifunua blanget lililo nifunika, sikuwa na ujanja zaidi ya kushuka kitandani. Nikaingia bafuni huku nikiwa mnyonge, magoti yote nikahisi kama yamekosa mawasiliano na mapaja pamoja na miguu ya chini. Taratbu nikaanza kuoga huku nikiwa ninauchovu mkubwa sana. Baada ya kumaliza nikatoka bafuni, nikamkuta Livna akiwa ananisubiria huku nguo za mazoezi zikiwa kitandani.

Taratibu nikaanza kuvaa nguo hizo huku nikiwa bado nina wenge la usingizi. Tukatoka chumba tukiwa tumeongozana na Livna.

Tukaingia kwenye ukumbi mkubwa ulipo katika eneo hili, ukumbi huu umejaa vifaa vya mazoezi. Kusema kweli sina hata hamu ya kufanya mazoezi, kwa shuhuli ya jana ambayo nimeifanya mwili wangu mzima umepoteza kiwango cha nguvu.

Tukaanza mazoezi madogo madogo ambayo, hata kwenye meli Livna alikuwa anatumfundisha, hususani maswala ya utumiaji wa jambia pamoja na vifaa maalumu ambayo hutumiwa sana na Wajapani pale wanapo pigana. Mapigano yote amnayo Livna anatufundisha mimi na Mariam ambaye kwa sasa sifahamu yupo wapi.

“Mariam yupo wapi?” “Sifahamu, tangu jana tulipo toka pale ofisini sikufahamu ni wapi alipo kwenda” “Leo bwana sina stimu ya kufanya mazoezi” “Bado hujadika hata nusu ambayo baba yako anahitaji wewe kuweza kufika katika mafunzo ambayo unayapata” “Sasa haya niliyo nayo yanatosha, sihitaji kufanya zaidi ya hapa” “Utaendelea kufanya zaidi ya hapa” Sauti ya baba ikanifanya kutazama nyuma, nikamuona baba akiwa ameongozana na Marima.

“Wewe ndio mtu pekee ambaye ninakuandaa uje kuikamata Tanzania kwa miaka kadhaa ijayo” “Sijakuelewa baba?” “Kwa sasa ni ngumu kuweza kunielewa, ila utanielewa tu pale muda na wakati utakapo fika. Tanzania kwa sasa kama unavyo fahamu ipo mikononi mwa K2 na si raisi kama watu wengi wanavyo fahamu” Baba alizungumza huku akinisogelea mbele yangu, akanitazama usoni mwangu.

“Nchi kama Tanzania, ni nchi ambayo imejaa ujiri wa kila aina, ila bado wananchi wa hali za chini hawajanufaika kwa kile wanacho jivunia cha kujiita kwamba wao ni watanzania” Maeno ya baba japo ninayaelewa ila yamejaa mafumbo ambayo ni lazima kutuliza kichwa ndio unaweza ukapata kuyafahamu kwa undani zaidi.

“Kuna kizazi ambacho kinaandaliwa na K2, kizazi ambacho kitakuwa ni hatari, kitakuwa kizazi cha maangamizi. Ni nani wa kikizuia? Nyinyi watatu ndio mutaweza kukizuia na kuhakikisha kwamba kizazi hicho kinabadilika na kuwa kizazi cha watu wema” Baba akapgahatua hadi mbele ya Tv kubwa ambayo ipo katika ukumbi huu wa mazoezi, akaiwasha na kuanza kuminya minya kioo chake ambacho kinatumia mfumo wa kama simu za adroid. Akafungua faili moja lililo jaa video nyingi, akafungua video moja ambayo ikaanza kuonyesha matukio ambayo taratibu yakanifanya nianze kuisogelea tv hii na kutakazia macho vizuri.

Ila stori ya Mariam kunielezea kuhusiana na wasichana wadogo, wanao fundishwa mbinu za kijasusi sasa video yenyewe ndio hii. Katika kutazama tazama vizuri nkamuona Mariam na taratibu nikamgeukia na kumtazama. Mariam akajikausha kama sio yeye, mafunzo yao ambayo wanafundishwa kwenye hii meli kubwa kusema kweli sikuwahi kuyaona sehemu yoyote, japo nimepita katika vituo vya kujifunza maswala ya usalama, ila hakuna kitu tulicho fundishwa.

“Hawa ni wasichana ambao kazi yao kubwa na roho yao kubwa wanayo fundishwa ni mauaji. Hawafundishwi kupenda. Msichana mmoja ana uwezo wa kupambana hata na wanajeshi ishirini kwa wakati mmoja wakiwa hawana silaha na wota akawaua kwa kuwavunja vunja shingo zao au kuwatengua viungo vya miili yao” “Cha kushukuru Mungu, mwalimu wao mmoja nimeweza kumchukua ambaye ni huyu hapa Livna, mwanafunzi ambaye alikuja kipindi cha Livna akiwa amesha ondoka ni Mariam” Baba akaminya moja ya video na kuonyesha jinsi Livna alivyo weza kukuzwa katika kituo hicho akiwa tangu binti wa miaka minne hadi kufikia miaka ishirini na mbili na akakabidhiwa ualimua wa wezake.

“Maisha yangu, hadi sasa hivi ninaweza kusema kwamba nimeua watu zaidi ya elfu hata mbili” Maneno ya Livna Livba, yakanifanya nimgeukie na kumtazama kwa mshangao mkubwa.

“Tena watu hao sikuwaua kwa silaha ya aina yoyote, nimeweza kuwaua kwa mikono yangu hii, ambayo kwa namna moja ama nyingine ninaweza kusema kwamba mikono hii ni mikono iliyo jaa damu” Nikashusha pumz taratibu huku nikiwa siamin kwa hichi ninacho kisikia.

“Sa..sasa hivi video mumezitoa wapi?” “Kwenye ile meli kuna CCTV kamera kila eneo na hizi video zote ni rekodi ambazo ninaweza kuziiba kupitia mitambo yao kwa maana nina fahamu kila kitu kuhusiana na kambi hii” “Unafahamu sasa ilipo?” “Hakuna mtu ambaye anafahamu hii kambi ilipo, unaweza kufahamu kila kitu ila si kufahamu ni wapi hii meli ilipo siamishwa na kwa kipindi fulani huwa inahamishwa kwenda kusimamishwa katika meneo mengine.” Baba akabadilisha video hiyo na kuweka picha ya mzee mmoja wa kifrika mwenye ndevu nyingi usoni mwake huku kichwani mwake akiwa amenyoa upara .

“Anaitwa Madouk, huyu ni Mghana na yupo hapa nchini Korea, biashara yake kubwa ni kununua silaha za kivita ndani ya hii nchi na kupeleka barani Afrika.” Baba alizungumza huku akitutazama kwenye nyuso zetu. Akaigeukia Tv na kuendelea kuzungumza.

“Silaha zake anazo zinunua, zinazidi kukuza vita katika matiafa ya West Afrka, hili swala sisi linatuhusu, na leo amekuja kununua sheheni kubwa ya silaha ambazo zikifika Afrika vita yake, hakuna serikali ya Afrika inaweza kuizuia” “Cha kufanya basi, ni kuhakikisha kwmaba munakwenda katika enembalo mchana wa leo atakuwa na sherehe. Hakikisheni kwamba munamteka, au munamuua kimya kimya pasipo mtu yoyote kuweza kugundua hilo” “Samahani bosi” Mariam alizungumza na kutufanya sote tumzatame usoni

“Unahitaj tumuue kwa kutumia sumu, au kwa njia ya silaha?” “Naamini ulipo kuwa kwenye mafunzo uliweza kufundishwa mbinu nyingi za mauji” Livna alijibu na kuniacha mimi ambaye sifahamu uuaji huo unafanyika vipi.

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Naamini Livna amekujibu, ila katika kazi hii cha kujiadhari nacho ni kuhusiana na walinzi wake ambao wote niwalinzi wa kike, na ningumu sana kuweza kuwafahamu” “Sasa baba, kwenye hiyo kazi mimi bado sijafahamu tunamuua kimya kimya kivipi?” “Dany kazi yako wewe ni kukabiliana na Madouk, hakikisha kwamba hatoki mikononi mwako” “Baba hujanijibu swali langu?” “Jibu la swali lako unakwenda kulipata kwneye hiyo kazi. Mavazi na kila kitu kitakacho wafanya mufanikiwe kwenye hivyo kazi kipo tayari.” “Sawa bosi” Baba akaondoka kwenye ukumbi huu na kutuacha na Livna pamoja na Mariam.

“Twendeni tukajiandae, sherehe inaanza saa nane mchana na sasa ni saa tatu asubuhi” “Tukajiandae wapi Livna?” “Wewe twende, kitu kingine ambacho ninahitaji kukisisitiza kwenu nyinyi, hakikisheni mbinu nilizo wafundisha munazitumia ipasavyo, mtu akikosea nitadili yake na atapata adhabu ambayo nilisha wahi kuipata kwenye maisha yangu na hadi leo ninaikumbuka” Livna alizungumza huku akiodoka na kutuacha mimi na Marima tukiwa tumetazamana. Japo nimeshiriki katika kazi nyingi za hatari nilipo kuwa Tanzania kama mwana usalama ila kusema kweli hii kazi tunayo iendea leo inanipa wasiwasi mwingi na wenyewe huwa tukikutwa na hali kama hii ya wasiwasi huwa tunaamini kwamba hiyo kazi tunayo iendea itakuwa na hatari kubwa sana ambayo inaweza kupelekea hata maisha ya mmoja wetu kupotea.





Tukaongozana na Mariam hadi kwenye chumba ambacho kuna vifaa vya maandalizi ya kazi iliyopo mbele yetu.

“Sasa tutajiandaa vipi ikiwa mimi sijapata hata kifungua kinywa?”

“Kifungua kinywa kilisha andaliwa muda mrefu”

“Acha basi mimi nikapate kifungua kinywa, isitoshe kazi yenyewe ni mchana”

Nikaondoka katka chumba hichi na kuelekea katika meza ya chukula, muhudumu maalumua naye dili na swala la meza hii ya chukula akaniandalia kifungua kinywa.

“Thanks”

Nilizungumza na muhudumu huyu akasimama pembeni akinisubia nimalize kupata kifungua kinywa kisha yeye atasafisha meza. Sikutumia muda mwingi kupata hichi kifungua kinywa. Wasiwasi wangu ukaanza kurudi tena pale nilipo fikiria juu ya hii kazi ambayo tunakwenda kuifanya. Nikatamani kuzungumza juu ya hisia zangu ambazo ninahisi zitakwenda kutokea, ila nikakaa kimya na kujiaminisha kwamba mawazo yangu yana makosa. Nikarudi katika chumba na kuwakuta Mariam na Livna wakiwa wmasha jiandaa, wamevalia magauni marefu na nyenye mipasua mizuri, magauni hayo yamewafanya waonekene ni warembo sana.

“Unaweza kuchahgua suti ambayo unaihitaji hapo”

Livna alizungumza huku akinionyesha sehemu suti nyingi zilipo ning’inizwa, nikaanza kukagua suti moja baada ya nyingine, nikapendezwa na suti yenye rangi nyeupe ambayo inavutia sana. Nikavua nguo nilizo zivaa na kuvaa sut hii nyenye shati lake jeupe pamoja ana viatu vyake vyaupe. Livna akafungua kipochi kidogo na kutoa vifaa vitatu vidogo vya mawasiliano ambayo tunaviingiza kwenye masikio na nivifaa ambavyo si rahisi kwa mtu kuweza kuviona hata akisimama karibu nami.

“Sina haya ya kuelezea kuhusiana na vifaa hivi?”

“Yaa”

Kila mmoja akavaa kifaa chake sikioni mwake, Livna alipo hakikisha kwamba mawasiliao kati yetu sote watatu yapo vizuri akatukabidhi kila mmoja kiboksi kidogo cha plastiki, tukavifunua na kukutana na mboni za bandia, kila mmoja ikambidi kuweka mboni hizi za bandia ambazo zinabadilisha muonekano wa macho. Baada ya kuziweka sawa mboni hizi za macho Livna akatupa saa zinazo tofautiana.

“Dany hiyo saa yako, unaweza kuitumia kama silaha, unapo minya hapa pembeni inatoka kijisindano chenye sumu moja kali ambayo ukimchoma nayo mtu, ndani ya dakika mbili anakuwa amekauka na kukakama kama mti mkavu”

Nikajaribu kuminya batani ambayo Livna amenieleza, na kweli kikatoka kisindano kidogo ila chenye ncha kali sana.

“Mariam hiyo saa yako inaweza kutoa vitone vitu tu, vya sumu ambavyo vikidogoka mwilini mwa mtu, cha kwanza ni lazima kupoteza kumbukumbu na pili sumu yake inamuua taratbu. Kuwa makini katika hilo”

“Sawa”

“Hatutumii bastola?”

“Hatuwezi kutumia sila yoyote zaidi ya hii mikono yetu, nilicho weza kuwasaidia mimi ni hizo saa, ambazo kwa nje zinaonekana ni saa ila nii silaha hatari sana. Kikubwa ni sisi kuwa makini”

“Sawa Livna”

Nilizungumza huku nikitabasamu.

“Tutakwenda kwa dakika stini, dakika abobaini na tano za mwanzo ni za kusoma mazingira, kuweza kuwafahamu ni wasichana wangapi wamekaa karibu na Madouk, wangapi ambao wanaweza kuwa ni hatari kwetu.”

“Na hizo dakika kumi na tano zilizo baki?”

“Hizo ni dakika za kuahakikisha tunaondoka na Madouk akiwa salama, pasipo kufanya hivyo basi uweze kutambua tutashindwa kufahamu ni nani anaye husika nyuma ya Madouk”

“Mmmmm”

“Unaguna nini Dany?”

“Ahahaaa nimeguna hayo mambo ya Madouk, hivi si mungenipa hata picha yake, kwa maana anaweza kumuona na usimtambue kwa haraka”

“Dany wewe ulikuwa mpelelezi wa seriklali, ninaamini mumefundishwa mambo mengi sana, kwa hili sidhani kama utalishindwa”

“Ok nimekuelewa mkuu”

Nilizungumza huku nikitabasamu. Tulipo hakikisha kwamba kila kitu kipo sawa, tukatoka nje nakuingia kwenye gari mbili tofauti za kifahari, mimi nikapanda gari moja na Mariam kisha Livna akaingai kwenye gari jengine na kutangulia mbele na yeye ndio anaye tuongoza huko tunapo elekea.

“Mbona unaonekena kama una mawazo?”

Mariamu aliniuliza huku akiendelea kuendesha gari.

“Moyo wangu unasita sana kuifanya hii kazi”

“Kwa nini?”

“Yaani ninahisi kama kuna jambo baya linakwenda kutokea mbele huko”

“Dany acha woga, kila jambo mtu unatakiwa kupambana kuhakikisha kwamba unafanikiwa katika kile unacho kihitaji kukifanya”

“Ni kweli, ila hadi sasa hivi nina maswali mengi ambayo ninahitaji kumuuliza baba”

“Maswali gani?”

“Ahaa ni maswali binafsi ya kifamilia”

“Inabidi ukipata muda uweze kukaa naye chini na kuzungumza naye kwa kina”

“Yaa ngoja tumalieze hii kazi kisha kila kitu nitaanza kukifwatilia”

sUkimya ukatawala tena ndani ya gari, tukiwa tumesimama kwenye foleni ndefu ya magari. Macho yangu nikaendelea kuyapatia chakula cha kutazama majengo ambayo yamejengwa kwa ustadi mkubwa.

“Hivi Tanzania itakuja kuwa kama hivi lini?”

“Ahaa hadi ije kuwa kama hivyo, basi wapite maraisi kama nane hivi na wote wawe wawajibikaji kama raisi huyu wa sasa”

“Mmmmm”

“Mbona unaguna?”

“Naguna kwasababu huju kama raisi amekaliwa kooni na K2, hata ile mikataba uliyo iona ndio ilizidi kuliweka taifa katika wakati mgumu”

“Ila si kosa la raisi, ni kosa la K2”

“Ndio, kikubwa raisi anahitaji msaada, kumuwezesha katika harakati zake za kulijenga taifa”

“Kweli. Kusema kweli ninaipenda sana nchi yangu, muda mwengine tulikuwa tunafanya kazi za kuisalitii nchi kwa ajili ya woga wa kuhofia kifo”

“Hivi ile siku munakwenda kuyatege yale mabomu uwanja wa taifa ulijisikiaje?”

“Ahaaa nlilia kama lisaa moja kabla ya kwenda kuanza kuifanya ile kazi, nilizikabidhi roho za watu ambao wangekufa mikononi mwa Mungu, japo kiupande mwengine nilikuwa ninasali atokee hata malaika ambaye angeweza kuepusha lile swala na kweli ukatokea wewe”

“Tumefika, acheni stori, akili zenu muziweke kwenye kazi na kile kitu kiende kwa jinsi tulivyo panga na sitegemei kuona makosa yanajitokeza kati yetu”

“Sawa mkuu”

Nilimjibu Livna kupitia kifaa hichi maalumu ambavyo vipo masikioni mwetu. Baada ya magari kusimama sehemu maalumu ya maegesho tukashuka kwenye gari, Maria akazunguka nilipo simama na mkono wake wa kilia akauingiza kwenye mkono wangu wa kushoto. Muhudumu wa hii hoteli inapo fanyika sherehe hii akatufwata, akatukaribisha huku akitangulia mbele kutuonyesha ni sehemu gani tunayo paswa kuweza kuingia.

Mariam akatoa kadi nzuri ya kuingilia katika sherehe hii ambayo ikapokelewa na baunsa mmoja aliye jazia, akaitazama kadi hii kisha akamipiga muhuri na kumrudishia Mariama na kuturuhusu kuingia ndani ya ukumbi huu.

Watu wengi wanao onekena ni matajiri wamezagaa kila eneo la hoteli hii, huku wengi wao wakiwa wamesimama na glasi zenye vinywaji wanavyo vitumia. Muhudumu wa kike aliye beba glasi zenye vinywajia akasimama mbele yetu, kila mmoja akachukua glasi yake na taratibu tukaanza kunywa vilevi hivi.

“Kuweni makini kwa kila kitu munacho kunywa”

Livna alizungumza nasi akiwa amesimama mbali kidogo na sehemu tulipo simama.

“Sawa”

Sherehe ilazidi kusonga mbele huku kukiwa na waimbaj wa kikorea, wanao tumbuiza nyimbo kwa lugha yao. Muda wote ambao nipo hapa ukumbini macho yangu yakawa na kazi ya kutazama kila sehemu kuhakikisha kwamba ninagundua ulinzi ulio imarishwa sehemu hii ni wa aina gani. Kusema kweli japo nimefanya kazi za kuimarisha ulinzi hadi wa kumlinda raisi, ila hadi muda huu sifahamu mgeni mualikwa ni nani na mlinzi ni nani jambo linalo zidi kunipa wasiwasi mwingi.

“Hivi umegundua mlinzi hadi sasa hivi ni nani kwenye huu ukumbi?”

Nilimuuliza Mariam huku nikiwa nimemkumbatia tukicheza mziki huu wa taratibu unao imbwa na bint wa kikorea.

“Hata mimi sijagundua”

“Muhusika umemuona?”

“Sijamuona”

“Livna tupe ripoti”

“Sijaona, kaeni hapo mulipo”

“Kwa nini?”

Livna hakujibu swali letu, na kila nilipo mtazama kama ninaweza kumuona ndani ya ukumbi, sikuweza kumuona. Nikamminya Marima kiunoni mwake baada ya kuwaona wasichana wawili wakiwa wanakuja sehemu tulipo simama tukiwa tunacheza. Mariam kwa utaratibu akageuka na kuwatazama.

“Dany hii hatari”

Mariam alizungumza huku akiniachia mwili wangu, wasichana hawa walio valia mavazi yanayo fanana, kitendo cha kutukaribia tu wakaanza kurusha mateke mfululizo yaliyotufanya tujipange kwa mashambulizi.

Wageni waliopo wakaanza kukimbia mfululizo ndani ya ukumbi huu. Kusema kweli kwenye maisha yangu yote huwa sipendani kupambana na mwanamke, ila inapo fikia hatua inabidi mtu kuweza kufanya hivyo japo wasichana hawa wanavisu ambayo kama ukileta uzembe nilazima wakuchome navyo,

“Mariam mbona sielewi kinacho endelea?”

“Hawa ni wezangu ambao nilikuwa nao kambini kule”

Mariam alizungumza huku akiendelea kujitahidi kumuhimili msichana anaye pambana naye. Kidogo msichana niliye naye kidogo ninamuhimili hata muda mwingine ninatimia nguvu kumdhibiti.

Wasichana hawa tukawahimili na kuwatembezea kichapo kikali kilicho wafanya waanguke chini na wajitahidi kunyanyuka. Mariam akazungumza maneno kwa kutumia lugha ya kifaransa akionekana kuzungumza na hawa wasichana. Msichana aliye kuwa akipambana naye alizungumza huku akimwagikwa na damu puani na mdomoni mwake.

“Anamaanisha nini?”

“Dany tumekwisha”

Mariam alizungumza baada ya msichana huyo kuzungumza maneno hayo.

“Anasemaje?”

“Wamekuja wengi sio wao na huu ni mtego”

“Mtego kivipi?”

Tukaona kundi kubwa la wasichana wakiingia katika ukumbi huu wakiwa na silaha za kupigania wamezishika mikononi mwao. Tukiwa katika kuwashangaa shangaa huku wakituzunguka, tukamuona Livna Livba akiwa amepishwa na wasichana hao na kusimama mbele yao akitupigia makofi.

“Safi safi safi sana”

Livna alizungumza huku akipiga makofi ya dharau, akamtazama Mariam, akaanza kumpandisha na kumshusha kisha akanitazama mimi.

“Ulihisi baba yako anaweza kunitumikisha mimi?”

Maneno ya Livna yakabaki yakiwa yameniduwaza kabisa, kwani kupitia baba yangu nimemfahamu Livna na tumemchukulia ni kama mwalimu kwetu kwa mafunzo ambayo alitupatia.

“Siwezi kuisaliti familia yangu kwa ajili ya mtu mmoja. Kule ndipo nilipo lelewa na nikawa mimi Livna Livba”

“Livna kwa nini unafanya hivyo?”

Mariam aliuliza huku machozi yakimlenga lenga.

“Wewe ni familia yetu, unatakiwa kurudi kambini kwetu ukapokee adhabu yako”

“Nitapambana hadi kufa na si kurudi kwenye ile meli na kwenda kuishi kama mfungwa kwenye mateso makali ya mapambano”

“Waooo maamuzi mazuri sana. Au unapambana kwa ajili ya huyu Malaya Dany, aliye lala na wasichana wengi jana usiku na leo unaseme unampenda?”

Mariam akanitazmaa kwa macho ya kushangaa, nikatingisha kukataa kwamba sijafanya.

“Natambua ya kwamba waswahili nyingi ni wabishi, ngoja uone”

Livna akakabiziwa rimoti ya Tv na binti mmoja, akawasha Tv kubwa iliyopo hapa kwenye ukumbi. Nikaona video nikiwa nimelala na wasichana wale wa jana usiku, video hii iliyo rekodiwa na simu, ikaonyesha jinsi Livna anavyo nifunikka na shuka na nikabebwa na baunsa mmoja na kutoka chumbani humo huku wasichana nilio lala nao wakiacha kitandani.

“Huyo ni mwanaume wa kuwa naye anaye tomb** wasichana hadi anashindwa kujitambu?”

Livna aliendelea kuzungumza naneno ambayo yalizidi kukasirisha Mariam ambaye ninatambua kwamba ana nipenda. Taratibu Mariam akapiga hatua mbili mbele na kuniacha mimi nyuma.

“Mari…..”

Kwa jicho alio nitazama nalo Mariam nilijikuta nikinyamaza kimya, Mariam akaachia msunyo mkalia na kumsogelea Livna sehemu alipo simama.

“Sipambani kwa ajili ya huyu mwanaume, ila ninapambana kwa ajili ya uhuru wangu”

Mariam baada ya kumaliza kuzungumza maneno hayo, akamtandika Livna kichwa kizito cha pua, na kumfanya ainame chini huku akitoa mlio wa maumivu, kitendo kilicho pelekea wasichana wota hawa kuanza kutushambulia kwa hasira kali.





Nikazidi kujitahidi kadri ya uwezo wangu kuhakikisha ninawahimili hawa wasichana wenye mafunzo makubwa ya kupambana, kila nilivyo jaribu kadri ya uwezo wangu, nilijikuta nikishindwa kabisa, kipigo ambacho ninakipata mfululizo kikanifanya taratibu kuanza kuishiwa nguvu na kuanguka chini, kwa macho yaliyo jaa ukungu wa damu inayo nimwagika kutoka kwenye baji la uso baada ya kuchanwa na kitu chenye makali, nikamuona jinsi Mariam naye akipokea kipigo kikali hadi akaanguka chini na kuulia kimya. Msichana moja pasipo kuwa na huruma, akanikanyaga kichwani mwangu kwa kiatu chake chenye ncha kali na kujikuta giza jingi likinitawala kwenye mfumo wa kuona, taratibu mawasiliano ya ubongo na mwili yakakatika.

***

Mlio wa mashine ambayo sifahamu ni mashine ya nini, nikaanza kuisikia kwenye masikio yangu. Taratibu nikafumbua macho yangu, ukungu mzito uliopo kwenye macho yangu sikuweza kuona chochote katika chumba hichi, nikazidi kujitahidi kuyafumbua macho yangu, kwa sekunde kadhaa nikaanza kuona baadhi ya vitu ambavyo taratibu nikaanza kuvigundua kwani si mara yangu ya kwanza.

Taa mbili za mwanga mweupe zilizo juu ya chumba hichi, zikanifanya niweze kuyaona mandhari ya chumba hichi ambacho nimegundua ni hospitalini.

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

Mashine ya kugemea iliyopo pembeni yangu iliyo unganishwa na mtungi wa hewa ya oksijeni, vikazidi kunihakikishia kwamba eneo nililopo ni hospitalini. Kadri muda ulivyo zidi kwenda ndivyo macho yangu yalivyo weza kuona mandhari ya chumba hichi ambacho sijamuona mtu yoyote.

Nikiwa katika hali ya kufukiria ni kitu gani kilicho pelekea mimi kuwa katika hali hii, mlango wa hichi chumba ukafunguliwa na akaingia nesi wa kike aliye valia mavazi meupe ya kupendeza.

“Karibu duniani”

Nesi huyo alizungumza huku akinitazama usoni mwangu.

“Nipo wapi?”

“Upo sehemu moja isiyo na jina”

“Isiyo na jina?”

“Yaa ila mimi sio mzungumzaji mkubwa katika hilo, ila yupo ambaye atazungumza”

Nesi huyo akatoka chumba humu, huku kwa mara kadhaa akinitazama kitandani nilivyo laa. Nesi huyu mwenye asili ya kiafrika amenifanya nianze kuwaza mambo mengi sana akilini mwangu, na kitu kingine ambacho kinanichanganya ni yeye kuwa na uwezo wa kuzungumza Kiswahili. Nikaendelea kulala kwenye hichi kitanda huku nikitafakari mambo mengi sana kwenye maisha yangu. Baada ya lisaa moja akaingia mwana mama mrefu aliye valia gauni jeusi pamoja viatu virefu. Ana umbo lililo jengeka vizuri kwa mazoezi huku makalio yake ni makubwa kiasi. Akatembea kwa hatua za taratibu hadi pembeni ya kitanda changu, huku akinitazama usoni mwangu akiwa na tabasamu pana.

“Habari yako kijana”

Mama huyu alizungumza kwa Kiswahili fasaha kabisa hadi mimi mwenyewe nikabaki nimemkodolea macho tu.

“Habari yako kijana?”

“Ahaa salama tu”

“Kwanza nina furaha kukuona ukiwa upo hai”

Mama huyu alizungumza huku akivuta kiti na kukiweka pembeni ya kitanda, kisha akakaa huku ananitazama usoni.

“Hapa ni wapi?”

“Upo Afrika kusini”

“Afrika kusini!!!!”

Nilijikuta nikishangaa, nikajaribu kukaa kitaki kitandani ila nikajikuta nikiwa nimeshindwa kutokana na maumivu makali ya kichwa.

“Tulia tu kijana huna haja ya kunyanyuka hapo ulipo”

“Afri…afrika kusini nimefikaje?”

“Mmmm ni kiji stori kirefu, ila hali yako ikitengemaa nitakuambia umefikaje?”

“Samahani mama yangu naamini nimetengemaa na ninajielewa, hembu nieleze nimefikaje Afrika kusini, ukiniambie hilo tu, mambo mengine yanaweza kufwata”

Mama huyu akashusha pumzi taratibu huku akivua kofia lake alilo livaa, akaliweka pembeni juu ya meza kisha akanitazama kwa macho yake makubwa kiasi na malegevu.

“Naitwa Matilda, ni mfanya biashara mkubwa hapa Afrika kusini, nina makampuni yangu ma…”

“Mama yangu hilo sio jibu la swali langu, wewe nieleze nimefikaje hapa Afrika kusini?”

Ilinibidi kumkatisha mama huyu ambaye anaonekana kujizungumzia yeye mwenyewe kuliko kulijibu swali langu.

“Nilikuokota kwenye moja ya mtaro kule maeneo ya Soweto, ulikuwa hujitambui, na ulikuwa katika nusu ya kifo kwani mwili wako ulisha anza kutoa harufu kali”

Maeno ya Matilda yakanifanya nizidi kushangaa na kujiuliza mimi mwenyewe, ni kitu gani kinacho endelea. Matilda, akatoa simu yake, akaminya minya na kuweka upande video na kunikabidhi niione video hii. Mwili ulio lala kwenye mtaro unao onekena kwenye video hii iliyo rekodiwa na simu ni mimi mwenyewe, nimelala nikiwa na suti yangu ambayo imechafuka, kichwa changu kimelowana damu nyingi na kwa jinsi nilivyo lala kifudi fudi, hapakuwa na mtu wa kunigusa wala kunisaidia.

“Nilipo fika katika eneo hilo, nilimuagiza kijana wangu kukugeuza na kukutazama kama upo hai, alipo kukuta upo hai, ikanibidi kuweza kukuwahisha hospitalini hapa, madaktari wakajitahidi kadri ya uwezo wako na wakafanikiwa kuyaokoa maisha yako”

Nilihisi mwili mzima ukizizima, baada ya kumaliza kuitazama video hii, nikamkabidhi Matilda simu yake na kuanza kufikiria ni kitu gani kilitokea baada ya kupigwa na wale wasichana. Japo hapo katikatis ikumbuki kitu chochote ila swali jengine linalo niumiza akilinini inakuwaje tukio lifanyike Korea na mwisho wa siku nije kutupwa Afrika kusini.

“Nilifurahi sana kukusikia unazungumza kiswahili kwa maana mimi mwenyewe ni mswahili, japo asili yangu ni Kenya ila mama yangu ni Mtanzania”

Matilda alizungumza kuzidi kujitambulisha, kwangu hilo wala halikuwa swala la muhimu kwa wakati huu, maumivu ya kichwa na mawazo yakaanza kupelekea hadi damu za puani zikaanza kutoka. Matilda kwa haraka akawaita madaktari, walio ingia kwa kasi katika chumba hichi na kuanza kunihudumia kwa kunichoma sindano za kupunguza maumivu na sindano ya pili waliyo nichoma ikanifanya ukungu ulio kuwa umetawala awali machoni mwangu kurudi tena na usingizi mzito ukanipitia.

***

Nikazinduka kutoka usingizini, nikamkuta Matilda akiwa amelaza kichwa kwenye kitanda changu huku akiwa amekalia kiti alicho kuwa amekali. Nikamchunguza vizuri, mavali aliyo kuwa ameyavaa kwa mara ya kwanza ni tofauti na haya aliyo yavaa hivi sasa. Nikausogeza mkono wangu wa kulia hadi kwenye mashavu yake, sikusita kuyashika na kuanza kuyapapasa, jambo lililo mfanya Matilda kuyafumbua macho yake.

“Umeamka?”

Alinniuliza kwa sauti ya upole iliyo jaa wenge la usingizi.

“Ndio habari yako?”

“Salama”

Matilda alizungumza huku akikaa vizuri, akakaushika mkono wangu wa kulia nilio kuwa nimempapasa shavuni mwake.

“Ni siku yangapi tangu nilale?”

“Ni masaa kama ishirini hivi, siku haijakamilika”

“Madkatari wamesema ninasumbuliwa na nini?”

“Watatupa majibu baada ya hali yako kuwa vizuri, kwa sasa hivi hata mimi hawaja niambia”

“Ahaa sawa”

Katika kuichunguza mikono ya Matilda, katika kidole cha kiganja cha mkono wa kushoto nikaona pete ya ndoa. Jambo hilo Matilda akaligundua kwa haraka sana baada ya kuyaona macho yangu yameganda kwenye hiyo pete.

“Nimeolewa”

Matilda alizungumza huku akitabasamu, ikanibini na mimi kutabasamu.

“Hongera”

“Asante, ila nd…….”

Matilda hakumalizia sentensi yake mlango ukafunguliwa kwa nguvu, akaingia mwanaume mwenye upara alite jazia misuli, paji la uso wake limejaa mistari ya hasira, kwa haraka Matilda akaniachia kiganja changu. Mwanaume huyo akanitazama kwa macho makali yaliyo jaa hasira. Akaanza kutembea kwa haraka akihitaji kunifwata kitandani, ila Matilda kwa haraka akasimama na kumzuia mwanaume huyu huku wakizungumza lugja ya Kizulu. Mwanaume huyu kwa hasira akamtandika kofi zito Matilda lililo mfanya kuangukia kwenye miguu yangu kitandani. Kabla mwanaume huyu mwenye hasira hajanifikia, Matilda akamzuia tena huku akizungumza akionekana kumuomba asinifanye chochote huku machozi yakimwagika. Mwanaume huyu akamkaba koo Matilda huku akiwa amemgandamiza kwenye ukuta, cha kumshukuru Mungu, askari wanne wenye vifaa vya shoti ya umeme mikononi mwao wakaingia na kuanza kumkandamiza navyo mwanaume huyo vya mgongo na kumfanya amuachie Matilda aliye jikuta akikaa chini pasipo kupenda, na wakafanikiwa kufunga pingu mikononi mwake.

Wakamtoa mwanaume huyo aliye endelea kuzungumza maneno ya hasira huku kwa mara kadhaa akinitazama kwa ukali sana.

“Dany pole sana”

Matilada alizungumza hukua kinyanyuka kwa hasira, akanifwata nilipo lala na kuanza kunitazama kwenye miguu yangu kama kuna sehemu nimeumia au laa.

“Sijaumia ila pole na wewe”

“Ohoo Mungu wangu nimechoka sasa na hii ndoaa”

Matilda alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake, hapo ndipo nilipo gundua kwamba mwanaume huyu ni mume wake wa ndoa.

“Imekuwaje kwani?”

“Sifahamu Dany, ila huyu mwanaume ataniua sasa jamani, huu sio wivu ni ukatili”

Matilda alizungumza huku machozi yakimwagika. Nikatamani kumfuta machozi Matilda ila nina hofia mumewe anaweza kurudi muda wowote na kama akitukuta kwenye hali hiyo basi nitambue kinacho fwata hapo nitauliwa kwa maana sina uwezo wa kufanya kitu chochote hapa kitandani kutokana bado sijapona vizuri.

“Tena inabidi nikuhamishe hospitali araka iwezekanavyo”

“Kwa nini?”

“Dany nisikilize mimi, huyu mwanaume ni katili sana, ana pesa nyingi, anaweza kukufanya chochote hata kukuua kwa mikono yake mwenyewe. Hapendi mke wake mimi nisaidie watu hususani wanaume”

Matilda alizungumza huku akisimama, akapiga hatua hadi mlangoni, akachungulia nje akatazama nje kwa sekunde kadhaa, kisha akaufunga mlango na kupiga hatua hadi dirishani, akachungulia nje, kisha akatoa simu yake akaminya minya namba kadhaa na kuiweka simu sikioni. Akazungumza lugha ya Kizulu, alipo maliza akakata simu.

“Nimempigia dereva wangu wa siri, ambaye atafika hapa na gari la wagonjwa, nitakuhamisha hospitali”

“Kwa nini unanifanyia yote haya wakati unafahamu mume wako haitaji ufanye vitu kama hivi?”

“Dany hilo swali kwa sasa kwangu sio muhimu, nahitaji tufanye hichi nilicho kisema.”

Matilda akatoka chumbani huku na kuniacha nikiwa katika maswali mengi huku nikiwa nimejawa na woga wa kujiuliza endapo mumewe atafika wakati huu nikiwa peke yangu hivi itakuwaje.

Baada ya dakika tano Matilda akarudi akiwa ameongozana na madaktari wawili, akazungumza nao lugha ya kizulu ambayo siielewei kitu chochote. Madkatari wakawa wanatingisha vichwa kuonekana wanakubaliana na kile ambacho Matilda anakizungumza. Walipo maliza kuzungumza Madaktari wakaanza kuniweka vizuri kwenye kitanda, dribu la maji wakalichomoa kwenye sehemu waliyo kuwa wamelining’iniza, daktari mmoja akalishika huku akiwa amelinyoosha juu kwa kutumia mkono wake wa kulia.

“Wanakupeleka kwenye gari la wagonjwa limeshafika, kuna hospitali inaitwa St Maria, ndipo wanapo kupelekea, mimi ngoja nikamalizane naye huyu mwanaume kisha nitakuja kuuangalia muda wowote”

“Asante sana Matilda kwa msaada wako”

“Usijali Dany, nilicho kifanya kwako ni kidogo sana”

“Hapana kuyaokoa maisha yangu, wakati nilikuwa nusu mfu, ni jambo la kukushukuru sana dada yangu”

“Asante Dany ila mwenyezi Mungu ndio msaada wa kila kitu. Kule yupo sister mmoja anaitwa Matlda naye ndio atakupokea na kila kitu atakuafanyia”

“Shukrani”

Matilda akanipa mkono wa kulia kama ishara ya kuniaga, na mimi nikampa mkono wangu wa kulia, tukatazamana machoni kwa sekunde kadha, na kumfanya Matilda kumwangikwa tena na machozi, akanichia mkono wangu na kuelekea dirishani na kuangalia nje na kuniachia mkono. Kwa ishara akawaomba madaktari hawa kunitoa ndani ya hichi chumba na ndivyo madaktari walivyo anza kufanya.

Kwenye kordo hii ndefu, ninapishana na watu wengi, wengine wakiwa na afya mgogoro, wengine wakiwa wamekuja kuwatazama wagonjwa. Tukaingia kwenye lifti huku nikiwa nimelala kwenye kitanda changu. Hapo ndipo nilipo gundua kwamba nilikuwa gorofa namba kumi. Taratibu tukaanza kushuka chini huku sote tukiwa kimya kwenye hii lifti. Ilipo fika chini, ikajifungua na madaktari wakaanza kukisukuama kitanda changu chenye matairi hadi kwenye maegesho ya magari, wakaninyanya na kuniingiza kwenye gari la wagonjwa ambalo lina kitanda chake, humo ndani ninakuta madaktari wawili mmoja akiwa wa kiume na mwengine wa kike. Wakanipokea na kuufunga mlango, tukaondoka eneo hili la hospitalini, huku madaktari hawa wakinihudumia huduma ndogo ndogo.

Ukimya ukaendelea kutawala hapakuwa na mtu aliye zungumza na mwenzake. Ila katika kuchunguza hawa madaktari, huyu nesi wa kike nikamuona ana tattoo kama ya mume wa Matilda kwenye mkono wake wa kushoto jambo lililo anza kunipa wasiwasi, nikamgeukia daktari huyu wa kiume wala sikuona kama ana tattoo yoyote kwenye mkono wake. Gafla daktari huyu wa kike akatoa bastola yake iliyo fungwa kiwambo cha kuzuia sauti akampiga daktari wa kiume ya kichwa na kumfanya afariki hapo hapo. Daktari huyu wa kike akavua wigi la nyele nyeusi alizo kuwa amezivaa na kubakiwa na mwele za rangi ya dhahabu. Nikajaribu kujiokoa misha yangu kwa kumshika japo mkono wenye bastola, ila sikuwa na guvu ya kupambana naye kwani alinitandika ngumi moja ya kifua iliyo nifanya nijisikie maumivu makali sana, akachukua sindano iliyo jaa dawa kwenye bomba lake na kunichoma shingoni na hapo hapo nikazidi kulegea na kupitiwa na usingizi mtizo tena




Kama ilivyo kuwa awali nilivyo kumbwa na ukungu mwingi katika macho yangu ndivyo jinsi ilivyo hivi sasa kila kitu kilichopo mbele yangu ninajionea mauza uza, hata watu walio simama mbele yangu siwezi kuziona sura zao vizuri. Masikio yangu yanasikia kile wanacho kizungumza ila kukielewa ndio shida kwani lugha wanayo itumia ni Kizulu ambacho niliwahi kukisikia katika tamthjilia moja ya kiafrika Kusini inayo itwa Isidingo.

Maji mengi na ya baridi niliyo mwagiwa mwilini mwangu yakanifanya nitetemeke kwa baridi hata ukungu uliopo machoni mwangu wote ukatoweka. Wasichana wanne wamesimama mbele yangu wakiwa wamevalia mavazi ya kijeshi huku kila mmoja kiunoni mwake akiwa amechomeka bastola yake, kusema kweli haya mazingira yanaogopesha sana kwa maana yana taa moja kubwa inayo toa mwanga mkali ndani ya chumba hichi ambacho kuta zake zimechakaa kupita maelezo. Binti mmoja aliye simama pembeni ya ndoo ambayo ninaamini ndio iliyo kuwa na maji aliyo nimwagia mimi mwilini mwangu, akanisogelea karibu yangu katika kiti nilicho kikalia huku nikiwa nimefungwa kamba ngumu katika hichi kiti na sina uwezo wa kufanya kitu chochote hata kuusogeza mguu wangu mbele siwezi.

Akanishika kidevu changu kwa kiganja cha mkono wake wa kushoto, akanitazama uso wangu vizuri huku akiwa ameusogeza uso wake karibu kabisa na uso wangu, Macho yake makubwa kiasi ambayo anajua kuyatoa kwa kumuogopesha mtu hata mimi yakaniogopesa kuyatazama.

Wakazungumza maneno ambayo sikuyaelewa kabisa kisha akarudi kusimama pembeni ya kindoo chake. Mlango wa chuma ndani ya hiki chumba ukafunguliwa, akaingia mzee mmoja wa kizungu mwenye ndevu nyingi nyeupe pamoja na nywele zilizo nyonyoka katika kichwa chake nazo pia zina rangi nyeupe kutokana na uzee wake. Koti jeupe na miwani kubwa aliyo ivaa pamoja na kipima mapigo ya moyo alicho kining’iniza shingoni mwake, anaonekana kabisa kwamba huyyu mzee ni daktari. Akaweka kabegi kake kadogo mezani, akakifungua na kutoa gloves mbili nyeupe na kuzivaa. Kisha akachukua kijitochi kidogo sana na kunisogelea sehemu nilipo. Akanifumbua jicho la upende wa kulia akanimulika mulika na kijitochi chake kisha akanifumbua jicho la upende wa kushoto na kunimulika mulika na kijitochi hicho, alipo ridhika akarudi kwenye meza yake.

Mambo yote hayo yanayo fanyika hadi sasa hivi sielewi wana maana gani kunifanyia uchunguzi kwenye mwili wangu, sisitoshe sifahamu ni sehemu gani ambayo nipo. Daktari huyu akanisogelea akiwa na kipima mapigo ya moyo, akaniwekea kifuani na kusikilizia kwa muda, kisha akatingisha kichwa chake na kuwafanya wasichana hao kutazama kwenye nyuso zao kisha wakanitazama na mimi. Mzee huyu akarudi tene kwenye meza yake alipo kiweka kijibegi chake, akatoa mashine moja amnayo ndio mara yangu ya kwanza kuiona kwenye masisha yangu, akanisogelea sehemu nilipo kaa wasichana wawili wakanishika mkono wa kushoto huku mzee huyo akiiwasha sindano hii ambayo kwa mbele ina ncha ndogo kiasi. Jasho jingi lijanimwagika mwilini mwangu, sikukuja dhamira yao ya kunishika mkono tena kwa nguvu ni nini.

Mzee huyo akanyanyua mashine hiyo taratibu na kuniwekea kwenye mkono wangu wa kushoto kisha akanichoma kitu kilicho ingia kwenye mwili wangu na kunisababishia maumivu makali sana. Mzee huyo akarudi mezani mwake huku wasichana hawa wakiendelea kunishika mkono wangu kwa nguvu zao zote. Mzee huyo akarudi na sindano maalumu za kushona ngozi za binadamu ikiwa na uzi wake. Akaanza kunishota taratibu kisha akaninifunga bandeji ambalo ndani ya muda mchache likawa gumu sana. Wasichana hawa wakaniachia mkono wangu, mzee huyu ambaye ni daktari akaanza kurudisha vitu vyake kwenye kabegi kake, akakafunga na kuondoka zake na kuniacha na wasichana hawa wa kiafrika kusini. Msichana mmoja akatoka akaniacha na wezake ambao wanaendelea kuzungumza mazungumzo yao ambayo hadi muda huu sijaelewa chochote. Msichana huyo akarudi akiwa ameshika nguo za rangi ya chungwa pamoja na tisheti. Akanirushia mbele yangu pasipo kuzungumza chochote, kwa ishara akamuamuru mwenzake kujifungua kamba walinzo nifunga. Kwa umakini mkubwa mwenzake huyo akanifungua kamba zote na nikabaki huru.

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

Wakanilazimisha kuvua nguo zangu, na kuniamuru kuvaa nguo walizo niletea, kutokana ni eneo ambalo silifahamu, ikanilazimu kuwa mpole na kukubali kuvua nguo zangu mbele yao na kuvaa nguo walizo niletea japo wote hakuna hata mmoja aliye pepesa jicho lake pembeni, walinitazama maungo yangu kwa kunikazia macho. Nilipo maliza, wakaniamuru kunyoosha mikono yangu mbele, nikafanya hivyo, msichana mmoja akanifunga pingu, kisha mwengine akanifunga nyororo ndefu kwenye miguu yangu ambayo ipo peku peku. Wasichan wawili wakatangulia mbele na wengine wawili wakafwata nyuma na mimi nipo katikati. Tukaanza kutembea kuelekea mlangoni, lango hili la chumba likafunguliwa na sote tukatoka na kuanza kutembea kwenye kordo ndefu ambayo ina taa zenye mwanga hafifu pamoja na kamera za ulinzi. Kila sehemu ambayo ninapita nikajaribu kuhakikisha kwamba ninaitazama vizuri hata hapo mbeleni nitaamua kutoroka basi iniwie urahisi katika kuikamilisha dhamira yangu hiyo.

Mlamgo mkubwa ulipo mbele yetu ukafunguliwa. Masikio yangu yakakumbana na makelel ya watu wengi sana, jambo lililo nistua zaidi ni jinsi nilivo ona watu hawa ambao ni wafungwa wakishangilia wapiganaji wawili waliopo uliongoni wanao mwagikwa damu nyingi kutokana na kujeruihana.

Gereza hili, ni kubwa sana na sehemu tuliyopo nimeanza kuigundua kwani ni kwenye mapango tena yaliyopo chini ya ardhi. Hii ni kutokana kila sehemu ya hili pango kumewekwa taa zenye mwanga mkali ambazo zinalifanya eneo zima kuonekana mchana. Wafungwa baadhi ambao wapo kwenye makukwaa yaliyo uzunguka uwanja huu wa mapambano ulio zungushiwa nyavu ngumu na za kuchoma choma. Wakaanza kunishangilia kwa shangwe kubwa, kusema kweli omba kusikia tu kwamba kuna mageraza ila usiombe kuingia magerezani. Kwani ndani ya gereza hili kuna wanaume wenye miili mikubwa sana, tena ya kujazia iliyo gawanyika gawanyika kutokana na mazoezi makali ya kunyanyua vyuma wanayo yafanya kwenye gereza hili.

Wengi wao wamejichora kwenye miili yao wengine wamejichora michoro ya kutisha hadi kwenye vchwa vyao ambavyo wamevinyoo nywele zote na kuvipaka mafuta mengi ya kumeremeta. Katika kulichunguza gereza hili sijaona askari wa kiume hata mmoja, askari wote ni wakike tena ni wanajeshi. Msichana aliye nifunga pingu za mikononi akanifungulia kisha mwazake naye aliye nifunga pingu za miguuni akanifungulia. Wakaondoka na kuniacha nikiwa nimesimama eneo ambalo nikishuka ngazi nne kwenda nchini ninaingia kwenye viti vya wafungwa washangiliaji wa pambano hili.

Kushuka nikawa ninatamani sana, ila kila mfungwa ninaye gonganisha naye macho, alinifanyia kituko chake kwa ishara, wapo walio nionyeshea ishara ya kunichinja shingo yangu, wapo walio nionyeshea ishara ya vidole vya kati, wapo walio nionyeshea ishara za kunizomea, ili mradi kila mtu amefanya vitisho vyake.

Ni kijana mmoja tu wa kiarabu ambaye amekaa peke yake kwenye na kiti cha pembeni hakina mtu, akatabasamu na kuniita kwa ishara, ila kuna jamaa mmoja mwenye mwili mkubwa na ulio jaa michoro alipo mtazama kijana huyo tu, tabasamu lake alilo kuwa akinitazama nalo kikapotea usoni mwake na akajikausha kimya. Kwa ishara hiyo nikagundua kijana huyu anamuogopa jamaa huyu. Taratibu nikashuka kwenye ngazi hizi huku nikiwa makini sana kumtazama kila mfungwa aliye simama pembeni yangu. Nikafika katika sehemu alipo kaa kijana huyu wa kiarabu ambaye ni mnyonge na ana mwili mdogo mdogo na anavyo onekana ndio mnyonge kwa wote hapa.

Wafungwa baadhi nilio kaa nao karibu wakabaki wakiwa wananishangaa, jambo ambalo kwa haraka haraka nikahisi ni kutokana na ugeni wangu ndani ya gereza hili

“Do you know to speak Swahili language?”(Je unafahamu kuzungumza lugha ya Kiswahili?)

Nilimuuliza jamaa huyu huku nikimtazama usoni mwake.

“Ndio ninafahamu japo sio sana”

“Ila unafahamu?”

“Ndio”

Sote tukabaki kimya baada ya kumuona mpambanaji mmoja kwenye ulingo kichwa cheke kikielea hewani baada ya kukatwa na jambia kali na mpinzania wake na kupelekea mauti hayo. Kilicho nishangaza zaidi ni jinsi watu walivyo nyanyuka katika viti vyao na kuanza kushangilia kwa shangwe nyingi sana, huku wengine wakitukana. Hata kijana huyu wa kiarabu naye akanyanyuka na kushangilia, ila ni mimi pekee tu ndio nimekaa kwenye kiti changu huku nikiuutazama mwili wa mpambanaji ambye dakika chake nilizo ingia hapa nilimuona akiwa anajitahidi kardi ya uwezo wake kumkabili mpiganaji mwenzake.

Kijana huyu akanikanyaga mguuni na kwa ishara akaniomba ninyanyuke nishangilie. Ila sikuhitaji kufanya kitu kama hicho, gafla nikatukia mtu akinisukuma mgongoni mwangu, laiti kama si mazoezi ninayo yafanyabasi ningeanguka na kuwakumba wafungwa wengine. Nikanyanyuka kwa haraka na kugeuka nyuma, nikakutana na mijamaa miwili iliyo jazia miili yao huku ikiwa imenikazia macho yaliyo anandamana na sura zilizo jaa mikonjo. Sikutaka kuwa mnyonge kivile, na mimi nikakaza macho yangu pamoja na sura, kama ubabe ni ubabe tu.

Jamaa moja likanisukuma, nikarudi nyuma hatua chache kidogo na mimi nikajivuta na kumsukuma na yeye kifuani, japo ni jitu lenye uzito mkubwa, ila likajikuta likianguka chini kama mzigo na kuwafanya mwenzake kunivamia kwa kunirukia. Wafungwa ambao walikuwepo mbele yangu, tukawakumba na kuanza kubingirika kuelekea chini, huku nikijitahidi kwa kadri ya uwezo wangu kumpiga jamaa huyu visukusuku vya kichwa, naye akanishindilia ngumi za mbavu ila nikajitahidi kuzuia ngumi zake kwa mikono yangu niliyo ikunja kila pale alipo jaribu kurusha ngumi. Tukafika karibu kabisa na uwanja wa mapambano, hata watu walio kuwa wakishangilia wakakaa kimya wakitutazama. Kitu ninacho jivunia ni kufahamu jinsi ya kuwadhibiti mijitu yenye miili kama hii. Nikashika vidole vya mkono wake wa kushoto, na kuanza kuvunja kimoja baada ya kingine.

Maumivu yake yakamfanya apige ukunga mkubwa wa kuomba msaada, wafungwa wengine wakaanza kuingilia ili kuja kumuokoa mwenzao. Hapo ndipo kikapigwa king’ora cha hatari, nikawaona wafungwa wote wakilala chini, kasoro mimi niliye simama na kutazama jinsi wanavyo lala chini. Kitu nilicho kifanya ni kuinyoosha mikono yangu juu na kuiiweka kichwani mwangu na taratibu nikapiga magoti baada ya kuana wanajeshi wakike wanye bunduki zao wakija katika eneo ambalo vurugu zimetokea.

Msichana mmoja akanipiga teke la kifua lililo nifanya nianguke chini, wakanigeuza na kunilaza kifudi fusi na mikono yangu wakaizungusha kwa nyuma na kuipiga pingu. Wakaninyanyua na moja kwa moja wakaniondoa eneo la uwanja. Japo baadhi ya sehemu za mwili wangu zinatoka damu kutokana na kubingirika sana kwenye viti pamoja na kuwakumba wafungwa wengine, sikulijali sana hilo. Wanajeshi hawa ambao ndio walinzi wa hili gereza wakaniingiza kwenye moja ya chumba kisicho na kitu hata komoja. Wakaingia wasichana wengine wanne wakiwa wameshika mipira ya maji kama wanayo itumia jeshi la kuzima moto. Wakanitazama kwa macho yasiyo na huruma, maji yaliyo funguliwa kwenye mipira hiyo inayo toa maji kwa kasi ya ajabu tena yakiwa yananguvu sana, wakaanza kunimwagia mwilini mwangu. Kusema kweli nilijikuta nikipata maumivu makali sana huku maji yahoo yakiniyumbisha kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine.

Nilipo hisi ninaweza kufa kwa kumwagiwa maji haya yenye nguvu, nikajigeuza na tumbu langu nikalielekezea kwenye ukuta, nikawaachia mgongo ambao wakaendelea kuushambulia kwa maji hayo nyenye nguvu hadi nikaishia wanguvu kabisa na kujikuta nikilala chini. Walipo niona nimelegea kabisa, wakanicha na kuufunga mlango wa chumba hichi cheye maji mengi na kunifanya nilale hapa chini huku machozi yakinimwagika na kujiuliza ni kitu gani kinacho endelea kwneye maisha yangu ya hivi sasa.





Taratibu nikajinyanyua huku mwili wangu ukiwa umejawa na maumivu makli sana yaliyo tokana na kumwagiwa maji yenye nguvu. Nijajarubu kusimama ila mwili mzima ukakosa nguvu, sikuwa na jinsi zaidi ya kuendelea kukaa hapa chini. Haukupita muda mwingi, mlango ukafunguliwa wakaingia wasichana wanne ambao ni tofauti kabisa na wale ambao walinimwagia maji. Wasichana hawa ambao miili yao imejengeka kwa misuli kama wanaume, wakanifwata na kuninyanyua, wakaanza kuniburuza

na kunitoa nje ya chumba hichi.

Wakanipitisha katika kordo ambayo ina vyumba vingi vya wafungwa na vina mageti ya vyuma. Karibia wafungwa wote ambao wapo ndani ya vyumba vyao waliendelea kunitazama kwa umakini huku wengi wao wakionekana kunikasirikia sana. Mlango wa chumba kimoja ukafunguliwa. Wakanisukumia ndani ya chumba hichi chenye hewa nzito sana. Nikaanguka chini huku nikiwa nina hema sana. Nikastukia nikiwa nimeguswa mgongoni, taratibu nika na kumtazama aliye nishika. Nikakuta ni yule kijana wa kiharabu ambaye alinikaribisha katika kiti cha pembeni alicho kuwa amekikaa.

”Pole”

Alizungumza huku akinitazama usoni mwangu, taratibu akanipa mkono wake, akaninyanyua huku akinitazama usoni mwangu. Taratibu akanisaidia kunikalisha kitandani, nikakitazama chumba hichi chenye vitanda viwili ambavyo vina vitanda vya juu na chini ambavyo vijajulikana kwa jina la double deka.

“Hivi hapa ni wapi?”

Niliuliza huku nikihema sana.

“Kusema kweli mimi bado sijaelewa hili eneo, mimi nilitekwa tu na kujikuta nikiwa humu ndani ya hili gereza”

“Una muda gani hadi kuwemo kwenye hili gereza?”

“Ni mwaka sasa, ni siku nyingi sana nimetekwa, sifahamu kama familia yangu ina hali gani?”

“Na kwenye hichi chumba unaishi na nani?”

“Tulikuwa watatu, ila wawili wamesha kufa kwenye yale mapambano kwenye ule ulingo. Yaani hili gereza kwa haraka haraka hii ni sehemu ya kifo, mtu anaingia ila hakuna ambaye anaweza kutoka”

Taratibu nikashusha pumzi huku nikiutazama mlango ulio tengenezwa na nondo. Kusema kweli nilisha ingia kwneye magereza kadhaa kama mtembezi, hata gereza nililo kuwa nimefungwa miezi kazaa iliyo pita lina nafuu tena kubwa sana, kwa maana nilifungiwa tu kwenye chumba kimoja ila hili lina mchanganyiko mkubwa wa watu wa kila aina na karibia asilimia tisini na tisa ya watu wa humu ndani ya hili gereza wana roho mbaya sana.

“Hili gereza lina mateso sana. Kwa siku milo ni mara mbili, asubuhi na jioni. Wenye nguvu ndio wanakula, ila sisi wanyonge ndio tunao shinda njaa”

Kijana huyu wa kiarubu alizungumza huku akiwa katika hali ya unyonge sana.

“Unaitwa nani?”

“Ahmood wewe je?”

“Dany”

“Unatokea nchi gani?”

“Tanzania”

“Mimi ninatokea India”

“Ahaaa”

“Hivi munajuaje kama sasa hivi ni usiku au mchana?”

“Hakuna anaye fahamu kwa kweli, sisi tunaishi kwa masaa, kengele ya kuamka ikipigwa, sisi tunaamka, kengele ya chakula ikipigwa sisi tuna kwenda sehemu ya chakula. Kengele ya kulala ikipigwa sisi tunaelekea kulala”

“Ahaa kwahiyo hapa watu wanaishi kwa kengele?”

“Yaaa, ila kuna saa kwenye kila sehemu ya hili jengo, kwahiyo unaweza kuangalia saa kisha unaweza kuhesabu siku wewe mwenyewe”

“Hapo nimekuelewa, vipi mbona kuna mapambano ya maujia?”

“Kama nilivyo kuambia pale awali, hapa kuna mchezo ambao huwa unafanyika, na ni mchezo ambao kusema kweli unarushwa kwenye mtandao wao wa siri ambao watu huko huwa wanalipia pesa nyingi sana”

“Mchezo huo wa kuuana?”

“Ndio mchezo huo huo, mmiliki wa hili gereza huwa anajivunia mabilioni ya pesa kwa kila wiki, na kunakuwa na mechi zinazo anzia mtoano hadi mmoja anafika fainali na yule mshidi huwa anatolewa gerezani, ila hakuna anaye fahamu ukweli wa huyo mshindi huko uraiani anakwenda kufanya kitu gani”

Maneno ya Ahmood yakanifanya niweze kuelewa hili geraza kiuharaka kabisa, na nikatambua kwamba si gereza la kiserikali na inavyo onekana ni gereza la siri ambalo lipo kimaslai ya watu fulani kutokana na maisha ya watu.

“Mmiliki wa hili gereza unamtambua?”

“Hakuna anaye mfahamu mmiliki wa hili gereza, na sisi sote tunalindwa na hawa wasichana, huwa wana roho mbaya, kwao kukuua ni swala rahisi sana, ndio maana unaweza kuona mijitu na miili yao wanashindwa kuwadhuru hawa wasichana”

“Ahhaa na kuna wafungwa wa kike?”

“Hapana hakuna wafungwa wa kike, yaani humu ni wanaume tu na kila siku wafungwa wanazidi kuongezeka. Kwa mara ya kwanza ni ngumu sana kuweza kufahamu kam……”

Ahmood akaka kimya mara baada ya taa zote kuzimwa.

“Vipi?”

“Shiiiii”

Ahmood alizungumza huku kwa haraka akijilaza kitandani ikanibidi na mimi kuweza kufanya hivyo kwa mana hata minong’ono nilivyo kuwa nikiisikia katika vyumba vingine imenyamaza kimya kabisa. Nikatatamani kuuliza kitu ila nikaka kimya kwa maana mateso niliyo yapata kwa muda fulani yananitosha. Dakika na masaa yakazidi kukatika kukiwa kimya kabisa. Msongamano wa mawazo ya kufikiria vitu vilivyo tokea kwenye maisha yangu. Picha ya mwangu pamoja na Asma kwa mara kadhaa zikaendelea kujitokeza kwenye mfumo wangu wa mawazo, nikamfikiria mama yangu, mdogo wangu pamoja na baba yangu. Kusema kweli hali niliyo nayo sasa hivi sielewi nitaanzia wapi hadi niwe huru. Kwa uchovu na wingi wa mawazo nikajikuta nikipitiwa na usingizi na kulala fofofo.

Mlio wa kengele ukapigwa na kutufanya sote kuamka, nikakuta taa zote zikiwa zimewashwa. Miliango ikafunguliwa na wafungwa wote tukatoka. Ahmood akatangulia mbele yangu, nikamfwaya kwa nyume kuelekea wanapo kwenda wafungwa wengine wanao kimbia. Tukaingia kwenye moja ya kiwanja kikubwa na sote tukasimama kwenye mistari ambayo sikuweza kuihesabu kwa haraka haraka, ila mimi nikawa nyuma ya Ahmood. Tukaanza kuhesabiwa namba na wasichana hawa ambao wamazi yao ni ya kijeshi. Baada zoezi hilo kumalizika, tukatawanyika na kila mtu akawa huru.

“Sasa hapa tunafanyaje?”

“Hapa watu wanafanya mazoezi, baada ya hapo tunapata kifungua kinywa”

“Baada ya hapo?”

“Wao ndio wanapanga ratiba baada ya chai, kwa hiyo hakuna ratiba ambayo inajulikana baada ya kupana kifungua kinywa”

Mimi na Ahmood tukatafuta sehemu ambayo imetuli tukaa na kuwatazama wafungwa wengine wakiendelea kufanya mazoezi ya kunyanya vyuma huku wengine wakifanya mazoezi ya kuruka kamba. Kwa maumivu ambayo ninayo sina hata hamu ya kufanya zoezi jengine.

“Hawakukupa viatu jana?”

“Ndio”

“Utapatiwa, ila hakikisha kwamba namba yako uliyo pewa leo unaikumbuka, kwa maana hapa hatuitwi kwa majini ni namba tu”

“Ehee na nilisha isahau”

“Wewe ni namba elfu moja tisini na sita”

“Asante kwa kunikumbusha kwa kweli.”

“Tanzania ulikuwa unafanya kazi gani?”

“Ahaa nilikuwa ni mwalimu tu”

Ilinibidi kuongopea kwa maana simuamini mtu yoyote kwenye maisha yangu kwa maana nina amini pasipo Livna kutugeuka mimi na Mariam wala sasa hivi nisinge kuwa kwenye maisha haya ambayo hayaeleweki kabisa.

“Ahaaa mimi nimesomea maswala ya Teknolojia, hapa maswala ya computer yamelala kichwani”

“Vizuri sana”

“Yaa muda mwengine huwa ninawasaidia wanapo kuwa wamekwama kwenye masala ya kimitandao”

“Na ofisi zao za kurushia hayo matangazo zipo wapi?”

“Sifahamu, huwa wakinichukua wananifunga kitambaa cheusi kwenye macho wananipelekea na nikimaliza kazi wananirudisha hivyo hivyo”

“Hukuwahi kutazama tazama kwenye mitandao yao na kufahamu kwamba tupo wapi?”

“Kaka huwezi kufanya hivyo kwa maana wanakusimamia kwa mitutu na kila hatua unayo pita kuna wasichana wanao shuhulika na maswala hayo wanakufwatilia”

“Ahaaa, haya mapambano yao wamafika hatua gani?”

“Wapo nusu fainali na kesho kutwa ni fainali. Baada ya hapo wananza msimu mwengine na wasindani wanaweza kuwa hata mia moja, kwa maana kila mmoja anatamani kuondoka taika eneo hili”

Tukanyamaza kimya baada ya kumuona msichana mmoja

akitufwata sehemu tuliyipo. Akasimama mbele yetu.

“Namba elfu moja tisini na sita nifwate”

Nikanyanyuka na kuanza kumfwaya kwa nyuma. Tukaongozana na askari huyu huku nikiendelea kutazama maeneo ya gereza hili kwa umakini. Gereza hili kusema kweli ulinzi wake ni mkali sana kwa manaa kuna kameza nyingi kila sehemu na kameza zote zinarekodi matukio yote yanayo endelea katika eneo hili.

Tukaingia kwenye moja ya ofisi na kumkuta mwana mama mmoja aliye valia nguo zenye vyeo vya kijeshi

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/akiwa amesimama nyuma ya meza yake iliyo jaa compyuta zaidi ya sita. Msichana aliye nileta akatoka na kuniacha na mwana mama huyu mwenye sura nzuri ya kuvutia ila ina alama kubwa ya kuchanwa na kitu chenye ncha kali kwenye shavu lake la upande wa kulia.

Akachukua rimoti iliyopo mezani, akawasha tv iliyopo kwenye ukuta, tukio la mimi kupambana na jamaa aliye nisukuma jana usiku likaanza kuonekana hadi likafikia hatua ya mimi kundolewa eneo la uwanja huo. Video hiyo ikaendelea kuonyesha matukio ya mimi kumwagiwa maji mengi na askari wake. Alipo maliza kunionyesha matukio hayo, akazima tv hivyo na kunikazia macho yake. Sikuona haja ya kutetemeka wala kuhofia chochote kwa maana maisha yangu yapo reheni kwa wakati huu kwani kifo muda wowote kinaweza kunichukua.

“Unafahamu ni hasara gani uliyo tupa kwa ugomvi wako?”

Nikabaki nikimshangaa sana huyu mama, si kwa uzuri wake au swali alilo niuliza, ila ninamshangaa kwa kuzungumza Kiswahili fasaha pasipo kukosea.

“Hasara gani?”

Niliuliza swali badala ya kumjibu swali alilo niuliza.

“Umevuruga Tv show yangu”

Mwana mama huyu alizungumza kwa sauti ya ukali huku akiwa amenikazia macho hadi kawaga kwa mbali kakaanza kuninyemelea ila nikajikaza nikiamini kwamba hata kama nipo kwenye gereza, ila nimesha jitolea kufa na kupona.

“Laiti kama jana ningekuwepo ningekikata kichwa chako kwa mkono wangu mimi mwenyewe. Unabahati sana na nilihitaji uachwe hadi mimi nije kukuoana”

“Kila unacho kizungumza mimi sikielewi, na huo ndio ukweli?”

“Ohoo huelewi?”

Mama huyo akachukua rimoti yake na kuisha Tv yake, akanionyesha maoni mfululizo yaliyo ingia kupitia mtandao wao walio anzisha kipindi chao hichi cha mauaji. Kila maoni ninayo soma yanaonyesha ni jinsi gani mashabiki walivyo kasirishwa na tukio ambalo lilijitokeza jana usiku

“Ninakupa machoguo mawili, kifo au kuingia ulingoni kuhakikisha unafuta hii aibu uliyo nipatia”

“Baada ya hapo?”

“Utaendelea kunitumikia mimi”

“Siwezi kuchagua chochote”

“Ahaa katika hili utachagua”

Mwanamama huyu akabadilisha video inayo onekana na kuniwekea video iliyo nifanya macho yanitokea huku taratibu mapigo yangu ya moyo yakianza kunienda mbio kiasi cha kuanza kulifanya jasho langu kuanza kunitiririka taratibu.



Macho yangu yakamuona Mariam akiwa katika mateso makali, mwili wake mzima umejaa majeraha ya kuchanwa chanwa. Machozi yakaanza kunilenga lenga, uzuri wa Mariam wote umebadilika na kuwa mbaya.

“Maisha yake yanakutegemea wewe, ukiendelea kuwa mkaidia, basi anakwenda kufa na kifo chake kitakuwa mikononi mwako”

Mwanamama huyu alizungumza kwa msisitizo, kisha akazima tv yake na kunitazama usoni mwangu kwa macho yake yaliyo jaa ukali.

“Ni kitu gania kinacho endelea?”

“Hicho ulicho kiona hapo ndio kitu kinacho endelea. Hakikisha kwamba unafanya uchaguzi sahihi la sivyo mpenzi wako anakwenda kufa. Walinzi njooni”

Mwana mama huyo alizungumza, mlango ukafunguliwa wakaingia wasichana wawili na kunitoa ndani ya hii ofisi. Wakanisindikiza hadi sehemu nilipo muacha Ahmood nikamkuta akiwa amezungukwa na majamaa wanne, ambao walipo tuona mimi na hawa askari wakanyamaza kimya. Wasichana hawa wakaniacha na kuondoka zao nikabaki peke yangu. Nikawatazama majamaha hawa, mmoja wao nikamuona akiwa ameshika kisu kidogo na wanavyo onekana walikuwa wakimuonea Ahmood.

Sikutaka kuwasemesha chochote zaidi ya kuwapita na kukaa pembeni ya Ahmood ambaye sura yake imepoteza kabisa furaha.

“Wanahitaji nini hawa majamaa?”

“Wanhitaji haki yao”

“Haki yao?”

“Ehee”

Ahmood alizungumza kwa woga sana, kitu ambacho ninajiuliza hi haki gani ambayo watu hawa anaihitaji kutoka kwa Ahmood.

“Ni haki gani?”

Ahamood akaka kimya huku akitetemeka, jamaa mmoja akamshika mkono Ahmood na kuhitaji kumvuta kwa upande wake ila nikauwahi kuuvuta mkono wa Ahmood na kumzuia kuto kuvutwa na jamaa huyo.

Jamaa niliye mkatalia kumvuta Ahmood akajaribu kunivamia ila nikawahi kumrudisha alipo toka kwa teke la kifua, lililo mfanya kuanguka chini kama mzigo na kuwafanya wezake kumuangalia. Nikasimama wima huku nikiwatazama kwa macho ya ukali sana. Wezake wote wakaonekana kusita katika kunivamia, naamini swali wanalo jiuliza watu wengi ni kitu gani kinacho nifanya kujiamini kwa kiasi kikubwa isitoshe mimi ni mgeni. Mwenzao aliye anguka chini anaye tafuta jinsi ya kunyanyuka, akaanza kuwapa amri wezake kwa ishara ya kunivamia, hapo ndipo nikagundua kwamba huyu niliye mpiga ni mkubwa wao na wanamuogopa kwa maana hata kuvamia kwao wanakuja kwa kujishauri sana. Wakajaribu kuonyesha ujuzi wao katika kupigana ila kusema kweli hawana mbinu yoyote ambayo inawawezesha wao kupigana na mimi. Kila aliye nifwata niliweza kumuhimili na kitu kikibwa nilicho jitahidi ni kuhakikisha hakuna hata mmoja anaye weza kunigusa kwa ngumi wala teke.

Wafungwa ambao walikuwa wanafanya mazoezi, waliyasitisha kwanza mazoezi yao na kututazama jinsi tunavyo parangana. Hata Ahmood naye yupo pembeni amejikausha kimya akitazama jinsi ninavyo watembezea wezake kipigo kikali. Kitu kilicho nishangaza sikusikia king’ora wala ishara yoyote kutoka kwa askari hawa wa kike wanao tulinda na sehemu tuliyopo tunaonekana kabisa kwa maana wapo wengi wamesimama maeneo ya juu wakiwa na silaha zao wakizunguka kutoka upande mmoja kwenda nyingine. Watu hawa ambao walipanga kumletea fujo Ahmood wote wakawa chini wamelala kila mmoaj akiugulia sehemu yake kwa maana, nimejitahidi kuhakikisha ninawapiga sehemu ambazo hakuna anaye weza kuendelea kupambana na mimi.

Ukimya ukatawala katika eneo zima, wafungwa zaidi ya elfu tano wamebaki wakiwa wamesimama wakiniangali. Sauti ya makofi ikasikika kutoka nyuma yangu, ikanibidi kugeuka. Nikamkuta mzee mwenye asili ya Kijapani ndio anaye piga makofi. Taratibu akanisogelea hadi sehemu nilipo simama huku akiwa na tabasamu pana usoni mwake, akatingisha kichwa huku akinishika kwenye bega langu. Akanitazama tena na kunipa mkono, taratibu nikampa mkono, akautingisha mkono wangu kwa nguvu, ila nikauwahi kuukaza. Akazungumza maneno kadhaa huku akimtazama Ahmood.

“Anasema hongera sana kwa kazi uliyo ifanya”

Ahmood alinitafsiria kwa manaa lugha aliyo izungumza sikuielewa.

“Muambie asante”

Ahmood akazungumza na mzee huyo. Kisha mzee huyo naye akazungumza na Ahmood akanitafsiria tena.

“Anakuambia kama huto jali anahitaji kukufanya kuwa bora zaidi ya hapo”

“Kivipi?”

“Yaani akufundisha mapigo mengine mapya ya kupambana yatakayo kufanya kuwa bora”

“Sawa mimi sina tatizo”

“Kingine amesema anahitaji ujiunge kwenye timu yake”

“Kwani humu ndani kuna kuwa na timu?”

“Yaa zipo timu, sema huyu mzee amebakiwa na kijana mmoja ambaye naye ameingia nusu fainali, vijana wake wengine wote wamesha uwawa kwenye mapambano”

“Mmmm, nitajiunga”

“Amekuambia kesho asubuhi, nikupeleke kwenye sehemu yake ya mafunzo”

“Sawa”

Baada ya kuzungumza na mzee huyu, akandoka, wafungwa wengine wakaendelea na mazoezi yao, mimi na Ahmood tukaondoka eneo hili, akaanza kunitembeza kwenye maeneo ya hili gereza, huku akinionyesha sehemu mbali mbali ambazo wafunga tunaruhusiwa kupita. Kila sehemu ambayo ninapitishwa nikahakikisha kwamba ninaiweka kichwani mwangu, wazo la kutoroka bado lipo pale pale na maswala ya kutamani kufa nikayafuta kabisa akilini mwangu.

Kusema kweli hili gereza linatisha, kuanzia ulinzi hadi muonekano wake. Ni geraza ambalo halina jina kabisa, wala halina sehemu ambayo kunaingia mwanga wa jua. Kila sehemu kuna taa kubwa nyingi sana zenye kulifanya eneo zima kuwa kama mchana. Wanajeshi wa kike wapo wengi sana, wamechanganyikana wa asili tofauti tofauti kwa maana wapo wafrika, wazungu na watu wa bara la Asia. Kila sehemu ya hili gareza kuna vipaza sauti vinayo wezesha wafungwa wote kusikia kila kitu kitakacho tokea hususani kengele za kutoa ishara tofauti.

Kengele ya kupata kifungua kinywa ikagonga, tukaongozana na Ahmood hadi kwenye holi la kupatia chakula, ambapo tukakuta wafungwa wengine wakiwa wamesha panga mistari kwa ajili ya kwenda kupata chakula. Tukatafuta msari ambao hauna wafungwa wengi na sisi tukasimama. Macho yangu yakendelea kuchunguza hili eneo kwa maana kwangu ni jipya. Wapakuaji wa chukula ni wanajeshi hawa wa kike.

“Maisha haya yananikumbusha kipindi nikiwa shuleni”

“Mulikuwa munakula kwa kupanga mistari kama hapa?”

“Yaa tena kwa kengele kama hapa tu, sema kuna utofauti. Hapa ni gerezani na kule ni shule”

“Kweli, huwa ninasikia kwamba Tanzania ni inchi ya amani sana?”

“Yaa ni nchi ya Amni, japo kuna mambo mengi yanajitokeza ya hapa na pale. Ila ndio hivyo tunayavumilia kibishi bishi”

Hadi ninamalizia kuzungumza sentensi hiyo, tukawa tumesha fika karibu kabisa na mpakuaji huyu wa kike mwenye nywele ndefu, na ni mrefu kiasi. Akanikazia macho sana, kutokana Ahmood yupo mbele yangu, ikanibidi niyakwepeshe macho yangu na kutazama pembeni kwenye sahani. Nikachukua sahani na kikombe changu kisha nikasubiria Ahmood kupakuliwa chakula chake na mimi nikasogea mbele. Nikanyoosha sahani yangu, ila huyu mpishi akaendelea kunikazia macho hadi nikasita kidogo na kuirudisha sahani yangu nyuma kidogo.

“Weka sahani yako vizuri”

Msichana huyu alizungumza Kiswahili na kunifanya nimkazie macho na mimi, nikaiweka vizuri sahani yangu, akaniwekea vipande vya mikate viwili na kipande cha soseji, akanimiminia chai kidogo na nikaondoka katika eneo hili, huku nikijaribu kutazama tazama nyuma kumuangalia dada huyu aliye nipakulia chukua.

Nikafika katika sehemu aliyo Ahmood na mimi nikaka na kuanza kula taratibu. Kitu kinacho nitesa kwa wakati huu ni ubaridi ninao upata kwenye nyayo zangu, kutokana na holi hili limesakafiwa na simenti inayo hifadhi ubaridi mkali sana. Nikainyanyanyua miguu yangu juu kidogo, nikageuza macho yangu sehemu watu wanapo pakuliwa chukula. Macho yangu yakakutana uso kwa uso na msichana aliye nipakulia chukula.

“Vipi mbona yule dada anakutazama sana?”

“Hata mimi sifahamu ni kwanini ananitazama sana”

“Kuwa makini sana kwa maana humu ndani ikijulikana kwamba msichana mmoja ana mahusiano ya kimapenzi na mfungwa basi wanakuua, na msichan huyo anauwawa pia.”

“Mmmmm”

“Ahaa wee acha tu, usione hawa wasichana wakikatiza katiza, nao pia wana nyege, ila sheria ndio zinabana na sijui wamelambishwa dawa gani kwa maana ni wagumu na wana roho mbaya dhidi ya wanaume”

“Ngoja niangalie ana lengo gani kwangu”

Tukaendelea kula hadi tukamaliza, kwa siku ya leo wafungwa hatukupangiwa ratiba yoyote zaidi ya watu kuwa huru katika kufanya kazi binafsi, wapo walio safisha vyumba vyao, wapo walio fua nguo zao. Mimi na Ahmod tukatafuta sehemu tukaka na kuendelea kuzungumza mazungomzo ya maisha yatu ya urainani huko tulipo toka.

“Hivi unafahamu kwamba baba yangu ni waziri mkuu nchini India”

“Weee”

“Haki ya Mungu, baba yangu ni waziri mkuu, ila hadi sasa hivi sifahamu ni hatua gani ameichukua katika kunitafuta.”

“Hivi india muna raisi?”

“India mamlaka makubwa anayo waziri mkuu, kule mawaziri wetu wanachaguliwa na wananchi.”

“Ahaa”

“Ahaa wewe je, familia yako ipo vipi?”

“Mimi familia yangu ni ya kawaida sana, tunamaisha ya chini sana, kajikazi kangu ka ualimu ndio kidogo kalinifanya niweze kuiendesha familia yangu. Sasa hivi sipo sipati picha ni ugumu gani wanao upitia huko nyumbani”

“Pole sana Dany ila ukijitahidi unaweza kutoka, ila sisi wanyonge ndio tutafia humu ndani”

“Usijali tukisaidia nitahakikisha tunatoka pamoja humu ndani”

“Kweli Dany?”

“Yaa”

“Yaani ukinisaidia nikitoka humu ndani nitahakikisha kwamba ninakupa nusu ya utajiri wangu ambao baba yangu alisha nirithisha tangu utotoni”

“Sawa, hivi wale jamaa walio kuwa wanadai haki yao, ni haki gani huwa wanaitaka kutoka kwako?”

Swali langu likamfanya Ahmood kukaa kimya huku akinitazama usoni mwangu. Machozi yakaanza kumlenga lenga jambo lililo nifanya kidogo nimshangae.

“Niambie usilie”

Nilizungumza kwa sauti ya upole sana huku nikimtazama Ahmood. Akaka kimya akavuta makamasi ndani kidogo kisha akazungumza.

“Huwa wana……wana niingilia kinyume na maumbile kila siku”

Maneno ya Ahmood yakanifanya sura yangu niikunje kwa hasira hadi Ahmood akaogopa, katika maisha yangu huwa siwapendi wanaume wanao ingiliwa kinyume na maumibile.

“Huwa wananilazimisha na siku nyingine wanishikia kisu kunitishia kuniua pale tu ninapokuwa ninakataa wao kuningilia kimwili. Uwepo wako jana ya chumba changu, ndio nimelala kwa amani”

“Kwa hiyo wao ndio walio kuanzishisa huo umchezo na haukuwa nao tangia hapo nyuma?”

“Ndio”

Ahmood alinijubu kwa unyonge, nikasimama wima na nikamuamrisha tuanze kuwasaka wale walio mfanyia mchezo huo mchafu. Ahmood hakuwa na kipingamizi kwa maana sura yangu imejikunja kwa hasira. Tukaanza kuzunguka maeneo tofauti tofauti ya hili gereza, kutokana sura ninazikumbuka vizuri sikuwa na wasiwasi katika kuwatafuta. Karibi robo tatu ya gereza tukalimaliza ila hatukuwaona.

“Unafahamu ratiba zao?”

“Hapana”

“Huwezi kuhisi labda wanweza kuwa wapi kwa muda huu?”

“Sifahamu, ila twende kwenye mabafu”

Tukaongozana na Ahmood hadi kwenye mabafu na kweli, tukamkuta kiongozi wao akioga peke yake. Alipo tuona mimi na Ahmood wasiwasi mwingi ukamjaa akatamani kukimbia ila kwa bahati mbaya katika bafu hilo hakuna mlango wa kutokea.

“Inama”

Nilimuamrisha jamaa huyu, ila akaonekana haielewi lugha ninayo izungumza. Ahmood akabaki amekodoa macho, kwa nguvu nikamshika shingo jamaa huyu na kumuinamisha na kumfanya abong’oe na kuyaacha makalio yake yaeleke kwa Ahmood.

“Ahmood vuo nguo zako na wewe uwafanye kama kile walicho kifanya wewe”

Maneno yangu yakazidi kumshangaza kwani hakutegemea kabisa kama ninaweza kulifanya tukio hilo. Nikakazia macho Ahmood ambaye naye kwa woga akaanza kuvua suruali yake haraka haraka ili kufanya kile ambacho ninamuambia akifanye.


Ahmood akamalizia kuvua suruali yake pamoja na nguo yake ya ndani, nikabaki nimeshangaa kwani, umme wake ni mdogo sana kama kidole changu cha mkono tena cha mwisho. Japo umesimama ila sikujua hata hili zoezi atalifanya vipi.

Sikuwa na jambo la kuzungumza kwa maana Mungu amemuumba kila mwanaume na maumbile yake, wapo wenye maumbile makubwa wapo wenye maumbili ya saizi ya kati na wapo wenye maumbile madogo kama mwenzangu Ahmood.

“No, Dany siwezi kufanya hivi”

Ahmood alizungumza huku akitetemeka, anaonekena amefwata amri yangu ya kuvua nguo ila sio mapenzi yake kutoka moyoni. Sikuwa na la kufanya zaidi ya kumuachia jamaa wa watu ambaye muda wote hakuweza kukurupuka kutoka mikononi mwangu kwa maana nilimkaba kisawa sawa.

Ahmood akapandisha suruali yake taratibu huku akinitazama kwa macho ya woga, sikuhitaji kuiweka sura yangu katika muonekano wa hasira. Nilipo hakikisha amemaliza kuvaa, taratibu tukaondoka huku jamaa tukimuacha katika hali ya wasiwasi mkubwa sana. Hatukuzungumza kitu cha ina yoyote. Tukiwa njiani

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

nikakutana na askari aliye niita kwa namba yangu na kuniomba niongozane naye. Nikamfwata nyuma nyuma hadi kwenye moja ya chumba ambacho kimejaa magunia mengi. Akatoka na kuufunga mlango kwa nje nikabaki peke yangu nikishanga shangaa.

Wakatokea manjemba manne yaliyo shiba nyuma ya magunia haya yaliyo pangwa vizuri kwenda juu. Manjemba haya kila mmoja mkononi mwake amasika fimbo aina ya mkia wa taa. Kila njemba ambalo ninaliangalia halionyeshi sura ya huruma wala kuhofia chochote kutoka kwangu.

“MUNGU NISAIDIE”

Nilizungumza maneno hayo huku nikirudi rudi nyuma kwa maana majama haya, miili yao imekatika kisawa sawa, miili yao imevimbiana kwa misuli minene. Taratibu ikaanza kugawanyika, ikijaribu kunizunguka, uzuri haya magunia yamekaa katika mfumo wa ngazi ambao mtu unaweza kupanda kiurahisi pasipo kupata shida ya aina yoyote. Njemba hizi ambazo ninaamini kwamba wametumwa kunishuhulikia kutokana nimevamia gereza kwa ubabe, ikaanza kurusha mikia yao ya taa, kwa kadri ya uwezo wangu nikajitahidi kuhakikisha kwamba ninaikwepa kwa kila namna huku nikizidi kupanda juu ya magunia haya.

Uzuri wa wangu ni wepesi wa kuweza kuruka kutoka sehemu moja kwenda nyingine, ila hii mijamaa ni mizito sana, udhaifu wao ukawa ndio silaha yangu kubwa kwangu kwani kila walipo jaribu kuruka nilijitega kuhakikisha kwamba ninamrudisha alipo toka kwa teka ama kwa kumsukuma. Ikawa ni mchezo wa kukimbizana huku nikiendelea kuikwepa fimbo zao za mikia ya taa.

Karibia lisaa zima kazi yangu ikawa ni kukwepa na kupanda juu ya magunia, udhaifu ukajitokeza tena kwa hizi njemba, kwani wote ikafikia hatua wakachoka kukimbizana na mimi na ikawa ni rahisi kwangu kuanza kuwashambulia kwa kuwasukumia magunia haya mazito yaliyo jaa vyakula vya wafungwa. Nikabahatika kupata mkia wa taa kwa moja ya linjemba nililo liangushia gunia kifua na kutokana na kuchoka kwake likashindwa kulidaka na kujikuta likianguka chinia na gunia kumlalia kifuani. Ikawa ni kazi ya kuwacharaza mikia ya taa. Kumbukumbu ya mateso ambayo anayapata Mariam ikaanza kujirudia kichwani, nikakumbuka mambo mengi ya nyuma ikiwemo busu langu la kwanza kumbusu Mariam akiwa chumbani kwangu. Roho ya ukatili ikanivaa mwilini mwangu kwa kasi ya ajambu nikaanza kuvamia mtu mmoja baada ya mwengine, nilicho kifanya kwake ni kuvunja shingo yake kwa nguvu zangu zote, na mauti yakaanza kumchukua mtu mmoja baada ya mwengine. Nikamvamia wa pili naye nikamfanya kama nilicho mfanya mwenzake, kabla sijamfikai wa tatu, geti likafunguliwa na wakaingia askari wengi wa kike ambao kwa pamoja wakaniwahi kunikamata. Wengine kwa kutumia mashine za shoti wakaanza kunikandamiza nazo mwilini mwangu, na taratibu nguvu za mwili wangu zikaniishia na kujikuta nikilegea.

Wakanitoa kwa mfumo wa kunishika miguu yangu na kuanza kuniburuta chini. Kwa shoti walizo nipiga nazo sikuzikia maumivu yoyote kutokana mwili mzima umekufa ganzi. Wakanipeleka hadi kilipo chumba ninacho lala na kunisukumizia kitandani. Kwa uchovu taratibu usingizi ukaanza kunipitia na kujikuta nikilala fofofo.

“Dany, DANY”

Niliisikia sauti ya Ahmood masikioni mwangu, taratibu nikageuka na kumtazama. Nikamkuta akiwa amesimama kitanda cha pembeni yangu.

“Akma ule, nimkuletea chakula”

Ahmood alizungumza kwa sauti ya chini sana ambayo mtu wa chumba cha pili hawezi kukisikia. Nikajijanyanyua kitandani, viungo vyangu vyote vya mwili vinaniuma sana. Nikaka kitako, Ahmood akanipatia kipande cha mkate na chupa ya maji.

“Asante rafiki yangu”

“Usijali, kula haraka haraka kwa maana tumeambiwa tusikupatie chakula”

“Sa…….”

Kabla sijamalizia sentensi yangu wakaingia askari wawili wa kike, kwa haraka wakanipokonya kipande cha mkate pamoja na chuma ya maji, mmoja akamshika Ahmood shati lake na kuanza kumpatia kipigo kwa kirungu chake huku akimtoa ndani ya chumba, nikatamani kumsaidia rafiki yangu ila nikashindwa kwani huyu aliye beba kipande cha mkate pamoja na maji aliwahi kuitoa bastola yeka katika sehemu alipo kuwa ameichomeka. Wakatoka katika chumba chetu na kuufunga mlango kwa nje na kuondka na Ahmood.

Taratibu nikairudisha miguu yangu kitandani na kujilaza chali, mawazo ya safari ya maisha yangu ikaanza kujirudia kichwani mwangu taratibu, nikamuwaza K2 jinsi nilivyo kuwa ninakula naye raha za maisha huku akinipa pesa za matumizi. Kubadilika kwangu kwenye maisha ya mahusiano kukapelekea mambo kuwa magumu sana, hata ukweli wangu ndio ukanifanya nianze kuonja gereza kwa mara ya kwanza katika maisha yangu.

“NAHITAJI UNILETEE KICHWA CHA K2 HAPA”

Maneno haya ya mama yakajirudia kichwani mwangu, jambo lililo nifanya nianze kububujikwa na machozi huku nikijilaumu ni kwanini nimeshinda kumpeleka mama yangu kichwa cha K2 muanzilishi wa matatizo makubwa kwenye maisha yangu pamoja na familia yangu nzima.

Kwa njaa kali ambayo inanikabili sikuweza kulala kabisa, nikabaki nikiendelea kujigeuza geuza kitandani mwangu huku mawazo yakizdi kuwa mengi sana. Ukimya wa gereza huu ulinifanya nianze kusikai nyayo za tu akikaribia kufika katika mlango wa chumba ninacho lala kwa maana hadi sasa hivi sifahamu ni wapi walipo mpeleka. Mtu huyo akasimama kwenye nondo za mlango wangu, kutokana kuna giza sikuweza kumuona vizuri wala kutambua kwamba ni mwanamke au mwanaume.

Nikasikia kitu kikiwa kimeburuzika kwa kusukumiwa ndani ya chumba changu kisha mtu huyo akaondoka na kuniacha nikiwa na maswali mengi juu ya kitu hichi kilicho sukumwa ndani ya chumba changu. Taratibu kwa umakini wa hali ya juu nikaanza kupapasa papasa chini kuangalia kitu hicho, nikakutana na kijikontena kidogo ambavyo kwa mara nyingi huwa vinahifadhiwa chakula. Tartibu nikakaa nacho kitandani na kukifungua, nikadumbukiza mkono wangu, hapo ndipo nilipo gundua kwamba ndani kuna kipande cha mkate pamoja na yai moja.

Taratibu nikaanza kukila huku nikiwa makini sana kuhakikisha kutafuna kwangu, hakusikiwi na mtu yoyote kwa maana ukimya ulipo katika hili gereza na giza hili totoro ni rahisi hata mtu kusikia misuguano ya meno. Kutokana na njaa kali, ndani ya dakika mbili nikawa nimemaliza kula chakula hichi, kijikontena hichi ambacho kimeletea chakula nikakiweka chini ya godoro tena katika kitanda tofauti na nilicho lalalia kisha nikajilaza kitandani, kidogo nikiwa na kijiunafuu wa maisha. Usingizi haukunipitia kabisa, hadi kengele ya kuamka inagongwa bado sikuwa na hata na lepe la usingizi. Nikajiamsha kitandani kwangu, milango yetu ikafunguliwa kwa pamoja, wafungwa wote tukatoka kwa pamoja huku tukikimbia kuwahi katika kiwanja cha kuhesabiwa namba. Tukajipanga mistari mirefu na tukaanza kuhesabiwa.

Kwa siku ya leo nikabahatiika kupata namba kumi na moja, baada ya watu kuhesabiwi, kama kawaida tukatawanyika, walio fanya mazoezi walifanya, walio amua kutulia sehemu moja wakafanya hivyo. Macho yangu yakawa na kazi ya kutazama ni wapi alipo Ahmood, sikufanikiwa kumuona jambo lililo nifanya nianze kuhisi hisia mbaya, kwani katika siku hizi mbili nilizo kaa humu gerezani yeye amekuwa mtu wangu wa karibu sana na ameweza kunifafanulia mambo mengi ya hapa gerezania. Nikiwa katika msongamano wa mawazo huku nikiwa nimesimama, nikastukia nikiguswa begani mwangu, nikageuka nyuma kwa haraka na kukutana na mzee wa kijapani aliye nisifia jana nilivyo kuwa nikipambana na watu ambao wanamuonea sana Ahmood. Kwa ishara akaniomba nimfwate, sikuwa na hiyana, nikamfwata nyuma hadi kwenye moja ya ukumbi wa mazoezi ambapo humu ndani kuna wapiganaji wengi wa asili tofauti tofauti. Kuna vifaa vingi ya mapambano, na watu nilio wakuta humu wote wanaonekana ni wapambanaji.

Kutokana lugha zetu ni tofauti sana na huyu mzee akawa ananielekeza kwa vitendo tu, kwa maana mimi sifahamu kijapani na yeye afahamu Kiswahili wala kingereza, mwanafunzi aliye kuwa naye ni mjapani mwenzake na ndio ninasikia kwamba yupo nusu fainali katika mashindano ya kuuana humu ndani.

Akaanza kunifundisha mazoezi ambayo kwangu ndio mara yangu ya kwanza, kutokana nina uwelewa mkubwa sana katika maswala ya kupambana ikawa ni rahisi sana kwangu kuelewa baadhi ya mafundisho anayo nipatia. Sikuhitaji kuwa mzembe katika kupata ujuzi kutoka kwa huyu mzee kwa maana nina amini kwamba ujuzi wake unaweza kunisaidia katika maisha yangu ya baadae hususani humu ndani ya gereza.

Jitihada zangu katika siku hii ya kwanza zikamfanya mzee huyu kuzidi kunipenda na kunifundisha kwa moyo mmoja, hadi unafika wakati wa kupata kifungua kinywa, nikawa nimefahamu mbinu nyingi sana. Tukaondoka ndani ya ukumbi huu na kuelekea katika ukumbi wa chakula, niwa nimeongozana na mzee pamoja na kijana wake. Tukasimama foleni moja, ambayo ndio ya yule msichana ambaye jana usiku alikuwa akinitazama na aliniongelesha Kiswahili. Ikafika zamu yangu ya kupata chakula, nikachukua sahani pamoja na kikombe na kumnyooshea.

“Vyombo vyangu umevitunza?”

Swali la binti huyu likanifanya nikumbuke tukio la jana usiku na hapa ndio nikagundua kwamba binti huyu ndio aliye niletea chakula jana usiku.

“Ndio”

“Hakikisha unavitunza kwa umakini”

“Sawa, ila nikuulize kitu?”

“Uliza?”

“Kwa nini umenisaidia?”

“Nitakueleza siku nyingine, ondoka wasije wakatustukia”

Nikaondoka na chakula changu huku nikiwa na matumaini mapya katika moyo wangu kuhusiana na binti huyu ambaye kwanza ni askari katika hili gereza na pili anafahamu Kiswahili vizuri na inavyo onyesha huko mbeleni anaweza kuwa msaada mkubwa sana kwangu.

Nikaka kwenye meza aliyo kaa mzee huyu wa kijapan na kijana wake, tukaendelea kupata kifungua kinywa. Baada ya kumaliza kupata kifungua kinywa, kengele ikagongwa na tukakusanyika katika ukumbi wa matangazo, ambapo hapo matangazo yakaanza kutolewa kwa luga nne ambazo ni Kingereza, Kijapani, kifaranza na Kizulu.

Matangazo ya leo yanahusiana na mashindano yanayo endelea leo. Waalimu wa timu zao wakaambiwa kuwaandaa wapiganaji wao. Kutokana nimesha jiunga na mwalimu huyu, nikawa katika maandalizi ya kumuandaa kijana wake ambaye anaonekana kukamilika sana katika mapambano. Masaa yakazidi kusonga na muda wa kuingia kwenye ukumbi wa mapambano ukaanza. Kitu nilicho kigundua kwa haraka katika ukumbi huu kuna kamera nyingi zinazo rekodi matukio yanayo endelea katika eneo hili na yanarushwa moja kwa moja kwenye mtandao wao unawa waingizia pesa. Nikatafuta sehemu nikaka, mzee huyu akaelekea katika viti vya makocha pembeni ya huu ukumbi. Shangwe za wafungwa zikaanza kusikika kila upande wa huu uwanje. Askari hawa wa kike wamezagaa kila upande, wakiwa na silaha zao.

Pambano la kwanza ni la kijana wa huyu mzee wa kijapani pamoja na jitu moja jeusi, lenye umbo kubwa sana. Nondo zilizo tengenezwa kama banda zikafunika ulingo mzima na wapiganaji wote wamo ndani ya ulingo na hakuna sehemu ya kukimbilia. Kila mmoja akakabidhiwa silaha anazo zihiaji na kocha wake, kengele ya kuanza pambano ikagongwa, kufumba na kufumbua tukaona mkono wa mpiganaji wa huyu mzee ukianguka chini kwa kukatwa jambo lililo nifanya nibaki nikiwa nimeduwaa na nikahisi kuchanganyikiwa kabisa kwa maana mpinzani wake anapo elekea ni kumkata kichwa chake kabisa.



Kijana wa mzee huyu kusema kweli maumivu ya mkono wake yakampotezea umakini kabisa wa mpambano huu, sote tulipo uwanjani tukashuhudia damu nyingi zikituka zikitokea kwenye shingo ya kijana wa mzee anaye anza kunipa mafunzo. Kichwa chake kimetengana kabisa na mwili wake. Watu karibia wote uwanjani wakanyanyuka vichwa vyao wakiwa wameviweka kichwani, kila mmoja akaonekana kushangaa sana kwa kile anacho kiona.

Ni wafungwa wachache sana ambao wanashangilia tukio hili la kikatili, miguu yangu nilihisi imekosa nguvu kabisa, hata kusimama nikajikuta nikishindwa machozi yakaanza kunilenge lenga kwa maana jamaa ni muda mfupi tu nilikuwa naye ila kwa sasa mauti ndio yamesha mpata.

Nikamtazama mzee wa kijapani, nikamuona ameyafumba macho yake kwa uchungu sana hata yeye machozi yanamchuruzika kwenye mashavu yake. Nikajikaza kiume, nikasimama kutoka sehemu nilipo kaa na kuanza kutembea kwa taratibu kuelekea alipo kaa mzee huyu. Nikafika na kumnyanyua tararibu na kuondoka naye. Tukaelekea katika uwanja wa mazoezi ambapo hapakuwa na mtu yoyote, mzee huyu akaanza kupiga makelele ya nguvu huku akilia, sikuwa na jinsi zaidi ya kumuacha alie ili hasira na uchungu wake uishe. Baada ya nusu saa mzee huyu akasimama wima katikati ya ulingo wa mazoezi, akaniita kwa ishara. Taratibu nikapanda kwenye ulingo na kusimama wima huku nikitazamana na mzee huyu.

Akaniita kwa ishara ya kidole ili nimshambulie, kutokana nimazoezi nikaanza kumshambulia, kwa ngumi kadhaa, ila cha kushangaza hakuna hata ngumi moja ambayo iliweza kumpata na zote amezikwepa na yeye ndio akawa ananitandika ngumi zake ambazo ni nzito zaidi ya nilivyo mtarajia. Mapambano yakazidi kuwa makali hadi ikafikia kipindi nikaanza kuishiwa na nguvu pamoja na pumzi. Kwa mara kadhaa nilijikuta nikianguka chini kutokana na kushindwa kumuhimili mzee huyu.

Mzee huyu akatoka kwenye ulingo baada ya kuniangusha kwa kunipiga ngumi nyingi za kifua. Akaelekea sehemu yenye majambia akachukua majambia mawali na kurudi nayo. Akanipatia jambia moja na kuniamuru kusimama.

Kitu lilicho tokea nilihisi ni kama ndoto ila ni ukweli kwani mzee huyu alianza kuninishambulia na jambia lake, nilicho kifanya mimi ni kujikinga na jambia lake ili lisiingie mwilini mwake. Mashambulizi yalivyo anza kuwa makali taratibu nikaanza kutafuta ni mbinu gani inayo weza kunitoa kwenye ulingo huu. Nilipo bahatika kupata nafasi ya kuwa karibu na kamba za ulingo huu, nikajirusha nje na kukimbilia nje huku nikiwa nina hem asana kwa maana hasira zake mzee huyu anaweza kunimalizia mwilini mwangu kwa kunicharanga charanga mwili wangu kwa jambia lake.

Cha kushukuru Mungu nikawakuta wafungwa wengine wakitoka uliongoni na kueleka kwenye vyumba vya kulalala na mimi nikaungana nao kuelekea kulala huku nikiwa ninamwagikwa na jasho mwili mzima, nikaingia kwenye chumbani kwangu kabla sijapanda kitandania nikamuona Ahmood akiwa amelala kifudifudi kitandani huku akiwa anatetemeka. Kwa haraka nikamuwahi na kukaa pembeni ya kitanda chake.

“Ahmood”

Niliimuuita huku nikimgeuza, nilicho kutana nacho kwenye sura yake nilihisi kuchanganyikiwa, kwani uso wake umemvimba hadi macho yake hayaonekani vizuri. Nikafungua vifungo vya shati lake na hapo ndipo nilipo kuta akiwa na alama nyingi za fimbo zilizo vimbia katika kila kona ya mwili wake.

“Ahmood nani amefanya hivi?”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“A…..ss…kar….i”

Ahmood alizungumza kwa shida sana, nikanyanyuka kwa hasira na kutoka ndani ya chumba changu, kwa maana bado wafungwa wengine wanaendelea kuingia kwenye vyumba vyao. Kwa haraka nikakimbilia sehemu tunapo patia chakula, sikukuta mtu yoyote, hapakuwa na chombo cha aina yoyote kwa maana lengo langu kubwa ni kwenda kuchukua maji ya moto kwa ajili ya kumkanda Ahmood ambaye hali yake sio nzuri kabisa. Nikiwa katika kuzunguka zunguka na kutazama ni nini ninatakiwa kukifanya. Taa zaote zikazimwa, giza totoro likatawala ndani ya ukumbi huu. Sikuona pa kutokea wala kuingilia, wasiwasi mwingi ukanijaa, ila nikajikaza kuhakikisha kwamba ninapata pakutokea. Kila nilipo zunguka jududi zangu ziliishia katika kujikumba kwenye meza pamoja na mabenchi yaliyomo humu ndnai ya ukumbi.

Nikiwa katika hali ya kuto kufahamu ni nini kinacho endelea, nikajiku nikiwahiwa kukabwa shingo yangu na mtu aliyopo nyuma yangu, nikajitahidi kujitoa mikononi mwake, ila kwa bahati mbaya sana, hakuwa peke yake, kwani nilisikia watu wengine wawili wakinishika mikono yangu kwa nyuma. Wakaanza kuniburuza kimya kimya huku kwa mara kadhaa nikijitahidi sana kujitoa mikononi mwao ila nikashindwa. Nilicho kisikia ni milango kufungwa na wala sikuona kitu chochote kutokana na giza kali sana.

Taa ikawashwa, macho yangu yakakutana na wasichana wanne ambao ni wanajeshi. Sura zao sio ngeni sana, hawa ndio wale walio kuwa nami katika chumba cha dkatari kipindi ambacho ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kufika katika gereza hili.

“Munahitaji nini?”

Niliwauliza kwa sauti ya kujiamini sana, wawili wakanisogela na kuanza kunifungua vifungo vya shati langu, kisha wakanivua suruali yangu na nikabakiwa na nguo ya ndani. Nguo yangu ya ndani nayo wakaivua na kuanza kumchezea jogoo wangu. Sikuwa na ujanja wa aina yoyote kutokana wawili wameshika mitutu ya bunduki wameninyooshea na endapo nitaleta ujinga wataniua humu humu ndani.

“Ngojeni kwanza, naombeni chakula”

Nilizungumza huku nikifanya kwa vitendo kwa maana kusema kweli chakula tunacho kipata nikidogo sana na hili yendo wanalo hitaji nilifanye itakuwa ni hatari tupu kwagu. Wakatazamana, kisha wakazima taa, kitu nilicho kigundua kwamba wana uwezo wa kuona kwenye giza zito ni miwani zao za kijeshi walizo zivaa ambazo mara nyingi hutumiwa na wanajeshi wakati wa kazi za usiku. Sikujua ni nini kinacho endelea, ila nilicho kisikia ni mlango kufunguliwa na kufungwa. Ukimya ukaendelea kutawala ndani ya chumba. Baada ya muda kidogo mlango huu ukafunguliwa na kufungwa kwa ndani na taa ikawashwa. Binti mmoja akaja na kijikontena kilicho jaa wali na maharage, pamoja na chupa ya maji. Wakanikabidhi, taratibu nikapokea chakula hichi, ambacho sijakila kwa siku nyingi sana.

Sikujali kama mikono yangu ni misafi au laa, nikaanza kukila chakula hichi kwa pupa huku nikiwa nimewatolea macho, nilipo hakikisha tumbo limekaa sawa na hakuna hata punje ya chakula iliyo baki kwenye hichi kijikontena, nikafungua chupa ya maji safi na kuanza kuinywa kwa mafumba mazito mazito mazito hadi ikabaki robo. Nikaishusha kutoka mdomoni mwangu na kuanza kuhema taratibu huku macho yangu nikiwa nimeyatoa. Wasichana hawa wawili wakanisogelea, kama walivyo fanya awali ndio wanacho kifanya sasa hivi. Jogoo wangu akasimama kwa haraka sana, wasichana hawa mmoja baada ya mwengine akaanza kumnyonya jogoo wangu kwa utaalamu wake. Wasichana wawili walio baki wakaendelea kusimmaa mbali kidogo na tulipo sisi huku wakiendelea kutazama wanacho kifanya wezao ila bunduki zao wamenielekezea mimi.

Sikutaka kuzubaa, japo wao ndio wanao nibaka kwa kutumia nguvu. Ila laiti wangejua wameingia kwenye namba chafu wala wasinge jihangaisha kufanya hichi wanacho kifanya. Wakavua suruali zao za kijeshi pamoja na nguo zao za ndani na kubaki kama walivyo zaliwa. Mmoja akajiinamisha mbele yangu, sikufanya kosa la kumzamisha jogoo wangu kwa kasi kwenye kitmbua chake na kumfanya kutoa mguno mzito hadi wezake wakamtazama. Nikaanza kumla kitumbua chake kwa hasira, kila ninapo kumbuka mateso waliyo nipatia, basi kazi ya kumkandamiza jogoo wangu kwenye kiumbua chake nfivyo jindi nilivyo izidisha huku mikono yangu nikiwa nimekishika kiuno chake kisawa sawa.

Alipo ona mambo yanamuwia ugumu, akajichomoa yeye mwenyewe na mwenzake akachukua nafasi hiyo. Huyu kutokana na ukubwa wa makalio yake nikampanua miguu yake huku akiwa amelala chali, nikamzamisha jogoo wangu mzima ndani ya kitumbua chake, mikiki mikiki ambayo ninampatia nikamuona kabisa hato weza kuvumilia hadi nifikie mwisho kwa maana hata miguno yake anayo itoa ni ya mtu anaye kwenda kuishiwa na pumzi. Sili vitumbua vyao kwa ajili ya kustarehe ila ninakula kwa ajili ya kuwakomoa. Binti wa kwanza bado yupo chini amejilaza huku akiehema, huyu mwenzake ninaye mshuhulikia ndio amechoka kabisa. Hadi waarabu weupe wa awamu ya kwanza wanatoka wasichana hawa wawili sijaona hata mwenye hamu ya kurudiana na mimi.

Wasichana wawili walio salia, kila mmoja akaanza kuvua nguo zake taratibu huku wakiwa wananitazama kwa macho ya umakini. Jasho jingi linalo mwagika mwilini mwangu kana kwamba nimefanya mazoezi kwa muda mrefu, linaufanya mwili wangu ulio jengeka vizuri kwa mazoezi, kumetemeta na kuzidi kuwavutia wasichana hawa. Wasichana hawa wawili wakanisogelea taratibu huku wezao wawili wakiwa wamelala chini wamejichokea.

Wakaanza kuuchezea mwili wangu kama wasichana wa kwenye makasino wanavyo fanya ili kuwachomoa vibosile pesa. Mikono yao ikaendelea kupapasa kila kona ya mwili wangu na kunifanya nijisikie raha za muda mfupi. Kwa mwanaume uliye kamilika kila idara ukipata vishawishi kama hivi ni lazima jogoo wako aanze kunyanyuka taratibu hata kama umetoka kufanya shuhuli hiyo kwa muda mfupi ulio pita.

Vishawishi vya wasichana hawa vikazidi kupamba moto na kujikuta nikimshika mmoja na kumvuta karibu yangu, nikaanza kumnyonya denda kwa nguvu sana. Mkono wangu wa kushoto ukakikamata kiuno chake vizuri huku mkono wangu wa kulia ukiwa na kazi ya kuyaminya makalio yake kwa nguvu huku kwa mara kadhaa nikiwa ninayapiga piga makofi na kuyafanya yatingishike. Mzuka wa kungonoka ukazidi kuongezeka mara dufu zaidi hata ya hawa wakwanza walicho nifanyia. Baada ya kumnyonya denda la kutosha, nikanyanyua kwa nguvu na miguu yake akaipitisha kiunoni mwangu na kuikutanisha kwa nyuma ya kiuno changu huku mikono yake akiwa ameipitisha begani. Kwa jinsi alivyo mwepensi ikawa rahsisi kwangu kumshika kwa mkono wangu mmoja huku mkono wangu mwengine ukimshika jogoo wangu na taratibu nikamuingiza kwenye itumbua chake.

Shuhuli ya kumuhudumia ikaanza kwa kasi ya ajabu sana, huku mwenzake akiwa na kazi ya kunilamba lamba mgongoni. Kusema kweli kati ya wasichana hawa watatu nilio wala kwa muda huu ila huyu wa tatu ana hamasa kubwa ya kumpa haki inayo stahili, kwani ana wepesi ambao wanaume wengi huwa tunapenda, pili ana miguno kama ya watoto wa Kizaramo au Kingoni. Anajua kikuzungusha kiuno chake na kujituma kisawa sawa katika kumkalia jogoo na anahakikisha jogoo ana donoa kila upande wa kitumbua chake. Sikuytaka kumkomo kabisa, zaidi ya kuhakisha ananipa raha ya uhakika. Mwenzake alipo ona rafika yake anachukua muda mwingi, akamuomba mpishe, msichana huyu, hakuwa na hiyana na taratibu akanichia na kushuka mwilini mwangu huku akiwa na tabasamu pana usoni mwake, na kila anapo nitazama hasiti kujilamba lispi zake nene kiasi.

Mwenzake akajiinamisha na kuushika ukuta wa hichi chumba, huku akiwa amebong’oa na kuniachia kiwiliwili cha nyuma nikishuhulikie. Nikaanza kumpa haki ambayo anastahili kama wezake, ila sikuona utaalamu wowote kutoka kwake. Japo anajitahidi kukizungusha kiuno chake ila hakuna cha maana anacho kifanya. Nilipo hakikisha ameridhika, nikamrudia wa tatu aliye nifurahisha ambaye naye akanipokea kwa furaha sana. Tukaendelea kuchizika hadi waarabu weupe walipo toka. Kila mmoja akwa ameridhi kwa kile alicho kipata kutoka kwangu mimi. Kwa uchovu mwingi tukajikuta kila mmoja akijilaza sehemu yake. Msichana niliye nifurahisha akanisogelea sehemu nilipo kaa na kukilaza kichwa chake kifuani mwangu.

“Umenifurahisha kaka”

Nikastuka kwa msichana huyu kuzungumza Kiswahili, ikanibidi nikisogeze kichwa chake kwenye kifua changu na kumtazama usoni vizuri.

“Mbona umestuka, ninakifahamu Kiswahili vizuri sana”

“Mmmm, umetokea wapi?”

“Nimetokea Tanzania, nchi uliyo tokea wewe. Ndio maana pale ulipo hitaji chakula nilikwenda kukuchukulia haraka”

“Hwa wezako wanafahamu Kiswahili?”

“Hakuna hata mmoja anaye kifahamu Kiswahili wote hawa wanafahamu kizulu na kingereza”

“Kwa hiyo hawa ni waafrika kusini?”

“Ndio, unaitwa nani?”

“Dany wewe je?”

“Vivian”

“Imekuwaje hadi ukawa mwanajeshi katika gereza hili?”

Hata kabla Vivia hajanijubu chochote, mlango huu ukaanguka chini baada ya kuvunjwa kwa nguvu. Kundi kubwa la wasichana hawa wakijeshi wakiwa wameongozana na mkuu wao wa hili gereza wakasimama mlangoni, huku nyuso ya huyu mwana mama mkuu wao ikiwa imetengeneza alama ya ‘V’ kutokana na hasira kali aliyo nayo. Vivian na wezake wakajikuta wakikurupuka kila mmoja akajawa na wasiwasi mwingi sana kwani kinacho kwenda kutokea Ahmood alisha wahi kuniambia.





Mama huyo akawaamuru wanajeshi wengine kuwakamata wezao ambao wote wapo uchi, haya mimi mwenyewe nipo kama nilivyo zaliwa. Vivian alipo karibiwa kukamatwa na mwenzake mmoja, akaanzisha varangati, jambo lililo nipa hata mimi nguvu. Wezake wengine nao watatu kazi ikawa ni kupambana na hawa wanajeshi wezao.

Japo tupo uchi wa mnyama wala hatukulijali hilo, kikubwa hapa ni kila mtu kuyaokoa maisha yake. Hapa ndipo nilipo gundua kwamba wasichana hawa mapigano yao hayana tofauti kabisa na wasichana wa Livna.

Vivian hakuwa mbali na mimi, kila msichana ambaye alihisi anaweza kunizidi aliweza kumdhibiti kisawa sawa. Tulipo pata upenyo wakutoka katiki hichi chumba kilicho jaa damu nyingi, tukatoka na kuanza kukimbia hivyo hivyo tulivyo. Vivian akawa na kazi ya kuniamrisha nimfwate nyuma. Kutokana taa zimewashwa na ving’ora vimepigwa kila sehemu, haikuwa rahisi kwetu sisi kuto kuona tunapo elekea. Tukaingia kwenye moja ya chumba ambacho ni cha kuhifadhia nguo za wanajeshi hawa.

“Chagua haraka haraka nguo itakayo kutosha”

“Poa”

Nikaanza kuchambua suruali ambazo zinaweza kunienea, kwa habatiu nzuri sikupata shida kabisa, nikapata moja ya suruali ambayo imeniendelea vizuri. Nikaikavaa na kufunga zipu pamoja na vifungo chake, nikatafuta na shati la juu ambalo nalo pia ni la kijeshi, nikavaa.

“Chukua viatu hivyo”

Vivian alinirushia buti za kijeshi huku akiwa anamalizia na yeye kuvaa.

“Hivi unafahamu njia ya kutokea humu ndani?”

“Yaaa ninaifahamu ila ni ya hatari kubwa sana, ni heri kwenda kufia huko mbele ya safari kuliko kukamatwa na huyu jinni. Kifo chake ni kibaya sana”

“Mmmmm”

“Tuondoke”

Vivian alizungumza huku akiusogelea mlango, akausukuma taratibu na kuchungulia nje, sikujua ameona kitu gani, kwa ishara akaniomba nirudi nyuma, tukajificha kwenye moja ya kabati kubwa. Wakaingia wasichana wawili wakiwa na silaha, wakaanza kuchunguza taratibu ndani ya hichi chumba. Vivian akanipa ishara ya kwamba kila mmoja apambane na wakwake. Ndivyo ilivyo kuwa pale wasichana hawa walivyo jaribu kulisogelea kabati tulilo jificha, kilicho wakuta, mi Mungu tu ndio anaye jua, kwa maana kila mmoja alimuua wa kwake kwa staili anayo ijua yeye. Tukazidi kujiamini sana baada ya kuzipata bunduki zao, Vivian akakimbilia mlangoni akachungulia nje kwa mara nyingine, kwa ishara akaniita hadi mlangoni na tukatoka na kuanza kukimbilia nje.

“Tupite huku”

Vivian alizungumza huku akikunja kushoto, tukazidi kusonga mbele kwenye njia ambazo ndio mara yangu ya kwanza kuziona ndani ya hili gereza.

“Dany kuwa makini huku tunapo pita ni njia ambayo kunafugwa majoka makubwa sana na tusipo kuwa makini tutafia huko”

Vivian alizungumza huku jasho jingi likimwagika usoni mwake, nikajikuta nikishusha pumzi kusema kweli, mbele ya majoka haya hakuna mtu ambaye anaweza kuwa jasiri kwa maana majoka hayo anayo yazungumza Vivian sijui hata yanafananiaje.

Viviana akafingua moja ya mfuniko wa chuma ambao upo chini ya ardhi. Akanitazama tu usoni mwangu, kisha akanisogelea na kuninyonya lipsi zangu kwa nguvu sana, huku akishusha pumzi nyingi sana.

“Kama tukifa tutakuwa tumeondoka kihaki kwenda kwa mwenyezi Mungu na kama tukibahatika kupona pia ni bahati ya mola”

“Kweli”

“Kwenye sehemu ya hayo majoka tunatakiwa kupita kimya kimya, kijimlio chochote kikitokea basi tutakuwa chakula cha hayo makoka”

“Sawa”

Nilizungumza huku nikishusha pumzi, nikajaribu kuchungulia ndani ya shimo hili refu. Huko tunapo kwenda hakuna mwanga wa aina yoyote. Roho moja inaniambia ni bora ni baki nijisalimesha mikononi mwa mama huyu ila roho nyingine inaniambia nikimbie na hii ndio nafasi yangu ya pekee katika kuyaokoa maisha yangu.

“Twende”

Vivia alizungumza huku akivaa mkanda wa bunduki ambayo inaning’inia mgongoni mwake, na mimi nikauvaa mkanda wa bunduki yangu, kisha nikamshubiria Vivian azame kwenye shimo hilo lenye giza totoro. Baada ya Vivi kuzama na mimi nikazama na kuanza kushuka kwenye ngazi hizi. Kusema kweli kuna maeneo yanatisha duniani, na unaweza kwenda kuzimu hata kabla hujafa. Kwenye vitabu vya dini tunaelezwa kuzimu ni sehemu yenye giza nene, ambalo kwa haraka haraka ninalifananisha na hii sehemu tunayo shuka.

“V”

Niliita kwa sauti ya chini sana chini ya kunong’oneza.

“Mmmmm”

“Sioni tunapo kwenda”

“Tunashuka chini tu, hadi tukute mwanga”

“Na hizi ngazi?”

“Ndio hapo chini chini ndio kuna hayo majoka”

“Mungu asaidie”

“Ngazi ya hamsini ndipo kuna hayo majoka na hadi sasa hivi mimi nipo ngazi ya ishirini”

“Na ngazi zipo ngapi?”

“Zidi ya miambili na hamsini”

Tulizungumza kwa sauti ya chini sana, tukaendelea kushuka taratibu na giza latu totoro. Kila jinsi tunavyo zidi kushuka chini ndivyo hali ya hewa inavyo zidi kubadilika, ikafikia hatua hewa ikawa mbaya sana. Nikaanza kuhisi maumivu makali ya kichwa jambo lililo anza kunipa woga mkubwa. Jasho jingi likaanza kutiririka katika mwili wangu, joto kali lisilo na kifani, nalo kitatawala mwili wangu.

“V”

“Shiiii”

Sauti ya Vivian nayo imebadilika kabisa, kwa haraka nikaanza kuhisi na yeye anaipitia hali ambayo ninayo mimi. Harufu kali ya uozo ikatawala katika pua zangu, nikajua eneo tulilopo ndio eneo ambalo hayo majoka yanafugwa. Tukaanza kusikia mihemo mizito na yakutisha, nikahisi kufa ila malaika mtoa roho amekaa mbali na mimi.

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

Nilicho kikremisha ni jinsi ya kushuka kwenye gazi hizi ndefu kwenda chini. Vivian aliyopo chini yangu wala sikumsikia hata ishara yoyote. Taratibu nikshusha mguu wangu hadi kwenye ngazi ya chini yangu, ila nikahisi nimekanyaga kiganja cha Vivian. Kwa haraka nikaurudisha mguu wangu kwenye ngazi niliyopo huku mikono yangu ikiendelea kushikilia ngazi ya juu. Hali ya kuumwa ikazidi kunitawala mwilini mwangu, nikatamani kujiachia, ila ninashindwa, ninatamani hata muujiza ujitokeze niokoke kwenye hili eneo ila hakuna kitu kama hicho.

Tukaendelea kushuka kwa umakini mkubwa sana katika eneo hili la kutisha, cha kumshukuru Mungu hatuyaoni hayo majoka nalaiti kama tungekuwa tunayaona nahisi ni siku nyingi tungekuwa tumesha liwa kutokana na woga wa kibinadamu. Tukazidi kushuka chini kwa kujikaza japo nguvu za mwili zimetuishia ila hakuna jinsi zaidi ya kuendele kujikaza tena zaidi ya ukakamavu. Kadri tunavyo zidi kushuka ndivyo hali ya hewa inavyo anza kubadilika, ikafikia hatua miili yetu ikaanza kupata unafuu ambao kusema kweli matumaini ya masiha yetu kuokoka yapo. Tukafika sehemu hali ya hewa ambayo tumeizoea ikatawala katika mifumo yetu ya kuhemea.

“Dany”

“Mmmm”

“Tumeokoka”

“Kweli?”

“Ndio naamini sisi ndio tutakuwa wa kwanza kuokoka kutoka katika hili gereza”

“Ila mbona sioni huo mwanga”

“Tukifika ngazi ya chini kuna sehemu ya kutembea kama dakika ishirini na ndio tutakuta geti la kutokea”

“Sawa”

Kweli tukafanikiwa kufika ngazi ya chini, tukaanza kutembea kuufwata ukuta huu, kila tunavyo zidi kwenda ndivyo tunavyo hisi kupanda juu kwani sehemu hii ni kama ya muinuko. Wasiwasi wote ukaniishia moyoni mwangu na furaha kubwa ikaanza kunitawala moyoni mwangu. Kama Vivian alivyo zungumza ndivyo jinsi ilivyo, kwani dakika ishirini nzima zikaisha tukiwa katika kutembea katika eneo hili.

Tukakuta geti la nondo za chuma, kufuli kubwa lililopo katika geti hili halikutuangaisha sana kwa maana tuna bunduki zenye risasi za kutosha. Mwanga wa mbalamwezi unao angaza nje ukazidi kunipa kiweluwelu cha kutamani kufuli hili lifunguke na tutoke nje.

Nikaivua bunduki yangu na kuikoki vizuri, nikasimama vizuri huku nikilitazama kufuli hili. Nikaanza kufyatua risasi risasi zisizo na idadi katika hili kufulia, cha kushangaza kufuli halikufunguka wala kutetereka.

“Dany”

Vivian aliniita kwa sauti ya unyonge huku akinishika, begani nikamgeukia uso wake unaonyesha kuna kitu kimetokea, ikanibidi kugeuka nyuma yangu. Nilihisi kuanguka na kupoteza fahamu ila haipo hivyo. Joka lenye vichwa viwili limesimama mita chache kutoka sehemu tulipo huku likitutazama mimi na Vivian ambao hadi sasa hivi hatujui ni nini tufanye.



Katika maisha yangu nilisha wahi kusika kwamba kuna majoka ya kutisha na kuogopesa, ila sikuwahi kuyaona zaidi ya kusikia stori au kutazama filamu za namna hiyo kama Anaconda. Mwili mzima ukaanza kusisimka, nguvu zikaniishia bumbuazi zito likanitawala. Kwa macho ya kuiba, nikamtazama Vivian, nikamuona akitetemeka hata kuliko mimi, jasho jingi linamwagika usoni mwake. Taratibu nikayafumba macho yangu na kiroho roho nikaanza kusali taratibu kwa Mungu wangu anisamehe zambi zangu zote nilizo zifanya kwa maana ni zambi nyingi sana. Kifo ninakiona mbele yangu, machozi yakaanza kunitiririka. Hata bunduki niliyo ishika mkononi mwangu ikaanguka chini. Kitu ninacho kisubiria kwa wakati huu, ni joka hili kunitafuna na iwe ndio mwisho wa maisha yangu.

Dakika takribani tano zikapita kukiwa na ukimya mzito, sikusikia kitu chochote ndani ya dakika hizi tano, nikaanza kujiuliza maswali ambayo taratibu yakanifanya niyafumbue macho yangu. Nikahisi kama ninaota ila ndio ninacho kiona. Joka ambalo lilikuwa mbele yangu halikuwepo, Vivian naye ameanguka chini. Nikatazama nyuma yangu ambapo kuna geti nililo kuwa ninasumbuka kuvunja kufuli lake kwa risasi, ila ninalikuta wazi.

Kwa haraka nikamsogelea Vivia, nikampima mapigo yake ya moyo, nikaona bado yanafanya kazi vizuri, nikamnyanyua Vivian na kumbeba mikononi mwangu. Kitu cha muhimu kwa wakati huu ni kutoka katika hii sehemu kwa maana hadi muda huu bado ninajiuliza ni kitu gani ambacho kimetoka hadi muda huu nipo salama, na joka hili limepotea wapi na geti limekuwaje likafunguka. Sikupata jibu la aina yoyote zaidi ya kutoka nje ambapo kuna mwanga wa mbalamwezi. Sehemu niliyo tokea ni pembezoni mwa bahari.

Nikaendelea kutembea kwa mwendo wa haraka huku nikiwa nimembeba Vivian mikononi mwangu, sikhitaji kuwa karibu kabisa na sehemu ambayo tumetokae kwa maana sielewi ni kitu gani kinacho weza kutokea katika wakati huu wa usiku. Nilipo hakikisha nimetembea umbali mrefu kutoka lilipo geti, pembezoni mwa fukwe hii iliyo tulia nikatafuta sehemu, taratibu nikamlaza Vivian ambaye hadi sasa hivi haelewi kitu chochote kinacho endelea.

Nikaanza kumpa huduma ya kwanza kwa mtu ambaye amepoteza fahamu. Nikamjaza pumzi mdomoni mwake kwa kutumia mdomo wangu. Ila hapakuwa na matokea yoyote.

“Usihangaike sana, ataamka”

Sauti ya kike ambayo sio ngeni masikioni mwangu, niliisikia ikizungumza nyuma yangu, na kujikuta nikisimama kwa haraka huku nikigeuka nyuma. Sikuamini kumuona OLVIA HITLER, akiwa amesimama nyuma yangu, huku amevaa mavazi meupe. Mara yangu ya mwisho kukutana na dada huyu wa kijini ni siku nilipo kuwa Tanga kwenye moja ya hoteli.

“Vipi umesyuka sana eheee?”

Kwa kigugumizi kilicho nishika kutokana na mstuko, wala sikuweza kumjibu chochote Olvia Hitler. Nikabaki nikiwa nimekaa kimya ninamtazama usoni mwake.

“Nilikuahidi kwamba ukihitaji msaada wangu, nitakusaidia, na hicho ndio kitu nilicho kifanya leo kwako”

“Kwa nini umenisaidia?”

“Kwa ajili ya maisha yako, na nitahitaji sasa urudi Tanzania”

“Nitarudije wakati sina chochote na hapa nilipo wala sitambui nipo sehemu gani”

“Kwa binadamu hicho kitu ni kweli hakiwezekani, ila kwetu sisi kinawezekana”

Olvia Hitler akapiga hatua moja mbele na kuwa karibu kabisa na mimi. Akamtazama Vivian ambaye bado hajitambui, kisha taratibu mikono yake akaipitisha shingoni mwangu na kusogea karibu kabisa na mimi na miili yetu ikawa imekutana.

“Naamini kwamba si mara ya kwanza kwa wewe kunisikia”

Olvia Hitler alizungumza kwa sauti ya chini sana.

“Ndio”

“Sihitaji kufanya kama nilicho mfanyia baba yako mkubwa Eddy”

“Uma maanisha nini?”

“Nahitaji kitu kimoja tu kutoka kwako”

“Kitu gani?”

“Mtoto na nitakusiaidi kurudi Tanzania na nitakufanyia chochote utakacho kihitaji. Ila ukishindwa kufanya hivyo basi utarudi ndani ya gereza ulilo toka”

Maneno ya Olvia Hitler yakanifanya nizidi kubaki nikiwa ninamshangaa. Hakuhitaji nimsubirie kumjibu kitu chochote alicho kifanya nikuanza kujinyonya lipsi zangu. Woga, wasiwasi, vyote vikaniondoka mwilini mwangu. Nikajikuta nikijiamini sana, hata msisimko wa mapenzi ukawa ni mkali kuliko hata ilivyo kwa wanawake wengine. Olvia Hitler akaanza kunivua nguo zangu taratibu huku tukisogelea maji ya bahari yaliyopo mbeni yetu. Kwa raha ambayo ninaisikia nikamnyanyua na kuanza kutembea naye kueleka kwenye maji ya bahari.

Tukaingia kwenye maji ambayo yanatufikia kiunoni. Olvia Hitler akalivua gauni lake juupe linalo meremeta sana. Kuna utofauti mkubwa sana kati ya kufanya mapenzi kati ya binadamu na jinni. Pezi la Olvia Hitler, siwezi kulifananisha na mwanamke wa aina yoyote, japo sijajua kitumbua chake kina utamu wa aina gani ila kusema ukweli kunyonyana kwetu tu, kuna raha sana.

Olvia Hitler akamshika jogoo wangu ambaye tayari amesha simama muda mrefu, akaanza kumchua taratibu. Mimi kazi yangu ikawa ni kuhakikisha ninacheza na kifua chake kwa kuyaminya maziwa yake kwa utaalamu ninao ujua mimi. Olvia hakusita kuporomosha vilio vya raha. Olvia taraibu akageuka na kuinama, akamuingia jogoo wangu kwenye kitumbua chake. Nilitamani kupiga ukelele mkubwa kwa raha ninayo isikia ila, nikajitahidi sana kuwa kimya. Ninafahamu ladha za vitumbua vya wanawake wengi, ila cha Olvia Hitler, sijui nikielezeeje. Joto si joto, kubana si kubana yaani ni raha mtindo mmoja.

Olvia Hitler akazidi kunionyesha kwamba yeye ni tofauti na binadamu, kwani kitumbua chake kadri muda iunavyo zidi kwenda ndivyo jinsi kinavyo leta ladha tofauti tofauti. Nikajihisi nipo dunia ya kwangu peke yangu, ila hata kuzungumza nikashindwa, kazi yangu ni kukichezesha kiuno changu ili jogoo wangu azidi kufaidi hii raha ambayo kwenye maisha yangu ndio ninaipata leo.

Waarabu weupe wakatoka na kuzama kwenye kitumbua cha Olvia Hitler, na kumfanya atoe mguno mlaini huku akitabasamu. Baada ya kuhakikisha waarabu wote wameingia kwenye kitumbua cha Olvia, akanyanyuka na kunigeukia, akanikumbatia kwa nguvu huku akininyonya midomo yangu.

“Dany umenipa kitu ambacho sikuwahi kupewa na binadamu yoyote”

“Hata mimi sijawahi kupata raha kama hii”

“Nashukuru kwa kiumbe ulicho niwekea tumboni kwangu”

Nikabaki kimya nikimtazama Olvia Hitler, wala sikufahamu nimjibu kitu gani.

“Twende ukavae nguo zako niwasaidie”

Tukatoka kwenye maji, na kuanza kuokota nguo moja baada ya nyingine. Nikavaa nguo zangu, hata Olvia Hitler naye akavaa gauni lake, cha kushangaza ndani ya muda mchache likakauka maji. Akamsogelea Vivian na kumshika na kiganja cha mkono wake wa kulia kwenye paji la uso wake. Kwa haraka Vivian akakurupuka kutoka usingizini.

Alipo muona Olvia Hitler akaanza kuhema kwa nguvu huku akiwa amemkazia macho. Aakataka kusimama ila Olvia Hitler akamuwahi kumkalisha chini.

“Tulia Vivian”

“Kwani unamfahamu?”

“Ni rahisi kwangu kumfahamu, ila ana niogopa kwa maana aliniona nikipambana na lile joka”

Hapa ndip nikafahamu kwamba Olvia ndio amepambana na joka lile lililo kuwa likihitaji kutushambulia mimi na Vivian. Olvia Hitler akamshika mkono wa kulia Vivian na kumvuta kutoka chini alipo kaa na kumnyanyua.

“Umewezaje kuliua lile joka?”

Vivian aliuliza kwa sauti ya unyonge sana

“Usijali nitakueleza baadae cha msingi hapa ni kuondoka haraka iwezekanavyo”

“Kwani unalifahamu hili eneo”

“Yaa na hapo mbele kuna gari langu nimeliacha tuondokeni”

Tukaanza kutemebea kwa mwendo wa haraka huku tukimfwata Olvia Hitler kwa nyuma. Tukafika kwenye marabara ya lami ambayo imetulia sana. Kwa mbali kidogo tukaona gari lenye rangi nyeusi likiwa limesimama. Olvia Hitler akaendelea kutangulia mbele huku sisi tukifwata nyuma hadi kwenye gari lake.

Kabla ya kuingia kwenye gari, akanitazama mkononi mwangu kwenye bandeji ambalo niliingizwa kitu fulani siku ambayo ninaingia kwenye lile gereza.

“Vivi ingia kwenye gari mwaya”

Olvia Hitler alizungumza huku akimfungulia mlango Vivian. Baada ya Vivian kuingia kwenye mlango na kuufunga mlango, Olvia Hitler akaushika mkono wangu wenye bandeji, cha kushangaza bandeji hilo ambalo ni gumu, likalegea na kuvuka mkononi mwangu. Kivaa nilicho ingizwa ndani ya mwili wangu akakitoa kwa jinsi anavyo jua yeye na wala sikusikia maumivu ya aina yoyote. Sikuona jeraha lolote akakitupa kifaa hicho kidogo, kisha tukaingia kwenye gari.

Akawasha gari na taratibu tukaanza kuondoka katika eneo hili, huku kila mmoja akiwa haamini kama amesalimika kutoka katika gereza hili ambalo linatisha na lina manyanyaso makubwa sana.

“Vivi umafahamu mmiliki wa lile gereza tulilo kuwepo?”

“Hapana”

“Umeishi kwa kipindi gani kwenye lile gereza?”

“Ni kwa kipindi kirefu, inaweza kufika hata miaka mitano, niliingia pale nikiwa binti mdogo sana”

“Mutaka kumfahamu mmiliki wa hilo gereza?”

Swali la Olvia Hitler likatufanya mimi na Vivian kukaa kimya kwa sekunde kadhaa kisha mimi nikajibu.

“Ndio tunahitaji”

“Ila Dany wewe hupaswi kumfahamu”

“Kwa nini?”

“Tutazungumza zidi tumifika hotelini”

“Sawa”

Nikabaki kimya huku nikijiuliza ni kwa nini Olvia Hitler aliamua kuniambia hiyo. Hatukuchukua muda mwingi tukafika kwenye moja ya jengo kubwa la hoteli, akasimamisha gari pembeni sote tukashuka, na kuelekea ndani. Muhudumu aliyopo mapokezi akatabasamu baada ya kumuona Olvia.

“Madam ndio unarudi?”

“Yaaa, hembu nipatie kadi yangu”

“Sawa”

Muhudumu akageuka nyuma yake amapo kuna sehemu ya kuhifadhia hizo kazi, akachomoa kadi moja na kumkabidhi Olvia Hitler

“Hawa ni wageni wangu”

“Ahaa sawa jamani karibuni”

“Asante sana”

Tukaelekea hadi eneo lililo na Lifti. Tukaingia ndani ya lifti hii, iliyo tupelekea hadi gorofa ya nane, ikasimama na kutoka ndani ya lifti. Tukatembea kwenye kordo hii ndefu hadi chumba cha sita kwa upande wa kulia kwetu. Olvia akasimama kwenye mlango huo, kwa kutumia kadi hiyo ya kufungulia milango akafungua mlango, ukafunguka na akatukaribisha ndani sote.

“Tutakaa hapa kwa muda kabla ya kurudi Tanzania”

“Sawa”

Katika chumba hichi kikubwa, kina chumba kingine ndani cha kulala, na hapa tulipo simama ni sebleni.

“Dany ninakuomba”

Olvia Hitler alizungumza huku akiingia ndani ya chumba cha kulala, nikamfwata kwa nyuma huku tukimuacha Vivian akiwa amekaa kwenye moja ya sofa kubwa lililopo kwenye hichi chumba. Olvia Hitler akachukua rimoti na kuwasha Tv, kisha akanigeukia na kunitazama machoni mwangu.

“Upo tayari kumfahamu mtu anaye miliki lile gereza?”

“Ndio”

“Huto kasirika?”

“Mmmmm wewe niambie tu”

Olvia akakaa kimya kwa muda huku akionekana akitafakari kitu cha kuzungumza na kunifanya nizidi kuwa na hamu ya kuhitaji kumfahamu mmiliki wa gereza ni nani.



CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Hakuna haja ya kukuambia sasa, utafahamu”

“Ile umeniahidi kuniambia”

“Ndio nimekuahidi, ila muda na wakati utakapo fika unaweza kufahamu”

Olvia Hitler alizungumza huku akitoka chumbani, sikuhitaji kumsemesha chochote kwa maana mimi na yeye tuna utofauti mkubwa sana kwenye huu ulimwengu. Kitu ambacho kinaniumiza kichwa ni kwa nini Olvia Hitler anaishi maisha ambayo si rahisi kwa mtu kuweza kumfahamu kwamba yeye ni jini.

Nikatoka chumbani na kumkuta Olvia Hitler akimalizia kuzungumza na simu, sikujua anazungumza na nani.

“Dany nimeagiza chakula, sasa sijafahamu ni chakula gani ambacho unakipendelea?”

“Chochote”

“Basi hakuna shida. Kesho asubuhi nitakwenda kuwatafutia hati za kusafiria, ili muweze kurudi Tanzani”

“Wewe je hurudi?”

“Mimi kuna mambo nahitaji kuyamalizia”

“Sawa”

Haukupita muda mrefu chakula kikaletwa na muhudu, taratibu tukaanza kula kwa pamoja, ila muda wote Vivian yupo kimya hazungumzi jambo la aina yoyote. Uso wake unaonekana ni mtu ambaye amejawa na wingi wa mawazo.

“Vivi una tatizo gani?”

“Mmmm”

“Ila unaonekana kama umejawa na mawazo?”

“Hapana sina kitu”

Vivian alizungumza kwa ufupi, sikuona haja ya mimi kuendelea kumuhoji maswali mengi. Tukamaliza kula, kutona bado ni usiku na tumepitia ngija ngija nyingi nikaona si vibaya nikajipumzisha kwenye kochi na kuwaacha Olvia Hitler na Vivian wazidi kuzungumza mambo yao. Usingizi mzito ulio jaa njonzi zuri, ukaendelea kunibeleza taratibu, huku masaa yakienda taratibu.

“Dany amka”

Niliisikia sauti ya Vivian karibu yangu, taratibu nikafumbua macho, nikamuona akiwa amekaa pembeni ya sofa. Akanitazama usoni mwangu. Nikajinyanyua, nikatazama kila mahali mwa hii seble ila sijamuona Olvia Hitler.

“Vipi yupo wapi Olvia?”

“Amekwenda kutafuta hizo hati za kusafiri.”

“Aahaha sawa sawa”

“Alafu Dany kuna kitu ninahitaji kukuuliza japo ninaogopa?”

“Kitu gani?”

Vivian akaka kimya huku akipnekana kukiwazia hicho ambacho ahahitaji kuniuliza. Akayananyua macho yake na kunitazama usoni mwangu kwa haraka kisha akayanshusha chini alipo kuwa anapatazama kwa mara ya kwanza.

“Nini?”

“Ahaa basi”

“Zungumza”

“Hivi huyu Olvia mimi mbona simuelewi elewi?”

“Umuelewi elewi kivipi?”

“Ananiogopesa sana, nahisi kama si…….”

Vivian hakumalizia sentensi yake mlango wa sebleni ukafunguliwa na akaingia Olvia Hitler akiwa amevalia koti jeusi pamoja na suruali nyeusi na mkononi mwake amevaa gloves za kuzuia baridi kali inayo endelea huko nje.

“Dany umeamkaje?”

“Salama”

“Ninahabari nzuri, nimefanikiwa kupata hati za kusafiria. Pia nimefanikiwa kupata ndege itakayo ondoka saa sita kamili machana”

Olvia Hitler alizungumza huku akitukabidhi kila mtu hati yake ya kusafiria. Nikaichukua ya kwangu na kuifungua ndani, macho yangu yakakutana na sura yangu kwenye picha ndogo pembeni na majina yangu kamili. Sikuhitaji kuuliza swali kama Olvia Hitler hizo picha amezipatia wapi kwa maana ninautambua uwezo wake wa kijini ambao amepewa. Vivian akaonekana kama mtu mwenye maswali ila akajitahidi kulizuia swali lake. Uzuri ninafahamu jinsi ya kumsoma mtu mwengine kwa haraka sana na kuweza kufahamu anacho kiwaza ni nini kwa wakati huo, kwani uwezo huu ni moja ya mafunzo niliyo yapata darasani kipindi nikijifunza maswala ya usalama wa Taifa.

“Shukrani sana, sasa tutasafiri na hizi nguo za jeshi?”

“Hapana, hizo nguo mutazibadilisha, kitu cha muhimu kwa hivi sasa, ni kuanza kujiandaa”

“Asante eheee”

Vivian alizungumza huku akimtazama Olvia Hitler kwa macho ya kuibia ibia. Kifungua kinywa kikaletwa chumbani na muhudumu, mimi na Vivian ndio tukanywa hichi kifungua kinywa.

“Sijui nikawaletee nguo ili tuokoe muda?”

“Itakuwa vizuri”

“Sawa”

Olvia Hitler akaondoka na kutuacha mimi na Vivian ambaye baada ya mlango kufungwa, akanisogelea karini kabisa na sehemu nilipo kaa.

“Dany hivi huyu dada wewe uhisi utofauti wowote?”

“Utofauti gani?”

“Huwa akiwa humu ndani, damu yangu inasisimka, kitu ambacho si jambo la kawaida kwa mwadamu, kusisimka katika hali ya utulivu.”

Vivian alizungumza kwa sauti ya chini. Nikatamani kumueleza ukweli kuhusiana na Olvia Hitler, ila mdomo ukasita kabisa kuzungumza jambo kama hilo kwa maana sifahamu ni kitu gani ambacho kinaweza kwenda kutokea baada ya kuzungumza jambo kama hilo.

“Ahaa itakuwa labda ni mwili wako au damu zenu haziendani. Mbona mimi ninazungumza naye na ninaona ni wakawaida sana”

“Hivi ukimshika auhisi ubaridi fulani kwenye mwili wake?”

“Hapana sihisi chochote”

“Mmmm labda ni mimi mwenyewe”

“Yaaa”

Sikuhitaji kuendelea na mazungumzo hayo, nikanyanyuka na kuelekea chumbani ambapo kuna bafu, nikaoga kwa ajili ya kujiandaa. Baada ya kumaliza na kurudi sebeleni nikamkuta Olvia Hitler akijaribisha Vivian nguo alizo mnunulia na wote wanaoenekana wapo kwenye furaha sana.

“Dany nimepata nguo zako hizo hapo kwenye mfuko”

“Shukrani”

Nikachukua nguo zangu na kurudi nazo chumbani, nikazivaa. Kusema kweli zimenibadilisha sana, tofauti na jinsi nilivyo kuwa gerezani. Japo ni siku chache tangu niingie kwenye lile gereza ila, nilichakaa sana kutokana na mateso ambayo nilikuwa ninayapata mara kwa mara.

Baada ya Vivian kumaliza kujiandaa, safari ya kuelekea uwanja wa ndege ikaanza huku Olvia Hitler akiwa anaendesha gari na kila mtu alitupatia dola elfu tano zitakazo tusaidia mbele ya safari. Tukafika uwanja wa ndege, Olvia Hitler akanivuta pembeni ili kuzungumza na mimi.

“Nakutakia maisha mema huko huendapo, ila kumbuka kwamba kwa sasa nina kiumbe tumboni mwangu, na atazaliwa baada ya muda mchache nikurudi chini ya bbahari”

“Ukirudi chini ya bahari?”

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Ndio, kule ndio nyumbani kwetu”

“Mmmmm”

“Yaaa usishangae sana, hichi kiumbe atakusaidia sana kwenye maisha yako yajayo”

“Atakuwa binadamu?”

“Yaaa atakuwa binadamu ila atakuwa na nguvu tofauti na binadamu, mimi niwatakie safari njema na nitaendelea kuwa karibu nanyi huko muendapo”

“Sawa shukrani”

Baada ya kumaliza mazungumzo hayo, tukarudi sehemu alipo kaa Vivian. Akaagana naye ila kabla ya kuondoka ikabidi nimshike mkono Olvia Hitler na kuzungumza naye pembeni.

“Samahani mpenzi”

“Bila samahani?”

“Mimi Tanzania ni ninatafutwa sana, sasa utanisaidiaje katika hilo?

“Usijali, nitakulinda”

Olvia Hitler alizungumza huku akitabasamu. Akaondoka na kutuacha mimi na Vivian tukiwa tumesimama tunamtazama anavyo jichanganya na watu wanaotoka kwenye uwanja huu wa ndege. Tukaanza kufwata taratibu zote ambazo abiria wanao safiri wanatakiwa kuzifwata. Sehemu zote za ukaguzi tukapita salama na kuelekea eneo la kuingilai kwenye ndege. Tukaingia kwenye ndege shirika la Fast Jet, Tukakaa kwenye siti ambazo zina namba kutokana na tiketi tulizo nazo.

Uzuri wa siti zetu zipo kwa pamoja, tukafunga mikanda yetu, haukupita muda mrefu sana safari ikaanza taratibu huku ndege ikiwa imejaa abiria wenye asili tofauti tofauti. Furaha ikanijaa moyoni mwangu, kwa maana ninakwenda kuiona familia yangu. Ila swala la Olvia Hitler kuhitaji mtoto kutoka kwangu likaendelea kutawala kwenye mfumo wangu wa mawazo.

“Dany mbona una mawazo?”

“Ahaa ninakumbuka mambo mengi sana kuhusiana na nyumbani Tanzania”

“Wewe una nafuu, kwa maana mimi nina miaka mingi tangu nilivyo tekwa na kupelekwa kwenye mafunzo kwenye moja ya meli kubwa jamboa ambalo lilinifanya niishi kigaidi na niishi kama jike dume”

“Ngoja kwanza umezungumzia swala la kwenda kufanya mazoezi kwenye meli kubwa?”

“Ndio kwani unalifahamu hilo swala”

“Ahaaa nilisha wahi kulisikia, na pia kuna binti mmoja naye alikuwa anafanya mazoezi katika hiyo meli”

“Anaitwa nani?”

“Mariam”

Sura ya Vivian ikabadilika, huzuni ikaanza kumtawala kwenye sura yake. Wasiwasi mwingi ukaanza kuniingia.

“Unamfahamu?”

“Yaa, alikuwa ni rafiki yangu mkubwa sana mafunzoni, japo alinikuta kwenye yale mafunzo”

Vivian alizungumza kwa sauti iliyo jaa huzuni.

“Nilipo kuwa gerezani nilionyeshwa video yake akiteseka, na kutokana na video yake niliambiwa kwamba nipigane kwenye yale mashindano ya kuuana”

“Bora pia hujapigana, ila ukweli ni kwamba Mariam hivi sasa ni MAREHEMU”

Maneno ya Vivian uakawa kama yameupiga moyo wangu konde zito ambalo nimeshindwa kulihimili na machozi taratibu yakaanza kunitiririka kwa maana ninamfahamu Mariam kwa muda mrefu sasa.

“Ila kuna watu ambao ninawajua walio pelekea kifo cha Mariam, tukifika Tanzania tutahakikisha kwamba tunamsaka mmoja baada ya mwengine na wote tunawaangamiza”

“Unawajua?”

“Ndio ninawafahamu, na picha zao nimezihifadhi kwenye email yangu”

Vivian alizungumza kwa kujiamini sana, taratibu nikajifuta nikiyafuta machozi yangu huku nikitamani sana kuweza kuwajua watu walio pelekea kifo cha Mariam. Tukiwa katika ndege kwa kupitia dirishani nikaona hali ya mawingu ikibadilika, mwanga ukamwezwa na wingu zito la mvua, ambalo lina rangi ya kijivu. Sikulitilia maanani kwa maana ni jambo la kawaida katika hali za hewa. Kadri tunavyo zidi kwenda mbele ndivyo jinsi hali ya hewa ilivyo zidi kubadilika hadi ikafika hatua zikaanza kupiga radi nyingi na zenye miyanga mikali sana.

“Mmmm”

Vivian alighuna tuu baada ya mwanga mkali kuonekana kwenye dirisha la pembeni yangu.

“Samahani kaka unaweza kufunga dirisha”

Muhudumu alizungumza, huku akinitazama, nikashusha kijipazia kidogo ambacho kinanifanya nishindwe kuaona kitu kinacho endelea nje. Hazikupita hata dakika mbili, tukasikia mtikisiko mzito kwenye ndege na kutufanya abiria wote kuhamaki.

“Abiria tunaomba mufunge mikanda yenu”

Tuliisikia sauti ikitokea kwenye kipaza sauti. Walio ifungua mikanda yao wakaanza kufanya hivyo, hata Vivian naye akafanya hivyo, ukatokea mtikisiko wa pili ulio tufanya abiria kuanza kusali sala wanazo zifahamu wao. Gafla taa zote zikazimika, ndege ikaanza kuyumba na kupelekea mizigo iliyo wekwa sehemu maalumu kuanza kuanguka hovyo hovyo, hapo ndipo nilipo anza kusikia vilio vya wamama na watoto wakilia huku wakiliita jina la Mungu aliye umba mbingu na ardhi.

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

ITAENDELEA



0 comments:

Post a Comment

Blog