Search This Blog

Monday 19 December 2022

JIMAMA JIRANI - 5

  


Chombezo : Jimama Jirani


Sehemu Ya Tano (5)




Siku zikaenda, huku kila siku akimkumbuka Jastin kwa raha alizompa, pia aliwai kumwona Jastin mala chache asubui wakati akienda kazini, kwakweli ilikuwa kazi ngungumu, kujizuwia maana moyo wake ulizidi kumtamani kjana huyo, asa nyakati za usiku alipo kumbuka mambo aliyo mpa siku ile, siku nyingine alimwona Jastin alipokuwa ana wasindikiza wageni wake, akaishia kumtazama, akishindwa kuzuwia tabasamu lake, pia na siku nyingine ni ile aliyomwona akiwa na kaka yake, siku hiyo akashindwa kabisa kujizuwia akawasalimia, bahati nzuri nao wakaitikia, siku zilienda, akiendelea kufanya kazi zake vizuri, lakini hisia juu ya Jastin zilitawala kichwani mwake, kiasi cha yeye mwenyewe kujishangaa, kwa kumpenda sana kijana mdogo kama huyu, ambae aliamua kuonja tu siku moja, mabadiliko hayo ya tabia ya mama huyu yaliambatana na mabadiliko ya mwili, kadri siku zilivyozidi kusonga, ndivyo alivyoanza kujisikia uchovu nakuwa mvivu, na kuzidi kumtamani Jastin, japo aje amwingizie dudu, pia kila alipo waza juu ya mwenendo wa kijana huyu, japo hakuwa na tabia ya kupenda wanawake ovyo, lakini wivu ulimzidi kupita kiasi, ata wakati mwingine akiwa kazini, aliwaza kuwa mschana wake wakazi, ambae alikuwa amesharudi toka Iringa, pengine alikuwa huko nyumbani akipeana uroda na Jastin, lakini hisia zake zilikuwa zina kwisha baada ya kufika nyumbani, pengine umkuta binti akiwa busy na kazi zake, siku moja alikuwa anarudi nyumbani akitokea kazini baada ya kupitia upanga (mtaa), alikokwenda kuchukuwa pesa yake, aliyoipata kwa kuisaidia kampuni moja ya wahindi, kuwaandikia malipo kidogo ya utoaji wa mizigo badarini, alipitia mbezi kununua bahadhi ya vitu ambavyo aliviitaji, alipomaliza shuguli zake aliingia kwenye gari tayari kuondoka, ndipo alipo sikia sauti ya kike ikiita Jastin, moyo wake ukalipuka kwa wivu pasipo kujuwa anayeitwa ni Jastin yupi, alipogeuka kumtazama kweli alikuwa ni Jastin anayemjuwa yeye, akajikuta wivu una mkaba, akaona ngoja asikilize wanachoongea, japo alisikia Jasin na yule binti alie mwita wakiongelea mambo ya zamani, wakiwa shuleni, lakini bado aliona wivu sana, kwakile alicho dai yule binti alikuwa ana mtazama Jastin kwa macho ya matamanio, akaamua kumwita Jastin aingie kwenye gari waondoke, siku zikasogea adi jana saa nne asubi, akiwa canteen iliyopo pale bandalini kazini kwao, akiwa na mwenzie, waliagiza supu ya samaki, ile supu ilipowekwa mezani, Selina alijikisikia kichefuchefu cha gafla, akakimbilia chooni kwenda kutapika, akimwacha mwenzie akimshangaa, alitumia mda mrefu kule chooni kisha akarudi kujiunga na mwenzie, safari hii akaagiza chai na maandazi akishindwa kula ile supu ya samaki, “mwenzangu safari hii umejikomboa, nina tena huyu aliekuweza?” aliongea yule mwenzie akionyesha tabasamu la pongezi “sijakuelewa Tina, unamaana gani?” aliuliza Selina akimaanisha kweli akuelewa ancho zungumza mwenzie, “mh! Kwani unafanya siri mwenzangu, unadalili za wazi kuwa mjamzito, yani hapo ukiingia ofisini usingizi, kutema mate, alafu leo umesikia alufu ya samaki tu!, umekimbilia chooni kutapika” kama alie amshwa toka usingizini, Selina aliganda kidogo kama aliewaza jambo flani,






kwanza alivuta kumbu kumbu ya mwisho kuingia kwenye siku zake, ni kweli alikuwa amepitiliza zaidi ya week tatu, “mh! inawezekana kweli ni kawa mjamzito?, maana sijawai kutokewa na hali kama hii, alafu siku zangu safari hii sija ziona” aliwaza kimoyo moyo kisha akamwambia rafiki yake “sidhani kama nina mimba, labda malaria ngoja nikapime” Selina alionyesha kuto kuamini kuwa yeye ni mjamzito, yule rafiki yake akamsisitiza kupima kwanza mimba kabla ya kupima maralia, “lakini ujuwe dose nyingi za UTI na malaria zina aribu ujauzito” hapo Selina akacheka kidogo kicheko cha aibu kilicho ambatana na furaha, “lakini wewe ume ng’ang’ania haya bwana wacha nikapime” mama wajilani na kina Jastin akaenda kuaga ofisini kwa bosi wake, na kuelekea nyumbani, njiani alinunua kipimo kidogo cha mimba, ambacho upimiwa kwenye mkojo, kisha akaendelea na safari ya nyumbani, na ndipo akiwa ameshaiacha barabara kuu iendayo morogoro, akamwona Jastin mbele yake akitembea kwa mguu, kuelekea nyumbani, akawaza amchukue au amwache akaona bora amwache, lakini wakati akipitisha uamuzi huo, ndipo likampita gari jingine aina ya escudo na kumchukua Jastin, akapata hamu ya kumwona mwendeshaji wa gari, ofu yake ikiwa hasije akawa ni mwana mwanamke, hivyo wakati anapita pale gari lilipo simama, alijitaidi kutazama ndani ya gari lile, na ndipo alipomwona aliekuwa akiendesha gari ni mdada, kitu cha kushangaza alishikwa na wivu wa hajabu, aijapata kumtokea ata mola moja , ajawai kumwonea wivu mwanaume kiasi hiki, ata siku ile yule mwanamume wake wa zamani alipoingiza mwanake ndani mwaona kulala nae aikulingana na wiu alio upata muda huu, alipofika karibu na nyumbani kwake akasimamisha gari, lengo ni kuwaona kama wata pitiliza au wata shuka wote, au wakati wakuagana kama watapeana busu, lakini aikuwahivyo, akaona gari likisimama na Edgar akashuka nakushukuru kwa heshima zote na unyeyekevu, kiasha gari likaondoka, na Jastin akilisindikiza kwa macho, kiukweli loho ili muuma jisi alimwona Jastin akishukuru utanzani ameoolewa maisha yake, akajiona mkosefu sana kwa kitendo cha kupanga kumwacha njiani Jastin, Selina aliingia ndani ya nyumba yake kisha akaingia chumabani kwake, na kuvua nguo zake zote akachukua kikopo kidogo akaingianacho bafuni, alipofika akachuchumaa na kukilengesha kile kikopo usawa wa kitumbua chake, nakukijaza mkojo alioutunza njia zima, adi mwingine uka mwagika chini, naam baada ya kupima kipimo kidogo cha mkojo, kwa kufwata maelekezo kwa umakini mkubwa sana, “mungu wangu siamini macho yangu” alipiga kelele Selina jimama, nakuingia chumbani akijirusha kitandani akiwa mtupu kama alivyo zaliwa, naam ni baada ya ukame wa muda mrefu wa kutokushika mimba, sasa mama huyu alikuwa ameshakamata ujauzito, Selina aliruka ruka kwa furaha juu ya itanda, kiasi cha binti wake wakazi kuja kugonga mlango, akishangaa kuna nini ndani, Selina akampigia simu rafiki yake Tina na kumjurisha majibu ya kipimo chake, ambcho waaalamu waita ni chakienyeji, Tina akamshauli kuwa, kesho asubui ampigie simu boss wao, ili aombe luksa ya kwenda hospital akapime tena, kwa vipimo vya uakika, ikiwa ni kujilizisha iliapate uakika zaidi, Moja kwa moja Selina alijuwa mimba ni ya Jastin, kwasababu ndani ya miaka mitatu, ndiye mwanaume pekee aliefanya nae tendo la ndoa, na awakutumia kinga yoyote, na mzigo wote Jasin alimwagia ndani, na ilikuwa zaidi ya mala moja, hapo Selina alijifunga kitenge kimoja tu pasipo kuvaa ata chupi ndani yake, akatoka chumbani kwake na kuelekea sebuleni, akafungua fliji na kuibuka na chupa moja ya bia, ni kati ya chupa nyingi za bia zilizomo kwenye fliji hilo, akaifungua na kuanza kuigugumia, naam ilikuwa ni baada ya kusherehekea kwa muda wa masaa mawili akinywa bia, “lazima baba kijacho awe karibu na mimi” mama jirani akatoka nje akiwa amejifunga kitenge kimoja vile vile, lengo likiwa kwenda kumchukua Jastin aje ampe raha, ikiwezekana walale wote mpaka asubui, lakini alishindwa, ni baada ya kumwona Higno kaka yake Jastin akiwa na Jastin na dereva wa boda boda wakishangilia jambo, akaingia ndani haraka sana, kabla ata awajamwona, na ilipofika asubui hii ya leo akamtuma mschana wake wakazi, aende akamwite Jastin huku yeye akijiandaa kwenda hospital, huku akamwambia mschana wakazi apike chakula kuanzia cha asubui mchana na jioni, pia na yeye mwenyewe ajiandae, ili yeye akirudi tu! na yeye atoke kwenda kutembea, apate nafasi ya kushrehekea na baba kijacho wake, akisahau kuwa ni mtoto kwake, ***** “Jastin naimani wewe ndie mume niliepangiwa na mungu, atimae umenifuta machozi niliyo yazowea, umeni badirisha jina, mimi siyo mgumba wala tasa, ninaenda kuitwa mama, na kuomba unioe uwe mume wangu” alimaliza kusimulia Selina huku Jastin akistushwa na maneno yam wisho ya mama huyu, “haaaa nini?, nikuoe?, itawezekanaje?” alongea Jastini kwa mstuko ulio changanyika na mshangao mkubwa, hapo moyo wa Selina ukanyongea, akamtazama Jastin usoni kwa macho ya unyenyekevu yaliyo anza kufunikwa na mchozi, na kuulaza mkono wake juu ya kiganja cha mkono wa Jastin, kisha kwa sauti ya upole akaongea






“kwanini Jastin kwanini unani kata mpenzi wangu?” Jastin akiwa kama ado ame duwaa kwa kauli ya mama huyu ambae anaonekaa kumaanisha ancho kisema, kweli mama itashindikana, kwanza itakuwa aibu kwako watu wakijuwa mimi natembea na wewe,” aliongea Jastin akionyesha nkweli aliwaza juu ya heshima ya ya mama wajirani yao, “kwanini mpenzi, kwanini ishindikane?, mwenzio nime nyanyasika sana sababu ya mapenzi, ndiyo maana ata sikuitaji kuendelea kuwa na wewe, sababu nilitokea kuwachukia wanaume wote, lakini wewe ndie pekee nae jikabidhi kwao” aliongea mama jirani, machozi yakiendela kumlenga lenga, akaendelea kuongea kwa kumsimulia Jastin maisha yake ya nyuma, na jinsi alivyo nyanyaswa na wanaume aliowai kuishi nao, “sitojali kuhusu watu wengine wata nichukulliaje niambie Jastin kama una nipenda, nitakuheshimu kama mume wangu na elimu yako itaendelea pale pale” alimaliza huku akisimama na kusogea karibu na Jastin nakuanza kupiga magoti, lakini Jasti akawai kumzuwia, kwa kumdaka nakunyanyua juu “hapana mama usifanye hivyo, nyanyuka tuongee, nimesha kuelewa” nikweli baada ya kusikia historia hiyo ya Selina japo ilikuwa ni kwaufupi, na kwa mwonekano wa uzuri wa mama huyu, Jastin alilegeza moyo na kufungua nafsi yake, kwa mama jirani yao Selina, maana aliona dalili ya penzi la kweli toka kwa mama Selina, Selina alipo simama Jastin alimkumbatia na Selina aka zungusha mikono yake mabegani kwa Jastin “lakini kitu kimoja mpenzi, naomba niendelee na masomo yangu” aliongea Jastin wakiwa bado wame kumbatiana, “husijari mume wangu, tena ilo litakuwa ni jukumu langu, nitahalamia elimu yako, na kila kitu kinacho kuhusu” kweli alichosema Selina, ilo alikuwa tatizo kwa Selina sababu anajuwa maana ya elimu, wakiwa bado wamekumbatiana, seliina kama alikuwa ajaamini kama kweli ayamambo mawili yame mtokea yeye, kwanza ame pata mimba, pili amempata mwanamme anaye mkuna kitandani, akaona labda Jastin anazuga akaonangoja ajaribu mitambo, akaondoa mkono mmoja toka shingoni kwa Jastin na kuupeleka kwenye dudu, akaiminya kidogo, akaona jisi Jastin alivyo stuka sambamba na dudu yake kunyanyuka, hapo jimama akamwona jastin akisogeza midomo yake kwenye midomo yake na nayeye akaisogeza yakwake huku akifumba macho, midomo ika kutana wakaanza kubadilishana mate, daada ya sekunde chache, Selina akapenyesha mkono kwenye nguo ya Jastin nakuikamata dudu, akaanza kuichzea ndani kwa ndani, kabala hajaitoa baada yakuona nguo ina msumbua kuichea dudu, hapo kilicho fwata ni mchezo mmoja wa hatari, ulio msibitishia mama huyu kuwa, Jastin amekubari ombi lake, mchezo huo wamakonde wanaita kalinjombwe, siku ile walishinda ndani kwa pamoja wakishangilia, huku jimama akimnywesha wine mtoto wa watu Jastin, ambae siyo kwamba anywi pombe, hapana Jastin alianza kunywa pombe alipofikia kidato cha tano, akianzia kwenye pombe inayopatikana kwenye miti ya mianzi inaitwa ulanzi kwa kimwela inaitwa bamboo juice, sema Jastin akuwa mlevi sana, na wala hakuiendekeza pombe, kama wanafunzi wenzie aliokuwa anakunywa nao hiyo pombe yenye utamu kama wa juice, Jasin unywa pombe siku anayoitaji kuinywa pombe, siku hiyo Jastin na Selina walichangamka sana wakicheza kama watoto wadogo, kiasi kwamba, ata mschana wakazi aliporudi, aliwakuta kwenye mazingira yaliyo onyesha kuwa kazi ilikuwa moja tu! mle ndani ni ngono tu!, licha ya mlendani kutwaliwa na alufu nzuri ya air fresh, lakini kuna kaalufu flani ya jasho lakutoka kufanya mambo flani ilisikika, yule binti alishangaa, maana toka ameanza kukaa na huyu mama, akuwaikuona ata dalili ya huyu mama kuwa na mwanaume, ila mala nyingi alisikia akigombana na watu waliojaribu kumtongoza kwenye simu, Jastin na Selina awakumjali, zaidi yule binti alisalimia “ shikamoo mama,” “hoo ume rudi dada, sasa ebu subiri kwanza nikutambulishe” aliongea Selina akijiinua toka kwenye mapaja ya Jastin aliyokuwa amelalia, na mschana wakazi akasimama akisubiri utambulisho huu ambao aliona kama miujiza, “najuwa una mfahamu huyu, lakini kwasasa siyo kama ulivyo kuwa una mfahamu zamani, huyu ni mume wangu, utamhudumia kama unavyo nihudumia mimi” alitambulishwa dada wakazi, kuwa yule Jastin ndie baba mwenye nyumba, nikweli Jastin akawa baba mwenye nyumba, maana siku ile Jastin alilala kwa jimama, ambae siku yapili akwenda kazini tena, akitoa udhuru kuwa ame kunywa dawa za malaria, walitumia siku hiyo kwenda kaliakoo kufanya shoping ya Jastin, akinunuliwa nguo na viatu vingi vingi, muda wote walishikana mikono, kama mume na mke, awakujari watu walio washangaa kwa tofauti ya umri wao, maana walionyesha wazi utofauti wao wa umri, kilicho saidia ni uzuri wa urembo na umbo zuri la Selina linalo amasisha ngono, pia na umbo kubwa la kiume alilonalo Jastin, jioni ya siku ile wafanyakazi wenzake walikuja kumtazama mgonjwa, ambae aliwatamburisha mchumba wake, na kwamba ni mume wake mtarajiwa, huku akiwaficha kuwa tayari ni mjamzito, huku mshangao wa wazi, ukionekana kwa wageni wake, japo yeye akujari,


Atimae siku ikafika ni siku ya juma mosi, siku ya Higno kurudi toka morogoro akiwa na mke wake pamoja na mtoto wao wakwanza, wakiwa chalinze walimpigia simu Jastin aje stendi mpya ya mbezi, awasidie mizigo maana walikusanya magazaga mengi sana ya vyakula, siunajuwa tena mambo ya shamba, “tupo chalinze, tukifika kwa mathius tutakustua” ilikuwa ni simu ya tatu, yakumjulisha Jastin juu ya safari yao, yakwanza kabisa ilipigwa toka jana, wakimjulisha kuwa kesho, yani leo jumamosi wange fanya safari ya kuja dar es salaam, wakipanga kushukia kituo cha makondeko, lakini kitu kilicho mshangaza Higno kaka yake Jastin ni ushauri wa mgodo wake, alimshauri wakashukie mbezi mwisho stendi mpya, lakini kwa maoni ya mke wake akamuunga mkono Jastin kw wazo ilo asa wakizingatia kuwa walikuwa na mizigo mingi, safari ikaendelea mpaka alipo fika mbzi wakiwa wana tegemea kumkuta Jasin stend mpya mbezi, baada ya kumpigia simu wakiwa kibaha kwa mathius, basi lili simama stendi mpya ya mbezi, Higno na mke wake wakashuka toka kwenye basi, kondakta wabasi alishusha mizigo huku Higno akisimamia zoezi hilo, wakai huo mke wake akiwa pembeni yake amemshika mtoto, “hoo kaka poleni na safari” Higno alistuliwa na mdogo wake Jastin “ tumesha poa tuna shukuru mtoto ajatusumbua njiani” aliongea Higno huku akigeuka kumtazama Jastin ambae moja kwamoja alianza kunyanyua mizigo, “poleni na safari jamani” Higno na mke wake walistuliwa na sauti ya kike ambayo ni kama wanaifahamu hivi, wote wakageuka na kumtazama mmiliki wa ile sauti, wote wakaduwaa, ni baada ya kukutana uso kwa macho na mama wa jirani yao, ukiwa ume pambwa na tabasamu la maana, tofauti na walivyo mzowea, “asante jirani za siku” aliitikia shemeji yake Higno lakini akionyesha hali flani ya mshangao, “nzuri tu naona katoto kame tulia kenyewe” wote wakacheka, na Selina akainama na kuchukua mzigo dogo na kuongozana na Jastin kuelekea kwenye gari la Selina, akiwaaacha Higno na mkewake wakishangaa, wakishindwa kuulizana maana wote ni wageni, Higno aka inua mzigo na kuwa fwata Jasin na Selina, akkimwacha mke wake amesimama na mizigo, “dada nenda kapumzike kwenye gari mimi nitalinda mizigo, watabeba awa wababa, maana huu moja tu umenitoaa jasho” aliongea Selina baada ya kuwa wamerudi tena kuchukukuwa mizigo mingine, kiukweli Higno na mke wake walishangaa sana, maana mama huyu ana mfahamu vizuri tu, ni jirani yao wa muda mrefu sana na uwa ataki mazowea na mtu, zaidi ya salamu tu! ok! baada ya daika chache walikuwa wameshaingia kwenye gari na safari ikaanza, huku Higno na mke wake wakiwa wana shangaa jinsi mambo yanavyo endelea








Njiani wote kwa pamoja walionge kwa uchangamfu na ucheshi tofauti na walivyomzowea huyu mama jirani yao, “wanasemaje wakaina mama huko nyumbani” Selina aliuliza habari za huko morogoro nao wakamjibu kwa uchangamfu na ucheshi, “huko tume waacha salama, ila tumetoka mapema sana maana ni kijijini”, alikuwa ni mke wa bwana Higno ndie aliejibu, akiamini ukaribu ule umenza wkati yeye akiwa morogoro, “hoo Jastin ange sema mapema tunge wafwata huko huko, maana kusafiri na mtoto mdogo hivi inaitaji utulivu” alisema Selina, huku safari ikiendelea, atimae walifika salama mtaani kwao, lakini walishangaa wakifikia nyumbani kwa jimama “jamani naomba tufikie kwanza hapa kwangu, mimi Jastin tume waandalia kitu kwaajii ya mtoto” kiukweli Higno na mke wake awakuwa na kipingamizi, walikaribishwa na Selina wakaingia ndani hukku Edgar akipeleka gari na kwenda kushusha mizigo kisha akarudi kwa mke wake, Higno na ke wake walikuta mle ndani mme andaliwa utazani kulikuwa na taflija flani, maana sambamba na wageni wachache wakike na wakiume, pia viliandaliwa vyakula vingi kwenye mahot pot kubwa na vinywaji vya kila aina, kuazia soda juice adi pombe zilikuwepo, walisalimiana na wale wageni wachache walio kuwepo, kisha waka kaa kwenye kochi ambalo lili onekana kama lime andaliwa kwa ajili yao, wakati huo wageni wakazidi kuongezeka wengi wao wakija na magari yao, Higono na mkewake wakaandaliwa chakula wakaanza kula huku wageni wengine pia wakiendelea kupata chakula na vinywaji pamoja nao, walimaliza kula huku bado wakiwa kwenye mshangao, japo walianza kupta picha flani juu ya ile taflija kuwa ni yapongezi ya kujifungua kwa mke wa Higno, lakini ime kwaje huyu mama awe mkalimu kwao kiasi hiki, maana walimwona mama huyu jirani yao, akiwasiliana nawegani wengine kwenye simu, akiwaelekeza namna ya kufika pale kwake, na muda mfupi baadae wageni walizidi kumiminika, na sasa hawakuwa tena wachache, walikuwa wengi sana kila mmoja akiwa na zawadi nyingi za samani, na fedha tasilim kwaajili ya mtoto, wali mjazia mke wa Higno mizawadi huu watu wakizidi nywa na kula, pia jimama alitoa zawadi zake kwa mtoto, nazo ni zaghalama kubwa pamoja na fedha, Higno na mke wake, walifurahi sana, nao waliendelea kuongea na kunywa, kila mtu akinywa kinywaji anachopenda, Higno alikunywa pombe (bia), huku mke wake akinywa soda, pia Higno na mke wake, walishangaa kumwona Jastin naye akinywa pombe, kitu kingine kilicho washangaza Higno na mkewake, ni kitendo cha rafiki zake huyu mama wa jirani ambao wengi wao ni wafanyakazi wenzake, na wengiwao wakiwa ni wanawake, walikuwa wakimwita Jastin Shemeji, wakati awajapata jibu la swali lakwanza, akashangaa na mama wa jirani yao kumwita Higno shemeji, asa baadaya kukolea kinywaji, pia walishuhudia Jastin akionyesha kuizowea sana ile nyumba, akionyesha kuwa mwenyeji sana, yani kama kwake, ata mtoto alipoitaji kuogeshwa na kupumzika alipelekwa chumbani kwa Selina kuogeshwa na kulazwa.


Walikaa kwa jimama huku taflija hile ikiendelea, mpaka saa nne usiku, ndipo watu walipo tawanyika na kwenda makwao, jimama akawamwambia Higno na mkewake, kuwa anaomba Jastin alale kwake, alafu kesho wangeongea kwa kirefu juu ya mambo ya liyotokea, Higno na mkewake wa kakubari, atimae walisaidiana na Jastin na Selina kubeba zawadi kwa pamoja, wakisaidiwa na mschana wakazi, kuzipeleka nyumbani kwa Higno, Higno na mkewake wakiwa nyumbani kwao walijadiliana juu ya mambo waliyo ya shuhudia, nyumbani kwa jimama, waliona dalili za wazi kuwa Jastin anatembea na yule mama jirani yao, kitu ambacho kiliwashangaza sana, asa kutokana na upole wa Jstin na ukauzu wa yule mama, “Jastin aliwezaje kuliimbisha jimama lile” aliuliza Higno kwa sauti ya kilevi, nawote wakacheka, “kwani unamwonaje shemeji yangu, au unataka kusema yule mama ndie kamtongoza shem?” aliongea mke wa Higo pia wakacheka tena, waliongea hayo wakijaribu kuzikagua zile zawadi za mtoto, kwakweli zilikuwa nyingi sana, kiasi awakuweza kuzikagua zote, lakini zilikuwa nzuri na za ghalama kubwa, pia walizihesabu fedha walizopewa kama zawadi, zilifika milioni mbili laki tatu na elfu hamsini, wakalala wakiwa wanaamini wapo ndotoni, atimae juwa lika chomoza , ikawa siku ya pili, wakiwa bado wamelala wakastuliwa na hodi, alikuwa ni binti wakazi wa jimama akiwa amebeba mahot pot, aliwaletea soup ya kuku, walipokea na kuifanyia poa,


Mida ya saa nne walikuja kuitwa kwa ajiri ya chai, wakaenda kwa jimama wakamkuta Jastin akiwa amejaa tele kama baba mwenye nyumba, wotekwapamoja wakajiunga mezani nakupata chai nzito, walipomaliza kunywachai walienda kukaa kwenye makochi wakiangalia movie kwenye dstv, huku kimya kikitawala, baada yadakika chache Selina akavunja ukimya “shemeji samahani, nazani mmejiuliza maswali mengi sana kuhusu mimi na Jastin” Higno na mkewe awakushangaa tena Higno kuitwa shemeji, hapo jimama Selina alisimulia mkasa mzima wa maisha yake ambayo ata Jastin akujuwa mambo hayo, maana safari hii Selina alisimulia kwa kulefu zaidi, aliwasimulia toka alipoishi na bwana wakwanza akaachika kwa kisa cha ugumba, na wapili pia, adi alipoamua kukaa mwenyewe, bila kuitaji mume, pia akawaeleza juu ya kupewa kwake mimba na Jastin, lakini aliwaficha kukutana kwao kulianzaje, akaomba kuwa aruhusiwe kuishi na Jastin kama mume wake, huk wakifanya taratibu za kualalisha huusiano wao, akiaidi kwamba, atasimamia masomo yake ya chuo endapo atachaguliwa kuendelea, kwa ghalamazake yeye Selina, ilimwisho waishi pamoja kama mume na mke, Higno pamoja na mke wake awakuwa na pingamizi, Jastin na Selina wakaendelea kushi pamoja huku wakishirikiana na kaka yak na shemeji ake kama kawaida ya ndugu wanao ishi jirani.


Baada ya miezi michache Jastin akajiunga na chuo kikuu cha elimu ya biashara, CBE dar es salaam, akiwa anatokea nyumbani kwa mke wake na kwenda chuo, Selina na yeye aliendelea na kazi, kila siku wakitoka pamoja, asubuhi na kurudi pamoja jioni, Selina akiwa mwenye wivu akutaka wanawake wa chuo wamsogelee Jastin, baada ya ujazito kutimiza miezi tisa, walipata watoto mapacha wakike na wakiume wakawapa majina ya wazaziwao wa kiume akiitwa Fransis, jina la baba yake Selina, na wakike akiitwa Winfrida, jina la mama yake Jastin, miaka ilienda na watoto wakakuwa katika afya njema, huku baba yao akiendelea na chuo, baadaya miaka mitatu Jastin alimaliza chuo, na mkewake akamfungulia kampuni moja kubwa, iliyojiusisha na unuzi wa magari mabovu na kuyatengeneza upya, na gari kuwa jipya kabisa, kisha kuuzwa tena, kwa gharama kubwa mala mbili ya ile ya kwanza waliyo nunulia, alishirikiana na kaka yake Higno huku wakimchukuwa kaka yake alie mfwatia Higno, Johnbosco toka kwenye garege ya baba yao na kumleta pale, huku wakiwaajili vijana wengine kadhaa mafundi wa magari, waliokuwa wamekosa kazi, kiukweli biashara ilikuwa nzuri sana, walipata faida kubwa sana wakijipatia wateja toka pande zote za Tanzania nan chi za jirani,, wakati huo Selina mke wake alikuwa ana ujauzito mwingine wamiezi sita, aliomba likizo kazini kwao, wakaitumia kwenda kujitambulisha rasmi pande zote mbili, ukweli ni kwamba, wapo ndugu walio mlahumu Selina kwa kuolewa na kijana mdogo, lakini walipo waliojuwa sababu ya Selina kufanya vile, na walimuunga mkono, upand wa Jastin pia, wapo walio mshangaa kuoa mwanamke aliemzidi umri, huku mioyoni mwao wali kili kuwa, Jastin amebahatika kuwa na mke bomba, maana licha ya umri mkubwa, lakini Selina alikuwa mrembo sana, Jastin na Selina wanaishi vyema na watoto wao na maisha yao yakazidi kuwa mazuri sana, na sasa wameongeza nyumba nyingine tatu, moja ikiwa pale mtaani kwao, na mbili zipo mbezi msakuzi, kila siku mapenzi yao yalizidi kuongezeka, utazani ile siku ya kwanza, ambayo Jastin alipokuwa amemsaidia Selina kubadirisha taa ya jikoni, yaani haikuwa kiu ya dudu, ni noma asa kwa upande wa Selina, iwe jikoni chumbani, bafuni ata sebuleni tatizo ni wakiwa peke yao tu!, hapo Selina au mama Salome, ( jina la mtoto wao mdogo ukiachia wale mapacha,) angemfwata mume wake pale alipo kaa, angepanda juu ya kochi nakukanyanyaga mguu mmoja kwenye kingo ya kochi, kisha angelipandisha gauni lake juu, au kuisogeza kanga pembeni, kama hakuvaa gauni, nakama amevaa chupi angeipekenyua chupi yake pembeni, kisha angelengeshe kitumbua chake mdomoni kwa mume wake baba France, na yeye ngekidaka kinembe na kukibugia kama pipi ya kifua, hapo ni kama yeye Jastin alichelewa kumuwai mke wake na kumpelekea dudu mdomoni, kabla ya kuanza kufanya mapenzi mpaka walipo jikuta wakihema kama mabata, kwa uchovu.




MWISHOOOOOOOO


0 comments:

Post a Comment

Blog