Search This Blog

Monday 19 December 2022

NIZIBE MDOMO, NISISEME - 3

 



Chombezo : Nizibe Mdomo, Nisiseme


Sehemu Ya Tatu (3)








Baada ya kuwaza kidogo, na kuona kuwa endapo nita mjibu kuwa ndio niliwai, itakuwa lahisi kwake kuniambia tukajaribu na yeye, pia nikimwambia sijawai, ange niambia kuwa tayari yeye nimesha mwona ana fanana na mwanamke mdogo, hivyo tuka fanye, lakini nilisha juwa nimvuruge vipi, huyu mwana mama, japo anavutia kwa macho, lakini sikutaka kuingia matatizoni, “unazungumzia ukubwa hupi labda?” hapo akatabasamu kidogo, “John bwana, kwani kuna ukubwa wa aina ngapi?” aliuliza Salma, wakati huo tulikuwa tunaendelea kunywa mvinyo, yani pombe, “kuna ukubwa wa umri, na ukubwa wa umbo, sasa sijuwi una zungumzia ukubwa gani?” hapo akacheka kidogo, “kwani ukubwa wa inge kuwa hukubwa wa humbo kwa wewe ata binti wa miaka kumi na nne, anaonekana mkubwa kwako, kwa jinsi ulivyo na mwili mdogo, nazungumzia umri bwana” hapo nili anza kwa kucheka ilikukwepa kujibu swai la Salama au mama Nansy, nilicheka mpaka Salma akashangaa, “unacheka nini sasa?” aliuliza kwa mshangao,huku na yeye akikaribia kucheka, “nacheka kwajinsi unavyosema kuwa nina mwili mdogo, wakati ujauona, wenzio wananiita bonge, pengine ata wewwe nina kuzidi kwa unene na urefu” sijuwi ni pombe nilizo kunywa, maana nilijikuta nimesema hivyo lakini bila kufafanua, na yeye akacheka kwanguvu, “hahahahaha! John bwana eti Kibonge, na hivyo unavyoonekana, mbona wa kawaida tu!” ukweli usikuule ulikuwa ni wenye furaha sana, japo nilitumia muda mwingi kwa utani na vichekesho, hili huyu mama asiweze kuongelea mambo ya kwenda kumpa dudu, kutokana na sababu moja kubwa, sikupenda kuingia kwenye matatizo, maana kila nilipo fanya mapenzi na mwake wa size yangu, akutaka kuniacha, ukiachia wakina Stellah na dada Hawetu, ambao iliwatokea hajari, ata huyu mama japo niliamini kuwa ange weza kumudu mchezo, lakini nilikuwa na wasi wasi wa kuniganda, na ukichukulia kuwa yupo kwenye mgogolo mkubwa na mume wake, wakunyimwa unyumba,


Saa nane na nusu ndio muda ambao Salma aliinuka na kunitazama, “John nazani nimuda wa kulala kama ni pombe utazikuta chumbani” alisema yule mama huku akiinua chupa ya mvinyo na grass mezani, na kunitazama kwa macho malegevu, hapo sikumwelewa, nikwamba tunaenda kulala chumba kimoja au kila mtu na chumba chake, “vipi John, bado unataka kukaa hapa?” aliniuliza yule mama, yani Salma, huku akinitazama kwa sura flani ya tahadhari, “hapana na waza nikachukue begi langu kwenye gari, maana nitaitaji kubadiri nguo nikiamka asubuhi” nilijibu kwa haraka, maana sikujuwa kinachoendelea mawazoni kwa huyu mwanamke, “ok! wazo zuri, basi ukija uta mwambia yule dada alie tuhudumia, akuonyeshe chumba, ila usichelewe muda umeenda sana” alisema yule mama, uku akiachia tabasamu pana legevu, kisha aka geuka na kuanza kutembea taratibu kuingia ndani ya jengo hili kubwa la bar na hotel, nika mwesabia hatua, macho yangu kwenye msambwanda, ila nikajipa moyo kuwa atakuwa amechukuwa vyumba viwili, maana kama ni chumba kimoja lazima angeniambia kuwa ni chumba namba ngapi,


Nikajipapasa mfukoni na kuchukuwa funguo, maana nilipofunga mlango wa gari, funguo nilibaki nayo, nikaenda kwenye gari nakuchukuwa begi langu, kisha nikaelekea ndani ya hotel, huku njiani nikikutana na watu kibao, pamoja na waschana rembo, walio vallia mavazi mafupi kama ya kwenye video, yani mahali hapa ungezani kuwa ni saa mbili au tatu usiku, kumbe inaelekea saa nane usiku, lakini watu ndio kwanza walikuwa wanaagiza vinywaji, huku wengine wawkicheza music, wakionekana wame lewa sana, niliangaza huku nahuku mpaka nikamwona yule mhudumu alie tuhudumia kule nje, “samahani dada naomba ni....” sikumalizia kuuliza yule dada aka nishika mabegani kwa mikono yote miwili na kusogeza mdomo wake sikioni kwangu, “hooo! mama amenielekeza, nenenda namba kumu na nne, nakutakia kazi njema” alisema yule dada na kuniacha, huyooo akaondoka zake, hapo sikuelewa alichokuwa anamaanisha, sikutaka ata kuumiza kichwa kufikilia maneno yake, nikatembea taratibu nikilifwata korido lenye vyumba vingi, huku nikisoma namba zilizopo kwenye milango, sauti za miguno ya mapenzi ilisikika masikioni mwangu, ikitokea kwenye baadhi ya vyumba hivi, sikujali sana nikatembea taratibu, nikiendelea kusoma namba,


Nilitembea taratibu mpaka nilipo kipata chumba namba 14, nikafungua mlango na kuingia ndani, akukuwa na mtu yoyote, zaidi nilisikia maji yakimwagika bafuni, nazani walisahau kufunga bomba lamaji, nikashukuru kimoyo moyo, kuwa nimeyashinda majaribu, lakini ile kutazama vizuri, nikaona chupa tatu za bia na chupa nusu ya mvinyo, mezani na ile grass ambayo alikuwa nayo Salma kule nje, na pia niliona mkoba wa Salma pale juu ya meza, hapo nika choka kidogo, lakini kumbe kuna vitu sikuwa nimeviona, ile kutazama vizuri kwenye kiti, niliona nguo alizo kuwa amevaa Salma, ikiwepo kile kishati na suluali ya Jinsi, pia bikini nyekundu na wakati huo, ndio ikanijia hakili ya kuwa Salma yupo bafuni ambako bado maji yalikuwa yanaendelea kuchuru zika, hapo nikajuwa akuna nilicho kwepa, “John, mpenzi mbona kama umeingia kimya kimya?” nilimsikia mama Nansy kisema huku akiendeleae kuoga, “siku taka kumstua Malkia wakati anaoga, ngoja nikupishe umalize kuoga?” nilizuga kujifanya mjinga kuwa sielewi kinacho endelea, “hapana Malkia nasema usiondoke na wewe subiri zamu yako ya kuoga” hapo nika juwa huu ni mtego, na nimesha ingia mazima, “siyo kosa lanu wala kosa la Salma, kosa la mume wake, anaoa mwanamke mzuri, alafu ana mnyanyasa kama hivi, si bora angewaachia wenzie wenye kiu ya kitumbua” niliwaza kwakuwa nilijuwa anacho taka kukifanya huyu mama, ukiachiliambali, kulipiza kisasi kwa mumewe, pia nikukata kiu ambayo amedumu nayo kwa muda mrefu sana, akikosa dudu kwa mume wake, nikatazama pembeni na kuona tauro, nikavua suluali na kuakia na bukta, nika lifwata tauro na kujifunga kiunoni, kisha nika kaa kwenye kitanda,


Dakika chache baadae maji yakaacha kusikika yakimwagika huko bafuni, “haya John, malkia wako amemaliza kuoga, sasa zamu yako” ilisikika sauti ya Salma, nikatazama mlango wa bafuni, ambao ulikuwa ni wa kioo, nikauona unafunguka, na hapo nikamwona Salma akitoka bafuni, akiwa kama alivyo zaliwa, ukweli ni kwamba niliiona dudu yangu ikijitutumia na kunyayua tauro, huku bukta ikishindwa kustaimili, ni baada ya kuona mwili mtupu wa huyu mama, ambao kiukweli sikuwa nimeuona vizuri wakati amevaa nguo, maana nikama uliongezeka, maana hips za huyu mama ziionekana kutuna vyema, kama nilivyo mwona tokea mbele, huku pale kati, kwenye manyongeo, niliona kitumbua kilich tuna vyema huku kikionyesha umaili wa mama huyu katika usafi, maana palikuwa pame nyolewa vyema kabisa, kifuani ndio balaha, manyonyo makubwa ya liyo jaa vyema ya huyu mwana mama, yalizidi kunitia uchizi, “John mbona una nitazama sana, unajuwa naona aibu kukaa hivi mbele ya mtoto kama wewe” alisema Salma, huku akijiiziba kitumbua chake na kugeuka, akiniacha nitazame makalio ya mwana mke huyu, ambayo yalitikisika, na kucheza cheza kwanguvu, nika gundua kitu, kwmba ile suluali ya jinsi aliyo kuwa ameivaa, ilikuwa imeficha na kuyabana makalio ya huyu mama, maana nikama yalikuwa yameongezeka ukubwa, hapo nikaona nijisalimishe, “malkia msamehe kijana wako, maana maho yake yameshindwa kujizuwia” alinisema kwa namna flani ya utani, ambao ulimfanya Salma acheke kidogo, mimi nika inuka na kuingia bafuni,


Bafuni nilitumia dakika chache tu, nikatoka hku nikiwa nimesha amua litakalo kuwa na liwe, na ukweli nikwamba kukwepa kitumbua cha Salma ni kazi ngumu, kwa hatua iliyofikia, nilikuwa nime jifunga tauro na kaptura yangu mkononi, nika mkuta Salma akiwa kitandani uchi kama nilivyo mwacha na grass ya wine mkononi, “hooo ume tumia muda mfupi, au umewai kuja kuni chungulia?, alisema Salma huku ananitazama, “hahahahaha, malkia mwenyewe amesema nimchungulie” nilitania huku nikiwa naifwata chupa ya bia mezani na kuifungua, huku Salma akiendelea kucheka, “ok! shida yako kuchungulia, aya nichungulie ukiota usiku kwa kuwachungulia wakubwa shauri yako” alisema Salma huku ana inuka toka kitandani na kusimama chini, nika kodolea macho, “umenina sasa, uogopi hen!, au una nimezeeka sana” alisema Salma huku ana jigeuza geuza kama wafanya vyo ma misi, lakini kwa namana ya mchezo flani wa utani, hapo ukweli nikwamba sikuwa na hali nzuri, maana dudu ilikuwa ime simama na kunyanyuwa tauro nililo livaa, mwisho Salma aka simama na kunitazama usoni, “hivi we mtoto unanifanya mimi video, mbona wewe ume vaa nguo zako, alafu mimi nipo hivi” alisema Salma, na kulishika tauro nililofunga kiunoni mwangu, kisha aka livuta, kwanguvu nalo likakubari sheria, Salama aka rushia pembeni lile tauro, na kunitazama dudu yangu, hapo nilimwona akipeleka viganya vya mikoono yake mdomoni, huku macho ameyatumbua kwanguvu, akielekeza bado kwenye dudu yangu, ambayo ilikuwa ime simama barabara, “weee mtoto kumbe mkubwa hivyo?” aliuliza mama Nansy kwa sauti ya chini, na yamshangao, huku ana chuchumaa mbele yangu, na kuisogelea dudu yangu uso kwa uso, “we John, mbona bobge hivi, au umeaka dawa ya kuongeza ukubwa?” aliuliza Salama huku akipeleka mkono n akuishika dudu yangu akiijaza kwenye kiganja cha mkono wake, “hapana nime zaliwa hivi hivi,” hapo nikamwona huyu mama nikama anaona aitoshi aka upeleka mkono wake moja kwenye kitumbua chake na kujiingiza kidole, alafu aka acha na kushika dudu kwa mikono yote miwili akawa kama ameshika muwa, niwazi alikuwa ana jipimisha, nikamwona akiachia dudu yangu na kusimama, kisha akajishika kiuno na kutazama chini, kama alikuwa anawaza kitu flani, nika juwa tayari huyu mama amesha ogopa mziki wangu, kabla haja ucheza, nika msikia yule mama akiguna kidogo, kama anataka kucheka hivi, alafu akainua usowake nakunitazama usoni, hapo niliuona uso wake hukiwa ........ mdau ngoja nipate nafasi ya kuendelea na maandalizi ya story ya CAPTEIN CHUI, maana mambo ya John Bonge nimengi sana, tutaendela baadae......






Umetawaliwa na tabasamu mfalni hivi la pole pole, taratibu aka nisogelea na kunikumbatia, kisha akauleta mdomo wake kwenye midomo yangu na kuanza kuudumukiza ulimi wake mdomoni mwangu,tukaanza kunyonyana ndimi zetu taratibu, mpaka nikahisipumzi zetu zinakuwa nzito, na kila mmoja wetu akiipata ya mwenzie, nilipo mtazama huyu mama usoni alikuwa amelegea kiasi huku macho yake ame yafumba, tulinyonyana kwa sekunde kama stini hivi, alafu yule mma akaniachia, huku bado amenikumbatia, akaushusha mkono wake na kuupeleka kwenye dudu yangu aka ishika na kuanza kuichezea, “kweli we kibonge, akika siwezi kukuacha uende popote” alisema huyu mama, kwa sauti ya kunong’ona, akimalizia kwa busu la mdomo, aka chuchumaa tena na kuikamata dudu yangu vizuri, kisha akaisogeza mdomoni, na kuanza kulamba kichwa cha dudu yangu, hapo nika jikuta naweka chupa ya bia mezani, nikofia kuidondosha kwa utamu niliokuwa nausikia, kisha nika shika kichwa cha huyu mama na kuanza kumchezea meneo ya shingoni nyuma ya kisogo, hapo nika mwna anaanza kuidumbukiza dudu mdomoni, akaingiza kidogo, akishindwa kuidumbukiza mpaka nusu, anaaza kuinyonya, huku mala chache nikiyasikia meno yake yakinikwangua, nikama alijuwa maana aliitoa modoni, na kunitazama usoni, “mh! kubwa mpaka na kuumiza na meno” alisema huku ananyanyuka, “wala ujaniumiza, mbona nasikia utamu” nilisema kwa kumpa moyo huyu mwana mama, alie jeruhiwa na mume wake,


nika msukumia kitandani, nae kama mzigo akaangukia kwenye jitanda hilikubwa, kisha nika panda na kumtanua miguu, kisha nika tazama kitumbua cha huyu mama, kweli kilikuwa kime tulia, usingezani kama ni mama mtu mzima, maana kitumbua kilikuwa kizuri akina ata kipele, japo ilionekana wazi jinsi kikunde cha mama huyu kilivyo kuwa kirefu na kinene, unge sema dudu ya mtoto mchanga, alie tailiwa, “una kum.. nzuri sana Malkia wangu” nilisema huku na kigusa kile kikunde, cha Salma, kwa kutumia kidole changu cha kati, nakukichezea kidogo, “asante” niliisikia sauti yenye kusisimuliwa ya Salma ikinishukuru, “nika tunnia vidole viwili yani cha gumba na kile cha kati kupekecha kidogo ile kunde, hapo nika mwona salma akitetemeka kwa msisimko, “huuu, John utaniua kwa utamu” alisema mama Nansy, kwa sauti iliyo jaa mtetemo wa utamu, “mbona bado sasna, alafu unasema hivyo?” nilisema kwa sauti tulivu, huku nakipekenyua kile kikunde, na kufanya kikunde kichomoze zaidi, kama vile ichomokavyo dudu ya mtoto asie tailiwa, kwenye govi lake, ukweli sikuwai kuona kitu cha hivi, ilinishangaza sana,


Sikushangaa sana nika anza kuchezea kile kikunde cha Salma, kwa kukisugua taratibu, huyu mama alionyesha kuwa na umkame kweli kweli, maana ile kuchea kidogo, alianza jinyonga nyonga kiuno chake, huku kitumbua kikianza kutoa mchuzi wa mlenda mlenda, na kulowanisha kitumbua mpaka kikunde, na kufanya kidole changu kiteleze vizuri kwenye kikunde hiki, taratibu nikiwa naendelea kuchezea kikunde cha Salma, kwa mkono wa kulia, nika peleka mkono wangu wa kushoto kwenye siwa la Salma, na kukama chuchu ya mama huyu, na kuanza kuipekecha kwa ufundi, nilio utoa kwa mpenzi wangu wazamani Rose, ambae nilisikia ameenda kusoma ulaya, na kwakuwa nimeondoka Arusha, sikuwa na mategemeo ya kumwona tena, “huuuu! haaaa, hivy hivyo John” alisema Salma, huku akiendelea kujikatia viuno vya hewani hewani, akisindikiza kidole changu kilicho kuwa kina mtekenya kunde yake, baada yakuona zamu ya kidole imetosha nika sogeza mdomo wangu kwenye kitumbua cha huyu mama, huku nikitega pua yangu kusikilizia kama kuna arufu ya kura, kwenye kitumbua hiki, ukweli nikwamba akukutoa arufu yoyote mbaya, nikachomoza ulimi wangu ma kukuilamba kikutua kizuri cha Salma, kama na lamba bakuli la mchuzi mtamu ulioisha, nikamwona mama Nansy anastuka kidogo, na kukaza makalio yake makubwakama anazuwia mkojo usimtoke, “huuuu tamu baba, endelea hivyo hivyo” alisema Salma, huku mimi nikirudia kama mala tatu, hivi kulamba kitumbua cha Salma, kisha nikaanza kuupitisha taratibu, kwenye mashavu ya kitumbua cha Salma, hapo nka ona Salma akiiweka mikoni yake kichwani kwangu na kuanza kuchezea nywele zangu, utazani ananifuta vumbi, sikujari sana nika endelea na kazi yangu, yakumfariji huyu mama alie jeluhiwa na mumewe,


Niliendelea kufanya vurugu kwenye kitumbua hiki, maana nilidumbukiza kile kikunde cha Salma mdomoni mwangu, na kukinyonya kama pipi kifua, Salima alipiga kelele kamatoto, “mkojo ... mkojo.... mkojo una.. unanibana John, inaitosha ingiza... ingiza baba” aliongea Salma huku ana nivuta kunitoa kwenye kitumbua chake, lakini sikumsikiliza niliendelea kunyonya kisimi cha mwanamke huyu, ambae alikuwa anaangaika utazani nataka kumtairi, nilipoona malalamiko yame zidi nikakaa vizuri katikati ya mapaja manene ya Salma, na kuilengesha dudu yangu kwenye kitumbua cha Salma, ambae alionekna kuwa na pupa sana, maana aliikamata dudu yangu haraka sana, na kuilengesha kwenye kitumbua chake, aka igusisha kabisa na kutokana na uref wake ikawa lahisi yeye kuiingiza, basi taratibu Salama akaiingiza dudu yangu taratibu, kwenye kitumbua chake, ambapo niliihisi ikitembea taratibu ndani ya kitumbua cha mwana mke huyu, kilicho kuwa kime bana kiasi, mfano wake ni kama siku ile nilivyo ingiza kwenye, makalio ya dada hawetu, kabla dudu aijasimama kwanguvu, “vipi Malkia unajisikiaje?” nilimwuliza Salma, ambae alionekana kuisikilizia kwa umakini sana dudu wakatui inaingia, “inaingia” aliongea Salma huku ana ongeea kwa kuitikia kwa kichwa,


Salma aliekuwa ana bana midomo na kuilamba yachini, aliendelea kuiskilizia dudu ambayo iliingia na kufikia nusu, kisha nikaanza kupump taratibu, na kwa tahadhari kubwa sana, sikutaka tamaha za huyu mama zimponze, “kumbe unajuwa kuitumia vizuri, una nitomb.. taratibu mpaka raha” alisema Samla huku akintazama kwa macho malegevu yakivivu, yaliyo kolezwa na utamu wa msuguo wa dudu, huku akitabasamu kivivu, nikamwona akizidi kuleheza macho kisha akayafumba kabisa, na kuanza kutoa miguno ya mahaba, ya kunogewa na utamu wadudu, nikaendelea kupump taratibu, na baada ya dakika saba, nikamwona akioneza speed yakukata kiuno, “tam.... tammm, nakojoa leo nakojo John, nitomb.. kwanguvu...” alisema Salma huku akini bana kwanguvu, na mimi niongeza speed kidogo, maana nilijuwa nikipiga mikito ya maana lazima ninge aribu hali ya hewa, “nakojoa John.... john nako......nako nakojoaaaaa” alisema Salma sekunde chache kabla ya kutulia na kuhema kwa nguvu, akiwa hoi juu ya kitanda, nika ichmoa dudu yangu taratibu, toka kwenye kitumbua cha Salama ambacho kilitapakaa ute ute, huku na mtazama Salama usoni, ambae alifumbua mcho yake, ambayo yalikuwa bado yame legea, “vipi we bado” aliniuliza na mimi sikumjibu, nilikamata dudu na kumwonyesha,. akatabasamu kivivu, huku ana jiinua, “usijari John, malikia yupo kwaajiliyako” alisema mama Nansy huku ana inama na kuniegeshea msambwanda, sikujiuliza mala mbili, nika jisoeza kwenye msambwanda hule na kuilengesha dudu yangu, kwenye kitumbua ambacho kilikuwa kinaonekana vizuri, kutokana na mwana mama huyu kibong’oa vizuri, nika gusisha dudu kwenye kitumbua na kuanza kuchezea kikunde, huyu mama akastuka kidogo, “usifanye hivyo inatekanya sana, siunajuwa nimetoka kukojoa sasahivi” aliniambia huyu mama ambae lengo lake na mimi nikojoe, nikaichomeka dudu yangu taratibu kwenye mlango wa kitumbua cha Salma, kisha nika ingiza kichwa cha dudu, nikamwona Sama ame tulia akiisikilizia dudu, nikaanza kukanda mizia ndani taratibu, “ingiza taratibu John” alisema Salma, huki na yeye akijirudisha kwa nyuma, na kuifanya dudu izidi kuzama ndani, ilipofikia robo nikaanza kupump, taratibu,


Mwanzo Salma alitulia lakini, baada ya kupump kama mala tano hivi, nikamwona akianza kunisaidia, maana mimi nilipo peleka mbele, yeye nae alijirudisha nyuma na kufanya dudu izame, nilipo rudi nyuma na yeye alienda mbele, mambo yaikuwa matamu, dakika mbili baadae nikamwona Salma akianza kuongeza speed taratibu, “nasikia utamu tena, John naaza kusikia utamu mwenzio” safari hi sauti ya Salma ilitokea puani, na mimi nikaendelea kupuump, huku nikifwata speed ya Salma,


Baada ya udumu kwa dakika kumi nyingine, nikaanza kuona kitumbua cha Salma kikianza kubana, nakunifanya nihisi, jinsi dudu yangu inavyo sugua kitumbua cha Salma, “John chomoa kwanza baba, kum.. ya malkia imekauka, inanza kuwaka moto” nilisikia Salma akisema hivyo, huku ana nizuwia nisiendelee, kweli nikachomoa, Salma akaitazama dudu yangu kwa sekunde kazaa, huku ana jipapasa kitumbua chake, “kime kauka ngoja kwanza” alisema yule mama, huku anainuka toka kitandani na kwenda kwenye meza akaingiza mkono wake kwenye mkoba wake na kutoa kopo la mafuta, akaja nayo kitandani, aka kondoa kidogo kwenye kiole chake, “lala chali” aliniambia Salma na mimi nika tii sheria, “nakusikiliza malkia wangu, nilimwambia Salma kiutani, huku nalala chali na kuiacha dudu kiwa imesimamisha mnazi, Salma alicheka kidogo “hahahaha, leo unafaidi raha na malkia” alisema Salma huku nap aka yale mafuta kwenye dudu yangu, nika kumbuka jinsi dada Hawetu alivyo fanya miaka mingi iliyo pita,


Salma alipomaliza kupaka mafuta kwenye dudu yangu, nikamwona akikondoa mafuta mengine na kujipaka kwenye kitumbua chake, alipo maliza akanisogezea kikopo cha mafuta, “nifanyeje?” niliuliza kwamshangao, maana sikujuwa anataka nifanyaje, “utaona tu! we chukua mafuta mengi” nikafanya hivyo, ”haya subiri” alisema Salma kisha arudisha mafuta kwenye mkoba wake, kisha akarudi pale kitandani kisha aka jana na kukaa juu yangu, akiwa ameinama na miguu yake ameiweka huku na huku, akiwa amegeukia upande wa miguu yangu, akainama na kunifanya niyaone makalio yake makubwa yakini tazama usoni, 






Hapo nikaona sasa nime kwisha, lakini ni cha kushangaza nikamwona Salma akibadilika toka kwenye wasi wasi na kuwa katika hali ya kawaida, “hoooo! mume wangu, ume amka saa ngapi mpaka ume wai namna hii?” alisema Salma kwa uchangamfu, akimwambia mume wake, ambae alikuwa amesha wakaribia, akingozana na wale vijana watatu walio shiba kweli kweli, wakati huo Salma alikaa tena kwenye kiti chake, nilipo mtazam tena mume wa Salma, au baba Nansy, nikamwona kama mwenye wasi wasi flani, ambao uliochanganyika na mshangao, nazani akutegemea kumwona mke wake akiwa mwenye uso wa furaha, “siyo kuamka, nimekesha na subiri kupambazuke nianze safari, ndio nika wapitia awamafundi” alisema huyu mzee ambae alikuwa anakitambi flani hivi, cha mwonekano wa fedha, alivuta kiti kimoja na kukaa, huku wale alio wasema kuwa ni mafundi, wakibakia wamesimama, “ungetulia tu nyumbani baba Nansy, maana Asubuhi, nime amka nika mwona huyu kijana, kumbe nifundi, akanitengenezea, bahati nzuri na yeye anaenda dar” alisema Salma, kwa uchangamvu, na kama ungeona jinsi alivyo kuwa anaongea, usinge zani kuwa wanandoa awa, kila mmoja alilala nje ya ndoa usiku uliopita, na Salma nime mmalizia cha mwisho asubuhi hii, “ok! habari yako kijana, mimi ndio mume wa huyu mama, jana nilikuwa busy kidogo” alisema Baba Nansy, huku ananipa mkono, “nzutu mzee wangu, shikamoo, nilisalimia kwa sauti tulivu, ila ukweli nikwamba iliitaji ushujaa wa hali ya juu sana kukaa mbele ya mume ulie muibia mke, tena ukichukulia ni muda mfupi uliopita nimetoka kula kitubmbua cha mke wake, “marahaba kijana, asante sana kwa kumsaidia mama yako, yani unge patikana jana jioni, ingekuwa safi sana” alisema yule mzee, na hapomama Nansy aka dakia, “anaitwa John, yani kijana ana nidhamu nzuri sana” hapo nikamwona baba Nansy ana tabasamu, kisha akanitazama, “anaonekana u nikijana mpole sana” alisema baba Nansy yani mume wa Salma, na mimi nika taba samu kidogo, lakini ndani kwa ndani nilitawaliwa na wasi wasi, “kwahiyo kijana unaelekea dar sehemu gani?” aliuliza baba Nansy, hapo nika chekecha hakili haraka, nakupata jibu, “naenda mbezi” hiyo ndio sehemu niliyo wai kutajiwa mala nyingi sana, na jina hilo lilikaa kichwani mwangu, basi aina tatizo, mke wangu naona aina haja ya kuchelewa sana, fundi apande gari lako na mafundi wenzake, na sisi tupande gari langu” alisema yule mzee hapo na mimi nikaona afadhari, lakini ulibakia mtego mmoja, nitachukuwaje begi kule ndani, “asante mzee nitapanda coster, sababu kuna mtu nita msubiri kidogo hapa” niliamua kudanganya, ilikukwepa ile safari, nazani ata Salma alilijuwa hilo, maana alidakia haraka, “ok! nikweli uliniambia” alisema Salma, alafu akamtazama mume wake, “wacha niende chooni mala moja, alafu tuondokezetu” alisema Salma huku ana inuka na kuelekea upande wa ndani wa ile bar, akituacha mimi na yule mzee, huku wale vijana wakiwa wame simama, “asante sana kijana, ebu chukuwa hiki kihasi cha fedha kidogo” alisema yule mzee huku ana nipa kifungu cha fedha, ambacho sikuhesabu, “asante sana mzee wangu” nirishukuru na kuweka mfukoni,


Kule ndani Salma akukaa sana, nikamwona anatoka na kutufwata, tulipo kuwa tumekaa, “haya John sie tukuache, asante sana kwa msaada, Malia anaenda kupumzika” alisema Salma, akiachia kicheko kidogo, huku ananitazama usoni, huku tabasamu lime tawala usoni kwake, alafu kwa ujanja kabisa, akaniminyia jicho moja, amba kiukweli baada ya kunipendezesha, lili niogopesha sana, “asanteni na nyie safari njema” nilisema na wao wakaondoka zao, sikujuwa huko mbele ya safari kama waliendelea kuongea ama walikasilikiana kwa kitendo cha jana usiku, nili tulia pele kwa muda kidogo, kisha nika toka na kwenda kule chumbani, tulikolala na malkia, nika kuta begi langu kitandani, tofauti na nilipo liacha, wakati tunatoka na Salma, kwenda kunywa supu, nikalifwata bagi, nika lifungua ili nione kama lilikuwa salama, maana nilisha wai kusikia habari za wizii wawatu wa huku, nikafungua hapo nikashangaa kwa kukodoa macho, maana niliona kitita cha fedha kwenye begi langu, kumbe Salma alipo sema kuwa anaenda chooni, alikuja hunu chumbani na kuniwekea hizi fedha,


Nikiwa nimesha zihesabu zile fedha na kujuwa idadi yake, nikaondoka na begi langu, kuelekea stendi, huku lakisita aliyo niwekea Salma kwenye begi zikiwa ndani yabegi, pamoja na laki mbili na elfu sabini nilizo bakinazo, pia elfu hamsini aliyo nipatia baba Nansy, nikiiweka mfuko wa kushoto wa suluali ya jinsi, niliyo ivaa, na mfuko wa kulia niliweka elfu nne, zikiwa elfu moja moja, sikuchelewa kupata gari, linalofanya safari za mbezi mlandizi, saa sita mchana nilikuwa nimeshashuka mbezi, huku njiani nilikotoka nikiwa nime kutana na balaha kubwa la vishawishi, ukweli nikwamba wana wake wa huku nguo zao ni balaha tupu, lakini wavaaji wa mavazi hay wengi wao walikuwa ni waschana wadogo, ambao kiukweli nisingeweza kufanya nao mapenzi, ata hapa mtaani pia nilitembea taratibu, pembebi ya barabara, sehemu ambazo watu wengi walikuwa wanafanya biashara zao, msongamano wa watu wengi sana ulikuwepo mahali hapa, nilipishana na watu wengi sana, wake kwa waume, huku mala kwa mala nkigeuza shingo langu kusaminisha misambwanda ya wana dada niliopishana nao,


Lakini wakati natembea nilikuwa na waza jambo flani, aliloniambia Salma, kuwa endapo nita kaa hapa dar, ninaweza kupata fedha nyingi, kutokana na ufundi nilionao, lakini kuhusu swala la yeye kuwa atakuwa ananisaidia mala kwamala, liliniondoka, sababu sikuwa na mawasiliano yoyote na Salma, maana tuliachana bila kupeana namba za simu, baada ya kuwaza kwa muda kidogo, nikapata wazo la kukaa hapa dar kwa siku chache nione itakuwaje, kama apalipi niondoke zangu, kuelekea Liwale, hapo nikauliza sehemu kwenye nyumba ya wageni ya bei nafuu, nikaelekezwa guest moja hivi ambayo ilikuwa na bar ndani yake, nikaanza kuelekea huko nilikoelekezwa, ilikuwa ni pembeni kidogo ya bara bara, upande wa mbezi shule, bei ilikuwa ni elfu tano, nililipia kwa siku mbili, baada ya kukamilisha malipo nikaingia ndani na kulala, ukweli nilipitiwa na usingizi mzito sana,


Nililala kwa muda mrefu sana, nikastuliwa na sauti za miguno ya mapenzi, iliyosikika kwafujo na malalamiko ya kitanda, toka chumba cha pili, nilipo chungulia dirishani tayari giza lilisha tanda, nikatoka nje ya chumba na kuelekea upande wa bar, ndiko upande wa kutokea nje, pale ukumbi wa bar, walionekana watu wengi sana, wakiwa wanaendelea na vinywaji, ata nilipotoka nje pia watu walikuwa wengi pia, huku ikiwa kama jana, wanawake walivalia mavazi mafupi na yakubana sana, nikaona bola ni kapate chakula kidogo, sikupenda kula pale bar, nilionelea nikatafute mama ntilie, pia nikaone na mazingira ya hapa mbezi,


Nilitoka pale bar na kutembea taratibu huku nikitazama mambo mbali mbali ya mtaa wa mbezi, lakini wakati nakatiza sehemu, mala ghafla nika shangaa kuna mtu akinishika bega, tokea nyuma yangu, “we dogoumeamua kukimbilia huku?” ilikuwa ni sauti ya kiume, na ule mkono ulionyesha wazi kuwa huyu jamaa, alikuwa ni kipande cha mtu, na mwenye nguvu sana,






Maana niliuhisi mkono wake ulivyo gangamala, lakini sikuwa na wasi wasi sababu sauti yake aikuwa ya kitisho, ilikuwa yakuchangamka sana, niligeuka n kumtazama huyu jamaa, ambae niliamini ananifahamu toka Arusha, nilimwona akiwa amesimama na mwanamke mmoja refu, mzuri, alievalia mavazi mazuri ya heshima, wote walikuwa wanatabasamu, lakini ukweli ukweli sikumfahamu yule jamaa, ambae kwamwonekano ni mtu mwenye mazoezi magumu, “dogo unikumbuki, wewe si yule dogo wa juzi usiku pale Bantu?” aliuliza yule jamaa huku akinitazama, hapo nikajuwa kuwahuyu jamaa alikuwepo siku ile wakati mume wa Eliza ana nitandika ngumi, “ndio mimi kwani ulikuwpo sikuile?” niliuliza kwa mshangao, na yule jamaa alicheka sana, kisha akamtazama yule mwana mke ambae baadae nilijuwa kuwa, ni mke wake, “mama Nico, huyu dogo ndio yule ambae nilikusimulia, kuhusu ule mkasa ulio tukuta arusha juzi” hapo nika mwona yule mwanamke pia akicheka, “sasa dogo unaenda wapi” aliuliza yule jamaa, na mimi nika mweleza kuwa naenda kutafuta chakula, basi yeye akaniambia kuwa na wao walikuwa wanaelekea full dose Pub, hivyo niongozane nao tukapate chakula,


Nusu saa baadae tulikuwa tumesha fika full dose tukitumia gari lake ambalo kipindi kile alikuwa ameliegesha sehemu, pale bar ukiachilia kuagiza chakula, pia waliagiza bia kwaajili yao na yangu, tukala na kunywa, huku yule jamaa ambae alijitambulisha kuwa anaitwa Aron, ni mmoja kati ya wale wanajeshi walioniokoa kule kisongo, huku wakimpiga sana mume wa Eliza, ukweli tuliongea mengi sana, hukujamaa akiniuliza ninaendeshaje maisha pale mbezi, na kama nitapata sehemu ya kufanyia kazi ya ufundi wa magari, nika mweleza kuwa nimechukuwa chumba guest, wakati natazama kama maisha ya hapa dar, akanishauri kuwa ni tafute chumba cha kupanga, ambacho kitakuwa cha bei nafuu,


Aron akuishia hapo, alipiga simu kwa rafiki yake mmoja anae miliki gereji yake ndogo, hapo kibamba ccm, aka niombea nafasi ya kufanya kazi hapo, na mwisho wa siku alinipa namba zake za simu na za yule mwenye gerji, alieitwa baba D, huku akiniambia kuwa kesho niende kibamba na begi langu, kuna chumba ambacho nitaenda kupanga,


Saa nne usiku, ndio muda nilio achana na Aron na mke wake, na kwenda kwenye ile bar niliyokuwa nimepanga, na kuupitiliza chumbani, nikiitaji kulala, lakini usingizi ulikataa, kutokana na mambo mawili, moja nililala mchana, pili kelele za miguno ya mapenzi, ambazo kwa sasa ilikuwa tofauti na mchana, sasa zilisikika toka kwenye vyumba vingi, kelele ambazo zilinipa shida sana, na kusababisha dudu yangu isimame sana, na kumkumbuka Malkia Salma, kwa mambo aliyonifanyia, nilishindwa kuvumilia na kuelekea upande wa bar, nje kabisa, ambako nilichagua meza moja ya pembeni kabisa, na kuagiza bia, ambayo niliinywa taratibu huku nikitazama pilika pilika za wapiti njia,


Saa sita ndio muda muda ambao nilienda kulala nikiwa nime lewa sana, pombe ambazo zili sababisha ni amke saa tatu asubuhi, hapo nilioga kisha nikajiandaa kwenda kibamba, ambako nilipofika nilipokelewa vizuri na baba D, ambae nikijana tu! ambae alikuwa amenizidi miaka kama kumi na tano hivi, ukweli alinipokea vizuri sana huyu jamaa, “dogo chumba kimepatikana ni elfu 20, lakini uta lipa kwa miezi sita yani laki moja na ishilini” alini julisha baba D, hapo ndipo nikajuwa kuwa nina itaji kuwa na kitanda na godoro, lakini sikuwa na wasi wasi maana fedha ya kuanzia nilikuwa nayo, hapo sikuzubaa nikaanza kuwasaidia kazi, maana niliwakuta wame zidiwa kwa kazi, wao walikuwa watatu, lakini kulikuwa na magari kama matano hivi yana itaji huduma, toka saa tano mpaka saa saba tayari nilisha mwaga oil ya engine na gear box za magari mawili, na kumsaidia fundi mmoja kutengeneza gari moja ambalo lilikuwa alipeleki mafuta kwenye caburator, “hoya John, kama umesha maliza hapo nenda na huyo white akupeleke kwenye hiyo nyumba ukaione” aliniambia baba D


Nakumbuka tulipomaliza kutengeneza gari na dogo white, ambae ndie mdogo kuliko wote, na wakati tuna jiandaa kuondoka anipeleke kwenye nyumba, mala likaja Toyota land cruzer, ambayo ilikuwa inaendeshwa na mhindi flani hivi alie jitambulisha kwa jila Khan, aliekuwa na mkewake mzuri wa kihindi, japo wote wawili umri wao ulikuwa umesonga kidogo, yule mhindi akasema kuwa gari lake ina sumbua mfumo wa upoozaji, yani cooling sisytem, na kwamba ameangaika kwenye geeji kadhaa toka kongowe, mafundi wame shindwa kujuwa tatizo, sababu maji yapo, ukweli kati ya mafundi waliokuwepo kuwepo kwenye gerejihi, akuwepo mwenye kuyafahamu magari haya, hapo nikapata nafasi ya kuonyesha uwezo mkubwa wa ufundi nilionao, maana magari haya nimesha yatengeneza sana nikiwa Kisongo, sababu magari haya utumika sana pande zile kusafirisha watalii, Nilitumia nusu saa kutengeneza lile gari, na likatengamaa, nilimwona yule mhindi mtu mzima, akifurahia sana, hapo hapo akatoa elfu 30, na kunipatia, huku akichukuwa namba yangu ya simu, kisha akaondoka zake, na mimi nikamkabidhi baba D, ile fedha, ambae alisema tuonane jioni nikisha maliza shughuli za chumba, niliondoka na dogo White, tukiwa na mitsubish ya mizigo, wengi wanaita kilikou, kutokana na udogo wake,


niliiona nyumba ilikuwa nzuri yenye wapangaji wachache, ambao walikuwa wanaishi na familia zao, nyumba ilikuwa kwenye mtaa uliochangamka, na nyumba ni nyingi sana, na watu wengi, kilicho nivutia ni waschana warembo ambao walikuwa wana tutazama wakati tuna shusha bahadhi ya mizgo niliyo lazimika kuinunua, kwa fedha nilyo kuwa nayo na ile aliyo nipa malkia,


Saa kumi na moja jioni, tayari nilikuwa nimesha rudi pale kijiweni, nikiwa nimesha lipia chumba, ambacho nilikipenda sana kwakuwa kilikuwa nabafu na choo ndani, umeme na maji, nilikuwa nimesha nunua kitanda na godoro, na shuka nne bila kusahau neti ndoo mbili, pia tv ndogo ya kutumia flash na king’amuzi cheke, ambacho nilikifunga kabisa, meza ndogo na vizaga zaga vichache, n aka speker flani kabei lahisi, ni zile za mfumo wa sub woofer, mpaka hapo nilikuwwa nimebaki na laki mbili tu, ata nilipo mwelza baba uamuzi wangu aliahidi kuniongezea fedha, akisema kuwa maisha uwa magumu sana siku za mwanzo, saa mbili usiku ndio muda nilio rudi nyumbani, ambapo sasa napaita kwangu, na kutulia kidogo, nikiona kuwa mambo yanaenda vizuri, ni baada ya kuwa baba D amenipatia shilingi elfu ishilini, ikiwa ni malipo ya siku endapo kazi zilikuwa nyingi, huku akisema nime kuja na kisiriri,


Siwezi kuisahau sikuhiyo, sababu ndio siku ambayo, ilikuwa mwanzo wa mkasa mwingine, nakumbuka baada ya kuingia kwenye chumba changu na kuwasha taa, nilioga na kujilaza kitandani nikiwa na bukta, huku nimesha TV, natazama vipindi mbali mbali, lakini baada ya dakika kadhaa, nika kumbuka kuwa sikuwa nimekula, maana nilisikia njaa, ndipo nilipo amka, nika vaa truk suit na tishet, kisha nikatoka nje, ambapo niliona bado pilika za watu zinaendelea, nika tazama kama kuna mtu ambae nina weza kumwuliza sehemu ambayo naweza kupata chakula, lakini nilishindwa, kutokana na watu kuonekana wapo busy, lakini nyumba ya tatu toka pale nilipo kuwa, nika waona wana mama watatu pamoja na mscha mmoja, wakiwa wamekaa kibarazani, huku wakiwa wamevalia magauni marefu na kujifunika nywelezao, kwa mitandio na mishungi, nikaona wale ndio wa kuwauliza,


Nika tembea taratibu kuwasogelea, nilipo wafikia na kuwasalimia kwa kuamkia, mmoja wao alie onekana kuwa nimkubwa kuliko wote akaitikia, kwa sauti ya rafudhi ya watu, wa Zanzibar, “samahani nilikuwa naulizia sehemu wanapo uza chakula” niliongea kwa sauti ya upole kama sura yangu, nikaona wale wanawake wanatazama, kisha yule mdogo akajibu, kwa sauti iliyo changamka ikiwa na rafudhi ya kizanzibar pia,“hooo! pale kwa Majani watakuwa awajafunga” hapo ndipo nilipo mtazama yule binti mdogo kuliko wote, ukweli alikuwa mzuri sana, nikama mwarabu, yani ata usowake ulioneka mwololo, sema alikuwa na mwili mdogo mdogo, “Radhia mpeleke basi, huyu si yule kaka mgeni, alie hamia pale kwa mzee masoud” alisema mmama mwingine, kwa rafudhi ya kizanzibar, nika gundua kuwa hawa ni wazanzibar, kutokana na rangi zao na rafudhi zao, hapo nika mwona yule mschana mzuri akimtazama yule mama mkubwa kabisa, huku ana tabasamu, “nenda mpeleke mwenzio mgeni bwana” alisema yule mama, na hapo Radhia akainuka, “asanteni sana wakina mama” nilishukuru, kisha Radhia akaongoza njia ya kuelekea njia barabara kuu, nilikukumbuka mapema sababu ndio kule ambako kuna gereji ya baba D, “muwai kurudi kabla baba yake haja rudi” alisistiza mmoja kati ya wale wana wake, wakati tunaondoka, “haya mamdogo, kwa ni si hapo tu kwa majani” alisema Radhia, ambae alikuwa ametangulia mbele na mimi nikimfwata kwa nyuma, nikajaribu kuibia kutazama msambwanda, kwakweli sikuweza kuona kutokana na iligauni lake pana jeusi,


Safari ilikuwa ni kimya kimya, nka shuru kwa heshima ya huyu mschana alie onekana kuwa na ahibu sana, kitu ambacho nilikuwa najidanganya, sababu baada ya kupotea machoni kwa wale wanamama, ndipo Radhia akageuka na kunitazama, kwa uso wa tabasamu, ambalo lilimfanya azidi kuwa mzuri na mrembo zaidi ya alivyokuwa mwanzo, huku akipunguza mwendo na kufanya tuwe sambamba, 




......


“kwani wewe hapa kibamba ni mgeni kabisa?” aliuliza Radhia, huku akinitazama usoni, ukweli huyu binti ni mzuri, japo nilikuwa na uakika kuwa, muziki wangu asinge uweza ata kidogo, maana kalikuwa kadogo dogo hivi, “siyo hapa kibamba tu, ata dar yote ndio nimefika kwa mala yakwanza” nilimjibu na ye akacheka kidogo, kuanzia hapo tukawa tuna tembea uku tuna ongea hili nalile, muda wote akiongea kwa uchangamfu, akaniuliza jina nka mtajia, na yeye aka nieleza mambo mengi kuhusu yeye, ikiwa yeye ni mtoto wa tatu kwa baba na mama yeke, wengine wawili ni wakiume ambao wana fanya shughuli za uvuvi huko ferry, pia wale wengine wawili walio kaa na mama yake ni wake wa baba yake mwenye wake watatu, nao pia wana watoto lakini ni wadogo kwake, pia yeye ana soma kidato cha tatu huko mbezi, kwenye shule binafsi, baba yake alikuwa mfanya biashara huko kaliakoo,


Kwakifupi Radhia alikuwa ni mwongeaji, na mchangamfu, japo niligundua kuwa akuwa na mazwea na watu wengi wa pale kibamba, sababu sikuona akisalimiana na watu, zaidi ya waschana wachache sana, tulipishana nao, na mmoja tulimwona kwenye kibanda cha Pesa, za kwenye simu, nazani mdau umenielewa, tkiwa tuna ingia mtaa wa barabarani, ambko usiku huu palizidi kuchangamka, kwa pilika za watu, waliokuwa wanarudi makazini, na wale waliokuwa wana nunua bidhaa mbali mbali, zilizo pangwa kwenye meza pembezoni mwa barabara ya akiba, nakumbuka kuna sehemu moja tulikuwa tunaipita meza ambayo ilizungukwa na watu kama watano hivi, wakinunua vitu flani na kuvichoma kwa kijiti kisha wana kula, nikaona Radhia ananitazama usoni, huku anatabasamu kiaibu ahibu, nikama kunakitu alitaka kuniambia lakini alishindwa, “hivi ho wana kula nini?” niliuliza huku nikikwepesha macho yangu yasi mtazame sana huyu binti, ambae sikutaka kuingia nae majaribuni, “pweza na kachori, nitamu, mwenzio nazipenda sana” alisema Radhia huku akijichekesha flani hivi, na kupambana na vijimate vya hamu vilivyo anza kumjaa mdomoni, nilisha wai kusikia khusu pweza, na nilisha wai kumwona kwenye video na picha za mtandaoni, “ebu tukaone kwanza” nilimwambia Radhia, na bila kusita akageuka kulia, na kuifwata meza ya pweza huku mimi nikimfwata nyuma, na alipo fika pale bila kuuliza kama nilikuwa na uwezo wa kununua, nikamwona akijiunga na wale watu tulio wakuta pale, akachukuwa kijiti na kuanza kuchagua, naomba kifuko nitalia njiani” alisema Radhia ambae niliona baadhi ya watu wakimtazama kwa matamanio binti huyu, yule muuzaji akampatia kijifuko flani chepezi hivi, kisha nikamwona Radhia akichoma vipande vitatu na kachori mbili akiziweka kwenye kile kimfuko, kisha akaendelea kuchaguua, “John nichukuwe za shingapi?” aliuliza Radhia bila kuniangalia, huku akiendelea kuchagua pweza na kachori, “kwani bei gani?” nilimwuliza Radia lakini wakajibu wawili, “mia mbili kipande, na kachori mia mia” Radia na muuzaji mwenyewe, “ok chagua unazoona zina tosha” nilimjibu huku nikimtazama binti huyu akiendelea kuchagua, mpaka alipo ona ina tosha, “niwekee pilipili” alisema Radhia huku anampatia muuza kile kijifuko, “elfu moja na miatano” alisema yule muuzaji, akimaanisha ndio fedha ambayo inatakiwa kulipwa,nikatoa noti ya elfu kumi na kumwekea Radhia kwenye mkono wake wa kushoto, sababu alikuwa busy anatazama muuza anavyo mwekea chachandu, Radhia aka ipokea ile fedha na kuitazama, nikamwona kama anastuka kidogo, kisha akanitazama usoni, kama alishangaa flani, nakama kuna kitu alitaka kusema, lakini akashindwa na kumgeuki muuzaji, nakumpatia ile fedha, muuzaji alikata fedha yake na kumpatia chenji, na kile kijifuko cha pweza, hapo Radhia akachukuwa vijiti viwili, kisha tukaondoka, huku akinipatia fedha yangu iliyo bakia,


Tulitembea kimya kimya kama vile Radhia alishikwa na bumbuwazi flani, dakika mbili baadae tulikuwa tumefika kwa Mjani ambapo watu walikuwa wengi wakipata huduma ya chips, ukweli jamaa inaonekana alikuwa na wateja wengi sana, maana wtu kibao walikuwepo, wakike kwa wakiume, wakipata huduma hii ya chips, “unataka chips nini?” aliniuliza Radhia, kwa maana ya kwamba akaniagizie, ukweli chips siyo chakula nilicho kipenda, lakini sikuwa na ujanja, ilibidi niagize chips na nyama ya kuchoma, niliagiza kipande kikubwa sana kuliko ata chips zenyewe, ila utofauti ni kwamba huku nyama bei ghali sana kuliko Kisongo, “vipi wewe uagizi” nilimwuliza Radhia, wakati tume simama tuna ngoja ziandaliwe, “nitaagiza chips yai” alisema Radhia kisha akanishika mkono na kunivuta, akiniongoza sehemu ya kikaa, ambayo ilikuwa ni pembeni kidogo, maana yake tulijitenga kidogo na watu wengine, tuka kaa kwenye bechi moja hivi, ambalo siku za mbele niligundua kuwa uwa lina tumiwa na mshona viatu, “kwani John we unafanya kazi wapi?” aliuliza Radhia huku akifungua kijifuko cha pweza, na kunipa kijiti kimja cha kulia wale pweza, “fundi wa magari” nilijibu huku napokea kile kijiti, wakati huo Radhia alikuwa ame ukata ule mfuko kwenye mapaja yake, na hap ndip nilipoanza kugundua kuwa mschana huyu licha yakuonekana mwembamba kuanzia tumboni, lakini iligauni lake pana kuna vitu lilikuwa limeficha huku chini, maana mapaja yake yalionekana kuwa manene kidogo, “ok! unafanyia wapi?” aliuliza Radhia ambae sasa alisha anza kula pweza, “kule ng’ammbo ya bara bara, ndio nimeanza leo” nilimjibu Radhia ambae kampani yake ilinifanya nisijisikie mnyonge wala kukumbuka kisongo, “mbona uli pweza?” aliuliza Radhia huku akinitazama, “sijawai kula” nilimjibu na hapo akacheka kidogo, “jaribu nitamu sana, ebu onja ata kachori uone” alisema huku akifanya kitu ambacho kilinishangaza kwa huyu binti, maana alitumia kijiti chake, alicho kuwa analia pweza, akachoma kachori na kuniwekea mdomoni, name sikujivunga nikaidaka na kuibugia kweli ilikuwa tamu, nikaanza kula mwenyewe, nikijaribu nakipande kimoja cha pweza, saa moja baadae tuliachana na Radhia akaingia kwao, akiwa na kijifuko cha chips, na soda ya take away, sawa na mimi, ukweli Radia alinihoji mambo mengi sana, maana alifikia atua ya kuhoji kama nilikuwa na demu, nakumbuka nilimjibu kuwa kwa ugeni niliokuwa nao sikuwa na mwanamke yoyote,


Nakumbuka siku yapili, ilkuwa mida ya saa tisa jioni, ilikuwa jumatano siku yamnada baba D akanishauri niende nikafanye manunuzi, maana vitu vingi uwa bei nafuu, nazani pia aliona kazi nzuri tuliyo kuwa tumeifanya sikuile, nashukuru, alinipatia elfu ishilini, na pia baba alinitumia laki tano, kwenye simu yangu, nakumbuka nikiwa naangaika kuchagua vikolo kolo vya ndani kama majagi ya maji na grass, pia vikombe, na chupa ya chai, mala ghafla, “chukuwa vikombe vya rangi tofauti” ilikuwa sauti ya kike, nikaitambua faster, kutokana na rafudhi, nika geuka na kumtazama mwongeaji alikuwa Radhia, ndani ya sare za shule, na begi la daftari, huku kichwani akiwa amefunika nwele zake kwa ushungi mweupe, akuwa peke yake, aliongozana wanafunzi wenzie wakike, “mambo” “mambo” walislimia wale wenzie ambao walikuwa kama wanne hivi, wakati huo Radhia aliingia kazini kuni saidia kuchagua vikombe, “poa naona mnatoka shule” niliitikia huku nikiwatazama wale waschana mmoja baada ya mwingine, ukweli ni kwamba, kuna mmoja alinivutia na kuni kumbusha Rose wangu, maana alikuwa na umbo pana kama Rose kipindi kile, Radhiaa wenzake walini saidia kuchagua vitu, huku wakiniuliza kama nilikuwa nacho nyumbani, kama nikisema sina, awakuuliza waliweka pembeni, kipindi hicho nikagundua kuwa Radhia aliwasimulia juu yangu, maana niliwasikia wakiulizana, “mbona mkaka mwenyemwenye anaanza maisha wakati mdogooo” mwingine akasema, “kumbe Radhia alisema kweli, anaela nyingi,alafu mpoleeee ” wakati huo walikuwa wananisubiri, nimalize kuweka nyimbo na movie kwenye flash mpya niliyo inunua, lakini nnikama Radhia ndie alie kuwa ana weka nyimbo na filam hizo, maana alitaja zile alizo kuwa anazipenda yeye, “nita kuja kuziangalia” alisema Radhia ambae alionekana kuzowea kwa haraka sana,


Nusu saa baadae tuliagana nao wakiwa wamesha nisindikiza mpaka nyumbani, ambapo niliwakuta wapangaji wenzangu wakiendelea na shuguli zao, mle ndani sikukaa sana, nikatoka na kwenda kuchukuwa jiko lagas, na mtungi wake, niliporudi dada mmoja mpangaji, akaniambia “alikuja mgeni wako, amsema atakuja baadae” mh! hapo nika zani atakuwa dogo White, maana sikutegemea mgeni yoyote, sikuwa na watu ninao fahamiana nao hapo kibamba, nikaweka musiki na kuanza kuliunganisha jiko,


Baada ya kumaliza kuunganisha jiko nikaingia bafuni na kuoga, chumba kilikuwa ni self, wakati nikiwa na oga huku na sikiliz music, mala ghafla musi uka stop, nikajaribu kuwasha switch ya taa kule bafuni ilikuwa inawaka, nikahisi labda redio au tv imearibika siuna juwa kipya akinyemi, nika waza nitoke ili nikaangalie, lakini ile na sogelea mlango ambao aukuwa na kizibo chochote, mala nika sikia sauti ya muziki lakini mwingine, alao uka kata tena, ikapida sekunde kadhaa, nika sikia flamu ikianza, hapo nikajuwa nimevamiwa, yani kunamtu ameingia bila taalifa yoyote, nikachungulia kidogo ili nimwone mvamizi,


Naam macho yangu yali patwa na mtikisiko wa kiuchumi, maana nilicho kiona nizaidi ya baraha, nilimwona Radhia, akiwa amejilaza kitandani kifudi fudi, mto mmoja mkubwa kati ya miwili, akiwa ameuweka kifuani, lile gauni lake refu pana alilovaa jana, na mtandio wa nywele, alikuwa ame viweka pembeni na kubakia na kishati kidogo, sana kilicho mbana, uku kikiachia baadhi ya sehemu za tumbo na mgongo, ziwa wazi yani mweupeee, na ngozi nyororooo, pia alivalia kisuluali chepesiiii cha kubana sana, yani taghit nyeupe, iliyo mshika vyema na kuonyesha jinsi alivyo umbika, mtoto huyu mwenye uchotara wa kiarabu, uliosibitishwa na nywele zake ndefu na nyeusi, urefu wa nywele hizi zilifikia mgongoni, ambae alilala kifudi fudi na kuacha msambwanda wake wawastani ukiwa juu, na harama ya kijichupi chake, ikionyesha ilimo katiza, nashukuru yeye akuniona wakati na mchunglia, maana alikuwa busy anatazama TV, nika rudi bafuni na kuanza kuwaza juu ya huyu binti, “huyu mtoto ana nitaafutia nini jamani” ebu kwanza nifikilie namna ya kutoka bafuni maana kule ndani sikuwa nanguo ata moja, na taulo lilikuwa kwenye nguzo ya neti, (chandalua) “John unaoga mwaka mzima” nilistuliwa na sauti ya Radhia toka chumbani,




..


“Umeengia saa ngapi?” niliuliza huku nikiwaza nitatokaje humu ndani ya bafu, “mbona mudu mrefu tu, nilikuja mala ya kwanza wakasema umetoka, nilipo kuona nikaenda kumuaga mama ndio nikaja” alisema Radhia, na wakati huo nikapata jibu, “nime sahahu tauro hapo juu ya besela, nisogeze hapa mlangoni” Sikuwa na ujanja, nikamsikia akijiinua toka kitandani, kisha vika fwatia vishindo vya nyayo zake zikija kule bafuni, nikajibanza vizuri iliasinione, nikweli na yeye akanyoosha mkono na kunipatia tauro, kisha nika msikia akijilaza kitandani, nikajifunga tauro na kutoka bafuni, sikutaka kumtazama sana huyu mtoto, nikafungua begi na kutoa bensi moja la kaki, na tishet, kisha nikarudi bafuni, na kuvaa nguo zile, nilipo maliza nikatoka na kukaa kitandani, pembeni ya Radhia, ambae bado alikuwa amejilaza ifudi fudi, “TV yako nzuri” alisema Radhia, huku macho ameyaelekeza kwenye TV, sikujibu kitu, zaidi ya kucheka kidogo, “sema ume sahau kununu kapeti” alisema tena Radhia, nakuendelea kuelekeza vitu ambavyo naitajika kununua, “alafu umeonunua jiko zuri la gas, ila nunua kochi moja, wakija raafiki zako wakae kwenye kochi, maana siyovizuri, watu wengine waka kwenye kitanda” sijuwi kama mdu unamwelewa uyu binti, yani yeye kulala kwenye kitanda ni sawa, ila watu wengine siyo sawa, “ume nipa wazo zuri, nita nunu ata kesho” nilijibu huku tunaendelea kutazama filamu, “sikia John, kama ele unayo, tuwai pale njia panda kuna masofa mazuri, twende nika kuchagulie moja zuriiii” alisema Radhia huku anajiinua nakugeuka, akanitazama usoni, ukweli huyu binti ni mzuri jamani, “ok! twende nikatafute na chakula kabisa” nilijibu kwa uakika sababu fedha nilikiwa nayo, Radhia akainuka haraka sana, na kulichukuwa gauni lake akalivaa na kuji tanda ule ushungi wake, kisha akanitazama, “ngoja kwanza nitoke mimi alafu kaa kidogo, ndio utoke” alisema Radhia, akimaanisha kuwa akutaka watu wajue, ametka chumbani kwangu, hapo nika ona itakuwa vyema, maana licha ya kuwa huyu binti Radhia alikuwa ni mrembo na mzuri, lakini niliona awezi kuucheza mziki wangu, na kitu kizuri ni kumkwepa kabisa, na kuelekea huko kwenye makochi,


Iliksha timia saa kui na mbili kasoro, ndio muda niliotoka nje na kutazama kwa kina Radhia, pale kibaradhani palikuwa peupe kabisa, akukuwa na mtu, nikaona hii ndio nafasi ya kuondoka zangu, nikatoa pale nyumbani na kutembea haraka kukatiza nyumbani kwa kina Radhia, nikiamini kuwa Radhia asinge niona, lakini aikuwa hivyo, maana nilipo iacha nyumba ya kina Radhia, na kupotelea mta wapili, nikiwa nime jichanganya na watu wengi sana, maana mid ndio mtaa huu unaanza kuchangamka, na wafanya biashara walionekana wakizidi kupanga bidhaa zao na wengine wakimiminika, lakini mala nika sikia, “mbona ume chelewa sana” japo kulikuwa na watu wengi sana pale mtaani, lakini rafudhi ya sauti hii, niliitambua mala moja, nika geuka na kumtazama, alikuwa mo Radhia, katika mavazi yake yale yale, ya gauni refu na pana, na ushungi kichwani mwake, “nilikuwa nakusubiri pale nyumbani kwenu, nilipoona utoki, nikaogopa kuulizia, nikaondoka zangu” nilimdanganya Radhia ambae alitabasamu kidogo, akionyesha kufurahia kitendo cha mimi kumsubiri kwao, “wewe shauli zako, wakikuona wakina kaka au baba, sijuwi uta waambia ulikuwa unanitakia nini?” alisema Radhia, akionyesha kuwa nyumbani kwao siyo sehemu ya mchezo, na ata jana mama yake alisisitiza kuwa tuwai kabla baba yake Radhia ahajarudi, “sasa ulipokuja maghetoni, wangekuona ingekuwaje?” nilimwuliza Radhia huku tunatembea tarati bukwenda njia panda, siyo mbali sana, ni jirani na gereji ya baba D, “hoooooo! ni hatari sana, siunaona mwenzio navyopita mrango wa uani kuja kwenu” alisema Radhia, basi hapo tukaongea mengi huku tuna furahi na kucheka kwa pamoja,


Saa mbili usiku nilikuwa nimesha rudi, nime kaa kwenye sofa la watu wawili liliilo kaa vyema jii yakapeti, nila chips na nyama, maana ndio kilikuwa chakula changu, nikiwa hapo niliwaza mengi sana, huku nikikumbuka matukio ya siku za nyuma, kule kisongo, kuanzia nakutana na wakina Rose na dada yake Jack, pia da Eliza alie niletea matatizo, mpaka wakina mwalimu Irene, na mama Jimmy, na wengine kama dada Hawetu, doctor na jimama Salma, ambae michezo yake ilini fanya dudu itutumke, nikaitazama na kuiona ilivyo simama, alafu nika mkumbuka Radhia, jinsi alivyo kuwa amejilaza kitandani muda ule, nikajikuta najisemea mwenyewe, “huyu mtoto anataka kimtokee kilicho mtokea Stella”


Siku ya pili ilikuwa tofauti kidogo, baada ya kupiga kazi kutwa nzima, mpa saa kumi na mbili jioni, nika rudi home, nikiwa na elfu ishilini yangu, na bila kuchelewa nika ingia bafuni na kuoga haraka ili niwai kutafuta chakula, kweli niliweza kuoga haraka na kujiandaa, kisha nika toka, mida ya saa moja na nusu hivi, lakini ile na katiza kwa kina Radhia, pale kibarazani nika waona mama Radhia na na wake wenzie, pamoja na Radhia, wakiwa wame jaa pamoja, wanaongea na kucheka, “shikamoni” nilisalimia, na wale wamama watatu wakagundua uwepo wangu, na kunitazama, “hooo Mrahaba mwanangu, za toka jizi?” aliitikia mama Radhia, “safi tu mama” niliongea wakati huo nikiwa nimesimama mbele yao, “naona unaenda kutembea kidogo” aliuliza mmoja wawale wakina mama wadogo, wakati nilimwna Radhia kama ana tatalika sana pale alipo kaa, “ndio naenda kutafuta chakula kidogo” nilijibu kwa sauti yangu ya upole, kama kawaida yangu, “haya tusi kucheleweshe mwanangu” alisema mama Radhia, huku yule mama mdogo mmoja, akimtazama Radhia, “au ume mpitia Radhia akusindikize” alisema yule mama mdogo, hapo nikamwona Radhia akijichekesha na kumtazama mama yake, ambae alitabasamu pia, “hapana nilikuwa na wasalimia tu” nilijibu haraka, ili wasionekama nilienda kumfwata Radhia, nadio ulikuwa ukweli sikuenda pale kumfwata Radhia, “lakini wacha nimsindikize tu” akadakia Radhia mwenyewe, “haya nenda, lakini uwai kurudi siuna mjua baba yako?” alisema mama Radhia, na Radhia akainuka na kuvaa sendo zake, kisha hao tukaondoka, kituo chakwanza kilikuwa ni, kwenye pweza, na cha pili kilikuwa ni kwenye chips, baada ya kununua tulirudi nyumbani huku muda wote tukiongea mengi sana, na kumbuka baadhi ya mambo ambayo, Radhia aliniambia, ni sifa toka kwa rafikizake, kuwa wana nisifa kuwa ni handsome, pia mpole, na walipanga sikumija waje kunitembelea, ujumbe ule sikuupenda, sababu nilijuwa lazima kuna vitu vitatokea,


Siku yapili mambo yalikuwa mazuri sana kwa upande wakazi, maana licha ya kupata kazi nyingi pale gereji, na kuingiza fedha nyingi za ufundi, pia baba D aliuza spare nyingi sana, nakumbuka kuwa sikuile tulifanya kazi mpa saa kumi na mbili, maana ilifikia kipindi, magari mengine yaliletwa toka gereji za jirani, “kunadogo moja hivi yupo pale kwa baba D, mpelekeeni ili land cruzer, hapa atuwezi, ukweli nilianza kupata jina kubwa sana, pale kijiweni, siku ilea ta dau lilizidi, niliondoka na shilingi 40 elfu, nilipitia moja kwa moja kwenye chakula sikuhiyo nilibadil, na kula wali, mpaka mida ya saa mbili usiku ndio nika rudi nyumbani, sikuwaona wakina radhia,


Siku iliyo fwata ilikuwa ni jumamosi, siku ambayo hipo kichwani mwangu kwa mambo yaliyotokea, asubuhi ya siku hiyo, nilenda kijiweni kama kwaida, nakumbuka kazi za kumwaga oil, na kubadiri filta za magari, ilikuwa nyingi, magari yalikuwa mengi sana, ambayo mpaka saa saba nilikuwa nimesha maliza, na kurudi nyumbani, nikiwa nimesha kula kabisa chakula cha mchana, huku baba D akiniambia kuwa kesho nipumzike kwaajili ya kufanya usafi, na sikuile nilipata elfu 20, nilipita nyumbani kwa kina Radhia na kumwona Radhia na mama zake wakicheza karata, nika wasalimia na kupita zangu,


Nilipo fika ghetoni kwangu ambapmo kwasasa nilikuwa najisikia raha kukaa mle ndani, maana mlikuwa mna pendeza sana, niliingia bafuni kuoga kisha nikasema nitoke nika chukue sabuni ya unga kwaajili ya kulowea nguo zanguduka la jirani, nilipopita nyumbani kwa kina Radhia nika waona tena wakiendelea kucheza karata, nika pita zangu bila kuwasemesha, sikuchukuwa muda mrefu, nikawa nimesha chukuwa sabbuni ya unga kwaajili ya kulowekea nguo zangu nilizopanga kufua kesho, lakini wakati na rudi sikumwona tena Radhia, sikujari nikaendelea na safari yangu, mpaka ndani, nilipofika mlangoni kwangu, nikashangaa mabadiliko, ya kutoka kwenye musiki, nilioacha unaendelea, sna kukuta filamu ya kihindi, nika ingiza mkono kutoa funguo, lakini sikuiona, hapo nikakumbuka kuwa sikufunga mlango kwa funguo, nikaufungua na kuusukuma,


Naam hapo ndipo nilipochoka, maana nilipotazama kitandani, macho yangu yaka kutana na macho ya Radhia, alie kuwa amegeuza uso wake na kunitazama, akiwa ameachia tabasamu la maana lililo mfanya azidi kuwa mzuri, alikuwa amelala kitandani kama jana, tofauti ni mavazi, leo alivuatena lile gauni, na kuonekana alivalia kitishet wenyewe wanaita kitop cheupe, kilicho mkaa vyema kwa kumbana, kikiishia kati kati ya tumbo, na kuachia sehemu ya tumbo na mgongo, ikiwa wazi, pia huku chini ndio balaha kubwa, maana leo alivalia kitaiti flani kifupi na chepesi mpaka magotini, na nywele zake zikijimwaga upande, na nyigine kufika mpaka kitandani kwa urefu wake, niliingia na kuweka ile sabuni juu ya meza, “John mambo” alisalimia Radhia na mimi nikajibu huku nikijizuwia matamanio, maana mtoto huyu alikuwa na vihips flani vya kumwagika, na makalio ya wastani laini, ambayo sasa yalionekana kwa wazi kabisa baada ya kuwa amelala kifudi fudi, “poa vipi umewaagaje mama zako?” nime waambia naenda wakina Faraja” Fraja ni mmoja wa wanafunzi wenzie, wale tuliokuwa nao mnadani siku ile,


Niliwaza haraka, namna ya kukwepa visha wishi vya binti huyu, na ukichukulia nisha pitisha siku kadhaa pasipo kupata kitumbua, jambo ambalo sikuwa nimezowea, nikapata wazo la kuloweka nguo, “vipi unataka kufua?” aliuliza Radhia aipoona na chukuwa nguo za kazini, na kuziweka kwenye ndoo, “hapana naziloweka tu!” nimjibu nika mwona ana inuka kitandani, na kuichukuwa sabuni mezani hapo niliona tumbo lake dogo jeupe, lililopambwa na kijitovu, akaja na kuibeba ndoo akaingia nayo ndani, hapo nikaona sawa, nikamwachia kazi Radhia, na mimi nikapanda kitandani, nakuendelea kutazama flamu aliyiweka Radhia, nikiwa na uakika kuwa akija atakaa kwenye kochi, sababu licha ya kitanda hiki kuwa ni cha tano kwa sita, lakini nili lala kati kati ya kitanda, ili akija asipate nafasi ya kujilaza, akae kwenye kochi, ilikuwa saa tisa kasoro,


Radhia alipo toka bafuni akajifuta mikono kwenye tauro na kupanda kitandani tofauti na nilivyo tarajia, maana alijilaza kifudi fudi, nakufanya tuwe kama tume lala mzunggu wa nne, karibu yangu kabisa, kiasi cha kugusana kabisa, kama ungekuwepo mdau, nazani unge sema huyu mtoto ni demu wangu, macho yangu uwa yana tatizo la kupenda kutazama vitu vizuri, maana licha ya kujitaidi nisi tazame msambwa na maungo mengine ya Radhia, lakini kuna wakati nilijikuta nimesha tazama, tatozo nay ye akuwa mtulifualiiinuwa miguu na kuichezesha kidogo, akisababisha makalio yake na viji hips vyake vicheze kidogo, nakunipa shida kuna wakati aliitanua kidogo na kunipa nafasi ya kuona mtuno wa kitumbua chake, ndani ya tight yake, ukweli dudu yangu ilianza kuleta shida, sema nashukuru Radhia aliendelea kuniongelesha na kuniondoa kwenye mazo ya mwonekano wa mtuno ule, wa binti huyu Radhia, niliokuwa natazamana nao uso kwa uso,


Tatizo lilizidi muda flani hivi, ambapo katika maongezi na vicheko, nikashangaa kumwna Radhia akijiinua na kujilaza chali, sasa basi hiyo kulala kwenyewe, akaegemezea kichwa chake tumboni kwangu, sikutaka kumwuliza, nikamwacha aendelee kufanya hivyo, lakini baada ya dakika kadhaa tukiwa tuna endelea kutazama filamu na maongezi madogo madogo, nika jiikuta nachezea nywele nzuri za huyu mrembo, pasipo mimi kujuwa nasababisha jambo, “demu wako ana faidi hen” nilistuka kwa kauri hii ya Radhia, maana nilihisi amesha iona dudu yangu, “mh! kwanini unasema hivyo?” niliuliza kwa mshangao, hapo Radhia akageuza uso wake na kunitazama, alikuwa ameachia tabasamu laini sana, “yani mpole mtulivu, ona unavyo nichezea nywele, mpaka matamani ninge kuwa mpenzi wko” kalisema kaRadhia na kunifanya nicheke, na yeye akacheka kidogo, ukweli tulizoweana sana, nilimwona Radhia kama rafiki wakaribu wakike,


Wakati tunaendelea na maongezi na vicheko, nikastuka Radhia akikilaza kiganja chake cha mkono wa kulia juu ya dudu yangu, umeficha nini huku?” aliuliza Radhia, huku ana ipapasa dudu yangu akitaka kutambua nikitu gani nilicho ficha, ukweli sikuwa na jibu, nika taka niudake mkono wake, lakini nikamwona, akistuka na kutoa mkono kwenye dudu yangu, kisha haraka sana akainuka na kutazama kwenye dudu yangu ambayo iilikuwa imetulia ndani ya pensi la kaki, nikama akuamini alicho kiona akainua mkono na kuupeleka tena kwenye dudu yangu, akaigusa tena kwa kuibinya binya, alafu akanitazama usoni, akiwa ametoa macho kwa mshangao






Mimi nikatabasamu, huku macho yangu nikiyaelekza usoni mwake, nikamwona na yeye anatabasamu, lakini tabasamu lake likitawaliwa na ahibu flani hivi, kisha nikamwona ana naitazama tena dudu yangu, kwa sekunde kadhaa, kisha nika mwona akijilaza tena, safari hii akiegemea kifuni kwangu, ambapo alitulia kidogo kisha aka nitazama usoni, “au nakuumiza kifua?” aliuliza Radhia huku akijaribu kutabasamu na kunitazama usoni, aliweza kutabasamu, lakini swala la kunitazama usoni lilikuwa gumu, kutokana na ahibu iliyo mtawala, nikamwona ana geuza uso wake na kujiziba kwa mikono yake, “hapana uwez kuniumiza, labda wewe unaweza kuumia shingo” nilimwambia Radhia, kwa sauti tulivu, “mh! mimi siwezi kuumia...” hapo nilicheka kidogo, tena kicheko cha kuvivu, kilicho mstua Radhia nakumfanya ahisi jambo, “hilooo! kwani we unajuwa siwezi kuumia nini?” aliuliza Radhia huku anacheka cheka, na kunipiga kikofi cha utani kwenye paja langu, “haahahaha! kwani mimi nimesemaje?” niiisema huku nikicheka kidogo, hapo tukaingia kwenye utani, ambao mwisho wa siku uliiamia pabaya, ni baada ya Radhia kusema maneno ambayo ata mimi sikuyatarajia, “ata kama unaniongelea kimafumbo ata hivyo ainiumizi” japo sikujuwa hiyo nini, lakini nilihisi anamaanish nini, “kwani mimi nimesemaje Radhia?, naona kama una nionea bule” nilisema huku nikimtazama Radhia, ambae bado alikuwa ameegemea kifuani kwangu ambapo niliweza kuona maziwa yake makubwa kihasi yaliyo tuna vyema kifuani kwake, ambapo yalipendezeshwa na chuchu zilizo chongoka, na kuonekana kuinua kile kijitiishet chake cha kubana kilichoacha tumbo lake wazi, “najuwa tu unasema nitaumia nini” alisema Radhia hapo ikapita dakika tukiwa kimya, huku na mimi nikiwaza kuwa endapo utani huu utaendelea, naweza kuingia pabaya kwa kujaribu ngono na binti huyu, ambae nikama na yeye alikuwa anawaza jambo flani, sababu baada ya muda flani aka niuliza bila kunitazama, “John nikikuomba kitu utanikubalia?” ilikuwa ni sauti iliyo jawa na ahibu, “kitu gani, kama ninacho nita kupa” nilimjibu Radhia, ambae alijaribu kunitazama usoni, lakini akashindwa “unayo,” alisema Radhia kwa sauti iliyo jaa ahibu, “ok! niombe sasa” niliwambia kwa kujiamini, nikizani kuwa huyu binti anataka kuomba fedha, “niambie kwanza kama utakubari” alisema Radhia, ambae sasa alikuwa ameziba usowake kwa mikon yake, “we una wasi wasi gani, sema unachotaka nitakupa” kama ningejuwa nisingesema kwa kujiamini kiasi hiki, “haya kama kweli uta nikubaria, basi naomba ufumbe macho, alafu niachie nione kitu flani hivi” alisema Radhia hapo nika stuka kidogo, maana nilhisi ni kitugani ambacho Radhia anataka kukiona kwangu, “ok! sawa,” nilisema huku na fumba macho, hapo Radhia aka jiinua toka kifuani kwangu, kisha aka aanza kufungua vishikizo vya kaptula yangu, “lakini Radhia unafanya jambo la hatari” nilimwambia Radhia huku nikifungua macho, na kumtazama binti huyu, ambae nilimwona akiw busy kabisa ana fungua vishikizo vya kaptula yangu, “hapana bwana, siyo hatari nataka kuona tu, maana inaonekana......” alisema binti huyu bila kumalizia, alichotaka kusema, nilimwona akimaliza kufungua vishikizo, na kuingiza mkono kwenye bukta yangu, kisha akaikamata dudu, na kuibuka nayo nje ya bukta, hapo nika mwona akiitazama kwa umakini, kisha akanitazama usoni kwa mshangao kidogo, macho yetu yaka gongana, akatazama chini kwa kiahibu, “kumbe umefumbua macho” alisema Radhia kwa sauti nyororo, kuliko ilivyo kuwa mwanzo, “kwani kuna tatizo” anilisema kwa sauti tulivu, nikimtazama Radhia ambae alikuwa kimya, nikaamua nimchokoze, “umshaona kuwa utaumia hen” hapo Radhia akacheka kidogo, lakini huku akitazama pembeni, “mh! sijuwi” alijibu Radhia, ukweli sijuwi mzimu gani ulinipanda, maana nilijikuta nazidi kujiingiza kwenye mtego, “ebu na wewe, nionyeshe yakwako” nilimwambia huku nikiupeleka mkono wangu kichwani kwake na kuzichezea nywele zake ndafu, lazia akacheka cheka kidogo, “naona aibu” alisema Radhia kwa sauti ndogo nyembamba, “mbona yakwangu umeona, bila kuona ahibu” nilisema huku na amisha mkono wangu toka kichwani na kuupeleka kifuani kwa Radhia, nikitegemea kupata upinzani wa kuzuiliwa, lakinin mpaka nakamata chuchu ya Razia, ambayo alama yake ilionyesha wazi juu ya nguo ya mwanamke huyu, akuwa amenuzuwia, zaidi niliona akiutazama mkono wangu, uliokuwa unachezea chuchu yake, ambayo niliichezea kwa sekunde kazaa, nikaanza kuona badiliko flani usoni kwa Radhia, ambae alianza kulegeza macho yake, na mbaya zaidi dudu yangu ikaanza kusimama, kwanguvu, nikamwona Radhia na aishika dudu yangu nakuanza kuichezea, lakini kiganja cha mkono wake akikuenea kwenye dudu yangu,




Ukweli mwanzo huo, ulitupeleka mbali sana, maana baada ya dakika chache za kuchezea chuchu za binti huyu, nikaamisha mkono na kuupeleka kwenye kile kinguo alicho kivaa, na kiklaza kiganja changu kwenye mtuno wa kitumbua chake, nika fanya kama na kikanda flani hivi, mpaka nilipo ipata sehemu ya kunde, na kuanza kuisugua, “ngoja kwanza nivuae nguo, itaachaafuka” alisema Radhia na kujiinua kidogo, kisha akaanza kuvua nguo zake, alipo maliza aka jaribu kuni tazama, “nikaaje?” aliuliza Radhia kwa sauti iliyo jaa ahibu, huku anaficha sura yake, “kaa kama ulivyo kaa mwanzo” kweli aka kaa mwanzo lakini saa alitanua kidogo miguu yake, ukweli nikwamba, baada ya Radhia kuvua nguo niliona jinsi hips zake na makalio yake laini, yakimwagika zadi, na kunitia hamu ya kumwingizia dudu binti huyu, huku kifuani ndio usisema, mazi wa haya ambay azaidi ya kile kitiishet, akuwa amevaa sidilia, lakini yalikuwa vile vile yame simama vyema, zaidi nikama yalikuwa yameongezeka ukubwa, na kuzidi kujaa kifuani kwake, nika peleka mkono mmoja kifuani na kuchezea chuchu, huku mkono mwingine, nikiupeleka kwenye kitumbua chake kidogo, che viarama vya nywele, na kuanza kuchezea kikunde cha Radhia, ambae alishindwa kuchezea dudu yangu, na kuanza kuchezesha kiuno chake taratibu akionekana kufurahia kitendo kile, cha kumchezea kikunde, “John, ngoja nikae vizuri” alisema Radhia, kwa sauti iliyo legea, huku ana jiinua na kujilaza pale juu ya kitanda, na kutanua miguu, akisababisha nikione kwa uwazi kabisa kitumbua chake, kisha binti huyu, aka uziba uso wake, nika tazama kile kitumbua nikajuwa kisinge weza kuimili kazi yangu, labda ingwe weza kupokea kichwa tu,




Nikaona sikuwa na sababu ya kumchelewesha huyu binti, wacha nimsaidie aondoke zake, nikausogeza mdomo wangu kwenye kitumbua chake, huku na kitanua kwa mikon na kuanza kumnyonya kikunde chake, ambacho sasa kilianza kuonekana kwa wazi kabisa, “huuuu! kumbe tamu” alisema Radhua huku ana nishika kichwa kwa mikonomiwili, inamaana aliondoa mkono usoni, niliendelea kunyonya kikunde cha Radhia kwa ufundi zaidi, huku wakati mwingine nikipeleka mkono kwenye chuchu na kuzipekecha pekecha, na kuzidi kumfanya Radhia azidi kukata kiuni, “huuu! tamu ... tamu... asante John, sijawai kunyonywa huko” alisema Razia kwa sauti legevu, ambayo kama ilikuwa inatokea puani, ikionyesha kuzidiwa na utamu,




Mchezo akuwa mgumu sana, kumfikisha safari yake Radhia bila kumwingizia dudu, maana ile kumchunya kikunde na wakati mwingine nilitumia, kidole kupekecha kikunde hiki, Radhia alitumia kama dakika saba hivi kumwaga mzigo, japo dudu yangu ilikuwa imesimama vilivyo lakini, nilimwacha Radhia kitandani akipumzika, nikainuka kitandani na kuvua kptula yangu, kisha nikaingia bafuni na kunawa mikono yangu, kisha nika rudi kitandani, nakujilaza kitandani huku dudu yangu ikiwa imesimama, nika mtazama Radhia alie jilaza pembeni yangu, nika upeleka mkono wangu kifuani kwa Radhia na kuishika chuchu yake, nika mwona akistuka kidogo na kufumbua macho, aka nitazama kisha aka itazama dudu yangu, hapo nikamwona kama anajiuliza kitu, alafu akanitazama usoni, huku anaikama dudu yangu, akaichezea kidogo, na kuifanya dudu izidi kusimama, “John, ngoja kwa nza nikaangalie nyumbani, wasije kuwa wameenda kuniulizia kwa kina Faraja” alisema Radhia, huku anaendelea kuchezea dudu yangu, “ok! poa usichelewe nataka baadae niende nikatafute chakula” nilimjibu, huku nikijuwa kuwa, Radhia awezi kurudi, lazima ataondoka moja kwamoja, hapo nika mwona Radhia akiinuka na kuvaa lile gauni lake refu na pana, pasipo kuvaa nguo yoyote ndani, ambazo aliziacha pale kitandani kwangu, akachukuwa na mtandio wake akajitanda kichwani, “nakuja sasa hivi” alisema Radhia huku akifungua mlango na kuondoka zake, ilikuwa saa kumi kasoro, muda ambao Radhia aliondoka pale ghetto,




Niitulia kwa muda wa lisaa lizima, huku nikiwa na uakika kuwa muda wowote Radhia atarudi, maana nguo zake zilikuwa mle ndani mwangu, muda wote niliwaza namna ya kumaliza haja zangu nikiwa na Radhia, bila kumwingilia, ata mwisho nilipata wazo la kumfundisha kile alicho nifanyia Salma, ukweli nilisubiri sana bila kumwona Radhia, na dudu yangu ilisha tulia, na kujilaza juu ya tumbo langu, baada ya kusubiri kwa lisaa lngine lapilli, nikaona isiwe kesi, lbda huyu Radhia amekuta mambo siyo mazuri, hivyo nikaona sina budi kuendelea kuchek movie, nikaweka movie moja ya kizungu, na kuendelea kutazama,




Nilistuka muda umetimia saa kumi na mbili jioni, pasipo kumwona Radhia, nikajuwa lazima kutakuwa na tatizo nyumbani kwao, nikapata wazo la kutoka nje nikatazame hali ipoje, nikaingia bafuni na kuoga kisha nika vaa suruali ya jinsi na na tishet, chini rabber, nika chukuwa kihasi cha laki moja, ili kama kuna lolote iweze kuni saidia, maana nilitabiri kuwa kutakuwa na tatizo nyumbani kwa kina Radhia, maana siyo lahisi kuacha nguo zake za ndani na asirudi tena kuzifwata, nakama kuna msala, hii laki moj inge nisaidia, japo sikuchukuwa fedha zote ndani, nilifung mlango wa funguo na kutoka nje ile, sikuweza kuangalia vizuri, kibarazani kwa kina Radhia, labda ninge mwona alivyo na kama wapo kawaia au siyo kawaida, maana niliona kwambali uwepo wa wawatu pale kibarazani,




Nikaona siyo vibaya nikibadiri njia na kuelekea upande wa ndani kabisa wa mtaa hule, maana sikuwai kutembelea upande huo, licha kuona watu wengi sana wanaelekea huko, sikutaka kukatiza mbele ya nyumba ya kina Radhia, nikiofia kujipelek mwenyewe, lakini aikuwa hivyo, maana ile nimepiga hatua kama kumi hivi, nika sikia, “we! kijana we nani John” ilikuwa sauti iliyo nistua sana, maana niliitambua kuwa ni sauti ya mama mdogo wake Radhia, akiniita atoka mbali, “njoo mala moja” iliongea ile sauti baada ya mimi kusimama na kugeuka kuwatazama, daah! hapo nika patwa na wasi wasi kidogo, maana niliwaona mama Radhia




.


Na mama wadogo, na Radhia mwenyewe, na wakina Faraja, yani wale Rafiki zake Radhia, pia kijana mmoja mdogo wakiume, ambae kimwonekano nikama alifanana kidogo na Radhia, nazani ni mdogo wake kwa mama mdogo, kijana huyu kama unge mwona ungesema nimelingana nae umri, maana alishabiiana na mimi kutokana kuwa na mwili mdogo, wote walikuwa wame kaa kibarazani, nikama akukuwa na dalili yoyote, ya kuwa na jambo baya lime tokea, kwa mwonekano nikama walikuwa wanacheza karata, japo kwa sasa walikuwa wana nitazama,


Nikaondokewa na ofu kidogo, nika geuka na kuelekea nyumba ni kwa kina Radhia, “shikamoni” nilisaimia kwa mpigo, huku nikijitaidi kuficha ukweli usoni mwangu, maana nilikuwa najiuliza nikwanini Radhia akurudi kama alivyosema, “marahaba” waliitikia wote, huku nikijaribu kupitisha macho kwa wengine, ambao walikuwa wananitazama, kasoro Radhia peke yake, ambae alijifanya yupo busy ana panga katarata, mama Radhia akaniuliza “vipi mwanangu ndio unaenda matembezi hen?” ukweli napenda sana wanavyoongea wazanzibar, “ndio mama, man anime kaa sana ndani, nimeona nitoke kidogo nikatembee” nika jibu, huku moyoni wangu nikijiuliza sababu ya Radhia kunitoroka, na pale akuonyesha dalili ata ya kunitazama usoni, japo kuwa na mimi sikuweza kumtazama sana Radhia, “he! sasa mbona leo umeamua kwenda kule?” aliuliza mama Radhia kwa mshangao, “sijawai kwend upande huu, nataka nikakuone kupoje” nilisema hivyo, huku nikijuwa fika, kuwa nadanganya, maana nilitaka nitafute njia ya kutokea barabarani, “nikweli maana unaweza kuulizwa ukashindwa kuelekeza jinsi kulivyo” alisema mmoja wa mama wadogo zake Radhia, na mimi nika cheka cheka kidogo, muda wote wae Rafikizake Radhia walikuwa wana nitazama sana, na nilicho gundua walikuwa wana tazama sana sehemu ya mbele ya suluali yangu, “basi tusi kucheleweshe, tulitaka tukusalimie tu, maana kujuliana hali nivizuri” alisema mama Radhia, “haya jamani baadae” niliaga na kuondoka zangu,


Nilipo piga atuwa kama ishilini hivi, nikipiga hesabu ya kutazama nilikotoka, lakini sikutaka wajuwe kama na watazama wao, mala nika pishana na gari, hapo nika geuka nyuma kwa kuzuga kama na litazama gari lile, na kuweza kuwa tazama wakina Radhia, nikafanikiwa kumwona Radhia akinitazama, mach yetu yakagongana, nikama alitabasamu hivi, alafu aka kwepesha macho yake, nikashindwa kumwelewa, nikaamu kutembea mbele, huku nikijilaumi sana kwa kukubari kucheza na yule binti alafu ameniacha na gundi zangu, ukichukulia nilikuwa na week sija


Ukweli baada ya mita kama mia mbele, huku nikiendelea kutafuta njia ya kuibukia barabara kuu, mala nikaona bar moja kubwa, pembeni ya barabara ile ya vumbi, bar yenye uwanja mkubwa uliopambwa na watu wengi walio kuwa wame kaa kwa pea, yani mwana mke na mwanaume, wengine watatu mpaka nne, huku wengine madume matupu au wakina mama watupu waliokuwa katika vikao vya unywaji, wakizunguka meza zao, zilizo taka chupa za vinywaji, kilicho nivutia zaidi ni wahudumu wa bar ile, ukiachilia nguo zao fupi na za kubana, pia wengi wao walikuwa na maumbo mapana, ambayo kiukweli ndio ambayo yana nitoa mate kila kukicha, nika simama kwa sekunde kadhaa, nikiangalia madhari ya ile bar, nikaona kuwa kuna jiko kubwa lenye wahudumu kadhaa, wanao angaika kuchukuwa oda za wateja wao, na kuzi sambaza, nika pata wazo nitembee kidogo, mpaka hapo mbele, kisha nirudi kuja kula, nika zidi kutembea kusonga mbele, nilizunguka kwa mwendo wa nusu saa, huku nikitazama mazingira ya mtaa ule, wenye watu wengi sana, japokuwa mwengi wao walikuwa wanaenda barabara kuu, nilishuudia wakina dada wa aina ile ninao wapenda, na ukichukulia sikuile nilikuwa nilisha tamanishwa na Radhia, hapo nikajikuta damu inachemka, nikaamua nigeuke nirudi pale bar,


Sasa basi wakati na rudi, nilipokaribia kwenye ile bar, nikamwona yule kijana mdogo, alie kuwepo pale kwakina Radhia, ambae nilihisi ni mdugu wa Radhia, akiwa na moja kati ya Rafiki zake Radhia, wale wanaafunzi wenzie, wakija na kucheka kwa pamoja, kwakuwa sikuwazowea, nika zuga kama sija waona, nikatembea na kukamata uelekeo wa bar, “John, nilisikia sauti ya kike ikiniita” nikajuwa wamesha niona, nikasimama na kugeuka, nikawatazama, nika mwona yule kijana mdogo, na yule mwanamke, wakija kwa mwendo wa haraka, “mambo vipi John, umeamua kuja hapa?” aliuliza yule kijana, ambae rafudhi ya sauti yake ilikuwa ya kizanzibar, akionyesha uchangamfu, “nimetembea sana nikaona bola nije hapa” nilijibu kwa uchangamfu pia, “ok! mimi namsindikiza Jenny, anaenda kwao” alijibu yule kijana ambae baadae alijitambulisha kwa jina la Ismahil, “basi poa mimi nipo hapa” tuliagana kisha wao wakaanza kuondoka, na mimi nikageuka ba kutazama huku na huku, ilikuona kama kunameza iliyo kuwa tupu, kabla sija iona mala nika sikia, “John, samahani kidogo” nikaegeuka, kumbe alikuwa Ismahil, au wenyewe walikuwa wana mwita suma, tena akiwa peke yake, ambae aliongea kwa sauti ya chini kama ya kinong’ona, nilipotazama kwa mbali nima mwona Jenny akiwa amesimama kama hatua kumi pembeni yetu, “vipi kuna inshu?” nilimwuliza Suma, kwa sauti ya chini pia, nika mwona Suma akigeuza kichwa na kumtazama Jenny, ambae alikuwa ana tutazama, “samahani John, kama una buku nisaidie, nashida nayo” alisema Suma, na ukweli sikuwa na buku, ila ela ndogo, niliyokuwanayo ni elfu tano, “usijaari hilo tu, nitatizo dogo” niliongea huku na mpatia Suma, “dah! sasa chenji nikulete wapi?” aliuliza Suma, “aina atizo, we bakinayo tu! itakusaidia” hapo nilimwona Suma kishangaa sana, “haaa! kwli bro?, dah! asante sana mkubwa” alisema Suma huku ana nipa tano, kisha akaondoka zake, na mimi nika tafuta meza tupu na kukaa,


Muda wote nikiwa pale bar, nakula na kunywa, niliendelea kuwaza kwanini Radhia alinikimbia chumbani, ila ukweli wa mambo nilipata ukweli ambao nisipo ukubari ningekuwa mjinga, alikimbia dudu yangu, lakini kwanini asinge ondoka na nguo zake, akaziacha kule ndani mwangu, kuna kipindi nilipanga nijaribu kumnasa mwanamke ata mmoja pale bar, lakini mwisho wa siku alikuja tena Suma, yani ndugu yake Radhia, ambae alijuwa uwepo wangu pale bar, na yeye ndie alie vuruga mipango yangu ya kuopoa mwanamke, na kuzama kwenye story na Suma, ambae niliamini ushemeji wetu umekwisha, baada ya dada yake kukimbia music wangu, Suma alinieleza kuw Jeni alimsimulia mengi kuhusu mimi, na kwamba siku ile walinisaidia kufnunua vitu vingi sana, na pia tuliweka movie kwenye flash, “kesho nitakuja kucheck movie,


Tulionge mpaka mpaka mida ya saa tatu usiku, kisha tuka ondoka zetu, nikipitia dukani kuchukuwa sukari na majani, maziwa ya unga cocoa, na mazaga machache ambayo niliamini naweza kuyatengeza nakuyatumia, niliagana na Suma kisha akaelekea kwao, na mimi nikaingia ndani, nikazikuta nguo alizo ziacha Radhia bado zipo kitandani, nika zichukuwa na kuzirushi juu ya kochi, kisha nika jitupa kitandani na kupitiwa na usingizi.


Siku yapili niliamka saa mbili asubuhi, nikakumbuka nilikuwa na kazi ya kufua, hivyo baada ya kupiga mswaki na kuoga, nikatoka na kuelekea dukani, nikirudusha mlango bila kuufunga, lakini sikuwa nime washa tv na kuweka mziki toka nimeamka, nikipanga kwenda kununu vitafunwa kisha nije ninywe chai, alafu nifue nguo nilizo loweka jana, sasa wakati napita nyumbani kwa kina Radhia, pengine ninge mwona Suma ambae alipanga kuja kuchek movie, sikumwona mtu yoyote pale nje, nikakapita zangu,


Sikuchelewa kupata vitafunwa, nilinunua bagia za kunde, na kugeuka kurudi nyumbani, lakini wakati na pita nyumbani kwa kina Radhia, nika mwona Suma, akitoka ndani kwao, “niaje kaka zatoka jana” alisalimia isumaili, ambae kiumri ni mdogo kwangu, japo alikuwa na mwili mkubwa kidogo, na kufanya tulingane, utazani tuna umri mmoja, “poa niaje Suma” niliitikia wakati huo, tulikuwa tuna tembea kuelekea kwenye nyumba niiyopanga, huku tukiongea hili na lile, “sister aliniambia kuwa umepita pale home, alikuona dirishani, nikasema ngja nikusubiri urudi,” alisema Ismahili, “sema ukijui chumba, lakini kipo wazi” nilimwambia Suma, na wakati huo tulikuwa ndio tuna ingia ndani,


Lakini ile kufika kwenye mlango wa chumba changu, nikashangaa kuskia sauti ya music, ikisikika toka chumbani kwangu, bahati mbaya sikujiuliza kama niliacha musiki au sikuacha, nika usukuma lango na kuingia ndani, “kwani uwa ufungagi mlango?” aliuliza Suma huku tuna ingia ndani, “nasaaugi mala moja moja asa niiwa maeneo ya karibu” nilisema huku na weka vitu mezani, na wakati huo Suma akaenda kukaa kwenye kochi, huku akitazama huku na huku kushangaa chumba changu, nandipo nilipo kumbuka kuwa, pale kwenye kochi kulikuwa na nguo za Radhia, dah! nika taka kuwa haraka nizitoe pasipo Suma ambae alikuwa bado anashngaa, chumba changa, kuziona zilelie nguo za dada yake, lakini nikashangaa sikuziona juu yakochi, na hapo nika vuta picha kama niliwasha music au sikuwasha wakati naondoka, nika kumbuka kuwa toka nimeondoka sikuwa nime washa music, hapo kuna kitu nikahisi, lazima Radhia atakuwa ameingia lakini nika amini kuwa atakuwa amesha toka, mana atukumkuta, “John, kumbe ........” kauri ya Suma ya mstuko na mshangao, ambae alikuwa ametazama kitandani, ilinistua kidogo, nika tazama kule kitandani, maana nilihisi Suma kuna kitu amekiona, naam nikweli, Suma alikuwa ameona kitu, ni gauni pana na refu, likiwa na mtandio, pale juu ya kitanda, sikuwa na sababu ya kujiuliza kuwa zile ni nguo za Radhia, “hoo! kuna marafiki wana kujaga” nilijibu jibu ambalo alikuwa lina atahili kwa kipindikile, maana sikuulizwa kitu, nikimtazama kiujanja Suma, ambae nilimwona wazi akizitazama kwa umakini zile nguo, ambazo ni kweli kabisa za Radhia, ambae kwa dalili ile, Radhia alikuwa mle ndani, mana nikawaida yake, kuvua guo zake, akiingia mele sasa sikujuwa kama yupo uvunguni au bafuni, nilipo mtazama Suma, nilimwona akiwa katika hali flani ya kujiuliza hivi, hali ambayo aikuchukuwa muda mrefu, alafu akainuka ghafla, toka juu ya kochi wakati huo nilikuwa naendelea na uchemshaji wa chai, “sasa bro, ngoja nikanywe chai nitakuja baadae” alisema Suma, na kutoka mle chumbani, huku nikitamani kumwita, ili nimpe uongo wowote ambao uta mfanyaamini kuwa zile nguo siyo za Radhia, 






“Vipi ameondoka” nilistuliwa na sauti toka bafuni, nilipo tazama nika mwona Radhia akichungulia na kuonekana uso tu, huku kiwiliwili, kikiwa ndani ya bafu, ukweli nilistuka, mpaka nikajihisi kama mapigo yamoyo yanasimama, “wewe ebu fanya haraka uende kwenu, unajuwa kaka yako ataenda kusema” nilimwambia Radhia nikiwa nime jawa na ofu kubwa, lakini cha hajabu Radhia akatabasamu, “awezi mbona mimi namtunzia siri zake na Jenny?” alisema Radhia huku akirudi, bafuni kisha nikasikia chiki chiki! kumbe alikuwa anafua, nikaingia bafuni, naikamwona amesha anika zile nguo zake za jana, na sasa alikuwa anafua nguo zangu, na nyingine ambazo sikuwa nimeziloweka, “mwenzio alinisimulia jana ulivyo mpa elfu tano” alisema Radhia, huku akiendelea kufua, nazani alitambua kuwa nimeingia mle bafuni, nilimwona akiwa ame inama, huku amevalia kagauni chepesi sana, japo akikumbana sana, ila kilikuwa kifupi sana kiliishia kati kati ya mapaja, na kwa vile alivyo inama akikuweza kuficha sehemu kubwa ya mapaja, ata sehemu ya chui yake ilionekana,


“Lakini hiyo siyo sababu ya yeye, kukubari wewe uwepo humu ndani” nili ongea kwa kubebeleza, lakini Radhia akuonyesha kunielewa, nsio kwanza akaendelea kufuanguo, niaamua kuachana nae, nika endelea na uchemshaji wa chai, lakini niifunga mlngo na funguo, ilipokuwa tayari nika mwambia Radhia kuwa aje anywe chai, “ngoja kwanza imalizie nguo, ziimebakia mbili tu!” alisema Radhia, hapo nikiwa bado na wasi wasi, nikaamua kutoka nje ilinisome hali ya hewa, kama aija chafuka, maana nilihisi kuwa Ismail ata kuwa ameenda kusema kwao, lakini nilipotoka nje, nakuchungulia pale kwao, nikaona apakuwa na dalili ya kuwa na mtu yoyote, nika simama kwa dakika kadhaa, ilikuona kama nitaona lolote, lakini licha ya kukaa dakikakumi, sikuona lolote, nikaamua nitoke ili nijipitishe pale, labda naweza kupata lolote, lakini licha ya kijipitisha, sikuweza kuona wala kusikia lolote, nika juwa labda watakuwa ndani wana kunywa chai, sikufika mbali nikaamua kugeuka, na kurudi zangu nyumbani,


Lakini basi ile nageuka tu! nikaona mlango wa nyumba ya kina Radhia, unafunguliwa, na ukifwatiwa na kuonekana kwa vijana watatu, ambao waili kati yao ni vijana wakubwa kidogo, miaka kuanzia, 25 na 28, na huyu wa tatu, alikuwa ni Ismaili, “hoya John vipi, kumbe ulitoka tena?” aliuliza Ismahil, alie ongozana na wale jamaa, wawili, ambao kimwonekano nikama ndugu zake, maana kuna mfanano flani kati yao, “kuna jaa yangu amesema anakuja, ndio nilikuja kumcheki, lakini simwoni”nilijibu huku nikiusoma uso wa huyu dogo, kama amestukia mchezo mzima, “poa minaenda mbezi kuna mzigo inabidi nikauchukue” alisema Suma, ambae alinitambulisha kwa wale jamaa, kuwa ni kaka zake, ambao ndio wakubwa kwa Radhia, Ukweli mpaka hapo niajuwa kuwa dogo, akustukia mchezo, ata niliporudi nyumbani nilikuwa na Amani kubwa sana moyoni, maana niuwa na uakika kuwa Suma akujuwa kuwa, zile nguo ni zadada yake,




ITAENDELEA


0 comments:

Post a Comment

Blog