Search This Blog

Monday 19 December 2022

KITUMBUA CHA NANI - 5

  




Chombezo : Kitumbua Cha Nani 


Sehemu Ya Tano (5)






Kutokana na kupoteza fahamu, na Stellah akuwa mkaidi, maana muda mfupi, baadae alikutana na insp, ambae kwanza alipo mwona ana shuka toka kwenye gari, macho yaka mtoka, “ebu chek mzigo huo” alisema insp akimweleza askari mmoja aliekuwa jirani yake, bila kujuwa kuwa huyo ndie mwanamke ambae Kipanta alimkimbia, “kweli hicho ni kitu, yani kime kamilika kila idara” alijibu yule askari, huku wote wakimtazama Stellah, ambae alikuwa anaelekea kwenye kibanda cha walinzi wa suma JKT, “yani kuanzia sura mpaka mwili” alisema Insp ambae kwa mtazamo wa haraka, unge juwa kuwa ni kweli huyu jamaa amekolea kwa matamanio, juu ya mwana mama Stellah, “unajuwa nini afande, yani hapa hospital kuna muzigo ya maana , unaweza kusahau kama umekuja kutibiwa” walizidi kuongea askari awa wawili, huku wakimtazama yule mwana dada mwenye umbo la ahajbu, na kuvutia, akiongea na wale askari walinzi wa kampuni ya suma JKT.




Lakini kadili maongezi yalivyo kuwa yana endelea, ndipo walipoona mlinzi mmoja anawaonyeshea kidole, nikama alikuwa anamwambia yule mwanamke kuwa, aende pale walipo kuwepo wao, “oya nimekumbuka” alisema insp, huku akipunguza sauti, na kukwepesha macho, kumtazama yule mwana mke, ambae sasa alikuwa anakuja upande wao, “vipi tena afande unamfahamu ?” aliuliza yule askari, huku na yeye akikwepesha macho, na kumtazama yule mwanamke kwa macho ya kuibia, “atakuwa ndie mke wa huyu jamaa, anaitwa mwalimu Stellah wowo” alisema insp, kwa sauti ya chini kabisa, kisha wakatulia na kumtazama mama huyu, ambae sasa alikuwa amesha wakaribia.




“habari, za leo kaka yangu” alisalimia Stellah, akimtazama insp, “salama kabisa dada yangu, nikusaidie” alisema insp kama vile amjuwi wala kumhisi mama yule, “labda nikusaidie wewe kaka yangu, maana ndie ulie niita” alijibu Stellah lakini kwa namna flani ya utani, insp akajifanya kushangaa kwa kuwatazama wenzake, “ok! kaka yangu kwakifupi mimi ndie mzazi mwenzie wa Kipanta, ambae ulinipigia simu muda mfupi ulio pita” alisema Stellah, na hapo insp na wenzake ndio wakajifanya kumwelewa mama huyu, “hooo! kumbe shemeji, afadhari umefika, maana wewe pekee ndie mwenye uwezo wakumkumsaidia mume wako” alisema insp kwa sauti iliyo jaa urafiki, “sahamani kaka mimi siyo mke wa Kipanta, nazani mme weza kujionea wenyewe, aina ya maisha yake, alisha kimbia yumbani kwangu siku nyingi, na mpaka aya yanamkuta, akuwa nyumbani kwangu” alisema Stellah, kwa sauti ambayo aikuwa na na dalili ya utani ata kidogo, “lakini Shemeji, kuna wakati wa kukwaluzana, na kuna wakati wa kusameheana ili maisha yaendeelee, ukuchukulia umesha sema yeye ni mzazi mwenzio” alisema insp kwa sauti ya kushawishi, “kaka naomba nikushauri kitu kimoja, usije ukayafanya ya kuyafanya ukitegemea kusamehewa kisa ume zaa na mwanamke flani, ebu ona toka darasa la kwanza, mimi nime kuwa nikiwalea wanangu, mpaka sasa wapo secondary, nime kaa na mwanamke zaidi ya miaka ishilini, aja nisaidia kwa lolote nime jenga mwenyewe nime somesha mwenyewe, pengine kuna wakati mimi ndie nililazimika kumnunulia nguo, ambazo zilimpendezesha, na kumfanya azidi kutongoza wanamwake” alisema Stellah, lakini bado insp alionyesha kuwa na nia ya kumshawishi Stellah, amsamehe bwana Kipanta, “lakini Shemeji, mmekoseana mala ngapi na mkasameheana, ishindikane leo, ebu rudisha moyo nyuma shemeji, mwenzio yupo katika wakati mgumu” alisema Insp, huku yeye na wenzie, wakitumia macho ya wizi, kuutazama mwili wa mwana dada huyu, ambae kila alipoongea maziwa yake yali tikisika kifuani pake, na kuleta picha moja nzuri sana, yakupendeza machoni pao, “kaka labda nikusimulie habari za huyu bwana, ambae na uhakika, ndie angekuwa shemeji yako, usinge ruhusu dada yako arudiane nae” alisema Stellah na kuanza kumsimulia insp kila kitu, toka maisha ya o yalipo anza huko Tabora, baada ya kumpatia ujauzito, na jinsi aliyo safiri kwenda Sudan kwenye ulinzi wa amani, na kurudi na fedha nyingi, ambazo alizimalizia kwa kumjengea hawara nyumba, huku akimfumania kila leo, pia alivyo toweka nyumbani baada ya kupata fedha zake za kustaafia, akidai anakwenda kutafuta biashara ya kufanya, na jinsi alivyopata habari kuwa yupo mbezi, na yeye kumwata kisha kumfukuza kama mbwa, na ata alipo kamatwa na polisi na yeye kwenda kumtoa, kisha akaondoka na mwanamke mwingine, huku yeye akionekana siyo lolote, “sasa leo amekutwa na ayo yaliyo mkuta mimi ndio niwe wa kuokota mizoga, hapana kwailo aende ata kwenye vyombo ya sheria, kwangu akanyagi, akaishi aliko jenga” alisema Stellah ambae akuonyesha dalili ya kurudisha moyo wake nyuma.




Naam kwa simulizi hiyo, hakika ata insp na askari wake walishusha pumzi ndefu, zilizo ashilia kuwa ile ni ngoma nzito, na awakuwa na ushwishi mwingine kwa mwana mama huyu, ambae walimluhusu, aondoke zake, wakiwa awana la kufanya.*******




Baada ya Joyce kujitambulisha kuwa ni rafiki wa Rose, pale alipoulizwa na Adellah dada yake Rose, basi Adellah na mume wake wakaondoka na Joyce na kwenda kukaa nae sehemu ili awaeleze jinsi mkasa mzima ulivyo kuwa, waliongozana mpaka kwenye bar moja ya jirani, na kukaa wakiagiza soda, kisha Joyce akanza kusimulia, toka alivyo ufahamu urafiki wa Rose na Kipanta ambae ni mume wa mtu, akieleza kila kitu, kuanzia kujengewa nyumba na kufunguliwa saloon na maduka, pia kununuliwa shamba, Joyce alisimulia, na kueleza jinsi, Rose alivyo kuwa anauchukulia uhusiano ule kama kumkomoa, Kipanta, kiasi cha yeye na Matrida kumshangaa, pia alieleza jinsi alivyo mweleza kuwa “yeye akuwa na wasi wasi juu ya Matrida kutembea na Kipanta, ila alitaka kwanza akamilishe mpango wake, ndipo aachane nae” alieleza Joyce, na akihisi kuwa huyu dada na huyu mzungu, (mfilipino) wanaweza kuwa msaada kwa Rose, ambae yeye kama yeye aliamini kuwa Rose akufanya kiu kama hicho, “ok! mimi ni dada yake Rose, naomba twende kwa yule Matrida tukaongee nae” alisema Adellah, na kumshangaza kidogo Joyce, ambae alichukuwa jukumu la kuwapeleka kwa Matarida.******




Baada ya kutoka hospital, na kupitia sokoni kununua baadhi ya vitu vya kupika, Stellah akaona aitokuwa vyema kama asipo pigia mwalimu mwenzie ambae mala kwa mala uwa anawasiliana nae na kumpa habari za mume wake au kushauriana juu ya maisha yake ya kila siku, huyu ni mwalimu Celine, ukweli alifanikiwa kumpata na kumpa ukweli wa tukio, na pia alimweleza kuwa uhamuzi alio uchukuwa ni kuachana na bwana Kipanta, “na kweli wangu, yani utazani kwenu uli uwa sasa uoanaogopa kurudi, watashindwa kukupokea” alisema mwalimu Celine, akikonyesha kuwa amelizishwa na maamuzi ya mwalimu mwenzie, ambae mala kwa mala alikuwa anamsimulia matatizo yake, ndio hivyo wangu nimesha mpelekea kila kitu chake, huko huko hospital, eti akajifanya kuzimia” hapo wakacheka sana, “sasa mimi nipo kwa mwalimu suzie tuna kuja kukupa hongera yako, siutakuwa nyumbani?” alisema mwalimu Celine, akioyesha kuwa mwenye furaha kubwa, “niende wapi tena, wangu, nitakuwa nyumbani naandaa chakula maana jioni natarajia ugeni” alisema Stellah, akimalizia kwa kicheko flani cha kujishtukia, “mh! huo ugeni jamani, au tayari umeshaziba pengo?” ilo swali Stellah aklijibu, zaidi ya wote kucheka, kabla awajaagana, na kukakata simu.




Nikweli Stellah alikuwa amesha ziba pengo, na chakula alicho anza kupika ni kwaajili ya kijana Pross, kijana ambae amemfanya aione radha ya mapenzi, yani radha harisi ya dudu.******




Naam baada ya kugonga kisiki kwa Stellah, insp aliacha bwana Kipanta anaendelea kupata matibabu, yeye akaelekea Luguruni bar, ambako alikutana na Manager, alie mkaribisha kwenye ofisi yake kisha akaitwa mwana dada Sinder, ambae baada yakuingia ofisini tu! na kumwona insp alishtuka vibaya sana, “mh! wamekuja tena, au wamesha nishtukia?” alijiuliza Sinder kimoyo moyo, lakini alijitaidi kujikaza ili wasi wasi wake usionekane machoni pa insp, “habari yako, dada dada” alisalimia insp, huku ana mkazia macho Sinder ambae hapa kazini kwake walikuwa wana mtambua kama Janeth, “salama tu kaka yangu” alijibu Sinder akijikaza asionyeshe wasi wasi wake, juu ya ujio wa insp, pale kazini kwao, “unaitwa nani?” aliuliza insp ambae alikuwa ameshikilia kalamu na kile kinote book chake kikiwa mezani, tayari kuandika mahojiano yake na Sinder, “naitwa Sin…. naitwa Janeth Martin” alijibu Sinder ambae ilibakia kidogo ataje jina harisi, na insp aliona ubabaikaji wa mschana huyu, akaachakuandika jina na kumtazama usoni, kwa macho makali, “binti, siitaji ubabaishaji, naitaji majina yako harisi, na siyo majina uliyo jibatiza hapa mjini” alisema insp kwa sauti ya ukari, uku amemtolea macho, hapoSinder akajuwa kuwa tayari mambo yamekuwa makubwa, “sawa naitwa Sinder Naiso” alijibu Sinder kwa sauti ya uoga, hapo insp akaandika kwenye note book, alafu akamtazama tena Sinder, “wewe ndie mhudumu pekee ulie wahudumia, wale wateja waliowekewa dawa kwenye kinywaji, mpaka wanaingia chumbani, ambako asubuhi walikutwa wame poteza fahamu, nikweli au siyo kweli?” aliuliza insp kwa sauti kavu, uku akimkazia macho Sinder alie onekana wazi kuingiwa na uoga wa hali ya juu, “ndyo ni mimi, ila sijuwi kama waliendelea kuagiza vinywaji vingine mimi nilipoondoka” alijibu Sinder, kwa sauti iliyo jaa wasi wasi, “sikia dada yangu, ubabaishaji unaweza kukuingiza kwenye matatizo, hivyo naomba unieleze jinsi ilivyo kuwa siku ya tukio” alisema insp na kutulia kusubiri simulizi.




Naam hapo ndipo Sinder alipokuwa anapasubiri, maana alitumia uwezo wake wote kuitengeneza simulizi yake, ili kujiodoa kwenye msala huu, ambapo alieleza kuwa yeye aliwapokea saa tano asubuhi na kuanza kuwahudumia mpaka saa mbili usiku, maana walikuwa wanakunywa kwa billy, na walipo mlipa yeye akaondoka zake, huku akipishana na mschana falani akiingia kwenye chumba kile akizania kuwa wanafahamiana nae, “unakumbuka yupoje huyo na alivaaje huyo mschana?” aliuliza insp, huku akimtazama Sinder usoni, hapo sinder haraka akavuta kumbukumbu za picha alio ziona mtandaoni zinazo mwonyesha mwana mke mrembo, mfanyakazi wa benk, alie wawekea dawa za kulevya wakina Kipanta, “ndiyo nakumbuka yupoje, ni mzuri mzuri hivi, alivaa shai jeupe, na suruali nyeusi, alashingoni, alikuwa amevaa kama kitambaa hivi cha rangi rangi” ilibakia kidogo insp acheke, maana maelezo ya Sinder, ni kwamba Rose alikuwa amevaa sale za benk, na siku hiyo ilikuwa ni siku ya chrissmas, “una uhakika Sinder?” aliuliza insp akiwa amezuwia kicheko chake, “ndiyo” alijibu Sinder kwa sauti ya uoga, hapo insp alitulia kidogo kama vile anatafakari jambo kisha aka mtazama Sinder, “ok! mtuhumiwa amesha kamatwa, tuna kupongeza sana kwa kuwa wewe ndie wakwanza kutoa taharifa juu ya uonekanaji wa mwanamke huyu” alisema insp kabla ajaaga na kuondoka zake, hapo Sinder alishushapumzi ndefu na kuachia tabasamu, “yani liliogopa, nilijuwa tayari wamesha nishukia” aliwaza Sinder huku anaelekea sehemu yake ya kazi.*******




Saa tisa ndio muda ambao Adellah alikutana na mdogo wake Rose, kwanza walipokeana kwa kilio, na ata maongezi yao yali ambatana na kilio, cha chini chini, licha ya kutawaliwa na lawama nyingi sana, toka kwa Adellah, kwenda kwa Rose, na Rose kujitaidi kujieleza, lakini mwisho wa siku Adellah akatulia, na kumsikiliza mdogo wake, ambae alimsimulia kila kitu, na mpango wake wa kulipiza kisasi ulio feli mwishoni, “usijari mdogo wangu, nitapambana kwa hali na mali mpaka ushinde hii kesi” alisema Adellah ambae alifikia kwenye hotel moja kubwa sana pamoja na familia yake, na alipomaliza kuongea na na mdogo wake ambae kiukweli ali yake ilimuumiza sana, sababu alishaanza kudhoofika kutokana na kuka kule mahabusu, alianza kufanya mipango ya kumtoa mdogo wake kwa dhamana, mpango ambao mpaka saa kumi za jioni ulikuwa auja fanikiwa, maana aliambiwa kuwa swala la dhamana lina usiana na mahakama, sababu tayari kesi yake ilitinga mahakamani, hapo ukabakia mpango wakuongea mschan Matrida.*****




Mida hiyo ndiyo mida ambayo Kipanta alikuwa amesha luhusiwa kuondoka pale hospital, ni baada ya kurejewa na fahamu zake, ukweli akuwa na uwezo ata wakubeba mabegi yake, kutokana na kuwa mengi alafu mengine makubwa, hivyo alichoamua nikuomba kwa wale walinzi wa suma JKT, wamuifadhie mabegi yake matano, huku yeye akichagua moja dogo, ambalo aliweka nguo na vitu muhimu, kama vile miswaki, hapo ndipo unapo patapicha kuwa Stellah alimpelekea kila kitu ambacho Kipanta alisahau kwake, na bahati ilikuwa upande wa Kipanta, ambae alikuta fungo moja kati ya mbili za gari, aliyo iacha nyumbani kwa mke wake, huku moja ikiwa nyumbani kwa Rose mwanamke alie pania kumfilisi, kila alicho mpatia.




Kipanta angeenda wapi unazania, moja kwa moja Kipanta alikaiza kwenye eneo la stendi ya daladala ya hapa muhimbili ya mloga nzila, na kuelekea mtaa wa kaza moyo, akitumia njia za mkato, ambapo alitembea kilomita kama nne, huku njiani akipishana na watu, ambao ata walipo msalimia, aliona kama wana msanifu, kutokana na kujishuku kwa yale aliyo yafanya, hivyo aliendelea kutembea huku akijishiku, mpaka kutokea mbele ya nyumba ambayo hapo mwanzo alikuwa anajuwa kuwa ni nyumba yake, lakini baada ya kumkuta yaliyo mkuta, ndio ametambua kuwa ile nyumba alijenga mke wake, pasipo yeye kuchangia ata shilingi mia mbovu, Kipanta aalipofika alikuta gari la mke wake ambalo nalo licha ya yeye kulitumia kwa miaka kazaa kabla ajanunua la kwake, pia lilikuwa ni la mke wake na akuchangia ata shilingi, zaidi ya kuliaribu, na kumwachia likiwa hoi hae, lakini Gari ilo lilimaanisha kuwa mke wake huyo yupo ndani, na kingine kilicho mfanya aamini kuwa mke wake alikuwa ndani ni mlango wa nyumba kuwa wazi, hapo kwa hesabu za haraka haraka, Kipanta akaona bola azame ndani, haraka, ili akamalizane na mke wake, huko huko, akutaka chochote kitokee huku amajirani wakishuhudia.




Haraka Kipanta aliingia ndani ambapo alikaribishwa na harufu nzuri ya vyakula, ambayo ilikuwa inatokea jikoni, na ata alipotazama mle ndani asa kwenye meza ya chakula, Kipanta aliweza kuona hot port kadhaa za vyakula zikiwa zime andaliwa, kwahiyo ukiachia chakula kinacho andaliwa jikoni, pia kingine kilikuwa mezani, hiyo ilionyesha kuwa kama siyo ugeni flani ulikuwa unatarajiwa, basi sikukuu ilikuwa inaendelea, ukiachilia mambo ya chakula pia sebule ilikuwa imetulia safi kabisa, yani ime wekwa katika mkao wa usafi wa maana, ikionyesha wazi pale nyumba kuna mambo mawili, kwanza akukuwa na watoto, ambao sasa wamesha funga shule, pia kuna mgeni lazima alikuwa anatarajiwa kuja pale nyumbani, “samahani umeingiaje bila hodi?” alishtuliwa Kipanta naswali toka kwa mke mke wake, hapo Kipanta aligeuka na kumtazama mke wake, alie shikilia hot port ya chakula mkononi, “acha utani basin a wewe nipige hodi ata nyumbani kwangu?” aliongea Kipanta huku akijichekesha, lakini ndio kwanza mke wake alikunja sura, akionyesha ataki mazowea, “we!we!we! ishia hapo, nyumbani kwako wapi?” aliuliza Stellah, kwa sauti ya juu ambayo ungesema ina mshangao ndani yake, huku anaweka hot port mezani, “lakini mke mke wang…” alitaka kubembeleza Kipanta, lakini akadakwa juu kwa juu, “hivi we mwanaume ume kwama wapi kukumbuka mke wako, mpaka unaniita mimi mke wako, ok! labda nikusikilize shida yako, pengine kuna kitu umekisahau humu ndani, ila nacho kijuwa mimi, kila kitu nime lu;etea kule hospital mpaka funguo ya gari lako” alisema Stellah, huku wote wakiwa wamsimama kwa kuachiana mita chache, kipanta akiwa na begi lake dogo, hapoKipanta akaona kuwa akizubaa, anaweza kuzalilika, hivyo akaaamua kujikaza kiume, “hivi, unajuwa mimi sikuelewi, we mwanamke, kwanza umenizalilisha pale hospital, alafu una jaribu kunifukuza nyumbani kwangu, unazani mimi mpumbavu kiasi hicho?, kwanza ngoja nikaweke begi chumbani” aliongea Kipanta akijaribu kuweka sauti ya kiume ili asijilegeze mbele ya mke wake, huku anataka kupiga hatua kuelekea chumbani, lakini aka dakwa mkono, “subiri kwanza, Kipanta, unaenda kwenye chumba cha nani?, kufanya nini?, kama kuzalilika ulisha jizalilisha mwenyewe kweye mitandao” alisema Stellah, kwasauti kavu ambayo aikuwa na chembe ya utani wala kubebembeleza, “ebu acha upuuzi, we mwanamke, huu siyo muda wa utani, unajuwa kama hali yangu siyo nzuri?” aliuliza Kipanta huku akijipapatua mkono toka kwenye mkoni wa Stellah, na kutaka kuelekea chumbani akadakwa tena, “kumbe unajuwa kuwa huu siyo muda wautani, basi nakuomba utoke nje, uende uliko jenga na kufungua maduka” alisema Stellah, namaneno ayo yakaonyesha wakati huo huo, Kipanta akaliachia begin a kumkwida stellah, ile anaandaa ngumu, ili amtandike Stellah usoni, kama alivyo zowea, mala akasikia, “jamani mnatukaribisha na ugomvi tena” ilisikika sauti ya ukari ya kike, toka mlangoni, na walipo tazamana walimwona mwalimu Celine akiingia mle ndani, akiongozana na mwalinu Suzie, wote wame kunja sura zao kwa hasira na mshangao hapo ndipo mwalimu Stellah alipo bahatika kuchomoka mikononi mwa Kipanta, na kusogea pembeni, “bahati yako mshanzi wewe, uwezi kunikosea adabu kiasi hicho” alisema Kipanta kwa sauti iliyo jaa ghazab, “nime kukosea adabu, au ume jikosea mwenyewe, mimi nime kuambia uende uliko jenga, kwani ndio kukukosea” alisema Stellah, kwa sauti ya kupayuka, hapo Kipanta akachomoka tena kumfwata Stellah, “ebulia kidogo baba nani, kwani anacho sema mwalimu Stellah, ni uongo, wewe si ume mkimbia na kwenda kukajengea kale kabinti nyumba sasa una kasirika nini?” alisema mwalimu Suzie, kwa sauti ya kupayuka pia, akionyesha kuchukizwa na kukasirishwa kama mwalimu Celine, “kwani huyu amefwata nini kwako, yani upuuzi wote huo alioufanya bado una mruhusu aingie kwako, hakika mimininge mng’oa pumb..” alisema Celine kwa hasira, “kusikia hivyo mwana jeshi mstaafu akasitisha zoezi la kumfwata Stellah, na kuwatazama wanawake awa walio ingia humu ndani, kwamacho ya hasira, “kwa hiyo, ndiyo kusema nini, kewani mmefwata nini hapa?” aliuliza Kipanta kwa sauti iliyo jaa hasira, “unatuuliza kamanani, kwani hapa ni kwako, muulize mwenye nyumba, wewe si uliona bora kuwajengea malaya” alisema mwalimu Suzie, ambae alionekana kuwa akuwa na subira ata kidogo, kutokana na ujinga alio ufanya Kipanta, maneno hayo yalimchukiza Kipanta, ambae alipiga hatua za haraka kuwa fwata wanawake awa wawili, ambao walipoona vile walikimbilia upande wajikoni, wakiongozana na Stellah, mwenyeji wao, Kipanta akiwa amejaa hasira, aliamua kuwafwata kula kule jikoni.




Lakini kabla ajaufikia mlango wa jikoni, akajikuta anasimama mlango ghafla………










Ni mala baada ya kusikia vurugu ya vitu vikigongana gongana huko jikoni, na ile kutazama vizuri, akawaona wanawanawake wale watatu, wakiibuka kwenye mlango wa jikoni, huku kila mmoja ameshika kitu ambacho kingeweza kutumika kama silaha, na kumjeluhi vibaya, kama siyo kumuuwa, maana wakati Stellah mwenyewe akiwa ameshika kibao cha nazi, huku Celine Suzie mwenye hasira kupita wenzie, alikuwa ameshika mwichi wakutwangia kwenye kinu, Celine yeye alikuwa ameshika kisu flani kikubwa , ungesema nusu panga, walikuwa wanamjia kwa kasi, wakionyesha kuwa awakuwa na msamaha kwake.




Hapo Kipanta akusubiri, filimbi wala ile bastora ya kuashiria mwanzo wa mbio, fupi za mita mia moja, au mia mia nne, aligeuka na kukimbia kwa speed ya mwizi, kuufwata mlango wa kutokea nje, pale sebuleni, huku bado wale wakina mama wakimwata kwa speed, ata pale nje Kipanta akusimama, alikimbia kwa umbali wa mita hamsini, ndipo alipogeuka na kutazama, “mshenzi wewe, si unajifanya kidume, njoo sasa, unakimbia nini?” yalisikika maneno ya kina Stellah, ambao walipoona ameenda mbali kidogo walisimama.




Kiapnta akabakia anathema juu juu, huku akiwatazama, wale wanawake, hofu ime mtanda, macho yame mtoka, akuamini kama kweli huyu ndie yule Stellah, mnyonge wake, sehemu yake ya dharula, mwanamke ambae, upole wake ulikuwa ni zaidi urofa, maana kuna wakati Kipanta alipo wasimulia rafiki zake, juu ya matukio aliyo kuwa anayafanya, juu ya mwanamke huyu, walimweleza kuwa ametumia dawa za jadi, kumpumbaza, mfano kuna siku walikuwa wanaongelea jinsi wanavyo maliza kesi zao na wake zao, “mimi bwana mke wangu, atakama nime mkosea vipi, nikimnunulia chupi, nyekundu au nyeupe, hapo ata mzigo atatoa, muda huo huo” alisema mmoja wao, “mh! mwanangu mimi lazima kwanza simu ipigwe kwa wazee, hapo ata kama sija semwa lolote, yeye roho yake inatulia kabisa” alisema mwingine, hapo Kipanta akacheka kidogo, kabla ya kuelezea yeye anavyo tafuta suluhu, katika kesi zake na mke wake, “nyie mnabembeleza sana, unajuwa wife juzi alinifumania, nika mkunjia sura, alafu nikamweleza twende home tuka yaongee, hapo bado nime kunja sura” anaeleza kipanta, huku wenzie wakimsikiliza kwa umakini, “na tulipofika home nika mlia bati, huku uso wambuzi, mida ya chakula cha jioni sasa, ile anakuja, kunikaribisha chakula, akapiga magoti mbele yangu, alafu akaanza kwakuniomba msamaha” alisema Kipanta, na wenzake wakashangaa, “yani anakuomba msamaha wewe na siyo wewe uombe msamaha?” aliuliza mmoja wao, “sasaje?, tena kwa unyenyekevu mkubwa” alisema Kipanta kwa majisifu, “sasa na wewe una mwambiaje hapo?” aliuliza mwenzie, huku wote wakionyesha mshangao, “nikamweleza kuwa nimeshakusamehe, lakini usirudie tena, huku bado nime kunja sura uso wambuzi kweli kweli” alisema Kipanta kwa majisifu ya kishujaa, wenzie wakastaajabu, “kaka siyo bule, kuna kitu memfanyia” alisema mmoja wao.




Lakini Leo, Kipanta anamwona yule yule Stellah, aliekuwa anamwomba msamaha, ata kwa kosa lake yeye mwenyewe, akisaidiana na wenzake kumtimua pale nyumbani, na watu walishaanza kujaa eneo lile, kama ujuwavyo, kelele za huyo huyo, zilisha anza kusikika, Kipanta akaofia kuonekana mbele ya watoto wake, hivyo akaamua kuondoka zake, na kabla ajaanza kuondoka, akamwona Stellah, anaingia ndani haraka na kutoka na begi lake dogo, alilotokanalo hospital, kisha akamrushia, “kawasalimie, wanao juwa mapenzi, na watoto usije kuwaona apa nyumbani, watakuja kukutembelea” alisema Stellah, wakati Kipanta anaokota begi lake, huku anashangiliwa na watu, mshangilio wa kuzomewa, Kipanta aka chukuwa begi lake na kutokomea mitaani, huku akiiona dunia ina mwelemea, lakini akuacha kujipa moyo, “we! ngoja tu! nikisha mfilisi Rose, ata jileta mwenyewe” aliwaza Kipanta huku anaendelea na safari yake.




Huku nyuma wakina Stellah, walirudi ndani na kuagiza wine kwaajili ya kujipongeza, na kumpongeza Stellah, kwa kujitoa kifungoni.*******




Naam Matrida tayari alisha pewa RB, toka kituo cha polisi, kwa upotevu wa vitamurisho vyake na simu, na akiwa na wenzake, walimpeleka kwenye ku renew line zake za simu, huku akikagua na kukuta kuna kiasi cha million mbili kwenye simu, kama alivyo tumiwa na na bwana Kipanta, ambae alimwacha hospital akiwa amekosa fedha ya kulipia matibabu.




Baada ya hapo saa kumi ndip mmuda ambao aliingia nyumbani kwake, akiwa na wenzake, wakifikia kuanza kupata wine kama kusherehekea mafanikio yajayo, ambapo walikuwa na uhakika wa kujivunia fedha toka kwa Rose, huku wenzie wakimsifia kwa kitendo chake cha kuto kumsikiliza Joyce, “na ukimsikiliza tu umekufa masikini ndugu yangu” aliongea mmoja wao, huku mwingine akiongeza, “tena Rose mwenyewe amekudhalilisha mtandaoni, nani alimwambia hawara ana mufamuniwa, yeye mwenyewe mwizi” alisema mwingine na wote wakacheka kwa pamoja, kabla awaajakatishwa kicheko kwa kusikia hodi kwenye mlango, wote wakatulia ili kusikia na kuhakikisha kama walicho sikia ni mlango ulikuwa una gongwa au wenge lao.




Nikweli wakasikia tena mlango ukigongwa huku sauti ya kike ikifwatia “hodi wenyewe” wote wakatazamana, kama vile wanaulizana ni nani alikuwa anagonga mlango, wote waliofia asije kuwa ni Joyce alie onyesha nia ya kumsaidia Rose na kuwakosesha fedha, nakabla awajapata jibu, wakasikia tena hodi, “hodi wenyewe” hapo walitambua kuwa hiyo sauti aikuwa ya Joyce, ndio mmoja wao, alipoinuka haraka na kuelekea mlangoni akafungua.




Naam ile kutazama nje akaona kuna watu kama watano hivi, na alie mtambua ni mmoja tu, yani Joyce, wengine walikuwa ni mdada mmoja alie onekana kuwa mwenye maisha mazuri, kwa uvaaji wake na ung’aavu wa ngozi ya mwili wake, pia aliweza kumwona mtu mmoja mwenye umri wa ujana unao elekea utu uzima, mwenye hasiri ya watu wa ufilipino, akiwa amewasika mikono watoto wawili, na kingine kilicho mfanya aone kuwa watu awa walio ongozana na Joyce ni mwenye maisha mazuri, gari lililo kuwepo nyuma yao, ni aina ya BMW new model, ya campuni flani ya kukodisha, japo yeye akulitambua ilo, “Joy ume fwata nini huku?” alijikuta ameuliza swali ambalo akutarajia, likiambatana na sauti ya mshangao, wa hasira na chuki, “kwani wewe ni kwako hapa, unaniuliza kama nani, awa ni wageni wa Mart ebu tupishe tuingie” alisema Joyce akionyesha kukasirika zaidi ya mwanamke huyu, wa hapa mlangoni, huku ana pita kwa nguvu pale mlangoni, na kumfanya huyu, mwana mke asigoo pembeni, kisha Adellah akafwatia na mume wake alibakia nje na watoto.




Matrida na wenzake mle ndani wakashikwa na mshangao na mshtuko kidogo, kwanza walizania pengine Joyce alileta kama siyo polisi, basi ni mwanasheria, hivyo wakamtazama kwa macho ya hasira na Chuki, “habari zenu jamani” alisalimia Adellah, baada yakuona awawengine wanatazama kama vile wapo vitani nzuri, sijuwi tuwasaidie nini?” aliuliza mpambe mwingine, na siyo Matrida mwenyewe, mpaka hapo Joyce akajuwa kuwa ushawishi mkubwa wa Matrida kumwangamiza Rose, unatoka kwa wanawake awa ambao anawafahamu vizuri kabisa, sababu wanafanya kazi wote pale benk, “Mart huyu ni dada yake Rose amekuja kuongea na wewe kuhusu Rose, je unaweza kutoka kidogo tukaongee sehemu” alisema Joyce kwa sauti tulivu, huku yeye na Adellah, wakimkazia macho Matrida, wakamwona anawatazama wenzake, ambao walimminyia jicho kumweleza akatae, “hapana siwezi kutoka, bado najisikia vibaya, kutembea mitaani kwa mambo yaliyo tokea” alijibu Jocyce hapo Adellah akatazama mezani, ambapo palitapakaa vyupa vya pombe, kisha akamtazama tena Matrida, “ok! siyo mbaya tukiongea hapa hapa” alisema Adellah, kwa sauti ya upole na tulivu, hapo mmoja kati ya wale waschana wakadakia, “dada mimi naona we umwache Mart apumzike, kwanza alicho fanyiwa na mdogo wako siyo kizuri kabisa,kime mhathiri kisaikolojia, alafu isitoshe kesi ipo mahakamani, ameambiwa aluhusiwi kuiongelea pembeni” alisema yule mwanamke kwa sauti flani ya kusimanga, huku akitazama pembeni na kubetua midomo, hapo Adellah aka mtazama Joyce ambae pia alikuwa anamtazama Adellah, kwa macho ya mshangao, kabla Adellah aja mtazama yule mschana mwongeaji, na kumwambia “lakini akuna mahakama inazuwia kuongea jambo kama ili pembeni, isitoshe sisi atuja fika kuingilia mambo ya kimahakama, ila tunaitaji kufahamu mambo machache juu ya kilichotokea” alisema Adellah kwa sauti ya upole, lakini Matrida akujibu kitu, zaidi ya kutulia akitazama chini, “lakini nimesha waambia Mart ajisikii kuzungumzia swala hilo, mbona amuelewi?” alsema yule mschana kwa sauti ya juu, “mbona wewe una kimbele mbele, au ndio ulio wafanyia hivyo alafu una mshawishi amtaje Rose, sisi tuna taka kujuwa kama kweli Rose aliwafwata hapo Guest, na aliwawekeaje, wekeaje hiyo dawa” alisema Joyce kwa ukali, hapo nikama alihamsha masehetani ya wale waschana, maana nao walianza kuongea kwa pamoja, “we mpuuzi nini, nani afanye ujinga kama huo, tena kwa rafiki yake” alisema wakwanza, na wapili akadakia, “eti kisa mwaume” hapo wakaangua kicheko cha kisngingi, “usikose ata wewe ulikuwa nae wakati anaweka dawa” alisema mwingine, na yule wa kwanza akaongezea, “na ukizidi kujifanya kimbele mbele na wewe unatajwa” waschana awa waliongea kwa dakika nzima wakimshambulia Joyce, huku Adellah na Matrida, wakisikiliza bila kuongea kitu, “jamani yasiwe makubwa, tunaomba tuondoke zetu tuwaache” alisema Adellah, baada ya kuona kuwa wale waschana wanao kunywa pombe, huku anainuka na akifwatiwa na Joyce, ambae pia alisimama, tayari kwa kuondoka, “nendeni kwani tulmewaita hapa?” aliuliza mmoja wao kwa kwejeli, huku wakimtazama Adellah aliekuwa anafungua pochi yake ya mkononi, na kutoa card, “Matrida mdogo wangu, naimani kuna jambo ambalo lime fichika, chukuwa hii card ina namba zangu za simu, ukitulia nipigie” alisema Adellah, huku anampatia card Matrida, lakini mmoja wao ali kuwa karibu akawai kuchukuwa mkononi kwa Adellah, “dada nikuambie ukweli akuna cha kupigiwa la kubipiwa, tukutane mahakamani” alisema yule alie ipokonya card, hapo Adellah akaonekana wazi kujawa na hasira, akamtazama yule mwana mke alie pokonya ile card, kwa macho makali, kisha akaachia tabasamu la uchungu, alafu akamtazama Matrida, ambae muda wote alikuwa kimya, “mdogo wangu, kama kweli mdogo wangu alikuwekea dawa sheria isimame, lakini kasiyo, nakuambia hivi, vyovyote utakavyo shauriwa na rafiki zako, lakini kumbuka, namfahamu Kipanta vizuri kuliko mnavyo mfahamu, na kitu ambacho nataka kukueleza, ajawaikuwa rafiki watu na asimwachie matatizo, lakini nakuhakikishia, safari hii, awezi akafanikiwa uovu na uonevu wake, na kama kuna unachotegemea toka kwa Rose, kutokana na Kessi hii, andika maumivu, nitapambana mpaka mwisho, ukweli ujulikane, na ikibainika ni uongo, basi jiandae, maana sito kuwa na muda wakuongea na wewe, nitakuomba undelee kukaa kimya kama ulivyo kaa leo” alisema Adellah kisha akatoka nje ya nyumba ile akifwatiwa na Joyce, huku wakisindikizwa na kicheko cha kebehi, “maneno ya mfamaji” alisema mmoja wao huku wakifunga mlango, wakina Adellah awakujari wakaondoka zao, wakitumia gari aina ya BMW.




“Anaonekana anafedha yule dada alafu mume wake mzungu” alisema mmoja wao huku wote wakichungulia madirishani, nakuliona BMW likiondoka, “hizo fedha ndio tuna zitaka, siyo anakuja kuomba omba hapa” safari hii aliongea Matrida, huku akichukuwa glass ya pombe na kuinywa kwa fujo.*****




Naam bwana Kipanta baada ya kufukuzwa kwa aibu nyumbani kwa Stellah, alienda moja kwa moja nyumbani kwa Rose, na alipofika pale nje akasimama na kuitazama nyumba ile kwadakika kadhaa, kisha akajisemea, “jasho langu alipotei” alisema Kipanta huku anaelekea kwenye gari lake, na alipo lifikia akaanza kulikagua matairi, kabla ajausogelea mlango wa gari, “kama siyo nyumba kama ilivyo, basi lazima auze ili anipatia mkwanja wangu, siwezi kudhalilika” alisema Kipanta huku anatoa funguo ya gari na kufungua mlango wa gari ilo aina ya Toyota IST, ambalo anasiku kadhaa ajalitumia.




Naam ile kuchomeka funguo na kuweka on, dash board ikasoma, kitu cha kwanza macho yakatua kwenye gage ya mafuta, mshale ulikuwa ume lala kushoto, kwenye ‘E’ hapo aka hema kwa nguvu, “dah! kweli mala ya mwisho sikuweka mafuta” alijisemea Kipanta huku akiegemea stearing, ambapo alishtuliwa na mlio mkali wa honi, na kujiinua haraka, kisha akaegemea kiti.




Alitulia hivyo kwa dakika kadhaa, huku akiwaza ili na lile, ikiwa ni sehemu ya kula na sehemu ya kulala, alikumbuka kwa Matrida, lakini kitendo cha kutoka pale hospital akimwacha yeye anashangaa shangaa pasipo msaada wowote, kiliashilia kuwa Matrida asingeweza kumsaidia kwa lolote, inamana mapenzi yao aliishia usiku watukio, la kuwekewa dawa, mala Kipanta akakumbuka shambani kwa Rose, “yess kile kibanda cha yule shamba boy” alijisema Kipanta, lakini atafikaje huko shamba, maana akuwa na ata shiringi, “dah! kweli maisha ni mzunguko” aliwaza Kipnta kabla ajakumbuka jambo, “yes nime kumbuka” alisema Kipanta, na kuanza kukagua kwenye dash board ya gari lake, haraka haraka, mpaka alipo ikuta shilingi elfu saba, ya buku buku, kwenye kimkebe cha dash board akatabasamu, na kushuka haraka, toka kwenye gari, akafunga milango na kuondoka zake akiwa na shilingi elfu saba, “hii nita itumia kama nauli, chakula nitapata kule kule shamba” aliwaza Kipanta huku anaelekea barabara kuu kwenda kupanda magari ya kwenda Kisalawe, sehemu pekee ambayo anaweza kupata sehemu ya kulala, ambayo aitokuwa na mashriti yoyote, “kesho namtafuta dalali niuze lile gari, nipate kianzio” alisema Kipanta, huku akiendelea kutembea taratibu, kulekea barabarani, huku njaa akimchamanda kweli kweli.*****




Saa kumi na mbili na robo, tayari Stellah na wakina Celine wa walikuwa wamesha agana, na kutawanyika zao, wakimwacha Stellah anaendelea na maandalizi ya kupokea mgeni, ambae wao binafsi awakuweza kumjuwa zaidi ya kumkadilia kuwa atakuwa ni mbaba flani wa maana, sababu Stellah mwenyewe siyo wa pole pole, ni zinga la mama.




Wakati akimalizia maandalizi yake huku anaendelea na wine yake, ndipo alipokumbuka kuwa abado ajamweleza mpenzi wake Pross kuwa aanze safari, akachukuwa simu haraka na kumpigia Pross.****




Nikweli Pross mida hii, alikuwa amekaa kwenye gogo chini ya mwembe, amesha ulamba tayari kwa safari ya mjini, kwa mpenzi wake mwana mama Stellah, hapo kuna wakati alikuwa anamkumbuka sana Rose, boss wake, Pross alikuwa ameweka simu yake pemmbeni yake, yani juu ya gogo, anasubiri simu toka kwa Stellah, kama alivyo ahidia, kuwa anajulishwa muda wakuanza kutoka, na wakati nasubiri simu, mala akashangaa kuona kuna mtu anae mfahamu akiwa anakuja kwa miguu na begi mkononi, “mh! kwani boss anahamia huku, au ananiletea zawadi?” alijiuliza Pross, huku anamtazama bwana Kipanta, alie kuwa anakuja tartibu akionekana amehoka kweli kweli, “unashangaa nini wewe mjinga, ebu njoo haraka, unipokee” aliwaka Kipanta, kwa sauti iliyo jaa jazba, Pross akatoka mbio, na kwenda kumpokea, “shikamoo boss” alisalimia Pross ambae licha ya kushangazwa na ujio wa boss wake, tena wa miguu, pia alishaingiwa na uoga flni, sababu alisha mega tunda la mpenzi wa boss wake huyu, “marahaba, vipi kuna chakula chochote?” aliuliza Kipanta, huku wakitembea kuelekea kwenye kibanda cha mabati, ambacho tumezowea kuisoma kama nyumba ya Pross, “kuna ugari na kambale, niliobakiza mchana” alijibu Pross, na wakati huo walisha fika nje ya kibanda, “ok! weka ili begi ndani, leo nalala hapa hapa, alafu fanya mpango wa ugari” alisema Kipanta, huku ana kaa kwenye gogo, la chini ya mwembe, pembeni ya simu ya Pross, huku njaa ikimtafuna vibaya sana, “dah! huyu mzee anazingua, sasa anakuja kulala huku ili iweje” aliwaza Pross ambae baada ya kuweka begi la boss wake, kisha akachukuwa ugari na kambale, akatoka navyo nje, na kwenda kuviweka karibu na boss wake ambae nusu aanze kula bila bila kunawa, kutokana na njaa aliyo kuwa nayo, “boss ngoja nikuletee maji ya kunawa” alisema Pross huku anaanza kupiga hatua kuelekea ndani, lakini basi kabla ajapiga hatua ata mbili, akasikia simu yake inaita, na wakwanza kuiona alikuwa ni Kipanta, “kumbe una simu bwana, alisema Kipanta huku ana ichukuwa simu ya Pross, iliyo kuwa bado inaita, na kuitazama mpigaji, hapo hapo macho yaka mtoka kwa mshangao……








Ni mala baada ya kuona jina la mpigaji, “hahahahaha na wewe una demu wako” aliuliza Kipanta kwa mshangao, akitanguliza kicheko, cha dharau, “ndio boss ni zinga la demu, ukiliona ata wewe mwenyewe uta mtamani” alisema Pross ambae tayari alisha mfikia Kipanta na kuchukuwa simu yake, akaitazama ilikuona jina la mpigaji, ‘my love’ ndivyo lilivyo someka jina ilo, ambalo Stellah ndie alie andika wakati anasave namba yake kwenye simu ya kijana huyu, Pross akaipokea na kuiweka sikioni, “hallow niambie mama” aliongea Pross kwa sauti flani iliyo tulia kimahaba ya kiume, “ninalo basi mpenzi, zaidi ya kukuitaji” Kipanta aliweza kuisikia sauti hiyo kwambali ikiwa ina ongea kwa mahaba ya kike yenye kujuwa kubembeleza, na kumkumbusha mbali sana, maana aliifananisha na ubembelezaji wa mke wake, asa siku ambazo alikuwa anadai dudu, japo kipindikile alikuwa anaiona kama kelo, lakii kwa sasa alijikuta anaitamani, “kwahiyo nije au?” aliuliza Pross, huku Kipanta akifwatilia maongezi yale, “sijo jambo la kuuliza ilo baby, tena chukuwa pikipiki, nitalipa huku, pita barabara ya mkato” alisikika Stellah akisisitiza, ukweli sauti na ubembelezaji, huu ulizidi kumuumiza kipanta, ambae leo aliiona thamani ya mke wake, sijuwi ingekuwaje kama ange tambua kuwa mwanamke anae ongea kimahaba, na kijana huyu, ni mke wake, “poa nakuja sasa hivi” alisema Pross, kisha akakata simu na kuiweka mfukoni, alafu akaelekea ndani kuchukuwa maji, ya kunawa na yakunywa, kisha akamletea Kipanta ambae alikuta amezama kwenye mawazo, “karibu boss” alisema Pross huku anamkabidhi maji, ambayo bwana Kipanta akayapokea na kunawa haraka, kisha akaanza kula, “sasa bwana mdogo kuna namba nataka unipigie sehemu, si unasalio la kupiga” aliuliza Kipanta huku akiendelea kula.




Hapo Pross akaona kuwa akisema anasalio la kupiga, lazima atacheleweshwa, hivyo ni bola akisema kuwa akuwanalo, ili aweze kuwai safari yake, “boss kifurushi kime isha, lakini nita toka sasa hivi, kama vipi nikununulie vocha nikutumie kwenye simu yako” alishauri Pross, na hapo Kipanta akatulia kidogo na kutafakari, ukweli n kwamba akuwa na simu, na kumweleza Pross kilichotokea, ni aibu kwake, napengine akaacha ata kumweshimu, hivyo ilibidi azuge, “aina haraka sana, nitajiunga kesho” alisema Kipanta, ambae alikuwa anaendelea kula kiporo cha ugari na kambale, alichobakiza Pross, kijana ambae akuwai kumlipa wala kumchukulia kama binadamu mwenzie.




Naam baada ya hapo Pross akaaga naboss wake akamluhusu kuondoka, maana aliitaji kujiachia pale kwenye kibanda, yeye peke yake, ata Pross alipo ondoka na yeye kumaliza kula, akaingia kibandani ambako kabla ya kulala alizungusha macho huku na huku na kujikuta akizidi kuumia roho, maana akutegeea kulala kwenye kibanda kama kile, akiwa amekosa kabisa sehemu ya kulala, mle ndani alikuta chupa kadhaa za wine, ambazo zimesha tumika, “chupa zilimtonesha moyo wake, sababu wine hii ndiyo anayo ipenda sana mke wake, “inamana aka kajank, kama uwezo wa kununua ata wine, basi kesho nita kapiga mzinga ili nipate japo elfu kumi, kisha niende mbezi nika kutane na madalali, niuze gari, kabla sijaenda kuchukuwa RB” aliwaza Kipanta pasipo kujuwa kuwa Pross alikuwa ameenda kukesha na kitumbua cha mke wake, mwana mke ambae yeye mwenyewe alimwona siyo lolote siyo chochote.******




Naam siku ya pili ilianza kwa pilika pilika wakati Adellah, na mume wake wanamalizia kupata kifungua kinywa, iliwaende Kiluvya, kituo cha polisi, kwenda kumtazama Rose na kumtia moyo, bwana Kipanta alie hamka mapema, kutokana na usingizi kuisha mapema, ikisababishwa na mawazo, na kuamua kuanza safari kueleka Mbezi, ambako alipanga angeenda kutafuta dalali wakuliuza gari lake, apate fedha za kumsogeza sogeza, wakati anasubiri kumfirisi Rose, ambae kiukweli alijuwa fika akuwa anausika kwa lolo, juu ya kuwekewa dawa kwenye kinywaji, huku Pross nae alichelewa kuhamka kutokana na kukesha na kitumbua, na wine, maana mpaka saa mbili nanusu, bado Pross na Stellah, walikuwa kitandani, kama walivyo zaliwa, wamechoka kweli kweli, maana kazi waliyo ifanya usiku aikuwa ndogo, “baby, leo umenikata kiu yangu, yani hapa mpaka naisi kitumbua kina waka moto” alisema Stellah, kwa sauti ya kivivu, huku anapeleka mkono wake kwenye dudu ya Pross, na kukuta dudu ikiwa imesimama, akamtazama Pross usoni, “we mtoto, unakulaga nini kule shambani?” alisema Stellah, huku anainuka toka kitandani kama alivyo zaliwa na kumfanya Pross autazame mwili wa mama huyu, na kuufaidi vizuri, maana aukumchosha kuutazama, “ngoja nikaandae supu, iliupate nguvu ya kunitumikia vyema” alisema Stellah, huku akisogelea kwenye kabati la nguo, huku kila alipopiga hatua, makalio yake makubwa yalitikisika, na kuzidikuchochea moto kwenye dudu ya Pross.




Stella alichukuwa kanga moja na kujifunga, kisha akatoka mlechumbani, na kuelekea jikoni, kwenda kuandaa supu, kwaajili ya mpenzi wake, wakati huo mume wake mzazi mwenzie, bwana Kipanta alikuwa mitaa ya mbezi stend, alisha pata supu ya maharage, na sasa alikuwa anaelekea barabara ya chini ambako kuna sehemu wanaosha magari, hapo aijuwa lazima angepata dalali.*****




Naam baada ya kufika kituo cha polisi, leo wakina Adellah walifika kituo cha polisi, na kufanikiwa kuonana na insp ambae alikuwa anafanya uchunguzi wa kesi hii ya Rose, na walifahamu hivyo baada ya kuomba kuonana na Rose, “wewe ni nani wake” aliuliza insp, “mimi ni dada yake” alijitambulisha Adellah, “ok! imekuwa vizuri sana umekuja, mimi ndie ninae fanya uchunguzi juu ya kesi hii, maelezo ya mwanzo ya watu walio tendewa uovu, yana mkandamiza Rose, japo kuna aina flani ya ubabaisha, katika maelezo ayo, mfano huyu binti anaitwa Matrida, mwanzo alisema kuwa akumwona Rose, pale Gues, lakini nasikia jana, ametoa maelezo mengine hapa kituoni, anadai kuwa Rose alifika pale Guest, hivyo bado tuna kazi ngumu sana kuupata ukweli, na upande wa Rose mwenyewe anadai kuwa yeye akuwepo eneo la tukio, na mala ya mwisho kuonana nao, ilikuwa ni asubuhi kule mbezi, allipo wafumania” alisema insp na hapo akamshauri sana, Adellah aweke wanasheria wazuri ili kumtetea mdogo wake, na mwsho wakaruhusiwa kuongea na Rose.*****




Wakati akiwa anaendelea na mapishi yake Stella akamwona Pross anakuja kule jikoni, akiwa na simu yake mkononi, ambayo ilikuwa ina ita, alipotazama jina la mpigaji, ilikuwa ni namba ngeni, akaipokea, “hellow” aliita Stellah, na hapo akakutana na sauti ya mtoto wake wakike, “shikamoo mama” alisalimia binti yake, na hapo ghafla Stellah, hakiri ikamkaa sawa kuwa, leo ndiyo siku ambayo, watoto wake wanatakiwa kurudi nyumbani, ni baada ya kusherehekea chrismass, “hoo mwanangu umesusa, yani leo siku ya kurudi ndio mna nikumbuka, “ alisema Rose, huku Pross akisikiliza kwa pembeni, “lakini mama siunajuwa atuna simu, nime azima ili nikuambie kuwa sisi tuna karibia mbezi, uje utupokee na gari lako” alisema mtoto wa Stelllah, kwa sauti iliyo jaa uchangamfu, wala msiwe na wasi wasi, wanangu, tena mkifika tutapika zinga la pilau, alafu yule kijana washambani mnamkumbuka?” aliuliza Stellahm “ndiyo mama, si yule kijana alie tuangulia nazi, amefanyaje” aliuliza binti wa Stellah, kwa bashasha, leo anakuja kututembelea, nazani mtamkuta” alisema Stellah, akasikia sauti ya binti yake akimweleza kaka yake, “kaka yule Pross wakisalawe leo anakuja nyumbani” hapo akasikia wote wakifurahia, ni sababu siku ya kwanza kuonana nao, aliwafanyia fadhira kubwa sana, na aliwakaribu vizuri sana, “alafu mama hivi nasikia baba alikutwa amezimia huko guest, ume ona video zake mtandaoni?” aliuliza mtwa kike wa Stellah, alie zaa na Kipanta, “kwahiyo na wewe umeziona?” aliuliza Stellah, kwa sauti iliyo poa, maana alizikumbuka vizuri sana zile video nakama binti yake ameziona, basi ilikuwa ni aibu ya mwaka, siyo kwa kipanta pekee ata yeye pia, kwa kuonekana kwa dudu iliyo mwingia mala kadhaa, “haku sija ziona” alijibu mtoto huyo, lakini kwa mama mtu mzima kama Stellah, alijuwa kuwa, binti yake anakataa kuuwa soo, “ok! basi nita kuja kuwapokea hapo mbezi mnisubiri” hapo ndipo maongezi yalipoishia, Stellah alikata simu na kumtazama Pross, “watoto wametuaribia picha yetu, sasa leo tuta lala shamba” alisema Stellah huku anampatia simu Pross, na yeye kuendelea kupika, “lakini kule shamba bpss wangu amehamia kule, maana jana amekuja na begi kabisa” alisema Pross kwa sauti ya kiunyonge, “wala usijari tuta tafuta gust tuta lala kwa leo, alafu kesho na wasafirisha tabora kwa babu yao, wataondokea huko huko kwenda shule” alisema Stellah, alie onekana kukolezwa na penzi la kijana huyu. ******




Kipanta alifanikiwa kifika pale kwenye kuosha magari, ambako alikuta watu kadhaa, wakiendelea na uoshaji wa magari huku wengine wakichotelea maji, toka kwenye mto wa jirani, karibu na daraja la barabara ya malamba mawili, lakini kila alipotazama pengine ange mwona ata mmoja ambae ange mwuliza, alikosa imani na watu awa asa kutoka na mwonekano wao, licha ya kuwa wengi wao ni vijana pia walikuwa wamechakaa, lakini alipo taka kuondoka, akamwona mmoja wawa watu awa mwenye mwonekano wa uzee, akija maali pale huku amebeba dumu la maji, “habari yako mzee” alisalimia bwana Kipanta, baada ya yule jamaa kuweka maji chini, “safi vipi una inshu?” aliuliza yule mzee kwa lugha flani ya kiuni, tofauti na umri wake, hapo Kipanta akababaika, yule mzee kuona hivyo akaachana nae, na kumfwata kijana kijana mmoja, “hiyo dumu la kumi ilo, niandalie jelo lango, nikapate supu ya alaghe alisema yule mzee ambae kiukweli ungeshangaa anafanya nini mjini, baada ya kurudi kijijini, au atulie nyumbani acheze na wajukuu, “oya Feruz, una wasi wasi gani, we piga kazi, si unaona mwenyewe ndio kwanza tunaanza kazi” alijibu yule jamaa alie kuwa anaosha gari, “tatizo nikileta dumu nyingi, uchelewi kuzingua” alijibu yule mzee huku ana chukuwa lile dumu la maji na kwenda kumimina kwenye kipisi cha jaba, kisha akaelekea tena mtoni, hapo Kipanta akaona kuwa pale akukuwa na dili, hivyo akaondoka zake, kurudi stendi, na kuanza safari ya Kiluvya.




Kipanta alifika Stendi na kuingia kwenye basi ziendazo kibaha, gari alikuchelewa kuondoka, lakini wakati lina anza kuondoka, akamsikia kondakta, akisema, ebwanae ebu cheki yule mtoto alie ongozana na yule kijana, sijuwi dada yake au demu wake, ni mkali kinyama” hapo siyo kipanta pekee alie geuka kutazama nje yagari kuangalia alicho kuwa anakisifia kondactor, ile kutazama akakutana macho kwa uso na wanae, akazania kuwa wakumwona, maana awakuonyesha kuwa na habari nae, akamwakazia macho, ndio kwanza akaona wanaonyesheana vidole kuja kwake Kipanta, ikionyesha mmoja wakiume alikuwa anamshtua dada yake kama amemwona baba yao, Kipanta akajitabasamulisha, na wote waka mtazama, kisha wakakunja sura alafu wakatazama pembeni, hapo kipanta aliumia roho vibaya sana, “yani wananifanyia hivyo mimi baba yao” aliwaza Kipanta, ambae alijaribu kuwaza na kukumbuka katika ubaba wake, alifanikiwa kuwafanyia nini watoto awa, ambao mwonekano wao wa watoto wa kishua, ni kwanguvu za mama yao, akagundua kuwa zaidi ya kumpa mimba baba yao, akukuwa na kingine cha zaidia alicho toa, hivyo akatulia na kuacha gari likiondoka pale mbezi, huku yeye akiwa ndani yake.*****




Mama Pross pia alipata habari za kukamtwa kwa mschana alie mleta sikuile nyumbani, ikiwa pamoja na kumnunulia soda, habari ile ilimuuzunisha sana mama Pross, mke wa bwana Feruz, ilimuuzunisha kwa maana mbili, kwanza kabisa, Rose kuwepo Jella, maana ni binti mbae yeye binafsi alimwona kuwa mwenye moyo safi, pili mkasa wa huyu mwanaume, ambae ameitelekeza familia na kwenda kufumaniwa, na mahawara, “mh! kweli wanaume awawezi kubadirika” aliwaza mama Pross, ambae yeye alisha jikatia tamaa juu ya mume wake, ambae mpaka sasa kuwa anajuwa yupo wapi,”huyu mtoto leo alikuja mapema sana, hivi alilala huku, au likuja mala moja” ilo swali lilimjia mama Pross mala baada ya kumkumbuka Pross.*******




Hapo ndipo patamu, unajuwa ni utamu hupi, baada kutoka pale mbezi, huku akijisikia vibaya baada ya kuchuniwa na watoto wake, bwana Kipanta, alitulia kwenye gari mpaka aliposhtuliwa na kodakta, kuwa walisha fika gogoni, yani Kiluvya, njia panda ya kawawa, akashuka na kueleka kwenye kito cha polisi, ambako kwanza alikutana na gari moja matatasana, aina ya BMW, pembeni yake alikuwepo mfilipino mmoja akiwa na watoto chotara, “wasenge awa wana kula maisha kwenye inchi yetu, wakati sisi tuna pata tabu” alijisemea kimoyo moyo bwana Kipanta, huku akimkata jicho la chuki yule mfilipino, ambae sisi tuna mfahamu kama bwana Mauricio Fernandez, mwanajeshi wa jeshi la Filipino, ndie mume wa Adellah, yani wanamke wa zamani wa bwana Kipanta, ambae nae pia alimtazama Kipanta kwa macho ya utambuzi, akionyesha kama siyo kumwona live, basi alisha wai kumwona kwenye picha, “jambo rafiki” alisalimia Mauricio Fernandez, huku akipunga mkono, kwa Kipanta, “poa! alijibu kikauzu Kipanta kisha akatazama mbele kule uliko mlango wakuingilia ndani, ambako uso kwa uso, macho macho, nusumvae mwana mke mmoja mrembo na wakuvutia kwa sura na umbo la mwili wake, wakajikuta wame tazama usoni, kwa macho ya mshangao, na mshtuko, “Adellah, ni wewe au macho yangu?” aliuliza Kipanta kwa sauti ya kuto kuamini, “ni mimi, au ulizania nie jiuwa baada ya kunitapeli?” aliuliza Adellah kwa sauti tulivu huku akitabasamu…




..




Lakaini ni tabasamu ambalo alikuwa kwa nianjema, lilikuwa tabsamu la dharau, lakini licha ya hivyo Kipanta akajikuta analipukwa na roho yake, ni baada ya kuona jinsi mwanamke huyu, alie wai kuwa mpenzi wake akiwa ame nawili na kuwa mzuri zaidi ya kipindi kile, “hapana Adellah, yani ume nisusa kabisa, akuna kutafutana, akuna kupeana habari za mtoto, sasa hivi si atakuwa mkubwa sana?” aliongea kwa uchanga mfu Kipanta, “sana ni mkubwa sana, yupo na bibi yake Shinyanga, vipi kazi yako ya jeshi bado unaendelea nayo?” aliuliza Adellah, kwa nza Kipanta akatazama kushoto na kulia, kama kuna watu wanawafwatilia maongezi yao, akaona kuwa japo kilikuwa na watu wengi pale nje ya kituo raia kwa askari, lakini akuna mtu anae wafwatilia, zaidi ya yule mzungu na watoto wake, waliokuwa wanawatazama, “nime staafu mwaka huu, mwezi wasita, nikapata mamatizo, nime poteza kila kitu” aliongea kipanta kwa sauti ya kinyonge, hapo Adellah akajifanya ajuwi lolote, akajiweka sura ya uzuni, “pole sana jamani, ilikuwaje?” aliuliza Adellah kwa sauti ya uzuni, hapo kipanta akashusha punzi ndefu, kabla ajaongea, “ukweli ni story ndefu sana Adellah, awa wanawake ni hatari sana, ila yote kwa yote nashukuru mungu ametukutanisha, nitakusimulia vizuri” alisema Kipanta, huku macho yake yakionyesha wazi, kuutazama kwa uchu mwili na sura ya Adellah, pasipo kujuwa kuwa mume wake amesimama pembeni, ana watazama, “basi poa, sijuwi nitakupata wapi na lini?” aliuliza Adellah, ambae alikuwa anapima, kama Kipanta anatambua kuwa yeye na Rose ni ndugu, “kama una muda ata saa hivi, nachukuwa tu RB, alafu tunaweza kuongea, kama una muda lakini” alisema Kipanta kwa sauti flani ya kubembeleza na yakistaarabu, kama unge isikia ungejuwa kuwa Kipanta ni mstaarabu kweli kweli, hapo Adellah akatulia kidogo kama anatafakari jambo, ukweli ni kwamba lile tabasamu alilo kuwa analionyesha usoni mwake mala kwa mala, lilikuwa la kujilazimisha, ila moyoni mwake, alikuwa anamchukia huyu mtu kuliko mtu mwingine yeyote, akainua kichwa chake na kutzama ng’ambo ya barabara, akaiona bar moja kubwa hivi ambayo ilikuwa na watu wengi, kwakifui ilichanga mka kidogo, “au bado una kumbuka mambo ya zamani Adellah” aliuliza Kipanta, kwa sauti flani ya kumshawishi Adellah, ambbae ndio kwanza moyoni mwake alizidi kuchukia, huku moyoni akionyesha tabasamu angavu, “nitaachaje kukukumbuka Kipanta, ila akuna shida nakusubiri” alisema Adellah, na hapo akaliona tabasamu pana kwa kipanta, “poa ngoja nichukuwe RB faster kisha tuongee” alisema Kipanta alafu akaingia ndani ya jengo la polisi, akimwacha Adellah, anamsindikiza kwamacho, “yes huyu mjinga si anajifanya mjuwaji, sasa nime kutana na mama lao, mbona atatafuta sehemu ya kujificha, na nikisha mfirisi Rose, ndio kabisaaaa, ananywea maji kwenye kifuu” alijisemea Kipanta kimoyo moyo, huku akifwata counter, “alafu anaonekana anamawe ya kuelewekana, nita lia lia, mpaka ni vune fedha ya kutosha” alijisemea Kipanta kabla aja eleza shida yake na kupewa RB.




Tukio la kupewa RB lilitumia muda mfupi, ni kama dakika tano, kisha akatoka haraka kumuwai, Adellah, amenona huyo, leo lazima nikale mzigo, kisha miziga inaanza mpaka atajuta kukutana na mimi” alijisemea Kipanta huku akiangaza ngaza macho kumtafuta Adellah, ambae mwisho wake akamwona amesimama pembeni ya BMW, lile lile alilokuwa amesimama mzungu mwenye watoto chotara, “mh! au yupo nae nini?” alijiuliza Kipanta, huku akimtazama Adellah, ambae pia alimtazama na macho yao yalipo kutana Adellah akatabasamu, kilicho mpa moyo kuwa Adellah akuwa na yule mzungu, ni kuto mwona mzungu wala watoto, Kipanta akapiga hatua kumfwata Adellah, pale kwenye BMW, “nazani unaweza kwenda kukaa pale tuongee vizuri” alisema Adellah huku anatoa funguo ya gari, na kufungua milango kwa remote, “hongera sana Adellah, inaonyesha mambo yako siyo mabaya” alisema Kipanta akiwa ndani yagari, huku Adellah akiendesha aratibu, kuelelea kwenye ile bar, ambayo ilikuwa umbali wamita kama mia moja tu toka kituo cha polisi, “sikushindi wewe Kipanta, nasikia uwa mnalipwa vizuri sana, mnapostaafu” alisema Adellah kwa sauti tulivu na iliyo jaa upole na ukarimu, usinge juwa alicho kiweka moyoni, hapo Kipanta alitulia kidogo akishusha kichwa chini, kwa uzuni, japo ilikuwa ya kutengeneza, “yani Adellah, uwezi amini, limenikuta balaha kubwa sana, nime poteza kila kitu” alisema Kipanta kwa sauti iliyojaa uzuni kubwa, huku Adellah akisimamisha gari, na wote wakashuka, “kwanini unasema hivyo Kipanta, inamaana umeibiwa?” aliuliza Adellah huku wanatembea kuingia ndani ya bar, “nitakueleza tu! wala usiwe na haraka” alisema Kipanta huku wanatembea taratibu ndani ya bar, wakikatiza pembeni ya meza za wateja wengine walio kuwepo pale bar, wengi wao walikuwa wana pata supu na vinywaji visivyo na ulevi, wao walikuwa wanaiendea meza moja waliyo iona hipo tupu, “unajuwa kama kuna kitu sikipendi, ni awa watu wanje, yani utakuta wana kaba ajira zote, alafu wananchi wanapata tabu” alisema Kipanta, na hapo Adellah, akamtazama Kipanta, na kumwona amemkazia macho mfilipino wake alie kuwa amekaa kwenye meza moja na watoto wao wawili, Adellah akaishia kutabasamu tu! “nabado utamchukia sana” alijisemea Adellah, kimoyo moyo, huku wanaendelea kutembea kuelekea kwenye meza waliyo ichagua kukaa.




Naam ile kukaa tu, mhudumu akawafwata, na kuwauliza wanaitaji nini, “na soda yoyote ya orange, alisema Adellah, Kipanta yeye akamtazama kwanza Adellah, ambae alitabasamu “agiza chochote, usinionee aibu” alisema Adellah, na hapo Kipanta akatabasamu, “naona mwenzangu unaagiza soda, au aunywi bia?” aliuliza Kipanta, huku akijichekesha chekesha, ambae kiukweli nisiku ya nne leo ajagusa pombe, kitu mbacho kwake ni mwiko, sema uhaba wa fedha ndio ume sababisha, “mh! ulitaka niagize bia asubuhi hii” alisema Adellah, na wote wakacheka kidogo, “niletee bia, itakuwavyema ukiniletea tano ilikuepusha usumbufu, alafu, niitie mtu wa jikoni” alisema Kipanta, wakati sisi tuna kumbuka mtu huyu akuwa na uwezo wa kulipia ata bia moja, “vipi wewe uagizi chakula” aliuliza Kipanta akimtazama Adellah, “hapana nitakula usiku” alijibu Adellah, na mhudumu akaondoka zake, akiwaacha wakina Adellah wanaanza maongezi, “ok! nipe story, nini kilitokea” alisema Adellah, huku akitoa simu yake na kushika mkononi, akiibofya bofya kidogo, *******




Aya sasa, ebu twendeni mbezi stendi, siyo kwa watoto wa bwana Kipanta au Stellah na Pross, ni moja kwa moja mpaka barabara ya zamani, mita chache kwenye njia panda yamalamba mawili, kwenye kijiwe cha kuoshea magari, bado wanaonekana vijana walio valia nguo chakavu, wengine wakiosha magari na pikipiki, wengine wakichotea maji, “oya tayari zimeshafika kumi nyingine, nitoe buku langu” alisema yule mzee anae itwa Feruz, akimweleza mtu mmoja alie kuwa anaosha gari, “Feruzi unajuwa kudai, aya chukuwa buku lako” alisema yule jamaa, na kumkabidhi mzee Feruz buku lake, “sasa je saa tano hii, bado sija pata chai, ngoja nipate wali harage kisha nirudi kazini” alisema Feruz, huku anaondoka zake kuifwata barabara hii upande wa stend ya mbezi, ambapo alitembea kwa mwendo wa mita kadhaa, akashtuka anashtuliwa, “mzee feruz habari za siku nyingi” ilikuwa ni sauti ya kiume, toka nyuma yake, hapo Feruz akashtuka na kumtazama msalimiaji, huku moyoni mwake akishangaa kweli kweli, maana akutegemea kama kuna mtu anaweza akawa anamfahamu huku mbezi, na ndio kisa cha yeye kuja kuishi huku, macho yake yakakutana na askari polisi alie kuwa kwenye sale, za kazi, lakini akuwa anamfahamu kwa sura askari ambae alionyesha sura ya mshangao, “poa za masiku” aliitikia Ferz, ambae kwa mtu ambae amesha msahau mzee huyu, ndie yule yule baba yake Pross, “mzee Fruz, ipi unatoka shamba, mbona hupo hivi katikati ya mji” aliuliza yule askari ambae kama ni muda wakazini, alikuwa na miaka isyozidi sita, hapo Feruz akajuwa kuwa huyu askari anamfahamu toka kipindi yupo kazini, “kijanwa ngu ni maisha tu, siunajuwa fedha mbuzi ambayo tunalipwa, baada ya kustaafu” alisema Feruz, huku anamtazama yule askari kijana, ambae kiukweli alionyesha wazi kuto kulizishwa na jibu la bwana Feruz, na Feruzi alipoona vileakaanza kundoka zake kuelekea stend, akimwacha yule polisi kijana, anamsindikiza kwa macho ya mshangao, “unashangaa nini we mpumbavu, subiri na wewe ustaafu” alijisemea Feruz, huku anaendelea na safari yake.




Naam bwana feruz wakati anakatiza kwenye stend ya Mbezi, mala akawaona watoto wawili wakike na wakiume, watoto ambao umri wao umepishana kidogo, na watoto wake, alio waacha na mke wake, watoto ambao kwa sasa ajuwi wanaishi wapi na mama yao, “ukweli roho ilimuuma sana, alipokumbuka kuwa akuwaachia ata sehemu ya kuishi, “kama Pross, ni bora angebakia kwa mama yake, kuliko amekuja huku, alafu nime mtelekeza na mama wakambo” aliwaza Feruz ambae kiukweli, akuwa anapenda kukumbuka sana mambo ayo, sababu zaidi ya kumuumiza roho, asingeweza kufanya lolote kurudisha muda nyuma na kufuta makosa, “usingoje majuto, ndipo ulekeshe makosa” aliwaza Fruz huku anawatazama wale watoto, ambao kiukweli walionyesha kuwa na maisha mazuri, akawaona wanainuka pale walipokuwa na kuchukuwa mabegi yao madogo, kisha wakaanza kuelekea upande wa karibu na gate la kutokea, huku nyuso zao zikionyesha furaha, “ona walio andaa maisha yao” alijisemea Feruz, huku anatazama kule walikokuwa wanaelekea wale watoto, yani upande wa gate la kutokea.




Naam hapo ndipo bwana Feruz, aliposhikwa na mshangao, ni mala baada ya kumwona mwanae Pross akiwa anashuka toka kwenye gari aina ya Toyota vits, sambasamba na mwana mama mmoja matata sana, “macho yangu au naona wenge?” alijiuliza Feruz huku nashuhudia wale watoto wakienda kukumbatiana na yule mama, kisha kupeana mikono na mwana Pross, ambae kiukweli alikuwa amenawili, licha yakuwaonekana kuzudi kukuwa, pia alionekana kama vile anaishi maisha mazuri, kuanzia mavazi na mwonekano wa mwili na sura.




Feruz alibakia ameduwaa mpaka, akimshangaa mwanae ambae alikuwa mita kama hamasini toka alipokuwepo, “kumbe familia yangu aitakuwa mbali na hapa” aliwaza Feruz, ambae bado alikuwa ameduwaa, akiwatazama mwanafamilia, walikuwa pamoja na mwanae Pross, ambao sasa walikuwa wanaingia kwenye gari na mabegi yao madogo ya mgongoni, ndipo Feruz, alipopata wazo la kumfwata Pross, lakini alisha chelewa, ile anapiga hatua tu! akaliona gari lina anza kuondoka, akaanza kukimbia, lakini aikusaidia, gari lilitoka nje ya stendi na kuikamata barabara ya morogoro, wakielekea upande wa kibamba.******




Ebu turudi gogoni, mita mia moja, toka kituo cha polisi, kwenye ile bar, tunaipita meza ya mfilipino bwana Mauricio Fernandez, ambae alikuwa ana watazama mke wake Adellah akiwa anaongea na mzazi mwenzie Kipanta, ambae ndie alie msababishia matatizo, mdogo wa mke wake, yani mschana Rosemarry, na tukifika kwenye meza ya kina Kipanta tuna mkuta Kipanta alie kuwa amesha kunywa bia nne na anamalizia ya tano na tayari alisha maliza kula na amesha agiza bia nyingine tano, na kila bia ilikuwa ina uzwa tsh elfu mbili.




“unaona Adellah, yani ilikuwa kama lahana yako, mpaka nikajuta kukuacha na kumchukuwa Stellah, tena nililazimishwa tu! ameniletea mikosi mitupu, sina kitu zaidi ya gari, kuna kipindi nilisafiri, nikamwachia mshahara wote, ili ajenge nyumba kwaajili yetu na watoto, yeye akauza kiwanja cha kwanza, na kununua kingine kwa jina lake, alafu akajenga nyumba, kwa jina lake, mwishoe akanifukuza” alisimulia Kipanta, akijitaidi kutengeneza story, ambayo aita mpa lawama, zaidi ya kuonewa huruma, huku anaendelea kufakamia bia, maana ata zile tano nyingine zilisha letwa, “baada ya kunifukuza nyumbani kwake, nika mpata mwana mke mwingine, ambae anaitwa Rose, huyu ndie mshenzi kuliko Stellah, huyu nilipostaafu tume tumia fedha zangu, na marafiki zake, na mwisho wa siku, nimepatwa na matatizo, amenikimbia kabisa” alisema Kipanta, kwa sauti ya uchangamfu wa pombe, “kwani yeye ndie ulie kuwa nae wakati unawekewa dawa kwenye pombe” aliuliza Adellah, ambae mudawote alikuwa ameishika simu yake mkononi, “hapana, huyu alikuwa ameshaanza vituko, siku hiyo nilikuwa na mschanammoja anaitwa Matrida” alisema Kipanta, kwa sauti ya majisifu, utazania ilikuwa ni sifa kubwa, “niliamua kupita nae sababu Rose alijifanya mjanja, lakini ndio yakatokea hayo” alisema Kipanta akimalizia na kicheko cha kilevi, “au Rose ndie alie kuwekea dawa kwenye kilevi, na kukuibia fedha zako?” aliuliza Adellah, kamavile alikuwa anamtilia mashaka Rose, “ndivyo watu wanavyo amini, lakini ukweli ni kwamba, kuna kitui alitaka kukisikia toka kwa Kipanta mwenyewe, “wengi wanaamini hivyo, lakini Rose akuwepo wala akuja pale bar, ila mimi nataka nimfilisi, arudishe kila kitu changu, nilicho mpatia, maana bila ya hivyo nita zalilika” alisema Kipanta, ambae mpaka mwisho wa maongezi yao tayari alisha kuwa amekunywa bia kumina chakula,akiwa anaamini kuwa Adellah ata lipia ghala za chakula na vinywaji, “pole sana bwana Kipanta, ila kabla sija ondoka naomba nikutambulishe watu flani” alisema Adellah, huku anabonyeza simu yake na kuiweka kwenye kibegi chake, kisha akatazama upande aliokuwepo mume wake bwana Mauricio Fernandez, na watoto wao, kisha akawaonyesha ishala ya kuwa wasogee pale walipokuwepo, yeye na Kipanta, huku Kipanya japo alikuwa amelewa lakini alikuwa ametoa macho ya mshangao, akiwatazama wakina Mauricio Fernandez,na watoto wawili wdogo, ambao walikuwa wanatembea taratibu, kupita pembezoni mwa meza zawatu, kuwasogelea wao, “unataka kusema…..?” aliuliza Kipanta akishindwa kumalizia kwa mshangao aliuo upata, na wakati huo tayari, bwana Mauricio Fernandez, na watoto walisha wafikia pale walipo, “Kipanta huyu, anaitwa Mauricio Fernandez, ni doctor mwanajeshi nilikutana nae ngara, akiwa major, na sasa ni cornel (kanali) ni mwenji wa Filipino, ambako sas tunaishi, kwenye mji wa Sun philipe, na wan i watoto wetu” sijuwi kama Kipanta alikuwa anauzinga tia huo utambulisho, ata kama aliuzingatia sidhani kama aliuona una umuhimu kwake, maana alinekana wazi kuduwaa ba kwwa kile alicho kuwa anakiona, na kukisilia, “mume wangu huyu ndie Kipanta mzazi mwenzangu, ambae umesha sikia sana habari zake” alimaliza kutambulisha Adellah, sasa bwana Mauricio Fernandez,akampa mkono bwana Kipanta, ambae aalikuwa amekunja sura kwa hasira, na akuupokea mkono wa bwana Mauricio, zaidi ua kuinuka kwa hasira, na kutaka kuondoka zake, lakini Adellah akamuwai,“samahani bwana Kipanta, kuna kitu ujamaliza hapa mezani” alisema Adellah na hapo Kipanta akasimama na kutazama mezan, ambapo palikuwa na chupa moja ya soda iliyo bakiwa na soda robo, zaidi ya hapo kulikuwa na chupa tano za bia, huku moja wapo ikiwa na bia nusu, wakati huo mhudumu alie wahudumia alisha wafikia nazani bada ya kuona dalili za watu awa kuondoka, hivyo alikuwa ana fwata malipo yake, “sina aja nayo” alisema Kipanta, kisha akageuka na kutaka kuondoka, lakini akasikia Adellah akiongea tena, “simaanishi bia iliyo bakia, sababu umeshha kunywa Tisa, na nusu, nazungumzia malipo ya bia na chakula” maneno hayo ya Adellah, yalimstua sana, Kipanta ambae aligeuka na kumtazama Adellah kwa mshangao, akamwona anatoa shilingi miatano ya kitanzania nakumpatia yule mhudumu, ikiwa ni ghalama ya soda aliyo kunywa, hapo ndipo Kipanta alipoona kijacho chembamba kwenye paji la uso wake, kikichuruliza kuja kwenye pua, na kuwa kama kina mtekenya hivi, huku pombe alizo kunywa zikianza kupotea kichwani kwake, asa alipo kumbuka kuwa zaidi ya bia za elfu ishilini, pia alisha kula kuku nusu na ndizi za kukaanga, ambazo pia thamani yake ni elfu kumi na moja na mia tano, kwa jumla ilikuwa ni elfu therathini na moja ja na mia tano, na hapo mfukoni alikuwa amebakiza nauri ya dala dala kumfikisha kisalawe ambayo ni elfu moja na mia tano.………










Kipanta aka mtazama Adellah kwa jicho kali la mshangao, “inamaana ulinileta hapa kuni zalilisha?” aliuliza Kipanta kwa sauti ya juu iliyo jawa hasira, sauti ambayo iliwafikia baadhi ya watu waliokuwa meza zajirani, “kivipi Kipanta, kwani huku tanzania wanaume ndio wanawapeleka wanawake bar, na kuwa nunulia chakula na pombe, mbona uliweza kukesha bar na wanawake huku ukilipa ghalama zote, au umezowea kuwa mimi ndie mtu wakukulipia ghalama zako?” aliuliza Adellah, huku anasimama, “lakini wewe ndie ulie niambia niagize tu, si eti dada?” aliuliza Kipanta huku akimgeukia yule mhudumu, “mi sijuwi nachotaka ni ela ya vinywaji na chakula” alijibu yule dada wakati huo tayari watu walisha geuka na kuwatazama wakina Kipanta, huku wengine wakiingiza mikono mfukoni, kutoa simu zao, tayari kuchukuwa tukio, hapo Adellah, na mume wake pamoja na watoto wao, wakaondoka zao, wakipishana na manager wa bar,ambaealisha ona dalili zakuto kuelewana, kati ya mfanyakazi wakenamteja Kipanta, hivyo akaamua awasogelee, “samahani ndugu kuna tatizo?” aliuliza manager baada ya kufika pale na kumkuta Kipanta akitokwa na jasho jembamba usoni, “wewe ndie msimamizi wa hapa?” aliuliza Kipanta huku anamtazama manager, “ndiyo mimi ni manager wa hapa” alijibu yule jamaa, na hapo Kipanta akatazama kushoto na kulia, kutazama kama kuna mtu anawafwatilia, ukweli ni karibu barnzima, ilikuwa ina wafwatilia, na mbaya zaidi, wengine walifika mbali zaidi na kuanza kuchukuwa video, huku minong’ono ya chini ikisambaa, “hiyu sindie yule alie wekewa dawa na kuibiwa kila kitu” ayo ni baadhi ya maneno yaliyokuwa yana tembea chini chini, “manager naomba tukaongelee pembeni” alisema Kipanta, kwa sauti ya chini na yakubembeleza, “ok! wewe twende pamoja na huyu mteja” alisema manager akimweleza mhudumu, kisha wakaondoka kwa pamoja wote watatu, kuelekea upande wa ndani, hakika unge mwona leo bwana Kipanta, ndiyo unge juwa kweli alistaafu kiuhalali, maana alionekana kuwa amezeeka kweli kweli, na sasa akuonyesha dalili kuwa amelewa, ilionyesha kuwa pombe imemtoka kichwani.




Naam walielekea moja kwa moja upande wa jikoni, jiko la ndani, ambako shughuli za upishi zilikuwa zinaendelea, “niambie wewe nini kime tokea” alisema manager, akimtazama mhudumu wake, ambae alielezeakuanzia alipowapokea wakina Kipanta, na kuanza kuwa hudumia, kipanta akiagiza bia kwa mafungu ya tano tano, pamoja na kuitaji mhudumu wajikoni, “sasa yule mwanamke alie kuwa nae, amesha lipa, amebakia yeye, anadaiwa elfu therathini na moja na miatano” alimaliza kuongea mhudumu, na hapo manager akamtazama Kipanta, “nikweli mzee umekunywa bia na utaki kulipa?” aliuliza manager, hapo Kipanta akaweka sura ya huruma kidogo, kabla ajaanza kuongea, “siyo kwamba sitaki kulipa, ukweli kabisa mimi nilijuwa yule mwanamke talipa, sasa ameamua kunikomoa, na kuondoka bila kunilipia” alisema bwana Kipanta, na kumfanya manager ashangae kidogo, “mzee inakuwaje una mleta mwanamke bar, ili akununulie pombe na chakula, ungekuwa kijana mdogo tusinge shangaa, lakini wewe ni mzee” alisema Manager, kwa sauti ya kusimanga, hapo Kipanta akabkia ametazama chini, kwa aibu, akikosa jibu wala kitu cha kumweleza kijana yule, ambae ni manager wa bar ile, “mzee kiukweli sisi atuna cha kukusaidia zaidi ya kulipa hizo, bia, bola zingekuwa moja au mbili, lakini kumi, na chakula, hiyo lazima ulipe” aliongea manager akionyesha kuwa akuwa na chembe ata moja ya huruma, juu ya Kipanta, “kijana japo unifahamu, lakini naomba nijiaminishe kwake, sisi wote ni wanaume, naomba nidhamni, nitaleta hizo fedha jumatatu” alisema Kipanta, na kuzidi kumchochea manager, “weee nikudhamini kivipi, kama wamshindwa kukudhamini wale wenzako, nitawezaje mimi?” aliuliza yule manager kwa sauti ya kumruka kwa futi mia, hapo Kipanta aka ajikuta anathema kwa nguvu akivuta pumzi kwa mkupuo na kuishusha kwanguvu, “leo naumbuka tena” aliwaza Kipanta huku akiwa ametazama chini, kama kuna kitu anakitafuta, “yani mzee we toa mkwanja tu, vinginevyo tuna kupeleka polisi” alisema yule manager kwa msisitizo akionekana kuwa akuwa anatania, kwa kile alicho kuwa anakisema, “lakini ndugu yangu, naomba unielewe, hiyo elfu therasini kwa sasa sina, ila nitakuletea ata kesho mapema tu! naomba uni amini ndugu yangu” alibembeleza Kipanta, kwa sauti iliyotia huruma, “ok! unaacha nini kama dhamana ya elfu therasini?” aliuliza Manager, huku akimtazama Kipanta, hapo Kipanta akatulia, siyo kwa kufikilia ataacha nini ila kwa kujuwa kuwa akuwa na kitu, ambacho anaweza kukiacha hapa, kama dhamana, “ebu tuonyeshe simu yako, kama tunaweza kubakiana yo mpaka utakapo leta ela yetu” alisema manager, lakini ndio kwanza Kipanta akashusha tena pumzi, “inamaana ata simu auna, awa ndio wazee wababaishaji” alisema manager, kwasauti ya kumshuku Kipanta, “hapana kijana wangu, mimi siyo mbabaishaji, ila nime patwa na matatizo makubwa sana siku ya chrissmas, ata yule mwanamke niliekuwa nimekaanae pale, nilikuwa na msimulia matatizo hayo” alisema Kipanta na kusimulia kile kilicho mpata, kule luguruni, “nikaibiwa kila kitu, leo nimetoka hospital na kuja huku kuchukuwa RB, nika chukuwe card yangu ya benk, niweze kuchukuwa fedha nika renew line na kununua simu, pamoja na kuja kuwalipa fedha yenu” alisema Kipanta, na hapo manager akaonekana kuelewa somo, “kumbe wewe ndie yule ulie wekewa dawa zakulevya, dah! pole sana, lakini mzee wangu lazima tukaandikishiane kituo cha polisi” alisema yule manager, na wakakubaliana hivyo, maana Kipanta akuwa na ujanja mwingine.*****




Naam mida hii ya saa nane mchana, ndio mida ambayo Sinder aliingia getoni kwao, na kumkuta mpenzi wake waghola, akiwa amejilaza kitandani, lakini akionyesha dalili ya kuwa alikuwa ameingia hapo muda siyo mrefu, maana alikuwa na nguo zake zote mwilini, “mwenzio yame nikuta makubwa” alisema Sinder yule mwana dada mhudumu wa bar, huku ana pembua nguo moja baada ya nyingine, “kuna nini tena, kuna mtu ullitaka kuwibia amekushtukia?” aliuliza Waghora, pasipo kugeuka kumtazama Sinder, “hapana, siyo hivyo, si una wakumbuka wale watu wawili tulio waibia mpaka nguo zao?” aliuliza Sinder, hapo Waghola akainuka na kumtazama Sinder, “ndiyo wamefanyaje?” aliuliza Waghora kwa mstuko.




Hapo Sinder akamsimulia kila kitu bwana Waghola, tokea alipoitwa na manager kuwa aende ofisini kwake, na kukutana na insp wa polisi, na maswali aliyo mwuliza, na majibu ambayo yeye aliyatoa, “nilimshinda hakili, akaondoka zake” alimaliza Sinder kusimulia, “hapo sawa ila nazani inabidi utafute bar nyingine, vinginevyo tuta kamatwa” alisema Waghora, huku akijilaza tena kitandani, “vipi wewe ulifanikiwa kuiotea password?” aliuliza Sinder, ambae yeye na mpenzi wake, licha ya kukuta fedha kwa kina Kipanta, pia walisha uza simu na vitu vilivyo uzika, walivyo vichukuwa kwakina Kipanta na Matrida, “nime shindwa tena leo, yule mshenzi sijuwi aliweka password gani?” alilalamika Waghola, “duh! hapo tutakosa miela” alisema Sinder huku anapanda kitandani, tayari alisha vua nguo zake na kubakia na nguo za ndani, “siwezi kukubari nikose ela za yule mshenzi, tena inaonyesha kuwa bado ajaibloack, maana ukiichomeka inasoma kama kawaida” alisema Waghola, huku akiendelea kusema kuwa juma tatu anaanza kudili na card hiyo ya bwana Kipanta mpaka apate fedha.******




Yap! video za tukio la kudaiwa fedha pale bar, zilianza kusambaa kwenye mitandao ya kijamii, ikieleza kuwa yule jamaa alie fumaniwa na kuwekewa dawa kwenye pombe , leo ame kunywa pombe na kushindwa kulipa, video hiyo ilimkuta Stellah akiwamezani na watoto wake pamoja na Pross wana pata chakula cha mchana, ikiwa ni pilau la kuku, alicho kifanya alicheka kidogo, na kusema kwa sauti ndogo, “na bado mbona uta zalilika sana mwaka huu” alisema Stellah, ambae alikuwa muda huu licha ya kupata chakula, lakini walikuwa wanamaongezi makubwa na watoto wake, ambao waligomesha kwenda tabora kwa babu yao, wakiitaji kwanza washerehekee mwaka mpya na mama yao, jumatano inayo fwata, na siku hiyo ilikuwa ni ijumaa, “mama sisi tutaondoka tarehe mbili” alisema mtoto wa kiume wa bwana Kipanta, “lakini mama kwanini usiwaachie wale mwaka mpya hapa hapa, maana Chriss mass akuwa nao” alisema Pross na kuwafanya watoto wa stellah, furahi kwa msaada huo wa Pross, “ok! kaka yenu amewatetea, mtaondoka tarehe mbili” alisema Stellah, na wanae wakashangangilia, kwa nguvu, “alafu mama kesho juma moss twende shambani kwa kaka Pross, alisema mtoto wa kike wa bwana Kipanta, hapo kabla Pross ajajibu, kuwa boss waka yupo, tayari Stellah, alisha jibu, kuna tope jingi sana akuendeki” alipinga Stellah, ambae alikuwa anajuwa kuwa mume wake ameamishia makazi kule shambani, na wakati huo huo simu yake iliita, ile anaitazama ni simu toka kwa Celine, mwalimu mwenzie, akaipokea na kuiweka sikioni, “hallow niambie mwalimu” alisema Stellah, na hapo akakutana na kicheko cha maana, “Stellah, katika maamuzi uliyowai chukuwa juu ya ndoa yako ili la kuachana na yule baradhuri, ni uamuzi wa maana sana, umeona video zake mpya?” aliongea Celine, na apo Stellah akainuka na kusogea pembeni na maongezi yakaendelea.******




Naam Kipanta baada ya kumaliza kuandikishiana pale kituo cha polisi, akaelekea benk, ambako alifanya utaratibu wa kuandikisha kadi nyingine, ambayo alipewa siku kumi na nne aifwate, huku wakiifunga ile ya zamani na kuitrack, popote itakapo tumika ifahamike na mtumiaji akamatwe mala moja, pia alifanya utaratibu wa kuangalia hakiba ya fedha ambayo ilibakia kwenye account yake, akakuta kuna tanzania shilingi elfu themanini pekee, kati ya milioni zaidi ya themanini alizo lipwa kama fedha ya kustaafia, lakini uwezi amini bwana Kipanta aliziona kuwa ni nyingi sana, nikama ilikuwa toka sifuli mpaka mia, hivyo kitu cha kwanza alienda moja kwa moja kwenye ilebar, na kulipa ile fedha, , na kubakia na shilingi, elfu alobaini na tisa na mia tano, kisha akaanza safari ya kuelekea kisalaweakinuna chupa kadhaa za pombe kali, kisha akaelekea kule shambani, akiwa na elfu kumi tu! ambako alikuta akukuwa na dalili ya uwepo wa Pross, “imanaana jana akurudi” aliwaza Kipanta, huku anatoka nje ya kibanda kile, akiwa na chupamoja ya pombe kali, “we mwache tu, nikisha likomboa shamba langu, namtimua, hayupo makini kabisa mpuuzi huyu” alijisemea Kipanta huku anakaa chini ya mwembe pale kwenye gogo, na kufungua chupa moja ya pombe kali, nakuanza kuinywa taratibu, huku akijipa moyo kuwa, siku siyo nyingi ata jipatia mali zote za Rose.




Naam hayo ndiyo maisha ya Kipanta kwa week end hii, alibakia analinda shamba, huku kila siku akiwa anakunywa chupa moja ya pombe kali, akishondia mihogo, ya kuchemsha, sababu akuwa na uwezo wa kutega wala kununua kambale, fedha aliyo kuwa nayo ya kiasi cha elfu kumi aliitunza kama nauli ya jumatatu, kuendea mahakamani, wakati huo Pross alikuwa anaendelea kufaidi kitumbua cha mke wa Kipanta, ambapo kila usiku ulipowadia Pross alitoka na kwenda kusimama mtaa wapili toka kwa Stellah, na baada ya dakika kadhaa Stella, ange washa gari na kumpitia kisha wanaenda kulala kwenye guest flani, ambapo wange lala mpaka alfajili, na stellah kutangulia nyumbani kisha Pross akafwatia.




Ratiba hiyo ilidumu mpaka juma tatu, siku ambayo Kipanta alifika mahakamani mapema, na kukutana na Matrida, ambao walielewana kuwa wampe kesi Rose, lakini wakati wanataka kuingia mahakamani baada ya muda wakusikilizwa kesi yao ulipofika, Matrida akakumbuka jambo, “hivi umekutana na dada yake Rose?” aliuliza Matrida, kwa sauti ya chini, “sija kutana nae, ata simjuwi mtu mwenyewe, kwani ana dada hapa mjini?” aliuliza Kipanta, na wakati huo wakaliona gari aina ya BMW, likiingia pale kwenye viwanja vya mahakama, wote kila mmoja kwa muda wake akalikumbuka, na kulitambua kuwa lima milikiwa na nani.




Naam wakati Kipanta anashangaa, na kujiuliza kuwa, “amefwata nini huyu Malaya” huku Matrida akisema kwa sauti, “tena huyooo! anaingia” hapo Kipanta akamtazama Matrida kwa macho ya mshangao, “kwani Adellah ni dada yake Rose?”………








Aliuliza Kipanta kwa mshangao, “kwani unamfahamu?” aliuliza Matrida kwa mshangao, “ndiyo namfahamu” alisema Kipanta akishindwa kufafanua anamfahamu kivipi, “ni dada yake, tena anaishi na mzungu” alisema Matrida kwa sauti ya kunong’ona, huku wanalitazama BMW ambalo sasa lilikuwa limesha simama na akashuka Matrida pamoja na familia yake, yani mume wake Mauricio Fernandez, na watoto wao, hapo ndipo Kipanta alipovuta picha ya kile anachoelezwa , kuwa huyu ni dada wa Rose, akakumbuka kuwa kipindi yupo na Adellah kule tabora, Adellah, alikuwa na mdogo wake wakike, alikuwa mdogo sana, “Matrida sasa tume tajirika, yeye si anajifanya mjanja” alisema kwa kunong’ona bwana Kipanta, huku akikwepesha macho yake yasi mtazame Adellah, “kivipi kwani wanaela nyingi?” aliuliza Matrida swali ambalo jibu lake analo, maana kwa mwonekano wa Adellah, na familia yake , na usafiri wanao tumia, yani gari aina ya BMW jipya kabisa, “sasa je anaishi Suns philipe uko Filipino, mume wake ni kanali wa jeshi, yani ili mdogo wake aachiwe lazima watulipe fedha ndefu” alisema Kipanta ambae matumaini yake yalizidi kuongezeka, ata Matrida pia aliingiwa na matumaini mengi zaidi, maana alionekana anatabasamu, tena tabasamu la matumaini, “mi ndio napo kupendea hapo, na tukifanikiwa, siku hiyo tuna kasha tunapombeka mpaka asubuhi” alisema Matrida kwa kunong’ona, kisha wakacheka na kugongeana mikono, kabla awaja mwona insp anakuja mbele yao, “salama kaka, pole sana na matatizo ya jana” alisema insp akimsalimia Kipanta, “asante sana kaka, ndio ukubwa huo” alisema Kipanta, kwasauti ya kinyonge, “dah! niliona kwenye mitandao, lakini nasikia ulisha maliza” alisema insp, “ni kweli nilisha maliza” alijibu Kipanta, “ila we ndugu yangu bwana, kwani ukujuwa kama yule ni dada yake Rose” aliuliza Insp, “sikujuwa ila mwache ajifanye mjanja, wakati mimi nimeshikilia makali” alisema Kipanta huku wana tazama kule liliko BMW, yani kwenye mahegosho ya magari, ambako waliweza kumwona Adellah ana agana na familia yake kisha akanza kutembea kuwafwata pale walipo, “Kipanta bwana, lakini ukifanikiwa, nenda nyumbani tabora, usibakie hapa mjini” alisema insp kwa sauti ya chini, “habari zenu jamani” alisalimia Adellah, akiwasalimia wote kwa ujumla wao, lakini aliitikia insp peke yake, huku wakina Kipanta na Matrida wakielekea ndani ya ukumbi wa mahakama, na wakati huo gari la watuhumiwa likiingia pale mahakamani, “insp nina ushaidi naomba unielekeze namna ya kuuwakilisha, mahakamani” alisema Adellah, huku akitoa simu yake, toka kwenye mkoba wake, “niushaidi wa sauti?’ aliuliza insp kwa sauti ya mshangao huku akiachia tabasamu la kustaajabu, “ndiyo insp, nilipngea na Kipanta jana alinieleza ukweli kuwa Rose akuusika na kwenye tukio hilo” alisema Adellah, na hapo insp akatabasamu, “kweli wewe ni mwanamke wa kuigwa, ok! muda mchache japo nilitaka niisikilize, lakini wacha nikakubadhi kwa mwendesha mashataka, ili akupe nafasi ya kuwakilisha ushaidi wako” alisema insp kisha wakaongozana na Adellah, kuingia ndani, “kweli huyu mzee anamikosi” alisema insp pasipo kufafanua.*******




Wakati hayo yanaendelea pale mahakamani, huku mwana mama Stellah, akiwa nyumbani kwake, pamoja na wanae na kijana Pross, mala akapigiwa simu na Celine, akimweleza kuwa lisaa limoja badae yeye na rafiki zake wakina Suzie na wengine wata kuja pale nyumbani kwake, hivyo Stellah, akawataka watoto wake wafanye maandalizi ya kina, huku Pross akiaga na kusema anaenda kuangalia kule shamba, maana alisha pitisha siku tatu bila kukuona na ukichukulia boss wake alikuwepo kule shamba, “ok! wewe nenda alafubadae uje kama kawaida” alisisitiza Stellah, na Pross akaondoka zake, huku Stellah akiwa amempatia fedha za nauli, ya kwenda kurudi na fedha ya chakula.******




Naam Rose akiwa kwenye kizimba cha mahakama, aliweza kumsikia Kipanta na rafiki yake Matrida wakitoa maelezo, yanayo fanana, juu ya tukio linalosemwa kuwa ni la yeye kuwawekea dawa kwenye vilevi, wawili awa, na kupoteza fahamu, ukweli Rose aliumia sana kuona anasingiziwa hivi hivi, nambaya zaidi, ata Adellah alipotoa ushidi wa wa sauti, ya kipanta akisema kuwa Rose akuusika na lolote, ila ana taka amkomoe na kumfilisi, ukweli ipanta alipinga vikali, huku akieleza kuwa, yeye akuongea mambo ayo na Adellah, ila Adellah, ametengeneza sauti hiyo, kwa lengo la kumkomoa yeye sababu ya visa vya kimapenzi, na pia kumtetea mdogo wake, “kwanza jana atungeweza kuongea mamboyote hayo sababu, mimi na yeye tulikuwa katika ugomvi mkubwa sana, kiasi cha kukataa kulipia vinywaji ambavyo mwanzo alisema angelipia” alieza Kipanta, na kuzidi kuupoteza maboya ushaidi wa Adellah.




Adellah alijitaidi, kutoa ufafanuzi wa ushaidi wake lakini mahakama ulikataa ushaidi ule, kwa madai kuwa kumekuwepo utengenezaji na uigizaji wa sauti za watu, hivyo ushidi wa sauti pekee usingeweza kutosha kumfanya Rose aondolewe hatia, “kesi ina ailishwa mpaka kesho, ambapo mnatakiwa kuleta ushidi wenu, zaidi ya hapo, hukumu ita fwatia” hayo yalikuwa ni maneno ya hakimu, ambayo yalimvunja nguvu, Adellah ata Rose mwenyewe, na rafiki yao Joyce, huku Matrida na Kipanta wakiachia tabasamu la nguvu, liliashilia ushindi.




Nawalipotoka mahakamani, Adellah, aliekuwa anatililikwa na machozi huku anaagana na Rose, akaweza kumwona Kipanta akiwa ana agana na Matrida ambae alimkabidhi elfu therasini, wakiwa na matumaini kuwa kuna fedha zaidi inakuja.




Adellah awakati anaagana na Rose, walijaribu kushauriana mawili matatu, lakini akuna kitu cha kufanya walicho kipata, ambacho kina weza kuwasaidia ili kumtoa Rose kwenye huu mkasa, “lakini ni kweli Kipanta amesema anataka kukusingizia ili akufilisi” alisema Adellah akionekana kuwa mwenye machungu makubwa sana, na mpaka waachana awakuwa wamepata wazo litakalo wasaidia. ******




Mida hii ndiyo mida ambayo Pross alifika kule shambani, na alikuta pamefungwa, na akuna mtu yoyote, alichowaza, ni kuwa boss wake Kipanta ata kuwa amesha rudi mjini kwa mpenzi wake Rose, na kila alipo mkumbuka Rose, alijikuta anaona wivu, maana anakumbuka mschana huyu, alimhaidi mambo mengi sana usiku wa chriss mas, lakini matokeo yake, akapotea moja kwa moja, “au aliona mimi simfai?” alijiuliza Pross, huku anafungua mlango kwa funguo nyingine, na alipoingia ndani akakuta, begi la boss wake bado lipo, hivyo akajuwa kuwa boss wake lazima ata rudi tena, kwamaana yakwamba bado ajarudi mjini, na muda wowote atarudi pale shamba, na zaidi ya hapo aliona chupa kadhaa tupu za pombe kali, akajuwa kuwa boss wale ni mnywaji wapombe pia, “kumbe huyu jamaa anakunywaga pombe” aliwaza Pross ambae alikuwa anapekuwa pekuwa kutafuta mfuko wa kubebea vitu vya kwenda navyo mjini, kuepeleka nyumbani kwao na kwa mwana mama Stellah, na baada ya kuupata aka zunguka mashambani, akikusanya mazaga kibao, alafu akarudi ndani na kujilaza kidogo, ili akiamka aende zake kibamba, lakini kutokana na uchovu, wa kukesha na #kitumbua_chabuku kwa siku tatu, akajikuta akipitiwa na usingizi mzito.******




Kipanta baada ya kuachana na Marida, alie mkuwa amempatia fedha kiasi cha elfu therathini, akaelekea mbezi, kwenda kutafuta dalali, ili aweze kuliuza gari lake, ukweli ni kwamba akupenda kuishi kama anavyo ishi, hivyo aliona akijipatia fedha kupitia gari lake, Toyota IST, akiwa na maana ya kuliuza, sababu aliamini siku siyo nyingi atakuw amrshapata fedha nyingi , leo Kipanta alifanikiwa kukutana na dalali mmoja pale mbezi, huyu ni bwana Mic Mhagama, ni dalali mmoja ambae alisha fanikiwa kuuza magari mengi sana, ya watu alio mletea, “sasa chukuwa namba yangu nitumie picha whatsaap” alisema dakaki Mhagama, huku anatoa simu mfukoni, lakini Kipanta akuwa na simu, na aliona aibu kusema kuwa akuwa na simu, “da simu nimeiacha chaji, niandikie sehemu, nitakutumia baadae” alisema Kipanta, akiwa na uhakika kuwa ata enda kumtafuta mtu mwenye simu yenye uwezo huo, asa Matrida ambae atakutana nae siku inayofwata kwenye mahakama.




Kipanta alipewa namba za simu na kuondoka zake, kuelekea kisalawe,akipitia chupa kadhaa za pombe kali, akiwa na lengo la kwenda kupumzika na kujinywea pombe yake, kama ilivyo kuwa juzi na jana.******




Naam, mambo yalikuwa ni mpwito mpwito, wakati Stellah, alikuwa nyumbani kwake na marafiki zake anajinywea pombe, huku wakisimuliana na kuonyeshana picha na video za whatsaap zilizomwonyesha Kipanta anavyo dhalilika mtaani, huku Matrida alikuwa na rafiki zake wanaendelea kujipatia vinywaji, kwafujo, wakiongea na kupanga ili na lile, katika kumfilisi Rose, lakini Rose mwenyewe alikuwa kwenye chumba cha mahabusu, anamwaga michozi, asiamini kama rafiki yake Matrida anasema kuwa alimwona Rose akiwa anaingia chumbani na kuwa fanyia fujo huku akigusa gusa glass zao, “sijuwi nime mkosea nini, Mat?” ilo swali akuwai kulipatia jibu Rose, ambae ata dada yake Adellah, alishindwa kumsaidia kujinasua, toka kwenye ile kesi, wakati huo, huo Adellah, pia alikuwa amejifungia hotelini, akiendelea kulia kwa muda mrefu, mume wake akishindwa kum bembe leza, kutokana na machungu aliyo nayo, ilimuuma sana, asa alipo vita picha ya jinsi kipanta akatavyo jiona kuwa ni shujaa, kwa kuweza kuiingiza familia yao kwenye matatizo kwa mala nyingine, na mbaya zaidi Adellah, alimsikia Kipanta mwenyewe akisema kuwa anaamua kumsingizia Rose ili amfilisi, kwakweli ulikuwa ni ucungu mkubwa sana.******




Saa kumi za jioni ndio mida ambayo Pross alihamka toka kitandani, huku akihisi njaa ina mchonyota, cha kwanza kabisa alitoa simu yake na kuipiga kwa Stellah, ambae alimweleza kuwa aendelee kusubiri kidogo, ata mstua, “maana wageni bado wapi” hivyo Pross akatoka nje ya kibanda chake, na kwenda kuwasha moto chini mwembe dodo, alafu akaanza kuandaa chakula maana njaa ilikuwa ina mcharaza kweli kweli, hivyo kijana Pross ambae ssa alizidi kunawili, na kupendeza, aliendelea kujipikia chakula chake, ikiwa na kwenda barabarani, kuchukuwa samaki wakavu aina ya kambale, ambao walikuwa wanapatikana kwa wingi eneo ilo, kisha akaja kuwa tengeneza kwaajili ya mboga.




Lakini basi wakati anaendelea kujipikilisha, akamwona Kipanta anaingia kwa mwendo wa uchovu, huku amekumbatia kifurushi cha chupa ya pombe ali, “kumbe we mpuuzi uwa aulindi ili shamba kabisa, kazi yako ni kudhurula mitaani, hivi si utaasababisha watu waje kuiba” alisema Kipanta bila ata salamu, akiwa mita kadhaa kabla ajamfikia Pross alie kuwa chini ya mwembe anaanza kusonga ugari, “shikamoo boss” alisalimia Pross kabla ajaanza kujitetea, lakini akupewa nafasi ya kujitetea, alikutana na lawama nyingi zilizo ambatana na masimango, “sasa kinacho fwata ni wewe kuondoka hapa, maana naona kazi imesha kushinda” alisema Kipanta huku akiwa anasogelea, kwenye gogo, “lakini boss nilikuaga, kuwa naondoka kidogo” alijitetea Pross, “lakini ukuniambia kama utakaa sikuzote hizi” aliongea Kipanta ambae alikuwa amesha fika pale gogoni, na kutupa macho jikoni, akaona sufulia la ugari lina chemka, aka tazama sufuria la pembeni, akaona samaki wanae elea kwenye mchuzi mzito, hapo aka jichekesha, “kumbe umesha fanya mambo, utatutosha kweli huo maana nina njaa” alisema Kipanta huku anajichekesha chekesha, “unautosha, ni mwngi sana huu” alijibu Pross, alie kuwa anendelea kushugulika na mapishi, ila wewe dogo, unaweza kuishi popote na ukaanikiwa, unaonekana unajiuma sana” alisema Kipanta uku akijikalisha kwenye gogoni, ukiwa ni mkao wa kula.*****




Yap, mama Pross alikuwa anaendelea shughuri zake pale nyumbani, kama ilivyo kawaida, aliuliza mboga na vitu vingine vingi vya gengeni kwake, akisaidiana na mdogo wake, na kuna wakati walikuwa wanazama kwenye maongezi, huku wana sukana, mama mdogo siku hizi, alikuwa moto mzuri, akuwa anaenda tena kutafuta wanaume, na kunywa pombe nyingi nyingi, kama alivyo kuwa anafanya zamani, “hivi dada unamkumbukaga shemeji kweli?” aliuliza mama mdogo, akiwa ana msuka dada yake, yani mama Pross, “yani uwezi amini, kuna wakati uwa najiuliza sijuwi alipatwa na nini, mpaka akaamua kutukimbia” alisema mama huyu, kwa sauti ya upole iliyoanza kuingiwa na unyonge, “lakini sawa ni ela zake, ila ange wakumbuka ata wanae basi” alisema mama Pross, kwa sauti ile ile ya masikitiko, “iala dada tushukuru Pross alibakia na sisi, vinginevyo tunge umbuka” alisema mama mdogo, huku wote wakiamini kuwa bwana Feruz anaishi maisha mazuri, huko aliko, “ulitaka kumwagia radhi mtoto wawatu” alisema mama Pross wote wakacheka, “usinikumbushe dada yani pombe siyo chai, nilijuwa nipo na shemeji yako” alisema mama mdogo wakiendeleea kucheka, “na una bahati mtoto ange juwa kuwa umefanya makusudi, lazima ange kutia” alisema dada mtu, “sijuwi ninge mtazamaje siku yapili, ila siku hizi ana nawili anakuwa mzuriiii!” alisema mama mdogo, “alafu anazidisha kutoa fedha nyingi, sijuwi anazipata wapi?” alisema mama Pross, huku wakiendelea kuongea ili na lile, na kusukana.******




Naam mida ya saa kumi na moja na nusu, Pross alikuwa ndani ya kibanda cha bati, ame jilaza kitandani, ni baada ya kuwa alisha maliza kula na kuosha kuosha vyombo, mida hiyo, Kipanta alikuwa amekaa nje ya kibanda, pale chini ya mwembe, ana kunywa pombe taratibu huku anafilia jinsi atakavyo, miliki mali za Rose, “asa lile gari, yani sijuwi nilikuwa nawaza nini, mpaka nikatoa million kumi na nane kumnunulia” aliwaza Kipanta ambae sasa alishaanza kulewa, pia aliwaza juu ya Rose kuwa mdogo wake Adellah, “kwamaana hiyo Rose akujuwa kama nimewai kuembea na dada yake?” alijiuliza Kipanta, ambae akuwaza kama kilikuwa ni kisasi, “alafu na huyu mpumbavu anajifanya kuni record ime kula kwake, sas wote nim wakanyaga, na nina mkomba kila kitu” alijisifu Kipanta, ambae sasa alianza kupata hamu ya kumweleza mtu, kiasi kwamba ata koo lilianza kumpwita pwita.




Wakati Kipanta anawaza juu ya hayo, huku nako Pross alikuwa anaona anachelewa kwenda mjini, maana bado alikuwa ajapigiwa simu na Stellah, kama aende au asiende, “we dogooo!” Pross alisikia sauti ya kilevi ya boss wake, kwanza aliona kama usumbufu, akaachia msonyo wa chini chini, na kukausha kimya, mala ikasikika tena sauti ya Kipanta, “we! dogooo!” safari hii, ilikuwa ya juu zaidi, “naam boss” aliitikia Pross, kwa sauti ya unyenyekevu, “ebu njoo dogo, unakaaje ndani kama utumbo, kijumba chenyewe kama banda la mbuzi” alisikika Kipanta kwa sauti yake ile ile ya kilevi, “nakuja boss” aliitikia Pross, ambae kiukweli akupenda jambo lile na dharau za bwana Kipanta, “haaa! una niwekea usiku bwana, unataka nini?, alafu unadharau hiki kibanda, wakati ume ng’ang’ania huku utaki kaa mjini” alisema Pross kwa sauti ya chini, huku anainuka toka kitandani, na kuvaa viatu vyake, alafu akatoka nje, na kuelekea pale chini ya mti, “ebu kaa hapa dogo, alafu wewe siunakunywa pombe, kwanini usinywe kidogo” alisema Kipanta kwa sauti ya kilevi, “mimi sinywa hizo kali, na kunywa wine” alisema Pross huku anakaa kwenye gogo pembeni ya Kipanta, simu yake ikiwa mkononi, “ok! tuyaache hayo najuwa demu wako atakupigia mkanywe pombe zenu za kichoyo” alisema Kipanta na kuweka kituo kidogo, akinywa funda moja la ile wisk, na kisha kuisikilizia kama vile ina mchoma maini, au utumbo, alafu akaendelea, “dogo nataka niku fundishe kitu, kuusu maisha, siyo unakaa kindezi ndezi” alisema Kipanta kwa sauti ambayo, ata wewe kama ndiyo unamsikiliza hakika usinge mtilia maanani, kwaku juwa ni mlevi tu!, “ujuwe wanawake ni watu wakuishi nao kwa hakiri sana, hivi una juwa demu wangu yupo wapi?” ……






aliuliza Kipanta huku akimtazama Pross, na usowake umechanua kwa tabasamu la kilevi, hapo zaidi ya tabasamu, Pross aliweza kuona ndevu za bwana Kipanta zilizo jawa na mvi, ilionyesha kuwa bwana Kipanta ata usmart wa kunyoa ndevu uli mshinda, “sijuwi alafu siku hizi simwoni kuja huku, na rafiki zake” alisema Pross ambae sasa alianza kupata hamu ya kusikiliza mafunzo aliyo taka kupewa, maana yalionyesha dalili ya kumuusu Rose, mwanamke ambae alisha peana nae dudu, kwa usiku kucha, na wali furahia usiku wao vizuri sana, siku ile ya christimas, “ata wezaje kuja wakati yupo mahabusu” alisema Kipanta kwa kujisifu, na kuanza kuelezea jinsi mambo yalivyo kuwa, “nili mnasa rafiki yake nika enda kutafuna, yeye akaja kujifanya kufumania, nika mtimua, lafu akajifanya kuni fungia vioo, wakati mimi nime mnunulia vitu kibao, mpaka lile gari, nyumba nime mjengea, nime mjengea maflemu kibao, nime mpa mitaji kibao, alafu leo aniache kilahisi hivi, sasa nime msingizia kesi, ya kuniwekea dawa kwenye pombe, na kesho ndiyo hukumu yake” alisema Kipanta kwa sauti ya kilevi, na kumshtua sana Pross, ambae alitambua kwanini akuwa anamwona Rose, kuja pale shambani kama walivyo kubaliana, “nita mfilisi kila kitu, na dada yake amejifanya mjanja, nime mkataa mbele ya hakimu, amebakia analia lia tu!” alisema Kipanta, na kumkumbusha Pross simulizi aliyo wai kusimuliwa na Rose, siku ile ya Christimas, “kwani we boss auna mke na watoto?” aliuliza Pross, swali ambalo lili mshtua Kipanta japo alikuwa amelewa, “yupo … yupo… mke wangu yupo bomba kinyama, yani akipita hapa ata wewe japo moto lazima unge kubari kuwa najuwa kuchagua mademu bomba” alijisifu Kipanta, “ok! sasa yeye anajuwa kama una mwanamke mwingine, na ulimjengea nyumba” aliuliza Pross na wakati huo huo simu yake ikaita, kutazama alikuwa ni Stellah, “demu wako huyooo nakupigia” alisema Kipanta, na wote wakacheka kidogo, huku Pross anapokea simu, “niambie mama” alisema Pross, huku wanatazamana na Kipanta, ambae akusikia maneno ya upande wa pili, ila alimsikia Pross akiuliza, “kwahiyo niende moja kwa moja mpaka pale pale pa jana?” kusikia hivyo Kipanta akacheka kidogo, mtoto hatari wewe” alisema kipanta kwa sauti ya kilevi sauti ambayo ilionyesha kuwa Stellah aliisikia, maana Pross alisikika akisema, “ni boss wangu huyo….. ok! nakuja, nikifika mbezi nitakupigia, …. sawa nakama ninjia ya huku nachukuwa piki piki” hapo Pross alimaliza kuongea na simu ikakatwa, alafu Pross akamtazama boss Kipanta, “sasa Boss wacha mimi nisogee mjini” alisema Pross, “we nenda tu! ila mimi kesho natoka mapema, nawai mahakamani, nikifanikiwa mambo yangu huku sito rudi, tuta wasiliana kwenye simu” alisema Kipanta ambae alimini baada ya kutoka mahakamani kesho, atakuwa na fedha nauwezo mkubwa sana, ikiwa pamoja na kumiliki magari nyumba maduka ya Rose, na kujinunulia simu ya kisasa, “ aina shida boss” alisema Pross ambae alijitwisha furushi, lake na kuanza kusogea barabarani, huku anatoa simu yake nakumpigia bodaboda, ili ake kumfwata.




Dakika chache baadae alikuwa tayari amesha kutana na boda boda na safari ya mjini imeanza, akiwa juu ya pikipiki, huku amefunga mzigo wakenyuma kabisa, Pross alionekana kuwaza sana juu yakile ambacho Kipanta alipanga kumfanyia, Rose, na kilicho muumiza zaidi ni kwamba aikuwa mala ya kwanza kwa Kipanta kuitendea uovu familia ya kina Rose, maana Pross alisha simuliwa na Rose kila kitu, ukweli roho ilimuuma sana Pross, mpaka akapanga kumsimulia Stellah, ambae walipokutana dakika alobaini natano mbele, Stellah, aligundua unyonge wa Pross, “jamani mpenzi, umechukia, nilivyo kuambia ukakae kwanza shamba niongee na rafiki zangu” aliuliza Stellah alie kuwa amelewa, huku wakiwa bar, wanapata wine na chakula, kuongeza nguvu na chachu ya kuingia chumbani, “hapana Stellah, ila kuna story moja ina umiza roho mpaka nashindwa nifanyaje” alisema PPross na kuanza kumsimulia Stellah, mkasa mzima juu ya kilicho tokea baina ya Rose na Kipanta, pasipo kujuwa kuwa Kipanta ni mume wa Stellah, huku Pross akitumua hakiri nyingi kuepusha kipengele cha kupeana dudu na Rose.




Ukweli japo Stellah, alikuwa amelwa kwa kiasi chake lakini simulizi ile ilimshangaza sana na kumshtua, “imanaana alitembea na dada mtu na kuzaa nae, kisha akamtelekeza na baadae kusababisha kifo cha kaka yao, na yeye akaoa mwanamke mwingine?” aliuliza kwa mshangao Stellah, “ndiyo na sasa anamsingizia kuwa alimwekea dawa, ili mfilisi kila kitu, na kumkomesha mke wake, ambae anasema anajifanya mjanja” alisema Pross na hapo Stellah, alicheka kidogo, “huyu mshenzi ata dharirika sana mwaka huu” alisema Stellah, pasipoPross kujuwa mama huyu ana maanisha nini, kisha wakatulia kidogo, “Sikia Pross kuna kitu mimi nataka nikushauri, ebu msaidie huyo boss wako” alisemStellah na kuanza kumweleza Pross kitu cha kufanya., ili kumsaidia Rose, maana ukiachilia Stellah, kushtushwa na unyama alioufanya Kipanta kwa Adellah, pia akupenda Kipanta afanikiwe, maana yeye angekuwa katika wakati mgumu, na lengo lake yeye ni kuona Kipanta analipia aliyo yafanya.*******




Naam siku ya pili saa mbili asubuhi, nje ya viwanja vya mahakama, watu walionekana wamefulika vibaya sana, watu wa kawaida kwa waandishi wa habari, kila mmoja alionyesha kuwa alitaka kujuwa tamati ya kesi ile ambayo siku za hivi karibuni, ili tawala sana mitandaoni, kuna wakati waandishi walionekana wakimzonga zonga Adellah, na kumwuliza anatabiri vipi juu ya humu ya mdogo wake,


“kuhusu hukumu tuiachia mahakama ila ukweli mdogo wangu, akufanya kitendo hicho” alisema Adellah, ambae leo alikuwa amevaa miwani meusi, kuzuwia wekundu wa macho yake ambayo alikesha akilia usiku kucha.




Lakini waandishi hao hao walipo mfwata ipanta na kumwuliza mwenendo wa kesi, aliongea kwa majigambo, “nazani ilo siyo la kuuliza, mtuhumiwa tayari amesha kosa la kujitetea, na leo ana ngoja hukumu yake’ alijibu Kipanta kwa sauti iliyojaa majivuno na kujiamini, “unazani ni kwanini mschana Rose, alialiamua kukuwekea dawa kwenye kinywaji” aliuliza mmoja wa waandishi wa habari, “ni visa vya kimapenzi, sababu niliachana nae kutokana na tabia zake mbaya, na yeye akaamua kufanya hivyo, akizania kuwa nitapoteza maisha, ili aweze kubakia na malizangu zote” alisema bwana Kipanta, kwa sautimile ile ya kujiamini, kama unge msikia kwa muda huo unge juwa kuwa kipanta ni mtu mwenye fedha nyingi, na wakati waandishi wanataka kuendelea kuhoji, ndipo watu wakatakiwa kuingia mahakamani, tayari kuanza kusikilizwa kwa kesi ya kwanza ambayo ilikuwa ni ya mschana Rose, kesi ambayo ilivutia watu wengi, kutokana na kuzagaa mitandaoni, wengi wakitegemea kuskia adhabu kali inatolewa kwa mschana Rose, kwa kitendo aliacho kifanya, ambacho wengi walitafthiri kama ni kitendo cha kinyama na cha udharirishaji ambacho kina itaji kukomeshwa.




Hapo watu wakaingia mahakamani, huku wakitaani kuona Rose anapewa adhabu kali, kasolo Adellah na Joyce pekee ndio walikokuwa wanatamani kuona Rose anashinda kesi ile, japo matumaini yalikuwa madogo, hivyo Adellah, akiwa na Joyce wakaingia mahakamani, na kukaa karibu kabisa na Rose, huku muda wote Adellah, akimshika Rose mikono, na kushindwa kuzuwia machozi yao.*******




Upande mwingine mida hii ya saa mbili za asubuhi, bwana Waghora yeye alikuwa amesha toka magetoni, akiongozana na Sinder, mpaka stendi ya mbezi, ambapo waliachana, Sinder akipanda gari za kwenda Kibamba, kwalengo la kushukia, Luguruni, na Waghora akaelekea, upande wa stendi ya malamba mawili,a mbapo aliipita na kuvuka barabara, alafu akaelekea kwenye tawi la benk la NMB, moja kwa moja akajiunga kwenye foleni ya ATM ambayo ilikuwa na watu wachache sana, Waghora alitulia kwenye foleni kwa muda mchache, kisha, ikafikia zamu yake, nae akaingia na kuchomeka card yake kama machine ailivyo mwelekeza, lakini basi ilikuwa ni tofauti na mala ya mwisho alipochomeka card hii, na kushindwa kuipatia password, leo card aikusoma kabisa, akaicancer na kukuichomeka tena, mambo yakawa vile vile, akaicancer tena na kuichomeka kwa mala ya tatu, “kaka vipi, kama kuna jambo lina kutatiza ni bora uombe msaada” alipiga kelele dada mmoja alie kuwa nyuma yake, pamoja na wengine kadhaa, ambao walikuwa nasubiri huduma, “ungekuwa na haraka si ungekuja asubuhi” alisema Wagora huku akicancer tena na kuichomeka card kwa mala ya nne, hapo ata wateja wengine waliingilia kati na kupaza sauti za malalamiko kuwa wanacheleweshwa, lakini ili ni sikio la kifo, Waghora aliendelea kuchomeka na kuchomoa, card ile ambayo ilisha mweleza kuwa inamatatizo.




Kitu ambacho waghora akukijuwa ni kwamba, tayari simu toka makao makuu ya benk hii mkoa wa pwani walisha piga simu kwenye tawi la la mbezi, na kueleza kuwa kuna mtu anatumia card iliyo reportiwa kuwa imeibiwa, na camera zimesha mnasa hivyo haraka sana wawai kwenda kumkamata hapo kwenye ATM, na pamoja na maelezo hayo pia walituma picha za mtu huyo.




“Bwanaeee! kama card inamatatizo, ingia ndani” alisema mmoja wa wateja waliokuwa wana msakama Waghora mbae sasa aliona isiwe shida, alichomoa card na kutoka nayo kwenye izimba cha ATM, huku anapishana na yule dada wakwanza kumpigia kelele, ambae alimkata jicho kali, “samahani kaka vipi card yako inamatatizo?” alishtuka Waghora akiulizwa na mtu mbele yake, ile kumtazama, alikuwa ni kijana mtanashati ndani ya sale za wafanyakazi wa benk, “hapana nazani aina salio” alisema Waghora, huku kiendelea kutembea, kueleka kwenye lango la kutokea nje, ambalo lilikuwa na polisi wawili wenye silaha aina ya smg, maana alijuwa kuwa akiambiwa aonyeshe ile card na ikionekana siyo yak wake, lazima ata kamatwa.




Lakini alisha chelewa, maana yule mfanyakazi wa NMB, ambae alipanga kutumia ujanja kumwingiza ndani, kisha kuwaita polisi, alipoona Waghora anatoka na kuna dalili za kumkosa,a akaona isiwe shida, akawatazama wale polisi, na kuwapa ishala kuwa wamkamate Waghora, ambae sasa alikuwa anakaribia, lango la kutokea nje ya uzio wa eneo la benk, “simama hapo hapo” ndivyo alivyo sikia Waghra, hapo akajuwa kuwa tayari amekwisha, na akuwa na ujanja, akasimama mala moja, huku akiwatazama wale polisi, wenye silaha zao mikononi, “huyu bwana anatumia card ya wizi, hivyo tunaomba asachiwe, na hivi tunavyoongea tayari kuna polisi wa kituo cha mbezi, wapo njiani wanakuja, kumchukuwa” alisema yule jamaa mwenye kuvalia sale za benk, ma hapo aikuwa na haja ya kusachi bwana Waghora, maana card alikuwanayo mkononi.******




Yap, mahakama ilikuwa imetulia kimya kabisa, kiasi kwamba ata kama kikoozi kime kubana, basi ungeona aibu kukooa, maana lazima watu wange geuka kukutazama, “mwendesha mashtaka soma shtaka” alisema hakimu, huku akiweka miwani yake vizuri na kukodolea makaratasi yaliyokuwepo mbele yake, wakati huo mwendesha mashataka akisimama na karatasi mkononi, “kesi namba 0… 51 inayo mhusu Rose mery Danford, mwenye miaka 24, fanyakazi wa Benk, ambae usiku wa tarehe 25, yani siku ya christams aliwavamia bwana Kipanta, na bi Matrida, ndani ndani ya chumba namba … kwenye nyumba ya kulala wageni, ya Luguruni bar, na katika uvamizi huo, alifanikiwa kuweka, dawa za kulevya, ambavyo zilisababisha, walalamikaji, kupoteza fahamu kwa masaa yasiyo pungua, kumi na tano, ushaidi wa pande zote mbili, umetolewa, lakini upande wa mshatakiwa ushaidi wake umekosa nguvu, kwa kukosa uthibitisho, na ushidi wa uoande wa walalamikaji, umeonekana unga nguvu, sababu wenyewe wote wawili wanakili kumwona mtuhumiwa, akiingia na kuwafanyia fujo, huku akigusa gusa, vinywaji vyao” alisikika mwendesha mashtaka, huku watu wakiwa kimya wanamsikiliza, ambapo Rose alikuwa amesha kata tamaa kabisa, na mchozi yana mtililika, sababu usiku unaotajwa kuwa aliwavamia pale guest, yeye alikuwa ana suguiwa kitumbua na kijana Prosper, kule shambani kwake, wakati Rose Adellah, na Joyce wanazidi kukata tamaa, huku bwana Kipanta alie kuwa amekaa karibu na Mtrida, pamoja na rafiki zake Matrida, wale wanne, walionekana, kujawa na nyuso za furaha, maana waliona mafanikio yakiwa karibia kwa speed kali, muda wote midomo yao ilishindwa kukutana, yani wajuu na chini, na kufanya meno yawe nje, kama fisi alieona mfupa, hukuwakiona msoma mashtaka anachelewa, bola arudishe kesi kwa hakimu ili atoe hukumu, “lakini licha ya ushidi wenye nguvu, toka kwa walalamikaji, na video zinazo sambaa mitandaoni, leo tume pata shaidi mwingine, kwa liksa yako mhesimiwa hakimu, tunaomba kabla ya kusoma hukumu, umluhusu, shaidi huyu, awakilishe ushidi wake” alisema msoma Mashtaka, ghafla watu wakaonekana kutazamana, kwa mishangao, mbali mbali, na hapo pande zote mbili, yani mastakiwa na walalamikaji, wakashangaa, huku Rose anajuwa kuwa wakina Kipanta wameleta shaidi mwingine, na wakina Kipanta na Matrida wanajuwa Rose ameleta shaidi mwingine, hivyo kila mmoja akashangaa ka wakati wake, Rose na ndugu zake wakizidi kukata tamaa, “sawa, ushidi wa mwisho” alisema hakimu, na hapo ukapita ukimya mkubwa, na sekunde chache baadae zikaanza kusika sauti za vishindo vya nyayo, vya watu wawili, watu wote wakageuza shingo zao kutazama kule viliko tokea vishindo, ambako ni kwenye mlango mkubwa wakuingilia mahakamani.




Naam siyo Rose siyo Kipanta siyo Joyce wala Matrida, wote walionekana wakitoa macho kwa mshangao, huku wakitazama kule vilikotokea vishindo, yani kwenye kolido la mahakama, Adellah aliona mishangao hiyo, hivyo na yeye akatazama kule vilipo tokea vishindo, na kumwona polisi mmoja akiwa ameongozana na kijana mmoja mtanashati alie valia vizuri kabisa, mwenye sura na umbo zuri, akamtazama Rose, na kusogeza mdomo wak kwenye sikio la mdogo wake huyo, na kabla ajauliza tayari Rose, alisha juwa kuwa dada yake anajambo la kuuliza, hivyo akatangulia kutoa jibu…






“Pross, mlinzi wa shambani kwangu” alisema Rose, kwa sauti ya masikitiko, maana alijuwa kuwa lazima, Kipanta alishaenda kumpanga Pross, ili aje atoe ushaidi wa uongo, Rose akamtazama Pross alie kuwa anatembea kwa uoga, kueleka mbele akisindikizwa na yule polisi, “jamani Pross atawewe” aliwaza Rose huku anafuta chozi la jicho la kushoto, kisha anamtazama Pross alie kuwa anatembea huku anatazama kushoto na kulia, kama vile kunamtu anataka amwone, mala wakakutana macho yao, na Pross akayakwepesha, japo ilikuwa ni nukta chache, lakini Rose aliweza kuona macho yaliyo jawa na uoga na wasi wasi ya Pross, ambae alipelekwa moja kwa moja mpaka mbele.




Rose alimtazama Pross, huku akikumbuka jinsi walivyo peana utamu usiku ule wa Christimas, ikiwa pamoja na kumkabidhi fedha zake zote alizo kuwa anazidai, Rose alikumbuka upole na ukarimu wa wa Pross, na mambo waliyo yapaga kuyafanya baada ya usiku ule wa Christimas, “labda sababu nilikuwa na mnyanyasa siku za nyuma, lakini nilimwomba msamaha”aliwaza Rose, huku ana mwona Pross anatazama upande aliokaa Kipanta, na yeye akamtazama Kipanta, akamwona amemkazia macho Pross, tena macho makali, hapo Rose akishindwa kuendelea kumtazama Pross, na kujiinamia akilia kwa kwikwi.




Wakati Rose anawaza ayo, huku Kipanta nae alikuwa amesha hisi kosa alilo lifanya, ni kumsimulia na kumweleza ukweli Pross, jana jioni, akiwa amelewa, “lakini na mkataa kama nilivyo mkataa Adellah, na tukitoka hapa, asirudi tena kule shambani” aliwaza Kipanta, huku akimkazia macho Pross, tena macho makali, ata Pross alipokutanisha macho yake na Kipanta, alijikuta akishtuka na kuyakuyakwepesha haraka, “ok! huyu ni shaidi wa upande gani na anaitwa anani, apewe kiapo haraka, lazima leo hukumu itoke” alisema Hakimu, na hapo mwendesha mashtaka aka simama akiwa ameshika kitabu cha dini, na kumpelekea Pross, ambae sasa alikuwa ameimama kizimbani.********




Naam polisi walifanikiwa kumchukuwa Waghora ambae walimpeleka nyumbani kwake yani magetoni, na kwenda kumsachi ambapo walimkuta na vitambulisho na card za benk za watu wengi sana, ambazo alisha wai kuziiba siku za nyuma, na ikabainika kuwa akuwa anaishi peke yake, hivyo polisi wakaenda kumkamata sinder kule kazini kwake, yani Luguruni bar, na kisha wakapelekwa kituo cha kati, kule kiluvya, wakiwa na vitu ambavyo nika aushidi, wa uharifu wao.




Baada ya kuandikishwa, na kutolewa vitu muhimu, ambavyo awatakiwi kuingia navyo mahabusu, wakaingizwa mahabusu na kisha akachukuliwa Sinder na kupelekwa kwa insp, ili akatoe maelezo kamili, sasa basi ile anaingia ofisini kwa insp, kwanza aliwakuta askari wawili walio valia tishert nyeusi, na suruali za kaki, na buti nyeusi, sura zao zikiwa zime funikwa kwa kofia za sox, ambazo aliacha mdomo na macho pekee, alafu alimwona insp akiwa amekaa kwenye kiti chake, kilichopo mbele ya meza kubwa, na insp alipo inua uso wake na kumtazama, akamwona insp akiachia tabasamu pana, “wewe ndie yule mhudumu wa Luguruni bar siyo?” aliuliza insp, huku anapekuwa note book yake, na kusoma kidogo, kisha akainua uso wake na kumtazama Sinder, “Sinder Naiso, ndio wewe au?” aliuliza insp lakini Sinder aliinama chini akishindwa kujibu lolote, sijuwi kwa aibu au kiburi, “jibu wewe” hapo alikutana na kofi moja zito la mgongoni, ambalo lili mwingia barabara, na kumfanya ahisi mgongo una waka moto, lakini kwa jinsi gani Sinde alivyo komaa kwenye maswala ya uovu, aliachia mguno tu, kama mtu alie paliwa na pili pili, huku akipeleka mkono ili kujikuna, “Sinder unaweza kuona ni kiasi gani ume mwingiza mwanamke asie na hatia kwenye matatizo?” aliuliza insp kwa sauti flani tulivu, huku akimtazama Sinder usoni, lakini Siner alitazama chini, akikosa la kujibu, unajifanya bubu we mwanamke mwawlifu?” iliskika sauti ya askari mmoja kati ya wale wawili, waliosimama na hapo Sinder, alistuka kigongwa mateke ya nguvu kwenye goko za miguu yake yote miwili, na wale askari wawili walio vaa buti za kijeshi, maumivu makali yalipenya kwenye moyo wa Sender ambae alijitaidi kuvumilia, na kutoa sauti ya kama mtu alie finywa, yani “asssss” huku anaimana kupagungusa, sehemu alizo pigwa, na hapo ndipo alipo stukia buti likigonga kwenye vinganja vyake, huku kofi likituwa mgongoni, safari hii alishindwa kuvumilia, aka piga piga kelele, “mama na kufaaa, jamani basi nitaongea” alisema Sinder, huku akimtazama inps kwa macho ya kumsamaha, “ok! eleza ukweli nani aliwawekea dwa wakina Kipanta,” hapo Sinder alisita kidogo, lakini alipo geuka kuwatazama wale jamaa wawili, akaona ana weza kuuwawa hapa hapa, kwa kipigo, “ni mimi, ni mimi…. lakini nilitumwa na Waghola, “ alisema Sinder kwa haraka haraka, akijiepusha na kipigo, huku akieleza ilivyo kuwa, na kwamba akumwona Rose, eneo lile alisema vile sababu aliona kwenye mitandao ya kijamii, kuwa watu wengi wana mshuku Rose, “ok! vitu vingine vipo wapi, kama simu na fedha?” aliuliza insp, na safari hii Sinder alijibu haraka, “alichukuwa Waghola, akaenda kuviuza” alijibu Sinder, “ok! mtoeni mleteni huyo mshenzia” alisema insp.




Dakika chache badae tayari Waghra alikuwa mbele ya insp, huku zile njemba mbili zikiwa nyuma yake, zina subiri muda wakufanya kazi, “bwana Eaghora, wewe na Sinder mume shilikiana kuwa tilia dawa Kipanta na Matrida, kisha kuwaibia kila kitu, ikiwa mpamoja na simu vitamburisho card yabenk, fedha na nguo walizovaa, ni kweli au siyo kweli?” aliuliza insp, hapo Whagora aliekuwa ameweka uso wa mbuzi, alimkata jicho flani la hasira insp, alafu akatazama chini, lakini kabla ata macho yake ayajaangaza vizuri sakavu ya chumba kile, alishtuka akishiwa ukosi wa shati lake na kuinuliwa juu, akavutiwa pembeni, ile ana tahamaki, tayari miguu yake yote miwili ilisha zolewa, na kujikuta yupo hewani, ambako alidumu sekunde mbili, na kujibwaga chini akifikia kiuno, na ata kabla aja sikilizia maumivu ya kiuno tayari, alisha pigwa teke la mbavu, na kihisi kama pumzi zinabana, ile anajiuliza afanye nini ili kusimamisha kipigo, hapo alishuhudia mvua za buti kwenye ngoko zake za miguu, zikishuka mfululizo, “ndio wazee, ni kweli niliiba” alipiga kelele Waghora, “sisi tunajuwa uliiba, ila tunakufundisha adabu, ujuwe faida ya kusababisha matatizo kwa watu wasio na hatia” alisema insp huku, akimtazama Waghora alivyo kuwa anapokea kipigo cha staiki yake, yani mbwa mwizi.*******




“Naitwa Prosper Feruz, naapa kwamba, kila nitakacho kisema hapa ni kweli tupu” alisema Prossper, akifwatisha maneno aliyo elekezwa, na mwendesha mashataka, akiwa ameshikilia kitabu cha dini, na kuwafanya watu wapande zote mbili wazidi kuingiwa na wasi wasi, maana akuna kati yao alie juwa Pross anataka kuongea nini, mala wakamwona mwanasheria wa serikali, akimsogelea Pross pale kizimbani, “aya endelea kueleza unachoona kinachofaa katika ushaidi wakesi hii” aliambiwa Pross na mwanasheria wa serikali, hapo kila mmoja aktulia na kusikiliza Pross ataongea nini, hofu zikimpanda kila mmoja siyo Rose mwenyewe, siyo Kipanta, siyo Joyce wala Marida na rafikizake, siyo Adellah, dada yake Rose, hapo Rose akamwona Pross anamtazama, kwa macho ya uoga, kisha akayakwepesha, “mimi nipo hapa kusema kuwa Rose siyo mtu alie wawekea dawa wakina Kipanta, na Matrida usiku wa Christimas” maneno ayo ya Pross yali pokelewa kwa namna tofauti katika makundi matatu tofauti, kwanza kundi la Kipanta Matrida na rafiki zake, ambao walishikwa na mstuko mkubwa sana, na mshangao ulio waacha midomo wazi, na kukunja sura zao kwa hasira na chuki, japo Kipanta alijipa moyo kuwa ata mshinda Pross, sababu lazima atasema kuwa aliambiwa na yeye mwenyewe, kuwa Rose ausiki, upande wa watu waliokuja kusikiliza kesi, nao walishangaa sana, kwakuona bado kuna watu wanajaribu kumtetea Rose, wakati tayari ilishaonekana kuwa ametnda kosa, lakini kwa upande wa Rose, Adellah na Joyce, walishikwa na mshangao wa furaha, ambao ilibakia kidogo uwasababishie washangilie kwa sauti.




Naa wakati watu wapo katika mahangao, mala akasikia sauti ya mwanasheria wa serikali, “bwana Pross, chini ya kiapo ilicho apa unaweza ukaieleza mahakama, ni kwanini Rose akutenda kosa ilo wakati walalamikaji wanasema Rose aliwavamia na kuwaweea dawa kwenye vinywaji vyao, na ukumbuke kuwa ushaidi wa uongo ni kosa pia, na linaweza kukusababihia kifungo” alisema mwanasheria, na hapo Kipanta akatabasamu kwa kujuwa Pross anaweza kuingiwa uoga na kughairi kutoa ushaidi, huku Rose akihisi hivyo hivyo, hapo akaanza kukata tamaa, na ata alipo mtazama, akamwona Pross nae anamtazama kwa macho ya uoga, lakini yaliyo jaa aibu flani, hapo Rose akakumbuka yale waliyo yafanya na Pross, na pengine akayasimulia ili kuweka sawa ushaidi, lakini aikumjalisha sana Rose, kikubwa na kushinda kesi, “nasema hivyo kwa sababu mbili, moja siku ya Christimass siku ambayo imetajwa kuwa ndiyo siku ambayo Rose alifanyatukio ilo, Rose alikuwa shambani kwake, kuanzia jioni ya saa kumi, ambapo alishinda huko mpaka siku ya pili saa sita alipoondoka, kuelekea nyumbani kwake kibamba, na hapo sikumwona tena, wala akunipigia simu, mpaka jana niliposikia kuwa yupo polisi, anakabiliwa na kesi hii” hapo kipanta akashangaa, maana akutegemea kama , Pross ata sema hivyo, sababu akujuwa kuwa siku ile Rose Joyce na dada yake, wakatabsamu huku wanashikana mikono, “ok! sababu ya pili ambayo inakufanya usema kuwa Rose akuusika na uwekaji wa dawa kwenye kinywaji, na pia ulijuwaje kuwa Rose yupo polisi” alisema mwanasheria, na hapo watu wakatulia kusikiliza sababu ya pili, “sababu ya pili ndiyo ambayo itaeleza nilisikiaje” alisema Pross, na hapo Kipanta akatazama chini akijuwa fika kuwa anaenda kuumbuka, maana pombe ndizo zilizo mfanya akalopoka kila kitu, “siku ya ijumaa ndiyo siku ya alhamini nilimpokea bwana Kipnta kule shambani, sababu yeye ndie alie mnunulia shamba boss wangu, hivyo na yeye uwa namwita boss, na sikuwa na shaka nae sababu sikuwa nimejuwa kinachoendelea, baina yao.. mpaka….” hapo mwanasheria akamkatiza kidogo, “fafanua vizuri, ulimpokea kwamaana yakukaa kule shamba, au alikuja na kuondoka?” aliuliza mwanasheria, “alikuja kukaa, na ataleo hii ametokea huko” alisema Pross, na kuwafanya watu mle mahakamani watazamane kwa na kuteta chini chini, “anaendaje kukaa shambani kwa mwanamke anaesema amemwekea dawa” ni baadhi ya minong’ono, ilisema hivyo, “ok! endelea, “alikaa kule shamba, mpaka jana jioni, ambapo alikuja napombe, akanikuta ninaandaa chakula, baada ya kumaliza kula, akaanza kunywa pombe na ndipo alipo anza kunisimulia juu ya kilichotokea” alisema Pross na hapo akaelezea kama alivyoelezwa na Kipanta jana jioni, na mwisho wa simulizi, aliwaacha watu midomo wazi, “bwana Pross kama unamaanisha kuwa bwana Kipanta na bi Rose, boss wako, ni wapenzi?” aliuliza mwanasheria, “walikuwa hivyo sijuwi kwa sasa, maana ata bwana Kipanta alisema kuwa Rose alimfumania na akajifanya kumfungia vioo” alieleza Pross, ambae sasa alipunguza uoga kwa hasilimia kubwa, “na kwamba vitu, ilo shamba ni moja kati ya vitu, ambavyo Kipanta, alivyo mnunulia Rose?” aliuliza mwansheria, “ndiyo tena ni uhakika, sababu mmiliki wa kwanza alikuwa boss wangu pia, na siku wanakuja kuuziana shamba nilikuwepo” alisema Pross, akionyesha kuwa na uhakika, na acho kisema, “kwahiyo bwana Pross umeamua kuleta uongo mahakamani, kuwa bwana Kipanta anataka kumfilisi, mtu alie msaidia yeye mwenyewe?” aliuliza mwanasheria akimkazia macho Pross, “ata mimi nilishangaa mwanzo, lakini baadae, nikagundua kuwa sababu walisha achana, ndio maana anataka kuzulumu” alisema Pross, ambae kila alipoongea watu walikubariana nae kwa kichwa, huku Kipanta, akitukana kimoyo moyo, wakayi huo Matrida na wenzake wana mlahumu, Kipanta kimoyo moyo, “Pross unaweza kusema kwa nini asiwe Rose ndie alie fanya ayo yote, sababu yeye ndie mwanamke alie mfumania Kipanta, na kuingiwa na wivu wa kimapenzi, huku akianza kuwafanyia fujo kule mbezi?” aliuliza mwanasheria, akimkazia macho Pross, “ukweli mimi nimeeleza ninacho kijuwa, ila kuhusu, kufumania na ugomvi wa kimapenzi, nazani kwa kipanta, siyo Rose peke yake, ata mke wake pia anaugomvi nae, sababu mpaka sasa amefukuzwa nyumbani kwa mke wake, na alisema kuwa akisha pata fedha toka Rose, ata enda kumnyasa nyasa mke wake” hapo ulisikika miguno wa wazi kabisa, toka kwa sikilizaji na wafwatiliaji wakesi, wakati huo huo akaonekana askari mmoja mwenye cheo cha insp akiingia ndani ya mahakama na kueleka moja kwa moja kwenye meza ya mwendesha mashtaka, “kwahiyo Pross ukiwa kama mlinzi wa shamba, uliamua kufanya upelelezi, wa maisha binafsi ya Boss wako, au kuna mtu alikutuma kufanya hivyo” aliuliza mwanasheria, huku akimkazia macho Pross, “sija mpeleleza boss wangu, ila yeye mwenyewe ndie alie ni simulia, na wala sija tumwa na mtu” alijibu Pross, “aya bwana Pross unaweza kumtambua, na kutuonyesha huyo boss wako, yani bwana Kipanta?” aliuliza mwanasheria, “ndiyo ni, yule pale” na hapo Pross akamwonyesha Kipanta kwa mkono, “sina swali zaidi, shaidi ni wako” alisema mwanaseria, kisha akaenda kukaa, wakati huo watu waliokuwa wamekaa kwenyemeza ya mwendesha mashtaka, walionekana wakinong’onezana jambo, “huku mwendesha mashtaka akienda kwenye meza ya hakimu na kumnong’oneza jambo, alafu akarudi kwenye kiti chake.****




Yap asubuhi ya leo bwana Fruz alikuwa onekana kukosa amani muda wote pale kijiweni, ata wenzake walimshangaa, sababu ata utendaji wake ulikuwa ni wa taratbiu sana, muda wote akionekana kuwaza sana, ni kweli alikuwa anawaza na alikuwa anawaza kuhusu familia yake, ambayo kwa sasa alijuw aata akikutana nayo asinge weza kuisaidia kwa lolote, sababu yeye akuwa ana uwezo ata wakujinunulia nguo nzuri, zaidi ya kutafuta fedha ndogo ndogo za chakula, kwa kuchota maji, kwenye madumu, na kupeleka kwa waosha magari, “Pross ata kuwa amewakimbia wenzake” aliwaza Kipanta, ambae toka usiku alikuwa anwaza sana juu ya familia yake, na kujiona mjinga sana, kwa kupotezza fedha nyingi akitumia na Khadija, mwanamke ambae akuwa na shukrani, wa fadhira, kuna mambo ambayo feruz akiyakumbuka uwa yana muumiza roho, na kutamani kufanya dhambi ya mauwaji, kwa kwenda kuitoa roho ya Khadija, mschana ambae yeye anamchukulia kama mnyama, kwa mambo aliyo mfanyia, “nilikuwa mjinga sana, sijuwi mke wangu na watoto watakuwa wapi?” aljiuliza Feruz akiwa na dumu mkononi, amekaa pembeni ya mto, “siwezi kwenda kijijini, ni aibu sana, kwa walio fahamu kuwa niliwai kuwa askari” aliwaza Feruz huku akiwawatazama watoto flani wenye umri wa miaka kama kumi natisa au ishirini, wakiokota makopo ya maji na kuyaweka kwenye mfuko, ili wakayauze, hapo Feruz akaona, kuwa kwa kukosa matunzo familia yake itakuwa huko, na kwa ugumu wa maisha, pengine ata mwanae Pross ameamua kuwa house boy, sababu yule mwanamke alie kuwa na Pross, akuwa ana mfahamu, na kama akuwa anamfahamu, na ukizingaia Pross ni mgeni hapa dar, sasa anakuwanae kivipi, “da tayari amesha kuwa house boy, anafua mpaka nguo za baba mwenye nyumba” roho ilimuuma sana Feruz, ambae akiwa pale chini alikumbuka siku ambayo to isahau siku ambayo mbayo alijuwa maana ya mtu kusihi na mke, na siyo hawara, siku ambayo Feruz, aligundua kuwa fedha ndiyo iliyo mfanya Khadija, amwone yeye kuwa ni mtoto, kiasi cha kumwita baby, akimbeba wakati wakwenda bafuni na wakati mwingine kumnawisha uso, ni mala baada ya kuishiwa, ambapo yeye alitegemea kuwa sasa watatumia fedha zitakazo tekea kwenye saloon ya Khadija, saloon aliyo mfungulia yeye mwenye, na kuishi kwenye nyumba ambayo mlipia kodi ya mwaka mzima, huku akinunua vitu vya kisasa, lakini kilicho mtokea sidhani kama atakuja kusahau




nazani itakuwa vyema tukitembea na kumbu kumbu za Feruz, ili kuweza kupata kisa na mkasa wa kile kilicho mtokea, japo yeye mwenyewe akutaka kabisa kujiwa na kumbu umbu hizo, kichwwani mwake, lakini alijikuta ana kumbuka siku ambayo, alienda kwenye ATM machine na kuchukuwa million moja, na kubakiza elfu kumi na nne, akiwa na mpenzi wake Khadija, pamoja na marafiki zake, na kuingia tena kwenye bar moja kubwa kishakuanza matumizi, sasa walikuwa awaendi kulala guest kama mwanzo, walikuwa wanaenda kulala kwenye nyumba ambayo Feruz alikuwa amempangishia Khadija, wakati yeye mwenyewe akuwa nasehemu ya kuishi, na ata familia yake akujuwa inaishije, maana akuiachia ata shilingi moja, na aliiacha katika ukata mmoja kali sana wafedha,




Wao walipiga ela, mpaka walipoona bar inafungwa, wakaondoka zao, na kila mmoja akaelekea kwake, huku Feruz akielekea kwa Khadija, ukweli siku ile Feruz akujuwa ametumia kiasi gani cha fedha, ila anacho kumbuka ni kwamba asubuhi alipo amka na kujipapasa akajikuta ana tsh laki mbili tu!, hapo akajikausha, na kuugulia kimoyo moyo, huku akijilahumu, kwa matumizi mabaya ya fedha, akufukilia kuwa wakati amelala, Khadija alipitia kwenye mifuko yake na kuondoka na tsh laki sita, kwa hiyo usiku wa jana alitumia kiasi cha fedha kisichozidi laki mbili, napengone akufikisha idadi hiyo ya fedha, idadi hii yafedha ndiyo iliyomfanya Feruz aanze kuikumbuka familia yake, kwamba sasa aliona kuwa maisha ya aibu ndiyo yana fwatia, mana fedha aliyo kuwa nayo, isinge tosha kuwa nywesha pombe wale wanawake, sababu ilikuwa ndogo sana, sehemu pekee ambayo fedha ile ingeonekana kuwa ni nyingi ni nyumbani kwake yani kwenye familia yake tu! na siku hiyo jioni, walikaa bar yakaribu kabisa na saloon kwa Khadija pale pale mivinjeni, ambapo walitumia laki moja tu! huku Feruz, akishindwa kufurahia siku ile, kutokana na kutawaliwa na mawazo kuhusu fedha ambayo ilisha mwishia, na siku ya pili ndiyo siku feruzi, alipo maliza kabisa fedha zake, na kualipo jikagua siku iliyo fuata, alijikuta ana shilingi elfu tatu mfukoni, na aikuwa siri tena kuwa ameishiwa, Khadija alitambua mapema sana, mana siku ile walishindwa ata kunywa supu




Picha ilianza pale Khadija alipo mwacha Feruz ndani na kwenda kujipatia supu ya kutolea lock, huku Feruz, akishinda na njaa mpaka mida ya mchana, alipo pikiwa chakula na Khadija, ambae aliishi na Feruzi kwa siku kadhaa huku masimango yakianza taratibu, ikifwatiwa na sharau, za hali ya juu, na “yani ndani hakuna maji alafu umekaa tu unangalia TV, au unasubiri nirudi nichote maji” ali sema Khadija kwa kulalamika, akimweleza Feruz, ambae alikuwa amelala kwenye sofa alizo zinunuanyeye akiangalia TV aliyo inunua yeye.




Feruz akuwa na jinsi, akainuka na kwenda kuchota maji, ambapo alijaza jaba kubwa, kwa kubebelea kwenye madumu ya lita ishilini, huku njiani akikutana na rafiki zake Pross waliokuwa wana msalimia, “shikamoo baba Pross” na yeye naliitikia kwa mkato, huku akiendelea na safari yake na madumu mkononi.




siku zilienda ukakatika mwezi, Feruzi akizidi kufanyishwa kazi zandani, maana ilianza maji, na siku moja akaambiwa, “jamani we mzee, yani kila kitu nifanye mimi, usafi ni fanye mimi, ela nitafute mimi wewe kazi yako kula na kulala tu” hapo Feruzi akajuwa kuwa anatakiwa aoshe vyombo na kudeki ndani, hivyo akaanza kazi hiyo ambayo toka alipoanza kuishi na mke wake akuwai kuifanya, na kitu ambacho kilimuumiza zaidi Feruz, ni kitendo cha Khadija, kuanza kuchelewa kurudi, toka kazini kwake yani saloon, ambapo alirudi saa sita mpaka saa saba, huku akiwa amlewa, akujuwa kama zile pombe alikuwa ana nunuliwa na wanaume tofauti tofauti kila siku.




Tukio ambalo akuweza kulisahau, ni siku ambayo, Khadija alirudi mchana pale nyumbani, akiwa na kijana mmoja hivi, ambae alionekana kujiamini sana pale nyumbani, Khadija alimwita Feruz watoke nje kidogo, “sikia baby, huyu ni shemeji yangu anakaa na mdogo wangu, kule temeke mwisho, sasa akijuwa ninaishi na wewe bila ndoa ata mwambia, na dogo ataenda kumsimulia mama na baba, alafu watanisema sana, mimi nime mweleza kuwa wewe ni mzee wa hapo jilani uwa una tuchotea maji” alisema Khadija kisha akampa Feruz shilingi elfu thelasini, akanunue bia kumi na konyagi kubwa, na ikawa hivyo leo Feruz alionja pombe baada ya kukaa miezi kadhaa bila kunywa pombe, na aliifakamia konyagi kama maji, huku wenzake wakinywa bia, na ata alipopitiwa na usingizi, akujuwa ilikuwa saa ngapi, ila alishtushwa na ubaridi mkali sana, akatazama pale alipolala, palikuwa ni sebuleni, na ile kutazama vizuri ilikuwa ni saa kumi na moja za alfajili, akainuka toka juu ya sofa ile anakanyaga chini akaona kama amekanyaga nguo akajuwa ni kitambaa cha kwenye kochi, lakini alipo kiokota ndipo alipogundua kuwa ilikuwa ni nguo ta ndani ya Khadija, na alipotazama vizuri pale sebuleni, aliona nguo za yule jamaa, ikionyesha kuwa alikuwa amevulia pale sebuleni, sambamba na nguo za Khadija, kengere ya tahadhari ikagonga kichwa ni kwa Feruz, ambae alieleka chumbani.




Naam ile kuingia chumbani nusu azimie kwa kile alicho kiona, alikuta mle chumbani, ukweli Feruz aliwakuta Khadija na yule kijana wakiwa wamelala fofo juu ya kitanda kile, wapo uchi wa mnyama, nusu ya mwili wa Khadija ukiwa juu ya mwili wa Kijana yule, ukweli Feruz alihisi miguu inakosa nguvum akajikongoja mpaka kitandani, na kumshika mguu yule kijana, “we kijana wewe ndie shemeji yake Khadija” alisema Feruz huku anamvuta mguu, hapo Khadija na yule kijana wakashtuka toka usingizini, “we mzee mbona umekosa adabu hivyo kwanini unavamia watu walala” alipiga kelele Khadija, Feruz aka duwaa, “tena nasema toka haraka humu ndani we mshnzi nenda nyumbani kwako” alisema Khadija huku akianza kupekuwa pekuwa, nguo za Feruz, alie kuwa amesimama, na kumrushia, “lakini Khadija kumbuka yake niliyo kufanyia…..” alisema Feruz kwa sauti ya kubembeleza, huku akijaribu kumsogelea Khadija aliekuwa bado ajavaa nguo yoyote, “usinisogelee we mzee” alisema Kahdija huku anamsukuma Feruz alie rui hatua kadaa nyuma, “baby ebu mtoe huyu mzee” alisema Kahdija huku akimtazama yule kijana, ambae alichomoka kama mshalke na kuanza kumsukuma bwana Feruzi kutoka nje, huku Khadija akizoa nguo za feruz na kumtupia nje.




Hapo Feruz ndipo alipo kumbuka kuwa akuwa na sehemu ya kuishi na alisha maliza fedha zote, benk, akakumbuka kuwa aliiacha familia yake kule kwenye nyumba za makazi ya askari, hivyo akutaka mpaka juwa lichomoze aka ondoka haraka kuelekea kule kotaz, ambako aligonga mlango wa nyumba ambayo aliiacha familia yake lakini alishangaa anatoka askari kijana, na kumwuliza amsadie nini, Feruz akajieleza vyema, na kwamba anaiulizia familia yake, jibu la kijana yule askari, lilimfanya Feruz, agundue kuwa familia yake ilisha ama pale kotaz, ila akuna alie kuwa anajuwa familia ile imeenda wapi, na huo ndio ulikuwa mwanzo wa maisha machungu ya bwana Feruz, ambae alienda kuchukuwa elefu kumi kwenye ATM ikiwa ndiyo hakiba pekee iliyo bakia, na kuanza kuangaika, na maisha, akitanga tanga kwa kufanya vijikazi vidogo, na kujipatia fedha za kula, huku akilala kwenye vijichochoro vya mtaa, na alipoona watu wameanza kummnyooshea vidole vya kumsimanga, akaamua kuhama na kuamia mbezi ambako alianza maisha mapya kama kilaka, kazi yoyote alifanya ilia pate fedha ya kula, na mwisho aka jikita kwenye uoshaji wa magari,




Ukweli kumbu kumbu hii uwa ina mtoaga machozi Kipanta kila apo ikumbuka.******




Naam tuachane na kumbukumbu za Feruz na kurudi mahakamani, ambako sasa insp alikuwa ameingia mle ndani akionekana kuwa na ujumbe flani, ulifwatia ukimya wa dakika mbili nzima, huku wakionekana wale wanasheria na mwendesha mashtaka wakiambizana jambo flani, alafu mwendesha mashataka aka simama, “sasa nakuita mlalamikaji namba moja, bwana Kipanta, upande kizimbani” alisema mwendesha mashataka na Kipanta akasimama na kuelekea Kizimbani, alafu mwanasheria wapili nae wa serikali, akasimama na kusogea pale kizimbani, “bwana Kipanta, maelezo yak o ya awali yanasema, sili ya tarehe 25 mwezi wa kumi na mbili, ulivamiwa na mshtakiwa Rosemery kiwa na mpenzi wako Matrida, na kukufanyioa fujo huku akishiak shika vinywaji vyenu, je ni kweli maelezo hayo, au kuna jambo ulilisahau?” aliuliza yule mwanasheria, “nihayo tu mheshimiwa” alijibu Kipanta, ambae alikuwa anasubiri swali la kuhusu maneno ya Pross, “bwana Kipanta siku ya tukio ulikuwa umelewa, je una uhakika kuwa ulie mwona akiwavamia na kuwafanyia fujo ni mshtakiwa Rose mary?” aliuliza mwanasheria huku akimtazama Kipanta alie kuwa amesimama Kizimbani, “ndiyo mheshimiwa, nilimtambua vizuri sana, mimi atakama nikilewa uwa sipotezi kumbu kumbu” alisema Kipanta kwa kujiamini, “safi sana Kipanta, unaonyesha ni jinsi gani ulivyo hodari, na unavyo jielewa, sasa bwana Kipanta unaweza kuielezea mahakama, unamtambuaje kijana Pross?” aliuliza mwanasheria, huku akitazama upande mwingine, upande wa wasikilizaji, “huyu kijana ni mlinzi wa shamba, ambalo nilinunua na Rose wakati tulikuwa wapenzi na tunaishi pamoja” alijibu Kipanta, kwa jiamini, “unakumbuka maneno uliyo ongea mbele ya kijana huyu, jana jioni?” aliuliza mwanasheria, safari hii akimtazama Kipanta usoni, hapo Kipanta alitulia kidogo, kama anajikumbusha maongezi yake na Pross, “hapana, sikumbuki” alijibu Kipanta, ambae alifanya hivyo makusudi kwa kujuwa ndiyo njia pekee ya kukataa ushidi ule ambao aukuwa na kielelezo, “mheshimiwa naomba ni mkumbushe kidogo mlalamikaji namba moja, kuwa ulimwita kijana Pross kwa lengo la kumfundisha kitu juu ya wanawake, na hapo ulimsimulia kama alivyoelezea Pross, “bwana Kipanta unakumbuka hayo?” alimaliza mwanasheria kwa kuuliza hivyo, “mheshimiwa ukweli hayo maneno siyakumbuki, na huyu kijana ame yaongea hayo, sababu anajuwa nilikuwa nime lewa na siwezi kuyakumbuka” aliongea Kipanta, akiamini kuwa anakanusha ushaidi wa Pross, “Kipanta mwanzo ulisema kuwa wakati rose anavamia uliweza kumtambua, japokuwa ulikuwa umelewa, na siku hiyo ulikuwa umekunywa pombe kuanzia saa tano asubuhi, mpaka saa mbili usiku, muda ulipoingia ndani, ya chumba ulicho kodi, sasa utawezaje kusahau kitu ulicho kiongea ukiwa ujamaliza ata chupa moja ya pombe?” aliuliza mwanasheria, nahapo Kipanta akaa kimya, akijilahumu kwa kuto kumbuka alicho kiongea dakika chache zilizo pita, “bwana Kipanta nikisema kuwa ata tarehe 25 ukuwa unajitambua na ukuweza kumtambua mtu alie wavamia, nitakuwa nakosea?” aliuliza mwanasheria, huku akimtazama Kipanta, ambae alikuwa amemkata jicho Pross aliekuwa amekaa, benchi la tatu nyuma ya wakina Rose, huku mala kwa mala Rose akiwa anageuka na kumtazama Pross, ata macho yao yalipokutana walitabasamuliana, hakika Rose akuamini, alicho kifanya juu yake maana ulikuwa msaa mkubwa sana, “mheshimiwa ilo ninalikumbuka, na siwezi kusahau” alipaza sauti Kipanta, kiasi cha kukumfanya hakimu agonge nyundo mezani, “Kipanta, hii ni mahakama, na utatakiwa kuongea kwa sauti ya chini” alisema Hakimu, na hapo Kipanta akwa mpole, “mheshimiwa Hakimu sina swali zaidi” alisema mwanasheria, na hapo Kipanta akatolewa kizimbani, na ikafwata zamu ya Matrida, ambae aliulizwa maswali na yule yule mwanasheria, “mlalamikaji namba mbili bi Matrida, ukweli siku ile ulikuwa umelewa sana, kama alivyolewa mpenzi wako Kipanta, je una weza kuithibitishia mahakama kuwa, licha ya kulewa uliweza kumtambua vizuri mstakiwa Rosemary, ambae kwenye melezo yako ya mwanzo, ulisema kuwa ndie alie wavamia na kuwawekea dawa kwenye kilevi?” aliuliza mwanasheria namba mbili, “ndiyo nilimtambua, na nilimwona akiingia chumbani na kuanza kutuletea fujo” alisema Matrida, kwa sauti ya chini iliyokosa kujiamini, “unakumbuka ilikuwa je, yani mala baada ya kuwavamia Rose alifanyanini?” aliuliza mwanasheria, hapo kwa kubabaika, Matrida akajibu, “alituvamia akaanza kututukana, huku anashika shika chupa zetu za pombe, alafu akaondoka” hapo mwanasheria aka mtazama Matrida kwa macho ya tabasamu la kumcheka, “unakumbuka nyie mlifanya nini baada ya kuondoka Rose mary?” aliuliza mwanasheria, hapo Marida alibakia kimya akionekana akuwa na jibu, “nazani ujaelewa swali, je mlitoa taarifa kwenye uongozi wa hotel?” aliuliza mwanasheria na hapo Matrida akamtazama Kipanta, ambae pia alikuwa ametoa macho kwa fadhaa, “hapana atukutoa taarifa, ila tuliendelea kunywa pombe na ndipo tulipo poteza fahamu na kujikuta tupo hospital” alijibu Matrida, Matrida labda nikuulize swali jingine, kama kweli ulikuwa na kumbukumbu, je wakati Rose anawavamia, alikuwa na na mtu au watu wengine?” aliuliza mwanasheria, “hapo Matrida alikataa kwa kichwa akimalizia kwa sauti, “alikuwa peke yake” alisema Matrida, “ok Matrida nitaomba umtambue mtu mmoja, hapa mahakamani” alisema mwanasheria, kiisha akamtazama mwendesha mashtaka, ambae alisimama na kumweleza jambo insp, ambae alitazama upande wan je, na kuonyesha ishara ya kuwa mtu aingie, hapo wote wakageuka na kutazama kwenye lango kubwa la kuingilia, ukweli Rose, Adellah, Joyce na marafiki wa Matrida, awa kujuwa yule mwanamke alie kuwa anaingia mle mahakamani akiwa amefungwa pingu mkononi, na kusindizwa na polisi akuwa ni nanani, na kwanini atambuliwe na Matrida.




Lakini kwa Kipanta na Matrida wao walitoa macho ya mshangao uliochanganyika na fadhaa, pamoja na mshtuko, waliganda wakimtazama yule mschana akiletwa mpaka mbele ya mahakama, “Matrida unaweza kumtambua huyu dada” aliuliza mwanasheria, na hapo Matrida alie kuwa amesha isi kitu, akamtazama Kipanta, kwa macho ya kumwuliza ni jibu nini, Kipanta akamwonyesha ishala ya kukataa, “hapana smtambui” Matrida nae alifwata ushauri wa Kipanta, kwa kukataa kuwa amtambui mwana dada huyo, “mlete mlalamikaji wapili nae amtambue” alisema Hakimu, na hapo mwendesha mashtaka akamsimamisha Kipanta ili amtambue, mwana dada huyo, nae aka goma kumtambua, “simtambui, na sidhani kama niliwai kukutana nae” alisema Kipanta, kwa sauti iliyo jifanya kujaa uhakika.




Hapo Kipanta akiwa pamoja na Matrida wamesimama kizimbani, wakasikia mwendesha mashtaka akisema, “mheshimiwa hakimu, kesi hii imekuwa na changamoto nyingi sana, huyu mschana unae mwona hapa mbele yako, anaitwa Sinder Naiso, ni mhudumu wa Luguruni bar, alie wahudumia walalamikaji siku ya tarehe 25, leo hii yeye pamoja na mwenzie wakiume, ambae amekimbizwa hospital kwa mataibabu, bada ya kuumia kwenye mahojiano na polisi, wamekamatwa na polisi, wakijaribu kutumia card ya benk, ya bana Kipanta kwenye tawi la benk, la mbezi, pamoja na hiyo card pia wamekamatwa na vitamburisho, huku wakikili kuwa wao ndio walio weka dawa za kulevya kwenye vinywaji vya walalamikaji, kisha kuwaibia, kila kitu walicho kuwa nacho” alisema mwendesha mashtaka, na hapo bwana Kipanta akamtazama Matrida, ambae pia alikuwa anamtazama, kwa macho ya mshangao, wakatazamana kwa sekunde kadhaa, wakigutuliwa kwa sauti ya hakimu, “mpandishe kizimbani ili ahojiwe anaweza kuwa ni shaidi muhimu sana katika kesi hii” alisema hakimu, kwa sauti ambayo japo ilikuwa ya kawaida tu, lakini iliwavuruga wakina Kipanta, na Matrida, ambao walimwona yule mwana dada akipanda kizimbani na akasogezewa kitabu cha dini, kwaajili ya kuapa…










Kuona hivyo Kipanta akamtazama Rose kwamacho ya kumlahumu na kumchukia, lakini ndiyo kwanz alimwona Rose alikuwa amegeuka kumtazama Pross, kisha akageuka huku anatabasamu, “ona yanavyo chekeana” alijisema Kipanta kimoyo moyo, huku akishtuliwa na sauti ya Sinder alie anza kula kiapo, “mimi Sinder Naiso, naapa kuwa nitakachosema hapa, ni ukweli mtupu, mungu nisaidie” alimaliza kusema Sinder akiwa ameshika kitabu cha dini yake, “Sinder kama ulivyo hapa, mbele ya mahakama, kuwa utasema kweli tupu, mbele yake, sasa unaweza kueleza mahaka siku ya tarehe 25 ilikuwaje” alisema mwanasheria na hapo Sinder akaanza kueleza kuanzia saa tano mida aliyo wapokea wakina Kipanta na Marida, na kuanza kuwa hudumia, nilipoona kuwa wana fedha nyingi alafu wanalewa bila mpangilio, nikampigia simu Waghora, aje ili tuwaibie” alisema Sinder, na kuendelea kusimulia, kisa chote mpaka alipowaingiza ndani na kuwawekea dawa kwenye glass zao za finywaji, kisha wao kunywa na Waghora kuja kuwaibia kila kitu, “alafu nika singizia nilimwona yule dada akiingia mle chumbani., sababu niliona kwenye mitandao akisemwa kuwa yeye ndie atakae kuwa amefanya hivyo” alimaliza Sinder, “Sinder Naiso, unaweza kuwatambua wateja ulio kuwa una wahudumia na kuwawekea dawa siku hiyo ya tarehe 25?” aliuliza yule mwanasheria, “ndiyo ni wale pale” alisema Sinder akiwaonyesha vidole wakina Matrida na Kipanta, ambao kwa sasa walikuwa wametazama chini kwa aibu, huku moyoni Kipanta akijawa na chuki kubwa sana, “huyu mschana mshenzi, ajuwi kama ananiaribia” alijisemea Kipanta pasipokujuwa kuwa, kuna madhara makubwa yana fwata kutokana na ushaidi ule, “sina swala zaidi, shaidi ni wako” alisema mwanasheria na hapo maswali yakaamia kwa wakina Kipanta, “bwana Kipanta uliithibitisshia mahakama kuwa japo ulikuwa umelewa, lakini uliweza kumtambua, mtuhumiwa Rose, alipoingia chumbani, je una kubariana na ushaidi uliotolewa na mhudumu alie wahudumia tarehe 25?” aliuliza mwana sheria, “mimi sikuwa nime lewa kiasi cha kuto kujitambua, hii ni njama ya Adellah, sababu niliacha kumuoa na kuoa mwanamke mwingine, sasa ananikomoa na kutaka nisipate mali zangu toka kwa Rose” alisema Kipanta kwa sauti ya jazba, huku watu wote wakimshangaa, hapo hapo ikasikika sauti toka kwa hakimu, “bwana Kipanta, kwanza unaonekana wewe mtelekezaji wa wake zako, kwa ilikuwa ni Adellah, ukaoa na kutelekeza mke, ukafumaniwa na hawara, ukiwa na hawara mwingine, na hayo ndiyo matunda ya uthariti na utelekezaji” alisema hakimu, kisha akamwachia mwanasheria aendelee na maswali, “kwahiyo bwana Kipanta una msingizia Rose, sababu unaitaji mali ulizo mnunulia wakati mkiwa wapenzi, uku unafahamu fika kuwa Rose akuwepo eneo la tukio, je unafahamu ni kosa kisheria kusema huongo mbele ya mahakama, wakati ulihapa kusema ukweli, pili ni kosa pia kumsingizia mtu kosa” aliuliza mwanasheria na hapo Kipanta akatazama chini kwa aibu, “mheshimiwa sina swali zaidi, shaidi ni wako” alimaliza mwanasheria na ikafwata zamu ya Matrida nae aka simama kizimbani, “mlalamika ji namba mbili, ulisema kuwa siku ya tukio japokuwa ulikuwa umelewa lakini ulikuwa na uwezo wa kutambua ni kweli?” aliuliza mwanasheria, “ndiyo mheshimiwa nilikuwa na uwezo wa kutambua” alijibu Matrida kwa sauti ambayo ilionyesha wazi, kujawa na wasi wasi, “kwahiyo unakubaliana na shaidi bwana Prosper kuwa wewe na bwana Kipanta mmefanya mausudi kumsingizia Rosemerry kuwa aliwavamia, ili muweze kumfilisi mali zake?” aliuliza mwanasheria, na hapo Matrida alibakia kimya, akitazama chini, “bi Matrida, unakumbuka kiapo ulicho apa mbele ya mahakama, na ulisema kuwa utalo sema ni kweli tupu?” aliuliza mwana sheria, na Matrida aliitikia kwa kichwa akikubari, “kwa hiyo una kili kuwa umekiuka kiapo na umefanya kosa, la kudanganya mahakama na pia umefanya kosa, la kumsingizia bi Rose kosa ambalo ajalifanya, kwa lengo la kuchukuwa mali zake kama mwenzio kipanta alimweleza kijana Pross?” hapo Matrida ajikuta ana angua kilio, mahakamani, “mimi nilishawishiwa na Kipanta, aikuwa nia yangu kumsingizia” hapo atawasikilizaji wa kesi, mle ndani ya mahakama, walishindwa kuvumilia na kujikuta wakiachia miguno ya fadhaa, iliyo ambatana na minong’ono ya chini chini, “kumbe awa ni washenzi matepeli” alisema mmoja wawatu waliokuwepo mle ndani, “tena inabidi wa hukumiwe washenzi awa” iliendeleea kusikika minong’ono, mpaka walipomsikia mwanasheria akisema, sina maswali zaidi, shaidi ni wako mheshimiwa” kisha mwanasheria akaenda kukaa sehemu yake.******




Naam ukweli ni kwamba mwalimu Stellah, kwa sasa alikuwa nje ya mahakama, akiwa nje ya gari lake, yeye ndie aliemleta Pross na kumkutanisha na mwendesha mashtaka, Stellah alisha gundua kuwa kuna kitu kinaendelea kati ya Rose na Pross, maana jana usiku alipokuwa pale hotelini na Pross, ana mweleza kitu cha kufanya, alimwomba amweleze ukweli juu ya mausiano yake na Rose, zaidi yay ale ya kumlindia shamba, na hapo Pross akumficha kitu, alimsimulia, kila kitu, kilicho fanyika, siku moja kabla awajaanza mausiano yao, ukweli ni kwamba Stellah alikubariana na maneno hayo, japo wivu ulimchoma kidogo, “ok! kwahiyo mimi ndie nilie iba, basi akuna tatizo, ila nitakapo kuitaji nakuomba usikatae” stellah, alikumbuka maongezi yake na Pross, na sasa Stellah, alikuwa anaendelea kusikiliza kesi, akiwa nje ya mahakama.******




Naam ndani ya mahakama baada ya mwanasheria kumaliza kuwa hoji, wakina Matrida, hapo akasimama mwendesha mashtaka, ambae akawaeleza walalamikaji wote wapende kizimbani, na pia akamweleza mshatakiwa apande kizimbani, baada ya hapo mwendesha mashataka akachukuwa file la kesi, na kuanza kusoma marudia ya kesi hii, toka mwanzo, mpaka ilipofikia, “mheshimiwa tunaomba itolewe hukumu ya kesi hii, na iwe mfano kwa wengine watakao idharau mahakamani na kufanya makosa kama aya” alisema mhendesha mashtaka, kisha akaenda kukaa sehemu yake.




Mahakama ilikuwa kimya kabisa, akuna ata sauti iliyo sikika kwa muda dakika tano nzima, huku hakimu akisoma kwenye kijitabu flani mezani kwake, siyo Rose mtuhumiwa wala, Kipanta na Matrida walalamikaji, wote walikuwa na wasi wasi kibao, mala wakamwona Hakimu anainuwa kichwa chake, na kutazama kwenye Kizimba cha mtuhumiwa, yani Rose ambae alikuwa na wasi wasi, mwingi sana, “kutokana na ushidi ulio tolewa na pande zote mbili, maelezo ya mpelelezi wa polisi, hivyo basi kifungu cha sheria namba …. ina ni pa mamlaka ya kutoa huku ifwatayo” alisema hakimu kisha akatulia kidogo, na kutazama tena kijitabu mezani kwake, safari hii akutumia muda mrefu aka mtazama tena Rose, huku mioyo ya watu mle ndani ikienda mbio, asa Adellah, Joyce, Pross wakina Kipanta na Matrida ata maarafiki wa Matrida, na watazamaji wengine ambao walisha gundua ukweli kuwa Kipanta na Matrida walikmsingizia kesi Rose, kwa lengo la mdhurumu mai zake, “Bi Rose mahakama ime kupata auna hatia yoyo wala kesi ya jibu, kwa hiyo kuanzia sasa hupo huru, na unaweza kwenda nyumbani kwako, baada ya mahaka hii” hapo Kipanta na Matrida walihisi, wana banwa na haja, maana wakati Matrida anafikilia aibu itakayo mkuta kazini kwao, kwa kitu alicho kifanya, huku Kipanta alikuwa anafikilia ataishije baada ya hapo, maana kuwepo huru kwa Rose ndio kukosa kwake mali za fedha toka kwa mschana huyo, ukizingatia akuwa na sehemu ya kwenda na mke wake alisha mtimua nyumbani, kwa hiyo kitu pekee alicho kuwa nacho, ni gari tu! tena lipo nyumbani kwa Rose, Kipanta akamtazama Rose akamwona akiwa amesimama kizimbani, huku tabasamu pana likiwa limechanua usoni mwake, huku anatazama upande waliokaa wakina Adellah, ambao karibu wote walikuwa wametawaliwa na nyuso za furaha, ata Pross nae alikuwa ametabasamu, “Pia mahakama hii ime baini kuwa, walalamikaji namba moja na namba mbili, wakiwa na hakiri timamu, walimsingizia bi Rosemerry, kuwa aliwatendea uharifu huo, huku walalamikaji hao wakijuwa ni kosa kisheria, hivyo basi, kutokana na usmbufu walio usababisha kwa Bi Rose, mahaka imewapata na hatia, kwakosa hilo, hivyo basi, hukumu ya kwanza, ya kumsingizia Bi Rose kuwa amewavamia na kuwatendea kosa, Bi Rose mwenyewe ata taja kiasi cha fedha kama fidia ya usmbufu na muda walio upoteza kwa Bi Rose ambae amekaa mahabusu week nzima” alisema hakimu na kutulia kidogo, akiwatazama Matrida na Kipanta, ambao sasa walionekana wazi kuchanganyikiwa, mala wakamsikia hakimu akiongea tena, “pili bwana Kipanta, utaenda jela miezi sita, kwa kosa la kudanganya mahakama na kuiletea usumbufu” hapo Kipanta akashika kichwa na kuachia yowe, “mayo nacha boleeee” aliongea lugha ambayo anamiaka mingi ajawai kuiongea, nakufanya kisikike kicheko mle ndani ya mahakama, “bi Matrida uta hukumiwa kifungo cha nje, kwa miezi mitatu, na utafanya kazi za kijamii kila siku kwa masaa mawili, kama utakavyo kuwa unapangiwa na mahakama, kwakosa la kushiriki kosa la kumsingizia Bi Rosemerry, huku ukijuwa fika kuwa siyo mtu alie wavamia na kuwaekea dawa kwenye vinywaji” na baada ya hapo hakimu akimu alimwambia Rse ataje kiwango cha fedha sikichozidi million tano, kama malipo ya usumbufu alio sababishiwa na wakina Kipanta, hapo kwa haraka Rose akafilia kwa haraka haraka, na kuona kuwa ata akitaja million tano bado Kipanta akuwa na uwezo wa kumlipa, maana alicho bakiza ni gari pekee, gari aina ya Toyota ist, “wanilipe million tano” alisema Rose, “Rose yote niliyo kufanyia bado unashindwa kunionea huruma” alipiga kelele Kipanta, na hapoakatulizwa na hakimu akimkumbusha kuwa pale ni mahakamani, “bwana Kipanta uta lazimika kulipa fedha hiyo ndani ya week moja, kama auto kuwa na fedha tathrim, basi bi, Rose ata weza kuchukuwa kitu chochote chenye thamani ya fedha hiyo toka kwako” alimaliza hakimu na kugonga nyundo mezani, hapo watu wote mle ndani wakamwona Kipanta akianza kukosa nguvu na kuanguka chini, kama kiroba, akiwa amepoteza fahamu, mana kipanta alijuwa kuwa, kibao kime mgeukia, lazima Rose atachukuwa gari, kitu ambacho kinge msaidia pindi akitoka gerezani*******




Naam watu walitoka mahakamani, waandishi awakuwa mbali, kuchukuwa picha na video za wakina Rose alio onekana akiongozana na dada yake pamoja na mschana Joyce, alie kuwa nae bega kwa bega kipindi chote cha matatizo, wakiwa wenye nyuso za furaha, waliongozana mpaka kwenye BMW lililosimama pembeni ya Toyota vits, na mwana mama mwenye umbo la maana akiwa amesimama nje yake.




Kabla awaja ingia kwenye gari lao, aina BMW wakamwona Kipanta akitolewa mahakamani juu juu amesha lejewa na fahamu zake, amepigwa pingu, anainamisha kichwa chini, anaona aibu, waandishi wakimchukuwa video na picha za kawaida, pia walimwona Matrida akitoka mahakamani akiwa peke yake, mbali kabisa na wale rafiki zake ambao tayari walisha ingia kwenye gari lao na kuondoka zao wakimwacha Matrida, ambae alikuwa anabubujikwa machozi, na kumtazama Rose kwa macho ya kuomba msamaha.




Lakini Rose akumjali, “jamani Pross yupo wapi?” aliuliza Rose akitazama nyuma, na kumwona Pross akisogea kwenye Vits pale aliposimama mke wa Kipanta, ambae Rose na Joyce walikuwa wanamfahamu vizuri kabisa, “hoo dada kumbe hupo hapa” aliuliza Rose huku akimsogelea mke wa kipanta yani Stellah, ambae alikuwa anamtzama mume wake alie kuwa anapakizwa kwenye kalandinga……….…






Huku ameziba uso wake, akiogopa kupigwa picha na camera za waandishi ambao walikuwa wametapaa pale nje ya mahakama, “ingia kwenye gari” alisema Stellah akimweleza Pross huku ana anamfungulia mlango wa gari, na Pross na akaingia kwenye gari, hapo wakina Rose wakamwona Stellah akitoka na kuelekea kwenye kalandinga, na yeye akataka kwenda kuongea na Pross sababu alikuwa ana itaji jambo flani, “Subiri kwanza yule mama arudi” alisema Joyce, na hapo waka mtazama Stella, ambae alifika kwenye kalandinga, na kuongea na askari polisi walio changanyika na askari magereza, akawasalimia na kuomba kumsalimia mfungwa Kipanta, “ni nani wako?” aliuliza mmoja wa askari alie onekana kuwa na cheo kikubwa kuliko wenzake, “ni mzazi mwenzangu” alisema Stellah, na hapo yule askari akamluhusu amsalimie, na Stellah akasogea ubavuni mwa lile gari kubwa mfano wa loli, lililo zibwa kama box, likiwekewa na wavu wa kupitishia hewa, muda wote wakina Rose walikuwa wamesimama wanamtazama Stellah, siyo wao tu ata polisi pia, walikuwa wana mtazama mama huyu, siyo wakitaka kuona anachoenda kufanya kwa Kipanta ila walikuwa wanashangaa umbo la mama huyu, na wengine wakajiuliza ni kitu gani Kipanta alikuwa anafwata nje ya ndoa, “habari yako bwana Kipanta” alisalimia Stellah, na kumshtua Kipanta ambae alikuwa ameinamisha sura yake chini, na baada ya kuisikia sauti ya mke wake, akainua uso na kumtazama, “mke wangu naomba uni saidie, ongea na hakimu tuweze kukata rufaa” alisema Kipanta, kwa sauti ya kubembeleza, “mh! ni kusaidie iliiweje, si uongee na wanawanawake wako, wakutoe ili mkaendelee kunywa bia” alisema Stellah, kwa sauti ya chini, ikionyesha kuwa akutaka, watu wengine wasikie, “mke wangu na kuahidi sito rudia tena, naomba unisamehe, nisaidie nisiende gerezani” aliomboleza Kipanta, kwa sauti ya juu, na kuanza kuwa ng’amua waandishi waliokuwa wana anza kutawanyika, maana kesi zilizo kuwa zina fwatia, azikuwa na mvuto kama ile ya Kipanta, “sikuja kuongea hayo, nilikuja kukuona iliujuwe kuwa, nilikuwepo na watoto wako wata sikia kama ume fungwa miezi sita” alimaliza kuongea Stellah, na kurudi kwenye gari lake, na yeye akimwona mschana alie semwa kutembea na Kipanta, na kuwekewa nae madawa, yani Matrida akipita mbele yake na kuelekea njia ya kutokea pale mahakamani, yeye akumjari akaondoka zake na kuelekea moja kwa moja kwenye gari lake, na wakati analipita BMW jeusi, akashtuliwa na Joyce, “dada shikamoo” alisalimia Joyce nae Stellah, akasimama na wakasalimiana huku pia akimsalimia Adellah mume wake, na Rose, Stellah akuonyesha kinyongo chochote kwa Rose, “bila shaka wewe ndie Adellah” alisema Stellah, akimtazama dada yake Rose, “ndiyo mimi, bila shaka ulisha wai kunisikia hapo mwanzo?” aliuliza Adellah, “ndiyo, nime elezwa kila kitu, na mimi ndie nilie amua kumshawishi Pross aje atoe ushaidi mahakamani , na nime elewa ni kwa nini Rose alifanya hayo yote, hivyo sina kinyongo na yeye, ila sijalizishwa na adhabu aliyo ipata Kipanta, japo akitoka jela, ndiyo ata ipata adhabu kamili, maana atokuwa na ata pakuanzia” alisema Stellah, na hapo Rose pia akatumia nafasi hiyo kuomba msamaha kwa Stellah, kwa madai kisasi chake, kili iumiza familia nzima, “mwisho niseme tu asante sana, nazani sasa tuta kuwa na mausiano mema, nichukuli kama mdogo wako” alisema Rose, huku Adellah, nae akamshukuru Stellah kwa moyo alio uonyesha, na kujitolea kuwasaidia, akimwomba kumsamehe mdogo wak, mwisho wakashikana mikono, na kusahau yaliyopita, zaidi Rose alimwomba Stellah, kuwa anaitaji kuondoka na Pross, maana aliitaji kumshukuru, na kukaa nae kama mtu wa karibu na rafiki wa familia, japo ilikuwa ni hatua ngumu sana kwa Stellah, alie kuwa anafahamu kuwa, Rose na Pross walisha wai kupeana kitumbua, lakini akuwa na la kufanya zidi ya kumluhusu, Pross kuondokaa pamoja na Rose.*****




Rose na familia yake, awakuwa wachoyo, wali enda nyumbani kwa kina Pross pale kwenye kijumba cha udongo, na kuichukuwa familia ya Pross, kisha kwenda nayo kwenye hotel waliyo fikia wakina Adellah, ambako walishinda huko, wakipata chakula cha mchana na jioni huku wakipata vinywaji, na kuburudika kwa kuogelea kwenye swimming pool, muda mwingi Rose na Pross walionekana wakijitenga na kuongea yanayo usiana na penzi lao, huku Rose akimshukuru ssana, Pross, kwa kitendo cha kusimama na kueleza ukweli.




Tukio la kwenda hotelini na kufurahia maisha, kilimfanya mama Pross azidi kujivunia uzazi wa mwanamke mwenzie, kuna wakati alijikuta, akisema kimoyo moyo, “Feruz umetoweka, lakini umeniachia kijana” ni kweli Feruz alikuwa amemwachia mke wake msaada mkubwa sana, maana ukiachilia mke wake watoto wake na shmeji yake yani mama mdogo, kuenjoy pale hotelini, na kurudi siku ya pili, Rose aliwaamishia wanafamilia wale kwenye nyumba yake ya pale kibamba, na kuwakabidhi moja ya maduka yake, kuwa duka lao moja kwa moja, hiyo ilikuwa kama ndoto, kwa mke wa feruz, ambae alikuja kushangaa na roho yake siku chache mbele, ni baada ya Rose kukabidhiwa gari, la bwana Kipanta ikiwa ni fidia ya milioni tano, alizo takiwa kulipwa na Kipanta, na yeye akampatia mama yake Pross, na kumtafutia mwalimu wa kumfundisha kuendesha gari, yeye pamoja na wadogo zake na mama mdogo, wakati huo Adellah alikuwa bado hotelini mjini pamoja na familia yake, wanafanya mpango wa passport mbili yani ya Pross na Rose, iliwaende wakapumzike kidogo, huko ufilipino, Rose mwenyewe alikuwa analala shamba na Pross, wakiitaji muda mwingi sana, wa kuwa pamoja, tayari Rose aliacha kazi benk, sababu dada yake alimweleza anatija kufanya inshu nyingine, ambazo ni za kibiashara, na tataribu zilipo kamilika, kabla awajaondoka, Rise alifanya jambo ambalo ni la kushangaza kidogo, kwanza alimkabidhi nyumba mama Pross na kuwa ni yakwake, pamoja na maduka mawili, na lile gari lake, huku maduka na salon zilizo bakia akimkabidhi Stellah, kwamba zimsaidie na watoto wake, kwamana yakwamba ni matunda ya baba yao.




Naam baada ya kumaliza mapumziko yao bwana Mauricio kumaliza mapumziko yake nchini Tanzania, aliondoka na familia yake, pamoja na Rose alie ambatana na Pross, na sasa walikuwa wanajuwa kabisa kuwa wawili awa ni wapenzi, na kule shamba walimwacha kijana mmoja ili aendelee kuliangalia shamba chini ya usimamizi wa mama Pross, wakipanga kuwa ndiyo sehemu ambayo itajengwa kiwanda cha sabuni, za kuogea na mfuta ya ngozi, hiyo ni kwa ufadhiri wa shemeji yake bana Mauricio Frenandez.********




Yap, siku zilienda, ilikatika miezi sita, Kipanta alitoka jela, na kuamaua kuridi kijijini kwao Itaga, huko mkoa wa tabora, Rose na Pross sasa walikuwa wameshaanza kazi katika kiwanda chao walicho kijenga kule kisalawe, huku wakiishi kwenye nyumba yao kubwa sana, waliyo ijenga Mbezi Malamba mawili, na sasa Rose alikuwa anaujauzito wa miezi minne.




Upande mwingine mama Pros alikuwa anaendelea vizuri na maisha yake, na watoto wake na mdogo wake, wakisaidiana kuendesha biashara walizo pewa na Rose, na sasa mama ross alikuwa ame nawili kiasi cha kwamba ungezania ni mwanamke wa miaka ishilini na tisa au therasini, kwa jinsi alivyo pendeza kwa mavazi ngozi, na sura, kama ulimwona miezi sita iliyopita akia anauza mboga mboga, basi leo usinge mtambua atakidogo, mama Pross pia alikuwa anauwezo wa kuendesha gari vizuri kabisa, kiasi cha kuweza kwenda mmwenyewe mbezi au kaliakoo, kufwata bidhaa za madukani na saloon na alipenda sana kuendesha Toyota alphad.*******




Naam siku moja mama Pross akiwa anatoka kaliakoo anaelekea mbezi, akiwa ametoka kuchukuwa bidhaa za dukani, akipitia barabara ya Kinyelezi ni baada ya kuona barabara ya morogoro ina foleni kubwa sana, na na wakati anakatiza maeneo ya segera mwisho, njia panda ya kwenda kwa bibi, akaona madimbwi flani ya maji, akapunguza mwendo ilikuya ingia yale madimbwi, sasa basi wakati amesha yaingia madimbwi, mala likatokea fusso na mchanga, ambalo liliingia mazima kwenye yale madimbwi, na kurusha maji machafu kwenye gari lake, bahati nzuri uwa aachi vioo wazi, hivyo gari lilichafuka vibaya sana.




Mama Pross akawa anatembea huku anatazama sehemu ya kuoshea gari, mpaka alipo fika mbezi akua ameona sehemu ya kuoshea gari, lakini ile anakamata barabara ya kuelekea Kibamba, kaona kuna sehemu pameandikwa tunaosha magari bei poa, na alipotazama nikweli akaona kuna gari moja na pikipi kadhaa zinaoshwa, hivyo akaona aitakuwa mbaya, akipeleka gari maali pale…….










Ukweli leo pale kijiweni, nikama alilala bundi, maana ukiachilia gari ili moja ambalo uoshwa kwa elfu tatu, na hizi pikipiki chache ambazo uoshwa kwa buku mpaka buku jero, akukuwa na kazi yoyote waliyo letewa, mpaka mida hii ya saa sita kasolo, hivyo ata fedha ya kuwalipa wachotra maji, aikuwa imepatikana, na kusababisha wachota maji wakae pembeni wakisinzia kwa njaa, na uchovu, huku wanaombea itokee kazi, yani lije gari la kuoshwa, ilinawao walipwe chao, na ata lilipoonekana Toyota Alphad lina ingia maali pale, wote wakainua vichwa na kutazama lile gari, akiwepo kijana Nungu, aliekuwa anamalizia kuosha gari alilikuwa nalo, akacha kidogo na kukulisogelea lile gari, ambalo dereva wake alishusha kioo, na ndipo Kijana Nungu alipo mtambua kuwa dereva huyu alikuwa ni wakike, “karibu mama, shikamoo” alisalimia Nungu akijuwa kuwa amesha pata fedha, “marahaba, mwanangu naitaji kuosha gari, sijuwi mnafanya bei gani?” aliuliza mama yule ambae sisi tuna mtambua kama mama Pross, ambae bado alikuwa ndani yagari, kitu ambacho kilisababisha wale watu wengine waliokuwa wame kaa pembezoni, akiwepo na bwana Feruz, wasimwone vizuri mteja huyu, japo sauti yake waliweza kuisikia kwambali, sambamba na sauti ya music mmoja sijuwagi kama ni wadini, au mipasho ya kawaida, unasema “ombea adui yako aishi siku nyingi, iliunapo fanikiwa akujionee kwa macho” , “tunaosha nje na ndani, au nje peke yake” aliuliza Nungu, huku wenzake wakimtazama, huku bwana Feruz akihisi kuifananisha ile sauti, kama vile alisha wai kuisikia sehemu, na akuna kitu alikuwa apendi kama kukutana na mtu alie wai kufahamiana nae kipindi akiwa askari, hivyo Feruz, lakini akajipa moyo kuwa akuwa anafahamiana na mwanamke mwenye fedha za kuweza kumiliki Alphad, “nje tu! siunaona hapo palivyo chafuka” alisema mama Pross, “kama nje ni elfu tatu, yani dakika kumi umeondoka mama” alisema Nungu, na hapo mama Pross akatoa elfu, tano na kumpatia Nunguasante sana mama ngoja nimtume mtu akatafute chenji, alafu gari liweke pal..” kabla ajamaliza, ghafla akavamiwa na Feruz, ambae ni kama alikuwa anasubiri apewe ile ela, “lete buku langu nikapate wali ndodo” alisema Feruz, huku anaikwapua ile ela mkononi kwa Nungu, “baba Pross ni wewe mume wangu, au macho yangu?” Feruz alisikia sauti ya yule mwanamke aliekuwa ndani yagari, akiuliza kwa mshangao mkubwa, siyo Feruz peke yake ata wenzake walishangaa, hapo moja kwa moja Feruz akaitambua ile sauti kuwa ni ya mke wake, lakini mke wake atakuwa wapi, maana akufikilia kuwa yule mwanamke ndani yagri ndie mke wake, anaanzaje yani, mama Pross kuwa ndani ya gari lile au amepewa lift, hivyo Feruz, akageuka haraka na kutazama kwenye gari, ambako ilitokea ile sauti, nikweli alimwona mwanamke anae fanana na mke wake, lakini siyo mke mke, yani kwa mawazo ya feruz, maana kwa mwonekanano wa wamanmke alie kuwa anamwona mbele yake, labda kama alizaliwa upya kwenye kizazi hiki, sababu uzuri aliokuwa nao, ata kipindi cha uschana wake akuwai kuwa nao, lakini Feruz, alikuwa ameganda anamkodolea macho mwana mama huyu, mrembo alie fanana aswa na mke wake, japo huyu ni mrembo kuzidi, “umekutwa na nini mume wangu, yani mwisho wako ndiyo ume kuwa huu?” aliuliza mama Pross, na kuzidi kumchanganya Feruz, ambae sasa alianza kuisikia sauti ya music kwenye redio yagari, ombea adui yako, na sasa ndiyo ikamjia hakiri kuwa alimwona Pross akiwa na mama mmoja hivi, na watoto wake, ikionyesha ni familia yenye kujiweza, na ata Pross alionekana kuwa mtanashati, hivyo huyu pia ni mke wake, na kwa hakiri ya haraka, akajuwa kuwa mke wake alisha olewa tena na mtu mwenye fedha zake, hivyo yeye amesha vuna alicho panda, hapo ghafla bwana Feruz akahisi kizungu zungu, na mwili ukaanza kukosa nguvu, hukugiza likitanda kwenye mboni za macho yake, “Nungu mdake anaanguka huyooo!” Feruz aliskia kwa mbali watu wakiongea maneno hayo, huku akijihisi anaenda chini kama kiroba, giza nene likiwa bado limetanda usoni, akaisi Nungu anamdaka, lakini akamshinda nguvu, na kuzidi kwenda chini akajitaidi kujidaka, lakini akuweza miguu aikuwa na nguvu, hivyo akajipiga chini pwaah! “jamani nisaidie ni mume wangu jamani” Feruz akasikia sauti ya mke wake kwambali akipiga yowe la kuomba msaada, hapo Feruz akajitaidi kujiinua akashtuka akizuiliwa, maeneo ya kifuani, “doctor njoo haraka, amezinduka” Feruz alisikia sauti ya mke wake akipiga kelele kwa furaha, huku kama vile akiondoka sehemu hiyo, “mh! doctor tena?” alishangaa Feruz akijiuliza kimoyo moyo, huku anafuambua macho, kweli aliweza kufumbua macho, na kujikuta yupo kwenye chumba kimoja tulivu, chenye kuta nyeupe, akiwa amelazwa kitandani, huku amefunikwa shuka jeupe, na vitu kadhaa vilivyo ashilia kuwa alikuwa hospital, “inamana nilizimia” alijiuliza Feruz, huku anautazama mlango uliokuwa wazi, na hapo akamwona mke wake, ambae mpaka sasa akuwa anaamini kama kweli ni yeye na ana mwangaikia vile, akiwa ameongozana na doctor mmoja na nurse, wote wakike, Feruz akamtazama mke wake ambae kwamwonekano wake leo aligundua kuwa kuna mambo mengi sana akuwa amemtendea haki, maana alikuwa mzuri wa sura na umbo, maana kuna tu vitu ambavyo hapo mwanzo akuwa navyo lakini sasa tulionekana wazi wazi, kama vile hips makalio, na hata uzuri wa sura, akuweza kumfananisha ata na Khadija mschana kahaba alie mmalizia pensheni yake, yani Khadija asingeweza kumfikia mke wake ata robo ya uzuri, “unajisikiaje bwana Feruz?” aliuliza doctor, huku anaweka ki Bp machine kifuani kwa feruz, “najiskia vizuri lakini kichwa kizto kidogo” alijibu Feruz, huku akimtazama mke wake, na macho yao yalipo kutana Feruz alijikuta anatoa machozi, “usiwe na wasi wasi bwana Feruz, au atatizo lolote, una aja ya kulia” alisema doctor alie maliza kupima mapigo ya moyo, kisha akamtazama mke wa bwana Feruz, “dada unaweza kuondoka na mgonjwa wako, ila sasa akapumzike ale vizuri inaonekana alifanya kazi ngumu, bila kula, hivyo ukampe chakula chepes kabla uja mpa mlo kamili” alisema yule doctor na hapo mama Pross akafanya utaratibu wa kulipia matibabu aliyopewa, mume wake, ambae alikuwa amekaa kweny bench akimsubiri mke wake huyo, huku akiitafakari hukumu yake, ambayo itafidia ushenzi alio ufanya, huku wakati mwingine akiwaza kama mke wake atakuwa ameolewa basi yeye aombe msaada wa kiasi cha fedha kitakacho msaidia kuanza maisha mapya, “kuna mambo utokea ili wengine wapate nafasi ya kuishi kwa amani, maana ninge kuwa nae asinge fanikiwa hivi” aliwaza Feruz huku akimwona mke wake anakuja pale alipo kuwa amekaa, “aya twende mume wangu” alisema mama Pross kwa sauti ya upole iliyo jaa upendo wa hali ya juu, kiasi cha kumshangaza bwana Feruz, amba aliamua akae kimya bila kuhoji, mpaka atakapo somewa shitaka lake.




Walitoka pale hospital na kupitia, madukani, ambako mama Pross alihakikisha amenunua nguo kadhaa na viatu, kwaajili ya mume wake, ambae kila walipo pita sehemu mbali mbali, watu walizania kuwa mama huyu, ameongozana na mtu wa kwenda kumpa kazi za kufanya usafi nyumbani kwake, lakini licha ya kuonyesha upendo wa hali yajuu kwa mume wake, ukweli bwana Feruz akuelewa kama amesamehewa au anaenda kufanywa kijakazi, au ata ambiwa kuwa safari yako imeishia hapa, unaweza kuendelea na zako.




Lakini waliingia kwenye gari, na moja kwa moja walielekea nyumbani, kuliko mshangaza Feruz ambae alishangaa jumba lile ambalo nje yake kulikuwa na gari jingine lime egeshwa, na waka pokelewa na dada wakazi, ambae siyo siri, alishangaa kumwona boss wake, yani mama Pross akiingia na mtu wa aina ile pale nyumbani, na mbaya zaidi alimwingiza chumbani kwake, huku boss wake huyu, akiagiza vipikwe vyakula ambavyo kiukweli vilikuwa vya kipekee, ikionyesha kuwa vyakula hivyo ni kwaajili ya mgeni huyu, ambae alipo mwona kwa mala ya kwanza alizania kuwa ni mtu ambae amekuja kupewa kazi ya kuokota taka taka kwenye eneo la nyumba ile, lakini dada wa kazi, akujuwa kuwa kule chumbani kulitawaliwa na mambo mengi sana, kuanzia vilio na kumbana msamaa, “mke wangu naomba unisamehe sana kwa yote niliyo yafanya kwa ko na watoto, naomba uniombee msamaha kwa watoto, kiukweli siwezi kupiga magoti mbele yao” alisema Feruz huku anaangua kilio cha chinichini, akisaidiwa na mke wake, “mume wangu, nilijuwa lazima utarudi, na nilisha panga kukupokea naamini umesha jifunza, na uwezi kurudia tena” alisema mama Pross, huku anabubujikwa na machozi, walikumbatiana ikiwa ni ishala ya kuwa akukuwa na utofauti kati yao.




Feruz aliingia bafuni kuoga akisaidiwa na mke wake, alie mwogesha, na alipomaliza alivaa vizuri, na kuelekea sebuleni kwenye meza ya chakula, alikaa pamoja na mke wake na kuanza kupata chakula, kwa pamoja, huku wakiongea ili na lile, “lakini mke wangu, kabla sija ulizia watoto wapo wapi, wacha nikueleze ukweli, mwenzio nime teseka, yani nimeishi maisha ambayo sikuwaza kuishi ata siku moja” alisema Feruz, huku wote kwapamoja wakicheka kwa uzuni, “ukweli sisi atuja teseka, kama wewe, na mshukuru sana ulituachia Pross, ndiyo maana sijaona sababu ya kukataa kukupokea, maana mwanao ndie amekuwa msaada mkubwa kwetu” alisema mama Pross, na kuanza kumsilia jinsi Pross alivyo wasaidia kwa kila kitu, mpaka kufikia pale walipo fikia.




Naam watoto wote wa Feruz walipewa taalifa ya ujio wa baba yao pale nyumbani, kwakifupi mtoto ni mtoto tu! awakuwa na kinyongo na baba yao, walimchukulia kama baba yao, Pross alimtammburisha Rose kwa baba yake, na maisha yakaendelea, sasa bwana Feruz aliishi kama baba wa familia, japo mwanzo akujiamini, lakini siku zilivyo songa ndivyo alivyo anza kujiamini, na kujikubari kuwa yeye ni baba tena, mke wake akuwa mbinafsi, alimpa uhuru mume wake, na kumpa nafasi yake kama baba, mfano bwana Feruz aliweza kuchukuwa gari na kutembea tembea mitaani, alikuwa huru kutumia fedha, kwa matumizi binafsi, aliweza kununua vinywaji vya ulevi na kunywea nyumbani, huku akizidi kunawili, kila siku zilivyoenda, na kurudisha ngozi ya ujana, na mwili wa kiungwana, ule mwili ambao unaamkiwa na kila mtu wa lika lolote, kasoro wazee, mwili ambao ukiomba namba ya simu ya mwanamke siku hiyo hiyo lazima utasikia “baby nikuambie kitu kama uto jari” sijuwi uwa kina fwataga nini hapo, maana lazima utaonekana unafedha ukiwa na mwili kama huo, ambao sasa alikuwa nao bwana Feruz, toka kwenye ule mwili wa kubebea maji ya kuoshea magari, kwa bwana Nungu, ambae sasa alikuwa anapita siku moja moja, kuwasalimia na kuwapelekea gari walioshe.




Kwakifupi sasa alikuwa baba mwema, akumsumbua mke wake, lakini usilo lijuwa ukweli lita kusumbua sana, sikuelewa Feruzi likuwa na maana gani, kumbe basi siku zote alikuwa anatamani sana, kwenda mivinjeni, sijuwi kufanya nini.******




Naam ilipita miezi kadhaa tayari Rose alisha jifungua mtoto wakike, mama Pross ndie alie enda kukaa na mzazi, na ndipo ilipo timia siku ile ambayo, Feruz alikuwa anaiitaji, siku ya kwenda mivinjeni, yeye mwenye alisema siku ya kurudisha heshima yake iliyo potea, ilikuwa ni siku ya jumamoss, mida ya kumi jioni, siku ambayo mtaa wa mivinjeni nje kidogo ya makazi ya polisi, kwenye mtaa uliochangamka, kwa maduka bar na saloon vibanda vya biashara, watu magari na boda boda, pembezoni mwa bar moja kubwa sana, ambayo kwa sasa ni mpya, bar iliyo jaza watu kibao, palionekana saloon, ambayo kiukweli ilikuwa kama ime kosa mvuto, na kuanza kufilisika, kilichoonyesha kuwa ni saloon, ni wana dada wanne waliokuwa wamekaa nje yake, huku macho yao kwenye bar, unajuwa kwanini macho yao yalikuwa kwenye bar, ni kwamba wana dada awa walikuwa wanatazama kule, ikiwa ni kawaida yao, kutazama mwanaume yoyote atakae wakonyeza, kwa lengo la kwenda kula nae bata, na mwisho wa siku kwenda kuepeana dudu, kwa makubaliano ya malipo, hiyo ilikuwa siku za nyuma, lakini kwa sasa, ghalama ilikuwa ni bia tu, mwanaume huyo ange pewa kitumbua, mpaka asubuhi, ni kutokana na kuchoka kwa wanawake awa, ambao sasa walipoteza mvuto, kwa ukata wafedha, “sikuizi mambo magumu jamani, yani akuna ata wa bia” alisema mmoja wao, akikumbuka kuwa sasa walikuwa wanamaliza week pasipo kuitwa na mwanaume yoyote, “yani siyo kama kipindi cha Feruz, tulikuwa tuna kula raha jamani” alisema Khadija, na hapo zikaanza story za zama hiyo, lakini ikabakia kuwa plau la jana alipozi njaa ya leo, “hivi yupo wapi mtu mwenye, ajafa kwa stroke kweli” aliuliza mmoja wao, na wote wakacheka, “nilisikia anaonekana huko mbezi ya kimara, anaosha magari” alijibu Khadija, na wote wakacheka tena, “uliweza kumfilisi yule baba jamani” alisema mmoja wao, huku wakijikalisha kiasala asala, na kufanya vinguo vyao vifupi kuacha vitumbua wazi, kama umetokea mkoani leo unge sema ni bahati mbaya, ila ilikuwa ni makusudi, kuvutia mtu yoyote atakae ona, “tena anabahati nilimjulia uzeeni, mbona ange nikoma” alisema Khadija huku wakilitazama gari moja aina ya Toyota Alphad lililokuwa lina pita mbele yao taratibu, na kwenda kusimama pale kwenye bar, “mh! wenye magari mazuri kama awa wanakuja na watu wao” alikosoa Khadija baada ya kuona wenzake wanalikodolea lile gari, kutazama ata shuka nani, toka ndani yagari, ambalo lilizimwa mala tu baada ya kusimama.




Naam mlango wa dereva wagari ulifunguliwa, nao waka kaza macho, wakamwona anashuka mzee mmoja wa makamo, mwenye umbo pana kidogo, na mwenye kuvalia kitanashati, “hhhhhaaaa! Feruz” kwa sauti ya mshangao na yachini, iliwatoka wote wanne, huku wakijikuta wanatazama usoni vinywa wazi, tabasamu la bumbuwazi, na macho ya mshangao…










kisha waka mtazama Feruz alie kuwa anaingia kwenye eneo la ile bar, akitokomea ndanikabisa ya bar upande wa counter, “inamaana ajaniona?” aliuliza Khadija huku anasimama, “asinitanie” alisema Khadija, huku na kuvaa viatu vyake vya wazi, (sendo) zilizo chakaa kiasi, ni kwavipi alionyesha amekosa ata buku za kununulia sendo za plastic, alafu akatoka mbio mbio, kueleleka kule bar, huku wenzake pia wakiinuka na kumfwata mwenzao wakijuwa leo wana kumbushia enzi zao.




Naam waliingia kwa speed mle ndani ya bar, na kusimama kati kati, wakaanza kuangaza macho huku na huku, kumtafuta bwana Feruz, ambae walimwona kuwa ni tupa tupa, wakamwona ndio kwanza anaelekea counter, na alipoifikia counter ambayo ilikuwa na watu wachache, akasimama, hapo Khadija akatoka mbio tena, kuwai counter, huku macho ameyaelekeza kwa Feruz, na kumwona akiingiza mkono mfukoni, na kutoa wallet, mpaka anaifungua ile wallet, tayari Kahdija na wenzake walisha mfikia, “jamani baby, afadhari nime kuona, yani nilikuwa na kutafuta mwenzio” alisema Khadija huku anaweka mkono kwenye bega la Feruz, macho kwenye wallet, ambayo ilikuwaimeshona fedha zikiwa ni note za elfu kumi kumi, zilizo jaa kiasi cha wallet kushindwa kufunga vizuri, Feruz akashtuka kidogo, na kuutoa mkono wa Khadija begani kwake, kisha akajifanya kumtazama kwa mshangao, “jamani baby, ni mimi, hooo pole nime kushtua” alisema Khadija kwa sauti flani ya kutokea puani, ambayo aikumkela Feruz peke yake, ata waliokuwa karibu na pale nao, walikeleka, “sasa utaha rabu gani wa kuvamia mtu ata ujasalimiana nae?” aliuliza Feruz, huku akimtazama Khadija kwa jicho kali, “basamahani baby nilijuwa umesha niona” alisema Khadija, kwa sauti ya upole, hapo nikama Feruz alipoa flani, akamgeukia mhudumu, na kumpatia note mbili za elefu kumi kumi, “naomba wine” alisema Feruz, kisha akatulia kusubiri alicho agiza, “na mimi nipatie bia ya baridi” alisema Khadija kisha akawatazama wenzake nikama alikuwa anawaeleza na wao waagize, “na mimi kama hiyo” “na mimi kama hiyo” wote wakaagiza, jumla ya bia nne, huku wanakaa, kwenye viti virefu vya pale counter “yani baby kuna watu wanaroho mbaya, eti waliniambia sijuwi hupo mbezi una fanya nini sijuwi” alisema Khadija kwa sauti ya kujibebisha, “ni kweli nipo upande huo, lakini nipo Kibamba” aijibu Feruz, kwa sauti flani hivi, ambayo utumiwa na watu wenye fedha zao, yani sauti tulivu, na yaupole, “vipi ubaridi huu?” aliuliza mhudumu wa counter, “huo huo unatosha” alijibu Khadija, huku na yeye akiwa anapanda juu ya kiti kirefu, namhudumu aka wafungulia bia zao, ambazo ile kabla ata mhudumu aja chukuwa wine na kumpatia Feruz tayari zilikuwa nusu, maana walizigugumia ungesema walikuwa na kiu ya miaka, “bado elfu nne, alisema yule mhudumu, huku anampatia bwana Feruz wine na glass, hapana sinywei hapa, naenda kunywea nyumba, alafu hii wine bei gani?” aliuliza Feruz, huku wakina Khadija wakimtazama Feruz kwa mshtuko, na mshangao, ni baada ya kusikia kuwa anywei hapa, ila anaenda kunywea nyumbani, hapo wakatazama kwa mshangao, “wine elfu kumi na sita” alijibu yule dada mhudumu huku ameshikilia zile noti mbili za elfu kumi kumi, “sasa mbona unasema bado elfu nne, wakati mimi ndiyo nadai elfu nne” aliuliza Feruz akionyesha mshangao kiasi, na kuwafanya wakina Khadija washtuke kidogo, “baby, si anadai na hizi bia?” aliuliza Khadija huku akishuka kwenye kile kiti kilefu na kumsogelea Feruz, “eti ndiyo una maanisha hivyo?” aliuliza Feruz, akimtazama yule mhudumu, “ndiyo mzee wangu, au hukunielewa?” aliuliza yule dada mhudumu, huku anajitabasamulisha, “kwani mimi nilipokuja hapa nilikuagiza nini?” aliuliza feruz, akimtazama yule mhudumu, hapo akadakia Khadija, “lakini baby…” kabla ajamaliza kuongea akakatizwa na Feruz, “weee kwanza ilo jina siliitaji, unatasababisha watu wanione wa hajabu, mimi na familia yangu, alafu unaniita majina ya ajabu ajabu” alisema Feruz, akiwa amemtazama Khadija, usoni, kwa macho makali kweli kweli, “sahamani lakini bab.. lakini Feruz jamani usikasilike, tuakae tuongee kwanza” alisema Khadija huku wenzake wakitazama zile bia mezani, ambazo mpaka sasa zilikuwa nusu chupa, na wakijuwa fika kuwa walikuwa wanaitajika kulipia wenyewe, na wakati awakuwa na ata shilingi moja, ya mkoroni, “tuongee nini, kuna maongezi gani yenye faida, kati yetu” aliuliza Feruz, kabla aja mgeukia mhudumu, huku watu waliokuwa karibu wakigeuka na kuwatazama, “dada nipatie chenji yangu, naitaji kuondoka haraka” alisema Feruz, na hapo yule dada mhudumu akachukuwa shilingi elfu nne, na kumpatia Feruz, ile anataka kuondoka Khadija akamdaka mkono, plizzzz jamani Feruz, naomba basi utulipie ata hizi bia nne tu, usinifanyie hivyo jamani” alilalamika Khadija huku akiwa ameung’ang’ania mkono wa Feruz, “we mwanamke mbona sikuelewi, nikulipie bia nne kwa mkataba gani, yani yote uliyo nifanyia, na aibu uliyo nisaidia kuitafuta, bado unataka kunifanya mimi mjinga, ebu niachie mkono, ukapambane na hali yako” alisema Feruz, huku ana upapatua mkono wake na kujitoa kwa Khadija, ambae sasa nikama alianza kulenwga na machozi, “jamani baby, ni samehe, nilikukosea kweli, mwenzio nina umbuka” alisema Khadija waka kulalama, huku akimtazama Feruz, alie kuwa anatembea kuelekea nje kabisa ya eneo la bar, “kwahiyo nikusamehe ili waje, unifanye tena mjinga wako?, labda ume sahamu, mjinga ni wakati wa kwenda tu, lakini wakurudi ninakuwa mwelevu” alisema Feruzi, na kuendelea na safari yake, Khadija akaanza kumfwata, lakini kabla aja fika mbali, akamsikia yule mhudumu wa pale counter anasema, “we dada ebu njoo hapa, unaenda wapi wakati hamjalipa vinywaji.




Naam hapo ndipo Khadija alipo kuwa amepasahau, kuwa kuna kulipa vinywaji, akageuka nakuwatazama wenake wanne, ambao pia walikuwa wamekaa kwenye vile viti virefu, wanamtazama, kama vile wanamtazama boss alie filisika, “sasa dada tuna fanyaje maana mtu tulie mtegea ndiyo yule ameondoka?” lakini wakati rafiki zake Khadija wana waza ilo, Kahdija akaona sasa anaumbuka vibaya, na ukichukulia pale ni mtaani kwake, hivyo ni aibu ya mwaka, akaona ni vyema akiwai kwenye gari aka mbebeleze Feruz, ambae kiukweli matendo aliyo wai kumfanyia ni mabaya sana, lakini ilionyesha kuwa, Khadija alisha mchukulia kama huyu jamaa ni bwege, na kwa jinsi alivyo mzimia kipindi kile, na kumaliza fedha za penshen bila kukumbuka familia, lazima leo ata mwelewa, na kuendelea kula bata, hivyo Khadija akachomoka mbio, kueleka nje, kule alikoelekea Feruz, lakini ile ana piga hatua mbili, akumwona mhdumu alie beba tray lenye bia tatu, aka mvaa mzima mzima, na kumsukuma nyuma huku tray kiliponyoka mkononi kwa mhudumu na kujibwaga chini, huku ukisikika mlio kama wa bomu, bia zikizibuka na kupasuka, huku Khadija mwenye akijisogeza pembeni kukwepa vipande vya chupa, pasipo kuangalia kama kulikuwa na meza iliyo jaa vinywaji ya wateja,a mbao walipo jaribu kumzuwia walisha chelewa, tayari Khadija alisha sukuma meza nako ikasikika, “bwah!!!!” hapo Kahadija akajuwa tayari amesha zalisha deni jingine kubwa, akajishika kichwani kwa mshangao wa fadhaa, huku akizungusha macho kutazama watu waliokuwepo mle ndani ya bar, akaona wana inuka kwenye viti vyao, na kutazama pale palipotokea mtimbiliko, akawatazama wenzake pale walipokaa, akuwaona, na alipotazama upande wakutokea, akawaona ndio kwanza wapotelea barabarani kwa mwendo wa jinni, yani wakunyemelea, ikionyesha wazi walikuwa wanatoroka, “dada unalipa” ilisikika sauti ya kijana mmoja, hapo Khadija akakumbuka kuwatazama wale waliokaa kwenye ile meza, aliyo isukuma, akawaona vijana sita, wakiwa wamesimama huku watano kati yao, wakiwa wamekunja sura za hasira, ni mmoja tu alikuwa ametulia anatabasamu, Khadija akazama kule kwenye maegesho ya magari, akamwona Feruz akiwa amesimama nje ya gari akimtazama huku anacheka, hapo Khadija akajuwa kuwa Feruz siyo yule wa zamani, alie mlia fedha zake zote, na kumtimua nyumbani kwake, huku akimwingizia waume humo humo ndani, “we! mwanamke, una shangaa nini ebu toa fedha nunua bia nyingine hapa” alisema mmoja kwa hasira, huku ana mshika mkono Khadija na kumvutia kwake, ni kati ya wale watano wenye hasira, “hapana jamani mbona ni mambo madogo sana haya, bia kitu gani?” alisema yule ambae alionekana kutabasamu, huku anamtazama Khadija, wakati huo yule dada mhudumu wa counter,alikuwa amesha sogea eneo la tukio, nakumtazama Khadija kwa mshangao, “jamani we dada zile za counter ujalipa ume vunja tena bia tatu, na ume vunja bia za wateja” aliseyule dada wa couneter, kwa mshangao uliochanganyika na lawama, “kwakweli lazima alipe” alisema yule mhudumu alie sukumwa na kuangusha vinywaji, hapo Khadija akamtazama tena Feruz, ambae sasalimwona akiingia kwenye gari lake na kuondoka zake, “dada unamdai bei gani?” aliuliza yule ambae akuwa amekasirika, na kumfanya Khadija alipukwe na furaha ya kimoyo moyo, “elfu kumi na nne” alijibu dad wa counter, uwezi amini, jamaa alizama mfukoni, na kuibuka na na wekundu wawili, aka mkabidhi, ok tuleetee vinywaji vingine tunaenda kuka pale” alisema yule jamaa, huku wenzake akimshangaa, “asante sana kaka yangu, lile zee lilizania nitaumbuka” alisema Khadija kwa sauti ya juu, iliyo jaa dharau na furaha, huku anataka kuondoka zake, “dada jiunge na sisi, uoni kama ni bahati, watu tume kulipia na tuna taka tukupe offer, au hupo na mtu wako?” aliuliza yule jamaa, kwa sauti ya kirafiki huku anatabasamu, hapo khakaadija akachekelea kimoyo moyo na kujisemea, “ange kuwepo yule baradhuri, roho inge muuma, nanitakutafuta tu! nile ela zako” Khadija akajifanya kuona aibu, jamani sija wazowea alafu nitakuwa nimewaongezea bajeti msiyo ipanga” alisema Khadija kwa sauti flani ya kujifanya mwema, lakini kwa wazoefu, usinge danganyika, sababu sauti yake na vitendo avikulingana na sura yake, “usijari wangu, twende tuka pige pige story, si unaona tupo wenyewetu!” alisema yule asiye na hasira, huku wenzake wakionekana kuanza kuelewa anacho kifanya mwenza.




Ukweli Khadija alijiunga na wale vijana sita, na kuanza kunywa nao pombe, Khadija aliwacheka rafiki zake pamoja na bwana Feruz, ambae alitamani ange kuwa na namba yake ya simu, ange mpigia na kumweleza, jinsi anavyo kula bata, na vijana wale, aliyawaza hayo Khadija, huku anakunywa pom,be kwa fujo, akiofia kuichelewa ile offer, ambayo akujuwa itaishia saangapi, pasipo kujuwa kuwa kinachofwata baada ya masaa machache ni zaidi ya mateso.




Maana walikunywa pombe mpaka saa tano usiku, uku muda wote akifanyiana michezo ya kimahaba, na vijana wale, ambapo kama unge fika kwa haraka, usinge tambua kuwa nani anaenda kula kitumbua, ata Khadija mwenyewe alikuwa amesha juwa kuwa lazima mmoja wao akale kitumbua chake na yeye alisha jiweka tayari kuliwa kitumbua, na aikuwa kesi kwake, sababu amesha zowea kuliwa kitumbua kiolela.




Mida hiyo ndiyo mid ambayo, waliondoka pele bar, wakitumia gari lao, na kupotelea kusiko julikana, maana wale vijana walikuwa na gari aina ya Toyota Noah, hakuna alie juwa walikoelekea, usiku ule, na akuna alie juwa kilicho tokea, japo mimi najuwa kilicho tokea, na kama nikisema nisimulie kilichotokea basi tuta lazima kuongeza kurasa nyingine tano, na watoto wakafungiwe, japo nao wanaitaji kujifunza mambo ambayo awatakiwi kuyafanya, ata kwabahati mbaya, ila basi, watu walio pia mapema kuwai makazini na kwenye miangaiko yao, ndio walio mkuta Khadija akiwa amelala pembezoni mwa ile bar, karibu na saloon yake akiwa mtupu kama alivyo zaliwa, ajitambui kabisa, huku akionenaka kuaribiwa sehemu zake za siri, yani mbele na mgongoni, huku akitapakaliwa na hajakubwa, iliyo changanyika na damu, huku Khadija mwenyewe akiwa ajitambui, sikujuwa kama ni usingizi, au alipoteza fahamu, kama ujuwavyo wanadamu, kitu cha kwanza wakapiga picha nyingi sana, kwa aajili ya kupost mitandaoni, kisha waka piga simu polisi, ilia je achukuliwe.




Mpaka namaliza kuandika simulizi hii, Khadija bado alikuwa hospital ameshazinduka, na mesha shonwa nyuzi kadhaa kwenye nyia ya hajakubwa, ikisemekana kuwa aliingiziwa kitu kigumu, japo yeye anasema, wale vijana walimpaka kwazamu, wakiitumia njia hiyo, mpaka alipopoteza fahamu kutokana na maumivu makali, aliumia sana, ata rafiki zake walipokuja kumtazama, alihisi wanakuja kumsanifu, kuna wakati alitaka kuhisi, kuwa wale vijana walitumwa na Feruz, lakini ukweli ni kwamba vijana wale walikuwepo pale muda mrefu, na awakuwa na mausiano na Feruz, ambae Khadija akutaka ata kumtafuta tena, alimwona kama mkosi.*****




Naam mapaka sasa Feruz anaishi vizuri na familia yake, huku bwana Kipanta akiwa tabora anafanya vibarua kwenye mashamba ya tumbaku, kwa ujira mdogo, mscha Joyce sasa yupo ufilipino kwa ufadhiri wa Adelah anasoma chuo kikuu cha Suns philipe, akichukuwa shahada ya usimamizi wa fedha, Pross na Rose wanaendelea na maisha yao na biashara zao vizuri uku wana lea mtoto wao, japo anajiiba mala moja moja kwa madam Stellah, ambae licha ya kufanikiwa katika maisha na kuweza kuendesha maisha yake yeye mwenyewe, na kuishi maisha ya kifahari, lakini akutaka kuolewa tena, kwa kutegemea dudu ya Pross, ambayo sas alikuwa anaipata mala moja au mbili kwa week.




Hapo ndiyo mwisho wa simulizi yetu, ya #KITUMBUA_CHABUKU, na kama ilivyo kawaida yetu, huo ndio mwanzo wa simulizi nyingine, asanteni sana kwa kuwa pamoja nasi toka mwanzo mpaka leo tumefikia mwisho








MWISHO******


0 comments:

Post a Comment

Blog