Search This Blog

Monday 19 December 2022

KITUMBUA CHA NANI - 3

  




Chombezo : Kitumbua Cha Nani 


Sehemu Ya Tatu (3)






Naam, akiwa amevalia nguo zake nzuri, alizo nunua kwaajili ya Chrismass, Pross alifika Kisalawe kwa msaada wa magari ya mchanga, na kuanza kutembea tembea akiwa ana angalia madhari na watu wengine wanavyo sherehekea siku kuu, kila alicho kiona kilimkumbusha jambo, alipo waona waschana wazuri alimkumbuka boss wake Rose, na ukali wake, japo siku ya mwisho kuonana nae alionekana kuingiwa na utu kiasi flani, alipo waona wanawake wakubwa wenye maumbo mazuru walimkumbusha Stellah, na hapo alijikuta ana tamani kuwa na mwanamke, sababu mavazi na ile mtuno wa kitumbua cha Stellah vilimkumbusha kuwa yeye ni mwanaume ana anaitaji mwanamke, na alipo iona familia iliyo kamilika, yani baba mama na watoto, iyo ilimkumbusha machungu, na kujikuta ana mkumbuka sana baba yake, na hivi ajuwi ata yupo wapi, akajikuta anakosa ataraha ya kuendelea kuzulula pale kisalawe, hivyo aka aamua, kuondoka zake, kurudi shamba, na kwa bahati mbaya mida hii ya mchana akukuwa na gari lolote linaloelekea kule shamba zaidi ni magari binafsi au ya serikali, yani madogo mdogo,ndiyo yaliyoonekana yakielekea huko, maana njia hii inaeleka kibaha pia, Pross akaanza kutembea taratibu kwa mguu, huku mawazo yali mchonyota kweli kweli.




Kiwa amesha tembea kilo mita moja na kubakiza tano au sita, tayari alisha ingia kwenye msitu wa visamvu, wenyewe wanauita kazi msumbwi A, Pross akaliona gari moja zuri likipmita na kwenda kusimama mbele yake, akajiuliza kama analifahamu gari lile, na kabla aja pata jibu kuwa ili nigari lile analo lihisi au analifananisha mala akaona mlango wa gari unafunguliwa na akashuka Rose, “twende Pross” alisema Rose katika hali ya uchangamfu, tofauti na alivyo mzowea, ukweli ata Pross mwenye alishangaa, hapo akatimua mbio huku moyo wake ukifurahi, na ulifurahi kwa mambo mawili, moja ni kupata lifti, na mbili ni kumwona Rose akiwa akiwa tofauti na alivyo mzowea, “shikamoo boss” alisalimia Pross mala baada ya kulifikia gari, na Rose aliekuwa amesimama nje ya gari, aka tabasamu, “haaa! Pross, hivi unajuwa kuwa wewe ni mkubwa sana, siyo wa kuniamkia mimi” alisema Rose huku anacheka cheka, lakini nimesha zowea” alisema Pross, huku ana angaika kufungua mlango wa nyuma wa ari, ule uliodanana na wadala dala, “njoo ukae mbele” alisema Rose, huku ana mfungulia mlango wa mbele wa abilia, Pross nae akaingia ndani, na safari ikaanza, “leo umependeza, uliendakumwona demu wako?” aliuliza Rose kwasauti ya ucheshi iliyo changanyika na utani, akionyesha pia alisha anza kunywa pombe, huko alikotoka, “Pross nae akacheka kidogo kabla ajajibu, hapana, nilienda kutembea tu” Rose nae akacheka kidogo, huku anaendesha gari, “unataka kuniambia umeenda kutembea tu! ujakutana na mwanamke wako?” aliuliza Rose huku akimtazama Pross, “sina mwanamke” alisema Pross, “kwanini ume mwacha mpenzi wako?” aliulliza Rose ambae licha ya kuonekana kuwa amelewa kiasi, lakini aliongea kirafiki ata usinge zania kuwa ni Rose yule, “sijawai kuwa na mwanamke” alijibu Pross, huku anacheka cheka kwa aibu, huku macho yake yaki ibia kumtazama boss wake,na kumkumbusha mambo ya jana, “wee! acha uongo, au aunamatatizo?” aliuliza Rose kwa shangao huku akipeleka macho yake kwenye uswa wa dudu ya Pross, na kuona kama kuna dalili ya dudu kuvimba, “matatizo gani, kwani kuto kuwa na mwanamke ni matatizo?” aliuliza Pross huku anacheka cheka, “inamaana unasimamisha vizuri tu!” aliuliza Rose kwa mshangao, hapo Pross akaitikia kwa kichwa kukubali kuwa dudu yake inasimama vizuri, “mmh! aiwezekani, ngoja nikaone mwenyewe” alisema Rose, lakini ……








Alijiosemeakimoyo moyo, huku anatazama mbele, na kuzidi kuongoza gari, na wakati huo akasikia mlio wa sms ya whatsaap kwenye simu yake, aka ichukuwa na kutazama, ilikuwa ni ujumbe wa video kutoka kwa Adellah, “mungu wangu” alisema Rose mala baada ya kuona aina ya video aliyo tumiwa, ilikuwa ni video ambayo, ilimwonyesha akiwa pale makuti bar, ana mfumania Kipanta, ikiambatana na maandishi, “umesha tembeea nae?” ukweli japo Rose alionekana kuvulugwa na ile sms, lakini akuangaika kuijibu, aka iweka simu pembeni, na kuendeleea kuendesha gari, huku mida wote Pross, akijiiba kutazama umbo la mwana dada huyu ambae leo alivalia suruali ya jinsi, iliyo mshika mwili,na kuchora bahadhi ya viungo nyeti vya mwili wa mwanadada huyu, ambae pia aligundua kuwa Pross ana ibia kumtazama, lakini kutokana na kuchanganywa na ujumbe alio tumiwa na Adellah, “jamani wamesha juwa mala hii” alisema Rose kwa sauti ya chini, ambayo ata Pross aliisikia na kujuwa kuwa Rose alikuwa anajisemea peke yake, “Boss kwanini unaongea mwenyew, kuna taharifa mbaya umepokea?” aliuliza Pross, huku akimtazama boss wake usoni, ambae wakati huo nae alimtazama Pross, na macho yao yaka kutana wakatabasamuliana, “ujinga wa yule kibabu ndio ume niletea matatizo”: alisema Rose, na kumfanya Pross ahisi kuwa mausiano ya Rose na mzee Kipanta yana lege lega, unazania kwanini Rosemary alishtuka sana baada ya kuona ujumbe huo, toka kwa Adellah, na Adellah ni nani, nazani tuendelee akuwa pamoja, ili kujuwa zaidi.*******




Naam licha ya kufumaniwa na Rose, lakini Kipanta na Matrida waliokuwepo pal Luguruni, kwenye hotel nyingine, ndio kwanza mapenzi yao yalizidi kupamba moto, na walikunywa kwa fujo bila kujari, kesho itakuwaje, walikunywa kiasi cha anza kulewa kwafujo, huku kila mmoja akimpania mwenzie wazi wazi, kuhusu mchezo watakao ucheza usiku, ilifikia kipindi, walijikuta wanakuwa kivuto kwa wateja wenzao wwaliokuwa jirani, pamoja na mwana dada mmoja mhudumu alie kuwa anawahudumia, na kuwa sikiliza maongezi yao kwa umakini mkubwa sana, “yani baby jiandae, lakini leo sianzi kukunyonya, utani ni chafua mdomoni” alisema Matrida, kwa sauti ya kilevi, sijuwi kwa nini walilewa hivi, sababu siyo kawaida ya Matrida kule kijinga, pengine ni kwaajili ya furaha, “hilo tu, wala usiwe na wasi wasi, leo nitaanza mimi” alisema Kipanta, na kuendelea kunywa pombe zao, na vyakula walivyo itaji, japo ilikuwa kama ni kuchezea, maana waligusa gusa gusa na kuacha.




Licha ya kunywa na kuwa na akiba ya kutosha kwa starehe zao, lakini kuna wakati walienda tena kutoa fedha zaidi, hizo zikiwa ni za Matrida, Kipanta alitazama salio na kulipuuzia, naam muda wote wanayafanya hayo awakujuwa kuwa kuna mtu alisha anza kuwa fwatilia, akiamini kuwa bwana Kipanta anafedha nyingi sana, ambazo akizipata anaweza kufanikiwa kimaisha, mtu huyu anaitwa Waghora, ambae alipewa mchongo huo na mdada mmoja alie kuwa ana wahudumia kwenye hii bar waliyo hamia, yani hapa Luguruni, huyu siyo mwingine huyu anaitwa Sinder, likiwa ni jina lake harisi, lakini hapa bar walikuwa wana mfahamu kwa jina la Janeth, mdada huyu ambae amesha shiriki mala nyingi kutoa ramani za wateja wao, wenye fedha na kuwaibia, akimtumia mpenzi wake wa siku nyingi, bwana Waghora, ambae yupo tayari kumwacha mpenzi huyu, afanye lolote ili wapate fedha, ikiwa ni pamoja na kumruhusu alale na mwanaume yoyote mwenye nazo, na wakati mwingine kuwaibia huko huko chumbani, au Janeth akiwa laghai wanaume hao kuwa wahame guest, na kwenda guest nyingine, kwa kisngizio kuwa pale hawaluhusiwi, kulala vyumba vya wageni, na wakikubari, ana wapitisha kwenye chochoro na mshtua mpenzi wake Waghora, ambae ana jifanya kama kibaka wa kawaida kuwa amewaotea na kukaba, kisha kuanza kumpora mwanaume na kisha kumpora demu wake, vitu ambavyo baadae ange mrudishia.********




Mama Pross akiwa na wanae wawili na mdogo wake, yani mama mdogo, walisherehekea vizuri sana, Chrismass, mama mdogo alisha sahau tukio la kulala kitanda kimoja na mtoto wa kambo wa dada yake, kwa sasa ata wakikutana, akuwa anamwonea aibu tena, upande wa mama Pross, kitendo cha jana kuwa simulia mkasa wake na mume wake, kili kuwa kama kime mtonesha kidonda, maana alishaanza kusahau, habari za bwana Feruz, japoalionekana kuchangamka akishrehekea Chrismass, na watoto wake, lakini ndani ya moyo wake alikuwa ana waza sana juu ya mume wake na akujuwa maisha anayo ishi, japo alijuwa kuwa anaishi maisha mazuri kutokana na fedha azo zipata kama kiinua mgongo chake, “namshukuru sana Pross, huyu mtoto amekuja kwangu kama zawadi” aliwaza mama huyu, ambae ni kama nusu mjane, maana licha ya Pross kuwa saidia uwezo wa kuanzisha genge, lakini pia alikuwa ana watumia fedha za maitajio mbali mbali, ikiwa ni chakula vinywaji na nguo za siku kuu, ungesema yeye ndie baba wa familia, alafu eti ni mtoto wa kambo.******




Safari ya wawili awa yani Pross na Rosemary, iliishia mbele ya kibanda cha Pross, ndani ya shamba la mwana dada Rose, ambapo wote walishuka, na Rose akafungua mlango wa gari wa nyuma kabisa, hapo Pross akaanza kushusha mizigo iliyo kuwepo nyuma ya gari, ikiwepo kiloba cha unga, mafuta ya kupikia, na sukari, na mazaga mengine kibao, na kilicho mshangaza Pross kitendo cha Rose kumsaidia kushusha mizigo, “Boss hapana we acha tu! mi nita shusha” alisema Pross, akimzuwia Rose, “wala usijari Pross, wacha nikusaidie kwani nitapungukiwa nini?” alisema Rose akibeba mfuko ambao ndani yake ulikuwa na sukari, na kuingia nao ndani, ikiwa ni kwamala ya kwanza kuingia ndani ya kibanda kile, ambacho kilikuwa na giza totolo, “mbona kuna giza hivi, alafu mchana?” aliuliza Rose, akimwuliza Pross alie kuwa bado yupo nje, huku ana washa tochi ya kwenye simu yake ya kisasa, “mpaka niwashe taa” alisema Pross huku anaingia na mfuko wa maharage, na kumkuta Rose anatazama tazaa mle ndani, “wahooo! hivi vitu ume umejinunulia mwenyewe?” aliuliza Rose, kwa sauti ya mshangao wa mastaajabu, na zani sana sana alikuwa anaulizia kitanda, sababu akukuwa na kitu cha hajabu mle ndani, ambacho yeye angekiona cha maana, kulinganisha na nyumbani kwake, “nataka nikitoka hapa nikapange” alisema Pross, huku anacheka cheka, “mh! kumbe unakunywa pombe?” aliuliza Rose kwa mashngao huku akiifwata meza ambayo juu yake licha vitu livyo kuwepo pia kulikuwa na chupa ya wine, na alipoitazama ilikuwa na wine kidogo, hapo Pross akajuwa kuwa anaeleka kuaribu, maana kwa ujio wa yule mama na mazaga anayo mfungashiaga, Rose akijuwa ni tatizo, “nakunywaga kidogo” alijibu Pross pasipo kujuwa kuwa jibu la kukubari kuwa anakunywa linge sababisha jambo jingin, ambalo linge zaa matunda, ya ajabu, “umenunua wapi hii wine?” aliuliza Rose, huku ana igeuza geuza ile chupa na mwisho akaiweka mezani, hapo Pross akajuwa akijibu kipuuzi, lita fwata swali la bei, maana bado Boss wake alionyesha kushangaa, “hiyo kuna wateja walifika kuchukuwa mka jana, ndio wakaniachia” aljibu Pross kuepusha maswali mengi, lakini aikuwa dawa, “wateja wenyewe ni wakike au wakiume” aliuliza Rose huku wanaongozana kutoka nje, huku Rose akitazama, nyayo mbele ya eneo la mbele la nyumba hii, ambapo vilionekana viatu vya kile, na matairi ya gari, hapo Pross akaumiza kichwa haraka haraka, “mhhhh! wakike na wakiume, yani mbaba na mmama” alijibu Pross, akiongozana na Rose kwenda kwenye gari, “basi leo Chrismass itakuwa nzuri zaidi” alisema Rose huku anatabasamu, kiasi cha kumfanya Pross ashangae huku ana anashusha pumzi ya afadhari, na alikuja kupata jibu la kwanini Rose anasema kuwa leo Chrissmass itakuwa nzuri, maana alimwona ana toa chupa za wine, na mfuko mmoja mkubwa sana, ambao ulikuwa una nukiavyakula, na alufu iliyo toa kipaumbele ni nyama choma, “washa moto tuipashe nyama, huku tuna kunywa wine yetu” alisema Rose, hapo Pross akajikuta anaanza kukumbuka mambo yajana, yalivyi kuwa, na mwanamama Stellah, kiasi cha kujikuta anawaza ngono kwa muda mrefu, “lakini Boss, mvua ikija utashindwa kuondoka, siunaona ardhi yenyewe ilivyo?” alisema Pross akijaribu kuchukuwa uzowefu wa jana, kwa stellah” Rose akatazama juu, kweli aliona kuna dalili kubwa ya kwamba mvua ungenyesha baadae, “wala usijari, kwani siluhusiwi kulala hapa?” aliuliza Rose huku anacheka cheka, huku anajaribu kukusanya mizigo yake toka ndani yagari, “unaluhusiwa, lakini….” alitaka kusema Pross, huku anampokea mfuko na bahadhi ya Chupa za wine, “lakini nini bwana, weka chini ya mwembe alafu kachukuwe ule mkeka wako, uuweke hapa kimvulini, alafu uniambie lakini nini” alisema Rose kwa sauti flani iliyo jaa utani, nakuto kujari, hapo Pross akiwa anajuwa kuwa leo ni kama jana akaweka ile mizgo karibu na gogo la kukalia, pale chini ya mwembe na kuelekea ndani, akujuwa kama Rose ana mfwatilia kwa macho, “mh! kweli kijana kama huyu awe mzima kabisa, alafu asiwe na demu kwa umri huu?” aliwaza Rose, huku pia akikumbuka kuwa, kuna msala amesha usababisha.******




Naam video za tukio la fumani ka Rose ziliendelea kusambaa, huku watu wengi wanao mfahamu wakimsikitikia Rose na wengi waki shangilia tukio hilo, kutokana na sababu mbali mbali, wengine walisema afadhari, maana anajidai sana, na wengine walisema afadhari maana na yeye aliiba mume wa mtu, video hii ilimfikia mmmoja wa walimu wenzake na Stellah, ambae alishtushwa sana na tukio ilo, na kuamua kumweleza Stellah, kama amesikia lolote juu ya tukio ilo, “kwani kuna nini, mana kwakweli nikama sina mume” alisema Stellah ambae alikuwa amesha maliza chupa moja ya wine, hapo mwenxie akamweleza juu ya video zinazo samba, “we achana nae nachoshukuru nikambahapa nyumbani kwangu ameacha nguo na viatu vyake tu, kama ni nyumba nime jenge mwenyewe, yeye kamjengea mwanamke alisema Stellah akionyesha kuchoshwa na tabia ya Kipanta, “kwa hiyo kumbe mnamgogoro wa muda mrefu, jamani wanaume kwanini anakufanyia hivyo lakini” aliuliza mwalimu mwenzie na Stellah, “niujinga wangu wenyewe, kumpenda na kumweshimu” alisema Stellah, ambae baada ya kukata simu , akajisema, “sijuwi kwanini sikummpa yulle kijana, maana mtu nae mthamini akuthamini” alijisemea Stellah, ambae nikama alimuawa kuwa liwalo na liwe, “maisha yataenda tu, akuna nachoitaji kwake siku zote mimi ndio mama mimi ndio baba, wache abakie huko huko” alisema Stellah kwa hasira, kwamaana alisha choka na kundwa uvumilivu, akujuwa kuwa mbio za mumewe zinakaribia ukingoni, na kwamba yeye ndio msaada wa mwisho uliobakia……








Nakwamba Kipanta japo kwa sasa auoni umuhimu wake lakini hipo siku, ukweli ni kwamba yote aya anayo yafanya, anajuwa anapo pakukimbilia.*********




Aya sasa, tayari Rose na Pross walikuwa wamesha tulia chini ya mwembe, japo kiari flani cha mawingu kilikuwa kina zidi kutanda, lakini awakukijari sana sababu walikuwa na sehemu ya kujiifadhi endapo mvua itaanza kunyesha, wao walikuwa wana endelea kunywa wine taratibu, huku wanapasha nyama ya kuchoma,kwenye jiko la kuni, Rose alikuwa amekaa kwenye mkeka lakini tofauti na Stellah, jana yeye alikuwa ameegemea kwenye gogo, huku Pross akiwa amekaa juu ya gogo, sehemu ambayo ilimfanya aweze kuusanifu vizuri mwili wa boss wake, “uliwai kuni ambia kuwa uliishia form six, kwanini uliamua uache kusoma na kufanya kazi kama hizi?” aliuliza Rose, ambae alishaona katabia kaPross kuutazama mwili wake, asa eneo la kifuani na mapajani, “nilifeli form six” alijibu Pross, ambae alisha anza kucha ngamka na wine, “mh! kwani uwezi kujiendeleza na ukatafuta credit za kuedelea nachuo?” aliuliza Rose huku ana mtazama Pross usoni, na ndipo alipo gundua kuwa, licha ya kijana huyu kukaa huku shambani kwake, lakini pia ni kijana mwenye sura nzuri, “wakunisomesha sina” alijibu Pross kwa sauti ambayo nikama ilianza kuingia unyonge, “kivipi, kwani ulisomaje mwanzo?” aliuliza Rose, na hapo Pross akanza kumsimulia kilicho itokea familia yake, ambacho wewe msomaji unakifahamu, na mwisho nikapata kazi huku shambani, na kuanza kulinda” alimaliza Pross kusimulia mkasa wake uliotumia karibu nusu saa, na hapo alifupisha story.




Mwisho wa simulizi hii ulimstua kidogo Rosemary, maana nikama aliwai kuisikia sehemu, “we Pross, kwani wewe nyumbani kwenu ni kibamba?” aliuliza Rose kwamshangao, “ndiyo lakini tume jenge kibanda kwenye mpaka wa muhimbili, mama na mama mdogo na wadogo zangu wanaishi pale” alisema Pross, akijitaidi kuonyesha uchangamfu, “hapana sitaki kuamini, inamaana wewe ndie una kaa na yule mama yako wakambo, ambae uwa unawatumiaga, fedha za matumizi?” aliuliza Rose kwa mshangao, uliochanganyika na uzuni kubwa, “ndio, wale ni ndugu zangu”alisema Pross akijaribu kujichekesha, jamani pole sana Pross, sikujuwa kama maisha yako ni magumu hivyo, yanihiki kibabu, kinajuwa maisiha uyako alafu kina fanya ujinga kama huu, wakunidanganya amekulipa fedha yako” alisema Rose, ambae alimwakikishia Pross kuwa leo amemletea fedha yake yote, na kwa mwonekano wa Rose leo, ulimfanya Pross aamini kuwa Rose amebadirika, na kuwa mwema kwake, maana ukiachilia kuchangamka kwake pia ame alimbebea mazaga ya kutosha, kitu ambacho Rose au kipata awakuwai kufanya hivyo mwanzo,.******




Naam starehe ziliendelea, pale Luguruni Bar, siyo Kipanta wala Matrida, wote walikuwa wamelewa kweli kweli, na kuzidisha vituko, Waghora aliekuwa amekaa mita chache pembeni, akijifanya anakunywa bia, akiwafwatilia kwa umakini sana, akisaidiana na mpenzi wake Sinder, au Janeth, kama alivyo fahamika, ambae mida hii alihakikisha anaihudumia meza ya kina Kipanta kwa ukaribu sana, unge shangaa ata ilipotimia saa kumi za jioni, akutaka kubadiri zamu yake, na kuondoka, aliendelea kuhudumia, akijidai wateja wale yani wakina Kipanta, anawahudumia kwa bill, hivyo mpaka walipe bill yake, ndio ataondoka kuelekea nyumbani kwake alikopanga, ambako akuna mfanyakazi wala mmiliki wa bar alie kuwa anapafahamu, kumbe kuna mchezo ulisha pangwa na ukapangika, mchezo ambao Kipanta na Matrida wange ujuwa, basi wasinge thubutu kuendelea kukaa maali pale.




Naam licha ya kukaa muda mrefu zaidi, lakini ukweli Sinder akuondoka kazini, na aliendelea kuwa hudumia kwa juhudi zote, huku mala kwa mala akiwasiliana na kwa ishara za macho na sms na bwana wake Waghora, ambae alimsisitiza kufanya linalowezekana ili kuwashawishi waingie chumbani kwao, mapema, na wao wamalize kazi, inayo waweka pale mjini.******




Naam ilisha timia saa mbili kasolo za usiku, Pross na Rose walikuwa bado wapo kule shamba chini ya mwembe, wanaendelea kunywa wine, wakisaidiwa na mwanga wa moto uliowashwa mbele yao, wawili awa yani Pross na boss wake, walisha changaka sana kwa wine waliyo kuwa wanainywa, “boss mbona siku hizi unakuja peke yako, simuoni mzee Kipanta?” aliuliuza Pross, wakiendelea kunywa wine na kushushia na nyama ya kuchoma, kwanza Rose alishusha pumzi kidogo, “njoo ukae hapa nikusimulie kitu ambacho wanakijuwa watu watu wachache” alisema Rose, huku anamwonyesha Pross pembeni yake, yani pale kwenye mkeka, “pasipo kusita Pross aka fwata amri ya Boss wake na kukaa pembeni yake lakini nikama futi moja, toka kwa Rose, “sogea bwana unaogopa nini, kwani mimi sisawa na demu wako, au kuna kipi kinakufanya uniogope” alisema Rose akimshika mkono Pross na kumvutia karibu yake, “lakini Boss, wakati mwingine kukaa karibu hivi uwa….” alisema Pross na kusita kidogo, sasa alikuwa amesha msogelea kabisa Rose na miili yao ilikuwa ime gusana, kama wakaavyo wapenzi,”uwa nini, unatamani? lazima utamani wewe si mwanaume lijari” alisema Rose akipeleka mkono kwenye dudu ya Pross, na kuiona ime jitutuua kiasi flani, na ile kuigusa nikama alikuwa ame ihamsha zaidi, na kuzidi kututumka, “we hacha sifa, subiri baadae, alisema Rose, ungesema tayari alisha kubariana na Pross, kuwa watafanya hivyo, “boss mbona unasema badae…” alitaka kuuliza Pross na hapo hapo akakatozwa na Rose, “utaona hapo hapo, alafu kama auna jina jingine, bola unite Rose, usiniite boss” alisema Rose, na kushangaza Pross, ambae aliona mambo yana badirika kwa haraka, “aya tuyaache yabaadae, ngoja nikusimulie kitu” alisema Rose huku ana egemeza kichwa chake kwenye bega la Pross.




“Najuwa kuna kitu kina kushangaza au kukuchukiza, kwa mimi kutembea na huyu babu, ambae nikama anarudia makosa ya baba yako, na mimi utanishukia kama ulivyo mchukia Khadija, ila ukweli nikwamba kuna jambo ukilijuwa, utajuwa kwanini nimefanya hivi” aliazana kusimulia Rose, “mimi ni mtoto wa mwisho wa familia yetu, ambayo tulizaliwa watatu, lakini sasa tume baki wawili, baada ya kaka yangu kufaliki, na sababu akiwa ni huyu huyu Kipanta, kipindi hicho nilikuwa na miaka miwili, ambapo dada yangu Adellah, alikuwa na miaka 19, ana soma kidato cha nne, huku kaka akiwa na miaka kumi na mbili, akiwa daera la tatu, kipindi hicho Kipanta alikuwa tayari ameshamaliza shule na alikuwa anakaa jilani yetu kwa mjomba wake.




Ukweli sisi familia yetu ni watu wenye uwezo kifedha japo zamani aikuwa sana, kama sasa, ila ukweli nikwamba wazazi na ndugu wa Kipanta awakuwa na uwezo, wakati huo Kipanta alikuwa anatembea na dada yangu Adellah! mausiano ambayo mwanzo wazazi wetu walichukulia ni kama urafiki wa kitoto, lakini wakaona hasara yake baada ya Kipanta kumpatia ujauzito dada Adellah, na yeye akakimbia, wazazi waka msamehe dada ambae alishindwa kufanya mitihani yake ya form four, na kuanza kuitunza mimba yake mpaka alipojifungua, kipanta akuonekana, na ata mtoto alipotimiza miaka miwili, ndipo baba na mama waka mrudisha dada Adellah, form Two, nawao kubakia na mtoto, safari hii wakimpeleka bweni, lakini uwezi kuamini dada akiwa huko shuleni Kipantaakamfwata tena na kuanza kushawishi warudishe penzi lao, kwa nia moja na penzi la dhati dada aka rudisha penzi, na yakaanza upya, nay aka kolea kweli kweli, dada akujuwa kuwa kuna hatari inakuja mbele yake, juu yapenzilao hilo.




wakati huo kaka yetu ambae sasa ni marehemu alikuwa amepata na tatizo la uvimbe mkubwa sana karibu na moyo, naaliitaji upasuaji, ambao uliitaji fedha nyingi sana, japo familia yetu ilikuwa na uwezo kiasi flani, lakini kwa ili wazeeilibidi waangaike sana, na mwisho waka chukuwa mkopo kwa kuweka nyumba kama dhamana, kiindi hicho tulikuwa na nyumba moja tu, sasa basi kilicho tokea hapo ndicho ambacho kilinifanya nimtafute huyu babu na kumfanya alipie kila alicho kifanya……








Alisema Rosemary, huku Pross alie kuwa amekaa ubavuni mwake akimsikiliza kwa umakini, japo bado akuwa anamwelewa, au kuona mana ya yeye kutembea na mwanaume ambae siyo kutembea tu na dada yake, pia alizaa nae kabisa, “ili kuwa ni siku moja kabla marehemu kaka aja fanya nyiwa operation, ambayo ilikuwa inasubiri malipo ndipo ifanyike, siku hiyo Kipanta, alimfata dada na kumwambia kuwa kuna nafasi za kujiunga na jeshi zime toka, na inter vew inafanyika dar es salaam, ambako akuwa na na nauri wala sehemu ya kukaa, na zoezi la inter vew linge fanyika kwa mwezi mzima, ivyo basi huku anajuwa kabisa, kuwa dada akuwa na kazi, na pia kulikuwa na jukumu la kumlea mwanae, alie mtelekezea dada, yeye aka mshawishi dada amtafutie fedha pale nyumbani, uku akimmweleza kuwa ni kwa faida yao, maana akipata kazi, ata kuja kuwachukuwa yeye na mtoto, “wazi wako wanaele nyingi, auwezi kukosa fedha pale nyumbani kwenu, isitoshe nikipata kazi nitakuja kukuchukuwa” hayo ndiyo maneno ambayo dada uwa akiyakumbuka anajuta sana” alisimulia Rosemary, na hapo kidogo Pross akaanza kupata mwanga, wa kisa cha Rose na Kipanta.


“Kweli dada akakubari, na pasipo kujuwa kuwa anacho fanya ni hatari kwa familia, na afya ya kaka, yeye akaenda kuoekuwa chumbani kwa wazazi wetu, na kuzikuta fedha ambazo ilibidi aikalipwe kwenye matibabu ya kaka, akazichukuwa na kwenda kumkabidhi Kipanta, akitegemea maisha mazuri, kipindi hichotulikuwa tunaishi Shinyanga” hapo Rose alitulia kidogo, nikama alikuwa anavuta au kupoteza hisia flani, zenye machungu, kisha akaendelea, “Kipanta akaondoka na kutuachia matatizo, ukweli baba na mama waliingia katika ugomvi mkubwa sana mala baada ya kupotea kwa fedha hizo, kila mmoja mmoja akimshutumu mwenzie kuwa amechukuwa fedha hizo, ambazo zilikuwa muhimu sana kutetea uhai wa kaka, na ukweli ni kwamba kaka alifariki, kwa kukosa matibabu, na swala hilo lilizidisha mgogolo kwenye familia, na kufikia kipindi mama na baba wakatengana, mama aliondoka na mimi na mtoto wa dada Adellah, tukaenda kuishi kwa mjomba, yani kaka yake, na baba akabakia na dada, pale pale kwenye nyumba ambayo ilikuwa ndio dhamana ya mkopo ambao ulitakiwa kulipwa kwa miaka miwili”


Mwaka mmoja baadae dada Adellah akiwa amesha maliza shule na kufauri kwenda kidato cha sita, ambapo alipangiwa Tabora, ndipo alipo kutana na Kipanta, akiwa tayari askari wa jeshi la wananchi, lakini ukweli nikwamba Kipanta alionyesha wazi kuto kuwa na upendeo na Adellah, kama ilivyo kuwa kipindi kile, mwanzo dada Adellah, licha ya kuona dalili za kuondoka kwa penzi lao, lakini alizania kuwa kuwa ni upepo ambao utapita na penzi kao litaendelea vizuri, japo malachache, Kipanta alikuwa anakutana na Adellah, na kupeana dudu, kitu ambacho Adellah baadae akaja kutambua kuwa, Kipanta alikuwa anamfanya kama sehemu ya kupunguzia hamu zake, sababu dalili za kuchezewa na kuachwa zilizidi kuonekana wazi wazi, lakini Adellah akukata tamaa, aliamini kuwa uvumilivu usababisha kula vilivyo iva, lakini akujuwa kuwa anajingezea maumivu, na mbaya zaidi licha ya kumsimulia Kipanta juu ya kilichotokea kuhusu zile fedha, alizo iba nyumbani, na madhara yaliyotokea, lakini Kipanta akuonekana kujari, mambo yali zidi kuwa mabaya, pindi ambapo, dada Adellah alipo ambiwa kuwa Kipanta amempatia ujauzito mwanamke mwingine pale pale tabora, na alipewa sharti la kumuoa, la sivyo ingemletea shida kazini, ukweli tukio ilo lilimuumiza sana Adellah, alilia sana, na kupungua mwili” mpaka hapo Pross alikuwa amesha pata kisa na mkasa, ambao licha ya kumfanya aanze kumwona Rose kuwa ni mschaa mwenye roho nzuri, lakini pia alianza kumchukia Kipanta.


“dada Adellah akukata tamaa, alimtafuta Kipanta, na kumwuliza juu ya jambo hilo, ukweli kilicho tokea ni kibaya zaidi ya kile kilicho tokea, alimpiga sana, kiasi cha dada Adellah kulazwa, huku wenzake waki ficha tukio na kusema alivamiwa na wahuni, baba alitoka shinyanga, kwenda tabora kumwona dada, ambae baada ya kupata nafuu, baba akamwamisha na kupeleka shinyanga, ambako dada alifikia hospital na kuendelea kutibiwa, na alipo luhusiwa kutoka hospital, ndipo alipo gundua kuwa baba alikuwa amesha hama kwenye ile nyumba yetu kubwa, na kupanga chumba na sebule, ni baada ya benk kuuza nyumba, kutokana na baba kushindwa kulipa deni, yani ule mkopo ambao dada alimpatia Kipanta, dada aliumia sana, lakini alijitaidi kubakia na siri yake” alisimulia Rose mary, na akuishia hapo, akaendelea kusimulia.


“miaka mi nne baadae wazazi wetu wakiwa na miaka sita, toka walipo tengana, dada Adellah akiwa amesha maliza shule, na Chuo cha uuguzi, kama nurse, na kupata kazi kigoma, ambako alishikizwa kwenye shirika la umoja wa mataifa linalo simami wakimbizi (UNHCL) kama mfanyakazi wa muda, Adellah alifanya kazi kwa juhudi kubwa sana, akiwa na ndoto ya kulipa japo nusu ya kile alicho kifanya kwa wazazi wake, alitumia robo tatu ya mshahara wake kutuma kwa mama baba na kunisomesha mimi, hapo ndipo alipokutana na mfilipino doctor Mauricio Fernandez, mwanajeshi mwenye cheo cha Major (meja) aliekuwepo hapo Kigoma, kama askari mtaaluma proffesion specialist doctor, wa magonjwa ya ngozi, katika kambi ya wakambizi”


“walianza mausiano, ambayo yalikuwa moto moto, japo yalikuwa ya siri, maana yule afisa wa jeshi la ufilipino, alikuwa anazuiliwa na sheria za umoja wa mataifa, ambazo zinakataza askari anaefanya kazi chini yao kutembea na mfanyakazi, au mkimbizi, au raia wa nchi usika, na ukibainika una shtakiwa na kurushwa mchini kwako, ambako unaweza kushtakiwa na mahaka kuu ya kijeshi ya nchini kwao” alisimulia Rose huku wanaendelea kunywa pombe, “nakumbuka nikiwa bado mdogo, dada aliwai kuja na yule mwanaume ambae tulimtambua kama shemeji, yani Mauricio, mpaka nyumbani kwa mjomba tulipokuwa tunaishi na mama, pia yule mfilipino, alishauri kuwa wote kwa pamoja tumtembelee baba kule tabora, ukweli maisha ya baba yalikuwa ya kusikitisha sana, kwenye ile nyumba ya kupanga, ambayo sasa alikuwa amebakia na chumba kimoja, baada yashindwa kulipia kile chumba alichi kuwa anatumia kama sebule, ukweli ni kama baba alichanganyikiwa kwa jinsi maisha yalivyo badirika, na kuvuluga familia, huku akimpoteza kaka, na mbaya zaidi akuwa amepata jibu, la wapi zilienda zile fedha kwamaana hiyo bado baba alikuwa na hasira na mama, ata sikuile tuliyoenda ilimlazimu dada Adellah na mchumba wake watumie busara zote kumtuliza baba ili aweze kuongea na mama na kujariu kuweka tofauti zao kwa muda, jamo ili lilimuumiza sana mama, “imanaa baba Rose, unaamini mimi nilichukuwa fedha ambazo zinge saidia kwenye matibabu ya mwanangu?” nakumbka kauri hii aliioa mama huku analia, na mimi nikimsaidia”


Sina uwakakika ni kipindi gani ambacho dada Adellah alimsimulia Mauricio Fernandez, juu ya kosa alilo lifanya na kuwatengenisha wazazi, huku akisababisha kaka kupoteza maisha, ila kuna kipindi yule mwanajeshi wa Filipino, alisafiri na dada wenda nchini kwao, kipindi hicho dada alikuwa ana ujauzito wa mwanaume huyo, na waliporudi, tukaanza kuona dada akianzisha ujenzi wa nyumbma kubwa ya ghorofa Shinyanga mjini, huku akitoa fedha nyingi sana kwa wazazi na mimi kwaajili ya shule, wakati huo mwanae wakwanza alisha mchukuwa na kuishi nae Kigoma, na ilipo kamilisha nyumba aliwaita baba na mama, nao wakaitkia wito, atukujuwa wanaitiwa nini, ila pale nyumbani tulikuta magari matatu, moja dogo la kutembelea na mawili ni mabasi mdogo, yani coster, tulikaribisha ndani, ambako kulikuwa na kila kitu, ambacho kilifanya ile nyumba ionekane kuwa kuna tajiri mmoja anaishi, lakini ukweli nikwamba vitu vile vilikua ni vipya kabisa, “baba na mama ukweli siwezi kuwalipa au kulipia dhambi niliyo ifanya, miaka mingi iliyo pita” aliongea dada Adellah, na kumshangaza kila mmoja sababu tukujuwa ni dhambi gani, hapo tuka tega masikio ili kusikiliza, kipindi hicho nilikuwa kidato cha kwanza, kwamaana miaka ilikuwa imesha songa…..






“hapo ndipo Adellah aka eleza kila kitu kilivyo kuwa, kuanzia kuiba ela za matibabu ya kaka, mpaka kukataliwa na Kipanta, kisha kupigwa na huyo huyo Kipanta” bado Rose aliendelea kusimulia, “ukweli ni kwamba pale nikama msiba ulianza upya, ni yule mfilipinoyani Mauricio Fernandez, pekee ndie ambae akutoa machozi, baadae tuligundua kuwa, yeye ndie alie mshauri dada, kujenga nyumba na kununua yale magari, kisha kufanya juhudi za kuwapatanisha mama na baba, kwa kuwaeleza ukweli, maana mpaka siku hiyo akukuwa na ata mmoja alie kuwa anajuwa ukweli, zaidi ya kila mmoja kumwona mwenzie ndie mkosaji, Mauricio Fernandez, ambae ndie shemeji yangu mpaka leo, alidai kuwa akupenda maisha yale ya kuwatenganisha wazazi”.


Rose aliendelea kusimulia, huku Pross alie kuwa pembeni yake ana faidi joto la ubavu wa mwana dada huyu, akisikiliza kwa umakini mkubwa, “aikuwa kazi lahisi, kwa baba na mama kukubariana na ukweli ule, ilitumia miezi sita, akuna mmoja wao alie kubari kupokea nyumba wala gari, japo baadae walisamehe, kwa juhudi za shemeji, Mauricio Fernandez, ambae alifanya juu chini kuhakikisha wana msamehe na wana rudiana.


Japo wazazi walirudiana na kuanza maisha mapya, safari hii maisha yalikuwa mazuri zaidi, tuliishi kama familia tajiri, mana ukiachia nyumba na gari, pia shemeji ali wafungulia wakina baba, biashara kubwa kadhaa pale mjini, na pia alimtafutia dada wafadhiri na kufungua hospital, ambayo mpaka sasa ndio anaiendesha, japo wapo pamoja kama mke na mume, lakini wakekuwa wanaishi kwa wizi, sababu shria za nchini kwao, wamajeshi aruhusiwi kuoa wala kuolewa na raia wa nchi nyingine, lakini mala nyingi wamekuwa wakisafiri kwenye huko, ufilipino ambako wanaishi muda mrefu, maana shemeji alisha maliza mkataba wake huku Tanzania kwenye la umoja wa mataifa linalo simamia wakimbizi, UNHCL” simulizi hii ilimvutia sana Pross, ambae alivuta picha ya bwana Kipanta na simulizi hii, akuamini macho yake, “kuanzia hapo nilihapa kumfanya Kipanta alipie kile alicho kifanya, ikiwezekana mpaka uhai wa kaka yangu, japo siwezi kufananisha na mateso ambayo natamani Kipanta ayapate”


Nilipomaliza kusomea degree ya uhasibu, nilifanya kila naloweza mpaka nilipopata kazi, hapo kibaha, lengo langu lilikuwa ni kuwa karibu na Kipanta, na nikafanikiwa, miaka mitatu iliyo pita, kabla aja safari kwenda nje. nikakutana nae, alikuwa ameagizwa kuja kufungua account ya benk, ambayo wata mwifadhia fedha za malipo, atakayo lipwa kwenye usimamizi wa amani, ambazo zitakuja kwa mfumo wa dolla za marekani, nashukueu akunikumbuka, ila aliponiona alinitazama mala mbili mbili, na mimi sikuvunga, nikawa na mwonyesha tabasamu, nikamwona anavyo angaika, akaniomba namba ya simu, sikujivunga nikama mpa na yeye akanipa yakwake, lakini atukuwai kuonana mpoaka lipo safari, ndipo nilipo anza kuwasiliana nae, nikijifanya namjari sana, na yeye kunieleza matatizo ya familia yake, akimshutumu mke wake kuwa anasumbua sana, lakini ni uongo mtupu, yeye ndio msumbufu, kila kukicha ni kumsumbua mke wake, na nilithibitisha ilo, mala bada ya kurusi toka huko, fedha yote tuliitumbua mimi na yeye, akiishia kuni jengea nyumba na nyingine kukafanyia starehe, muda wote nilikuwa nawaza la kumfanyia, mpaka niliposikia kuwa anakaribia kustaafu, hapo nikapata wazo la kumfilisi kila kitu, atakama atarudi kwa mke wake aishi kama mtumwa, na mpaka sasa licha ya kumalzia kunijengea mabanda ya uwani, kwenye nyumba yangu, amenunua gari, amenunua ilishamba, na hati ninazo, amenijengea flemu za maduka, na amenifungulia salon na maduka mawili, na flemu nyingine nime pangisha, ila bado nataka kuhakikisha anaendelea kulipia” alimaliza kusimulia Rose, na Pross akashusha pumnzi ndefu, “poleni sana, kumbe yule mzee ni mnyama kiasi hicho?” aliuliza Pross, kwa sauti ya masikitiko, iliyo changanyika na uzito wa wine, ambayo leo alikua anakunywa kwa mahesabu mazito, ili asilewe sana kama jana yeke.*****


Naam ebu turudi luguruni, ambako mida ya saa tatu, ndio muda ambao Kipanta na Matrida, waliomba msaada wa Sinder kuingia ndani, pamoja na vinywaji vyao, kitu ambacho Sinder alikuwa anakisubiri kwa hamu kubwa sana, maana alihakikisha muda huo, ndio ana waekea dawa ya usingizi, kwenye vinywaji vyao, kwa kupakaza kwenye midomo ya chupa za pombe na kudondoshea kwenye glass, na nusu saa baadae bwana Waghora akaingia kwenye Chumba walicho ingia wakina Kipanta, na kuwakuta wamelala kitandani awajitambuhi, uchi kama walivyo zaliwa, kama angekuwa na tama ya ngono, basi ange anza kwa kumwingzia dudu Matrida kisha afanye alicho kusudia, lakini kutokana na kukijuwa kilicho mwingiza mle ndani, akaanza kupekuwa,tathrim lakini nane na sabini, pia akaiba simu na kila alicho kiona kina mfaha, alafu akaondoka zake, akiwaacha wawili awa awajitambui, kitu ambacho akujijuwa Wagora, nikwamba kutokana na pombe nyingi walizo kuwa wamekunywa wawili awa, aikutakiwa kuwatilia ile dawa, maana inge wa over dose, na pengine kuwasababishia kifo.******


Naam tukirudi shambani mschana mrembo Rosemary na kijana mulivu Prosper bado walikuwa nje ya nyumba, wingu la mvua nikama liliondoka, kwa sasa, walikuwa wanaendelea kunywa wine, na sasa walikuwa wamelewa vibaya sana, mala kwa mala Rose alikuwa anainuka na kwenda kujoa, japo sasa akuwa anaenda mbali, alikuwa anakojoa pemmbeni tu! ya pale walipo kaa, ilifikia kipindi Pross akawa anaona jinsi Rose anavyo shusha suruali yake ya jinsi na kukojoa, huku akisikia sauti ya mchuruziko wa mkojo, na kupata shida kidogo kwenye sehemu zake nyeti, kitu ambacho Rose alikigundua mfupi ulio fwatia.


Ilikuwa hivi wote wawili walikuwa wamekaa kwenye mkeka, wamesogelea vibaya sana, Rose aliweka mkono wake wa kushoto kwenye bega la Pross, akiuzungusha mpaka upande wapili, “naomba unisamehe kwa yote niliyo kufanyia, mwanzo nilikuwa na wachukia wanaume wote, lakini sasa nimegunduwa kuwa siyo kila wanaofanana wapo na hakiri sawa” alisema Rose, huku akichezesha mkoni kwenye bega la Pross, ambae akuwa huru kwenye mwili wa Rose, “wala usijari mimi sina tatizo” alijibu Pross, ambae kiukweli alikuwa katika wakati mgumu sana, maana dudu yake ilikuwa imesimama kweli kweli, na wakati huo huo Rose akakumbuka jambo, “hivi Pross ulisema aujawai kuwa na mwanamke?” aliuliza Rose huku ana peleka mkono kwenye eneo la mbele la suruali ya Pross. pasipokujuwa kuwa kuna baraha mbele yake, linakuja kama moto wa morogoro, maana Waghora alisha chomoa betry………








Hapo Pross aliitikia kwa kichwa huku ana cheka cheka kwa aibu, mana licha ya kunywa wine, lakini akuweza kujikabili mbleme ya mwana dada yule mwenye anajisemeaga kama wakwenye video, ambae kwa sasa mkono wake mmoja ulikuwa kwenye dudu yake, ambayo ilikuwa imeisha itikia wito, “lakini wewe mchoyo sana, yote hii alafu unakaanayo tu! alisema Rosemary kwa sauti ya kilevi huku anapapasa kidogo ile dudu, na kuondoa mkono wake, kwenye dudu ile na kuchukuwa wine, akainywa kidogo, “lakini ukimpata mwanamke unaweza kujaribu?” aliuliza Rosemary huku ana mpapasa Pross maeneo ya mgongoni, Pross akaitikia kwa kichwa, “we unapenda mwanamke wa ina gani?” aliuliza Rose akimkazia macho usoni, kwanza Pross akaanza kwa kucheka kidogo, “yoyote yule mladi awe mzuri” ilo ndilo jibu la Pross, Rose aka guna kidogo, kisha akatabasamu, “mzuri kiaje yani ebu ongea Pross unajuwa kuwa wewe ni mwanaume” alisema Rose kwa sauti ya kubembeleza, hapo Pross akamtazama kidogo Rose, na macho yao yaka kutana, kisha Pross akakwepesha na kucheka kwa aibu, ya kitoto, “sema basi Pross, au mzuri kama mimi?” aliuliza Rose akiwa ameilegeza sauti, na mkono wake safari hii akiwa amauamishia shavuni kwa kijana huyu, “naogopa usije kukanikasirikia” alijibu Pross kwa sauti ya upole, na kumfanya Rose atabasamu nusu ya kukaribia kucheka, “Pross bwana sasa unaogopa nini, wakati tumekaa mudawote huu tunafurahi pamoja, sema basi Pross, unanipenda?” alisema Rose, kwa sauti ya kubembeleza, nikama alikuwa anamtongoza kijana wawatu, bila kujuwa anachokifanya, Pross alikosa ujasiri wa kuitikia, lakini Rose ambae akuwai kuona mwanaume wa aina hii, alionekana kuingiwa na mzuka wa kupata dudu ya Pross usiku ule, maana alipoona Pross yupo kimya aka usogezea uso wake karibu na sikio, kisha aka ongea kwa kunong’ona, “naomba nione nanii yako” aliyasema ayo Rose huku ana peleka mkono wake kwenye lisani la suruali ya Pross, na kuanza kupapasa juu juu kama alivyo fanya mwanzo, Pross aliitikia kwa kichwa akikubari kuwa Rose aione dudu yake, “asante” alisema Rose, huku ana sogeza mdomo kwake kwenye shavu la Pross na kumkosi kidogo, akimalizia na kumlamba shavu, huku mkono wake ukiendelea kuchezea dudu ya Pross, iliyo kuwa ndani ya suruali, ime tutumka vibaya sana.


Pross alihisi msisimko wa ajabu, na kujihisi kuwa amezaliwa upya, asa alipoona Rose anaanza kumfungia kishikizo na kufwatia zip, alafu akamwona anaingiza mkono kwenye boxer, kisha akaikamata dudu, alafu akatulia kidogo akiwa ameishika, ndani ya boxwer, Pross akamwona Rose anainua usowake na kumtazama usoni, macho yao yakakutana, na wote wakatabasamu, safari hii wote walioneana aibu, kisha Rose akauficha uso wake kwenye bapaja ya Pross, inamaana aliegemeza usowake juu ya mkono wake ulioshikilia dudu, iliyokuwa ndani ya boxer.******


Wakati hayo yanaendelea, huko shamba, mwana mama Stella nae alikuwa anawaza yake wake juu ya safari yake ya shamba siku inayo fwata, “nili enjoy sana kule shamba, yani bola ninge enda leo mapema, nikakae nayule kijana mstaarabu, alafu kapole, kanaheshima kama nini” aliwaza mwalimu Stellah, huku anajinywea wine yake taratibu, na macho yake kwenye television, kuna wakati alikuwa anavuta picha jinsi Pross alivyo kuwa katika hali ya matamanio, na kusimamisha dudu yake mbele yake, “eti na kenyewe kana nitamani, jamani wanaume awa, sasa mtoto kama yule ata niweza kweli, wakati mtu mzima, ananikimbia” aliwaza Stellah ambae akujuwa kinacho endelea huko mitaani, kuhusu huyo kijana anae muwaza wala mumewe alie mtelekeza, “kesho nahamka mapema, napika chakula changu naweka kwenye hot port napitia wine zangu, safari inaanza” aljiwazia Stellah, ambae kiukweli alikuwa peke yake ndani ya jumba hili kubwa, alilolijenga kwa mkopo, ambao mpaka sasa ana lipa kidogo kidogo kwa kupitia mshahara wake, “alafu nisisahau mswaki, dawa ya mswaki, na chupi za kubadirisha” aliwaza Stellah, akionyesha kuwa amepania sana kwenda kujipumzisha kule shamba, shamba ambalo anafahamu fika kuwa alinunua mume wake, akimnunulia mschana Rosemary, ambae ni hawara yake, “lakini hipo siku Kipanta ata umbuka tu! ukweli mpaka sasa nimesha mchoka” aliwaza Stellah, akionyesha kuumizwa sana na vitendo vya mume wake, “ila we mwache tu afanye anayo yafanya, akuwa na lengo la kuishi na mimi, ila alilazimishwa na wakina baba, wacha aendelee kufaidi maisha na wanawake alio wachagua” alijiwazia Stellah, ambae kiukweli akuwa na shida nyingine katika maisha, zaidi ya kukosa upendo toka kwa mume wake, maana alikuwa na kazi yake, na alisha jijengea nyumba, na tayari alisha nunua gari, japo mume wake alisha liaribu kwa kiasi kikubwa, mimi bado mzuri na wanaume wananitaka, yeye akiniona wanini wenzake wanawaza ata niacha lini waninyakuwe” alisema Stellah kwa sauti ya chini ambayo nikama alikuwa anajifariji, au kilugha chetu tunasema maneno ya mkosaji, japo yeye alikuwa na uhakika na anacho kisema, sababu alisha tongozwa na wanaume wengi sana, ambao aliwakataa kwa kutunza heshima ya mume wake na ndoa yake.*******


Yap ukweli nikwamba Adellah dada yake Rose alishangazwa sana na kitendo cha mdogo wake kuonekana kwenye video, za kwenye mitandao akiwa anamfumania Kipanta, na ailionyesha wazi kuwa ni wapenzi walio fumaniana, kitendo hicho kilimshangaza sana, ambae akuelewa ni kwanini mdogo wake ambae alijitaidi kujiepusha, na kujiweka mbali na wanaume, kuingia kwenye mtego wa mwanaume ambae siyo tu yeye alitembea nae, pia alichangia kifo cha kaka yao na kuvuluga familia kwa miaka mingi sana, “ni ujinga gani alio ufanya Rose, wanaume wote awa mpaka akubari kutembea na mwaume ambae nilisha wai kutembea nae?” alijiuliza Adellah, ambae sasa alikuwa ufilipino kwa mume wake, “hivi wakina mama wakijuwa itakuwaje” aliwaza Adellah, na hilo ndilo jambo ambalo lilikuwa lina muumiza zaidi, maana aibu yake siyo ndogo, na kibaya zaidi aliona kuwa Kipanta angejiona kuwa ni mwanaumeshupavu kwa kuwa changanya yeye mdogo wake, “au awakujuwana?” alijiuliza Adellah ambae kiukweli alishtuka sana na kukosa amani, mala tu alipoiona ile taalifa, kwenye mitandao, “lakini kwanini ajibu simu sms yangu?” alijiuliza Adellah bila majibu, na mwisho akiamua kusubiri kuona matokea ya hayo yote.******


Naam Rose alifanikiwa kuitoa dudu ya Pross, na kuitazama jinsi ilivyo jaa kwenye mkono wake, ikiwa imekasilika kweli kweli, ikionyesha wazi inaitaji kitumbua, kisha akamtazama Pross, ambae pia alikuwa anamtazama Rose, japo kwa malengo tofauti, wakati Pross alikuwa anamtazama Rose, akitaka kujuwa ni hataua gani itafwatia baada ya kuitoa dudu, huku Rose alikuwa anamtazama Pross akijiuliza kama kweli dudu ile aijawai onja kitumbua, lakini kabla awajapata majibu, macho yao yaka kutana na wote wakaishia kutazama kwa macho ya kusinzia yaliyo zidiwa na aibu na ulevi, bila kusahau joto la hamu, lakini licha ya yote akuna alie kwepesha macho zaidi Rose alisogeza mdomo wake kwenye sikio la Pross na kumnong’oneza, “Pross una mb.. nzuri” alisema Rose, kwa sauti ya kunong’ona, lakini Pross akuweza kutoa jibu, au kusema lolote zaidi ya kutabasamu na kuusogeza mkono wake kwenye mkono wa Rose ulio shikilia dudu yake kwa lengo la kuuondoa, “Pross bwana unataka kuninyima, mwenzio nataka tufanye” alisema, Rose kwa sauti ya kulalama iliyo jaa deko la hali ya juu, huku ana anaishika vizuri dudu, na kuanza kuichezea taratibu, Pross akiwa aamini macho na masikio yake, akamwona Boss wake anaendelea kumchezea kiungo hicho nyeti, ambacho ukiachilia kumwaga wazungu wakati wa ndoto, yeye alikuwa anatumia kwa haja ndogo pekee, “lakini Boss, akija mume wako Kipanta….” aliongea Pross kwa sauti ya uoga, lakini Rose akamuwai, kwa kumsogezea mdomo wake kwenye mdomo wa Pross, kisha aka dumbukiza urimi wake kwenye kinywa cha Pross.


Siyo kwamba tukio ili lilikuwa ngeni machoni kwa Pross, hapana, Pross alisha wai kuona mala kadhaa kwenye video, watu wakifanya tukio la kupeana mate, lakini siyo kwake yeye mwenyewe, ambapo leo, aliweza kuuihisi urimi wa boss wake, ukifanya fujo tamu ndani ya mdomo wake, tendo ambali kila lilivyo zidi kufanyika, ndivyo Pross alivyo weza kulielewa, na kuona utamu wake, sambamba na kusikilizia mkono wa mschana huyu mrembo, uliokuwa unaendelea kuchezea dudu yake taratibu.


Zilitumika sekunde kama kumi na nane kwa tukio ilo, kisha Rose akajitoa mdomoni kwa Pross, lakini akuachia dudu, japo alisitisha zoezi la kuichezea, “kuanzia sasa usiniite boss, niite Rose, sawa mpenzi wangu” alisema Rose kwa sauti ya chini iliyo legea akimalizia kwa kumkisi shavuni, Pross akaitikia kwa kichwa, “Pross hivi hapa kuna watu wanapitaha usiku?” aliuliza Rose, huku anaiondoa vizuri suruali ya Pross, na kuifanya dudu yote iwe nje tofauti na mwanzo, ilitoka nusu, “hapana hapa akuna njia, na una watu wanaopita” alijibu Pross haraka sana, nikama alijuwa kinacho taka kufwata, “kumbe huku kuzuri nitakuwa nakuja kila week end” alisema Rose huku anaishika miguu ya Pross na kumvuta kidogo, na kumfanya akae kama vile amalala kwa kuegemea kwenye lile gogo.


Hapo Pross akamwona Rose ana chukuwa chupa ya wine na kuinywa kidogo, kisha akaupeleka mkono wake kwenye dudu ya Pross, kwa mala nyingine akaanza kuichezea, huku mkono ulio bakia akiupeleka tumboni kwa Pross na kumpandisha tishet, akiliacha Tumbo wazi, alafu aka ushusha mdomo wake kwenye kitovu cha kijana huyu, ambae kiukweli ni mgeni kwenye mambo aya.


Hapo Pross akaisi ncha ya ulimi wa Rose boss wake, ukigusa kitovu chake, na kufanya kama una chezea chea flani hivi, hapo Pross akabana pumzi, kwa sekunde kadhaa, kabla aja ziachia kwa fujo kama mtu anae mwagiwa maji ya baridi, na kumfanya Rose atabasamu, “vipi Pross unapenda hivi, navyo kufanyia?” aliuliza Rose, huku anaachia kulamba kitovu cha Pross na kumtazama usoni, kwa macho ya kulembua, na hapo jibu alikusikika kwa sauti, zaidi ya kumwona Pross alie fumba macho, akiitikia kwa kichwa akikubari kuwa anafurahia kale kamchezo, hapo Rose akiwa ameshika dudu Ya Pross iliyosimama vyema, aka shusha tena mdomo wake, safari hii, aikuwa tena tumboni, aka ipeleka moja kwa moja kwenye dudu, na kuizamisha mdomoni, kisha taratibu, akaanza kuinyonya.


Naam zilikuwa dakika mbili ambazo zilimwacha Pross akiwa ana ugulia utamu,usio na kifani chake, utamu ambao akuwai kuupata ata kwa bahati mbaya, ni kama Rose aliwai kusomea kunyonya dudu, kuna wakati alimungunya kichwa cha Pross kisicho na nywele, mpaka Pross akahisi kizungu zungu, hakika Rose aliweza kutumia urimi na mdomo wake, kiasi kwamba ata alipo itoa dudu ya Pross mdomoni mwake, Bado alitamani kuendelea, “unajisikiaje Pross?” aliuliza Rose, kwa sauti ya kunong’ona, huku akisogeza mdomo wake kwenye sikio la kushoto, la Pross, “tamu, nasikia utam sana” alisema Pross, kwa sauti ya chini iliyo ziwa na pumzi nzito, huku akihisi ncha ya urimi wa Rose, una penya kwenye sikio lake la kushoto, na kuanza kumtekenya, kabla ajaacha na kuongea tena, “aya na mimi nataka” alisema Rose, huku, huku anamwachia Pross, na kujisogeza pembeni, akimwacha kijana huyu, ana mtazama, kuona kinacho fwata.


Akiwa ajafikilia kifuatacho, Pross akamwona Rose ana anza kuvua suruali yake ya Jinsi, ambayo alivua mguu mmoja, kisha aka vua nguo yake ya ndani, nayo mguu mmoja, ala akaa kwa kugemea lile gogo, kama alivyo kaa Pross, huku yeye akitanua miguu, nakumpa nafasi Pross kuona kitumbua kilicho tuna vyema, kikipambwa na mi hips ya maana, “aya njoo baby” alisema Rose, huku anamshika mkono Pross na mvutia kwake, Hapo Pross akajuwa sasa ndio wakati wa kuingiza dudu kwenye kile kitumbua, hivyo akajiinua na kukaa sawa mbele ya Rose, yani kati kati ya mapaja aliyo yatanua, lakini ile anaishika dudu tayari kuiweka maali pake, akashangaa kuona Rose ana mzuwia, “hapana siyo hivyo bwana, na wewe ni nyonye……








Alisema Rose alie kuwa ametanua miguu yake huku ameegemea gogo, huku anakikamata kichwa cha Pros na kukivutia kwenye pachu pachu lake, ukweli Pross alie toka kunyonywa dudu muda mfupi uliopita, alijuwa anatakiwa kufanya nini, lakini shida ikaja namna ya kufanya anachotakiwa kufanya, kwanza akapela ulimi kwenye mlango wa kitumbua, akakutana na maji maji ya chuvi, lakini akavumilia, sababu ilikuwa ni mala yake ya kwanza, na akuwai kuwaza kama ata kuja kufanya kitu kama hicho, akachezesha ulimi kwenye ule mlango wa kitumbua, huku Rose akiwa amekikanda miza kichwa cha Pros kwenye kitumbua chake, “henheee hivyo hivyo, pandisha kwa juu” alisema Rose huku anainua kiuno chake, nakueleka mkono kwenye kidevu cha Pross, na kufanya kama ana msogeza kwa juu, mpaka ulimi wa pross ulipofika kwenye kikunde, “ayaaaa! nyonya hapo hapo, henhee! hapo hapo” alisema Rose na Pross akafuata maelezo, akiwa amekidumbukiza kikunde cha boss wake na kuanza kukimungunya, kama vile mtoto ananyonya chuchu ya ziwa, “mhhh unaweza Pross mpenzi wangu, hivyo hivyo” alisifia Rose, huku akizungusha kiuno taratibu, Pross akuacha kunyonya kikunde, ambacho siku iyo ambayo ilikuwa mala yake ya kwanza kukiona, ndio siku aliyo fahamu kazi ya kiuongo hicho kwenye kitumbua, maana kila alivyo zidi kunyonya kikunde cha boss wake, ndivyo alivyo mwona boss huyo akizidi kunyonga kiuno kwa kushtuka shtuka, kama vile pale chini kulikuwa na wadudu wana mtekenya, “unaweza Pross, sasa wewe ndio utakuwa mume wangu” alisema Rose kwa sauti iliyotokea puani, kuona hivyo Pross akaongeza juhudi, akijuwa kuwa, licha ya kumflaisha boss wake pia anajiongezea uhakika wa kuingiza dudu kwenye kitumbua cha boss wake.




Jamani kilicho endelea pale nje nazani kiishie hapa, kutokana na mahadiri, maana wasomaji ni watu wa aina mbali mbali, na pengine nika shindwa kutumia tafsida, kutokana na matendo yenyewe, mfano Rose alipoona inatosha na kugundua kuwa,licha ya kupewa raha na utamu na huyu kijana mzuri mwenye mvuto, mlinzi wake washamba, lakini pia kijana huyu, alikuwa mgeni kweli kwenye ilitendo, aka mvutia kwake Pross, huku akizidi kutanua miguu yake, na Pross akajaa kwenye kifua cha Rosemary, hapo Rose akaikamata dudu ya kijana huyu, ambayo kiukweli ilikuwa imesimama kama fimbo ya mzani wa mkoloni, na kuilengesha kwenye kitumbua chake, mbacho sikuza nyuma kilikuwa kina tumika, kwa kujilazimisha, sababu ya kutaka kulipiza kisasi, na Rose alipoona dudu imekaribia kitumbuani, na kugusa mlango wa kitumbua, aka pandisha kiuno juu, na kusababisha dudu itelezee ndani, ukweli nikama ilikuwa mala yake yakwanza , maana alijihisi hali tofauti kabisa, na anavyo kutana na Kipanta, inamaana alijiona mpya kabisa, maana alihisi kitu cha joto kikipenya kwenye kitumbua chake na kwenda kugota kwenye ehemu ambayo ilimfanya ajikute amesema, “asante mpenzi wangu, kuanzia leo, wewe ni mume wangu” alisema Rose kwa shida, huku anaanza kuzungusha kiuno chake taratibu.




Sasa kama Rose ilikuwa hivyo kwa Pross itakuwaje, kwa Pross ilikuwa ni zaidi ya utamu, maana ile kuingiza dudu kwenye kitumbua chenye joto, cha boss wake, na kuanza kupump kwa fujo, akaanza kuhisi utamu ukianzia kwenye kucha za vidole mpaka kwenye kosogo, ukiacha hali flani ya ukavu kwenye koo, na kimfanya ameze mate kwa shida, asa viuno vya Rose vilipoanza ndio ikawa baraha, maana ilikuwa vigumu kwake kuwazuwia watu weupe kutoka, aikutumia ata dakika moja, wazungu awa hapa, “usikojoe kwanzaaa” alipiga kelele Rose lakini nikama Pross alikuwa ajuwi kinachoendelea, maana alisika, akipiga kelele, za utamu kama vile mtu anae weweseka kwenye ndoto, hapo Rose akatulia kwa sekunde kadhaa, kama vile amezila, akimwona Pross anaelea kupump kwa fujo, na kumwaga mzigo, kisha aka mtoa kifuani kwake, akiwa amechukia kidogo, “wanini umewai bwana, wakati mimi bado” alilalamika Rose, huku anapeleka mkono kwenye dudu ya Pross, lakini cha kushangaza bado ilikuwa ina hali flani ya ugumu, “Pross unaweza kuendelea?” aliuliza Rose na pasipo kusubiri jibu la Pross, aka ichomeka tena dudu kwenye kitumbua, kilichoendelea ni hatari, ilikuwa ni kubadirisha mitindo, kiongozi akiwa ni Rose mwenyewe, huko mbele tuwaachie wenyewe, maana ata mimi sikuwepo, niliwapisha kidogo.*****




Wakati hayo yanaendelea, huku Kibamba pembezoni na mipaka ya hospital ya muhimbili, tawi la mloganzila, mama wa kambo wa Pross alikuwa amekaa pembeni ya kibanda cha mabati, akiwatazama watotowake wawili, wakiwa wanacheza na mama yao mdogo, wakiwa wamevalia nguo nzuri sana, ambazo walinunuliwa na kaka yao, kwaajili ya sikukuu hii ya chrissma.




Siyo kwamba mama huyu alikuwa anawatazama watoto awa kwakuwa wamependeza au alipendezwa na mchezo wao na mama mdogo, hapana, mama huyu alikuwa anawaza mengi sana, asa anapo ona kuwa, wanae pamoja na mdogo wake, alie acha tabia ya kutafuta wanaume, wakicheza kwa furaha wakiwa wameshiba, na wamekunywa na wamependeza, kwa fedha ambazo zina tafutwa na mwanae wakufikia, ambae mama huyu, anakumbuka jinsi alivyo umia siku ambayo mume wake, bwana Feruz, aliporudi nyumbani akiwa na mtoto wakiume, na kumtamburisha kuwa ni mwanae, na kuanzia siku hiyo, wataishinae pale nyumbani, ukweli siku za mwanzo ailikuwa ngumu sana kwake, maana licha ya kujitaidi kuficha chuki, zidi ya Pross, lakini kilicho mfanya ampende mtoto huyu na kumchukulia kama mmoja wa familia yake, ni tabia ya unyenyekevu, utii, na upole ya kijana Pross, ambae alikuwa anajituma kwenye kazi, bila ata kuambiwa unngejuwa kuwa huko alikotoka alikuwa amedhamilia kwenda kuishi na watu baki, maana kijana akuwa anachagua kazi, kama ni kuosha vyombo, kama ni kupika, ata kufua nguo, kiasi kwamba, alikuwa mfano kwa wazazi, pale walipokuwa wanawa elimisha watoto wao, “kwanini msiwe kama Pross" au ungesikia kwanini sifanye kama mtoto wa Feruz, hakika ata mama huyu, alijivunia kitwa mama Pross, na leo hii anayaona matunda ya kumpkea na kumpenda kijana huyu, “amekuwa kama baba wa familia” alijikuta akinong’ona mama Pross, huku anafuta chozi la jicho la kulia, huku la kushoto likidondokea kwenye gauni lake jipya alilo nunuliwa na mwane Pross, ambae anafanya kazi ngumu kuwa saidia wao.




Ukweli kunakipindi alikuwa anawaza juu ya mume wake, na kumlahumu kwa jambo alilo wafanyia, japo alishukuru kwa kumwachia Pross, ambae amechukuwa nafasi yake na kuwa msaada wa familia, mama Pross alikuwa anahisi kuwa mume wake bwana feruz, huko aliko anaendelea kupata starehe na wanawake wengine, akomwona kuwa yeye afai tena, lakini yote kwa yote uwa anamalizia kuwaza kwa kusema kuwa, “ kilicho kutoka mkononi, pengine kimekupunguzia maumivu, japo alikuwa anawaza sana hatima ya watoto wake awa wawili, ambao bado walikuwa wanaitaji msaada.******




Stellah akiwa bado sebuleni anatazama music wa injili, hukiu anaendelea kunywa wine, alijihisi upweke mkubwa sana kiasi cha yeye kujishangaa, siyo kwamba alitamani kuwa karibu na mume wake kipanta, au wanae, i;a alitamani ange kuwa kule shamba kwa kijana alie ajiliwa na mwanamke alie nunuliwa shamba na mume wake, Stella alikumbuka jinsi yule kijana alivyo onekana kusimamisha dudu, na sijuwi kwaajili ya pombe akajilahumu kwa kuacha kumsaidia kijana yule kumpunguzia maumivu, ilifikia kipindi Stellah, alitamani kuondoka usiku ule kwenda shamba, lakini akaona itakuwa hatari kwake kwajinsi alivyo lewa, “kesho nayo siku” aliwaza Stellah, ambae nikama alipumbazwa na dawa za kishirikina, maana akuwa na tabia ya kuwazia mwanaume kiasi hiki, alafu kijana mwenyewe ni mtoto mdogo, maana alifikia hatuwa ya kuwa alisha andaa kila kitu kwaajili ya safari ya kesho kwenda shamba akionekana wazi kuwa akuwa tena na mpango na mume wake ambae, licha ya kumfanyia matukio yote leo pia ameweza kuona wanawake ambao ni mahawala, wanafumaniana juu yake, kupitia video alizo tumiwa na walimu wenzake, “yani keho nahamika mapema, napika haraka nikimaliza naweka chakula kwenye mahot port, naondoka zangu, bola nika jishindie zangu kule shamba, najuwa na siku kuu hii awawezi kwenda kule shamba” aliwaza Stellah, huku anainuka na kueleka chumbani kwake.******




Naaam saa tatu asubuhi, iliwakuta wakina Pross wakiwa kitandani, ndani ya kibanda cha Pross, wapo kama walivyo zaliwa, Rose amejilaza kifuani kwa pross, ndio kwanza wana shtuka toka kwenye usingizi mzito, kila mmoja akianza kuvuta picha ya matukio ya jana usiku, ni baada ya kumaliza mchezo pale nje na kuamia ndani ambako akukuwa na kupumzika mpaka saa nane usiku, inamaana ailikuwa weka tuweke, ata walipoptiwa na usingizi, ndio ikwa afueni ya viungo vyao vya uzazi.




wakwanza kuhamka alikuwa ni Rose ambae alijikuta kifuani kwa Pross, akamtazama usoni na kukumbuka kazi ya jana usiku, akajikuta anatabasamu peke yake, yani akajitabasamulia mwenyewe, “ume ni tomb.. vizuri mpenzi wangu, alinong’ona Rose huku ana mbusu Pross mdomoni, na kumsabisha azinduke toka usingizini, wakatazama usoni, na kujikuta wakioneana aibu, na kukwepesha macho yao, huku Rose anapeleka mkono usawa wa mapaja yake kugusa kitu kigumu ambacho kilikuwa kimemgusa neo ilo, kilikuwa ni kitu kigumu kweli tena chenye joto ridi, “mume wangu auchoki tu?” alisema Rose akijichekesha huku anapapasa dudu ya Pross, wote wakacheka.




Kisha kimya kimya Rose akajilaza kiubavu akitazama ukuta, na kumvuta Pross ageukie upande wake, alafu akainua mguu mmoja juu, na kuishika dudu ya Pross akiilengesha kenye kitumbua chake, hapo Pross akajuwa nini kinatakiwa kifanyika, nae akajisongeza na kuikandamiza dudu yake, ambayo iliteleza na ukuingia ndani ya kutumbua, hapo akaona Rose boss akimsika kalio na kumkandamiza kwake, huku akizungusha kiuno taratibu, vikifwatilia vijisauti flani ya kuugulia utamu, sasa Pross nikama akuwa anaamini macho yake, yani boss Rose anampa kitumbua, ana ana kikatikia kama hivi, “asante mume wangu, unani tomb… vizuri, yule mshenzi nimesha acha nae, simpi tena” maneno ayo yalimtoka Rose samba bamba na kiuno cha mgandisho, na kuzidi kumfanya Prpsper ajihisi kuwa yupo ndotoni.*****




Naam saa nne na robo, Stellah alikuwa kwenye duka la kuuza vinywaji kwa jumla, akinunua cartoon moja la wine, na kuweka kwenye gari lake ambalo ndani yake kulikuwa na mkoba wake wenye nguo, chache, na mahot[ort ya vyakula, kisha akaondoka zake kuelekea barabra kuu, ya morogoro, kisha aka kamata uelekeo wa kibaha, ambako akwenda mbali sana akaona gari la polisi, likija kwa soeed kali sana na kupisha nalo, huku polisi kadhaa wakiwa wana ng’inia nyuma yake, akuwa jari sana, akaendelea na safari yake, huku mawazo yake yakiwa kule shambani anako elekea, Lakini ukweli nikwamba kama ange kuwa na uwezo wa kujuwa kilicho jificha ange gundua jambo moja zito sana, juu ya lile gari la pilisi, ambalo lilikuwa lina elekea luguruni,.




Ilikuwa hivi, saa nne kamili, ambao ni muda wa wateja , kuwa wamesha achia vyumba, walivyo kodi kwa usiku mmoja, ndani ya Luguruni Guest house, mhudumu mmoja alisogea kwenye mlango wa chumba walicho kodi wakina Kipanta na Matrida, na kugonga mlango, maana uwa kuna wateja, wanatapataga hamu ya kuingiziana dudu, muda ukiwa umesha isha, akaona kimya, akajaribu kufungua mlango, nao ukafunguka, sasa basi alicho kiona humo ndani, kilimfanya toke mbio huku anapiga kelele zilizo waita mwenzie, na kujaa kwenye kile chumba, wakiwaona wakina Kipanta wakiwa wame lala uchi wa mnyama, huku povu zikiwatoka midomoni……








Kwa haraka ungezania kuwa wamesha kufa, lakini baada ya kuwatazama, baadhi ya sehemu zao za vifua, na matumbo, wakagundua kuwa watu awa walikuwa wanapumua kwambali sana, sasa basi maajabu yakizazi cha smart phone, wakati manager ana piga simu polisi, huku wahudumu wengine, akiwapo Sinder, walikuwa wana chukuwa video na picha za tukio lile, ambazo mwanzo atukujuwa ni zakazi gani, na ukichukulia picha zile zilipigwa wakati wakina Kipanta na Matrida awakuwa wamevaa nguo, yani walikuwa uchi kabisa.


Dakika chache baadae polisi wakaingia pale Guest wenyewe wanaita eneo la tukio, na baada ya kufanya uchunguzi wa haraka na kuwahoji wahudumu na manager, Polisi wakawachukuwa wawili wale na kuwakimbiza hospital ya muhimbili, tawi la mloganzila, wakiwa bado awajapata majibu sahihi, zaidi ya kuambiwa kuwa wawili hao, walikuja kama wateja na kuchukuwa chumba cha kulala, walicho lipia kwa siku moja, na wakapata huduma ya vinywaji na chakula, kabla ya kuingia chumbani kwao, na kukutwa asubuhi, wakiwa katika hali kama ile, ambayo ilimshangaza kila mmoja.


Baada ya kuwafikisha pele hospital, na kuanza kupewa huduma za kwanza za kupunguza sumu mwilini, kufwatia majibu ya vipimo, kwamba walikunywa vinywaji vyenye kiasi kukibwa cha dawa ambazo ziliwatengenezea sumu, polisi wakaondoka zao huku wakianza kufwatilia ile sumu walipewa na nani.******


“Pross, naomba nikuambie kitu mpenzi wangu” alisema Rose, kwa sauti ya kichovu, iliyo ambatana na tabasamu la furaha, akiwa na Pross juu ya kitanda, wapo uchi kama walivyo zaliwa, wote wame lala wakitazama paa la kibanda kile, ni mala baada ya kumaliza kupeana utamu asubuhi ile, niambie tu” alisema Pross, ambae kiukweli alikuwa bado ajaamini, macho yake kuwa leo hii, amekula kitumbua cha boss wake, tena akionyesha mapenzi ya hali ya juu, “naomba uwe mpenzi wangu wa siku zote, mimi nita kusaidia kuwa na maisha mazuri, ata kama ukitaka kusoma tena mimi nita kusaidia, mladi ukubari niwe mke wako, na uniaidi, kuwa utanioa, na auto niacha” alisema Rose, kwa sauti ya kubembeleza, safari hii akimgeukia Priss na kujilaza juu yake nusu ya kifua chake.


Hapo Pross akatabasamu kwa mshangao, “unasema kweli boss?” aliuliza Pros kwa mshangao, “Pross bwana nime kuambia kuwa mimi siyo boss wako, tena, mimi ni mpenzi wako bwana” alilalamika Rose, “samahani” alisema Pross, “ok! bila samahani, aya niambie basi, kama kweli unanipenda na utakuwa mume wangu” alisema Rose huku akipinya pua ya Pross kwa kidole chake cha kwanza, “nipo tayari Rose, lakini nina ushauri juu yailo, naomba kwanza unge chukuwa muda wako kufikilia, pengine unaweza kumpata mwanume mwingine, sasa mimi nita jiskia vibaya sana” alisema Pross kwa sauti ya unyonge kidogo, “sikia Pross, mimi nime amua, kukupenda wewe, na sifwati mwanaume kwa kile alicho nacho, na kwakukuhakikishia ilo, mimi nakutoa huku shambani, tunaenda kuishi kwangu, alafu tuta juwa la kufanya juu ya ndugu zako na mama yako, leo mtafute mtu wakukaa hapa, nikija kesho, tuta mwacha hapa, na wewe tunaenda mjini” alisema Rose akionekana kupania kuwa na Pross.


Naam japo walikubariana hivyo, lakini ukweli ni kwamba ross akua ana amini kama kweli jambo lile linamtokea mubashara, pengine ni ndoto ambayo baada ya masaa kadhaa ata shtuka na kubakia na unyonge wakupitiliza, ata Rose alipo kuwa ana jiandaa kuondoka, na ata alipo mkiss shavuni na mdomoni, kisha kupanda gari lake na kuondoka, Pross akuwa anaamini macho yake.*******


Naam mitandao ya kijamii ililipuka na habari ya kushangaza na kuburudisha, kwa wale wasio mjuwa na kumfahamu Kipanta, habari ambayo ilikuwa ni kama mwendelezo wa habari za jana, kuwa yule bwana alie fumaniwa afanyiwa kitu mbaya. pamoja na demu wake, wakutwa uchi wa mnyama, maneno hayo yalienda na sambamba na video aupicha, za matukio yote mawili, yani la jana la kufumaniwa na Rose, na ili kukutwa uchi, na wote wakianza kushusha shutuma zao kwa mwanadad mrembo Rose.


Adellah dada yake Rose nae alikuwa ni mmoja kati ya watu walio lipata mapema tukio ilo, na kumlipua moyo wake, akijuwa fika kuwa mdogo wake ndie alie fanya mchezo huo, wa kuwa wekea sumu wakina Kipanta, hapo kulikuwa na hali mbili, moja ikiwa ni furaha juu ya hilo, maana ukweli ni kwamba akuna mtu Adellah alimchukia kama Kipanta, ila jambo la pili, aliingiwa na wasi wasi mkubwa, sana juu ya mdogo wake ata kuwa katika hali gani, kwa wakati huo, maana mitandano ya kijamii asa instagram, kulikuwa kunaenea picha ya matukio hayo mawili, na baadhi ya picha zilizo mwonyesha Rose akiwa katika picha tofauti, ambazo yeye mwenyewe, alikuwa amezi weka kwenye account zake za face book na instagram, “hapana, lazima niende Tanzania haraka” aliwaza Adellah huku ana inuka na kuanza kujiandaa kwa safari, huku akimsubii mume wake bwana Mauricio Fernandez, ili amweleze juu ya ilo wakati huo huo, Adellah alijaribu kutuma ujumbe kwa Rose, kwa njia ya whatsaap, akiitaji kujua, mdogo wake huyo yupo wapi na katika hali gani, lakini aikuonyesha alama ya kusomwa.*******


Naam mwana mama Stellah akiwa kwenye barabara ya kisalawe, kutokea kiluvya madukani, aliendesha gari lake taratibu, siyo kwamba alikuwa anapenda kutembea taratibu, hapana, ukweli nikwamba mama huyu alikuwa anatamani afike haraka kule shambani, kwa hawara wa mume wake, lakini, ukweli nikwamba gari lake ni dogo, na lisingeweza kuimili, mashimo ya ile barabara, lakini ni nusu saa tu ndiyo aliyo itumia toka barabara kuu ya morogoro, eneo la kiluvya madukani, mpaka njia panda ya maneno mango, ambako ndio kuna barabara ya lami.


Naam wakati mama huyu mwenye uzuri wake na umbo la kuvutia, akiwa anataka kuingia barabara kuu, mala akaliona gari lina kuja, likitokea kule anako elekea yeye, hivyo akaona itakuwa busara kama ata lingojea, lipite kisha yeye aingie barabarani, na lilipo karibia akaona lina onyeha inducator, ya kuingia kule anakotokea yeye, lilikuwa ni Toyota alphad, lenye upya wake, na wakati lina pita pembeni yake upande wa kulia kwake, akamtazama dereva wa gari lile, japo gari lilikuwa na tinted lakini kwa kupitia kioo cha mbele aliweza kuona kuwa, dereva alikuwa ni mschana mdogo, na mrembo, japo alionekana akuwa amejiweka vipodozi usoni kwake, japo alionekana kujawa na furaha usoni kwake, nikama sura yake aikuwa ngeni kwake, ilo akulijari sana, “mabinti wadogo wanaendesha magari mazuri, sisi wenye waume wenye elea tunaangaika” aliwaza Stellah, huku anakanyaga mafuta, kuingia barabara kuu, na kuelekea kule lilikotokea lile gari, “alafu nime kumbuka” aliwaza Stellah huku ana papasa kwenye dash board na kutoa simu yake, “sitaki usumbufu wowote, toka kwa watu” alisema Stellah huku ana zima simu yake, na kuiweka tena kwenye dash board, huku ana endelea na safari yake, ambayo alikuwa amebakiza mita chache, kuingia eneo ambalo, toka jana aliona kuwa siku ichelewa.*******


Polisi walipotoka pale hospital ya muhimbili ya Mloganzila, wakarudi tena kule luguruni, safari hii wakiwa na maswali mapya kwa wahudumu, moja wapo likiwa ni watu walio kuwa pamoja na wakina Kipanta, mhudumu alie wahudumia vinywaji na mhudumu alie wahudumia chakula, aliletwa mtu wajikoni, na pia akaletwa Sinder, huku kila mmoja akihojiwa kwa wakati wake, lengo alikuwa mhudumu wa chakula, sababu vipimo vinaonyesha kuwa, sumu ilikuwa kwenye kinywaji, “tume ambiwa kuwa wewe ndie ulikuwa una wahudumia wale watu wawili, ebu tueleze uliweka nini kwenye vinywaji vyao” aliuliza mmoja wa askari waliokuwa wanamhoji Sinder, na hapo Sinder akiwa amesha ona habari za kwenye mitandao, zinazo mshuku Rose kuwa ame wafanyizia wakina Kipanta, “kwakweli mimi nilikuwa na chukuwa vinywaji na kuwafungulia mbele yao, sijuwi ata kama kuna kitu waliwekewa” alijibu Sinder kwa sauti ambayo kwa haraka haraka, ungesema huyu binti ni mtoto wa mchungaji, “ebu tueleze kama siyo wewe ata kuwa nani?” naam ilo swali la polisi, ndilo ambalo Sinder alikuwa analisbiri kwa hamu kubwa, “labda kuna dada mmoja hivi, nilipo kuwa natoka kuwapelekea vinywaji nilimwona ana ingia chumbani kwao, na wao wakamfungulia mlango” alisema Sinder kwa sauti ile ile ambayo atakama unge kuwa ni wewe lazima unge amini kila anachoongea, “huyo dada ni mhudumu wa hapa au?” aliuliza mmoja kati ya wale polisi waliokuwa wana mhoji, “hapana siyo mhudumu, ata mimi simjuwi, ila wanaonekana kuwa wanafahamiana na wale wateja, maana walipoingia niliona kama wana laumiana, kuwa anamthaliti” mpaka hapo Sinder akawa amaesha washa sigara kwenye kituo cha mafuta, maana wale askari wakatazamana…….




Nikama walikuwa wanaulizana, ya hapo waka hoji maswali amawili amatatu na kuondoka zao, wakirudi kituoni, ili wajipange na kuanza kumsaka huyo mwanamke, pamoja na ndugu wa wale watu wawili yani Kipanta na Matrida.*******


Mwingine alie ipata habari ya Kipanta na Matrida, huku shutuma zikienda kwa Rose, ni mwana dada Joyce ambae mida hii ndio kwanza ana hamka ndani ya chumba chake, hii ni kutokana na uchovu wa kuchelewa kulala usiku, akinywa pombe na mpenzi wake, mala kupeana dudu, huku ikiwalazimu kuhamka mapema, ili awaku kumsindikiza mpenzi wake huyu stendi, ambae alikuwa anasafiri kuelekea mbeya anako fanyia kazi, Joyce alihamashwa na njaa kali, iliyo kuwa inamchamanda, tumboni mwake, akaingia bafuni kumwaga kojo la pombe na kurudi chumbani ambako moja kwa moja, aliangalia simu yake kwa lengo la kujuwa muda, ilikuwa ni saa tano kasoro, lakini licha ya kuona muda, pia mwana dada huyu, alikuta notification na missed call kadhaa, juu ya kioo cha simu yake, nyingi zikiwa ni sms za whatsaap, na akatazama zile missed call mbili zilikuwa za manager wao, yani wa NMB tawi la Kibaha, “ananini huyu nae” aliwaza Joyce huku anashusha macho kutazama messed cali nyingine, ilikuwa ni ya mpenzi wake ambae muda mfupi uliopita alikuwa ametoka kumpeleka stendi, na kuhakikisha amesha panda basi, Joyce akatabasamu, “ume data, si unioe basi” aliwaza huku anatabasamu, na kuibofya ile namba, kwa kuipiga, lakini kabla aijapigika vizuri, akatuka akiipokea simu ya ambayo ilikuwa inaingia kwenye simu yake, akaipokea haraka bila kuangalia mpigaji, maana wazo lake lilimtuma kuwa ni mpenzi wake, aliepo safarini, “hallow” aliita Joyce, kwa sauti tulivu na legevu, lakini alikutana na sauti ya kusha pumzi nzito, “Joyce ebu niambie, imekuwa mpaka mna fanyiana michezo mibaya kama hii?” sauti iliyo uliza swali ilo, ilimfanya Joyce ashtuke na kuitazama simu yake kwa lengo la kutazama mpigaji, alikuwa ni manager, “michezo gani boss, au Matrida kufumaniwa na Rose?” aliuliza Joyce kwa mshangao, maana siyo kawaida manager wa benk kuulizia, maswala binafsi kama yale, unaliona dogo, wakati atujuwi kama amewapasumu gani, atujuwi kama watapona au watakufa wewe unaona hayo ni madogo?” aliuliza Manager na kumstua Jiyce ambae akuwa na habari ya kilicho tokeza usiku wa jana, “sumu, amewawekea sumu kivipi?” aliuliza Joyce kwa mshangao, “inamaana ujuwi lolote, juu ya Matrida kupewa sumu na Rose?” aliuliza manager kwa mshangao, “mungu wangu, inawezekana vipi, Rose kufanya kitu kama hicho, mbona jana akuonyesha kuchukizwaka lolote juu ya ilo” alisema Joyce kwa mshangao na bumbuwazi, kisha akakata simu na kupiga kwa Rose pasipo kujari kuwa pegine boss wake bado alikuwa anaitaji kuongea nae.


Simu ya Rose akupatikana, kwa mana kama siyo kuzimwa basi aikuwa kwenye eneo lenye net work, “au amesha kamatwa, kwanini Rose ukafanya kitu cha kikatili kama hiki” aliwaza Joyce, huku anabofya kwenye upande wa whatsaap ilikuona kama kuna ujumbe unao usiana na habari hiyo.


Naam ukweli ni kwamba huko ndiko aliko changanyikiwa Joyce, maana alitumiwa video nyingi zinazo fanana, zikiwaonyesha Kipanta na rafiki yao Matrida wakiwa wamelala uchi wa mnyama, huku povu zikiwatoka midomoni, “maskini Mat, nini kilikutuma uchukuwe bwana we mwenzio jamani” alisikitika Joyce, ambae ata ule uchovu na njaa, vilimwishia, hapo aka onelea aingie bafuni kuoga, ili aende nyumbani kwa Rose, kujuwa kwanini aliamua kuchukuwa maamuzi makubwa kama yale.*****


Naam baada ya kuiacha barabara ya Manelomango, na kuikamata barabara ya kiluvya madukani, huku akipishana na gari dogo,ambalo akujiangaisha kumtazama mmilikiwake, mschana mrembo Rose mary, aliendesha gari lake taratibu, huku aki vuta picha na kumbukumbu ya matukio ya siku ya jana, japo kulikuwa na baadhi ya matukio ambayo, kiukweli ayakumpendeza, asa lile la rafiki yake Matrida kutembea na Kipanta, lakini tukio ilo, lilimezwa na tukio tamu la, kuwa pamoja na kijana Pross, “utazani Pross ameniloga, yani sizani kama leo nitakuwa tayari kulala mwenyewe, naweza kwenda kulala shamba alafu nika hamka mapema, kuwa nyumbani kubadiri nguo, niende kazini” aliwaza Rose, ambae alijikuta anazidi kumpenda Pross, “au nitaenda kumchukuwa alafu nina lala nae hapa nyumbani, kisha kesho wakati naenda kazini, namchukulia boda boda imrudishe” aliwaza tena Rose, ambae akakumbuka kosa alilo lifanya, “alafu katika wajinga, mimi ni mjinga sana, yani sija chukuwa namba ya Pross, alisema Rose huku anapapasa kuitafuta simu yake, na kuikuta kwenye kibegi chake, akikumbuka kuwa akuwa ametumia toka jana jioni, hivyo akupigiwa wala kupiga.


Rose akaitoa simu na kuitazama, akabofya kidogo, ili kuona kama kuna missed call au sms, lakini simu aikuwaka, hapo akagundua kuwa simu hii ilikuwa imesima chaji, “ndio maana” alisema Rose huku anaweka gari pembeni na kuichiomeka, kwenye chaja iliyo wekwa mlendani ya gari, kwenye mp 3, kisha akaendelea na safari.*******


Naam polisi, nao walizipata zile video zenye habari inayo muusisha Rose moja kwa moja, na tukio la wakina Kipanta, hapo wakaanza uchunguzi, wa sehemu ambayo anapatikana mschana huyu mrembo, ambae ni mfanya kazi wa benk, “wanapigania fedha tu, akuna lolote, unazani mzee kama huyu ana wapa mambo kama inavyo stahili?” alisema polisi mmoja wakati wakiwa njiani wanaelekea nyummbani kwa manager wa benk hiyo, anae ishi kibaha kwa enginear .


Aikuwa kazi ngumu kumpata manager, ambae aliamua kuwaongoza kwa mschana huyu, huko kibamba njia panda ya shule, huku moyoni mwake akisikitika kwa tukio lililo tokea.******


Naam baada ya mume wake bwana Mauricio Fernandez, kurudi nyumbani, Adellah ali mweleza kila kitu, kama kilivyo jili kwenye mitandao, ya kijamii, juu ya Rose, ukweli habari hii ilimsikitisha sana, bwana Mauricio, huku yeye na mke wake wakiamini kuwa Rose ameyafanya hayo kwa kulipiza kisasi, na siyo wivu wa mapenzi, “nazani, itakuwa muhimu tukienda wote, hivyo tuondoke kesho jioni, ili kesho mapema, nikaombe mapumziko ya week mbili, kisha twende Tanzania” alishauri Mauricio, yani shemeji yake Rose, sababu leo ilikuwa ni boxing day, hivyo singeweza kuomba luksa.******


Mida hii akiwa ajuwi wala na akuwa na sababu ya kujuwa kinachoendelea, huko mjini, Pross akiwa amevalia kijibukta, huku kifua kikiwa wazi, kwa maana akuvaa shati, alikuwa anafanya usafi wa chumba chacke, na mazingira yanayo izunguka ile nyumba, ni baada ya kuona kuwa inabaraka ya kutembelewa na wageni mbali mbali, juzi alikuja mwanamama Stellah, na akalala, jana mwana dadaRose boss wake, ambae sasa ni mpenzi wake, na akalala mle ndani wakifanya waliyo yafanya.


Pross alifanya usafi huku kichwani kwake ikimjia picha ya tukio la jana usiku, na leo asubuhi, la kula kitumbua cha boss wake, wakati mingine alikumbuka juzi jioni, alivyoweza kuona mtuno wa kitumbua, cha mwanamama Stellah, ambae alivalia kile kinguo chake, cha hatari, “mh! kumbe nisinge ondoka kitandani, pengine na yeye angenipa” aliwaza Pross, akiendelea kufanya usafi, huku sufuria la mihogo likiendelea kuchemka jikoni, “lakini yule mwana mama mkubwa sana, awezi kunipa pengine alifanya vile kwaajili ya pombe tu!” aliwaza Pross, ambae anakumbuka jinsi Stellah, alivyo kuwa ana mkubatia kumbatia, na mwisho kujikuta wakiwa kitandani pamoja, nayeye kuamua kumwachia kitanda kwa heshima.


Pross akiwa ama malizia kufanya usafi mala akasikia muungurumo wa gari, na alipo tazama kwenye njia ya kuingilia pale shambani, akashangaa kuliona gari la yule mwana mama, mwanzo alizania kuwa ni wenge lake, lakini lile gari lilipo fika na kusimama pale lilipo simama juzi, na kumwona mwanamama anashuka huku akiwa ameachia tabasamu pana, ndipo Pross alipo alipogundua kuwa ni kweli kabisa mama huyu amekuja tena, alafu leo mavazi yake nikama alikuwa nje ya nyumba yake, ukiachilia gauni la mikanda mabegani, ambalo akujuwa urefu wake, huku chini alijifunga kitenge, tu, ambacho kili kaa vizuri, kikilemewa na hips, na maalio mapana ya mama huyu, “jamani Pross mbona unanishangaa baba, njoo basi unipokee basi” aliongea stellah kwa sauti ya kudeka, huku anafungua mlango wanyuma na kuanza kushusha mazaga zaga, yakiwemo yale mahot pot, na box la wine lenye vyupa sita.


Sijuwi sababu alisha onja kitumbua, maana Pross kwa mwonekano wa Stellah, aliunga nisha na picha ya juzi ya mtuno wa kitumbua, na picha ya jana ya kuingiza dudu Kwenye kitumbua cha Rose, hapo dudu ika stuka na kututumka, ikiinua bukta aliyo kuwa ameivaa, “shikamoo mama” alisalimia Pross, akiwa amesha msogelea Stellah, pale kwenye gari, “marahaba mwanangu, za toka jana” aliitikia Stellah, huku akipeleka macho yake kwenye bukta ya Pross, na kuona jinsi kijana huyu, alivyo simamisha mnazi, “nzuri, naona mme faidi sikukuu” alisema Pross, kwa sauti iliyo jaa uchangamfu, akijitaidi kupotezea mawazo, ya msambwanda na hips, huku ana chukuwa hot pot tayari kuzipeleka ndani, “nifaidi wapi, wakati nilikuwa mwenyewe, mpaka nikatamani kama ninge kuwa huku” alisema Stellah, japo kauri hii ilimshangaza kidogo, Pross, lakini akaipotezea, “kwani wale watoto wako awapo” aliuliza Pross, huku anaelekea ndani, akimwacha Stellah ana malizia kushusha mizigo, “hii sikukuambia, wameenda bagamoyo kwenye Chriss mass, wanarudi kesho kutwa” alisema Stellah, huku Pross akiingia ndani, ambako aliweka zile hot pot, na kujitazama jinsi dudu inavyo muumbua, kweli ilikuwa imesimama, barabara, na ukizingatia ndani akuvaa boxer, ilikuwa ni baraha, “mh! nitaonekana mtoto mbaya, ngoja nivae suruali” alijisemea Pross, ambae alitazama kwenye nguzo moja ya mbao, aliyo gonga misumari, maalumu kwa kutundukia nguo, akaona jinsi na boxer, aka vua haraka ile bukta na kuchukuwa ile boxer, huku bado dudu imesimama kweli kweli, “hooo baba kumbe unavaa?” Pross alishtuliwa na sauti ya Stellah, na kwabahati mbaya, akageuka kutazama kule upande wa mlangoni ilikotokea sauti, na macho yake yakakutana na Stellah, alie kuwa amebeba , cartoon la maji ya kunywa, ambae macho yake yalikuwa yanaitazama dudu ya kijana huyu, ambayo kiukweli bado ilikuwa imesimama kweli kweli.*******


Joyce baada ya kumaliza kuoga, alivaa kikawaida tu, yani kijigauni simple sendo za kawaida, akajifunga na kitenge, akachukuwa simu yake na kuelekea kwa Rose, ambapo ni mwendo wa dakika kumi mpaka kumi na tano, kwa miguu, “jamani Rose baraha gani hili, wakijuwa polisi si utakamatwa wewe, aliwaza Joyce huku anatembea kuelekea kwa Rose, na ata alipofika, akuliona gari la Rose, na milango ilikuwa imefungwa, pale nje lilikuwepo gari la Kipanta, Toyota IST, akajaribu kugonga mlango, lakini akukuwa na dalili ya kuitikiwa, hapo akaamua kurudi kwake, akiwa na hisia kuwa pengine Rose amesha kamatwa na pilisi, maana ata simu yake aikuwa inapatikana, safari hii aliamua kupita njia ya mkato.


Naam ile anakaribia barabara kubwa ya vumbi, mala akaliona gari la Rose lina kata kona kuelekea, kuelekea nyumbani kwa Rose mwenyewe, akuwa na uwezo kulikimbilia, hivyo akuwa na namna zaidi ya kurudi tena kwa miguu, lakini akufika mbali, akaliona gari la polisi, likuwa na polisi wanne nyuma yake, likielekea kule kule kwa Rose, “mungu wangu, Rose anakamatwa” alisema Joyce, akitamani kukimbia ili akashuhudie mwenzie anapatwa na nini……….






Lakini ilikuwa ngumu kwake, asingeweze kwenda na kasi ya defender la polisi, lakini aikumfanya kukata tamaha, aliongeza kasi ya kuelekea kwa rafiki yake, maana hakilii mwake aikumwingia kabisa, kuwa yeye ndie alie wawekea sumu wakina Matrida, kwa sababu wamemthaliti.


Lakini basi, wakati Joyce anakaribia kuifikia nyumba ya Rose, ambayo ukiiona kwa haraka ungesema kuwa mwana dada huyu, pengine anakaa kwa wazazi au ndugu ambao wanafedha nyingi, na siyo nyumba yake, kwa jinsi ilivyo kuwa ya kifahari, na kubwa sana, ikipambwa kwa viji gae na mauwa kwenye eneo la kuzunguka nyumba yote, Joyce aliweza kuliona gari la polisi, likiondoka nyumba ni kwa Rose huku Rose akiwa amebebwa nyuma ya gari lile, huku mikono yake ime valiswa pingu, na polisi, wenye silaha, wame mzunguka, muda wote Rose akionekana kushangazwa na tukio lile, huku akilia na kuomboleza, japo Joyce akuweza kuyasikia maneno ya Rose, lakini isinge kuwa vingumu kutambua kuwa alikuwa anakataa kuwa siyo yeye alie fanya jambo ilo.******


“hooo baba kumbe unavaa?” Pross alishtuliwa na sauti ya Stellah, na kwabahati mbaya, akageuka kutazama kule upande wa mlangoni ilikotokea sauti, na macho yake yakakutana na Stellah, alie kuwa amebeba , cartoon la maji ya kunywa, ambae macho yake yalikuwa yanaitazama dudu ya kijana huyu, ambayo kiukweli bado ilikuwa imesimama kweli kweli.


Pross aligeuka haraka kuificha dudu yake, akishindwa kujibu swali la kipuuzi la stellah, ambae aliweka chini cartoon la maji, na kutoka mle chumbani akimwacha Pross peke yake, huku picha ya dudu ya Pross ikimjia kichwani, “mh! kijana huyu anamakubwa, utazania mtu mzima” aliwaza Stellah, huku anaelekea kwenye gari, “alafu anasema ajawai kulala na mwanamke, ni kweli au anatania?” alijiuliza stellah, ambae kiukweli licha ya kusumbuliwa sana na mume wake, lakini akiwai kufikilia kumthaliti mume wake huyo, kitu ambacho kilimsababishia akae muda mrefu bila kuonja dudu.


Wakati mwana mama huyu, ambae licha ya kuwa na miaka yake thelathini na tisa, lakini alikuwa na uzuri wake, wa kuvutia na kutamanisha, akiwa amesimama pembeni ya gari lake, ana msubiri kijana Pross amalize kubadiri nguo, waje wasaidiane, kumalizia mizigo, iliyobakia kwenye gari, ika mjia kumbukumbu, ya tukio la mbezi, ambapo alimwona mume wake akiwa na wadada watatu, na kumfukuza yeye kama hamjuwi, “alafu naenda kumtoa polisi, anaondoka na mwanamke mwingine, kweli huyu mwanaume anaroho ngumu sana” aliwaza Stellah, na wakati huo huo akamwona Pross anatoka kwenye kile kibanda, huku akiwa amejawa na aibu, ya kufumaniwa akiwa uchi, “usione aibu Pross, ni kama ajari tu, alafu mwana ume kuwa uchi mbele ya mwanamke ni kawaida” alisema Stellah huku anatabasamu, na Pross akatabasamu kwa aibu.*****


Aya sasa, Rose alifikishwa ndani ya kituo cha polisi, na kuingizwa kwenye chumba cha mahojiano, akiwa bado na pingu mkononi , wakamkalisha kwenye kiti kimoja cha mbao, mbele ya meza kubwa, ambayo nyuma yake kulikuwa na kiti kingine cha mbao, officer chair, hapo wale askari walio mleta wakatoka, wakaingia askari wawili, wenye miili mikubwa walio ziba nyuso zao, kwa kofia nyeusi za sox, zilizo achia macho na midomo tu! ambao walipoingia awakuongea kitu, wakasimama nyuma ya kiti alicho kalia, Rose, ambae alikuwa anatetemeka kwa uoga, mmoja akisimama kushoto mmoja kulia, huku mikononi mwao, wakiwa wameshikilia marugu makubwa meusi, yenye vishikio, vya mikanda, mavazi yao yalikuwa ni buti nyeusi, suruali za kaki, yani sale za polisi, juu tishet nyeusi, zenye maandishi meupe, yaliyoandikwa POLICE.


Naam, mlango, ukafunguliwa, akaingia mtu mmoja mwaume, alie valia sale za polisi, na mabegani mwao, akiwa ametundika vyeo vya nyota mbili, kila upande, “binti, tunaomba ujibu maswali yetu kama tunavyo kuuliza, ilikuokoa muda” alisema yule nyota mbili, huku anakaa kenye kiti cha mbele ya meza, hapo Rose akaitikia kwa kichwa kukubariana nae, “ok! nazani unafahamu kwanini hupo hapa?” aliuliza yule insp, wa polisi, “nime ambiwa kuwa natuhumiwa kwa kuwa wekea wakina Matrida sumu kwenye vinywaji, lakini…” alijibu Rose na kutakuongeza neno, lakini akawaiwa kwakofi moja zito la mgongoni, “wewe umeambiwa ujibu uncho ulizwa” alisema mmoja kati ya zile njemba, zilizo kuwa zime simama nyuma yake, na ndie alie mshindilia Rose Kofi la mgongoni, “mhhhhh! na kufaaaa” aliongea Rose kwa sauti ya shida, ungesema ameosa pumzi, huku akiwa amejikunja , na kushindwa kujikuna mgongoni, maana alikuwa amefungwa pingu, mikononi mwake “ok! kwanini umefanya kitendo hicho cha kinyama?” aliuliza yule insp, hapo Rose akawatazama wale walio simama nyuma yake, kwa uoga, akiofia kuongea, wasije waka mtandika tena, na kweli lilikuwa kosa kama ucheleweshaji wajibu, hapo hapo mmoja kati ya wale wawili akainua mkono, tayari kuushuaha tena mgongoni kwa Rose, na kumfanya Rose afumbe macho, kwa uoga akisikisubiria kofi lituwe mgongoni, lakini akaona kimya, na ile kufumbua macho, akaona kuwa yule alie kaa kwenye kiti, akiwa amenyoosha mkono kuwazuwia, wasi mpige, “ok nijibu binti, ni kitu kani kilicho sababisha ufanye ukatili kama huo” aliuliza tena yule jamaa, mwenye nyota mbili, “kaka polisi, ukweli mimi ata sijuwi kama wakina Matrida wamewekewa sumu, nilipo wafumania mimi nikaenda zangu shamba, pale mliponikuta ndio nilikuwa nafika toka shamba” alisema Rose huku sauti yake ya kutia huruma ikiambatana na kilio cha chini chini, “unataka kusema yule mzee ni mume wako?” aliuliza insp kwa mshangao, hapo Rose akatazama chini, “hapana kaka Polisi, yule mpenzi wangu, lakini yeye anafamilia yake” alijibu Rose, na hapo maswali mengine yakaendelea, kama vile, “pale nyumbani unaishi kwa wazazi, au ndugu?” aliuliza yule insp, “hapana pale na kaa mwenyewe, ila siku moja moja uwa anakujaga Kipanta” alisema Rose ambae sasa alipunguza kulia kulia, “inamaana ile nyumba ni ya kwako?” aliuliza yule insp kwa mshangao, akiacha kuandika na kumtazama Rose usoni, Rose akaitilkia kwa kichwa, hapo yule insp akainamisha kichwa chini kwa sekunde kadhaa, kisha akainua kichwa na kumtazama Rose, “sasa mschana mzuri kama wewe, una kazi nzuri, kwanini unatembea na wazee kama awa, tena wanafamilia zao, mpaka yanakukuta majanga kama aya?” aliuliza yule insp wa polisi, kwa sauti iliyo jawa na simanzi, kaka afande ukweli nishetani tu alinipitia, na mwanzo sikujuwa kama ni mume wa mtu, maana alinidanganya ajaowa” alisema Rose kwa sauti ya kubembe leza, “ok! mke wake anaitwa nani na anaishi wapi” aliuliza insp na hapo Rose akaeleza kama anavyo mfahamu mwalimu Stellah, wa shule ya msingi luguruni, “sasa binti utakaa hapa chini ya ulinzi, kwaajili ya usalama wako na kupisha uchunguzi, kikubwa ambacho unatakiwa kuomba, ni kwamba wale wagonjwa kule hospital wapone na waoe ushaidi wao kuwa siyo wewe ulie wafanyia hivyo” alisema insp, na baada ya hapo Rose aka chukuliwa na wale askari wawili wenye kujiziba uso, akapelekwa counte, ambako aliacha kila kitu alicho kuwa nacho, akibakia na nguo alizo vaa tu!.


Naam insp huyu, akatoa maelezo kwa askari wake kuwa, yeye pamoja nae, wanatakiwa kwenda kumtafuta mke wa bwana Kipanta, ili kumjulisha juu ya kilicho mpata mume wake na kumchukuwa maelezo kidogo, juu ya maisha ya mumewe na watu wanaomzunguka, ili kujuwa kama anamaadui, ambao pengine wanaweza kuwa ndio walio mfanyia hivyo.******


Akiwa ajuwi lolote kuhusu, kilicho mtokea mume wake, mwana mama Stellah, mida hii ya saa sita mchana, alikuwa amekaa kwenye mkeka, ameegemea gogo, pembeni ya kijana Prosper, chini ya mwembe mkubwa, pembeni ya kibanda cha mabati cha kijana Prosper, wakipulizwa na upepo mwanana, wakisikilizia utamu wa wine, waliyo kuwa wanaendelea kuinywa, taratibu, ni mala baada ya kumaliza kula pilau lililo andaliwa na mwanamama huyu, mwenye umbo la kuvutia, na kushawishi, kwa mambo ya chumbani, “hivi Pross uogopi kukaa peke yako hapa?” lilikuwa swali la kwanza toka kwa stella kwenda kwa Pross, ni baada ya kimya cha muda mrefu, “siogopi, nimesha zowea” alijibu Pross ambae sasa alikuwa anaelekea kuwa mnywaji wa pombe, maana alikunywa kwa mfulilizo, wa siku tatu.


Kikapita kimya cha muda mfupi, kama vile kila mmoja alikuwa anatafakari, sijuwi Pross alikuwa anatafakari nini, lakini mala kwa mala alikuwa anamtazama maam huyu, alie kuwa amekaa karibu yake upande wa kushoto, akimtazama maeneo ya mapaja na makalio, wakati mwingine akipandisha macho yake kwa wizi, mpaka eneo la kifua, la mama huyu, lililo jazia, na kufanya sehemu flani za maziwa ya mama huyu, yaonekane kwa nje, na kutengeneza picha ya kusimanzisha, yani kwa haraka unge sema ni makalio ya mwanadada mdogo mdogo, vitu vilivyo sababisha, dudu ya Pross izidi kusumbua, ndani ya suruali yake, na kutengeneza taswala, flani juu ya suruali ya kijana huyu, ungesema kuna lipanya, liliingia kwabahati mbaya ndani ya suruali ile, na kukosa sehemu ya kutokea.


Wakati huo huo, Stellah nae, yani mke wa bwana Kipanta, alikuwa anawaza yakwake, ikiwa anavuta picha ya jinsi alivyo iona dudu ya kijana huyu ilivyo shupaa, kwa kusimama, utazani kijana alikuwa mbele ya mwanamke alie uchi, “kana onyesha kana hamu kweli kweli, hapa kame niona nimevaa nguo, sasa nikikavulia, si kata kojolea kwenye mapaja, kabla akajaingiza?” aliwaza Stellah, huku ana tupa jicho la wizi, kwenye lisani la Pross na kuiona ile taswila, iliyo msisimua, maana ata yeye alikuwa ajapata dudu muda mrefu, na kuwakwake karibu na kijana huyu, kulimfanya kuamsha wadudu, waliokuwa wana mfanya ahisi kuna kitu kina mtekenya kwenye kunde yake ya kitumbuani, “mh! ebu kaone, si kana weza kubaka aka katoto” aliwaza Stellah, huku ana inua usowake na kumtazama Pross usoni, na kwa bahati mbaya, wakati huo, Pross nae alikuwa anaondoa macho yake kwenye kifua cha Stellah, na kupeleka usoni, wakajikuta macho yao yamekutana, wote wakatabasamu huku wakikwepesha macho yao, kwa aibu, “Pross mbona unanitazama sana?” aliuliza Stellah, huku akicheka cheka, “hapana, nakutazama tu!” alisema Pross, ambae kiukweli alikuwa anatathmini, umbo la mwanamama huyu, na lile alilowai kuliona live, la Rose, “unapo nitazama unanionaje, mimi mzuri hen?” aliuliza Stellah, huku akicheka cheka, “mzuri” alijibu Pross sauti yake ikikosa ujasiri, na kujikuta akiishia kucheka cheka, “kweli Pross, mmama kama mimi nawezake kuwa mzuri kwako” aliuliza Stellah, wakiendelea kunywa wine taratibu, huku upepo ukiendelea kuwapepea pale chini ya mwembe, “mzuri tu!” alijibu Pross, ambae alionekana kujawa na kijiaibu flani, “kwahiyo unatamani niwe mpenzi wako” aliuliza Stellah, huku akicheka cheka, ukweli swali hili lilionekana kuwa gumu kwa Pross maana aliinamisha kichwa kichini, na kujikuta mkono wake wakushoto, ukichezea vile viji ukili, vya mkeka vilivyo kuwa vina chungulia, “sema bwana Pross, au ndio unitaki, maana ndio maana ulinikimbia kitandani” alisema Stellah, safari hii akipeleka mkono wake kwenye mabega ya Pross na kumshika, “hapana” alisema Pross akisaidia na kutikisa kichwa, kuwa akumkimbia sababu hampendi, “sasa kwa nini unijibu?” aliuliza Stellah, “nitakubari” alijibu Pross kwa sauti ya chini, tulivu, iliyo jawa uoga, ungesema yeye ndie mtoto wakike, “alafu ukikubari utaweza kufanya wanavyo fanyaga?” aliuliza Stellah, pembengine alisaidiwa na wine aliyo kunywa, huku akiwa akiwa bado ameweka mkono wake begani kwa Pross, ana mtazama kijana huyu, alie kuwa ametazama Chini kwa ugumu wa maswali ya mama huyu, “sema basi Pross, kama ukikubari niwe mpenzi wako, utaweza kufanya wanavyo fanyaga?” ………





ITAENDELEA




0 comments:

Post a Comment

Blog