Search This Blog

Monday 19 December 2022

KITUMBUA CHA NANI - 4

  


Chombezo : Kitumbua Cha Nani 


Sehemu Ya Nne (4)






Ukweli bado jibu lilikuwa mbali, maana Pross alibakia kimya, akitazama chini, “au ujuwi wanavyo fanyaga?” alisema Stellah kwa utani, na kubugia wine yake, Pross nae akacheka cheka, Stellah alimaliza wine kwenye glass na kumiminia nyingine, kisha akataka kumiminia kwenye glass ya Pross, akaona bado hipo nusu, “kunywa bwana Pross, alafu nikufundishe wanavyofanyaga” alisema Stellah huku anakamata glass iliyokuwa mkononi kwa Pross na kumnywesha, ambapo Pross ambae alikupatwa na msisimko mkubwa, kwa kusikia kuwa ata fundishwa, kufanya wanavyo fanyaga, alipiga funda moja kubwa la wine, kabla Stellah ajaitoa glass mdononi kwa Pross, “au upendi nikufundishe?” aliuliza Stellah, kwa sauti ya kubembeleza, Pross akashindwa kujibu, na kubakia anajitabasamulisha, “unapenda hen?” hakika unge mwona stellah, usingeweza kuamini kama ndie yule ambae amevumilia kuto kuithaliti ndoa yake toka akiwa na miaka 22, mpaka leo anaingia kwa kijana mdogo, anae karibia kulingana na binti yake, ndie anae mwuliza kijana huyu, maswali kama aya, Pross akaitikia kwa kichwa akikubari kuwa anapenda kufundishwa, “hapo ume furahisha, aya maliza ni kuwekee nyingine” alisema Stellah, huku anaisogeza tena ile glass ya wine mdomoni kwa Pross na kumnywesha tena, Pross nae aka bugia funda la nguvu, na ile Stellah anaitoa Glass akamsindikiza kwa busu la shavuni, kisha akamkabidhi Galss yake, na kumwongezea nyingine, kisha akainuka na kuelekea nyuma ya nyumba ambako ndio kama chooni kwake, akimwacha Pross anatafakari mambo yanavyokwenda, maana akujuwa kama ile ni bahati au baraha, inawezekanaje huyu, mama ambae akuwa anamjuwa vyema, aanze kuja hapa shambani, na leo anataka kumpa kitumbua, bule bule, na ukizingatia juzi yake alikiona kilivyo tuna, ungesema kitumbua cha buku.




Wakti anaendelea kuwanza akamwona yule mama anakuja, kutoka nyuma ya nyumba huku, ameshika kitenge mkononi, na kubakia na lile gauni jepesi, “tumalize hii chupa kisha tuhamie ndani, nika kufundishe” alisema Stellah, huku anakaa kaibu na Pross, pasipo kujari kuwa kile kigauni chake chepesi, kinacho angaza, kuwa kinapanda juu na kuachia mapaja wazi, na kuyafanya macho ya Pross yasiyo na panzia, kutazama mapaja ya mama huyu, ambayo ungesema ya binti mdogo, kwa ung’aavu wake, na kusasbabisha, dudu ya kijana huyu, izidi kutibuka, ali hiyo aliiona Stellah, yani mke wa Kipanta, na kumfanya ahisi, kikunde chake kina tekenyeka, na kutamani kupata msaada wa haraka.******




Taarifa za kukamtwa kwa Rose zilidi kuzagaa, na kuwafikia watu wengi zaidi, ambao kila mmoja alitafthili kwa jinsi anavyo juwa, wengine wakisema kuwa afadhari, maana waliamini kuwa Rose amefanya kitendo cha kikatili, huku wengine wakimwonea huruma mschana Rose, wakiamini kuwa ni mschana mdogo, ambae ndiekwanza alikuwa anaanza kufaidi maisha, sasa akaodhee jelah, itakuwa siyo poa kabisa, taarifa zile pia zilizagaa kwenye mitandao, japo zilikosa picha za tukio, lakini tayari picha ya Rose, ilionyeshwa kwenye habari hizo.




Taarifa ili mfikia Adellah, ambae alikuwa anasubiri pakuche aanze safari na mume wake, ambae atakuwa amesha omba luksa, ya kusafiri, ukweli ilizidi kumtia wasi wasi na wazoni, akujuwa namna ya kumsaidia mdogo wake, ili aepukane najanga ili, akutaka kuwajulisha wazazi wake, ambao walikuwa wazee sana, akiofia kuwapa pressure za bule bule, hivyo Adellah, alitamani pakuche mapema ili waondoke, akamsaidie mdogo wake.*******




Polisi walienda mpaka shule ya msingi Luguruni, ambako awakumkuta mtu yoyote, zaidi ya watoto wachache waliokuwa wanacheza kwenye eneo la karibu na shule, hivyo wakawauliza hao watoto waliokuwa wanacheza, “eti watoto, kuna mwalimu yoyote wa shule hii anae kaa hapa karibu?” aliuliza insp, na wale watoto waka mwelekeza kwa mwalimu Stellah wowo, “watoto bwana eti mwalimu Stellah wowo, sijuwi kama mwenyewe anajuwa kuwa anaitwa hivyo” alisema insp akiwa ndani ya gari, wanaelekea kule walikoelekezwa, ambako walitumia dakika cheche tu! kufikia, lakini ukweli ni kwamba akukuwa na dalili ya uwepo wa mtu, japo alama za matairi ya gari yalionyesha kuwa kuna gari limetoka asubuhi ya siku hiyo.




Na ata walipo gonga mlango awakujibiwa lolote na awakuwa na ujanja zaidi ya kwenda kwa majirani kuomba msaada wa kuonyesha nyumba ya mwalimu mwingine, wa shule ya msingi Luguruni, imanaana bado awakujuwa kama Stellah wowo, ndie mwalimu wanae mtafuta, “labbda niwasaisie namba ya mwalimu mkuu, yeye anakaa kibamba sheri” alisema yule jirani wa Stellah, nao wakaipata ile namba na kuwasiliana na mwalimu mkuu, ambae aikuwa na aja ya kuonana nae, walimalizana kwenye simu, wakimweleza shida yao, ya kumpata mwalimu wakike, ambae ni mke wa bwana Kipanta, nae akaweleza jina lake na kwamba anapatika huko huko Luguruni, “inamaana huyu Stellah wowo, ndie mke wa bwana Kipanta?” alishangaa insp, ambae mwisho alichukuwa maamuzi ya kuacha maagizo kwa yule jirani, kwamba muda wowote akionekana, basi aende kituo cha polisi, wilaya ya ubungo.*****




Joyce alienda moja kwa moja mpaka kituo cha polisi, na kukutana na askari wa zamu pale kituoni, alie mluhusu, kuonana na Rose, kwa dakika tano, ambazo zilitosha kabisa kwa Rose, azikuwasaidia kabisa, kuelezana jambo la kufanya, maana muda wote Rose alikuwa analia, na kusisitiza kuwa siyo yeye alie fanya hivyo.




Joyce akaelekea hospital walikolazwa wakina Kipanta na Matrida, ambako akuweza kupewa nafasi ya kuwaona, maana bado walikuwa wajalejewa na fahamu, na walikuwa wanaendelea kupata matibabu, chini ya uangalizi wa polisi.*****




saa nane kasoro, Stella alikuwa wakwanza kuinuaka toka kwenye mkeka na kummwinua Pross kwa kumshika mkono, “twende ndani basi, alafu tutaendelea kunywa wine” alisema Stellah alie onekana kutamani sana dudu, maana aliona kila sekunde zinavyosonga ndivyo kikunde kinavyosidi kutekenya, walipoingia ndani Stellah akamvua nguo Pross na kumwacha kama alivyo zaliwa, huku dudu ikiwa imesimama kweli kweli, maana ilisha juwa kitu kinacho fwatia, kisha Stellah aka vua gauni lake, na wakati ana vua Chupi, ndipo alipo mtazama Pross kwenye dudu yake, akaiona imezidi kusimama maladufu, na kumsisimua mama huyu, ambae alivua chupi haraka na kupanda kitandani, akijilaza chali na kutanua miguu, “aya njoo Pross” alisema stellah, akitarajia kumwona Pross ana panda kitandani na kuingiza dudu, lakini ilikuwa tofauti kabisa, na alivyo tegemea, akabakia ameduwaa anamtazama Pross kwa macho ya mshangao…










Maana alimwona akiwa amekodoa macho anatazama kati kati ya mapaja yake manene, huku macho yakilenga kwenye kitumbua chake, kilicho tuna vyema kama vile kitumbua, cha shilingi elfu moja, kabla aja pandisha pandisha macho yake tumboni, huku akisogea taratibu, na kukilaza kiganja cha mkono wake wa kulia, kwenye tumbo la mama huyu, usawa wa kitovu, na kupitisha kidole chake kwenye kitovu hivho na kufanya kama anakitekenya flani, mtekenyo ambao ulimsisimua mama huyu, mke wa bwana Kipanta, ambae mume wake alikuwa hospital ajitambui, ata kidogo, Stellah aka pengine ni mshangao wa kijana huyu, ambae yeye aliamini kuwa ndio mala yake yakwanza kuona vitu kama vile, lakini alishangaa zaidi, na kuzidi kuhisi msisimko, wa hajabu, baada ya kuona Pross anatembeza kiganja chake cha mkono, taratibu kuelekea kifuani, mka kwenye ziwa la kushoto, kisha mkono uka gota kwenye chuchum, na kwa kutumia vidole vitatu, yani gumba chapili na chakati, akaanza kuchezea chuchu taratibu, na hapo Stellah akaazidi kusikia msisimko wa ajabu, ulioambatana na shangao, kuona kijana huyu, anafanya kitu kinachompa raha.




Ukweli Stellah, alijisikia raha ya ajabu, wakati Pross alipokuiwa anaendelea kuchezea chuchuzake taratibu, bila kumtazama usoni, japo yeye alikuwa anatamani kijana huyu aiue usowake watazamane usoni, akufikilia kuwa yeye tayari macho yake yalikuwa yanafunguka robo, maana yalikuwa mzito ungesema amevuta bangi, sasa Stella alianza kuhisi kutamani afanyiwe vitu vingine zaidi, asa sehemu za kitumbua chake, akatamani kumweleza kijana huyu mdogo, juu ya tamanio lake, lakini kabla aja sema kitu, akashangaa kuona kijana huyu, ana ptisha mkono wake kwenye mapaja yake manene na yeye akanua zaidi miguu, kumpa nafasi kijana huyu, ambae alipeleka mkono wake, akitanguliza kidole cha kati, na kukukilaza kwenye kikunde cha kitumbua Stellah, ambacho siyo kwa utelezi wa ute ute ulio wagika sehemu hiyo, ila lilikuwa bakuri la bamia, au mlenda, Stellah akuwza kutulia wakati, kidole kile kikisugua kunde yake, hapo alijikuta ana chezesha kiuno taratibu, kufwata mwenendo wa kidole hicho, ambacho kilikuwa kina sugua taratibu kikundde cha mama huyu, mwenye watoto wawili, alie telekezwa na mume.




Stellah mwenyewe alijikuta akifumba macho na kutanua mdomo, na kusikilizia utamu, huku akizungusha kiuno chake taratibu, huku Pross akiondoa mkono wa kulia kwenye chuchu, na kusogeza mdomo, akianza kunyonya Chuchu, ya mwana mama huyu., iliyo nyonyesha watoto wawili, ilifikia wakati Stellah aliona alishika Kichwa cha Pross kama vile afanyavyo mama anae nyonyesha, na kumkanda miza kwenye ziwa lake hilo, ambalo lilikuwa lina chezewa chuchu kwa ulimi, na kumsisimua sana, msisimuo ulio mpa utamu lama dufu, “Pross! pross! baba nifanye mpnzi….kumbe unaweza, nifanye basi mpenzi”alilalamika Stellah, akiomba Pross aingize dudu, nikama ombi lake lilipokelewa, maana alimwona Pross anaiachia chuchu na kuondoa mkono wake, kwenye kitumbua, na kukaa usawa wa paja ya mama huyu, hapo Stellah akajuwa sasa ndio wakati wa kuingizwa dudu ya na kijana huyu, mdogo.




Lakini aikuwa hivyo, ndio kwanza akashangaa, akimwona kijana huyu, anamshika miguu, na kumweka sawa, kisha akainamisha kichwa cheke kati kati ya mapaja yake na kupeleka mdomo wake kwenye kitumbua cha mama huyu kilicho tuna kweli kweli, huku urimi, akiwa ameutoa, kama jibwa lenye kiu ya maji, Stellah akahisi wa uwazi kabisa, ulimi wa kijana huyu, ukianza kupita kwenye mpasuko wa kitumbua, chake, yani kuanzia, kwenye tumbu la kuingilia dudu, na kupanda juu, ukisugua mashavu ya kitumbua hicho, vinemmbe, mpaka kwenye kikunde, ambapo aukutulia, ukaanza kufanya kama vile ambavyo jibwa lina kunywa maji, “we mtoto utaniuwa, jamani, kumbe tamu hivi” ukweli stellah, alijihisi kama vile ndio kwanza leo anaonja kitu kinachoitwa kufanya mapenzi, maana siku zote, akuwai kutumia muda wake kufanyiwa vitu kama hivyo, katika kuanya mapenzi, inamaana mume wake ambae ndie mwanaume pekee alie wai kuwanae, akuwai kumfanyia mambo kama aya, ambayo kijana huyu, alijifunza siku iliyopita, na leo asubuhi, ilikuwa mshangao kwa Stellah, ambae akuwai kuhisi wala kuona ulimi wa mwanaume ukipita kwenye kitumbua chake, tena akiwa na bahati kukutana na kijana ambae alifundishwa kwa muda mfupi na kuelewa somo, hakika angekuwa anazingatia masomo yake kipindi anasoma, kama alivyo fanya hapa, basi asingefeli, kidato cha sita.




Sasa Stellah alikuwa anahisi, utamu unazidi kuongezeka kwa kasi sana, na kuanza kutoa sauti flani za kuugulia utamu, pasipo yeye kujuwa kuwa, anapiga kelele, akuzania kama kuna ufundi mwingine uliobakia kwa kijana huyu, juu ya mwili wake, asa kitumbua chake, lakini akashangaa kuona kijana huyu, akiacha kulamba kikunde na kukidumbukiza chote, mdononi, sasa basi, hapo akahisi joto flani ndani ya mdomo wa Pross, ambao ulikifanya kikunde hicho kizidi kujisikia utamu, na kuhisi, koo lina mkauka, hapo mama huyu akahisi kitu kama mkojo una kuja kwa kasi na kutaka kumchomoka, mkojo ambao uliambatana na utamu wa hajabu, akajikuta ana kikamata kichwa cha mtoto wa mwanamke mwenzie, na kukikandamiza kwanguvu sana kwenye pachu pachu yake, huku akikaza makalio na mapaja yake, kusindikiza utamu ambao nikama ulikuwa unafika ukingoni.******




Saa kumi na mbili za jioni, ndio muda ambao, Kipanta alilejewa na fahamu, lakini hakuwa na nguvu za mwili, akajikuta yupo hospital, na wakati mala ya mwisho alikuwa, ndani ya chumba cha guest pale luguruni, inakuwaje, awe hapa hospital, akatazama kushoto na kulia pengine ange mwona mtu wa kumwuliza, ni kweli kulikuwa na watu wengi sana mle ndani, tena ni wagonjwa na watu ambao walikuja kutazama wagonjwa, ambao sasa ndio walikuwa wanatangaziwa kuondoka mle ndani, maana muda ulikuwa umesha isha, “mh! imekuwaje nipo hapa” aliwaza Kipanta, huku akipekuwa pekuwa pembeni ya kitanda chake, ili kuangalia kama anasimu, ili apige kwa Matrida ili amwulize imekuwaje, lakini akukuwa na simu wala kitu chochote, akajipapasa wallet kwenye mifuko ya suruali yake, lakini akagundua kuwa yupo uchi, akatazama pembeni kama angeona nguo zake, lakini akukuwa na dalili ya uwepo wanguo yoyote yenye mwonekano wa kuwa yakwake, zaidi ya mapanzia kila kona, akatamani kumsimamisha mmoja wa watu waliokuwa wanaanza kutoka mle ndani, ambamo bila kuuliza ungejuwa kuwa ni ndani ya ward, lakini akachelea kwa mambo mawili, moja ni kwamba akujuwa amefikaje pale hospital, hivyo paengine, ingekuwa ni aibu kwake, kuuliza kuwa amefikaje, na kwamba watu wangejuwa kuwa akujijuwa alivyo fika, na ukizingatia alitokea kwenye ulevi na uzinzi, pili pengine habari za kuja kwake pale, zilisha tapakaa, na kama ni kitendo cha aibu, basi inge zidi kumchafua, hivyo akatulia kidogo, akizuga kuwa bado amezima gari.




Lakini alisha Chelewa, maana tayari mmoja wa wauguzi alisha mwona, na bila kumsemesha akatoka nje, na ssekunde chache akarudi, na mle ndani akiongozana na polisi wawili, ambao inainyesha walikuwa kwenye kolido kabla ya hapo, “vipi bwana Kipanta, unajisikiaje?” aliuliza yule nurse, “najisikia vizuri, ila sijuwi nimefikaje hapa, alafu naona polisi, kuna tukio lilinitokea, na yule mschana niliekuwa nae yupo wapi, pamoja na vitu vyangu?” aliuliza Kipanta, na hapo mmoja wa polisi aka mjibu, “sibiri kila kitu utaambiwa, pamoja na kujibu maswali ambayo yatatusaidia kukusaidia” alisema yule polisi, na wakati huo huo, akaja nurse mwingine akisema kuwa Matrid nae amesha rudiwa na fahamu.******




Naam saa kumi na mbili na nusu, Stellah na Pross walikuwa wamekaa kwenye mkeka Stellah, akiegemea gogo, pale nje ya kibanda chini ya mti, moto mkubwa ukiwa mita kadhaa mbele yao, wepesi kama karatasi, wakiendelea kunywa wine zao kwa furaha, Pross akiwa amelaza kichwa cheke kwenye mapaja manene ya Stellah, huku akiwa amevalia kijikaptulah, kama Stellah alie valia lile gauni jepesi, pasipo nguo yoyote ndani, “mpenzi umenidanganya, kumbe unajuwa kufanya, mpaka najisikia raha” alisema Stellah huku akimsika sikio Pross na kufanya kama ana mvuta flani hivi, Pross akajichekesha kidogo, naangalia ga kwenye video” alijibu Pross na wote wakacheka kivivu, yani leo nita lala hoi” alisema Stellah, ambae mpaka sasa alisha mwaga mizigo kama yote, ni baada ya kurudia kufanya mchezo huo, kwama mala kadhaa, mana ilikuwa kama ratiba, wakiingia ndani wanagonga round mbili wanatoka na kupumzika kidogo, kisha wanaanza kupandishana pale pale kwenye mkeka, kisha wanaingia ndani na kupenda dudu, walisha rudia mala tatu, na kila mala wanaenda round mbili, “mh! kwani tuanyi tena?” aliuliza Pross, baada ya kusikia kauri ya Stellah, “mh! kwani ujatosheka tu, mwenzio, nimechoka” alisema Stellah kwa sasuti ya kivivu huku anacheka cheka, “kama umechoka sawa” alisema Pross kiunyonge, “usiwe hivyo bwana, basi nitakupa, lakini usichelewe, alafu kesho nitakupa tena, mpaka utanichoka” alisema Stellah, safari hii akipinya pua ya Pross, kwa utani, hapo waliendelea kuongea ili nalile kwa mahaba ya hali ya juu, huku wakifanyiana michezo ya kimapenzi, wakiendelea kunywa wine kwa furaha, kiasi cha Stellah, kusahahu machungu ya mume wake, na vitendo vya kizalilishaji anavyo mfanyia, Pross yeye alikuwa anaomba kuwa leo Rose asije kufika pale ata kwabahati mbaya, maana mama huyu, alionyesha wazi kuwa analala pale pale.*******




Wakati Stellah anaendekea kula raha na Pross, Ukweli kwa upande wa Kipanta, ambae alisimuliwa kila kitu, na wale askari, jinsi alivyo kutwa pale guest, akiwa amelala na Matrida, pasipo kuwa na kitu chochote, kuanzia nguo wala simu wala kitambulisho, alielezwa pia ushukiwa wa Rose katika tukio ilo, sasa Kipanta,akajihisi kuchanganyikiwa, maana ukiachilia kwenye account yake, ya benk, ambayo lilikuwa na fedha za kustaafia, ilikuwa imebakia na fedha isiyo zidi million tano, na hiyo ni kabla aja toa fedha million mbili kumrushia, Matrida, na ile ya kustarehe nayo, ambayo walitoa mala mbili, na kila mala million moja, hivyo kama kuna fedha nyingi basi isinge zidi million moja, Kipanta aliendelea kuwaza, na kujikuta, akikumbuka fedha zote alizo zitumia kwenye starehe, na pia alizo zitumia kumhudumia Rose, kuanzia miaka iliyopita, alipo anza kumjengea, nyumba mala baada ya kutoka nchini sudani kikazi, na mduka na saloon alizo mfungulia pamoja na shamba, alilo mnunulia, baada ya kulipwa fedha zake za kustaafu, ukweli kwa yote aliyo mfanyia, Rose ndie mtu pekee ambae akienda kuishi nae angekuwa ndio msaada, lakini kwa kile alicho kifanya kwa kutembea na Matrida, ukweli aliondoa matumaini ya kupokelewa na mschana huyu, na kwa kulitambua ilo, Kipanta akajikuta anaingiwa na uchungu mkubwa sana , ametumia fehd nyingi, alafu fedha zenyewe zinaenda kuishia hewani, “bola ninge jenga nyumba nzuri ya familia” aliwaza Kipanta, ambae muda huo huo, ndio akakumbuka kuwa, akuwa na kitu chochote cha kujivunia, kwa ufanyaji wa kazi wa miaka zaidi ya therathini, ndani ya jeshi, akiwa na cheo kikubwa, akilipwa mhshara mkubwa, zaidi ya gari ambalo kwa sasa lisinge zidi thamani ya million nne, na nguo zake ambazo siku chache zilizopita aliziona kuwa zimesha pitwa na wakati, alijikuta anamchukia Rose, na anajichukia mwenyewe, sijuwi nifanyaje ili nichukuwe kila kitu changu toka kwa mwanamke huyu mshenzi” aliwaza Kipanta, kabla ajakumbuka kuwa ana mke na watoto, ambao wanaishi kwenye nyumba nzuri, “lakini siyo mbaya, nitarudi nyumbani kujipanga upya” aliwaza kipanta, ambae alisha sahau kuwa sehemu anapo paita nyumbani, akuwa amechangia kitu chochote, zaidi ya maumivu kwa mke na watoto.********




Saa mbili usiku tayari insp alisha rudi malatatu nyumbani kwa Stellah wowo, mke wa bwana Kipanta, lakini akuweza kumwona mama huyu, wala dalili ya uwepo wa mama huyu, kiasi cha kuanza kumtilia mashaka pengine yeye ndie anausika na swala hili, maana alizingatia kuwa bwana Kipanta, kabla ya tukoio la kukutwa pale Guest, asubuhi, ya siku ile ya Christmass, alifumaniwa na mschana mwingine, inamaana huyu bwana alikuwa kiwembe, na pengine mke wake akupenda swala hili, na kuamua kumfanyia hivyo alivyo fanyiwa, “huyu mama anatakiwa kutafutwa na kuhojiwa, pengine yeye anausika na siyo yule binti” alisema insp, kabla ajapokea ujumbe kuwa bwana Kipanta amesha zinduka, na yeye kuamua kuelekea hospital kwenda kupata jibu, ambalo lita weza kuwasaidia katika uchunguzi wao.




Nusu saa baadae tayari insp alisha fika kwenye ward aliyo lazwa Kipanta, “bahari bwana Kipanta, pia pole kwa yaliyo kukuta” alisalimia insp, mala baada ya kuika kwenye kitanda cha Kipanta, “asante sana, kwakweli tukio lime nistua sana, sikutegemea kama mambo aya yatakuwa hivi” alisema Kipanta amba kiukweli akuwa na kumbukumbu yoyote ya tukio lililo mtokea, usiku wa jana, kule Guest, “dah! nivigumu kuikabiri hali hii, bwana Kipanta, ila sisitupo hapa, kukusaidia kupata haki yako na kurudishiwa vitu vyako, ulivyo poteza?” alisema insp kwa sauti tulivu, uku askari aliokuwa nao wakifwatilia mazungumzo yale, “nitashukuru sana, afande wangu, alisema Kipanta, huku akiongeza, “yani wameiba simu na kadi za benk, hapa nilipo sina chochote” alisema Kipanta kwa sauti ya kuomboleza, “ok! ilo lita wezekana iwapo utatupa ushirikiano mzuri” alisema insp kwa sauti ya upole na tulivu, “wala usiwe na wasi wasi insp, nitakupa ushirikiano mzuri tu!” alisema Kipanta kwa msisitizo, hapo insp alitulia kidogo naku toa kijitabu kidogo, mukoni mwake, na kufunua unua, alafu aka ganda kwenye kurasa moja, akaisoma kimya kimya, kwa nukta chache, alafu akamtazama Kipanta, lbda bwana Kipanta, nani unahisi anausika na kuwawekea dawa kwenye pombe?” aliuliza insp kwa sauti ya upole huku anamtazama Kipanta, hapo nikama Kipanta alipata jibu la kitu cha kufanya ili kupata malizake na fedha alizotumia kwa Rose, “unazani kuna mwingine zaidi ya Rose?, ni Rose ndie alie fanya hivyo, ili kunikomoa” alisema Kipanta kwa sauti iliyojawa machungu ya hali ya juu……










insp aka tabasamu kidogo, lilikuwa tabasamu laaina yake, kwa haraka ungesema nikama alikuwa anamfariji bwana Kipanta, lakini uhalisia insp alikuwa anamcheka bwana Kipanta, sababu alisha fahamu kasa wa bwana kipanta kufumaniwa na Rose, ambae ni hawara, huku huyo huyo Kipanta akiwa na mke na familia yake, “unazani ni kwanini aliamua kukukomoa, au unaugomvi nae huyo Rose?” aliuliza insp kwa sauti tulivu, baada ya kuandika kitu flani kwenye note book yake, “afande siunajuwa tena awa mademu, yani ukiwanae una mpatia vicent, anataka uwe nae peke yake tu, sasa inapotokea uka chepuka kidogo, uwa wanakosa moyo wa huruma” alijibu Kipanta, kwa sauti flani ya kujifanya anasikitika, “ladba bwana Kipanta, kwanini asiwe mtu mwingine na iwe Rose?” aliuliza insp huku anacheka cheka kidogo, “mwingine nani afande, zaidi ya huyu huyu mshenzi, na amefanya hivi, akijuwa kuwa nitakua, ili aibe ela zangu benk, sababu yeye ndie anafahamu mpaka namba yangu ya siri, ya ATM card” alisema Kipanta akiwa amejawa na machungu ya hali ya juu, “pole sana bwana Kipanta, labda nikuulize kama una kumbuka mala ya mwisho ulikuwa na vitu gani kabla uja potezea ahamu na kujikuta hupo maali hapa?” aliuliza insp na Kipanta akataja vilivyo kuwepo na visivyo kuwepo, ikiwa na fedha tathlim, million kumi na tano, ambazo alimini kuwa lazima Rose ataambiwa azilipe, na yeye kupata kianziao, maana ukweli alijuwa fika kuwa, kwenye account yake akuwa na nafedha inayo zidi million moja, “umesema kuwa kati ya vitu ulivyo ibiwa ni pamoja na card ya benk, je unaweza kutuambia kama kwenye account yako kulikuwa na kiasi gani cha fedha?” aliuliza insp, na hapo insp pamoja na askari wale wawili, wakaweza kuonadalili za mshtuko usoni kwa Kipanta, “lakini afande nazani kisheria akiba ya fedha kwenye account ni siri yangu, na sitakiwi kumwambia mtu yoyote” alisema Kipanta ambae alikuwa anajuwa kuwa ni kawaida katika matukio kama aya kutaja kiasi cha fedha kilichopo kwenye account yake, ili ikitokea kuna upungufu, basi mtu atakae kamatwa kwa kosa la kumnywesha dawa na kumwibia, ndie atakae wajibika na upotevu wa fedha zake, “bwana kipanta, hapa nipo kama mpelelezi, naliwakilisha jeshi la polisi, ambalo mpaka sasa linatakiwa kujuwa akiba ya fedha zilizopo kwenye acconyt yako ambayo card yake imeibiwa” alisema yule insp akitilia msisitizo, hapo Kipanta akakumbuka jambo na kupata wazo la haraka, “nikweli afande kuna umuhimu wakujuwa akiba ya fedha iliyo kuwepo, maana yule mwanamke ni mfanyakazi wa benk hiyo hiyo, anaweza kutoa fedha kwa mbinu yoyote, kulikuwa na million ishirini” alisema Kipanta, akizidi kumsukumia msala mpenzi wake huyo, ambae ata yeye Kipanta alikuwa anajuwa fika, kuwa mapenzi yalisha isha, maana ukiachilia kuumaniwa pia walikuwa na muda mrefu wanaishi kama kaka na dada.




Naam insp aliandika kwenye note book yake kisha aka mtazama Kipanta, “ok! bwana Kipanta, umesema una mtilia mashaka Rose, na siyo mtu mwingine, je zaidi ya uliyo ya sema, juu ya wasi wasi wako kwa Rose, je una kigezo kingine cha kumshuku Rose kuwa alikuwekea dawa kwenye kinywaji?” aliuliza insp ambae kiukweli kabisa, ilo ndilo swali ambalo kila mmoja alikuwa analingejea, ata kama ni mahakamani lazima wange uliza, hapo Kipanta ndipo alipo gundua, kuwa licha ya kumsingizia Rose, lakini akujiandaa kwa swali ilo, “kivipi bwana polisi, wakati nimesha sema mtuhumiwa wangu ndi Rose?” aliuliza Kipanta kwa jazba, “kuna mambo ambayo popote utatakiwa kueleza, maana kufumaniwa na Rose, siyo sababu ya Rose kukufanyia hivyo, mfano, kuna mwingine anaweza kuwa na machungu zaidi ya Rose, kumbuka una mke, na watoto, ambao sizani kama wameipokea vizuri taalifa ya wewe kufumaniwa na hawara ukiwa na hawara” aliongea yule insp kwa sauti tulivu, nay a upole, hapo Kipanta akashusha pumzi kidogo, nikama alikuwa anashusha jazba, japo uso wake ulionekana kuwa amejawa na hasira, “afande nazani mmesha anza kumtetea huyu mshenzi, napengine mnaweza kuacha kumkamata, mpaka amalize ela zangu kwenye account, mimi nasema ni yeye ndie alie fanya hivyo” alisema Kipanta kwa msisitizo, “lakini bwana Kipanta ujajibu swali, maana jibu lako ndilo litakalo kusaidia, kupata vitu vyako, na kuhusu Rose tayari yupo chini ya ulinzi, hivyo basi naomba unieleze, ushaidi wa kimatukio, maana hapo umemshuku” alisema insp kwa sauti ile ile tulivu, “nasema hivyo ni nanauhakika, sababu alikuja pale na kugusa gusa vinywaji vyetu, sababu nilikuwa nime lewa sikuona kama ameweka kitu” alisema Kipanta, kwa sauti ya jazba, kisha insp akatabasamu, “nazani utayakumbuka maelezo ayo mbele ya mahakama, nikutakie upumzike salama, mpaka madoctor watakapo kuruhusu, utoke hapa hospital, tuna fanya juhudi za kumtafuta mke tumjulishe juu ya hili” alisema insp na hapo Kipanta akapinga vikari sana, juu ya kutaalifiwa mke wake, “nazani mke wangu ilo alimuhusu kabisa, achananeni nae, nita mweleza mwenyewe” alisema Kipanta na insp akatoka zake, pamoja na nurse na wale askari wawili, kipnta akiwasindikiza kwa macho, wakitokomea kolidoni, pasipo kujuwa kuwa wanaenda kwa Matrida, kuuliza maswali kama aliyo ulizwa yeye.*******




Naam shambani nako mambo yalikuwa moto moto, mwanamama Stellah alijiona kama amevunja ungo siku chache zilizo pita, maana siyo kwa kufaidi dudu alivyo kuwa anafaidi, ilifikia kipindi alimweleza wazi kijana mdogo Pross jinsi anavyo jisikia wakati wa kupeana dudu, “yani Pross mwenzio najisikia utamu mpaka natamani tuwe tunafanya kila siku” alijieleza Stellah, yani mke wa kipanta, wakati wakiwa bado wamekaa nje ya kibanda cha Pross, chini ya mti, juu ya mkeka, pembezoni mwa moto, Pross, akiwa bado amelaza kichwa kwenye mapaja manene ya Stellah, alie kuwa amevalia kitenge cha kujifunga kifuani ambacho kilishindwa kuifadhi vizuri mapaja manenen ya mama huyu, aliekaa huku ameegemea gogo, kila mmoja akiwa na Grass yake ya wine mkononi, “hivi mume wako akijuwa kama umefanya hivi, si ataniuwa?” aliuliza Pross ambae alikuwa amevalia kibukta pekee, ambacho muda mwingi kilishindwa kuizuwia dudu yake isionekane ilivyo simama, “sina mume” alisema Stellah, huku anacheka cheka, wakati huo mkono wake wakushoto ulikuwa una tembea tembea kwenye tumbo wazi la kijana Pross, na kumfanya azidi kusisimkwa, “mhhh! we muongo, na wele watoto umewapataje?” aliuliza Pross kwa mshangao, Stellah akacheka kidogo, “sasa kama nikiwa na mume kwani wewe ujisikii utamu?” aliuliza Stellah, kama vile anatania, huku mkono wake akiupeleka kwenye bukta ya Pross na kupapasa dudu kwa juu, “atakama nasikia, lakini akitukuta tutafanyaje?” aliuliza Pross, ungesema anafahamu kuwa huyu mwana mama ni mke wa Kipanta, yani hawara wa boss wake Rose, “wala usiwe na wasi wasi, mume wangu alisha toweka siku nyingi, ameniacha mimi na watoto” alisema Rose bila kufafanua, huku akiamisha mkono wake toka juu ya bukta, na kupenyeza ndani ya bukta ya Pross, na kuikamata dudu iliyo simama kweli kweli, “lakini akuwafi kunifanya kama unavyo nifanya wewe, mpaka nime kujoa mala nyingi” alisema Stellah huku aanza kuichezea dudu taratibu, “mh unajuwa bado najiuliza kwanini amekuacha mwanamke mzuri kama wewe?” aliuliza Pross, huku akiusikilizia mkono wa stellah uliokuwa unaendelea kuchezea dudu yake ndani ya bukta, “ndiyo ujiulize sasa, pengine aliwafwata waschana warembo zaidi” alisema Stellah, ambae sasa aliona kama vile bukta ya Pross inamzuwia kuichezea dudu vizuri, hivyo akaipeke nyua na kuitoa dudu, ambayo sasa aliweza kuiona ilivyo simama, “mhh! we mtoto utaniuwa kwa utamu” alisema Stellah huku ana achia dudu Pross na kumtoa Pross mapajani mwake, kisha akasimama akimwacha Pross amelala chali, alau aka enda kuchuchumaa akimweka Pross katikati yake, kama vile anataka kujisaidia, akiile nga usawa wa dudu, hapo akaishika dudu ya Pross yeye mwenyewe, na kuilengesha kwenye kitumbua, alafu aka ichezeshachezesha, kwa kuiparuza kwenye kitumbua chake, kwa kurudia rudia, mala kadhaa, huku kichwa cha dudu iliyo simama na kuwa ngumu, kikiparuza kuanzia kwenye uswa wa tobo la kuingilia ndani, ikipita kwenye mashavu ya kitumbua, mpaka kwenye kunde, alifanya hivyo stellah, huku akihisi msisimko flani, mtamu sana, mpaka alipoakikisha bakuli lake lime lowa ute ute, akalengesha dudu kwenye kwenye mlango wa kitumbua, na kujishusha chini taratibu, dudu ikiteleza ndani, mpaka alipoona kipimo kime fikia pazuri, ndipo alipo anza kuchezea kichura chura, huku Pross akipeleka mkono kwenye manyonyo ya mwana mama huyu, na kuminya chuchu kwa ncha za vidole vyake, wakati huo kiuno chake kikiendeleae kufwata mapigo ya kichura chura cha Stellah, yani pale Stellah alipo panda juu yeye alishuka chini, na Stellah alipo shuka chini, yeye pia alipanda juu, na viungo vyao vya uzazi vikikutana katikati.********




Yap! insp na wenzake wakiongozwa na yule Nurse, walielekea kwenye ward namba 4, ya flow ya pili, ya hospital ya mhuhimbili, tawi la mloganzila, ambako walimkuta mschana Matrida akiwa amelala, kitandani macho ameyaelekeza juu, kama vile kuna kitu alikuwa anakitazama, au alikuwa anakosoa ujenzi wa wakorea walio jenga lile jengo, na alipo waona tu akaonekana kustuka, “shikamoni” alisalimia Matrida huku anatetemeka, “marahaba Matrida, naomba punguza wasi wasi, sisi tupo hapa kukusaidia” alisema insp, kwa sauti ya upole na utulivu, Matrida akaitikia kwa kichwa.




Hapo insp akajitambulisha, na kueleza lengo lake la kuja pale hospital, “Matrida unaweza kutueleza ilikuwaje, mpaka umejikuta hupo hapa?” aliuliza insp, ambae alikuwa ameshika kijitabu chake na karamu mkononi, hapo Matrida akaanzza kueleza kuanzia alipo itwa na Kipanta kule kituoni kiluvya, yani siku moja kabla ya tukio, na kueleza jinsi alivyo mkuta mke wa Kipanta, pale kituoni, na yeye kuondoka na Kipanta, wakimwacha mke wa Kipanta anatokwa machozi.




Matrida akaeleza jinsi walivyoenda mbezi, kuchukuwa chumba makuti bar, na kulala pale, mpaka asubuhi walipo fumaniwa na Rose, ambae aliondoka zake, kisha wao kuhama na kwenda Luguruni, ambako walishinda kutwa nzima wakinywa pombe, “tuka toka pale nje salama kabisa, ile kuingia ndani na kuanza tena kunywa pombe, ndipo nilipo shangaa kuona, naanza kulegea, alafu nikaona giza, nakuja kuzinduka nipo hapa hospital” Matrida alimaliza kusimulia, huku akitokwa na machozi, sambamba na kilio cha kwi kwi, “pole sana dada yangu, kwa kifupi Matrida mliwekewa dawa za kulevya kwenye vinywaji mlivyo kuwa mnatumia, je una hisi ni nani alie wawekea dawa hizo?” aliuliza insp kwa sauti tulivu, kama kawaida yake, “kwakweli ata sijuwi, mi naona hii ni lahana, sijuwi kwanini nilishawishika kutembea na mwanaume wa rafiki yangu” alisema Matrida uku akiendeleea kulia chini chini, “lakini mtu alie wawekea alikuwa anasababu zake, pengine ni adui yenu, au wa mpenzi wako au adui yako, uwezi kukumbuka mtu ambae aliwavamia chumbani, na kugusa vinywaji vyenu?” aliuliza insp mbae muda wote alikuwa analinganisha majibu ya Kipanta, na ya Matrida, kwakweli sikumwona mtu yoyote alie vamia chumbani, zaidi ya mdada alie kuwa anatuhudumia, ndie alie tuhudumia, toka asubuhi mpaka tunaingia chumbani, yeye ndie alie tubebea vinywaji vyetu” alijibu Matrida, hapo insp akawatazama wenzake, kabla ya kuandika maneno yale kwenye note book, kisha akamtazama Matrida, “ukimwona huyo mhudumu uta mkumbuka?” aliuliza insp, kwa sauti ya upole, “nita mkumbuka, sababu yeye ndie alie kuwepo muda wote anatuhudumia, na ata wenzake walipo maliza muda wao, yeye aliendelea kutu hudumia” alisema Matrida na insp aliandika kile alicho eleza matrida, kisha akamgeukia tena, “Matrida, uwezi kufikilia kuwa rafiki yako Rose, ndie alie wafanyia kitendo hiki?” aliuliza insp akimkazia macho Matrida, “mhhh! hapana Rose sizani kama anaweza kufanya hivi, kwanza yeye alikuwa anaonyesha amesha mchoka Kipanta, maana ata akutaka kwenda kumlipia ela kule kituoni iliatoke” alisema Matrida kwa sauti iliyo onyesha kuwa alikuwa na uhakika na anacho kisema, hapo akari wale wakatazama na kupeana ishara kama ya kukonyezana, kwa vichwa, insp akaandika na alipomaliza akamtazama tena Matrida, “ok! dada Matrida, kabla atuja kuacha upumzike labda nikuulize swali la mwisho, Rose alipo wavamia pale Luguruni guest House, alifanya nini na ilikuwa saangapi?” aliuliza insp kwa sauti tulivu, huku wote mle ndani wakimtazama Matrida………








Wakigojea jibu lake, ambalo lilikuwa na maana kubwa sana kwa Rose, ambae mpaka sasa alikuwa mahabusu, “siyo Luguruni, Rose alitufumania Makuti kule mbezi, ana aliondoka bila kufanya fujo yoyote” alisema Matrida, pasipo kujuwa kuwa amepishana maelezo kwa kiasikikubwa na mpanzi wake Kipanta.




Hapo insp akaaga na kuondoka zake akiongozana na askari wake na Nurse, ambae alionywa kuwa asije akaongea lolote kwa Matrida wala Kipanta. *******




Mwalimu Stellah akiwa bado amechuchumaa kwenye dudu ya Pross, ana enda kichura chura, huku akihisi dudu, ikigonga kwenye sehemu ambayo kila ilipoguswa ilimfanya azidi kusikia utamu wakupitiliza, na kumfanya asisikie uchuvu wa magoti, alisidi kuopngeza speed na kuikandamiza dudu ndani ya kitumbua chake, “Pross unanipa utamu, sijuwi nikupe nini jamaniiiii” alisema Stellah, pasipo kujari kuwa wapo nje, na kabla ajajibiwa na Pross, akaona Pross anaachia chuchu zake na kupeleka mikono, kwenye kiuno, kisha akakibana kwanguvu, na kumshusha chini, akimkandamiza kwenye dudu yake na kufanya dudu izame yote, kiasi cha vinena vyao kukutana kabisa, hapo mama huyu, akashindwa kuendelea kuchuchumaa, aka weka magoti chini, na kulaza tumbo lake kwenye tumbo la Pross, ambae sasa alikuwa anakata kuno mzungusho, na kumfanya mama huyu, asikiliziem msuguano wa dudu ndani kitumbua, ongeza vinena vyao, vyenye nywele fupi, hapo faida zaidi ikawa kwa Stellah, ambae alisikia kikunde chhake kikisuguliwa vyema, na kiuno mzungusho, hapo na yeye akajikuta anakata kiuno ambacho akuwai kujifunza ata siku moja, kutokana na kuto kufanya mambo mengi akiwa na mume wake, alie endekeza mahawara, na ngono bila mpangilio, Stellah, akaanza kukata kiuni flani kama vile mtoto anajifunza kutambaa, au anapanda mlima kwa mikono, yani alikuwa ana kuna kuna nazi taratibu, hapo kila kitu kitu kilisuguana, kuanzia dudu ndani ya kitumbua, ambayo ili sugua kuanzia kuta za kitumbua vinembe mpaka kikunde, pia vinena vyao ambavyo vilikuwa na nywele fupi, na tuvilepe pele tule twa kunyoa, ata matumbo yao yalisunguana, huku wakitekenyana vitovu vyao, utamu zaodo kwenye vifua vyao, ndivyo vilivyo sababisha, ata Stellah, azidi kumsahau, Titus kipanta, mume wake wa siku nyingi, “tammuuuu… tam… tamuuuu… baba nitomb.. nasikia utamu…mpaka nasikia kiu” alilalamika Stellah, kama mtoto, huku akiendelea kukuna nazi kimgandisho, na kusababisha viungo vyao viendelee kusuguana, na kuwasababishia utamu, “nipe…. nipe mate mpenzi wangu… nasikia kiu.. nipe urimi baba ninyonye… unatomb.. vizuri, nasikia kunoga saaa sanaaaa” alisema Stellah kwa sauti ambayo ilionyesha wazi kuwa imetawaliwa na misisimko, maana alikuwa inatoka kama vile ana kusishwa nyaya za umeme wa tochi, huku ana sogeza mdomo wake kwenye mdomo wa Prossi, akiendelea kukuna nazi, juu ya dudu ya Pross, pasipo kujuwa kuwa mume wake bwana Kipanta, alikuwa amekutwa na majanga, na sasa yupo hospital.******




Safari ya insp na gari lake la polisi, akiwa na polisi wawili na dereva wake, iliishia luguruni guest, ambako moja kwa moja insp alikutana na manager wa bar hiyo, ambayo leo ilikuwa na wateja wachache, ambao story nyingi zilikuwa ni juu ya tukio lajana usiku, la watu kuwekewa dawa za kulevya, “manager tumerudi tena” alisema insp mala baada ya kukutana na manager, japokuwa ilikuwa ni mala yake ya kwanza kuja maali hapo, maana asubuhi, walikuja askari wengine, “karibuni sana, atushangai kutu tembelea mala kwa mala, sababu jambo lililo tokea siyo dogo” alijibu manger, “ok! manager labda tuanze moja kwamoja na swala lililo tuleta kama unavyo fahamu, kilichotokea usiku wa kuhamkia leo, hapa sehemu yako ya kazi” alisema insp kwa sauti tulivu kabisa, “bila shaka, mheshimiwa” alijibu manager, hapo insp alie kuwa ameshika note book yake, akasoma maneno machache kwenye not book yake kisha aka mtazama manager, “unakumbuka wateja wako walikuja mida gani, eneo ili?” aliuliza insp, “hapa walikuja mida ya saa tano au sita hivi, maana ata chakula cha mchana alikula hapa” alijibu manager, “ok! labda manager unakumbuka ni wahudumu wepi wali wahudumumia wateja wale walio patwa na tatizo?” aliuliza insp akimtazama manager kwa umakini sana, “na mahamu, ni sinder pekee ndie alie wahudumia toka walipofika mpaka walipoingia chumbani” alijibu manager bila wasi wasi, “vipi kuhusu mtu alie wavamia wateja wako alikuwa wakike au wakiume?” aliuliza insp akiendelea kumtazama Manager, “hapana juu ya kkwamba walivamiawa ilo sija pata taarifa yoyote, labda yule mschana alie wahudumia, ndie aliona ilo, na labda iwe huko chumbani, maana hapa walipo kaa, awakuvamiwa wala kutembelewa na mtu yoyote” alijibu manager na Insp ambae alikuwa anaandika kila kilichoongelewa na manager, aka uliza tena, umesema huyo mhudumu alie wahudumia anaitwa Sinder” na manager akaitikia kwa kichwa, “naomba kuonana nae kwa mahojiano zaidi” alisema insp, “sasa hivi hayupo, yeye week hii anaingia kuanzia saa nne mpaka saa kumi” alijibu manager, na hapo insp akawatazama wale askari wake ambao walikuwa wamesimama nyuma yake, wakapeana ishara ya mshangao, kisha insp aka amtazama manager, “kama anaingia asubuhi na kutoka saa kumi, inakuwaje aliwahudumia wakina Kipanta, mpaka zaidi ya saa kumi?” aliuliza insp kwa sauti ile ile tulivu, “yeye alisema kuwa, ataendelea kuwa hudumia wateja wale, mpaka watakapo lipa fedha za huduma, sababu alikuwa ana wahudumia kwa bill” alijibu manager, “je ni utaratibu wenu, kwa mfanyakazi kuongeza muda wa masaa ya kazi, sababu ya bill, na kwamba alishindwa kuomba mapilipo yanayo mhusu yeye, na kumwachia mhudumu mwingine?” aliuliza insp kwa sauti tulivu, ambayo ilikuwa na vipingamizi vingi” ukweli huo siyo utaratibu, japo sidhani kama alifanya hivyo ili kuwaibia, sababu, mala baada ya kuwahudumia na kuwaingiza chumbani, alileta fedha counter, na kuondoka zake” alijibu manager, “ok! manager, nazani kuna humuhimu wa kufanya mahojiano na huyo mhudumu, hapo kesho, lakini na kupa tahadhari, usimweleze kama tunaitaji kufanya nae mahojiano, na ikitokea akaukamwambia na yeye kufanya lolote la kipuuzi, wewe uta wajibika juu ya hili” alisema insp kwa sauti ile ile tulivu, ya kirafiki, yani kama una hakiri za kipuuzi, ungeweza kudharau maneno yake, kisha insp huyu akaondoka na askari wake.*****




Usiku ulikuwa mrefu sana kwa Rose aliekuwapo kwenye chumba kidogo, chenye harufu mbaya sana, chumba ambacho kwa udogo wake, usinge weza kuamini kuna watu kumi na mbili, yani waschana, ambao walikuwa wamejazana ndani ya kituo cha polisi, kwenye chumba cha mahabusu, huku muda wote akisikia malalamiko toka kwa wenzake ambao wengi wao, walikuwa pale ndani kwa makosa madogo madogo, kama vile kutukanana mitaani, kuuza mama ntilie sehemu zilizo zuiliwa na makosa kama mengine madogo madogo kama hayo.




Mnamo saa nne usiku, ndipo Rose alipoletewa ujumbe wa kuwa, Kipanta na Matrida wanaendelea vizuri, na wamesha zinduka, lakini kingine alicho elezwa ni kwamba pengine kesho kutwa akapelekwa mahakani kusomewa shitaka kwa mala ya kwanza, japo taharifa hii ilimpa moyo Rose, lakini upande wapili ilimuumiza na kumkosesha amani, maana alimini kuwa kuzinduka kwa kina kina Kipanta kunge msaidia yeye kutoka mikononi mwa polisi, kwa wao kueleza kukicho wasibu, lakini kilicho msikitisha ni kusikia keshokutwa atafikishwa mahakamani kusomewa shitaka, ukweli Rose akkabakia ametulia, ana waza mambo mengi sana, juu ya siku iliyopita, kuanzia alivyo, wafumania wakina Marida na Kipanta, pia akakumbuka jinsi alivyo enda shambani na kukutana na Pross mlinzi ake wa shamba, na kufanya waliyo ya fanya, japo alimwona Pross ndie mwanaume ambae anaweza kummiliki peke yake, lakini pia Rose alichukulia kama alimbaka Pross kutokana na pombe walizo kunywa, japo kiukweli Rose alitokea kumpenda sana Pross.******




Saa moja kasoro, za asubuhi, Stellah alishtuka toka usingizini, baada ya kuhisi kiubaridi flani mwilini mwake, akafumbua macho, na kujikuta yupo ndani ya kibanda cha Pross, juu ya kitanda cha kijana huyu, akuwa amejifunika shuka, akafumba macho ambayo yalikuwa ni mazito, nakunyoosha mkono kupapasa shuka, ile ananyoosha mkono, akamgusa Pross alie onyesha kuwa alikuwa mtupu kabisa, Stellah akafumbua macho, na kutazama pembeni, naam akaona kijana Pross akiwa amelala mtupu kabisa, huku dudud imesimama kweli kweli, akajitazama yeye mwenyewe, akajikuta akuwa amevaa nguo ata moja, akaitazama tena dudu ya Pross, akajikuta anatabasamu kidogo, akaajigeuza na kulala juu ya kiua cha Pross huku mkono wake unaenda moja kwea moja kwenye dudu ya Pross, na kuikamata dudu ya Pross ambayo ilikuwa na jioto la nyuzi zaidi ya 39, na kuanza kuichezea taratibu, “baby hamka bwana me nataka” alisema Stellah, kwa sauti iliyo tokea puani……








Kwasauti hiyo Pross aliamka huku anaachia tabasamu la kivivu, na kumtazama mwana mama Stellah, ambae kiukweli alifaa kabisa kuwa mama yake, endapo ange mzaa, na endapo mtu ange waona wanatokea mle ndani na akaambiwa kuwa ni mama yake akuna ambae angebisha, “ujachoka tu! jana si ulisema autaki tena?” aliuliza Pross, huku ana jaribu kupeleka mkono kwenye kitumbua cha mwana mama Stellah ambacho baada ya kukigusa asa eneo la kunde, Stellah akashuka kidogo, na kubana mapaja yake, “mhhhh! kama tamu je, mimi nifanyaje?” aliuliza Stellah huku ana mshika mkono Pross na kumvutia juu yake, huku yeye mwenye anatanua miguu yake.




Hapo Pross akajuwa anatakiwa kufanya nini, aka jiweka sawa usawa wa mwili wa mama huyu, ambao sasa aliwenza kuuona vyema, sababu ata pombe zilisha pungua sana kichwani kwake, aka ishika dudu yake na kuisogeza kwenye kituambua cha mama huyu, huku anakitazama, leo aliweza kukiona jinsi kilivyo tuna na kujaa vyema, kilikuwa tofauti na kile cha Rosemary boss wake, “hakika hiki ni kitumbua cha buku” alisema Pross, kwa sauti ya kunong’ona, huku ana iparuza ile kitumbua, kwa kichwa cha dudu yake ambayo ni zaidi ya kusimama, “nime kupa kitumbua ukile mpenzi wangu, mpaka ushibe usitamani cha mwingine” alisema Stellah kwa sauti iliyo jaa msisimko, ambao aliupata wakati Pross akiendelea kuisukua dudu yake taratibu, kwenye kitumbua cheke, akianzia chini kabisa karibu na mpaka wa ile njia haramu, akipandisha taratibu, na kupitisha kichwa cha dudu kwenye mlango wa kitumbua, na kuya paruza mashavu na vinembe vinavyo ungana na kinde ambacho nikama nacho kilikuwa nina zidi kujitokeza, kama vile kina simama, hapo Stellah akajikuta anainua kiuno juu, ili kikunde kisuguliwe kwanguvu, na Pross akalijuwa ilo, hivyo akakza mkono na kusugua kwa nguvu kichwa cha dudu yake kwenye kikunde cha mama huyu, anae zeeka na utamu wake.




Kitendo kile kilidumu kwa dakika mbili na kumfanya Stellah, aanze kutoa sauti za kuugulia utamu, sambamba na maneno ambayo sijuwi kama alizamilia, “simpi mwingine Kitumbua Chako hiki Pross aya ingiza mwenzio nataka, ingiza baba ufaidi yakwako hii” alisema Stellah, huku anatanua mapaja zaidi, hapo Pross akaitelezeshea kwa ndani, na kuikandamiza, kama kawaida kama ujuwavyo kifo cha mende, vinena vika kutana, nikama wote wawawli walijuwa jinsi ngono ya asubuhi inavyo fanyika, walikanzamizana kwanguvu na kuanza kukata viuno mzungusho, kitu kilicho sababisha vinena vyao visuguane na kuzidi kule utamu, maana kule ndani dudu ilikuwa ina sugua kuta, za kitumbua huku nje vinena, hapo Stellah bila kujari kama awajapiga mswaki, aka sogeza mdomo wake kwa kijana Pross na kuanza kumyonya urimi, huku wakiendelea kusuguana kitumbua na dudu, na kitu ambacho kilikuwa kinampa raha, zaidi ni zile kengere za Pross ambazo nikama zilikuwa zina mtekenya sehemu ya chini ya kitumbua, kule ambako utakiwi kugusa ata kwa bahati mbaya.*******




siku yaleo kazini kwa Rose ilikuwa ni simulizi juu ya tukio lililotokea kipindi cha Chrissmass, juu ya Rose na Matrida, wapo walio mlahumu Matrida kuingilia mausiano ya rafiki yake, wapo walio msema Rose kwa kitendo cha kuwawekea dawa wakina Matrida, wengi wao wakinwa ni wanaume vijana ambao walidai kuwa Rose alikuwa anajidai mgumu, na kwamba aliwabania kuwa kitumbua, japo aikuwa kweli kuwa Rose ndie alie fanya kitendo kile, manager wa tawi la benk la Kibaha, alitoa luksa kwa mafungu, watu waende kuwatazama wenzao, yano Rose alie kuwa polisi, na Matrida alie kuwa hospital, ukweli ni kwamba wengi walienda hospital, sijuwi sababu, au pengine wengi uogopa swala linalo usiana na polisi, licha ya kwamba Mtrida alijitaidi kueleza kuwa Rose akuusika na uwekaji wa dawa kwenye vinywaji vyao, lakini akuna alie subutu kwenda polisi kumwona Rose, na atailipofika mchana tayari Matrida aliluhusiwa na kusaidiwa na wenzake kulipiwa fedha za kutoka pale hospital, ambacho lilikuwa ni Tsh laki moja na themanini, sawa na hawala yake bwana Kipanta, ambae yeye alibakia pale kituoni, akikosa fedha ya kulipia matibabu, ikabidi ahamishwe chumba na kupelekwa kwenye chumba cha wangojeao, mpaka takapo lipiwa ghalama za matibabu, na hapo ndipo alipo pata wazo la kumjulisha mke wake, maana aliona kuwa anaelekea kudhalilika.******




Rose aliitwa kwenye mahojiano na mwanasheria wake wa serikali, ambae alimweleza kila kitu, na mwisho akarudishwa lumande kwamba kesho yake ataenda mahakani kusomewa shitaka, na baada ya kufika lumande Rose alitulia na kuwaza kwamala nyingine mzunguko wake wa siku mbili zilizo pita, aliwaza mengi sana, ila kila alipowaza juu ya kijana Pross, alijihisi kutamani sana kuwa na kijana huyu, na pengine asinge toka kule shambani yasinge mkuta aya yaliyo mkuta, inamaana aliamini polisi wange kuwa wamesha pata ukweli wao wenyewe, na licha ya kuwaza hivyo pia alimkumbuka Pross mwenyewe na jinsi walipo peana dudu na kuimaliza siku vizuri, “sijuwi kama akasikia hivi ataendelea kunipenda, tena” aliwaza Rose, ambae akuishia hapo, “au sijuwi alikubari kufanya vile sababu mimi ni boss wake, alafu ananiogopa” wazo ilo ndilo lililo muumiza kichwa Rose, ambae alihisi kuwa, ameendelea kumfanyia uovu kijana huyu, kwa kumtumia kutokana na shida zake, hivyo alichoona kina faa ni alipotezea mawazo yale maana alihisi kuwa yana zidi kumuumiza kichwa.******




Saa sita nanusu za mchana ndio mida ambayo Stellah alikuwa anaingia nyumbani kwake, kula chakula cha mchana, na wamesha rudia mchezo wa kuepana dudu mala mbili toka asubuhi, “leo jioni nataka uje ulale chumbani kwangu” Stellah alikumbuka jinsi alivyo mwambia Pross wakati wana malizia mchezxo wa mwisho, na Pross akaachia tabasamu pana, huku akikubari kwa kichwa, “basi chukuwa namba yangu ya simu, nauachia nauri ya dala dala, ukifika kibamba luguruni, nipigie nikufwate barabarani” huo ndio mpango ulio pangwa pindi Stellaha anamalizia kuvaa kabla ya kuondoka.




Naam Stellah ambae alisha pitia sokoni, na kununua mazaga ya kupika kwaajili ya chakula cha jioni, pamoja na vinywaji ambavyo ni mahalumu kwaajili ya kijana Pross, ambae toka jana mchana amekuwa akimpa raha, na alisha pania kuto kuikosa raha ile, kwa gharama yoyote, alishusha mizigo yake na kuanza kuingiza ndani, na wakati huo huo akaja jirani yake, “mwalimu ulisafiri kimya kimya, maana jana nime kutazama weeeee, kimya” alisema yule jirani akimweleza mwalimu Stellah wowowo, “hooo jirani jamani pole nilipatwa na dharula, vipi kulikuwa na shida” aliuliza Stellah, yani mke wa kipanta, mabae leo ata jirani yake huyu wakike, alishangaa kwa mwonekano wa furaha na amani wa Stellah, maana ni zidi ya siku zote, “sasa je ni kwa ajili ya kuwa mumewe amepatwa na majanga, kama ni hivyo basi yeye ndie alie sababisha” aliwaza jirani, “mwalimu, ata simu yako aipatikani, siyo siri kuna tatizo kidogo” alisema yule jirani, na hapo Stellah alishtuka na kujishika kifua, “tatizo gani tena jirani, usiniambie wanangu wame….” alisema stellah kwa sauti ambayo iliambatana na mshtuko mkubwa sana, “hapana mwalimu, siyo watoto,inamaana ujuwi kuwa shemeji amelazwa hapo muhasi, aliwekewa dawa kwenye pombe na mwamke gani sijuwi, yani habari zime tapakaa kwenye mitandao yote” alisema yule mama jirani, na hapo akamwona Stellah anashusha pumzi nzito, “haaaa yani umenitisha, nilizania mwanangu wapata hajari huko bagamoyo” alisema Stellah na kumshangaza yule jirani yake, “ok! nitaenda kumtazama” alisema Stellah kisha akaendelea kuingiza mizigo ndani, huku yule mama akiondoka zake huku mshangao umemshika, “lakini sawa maana kuona mume ana fumaniwa na mahawara siyo mchezo” aliwaza yule Jirani.




Ukweli Stellah nikama swala ilo alikumwingia kichwanimaana alipo maliza kuingiza vitu ndani akapumzika chumbani kwake, huku akifungua simu yake na kuanza kusoma ujumbe na habari kwenye mitandao, ambazo nyingi zilikuwa ni kuhusu, mume wake, pamoja sms toka kwa watu wake wa karibu, wakimpa pole kuhusu tukio ilo, akusoma sana, aka iweka simu pembeni, na kujilaza kidogo, akapitiwa na usingiz wa uchovu, wa mchezo wa masaa ishilini na nne na kijana Pross, mpaka tisa, alipo hamka na kuanza kupika, akiandaa chakula ambacho atakula yeye na mpenzi wake Pross ambae nikama mfadhiri wake wa uburudani ya mwili.




Saa kumi nanusu, tayari mwana mama Stellah alisha maliza kupika, aliweka kila kitu vizuri, na kuelekea hospital, huku akiwasiliana na Pross ambae mida hii alikuwa njiani anaangaika na foleni za barabarani.




Nusu saa ilitosha kwa Stellah kufika mloganzila hospital, na baada ya kuulizia aka onyeshwa ward ambayo bwana Kipanta alikuwa amelazwa, akaelekea moja kwa moja kwenye ward aliyo lazwa bwana Kipanta, “hivi kwanini umezima simu muda wote huu, yani mimi nimeazima simu ya watu nakupigia weeee, upatikani” hiyo ndiyo ilikuwa salamu ya Kipanta kwa mke wake, mala tu baada ya kuingia mle kwenye Chumba ambacho ni cha wagonjwa wa kiume walio shindwa kulipia matibabu, Stellah alitulia sekunde kadhaa akitafuta jibu la kumpa mume wake ambae alikuwa amelala kwenye kitanda cha hospital huku amevaa yale manguo, ya blue mfano wa gauni, wanayo vaa wagonjwa walio vuliwa nguo, kama wametoka kujifungua au kufanyiwa operation……










Ilionyesha wazi kuwa akuwa na nguo ya aina yoyote, ambayo ange weza kuivaa kwa wakati huo, maana kwa muda mchache ambao Stellah alikuwa ameingia mle ndani, aliweza kuona kuwa ni, bwana Kipanta peke yake ndie alie vaa nguo za aina ile, “na kuuliza wewe, kwanini ulizima simu muda wote, huu, ulikuwa unafanya nini?” aliuliza tena bwana Kipanta, kwa sauti ya ukari iliyo jaa hasira, sauti ambayo iliwafanya wale wagonjwa na watu waliokuwa wanawatazama wagonjwa wao, walioshindwa kulipia matibabu, wawatazame Stellah na Kipanta, “sikuwa nataka usumbufu, kwani kuna kitu ulikisahau?” aliuliza Stellah, kwa sauti kavu, ambayo aikuonyesha dalili ya upole wala utani, wala unyenyekevu, kama Kipanta alivyo zowea, “hivi una mjibu nani hivyo, una jifanya jeuri siyo?” aliuliza Kipanta huku akijaribu kujiinua kitandani, lakini akakumbuka kuwa lile gauni alilo vaa, linge mwacha wazi kwa kiasi kikubwa, hivyo akarudi tena kitandani, “mh! unataka kuni piga, kwa hiyo nime fanya kosa kuja kukutazama?” aliuliza Stellah kwa sauti tulivu, iliyo jaa ziaka, huku uso wake ukiwa umetawaliwa na tabasamu la dharau, “unabahati tupo hospital, yani ujuwi yaliyo nikuta, wewe unashinda na wanaume unazima zima simu, wakati mimi natakiwa kulipia matibabu, alafu sina nguo ata moja” alisema Kipanta kwa sauti ya juu, iliyo jaa hasira kweli kweli, hasira ambayo ilizidi kupanda kila alipo mtazama mke wake, ambae leo alionekana kuibadirika kweli kweli, siyo yule Stellah, ambae ni mpole mbele yake, akimweleza kitu, ana timiza mala moja, tena kwa haraka sana, “mh! mimi sijaja hapa kusikiliza shida zao, nime kuja kutazama kama kweli hupo hapa, ili ata watoto wako wakiniuliza kuhusu wewe ni juwe cha kuwaambia, na juwa una fedha nyingi, utajilipia matibabu, na kununua nguo nyingine” alisema Stellah, kwa sauti ile ile kavu, ambayo kwa anae mjuwa, asinge jiuliza mala mbili ili kupata jibu, la kuwa amesha choshwa na mambo ya mume wake,na sasa amehamua kuwa basi, “una kichaa we mwanamke, ume kaa toka jana mimi nime pata na matatizo, unatafutwa ujiunione na auonekani, leo una kuja kuni ambia upuuzi, hivi ni nani mwingine anapaswa kuni saidia zaidi ya wewe mke wangu?” aliuliza Kipanta kwa sauti iliyozidi kujazika hasira, huku akimkazia mke wake macho ya hasira na ghazab, lakini cha kushangaza mke wake alicheka kidogo, tena kicheko kile cha kuguna ka dharau, “mh! umeniita jina la zamani, eti mke wangu” alisema Stellah, akicheka tena kicheko kile kile cha mwanzo, huku waliokuwa wanafwatilia mazungumzo yao, wakishindwa kusikia alicho kuwa anaongea Stellah, sababu alikuwa anaongea kwa sauti ya chini, akionyesha wazi akutaka maongezi yao ya sikike na watu wengine, maana aliona jinsi habari za mume wake zilivyo samba kwenye mitandao, na kuofia kuwa na yeye asije aka sambazwa kwenye mitandao, mpaka hapo Kipanta akaanza kuona kuwa, mke wake amekuwa jeuri tena jeuri wa ghafla, maana mala ya mwisho anaachana akuwa hivyo, “siyo bule lazima kuna mtu anakutia jeuri, yani mimi nipo kwenye matatizo, alafu wewe una nifanyia ujeuri wa hivyo, tena ukizingatia kuwa ni mume wako” aliongea kipanta kwa sauti kari iliyojaa hasira, “bado unakumbuka kuwa mimi ni mke wako, mimi najuwa wewe ni zazi mwenzio” alisema Stellah, kwa sauti ile ile ya chini, hapo Kipanta akachukulia kuwa mke wake anaitaji aombe msamaha, “bwanae ayo mengine tutaongea nyumbani, ebu fanya mpango nitoke hapa, na uniletee nguo zangu, maana sina ata moja ya kuvaa” alisema Kipanta kwa kiburi na jeuri, wakati huo simu ya Stellah ilikuwa inaanza kuita, akaitazama kidogo, kisha akaacha tabasamu, alafu pasipo kuipokea akamtazama Kipanta, ambae ndie mume wake, “kwa kifupi, sito kaa nitoe fedha yangu kukulipia, najuwa una wanawake wengi ambao wanaweza kuja kukulipia, labda nikuazime simu umpigie yule alie kufwata kituo cha polisi?” aliuliza Stellah, huku simu yake inaendeleae kuita, “lakini mke wangu, unzani nita tokaje hapa, si nimekuambia kuwa tutaongea nyumbani” alisema Kipanta ambae sasa sauti yake ilianza kushuka chini, na kuwa mpole, “wala usijari, kuhusu nguo nita kuletea asubuhi, lakini nakushauri, kama aujajenga nyumba yako, kwa fedha zako ulizonazo, basi nenda kwa mmoja kati ya wanawake wako, zaidi ya hapo, ni bola ubakie hapa hapa, wakati unajipanga” aliongea Stellah na kugeuka, kuelekea mlangoni, huku anapokea simu, Kipnta akimtazama kwa macho ya mshangao, asiamini kama yule ndie stellah wake, mwanamke ambae akuwai kumletea jeuri ya aina yoyote, mwanamke ambae alimfanyia ushenzi alivyotaka, na akawa mpole, mwanamke ambae, licha ya yoye akuwai kuonyesha jeuri kama yale, wala kuonyesha dalili ya kutoka nje ndoa, “hallow niambie wangu” alisikika Stellah akiongea na simu, kwa sauti ambayo ata unge kuwa ni mtoto, ungejuwa fika kuwa alikuwa anaongea na mtu wakaribu mtu ambae ni pumbazo la moyo wake, yani mtu alie shibana nae, ilikuwa zaidi legevu, tamu, ambayo nazani upande wapili, alie isikia ilimstua dudu, ata kama alikuwa kwenye dala dala, sauti ambayo ilimstua Kipanta na kuzidi kumtia machungu, akishindwa la kufanya zaidi ya kumtazam akimsindikiza kwa macho, mpaka alipotoweka kolidoni, akitazama msambwanda wamke wake, ambao sasa ndio aliuona kuwa ni wathamani, na kumtia wivu, asa alipovuta picha kuwa kuna mtu pengine ana umiliki badala yake.




Makini Kipanta, alisahau kuhusu, chakula cha jioni hii, maana huduma ya chakula ilisha sitishwa tka alipohamishiwa kwenye chumba hiki, alitulia akitafakari “lakini nakushauri, kama aujajenga nyumba yako, kwa fedha zako ulizonazo, basi nenda kwa mmoja kati ya wanawake wako, zaidi ya hapo, ni bola ubakie hapa hapa, wakati unajipanga” maneno ayo ya mke wake ndiyo yalimkumbusha kuwa, licha ya kufanya kazi kwa miaka therasini, kwenye jeshi la ulinzi, lakini akuwa na nyumba wala kibinda, chakwake yeye, licha ya kujenga jumba kubwa la kifahali na kufungua maduka na saloon huku akinunua shamba na gari la kifahari aina ya Toyota Alphad, lakini avikuwa vya kwake, ni vya Rosemary, mschana ambae mpaka sasa yupo mahabusu kwaajili yake, Kipanta alifahamu kuwa licha ya kumiliki gari aina ya Toyota IST, ambalo akiamua kuliuza, lisinge mlipa ata million nne, pia akuwa na sehemu ya kukimbilia, iwe hapa mjini alipo kaa miaka zaidi ya ishilini na na tano, wala kijijini kwao shinyanga, mwisho Kipanta alivuta pumzi ndefu na kuishusha kwa mkupuo, “nikizubaa numkwisha, lazima nikomae na rose afungwe na kunirudishia mali zangu zote” aliwaza Kipanta.*******




Naam upande wa Rose mambo yalizidi kuwa magumu, mpaka saa akuweza kupata mwanasheria, wala kuwasiliana na watu ambao wange msaidia, ukichukulia ata wafanyakazi wenzie awakuweza kwenda kumtembelea, pale kituo cha polisi, zaidi ya rafiki yake, joyce peke yake, na kitu mbacho Rose kama ange juwa ange zimia kabisa, ni ushawishi mbaya toka kwa marafiki wa baya, waliomwendea Matrida na kumshawishi amsingizie Rose kuwa alionekana usiku ule pale bar na ppengine ndie alie wawekea dawa kwenye kilevi, “alafu singizia kuwa ume ibiwa fedha nyingi sana, si unaona masaloon yale yote unayamiliki” alishauri mshawishi mmoja, ukweli ushawishi huo ulifanya kazi, na Matrida akapanga kufanya hivyo mahakamani, akisahau kuwa alisha toa maelezo ya kuwa, akumwona Rose pale bar ya luguruni, “yani ata umbukaje yule mshenzi, anavyo nata, wanaume wote wanamtazama yeye, kutuonaje” alisema mmoja wa marafiki na wote wakacheka, “tena kesho nita enda mahakamani kuona linavyo mshuka” alisema mwingine na wote wanne wakakubariana kuwa kesho waende mahakamani.*******




Kijana Pross, akiwa ndani ya dala dala, la mbezi kibamba, ndio anatoka stendi, akatoa simu yake na kumpigia, mwana mama Stellah, ambapo simu iliita kwa muda mrefu na wakati inakaribia kukata ndipo ikapokelewa, “hallow niambie wangu” Pross aliweza kuisikia sauti iliyo ja mahaba toka kwa mana mama huyu, ambae kiukweli licha ya kukesha nae usiku kucha wakianzia jana mchana, kupeana dudu, na kumalizialeo mpaka mchana, lakini alipanga kuwa leo akila tena kitumbua ndio ataamini kuwa nikweli amekula kitumbua cha mama huyu, maana aliona kama yupo ndotoni, “ndio natoka mbezi hapa, ilanataka nipitie kwanza nyumbani nika waachie nazi kidogo nimewabebea” alisema Pross, huku akitazama kushoto na kulia, kama watu wa pembeni wanamsikia, anachoongea, “usijari baba, tukutane hapo stendi, ya kibamba hospital, alafu nikupeleke nyumbani kwenu, pia nikupe na ela kidogo ukampe mama” alisema Stellah, na kumfanya Pross aachie tabasamu la kuto kuamini, na ili abiria wengine wasione tabasamu lake, akatazama upande wa dirishani, “asante sana, yani najuwa ela yote niliyowatumia wamesha imaliza kwenye siku kuu” alisema Pross huku anatazama nje na wakati huo gari lilikuwa lime simama lina ngoja magari kadhaa yapite, ili liingie barabara kuu ya morogoro, “wala usijari kwa raha unayo nipa, nitajitaidi na mimi nikufuraishe” alisikika Stellah, akimalizia kwa kicheko cha kivivu, “ata hivyo, mbona nimefurahi sana” alijibu Pross, na hapo akasikia kicheko cha kivivu, “unasema kweli inamaana na wewe ulifurahi” aliongea stellah na kumalizia kwa kicheko kilekile, yani kicheko kile kilikuwa matata sana, kilishtua ata msisimko wamwili wa Pross, “ndiyo kwani wewe hukuona” alijibu Pross ambae akiwa bado ametazama nje ya dirisha la gari, macho yake yaka vutika kumwona mzee mmoja alie kuwa mita kadhaa toka kwenye gari anakuja taratibu, akionekana kuchoka sana, siyo kwa nguo alizo vaa au kwa utembeaji wake, akiwa amebeba madumu mawili, ni yale ya kuwekea maji, moja likiwa lime katwa juu na jingine lililokuwa zima, lilionyesha kuwa lilikuwa na maji ndani, na wakati huo gari lilikuwa lina tembea taratibu kuingia barabara kuu, “baadae basi naingia kwenye lift, atutoweza kuongea vizuri” alisema Stellah, huku akiachia kile kicheko chake, ambacho kwa aalie pembeni lazima ange juwa kuwa mama huyu, alikuwa katika furaha kubwa sana furaha yapenzi.




Nikama Pross akuweza kusikia maneno ya mwisho ya Stellah, wala kusikia simu ikikatwa, akabakia ameweka simu sikioni, huku anamtazama yule mzee, na kilicho mvuta siyo yale madumu, wala uzee wa yule mzee, au nguo chakavu za yule mzee, kilicho mshangaza na kumduwaza, ni sura ya yule mzee, “mbona amefanana,kama baba, au ndugu yake?” alijiuliza Pross, huku gari likishika kasi na kutokomea zake, upande wa kibamba……….






Huku Pross akiendelea kujiuliza juu ya yule alie mwona ni nani, maana licha ya kufanana na baba yake lakini pia alikuwa amezeeka sana na kuchoka vibaya, Pross alivuta picha ya baba yake, miaka mitatu iliyopita, siku anaachan nae kule kingamboni, aikumjia hakirini kuwa yule alie mwona pale mbezi stendi ni baba yake, “lakini mbona akutumbiaga kama ana ndugu yake hapa dar es salaam?” awaza Pross kabla ajashtuka na kutazama simu yake, ambayo mala ya mwisho alikuwa anaongea na mwana mama Stellah, wakati huo gari lilisha pita kwa yusuph, na sasa lilikuwa lina simama kituo cha chuo, akibakiza vituo viwili kufika kibamba hospital.*******


Kipanta akiwa amejilaza juu ya kitanda cha hospital, alijawa na wazo mengi sana, asa akiona jinsi wenzake ambao alikuwa nao kwenye kile chumba wakija kutolewa na ndugu zao, baada ya kulipiwa fedha walizo kuwa wanadaiwa, “inamaana mimi nita kaa humu mpaka lini” aliwaza Kipanta, baada yakuona daliliza wazi kabisa, kuwa mke wake akuwa na mpango wa kumlipia fedha alizo kuwa anadaiwa, pale hospital, “alafu huyu mwanamke mbona amebadirika hivi, au kuna mtu amemshika masikio, maana mke wangu hayupo hivi, ebu fikilia, amenifumania mala ngapi, nab ado nipo nae, mala ya mwisho amenikuta pale mbezi, nika mtimua siku ya pili amekuja kunitoa polisi, alafu leo nipo kwenye matatizo aniache hivi, siyo siri, lazima kuna kitu” aliwaza Kipanta, alie valia lile guo, la hospital, ndani akuwa na kitu chochote, inamaana aliibiwa mpaka boxer.


Wakati ana waza hayo mala akatokea kijana mmoja mwenye kati ya miaka therasini na nne ay tano, alie valia track suit chini, na tishert juu, alafu miguuni alikuwa amevalia sendo, kiongozana na mwanamke, ambae isinge kuwa vigumu kutambua kuwa ni mke wake, alie valia gauni la mpira, refu mpaka kwenye nyayo, wawili awa walisalimia kila mgonjwa alie kuwepo mle ndani, pamoja na yeye, “habari mzee pole sana” alisalimia yule kijana, kwa sauti ya upole uku akiachia tabasamu, “asante” aliitikia Kipanta kwa sauti kavu, huku moyoni akiingiwa na chuki juu ya kijana yule ambayo ata yeye mwenyewe, akujuwa ni kwanini, “mpuuzi nini, mnamjifanya mnapendana, uwajuwi tu wanawake, ngoja yakukute” alijisemea Kipanta, huku akiwakata jicho wale wanandoa ambao waliendelea kusalimia wengine kisha waka ishia kwenye kitanda cha tatu toka kwa Kipanta, na kuanza kuongea na mgonjwa alie lazwa kwenye kitanda kile, ambae alikuwa ni kijana kama yeye, ila kutokana na kuumwa au mazingira aliyo ishi mgonjwa kabla ya kuumwa alionekana wazi kuchakaa kidogo, “pole bwana Side, taarifa yako nime ipata mapema kwenye saa nne hivi, ila ratiba za kazi zinabana sana, siunajuwa kazi zetu za majeshi, alafu shemeji yako anashinda mbezi kusimaia biashara, hivyo nika shiondwa kumtoa aje malize swala hili” alisema yule kijana alie kuja na mke wake, na kauri ya kazi za majeshi, ndiyo iliyo mstua Kipanta, na kujiuliza majeshi gani, maana na yeye aliwai kuwa mwanajeshi wa jeshi la ulinzi, akazidi kumkazia macho yule kijana, ambae kiukweli toka ameingia mle ndani alikuwa ana mtazama mala kwa Kipanta, lakini kwa macho ya wizi, “kwanza kabisa ime nisikikitisha sana, sie tupo hapa karibu, atujuwi lolote, inafikia hatua mnaomba fedha huko kijijini” alisema yule kijana, akimweleza yule mngonjwa alie mwita kwa jina la Side, “kaka kwakweli sijuwi nisemeje, maana tumeangaika sana kwa ndugu wa hapa mjini, lakini kila tulie mweza ndio kwanza amekata mguu ata kuja kutuona, nikaamua nitulie tu, hapa nimeshikiliwa poni” alisema yule Side kwa rafudhi ya kimakonde, “kwa hiyo mtwara ulitoka mwenyewe” aliuliza yule kijana, huku mke wake anasikiliza tu! “nimekuja na mdogo wangu mmoja anaitwa Abdu, yeye ameenda Kibamba, kushangaa shangaa, siunajuwa ndio mala yake ya kwanza kuja Dar, hivyo badae anakuja kulala hapo nje, alisema yule Side na kutokana na rafudhi yake kila alicho sema watu karibu wote mlendani wakacheka, “sasa nime jaribu kuongea na hao jamaa wa malipo, wamesema kwa sasa wamefunga awawezi kupokea fedha” alisema yule kijana ambae kwamwonekano unge tambua kuwa ni askari ila nivigumu kujuwa kama wajeshi la ulinzi au la polisi, Kipnta alimwona yule mke wa yule kijana akitoa fedha kwenye mkoba wake, na kumpa yule kijana askari, “sasa kesho mapema fanya malipo, na akija huyo Abdi, umpatie namba yangu, anipigie nimwelekeze aje nyumbani alale, ilikesho aje msaidiane kukamilisha malipo, na mkikamilisha mnipigie simu, nije niwachukuwe, niwapeleke nyumbani, mpumzike kwa siku kadhaa, kabla ya kuanza kurudi mtwara” alisema yule jamaa, huku akitoa bunda la fedha na kumpatia Side, ambae alishukuru wazi wazi, kiasi cha kuwa shangaza ata watu wengine, waliokuwepo mle ndani, ata bwana Kipanta alitamani kama ifanyike miujiza, zile fedha apewe yeye.


Ata wakati yule jamaa anaondoka Kipanta alitamani kumsimamisha na kujieleza pengine ange saidiwa, kutoka pale hospital, lakini ilikuwa vigumu kidogo, kwa ghafla na mna ile, “duh! hivi uyujamaa ametukopesha ili laki nne au ametupatia bule bule?” aliuliza Side kwa sauti ya juu, mala baada ya mtu na mke wake kuondoka, huku anatoa simu mfukoni, na kumpigia mdogo wake, ambae alisimulia kila kitu, huku akidai ni miujiza, na ata wenzie walipo mwuliza, kwanini anasema ni miujiza, akasimulia kuwa, yeye baada ya kuja hapa mwzi mmoja uliopita, akiwa na mdogo wake, alitibiwa na kuruhusiwa lakini music ukawa kwenye malipo ambayo yame mweka hapa kwa week tatu, akijaribu kuwasiliana na ndugu jamaa na marafiki, wamtumie fedha ambazo ata warudishia akianza kazi zake za kilimo, lakini ndio kwanza alikuwa kama anawafukuza, maana walikata mguu kwenda kumwona pale hospital ata simu awakupokea tena, “sasa tuka sikia kuwa kuna kijana mmoja anaishi hapa jirani, ni mjukuu wa mzee mikana wa kule kijijini kwetu Malatu” alieleza Side, ndio tuka pewa namba za simu, tukisema kuwa tumpigie atusaidie ata ela ya kula kidogo, kwa siku mbili tatu wakati tunafanya mipango ya fedha ya kutoka huku” alisimulia Side, yani uwezi amini, huyu bwana ata wazazi wake wakai huko Malatu, zaidi ya kuwa ni chimbuko lao, leo tume mpigia simu na kumweleza matatizo yetu, ndio ameleta hiifedha, yote, yakulipia, siyofedha ya chakulate, na Abdi leo anaenda kulala pazuri” alisema kwa furaha Side, “kwani huyu jamaa anafanya kazi gani?” aliuliza mmoja wa wagonjwa walio shindwa kulipia fedha za matibabu, “kwajinsi tulivyo simuliwa ni kwamba, huyu jamaa ni mwanajeshi, na mwaka jana alikuwa huko sudani analinda amaini, alirudi na fedha nyingi sana, akamfungulia mke wake maduka huko mbezi, pia alinunua na gari zuri, ukichukulia alisha jenga hapa hapa Kibamba, hivyo maisha yake mazuri tu!” alisifia Side, na kauri hii ilimfanya Kipanta afiche uso wake na kufuta machozi kwenye shuka za hospital, machozi yaliyotolewa kwa msukumo wa machungu makubwa sana, maana hiyo safari iliyo zungumzwa ndiyo safari ambayo walienda wote, na yeye kumalizia fedha kwa mschana Rosemary.******


Yap nyumbani kwa Stellah, ni baada ya Stellah kumpokea Pross na kumpeleka kwa wazazi ake akimpatia na fedha kidogo, kiasi cha elfu alobaini, ambacho aliwakabidhi nyumbani kwao, na wao kuondoka zao, huku mama na ndugu zake wakijuwa kuwa anarudi Kisalawe, waliekea moja kwa moja nyumbani kwa Stellah, yani kwa mke wa bwana Kipanta, “karibu baba, jisikie kama hupo kule shambani kwako, tena ujione kuwa baba mwenyenyumba” alisema Stellah huku akimkumbatia Pross na kumpa busu la mdomoni, Pross akakaribishwa ndani, akatulia sebuleni, akiwa amesha sahau kuwa, alimwona mtu anae fanana na baba yake bwana Feruz, yeye aliachwa pale sebuleni, na stellah alie ingia chumbani kwake, ambako akuchukuwa ata dakika tano, akamwona Stellah, anatoka akiwa amejifunga upande wa kanga, ambayo kiukweli nikama kituko, maana unge sema aliiegesha, ilikuwa ni sawa na kuacha kuvaa kinguo hicho, ukiachia kuangaza kiasi cha kuonekana wazi kuwa akuwa amevaa chupi, pia mapaja kwa kiasi kikubwa yaikuwa nje, na msambwanda ulikuwa unatikisika, kamavile yanataka kuanguka, hapo hapo dudu ya Pross ilishtuka na kuanza kujitutumua ndani ya suruali yake ya jinsi, “aya baba inuka twende ukaoge, mwenzio natamani kama vile atujafanya mwaka mzima” alisema Stellah, huku anamsika mkono Pross na kumwinua, toka pale juu ya kochi, kisha akamwingiza chumbani……




……….


Pross akifwata kama vile mbuzi wa kwenda kutolewa kafara, kama ilivyo kawaida ya mtu mgeni anapoingia sehemu, lazima macho yaangaze huko na huko, kukagua sehemu iyo ambapo akiwa amesimama kati kati ya chumba kikubwa sana, kilicho pambwa kikike, na sema sema kupambwa kikike sababu kilipambwa viulembo ulembo vingi kuanzia kitandani mezani, mpaka kwen ye kuta, japo kulikuwa na picha nyingi zilizo ashilia kuwa mama huyu, alikuwa ana jitaidi sana kwenye swala la dini, ndani akukuwa na dalili ya nguo wala viatu vya kiume, yani akukuwa na dalili ya kuwa yule mama alikuwa anaishina mume, zaidi ni mabegi kadhaa yaliyo kuwepo kwenye moja ya kona za chumba hiki, yakiwa yame pangwa vizuri, “Pross leo utalala humu, utashangaa baadaae” alisema Stellah huku ana mfungua mkanda wa suruali Pross.*******


Kwaupande wa Joyce kiukweli alikuwa katika wakati mgumu sana, akuwa mwenye furaha, alitamani sana, rafiki yake Rose atoke kule kituoni, na kuondokana na kesi ambayo akuitendea kosa, atafanye ili kumpata mtu alie fanya kosa la kuweka sawa kwenye vinywaji vya wakina Matrida, ukweli hakiri ya Joyce ikamtuma kuwa, kwa mambo ambayo Kinta amemfanyia mke wake, inaweekana kabisa mke wa bwana huyo akaamua kuwakomesha na kuwa dharirisha, kwa kuwafanyia hivyo, akaamua kujifanya mpelelezi, kwa kumchunguza yule mama, japo moyoni alikili kuwa kama angekuwa yeye angefanya hivyo kuwakomesha, Joyce akiwa kitandani kwake akachukuwa simu yake na kumpigia, Stellah, sababu namba yake alikuwa nayo toka siku ile alipo mwona benk, ni kweli simu ikaanza kuita.*******


Naam kwa kifupi usiku ule ulikuwa ni mfupi sana kwa Pross na Stellah, maana mambo yalikuwa ni mengi sana, maana ile walipo maliza kuvuwana nguo kwa zamu, ndipo Stellah aliposogea kwenye kimeza chake cha kujipambia, wenyewe wanaita dreasing table, huku Pross akiwa amesimama anamsindikiza kwa macho, nazani hapo msomaji unaweza pata picha alikuwa anangaalia nini, mgongoni kwa mama huyu, ambae alitembea taaratibu na alipo ifikia ile meza, akainama akavuta drow iliyopo kwenye ile meza, akiachia kitumbua kikionekana kwa nyuma, siunajuwa huyu mama anakitumbua ghorofa, yani kime tuna, kweli kweli, akatoa kijiwembe flani chenye mshikio, yani maalumu kwa kunyolea ndevu nywele za kwapa na zile za kwenye kinena, “palilia shamba lako mpenzi, ili uweze kulima vizuri” alisema Stella huku ana mpatia Pross kile kiwembe, kisha akachukuwa kanga ile ambayo alijifunga mwanzo, na kuitandika kitandani, kitanda ambacho licha ya kuvuruga mitaa bwana kipanta ukiita cha kwake, sababu alikilalia kwa mika mingi ssana, ila akukinunua yeye.


Alipo tandika kile kijikanga, Stellah akajilaza na kukunja miguu, huku akiitanua, mfano wa mwanamke ambae yupo leba, anajiandaa kupokea kichanga, Pross akabakia ametuambua macho ana tazama kitumbua, huku mdomo ukijaa mate kwa uchu, “siwe na uchu baba, iki kitumbuwa ni cha kwako, wala uli na mtu mwingine, naleo utakula mpaka uchoke” alisema Stellah kwa namna ya utani, hapo Pross nikama alizinduka na kukumbuka kuwa anajukumu la unyozi, hivyo akaanza kunyoa taratibu, kama ananyoa kichwa cha mtoto mchanga, uwezi amini, licha yakwamba mama huyu alisha wai kujinyowa mala nyingi, lakini leo alihisi utofauti kati ya kujinyoa na kunyolewa, maana kila kiwembe kilipo pita kwenye maeneo ya kinena alihisi mtekenyo wa utamu, na balaha zaidi kiwembe kilipokuwa kina pita kwenye mashavu ya kitumbua chake, na kukwangua nywele fupi fupi, huku ikimlazimu Pross kulikamata shavu kwa vidole viwili, kimoja ndani kimoja nje, ili aweze kunyowa vizuri, ndipo Stellah alie kuwa amefumba cho kusikilizia utamu wa kunyolewa, alipo tamani kukata kiuno, au kusitisha zoezi la kunyolewa ili dudu ifanye kazi yake.


Lakini basi, kama aliwaza hivyo alikosea kumbe ilikuwa bado, utamu ni pale alipo kuwa ananyolewa eneo la juu, yani lile la kuzunguka kikunde, hapo ilimlazimu Pross kugusa gusa kikude, kwa kidole chake cha kati, ili asikikwangue, mala akiweke kushoto mala kulia mala juu mala chini, uwezi amini ilifikia kipindi Pross aliona vitu kama vijikamasi kwenye kidole chake, lakini akushangaa, yeye akaendeleae na kazi yake, ila sasa muda wote dudu yake ilikuwa ime simama vibaya sana, siyo mchezo mbele ya #kitumbua_chabuku , kama ni angelikuwa doctor basi siku hiyo angevunja miiko ya udoctor, maana asinge kiacha bule bule.


Wote wawili walikuwa katika hali mbaya, kuna wakati Stellah, alihisi pengine Pross akuwa katika matamanio, au labda amekinai, au ajapendezwa na kitumbuwa, hivyo alifumbuwa macho nakutazama dudu ya kijana huyu, akaiona ime simama kweli kweli , ikitazama juu, akatoa ulimi wake na kulamba midomo yake, “Pross ninyoe kwachini”


alisema kwatabu Stellah, huku anatanua miguu kwanguvu na kuinua miguu hiyo akiishilia kwanguvu, na kussababisha, msambwanda uonekane wazi wazi, nikweli kabisa, chini ya kitumbua, karibu kabisa na kwenyemalio, kulikuwa na nywele ndefu tofauti na ilivyo kuwa kwenye kitumbua, hapo Pross akagundua kuwa, kuna sehemu wanawake wanene awawezi kujinyoa wenyewe, wanaitaji msaadawa wawanaume wao, au mtu wakaribu, hivyo basi akaanza kupitisha wembe taratibu, akifwata mstari mkuu ambao unagawanyisha makalio, na kuondoa kichaka kilicho kuwepo eneo ilo, kitendo ambacho kilimfanya Stellah atekenyeke, mtekenyo wenye utamu wake, na baada yakumaliza hapo, Stellah akutaka yapite hivi hivi, aka mashika mkono, Pross na kumvutia kwake, huku akiidaka dudu na kui;llengesha kwenye #kitumbua_chabuku na vile walisha lowa muda mrefu basi dudu iliteleza kama vile kambale kwenye tope, ata alipo sikia simu yake inaita akutaka kuangaika nayo, “simu yako inaita” alikumbusha Pross, ambae alikuwa anapiga kiuno cha nje ndani taratibu, huku mikono yake yote miliwili, ikiwa imelala juu ya matiti makubwa ya mama huyu, vidole viki chezea chuchu zilizomsinda bwana Kipanta, ambae sassa yupo hospital ameshikiliwa poni, “achana… nayo… nitapokea …tukimaliza” ilo ndilo jibu la mwana mama Stellah, mke wa bwana Kipanta, ambae alikuwa ana zungusha kiuno cha kupepeta, mala zungushe kwa juu mala azungushe kwacha, ili mladi kila mmoja wao alikuwa anaupata msuguano.*******


Adella na mume wake Mauricio Fernandez, pamoja na watoto wao wawili, siku ya leo walikuwa njiani, wakielekea tanzania, kwa usafiri wa ndege, ya shirika la ndege la fry emirates, ambako walikuwa wanaenda kwa lengo moja tu, kwenda kumsaidia Rosemary, ambae waliamini kuwa alifanya vile kwa sababu flani nasiyo kwaajili ya mapenzi, kingine Adellah akutaka kabisa mdogo wake kutwe na matatizo zaidi maana ungekuwa kama ushindi kwa Kipanta, tena ni ushindi wa pili, ushindi ambao ungewaumiza sana wazazi wao japo kwa sasa walikuwa wanaondoka Ethiopia, lakini Adellah aliona kamavile bado safari nindefu yani kamavile wanatoka huko ufilipino, kwa jinsi alivyo tamani kuwai kabla keshi aija fikishwa mahakamani, “utakiwi kuwa na wasi wasi, naamini tuta shinda, tena ime kuwa vizuri mgonjwa anaendelea vizuri” alisema bwana Mauricio Fernandez, akimbembeleza mke wake, ambae kiukweli maisha yao yalikuwa ni mazuri yenye upendo na amani, “lakini navyo mjuwa yule mshenzi, lazima atataka kum kandamiza Rose” alisema Adellah akionyesha ofu yake hipo wapi, maana mpaka sasa akuwa na imani na Kipanta ata kidogo, kwa yale aliyo wai kumfanyia au kumsababishia, “yani amesababisha kifo cha kaka, alafu anataka kusababisha mdogo wangu afungwe, nisinge mkubari aya yote yasinge tokea kwenye familia yetu” alijilahumu Adelah, mke wa mfilipino, wenye fedha kama zote.******


Kipanta akiwa hospital juu ya kitanda amevalia lile gauni la hospital la rangi ya blue, ambalo lilikuwa linaachasehemu kubwa wazi, aliendelea kuwaza ili na lile, huku kiasi kikubwa cha mawazo yake kikimuumiza roho, mfano alipokumbuka siku moja nyuma alivyo kuwa anatumbua fedha na Matrida, leo hii anashindwa kujilipia, billy ya hospital, “hivyo ya matumizi madogo mdogo” Kipanta aliichukia ata sauti yake iliyo kuwa ina mjia kichwani, wakati anarusha fedha kwenye simu ya Matrida, “eti million… million ya matumizi madogo mdogo?” alinong’ona Kipanta, kwa sauti ya chini, iliyo jaa machungu, huku akishindwa kuzuwia machozi, na kugeuza uso kwenye godoro, akiishia kung’ata shuka kuzuwia machozi, “huyu jamaa ni msjukuu wa mzee mikana, kule nyumbani” ilimjia sauti ya bwana Side, wakati yule kijana Hamza Mikana, alipo enda kumpatia fedha, na hapo roho ikazidi kumchonyota, “ona kwanza askari wadogo, wanajiwekea misingi ya maisha kiasi cha kusaidia wengine wakati mimi nawekeza kwenye Kifo Ujinga Maladhi Aibu (K.U.M.A..kama ukiitumia vibaya) {samahani kwa fupisho ilo la Kifo Ujinga Maladhi Aibu} alilalamika Kipanta, huku aking’ata shuka kuzuwia kilo, “hivi nitalia mpaka saangapi?” alijiuliza kipanta huku akigeuka na kutazama wenzie waliokuwepo mle ndani, ambao mavazi yao yalikuwa tofauti kabisa na yeye, akatzama kwenye Kitanda cha Side, akalitazama begi la Side, ambalo lilikuwa nafedha alizo letewa na Hamdha Mikana, “hapa nikizubaa nitachekwa mala mbili” aliwaza Kipanta, kisha akainua uso wake kumtazama Hamza, wakakutana macho kwa macho na Side, alie kuwa amelala chali simu mkononi, akionekana kuwa alikuwa anachati, Jicho la Side lilikuwa la kutilia mashaka, hapo Kipanta akamwona Side anachukuwa begi lake na kuzitoa fedha kisha akaziweka kwenye nguo yake ya ndani, du kuna watu ujuwe ata wakiwa na elefu hamsini lazima wahesabu kwa kulamba vidole ata mala tatu, bila kujuwa fedha ilipita wapi na wapi, (ilo siyo lengo la story)”sijuwi chawi?” aliwaza Kipanta, ambae sekunde chache baadae akamsikia Side anaongea na simu, akiwa mwenye furaha tele, “kesho natoka, amekuja mjeda mmoja hivi, mjukuu wa Mikana, wa pale mikoroshoni, ame kata kibingwa ela yote, hivi navyo kuambia dogo anaenda kulala pazuri leo, nayeye ate ndoto nzuri….. unzani pana lalika hapa, yani ngoni ngoni, mpaka majogoo, nitakuwa wakwanza kwenye dirisha la malipo…” ukweli kila neno alilo ongea Side lilimkela Kipanta, ambae aligeuza uso wake na kutazama mlango, “hii ndiyo njia iliyo bakia, siwezi kubakia hapa kiboya, nimeshajifunza mbinu nyingi za kutoroka maadui” aliwaza Kipanta, huku akijipa moyo, “kwaunyama namfilisi Rose, alafu huyu shangani mzee, ata nitafuta yeye mwenyewe, alafu nitamtimua na vitoto vyake, mpaka ajute kuniletea nyodo” aliwazsa Kipanta ambae mawazo yake ayakudumu kwa muda mrefu, yaka ondoka na kupoteza matumaini, ya kutoroka pale hospital, ni baada ya kujitazama lile gauni alilovaa.******


Ukweli mambo nitofauti sana katika dunia hii, wakati Kipanta alie myima raha mkewake kwa miaka mingi, yupo hospital, siyo kwamba anaumwa, ameshikiliwa kwa kushindwa kulipia matibabu, na huku akishindwa kutoroka kwakosa nguo, za kuvaa, na kusababisha kuona masaa ayaendi kabisa, lakini muda ulikuwa mchache sana, kwa kina Pross na Stellah, mfano walipo maliza mchezo pale kitandani na na Stellah kupokea simu ya Joyce, ndipo Stellah akamshika mkono Pross na kuingia bafuni, wakiwa wanahemea juu juu kwa mchezo uliochezeka muda mfupi uliopita, japo ulikuwa wa muda mfupi, lakini ulikuwa mzito, sasa basi, ile kuingia ndani ya bafu la kule chumbani, walishindwa kuvumilia, iliwalazimu kupitisha mchezo kule kule bafuni, mchezo ambao Stellah ulimfanya atamani kijana uyu, ahamie pale nyumbani kwake, mchezo ambao licha ya kuwa na bafu ili kwa miaka mingi, lakini ukweli akuwai kufikilia kuwa linaweza kuwa ni sehemu nzuri ya kueana dudu, naomba nisimulie kidogo kipande hiki, Mala baada ya kuingia bafuni walianza kuoga taratibu, wakiwa uchi wa mnyama, ungesema mama na mwanae wanaogeshana, wakitumia bomba la mvua, wakianza kwa kuonekana aibu, lakini aibu iliondoka ghafla baada ya Stellah kuomba kitu kwa Pross, “Pross nisugue mgongoni” alisema Stellah, akimkabidhi dodoki la wavu wavu, na kumgeuzia mgongo, hapo Pross akaanza kupitisha lile dodoki taratibu, akianzia juu kabisa kwenye shingo na kushuka naloi taratibu, akizugua mgongo wa mama huyu, mpaka usawa wa mbavu changa hapo ndipo Stellah alipoona utofauti wa kuoga mwenyewe na ule wa kuogeshwa, maana wakati dodoki linapita mbavuni, alihisi mtekenyo flani ambao ulinsababisha ainue mikono yake na kufunuwa kwapa, kama vile njiwa anataka kutuwa, hapo Pross aka juwa kinacho takiwa, hivyo aka anza kupita dodoki, akitokea nyuma ya Stellah, kwa kuzungusha mkono wake mpaka kwenye matiti, na kusuguwa suguwa kidogo, huku mwili mzima wa Pross ukiwa umeugusa mwili wa Atellah, ulio jawa na povu la sabuni, yani kifuwa chake kikiwa kime ugusa mgongo wa mwana mama huyu, huku dudu pia ikiwa ina papasa papasa makalio ya Stellah, na kuzidi kumletea shida, kwamitekenyo isiyo umiza, na uzalendo ulimshinda Stellah, pale Pross alipo leta dodoki kwenye kwapa, na kuyasugua taratibu, kabla aja shusha kiunoni, lile eneo la kuvalia shanga, hapo Stellah mwenye akapeleka mkono nyuma na kuishika dudu ya Pross, na kuanza kuichezea taratibu, “nisamehewe jamani huyu mtoto atajuta kunifahamu, yani kila anaponigusa anahamsha mashetani” aliwaza Stellah, huku anaendelea kuchezea dudu ya Pross, ikiwa ni maandalizi ya kuilengesha kwenye kitumbua chake, maana sekunde chache baadae wakiwa wamesimama chini ya bomba la maji ya mvua, (waswahili tunavyo itaga) Stellah akainama kidogo, na kubinua kiuno, akiacha kitumbua kikiwa kinaonekana kwa nyuma kisha aka ilengesha dudu ya Pross kwenye kitumbua chake, na kujirudisha nyuma kidogo, na dudu ikatelezea ndani, kweli sisimizi uwa asahau tundu lake, ata ipite miezi kadhaa, hapo kazi ikaanza upya kama vile aikufanyika hapo mwanzo. ya huko tuwaachie wenyewe.*********


Naam baada ya kupiga simu bila kupokelewa, Joyce alikaa nusu saa na kupiga tena simu kwa Stellah safari hii iliita kidogo na kupokelewa, “Hallow dada habari?” ilisikika sauti ya Stellah,iliyo jaa afya ya furaha na amani, hapo Joyce akatabasamu mwenyewe, “nzuri tu dada, zakwako” alijibu Joyce kwa uchangamfu, “mi nipo poa kabisa, karibu tule” alisikika Stellah, ambae bila kuuliza unge ujuwa utofauti uliokuwepo kwa sikumbili hizi, yani alipoongea nae mala ya mwisho na anapoongea nae leo, kitu ambacho kilimtia mashaka kidogo Joyce , maana anajuwa jinsi Stellah, anaavyo mpenda mume wake licha ya yote anayo fanyiwa, lakini leo inakuwaje mume wake yupo kwenye matatizo na yeye awe mwenye furaha vile, “asante wangu, naona leo umejawa na fauraha au mzee karudi nyumbani?” aliuliza Joyce ikiwa kama kutafuta habari, “arudi amesahau nini, yupo hoapital huko” alisema Stellah na hapo Joyce akajifanya kushangaa, “hospital, kwani anaumwa?” aliuliza kwa mshangao, na kusubiri jibu, “auwe wapi ni mambo ya kujitakia, na sikia yule rafiki yako amemwekea daawa kwenye kinywaji, kisa alimfumania na mwanamke mwingine” alisema Stellah, akionyesha kuto kujari, “sasa dada mbona uonyeshi kushtuka?” aliuliza Joyce kwa mshangao, wakweli, maana alichokijuwa ni kwamba siku zote mama huyu alikuwa anampigania mumewe, “wewe ungweza ata hao watoto watanionaje sasa, ni kiunae sana au, tena naona kama unanisanifu, maana habari zimetapakaa koooteeeee” alisema Stellah, na hapo Joyce akajuwa ni kweli mama huyu alisha mchoka mwanaume huyu, ambae kiukweli ata kama angekuwa yeye asinge kuwa na hamu na mwanaume kama huyu, hapo wakaagana na kukata simu.


Hapa wakumsasidia Rose ni matrida peke yake, ndie takae eleza ukweli au kuupindisha ukweli, aliwaza Joyce huku ana tafuta namba ya Matrida kwenye simu yake, lakini kabla ajaipiga akakumbuka kuwa aliibiwa simu kwenye tukio ilo, hivyo akaona chamsingi ni kesho kwenda kituoni akamsalimie Rose ili wapange namna ya kumshawishi Matrida amsaidie kumtoa kwenye matatizo hayo……








Maana aliamini kuwa Matrida anaweza kuwa upande wao, akujuwa kuwa Matrida amesha pewa ushawishi wa nguvu, na kumgeuka Rose.******


Naam saa moja na nusu, Kipanta akiwa kwenye kitanda chake, kwenye kile chumba cha wangojeao, akishuhudia pilika pilika za bwana Side alie kuwa anakamilisha malipo yake, ili aondoke zake, na ata alipomaliza mida ya saa mbili na nusu, Kipanta akamwona yule askari wa jana yani bwana Mikana, ana kuja kumchukuwa Side, “samahani kijana nakuomba mala moja” alisema bwana Kipanta akimwita Mikana, ambae alimsogelea, “mimi nicaptain Kipanta” alijitambulisha Kipanta, huku akitaja kikosi alicho fanyia kazi, kabla aja staafu, lakini akusema kama amesha staafu, “unajuwa jana nilikuwa na kutazama sana, naona mbona kama ninakufananisha” alisema Mikana akionyesha kumfahamu bwana Kipanta, “tulikuwa wote sudani mwakajana” alikumbusha Mikana, “ok! kijana sasa mimi nina tatizo kidogo” alisema Kipinta, na kuanza kumsimulia Mikana yaliyo mkuta, huku akificha baadhi ya mambo ikiwa ni kutlekeza familia, “yani yule demu amekomba kila kitu mpaka card yangu ya benk, amenikwamisha kila kitu” alilalamika Kipanta akimsukumia zambi Rose mary, “sasa nime kwama fedha ya kulipia matibabu, na uhakika nikitoka hapa ninapata fedha yangu, maana yule Malaya amesha kamatwa na polisi” alisema Kipanta akionyesha kuwa anaitaji msaada, “sasa afande mbona hiyo ni inshu ndogo sana” alisema Mikana, na kuanza kumpa msaada wa kiutaratibu, na kitu cha kufanya, ili kuondoka pale hospital, “kwahiyo inabidi niwaone polisi ili wao waende wakaniombee msaa wa mkpo wa matibabu?” aliuliza Kipanta, kwa sauti ya kuto kuamini, alicho ambiwa, “tena ata humu usinge ingia, ungekuwa umesha toka” alisema Mikana, na hapo wakaagana na Mikana akaondoka na bwana Side.*****


Naam usiku ulikuwa mfupi sana kwa upande wa Stellah na Pross, walijikuta wana hamka, saa mbili asubuhi, wakiwa wamechoka kweli kweli, ni baada ya kuvurugana usiku kucha wakirudia tendo mala kazaa, huku wakisindikizia kwa wine, mpaka walipopitiwa na usingizi pasipo wao kujuwa ilikuwa saangapi, bahati nzuri Stellah alisha andaa supu, ya nguvu, kwaajili yao, maana alisha juwa kuwa kuna kazi ngumu usiku ule, ni kweli baada ya kuoga, walipata supu, wakiwa nusu uchi, maana walijuwa chochote kina weza kutokea muda wowote, ni kweli baada ya kumaliza kupata supu na kuona nguvu zime warudia, wakaangusha madafu kazaa pale pale sebuleni, hakika kama Kipanta ange shuhudia, jinsi kijana alie mwajili kama mlinzi wa shamba la hawara yake Rose, yani kijana Pross, anavyo jiachia na mke wake, nazani ange lia hadharani.


Saa tatu na nusu, ndio muda ambao Pross na Stellah waliachana maeneo ya stendi pale kibamba hospital, ambapo Pross alipanda gari kuelekea mbezi, ikiwa ni safari ya kuelekea kisalawe, huku Stellah akielekea kibamba ccm, akiwa na mzigo mkubwa sana kwenye gari lake, mzigo wa mabegi, sijuwi alikuwa anaupeleka wapi.******


Nikweli mida hii tayari Polisi walisha fika kwaajili ya kumchukuwa Kipanta, ili waondoke nae, kueleka mahakamani, lakini ikabidi aombe msaada wa kuwaona ustawi wajimii, akieleza kuwa kutokana na kuibiwa fedha na kadi ya benk, asingeweza kulipia matibabu, hivyo anaomba aluhusiwe kutoka, na ataleta fedha akisha fanya utaratibu wa kuchukuwa fedha kwenye account yake, ni kweli kwa msaada wa insp likafanyika ilo, na bwana Kipanta aka achiwa, ili akashugulikie vitu vyake vilivyo potea, ikiwa card yake ya benk, na simu zake, ambazo pia alisema zime ungwa kwenye Simu benk. japo yeye mwenyewe alijuwa anacho kiongea niuongo mtu, kama accont ilikuwa na fedha na angeitoa fedha hiyo yeye asinge bakia na fedha ata kidogo.


Sasa tatizo likaja lingine, ni kwamba akuwa na nguo ya kuvaa, ata ondokaje pale hospital na saa tano kamili anatakiwa mahakamani, ambako Rose alikuwa anasomewa shitaka lake, lakini bahati ikawa upande wao, maana wakati wanaanza kuwaza watapata wapi japo nguo yoyote, mala wakamwona askari wa suma JKT ambao wanausika na ulinzi pale hospital, akijana huyu ambae alisha pitia mafunzo JKT, aliemda moja kwa moja kwa insp, na kumpigia salut, “sahamani afande kuna inshu moja hapa inabidi uitatue, kuna mama mmoja amekuja na kuleta mabegi, sita yanguo na viatu, anasema kuwa ni ya huyu bwana Kipanta, tulimzuwia kuyaacha, lakini ukweli aliyashusha toka kwenye gari, na kuondoka zake akidai kuwa akabidhiwe kipanta mwenyewe” alisema yule askari, na hapo insp akatabasamu kidogo, na kumtazama Kipanta, “bwana Kipanta, maelewano yako na mkeo yapoje?” aliuliza insp ambae sasa alianza kuingiwa na mshaka, pengine mke wa bwana Kipanta anausika na swala lile nasiyo mschana Rose, kama ilivyo elezwa mwanzo, maana ata maelezo ya Kipanta na Matrida yalipishana kidogo, “afande ebu achana nae huyo mpuuzi nita pambana nae nikitoka mahakamani” alisema Kipanta ambae akuwa ameelewa kinachoendelea, hapo insp alicheka kidogo, maana kama anejuwa kuwa ameletewa mabegi yake pale basi asinge sema upuuzi wake, “ok! naona shemeji amekuletea nguo, twende ukabadiri, ili tuwai mahakamani” alisema insp huku akiona wazi kuwa ndoa ya bwana Kipanta ilisha yumba asa kutokana na tabia za mzee huyu.******


Naam mpaka Saa tano za asubuhi, Kinta alikuwa ajafika eneo la mahakama, hakimu aliingia mahakamani, na kusoma shitaka namba hiyo hiyo, linalohusu kesi ya kuweka dawa kwenye kinywaji, na kuiba, ambapo mshtkiwa akutakiwa kujibu kitu sababu bado uchuunguzi, ulikuwa unaendelea, kwa maana ya kwamba ushidi ulikuwa auja kamilika, hivyo kesi ika ailishwa mpaka siku saba mbele, na Rose akaridishwa mahabusu, na mpaka watu wanatoka pale mahakamani, bado kipanta akuwa ameonekana pale mahakamani.


upande wa Joyce aliona kuwa hii ndiyo nafasi, ya kumwona Matrda, ili wazungumze jinsi ya kumsasidia Rose, na kumfanya atoke mahabusu mapema, au kumaliza kesi ile, lakini alipo jaribu kumuwai ili aongee nae juu ya swala lile, Matrida akutaka ata kumsikiliza Joyce, “Matrida unafahamu fika kuwa Rose ajafanya hivyo, kwanini unataka kumfanyia hivyo lakini” alilalamika Joyce wakati Matrida anapanda kwenye gari la mmoja wa rafiki zake walio mshawishi kujipigia fedha kwa Rose, huku baadhi ya watu wakimtazama Joyce kwa mshangao, ukweli Joyce alionekana akilitazama gari alilopanda Matrida kwa macho, yaudhuni na machungu, Joyce alilisindikiza mpaka gari lile likaoweka kabisa, hapo watu waliokuwepo pale walimwona Joyce akifuta machozi, nakuanza kuondoka, lakini akupiga hatua mbili, akashtuka ameshikwa bega, “samahani dada wewe ninani yake Rose?” alisikia sauti tulivu yakike, Joyce kabla ajajibu, akageuka na kumtazama alie uliza, alikuwa ni mwanamke flani, ambe ukiachilia uzuri wake, ila alionekana kuwa mwanamke huyu, ni mtu mwenye maisha mazuri, yule mwana mke akuwa oeke yake alikuwa pamoja na watoto wawili ambao walishikwa mikono na mwanaume mmoja kwenue hasiri ya Filipino.******


Hivi Kipanta alikuwa wapi na kwanini akuonekana mahakani, ebu tufwatilie, kwanza ilikung’amua, ilikuwa hivi, baada ya kufika nyumbani kwake Stellah, alisimamisha gari nje ya nyumba, na kuingia chumbani kwake, moja kwa moja akajirusha kitandani, akihisi kuitaji kupumzika, alitamanik kuchukuwa simu yake ampgie Pross amwulize kama amesha fika lakini akaona kuwa kijana huyu atakuwa bado yupo njiani, na wakati huo akaona macho yanaanza kuwa mazito, lakini ile anaanza kuisi macho mazito, mala akasikia simu ina ita, akaitazama namba ya mpigaji, akaona kuwa ni namba ngeni, akaipokea na kuweka sikioni, hallow ni mwalimu stellah hapa nani mwenzangu” aliongea mwalimu Stellah, yani demu wa Pross, “habari za kazi mwalimu” ilisikika sauti ya kiume pande wa pili, “nzuri, samahani lakini ujajitambulisha wewe ni nani” alisema Rose, ambae aliona kuwa ni sumbufu, “ya mimi insp wa polisi, nilisha kutafuta sana, lakini atukufanikiwa, na tumepishana kidogo sana, hapa hospital, namba uje mala moja utusaidie katika maelezo ya bwana Kipanta” ailiongea ile sauti ya upande wapili, “samahani we baba, maelezo ya huyo bwana nitoe mimi, wakati sikuwanae huko kwenye uzinzi wake?” aliuliza Stellah kwa sauti ya mshangao, “sawa aukuwa nae, lakini wewe sindie mke wake?” aliuliza insp, “ebu mwulizeni kama ana mke ambae ni mwalimu” alisema Stellah, ikibakia kidogo akate simu, lakini kabla aja kata simu akasikia asauti ya insp safari hii ikiwa tofauti kidogo, “sasa mama ni hivi, hii ni amri, unaitajika hapa hospital kwa mahojiano, maana wewe ndie ule leta nguo hapa hospital na kusababisha mshtuko kwa bwana Kipanta, na hivi tunavyo kuambia, amerudishwa wodini, kwa huduma za kwanza, ili kumrejesha fahamu, “sahamani sijuwi kaka au sijuwi mwanangu, kuna utaratibu wa kumwita mtu kuja kutoa maelezo, ya kipolisi, na na katika miito hiyo akuna wito wa simu, lakini sawa ninakuja kukueleza juu ya hizo nguo, japo nilisha mweleza toka jana kuwa ninge mletea leo asubuhi” alisema Stellah huku anainuka toka kitandani na kuelekea nje akipitia funguo mezani, “usumbufu tu angejuwa mwenzie nilivyo choka” alijinung’unisha Stellah, wakati anatoka nje.*****


Pross mala baada ya kuingia kwenye dala dala, ya kibamba mbezi, ghafla ikamjia kumbu kumbu ya mwana dada Rose, mwanadada ambe amewonyesha upendo wa ghafla, na kisha kutoweka, pasipo simu wala kuja kumtembealea tena, japo akujuwa kama kule alikotoka pengine ange tembelewa na Rose, aliamini kuwa kama angekuwa anaenda kule shambani, ange mpigia simu, “alinidang’anya kuwa anaenda kutafuta mfanyakazi alafu mimi nikakae kwake anisomeshe” aliwaza Pross, ambae ukiachilia ahadi za Rose yeye akuwa na mpango nazo, kikubwa alitokea kumpenda sana Rose kuliko Stellah, ambae aliamini kuwa penzi lao lisinge kuwa huru, na kujionyesha mbele za watu, kama vile ambavyo wange fanya na Rose, japo alitambuwa kuwa Rose ni mpenzi wa boss wake, ila aikumpa shida sababu Rose alisha jieleza kuwa alikuwa kwa Kipanta kulipiza kisasi.


PPross aliwaza mengi juu ya Rose, na ukimya wake, mpaka alipokuwa anaingia mbezi stendi, ndipo akakumbuka siku iliyopita, alimwona mtu anae fanana na baba yake pale mbezi, akapanga kuwa makini sana leo, kutazama kama ange mwona, na pengine ange jaribu kwenda kumwuliza kama anamfahamu bwana Vitus Feruz, lakini mpaka anaingia kwenye basi la gongola mboto akuweza kumwona yule mtu, na basi likaondoka kuelekea barabara ya malamba mawili, lakini wakiwa wanakatiza kwenye kile kidaraja cha kwenda malamba, ndipo Pross alipo waoana watu kadhaa wenye madumu kama yale aliyo mwona nayo yule mzee wajana, wakiwa wanachota maji ya mtoni na kupandisha nayo, barabara ya zamani, lakini alipotazama vizuri akumwona yule alie fanana na baba yake, Pros akapotezea mawazo hayo, na safari ikaendelea, huku mawazo mchanganyiko yakimjia kichwani, kwanza juu Rose pili juu ya mwanamama Stellah, ana pata ujasiri wa kuvua nguo mbele yake.********


Insp alikuwa nje ya chumba cha wagonjwa wa dharula, akionekana kutingwa na amambo yaliyokuwa yanaendelea, Insp alikumbuka kauri ya bwana Kipanta kuwa “huyo mwana mke achana nae, nitaenda kupambana nae nikitoka mahakamani” sasa basi kichekesho pale walipo enda kutazama hizo nguo alizo ambiwa ameletewa, ile kipanta kuona mabegi sita, hapo hapo akaonekana analegea, na kosa polisi mmoja kumdaka, basi ange jibwaga chini vibaya sana, akiwa amesha zimia, na wakamkimbiza kule emrgence kwenda kupata huduma ya kwanza.


Hapo ndipo insp alipoisi kilio msibu bwana Kipanta, ni kwamba alikuwa amefukuzwa nyumbani kwa mke wake, na kwamba licha ya kustaafu, huyu bwana akuwa na pakuishi, ndipo alipo alipo amua kumwita mke wa Kipanta, ili ajaribu kumshawishi amsamehe huyu bwana ambae mapaka sasa asinge weza kwenda mahakamani…






ITAENDELEA




0 comments:

Post a Comment

Blog