Search This Blog

Monday 19 December 2022

MWALIMU ALITAKA - 4

  


Chombezo : Mwalimu Alitaka 


Sehemu Ya Nne (4)




Ambayo aikudumu kwa muda mrefu ikakoma, hapo mwalimu Haule akaongeza mwendo, na ile anaufikia mlango, akasikia kilio kwa mbali, “atukukubariana hivi Michael, ona sasa ume fanya nini?” ilikuwa nissauti ya mwalimu Jackline iliyoa mbatana na kilio cha chini chini, “samahani mwalimu nilishindwa kujizuwia, ata wewe mwenyewe uliona” ilikuwa ni sauti ya kiume iliyo kuwa inaomba msamaa kwa kubembeleza.


Hakika mwalimu Haule akajikuta amejawa na ghadhabu kubwa sana iliyo ambatana na hasira kali, “umeshindwaje kujizuwia, mpaka ufanye bila lukasa yangu, yani nimekuamini alafu wewe unafanya hivyo, alafu anakuambia mwenzio naumia wewe unazidi tu! ona sasa ume nimumiza kiasi hiki” alisikika mwalimu Jackline akilalamika, “pumbavu kumbe umebaka, mshenzi Njwanga wewe” alisema kwa sauti iliyo jaa jazba mwalimu Haule huku anajaribu kusukuma mlango wa nyumba ile ya mwalimu Jackline, na bahati ilikuwa upande wake, maana wawili wale awakukumbuka kuufunga mlango ule, wakati walipoanza kufanya mambo yao,


Naam kumbe basi, Michael baada ya kushindwa kuingiza kichwa na dudu kupitiliza ikienda kuchana zile karatasi la plastic, (nailon) ambazo ufungwa kwenye vitu vipya, na Jackline kupiga kelele, ambazo Michael akuzijari, nakuendelea kupump, mpaka alipo shusha mzigo, wa miaka na miaka, kisha kuanza kusomeana mashataka ya kwanini uliingiza yote, wakati nilikuambia kichwa peke yake, ndipo ghafla waliposikia mwalimu sauti toka nje ya nyumba usawa wa mlango, “pumbavu kumbe umebaka, mshenzi Njwanga wewe” hapo Michael ambae alijuwa tayari anakesi ya kushiriki mapenzi akiwa shuleni, aliekuwa bado amevalia suruali yake ya jinsi, pasipo shati lake, akainuka ghafla na kutazama mlangoni, huku akipandisha suruali yake, huku mwalimu Jackline nae akiweka gauni lake vizuri haraka haraka, kuzuwia sehemu nyeti zisionekane yani kifua na kitumbua, huku akiangua kilio cha chini kwa aibu ya kufumaniwa, na siyo ile ya mwanzo ya kuingiziwa yote, wakati yeye alikuwa anataka kichwa.


Michael na mwalimu Jackline wakamwona walimu Njwanga anaingia mle ndani akiwa mwenye hasira kali, “we! mwanafunzi mshenzi unadiriki kumbaka mwalimu wako” alisema mwalimu Haule, huku anamfwata Michael na kunasa kibao kikali, “hapana mwalimu naomba kwanza tuyaongee siyo hivyo…” alisema mwalimu Jackline, huku anajitaidi kuinuka na kushindwa kutokana na maumivu, ya kutolewa ile bikira kongwe, pia alichelea kukaa uchi mbele ya njwanga, maana lile gauni alikuwa amejiziba ziba tu, “kaa kimya mwalimu, uwezi kumtetea huyu mshenzi, nime sikia kwa masikio yangu, na nimeona kwa macho yangu, lazima huyu mshenzi apewe adhabu kali sana, yaubakaji” alisema mwalimu Haule huku akiuvuta mkono wake, kwanguvu na kuuvurumisha tena shavuni kwa Michael nacho kika sikika paaa!, “lakini mwalimu sikuwa kusudio lake…” alijaribu kuongea mwalimu Jackline ambae ashindwa kuinuka, na kumwona mwalimu Haule akianza kumkokota Michael kumtoa nje ya nyumba ile.


Walifika nje vizuri tu, wakimwacha mwalimu Jackline anaendelea kujililia, mle ndani mwake, na mwalimu Haule akaanza kumkokota Michael kumpeleka usawa wa kule bwaloni, ambako ndio kuna madarasa na maofisi, “Njwanga mkubwa naenda kukufungia ofisini mpaka Kesho utakapokuja kuchukuliwa na polisi” alisema mwalimu Haule, huku akimtandika teke Michael, Hapo kengere ya tahadhari ika gonga kichwani kwa Michael, ambae alijuwa kuwa kosa la mwanzo lilikuwa ni kushiliki mapenzi akiwa ni mwanafunzi, lakini lime vuka mpaka ubakaji, kwa hiyo hapo adhabu ya kaiwada ni kutimuliwa shule, na siyo kitu kingine, sasa aya makofi na mateke anayopigwa yana maana gani, si anaweza kuumia nab ado akachukuliwa hatua za kinizamu, “sasa walimu si umesha nikamata, kwanini unaendelea kunipiga?” aliuliza Michael kwa sauti ya kulalamika, “kelele we Njwanga, siunajifanya kidume sana, mbo.. inakusimama kuliko wanafunzi wote” alisema mwalimu Haule, huku anavurumisha tena mkono wake akilenge kofi la kisogoni kwa mwanafunzi wake huyu, ambae akujuwa kama uvumilivu wake una kikomo.


Mwalimu Haule alishtuka yule mwanafunzi akiponyea kidogo, na lile kofi lake lika pita na yeye akapitiliza nusu ajibwage chini, akageuka kwa haira, “una nikwepa mimi we mshenzi” alisema mwalimu Haule kwa hasira, ambayo mimi nawewe tuna fahamu ni kwanini, ni sababu alikula kitumbua ambacho yeye alikuwa amekipigia mahesabu, akamwona mwalimu anaufwata mti mmoja wa mwalobaini, na kukwanyua matawi kadhaa, ambayo ni wazi alitaka kuya fanya kuwa fimbo, akaunganisha viboko viwili, na kuvishika mkono mmoja, kisha akamfwata Michael ambae ata yeye mwalimu alishangaa, maana kwa mwanafunzi mwingine mkorofi angekuwa amesha kimbia, lakini huyu eti bado alikuwa amesimama anatazama tu.


Mwalimu Haule bila kujiuliza akavurumisha fimbo zile kuelekea kichwani kwa Michael, ambae aliwai na kuzidaka, hapo ndipo mwalimu Haule aliposhtuka na kumtazama mwanafunzi yule usoni, akamwona akiwa amekunja sura kwa hasira, “yani kabla ata ujalipia makofi uliyo nipiga wewe unaongeza viboko vingine” aliongea Michael, kwa sauti nzito iliyojaa hasira, na hapo ndipo mwalimu Haule alipogundua kosa lake, ambalo ni kuamini kuwa ata weza kumwazibu na kumalizia hasira zake kwa mwanafunzi huyo sababu yeye ni mwalimu na yule mwanafunzi alikuwa ni mkosefu, “unatakakunifanya nini we Njwanga….?” Kabla ata ajamliza kuuliza, mwalimu Haule alishtuka akifyetuliwa miguu yake yote miwili, ambapo alipaa juu na kujibwana chini akifikia kiuno, na ile anataka kupiga kelele za kuomba msaa kwa mlinzi babu Ndolite akashtuka mguu peku peku wa Michael ukikita usoni kwake, ata alipopanua mdomo, ilikuomba msaada, alishtuka mdomo ukijaa maji maji yenye chumvi na vipande vingumu kama punji za maini makavu, hapo mwalimu akajuwa kihama chake kime fika, na kujiuliza kweli huyu ni mwanafunzi au ni mtu alie tumwa kuja kumkomoa, maana alipigwa kimya kimya mpakaanza kuona mbavu zina mbana, na kuanza kukosa pumzi, huku macho yakiwa mazito.


Haule alitamani kumweleza mwanafunzi wake kuwa amsitishie kipigo, maana hali yale inakuwa mbaya, lakini akuweza kutoa sauti sababu mbavu zilibana, hivyo akabakia anapokea kipigo, mpaka alipozidiwa na macho yake kufunga, pasipo kujuwa kina choendelea. ********


Mwalimu Jackline ambae sasa alianza kujilahumu, kwa kumlalamikia Michael, kwakile alicho kifanya cha kuingiza yote, na kupelekea kuhisiwa kuwa amebaka, aliinuka na kukusanya kila kitu kilicho mhusu Michael ikiwa ni ile glip bandage sendo na lile tishet, kisha aka enda kuviifadhi ndani ya begi lake, aka fuwa gauni lake ambalo lilichafuka kwa damu, na kisha akafunga mlango na kulala zake, huku akiwaza namna ya kumtoa Michael katika matatizo, huku ana yeye akiwaza hatima yake endapo atasema kuwa alikubariana na mwanafunzi yule kufanya ngono, maana lazima ange fukuzwa kazi, na yeye kukosa fedha ya kuendea chuo, “lakini siyo mbaya nita mtetea, ninaweza kupata shule nyingine ya kufundisha, ila Michael akifukuzwa itakuwa ni hatari kwake, sababu ni mwaka wa mitihani, alafu ata nilahumu Maisha yake yote kwa kumwaribia masomo yake”****


Upande wa Michael baada ya kumtandika vya kutosha mwalimu wake, aliemwacha akiwa amepoteza fahamu, aliondoka zake na kuwai bwenini, ambako alienda kuoga na kujilaza kitandani kwake, pasipo kuonwa na mwanafunzi yoyote, lakini ukweli nikwamba pale kitandani, akuweza kupata ata tonye la usingizi, siyo kwasababu, bweni lao lilikuwa karibu na bwalo la disco, hapana, nisababu alikuwa anawaza hatima yake, hapo Kesho, ukiacha hatima yake kwa wazazi wake ambao sio kuwa heshimu pekee ila pia alikuwa anawaogopa pia, kutoka na maonyo aliyokuwa anapewa kila siku, na ukichukulia ni mwezi mmoja umepita toka afukuzwe Songea boys kwa kosa, linalousiana na ilo.


Disco liliisha, Michael akawasikia wanafunzi wakirudi na kuingia ndani, wakilala kwenye vyumba vyao, yeye bado alikuwa macho, ata jogoo la kanza lilipowika, yeye alilisikia akiwa bado ajapata usingizi, saa kumi na moja kasoro ndio muda alio pata usingizi, na kuamka saa moja kasoro, ambapo aliwaona wenzake wanajiandaa kwenda kanisani, huko Namtumbo mjini, lakini kuna tetesi zilisikika kuwa mwalimu wa Njwanga ameokotwa njia ya kwenda kwa walimu, akiwa amezimia, hivyo amekimbizwa hospital.


Michael akatulia kusikilizia msala, mpaka mida ya saa nne, mida ambayo, kilitokea alicho kitarajia, maana polisi watatu walikuja pale shuleni na kumkatama Michael……






Baada ya mwalimu wa nidhamu kuzinduka na kutoa maelezo yake, kuwa alishambuliwa na mwanafunzi alie mkamata akiwa ana mbaka mwalimu wake, Michael alishikiliwa na polisi kwa masaa saba, mpaka saa kumi na moja, muda ambao baba yake alikuja pale kituo Namtumbo akitokea songea mjini, kilomita sabini na moja, akiongozana na mke wake, ambao waliongea na kumalizana na jeshi la polisi, kwa madai kuwa wanaongea na mwalimu ili wa yamalize, pia ambao walikubariana wampatie mwalimu haule shilingi laki moja ya matibabu, ikiwa ni kumaliza kesi ya kumpiga mwalimu, lakini ngoma ilikuwa nzito, kwenye maamuzi ya kesi ya pili ya ubakaji, maana bodi ya shule ilimkalicha chini mwalimu Jackline, na kumhoji, juu ya kilichotokea, nae akaeleza kwa kifupi kuwa alimchukuwa Michael kwa lengo la kumfanjyia huduma ya kwanza, lakini kwabahati mbaya, wakaangukia kwenye ngono.


Maelezo hayo yalipingwa vikali sana na mwalimu Haule, ambae lidai kuwa mwalimu Jackline anamtetea yule mwanafunzi, na kwamba aliwasikia kwa masikio yake wakilahumiana na mwalimu Jackline akilia kuwa amebakwa, “hivyo ukapitishwa uhamuzi wa kuendesha mahakama ya shule, huku mwalimu Jackline akitakiwa kukaa kimya, pasipo kutoa ushaidi wowote, maana angeiingiza shule katika kashfa kubwa ya kwamba wwalimu wake wakike wanatembea na wanafunzi wakiume, siku ya kusikiliza huku ya Michael pale shuleni, ikiwa ni maamuzi ya bodi ya shule, mama yake ndie alie kuja, na ndio siku aliyo mwona huyo mwalimu alie bakwa na kijana wake, yani mwalimu Jakline Peter Mbilinyi, “mzazi wa mwanafuni Michael Eric, body ya shule iliunda kamati ya dharula kuchunguza kosa alilofanya mwanao, la ubakaji, na imebaini kuwa ni kweli alibaka, kwa kosa ilo, tume mfukuza mwanao shule hii, labda kwa msaada wako, unaweza kuchukuwa uhamisho kama utaona inafaa, nakama ujalizika na maamuzi ya bodi ya shule basi unaluhusiwa kwenda kwenye ofisi za wazazi, kukata lufaha.


Naam mama Michael ambae ndie mzazi alie udhuria kikao hicho cha mahamuzi, alimtazama mwalimu Jackline, ambae alikuwa ametazama chini, kisha akamtazama mwenyekiti wa mahakama ile, “sidhani kama nitakuwa na Malalamiko, juu ya ilo, naomba mnisaidie uhamisho” alisema mama Michael, ambae mwisho alimtazama tena mwalimu Jackline na kumweleza, “samahani mwalimu kwa kilicho tokea, naomba tukitoka hapa tuonane, ilituongee kidogo” alisema mama Michael na Jackline akaitikia kwa kichwa, hakika alijiona ni mthariti mbele ya Michael.


Ikawa hivyo, mama Michael akapewa uhamisho wa kijana wake, na kabla ajaondoka eneo lile la shule, akakutana na Jackline, “pole sana binti yangu, najuwa nikosa langu kumfanya Michael afikie hatua ya kubaka, sababu nilimuweka mbali na wanawake, kama ange kuwa amesha wazowea, asinge fanya aliyo yafanya, pia msamehe na yeye maana ni binadamu, sizani kama ange weza kuvulia kwa uzuri ulionao, mkikutana msemeshane, isiwe ni ugovi wa milele” alisema mama Michael, huku Jackline nae akitamani kueleza ukweli harisi, kuwa akubakwa lakini walifanya makusudi, na kukiuka mashariti, lakini akajikuta anashindwa sasbabu mwalimu Nyoni pia alikuwa karibu yake, “japo siyo tiba lakini pokea kiasi hiki kidogo, ukanunue sabuni” alisema mama Michael huku anatoa shilingi elfu hamsini kwenye mkoba wake na kumpatia mwalimu Jackline ambae kwa kipindi hicho ilikuwa ni mishahaa yake mitatu na kidogo, “hapana mama yangu siwezi kupokea fedha hii, nina demu kubwa la kushindwa kumlinda Michael asiingine kwenye matatizo” alisema Jackline na kuondoka zake, machozi yakimtoka, huku mwalimu Nyoni akishangaa kwa upumbavu wa mwalimu mwenzie kukataa fedha ile nyingi.


Mwanzo kitendo kile mama Michael alikichukulia kama hasira alizokuwa nazo ndizo zilizo mfanya akae fedha na kuongea maneno yale, lakini wakiwa njia na Michael ambae alisha kusanya kila kilichokuwa chakwake, mama huyu alie kuwa amekaa pembeni ya Michael alie kuwa anaendesha gari, akayakumbuka maneno ya mwalimu Jackline, “hapana mama yangu siwezi kupokea fedha hii, nina demu kubwa la kushindwa kumlinda Michael asiingine kwenye matatizo” yalikuwa maneno ambayo akuya pasa ayachukulie juu juu, “hivi Michael ebu nambie, ilikuwa je uka ukafanya kitendo kama kile kwa mwalimu mstaarabu kama yule?” aliuliza mama Michael mke wa mzee Eric ambae nitajiri mkubwa asie mbwembwe pale mjini Songea, “mama kwanza elewa kuwa sija mbaka, ila yule mwalimu alie tukuta ndie alie lazimisha ionekanae hivyo” alijibu Michael, kwa sauti yenye msisitizo, “kwa hiyo Michael ulishindwa kuwaona wanafunzi wenzako mpaka uka enda kubaka mwalimu?” aliuliza mama Michael ambae aliumia rohoni mwake kila alipo mkumbuka yule mwalimu na jinsi alivyoongea wakati wanaachana huku akionyesha wazi kuwa alikuwa na machungu makubwa sana, maana ata machozi yalikuwa yana mtoka, mama naomba unielewe sija mbaka mwalimu ila mwalimu alitaka mwenyewe” kauri hii yenye msisitizo ilimfanya mama Michael acheke kwa machungu, “ona ulivyo mjinga, yani wewe kazi yako ni kuwa fwata wanawake ambao ni wastaarabu, mala siter wa kanisani, mala mwalimu wawatu, tena mzuri binti yule masikini, ebu nieleze ilikuwaje sasa mpaka ukaambiwa ume mbaka” alisema mama Michael na hapo Michael akaanza kumsimulia mama yake kisa kizima, kilivyo kuwa huku akiedit baadhi ya mambo yaliyofanyika, “sasa nika muuza ndio akaanza kulia na kunilahumu, na wakati huo huo yulemwalimu akaja, na kusema nime baka” aliitimmisha Michael na hapo mama Michael ndio akajuwa maana ya maneno ya mwalimu Jackline, “masikini kwa hiyo ume mwaribia uschana wake, dah! Inge kuwa amri yangu ungemuowa yeye” alisema mama Michael kwa uzuni kubwa.


Naam huo ndio ulikuwa mwanzo wa Michael na Jackline kutengana, Michael alipata nafasi katika shule ya sekindari ya Luhuwiko, ambapo alianza masomo yake ya Kidato cha sita, huku akijiweka mbali na waschana huku akijiweka busy na shughri za kampuni yake, ambayo angeenda kuwa mkurugenzi wake, pindi akimaliza shule, pasopo kujuwa kilicho mkuta mwalimu Jackline ambae kiukweli alitokea kumpenda sana, na alishindwa kumsahau kichwani mwake asa usiku ule na mambo waliyo yafanya kabla ya kuharibika kwa kuingiza yote, lakini akutaka ata kumtafuta, wala kumsogelea sababu aliona kama vile amemfanyia kosa kubwa sana mwalimu yule, pengine ata aliamua kukaa kimya sababu ya kosa la kuingiza yote wakati aliambiwa kichwa tu, hivyo alijuwa kuwa ata kikutana nae asngeweza kupewa nafasi nyingine ya kuingiza kichwa, au kugusa kitumbua chake.*****


Naam mala baada ya kuondoka kwa Michael pale shuleni, aliacha gumzo, lisilo kifani, maana sotry zote zilikuwa ni juu ya ubakaji wake, japo Mariamu alieneza habari kuwa #mwalimu_alitaka mwenyewe, nasiyo kwamba alibakwa kama alivyo sema, baadhi ya wanafunzi watukutu wakike, walidiliki kusema kuwa bola nafasi hiyo ya kubakwa wangeipata wao, wengine wakasema, “yani kaba ajanibaka ninge vua mwenyewe, na kumwomba anikakege kila siku akijisikia” wapo walio msimanga, kuwa “yani kijana mzuri kama yule kumbe mbakaji” lakini pia wapo walio ona kuwa ilikuwa ni haki yake, “unazani kuna mwanaume anaweza kuvumilia ile mihips na mitako, ata ninge kuwa mimi ninge mbaka”


lakini ilikuwa tofauti kwa mwalimu Jackline, ambae alikuwa katika wakati mugumu sana, maana ukiachilia macho aliyotazamwa na walimu wenzie na wanafunzi wote, pia waza jinsi ambavyo Michael angamchukulia kwa kuhisi kuwa na yeye ameshiliki kusema kuwa alibakwa, Jackline Peter alitamani akutane na michael japo kwa sekinde chache, ili ajaribu kumweleza ni kwanini alishindwa kumsaidia na kumwokoa kwenye kashfa ya ubakaji, “najuwa atanikikutana nae awezi kusimama kwaajili ya kunisikiliza, ila sikunikutana nae lazima nitamweza ukweli, nita mwambia nililazimishwa kusema hivyo, lakini nilimpa kwa mapenzi yangu, na nipotayari kumpa tena, sababu yeye ndiemwanaume wapekee alie weza kupita kwenye uke wangu” aliwaza Jackline, ambae akuwa na lakufanya zaidi ya kujutia kile kilichotokea, na kujilahumu kwa kumshutumu Michael kuingiza yote, pengine yasinge tokea yaliyo tokea.


Naam Maisha yaliendelea siku zilisonga, week zika katika, miezi miwili baadae, mwalimu Jackline akaanza kuona utofauti katika mwili wake, asa katika swala la afya, maana ukiachilia uchovu na kusinzia mala kwa mala, pia alijikuta akianza kuchagua sana vyakula, akipenda vya kula vile vyenye ugwadu, kama limao, machungwa machachu, mboga kama matembele, na vitu kama hivyo, pia kilicho mshangaza ni hali ya kujaa mate mdomoni, na kushikwa na kichefu chefu mala kwa mala, hali ambayo ilienda sambamba na kumkumbuka sana Michael, akitamani akutane nae ili awe nae karibu, hali hiyo ilimfanya aanze kuona wivu kwa kijana huyo ambae kujuwa yupo wapi kwa sasa na anafanya nini, na mbaya zaidi akujuwa ata maali anapoishi na wazazi wake………


………


pengine angeomba luksa ya kwenda mjini akamwone, hivyo aliishia kufungua begi lake na kutoa lile tishet la Michael na kuanza kulinusa, kila alipomkumbuka kijana yule.


Hali ilizidi kuwa mbaya miezi minne mbele, wakati hali ya uchovu na kichefu chefu ilipokuwa imesha, sasa alianza kutamani dudu kupita kiasi, na siyo dudu kama dudu, ila nidudu ya Michael dudu yake ya kwanza kuionja, mwezi huo wanne ulikuwa ni mwezi wa kumi na moja, mwezi ambao nikama mwalimu Njwanga alikuwa amesha pona, japo usoni mwake kulibakia na makovu ya kutisha, na mapengo, matatu mdomoni mwake, na ndipo alipoanza harakati zake za kuanza kuomba kitumbua cha mwalimu Jackline, na kwabahati mbaya, siku ya kwanza kuonana nae akitokea kwenye mataibabu, ghafla mwalimu Jackline alitokea kumshukia mwalimu Haule, ungesema alimfanyia kitu kibaya sana, uwezi amini jibu ambalo mwalimu Jackline alimjibu, mwalimu Haule pale aliposalimia, na kusema “ujambo mwalimu nimesha rudi nazani sasa tuna weza kuendelea tulipoishia” hapo ulisikika msonyo mrefu sana, kisha mwalimu Jackline akaondoka zake, pasipo kujiuliza sababu ya kumchukia namna ile mwalimu Haule.


Aikuishia hapo, nikila walipokutana kuna wakati ata mwalimu Haule asipo msemesha, lakini yeye ange mkunjia mdomo na kupita na zake, @uwezi kuninyima wewe mtoto mdogo, uliza wenzako, lazima utatoa tu” kuna siku mwalimu Haule alimtolea uvivu mwalimu Jack na kkumweleza ayo, akashangaa kuona mwalimu Jackline anakuwa mpole, na kusimama, “samahani mwalimu, kwani wewe akuna mwanamke ambae unaweza kukosa?” aliuliza mwalimu Jackline, kwa sauti ya upole ya kubembeleza, “yes! Tena uwa wana ning’ang’ania kabisa, nashangaa wewe una niletea pozi” alisema Njwanga kwa sauti ya kujinadi, “ok! Lakini mimi si amini, labda ukalale kwanza na mama yako, ndio uje kwangu” alisema mwalimu Jckilne kwa sauti ya chini, kisha akaondoka haraka, akiogopa kutandikwa makofi, japo mwalimu kwa sasa alikuwa amedhoofika kwa kipigo cha Michael, lakini mwanaume ni mwanaume tu, Haule alibakia mdomo wazi, akutegemea kuwa alikuwa ameandaliwa jibu kama lile, alishindwa kumkimbilia mwalimu Jackline na kumtandika, hivyo akabakia anamsindikiza kwa macho, yaliyo jaa hasira.


Shule zilifungwa na Jackline ambae alijikusanyia fedha kidogo za mishahara yake, ya miezi mitano aliyo fanya kazi, ikiwa anategemea wakifungua shule pia aendelee kukusanya fedha ambazo zinge msaidia mama yake na yeye, kwenda kulipia chuo, alienda nyumbani yani kule ambako mama yake alikuwa anaishi, na kumpatia baadhi ya fedha ambazo, angaongezea kwenye biashara zake ndogo ndogo.


Lakini toka Jackline afike pale nyumbani, mama yake alikuwa anamtazama kwa macho ya wasi wasi, kiasi kwamba Jackline mwenyewe akaanza kuhisi kuwa pengine mama yake amesikia habari zake na kulala na mwanafunzi, alie singiziwa kubaka, ata siku moja wakiwa wamemaliza kula chakula cha jioni, mama yake akamwuliza, “Jack mwanangu, nime subiri unieleze kinachoendelea naona kimya, vipi ume pata mchumba?” aliuliza mama Jackline, kwa sauti ya upole, huku akimtazama mwanae alie tazama chini kwa aibu, akihisi kuwa pengine mama yake amegundua kuwa alisha ingiliwa kimapenzi, yani yeye siyo bikira tena, “usone aibu kuniambia mwanangu, wewe nimschana mkubwa, ninani huyo mwanaume?” aliuliza mama Jackline, kwa sauti ya upendo na kudekeza, lakini bado Jackline alitia shaka, maneno ya mama yake, kwamba isingewekana kugundua kuwa amesha onja dudu, mpaka ange mkagua, hivyo akuwa anajuwa lolote, labda anamtega ili amweleze, “mama unamaanisha nini, mbona sikuelewi?” aliuliza Jackline kwa mshangao, “Jackline bwana, unazani ilo tumbo, utalificha mpaka lini, mwezi mmoja au miwili mbele litaanza kuonekana, sasa baba wa mtoto ni nani, na je anampango wa kuishi na wewe?” aliuliza mama Jackiline na hapo ndipo Jackilne alipo tazama tumbo lake, nikweli lilikuwa lime tuna, lakini ni kidogo sana, “mh! Mama unamaanisha mimi ni mjamzito?” aliuliza Jackline kwa mshangao na mshtuko, maana akuwai kufanyiana utani mkubwa kama ule na mama yake, “inamaana wewe ujuwi, ebu ona maziwa yalivyo jaa, ebu ona mapigo yako ya moyo hapo chini ya shingo” alisema mama Jackiline na hapo ndipo Jckilne alipotuliza hakili yake na kuanza kurudisha hakiri nyuma.


Kwanza kabisa, akakumbuka zile dalili za kichefu chefu kuchagua chakula kupenda limao, na uchovu wa mala kwa mala, pili ambayo ni kubwa kuliko, akukumbuka mala ya mwisho kuvaa pad za kuzuiwa ule mtililiko wa hedhi, labda siku kadhaa kabla ajakutana na kimwili na Michael, “Michael umenipa mimba” alisema Jackline kwa mshtuko, “ndio nani huyo Michael” aliuliza mama Jackline kwa sauti ya mshangao, huku akimshangaa mwanae ambae alionekana kushtuka, na hapo Jackiline akamsimulia mama yake jinsi ilivyokuwa, na kujikuta akiingia kwenye mapenzi na mwanafunzi wake, kisha mwanafunzi kufukuzwa na yeye kuendelea kusumbuliwa na mwalimu alie wafumania, “kila kitu uja kwa sababu, upaswi kujilahumu, wala kujijutia kuwa mwanao ataishi Maisha kama yako, cha msingi fanya kazi kwa juhudi, mwanao apate maitaji, maana sijuwi kama huyo mwanaume atakuelewa siku ukikutana nae na kumweleza kuwa alikupatia ujauzito, lakini ni lazima umwambia siku ukikutana nae” alisema mama Jakline, na Maisha yakaendelea, huku Jackiline akitumia muda ule wa likizo kumtafuta Michael kwenye vinjwa vya mpira wa miguu, pengine ange mwona akifanya mazoezi, lakini mpaka shule zina funguliwa akuwa amemwona.


Mwezi wa pili mwalimu Jackline alifika shuleni, huku tumbo lake likiwa limechomoza kabisa, maana tayari lilisha timiza miezi sita, aikuwa siri tena, lakini uwezi amini, bado mwalimu Njwanga alitaka amle kitumbua akiwa katika hali hiyo hiyo, ya ujauzito, “nasikiaga wanawake wenye mimba ni watamu sana, sasa utanipa au niunde zengwe?” aliuliza mwalimu Haule mala tu baada ya kukutana na mwalimu Jackline, ambae roho yake ilichafukwa vibaya mala baada ya kumwona mwalimu huyu wa nidhamu, “wala usijari nitakupa sana, lakini kama utanithibitishia kuwa ume mtomb.. mama yako” hakika ilikuwa ni kauri mbaya sana, iliyo jaa chuki toka kwa mwalimu Jackline, “ok! Tutaona mimi na wewe nani zaidi” alisema mwalimu Haule kwa hasira huku akiondoka zake, kwa kuchechemea maana baadhi ya sehemu zake za mwili azikukaa sawa.


Siku chache mbele mwalimu Jackline aliitwa kwenye bodi ya shule, akishutumiwa kupata ujauzito, bila kuwa na mume, hivyo kitendo hicho kingeleta picha mbaya sana pale shuleni, na kuwa fanya wanafunzi wakose maadiri, kwa kufwata matendo machafu ya mwalimu huyu, katika kwezi hii wapo walipo mtetea mwalimu Jackline kwa kusema kuwa akuwa na kosa, kwanza yeye ni mtu mzima anamaamuzi yake ya kuzaa na mwanaume anae mpenda pili, ule ujauzito akuupata kwa kupenda, ila alibakwa.


Ila upande wa Haule na wenzake, walisema kuwa mwalimu Jackline akustahili kubakia pale shuleni, sababu atapelekea wanafunzi kuiga matendo yake machafu, maana ata yule mwanafunzi alie mbaka, yeye ndie alikuwa sababu, baada ya kumfwata bwaloni na kumpeleka nyumbani kwake tena usiku, “yani mwenyekiti kiukweli kama hamta mfukuza huyu mwalimu mimi naacha kazi” alisisitiza mwalimu Haule, na kumfanya mwalimu Jackline ambae kwa kifupi ujauzit ule ulimfanya amchukie sana, mwalimu Haule, ashindwe kuvumilia, “bola nifukuzwe kazi kufanya kile unachotaka nikifanye, mwanaume mwenye hupo hovyo hovyo alafu naning’ang’ania” alisema mwalimu Jckilne na kuinuka zake kisha kutoka nje kuekelea nyumbani kwake kupanga mizigo yake, akiwaacha wajumbe wa bodi ya shule wakitazamana kwa mshangao.


Naam japo swala ilo lilionekana kuwa ni utovu wa nidhamu wa mschana huyu, lakini baadhi wajumbe waliondoka nalo kichwani na kuahidi kulifanyia kazi, maana Malalamiko juu ya mwalimu Haule, yalisha kuwa mengi. *******


Huo ndio ulikuwa mwanzo wa Maisha magumu ya Jackline, ambae mwanzo akuuona ugumu wa Maisha akiwa na mama yake, lakini baada ya kujifungua mtoto wakiume, alie mpatia jina babu yake mzaa baba, yani Eric, na kuishiwa fedha zote za hakiba alizo kuwa nazo, ndipo alipoanza kuliona joto la jiwe, na ukichukulia kuwa Watoto wana changamoto nyingi sana, asa zile homa za mala kwa mala, nguo za mtoto, chakula maana biashara ya mama yake pekee aikutosha kuwalisha na kuwavisha.


Kuna wakati Eric aliumwa sana, Jackline na mama yake awakuwa na fedha yoyote ya kumpeleka hospital, ndipo Jackline alipoona kuwa ni bola, akajisalimishe kwa kaka zake, kuomba msaada, akianzia kwa kaka yake mkubwa, yani Richard Peter Mbilinyi, ambae alikuwa nimfanyakazi, katika kampuni ya uchukuzi ya KAHURU yakiserikali, kama dereva wa magari yake makubwa, akiwa anasomba mizigo toka vijijini, na kuleta kwenye ghara kuu, kabla aija safirishwa kuelekea mikoa mingine, huku akilipwa fedha nzuri tu, na wakati mwingine akiwa na mipangayake ya pembeni mbeni, kwa iba baadhi ya vitu kaka maziwa mayai nk, kisha kuziuza anakokujuwa na vingine kupeleka nyumba ni kwake, kwa matumizi, na alipo mweleza shida yake, alipata jibu ambalo iungeshangaa kuona alikumkatisha tamaa akaenda nyumbani kwa kaka yake Godflay, “kwahiyo umeamua kuzaa ili mimi nikulelee, si umfwate baba yake, au na wewe umezaa na mume wamtu kama mama yako” hiyo ndiyo kauri ya Richard, ambayo ilimtoa machozi Jackline ambae aliondoka na kwenda kwa Godflay, ambae pia alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ile ile ya uchukuzi ambayo kaka yake anafanyia kazi, akiwa kama fundi wa magari ya kampuni hiyo, yeye ndio alisikiliza shida ya dada yake, na mwisho aliachia kauri moja tu! “kwahiyo, unataka unikabidhi mimi kuwa baba wa toto, kama umeshindwa kumlea siumwache afe akapunzike” alisema God kisha akaondoka zake, kueleka chumbani, akimwacha mke wake anamwondoa wifi yake, “siumesha jibiwa nauondoke, tena undugu wenu nautilia mashaka wewe unaonekana siyo mtazania, alafu unasema ndugu na baba John” alisimanga wifi mtu…..…








Jackiline akukata tamaa akaenda Luhuwiko ambako baba yake alikuwa anaishi na mama yake mdogo, yani yule ambae alisababisha akawatelekeza, yeye na mama yake, huko ndiyo ilikuwa funga mwaka, maana baada ya kugonga hodi, akakaribishwa na baba yake, ambae baada ya kufungua mlango na kumwona mwane Jackline aliingia ndani, na akutoka tena baada yake akatoka mke wake ambae ndie mama yake mdogo Jackline, “nikusaidie nini?” aliuliza kwa sauti iliyojaa shari mama huyo, “nashida na baba, nimekuja kumwomba ela kidogo, nimpeleke mwangu hospital” alijieleza Jackline, lakini jibu alilo lipata lilimpatia kizungu zungu, “kwani huyo mtoto umezaa na baba yako, ebutouondolee ujinga wako hapa” alisema mama mdogo, kisha akafunga mlango.


Maisha yalikuwa hivyo Eric na mama yake na bibi yake waliishi kwa tabu, huku wakiumwa pona yao ilimtegemea mungu pekee, na jani ya mwalobaini, huku visa vya majirani vikiwa ni vingi sana, kiasi cha cha Jackline na mama yake kujikuta wakiishi wenyewe kwa kujitenga, mpaka walipo buni biashara ya kupika na kuuza vitumbua (vile vyakunywea chai), ambayo iliwalazimu kwenda kukusanya chenga za mchele kwenye kile kiwanda cha jirani, na pale walipokuwa wamepanga, ambapo walikuwa wanadaiwa fedha nyingi tu, ambazo kwa uwezo wao walikuwa wanasubiri muda wowote wafukuzwe, maana wasingeweza kulipa, na kuwenda kuosha kisha kuzisaga kwa jiwe na kuzitengenezea vituambua, ambavyo wange viuza kwa wapiti njia, maana wenyeji wasinge weza kununua kutokana na upatikanaji wa mchelewe wenyewe.


Siku zilienda ukapita mwaka mmoja, Maisha yakizidi kuwa magumu, kwa upande wa Jackline namama yake, lakini licha yayote hayo, Jackline akusubutu, kugawa kitumbua chake kwaajili dhiki alizokuwa nazo, aliendelea kuvumulia japo wanaume walimfwata wakitaka kupata faida kwa umskini wa Jackline, ambae wakati mwanae akatimiza miaka miwili, akuwai kumwona baba yake, yani Michael wala kusikia habari zake, na yeye alisha jikatia tamaa.


Naam wakati huo huo Eric akia anatimiza miaka miwili ikiwa nisiku ya kuzaliwa kwa mtoto huyo, ilikuwa siku ya pili toka mama yake alale kitandani kwa homa kali ya maleria, ambayo ayakusikia ata mwalobaini, ni siku moja u toka mwenye nyumba aje kuwaambia kuwa wanatakiwa kuondoka sababu sehemu ile anataka kuiuza.


Ndiyo kisa cha Jack kukaa pale kwenye ngazi, huku akiwaza ata fanyaje, maana ata chakura kilimshinda, sasa atapata wapi fedha ya kumpeleka mama yake hospital, na wataenda kukaa wapi yeye na mama yake na mwanae Eric, ambae alikuwa anacheza mpira bila wasi wasi wowote, mchezo ambao alikuwa anaupenda sana, kitu ambacho Jackline alikiona kuwa ni kama amelithi toka kwa baba yake, yani Michael. *****


Naam wale sasa tulidi pale tulipoishia, yani wakati Michael na Jakline wakiwa wametumbuliana macho kila mmoja akitamani kumwuliza mwenzie jambo, wakati Jackline akitamani kumwiliza Michael kama amesha owa, na pia kumwomba msamaha kwa kile alichokiita alishindwa kumlinda kuepuka na kashfa ya kubaka, lakini pia, Michael alitamani kuuliza kuhusu Maisha yake ya ndoa, na baba wa mtoto Eric.


Bahati nzuri wakati huo tayari watu walioona akukuwa na jambo la msingi na kwamba watu wale wanafahamiana kitambo, walianza kuondoka zao, kuelekea makwao, nyuso zikiwa zimewashuka, “kwahiyo mwalimu hapa ndipo unapoishi na mumewe, nipazuri pamechangamka kidogo” aliuliza Michael akiweka na vimbwembwe kidogo, ili asionekane anaulizia Maisha buinafsi ya mwalimu wake, wakati huo Michael akiitazama nyumba ile ambayo mpaka muda huu aikuwana dalili ya kuwaka taa.


Kwanza kabisa, mwalimu Jakline au mama Eric alitazama chini, kuluhuchizi lake lianguke chini, lakini Michael aliwai kulifuta lilipokuwa lina shuka kwenye shavu, “sijolewa Michael, naishi na mama yangu” alisema Jackline kwa sauti ambayo ilikuwa inaendelea kuficha kilio, “hooo! Sasa baba yake Eric yupo wapi, na kwanini amuishi pamoja?” aliuliza Michael, kwasauti iliyojaa urafiki ili asimkweze mwalimu Jackline kwa maswali yake, “sababu sikukuona tena Michael…” alisema Jackline Jackline ambae safari hii alishindwa kumalizia sentensi yake na kuangua kilio cha kwikwi, huku Michael ambae kauri ile ilimshangaza, akimshika na kumvutia kwake na kumkumbatia, “mwalimu inamaana ulipata ujauzito katika usiku ule mmoja?” aliuliza Michael kwa mshangao, “tena sijawai kushiriki tena tendo lile” alisema mwalimu Jackline au mama Eric akiwa kifuani kwa Michael, huku akiendelea kulia kilio cha chini chini, Eric ambae sasa alishasogea kwenye gari na kuanza kulishangaa akuelewa kinachoendelea, “mwalimu naitaji kuongea na wewe na kukaa na mwanangu leo hii, naomba tuongozane sasa hivi, auna aja ya kujiandaa kwa lolote, siwezi tena kuwaacha ata kwasekunde moja” alisema Michael kwa sauti ya kuomba na kubembeleza, huku akizuwia furaha yake na baadhi ya maswali ambayo pengine alisha panga kuwa angemwuliza mala tu watakapo kutana, “sitoweza kwenda popote Michael, mama yangu yupo dani anaumwa sana” alijibu Jackline, ambae sasa alianza kupunguza kilio, “mama anaumwa toka lini na vipi hali yake, na amesha pata matibabu, je unaweza kuniluhusu nimwone?” ni maswali mfurulizo toka kwa Michael.


Jackline alimkaribisha ndani Michael na kumweleza hali harisi, juu ya mgonjwa, hapo Michael aka waagiza wale wafanya kazi wake, waende pale kwenye kampuni kwa miguu, na kisha wapige simu (land line) yani simu za mezani, lije gari kuwafwata, na yeye pamoja na Jackilne na mtoto wao Eric wakampeleka mama Jackline hospital, ambako alipokelewa na kuanza kupatiwa matibabu, huku madoctor wa hospital ile binafsi wakionekana wakumhudumia mama Jack kama mgonjwa muhimu na wapekee, ikionyesha wazi ni heshima ya Michael, ambae sasa alikuwa amekaa kwenye bechi akicheza na mwanae Eric, pasipo kujari jinsi alivyo chafuka, “we Eric ebu shuka kwababa yako utamchafua baba yako” alisema Jackline wakati flani, alipoona mwanae anacheza kupita na baba yake wakionekana ni wenye furaha, akitamani kujiunga nao, “mwache tu, asipo nichafua mimi akamchafue nani” alijibu Michael.


Nusu saa baadae doctor aliwaita kwenda kuwapa maendeleo ya mgonjwa, waliingia ndani ya ward ta daraja la kwanza aliyolazwa mama Jackline, ambae walimkuta amekaa anapewa supu ya kuku, “bwana Michael mgonjwa ana maralia kali sana, aikupaswa kumchelewesha kiasi hiki, ila tumepatia dawa za kupunguza maumivu, ambazo zime msaidia aweze ata kukaa na kupata hiyo supu, ilitumwanzishie dose, mpaka Kesho asubuhi, naamini ata kuwa amepata nafuu” alisema doctor wakati huo Eric alie bebwa na baba yake akiangaika kujipapatua toka mkono mwa baba yake, “bibi naomba na mimi bado sijala nasikia njaa” alisema Eric akijipapatua kwajuhudi zote toka kwa baba yake, “Eric mwachia bibi ale sisi tunaenda kula nyumbani” alisema Michael ambae sasa, aligundua hali mbaya iliyokuwepo kwenye familia ya kina Jackline, maana ata Jackline alikuwa anameza mate kwa paja la kuku lililokuwepo kwenye bakuri, huku mama Jackline akiwa anamtazama kwa umakini sana kijana huyu ambae amemsaidia binti yake, kumleta hospita, “aina shida doctor, naomba mgonjwa ahudumiwe vizuri, usiwe na shaka juu ya malipo” alisema Michael na doctor akasema, “sidhani kama nina shaka na malipo, ila kuhusu huduma wala usiwe na wasi wasi, nazani unafahamu kuwa tuna fahamu daraja la huduma zenu” alisema doctor ambae akukaa tena mle ndani akawapisha wakina Michael na mgonjwa wao.


Naam Michael na Jackline na Eric, ambae bado alikuwa anasumbua kuhusu kupewa suou na bibi yake, maana nikweli alikuwa na njaa maana toka amekula vitumbua mchana, “sasa mama wacha tukuache upumzike, naona Eric ananjaa, nae akaoge kisha apumzike, tuta kuja kukuona Kesho mapema” alisema Michael, kwa sauti iliyojaa nidhamu na upendo, “asante mwanangu, lakini ninge penda kujuwa wewe ndie baba wa Eric?” aliuliza mama Jackline, kwa sauti ya upole, na hapo Michael akamtazama Jackline ambae alipaswa kujibu swali ilo, “ndiyo mama huyu ndie Michael Eric, yule mwanafunzi wangu, ambae ndie baba wa Eric, kumbe pale tunapochukuwaga pumba ni kampuni yake” alisema Jackline huku anacheka kidogo, na kumfanya mama yake atabasamu, akishindwa kucheka kutokana na homa iliyo m bana, “karibu mwanangu, narudia tena kusema asante” alisema mama Jackline na kuagana na wakina Michael nao wakaondoka, wakimwacha yeye anamaliza kupata supu, kisha akachmwa sindano, na kujilaza kitandani, na kuanza kutafuta usingizi, huku ana waza maisya mapya ambayo anayaona kwa mae na mjukuu wake, japo aliwaza mapokeo ya binti yake mbele za wazazi wa Michael, ambao waliamini kuwa Jackline alifanya makusudi kumsingizia Michael, kuwa amembaka.******


Michael na familia yake kwanza walipitia kwenye maduka ya nguo, ambako aliwanunulia pea kadhaa za nguo nzuri za kupendeza za gharama kubwa, kisha akawapeleka hotelini, ambako walipata chakura kizuri, kila mmoja alichokipenda, huku wakiongea ili nalile, muda mwingi Jackline akisimulia kile kilichomtokea baada ya yeye kuondoka pale shuleni, na jinsi alivyo angaika kumlea mwanae sasa alipo uguwa nan a kunyimwa misaada na kaka zake na baba yake na kaka zake, walio mtolea maneno ya kashfa, naamini hayo yote yameisha Jack, sasa tuanze Maisha mapya yenye amani na upendo, ambazo zitaleta furaha” alisema Michael, na ata walipofika nyumbani kwa Michael, ambako walikuta nyumba kubwa sana, yenye kila kitu, usingeweza kuamini kama Michael alikuwa anaishi peke yake.


Naam Eric na mama yake walioga na Eric akapelekwa kulala, akiwaacha baba na mama yake wakiendelea kuongea kwa pamoja na kucheka kwa furaha, hku wakifanyiana michezo ya kimahaba, ambayo ilianza kuwapelekea kutamani kufanya kile walicho kifanya sikuile, “Michael unakumbuka siku ile, nilikuambia tujaribu alafu wewe ukafanya kweli?” aliuliza Jackline huku anacheka cheka, na kujieemeza kifuani kwa mpenzi wake, “lakini ulisema kama unatamani ninge kuwa mume wako nikimaliza shule” alisema Michael huku wakicheka kwa pamoja, na kuendelea kufanyiana michezo ya kimahaba, “ndiyo nilisema, lakini sikunyinin inabidi uwe mwaminifu” alisema Jackline, “mh! naleo unataka niingize kichwa tu!” alitania Michael, na hapo wakacheka kwa pamoja, huku Jackline akianza kwa kupeleka mkono wake kifuani kwa mpezi wake, “mh! unazani nitaumia tena, mwenzio nimezaa na kuzaa kabisa” alisema Jackline ambae alitamani kuona Michael akianza kuyapapasa maziwa yake, na ilikuwa hivyo muda mfupi baadae, pale Michael alipoanza kuchezea chuchu nzuri za Jackline ambazo licha ya kunyinyesha kwa muda mrefu lakini bado, zilikuwa zime simama vizuri, juu ya maziwa yaliyo jaa vyema, wakishtukia wanamaliza awamu ya kwanza pale sebuleni na kuingia chumbani ambako walirudia mala kadhaa.


Siku yapili kabla Michael ajaenda ofisini kwake, akaenda kwanza hospital akiwa na wakina Jackline na Eric, ambao walivalia nguo mpya za kupendeza, wkitumia ndani ya gari, aina ya ranger rover, walionekana wenye furaha, huku yeye na Jackline wakiwa wakiwa wana jihisi wepesi kweli kweli, kwa mchezo walio ucheza jana usiku, ata mama Jackline ambae walimkuta ameanza kupata nafuu, alifurahi alipo waona,


Pia Michael alienda kuwa julisha wazazi wake kuhusu kumwona Jackline na mwanae, huku akiwaeleza jinsi ilivyokuwa mpaka Jackline akalazimika kukaa kimya, na wazazi wale awakuwa na kinyongo wakampokea Jackline kwa mikono miwili, huku waki enda kumtembelea mama Jacklie hospital, wakimtambua kama mama wa mke wa kijana wao.


Siku chache mbele mama Jackiline aliluhusiwa kutoka hospital, na kufikia nyumbani kwa Michael ambako Jackline na mjukuu wake Eric, huku Michael akinunua nyumba waliuokuwa wanaishi wakina Jackiline ana mama kwa ajili ya mama yake Jakline. 




……


*****Naam huo ndio ulikuwa mwanzo wa Maisha mapya ya Michael, Jackline na mtoto wao Eric, ambao waliishi kwenye jumba kubwa la kifahari pamoja na mama yake Jack, ambae akukaa muda mrefu sana, kabla ya kuamia kwenye nyumba yake iliyo malizika ujenzi, na kuwa ya kisasa kabisa, kuliko nyuma zote zilizopo eneo lile, la mtaa wakanisani kule bombambili, ambako alifurahi sana kwa Maisha yake mapya, maana pia walimfungulia duka kubwa sana la nguo, huku Jackline akiajiliwa kwenye kapuni ya E Cow Bief company, kama msaidizi wa mwajiri mkuu, huku mtoto wao Eric akisimamiwa na wafanyakazi wanne, ikiwa na kuanzishwa masomo kwenye cheke chekea ambayo ina lea Watoto wadogo.


Hakika Maisha yalikuwa mazuri kwa Jackline, ambae alianza kunawili na kuwa mzuri kama alivyokuwa mwanzo. ****


Naam mwaka mmoja baadae, mida ya saa moja za usiku mama Jackline akiwa nyumbani kwake, ana malizia kuongea na mwanae Jackline ana Michael, ambao walikuja na Eric kumtembelea, ni kawaida yao, kufanya hivi asa siku za weekend, “vipi mpangi wenu, wa kufungua kampuni ya uchukuzi?” aliuliza mama Jackline akiwakumbusha mpango wao, ambao waliupanga baada ya kusikia kampuni hiyo ya uchukuzi imefirisika, ni baada ya magari ya kampuni hiyo kuharibika na kufa kabisa, “tumesha pata eneo, na sasa lina wekewa uzio, na majengi ya ofisi, pia tumenunua magari kumi ya mizigo, aina ya Nissan Diesel na magari madogo matatu kwaajili ya utawara, nazani mwezi hujao tutaanza kuajiri madereva na mafundi wa kampuni, ilo atalisimamia Jackline nazani amesha kuwa mzowefu” alisema Michael, na wakati huo huo wakasikia mlango wanyumba ile ukibishwa hodi, wote wakaa kimya, na kusikiliza mgongaji, “hodiii! asafari hii iliskika sauti ya kiume, na mama Jakilne aliinuka mala moja, akiaka kueleka mlangoni, “wacha nikafungue mama” alisema Michael huku akiinuka na kuelekea mlangoni, na hapo mama Jackline akaa kwenye kochi la kisasa nakumwacha Michael akafungue mlango.


Ne akafanya hivyo kisha akafungua mlango, “karibu mzee” alisikika Michael akiongea na mtu alie simama nje, pale mlangoni, “asante kijana habari za hapa” alisalimia mtu huyo ambae sauti yake ilionyesha wazi kuwa alikuwa katika wakati mgumu, “salama tu mzee wangu shikamoo” salamu ziliendelea, “malahaba kijana, samahani sijuwi wewe ndie mwenyeji wa hapa au ni mgeni kama mimi” aliuliza huyo mgeni, “samahani mzee wangu labda unge niambia shida yako” alisema Michael na hapo wakamsikia yule mtu ambae sauti yake ni yakiutu uzima akisema, “ok! unajuwa hapa sija fika muda mrefu kidogo, ila kuna nyumba moja ilikuwepo eneo ili, alikuwa anakaa mama mmoja na binti yake walikuwa wanauza vitumbua, sasa nashangaa siioni” ilisikika ile sauti, ambayo walianza kuichanganua wakizania kuwa waliwai kusisikia sehemu, “hooo unamaanisha mama Jackline, nikweli anaishi hapa, ile nyumba waliibomoa na kujenga upya, ni baada ya kuinunua” alisema Michael, “mh! nazani utakuwa umechanganya, na chojuwa mimi mama Jack awezi kuwa na nyumba kama hii, labda unge vuta kumbu kumbu nzuri, iliunielekezeke kama walihama wakati nyumba inauzwa au nimekosea mtaa ilinijuwe” alisema yule mzee, kwa sauti ambayo ilionyesha wazi kuwa akuamini maneno ya Michael, “baba ninani huyo ambae ameganda hapo mlangoni” aliuliza Mama Jackline, kwa sauti ya juu, “kweli ni yeye, nime sikia sauti yake, inawezekanaje?” aliuliza yule mzee kwa mshangao, huku anajipenyeza pembeni ya Michael ambae akuweza kumzuwia, wala kufanya lolote sababu akujuwa uzito wa mgeni huyu hapa kwa mama mkwe.


Naam Jackline na mama yake waka toa macho kwa mshangao, wakimtazma mzee huyu mfupi, alie vaa suruali ya kitambaa iliyochoka choka, kama shati lakela ngwabi (lenye mpasuo wa pembeni) ambalo akuwa amelichomekea, na kufanya lining’inie na kuonyesha vilaka vya chini ya shati ilo la langi ya udongo, chini akimaliza kwa sendo ambazo aliziacha mlangoni, na kuonyesha vumbi, lililotawala miguuni mwake, huku mkononi mwake akiwa ameshikilia kijifuko flani cha Rambo, (wakati huo inatumika) ulio onekana kujaa kwa vitu vilivyowekwa ndani yake, kwa haraka ungesema mzee huyu ana tokea kijijini, tena ata Maisha yake huko kijijini, ni magumu sana, kwa vile alivyokuwa, “he! Peter!” alisema mama Jackline, kwa sauti ya mashangao wa ajabu……. 



huku wakimtazama mzee huyu mfupi kwa mshangao, kama ilivyo kuwa kwa mzee huyu, ambae pia alionekana kuwa shangaa Jackline na mama yake, “mama Jack, inamaana umeolewa na mwanaume mwingine?” aliuliza kwa mshangao yule mzee ambae mama Jackline alimwita Peter, “kama sijaolewa nataka uniowe tena?” aliuliza mama Jackline, ambae akuacha kumtazama bwana Peter kwa macho ya mshangao, huku bwana Peter aliekuwa ameingia ndani na kusimama karibu na makochi ya kisasa, yaliyopo pale sebuleni, akionekana kunyongea, kwa kauri za mama Jackiline, “lakini mama Jack, hayo ni mambo yakuongea mimi na wewe” alisema yule mzee kwa sauti ya kinyonge kweli kweli, japo macho yake yalikuwa yanaonyesha kuto kuamini, “baba Jack, hakuna siri kati ya mimi na wewe, na wala atuna cha kuongea pembeni, labda ungesema tu, kilicho kuleta hapa nyumbani kwangu” alisema mama Jackline kwa sauti kavu, huku akimtazama yule alie mwita baba Jack, na wakina Jack na Michael wakimtazama yule mzee pia, ambae alikuwa atulizi macho kutazama kila kona ya mle ndani, “ni kweli nina jambo nataka tuongee mama Jack, lakini siyo mbele ya watoto” alisema yule mzee Peter kwa sauti ya kuomboleza, “sikia baba Jack, sizani kama kuna siri kubwa nina weza kuongea na wewe kwa sasa, ukizingatia kuwa wewe ni mume wa mtu” alisema mama Jackline, akionyesha wazi kuwa, akuwa na utani juu ya kile alichokuwa anakiongea.


Ukweli ata Michael ambae akuwai kumwona mwanzo huyu mzee, lakini sasa alisha mfahamu kuwa ndie baba wa Jackiline, yani ndie mzee Peter Mbilinyi, “mama Jack, kwanza naomba unikaribishe, kishe tuongee mwenzio nipo katika wakati mgumu” alisema yule mzee Mbilinyi, na hapo mama Jack akacheka kidogo, kicheko cha dharau, na kusimanga, “unataka nikukaribisheje Peter, wakati mpaka sasa hupo ndani? alafu leo hii wewe ndie wakuniletea shida zako kweli?” aliuliza mama Jackline, kwa sauti ya kusimanga, na hapo Michael alimtazama Jackline pengine ange mshauri mama yake juu ya kukubari kumsikiliza baba yake, akamwona Jackline anamtazama baba yake, kwamacho makali yaliyojaa hasira, Michael akaona hapo hapakuwa na dalili ya mzee huyu kusikilizwa, kama yeye ato ingilia kati, “samahani mama, japo sina hakika kama maongezi aya yana nihusu, ila naomba niongee kidogo” alisema Michael kwa sauti iliyo jaa upole na busara, huku akimtazama mama mkwe wake, “ongea tu baba, wala aina shida” alisema mama Jackline ambae siku zote, aliongea kwa heshima anapo ongea na Michael, “mama, japo mimi simfahamu huyu mzee, lakini nazani nivyema ukimsikiliza kwanza, wacha sisi tuondoke ili tuwapishe muongee” alisema tena Michael kwa sauti ile ile iliyo jaa busara, “hapana baba walaauna aja ya kuondoka haraka, tena itakuwa vyema kama mkiwepo, maana siwezi kutoa msaada wowote kwa huyu mzee bila ushauri na maamuzi yenu” alisema mama Jackline ambae, alizania kuwa mume wake wa zamani, au mzazi mwenzie anaitaji msaada wa kifedha, “mama kwakweli mimi sito shiriki katika hilo, kama unataka umsikilize we msikilize tu! alisema Jackline, kwa sauti iliyoja machungu makubwa, ikiwa ni kwamala ya kwanza, toka mzee Peter aingie mle ndani mwao, na hapo ndipo ungegundua kuwa Jacline alikuwa anakaribia kulia kwa uchungu aliokuwa nao, “mwanangu Jackline ujawai kuwa na roho ngumu kama hiyo namba upunguze hasira, kumbuka mimi ni baba yako” alisema mzee Mbilinyi, kwa sauti ya kubembeleza, “sikia mzee wangu, tafadhari kaa kwanza kisha ueleze shida yako, ili tuone tunakusaidiaje” alisema Michael ambae aliona nivyema akifanya vile, ili kuweka mambo sawa japo alisha hisi kuwa mzee huyu, alikuwa ana shida kubwa zaidi ya ile ambayo wakina Jackline na mama yake walikuwa wanafikilia.


Naam bwana Peter Mbilinyi, alikaa kwenye kochi moja kati ya makochi kadhaa ya kifahari yaliyokuwepo pale sebuleni, huku Jackline na mama yake wakimtazama kwa macho yaliyojaa hasira, na alipokaa huku akiwa amekumbatia mfuko wake, mzee huyu alimtazama Michael kwa macho yaliyojaa unyonge, “samahani baba unaonekana ni kijana mdogo lakini mwenye bisara, wewe ni nani?” aliuliza mzee Peter kwa sauti flani yenye kutafuta msaada, “naitwa Michael Eric, hapa ni kwa mama mkwe wangu, yani mama yake Jackline au mama Eric” alijibu Michael na hapo mzee Peter aka mtazama mwanae Jackline ambae pia alikuwa ana mtazama baba yake, Jackline alikwepesha macho huku amekunja uso kwa hasira, “hooooo! kwa hiyo wewe ndie baba wa mjukuu wangu Eric?” aliuliza tena mzee Peter, na hapo mama Jackilne akadakia, “uoni ata aibu kusema Eric ni mjukuu wako, kweli wewe wamkunyima ela ya matibabu mtoto, unamwacha mkeo anatoa maneno machafu kwa Jack, aya eleza shida yako watoto wanataka kuwai nyumbani kwao” alisema mama Jackline, ambae ukimtazama kwa sasa, usinge amini kuwa ni yule mama muuza vitumbua, “mke wangu ata mimi sijuwi kwanini nilikuwa vile, ila kwakweli najutia nilichokifanya, ndiomaa nimekuja hapa tuongee, kwakweli alichonifanyia yule mwanamke ni kibaya sana” alisema mzee Mbilinyi, na kuanza kusimulia kilicho mkuta, ata akwa vile alivyo onekaana alivyo chakaa ilionyesha wazi kuwa bwana Peter, yupo katika wakati mgumu.*******


Kumbe basi, baada ya kupata mafao yake, na kuikimbia familia yake, yani mama Jack na binti yake Jackline, ambayo ni ya pili, ukianzia ile ya mama God na watoto wake wawili wa kume, bwana Peter Mbilinyi alienda kupanga nyumba moja kubwa sana ya kisasa huko Luhuwiko, akiwa na mschana Monica, ambae kiukweli alitofautiana kwa umri kati ya miaka kama minne au mitano na binti yake Jackline, mschana ambae alikuwa nyumba ndogo yake kwa miezi sita kabla aja maliza mkataba wake kazini, Nyumba ilikuwa kubwa na nzuri, ambayo alilipia kodi yam waka mzima, kama mkataba wake ulivyosema, aka nunua vitu vipya vya ndani, yani feniture, na kuanza Maisha mapya yaliyo jaa starehe za anasa, na manunuzi ya mala kwa mala, huku mapenzi yakiwa motomoto, na kumfanya bwana Peter mkazi wa Ludewa mkoani Iringa, (kwasasa mkoani Njombe) ajione kama vile amerudi kuwa kijana, na kwamba aliona kuwa amechelewa kuishi Maisha yake ya raha.


Siyo kwamba Peter alisha watelekeza wanawake wawili, pia mzee huyu akuwakumbuka ata watoto wake watatu, waliokuwa wanaitaji msaada wake kwa kila hali, watoto aliozaa na wanawake hao, ambao walikuwa kama paka na chui, huku mzee Peter alie sababisha hayo, akuwajari zaidi ya kula raha na kuitazama familia ya mpenzi wake mpya, ambae alikuwa akitoa shida zake mala kwa mala, akidai kuwa “mama mgonjwa……mama anataka hiki…….naomba ela niende nika mtazame mdogo wangu amejifungua…” au wakati mwingine Monica ange sema kuwa “kaka Juned anakuja ameomba fedha anashida nayo” hakika Mbilinyi asinge pinga, na angetoa fedha kama zilivyo ombwa, huku akijuwa fika kuwa, fedha anazo zoa zinge rudi kwa namna yoyote na kwamba ndiyo fedha yake ya mwisho katika hajira yake, aliyoifanya kwa miaka zaidi ya therasini.


Maisha yalienda hivyo kwa muda wa miaka miwili toka mzee huyu astaafu kazi, ndipo yalipoanza kubadirika taratibu, kwa mzee huyu, akuanza kujiusisha na biashara mala afungue biashara hii mala ile, zote akuweza kuziendesha kwa muda mrefu sababu akuwa na ujuzi huo, japo alilazimika kufanya hivyo kutokana na kuona kuwa fedha yake ilikuwa inaelekea kuisha, na kuwa na njia nyingine ya kupata fedha, Maisha yalizidi kuporomoka huku tabia ya Monica ikianza kubadirika taratibu, mwanzo alikuwa anaaga anaenda kutembea kwa dada yake, ambapo ange potelea huko kwa siku ata mbili au tatu, nkisha angerudi na kukaa tena kwa siku kadhaa na kuaga tena, au kuja kuchukuliwa na Juned.


Naam kama aitoshi ilifikia wakati Monica akawa aagi kabisa, na ange enda kulala huko kuko nap engine kukaa kwa siku kadhaa, sasa basi siku nne zilizo pita, bwana Peter, alitembelewa na ugeni pale nyumbani kwake, sizani kama ni sahihi kuita ugeni, maana ndie mmiliki wa nyumba ile aliyokuwa anaishi mzee Peter Mbilinyi na Monica, na ujumbe aliokuja nao kwao, aukuwa mwema kabisa, maana ndi ujumbe ambao ulimkumbusha mzee Peter Mbilinyi kuwa, alikuwa ameishi kwenye nyumba ile ya mwanaume mwenzie, kwa miezi zaidi ya nane bila kulipa kodi, “sasa mzee wangu, kwasasa siitaji kodi, sababu kuna mtu amesha ilipia hii nyumba, siku mbili zijazo anaitaji kuamia, hivyo mzee wangu ningeomba muondoke ili nije nimkabidhi mwenyewe” ilikuwa ghafla na kama siyo ghafla, kwakuwa mzee huyu alisha kaa muda mrefu bila kulipia kodi yoyote, hivyo kisheria uwezi kusema ni ghafla, maana mpangaji akuwa tayari kuendelea kupanga katika nyumba hiyo.


Mzee Mbilinyi alikubaliana na Monica waende Namabengo kwa wazazi wa Monica, sehemu ambayo bwana Peter Mbilinyi japo alisha fika mala nyingi wakati akiwa kazini lakini akuwai kufika kwa wazazi wa Monica, inshu ilikuwa ni kwamba wata safari vipi na mizigo, ndipo walipo kubaliana na Juned kuwa awasaidie kutafuta gari la kuwasafirishia mizigo yao, nae akawaahidi kufanya hivyo.




ITAENDELEA




0 comments:

Post a Comment

Blog