Search This Blog

Monday 19 December 2022

KITUMBUA CHA NANI - 2

  


Chombezo : Kitumbua Cha Nani 


Sehemu Ya Pili (2)






Licha ya kupata usumbufu mwingi toka kwa naume mbali mbali, asa wenye wenye fedha nyingi, wakiitaji penzi la mwalimu Stelah, au mwalimu wowo kama alivyo itwa na wanafunzi wasio na nidhamu, au vijana wa mtaani asa boda boda, lakini mwalimu Stelah akuwa tayari kumsaliti mpenzi wake Kipanta, ambae bahati ili mtembelea, na kuweza kwenda kusomea nyota, huko Monduli mkoani Arusha, na kupata nyota moja, ambayo alidumu nayo kwa mwaka mmoja, na kupata nyota ya pili, ambayo alidumu nayo kwa miaka mingi kidogo, na kupata nyita ya tatu, ambayo amstaafu nayo.




Kwakifupi maisha yao ya ndio kuna wakati yaliingia kwenye mogogolo mikubwa mikubwa iliyo sababishwa na bwana Kipanta mwenyewe, kama siyo wivu kwa mke wake, basi ni yeye mwenyewe kutoka nje ya ndoa, ikifikia hatua ya kuto kuchangia huduma muhimu kwa watoto, na kumwachia jukumu ilo mke wake, ambae alizidi kuvulia klo za mume wake, kama vile kuchelewa kurudi nyumbani, tena akirudi amlewa, na wakati mwingine kulala huko huko, kupigiwa simu au kutumiwa jumbe za mapenzi toka kwa wanawake wengine, kama aitoshi alisha mfumania mala kadhaa, akifanya mapenzi na waschana wao wakazi, kiasi cha mama huyu kuamua kuto leta mfanyakazi pale nyumbani.*******




Naam lakini licha hayo yote kutokea, wawili awa waliendelea kuwa katika ndoa, kuna wakati walijisuluhisha wenyewe na kuendelea na maisha yao, huku wakipeana mapenzi moto moto, lakini aikumaanisha kuwa Kipanta amebadirika, wanasemaga kichaa uwa akiponi, uwa kinatulia, tabia yake ili jiibuwa upya, baada ya kununua gari aina ya Toyota Vits, ambalo lilinunuliwa na mk wake, yani mwalimu Stellah, au Stelah wowo, ambae alichukuwa mkopo, kwaajili ya marekebisho ya nyumbao, na bwana Kipanta kumlubuni, wa nunue gari, akidai kuwa lita saidia kwa shughuri za pale nyumbani.




Lakini kwa tabia ya bwana Kipanta, ili mfanya Stellah, ajilahumu kukubari kununua gari ilo, ambalo lilitumika sana kwenye starehe kuliko shuguri muhimu za pale nyumbani, lilibeba sana vimada kuliko familia, huku liki pata hajari ndogo ndogo, za hapa na pale na kulifanya lichoke haraka sana, ukweli siyo kwamba Stellah akujuwa matendo ya mume wake, aliyajuwa sana, ndiyo matendo yaliyo pelekea mama huyu, mwenye umbo la kuvutia, aanze kijiliwaza kwa kunywa wine, kila alipoona yame mzidia, maana alikuwa anajifungia ndani mwake, na kujiwekea music, huku anapata wine, ambayo ndiyo ilikuwa mkombozi wake.




Kituko ni mwaka mmoja kabla ya kustaafu, bwana Kipanta alinunua gari jinginge, safari hii ni kwa fedha yake mwenyewe, ambayo aliipata, baada ya kwenda safari ya kikazi, ya ulinzi wa amani huko nchini sudani, ukiachia kununua gari na nguo chache kwa watoto na mke wake, lakini fedha nyingine yote ambayo zaidi ya million alobain, aikujulikana imeenda wapi, zaidi ya kumwona bwana Kipanta akipata safari nyingi za kikazi, ns dharula za nyingi za kulala kazini, mpaka mke wake alipo baini kuwa akuwa anasafari, zaidi ya kuwa alikuwa anaishi na kimada ambae mwanzo akuwa amemfahamu, kimadahuyo alie itwa Rosemary, ambae alisha jengewa nyumba mitaa ya Kibamba njia panda ya shule, tena siyo nyumba ndogo, ni zinga la nyumba, ikiwa pamoja na kufunguliwa biashara kadhaa, yakiwa maduka mawili makubwa ya jumla na saloon kubwa ya kike.




Stelah alikuja kulifahamu ilo baada ya kuelezwa na rafiki wa kimada huyo, yani Rose, ambae alikuwa anafanya nae kazi kwenye Benki ya NMB, anaitwa Joyce, ambae ni kama aliionea huruma familia hii, lakini aikusaidia maana ilizidisha ugomvi, ndani ya familia ya Stellah na Kipanta, ugomvi uliopungua baada ya bwana Kipanta kuishiwa fedha na kutulia nyumbani kwake.




Angalau sasa Kipanta akatulia, na maisha yakarudi kuwa ya amani, huku stella, akijitaidi kusimamia familia, ukweli kama unge weza kumwona Stellah, ungseshangaa kwanini Kipanta alikuwa anatoka nje ya ndoa, maana Stellah alikuwa ni mzuri kweli kweli, na alikuwa na sifa zote ambazo mwanaume yoyote alie barehe, ange mtamani mwana mama huyu, pasipo kujari umri wake, ukweli Stellah alipitia usumbufu mkubwa sana kwa wanaume lakini, akujari matendo ya mume wake, yeye alitulia na ndoa yake, akutaka kumsaliti mume wake.




Kama nilivyo sema mwanzo, kichaa uwa akiponi, ila kinatulia kwa muda, au waenga wanasema akuna mlevi mple, ukiona kimya ujuwe kafulia, mambo yalianza kuwa mazito kwenye familia ya kipanta baada ya bwana Kipanta, kustaafu na kupokea fedha za mafao yake, ambazo katika million zaidi ya themanini, mke wake akuona ata shilingi moja, zaidi ya kuona mume wake akiingia nyumbni saa saba za usiku, na kutoka saa nne za asubihi, hiyo ni kwa siku chache ambazo alifanikiwa kulala nyumbani, zaidi ya hapo, ange kaa huko ata siku nne au week, akidai kuwa ana safari kufanya utafiti wa biashara gani afanye, toka mwezi wa sita maisha yalikuwa hivyo, bwana Kipanta alikuwa busy na mambo yake, akukumbuka ata kula kitumbua cha mke wake, ambae alikuwa anakiu ya dudu, kwa muda mrefu, japo ata siku za nyuma alikuwa akimbania sana kumpa dudu, na akimpa uwa anatumia muda mfupi na kulala, akidai amechoka na kazi……










Lakini Stelah alivimilia na kuto kukubaliana na vishawishi vya wanaume ambao wengi wao walikuwa ni walimu na wanaume wa pale mtaani ambao wanafedha zao,




Naam ilikuwa likizo ya mwezi wa Kumi na mbili, na maana kwa watoto na mama yao, yani Stellah mwenyewe, ndipo siku moja bwana Kipanta aliondoka pale nyumani na gari lake, kama vile anaenda na kurudi, lakini ikawa kimya kabisa, mpaka ika pita week nzima, siyo kwamba mke wake akumpata hewani, aliwasiliana nae vizurio tu! lakini alimweleza kuwa alikuwa ameenda mtwara kuangalia uwezekano wa kununua korosho, ikiwa ndio biashara aliyo ichagua, lakini jibu la mke wake alikumwingia hakirini, kwanaza uondokaji wake, pili million themaninisiyo fedha ya kutosha kwenda mkoani kununua korosho, na kuzisafirisha mpaka dar es salaam, maana ulikuwa mtaji mdogo sana, ukizingatia lazima fedha hiyo itakuwa imepungua, kutokana na starehe alizokuwa anazifanya bwana Kipanta, laiki Stella, akuwa na la kufanya, akaendelea kuishi na watoto wake, ambao licha ya kugundua mgogoro wa familia yao, lakini waliona maisha ni mazuri sababu mama yao alikuwa na kazi yake na maisha yalikuwa yanaenda vyema, sasa basi week moja iliyo pita mwalimu Stelah alienda benk, ya NMB tawi la kibaha, ndipo akakutana na Joyce, ambae baada ya kumwona tu, japo yeye akumfahamu lakini Joyce alimfahamu, “samahani dada unaweza kunipatia namba yako ya simu, nina inshu muimu sana kwako” alisema yule Joyce na mwalimu Stelah, ambae alisha kutana na watu watu wengi kiasi cha kuto kuwakumbuka wote, akampatia namba ya simu na kisha akamaliza huduma yake, na kuondoka zake, ndipo jioni ya siku hiyo, mwalimu Stellah akasikia simu yake inaita, ilikuwa namba ngeni, akaipokea, lakini akakutana na sauti flani ya music ikionyesha mpigaji alikuwa bar, “habari za jioni” alisalimia mwalimu Stellah, “nzuri tu dada yangu, samahani nazani unani kumbuka tulikutana pale benk, sikia dada yangu, kwakweli nime amua kukusaidia, kwasababu ya watoto nawao waonje matunda ya baba yao, mume wako yupo hapa Full dose pub, mbezi, fanya haraka, usionyeshe dalili kama nilikupigia simu, fanya haraka” alisema yule mpigaji wa simu ambae Stelah alimkumbuka kuwa alimpatia namba ya simu kule NMB.




Hapo mwana mama, au mwana dada Stelah, mwana dada mwenye shep yake, aliingia kwenye gari na kuelekea mbezi, huku njiani akiwasiliana na Joyce, wa sms, na kumwelekeza sehemu walipo na nini kina endelea.******




Nikwamba, upande wapili kule Full dose, bar iliyo kuwa imechangamka mida hii, watu walikuwa wengi sana, wakati huo, kwenye kona mja iliyo jificha kweli kweli, bwana Kipanta, alikuwa amekaa meza moja na waschana watatu, warembo kweli kweli, nao ni Rosemary, mschana Joyce, na Matrida, wakiwa wameizunguka meza iliyo chafukwa kwa viunywaji, yani pombe za gharama, na mapochopocho, kama wasisi kutoka vijijini tunge sema walikuwa wanakula mboga, yani ulikuwa ni mwendo wa mbuzi na kuku wakuchoma, huku ndizi za kuchoma zikiwa chache kabisa, “hivi baby, unakumbuka ulisema Chrismass, tuinaenda Zanzibar?” aliuliza Rose, kwa sauti ya kudeka, huku akijiegemeza begani kwa Kipanta, “nakumbuka sana, ila nikama ulisema na bagamoyo pia” alijibu Kipanta, ambae kiukweli uvaaji wake aukuwa wakupendeza, japo alivaa mivao ya vijana, yan tisht na jinsi, “nikweli lakini mi sijawai kwenda Zanzibar” alisema Joyce, kwa sauti ile ile ya kudeka, ambae kiukweli kwa uzuri wa sura na mwili, aliwashinda wenzake wakina Joyce.




Naam pale walipo kaa, kuna mambo yalikuwa yanaendelea, maana wakati Rose, akiwa anawaza namna ya kuhakikisha ana maliza fedha zote za Kipanta, na kumwacha akidharirika, huku nako Joyce alikuwa anaendelea kuchezea simu yake akiwasiliana na Stelah, yani mke wa bwana Kipanta, ni baada ya kuamua kumpa msaada mwanamke mwenzie, ambae ni sawa na mama yake, akiona kuwa anacho fanyiwa mume wake siyo kizuri, maana ukiachia jinsi Rose mary alivyo kuwa ana mumia vizuri, pia Matrida, nae alionyesha dalili zote za kuwa, kama siyo wana viaziana na bwana Kipanta, basi tayari wapo kwenye mapenzi” maana jambo lililo kuwa linaendelea pale mezani, ni mwasiliano ya macho kati ya Matrida na Kipanta, na licha ya hivyo, siku hizi mbili tayari Joyce ameshaoa dalili za Matrida kuwa na vijiela vya ziada, ambavyo Joyce akujuwa chanzo chake, ni kipi.




“wala usiwe na shaka, tutaenda alafu tukirudi, tuanze ujenzi wa kule shambani kwako, ili week end tuwe tuna beba vinywaji vyetu, na kwenda kupumzika kule shambani toka ijumaa mpaka jumapili jioni” alisema Kipanta, kwa majigambo, kama unge msikia, unge sema kuwa huyu ndie mwaume bora, “yani baby ndio maana na kupenda sana, ata kama ukilewa unakumbuka kila kitu” alisema Rose huku ana chukuwa Glass ya bia, aliyo kuwa anatumia Kipanta, na kumnywesha mpenzi wake huyu, ambae nikama alivimba kichwa akaidaka na kujigugumilisha.




Lakini kabla ata Glass aija shuka, toka mdomoni, mala wakastuka kuona kuna mtu amesimama mbele yao, mwanzo walizania kuwa ni mhudumu, lakini walipo mtazama vizuri waligundua kuwa akuwa mhudumu, na bahati nzuri akuna ambae akumfahamu yule alie wasimamia, alikuwa ni mwana mama , ambae uwezi kumwita mwana mama sababu kwa mwonekano wake ungeweza kusema zinga la dada, maana nazani nilisha waeleza mwanzo.




Kipanta alishtuka vibaya sana, na kuondoa ile Glass mdomoni mwake, ambayo ilikuwa imeshikwa na Rose, huku anamtazama mke wake kwa mstuko mkubwa sana, huku kitu kama haisira kikianza kujaa kifuani kwake, “umefwata nini huku we mwanamke, au kuna mwanaume ulikuwa nae ndio maana hupo hapa?” aliuliza Kipanta, kwa sauti ya jazba iliyo changanyika na hasira na mashangao, huku amemkazia macho mke wake, ambae alikuwa amesimama anamtazama kwa macho flani ya upole, yaliyo anza kung’aa kwa machozi, “nazani unanifahamu vizuri mume wangu, sija wai kukusaliti, mimi nime kuja kukutazama kama huo salama, ili kesho na keshokutwa niweze kujibu maswali magumu, ya walimwengu, siyo kwamba nawaambia hupo mtwara, kumbe hupo mbezi, wataniona wa hajabu” alisema Stelah, na hapo nikama alikuwa amemchokoza mume wake ambae aliinuka kwa fujo zote na kumvamia mke wake kwa kofi moja zito lililo tuwa mgongoni, “mshenzi wewe una nikosea adab, kwa hiyo mimi ni muhongo?” alisema Kipanta huku akiendelea kushusha kipigo, mfululizo kwenye mgongo wa mke wake, ambae alikuwa ameficha uso, na kuachia mgongo ubutuliwe, huku wakina Rose wakishuudia kipigo hicho, “samahani mume wangu” alisema Stellah, ambae alikuwa ana ugulia kipigo kimya kimya, akutaka kulia kwa sauti mbele za watu walio jaa pale bar, japo kipigo akikuwa na siri, kutokana na kelele za kilevi za bwana Kipanta, “mpuuzi wewe, kukuifadhi pale nyumbani kwangu ndio iwe sababu ya kunifwata fwata, kwanza wazazi wako walinilazimisha kukuowa, baada yaw ewe kunitegeshea ujauzito” ilikuwa kauri ya Kipanta, ambayo kama wenzake aliokuwanao kipindi kile wangeisikia hakika wangesema huyu bwana anawazimu, maana kila mmoja alikuwa anatamani kuwa stellah, kwa kipindi kile, na ata yeye alijiona kuw mwenye bahati, mala baada ya kuambiwa aishi na Stellah, ikiwa kama ni salama yake ya kuto kupelekwa mahakamani.




Wakwanza kuinuka na kujaribu kuamria ugomvi ule, alikuwa ni Joyce, ambae aliamka na kwenda kujaribu kumzuwia bwana Kipanta, “shemeji kwani tatizo nini, mbona una mpiga huyu mama?” aliuliza Joyce huku ana jaribu kumzuwia Kipanta, lakini alionekana kuzidiwa, hapo wakaja baadhi ya watu ambmao ni wahudumu, na wateja wachache, ambao walihamlia, kipigo kile na kuanza kumtoa nje Stellah, ambae licha ya kipigo chote kile akuwa ametoa sauti ya kilio ata moja, “kha! unawezaje kumpiga mwanamke mzuri kama huyu, kama ume mchoka si utuachie mwenzio” Kipanta alimsikia mlevi mmoja kati ya ale waliokuwa wanamtoa nje Stellah, akisema kwa sauti ya kilevi, “yani mwanamke mzuri kama huyu, mimi ninge mrudishia mpaka mahari yake, alafu aniachie hule mzigo” alisema mwingine ambae alikuwa anarudi kukaa kwenye meza yake, hapo ikaja hali flani kama ya wivu, moyoni kwa Kipanta, na kuinuka ghafla, ana kuelekea nje, kuona hivyo, Rose nae akainuka, na kumfwata, “baby, unaenda wapi bwana, eburudi, acha nae huyu” alisema Rose huku ana mfwata Kipanta, “lakini Kipanta akiwa amejifanya ajasikia mwito wa Rose, alitoka moja kwa moja nje, ambako aliweza kuliona gari la mke wake likiondoka, na kupotelea upande wa kibamba, huku wale viwachache wakilalamika kwa kumlahumu Stellah, kwakuto wasikiliza, “baby, kwa hiyo unataka kumfwata mkeo?” aliuliza Rose, kwa sauti ya kujifanya ana lalamika kwa kudeka, mala baada ya kumfikia Kipanta alie kuwa amesimama kwenye eneo la mbele la Full doze, “nimfwate wanini yule mjinga, tena ana bahati ninge mtandika kweli kweli” alisema Kipanta, baada yakuona mke wake amesha ondoka, mana hofu yake ilikuwa kubebwa na walevi, “kama ume mchoka nipe namba yake yasimu nikapige show” ilisikika sauti ya kilevi, toka kwa yule mteja alie saidia kuhamlia ugomvi, Kipanta akageuka kwa hasira, na kumtazama yule mlevi, ambae alikuwa anakuja usawa wake, huku anatoa simu mfukoni, tayari kuchukuwa namba yasimu YA Stellah wowowo……






“sifuri sita ngapi…” aliuliza yule mlevi, lakini kabla ajamalizia, alishtukia ngumi nzito ikituwa usawa wa mdomo wake, na kutupwa hatua kasha nyuma, akijibwaga kwanguvu kwenye aridhi, y pale bar, na kujaribu kuinuka haraka, lakini alichelewa tayari bwana Kipanta alisja mfikia, na kuanza kumshushia ngumi za uso, na makeke ya mbavu, mpaka watu walipokuja na kumtoa bwana Kipanta, ambae alimwacha yule melevi akionekana anavuja damu nyingi usoni, pia licha ya kunywa pombe nyingi lakini bado alionekana kuwa anasikia maumivu makali ya mbavu, “jamani hee! mshikilieni huyo apelekewe polisi, mbona anajifanya mbabe sana” alisema mmoja kati ya wahudumu wa ile bar, ambae ni maume, huku anamfwata Kipanta na kutaka kumshika, lakini alikutana na kichwa cha uswa wa pua, ambacho kilimfanya yule mhudumu aanza kupepesuka kama vile mlevi, akionekana kuvulugwa na kile kichwa, yani kilimpa tia kiwewe, hapo wakina rose wakaona huu ni msala, hivyo Joyce na Matrida waka Kipanta, ambae alikuwa anataka kumfwata yule mhudumu iliakamwongezee kipigo, na kuanza kumkokota kuelekea kwenye gari, huku Rose mary, akiwai kwenye gari lake aina ya Alphad na kufungua mlango mkubwa wa nyuma, ambapo walimpakiza Kipanta,na kuondoka zao kwa kasi ya hajabu, pasipo kujari pombe walizokunywa, kwamba zinge weza kuwasababishia hajari.




Huku nyuma, yani pale full dose wakiacha mtafaluku, kwanza awa kulipia bill ya vyakula na vinywaji, pia waliacha watu wakaribu wa yule mlevi alie pigwa na Kipanta, akipelekwa hospital kwa doctor Stellah, (siyo mke wa Kipanta, ni yule shangazi yake Jayden) ambako walikataliwa kupewa matibabu, bila ya Polisi File namba tatu (PF 3) hivyo wakaenda kituo cha polisi, mbezi kwa Yusuph, ambako nikama mambo yaliongezeka, maana licha ya kupatikana kwa PF 3, pia ilibainika kuwa licha ya kumshambulia huyu mlevi mwenzie, ambae anafahamika kwa jina Ngaga, pia bwana Kipanta alikimbia na deni la shilingi elfu sabini za kitanzania, hivyo ikaandikwa RB, maana popote atakapo onekana bwana Kipanta, akamatwe, na kufikishwa kwenye kituo cha polisi cha jilani.*******




Ukweli Tukio lilimuumiza sana Stellah, ambae alienda nyumbani kwake na kujifungia chumbani, akitililisha kilio cha kimya kimya, ili watoto ambao walikuwa likizo, wasisikie kama alikuwa analia, maana akutaka watoto wajuwe kinacho endelea, aliamini ita wa vuluga kwenye masomo yao, lakini Stellah alimini kuwa pengine mume wake angerudi, kama siyo usiku ule ule, basi ata siku inayo fwata, atakama angekuja kumpiga, roho yake inge lidhika, kwa kumwona anarudi nyumbani, maana angeona kuwa yeye bado ni mke wa bwana Kipanta.




Zilipita siku nne toka siku ya tukio, la Stellah kumfumania mume wake, na kupigwa mbele za watu, na vimada, Stellah akuwai kumwona mumewake, akija nyumbani, zilikuwa zime bakia siku tano kufikia suku ya Chrissmas ambayo ilisha karibia, siku ambayo mwalimu Stellah alienda benk kuchukuwa mshahara wake, maana tayari ulisha toka, na kama kawaida alienda tawi la Kibaha, ambako akutaka ata kuonana na Joyce, ukweli mwalimu Stellah aliona aibu, kwa tukio lililo mtokea sikuile full dose pub, lakini licha ya kucjulkuwa fedha kwenye mashine ya ATM iliyopo nje ya Benk hiyo, na kutaka kuondoka zake, lakini sijuwi tuseme bahati mbaya au nzuri, Stellah akastuka akikutana uso kwa uso mschana mdogo Joyce, ambae alikuwaamevalia sale za wafanyakazi wa baki ile ya NMB, “hooo! dada habari za siku” ukweli Stelah alitamani kukimbia, lakini ilibidi ajitabasamulishe tu!, “hooo nzuri yani nilisha sahau ata kukutafuta, maana toka nyumbani nilipanga nikifika hapa nikutafute ili nikusalimie” maneno ayo ya Stelah, yakuwa ni yauongo, lakini kwa jinsi alivyo yatamka usinge juwa kuwa alikuwa anadanganya, “siyo wewetu! dada ata mimi nilipanga nikutafute, eu tusogee pembeni kabla awaja niona awa washenzi” alisema yule mschana mrembo anae julikana kwa jina la Joyce ambae ni rafiki mkubwa wa Rosemary na Matrida, ambao aliwataja kama washenzi.




Wawili awa walisogea pembeni, na kusimama sehemu ambayo wanayo amini kuwa ni salama kwao, “dada ukweli roho inaniuma, japo Rosemary ni rafiki yangu, na mala nyingi tuna kuwa wotena mumeo, lakini ukweli anakoelekea mumeo sasa ni kubaya, siyo kwamba nataka nikuumize roho, hapana nataka nikujulishe ili uweze kufanya juhudi za kumwokoa mume wako, ili na wanao wafaidike na jasho la baba yao” alisema Jiyce kwa sauti ya upole, iliyo jaa hisia kali, hapo Stellah akatega sikio, “ukweli mumeo amesahau kuwa ile fedha aliyo ipata ndio ya mwisho katika utumishi wake, maana anatumia ovyo sana, na mbaya zaidi kwenye vitu ambavyo avina faida na familia yake, eu fikilia, mwaka jana amemjengea nyumba, mwaka huu tena amesha mnunulia shamba na anataka kumjengea nyumba nyingine, amesha mnunulia gari, amemwongezea mtaji wa biashara, sasa unazani wewe na watoto mtaambulia nini, dada japo sijawai kuolewa, lakini naujuwa uchungu wa mume” alisema Yoyce, na hapo wakatumia dakika ishilini nzima, kuongea ili na lile, huku Joyce aki mwelezea Stellah kuhusu, shamba na sehemu lilipo, “wame mweka kijana mmoja anaitwa nani sijuwi, ndie analina lile shamba, na wanampango wa kujenga huko, ila mbaya zaidi, mumeo hana chake, kwenye vitu vyote anavyo mfanyia Rose, kwa hivyo akisha ishiwa ana timuliwa, na kiu kingine mumeo amaesha anza kutoka na yule mwanamke mwingine ambmae ulitukuta nae pale mbezi” mpaka hapo Stellah alichoka na roho yake.




Siku ile ilikuwa nzito sana kwake, maana aliiona ime kuwa ndefu sana, kutokana na simulizi ya Joyce, siyo kwamba aliona wivu kwa mume wake kutumia fedha na wanawake wengine, sababu na yeye alikuwa na mshahala wake, mzuri tu, na ulisha msaidia kufanya mambo mengi sana, ikiwa na kujenga nyumba na kununua gari ambal mpaka sasa lilikuwa linamsaidia kwenye mizuguko midogo midogo, japo mume wake huyo alisha libongonyoa kwa kiasi kikubwa, kilicho muumiza roho ni aina ya mwanaume alie nae, mwanaume ambae yeye anamchukulia kama mume na baba wa watoto wake, lakini huko mtaani wanamwona kama mtu ambae ajielewi, kiasi cha kwamba ata watu wanao tumia fedha hizo, kwa fujo bila kuzitolea jasho wanafikia hatua wanaumia kwa matumizi mabaya, hivi ulisha wai kuona ilo?, mwana mke analionea huruma buzi, ukweli Stella, alijiona kama amevuliwa nguo hadharani, akuna kitu mwanamke hapendi, ni kuona mwanaume wake ana dharaulika.*******




Siku iliyofwata ndio siku ambayo Stellah, aliamua kwenda huko shambani kuliona ilo shamba ambalo mume wake amelinunua, na mbaya zaidi licha yay eye kuto wai kununua ata kijieneo cha kulima matembele, zaidi ya mke wake alinunua eneo la kujengea nyumba, kwa mkopo, lakini eti anaambiwa mume wake amenunua shamba, kwaajili ya mwanamke.*********




Stellah, au mke wa bwana Kipanta, pamoja na familia yake, waliunguka sana ndani ya shamba lile kubwa, huku wakaipata maelekezo na msaada wa kupatiwa vitu mbali mbali, wanavyo viitaji, toka mle shambani, “kwani mama unataka kununua ilishamba” aliuliza Pross ambae bado akuwa anaelewa zumuni la ujio wa familia ile pale shambani, hapo Stelah, akageuka kuwa tazama wanae, akawaona wapo mbai kidogo, kisha akamtazama Pross, na kulazimisha tabasamu, “hapana, ila namfahamu sana mwenye ili shamba, ni jilani yangu, hivyo nikaona nipitie kutazama” alisema Stellah, na hapo Pross akamtazama kwa mshangao wa furaha yule mama au mdada kama alivyoonekana, “afadhari, kumbe unakae nae jilani, basi naomba ukimwona mweleze kuwa nina shida nae kubwa sana, aje au amtume yule mwanamke wake” alisema Pross kwa msisitizo, “mh! sidhani kama nita weza, maana sina maelewano nae mazuri” alisema Stellah, kwa sauti ya upole, hapo akamwona huyu kijana Pross, ana nyongea kidogo, “kwani vipi ajakulipa msharaha, au?” aliuliza Stella, baada ya kuona kijana amenyingea ghafla.




Hapo Pross pasipo kujuwa kuwa huyu ndie mke wa bwana Kipanta, akamwelezea kila kitu, kuanzia, Kipanta alipokuja kununua shambma akiwadanganya wenzake kuwa ana mnunulia binti yake, na mwisho kuja na mwanamke waliokuwa wanaonyesha kuwa ni wapenzi, “tokea hapo wamekuwa nachukuwa madhao yangu, mikaa na kila kitu, na awanilipi, na mbaya zaidi toka wamenunua ilishamba, awajawai kunilipa mshahara” alisimulia Pross, ambae alienda mbali zaidi, “kwani yule mzee, huko mtaani kwenu, anaishi na mke?” aliuliza PPross na swali lile lilimstua sana Stellah, ambae nikama akutaka kabisa kuendelea kusikiliza simulizi yoyote inayo muhusu mume wake, “hapana aishi na mke” alisema Stellah, “kama ni hivyo afadhari, maana inatia uchungu sana, kwajinsi wale waschana wanavyo mfanyia” alisema Pross, na hapo Stellah akaamua kubadili maongezi, “kijana nimeona unabeba ule mkaa, ni bei gani, kiroba?” aliuliza Stellah, “vipo vya elfu kumi na tano, na vya elfu saba na mia tano” alisjibu Pross ambae shida yake kubwa ilikuwa ni fedha ya siku kuu, “”sija tembea na ela ya kutosha ninge chukuwa maana nimeshiwa kabisa” alisema Stellah, “wala usiwe na wasi wasi mama unaweza kuchukuwa ila nitakuomba ukipata fedha peleka kwa mama yangu anaishi pale pale kibamba” alisema Pross, na kukubaliana hivyo, huku Pross akimwelekeza Stellah, sehemu ambayo anaweza kumpata mama yake, lakini muda wote wa maongezi, Pross alijikuta akivutiwa kutazama, umbo la mama huyu, lilivyo amasisha kwa peana dudu, ambae watoto wake ni sawa na umri wake, na kujukuta taratibu akianza kumtamani mama wawatu,




Ilikuwa nifuraha kwa Pross, ambae aliongea na kufanya mambo mengi sana na ile familia kule shambani, pasipo kujuwa kuwa hii ni familia ya boss wake Kipanta, watoto awa wawili walionekana kumzowea kwa haraka sana, sijuwi ni kuzoweana tu, au ni kwaajili ya kujikuta ana mtamani mama yao, japo umri wake ni mdogo, Pross alijikuta ana wa fungashia mzigo mingi sana kiwa ni nzani viazi na mihogo, ambayo licha ya kuwapa wao, pia aliomba bahadhi wapeleke nyumbani kwao, pia alichukuwa na mkaa viroba viwili vidogo, familia hii ilionyesha wazi kujawa na furaha, siyo kwa watoto pekee ata mama yao, ambao alimtazama kwa macho yapekee kijana huyu, ambae maisha yake yalitaka kufanana na maisha ya watoto wake, “hivi kijana uliishia darasa la ngapi?” aliuliza mwalimu Stellah, ambae alishangaza na upendo wa Pross kwa watoto wake, na yeye mwenyewe kwa ujumla, maana aliwafungashia vitu vingi sana, “nimemaliza form six, lakini matokeo aya kuwa mazuri” alijibu Pross, na kumfanya yule mama ashangae kisogo, japo akushangaa sana kutoka na mwonekano wa Pross akuonyesha kuwa mtu alie paswa kufanya kazi ya ulinzi wa shamba na ukulima, hapo akamwuliza baadhi ya maswali ikiwa pamoja na shule aliyo maliza.




Stellah, alifanikiwa kufika nyumba ni kwa kina Pross, na kuacha kila alicho takiwa kuacha, kama walivyo kubaliana na Pross, mama huyu, alikutana na mama Pross, ambae alimpa sifa kadhaa juu ya mwanae, na kuaahidi kuwa ata watembelea siku nyingine.********




Naam Kipanta aliendelea na starehe zake, pasipo kujuwa kuwa alikuwa anasakwa na polisi, mpaka siku ya jumanne, ambapo zilikuwa zime bakia siku mbili ili ifikie siku ya Chrissmas, saa mbili usiku, Kipanta akiwa mnaeneo ya njiapanda ya shule, mita mia tano toka kibamba ccm, kwenye bar ambayo inajulikana kwa jina la Njia panda, kama kawaida yake, Kipanta, alikuwa amezungwa na waschana watatu, yani mpenzi wake Rosemary, pamoja rafiki zake yani, ambapo kesho yake walikuwa wamepanga wa safari kwenye kisiwani Zanzibar, yani yeye na mpenzi wake Rose, ndio siku ambayo polisi wali mwotea na kumkamata, na kupelekwa Kituo cha polisi wilaya, ya Ubungo, kilichopo Kiluvya, “Rose we tulia tu nakuja sasa hivi?” alijitapa bwana Kipanta, huku akifungua wallet yake na kutoa kitita chafedha kama million moja hivi, na kumkabidhi mpenzi wake, akidai kule polisi siyo salama sana kwa vitu kama hivi, pia alitaka, mpenzi wake uyu na rafiki zake, waendelee, kunywa pombe, wakati wanamsubiri, maana aliaminikuwa anarnda kutoka mala moja, ambae baada ya kufika kituoni aliambiwa makosa yake, kuwa moja ni kumpiga bwana Ngaga, na kosa la pili ni kuondo kabila kulipia huduma za vinywaji na vya kula alivyo kula pale full dose, na mbaya zaidi bili aliyo ikuta ilimchanganya, japo kutokana na ulevi akuweza kukumbuka bei sahihi, ila alishangaa kuona deni ni shilingi laki moja nanusu, huku akiambiwa kuwa anatakiwa kulipia Laki moja kwa matibabu ya Ngaga, ambae aliamua kumaliza kwa mtindo huo.




Lakini aikuwa tatizo, kwake, maana aliamini kuwa fedha alikuwa nayo, “sawa niachieni basi nika chukuwe fedha, ili niwalipe” alisema Kipanta kwa tambo za kilevi, “kama uliweza kukimbia deni pale bar, utawezaje kurudi kuleta ela mwenyewe, kama vipi piga simu kwa mtu wako wa karibu akuletee, ulipe ili uondoke” alisema polisi alie pewa dhamana ya kuhakikisha Kipanta analipa hizo fedha.




Kipanta akaomba simu yake ambayo tayari ilikuwa mikononi mwa polisi, na kumpigia Rose amletee laki mbili na nusu, ili atoke pale kituo cha polisi, lakini ukweli simu aikupokelewa kabisa, akarudia mala mbili aikupokelewa, na aliporuia ya tatu, ikasema aipatikani, akajuwa ni mtandao akapiga tena, ikawa aipatikani, ukweli ulikuwa mstuko kidogo kwa Kipanta, ambae alikosa la kufanya, mpaka polisi yule alipo amua kumfungia bwana Kipanta kwenye mahabusu, na kumtaka amtafute mtu ambae anaweza kumsaidia kulipia zile fedha, “we ume amua kumpatia elea yule demu, wakati unakoenda hukujuwi, alisimanga yule polisi, wakati ana mfungia bwana Kipanta ambae alikuwa aachi kulalamika, akiombaachiwe na kwamba ata rudi kesho kuleta hizo lakimbili na hamsini, “jamani mimi mwanajeshi mwenzenu, msinifanyie hivyo” alilalamika Kipanta, na hapo yule polisi aka onkana kuvutiwa na ile kauri yake, “unakitamburisho ?” aliuliza yule polisi, ambae tayari alisha mfungia ndani bwana Kipanta, “nio bwana sema kitamburisho nime kiacha nyumbani” alisema Kipanta ambae siyo kwamba akuwa na kitamburisho pale alipokuwepo, alikuwa nacho sana, tatizo ni cha askari mtaafu, na akuna kitu ataki kueleza ukweli ni kama kuwa amesha staafu.




Unauthibitisho wowote kuwa wewe ni mwanajeshi?” aliuliza yule polisi, “kwakweli sina uthibitisho, maana kwenye wallet kuna card ya benk tu!,naomba uniamini” alisema Kipanta, na hapo yule askari aliwaza kwa dakika kadhaa, kisha akamweleza, “sikia bro, ukweli ni kwamba ile bar ni ya mtu mkubwa sana, na ameagiza usiachiwe mpaka umelipa fedha yake, na ile ya mteja wao, sasa wewe tafuta mtu ambae anaweza akakuletea fedha, mimi nita kupa simu yako uwasiliane nae” alisema Polisi, na hapo Kipanta akaanza kusaka namba za watu ambao aliamini kuwa wanaweza kumsaidia, alipiga tena simu kwa Rose ambayo bado aikupatikana, nakuzidi kumchanganya bwana Kipanta, ambae alipiga simu kwa watu kadhaa, ambao walimweleza kuwa fedha zao zilikuwa matumizi mengine, asa ukichukulia ulikuwa msimu wa kulipia ada za watoto.




Kipanta aliiona namba ya mke wake, lakini akuweza kumpigia kutokana na mambo aliyo mfanyia, na kuamua akomae na roho yake, ata siku yapili ambapo pombe zilikuwa zime mwisha, alipata wazo la kuomba simu na umpigia tena Rose, ambae licha ya simu kuita lakini ilikatwa na kuzimwa kabisa, aka hisi kuwa atakuwa kazini, hivyo asingeweza kupokea simu, lakini wakati huo huo Kipanta akawaza jambo, kwanini Rose licha ya kuona kuwa ameshindwa kutoka polisi ameshindwa kuja kumtazama, na kwanini jana alimzimia simu, hivyo kipanta akapata wazo la kupiga simu kwa Matrida, ambae licha ya kuwa alishamweka sawa kuwa anaitaji kula kitumbua chake, na Matrida kukubari, lakini walikuwa awaja pata nafasi ya kufanya hivyo, kutokana na muda wote kuwa karibu na Rose.




Kipanta akampigia simu Matrida ambae alipokea mala moja, na kumweleza kula kitu, “sasa baby tutafanyaje maana mimi sina ata ela, na Rose ameenda shambani” alisema Matrida ambae baada ya kujadili kwa muda mfupi, akapata wazo la kuomba msaada kwa Joyce, “ngoja niongee na Joyce akuazime, ila ukitoka tuna enda kulala wote, usimwambie Rose” alisema Matrida na kukubariana na bwana Kipanta.




Lakini ukweli msaada walio utegemea aukupatikana kwa Joyce, ambae alisema kuwa akuwa na fedha kwa wakati huo, lakini Joyce akuishia hapo, akampigia simu Stellah, “dada huu ndio wakati wa kumchukuwa mumeo” alianza kuongea Joyce ambasiyo kwamba akuwa na fedha waliyoomba wakina Kipanta, ila alifanyahivyo ili kumpa nafasi mwana dada Stellah, kumrudisha mume wake nyumbani kwa kumwonyesha upendo wa hali ya juu, asa wa kumtoa polisi. *******




Siku hiyo ni kweli Rose alienda shambani kwake, ambako alimkuta Pross anaendelea na shuguli zake za shamba, ukweli siku ile Rose alionekana kuwa mwenye sura ya upole iliyo jawa na mawazo mengi sana, akionekana wazi kuwa alikuwa anamawazo mazito, “ulimaliza kulima pale nilipo kuambia?” aliuliza Rose mala baada ya kusalimiwa na Pross, huku akielekea kwenye ile sehemu ambayo Pross alikuwa analima mazao yake, ya mihogo na mboga mboga, “bado” alijibu Pross, ambae alitegemea maswali na lawama zaidi, “bado” alisema Rose akiigiza maneno ya Pross, huku akibana pua, “unakiburi sana wekijana, unazani zani fedha unazolipwa zinaokotwa, sijuwi ata huyu babu alikuokota wapi” alisema Rose kwa sauti iliyo jaa hasira, na pasipo kumpa nafasi Pross akaendelea, nasema hivi kama, nikija tena nikute umesha lima hapa pote” alisema Rose, na hapo Pross aka wai kuongea, “samahani boss, kweli mimi sielewi jinsi mambo yanavyo enda” alisema Pross, na kumfanya Rose ashtuke kidogo, “kwahiyo unaona unaonewa siyo?, basi acha kazi nenda zako” alisema Rose ambae alionekana wazi leo ayupo vizuri, asa kimawazo, “Boss, ata hivyo umeniwai tu, nilitaka nikuambie kuwa lengo lango nimalize huu mwezi, ili niondoke zangu” hapo Rose akasimama kabisa na kumtazama Pross, ambae aliona kama vile leo amejawa na kiburi, yani tofauti na siku zote ambapo akimweleza jambo, uitikia kwa heshima, “haaa! kuna mtu anakudanganya siyo, unazani kuna mtu ata kulipa laki moja kwa mwezi, we shauli yako, na utaondoka, tena ukitaka ata sasa hivi, we ondoka tu, nitakulipa mshahara wa mwezi mzima” alisema Rose kwa sauti kari iliyo jaa hasira, na kumfanya Pross ashangae, “lakini moja, nani amesema mnanilipa laki moja kwa mwezi, wakati toka mmechukuwa ilishamba hamja nilipa ata shilingi, tena ni elfu hamsini, alafu unasema laki itoke wapi, mnachukuwa mihogo viazi, na mikaa yangi kila siku amnilipipi ata seti tano, alafu una sema eti nalipwa laki moja, kwa mwezi, unazani mimi ni mjinga mpaka nidanganywe ndio niondoke hapa, mimi nacho taka unilipe ela yangu, kisha nisepe zangu, siwezi kufanya kazi yabule na masimango juu” alisema Pross safari hii kwa sauti ya juu, kama vile walikuwa wanabishana, Rose akaduwaa, “usiniambie huo ujinga, unataka kunifanya mimi mjinga, kwahiyo babu akulipi mshahara?” aliuliza Rose akionyesha wazi anahisi kuwa Pross anadananya, “na yeye anasema wewe ndie mwenyeshamba ndio utanilipa” alisema Pross, nakuzidi kumshangaza Rose, ambae alionekana kufahamu kivingine kabisa, “mimi aliniambia anakulipa laki moja kwa mwezi, na kwamba hii mihogo na viazi nivyakwangu, ata mikaa aunayo choma, ni yeye anakuagiza” alisema Rose ambae nikama aliingia simanzi ya ghafla, asa Pross alipo mweleza kuwa ukweli amaishi maisha ya tabi sana, yeye nafamilia yake, ambayo inaishi kwa kutegemea mshahara wake, “kwahiyo sikuzote ulizokuwa unatupatia mkaa mihogo, nikama nilikuwa na kudhurumu, na akati ata mshahara wako sikupi?” aliuliza Rose akionekana kuingiwa na huruma ya ghafla juu ya kijana Pross, “ndio tena juzi nilipiga simu kwa mzee, nikamweleza akasema wewe ndio unakuja na fedha zangu” alisema Pross, hapo Rose akatulia kidogo, kama anawaza jambo, kisha akasema, “mimi naenda kumwuliza huyu babu kwanini ananidanganya kama mtoto, ila kama unanidanganya we kijana, sijuwi nitakufanya nini” alisema Rose ambae akupata hamu ya kuelndelea kukaa eneo lile, akaingia kwenye gari na kuondoka zake, akipanga aende moja kwa moja kituo cha polisi, kumsimanga Kipanta, kama kweli ajamlipa kijana wawatu fedha zake, na kwanini alimdanya kuwa yale madhao ni yakwake.********




Wakati huo mambo yalikuwa hivi, Stellah alipopigiwa simu nakuelezwa juu ya mume wake kuwepo kituo cha polisi, na zinatakiwa laki mbili na hamsini kumtoa, mama huyu alifurahi sana, akijuwa kuwa mkesha wa sikukuu ya Chrissmass ata jiachia na mume wake, hivyo, alichukuwa fedha haraka na kuondoka kuelekea polisi, akukuwa na wakumuaga pale nyumbani, sababu watoto wake walielekea bagamoyo, na kukundi cha vijana wenzao wakanisani, kwenye sherehe za siku kuu ya Chrissmas, kituo cha kwanza alisimama kwenye duka la vinywaji vya jumla, akanunua wine chupa nne, kwaajili ya kushrehekea na mume wake, kisha akaendelea na safari.




Akiwa mwenye imani kuwa leo anaenda kumchukuwa mume wake, Stellah aliendesha gari mpaka kituo cha polisi Kiluvya, ambapo alifika na kumkuta mume wake akiwa chini ya ulinzi wa polisi, moyo wa Stellah, ulichanua kwa furaha, akiamini mkesha huu wa Chrissmass, atajiachia na mume wake nyumbani, japo aliona huruma sana kwa hali aliyo kuwa nayo mume wake.




Baada ya kumaliza taratibu za kulipia zile fedha mume wake akaitwa na kukabidhiwa vitu vyake pamoja na simu yake, hapo ndipo mambo yalipo haribika, maana ile kutoka tu nje ya kituo cha polisi, “shikamoo mume wangu, pole kwa matatizo” alisalimia Stellah kwa heshima na tahadhima, huku akipiga nusu goti, lakini uwezi amini, bwana Kipantya alipiga kimya, zaidi ya hapo alitoa simu yake na kupiga namba flani………






Huku mke wake akiwa amesimama pembeni anamsubiria mume wake, amalize kuongea na simu, sekunde chache baadae, Kipanta akaanza kuongea na simu, huku mke wake akiwa asikii upande wapili, “hupo wapi….... ok! fanya hivi, chukuwa taxi, alafu nifwate hapa Kiluvya polisi” alisema Kipanta na kuwa amemaliza maongezi, na kukata simu, kisha akamyazama mke wake, kama vile anamshangaa, “weunasubiri nini hapa?” aliuliza Kipanta kwa mshangao, ungesema ndio, kwanza anamwona, kwanza Stellah akatazama kushoto na kulia, kama kulikuwa na mtu anawatazama, akaona kila mmoja yupo busy, hapo akamtazama mume wake kwa macho ya upole na huruma, “nakusubiri mume wangu nikupeleke nyumbani ukaoge” alijibu Stellah kwa sauti ya upole, hapo Stellah ikaiona sura ya mume wake ikibadirika na kukunjika kwa hasira, “we! nenda nyumbani” alisema Kipanta kisha akatulia, akitazama upande mwingine, “samahani mume wangu, naomba twende nyumbani kwanza ukapumzike, alafu baadae utaenda kuchukuwa gari” alisema Stellah kwa sauti ya upole iliyo jaa nidhamu ya hali ya juu, huku akimtazama mume wake kwa macho ya huruma, “hivi unajuwa kama aya yote ulisababisha wewe mwenyewe, umme nisababishia matatizo makubwa, mpaka nime lala mahabusu, alafu una nikorofisha tena, unataka nikutandike makofi, nirudishwe tena mahabusu” alisema Kipanta kwa hasira, hapo Stellah akuwa na lakujibu, zaidi ya kujishika mikono na kuchezea vidole vyake, akibakia ana mtazama mume wake kwa macho ya huruma, akitegemea kuwa mume wake ange badiri mawazo.


Lakini akikuwa hivyo zilipita dakika kumi, wakiwa nje ya kituo cha polisi, Stellah akitamani kumweleza mume wake kubwa ana omba waende nyumbani, lakini akuweza, maana aliona wazi kuwa mume wake amejawa na hasira, hivyo kumweleza jambo lolote ni sawa na kumchokoza, ikabidi abakie kimtazama mume wake, adi lilipo ingia gari aina ya Toyota Spacio, jeupe, lenye mistari wa kijani, lenye vioo vyagiza, vilivyo zuwia kuonekana kwa watu wandani, ambalo lilisimama karibu yao, huku Kipanta akitabasamu, ikionyesha kuwa alisha tambuwa kuwa, ni gari ambalo limembeba mtu alie toka kuongea nae na simu, kioo cha upande wa dereva kikashushwa, akaonekana dereva wa lile gari, “samahani mzee, unaitwa” alisema yule dereva, na hapo Kipanta akalisogelea gari na kuchungulia ndani, alafu akatabasamu, huku anafungua mlango, wa habiria wambele, “kummbe una mambo ya kizungu” alisikika Kipanta, huku akiingia kwenye gari, “nime wai asije kukuchukuwa mtu wako” Stellah aliweza kusikia sauti ya kike, ikitokea ndani ya gari, ikidindikizwa na vkicheko laini vya kivivu toka kwa mume wake na huyo mschana alieko ndani ya gari, ambae aikuwa lahisi kumwona kutokana na vioo hivi vya giza (tinted) ukweli moyo wa Stellah ulishtuka, na kushikwa na uchungu mkubwa, macho yake yali shindwa kuzuwia machozi, yaliyo tililika taratibu, na kulowesha mashavu yake, akasimama akilitazama gari lile aina ya spacio, likiondoka eneo lile la polisi, na kutokomea barabara kuu iendayo morogoro, lenyewe likielekea kibamba, yani upande wa Dar es salaam.


Stella alisimama kwa dakika kadhaa kama mtu alie gandishwa na barafu, mpaka alipo rudiwa na hakiri yake kuwa yupo kituo cha polisi, na alie mfwata ameshaondoka, ndipo yeye aka ingia kwenye gari lake na kuondoka kuelekea nyumbani kwake, njiani akitokwa machozi kwa uchungu mkubwa.*******


Kipanta yeye alipo toka pale kituo cha polisi, pamoja na Matrida, wakitumia lile gari la kukodi, walienda moja kwa moja mpaka Kibamba wilayani, ambako Kipanta alienda kwenye ATM machine akatoa million moja pasipo kujuwa kuwa zinapotoka azirudi tena, kisha akarudi kwenye gari na kuelekea nyumbani kwa Matrida, ambako awa kukaa sana wakaondoka na lile taxi, wakaelekea mbezi, kwenye makuti bar ynte guest house, huku wakiongea ili na lile, pamoja na kupania kuifaidi chrissmas wao wawili, pia Matrida alikuwa akimpondea sana, Rose kwa kitendo chake cha kuto kupokea simu ya Kipanta, wala kwenda kumsaidia kutoka jela.*******


Rosemary akiwa na hasira kali sana, ya kudanganywa na Kipanta juu ya malipo mazao ya kijana Pross, alienda moja kwa moja mpaka Kituo cha polisi, ambako aliambiwa kuwa mahabusu anae muulizia, amesha tolewa na mke wake, na wamesha ondoka, inamaana polisi huyu akujuwa kilicho endelea bada ya wanandoa wale kutoka nje, ukweli Rose alijikuta kama kuna kitu mfano wa wivu ukimchoma moyoni mwake, “mshnzi anajifanya kumfwata huyu kahaba wake wakiume, sasa leo hii anakuja kwangu” alisema Rose kwa hasira, Rose uku anaondoka pale kituoni, na kuelekea nyumbani kwake, akipanga kumpigia Kipanta mala atakapofika nyumbani kwake.


Nikweli alifanya hivyo, mala tu baada yakifika nyumbani kwake na kuegesha gari lake pembeni ya gari la bwana Kipanta, Toyota ist, aka akaingia ndani na kuanza kupiga simu kwa Kipanta, ukweli ni kwamba simu aikupokelewa, alirudia zaidi ya mala tano lakini aikupokelewa, na alipojaribu mala ya sita, simu ilikuwa imesha zimwa, “huyu mshenzi nikizubaa ata niponyoka wakati bado sijamaliza kazi yangu” aliwaza Rose mschana mrembo, huku ana isaka namba ya rafiki yake Joyce, alipoipata akaipiga, hii akuchelewa, ikapokelewa, “hallow Rose, niambie” alisikika Joyce mala baada ya kupokea simu, “hupo wapi Joy” aliuliza Rose, kwa sauti ambayo ilionyesha wazi kuwa anakitu kinachoitaji msaada wa haraka, “nipo nyumbani vipi kuna inshu?” aliuliza Joyce ambae kiukweli ni kwamba, alihisihisi kuwa ni swala la lile lile la mume wake, ambae yeye mwenyewe, alimstua mama huyu akamchukuwe mume wake kule kituoni, “babu anataka kuniponyoka, ebu fanya haraka njoo tupange vita” alisema Rose, na wakakubaliana na Joyce aende kwa Rose, na baada ya kukata simu Rose akapiga simu kwa Matrida, na simu iliita mpaka inakatika bila kupokelewa, “unafanya nini Mat, bwana ebu pokea simu” alijisemea Rosehuku anarudia tena kupiga simu.********


Ukweli nikwamba Matirida aliiona simu ilipokuwa ina ita, alishindwa kuipokea, siyo kwa sababu alikuwa amekaa kwenyemeza moja na Kipanta wana kunywa pombe, hapana, sababu moyo wake ulishtuka baada ya kuona ni Rose ndie anapiga simu, “baby Rose huyooo anapiga simu” alisema Matrida alie kuwa amekaa karibu kabisa na Kipanta wanafanyiana michezo ya kimahaba, “achana nae ata tuvurugia starehe zetu” alisema Kipanta, huku anaendelea kumfanyia michezo ya kimahaba mschana huyu, ambae sikunyingi alisha tamani kumla kitumbua, na keo amesha pata nafasi, hiyo hadhimu.


Matirda aliitazama simu mpaka ilipokatika “acha niizime, kuepuka usumbufu” alisema Matirida huku anaichukuwa simu mezani, na ile anataka kuitoa lock, na ndio wakati Rose anapiga kwa mala ya pili, hivyo Matrida akajikuta anaipokea simu, hapo hapo aka mwonyesha Kipanta ishara ya kuwa akae kimya, “hallow my niambie” aliongea Matrida mala baada ya kuweka loud speeker, “hupo wapi Mat, mwenzio majanga huku” Kipanta na Matrida walimsikia Rose akiongea, wakatazamana kwa mshangao, “naenda kigamboni kusherehekea Chrissmas, kwani  kuna nini tena My?” aliuliza Matirda akijifanya kushangaa, huku Kipanta akijizuwia kucheka, “mwenzangu babu si ametolewa na mke wake,hinavyo kuambia, nimeenda kituoni hayupo n anime ambiwa ametolewa na mke wake, nim mpigia amenizimia simu, hapa nataka niende nikamchomoe kwake” alisikika Rise, na hapo nusu Kipanta acheke kwa sauti, lakini aliwai kujiziba mdomo, “weeee! unasema kweli, yani ninge kuwepo tungeenda wote, yani sasa nipo manzese, naenda Kigamboni” alisema Matirda huku anang’ong’a, “namsubiri Joyce tunaenda nyumbani kwake kumchukuwa” alisema Rose, na hapo wakina Matrida wakajiziba midomo ili vicheko vya visisikike, “poa mwaya, utanipa status” alisema Matrida, na kukata simu, haraka, maana tayari Kipanta alianza kuachia kicheko cha wazi.******


Ukweli nikwamba mala baada ya kupigiwa simu na Rose, Joyce kabla ajaenda kwa Rose akampigia simu Stellah, ili ampe hongera, na kumweleza kuwa awe makini zaidi, “hallow hongera sana,” alisema Joyce mala baada ya simu kupokelewa, na Stellah, lakini Joyce sli temea kusikia sauti ya furaha akashangaa kusikia sauti ya upole na unyonge, “ndugu yangu we! najilahumu ata kwenda huko polisi, kwa mambo yaliyo nitokea” alisema Stellah, kwa sauti ya unyonge, “kwanini tena dada yangu?” aliuliza Joyce kwa mshangao, maana alichojuwa yeye nikwamba Kipanta atakuwa nyumbani kwake.


Hapo Stellah alimsimulia jinsi ilivyo kuwa ata maneno ya mwisho kabla awajaondoka , “nime kuwai asije kukuwai mtu wako” mpaka mwisho wa simulizi hii tayari Joyce alisha juwa kuna mchezo unaendelea baina ya Matrida na Kipanta, maana ukachia kuwa Matrida ndie aliejuwa mausiano ya Kipanta na Rose, pia alisha ona dalili za Matrida kumnyapia Kipanta, “dada usiwe na wasi wasi utasikia majibu muda siyo mrefu” alisema Joyce ambae alikuwa njiani kuelekea kwa Rose, ambae anakaa mtaa wapili toka kwake, tofauti nikwamba Rose alikuwa anaka kwake……




amba Rose alikuwa anakaa kwake…… endelea…….…..




Na Joyce yeye alikuwa anaishi kwenyumba ya kupanga, “inamaana Matrida amemuwai babu, ata aibu hana?” aliwaza Joyce huku ana ana endelea kutembea haraka kuelekea kwa Rose, hapana sito kubari mpaka kieleweke, awawezi kumfanyia hivi mzee wawatu” aliwaza Joyce akiendelea kutembea.*******




Lakini taalifa ile ukweli ilizidisha machungu kwa mwana mama Stellah, ambae alichukuwa chupa moja ya wine na kuiingia nayo chumbani kwake, kisha akapembua nguo zake zote, na kusimama mbele ya kioo chake, akajitazama kwa muda mrefu akitumia kama dakika tano nzima, huku machozi yaki mtililika, “mbona sina kasolo yoyote, au amenichoka tu!” alijiuliza Stellah, ambae loho ilikuwa ima muuma sana, “najuwa akiishiwa ata rusi, lakini kwanini ananifanyia hivi?” aliendeleea kuwaza Stellah, ambae sasa alifungua chupa yake ya wine na kuanza kuigugumia taratibu, “mwezi wa sita sasa ajanigusa, utazani mimi nidada yake” aliwaza Stellah, ambaealikumbuka mambo yote aliyo yafanya mbele ya Kipanta kumwonyesha kuwa anampenda.




Nusu saa baadae stela akiwa bado chumbani kwake bado kama alivyo zaliwa, pombe ilicha anza kumchukuwa, nyumba aliiona chungu, akapna bola atoke kidogo akatembee, hivyo aka vaa ki tait flani chepesina kitop , alafu akajifunga kitenge, akachukuwa fedha kidogo, na chupa zake za wine, akaingia kwenye gari lake, na kutokomea kusiko julikana.******




Kumbe wakati Stella anatoka nyumbani, mume wake alikuwa anaendelea kula bata na Matrida, rafiki wa kimada wake, akujuwa watoto wapo wapi na wanaishije, akutaka kujuwa habari za rose, alie mwacha anaozea mahabusu ya polisi, “mpenzi kula maisha, usiwe na wasi wasi, wala usimwazie mtu yoyote” aliema Kipanta alie kuwa ameanza kulewa, “yani babay mi nakushangaa, ujuwe Rose ata akupendi, maana awezi kukuacha unatesema Jela, alafu yeye ana kula laha” alisema Matrida na kwa sauti ya kudeka huku wakifanyiana michezo ya kimahaba.*******




Wakati huo huo, wakina Joyce na Rose ndio walikuwa wanaingia nyumbani kwa Stellah, ambako awakuona dalili ya uwepo wa mtu ndani yake, ata walipo uliza kwa majilani, wakaambiwa kuwa mwenyenyumba ametoka muda mfupi uliopita, na watoto wake awapo tok siku iliyopita, “vipi kuhusu mume wake, ametoka nae” aliuliza Rose, “mume wake anamuda mrefu ajaonekana. “wengine wanasema amesafiri kibiashara, ila wengine wanasema anaonekana mtaani akiwa na waschana wa hovyo hovyo” alisema mmoja wa majilani, na kumfanya Rose apatwe na kitu kama aibu hivi, “aya asante, wacha sie tuende” alisema Joyce ambae alikuwa anafahamu kila kitu juu ya sehemu alipo bwana Kipanta.




Wawili awa waliondoka zao na walipo fika mita kama mia moja, toka nyumbani kwa Stellah, hapo Rose akasimamisha gari, “hivi Joy, unajuwa kuna kitu sikielewi, kama babu ayupo na mke wake ata kuwa wapi, na kwanini hapokei sumu yangu?” aliuliza Rose, na hapo Joyce aka tabasamu kidogo, kiisha akamtazama Rose, “unzani ata kuwa na mwanamke mwingine?” aliuliza Joyce, “nazani atakuwa na mwanamke mwingine tena, ameamua kufanya hivyo sababu nilikataa kupokea simu yake” alisema Rose, na hapo Joyce akacheka kicheko chamguno, “ebu sikia, naomba upige simu kwa Matrida mwulize yupo wapi na umwambie kuwa na sisi tupo karibu na hapo, tuna itaji kuungana nae, alafu msikilize anachosema” alisema Joyce, “unamaana gani, yeye ndie anae mchukuwa babu?” aliuliza Rose kwa jazba, “hapana mimi nime kuambia hivyo we fanya hivyo alafu tutajuwa, maana yeye ni mmoja wawatu ambao walinipigia simu kuwa babu anaitaji ela za kutokea jela” alisema Joyce ambae alipania kuhakikisha wawili awa wanamwachia mzee Kipanta arudi kwa mkewake, “ebu ngoja kwanza” alisema Rose huku anapiga simu, kwa Matrida akiwa ameweka loud speeker ili na Joyce asikie maongezi yao, nayo ikaita, na akikuchelewa kupokelewa, “hallow, Rose vipi, mlifanikiwa kumpata shemeji?” aliuliza Matrida, kwa sauti iliyo ashilia kuwa amelewa na wapo bar, maana kuna kasauti flani ka music kalikuwa kana sikika kwa mbali, “nimeamua ni mache tu apumzike na mke wake, sasa wewe hupo wapi?” aliuliza Rose, huku ana mtazama Joyce, “si nilikuambia kuwa naenda kigamboni, nipo hapa kwenye kivuko naelekea kigamboni” alisema Matrida, wakati Rose alikuwa anasikia sauti na kelele za watu, zikiashilia kuwa yupo bar, “hooo kumbe umechelewa sana, nipo na Joy ndio tunaingia kivukoni, tusubiri ng’ambo, tuna kukuta hapo” alisema Rose na akijaribu kuonyesha kuwa katika hali ya kawaida, “haaaa! hallow, hallow unasema?” aliuliza Matrida, kama vile akuwa anamsikia vizuri, “Hallow Matt, nasema…..” hapo hapo simu ilikatika, “unaona huyu mshnzi alivyo amekata simu, eti anasema yupo kivukoni, wakati yupo bar” alisema Rose huku anapiga tena simu kwa Matrida, ambayo sasa ilisema aipatikani, “si unaona Joy, nilweli huyu mshenzi anatoka babu, kwani ulikuwa unalijuwa hili toka lini?” aliuliza Rose kwa sauti ya mshangao na hasira, “sijasema wanatoka, ila nilisema nahisi, sababu yeye ndie alie kuwa anatafuta fedha ya kumtoababu.*******




Naam ebu turudi shambani kwa rose, ambako kuna lindwa na kijana Prosper, ambae leo alikuwa ametulia pemmbezoni mwa barabara, anasimamia biashara ya mkaa, ambao sasa alikuwa amebakiza roba mbili tu, mala akaliona gari moja dogo, aina ya Toyota Vits lililo chakaa kweli kweli, likipita na kwenda kusimama mbele kidogo, kisha lika rudi nyuma nyuma mpaka usawa wake, yeye akajuwa kuwa ata kuwa ni mteja wa mkaa, lakini dereva wa gari ili aliliehegesha gari la kushuka toka kwenye gari, hapo ndipo Pross alipo shuhudia kitu ambacho alisha anza kukisahau, huku alikuwa ni mwana mama Stellah ambae alikuwa………










Anatembea taratibu kuja pale alipokuwepo Pross, huku anamtazama, kwamacho yaliyo jaa tabasamu, “huyu mama nimzuri” aliwaza Pross, huku nae anatabasamu, “karibu mama” alisema Pross huku anatabasamu, “asante mwanangu, kumbe umenikumbuka?” alisema Stellah huku ameachia tabasamu pana usoni mwake, tabasamu ambalo lilimfanya Pross, ajihisi kama amepewa na safasi flani yapekee na yule mama, akionyesha kumchukilia kama vile kijana wake, au mtu wakaribu, “nakukumbuka mama, shikamoo” alisalimia Pross, wakati mke wa bwana Kipanta akiwa amesha mfikia, na kusimama karibu na viroba vya mkaa, “marahaba mwanangu, naona unachakalika na biashara” alisema Stella, huku anainama kidogo, na kugusa gusa kidogo, moja ya roba la mkaa, huku msambwanda wake, akiuacha unaonekana vyema kwa nyuma, na kumfanya Prosper ashindwe kujizuwia kuyatazama makalio ya mama wa mwenzake, “ndio mama siunajuwa tena kesho siku kuu, nataka niwapelekee nyumbani ela ya mboga” alisema Pross, huku akijichekesha kidogo, “ok! aya maroba mimi nita chukuwa, utanifanyia bei gani?” aliuliza Stellah, huku ana mtazama Pross na tabasamu ameliachia, hapo kidogo ilimpa wakati mgumu Pross, ambae alianza kwa kucheka cheka, “uwa nauza elfu nane moja, lakini wewe nipe elfu kumi na mbili kwa yote miwili” kauri hiyo ya Pross, ilimfanya Stellah, acheke kwanza, “heee jamani mwanangu, sasa unapunguza hivyo, utawatumia nini nyumbani?” aliuliza stellah, kwa sauti flani ambayo wamama wengi, utumia kuongea na watoto wadogo, “itawatosha tu! si elfu kumi na mbili” alisema Pross huku anacheka cheka, “aya kwakuwa unawapelekea nyumbani basi nitawatumia moka kwa moja elfu ishilini, nawawekea ya kutolea, lakini utanitungulia na nazi” alisema Stellah, na hapo wakakubaliana hiwe hivyo.




Hivyo mala moja wakapakiza mkaa kwenye gari, la Stellah, na kisha wakaingia kwenyegari na kuelekea shambani, ambakjo nikama mita mia mbili tu! toka barabarani, wawkienda kutungua nazi kama Stellah alivyo sema.*********




Upande wapili mambo yalikuwa ni mshike mshike, maana baada ya kukatiwa simu na kuzimiwa kabisa, Rose akamshawishi Joyce waende nyumbani kwa Matrida, na sasa, walikuwa wanaingia, nyumbani kwa Matrida, karibu na high way ya zamani, ambako walikuta kimya kabisa, ata walipo liza kwa majilani, wakaambiwa kunwa, “huyu dada alie panga kwenye kile chumba, ametoka muda kidogo, nikama lisaa limepita, alikuja na gari la kukodi, aliongpozana na mzee mmoja hivi” alisema mmoja wa majilani wa Matrida, “huyo mzee yupoje?” aliuliza Rose, kwa sauti iliyo jaliwa na utulivu wa kulazimisha, maana aliona dalili za wazi kabisa, za kuwa Matrida yupo na bwana Kipanta, “mhhhh! ni mtu mzima hivi” alisema huyo, jilani, na kuanza kuelezea jinsi mwanaume aliekuwa na Matrida alivyo, maelezo ambayo yalimfanya Rose azidi kuamini kuwa mwanaume huyo, ni Kipanta, asa baada ya kusikia maelezo ya mwisho, “ alafu ni mzukuma yule mzee, rafudhi yake ni msikuma mtupu” alimaliza Jilani alie kuwa anaelezea jinsi mgeni wa Matrida alivyo, “unasema waliondoka na gari gani?” aliuliza Rosemary, kwa sauti ile ile ya utulivu wa kulazimisha, “walikuja na kitaxi, kwa mwonekano wao, watakuwa wameenda kamasiyo maili moja basi, watakuwa wameenda Mbezi” alisema yule jilani ambae ni kijana flani alie shindwa kujizuwia kuelekeza watu asio wajuwa, kutokana na kumkodolea macho mschana huyu, mrembo, “asante sana kaka yangu” alisema Rose kabla ya kuondoka zao, wakiwa na Toyota alphad.




“Unajuwa nini Joyce?, huyu Matrida tamaha ita mponza, kweli kabisa na kwambia, yeye ajuwi mimi nafanya hivi kwanini” alisema Ros, akonyesha kuchukizwa “lakini bado uja thibitisha, kuwa yupo na babu” alisema Joyce, kwa sauti yenye uzito mkubwa wa busara, “kwanini anatuficha, huyo mtu alie nae, alafu Joy, siyo kwamba mimi nina mzuwia kuwa na Kipanta, mwenzie nimesha sahau mala ya mwisho yeye kuugusa uchi wangu, “alisema Rose kwa hasira, na hapo Joyce akatamani kucheka kwanguvu, lakini akajizuwia, maana aliona ni kama maneno ya mkosaji, “lakini pia kama faida umesha pata, we achana nae tu! asije aka kufia” alisema Joyce, nikama alikuwa anataka kumchota hakili, rafiki yake, “kumwacha hiyo ndio aiwezekani, yani mpaka nihakikishe nime maliza el azote, sababu najuwa yule mke wake na watoto wake awato angaika, wata saidiwa na mama yao, lakini yeye ata zalilika” alisema kwa sauti iliyo jaa hasira, huku anaendesha gari, na sasa walikuwa wanaikamata barabara ya morogoro, na kuelekea upande wa maili moja, ndiko alikoamua kuanza nako, “kwanini sasa da rose, uoni kama unafanya kitu kibaya, maana mtu amekufungulia salon, amekujengea nyumba amekununulia shamba, kwanini unataka umfilisi?” aliuliza Joyce ambae sasa alianza kuona salili za wazi kuwa anacho sema Rose ni cha kweli, na amedhamilia, “kama unataka kujuwa ni kwanini, nitakusimulia mwisho wa mchezo” alisema Rose, akionyesha kuto taka yale maongezi yaendelee, hapo kikapita kimya, huku safari hikiendelea gari likiyoyoma kuelekea kibaha maili moja.*******




Naam baada ya kufika shambani, pamoja Stellah kutuma fedha kwa mama Pross, pia walifanya mambo mengi sana kule shambani, ikiwa na kuvuna nazi chache na mazao na matunda, kwaajili ya Stellah kuondokanayo, huku wanaongea mengi sana, muda wote Stellah alikuwa anakunywa wine yake taratibu, na mwisho wa siku wakajikuta wame kaa chini ya mwembe, Stellah amekaa kwenye mkeka, anaendelea kunywa wine yake, Pross amekaa kwenye kibenchi kidogo, pembeni chini kidogo pale chini ya mwembe, palikuwa na jiko la kuni, ambalo lilikuwa limebandi kwa sufuria lenye kambale wakavu, “Pross ulisha wai kutumia hii” aliuliza Stellah huku anamwonyesha Pross ile chupa ya wine, “hapana sijawai kutumia” alijibu Pross, huku anacheka cheka, “lakini hii ni tamu, unaweza kujaribu kidogo, kalete kikombe nikuwekee kidogo” alisema Stellah, Pross akainuka na kwenda kuchukuwa kikombe huku anacheka cheka, “nisije kulewa mpaka nika zima kabisa” alisema Pross, na kumfanya Stellah acheke kidogo, “wanaume unaogopa kitu kidogo ambacho kipo kwenye chupa” alitania mama huyu ambae nazani alicho kifanya mida hii, ni kwa mwongozo wa pombe.




Pross aliingia ndani na kutoka na kikombe, kisha akamkabidhi stellah alie kuwa amekaa kwenye mkeka chini ya mwembe, “hivi Pross, sikuile mama yako aliniambia kuwa ni wewe ndie unae saidia familia, kwani baba yako yupo wapi?” aliuliza stellah huku anamimina wine kwenye kikombe, hapo Pross aliinamisha kichwa chini kwa uzuni kubwa, sababu ni mwaka wa tatu sasa ajamwona baba yake, wala kusikia habari zake……………








Kikapita kimya kidogo, pasipo Prosper kuongea neno, ukimya huo ukamstua kidogo mwanamama Stellah, “vipi, ,bona unaonekana umenyongea ghafla, au baba alisha fariki?” aliuliza Stellah, huku anampatia Pross, kikambe kilicho jaa wine, “ukweli tujuwi, kama yupo hai, au amekufa, sababu ni mwaka watatu sasa, atujapata habari zake” alisema Pross kwa sauti ya upole na tulivu, na kuzidi kumfanya Stellah ahisi kuwa, kuwa nyuma ya maisha duni, aliyo yakuta pale kwa mama Pross, kuna “kwanini unasema hivyo?” aliuliza Stellah kwa sauti ya mshangao, iliyo jaa tahadhari, hapo Pross akaanza kumsimulia story nzima ya baba yake mzee Feruzi, kuanzia kipindilike alipo, ondoka anaenda kufawatilia mafao yake na kuamua kutoweka moja kwa moja, na yeye kumkuta kigamboni akiwa na wanawake anakunywa nao pombe.




Sulizi hiyo iliypenda sambasamba na unywaji wa wine, ambazo zilikuwa nyingi, zilizo andaliwa na Stellah kwaajili ya kunywa na mume ake mpendwa bwana Kipanta, ilionekana kumsisimua sana Stellah ambae alitulia na kusikiliza kwa umakini sana, pasipo kukijari kitenge chake kilicho jifungua na kuacha ile taiti aliyoivaa ndani ikionekana jinsi ilivyo shika mwiliwake asa sehemu hii ya paja nene la mwanamama huyu.********




Naam Rose na Joyce walienda mpaka kibaha, maili moja, ambako walizunguka kila kona kumsaka, Kipanta, ambae waliamini atakuwa na Matrida, lakini awakufanikiwa kumpata, ndipo walipoamua kusogea mbele zaidi, wakipita kila chochoro yenye gues au bar, walienda mpaka kongowe, bila mafanikio yoyote, na mwisho wakaonelea warudu tena, upande wakibamba, waanze kusaka bar za karibu, ikiwezekana wakavizie nyumbani wa Matrida, “yani Matrida mshenzi sana, anawezaje kutembea na mwanaume ambae rafiki yake amesha tembea nae” alilalamika Joyce muda wote, wakiwa njiani, wanarudi upande wa Kibamba, wakianzia kuwasaka, toka kiluvya kwa madukani mpaka gogoni, bila mafanikio yoyote, ndipo walipo kata shauri watafute sehemu ya kutulia karibu na nyumba ya Matirida wamvizie ataka porudi, ili waone kama ata kuja na Kipanta, hivyo waka tulia kwenye kigrocer flani na kuanza kuagiza bia, bahati nzuri wote ni wanywaji.*******




Stellah na Pross wakiwa wameshaanza kulewa, waliendelea na simulizi ya bwana Feruzi, iliyo chukuwa zaidi ya lisaa limoja, ili muuzunisha sana Stellah, ambae sasa kuna mambo alikuwa anayafanya bila kujuwa kuwa anamweka kijana wawatu katika wakati mgumu, maana wakati simulizi hii inaendelea, kuna wakati Stellah, aliomba Pross asimamishe kwanza simulizi, “mkojo umenibana ngoja nika upunguze kidogo” alisema Stellah huku anasimama toka kwenye mkeka, na kujifunga vizuri kitenge chake, huku Pross ana tazama jinsi mama huyu alivyo jaliwa, mapaja na maklio manene, kumbuka ndani alivaa kiji taiti, kilirefu licho ishia magotini, “choo kipo wapi?” aliuliza Stellah na kumwondoa Pross kwenye bumbuwazi, “nihicho kibanda hapo nyuma” alisema Pross, na hapo akamwona Stellah anaelekea huko alikomwonyesha, huku makalio manene ya mwana mama huyu yakitikisika kwa fujo,




Dakika kama tano baadae Stellah alirudi na simulizi ikaendelea, na baada ya nusu saa, stela akaomba tena simulizi isimamishwe tena, “jamani wanaume nyie mnatutesa, ebu subiri kwanza nika jisaidie” alisema Stellah, ambae safari hii aliinuka bila kuulizia chooni, na kuelekea huko, huku Pross akimsindikiza kwa macho, akishangaa jinsi msambwanda, ulivyo kuwa unafanya fujo, na ata alipo rudi na kukaa, pale kwenye mkeka, sasa akukaa kama alivyo kaa mwanzo, sasa alikuwa anajiachia kama yupo nyumbani kwake, kichwani Pross, alishangaa kitendo cha mama huyu, kumjumulisha, na wanaume wote, wakati yeye alijiona kuwa ni mtoto, ambae akuhusika na uovu wa baba yake.




Simulizi iliendelea, huku wakinywa wine yao, na kushushia kambale, na kila dakika zilivyoenda, ndivyo mama huyu, alivyo zidi kujiachia, na ilifikia wakati ata kile kitenge kili toka mwilini mwa mama huyu, na yeye akukijali kabisa, na baraha likaja wakati anaenda kujisaidia, “hiv huku kuna watu wana pitaga?” aliuliza Stellah huju anainuka toka kwenye mkeka, kile kitenge kikibakia mkekani, na kumpa nafasi Pross ya kutazama moja kwa moja jinsi mama huyu, alivyo umbika, “hapana yani huku inaweza kupita mwazi mzima, usione mtu anapita” alijibu Pross, ambae pombme ilisha mchukuwa kihasi chake, na ukizingatia kuwa ilikuwa ni mala yake ya kwanza, “afadhari, maana iki kitenge, naona kina nikela tu!” alisema Stellah ambae aliondoka bila kitenge, na kumpa Pross nafasi ya kuona makalio ambayo yalipambwa na ilea lama ya mlipo katiza pindo za chupi, kwa makadilio, kama inge kuwa inaweza kuganywa, zinge tokea chupi nne za wakina Pross, “mh! wakubwa wanafaidi” alisema Pross, akimini kuwa ameongea kwa sauti ya chini, ambayo Stellah, asinge iskia, lakini aiku hivyo, maana Stella, ambae safari hii akuingia chooni kukojoa, ila alikojoa kwenye upenu wa kibanda cha Pross, aliporudi na kukaa kwenye mkeka, akamtazama Pross kwa uso wa tabasamu, “umesema wakubwa nafaidi nini?” aliuliza Stellah, kwasauti flani ya kulegea, huku ana tabasamu……








endelea …..




Hapo macho ya kulegea ya huyu mama ambayo kwa haraka ungeshindwa kujuwa ni kwaajili ya pombe au kitugani, yalimfanya Pross ashindwe kumtazama Stellah usoni, na kutazama chini huku nafsi yake ikijisuta na kuhisi kuwa amesha haribu,”sija sema kitu” alisema Pross kwa sauti ya chini, iliyojaa aibu, “mhhhh! Pross, bwana nimekusikia kwa masikio yangu, unasema wakubwa wanafaidi, kwani mimi mzuri sana?” aliuliza Stellah, kwa sauti flani, ya kubembeleza iliyojaa utani mwingi, japo alifahamu kuwa utani kama huu siyo mzuri kwa kijana mdogo kama huyu, japo kwa mwonekano yari alisha kuwa na uwezo wa kula kitumbua.




Pross akaitikia kwa kikichwa kukubari, kuwa Stellah ni mzuri, hapo Stellah akacheka kidogo, “we Pross bwana, yani unaweza kuuona uzuri wa mwana mama mzee kama mimi?” alisema Stellah, japo akuwa na umei wa kujiita mzee, Pross nae akacheka kidogo, “lakini mzuri, kwani wewe ni mzee sana?” aliuliza Pross, ambae alionekana kugundua kuwa mama huyu, alikuwa ni mcheshi mbele yake, “ndio mimi mkubwa, siuliwaona watoto wangu, walivyo wakubwa, kwani wewe unamiaka mingapi?” aliuliza stellah, huku akimtazama Pross, ambae mala kwa mala alikuwa anatazama mipaja ya yule mama, ambayo sasa ilikuwa inanekana vizuri kabisa imeifadhiwa na Taght, “namiaka ishilini na mbili” alijibu Stella, huku akijiweka sawa, na kuzidi kukaa vizuri kwa upande wa awa wawili, lakini ni vibaya kwa jamii, sababu, aliikunja miguu, na kukaa kama amekunja nne, mfano wake, ni vile wanaume wanakaa, kwenye mkeka, wanapojiandaa kula au wanapokula chakula, na hivyo kusababisha, macho ya Pross, yaweze kuona mtuno wa kitumbua cha mama huyu, ambacho kilivimba kweli kweli, kama siyo ule mchoro wa kitumbua harisi wenye mapsuo kati kati, basi ungezeza kusema mama huyu alikuwa amevaa Pad, “mh! ilibakia miaka sita tu, tuwe nusu kwa nusu” alisema Stellah, na wakaendelea kuongea mawili matatu, kabla stellah aja badiri mazungumzo, “ok! ebu nimalizie story ya baba yako” alisema stellah, na hapo Pross akaendelea kusimulia mkasa wa baba yake, japo sasa mambo yalikuwa magumu kidogo, maana pombe ongeza kuona mapaja na kitumbua kile kikubwa kilichotuna, yalimfanya wakati mwingine Pross ajikuta anarudia rudia maneno, kitu ambacho ata Stellah alikiona, na mwanzo alijuwa kuwa ni pombe pekee ndiyo ambayo ilikuwa ina mchanganya kijana huyu.********




Naam masaa yalizidi kwenda, Kipanta na Matrida, wakiwa pale Nyumbani Lodge, waliendelea kunywa na kula kwa fujo, huku wakifanyiana michezo ya kimahaba, Kipanta mzee wakisukuma, akionekana kuzidi kupagawa mbele ya mschana huyu, waki Nyasa, “lakini Baby, unampendelea sana Rose, wakati akupendi sana, kama mimi” kuna wakati Matrida alimwambia Kipanta kwa sauti ya kudeka, huku akipenyeza mkono wake chini ya meza na kuulaza, juu ya dudu yam zee huyu, ambae kwa haraka ungesema ndio kwa nza anabalehe, “nampendelea nini, mshenzi yule, tena sitaki ata kusikia jina lake,” alisema Kipanta huku anausikilizia mkono wa Matirida, uliokuwa una minya minya dudu yake taratibu, “kwanini sasa, wakati ni mpenzi wako ume mnunulia shamba, nyumba na gari zuri” alisema Matrida kwa sauti ya kujidekeza, iliyo ashilia kukasirika, huku ana jiegemeza kifuani kwa Kipanta, na mkono wake wakushoto bado unapapasa shemu ya dudu, ambayo sasa ilisha tutumka, na kujivimbisha ndani ya suluari, “we! unawasi wasi gani, wakati fedha hipo?, tena ngoja nikuhamishie fedha kidogo, ya shoping” alisema Kipanta ambae kiukweli aliona wazi kuwa michezo anayo fanyiwa na Matrida, ni mitamu sana, kuliko anapokuwa Rose, muda wote ukaa, bila kugusana gusana, na ukizingatia pia, ana muda mrefu akuwai kula kitumbua cha mschana huyo, yani mpenzi wake Rose, kutokana na sababu mbali ambali ambazo uwa zinatolewa wakati mchezo unapoitajika kuanza.




Matrida aliweza kumwona Kipanta akitoa simu yake na kuanza kuibofya bofya, “si unaikumbuka account namba yako ya NMB,?” aliuliza bwana Kipanta, huku akiendelea kubofya bofya simu yake, “nisiikumbuke tena, wakati yakwangu” alisema Mtrida, huku akitabasamu, na kumng’ong’a Kipanta alie kuwa busy anabofya simu, “aya nitajie, namba yako” alisema Kipanta, “baby ebu niingize mwenyewe, maana unawea kukosea, alafu tukapata hasara” alisema Matrida huku anatoamkono wake kwenye dudu ya Kipanta, na kuchukuwa simu, kisha akaanza kuingiza namba account yake ya benk, alipomaliza akamrudishia mwenyewe, ambae alimalizia kwa kubofya ok! “aya tazama salio lako sasa” alisema Kipanta, “baby simu nime zima, siunajuwa yule mtu wako alivyo msumbufu” alisema Matrida huku ana rudisha mkono wake kwenye usawa wa dudu ya Kipanta, na kuendelea kuibinya binya, “yani ukiwa na shida yoyote we niambie tu!” alisema Kipanta, huku akijiweka vizuri ili Matirda aweze kuichezea dudu vizuri, huku wingu zito likionekana kutanda angani, likiashilia kuwa mvua itaanza kunywehs muda siyo mrefu.******




Wakati wakina Kipanta wanaendelea kula Bata, zao kule Nyumbani Lodge, Rosemmary na Joyce bado walikuwa kwenye ki grocer kimoja, hatua chache toka kwenye nyumba aliyo kuwa amepanga Matrida, muda wote wakiitazama nyumba hiyo, kuhakikisha wanamwona Matrida akiwa anarudi nyumbani hapo, na lengo ni kumtambua mwanaume alie kuwa nae, ambae waliamini kuwa ni bwana Kipanta, “yani huyu, mshenzi anaanza kunichezea hakiri” alisema Rose kwa sauti ambayo ilishaanza kujawa na hasira iliyo changanyika na ulevi, “lakini Rose we shida yako nini, mimi naona kama yule mzee anakuwekea kauzibe tu! kwanini usiachane nae ukaanza maisha yako, kama ni nyumba unayo, gari ili hapa zuri kabisa, shamba kubwaaaa, lina kungoja, sasa nini tena, zaidi ya kupakazwa shombo na kile kibabu, alafu mvua isije kutukutia hapa, naona kama wingu linatanda” alisema Joyce, huku wakiendelea kunywa pombe, Rose akatazama wingu, akaona kweli lilikuwa lina tanda, lakini hakujari, si wanagari bwana, “we! Joy nilisha kuambia kuwa ujuwi kitu, na mambo niliyo yajuwa leo huko shambani ndio yame nitia hasira kinyama, kumbe mshara wa yule kaka wa kule shambani, siyo laki moja kama alivyo niambia, ni elfu hamsini, na ajawai kumlipa ata siku moja” alisema Rose akionekana kuwa na uchungu wakweli, ata wewe ungeshangaa, kama alivyo shangaa Joyce, maana aliwao kuona jinsi Rose, alivyo kuwa ana mnyanyasa kijana wawatu, alafu leo aonekane kuumizwa na jambo ili, kabla Joyce ajaongea lolote, Rose akaendelea, “ebu ona, ile mihogo, mboga viazi, na mikaa, kumbe ni vya yule kijana, siyo vyangu, yule kijana uwa anaviuza kwaajili ya kuwatumia wazazi wake fedha” aliongea Rose kwa machungu ya hali ya juu, na hapo ndipo Joyce aliposhtuka na kuona kwanini Rose, amechukia juu ya swala la Pross, “inamaana tulikuwa tuna mzurumu kijana wawatu?” aliuliza Joyce kwa sauti ya mshangao, uliojawa na kila dalidali ya huruma kwa Prosper, “ndio maana yake, ebu fikilia sasa, huyu babu ni mtu wa aina gani, kama siyo shetani, na kama nikikusimulia aliyo yafanya huko nyuma, kwanza ungenishangaa kukubari kuwa na mshenzi kama huyu” alisema Rose kwa sauti iliyo jaa uchungu, “sasa kwanini ulimkubari?” aliuliza Joyce, kwa sauti ya mshangao, “ninamaana yangu hipo siku utajuwa tu!” alisema Rose, na mjadala ukaishia hapo, wakaendelea kunywa , huku wana subiria watu wao waje ili wawafumanie, awakujuwa kuwa wenzao leo wamehama nyumba, na kujifanya wageni kwenye nyumba ya wageni.*******




Naam tukirudi shamba nako, simulizi ndio ilikuwa inafikia mwisho, huku hali ya wingu ikionekana kutanda hangani, lakini stellah akuonekana kulijari, nazani sababu alikuwa na usafiri binafsi, “kwahiyo baba yenu ajawatafuta tena, na nyie amja mtafuta tena?” aliuliza Stellah, mwisho wa simulizi hii aliyo simulia Pross, inayo mhusu bwana Victor Feruz, ambae ni baba yake, “sijuwi ata nitaanzaje kumtafuta” alisema Pross ambae sasa alisha changamka na wine, huku akiendelea kupata burudani ya kutazama mtuno wa kitumbua cha Stellah, “poleni sana, lakini wanaume sijuwi wanapatwa na nini?” alisema Stellah, huku akiinuka safari kwa shida kidogo, kutokana na kuzidiwa na kinywaji, kisha akazunguka nyuma ya nyuma, safari hii akiwa ajaenda mbali sana, maana ata mcuruziko wa mkojo uliweza kusikika masikioni kwa Pross, na ata aliporudi, na kukaa alikaa vile vile kama alivyo kuwa amekaa mwanzo, na kusabisha mtu wakitumbua chake, uzidi kuonekana na kumpendeza Pross, ambae sasa ata dudu yake ilisha anza kututumka na kuvimba kweli kweli, ikonyesha wazi inatamani kitumbua cha mama huyu.




Upande wa Stellah alie onekana kupunguza mawazo kwa kihasi flani, alifurahia sana mazingira aya, ya shamba, na kujiona alifanya maamuzi mazuri sana, kuja hukushamba kwa kijana huyu, ambae sasa alianza kuona badiliko flani flani kwake, maana licha ya kumwona mala kwa mala akitazama kwenye uswa wa kitumbua chake, usoni na kifuani, pia walipo kutanisha macho, aliona wazi macho ya kijana huyu yalikuwa yame legea, lakini siyo kwa pombe, ila kwa matamanio ya ngono, na ile kutazama chini na kujitabasamulia, ilizidi kumchanganya Stellah, na kumfanya ahisi hali aliyo kuwa nayo kijana huyu, “mh! mbona kama kana niangalia kimatamanio, jamani watoto wasikuhizi” aliwaza Stellah, ambae aliona ili kuepusha aya yote, ni kuaga na kuondoka zake, maana uwepo wake eneo lile ungezidi kumtia maumivu kijana wawatu, na ukizingatia mawingi yalikuwa yanazidi kutanda, ikiashilia kuwa mvua itanyesha muda wowote.




Lakini Kabla ajasema lolote, mala Stellah akamwona Pross ana angaika kusimama, “unaenda wapi Pross?” aliuliuza Stellah, huku akiinuka na kuwai kumsaidia kijana huyu kusimama, “naenda kukojoa” alijibu Pross huku akijichekesha, huo ndio wakati Stellah alipo tazama mbele ya suruali ya Pross, na alicho kiona kilichangaza, maana aliona sehemu hiyo ime tuna kweli kweli, ikionyesha wazi kuwa dudu ya kijana huyu, ilikuwa imesimama kweli kweli, “waooo! ina… inamaaana mkojo umekubana sana?” aliuliza Stellah akiwa ametoa macho ya mshangao, kutazama dudu ya kijana huyu, “ndio… ndio.. sijakojoa toka nianze kunywa pombe” alisema Pross huku anajikongoja kuzunguka nyumba yake, na kumwacha Stellah, anakaa tena kwenye mkeka, “mh! mtoto anabalaha huyu, sasa kunisimamishia dudu lake namna hii ili iweje?” alijiuliza Stellah huku anatabasamu, “mh! angejuwa kuwa mwenzie nina nusu mwaka sija iona hii kitu, wala asinge nifanyia hivi” alijisemea Stellah, huku anatazama kule alikoelekea Pross, ambae bado akuwa amerudi, “au ndio kamesha tamani vya wakubwa?” alijisemea Stellah, ambae safari hii alicheka kabisa, “mh! lakini itakuwa ni sababu ya kubanwa na mkojo, ebu nione akirudi itakuwaje” alisema Stella, na kutulia kumsubiri Pross arudi, huku akihisi kuna vitu vina tekenya kwenye kitumbua chake.




Naam dakika tano, baadae Stella, akamwona Pross anarudi kwa mwendo wa taratibu, ulio ashilia kipimo cha ulewaji wa kijana huyu, ambae leo ni mala yake ya kwanza kunywa pombe, moja kwa moja Stellah akaelekeza macho yake kwenye eneo la mbele la Suluari, ya Pross, akaona bado dudu ime simama vile vile, “mh! kijana ana hatari huyu” alijisemea Stellah, huku ana inuka na kumshika mkono Pross alie kuwa amesha fika pale chini ya mwembe, kisha akamkalisha kwenye mkeka, siyo kwenye gogo, kama alivyo kaa mwanzo, “ebu kaa kwenye mkeka, nikuulize kitu Pross,” alisema Stellah, huku ana kaa pembeni ya Pross, na macho ameyaelekeza kwenye dudu ya kijana huyu, ambae alionekana kulewa kiasi chake, “eti Pross, unaniona mimi ni mzuri sana?” aliuliza Stellah, huku akiwa anainua mkono wake na kuuweka juu ya kiichwa cha Pross…………








Hapo pross japo alikuwa amesha lewa sana, aliitikia kwa kichwa, maana alishindwa kukabiliana kimaongezi na mwanamama huyu, katika maongezi kama yale, “mhh! Pross bwana wanaume awaoni aibu, sasa mpenzi wako uwa unaongea nae vipi?” aliuliza Stellah, huku ana chezea nywele za Pross, kichwani kwake, akiushusha mkono, mpaka kisogoni kwa kijana huyu mdogo, na kufanya kama ana papasa flani kwa kufuta, “sina mwanamke” aliseme Pross akicheka cheka kilevi, jibu ambalo Sella lili mshangaza kidogo, “mh! acha uongo we mtoto, kwani ukiniambia ukweli nitafanyaje?” aliuliza Stellah kwa sauti ya chini, ya kubebeleza, huku anaitazama vizuri dudu ya kijana huyu, na mkono wake sasa ukihamia kwenye bega, na kuwa kama ameuzungusha hivi, alafu kiganja kikalala kwenye kifua cha Pross, kalibu na titi la kushoto, stellah akuacha kutembeza kiganja chake kwenye kifua cha kijana huyu, ambae kiukweli, muda wote alikuwa anatazama kitumbua kinene kilicho jitokeza kwenye mapaja ya mama huyu, alie valia kile kinguo cha kubana, tena chepesi, “kweli sina wanamke, na wala sijawai kuwa nae” alisema Pross kilevi levi, “kwanini sasa, au unaogopa wanawake?” aliuliza Stellah, ambae kiukweli alitamani kupeleka mkono wake kwenye dudu ya kijana huyu, ili ajaribu kuishika kiidogo, lakini akasita, kwa kuona kuwa ataonekana ana haraka na pupa, ambayo inge mwondolea heshima yake, Pross alikataa kwa kichwa, kwamba aogopi, Pross nikuulie kitu?” aliuliza mama huyu, mke wa bwana Kipanta, huku anacheka cheka kwa aibu, Pross akakubari kwa kichwa kuwa aulizwe, “ukipata mwanamke unaweza kufanyanae mapenzi?” aliuliza Stellah, ambae sasa alisha anza kushikwa na matamanio ya kukunwa kitumbua chake, na ukizingatia kuwa, ni muda mrefu dudu aijapita kwenye kitumbua hicho, Pross akaitikia kwa kichwa, kukubari kuwa anaweza kula kitumbua, hapo Stellah akatazama pembeni, na kuwaza kidogo, “mh! mbona aya majaribu sijuwi ni….” kabla aja maliza kuongea, mala wote wawili waka geuka kutazama upande wa kushoto kwao, maana walisikia mvumo wa mvua kubwa, ikiashilia kuwa aipo mbali.




Wote wakashuhudia mvua kubwa ikiwa mita chache toka pale walipo, hapo waka inuka haraka wakisaidiana, kuchukuwa chupa zao za pombe na kitenge cha Stellah, bila kusahau mke wao, wakaingia ndani ya kibanda, ambacho ndio nyumba anayoishi kijana Pross, ikiwa ndio chumba cha kulala.********




Mvua hii ilimkuta mama Pross mke wa bwana Feruz, akiwa anatoka kununua maitajio ya vyakula vya kesho, siku ya chrismass, ni baada ya kutoa fedha kwenye simu aliyo tumiwa na mwanae Pross, kupitia Stellah, baada ya kuona mvua imechchamaa, mama Pross, wa kambo, akaenda kujificha kwenye kibar flani, kilichopo karibu na barabara, ambapo alikuta kuna watu wawili watatu, ukweli mama huyu, akuna watu asio waamini kama wale wanao kunywa pombe, asa wanaume, maana wanaweza kukuvunjia heshima muda wowote, hivyo aka enda kusimama karibu na meza moja ambayo walikuwa wamekaa waschana wawili, japo nao walikuwa wanakunywa pombe, ila akuwa na shaka nao, amjambo wanangu” alisalimia mama Pross, kama ilivyo tarabu za waungwana, unapo wakuta watu sehemu, “atujambo shikamoo mama” aliitikia mmoja wao, huku mwingine nae akiamkia, baada ya mwenzie kuhamkia, “marahaba, poleni kwa kuwsimamia, na jificha mvua” alisema mama Pross, alie kuwa ameweka chini mizigo yake, “usijari mama, tena chukuwa kiti ukae, unywe ata soda” alisema mmoja kati ya wale waschana, huku anamsogezea kiti mama Pross, “hooo! asante sana mwanangu, lakini usijari mi nipo sawa tu!, asante sana” alisema mama Pross, huku akipiga nusu goti, kitu ambacho kilionekana kuwa vutia wale wanawake wawili, “usijari mama we kaa tu hapa, unywe soda” safari hii yule alie mkaribisha alisimama kabisa, na kumshika mkono, hapo mama Pross akaa, na waka mwagizia Soda, “ila Rose nikuambie kitu, ebu jaribu kumpigia tena, pengine atakuwa amewasha simu, maana unaweza kukaa hapa mpaka asubuhi, pengine yeye ameamuakulala huko huko” alishauri mmoja kati ya wale waschana, huku yule anae itwa Rose, akiacha kumimi na pombe kwenye glass, na kuoa simu yuake na kuipiga kwa huyo walie mkusudia,.*****




Yap kwa upande wa bwana Kipanta na mpenzi wake mpya, yani Matrida, walikuwa wanaendelea kunywa pombe, huku michezo ya kimahaba ikishamili kai yao, sambamba na ahadi mbali mbali, ambazo baadhi yake utekelezaji wake ulianza mala moja, mvua ilikuwa inanyesha, kwanguvu, ikisababisha kijiubaridi flani ambacho kiliwafanya wawili awa, kuamia ndani, kwenye chumba walicho kodiwakiwa na vinywaji vyao, ambako Matrida akutaka kupoteza nafasi ya kumpagawisha bwana Kipanta, ili aweze kumtumia kisawa sawa.




Nikama Matrida alipania kumzidi kete rafiki yake Rose, maana ile kuingia ndani tu, Matrida alikuwa kama amechanganyikiwa, kwa kiu ya dudu, ali chuchumaa mbele ya bwana Kipanta, na kuanza kumfungua mkanda wa suruali, dakika chache baadae tayari alisha fungua mpaka zip ya suruali yam zee huyu, na kuichomoa dudu, ambayo tayari ilikuwa imesha simama, siyo sana, nazani ni kwajili ya umri wake, Matrida akuzubaa, akaidumbukiza dudu mdomoni mwake, na kuanza kuinyonya, kwa pupa, akimfanya bwana Kipanta afumbe macho na kuelekeza usowake juu, mdomo ukiwa wazi, anaugulia utamu wa urimi wa Matrida unavyo sugua kicwa cha dudu, kila anavyofanya kama anapiga mswaki wa mti.




Matrida aliendelea kunyonya dudud ya bwana Kipanta, huku mkono mmoja ukichezea kengere za mzee huyu mstaafu, alie telekeza familia yake, na wakati Matrida akiwa anaendelea kunyonya dudu, akaanza kuhiisi ina zidi kuvimba na kujaa mdomoni mwake huku kichwa cha dudu, kikitutumka zaidi, hapo Matrida akajuwa kuwa ameweza kumpatia mzee huyu ambae sasa alikikamata kichwa cha mschana huyu, rafiki wa hawala yake, na kuanza kusaidia kwa kundamiza kila Matrida anapo peleka dudu ndani, samba samba na sauti za ngurumo za utamu toka kwa Kipanta, ambae alikuwa anaongeza speed kila sekunde ilivyo pita.




Dakika mbili mbele Matrida alimwona Kipanta akizidi kuongeza speed ya kuchezea kiunpo chake mbele na nyuma, huku dudu ikizidi kukita mdomoni kama vile piston za scania, na kuna wakati alihisi inaenda mpaka karibu na koo, na ile kutahamaki akahisi uji mzito wachumvi, wenye joto kiasi, ukijaa mdomoni mwake, na alipotaka kuitoa dudu ili ateme ule uji wachumvi, lakini alisha chelewa, maana Kipanta alikuwa ameking’ang’ania kichwa cha Matrida, huku dudu ikiwa imezama ndani kabisa, inatema watoto mfululizo, na kupenya kwenye koo la Matrida, ambae alimeza mbegu za kiume za mzee huyu, bila kitarajia, hapo akamsukuma kwa nguvu na kukiombilia bafuni, akainamia sink la choo, na kujaribu kujitapiisha lakini wapi, akuna kilicho toka akajaribu kujiingiza kidole mdomoni, adi kwenye koo, na ndipo alipo anza kutapika, huku akimwacha bwana Kipanta ana malizia kumwaga mzigo kwenye carpet la watu, huku akisikia malalamiko ya kutapika ya Matrida, tokea chooni, na alipomaliza shusha mzigo, akaelekea bafuni alikokuwepo Matrida alie kuwa anaendelea kutapika, “pole sana mpenzi, iliniponyoka kwa bahati mbaya” alisema Kipanta, huku ana shika mabega ya Matrida alie inamia sink la choo, ambae akuongea lolote zaidi ya kuendelea kutapika, na ndio wakati ambao, Simu ya bwana Kipanta ilianza kuita, ikisikika toka mfukoni mwake, akaitoa na kuitazama, akasonya kwanguvu na kuirudisha mfukoni, “wewe si ulinizimia simu sasa unasumbua nini” alisema Kipanta wakati huo Matrida anainuka toka kwenye sink lachoo baada ya kuacha kutapika, “nani huyo?” aliuliza, Matrida huku anasogea kwenye sink la kunawia, “si huyu mpuuzi Rose” alisema Kipanta kwa sauti ya dharau, huku ana sogelea sink la choo na kuielekeza dudu yake ikifwatiwa na kumwaga mkojo, muda huo tayari simu yake ilisha acha kuita, na sekunde chache baadae ikaanza kusikika simu ya Matrida ikiita, “mh! anapiga kwangu sasa, ngoja nikapokee ili asihisi kitu” alisema Matrida alie kuwa ana sukutua mdomo wake.********




Naam wakati huo huko shambani kwa Rose, shamba alilo nunuliwa na bwana Kipanta, mume wa mwalimu Stellah, mambo yalikuwa si mchezo, maana baada ya kukimbia mvua, wakiingia ndani ya kibanda cha Pross, mama huyu mke wa bwana Kipanta, ile kuingia ndani tu! macho yake yakatua kwenye kitanda, kizuri ambacho usinge amini kama kipo ndani ya kibanda kama kile, mana ukiachilia uzuri wa kitanda chanyewe, pia kilikuwa kimetandikwa vizuri kabisa, kimeza kidogo pembeni ambacho likuwa na vitu vichache kama vile mafuta ya kupaka, mwilini na kijiredio, kidogo, akukuwa na kiti, mle ndani, zaidi ungeona, nguo zime tundikwa kwenye ukuta wa bati, na kwenyekona moja kuliwa na vyombo vya kupikia, na kuwekea chakula, pamoja na ndoo tatu za maji, uvunguni mwa kitanda ndio kulikuwa store ya chakula mana mfuko wa unga, na maharage nk, vilikuwepo huko.




Pasipo kumkaribsha mgeni wake bwana Pross, alichukuwa taa yake ya kandiri, na kuiwasha, , kisha akaiweka mezani, maana ndani kulikuwa na kijigiza hivi, kisha akaa kitandani, akimwacha mwenji wake amesimama na chupa mbili za wine mkononi, na alipoona ajakaribushwa, akasogea mezani na kuweka chuoa moja kisha akachukuwa kikombe cha Pross na kumwongezea wine nyingine, alafu akaa kwenye kitanda karibu kabisa na Pross, kiasi cha kugusana kabisa, kama walivyo kuwa wamekaa kule nje mala ya mwisho, “hivi Pross unajuwa kama leo na lala hapa?” aliuliza Stellah akimtazama Pross, kwa macho ya kulegea, na tabasamu la kivivu, sijuwi kwanini mama huyu aliuliza swali hili, na sijuwi alikuwa anatania au alikuwa anasema kweli . ……








“haaa! maam utaweza kweli kulala huku maporini?” aliuliza Pross kwa mshangao, huku akijaribu kumtazama Stellah, lakini sasa akaanza kuona watu wawili wawili, “siwezi kuondoa gari na hii mvua inayo nyesha, kwa jinsi navyo uona udongo wa huku, lazima gari lita kwama” alisema Stellah, huku anamtazama Pross, ambae sekunde chache baadae akamwona anajaribu kuweka kikombe mezani, lakini akaikosa meza, na kuweka kikombe hewani, ambacho kilienda chini moja kwamoja, na kumfanya Stellah acheke kilevi, huku anamwona kijana huyu, ana jibwaga kindani kama mzigo, “kweli wewe ujawai kunywa wine, umelewa vibaya sana” alisema Stellah, huku anacheka kweli, lakini akusikia jibu lolote toka kwa Prosper, “nitakuchukuwa sikumoja ukaongee na rafiki zako, ushinde huko mpaka jioni” alisema Tna Stellah, au mke wa Kipanta, lakini akusikia jibu, toka kwa Pross, na sekunde chache mbele akasikia sauti ya mkoromo, ikimaanisha Pross ameshapitiwa na usingizi, “kha kumbe umesha lala” alisema Stellah, huku akitazama sehemu iliyo bakia ambayo yeye ndio alitakiwa kulala, akaiona kuwa inatosha kabisa, “wacha ni nywee pombe yangu, kisha nilale” alisema Stellah, huku akiendelea kunywa wine yake.




Naam Rose baada ya kupiga simu kwa kipanta na kuto kupokelewa akajaribu kwa Matrida ambako iliita sana, na wakati anataka kukata tamaha, akaona imepokelewa, “hallow mat, zakunizimia simu?” alisema Rose huku mama Pross, na Joyce wakimtazama, “sikuzima simu, ila network huku inasumbua, nipo huku mbali kabisa, karibu na kibada” alisema Matrida akijitaidi asionekane kuwa amelewa sana, “kwa hiyo leo unarudi au unalala huko huko” aliuliza Rosemary, akijitaidi kuficha hasira zake, “kwakweli siwezi kurudi, maana nime banwa kweli kweli, nimeambiwa nilale huku huku” alisema Matrida, “ok! aina tatizo, ukirudi nijulishe” alisema Rose mary, na kukata simu, awa washenzi awawezi kurudi leo, lazima kuna sehemu wapo, ila nita wanasa tu” alisema Rosemary, huku akigugumia kinywaji chake, “kwani unawadai mama?” aliuliza mama Pross, mke wa bwana Feruzi, ambae ni mwaka watatu sasa, ajamwona, “ni mdai wapi mama, kuna rafi yangu amediriki kutembea na mchumba wangu” alisema Rose Mary, akiiweka tena chupa ya pombe mdomoni, na kuigugumia,kana kwamba anataka kuondoka haraka sana, “jamani sisi wanawake tuna kosa huruma, wanangu mimi nimeibiwa kila kitu, kuanzia maisha mpaka mume, ni mwakawa tatu sasa sijuwi mume wangu yupo wapi, na anafanya nini kama bado yupo hai” hapo wakina Rose na Joyce waka mtazama yule mama kwa mshangao, wakishangaa mambo mawili, kwanza hali ya mwanamke mwenyewe, ambae anaonekana wazi kuwa maisha yake ni yahali ya chini, kwa hiyo ata mume wake ni wahali ya chini, pili miaka mitatu hajuwi mume wake yupo wapi inawezekanaje, “kivipi, au alienda kwenye miangaiko akapata matatizo” alisema Joyce, huku wakimtazama mama Pross, “wanangu, kwasasa kwangu aiumi sana, sababu nimesha amua kusahau, lakini watu wengi imewauma sana” kwa jinsi mama Pross alivyo anza kusimulia, Rose na Joy wakashawishika kuongeza pombe, huku wakimnunulia mama Pross soda ya pili, ili awasimulie maka huo vizuri, “kunywa mama utusimulie, tuta kupeleka mpaka nyumbani” alisema Rose, na hapo mama Pross akaanza kusimulia mkasa wa mume wake, toka siku aliporudi nyumbani siku yapili akitoka kufwatilia mafao yake na kutoweka baada ya masaa kadhaa, na ndio ukawa mwisho wa kumwona, zaidi ya kusikia kuwa anaonekana akila raha na wanawake sehemu mbali mbali za jiji, akiacha wao wanafukuzwa kwenye makazi ya askari wapolisi, na kuja kujiifazi kwenye mipaka ya maeneo ya serikali.




Nisimulizi ambayo iliwafikisha saa moja na nusu, huku kila mmoja akijihisi mnyonge kwa simulizi hii, ungeshangaa ata Rose mwizi wa dudu, ya watu, nae aliuzunika kweli kweli, “pole sana mama yangu, hakika sisi wanawake ni wakatili sana , lakini ata hivyo wanaume nao wanasemaka mwalimu wetu kipofu, ila wao sijuwi mwalimu wao ni nani, aiwezi kukuingia hakirini una mwacha mtu ambae amesaidia maisha yako kufika hapo ulipo na unaenda kuangaika na mwanamke mwingine, kwakweli hapo ndipo na fikilia kuwa sito kaa niolewe” alisema Rose kwa machungu, na kushangaza ata Rafiki yake Joyce, ambae aliishia kuguna,”ndiyo hivyo wanangu, mimi sasa naishi kwa kumtegemea mwanangu, yupo huko anafanya kazi za watu ili sisi tupate chochote, na mshukuru sana mama yake kwa kuniletea huyu mtoto ndie amekuwa baba wa familia kwa sasa” alisema mama Pross, na hapo likaja swali toka kwa Joyce, inamaana huyu kijana wako ni mtoto wakufikia?” jibu walilopata wote wakashangaa, “ni mtoto wa mume wangu, alie mpata huko iringa, kabla sija kutana nae, ange kuw mwingine angeenda kwa mama yake, lakini huyu bado tuponae na anatusaidia kama vile yeye na wadogo zake ni baba mmoja na mama mmoja” alisema mama Pross wakambo, ambae akujuwa kuwa Rose ndie boss mpya wa Pross, ambae akumpa mishahara yake toka ameanza kazi.




wakina Rose na Joyce waliongea mengi sana mahali pale, na baada ya kumaliza vinywaji vyao, wakaingia kwenye gari na kumpeleka mama Pross nyumbani kwake, kisha wakaondoka zao, “unajuwa Rose sikuelewei, mbona maongezi yako yanaonyesha unachukia sana wanaume wenye tabia kama ya Kipanta, sasa kwanini unatambea nae?” aliuliza Joyce wakiwa njiani wanaondoka zao, utajuwa sikumoja.*****




Naam usku huo mambo yalikuwa moto moto, wakati Kipanta ana kula kitumbua cha Matrida, huku, mke wake alikuwa amelala fofo kwenye kitanda cha mvulana wa shamba, ambae ameajiliwa na hawala wake yeye mwenyewe kipanta.




Lakini utofauti ni kwamba wakati kipanta anafaidi kitumbua, mke wake alikuwa amelala na ile nguo yake nyepesi,peke yake, aliligundua ilo saa kumi na mbili zaasubhi, muda alio shtuka toka usingizini pombe ikiwa imesha isha kichwani mwake, chakwanza alishtuka na kujipapasa sehemu zasiri, na kujiona kuwa ajafanya wala kufanyiwa lolote, kisha akatazama pemmbeni ya kitanda, ambako akukuwa na mtu, ila alikuwa amefunikwa shuka, akajuwa moja kwa moja ni yule kijana ambae jana alikuwa anakunywa nae pombe, na alitamani sana kuingiziwa na dudu yake, maana ni muda mrefu akuwa ameipata, japo mama huyu akuwai kutoka nje ya ndoa yake toka ameanza kuishi na Kipanta, “mungu wangu, nilitaka kufanya nini mimi” aliwaza stellah, huku ana kusanya kitenge chake, ambae mkojo ulikuwa umemshika vibaya sana, akainuka toka kitandani na kujifunga kile kitenge, kisha akaufwata mlango, akaufungua na kutoka nje ambako mvua ilikuwa imesha kata, akakimbilia nyuma ya nyuma na kuingia kwenye choo, ambacho ata jana alikitumia mala nyingi, aka jisaidia na kutoka, kisha akazunguka nyumba yani kule mbele, cha kwanza aliliona gari lake likiwa salama kabisa, cha pili akauona moto, una wakakwenye lile jiko la chini ya mwembe, juu yake kukiwa na sufulia, lililo funikwa, huku harufu ya kambale ikisikika, na pembeni sufuria lililo achwa wazi, ikionekana mihogo ya kuchemshwa, inafuka moshi, “sijuwi yupo wapi huyu kijana, ni mstaarabu, ange kuwa mwingine, mbona ninge fanywa usiku kucha” aliwaza mke wa Kipanta ambae mwili na umbo lake lina shawishi kufanya mapenzi kwa kiasi kikubwa sana, sijuwi kwanini Kipanta ameukifu huu mwili, “inaonekana aliamka usiku sana, akaanza kupika” aliwaza Stellah, huku ana inama na kufunua sufurialilokuwa lina chemka, akaona kuna kambale wanachemshwa, “hapa ameniweza, nikipa hii supu, nitakuwa vizuri sana” aliwaza mama uyu mwenye mbo lake, huku ana chukuwa kipande cha mhogo na kuanza kukile.




Ile anageuka tu, akamwona Pross ana kuja na rundo la nazi, na kuzipeleka karibu na gari, hapo mama huyu akazidi kuvutiwa na tabia za kijana huyu, ambae baada ya kuweka zile nazi akamfwata Stellah, huku anajichekesha kukwepesha macho yake kwa aibu, “naona umehamka mama, pole sana kwa uchovu” alisema Pross, akiendelea kujichekesha, “kweli nime choka, kwa ulevi vipi wewe uliamka saangapi?” aliuliza Stellah, akishukuru kuona kijana huyu ni mwenye aibu, nyingi, maana ange kuwa mwingine ange mkazia macho kiasi kwamba atayeye ange shindwa kuongea, ukizingatia alilala nae kitanda kimoja na kile kinguo, “nime hamka usiku, niliona wataiba gari, nikawasha moto, nika chimba mihogonikaanza kupika, ili ukihamka ule kabla ya kuondoka” alisema Pross akiwa katika hali ile ile ya aibu, akisahau ata kumwamkia mama wawatu, “jamani mwanangu asante kwa kunijari” alisema stellah, ambae toka ameanza kuongea na kijana huyu akumtazama sehemu ya mbele ya kaptula aliyo vaa, na sasa sijuwi nini kilimtu ata zame sehemu hiyo, maana ile kupeleka macho alikutana na kitu kilicho tuna mbele ya kaptula ya Pross, “basi ngoja nimalizie kukuandalia vitu vya kuondoka navyo, maji ya kunawa yapo ndani kwenye zile ndoo” alisema Pross huku anaondoka na kuelekea shambani, “maskini mtoto wawatu namtesa” hakika moyo wa Stellah, ulijikuta ukiingiwa na huruma ya hali ya juu, “ebuo ona kanavyo nijari, utazania kananijuwa mimi ninani” aliwaza Stellah, huku mawazo yake yakirudi kwenye dudu ya kijana huyu, na kuivutia picha ikiwa nje ya suruali, “sasa katasimamisha mpaka saa ngapi, mwishoe kata umiza misuri ya churuchuru yake” aliwaza Stellah huku anaingia ndani ya kibanda kile, cha kijana Pross………. endelea …








Aambako alichota maji na kutoka nayo nje kwenda kunawa, huku anaendelea kuwaza juu ya kijana huyu mdogo, ambae ame mpa adhabu kwakusimmamisha dudu, usiku kucha, na licha yayote, bado anaendelea kumfanyia mambo ambayo kiukweli ni zaidi ya kuwa rafiki au ndugu, maana alimkusanyia mazaga zaga kibao, kisha aka mpakizia kwenye gari, na yeye kuondoka zake akiahidi kumtembelea siku nyingine akipata nafasi,




Njia nzima Stella aliwaza juu ya kijana huyu, hivi ingekuwaje kama asingelala mapema, si angenifanya yule mtoto, lakini kadudu kake kana tosha” aliwaza Stellah, ambae alipita barabara yay a kisalawe kutokea kiluvya madukani, “siku nyingine, nikienda inabidi niwe makini, maana lazima niende tu! si unaona nilivyo enjoy” aliwaza Stellah, akipanga kubeba vitu vingi ikiwa wine na vyakula, ili kubolesha mapumziko yake.*******




Naam siku hiyo ndiyo ilikuwa ni siku ya Chriss mass, siku ambayo kipanta ilimkutia guest yupo na Matrida, ambao walikuwa wamechoshwa na ulevi, ambao uliwasahaulisha kupeana dudu usiku, baada ya kupitiwa na usingizi, alie toka nje wakwanza alikuwa ni Matirda ambae ambae aliamka saa nne nanusu, alienda kutafuta duka la jilani akanunue nguo ya ndani, maana ile aliyo ivaa alishinda nayo kutwa nzima ya jana, Matrida alie mwacha Kipanta bado amelala ajitambui kwa usingizi wa pombe za jana.




Sasa basi wakati Matrida ana tembea pembezoni mwa barabara kulifwata duka, akakutana na mschana mmoja anaeitwa ziada, ambae ni mteja mkubwa wa saloon kwa Rose wakasalimiana na kupishana, Matrida akielekea dukani na Ziada akaelekea alikotokea Matrida, kitu ambacho Matrida akukijuwa ni kwamba Ziada alikuwa anaelekea pale pale alipotoka yeye, yani makuti bar, ambako Ziada alikuwa ameaidiana na mwanaume mmoja, wakutane pale, kwaajili ya kusherehekea Chriss mass.




Ziada ali fika Makuti na kumkuta mtu wake aliekuwa amekaa kwenye meza moja iliyo jificha vizuri kabisa, aka karibishwa na kujiunga mezani, na kuagiza alicho itaji akijuwa kuna kazi iliyo mleta pale, ambayo itafanyika baadae chumbani, na pengine usiku kucha.




Naam Ziada akiwa anaendelea kunywa na kuongea na mpenzi wake mpya, mala aka mwona Matrida mdada alie mfahamu saloon kwa Rose, sababu ya ukaribu mkubwa na urafiki, wa kushibana walionao, yani Rose na Matrida, akija pale bar na kuingia kwenye jengo kubwa la nyumba ya kulala wageni, akujari sana akajuwa kuwa ni haki yake kuwepo sehemu kama zile sababu akuwa ameolewa, na isitoshe maali pale kila mmoja anakuja na lakwake.*******




Rose alichelewa kidogo kuhamka, kutokana na pombe za jana usiku, na alipo hamka akaingia bafuni kuoga, huku akiwaza njia ya kumnasa mwizi wa hawala yake, ambae alikuwa na uhakika kuwa ni Matrida, “mshenzi sana, awezi kunizidi hakili, lazima nihakikishe nimesha mfanyia nilicho kipanga, na anajutiamakosa yake ndio namwachia” alisema Rose ambae kiukweli ata mimi nilichelewa kujuwa alikuwa ana maanisha nini.********




Upande wa Pross ilikuwa shida kwa siku ile maana alishinda ana waza sana juu ya mwanamama yule ambae ghafla tu! ametokea kuwa karibu yake sana, kiasi cha kulala kwenye kibanda chake, wakai anaonekana ni mama mwenye heshima zake, ilo siyo tatizo, tatizo, ni hali aliyo kuwa nayo yule mama usiku wa siku iliyopita, na mbaya zaidi ni kinguo alicho kivaa, ambacho mpaka sasa Pross alipo kikumbuka na jinsi ule mtuno wa kitumbua ulivyo vimba, alijikuta dudu ina msimama kama vile ameficha kitu ndani yake, kila alipo kikumuka, “dah! wakubwa wanafaidi” alijisemea Prossambae alikuwa ana jiandaa kwenda kutembea mjini kisalawe kwaajili ya sikukuu, hapo baadae.********




Saa saba mchana ndio muda ambao, Ziada akiwa bado yupo pale bar, na mwanaume wake , alimwona bwana Kipanta, ana toka kwenye jengo la kulala wageni na kwenda kukaa kwenye moja ya meza kati ya nyingi zilizopo pale bar, na “mh! baby unamwona yule mzee, ametelekeza familia yake kwaajili ya mschana mmoja mmoja hivi” alisema Ziada kwa kunong’ona, “haa! unasema kweli?” aluliza yule jamaa, kwa mshangao, “kweli tena, alafu huyu mschana mwenyewe amae mjengea nyumba, ame mnunulia gari, ame memfungulia saloon na maduka” alisema Ziada na wakati huo huo, akamwona Matrida nae anakuja, akitokea kwenye vyumba nakwenda kukaa pale pale, alipokaa Kipanta, “ndo yule au alafu mbona mzee mwenyewe afanani na mambo unayo yasema, anaonekana mshamba flani” aliuliza yule jamaa kwa mshangao, “we! subiri tu utamwona yule ni rafiki yake” alisema Ziada.




Nikweli mwanzo Ziada alizania kuwa Matira yupo pale kama kawaida yao, maana uwa wote kila mala, lakini kila dakika zilivyoenda ndivyo, Ziada alivyo anza kupata picha harisi ya tukio linaloendelea, maana aliona dakika zina zidi kusonga bila kuonekana Rose wala rafiki yao Joyce, na mbaya zaidi aliweza kuona michezo ya kimahaba kati ya Kipanta na Matrida, “mh! hapa kuna mchezo unaendelea” aliwaza Ziada, ambae aliona pengine hii ianaweza ikawa nafdasi yake ya kutengeneza urafiki na Rose, mschana mrembo mzuri na mwenye fedha, “baby nakuja” alisema Ziada akiokota simu yake mezani na kuelekea nayo chooni,………






Naam mimi na wewe hatujuwialicho kifanya Ziada,ila ukweli ni kwamba, ata mala baada ya kurudi toka chooni, Ziada alionekana ana chati mala kwamala, kwa muda mrefu kama lisaa lizima hivi, ilibakia kidogo agombane na yule jamaa alie kuwa nae, akizania kuwa anachati na mwanaume mwingine, mpaka alipo mwonyesha ya sms alizo kuwa anatuma na kupokea, “vipi bado wapo?” ilisomeka sms aliyotumiwa ziada, toka kwenye namba iliyo ifadhiwa kwa jina la Rose wa Saloon, “ukiingia tu moja kwa moja tazama upande wa kushoto, nyuma ya hapo walipo park magari” ndivyo ilivyo jibiwa sms hiyo na Ziada, “sasa wewe yana kuhusu nini?” aliuliza yule jamaa, huku ana mrudishia simu yake, “yani baby unge juwa, ungeenda kumshahuru yule mzee, yani unaamibiwa amestaafu sasa ela yote kazi kuwaninilia manawake mala majumba mala magari, naona nahuyu ameamua kuimfirisi mzee wa watu” alisema Ziada akitazama kule walikokaa, wakina Matrida na Kipanta, “kumbe ni elaya kustaafia?” aliuliza yule jamaa kwa mshangao, huku anageuka na kutazama upande, na wakati huo huo,wote wawili wakamwona mwana dada mmoja matata sana anaingia eneo lile, kwa mguu, alikuwa peke yake, kwa uzuri wa mschana huyu, ata huyu jamaa alie kuwa amekaa karibu na Ziada akajikuta imemchomoka bila kutegemea, “duh! ebwanaeeee” japo ilimkela sana Ziada lakini akuijari, kutokana na kwamba ana ufahamu uzuri wa mshana huyu, “huyu ndie Rose” alisema Ziada huku wakimtazama yumschana mrembo alie timia,ambae sio wao peke yao tu! waliokuwa wana mtazama, nikaribu watu wote waliokuwepo eneo, lile waligeuza shingo zao kumtazama Rose, kiasi cha wanaume wengine kugombana na wanawake walio kuwanao pale bar, kwa lengo la kusherehekea chriss mass.




Idado luwa ya watu ili mshuhudia mschana huyu, alie valia suruali ya jinsi na tishe la kubana, na chini alivaa viatu vya kudumbukiza, vya chini, yani visivyo na visigizo,wenyewe wanaita simple, (simpo) mavazi ambayo yali wafanya watu waone jinsi umbo mwanana la mschana huyu mwenye kujaliwa sura nzuri lionekane vyema kabisa.




Na kwa upande wa Kipanta na Matrida ilikuwa ni jambo la kushtukiza kwao, maana walishangaa kuona watuwanaangalia sana kule waliko wao, na walipo geuka kutazama watu wana shangaa nini, ndipo walipo mwona Rose, ana wasogela huku ame kunja sura kwa hasira, ukweli walishindwa ata kunyanyuka na kukimbia, kutokana na kuishiwa nguvu za miguu, na kubakia wakimtazama Rose akiwa fikia pale walipo na kukaa kwenye kiti kilicho kuwa wazi, “aya we Matridandio nini kuamua kutembea na huyu mzee wakati unajuwa nipo nae?” aliuliza Rose mary kwa sauti iliyo jaa hasira, hapo Matira akuweza kujibu kitu, akabakia ame inamisha kichwa chini, kwa aibu, “Matrida unamfahamu huyu mtu, mpaka una amua kujiingiza?” aliuza tena Rose, swali ambalo ata Kipantamwenyewe alilichukulia kama ni maumivu ya mapenzi, na kutaka kuvuruga penzi lake jipya ambalo ata jana akulifaidi kutokana na kuzidiwa ulevi, “sikia Rose naomba unisamehe, tuka yaongelee nyumbani, aliongea Kipanta kwa sauti ya kubembeleza, “hapana Kipanta, inatosha, inaonyesha nyie mme anzasiku nyingi kuwa wapenzi, sasa unataka tuka yaongee manini?” aliuliza Rose kwa sauti ya juu, huku watu wotewaliokuwepo eneo lile wakiskia na kuzidi kutege masikio, wengine wakitoa simu zao na kuanza kuchukuwa video za tukio lile, “lakini ni wewe mwenyewendie ulie sababisha, “ aliongea kwa kupiga kelele Kipanta na kuzidi kuwa vutia watu, Roseaka tulia kwa ukweli huo, “ulinizimia simu, na kuniacha mimi nateseka mahabusu” alisema Kipanta, na hapo nikama Rose alipata cha kuongea, “kwani huyu malaya ndie alie kutoa, alie kutoa umempa thamani gani, zaidi ya kuzidi kumwumiza moyo wake?” aliuliza Rose ambae sasa alisimama kabisa, “hayo haya kuhusu, ni mambo ya nyumbani kwangu, we tangulia nyumbani mimi nakuja huko huko” alisema Kipanta, na hapo Rose aka tazama watu waliokuwepo eneo lile , ambao karibia wote, walikuwa wanawatazama, na bahadhi yao walikuwa wanachukuwa picha za video, hapo Rose akaona kuwa tukio hili ni sawa na kujidharirisha hivyo akaona bola aondoke zake.




pasipo kusema neno lolote Rose akaondoka zake, na kuwaacha wapenzi awa wanamsindikiza kwa macho, na alipotoweka, kwenye upeo wa macho ya watu waliokuwepo pale bar, Matrida akamshauri Kipanta wahame eneo lile, japo mwanzo Kipanta alikuwa mbishi kidogo, lakini badae akakubaliana na Matridakuwa waondoke na kuhamia sehemu nyingine, pasipo kujari kuwa walikuwa wamesha lipia chumba kwenye ile nyumba ya kulala wageni.




Hivyo moja kwa moja walielekea Luguruni, na kutafuta sehemu nzuri yenye bar na Guest, kisha waka chukuwa chumba na kuendelea na ulevi wao, huku mala kwa mala wakiongelea tukio la Rose, kuwa fumania, “wala usiwe na wasi wasi ameyataka mwenyewe” alisema Kipantakwa kijitapa, alijiona kuwa ni bingwa, akujuwa kinacho fwata, “baby najuwa tu ukirudi kwa rose utani sahau” alisema Matrida kwa sauti ya kudeka, ambayo ilimlegeza zaidi Kipanta, ambae siyo kutabasamu peke yake, alicheka cheka kama lofa, “wala siwezikuanya ujinga kama huo, tena anza kuulizia gari zuri na nyumba ndogo ndogo, ili nikununulie” alisema Kipanta, nazani ni kwaajili ya pombe zilizo mzidi, maana hakiba yake ilikuwa ndogo sana kule Benk, na wala hilo alikuwa analijuwa Rose na Kipanta mwenyewe, “whooo! baby kweli” alisema Matrida huku anainuka na kumkumbatia Kipantakwa nyuma, na kubusu shingoni,tena je ebu ngoja nikurushie tena fedha nyingine, kwwenye account yako” alisema Kipanta huku ana toa simu yake na kuanza kufanya hamisho la fedha kama aliyo fanya jana, “yani baby leo utafurahi mwenye, nita kupa chochote unachotaka” alisema Marida akimaanisha kuwa amezamilia.******




Baada ya kutoka pale makuti Bar, Rose alielekea nyumbani kwake, ambako alikaa sebuleni kwake, huku akiwa na machungu mengi moyoni, aka chukuwa chupa ya wine na kumimi na kwenye glass, na kuanza kunywa huku ana pekua pekuwa simu yake sababu ndio kitu cha pekee alicho kuwa nacho kinge weza kumliwaza, zaidi ya hapo ange kuwepo Joyce ambae leo alikuwa ana mwaliko wake, na mwanaume wake, ambae anafanya akazi Mbeya, ame kuja kwaajili ya kushrehekea nae Chrismass.




Sasa basi wakati ana peluzi kwenye simu yake huku ana kunywa wine yake ndipoalipoona ujumbe wa whatsaap unaingia kwenye simu yake, toka kwa Joyce, “hupo wapi?” uliuliza ule ujumbe………








“Nipo nyumbani” alijibu Rose kabla ajaongeza, “vipi kuna nini?” sms ya pili ya Rose, kwenda kwa Joyce, “nime tumiwa video inaonyesha ume mfumania Kipanta na Matrida” ndivyo ilivyo sema sms ya Joyce, hapo Rose akashtuka na kuamua kupiga kabisa, “weee Joy, video zipo kwenye mtandao?” aliuliza Rosekwa mashangao na mshtuko, “ndio tena nyingine nime tumiwa sasa hivi” alijibu Joyce, “mungu wangu aibu gani hii sikutaka nyumbani wajuwe kama nime kutana na huyu shetani” alisema Rose huku sauti yake ikikaribia kuangua kilio, “weRose kwani huyu babu wana mjuwa nyumbani kwenu?” aliuliza Joyce kwa mshangao, nazani ata wewe msomaji, unaweza kujiuliza, “sijuwi nikuambiaje Joy, ila tukikutana nita kusimulia, yani mwezio sitaki kabisa nyumbani wajuwe” alisema Rose akionyesha kuchanganyikiwa, “unanishanmgaza ujuwe” alisema Joyce kwa mashangao maana mala nyingi aliona dalili za mambo ya hajabu kwenye mausiano ya Kipanta na Rose, na kilichoi kuwa kina mashangazana kumwonaRosemnafiki ni kitendo cha kuchukia waume wathaliti wakati yeye anatembea na mwaume mthaliti, “tutaongea we maliza ya kwako mimi naenda shambani” alisema Rose huku anainuka toka juu ya kochi, “shambani leo Chrismass?” aliuliza Joyce lakini akujibiwa, zaidi Rose alikatasimu na kukuelekea chumbani, ambako alichukuwa fedha kiasi flani pamoja na funguo za gari kisha akatoka nje ambapo alivaa viatu vyake na kueleka kwenye gari.




Naam Rose aliondoa gari lake moja kwa moja mpaka kwenye bar ya jilani, na kwake, akanunua chupa tano za wine, na kuingia nazo kwenye gari,kisha akaondoka zake.********




Stella akiwa nyumbani kwake alikuwa anasumbuliwa na mawazo juu ya matukio ya jana, wakati tukio la kuachwa na mume wake mbele ya kituo cha polisi liki muumiza, huku tukio la kukaa na kijana Pross liki mliwaza, asaalipo kumbuka alivyo kuwa ana mwuliza maswali huku ana mshika mshika, piaalikumbuka jinsi kijana alivyo data na umbo lake kiasi cha kusimamisha dudu, “yani ata watoto wananitamani, sijuwi huyu mshenzi amepatwa nanini, mpaka ana ananiacha na kuwa fwata wanawake wengine, au kuna anachotaka nina mnyima?” aliwaza Stella, akitamani kama ange kuwatena kule shambani kwa Pross, ange liwazika, kama jana, “kesho nina pika mapema naenda zangu kule shamba,maana watoto wanarudi ijumaa” alisema Stellah, na hiyo ilikuwa jumanne, “ngeendaleo lakini yule mtotoata nidhalau” alijisema Stellah, ambae ukiachia kuliwazika pia toka siku ile ya jana alijikuta anatamani sana dudu.******




ITAENDELEA



0 comments:

Post a Comment

Blog