Search This Blog

Monday 19 December 2022

KITUMBUA CHA NANI - 1

 



IMEANDIKWA NA : EDGAR MBOGO


*********************************************************************************


Chombezo : Kitumbua Cha Nani 


Sehemu Ya Kwanza (1)






Kijana Prosper alikuwa amejilaza kwenye mkeka, akipunga upepo wa na kufaidi kimvuri cha mti wa mwembe dodo mkubwa sana, uliopo pembeni ya kibanda kidogo cha bati,( full suit), ambao kwa kipindi hiki cha mwezi wa kumi na mbili, uwa unadosha sana maembe, hivyo kumfanya awe na tahadhari nyingi sana pale chini ya mwembe dodo, huku ana waza mambo mengi sana juu ya maisha yake ya sasa na ya baadae, “ukweli ujinga siyo kipaji, ujinga nitaaluma ambayo mtu ujivunza kwa juhudi kubwa sana” aliwaza Prosper au Pross kama wenzake walivyo penda kumwita, asa wakati yupo shule, “hakika usiyo yafanya utotoni utakuja kuya fanya ukubwani” aliendelea kuwaza Prosper, huku akitazama juu kwenye mti huu uliostawi na kuzaa maembe mengi sana, ukiwa ni mmoja kati ya miembe kadhaa iliyopo kwenye eneo ili la shamba kubwa sana, lenye mazao mengi sana, ikiwepo minazi ambayo ilikuwa nusu ya shamba, ndizi michungwa mipapai na matunda mengine, pamoja na viazi vitamu na mihogo ambayo Pross aliipanda mwenyewe nje na maataba wa mwenye shamba, yeye akiwa kama mlinzi na mfanyakazi wa shamba ili, ambae nikama aliuzwa au alikabidhiwa kwa mmiliki mpya wa shamba ili ambae ni bwana Shinyangwe, toka kwa mmiliki wa zamani wa shamba ili, alie linunua mwezi mmoja uliopita.




Huyu mmili mpya alikuwa ni bwana Vitus Kipanta, mzee wa miaka hamsini na nane, askari mstaafu wa Jeshi la ulinzi, alie staafu akiwa na cheo cha nyota tatu, ukweli bwana Vitus Kipanta alimkumbusha machungu makubwa sana Prosper, mwenye miaka 22, machungu ambayo yalisababishwa na aba yake ambae alikuwa ni askari mstaafu wa jeshi la polisi, ambae mala baada ya kustaafu, na kulipwa mafao yake akaondoka na kuwaacha wakina Pross, kwenye nyumba ya serikali, (quarters) za polisi maeneo ya Mivinjeni, kipindi Pross akiwa amebakiza miezi mtatu kumaliza kidato cha sita, na bahati mbaya au nzuri, Pross alikuwa anaishi na mama wa kambo, yani wa kufikia, kwahiyo mke alie telekezwa na bwana Feruz, siyo mama mzazi wa Pross,




Na ukweli toka baba yao bwana wana Vitus Feruz aiache familia yake ya mke ambae na watoto watatu yani Pross ambae ndie mkubwa, na wadogo zake wawili aliochangia baba, yani watoto wa wili, wa mama huyu, alie mlea Pross, toka Pross akiwa na miaka kumi na tano, yani kidato cha pili, ambo ni wawili tu! mmoja akiwa wakike ambae alikuwa mdogo kabisa, na kwa sasa alikuwa darasa la sita, na kaka yake ambae sasa alikuwa kidato cha tatu, ukiachia watoto wa bwana Feruzi walio telekezwa, pia kulikuwa na mdogo wa mke wa bwana Feruzi, ambae wakina Pross umwita mama mdogo, huyu nae alikuwa na miezi michache hapa nyumbani kwa Feruzi, akitokea kijijini kwao Iringa.




Pross akiwa katika kumbukumbu ya machungu, anakumbuka kuwa baba yake ambae alimtoa kijijini kwa mama yake, alie wai kuwa mpenzi wake, na kumpatia ujauzito ambao alizaliwa yeye, kwa ahadi ya ndoa, iliyo potea, baada ya kukutana na mama huyu mwingine, Pross alikumbuka siku ambayo alikuwa likizo yake ya mwisho kabla ya kwenda kwenye mitihani, ambapo baba yao aliondoka nyumbani akisema anaenda kuangalia kama fedha zake zamafao zimeingia kwenye account yake, na kurudi siku ya pili mida ya saa sita mchana, akionekana wazi kuwa alikuwa amechoka kwa pombe na starehe, lakini Pross na wadogo zake, walifurahi sana, kumwona baba yao, wakijuwa kuwa, ata kuwa amekuja na mambo mazuri, lakini aikuwa hivyo maana baba na mama yao wakajifungia chumbani na kuanza kulumbana, hapo ndipo Pross ambae alikuwa ana umri wa miaka kumi na tisa, ambayo ilitosha kuelewa kinacho endelea, aka ng’amua mapema sana kuwa kulikuwa na ugomvi mkubwa sana, kati ya baba yake na mama yake wakambo, na akaja kuli thibitisha ilo, jioni ambapo baba yake aliondoka kama vile anaenda kutembea, na akurudi tena, ata wiki ilikatika, huku maisha yao yakianza kuwa magumu, maana awakuwa na kipato kingine zaidi ya kumtegemea baba yao, na walikuwa awakopesheki , sababu kila mwenye duka aliamini kuwa aadda ya kulipwa mafao yake bwana Feruzi, angeondoka muda wowote toka pale kwenye nyumba za Polisi, za Mivinjeni, na kupisha askari wengine katika nyumba ile, ya serikali, lakini mwokozi wao akawa mama mdogo, ambae alikuwa ana pewa ela na mwanaume mmoja ambae alikuwa ni askari pale line polisi, lakini pia alikuwa mume wa mtu.




Maisha yakazidi kuwa magumu kwa upande wa familia hii, huku wakimsikia mama yao akilalamika kuwa, kuna habari nyingi mtaani, kuwa baba yao anaonekana mitaa ya Kigamomboni huko Tuamoyo, akishinda na kura raha na mschana mmoja, ambae mwanzo mama yake akuwa anamjuwa, lakini japo akuwa na wasi wasi juu ya mama huyu wakambo ambae alimwonyesha upendo kama vile mwanae, ila Pross akaamua kwenda kigamboni kumtafuta baba yake, alitoka asubuhi na mapema, na kuanza kumsaka baba yake.




Kwa hakiri za kitoto, Pross alisaka kwenye mitaa akizunguka Tuamoyo nzima, mpaka uwanja wa swala kiiukia PCOL, na kufwata barabara ya mikadi, na alipoona ame kosea akarudi tena uwanja wa maputok akinyoosha mpaka karibu na kambi ya Jeshi, kisha akarudi tena Tuamoyo kwa kutumia chochoro za mitaa, huku akinunu amaji, na vitafunwa kama karanga, na vinginevyo, kiasi kwamba mpaka saa kumi jioni, Prosper alikuwa amejikuta maeneo ya CCM, ajuwi la kufanya na akuwa ata na nauri ya kurudia kwao Mivinjeni, “nitafanya nini” alijiuliza Pross, huku akitazama maduka na bar ndogo ndogo, zilizopo pembezoni mwa ukumbi wa CCM, ungesema anatazama kama ange mwona mtu ambae anaweza kuwa anamfahamu akamwombe nauri.




Kwahakika kama unge mwona Prosper kwa wakati huo, unge gundua mala moja kuwa kijana huyu alikuwa amechoka sana, kwa mwendo wa kutwa nzima, tena kwenye juwa kali, maana uso ulimpauka huyu kijana ambae urefu wake wa wastani, na mpata kidogo, alionekana kubonyea mgongo, kama vile anakibiongo, kwa jinsi alivyochoka, na miguu yake ambayo alikuwa amevaa viatu vya chini, vya mikanda, yani sendo, ilikuwa imechafuka vumi, kama ingekuwa kule kusini kwa wamwela, tungesema ametoka kucheza ngoma za wakati wa unyago.




Kijana akuwa na lakufanya, akaamua kuanza kutembea taratibu, kuelekea kivukoni, huku akiwaza atatoa wapi shilingi mia ya kuvukia, kwenye pantone, maana aliamini kitu ambacho akiwezi ni kuogelea tena kwa umbali mrefu kama ule wa kutoka kigamboni mpaka magogoni, lakini kama atafanikiwa kuvuka, anauwezo wa kutembea kwa mguu mpaka Mivinjeni, ata kama akifika kesho hiyo isinge sumbua, cha msingi ni kwamba avuke kwanza.




Bahati ilikuwa upande wa Prosper, nasema Bahati sababu alifanikisha lengo la safari yake, maana wakati Pross ana maliza kulivuka jengo la ukimbi wa CCM, akaiona bar moja ndogo, ambayo ilikuwa na watu wachache sana, na watu hao kwa mtazamo wa haraka walikuwa katika meza mbili, kama wateja, na ukiondoa wahudumu na mchoma chips, kulikuwa na mwanaume mmoja na wanawake sita, waliokaa kwenye meza mbili zilizo ungwa pamoja, na kuonekana kama meza moja ndefu, wakiwa wamevalia vinguo ambazo ziliwatamulisha kuwa ni wanawake wa aina gani, maana kama siyo fupi, basin i nyepesi na iliyo ana, na kuchora maungo yao.




Meza zile zilikuwa zime tapakaa vinywaji, navyo vikiwa ni pombe tupu, ambazo kwa haraka Pross akujuwa gharama ya pombe zile, lakini kwa mimi kama mwandishi na kwa maelezo ya Pross kichwa cha bei ya chini ilikuwa ni win flani ya box, iliyo kuwa inauzwa shilingi elfu saba kwa mwaka ule wa 2009, vingine vilionekana kuwa vya gharama ya juu zaidi, pamoja na sahani zilizo nona kwa vyakula tena akukuwa na nyama ya ng’ombe, ni ndizi choma kwa nyama ya kuku.




Mwanzo Prosper akumwona kwa sura yule mwanaume, sababu alikuwa amemgeuzia mgongo, kwa ukaaji wake, lakini aliweza kuziona sura za wanawake walio mzunguka, ambao walikuwa wana kunywa na kula, wakicheka kwa furaha, huku mmoja wa wachana wale, muda wote akimfanyia michezo ya kimahaba, bila kujari kuwa ilikuwa saa kumi jioni, na ile sehemu ni barabarani, ukweli Prosper alihisi kengere ya tahadhari ikigonga kichwani mwake asa baada ya kugundua kuwa wale waschana anao waona mbele yake anawafahamu, tena walikuwa wanatoka maeneo ya karibu na makazi ya askari wa jeshi la polisi, ni wadada flani ambao sifa zao siyo nzuri sana, pale mtaani, ni wadada ambao mala nyingi akiwa anarudi toka shule uwa anawaona kwenye vibar vya mtaani kwao wakiwa wanakunywa pombe na wanaume tofauti tofauti, sijuwi kwanini aliingiwa na wasi wasi mkuwa kwa kuwaona wale wanawake, lakini akapata wazo la kwenda kuwaomba wamsaidie nauri ya kufikia Mivinjeni, maana akuwa na njia nyingine, na aliamini kuwa uwepo wa wanawake wale ambao kwamwonekano siyo wanawake wa mchezo mchezo, ambao wakikutia mkononi, lazima uuze mpaka nguo ya ndani.




Prosper alipiga moyo konde na kusogea pale kwenye bar, “shikamo” alisalimia Prosper, mala baada ya kuifikia sehemu lengwa, wote saba wakamtazama Prosper ambae alikuwa amemkazia macho mmoja wa wanawake wale, lakini alishangaa kuona sura za wana wake awa zikibadirika toka kwenye vicheko na kukunja midomo kama vile wamemwona hasidi, au fisadi, “we! Pross, ume fwata nini huku?” alikuwa ni sauti ya kiume iliyo jaa mshangao wa kilevi, Prosper alie itambua ile sauti mala moja kuwa, akamtazama yule mzee, na alipo hakikisha kuwa ni baba yake kweli, kama alivyo isikia ile sauti yake, Pross akatabasamu,………






Akijuwa kuwa amesha mpata baba yake na safari ya nyumbani itaanza, ikiwa ni mwanzo wa kumaliza shida zao, “inamaana mama yako amekutuma uni fwatilie?” aliuliza mzee Feruz, kwa sauti ile ile ya mshangao wakilevi, “hapana baba, mimi mwenyewe ndio nilikuwa na kutafuta” alisema Prosper, kwa sauti ya furaha, “ulikuwa unanitafuta, kwani mimi nime potea, aya rudi nyumbani nitakuja huko huko” alisema bwana Vitus Feruz, yani baba yake Pross, huku wale waschana wakiwa wametulia kimya wakimkazia macho Pross, na kumkunjia midomo, kwa kum’beza.




Licha ya kuambiwa hivyo lakini Pross akaonekana kuganda pale pale, huku akimtazama baba yake kama vile anatamani kumweleza kitu, “wewe si umeamiwa uende, kwani umeona hii ndio sehemu ya kuongea na baba yako?” alisema yule mschana alie kaa karibu na bwana Feruzi, ambae Pross mwenyewe alishawai kummwona mala nyingi akiwa na wanaume tofauti, kule mivinjeni, “sina nauri” alisema Pross kwa sauti ya chini iliyo jaa aibu flani, “hooo! kumbe, sasa usinge niona unge rudije nyumbani?” aliuliza bwana Feruzi, huku anaingiza mkono kwenye mfuko wa nyuma wa suruali yake, na kutoa noti ya shirini elfu kumi, kisha akanyoosha mkono kumpatia Pross, lakini yule mschana alie kaa karibu na Feruzi akaidaka, “yani beby una wafundisha watoto vibaya, ela yote hii ya nauri?” alsema yule mschana kwa sauti ya kudeka, huku anachukuwa pochi yake na kuifungua, kisha akaiweka ile noti ya elfu kumi, na kuanza kuchambua chambua kwenye ile pochi, huku zikisikika sauti za cheke cheke zikigongana, “yani baby ukiendelea hivi, sijuwi kama utatamalizia kununua vifaa vya saloon” alisema yule mwanamke, ambae kiukweli ni kama wenzake tu! walionekana wazi kuwa ni wanawake ambao, awakuwa na huruma na fedha yay a mzee Feruzi yani baba yake Pross, kutokana na vitu vilivyo agizwa palemezani, mwisho yule mwanamke, akaibuka na chekecheke (coin) nne, tatu zikiwa za mia mbili mia mbili, na moja ya shilingi mia, kisha akampatia Pross,jumla yake zikiwa ni mia saba, “aya tangulia nyumbani, baba atakuja” alisema yule mwanamke mala baada ya kumpatia Pross shilingi mia saba mkononi mwake, “usimwambie mama yako ulicho kiona huku” alisisitiza bwana Vitus Feruz, kwa sauti ya kilevi, hapo Pross akaondoka zake kinyonge huku anazitazama zile fedha kwa uzuni kubwa, kwa mbali akisikia wale wanawake wakimsimanga baba yake, “yani we shemeji unavyo mwogopa huyo mkeo, kwani akiskia kuna nini, Didah siyupo” inamaana walimaanisha kuwa Didah ndio huyu alie mpatia Pross shilingi mia saba, “nani amwogope yeye mwenyewe ananijuwa, akizingiwa tu ndio kama hivi, anioni tena” Pross aliweza kumsikia vizuri baba yake, lakini yeye akujari akaendelea kutembea huku akiitazama ile mia saba, kwa uzuni.




Siyo kwamba zile ela azikutosha nauri, ya kufika Mivinjeni, hapana, zile fedha zilitosha nauri na chenji ingebakia kana mia tatu, lakini kilicho mfanya akose raha, ni kile anacho kifanya baba yake, maana wakati wao kule nyumbani wanateseka, yeye anaweza kukaa bar na kuwa nunulia wanawake wale, pombe na kuku, huku akisikia kuwa kuna saloon inafunguliwa, wanawake ambao walisha poteza thamani yao katika mtaa waliokuwa wanakaa, lakini kilicho mpa moyo ni kwamba baba yake alisema kuwa ata rudi nyumbani, kitu ambacho Pross alijaribu kujiuliza, ni kwamba kama wale wote ambao anafahamu fika kuwa wame toka kule Mvinjeni na kuja huku kigamboni, sasa mida kama hii ya jioni bado wanakunywa pombe nyingi kiasi kile, je watarudi Mivinjeni au watalala huko huko.




Saa mbili usiku ndio mida ambayo Pross alifika nyumbani kwao, na kukuta wenzake wamesha maliza kula, japo chakula aliwekewa ila kilikuwa ni kidogo, siyo kwamba walimfanyia makusudi, ila ukweli ni kwamba ata wenzake walikuwala moja tu, asubhi ilipita kavu, mchana ikapita kavu, usiku walikuwala tena chakula kidogo cha kunyang’anyana, kilicho mfanya Pross ajuwe kuwa wadogo zake awakushiba, ni pale alipowekewa chakula chake, akawaona wadogo zake bado wana kimendea, “vipi mwanangu baba yako umekutana nae, “aliuliza mama yake wakambo Pross, ambae kikawaida aliishi na Pross kama mwanae wa kumzaa, hapo Pross akawaza na kuwazua, kwamba akimficha na ikaja kugundulika kuwa alikutana nae, itamfanya atengeneze uadui na mama yake huyu, ambae amemlea kwa upendo mkubwa sana kuliko ata mama yake mzazi kule kijijini, “nime kutana nae, amesema nitangulie nyumbani atakuja” alisema Pross, ambae baada ya kuona wadogo zake wanamendea sahani yake, akawakaribisha wale kwapamoja, japo ilikuwa ni mikono miwili sahani nyeupe, “umemkuta anafanya nini?” aliuliza mama Pross, “nime mkuta anakunywa pombe, ila amesema atakuja” ilo Pross akujiuliza kabla ya kujibu, alilifyetua kama lilivyo, “mh! hapa tujipange, maana sidhani kama atarudi” alisema mama huyu ambae sasa alizidi kuwa mnyonge, na kupungua mwili kwamateso ya maisha, maana alivumilia kipindi mumewake anasubiri mfao yake, lakini ameyapata ndio kwanza yana mkuta aya yakukikimbiwa.




Nikweli ilikuwa kukimbiwa, maana ilikatika week nyingine bila bwana Vitus Feruz kurudi nyumbani kwake, ambako aliacha mke na watoto wa tatu, na shemeji yake wa kike, huku akijuwa fika kuwa muda wowote familia yake itatolewa pale balax, na wasinge kuwa na sehemu ya kwenda, maana akuwa amejenga nyumba yoyote, katika kipindi chake cha utumishi wamiaka zaidi ya therasini, akiwa ndani ya jeshi la polisi.




Ikaongezeka week ya pili, huku familia ya bwana Feruz ikiishi kwa kumtegemea mama mdogo, ambae sasa alilazimika kuongeza idadi ya wanaume, ili familia ya dada yake iweze kuishi na yeye kupata maitajio yake muhimu, pamoja na nauri za wakina Pross wakati wa kwenda shule, mana tayari shule zilifunguliwa na bwana Feruz akuwa ameonekana tena, ata simu yake aikupatikana tena hewani, maana alisha izima, akutaka mazowea na familia yake.




Naam siku chache kabla uongozi wa jeshi la polisi, auja wataka kuhama kwenye ile nyumba, na kupisha askari wengine, ilikuwa jumamoss siku ambayo Pross uwa anaitumia kujisomea kwaajili ya mihatini yake ya mwisho, mama akamwambia Pross aende tena Kigamboni, kumsaka baba yake, maana alisha anza kusikia tetesi za kuondolewa pale kwenye makazi ya askari, sababu mume wake akuwa tena askari wa jeshi la polisi, hivyo waliitaji msaada wake.




Ukweli ni kwamba siku hiyo Pross aliangaika kigamboni nzima, safari hii akiulizia kwenye mabar na gorocer mana alikumbuka siku ya mwisho alimwona kwenye Bar, tena alianzia pale pale alipo mkuta, mala ya mwisho, ukweli nikwmaba kwa muda mfupi tu! baba yake alifahamika sana pale Kigamboni, maana kuna wakati ilibidi auliziae kwa wahudumu, wa bar, “yule mzee tupa tupa, ana kunywa na mademu flani hivi, mala ya mwisho alikuwa bar ya pale, kwenye kona” ndivyo alivyo jibiwa Prosper, mala kwa mala, na akila alipoenda sehemu aliyo elekezwa, aliambiwa, “huyu jamaa sija mwona kwa siku kadhaa” yani mpaka mida ya saa mbili Pross akuwa amemwona baba yake, hivyo akaamua kuondoka zake kurudi nyumbani, ambako alifika saa nne usiku, na kutoa report kwa mama yake, juu ya kukosekana kwa baba yake.




Na siku yapili Pross akaenda mtaa wa karibu, ambako mala nyingi alikuwa anamwona sana yule mwanamke anae itwa Didah, ambae ndie kama mpenzi wa baba yake, lakini licha ya kusaka kila kona na kuulizia kwa baaadhi ya watu akaambiwa kuwa mwanamke huyu na wenzake awakuwepo hapo mtaani kwa siku kadhaa, mala moja moja uonekana akileta vifaa vya saloon yake na kuondoka tena , “wale mademu inaonekana wameliotea jamaa wanalikamua kinoma” kuna mmoja aliongea kauri hiyo ambayo ilimuumiza sana Propss, sababu huyo jamaa anae kamuliwa ni baba yake, na wakati wao wanateseka.




Jumatatu ndio siku ambayo wakina Pross walitakiwa kuhama pale nyumbani, sababu jioni wakati wanatoka shule na kufika pale nyumbani, wakakuta tayari vitu vyao vipo nje, na wanatakiwa waondoke, wakina Pross awakumkuta mama yao mdogo, ambapo mama yao aliwaambia kuwa wanamsubiri yeye ili wajuwe wanaenda kuishi wapi, maana yeye ndie alikuwa kama mkombozi wao kwa siku hizi za karibu.




Saa tatu usiku ndio muda ambao mama mdogo wao alipokuja na gari dogo la mizigo, wengi wanaita kilikoou, tukaanza kupakiza mizigo, ambayo ilienea kwenye gari lile, na tukapata nafasi ya kukaa na sisi, hakika usinge weza kuamini, kwa mtu alie fanya kazi kwa mika therathini , vyombo vyake vya ndani yani feniture zake zote, zikae kwenye kigari kidogo kama hiki, na zinatosha vizuri, na nafasi nyingine ibakia.




Safar ikaanza kuelekea sehemu ambayo mwanzo awakuwa wanaielewa zaidi ya mama yao mdogo pekee, walikamata barabara ya mandela kabla ya kukata kushoto baada ya kufika tazara kiisha wakaelekea ukonga, na hapa majumba sita wakakata kulia kueleka tabata, mpaka kinyelezi, alafu waka ifwata ile barabara ya maealamba mawili, na kwenda kutokea mbezi, alafu wakaifwata barabara ya morogoro, mwisho wake wakaishia Kibamba hospital, na kuingia upande wa kushoto, ambako walienda kama kilomita nne hivi, ndipo safari yao ikaishia mbele ya kijumba kimoja cha mabati, kilicho jengwa pembezoni mwa eneo la Hospital ya muhimbili (MUHAS) ikiwa ni kwenye mpaka baina ya makazi ya wananchi na eneo la serikali. …










“dada nazani wakati unamtafuta shemeji tuishi kwanza hapa” alisema mama mdogo, na hapo ndipo wakina Pross walipoanza kuelewa nini kinaendelea, katika maisha yao mapya, nadani ya kijumba hiki ambacho mama yao mdogo alikabidhwa na mtu mmoja, alie hama baada ya kupata sehemu nyingine.*******




Iliwalazimu wakina Pross kuzowea maisha yale, maana awakuwa na jinsi, kijumba kile ambacho kilikuwa na chumba kimoja na kijiukumbi kidogo, ikiwalazimu mama na mama mdogo kulala chumbani, huku Pross na wadogo zake wakilala pale sebuleni, huku akitumia siku za week end kulima lima nje ya kile kibanda chao, na kufanikiwa kupanda mboga mboga, ambazo mwanzo zilianza kuwasaidia wao wenyewe, na baadae wakawa wanakuja watu wengine kununua, na kuwa saidia wao kupata fedha ndogo ndogo za kununua chumvi sukari na mafuta ya kupikia, pia sabauni na nauri ya kuendea shuleni ambako kwa sasa nikama walikuwa wanasoma mbali sana, japo miezi michache baadae wakahama, na kuhamia shule za karibu.




Kwa upande wa Pross alifanikiwa kumaliza shule, yani kidato cha sita, huku matokeo yake yakija mabaya sana, maana yake alifeli, na kushindwa kuendelea, na masomo zaidi, sasa alishinda nyumbani, akianza kufanya kazi ndogo ndogo za kusaidia kwenye ujenzi, maana mtaa ule mpya ulikuwa na kazi nyingi za ujenzi, ukweli alisaidia sana pale nyummbani, sasa yeye na mama mdogo walikuwa wanategemewa, wote wawili, pia licha ya kujiusisha na kusaidia mafundi, lakini akuacha kulima mboga mboga, ambazo zilimpa ajira mama yake wakambo, ambae alikuwa anatembeza kwenye baadhi ya nyumba za wakazi wapale, ambao wengi wao walikuwa ni watu wenye uwezo kifedha, maana ata ukiyaona majumba yao unge juwa tu, kuwa watu wa huku siyo wa mchezo mchezo, majumba makubwa, nje magari kama siyo mawili basi matatu na kuendelea.******




ilipita miezi miezi sita, toka familia ya bwana Vitus Feruz ikimbiwe na baba yao, na miezi mitatu toka Pross amalize Shule, maisha yalizidi kusonga, yeye Pross akiendelea na vibarua, mama aliuza mboga, na mama mdogo alikuwa akijitaidi kutoka mida ya jioni, pengine ange rudi asubuhi, au usiku sana, akiwa amelewa, wakati mwingne alirudishwana gari au boda boda, ugomvi aukupungua, pale mtaani, wanawake wengine walimshutumu anawaibia waume zao, ndipo Pross alipoanza kuhisi utofauti kwenye hakiri na mwili wake, nikama alianza kuichukia tabia ya mama yake mdogo, ambae kila siku ata tabia yake ya kujiheshimu nikama ilianza kupungua, na kuanza kufanana na wale wanawake ambao, mala ya mwisho Pross aliwaona na baba yake kule kigamboni, ukiachilia shutuma za kuiba waume wawatu pia ata uvaaji wake, ulisha badirika sana, japo Pross asingeweza kumtamani mama yake mdogo, lakini ilifikia wakati alianza kumpa shida, kwa vinguo vyake vifupi, na tatizo kubwa lilikuja kipindi ambacho mama mdogo, alikuwa ana jiachia sana asa akiwa ndani ya kibanda kile, cha mabati, pasipo kuwaza au kuona yupo na kijana mkubwa kama Pross, ambae tayari alisha barehe, na kuanza kutamani vitu vya wakubwa.




Pross anakumbuka siku moja usiku akiwa amelala na wadogo zake, alirudi mama mdogo akiwa amelewa sana, yeye ndie alie mfungulia mlango, sababu nikama ilikuwa ndio moja ya jukumu lake, ila ukweli mama mdogo akuwa mgomvi wala mkolofi hicho ndicho ambacho Pross kilimfanya amvumile sana mama mdogo, ila tukio ilo la usiku huo, lilimfanya Pross agundue kuwa hii nyumba ni ndogo, maana alipo mfungulia mama yake mdogo, alimsubiri aingie ndani na yeye akafunga mlango na kulala, huku mama mdogo, akipita kwa kupepesuka, akapapasa na kuingia chumbani alikokuwa analala na mama yao wakina Pross yani dada yake.




Lakini Kabla ata Pross ajapitiwa na usingizi, akamwona mama mdogo anatoka mle chumbani, huku akipepesuka kwa ulevi, na kuelekea nje kabisa ya kibanda kile, japo mle ndani kulikuwa na giza, kutokana na kibanda kile kukosa umeme, lakini aliweza kuona kuwa mama mdogo alikuwa amevalia kanga, na ukweli mama mdogo licha ya kupenda kujiachia achia, lakini mwili wake ulikuwa umeumbika vyema, na kuweza kumtamanisha ata huyu mtoto wa shemeji yake, Pross akatulia kusubiri mama mdogo aingie tena ndani iliafunge mlango, maana aliofia pengine angeacha mlango wazi kutokana na ulevi, sekunde chache baada ya mama mdogo kutoka nje, Pross akasikia sauti ya kumwagika kwa haja ndogo, kwenye eneo la mbele ya nyumba, akushangaa sana sababu ni kawaida ya mam mdogo huyu asa akiwa amelewa, uwa anadai anaogopa kuzinguka chooni ata bakwa, au kuzulika na wadudu.




Baada ya kukoma kwa mchuluziko wa mkojo, Pross akamwona mama mdogo anaingia ndani na kufunga mlango, lakini ile anamaliza kufunga mlango na kutaka kuondoka, mala nguo yake ikanaza kwenye bati la kingo ya mlango, na katika harakati za kuinasua, niakama aliyumba kidogo, kwa kuzidiwa na ulevi, hivyo akawai kukaa kwenye kitanda cha wakina Pross, na pasipo kujari kanga yake iliyo nasia kwenye bati na kumtoka mwilini, hapo Pross aliweza kuona tashiwila ya mwili mtupu wa mama mdogo, na dudu ambayo wakati mwingine uwa unasahau undugu, ika anza kututumka, na kusimama na ukizingatia kijana huyu, mwenye miaka kumi na Tisa (kwa kipindi hicho) akuwai kuonja kitumbua, nambaya zaidi ulala na buka tupu, akuwaga na nguo za ndani yani boxer.




Naam ili kuhepusha shari na dhahama, Pross akafumba macho na kujifanya amelala, maana kuna vyakula ukivitazama ndipo unapoanza kujisikia njaa, lakini aikusaidia kitu, ndio kwanza akamwona mama mdogo anajilaza juu ya kitanda kile, huku mwili wake mtupu ukimgusa Pross, alie lala upande wa mwanzo wa kitanda, akitanguliwa na mama mdogo, alie mgeuzia mgongo, na kumgusa na msambwana wake, huku wadogo zake wawili wakilala ukutani, yani yule wakike na yule wakiume, walisha zowea kulala hivyo, lakini hii ya mama mdogo ndio ilimpa shida, maana kila muda ulizidi kwenda mbele, ndivyo vituko vilivyo zidi, maana kuna wakati mam mdogo aligeuka upande wa Pross alie kuwa amelala chali, akikosa usingizi kabisa, na kupandisha paja lake juu ya usawa wa dudu ya mtoto wa dada yake, wakati mwingine alilala kabisa juu ya Pross, huku kifuachake kilicho kuwa wazi, na kusababisha maziwa ya mwanamke huyu ambae kiukweli sikuwatajiaumri wake wa mika ishirini na tano, akiwa mbele kwa miaka sita, uogamkubwa ulimshika Pross kutokana na mambo makubwa mawili, moja akuwa kulaliwa na mwanamke kama hivi, kwa hiyo ilikuwa ni mala yake yakwanza, pili huyu ni mama yake mdogo, mdogo wa mama yake wa kambo, ambae siku zote amekuwa akimchukulia kama mwanae wa damu, sasa itakuwaje pale mama yake atapo kuta mama mdogo ame mlaliz hivi, japo kwa kiasi flani Pross alisisimuliwa na jambo lile na kufanya dudu yake izidi kututumka na kusimama, kwanguvu ikikandamizwa na paja la mama mdogo, ambalo joto lake lilikuwa tamu lenye kuamsha walio lala.




Ilikuwa saa nane za usiku, ndipo Pross akapata wazo la kujiondoa pale kitandani, hapo ndipo alipoanza kundoa paja la mama mdogo juu yake, lakini ndio kama alikuwa anamweka vizuri, maana akashtuka kuona mama mdogo akipeleka mkono kwenye dudu yake na kuaikamata dudu, “baby mbona ume vaa nguo” aliongea mamadogo kwa sauti ya kilevi iliyo changanyika na usingizi, huku anaikamata pindo ya juu ya bukata yap ross na kuishusha kidogo, kiasi cha dudu kuchomoka ndani ya bukta, kisha aka ishika dudu na kuanza kuichezea taratibu, Pross alitamani kumshika mkono mama yake mdogo, ili amzuwie, lakini alishindwa kutokana na msisimko mtamu uloimpata, “baby unajoto” alisikika mama mdogo, kwa sauti ile ile ya kilevi, huku akiendelea kuichezea dudu ya Pross, na wakati mwingine akizidi kupandisha paja lake kwenye usawa wa dudu ya kijana huyu mdogo, na kumfanya ahisi mikwaluzo ya vinyweleo vya eneo la kitumbua, vya mama mdogo, vikimkwaluza kwaluza, kwenye paja lake, karibu na kinena chake, nakumfanya Pross azidi kusimisha mnazi. …..










lakini Pross aligundua kuwa mama mdogo akuwa anajuwa anacho kifanya, hivyo akajuwa kuwa anaitaji kufanya juhudi za haraka kujitoa pale kitandani.




Pross alifanikiwa kutoka kitandani akanasua ile kanga pale mlangoni na kumfunika mama yake mdogo, kisha akafungua mlango na kutoka nje kabisa, akaenda kwenye jiko lao ambalo ni lakuni na kuukusanya mto uliokuwepo pale aka ongezea na kuni chache kisha akatulia akiota moto, huku kichwani mwake ikimjia picha ya tukio la mama yake mdogo, muda mfupi uliopita, na kumfanya azidi kutamani kuonja kitumbua haraka iwezekanavyo, lakini swali likaja ata mpata nani, wa kupatia kitumbua.




Siyo kwamba akuwa na mvuto wa kupata mwanamke, au angeshinwa kabisa kupata mwanamke, hapana, alikuwa na uhakika akuwa na kasoro ya kushindwa kukubaliwa na mwanamke atakae mtongoza, sababu ata kule shuleni kuna baadhi ya wanawake walikuwa wana mshobokea, sema yeye kuna kitu kimoja uwa kina mfanya ashindwe kuwa na mwanamke, kitu chenyewe ni fedha, sikuzote aliamini kuwa mwanamke yoyote, umpenda wanaume mala baada ya kugundua anafedha, zaidi ya hapo utaishia kumtazama kwa macho.




“sijuwi nirudi nika mfanye?” aliwaza Pross ambae bado dudu yake ilikuwa inasumbuliwa na kumbukumbu ya mama mdogo, “lakini akijuwa kama nimemfanya si atanisingizia nime mbaka” aliwaza Pross, ambae toka anafika na kujiunga na familia hii, amekuwa makini sana, asiwakorofishe wanafamilia, sababu mama yake alimweleza mambo mengi sana kuhusu mama wakambo, ukiwa pamoja na kukosa upendo kabisa, japo ilikuwa tofauti kabisa naalivyo ambaiwa, lakini alijitaidi kuishi bila kufanya makosa




Pross alikaa pale nje akiota moto, huku akipambana na mbu, mpaka alipoanza kusikia sauti za majogoo, yakiwika, ikimaanisha kuwa tayari lisaa limoja limesha katika, inamaana ni saa tisa za usiku, sasa alikuwa akisakamwa na usingizi, na kuofia kulala pale nje, maana wao walipakana na msitu wa eneo la MUHAS, japo ilifikia wakati Pross akajikuta anasinzia mpaka alipo stuliwa na michakato ya kandambili, ile anageuka akamwona mama yake wakambo, akiwa amesha mkaribia, “Pross kumbe hupo huku, pole mwanangu, aya nenda kalale nimesha mtoa” hapo Pross akahisi aibu flani mana alisha juwa kuwa mama yake huyu ameelezwa kilicho msibu usiku huu, kwa hiyo mama alipo shtuka na kuona mama mdogo hayupo kitandani ndipo alipotoka na kwenda kumtazama nje ndpo alipo mkuta kitandani kwa watoto, na kumpeleka chumbani kwao.******




Kuanzia usiku mpaka kulipokucha Pross alikuwa katika wakati mgumu sana, akiwaza jinsi ambayo mama yake ange mchukulia kwa hali ambayo mama yake mdogo amekutwa nayo kitandani kwao, ukweli mpaka hapo Pross alisha ona kuwa kuna umuhumu wa kuongeza nyumba au kuwa na sehemu yake ya kuishi, maana ile nyumba ilikuwa ni ndogo sana, ukiachia udogo wenyewe pia liwaza jinsi atakavyo weza kutazamana usoni na mama yake mdogo, ambae alifikia hatua ya kumchezea dudu yake.




Jambo alilowaza Pross ni kumtafuta baba yake, ili aweze kuja kuokoa jahadhi, ikiwezekana akawapigie nyumba wakina mama, ili yeye weae abakie pale peke yake wakati anasoma ramani nyingine, na ata kulipokucha baada ya wadogo zake kuelekea shuleni, ndipo alipoaga kwa mama yake kuwa anaenda Mivinjeni, kumtafuta baba yake, ili aweze kutoa msaada kwao, “japo mama yake alikubaliana nae lakini alionyesha wazi kutilia shaka uhamuzi ule wa mwanae wa kumlea, au wakufikia kama wengi wanavyosema.




Mpaka Pross anaondoka mida ya saa mbili za asubihi, bado akumwona mama mdogo, ambae akuwa ametoka chumbani, mwanzo alijuwa kuwa bado amelala, lakini alijuwa baadae kuwa alikuwa amesha hamka, ila anaona aibu kutoka nje, kutokana na tukio la jana usiku, ni baada ya Pross kusikia mama yake akimgombeza mama mdogo, “unataka kumtia lahana mtoto wawatu, we unazani ange kuwa anahakiri mbovu na kuamua kukufanya inge kuwaje” aliskika mama akimgonbeza mdogowake, “lakini dada sikujuwa kinachonitokea” alijitetea mama mdogo, walau kwa sauti ya kunyenyekea, “inabidi uwe makini, unazani yule mtoto sasa atakuwa kati hali gani, ona mpaka ameamua kwenda kumtafuta baba yake, ujuwe hapa nyumbani anapaona pachungu” alisema mama yao wakina Pross, huku Pross akizidi kutokomea, upande wa barabara kuu, kwenda kupanda gari.******




Safari ya Pross ili fika mwisho saa tano za asubihi, moja kwa moja alienda mtaa wa Mivinjeni, mtaa wa karibu kabisa, na kambi la polisi, walilo wai kuishi kwa miaka mingi, Pross aliwatafuta baadhi ya watu aliokuwa anawafahamu, wengi wao wakiwa ni vijana wenzake, aliokuwa anawafahamu toka zamani, ukweli alichelewa kidogo kuwapata rafiki zake, maana wengi walikuwa wanajishughulisha na kazi ndogo ndogo, na wengi wao wakiwa ni madereva wa bida boda, na lipo gundua hivyo, akaenda moja kwa moja kwenye kijiwe cha bida bida, na kumpata mmoja alie kuwa amanafahamu, ambae alimweleza kuhusu baba yake, “baba yako uwa namwonaga na Khadija, yule demu mwenye saloon hapo mtaa wa nyuma, japo nina kama wekee kadhaa sija wmona nae” alieleza yule kijana, na kumshauri Pross aende saloon kwa Khadija, pengine anaweza kupata habari za baba yake, ila Pross heee, fanya makeke mdingi achomoke kwayule demu siyo inshu wala nini, mshuwa anapoteza ujuwe” alshauri kijana yule wakati Pross anataka kuondoka, nikweli Pross alikuwa anajisikia vibaya sana, juu ya tabia aliyo ifanya baba yake, lakini je, ataanzia wapi kumtoa baba yake kwa yule mwanamke, ambae alithubuti, kumanyang’anya fedha aliyopewa na baba yake na, bila baba mwenyewe kusema lolote poa kaka ngoja nikamcheki alafu nitajuwa la kufanya”.




Pross akaelekea mpaka alipoelekezwa, yani saloon kwa Khadija ambae kiukweli akumkuta, pale saloon, zaidi aliwakuta waschana wengine tu, mmoja wao alikuwa ni kati ya wale waschana ambao Pross aliwakuta na baba yake kule Kigamboni, mala ya mwisho kumwona baba yake, “sahamani nilikuwa na mwulizia dada Khadija” aliongea Pross kwa sauti ya upole sana, mala baada ya kusalimia, huku aikionyesha kuwa yule mwanamke akuwa ana mkumbuka, aka mweleza Pross kuwa Khadija alikuwa nyumbani kwake, hivyo anaweza kwenda kama alikuwa na shida muhimu, “ilakama auna shida ya muhimu unaweza kuja baadae” alisema yule mwanamke, na Pross akasema kuwa alikuwa na shida muhimu, hivyo wakamwelekeza nyumbani kwa Khadija, nae akaenda.




Ulikuwa ni mwendo wa nusu saa mpaka kwa Khadija, ambako alikuwa amepanga vyumba viwili, mlangoni aliona viatu vya kume na sendo za kike, akajipa moyo kuwa vile viatu ni vya baba yake, lakini kabla ajapiga hodi aka sikia sauti ya mwanamke anae ugulia utamu wa ngono, hapo ika mjia picha ya jana usiku, lakini akajitaidi kuondoa mawazo yale, na kugonga mlango, huku akiomba atakae kuja kufungua mlango awe baba yake, lakini ikawa kimya huku akiendelea kusikia sauti ya ile miguno ya wanamke anaefanya mapenzi, kwa wazo la haraka akajuwa kuwa kuna mtu, kama siyo watu wanatazama video ya ngono humo ndani, aka gonga tena na tena, mala akaona zile sauti zina koma, akajuwa wamepunguza sauti, baada ya kusikia hodi, hivyo Pross akagonga tena, “nani weweeee” ilikuwa sauti ya kali ya kike iliyo jaa liyojaa hasira, “samahani nina shida ya kukuona” aljibu Pross kwa sauti ya unyeyekevu, huku akigundua kuwa, ile sauti ya mwanamke ndio iliyokuwa ina toa sauti ya kuugulia utamu wa dudu, sekunde chache zilizopita, “nenda kamsikilize” ilisikika sauti nzito ya kiume, na hapo ikapita dakika nzima ndipo, mlango ulifunguliwa, akatokea yulemwanamke anae itwa Khadija, akiwa amejifunga tauro, fupi kuanzia kifuani, likiacha mapaja wazi, huku nywele zime mtimka, jasho lime tapakaa kifuani, asa eneo la chini ya shingo na kuelekea kweny maziwa yake ambayo yalionekana kuchoka choka.




Kwanza kabisa Khadija alipo mwona Pross nikama alishtuka kidogo, “unashida gani?” aliuliza Khadija, kwa sauti kavu, kama vile ya ugomvi, “samahani nimekuja kumwulizia baba” aljibu Pross na hapo Pross akamwona Khadija akibetua midomo kwa Dharau, “kwani alikuambia anakaa hapa, mi mwenyewe sija mwona nina mwezi sasa” alisema Khadija, kwa sauti ambayo kwaharaka haraka, ungesema ni mtu ambae asiekuwa na ukaribu nae, na kumfanya Pross ashikwe na mshangao, akibakia ameduwaa kwa dakika nzima, asijuwe aulize nini, wala aongee nini, “samaha sijuwi unaweza kujuwa yupo wapi kwa sasa?”, aliuliza Pross kwa sauti ya kunyenyekea maana aliofia kumkela mwanamke huyu, “we mtoto umetumwa?, unazani mimi naweza kufwatilia mtu ambae analolote la maana, kama wewe mwenye baba umeshindwa, kujuwa yupo wapi, ndio nitajuwa mimi?, ebu ondoka unanichilewesha, nina mambo ya kufanya” ………








Alisema Khadija kwa sauti ya chini, lakini iliyo jaa chuki, na hapo ndipo alipo ona Khadija anafunga mlango na kupotelea ndani, akimwacha Pross amekodoa macho pale mlangoni, maana hii ndio ilikuwa sehemu ambayo ni tegemeo lake, “vipi alikuwa anataka nini?” ilisikika sauti ya kiume, ikiuliza, “alikuwa anamwulizia dada mmoja hivi nime mwambia aende salooni” alijibu Khadija, kabla ajaongezea, “tumalize basi niwai saloon, maana wale nilio waacha siwaamini kabisa” baada ya hapo azikupita ata sekunde kumi, Pross akasikia sauti ya Khadija ikiugulia utamu wa dudu, hapo Pross akajitoa pale nje ya mlango na kuanza kuitafuta njia ya kuelekea kwenye makazi ya askari, pengine ange pata habari zozote za baba yake.




Prosper alitembea taratibu huku njiani akiwaza majibu ya Khadija, ambae alionyesha wazi kuwa ameachana na baba yake sababu akuwa na faida nae, inamaana kuna uwezekanao baba yake amesha ishiwa fedha, ndio maana ata huyu mwanamke akuwa na mpango nae.




Nikweli ata Pross alipofika kule Balax, akaambiwa kuwa sikuchache zilizo pita bwana Vitus Feruz, alikuja pale kwenye makzi ya askari na kuulizia familia yake, ambayo akuna alie juwa kuwa imeamia wapi, “ila mwonekano wake nikama alikuwa amesha ishiwa fedha na alikuwa anaitaji sehemu ya kukaa” alisema mmoja kati ya watu waliomwona Feruz siku za hivi karibuni, japo kwa sasa akuna alie fahamu sehemu alipokuwepo.******




Pross alifikisha ujumbe nyumbani, japo kwa mama yake nikama alishakubari kushindwa, ila aliamini kuwa hiposiku mumewake ata rudi, lakini kwa mama mdogo na Pross walikuwa na hali ngumu sana, kutokana na kushi kwa kukwepana, walishindwa kutazamana usoni, ata siku moja mama mdogo aliposikua kuna jirani yao anaitaji mtu wa kumlindia shambalake huko Kisalawe, pembezoni mwa eneo la viwanda barabara ya manelomango, akaona hii ndio nafasi ya pekee kumwondoa Pross ili aweze kuishi kwa amani.




Pross nae aliokea kwa mikono miwili jambo lile, maana licha elfu hamsini atakayokuwa analipwa kwa mwenzi, pia lilimweka huru, kutoka kwenye aibu ya mama mdogo, Pross alikuja kuchukuliwa na bwana Lwezaula, ambae ndie mmilikiwa washamba ilo kubwa, nae akaingia kwenye gari akiwa na vitu vyake muhimu ambavyo aliamini kuwa vita msaidia katika maisha ya kule shambani, ambako alifikia kwenye kibanda kidogo, cha mabati, akianza kwa kulala kwenye mkeka, na baadae akabuni njia mbali mbali za kujitafutia fedha kwaajili yake na familia yao, ukiachia kulima miogo na viazi vitamu ambavyo vinge chukuwa miezi kadhaa kustawi, ndani ya shambalile ambalo jukumu lake lilikuwa ni kulinda minazi miembe na michungwa, kwa liksa ya bwana Lwezaula, Paross alilima mazao hayo ndani ya samba lake, na wakati akiendelea kusubiri mazao yake pia alilima mboga mboga ambazo utumiamwezi kustawi na kuliwa, ambazo licha ya kuletewa vitu kama sukari chumvi, unga mchele na mafuta na maharege, kila boss wake alipo tembelewa na boss wake au mke wa boss wake, au pindi wanapokuja pamoja na familia yake, pia Pross alianza mladi wa kuchoma mkaa, ambao mala nyingi ulikuwa una nunuliwa na boss wake, au alienda kuuweka barabarani, na kuwauzia wapitaji wenye magari wanao elekea kibaha au mjini kisalawe mpaka dar salaam, na kujipatia fedha za matumizi na kuwasaidia ndugu zake, yani mama na wadogo zake na mama mdogo, ambae alisha pata habari kuwa siku za hivi karibu alipunguza kwa kiasi kikubwa kulewa na kutafuta wanaume.




Kwafupi maisha yalianza kwenda vizuri, alifanya kazi kwa juhidi na kumfanya boss wale a familia ya boss wake imkubari sana, kiasi cha kumnunulia simu kwaajili ya mawasiliano, na yeye akutaka kupoteza nafasi ya kukubalikakwa watu awa, akafanya kilakitu ili kuahakikisha ana endelea kukubarika mbele ya familia ya boss wake, maana ilifikia kipindi Pross alikuwa ana andaa kabisa baadhi ya zawadi za wanafamilia hao, pamoja na zile za nyumbani kwao, kama vile mkaa na mazao aliyo yalima yeye mwenyewe, na ata kipindi ambacho mihogo na viazi vilipo kuwa vimesha komaa, alikuwa ana waandalia kabisa, pamoja na mboga mboga, kwa mafungu mawili ya boss wake na yanyumbani kwao, hiyo ilikuw andiyo taratibu yake, na ata anapopata mshara wake wa elefu hamsini alikuwa anawapelekea elfu alobain, na yeye kubakia na elfu kumi tu!, na kingine kilicho fanya maisha yawe mazuri ni ujirani wa boss wake na familia ya boss wake, ambao walikuwa wanawasaidia shida ndogo ndogo wakina mama Pross, ambao kwa sasa walisha fungua genge karibu na pale alipokuwa wanaishi, huku Pross mwenyewe akiwa amesha tengeneza kitanda kizuri cha nne kwa sita, na kununua godoro zuri, sasa alikuwa analala shemu nzuri, nasiyo kwenye mkeka kama iilivyo kuwa mwanzo, huku akisiliza music kwenye kiredio chake kidogo alicho jinunulia, kwa kifupi maisha yalianza kuwa matamu, japo ni kwa jasho jingi.******




Miaka mitatu ilipita maisha yakiwa mazuri kabisa, huku wakiwa wamesha sahau kuhusu baba yao, ambae akuku na habari yoyote kumuhusu, biashara ya genge ilishamili, huku Pross akipeleka bidhaa nyingi za shambani, sasa ilifikia kipindi ambachop Pross alikuwa analima na kuuza mihogo na viazi vingi sana, kiasi cha kugiza gari kuja kuchukuwa mazao yake kisha kwenda kuya uza kwa bei ya jumla na leja leja.




Naam kipindi hicho ndicho mambo yalipo mbadirikia, japo siyo sana, lakini ili mweka katika wakati mgumu na kufikilia kuacha kazi, ya ulkinzi wa shamba hili, ni baada ya bwana Lweza ula kuhamishiwa kikazi kwenda Kagera, na kumlazimu auze nyumba yake na lile shambalake, japo aliwaachia vitu vingi sana wakina Pross kule nyumbani, vikiwa vyombo vya ndani, lakini tatizo lilikuwa ni boss mpya ambae nae alimchukuwa Pross kama mlinzi wa shamba lake, huku akiaaidi fedha ya mshahara wa Pross wa mwezi ule, wa kumi na moja, kuwa ayailipa yeye, japo mwezi ulisha fika karibu na mwisho yani walibakiza week moja tu, kumaliza mwezi huo.




Huyu alikuwa ni bwana Titus Kipanta, mwenyeji wa mkoa wa mwanza, ambae alikuwa ana mkadilio wa miaka kama hamasini na sita hivi, akiwa ni mwanajeshi mstaafu, alie staafu, akiwa na Cheo cha nyota tatu, tayari alisha pata malipo ya fedha zake za kustaafia, na ata shamba ili la bwana Lwezaula, alilinunua kwa fedha hizo za kustaafia.




Kiukweli Pross alimsifu sana bwana Kipanta, siku aliyo kuwa anajitambulisha kwake, “unaweza kuniita captain” ndivyo kinavyoitwa cheo alicho staafia bwana Kipanta ambae licha ya kuishi dar es salaam kwa miaka therasini, na mbili, lakini akuwai kupoteza rafudhi yake ya kisukuma, Pross alimsifu sana bwana Kipanta kwa uhamuzi wa kuwekeza kwenye shamba ili kubwa sana, tena lenye minazi mingi na michungwa, ambayo inge msaidia kupata fedha pale anapo kuwa amekwama, kwa mawazo ya haraka, aliwaza kuwa familia ya bwana Kipanta isinge pata shinda, ya fedha ndogo ndogo, ata baba yao akiwa amekosa fedha, maana wange weza kuuza machungwa na nazi, na kujipatia fedha ya kuendesha maisha.




Naam bwana Kipanta baada ya kukabidhiwa shamba lake, mbele ya mashaidi ma wajumbe wa serikali za mtaa huu, ambalo aliandika jina moja hivi, la kike, ambalo kwa kumbu kumbu za Pross binti huyo ambae akuwa amemwona mwanzo, alikuwa anaitwana Rosemary, Kipanta aliondoka akiwa na gari lake aina ya Toyota IST, ambalo kimtazamo lilionekana kuwa lina miaka kama asiyo mitano basi sita, maana lilikuwa lime choka kweli kweli.




Naam, zilipita siku tatu tu!, bwana Kipanta alikuja tena shambani, akiwa na gari jingine aina ya Toyota Alphad, jipya kabisa tena ata namba zake zilionekana kuwa limesajiliwa siku za hivi karibuni, lakini akuwa anaendesha yeye, ili alikuwa anaendesha mschana moja mdogo mdogo hivi, kwa mkadilio alikuwa na miaka kama ishilini na tano au nasita, tena ni mzuri wa sura, kama alivyoonekana kwenye gari kabla ya kushuka, toka ndani ya gari, ambae anaonyesha maisha yake, yalikuwa ya kifahari, ata ungewatazama kwa haraka haraka usinge weza kuwa fananisha na bwana kipanta, kuwa ndie baba wa mschana huyu, yani Rose, ambae moja kwa moja Pross alihisi kuwa ndie mtoto wa bwana Kipanta, kutokana na mwonekano wao kuwa tofauti, yani baba alionekana kupauka kidogo, japo leo bwana Kipanta alionekana kuvaa tishet na jinsi kama wafanyavyo vijana, wa lika la Pross, lakini kwa mtazamo, unge zania ni mtu ambae Rose amemkuta njiani na kumpa rift au ana kuja kumwonyesha kazi ya kufanya.




Ata waliposhuka Pross aliweza kumwona Rose jinsi alivyo mzuri, yani alikuwa mzuri wa kila kitu, kuanzia sura kimo na umbo lake ambalo, licha ya kuvaa gauni pana lakini bado kuna vitu vilishindwa kujificha, na kuonekana wazi wazi, jinsi livyo umbika, mfano hips zake pana, makalio makubwa ya duara, kifua chake kilicho beba matiti yenye ukubwa wastani, na tumbo lake dogo, ungesema ameshikwa na njaa ya siku kadhaa.




“Karibu boss, karibu sana shikamoo” alisema Pross kwa sauti iliyo jaa uchangamfu, akitegemea kuwa boss wake amekuja na mazaga zaga kwaajili ya yeye kutumia, kama vile unga sukari na vitu vingine muhimu, yani kama alivyo kuwa anafanya bwana Lwezahula, “marahaba bwana Pross, nime mleta boss wako, aje aone shamba lake” alisema Bwana Kipanta kwa sauti yake ile ile, iliyo jaa rafudhi ya Kisukuma, hapo Pross akamtazama yule mschana, amba alikuwa anamsogelea bwana Kipanta, na ata macho yao yalipo kutana, Rose akuonyesha kumjari Pross, na moja kwa moja akamsogelea Kipanta, “karibu sana Boss” alisema Pross, ambae akushangazwa na ilo, sababu alisha sikia ata sikuile bwana Kipanta alipokuwaanakabidhiwa shamba alisema ni labinti yake, “baby huyu mlinzi wako anadharau, yani ameshindwa kuniamkia” alisikika yule mwanamke akiongea kwa sauti flani tamu kinyama, nyololo, alafu laini, huku anazungusha mkono wake wa kulia kwenye kiuno cha bwana Kipanta, huku ana jiegemeza kichwa chake, kwenye bega la kushoto la bwana Kipanta, ambae alimtazama Pross kwa jicho kali sana, “kijana kwanini unashindwa kumsalimia mama yako mdogo, au unamwona ni mtoto mwenzio?” aliuliza bwana Kipanta kwa ghazab kubwa, hapo Pross akashikwa na mshangao mkubwa sana, huku akiwatazama kwa zamu bwana Kipanta mala Rose, kiasi cha wao kumshangaa pia, kwanini alikuwa anawatazama vile, hapo Pross akamwona yule mschana mbae kwa mkadilio amemzidi miaka kama miwili tu!… …..…








Akimkata jicho la hasira, “baby si unaona, yani ana dharau, ebu ona anavyo tutazama” alisema Rose, kwa sauti yake nyololo na laini, iliyo jaa mideko, huku ana zidi kujiegemeza kwa mzee Kipanta, ukweli ni kwamba Pross alishangazwa sana na kitendo cha huyu mschana mdogo mwenye sura ya upole inayo ashiria kuwa ni mtoto mdogo mdogo kwaw mzee huyu, ambae yeye Prosper alizania kuwa ni mtoto wa bwana Kipanta, akimwita baby, mala nyingi jina iliuitana watu waliopo ndani ya mapenzi mazito, tena yale mapenzi ya kupeana Kitumbua, na siyo mapenzi ya baba kwa mwanae, “samahani, shikamoo boss” alisalimia Pross kama vile alikuwa amekulupuka toka kwenye usingizi, lakini salamu ile aikuitikiwa na mschana yule mdogo, zaidi aliguna na kubinua midomo ya kubeza, “yani mpaka alazimishwe” alisema yule binti, kwa sauti ya majivuno kweli kweli, “Pross unaweza kupoteza kazi sasa hivi, we leta ujinga tu!” alisema mzee Kipanta, ambae kwa mwonekano amezidiana kidogo na bwana Feruz, yani baba yao wakina Pross, huku mzee huyu, na mschana huyu, ambaesiyo mwanae ila ni mpenzi wake wakianza kutembea kuingia ndani ya shamba, “tufwate huku” alisema Kipanta kwa sauti kavu na iliyoonyesha kuchukizwa, Pross akaanza kuwafwata nyuma, “mpenzi ili ndilishamba ambalo nimekununulia, hii minazi michungwa na migomba yote yakwako” alisema Kipata kwa sauti tulivu ya kubembeleza, huku akiendelea kutembea taratibu, akiwa ameshikana mkikono na Rose, “hooo! baby kumbe kuna viazi vitamu na mihogo, mbona huku niambia, jamani” alisema Rose kwa sauti ya kudeka, huku akimwachia mkono bwana Feruzi, na kusogea kwenye moja ya tuta la viazi na kutaka kuchimba kimoja, “Rose ebu subiri kidogo, utakiwi kuchafuka” alisema Feruz kisha akamgeukia Pross, “ebu chukuwa mfuko alafu iweke vazi, mama yako anataka kubeba nyumbani” alisema Kipanta kwa sauti ya kuamrisha, Pross aka ondoka haraka kwenda kuchukuwa mfuko kule kwenye kibanda ancho kaa, kwenda kuchukuwa mfuko, huku akiwaacha mzee Kipanta, na huyu mschana, ambae kiukweli ukiwatazama ungesema ni mwanae tena kama siyo wa pili basi wa tatu, “hooo!tena kuna mihogo pia” aliwezza kusikia Pross akiwa kule ndani anatafuta mfuko, “usijari mpenzi, yani wewe beba tani yako” alisema bwana Kipanta, na kumfanya Pros ashangae kidogo, maana ukweli ni kwamba, alikuwa anajuwa kabisa kuwa miogo na zile viazi na mazao yote ya muda mfupi, ni vya Pross, lakini Pross akajuwa kuwa anaweza kujipatia fedha kidogo ya matumizi, maana akuwa na kitu chochote mfukoni, na tarehe za kupewa fedha yake ambayo ni kama mshahara wa mwezi huu, ilikuwa bado.




Pross alitoka na mfuko mkubwa ile ya kuwekea unga, ambayo ina uwezo wa kuchukuwa kilo ishilini na tano, na jembe mkononi, “sasa mbona mfuko wenyewe mdogo, nitaweka viazi na mihogo kweli?” aliuliza yule mschana Rose, kwa sauti ya kulalamika, “we kijana ebu kachukuwe mifuko mingine bwana, mbona unakuwa mzito hivyo?” aliamlisha bwana Kipanta, na hapo Pross alie tegemea kujipatia fedha, akakimbilia tena ndani ya banda lake, na kuja na mifuko mingine miwili, kama ile ile, “yani baby, vimifuko vyenyewe vidogo, ebu ona” alilalamika yule mschana, kiasi cha kuanza kumkela ata Pross, “samahani boss, mifuko mikubwa nimewekea mkaa, nah ii midogo, ndiyo hipo mingi uwa boss Lwezaula alikuwa ananileteaga unga” alijibu Pross na hapo nikama alikuwa ametoa mchongo mwingine kwa mschana huyu, “baby kumbe uwa ana chomaga mkaa?” aliuliza Rose kwa sauti ya kudeka, “yani Rose nilivyo kuambia kuwa huku ni kuzuri ulizania kuna maghorofa, hii ndio maana yake tena kule chini kuna mboga mboga za kumwaga” alisema bwana Kipanta, kama vile kalmia yeye, ila kwa upande wa Pross yeye aliwaza kuwa siku ile ange jipatia fedha nyingi sana.




Ukweli masaa mawili waliyo kaa hapa wakina Kipanta, na huyu mschana Rose, yalikuwa magumu kwa Pross, maana alifanya kazi nyingi sana, ikiwa nikuchuma machungwa kuangua nazi, kazi ambayo yeye aliiona ngumu sana, kwasababu akuwa na uwezo mkubwa wa kupanda kwenye minazi, pia alichimba mihogo na viazi, na kuchuma mboga za majani na vitu kama pili pili hoo mbuzi, na vitu vingine ambavyo mwanamke huyu aliviitaji, huku muda wote Prosper au Popa, alikishuhudia mahaba mazito kwa wawili awa ambao mala kwa mala walikuwa waki shikana mikono na kukumbatiana, “kweli fedha ndio kila kitu, yani zee kama ili lina miliki mschana mrembo kama huyu, alafu lina mkumbatia kila mala, eti baby baby” aliwaza Pross, wakati ana bebelea mizigo kuingiza kwenye gari “alafu kademu knyewe ni kazuri” aliwaza Pross, ambae kiukweli mschana yule aliweza kumfanya ahamshe hisia za kuwa na mwanamke, mana ukweli nikwamba akuwai kupata kitumbua ata siku moja, ukiachia ile siku ambayo mama yake mdogo, alimchezea dudu, na kutaka kumpa kitumbua, akuwai kukaribiana na kitumbua.




Lakini Prosper alishikwa na mshangao muda wa kuondoka, ambapo licha ya mschana mrembo Rose, kukumbusha mkaa, ambapo aliitaji viroba viwili vya mkaa, kati ya vitano vilivyo kuwepo, kwaajili ya kuuzwa, lakini waliingia kwenye gari, na kuondoka zao, bila kuacha kitu chochote, yani siyo fedha wala chakula kama alivyo kuwa anafanya bwana Lwezaula, boss wake wazamani, na kutokana na ukari wa bwana Kipanta, ukweli Pross alishindwa kuomba fedha yake japo ya ule makaa pekee, hivyo akalisindikiza gari kwa macho mpaka linatokomea, “hivi huyu mzee, huyu ndie mke wake, au na yeye anafanya kama alivyo fanya baba?” alijiuliza Pross huku anaingia kwenye kibanda chake na kuchukuwa kiredio chake, kidogo, na kutoka nacho nje akafunga na kuelekea barabara kuu ambako ndiko kulikuwa na vijana wenzake wengi sana, na ndiko alikokuwa anashindaga kila siku mida ya jioni, na wakati mwingine alikuwa anawekaga mkaa wake ili kuwauzia wapiti njia wanao elekea mjini dar es salaam au kibaha.******




ulipita mwenzi mzima, pasipo kuonekana bwana Kipanta wala Rose, ambae ndie boss wake, hali ya maiasha kwa Kijana Pross ilikuwa ngumu kidogo, japo kuwa alisaidiwa na fedha za mkaa, mboga mboga, na wakati mwingine mapassion na embe dodo, ambazo sasa zilikuwa katika msimu wake, ambazo alikuwa anazipanga barabarani na kuuza kwa moja moja au ndoo nzima, maana akulipwa mshara wake, wa mwezi uliopita, na mwezi huu unaoisha, ila alijipa moyo kuwa ata pewa laki moja nzima, na kufanyia jambo la msingi.




Siku hiyo Pross alikuwa amejipunzisha chini ya mwembe dodo, maana kulikuwa na kajuwa flani, alijilaza na kutulia kwa muda mrefu kidogo, ambapo licha ya kuchoka sana kutokana na kulima toka asubihi mpaka saa tano, kwaajili ya kulima maindi na kupanda mihogo, na viazi, kwa sababu mwezi huu wa kumi na mbili, ulikuwa na mvua flani hivi za kupandia, mihogo na viazi, lakini kijana huyu pale chini ya mwembe dodo ambao alikuwa nao makini siangikiwe na mahembe, akuweza kupata usingizi, japo kwa dakika tano, maana muda wote alikuwa anawaza juu ya baba yake, ambae ni mwaka wa tatu sasa ajamwona wala kupata habari zake, roho ilimuuma, sana, maana mala ya mwisho aliweza kuona dalili za kuwa baba yake alikuwa na maisha magumu sana, maana ukiachilia maneno ya watu wa pale mivinjeni line polisi, pia majibu ya Khadija, yalionyesha wazi kuwa baba yake akuwa na kitu chochote, na kuonekana kuwa siyo lolote kwa mwanamke yule ambae kitumbua chake ni moja ya biashara zake, ambae alikuwa ameonelea ajipumzishe kidogo, kisha apeleke mkaa barabarani, aliendelea kuwaza juu ya maisha yake na jinsi atakavyo wasaidia wadogo zake kwa kulipia masomo yao, na kuwanunulia nguo nzuri.




Wakati Pross anaendelea kuwaza hayo, mala akasikia muungurumo wa gari, ukiingia pale shambani, akainua uso na kutazama kule linakotokea gari, akaliona Toyota Alpahad ambalo bado lilionekana kuwa jipya sana, na kwamba mtumiaji alikuwa anamatumuzi mazuri sana na gari lake, gari uli lilikuwa ni lile lile la mschana Rose, ambalo alikuja nalo mala ya mwisho akiwa na bwana Kipanta, japo leo nikama Kipanta akuwepo ndani ya gari ilo, maana walionekana waschana wengone wawili wakiwa ndani ya gari ilo, mmoja alikaa seat ya abilia ya mbele, na mwingine alikaa seat ya nyuma, huku Rose akiendesha gari ilo, Pross akatabasamu kwa matumaini ya kuwa leo ameletewa mshara wake.




Pross aliinuka mala moja pale juu ya mkeka, na kujiweka tayari kumpokea boss wake, ambae alikuwa amekuja na watu wengine, ambao yeye kama yeye akuwa na inshu nao, zaidi ya kuwaza laki moja yake, ambayo ni mishahara ya miezi miwili, “waaahoooo, Rose ilishamba lote la kwako?” aliuliza mmoja kati ya wale waschana wawili aliokuja nao Rose, huku wanashuka toka kwenye gari, “ujaona kule nyuma kuna kila kitu, yani mpaka natamani nimwambie babu anijengee kijumba cha kupumzikia week end, alisema Rose kwa sauti yake ile ile tamu, na kumfanya Pross akubari kuwa hii nisauti harisi ya Rose na siyo sauti ya kumdanganya bwana Kipanta, ambae akiwa mbali Rose umwita babu, “tena m’bane mapema kabla ajaishiwa, au mke wake kumbana” alisema mmoja wa rafiki zake, huku wakiwa wamesha shuka tooka kwenye gari, huku Pross akiwaona wote walikuwa wame valia sale za wafanya kazi wa National Miclofinancial Bank, yani NMB, kwahiyo Pross aligundua kuwa Rose licha ya kuishi kwa kumtegemea bwana Kipanta, kama peni wake, pia mwanamke huyu alikuwa mfanyakazi wa benki hiyo ya serikali, na ukwelli yeye na rafiki zake nikama walichaguana, maana walikuwa wazuri kuliko kweli kweli, japo awa wawili awakumfikia Rose, japo kuna mmoja alionekana kuwa na umri mdogo kuliko Rose, na huyu mwingine kama walikuwa wanalingana tu!.




“jamani Rose, utamuuwa babu wawatu, unajuwa ile nyumba ya mjini, siyo ndogo, ebu mwachie akumbuke na familia yake jamani” alisema mmoja wawale waschana kwa sauti ya kulalamika…








Lakini ikionyesha ina utani ndani yake, “lazima alipie, yeye si alikula vya watu” alisema Rose japo kwa sauti nyololo lakini Pross aliiona kuwa imeaa ukatili sababu alijuwa fika kuwa kina chi mkuta bwana Kipanta ndio kile kilich mkuta baba yake miaka mitatu iliyopita, “hivi we mlinzi unajuwa hii tabia yako siipendi, yani toka tumefika wewe unatuangalia, au tuna vutu vya hajabu kwenye miili yetu?” aliongea Rose kwa sauti ile ile nyololo, lakini iliyo jaa ukari, “samahani boss nilikuwa na subiri mmalize kuongea, ndio niwasalimie” alisema Pross kwa sauti ya upole na ya kunyenyekea, huku wenzake na rose waki mtazama Pross kwa macho flani ya huruma, “maongezi yetu aya kuhusu, ata hivyo, umeowea uwezi kusalimia mpaka yule babu yako akuambie, sababu ndie anaekulipa mshahara” alisema Rose huku anaanza kutembea kuelekea nyuma ya kibanda ambako ndiko kwenye shamba kubwa, “samahani sito rudia tena, boss shikamoni” aliamkia Pross na kuwafanya wale waschana wawili waliokuwa wanamfata Rose,wasimame na kumtazama Pross, kwa mshangao mkubwa, “maarahaba ebu chukuwa mifuko kwenye gari, niwekee machungwa mihogo nazi na viazi, alafu pakiza mkaa viloba vitatu kwenye gari” hiyo aikuwa ombi ila ilikuwa amri, toka kwa boss wake, hapo Pross akakumbuka mala ya mwisho alipokuja Rose na bwana Kipanta, maana walichukuwa vitu vyake vingi na awakumlipa ata shilingi ya mkoloni, “Rose mbona huyu kijana mkubwa kabisa ana kuamkia” Pross alisikia sauti ya yule mschana ambae ana umri sawa na Rose, akiuliza hivyo wakati yeye akiwa ndani anaelekea kwenye gari kuchukuwa mifuko kama alivyo elezwa, “alafu kijana mwenyewe hand same” alisema yule mdogo mdogo, na kumfanya Pross ajitazame kidogo, huku anatabasamu, maana kuambiwa handsome na waschana kama wale, inabidi uwe mzuri kweli, Rose akujibu lolote zaidi ya kuendelea kuwatembeza wenzake kwenye lile shamba lake.




Pross akuwa na lakufanya, zaidi ya kufanya kama alivyo ambiwa na boss wake Rose, na ata wakati wa kuondoka pia akupewa chochote, ila mmoja wawale waschana alimwuliza, “eti kaka, umeishia darasa la ngapi?” kwa swali lile walimaanisha shule ya msingi, “form six” alijibu Pross kwa sauti ya kinyonge, uliosababishwa na kugundua kuwa na leo bidhaa zake zime chukuliwa bila malipo yoyote, na akukuwa na dalili ya pewa mshahara wake, jibu lile llilionyesha kumshangaza ata Rose mwenyewe, maana akutegemea kuwa kijana huyu ametumia muda mwingi kusoma, lakini akuongea chochote, mpaka wanaondoka eneo lile.******




Ukweli Pross aliumia sana, moni mwake, na kujikuta anaanza kumchukia boss wake, ambae alionyesha kila dalili ya kukosa utu, ata safari nyingi alipokuja alikuja na wenzake awa na akiongozana na bwana Kipanta, ambapo mambo yalikuwa zaidi ya siku ile, “hivi kwanini umelima sehemu ndogo, na kule chini una mwachia nani?” aliuliza Rose kwa hasira, huku akimtazama Pross, ukweli Pross alishindwa kumwelewa biss wake huyu, sababu yeye analima kwa faida yake, na siyo kwaajili ya boss huyu, na isitoshe awakuwa na mkataba wa kulima, maana yeye uwepo pale kama mlinzi tu! kama kuna swala la kulima au kuvuna, ilimpasa yeye akodi mtu au watu wafanye hivyo na kuwalipa, “usijari mpenzi, ata lima tu, na mfahamu huyu kijana anajituma sana” alijibu bwana Kipanta.




Naam siku ile mambo yalikuwa ni yale yale, Pross alilazimika kuvuna mazao yake na nazi kwaajili ya boss Rose, na kupakiza kwenye gari, huku bwana Kipanta, akiongozana na wale waschana watatu akiwepo Rose, wakionyeshana eneo ambalo bwana Kipanta alitakiwa kujenge nyumba, kuna wakati Pross aliona kitu ambacho akikuwa cha kawaida, nikama alimwona bwana Kipanta akiwa ana mtazama yule mschana alien a umrimdogo kuliko Rose na kumkonyeza pale macho yao yalipokutana, na yule mschana kuishia kutabasaamu, na kutazama chini kwa aibu, “tena wajenzi wata kaa kwenye kile kibanda, atuta kuwa na haja ya mlinzi, mi naona tuna poteza fedha nyingi sana” Pross aliweza kusikia kwambali Rose akiongea ka sauti ya kudeka, “ni wewe tu mpenzi, unavyoona inafaa, basi nita kuhamishia fedha kwenye account yako, ili uanze ujenzi” alijibu bwana Kipanta ambae ukweli nikama alianza kudhoofika, kama siyo kwaajili ya pombe basi mawazo, ndicho nacho kupendea baby, lakini hii ni kwa faida yetu wote” alijibu Rose kwa sauti ya kudeka, na kuzidi kumfanya Pross amchukie.




Na ata wakati wa kuondoka ulipowadia, Pross alipiga moyo konde na kuomba kuongea na bwana Kipanta, maana aliona kuwa akizubaa anaweza kufanya kazi bila malipo, na vile vile mazao yake yana kwenda bule, “samahani mzee naona kila boss akija anachukuwa tu mihogo viazi mkaa, alafu anipi ata ela yangu, alafu mshahara wangu ni mwezi wa pili sasa, sijapata, siunajuwa kule nyumbani wanategemea mshahara wangu niwatumie” alisema Pross kwa sauti ya kunyenyekea, hapo Kipanta akamtazama Rose, ambae alikuwa anaingia kwenye gari pamoja na wenzake, kisha akamtazama Pross, “ok! usiwe na wasi wasi, utalipwa zote kwenye mshahara wako, cha kufanya kaachini piga mahesabu, alafu nikija utaniambia ni kihasi gani, unadai” alisema boss Kipanta, ambae Pross akuwa na namba zake za simu, “nashukuru ana boss, nitapiga mahesabu bahati nzuri nakumbuka vizuri?” alisema Pross akijuwa kuwa muda siyo mrefu atalipwa fedha ndefu sana.




Ukweli siku ile akuwai ata kwenda kutembea, maana alikaa chini na kuandika kitu kimoja baada ya kingine, alicho wai kumpatia Rose, kuanzia mikaa na mboga mboga, na kugundua kuwa ni zaidi ya shilingi Elfu tisini, ikiwa pamoja na punguzo la elfu nne kwa kila kiloba cha mkaa, na kuongeza elfu ishilini za mihogo, aliyo chukuwa malazote, inakuwa lakimoja na elfu kumi, ongeza viazi laki moja na ishilini hivyo basi ilikuwa ni laki mbili na ishilini akiongeza na mshahara wake wa miezi miwili.******




Naam ilikuwa tofauti na matarajio ya Kijana Pross, kuwa angepata fedha nyingi siku za hivi karibuni, maana zilipita week mbili pasipo kuonekana Rose wala Kipanta, akawaza kuwa watu wapo busy na sikukuu za chrissmas na mwaka mpya hivyo lilikuwa ni jukumi lake kumkumbusha, sasa ata mkumbushaje wakati akuwa na namba ya Kipanata wala Rose, lakini wakati mwingine kuwaza kwingi ndio kupata jibu sahihi, maana alipata wazo la kipiga simu kwa boss wake wazamani, bwana Lwezaula, na kumwomba namba za boss wake mpya yani bwana Kipanta.




Prosper alifanikiwa kupata namba ya Kipanta toka kwa Lwezaula ambae alionekana kufurahi sana, mala baada ya kupokea simu toka kwa kijana Pross, ambae baada ya kupewa namba za simu, akampigia bwana Kipanta, na kumkumbusha juu ya malipo yake, akimtajia kiasi cha fedha cha laki mbili na therasini alichokuwa anadai, “sikia dogo, vuta subira kidogo, siunajuwa kuwa unazungumia fedha hapo, na fedha zina tafutwa, hivyo kuwa mpole kidogo” jibu ili lilianza kukatisha tamaha kijana Pross, ambae alianza kuona malengo yake ya kuwasomesha wadogo zake, maana boss alisha onekana kuwa ni mtu wa sound.




Hivyo Pross akaaamua kufanya kazi kwa juhusi ili aweze kufanikisha japo nusu ya malengo yake, hivyo akaingia msituni kukata kuni kwaajili ya kuchoma mkaa, ambao alimini akiuuza ata jipatia fedha ambayo ita punguza baadhi ya mambo nyumbani kwao. *******




Zilikuwa sime bakia siku tatu kabla ya sikukuu ya chrissmass, saa kumi jioni, ndio siku ambayo Pros alikuwa anabebelea mkaa toka toka kwenye tanuli lake kubwa ambalo alikuwa amelichoma kwaajili ya kujipatia fedha za kuwasaidia mama yake mama mdogo, na wadongo zake wapate fedha za siku kuu, akiupeleka pale kwenye kibanda chake, na wakati anamalizia kupakia mkaa kwenye viroba, mala akaliona gari aina ya Toyota Vitz rangi ya silver likiingia pale shambani, mwanzo Pross alizania kuwa ni gari jingine la bwana Kipanta, maana ata siku ile ya kwanza alikuja na dari dogo sana aina ya Toyota Ist, tofauti na ili Toyota vitz nikwamba ili lilikuwa lime choka choka kidogo, tofauti na lile IST, na alipolitazama vizuri akagundua kuwa gari lile lilikuwa linaendeshwa na mwanamke, tena asie mfahamu kabisa, japo kwamwonekano wa mwanamke huyu, akiwa bado kwenye gari, usoni alikuwa ni mzuri, usowake kama vile msomari au mnyarwanda, ila watu kama awa kwa hapa nchini, wanapatikana upande wa kaskazini, hivyo Pross alishindwa kumtambua kama ni mwanamaam au mwana dada.




Gari lile lilikuja na kusimama mbele ya kibanda kile cha bati, na kisha wakashuka watu watatu, wakianza wawili, yani mschana mmoja mwenye makamo ya Pross ila yeye nikama alikuwa na miaka kati ya kumi na tisa, mpaka ishilini na moja, ambae kimtazamo alikuwa amefanana sura na yule mama alie kuwa anaendesha gari, ilakwa umbo alikuwa na umbo flani ambalo, moja kwa moja linge kutoa mate kama wewe ni mwanaume unae penda waschana wadogo, maana alikuwa na umbo flani lililo tanuka kuanzia kiunoni, mapaja na makalio, yaliyoonekana vyema kwenye suruali yake ya jinsi, pia alikuwa mrefu kiasi, alafu kifua chake cha wastani kilicho beba maziwa mazuri yaliyo simama vyema, kama yalivyoonekana kwenye kijinguo chake cha juu wenyewe wanaita kitop, ukwli Pross alijikuta ana kweesha macho, kumtazama abiria wapili, maana aliona akimshangaa sana, ata wachukiza kama alivyo mchukiza boss wake Rose,




Pros akaona anashuka kijana wa kiume ambae licha ya kufanana sura na dada yake, pia alikuwa mwembamba na mrefu, ungesema ni mmasai au msomali, huyu kwa mkadilio alikuwa na umri wa miaka kati ya kumi na tano au mpaka kumi na saba, hiyo ukimtazama usoni, lakini kwa mtazamo wa haraka, alifaa kuongozana na kuwa lika moja na Pross kutokana na kimo chake, kwakifupi watoto awa wawili walionekana wazi kuwa wametoka katika maisha ambayo ayakuwa na shida, japo sura zao zilionekana kujawa na simanzi flani, “mambo vipi?” alisalimia yule kijana wa kiume, huku ana msogelea Pross, alie kuwa amesimama ana watazama, huku amechafuka mkaa kweli kweli, “poa niaje” alijibu Pross, huku ana geuka kutazama kwenye gari, ambako sasa alikuwa anashuka dereva wa gari ili, ambaw alionekana kuchelewa kushuka kutokana na kupekuwa pekuwa kwenye mkoba wake, ambamo aliibuka na kitenge, na baada ya kushuka akaonekana akijifunga, Pross akuweza kuona vizuri sababu mama huyu alizuiliwa na mlango wa gari ili, “dada kumbe shamba kubwa” alisema yule kijana wakiume huku wote wawili wakitazama tazama, kila upande kuangalia lile shamba, la mwana dada Rose, nika juwa kuwa awa kama siyo wamekuja kutafuta ,ashamba ya kununua, basi bwana Kipanta, anataka kuuza ilishamba, kwa upende flani Pross aliombea iwe hivyo, pengine maboss wapya wangerudisha maisha yake, na familia yao, “kwani umeambiwa ndio hili?” aliuliza yule mschana, huku na yeye akitzama kushoto na kulia, ukweli Pross yeye akuwa anafwatilia maongezi yao, zaidi alitazama jinsi mtoto huyu alivyo umbika.




“Ujambo Kijana?” Prosper alishtuliwa na sauti nzuri iliyo jaa upole toka kwa mama wa watoto awa, “sijambo shikamoo mama” alisalimia Pross ambae neno mama yeye kwake lilikuwa ni kwa kila mwanamke mtu mzima, huku anageuka kumtazama yule mama, “marahaba” aliitikia yule mama ambae ukweli Pross alibakia memkodolea macho kwa jinsi mwonekano wa yule mama ulivyo, ukiachia kuwa sura nzuri kama ilivyo kwa mwanae, pia alikuwa ana umbo ambalo, ukilitazama, bila kuuliza unajuwa kuwa huyu mwanae amerithi toka kwake, maana ukiambiwa hips hips kweli, ukitazama kalio, kalio kweli yani japo alikuwa amejifunga kitenge, lakini nikama kilionekana kidogo, sababu kiliacha sehemu ya mbele wazi kidogo, na kufanya Pross agundue kuwa mama huyu ambae umri wake nikama miaka therasini na nane hivi, alikuwa amevalia suluari kwandani, na alifunga kitenge ili kuficha utamu wake, ambao ungeonakana jinsi ulivyo jichora kwenye suruali yake.




“samahani kijana, hapa ndio shambani kwa bwana Kipanta?” aliuliza yule mama, mala baada ya kumfikia Pross, ambae bado alikuwa ana mtazama huyu mwana mama na kusanifu umbo lake, ambalo, lisinge mwacha salama mwanaume yoyote lijari……








Huku watoto wa mama huyu wakisubiri jibu toka kwa Pross, ambae alikuwa kimya kwa sekunde kadhaa, lakini awakugundua kuwa Pross alikuwa ana mshangaa mama yao, ila mama mwenyewe alishagundua, kuwa kijana huyu, amesha changanyikiwa kwa umbo lake, ambalo uwa lina wachanganya wanaume wengi sana, “we kaka mama siamekuuliza kama hapa ni shambani kwa mzee Kipanta?” safari hii Pross alishtuliwa na sauti ya yule binti, hapo Pross akagundua kuwa anaonyesha udhaifi mkubwa sana mbele ya wageni awa, kwa kuwashangaa maumbile yao, “ilishamba siyo la Kipanta, japo yeye ndie alie kuja kununua, ilishamba ni la dada mmoja anaitwa Rose” alijibu Pross, huku akishindwa kuzuwia macho yake kutazama maumbo matamu ya mama na mtoto, hapo Pross aliweza kuwaona wanafamilia awa wakitazamana katika hali tofauti, wakati watoto wakionyesha tabasamu, mama alionekana kubadirika usoni,kwa kukosa amani, alitulia kidogo kizungusha uso wake pande zote, kutazama lile shamba kwa, ungesema kuwa alikuwa anaitaji kulinunua, kisha akamtazama Pross, huku bado uso wake ukiwa ume nyongea, “samahani kijana unaweza kunionyesha kidogo mipaka na madhingira ya shamba lote” alisema yule mama kwa sauti ya upole iliyo nyongea, “akuna tatizo mama na weza kuwatembeza” alijibu Pros, na hapo wale watoto wawili wa huyu mama kwaka tabasamu kwa furaha.




Naam huku akihisi kuwa ni wateja wamekuja kuangalia shamba pengine wana miadi na bwana Kipanta, Pross aliwatembeza kwenye kila kona ya shamba, huku akikabiliana na usumbufu wa hapa na pale, ambao san asana ulitoka kwa watoto awa wawili, maana wakiume akiomba achumiwe chungwa, wakike aliomba dafu, wakiume akiommba hiki wakike anaomba kile, “nyie mbona mnamsumbua anko” ilifikia kipindi mama yao aliwaambia hivyo japo katika hali ya utani na maongezi, “acha tu mama, najuwa mjini vitu hivi ni gharama sana” alijibu Pross, huku anacheka cheka, sijuwi kwanini alitokea ifurahia sana familia hii, ambayo mpaka sasa akuwa anawajuwa ni wakina nani na wametokea wapi, na lengo la kuja pale ni lipi, “nakweli mle kabisa madafu na msinisumbue njiani sijuwi tunataka madafu sijuwi embe, nazani mmeziona wenyewe” alisema mama huyu ambae alionyesha kupendezwa na jinsi Pross alivyo wapokea, “kwahiyo na hizi mboga mboga, viazi na miogo wame lima wao au umelima wewe kwaajili ya maitaji yako?” aliuliza yule mama, wakati wanapita kwenye eneo ambalo Pross alikuwa amelima mboga za majani kama vile mchicha chines kabeg, spinach nyanya, pili pili na nyinginezo, “hizi ni kwaajili yangu, pamoja na ile mihogo, na viazi” alijibu Pross kwa uchangamfu pasipo kujuwa huyu mama ni nani.*****




Naam huyu mama ni mwalimu wa shule ya msingi Luguruni anaitwa Stellah, ni mama wa watoto wawili, mwny umri wa miaka thelathini na nane, uzuri wa umbo na sura yake ndivyo vilivyo mfanya bwana Kipanta avutiwe nae na kuanzisha mausiano miaka ishilini iliyopita, wakati huo Stelah alikuwa anamaliza kidato cha nne tabora girls secondary, huku bwana Kipanta akiwa ni askari anafanyia kazi kwenye kambi la jeshi la mirambo, na kabla Stelah aja anza masomo kwenye chuo cha ualimu, akajikuta tayari mjamzito, ambao alijifungua mtoto wa kike, akiwa ndie mtoto wa kwanza wa bwana Kipanta, ilikuwa kama bahati kwa bwana Kipanta, pale alipo lazimishwa kuishi na mschana mrembo stellah, na wa zazi wa wanamke huyu, ata askari wenzake walimwita mwenye bahati, maana stela alikuwa ni mmoja kati ya waschana wazuri, walio utikisa mji wa tabora.




Maisha ayakuishia hapo, mausino na wazazi wa Stelah yakafanyika, na Stelah akakubaliwa kukaa nyumbani kwa wazazi wake, huku akilea mtoto wake wa kike, ambae baada ya kutimiza mwaka mmoja, Stelah akaenda chuo , ambako ali soma kwa miaka miwili na alipotoka tu, akajikuta anabeba mimba ya pili, ya mtoto wake wa kiume, na hapo ndipo alipo hamia kwa bwana Kipanta, amba miezi michache baadae alipata uhamisho na kuamia kambi moja la jeshi, huko kibaha mkoani pwani, na mke wake yani stelah kupata kazi ya kufundisha shule ya msingi Luguruni, huku wao wakiishi kwnye nyumba ya kupanga maneo ya Mbezi kwa Yusufu, na baadae wakajenga Kibamba Hospital, ambako wanaishi mpaka sasa.




ITAENDELEA



0 comments:

Post a Comment

Blog