Search This Blog

Thursday 9 March 2023

BALAA LA MBUZI KAGOMA - 5

   

Chombezo : Balaa La Mbuzi Kagoma

Sehemu Ya Tano (5)



Sehemu ya 1

Zuberi hali yake ilibadilika gafla, Nyoka wake alisimama na kuvimba , Kabla hajashtukiwa aliingiza mkono mfukoni na kumbana, alimbinya kwa nguvu na kumkunjia pembeni.


 



“ Anayetaka kesi ya mauaji nani?” Alijiuliza. Akili yake ilimtuma mbali kabisa. Aliona kesi kubwa ikiwa mbele yake.


 


Baada ya kutembea umbali mrefu , akili yake ilibadilika. Aliamua kurudi.


 


“ Liwalo na liwe. Siwezi kukimbia nikaacha vitu vyangu. Hii kesi nitapambana nayo ninavyojua. Kwanza hakuna mtu aliyemwona akija kwangu. Nitamtoa usiku na kumtupia barabarani.” Alijisemea moyoni. Aligeuza kurudi nyumbani.


 


Alifika, alifungua mlango na kuingia ndani.


 


“ eeeeh! “ Alishtuka. Alimkuta sele akiwa amekaaa kitandani analia.


 


“ Kumbe hukufa? unalia nini sasa?” Alimuuliza.


 


“ Nataka…” Sele alimwambia.


 


……………………….


 


Wema na Muhudumu Wakiwa wanabishana kaunta, wote walishtuliwa na sauti ya mwanamke akiomba msaada.


 


“ Nakufaaaaa…..aaaaa….nakufaaaaaaaaa……utaniua zube…aaa….aaaa’’ Ilisikika saut vyumbani. Muhudumu alitoka kaunta fasta na kuwahi. Wema naye alimfata kwa nyuma mkuku mkuku.


 


“ Eeeeh!” Wema alishtuka baada ya kuingia. Alimkuta mumewe akiwa kamuinamisha staili ya mbuzi kagoma Amina. Dozi aliyokuwa anampa sio ya kitoto. Walimuwahi na kujaribu kumtoa. Hakutoka. Kwa kushirikiana na muhudumu walijaribu kuwatengeanisha lakini ilikuwa sifuri, ZUbery alikuwa na nguvu za ajabu, wala hakumwacha amina. Alikuwa anaendelea kumpa dozi kwa spidi.


 


Amina alihisi moto unawake kisimani kwake. Alipiga kelele kama mtoto.


 


“ Nikileta mzaha hapa huyu anaweza kumuua mtoto wa watu?” Aliwaza wema. Haraka naye alivua nguo zake zote. Alipanda kitandani na kukaa staili ya mbuzi kagoma. 





BALAA LA MBUZI KAGOMA 16

 

“ Nikileta mzaha hapa huyu anaweza kumuua mtoto wa watu?” Aliwaza Amina. Haraka naye alivua nguo zake zote. Alipanda kitandani na kukaa staili ya mbuzi kagoma.


 


“ eeeeh!” Muhudumu aliduwaaa. Hakuelewa alichofanya Wema kinamaana gani.


 


“ wewe dada vipi?’ Alimuuliza. Akimuuliza hayo, Zubery baada ya kumuona wema kwenye staili ile akili yake ilihama, mzuka zaidi ulimpanda zaidi. Alimwacha Amin akamvaaa wema. Ile anamvaa tu, kabla hajamwingia, Wema haraka alisimama.


 


………………….


 


“ Nataka…” Sele alimwambia.


 


“ Aaaaah wewe mwanaume mshenzi kweli.Nikupe unifie? Yaani kuingiza tu ukazimia, halafu bado unataka tena? Hebu toka hapa. Nasema toka hapa haraka kabla sijakasirika.” Aliongea Hidaya.


 


“ Lakini mimi sikuzimia. Pale mzuka ulikuwa umenipanda.”


 


“ Sele naomba ondoka nyumbani kwangu, uwe mzuka ulikupanda au lah. Naomba ondoka nyumbani kwangu. Usitake kunipa matatizo. .”


 


“ Matatizo gani nitakayo kupa mimi Hidaya? Nakupenda hidaya. Usinifanyie hivyo.” Aliongea sele. Kadri muda ulivyoenda, sele hisia kali zilimshika. Alijikuta akiongea huku akilia. Kama mtoto machozi yalimtoka. Alipiga magoti na kumtaka Hidaya ampe.


“ Duuuh! Sijawahi kuona, Yaani kabisa dume nzima unalilia kisima?” Aliuliza kwa mshangao hidaya.


 


“ Hidaya kuna nini humo ndani? Mbona tunasikia mtu akilia?” Anet, jirani yake na hidaya aliuliza kwa nje.


 


“ Unaona hadi watu wanaanza kuuliza? Wasije wakazani msiba bure! Naomba uondoke haraka. Ondoka bana usinijazie watu.” Aliongea Hidaya. Alimshika Sele na kutaka kumvalisha nguo. Sele alikataa kata kata.


 


“ Kama hautoki naenda kukushtaki kwa balozi.” Aliongea kwa hasira hidaya. Alipiga hatu kutoka nje. Akiwa anaukaribia mlango. Sela alimuwahi, alimshika mkono.


 


“ Chonde, usinifanyie hivyo hidaya. Nakuomba chonde chonde…” Aliongea sele.


 


“ Lakini Sele kwanini hautaki kuwa mwelewa? Mimi wewe sijakunyima, shida ni kuwa hauna nguvu, nikikupa hapa utazimia au kuleta shida nyingine. Naomba ondoka bana.”


 


“ Bila kunipa siondoki. Kama nguvu ninazo. Sema labda unaniogopa au haunitaki kwakuwa unabwana mwingine. Lakin swala la nguvu sio kweli.” Aliongea Sele.


 


Hidaya aliishiwa pozi, mbinu zake zote ziligonga mwamba. Alifikiria chkufanya alikosa. Alimgeukia Sele na kumtazama kwa jicho lisiloelezeka.


 


“ Nimpe tu au?” Alijiuliza.


 


“ Lakini akinifia hapa itakuwaje?’ Alijiuliza.


 


“ Hapana. Sitakiwi kufanya upumbavu wa kumpa wakati najua fikra madhara yake yakoje.” Aliwaza Hidaya.


 


……………………………….


 


Baada ya mkewe wema kukaa staili ya mbuzi kagoma. Zubery alimwacha amina na kumwahi wema kitandani, lakini kabla hajamfanya lolote, wema alikurupuka na kukimbilia mlangoni.


 


“ Aaaah!” Alilamika Zubery.


 


Amina ile kuachiwa tu, haraka aliziwahi nguo zake, bila kuzivaaa alitoka nazo nje na kuzivaa kwenye korido.


 


“ Uuuuh uuuuh!” Alihema juu juu.


 


Ndani, baada ya wema kukimbilia mlangoni, mzuka wa Zubery ulitulia, wema alimuwahi mumewe na kumlamba kibao cha nguvu kilichomzindua kwenye lindi zito la ngono.


 


“ unafanya mambo gani wewe mshenzi?” Alimuuliza baada ya kumpiga kibao.


 


“ Eeeee…eeeee..” Aliitika Zubery bila kuitwa. Akili yake haikuwa sawa. Wema alimuongeza kibao kingine akili yake ikawa sawa.


 


“ Daaah! Nimefanya upumbavu.” Aliwaza Zubery. Haraka alipiga magoti chini na kumshika miguu mkewe.


 


“ Nisamehe mke wangu. Nisameheee.” Aliongea.


 


“ Nikusamehe wakati unafanya makusudi. Hivi unazani hawa wanawake wote unaolala nao ni wazima?” Aliuliza wema. Kwa hasira alivaa nguo zake na kutoka nje.


 


…………………………


 


Hidaya aliendelea na msimamao wake, alimkatalia katakata sele.


 


“ Mapenzi na wewe sele haiwezekani. Tena haiwezekani kabisa.” Aliongea Hidaya.


 


Sele kwa hasira alienda kwenye dishi la vyombo, alikichukua kisu na kukielekeza kwenye nyoka wake.


 


“ Kama haunipi namkata huyu? Haina mana nakuwa naye wakati ninayekupenda haunitaki.” Aliongea sele bila kutania. Hidaya akiwa anajiuma uma, sele ali…..


 


BALAA LA MBUZI KAGOMA 17.


 


“ Kama haunipi namkata huyu? Haina mana nakuwa naye wakati ninayekupenda haunitaki.” Aliongea sele bila kutania. Hidaya akiwa anajiuma uma, sele ali…..


 


“Nakupa sele . Acha usijikate nakupaaaa..” Aliongea hidaya.


 


“ Huyu boya hivi hajui akijikata atakufa? Haoni kama hii itakuwa aibu kubwa.” Aliwaza hidaya. Alimtuliza Sele na kumwaidi kumpa.


 


‘ Kama kweli utanipa vua nguo zote.” Sele alimwambia. Hidaya bila kinyongo. Alivua nguo zote na kubakia kama alivyozaliwa. Alimtaka sele atupe kisu. Sele alitupa, alimsogelea na kumnyonya mate.


 


“ Acha nimpe ashindwe mwenyewe.” Alijisemea moyoni.


 


Sele alijitutumua naye akamnyonya mate Hidaya. Alimpapasa mgongoni na kumuingiza kidole kisimani kwake.


 


“ Mmmmh!’ Hidaya aliguna kwa utamu.


 


Alipanda kitandani na kuchanua miguu, sele alienda na kumwingiza nyoka shimoni. Nyoka aliteleza mpaka ndani. Taratibu hidaya akawa anazungusha kiuno chake, alizungusha mara ya kwanza, ila anazungusha mara ya pili. Sele alipiga kelele.


 


“ Subi…subiri…..” Aliongea Sele.


 


Hidaya akiwa anashangaaa, pale pale sele aliwatoa wazungu.


 


“ Oooooo…” Alilalamika.


 


“ Hongera baby umejitahidi.” Hidaya alimwambia Sele kwa kebehi.


 


“ Acha unafiki kujitahidi kwenyewe kuko wapi? Kwanza unazani mchezo umeisha. Hii mechi ndio kwanza inaanza.” Aliongea Sele. Alisimamamna kwenda kujisafisha. Alijifuta na nguo kisha akamsogelea hidaya tena.


 


“ Yaani bado unataka tena?” Aliuliza kwa mshangano hidaya.


 


“ Ndio, kwani nnimefanya. Si nimekugusa tu wazungu wametoka.” Aliongea sele. Bila hiyani hidaya alimpa tena sele.


 


Sele alimwingia, alijitutumua hivyo hivyo akawa anaenda mbele na kurudi nyuma.


 


“ Si nilikuambia…mimi naweza…si nilikuambia…si nilikuambi mimi kidume…s nilikuambia..si..ni…si..nili..” Aliongea sele. Kadri utamu ulivyokuwa unakuja alijikuta anshindwa kuongea. Mwishoe alijikuta analia.


 


‘ Si nili..kuambia..si….hiiiiihiiiihiiiiiiiiii..” Alilia sele.


 


“ Leo kazi ninayo.” Aliwaza hidaya.


 


……………………………………………


 


Wema akiwa kakasirika aliondoka lodge, alimwacha Zubery akiwa chumbani na muhudumu.


 


Muhudumu wa lodge hadi muda ule akili yake haikuwa sawa, hakuelewa kinachoendelea ni nini. Alimtazama Zubery akiwa anavaa nguo zake bila kummaliza. Alijiuliza maswali yasiyokuwa na majibu.


 


“ Haya mambo mbona siyaelewi?” Alijiuliza muhudumu. Alimtazama Zubery asipate majibu.


 


“ Tumejaribu kuwatenganisha kwa nguvu zote lakini imeshindikana. Lakini yule dada alivyovua nguo na kukaa staili ya mbuzi kagoma tu. Huyu jamaa alimwacha yule mwanamke na kumfata yeye. Mmmh! Hii maana yake nini?” Alijiuliza Muhudumu.


 


Alimsogelea ZUbery na kumshika mkono.


“ Upo sawa?’ Alimuuliza.


 


“ Nipo sawa.” Alijibu Zubery kwa aibu huku akivaa nguo zake.


 


“ Hivi umekunywa dawa au ni nguvu zako za kawaida? Mbona yule dada ulikuwa unamfanya kwa ukatili sana?” Alimuuliza. Zubery alimtazama bila kumjibu.


 


“ Kaka mbona haunijibu, halafu na yule dada anayesema ni mkeo, kwanini alivyovua nguo na kukaa ile staili ulimwacha yule dada na kumuwahi yeye?” Aliuliza muhudumu.


 


Zubery hakujibu, alivaa nguo zake na kutaka kutoka, lakini akiwa anakribia mlangoni, yule dada muhudumu ili kujua kinachoendelea aliamua kuvua nguo zake zote na kukaa staili ya mbuzi kagoma.


 


Zubery kumuona tu, moyo wake ulianza kupiga kwa kasi, suruali yake mbele ilituna, pale pale ali….


 


BALAAA LA MBUZI KAGOMA 18


 


Zubery kumuona tu, moyo wake ulianza kupiga kwa kasi, suruali yake mbele ilituna, pale pale alimsogelea na kumshika kiuno. Alishusha suruali yake na kumtoa nyoka wake. Bila kushangaa alimsogeza kwenye ksima cha yule muhudumu.


 


Iliingia yote.


 


“ Mmmh!’ Aliguna muhudumu.


 


“ Nimejua sasa! Kumbe mwanamke akikaa hivi ndio unakuwaga na mzuka vile.” Aliongea. Aligeuka na kumtaka kumtoa Zubery.


 


“ Kaka niache. Nilitaka kujua tu.” Aliongea Muhudumu.


 


Maneno yake yalipita sikio moja na kutokea lingine. Alikuwa ameuwasha moto. Zubery mzuka ulikuwa juuu. Alimshika shingoni kwa nguvu na kumplekea fito mfululizo.


 


“ aaa…aaaaaa…aaa’ Alilalamika muhudumu.


 


“ Kaka niache…niacheeeee…niacheeeee….” Alilalamika muhudumu.


 


“ Paaaa…paaaaaa…paaaaaa…” Zubery aliendeleza dozi bila kusimama.


 


……………………………………………….


 


“ Leo kazi ninayo.” Aliwaza hidaya.


 


Sele aliendelea kumwingia huku akilia vile vile, haikuchukua muda alifika mshindo, kichovu alijikuta kamuangukia hidaya kifuani.


 


“ Uuuuu…uuuuuu…” Alihema Sele.


 


“ inatosha sasa Sele. Haina haja ya kulazimisha haya mambo. Umenifanya vyakutosha sasa.” Aliongea Hidaya.


 


“ Hapana bado! Haiwezekani ufanye mapenzi na mimi halafu uwe unaongea hivyo, kama nimekufanya vyakutosha mbona hauliii? Mbona unaongea kana kwamba hakuna lolote la ajabu lililofanyika?” Aliuliza Sele.


 


“ Mmmmh! kwahiyo shida yako ni kulia au nini?”


 


“ Hapana shida yangu ni kukufikisha kileleni, na hili ufike ni lazima ulie.” Aliongea Sele.


 


“ Mmmmmh!” Aliguna hidaya. Sele alijitoa kifuani mwa hidaya na kumtazama nyoka wake. Alikuwa dhaifu sana. Hakuonekana kuwa tayari kuendelea na shughuli.


 


“ Si unaona nyoka wako alivyo? Pumzika kwanza. Tutaendelea kesho.”


 


“ Hapana. Huyu hajachoka. Ukimnyonya atakuwa sawa tu. Mimi nikuridhishe.” Aliongea Sele.


 


Maneno yake yalimchefua hidaya, aliwaza akapata chakufanya.


 


“Kama ishu ni kulia tu haina shida.” Alijisemea moyoni. Alimsogela Sele na kuanza kumnyonya nyoka wake. Akiwa anamnyonya sele aligumia kwa maumivu ila alimtaka hidaya asiache, aendelee kumnyonya tu. Alimnyonya hadi nyoka wake akasimama. Ile kusimama tu, hidaya alitanua miguu yake, mmoja kushoto na mwingine kulia. Alimtaka Sele amuingize nyoka wake. Sele naye bila ubishi waa hiyana alimuingiza.


 


“ ooo..ooooo…” Aligumia sele wakati anamuingiza.


 


“ Mamaaa yoyooooo…sele unaniumizaaa….aaaaaa..aaaaaaaa.’’ Alilalamika hidaya.


 


“ Aishiiiii…aishiiiiiiiiiii….” Alipiga kelele. Kelele za hidaya zilimuongzea mzuka sele, akajikuta anajitutumua zaidi. Lakini ile kujitutumua tu, gafla.


 


………………………………………………….


 


Wema alifika hadi nyumbani kwake.


 


“ Eeeeh huyu mwanaume kabaki wapi tena?” Alijiuliza baada ya kufika nyumbani kwake bila kumuona Zubery.


 


“ MmmmmH! Huu mbona mtihani.” Alijiambia.


 


Akiwa anajiuliza na kujiambia hayo, gafla alikuja kungwi wake. Alikuja mkuku mkuku huku akimuita.


 


BALAAA LA MBUZI KAGOMA 19


 


Akiwa anajiuliza na kujiambia hayo, gafla alikuja kungwi wake. Alikuja mkuku mkuku huku akimuita.


 


“ wemaaaa..wemaaaaaaaa…’ Aliita Kungwi.


 


Wema aligeuka. Alimtazama bila kuelewa aseme nini.


 


“ Nimejua.. ulichokifanya nimejuaaa.” Aliongea Kungwi.


 


“ Umejua nini?” Aliuliza kwa mshangao Wema.


 


“ Kiichomfanya mumeo awe vile. Ulinuwia. Ulichukua majani ya mdarasini na kuniwia mumewe awe na nguvu sana akiwekewa staili ya mbuzi kagomaaa.”


 


“ Lakini si ndivyo ulivyonifundisha au?” Aliuliza Wema.


 


“ Hapana. Habari ya kunuwia nilikataza, niliwaambia mtumie majani ya mdarasini bila kunuwia. Wewe ulinuwia ndio mana mumeo yupo vile.” Aliongea Kungwi.


 


“ Kwahiyo tunfanyaje kumsaidia? Maana imeshakuwa balaaaa. Hali sio nzuri.”


 


“ Chakufanya kwanza ni lazima tumpate yeye. Yupo wapi?”


 


“ Hata sielewi. Nilimfumani lodge nikamsema na kumwacha huko huko.” Aliongea wema.


 


“ Tiiiiiiii.” Kengele ya hatari ililia kichwani kwa kungwi. Alimshika mkono Wema na kumtaka wawahi lodge. Waliongozana mkuku mkuku.


 


……………………………….


 


Sele ile kujitutumua tu, gafla, kama mzigo alianguka chini.


 


“ Puuuh!” Alitua chini.


 


“ Mmmmh!” Aliguna Hidaya. Alijtoa mwilini mwake. Alienda mbele na kurudi nyuma. Alijishika kichwa akakiachia.


 


“ Nikimbie?” Alijiuliza.


 


“ Hapana. Haina haja ya kukimbia.” Aliwaza. Alivaa nguo haraka. Alitoka nje hadi kwa shoga yake Anet kuomba msaada.


 


Alimweleza Anet shida yake. Mkuku mkuku waliongozana kurudi ndani. Anet alimwangalia Sele akagundua kitu.


 


“ Huyu hajafa ila kazimia tu.” Aliongea Anet. Kwa pamoja walishirikiana wakamvesha nguo. Walimpa huduma ya kwanza akazinduka.


 


“ Natakaaaa…’ Aliongea Sele baada ya kuzinduka.


 


“ Paaaah!” Hidaya alimpiga kibao.


 


“ Umepanga kunipa kesi wewe sio bure. “ Alifoka hidaya. Aliita bajaji, ilifika kumchukua wakampelekea sele Hospitali.


 


………………………


 


“ Nikumuangalia tu kwa haraka haraka, huyu mgonjwa wenu kilichomponza ni ngono kupitiliza, lakini pia madawa ya kienyeji.” Aliongea daktari baada ya kumuona sele.


 


“ Ulienda kwa mganga kuchukua dawa ya nguvu za kiume?” Alimuuliza.


 


“ Ndio..” Alijibu Sele.


 


Mganga aliwataka Hidaya na Anet watoke nje. Alibaki na sele. Alikaa pembeni ya kitanda na kumweleza madhara ya kwenda kwa waganga wa kienyeji. Alimweleza mdhara ya kutumia dawa za kuongeza nguvu za kiume.


 


“ Nilitaka kumkomesha yule mwanamke.” Aliongea sele.


 


“ Mwanamke akomeshwi rafiki. Pale ulikuwa unajikomesha wewe. Hakuna namna unaweza kufanya ngono na mwanamke ukamkomesha. Kwanza mapenzi sio vita. Achana na hizo habari, na kubwa zaidi jitahidi kufanya mazoezi, nguvu za kiume aziletwi kwa kwenda kwa waganga, nguvu za kume zinaletwa kwa kula vizuri na kufanya mazoeizi.” Aliongea Dokta.


 


Baada ya maelezo marefu, Sele alimwelewa daktari, mtazamo wake kuhusu kumkomesha hidaya ukawa umebadilika.


 


“ Nitafanya mazoezi na kula vizuri ili niwe na stamina.” Aliwaza.


 


“ Kuanzia leo kamwe sitafanya amapenzi ili kumkomesha mtu. Maana kwa ujinga huu unaweza kujikuta unatoka roho bila sababu.” Aliwaza akiwa anaondoka hospitali.


 


………………………………………………..


 


Kungwi na wema moja kwa moja waliwahi lodge, kufika kaunta waliita muda mrefu bila mtu yeyote kuwajibu. Wakiwa wanajiuliza wafanye nini. Walisikia kelele ya mwanamke akilia chumbani.


 


“ Mmmmh!’ Aliguna Wema.


 


BALAAA LA MBUZI KAGOMA 20.


 


“ Mmmmh!’ Aliguna Wema.


 


Kama mshale alikurupuka pale kaunta na kuwahi vyumbani, moja kwa moja aliekea kwenye kile chumba.


 


Alimkuta mumewe akiwa kamweka Zubery staili ya mbuzi kagoma na kumuingia kwa nguvu.Bila kushangaa walimuwahi kumtoa. Walimvuta lakini ilishindikana. Haraka Wema alivua nguo zake na kukaa staili ya mbuzi kagoma kwa pembeni yake.


 


Zubery alimwacha muhudumu na kumfata wema, lakini kabla hajamfikia wema alisimama. Yule muhudumu naye alisimama. Walimuwahi Zubery na kumshika kwa nguvu.


 


Zubery alinyongonyea, kama mtu aliyekumbuka kitu flani akili yake ilirudi.


 


“ Hapa wapi?’ Aliuliza Zubery.


 


“ Paaah!” Mkewe alimpiga kibao.


 


“ Usimpige. Mwenye kosa ni wewe. Usingemnuwia haya yasingetokea. Ulimnuwia awe na nguvu kwako tu mkiwa kwenye staili ya mbuzi kagoma lakini ulikosea dawa. Ona sasa analeta madhara kwa wengine. Mimi kanifanya nusura anitoe roho.’Aliongea kungwi.


 


“ Uuuuu…uuuuu” Alihema muhudumu wa lodge. Haraka aliwahi bafuni, alichukua maji na kujimwagia. Kisima chake kilikuwa kinawaka moto.


 


…………………………….


 


Kungwi, zubery na wema waliongozana mpka nyumbani.


 


“ Tumefika nyumbani sasa. Tunamsaidiaje mume wangu?” Aliuliza wema.


 


“ Hakuna njia nyingine. Njia ni ile ile. Chukua majani ya mnyonyo na fanya kama ulivyofanya mara ya kwanza. Ila sasa nuia mumeo awe na nguvu za kawaida ,na hizo nguvu ziwe katika staili yoyote.” Aliongea kungwi.


 


Wema alifanya kama alivyoambiwa. Alitoka nje, alichukua majani ya mdarasini na kuingia nayo ndani. Alifanya kama alivyoambiwa. Alinuia mumewe awe na nguvu za kawaida.


 


“ Nimeshamaliza.” Aliongea wema.


 


“ Basi hapo sawa. Mumewe saizi atakuwa sawa tu. Baadae usiku jaribu ila kuwa na tahadhari, ukiona haeleweki kimbia.” Aliongea kungwi.


 


…………………………


 


Saa tano usiku baada ya chakula, Wema alimchokoza mumewe wakiwa kitandani. Alimpapasa mgongoni mpka ikulu kwake. Mumewe naye alijibu majibu, alimpapasa mkewe. Walinyonyana mate na kugalazana kitandani.


 


Nusu saa mbele walikuwa wakivunja amri ya sita.


 


Hakukuwa na madhara yoyote yale. Zubery alikuwa kwenye hali yake ya kawaida. Hakuwa na madhara.


 


……………………………….


 


“ Nashukuru MUNGU umerudi katika hali yako.” Aliongea Wema.


 


“ Daaah! Mwenyewe siamini maana ilikuwa sio mchezo.”


 


“ Nimejifunza jambo kubwa sana. Madawa kwenye mapenzi hayafai kabisa. Nilijua nakusaidia ona sasa nikataka kukuharibu.” Aliongea Wema.


 


“ Ni kweli madawa hayafai kabisa.” Alijibu Zubery.


 


“ Mmmmh! halafu nimefanya makosa, ilibidi tukapime kwanza.Maana kungwi nasikia anaukimwi na wale wadada uliowafanya nao sijui afya zao.’ Aliongea Wema.


 


“ MUNGU mkubwa atatusimamia.” Aliongea ZUbery.


 


…………………………


 


Siku ya pili yake asubuhi na mapema sana waliwah hospital kupima. Walipima ukimwi na magonjwa mengine ya zinaaa.


 


“ Hongereni , vipimo vinaonesha hamna aliyeathirika kati yenu. Naomba endeleni kujitunza hivyo hivyo, lakini baada ya miezi mitatu nawaomba mje tena hospital kupima tena.’ Daktari aliwaaambia.


 


Walimshukuru na kuondoka.


 


“ Noamba mungu tukija kupima tena tuwe wazima.” Aliongea Wema.


 


“ Nina imani itakuwa hivyo.” Alijibu Zubery.


 


Mwisho .



0 comments:

Post a Comment

Blog