Search This Blog

Thursday 9 March 2023

JIRANI - 3

   


Chombezo : Jirani

Sehemu Ya Tatu (3)


…………………………………


Kwa zaidi ya nusu saaa nilijikanda bila ya mafanikio, bado hali yangu ilikuwa mbaya, naniliu yangu kisimani ilisimama na kukaza, misuli yote ilikaza, nilihitaji mwanaume, tena mwanaume rijali wa kuja kuniweka sawa.


Nilikta shauri. Niliamua kutoka nje tena kwenda kumtafuta mwanaume mwingine.


Nikiwa nafungua tu mlango wa nyumbani kwangu, mbele yangu alitokea mkaka ambaye alikuwa na kapu la urembo.


“ Dada naosha miguu na kupaka rangi kucha. Nimesomea hii kazi mitaa ya Orlando marekani. Kamwe hautajuta, naosha kucha vizuri sana.” Aliniambia.


“ Yaaani kazi ya kuosha miguu na kupaka rangi usomee Orlando marekani? Mmmmh hii mbona kali.”


“ Niamini dada yangu, nina utaalamu wa kutosha sana wa kuniwezesha kuzisafisha kucha zako bila ya mtatizo yoyote . Kuwa na amani na niruhusu nioshe kucha zako.” Aliniambia.


“ Gharama yako sh ngapi?”Nilimuuliza.


“ Mguu mmoja rangi pamoja na kuusafisha ni tsh 10000. Miguu yote miwli ni tsh 20000.” Aliniambia.


“ Sawa, njoo ndani nitakupa elfu 30000.” Nilimwambia. Niligeuka na kuingia ndani, naye bila kusita alinifata kwa nyuma. Tulifika barazani, nilikaa kwenye sofa akaja akakaa chini karibu na miguu yangu.


“ Samahani naweza kupata wapi dishi la maji?” Aliniuliza.


“ Kwahiyo kazi ya kwako lakini unataka kutumia vifaa vyangu?” Nilimuuliza.


“ Kutembea na dishi mtaani ni kazi sana, uwa tunatumia vyombo vya mteja.”


“ Ok sawa. Dishi lile pale, na maji yako pale.” Nilimwambia. Alisimama kwenda kuvichukua.


“ Hivi unaishi peke yako hapa?”


“ Ndio, nipo peke yangu. Sina mume wala mpenzi, nipo peke yangu.” Nilimwambia kumtega.


“ Mmmmh! jitahidi utafute mwanaume. Kukaa peke yako humu ndani mbona ni hatari sana.”


“ Hapa nilipo natafuta! Nimechoka maisha ya upweke, kwanza naomba uachane na habari ya kunisafisha miguu .Naomba uje ukae hapa tuongeee.” Nilimwambia.


“ Lakini mbona tunaweza kuongea na kazi ikawa inaendelea?”


“ Hapana, mimi sitaki kusafishwa miguu. Nimekuita hapa nina swala muhimu na wewe. Naomba usogee tuongeee.” Nilimwambia. Maneno yangu yalimfanya aishiwe pozi. Nilimuona akiwa mpole gafla.


“ Kwanza unaitwa nani?” Nilimuuliza.


“ Naitwa Uledi.”


“ Uledi?” Niliuliza kwa mshangao.


“ Ndio Uledi! Mbona umeshangaa hivyo?’ Aliniuliza.


“ Hilo jina ni jipya kwangu, pia limekaa kiajabu ajabu kidogo, kijana handsome kama wewe kuitwa Uledi ni maajabu kwangu, kwanza angekuwa mwingine bila shaka angebadilisha jina, asingekubali kuitwa uledi.” Nilimwambia.


“ Wewe unitwa nani?” Aliniuliza.


“ Mimi naitwa Zakia.”


“ Ok shda yako ni nini?”


“Kuongea napata shida, nitakuonesha kwa vitendo.” Nilimwambia. Nilivua sketi yangu na kumkalia kwa juu, taratibu nilianza kukipapasa kifua chake.


“ Hayo mambo hapana zakia, hapana kabisa. Mimi uwa sifanyi.” Aliniambia.


“ Kivipi?”


“ Naona aibu kueleza, ila uwa sifanyi, tafadhali usiendelee kufanya hivyo. Tafadhali sana.” Aliniambia.


“ Lakini kwanini? Mwanaume gani ambaye hataki hivi vitu?” Nilimuuliza.


“ Shida ni naniliu yangu.”


“ Imefanya nini?” Nilimuuliza. Kabla hajanijibu niliiwahi suruali yake, nilimfuangua zipu na kushusha chini, sikushangaa nilishusha boxer tena chini.


“ Looooh!” Nilishtuka. Nilichokona hakikuwa cha kawaida,badala ya kusikitika, nilijikuta nacheka.


“ Ahahaa..ahahahaaaaa….” Nilijikuta nacheka.




“ Ahahaa..ahahahaaaaa….” Nilijikuta nacheka.


“ Usinicheke dada yangu! Sijapenda kuwa hivi.”


“ Hivi ulizaliwa ukiwa hivi au imekuwaje? Maana toka nizaliwe sijawahi kuona kitu kama hiki.”


“ Nizaliwa na huu ulemavu. Toka utoto wangu nimekuwa hivi, sijawahi kushiriki ngono wala simjui mwanaume. Nyoka wangu anatumika kwa ajili ya haja ndogo tu, hapo alipo hata iweje hawezi kusimama wala kufanya lolote.” Aliniambia.


“ Uuuuuuh!” Nilihema kichovu. Nilimtazma nikajikuta namuonea huruma. Nilimtaka avae nguo aondoke.


“ Nitunzie siri yangu.”


“ Usijali, sitakuja kumwambia yoyote. Kwanza sio kosa lako, naomba nisamehe kwakukucheka. Nilicheka bila ya kukusudia. Naomba nisamehe sana.” Nilimwambia.


“ Hilo limeisha dada yangu! Vipi sasa kuhusu miguuu? Nikusafishe na kukupaka rangi?”


“ Hapana kaka yangu. Naomba shika hii kwa usumbufu niliokufanyia. Mwenzio sipo vizuri kabisa. Hali yangu sio nzuri hata kidogo.” Nilimwambia. Nilimkabidhi shilingi elfu kumi kisha nikamsindikiza nje.


…………………….


“ Mmmmh! ya leo kali, wa kwanza kichaaa ambaye hana naniliu, wa pili mzima lakini ni mlemavu, nyoka wake kapinda toka utotoni na hawezi kufanya lolote. Hii maana yake nini? Nina mkosi au ni nini?” Nilijiuliza.


Hali yangu bado haikuwa nzuri, kisimani kwangu kulikuwa na muwasho usiowakawaida. Ni kama nilirogwa au kutupiwa pepo la ngono. Nilienda jikoni na kubandika maji ya moto.


“ Acha nijikande tena. Inawezekana nikawa sawa safari hii.” Niliwaza,.


Nilienda jikoni , nikiwa kwenye pilika pilika za kubandika maji. Mlango uligongwa.


“ Hodii…hodiiii…” Alisikika mtu mlangoni. Sauti yake haikuwa ngeni masikioni mwangu. Nilikuwa namjua .


“ Huyu si alisema anadharula kubwa? Nini kimemleta hapa tena.” Nilijiambia. Nilienda kumfungulia mlango.


“ Karibu Michael…” Nilimkaribisha.


“ Ahsante..” Alijibu na kuingia ndani.Moja kwa moja alinifata na kunishika kiuno.


“ Hali yako inaonekana haikuwa nzuri muda ule! Maana sio kawaida hadi kunifata nyumbani. Nina tumani bado hujapata mtu wa kukutibu. Kama hautajali naomba niruhusu nikutibu. Nitakutibu taratibu bila madhara.” Aliniambia.


“ Mmmmmh!” Niliguna. Niligeuka kumtazama. Nilimkazia macho na kumuuliza swali.


“ Toka nianze mapenzi hakuna siku iliyokuwa kama leo? Hivi ulinifanya nini? Kwanini nilikuwa vile! Nyege gani hizi sizizoisha. Yaaani toka uniandae muda ule hadi saizi kisima changu hakipo sawa kabisa. Mwanzo mwisho kinavuta na kuhitaji dawa, mbaya zaidi mtu wa kunipa dawa sina. Umenitesa sana. Tena sio kidogo sana.” Nilimwambia.


“ Usijali, niemfika kukusaidia.Nina inami utafurahi.” Aliniambia. Alinishika mkono na kunivutia barazani. Alinilaza kwenye kochi na kunichojoa nguo zangu. Alinivua mimi tu, yeye hakuvua zake.


“ Mbona unanitoa mimi tu halafu wewe mwenyewe hutoi?” Nilimuuliza.


“ Nikitoa unaweza kupata hofu isiyokuwa na msingi! Naomba kuwa na amani, naomba tulia, mimi nitavua baadae kabisa. Saizi acha tufurahi kuchezeana kwanza.” Aliniambia.


“ Mmmmh! hiyo sio dawa, dawa ni wewe kuniweka wazi! Hiyo naniliu yako kwanini ipo hivyo? , ulichanjia au ilikuwaje?”


“ Sijachanjia wala sijafanya lolote! Nilizaliwa nikiwa hivi.”


“ mmmmh! sasa kwanini hukufanya lolote kuipunguza au kuitibu! Ona umemvunja yule mwanamke uliyezaa naye hadi kaamua kukuacha! Na ukifanya na mimi bila shaka utanivunja. Japo nipo vibaya lakini kusema ukweli naogopa. Sitaki niwe natembea kama jenifer, sitaki kabisa.”


“ Hata mimi sitaki uumie! Kwangu sio sifa kumvunja mtoto wa watu au kumuumiza.”


“ Ingekuwa hutaki niumie wala usingefika! Kitendo chako cha kufika hapa maana yake unataka niumie! Maana kivyovyote vile kwa jinsi ulivyojaliwa ni lazima utanipasua. Sema tu na mimi nipo hovyo, nimejaa hamu iliyozidi kipimo.” Nilimwambia.


“ Jenifer ameniacha kwakukuwa nimemuharibu! Sipo tayari niachane na wewe tena. Sita kuharibu wala sitakufanya huyajutie mapenzi. Naomba niamini.”


“ Nakuamini vipi wakati haujanipa njia! Ungenieleza kitu gani unataka kufanya ili kusiwe na madhara. Hivi hivi bila ya kunieleza lolote ni ngumu kukuamini. Narudia tena ni ngumu sana kukuamini.”


“ Shiiiiii….” Alinipa ishara ya kutoongea. Alinisogelea na kunipa kumbato la ajabu. Alinipapasa taratibu huku akishusha mikono yake makalioni. Aliyabinya makalio yangu na kuyapiga piga kwa sekunde kadhaaaa.


“ Umebarikiwa sana.” Aliniambia. Aliyachezea kwa sekunde kadhaa kisha akaingiza kdole kwenye shimo la taka.


“ Oooooooh!’ Nililalamika.


“ Unataka kufanya nini?” Nilimuulza. Kutamani nlitamani na kuogopa pia niliogopa.


ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog