Search This Blog

Wednesday 15 March 2023

MAMDOGO LISA - 2

  

Chombezo : Mandogo Lisa

Sehemu Ya : Pili (2)


hatimaye Hasina alijitutumua na kuongea. Mzee Bisu aliacha kwa muda kumpapasa Hasina akamtazama kwa macho ya uchu kisha akaongea.

"... sikia Hasina, hebu twende kwanza chumbani kwako...""

... chumbani kwangu kufanya nini baba?.."

"... kuna kitu nataka nikakuoneshe huko..."

"... kwa nini usinioneshe hapa hapa baba?.."

"... hapa sio pazuri, hebu twende chumbani..."

aliongea Mzee Bisu huku akiinuka na kuanza kumvuta Hasina ili asimame waongozane kwenda chumbani.

"... Baba mi siwezi kwenda huko chumbani na wewe... naogopa..."

alijubu Hasina huku akiweka mgomo kuinuka pale alipokuwa kakaa.

"... unaogopa nini sasa, kwani mimi zombi?.."

Mzee bisu alihoji huku akionekana kuwa tayari alianza kuchukizwa na misimamo ya Hasina wakati yeye alitegemea kuwa asingewekewa mgomo na mfanyakazi wake wa ndani, hali ilikuwa mbaya kwa upande wake, sungura wake alikuwa tayari kwa vita na alioneka dhahiri alivyokuwa katuna ndani ya bukta lake kubwa alilokuwa kalivaa, na ni hicho kilichomuogopesha zaidi Hasina kwani tayari alishajua kuwa Boss wake huyo alikuwa akitaka kula tamtam.

Mzee Bisu alitamani atumie nguvu kumvutia Hasina chumbani, lakini akaogopa kwani alihofia kuwa Hasina anaweza kupiga kelele na kujaza watu. akaamua kutumia tu mdogo kujaribu kumlainisha japo alishagundua kuwa Hasina hakuwa tayari kufanya kile alichokitaka yeye. akaona bora ajaribu kwanza kumuogopesha labda mtoto atalainika. Akabadilisha muonekano wa sura yake na kuujaza jazba kasha kwa sauti nzito na yenye madaraka akaongea.

"... sikia Hasina, kama utaendelea kugomea hiki nnachokitaka kwako basi na mimi ntakuwa sina bubudi kukufanyia ubaya..."

aliongea mzee bisu akiwa bado kamshikilia mkono Hasina aliyekua bado kakalia sofa lilelile na huku mzee Bisu akiwa kasimama mbele yake. macho ya Hasina muda wote yalikuwa yakiangalia kwenye Bukta la Mzee Bisu lililokuwa limetuna kwa mbele kuashiria kuwa kitu kilichokuwa ndani kilikuwa kimetuna vibaya na kilikuwa kikihitaji kupata mwenzake. aliinua macho yake na kuyatumbua huku akimuangalia Mzee Bisu machoni baada ya kusikia kauli yake ile, aliogopa zaidi. alijiuliza ni ubaya gani ambao Mzee Bisu alikusudia kumfanyia kama ataendelea na mgomo wake.

"... atanibaka kwa nguvu?.. au... ataniua... au ni ubaya gani sasa ambao anauzungumzia huyu mzee...? mawazo yalipita akilini mwake, mara akagutushwa tena na sauti ya mzee Bisu.

"... ujue hapa uko kwangu, na hapa, mimi ndio nnayekulipa mshahara na mimi ndo kila kitu humu ndani... sasa utachagua Moja kati ya haya mawili..."

aliendelea kuongea mzee Bisu huku Hasina akiendelea kumtumbulia macho na kusubiria kuambiwa ni mawili gani hayo anayotakiwa kuchagua moja.

"... unafungasha vitu vyako sasa hivi unaondoka kwenu, tena bila kupewa hata shilingi tano, au ukubali kwenda na mimi chumbani kwako unipe nnachotaka kwako ili uendelee kufanya kazi hapa na nikutimizie ahadi nilizokuahidi kukununulia tena na mambo mengine mengi nikupe..."

Hasina alishitushwa na kauli hiyo, akamtumbulia macho Mzee Bisu na huku akiwa kaachia mdomo wazi asijue cha kuchagua. alikuwa akitafakari harakaharaka kichwani mwake nini achague.

akikataa kuingia chumbani na Mze Bisu, ina maana kwamba yeye aingie chumbani humo akusanye kilicho chake na atoweke pale nyumbani tena bila kupewa hata senti moja. Au akubali kuingia chumbani humo na Mzee Bisu afanye kile ambacho Mzee Bisu anakitaka ili aendelee kukaa na bado atatimiziwa mengi aliyoahidiwa na mzee huyo.

"... nikisema niondoke hapa na viguo vyangu ntakua sina pa kwenda zaidi ya kupanda gari na kurudi Tanga... na huko Tanga ntaendaje wakati hata shilingi kumi sina?.."

aliendela kuwaza Hasina.

"... lakini nikimkubalia huyu mzee kama anavyosema ataninunulia kila alichoniahidi... tatizo sasa kutembea na mzee mtu mzima kama huyu pia si sawasawa nakutembea na baba yangu?.. hapana... Mungu wangu nifanye nini sasa mimi?.. " aliendelea kuwaza Hasina.


… Lakini ghafla aligutushwa toka mawazoni na mkono wa mzee Bisu uliomshika ghafla na kisha kuanza kumvuta kuelekea chumbani kwa kwake, yaani chumbani kwa Hasina mwenyewe.

Bila kujielewa na kama vile alikuwa ametokwa na fahamu, Hasina alijikuta akimfuata Mzee Bisu kama mbuzi apelekwaye machinjoni bila kujijua kuwa anakwenda kuchijwa.

Ni kama tayari alikuwa amekubaliana na ombi la Mzee Bisu bila yeye mwenyewe kujijua kuwa alikuwa tayari kwenda kufanya kile walichotaka kwenda kukifanya au la. waliongozana mpaka walipoufikia mlango wa chumba cha Hasina huku Mzee Bisu akiwa bado kamshikilia mkono.

Mzee Bisu akausukuma mlango huo ambao haukuwa umefukwa kisha akamtanguliza Hasina kuingia ndani ya chumba hicho na yeye akawa anafuata nyuma huku akiangalia huku na kule kama kuna mtu ambaye alikuwa akiwaona, uso wake ulitawaliwa na furaha kwani alijuwa sasa anakwenda kuua. Alitamani kupiga ukulele wa kushangilia lakini akaona itakuwa kujizalilisha mbele ya mfanyakazi wake.

Lakini kabla hajaingia kabisa Mzee Bisu alisikia sauti ya mtu ikiongea nje, alisimama ghafla na kusikiliza kwa makini sauti hiyo ni ya nani na ilikuwa ikitokea upande gani. Mle chumbani Hasina naye alisimama na kumkodolea macho yule mzee aliyekuwa na uchu. alijiuliza ni kitu gani kimetokea mbona mzee amesimama ghafla wakati yeye ndo aliyelazimisha waingie chumbani humo, ukweli ni kuwa Hasina naye alikuwa tayari kwa kile kilichokuwa kinakwenda kufanyika, alishaamua afanye ili apate kile alichoahidiwa.

Ni kweli kuna mtu alikuwa akiongea nje ya nyumba hiyo, au tuseme kuna watu walikuwa wakiongea nje ya nyumba hiyo. aliposikiliza kwa makini, Mzee Bisu aligundua kuwa ilikuwa ni sauti ya mke wake lakini hakujua alikuwa akiongea na nani. haraka sana akarudisha kichwa mle chumbani na kumuangalia Hasina ambaye naye alikuwa akimkodolea macho.

"... Hasina, mambo yalishaharibika... sasa sikiliza kesho asubuhi tutakwenda sehemu nikununulie vile vitu kama nilivyo kuahidi sawa?.."

Hasina aliitikia kwa kichwa.

"... nafanya hivyo kwa vile ulishanionesha moyo wa kunikubalia... sasa kesho saa nne asubuhi wakati unakwenda sokoni, utanikuta kwenye kile kibaa cha pale kwa Mangi sawa?.."

aliendelea kuongea haraharaka Mzee Bisu kabla mkewe hajaingia na kumkuta chumbani kwa Hasina.

"... kwani baba wewe kesho huendi kazini?.." Hasina alijikuta akipata ujasiri wa kuuliza swali.

"... kazini ntaenda lakini ntatoka mara moja ili twende nikununulie nilichokuahidi alafu ntarudi tena kazi..."

"... sasa ukirudi si uje unichukue hapa ndio twende?.."

"... nilishakuambia sitaki mtu yeyote ajue kuwa mimi ndo ninaye kununulia hivyo vitu, kwa hivyo nikija hapa kukuchukua kila mtu atajua..." alimalizia Mzee Bisu kisha akachungulia mlangoni haraka, hakuona mtu, akamgeukia tena Hasina.

"... tumeelewana?..."



"... ndio...`'

"... hakikisha unafika pale mapema ilituwahi kwenda na kurundi sawa?.."

"... haya..." alijibu Hasina.

Mzee Bisu hakupenda kupoteza muda tena pale, alitoka haraka akaelekea kwenye sofa lake alilokalia mwanzo akakaa nakuendelea kufuatilia vipindi kama kawaida. ilikuwa kama bahati yake kwani kitendo cha kukalia sofa tu na mlango ulifunguliwa ambapo mke wake aliingia. yaani kama angeongeza sekunde mbili za kuongea na Hasina mkewe angemfuma. Moyoni alimlaani sana mkewe kwa kuwahi kurudi na kumrushia ndege wake ambaye alishamuweka sawa.

Alipoingia ndani Mkewe alishituka kukuta mumewe tayari amerudi, maana huwa sio kawaida yake kurudi nyumbani mapema kiasi kile.

"... heh, mume wangu, tayari umerudi?... leo mbona mapema hivyo?.." alihoji Bi. Pauline huku akimsogelea mumewe na kwenda kukaa jirani yake.

"... ah... nimewahi kurudi leo najihisi uchovu... ulikuwa wapi?.." alijibu kisha akaunganisha na swali, alikuwa akijaribu kujiweka sawa asioneshe ule wasiwasi aliokuwa nao.

"... wala hata sikuwa mbali... nilikuwa hapo kwa mama Ole..."

Mzee Bisu hakupenda kuuliza swali jingine alinyanyuka na kuingia zake chumbani ambako alijiandaa na kwenda bafuni kuonga. huku nyuma mkewe alianza kumuita hasina.

"... Hasinaa,.. we Hasina..."

"... bee mama... aliitikia kwa sauti Hasina huku akitoka chumbani kwake na kuelekea pale alipokuwa Bi. Pauline, hakuwa katika hali yake ya kawaida, alijihisi kumuogopa Bi. Pauline japo hakuona kosa alilolitenda, kile kitendo cha kumuona sungura wa Mzee Bisu akiwa katuna ndani ya Nguo aliyovaa ukiongeza na ule udadisi wa yule mzee kutaka kuvunja naye amri ya sita, ni kama vilimtia wasiwasi kidogo na kujihisi mkosaji, hata hivyo alijikaza kisabuni na kwenda mpaka pale alipokuwa akiitwa na Bi Pauline.

"... mbona umejifungia peke yako chumbani, kuna nini?.." alihoji Bi. Pauline.

"... hamna kitu mama nimekaa tu..." alijibu Hasina huku akitazama pembeni, hakuwa tayari kumtazama Bi. Pauline machoni, mwenyewe hata hakujielewa ni kwa nini hali ile inatokea wakati hajakosea chochote, lakini ilitokea tu.

Bi. pauline aliingiza mkono ndani ya sidiria yake akatoa noti ya shilingi efu mbili na kumpa Hasina.

"... nenda pale dukani kaniletee panadol, nahisi kama mwili wangu umechoka sana..."

bila kuongea neno Hasina aliipokea ile pesa na kutoka.


************************************


Saa tatu asubuhi, Mzee Bisu alikuwa akikamilisha baadhi ya vijikazi vidogo vidogo vilivyokuwa kwenye meza yake ya ofisini, alikuwa akivifanya kwa harakaharaka ili awahi kutoka, na muda wote alionekana kama mwenye furaha sana kitendo ambacho hata sekretari wake alikishitukia lakini hakuweza kumuuliza kitu. kazi zilizobakia aliamua kuziacha na kujiahidia kuwa atakuja kuzimalizia atakaporudi.


Hasina naye alikuwa amemaliza kazi zote za asubuhi pale nyumbani,na alikuwa sasa akijiandaa kwenda sokoni....


... Aliingia bafuni akaoga kisha akarudi chumbani kwake na kujipaka mafuta yake ya mgando kama kawaida yake akavalia gauni lake ambalo kwake yeye aliona ni zuri na baada ya hapo alitoka kwenda kuchukua pesa kwa Bi. Pauline kwa ajili ya kwenda kununulia mahitaji ya siku hiyo.

Alipotoka tu chumbani kwake alikutana na Bi. Pauline akitokea jikoni.

“… mama niko tayari…” aliongea Hasina huku akimsogelea Bi. Pauline

“… sawa lakini inabidi unisubiri twende wote…” alimjibu Bi. Pauline

“…bee?..” Hasina alijikuta akiitikia kwa mshituko maana hakutegemea kuwa Bi. Pauline atamuambia asubiri waongozane.

“… nimekuambia unisubiri twende wote sawa?..” alirudia Bi. Pauline baada ya kuona Hasina hakumuelewa vizuri.

“… sawa mama…” aliitikia kiunyonge maana alijuwa kabisa akiondoka na Bi. Pauline hatoweza kukutana na Mze Bisu kwa ajili ya kwenda kununuliwa alichoahidiwa. Alijikuta kimoyomoyo akimlaani sana Bi. Pauline maana alishajiandaa kuanza kutumia simu siku hiyo hiyo, na alikuwa akipanga kumshawishi Mzee Bisu amnunulie ya kutachi na sio ya tochi, na kichwani kwake alikuwa akiona nguo nzuri atakazonunuliwa na mzee huyo, sasa kitendo cha Bi. Pauline kumwambia asubiri waongozane aliona kama ni kama mkosi fulani kwake.

Alirudi chumbani kwake akakaa kitandani akiendelea kumsubiri Bi. Pauline ajiandae watoke wote.

Kichwani aliendelea kufikiria simu atakayonunuliwa pamoja na nguo nzuri, maana katika maisha yake yote alitamani sana kumiliki simu lakini hakuwahi kuipata, sasa swala la Bi. Pauline kuondoka naye lingesababisha asiweze kwenda kukutana na mzee Bisu, alimuona Bi. Pauline kama mchawi anayemuwangia mchana na kusababisha asipate alichoahidiwa. Akiwa katopea kwenye lindi la mawazo, alishitushwa na sauti ya Bi. Pauline ikimuita kwa nguvu, alikurupuka na kutoka mle chumbani haraka.

“… we vipi tena, mbona umejifungia chumbani?..” aliongea Bi. Pauline kwa ukali kidogo baada tu Hasina kutokeza.

“… hapana mama nilikuwa nimekaa tu nakusubiria…” alijibu kwa upole

“… haya tuondoke…”

Walitoka huku wakiongozana mpaka soko la Mwananyamala ambako walizunguuka huku na kule kununua mahitaji yao ya siku hiyo mpaka walipojiridhisha.

Mze Bisu yeye alitoka ofisini kwake haraka akaingia kwenye gari lake akalitia moto na kuanza safari ya kurudi mitaa ya nyumbani kwake ambako alipanga kukutana na Hasina ili akamnunulie nguo nzuri na simu ikiwa ni mtego wake mkubwa wa kumnasa kimapenzi.

Alifika mitaa ya nyumbani kwake kwenye ki Baa cha kwa Mangi ambapo ni kama mitaa miwili hivi kutokea nyumbani kwake. Alitafuta sehemu nzuri iliojifichaficha akalipaki gari, alifanya hivyo ili kama kwa bahati mbaya mkwe akipita pale asiweze kulitambua gari kirahisi. Alishuka akasogea kwenye kibaa hicho ambacho kwa muda huo hakikuwa na watu, akavuta kiti akakaa kumsubiria Hasina.

Ilikuwa mida ya saa nne kamili toka alipofika pale, lakini mpaka inafika saa tano Hasina alikuwa hajaonekana. Mzee Bisu alipatwa na hasira sana.

“… huyu mtoto ni mpumbavu nini?.. toka saa nne mimi namsubiria hapa lakini yeye haonekani…” alijikuta akiongea peke yake.

“… yaani ananifanya mimi mjinga naacha kazi zangu nije kumnunulia vitu vya kumpendezesha yeye lakini ananifanya mimi sasa ndo nimekuwa mlinzi wa kumsubiria hapa?.. ngoja dawa yake ipo… nikifika nyumbani namtimua… pumbavu zake” aliendelea kuongea kwa jazba huku akinyanyuka toka kwenye kiti alichokalia na kulifuata gari lake. Alifungua mlango akaingia na kuliwasha.

aliangalia huku na huku kuona ni wapi anaweza kugeuzi gari lake ili aondoke zake. alikuwa amechukia sana baada ya kuona kuwa kile alichotegemea kukifanya na Hasina kilikuwa kimefeli, na alijiapiza akifika nyumbani lazima Hasina afungashe kila kilicho chake na kuondoka kwao.

Aliporidhishwa na sehemu aliyoiona kuwa inafaa kugeuzia gari lake, alikanyaga mafuta huku akiwa kachukia vibaya aliligeuza gari taratibu na kwa tahadhari.

gari lilipogeuka na kuelekea kule alipotaka kwenda, alijikuta akipatwa na mshituko wa ghafla na mapigo ya moyo yalianza kumuenda mbio kwa kile alichokiona mbele yake...


... Hasina alikuwa atembea kwa mwendo wa haraka huku akiwa na kapu lake la mahitaji waliyoyanunua sokoni yeye na Bi. Pauline. alipokikaribia ki baa cha kwa mangi, aliliona gari la Mzee Bisu likigeuza, akasogea pembeni akasimama ili kusubiri gari hilo likishageuza na kuanza kuondoka ndipo alipungie mkono, lakini kumbe baada tu ya kugeuka gari mzee Bisu alimuona Hasina, macho yalimtoka maana alishakata tama ya kumuona na alikuwa tayari kurudi zake ofisini kwake. Alilisogeza gari taratibu mpaka pale aliposimama Hasina, akashuka na kumfuata Hasina pale aliposimama.

Hasira zake zilikuwa zimeyeyuka ghafla na muda wote sasa alikuwa akitabasamu. Alishasahau hasira za kufanywa mlizi.

"... we mtoto mbona umechelewa sana..." aliongea huku akimsogelea karibu

"... samahani baba wala haikuwa kusudio langu..."

Alijibu Hasina huku akiangalia chini, pamoja na kuelewa ni kitu gani alichokuwa akikitaka huyo mzee kwake, lakini aliendelea kumuheshimu vilevile kama boss wake na kama mtu ambaye ni mkubwa kuliko hata baba yake mzazi.

"... kwani nini kilitokea,..we sinilikuambia saa nne, mbona sasa saa tano na kidogo?..” Aliendelea kupiga mkara mzee Bisu, lakini sura yake haikufanana na kile alichokuwa akikiongea, alisikika kama mwenye jazba lakini alionekana mwenye tabasamu usoni.

"... mama aliniambia tuongozane naye sokoni ndio maana nikachelewa..."

aliendelea kujitetea Hasina.

Mzee Bisu aliposikia mkewe akitajwa kidogo alipatwa na mshituko, akaangalia huku na kule kuhakikisha usalama. Alipojiridhisha kuwa kulikuwa salama alimgeukia tena Hasina.

"... umemuacha wapi sasa?.."

"...aliniambia nirudi nyumbani nikapike yeye anakwenda kariakoo kuna vitu anakwenda kutafuta..."

"...basi panda haraka kwenye gari tuondoke..." aliongea mzee bisu huku akilishika lile kapu alilokuwa nalo Hasina kwa nia ya kumsaidia kuliingiza kwenye gari, wala hakuona aibu kwa muonekano wake na hadhi yake kuongea na msichana aliyeonekana mchafumchafu hadharani tena akionesha kabisa dalili za kimapenzi.

aliliweka kapu kwenye bonet ya gari kisha akamfungulia Hasina mlango akamsaidia kuingia ndani ya gari na yeye akazunguuka na kuingia ndani, alilitia gari moto na kisha akaliondoa kwa mwendo wa taratibu.

Hasina alionekana ni mtu mwenye uoga japo alikuwa amejitolea muhanga kuondoka na mzee huyo, alikusudia kabisa kupata vitu hivyo alivyoahidiwa kwa hali yoyote japo moyoni alikuwa na mashaka makubwa endapo Bi. Pauline atagunduwa ukaribu wake na Mzee huyo. Alijipa kaujasiri na kuuliza wanakoelekea.

“… kwani baba tunaelekea wapi?..”

"... si nilikuambia kuwa ntakwenda kukununulia nguo nzuri na mambo mengine madogo madogo ili na wewe uonekane kama msicha wa mjini au umesahau..."

"... hapana sija sahau... alijiu kwa sauti dogo na yenye kila dalili ya kutokujiamini.

"... nataka na wewe upendeze sawa mama..." aliendelea mzee Bisu huku akiendelea kukanyaga mafuta kuelekea kule alikokusudia kumpeleka Hasina.

Hasina hakujibu kitu ila aliendelea kuangalia chini kama aliyekuwa akijikata kucha za mikono.

"... lakini kabla ya kwenda madukani, kuna sehemu nataka tupitie kwanza, tukishatoka hapo ndio tuingie madukani sawa..." aliendelea kuzungumza mzee Bisu bila kujibiwa.

Kitendo hicho cha Hasina kukaa kimya kilimpa imani kuwa jibu la Hasina ni ndio.

Gari hilo lilienda kupaki nje ya jengo la conway Hotel maeneo ya magomeni Kagera jirani kabisa na kituo cha daladala. alipaki gari katika maegesho yalio nje ya uzio wa jengo hilo upande wa kushoto kutoka mlango wa kuingilia ndani ya uzio wa jengo hilo. alishuka na kuzunguuka upande wa pili kwa kupitia nyuma ya gari akamfungulia Hasina mlango kisha akamshika mkono na kumuongoza ndani ya jengo hilo mpaka mapokezi.

Watu waliokuwa wakimuangalia akiingia na msichana huyo ndani ya jengo la Hoteli hiyo walikuwa wakiulizana maswali ya hapa na pale kuhusiana na muonekano wa Mzee huyo na Hasina.

Wala hawakuonekana kama mtu na mchumba wake kwa vile Hasina alikuwa na umri mdogo sana kuliko Mzee Bisu, pili hawakuonekana kama mtu na Binti yake kwa vile mzee Bisu alikuwa nadhifu sana wakati Hasina alikuwa mchafumchafu, tatu ni kwamba hawakuonekana kama mtu na mfanyakazi wake wa ndani kulingana na sehemu waliyoingia na matendo yao, itakuwaje mtu na mfanya kazi wake wa ndani tena mchafumchafu kama yule aonekane akishuka ndani ya gari la bosi wake tena kwa kufunguliwa mlango kama malkia kisha waingie ndani ya hotel na kuelekea mapokezi, kuna nini hapo watu walikuwa wakijaribu kujihoji maswali bila majibu, kwani kila swali liliwachanganya.

Mashwali hayo hayakuwa kwa watu wa nje tu, bali na wahudumu wa hoteli hiyo walianza kujiuliza maswali hayo pale walipomuona mzee huyo akiingia mapokezi. lakini moja ya mashwali yao yalipata majibu baada ya kuhakikisha kuwa Mzee huyo amechukua chumba kimoja na kuingia ndani na Hasina.

"... dah,, jamani... huyu mzee ni mchafu kweli... sasa hiki kibinti anakwenda nacho wapi?... " Aliuliza mmoja wa wafanyakazi.

"...ukiona hivi, basi ujuwe kuwa haya ndo yale mafisadi... we baba zima kama hili halafu lenye hadhi yake linakichukua kibinti kama hiki alafu kichafu, sikujizalilisha tu?.."

Yalikuwa ni maongezi ya madada wale waliokutwa pale mapokezi. Ajabu ni kuwa mzee Bisu mwenyewe wala hakujali wala hakuwa na wasiwasi wowote. yeye kila alichokifanya kwa wakati huo aliona sawa tu, tamaa ya ngono dhidi ya Mfanyakazi wake huyo ilikuwa juu kupita kiasi hivyo kila alichokuwa akikifanya kwake yeye aliona sawa tu.

Chumbani Hasina aliingia lakini kwa shingo upande japo alikuwa alishajua ni kitu gani kinawapelea pale, moyoni alitamani kukataa lakini alimuogopa mzee huyo kwa vile tayari alishaingia naye chumbani alafu akikataa, mzee huyo aliyeonekana kuwa na uchu sana naye angeweza kumfanyia kitu chochote hivyo akaamua kuwa mpole na kutekeleza kile atakachoambiwa kufanya.

"... sikiliza Hasina, wala usitake tupoteze sana muda hapa kwa sababu una kazi nyingi za kwenda kufanya nyumbani..." Aliongea mzee Bisu huku akianza kuchochoa nguo zake taratibu na kubaki na bukta.

".. eeeh,.. ndio maana mimi nilitaka twende tu moja kwa moja madukani kisha turudi nyumbani..." Alijibu Hasina huku macho yake yakiwa chini, aliogopa kumuangalia mzee huyo ambaye tayari alikuwa amebakisha bukta huku juu akiwa amebakisha singlendi nyeupe.

Mzee bisu alimtazama tu bila kusema kitu akamsogelea pale kwenye kochi alikokaa, akamshika mikono na kumvutia kitandani, Hasina alianza kuwa mbishi, lakini alipoitazama sura ya mzee Bisu ilivyoanza kubadilika baada ya kuwekewa ngumu, mwenyewe aliinuka na kusogea taratibu hadi kitandani akakaa, mzee Bisu naye alikaaa jirani yake akamkumbatia kwa mkono wake wa kushoto wakati mkono wa kulia ukianza kazi ya kutalii juu ya mapaja ya Hasina yaliyokuwa yamefunikwa na gauni lake chafuchafu.

Hasina hakuwa mbishi tena japo alikuwa akijaribu kuiondosha mikono ya mzee huyo bila mafanikio.

Taratibu mzee Bisu alianza kulivutia kwa juu gauni lile na kusababisha mapaja yaliyonona ya Hasina kuanza kuwa wazi. Hasina hakuweza kumuangalia mzee huyo usoni, muda wote hayo yakitendeka alikuwa akiangalia chini tena upande wake wa kusho kuepuka kumuangalia mzee Bisu maana alipojaribu kuangalia upande wake wa kulia, kuna kitu alikiona hivyo akaamua kuhamishia sura upande wake wa kushoto.

Alichoepuka kukitazama pale alipoangalia upande wake wa kulia ni kitu kilichokuwa kimejificha ndani ya bukta la mzee Bisu. bukta hilo lilikuwa limetuna vibaya sana maeneo ya mbele na kusababisha bukta hilo kuonekana fupi wakati lilikuwa linamfika magotini. Tamaa ya ngono ilikuwa juu, ni kama aliona Hasina anamchelewesha.

Mzee Bisu aliendelea kulivutia kwa juu gauni la Hasina mpaka mapaja yote yakawa wazi nakuonekana kwa usahihi zaidi. Mzee wa watu udenda ulikuwa ukimtoka kama fisi aliyefumania mfupa mbichiii, akamnyanyua kidogo Hasina kisha akalipitisha gauni hilo kwenye makalio na akamrudisha pale kitandani.

Alianza sasa kuhangaika na zipu iliyokuwa mgongoni mwa gauni lile, haikuchukuwa hata sekunde kumi zipu ilikuwa wazi, alilishusha taratibu kisha akahamia kifuani kwa Hasina, alikutana na vichuchu vilivyosimama kama konzi, udenda ukazidi kumchuruzika…


... Alikutana na vichuchu vilivyosimama mithili ya embe ng'ong'o, mzee Bisu udenda ulizidi kumtiririka na huku akijikuta akimeza mafunda ya mate mfululizo. Hasina alikuwa akihemea juju kwa uoga uliochanganyikana na raha kidogo kutokana na mguso aliokuwa akiupata kutoka kwa mzee Bisu alitamani amsukume mzee huyo lakini hakuweza kufanya hivyo kwa vile kwanza alimuogopa mzee huyo kuwa angemkatalia ingekuwa balaa jingine vilevile alishindwa kumkatalia kwa vile kama angefanya hivyo angeikosa ile raha ya mguso aliokuwa akiipata kutokana na mguso wa mzee Bisu.

Hasina alijikuta akivutwa taratibu kwa nyuma na kulazwa pale kitandani huku miguu yake ikiwa bado inaning'inia kwa chini, mzee wa watu alikuwa akihangaika kumuweka sawa ili afanikishe kile kilichompeleka pale, hali yake haikuwa nzuri, tamaa ilishamzidia sasa alikuwa akitamani tu kumaliza kilichompeleka.

Baada ya kuhakikisha Hasina amelala chali huku akiwa hana nguo zaidi ya nguo yake ya ndani mzee Bisu alianza kuvimungunya vichuchu vya Hasina kama mtoto afanyavyo kwa mama yake, ni kweli mzee huyo alikuwa amepagawa kwani vichuchu vile vilisimama vizuri na vilikuwa na vinundu huku juu kabisa vilivyokuwa na rangi ya maji ya kunde.

Mzee Bisu aliendelea na zoezi hilo la kumungunya chuchu na huku akizibadilisha kutoka huku na kuhamia kule, taratibu akaaza kushuka kwenye tumbo la Hasina na kuendelea kumlambalamba taratibu, Alikuwa akimuonesha Hasina kuwa pamoja na uzee wake lakini alikuwa bado wamo.

Hasina alikuwa kafumba macho na alikuwa haongei chochote zaidi ya sauti na miguno ya raha iliyokuwa ikimtoka tena kwa sauti ndogo na yenye kuvutia. alikuwa akisikia raha kutokana na kile alichokuwa akifanyiwa na mzee Bisu na hivyo kuuachia mwili wake kwa lolote lile litakalofanywa na mzee huyo.

Alipoona amezidiwa zaidi mzee Bisu aliishusha taratibu nguo ya ndani ya Hasina bila kupata pingamizi la aina yoyote na baada ya hapo na yeye alishusha bukta lake akalitupia kule akavua na singlendi aliyokuwa amebaki nayo mwilini nayo akairushia kule, bila kupoteza muda alimweka vizuri Hasina katika mkao ule wa kujilia vitu.

Hasina hakuweza kusema neno na wala hakuweza kumuangalia machoni mzee yule, macho yake alikuwa kayafumba na hata pale alipolazimika kuyafumbua alikuwa akiangalia pembeni hakupenda kabisa kumuangalia mzee yule machoni, alikuwa akiona aibu kwa kile alichokuwa akifanyiwa na bosi wake.

Akiwa kajilaza kama alivyokuwa baada ya kuwekwa vizuri pale kitandani na mzee yule ghafla alisikia kitu chenye jotojoto kikimgusa katika mdomo wake wa chini ya kitovu, kitu hicho kilipokuwa kikipapasa hapo alijisikia raha sana na akatamani ajiinue kidogo ili kitu hicho kizame moja kwa moja katika mdomo wake huo wa chini, lakini mawazo yake hayakutofautiana na kile ambacho mwili wake ulitaka kukifanya maana bila kutarajia alijikuta tu kajiinua taratibu na kitu kile kikaanza kuingia ndani ya mdomo wake wa chini tena kwa kutereza maana mdomo huo ulikuwa tayari umelainika.

mzee Bisu hakuweza kujizuia pale alipoona kiungo chake cha chini alichokuwa akikigusishagusisha kwenye mdomo wa chini wa Hasina kikizama, na yeye alizidi kukikandamiza kwa ndani zaidi na hapo ndipo nyimbo za maraha zilianza kusikika kutoka pande zote mbili, Hasina alikuwa akiimba sauti ya kwanza na huku mzee Bisu akikolezea na bezi. ilikuwa raha sana kwa wote wawili, Hasina hakuamini kama mzee yule alikuwa hodari kivile kwenye uwanja huo wa fundi randa na hata mzee Bisu pia hakuweza kuamini kile alichokuwa anakiona kikifanywa na binti yule ambaye ni msichana wake wa kazi, alipata raha sana ambayo ilimchanganya na hakuweza kujizuia, mzee wa watu akajikuta tayari amepasua dafu kabla hata ya mchezo kumaliza dakika mbili.

Baada ya kuvunja dafu alitaka kushuke lakini akashangaa aking'ang'aniwa na Hasina ikabidi atulie kwanza. Hasina alikuwa bado kabisa ndo yuko katikati ya raha hivyo mzee yule alipovunja dafu yeye alikuwa bado kabisa ikabidi amng'ang'anie ali angalau mzee Bisu aunganishe mchezo ili na yeye afanikiwe kupata goli....


... Haikuwa kama alivyotarajia kwani mzee Bisu baada ya kuvunja dafu mashine yake ilinywea na haikuwa tayari tena kwa mtanange mwingine, hata hivyo asinge weza kurudia round nyingine kwani alikuwa akihemea juujuu kwa uchovu wa kipute hicho kilichopita.

Alijinasua toka mikononi kwa Hasina aliyekuwa bado kamng'ang'ania na kujitupa pembeni huku akiendelea kuhemea juujuu kama mtu aliyetoka kukimbia mbio ndefu.

Hali hiyo ilikuwa kama mateso kwa Hasina kwani alikuwa bado akihitaji kupata huduma hiyo ili angalau na yeye afanikiwe japo moja ukizingatia vilevile kuwa mchezo huo kwake alikuwa hajaufanya kwa siku nyingi sana hivyo ile ilikuwa kama bahati ya mtente kwake japo alikuwa akifanya mambo hayo na mzee tena mwenye umri mkubwa kuliko hata baba yake mzazi na ambaye pia ni Bosi wake wa kazi.

Kitendo kile cha Mzee Bisu kuvunja dafu na kisha kijiangusha pembeni, kwake ilikuwa ni mateso makali sana, hata hivyo hakukubali, baada tu ya mzee Bisu kujiangusha ubavuni kwake Hasina alinyanyuka taratibu huku aibu zote zikiwa zimeruka kabisa kwani hamu aliyokuwanayo ilisababisha asione kitu kingine zaidi ya kile ambacho mwili wake ulikitaka kwa wakati huo. Alijipandisha kifuani kwa mzee Bisu na kuanza kumpiga mabusu motomoto, baada ya mabusu mfululizo alianza kushuka chini taratibu huku akiulamba mwili wa mzee huyo na huku mikono yake ikiwa inafanya kazi ya kupapasa sehemu mbalimbali za mwili wa mzee huyo.

Mzee wa watu pamoja na uchovu aliokuwa nao lakini hakuweza kumzuia Hasina kufanya kile alichokuwa akikifanya kwa wakati huo, alikuwa tu akigumiagumia pale aliposhikwa kwenye pointi muhimu za mwili wake.

Hasina mtoto wa kitanga alikuwa akiendelea na shuguli yake ya kumpagawisha mzee huyo ili apate nguvu ya kuongeza mechi nyingine pengine naye angeweza angalau kupata kipute kimoja tu.

Aliendelea kuulamba mwili huo taratibu huku akishuka chini, haikuchukuwa muda, alikuwa tayari kazamisha kichwa chake katikati ya miguu ya mzee huyo na kisha akaikamata vema ile kitu aliyoikuta pale katikati ya miguu ikiwa imelegea, akaizamisha mdomoni kwake bila kusita na kuanza kuichezea kwa mtindo wa kuivutia nje na kisha kuirudisha kinywani mwake, kitendo icho kilifanya mzee wa watu aanze kupiga kelele za kumuita Hasina kwa jina karibia mara kumi ndani ya sekunde mbili.

"... Hasin... hassss, haaaaa hasina... haannn..."

kuna wakati alipatia kulitaja jina hilo na mara nyingi alikuwa akilikosea au kuishia njiani katika kulitamka.

Mtoto wa kitanga alikuwa mtaalamu sana katika swala hilo la kucheza na mic mdomoni, ukimtazama kwa haraka jinsi alivyo na muonekano wake, huwezi kuamini kuwa anaweza kufanya mambo makubwa kama yale. mzee wa watu aliinuliwa miguu juu na kushushwa chini, alilazwa kiubavu na kurudishwa ubavu wa upande wa pili huku bado kitu kikiendelea kuchezea ndani ya mdomo wa Hasina.

Haikuchukua muda mrefu mzee wa kazi akawa tayari kwa mtatange mwingine. Hasina hakutaka kulaza damu kwani bado vitu vilikuwa bado vikimnyevuwa na alikuwa na kiu sana, akapanda juu na kuuzamisha mche wa mzee Bisu ndani ya mdomo wake wa chini kisha akaanza kujihudumia mwenyewe, alifanya yote hayo ili angalau na yeye aweze kupata ushindi japo wa bao moja tu.

Mzee Bisu alikuwa akilalamika huku alikitaja jina la Hasina bila kulipatia ipasavyo maana tayari alikuwa kwenye ulimwengu mwingine, hakusikia wala kuelewa kitu katika dunia hii. Dozi aliyokuwa akiipata kwa Hasina ilitosha kumsahaulisha kila kitu katika ulimwengu huu.

Hasina hakupenda kuona kuwa chombo kilichopo ndani ya mdomo wake wa chini kikipungua nguvu, alikichomoa haraka na kukiingiza kinywani mwake bila kujali kuwa kilitoka katika mdomo wake wa chini, alianza tena kukifyonza mpaka pale anapohakikisha kinarudisha nguvu zake ndipo alipokirundisha katika mdomo wake wa chini. kitendo hicho kilizidi kumpagawisha Mzee bisu na kujikuta akianza kutweta na akakaanza kuongea kwa sauti.

"... nakuja nakuuuu.... nakujaa teeeeena...."

ITAENDELEA


0 comments:

Post a Comment

Blog