Search This Blog

Wednesday 15 March 2023

MAMDOGO LISA - 5

  

Chombezo : Mandogo Lisa

Sehemu Ya : Tano (5)


Dennis aligeuka na kumuangalia baba yake ambaye naye alikuwa akimuangalia na huku akisubiria jibu.

"... kwani baba kuna sehemu ulitaka twende wote?.." swali hilo lilikuwa gumu kidogo kwa mzee huyo kwani hakutegemea kama ataulizwa swali hilo, akili yake ikafanya kazi haraka na akapata jawabu.

"... hapana,... naona kuwa hii likizo itakubwetesha sana, kushinda unaangalia tv bila kufanya kitu cha msingi naona kuwa itakupotezea vitu vingi sana..." aliongea kwa kirefu ili kumuweka sawa mwanaye huyo asimuhisie kitu, Dennis alijikuta akiwa mpole kwa jibu la mzee huyo, akagundua kuwa kweli hawezi kukaa siku nzima nyumbani akiangalia tu tv, akaamua kuweka wazi ratiba yake ya siku hiyo.

"... ni kweli baba, ukweli ni kwamba sio kuwa siku nzima ntakaa tu hapa naangalia tv, baada ya chakula cha mchana ntakwenda matembezini kidogo, vile vile kuna kitu ntakifuatilia huko kigamboni..."

jibu hilo lilimfurahisha sana mzee Bisu lakini hakupenda kuionesha furaha yake kwani mwanaye angehisi kuna kitu amepanga kukifanya, kabla ya kuingia chumbani akaamua kuuonesha ubaba wake ili kupoteza malengo ya kile ambacho mwanaye huyo angeweza kukihisia.

"... nafikiria nikutafutie college ili uwe unakwenda kuongeza elimu na sio kukaa tu hapo unaangalia tv..." wala hakuwa na mpango huo ila aliamua kusema hivyo tu ili kupoteza maboya ya kutokuonesha furaha yake, akazama chumbani kwake ambako alimkuta mke wake ndo kwanza anaamka, akamsalimia na huku akivua nguo zake za michezo kwa ajili ya kujiandaa kwenda kazini.

"... habari za asubuhi..."

"... nzuri... heh,... ina maana umeshamaliza mazoezi?.. kwani saa ngapi saa hizi?.."

"... bado mapema sana ila mimi tu ndo nataka niwahi kuondoka..." aliongea huku akianza kuingia bafuni.

"... basi ngoja nikamuamshe dada aandae chai mapema..." aliongea Bi. Pauline huku akijivutavuta kutoka pale kitandani.

"... hapana, muache apumzike mimi ntakunywa chai cantine..." aliongea na kuzama bafuni ambako haikumchukua mda mrefu sana tofauti na siku zote ambapo akiingia bafuni lazima atumie nusu saa ndio atoke, siku hiyo kila kitu kilikwenda kwa haraka kwani alitaka muda ukimbie ili muda ule alioutaka yeye utimie na afanye kile alichokikusudia, siku hiyo ni dhahiri kuwa alikusudia sana kufanya kitu hicho. haikumchukua muda mrefu kujiandaa, akaaga na kutoka kuelekea ofisini kwake ambako nako kazi zilipigwa fastafasta, lakini pamoja na fastafasta aliyokuwa nayo muda ulikuwa ukitembea kwa mwendo wake wa kawaida kitu ambacho kilionesha kumkera, kwani kila alipokuwa akiitazama saa yake aligundua tu ni dakika tano zimepita toka alipoiangalia tena, akaendelea kuwa mvumilivu hivyohivyo mpaka ikatimia saa saba kamili, akaviweka vitu vyake sawa pale mezani kwake akijiandaa kutoka, lakini baadae akakumbuka kuwa Dennis alimuambia kuwa baada ya chakula cha mchana ndio atatokana kwenda kwenye mizunguuko yake na muda huo wa saa saba ndio muda wa chakula nyumbani kwake, akaamua kuvuta muda tena mpaka ikatimia saa nane kamili. akafunga ofisi yake akatoka na kumuaga secretari wake ambaye naye alishangaa kumuona bosi wake siku hiyo akitoka mapema, kwani huwa hana kawaida ya kutoka hata muda wa lanchi yeye huwa anabaki ofisini.


***************


baada ya kupata chakula cha mchana Dennis hakupenda kupoteza muda, alimuaga mama yake kuwa anatoka na atarudi jioni.

"... hata mimi natoka, nataka niende kwenye mambo yangu..." aliongea Bi. Pauline akiwa anamalizia chakula chake.

"... basi tutakutana jioni..." alijibu Dennis huku akitoka, alipotoka haikuchukuwa muda murefu Bi. Pauline naye akajiandaa, alipokuwa tayari akamuaga Hasina kuwa aangalie nyumba vizuri kisha naye akatoka.


***************


Mzee Bisu aliliwasha gari lake na kuanza safari ya kurudi nyumbani kwake, akili yake yote ilikuwa inawaza kile alichokuwa anakwenda kukifanya nyumbani, akipiga picha mambo ambayo Hasina alimfanyia, alijikuta mwili ukimsisimka na kutamani gari lipae ili awahi kufika, ni kweli gari lilikuwa linapaa kwani alikuwa akiliendesha kwa mwendo wa kasi ukizingatia kuwa mida hiyo foleni za barabarani zinakuwa chache, aliliendesha gari mpaka akatokea mtaani kwake, akiwa ndio anakata kona ya kuingia katika mtaa huo akamuona Mke wake Bi. Pauline na yeye ndio anatoka getini kwake, akafunga breki za ghafla na kulipaki gari pembeni kwa haraka.


... Lakini alikuwa kachelewa kwani Bi. pauline alishaliona gari na kutambua kuwa ni gari la mumewe,. akaanza kuelekea kule lilikopaki gari lile alilolitambua kabisa kuwa ni la mumewe, akiwa ndani ya gari Mzee Bisu alianza kutafakari ni nini amdangaye mkewe, kwani haijawahi kutokea hata siku moja akarudi nyumbani mapema kiasi kile hasa mwanzoni mwa wiki kama hivyo, kichwa chake kikawa kinafanya kazi ya haraka ili kupata jawabu la kumdanganya mkewe ambaye hakutarajia kama atamkuta mida hiyo na ambaye ndio alikuwa analikaribia gari tena akimkodolea macho. ghafla wazo moja likampita kichwani mwake, hakupenda kufikiria mara mbili, akanyanyua simu yake na kuiweka sikioni akaanza kuongea kwa sauti tena kwa kufoka.

"... na sipendi tena ujinga huu ujitokeze siku nyingine, unanisikia... mara kwa mara nakuambieni kuwa makini katika kazi lakini hampendi kunielewa... hatimaye mnaanza kupoteza mafaili ofisini huu si uzembe..."

wakati akiendelea kuongea kwa jazba hivyo mkewe Bi. Pauline alikuwa keshafika pale alikopaki gari, akasimama dirishani bila kumuongelesha akimuacha amalize maongezi yake, Mzee Bisu naye hakutaka kuipoteza nafasi hiyo ya mchezo huo aliomchezea mkewe bila kujijua, akaendelea kuongea kwa hasira.

"... nawambia tena kwa mara nyingine,.. uzembe kama huu ukijitokeza tena, wote vibaruwa vitaota nyasi... sipendi kuendelea kufanya kazi na watu wasionielewa na wasiokuwa makini katika kazi zao..." akakata simu na kumuangalia mkewe huku bado sura yake ikiwa imejenga makunyanzi ya hasira, Bi Pauline naye akawa anamtazama kwa macho ya kuuliza kulikoni, na kweli hakuchelewa akampachika swali hilo.

"... vipi tena baba Dennis?.."

".. aghh... si hawa wajinga wanafanya kazi bila kuwa makini hatimaye wanapoteza mafaili ofisini..." aliongea Mzee Bisu huku akiwa bado amejenga makunyanzi ya hasira usoni kwake. lakini mkewe alikuwa bado na maswali ya kumuuliza, hata yeye alilijua hilo hivyo akajiweka tayari kukabiliana nayo, lakini akiwa na uhakika kuwa kwa uongo ule alioutengeneza tayari atakuwa alishamlainisha mkewe.

"... una maanisha wafanyakazi wako?.."

"... ndiyo... unafikiri nani mwengine?.." alijibu na kisha kumalizia na swali ambalo halikupata jibu badala yake akapachikwa swali jingine.

"... sasa wafanyakazi wamepoteza mafaili ofisini alafu wewe uko huku nyumbani saa hizi kulikoni?.." lilikuwa ni swali ambalo alikuwa akilitarajia kwa muda mrefu na ndio maana ya kutengeneza uongo wote ule wa simu hivyo akalijibu swali hilo kama ifuatavyo.

"... hilo lililopotea ni faili la mteja ambaye mpaka saa hizi tunavyozungumza hapa yuko pale ofisini kwa ajili ya kazi yake, bahati nzuri ni kwamba faili hilo nilikuwa na nakala yake hapa nyumbani ndio maana nimerudi haraka, sasa nakata tu kona hii eti wananipigia simu kuniomba msamaha kwa uzembe wao na kuniambia kuwa wameliona... ndio nikapaki niongee nao... na ... wewe unakwenda wapi?.." aliongea kwa kirefu kisha akamalizia kwa swali ili kukazia uongo wake asionekane kuwa alikuwa na wasiwasi. lakini uongo wake ulizama vizuri sana kichwani kwa mkewe na ambaye alikosa cha kuongeza badala yake akaanza kutoa maoni. "... dah ila hapo baba Dennis ulicheza,.. sasa kama usingekuwa na nakala na fail indo likapotea kabisa si biashara ilikuwa imeharibika?.." moyoni Mzee Bisu alishangilia kuona uongo wake kukubalika bila kikwazo. akamuangalia tena mkwe na kurudia swali lake.

"... unakwenda wapi?.." lilikuwa ni swali lenye maana kubwa sana kwake baada ya uongo wake kukubalika, ni swali ambalo lingemuhakikishia usalama wake kwa kile alichokuwa anakwenda kukifanya.

"... nakwenda mnazi mmoja kwa mama Siwa kuhusiana na yale mambo yangu niliyokuambia..."

"... ah yale mambo yenu ya vitenge?.."

"... ndiyo..."

"... sawa ngoja mimi niwahi nyumbani nichukue hilo faili nimuwahi mteja ofisini..." aliongea Mzee Bisu akilitia gari moto, lakini mkewe hakuonesha kuondoka na alionekana bado kuna kitu alitaka kuongea, hilo Mzee Bisu aliliona na akabaki kumkodolea macho.

"... nini?.." aliuliza huku akiwa kamkodolea macho mkewe

"... sasa kama ni kuchukua faili tu sinikusubiri tu ili unipitishe pale mnazi mmoja alafu ndo uunganishe ofisini?.." ni swali ambalo Mzee Bisu hakulitarajia kabisa hivyo likamtia kigugumizi kulijibu. lakini kabla hajajua ajibu nini, mkewe akaendelea kumuweka katika wakati mgumu zaidi.

"... hata usiponipeleka mnazi mmoja kabisa, ukiniacha pale Hakiba itakuwa vizuri..." Mzee Bisu alijikuta akinyong'onyea ghafla, kwani alikuwa ameplani amdanganye kuwa yeye hataki kupita kokote kwani anaharaka sana kitu ambacho mkewe alikuwa naye kakigundua akaamua kumwambia hivyo, kwani ofisi ya mzee Bisu iko posta mpya hivyo asingeweza kupita mnazi mmoja. Mzee Bisu akajikuta katika wakati mgumu sana na kichwa chake kikaanza kufikiria kwa haraka amjibu nini mkewe huyo aliyeonekana kutaka kumuharibia mpango wake wa siku hiyo na ambao hakutaka kabisa kupoteza nafasi hiyo. kila alipokuwa akifikiria anachokwenda kukifanya mwili ulimsisimka na kujikuta akichukia kukutana na mkewe pale, akatamani amjibu hovyo lakini akagundua kuwa akifanya hivyo mkewe atamtilia wasiwasi, akaamua kutengeneza uongo mwingine unaofanana na ukweli, kwa sauti iliyotulia na isio na wasiwasi akamjibu mkewe.

"... year, lilikuwa ni wazo zuri lakini, hili faili limeambana na taarifa fulani hivi ya kipolisi kwa sababu hii ni biashara ya pesa nyingi, hivyo inanibidi nipite Ostarbay Polisi kwa ajili ya kuchukua nakala nyingine ya taarifa hiyo ya kipolisi kwa ajili ya kuambatanisha tena na faili hilo…” aliongea Mzee huyo aliyekusudia siku hiyo lazima afanye kile alichokikusudia kwa kutengeneza uongo, aliingiza mkono kwenye mfuko wake wa shati na kutoa noti kadhaa za elfu kumi kumi na kumpa mkewe.

"... labda tufanye hivi, wewe kachukuwe taxi hiyohapo ikupeleke, hii iwe kama adhabu yangu ya kushindwa kukupeleka mke wangu..”. Aliogea Mzee Bisu baada ya kuona texi moja iliokuwa inatokea mbele yake, bila kuongea neno Bi. Pauline alizipokea na kisha akaioneshea ile taxi ishara kwamba isimame naye akaanza kuifuata, lakini Mzee Bisu akamuita tena.

"... Mama Dennis,.." Bi. Pauline akamuangalia

"... umechukia?.."

"... hapana, nichukie kwa nini wakati najua kabisa unahangaikia kazi ambayo ndio inatuweka mjini hapa!?." alijibu Bi. Pauline bila kuonesha kinyongo.

"... basi sawa..." waliaga na mkewe kisha Bi. Pauline akajipakia ndani ya taxi na kuondoka. Mzee Bisu alihakikisha taxi aliyopanda mkewe imepotea ndio naye akaliondoa gari na kuingia nyumbani kwake, alilipaki gari kisha akatoka tena getini kuchungulia na kuhakikisha kama kweli mke wake ameondoka, alipojihakikishia usalama wake alirudi kwa mwendo wa haraka huku akiwa katengeneza bonge la tabasamu usoni kwake, alikuwa na furaha kubwa kwani alikuwa na uhakika kuwa mpango wake umekaa vizuri,. mwili ulikuwa ukimsisimka kila amfikiriapo Hasina. aliingia ndani kwake na kwenda kusimama katikati ya sebule iliyokuwa tupu. aliangalia huku na huku bila kuona mtu mle ndani, akageuka na kuuangalia mlango wa kuingilia chumbani kwa Hasina, akatabasamu kisha akaanza kutembea kuuelekea mlango huo, taratibu akakishika kitasa na kukinyonga mlango ukafunguka, huku akiwa kajenga tabasamu usoni kwake akaingiza kichwa kwa mtindo wa kuchungulia huku akiita.

"... mremboooo..."

lakini baada ya kichwa chake kuzama ndani na kuangalia huku na huku aligundua kuwa chumba kilikuwa kitupu, Hasina hakuwemo...



...Akaufungua mlango kabisa kisha akapiga hatua moja ndani ili kujihakikisha zaidi, lakini chumba kilikuwa kitupu akabaki kuduawa na akijiuliza ni wapi atakuwa amekwenda Hasina.

Akiwa bado kaduwaa hapo mlangoni mara akashikwa kiuno, alikurupuka kwa mshituko na kutaka kukimbia lakini alipogeuka alikutana na tabasamu tamu lililoupamba uso wa msichana huyo wa kitanga aliyekuwa kavalia kanga moja bila nguo nyingene yoyote ndani kwani alikuwa katoka kuoga.

Huku akitweta kwa mshituko alioupata baada ya kushikwa kiuno na mtu ambaye hakujua alitokea wapi, alijikuta naye akitabasamu na kumshika mkono Hasina akimvutia ndani na huku akiupitisha mkono kuuzungusha katika kiuno cha Hasina wakati mkono mwingine ukiurudisha mlango na kuufunga kabisa kwa ufunguo.

"... umenishitua sana mtoto wewe, ulikuwa wapi?.." aliongea Mzee Bisu huku akikaa kitandani na kumvutia Hasina pale ili waweze kukaa sambamba kitendo ambacho Hasina alikikaidi badala yake akapiga magoti mbele ya mzee huyo na huku akimfungua mkanda wa suruali.

"... nilikuwa bafuni..." alijibu kwa ufupi na huku akiendelea na sughuli yake iliyofanikiwa kisha akamfungua zipu na kuanza kuilazimisha suruali ya mzee huyo kushuka chini, Mzee Bisu aliruhusu zoezi hilo kwa kusimama na kufanya suruali hiyo kudondoka miguuni kwake.

Bila kujali kuwa suruali hiyo haijavuka kabisa toka miguuni kwa mzee huyo ambaye alikuwa hajavua hata viatu Hasina alimvua na bukta kwa kuishusha chini pia kisha akaudaka mchapio wa mzee huyo na kuanza kuzunguushia ncha ya ulimi wake kwenye kichwa cha mchapio huo uliokuwa tayari umekubali sheria. mzee wa watu alianza kugumia kwa raha, zoezi hilo la kuzunguusha ulimi kwenye kichwa cha ya mchapio huo ilichukua kama dakika tano hivi ndipo Hasina akakizamisha kicha hicho mdomoni kwake na kuanza kukinyonya kwa ustadi mkubwa uliofanya mzee wa watu kuanza kulalamika kwa sauti na huku akilitaja jina la Hasina kwa kulirudiarudia, zoezi hilo nalo lilichukua takriban dakika tano tena, na ndipo Hasina aliinuka na kuanza kumvua mzee huyo nguo zilizosalia katika mwili wake ikiwemo na viatu ambavyo vilikuwa bado miguuni vikiizuia suruali kuvuka kabisa.

Baada ya kuhakikisha mzee huyo amebaki kama alivyozaliwa, hasina naye aliidondosha kanga iliyokuwa inaning'inia mwilini mwake kisha akapanda kitandani.

alimuomba mzee huyo alale chali, bila swali Mzee Bisu alilala chali huku akijua kuwa shughuli sasa inaanza, lakini ilikawa tofauti kwani Hasina alikuwa bado na mengi ya kumfanyia mzee huyo ili kumuweka sawa na kumuhamishia katika ulimwengu ambao aliukusudia kwenda kwa muda mrefu, ulimwengu wa raha na mautamu, ulimwengu uliosababisha arudi mapema kutoka kazini wakati muda wakazi bado kabisa.

Baada ya kulala chali Hasina alipiga magoti katikati ya miguu yake na kisha akaushika tena mchapio na kuanza kuufanyia vurugu kwa kuunyonya kwa fujo huku wakati mwingine akishuka na kuyanyonya magoroli yaliokuwa yakining'inia. Mzee Bisu alitamani kuzimia kwa raha alizozipata, muda wote alikuwa akilitaja jina la Hasina na wakati mwingine akijikuta akimuita mke wangu.

"... Mke wangu,.. Hasina mke wangu..."

alikuwa akihema kwa nguvu na mapigo ya moyo wake yalikuwa yakienda kwa kasi kwani shughuli ile ilikuwa pevu. Mtoto wa kike alikuwa akionesha kile alichofundwa, aliuachia mchapio kwa muda kisha akaanza kuutembeza ulimi wake wa moto mwilini kwa mzee huyo na huku wakati mwingine akivinyonya vijichuchu vya mzee huyo na kisha kurudia tena chini na kuuzamisha mchakabwengo mdomoni mwake na kuanza kuumungunya. sio siri, kwa utamu na raha ambazo alikuwa akizipata mzee huyo, alitamani kutangaza ndoa kwa kibinti hicho ambacho kwa kukiangalia kinaweza kuwa hata kijukuu chake, akilini mwake alianza kupanga mikakati ya kuwa na mke wa pili katika umri wake huo, na mke mwenyewe si mwingine ila Hasina aliyekuwa anampa raha kwa wakati huo, japo wazo hilo lilikuwa likipata pingamizi baada ya kumfikiria mama watoto wake, lakini alikuwa akijipa moyo kwa kile alichoamini kuwa yeye ndio kila kitu katika nyumba ile na hakuna wakuweza kumzuia anapoamua kufanya jambo.

Dakika kadha baadae, Hasina alijiinua na kisha akachuchumaa juu ya mzee Bisu na kuanza kuulazimisha mchapio wa mzee huyo kuzama ndani ya mlango wake wa chini ambao nao ulikuwa umelowa kwa mautamuutamu.

Hakuuzamisha kabisa kama mzee huyo alivyotarajia, bali kilichozama ni kichwa tu, na ndipo Hasina akaanza kukikatikia kichwa kicho cha mchakabwengo wa mzee Bisu. Alikuwa akikiingiza na kukitoa na huku akizunguusha kiuno, hali hiyo ilimfanya mzee huyo kupata raha za ajabu na huku akijitahidi kulazimisha mchapio uingie wote kwa kumshika Hasina kiuno na kumvutia kwake lakini Hasina akawa anajizuia ukizingatia kuwa yeye ndio aliyekuwa juu, kwa hiyo alikuwa akijipimia. Mzee Bisu alikuwa hoi kwa utamu, alikuwa akihema kwa nguvu mpaka Hasina akaanza kuogopa, lakini hakumuachia nafasi aliendelea kumpa vitu.

haikuchukuwa dakika mbili ukasikika muungurumo toka kinywani kwa mzee Bisu.

"... aghrrrrrrrrrrrr...."


... Muungurumo huo haukuwa wa maumivu hapana, ulikuwa ni muungurumo wa utamu kuzidi kwani mzee wa watu alikuwa akivunja dafu huku akiwa amekaliwa juu na Hasina aliyekuwa akiendelea kumpagawisha. alijitupa huku mwili ukiwa umemuisha nguvu baada ya kuvunja dafu lake Hasina alijinasua mwilini kwa mzee huyo akaanza kumfuta taratibu kisha akajilaza pembeni kwa mzee huyo akiwa anamuangali usoni mzee wa watu alivyokuwa akihema.

..." hivi we mtoto mtoto nani alikufundisha mambo haya?.. mbona unajua mambo makubwa sana tofauti na umri wako?.."

Hasina hakumjibu kitu zaidi ya kutabasam na kuendelea kumtazama alivyokuwa akihema. akajiinua taratibu kutoka pale kitandani akajifunga kanga yake moja huku akiwa hajavaa chochote ndani, akachukuwa sabuni kisha akauendea mlango na kutoka sebuleni, alipopiga hatua ya kwanza na ya pili macho yake yakakutana mjoja kwa moja na macho ya Dennis aliyekuwa kasimama sebuleni akishangaa kutomkuta mtu yeyoye ndani humo.


****************


kule chumbani alikobaki mzee Bisu alikuwa akisikia yote waliyo kuwa wakiongea Hasina na Dennis, alikurupuka pale kitandani na kuanza kuvaa nguo zake harakaharaka akaanza kuhaha kutafuta wapi ajifiche endapo mwanaye huyo ataamua kuingia chumbani kwa Hasina, hakuona wapi ajifiche maana katika chumba cha hasina ambacho ni chumba cha mfanyakazi wa ndani, hakikuwa nakitu chochote zaidi ya kitanda na kijimeza kifupi wakati pembeni kwenye kona kukiwa na kapu kubwa ambalo Hasina alilitumia kuwekea nguo zake na huku zile safi akizipanga tu juu ya hicho kimeza. mzee bisu alipoona hana pa kujificha aliamua kwenda kusimama mlango kwa malengo ya kujificha nyuma ya mlango endapo tu mlango utafunguliwa.

lakini pia alipokuwa pale mlangoni, alijikuta akianza kupatwa na hasira baada ya kusikia maongezi hayo kuwa yalikuwa na aina fulani ya kutakana kimapezi. wivu ulianza kumsumbua kwani aliona kila dalili ya mwanaye Dennis kumtaka Hasina kimapenzi. akaanza kutamani kutoka ili akamuonye kabisa mwanaye asithubutu kuingia kwenye anga zake, lakini baadaye akakumbuka kuwa kufanya hivyo ni kutoa siri yake ambayo hakutaka kabisa mtu yeyoye aijue, akaamua kutulia na kuendelea kusikiliza, lakini ghafla aliuona mlango ukifunguka kwa kasi na Hasina akaingia moja kwa moja na kuanza kutafuta alikomuacha pale kitandani.

"... Hasina..." aliita mzee bisu kutokea pale nyuma ya mlango.

Hasina aliyekuwakapigwa na butwaa baada ya kutomuona mtu aliyemuacha kitandani katoweka, aligeuka na kukutana na uso wa Mzee Bisu ukichungulia toka nyuma ya mlango.

"... njoo utoke haraka mwanao kesharudi..." alisema Hasina huku akimuendea na kumshika mkono akaanza kumvutia nje.

'... sasa ntatokaje wakati unasema karudi?.. alihoji mzee Bisu huku akigoma kutoka.

"... ameingia chumbani kwake, fanya haraka..." aliendelea kuongea Hasina hukuakiendelea kumvuta.

mzee bisu alisogea mlangoni akachungulia hakuona mtu pale sebuleni hakuona mtu, akatoka haraka na nakuongoza kwenye korido ya kuingilia chumbani kwake, lakini kabla hajafika akakutana uso kwa uso na mwanaye Dennis ambaye naye alikuwa akitokea chumbani kwake.

... Mzee Bisu alipatwa na mshituko mkubwa ambao kama mwanaye angekuwa makini kumtizama angeweza kumgundua.

“... Shkamoo baba...” aliamkia Dennis akiwa kasimama palepale mbele ya mlango wa chumba chake.

“... Marhaba Dennis, kumbe ulisharudi?..” alijibu na kutupia swali moja kwa moja huku akijitahidi ili mwanaye huyo asiweze kugundua kitu, na baada na kuuliza swali hakusubiri jibu aliendelea kutembea kuelekea mlango wa chumbani kwake, alifanya hivyo kwa kuhofia mwanaye asiweze kugundua chochote kwani toka amalize kurusha roho na msichana wa kazi alikuwa hata hajajimwagia maji.

“... mimi nilisharudi muda alafu nikaona gari lako limepaki hapo nje lakini nikawa siuoni humu ndani, nilijaribu kugonga mpaka mlango wako lakini haukuwepo...” aliongea kwa kirefu Dennis kujari kujuwa ni wapi alikokuwa baba yake, lakini baba yake hakujibu swali hilo kwani mpaka Dennis anamaliza kuongea Mzee Bisu alikuwa tayari alishazama chumbani kwake. hata hivyo hakupenda kufuatilia sana kwani hakumuhisia kitu chochote na wala alikosa uhusiano wa uwepo wa baba yake pale nyumbani na tukio lake na msichana wa kazi Hasina.


*******************


Mzee Bisu alinogewa sana na penzi la msichana huyo wa kazi akajikuta amezama kabisa mapenzini akaanzisha tabia ya kukutana na hasina nje ya pale nyumbani yaani kwenye nyumba za kulala wageni. kwa upande wa hasina naye alibadilika kutoka katika hali ya ule ushamba ushamba na kuwa msichana wa kisasa kabisa kuanzia mavazi mpaka muonekano, akaanza pia tabia ya kuchelea kila anapokwenda sokoni na wakati mwingine akiulizwa anajibu mkato tofauti na zamani alivyokuwa na heshima za kijijini. lakini pia kwa upande wa Dennis moyo ulizidi kudidimia na kujikuta naye akimtaka Hasina kwa hali na mali lakini kila akijaribu kuwa naye karibu Hasina alikuwa akimkwepa kitu ambacho mara nyingi kilikuwa kinampa hisia za kuwa Hasina ana mwanamme, akaanza kufanya uchunguzi ili aweze kumbaini huyo mwanamme.

Mabadiliko hayo ya Hasina pia yalimtia wasiwasi mke Bi. Pauline, na kuanza kujiuliza maswali kibao kutokana na mabadiliko ya ghafla ya msichana wake wa kazi akajiapiza kumchunguza taratibu, hakupenda kumuonesha kuwa alishashitukia mabadiliko yake na wala hakupenda kuongelea kitu kulingana na kuchelewa kwake kila anapotumwa sokoni au majibu yake ya mkato na jeuri ndani yake. Bi Pauline alijaribu siku moja kuliongelea hilo kwa mume wake lakini mume wake alimtetea Hasina.

“... muacheni motto wa watu naye aishi kama wasichana wengine jamani, mbona mnamsakama?..” hayo ndio yalikuwa majibu ya Mzee Bisu

“... lakini Baba Dennis, huyu mtoto wa watu na tulikabidhiwa sisi pamoja na kuwa anatusaidia kazi, na pale anapopotoka tunatakiwa kumnyoosha kwa ni kama mtoto wetu pia...” alijibu Bi. Pauline.

“... umnyooshe kwani amefanya nini?.. aulishamkuta na mwanaume?..”

“... ina maana Baba Dennis we huoni mwenendo wa mtoto huyu kuwa umebadilika?..”

“... muache mtoto naye aishi kwa amani... msimnyanyase... akishajibu hivyo huondoka kabisa karibu na mkewe.


*************


Ilikuwa siku ya Jumamosi, siku ambayo familia nzima ya Mzee bisu hushinda nyumbani ukiachia wale watoto wake wa kubwa wanaoishi nje ya nchi, siku hiyo kila mtu anakuwepo maeneo ya nyumbani na kila mtu anakuwa busy na mambo yake lakini inapofika muda wa chakula wote hukusanyika na kula chakula pamoja katika meza moja.

lakini siku hiyo ni siku pia ambayo Mzee bisu aliipania ili apate kula tundi na Hasina, lakini kila alipokuwa akitafuta chance ya kumtoa pale nyumbani wakatafute sehemu wabanjuke, hali ilikuwa imebana sana kwani Bi. Pauline naye alikuwa kaaribusana na hasina akimtumia katika shughuli za hapa na pale, na ilipofikia swala lakwenda sokoni ambapo alitegemea itakuwa chansi nzuri, Bi. Pauline alibana nay eye ndio akaamua kwenda sokoni siku hiyo.

hiyo pia ilikuwa chansi nyingine, lakini ikawa ngumu kwani nyumbani hapo alikuwepo mwanaye Dennis ambaye naye kwa udi na uvumba aikuwa alitafuta nafasi nzuri ya kuwa na Hasina siku hiyo. sasa ikawa kuviziana Hasina akiingia chumbani kwake, Mzee Bisu anazengea maeneo hayo kutafuta nafasiya kuzama chumbani kwa Hasina. lakini nafasi ikawa haipatikani kwa Dennis naye anakuwa amesogea sebuleni kutafuta nafasi ya kuomba mechi siku hiyo, hivyo wote wanajikuta wakiwa sebuleni na kubaki wakiangaliana na mtu asiwezekuongea chochote kwa mwenzake.

Hasina anapotoka chumbani kuingia jikoni, Dennis anaakti kuchukua galsi nakwenda jikoni kwa nia ya kuchukua majikwenye jokofu ambapo nafasi hiyo aitumie kumpanga Hasina, ni kama Mzee Bisu naye alikuwa akihisi kitu, naye anainuka nakuingia jikoni na kujifanya kuna kitu anakihitaji kwa Hasina hivyo kila mmoja akakosa nafasi ya kupata kile alichokihitaji.

lakini mzee Bisu akapata mbinu, wakiwa wamekaa wote pale sebuleni wakiviziana, Mzee Bisu akamuita Hasina, alipofika akamwambia.

“... pale juu ya kabati chumbani kwangu nafikiri kuna kitabu changu kile nilikuwa nasoma jana, kakichukuwe uniletee...” aliongea mzee bisu huku akiwa kamtolea macho Hasina.

bila kuongea neno Hasina aliingia chumbani kwa mzee bisu kwenda kuchukua hichokitabu, lakini ukweli nikwamba hichokitabu hakikuwepo, alifanya hivyo ili Hasina achukuwe muda kukitafuta ili nay eye amfuate hukohuko. na ndivyo ilivyo tokea, baadaya kuona Hasina anachelewa, Mzee Bisu alinyanyuka na kumfuata Hasina chumbani Kisha mlango ukajirudisha.

lakini kitendo hicho nikama kilimyima Dennis amani na kuanza kumfikiria baba yake vibaya kuwa labda naye atakuwa analitafuta tundi la Hasina, akatamani kuinuka aende mlangoni kwa baba yake akachungulie au kusikiliza nini wanachokiongea chumbani humo. alipokuwa akitaka kunyanyuka alisikia gari likipaki nje ya nyumba yao akasita kusimama pale alipokaa mara mlango wa mbele wa nyumba yao ukafunguka na mama yake Bi. Pauline akaingia akiwa amebeba mfuko yenye bidha tofautitofauti aliyotoka nayo sokoni... Dennis alishituka na kuingiwa na uoga kuwa mama yake anaweza akamkuta baba yake na Msichana wa kazi chumbani kwao akawa anamuangalia mama yake kasha anaangalia mlangoni katikachumba cha wazazi wake kama watatokea....


.... Alipoingia chumbani kule Hasina alianza kutafuta hicho alichotumwa na bosi wake lakini alikuwa hajakiona, aliendelea kutafuta bila mafanikio, ni dhahiri kwamba Mzee Bisu alimtuma akachukue kitu ambacho hakipo, lakini akiwa anaendelea kutafuta ghafla alishituka kumuona mtu akisimama nyuma yake alipogeuka akakutana uso kwa uso na Mzee bisu, akataka kumwambia kuwa alichomtuma hajakiona lakini kabla hajafanya hivyo Mzee huyo alimrukia na kumkumbatia kisha akamwambia kwa sauti ya chini

“... nilitamani sana kuukumbatia mwili wako mpenzi wangu ndio maana nikakutuma huku...” aliongea hivyo akiwa amemkumbatia kisha akamuachia na kumtazama moja kwa moja machoni.

“... kwani wewe na Dennis mna agenda gani... mbona siwaelewi?..” aliuliza Mzee Bisu.

“... aka... kati yangu na Dennis hakuna chochote kinachoendelea...” alijibu Hasina kwa kuinua mabega juu

“... sasa mbona mko karibu na mnafuatanafuatana, kwani vipi...” aliendelea kuuliza mzee huyo akitaka kufahamu kama ni kweli mwanaye anataka kumuingilia kwenye anga zake au la. lakini kabla hajapata jibu kutoka kwa Hasina wote wawili walishitushwa na muungurumo wa gari likipaki, walibaki kimya kwa muda kisha Hasina akatamka na huku akijinasua kutoka mikononi mwa mzee huyo.

“... mkeo huyo karudi, niache mimi nitoke zangu...” aliongea kwa harakaharaka, lakinbi Mzee Bisu aliendelea kumshikilia

“... subiri Hasina,.. leo usiku usifunge mlango, nitakuja sawa?..” aliongea Mzee Bisu kisha akamuachia Hasina ambaye hakujibu kitu akaanza kutoka, aliuvuta mlango ambao ulikuwa umejirudisha na kutaka kutoka, lakini akasita na kurudi nyumba haraka. ni kwamba alipokuwa akitoka macho yake yalianza kutangulia kule anakoelekea, na hapo ndipo alipomuona Bi. Pauline akipita sebuleni pale kuelekea Jikoni akiwa na mifuko yake mikononi. mzee Bisu naye alishituka na kumuuliza kwa wahka.

“... vipi?..”

“... mkeo,.. amepita kuingia jikoni,,, ngoja niondoke...” alijibu kisha akachungulia tena, hakuona mtu zaidi ya kumuona Dennis akiwa anamkodolea macho. alitoka kwa mwendo wa haraka.

alipoingia jikoni Bi. Pauline aliweka mezani mizigo yake kisha akaanza kutoka tena kurudi sebuleni huku akiongea kwa sauti.

“.. Dennis, kwani huyu Hasina yuko wapi?..”

lakini swali hilo lilimkuta Hasina akiwa tayari amefika pale sebuleni na yeye ndio akalijibu swali badala ya Dennis.

“... niko hapa mama,.. za huko,..” alijibu na huku akitembea kuelekea hukohuko jikoni.

“... ulikuwa wapi mbona sijakuona nilivyoingia,.. alihoji Bi. Pauline.

Hasina aligeuka nyuma kumuangalia Dennis kIsha akageuka na kujibu swali lake kiupole.

“... nilikuwa huko nyuma nilikuwa namalizia kufanya usafi, niliposikia ukipaki gari ndo nikaja...” alijibu kwa kirefu na huku wakati mwingine akigeuka kumtazama Dennis kama ataongea chochote, lakini Dennis alikuwa kimya akiwatazama tu.

“... haya nenda jikoni uanze kuandaa chakula nilishakuletea kila kitu...” aliongea Bi. Pauline na huku akiondoka kuelekea chumbani kwake. Hasina naye aligeuka kwa mara ya mwisho kumtazama Dennis kisha akaondoka kuingia jikoni kwa ajili ya kuandaa chakula.

kabla hajafika chumbani kwake Bi. Pauline alikutana na Mume wake naye akitoka, Mzee Bisu alikuwa na wasiwasi lakini alijaribu kuficha wasiwasi wake kwa kujifanya anamuuliza swali mke wake lisilo na msingi.

“... mbona umewahi kuirudi mama Dennis, umefika sokoni kweli?..” alihoji huku akipishana na mke wake. mkewe naye alimjibu huku akipita.

“... ndio, si nilikwenda na gari langu...” alijibu kisha akaingia chumbani, na kila mtu akaendelea na shughuli zake kama kawaida.

Dennis alitaka kuanza kupata hisia kuwa baba yake atakuwa na mahusiano ya kimapenzi na Hasina lakini alikuwa akijaribu kutafuta pointi ya msingi ya kulithibitisha hilo akaikosa, kwani kuingia chumbani kwa baba yake Hasina alitumwa na kwa vile hakukiona alichotumwa ndio baba yake akamfuata huko kwa hiyo hakuna pointi yakuthibitisha hisia zake hizo. akaamua kuendelea na mpango wake wa kumnasa Hasina, lakini ajabu kwa siku hiyo ilikuwa ngumu kupata hata dakika moja ya kuongea naye kwani kila alipotaka kuwa karibu na Hasina baba yake naye alikuwepo au mama yake. mpaka inafika wakati wa kwenda kulala hakupata nafasi hiyo. akajipa moyo kuwa kesho yake itakuwa ni siku ya jumapili nafasi itakuwa yake kwani wazazi wake wote watakwenda kanisani, hivyo akawa mvumilivu.

*************************

Hadi saa nane za usiku Mzee Bisu alikuwa hajapata hata lepe la usingizi, akili yake yote ilikuwa imehamia kwa Hasina, mwili ulikuwa umemsisimka vibaya na alikuwa anavutavuta muda ili mke wake alale fofofo ili yeye akajilie vyake chumbani kwa Hasina. na ndivyo ilivyo kuwa kwani mida hiyo Bi. Pauline alikuwa anakoroma kama pono. Mzee Bisu alimkagua mara mbilimbili kuhakikisha kuwa amelala kweli.

“... yes... alijisemea mwenye baada ya kugundua kuwa mkewe tayari kalala...” alijishika mdomo kujizuia kutamka neno lingine kwani hata lile yes, lilimtoka tu kulingana na furaha aliyokuwa nayo, alinyanyuka taratibu akavaa bukta lake nataulo akalitupia shingoni akaanza kunyata taratibu, akaufungua mlango wa chumbani kwake taratibu huku akigeuka kumuangalia mkewe japo chumbani kulikuwa na giza. alifanikiwa kuufungua kisha akachungulia sebuleni kwanza kabla hajatoka maana mwanaye Dennis huwa na kawai ya kuangalia tv hadi usiku wa manane. sebuleni kulikuwa shwari, akatembea kwa mwendo wa haraka kidogo, akapita sebuleni na kuusogelea mlango wa chumba cha Hasina, akaangalia huku na huku kuhakikisha kama yuko salama, na kweli hakuona mtu, akakishika kitasa cha mlango wa Hasina na kukizunguusha taratibu, kitasa kikakubali sheria na mlango ukafunguka akageuka tena nyuma kuhakikisha usalama wake Mara macho, yakamtoka pima kama mtu aliyeona jini....


Alipoufungua mlango alikuwa na uhakika kuwa Hasina yuko chumbani na alishajiandaa kwa mpambano wa siku hiyo ambao Mze Bisu aliupania sana, lakini alipogeuza macho kujihakikishia usalama wake kabla ya kuzama chumbani kwa Hasina, alishangaa kumuona Hasina akiwa kasimama nyuma yake akiwa kavaa kanga moja, Mze Bisu akabaki kuduwaa kwanza kabala ya kumuuliza alikokuwa, maana mawazo yake alitaka kuanza kuamini zile hisia zake kuwa Hasina na Denis wanaagenda ya siri hivyo akahisi labda Hasina alikuwa anatokea chumbani kwa Denis kujirusha.

".. unatokea wapi tena saa hizi?..' alihoji akiwa bado na sura ya taharuki.

"... natoka Msalani, mbona umechelewa sana?.." alijibu Hasija na kuunganisha na swali ambalo halikujibiwa badala yake akakutana na swali jingine.

"... sio kama unatoka chumbani kwa Dennis wewe?.." aliendelea kuhoji mzee bisu akiwa kasimama pale pale mlangoni, bila kujali kuwa sauti zao zinaweza kusikiwa na watu wengine mle ndani hasa Denis ambaye chumba chake hakikuwa mbali sana na maeneo yale, ni dhahiri kuwa wivu ulianza kumsumbua mze huyo. lakini hasina hakujibu kitu badala yake alipitiliza na kuingia chumbani bila kujibu jambo, kwani alishaona dalili za kusikiwa na watu wengine kama ataendelea kujibishana na mze huyo wakiwa bado wako nje ya chumba. mze Bisu naye alimfuata nyuma akiwa bado anawasiwasi na alikotoka Hasina, aliufunga mlango nhumba yake baada ya kuingia ndani, lakini hakufunga kwa komeo, kwani alikuwa bado na shauku ya kujua ni wapi alikotoka hasina japo alishajibiwa kuwa alikuwa msalani.

"... nimekuuliza swali mbona hujanijibu?.." alihoji tena mara baada ya kukisogelea kitanda ambapo Hasina alikuwa tayari kajilaza tena kifundifudi huku upande ule wa kanga aliojifuna ukiwa umepanda juu kwa bahati mbaya na kuacha sehemu kubwa na mapaja yake kuondekana.

"... si nimekujibu kuwa natoka msalani?.. au ndo ulishaniona mimi malaya sana ambae ninagawa hovyo kwa kila mtu?.. alijibu Hasina kwa kujiamini kidogo bila kujali kuwa anayemjibu hivyo ni boss wake, yeye anamuheshimu kama boss wanapokuwa nje ya chumba hicho, lakini wakishakuwa chumbani hapo ni mtu mwingine tofauti na boss.

Jibu hilo lilimfanya mze Bisu akae kimya kwani alihisi kuwa Hasina anaweza akachukia kwa maswali hayo, na kama angechukia inamaana ndo asingeweza kupata utamu aliokuwa akiutamani kwa muda mrefu, ikabidi awe mpole tu na kupanda kitandani huku akianza kumpapasa Hasina taratibu akiuzunguusha mkono kutokea kwenye kiuno cha Hasina na kupeleka juu ya makalio yaliyokuwa hayana vishwa kufuli wala chochote zaidi ya ile kanga. aliendelea na zoenzi lile huku maneno ya kumsifia yakianza taratibu.

"... unajua we mtoto ni kama umeniroga, maana nakupenda sana mpaka nakuonea wivu kabisa,.. najua nimekuudhi kwa wivu wangu lakini usikasirike sawa mpenzi?.. wewe ndio friji ya moyo wangu sipendi kukuuzi.." maneno yote hayo yalimtoka huku akiendelea na zoezi la kumpapasa Hasina. maneno na zoenzi hilo vilimfanya Hasina naye aanze mbwembwe taratibutaratibu, alianza kujinyonganyonga kidogokidogo, kisha sauti ya kama kuugulia ikaanza kutoka kwambali vitu ambavyo vilizidi kumpagawisha Mze huyo.

*****************

Kule chumbani Bi. Pauline alikuwa bado kalala fofo, lakini ghafla alishituka kutoka kama mtu aliyekuwa anakimbizwa na majini usingizini kwani alishituka kwelikweli na kubaki akihema, alimungalia mume wake likolala, lakini hakumuona, akabaki akihema na huku akijaribu kuiweka akili yake sawa katika kuendelea kumsubiri mume wake ili amuadithie aliochokiota, kutomuona pale kitandani mume wake hakukumshitua sana kwani aliamini mumewe atakuwa kaingia msalani. lakini muda ulizidi kukatika bila mume wake kurudi, akajinyanyua pale kitandani na kwenda kufungua mlango wa choo ambacho kimo humo chumbani, akashangaa kweupe hamna mtu, akapatwa na wasiwasi, na kuamua kutoka nje ya chumba.

********************MWISHO************



0 comments:

Post a Comment

Blog