Search This Blog

Wednesday 15 March 2023

SHINDIKANA - 2

  


Chombezo : Shindikana

Sehemu Ya : Pili (2)







Macho yangu yalitua kwa mwanamke mmoja mrembo ambaye alikuwa akija kwangu kwa mwendo wa maringo sana. Alikuwa na uzuri ambao ulikuwa ni ngumu sana kumithilika na uzuri wowote duniani. Moyo wangu uliingiwa na ganzi na mdomo wangu ulishikwa na kigugumizi. Nikatokea kumpenda ghafla kwa mahaba mazito.








“Twende zetu”. Mwanamke yule mrembo aliniambia huku akinishika mkono.








Nami mithili ya mwanakondoo aliyekuwa akielekea machinjoni nilimfuata yule mrembo. Nilikuwa nimeshikwa na wehu wa ghafla.








Tulipata gesti na kisha nikachukua chumba. Tukaingia ndani huku nikiongozwa na yule mwanamke ambaye alionekana ni mwenyeji sana maeneo yale.








“Vipi mbona unaonekana mwoga sana?”. Yule mrembo kahaba alinihoji kwa sauti moja tamu sana.








“Mh! Hapana. Niko safi kabisa”. Nilimjibu kwa sauti iliyokuwa imejaa kigugumizi.








“Ok, umebeba kondomu?”. Aliniuliza.








“Yes! Ninazo”. Nilimjibu huku nikizitoa zile kondomu na kuziweka juu ya meza ambayo ilikuwa mle ndani.








“Sawa. Fastafasta ni shilingi elfu tano, saa moja ni shilingi elfu kumi na tano na mpaka asubuhi ni shilingi elfu thelathini. Sijui wewe ungependelea huduma ipi kati ya hizo?”. Yule mrembo kahaba aliniuliza.








“Saa moja”. Nilimjibu yule mrembo.






Yule mrembo alianza kutoa sketi yake fupi na laini na kubaki na tight ambayo ilizionesha vyema hips zake. Akaitoa blauzi yake na kubaki na sidiria ambayo iliyabeba matiti makubwa kiasi yenye mvuto sana.








Baada ya zoezi hilo kuisha alikuja na kunikumbatia kisha akanipa busu moja mwanana katika sikio langu. Busu lilile lilinifanya nisisimkwe na mwili na kuirekebisha vyema akili yangu ambayo ilikuwa mbali sana. Mjomba naye alisisimka na kuanza kujitutumua ndani ya suruali yangu mithili ya chatu aliyemwona mwanambuzi.








Yule mrembo alinichukua na kunikalisha taratibu juu ya kitanda na kisha akanikalia katika mapaja yangu na kuanza kufungua vifungo vya shati langu huku macho yake ya huba yakinitazama.








Baada ya sekunde kadhaa akafanikiwa kunifungua shati langu na kulitupia mbali. Baadaye sasa akaja katika suruali yangu ambapo aliutoa mkanda wa suruali na kisha kuifungua zipu ya suruali taratibu na wakati huo wote mjomba aliendelea kututumka mle ndani ya mkwego utadhani amelishwa hamira.




************





“Woooooooow!”. Yule mrembo alipiga ukulele mara baada ya kunivua suruali na kumwona mjomba jinsi alivyo mkubwa mithili yam chi wa kinu.








“I like it”. Aliongea yule mrembo huku sasa akianza kumsukasuka huku mimi nikiwa nazichezea nywele zake.








Yule mrembo alimsuguasugua mjomba kwa muda na kisha akamtumbukiza katika kinywa chake. Akaanza sasa kummung’unya mithili ya koni. Nilihisi raha ambayo nashindwa hata kuisimulia.








Mrembo akaendelea kummung’unya mjomba huku mjomba naye akizidi kututumka na kujaa vyema katika kinywa chake. Alinipa raha huyu mrembo mpaka nikahisi kutokwa na machozi.








Baadaye nami nikamchukua na kumlaza taratibu juu ya kitanda. Nikataka nami nimwonyeshe ufundi wangu na ajue kwamba nami ni mojawapo wa wataalamu wachache sana katika fani hii ya mahaba waliopo duniani.








Nikaanza kuyatomasatomasa matiti yake taratibu kitendo kilichomfanya afumbe macho na kuanza kutoa miguno ya taratibu ikiashiria kwamba alikuwa akijisikia raha isiyo kifani.








Nikaanza kuyamung’unya maziwa yale taratibu huku mkono wangu wa kulia ukiwa umefika kwa shangazi na sasa ulikuwa ukimchezea taratibu na kwa umakini wa hali ya juu.








Nilizidisha utundu wangu katika kumchezea na kwa wakati wote huu alikuwa akipiga kelele za mahaba mithili ya mtoto mdogo aliyenyang’anywa pipi.








Nikaanza sasa kumlamba mwili wake taratibu mithili ya chatu anavyomlamba mwanakondoo kabla ya kummeza. Kitendo kile kilimfanya asisimkwe sana.








Niliendelea kumlamba kuanzia shingoni, masikioni mdomoni, tumboni na kisha kitovuni mahali ambapo alionesha kwamba alipenda nipalambe zaidi kwani alipiga ukulele mkubwa pindi nilipofika hapo.








“Ooooooh! Aaaaaashhh! Please give me!”. Yule mrembo alilalama.




Nami nikaona isiwe






shida. Nikachukua kondomu na kuivaa. Baada ya hapo nikamfuata pale juu kitandani. Hapo nikamwacha mjomba aende kumsalimia shangazi. Hakika nilimnyoosha sana yule mrembo kahaba mpaka mwenyewe akashangaa.








“Ahsante, bill yako imeisha”. Yule mwanamke alishukuru.








“Usijali tutaonana siku nyingine”. Nami nilimjibu huku nikiamka kutoka kitandani.








“Hivi waitwa nani vile?”. Nilimwuliza jina yule mrembo maana alikuwa amenipa mahaba yaliyonipagawisha sana.








“Jina langu halina haja kulifahamu. Mimi nakupa huduma ya ngono tu basi”. Yule mwanamke alijibu.








“Basi naomba namba yako ya simu”. Nilimwambia yule mrembo.








“Namba yangu ya simu waitakiani?”. Aliuliza.








“Wajua umenipa huduma bora sana hivyo nilikuwa nataka kila nikija niwe nakupigia simu ili kukupata kwa urahisi”> nilimwambia.








Maneno yangu aliyaona yana mashiko ndani yake. Kwake ilikuwa ni muhimu sana kumtunza mteja asipotee.








“Namba yangu ni 08973327”. Aliongea yule mrembo.








“Ahsante sana nashukuru”. Nilishukuru mara baada ya kuisevu ile namba.








Niliachana na yule mrembo kahaba nikaanza safari ya kurudi nyumbani kwangu. Kwa upande wa wakati ilikuwa inakaribia kabisa saa nne ya usiku. Moyoni nilikuwa nina amani ya kutosha sana kwani yule mrembo kahaba alikuwa amenisuuza na kuniondoa stress zote.








Nilijua nikifika nyumbani tu ni lazima kutakuwa na kitimutimu kwani muda ulikuwa umekwenda sana. Nilimfahamu sana mke wangu mama Careen, Alikuwa ni mwanamke mwenye hasira za karibu sana na yuko radhi kufanya maamuzi yoyote yale.Ilikuwa yataka moyo sana kuishi na mwanamke huyu.






Niliwasili nyumbani kwangu kama majira ya saa tano kasoro robo hivi. Hali niliyokutana nayo pale ilinitisha kwa kweli. Mke wangu alikuwa amesimama mlangoni huku mkononi akiwa ameshika upawa wa kusongea ugali.








“Haya niambie mwanaume wewe. Usiku wote huu unatoka wapi?”. Mama Careen aliniuliza.








“Sasa ndiyo maswali gani hayo mke wangu?”. Nami nilimjibu kwa swali.








“Mimi ni mke wako hivyo ninapaswa kujua umetoka wapi saa hizi”.








“Hivi humu ndani nani ni mwanaume hasa? Mbona unataka kunipanda kichwani wewe mwanamke?”. Nilimjibu kwa fedhuli.








“Anhaaaa! Unaniletea dharau siyo?”. Mama Careen aliongea huku akionesha wazi alikuwa amekasirika.








Ghafla ule upawa wa ugali ulishuka juu ya shavu langu na kunifafanya nianguke chini huku makalio yakiwa juu. Nilihisi kama nyotanyota zikimwetamweta hivi.








Sikupewa hata nafasi ya kutafakari. Upawa ukaanza kushuka juu ya makalio yangu kwa mapigo ya maana. Nilipiga kelele za maumivu. Mama Careen alinikung’uta kweli siku ile.








Baada ya kuhakikisha nimekung’utika vya kutosha mama Careen aliingia ndani huku akiniacha nikiugulia maumivu makali sana yaliyosababishwa na mkung’uto mwanana kutoka kwa mama Careen.




***********




“Hivi kwa nini hujaolewa mpaka wakati huu wakati vigezo vyote vya kuwa mke wa mtu unavyo?”. Lilikuwa ni swali ambalo nilimwuliza mwanamke huyu mrembo kahaba ambaye siku kadhaa hapo nyuma tuliwahi kufanya mapenzi.








Leo hii tena nilikuwa nimekutana naye kwa mara nyingine. Tulikuwa tumepeana mahaba motomoto katika nyumba hii ya kulala wageni. Na kwa sasa tulikuwa tumemaliza kupeana mahaba motomoto na tulikuwa tukiongea.








“Hivi wewe unafikiri mimi nikiolewa hii biashara nitaifanyaje?”. Yule mrembo alinipachika swali badala ya kunijibu swali langu ambalo nilimkandika hapo awali.






“Sasa ni kwanini waifanya biashara hii ya kuuza mwili?”. Mtindo wa kuulizana maswali badala ya majibu uliendelea.








“Hivi nisipoifanya biashara hii wewe unafikiri nitakula wapi na msoto wa maisha wa hapa Kano?”.








“Sasa mimi nataka uache kuifanya hii biashara na nitakutimizia mahitaji yako ya kila siku”. Nilimwambia yule mrembo.








“Hebu achana na mimi bwana, si tumeshamalizana? Nimekupa ulichokuwa ukikihitaji sasa niache mimi niende. By the way umenipa mambo matamu. Nashukuru”. Aliongea Yule mrembo na kutoka nje ya chumba kile cha gesti.








Yaani mpaka muda huu nilikuwa simfahamu huyu mrembo kahaba alikuwa akiitwa nani. Kila nilipokuwa nikijaribu kumuhoji jina lake, alikataa katakata kunitajia.


ITAENDELEA


0 comments:

Post a Comment

Blog