Search This Blog

Wednesday 15 March 2023

SHINDIKANA - 4

  


Chombezo : Shindikana

Sehemu Ya : Nne (4)







“Lakini ni kwa nini basi usikae chini na mkeo halafu mkazitazama tofauti zenu na kisha mkaijenga ndoa yenu?”. Kahaba huyu aliongea maneno ya hekima sana.








“Nimejaribu hilo si chini ya mara thelathini lakini mwanamke ametia boriti masikioni. Yaani yeye ndiye ambaye ameitawala ndoa. Mbabe yeye, mkali yeye, mwamuzi yeye. Yaaani mimi sina sauti kabisa katika ndoa yangu”.








“Mh! Pole sana”.








“Ahsante sana. Na hii hasa ndyo sababu kuu iliyonifanya mimi nichepuke na kutafuta faraja huku”. Niliendelea kuyatiririsha maneno yangu mithili ya kasuku.








“Mh! Aisseh!”. Yule mrembo alibaki aking’ung’uta tu.








“Na kwa siku hizi kadhaa ambazo nimekuwa nawe nimetokea kuvutiwa nawe kupita kiasi. Ninahitaji nikuweke ndani kabisa, utulie tutengeneze maisha”.








Yule mrembo hakujibu kitu zaidi ya kunikumbatia huku mkono mmoja akiwa amemshika mjomba. Chuchu zake zilianza kukisugua kifua changu taratibu na kuanza kunifanya nijiskie raha isiyo kifani.






Mkono wangu nami haukuzubaa. Ulienda moja kwa moja mpaka kwa shangazi na kugonga mlango ambao ulikuwa umefungwa.








Mrembo akaufungua tatatibu mkanda wa suruali yangu na kuanza kuyamung’unya machungwa pamoja na kuulamba muwa kwa wakati mmoja.








Kitendo kile kilinifanya nisisimkwena mwili vilivyo na kuyaamsha maruhani yangu ya mahaba ambayo kwa wakati huo yalikuwa yamelaka usingizi wa pono.








Mrembo yule aliendelea kuumung’unya ule muwa kwa ufundi na ustadi wa hali ya juu mpaka pale ambapo niliridhika na yeye pia aliridhika.








Yeye haikuwa shida kumchojoa nguo zake kwani kwa wakati ule alikuwa katika vazi la khanga moja nyepesi tu.








Hivyo nilimnyanyua na kisha nikambwaga kitandani taratibu na kisha nikamchanua miguu yake. Mikono yangu ikaanza kuyachezea matiti yake kwa ustadi wa hali ya juu. Niliipeleka midomo yangu na kisha nikaanza kuyamung’unya matiti yake ambayo yalikuwa yamesimama tisti.








“Ooooosh! Aaaaaaash!”. Ni mlio ambao alikuwa akiutoa mrembo huyu pindi mimi nilipokuwa nikishughulika na matiti yake.








Baadaye nikaamua kuhamisha mandhari ya kufanyia shooting. Nikaanza kuulamba mwili wake taratibu huku nikishuka tumboni mpaka katika kitovu chake.








Nikaweka kituo mahala hapo kwa muda huku nikiyasikiliza makelele ya kilio ambayo mrembo yule alikuwa akiyatoa.








Baada ya kukilamba kitovu chake kwa muda fulani, basi nikaanza taratibu kushuka kuelekea kwa shangazi ambako nilienda kuhakikisha kama maji yalikuwepo ya kutosha kabla sijaanza kuuchochea moto chunguni.








“Nipeeeeee! Baaaaaaaby! Nipe pleeeease!”. Alilalamika yule mrembo akiomba kupewa dozi yake tamu ya juisi ya parachichi.






Nilipohakikisha ya kwamba yule mrembo alikuwa amelainika vya kutosha basi nikamshika mjomba na kumpeleka moja kwa moja mpaka kwa shangazi na kumwamuru aanze kuchochea chungu cha maharage cha shangazi.








**************












Nilimkunja yule mrembo na akakunjika sawasawa. Nilimchezesha muziki wa aina zote ambao aliukubali. Niliendelea kuuchochoea moto kwa ustadi wa hali ya juu huku yule mrembo akiendelea kulia kwa raha isiyomithilika.








“Am coming baby! Aaaam comiiiing!”. Alipiga kelele yule mrembo pindi nikiendelea kuchochea kuni chunguni. Na kwa wakati huo nami nilianza kuziona dalili za kupiga mshindo.








“Ooooooosh! Aaaaaaash!”. Mrembo alipiga kelele huku akifika kileleni na mimi kwa muda huohuo nikapiga mshindo mkuu.








“Ooooooooooh!”. Mrembo yule alipiga ukelele mmoja mkali pindi majimaji ya moto yalipoingia kwa raha ya aina yake chunguni.








Mrembo yule alinikumbatia kwa nguvu na kumfanya mjomba azidi kujiingiza ndani zaidi huku akiendelea kutema sumu zake zenye utamu ambao yule mrembo aliufurahia.








“Oooooooh shiiiiiy!”. Yule mrembo alipiga kelele huku akinisukumia pembeni.








“Nini tena beib?”. Nilihoji huku nikiwa nimestaajabu kwa kitendo hiki cha huyu mrembo.








“Yaani kumbe haukuvaa kondomu?”. Yule mrembo aliuliza.








“Nilidhani hutojali baby”. Nilijibu.








“Ona sasa ujinga wako huo. Na ole wako uwe umenitia mimba!”. Yule mwanamke aliongea huku akionesha wazi kuwa ametaharuki.






“Lakini ukipata ujauzito wala haitokuwa tatizo”. Niliongea.








“Haitokuwa tatizo? Hivi wewe mwanaume ukoje? Mbona unashindwa kuwa mwelewa? Unafikiri mimi nikipata mimba maisha yangu yatakuwaje?”. Yule mrembo kahaba aliongea.








“Jamani mpenzi mbona nilikwishakuweka wazi kwamba uachane na hiyo shughuli unayoifanya na mimi nitakugharamia maisha yako”. Nilimwambia huku nikijaribu kumbusu huku yeye akinipiga kofi la huba shavuni.








“Wewe unataka kunisababishia matatizo wewe? Hivi unafikiri mke wako akija kugundua kwamba una mahusiano na mimi unadhani itakuwaje?”. Mwanamke yule alihoji.








“Mimi nilikwishakueleza kwamba usiwe na wasiwasi hata kidogo kwani mimi ndiyo mwanaume wa nyumba na ndiye mwenye maamuzi ya lipi nifanye au lipi nisifanye”. Niliongea.








Niliongea maneno hayo kwa lengo la kumwondoa hofu yule mrembo ingawa nilikuwa nikifahamu wazi kwamba endapo mama Careen angeyafahamu haya mahusiano mapya ambayo nilikuwa ninayaanzisha, basi nyumbani pangechimbika na kisha pangewaka moto.








“Sasa ni kitu gani ambacho kimekuvuta kwangu ingawa naamini mkeo naye atakuwa ni mzuri na mrembo hata yawezekana akanishinda hata mimi?”. Yule mrembo aliuliza.








“Kwako nimevutika na upole ukarimu pamoja na mapenzi matamu ambayo unanipa. Kwa kweli penzi ambalo wanipa sijawahi lipata popote pale”. Niliongea.








“Mh!”. Aliguna.








“Halafu pia u mwanamke mzuri na mrembo sana”. Niliendelea kumpamba kwa sifa lukuki.








“Lakini mpenzi wajua kuna kitu hujanitendea haki kabisa”. Niliongea huku nikimkumbatia vyema yule mrembo.








“Jambo gani hilo tena?”. Aliongea yule mrembo huku akiwa amenirembulia macho yake makubwa kiasi yenye mvuto wa kuyatazama na kidole chake cha shahada akiwa amekiweka katika midomo yangu.






“Yaani toka nimeanza kuwa nawe ni muda sasa umepita, lakini hujawahi nitajia jina lako hata siku moja licha ya kukuuliza mara kwa mara”. Niliongea huku nikimkandika busu moja matata.








“Sawa mpenzi wangu. Nadhani kwa kipindi chote hicho ulikuwa si wakati sahihi wa wewe kulifahamu jina langu. Kwanza nilifikiri wewe ni mpita njia tu kumbe ulikuwa wataka kuweka makazi kabisa”. Yule mrembo alijimwaga kwa fasihi tamu za kimahaba.








“Ok, sasa leo ninakuomba unitajie jina lako”. Nilimsisitiza yule mrembo.








“Sawa, jina langu mimi ni Jasmine”. Aliongea huku akiniangalia kwa huba.








“Wooooow! Jina zuri na tamu kama ulivyo wewe mwenyewe”. Niliongea kumpamba yule mrembo ingawa ulikuwa ndiyo ukweli halisi.








“Acha fiksi zako bwana!”. Jasmine aliongea huku akiwa na macho yaliyojaa soni.








“Sasa wewe pia mbona hujawahi nitajia jina lako?”. Jasmine aliuliza.








“Sikuwahi kukutajia kwa sababu hukuwahi niuliza”. Nilimjibu.








“Haya basi waitwa nani”.








“Mimi naitwa Gabriel Mayanja ingawa wengi hupenda kuniita Mayanja”. Nilimwambia Jasmine.








‘Ok, jina zuri lakini mimi napenda kukuita beib au mpenzi”. Jasmine aliongea kwa bashasha za kimapenzi.








“Vyovyote utakavyo mpenzi wewe niite tu”. Nilimweka huru Jasmine.








Siku ile nilishinda nyumbani kwa Jasmine. Tulishinda tukipeana mahaba motomoto ambayo kila mtu aliyafurahia. Yalikuwa ni mahaba ambayo yalizikonga nyoyo zetu na kuzikata kiu zetu za huba. Kila mtu kwa upande wake aliridhika na penzi kutoka kwa mwenzi wake.








“Leo hii ni lazima unipe majibu yanayoeleweka ya maswali yangu la sivyo kesho ni lazima utazikwa na tuanze kuomboleza matanga”. Ilikuwa ni sauti ya ukali ya mama Careen usiku huu pindi nilipotia mguu nyumbani kutoka kwa Jasmine.






Kwa wakati huo wote ambao nilikuwa nikihojiwa maswali hayo, nilikuwa nimelala juu ya sakafu huku nikiyaugulia maumivu makali sana. Maumivu haya yalitokana na kipigo kikali sana ambacho nilikuwa nikiendelea kukipata kutoka kwa mke wangu mama Careen.








Wakati naingia ndani ya nyumba nikiwa sina hili wala lile ghafla nilishtukia upawa wa mboga ukitua katika kichwa changu na kunifanya nipige kelele za maumivu makali ya kichwa niliyoyahisi.








Hilo mama Careen wala hakulijali, bali alinipiga tena mgongoni kwa shambulizi kali la kutumia ule upawa. Shambulizi lile lilinipeleka chini moja kwa moja huku nikiwa nimeanza kuchuruzikwa na damu puani.








Mama Careen aliendelea kunishushia mapigo mfululizo pale chini ambayo yalinijeruhi sana. Mwili wangu ulikuwa ukizizima kwa maumivu makali sana. Huyu mwanamke kwa kweli alikuwa akijua kutandika. Haikujalisha jinsi yake.Yaani akikutandika ni lazima utatia adabu tu.








“Mke wangu mimi sielewi kabisa ni nini ambacho unakizungumza”. Niliongea huku nikiendelea kusikilizia maumivu pale juu ya sakafu.








***********


Mwe MWe mweee mweee wanaume msikubali kupigwa na wake zenu haileti picha nzuri ndani ya jamii hasa ugomvi wa nnje, kingine mr law nakuambieni katika upendo hakuna ugomvi pia Wanawake heshimuni waume zenu maana mnakosa mengii




Baada ya siku kadhaa kutokuwa hewani kwq sababu mbalimbali ikiwemo harakati za maisha Mr Law nipo nawe tena karika hili songombingo laukweli Natamani maoni yako tuu mwisho mwisho maana ndo #hitimisho pia.


Uhondo wetu nimeamua kuurefusha sababu ya kukata kiu zetu angalau japo inatamanisha kuendelea so tupo pamoja sanaaa??????.


SHUKURANI sana wadau na wapenzi wasomaji wangu naenjoy sana kupata kampani yako kwenye Koments Naelewa sana uwepo wako au wenu kiujumla nakusihi #MrLaw tukutane kwenye kingine kikali zaidi. #UsiacheKutoaMaoniYakoTuuMwishoooo...


ILIPOISHIA...

KICHAPO KUTOKA KWA WIFE MAMA CAREEN Kilisababisha kuwa na maumivu makubwa sanaa yani laiti ingekuwa mwanaume lelemama angeshauwa ,kama siyo kuhama nyumba yako mwenyewe.


“Mke wangu mimi sielewi kabisa ni nini ambacho unakizungumza”. Niliongea huku nikiendelea kusikilizia maumivu pale juu ya sakafu.








Twendee




..



“Ninarudia tena kwa mara nyingine, ninataka kujua vito na baadhi ya nguo zangu vimeenda wapi? Haiwezekani vitu vyangu vikatoweka kiajabuajabu!”. Mama Careen aliendelea kuongea huku akiendelea kunishushia kipigo kitakatifu.








“Mimi sielewi mama Careen. Mbona wewe umekazania kwamba mimi ndiye ambaye nimechukua vitu vyako?”, Niliongea kwa kujitetea katika sauti ya maumivu.








“Sasa humu ndani tunaishi wangapi”. Aliuliza mama Careen baada ya kuwa amenitandika upawa katika makalio yangu.








“Humu tunaishi wengi na wewe mwenyewe unajua kabisa”. Niliendelea kujitetea.








“Kwa hiyo una maana huyu mtoto mdogo Careen ndiye ambaye amechukua?”. Mama Careen alihoji kwa ghadhabu sana.








“Huwezi jua mke wangu”. Nilijibu hivyo kwa lengo la kumshawishi akubaliane nami.








Ukweli wa dhahma ile yote mimi ndiye ambaye nilikuwa naufahamu. Mimi ndiye ambaye nilikuwa nimechukua baadhi ya vifaa vya urembo vya mke wangu kama vile; bangili, herein, pete n.k na kwenda kumpa Jasmine kama zawadi.








Nakumbuka nilimpa Jasmine nikimdanganya kwamba nilikuwa nimemnunulia. Jasmine alifurahi sana na kuamini kwamba kweli mimi nilikuwa ninamaanisha penzi la dhati kwake. Aliahidi kulidumisha penzi letu hili changa na kunipenda milele.








“Nasema hivi baba Careen, mimi sihitaji maelezo yako ya kitoto na yasiyo na kichwa wala miguu. Ninachokihitaji ni vitu vyangu virejee hapa. Hii ni tabia mbaya kabisa”. Mama Careen aliendelea kufoka huku sasa akibubujikwa na machozi na kuondoka kutoka eneo lile ambalo alikuwa akinisulubu.








Nami kwa aibu na fedheha kubwa nikajizoazoa kutoka pale chini huku mwili wangu ukiwa umelemewa mzigo mzito sana wa maumivu yasiyomithilika. Nikaamua kwenda chumbani ili nikayapunguze mawazo yangu.




..




***********








Penzi langu na Jasmine lilizidi kukua kwa kasi mithili ya moto mkali ulao nyika. Jasmine sasa alikuwa ameiacha ile kazi yake ya ukahaba na nilikuwa ninajaribu kuiweka sawa mipango ya kumfungulia mradi ambao utayaendesha maisha yake.








Nilikuwa nimeamua kabisa kuimarisha koloni langu kwa Jasmine baada ya kuona mke wangu mama Careen ananiletea mambo ambayo siyaelewi kabisa.








“Baby nina jambo moja nyeti ambalo ninapenda nikushirikishe”. Jasmine aliongea siku moja tukiwa nyumbani kwake tukiyafurahia mapenzi yetu.








“Jambo gani tena mpenzi wangu?”. Nilimwuliza Jasmine.








“Ni jambo la kawaida tu”. Jasmine aliongea huku akiniachia busu mwanana.








“Umeanza kunitisha sasa mpenzi wangu”. Nilimwambia.








“Usihofu mpenzi, ni kawaida”. Jasmine aliongea.








“Ok, ni jambo gani hilo?”. Nilimwuliza.








“Katika siku za hivi karibuni nilikuwa najihisi tofauti katika mwili wangu. Nimekuwa nikijisikia uchovu wa mara kwa mara, kichefuchefu na miguu kuniuma”. Jasmine aliongea.








“Aaaaah! Hayo yatakuwa ni malaria”. Nilimjibu kwa kujiamini sana utadhani mimi ni daktari.






ITAENDELEA


0 comments:

Post a Comment

Blog