Search This Blog

Thursday 9 March 2023

UNO LA MASIKINI - 4

   


Chombezo : Uno La Masikini

Sehemu Ya Nne (4)



“ok washa simu” alisema mheshimiwa na kukata simu


Tino aliweka gitaa pembeni halafu akaenda hadi kwenye droo akafungua droo na kutoa simu kali kwenye droo aina ya Samsung A30 halafu akaiwasha huku akiwa anatikisa kichwa


Ilipowaka hadi mwisho ilionekana picha ya Tino akiwa amewekewa mkono begani na mwanamke mmoja mwenye umri mkubwa mkubwa kwa haraka haraka angeweza kuwa ni mama yake, halafu alipoitazama tu ilifunguka kwa sababu ya screen lock kuwa ya kutumia sura yake…….JE TINO NI NANI HASA? Usikose sehemu inayofuata 







Tulipoishia

Ilipowaka hadi mwisho ilionekana picha ya Tino akiwa amewekewa mkono begani na mwanamke mmoja mwenye umri mkubwa mkubwa kwa haraka haraka angeweza kuwa ni mama yake, halafu alipoitazama tu ilifunguka kwa sababu ya screen lock kuwa ya kutumia sura yake


Endelea

Tino alirudi na kuketi kwenye sofa halafu akawasha data kwenye simu hiyo. Ziliingia message nyingi sana kutoka kwa watu mbali mbali lakini yeye aliingia kwenye Hangout kwa haraka haraka kwani kulikuwa na message kutoka kwa mtu mmoja tu akaifungua ilikuwa ni video


Video hii ilimuonyesha yule msanii mpya Mido baby akiwa anachezea hela nyingi sana tena akiwa anazikanyaga kwenye sherehe maalumu huku akiwa na producer mmoja ambaye alikuwa akifanya kazi Switch records


“Hizo hela sio za kawaida huyu msichana ameenda China leo, Jumapili atarudi kutoka China na atakuwa na madawa ya kulevya hivyo mfuatilie maana rais kanionya sana katika suala zima la wasanii kufanya biashara za madawa ya kulevya ilhali muziki haulipi kama watu wengi wanavyodhani” ilitoka message kutoka kwa waziri huyo wa sanaa na michezo


Siku zote ilifahamika kwamba kijana yule ni masikini sana lakini kumbe alikuwa akiigiza maisha lakini alikuwa na kazi ya upelelezi ndiyo maana aliishi kwa kuigza maisha. Cha kushangaza alikuwa ni mtu wa karibu sana na mheshimiwa bila binti Tina kufahamu hali hiyo


“Tino” sauti ilisikika kutoka nje ya mlango wa Tino na aliyekuwa anaita ni Tony


“zama ndani mzee” alisema mtaalam na Tony akaingia na kuwahi kwenye sabufa akaiwasha na kuanza kula muziki kwa sauti ya taratibu. Nyimbo iliyoplay ilikuwa ni nyimbo ya Belle 9 iitwayo Burger Movie Selfie


“Tino mtu wangu una mapepo au?” aliuliza Tonny 

“Acha tu man hii kazi ya round hii ngumu sana” alisema mtaalam


“hivi unatoka na mke wa muheshimiwa unataka ufe?” aliuliza “sema tu Mzee anakuelewa ingekuwa mtu mwingine ungekuta ashakufa siku nyingi, vipi ulimla?” aliuliza Tonny


“hahha, hapana sikula” alidanganya lakini sisi tunajua alikula


“hahahaaa, pole sana” Tonny aliongea


Wakiwa wanaongea pale simu ndogo ya Tino iliita wote wakaiangalia na kucheka kwani alikuwa anapiga Tina “zima redio hiyo” alisema mtaalam na Tonny akazima


“Hallooow” alipokea


“hallow Tino mbona kimya hivyo jamani” alisema binti


“daaah sina bando ndiyo maana niko kimya” alijibu kwa mkato


“sawa mwaya ngoja basi nikutumie bando, halafuu ninaumwa” alisema binti


“unaumwa na nini tena Tina” alisema


“naumwa na tumbo sana mpenzi” 


“pole sana Tina jamani umemeza dawa?” aliuliza


“hapana jamani sina dawa mpaka niende duka la dawa usiku huu jaman ni mbali sana eti, halafu nnahisi usiku huu nitaingia period” binti alisema kwa sauti yenye upendo aliamua kumpa siri zote jamaa ake


“hooooh, na nilitaka kesho nije tunaniliu” alisema jamaa


“haahahaa kwenda huko mi chitakiii” alisema vizuri na kwa furaha


“hahahaa haya basi hakikisha tumbo linapona hilo” alisema Tino


“sawa baby ngoja basi nikuunge kifurushi hicho jamani tuchat unitie hata moyo” alisema binti


“poa maa” alisema mtaalamu


Baada ya kukata simu Tino alimtazama Tonny akamuona jamaa amefurahi anatabasamu ikabidi Tino acheke


“eeeh” Tonny alisema “hivi unajua aka kademu kameshakuelewa mwanangu usikatendee makosa” alisema Tonny


“kwa hiyo na wewe unanishauri nipige mkuu aniuwe?”alisema


“hapaaaaana piga kwa siri……halafu man tumemiss nyimbo zako nipe mistari” alisema Tonny na kumpa gitaa ili jamaa aanze kuimba


“Ooooooooh, sura yakeee ni mtoto mzuri sana kama malaika


Oooooooo, umbo lake ni lawama, mi naburudika


Ejapo nikikaa karibu yake huwa ninapata tabu sana


Endapo aliniambia kwamba nimuache kisa mheshimiwa” aliimba wote wakacheka kwa nguvu mpaka wale washikaji wawili wakaingia ndani ili jamaa aendelee kuwapa mistari maana alijua kuimba sana 


****************

Sasa siku moja Tino alikuwa na binti ufukweni wakiwa wanakula maisha na Tina wakiwa wamevalia tisheti zao zilizokuwa zimeandikwa TinaTino.


“ila Tino tunaendana sio siri” alisema binti


“hata mimi nimeshaona, natamani niendelee kukaa na wewe hapa hapa kipenzi una penzi tamu kushinda wanawake wote”


“Tino wewe ni mwanaume ambaye nakupenda kweli tazama mimi nakupenda katika hali ya umasikini hivi jamani na kazi nimekutafutia” alisema binti


“Tina naomba tuzae wawili” alisema mtaalamu


“mmmmh Tino” binti aliguna akiwa anatabasamu


“ndiyo baby utakubali kuzaa na mimi kweli” aliuliza jamaa


“ndiyo mpenzi nitakubali” alijibu Tina wakaanza kunyonyana mate mara kwa nyuma ikasikia sauti ya kukoki bastola krrr ikabidi waachiane na kutazama nyuma


Macho yaliwatoka walikutana na uso wa Waziri Regnald pamoja na wapambe wawili wakiwa wamewanyooshea bastola.


Tina kwa uoga aliinuka na kuanza kukimbia huku Tino akibaki chini


Pah puuh paa prrrrrrrrrrra” sauti ya risasi zilimiminwa kwenye mgongo na kichwa cha Tina, Tina akadondoka kwenye maji ya bahari huku damu zikimtoka nyingi


“Tinaaaaaa” Tino aliita kwa uoga akiwa haamini kile anachokiona na yeye akala moja kichwa Paaaah alishtuka katika usingizi mzito kumbe alikuwa akiota “Tina” alisema kwa uoga na kuinuka akaketi kitandani kule kule alipolala jana yake


“Vipi unaota ndoto ya kutisha Tino” ilisikika sauti ya kike pembeni yake kumbe kulikuwa na msichana aliyekuwa amekuja pale asubuhi ile ile na alikuwa ni mpenzi wake kuanzia zamani kabla hajakutana na Tina


“Tino mambo” aliuliza


“safi umefika sa ngapi hapa saa ngapi Tuma” aliuliza mtaalam


“saa nyingi sana mpenzi nimekukuta ukiwa unatoa jasho jembamba ulikuwa unaota nahisi” alisema


“ndiyo nilikuwa naota ndoto ya kutisha sana” alisema


“haya bwana, vipi lakini mpenzi mbona kama umenisahau sana siku hizi nimekukosea nini lakini sweetie” alisema yule binti


“Nilikuwa bize kikazi, nimekuja kusalimia kidogo huku niondoke leo leo”


“sawa mpenzi” binti alisema na kumsogelea Tino kwa karibu akitaka kumpa denda


“ngoja kwanza nikaswaki halafu nije unipe mambo nimemiss sana” alisema


“hata mimi jamani”


Tino alichukua mswaki na kutoka akiswaki uwani na kurudi baada ya dakika mbili, ambapo alimkuta binti akichezea guitar yake.

Binti alipomuona Tino akaiweka ile gitaa pembeni kidogo na kuinuka akamkumbatia wakaanza kunyonyana mate.


Ile wanapapasana tu hivi, simu ya Tino ikaita na aliyekuwa anapiga ni Tina. Hakutaka kuipokea ili kuepusha ugomvi


“Pokea simu” binti alisema kwa hasira na kuitazama “Tina ndo nani?” aliuliza


“hapana si…” alitaka kuongea lakini binti akampokonya ile simu na kuipokea 


“Hallo Tino” alisema Tina


“Hallo…..” aliongea kwa uoga


“mbona nimeota unanisaliti mpenzi” alisema Tina

“si unaona sasa kumbe ni Malaya wako huyu” Tuma aliongea kwa hasira na kuipokea ile simu akaanza kuongea mwenyewe “we Malaya ndiyo unatoka na mwanaume wangu usiniletee kisirani mbwa wewe, achana na mwanaume wangu tafuta wa kwako” Alisema Tuma maneno ambayo alimsabaisha Tina kuishiwa nguvu kabisa………………..ITAENDELEA 


UNO LA MASIKINI 12

 

B Y AB©?

“si unaona sasa kumbe ni Malaya wako huyu” Tuma aliongea kwa hasira na kuipokea ile simu akaanza kuongea mwenyewe “we Malaya ndiyo unatoka na mwanaume wangu usiniletee kisirani mbwa wewe, achana na mwanaume wangu tafuta wa kwako” Alisema Tuma maneno ambayo alimsabaisha Tina kuishiwa nguvu kabisa


Endelea

Tuma aliamua kuikata ile simu na kuitupa pembeni na kuanza kumletea Tino noma sana alitaka hata kumpiga


“nini kinakuchanganya wewe mwanaume kwani mimi ni kitu gani nisichokupa wewe mwanaume” alisema binti kwa hasira hadi lengo la kufanya ngono liliishia pale pale


“Wewe unanipaga hela?” aliuliza mtaalam


“nikupe hela kwani wewe si mwananume, mwanaume anatakiwa ampe mwanamke hela na sio mwanamke ampe mwanaume hela ok?” alisema binti


“sasa mbona yeye huyu Tina huwa ananipa ina maana mimi ni mwanamke au” aliongea maneno ambayo yalimkatisha tamaa binti hadi kelele zikaisha 


“kwa hiyo unampenda kisa anakuhonga sio?” aliuliza binti


“ndiyo ninampenda kwa kuwa ananihonga kwanza sikia huyu binti mi amenipenda katika hali ya umasikini wewe kama hukujua nina kazi na pia nina nyumba nzuri kama hii, ungenipenda? Tena nakumbuka kipindi chote nilichokuwa sina kazi ulinikataa ila nilipopata kazi tu ndo ukaanza kujipendekeza, acha nimpende anayenipenda katika hali yoyote, mfano leo nikifukuzwa kazi naamini utaniacha ila yeye hata kazi hajui kama ninayo” alisema Tino na kuibeba simu “tizama hii message hiki kifurushi cha 10000 cha mwezi ndiyo kanitumia wewe ushawahi kunitumia hata cha jero?” Aliongea mtaalamu kwa hasira


“Tino yasiwe hayo mimi kweli nakupenda” alisema binti


“basi mimi sikupendi nampenda huyo aliyenipigia simu” alisema mtaalam


“sawa Tino mimi umeshanichezea ndo unaniambia hivyo leo”


“sijakuchezea mimi, mbona hata wewe umenichezea sana pesa zangu, mi sikutaki tena, kwanza wewe utaniua masikini” alisema Tino akaenda kufungua mlango “toka nje” alisema kwa hasira


“Tino” binti aliita


“usilitaje jina langu mimi, embu wewe toka na ufuate mambo yako nisikuone tena hapa ndani nitakupiga” alisema Tino


“sitoki” Binti alikataa na kuketi


Tino alienda mpaka kwenye droo akatoa bastola na kumnyooshea “tokaaaa” alisema kwa hasira binti akaogopa na kuinuka akatoka


Tino aliufunga mlango akavuta pumzi ndefu na kuivuta simu mkononi kisha akampigia Tina


Tina alipokea simu huku akiwa analia “Tina” mtaalam aliita


“sitaki uniite Tino” alisema binti huku akilia sana “sitakiii, na usilitaje jina langu Tino” alisema binti 


“nisamehe Tina please nisamehe mpenzi huyu ni mwanamke wangu wa zamani alikuwa ananipendaga sasa alipokuta umeniunganishia kifurushi akaona wivu”


“no Tino nyie wanaume ni waongo sana, usinidanganye nimeshaumia sana naona kama penzi langu kwako ni la kutesana tu”


Tino naye ghafla alianza kulia bila kuelewa machozi yanatoka wapi kumbe kwa kifupi na yeye alikuwa ameshakolea kwa mtoto Tina “Tinaaa, hihihiiiii usinifanyie hivi mi ninakupenda kweli naapa kwa mwenyezi Mungu” alisema Tino 


“unanipenda usiniigizie mapenzi najua unaye umpendaye ndo maana mwanzo ulinikataa” alisema binti


“no Tina kweli nakupenda mpenzi mimi nifanyeje ili uamini jamani Tina angalia navyolia kwa ajili yako” alisema mtaalamu


“fuata maisha yako bwana, mimi mwenyewe umeshanikera sikuhitaji tena” alisema binti na kukata simu.


Tino alibaki ndani akilia sana hakujua hata afanye nini “mimi ninakupenda Tina wewe hujui tu” aliongea mwenyewe ndani, akainuka na kuvaa vizuri halafu akatoka bila hata kupanga vitu huko chumbani


Kutokana na kwamba mbezi shule sio mbali sana kutoka Mwenge, ilimgarimu dakika 18 tu kufika kwa binti kwani alienda na pikipiki, Tina alikuwa ndani akimeza panadol kutokana na maumivu ya tumbo hasa kwa sababu alikuwa kwenye menstrual period.


Alisikia mlango umegongwa “karibu” alisema binti na Tino alizama ndani


“Tina” aliongea Tino binti akashtuka baada ya kumuona tena akiwa amevaa zile nguo alizomletea na raba


“umekuja kutafuta nini ndani kwangu wewe mwanaume” alisema binti


Tino hakupoteza mda alimsogelea na kushusha magoti chini “Tina nisamehe mpenzi” aliongea mtaalamu kwa huzuni ndipo Tina akaamini kwamba kweli jamaa ameshampenda sana


“Tino upo sawa” alisema binti na kuchuchumaa kidogo akamshika mabegani


“Sipo sawa Tina naomba unisaidie japo msamaha wako ninapata tabu mimi tayari nimeshakupenda” alijikuta akimtamkia maneno hayo mpenzi wa boss wake


“Jamani Tino” binti alisema kwa huku akimuwekea ulimi mdomoni na kuinuka wote wakinyonyana mate na kukumbatiana huku wakipapasana kila sehemu ya miili yao


Msamaha ulikuwa umeshapitishwa na binti, hii ni baada ya Tino kumuonesha mapenzi ya dhati kutoka nyumbani na kumfuata binti ili amuombe tu msamaha, binti alimkumbatia kwa nguvu


“Tinaa” Tino aliita baada ya kuachia ulimi wa binti


“abee mume wangu” binti alisema kwa hisia kali na kumvuta Tino kwa karibu zaidi ili at least vifua vibanane kwa ukaribu zaidi


“Naamini nakupenda sana babe siogopi vitisho tena japo najua nipo katika hatari kubwa”


“usiseme hivyo Tino mimi nipo tayari kufanya chochote kwa ajili yako” alisema binti na kupeleka mkono kwenye suruali ya jamaa akakuta tayari amesimamisha binti alianza kupapasa dudu ya jamaa


“jamani unaponipapasa hivyo nasikia raha natamani ningepata kidogo tyu” alisema kwa hisia


“nikunyonye?” binti aliuliza na kuanza kuchuchumaa taratibu


“subiri kwanza nikafunge mlango babe mi sijiamini nikiwa hapa” alisema mtaalamu na kwenda mlangoni akafunga mlango na kurudi akamkuta binti akiwa ameketi kitandani huku akimtazama kwa furaha kwani alihitaji hata ampe penzi sema ndo hivyo alikuwa MP


Tino alisimama mbele ya binti na kunyanyua tisheti akaivua, huku binti naye alikuwa anafungua mkanda wa jamaa na suruali ikadondoka chini


Aliona jamaa amevaa Boxer kali ya bei ambayo jamaaa hakuwa nayo kabla na pia hakuwa na hadhi ya kuimiliki boxer ile kutokana na kwamba alijua jamaa ni masikini sana


“Boxer yako umenunua lini?” aliuliza binti, kumbe lijamaa lilipofika kule geto kwake Mwenge lilivaa boxer mpya maana nyumba ile ilikuwa na vitu vyake vya thamani sana


“Jana ndio nimeona wanauza kwa bei rahisi nilikuwa na buku tano nikainunua mnadani” alisema mtaalam


“mmmmh hizi huwa wanauza 15000 itakuwa walikupendelea mpenzi” binti alisema na kuishusha kidogo akaushika mtarimbo wa jamaa akaubusu kichwani halafu akauingiza mdomoni wote na kuuchomoa 


Aaaaash” Tino alisema kwa utamu aliosikia binti akamtazama na kutabasamu kulingana na utamu aliokuwa anampa mtaalamu


“una uboo mtamu” alisema binti na kumpapasa tumboni akauzamisha tena mdomoni 


“haaaaaash” Tino alilalamika binti akaanza kuunyonya kwa raha zoteee…………. 


UNO LA MASIKINI 13 ??


??©?™?

Siku ya jumapili asubuhi na mapema Waziri Regnald Mwasoka alikuwa ameketi nyumbani kwake. Mkewe alikuwa anaenda kanisani lakini lizee siku hiyo halikuwa na mzuka wa kwenda kusali kabisa


Baada ya mke kuondoka mzee alichukua simu yake na kumuandikia sms Tina “lile ombi la kunizalia mtoto mbona haukujibu” alituma


Tina naye alikuwa ndiyo amemalizia siku yake ya mwisho katika siku zake za mwezi aliinuka na kuifata simu kwenye chaji akaifungua sms “Sawa mpenzi nimekubali” aliandika sms kama hiyo alisema kwamba yupo tayari kumzalia mtoto mmoja


Vivyo hivyo Tino alikuwa amelala kwa Dickson, bado Dickson alikuwa hafahamu kwamba yule jamaa hana kazi na alimdharau sana kwa sababu alikuwa anaishi kwake. Sms iliingia kwenye simu yake

“Ujiandae saa kumi na mbili jioni ndipo Mido anaingia nchini hakikisha unaenda kushuhudia suala zima la madawa ukimkuta emebeba madawa tafadhali umkamate na nitakupa zawadi nono, halafu suala la kumpeleleza Tina naomba uliache kuanzia leo” alisema waziri


Kumbe Tino alipokutana na Tina nia yake ilikuwa ni kumpeleleza haijulikani kwa nini lakini Tino yeye alikuja kuzama katika mapenzi mazito na binti

“Sawa mkuu” alijibu Tino na kufuta ile message kisha akainuka akatoka nje mara akamkuta Dickson akiwa Anaongea na Jane


“Mambow Tino” binti alimsalimia Tino


“Safi, vipi?” alisema mtaalam huku akimuangalia, ile sura haikuwa ngeni kwake


“safi nimekutembeleeni asubuhi asubuhi yaani kumbe hata chai hampiki” alisema binti


“hahahahaaa, samahani unajua sijakupata ila sura yako sio ngeni”


“Jane rafiki yake na Tina bwana uliyetukuta kule ufukweni ukamuua na yule nyoka hukumbuki?” alisema binti


“ahaaaaaa okay okay okay, I now remember you” alijikuta amechanganya kimombo wakati anakumbuka kuna siku Tina alimuambia kwamba Tino hajui kiingereza “Ina maana wewe sa hivi ni shemeji yangu pande zote yaani kwa Tina na pia kwa Dickson” alisema Tino


“Hahahaaaaa, ndiiiiyo” binti aliitikia ikabidi Dick naye acheke


“Mlikutanaje kwa mfano mbona mi sielewi elewi hii kitu” alisema mtaalam


“acha tu, story ndefu shem lake ila wewe ndio chanzo cha sisi kukutana, ok isiwe kesi bwana vipi Tina sijamuona kitambo mimi nilihama kule”


“yuko powa sana binti yule though ni kama siku tano sijamuona ila tunachati”alisema mtaalam


“ok powa mwaya”


“haina noma ngoja mimi niondoke nikuachie nyumba mama mwenye nyumba, ila usimpe huyu jamaa sawa” alitania wote wakacheka


“jamani hhaahaa simpiiiii” alisema binti


Tino aliondoka na kwenda zake mtaani kuzunguka zunguka leo alikuwa hana mishe ya kufanya mpaka jioni alitakiwa akamkamate Mido uwanja wa Ndege wa Nyerere

Hata hivyo Tina naye leo alitoka nyumbani, alienda mpaka maeneo ya V&B Pub kuna mtu alikuwa anaenda kuonana naye


Ejapo ilikuwa asubuhi sana lakini Tina alikuwa anawahi sana


“Nimeshafika hapa Makumbusho” Aliandika sms baada ya kufika makumbusho


“Njoo mpaka maeneo haya ya ofisi zetu za Tigo” alisema mtu aliyekuwa anaenda kuonana naye na hakuwa mwingine alikuwa ni yule kijana aliye renew laini yake siku ile akamwambia achukue namba


“kwa mguu?” binti alihoji maana yeye kwa namna alivyokuwa anang’aa kwa kweli isingewezekana atembee kwa mguu


“panda pikipiki mwambie akulete hapa bar kwa Mzee Minja basi” alisema mtaalamu huku akiwa na hamasa sana ya kumuona mtoto wa kike


“Pouwah” binti alijibu na kusogea kidogo pembeni mwa stendi akapanda bajaj mpaka maeneo hayo ya V&B Pub ambayo ilikuwa maarufu sana kwa jina la Bar ya Kwa mzee Minja


“Karibu” alisema yule kijana baada ya kumuona binti akiwa ameng’aa


“asante Jeff, mbona pako wazi sana hapa” alisema binti


“mmmmh pako wazi sana kwani tuhame?” aliuliza Jeff 


“ndiyo au kama kuna sehemu kidogo ya kuingia ndani tuingie mimi sipendi kukaa maeneo kama haya jamani kila mtu akuone barabara yenyewe ndo hii hapa” alisema binti “tena magari ya Mlima wa moto nayaona pale wakati ndo kanisa langu nalosali” alisema kwa hasira


“dada jamani ingieni hapa ndani hamna mtu atawaona” aliongea muhudumu wa bar ile


“hapo sawa” alisema Tina na kuingia mule ndani kulikuwa na sehemu nzuri ya kukaa,


Basi na Jeff alimfuata wakaketi pamoja na kuagiza vinywaji


“Christina unakunywa nini” aliuliza yule jamaa


“Naomba Juice yoyote ya passion” alisema binti


“haunywi bia?” aliuliza


“nope situmii kilevi chochote” alisema binti


“sawa, wewe dada” Jeff alimuita muhudumu “mletee huyu dada Juice ya passion”


“sawa kaka J” alisema yule muhudumu maana alimjua Jeff kwa mda mrefu alikuwa ni mteja wake


“Ulisema unakaa Mbezi ee” Aliuliza mtaalamu


“Yes, wewe unakaa wapi?” aliuliza binti


“nakaa huko Victoria” alisema Jeff


“ok powa, sasa leo jumapili mbona umekuja huku?” aliuliza


“iyaa, nimekuja tu kuzurura baada ya wewe kuniambia utakuja tuonane” alisema binti


Kule kaunta kuna vijana wawili walikuja na kuagiza Castle Lite mbili mbili halafu wakaelekea mpaka ndani ambapo binti ndipo alikuwa ameketi akinywa Juice


“Haaaaah Tina” walianza kumshobokea Tina akashtuka sana “Mambo” alisema mmoja kati ya wale vijana


“Powa vipi” aliongea binti huku akiwa anamshangaa bila kumtambua yule kijana na amelijuaje jina lake.


“safi tu upo huku” aliuliza


“nipo lakini samahani mimi sikukumbuki ujue” alisema binti huku akiwa anatabasamu kidogo


“mimi naitwaTonny” alisema yule jamaa


“Toniiiiiii, Toniiiiiii, mh ili jina sio geni kwenye masikio yangu”


“ahaa ni rafiki yake Tino, kuna siku nilimpa lift ya kwenda Boko mkiwa pale Mbezi shule”


“ahaaaaa nimekumbuka sawa kabisa” binti alisema kwa mshtuko na kwa uoga akijua lazima taarifa zake za kuwa bar na mwanaume mwingine zitamfikia Tino


“hahaahha, haya ngoja sisi tunywe” alisema Tonny na kumnyooshea kidole cha kumuonya binti kuhusiana na usaliti anaoelekea kuufanya kwa mshikaji wao au pia kwa waziri


Tonny alipoondoka wao waliendelea na story kama kawaida


“Kumbe huku unajulikana eti” alisema mtaalam


“hamna huyu ni wa kule kwetu mbezi ndiyo maana amenijua sio wa huku” binti alijitetea kwa uongo maana Tonny sio wa mbezi


“haya bwana, lakini Tina unaonaje leo tukawa wote mpaka kesho” alisema Jeff


“weee, na mke wako umuachie nani?” aliuliza binti


“mimi sina mke ndiyo natafuta mke sasa” Jeff aliongea


“mmmmmh sijui bana”


Mara dakika mbili sio yingi ikaingia sms ya Tino, ikabidi Tina aifungue kwa siri “Uko wapi Tina?” aliuliza Tino kitendo kilichofanya moyo wa Tina upige Paaaah kwa uoga


Alijua tayari taarifa imeshamfikia Tino kwamba yupo na mwanaume mwingine, akihofia yule kijana aliyemshobokea pale ndani ambaye ni Tonny


Binti moyo ulijaa barafu akaganda dakika nzima akifikiria amjibu nini Tino, sms nyingine ikazama “Uko wapi mbona haujibu Tina” Tino aliandika tena……





Tulipoishia

Alijua tayari taarifa imeshamfikia Tino kwamba yupo na mwanaume mwingine, akihofia yule kijana aliyemshobokea pale ndani ambaye ni Tonny


Binti moyo ulijaa barafu akaganda dakika nzima akifikiria amjibu nini Tino, sms nyingine ikazama “Uko wapi mbona haujibu Tina” Tino aliandika tena


Endelea

“mbona umeduwaa tena Christina” Jeff aliuliza


“Naomba niondoke Tino nanilii Jeff” alijikuta anaongea na kuchanganya majina bila kuelewa afanye nini


“Unaenda wapi sasa jamani hata hatujaongea vizuri” Jeff alisema na kumshika binti mkono


“Niachie…….Mume wangu ameshajua niko na mwanaume mwingine naomba please uniachie mimi ni mke wa mtu” binti alisema na kujikwamua kwa mtaalamu


“mmmmh sasa basi ulipie ulichokunywa” jamaa alisema kwa hasira maana alijua anamla kirahisi


“hilo tu, na wewe nakulipia pia?” binti alisema kwa dharau 


“daaaah” alisema mtaalamu


Tina alienda mpaka kaunta na kusimama, “bili yangu na ya yule kaka pale ni shi ngapi” aliuliza huku akiishika pochi yake na kufungua


“10200 (elfu kumi na mia mbili)” alisema muhudumu


“haya kata hapa” alimpa elfu kumi na tano, halafu akamuangalia Tonny aliyekuwa anakunywa pale nje kidogo pamoja na wenzake


“Jamani Tonny kwanini umefanya hivyo” alisema binti huku akisikitika


“Nimefanya nini tena Tina” aliuliza


“umempigia Tino ona sasa ameshakasirika” alisema binti na kupokea change kisha akasogea hadi kwenye meza ile ya kina Tonny


“heee mimi sijaongea na Tino kabisa kwani kakuambia kwamba nimesema kwamba upo hapa” aliuliza


“hapana ameniandikia message mbili za hasira kuonyesh kwamba amekasirika sana halafu mimi kwa haraka haraka nikajua umemuambia”


“hapana wewe ndo umechukulia ametuma kwa hasira kumbe yeye anaweza akawa hata hajatumia hasira kabisa yaani embu mpigie maana mi sijamuambia kweli Tina” alijitetea mtaalam


“subiri” alitoa simu mfukoni akaitoa lock na kutazama kulikuwa na message zingine mbili


“daaah upo bize mpenzi mi nilitaka nikutembelee kidogo tu hapa maana sina kazi yoyote” alituma sms Tino ya pili ilisema “mana nimemiss sasa purukushani zako za kunyonyaga” alisema mtaalam binti alisoma akatabasam huku akiufunika mdomo wake kwa furaha


“vipi” Tonny aliuliza


“nimefurahi sana kuona sms zake kumbe hajakasirika kweli, ngoja nimpigie” alisema binti na kuweka simu sikioni


“Mrembo Tina” alisema Tino


“handsome T” alisema binti kwa hisia kina Tonny wakatabasamu


“mbona haujibu text zangu ulikuwa unachepukaaa” alisema binti


“aaah wapiii” alisema binti “nilikuwa napiga story na mtu mmoja anayekujua”


“hahaha wa wapi” alisema mtaaalamu


“wa huku huku mbezi”


“mh ananijua mimi?” aliuliza mtaalam


“ndiyo subiri ntakueleza baadaye kidogo mpenzi wangu” alisema binti


“powa baby” alisema na Tina akakata simu


“unaona sasa hajajua upo huku kaendelee kupata unywaji”


“hapana sina hamu ya kunywa tena, kwanza ngoja nikachukue juice yangu nimeacha pale na nimelipia” binti alisema na kurudi ndani akamkuta yule jamaa anaendelea kunywa hana wasiwasi


“keti unywe usiogope bwana acha kuwahi wahi”


“hapana ngoja nikakae na marafiki zangu wewe umeshanikera kwanza” alisema binti na kutoka nje akaketi na washkaji akamimina juice na kuendelea kunywa


Lakini kina Tonny hawakukaa sana waliondoka wakiahidi kurudi muda sio mrefu. Binti naye akaona asepe


Binti alipojaribu kuinuka pale alipokuwa ameketi alishangaa anashindwa kuinuka anarudi chini “mh” aliguna huku akijiuliza maswali kwamba imekuwaje


Kumbe wakati yule jamaa alipobaki na ile juice kule ndani aliamua kuitia madawa ya kulevya, kwa hiyo binti alivyoichukua anywr ilikuwa tayari ni hatari kwa afya yake.


Jeff kumbe alikuwa muhuni aliita bajaj ikapaki pale mbele ya pub na yeye akamfuata binti “Tinaaa” mtaalam aliita na kumvuta mkono


“niachie” binti alisema kwa sauti zege ambayo ni ya kulewa tayari lakini kulingana na ulevi Jeff alimkokota kirahisi akamshawishi mpaka binti akazama ndani ya bajaj


“Vipi Tina” alikuwa akimuita ili kuchunguza kama binti amelewa vizuri


“Tafiii……” mdomo ulikuwa mzito “tu…tu…tunaenda wapi?” aliuliza binti bila kujielewa mara akakat moto na kumdondokea Jeff huku bajaj ikitembea


Jeff alimpeleka Tina hadi kwenye lodge moja halafu dereva bajaj akamsaidia wakamuingiza ndani, nia yake alitaka ale naye uroda tu binti yule


Alimlaza kitadani binti akiwa bado amekata moto kwa kilevi kikali alichowekewa kwenye juice, Jeff alianza kumvua nguo zote binti akabaki na chupi tu halafu Jeff alivyokuwa muhuni akatoa simu ili arekodi tukio zima alilokuwa akimfanyia binti yule.


Alianza kurekodi bila sura yake yeye kuonekana lakini ya binti ikionekana akiwa hoi, halafu alitoa mashine yake na kuipaka mafuta akitaka kumuingizia binti.……………..JE NINI KITAFUATA 


UNO LA MASIKINI 15 ??


??©?


Tulipoishia

Alianza kurekodi bila sura yake yeye kuonekana lakini ya binti ikionekana akiwa hoi, halafu alitoa mashine yake na kuipaka mafuta akitaka kumuingizia binti. 


Endelea

Ghafla mlango ulipigwa teke paaaah wahuni wakazama mpaka ndani, kutazama hivi ni Tonny na wenzake analinda heshima ya shemeji yao huku wakiwa wameshika visu wote wawili


“wewe kima” Tonny aliongea kwa hasira na kumvamia Jeff akamtupa kule halafu akamchukua shuka na kumfunika mtoto wa kike


Yule jamaa mwingine alimpiga teke la maana usoni, akiwa chali chini halafu akamkanyaga shingoni kwa nguvu


“Unamjua huyu demu au una hamu ya kugongwa fala wewe” alisema yule jamaa mmoja akiwa na hasira kuliko hata Tonny


“diididiiiiachie shigoo” kulingana na kubanwa shingoni alishindwa kuongea vizuri yule jamaa


Tonny alimvamia akampiga mangumi ya maana halafu akamchana chana na kisu usoni ili amuachie alama ya milele makusudi tu

****

Basi baadaye mida ya saa 9 jioni Tonny alikuwa kwenye nyumba ya rafiki yake mmoja wa kike huko Mwenge aitwaye Asma, hapo ndipo alimpeleka Tina baada ya kukata moto, Tina naye alikuwa ameshashtuka kwenye kukata moto


“jamani nipo wapi hapa” aliuliza Tina


“Wangekuuwa wale majamaa sio wazuri walikuwa wanataka wakuzalilishe mtandaoni usiwazoee kabisa” alisema Tonny kwa hasira


“jamani kwani ilikuwaje” aliuliza


“Jeff alikuwekea madawa alitaka akakufanye mambo tumempiga sasa” alisema Tonny


“acha utani Tony bhana” alisema


“ndo hivyo, sasa sikiliza tutoke hapa nina shughuli ya kwenda kufanya kazi ya muhimu sana, twende tutoke nje” alisema Tonny


Tina alishuka kitandani akaomba maji ya kunawa uso halafu akabeba pochi yake na kuhakikisha usalama wa vitu kisha wakatoka nje na kumshukuru Asma halafu wakaondoka zao na kwenda mpaka barabarani maana kulikuwa sio mbali


“sasa Tina mi nakuitia bajaji uondoke urudi nyumbani ukapumzike halafu mi nitakucheki wewe nitajie tu namba yako” alisema na kutoa simu mfukoni akamkabidhi binti na kuandika ile namba,


Kumbe bwana Tino hakuwa mbali alimuona binti akiwa amesimama pembeni mwa barabara pamoja na Tonny, Tino alikuwa kwenye foleni kubwa hivyo alipata fursa ya kuona wakiwa wanapeana namba, roho ikamuuma sana lakini hakuwa na cha kufanya alitulia tu hakutaka kupaniki alitaka kufahamu mwisho wa namba hiyo aliyopewa Tonny itakuwaje


Basi foleni iliachia, Tino naye akaelekea uwanja wa ndege kuhakikika anaenda kufanya kazi yaliyoagizwa, pia Tina aliagana na kumshukuru sana Tonny kwa kumsaidia halafu akaondoka zake na kusepa mpaka getoni ndipo alipoenda kumkuta dullah akiwa anasikiliza muziki sebleni


****

Wiki nzima iliyofuata nchi nzima ilikuwa na habari moja ambayo iliiongoza matukio ya nchi nzima kila gazeti liliandika kuhusiana na habari ya msanii chupukizi Mido Baby kukamatwa na madawa ya kulevya gramu mia saba katika tumbo


Hata hivyo tukio hili lilimuuhusisha vikali meneja wake afahamikae kwa jina la Papaa Makudo kumfanya binti huyo aingie katika sakata hilo ili amsaidie atoke kimuziki


Waliswekwa jela kwa hukumu ya miaka 30 bila kuwa na mzamana kabisa.


Rais alipongeza sana jeshi la polisi kwa kazi nzuri huku akimpongeza pia Waziri wa sanaa na michezo kwa juhudi nzuri anayoifanya kuhakikisha nchi ipo salama hasa kwa vijana ambao ndio taifa la leo


Wakati story hizo zikisambaa mtandaoni binti alimpigia Tino simu


“Agustino” alimuita jina lake full


“ahahaa tangu lini ukaniita hivyo Tina?” aliuliza


“kila siku ntakuita tukishafunga ndoa mamboooo lakini” aliuliza


“mi niko poa ila nimekuwa mzito sana siku hizi hadi nashindwa kutembea”


“kwanini?”


“zimejaa baby”


“ahahahaha nini hizo zimejaa?” aliuliza


“Nyeeeee” aliongea kwa mkato binti akacheka sana


“kwendraaaa ukoo, mimi sipendi utani wako haufananii utani unasababisha kila saa nataka unisugue” alisema binti


“haahaahaa na sina mpango wa kukusugua namuhofia mheshimiwa wako” alisema kwa utani


“aku hana jipya yule halafu baby msanii wako kakamatwa umepata taarifa?” aliuliza binti


“ndiyo ninazo sana tu yaani acha akamatwe tu?” alisema mtaalam binti hakujua kama jamaa ndiye aliyehusika katika kumkamata


“Sawa bana kumbe humpendi kumbe we muongo”


“simpendi hata kidogo Tina siku moja nitakupa siri ya maisha yangu ila tu ni pale tutakapotoroka na kwenda mbali au pale utakapoachana na waziri huyu ambaye namuogopa” alisema Tino


“oooh nitafurahi baby ngoja birthday yangu akinipa zawadi ya gharama nitaiuza tukimbie tukaishi zetu hata nje ya nchi ila please usinisaliti


“usijali mpenzi”


“ninafurahi ukiniita mpenzi, baby nataka nikununulie smartphone” alisema binti


“nope usininunulie mpenzi, nitanunua mwenyewe” round hii Tino alikataa, na alikuwa na sababu


“utanunua lini sasa” aliuliza


“wiki hii hii kuna sehemu ninavuta mnyama subiri tu honey” alisema mtaalamu


“haya baby, sasa hivi unaonekana una maisha mazuri kuliko zamani” alisema binti


“ndiyo umenibadilisha sasa hivi nahisi ninaelekea pia kupata kazi” alisema mtaalam


“lakini Tino naomba kitu kimoja” alisema binti


“kitu gani honey?” aliuliza


“ninataka mtoto mmoja mimi na wewe hivi karibuni” alisema binti


“nooope” alikataa


“kwanini hutaki Tino” Binti aliuliza



ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog