Search This Blog

Thursday 9 March 2023

BALAA LA MBUZI KAGOMA - 4

   

Chombezo : Balaa La Mbuzi Kagoma

Sehemu Ya Nne (4)




 


“ Kwahiyo Mganga nyote ndio kiboko ya dawa za nguvu za kiume?” Aliuliza Sele.


 


“ Ndio, yule mzee ni kiboka. Kama unasema Zubery naye kawa mashine bila shaka itakuwa dawa kachukua kule.” Aliongea hans.


 


Sele bila kupoteza muda aliondoka akaelekea kwa mganga nyota. Alimkuta mganga nyota akiwa kakaaa nje kwenye mkeka .


 


“ Karibu..” Alimkaribisha sele. Alisimama kwenye mkeka na kwenda ndani.


 


Sela alimueleza shida yake mganga. Mganga alimtoa wasiwasi. Alimuambia ahesabie shida yake imeisha.


 


“ Kabla sijakutibu inabidi ujue gharama. Gharama ya hii huduma ni Tsh laki moja. Yaani dawa yangu nauza laki moja.’ Aliongea mganga nyota.


 


‘ Hela sio tatizo , la msingi ni hiyo dawa ifanye kazi.’ Aliongea sele.


 


“ Kuhusu kufanya kazi hilo ondoa shida. Naomba mtoe nyoka wako nimtibu sasa hivi.” Aliongea mganga. Sele alifungua zipu na kumtoa nyoka wake. Mganga nyota alisimama na kwenda chumbani, sekunde kadhaa mbele alikuja akiwa na pampu ya baskeli.


 


Alimsogelea sele na kuweka valvu ya pampu kwenye nyoka wake.


 


“ Mmmmh! mbona sielewei. Mbona kama unataka kunijaza upepo ikulu?” Aliulza sele.


 


“ Ndio. Hii ni pump ya miujiza, wewe unaona kama nakujaza upepo lakini ukweli sikujazi upepo, nakujaza nguvu za kiume.” Aliongea Mganga nyota. Aliishika pampu na kuanza kujaza.


 


Sekunde kadhaa mbele baada ya kujaza, Sele hali yake ilibadilika.


 


…………………………………………………………….


 


Nyumbani kwa wema.


 


“ Nitakaa naye vipi mbali wakati yule ni mume wangu? Naanzaje kulala naye kitanda kimoja bila kufanya naye lolote?’ Aliuliza Wema.


 


“ Sifahamu utawezaje, ila naomba ujue hivyo. Mumeo saizi ni hatari, inabidi umuogope kama ukoma. Kamwe usijethubutu kufanya naye mapenzi, pia mkanye ake mbali na wanawake wengineee. Maana ni hatari anaweza kuwaua.” Aliongea kungwi.


 


“ Mmmmmmh!” Aliguna wema.


 


……………………………………….


 


Baaada ya kunyonyana mate na kupapasana kwa muda mrefu, Amina alipanda kitandani na kujilaza, alitanua miguu na kumtaka Zubery aende, zubery alienda, lakini ajabu nyoka wake alikuwa dhaifu sana.


 


“ Mbona sielewi? Kwanini nyoka wangu amekuwa hivi?” Alijiuliza zubery.


 


“ Kaka unashangaa nini? Nimekutanulia. Yote yako.” Aliongea Amina.


 


BALAAA LA MBUZI KAGOMA 12


 


“ Kaka unashangaa nini? Nimekutanulia . yote yako.” Aliongea Amina.


 


Zubery alijitutumua na kupanda kitandani. Alimshika miguu amina na kujaribu kumuingiza nyoka wake.


 


“ Aaaah! sasa utamuingizaje wakati kalala hivyo? Yaani maandalizi yote yale bado nyoka wako kalala?’ Aliuliza kwa mshangao Amina. Alishusha miguu aliyoinyanyua juu na kukaaa. Alimshika nyoka wa Zubery na kuanza kuimba naye.


 


Alimnyonya kwa umaridadi sana, wakati anamnyonya mkono mkono aliupeleka kwenye goroli zake akawa anazibinya binya.


 


“ Eeeeh haya maajabu, yaani kunyonya kote kule hata kushtuka haishtuki?’ Aliuliza kwa mshangao Amina.


 


“ Lakini kwanini unanifanyia hivi wewe askari, hebu zinduka basi. Kwanini unataka kunidharilisha?” Zubery aliongea kimoyo moyo na nyoka wake. Alijaribu mbinu zote kumshtua lakini ilikuwa bure, Nyoka wake alikuwa dhaifu sana.


 


“ Duuuuh! Yaani kujidai kote kula mambo yenyewe ndo haya?” Aliuliza amina. Haraka alishuka kitandani akaenda kuvaa nguo zake.


 


“Naomba tuma ile laki kwenye namba yangu. Umenipandisha mzuka na umeshindwa kunituliza.” Alongea Amina.


 


“ Hapana. Bado kwanza. Usifanye haraka hivyo.”


 


“ Hakuna cha haraka zubery. Tumendaaa kwa muda mrefu sana, na hata kumnyonya nimemnyonya sanaaaa. Naomba tusiendelee kupoteza muda. Nitumie hela yangu habari iishe.”



“ Subiri kidogo..” Aliongea Zubery. Alimsogela Amina na kujaribu kumshika shika tena. Alimtazama na kuvuta hisia za mapenzi akidhani uenda atashtuka.


 


“ Ikiwa hadi kumnyonya nimemnyonya unazani kwakunishika shika tu ataaamka?” Aliuliza kwa dharau Amina. Alimtaka Zubery ampe hela yake aondoke. Zubery alikataa. Alimtaka amina asubiri kwanza.


 


“ wewe kaka kumbe haunijui, nitakishafua hapa mtaa mzima utajae. Naomba nipe hela yangu tafadhali. Naomba tusileteeane uswahili.” Aliongea Amina kwa ukali. Kichwa chake kilishapanda moto. Alimuona zubery mzinguaji.


 


…………………………………..


 


Mganga akiwa anapampu, gafla hali ya Sele ilibadilia,Tumbo lake lilianza kujaa na kuuma.


 


“ Subiri kwanza tumbo linauma.” Sele alimwambia mganga.


 


“ Ndio nguvu zenyewe zinaingia hzio.” Aliongea mganga.


 


“ inatoshaa..inatoshaaaaa…” Aliongea Sele. Mganga aliacha.


 


“ Aaaaa…aaaaaa…” Alilalamika sele.


 


“ Usijali tumbo kuuma ni kawaida, kwanza hizo ni nguvu zimejaa tumboni. Ukienda kufanya litaacha kuuma.” Aliongea mganga Nyota. Sele alitoa hela na kumkabizi mganga kisha akaondoka.


 


“ Leo hidaya atanikoma, mshenzi sana yuleee. Eti..ooo…nakuacha kwakuwa haunifikishi.” Alijiseme moyoni sele. Alipiga hatua kuelekea ghetto kwa hidaya. Tumbo liliendele kumuua lakini alikuwa anajikaza. Alijikaza na kuamini ni swala la muda tu litaacha.


 


……………………………….


 


Baada ya kuona anayomweleza hayatilii maanani, kungwi aliamua kuondoka. Alimuaga wema akaondoka.


 


“ Lakini vipi kama anayosema kungwi ni kweli? Vipi kama Zubery akikutana na wanawake wengine anaweza kuwafanya ahdi wakadhurilika? Mmmh hii si kesi hiii” Alijiambia moyoni wema. Haraka aliingia chumbani kwake. Albadilisha nguo na kutoka nje.


 


Alielekea kijiweni , sehemu amabayo zubery anapenda kwenda.


Alifika. Hakumkuta zubery. Kila aliyemuuliza alisema hajui.


 


“ Huyu atakuwa wapi ?” Alijiuliza.


……………………………………………


 


Zubery kinyonge aliamua kumtumia Amina hela yake. Alimtumia hela yake na kuzisogelea nguo zake.


 


“ Daaah! Nimedharilika kinoma yaaani.” Alijiambia.


 


Lakini akiwa anawaza hayo, gafla alikumbuka kitu.


 


“ Aaaaah! Kumbe. Kwanini nilisahau, kumbe sikumweka mbuzi kagoma ndio maaanaa.” Aliwaza. Alimgeukia Amina na kumshika.


 


“ Saizi itakubali…” Alimwambia.


 


BALAAA LA MBUZI KAGOMA 13


 


‘ Saizi itakubali…” Alimwambia.


 


“Itakubali nini? Yaani muda wote ulokaa hapa isikubali saizi ndio ikubali.” Aliongea Amina huku akimalizia kuvaa nguo zake. Alijiweka sawa na kuelekea mlangoni. Alishika kitasa na kutaka kufungua mlango.


 


Ile anafungua tu mlango, Zubery alimuwahi, alimdaka mkono na kumtaka atulie.


 


“ Kama itakataaa tena nitakuongezea hela.” Aliongea zubery.


 


“ Mmmmmh!” Aliguna amina.


 


“ Kweli amina. Nina uhakika saizi lazima ikubali. Wewe niamini tu mimi.” Alimwambia.


 


“ Hapana Zubery. Naomba niache niende. Nimechoka saizi. Mzuka wenyewe wote umenihama. Sina hamu hata kidogo.’ Aliongea Amina.


 


“ Usinifanyie hivyo bana. Njoo nikuoneshe mimi ni mwanaume rijali.”


 


“ Kuhusu urijali wewe mbona rijali. Wewe mbona kidumeeee.” Aliongea Amina na kuangua kicheko cha dharau.


 


……………………………….


 


Baaada ya kudhurula sana kijiweni kumtafuta Zubery bila mfanikio, Wema aliamua kurudi nyumbani. Akiwa njini alikutana na Rose.


 


‘ Dada mbona kama unahuzuni sana?” Rose alimuuliza Wema.


 


“ Kawaida mdogo wangu vipi mambo lakini?”


 


“ Mambo safi lakini……” Alisita.


 


“ Lakini nini?’


 


“ Mmmmh basi ..” Aliongea Rose.


 


“ Inaonekana kuna jambo mdogo wangu. Haupaswi kuwa hivyo, hebu niambie dada yako lakini nini?”


 


“ Hivi wewe na Zubery mmeachana au?”


 


“ Kuachana, ndoa tumefunga juzi tu leo tuachane? Hapana mdogo wangu kwanini unauliza hivyo.”


 


“ Mmmmh! basi nitakuwa nimefananisha. Maana nimemuona mtu kama yeye akiwa na mwanamke mwingine wanaelekea hope lodge.Kama bado hamjaachana itakuwa sio yeye, maana zubery ninayemjua hawezi kwenda lodge na mwanamke wmingine mchana kweupe hivi.” Aliongea Rose.


 


‘ Ni kweli, utakuwa umefananisha. Zubery hawezi kunisaliti, tena mchana kweupe hivi aende na mwanamke mwingine lodge ni kitu kisichowezekana.” Aliongea Wema.


 


Waliongea mawili matatu wakaachana.


 


Hatua kadhaa mbele , wema aligeuka kumuangalia Rose. Alipomuona katokomea, haraka aligeuza kuelekea Hope lodge.


 


“ Huyu mshenzi kumbe kaenda lodge.” Alijisemea moyoni. Kama mtu aliyechelewa ghali stendi aliongeza mwendo. Alitembea kwa spidi kali sana kuelekea Hope lodge.


 


……………………


 


Sele baada ya kutoka kwa mganga tu, moja kwa moja alielekea kwa hidaya. Alimkuta hidaya akiwa na kanga moja anasugua miguu nje ya chumba chake. Bila salamu sele alipitiliza ndani.


 


“ eeeeeh! Huyu mwanaume vipi?’ Alijiuliza hidaya. Aliacha kusugua miuu akaingia ndani.


 


“ Tabia gani ya kupitiliza moja kwa moja hadi chumbani?” Aliuliza hidaya.


 


“ Halafu mimi na wewe tulishachana. Sina mahusiano na wewe. Naomba acha haya mambo ya kifedhuli.” Aliongea hidaya huku akilisukuma pazia la chumbani kwake. Aliingia. Ile kuingia tu, alimkuta Sele amevua nguo zote. Yupo kama alivyozaliwa kakaaa juu ya kitanda.


 


“ Si ulisema mimi dhaifu njoo nikuoneshe kazi sasa.” Sele alimwambia hidaya.


 


“ Aaaaaah!” Aliduwaa hidaya.


 


BALAAA LA MBUZI KAGOMA 14


 


“ Aaaaaah!” Aliduwaa hidaya.


 


“ unashangaaa nini njooo.” Aliita Sele.


 


“ Usiniletee uchuro wewe mwanaume. Naomba ondoka. Tena ondoka haraka kabala sijakufanya kitu kibaya. Kisima changu hakina shida ya kibamia, kama kufanywa nimefanywa mpaka basiii.”


 


Maneno ya hidaya hayakumwingia akili Sele. Alisimama na kushuka kitandani. Alimsogelea hidaya na kumshika mkono. Alimvutia kitandani.


 


Hidaya alimtoa mkono na kumsukuma Sele.Sele alitua kitandani na kujishika tumbo.


 


“ Mmmmh!’ Aligumia.


 


“ Mtu mwenyewe dhaifu . Kusukumwa kidogo tu unalalamika tumbo. Hebu niondokee usije ukanifia kitandani bure,” Aliongea Hidaya.


 


Sele alikuwa mpole. Kuondoka bila kutimiza lengo lake hakuona sahihi, ubongo wake ulijaa shauku ya kutaka kumuonesha hidaya kuwa yeye ni kidume. Tena ni kidume cha mbegu haswaaaaaa.


 


“ Nifanye nini ukubali! Nimefika hapa kwa ajili yake. Nimekuja kwa ajili ya penzi lako.” Aliongea Sele.


 


“ Kwa leo hapana aiseee. Kwanza tulishaachana.”


 


“ Kuachana sio tija. Mimi na wewe tumetoka mbali. Wewe ni wangu, kwanza kule kuachana ni hasira tu. Maneno yako yaliniumiza sana ndo mana nikaongea vile. Lakini bado nakupenda. Bado wewe ni mtu muhimu kwangu.” Aliongea Sele.


 


Hidaya alimwangalia sele kwa jicho la hasira kisha akajisemea moyoni.


 


“ Huyu mpumbavu ngoja nimuoneshe kazi mpaka akimbie mwenyewe. Hajui nimetoka kufanywa vibaya na nina hasira na wanaume.” Aliwaza hidaya. Haraka alianza kuchojo nguo zake. Alizichojoa na kupanda kitandani.


 


“ Nimefika.” Alimwambia


 


Bila kushangaa, sele alimvamia mdomoni. Alianza kumnyonya mate. Alimnyonya mate huku kidole kimoja akiwa kakiingiza kwenye kisima chake. Kilikuwa kinatalii taratibu.


 


“ Mmmmh!’ Aligumia Hidaya.


 


Sele akiwa kwenye manjonjo makali, tumbo lake lilianza kumsumbua, hewa aliyojazwa na mganga nyota ilianza kumletea shida. Alijikuta anapumua hovyo, ukiachana na kupumua pia tumbo lilimuuma.


 


Pamoja na yote hakutaka kuonekana dhaiffu, aliendelea kujitutumua.


 


“ Mbona sijielewi, hivi ile dawa ya nganga imefanya kazi kweli au?’ Alijiuliza sele. Alimshika nyoka wake. Nyoka wake alikuwa vile vile dhaifu, hakuwa na lolote jipya. Sele alijitutumua alivuta hisia nyoka wake akasimama na kutunisha misuri.


 


“ Mmmh! Mbona anauma sana?” Alijiuliza sele. Nyoka wake alikuwa anauma sana.


 


Bila kujali maumivu ya tumbo na maumivu ya nyoka wake, sele alijitutumua na kumuingiza vile vile, lakini ajabu, ile anamwingiza tu, pale pale kama mzigo alianguka chini .


 


…………………………………………..



Kule lodge, dharau za Amina na kicheko chake vilimtibua Zubery.


 


“ Kama kweli mimi rijali kama unavyosema mbona unanicheka? Unazani natania sio, unadhani sina nguvu ?” Aliuliza Zubery.


 


“ Tusipotezeane muda zubery, naomba niruhusu niondoke.” Aliongea Amina huku akikiosgelea kitasa cha mlango. Aliufungua na kutaka kutoka.


 


“ Hapana..hapana…” Alitamka Zubery. Alimuwahi Amina. Alimshika mkono na kumvutia kitandanI. Kama mtu anayetaka kubaka alimvua nguo kwa nguvu.


 


Akiwa anavuliwa nguo, Amin alimtazama tu Zubery kwa dharau. Alijua hawezi kufanya lolote la maaana.


 


Baada ya kumvua nguo zote. Zubery alimuweka Amina staili ya mbuzi kagoma.


 


“ Ikiwa nilikunyonya na nikakufanyia kila kitu lakini nyoka wako hakusimama unadhani ukiniweka hiyo staili ndio atasimama.” Aliuliza Amina. Alimtazama zubery kwa dharau akijua hawezi kumfanya lolote la maana.


 


Baaada ya kumweka tu staili ya mbuzi kagoma. Zubery mashetani yalimpanda. Hisia kali zilimshika. Damu ilikimbia kwa spidi kuelekea ikulu. Nyoka wake alisimama na kukaza misuli. Alimshika vizuri Amina na kumuingia.


 


“ Mmmmmh!” Amina aliguna.


 


“ Umeingiza nini? Umeingiza mti au?” Aliuliza Amina. Macho yalimtoka kama fundi saa kapoteza nati.


 


 


BALAAA LA MBUZI KAGOMA 15


 


“ Umeingiza nini? Umeingiza mti au?” Aliuliza Amina. Macho yalimtoka kama fundi saa kapoteza nati.


 


Zubery hakumjibu. Alipereka mashambulizi mbele kama yupo kwenye mashindano.


 


“ Eeee..eeeeee…” Alilalamika Amina. Hakuamini kilichokuwa kinatokea. Akili yake ilizani kuna kitu zubery kamuingiza. Alikuwa anajaribu kugeuza kuangalia. Kila alipojaribu Zubery alimshika vizuri. Hakumpa upenyo wa kumtazama.


 


Msuguano ulikuwa mkali, ulizarisha joto lisilokuwa la kawaida.


 


“ Mmmmh! basi zubery…basi…” Aliomba pooo Amina. Maneno yake yaliingia sikio moja na kutokea sikio lingine la zubery.


 


Hakujali, aliendelea kutoa dozi.


 


“ Aaaaa…tukojoe…wote….aaaa…zube…aaaaaaa…” Alilalamika Amina. Alifika mshindo.


 


Wakati yeye anafika mshindo, zubery kwake ni kama mchezo ulikuwa unaanza. Aliendelea dozi bila kusimama.


 


Hofu ilimjaa amina kiasi kwamba hata homoni zake zilishangaa. Hazikutoa tena maji laini, hali iliyoperekea kisima chake kiwe kikavu, ukavu wa kisima haukumrudisha nyuma zubery Aliendeela kutoa dozi mfululizo.


 


…………………………………….


 


Haikuchukua muda mrefu, Wema alifika hope lodge.


 


“ Nimeambiwa mume wangu yupo humu naomba nitajie chumba niende.” Aliongea wema kwa shari.


 


“ Eeeeh! Wewe dada vipi mbona kwanza upo kishari sana?” Aliuliza muhudumu wa kaunta.


 


“Sasa ulitaka niweje wakati mume wangu yupo na hawara humu ndani. Nomba usinipotezee muda. Naomba nipeleke haraka.” Aliongea wema.


 


“ Hakuna mteja aliyetoa melekezo nimpeleke mtu chumbani kwake. Kama bwana wako yupo humu mimi sijui, kwanza huyo bwana wako hajatoa maelezo hapa kuwa utakuja. Hivyo naomba tusipotezeane muda.”


 


Malumbano yalikuwa makubwa, muhudumu alikataa kata kata.


 


“ Kama hautanionesha nitapita mwenyewe chumba hadi chumba.”


 


“ Eeeeh! Jaribu nikuitie polisi. Wewe nani hadi upite kukagua vyumba bila ruhusa yangu?” Aliuliza muhudumu.


 


………………………………


 


Sele ile anamwingiza tu nyoka wake, pale pale alinguka chini kama mzigo.


 


“ Puuuh!” Alitua chini.


 


“ Mmmh!” Aliguna hidaya. Alimgeukia sele. Alimshika mikono na kujaribu kumtikisa. Sele alikuwa katulia tuli. Hkutisika wala kuongea neno.


 


“ Amekufa?” Alijiuliza hidaya. Haraka aliziwahi nguo zake . Alizivaa haraka haraka kisha akamsogelea tena. Aliweka sikio lake sikioni na kujaribu kusikiliza mapigi yake ya moyo.


 


“ Mmmmh!” Aliguna. Alimwacha chini akawahi kwenye begi lake. Alipangua nguo na kutoa kapochi kake kadogo. Alikafungua na kutoa hela.


 


“ Sina haja ya kukaa hapa.” Alijiambia huku akizihesabu hela. Haraka alikurupuka kutoka nje. Alifunga mlango na kuondoka. Alitembelesha kuwahi stendi.


 

ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog