Search This Blog

Sunday 5 March 2023

NCHI YA DHAMBI - 4

  


Chombezo : Nchi Ya Dhambi

Sehemu Ya : Nne (4)


"Binti mfa....!" Lari alitaka kuropoka, Cesy akamzuia kwa kidole, hakutaka ajulikane kwa mtu yeyote, Lari akamwelewa, taratibu wakaondoka na bibi kizee huyo wakimsaidia kumbebea maji mpaka nyumbani kwake, bibi kizee huyo akiishi kwenye nyumba ya kibanda peke yake porini humo, 


"Karibuni wajukuu zangu!" bibi kizee aliwaambia akiingia ndani ya nyumba yake, Cesy na Lari wakabaki wanatazamana wakiingiwa mashaka kuhusu bibi huyo, wakiogopa kutokana na mazingira yake anayoishi asije akawa mchawi......


    Upande wa pili, mambo ni matamu baina ya mfalme Longe na shemejie Susi, mdogo wa mkewe yaani malkia Suze


 Safari hii walikuwa kitandani kwenye nyumba hiyo mpya ya mwanadada huyo aliyoinunua kisirisiri baada ya kuuza kidani cha dhahabu alichopewa zawadi kisirisiri na shemejie huyo, mfalme Longe


"Aaaaaaaiiissssh oooohhh!" mwanadada Susi alipiga mayowe ya kimahaba wakati mfalme Longe akiwa juu ya kifua chake amepita katikati ya mapaja yake akiendelea kukisukuma kiuno chake, akimsugua, wote wakiwa watupu kama walivyozaliwa


"Nakupenda Susi, nakupenda sanaaaaa!!!" mfalme aliongea huku akiwa amefumba macho akisikilizia utamu, akijihisi yupo dunia ya peke yake, huku akinyonya matiti 'saa nane' ya mwanadada huyo kama kichaa, mikono ya mwanadada Susi ikiwa imepita mpaka mgongoni mwa shemejie huyo ikimpapasa papasa


  Shughuli yao hiyo ya kupeana raha iliendelea ndani ya dakika arobaini (40) tu mfalme Longe alikuwa hoi amelaza kichwa chake kifuani mwa mwanadada Susi huku mwanadada huyo akimchezea chezea nywele zake


"Huu ndio wakati wa mimi kuwa malkia kamili wa nchi hii ya Toro!" Mwanadada Susi aliongea kimoyomoyo huku akitabasamu na kumuangalia mfalme Longe aliyekuwa amechoka kama mtoto mdogo baada ya kupewa mahaba mazito


"Susi mpenzi wangu tulale!" mfalme Longe alimwambia

"Umeridhika mpenzi wangu au nikupe tena?"


"Imetosha Susi imetosha!" mfalme Longe aliongea kiuchovu sana akiwa amelegea hajiwezi


"Sawa mpenzi wangu, nina ombi moja kwako mpenzi wangu basi!"


"Kwanini tusipumzike kwanza Susi kisha utaniambia baadae?"

"Nataka jibu tu moja kutoka kwako kisha nitakuacha upumzike!"


"Sawa sema chochote unachotaka kutoka kwangu nitakupa!"

"Nataka mamlaka kamili ya kuwa malkia wako katika nchi hii!" mwanadada Susi alimwambia mfalme Longe ambae aligeuka na kumtazama vizuri mwanadada huyo usoni


"Umesemaje Susi rudia tena nikusikie!?" Mfalme alimwuliza tena......



  Wakati huohuo msafara wa malkia Suze akiwa na askari takribani ishirini (20) unafika nje ya nyumba hiyo, akiwa amefuatana na mtumishi wake mkuu, bi Redo na anakuta askari walinzi wa mfalme na gari la mfalme wakiwa nje,


  Malkia Suze alishuka kwenye gari lake (la farasi) na kupokelewa na mlinzi mkuu wa mfalme Longe, jenerali Rabas 


"Mtukufu malkia!" jenerali Rabas aliinamisha kichwa chake

"Mume wangu mfalme yupo ndani siyo?" alimwuliza jenerali huyo

"Ndiyo ila tafadhali usiingie mfalme ana kazi maalumu!" jenerali huyo alimuomba malkia Suze


"Kazi gani hiyo wacha nikaione na ikibidi nimsaidie mimi si ndiye mkewe!?"


"Tafadhali mtukufu malkia, mfalme hajaruhusu mtu yeyote kuingia!" jenerali alimsihi


"Mtu yeyote, lakini je amekwambia mkewe asiingie?"

"Ndiyo mpaka mkewe!" jenerali alijikuta akimshika mkono malkia Suze akimsihi asiingie, maana alijua kinachoendelea ndani baina ya mfalme Longe na mwanadada Susi


"Hebu niache!" malkia Suze alimtoa mikono


"Samahani mtukufu malkia!" jenerali huyo akaomba radhi kwa kuinamisha kichwa chini, malkia Suze akaendelea na safari akaingia ndani mpaka kwenye sebule ya jumba hilo akakuta kupo kimya kana kwamba hamna watu, akaongoza moja kwa moja mpaka kwenye vyumba vya kulala, akafungua cha kwanza akakuta kipo tupu, akafungua cha pili akakuta kipo tupu, 


 Alikisogelea chumba cha tatu (03) na kukifungua na ndipo alipotoa macho aliposhuhudia mambo yaliyomstaajabisha akibaki kinywa wazi


"Mume wangu, Susi!" aliongea alipowakuta wakiwa wamelala kitandani kimahaba wakiwa uchi kama walivyozaliwa


 Susi akabaki ameduwaa macho yake yalipogongana uso kwa uso na ya dada yake mlangoni, mfalme Longe nae akageuza shingo na kushtushwa kumuona mkewe malkia Suze mlangoni.....



Inaendelea ( 6———10 )

??

NCHI YA DHAMBI

SEHEMU YA ~ 06


    **********


 Waziri mkuu mzee Poso alibaki akihemahema wakati amekaliwa na mrembo mmojawapo kati ya wale watatu alioletewa na wakala wake, akingonoka


"Aaaassss unaitwa naniii?" mzee Poso alimwuliza mwanadada huyo ambae alijua kukizungusha kiuno chake vyema na kumkunia Jogoo' wa mzee huyo kwa ndani


"Utalijua jina langu tukimaliza mchezo!" mwanadada huyo kahaba mzoefu alimjibu mzee Poso huku akiupeleka mdomo wake kwenye ndevu za mzee huyo waziri mkuu, akaanza kumpa mate (denda) huku wenzake wakiwa wamesimama, wote wapo uchi kama walivyozaliwa wakisubiri zamu yao, wamkalie na wao Jogoo wa mzee huyo


  Mwenzao huyo wakati akiendelea kumpa mzee Poso utamu kwenye kochi, yule aliyejipaka unga unga kwenye chuchu za matiti yake akasogea kwa pembeni na kumsogezea mzee huyo matiti


"Ooooh safi sanaa!" mzee Poso huku akiendelea kumsugua yule mwingine alinyoosha mkono wake na kuanza kuyapapasa matiti ya huyu mwingine aliyemsogezea pembeni


"Nyonya tu upendavyo ni yako haya!" mwanadada huyo alimsogezea taratibu chuchu mzee huyo mlafi akapeleka uso wake wenye madevu mengi kidevuni na kuanza kunyonya matiti taratibu mithili ya barafu (ice cream) huku akiwa amemshikilia kiuno yule mwingine akimshindilia Jogoo' wake 


  Mzee Poso alinogewa na matiti akinyonya kwa fujo mpaka yule mwanadada akainuka mzee huyo akimshika akimvuta mkono akihitaji kuendelea kunyonya zaidi lakini mzee huyo mara ghafla akajisikia kizungu zungu, macho yake yakipoteza nuru (vision) uwezo wa kuona, akiona ukungu ukungu mbele huku akiishiwa nguvu


"Naona imeanza kufanya kazi!" yule mwanadada aliyemkalia aliwaambia wenzake akijichomoa kutoka kwenye Jogoo' wa mzee huyo


"Mmenifanyia nini nyie makahaba?" mzee Poso aliongea akijaribu kutaka kuinuka, lakini mwili wake uliishiwa nguvu kabisa na giza tu lilitanda mbele ya macho yake


"Tumeamua tu kukupumzisha mpenzi wetu!" yule aliyepaka ule unga kwenye matiti na kumnyonyesha mzee huyo alimjibu, wakamnyanyua na kumlaza vyema waziri huyo mkuu kwenye kochi na alipoteza fahamu akalala mithili ya mlevi


"Tufanye haraka!" mmoja wa wale makahaba watatu aliwaambia wenzake, haraka haraka wakaanza kupekua kila kona ya sebule hiyo kujaribu kutafuta wanachokitaka, wawili wakibaki sebuleni, mmoja akienda chumbani kwa mzee huyo


"Nimepata hii hapa!" mwenzao huyo aliyeelekea chumbani aliwaambia wenzake akiwa ameshika karatasi moja ya kale yenye ramani, wenzake wakamsogelea na kuitazama kuthibitisha kama ndiyo yenyewe


"Ndiyo hii!" mmoja alithibitisha

"Sawa sasa kinachofuata ni kutafuta namna ya kutoka humu maana kuna walinzi wasije wakatushtukia!" mwingine aliongea, wote wakakubaliana, wakavaa nguo zao na taratibu wakaanza kutoka kwenye sebule ya mzee huyo waziri mkuu lakini mlangoni walikutana na walinzi


"Mmemaliza mlichokifuata?" mlinzi mkuu wa waziri mkuu, jenerali aliwauliza akiwa ameshikilia upanga wake mkali


"Ndiyo, ndiyo tunaenda sasa tumeshampa alichokitaka!" mwananadada mmoja alimjibu


"Subirini kwanza nikamtazame ndipo niwaruhusu!" jenerali huyo aliwaambia wanawake hao watatu akitaka kuingia ndani lakini mmoja akapeleka mkono wake na kumshika jenerali huyo sehemu nyeti


"Amepumzika sasa amesema hataki usumbufu na hajavaa, vipi nawewe hutuhitaji!?" mwanadada huyo alimwuliza jenerali huku akimtazama kwa jicho laini la kikahaba na kuilamba midomo yake (lips) akimkonyeza mwanaume huyo ambae alitazama pembeni kama askari wenzake wanamuona


"Nataka nikutane na nyie semeni wapi?" Jenerali mlinzi mkuu wa waziri mkuu alijikuta amepagawa kwa warembo hao makahaba wazoefu na pia wapelelezi


"Utatupata tu kwenye danguro mjini pale karibu!" mmoja alimjibu na kumbusu mdomoni jenerali huyo ambae alibaki kinywa wazi akiwatazama wakiondoka udenda ukimtoka huku akijishika shika kidevu, 


Wanawake hao watatu walipopotea kwenye upeo wa macho yake, mlinzi huyo mkuu akaamua kugonga mlango mkuu wa sebule ya waziri mkuu (bosi wake) lakini hakujibiwa kitu, mpaka akaingiwa na mashaka na kuamua kuingia bila ruhusa, na ndipo alipomkuta waziri mkuu mzee Poso akiwa amelala kwenye kochi akiwa mtupu kama alivyozaliwa, akamsogelea na kuanza kumwamsha lakini hakuamka, akamtikisa tikisa mzee huyo bila mafanikio


"Wale wanawake wamemfanya kitu huyu mzee!" jenerali aliongea mwenyewe, macho yake yakifumbuka sasa na kugundua mchezo uliofanyika, akasimama na kutoka haraka kujaribu kuwawahi wale wanawake watatu makahaba kabla hawajafika mbali..........



  Upande mwingine ndani ya jumba (kasri) la mfalme Longe,


 Mfalme huyo gari lake (la farasi) linaandaliwa vyema kwa ajili ya safari yake ya kikazi 


"Vipi dada unaenda na mume wako?" mwanadada Susi alimwuliza dada yake, malkia Suze


"Hapana sitaki kufuatana nae!" malkia Suze alimjibu

"Kwani safari yake ya siku ngapi?"

"Mbili!"

"Sasa dada huoni kama kumwacha peke yake anaweza akafanya anayoyataka akalala na wanawake wengine huko?"

"Mwache alale tu ni maisha yake mwenyewe!"

"Mh sikubaliani nawewe dada, mimi lazima niongozane na shemeji yangu nimfuatilie kila hatua asije akachepuka huko njiani, wewe kama hutaki nitafanya kwa niaba yako!" Susi alimwambia dada yake, malkia Suze


"Kakataa kuongozana namimi ndo akukubalie wewe thubutu!?" malkia Suze aliongea


"Hawezi kukataa niamini mimi, kama kakukatalia wewe basi huenda kuna mambo yake anayaficha....."


"Mnanijadili mimi?" mara mfalme Longe akawaingilia maongezi yao wakati wakizungumza


"Hapana shemeji!"

"Hapana mume wangu!" wote walikanusha 

"Ohoo sawa mimi naenda tutaonana keshokutwa nadhani!"


"Nataka tuongozane nawewe shemeji!" Susi alimwambia mfalme Longe


"Kwanini?"

"Hamna tuongozane tu nami nikajifunze mambo mengi huko!"

"Hapana utaenda wakati mwingine!" mfalme Longe alimjibu Susi


"Kuna mambo yako unaficha siyo?" malkia Suze alimwuliza

"Mambo gani tena?"

"Mimi umekataa tusifuatane na mpaka shemeji yangu unakataa msifuatane una ajenda gani huko za siri?"

"Ndo mawazo yako Suze, basi sawa nitakwenda na huyu mdogo wako moyo wako uridhike, ila sitafuatana nae kila mahali maana majukumu yangu hayamuhusu!" mfalme Longe aliongea kwa hasira akimkata jicho kali mwanadada Susi kisha akaelekea kwenye gari (la farasi) na kuingia


"Mh dada kwa jicho lile alilonikata mumeo hamu yote ya kufuatana nae sina, naogopa!" Susi aliongea


"Wewe nisikilize mimi mfuate na hakikisha unamfuatilia kila hatua nenda!" malkia Suze alimwambia mdogo wake huyo


"Sawa dada, nafanya tu kwa ajili nakupenda bila ya hivyo nisingejitoa muhanga namna hii!" Susi alimwambia dada yake


"Nakupenda pia mdogo wangu!" malkia Suze alimjibu wakapigana mabusu ya kuagana mashavuni, Susi akaelekea kwenye gari la mfalme akimpungia mkono mpaka alipoingia kwenye gari hilo (linaloongozwa na farasi) malkia Suze akabaki nje akitabasamu


"Mtukufu malkia upo kwenye hatari!" mtumishi mkuu wa malkia Suze, bi Redo alitokea nyuma yake akimtahadharisha


"Hatari ipi?" malkia Suze aligeuka na kumwuliza

"Sitakuambia ila agiza mtu aufuatilie huo msafara wa mtukufu mfalme!" 


"Mdogo wangu nimemwachia kazi hiyo usijali!" malkia Suze alimjibu kauli iliyomfanya bi. Redo acheke


"Mtukufu malkia fumbua macho usilale!"

"Sikuelewi Redo!???"........


Inaendelea!NCHI YA DHAMBI

SEHEMU YA ~ 07



     ************

 Kijana Lari alikuwa amesimama kwenye nguzo miongoni mwa nguzo nne zinazoshikilia baraza kubwa ya kifalme, akiendelea kufanya majukumu yake ya kiaskari kama kawaida na ndipo alipokuja msichana Cesy pembeni yake


"Lari!" alimwita

"Naam!" Lari aliitikia na kumtazama

"Nina safari nataka kwenda mtoni kwenye maji nikafurahie huko nataka nitoke humu nimechoka kukaa kaa ndani!"


"Umemuaga mama yako?"

"Sitaki kumuaga!"

"Sasa utatokaje humu?"

"Ndomaana nimekufuata wewe nisaidie unipe mbinu!"

"Hapana Secy utanitia matatizoni, omba ruhusa upewe ulinzi wa kutosha, mimi ni mlinzi tu wa mama yako, katika hilo siwezi kukusaidia chochote!"


"Lari jamani?"

"Nielewe binti mfalme!" Lari aliinamisha kichwa, Cesy akaondoka taratibu huku akiwa analalamika, maana ni kweli kama angeomba ruhusa asingeruhusiwa kuondoka ndani ya jumba hilo la kifalme, na askari Jeda alikuwa akimfuatilia mwanadada huyo kila hatua akagundua ana shida ambayo anahitaji mtu wa kumsaidia, Jeda akamfuata binti huyo anayemmezea mate kila siku


"Una tatizo lolote binti mfalme mbona kama haupo sawa?" Jeda alimwuliza Cesy


"Nipo sawa tu!" Cesy akamjibu akiendelea na safari yake

"Nahisi unatamani kutoka ndani ya kasri ubadilishe mazingira!" Jeda alimwambia mwanadada Cesy kauli ambayo ilimvutia na kumfanya asimame na ageuke ingawa mwanzoni alimpita tu askari huyo


"Umejuaje?" Cesy alimwuliza

"Nimeuona uso wako tu umepoteza nuru, nipo tayari kukusaidia!"

"Una uhakika?"

"Ndiyo!"

"Sawa nitakupa zawadi nono utakapinisaidia kutoroka ndani ya jumba hili!" Cesy alitabasamu na askari huyo akatabasamu akiinamisha kichwa chake chini....



   Malkia Suze alikuwa akirejea ndani kutoka lango (geti) kuu baada ya mumewe mfalme Longe kuondoka na msafara wake akiwa na mdogo wake, Susi


"Unamaanisha nini Redo?" malkia Suze alimwuliza mtumishi wake huyo mkuu 

"Hamna nilikuwa nakusisitiza tu ni bora ungemtuma askari azifuatilie nyendo za mfalme Longe huko aendako!" bi Redo aliamua kutokazia sana suala hilo asije akaonekana mchonganishi baina ya wanandugu hao wawili jambo ambalo litaleta maafa mbeleni


"Sawa ngoja Susi aziangalie nyendo za shemeji yake, hawezi kunidanganya!" 


"Sawa mtukufu malkia!" bi Redo alimwitikia akiinamisha kichwa chake lakini huku akimsikitikia kwa kuwa hakujua kinachoendelea......



Upande mwingine ndani ya gari (la farasi) la mfalme Longe lililokuwa likitembea mwendo wa taratibu....


"Vipi dada yako hajahisi chochote kinachoendelea kati yetu?" mfalme Longe alimwuliza shemejie, Susi


"Hawezi kuhisi kwa jicho lile la hasira ulilonikata pale, anaona mh safari yangu mimi nawewe itakuwa nzito kumbe wala, nawewe ni msanii aisee!" Susi alimjibu mume huyo wa dada yake Suze huku akimshika shika ndevu zake ndani ya gari hilo ambalo madirisha yake yalifunikwa na mapazia na kufanya hata askari wanaosindikiza msafara wasiweze kujua kinachoendelea ndani


"Sasa je Susi!" mfalme Longe alipeleka mkono wake pajani mwa mwanadada huyo akimpapasa


"Jamani si hatujafika safari yetu kuwa na subira mpenzi!"


"Ngoja ngoja inaumiza matumbo!" mfalme Longe alijibu akamvuta mwanadada huyo akampakata mapajani mwake vifua vyao vikigusana, nyuso zao zikitazamana, taratibu wakaanza kupeana mate (denda) ndani ya gari, huku msafara huo wenye askari (walinzi) takribani thelathini (30) walio juu ya farasi ukisonga mbele kwa mwendo wa taratibu


  Mfalme Longe aliipitisha mikono yake mpaka ndani ya gauni la mwanadada huyo kifuani akalishusha na kuyachomoa matiti yaliyosimama ya shemejie huyo akaanza kuyashika shika na kuyatomasa tomasa taratibu huku wakiendelea kupeana mate (denda)


   Mfalme akaupeleka mdomo wake mpaka kwenye matiti ya mwanadada Susi na kuanza kuyanyonya kama mtoto mchanga, akizivuta vuta chuchu 'saa nae' za shemeji yake huyo bila hata aibu, mikono yake ikimpapasa mwanadada huyo mapajani mpaka kwenye makalio yake nyuma, mfalme Longe akaingiza kidole chake taratibu kwenye mkun.. wa Susi


"Aaaaasssss!" Susi aliguna akiinuka kidogo na kisha kukikalia kidole cha kati cha shemejie huyo kikazama chote kwenye mkun... wake kisha akaupeleka mkono na kumchomoa Jogoo' wa mfalme Longe ndani ya joho lake la kifalme na kuanza kumpapasa


"Unanonaje ukawa mke wangu kabisa wa pili?" mfalme Longe alimwuliza Susi huku akihema hema akiwa ameshapandwa na kichaa cha mapenzi kichwani huku kasi ya msafara wake ikiongezeka sasa farasi wakikimbia kutokana na njia ya pori waliyokuwa wakipita


"Mke wako wa pili tena?"

"Ndiyo!"

"Acha utani!"

"Sitanii Susi nachoka kupewa kwa kuonja onja kila siku na kwa kujificha mpaka tunapanga safari kama hii ya kwenda mbali kisa tu tupate pa kupeana mambo, wewe unaona sawa?"


"Sioni sawa lakini dada yangu hatokubali!"

"Hakubali au asikubali hawezi badilisha kitu na kunizuia maamuzi yangu!"


"Hapana, nitaisambaratisha familia, mimi nainjoi tunapokuwa pamoja kama hivi naridhika tu huko kwingine tusiende kwa sasa, tuandae mazingira kwanza!"


"Susi mbona unanifanyia hivyo kulikataa omb.....!"


"Shiiiii usizungumze chochote, ni muda wa kupeana raha!" Susi alimwekea mfalme Longe kidole kinywani kumkatisha maongezi, mfalme Longe kinyonge akatikisa kichwa, Susi akapandisha gauni lake kwa juu akainuka kidogo na kumkalia Jogoo' wa mfalme Longe ambae alizama wote kwenye uchi wake mfalme akamshikilia kiuno na kuanza kumsugua taratibu mwanadada huyo huku akimnyonya matiti yake kifuani


 "Aaaaaassssh oooooh!" mfalme alishusha pumzi akiguna kichini chini wakati huu akimsugua kwa kasi shemejie Susi ambae alikuwa amemshikilia shingoni akikisukuma kiuno chake ipasavyo kuhakikisha Jogoo' wa mfalme hachomoki ndani ya uchi wake na wala hapati nafasi ya kupumua


 Mfalme Longe alipagawa akabaki akimshika shika na kukipapasa kiuno cha mwanadada huyo huku akiendelea kumshindilia Jogoo' kwenye uchi kwa kasi huku kijasho chembamba kikiwatoka ndani ya gari hilo (la farasi) ambalo hewa ilipitia juu kwenye uwazi (mfuniko ulifunguliwa) huku msafara ukiwa kasi kwenye mwendo katikati ya pori askari wakiuongoza wakiwa hawana habari ya kinachoendelea ndani ya gari la mfalme ambalo madirisha yake yalifunikwa kwa mapazia maalumu


"Wruuruuuuuuuu!" mara farasi wa gari la mfalme walifunga breki kwa ghafla na kukunja kona na kusababisha gari la mfalme kuyumba mpaka mlango wa gari la mfalme ukafunguka na askari wakashuhudia mfalme Longe akiwa mtupu kama alivyozaliwa na shemejie Susi, wamepakatana wakila raha, askari ikabidi wazuge watazame pembeni, wakati huo mti )

mkubwa ulikatika na ukaangukia katikati ya barabara kuleta ajali kwenye msafara wa mfalme.......


Inaendelea!NCHI YA DHAMBI

SEHEMU YA ~ 08



   **********

  Waziri mkuu mzee Poso anafumbua macho taratibu na bado yakiwa mazito na kujikuta amezungukwa na walinzi wake waliokuwa wakimpepea pepea huku kichwa kikimuuma akijikuta amefunikwa tu shuka pale kwenye kochi alipolala maana alikuwa uchi


"Nini kimetokea?" alimuuliza mlinzi wake mkuu

"Ulipoteza fahamu mkuu!" mlinzi wake mkuu alimwambia


"Nilipoteza fahamu imekuwaje kuwaje?"

"Wale wanawake watatu nahisi kuna madawa wamekuwekea ya usingizi!"

"Wako wapi?"

"Wameshaondoka!"

"Wafuateni haraka washenzi sana wale makahaba!"

"Samahani mheshimiwa tumejaribu kuwafuata lakini tulishachelewa, wameshatokomea kusipojulikana!"


"Washenzi sana wale wanawake nia yao nini mpaka wanipe madawa yao na madawa yao waliniwekea kwenye nini mbona sijanywa kinywaji, mvinyo wala chakula chochote kile cha kwao?"


"Hatujajua bado walikuwekea madawa kwenye nini ila mwanamke ana silaha nyingi kwenye mwili wake yawezekana kwenye matiti yake wakati wa mahaba uliyanyony...."


"Ishia hapohapo wewe mimi sawa na baba yako!" waziri mkuu alimnyamazisha mlinzi wake huyo mkuu


"Samahani muheshimiwa!" akainamisha kichwa chini


"Kuna chochote walichoiba ama kuchukua, pesa au kitu changu chochote cha thamani?"


"Hamna mheshimiwa, pesa na vitu vyako vyote vya thamani vipo salama!"

"Sasa nia yao ni nini kama hawajachukua chochote?"


"Hatujajua muheshimiwa!" askari mmoja alimjibu


"Ramani, ramani itakuwa!" waziri mkuu alitoa macho alipokumbuka karatasi hiyo muhimu sana kwa Taifa na ya siri sana, ramani inayotafutwa na falme nyingi jirani kwa gharama yoyote ile, aliyokabidhiwa aitunze kwa siri


 Aliinuka haraka na kuingia chumbani kwake na kukuta kabati lake limefunguliwa kwa funguo 'malaya' iliyoachwa palepale na alipopekua aligundua ramani aliyoihifadhi kwenye sanduku la kabati lake haipo, waziri mkuu mzee Poso akabaki ametoa macho amejishika kichwani akisikitika tu mwenyewe


"Kulikoni muheshimiwa?" mlinzi wake mkuu alimwuliza


"Wamechukua kitu cha muhimu sana kwa taifa ambacho kukipata tena haiwezekani, ramani!" waziri mkuu aliongea akibaki ameduwaa kama sanamu asijue cha kufanya........



  Upande wa pili msichana Cesy, binti mfalme alifanikiwa kutoka ndani ya kasri kisirisiri kwa msaada wa askari Jeda, akimuweka kwenye sanduku akijifanya kama anapeleka mzigo nje ya kasri akafanikiwa kutoka nae nje ya kasri msichana huyo akiwa amejifunika uso wakaelekea mpaka kwenye pori moja kilomita kadhaa kulipokuwa na mto mkubwa wa maji ambapo ndipo msichana huyo alipotaka kwenda kuoga na kupunga upepo


"Asante sana Jeda!" Cesy alimshukuru askari huyo

"Usijali bintimfalme ila usikawie sana wasije wakagundua kuwa haupo ndani ya kasri nikajikuta nipo matatani!" Jeda alitabasamu


"Sitakawia, unaweza kunipisha na kwenda upande mwingine ule nioge?" 


"Haina shida binti mfalme!"

"Asante!" Cesy aliongea Jeda akaondoka upande huo na kwenda upande wa pili kwenye kichaka chenye nyasi ndefu ili kumpisha binti huyo aoge


  Cesy taratibu alianza kuvua gauni lake la kawaida alilovaa ili asijulikane likaanguka chini, akavua na nguo ya ndani na kuanza kuingia kwenye maji taratibu, maji safi na ya baridi yanayotiririka kutoka milimani, huku kukiwa tulivu, ndege tu wakisikika juu ya miti


  Lakini Jeda hakuwa pembeni kabisa, alikuwa akimchungulia msichana huyo kisiri siri alivyokuwa anaingia mtoni kuoga akiwa uchi, 


"Ooooshhh binti mfalme unanimaliza!" askari Jeda aliongea mwenyewe huku akiingiza mkono wake kwenye kanzu yake ya kiaskari akamchomoa Jogoo' wake na kumtoa nje akimpapasa taratibu huku macho yakimtazama binti mfalme Cesy ambae alikuwa ameanza kuoga ndani ya mto, kwenye maji ya usawa wa kiuno


"Acha ujinga mpo wawili tu hapo wewe na binti mfalme tumia fursa, haitatokea tena!" sauti ilimsemesha askari Jeda akilini


"Lakini ni bintimfalme naanzaje nitakuja kuuwawa ikijulikana!" Jeda alijiuliza


"Acha uwoga utamuacha mtoto wa kike huyo, tazama matiti yake yale yalivyosimama yanaita, angalia kiuno chake chembamba kinavyohitaji kushikwa na kupapaswa, au hutaki kuyagusa matako yake yale meupe yasiyo na kovu hata moja na kumnyonya mate (denda) kwenye midomo yake ile laini?" akili yake iliendelea kumsemesha Jeda akibaki anamtazama kwa makini binti mfalme Cesy huku akimpapasa papasa Jogoo wake kwa mkono aliyesimama tayari kwa kazi


"Ni kweli lakini siwezi kumuacha binti mfalme hivihivi leo liwalo na liwe, hata kama ni kuhama nchi nitahama!" Jeda alijisemesha mwenyewe kwa ujasiri na taratibu akavua mavazi yake ya kiaskari na kubaki uchi kama alivyozaliwa akaelekea kulekule mtoni ndani ya maji alipokuwamo msichana Cesy


  Binti mfalme Cesy hakuwa na habari ndiyo kwanza alikuwa amefumba macho yake akisikilizia utamu wa maji hayo baridi ndani ya mto na ndipo alipohisi mkono ukimpapasa kiunoni na mwingine kifuani kwenye matiti yake akashtuka na kugeuka haraka, uso kwa uso akakutana na askari Jeda aliyekuwa uchi hana nguo ndani ya maji Jogoo wake akining'inia kiunoni amesimama dede'


"Wewe!" alimshangaa jamaa huyo, bintimfalme akajaribu kujiziba kwa mkono kwenye uchi wake na kifuani kwenye matiti


"Usishangae bintimfalme sogea karibu yangu!" askari Jeda alimvuta

"Niacheee!!" bintimfalme alikuwa mkali akikataa kuguswa

"Kidogo tu binti mfalme!"

"Tena usinisogelee utakufa!" 

"Hahahaha hapa siyo ndani ya jumba la baba yako useme niogope chochote, tupo wawili tu naweza kukufanyia chochote hapa!" Jeda alicheka akimshika msichana huyo akazabwa kofi la shavu


"Nitakachokufanya utajuta!"

"Unanizaba kibao mimi ngoja niachane na demokrasia sasa nitumie nguvu!" askari huyo aliyejazia alimkumbatia Cesy kwa nguvu na kumbananisha kifuani akimbeba juu juu kumtoa ndani ya maji


"Niacheee niacheee!!" Cesy alipiga makelele akimpiga piga makofi mgongoni lakini haikusaidia, alitolewa ndani ya maji akiwa uchi na njemba huyo ambae Jogoo lake alikuwa amesimama, akamlaza msichana huyo chali akimbana mikono asifurukute na akamshika Jogoo wake akimlengesha kutaka kumuingiza kwenye uchi wa msichana huyo bila ridhaa yake, lakini kabla hajaimwingiza alishtukia kitu kizito kikimpiga mgongoni mwake, njemba huyo akashtuka na kugeuka kutazama ni nini hicho.....



Inaendelea!NCHI YA DHAMBI

SEHEMU YA ~ 09



    *************

 Msafara wa mfalme Longe ulikuwa umesimama askari wote wakiwa wamegeuza vichwa vyao pembeni ili kuepuka kumuona mfalme akiwa mtupu na shemejie Susi, baada ya mlango wa gari hilo (la farasi) kufunguka kwa bahati mbaya


"Mnatazama nini tena?" mfalme aliongea huku akiurudisha mlango taratibu kwa aibu na kuufunga, kisha akafungua baada ya kuwa amevaa joho lake la kifalme, akakohoa kidogo akiteremka kwenye gari, mwanadada Susi akimuacha ndani ya gari


"Mtukufu mfalme mti umeanguka katikati ya barabara na ni mkubwa sana!" mlinzi wake mkuu alimwambia


"Utoeni!" mfalme alimjibu

"Hatuwezi kuutoa tukiwa wenyewe hivi tupo wachache mtukufu mfalme!" jenerali alimwambia akiinamisha kichwa chake mfalme akatikisa kichwa kukubaliana nae alipoutazama mti huo


"Hakuna njia nyingine ya mkato nje ya hii?" aliuliza

"Hakuna labda mpaka turudi mjini tena!" jenerali alijibu mfalme akaliweka joho lake vyema na kurejea ndani ya gari lake


"Imekuwaje tena?" mwanadada Susi alimwuliza

"Mti umezuia hatuwezi kuendelea na safari!"


"Kwahiyo turudi ndani ya kasri?"

"Hakuna namna maana ukisema twende sehemu nyingine humuhumu ndani ya nchi ni rahisi kutambulika mimi ni mfalme kumbuka?"


"Ooopssss, subiri tusiende kwenye kasri, nitakupeleka mahali!"

"Wapi?"

"Nitakuonyesha subiri, amrisha msafara ugeuke!"


"Sawa nakusikiliza wewe mrembo!" mfalme Longe alimbusu mwanadada Susi na kuuamrisha msafara ugeuke kurejea nyuma walipotoka ili waelekee aliposhauri mwanadada huyo



ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog