Search This Blog

Wednesday 15 March 2023

BIRINGANYA LA MWALIMU - 5

  

Chombezo : Biringanya La Mwalimu

Sehemu Ya : Tano (5)


***inaendelea, hapa ***

Majira ya saa Tano Kama na nusu(asubuhi) , niliisikia sauti ya Mdam tokea chini sebureni ikiniita nikapate kifungua kinywa. nilitoka, nikaelekea kupata  mlo wa asubuhi.madam  Alikuwa ameandaa chakula kizuri Sana, maana niliweza kusikia harufu yake mapema hata kabla sijakaa Mezani!  Baada ya kufika mezani.. Nikakaa huku sura yangu.. Ikiwa Yenye hasira.

***nilikuwa nimeweka, sura ya mbuzi ????**

Madam alihudumia chakula kisha akaja kukaa kwenye kiti kilicho kuwa karibu kabisa na Mimi . Akanipiga kidogo mapajani huku akiniuliza Kama kuna tatizo! Nikamjibu " hakuna kitu madam"

Baada ya chakula, nilichukua vyombo vyote vilivyo tumika zikiwemo sahani, nikaelekea zangu jikoni nikaviosha  kisha nikapanga kila chombo mahali pake! Nikachukua mopa(fagio flani),nikasafisha  vizuri jikoni baadaye nikafuta vigae vyote sebureni,  muda wote huo madam alikuwa amesimama kwa Juu akinitizama tu!! Nikahakikisha nimepanga kila kitu pale seberuni kwenye mpangalio mzuri. Baada ya hapo nikatoka nje .

Nikamwagilia maua yote,  Nikafagia eneo lote kuzunguka nyumba,  muda wote huo bado nilikuwa nimevaa sura ngumu.. Sura ya kazi ****mbuzi mbuzi**** sikutaka kucheka wala kutabasamu hata kiduchu!baada ya kumaliza Kazi zote za nje nikarudi zangu ndani.

Nilipanda ngazi,  nikamkuta bado madam amesimama pale pale akinitizama tu,  nikampita Kama simuoni huku nikiwa natokwa na jasho jingi Sana kutokana na kazi nilizo fanya. Nikapitiliza mpka bafuni nikaoga, nikarudi chumbani kwangu.. Nikazima simu ya nakujitupa kitandani nikapitiwa na usingizi.

Nilikuja kushtuka saa kumi na mbili jioni,nikawasha simu yangu.. Nikakutana na jumbe za whatsapp kutoka kwa jackline,  akinambia kuhusu mitihani yake. Na sms moja kutoka Kwa madam akinambia

" umefanya kazi nzuri  , wewe ni kijana unae fanya kazi kwa bidii Sana" nilimaliza kuusoma ule ujumbe.. Nikaupotezea! Nikazishuka ngazi hadi sebureni.. Nikaanza kumfundisha Brighton. 

Nilimuuliza Brighton kuhusu Madam, akanambia hayupo, ametoka zamani kidogo,  basi nilipomaliza kumfundisha Brighton,  kama kawaida nikaeleka jikoni.. Nikatizama ratiba ya chakula,  nikaandaa vitu Kama sufuria na vinginevyo kisha nikampigia Simu sikitu ili-anipatie maelekezo ya Jinsi ya Kupika, baada ya hapo nikakiandaa chakula..vizuri Kadri nilivyoweza kwa kufuata muongozo alionipa babysikky. Nilimaliza.. Nikapakua chakula tukala na Brighton.. Kisha nikaelekea chumbani kwangu Kulala.

Wakati Nikiwa chumbani kwangu, nikawa naongea na jackline kupitia simu, haukupita muda nikaisikia sauti ya Madam seberuni akiongea na Brighton

Saa nne Kama na nusu(usiku), nikiwa naelekea kupata usingizi.. Mara nikaiskia simu yangu ikiita!  Nikaichukua na Kuona Madam ndo anayepiga,  nikabonyeza pembeni kidogo kwenye simu yangu nikatoa mlio kisha nikaiacha iendelee kuita huku nikigeukia upande Mwingine Kabisa wa kitanda , Nikawa Najaribu kuutafuta Usingizi.

Alipiga simu mara 8 na sikuweza kupokea hata Mara moja!! Akaamua Kutuma ujumbe wa maandishi( SMS) kwenye simu yangu . "Umenishangaza Sana na kiwango cha utendaji kazi wako Leo, umeweza kufanya kazi kila sehemu bila hata usimamizi, wewe ni kijana mzuri , laptop yangu imepata tatizo kidogo.. Unaweza kuja chumbani kwangu.. Unirekebishie?? "

Nilisoma ile sms kisha nikacheka kidogo,  nikairusha simu yangu pembeni,  nikaamua kupuuza  ule ujumbe!!  Nikaamua nilale 

Haukupita muda!! Kwenye majira ya saa tano(usiku) nikamsikia mtu akigonga mlango wangu, ****hivi Brighton atakuwa na shida gani muda huu ,,au Madam Kaamua Kumtuma kwangu?***

Nikiwa bado najiuliza, ni Nani atakuwa mlangoni kwangu Muda huu,  mara nikasikia sauti ikisema 

" Ni Mimi mama jackline, hebu fungua mlango "

*****ooohooo ?? ?? ??????**




Nikiwa bado najiuliza, ni Nani atakuwa mlangoni kwangu Muda huo,  mara nikasikia sauti ikisema 

" Ni Mimi mama jackline, hebu fungua mlango "

****

?? 

nilipofungua mlango.. Nikamkuta madam kasimama mlangoni akiwa kashikilia laptop yake 

Alikuwa Kavalia Gauni flani la usiku jepesi Sana, Lililokuwa likionyesha mpka nguo yake ya ndani,  

MADAM: kwanini hupokei simu zangu?

MIMI: samahani madam, Simu ilikuwa Silent(haikuwa ikiita kwa sauti), na nilikuwa Tayari nimelala.

MADAM. Sawa,hakuna tatizo. Hiyo inamaanisha kuwa hata ujumbe wangu hauku-uona.

MIMI: ndiyo!! madam.

MADAM: sawa, nilikupigia nikitaka kukwambia kuwa,  laptop Yangu Kuna Namna inasumbua. Hivyo uje unisaidie kuiangalia, Nikadhani hautaki Tena kuja chumbani kwangu, Nikaona Nikuletee tu huku.

MIMI: Sawa, madam ** niliongea,huku nikinyoosha mikono Yangu Kuichukua ile laptop ***.

Usiku mwema madam!

MADAM: subiri kidogo, nataka kuzungumza na wewe. 

Akaingia chumbani kwangu na kukaa kwenye kiti kilicho kuwa karibu kikitizama na kitanda changu,  huku mimi nikiwa nimekaa kitandani kwangu. 

MADAM: kwa kitendo kilicho tokea jana usiku,  hivi uliutoa wapi ule ujasiri?? 

MIMI: ujasiri gani ma?, mbona sikuelewi!

MADAM: ujue Bado siamini, Mimi nilikuita  tu kwa ajili ya massage , ukaishia kuuchezea mwili wangu mpka nikajikuta nimetekwa na Hisia nzito..hisia zilizo Nisukumia Kwenye ulimwengu mwingine Kabisa ,  nikajikuta nashindwa hata kukuzuia kwa kila kitendo ulichokuwa ukifanya,  na mwishowe ukafanikiwa Kufanya mapenzi na mimi,  Nimekuja kushtuka Tayari kila kitu kimekwisha tokea.

MIMI: ***nikatukia tuli, kichwa changu nikiwa Nimeinamisha chini ****

MADAM: Ninaongea na wewe Alvine, hivi hukuona kuwa umri wangu huu, ni sawa na mama yako?? sasa Naomba unambie , Unatabia ya kuwatamani wamama watu wazima sindiyo?? 

MIMI: hapana madam

MADAM: umeisha zoea kufanya mapenzi na wanawake wakubwa?

MIMI: hapana madam.

MADAM: kwanini sasa ulikuwa fundi kiasi kile , mtamu na mwenye nguvu kiasi kwamba ilikuwa ngumu Sana kwangu Mimi Kukuzuia??

MIMI: ilitokea tu vile  madam. 

MADAM: hukuogopa kuwa unaweza pata HIV?? au kunitia ujauzito ???

MIMI: **** nikainua macho yangu kidogo****, Nilipitiwa madam,  nikajikuta nashindwa kabisa kujizuia Juu yako. 

MADAM: mmh Yani wewe ni kitu kingine kabisa, ambacho sijui hata jinsi ya kuanza kukielezea. , ahhmm nilijisikia utamu Sana usiku wa jana,asante nililifurahia Sana Lile tendo , ilikuwa ni  Mara ya kwanza..najihisi vile tangu mme wangu asafiri kwenda nje ya nchi miezi 8 iliyo pita! Na ukweli ni kwamba ulinikuna vizuri kuliko hata yeye,  nadhani labda hiyo ndo ilikuwa sababu ya Mimi kushindwa kukuzuia kabisa.

MIMI: samahani Sana!, kwahilo madam 

MADAM: hakuna shida, wacha tu Tuichukulie kama ajali. Natujifanye Kama Hakuna chochote kilicho tokea ,mtu mwingine yeyote hatakiwi kuujua ukweli huu zaidi ya sisi wawili peke yetu . Umri wangu ni Sawa kabisa na mama yako, na Kama unatabia ya kuwatamani wamama naomba uiache. 

MIMI: sawa madam, asante.

MADAM: Sawa, ukimaliza kuirekebisha,  utaniletea chumbani kwangu usiku huu.

MIMI: Sawa, madam ,. 

nikaufunga mlango wangu, na madam akawa ameondoka.

Nilikaa kitandani,  nakuanza kuichunguza ile laptop.. Baada ya kuitazama kwa muda kidogo,  nikagundua kuwa haikuwa na shida ya Aina yoyote. Hivyo nikaamua,  kumrudishia Madam chumbani kwake. Nilipofika mlangoni kwake, mlango haukuwa umefungwa, alikuwa ameurudishia tu kiaina,  Kwa mbali nikawa nasikia sauti ikitokea chumbani kwa madam .. Sauti Ambayo moja kwa moja ilinifanya nijue kuwa atakuwa anatizama movie.  Nikagonga mlango mara moja,  kisha nikaingia. Nikamkuta Madam amekaaa Kitandani huku akiwa kaegemea ukutani , Miguu Yake Kaitanua, akiwa ana-angalia movie,  

MIMI: Tayari nimeirekebisha madam.

MADAM: sawa alvine , asante. Ilaa Kwanini usiungane na Mimi hapa ,tuiangalie hii movie pamoja?? 

MIMI: Sijisikii kuangalia movie, madam.

MADAM: nilijua tu utasema hivyo , Hebu acha kuwa mbishi , sogea ukae Namimi hapa,  tuangalie movie Pamoja 

MIMI: sawa madam.

Nilisogea Nikakaa pembezoni kidogo mwa kitanda, Tukawa tuna-iangalia ile movie,  ilikuwa movie Flani Hivi ya Kizungu,  Yenye vichekesho Vya Kila Namna Ndani Yake. Ikawa kila likitoea tukio la Kuchekesha kwenye ile movie basi madam, atacheka huku akinipiga Kiaina flani kwenye mapaja yangu!  Kikafikia kipindi,  akili yangu haikuwepo Tena kwenye ile sinema! Ile miguso ya mikono Yake Laini.. Mapajani kwangu..ukiongeza na jinsi nilivyo kuwa nikimtizama Kichinichini kwa kuibia.. Vikapelekea biringanya langu.. Kuanza kuvimba. Nikawa najitahidi.. Kulibana Kati Kati ya mapaja Yangu,  Lisije Kutoka. ??

Mwishowe ile filamu iliisha, nikamwambia Madam,  inanibidi niondoke kurudi chumbani kwangu. 

Madam akasema " Tafadhari, Hebu subir kidogo kwanza, Ninaomba unisaidie kupakaa hii Dawa mgongoni kwangu, Ninahisi Kama kuna vipele vidogo vidogo.. Vimeanza kutokea "

***akanipa kitu Kama, dawa flani hivi ya kuminya, lakini ipo Kama mafuta ***

Akalishusha Chini, Gauni lake lile la usiku , na kupelekea mgongo wake wote kubaki wazi, akiwa bado kavalia bra** akakaa kitandani na kunigeuzia mgongo vizuri kabisa , basi nikapiga magoti kitandani,   nikawa nyuma ya mgongo wake,  nikaminyia Yale Mafuta viganjani kwangu,  nikaanza kumpaka taratibu, muda huo alikuwa kashikilia smart phone ?? yake.. Akibonyeza bonyeza upande wa miziki. 

Kadri Nilivyo Kuwa nikizidi kumpaka Ile dawa (mafuta ??), Kwa Namna ya kuusugua mgongo wake toka juu kuelekea chini ndivyo biringanya langu likazidi kusimama vilivyo,  wakati nikiendelea na hilo zoezi la kupakaa dawaa, kuna Namna nikawa Nafanya ujanja kufungua vile vipini vilivyo funga bra** yake,  Kwa kisingizo kwamba bra** ilikuwa ikinizuia kupaka ile dawa vizuri.

****vipini vyenyewe, ni vidogo vidogo vimekaa Kama ndoano ****  ?? 

Baada Ya kukifungua kipini Cha mwisho tu,  Sijui Hata ni kitu Gani kili-niingia!!  Nikajikuta nazamisha mikono yangu kwnye bra**  kwa haraka sana, nikazi-kamata dodo Kubwa za Madam,  Nikamsikia Akiachia mguno laiini, Kisha nikaanza Kuziminya huku Nikizipapasa.

Baada ya kusikia madam akiachia miguno , hapo nikajisemea ***mambo si ndo hayo sasa ***

Nikawa navitumia vyema viganja vyangu kuchezea dodo za madam, madam akaendelea kuzitoa  kelele za mahaba, nikamshika na kumlazia kitandani

Nikawa Namnyonya dodo zake huku, nikitumia vidole vyangu kuisugua papuchi yake!  Kelele za madam zikawa zinazidi kuongezeka.alikuwa Tayari kamwaga kitu Kama maji Mara mbili!  

Baada ya dakika Kama 10 za zoezi,  nikamsikia madam akisema 

  "STOP!," inatosha hiyo, usije ukanogewa bure!  mwishowe Yakawa mambo mengine hapa

Nikamjibu " Sawa,  madam "

MADAM: lakini kwanini napata ugumu Sana kukuzuia 

MIMI: hakuna chochote, madam .

MADAM: Anyways!! Nimefurahia sana, Alvine Wewe Ni Moto mwingine, wewe ni GENIUS 

MIMI: asante madam *** nikashuka toka kitandani kwake ***

MADAM: lakini usije ukaliruhusu hili litokee tena, umri Wang ni Sawa na mama yako 

MIM: sawa madam,samahani 

MADAM: hakuna shida Alvine , usiku mwema 

MIMI: Usiku mwema pia *** Nikatoka nje ya kile chumba cha madam,  nikaelekea chumbani kwangu. 



MADAM: hakuna shida Alvine , usiku mwema 

MIMI: Usiku mwema pia *** Nikatoka nje ya kile chumba cha madam,  nikaelekea chumbani kwangu. 

***Kesho yake sasa **??

Jumapili asubuhi, kila Mmoja alikwenda kwenye kanisa Lake, baada ya kanisa nikapitia mtaa flani hivi, kuonana na rafiki yangu,  baada ya hapo, Nikaianza safari ya kuelekea white house kwenye majira ya saa kumi na mbili jioni.

Nilimkuta Jackline Tayari amekwisha rudi, tukawa tunapiga story mbili tatu kuhusiana na Mitihani yake ilivyokuwa. Siku hiyo jackline aliendelea na Jukumu la kupika Kama kawaida mpka Siku ya jumanne, ambapo Siku akawa amerudi. Sasa, white house ikawa imetimia tena!!

Wiki hiyo ya ujio wa kina jackline na sikitu , Kichwa Changu,  Hakikuwa na Amani Kabisa.. Nilikuwa mtu mwenye mawazo Sana ***lakini, sikutaka mtu yeyote alitambue hilo **!!  Ukizingatia Tayari Nilikuwa nimekwisha tembea na kila mmoja wao hapo white house!!  Nikawa najiuliza,  nini kitaenda kutokea Kama.. Watatu hao wataufahamu ukweli kuhusu Mimi,  baada ya kufikiria kwa kina hatimaye nilipata hitimisho,  nikaona njia pekee na salama ya Mimi kuendelea kulicheza game , pasipo heshima yangu kupotea,  ni bora niondoke white house,  nirudi nyumbani kwangu,,Kitu ambacho nilipanga kukifanya mwishoni mwa wiki ijayo.

**baada ya wiki kadhaa *** 

Matokeo ya Jackline  yakawa yametoka!! Jackline aliweza kufaulu vizuri kabisa,  tena kwa Alama za juu,  kwenye masomo yote matatu. Madam alifurahi Sana,  akanipatia zawadi kibao, kiasi kikubwa cha pesa, bila kusahau... Kunipiga kidogo kiaina kwenye mapaja yangu. ????

Jackline aliniomba niendelee kukaa ndani ya white house kwa faida zake mwenyewe lakini nilikataa!  Nakumwambia kuwa mwenye nyumba wangu, amekuwa akinilalamikia Sana juu Mimi kutokaa nyumbani kwangu, na pia Mali zangu hazikuwa salama, kwasababu ya Mimi kutokuwepo kwa muda mrefu. 

Madam pia aliniomba Sana, niweze kubaki  nimwandae jackline kwa ajili ya mitihani mingine iliyo kuwa inakuja ya kujiunga. Nilishangaa kusikia madam akinambia hili, kwani hata Siku moja, sikuwahi kukaa nikafikiria kuwa  madam Angeniomba niendelee kubakia white house!! 

Baada ya majadiliano ya muda mrefu, nilikubali kukaa, lakini kwa mara moja moja  na sio muda wote Kama ilivyo kuwa zamani. Basi, Mimi na sikitu tukaendeleza  ratiba zetu za Siku ya soko,  huku jackline akiwa ananitembela nyumbani kwangu Mara mbili kwa wiki. Siku ambao hazikuwa za soko 

Nikawa Naendelea kumfundisha jackline Kama kawaida, safari hii akiwa anajiandaa na mitihani mingine!!  Ya kwenda kujiunga na shule.

Nilikuwa nikaa Nyumbani kwangu.. Lakini pia.. Nilikuwa nikikaa white house kwa baadhi ya Siku. Matukio ya kimapenzi Kati yangu na sikitu yakaendelea Kama kawaida bila, shida yoyote ile, japokuwa Mara kwa Mara sikitu alikuwa akinilalamikia Sana juu ya ukaribu wangu na jackline,  nikawa naendelea kumhakikishia kuwa hakukuwa na Kitu chochote Kati ya Mimi na jackline zaidi ya masomo.

madam na mimi tulikuwa tushafanya mapenzi Kama Mara sita (6) hivi.. Ndani ya huo muda wote,  alikuwa akinipigia simu usiku, kuwa nikamrekebishie kitu chumbani kwake,  au ananiletea laptop yake na kuniambia.. Baadaye nimpelekee chumbani kwake,  kisha tunajikuta tumefanya mapenzi.

Jackline hakuweza kuhisi chochote kwasababu Mara zote Madam alikuwa akinichukulia Kama mwanaye.Jambo moja kuhusu madam,  kila ilipotokea nikafanya naye mapenzi, Kwa bahati mbaya.. Alikuwa lazima aniambie 

"Sijui hata ni kwanini nashindwa kujizuia juu yako, nakosa kabisa ujasiri wa kukukatalia, sijui ni kwasababu ya muonekano wako?  Na unavyojua Kunisugua? Alvine, Unazidi kunifanya Mimi niendelee kuwa mwenye dhambi"

Siku kadhaa kabla ya mitihani ya kujiunga ya jackline,  kuna tukio likatokea  ....

**lilikuwa balaa zito****




*****Kuna balaa likatokea ?? ????????*****

Siku chache baada ya Mitihani ya jackline kuwa imepita,,  Hatimaye ilikuwa ni Siku nyingine ya soko,  nilikuwa nyumbani kwangu Nimetulia Kama kawaida.. Nikimsubiri sikitu wangu aweze kutokea, Siku hiyo.. Nilikuwa nimetandika shuka Jipya kabisa Kitandani kwangu na kunyunyizia pafyumu flani, Basi, chumba kizima kikawa Kinanukia

***muda ulienda,  ukaenda.. Na hatimaye!! *

Kwenye mida ya saa tatu asubuhi! Sikitu alifika. Akaingia ndani Kama kawaida , na akawa ananisaidia kupika Aina Flani ya chakula Ambacho huwa Nakipenda Sana!!  Kwa kutumia baadhi ya viungo..ambavyo  nilikwisha vinunua mapema. Zoezi la kuandaa kile Chakula lilienda mpka saa nne kasoro.  Ambapo tulianza Rasmi kipindi.

Nilianza kwa kumfundisha mathematics na baadaye nikamalizia na English! Baada ya hapo, tukawa tumekaa kitandani kwangu,  tukipiga story za hapa na pale. 

Sijui hata kilitokea kitu Gani,  tukajikuta tumekaribiana Sana,  na taratiiibu midomo yetu ikawa inasogeleana,  Mara lipsi zetu zikakutana. Tukaanza kukiss kwa hisia,  haukupita muda kila mtu alikuwa mtupu Kama alivyo zaliwa. Nikaanza kuitembeza mikono yangu kwenye kifua cha sikitu... Nikawa naziminya chuchu zake kwa ustadi wa Hali ya juu!! Baada ya sekunde kadhaa, nikaanza kuzikiss dodo ndogo za sikitu... Huku nikitumia ulimi wangu vizuri kuuzungusha zungusha kwenye ncha ya chuchu zake.. Kuna wakati nikawa nazamisha dodo lote mdomoni kwangu. Sikitu muda wote huo,  alikuwa kanishika kichwani huku akijinyonga nyonga na kugugumia , nikashusha mkono wangu mpka kwenye papuchi yake, taratiibu nikaanza kukichezea ki*s*mi chake, Baadaye nikazamisha kidole changu kimoja kwenye papuchi ya sikitu.  Nikawa nakiingiza ndani na kukitoa nje.. Nikaongeza vikawa vidole viwili.. Nikawa navizamisha..na kuvitoa, Sikitu akawa anakata miuno ya chinichini huku akipiga mayowe 

Oohhhshhhh ahhhhhmmmm asssssssshhh b.. baby..  Ooohhyeeeahh 

Baada ya dakika Kama 5 hivi!!  Nikainyanyua miguu yote miwili ya sikitu na kuiweka mabegani kwangu, kisha nilikamata biringanya Langu ambao lilikuwa tayari limesimama mpka misuli imejitokeza, taratiibu nikalizamisha kwenye papuchi ya sikitu,  sikitu akagugumia huku mdomo wake akiuacha wazi, na mikono yake akawa akiziminya Minya dodo zake, 

Nikawa napampu kwa spidi,  biringanya langu likawa linazama vilivyo kwenye papuchi ya sikitu na baada ya dakika Kama 8 hivi,  nikamuona sikitu akitetemeka Sana,  akawa ananibana kwa nguvu Sana na miguu yake...hazikupita sekunde nyingi,,  akaachia kojo La kutosha.

Fasta, nikamgeuza.. Akawa kapiga magoti kitandani,  huku msambwanda wake na vingine vyote vikibakia kwa nyuma.  Nikalikamata tena.. Biringanya langu,  nikalizamisha kwenye papuchi ya sikitu,  nikaanza kupiga nje ndani .. Nje ndani.. Za uhakika huku kiuno chake nikiwa nimeki-kamatilia vilivyo...sikitu akawa anapiga mayowe...Ikabid niongez sauti ya bufa kwa rimoti iliyokuwepo pale kitandani, Nikaendelea kupiga  mashuti ya karibu karibu huku,nikiyapiga piga makalio ya sikitu kwa kutumia viganja vyangu!!  Sikitu akawa.. Analia mpka anachanganya na kilugha chao!  

Mimi wala sikujali hilo,  nikaongeza spidi.. Na baada ya dakika kadhaa,  nikahisi utamu wa ajabu... Nikaongeza kasi maradufu,  hatimaye.. Nikamwaga.

***nikalichomoa biringanya langu ***

Baada ya kulichomoa, likawa Kama linataka kulala hivi, sikitu akanambia " nooo, baby  Mimi sitaki, kwani Nimekwambia kuwa nimeridhika??? "" 

Upesi upesi, akanisogelea, akatoa ile kondom, akaitupa pembeni, kisha akalikamata biringanya kwa mikono yake yote miwili, akaliweka mdomoni. 

Asikwambie mtu, sikitu alikuwa anajua kunyonya biringanya ni  balaa!!  

Alianza kwa Kukinyonya kichwa cha biringanya Langu. . Huku akiwa analisukumizia Mdomoni Taratibu , kunawakati akawa Kama anataka kulimeza Lote ... Akawa analizamisha mpka kooni kwake.. Kisha analitoa ,afu anaendelea kulinyonya kawaida!  Hazikupita dakika.. Nyingi!!  Mtandao Ukakubali.. Biringanya Likasimama mpka mishipa mikubwa ya Damu na vitu Kama pingili pingili vikawa vinaonekana.

**kuona vile,  ****

Sikitu hakutaka kupoteza muda kabisa,,  akanisukumia kitandani, nikalalia mgongo,  huku biringanya langu... Likiwa linatizama juu!!  Akaja Taratiibu Usawa wa kiuno changu,  akachuchumaa kidogo, akalishika biringanya.. Nakulizamisha kwenye papuchi yake, huku akiachia Miguno laiiini, Miguno iliyo ashilia kuwa ni Kweli biringanya lilikuwa likimwingia vilivyo.

Akaanza kwa kulinyongea mauno huku taratiibu akijipimia mwenyewe! Akawa anazungusha kiuno, halafu ananyanyua kiuno juu na kujichomeka kwenye biringanya,  baada ya muda utamu,  ukamkolea.. Akaanza kujichomeka kwenye biringanya haraka haraka,  yani Juu chini juu chini kwa spidi ya hatari Sana,  Huku akiwa ameiweka mikono yake yote kichwani akipiga mayowe 

Oooooohhhhhssh aaaahhhhhhmmmm asssssshhh ma..ma yangu eehhh ta.. Aaamu 

Wakati sikitu Akiwa kapagawa na utamu wa biringanya, kwa mbalii nilianza kusikia sauti Kama kelele Flani mlangoni, Nikajua labda ni ile sauti ya bufa,  hivyo nikapotezea 

Lakini kadri tulivyoendelea kupeana utamu,  Ndivyo ile sauti ikawa inazidi kuyasumbua masikio yangu , ni wakati huo ndipo nikagundua kuwa ilikuwa ni sauti ya mlango, kuna mtu alikuwa akigonga mlango muda huo 

**** mbona sikuwa natarajia mtu yeyote muda huu ,,atakuwa Nani huyo?? **** nikawa najiuliza!! 

Nilimsukuma sikitu pembeni,  huku nikilichomoa biringanya langu,,Niliiona sura ya kutoridhika usoni mwake, Alikuwa Amejilaza Kitandani huku Akipumua kwa kasi.

Nikapunguza sauti ya bufa,,  kisha nikauliza 

" NANI?? "

..

Nilihisi kuishiwa Nguvu.. Pale nilipo iSikia sauti ya kike Ikinijibu tokea nje 

" Ni Mimi Jackline 




Nikapunguza sauti ya bufa,,  kisha nikauliza 

" NANI?? "

..

Nilihisi kuishiwa Nguvu.. Pale nilipo iSikia sauti ya kike Ikinijibu tokea nje 

" Ni Mimi Jackline "

MIMI: Subir kidogo,  Nakuja!! 

**** kwa spidi isiyo kuwa ya kawaida, sikitu akawa tayari amevaaa nguo zake , na Mimi upesi Nikavalia traka flani ya blue na kaushi ****

JACKLINE : hebu fungua mlango basi, au kuna mtu unamficha huko Ndani?

MIMI: Ninakuja,!!!

JACKLINE: fanya haraka!!! Nataka Nimuone Huyo Malaya!!  Mwenye hizi ndala hapa nje mlangoni!!

"duuuh , Tayari kila kitu kimeharibika, nilipanga kumficha sikitu bafuni kwangu,  lakini tayari nikawa nimeisha chelewa! Jackline,  ni msichna mwenye hasira na asiye kuwa na uvumilivu hata punje, hata Kama ningemficha sikitu ,  lazima tu angetafuta nyumba nzima ukizingatia Tayari amekwisha ziona ndala pale nje!!! 

Nikaanza kuzipiga hatua taratibu kuelekea mlangoni,  sikitu alikuwa akitetemeka sana kwa hofu , nikashikiria kitasa cha mlango wakati huo mlango nikiwa bado sijafungua,  kisha nikamwambia " sukuma kwa nje "

**nikamsikia,  jackline akisukuma ***

JACKLINE: Mbona haufunguki!! , au kuna mtu unamficha??

Upesi upesi ,, nikamfanyia sikitu ishara,  kuwa.. Anyunyizie pafyumu, afu asambaze madaftari pale mezani kisha akae Kama mtu aliyekuwa akifanya Maswali muda wote.

Niliona hilo ndilo jambo naloweza kufanya kwa wakati ule ,  wakati huo,  nikawa namfanyia ishara sikitu kwa Kusugua na Mkono kidogo kifuani kwangu, nikimaanisha,  atulie, awe kawaida tu 

Moyo wangu ukawa unadunda Sana, wakati nikiwa Naanza kuufungua mlango ili jackline aingie..

JACKLINE: whaaaaaat !!!!!, kijakazi wetu yuko Chumbani kwa mpenzi wangu?, Nini kinaendelea hapa?

Sikitu: *** huku akitetemeka Sana *** hapana!! Madam . Sivyo unavyo fikiria ma. .

MIMI: **** Nikasimama katikati ya Jackline na Sikitu,  ili kuzuia ugomvi usije ukatokea,  nita-kueleza kila kitu, lakini sivyo unavyo fikiria! 

JACKLINE: ****akapoteza  uvumilivu ,  akashindwa kutulia kabisa ** Sawa, naomba unielezee, jinsi ambavyo umekuwa ukilala  na hichi kisichana kichafu kichafu,  kichakazi chetu.. Kisicho kuwa na Nyuma Wala Mbele!! Alvine,  kumbe Siku zote.. Umekuwa ukitembea na hichi kigagula!!? Kisicho kuwa na hadhi yoyote 

***Akaanza kusogea kwa hasira ***

MIMI: ** Nikawahi kumzuia jackline,  asizidi kusogea,  wakati huo sikitu Alikuwa kwenye Kona ya Chumba , akiwa amebaha ***. Jackline , tafadhali  naomba unisikilize , sihivyo unavyofikiria, Sikitu  aliniomba tu nimsaidie katika somo la hesabu na isitoshe , leo ndo ilikuwa Siku yake ya kwanza hapa,  na unawez kujionea mwenyewe.. Hata vitabu vile Pale  mezani. Plzzz 

JACKLINE: hesabu?, Na ukashindwa nini kumfundisha kwa uwazi  kule Nyumbani,  mpka mmekuja kujifungia wenyewe humu ndani,  na nimekuwa nikigonga mlango zaidi ya dakika 7 zote!!  Bado Tu Unaiita hiyo  hesabu????  Sauti ya bufa ilikuwa juu kiasi kile,  mkaona haitoshi.. Ili mnidanganye vizuri vizuri ,  mkapulizia mpka pafyumu!! Unafikiri mimi ni mjinga kiasi hicho??????????  

" PAAAAAAAAH!!!!!  "

akampiga sikitu Bonge la kofi Shavuni.

MIMI: *** hasira zikanipanda kuona,  amempiga sikitu wangu kofi ,,, sikitu akawa analia Kama mtoto mdogo ?? ?? ?? ** ****. Jackline plzz, kuhusu sauti ya Mziki kuwa juu,  nadhani unajua ni kwa kiasi gani napenda Sana kusikiliza mziki. Na ningesema nikutaarifu Mapema kuhusu suala la kumfandisha sikitu,  sidhani Kama ungekubaliana nalo, nilitaka tu namsaidie... Angalau na yeye.. Siku moja afikie mahali ambapo amekuwa akipawazia.

JACKLINE: eehn eeehhh!! , unafikiri mimi ni mjinga?, kumbe ndo maana Siku zote limekuwa likichelewa kutoka sokoni!!  Kumbe huwa linapitia hapa kwa ajili ya kutomb** !!eehh?? " PUMBAAAAVU!!!! 

" PAAAAA!!! " akamuongeza sikitu.. Banzi jingine la nguvu usoni  ?? ?? 

MIMI: **** nikamshika jackline,  nikamsogeza mbali kabisa na sikitu,, sikitu alikuwa akilia tu***"Jackline unalipeleka hili swala mbali zaidi , Mimi nilikuwa nikimfundisha tu,  na si vinginevyo!! 

JACKLINE: **** akiwa bado na hasira, huku akitukana ovyo ** Hakuna shida, lazima Nimwambie mummy kila kitu Na Ninaapa Kwa Hilo,,,Wewe kichakazi... Umejiingiza mwenyew kwenye shida kubwa Muno, na sidhani Kama utaweza kujinasua !!!!  Na kwa wewe alvine, Hakiya mungu!!! kibarua Chako Ndo kimeota Nyasi hivyo!!

Jackline akatoka nje ya chumba Changu kwa hasira huku akibamiza mlango kwa nguvu 

Nikamugeukia sikitu.. Ili kumtuliza 




Jackline akatoka nje ya chumba Changu kwa hasira huku akibamiza mlango kwa nguvu 

Nikamugeukia sikitu.. Ili  kumtuliza 

MIMI: Baby samahani, kwa kilichokea 

SIKITU: *** akapiga kelele .... Naomba uniache peke yangu wewe kijana  usiyefaa, samahani kwa lipi?, sikuwahi kufikiria kuwa wewe ni mjinga na usiye kuwa na huruma kaisi hichi******* akaongeza kulia ***

MIMI: baby ,kwanini unaongea yote hayo   sasa?,.

SIKITU: kila wakati nilikuwa nikikuuliza kuhusu ukaribu wako na aunty jakcline,,, mara zote ukawa unambia  "hakuna kitu chochote". Sasa ni kwanini alisema nimefuata nini chumbani kwa boyfriend wake??!!  Niache tu tafadhari na unisahau kabisa! 

Sikitu akatoka nje ya chumba changu akiwa katika Hali ya huzuni Sana. Nilikaa kitandani kwangu  nisijue wapi pakuanzia,,  nilihisi kuchanganyikiwa... Lakini baadaye.. Nikaamua kuchukua simu yangu na kumpigia jackline.

MIM: hello Jackline, pls samahani, sio hivyo unavyofikiria mpenzi wangu.

JACKLINE: usije Ukajaribu kuipiga hii namba tena!!  Lasivyo nitakacho kufanyia wewe na kizazi chako chote, hamtokaa mkalisahau jina langu *** akakata simu ***

***oohoo, Ndo nafanyaje sasa hapa!!!! 

Nikajaribu kumtumia jackline, sms ndefu Sana ,nikimwelezea kitu Gani kilitokea ,  bado napo hakujibu chochote,  nikajaribu kumpigia sikitu... Simu Yake Iliita Sana Lakini Haikupokelewa . Kuna wakati nilifikiria kwenda white house,  lakini nakajikuta najiuliza " Alvine, utaenda Kuongea nani Kati ya Wale wasichana wawili??  Vipi ikitokea Brighton akagundua kitu,  na akaamua kumwambia madam??  Vipi Kama kwenda kwangu, kutasababisha ugomvi mwingine mkubwa zaidi ndani ya ile nyumba??!  Baada ya muda,  niliamua kuachana kabisa na zile fikra,  nikawa nimejituliza tu ndani  mpka Siku Nzima ikawa imeisha,,nikiwa natafakari..  Kitu gani cha kufanya.. Maana Kama ni jahazi.. tayari limekwisha zama.

Ukweli ni kwamba, ninampenda Sana Sikitu,kwa tabia yake nzuri, upole wake na akili yake pia!! Lakini.. Nampenda pia jackline  kwa sababu kadhaa, sikuwa tayari kumkosa yeyote Kati yao. Baada ya kufikiri kwa muda mrefu, kuna wazo  likanijia akilini mwangu ……….

Nikaamua kutokwenda white house kwa muda wa Wiki nzima , muda wote huo,  jackline hakuweza kujibu SMS Zangu zote na wala kupokea simu zangu, Namba ya simu ya sikitu nayo haikuwa ikipatikana tena. Nilitarajia Pengine madam angeweza kunitafuta kwa kunipigia simu, lakini haikuwa hivyo. Siku moja nikaamua kumpigia simu madam,  ili nimjulie Hali ,  nikijua lazima.. Atakuwa amechukizwa Sana na kile kilicho tokea,  lakini ilikuwa tofauti kabisa,  madam aliongea na Mimi kawaida tu,  kitu kilichopelekea nizidi kuchanganyikiwa!! Nisijue kipi nifanye!,  nikakumbuka kuwa jumapili, itakuwa ni Siku nyingine ya soko,  pengine sikitu anaweza kuja nyumbani kwangu. 

Siku ya Jumapili, sikuweza kwenda kabisa kanisani, nilibaki tu nyumbani nikitarajia kuwa Sikitu,  angeweza kuja..baada ya kumsubiri kwa muda,, nikaamua niende moja kwa moja mpka sokoni,  nikaenda mpka kwenye duka ambalo sikitu hupenda Kununuapo mafuta ya karanga,,  nikamuuliza muuzaji akanambia..ameondoka Kama dakika 5 zilizo pita,,  hapo nikakumbuka kuwa lazima Atanunua matunda kabla ya kurudi white house! 

Nilijua yote hayo,  kwasababu niliwahi Kumsindikiza Sokoni Mara kadhaa, Sikutaka kupoteza muda, nikawahi mpka sehemu ambapo huwa ananunua matunda!!  Nikaambiwa bado hajaonekana,  nikajua tu, atakuwa bado hajafika,  nikasogea pembeni kidogo.. Nikawa nasubiri.Baada ya dakika kma 6 hivi, Mara sikitu wangu.. Akawa amefika

MIMI: Mambo!! 

SiKITU: *** akaniangalia kwa dharau kidogo,  kisha akanipotezea ***

MIMI: Baby , wewe si wakunifanyia hivi plzzz!!  Naomba tuongee. 

SIKITU: *** akavaa sura ya kazi,  kisha akanigeukia ***, unataka nini kutoka kwangu?

MIMI: upendo wako 

SIKITU: hilo lilikuwa zamani, kwasasa,imebaki story 

MIMI: ***nikajiribu kumsogelea** BABY PLZZ 

**tukasogea pembeni kidogo ***

SIKITU:  hivi unataka nikwambie mara ngapi wewe???  Naomba uachane na mimi kabisa , na ukijaribu kunisogelea tu,  nitapiga kelele.

MIMI: **** nikasimama tuli ****, hakuna shida, nilitaka tu ujue kuwa nimekuwa nikikupenda  Siku zote , na kamwe sitoacha kukupenda!! , hujui tu ni nafasi gani nimekupa katika maisha Yangu ,na Hujui ni kiasi Gani Naumia kuona unanifanyia Hivi *** nikaigiza Kama nalia,  na kweli machozi yakakubali , yakaanza Kumwagika **** Nikageuka Zangu , nakuondoka.

Wakati nikiwa natembea barabarani, Nikielekea nyumbani, Mara nikahisi Kama kuna mtu ananigusa begani kwa nyuma,  nikageuka,  macho yangu.. Yakatua kwenye sura ya sikitu.. Ambaye alikuwa Akitokwa na  machozi,, akanikumbatia 

" Nakupenda Sana Alvine " 

***nilimwonea huruma,  maana muda si mrefu nimetoka kumdanganya *** ?? ?? ??

Nakupenda Pia sikitu!! 

SIKITU: okay, Tunaweza Kwenda   mahali tukae,Tuzungumze kidogo ??

Mimi: sawa, basi twende nyumbani kwangu.

SIKITU: hapana siwezi, aunty Jackline anaweza kutufuatilia huko tena.

Niliangalia upande wa pili wa barabara, kuna duka Flani lilikuwepo na Pembeni yake,  ilikuwepo sehemu nzuri.. Ya watu kupumzika. 

MIMI: wacha twende pale kwenye Lile Duka . **akanifuata,  tukawa tumevuka barabara ***

***baada ya kufika ***

SIKITU: haya nambie,, ulinimiss kweli?? 

MIMI: weee , nmekumiss Sana , na ndo maana Niliamua kukufuata mpka  sokoni 

SIKITU: sawa, alvine hebu kuwa mkweli! ,unamahusiano gani na aunty jackline?? Hivi Ni kweli,,  mnapendana?? 

MIMI: eeeeehhhhmmm.

SIKITU:  ehmm ndo nini sasa ?, Inamaanisha unampenda?

MIMI: sio kweli, tulikuwa na Urafiki wa karibu sana , kiasi kwamba.. Akawa akidhania kuwa Tupo Kwenye mahusiano , na ukweli ni kwamba,  sijawahi kufanya naye chochote!! 

SIKITU: sawa alvine . Mimi Sijui hata ni kwanini, nakupenda sana. Infact, niliwaambia marafiki Zangu wote wa kijijini kuhusu wewe na jinsi ulivyo nisaidia katika masomo yangu, walivutiwa Sana na jinsi nilivyo kuwa nikizungumza lugha ya  kiingereza, ila wakawa Wananikatisha tamaa kuwa wewe ni msomi na mwisho wa Siku hautanioa,  nikawaambia waisubiri tu,  hiyo Siku ya ndoa yetu ? 

MIMI: usisikilize maneno yao! , sidhani Kama wanajua maana ya upendo wa kweli!! Hebu ,nambie kilitokea nini Kati yenu baada ya kuwa mmefika nyumbani 

SiKITU: hakuna jipya , tulifika tu nyumbani na ugomvi ukaanza upya! ,,tukatukanana Sana, huku akitishia kumwambia madam 

MIMI: kwahiyo mwisho wa Siku alimwambia ?

SIKITU: anaanzaje sasa kumwambia , nilimwambia.. Akithubutu tu.. Na Mimi nitamweleza madam kila kitu, jinsi ambavyo umekuwa ukiingia chumbani kwake na kufanya naye mapenzi mara zote madam awapo kazini! Afu pia.. Amweleze madam vizuri .. Kilicho mpeleka nyumbani kwako mpka.. Tukakutana huko. 

MIMI: hmmmmmmm. Ndo maana nakupenda,  unaakili san 

SIKITU: ***akacheka kidogo ** wewe ongea tu hapo, na kikitokea tena.. Kitu kama kile!!  Hauta amini.. Nitakacho kufanyia 

MIMI: ****ohoo** baby,  nakuahidi.. Hakuna kitakacho tokea tena!!  Kwahiyo kumbe hakumwambia mama yake?? 

Sikitu:. Ndioo hakumwambia, lakini tumekuwa tukiishi kama paka na mbwa tangu Siku ile.

MIMI: Sawa baby , aahmm vipi na simu yako mbona haipatikani??

SIKITU: aliipasua.. Mara baada ya kuwa tumefika nyumbani

MIMI: hakuna shida,  nitakununulia simu nyingine.. Muda si mrefu.

Sikitu: Sawa!!  Basi.. Ngoja Mimi niende 

MIMI: ngoja nikusindikize

SIKITU: hapana, acha niende peke yangu. 

MIMI: BYEE!! Tutaonana kesho white house 

Sikitu aliondoka na mimi.. Nikaelekea zangu nyumbani .. Kujiandaa kwa ajili ya balaa la kesho .. While house 




Sikitu aliondoka na mimi.. Nikaelekea zangu nyumbani .. Kujiandaa kwa ajili ya balaa la kesho .. White house 

?? 

Siku iliyofuata ambayo ilikuwa Jumatatu , nilifika white house, nikamkuta jackline akiwa amekaa sebureni...alipo fungua tu mlango, ili Niingie ..jackline alinitizama kuanzia juu hadi chini kisha akasonya, akaona haitoshi, akaamua kuweka hear phones kwenye masikio yake. 

Nilikaa Pembeni yake, nikajaribu kuongea Naye  "Bwana Eehh!!! , nimeishamaliza mitihani yangu ya nwisho na ile ya kujiunga pia,!! Kwahiyo sihitaji vipindi vyako tena, unaweza kwenda, mpka pale Brighton atakapo rudi ndo uje kumfundisha,  akasonya tena,,  kwa sauti flani hivi, Kama joka kisha akaondoka kwenda chumbani kwake. 

Nikabaki nimechanganyikiwa,, sijui nimfuate chumbani kwake?, au niondoke tu au niendelee kukaa pale sebureni nimsubiri Brighton arudi kutoka shule .

Nikatoa simu yangu mfukoni, nikajaribu kumpigia jackline, akuweza kupokea simu,Jambo moja kuhusu Jackline ni kwamba , Ni msichana  mwenye kiburi , hasira, anajisikia Sana

Mara Zote Awapo na hasira,  basi huweza Kuharibu kitu chochote kile kilichopo mbele yake.

Baada ya dakika kadhaa kupita,  sikitu akafungua mlango wa chumba chake,  nikageukia upande wa chumba chake,  nikamuona akiniangalia kisha akatabasamu, na kufunga mlango.

Nilikuwa na hasira Sana!! Nikaona njia sahihi ya kuziondoa hasira zangu, ni kumwambia jackline kila kitu kilicho nikaa Rohoni!  Nikaichukua simu yangu,,  nikamwandikia ujumbe mrefu Sana wa whatsapp,  nikamwelezea jinsi alivyo na kiburi, anavyojisikia na mpuuzi pia. Nikamwambia jinsi, nilivyo jisikia kwa yeye kutopokea simu zangu wala kutotaka kunisikiliza! Niliandika mambo mengi Sana tena muda huo nikiwa na hasira Kama zote nikamtumia,  kisha nikaondoka 

Majira ya Saa kumi Jioni , nilirudi kumfundisha Brighton, sikutaka salamu wala mazoea na jackline , nikampotezea Kama simuoni vile!  Na baada ya kipindi kuisha nikarudi zangu nyumbani kwangu. 

Nilipofika nyumbani, nikampigia simu madam,  Nikamweleza kuhusu jackline alivyo sema,  kuwa kwasasa hataki tena habar za vipindi,  madam akaniahidi.. Tutakutana jumamosi.. Ili tulizungumzie hilo Suala vizuri.

Siku iliyofuata (Jumanne), mwendo ukawa ni ule ule,  sikutaka kabisa mazoea,, nikamfundisha Brighton... Nakuondoka.

Alhamisi ilikuwa siku Nyingine ya soko.

Mimi na Sikitu tulikutana, Tukakaa ile sehemu ambayo tulikaa Siku chache zilizo pita. Tukapiga story na kuzungumzia kila kitu , 

Tukawa Tumekubaliana kusitisha zoezi la vipindi nyumbani kwangu, mpka Siku za ijumaa usiku ! Pale Watu wote wanapokuwa wametoka na kuelekea Kanisani! Hivyo sikitu,  ilimpasa asitishe.. Kuwa anakuja nyumbani kwangu mpka pale Hali itakapo kuwa Sawa! 

**yani,  mpka pale jackline atakapo ondoka white house ****

Siku ya Jumamosi, baada ya vipindi na Brighton kuwa vimeisha. Madam, Jackline na mimi tulikaa sebuleni na kujadili juu ya Lile Suala, Jackline akawa anasisitiza kuwa kwa sasa.. Haitaji Tena kusoma.. Kwasababu Kama nimitihani kaisha maliza 

Madam alikubaliana naye na tukaamua kwamba nitakuwa nikimufundisha Brighton Peke yake na mshahara wangu utapungua mpka Laki Nne! 

Jackline na mimi tulidumisha ukimya kwa Takribani Wiki 5 , Hatimaye Nikaamua kumpotezea jackline kabisa na kubaki na sikitu. 

Kati Kati ya mwezi wa 10, kuna kitu kilitokea , Jackline hakuweza kufikisha points zilizo takiwa na Chuo ambacho alikuwa ametuma maombi. Na Hakuwa anataka kusoma Chuo Binafsi Chochote ,  madam akaniita na kunambia Juu ya hilo jambo,  nilijisikia vibaya Sana,  nikamshauri ajaribu kuomba Chuo kikuu kingine.

Ijumamosi iliyofuataya, madam aliniarifu kuwa napaswa kuendelea kumfundisha jackline,  ili kumuandaa na Mitihani mingine, na hivyo Ninapaswa kukaa white house muda wote Mpka pale mitihani itakapo fika , ili niweze kupata muda wa kutosha kumfundisha jackline.

Nilishangaa Sana kulisikia hilo, lakini kilichonishangaza zaidi ni kwamba Jackline alikuwa amekaa Pembeni kidogo ya madam na muda wote huo alikuwa kimya tu..akinitizama.

Ujio Wangu white house Unapelekea tatizo Jingine Kubwa Tena kutokea ??  …………… ..




Kesho yake Asubuhi ( jumatatu) Nilianza tena Vipindi Ndani ya white house.Nikijua kabisa kuwa sikitu na jackline wanaishi Kama mbwa na paka mle ndani,  hivyo Nikaapa kuwa makini kwa kila kitendo Nitakacho kuwa nafanya,  lazima nijue jinsi ya kudili na hawa wanawake watatu.. Ili mwisho wa Siku.. Madam asije akaanza kunishuku.

Ndani ya wiki ya kwanza , Jackline hakuwa huru kabisa na mimi, muda wote Alikuwa akinionyesha kiburi chake tu , hakutaka kabisa kuniona nimesimama karibu na sikitu, na Hata  ikitokea nimemwita sikitu kwa ajili ya ishu yoyote ya ndani ya nyumba basi jackline lazima atataka kujua ni ishu Gani  na lazima atakuwepo kushuhudia kila kitu. 

Kwenye wiki ya pili, mambo ndo yakawa mabaya zaidi,  jackline alikuwa akimfokea Sana sikitu kwa vikosa vidogo-vidogo, Kama kuna nguo hazijafuliwa,  Kama kuna vumbi.. Kwenye kifaa chochote kile, basi jackline atapiga makelele na kumtukana Sana sikitu ,cha kuchekesha zaidi,  jackline Hakutaka kutoka ndani ya nyumba hata mara moja, muda wote atakua ndani Tu akifuatilia kila hatua. Kitu kingine cha kufurahisha zaidi ni kwamba ,Kila ijumaa usiku,  jackline atakataa kwenda Kanisani .. Labda mpka mimi niende mkesha na familia .mara nyingine akitaka kutoka kwenda mahali popote,  atahakikisha.. Anaondoka na sikitu ili Mradi tu nibaki Nyumbani peke yangu.lakini Licha ya manyanyaso yote hayo na matusi juu,  masikini sikitu hakuwahi kulalamika wala kutaka kulipiza.

siku ambazo sikitu hutoka  nje kuelekea sokoni, Jackline atahakikisha.. Anampeleka sikitu.. Mpka barabarani.. Anampandisha boda.. Na kumuamuru boda Ahakikishe anamrudisha Nyumbani!!  Sikuwa napata muda wa kuongea na sikitu kabisa,  njia peke iliyokuwepo hapo Awali, ilikuwa ni kupitia simu yake ya Mkononi , ambayo tayari jackline alikwisha ipasua pasua. 

Siku moja, Sikitu alikuwa ametoka nje ya white house, hivyo nikabaki peke yangu na jackline nikimfundisha, Siku Hiyo nikaamua kuzungumza na jackline 

MIMI:  kwanin hivi Karibuni, umekuwa na tabia ya kumtukana, na kumuonea Sana sikitu?

JACKLINE: Kwani wewe shida yako ni nini haswa! kuhusu hilo?, yanakuhusu ? , kazi yako na kilicho kuleta hapa ni ufundishaji  tu na si vinginevyo Sawa!!!!!!! *** akapiga kelele ****.

MIMI: ndo unamaanisha nini?

JACKLINE : ninamaanisha unapaswa Kufanya kilicho kuleta na uachane kabisa na Biashara ya kuingilia mambo yangu mimi na kijakazi wetu. Mbali na hilo, kwanza wewe ni nani mpka uanze kunihubiria kuhusu  matendo yangu?, huyo kahaba wako Anafanya kazi hapa na analipwa kama vile wew unavyofanya kazi hapa na unalipwa,hivyo basi nyinyi wote wawili ni vijakazi  wetu hapa nyumbani na Nina haki na mamlaka ya kumwambia chochote mtu yeyote anaye fanya kazi Ndani ya hii Nyumba ...UPO??? , Kwahiyo Jaribu kufanya kilicho kuleta hapa Sawa Mr mwalim!!!

MIMI: ***** nikahisi Kama kichwa kinapasuka hivi *****.sio bure,  wewe ni mjinga na mwendawazimu, Tena tahira kabisa,,  hivi unajua hata maana ya huo ujinga unao-uzungumza??!  Unadhani unaweza kuongea na mimi tu kwa Kadri unavyojisikia, kisa tu ninafanya kazi hapa??? Hivi Unadhani nyinyi ndo mnamiliki dunia nzima???  Unadhani nitakufa Kama nikiacha kazi hapa??? Au unadhani nikosa la sikitu kuzaliwa katika familia duni??? Mpuuzi Sana wewe,  sasa mwambie mama yako amuajiri mtu mwingine ambaye utakuwa unampanda kichwani na kumkaa kooni,  ambaye utakuwa unamplekesha Kadri utakavyo na sio MIMI!! ,,,afu kwanza Sina muda wa kuongea na mbw**

Nikaamka haraka Sana,  nikamuacha jackline pale kwenye sofa akiwa haamini, kilicho tokea.. Mbele ya macho yake, Nikazipanda ngazi kwa hasira hadi chumbani kwangu,  nikachukua begi langu.. Na kupakia kila kilicho kuwa changu.. Nikaliweka mgongoni.. Kisha nikatoka. Nilipo fika sebureni ,nikamkuta jackline akilia kwa uchungu sana, sijawahi kumuona akilia vile hapo kabla, alikuwa akilia Kama mtoto mdogo.. Aliye kosa Msaada!!  Huwezi amini, ile kumuona Jackline Akiwa katika ile Hali,  taratibu  hasira zote nilizo kuwa nazo. Zikaanza Kuyeyuka Utadhani Barafu.. Iliyowekwa Juani, 

Nikajikuta natupa begi langu pembeni kisha namsogelea.. Nikanyanyua mikono yangu na kumshika begani,,  jackline Akaitoa kwa nguvu,, nilijua ni hasira tu,  nikaamua kumshika tena mabegani,  safari hakuweza kuisukuma mikono Yangu , basi nikawa nimekaa pembeni yake.. Nikijaribu kumtuliza



MIMI: jackline,Kwanini unalia?

JACKLINE: umenitukana  mimi Pamoja Na familia yangu!!? 

MIMI: **nikamsogelea karibu zaidi ****sio hivyo mpenzi wangu , haikuwa Nia yangu kuongea na wewe vile, zilikuwa ni hasira tu,  nilijikuta nmekasirika Sana, pale ulipo niita kijakazi wenu,  iliniuma Sana , nikaona umenikosea heshima na  kunidharau.

JACKLINE: **** akawa bado analia**** hakuna mtu aliyewahi kunitukana kiasi hicho ,wew ndo mtu wa kwanza katika Maisha yangu kunitukana vile.

MIMI: samahani Jackline, sikumaanisha kabisa nilichosema, unajua nakupenda na ninakuthamini Sana .ni hasira tu ndo zili sababaisha yote Yale.

JACKLINE: Nakupenda pia alvine , ndio maana hata , akili yangu...haikuwa Sawa kabisa hivi karibuni .

MIMI: *** nikamsogeza karibu Yangu na akakilaza kichwa chake Kifuani kwangu ****, Baby nakupenda mno , hukutaka tu kunisikiliza mpenzi wangu, Hakuna kinacho endelea Kati yangu na sikitu, nilijitolea tu kuwa namfundisha masomo ya hesabu na kiingereza 

JACKLINE: Alvine, una uhakika Kuwa unanipenda?, **** akapunguza kulia ****

MIMI: Jackie hujui tu!!  Nakupenda Sana .

Tulishikana mikono , tukawa tunatizamana machoni kwa ukaribu zaidi, tukajikuta tunaanza kukiss,,,tukawa tunanyonyana ndimi.

Baada ya dakika kadhaa tukaamka kutoka pale kwenye sofa ,,  huku tukiwa bado tunanyonyana ndimi,, tukazipanda ngazi hadi chumbani kwa jackline , baada ya kuingia.. Akafunga mlango kwa ndani.

Tukaanza Tena kukiss.. Tukielekea kitandani.

Pale kitandani nikawa namkiss jackline kwa mitindo tofauti!!  Kuna wakati Nilikuwa nikizikiss lips zake Mara kadhaa,afu  natumia ulimi wangu.. Kuufunga ulimi wa jackline,  kisha taratiibu nauvuta Kama narudisha kichwa nyuma kiaina. 

Nikatumia mikono yangu, kumvua bra,, nikazamisha mikono na kuzikamata dodo kubwa za jackline!!  Nikawa nazipapasa kwa utulivu. Huku nikiziminya kwa nguvu kidogo,,  jackline alikuwa akifurahia tu,,  akawa anagugumia kwa utamu,, tofauti na sikitu,  jackline alikuwa akifurahia Sana kuminywa chuchu zake, lakini sikitu Alikuwa Akipendelea Sana kunyonywa chuchu zake. 

Wakati huo,  nikawa Natumia mkono wangu mmoja, kuivua suruali aliyokuwa amevaa jackline, hatimaye Nikaweza kuishusha kabisa, nikasitisha kidogo zoezi la Kuunyonya Ulimi wa jackline Ulio kuwa Laini  na wenye joto la Aina yake. Nikawa nazinyonya dodo ,Zake kwa zamu.

Nikazamisha vidole vyangu, kwenye papuchi...nikawa navitumia kumpagawisha jackline!!  Akawa anapiga kelele,  huku akijivuta.. Nikaongeza kuzinyonya dodo zake,,  hapo  akachanganyikwa zaidi

Ooooouuhhhssshh !! Alvine nilikumiss Sana Mme Wangu ooohhhyeeahhh ahhhhmmm nipe.. Vyo.. o.. te. 

Hakutaka kupoteza muda,,  akaishusha suruali Yangu Mpka usawa wa magoti,  chap kidogo akalichomoa biringanya langu,, ambalo Kwa wakati huo.. Lilikuwa Tayari limekakamaa Kama chuma!!  Akaanza kulichezea kwa viganja vyake Laini , Siku hiyo sikuwa na ko**ndm,  Maana sikuwa kabisa na ratiba ya kusex ????.

Nikawa Natamani kulizamisha biringanya Langu kwenye papuchi ya jackline ambayo muda huo ilikuwa imetoa ute wa kutosha,, lakini kuna wazo likawa linanambia hebu Subiri kidogo .

Nikaendelea kuongeza maufundi ya kila Aina,, safari hii nikatumia ulimi wangu.. Nika-uzamisha woote kwenye papuchi ya jackline!!  Nikawa Nauingiza na kuutoa..kwa Haraka haraka !! Jackline alikuwa akipiga Makelele,, huku akitukana Matusi ya kila Aina,  baadaye ...akawa amezidiwa kabisa,,Papuchi yake Ikawa imeloana tepetepe ,Ikilisubiri biringanya Langu 

"Alvin,, plzzz naomba unit*mb*" , alisema Jackline

Nikamjibu "Baby, Sina kondomu". 

Jackline  huku akiongea...kama mtu aliyezidiwa ICU akanijibu "Usijali Mme Wangu , fanya hivyo Hivyo, ila Usimwagie Ndani "

Daah!!  Kusikia hivyo,, nikawa Kama nimepandwa na mapepo!!  Nikaimata miguu yote miwili ya jackline,,  nikaikunja,,  kisha taratiibu nikazamisha biringanya  langu!! 

"" ooouuuhhhhh ahhhhhmmmm aasssssshhhhhhh a.. Alvin,  usizamishe... Yoote .. Baby "

Sikutaka kusikia chochote,,  nikawa nazidi kushindilia biringanya langu kwenye papuchi ya jackline,,  wakati limefika katikati,  nikawa nahisi.. Limegusa kitu Kama ukuta kule ndani,, hapo, Sikutaka kulizamisha zaidi, nikaanza kupampu taratiibu,,  jackline.. Akawa anagugumia tu,,  akawa anazungusha kiuno,,,  huku analiminyia biringanya kwa ndani!! Kitu kimoja kuhusu jackline, ni kwamba ,, alikuwa akifanana vitu vingi Sana na mama yake ,,kuanzia Miguno,,jinsi alivyokuwa akinikamatilia wakati napiga nje Ndani za haraka haraka ,,style yake ya kuzungusha mauno wakati biringanya Langu Likiwa Ikulu, Yani  Vyoote hivyo nikama madam kabisa, Basi,,  nikaendelea na zoezi kwa takribani dakika 25,, jackline alikuwa amekwisha vunja dafu Mara tatu!! Wakati huo Mimi.. Ndo kwanza.. Sijapiga bao hata moja!! 

Nikamgeza akalalia tumbo,, kisha Akaweka mto kwa chini kiunoni, kiuno kikawa kimebinuka kwa Juu kimtindo!! Kisha nikaja kwa nyuma juu yake..nikazamisha biringanya Langu, nikaanza kupiga mashuti ya karibu karibu,  jackline akawa Anagugumia , akiendelea kuyakata mauno taratibu,,  utamu ukakolea,,  nikaongeza spidi..  Nikawa napiga nje ndani za fasta fasta! 

Nikamuona jackline akitetemeka mwili mzima mpka Miguu , 

""a.. a.. alvine,, naaa..k.. Ko..joa,, ooooooouuuuuuhh!!!!! "

Akakamata shuka kwa nguvu,,nikaongeza spidi Mara dufu ..., Akafungulia Bomba,  likamwaga maji ya kutosha,, muda huo huo na mimi ,,nikajikuta nashindwa Kulichomoa Biringanya Langu  ili Nimwage Nanii Zangu nje ,yote hiyo ni kutokana na Utamu nilio kuwa naupata,badala yake nikalishamisha biringanya langu Ndani zaidi kwenye papuchi ya jackline.. Nakummwagia kikombe kizima cha uji mzito .nikabaki nimemlalia kwa juu mgongoni huku biringanya likiwemo ndani. 

***kwavile muda ulikuwa tayari umeenda Sana ***

Sikutaka Tena kuendelea,, hivyo tukavaa nguo zetu haraka,,Tukatoka Chumbani kwa jackline,,   tukaelekea seburin,,ile kufika tu Sebureni ,, tumekaa Kama dakika 5 hivi,, sikitu akawa amerudi.

Basi, kuanzia Siku hiyo,, jackline hakuweza kuzificha hisia zake tena,, akawa Mara anikumbatie,,, Mara aniite majina yote ya kimahaba unayo yafahamu mbele ya sikitu

Nikawa najaribu kumuonya,,kuhusu hilo maana sikitu. ..angeweza kumwambia madam 

Sikitu alionekana mwenye wivu na asiyekuwa na furaha kabisa,, Mara zote jackline awapo karibu yangu!! Mbaya Zaidi Sikupata muda wa kumuelezea sikitu chochote kile, maana muda wote jackline alikuwa akitutizama na kutuchunga vilivyo ..muda wote  Alihakikisha  Anatizama kila kitu, bila kupoteza hata point.????

Wiki 3 baadaye, tatizo jingine kubwa zaidi Likatokea ……….



Wiki 3 baadaye, tatizo jingine kubwa zaidi Likatokea ……….

?? ? 

Wiki 3 baadaye , mtihani ya jackline ikawa imewadia, nilifurahi Sana kuona.. Jackline atasafiri, coz nitapata Tena nafasi ya kuongea na kipenzi cha moyo wangu " sikitu "

Jackline,alisafiri Ijumaa jioni, Kwa ajili ya mitihani ambayo.. Alitakiwa kuifanya kesho yake jumamosi!! Nilimwambia madam kuwa ningeenda Nyumbani kwangu jioni ya Siku hiyo,  huku nikiwa na mpango wa kurudi white house majira ya saa nne usiku. Muda Ambao madam na Brighton watakuwa wamekwenda kanisani. 

***ijumaa usiku ***

Nilifika white house kwenye majira ya saa nne nne hivi ,Nikamuuliza mlinzi Kama madam  na Brighton wapo?!,,  akanambia wametoka kitambo. 

Ulikuwa usiku,  ambao naweza kusema.. Niliuona kama wa bahati kwangu, nikaingia getini na moja kwa moja  .nikawa narikaribia langu kuu la white house, nilipo fika mlangoni,, nikagonga!!  Baada ya sekunde kadhaa, sikitu alikuja na kufungua. Aliponiona tu,, uso wake ukabadilika,, ghafla akawa na hasira,, akasonya kiaina kisha akaondoka kuelekea chumbani kwake,,  Nikaliunga...nakumfuata nyuma.

SIKITU: Mume wa Aunty Jackline , kimekuleta nini hapa muda huu?? Au umekuja kwa lengo la kuiba?!! 

MIMI: tafadhari sikitu,  naomba ukae chini kwanza,, unapaswa angalau.. Kunikaribisha nikae.

SIKITU : nikukaribishe ukae!!!?? ..ili iweje??  Tafadhari naomba utoke chumbani kwangu!!! 

MIMI: *** nikakaa kitandani kwake,  nikamshika mkono,  wakati huo yeye Akiwa amesimama*** Sikitu, tafadhari naomba unielewe, utakuwa umefikiria vibaya , Jackline alikuwa akiigiza maigizo yote Yale ili tu,, ahakikishe unaumia!!! 

SIKITU: sidhani Kama nitakuelewa!!, na Naona Usha-uanza uongo wako! ,,Niache tu Mimi ?? 

MIMI: sikudanganyi sikitu wangu , unajua ninakupenda sana. Infact, wewe ndio sababu ya mimi kukaa ndani ya hii Nyumba, baby, nilishindwa kuongea na wewe.. Kwababau sikupata nafasi,  wewe mwenyewe unajua ni jinsi gani jackline alikuwa Akituchunga ,, na hata yale yote aliyokuwa akiyafanya..mbele zako.. Niuongo mtupu,, alikuwa akifanya vile..ili tu ujisikie wivu.

SIKITU: ** akakaa karibu yangu, kisha akanishika mikono *******. Hata Mimi nilihisi hivyo. Nilijua lazima atakuwa anafanya makusudi tu ili kuniumiza!!  Nakuamini sana alvine,  najua  hauwezi kunisaliti. .

MIMI:**oohoo ** sitoweza kukusaliti mpenzi wangu

SIKITU: nilikumiss Sana alvine wangu, nilikuwa naumia Sana, kila nilipo kuona karibu na aunty jackline ,Nikawa mtu wa kujifungia na kulia chumbani kwangu,, mbaya zaidi,, nipale ambapo Hatukuwa tukiongea kabisa,, nilikata tamaa nikatamani kujiua ??. 

Tulikumbatiana,, hazikupita sekunde,,  Midomo yetu ikajikuta imekutana , tukawa tunakiss.. Kisha tukafanya mapenzi.. Mpka majira ya saa nane usiku, tukalala 

Tulipo amka alfajiri,, tukakiwasha... Tukapiga shoo round tatu... Mpka saa kumi na moja ,, ambapo nilitoka na kuelekea.. Chumbani kwangu.

Jackline alirudi jioni ya jumapili,,na tulipo onana tu, akaanza kuniuliza maswali, Akataka nimwambie kila kitu kilicho tokea hapo ndani wakati wote alipo kuwa huko.

Nilirudi nyumbani kwangu jumatatu asubuhi, ila mida flani nikarudi kumfundisha Brighton .

Siku chache baadaye, Jackline alinipigia simu na kuniambia kuwa hajaziona Siku zake , nilihisi kuchoka Sana Mwili mzima! ????

....

"Hujaziona NINI!!!!!!!??????? " ?? ?? 



Siku chache baadaye, Jackline alinipigia simu na kuniambia kuwa hajaziona Siku zake , nilihisi kuchoka Sana 

"Hujaziona NINI!!!!!!!???????

?? 

Nilijikuta naogopa Sana , Siku zote,, Nimekuwa mwangalifu ,nimekuwa  nikikutumia kinga, ili kujiepusha na majanga Kama hayo,,  ilikuwa ndo Mara yangu ya kwanza katika maisha yangu.. Kumtia mwanamke ujauzito!! 

Madam akigundua hili, sidhani Kama ataniacha salama, ukizingatia Jackline alikuwa mdogo Sana kwa ndoa, yote tisa, kumi. .sikuwa na kazi Nzuri Ya kuniwezesha kuanzisha Familia!! 

Siku nzima,nilikosa utulivu kabisa,nilikuwa nimetawaliwa na hisia za uoga, nikajaribu kuzungumza na jackline,,juu ya nini tufanye.. Ili kuondokana na balaa lile.

Jackline akanambia Kama ni suala la kutoa mimba yeye hayuko tayari kabisa, kwani alikwisha onywa na bibi yake, kuwa Siku atakayo jaribu kutoa ujauzito ndo Siku ambayo ataiacha hii dunia.

**nikahisi kuchanganyikiwa,, zaidi. ****

sikuweza kupata usingizi,, nilijikuta ninakaa macho mpka kunakucha,,, nikawa nawaza kukimbia.. Nielekee mbali,, lakin baadaye nafikiria.. Ni wapi huko.. Nitakapo kimbilia ambapo madam hatoweza kunipata!!!

***nikajikuta mpole,, baada ya kukosa jibu***

Sasa, wakati Nikiwa bado naumiza kichwa,, Mara simu yangu ikaita ,,sikuwa na nguvu hata ya kupokea simu kwa wakati huo,, baada ya kuona mtu aliye nipigia ni jackline,, nikajikaza.. Nikaipokea simu. Akaniuliza nini kitatokea,, na akawa analia Sana.

***hofu na uoga vikaongezeka ***

Nikamsihi ,,akubali kuutoa ule ujauzito lakini akaendelea kukataa Kata Kata,!! Huku akinikumbusha maneno ya marehemu bibi yake. 

**** daah,, nitafanya nin sasa? ****.

Nilichukua simu yangu,, nikaamua kumpigia rafiki yangu mmoja,,, ambaye Amekuwa kwenye kitengo cha utoaji mimba kwa muda mrefu Sana,,, baada ya kuongea Naye!! Akanishauri Ninunue dawa flani. 

Sasa,, shida iliyokuwepo ni kwamba,, naanzaje kumshawishi jackline aitumie ile dawa!! 

Kesho yake, nilimpigia simu jackline,, nikamuomba aje nyumbani kwangu jioni.

Nikaamua kuufata mpango wa Yule rafiki yangu,,  niliwahi mapema Dukani ... Nikanunua juisu flani yenye radha chachu ya limao,  kisha nikachukua ile dawa nikaitwanga..ikawa unga unga kisha nikainyunyizia vizuri ..Kwenye ile juisi, nikakoroga taratibu , na baada ya hapo,, nikaifunika Kama ilivyo kuwa nakuiweka kwenye friji.

Nikapanga chumba changu vizuri,ili jackline Asije kushtukia dili,  lakini bado moyo wangu.. Ukawa unadunda Sana, nikawa najiuliza maswali mengi!!  ??

"je ikitokea mtoto wa watu akafariki?"

"hivi Ikitokea tumbo lake likaharibika?".

"itakuwaje Kama dawa itasababisha matatizo mengine makubwa?? !

" na Vipi Kama madam atagundua ?".

Daah,,  kuna wakati nilihisi.. Kusitisha kabisa hilo zoezi,,  lakin kuna sauti ndani yangu ikawa inambia " Alvine, haina kufeli, wewe mpe tu anywe na Hakuna chochote kibaya kitakachotokea "

Basi, ilipofika jioni , Jackline akawa tayari amefika . Nikamkaribisha,, akaingia nakukaa kitandani kwangu. Alikuwa akionekana Hana furaha na mwenye huzuni sana.

**** sikuwa kabisa na wazo la kufanya naye mapenzi wakati huo ******.

MIMI: Jackie,, vipi mpenzi wangu ?!

JACKLINE: Siko sawa, hebu twende Kwenye mada , kitu Gani tutafanya sasa??

MIMI: Nina wazo moja tu,,

**kabla sijamaliza, kuongea ***

JACKLINE: kama ni kuhusu kuitoa hii mimba,, naomba ulisahau hilo 

MIMI: kwanini?

JACKLINE: unaniuliza tena?, kwani sinilisha kwambia kuwa hilo halitowezekana kabisa??  Unataka nife au?? 

MIMI: tulia, hebu ngoja kwanza nikuburudishe 

***** nikaelekea ilipo friji, nikafungua,  Nikaitoa ile juisi,,  Nikamchanganyia na zabibu kidogo.. Kisha nikampatia **

JACKLINE **** akawa kaishika ile juisi, akiinusa kiaina **** mmh mmh hii juisi inaonekana chachu Sana,,  kwanin Hukununua.. Juisi ya matunda mengine!? 

MIMI: Nimejikuta naipenda Sana hii hivi karibuni,, kwanza kabisa haina sukari ambayo inaweza kunisababishia kisukari  au kuwa na kiwango kidogo cha manii 

JACKIE: kiwango cha manii?, hivi Baada ya kunisababishia shida, bado tu unaendelea kuzungumzia manii? **** akaanza kukinywa kile kinywaji ***

MIMI: samahani mpenz wangu 

JACKLINE : samahani kwa lipi??, nilikuonya siku ile,, usimwagie ndani,,na hukutaka Kunisikiliza.

MIMI: nisamehe baby,, hata sikujua  kama kuna kitu nilimwagia kwa Ndani 

JACKLINE : **** akamaliza kile kinywaji ***

Mimi nakusikiliza tu,, wewe naomba unambie.. Kitu gani tutafanya.  Ila sio kuitoa hii mimba 

MIMI: **** nikawa natabasamu kimoyomoyo,, baada ya kuona kamaliza.  Kukinywa kile kinywaji,, huku nikijisemea. Ungejua tayari. .zoezi la utoaji lishaanz ? ? ? !!***

usijali,, mpka kufikia kesho nitakuwa nishapata jibu,, na nitakwambia nikija white house 

JACKLINE: bora

Nikamsindikiza jackline, na akawa ameondoka!!  Nilirudi chumbani kwangu  nikiwa na hisia mchanganyiko,,nikawa Nafurahi kwa kuimaliza ishu ya mimba,, lakini pia.. Nikawa nawaza.. NI KITU GANI KITATOKOEA KWA JACKLINE BAADA YA KUWA  AMEKUNYWA KILE KINYWAJI CHENYE DAWA!! 

JE,, ZOEZI LITAENDA SAWA??? MAJIBU YATAKUWA MAZURI??? 




Nikamsindikiza jackline, akawa ameondoka!!  Nilirudi chumbani kwangu  nikiwa na hisia mchanganyiko,,nikawa Nafurahi kwa kuimaliza ishu ya mimba,, lakini pia.. Nikawa nawaza.. NI KITU GANI KITATOKOEA KWA JACKLINE BAADA YA KUWA  AMEKUNYWA KILE KINYWAJI CHENYE DAWA!! 

JE,, ZOEZI LITAENDA SAWA??? MAJIBU YATAKUWA MAZURI??? 

..

?? 

Jackline alipofika nyumbani tu.. Akanipigia simu.. Akawa analalamika Sana, Alikuwa Akihisi Maumivu Makali Sana Ya Tumbo.

Niliogopa Sana,, na kitu pekee ambacho nilikuwa nafikiria kwa wakati ule ni kwamba " Tayari nimefanya mauaji, nimemwua Jackline".

Sikuwa na amani kabisa,,  nikawa natembea huku na kule ndani ya chumba changu,,,nikawa nawaza kitu gani cha kufanya. 

Nilimpigia simu rafiki yangu yule aliye nishauri Juu ya ile dawa,  nikamwelezea kitu kilichotokea na kinachoendelea kwa sasa,.. Akaendelea kunihakikishia kuwa..ni kawaida kwa mtumiaji wa ile dawa kujisikia vile!!, hivyo sitakiwi kuwa na wasiwasi wowote,, maana dawa ndo ilikuwa ikifanya kazi hivyo. 

Niliamua kuizima simu yangu kwa muda wa Siku3, sikuwa na ujasiri wa kwenda white house... wala kujaribu kumpigia simu jackline au Madam 

Siku ya nne , madam alinipigia simu ,nikawa naogopa Sana kupokea!! Ila mwishowe nikaamua kuipokea...

MIMI: hello madam "*** huku nikitetemeka ***

MADAM: Mambo Alvine,  upo kimya Sana!!,, wala hata simu huku taka nipigia!! ?, natumai hakuna shida yoyote?? 

MIMI: Hakuna tatizo madam, niko sawa tu, aahhm nilisafiri kidogo kwenda shuleni kuchukua.. Cheti changu,,na ilikuwa ghafla Sana.

MADAM: hakuna shida.

MIMI: *** kwa kigugumizi **** jackline anaendeleaje madam?? 

MADAM: yuko vizuri, ingawa alikuwa mgonjwa Siku chache zilizo pita!! Ila kwa sasa amepona kabisa. 

MIM: sawa ma, mfikishie pole zangu,,  nitakuja kumwona,,nitakaporudi 

MADAM: Sawa!, hakuna shida ** akakata simu ***

Baada ya kuwa nimezungumza na madam Siku ile,, sikuwa na wasiwasi tena, sikuwa naiwazia ile ishu ya mauaji tena,, lakini bado,, nilikuwa na hamu ya kujua.. Kipi kilitokea kwa jackline.

Siku iliyofuata asubuhi, nilichukua usafiri nikaelekea mpka White house,, Kwa bahati nzuri.. Madam hakuwepo,, Brighton alikuwa amekwenda shule na sikitu alikuwa ametoka.

***nikaingia white house ***

Jackline, Aliponiona tu akaikunja sura yake,,nikaingia na moja kwa moja nikaenda kumpigia magoti mbele yake huku nimeishika mikono yake 

MIMI: BABY , plzz naomba unisamehe,,  na ninaomba Sana.. Utafute njia yoyote ile ndani ya moyo wako ili unisamehe kwa kutokuwepo kwangu *** 

JACKLINE: Ninapaswa kukusamehe kwa kutokuwepo kwako? Au kwa kinywaji ulichonipa?

MIMI: ** oohoo,kumbe kashtukia tayari, *****.

JACKLINE: Alvine,,Kwa jinsi nilivyokuwa nakupenda,, sikuwahi kufikiria kuwa unaweza Jaribu kuniua!!! 

MIMI: nisamehe mpenzi wangu,, nakiri kuwa nilikosea Sana kwa kufuata mawazo mabaya ya rafiki zangu.

JACKLINE: mbali na hayo , nilikuwa nikikutania tu,, ukweli ni kwamba sikuwa na ujauzito,, hata ile Siku ya mwisho nilokuja kwako,, nilikuwa nimevaa pedi sema tu hukuniona.

MIMI: *** nikashika kichwa ***  plzzz nisamehe Jackline, nakuahidi ,,sitorudia kufanya kitendo Kama hicho tena!! 

JACKLINE: hata hivyo,, sidhani Kama utakuwa na nafasi nyingine ya kufanya jaribio Kama lile,, kwasababu kuanzia sasa.. MIMI NA WEWE BASI!!!!!!! na Naomba utoke humu ndani 

MIMI: Jackline, plzz naomba unisamehe 

JACKLINE: Wewe si ulidhani nitakufa ?, ndio maana ukazima mpka simu yako!! Ukaona haitoshi... Ukaamua kutoka nje ya mji?? 

MIMI: Jackline, samahani Sana ***nikawa natokwa na machozi **

JACKLINE : Nimesema TOKA NJE!!!!!! **** akaongea kwa hasira,, tena kwa sauti ya Juu sana  ****

Nilirudi nyumbani kwangu nikiwa na hisia mchanganyiko.

"sijui niachane na jackline tu, nibakie na sikitu wangu?? 

"Lakini sikitu amekaa kishamba shamba Sana 

"ila,, sikitu kanisaidia vitu vingi mno!! 

Baada ya muda nikaachana na Yale mawazo,, nikachukua simu yangu... Niaanza kumwandikia jumbe za whatsapp jackline,  nikimwomba Msamaha,, nikawa namtumia na jumbe za sauti

Baada ya wiki 2 za kubembeleza na kuomba msamaha. Hatimaye jackline akakubali kunisamehe na.. Tukaendelea na mahusiano .

***………………………… HITIMISHO 

Nilipata kazi kwenye Kampuni Flani linalo jihushisha na maswala ya madini na kuacha kazi white house,, jackline alifanikiwa kuendelea na masomo yake,, na sikitu alikuwa huru,, kunitembelea Mara kadhaa Siku za soko!! 

Nilikuwa nikitembelea white house Siku za wikendi ,, lakini sikuweza Kulala tena kutokana na baba yake jackline kuwa amerudi 

Jackline alikuwa akipitia nyumbani kwangu..mara kwa Mara na kukaa Siku 2 kabla ya kurudi nyumbani 

Kwa ufupi ni kwamba,, niliendelea kuwapatia biringanya kina jackline na sikitu Kama kawaida.

Baada ya miezi miwili , baba yake Jackline, alisafiri tena kwenda nje ya nchi, hivyo ikawa ni fursa nyingine kwangu,, kuendelea kumfaidi madam, kila mara nilipo pata nafasi 

Japokuwa Mara zote hakuacha kusema, "Alvine!!, unajua kabisa  umri wangu. Ni Sawa na mama yako,,  kwanini lakini unaendelea kunifanya niwe mzinifu!!

 na hata Siku moja..hakuweza kunizuia. Kila nilipo mgusa!!  Alitulia tu,, na kuniachia mwili wake.. Niuchezee navyotaka ..nami Sikusita kumzamishia biringanya Langu Kubwa.. .nikawa namvunjisha madafu Yakutosha,,  yasiyokuwa na idadi 

*****************MWISHO****************



0 comments:

Post a Comment

Blog