Search This Blog

Monday 16 May 2022

SECONDARY SCHOOL - 3

 







    Chombezo : Secondary School

    Sehemu Ya Tatu (3)



    Kiukweli nilikua na roho ya ujasili sana, maana ningeshituka mimi wa kiume basi anti mwaju angezimia kabisaaa..... hivyo nilijitahidi kama mtoto wa kiume, Nilichokifanya ni kunyanyuka taaratibu na kuwasha taa, mana si nilizima ili nilale, baada ya kunyanyuka nikaenda chukua skwiza ambalo lilikua bafuni, Nikaanza kumtishia kama vile namtoboa macho ili nijue ni mzima au anekufa, Lakini cha ajabu hakua akipepesa macho wala pua, tena ndio lilikua linatikisika lizima lizima. hapo ndipo nilipojua kua limekufa hilo lijitu, Nilichokifanya ni kufungua mlango kisha nikatoka na kumuacha anti mwaju,CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Nilifika mpaka kwa secretary kisha nikamuita kwa pembeni ili mtu mwingine asijue kitu, Alipokuja cha kwanza nikamkusanya tai kwa hasira, lakini katika moyo wangu ukaniambia kua, naweza anzisha fujo hapa na ile kesi ikaniangukia,....... hivyo nikawa mpole na kumuachia

    "lakini mbona umenikaba ivyo? kwani si tulishayamaliza toka kule kule"

    "oke samaani sana, ila kuna kitu nahitaji sana kutoka kwako"

    Niliposema hivyo huyu mdada akacheka kisha akasema kua

    "nilijua tu umeenda kunifikiria, sasa? twenzetu basi?"

    Sasa mtoto wa kiume nikawa mpole kama maji ya mtungi,

    "skia kwanza shida yangu basi"

    Nilimuambia huku nikitamani kurudi kwenye kile chumba ili nikaangalie usalama wa anti mwaju..

    "Enhee ulikua unasemaje?"

    "plz plz plz naomba unibadirishie chumba"

    "heeeee kwani kile kina nini?"

    "aaaaa kile hatujakipenda kabisa"

    "mmmhh sasa nitakupa chumba gani? maana vyumba vyote vimejaa, tena hicho chako ndio cha mwisho"

    "aaaa fanya kitu basi nikihame kile chumba"

    "labda nikupe changu"

    ",oooohh yes pia hicho kitafaa zaidi fanya hivyo basi"

    Kwa kawaida kwenye hotel kubwa kama hizi hua kuna vyumba spesho kwa wale wahudumu ambao ni wa shift... yaan wanaokuja usiku, sasa wale wamchana kama hutaki kwenda kwenu na usiku huo basi kunakua kuna vyumba vyao....

    "lakini kwa sharti moja"

    "aaaaaa sasa masharti ya nini tena?"

    "sio magumu.... ni hivi tutalala wote"

    "aaaaa Hapana.. maana hata hicho chumba sintolala mimi"

    "kwaio? wataka umlaze lile limama lako?"

    Nilishikwa na hasira, lakini nikazimezea tu ndani kwa ndani...

    "yule sio shuga mami wangu bwana yule ni anti yangu kabisa, na kachelewa safari na ndio maana nimemleta hivyo naomba tueshimiane"

    "haaaaa basi nisamee nilijua ni mpenzi wako.. . Ok poa mlaze huyo anti wako ila, swala la kua na mimi usiku wa leo liko pale pale"

    "ok sawa nimekubali"

    Tena kwa msistizo nikamshika hadi kidevu kwa kuashiria kua nitakua nae usiku wa leo,

    "sasa kama analala anti yako? kwani kuna shida ya kuondoa nguo zangu?"

    "aaaaa pia unaweza ukaziondoa tu, au pia ukaziacha"

    "weeeee niache nguo zangu za ndani uzione nani kasema?"

    "katoe basi"

    Yaani nilikua nina haraka na hasira hio, Basi mtoto alienda kukusanya vichupi chupi vyake kisha nikaingia na kuanza kukagua kila mahari mpaka kwenye kabati, Nikainua hadi godoro lake,

    "kwani unatafuta nini?"

    "aaa naangalia mende, maana mimi na mende atupatani kabisa"

    Nilimdanganya ila najua nilichokua nakagua, sasa baada ya kuona kila kitu kipo sawa, ndio tuka tandika vizuri kisha nikamtuma huyu huyu akamuambie anti kua hiki chumba kinatakiwa kiwekwe dawa ya mende... afu saaa hio na mimi nipo nyuma nafata mkondo

    Alifika akapiga hodi kisha akakaribishwa na shangazi. baada ya mele au secretary kuingia nami ndio nikaingia,

    Mara mele akaniuliza kua

    "hili skwiza ni la nni hapa?"

    "aaa hilo? hilo nilikua najaribu kuuwa mende"

    "jamani ivi kweli umemuona mende?"

    "ila we usisumbuke...... Anti? samaani kwa usumbufu, kwani wanataka wamwagie dawa ya mende, hivyo tuhame kwenye chumba kingine"

    "jamani sheby? mbona unanisumbua nwanangu?"

    "antiii? nisamee mimj kwa kugundua mende... maana mende ni wasumbufu kuliko hata panya"

    Anti alikubali, nami fasta fasta nikachukua mabegi na kila kilicho chetu na kuhamia kwa mele.... ilikua tumechukua chumba namba 15 ila mele alikua chumba namba 118 hivyo tukapanda lifit hadi kufika huko, Tulimuingiza anti vizuri kisha anti akaendelea kulala.... sasa ile tunaondoka tu nikamuacha mele atangulie kisha nikamuomba anti simu yake, Nikaichukua kisha nikashuka na mele kwenye lift, huku kama tukitamaniana hivi

    "we sheby?"

    "heeeeee? we umelijuaje jina langu?"

    "si anti wako alilitaja saa ile"

    "aaaaa ok nambie sasa?"

    "mhehehehe nishike shike basi"

    "kwani umemaliza shift yako?"

    "yaaa kuna mwenzangu anajiandaa kwa shift ya usiku hivyo nadhani atakua tayari"

    Sasa tuliposhuka kwenye lift, mtoto nikamtuma akamwangalie mwenzie kama tayari, aje tuanze kazi..... Sasa alipoondoka tu nikatoa simu ya anti mwaju na kuweka namva fulani fupi tu

    "Eee halo?"

    "Enhe hapa ni kituo cha polisi nikuseidie nini?"

    "tafadhali naomba uje new hetel kuna tatizo kidogo"

    "tatizo gani?"

    "kuna maiti imekutwa uvunguni mwa kitanda"

    "ok tunakuja sasa hivi na wewe tukukute hapo sawa?"

    "sawa"

    Nilikata simu na kuizima kabisa ili wasianze kusumbua tena

    Alipokuja mele, tulienda kwenye chumba cha rafiki yake, hapo tulipo sii mbali na mapokezi, Nilianza kumnyonya denda mtoto wa kike huku nikikumbuka maneno ya anti pale nilipomuomba simuCHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "anti? naomba simu yako mara moja"

    "sheby mwanangu? naomba kua makini na hawa wasichana wa mahotelini sio wazima kabisa"

    "antiiiii? mimi siwezi kufanya hivyo?"

    "haya shika, ila zingatia maneno yangu"

    Nilimaliza kuyakumbuka maneno ya anti mwaju....... Sasa haikufika hata nusu saa mara tukasikia

    "hapo hapo mlipo tulieni"

    Hio ilikua ni sauti tu ikiwaambia watu waliopo maeneo ya mapokezi, kama unavojua hotel kubwa hua haziishiwi na watu wengi hata kama ni usiku...... Mara nikasikia sauti ya meneja wa hotel akiwaambia askari kua....

    "heeeeee nyie vp? nani kawaita hapa?"

    "tumeitwa hapa kuna maiti imeonekana"

    Sasa mele kusikia hivyo, Alivaa nguo fasta, maana alikua tayari keshaanza kuvua nguo, ila mimi ndio kwanzaaa hata kifungo sijagusa, Sasa mele alivyoondoka nami nikafata nyuma....

    "we mele? nani kawaita hawa askari?"

    Ni meneja ndio alikua akimuuliza mele baada ya kumuona

    "boss mi sijui... na wala sikuwaita"

    Mara askali mmoja akasema kua

    "sauti iliotupigia sio ya kike... ni sauti ya kiume kabisa"

    Mara meneja akasema kua

    "nyie mumedanganywa hebu ondokeni bwana"

    Saa hio ndio nilikua natokea taaratibu, Sasa ile wanataka tu kuondoka nikawazuia kwa sauti....

    "mimi ndio niliopiga simu"

    meneja akaja juu kwa mimi kupiga simu police,

    "wewe nani kakwambia uite police bila kosa?"

    "heeeeee ivi we hulioni kosa?"

    "kosa gani?"

    "kwanza kunishika tai tu yenyewe ni kosa. au sio jamani askari?"

    "ndio na kuanzia sasa hivi yupo chini ya ulinzi"

    "ah ah tuachane na hilo la utani.... tuje kwenye pointi iliowaleta hawa police hapa"

    "Enheee?"

    "hivi we meneja? humu ndani unapafanyiaga usafi vyumba vyote?"

    "dogo unaleta dharau si ndio?"

    "sio dharau... we nijibu swali langu kwanza"

    "ok.... ndio kunafanyiwa usafi kila siku kwa mara tatu"

    "oookeeeee na hua vinang'aaga kabisa?"

    "we dogo pumbavu nini wewe? kwani kule ulikopangisha kuna mavi?"

    "bora hata ingekua ni mavi..... Asee askari eee? nifateni nyuma"

    Sasa mimi ndio nilikua mbele ya msafara.. huku wakifata police pamoja na mele..... mele alianza kusema kua

    "yaan we sheby sikudhani kama utakua fala kiasi hiki, yaani mende tu uwaite police?"

    Meneja akadakia juu kwa juu

    "kudadeki.. yaan kisa ni mende tuu?"

    "ndiooo"

    "mi nakuambia leo mi nambaka huku huku ndani we subiri"

    Tulifika chumba namba 15. Kisha meneja akaanza, kusema kua

    "chumba cha watu hiki kipo cool sana hiki"

    Afu ghafla akavuta harufu fulani ambayo hakuielewa..... Nikamuuliza

    "harufu gani hio umenusa?"

    "mmmhh aaaa walaa tuuu ni lipafyumu lako libaya tuu"

    "ok poa... haya hebu nambie hiki chumba ni kisafi kweli?"

    "we mtoto fala nini wewe? kwani we huoni kama chumba ni kisafi hiki"

    "okee vizuri sana..... sasa? naomba kwa mkono wako binua hiki kitanda uone maganda ya ndizi huku ndani"

    Mara askari mmoja akadakia

    "kwaio we dogo? utakua umetuita hapa kwa ajili ya maganda ya ndizi?"

    "we subiri kitanda kibinuliwe.... na tena abinue mwenyewe"

    Sasa meneja akamtuma mele abinue kitanda.. mele akawa hawezi, askari mmoja akaseidia kunyanyua kitanda..

    Kilichoendelea ni kwamba mele alizimia kabisa, Hivyo iksbidi nae awahishwe hospitalini chapu huku askari wakiendelea kuitoa ile maiti. meneja mwenyewe alikua haelewi kwa kile alichokikuta hapo.... Muda huo ilikua inaenda saa 9 usiku, mtoto wa kiume bado tu sijalala...

    "sasa kijana? tunahitaji maelezo yako na ya meneja pamoha na secretary wa hapa bila kumsahau mtu anaehusika na usafi wa vyumba hivi"

    "lakini afande? mimi nitatoa maelezo gani? maana mimi nitakachokwambia ni kwamva mimi nimekuja tu kama wageni wengine na sijui ilikuaje.. ila mimi nimemuona baada ya kuwepo chumbani hapo"

    "ni kweli afande huyu kijana wala hana shida..... tena kijana nakushukuru sana kijana"

    "ok... nimewaelewa ila wewe na wafanyakazi wako.. inabidi twende kituoni kwa maelezo zaidi"

    "lakini si kesho afande?"

    "hapana sio kesho.... yaan leo leo ukalale kituoni"

    Huyu ni afande na meneja ndio walikua wakilumbana...

    "aisse kijana? hebu tuseidie kushika hili turubai mpaka kituoni"

    Aliniomba afande nimseidie kushika turubai ili lisipeperushwe na upepo wakati gari ikielekea kituoni.... Nilipanda juu ya PT na hapo katikati ndipo alipo maiti, yaani nilikua natetemeka ile mbaya afu nilikua peke yangu huku upande wa nyuma..

    Sasa tulipofika njiani huko maeneo ya makaburi makaburini... muda huo gari inaenda spidi kweli, afu nilikua nimeshika turubai huku harufu ya maiti ikianza kutoka toka, maana ni wa siku mingi kidogo, Sasa tulipofika maeneo hayo nilishangaa kuona tupo watu wanne ila wenzangu walikua wamevaa nguo nyeupe peeeee mithili ya kanzu... Sasa cha ajabu wale watu wakaanza kusogea taaratibu pale nilipokaa, lakini hawakua wakiniangalia, bali walikua wanaangaliana wenyewe kwa wenyewe, Mtoto wa kiume nilitamani kupiga makelele, lakini nikaona ngoja niangalie wanataka nini,

    Mara wakaniweka kati, yaani mmoja kulia afu mwingine kushoto afu mwingine yupo kwa mbele, Afu nguo zao zenyewe zilikua zimechafuka mithili ya mtu aliefufuka kaburini, sasa yule wa mbele nilishangaa akiinua mkono wake wa kushoto, nikaona kama nataka nzabwe mkibao wa mamcho..... Mmhhh aisee uvumilivu ulinishinda kabisaaa



    Nilikua nina uoga wa kupindukia juu ya kuona watu ambao sikua nikiwafaham na wala hawakuepo hata wakati ule wa kuipakia maiti, Na pia hata ujio wao haukua wa kawaida, hivyo mtoto wa kiume nilikua nakaribia kupiga yowe ya maana,

    Sasa kuangalia vizuri duuuu kumbe lilikua ni wenge langu, hakukua na watu wala mtu. bali nilikua peke yangu na maiti huku nikiwa nimeshika turubai ambalo limemfunika maiti, ila maiti yenyewe ilikua ikianza kunuka taratibu,

    Nilitamani niruke niende mbele kule lakini tulikua tunakaribia kufika kituoni, hivyo nikawa mpole kabisaaa ila nilikua natetemeka ile mbaya,

    Tulipofika kituoni maiti ilishushwa na kupelekwa mochwari, kwani waliita ambulesi na kuondoka nae, Sasa mimi na meneja tukawa hapo ndani tunahojiwa mawili matatu...

    "sikia bwana afande? mimi kama nilivyokwambia kua, sina maelezo yoyote yale kwenu, kwasababu mimi mwenyewe nimemkuta mtu uvunguni, sasa hapo nitaeleza nini tena? we subiri secretary azinduke afu akupe orodha ya watu waliopangisha kile chumba kabla yetu, lakini ukisema unizuie mimi utakua unanionea tu"CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Niliongea hivyo mtoto wa kiume huku nikisistiza waniachie maana sina sababu wala tuhuma zozote za kujibu

    "ok sawa kijana, wewe hatuna shida na wewe, ila secretary na huyu meneja ndio watajua la kujibu mahakamani,.... kijana? kama unaweza kurudi hotelini basi waweza kwenda"

    Daaaahhh nilishukuru japo ilikua ni usiku, maana hii selikari yetu hainaga macho kabisa, coz wanaweza kumkamata mtu ambae hana hata hatia na kumuacha mwenye hatia....

    Nilitoka nje ya kituo na kuita toyo usiku huo, kama mida ya saa 10 hivi. tena inaendea saa 11 asubuhi.

    "asee nipeleke new hotel"

    Basi kama unavyojua mwendo wa toyo, sikukawia kufika new hotel, nikamlipa pesa yake kisha nikaingia ndani, Nilimkuta yule secretary mwingine ambae ni shift yake,

    "Eti we mkaka samaani, eti vp mele anaendeleaje?"

    "mi sijui, coz sijaenda hospitali mimi"

    Nilipitiliza moja kwa moja hadi kwa anti mwaju na kumkuta bado kalala na hajui moja wala mbili ya kilichotokea, na ndio maana nikamuamisha kisiri siri ili asijue, maana angejua kua pale alipolala mwanzo kulikua na mtu chini, aiseee asingelala kabisa, tena nahisi angezimia kwa hofu ya kua na maiti ndani,

    Mimi sikua na pakulala zaidi ya kujibwaga sofani, nilijiegemeza pale pale huku nikifikiria kesho itakuaje kwa anti mwaju? maana nataka hio kazi anipe niifanye ili tu nisimuache, Lakini katika mawazo kuna wazo moja lilinijia, sasa nikaanza kulitafakariiiiii kwa undani na kwa utulivu mzuri

    "mbona naweza kufanya hivyo?"

    Nilijisemea huku nikimuangalia anti mwaju pale alipolala,

    "hili wazo hilo kesho nitalifanyia kazi"

    ASUBUHI MIDA YA SAA 4 HIVI

    Nilikua bado nimelala fofofo, tena sikua najiweza kabisa, Anti aliniamsha lakini nilikua mchovu sana, hivyo aliniacha niendelee kulala hapo hapo kwenye sofa,

    Nilikuja kuamka mida ya saa saba mchana, nikiwa nimechoka choka kwa ile mizunguko ya jana usiku..... Nilikuta chai ya nguvu ambayo ililetwa na wahudumu, Niliitandika pale fasta fasta kisha nikamuaga anti mimi nakwenda msikitini,

    Nilitoka huku nikiwa na haraka mida ya saa 7 mchana

    "dada? utampelekea mama chakula sawa?"

    "sawa"

    Nilimkumbusha kupeleka chakula kule kwa anti,

    "vp mele bado hajarudi?"

    Nilimuuliza huyu secretary wa mchana huuu...

    "bado na wala sijui anaendeleaje"

    'ok haina shida"

    Nilitoka pale nikachukua toyo na kuelekea masjidi..........

    Nilifika mtoto wa kiume na kumuomba mungu wangu kisha baada ya hapo nikachukua msaafu na kuanza kuupitia pitia kidogo..... Mana kuna mtu namsubiri hapa msikitini

    "aaaaaa mzee? shkamoo mzee?"

    "marahaba kijana hujambo kabisa?"

    "Daa tunamshukuru mungu kwa kuniweka salama"

    "Alhamdulilah labilaalamin atukuzwe yeye maana ndio muweza wa yote"

    "ndio mzee wangu"

    "ok sasa wacha nifike nyumbani nami nikapashe tumbo kidogo"

    "ok sawa kabisa mzee.... ila mzee?"

    "Enhee?"

    "mimi nilikua nina shida na wewe mzee wangu"

    "hakuna shida kijana we ongea tu usiwe na wasiwasi kabisa"

    "nashukuru sana mzeee..... sasa mzee?"

    "Enhee?"

    "mimi nahitaji kununua nyumba mzee, ila kibaya zaidi ni kwamba mimi sijapitia hizo njia na wala sijui nianzie wapi, ila kwasababu mzee unajua mengi mengi, huenda ukaniseidia mwanao"

    "haaaa kijana kumbe unaakili kiasi hiki mwanangu? mimi najua vijana wa sasa hivi bwana wakipata pesa wanakimbilia starehe tu"

    "ahahaha mzee? starehe hazina mwisho, tens kila siku zinazidi kua mpya"

    "ni kweli kijana..... ila kijana kuhusu nyumba? mmmmmmm kuna bwana mmoja alijenga nyumba yake nzuri sana ila hataki kuihamia... eti anasema anaipangisha"

    "ah ah mzee? mimi sitaki ya kupangisha mzee.... tena nataka nyumba kali tena yenye swimpuli kama ile yakwetu... si unaijua nyumba yetu?"

    "hapana siifahamu.... ila kuna nyumba moja pale mtaa wa pili, sasa sijui kama utaipenda. kwani hio ina vigezo kama hivyo unavyotaka ila bei sasa kijana?"

    "usijali kuusu hilo ....iko wapi hio nyumba mzee?"

    "ni hapo mbele tu kama robo kilometa tu"

    Nilichokifanya ni kuchukua tax na kuelekea huko, ili niweze kuipata nyumba nzuri..... maana uwezo wa kununua ninao

    Tulifika katika nyumba hio na kuiangalia, tena kwa bahati nzuri tulimkuta mwenyewe anaisimamia katika upande wa maua,

    "hodi hodi humu?"

    Mzee ndio alipiga hodi na yule mwenye nyumba alimtuma gadena aje kufungua geti,

    Tulipofika mimi nilijifanya ni mtoto wa huyu mzee Imamu wetu wa msikiti,

    Basi mzee alianza kuongea na huyo mtu mwenye nyumba, huku mimi nikiizungukia kwa nyuma ili niangalie maudhui yake... na uzuri wake.... tena hii nyumba ilikua haijahamiwa kabisa, yani ni mpya na upya wake

    Sasa nilipotokea pale wanapoongea imamu aliniita na kuniambia kua..

    "sasa kijana? huyu mtu anasema hii nyumba bado gadeni tu... hivyo kama utakua na subira atengeneze gaden kwanza ili akiuza auze bila upungufu wowote ule"

    Niliposikia hivyo niliona huo muda sina kabisa....

    "sikiliza mzee? sisi tunataka nyumba na hatutaki haya maua tena kama utaweza ng'oa uondoke nayo.... mzee? unajua fika pesa rafiki yake matumizi... ivi kweli naweza kusubiri mpaka utengeneze gaden mzee? hebu nifikirie kijana wako mzee"

    Nilimuambia huyo mwenye nyumba huku nikionekana mtu wa hurumaaa

    "kwahio mnaniambia mnataka mnunue bila hata gaden kua sawa?"

    "ndio mzee... tena kesho mi nataka nihamie na familia yangu"

    "eeeeee mzee na kijana wako? mbona muna haraka hivyo?"

    "sikiliza mzee mwenzangu, hawa ni vijana wetu na unawajua fika akili zao hazichelewi kubadilika, hivyo sasa hivi tu utashangaa anataka gari badala anunue kitu cha maana kama hiki,, mzee mwenzangu? hebu mseidie kijana wangu ahamie kesho tu"

    "mmhhh mzee mwenzangu unanishawishi wewe mmmhh?"

    Haikuchukua muda jamaa kakubali kuuza mjengo.. sasa tukakaa mahari kwa maongezi zaidi....

    "mzee na kijana wako? nadhani mumeiona nyumba ndio hii ina swimpuli ina gadeni hio japo haijakamilika vizuri... nyumba hii ni ya roshen moja... na kila kitu kimekamilika mpaka fenicha za ndani kila kitu... yaan wao waje na nguo zao tu"

    "hehehehe kijana unasikia huko?"

    "ndio mzee nimesikia.... sasa mzee tuje kwenye bei afu tujue tutakabidhiana vp"

    Mara imamu akaingilia kati

    "kukabidhiana hapa lazima tumpate balozi wa mtaa huu na mashahidi watatu... bila kusahau watu wanne waliomzunguka... kama vile wa kusho, wa kulia, wa mbele, na wa nyuma, hao lazima wawepo katika kikao cha kutiliana saini"

    "sawa sawa mzee mwenzangu kwani hata mimi nilitaka niseme hivyo hivyo"

    "okeee sasa mzee? hebu tuje kwenye pointi ya bei"

    "okeeeee kijana? mimi ukinipa milioni mia mbili na hamsini nakuachia nyumba"

    "aaaaaa mzee? mia mbili 50 nanunua hoteli nini mzee?"

    "kijana? wewe unataka nyumba au hutaki nyumba?"

    "mzee nataka nyumba ila hio bei sio mzee....... Aisee mzee? hebu ongea na mzee mwenzako basi"

    Basi mzee au imamu nikampa nafasi aniseidie kwa hilo, maana mzee mwenye nyumba kanipiga cha juu mbaya.......

    Kweli mzee imamu waliongea na kushushana hadi kufikia milioni mia mbili tu.

    "kijana? hapo unaonaje?"

    "hapo kidogo afadhali... ila mzee? huezi ukanitolea hio 20 ili nikupe 180 ?"

    "sikiliza kijana? kama hutaki nyumba acha... kwasababu hii nyumba mpaka sasa tayari imesha ghalimu milioni 178. sasa nikikuuzia milioni 180 yaani niwe na faida ya milioni 5 tu? haiwezekani... na mimi hapo sipunguzi tena kama hutaki ondoka"

    "ah ah mzee? mbona unapaniki sasa? ok mi nipo tayari kuku hizo mia mbili.... ila kwa sasa sidhani kama tutapata watu hao ambao aliwasema mzee hapa"

    "aaaa mimi nadhani tufanyeni kesho... ili niwaite jirani na mashahidi bila kusahau balozi wa mtaa huu"

    "ok sasa itakua ni sehemu gani?"

    "aaa itakua ni hapa hapa... maana kama unavyopaona ni pakubwa eee ehehehehe nadhani hapa patafaa"

    "panga muda ili mimi nikija tu nikute watu wote wamefika"

    "usijali kijana wewe kesho njoo na mzigo wangu tufanye biashara"

    Basi tulielewana kisha nikamtoa kwanza imamu ya chai kisha muda huo huo nikachukua tax na kuelekea benki, Nilifika benki na kuingiza kadi na kucheki kiasi kilichokuepo.....

    Aiseee sikuamini macho yangu kwa pesa ambayo nimeikuta pale kwenye akaunti yangu....

    "daa hawa wazee mwezi huu hawajarusha chochote nini?"

    Nilijisemea mwenyewe huku nikitoka benki kichwa kimejaa mawazo kwa kuona kiasi kidogo katika akaunti yangu..... maana mwezi uliopita nilikua na shilingi milioni 188 hii ni pesa niliokua nikiwekewa na wazee wangu yoka nikiwa mdogo.... na mpaka sasa bado wananiekea.... si unajua familia za kitajiri zilivyo? yaan kila mtoto ana akaunti yake... na inawekwa pesa kila mwezi, Sasa nimeshangaa kukuta kiasi hicho, maana nilitegemea kukuta hata 220 daaahhh...

    Nilichokifanya ni kwenda kuzitoa zote zile zilizopo benki.... Niliziweka kwenye kabegi fulani hivi kslikua kametuna utafikiri nimebeba bilioni kumbe ni milioni 188 tu....

    Nilitaka nipitie kwa anti mwaju lakini nikaona ngoja niende nyumbani kwanza nikatulize akili, Nilifika nyumbani mida ya saa 11 jioni,... daa yaani hata mama dada zangu wote hawakwenda kazini kisa mimi tu, sasa nilipotokea tu wote wakanikimbilia

    "heeeee mwanangu ulikua wapi baba?"CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Lakini pale pale mama aliponiuliza nilikua wapi. nikapata wazo la kumuambia ili aniongezee pesa... ila sikusema kwa wakati huo maana dada zai na nusura walikuepo afu mi sikua nataka umbea....

    "shkamoo mamii?"

    "marahaba mwanangu.... haaa mpaka tuliachia police mji mzima mwanangu?"

    "sasa mama siku moja tu? je ingekua wiki je?"

    "mwananguuuu ivi ukae wiki si ntakufa mama ako?..... wee salmaaaa?"

    "abeeee boss?"

    "lete chakula haraka"

    Mama alianza kuitisha chakula huku akiwa kama ana hamu ya kuniangalia usoni........

    "maaa? ngoja nikaoge kwanza"

    "sawa mwanangu... ila uje nikulishe mwenyewe hapa... maana anti mwaju hayupo"

    Sasa nikajiuliza kua usikute mama kamfukuza anti mwaju kisa wivu wa kunilisha tu.....

    Niliingia chumbani kwangu na kulificha lile begi sehemu ambapo mtu hawezi kuliona.... maana wafanyakazi wanaingiaga kufanya usafi humu.......Basi nilienda kuoga na kutoa uchovu nini kila kitu, na saa hio bado nipo na simu ya anti mwaju, kwasababu jana sikumrudishia....

    Nilipotoka nilienda kwa mama chumbani kabisa, Huku nikamwambia salma alete hicho chakula huku kwa mama... mimi nikaingia na kujifanya nadekaaa kumbe kuna kitu nataka...... Maana kuiba pesa kwenye akaunti zao naweza vizuri tu kwani nazijua paswadi zao wote hata dada zangu... yaan kifupi paswadi zetu tunazijua wote familia nzima... maana hata kadi zetu sisi watoto zilikua zikikaa pamoja... katika chumba cha mama... ila tukaja tukachukua kila mtu kadi yake akae nayo mwenyewe.... na pia humu ndani kuna chumba ambacho hakijawahi kufunguliwa toka nizaliwe na hicho chumba sijui kimewekea nini huko ndani......

    "mamiiii?"

    Leo nilijifanya nadeka kama toto dogo vile. kumbe kuna kitu nataka nimuombe

    "nini mwanangu? najua hio ni njaa ngoja chakula kije..... we salmaaaa?"

    "naleta dada"

    "fanya haraka mwanangu atakufa njaa"

    Roho ilikua inaniuma kuona wafanyakazi wakipelekeshwa kwa ajili yangu... ila sema ni leo tu ili nikamilishe azma yangu

    "mamiiii?"

    "mmmm"

    "ivi unanipenda mwanao?"

    Nilianza kudeka huku nikimdandia dandia kama mtoto vile....

    Chakula kilikuja na kuanza kunilisha na mimi nakubali ili tuuu nimwambie kitu

    "mamiii?"

    "nini sheby mwanangu? hebu kula kwanza"

    "we niskilize kwanzaaaa"

    "haya unasemaje?"

    "mamii ivi mfano nikiamua kumleta mkweo hapa utajiskiaje?"

    "mwanangu??? yaan nitafurahi kweli tena nitakupa na zawadi kabisa"

    "sasa mama? kuna mtoto huyo ananisumbua toka mwezi uliopita, nampenda sana... yaani mpaka kanimalizia akaunti yangu uufyuuuu... kisa yeye tu..... mamiii nampenda sana huyo mschana. tena nataka nimpe mimba kabisa ili asinisumbue tena"

    "mwanangu sheby? yaani milioni 188 umeimaliza?"

    "mmmhhh basi mama kumbe hunipendi mwanao, na mimi bora nife tuuuuuu"

    Nilijifanya naondoka huku nikilia lia kimauongoo...

    "sheby mwanangu basi njoo"

    Kwakua nilikua na shida sana ivyo nilirudi,

    "mamiiiii? huyo mschana ananitesa sana na sijui ni kwanini mamiii plz niokoe mwanao... au wataka niwe shoga?"

    "Nooo mwanangu usiseme hivyo mwanangu... hujui kua naumia roho kuona kama nina dume hewa"

    "sasa niseidie mwanao nivute kitu ndani basi afu sasa mschana mwenyewe bado kabisa"

    "haaaaa unasema kweli?"

    "ndio mamiii yaani bado"

    "ok... sawa nitakuseidia... japo sijui unataka nikuseidieje"

    Nilijikaza ili nisicheke maana hua siwezagi kudanganya kabisa. ila leo imenibidi

    "mamiiii? kama nilivyokwambia kua huyo mtoto kanimalizia pesa kabisa...hivyo nataka nikamalizie kumdanganyia kua kwetu kuna pesa chafu... kwaio nilikua naomba unipe hata milion 50 mamiii nakuomba"





    Kimya kilitanda ghafla kati yetu huku mama angu akiniangalia vibaya mno, heeee nikajua huo mjibu ninaopewa hapa siwezi amini maskio yangu, Kwaio nikawa nipo atensheni kusikiliza hicho ninachotaka kujibiwa, Ila ghafla mama alicheka, lakini sikujua alichocheka ni nini,

    Nami nikajiuliza sijui nicheke ili nimsapoti tuuuuu...... ila nikaona bora nieke wambuzi hivi hivi no kicheko no tabasamu.. mpaka nipewe ndo nicheke.

    "umesema unataka bilioni 50 au milioni 50?"

    "mamiiiii? bilioni 50 niipeleke wapi sasa? mi nataka milioni 50 tu"

    "aaaaaaa basi mi nilisikia bilioni, yaan ingelikua ni bilioni 50 ningekufukuza kabisaaaa"

    "haaaaaaa sasa unifukuze kwanini?"

    "sasa we ulifikiri bilioni 50 ni ndogo? sii kua haipo ipo vizuri tu, ila mtoto mdogo kama wewe nikupe bilioni 50 za kazi gani? si zitakuua tu"

    "ehehehehehe sawa, sasa vp mamiii kwaio nimepata au?"

    "ila ni kwa masharti, namtaka nimuone huyo mschana, tena awe na heshma afu asiwe mlevi sawa?"

    "aaaaa sawaaaaa sawa kabisa yaani tena ni muislamu safi kama mimi yani"

    "ok, kwa hilo we usijali nitakupa.... kwani pesa zote ni zenu wanangu, eee? hakuna mtu yeyote tunaemtafutia hizi pesa kama sio nyinyi watoto wangu, tena haswa haswa wewe ndio unatakiwa kua kipaumbele, coz hata katika magawiwo yenu, wewe una gawiwo kubwa kuliko hata dada zako...... wanawake wakishaolewa tu zile mali zitaenda kwa mwanaume..... lakini najua ukiwepo wewe? hakiwezi haribika kitu mwanangu"

    "mama? mbona mimi nipo kipaumbele sana mamiii?"

    Saa hio mtoto wa kiume bado nilikua nadeka vibaya ili tu asije akaairisha mpango mzima wa kunipa mkwanja,

    "samaan mwanangu? naomba nikuulize kitu kwani hua kinaniumiza kichwa sana juu yako"

    "ivi kweli una mschana wewe? maana hata sasa hivi nahisi unanidanganya mwanangu.... maana hizi tetesi za kuambiwa sjui unatembea na wanaume wenzio hua zinaniumiza kichwa mwanangu... plz naomba umlete nimuone mkwe wangu kama ni kweli.... mwanangu? mali zooote hizo za ndani na nje ya tanzania... hazina mridhi mwingine zaidi yako mwanangu... wewe ndio mtoto wa kiume katika familia yetu, na naamini nikipata mjukuu kupitia wewe basi najua mali zitaendelea kua mikononi mwetu, kuliko akiridhi zai ambae akiolewa afu akifa, mali zinaenda kwa mwanaume, kwaio tutakua tumezitoa sadaka mali zetu.... mwanangu sheby? nashukuru sana kama nitakua na mtoto kamili kama wengine.......mmmhh? hebu ona hizi pesa hapa chini ya godoro, nimeziweka hapa kwakua nimechoka kupeleka benk maana nitastopishwa bure, ona hizi pesa mwanangu.... we ulifikiri nani atazitumia hizi? na hizi ni chache tu je? mtumiaji ni nani? kama sio wewe mwanangu, Yaani ungejua ni jinsi gani nilipofurahi baada ya kuona nimejifungua mtoto wa kiume sijui ungejiskiaje moyoni mwako..."

    Daaa mama aliongea mengi mno mpaka nikaanza kupata uchungu kwani nilikua namuibia mama pesa... na wala hakuna cha demu wala nini, yaani ilibaki tu kidogo niairishe kuchukua hizo pesa

    "mamiii basi, nimekuelewa vyote ulivyosema mamiii"

    "sawa mwanangu.... pesa hizo hapo jikatie hicho kiasi chako unachotaka ili ufurahi mwanangu ee?"

    "asante mamiii ee?"

    "usijali mbona pesa ni zako tu mwanangu, na utaendelea kuzifurahia pindi nitakapojua kweli nina kidume ndani ya nyumba"

    "usijali mamii we subiri tuuuu mambo yakae sawa"

    Vasi mamii alitoka zake nje na kuniacha hapo chumbani kwake ili nijikatie hio pesa ninayotaka kuichukua.....

    Basi mtoto wa kiume kama unavyojua kwenye pesa hakuna msomi, nilihesabu pesa kama kichaa vile, maana kulikua kama kuna bilion 1 hivi na pointi.... sasa nikawa bize kuzihesabu hizo ninazotaka, maana kuhesabu milioni 50 sio mchezo, tena ukiwa sloo waweza chukua hata siku nzima

    Baada ya kama nusu saa hivi ilikua tayari nimeitoa milioni 50... na wakati huo mama alisharudi na kukaa kwenye kochi, maana asingeweza kulala coz mimi ndipo nilipokua nikichukua pesa

    "mamiii? thenx sana mamiii wangu"

    "umechukua shing ngapi?"

    "50 tu"

    "hapo chini ya godoro kulikua naaaa Bilioni 1 na poiti 6.. kwaio hio milion 50 itakutosha baba?"

    "Ehehehehehe ndio mamiii itanitosha mamii"

    "mi najua hazikutoshi mwanangu... kama milioni 188 ulimaliza sasa hizo je? ok chukua hicho kilichobaki ili ibakie bilioni 1 na poiti 5..si sawa baba?"

    "Daaaahh mamiii hapo nitakua nimefurahi sana"

    "mimi ni zaidi yako mwanangu.... mimi nimefurahi zaidi kwa ulivyoniambia utamleta mkwe"

    "usijali mamiii"

    Sasa mtoto wa kiume sikuzikataa zile zingine... Nilikaa tena ili nihesabu milioni 50 zingine. maana mwanzo kulikua na bilioni 1 na poiti 6. kwaio nilipochukua ile milion 50, sasa ikawa imebaki bilion 1 na poiti 5 na nusu..... yaani ilibaki bilion 1 na milion 550, hivyo alitaka niimalizie hio 50 ili ibaki B 1.5 peke yake....

    Ilinichukua nusu saa lingine la kuhesabu, hivyo baada ya nusu hilo kupita nikawa nimemaliza....... Aisee kumbe mama ana kabenki ka nyumbani ambapo ni chini ya godoro afu mi sijui kabisa yani... Baada ya kumaliza kuchukua nikavuta begi kisha nikazijaza milioni 100 kwenye begi moja tu,..... yaani kiukweli tuna pesa mpaka tunaumwa....

    We imagen tu ivi mtoto wa baresa unaweza kukuta akaunti yake ina shingapi?

    Sasa utajiri wetu sisi, ni sawa na baresa kwani tuna makampuni mengi sana nje na ndani... tuna viwanda vingi sana nje na ndani... tuna viwanda vya nguo kila mahari... tuna mashamba makuuuubwa na mazao ya kutosha. kama ni meli ya kusafirishia bizaa zetu wenyewe kama baresa hata sisi tunayo, sema helkopta tu ndio hatuna ila hatujaamua tu kununua,

    Je? kwa mali zoote hizo kupewa milioni 100 ni tatizo? Wakati baresa mwenyewe ukimuibia pesa benki hajui kama kaibiwa, Yaani sisi tuna pesa chafu mpaka zinalaliwa kama vile, na hata baba yangu kasafiri na huko najua anatengeneza mabilioni ya fedha huko sauzi afrika,....

    Basi nilimshukuru mama kwa kunipa mkwanja kama huo ili nikatimize kununua mjengo wangu mpyaaaaaaaaaaaa

    Niliingia chumbani kwangu na kuzifaulisha kwenye begi kubwa, Nilifanikiwa kuzipanga vizuuuri kabisa, kisha nikaziweka mahali safiiiiii

    Lakini nikaona ngoja nizichambue ili za yule mzee niziweke vyake na zilizobaki niziweke, Nikachambua fasta fasta kisha nikazitenganisha... milion 188 jumlisha milion 100 ni sawa na milion 288, kwahio nilikua nimebakiwa na milion 88 tu..... Nikaziweka kwenye begi dogo ambalo nilitoka nalo benki, kisha zile nyingi nikaziweka kwenye begi kubwa,....... Kucheki saa ilikua ni saa 5 usiku Daaaahhh Aisee nililala chapu ili kesho niwahi kuamka....

    Nilipoamka asubuhi mida ya saa 4 hivi, mara simu ikaita, kumbuka bado nina simu ya anti mwaju

    Kucheki alikua ni imamu swaleh

    "assalam aleykh shekhe?"

    "waaleykh msalam khaifah?"

    "Alhamdulilah tunamshukuru mungu mueza wa yote"

    "inshalah.... sasa mbona kikao kimeanza afu huonekani vp? unasubiriwa wewe hivi sasa"

    "ooooooohh shit nakuja sasa hivi subiri kama dakika tano tu"

    Nilikurupuka kitandani na kupiga mswaki chap chap, hata chai sijanywa... nikavaa nguo fasta fasta kisha nikainama kuchukua pesa niondoke...

    "heeeeeee? hizi pesa zimeenda wapi tena?"

    Nilijisenea baada ya kukuta mabegi yote ya pesa siyaoni. afu nikicheki mazingira tayari yameshafanyiwa usafi... Nilitoka nje na kuuliza nani kafanya usafi kule ndani... alijitokeza aliofanta usafi kisha akasema kuna mahari kayaweka hayo mabegi yote..,

    "wewe? umeeka wapi yale mabegi ulioyakuta uvunguni?"

    "nimeyaweka kabatini... maana kule uvunguni kuna vumbi"

    "ok basi... asante"CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Niliingia na kuyakuta.... niliyakagua na kuyakuta yapo sawa....

    Nilienda uwani kuchagua gari ya kuondoka nayo, Nilichukua VX moja nyeusi...

    "godii fungu geti"

    "sawa boss"

    Nilitoka fasta fasta mtoto wa kiume huku nikifunga vifungo vya shati afu naendesha gari.....

    Nilipita kwenye studio moja hivi ya kusafishia picha... Nikamchukua kamera mani mmoja ili akachukue mkanda...

    Baada ya muda nilifika pale kwenye ile nyumba na kukuta watu wasiopungua kumi... pamoja na imamu swaleh, Kulikua na askari wawili na balozi na mwenye kiti pamoja na mashahidi kama wawili na majirani wanne.... kwahio pamoja na mimi na mpiga picha wangu tulikua tupo 12..... basi kamera wangu alianza kuchukua mkanda ili baadae kukiwa na mageuko tujue jisnsi ya kujitetea

    Tuliongea mengi mpaka tukafikia kutia saini kwenye hati miliki ya nyumba bila kusahau baadhi ya mikataba fulani.....

    Mzee alinipa hati miliki yake iliozibitishwa kuuzwa kwa nyumba kwenda kwa MWAJABU SADIKI yaani Anti mwaju.... kwani kwenye hati miliki nimemueka jina lake.....

    Tulikabidhiana pesa kwa hati miliki kwa kupishana huku mahahidi wakiwepo na majirani... katika majirani kulikua na mwanamke mmoja tu. ila wengine wote ni wanaume,

    Baada ya kumaliza. yule mzee alitoa kitita kimoja kwa kuwashukuru watu kuja..... nami pia sikujivunga nilitoa kitita kimoja chenye uzito wa milioni 1 na hata yule mzee alitoa hivyo hivyo kwa kuwapa chai hawa waliohudhuria kikao chetu.....

    Mimi nilitoka na watu wangu wawili mzee imamu na mpiga picha...

    Nilitoa laki 5 na kumpa mpiga picha

    "aiseee nyumbani kwangu ni hapa... sasa naomba huo mkanda ukauweke kwenye CD na u Edit baadhi ya maneno kidogo ili itambulike ni ushahidi juu ya makubaliano ya uuzwaji wa nyumba... maana baadae tusije geukana hapa.. sawa?"

    "sawa boss nitakuletea kesho"

    "ok nadhani unaweza kumkuta mwanamke fulani hivi we mpe tu hio cd sawa?"

    "sawa boss kwaheri na mchana mwema"

    "haya nawe pia............ Sasa mzee? sijui nikushukuru vp mzee wangu, kwani umenisaidia sana kuusiana na hili"

    "kijana? mimi sihitaji shukrani zozote toka kwako..... bali yeye mwenyewe atanilipa akhera"

    "mzeeee?? naomba uchukue chai yangu kama asante kwako.... maana mimi nilikua sijui kitu mzee"

    "ah ah hapana kijana usinipe pesa kijana"

    "mzee tafadhali sana nipo chini ya miguu yako plz plz hii ni asante tu na wala sikulipi mzee"

    Basi mzee nilimbembeleza mpaka akakubali kuipokea shilingi milioni 1 na laki 5..... Kisha tukaelekea msikitini na kumuacha imamu hapo.. mimi nilirudi katika ile nyumba na kuanza kuikagua vizuri, fanicha zipo nini kila kitu... yaan nyumba ilikua tayari sema mzee alikua anataka kunibania tu eti kisa gaden bado, na wakati gaden tayari kabisa yaan tena tayari...... Nikiangalia swimpuli kama lile lakwetu, ila sijawaigi kuogeleaga hata kule kwetu

    Basi nilifunga nyumba yangu kisha nikaelekea kumchukua anti mwaju kule new hotel....

    Kama kawa mtoto wa kiume nilifika new hotel na kumchukua anti mwaju, kisha nikaondoka nae hadi kwenye ile nyumba huku nikiwa na mabegi yake,

    Tuliingia ndani huku anti mwaju akishangaa shangaa...

    "we sheby? huku ndio wapi tena?"

    Aliuliza huku akiangalia kwa woga

    "sheby? hii nyumba ni ya nani?"

    Anti alikua na maswali mengi mno juu ya hii nyumba. Tulipofika sebureni nikaweka mabegi chini na kumwambia anti mwaju afumbe macho ili nimpeleke chimbani kwake akapaone, maana niliweka ile hati kitandani kwake hivyo nilitaka iwe sapraizi ya kumuonyesha hati yenye jina lake,

    Kweli anti mwaju alifumba macho kisha tukawa tunaelekea chumbani na yeye ndio alikua mbele afu mimi nipo nyuma namuongoza kwa sauti tu..... sasa ikafika mahali ule mlango wa kuingilia chumbani kwake ukatoa sauti flani ya kufunguka ambapo sauti ile ililia kama psnya.... Ilimfanya anti arudi nyuma kwa kusikia sauti ile ya kama panya.....

    Sasa aliporudi nyuma, mimi nilikua sijajua kama atarudi nyuma ghafla... hivyo nilijikuta nimemzuia anti kama vile nimembambia kwa nyuma, sasa kile kitendo cha kugusana tu, akili yangu ilihama kabisa na kuanza kumtamani anti mwaju, afu anti kumbuka kwenye umama hayupo saaana kama mama angu, anti alikua ana umri wa miaka 32, kwa maisha mazuri aliokua akiishi mjini, ukimuangalia utafikiri ana miaka 24 au 26 hivi.... kumbe ni mtu mwenye miaka 32 ... Nilijikuta nimemshika anti kiunoni na kuanza kukifikicha kiuno chake, na wakati huo nanii yangu ilishasimama saa mimi mno tena ilikua inamgusa gusa anti mwaju kwa nyuma,

    Sasa anti mwaju kujua hilo aliishika mikono yangu na kuitoa kiunoni mwake, Lakini hakufanikiwa kuitoa... sasa na mimi nikamshika vizuri na kuingia nae chumbani huko huko tulipokua tukienda, kisha nikafunga mlango na kumuegemeza mlangoni hapo hapo..... Nilianza kumtomasa anti mwaju huku yeye akitumia nguvu nyingi sana kunitoa kifuani kwake, lakini mimi nilikua nikimzidi nguvu maana mimi si damu changa afu istoshe nipo vizuri kwa mazoezi.. Sasa mtoto wa kiume nilikua nampapasa anti mwaju mapaja yake ila ilikua ni juu ya nguo tu, kwani alikua kavaa lile gauni ambalo wadada wanapenda kuyavaa afu hua wanalishikilia kwa mbele.... Huezi amini nilianza kumpapa mpaka kwenye matiti ila ilikua ni juu juu ya nguo.... Nilifikia hadi kumpapasa makalio

    Anti mwaju aliishiwa nguvu na kuanza kulegea, yaani akawa ananipiga tu vibao vile vya kuchoka choka, Saa hio dudu yangu ilikua ikimgusa gusa kwenye mapaja yake... huezi amini anti mwaju alikata tamaa ya kunitoa kifuani kwake... sasa akawa analia tu huku kashalegea legeee.... maana si unajua house girl hua haguswagi mara kwa mara, sasa leo huezi amini namparua anti mwaju kwa mara ya kwanza, ....... nikiangalia kitanda kile pale karibu tu Basi pale pale nikaanza kulipandisha gauni lake ili niingize mikono huko ndani ya mapaja, Sasa kinachonishangaza ni kwamba anti alikua akilia badala ya kufurahia... mimi nikajua labda ndio stimu zake.... Nilianza kuyashika mapaja ya anti mwaju huku mkono mwingine ukiminya minya matiti yake........

    Lakini anti mwaju alikua bado analia, ila sijui ni kwanini analia hivyo.... tena alikua anatoa machozi mengi mno...... ila mimi nilikua sijali kitu chochote kile... niliendelea kumshika shika mapaja yake mpaka akalegea Legeeeeee.... Sasa nikambeba na kumpeleka kitandani





    Yaan kiukweli sikua na akili yangu juu ya kulala na anti mwaju, yaani sijui nilikua nimelogwa, yasn leo huezi amini naenda kulala na anti mwaju. mama yangu mlezi, daaahh kweli siamini kama itawezekana maana najiskia burudani sana pindi ninapokua na anti mwaju kitandani... japo sijawahi hata kuona mwili wake kwani hata kwa sasa sijamvua chochote kile yaani ndio nilikua nampeleka kitandani ili nimvue na kusex nae,

    Sasa vile nilivyokua nimembeba anti kwa kumpeleka kitandani ili nikavunje, amri ya 6.... ghafla simu ikaita mfukoni kwangu, Na ilikua ni simu ya anti mwaju maana simu yake nilikua nayo toka jana, Sasa fasta fasta nikamtupia kitandani na kuipokea simu, Alikua si mwingine bali ni dada nusura, nilibonyeza kipokeleo na kuiweka sikioni...

    "Halo? anti mwaju uko wapi? kama vp njoo uishi kwangu, Halo? haloo? haloo?"

    Niliikata simu baada ya kujua ni dada nusura ndio aliopiga simu na sikumjibu chochote kile zaidi ya kukaa kimya... tena nikazima na simu kabisa,

    Lakini sasa kitu cha ajabu ni kwamba anti mwaju alikua analia kimahaba yaani anataka mwanaume, Na mimi saa hio nilikua sielewi cha kufanya maana kwa jinsi ninavyomueshim anti mwaju afu anatoa sauti hizo mbele yangu, Sasa nikachukua shuka ili nimfunike afu mi niondoke, kwani hata sikumbuki kilichotokea mpaka anti mwaju anatoa sauti zile......

    Nikaona kama sauti zinazidi sasa nikaona labda ni ndoto tu, hivyo nikaenda kumtingisha ili aamke na aache kutoa hizo sauti......

    Sasa ile namgusa tu nilianza tena kumtamani, ila nikimuachia najihisi kawaida tu, yaani nikimgusa anti mwaju hata juu ya nguo basi nakua kama namtamani ila nikiacha kumgusa nakua namueshim kama mama yangu vile.... Sasa ndio nikakumbuka kua tulivyokua tunaingia nilimshika shika anti na kumsababishia kulegea ndio mana anatoa miguno hio,......

    Huezi amini Nilianza kuumwa na roho tena nilijipiga vibao vya nguvu kwa kitendo cha kumpapasa anti mwaju hadi kumletea hisia za kutaka mwanaume, Saaa ndio nikajua kua nikigusana na anti mwaju ni majanga

    Nilitoka hadi kwenye gari na kuja kuchukua karatasi na kalamu nikaanza kuandika ujumbe kua

    "### Anti? naomba unisamee kwa yote yaliotokea, ila nimejua sababu ni kwamba ukinigusa au tukigusana basi mimi hua natokea kukutaka kimapenzi ila nikikuachia hua hizo hisia zinapotea, na sijui ni kwanini anti..... Antiii? naomba unisamee kama mwanao ulionilea miaka yote hadi kufika umri huuu..... Anti? naomba unisameeee sana. kwani mimi ndio niliosababisha hadi sasa hivi unajiskia vibaya na kutoa miguno ya ajabu, lakini haikua kusudio langu anti' Anti naomba msamaa wako juu ya jambo nililolifanya,.... kwani kama sio simu kupigwa na kukuachia basi sasa tungesemea mambo mengine juu yako, Anti? nilijua hilo baada ya kupokea simu na kujikuta sina hisia na wewe tena, na niliporudia kukushika mguu hisia zangu zilirudi tena ila nikikuachia hisia zinatoweka, na hapo ndipo nilipogundua kua, tukigusana mimi na wewe tunaweza kujikuta tumeharibu vingene.....

    Anti? yaani kuanzia leo kaa mbali na mimi, na mimi nitakaa mbali na wewe..... Anti? nakuheshim sana tena zaidi ya sana kwahio kitendo nilichokifanya.... labda sijui nijiadhibu vipi ili nionekane sina makosa juu yako..... anti? au mama yangu mlezi... naomba unisameee sana ila kaa mbali na mimi.... na sijakusudia kufanya hivyo... na sijakugusa anti wangu na wala sijajaribu kutoa nguo hata moja mamiii wangu... naomba unisameee anti.... kuja hapa sintokuja tena maana nimeshajua kua ukaribu wako kwangu ni hatari sana.....

    kwahio kaa mbali na mimi kuanzia leoCHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Na kingine ni kwamba pale nilipokwambia ufunge macho, nilitaka nikakuonyeshe chumba na hati miliki ya nyumba hiii..... kwahio kuanzia sasa hivi hii nyumba ni yako kama zawadi tu, ila najua siwezi kukulipa kwa malezi bora ulionilea.... na kwa sasa najihisi shetani kwa sababa ya mama yangu mzazi....

    Anti? hati miliki niliamua kuandika jina lako, na itakua nyumba yako..... Ila kwa sharti langu moja tu

    Sitaki mtu yeyote wa nyumbani ajue kama upo hapa.... na hata akijua upo hapa lakini asijue nyumba ni ya nani.... kifupi sitaki mtu yeyote yule ajue kama upo arusha hiiiiiiii

    Asante sana mamiii kwa kuusoma ujumbe wangu.....

    ni mimi mwanao mlezi Sharbiny rashidy

    by by#####"

    Barua ama ujumbe uliishia hapo, kisha nikaifunga vizuri na kuiambatanisha na ile hati miliki ya nyumba, afu nikaenda kuiweka pamoja na simu yake pale mezani katika chumba chake.... Afu niliacha shilingi milion 1 itakayo mseidia katika matumizi madogo madogo.. ya hapo ndani... kisha lile begi la pesa nikalificha humo humo ndani ya nyumba mpya, kisha nikatoka zangu na kumuacha anti akiwa peke yake humo ndani.....

    Huezi amini nilihisi kufa kabisa, maana nilikua napeleka gari makusudi ili hata kufa nife tu. maana kwa kile kitendo nilichokifanya cha kumtomasa anti mwaju, kimeniumiza roho sana....

    Nilifika nyumbani mida ya saa 11 hivi.. nikapaki gari vizuri kisha nikaenda kuoga..... Nilipotoka nilijitupia kitandani tu huku nikifikiria hicho kitendo

    BAADA YA MASAA KADHAA KUPITA

    Na sasa ni mida ya saa mbili usiku, Mama alikuja chumbani kwangu kwa kunijulia hali.. nilikua ni mpole sana

    "shebi mwanangu? mbona leo huna raha? eee? au kisa anti wako hayupo?"

    "wala tu mamiii? nipo sawa"

    "hapana hiii sio kawaida yako mwanangu... kutakua kuna jambo"

    "mamiii? hebu tuachene na hilo... yunifom zangu ziko wapi? mana kesho nataka nianze shule"

    "tena ooo shit ivi sijakupa ee? oohh lakini shule huanzi kesho.. maana kuna gari nimeiagiza kwa ajili yako na tayari ipo tanzania ila ndio imeenda kuwekwa preti namba... na yunifom zako ngoja nikuletee"

    "mamiii? hio gari ni ya nani?"

    "si yakwako mwanangu?"

    "nani kasema mi nataka gari?"

    "sheby? mbona unapenda kuishi kimaskini we mtoto? ee? hivi umerogwa na umaskini wewe?.... sasa kwa taarifa yako, kule shule wamesema hakuna kwenda na baiskeli wala pikipiki"

    "lakini mami?"

    "lakini nini sheby? gari kesho linakuja.... tena nimechukua gari kali na la bei mbaya tena hapa tanzania halipo kabisa"

    "gari gani hilo mpaka Tanzania halipo?"

    "weeeeeee chezea mimi wewe?... mwanangu sheby? nimekununulia gari aina ya Lamborghini"

    "haaaaaaaa mamaaaa? yaani unathubutu kutoa milion mia 9 au 10 kisa mimi tu? mamaaaa mbona unatumia pesa vibaya hivyo... yaani mimi nitembelee gari yenye thamani ya shilingi bilion moja na ushehe? Haaaa mama? kweli mimi sikubaliani na hilo kabisa, mimi hata ungenunua korola ningefurahi tu"

    "mmhhh mi nadhani sio akili yako mwanangu, ila hata ukatae lakini gari ndio ishafika tanzania hivyo... tena kesho tu inaletwa hapa.... afu juma tatu uende shule"

    Mama aliondoka kwa hasira ila hakunizidi mimi..... ivi kweli nawezaje kutembelea gari yenye thamani ya bilion moja na wakati wapo watu hawaujui hata mlo wa mchana...... Astakafirulah kweli alieshiba hamkumbuki mwenye njaa kweli.......

    Basi mtoto wa kiume niliendelea kulala huku nikiwaza tu jambo la anti mwaju. yaani kiukweli nilijilaani sana juu ya jambo lile

    Mara dada nusura kaja huku akinipa simu

    "shika"

    "ya nini sasa?"

    "ongea na anti mwaju"

    Heee niliposkia tu hivyo nikaitupa simu huko afu mi mikatoka nje....

    "mbona hataki kuongea na wewe?"

    Dada alinifata tena nje... na kunipa simu yake.

    Niliikataa tena na kurudi chumbani. kwani nilikua sitaki kuongea na anti mwaju kwani hua najiskia aibu sana pindi ninapoisikia sauti yake au kumuona kabisa...

    "sheby? msikilize anti anasemaje... ila kaniambia eti keshakusamee"

    "staki bwana kwani lazima?"

    "sheby? ivi umemsahau anti? Hebu vuta kumbukumbu anti ni nani yako... sheby? mdogo wangu.... msikilize anti, ivi hujui kua anti ni sawa na mama ako Japo hakukuzaa?"

    Kweli hata nafsi ilinisuta kwa kuikataa kuisikia sauti ya anti mwaju

    "anti kanambia keshakusameee ila mi sijui mligombana lini huko"

    Niliipokea simu ila mimi sikuongea kitu chochote zaidi ya kumsikiliza tu.

    "halooo? halooo? sheby mwanangu? mbona mimi nimeshakusamehe mwanangu, we njooo tu kwani ikipita siku mbili sijakuona naweza kuugua eti, plz sheby wangu njoo unione anti wako, na nimeshakusamee na wala sikukasirika kwakua najua kuna kitu nilikosea na ndio maana ikawa vile...

    naaaaaa pia kuusu swala la mtu kutokujua huku.... mimi nakuomba sheby wangu, naomba umlete dada yako nusura tu, yaani huyo tu....."

    Nilikata simu kisha nikalala zangu

    "we sheby? mbona hukumjibu sasa?"

    "kesho ntakupeleka"

    "ani we mtoto siku hizi umekua mjeuri duuu haya"

    BAADA YA SIKU HIO KUPITA

    Na sasa ni asubuhi mida ya saa nne tukiwa njiani mimi na dada nusura tukielekea huko kwa anti mwaju...

    Tulifika salama na tulipiga honi tukafunguliwa geti na anti mwaju wenyewe, Kisha tukaingia mpaka ndani kabisa, dada akakaa kwenye sofa ila mimi nilimkimbilia anti mwaju na kumpigia magoti huku nikimuomba msamaha.... ila hapo nilikua mbali nae, maana nishajijua udhaifu wangu....

    "usijali sheby, mimi nishakusamehe"

    "anti? usinishike bwana si unajua afya mbovu?"

    "sheby? sasa hivi hakuna shida kabisa, na ndio maana nikakuambia jana kua tayari nimesha rekebisha.. kama huamini niguse uone"

    "ah ah staki"

    Anti alinishika kwa lazima na kugundua kua ile hali haipo tena... sasa hapo ndipo nilipo mhag anti wangu na kumkumbatia kwa furaha... kwani zile hisia sizipati tena... ila sijui alifanyaje, Sasa namueshim kila wakati hata nikimgusa wapi wala sipatwi na tamaa tena....... na siku hii ilikua ni siku ya ijumaaaa

    BAADA YA SIKU MBILI KUPITA

    Na leo ni juma pili mida ya saa 7 mchana... nilikua natoka kutesti gari yangu mpya kama inakimbia kiasgani.... Sasa nilipokua narudi zangu nyumbani, nikiwa naendesha gari taaratibu kabisa, maana nilishaitesti tayari, hivyo sikua na sababu ya kuikimbiza muda wote... sasa mbele ya barabara niliona mschana mzuri kuliko wote nilio waona katika macho yangu, Lakini sikumuona vizuri kwani kulikua na mpishano wa watu wengi....

    Sasa kufika mbele mara nikapungiwa mkono. tena alikua ni yule yule dada.....

    Kulikua kuna mvua inanyesha kimtindo, hivyo nilishusha kioo na kusimamisha gari...

    "shkiamooo?"

    Huezi amini yule msicha aliniamkia, Lakini sikuitikia maana ni saizi yangu kabisa...

    Sasa kitu nilichomuurumia yule mschana, alikua yupo peku afu nguo zenyewe alizovaa zilikua sio nguo kamili bali alikua kavaa kama matambara ya nguo. kwani yalikua yamechanika chanika na kusababisha baadhi ya sehemu za mwili kuonekana....

    "safi tu"

    Nilimuitikia lakini huku nikimuangalia chini mpaka juuu, na skua namdharau bali nilikua namuonea huruma, kwani hakua hata na kandambili mguuuni....

    Nilikua ateshen kwa kumsikiliza maana alikua ni mschana mwenye heshma ambayo nadhani hata mimi simfikii kabisa. kwani hata vile alivyonisalimia aliinama kidogo kuashiria heshma ya aina yake...

    "mmhhh sema mamii wangu unashida gani?"

    "kaka yangu? samaani sana.... nilikua nina shida na mia tano tu nikale hata mihogo, kwani toka jana sijala kaka angu"

    Niliona labda ni matapeli hawa hivyo niliwasha gari na kuondoka zangu..... huezi amini mdada wa watu alianza kulia na kujiskia vibaya, Sasa nilipofika mbele nikaona katika saiti mira anamuomba mtu mwingine pesa... na yule mtu akamsukuma, mpaka yule dada akadondoka chini.... maskini kweli hata upande mwingine nguo ilitoboka kabisa.... afu nikiangali nyuma ya gari langu nilikua nimebeba vitenge nampelekea anti mwaju.... Huezi amini nilirudisha gari nyuma na kuchukua kitenge na kwenda kumuokota pale chini aliposukubwa na yule mbaba... Nilikua nampeleka kwenye gari lakini alikua hataki kuingia

    "nini shida tena?"

    "kaka angu? nipe tu mia tano nikale nina njaa"

    "twende hotelini basi"

    "hapana sina hadhi ya kukaa kwenye hio gari"

    Nilimbeba na kumueka kwenye gari kisha nikaweka loku... na kuzunguka kule kisha nikawasha gari na kuelekea kwa anti mwaju....

    "hebu naomba uniambie una matatizo gani?"

    "kaka angu? ni stori ndefu"

    "ok nipe japo kwa ufupi tu"

    Mtoto wa kike alianza kulia kabla ya kuongea chochote... alianza kusema kua

    "mimi naitwa jasmini nimezaliwa tanga, ila juzi juzi tu kama wiki mbili zilizopita, nilitwa huku kwa ajili ya kufanya kazi za ndani... lakini huyo bosi wangu wa kiume... iiiiiii aaaa iiiiiiiiii"

    "ah ah basi usilie... hapo nimeshaelewa... enhe baada ya hapo ikawaje"

    "nilikataaa.... ndio akanifukuza na mimi ni mgeni hapa arusha... iiiihhhh iiiiii uuuuiiiiii"

    "usilie basi jasu... nyamaza basi"

    "samaan kaka angu kama utaweza hata kunipa nauli nirudi kwetuuuu iiiiiiii iiiiiiiuuuuuiiiii"

    Yaan mtoto akilia ndio anazidi kua mzuri kuliko akinuna.... sasa hili umbo lake sasa uuuuuuwiiiiii ni majanga... kwani sio mnene kabisa ila alivyoumbwa huyu jasu. amekua mwanamke wa kwanza katika macho yangu,

    "naaa vp ukipewa kazi za ndani utaweza kufanya?"

    "ndio.... ila nirudi kwetu kwanza"

    Nilifika kwa anti mwaju na kunifungulia geti...

    Tulipoingia ndani anti mwenyewe alijua tu hili ni janga. hivyo alimchukua yule dada na kumkimbiza chumbani kwani nguo alizovaa hazikumsitilia mwili vizuri... Unajua mtu wa huruma ni wa huruma tu coz unaona anti hakuuliza wala nini... yaani yeye kaona tu kwa macho akajua hapa kuna shida ........ sasa vile anavyompeleka chumbani.. yesu wangu... ah Noo ni mtume wangu eeeee.... yaani na vile alivyoloa na mvua... afu na vile vipande vya kanga alivyotupia uuuuuuwuuiiiiiiiii....

    Baada ya muda anti alikuja na kumpa vitenge vyeke ambavyo nilimletea...

    "asante mwanangu..... Enhee yule mschana vp? maana anaonekana ana matatizo makubwa"

    "mmmhh yes ni kweli but hebu muulize vizuri na ujue matatizo yake kwa ujumla... kwa mimi nadhani anakufaa ukae nae hapa ili akuseidie kazi mbili tatu...."

    "jamani sheby nitakaa na mtu simjui alipotoka?"

    "sasa si ndio umuulize sasa.... na ukimkubali mpeleke shoping na kama ni kazi mpe afanye na umlipe.... ila kama atakufaa basi ishi nae coz anakufaaa... ila kama hakufai basi naomba unipigie simu... yaani usije ukamtoa afu nisijue. nipigie simu, nijue cha kufanya"

    "sidhani kama hatonifaa ila sasa nitakujulisha vp? au una simu?"

    "sina simu mimi"

    "sasa nataka kuanzia leo uwe na simu kwa ajili yangu.... au hutaki uwasiliane na ati wako?"

    "aaaaaaa mimi tena... ila ntakua nakuja tu"

    "sitaki...... nataka ununue simu sasa"

    "ok sawa nitanunua ila nitaweka namba hizo 4 tu..... ya kwako na mamiii na dadii na dada nusura tu basi"

    "kwani zai sio ndugu yako?"

    "naani? uyo machepele"

    "mmmhhh sawa.... kwani unaenda wapi sasa?"

    "Antiii? naenda kujiandaa na shule kwani kesho ni juma tatu"

    "aaaaa unaenda shuld gani?"

    "si ile shule anayosoma zai"

    "mungu wangu, mwanangu naomba ujichunge tu, maana ile shule ni ya kishetani sana ile"

    "usijali anti ...... niagie jasmini"

    "heeeee na kumjua ushamjua tayari?"

    "aaaa sasa si nilimuuliza kidogo"

    Niliondoka na kwenda nyumbani mida ya saa 11 jioni..... nilikua namtafuta zai anipe infomesheni ya hio shule yao,

    "Enhee zai? hebu njoo"

    "nini sasa?"

    "ebu nipe info ya shule yenu"

    "kupo pisi tu mbona"

    Niliuliza maswali kibaooooo

    "vp hio shule wanaitaji RIM....?"

    "rim??? kwenda zako uko, kwani uliambiwa ni shule ya st kayumba ile.... ile shule ni ya kitajiri tupu.. na haitumi Rim wala majembe wa makwanja sijui ndooo hakunaga hio"

    "heeeee basiiii ndio untoboe hadi macho?"

    "sasa si unaambiwa"CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "aaaaa kwenda uko"

    BAADA YA SIKU HIO KUPITA

    Na leo ni juma tatu mida ya saa mbili asubuhi, nikiwa ndio mara ya kwanza naingia katika shule hii ya kitajiri, yaani kila mwanafunzi ana gari, na kama huna gari huruusiwi kusoma shule hio.. Mtoto wa kiume ndio kwanza naingia ST PETER,S SUNEKA SECONDARY SCHOOL nikiwa nasoma kidato cha 4 ( form 4 ) Sasa mtoto wa kiume ndio nilikua nashuka kwenye gari, naona wanafunzi wote macho kwangu, Wanafunzi wa kiume walikua wakiangalia gari yangu jinsi ilivyo kali ya kipekee Tanzania hakuna... Na nikicheki gari zote hapa shuleni sioni hata moja inayofikia bei ya gari yangu, labda kidooogo gari ya dada zai.... maana gari ya dada zai ina thamani ya milioni mia 6.. Aina ya BUGHATI na ya kwangu ina thamani ya shilingi milioni mia 9 yaani ni kasoro milioni 100 ifike bilion moja.... Aina ya LAMBORGHINI gari yenye mfano wa Ferari, Sasa mtoto wa kiume nimeshuka kwenye gari watu wote macho kwangu.... huezi amini mpaka walimu walitoka staff na kuja kuangalia huyo mwanafunzi mgeni ambae ni mimi...

    wanafunzi walikua bado wapo nje, yaani bado hawajaingia darasani... Nikafunga mlango wa gari kimadoido kisha nikatia lock... Nasikia tu watoto wa kiume wakisema

    "Daaahhh gari ya mchizi ni kazi ee?"

    Walikua wanaiangalia sana gari yangu...

    Sasa kwa watoto wa kike walikua wakinisifia mimi kwa jinsi nilivyo na umbo na sura ya kuvutia... yaani walikua wanasema..

    "mmmhhh mkaka ni hensam mpaka raha"

    Ila wakati huo ndio kwanza mimi sijui cha demu wala malaya... kwani dini yangu hairuusu hilo...... Kwa mara ya kwanza mtoto wa kiume naenda kuripoti Staff kua mimi ni mwanafunzi mpya, na nitasomea hapa...... Watoto wa kike ni matabasam tu wananiachia.....

    Niliingia Staff kisha nikasalimia kwa ujumla walimu wote... kisha nikajielezea vizuri na kunielekeza darasa langu lilipo..... Basi nikawa natoka staff na kuelekea darasani

    Lakini ghafla nikakutana na mwalimu wa kike.... ni mzuri afu mdogo mdogo hivi...

    Nikajua shule hii sio sawa na ile shule ya seminary niliokuepo kila saa Assalamu aleykhu, Sasa hiii ni shule ya kidigitali,

    "shkamoo madam?"

    Aliangalia nyuma huku akiniuliza kua

    "unamwamkia nani?"

    "si wewe madam"

    "weeeeee ishia hapo hapo... ivi mtoto mzuri kama wewe unipe shkamoo ili nikukose? haloooo we niambie mambo vp tu"

    Mmhhhh niliguna kisiri siri kisha nikamwambia

    "mambo vp madam"

    "sasa hio madam unaeka ya nini?"

    "ok mambo vp dada?"

    Nilimsalimia huku nikimpa mkono

    "poa mzima wewe?"

    "mzima sjui wewe?"

    "freshi tu...... ...... hapo sasa tumeenda sawa.... ila siku nyingine ningependa uni hag kabisa ili nipime joto lako.... na mimi ndio mwalimu wako wa sayansi...... hebu funga zipu boy usije ukanirusha roho bure"

    Mungu wangu eee Mbona ntakoma kwenye hiii shule, heeee kama tabia ndio hiii uislamu utaniishia hapa hapa





    Basi mtoto wa kiume ndio kwanza leo naanza shule, Yaani ndio nimehamishiwa hapa kutoka ASHFAT SEMINARY SEC SCHOOL CENTRE Na sasa nimehamia ST PETER'S SUNEKA SECONDARY SCHOOL kwa kuendelea na kidato cha nne, Kule ashfat nilikua nipo kidato cha 3 au form 3, kwahio huku nimetaka niendelee na form 4 badala ya kuanza form 3.... na dada yangu zai nae yupo form 4 hivyo kutokana na mimi kurushwa darasa kutoka form 3 kwenda form 4, kwahio nitasoma na dada yangu darasa moja,

    Muda wa kuingia darasani ni saa mbili na nusu, na ilikua imebaki dakika 5 tu kufikia huo muda wa kuingia darasani, Nikicheki shule hii ambayo ni shule ya private imependeza kweli, na sale za shule hii ilikua ni full red ( nyekundu mwanzo mwisho ) Hivyo tulikua tumetokelezea sana, Katika hii shule kuna fom one yaani kidato cha kwanza, Na hawa kidato cha kwanza na cha pili hua wanaletwa na magari yao... ila wakifika form 3 nao watakua wakijileta wenyewe na magari yao,

    HII SHULE YA ST PETER'S SUNEKA IPO KENYA, ILA KWA HII STORY NIMEIFANYA HII SHULE IPO ARUSHA, NA HII SHULE NIMESOMEA HUKO KIMAUKWELI ILA SIO YA KITAJIRI KAMA NINAVYOITAJA HAPA KWENYE STORY

    Ilipofika mida ya saa 2:30 Tuliingia darasani, Sasa madara ni makubwa sana na ni ya kisasa zaidi, kwani ubao wenyewe ulikua ni wa kubandika au kuhamishika, na viti vilivyopo vipo kama sofa ila sio sofa na meza zenyewe zilikua na droo za kisasa tena na ugunguo kabisa... yaan zilikua ni meza za kisasa zaidi, tofauti na kule nilipotoka,

    Sasa madarasa ni makubwa mpaka raha yaani no kubanana, kila mtu kamuachia mwenzie nafasi kubwa tu, Ila kuna fom 4 A na fom 4 B, na hao B wapo darasa lingine, na sisi A tupo darasa lingine, na madara yetu hua hayapo mbali. bali yamepakana tu, yaani ni ukuta tu ndio umetutenganisha kua A na B kwahio sisi tupo mbele na hao B wapo nyuma ya darasa letu.... yaan kama sio ukutata basi ungekuta tupo darasa moja,

    Sasa kitu nilichoshangaa naona kila mwanafunzi ana simu, tena sio simu za ajabu, ni simu za maana kabisa yaani ni simu zenye bei kuanzia laki 8 mpaka milioni, Na nikicheki simu zao zote sioni simu yenye gharama chini ya laki 8. tena wengine wana matablet ya maana, afu wameyaeeka kwenye meza kila mtu...... Sasa nikajiuliza hii ni shuleee ya secondary au ni twisheni? nilijiuliza maswali mengi sana juu ya hilo, ila ilinibidi nitulie tu maana hapaniusu sana coz ni kila mtu na maisha yake juu ya hilo,

    Mara ticha wa kiume akaja hapo class kwetu, tukasimama na kumsalimia

    "good morning Sir?"

    "good morning sit down"

    Tulikaa kisha akawa anaangalia kua kuna mtu anamtafuta,

    "kuna mwanafunzi mgeni humu? au ni kule B?"

    Kuna dada mmoja kiere ere akainuka na kusema

    "yupo huku sir"

    "mbona hasemi sasa?"

    Nikanyanyuka na kuacha begi langu kwenye meza pale, kisha nikamfata ticha pale mbele

    "Am so sorry sir"

    "ok no problem"

    Ticha alianza kunitambulisha kwa class pale

    "jamani??? huyu ni mwanafunzi mpya katika darasa hili, hivyo mtapeana ushirikiano zaidi ili kupeana mawazo ya hapa na pale"

    Wanafunzi wakasema wote kwa sauti

    "you are welcome in our class"

    Nikaitikia kwa sauti kubwaaa

    "thenx and god bless us in our class"

    Basi mwalimu nae akajitambulisha na yeye kwangu

    "kijana??? mimi naitwa JOHN na ndio mwalimu wa disprin ( nidhamu ) na mimi hua sicheki na mwanafunzi yeyote yule sawa?"

    "sawa....... Aaaaa na mimi naitwa sharbiny ni mwanafunzi mgeni kama jinsi sir john alivyonitambulisha hapa"

    Baada ya utambulisho mimi nilirudi kwa meza yangu, huku mwalimu akiondoka zake, Sasa kufika mezani kwangu nikakuta begi langu limefunguliwa na kuna baadhi ya kaunta zangu zimechanwa karatasi za ndani, Nilipoona hivyo nilikitika sana na kwenda staff kwa huyo sir john ambae ndio ticha wa disprin, Nilipofika nilipomuelezea, nilishangaa akiniambia kua hilo ni jambo la kawaida kwahio we vumilia tu, Nikajua Ahaaaaa kuuumbeeee? basi hio imeisha tayari maana mimi hua sipendi kuonewa kabisa, Sasa niliporudi darasani nilikaa zangu mezani huku nikipangilia vitu vyangu.... Mara dada zai ambae nasoma nae darasa moja, yaani hilo class A...

    "we? inabidi utulie hivyo hivyo, tena na vile ulivyo lege lege, ukijifanya mbabe utajuta"

    Alipotaka kuondoka nikamshika mkono kisha nikamwambia

    "sikia zai? kwani unamjua aliofanya hivyo?"

    "namjua vizuri sana, ila ni mkorofi na hakuna anaemueza hata mmoja afu yeye ndio monita wa darasa na ndio kiranja mkuu wa kiume, kwaio we jishaue uende home na manundu"

    Duuuuuu aliponambia hivyo, niliogopa kinoma ila mi mwenyewe sio mtu wa kumuogopa mtu, Nadhani unajua kua hakuna shule inayokosa uonevu kabisa, kila shule lazima iwe na mkorofi, ila huyo jamaa mi ndio nitakua mbabe wake...

    Ilipofika saa 4 muda wa break, kunywa chai

    Tulitoka hapo huku nikiwa mgeni kabisa na namtegemea sana zai kwa kunielekeza kila kitu maana mimi si mgeni?

    "sasa unaenda wapi zai?"

    "kwani wataka nini?"CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "aaa wewe ndio nakutegemea unipe muongozo mzima juu ya vitu mvifanyavyo"

    "oooohhh nifate sasa"

    Dada zai alikua na rafiki zake wa kike ni wazuri hao duuu yaani kiufupi toka niingie hapa shule bado sijaona mwanafunzi wa kike mbaya, tena kuna wanafunzi wa rangi au makabila yote,

    maana naona wazungu pia wapo na wahindi bila kusahau wazee wa kula nyoka pia wapo...

    Sasa zai kama unavyomjua sifa zake za kunikuadia.

    Alianza kunitambulisha kwa rafiki zake huku akijisifu kua na mdogo wa kiume,

    "fetty? unamjua huyu?"

    "mmmhh shosti mi namjuaje sasa?"

    "si mnakumbuka niliwaambiaga kua nina mdogo wangu wa kiume"

    "haaaaaa zai acha utani.... tuambie ukweli wewe, ivi kweli uwe na undugu na huyu, na ukakubali kabisa? booo kama ni mimi sikubali"

    "fetty? naomba tueshimiane, huyu ni mdogo wangu"

    Basi yule fetty alianza kunipa mkono huku akisema

    "mambo boy?"

    Nikaupokea na kumjibu

    "safi tu"

    "boy? mbona mpole hivyo?"

    "mmmhhh Aaa amna kawaida tu"

    Nilikua naona aibu maana nilizungukwa na wasichana wa kutosha, Mara ghafla niliskia sauti ikiita

    "shebiiiii?"

    Alikua ni yule mwalimu wa kike ambae nilikutana nae mwanzo na kuniambia kua yeye ndio mwalimu wangu wa sayansi, Aliniita jina langu kabisa, na sikushangaa kwa kulijua kwake jina langu maana nilijitambulisha staff kwanza kabla ya darasani,

    Nilimwambia zai aniachie mkono ili niende kwa madam kaniita ila zai eti anataka twende wote hadi huko kwa ticha,

    "we zai? namtaka shebi tu"

    "lakini madam? kwani kuna siri gani? ambayo mimi siruusiwi kuisikia?"

    "nimesema hivi? namtaka sheby tu"

    Zai aliniachia mkono kishingo upande huku akiniambia kua eti niwe makini... sasa nilipoondoka huku nyuma marafiki zake wakaanza kumuambia kua

    "booo yani unakubali kumuachia ndugu yako aende private room na madam?"

    Sasa zai kusikia vile alitamani kuja huku ninapokwenda ila akaarisha tu...

    Sasa madam akanambia kua "nikukute ofisini kwangu"

    "madam?"

    "sema?"

    "lakini siijui ofisi yako"

    "ile paleeeee"

    "ok sawa"

    yeye aliingia staff sijui alienda kuchukua nini huko staff

    Basi nilifika ofisini kwa madam huyo bado sijamjua jina lake...

    Nilipofika nilikaa huku nikiangalia huku na huko... nisije kukuta jitu bure

    kumbuka huo ulikua ni muda wa mapunziko, hivyo tunaenda kantini kupata chai saafi kabisa... lakini mimi sikuenda kantini kwasababu nimeitwa na madam huku ofisini kwake

    Mara madam kaingia huku akiwa kashika rim mbili...

    Madam huyu sio mkubwa kabisaaaa kama unavyojua walimu wa siku hizi utafikiri ni mwanafunzi, tena kuna wanafunzi wengine haendani nao kiumbo.... yaani nikisema ticha huyu ni mkubwa labda atakua na miaka 22 au na tatu hivi, yaani ni mdogo mno afu mzuri.....

    nishakwambia kua toka nifike hapo shule sijaona mwanamke mbaya hata mmoja..... walimu wenyewe kila mmoja ana gari yake ya maana kama sisi wanafunzi.. ila mimi nimewazidi wote kwa uzuri na gharama za gari yangu... Madam aliketi na kuanza kunisalimia

    "mambo?"

    Mmmhhhh sasa kama mwalimu ananisalimia hivyo? je wanafunzi itakuaje?

    "poa tu"

    "mbona ni mpole ivyo? hebu changamka bwana"

    Sasa madam akaanza kulegeza tai kisha akafungua na vifungo vya shati alilokua kavaa mpaka sidiria yake ikawa inaonekana kidogo... mtoto wa kiume nilianza kuangalia pembeni kama kawaida yangu...

    "umekunywa chai?"

    "hapana ndio nataka niende kantini sasa hivi"

    "no usiende ngoja nikuagizie"

    Akapiga simu ya mezani kwa kumtuma mpishi au msambazaji wa chai

    "sabrina? Hebu lete vikombe viwili vya chai... na chapati 4 sawa?"

    Aliweka simu mezani na kuanza kuniangalia kwa muda tu

    "nikuulize kitu shebi?"

    "ndio uliza tu madam"

    "unanijua mimi?"

    "mmmhhh hapana"

    "ok mimi naitwa joisi ukipenda niite joi"

    "ok asante madam joi"

    "ivi hayo macho yako yanauma?"

    "hapana madam"

    "ndivyo yalivyo sio?"

    "ndio"

    "oookeee basi mazuri"

    Ghafla chai ya maziwa ikaletwa na huyo sabrina....

    Sasa yule sabrina akanisalimia

    "mambo?"

    Kabla sijaitilia madam joi alidakia

    "we vp? kwani unamjua huyu?"

    "hapana"

    "sasa unamsalimia wa nini?"

    "lakini madam?"

    "lakini nini? hebu ishia huko"

    Yule sabrina aliondoka kwa unyonge huku akiniangalia kweli, tena akiniangalia kwa uzuri.

    "eeenhehehe usijali huyu ni mpishi tu"

    "sawa"

    Basi nikawa nagonga chai na chapati, huku madam akiwa ananiangalia sana, mpaka mwenyewe nikawa naogopa na kuangalia kando....

    mara alinyanyuka na kuja pale nilipokua nimekaa, kisha akawa kainama staili ambayo macho yangu yote yapo kwenye kifua cha madam joi.... Nilipepesa macho pembeni ila hakutaka nipepese macho

    "weee? mbona mshamba mshamba ivyo? unapewa bahati ya kua karibu na ticha unakataa"

    "kwani shida nini madam?"

    Sasa kabla hajanijibu mara kaanza kupandisha sketi yake taaratibu huku mimi naangalia tu.... Afu maadam alikua na umbo.. afu cheupeeeee... yaani nilivyoona tu paja la madam joi, roho ilinipasuka paaaaaaaaa



    Kiukweli kabisa madam joi alikua kaumbwa, ila niliskiaga kua ndio mwalimu mwenye tabia mbaya ya kutamani wanafunzi wa kiume, Haswa haswa mahensamu, na mimi sio wa kwanza na wala sio wa mwisho kutamaniwa na madam joi, Madam joi alikua keshaanza kufungua vifungo vya shati aliokua kalivaa, huku kama akilegeza legeza tai flani hivi za kike...

    "madam? hebu ninywe chai mi sipendi hii kitu"

    "sikia sheby? kama ni chai ntakunywesha mimi sawa?"

    "hapana madam sitaki"

    Niliona hata ile chai ni chungu hainifai, nilichokifanya ni kuweka begi langu begani na kuondoka bila hata ya kumwambia naenda...... Madam alianza kuita huku akionekana kama kujijutia kitu fulani, Niliondoka na kuelekea zangu darasani, mana muda wa breki uliisha, Basi tukiwa darasani kama kawaida ticha akiingia tunapiga book mwanzo mwisho.... Ilifika mchana tukatoka na kupata chakula na kuendelea na masomo yanayoendelea hapo darasani kwetu.... tukiwa mimi na dada zai tunasoma darasa moja, A (Art)...

    Ilifika muda wa saa 10 jioni, ikapigwa kengele ya kutoka na kuelekea pared (mstalini).......

    Tukiwa njiani kuelekea pared, mara zai kaja kunishika bega....

    "heeee sheby? hata husemi nitembee na dada yangu? heee"

    "khgggaaaa sasa nitembee na wewe ili iweje? kama ni pared paleeee napaona sasa we watakaje?"

    "mmhh ok..... ila ujue hii shule sio ya kimaskini kama ile kayumba yenu huko ulipokuaga mwanzo"

    "najua kua ni shule ya kitajiri"

    "si unaona shuleni kwetu kuna hadi wazungu wachina wahindi wakorea wamarekani na nchi nyingine za jirani wapo hapa"CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Kweli nikicheki kuna wanafunzi wa form 4 ambao ni wazungu wahindi mpaka wachina yaa rangi zote zipo na sio mmoja mmoja wapo wa kutosha kabisaaa

    "lakini si unajua mimi hua sishobokagi? kwaio naomba kunikuadia uache zai sawa?"

    "mmmnhhh toka lini nikakukuadia sheby?"

    "mtenda husahau ila mtendwa hasahau ng'ooo"

    "Enheee umemuona yuleee mkaka? oohh ngoja nitakuonyesha vizuri"

    "yaani unionyeshe waume zako? we mwehu nini?"

    "sio waume zangu.... ni mtoto wa raisi"

    "mtoto wa raisi?? yaan mpaka watoto wa viongozi wamo humu?"

    "haaaaaa tena sio mmoja... kuna mtoto wa raisi wa kenya kuna wa rwanda na pia kuna waaaa uganda.. na wa raisi wetu aitwae salma mrisho jumbe..... afu na hao watoto wa wabunge ndio wengi humu ndani na pia nina rafiki yangu wa kike... ni mtoto wa waziri mkuu mstaafu, ngoja ntakuonyesha baadae"

    "kwani ulifikiri ata nina haja ya kuwajua?"

    "wewe unatakiwa uwe na urafiki na watoto wa maraisi coz kama sio baba etu kua mjasiria mali ungekuta na yeye yupo kwenye uongozi.... mfano kama yule mkaka niliotaka kukuonyesha, yule ni mtoto wa raisi wa kenya"

    "sasa? uko kenya anaenda na kurudi au?"

    "hapana... yaani hao wote ambao sio raia wa tanzania na wala hawaishi hapa arusha.. hua wamepangiwa mahoteli makubwa makubwa tu"

    "aaaahhhh oookeee kumbe wanaishi kwenye mahoteli?"

    "sasa je? we ulifikiri aende kenya au uganda au huko rwanda... je? hio shule atawahi vipi?"

    "basi yaishe... tumefika pared"

    Tulifika mstalini tukiwa kamili... form one mbele kabisa... afu wanafata form two.. afu form three... kisha tunafata wababa watu wazima sisi form four tupo mstali wa nyuma tena wengine wakiwa wamesimama kwa dharau kabisa...... maana si shule ya kitajiri, kwaio kila mtu anajigamba kwa pesa zao zilivyo nyingi, Kama kawa ticha alikuja na kusema mawili matatu hapo pared kisha tukaruusiwa kurudi majumbani mwetu, Kila mwanafunzi wa kuanzia form 3 kwenda juu, hua wana magari wote, kasoro form 2 kushuka chini maana ni bado ni wadogo.... ila na wao kila mwanafunzi analetwa au kuchukuliwa na gari yao.... yaani kila mwanafunzi wa kidato cha 1 na cha 2 kwao kuna dereva spesho wa kumleta,... na kumfundisha gari, ili akiingia form 3 tu apewe uskani na yeye....

    Basi kwa sisi fom 4 tukaingia kila mtu kwenye gari yake. kwauo hakuna hata wa kuomba lifti... Sasa ile napanda tu, mara zai kaja

    "we sheby subiri"

    Alikua yupo na rafiki yake ni mkali huyo duuu na sijawahi kumuona toka nije hapa shuleni.

    "mambo?"

    Alinisalimia yule mtoto wa kike, nami sikuvunga kuitikia salam yake..

    "poa mzima wewe?"

    "mi mzima"

    "sheby??? huyu ni rafiki yangu ila gari yake mbovu"

    Ni zai ndio alianza kumuombea rafiki yake lifti

    "kwaio sasa nifanyeje kama ni mbovu? au ulishawai kunipeleka engineering?"

    "afu sheby?? funga domo lako ilo... kama hutaki si useme tu... sio kunijibu shombo"

    "ok ok sawa.... kwani ulikua unatakaje?"

    "mi nilikua nataka umpe lifti hadi pale kona"

    "lakini zai??? wewe si una gari pia?"

    "sheby? mimi kuna mahali nampitia dada, hivyo sipiti njia hio"

    "ok mimi pia kuna mahari napita kwaio sidhani kama atapita huko niendapo"

    Mara yule mdada akaongea mwenyewe

    "samaani kaka, kama inashindikana basi"

    Sasa kabla sijampa jibu, ghafla niliitwa na mwalimu wa kiume

    Nilishuka kwenye gari na kuelekea staff.. na muda huo tayari wanafunzi wameshaondoka hivyo wamebaki mmoja mmoja tu ambao ndio nao wanajiandaa kutoka....

    "yes ticha?"

    "unajua kanuni ya shule hiii?"

    "hapana mwalimu sifahamu... coz nadhani ndio nimeanza leo hii"

    "shule hiii inalindwa na mitambo maalum na walinzi wa professional kutoka marekani.... hivyo ifikapo saa 10:30 jioni, hua hapatakiwi kuonekana mwanafunzi hapa sawa?"

    "ok nimekuelewa mwalimu"

    "ok unaweza kwenda"

    Nilitoka zangu mbio na kupanda gari, huku nikicheki saa kumebakia dakika 10 ili ifike saa 10:30 jioni.. Niliwasha gari na kuondoka... ila huyo rafiki wa zai aliokua akiniomba lifti sikumkuta tena.....

    Nilitoka nje ya geti la shule na kuingia lami. Sasa watu walikua wakiishangaa gari yangu aina ya Lamborghini yenye rangi ya kijani tiii..

    Nilitoka spidi kali mno maana nataka niwahi msikitini kuswali, coz toka mchana sikuswali na shule hii haina swaga hizo kabisa yani....

    Sasa kufika njiani nikamuona yule mschana ambae aliombewa lifti na dada zai muda mfupi tu uliopita... alikua anapiga simu huku gari yake ikiwa imefunuliwa bonet, kuashiria kweli ilikua ni mbovu. Niliona bora kweli nimpe lifti mtoto wa watu...

    Ila sasa ananiuzi kwa kuvaa sketi fupi,

    Alipomaliza kuongea na simu nilimuita kwa njia ya

    "ksi ksi ksi"

    Aligeuka kisha nikamuita kwa mkono,

    Mtoto alikimbia huyo na kufika pale nilipo huku akitabasamu. afu katoto kenyewe ni keupeee pyeeee,

    "Daaahhh pole sana dada angu, kumbe ni kweli gari yako ni mbovu?"

    "ndio... we ulizani nakudanganya?"

    "okee kwani unaelekea wapi?"

    "mimi naishi Crown Hotel, ila kwa sasa nilikua nataka niende nikachukue pesa za matumizi"

    "aaaaaa kwanini usingerahisisha kwa m-pesa?"

    "m-pesa inasumbua toka jana"

    "ok. ni wapi huko?"

    "ni munduli"

    "heeeeeeee? huko ndio kwenu?"

    "ndio.... ila nimeshapiga simu dereva wetu anakuja na hizo pesa... hivyo ningeomba tu unieskoti ili tukutane njiani"

    "ok panda ila siwezi kufika munduli sawa"

    "sawa"

    Basi mtoto haogpi hata kuliacha gari pale kando ya barabara... Ubaya wa huyu mtoto wa kike ni kuvaa sketi fupi... hivyo hivi alivyokaa kwenye siti. hii sketi yake imepanda juuu....

    "unajua wewe ni mzuri sana ila una kasoro moja tu inayoharibu uzuri wako"

    "unaongea na mimi?"

    "ndio ni wewe Eee?"

    sasa mtoto kujua yeye ndio nimemsifia kua mzuri alitabasa na kuangalia chini kwa aibu kisha akaniuliza...

    "kasoro gani kwani?"

    "hua sipendi mschana anaevaa nguo fupi"

    Ghafla akajiangalia na kujikuta mapaja yake yote yanaonekana...

    Fasta nilimuona akishika kiuno kama vile kuna kitu anafungua huko kiunoni.... Ayaaaaa kumbe alikua kaikunja kwa juu, ila sketi ya watu ilikua ni ndefu vizuri tu... ila aliikunja huku kiunoni, mithili ya mtu alievaa suruali bila mkanda sasa kama inamshuka anakua anaikunja kunja kidogo.... Sasa ndio kitu alichokifanya huyu mtoto wa kike

    "Enheee huoni sasa hapo ndio poa na hapo ndipo uzuri wako unapokamilika"

    "Mhehehehe Asante..... ila na wewe ni hensam"

    Mmhhhh aliposema hivyo mimi sikumjibu kitu, nilikaa kimya huku nikiwa bize na uskani....

    "mbona mi huniambii asante?"

    "mmhh? nimesema mbona? sema hukuskia tu"

    Na yeye akatulia kimyaaa.... Mtoto alitoa bonge la simu na kuanza kuchati huku akipiga simu kwa marafiki zake...

    Sasa Kwa bahati nzuri tukiwa njiani tulikutana na huyo dereva wao... maana yeye si ndio analijua gari yao ya nyumbani.. kwahio yeye ndio kanionyesha kua ndio huyo mtu mwenyewe

    Tulisimama kusha huyo jamaa na akaja huku kashika bahasga kubwaaa na kumpa yule mtoto wa kike...

    "jose?"

    "naam dada?"

    "aaa inabidi uniachie hio gari... maana yangu ni mbovu hivyo nenda kaipeleke gereji kisha utaitumia tu"

    "sawa dada nimekuelewa"

    Sasa nikashangaa huyu jamaa ni mkubwa hakosi hata mtoto kama mimi, sasa anamuitaje huyu kinda dada? nilijiuliza ila nikakosa jibu..

    "aaaa dada samahani, hio gari iko wapi?"

    "okee twende nikakuonyeshe"

    Alishuka huyu mtoto wa kike na kuenda kupanda gari ile iliokuja na jose

    "mkaka?? asante Ee?"

    "hakuna shida dada"

    Basi nilichokifanya ni kugeuza gari yangu na kurudi nyumbani.... Tulikua tumesha achana kilometa nyingi sana na nilikua nimeshafika nyumbani, Nikafunguliwa geti na kuingia ndani ya geti....

    Sasa ile nachukua begi langu ili niingie nalo ndani... Sasa kucheki pale alipokaa yule mdada Ayaaaaaa





    Nilikua nina haraka mno ya kuingia ndani, maana nikicheki saa ilikua ni mida ya saa 12:15 afu nilikua nawahi masjidi. Niliingia ndani ya geti vizuri na kuchukua begi langu liliokua katika siti ya nyuma... kama kawaida ya wafanyakazi lazima wakimbilie kunipokea angalau hata begi,

    "za shule kaka?"

    Alinisalimia mfanyakazi mmoja aitwae salma,

    "nzuri tu sjui nyie?

    " sisi tuko salama tu..... kaka lete nikusaidie kupeleka ndani"

    "aahaha usijali nitalipeleka tu"

    Basi mfanyakazi aliondoka zake na kuendelea na shuhuli zake za ndani... sasa ile namalizia kuchukua begi.. nikacheki pale alipokaa yule mtoto wa kike.... Ayaaaaa aisee yule mdada alisahau simu yake, Sasa nikawaza nitampataje kwa muda huu? Ila sikuangaika nayo niliichukua na kuitia kwenye begi langu la shule, kisha nikaingia zangu ndani...

    Nilioga fasta fasta kisha nikachukua uzu kabisa afu nikatoka bafuni. huku nikiwa na spidi kweli, ili niwahi swala ya magharibi, Nilipomaliza kujifuta maji nilichukua kanzu yangu na kibarakasheee bila kusahau tasbii mkononi, Nilitoka tena kwa mguu, coz kama unavonijua mimi na miguu ndio swaga zangu,

    Nilipofika njiani nilikutana na yule mdada ambae siku ile alinialika kwenye birthday yake, anaitwa nusura... ni wajina wa dada yangu nusura, kwaio nikisema nusura usizanie ni dada yangu

    Nilimkuta yupo na gari akielekea msikitini, alinipigia honi lakini nikajitia simsikii, maana najua tabia yake ilivyo,..... sasa alivyoona simsikii aliikimbiza gari na kunipita kisha akashuka na kunisubiri... maana si alinipita

    "Assalam Aleykh?"

    Alinisalimia huku akiwa ananipa mkono ambao kauzungushia kanga, kana kwamba hata nikiupokea ule mkono siwezi kutengua uzu wangu, na yeye pia hawezi tengua uzu wake. Niliupokea ule mkono huku nikimuitikia kwa moyo mkunjufu kabisa

    "Waaleykh Mssalaam, hali yako dada"

    "mmmhhh nzuri tu"

    "vp? mbona waguna?"CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "kwanini? nakupigia honi afu huniskii?"

    "aaaaa samaani sana dada angu, coz nilikua bize na tasbii"

    "ooohhh sorry basi"

    Sasa kukawa kimyaa kila mtu kakaa kimya. nikaona hana la kuongea mimi huyooo nikaondoka zangu, Hata yeye muda huo hakua na shauku ya kuongea ule utumbo wake ambao nimeuzoea kila siku nikutanapo na yeye....

    Basi mtoto wa kiume niliingia msikitini na kuanza kulipia baadhi ya swala zilizonipita, Kisha nikaswali na hio iliopo kwa sasa MAGHARIBI baada ya kumaliza nilienda mbele na kuchukua msaafu mmoja na kukaa kitako kwa kuanza kuupitia, maana mimi nimepiga madrasa na nimemaliza junzuu zote 13 na hata msaafu wenyewe pia nimeshafuta, yaani hapa najikumbushia tu baadhi ya aya na milango yake ili zisitoweke kichwani, Sasa nikiwa najikumbushia zangu baadhi ya dua mbili tatu, ghafla kuna shehe kaja na kusema kua..

    "imamu? huko juu kwa akina mama kuna spika inasumbua"

    Shehe huyo alileta taarifa kua juu.... yaani ghorofa ya juu ambako ni kwa wanawake huko.. sasa spika inasumbua..

    Sasa imamu kusikia hizo taarifa akaanza kuangalia amtume nani aende akairekebishe... Alikua anaangalia kijana mdogo ili amtume huko kwa wanawake... mimi nikawa nipo bize na msaafu wangu huku nikiwa nimeinamia chini kabisa....

    "sheby? we sheby?"

    "naam mzee?"

    "hebu kaangalie kuna tatizo gani kwa akina mama huko"

    Hua kitendo cha kwenda mbele ya wanawake hua sikipendi maana mimi nina aibu mpaka basi yani, Ila ni kwamba mimi sijuagi kukataa wala kubishana...

    "sawa mzee"

    Nilipoamka nikaamka na yule shekhe alioleta taarifa ya kusumbua kwa spika

    "sasa shekhe? kwanini we usiende kulirekebisha tu"

    "sheby? huo ubishi umeanza lini?"

    "ok samaani ostazi wangu... lakini hebu tuongozane basi ili ukanionyeshe hio spika ilipo"

    "shebiiiii? huko kwa akina mama haturuusiwi kuingia wanaume haswa sisi watu wazima.... na ndio maana imamu akakuteua wewe uende kule maana umri wako unaruhusu kuingia katikati ya wanawake, ila sisi hatutakiwi kuenda huko"

    "ok basi twende hata ukaishie mlangoni tu"

    "ivi sijui unanielewa? yaani hata ile ngazi yenyewe siruusiwi kukanyaga pale"

    "aaaggggg sasa we umejuaje kama spika ni mbovu?"

    "ni kiongozi wao huko juu ndio alishuka mpaka pale na kuniita nikiwa pale natawadha.... ndio akaniambia. na mimi nikazileta kwa imamu"

    Daaahh mtoto wa kiume sikua na jinsi yeyote ya kulikwepa hilo, maana nilitaka niende na ostadh akanipe kampani hata ya kukaa pembeni tu,

    Niliondoka huku nikiwa na tasbii yangu mkononi, nikiwa napanda ngazi taratibu kuelekea kwa wanawake, Nilifika mlangoni na kubisha hodi kwa kugonga mlango

    "ngo ngo ngo ngo"

    Mlango ulifunguliwa na mwanamke mmoja hivi..... Alipoona ni mwanaume alifunga mlango na kuwapa wanawake wenzie taarifa

    "jamani ni mwanaume"

    Yaani hio taarifa ni ya kuwaweka wenzao sawa, kama unavyojua wanawake, kuna kufunga kanga vizuri au kufunga mtandio vizuri au kujiweka sawa na maungo yake ili mimi nikiingia au mwanaume yeyote akiingia wakutwe wako sawa. Ilichukua kama dakika 1 hivi kisha mlango ukafunguliwa na kukaribishwa, Wanawake wote macho kwangu, daaahh nilikua naona aibu aisee duuu.... kama kawaida yangu ya kuangalia chini, maana ndivyo nilivyofundishwa na maostazi wangu kua niwe na macho ya chini ninapofika kwa wanawake..

    Alikuja kiongozi wao wa kuswalisha japo anaeswalisha ni imamu ila kuna yule anaekaa mbele kwa kuwaongoza swala..

    "Assalam aleykh?"

    Alinisalimia yule mama huku wasichana wakiniangalia tu mimi,

    "waaleykh msalam mama"

    "aaaaaa wewe ndio umekuja kuturekebishia spika yetu?"

    "ndio"

    Mama alinielekeza hio spika ilipo na kuanza kuichokonoa jinsi ninavyojua mimi..... ilinichukua kama dakika 10 hivi hadi kumaliza, nilifanikiwa kuiweka sawa na ikafanya kazi vizuri, ila wanawake wote macho kwangu.... yaani wale wasichana ndio kabisaaa wananiangalia tu mimi..... Nilimuita yule mama na kumuambia kua tayari kazi yao imeisha...

    Aliniruusu nitoke nami nikawaaga kisha nikawa natoka, na hata nusura alikuepo hapo ndani ila nilijifanya hatujuani, maana ni sehemu ya ibada hapa,

    Sasa ile nimetoka tu na kufunga mlango wao, nilishangaa sioni sendo zangu

    Nikiangalia huku na huko naona maviatu ya kike tu, Lakini sendo zangu sikuziona... Nilianza kuzitafuta hapo nje bila mafanikio yeyote yale, Mpaka nikakata tamaa ya kuyatafuta... nikaruka ruka kwenye tailizi mpaka nikafika upande wa wanaume, Nikaenda kutawadha tena japo sijui kama nitakua nimetengua uzu.....

    swala ya insha ilikaribia na watu wote tukaswali, Baada ya kuswali tukapiga dua mbili tatu kisha tukaagana watu wakapumzike, Ila mimi sikua na raha kabisa maana sijui nitaendaje nyumbani na nimekuja kwa miguuu, Ila nikaona kuliko niombe watu lifti bora nipekue hivyo hivyo hivyo..... Hapo msikitini kwetu hua kuna vigae mwanzo mwisho. ila nje ya msikiti ni rafu rodi, na kuna mikokoto hio duuu,

    Sasa nilipokua natoka tu nje ya msikiti, nusura alinizuia na kunivuta kwenye gari yake,

    "we nini sasa?"

    "shebiiiii? mbona una gubu? yaani kukupa lifti kwangu ni kosa?"

    Nilikua sina ujanja maana nikifikiria kutembea peku hadi nyumbani, nitasababusha ugonjwa bure. japo ni kidume wa mazoezi ila sii kwa kutembea peku, hata huyo baunsa mwenyewe hawezi tembea peku njiani, labda kwa dharula tu... sasa nikawa natamani kweli kupanda ila nikajifanya staki nataka....

    "aiseee wameniibia sendoz zangu"

    "mmhhh pole baby"

    "nani baby wako? afu nyie ndio mmeniibia sendo zangu nyie.... kumbe miwanaake ni mijizi ee?"

    "sio wote ni waizi... usihukumu kila mtu"

    "kwaio sasa?"

    "kwaio nini sasa?"

    "utanipeleka hadi home basi"

    "mimi tena nikatae? sina mshipa wa kukukatalia"

    Siku hio kwa mara ya kwanza napanda gari ya nusura, maana hua sipendagi kupanda gari za watu..

    "yaan kitendo cha kupanda tu naona kama zari yani"

    Aliongea huku akicheka ile mbaya

    "kwanini?"

    "mmmhhh kwani we ulishawahi kupanda gari yangu kweli?"

    "ok poa twende basi tusichelewe"

    Mtoto alitoa gari pale msikitini huku tukila nyimbo za kaswida humo ndani, sasa kufika mahari fulani hivi nusura alipaki gari ghafla. na kulizima...

    "we ndio nini hivyo?"

    "sheby??? plz mimi bado nina lile ombi langu juu yako"

    "skia nusura??? usitake kuniharibia swala yangu sawa?"

    "sheby? hata mimi pia nina moyo lakini"

    "sitaki"

    "sheby? plz plz plz mimi ni mschana na ninapenda kama wengine.... sheby? mimi sio malaya na wala sitaki kukutega kwa kuvaa nguo fupi au kukufunulia maziwa yangu... bali nataka unipende kama jinsi ninavyokupenda sheby, plz plz plz naomba unikubalie sheby wanguuu"

    "Lakini nusura?? mi si nshakwambia kua mimi ni shoga?? mbona unakua kama huelewi maana ya shoga"

    "wewe ni shoga eee? sawa"

    Mara alitoka pale kwenye siti ya dereva na kuja pale nilipokaa mimi kisha akanikalia, yaani nikawa nimempakata..... Aiseeee mtoto alikua ni mlaini huyo tena ukizingatia na hilo umbo lake uuuuwiiii....

    "nusura? sasa ndio nini hivi? ebu sogea bwana"

    "kwani shida ni nini? wewe si unasema ni shoga wewe? haya ngoja tuone huo ushoga wako upo wapi"

    Sasa nusura alianza kunilazimisha denda huku akinishika shika mbavu zangu... Huezi amini nilianza kujiskia raha isio ya kawaida, mpaka nilikubali kunyonywa denda na nusura

    "mmmmmmmmhhh Kkjhhhhhhhhmmm ssssiiiiiiiiiiiiii hhhhhhhhfffff hhh iiisssss"

    Nusura alikua akilia kwa utamu wa denda... mara akauchukua mkono wangu na kuuweka kwenye matiti yake. Afu mtoto ana matiti yamesimama hayo duuuu... Saaa hio nusura haniachii hata niheme, yaani kanishikilia kiuno hapo hapo kwenye siti huku akininyonya midenda kila mahari..... Ghafla ile siti ikalala kama kitanda vile, nikajikuta nashuka chini na nusura nae akafata juu huku akiniambia

    "sheby mpenzi ??? Leo nataka unitoe uschana wangu hapa hapa kwenye gari yangu"





    Mtoto wa kiume nilishindwa kuvumilia na uume ukanisimama dede, Maana siku zote nawaambiaga watu kua mimi ni shoga ila sio kweli bali nikwamba nawadanganya ili wasinisumbue katika mapenzi, na nilikua naweza kuangalia video ya ngono na nisiweze kusimamisha kabisa, na hio inawezekana hata wewe pia unaweza, hivyo woote nilikua nikiwadanganya kua mimi ni shoga, hata mwalimu fau pia nilimdanganya sana... na pia naweza kukaa mbele ya mwanamke alie uchi na nisisimamishe hata kidogo, na hio inawezekana kama ukitaka.... lakini uume wangu nilikua nashindwa kuukontroo pale ninapogusana na anti mwaju, sasa leo nipo na nusura uume wangu nimeshindwa kuukontroo kabisaa, kwasababu nusura kadhamiria kusex na mimi kabisa afu mtoto ana joto la aina yake, sasa sijui ni kwasababu ni bikra, Ila nikiguswa na mwanamke yeyote yule hua sina hisia za mapenzi labda nijilazimishe, ila kutokea kama hivi ni ngumu kwani hua nina uwezo wa kujizuia lakini sio kwa mabikra kama nusura na sijui ni kwanini inakua hivi.....

    Sasa mara mtoto akalaza siti ya gari huku akisema,

    "sheby mpenzi? Leo nataka unitoe uschana wangu hapa hapa kwenye gari yangu"

    Niliposikia hivyo nilikurupuka na kumuuliza,

    "nusura? wewe ni bikra?"CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "mmhh ndio sheby, ila nataka uitoe wewe"

    "mmh mmh hapana aisee, sisi sote ni wanafunzi kwaio hebu tujiepushe na hili"

    Nilianza kumkwepa nusura kiujanja ujanja, ila kile kitendo cha kunyonyana denda sikukipenda, kwani tayari keshaniharibia swala zangu nilizoswali muda mfupi tu uliopita..... Niliona mikiendelea kukaa humu ndani ya gari huenda tukafanya ushenzi usiotarajika,

    Nilitoka ndani ya gari na kuanza kutembea hivyo hivyo hata peku peku, tena nilikua natamani kurudi msikitini nikaswali tena, maana swala ishaharibika kabisa na swala zangu zilikua bado hazijapokelewa kwa ALAH SUBUHANA HU WATAALAH

    sasa nikiwa nawaza nirudi msikitini mara nusura kaja na kunibembeleza nirudi kwenye gari, Maana nipo peku

    "plz plz plz sheby sikufanyi chochote kile twende"

    "sitaki bwana niache mwenyewe, kwanza ushanharibia swawabu zangu, niacheeeee"

    "sheby??? nipo chini ya miguu yaki plz plz plz panda nikupeleke"

    Kweli sikua na ujanja wowote ule zaidi ya kukubali maana nikifikiria umbali kidogo afu usiku daahhh..... nilikubali tu kupanda tena...

    Nilirudi kwenye gari na kukaa kimyaa huku nusura akiwasha gari na kuondoka,

    "ila sheby? kwa sasa nina furaha kidogo"

    "umeanza tena eee?"

    "basi yaishe"

    Tulifika mpaka home kwetu kisha akanishusha na yeye pia alishuka,

    "sheby? nashukuru sana kwakua umenionjesha nusu ya penzi lako, natumai ipo siku nitalimalizia"

    Sikumjibu kitu nilikua nimetulia tu kimyaa namsikiliza tu anavyoongea utumbo wake, bila kujua mwenzie nimeghazibika vibaya mno kwa kuziharibu swala zangu....

    "sheby? ulinidanganya kua wewe ni shoga, mbona pale kwenye gari ulinitekenya na hio nanii yako? afu unaoneka una nanii nzuri eee?"

    "ebu nenda nisije nikakudondoshea huu mkono sasa hivi"

    "ok poa but i love u sheby... nipo tayari kufa kwa ajili yako... na hio siri yako ya kudanganya kua ni shoga nitakutunzia... ila mimi nisgaijua"

    "ebu nenda bwana"

    "kabla sijaenda nina zawadi yako"

    "zawadi gani?"

    Nusura alifungua mlango wa gari yake kisha akatoa kitu kikiwa kwenye mfuko mweusi...

    "ni nini hicho?"

    "we si ufungue tu"

    Nikaingiza mkono ndani ya mfuko ule, nilipogusa tu nilijua ni nini.....

    Nilimpiga bonge ya kibao kisha nikamwambia kua

    "mazoea na mimi uache"

    "sheby?? hata kibao chako ni kitamu, but iam stil love u so much"

    "nitokeee hapa, kwanini uzifiche sendo zangu?"

    "nitakuelezea kesho shule"

    Nusura alipanda gari na kuondoka zake, Nikavaa sendo zangu ambazo kumbe ndio yeye alikua kazificha kwenye gari yake,

    Niliingia ndani kisha nikakimbilia kuoga maana kwa kitendo kile cha kunyonyana midomo kwa kiislam tayari umeshafanya zinaa....... maana kumuangalia tu mwanamke mara mbili, tayari umeshafanya zinaa.. hivyo nilikua naoga ili kutoa janaba la nusura, japo hatukufanya mapenzi, Nilipomaliza kuoga nilienda kwa mama kumsalimia, huku akiniuliza maswali mawili matatu kuhusu shule,

    BAADA YA SIKU HIO KUPITA

    Na sasa ni mida ya saa 2:00 asubuhi nikiwa nipo shule, Niliingia zangu darasani ili nikajisomee, maana muda wa kuingia darasani bado, ni mpaka saa 2:30 ndio tungie madarasani wote,

    Nilikaa kwenye kiti changu kama kawaida, Afu siku hio nilikua na furaha furaha tu sijui ni kwanini,....... Mara yule mschana akaja pale nilipo, ila pia nasoma nae darasa moja, yule mschana wa jana ambae nilimpa lifti na kwa bahati mbaya akasahau simu yake kwenye gari yangu,

    "mambo?"

    Alinisalimia huku akishusha bonge la tabasamu

    "poa tu nambie?"

    "safi tu...... eti mkaka? mbona jana nimekupigia simu hupokei?"

    "kwani mimi nina simu?"

    "no nilikupigia kwenye ile yakwangu"

    "oooohhhh afu umenikumbusha ile simu yako hii hapa... na licha ya kutokuona ulivyopiga, hata ningeona nisingepokea... shika simu yako"

    "kwani nilikuambia naitaka? we tumia tu"

    "sihitaji simu kwa sasa?"

    "mi siitaki tena, na kama ni simu jana nimenunua nyingine"

    "kwaio hutaki simu sio?"

    Nikaiweka pale juu ya meza kisha mimi nikawa natoka nje.... Ila natoka na yeye akatoka tena kanipita kabisa na kukimbia.... nikaona ile simu itapotea bure, hivyo niliirudia pale kwenye meza kisha nikaitia kwenye begi... na kuendelea kukaa hapo hapo mezani kwangu... nikaendelea kujisomea

    Mara ghafla nusura kafika na kuketi meza ya jirani na mimi

    "Assalam aleykh?"

    Alinisalimia yeye kisha nami nikamuitikia ila nilikua nina kinyongo nae sana tu

    "aaleykh msalam"

    "mbona kama huna raha sheby?"

    "umeanza mineno yako sio?"

    "ok basi.... najua unanichukia kwasababu nilikufichia sendo zako.... ila nilifanya hivi kwa faida yangu sheby, coz nakupenda sana sheby na ilikua hivi"

    "sitaki kujua"

    "sikia sasa, mimi niliona siwezi kukupata kwa njia yeyote ile, hivyo nikaona pale kwenye msikiti hakuna mtoto mdogo zaidi yako..... hivyo ndio nikaenda kule kwetu upande wa wanawake na kuharibu spika moja, maana nilijua tu lazima uje wewe, na nia yangu ni upande gari yangu, hivyo ulipoingia tu nami nikatoka nikachukua sendo zako na kuzificha kwenye gari yangu.... afu nikakuvizia wakati wa kutoka ili usije ukaita toyo, na ndio maana muda ule nikakuwahi uingie kwenye gari...... kwaio naomba unisameee sheby"

    "ok poa haya nenda zako basi"

    "sawa ila ujue nakupenda sheby ee?"

    Nilinyamaza kimyaa huku nikiendelea kujisomea.....

    muda wa darasani ulifika na wanafunzi tukaenda pared, kisha tukaingia darasani,

    Mwalimu wa kwanza kuingia alikua ni madam joi,

    "good morning madam?"

    Tulimsalimia kwa wote katika darasa letu,

    "good morning, Sit down"

    Mwalimu alianza kuandika somo lake la sayansi huku akifundisha ila macho yake yalikua kwangu tu...

    Alimaliza kuandika kisha akamuachia monita kazi ya kukusanya madaftari yetu.... Kama kawaida tulifanya zoezi lake na kukusanya daftari zetu kwa monita wa darasa letu,

    Mpaka ukafika muda wa breki tukatoka na kupumzika. huku kila mtu akiwa kashika kinywaji chake, ila mimi nilikua nina juice tu, Sasa nikiangalia kila mwanafunzi ana simu ya maana afu wanachati... nikaona nami ngoja nijifanye mjanja kwa kuitoa simu ya yule dada, ambae kanisusia kuichukua.... sasa nikiwa nimeishika tu, mara kuna meseji iliingia kwenye hio simu, ila niliishindwa kuifungua kwasababu ilikua ina ile lock ya kuzungusha kwa kidole (Partan Lock) Ikabidi nikaushe huku nikijifanya naitumia... sasa ghafla nikamuona yule msichana mwenye hii simu... afu papo hapo akapiga simu ila sikutaka kuipokea, ila akanipungia mkono na kuniambia kua ni yeye ndio anapiga hivyo niipokee tu, Niliminya kitufe cha kupokelea kisha nikaiweka sikioni...

    "andika neno S ndio utaweza kuitoa hio lock sawa?"

    Nilikaa kimya wala sikumjibu..... mpaka alikata simu.

    Mara kengele ya kuingia darasani ilifika, nikaiweka ile simu kwenye begi kisha tukaingia darasani, kwa kuendelea na masomo mengine yafuatayo

    Tulipiga somo la kiswahili kisha ikaja hisabati tukapuga na english... mpaka muda wa lanchi ukafika, na kengele ya lanchi ililia,........

    Sasa ile tunataka kutoka tu tukakutana na madam joi kaja na madaftari yetu ya sayansi... hivyo tunahitajika turudi darasani ili tuchukue daftari zetu...

    Alianza kuita majina ya makaunta au madaftari na kila mwanafunzi huenda kuchukua.... ilifikia mpaka zamu yanguCHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Ila nilipofika madam joi alilifunua kaunta langu na kunionyesha kua huko ndani ya kaunta au daftari kuna meseji kaweka.... ila hakuna mtu aliojua mchezo huo zaidi yangu na madam joi.... Niliweka kaunta langu kwa begi kisha nikatoka nje... cha kwanza ni kukimbilia kando ya mti na kuifungua ile meseji iliowekwa na madam joi kwenye kaunta langu....

    Kucheki kwanza zoezi nililofanya nimesahishiwa na vyema juuu... Sasa nikaichukua ile meseji na kuanza kuisoma... iliandikwa hivi

    "boy? mbona kama una uoga na mimi? mimi nimekupita kielimu tu ila huenda hata umri tupo sawa... mimi ni mwalimu wako, hivyo hupaswi kunikatalia, kifupi ni kwamba nimekupenda mwalimu wako, plz plz plz naomba saa 10 jioni uje ofisini kwangu... angalao ukae hata lisaa limoja tu nitaridhika..

    Ni mimi mwalimu wako JOYCE WAJEY

    BY BY : LOVE YOU SO MUCH MY HB"

    Aliandika hivyo huku barua kama ikuwa na matone ya maji kuashiria labda alikua analia pale alipokua akiiandika..

    "aaaaaaaanhaaaa kumbe una uhusiano na mwalimu eee?"

    "aaaa hebu tulia basi na wewe mpaka watu wajue?"

    "aaaaahaaaa naenda kusema kua wewe na mwalimu joy kumbe mna mahusiano"

    "ah ah sikia basi nikuambie kitu"

    "uniambie nini?"

    "sasa mimi mwenzio hapa shule bado mbichiiiii yasni ndio nimeanza jana tu, sasa kama leo utaenda kusema je utaniweka katka wakati gani?"

    "kwanini wanafunzi wenzako unawakatalia afu unatembea na mwalimu?"

    "ah ah sikia basi jamani we mdada"

    "sitaki kusikia kitu..... ila ukitaka nisiseme fuata masharti yangu kwanza"

    "masharti gani tena?"

    "we sema tu utakubali?"

    "ndio nitakubali"

    "ok... sasa ili nisiseme, kwanza ukubali kuchukua hio simu... afu cha pili usiku nataka nichati na wewe, na usipo nijibu tu naenda kusema kwa head master kua una mahusiano na mwalimu joy"





    Kiukweli sikua na ujanja, maana hizi taarifa zikizagaa hapa shule itakua sio poa kabisa, Hivyo nilikua mpole kama maji ya mtungi vile maana hii ishakua tabu... Niliichana ile meseji kisha nikaing'ata ng'ata na kuitupa uko, maana ishakua marue rue tena, Sasa mtoto wa kike kanikazania kuniachia simu yake kwa lazima ili tu asiseme kwa mwalimu kua natembea na mwalimu joy, Sasa muda sii muda naona wenzangu kila mtu ana sahani yake ya msosi, Hivyo nilimuacha yule dada pale chini ya mti kisha nikaenda kantini kuchukua chakula, kisha nikarudi pale nilipokua mwanzo nikakaa na kuanza kula, mara yule dada akaja tena pale nilikua kwenye mti,

    "skia' hio laini huko kwenye simu ni mpya na jana nilifanya makusudi kuisahau, maana nimepewa taarifa kua hupendi simu"

    Sasa ndio nikajua kumbe uyu fala alikua ananitega eee?? Huezi amini niliitoa ile simu yake na kumpa mwenyewe,

    "huitaki hii simu?"

    "nishakwambia nina simu nyingine"

    Huezi amini simu yenye thamani ya laki 7 nimeitupa na kuigongeza kwenye mti ikapasuka pasuka,

    "weeee mbona umepasua simu yangu?"

    "sikia, kama ni kusema nenda kaseme huko kwa head master wako, coz hata huyo joy sina mahusiano nae bali ndio ananilazimisha niwe nae.... afu mazoea na wewe kuanzia leo sitaki.. kama unataka kulipwa ile simu niambie nikulipe, fala wewe"

    Nilichukua chakula changu na kuhama sehemu nyingine, na kumuacha pale akiduaa kwa makavu niliompa muda huuu... Sasa nikiwa nalekea sehemu fulani mara nilikutana na zai

    "we sheby unaenda wapi?"

    "si nipo pale kwenye ule mti pale"

    "ebu nishikie simu yangu na hiki chakula mara moja"

    "sasa we unaenda wapi?"

    "naenda uwani mara moja"

    "mmmh iweke apo kwenye begi, afu utanikuta pale kwenye ule mti,"

    Nilichukua na chakula chake kisha nikawa naelekea kwenye mti fulani wenye kivuli

    "usidokoe nyama zangu sawa?"

    "yaan unawaza nyama tu mwehu wewe"

    Nilifika kwenye mti kisha nikaanza kula chakula changu,

    Mara meseji imeingia kwenye simu ya zai, nikaona hio ni simu ya dada yangu hivyo siogopi kuisoma meseji zake,

    Nikaitoa kisha nikaifungua na kuisoma Afu alikua ni yule mdada kwani simjui kwa jina ila nimeona picha yake katika hio meseji... ila alimsevu MY BEST FREND nikaona na picha yake, ila meseji iliokuja muda huo ilikua inanielezea mimi.

    "aisee mdogo wako mkorofi afu mgumu kuelewa eee?"

    Sasa nikaona ngoja nichati nae kama vile dada angu.... hivyo nikamjibu kua

    "kwani kafanyaje tena?"

    "si kanipasulia simu yangu kwenye mti"

    Kumbuka hapo tunachati kwa meseji

    "lakini si kakubali ombi lako?"

    "wala tu... tena ndii kwanzaa nimemtibua kantukana weee"

    "jaribu tena au nenda kamsemee kwa head master"

    "mhhhh hapana sina hata huo mpango wa kwenda kusema... kwani nilikua namtishia tu afu alikua keshalainika tayari ila nikaharibu sehemu moja tu"

    "sehemu gani hio?"

    "si nimemwambia ukweli jinsi nilivyoiacha simu yangu kwenye gari"

    "ooohhhhh shit afu sijakwambia kua huyo hua hatakagi ajue uongo... yaan ukimdanganya we mdanganye nwanzo mwisho na kama ni ukweli mpe ukweli mwanzo mwisho ila ukikosea tu... mumegombana"

    "uuuuuufyyuuuuu sasa nifanyeje tena best? maana wewe ndio mdogo wako na unamjua"

    "mmhhhh mi naona we muache tu na tafuta mwingine aiseeee"

    "aaaaaaa zai my frend mi siwezi kumuacha coz tayari keshaingia moyoni mwangu"

    "mmhhhh sasa unataka ufanyeje?"

    "nipe ushauri basi zai?"

    "mimi ushauri wangu we muache tu"

    "hapana siwezi... nipo tayari nife kwa ajili ya mdogo wako... afu madam joy nae keshaanza kumpenda sasa ngoja nitamuonyesha dawa yake ipo"

    "unataka kufanya nini madam joy?"

    "yaani leo namuitia vidume wambake"

    "aaaaaaaaaa sasa hapo ndio utaaribu kabisaa kwani mdogo wangu hua hapendi mtu mkorofi... yaani hata huyo madam joy wenyewe hatompata... kwa yeye sio saizi yake"

    "ooooohhh oookeee sasa nifanyeje?"

    "kwanza achana na madam joy... yaani we muache, kwani ukimfanyia kitu chochote sheby lazima ajue kua ni wewe hivyo utajiharibia cv zako kwake"

    "ok sawa nitaachana na madam joy.....ila sasa? kuna kitu sijui nikimuambia atakubali?"

    "kitu gani hicho"

    Sasa ile nasubiria jibu la hicho kitu mara dada zai nae huyu ndio anatoka chooni....

    Basi nikaanza kuzifuta zile meseji ambazo nimechati nae..... Sasa nikawa naisubiria hio meseji kwa hamu ili nijue ataniambia nini,.... sasa na zai nae ndio anazidi kusogea pale chini ya mti... nikaiweka simu sailensi kisha nikafungua gemu nikajifanya nacheza gemu kumbe ninasubiri meseji

    "nipe simu yangu?"

    "aaaa ngoja nacheza gemu hapa"

    "utamaliza chaji bwana"

    "ah ah we anza kula ukimaliza nami jitakua nimeshinda kwenye hili gemu"

    Kweli alipokuja kuangalia nilikua nacheza gemu kweli ila nilikua nazuga tu ili ile meseji iingie.... basi dada zai akakubali, sasa akakaa chini akawa anakula

    "sheby? nichukue hizi nyama zako?"

    Nikamkubalia tu achukue ili tu akae kimya asisumbue

    "chukua tu tena kula na hicho chakula kabisaa"

    Baada ya hapo nikatoa gemu Sasa nikamsitua kwa kumwambia

    "mbona kimya tena?"

    "nimegundua kumbe sio zai"

    "sasa sio zai ni nani?"

    "angalia mbele yako kuna nani?"

    Sasa kuangalia mbele Ayaaaa kumbe kanigundua kua mimi ndio nilikua nachati nae, Nilimuona kasima mbele ya mti, na hapo dada zai hajui chochote kile kinachoendelea.... mara dada zai kamuona

    "haaaaa shania ulikua wapi?"

    Kumbe huyu dada anaitwa shania...

    "nilikua kule mbele....afu simu yako iko wapi?"

    "si ile pale anayo sheby"

    "uliiacha kwake kwa muda gani?"CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "mmmhh ni kama robo saa tu kwani vp?"

    "mmhhhh yaan toka saa hio nachati nikijua nachati na wewe kumbe nachati na mdogo wako"

    Mara zai akaniangalia kisha akasema

    "sheby? hebu nipe simu yangu kwanza"

    Nikampa simu yake lakini hakuna meseji alioikuta pale, zote nilizifuta, lakini kwa shania bado zipo....

    "kumbe ndio maana alikua anajifanya anacheza gemu kuumbeeee"

    Baada ya kuona wamejua mimi nikachukua begi langu... kisha huyoooooo.......

    BAADA YA MASAA KADHAA

    Na sasa ni saa 10:00 jioni... tayari tukiwa tumepewa ruksa ya kurudi majumbani mwetu, japo hio shule ina hosteli lakini zilikua zimejaa hivyo kwa wale wa mbali wanalazimika kupanga nyumba ama hoteli, Sasa mtoto wa kiume nikiwa na begi langu mgongoni nilitoa funguo mfukoni na kufungua gari kisha nikaingia ndani ya gari

    Sasa ile nataka tu kuondoka mara nilimuona madam joy, akiniita kwa mkono kule ofisini kwake, Nikajiuliza kua NIENDE AU NISIENDE? lakini ni mwalimu na nikimkatalia nitaonekana mbishi.. hivyo nilivua sweta langu na kuliacha ndani ya gari pamoja na begi... kisha nikaloku gari yangu...

    Nilifika ofisini kwa madam joy na kuketi kwa kiti, Baada ya muda madam alikuja na kuniuliza...

    "ile meseji uliisoma vizuri?"

    "ndio niliisoma"

    "sasa kwanini ulikua unaondoka bila kuniona?"

    "nilisahau mwalimu"

    "ok ila usijali boy sawa?"

    "sawa"

    Sasa mwalimu alienda kufunga dirisha, kisha akataka kufunga na mlango, maana hio ni ofisi yake mwenyewe... yaani hapa kila mwalimu ana ofisi yake kwa ajili kupanga mambo yake na kupumzika. maana hata hapa naona kuna kitanda... ila staff ipo kama kawaida, ila hizo ofisi ni binafsi tu...

    "mwalimu kuna joto usifunge mlango"

    "usijali boy kuba feni"

    "hapana usifunge"

    Alinisikiliza na hakuufunga ule mlango, Sasa mbaya ya madam joy alikua kavaa kitenge ambacho kakifunga kifuani, kama vile anataka kwenda kuoga...

    Alinifata pale kwenye kiti na kuanza kunilegezea tai yangu ya shule.. kisha akaniamsha na kunisukuma mpaka kwenye kitanda chake, kisha yeye akaja kwa juu huku kama anataka kunivua shati langu la shule, maana sweta nililiacha kule ndani ya gari,

    Sasa kuangalia hapo kitandani kwake nikaona chupi ya kike ikiwa imevuliwa muda si mrefu... nilishindwa kuelewa na kuacha kama ilivyo

    "boy? ukiona chupi pembeni kama hivyo, basi ujue madam joy hana kitu chochote hapo alipo..... hivyo unaruusiwa kuifungua hiii kanga ukanifanya vyovyote utakavyo"



    Nilijikuta nikitetemeka kwa ule mgusano wa mimi na madam joy, Maana madam joy nae sii haba, analipa vizuri tu na wala sio mtu mzima ni msichana tuuuu tena kama akivaa sare za shule hata za for 3 anakubalika kua mwanafunzi, ila sema umri wake ndio huenda ukawa kwenye 25 au 27 hivi, maana hajulishi kabisa kama ni mtu mzina, Sasanikajiuliza kua, sijui nimuambie mimi ni shoga? lakini papo hapo nikajijibu kua... sio vizuri kusingizia ugonjwa ambao sina na wala sitarajii kuupata.. Sasa je? nitawezaje kumkwepa madam joy? Afu madam joy anaonekana ni malaya sana, maana sina hata siku 3 kwenye hii shule lakini tayari ananitaka mimi.... na hongo yake kwangu ni kunifundisha masomi kipekeangu pekeangu........ Lakini pale pale nikapata wazo la kuweza kumkwepa madam joy, hivyo Nilimshika kiuno na kumleta kifuani kwangu kisha nikamueka kitandani, sasa mimi nikawa juu yeye chini..... kile kitendo madam alikipenda maana nilimshika kiuno chake na kuzishika shanga zake... mithili ya kuzichezea hivi, lakini mimi sikumaanisha nimezichezea.... Yaan vile nilivyomueka chini kale kakanga kake kakafunuka, nikajikuta nimeona mapaja kwa ndani, na ilibaki kidogo tu nione buyu lake la asali... maana si hana chupi hapo alipo....

    "madam? kwani unataka nini? mbona mi nashindwa kukuelewa"

    Madam joy hakunijibu chochote kile badala yake alifumba macho kisha akayafumbua na kuniambia kua...

    "boy? inamaana mbilinge mbilinge zote hizi hujui kinachoendelea?"

    "Ndio mi sijui, coz vitu kama hivyo hata kwa dada zangu tunafanyaga, yaan nimwshazoea kucheza na dada zangu hata akiwa ana chupi.. hivyo sikushangai wewe mwenye kanga moja"

    "ok mi staki kujua hayo yenu mkovipi, na kama umezoea kucheza na dada zako wakiwa uchi basi utakua umeshaathirika kisaikolojia.. ila tusiende mbali sana kuusu hilo, maana haliniusu hata chembe...... Boy? mi nakupenda, tena nataka tuduu sasa hivi"

    Swala hilo alilosema yeye, kwangu nilishalijua kitambo sema nilikua natafuta tu njia ya kuogea nae.

    "apana madam mi siwezi"

    "kwanini Boy? hebu njoo bwana acha utani"

    "kweli madam mi sitoweza"

    Nilianza kujiweka sawa ili niondoke zangu, maana mapenzi sio lazima, ila katika kichwa changu kuna swalimoja lileeeee alilonipa anti mwaju ndio nataka nimpe yeye akiliweza hilo swali basi namkubalia kusex na mimi.....

    Niliweka tai yangu vizuri kisha kisha nikawa natoka huku akiwa kanishika mkono kwa kunizuia nisiende popote pale.....

    "boy? sasa unaenda wapi?"

    "skia madam? kama kweli unanipenda, basi naomba uniseidie kitu kimoja ambacho mimi nilikishindwa"

    "kitu gani hicho... au swali la masomo? njoo basi nikupe jibu la hilo swali lako...... tena hata ukitaka nikujazie ukurasa wote nipo tayari"

    "sio swali la shule... bali ni fumbo ambalo nilipewa na mwanamke mmoja hivi... sasa mimi nimelishindwa ila sjui wewe kama utaliweza"

    "ni fumbo gani tena? hebu nipe nijaribu maana sifikirii kukukosa mtoto hensam kama wewe, na mimi nataka niwe wakwanza kutembea na wewe kwenye hii shule, maana najua manyang'au ni wengi humu"

    Sikutaka kuskiliza upuuzi wake, bali nilimpa hilo swali makusudi na najua tu hatoliweza.....

    "ok fumbo lenyewe linasema hivi... kuna mitego ya panya aina mbili... sasa huo mmoja unafanya kazi kwa kuingiza panya katika kitundu af hatoki.... na huo mwingine unafanya kazi kwa kubana... sasa fumbo hilo limelenga kwenye huo mtego wa kitundu kwamba? panya kuingia ni rahisi ila kutoka ni ngumu.... sasa nikaambiwa kua huo mtego ama hilo fumbo uligeuze kama tisheti... ndio utapata jibu lake"

    "mmmmhhhh huo ni mswali gani huo? aiseee mi swezi huo mswali"

    "mmmhh basi kama huliwezi hilo fumbo basi hata mimi hunipati"

    Niliondoka huku nikimuacha akiduaa tu mdomo wazi. na mimi nilimpa makusudi tu ili nimkwepe, japo fumbo lenyewe hata mimi nalitamani kulijua, Nilitoka mpaka nje na kukuta ule muda wa kutoka umeshaisha.... Nikawafata walinzi na kuongea nao vizuri na kuniruusu nitoke....

    Niliodoka moja kwa moja hadi nyumbani... na kuingia bafuni kisha nikatoka...

    Niliondoka na kuelekea msikitini maana ndio mida zangu hizo, Nilikwenda na kuswali swala zote kisha nikarudi zangu nyumbani, maana hua sipendagi kukaa mtaani bila sababu,, nilipofika nyumbani niliwasha tv na kuangalia vipindi vya kiislam huku nikipata juice baridi kiasi flani.... Mara zai katokea na fujo fujo zake, Niliamka na kuelekea chumbani kwa mama, nilimkuta mama anahesabu pesa. nikajua huu ndio wakati muafaka wa kuomba pesa ya kununulia simu

    "shkamoo mamaa?"

    "marahaba ujambo?"

    "sjambo"

    "za shule vp?"

    "aaaa tunaendelea hivyo hivyo mamii"

    "masomo ni magumu ee?"

    mmhhhh akuna swali gumu pale yaan form 4 wanafundishwa masomo ya form 2?"

    "kwaio unataka kusema hayo masomo kwako ni kumeza tu?"

    "hahahaha ndio maana yake........ Sasa mamii? nipo na shida kidogo"

    "umeanza shida zako sasa si ndio ee?"

    "ah ah sio ivo mamiii"

    "haya sema ni shida gani? au kisa umeona nazihesabu hapa?"

    "mamiiii? mi nataka nikachukue simu"

    "Eeee? wewe leo ni wa kutaka simu wewe? duuu kweli mwanangu umekua"

    Kiukweli sikua nataka simu ila nimeitaka simu kwa ajili ya anti mwaju, maana kasema tuwasiliane mara kwa mara, sio mpaka niende kwake

    "mamiii? kwaio hutaki si ndio?"

    "ah ah mwanangu sijakataa.... ila hapa mjini kutakua kuna simu ya maana kweli?"

    "ndio zitakuepo"

    "au ngoja kesho nikuagizie kutoka hong kong simu yenye thamani ya shilingi milion 6.8 sawa?"

    "haaaaaaaaa mamiii simu ya bei gali hio ya nini? mi ataka hata ya shilingi Elfu sabini tu ( buku 70 )"

    "pumbavu wewe,...... we mtoto ivi una akili wewe? yaan mlinzi mwenyewe ana simu ya laki 3 na ushee..... afu wewe uwe na simu yenye thamani ya Elfu 70 kweli?"

    "lakini mamiii si bora mawasiliano tu?"

    "sitaki kukuona na hio simu... ni bora uache kabisa kua na simu"

    Daaaahh mama anakuaga mkali kila akisikia kua nataka vitu vyenye thamani ya kimaskini.. Ila nikaona nikiacha kununua simu basi huenda nikamuuzi ati mwaju, hivyo nikakubali kwa kile anachokitaka mama....

    "ok sawa nimekubali kwa hicho unachokitaka"

    Mama angu alitabasam kwa kusikia kua nimekubali aniagizie hio simu,

    "hivyo ndivyo ninavyotaka mwanangu, Eee?? hebu kua mtu wa kutumia vitu vinavyoendana na familia yetu, tena hio simu ya milion 6 au 7... mbona ni pesa ndogo sana hio"

    "sawa mama nimekubali"

    Nilikubali tu ili kumridhisha mama angu na anti mwaju, maana anti mwaju ndio kanambia lazima niwe na simu....

    "ok sawa ngoja tena nipige simu sasa hivi hong kong... na mpaka jioni ukirudi shule utaikuta imeshafika"

    "haaaaaaa kweli mama?"

    "ndio... mbona hong kong napaona kama mjini tu, yaani ukiwa na pesa hata nikiitaka asubuhi ya kesho itafika, ila sitaki kusumbua watu kisa pesa tu"

    Basi mtoto wa kiume nikaondoka pale huku nikiwa na furaha kubwa sana..... japo hio simu yenye thamani hio sikutaka kua nayo kabisa.... ila wazo langu ni hio simu ije afu niiuze ili ninunue simu ya kawaida,CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Niliingia chumbani kwangu na kumkuta zai bado anaangalia mamiziki tu,

    "we ulikua unamwambiaje mama?"

    Zai ndio aliniuliza kama kwa zarau hivi

    "kwani inakuusu? we pita ivi bana"

    "sheby? ushaanza jeuri ee?"

    "jeuri gani sasa?"

    "mimi ni nani wako?"

    "hata kama, lakini nimefanya jeuri gani hapa?"

    "toka"

    "yaan unifukuze na chumbani kwangu? we kichaa nini? toka wewe"

    "sitoki sasa kwani unatakaje?"

    Aaaahhh niliona hapa patatokea fujo hapa, Nilipanda kitandani na kulala zangu huku nikimuacha mwenyewe akiwa anaangalia tv....

    Asubuhi kama kawaida ya mwanafunzi anatakiwa aweje.... niliamka na kucheki kwenye sofa hakuna mtu... nikajua zai atakua kaondoka toka jana... sasa ile naingia bafuni nikaona kwa mbali mtu anaoga... maana mlango wa bafuni kwangu ni ule mlango wa alminiam, uliozungushiwa kioo... ila huezi ona mtu bali utaona tu anavotikisika lakini huoni kitu chochote, nikajua tu atakua ni zai huyu..... Basi nikarudi zangu kwenye sofa na kufungulia tv huku nikiandaa nguo zangu za shule... Baada ya muda zai katoka bafuni

    "we toka lini ukaogea kwenye bafu langu?"

    "kwani ni vibaya?"

    "afu zai mbona una gubu we mtoto wa kike? sasa hilo bafu ni lako?.... chumbani kwako si kuna bafu kule"

    "sasa si hita haifanyi kazi"

    "sasa si uite fundi"

    "bwana eee? nshaaoga na jioni naja kuoga tena"

    "aaaaaa utaona sasa kama utaingia humu"

    Sasa ile naenda bafuni nikakuta kaacha chupi juu ya bomba la mvua

    "we fala njoo utoe kigagulo chako"

    "sitaki sasa"

    Nilikimbia hadi kwa mama na kumpa taarifa

    "mamaaaa? we mamaaa?"

    "nini wewe?"

    "unamuona mwanao zai alivyo na gubu?"

    "kafanya nini jamani? yaani nyie watoto mnanichosha, Aaaa?"

    "zai toka lini akaogea bafuni kwangu? afu mbaya zaidi kaacha hadi nguo yake pale"

    Mama alimuita zai kwa hasira... huku mama akienda zake kazini

    "zaiiiiiiii? we zai pumbavu wewe?"

    "abeee mama?"

    "katoe ile nguo kule kwa kaka ako"

    "lakini mama? si inakauka tu?"

    "katoe haraka sana"

    Zai aliingia ndani na mama nae akaondoka zake kazini..... Nikaingia na mimi chumbani

    "afu mwisho kuoga humu"

    "mschiuuuu lione vile"

    "toa haraka"

    Alikua anatoa huku akiwa na hasira nyingi kwa kufokewa na mama...

    "ndio maana ni lishoga"

    "unasemaje?"

    "nasema na mdomo pua ikinong'ona"

    "zai? jua mi spendi dharau, ntakubutua butua sasa hivi"

    "nani? wewe? sipigwagi na shoga mimi"

    Sasa nikafikiria mbona hii kauli kaiweka sana mdomoni? Au nimuonyeshee kua mimi sio shoga eee??? Nikamsogelea zai karibu, kisha nikamvuta mpaka kifuani kwangu huku nikiwa nimemshika kiuno.... Nilikaona kamehema kwa nguvu huku kananiangalia,

    "sasa ngoja nikuonyeshe kua mimi ni rijali na sio shoga kama unavyodhani katika akili yako"

    Niliishika ile chupi aliokua kaishika kisha nikaitupia kitandani kwangu... huku nimemshika kiuno chake kilichopambwa na cheni aina ya gold... Huezi amini leo namla dada yangu kabisa... maana kazidi kunidharau kiasikwamba roho inaniuma...... Saa hio zai katulia tu hana la kuongea.... nikamtupia kitandani kisha nikaanza kuivua ile kanga aliovaa wakati akitoka kuoga... huku nikimuuliza

    "ulisema mimi ni nani?"

    Namuuliza huku nikiifungua kanga

    "nakuuliza tena, ulisema mimi ni nani?"

    "lakini sheby si utani tu.... kumbuka mi ni dada ako eti"

    "sasa leo ndio nataka nikuonyeshe kua mimi ni shoga au sio shoga"

    Mara akaanza kuivuta chupi ili avae

    "hio chupi unaichukua ya nini?"

    "kaka? naomba uniache... utani utani mwishowe tukafanya kweli apa"

    "we si ulisema mimi ni shoga?"

    "nilikutania tu"

    "haya sepa zako fala wewe"

    Sasa cha ajabu zai aligoma kwenda kana kwamba kumbe alikua anataka kweli na ndio maana alikua katulia

    "nendaaaa"

    Nilikua namtoa kwa nguvu lakini likawa halitaki kutoka...

    "sasa si uende, unaniangalia nini?"

    "lakini sheby mdogo wangu? ivi ulikua unifanye kweli?"

    "nenda bwana mi nilikuzingua tu"

    "basi mi nataka kweli?"

    "Whaattt?????"

    "yes"

    "wewe si dada angu wewe?"

    "haijalishi...coz ulivyoniweka kifuani kwako nilitamani usiniachie..... sheby?? we ni mdogo wangu.. ila unaonekana upo active sana... kwaio mi siondoki coz nataka kujua kua wewe ni shoga au sio shoga, na kama ni chupi siivai tena"



    Nilishangaa kusikia utumbo anaouongea zai, afu anaongea bila wasiwasi wowote ule utafikiria anaongea na mpenzi wake vile, Nilibaki kuduaa tu kama dudu, maana ndio mara yangu ya kwanza kuona ushetani kama huu anautaka zai, Kwanza nilikaa kitandani huku jasho likinishuka kwa spidi, maana mimi nilikua namtania tu, kama vile tunavyochezaga siku zote, kama vile kutekenyana kushikana lakini hakuna mtu mwenye hisia na mwenzie, yaan tulikua tumezoea mpaka kulala pamoja na kitanda kimoja tena na shuka moja, lakini hakuna hata mmoja ambae anaweza kumuangalia mwenzake kwa matamanio, bali tunafanya kama utoto wa mazoea tu, Tena hata sasa hivi na ukubwa huu saa zingine bado tunalala kitanda kimoja na hakuna wa kumtamani mwenzie....

    na pia hata mimi naweza kwenda chumbani kwa zai au kwa nusura nikamkuta ndio anavaa nguo, hua hanifukuzi na wala mimi pia sitetereki kwa chochote kile, na wala sina hata muda wa kumuangalia.... na pia wao wakija chumbani kwangu hua wananikuta nina taulo au boxer lakini simfukuzi wala nini maana najua ni dadazangu na wamenilea, hivyo sioni haja ya kujificha,

    Sasa leo namshangaa zai ananiongelea utumbo wake, ambao sijawai kuusikia katika maskio yangu, Eti anataka tuduu kweli

    Nilikaa na kumuangalia kwa umakini mkubwa sana huku nikiwa natokwa na jasho kwa ujinga niliosikia, na nilikua namtania tu, wala sikua na nia yeyote ile....

    "zai? hebu nakuomba tu, utoke taaratibu na uondoke zako"

    "siendi sasa"

    Nilipoona analeta jeuri nikatoka zangu, na kuelekea kwenye chumba cha dada nusura, Nilimkuta bado kalala,

    "shkamoo dada?"

    "maraaba vp?"

    "poa tu"

    "vp leo huendi shule?"

    "naenda.... ila zai hataki kutoka afu mi nataka nikaoge"

    Dada nusura aliamka kitandani na kutoka moja kwa moja hadi chumbani kwangu....

    Haya sasa hebu ona, hata dada nusura mwenyewe ni hazimo... kwasababu nimemkurupua kitandani akiwa kavaa night dress tu yaani hata chupi yenyewe hana, kama unavyoijua hio nguo ya kulalia inavyoonyesha mpaka ndani.. yaani kama angelikua na akili si angejiuliza kua alioniamsha ni mtoto wa kiume hivyo siwezi kuamka hivi mpaka nibadili..... lakini wazo hilo hana, kakurupuka na kuondoka, kana kwamba akiwa anarudi afu mi naenda... yaani ile kupishana.... Nikiangalia pale mbele naweza kuona kila kitu yaasi ile nyeti ya dada yangu nitaiona yote tena bila hata chenga.... hivyo sikutaka kufata nyuma, nilikaa hapo hapo kwenye sofa lake na kufungulia tv kisha nimsubiri aniletee majibu kuusu zai.... maana sitaki kuona siri ya mwanamke yeyote yule,

    Ghafla dada nusura katokea huku akiwa ana hasira, Akachukua kanga na kujifunga kisha akanifata pale nilipokaaa

    "we sheby? mmefanya nini na zai?"

    "nani? mimi? kwani nimemfanya nini mimi? kama ni kumpiga waaalaa sijamgusa"

    "mbona nimemkuta kavua chupi na chupi ipo kitandani kwako"

    "aaaaaaaa Ah kumbe ni hilo tu?"

    "sheby? niambie ukweli mmefanya nini? we hujui kua ni dada yako yule?"

    "apana dada mi sijamfanya kitu"

    "haya niambie mbona nimemkuta yupo uchi wa mnyama?"

    "siki sasa, zai leo alipoamka kwake kaja kuogea kwangu.... na wakati akioga mimi nilikua nimelala, sasa ile nimeamka naenda bafuni... ndio nikaona kama kuna mtu.... nikarudi nikaendelea kulala kwanza, Mpaka akatoka, sasa alipotoka kumbe aliacha hio nguo kule bafuni kwangu.. ndio nikaenda kumuambia mama kua mbona zai kaoga kule bafuni kwangu afu kaacha nguo yake..... ndio mama akamfokea kua aende akaitoe hio nguo haraka... kisha mama huyooooo akaondoka zake kazini... sasa nilipofika chumbani nikamwambia haya toka basi mi nikaoge, akasema sitoki sasa kwani watakaje... baada ya kukataa ndio mimi nikaja kushtaki kwako muda huu"

    "mschiuuuuu... ivi uyu zai ana kichaa? hii mbegu utakuta sio yakwetu hiii maana hasikii huyu mtoto? ivi hajui kua wewe ni mdogo wake?..... haya na wewe nenda kajiandae uende shule"

    "kashatoka?"CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "nimemuacha anatoka... na ukimkuta uniambie nije nimuwashe vibao"

    Sasa ile nataka kuondoka nikakumbuka kumuuliza kitu... na wakati keshatoa ile kanga alioivaa mwanzo

    "Enheeee dada nusura?"

    "Abeee?"

    "kuna kitu nikuulize?"

    "kitu gani?"

    Tukakaa kwenye sofa na muda huo ana ile night dress tu yaani hata nguo ya ndani hakuna...

    "dada? anti mwaju eti kuna kazi alipewa na mamii wetu, afu anti akaishindwa na ndio maana akaondoka, sasa sijui ni kazi gani?"

    "sasa wewe kwanini usimuulize mwenyewe?"

    "aaaaaa yeye kanipa fumbo moja tu ili nikilijua hilo fumbo basi niende akanipe hio kazi iliomshinda"

    "kakupa fumbo???? fumbo gani hilo?"

    "Eti ule mtego wa panya wa kitundu ule unaokamata panya kwa kuingia ndani, sasa kasema huo mtego niugeuze kama tishet au niligeuze hilo fumbo,.... sasa sijui nigeuze ili iweje?"

    "mmmhh hilo swali lako ni gumu sana hata mimi sikulielewa ila we nenda shule kwanza afu ukija tutalijadili sawa?"

    "sawa"

    Basi mtoto wa kiume nikaenda chumbani kwangu kisha nikaingia bafuni na kutoka chap chap, Nikavaa nguo za shule.... kisha nikachukua begi langu la shule na kutoka hadi sebureni,

    Nikagonga Chai pale kisha nikaondoka zangu....

    "kaka? kaka?"

    Alikua ni jesca mfanyakazi wetu ndio alikua akiniita

    "naam"

    "kuna juice yako hapa"

    "mmmhh asubuhi hii na juice kweli?"

    "ndio"

    "kunywa tu, saa hiii sintoweza kuinywa"

    Niliingia zangu kwenye gari kisha nikaondoka zangu na kuelekea shule, Siku ya leo nilichelewa na kukuta wenzangu wameshaingia darasani, Niliingia na tena kulikua na mwalimu wa kike ambae ni Madam joy, Nilipitiliza hadi kwenye meza yangu, na kuanza kumsikiliza madam

    Alipomaliza kuandika, aliniambia nimuone staff,

    Kweli alipotoka nami nikafuata nyuma, maana kaniambia mguu wake mguu wangu nimuone staff.... Nilifika staff na kulikua na walimu wengi sana, tena mwalimu mzee nilimuona ni mmoja tu tena alikua ni wakiume.

    "shkamoo mwalimu?"

    "hicho ni kingereza au kiswahili?"

    "ni kiswahili mwalimu"

    "hatutaki kusikia kiswahili pindi utakapoingia hapa sawa?"

    "yes sir"

    "my namy is juma, so just call me sir juma, ok?"

    "yes sir"

    "what do you want here?"

    "i came with madam joy"

    "ok... but i don't know your name?"

    "my name is sharbiny rashidy so just call me sheby"

    "ok thanks for know you"

    Mara madam joy katoka huku akiniambia

    "sheby?"

    "yes madam"

    "follow me"

    Nilimfata kama alivyonambia kua nimfate, na alikua anaelekea ofisini kwake,

    JAMANI KAKIINGEREZA NDIO HAKO KWAHIO HAKUNA KUKOSOANA HAPA, COZ WOTE NI SENTI KAYUMBA..... NA HAKUNA MZUNGU APA.... NA UKIONA NIMEKOSEA WE VUNGA TU HIVYO HIVYO,,, MAANA HUJANIPELEKA SHULE WEWE

    Basi nilifata mwalimu joy hadi ofisini kwake, Nilipofika akanambia nikae kwenye kiti,

    "sheby?"

    "yes madam?"

    "sitaki kingereza chako... ukiwa na mimi tuongee kiswahili tu, kwanza sir juma anakuzingua tu bali ni lugha yeyote ruksa kuongea"

    "sawa madam"

    "Enhee mbona umechelewa leo?"

    "mmhhh nisamee madam, nilikua napasi sare zangu"

    "ila usijali boy sawa?"

    Aliniambia hivyo huku akinishika kidevu changu

    "sawa"

    "yaani hata ukija saa 6 mchana... ukinikuta mimi wala usitetemeke sawa boy?"

    "sawa"

    Mimi nilikua nimekaa tu kwenye kitu huku nikiitikia tu, mara kaja nyuma yangu, na kuanza kunishika shika...

    "madam niache basi nikafanye lile zoezi uliotuachia pale darasani"

    "kwani shida iko wapi? na kama ni lile zoezi si hili hapa ninalo, hata ukitaka na zoezi la kesho nitakupa tena nakupa na majibu yake yote"

    "hapana madam nitakua mzembe, naomba niende darasani"

    "ok unaweza kwenda ila naomba ikifika breki uje"

    "sawa... ila huo muda wa breki utakua umeshapata jibu la lile swali langu la jana?"

    "mmmmmmmmmmmmmm we njoo tu nitakua nalo"

    Nilitoka na kuelekea darasani kisha nikaanza kufanya zoezi aliotuachia madam joy,

    Ilifika mpaka muda wa breki bado hatujamaliza, tena haswa mimi ndio nilikua bado... maana nilichelewa kwa madam joy, Nilifanya zoezi lile vizuri kisha tukakusanya daftari....

    Muda huo ulikua ni mida ya saa 6 mchana hata breki hatukutoka kabisa, Hivyo niliendelea kujisomea mpaka ilipofika mida ya saa 7 mchana tukatoka na kupata lachi katika hoteli spesho ya shule, Baada ya hapo tukaingia darasani, Sir juma akaja na zoezi lake la mathematics tukalivuruga.... akajama madam saumu... akatupa zoezi la Chemistry tukalivuruga... afu mtoto wa kiume nilikua fasta afu ni kichwa vibaya... akaja sir john akatupiga na somo la kiswahili, tukavuruga na lenyewe... mpaka ilipofika saa 10 jioni muda wa kutoka... tukakusanya makaunta yote tuliofanyia kazi na kumkabizi monita apeleke staff, kisha wengine wote tukaelejea pared kusikia baadhi ya matangazo kutoka kwa walimu........

    Tulipotoka pared nia yangu ni kumkimbia madam joy maana ni msumbufu sana, sasa nikajikuta na shule hii nayo nakosa amani, kama shule ile niliotoka mwanzo... Nilimfata zai na kumuambia kua,

    "we mi napitia mjini kwaio utawai nyumbani sawa?"

    Muda huo nikiongea hata yule rafiki yake alikua nae karibu

    "kwani we unaenda kufanya nini huko mjini?"

    "naenda kusajiri laini"

    "heeee unataka kuwa na simu?"

    "ndio ila sikupi hata namba"

    "heeeee hata mimi dada ako?"

    Sikutaka kuongea nae tena maana nalijua hili lidada langu lilivyo halieleweki

    Nilipanda kwenye mkoko wangu wa maana kisha nikaondoa gari

    Sasa nilipofika getini, nilikua nasubiri walinzi wafungue geti ili nitoke mara kioo cha gari kikagongwa kuashiria kuna mtu anataka kuingia.... nikatoa loku kisha akaingia, Alikua ni yule rafiki wa dada zai ambae kuna siku nilipa lifti ya kuelekea munduli na akasahau simu yake.....

    Nilipotoka nje ya shule Nilimuuliza

    "we sasa unaenda wapi?"

    "si nakusindikiza"

    Sikusema kitu nikatulia kimyaaa, Nilifika hadi kwenye jongo la tigo kulee Blue Lock karibu na Garden Rose

    Nikapaki lambor yangu apo nje kisha nikaingia ndani ya ofisi, na wakati huo ninae huyo mtoto wa kike...

    "karibuni"

    "asante"

    "sijui niwaseidie nini?"

    "aaaaa nimekuja kupata laini ya simu"

    "unasajiri au unarinyiu?"

    "nasajiri upya"

    "ok tunaomba kitambulisho chako"

    "aaa nina kitambulisho cha shule na bima sasa sijui nikupe kipi?"

    "nipe hicho cha shule"

    Basi mtoto wa kiume nilitoa kila kitu kisha akafanya mambo yake pale na kunipa namba yangu...

    "aaaa utalipia shiling Elfu moja tu"

    "ok sawa.... na namba yangu ni ngapi ngapi?"

    "ni hiii hapa 0714419487"

    "aaaa hiii nzuri sana hiii"

    Nililipia kiasi chao kisha nikaondoka zangu, Nilipanda Lambo yangu huku yule mtoto nae akapanda.... nikaitoa gari rodi kisha nikawa narudi zangu nyumbani

    "sheby? unaenda wapi saa hizi?"

    Aliniuliza mtoto shania au shanii

    "si narudi nyumbani"

    "plz plz sheby naomba ukapaone hetelini kwangu"

    "aaaa nitapaona keshokutwa juma mosi"

    "hapana bwana ... kwani ni mbali ni hapo stendi tu"

    "kwani we umepangisha hetel gani?"

    "nipo pale Crown Hotel"

    "mbona hapo napajua? nitakutembelea tu siku"

    "sitaki, nataka unitembelee leo leo"

    "ok dakika moja tu naondoka zangu"

    "poa"CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Tuliingia hapo crown hotel kisha tukapanda lift hadi kwenye rumu yake anapoishi, huku akiwa kabeba begi ya shule.... Tulifika katika chumba chake, Na kilikua ni chumba cha kitajiri kweli maana kina kila kitu, tv kubwa yaani duuuu

    "mbona unavua nguo"

    "nataka nikaoge nitoe jasho tu"

    "mmmhhh haya"

    Nikaenda kwenye sofa na kuwasha tv huku nikiangali kipindi fulani cha kiislamu..... Lakini nikiangalia ukutani naona mapicha ya lowassa tu yamezagaa nyumba nzima... tena nikaona moja kapiga na huyu shanii..Sasa niliposikia tu mlango wa bafuni unafunguliwa nikamuuliza shanii kua

    "we hili jizi la richmondi ni la nini huku kwako?"

    "jizi gani hilo"

    "si hilo hapo lenye nywele kama majivu ya moto"

    "weweeee huyo ni dady wangu"

    "Ati nini? hebu acha utani we shanii, yani huyu ni baba ako huyo?"

    "ndio... na si ndio maana juzi nikakwambia unipeleke munduli ukakataa"

    "sasa kwani ulinambia kua unaenda kwa huyu mtu?"

    "kwani jina langu kamili naitwaje?"

    "nilisikia tu sikumoja ukiitwa shania edwad moleli"

    "sio hivyo... mimi naitwa shania edwad moleli lowasa"

    Sasa nilipomuona shania hivyo alivyotoka kuoga, ilikua ni kituko Maana amevaa chupi ambayo ilikua ni mbichi afu juu kavaa na kanga.... nilianza kusisimkwa na mwili maana na lile umbo la huyu mtoto lilikua ni balaaa, Afu ile kanga ilinata huku nyuma kwasababu chupi alioivaa ilikua ni mbichi na nilikua naiona kabisaaa maana kanga ilikua ni nyepesi peeeee....... Sasa shanii akanza kujipitisha mbele yangu huku makalio yakidondoka taaratibu,

    "hebu badili nguo basi fasta mi nataka niondoke"

    Nilimuambia hivyo huku nikiwa naangalia pembeni, Niliona kama ananitega na kunicheleweshea muda wangu...... maana vitu kama hivyo nishavizoea kwa dada zangu kule nyumbani.... Niliamka na kuondoka zangu, sasa ile nafungua mlango tu,

    Ghafla akanidaka na kufunga mlango na funguo, kisha akanigeuza

    "ivi we sheby unajiamini nini? yaani kwa mavazi niliovaa bado tu hata hutetemeki? nooo sheby plz plz ilo ve you, na hata moyo wako unajua kua nakupenda sheby plz"

    "sikia we mtoto wa kike mimi sikuja kufanya mapenzi wala kuambiana hio mi iloveyou yako sawa?"

    "sheby?"

    Aliniita kisha akaifungua ile kanga na kudondoka chini.... aisee mtoto shania alikua ana chuchu utafikiri ni mtoto wa miaka 14 kumbe ni likubwa tu.... Nilifumba macho ili kuepuka tamaaa, Sasa ile nimefumba macho shanii alijua nimekubali, hivyo alinifikia karibu na kuninyonya bonge la denda... nami nikajikuta nanogewa na ulaini wa ule mdomo wa shania.... Niliishusha mikono yangu mpaka kwenye makalio yake na kuanza kuyaminya minya huku shania akilia kilio ambacho sikuwahi kukisikia kabla...

    Mara simu yake ikaita.... kuangalia kwenye simu yake kuliandikwa jila la DADY

    "sheby? tulia ni dady wangu huyo"

    Nilitulia kimyaaa huku akiipokea simu hio

    "hallo dady shkamoo?"

    "marahaba ujambo?"

    Nilikua nasikia maana si tulikua karibu karibu

    "sijambo.... dady unakuja lini arusha?"

    "mmmhhh mbona nipo mlangoni sasa hivi"

    "Whatt? upo mlangoni kwangu?"

    "ndio nimekuja kukusalimia mwanangu"

    "ahahahaha sawa ngoja nifungue"

    Alikata simu lakini mimi nilikua kama vile damu imesimama maana nilikua kama mwehu sijui pakwenda wala pakurudi, saaa hio naniii yangu imenyweaaaaaaa...

    "sheby? sheby? plz plz nisamee mimi... nakuomba tu ukajifiche bafuni sheby plz ni baba angu anakuja"

    "yaan mimi nikajifiche bafuni?"

    "plz sheby nakuomba tu kwa moyo wako wote"

    Niliona sio mbaya lakini saa hio nilikua na hasira hizo, Nilienda hadi bafuni kisha akafunga bafu kwa funguo.... Sasa akaenda kufungua mlango ili huyo baba yake aingie.... mara nilianza kuona walinzi wakaingia... kisha nilipochungulia kidogo nikamuona ni Edwad mwenyewe huku akiwa na mabodigadi wake.....

    "waaaooo dady am happy to see you my dady"

    "me to my doughter"

    Walikumbatiana yeye na mwanae huku nikiona chemba kama nne hivi zimekatia vibaya mno tena hazicheki wala nini, afu zilikua zinaangalia huku na kule kwa kumuekea mueshimiwa usalama zaidi, Wakati hua shanii kavaa gauni refu na la heshma....

    "vp mama sijasikia hata ukihitaji pesa?"

    "mmnhhh dady pesa bado ninayo nyingi tu"

    "kweli?"

    "kweli dady bado nipo nazo au nikuonyeshe?"

    "apana basi.... ila pesa ya hoteli nitalipa nikitoka sawa?"

    "sawa dady"

    Sasa mara mlango ukagongwa tena, na wakati huo mueshimiwa yupo ndani, Akatumwa mlinzi mmoja akafungue,

    Alikua ni muuhudumu wa hotel

    "heshma yako mueshmiwa"

    "asante"

    "dada? nimekuja kukufanyia usafi wa choo na bafu"

    Nikasikia sauti ya mueshimiwa ikisema kua

    "yes, sawa kabisa inatakiwa mtoto wangu aisha mahari pasafi.... Haya endelea tu mama na usafi wako"

    Shania wakati huo kaduaaa tuuu wala hasemi kitu

    "dada? naitaji ruksa yako nianzie bafuni"



    Nilikua nipo bafuni mtoto wa kiume, saa hio kajasho kalikua kanamiminika kwa spidi, maana huyu dada na kihere here chake cha usafi na wakiti sio kuchafu, Ila sijui ni shetani gani kanidanganya mpaka nikakubali kuingia kwa huyu msichana huku, yaa kwa hili janga hapa? Sasa ndio nazidi kuiogopa ngono, maana sintoweza kuishi kama ndege, na mtoto wa watu mimi sijawahi kusex na mwanamke yeyote yule, tena kama sio ndoto za usiku zinazoweza kunifanya nitoe mbegu, ungekuta mpaka sasa ningesema sijawai kutoa mbegu yangu hata kwa nini....... sasa nakamatwa kiulainiiiiiiii, afu tunda lenyewe sijala, mbona leo nitakiona cha mtema kuni, tena mdingi mwenyewe ndio walewale wazee wa sheria kali,..... hapo happ nilijikuta nawaza miaka 30 jela itakuaje uuuuuwiiiii....... nakwambia wakati huo shati ya shule imeloa mwanzo mwisho, yaani hata tai niliiweka mfukoni na utanashati wote ukaniishia hapo hapo bafuni.....

    "yes, sawa kabisa inatakiwa mtoto wangu aishi mahari pasafi.... Haya endelea tu mama na usafi wako"

    Shania wakati huo kaduaaa tuuu wala hasemi kitu

    "dada? naitaji ruksa yako nianzie bafuni"

    Sasa nikimchungulia shania, yeye alikua anang'ata kucha tu, hatoi jibu lolote

    "we dada? dada?"

    "Enhe eee? eee? unasemaje?"

    "nipe ruksa ya kufanya usafi katika rum yako"

    "hapana sio sasa hivi... yaan dady wangu kaja sasa hivi hata hamu sijatoa afu nianze kukuonyesha huko bafuni? hebu njoo wakati mwingine bwana.... afu nyie waudumu sijui mkoje? hebu nenda uko"

    Shania aliongea kwa hasira huku akiwa kama anatetemeka, Palepale walinzi wakamwambia yule muudumu kua

    "dada angu ee? hebu njoo muda anaotaka yeye sawa?"

    "sawa"

    Yule muudumu alikua anatamani kulia kwa kufokewa na mtoto mdogo tena ni kama mdogo wake wa mwisho au mwanae kama angewahi kuzaa.... Yule muudumu aliondoka lakini kwa unyongeeee

    Sasa mueshimiwa akamuuliza mwanae

    "mwanangu? mbona siku hizi umebadirika sana mama?"

    "dady? mi wananikera sana hawa waudumu, coz jana walikuja kufanya usafi, sasa nashangaa na leo tena"

    "basi mama mzazi usijali mwanangu.. punguza jazba mama"

    Shania alivunga kiaina lakini mimi huku naomba tu isijulikane hio

    "sasa mama? ulisema pesa ya matumizi unayo?"

    "ninayo dady usijali... labda ulipie tu hotel"

    "ooke sawa... na gari yako ipo sawa? maana sijaiona hapo nje"

    "yes dady ipo sawa but kuna rafiki yangu tu kaniomba mara moja"

    "oookeee hahahaha uwe na upendo kama baba ako sawa mwanangu?!

    "sawa dady"

    Huku bafuni nilipokwepo nilikua najisemwa mwenyewe kua

    "una upendo gani wewe mwizi mkubwa wewe, ukaiba pesa za wananchi afu ukasepa zako.... mschiuuuuuu cheki zile mvi sasa kama unga wa dona vile"

    Nilikua najisemea mwenyewe hapo bafuni, huku nikiwa nipo ndani ya caro la kuogea... ila halikua na maji,

    "sasa mama mzazi mimi nilipitia tu hapa ila nilikua nakwenda kumuona rafiki yangu kipenzi"

    "sawa dady... safari njema ee?"

    "haya mama nisalimie salma"

    "sawa dady...."

    Nilikua huko bafuni nasikia maagamo tu, Nikahisi labda naota kwa kuagana kule, maana sikuamini masikio yangu kwa maagano yale... Yaani pamoja na kua kaondoka lakini bado nimejibana kwenye karo la kuogea,

    Sasa nilipochungulia nikaona hakuna mtu hapo sebuleni, Afu nikijicheki nimeroa mwili mzima... sasa nikaona shania akinikuta nimeloa kwa jasho atanicheka sana... hivyo nilivua nguo na kuanza kuoga kabla hajaja kufungua, maana atakua kawasindikiza kidogo, Nilioga kisha nikavaa suruali na singlendi, sasa nikawa namsubiri aje afungu,

    Punde si punde nilisikia mlango wa sebuleni ukifunguliwa, Nikajua ni yeye, na kweli alikua ni yeye, alikuja fasta na kuchukua ufunguo kisha akanifungulia,

    Kwanza nilipotoka nilikua nina hasira mpaka basi, maana sijawahi kukaa bafuni zaidi ya dakika 10 sasa leo nimekaa karibia nusu saa zima aiseeeee..

    Shania alijua tu kua nilikua nimekasirika kupita kiasi, hivyo huezi amini shania hakunisemesha hata kidogo... maana alishapewaga habari zangu kua nikikasirika tu... ni bora unyamaze kimya kwa wewe uliekaribu yangu....

    Nilinyookea mlango wa kutokea tu huku shania ananifata nyuma tu, Nilikua nashuka kwenye lift, nikaanza kumsemesha

    "wewe? nisisikie tena ukiniambia nije kwako, maana ntakuvurunda wewe ooooHoooo haya"

    "sheby?? plz naomba unisamee.... ila mbona umeloa hivyo mpenzi?"

    "uuu.....uuuu....uuu...unasemaje?"

    "mh mh sijasema kitu"

    "nimesikia neno mpenzi apo"

    "mmmmmh sheby utakua umesikia vibaya"

    "sawa... nasubiri uniite tena hilo jina yaan hasira zote zitakuishia wewe.. yaani nikae bafuni mpaka nikaoga huko huko afu uuuuunaniletea za kuleta hapa?"

    "nisameee sheby... kwani nilijua kua dady atakuja?"

    Tulishuka kwenye lifti kisha tukawa tunatembea kwa ngazi kidogo tu.... sasa tukakutana na yule muudumu ambae alikuja saa ile,

    "dada? dada naomba unisamee kwa kukufokea pale ndani, kwani kule bafuni alikuepo huyu mkaka, sasa ungeenda ungemsababishia matatizo, plz plz plz dada angu... nipo chini ya miguu yako. nisamee kwa kauli chafu nilioitoa pale ndani"

    Shania alimpigia magoti yule dada huku akilia ili asamehewe,

    Kweli yule dada hana hiana alimsamee, maana hata yeye alishangaa kuona kauli zile, mana hakuwahi kuziskia kabla...

    Saa hio mimi nilikua nina haraka mno maana naitaji niende zangu msikitini

    "mambo boy?"CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Yule muudumu alinisalimia huku akinipiga jicho kali la huba huba, sasa nikajiuliza kua

    "na wewe umenipenda tena? heee sipati picha shania akijua..."

    Nilijisemea huku nikimuangalia kwa jicho kali,

    Tulifika hadi nje nikapanda lambo yangu kisha nikateleza na mia... hata shania sikumuaga pale nilipoingia kwenye gari, maana nilihisi lowasa atarudi... mzee wa richmond....

    Nilifika nyumbani nikiwa nina hasira nyingi mno, Sasa ile naingia ndani nikakuta mgeni wa kike tena mschana, afu ni wa kiarabu arabu hivi au shombe shombe... nikajua huyu atakua tu ni ndugu yangu, maana ukoo wetu sisi ni wa kishombe shombe kasoro mimi tu ndio sina asili hio, ila nywele ninazo ila weupe wa kishombe shombe ndio sina,

    Nilimsalimia kiislam maana alikua kajipiga mavazi ya kiislam afu sio haba mtoto wa watu, japo kavaa hijabu lakini muonekano wa umbo haupotei ng'ooooo....

    "Assalam Aleykh dada?"

    "waaleykh Mssalam Khaifah?"

    "aaaaa Alhamdulilah tunamshukuru mungu"

    Sasa mtoto wa kike alikua anaongea rafudhi ya zanzibar, ndio nikajua kua huyu ni mzanzibar. Basi nilipitiliza hadi chumbani kwangu, Niliingia bafuni kuoga kwa mara ya pili maana kule kwakina shania nilioga tu ili kutoa kale kajasho kembamba kalikonitoka muda ule...., Baada ya kumaliza kuoga nikatoka ili nijifute nipake mafuta kisha niende zangu msikitini....

    Sasa ile natoka tu bafuni nikiwa na taulo tu, Nilishangaa kumuona yule mdada ananipa taulo nijifute maji... Nilibaki nimeduwaa kwakua simjui huyu ni nani na katokea wapi na hata jina tu simjui. sasa iweje aje chumbani kwangu na kunipa taulo, afu huku akitabasam kwa mbali...

    "kwani wewe ni nani?"

    Nilimuuliza huku nikiwa namuangalia kwa umakini mno, afu mtoto wa kike ana macho makubwa afu meusiiiiiiii... afu ni mschana kabisaa

    "lakini nimekuuliza dada, wewe ni nani?"





    Wakati huo mtoto wa kike anatabasam tu kijinsia, na sijui ni kwanini mtoto ana furaha hivi, na hatujawahi kuonana kabla ila nashangaa kananitabasamia tu.

    Sasa nikajiuliza kua mbona hanijibu sasa?

    Sikuendelea kumuuliza hivyo nilipitiliza hadi kwenye kamba ambayo nawekaga mataulo ili yakauke, nilivuta taulo moja kisha nikajifuta, Nikasema kimoyo moyo kua,

    "kama yeye ni kiburi basi mimi ni zaidi yake"

    Nilimaliza kukifuta, saa hio yeye keshaweka taulo kitandani sasa kabaki ananiangalia tu jinsi ninavyopaka mafuta, Nilimaliza kisha nikavuta kanzu kisha nikaivaa pale pale anaona,

    Lakini nikimuangalia mtoto ni mrembo sana tu, yaan uzuri wa watoto wa kishombe shombe ni tofauti na muarabu kamili, maana shombe shombe ana asili mbili... ya kiafrika na kiarabu, kwaio kwenye uzuri sijui nisemeje coz hata dada zangu wapo hivyo hivyo na uzuri na maumbo ya maana... ila huyu ni figa tu ndio naiona pamoja na sura nzuri ila huku sio kivile sana.....

    "samaani naitaji kufunga nielekee msikitini?"

    "samaani sheby? sijui naweza kwenda na wewe?"

    "afu ngoja, nani kakuambia jina langu?"

    "Odo sonia"

    "Odo ndio nini?"

    "odo ni shangazi au anti"

    " Ahaaaa sasa ulikutana nae saangapi na unamausiano nae vipi?"

    Nilimuuliza hivyo maana sonia ni mama angu mimi, Huyu ninaeishi nae,

    "kuna simu aliiyagiza hong kong sasa simu hio ilishukia zanzibar, hivyo akanipigia simu na kuniambia niilete huku"

    "sonia ni nani wako?"

    "ni shangazi yangu"

    "ok hio simu iko wapi?"

    "ipo ila namsubiri nimkabizi mwenyewe"

    "ok... poa nataka kwenda masjidi"

    "si tuende sote?"

    Sikupenda kutembea nae maana sina uhakika kua ni ndugu yangu,

    "naenda kwa miguuu"

    "sawa tu hata mimi nataka pia"

    Mmhhhh Niliishiwa pozi hivyo nikamkubalia tu hivyo hivyo.... Tukatoka lakini mimi sikua na imani nae kabisa

    Tukiwa njiani alianzisha stori za hapa na pale,

    "kuna kipindi nilikuja huku nilimkuta Odo mmoja hivi mzuri mzuri anaitwa mwajabu yupo wapi yule Odo?"

    "afu hio odo yako mi siitaki bwana"

    "ok samaani lakini"

    "sawa tu..... yule mtu kahama yule tena kaenda kwao kabisaa"

    Yaani nilikua namjibu ile staki nataka, coz sijamjua vizuri maana hata jina lake silijui kabisaa,

    "kwao ni wapi?"

    "mi ata sijui"

    Kalikua kanajichetua afu anaonekana ni mchaluko ile mbaya,

    "msikiti wenu upo mbali ee?"

    "nilikuambia mimi natembea kwa mguu husikiii"

    "lakini kwanini utembee kwa mguu na wakati magari yamejaa pale uwani?"

    "sipendi kuendesha gari mara kwa mara"

    Nilikua namjibu huku safari ikiendelea kwenda, Tulifika msikitini ikiwa ni mida ya saa moja moja hivi..nikamuonyesha upande wa wanawake akaenda kisha mimi nikaingia kipande ya wanaume huko kisha nikaanza kulipia swala zangu zilizonipita....

    Ilipofika saa mbili na nusu usiku tulikua tumeshamaliza kuswali hivyo tukawa tunatoka huku tukipeana mikono,

    Basi nikawa nimesimama pale nje ya msikiti kwa kumsubiria aje twende...

    Alitoka kisha tukawa tunatembea taratibu huku akiusifia msikiti wetu ambao tunaswalia..... tulikua tunapiga tu stori za kawaida....

    Sasa tulipofika njiani, nilishangaa kuvutwa kanzu kwa nyuma, Ikabidi nisimame huku nikigeuka, na wakati huo huyu mzanzibar yupo mbele kabisa...

    "sheby? mimi nakuonyesha upendo wa kweli juu yako lakini huuoni, ila unamuona huyo msichana kisa ni mzanzibar?"

    "samaani sana nusura, naomba heshma itawale"

    "sheby mpenzi? naskia eti ni mpenzi wako umeletewa uoe"

    Sasa yule dada kuona mimi nimesimama na mwanamke, ilibidi aje mpaka pale nilipo...

    "haya na wewe unaenda wapi? kwani haya maongezi yanakuusu?"

    Ni nusura ndio alimuambia yule mzanzibari baada ya kumuona anakuja

    "samaani we dada hunijui sikujui kwaio naomba ueshmiane"

    "boooo nikueshim mtu ulietoka kwenu huko kwa kumfata mpenzi wangu"

    Saa hio wanajibizana mimi kimyas nimetulia tu

    "sheby?? naomba umkanye huyu kibuyu wako"

    "weeeeeeeeee nani kibuyu? nakuuliza we mtoto wa kike kwanza huna hata shepu unajifanya mzanzibar"

    Mimi nilikua sisemi kitu nimetulia tuliiiii

    "kibuyu ni wewe kwani watakaje?"

    "sheby unaniruusu nimfinyange huyu mzanzi wako?"

    "weeeeeeee ishia hapo hapo... umfinyange nani? kwanza utawezea wapi? heeeee haaaalooo mimi ndio mtoto wa kizanzi hivyo kaa chonjo na sheby sawa?"

    "sheby??? mbona husemi kitu? au ni mpenzi wako?"

    "weeeeeeee mtoto wa kike wewe, ntakuparaza vibao sasa hivi sawa eee?"

    "waaapi wewe nyie wazanzi walaini uniweze wapi mwenyewe huna hata swaga upo kama jini.... cheki mijicho ile mikubwaaaa kama jike dume vile"

    "unasemaje we mmeru? yaani mimi ni jike dume?"

    "ndio kwani utanifanyaje?"

    Mtoto wa kiume nilikua nipo kimya na wala sikua naongea kitu chochote, maana walianzana wenyewe hivyo wamalizane wenyewe coz nusura sina mahusiano nae bali ananitaka tu, na huyu nae kwanza simjui vizuri, hivyo ambae namtetea kati yao, afu kwanza nimetoka masjidi hivyo mambo ya ajabu kama haya sifatiliii..Sasa nusura akaanza kukunja gauni lake na huyu nae eti ananipa simu nishike, nikaona utani utani mwisho ngumi kweli na wakaumizana....

    "acheni ujinga nyie"

    Wote walikua ni kama wadogo kwangu japo huyu mzanzi simjui vizuri

    "sikia wewe nusura... huyu ni dada yangu na ni mgeni kaja leo, sasa mnataka mpigane kisa nini?"

    "sasa si angesema, ningemtoa shooo ya uarabuni uko"

    Niliwatuliza na mahasira yao ya hapa na pale

    "nusura? hebu nenda nyumbani tutawasiliana baadae.... na wewe twende nyumbani"

    "ana bahati sana uyo mzanzi wako... ningemtoa shooo uyo"

    "nusura?"

    "abee?"

    "ebu nenda nyumbani tusije tukagombana bure"

    Basi niliondoka na mzanzibar wangu huku nikiwa nimemshika mkono ila alikua kanuna huyo duuu... afu alikua anaangalia nyuma kuashiria hasira za hali ya juuu....

    "sasa we ulitaka upigane unamjua yule?"

    "mimi nipo na hasira sana sipendi kudharauliwa"

    Alikua anaongea huku akilia... aisee hadi nilimuonea huruma.

    "basi usilie"

    "nina hasira"

    Aliongea na ile rafudhi yake ya kizanzi huku mi nacheka kisiri siri maana vinachekesha ukisikia hivyo anavyoongea, yaani sijui anaongeaje yaani duuu hadi tabu tupu.... Sasa mtoto wa kiume nikajikuta namzoea taratibu,

    Tulifika nyumbani huku tukicheka kwa furaha tu, japo simjui kiundani sana,

    Nilimkuta mama kaketi sebureni huku akiangalia tv....

    "shkamoo mamii?"

    "marahaba ujambo baba?"

    "sijambo..... Mamiii?"

    "Abeeeee?"

    "nimeenda kuswali na huyu dada lakini simjui vizuri"

    "sasa kama humjui mbona umeenda nae kuswali?"

    "aaaaa sasa si alitaka... na kama unavyojua waislamu ni upendo na amani kwa kila mtu hivyo ni ngumu kumkatalia"CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "Ehehehehehe..... huyo ni dada yako .. ni mtoto wa shangazi yako wa zanzibar"

    "aaaaaaa oookeee ndio yule uliewahi kuniambia kua una dada yako yupo zanzibar eee?"

    "ndio huyo sasa"

    "aaayaaa ila jina nimemsahau"

    "anaitwa sufian"

    "aaaaaaaa ila ni mdogo wangu au dada angu?"

    "weeee kakupita mwaka mmoja huyo"

    "mmnhhhh haya bwana"

    Mara na yeye akamuita mama angu huku akienda kuketi kwa sofa...

    "Odo?"

    "sema mama?"

    "ile simu hii hapa....?"

    "waaoooo kule ilifika saa ngapi?"

    "ilifika na ndege ya mchana mida ya saa 7 hivi"

    "waaaoooo doog sana... sheby? we sheby?"

    "naam?"

    "njooo uone simu yako"

    Nilienda mpaka sebuleni huku nikiwa na kafuraha kidogo maana kununa kumeisha kabisaaa na sasa ni matabasamu tu...

    "waaoooo simu nzuri mamii ndio umekuja nayo hiii dada?"

    "ndio"

    "mamiii?"

    "mmhhhh"

    "shing ngapi hiii?"

    "hio ni bei ndogo tu..... kama milioni 8 hivi"

    "khaaaaa sasa simu ya bei ghali ivo ni ya nini?"

    "mwanangu sheby? mbona upo nyuma sana? na wakati sisi wazazi wako tuna uwezo mkubwa?"

    "mamiiii hii simu ni ya bei sana eti kwanini?"

    "sufi? hebu muambie ndugu yako, mbona hataki kua juu kama wenzake?"

    Nilikua siitaki ile simu maana ni ya garama mno afu ni kubwa yenye nchi 7.5 afu ni iphone 7 ambayo simu hio kwa sasa bado haijatoka, na ndio maana imeuzwa gari.... maana imetolewa kiwandani kama sampo.... Kwahio ni simu ambayo kutoka kwake ni mpaka 2016 au 2017 huko.... maana kwa sasa iliopo ni iphone 6 ambayo ina thamani ya shilingi milioni 2.6..... kama huamini nenda dukani sasa hivi afu kaiulizie upewe bei ya hio iphone 6 ila iphone 7 bado haijatoka.. hivyo hiii ni kwamba imetolewa kiwandani kabisa, yaani hakuna mtu yeyote ambae anayo africa nzima.. labda huko ulaya.. maana huko ndio watu wa kwanza kutumia vitu kabla yetu... ila kwa huku afica sio leo kufika kwa simu hiii...... Simu ambayo ukiishika kwenye mkono unaweza kuviona viganja vyako yaani ipo mithilli ya kioo cha dirisha vile afu nyembamba... Niliiacha ile simu pale mezani kisha nikaelekea chumbani kwangu, kana kwamba nimeisusa na siitaki tena, coz unatumia simu yenye thamani kubwa, na wakati kuna wengine wanaihitaji pesa kama hio... kama masikini na walemavu na watu wengi tu hio pesa inafaa kuwaseidia watu kama hao..... sasa kwanini nitumie simu ya gharama kama hio

    Nilipokua zangu ndani nilikua najisomea vitabu kama kawaida yangu muda wa kusubiri chakula hua najisomea zangu baadhi ya sehemu ninazozijua kua ni mazoezi yafuatayo kule shule...

    Mara alikuja dada sufi, na huyu sufi ni mdogo sana na analingana na mimi kiumbo ila kiumri kanipita mwaka mmoja tu.... kwahio ni mdogo sana hata kwa dada zai..... yaani zai akimuona sufi ni mdogo wake maana zai mimi kanipita miaka miwili na miezi kadhaa.... kwahio huyu ni sawa tu na lika langu

    "kaka sheby? chukua hii simu ni nzuri kwako"

    "sitaki kwani lazima kua nayo?"

    "lakini"

    "lakini nini bwana mi sitaki tu"

    "ok yaishe basi"

    Sasa rafudhi yake ndio inayonichekesha kisiri siri na inanifanya nipende kuwa nae karibu ili niendelee kuisikia kwa uzuri zaidi,

    "hicho ni kitabu gani?"

    "cha phisicia"

    "ooooohhh a hicho nyala tu hicho"

    "we unasoma la ngapi wewe?"

    Nilimuuliza huku nikimuanfalia tu maana ni kazuri na kamdomo kake kadogooo.

    "nani mimi?"

    "ndio wewe Ee?"

    "mi nimemaliza mwaka jana"

    "sasa mbona upo mtaani au ulifeli?"

    "yaaah niliponyokwa tu nikafeli but ilikua ni bahati mbaya tu"

    "hakuna cha bahati mbaya... kufeli ni kufeli tu"

    "sawaaa ngoja tukuone wewe.... si kumebaki miezi 6 tu mfanye mtiani wa mwisho"

    "aaahahahaha mimi ni kichwa wewe oohooo acha chezea hii kichwa ni balaa"

    "si tutaona tu"

    "kwani we upo mpaka lini?"

    "mi wiki ijayo tu naondoka zangu"

    "mmmhhh mbona haraka ivo?"

    "yes, coz naitaji kwenda kuanza kazi tu"

    "heeeee na udogo huo ukafanye kazi?"

    "heee miaka 21 ni mdogo?"

    "aaaa bado mdogo sana tena sana"

    "wewe tu ndio unaniona mdogo"

    Basi ilikua ni furaha juu ya furaha.. maana napenda kumuongelesha ili niisikie tu hio rafudhi yake ya zanzibar,

    Muda wa kula ulifika ila mi msosi wangu nililetewa huku chumbani kwangu.... mara na yeye akaitaji aletewe huku huku, Kililetwa kisha tukawa tunakula vizuuri....

    "naomba nikulishe plz"

    "ah ahhhh hayo mambo ndio nisiotaka kabisaa"

    "jamani hata dada ako pia?"

    "basi na mi sili nasusa"

    "aaayaa nilishe lakini mara moja tu"

    Nilikubali anilishe Sasa alikua akinilisha kiutani utani huku tukicheka sana, yaani kama vile nipo na anti mwaju, maana anti mwaju ndio alikua ananilisha peke yake na mama angu,

    Tulimaliza kula ila mimi nilikua nasikia sana usingizi, hivyo sikuchelewa kulala.... na nilimuacha sufi akiangalia tv,

    Nililala huku sijatoa hata nguo yasni nililala na suruali yangu pamoja tisheti,

    Nikamuambia tu kua

    "ukitoka uzime taa"

    "mimi? mimi nalala huku huku"

    Nikashangaaa kusikia eti analala hukuhuku chumbani kwangu.... sasa nikajiuliza kua... kumbe huu ushenzi wa akina zai kulala na mimi kumbe hata huyu anawo??? Mmhhh nilishindwa kuelewa ila usingizi ulinizidi nami nikalala fofofo kabisa..

    Nilikuja kuzinduka mida ya saa nane, tena kulikua kama kuna kitu nimekilalia hivi hivyo kilikua kinaniumiza mbavu... Nikaamka na kuangalia ni nini? Aaaaa ilikua ni simu yake aina ya Samsung galaxy S5... sasa ile kuiminya kumbe kuna video alikua akiangalia kwenye simu, na video yenyewe ni video ya matusi yaani X sasa nikaema hebu nione maana hua nazisikiaga tu kua watu wanafanyana lakini sijuagi na wala sijawai kuziona, Sasa nikabonyeza katikati kisha nikaona kweli watu wanakatikiana..... sasa nikawa nanogewa kuangalia ile video bila kujua kua sufi alikuepo hapo kitandani ila mimi sikujua maana kitanda si kikubwa, Sasa na yeye akasikia hio sauti ya ile video.... aiseee aliinyakua ile simu na kuizima kabisaaa

    "heeeee wewe? umelala kweli?"

    Niliamka na kuwasha taa kisha nikamuona kajifunika shuka lake,...

    "we sufi?"

    "nini sheby usiku huuu?"

    "mbona nyumba kubwa hiii tena kuna vyumba kama 9 hivi havina hata watu na viba kila kitu.. kwanini ulale na mimi aisee?"

    "sheby? acha kelele hujui ni usiku huuu?"

    "ondoka bwana"

    "mi sijazoea kulala peke yangu sheby?"

    "ah ah lakini si kuna wasichana wenzio? kwanini usiende huko, kama hutaki kulala peke yako?"

    Nilivyoona hanijibu, niliamka na kulivuta lile shuka leke......

    Ayaaaaaaa nililirudisha mwenyewe, huezi amini sufi kavaa night dress nyeusi na chupi nyeupe... niliona vyote, huezi amini nilimfunika mwenyewe kisha... nikatulia na kusema

    "hebu ona sasa, yaani unavua nguo kabisa na unalala kama kwako bwanaaaa?"

    Sasa kile kitendo cha kuona mapaja yake na ile chupi, afu nikikumbuka na video nilioiona kwenye simu yake, nilituliza mshono kisha nikaivizia ile simu yake ili niimalizie ile video...

    Niliipata kisha nikaiwasha afu nikaendelea kuangalia ile video, Aliamka tena ili anipokonye lakini saa hii hakuweza hivyo niliamka kabisa kitandani na kuenda kukaa kwenye kochi, hata usingizi ulikata kwa utamu wa ile video, Mara akaja kwenye kochi na kutaka kunipokonya hio simu yake.........

    Sasa ile pokonyana pokonyana mpaka tukarudishana kitandani... mara kwenye kochi mara kitandani...

    Sasa ule mgusano mgusano wa yeye na mimi alijikuta akiniacha niendelee tu kuangalia, Mpaka na yeye akaja pale pale nilipokua kwenye kochi,

    "weeee sufi hiii kitu umetoa wapi?"

    "nimerushiwa wasapu"

    "mmhhhh nzuri"

    Sasa nikaanza kuhangaika mara kwenye kochi mara kitandani...

    "sasa unaenda wapi we sheby? mi mwenyewe sijaimalizia toka jana"

    "we lala tu ikiisha ntakupa umalizie"

    "sitaki bwana lete tuone wote"

    Sasa nikimuangalia sufi afu nikiangalia na hii video nikajikuta namtamani sufi, maana si alikua kavaa night dress.... Niliitupa simu kitandani kisha nikamgeukia sufi.. saa hio nanii yangu ilikua inauma vibaya mno, Sufi alikua kalala kiubavu ubavu...... nilianza kumshika kiuno mtoto wa shangazi yangu,

    "sheby nini?"

    "dada sufi we mzuri"

    Nikaanza kumshika mapaja yake meupeeee pyeeeee

    "sheby una nini lakini"

    nilimsogelea mpaka mdomoni na kutaka denda kwa mtoto wa shangazi yangu... tena ni mgeni kaja jana tu...CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Sasa nikaona ngoja nizime taa kisha nianze manjonjo yangu.... Nikazima taa kisha nikamfunika shuka, tena tulijifunika shuka moja na yeye, Afu nikajifanya mkono nimeutupia kwenye kifua chake ile kiysingizi usingizi, kumbe ni kusudi.. afu nikaanza kuyashika matiti yake madogooooo

    yeye alikua katulia tu anaona kama utani kumbe mi nilikua nishakua shetani saa mingi tu,

    Sasa ilifikia hatua nayashika matt yake lakini yeye anajua nipo usingizini.... nikiacha kuyashika anauchukua mkono na kuuweka pale kwenye matt..... Ndio nikajua ahaaa kumbe na yeye anataka eeee? nilichokifanya ni kuteremsha mkono wangu huku chini maeneo ya chupi... nikawa napashika shika pale juu ya chupi... kisha nikawa kama nata niingize mkono huko....

    Mara akawa ananyanyua mguuu kuashiria yaani niendeleee kwa hicho nikitakacho....

    "sufi?"

    Nilimuita kwa sauti ya chiniiiiiiiiii

    "nini bwana?"

    "kama hio video"

    "nini?"

    "tufanye kama hio video"

    "aaaakuuuu"

    "aaaa sufi kidogo tu nione utamu wake"

    "weeee sheby huogopi kua mimi ni dada yako wewe?"

    "aaaaaa dada kitu gani nipe kidogo bwana"

    "we ingiza vidole tu lakini kukupa sikupi"

    Sasa alivyosema hivyo Aliishika chupi yake na kuishusha kidogo tu... afu akapanua mguuu mmoja..... kuashiria kua niingize tu vidole hadi niridhike mimi....

    Nilikua nimevaa suruali, niliinuka na kuivua kila kitu nikabaki na boxer tu kisha nikapanda kitandani, na kumkuta kafunika na mkuu, nikaunyanyua tu ule mguu na akakubali nifanye hivyo... Nikaona sasa hapa si bora niimalizie tu hii chupi, Niliishika ile chupi kisha nikawa naivuta taratiiiiibu kabisa

    "jamani sheby usiivue yote"

    Alikua akisema kwa sauti ya chini lakini alikua akiongea tu kwa mdomo ila chupi ilikua inatoka kiulainiiiii, mpaka nikaitoa tena mwenyewe anaseidia itoke, yaani ni ile staki nataka.....

    Sasa nilipoitoa nikataka kuiweka mahari

    "weeee nipe chupi yangu"

    Nilimpa kisha nikamgeuza tena kiulani tu, sasa tukawa tunaangaliana ila palikua na giza fulani hivi la umbali umbali....

    "sheby? ila mi staki unifanye bwana"

    "aaaaa kwanini sasa?"

    "mmhhh mi sijawai afu naogopa"

    "aaaaa kichwa tu"

    Sasa nikaona kama tunapoteza muda tu, nilimpanua tu paja mtoto wa kike kisha nikawa natoa dudu yangu.... Sasa si unajua na mimi sijawahi? kwaio ushamba haukosekani pale siku ya kwanza

    "weeee acha ushamba wenzio hawaingizi hivyo"

    "sasa we si hutaki?"

    "afu wewe hujawai kucheza na mwanamke si ndio?"

    "ndio"

    "subiri...... kwanza unatakiwa uvue hii boxer yako yote kabisa"

    "nitaivua baadae tu"

    "ila sheby?"

    "nini?"

    "plz plz iwe ni siri yetu.... coz hata mimi nilivyoiangalia nilishikwa na hamu...... haya sasa nivue basi hiii night dress ila nakupa kimoja tu sawa?"





    Huezi amini leo muislam anaweka kanzu na kibarakashee kando na uislam kando, yaan leo ni mara ya kwanza kwa sheby kufanya mapenzi na sijui kalogeka vp mpaka kasahau dini yake....... Siku hio kwangu ilikua ni siku ya furaha sana na sijui ni kwanini kwakweli, Maana mtoto wa kiarabu nilikua namuona kama malaika flani hiv wa mbinguni,

    Wakati huo mtoto wa kiume nilikua na papara ya kumvua ile night dress yake ili nianze kazi, maana alishanielekeza jinsi ya kumuingizia mwanamke naniliuu, Nilimaliza kumvua kisha yeye akalala chali.. yaan kalala akiwa anaangalia juu yaan tumbo juu... huku akiwa kaikunja miguu, afu akanambia mimi niende pale katikati, Milisogea kwa haraka maana nilikua nina ule uharaka wa mapenzi, na wakati huo nanii yangu ilikua imesimama dede, ila sema nanii yangu ilikua ni kubwa yaani kabla haijasimama, inakua na nchi 5 na ikisimama dede... heeeee kama mwanamke ni muoga basi anaweza akakimbia kabisaaa..... Sasa ili nisimtishe huyu mtoto wa kike Sikuvua boxer,

    Basi mtoto wa kiume leo kwa mara ya kwanzo toka nizaliwe sijawahi kuona nanihiii ya mwanamke wala kuifanyia kazi, sasa leo ndio naiona nanii ya sufian, tena ilikua imetulia afu ndogoooooo, Afu vinywele vyake ni vya kiarabu, yaan vilikua vimelala afu vizuriiiii.... Sasa mtoto wa kiume nikabaki nimeishika tu nanii yangu na kuishangaa nanii ya sufian ilivyo nzuri

    "wewe?? ingiza basi jamani"

    Sufi ndio aliongea hivyo huku mimi nikiitoa nanii yangu na kuiingiza ile sehemu, tena sufi ndio alikua akiniseidia. maana mimi nilikua naingizia hapa juu juu ambapo kuna kile kisimi (kinembe), ndio sufi akaielekeza kwa chini kidogo kunako (+) Lakini hakuiona kua nanii yangu ilikua na ukubwa gani.... maana nanii yangu ikisima haikosi nchi 7.3 yaan ilikua ni ndefu kiasi alafu ilikua na unene mzuri... yaan ule uume wa kiurijari ndio huo sasa... maana kuna wenye zaidi ya mimi.. ila mimi ndipo ile standadi inayotakiwa na wanawake.... unene kiasi na urefu kiasi... sio nene afu fupi au lirefuuuuuu afu kazi hakuna

    Sasa alipoilengesha, mbaya zaidi ilikua haiingii.... nilijitahidi kusukuma lakini haikua ikiingia hata kidogo, Afu saa hio sufi alikua akiumia maana alimiambia kua hata yeye hajaguswa ila alikua akipenda kuguswa na hakuwahi kupata mgusaji bora wa ishu yake.... Baada ya kujaribu kuingiza mara kwa mara na ikashindikana.... nilimuona akiamka na kuuvuta mkoba wake, Kuna kichupa alikitoa mithili ya kichupa cha rosheni hiv... Kisha nikamuona akimiminia pale kwenye siri yake...... mafuta yenyewe yalikua meupee kama maji au VASILINI alipomaliza kuyamimina pale alipakalia ile sehemu kisha akanifata na kuraka kunivua boxer Eti na mimi anipake, nikakataa kuvua boxer... lakini alinishawishi na kumibembeleza kwa hali na mali mpaka nikakubali kupakwa, Nikaivua boxer yangu na kuiweka pembeni sasa nikawa kama nilivyozaliwa.....

    "haaaaaa? sheby mdogo wangu? kumbe una nanii kubwa hivyo? mmhh Hapana mi staki tena?"

    Pale pale nikakumbuka story za marafiki zangu kua, usikubali mwanamke akuone uchi wako afu akatae, akikataa we baka tu...

    Na muda huo sufi alikua akishuka kitandani huku akitafuta chupi yake

    "chupi yangu iko wapi sheby"

    Alikua kasimama huku akiwa kafunika uchi wake na mkono, Milipiga moyo konde.. kwanza nikachukua yale mafuta nikajipaka afu nikajisemea kua

    "liwalo na liwe hata kama ni ndugu yangu ila leo nabaka"

    Nilimsogelea huku na yeye akisogea kinyume nyume, Nilikua namsogelea huku nanii yangu ikiwa inaangalia siling bodi, yaani ilikua imesimama mpaka sufi akawa anaiogopa,

    Afu nikimcheki mtoto upaja wake ni shida yaan mtoto aliumbika vizuri mno,

    Sufi alirudi nyuma mpaka akafika kwenye sofa liliokuepo hapo chumbani kwangu, sasa akawa hana pakwenda ila alikua ananizuia nisimfate kule alipo, na mimi wakati huo wala sielewi kitu

    Nilimrukia pale kwenye sofa na kuanza kumkunja pale pale juu ya sofa

    Lakini cha ajabu wala hapigi kelele kua anabakwa, hivyo nikajua kua huyu anataka nimpe chipa chipa.. maana alikua akitoa sauti ndogooo utafikiri tumekubaliana kumbe walaaa....

    "sheby plz plz mi sijawahi kuguswa, plz utaniumiza sheby"

    Mimi sikumjibu, nilianza kumueka sawa hapo hapo kochini..

    Lakini kitu ninachokishangaa kwake ni kwamba sufi yupo kama kama vile anaitaka nanii yangu tena kwa udi na uvumba.. maana kawaida ya mtu anaebakwa hua kila anaposhikwa lazima akatae, yaani ukitaka kugusa paja anakataa yaani mnakua kama mnapigana hivi maana si kila mtu atakua anavutia upande wake?...... lakini kwa sufi haikua hivyo..

    Huezi amini mtoto wa kiume sikufanya makosa yeyote yale, Nilimlaza kwenye sofo kisha nikautupia mguu wake mmoja juu ya sofa na mwingine begani.... Kisha nikaitegesha naniii yangu pale juu ya nanii yake, Sikuchukua muda mtoto wa kiume..... maana si tulipaka mafuta????????????????

    >===={===}========>

    "uuuuuuWiiiiiii shebiiiiiii utaniumizaaa"

    Mtoto wa kike alipiga kelele kubwa kabisa mpaka hata wengine watakua wamesikia kilio hicho, Sasa mtoto wa kiume hapo ndio ulikua mwanzo wangu wa kuujua utamu wa mapenzi ulivyo tena nilikua nasikia utamu wa hali ya juuu sana, na kama unavyojua mtu anapoanza mapenzi hua ana kihere here sana kukatika hivyo haikunichukua muda mrefu nilipizi.... na hapo ndio mara yangu ya kwanza kujua utamu wa kut***mbana.....

    Sasa mtoto wa kiume wakati huo nimeshapizi lakini nilikua bado nanii yangu haikulala, hivyo nilikua nataka kurudia tena maana nilikua nahisi kama ndio kwanza sikufanya kitu, lakini kumuangalia sufi yeye alikua analia taratibu.....

    "we dada sufi unalia nini?"

    Hakunijibu kwa mdomo bali alinionyeshea kwa kidole kua niangalie siri zake zilivyo .... aisee huezi amini kumbe mtoto wa watu alikua bado ni bikra kabissaaa hivyo niliitusua ile bikra yake,

    Nilipoona damu tu kwenye sofa hata hamu iliniisha kabisa, na kukikuta nikimuingiza bafuni kwa nia ya kumuosha....... Baada ya kumuosha tulirudi kitandani na kulala huku tukikumbatiana kama vile mke na mume,CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "sheby mdogo wangu?"

    "mmmhh"

    "umeniumiza dada ako"

    "pole, ila mi sikujua"

    "kwaio kama ungejua ungeacha si ndio?"

    "ndio... ningeacha kabisa"

    "wacha ujinga.... ukimkuta mwanamke ana bikra unapaswa ufurahie na kuonyesha urijari wako kwa kuitoa ile bikra na sio kuiacha"

    "haaaaaa??? kwaio hapa nijisifu kwa kukutusua?"

    "mi mwenyewe nakusifu kwa kunitoa bikra yangu"

    Niliposikia hivyo nilifurahi ile mbaya maana ni sifa za maana hizo....

    "ila sheby?"

    "mmnhhh?"

    "mi naomba uitumie hio simu nilieleta"

    "apana bwana... hio simu aitumie mama mwenyewe kwani si kanunua mwenyewe"

    "sheby? kua mtu mzima.... we tumia ile simu na wewe ueshimike, kama utaitumia kesho nitakupa tena"

    "kweli?"

    "ila ukubali kuitumia hata kama sipo"

    "sawa nimekubali"

    Basi tuliuvuta usingizi mzito.....

    BAADA YA USIKU HUO KUPITA

    Ikiwa ni mida ya saa 1:30 asubuhi Nilikua naamka usingizini, ila cha ajabu sikumuona sufi, Ah nikajua atakuepo nje tu, maana kwa kawaida wanawake ndio wa kwanza kuamka kwa ajili ya usafi..... basi moja kwa moja nikaingia bafuni kuoga kisha nikatoka... nikavaa yunifom za shule nikachukua begi langu, kisha nikaichukua ile simu... ila wakati hua bado sijaiweka ile laini..... Lakini nikiangalia pembeni ya kitanda nilishangaa kuona hakuna lile begi la sufi....

    Nilitoka haraka haraka huku nikiiweka ile simu mfukoni, Nilimuuliza dada nusura

    "dada? eti yule msichana wa jana yuko wapi?"

    "hio ndio salam yako si ndio?"

    "nisameee dada.... shkamoo?"

    "ushaanza zarau pumbavu zako wewe"

    "Nisamee dada ee?"

    Nilienda hadi kumpigia magoti maana namueshim sana dada angu kuliko mtu yeyote yule... yaani akitoka anti mwaju anakuja mama ndio aje dada nusura..

    "Eeeee kumbe mdogo wangu una heshma eee?? nilikutania tu... Enhe ulikua unamuulizia nani?"

    "sufi?"

    "sufi? sufi ndio nani tena? Ahhhhhhhhh yule mschana wa jana?"

    "eeeeeheee huyo huyo"

    "si kaondoka zake yule"

    "kaondoka?"

    "ndio"

    Nilitoka mbio na kwenda chumbani kwa mama....

    Tena niliingia kwa hasira

    "mamiii? dada sufi kaenda wapi?"

    Lakini namuuliza mama yangu ila hanijibu afu alikua kama yupo katika furaha hivi, na sijui ni furaha gani,

    "mamiii nijibu basi"

    "mwanangu sheby? dada yako kashaondoka kwani alipigiwa simu asubuhi subuhi na shangazi yako.. na nimempeleka eapoti toka asubuhi na sasa huenda keshafika kwao zenjiiii"

    Sasa mikashangaa mama angu ananipigia saluti, nikashangaa toka lini mimi nikawa AMILI JESHI wa humu ndani??? Sikutaka kujua zaidi bali nilitoka na kupanda lambo yangu kisha huyoooo

    ~SHULENI~

    Ulikua ni muda wa mapumziko yaan breki.... Hivyo tulikua katka moja ya gaden za shule kila mwanafunzi na pozisheni yake... lakini pale pale nikaanza kujuta kwa kile nilichokifanya usiku na sufian ni kitu ambacho hakimpendezi mungu kabisaa,

    Mara shania akaja pale nilipokua mimi

    "mambo sheby?"

    "poa tu"

    Kimya kilitawala kwa muda kisha shania ndio akaanza kuongea

    "samaan hebu nione hio simu yako"

    Niliitoa mfukoni na kumpa, maana simu hio ilikua ni ya kipekee kabisa...

    "mmmhh nzuri...... "

    Sasa ghafla akawa ananiangalia huku akianza kukasirika, Nikashangaa sasa ananuna nini? Alinipa simu yangu na kuondoka zake tena huku akiwa amenuna vibaya mno... Nikaichukua ile simu na kutaka kuiweka mfukoni.....

    Sasa ile nataka kuiweka mfukoni Niliona ujumbe ambao uliandikwa katika sehemu ilioandikwa NOTES yaani ni sehemu ya kuandikia vitu vyako kwa maandishi.... Na hio meseji iliandikwa hivi

    "sheby? asante kwa kunipa utamu wako, na sntokusau kamwe katika maisha yangu, ila najua tutakutana tu sehemu amvayo unaendaga kila siku kasoro siku mbili tu ndio huendi... sheby? nitakutafuta tena... maana utamu ulionipa jana usiku sitousahau kamweeee BeYBe Y ni mimi kipenzi au dada yako sufi.. Baaaaiiiii.... mwaaaaahh"

    Sasa hapo ndipp nilipojua kua hata shania ndicho kilichomnunisha na kukasirika kwa ghafla tu.. na mimi sijui kwanini sikukagua toka asubuhi,...... Basi niliifuta ile meseji na kuiweka ile laini yangu nilioenda kuisajiri jana,

    ~NYUMBANI~

    Nilirudi nyumbani mida ya saa 10:40 jioni.... Nilitoka na kuelekea msikitini..... ilipofika mida ya saa 2 usiku nilirudi nyumbani.... sasa kwenye simu yangu sina namba hata moja yaan hata ya mama angu mwenyewe sina, Nilienda chumbani kwa dada nusura mida hio ya saa 2 usiku tena ilikua saa 3 kasoro,

    "shkamoo dada?"

    "maraba vp?"

    "poa tu"

    "heeeeee??? hii ndio hio simu aliokununulia mama?"

    "ndio"

    "mmmhhh mwenzetu unapendwa"

    Sasa jinsi nilivyomkuta dada nilimkuta anapaka mafuta kana kwamba ndio anatoka kuoga muda huo, na hata nikimuangalia inaonekana kavaa kanga moja tu,....

    "sasa dada? mi nataka uniwekee hio kitu wanaiita Kwasapu sjui nini uko"

    "Ehehehehe haiitwi kwasapu inaitwa wasapu"

    "mmnhh haya niekee basi"

    "ngoja kwanza nimalize kupaka mafuta"

    Sasa bila aibu na bila kunijali kua mimi nipo hapo... Alisubutu kuitoa ile kanga, ili ajipake mafuta tumboni na mgongoni maana alikua kakaa kitandani afu kanga aliifunga kifuani, hivyo kaifungua na kuifunga kiunoni ila juu ya kifua alikua ana sidiria tu.. na mimi nilikua nimekaa karibu yake sana tu huku nikiwa bize na simu yangu,

    "Ebu nipakalie uko mgongoni"

    Alinipa mafuta kidogo ili nimpake huku mgongoni

    "aaaaaa nawe dadaa ushaanza usumbufu"

    "we nipake bwana huko mi sifikiagi"

    "asa mi si nimeshika simu huku...??"

    "we si uweke hio simu pembeni"

    Aaaaahh kweli sikua nataka kumpakalia maana nilikua nacheza gemu kwenye simu hivyo lilininogea vizuri, basi niliayachukua mafuta kidogo na kuanza kumpakalia mgongoni mwake.....

    Sasa kile kitendo cha kumpakalia mafuta mgongoni, nilikifananisha na kile kitendo cha kumtomasa sufian jana... alafu dada angu ana ngozi laini, Sasa mtoto wa kiume saangapi sijaanza kumtomasa dada nusura

    "bwana paka mi staki mchezo wako saa hizi"

    Sasa yeye alijua mimi nafanya utani kumbe ndio tayari nishaanza kumtamani dada angu mzazi kabisaaaa.....

    Tena nikiangalia yale mapaja jinsi yanavyotimisika ndio kabisaaa nasisimkwa na mwili vibaya mno... Huezi amini nilianza kumtonasa dada angu huku nikimsogelea dada yangu na kumnyonya huku nyuma ya shingo, na kumsababishia asisimkwe na mwili.... Sasa mtoto wa kiume nikanogewa kutomasa mwili wa dada yangu, Nilijikuta mpaka nimeifungua ele sidiria yake...

    Sasa? kumbe dada nusura keshanigundua kua ninachokifanya ni tofauti na kupaka mafuta, hivyo kumbe alikua akinichora tu kwa kutumia kiooo. na mimi sijui kua ananiona kwenye kioo. mana mimi nipo nyuma ya mgongo wake, Kwaio ni kama mtu anaejijengea maneno kua

    "hebu ngoja nimuone atafanya nini?"

    Maana walishajijengea mazoa ya kucheza na mimi kama mtoto mdogo na kuniona kama shoga japp hakuwahi kunitaamkia kua mimi ni shongo, hivyo hapo ni kama anataka kujua kinachojiri......

    Sasa wakati huo sidiria nimeshaifungua na wala haogopi wala hatetemeki, afu saa hio ananiona kwenye kioo sura yangu ilikua imeshabadirika na kua sura ya mapenzi, hilo alishalijua..... Sasa mtoto wa kiume nilikua najitahidi kumnyonya mgongo kiufundi zaidi, huku nikipitisha kucha zangu taaaratibu katika uti wa mgongo.... nilipofika chini ya kiuno kwa nyuma, kwanza nilikutana na cheni moja ya gold iliopamba kiuno chake.... niliposhuka tena yasni sasa hapo nilikua naishusha ile kanga kwa kidole changu cha katikati.... sasa niliposhuka chini zaidi ndio nikakutana na mkanda wa chupi yaani pindo la juu.... hapo ndipo nilipozidi kusisimkwa zaidi. na kujikuta nimeuzungusha mkono wangu wa kushoto mpaka mbele ya kifua na kuanza kuyachezea matiti ya dada yangu nusura, tena yalikua nameshavimba tayari...... Sasa dada nusura kumbe nae alikua anaona raha tu, hivyo akajikuta lile neno la kusema anione nitafanya nini? maana mimi si shoga.... sasa ile kuniachia ikamkosti na kujikuta anakubali mpaka kushikwa matiti maana ni utamu tu ndio alikua akiusikia tu,

    Sasa nikaanza kuivuta ile kanga taaratibu..... maana alikua kaikalia, niliivua yote ila haikutoka kabisa, sasa kuona chupi yote ndio nikafa kabisa na kusahau kua hapo nipo na dada yangu mpendwa nusura.......CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Sasa ile naangalia tu mbele ya kioo nilimuona dada nusura karembua huyo tena macho yake hayakua na nguvu ya kuona kabisaaaaa yaani alikua tepe tepeeeeeee

    Jamani mapenzi hayajaribiwi kamwe, na hicho ndicho kilichomkosti dada nusura.....



    Sasa ile naangalia tu mbele ya kioo nilimuona dada nusura karembua huyo tena macho yake hayakua na nguvu ya kuona kabisaaaaa yaani alikua tepe tepeeeeeee

    SHUKA NAYO

    Huezi amini leo kwa mara ya kwanza nasex na dada yangu, maana toka nifanye mapenzi na sufi, mpaka sasa najua radha yake hivyo nilikua na hamu ya kutembea na kila mtu, Sasa leo nimefikia pabaya, hadi kufikia kusex na dada yangu mpendwa tena hakuna dada ninaemueshim kama dada nusura... na dada nusura ni mschana mkubwa mwenye umri wa miaka 25 au 24 na dada zaituni yeye ana 22 na mimi nina 20 hivyo hapo nilikua na dada nusura.......

    Nilitoka kule mgongoni na kusababisha dada nusura adondokeee kitandani... kumbe alikua ameniegemea, sasa nilimuacha ili nichukue mafuta nijipake, maana yeye saa hio sjui kalala mi sijui, ila ile naamka tu akanishika suruali na kunivuta kua nisiondoke... nikajikuta namdondokea tena, maana alinivuta kwa nguvu. sasa kule kumdondokea ndipo kulipomshtua na kumpotezea sistimu yote ya mapenzi.... sasa mimi saa hio sikujua hivyo kwa papara zangi nikawa nataka niingize mkono kwenye chupi ili niivue, Sasa ile najiandaaa tu kufanya vile

    Aiseeee aliniweka mkibao mkubwa hui kaaaaaaa.... nilisikia tu kikilia mashavuni

    "Taaaasssss"

    Nilianza kuugulia maumivu ya kibao huku yeye akiivaa chupi vizuri maana nilishaanza kuivua, kisha akavaa na sidiria yake pamoja na kanga.... wakati huo nilikua nagala gala kitandani kwa maumivu ya kibao alichonipiga, Nikachukua simu yangu na kutaka kuondoka kwa hasira,

    "we mjinga wewe? kuanzia leo staki kukuona chumbani kwangu"

    Aliniambia hivyo huku nikitoka kwa hasira afu na yeye akawa ananifata kwa hasira,

    Nilikutana na mama njiani nimiwa napanda ngazi ya kuelekea chumbani kwangu

    "we mbona unalia we sheby?"

    "si dada nusura kanipiga kibao"

    Mara dada nusura nae huyo katokea

    "we nusura? kwanini umempiga mtoto?"

    "mama?? muulize kama nimempiga kwa makosa... muulize"

    "Eti we sheby? dada ako kakupigia nini?"

    "si yeye kanambia nimpake mafuta afu nashangaa kanipiga"

    "we we we we muongo.... mwanao alikua anataka kunibaka huyo"

    "Whattt???? sheby? hio tabia umeanza lini ya kuwatamani dada zako?"

    Duuuuu sasa nilipojua ishakua tabu ilibidi nitembee kwa magoti hadi kwa mama na kuanza kumuomba msamaha, huku nikiinamisha kichwa chini mithili ya mtu anaeswali msikitini.....

    Lakini nikini nikiwa nafanya hivyo niliona mkono kama ikipeana dole kumaanisha ni sawa... na alienza dada nusura kunyoosha mkono ambao alikunja vidole vyote na kubakiwa na kidole gumba kikimaanisha mambo safi... na mama nae akanyoosha hivyo hivyo kumaanisha mambo safi...

    Na ishara hio nilikua naiona kwa kupitia tailizi, maana si nilikua nimeinama kwa kuangalia chini. hivyo ile tailizi ipo kama kioo japo sikuona sana lakini niliziona hizo ishara....

    "basi mwanangu amka, ila siku nikisikia unamtamani mmoja kati ya dada zako, yaan hio siku mimi sio mama yako tena"

    "mama? sitorudia tena mamii"

    Niliwaomba msamaha wote na wakanielewa

    Basi nikaingia zangu ndani na kupata msosi huku nikijiuliza kua

    "ivi nina nini? mbona siku hizi nimebadirika hivi? mbona shetani kanitawala kiasi hiki? Eee mungu ee naomba unisameee..... na kesho lazima nikatubu huu ushetani nilionao unitoke, maana kama nimefikia mpaka hatua ya kumtamani dada yangu? hapana hiii sio sawa..."

    Nilitamani kuivunja ile simu lakini nikaona haina maana,

    Ilipofika saa 11 alfajiri niliamka na kwenda msikitini, nikatawadha vizuri kisha nikaingia masjidi na kuanza kusujudu pasipo na idadi kwa ajili kutubu na kumrudia mungu wangu, nilisujudu mpaka paji likawa kama linachubuka, maana niligandwa na ushetani mkubwa ambao hata sijui umetokea wapi....

    Maostadhi walinizuia nisiendelee kujiumiza kwani kama ni kusamehewa basi huenda nikawa nimeshasamehewa.. maana kitendo cha kumtamani dada yangu na kufanya mapenzi na mtoto wa shangazi yangu, Ilifika mida ya kuswali swala ya Alfajiri (Subukhi) Nilipomaliza nilitoka pale huku paji langu la uso likiuma sana, maana nilisujudu lakaa ambazo hata hazihesabiki, na hio ilikua natubu huku nikisoma dua au milango ambayo naifahamu.....

    Nilifika nyumbani na kuoga vizuri kisha nikavaa nguo za shule, na kutoka sebuleni kwa kupata chai safiiii. Nilipomaliza kama kawa nikapanda lambo yangu (Lamborghini) Kisha nikateleza zangu shule huku nikila kaswida na dua mbali mbali nilizoweka kwenye gari yangu, Nilifika shuleni nikapaki gari saafi kisha nikaingia darasani kujisomea, maana muda wa kuingia darasani ulikua bado, hivyo sikua na muda wa kuzurura nje ya shule kama wenzangu walivyozagaa huku wakichati, Sasa nikiwa najisomea mara alikuja mtoto mmoja wa kihindi mkali huyo duuu.... kapiga uchungi wake safiiii

    "mambo?"

    Aaaaahh tu kumbe anaongea kiswahili, nilijua ataongea kingereza ili nipelekane nae mpaka akome

    "poa tu"

    "samaani naitwa priya shomar nipo kitado cha nne Group B, sjui mwenzangu?"

    Alinyoosha mkono kuashiria nimpe mkono kwa utambulisho zaidi, Ila nami sikusita kuupokea mkono wake

    "ok nami naitwa sharbiny rashidy pia ni kidato cha nne Group A,"

    "ok nashukuru kwa kukufahamu ila nina ombi moja tu kwako?"

    "ombi gani tena?"

    "naitaji kujisomea pamoja na wewe"

    "ni hilo tu?"

    "ndio.....sina lingine"

    "ok ruksa... ila saa za darasan utaenda darasani kwako sawa?"

    "sawa"

    Basi mtoto akavuta meza moja iliopo jirani na meza yangu kisha tukawa bize na yeye......

    Lakini cha ajabu priya alikua akiniangalia sana kiasikwamba ilikua inanipa wasiwasi juu ya kuniangali huko, Ila sikutaka kumuuliza kitu, ilifika muda wa darasani wanafunzi wakaingia na priya akatoka zake, maana halikua darasa lake, bali alikuja kusomea tu, sasa lile litoto la Lowassa lilipoingia likamkuta priya ndio anatoka, Aliniangalia kwa jicho baya kisha akaenda kukaa kwenye kiti chake.....

    Ikafika muda wa breki, tukatoka nje kwa ajili ya kupata chai, Nikatoka na kuelekea kantin,

    Nilipofika nilikuta foleni ya watuhivyo nilisogea pembeni maana siwezi kubanana na siihitaji kwa njaa bali ni kwa kuchangamsha mdomo tu, Nilisogea pembeni ili nisubiri watu wapungue,

    Mara nikaguswa kwa nyuma, kugeuka nilimkuta ni mtoto fulani mkali mkali ila sijawai kumuona,

    "mambo mkaka?"

    "poa tu"

    "samaan Eti wewe ni ndugu yake na zaituni?"

    "ndii kwani vp?"

    "dada anapigwa kule uwani?!

    "Ati nini? anapigwa na nani?"

    "na wakaka fulani hivi anasoma nao darasa moja"

    "ni wapi?"

    "paleeeeee nyuma ya lile darasa pale"

    Huezi amini niliachana na chai na kwenda huko walipo hao wanaopigana,

    Nilipofika kweli niliwakuta wajamaa wawili wanamsumbua dada yangu, na hawa jamaa ndio wale waliosachi begi langu ile siku ya kwanza, afu niliposema kwa ticha.. ticha akaniambia hivyo ndivyo unavyokaribishwa katika shule hiii...

    "oyaa? sasa wanaume wawili kwa mwanamke mmoja Aahahahahagh mnanichekesha kweli nyie"

    mimi ndio niliongea hivyo na kucheka mpaka wanafunzi waliotuzunguka kwa pembeni wakashangaaa.... kwanini naongea kwa kujiamini hivyo na wakati hawa jamaa ndio wababe wa shule,

    "wewe achana nao hao watakupiga"

    Ni mwanafunzi mmoja ambae ni rafiki yangu, Hivyo alikua ananizuia eti nisimtetee dada yangu,

    Nilivua tu begi mgongoni na kumpa jackson ambae ni rafiki yangu na ni jirani yangu pia....

    Sasa wanafunzi wakaanza kupiga kelele zile za kishule shule zile mpaka wanafunzi wakajaa wote sasa tukawekwa kati watu wanne mimi na zaituni na hao jamaa wawili wanaosifika kua ni wababe wa shule,

    "skia, muachie uyo demu afu tupambane kiume"

    Niliposema hivyo walinicheka kwa dharau tena hata wanafunzi wengine walicheka kuashiria dharau kwangu,

    "sasa wewe kinyago tena wa juzi tu leo uje uvimbishane na sisi?"

    "mi si nimekwambia muachie uyo mschana aende afu upambane na mimi"

    Alimuachia tena kwa kumsukuma mpaka kalamu ya zai ikadondoka na huyo jamaa akaiokota na kuivunja kuashiria ubabe wa hali ya juuu

    kama unavyojua shule kulivyo na uonevu yaan ukizubaa tu utaonewa mpaka ukome,

    "hio peni ulioivunja huezi amini utainunua"

    Wakacheka kwa dharau huku wakinisogelea wote,..... Aaaaa nililegeza tai kidogo kisha nikakaa sawa, maana mimi kwenye ukorofi nipo hadi unichokoze.......

    BAADA YA DAKIKA TANO TU KUPITA

    Nilikua najipangusa tu mavumbi ambayo yalikua yamenirukia, coz sikupigana nao bali nimewaonyesha tu jinsi ya kumpiga mtu, Niliiokota ile kalamu iliovuvywa na kumfata yule jamaa pale chini kisha nikamuuliza

    "Enhee vp? hii kalamu utanunua hununui?"

    Mara dada zai akaja

    "sheby? muache tu kalamu ninazo nyingi tu"

    "tulia zai mi nataka niwaonyeshe kua sio kila anaesoma shule za pesa ni lelemama"

    Mara nikasikia sauti ya mwalimu ikiniita

    "we kijana?"

    "naam ticha?"

    "kuja hapa haraka sana"CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Niliondoka pale na kufata ticha huku wanafunzi wakiniogopa kwa moto wangu ulivyo mkali, Maana hawakuamini kama ningeweza kuwadondosha hawa jamaa wababe wa shule hii...

    "nikukute staff haraka sana"

    Kama unavyojua mambo ya shule yalivyo, mkipigana na mmoja akiponea hua alioponea ndio anaonekana mkorofi.......

    Niliingia staff na kukuta walimu wakiniangalia tu, mpaka mwalimu mkuu ambae ndio kaniita ofisini akaja huku akiwa kanunaaaaa, Nikajua hapa lazima sanspeshen iniusu,

    Mara madam joy akaniuliza kwa sauti ndogo

    "we boy umefanya nini tena? E mungu wangu weeee kwaio ukifukuzwa ntakukosa?"

    "sijafanya kitu madam"

    "hujafanya kitu kivipi na wakati nimesikia umepigana huko"

    "aahh ni bahati mbaya tu madam"

    "ok sawa..... sasa je? vp nikikutetea si utanikubalia?"

    Mara mwalimu mkuu akaniita,

    "Njoo ofisini kwangu haraka sana pumbavu wewe"

    Sasa nilipokua nataka kuondoka madam joy akanishika mkono na kuniambia

    "Boy? hii kesi ni kubwa sana na itakupelekea kupata SANSPESHEN bureeee, kwaio we niambie tu, nikakutetee halafu leo jioni uje ofisini kwangu unipe utamu sawa?"



    Siku hio nilikua nina wasi wasi sana juu ya jambo hili, tena mbaya zaidi ni kwamba mimi bado ni mgeni sina hata wiki katika shule hii, Nilikua natetemeka kwa kuitwa na head master ofisini kwake, maana sio kawaida kuitwa huko hovyo hovyo, Nilipokua natoka ndio madam joy akaniambia ule utumbo wake pale juu, ila sikumsikiliza maana jana tu ndio nilikua natoka msikitini kutubu juu ya kuzini na mtoto wa shangazi yangu, afu leo tena madam joy ananitaka? haiwezekani kabisa na kama ni kufukuzwa bora nifukuzwe kuliko kufanya mapenzi na mwalimu wangu wa darasa,

    Nilifika katika ofisi za head master na kuketi kwa kiti, kisha nikatulia huku nikionekana mnyonge sana maana sipendagi kuitwa ofisini kwa makosa ya ajabu ajabu kama haya,

    "afu we kijana, umekuja juzi tu umeshakua mkorofi kwanini?"

    Head master aliniuliza hivyo na nikamjibu kua

    "samaani mwalimu, coz wale vijana walikua wanataka kumdhalilisha dada angu"

    "lakini kijana? sina tatizo na wewe... kwani ulichokifanya ni sahihi kabisa, ila sikutaka watu wajue na ndio maana nikakuita huku..... Hao vijana uliowaadhibu, ni vijana wakorofi sana na kuna siku zingine hua wanawavizia walimu huko njiani na kupasua vioo vya gari kisha wanaanza kumpiga mwalimu, na hata hapa shule hua kuna baadhi ya waalimu hawathubutu kuwafokea ama kuwachapa, maana ukiwachapa tu, kitakachokukuta huko nje ya shule ni siri yake"

    "kwaio mwalimu.... unamaanisha kua hawa vijana hua hawaadhibiwi hapa shuleni?"

    "haswaaaaa na hio ni kutokana na ukorofi wao.... na ukishtaki kwa wazazi wao.. Eti wanasema kua wamewatolea watoto wao ada kubwa hivyo hatuhitaji wanyanyasike"

    "mmnh ila mpo katika wakati mgumu sana mwalimu"

    "sio kidogo... yaani hawa vijana wanatutesa sana na hakuna kijana yeyote aliewahi kuwaadhibu kama wewe,...... binfsi yangu mimi ni kwamba sikupi barua yeyote ile na pia nakupa pongezi kwa kutunyooshea hao vijana..... yote tisa, kumi nataka uwe KIRANJA WA SHULE NZIMA NA UMONITA WA DARASA LAKO"

    "aaaaa nashukuru sana mwalimu kwa kutonielewa vibaya na kunipa pongezi juu ya hili..... ila nasikitika kua huo uongozi uliounipa kiukweli siuhitaji kabisa, coz nikiwa na uongozi kama huo basi kuna vitu vitakwenda tofati sana mwalimu"

    "tofauti gani kijana? mimi kama mwalimu mkuu wa shule hiii, nataka uwe kiranja kuanzia leo, tena ngoja nipige kengele ya pared ili nikutambulishe kua kiranja mpya"

    "Hapana hapana mwalimu.... subiri kwanza ticha"

    "kwani vp?"

    "tichaaaaa??? unajua uongozi wa ukiranja unatakiwa kumpa mtu mkorofi ili aendane nawo.... sasa mimi sina hata asili ya ukorofi afu pia sipendi kugombana na mtu... hivyo mi nadhani sintoweza mwalimu"

    "mbona kazi ya ukiranja ni rahisi tu kijana?"

    "ticha?? uongozi huo nilishawahi kuwa nawo katika shule niliotoka, hivyo najua tabu yake ya kufatana nyuma nyuma kubembelezana kushtakiana kwa walimu... aaaa mi spendi kwakweli"

    "hiii sio shule za sent kayumba kijana, kitu utakacho kifatilia sana sana ni upangaji wa magari yao na kuwaamuru wafanye usafi wa madarasa.... na kunyweshea baadhi ya bustani.... na hua hawatumii mikono, bali wanatumia dhana maalum za kunyweshea.. na pia hawafanyi kazi yeyote ile kwani zaidi ya kunyweshea baadhi ya bustani na kusafisha madarasa yao na kupangilia gari zao tu"

    "aaaas sasa? na usafi wa madhingira ya kawaida inakuaje?"

    "kwani wewe toka uje hapa ulishawahi kufagia uwanja? hapa ukilipiwa ada hua inalipwa na wafanya usafi..... ila mwanafunzi akikosea kitu basi adhabu ya visiki au kupandikiza bustani itamuusu"

    "heeeee kwaio kupandikiza bustani ni azabuuuu au ni sheria ya mwanafunzi kufanya?"

    "kwa shule hiii hio ni azabu.... kwani upandikizaji wa bustani ama maua hua kuna watu spesho wanaofanya kazi hio. na ni tofauti na wanafunzi"

    "mmhhhhh ila sintoweza ticha.... hebu tafuta mtu mwingine but mimi sintoweza kwakweli"

    "hapana, mimi ndio nimekuchagua wewe uwe kiranja wa kiume, na nitakutaftia mseidizi wako wa kike sawa?"

    "no no no ticha sitaki huo uongozi"

    Mwalimu mkuu hakutaka kusikia hivyo alimuamuru mwanafunzi mmoja akapiga kengele ya kusimama pared ili nitambulishwe kua kiranja mpya na monita wa darasa langu,

    Kengele ilipigwa na wanafunzi wote wakaingia pared huku mwalimu mkuu akiwa na mimi ofisini

    MWALIMU MKUU HUYU NI WA KIUME, AMBAE KUNA SIKU AKANIKOROMEA ETI NIKIWA STAFF NIONGEE KINGEREZA.... WANAMUITA SIR JUMA

    Huyu mwalimu ni wa makamo kiasflan hivi hivyo nilimueshim yeye tu,

    Nilitoka nae kuelekea pared huku akiwatuliza wanafunzi kua waache kelele kwani leo kuna utambulisho mpya,

    Nilifika mpaka pared tukasima mimi na walimu wote wa shule hio, nilikua nao mbele ya wanafunzi kama walimu wanavyokaaga.....

    Mwalimu mkuu wa kike ambae wanamuita sesi.... sio sesi yule wa ofisini kwetu kule No, bali huyu ni sesi mwalimu,

    Basi walinitambulisha karibia warimu wote. na wanafunzi karibia wote walinikubali ila wengi wao walikua ni wakike tu na pia wakiume walikua ni wengi mno.... yaani kifupi ni wote kasoro kile kikosicha wale jamaa niliowaadhibu ndio hawajanikubali kua kiranja wa wao...

    Ilifika saa 10 jioni nilitoka zangu na kuelekea nyumbani, siku hio nilikua na shauku ya kwenda kwa anti mwaju, maana toka nimpelekee yule binti sikueza kupata nafasi ya kwenda kumuona,

    Nilifika nyumbani kisha nkabadiri nguo za shule na kwenda kuoga... Nilivaa nguo zangu kalii na kibarakashee changu poa kabisa kisha nikachukua tasbihi ili nielekee msikitini lakini lengo ni kupitia kwa anti mwaju,

    Sasa nikiwa natoka zangu mara zai kaja kwa spidi huku akimuita mama

    "mamaa? mamaa?"

    "nini wewe mbona waita hivyo?"

    "mamaa? sheby kapewa ukiranja wa shule"

    "haaaaaaa? mi najua tu dume langu kichwa, yaan namuaminia"

    "afu mama? sheby kapiga watu haooo wawili kwa mpigo yaani nilikua nabakwa kama sio sheby, ni hio ndio imemfanya apewe ukiranja wa shule"

    Mara mama akaniita

    "shebiiiiii?"

    "naam"

    "njoooo"

    Nilifika huku nikimkuta zai anarembua rembua kiboya tu,

    "mwanangu naskia umekua kiranja mwanangu?"

    "aaaaa kwani ukiranja ni kitu gani mamiii?"

    "weeeeee kipindi hicho mimi mama yako nasoma... yaan mwanafunzi akipewa ukiranja tu, basi ameonekana kua na akili kupita wenzie.... hivyo nakuaminia baba wewe ni kichwa"

    Sikutaka kuwasikiliza sana hivyo nilianza kuondoka zangu, kuelekea nyumbani kwa anti mwaju, maana ilikua bado ni mapema mno

    Nilifika nje ya nyumba ya anti mwaju kisha nikagonga honi na geti likafunguliwa, sii mwingine bali ni jasmini ndio aliofungua lile geti... Jamani mtoto ni mzuri ..... Jamani mtoto kaumbika duuuu kweli tanga raha aiseee duuuu

    Niliingia mpaka ndani kisha nikashuka kwenye gari, Sasa kuangalia huku na huku simuoni mtu alienifungulia geti, Na saa hio geti lilishafungwa ila simuoni mfunguaji,

    ila Sikutaka maswali mengi sana ila niliingia ndani na kumkuta anti mwaju kakaa sofani,

    "waaaooo baba bora umekuja mwanangu"

    "shkamoo anti?"

    "marahaba hujambo baba?"

    "sijambo sjui nyinyi hapa ndani? maana ni siku mingi sana sijawatembelea kwakweli"

    "ndio.... sisi tupo salama hofu ni kwako tu mwanangu"

    "aaaaa mi mbona nipo sawa tu mamii"

    "Enhee simu umenunua tayari?"

    "ndio.. ninayo hapa"

    "alafu, bora umekuja mwanangu"

    "kwani kuna nini mamii?"

    "hakuna kitu ila tulitaka utupeleke shoping"

    "aaaas Antiii? shoping saa hizi kweli?"

    "kwaio hutaki si ndio?"

    "no sio sitaki but muda umekwenda sana anti"

    "sheby mwanangu? mtoto wa watu hana hata nguo, yaan hapo alipo kavaa nguo zangu na ndio maana kakufungulia geti kisha akakimbia chumbani"

    Duuuuu niliposikia hivyo tu sikuchelewa kukubali, niliamka na wao wakajiandaaa kisha nikaelekea kwenye geti nikafungua mwenyewe maana hakuna mseidizi humu ndani, Nilitoa gari kisha nikarudi kufunga geti,

    Tukiwa safarini kuelekea mjini kununua nguo za jasmini, mimi na anti mwaju tulikua kwenye siti za mbele, nikiwa dereva mimi mwenyewe,

    Afu jasmini yeye kakaa siti ya nyuma, sasa jasmini sikua nimemuangalia vizuri, sasa nikawa namuangalia kupitia mira ya pale mbele ya dereva, Nilimkagua sura yake bila yeye kukua, kumbe mtoto ana kidoti pale pembeni ya pua, na sikuwahi kukiona kabla.....

    Sasa jasmini alipogundua kua namuangalia kupitia mira, aliangalia chini haraka haraka na kujifunika na mikono, Afu jasu ana macho makubwa yalioendana na uzuri wake

    Tulifika shiping hapo ambapo kunauzwa nguo za kike tu... na za kiume ni chache sana

    Waliingia katika duka hilo nami nikaona ngoja nimtafutie jasu zawadi ambayo ataweza kuifurahia zaidi kuliko chochote kile,

    Walipoingia nami nikaondoka kuelekea katika maduka ya simu, nikachagua simu moja kaliii aina ya AirphoneCHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    TAFADHALI USICHANGANYE SIMU COZ KUNA IPHONE NA AIRPHONE HIVYO YAKWANGU MIMI NI IPHONE 7 NA HII NINAYOINUNUA SASA HIVI NI AIRPHONE PLUS

    Niliichukua ile simu yenye samani ya shilingi milioni moja na laki 6... katika duka moja lililopo maeneo ya frens kona liitwalo BENSON & COMPANY Nilipotoka hapo nilielekea tigo na kusajiri laini ya tigo kwa kutumia kitambulisho changu cha shule, Nilipomaliza nilirudi mpaka pale shopingi kisha nikawakuta ndio wanatoka huko dukani,

    Walikua wamebeba nguo nyingi khaaaa!!!

    "jamani? mumemaliza duka nini jamani?"

    Yule mtoto wa kike alikua akicheka tu kisiri siri,

    Nikawaseidia kuingiza katika gari kisha nikaenda kulipia,

    "kalipe mara moja basi tuondoke we si unaona kagiza haka?"

    Aliniambia hivyo anti mwaju huku nami nikiwa naelekea dukani hapo,

    "mambo mdada?"

    "salama tu habari yako?"

    "nzuri tu... aaaa mimi ndio nalipia zile nguo.. sasa sijui ni kiasi gani?"

    "oooohhh ok ni kiasi cha laki 7 tu"

    "okeee"

    Nilitoa cheki ya laki saba kisha nikawa natokazangu....

    "samaani kaka?"

    Niligeuka na kumsikiliza huyu dada muuzaji

    "bila samaani"

    "Tehehe kuna new fasion za kiume pale sasa sijui unaweza hata kupitisha macho labda utapata"

    Nikaona wacha nisimkatalie coz ni kuangalia tu? haina noma....... basi mtoto wa kiume nilikua naangalia hayo mavazi ya kiume ambayo yanaambiwa ni mapya, lakini nguo zote hizi zinatoka kiwandani kwetu hivyo nilikua kama namridhisha tu ili asijiskie vibaya...... Sasa nikiwa katika hali ya kuchagua nguo nilimsukuma mdada mmoja hivi kwa bahati mbaya, coz na yeye alikuepo akichagua nguo hapo dukani.... hivyo tuligongana kwa bahati mbaya tu

    "we kaka vipi kwan hu..... oohhh samaan kaka angu sikujua"

    Yaan huyu dada alikua anataka anitupie maneno ila baada ya kuniona vizuri basi na hasira zake zikaisha.... sasa sijui aliona nini mpaka akapunguza munkali wa hasira

    "nisamee dada angu"

    "No bila samaani... usjali hehehehe"

    Alijichekesha huku aking'ata lips zake za mdomo, Basi mimi nikawa naendelea kuchagua nguo lakini yule dada bado alikua ananiangalia tu,

    "samaani kaka mimi naitwa shusi ukipenda niite shuu..."

    Aliongea hivyo huku akinipa mkono. nami nikaupokea na kumjibu

    "mimi naitwa sharbiny"

    "ok.. nashkuru kukufahamu ila samaani sijui naweza pata mawasiliano yako?"

    "mmmhhh hapana"

    "kwanini best?"

    "dada? tumekutana leo tu tena sasa hivi afu unataka namba za simu?"

    Kijimdada kweli kilikua sii haba kwakweli ila ni mapema mno kuomba namba zangu....

    "mkaka? we mkaka"

    "sema?"

    "ok... samaani kwa hili... toka nilipokuona nimesahau mpaka saizi ya chupi yangu"

    "kwaio watakaje?"

    "mmmhhjjjssssssshhh naomba unisaidie basiiiiii"

    Nikaona ili kuepusha mlolongo mwingi, nikaona chupi zilizopangwa katika sehemu yake..... nikainyooshea tu kidole...

    "chukua ile pale"

    Nilipomaliza kumuonyesha nikaendelea na swaga zangu za kutafuta nguo...... Sasa baada ya kama dakika moja hivi... akaniita na saa hio kagiza kameanza kutanda.

    "we sheby?? unajua kuchagua... ona ilivyonikaa vizuri"

    Heeeeeee sasa kuangalia maaama yangu kumbe aliijaribu pale pale afu akawa ananionyesha kwa jinsi ilivyomkaa vizuri.. afu alikua ana shanga zimemjaa kiunoni

    Sasa mimi ugonjwa wangu ni kuiona chupi ikiwa mwilini kwa mwanamke, tena kwa jinsi ilivyomiksiwa na zile shanga.... aisee nilijikuta nazikodolea macho zile shanga, na hapo tulikua tumezingirwa na nguo.

    "mmh mmhh mmh hio nzuri"

    Niliguna guna kimtindo kisha nikaisifia huku nikigeuka....

    Ghafla nikavutwa na yule mdada nikadondokea kifuani kwake, Sijakaa sawa mara kaniletea mdomo katika mdomo wangu, Nilijikuta nakula denda kwa mschana ambae simjui wala hanijui... sasa nikiwa nazubaa zubaa, yule dada aliuchukua mkono wangu mmoja na kuuingiza ndani ya ile chupi yake alioivaaa kuashiria kua niivue ile chupi, na pia alikua akinionyesha kwa vitendo huku denda likiendelea..... Mara akauchukua na mkono mwingine na kunishikishia tako lake... yaani anamaanisha nimminye minye kimahaba huku nikiivua chupi yake taaratibu kabisa..... na mtoto mwenyewe alikua ni kisu kiasi flani



    Mtoto wa kiume sikua na kumbu kumbu yeyote kua ile kua juzi tu nilienda kutubu msikiti kwa kitendo cha kusex na mtoto wa shangazi yangu, nilikua bize huku nikimbinya binya matiti yake makubwaaa, Huku akiwa yupo uchi kasoro chupi tu tena nikicheki chini naona nguo zake zote pamoja na chupi alikua kaivaa mwanzo kabla ya kutesti hio niliomchagulia, sasa nikiwa naning'inia kwenye kiuno cha huyo shuu huku nikizitumia shanga vizuri... Ghafla simu yangu iliita, kucheki jina

    "Anti Mwaju"

    Nilipoona tu hilo jina nilimsukuma yule dada na kuondoka zangu tena hata nguo sikuendelea kuchagua tena

    "kaka mbona unaondoka? au hujapata saizi yako"

    Alimiuliza yule dada muudumu, bila kujua kumbe huko ndani ndani ya nguo mambo yaliharibika na kutuendea kombo

    "nitarudi kesho dada angu coz saa hii kuna sim ya ghafla nimeipata"

    "sawa hakuna shida... karibu tena?"

    "asante"

    Kufika nje nilimkuta anti mwaju kavimba huyo dasshh alikua ana hasura kweli kweli,

    "ivi we sheby? sisi umetuonaje kutuacha humu kwenye gari afu ukapotelea huko dukani?"

    "anti nisamee mamii wangu"

    "nikusamee nini? Hebu ona saa hizi ni saa ngapi?"

    "haaaaa? Saa moja na nusu?"

    "muone vile, Eti haaaaaa umetuona sisi ni makopa si ndio?"

    "mamiii nisamee basi"

    Mara mtoto nae alianza kunitetea

    "mama? msamee kaka"

    "amezidi sana huyu mtoto yaan umesahau kabisa kua umetuacha hapa nje"

    "msamee bure mama hatorudia tena"

    Anti mwaju alikua ananifokea kama mtoto wake vile, ila hivyo mimi ndio napenda coz najikuta najya kosa ni lipi na ambalo sio kosa ni lipi.... kuliko mama angu mzazi yaani hata sijawai kuona akinifokea, mpaka nashindwa kuyajua makosa yangu coz kila ninapokosea hua nabembelezwa badala ya kukatazwa, sasa kwa anti mwaju inapendeza sana, na yeye ndio alionisababisha hadi kuonekana nina heshma nzuri kwa watu .. .

    Niliwasha gari na kuondokazetu.... huku nikiwa nina hasira za kutubu msikitini afu nakuja kuurudia ujinga ujinga usikua na maana, Nilikua naendesha kwa spidi nyingi mno. ili tu kupooza hasira zangu, maana sina wa kumtolea hasira hizo,

    "endesha taratibu pumbavu wewe"

    Anti mwaju leo nimemuuzi mno, daah sijui ingekuaje kama angejua kilichonichelewesha, Tulifika nyumbani kisha kama kawa nilishuka na kwenda kufungua geti, ili niingize gari ndani

    Tulipofika ndani walitoa nguo zao huku nikiwaseidia kupeleka ndani.. Sasa nilikua nabeba mimi na mtoto wa kike, Maana anti mwaju kakasirika sana, hivyo mimi ndio nilikua naburuza mabegi ya nguo, Tulimaliza kuzipeleka nguo ndani tena chumbani kwake kabisaa

    Nilitoka zangu nje ili niondoke..... lakini nilipoingia kwenye gari niliona nguo moja imebaki na ilikua ni nguo ya ndani ya yule mschana

    Nilishuka na kumuita huku nikiona ona aibu, ila huyu mtoto ni zaidi yangu kwa kuona aibu

    "abee kaka?"

    "aaaa kuna nguo imebakia huko ndani"

    Alifungua mlango wa gari na kuinama kisha akaichukua, Sasa ile alivyoinama tisheti alioivaa ilipanda juu na kusababisha kuona kitu fulan katika kiuno chake, kile kitu kilinipa maswali mengi japo yanajibika, Sasa nikajiuliza je? nitamuulizaje? na wakati mwenyewe anaona aibu kiasi hiki,

    Nilipiga moyo konde nikamzuia na kumshika mkono, aliona ile hali ya kushikwa mkono sio ya kawaida... Niliingia ndani ya gari na kuitoa ile simu kisha nikampa kama Ziawadi tu,

    "mmh mmh sitaki"

    "hutaki simu kwanini?"

    "hapana kaka hio sio simu ya hadhi yangu, kwanza sijawahi kutumia simu"

    "usijali we chukua kisha nitakuja kukufundisha kesho sawa?"

    "hapana kaka mimi sitaki kuijua simu"

    "jasuuuuu? mbona unaniangusha mamii? ok sawa haina shida mi naenda ila asante sana kwa kukataa zawadi yangu"CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Maneno hayo yalionekana dhahili kumchoma jasu,

    Basi mimi nikageuka na simu yangu kisha nikawa naingia kwenye gari,....

    Mara akanivuta mkono kisha akaniachia haraka haraka mithili ya kama mkono wangu ulikua na moto vile.. kwa vile alivyoniachia kwa uharaka fulani hivi,

    Sasa kanivuta mkono afu kaangalia pembeni, huku anaona aibu hivi..... Niliinyoosha ile simu kama kumpa hivi, Aliipokea kisha akakimbia ndani kwa spidi eti anaona aibu kupewa zawadi,

    Basi mimi nilipanda gari yangu kisha nikatoka na kurudi nyumbani kwetu, tena hata msikitini sikuenda kabisaaa

    Nilipofika tu nyumbani nikaanza kumsumbua kwa meseji lakini hakua akizijibu, nikapiga lakini pia hakupokea kabisa, Huezi amini nilianza kushikwa na mawazo juu ya swala hilo la kutokujibu simu zangu,

    kiukweli kabisa ni dhahili kua tayari nimeshampenda jasu, tena kwa akili ya haraka haraka nilikua nipo tayari hata luoa, ila sasa tatizo ni kwamba nitamuanzaje huyu mtoto wa watu... Nilituma tena meseji lakini kimyaaa

    Aiseee Nilitoka nje na kuwasha gari usiku huo huo

    "boss unaenda wapi saa hii?"

    Aliniuliza mlinzi huku akifungua geti

    "nakuja sasa hivi, nachukua vocha hapo dukani"

    Nilitoka spidi na kufika nje ya nyumba ya anti mwaju, kisha nikagonga geti ndogo.... coz sikua nataka kuingia na gari

    Aliofungua alikua ni yeye mwenyewe, sasa kumbe ndio tabia yake ya kufungua na kutaka kukimbia, yaan hataki kukaa karibu na mwanaume kabisa.......

    Sasa alipotaka kukimbia nimuwahi kwa kumshika mkono, kisha nikamuuliza

    "mbona hujibu meseji zangu?"

    Mtoto wa watu alikua anaangalia tu chini huku aking'ata kidole,

    "eti? si nakuuliza jasu?"

    "kaka? mi nilikupokea tu ile simu ila sijui jinsi ya kuitumia"

    "hebu kailete nikuonyeshe chapu chapu"

    Mtoto aliondoka kwenda kuileta hio simu kisha akainipa

    "we? anti mwaju yupo wapi?"

    "yupo jikoni"

    "haaaaaaa? mbona hukuenda kumseidia kupika?"

    "kasema anapika mwenyewe leo"

    "aaaaaa okee.... sasa we ulikua wapi?"

    "nilikua hapo sebuleni naangalia mchezo"

    Basi mtoto wa kiume nilianza kumfundisha jinsi ya kuitumia ile simu

    "unasikia sasa? nikikutumia meseji unaifungulia hapa juu.. afu ukishaifungua hivi, afu unabofya hapa kisha unaisoma.... kama unataka kunijibu unabofya hapa. afu ndio kiibodi inatokea"

    "aaaaaa sasa hii ndio nilikua siioni"

    "ndio hivyo sasa,...... alafu mtu akikupigia mfano kama mimi hapa nakupigia kama hivi... unashikilia hiki cha kijani afu unakileta huku upande wa kulia, hapa utakua umenipokelea na tutaongea..... ila ukikisogeza kushoto utakua umenikatia simu"

    "sawa"

    Sasa mtoto wa kiume nilikua namsogelea taaratibu maana tulikua nje kwenye uluta hivi,

    "afu kama wewe ukitaka kumpigia mtu unakuja hapa kisha unabofya hivi afu utaweka skioni utaskia inaita then mtu atapokea sawa?"

    "Sawa asante"

    "usijali hayo ni machache tu ya muhimu ila zaidi nitakuja siku fulani"

    "Sasa kumbe mtoto ndio nilimkurupua akiwa anajaribu zile nguo, aisee alikua kapendeza hadi raha yani, kumbe nilikua sijamuona kwasababu ya kulimbilia kumfundisha

    "heeeeeee umependeza"

    "mmhhhh asante kaka .... ila nakushukuru sana kaka angu na sintokusahau katika maisha yangu yote"

    Sasa alianza kulia kwa uchungu kila akikumbuka tabu alizozipata kabla ya kufika hapa,

    Sasa na mimi ikawa ndio chansi yangu ya kumbembeleza ili nimpe joto langu

    Hapo nje kuna gaden ambayo ina viti vilivyowekwa kwa ajili ya kupunga upepo..... Hivyo tulikas hapo na kuanza kumbembeleza mtoto wa watu.....

    Nia yangu nilitaka akae kwenye mapaja yangu lakini aligoma.... Nilimvutia kifuani kwangu huku nikimpangusa machozi kwa kutumia hanjifu yangu.... Sasa mtoto alinogewa na joto hivyo nilimshuhudia akisogea huku upande wangu.

    ****************************

    "kaka sheby?"

    "sema?"

    "nakupenda kaka? plz naomba unioe"

    "haaaaa unasema kweli jasu?"

    "ndio.... nipo tayari kwa lolote lile... kaka sheby? nataka unitoe wewe hii bikra yangu"

    Pale sikukawia, nilianza kushika paja lake lainiji... afu mtoto ana bonge za paja, Nilishika mapaja hadi nikakutana na chupi yake tena ni zile mpyaaaaa walizonunua leo.

    "hiii chupi vp sasa jasu?"

    "shebiiiii? chupi uinunue wewe afu ushindwe kuivua kweli?"





    Huezi amini nilikua nina spidi ya kufa mtu, huku nikiitafuta hio chupi ilipo, Na mtoto nae alikua sio haba. yaani ni kweli ni mtoto wa kitanga sijabisha, Nilifunua ile sketi yake na kuipandisha juu kisha nikaiona chupi hii hapa.... sasa nilikutana na shanga moja tu tena ilikua ni nyeupe peee ila ni hizi shnga za kitoto hizi...... kuna shanga za kikubwa na shanga za kitoto.. ngoja baadae nitawaelezea tofauti za shanga hizo,.... Sasa kukutana na shanga hio ndio nikazidi kupagawa kwa kuiona shanga ile.....

    Lakini mimi sikua na shauku sana na ile shanga niliivua chupi kisha nikamlaza mtoto kwenye gaden pale pale.... Sasa ila nataka kuingiza tu nanii

    ****************************

    Yaaaaa yani mimi ni fala duuuu, kumbe yalikua ni mawazo tu, na huyo jasu mwenyewe yupo mbali kinoma huku akilia kweli kweli.... tena hakua karibu na mimi wala nini Nilimpa anjifu ya kujifutia machozi kisha nikamuaga, na kurudi zangu nyumbani,

    Niliingia ndani lakini sikua na raha sana coz niliemfata nimemuacha analia japo zumuni langu la kumfundisha limeisha na tayari keshajua, ila sikua na shauku ya kutuma meseji kwake maana najua hayupo sawa kwa sasa.....

    Niliingia zangu bafuni kisha nikaoga na kula kabisaaa kisha nikalala zangu bila kumbuguzi mtu

    BAADA YA MIEZI MITATU KUPITA

    AFTER THREE MOUNTH LATER

    BAADA YA MIEZI MITATU KUPITA

    Na leo ni siku nyingine na mwezi mwingine nikiwa bado naendelea na shule, tena nilikua nimeshazoea shule na nimeshajua jua baadhi ya watu pamoja na walimu wote waliopo hapo.... ikiwa ni mapumziko mara ghafla simu yangu iliita ila namba ilikua ni ngeni mno..

    "haloo?"

    "eee mambo sheby?"

    Ilikua ni sauti ya kike.... Ikabidi niisikilize na kuiuliza zaidi

    "poa tu nani?"

    "mmmhhhhh shania hapa"

    "nani kakupa namba yangu wewe?"

    "dada ako"

    "uifute haraka"

    "sheby? halooo sheby? plz sheby usikate simu"

    "kwani wataka nini?"

    "i love you sheby... plz answer me my"

    "skia shania, mimi sitaki kutembea na mtoto wa kiongozi sawa?"

    "kwani mtoto wa kiongozi hana hisia za mapenzi?"

    "mimi sijui"

    "ok... ngoja nije hapo ulipo"

    Alikata simu kisha ghafla tu nikamuona shania, akitia timu mahali nilipo, kana kwamba aliponipigia simu alikua akiniona nilipo,

    Alikuja kisha akakaa kwenye urondo au majani ya bustani...

    "ivi hujui kua mimi ni kiongozi wako?"

    "kivipi?"

    "hujui kua mimi ni kiranja?"

    "ok sorry, but kwani nimefanya kosa gani?"

    "unanivaliaje nguo fupi mbele yangu?"

    Aliamka na kuikunjua sketi yake ambayo aliikunja kwa huku juu ya kiuno,

    "kaa vizuri unanionyesha chupi kwani sizijui?"

    "lakini sheby? mbona una mashauzi hivyo sheby?"

    "skia nikwambie shanii? mimi sihitaji uhusiano na msichana aina yeyote yule"

    "sheby usiseme hivyo jamani"

    "nishasema hivyo.... kwaio ondoa mbaranga zako na uende darasani, si unajua mimi ni kiranja wako? sasa ole wako nisikukute darasani"

    Shania aliamka huku akiwa na hasira nyingi na kusema

    "yaan toka upewe huo ukiranja hutaki utani na mtu kabisaaaa... namchukia huyo mtu aliokupa hicho cheo hhmm"

    "nenda bwana"

    Aliondoka lakini vile alivyokaa uchi mwanzo hadi nikamwambia akae vizuri asinionyeshe chupi yake, niliongea tu kwa kujikaza lakini nilikua natamani niendelee kuona mapaja yake pamoja na chupi.... ila nikajifanya mlokole kumbe naumia moyoni.....

    Muda wa darasani ulifika nami nikahakikisha watu wa darasa langu wameingia ndani..... Kiukweli toka nigombane na wale jamaa siku ile yaani wanafunzi wananieshim duuu haswa wa kiume wananiogopa ile mbaya, ila uzuri ni kwamba sina ukorofi kama wa wale jamaa, maana wale jamaa walikua wanaonea sana wanafunzi wenzao na ndio ambao walikua ni viranja kabla yangu, yaani ni kama jela ukiwa mbabe ndio unakua nyapara...

    Ilifika wakati wa lanchi, tukatoka na kwenda kantini, ila mimi hua nimeambiwa nisiende kusimama kama wanafunzi wenzangu, bali nitaletewa sehemu yeyote nilipo.... tulimaliza kupiga lanci kisha tukaingia darasani na kuendelea na masomo, Somo lilikua ni la madam joy na zoezi lake la Baoloji... baada ya kumaliza kufanya zoezi, kama kawaida ya monita kukusanya madaftari, nikanyanyuka na kuanza kukusanya daftari za wanafunzi waliopo class kwangu......

    Nilipomaliza nilipeleka ofisini kwa madam joy ambapo ndipo anapo sahihisha makaunta yetu,

    "madam? zoezi lako tumemaliza"CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "oooke weka hapo mezani then hebu kaa pale"

    "tichaa?? kuna kazi naitaji kuifanya"

    "kazi gani?"

    "naenda kufuta ubao.... ili zoezi likija liandikwe tu"

    "kwani wale waliopo kule sio watu?"

    Aliongea huku akiamka katika kiti chake kisha akanifata pale nilipoa na kuniambia kua

    "mbona tai hujafunga vizuri leo? Eti mpenzi"

    "madam? mimi sio mpenzi wako"

    "boy? laiti ungejua ni jinsi gani ninavyoteseka juu yako wala usingesema kitu"

    "madam? wewe ni mkubwa kwangu"

    "hapana! mimi ni mdogo sana sheby ila sema nimewahi kumaliza shule na kusomea uwalimu na kuaply kazi hapa ila mimi sina ukubwa wowote labda nimekupita miaka mitatu tu sheby"

    "haaaaaa hio mingi wewe"

    "bwanaaaaa sheby vua basi unipe mbona unanitesa hivyo we mtoto?"

    "haaaaaaaa? ticha? yaan saa hizi saa 8 yote hii muda wa class unataka mapenzi? hapana madam bora useme jioni but kwa sasa naweza kugombana kwa ajili hio"

    "basi, basi, basi yaishe bayby, nenda ila jioni uje jamani"

    "sawa nitakuja"

    "ila sheby?"

    "naam?"

    "njoo"

    "yes"

    "nikiss basi"

    "madam? hebu jieshim basi, nitakukiss jioni"

    "waaaaooo kweli boy? ila ahadi hio uikumbuke bayby?"

    "mbona we yangu hukumbuki?"

    "ipi hio?"

    "nilikupa kazi gani unifanyie na ukashindwa?"

    "nikumbushe basi"

    "kuusu lile fumbo la mtego wa panya"

    "Uuuuufyuuuu ivi bado hujasahau tu? ok nitakutafutia jibu basi..... ila si utakuja jioni?"

    "mpaka upate jibu la hilo fumbo ndio nitakuja"

    Nilimkatia utafiliri simjui, maana madam joy ana tabia mbaya ya kupenda watoto wadogo..... ila kweli madam joy ni mrembo na pia hakunipita sana kiumri either iwe miaka hio mitatu au minne, lakini kikubwa ni kwamba sihitaji kukirahisisha kimapenzi maana wanaonitaka ni wengi mno ila sijui wanaonipenda kwa dhati....... Nilirudu class na kuendelea na majukumu ya shule

    Ilipofika jioni saa kumi muda wa kuondoka na kuelekea majumbani kwetu, ilipigwa kengele ya pared na kwenda kusikiliza ujumbe ambao tuliupasa kuujua ujumbe unaohusu shule tu,

    Baada ya ujumbe huo tulitawanyishwa kila mtu kwao, ila wale wa hostel watabakia hapa hapa shuleni na wale ambao kwetu ni hapa hapa mjini, ndio tunatoka na kuelekea majumbani mwetu..... Basi hapo ni magari kuwashwa...

    Ila nilipokua kwa mbali kuna mschana nilimuona, akipanda kwenye gari yake, na huyo msichana simfananishi bali ndio yeye kabisaaaa, yena gari yake ni mpya aina ya prado, Nilienda hadi pale kwenye gari na kugonga kioo, Aliposhusha tu kioo nikatoa loku mwenyewe kisha nikaingia ndani, na kufunga mlango, nilimuangalia kwa hasira kali ila yeye alikua anaangalia chini kwa aibu, ya kuja kwetu afu kumbe sio ndugu yetu..... Je? kwanini alikuja kwetu na ni kwanini alinidanganya???

    "kabla hatujagombana we mdada, naomba uniambie ukweli juu ya ujio wako kwetu, maana ukidanganya tu nakueibisha hapa hapa shule... mschiuuuu kizabi zabina wewe, mwanamke huna hata haya lione vile na lipua lake lirefuuuuuu kaa mafuta ya bunduki vile.... sema sasa unaniangalia nini?"

    Niliongea hayo huku nikiwa nimeshikwa na hasira afu namsikiliza kwa kile anachotaka kuongea....

    "samahani kaka, mimi sina kosa lolote lile ila mama yako ndio chanzo"

    "Ati nini??????? mama ndio chanzo kivipi?"





    Nilikua nina hasira za kiaina hivi maana ni bora uambiwe ukweli kuliko kudanganywa, Kiukweli sikupenda tabia hii ya kumuona mtu ni ndugu yako afu kumbe sie.... Na huyu mdada sio mwingine bali ni yule mzanzibari aliesema kua yeye ni mtoto wa shangazi yangu... sasa leo nashangaa kumuona hapa katika eneo la shule, tena kavaa yunifom kama mimi, kana kwamba na yeye pia ni mwanafunzi, tena ni mwanafunzi wa kidato cha tatu,

    "samahani kaka, mimi sina kosa lolote lile ila mama yako ndio chanzo"

    "Ati nini??????? mama ndio chanzo kivipi?"

    Nilishtuka kuskia kua chanzo cha yeye kuja kwetu ni mama angu, Sasa sijui ilikuaje hadi kufika kwetu kwa mpango wa mama angu

    "kaka angu? kiukweli ni story ndefu mno ila nisingependa kuongelea hapa"

    "ah ah we sema tu hata kwa ufupi"

    "sitaki kukuambia kwa ufupi, bali twende katika hotel yangu nilipo pangisha tuongee zaidi"

    "yaan nikaingie kwa hotel yako tena?"

    "hapana sii lazima uingie, bali tutakuepo katika hotel tu ila ndani kwangu ni maamuzi yako"

    Nikafikiria na kuchanganua fasta fasta kisha nikamkubalia

    "ok twende.... ila ni hotel gani?"

    "Arusha Hotel"

    "ok tangulia mi nafata nyuma"

    Nilitoka ndani ya gari yake kisha nikaenda kupanda gari yangu kisha tukatoka katika eneo la shule tukielekea huko hotelini kwake,

    Tulifika hotelini kwake ila hatukuingia ndani kwake, kwani niligoma kuingia kwasababu nilitaka kuujua ukweli kua huyu SUFIAN alifikaje kwetu na kwanini anidanganye kua yeye ni mtoto wa shangazi yangu?

    Tulikaaa mahari kwenye kivuli kisha nikaagiza maji ndogo tu kwa ajili ya kuchachua mdomo, Na yeye aliagiza malta

    "skia sheby? mimi sikua nakujua hata kidogo na wala sikutegemea kukutana na wewe"

    "ok sasa huo ukweli ndio ninaoutaka mimi"

    "ok nakumbuka siku moja nilikua hapa hapa hotelini nimetulia, alikuja mama mmoja hivi mwenye asiri ya kiarabu, ila sikumjua kwa siku hio kwani sijawai kumuona huyo mwanamke na ndio huyo mama yako, siku hio nilikua zangu nimetulia napata kinywaji, Alinifata mwenyewe pale nilipokua mimi...... nakumbuka ilikua hivi"

    HII NI STORI INAYOTOLEWA NA SUFIANI,

    "habari yako mrembo?"

    "salama shkamoo?"

    "marahaba ujambo?"

    "sjambo"

    "mzuri na umependeza"

    "ehehehe asante"

    Nakumbuka siku hio mama yako alikua na nia fulani na mimi coz aliniganda sana siku hio... mpaka nikatia hofu

    "unaitwa nani?"

    "mmh naitwa sufian"

    "ooohh jina zuri.... ila unaonekana ni wakwetu kabisa wewe"

    "Ehehehe yaa mimi nimezaliwa zanzibar ila nimekua huku kwa ajili ya masomo tu"

    "oooohhh nami pia ni mtu wa huko.. ila nimekulia huku bara sana kuliko huko... coz hata sasa ukinambia niende kwetu sijui"

    "hahahahaha kweli?"

    "ndio"

    Siku hio mimi sikuenda shule na ilikua ni kwasababu niliongea na wazazi wangu kua wanitumie gari, coz ndio nilikua naingia kidato cha tatu, hivyo naruusiwa kua na leseni na kumiliki gari, Ila wazazi wangu walikua wakinipa tu ahadi ya kunitumia gari mpaka nikawa nimekata tamaa kabisa, sasa siku hio nilipokua hotelini hadi mama yako akaja.. nilikua nina mawazo juu ya kutiletewa gari kama usafiri wangu wa kuendea shule, Sasa mama yako alinigundua kua sikua sawa kwa siku hio, hivyo aliniuliza nami sikusita kumuambia kinachoniuma coz tayari tumeshajuana zaidi

    "lakini mwanangu? nilipokua nakuja nilihisi una matatizo hivi au ndivyo ulivyo?"

    "mmmhhh hapana mama angu.... ila ni wazazi wangu wananicheleweshea gari yangu"

    "oooohhh pole sana mwanangu"

    "asante... ila roho inaniuma kuona wanafunzi wenzangu wameshaanza kumiliki magari yao"

    "ooooo pole sana mwanangu.... ila mbona hata mimi naweza kukupatia hilo"

    Nilishtuka sana kumsikia mama yako akiongea vile, mpaka nikahisi labda ni mtu mbaya kwangu, maana sio rahisi kukutana leo tu... afu unipe gari??? sio kitu rahisi kabisa

    "kivipi mama angu? sijakuelewa"

    "ok.. utanielewa tu ila iwe siri yako"

    Tumbo lilinikata kwa kuskia kua iwe siri yangu,

    Nilikubali kuwa msiri ili niweze kupata gari ya kuendea shule

    "sawa nitakua msiri"

    "ok... nafrai kuskua hivyo... aaaaa kwanza una miaka mingapi?"

    "mmhhhh kwani vp mama?"

    "no, kuna kazi nataka kukupa kama utaiweza"

    "mmhhh lakini mimi sihitaji kazi kwa sasa coz bado nasoma"

    "sio kazi ngumu... na shule utaenda kama kawaida mwanangu"

    "mmhhhh ok.... labda uniambie kwanza hio kazi yenyewe"

    "nitakuambia kazi hio, ila kwanza nataka kujua umri wako"

    "ok nina miaka kumi na tisa (19)"

    "waaaaoooo that is size with him"

    "size na nani huyo?"

    "na mtoto wangu wa kiume"

    "mmmhhh una maanisha nini mama?"

    "ok ngoja nikuambie kinachojiri..... Nina mtoto wa kiume ila sijui kama ni mwanaume kamili au ni shoga, na nimejaribu kumdanganya kwa kila mschana tena wazuri na wakuvutia lakini hawataki kabisaaaa"

    "mmmhhhh kwaio we wataka nifanyeje?"

    "mwanangu hua ni mtu wa dini sana.... na nilifurahi sana baada ya kukuona wewe umekaa kiislam islam hivi.... hivyo kidogo unaweza mpa ushawishi"

    "mama? niambie... kwani we wataka nifanyeje?"

    "nataka uje kwangu... ukiwa kama ndugu yetu, afu hakikisha unakua nae karibu mpaka uhakikishe unasex nae"CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "mmhhhh hapana mama angu... mi siwezi kusex na mwanaume, kwanza naogopa"

    "kwaio hutaki gari si ndio?"

    "gari nataka, ila kazi ngumu mamiii"

    "jitahidi mwanangu.. coz nampenda sana mwanangu, ila tatizo kakaa kikike kike hivi yaan hapendi wanawake kabisa... ila anapenda tu kuwa na wanaume"

    "mmhhhh mama? yaan picha inaonyesha tu huyo mwanao sio rizki yaan huyo huenda akawa ni hanisi"

    "sawa, ila sitaki kuamini hilo coz nimemzaa akiwa na afya nzuri na hana hata tatizo"

    "ok.... huyo mwanao anapendelea nini?"

    "kuswali na kwenda shule... yaan hana starehe yeyote ile"

    "mmhhh naweza kumuona hata kwa picha tu?"

    "ooo yes unaweza.... hiii hapa"

    Mama yako aliitoa simu yake na kunionyesha baadhi ya picha zako zilizopo katika simu yake, na nilipokuona tu, nilijikuta mi mwenyewe nimekupenda gafla tu, kwaio nikajikuta nakubali kirahisi zaidi.

    "mmhhh mbona mwanao ni mrembo hivi? utafikiri mwanamke"

    "mbona umetabasam hivyo?? au ndio ushampenda nini?"

    "mmnhhh mwanao ni hensam mpaka raha"

    "kwaio?"

    "nimekubali... ila nipe muongozo wa kufika hapo kwenu"

    "mmmhhh Mi naomba unipe siku mbili ili nitafute sababu ya wewe kuja pale"

    "jamani mama??? siku mbili tena?"

    "ndio, coz ana maswali kama polisi, sasa usiponyoosha maelezo vizuri atajua kilichokuleta"

    "ok nitasubiri.... ila naomba unitumie picha moja basi ata nibaki nayo"

    "usjali. .we fanya kazi kwanza"

    BAADA YA SIKU MBILI KUPITA

    .

    baada zile siku mbili alizosema mama yako ziliisha, Siku moja nikiwa nipo ndani mara simu yangu iliita, na nilipoipokea akaniambia kua

    "haloo sufi?"

    "abeee?"

    "sasa naomba nikukute pale pale pa juzi ili nikupe njia ya kuja nyumbani"

    "sawa we njoo tu mi mbona nipo hapo"

    Basi haikuchukua muda mama yako alikuja na kunipa simu moja nzuri ambayo ndio hio yako kwa sasa...

    "unaiona hii simu?"

    "ndio nimeiona"

    "hiii simu nineipokea Airport muda sii mrefu.... ila nataka ujifanye wewe ni mtoto wa dada yangu.. na umeipokea wewe kutoka zanzibar, afu hua akirudi shule anaenda msikitini kuswali hivyo jifanye na wewe unaipenda hio hali yake"

    "nitakuepo kwako kwa siku ngapi?"

    "Eeeeeehhh ukifanikiwa leo usiku basi we ondoka asubuhi subuhi.... ila usipofanikiwa kwa leo basi utakaa hapo mpaka ufanikiwe kujua kua mwanangu ni shoga au sio shoga"

    "mmhhhh kazi ngumu?"

    "jitahidi sana sufuan... nitakupa na laki 5 juuu kama ukifanikiwa kusex nae"

    "kwahio we njoo ukiwa na hijabu"

    "ooookeeee kwahio nije kiislam na kiheshima zaidi?"

    "ndio"

    "malipo?"

    "prado mpyaaaa"

    "je? akinipa mimba?"

    "nitailea mimi bila yeye kujua"

    "au nikifanikiwa avae kondom?"

    "No No.... tena kabla hukwenda inabidi tukapime sasa hivi"

    "mama??? mimi nimefanya mapenzi mara moja tu toka nizaliwe yaan ni vile nilivyotolewa uschana wangu hadi leo sijawahi kuguswa tena"

    "magonjwa mengine je?"

    "labda hayo mengine"

    "haya twende haraka"

    Tulitoka pale na kuelekea hospitali mimi na mama yako, tulipima vipimo vyote na kwa bahati nzuri nilikutwa sina ugonjwa wowote ule, yaani nilikua msafiiii....

    Basi pale pale mama ako akanipa pesa nikaenda kununua hijabu jipyaa kisha akanambia kua nije wakati wa jioni, ili wewe unikute pale kwenu.... Na akaniambia kua wewe umezoea kulala na dada zako hivyo hata mimi nijifanye nina tabia hio.......

    Basi ndio nimekuja na ndio kama vile ilivyotokea na nikasex na wewe... tena ulinipa maumivu makali sana coz nilihisi umenitoa bikra upya... na lile shuka nilimpelekea mama yako kwa uhakika zaidi... na pia nimemdhihirishia kua wewe ni rijari tena zaidi ya rijari.....

    STORI YA SUFIAN IMEISHIA HAPO

    Nilichoka na kuchoka baada ya kujua ukweli wote kwamba umesababishwa na mama yangu mzazi kabisa

    "kwanini mamii ananifanyia hivi jamani?"

    Niliongea hivyo huku nikisikitika kwa kutikisa kichwa

    "lakini sheby? mama yako hakua na ubaya... na pia mama yako anakupenda sana tena sana"

    Sasa baada ya kuujua ukweli niliondoka pale mezani tulipokua mimi na sufian... ila sufian hakupenda niondoke hivyo alinivuta mkono na kutaka nirudi tulipoku

    "sheby???"

    "nini?"

    Alikua akifikicha vidole vyake huku akiangalia chini,

    "sema basi mi nataka kwenda"

    "penzi lako tu"

    "nini?"

    "sheby?? naomba unisamee kama nitakukosea, ila nakupenda sana sheby plz plz plz..... nikikumbuka dudu yako siku ile, nilitamani niwe ndugu yako ili unit*****mbe kila siku..... sheby? kwangu sio mbali, ni hapa hapa kwenye hii hotel, so ningependa twende..... Afu hapa mwenzio nina sketi ya shule tu basi"



    Niliona kama ndio anazidi kunizingua zaidi, coz muda huo nilikua na stress juu ya mama angu kwa kunifanyia vile, mpaka nikajikuta nasex na mtoto wa shangazi afu kumbe sivyo, Yaan roho inaniuma sana baada ya kulijua hilo, ila sasa ngoja sasa nimuonyeshe kitu huyu mama angu ili ajue kua mimi ni rijali na sitaki upuuzi, Maana sijawahi ona mzazi kama huyu amvae anamkuadia mwanae afanye ngono na watu tofauti tofauti, tena kwa kuwalipa fedha nyingi ama vitu vyenye gharama kubwa,

    Sikutaka kumsikiliza huyu sufi maana niliona kama ananirushia hivi, kwaio nilimjibu shotkati tu kisha nikawa naondoka

    "shebiiiiii mbona unaondoka sasa?"

    "nishakwambia.... huo upuuzi mimi siutaki"

    "au ile siku ulinibahatisha nini?"

    Aliposema hivyo nilichukia mno na kutaka kurudi ata nimpake hata vibao lakini nikaona dharau hizi ipo siku zitakua heshima...

    "ntakurudia siku"

    Nilimuambia hivyo kisha nikapanda gari na kuteleza zangu nyumbani, Siku ya leo sikutaka kufika nyumbani mapema hivyo nilipitia nyumbani kwakina jackson, Japo tupo jirani ila sikutaka nyumbani wajue kua nipo hapa jirani tu, Niliingia ndani kwakina jackson ambapo jackson na jackline ni mapacha na hali yao ya kifedha ni ya kawaida tu, Niliingia na kumkuta jackson kesharudi skuli na alikuepo chumbani kwake,

    "haaaa jack? ivi umesharudi shule?"

    "aaaaa mbona kitambo tu"

    "ila leo sjakuona kabisa yani"

    "mbona mi nimekuona .. tena jioni hii nimekuona ukiingia kwenye gari ya dada flan hivi wa kiarabu arabu hivi"

    "aaaaaa Ooookeeee Ah kulikua na vitu flan flan hivi narekebisha"

    "weeeeee? si useme ukweli kua niiiiii naniiiii"

    "acha utani wewe, mi siwezi hio mambo"

    "lakini ni hadhi yako yule coz mhhhhh muislam kama wewe"

    Tukiwa katikati ya maongezi mara jackson aliitwa na mama ake, Aliondoka na kwenda kumsikiliza, Baada ya kuondoka nikawa nacheki homework aliokua akiifanya kwa wakati huo, Ilikua ni homework ya Science ndio alikua anaifanyia kazi... kama unavyojua mimi ni mkali wa Science ( sayansi ) Nilishika lile kaunta lake ( daftari ) kisha nikaanza kumseidia best yangu... maana ilikua kama kuna vipengele vibamsumbua hivu.... afu mimi ni mkali wa masomo hayoooo matatu.... KISWAHILI, SCIENCE, NA MATHEMATICS yaan masomo hayo hunitoi kabisaaaa..........

    ila kwa masomo haya kama PHISICS, BIOLOGY, CHEMISTRY, HISTORY, na mengineyo tutatoana jasho mbaya, au nikafunika zaidi....

    Sasa nikiwa naendelea kumseidia chaliii yangu jackson, Nilishangaa kumuona ndugu yake wa kike akija chumbani kwa ndugu yake wa kiume.... yaan jackline kaja kwa jackson Afu ukumbuke kua hawa ni matwins, hivyo sijui wakwanza ni yupi, sasa jackline alikuja huku akiita

    "jack? jack? we jack?, ooohhh sorry jack kaenda wapi?"

    Aliuliza baada ya kunikuta nipo kule chumbani kwa jackson,

    "kaitwa sasa hivi na mama enu"

    "katumwa nini?"

    "mmmhhh mi sijui"

    "haaaa afu mbona unamseidia homework yake sasa?"

    "kwani haifai?"

    Sasa kuniuliza kule kulimfanya asogee mpaka nilipokaa, afu mtoto alivaa kiajabu kweli,

    "ila we mkali wa science ee?"

    "mmnhh kidogo tu"

    "mmmhhh mi mwenyewe nimemaliza mwaka jana ila sijui hapo vinaendaje"

    "basi ulikua bogazi wewe"

    "Buana wewe kwanini uniite mi bogazi?"

    Sasa baada ya kumuambia kua yeye alikua bogazi shuleni, Akaanza kunipiga vile vibao vya uchokozi uchokozi huku kama akilegeza sauti na kuongea hayo maneno hapo juuu, Afu nikiangalia sketi aliovaa, mmhhh ni majanga tu,CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "we? ebu tueshmiane sawa?"

    Nilimuambia hivyo huku nikionekana kua siriasi kiasi flani hivi, Mpaka jackline akajiskia vibaya kwa kumuambia kua tueshimiane,

    Alianza kununa na kujitupia kitandani kwa hasira...... Ndio nikajua kua kumbe sio dada zangu tu ndio wana tabia ya kuja kulala chumbani kwangu, kumbe hata huku wana tabia hio?

    Sasa Jackline kuona nipo kimya na simuongeleshi, alianza kuniongelesha yeye

    "ila nasubiri majibu, sasa tuone kama nitakua bogazi"

    Nikageuka na kumuangalia, maana alikua nyuma ya mgongo wangu akigala gala kwenye kitanda cha kaka yake,

    Sasa kumuangalia vizuri, aisee nimemkuta mtoto ananirembulia kiaina, nami nikatoa macho kwa kumuogopesha lakini wapi mtoto ndio anazidi kunishawishi tu,

    Mara kaamka kitandani na kuanza kunisogelea bila hata ya kumuambia kua aje karibu yangu,

    "sheby???? unajua we ni hensam sana ila nakushangaa huna mpenzi"

    Aliongea hayo huku akiniangalia kimahaba, ila kila nikiangalia sketi yake napata kugundua kua, hajavaa chochote kile,

    Mara nikasikia sauti ya mama yake ikimuita jackline

    "we jack?"

    Alikua hakusikia kama anaitwa

    "we unaitwa"

    "na nani?"

    "si na mama ako"

    "mi mbona sijasikia?"

    Mara ikasikika tena sauti ya mama yake na jack

    "we jack wewe?"

    "unasikia?"

    "Abeee mama?"

    "umeshatoka bafuni wewe?"

    "bado mama"

    "wewe mshenzi sana, kwanini sasa hukuenda kuoga?"

    "kama unataka kuoga we kayaoge tu hayo maji"

    "yaani we mtoto mshenzi wewe aaaa"

    Basi waliishia hapo na maongezi yao, Huku mimi nikiendelea kumjazia Jackson baadhi ya maswali yake....

    "sheby?"

    "nini?"

    "mpenzi wako anaitwa nani vile?"

    "aaaahh mi sina mpenzi bwana"

    "heeeeee mkubwa hivyo huna mpenzi?"

    "nimeamua tu"

    "ok.... mimi je?"

    "sasa mi najuaje kama una mpenzi?"

    "mi pia sina.... kwaio tumekutana"

    "ebu niache bwana"

    Mtoto alianza vurugu za hapa na pale huku kila nikiangalia mipaja yake ilikua inanishawishi ile mbaya yani,

    "sheby? wewe huna mpenzi na mimi sina, so kama vip nakupenda sheby"

    "jackie? naomba heshma ichukue mkondo wake sawa?"

    "bwanaaaaaaa"

    Sasa mtoto jackie alianza kupandisha sketi yake juu na kuona upande wa paja lake, mhhhhhhh na mtoto ana upaja huo khaaaa...

    "sheby? cheki nilivyonona, ivi kweli utaniacha kweli?"

    Nilianza kumtamani jackie kwa vile anavyojibinua binua kimtindo, huku akifungua zipu ya nyuma na kusababisha sidiria yake kudondoka chini,

    "sheby? chuchu zangu saa sita hutaki pia?"

    Nilijikuta nimelitupa lile daftari la Jackson na kumrukia Jackline..... Huezi amini leo nakula nyama zizini kwao, Tulianza kudendeka huku jackie kabaki na chupi tena aina ya bikini,

    Ila mbaya zaidi jack alikua akilia vilio vya sauti mpaka mama yake akasikia, na kuja kupuru kupuru hadi kwenye hicho chumba tulipokua....

    "we jackie una matatizo gani?..... aaaaaaa Samaanini wanangu kumbe mmeshaanza?"

    Nilishangaa kusikia sauti ya mama yake jackie ikiongea hivyo, na wakati nilijua akitukuta itakua kesi, lakini ndio kwanza eti kasema samaanini sana wanangu..... Kwanza nilimuachia jackie na kukaa pembeni, saa hio huyo mama yake alituchungulia tu kisha akaondoka, Nilikaa pembeni kabisaaa

    "we sheby nini sasa?"

    "we fala nini wewe? we huoni mama yako kaja hapa?"

    "sasa unaogopa nini?"

    "aaaaa eee??? je kama kaenda ita askari?"

    "we sheby? acha ushamba..... sisi sote ni wanafunzi je? nani atakanatwa?"

    "lakini mama yako kaja"

    "heeeeeee hana shida... na ndio mana katuacha tu, afu hili swala analijua vizuri sana"

    "Ati nini???? yaani mama ako anajua kua nasex na wewe huku?"

    "ndio..... tena hio ni tisa...... kumi ni kwamba hata mama yako analijua hili, tena rafiki yako jackson katolewa kiujanja tu..... Sasa unaogopa nini? Tena sheby? kama ni mimba we nipe tu ntailea mwenyewe"





    Yaan mawazo kichwani kwangu yalikua yakizidi kila mara kwa jambo la kuambiwa kua, hata mama yangu anajua ishu fulani, tena ni ishu iliopangwa kabisaaa yaani nilikua nachanganyiliwa kila mara yaani daaahhh sijui nifanyeje juu ya mama yangu, Ila nilipokua nalalama nilijikuta nakumbuka kua kuna siku moja nilimuona mama yangu akimpa pesa mama yake jackie tena ilionekana kuwa siri yao....

    "huenda siku ile waliongea hivyo ee?"

    Nilijiongelea kisiri siri huku nikimuangalia jackie naona kama anataka kuivua bikini yake, yaan yupo tayari anishawishi na uchi wake, sikutaka kusubiri swala hilo litokeee, Nilimpushi jackie akadondokea kitandani kisha mimi nikafungua mlango na kutoka zangu, Nikicheki muda ulikua umeenda sana, kwani ilikua ni mida ya saa kumi na mbili jioni, Nilitoka hapo na kuelekea nyumbani, huku nikijiuliza sana maswali mengi, Nilipofika home nilipaki gari langu fresh kisha nikawa naingia ndani

    "kaka lete nikusaidie begi lako"

    Alikua ni mmoja kati ya wafanyakazi wetu akitaka kuniseidia begi langu la shule ili kunipelekea ndani, Ila nilimkatalia coz nilikua na hasira hasira sana...

    "hapana usjali..... aaaa vp mamii karudi kazini?"

    "mmhhh bado hajarudi"

    "ok sawa"

    Niliingia chumbani kwangu na kubadili nguo kisha nikaenda kuoga,

    Nilipotoka kuoga, siku hio nilijuskia uvivu wa kwenda msikitini, na kujisemea kua

    "aaaa nitaswalia hapa hapa leo"

    Nilijibwaga kitandani na kuuvuta usingizi, mkali tu ambao ulinipelekea kushtuka mida ya saa 3 usiku,

    Baada ya hapo nilienda mezani kupata chakula kisha nikaenda kulala kabisa na kusahau kuswali kwa siku hio,

    KESHO YAKE ASUBUHI NA MAPEMA

    Niliamka na kuingia bafuni kisha nikajiweka safi, na kuvaa yunifom tayari kwa kwenda shule, Nilitoka chumbani kwangu huku nikiwa na begi mgongoni nikiwa naelekea mezani kupata chai,

    Nilimkuta mama angu mezani na yeye anapata chai,

    "shkamoo mami?"

    "marahaba baba hujambo?"

    "mmmhh sijambo"

    Nilitamani kumwambia kwa hio tabia anayonifanyia sio nzuri, ila nikaona sio vizuri kumshushua mama ako, hivyo nilimueshim tu huku nikimkatia jicho kali ambalo atajua tu ni kwasababu gani nimemuangalia vibaya.....

    Nilipomaliza kunywa chai, mama aliniuliza

    "wewe? mbona sikuelewi leo?"

    "kwanini?"

    "kuna kitu unataka kusema afu kama hutaki vile"

    "unakijua mwenyewe"

    "kinini?"

    "bwana ee niache"

    Nilibeba begi langu na kuondoka bila hata ya kumalizia chai

    "we sheby una nini lakini mwanangu?"

    "sina kitu"

    "mbona kama una hasira jamani?"CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "mamiii? unanichelewesha shule"

    "basi nenda mwanangu.... ila jioni uniambie tatizo mwanangu.. sasa ukinificha utamwambia nani?"

    Nilipanda lambo yangu kisha nikateleza school....

    SHULENI

    kama kawaida ya kiranja ni kuwahi shule na kuangalia baadhi ya usafi kama vimeenda sawa, laa sivyo niwajibike mwenyewe kwakua sijaongoza vyema, Niliwahi kama idara yangu inavyoniruhusu kwa mpangilio wa shule yetu,

    Shule yetu ni ya rosheni kama unavyoiona kwenye kava lake pale juu.....

    Hivyo inatakiwa nihakikishe gaden yote imeloa maji kwa muda muafaka na sio ombi wala hiari... bali ni lazima kila mwanafunzi kumwagilia bustani yetu na sio kwa mikono bali ni kwa vitendea kazi tu...

    Nilizunguka nyuma ya shule na kukuta mtoto mmoja wa kiislam kajitanda vizuri sana.... ila ni mzuri utafikiri katoka misri, Mtoto huyo alikua anaongoza mashine ya kumwagia maji katika gaden aliopangiwa, ila sijui nani kampanga.. afu pia huyu mtoto wa kike sikuwahi kumuona kabla ya leo...

    "Assalaam Aleykh dada?"

    "waaleykh msalam hali yako?"

    "aaaa hali yangu safi tu"

    Mtoto alikua ana sauti ya upole mpaka raha,

    "ila samaani naisi wewe ni mgeni hapa shuleni au?"

    "ndio.... nimeletwa asubuhi ya leo... na nimewahi sana"

    "pole kwa kuwahi"

    Ila sema mtoto mwenyewe anaonekana ana mashauzi fulani hivi,

    "unaitwa nani?"

    "mmmhh kwani jina langu linakuusu nini?"

    Mmmhhhh sikutegemea kama leo nitaweza kutolewa nje na mwanamke, maana wanafunzi wa hapa shuleni, kuna wanaotamani hata salamu yangu... yaani wakimisalimia tu nikiitika basi hua wanaskia faraja sana, Sasa leo nashangaa kutolewa nje na huyu mtoto wa kike,

    "nilipokua nakuja kuna rafiki yangu mmoja aliniambia kua shule hiii ina hensam boy wa maana ndio wewe au?"

    Nikaona sasa hizi ni dharau afu majigambo ndio spendi, ila nimefurahishwa na majibu yake

    "hapana sio mimi.... ni jamaa mmoja hivi yupo class B"

    Niliona huyu mtoto wa kike sio wa utani utani, afu anaonekana ni mschana mwenye msimamo mkali zaidi kuliko nilivyofikiria mwanzo...

    Niliondoka taaratibu huku nikiwa nimeshikilia fimbo kwa ajili ya kumuonyeshea mwanafunzi sehemu amvayo haikuwajibishwa kwa usafi, Muda wa kuingia darasani ulifika... Tukaingia darasani huku nikiangalia yule mtoto wa kike ataingia darasa gani

    "Ooohhh yes, kumbe ni Class A? safi sana"

    Nilifurahi sana maana hua napenda wasichana wenye misimamo zaidi kuliko hawa wengine, Ticha wa kiswahili alikuja ila hali yake haikua nzuri siku hio, hivyo aliniteua mimi niendeleee badala yake, basi nami nikainuka kisha madam mele akanielekeza zoezi la kuandika nami sikulikopesha in the blackBord Nililicharaza zoezi lile kisha, nikamrudishia mwalimu kitabu chake na kurudi class, Nilipoingia jicho kwa yule msichana kwanza, na kumuona yupo vizuri sana kimasomo kwani hakua na macho ya paku paku,,,,,,

    Basi kipindi hicho kilipita na sasa ni saa kumi..... muda wa kuondoka majumbani, ila siku hii ya leo sikutaka kuondoka ili nijue huyu mdada ni wa kuondoka au ni wa hostel,

    Saaa hio nilikua ndani ya gari yangu nikimchora tu kwa ndani, maana gari yangu ni tintedi full giza.... Lakini ghafla nikaona kachukuliwa na gari ya serikali.... yaani preti namba ya gari sio hizi za kawaida, bali ni STK ila sijui kwanini kachukuliwa na gari hio, Walipoondoka nami nilifata nyuma ili nione mwisho wao ni wapi, Nilifatilia kweli na nikajua mpaka walipomuacha, kisha akatembea hatua kadhaa kwa miguu na kuingia kwenye nyumba moja kaliiiii.... Baada ya kujua ilibidi nirudi zangu nyumbani....... ila leo niliamua kupitia kwa Anti mwaju ili nikamuelezee kwa kile anachonifanyia mama angu.......

    Nilipiga honi kama kawaida ni mtoto jasu ndio mfunguaji wa geti. japo sio mfanyakazi,

    Niliingia huku nikiwa na yunifom za shule

    "haaaaa kaka? kumbe bado unasoma?"

    "Ehehehehehe kwani ulikua hujui?"

    "mi nilikua najua upo chuo"

    "amna nipo sec, ila namaliza mwaka huuu"

    "mmmmhhh sawa..... karibu"

    "asante..... vp anti mwaju yupo?"

    "hayupo"

    "kaenda wapi?"

    "kaenda nakumatt"

    "oooohhh shit..... ok poa akija mwambie nilikuja"

    "lakini kaka? aah Eti kaka aahh sjui nikuite nani?"

    Nilisikitika kisiri siri huku nikitabasam tu

    "we niite sheby tu...... sasa? mi naenda?"

    "we kaka sheby?"

    "akija we mwambie sheby alikuja"

    "kweli unaondoka?"

    "ndio.... kwani kuna tatizo?"

    "ndioooooooo"

    "tatizo gani tena jasu?"

    "Anti wako hayupo"

    "aah sasa si ushaniambia tayari au?"

    "sasa kama hukumkuta si umsubiri"

    "apana kuna homework za kufanya"

    "njoo nikuseidie"

    "aaaaahh waapi wewe utaweza je?"

    "ila sheby???"

    "mmmhhh?"

    "huna hata story, nzuri uniadisie"

    "aaaaaahh mbona jasu huelewi? nshakwambia nina homework ya kufanya"

    "ok..... ila kabla hujaenda kuna kitu nataka nikuambie"

    Mtoto alianza kunizoea zoea kama mtani wake,

    "kitu gani?"

    "kubali kwanza ndio niseme"

    "mmhhhhh ni kitu gani hicho?"

    "we sema haya"

    "ok.... haya nimekubali"

    "mmhhh ni hivi... toka ulivyopiga honi huko nje nikajua tu ni wewe... yaan mpaka umefika hapa yaani......





    Yaani jasu alinizoea kwa haraka mno ila alikua bado ni muoga muoga, yaani maongezi yake ni kama hajiamini amini vile, Ila kiukweli nilikua nimeshampenda huyu mtoto, yaani kwa uzuri na heshma alionayo. mbaya zaidi umbo... heeee kama unavyojua wasambaa wakiamuliwa kuumbwa duuu utakoma... tena mtoto ni fupi fupi alafu umbo ndio usiseme... hio sura sasa ni shida... tena ukimix na hicho kidoti chake duuuu hadi raha yani,.... Basi nilikua namsikiliza kwa umakini mkubwa nikidhania kua anaweza kuropoka kitu flani cha mapenzi..... hivyo nilikua na shauku ya kusikia jambo hilo....

    "mmhhh ni hivi... toka ulivyopiga honi huko nje nikajua tu ni wewe... yaan mpaka umefika hapa yaani nimepanga nikudanganye kua anti hayupo, ila yupo tele kajaa huko ndani"

    "afu jasu ushaanza utani na mimi eee?"

    Nilijifanya namkoromea ili aache utani na mimi coz nina mpango fulani juu yake, hivyo utani ukikolea hilo jambo litashindikana....

    Basi nilimfanya anieshim na kuniogopa pale pale...

    "basi nisamee kaka?"

    "naomba usirudie tena jambo kama hilo sawa?"

    "sawa"

    Aliitikia huku akiangalia chini kwa aibu fulani hivi.... masna nimeukataa utani wake...

    NI KWELI KABISA UKIANZA UTANI NA MTU UNAETAKA KUANZA UHUSIANO NAE, HUTOFANIKIWA NG'OO KWASABABU MAZOEA YA UTANI YAKIZIDI HATA KUMTONGOZA KWAKE ATAONA NI UTANI, AFU TAYARI KESHAKUDHARAU, PIA ANAKUJUA KILA SWAGA ZAKO ZOTE, ANAJUA HUEZI MTONGOZA, NA HATA UKIMTONGOZA HATOKUBALI,.... KAMA UNATAKA DEMU WA KUJENGA NAE MAZOEA YA UTANI TU, ILA USIWEKE SWAGA ZA KUMTONGOZA.... UNAJUA KWANINI NASEMA HIVYO? KWA WEWE MTOTO WA KIUME???CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    NI KWAMBA? MWANAMKE KAMA MWANAMKE, HUA ANAPENDA MWANAUME JASIRI, ALIO SIRIASI, MCHESHI KIDOGO, MPOLE KIDOGO, ILA SANA SANA KUA SIRIASI NA JASIRI, HAPO HATA UKITUPIA UZI KWA DEMU, AKICHOMOA BASI KUNA LINGINE NA SIO HILO LA UTANI, MAANA MKIWA NA UTANI.... UKIMTONGOZA ATAKUONA KAMA UNAMTANIA KAMA MNAVOTANIANA, NA ATAONA HUNA LOLOTE KWASABABU ANAKUJUA A TO Z YA MAISHA YAKO YA NYUMA AU YA SASA,.... NA MWANAMKE HUA HADANGANYWI NA VITU VIKUBWA KWENYE KUTONGOZA ILA NI UJASIRI WAKO NA KUJIAMINI KWAKO TU, NENO NAKUPENDA NI LILE LILE KILA SIKU, ILA UNAPOLITAAMKA MUDA HUO, HEBU FANYA MBWEMBWE FULANI PALE MLIPO.... SIO ULITAAMKE TU KAMA UNATANGAZA MATANGOZO YA VIFO HAPO...

    LITAAMKE KWA SWAGA... HATA AKIKUTANA NA MWANAUME MWINGINE ATAMWAMBIA HILO HILO NAKUPENDA... SASA YEYE ATACHAGUA KATI YAKO WEWE NA MWINGINE NANI ALIEMTAAMKIA HILO NENO KWA SWAGA NZURI NA MCHECHETO....... SIO UNAKURUPUKA TU, KUTONGOZA NI KIPAJI NA SIO WOTE TUNACHO, WENGINE NI SIMENT JUMLISHA KOKOTO MIKSA NA MCHANGA....

    KWAHIO UNAPOJENGA MAZOEA YA UTANI HATA ULE KUBEZANA ULE, TENA ULE WA KUBEZANA NDIO UTANI MBAYA KULIKO..... NA UKIJENGA HAYO MAZOEA KWA MWANAMKE USITEGEMEE KUTONGOZA BABAA...... MAANA DHARAU ZITAKUEPO NYINGI TUUU

    NA PIA KUNA UTOFAUTI WA WASICHANA.... MFANO MFANYAKAZI WA NDANI NA MSCHANA WA KAWAIDA HUA PIA WANA TOFAUTI YA UTANI, COZ MSICHANA WA KAZI, AFU WEWE NDIO MTOTO WA KIUME WA HUMO NDANI AFU UNAMTAKA, HAPO HATA UKIWA NA UTANI NAE HAINA SHIDA KWASABABU ASILIMIA 80 YA WAFANYAKAZI WA NDANI, ASIPOSEX NA BABA, BASI ATAMFATA MTOTO..... NA PIA ITATEGEMEA NA HALI YA LIFE ILIVYO..... MFANO KAMA MIMI, WAFANYA KAZI WETU WANANITAMANI MIMI, ILA WANAOGOPA KUMIAMBIA KUTOKANA NA TAIPU YANGU SIO YAO, NA PIA KUNA YULE MTOTO WA KIUME WA HUMO NDANI, ANADILIKI KUMTONGOZA MFANYAKAZI AFU MFANYAKAZI ANAKATAAA...... HAPO UJUE MFANYAKAZI HUYO ANA NAFASI YA KUTOKA NJE NA KUKUTANA NA BOYA WAKE, ILA KAMA HANA NAFASI HIO YA KUTOKA NJE KABISA...... AAAAAAA HUYO HUA ANAKUFATA MWENYEWE KITANDANI, KWASABABU UNAAMBIWA HIVI?

    HAMU YA MWANAMKE IKIMUAMKA NI TOFAUTI NA MWANAUME, COZ MWANAMKE ZIKIMUAMKA HAPA UTAMJUA TU, ILA MWANAUME HUTOMJUA ZAIDI YA KUSEMA TU

    "DAAAH NINA UKWARU KINOMA AISEE DUUU"

    ILA MWANAMKE HUA HASEMI HIVYO, YAANI ZIKIMFIKA KOONI ANATAMANI HATA AMVUTE NDUGU YAKE WA KIUME KAMA YUPO KARIBU,... NA MWANAMKE HASHIKWI NA HAMU HOVYO HOVYO NA WALA HATAMANI WANAUME HOVYO KAMA SISI.... UKIKUTANA NA KIMINI TU, TUMETOA MACHO... UKIKUTANA NA KANGA MOKO UMETOA MACHO... YAANI KWENYE KUTAMANI SISI TUPO MBELE KULIKO WANAWAKE, ILA KWA HISIA KALI SISI TUPO NYUMA ZAIDI YA WANAWAKE.... KWAHIO KUA MAKINI NA UTONGOZAJI WAKO BWANA....

    OK SASA TUENDELEEEEENI

    Nilipomaliza kumkoromea jasu? Niliingia zangu ndani na kuketi kwa sofa, Jasu alipita na kwenda kumuita ila alikua hajakasirika sana, sasa nilikua namsindikiza na macho tu, katoto jasu sijakapatia mwenzie yeyote yule ambae nitamfananisha nae kwa uzuri aliokua nao, mtoto jasu alikua hana mfano wa mschana wowote yule, coz jasu alikua kaumbika katika maeneo ya chini, afu ana sura utafikiri malaika... afu tabia nzuri kwake sio ya kuuliza, Nywele zake zenyewe kasuka ile kijijini kijijini kabisa ile wanaita mavitungu au mabutubutu,

    Haikuchukua muda mrefu anti mwaju katokea huku kama alikua kalala hivi,

    "shkamoo anti?"

    "marahaba baba hujambo?"

    "sijambo"

    "naona leo umekuja kututembelea kwetu"

    "mmhhh leo wakati hata jana sjui juzi vile nilikuja"

    "mmhhh mi nishasahau najua mwezi umepita mwanangh"

    "mmmm wala tuuuu.... afu mbona umelala saa hizi? vp kwani unaumwa?"

    "mh mh siumwi tu.... uchovu tu"

    "au kwakua sasa hivi hufanyi kazi?'

    "wala tu...... kwani uchovu ni hadi usifanye kazi?"

    "ndio.,... anti? unatakiwa ubuni biashara nikupe booonge la mtajiiiii"

    "mmhhhhh sasa biashara gani mimi nitaweza mwanangu?"

    "antiiii? unaniangusha bwana mamiii? inamaana hata dox ya nguo za wanawake utashindwa anti?"

    "Enheee hata mimi pia lilikua ndio wazo langu hilo"

    "ooohhhh kumbe unataka? basi ngoja mwezi ujao nikutafutie flemu nzuuuuri mjini kati, si ndio ee?"

    "aaàaa ntafurahi sana mwanangu.... maana nakaa sana nyumbani naboreka, na wakati nshazoea kukulea kule kwenu, sasa hivi haupo sina wa kumlea tena"

    "ehehehehehe au nihamie huku nini?"

    "mmmhhh weeee mama yako hatokuruusu"

    "mmhhhh usijali anti, mbona nikitaka tu nakuja.... afu ntakua nikija kulala siku moja moja"

    "mmmhhhh huku kulala kwako siku moja moja kutakua na jambo basi"

    "mmhh basi yaishe maana ushaanza kunihisi vibaya anti"

    "mmhhh wala tu... kwani si umekua mwanangu? hivyo utajua utakachokifanya eiza ni kibaya au kizuri"

    Sasa nikaona kama napoteza muda coz nimekuja kuongea na anti ili anipe wazo juu ya swala la mama angu, kwa kile anachonifanyia,

    "anti?"

    "mmhhhh?"

    "kuna jambo naitaji nikulize anti?"

    "jambo gani mwanangu?"

    "mama angu"

    "mama ako?"

    "ndio"

    "kafanyeje?"

    "anti? mama angu kila kukicha ananitaftia tu wanawake wa kila aina anti... hivi ni kwanini lakini?"

    "mmhhhh mwanangu sheby? nakuomba sana usifuate kila anachokitaka ufanye na wewe ukafanya"

    "anti? mimi naumia roho, eee? mi namuomba mungu nisishawishike dhidi ya wasichana, lakini mama angu ndio kwanzaaaa yaani utafikiri nimebeba danguro kichwani?"

    Lakini ghafla anti mwaju alikua akitokwa na machozi tu, kana kwamba hili jambo la kutaftiwa wanawake halipendi kabisa.... hivyo ndio maana anaangua kilio tena mbele yangu,

    "anti unalia nini tena?"

    "mwanangu? mama ni shetani sana kwa kitendo hicho, lakini hilo ni dogo ila kuna hilo ambalo mimi mpaka leo sitokaa kulisahau maishani mwangu, baada ya ku, ku, ku"

    Mara meseji imeingia kwenye simu yangu, ila nilishindwa kuelewa kwa kile nilichokisoma, Sasa nikabaki natoa macho tu



    Nilijikuta nguvu zinaniishia kutokana na hio meseji, iliotumwa katika simu yangu, maana nimemzoa sana dada yangu mpendwa, sasa sijui itakyaje kama akiondoka, kichwa kilikua ni kizito kwa muda huo maana nilishindwa kuelewa, sababu inayomtoa nyumbani ni ipi,

    "sheby? una nini?"

    "anti? nimetumiwa meseji hapa na dada zai, Eti dada nusura anaenda zake kwake"

    "oohhh kama ni hilo nalijua"

    "sasa kwanini usingenambia anti?"

    "kwani nyumbani hukujui wewe?"

    "hata kama but dada nusura ndio mtetezi wangu eti"

    "nalijua hilo..... kwasababu mimi mwenyewe nimembembeleza weee akakataa kata kata na kusema kua anataka akaendelee na maisha yake"

    "aaahhh, hapana anti ngoja niende nikaone mwenyewe"

    Nilitoka nje na kuachana na lile swala na kuongea na anti mwaju na kukimbilia nyumbani, Niliwasha gari mkuku mkuku hadi nyumbani, na kweli nilimkuta dada nusura anapakia vitu kwenye gari yake...

    "dada? unaenda wapi dada angu?"

    "sheby mdogo wangu? mimi siondoki kwa ubaya, coz toka nimalize ujenzi wa nyumba yangu... mpaka sasa yapata mwaka haina hata mtu, sheby? naitaji kwenda kuishi kwenye nyumba yangu"

    "dada? dada? dada??? lakini jua wewe ndio msaada wangu kwako eti"

    Nilikua nalengwa na machozi kwa kumuona dada nusura anahama nyumbani na kwenda kuishi kwake, maana toka ajenge hio nyumba yake hakuna hata anaeishi huko, na pia alisema kua haondoki hapa kwasabu ya mazoea yetu, hivyo ndio maana aliicha nyumba yake ili aendelee kuishi na sisi humu ndaniCHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Nililia lakini wapi hakuna hata dalili za kumfanya asiondoke...

    "dada nusura? sasa nitaishije? hebu ona dada zai anavolia kwa ajili yako"

    "sheby??? mtanisameee sana wadogo zangu, nimeamua tu mwenyewe kwenda kuanza maisha yangu nyumbani kwangu"

    "lakini dada kwanini usingenambua muda wote huo mpaka unashitukiza hivi?"

    Nyumba nzima ilikua ni majonzi juu ya dada nusura, maana toka nizaliwe sikuwahi kumkosa dada nusura machoni kwangu, na pia nimemzoea kuliko hata mama yangu mzazi, yaani katika watu niliowazoea kwenye hii nyumba, wakwanza ni anti mwaju afu anafata dada nusura na zai, maana mama yeye alikua ni mtu wa kusafiri mara kwa mara hivyo sijamzoa sana kuliko hawa dada zangu, nilikua nalia kilio cha uchungu kwa kuondoka kwa nusura, Ila nitafanyaje?

    ilibidi nimsadie kuingiza mabegi yake kwenye gari kisha nikaondoka nae kuelekea nyumbani kwake anapohamia......

    ilikua ni mida ya jioni hivi, na kagiza kalikua kametanda, Tulifika hapo nyumbani kwake kisha akashuka na kwenda kufungua geti lake, maana hakuna mtu ndani ya hio nyumba hivyo analijua mwenyewe,

    Tuliingia ndani kisha nikawa namseidia kufanya usafi hapo nyumbani kwake ambapo ndio amehamia, muda huuu.....

    Nilifuta kila mahari na kudeki kabisa,

    Baada ya kumaliza usafi, Niliingia jikoni kwa ajili ya maakuli, maana mimi kwenye kupika ni noma kuliko hata mwanamke, afu kazi za kuosha vyombo kwangu ni kawaida tu, Hivyo nikiwa nabandika safuria jikoni, huku naosha vyombo, wakati huo dada busura anapanga nguo kabatini kwake,

    Hapo nilikua natumia jiko la gesi, maana nyumba ilikua na kila kitu yaani ilikua ni kasoro watu tu, na ndio maana dada akahamia na nguo tu, kwani hata vyombo vyenyewe vipo vimejaa kabati,

    ******************************

    Sasa nikiwa nakata kata vitunguu, ghafla niliona kuna kitu kimepita katika chumba kimoja hivi, na kilipita kwa spidi ya ajabu ajabu, Mara kimerudi kilipotoka hicho kitu, sasa nikajiuliza kua ni nini hicho, Ikanibidi nisogee taratibu ili nikione kitu hicho,

    Nilienda katika hio kordo na kuwasha taa, lakini nilipowasha taa, nisikia miungulumo ya watu kama wanagombana gombana katika chumba kimoja ambacho kina milango miwili, yaani grili na mlango wa mbao, ila ni mlango huo tu ndio una grili, nilisogea sogea japo kwa uoga fulani huku nikiwa nimeshika kisu, Nilikua nasikia sauti za watu kama wanagombea kitu fulani kizuri katika hicho chumba..... Nilirudi mbio na kumuita dada nusura, maana jengo lenyewe ni kubwa afu kumepoaaaaaaa maana si kumehamiwa leo tu,

    Nilimleta mpaka karibu na kile chumba kisha nikamuuluza,

    "humu ndani kuna nini?"

    "hio si stoo tu"

    "mmhhh hapana dada.... stoo ganihii na wakati naskia watu humu?"

    "sheby? hebu fanya kilichokuleta sawa? utaondoka sasa hivi uende kwenu"

    "heeeeeee dada nusura? ndio yamekua hayo tena dada angu?"

    "ndio"

    Lakini dada nusura alionekana kukasirishwa hili jambo la mimi kumuonyesha hicho kitu,

    Nilirudi nilipokua napika. yaan jikoni, ila roho ilikuahaitaki kabisa kutulia yaani inataka tu nikaone pale kuna nini pale,

    Nilitoka tena, ila saa hii nilienda peke yangu, maana dada nusura nilihisi ni muoga, nilinyata mpaka pale kisha nikawa natega skio ili nisikie kuna nini ndani ya hicho chumba, Kiukweli nilikua nasikia watu wakiwa wanakula tena kwa kunyang'anyana chakula, nilitamani kukifungua chumba hicho na hakikua kimefungwa na kufuli wala nini bali milango yote ni kama ilirudishiwa tu, Sasa nikaanza kufungua lile grili (mlango wa chuma) Baada ya kumaliza kufungua huo mlango, sasa nikawa nataka nizungushe kitasa cha mlango uliobaki...... Lakini kabla sikufanya hivyo niliskia sauti ikiniita kwa nyuma... tena ilikua ikijirudia rudia mithili ya mtu aliopo ndani ya shimo fulani hivi

    "sheby? sheby? sheby? sheby?"

    Niliitikia kiunyonge huku nikigeuka nyuma,

    Sasa ile kugeuka nyuma na kuangalia huyo muongeaji.... mungu wangu alikua ni dada nusura, ila sikushangaa sauti yake bali nilishangaa mavazi alioyavaa,

    "naam?"

    nilimuitikia kwa uoga maana alivaa nguo nyeupe peeee afu zilikua zikichuluzika damu

    "umeharibu masharti ya nyumba yangu, kwahio kuanzia sasa hivi sina msaada na wewe tena, Endelea tu kufungua huo mlango ili ukome na hicho kihere here chako"



    Nilikua natetemeka visivyo vya kawaida, maana nashindwa kuelewa dada yangu amekuaje ghafla? Huezi amini nilishindwa kufungua huo mlango na kuanza kumuangalua nusura kwa jinsi alivyo, maana vinatisha, ila sijui ni kwasababu gani na kwanini afanye hivyo? nilikosa jibu sahihi na kubaki namuangalia tu huku nikilia, Sasa nikiwa kama siamini macho yangu kwa kinachoendelea, Dada yangu alitoka kwa spidi pale alipo na kunifata mimi, huku nikiona kuna kitu kama kisu hivi kakishika mkononi, tena kisu chenyewe kilikua kikivuja damu kabisa, Sasa mtoto wa kiume sikua na jinsi yeyote ya kujitetea, masna siwezi pambana na mzuka, Sasa pale pale akili ikanijia kua dawa yake ni kumsomea Aya moja takatifu, Lakini kabla sijaanza kusoma, alishafika karibu na kukinyanyua kile kisu tayari kwa kunitoboa,

    Nilipiga tu kelele za kufa kufa tu

    *****************************

    Mara dada nusura alikuja ghafla na kuniuliza

    "we unapiga kelele za nini wewe? au umejikata?"

    Niliacha kukata kata vitunguu na kuanza kuizunguka hio nyumba kisha nikarudi hapo ndani na kukiangalia kile chumba, Lakini chumba chenyewe hakipo wala hata nyumba yenyewe haikukaa kama nilivyokua naota,

    "wewe Sheby? afu unaonekana ulikua unalala wewe? hebu ona ulivyounguza safuria jikoni"

    "daaahh nisamee dada angu... nilijikuta nikisinzia ghafla tu, afu kuna ndoto nimeota kuusiana na humu ndani"

    "ndoto gani hio?"

    "nimeota kuna watu humu ndani afu wewe nilikuona umeshika kisu afu ulitaka kunichoma nacho, sasa sijui ni kweli?"

    "we una kichaa nini? yaani nikuue wewe? kwanza hebu acha kupika, zima jiko twende"

    "twende wapi sasa?"

    "sheby umenitisha na hio ndoto yako bwana, twende tukalie hotelini"

    Mmhhh basi nilizima jiko la umeme kisha tukatoka,

    Nilijuta sjui kwanini nilimuambia hio ndoto maana hatolala kabisa, na mimi sina mpango wa kulala hapa nyumbani kwake, Basi tukiwa njiani alikua ni muoga mni hata gari alikua akiiendesha kiuoga kabisa, Nilijuta kusema vile

    "sheby? kwanini umenambia hio ndoto yako?"

    "nisamee dada angu sikujua"

    Siku hio sikua na gari yangu, kwani alipotoka nyumbani kule nilipanda gari yake, hivyo gari yangy nimeiacha nyumbani kwetu kule,..... Tulifika hotelini na kuanza kuagiza msosi, ikiwa ni mida ya saa 3 hivi usiku, Tuliagiza kuku mzima na kuanza kumkwachua huku tukishushia na juice safiiiiiii..... Dada alimaliza juice yake hivyo nikamuagizia juice nyingine

    "weita? weita?"

    "abeeee boss?"

    "mpe juice nyingine?"

    Mara dada yangu akadakia juu kwa juu na kusema

    "No, usilete juice, hebu nipe serengeti moja"

    "dada? unakunywa bia mbele yangu?"

    "no hio ninayogiza haina kilevi bali ni jina tu"

    "eti weita? hio serengeti sio pombe kweli?"

    "aaaaaa, kuna pombe na kuna ambayo sio pombe"

    "mmhhhh ok mletee hio ambayo sio pombe"

    Basi mimi niliendelea kumkwanyua yule kuku vipapatio huku nikishushia na juice yangu, Muda huo tunasubiria hio serengeti ije

    "hii hapa"

    "haaaaaaaa we weita? hiii si bia kabisa hiii?"

    "hapana sheby hizi ni mfanano wa chupa tu"

    "mungu wangu eeeee, uuuwiii ok weita unaweza kwenda tu"

    "sawa boss"

    "dada? siwezi kuamini kama ni mnywaji wa pombe, afu unasena Eti sio bia?"

    "sheby? hebu kua mtu mzima basi, hiii ni bia na akili yako?"

    "sasa kama sio bia ni nini? na wakati naisikia harufu kabisa hio?"

    "ni harufu tu ndio zinafanana, ila haina kilevi, yaani imeboreshwa zaidi kuliko zile serengeti za zamani"

    "waaapi wewe muongo.... hebu niione alcohol yake ni asilimia ngapi?"

    Alinipa ile chupa ya bia ikiwa na bia ndani, Niliitafuta sehemu walipoandika ukubwa wa kilevi sioni, Nikainusa lakini harufu ni ile ile ya kibia bia tu, Nikapika kutu moja ( funda moja ) yaani niliijaribu ili nijue ni bia au sio bia, Ila niligundua ni bia yenyewe,

    "we mpumbavu kweli wewe.... hii ni bia hii wewe.... unanidanganya sio bia, shika mipombe yako na utarudi kwako mwenyewe"

    "we sheby? toka lini ukaanza kunituka mi mpumbavu?"

    "nisameee dada"

    "heshma inashuka eee?"

    "nisameeee basi, ila umeyata wewe tu"

    "nimeyataka mimi au wewe?"

    "mimi tena?"

    "sasa je?"

    "kwa lipi"

    "wewe ndio umefanya ninye bia... kwasababu umenisimulia mindoto yako ya ajabu ajabu tu, we ulifikiri nitalalaje mwenyewe?"

    "basi nisameee"

    Daaahhh kiukweli nilikua nipo katika wakati mgumu sana kulingana na tabia hio alioianza dada angu,

    "ayaaa mbona naskia kizungu zungu dada?"





    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog