Search This Blog

Thursday, 19 May 2022

KOMBA MWIKO - 1

 







    IMEANDIKWA NA : ELIADO TARIMO



    *********************************************************************************



    Chombezo : Komba Mwiko

    Sehemu Ya Kwanza (1)



    Miale ya mwanga wa jua la asubuhi uliopevuka na kutosha kuitwa mchana ilitosha kujipenyeza kwenye chumba cha hostel alicholala binti mrembo Clara na kumfanya afungue macho yake. Miale hiyo ya jua ilikuwa ni usumbufu mkumbwa kwa binti huyo ambaye alikuwa amelala fofoo ingawa tayari asubuhi ilikuwa ikiondoka na kuingia mchana. Alijaribu kuyafumbua macho yake lakini kope zake mwanana zilizotindwa zikatindika hazikutaka kutoa kabisa ushirikiano. Alijaribu kupikicha uso wake mzuri kama mdoli lakini na wenyewe ulionesha kusinyaa kidogo na kukutaa kuwa na furaha. Miale ya hatari ilipiga kwenye kichwa chake na kuhisi maumivu kwa ndani sehemu ambapo akili zake zimehifadhiwa.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Haikuwa kawaida yake kuchelewa kuamka, haikuwa kawaida yake kuamka na huzuni lakini siku hiyo ilikuwa ni siku ya tofauti sana kwake. Clara binti aliyejaliwa uzuri wa sura na umbo, mwendo na mitindo, alijaribu kujikaza ili aweze kunyanyuka kutoka pale kitandani lakini bado ilimwia vigumu sana. Harakati zake hizo za kujinyanyua pale kitandani ndizo zilizompa meseji kuwa hakuwa sawa kabisa siku hiyo. Alianza kusikia maumivu hasa kwenye sehemu zake za siri. “Mungu wangu nini kimenikuta”, alijiuliza binti huyo huku akiinuka na kukaa kitandani. Macho yake mazuri ya mviringo kama ya kinyonga sasa yalikubali kufunguka na kuangalia pembeni ya kitanda.

    Aliona nguo yake ya ndani nyeupe peee ikiwa ipo pembeni ishara kuwa alilala bila kufuli usiku huo.



    Sio hivyo tu bali aliona na nguo za kiume zikiwa zimetundikwa juu ya enka ya nguo iliyopo hapo chumbani. Mikono yake mororo iliyopambwa na kucha za kisasa haikusita kulichukua kufuli hilo na kulikagua. Lilikuwa ni lake,ndio lake alilovaa jana na mbaya zaidi katikati ya nguo hiyo ya ndani kulijichora ramani ya ute ute ambao ulitosha kabisa kumpa meseji kuwa ni wake ambao ulitoka sehemu zake za siri kabla ya kuchojolewa kufuli. “Ni nani atakuwa amenivua hii nguo?, Clara alijiuliza huku hofu ikianza kumwingia. Alijiangalia na kujikuta kuwa alikuwa amevaa kigauni kifupi ambacho huwa kinampendeza sana na huwa anapenda kuvaa kwenye tafrija mbalimbali. Kigauni hicho ambacho huwa kinamfanya aonekane mrembo kupitiliza.

    Taratibu kumbukumbu zake zilianza kumrudia huku sasa akianza kuhisi maumivu sehemu zake za siri. Alishindwa kuvumilia machozi yalianza kumlenga lenga huku akijaribu kujikagua sehemu hizo nyeti. Mgandiano gandiaono wa damu ulitosha kumpa meseji iliyomfanya alie kwa nguvu.



    Machozi sasa yalikuwa yakitoka bila kikomo.Clara aliushika mto huku akilia kwa sauti. “Alilia sana kwa sababu uanawali wake alioutunza kwa zaidi ya miaka 21 sasa umetolewa na mtu ambaye hamjui. Alilia sana kwa sababu Clara ni binti ambaye alijiheshimu kupita kiasi licha ya kuwa ni mwanamitindo amabye huwa hana mpinzani katika sekta ya mavazi bado alikuwa hamjui mwaaume mpaka aakiwa na umri huo. Roho ilimua sana sio kwa sababu eti aliondoolewa bikira yake bali pia kwa sbabu hiyo ilikuwa ni zawadi kubwa sana kwa mwanaume ampendaye kwa jina Stive.



    Clara ni binti aliyezaliwa kwenye familia ya kitajiri.Ni mtoto wa pekee katika familia hiyo pamoja na mali na utajiri pia ni binti ambaye aliweza kukua katika mazingiara ya maadili ya dini.Baba yake na mama yake walimpenda sana kwa sababu walimpata katika mzingira magumu mazingira ya kuangaika kwa mUda mrefu bila kupata mtoto. Ni binti ambaye Mungu alimjalia kila kitu na kwa maneno mengine ulimbwende wake ni wa daraja la kwanza. Alibahatika kusoma katika shule za kifahari kuanzia chekecheaa mpaka sekondari. Na baada ya Misingi hiyo yote ya wazazi aliweza kujiunga na chuo cha Ushirika Moshi. Ni binti ambaye alikulia kwenye mazingira ya jiji la Dar es salaama na kwa kuwa alikuwa na ndoto ya kutoka nje ya jiji hilo aliamua kuomba vyuo tofauti na vya jiji hilo.



    Hapo alijiunga hili kusomea mambo ya Biashara na masoko kazi aliyoipenda hili aje kuwa msimamazi wa baishara za baba yake. Ndoto hizi zinatimia na sasa yupo chuoni hapo. Lakini kutokana na uhaba wa hostel aliamua kukaa hostel za nje ambazo zipo mita chache kutoka chuoni. Clara ni msichana anayeaminika kuwa ni mrembo kuliko wote hapo chuoni kutokana pia na historia yake ya kuchanganya damu ya kitanznaia na Kinyarwanda. Mama yake ni miongoni kwa Wanayaruanda walowahi kukimbia nchi yao na kuja Tanzania kuanzia maisha na hatimaye kuolewa na Mtanzania.



    Clara Assenga akiwa kidatao cha tano alibahatiika kukutana na Stive Ndembo Mwanaume alaiyetokea kumpenda sana.Mwanaume huyu ni miongoni mwa Wanaume wachache waliobahatika kufurahia penzi la binti huyu ingawa hawakuwahi kushiriki mapenzi kwa sababu Clara alimuahadi kuwa hawezi kushiriki mapenzi na mwanaume yeyote mpaka hapo wakapofunga ndoa. Hali hii iliweza kudumu tangu wakiwa form five mpaka sasa wapo chuo kikuu. Kitu kilichokuwa kina mfanya Stive aweze kubalai yote hayo ni kwa sababu na yeye hakuwahi kufanya mapenzi. Lakini pamaja na yote haya mapenzi yao yalikuwa ni imara sana tangia wakiwa shuleni.



    Walipendana kama kumbikumbi waliongozana kama siafu na walilindana kama Nyuki.Stive naye alikuwa ni mtoto aliyetoka kwenye familia ya kitajiri mara baada ya kumaliza kidato ca sita tu alipata fursa ya Kwenda nje ya nchi. Ilimuia ngumu sana kuachana kwa mada na binti ambaye alikuwa akimpenda lakini haikuwa na jinsi kwa sababu wazazi wake walishinikiza ni lazima aende kusoma nje ya nchi. Baadaye waliagana na hatimaye Stive kuondoka na Kwenda nje ya nchi. Chunga sana ahadi ndo msemo ambao walikuwa wakiutumia sana na kila mmoja alijiamini kuwa ataweza kuvumilia kwa kipindi hicho na baada ya kumaliza chuo wataoana.



    Ahadi hii ya kutunza usichana wake ndiyo iliyokuwa inamliza Clara hasijue nini cha kufanya mara baada ya kugundua kuwa tayari alishaupoteza usichana wake. Alilia sana huku akikumbuka jana usiku kwa mashindikizo ya Rafiki zake walikuwa wakisherehekea ushindi wa Miss University alioupata. Binti huyu ndiye mshindi mpya wa shindano hilo na hiyo ni kutokana na mashinikizo ya wadau wengi waliomtaka agombee nafasi hiyo ili kuwaibua kidedea mwaka wa kwanza ambao hawakuwahi kushinda mashindano hayo tangu yaanzishwe.

    Rafiki zake aliokuwa akikaa nao hostel Saraha na Noela ndio waliomchukulia form na kumjazia mara baada ya kugundua kuwa licha ya uzuri pi alikuwa na kipaji cha kuigiza ambacho vyote kwa pamoja zingetosha kumfanya awe mshindi wa ulimbwende chuoni hapo.



    Baaye alikubali na kushiriki shindano hilo ambalo aliibuka mshindi. Lakini Noela na Saraha hawa ni mabinti ambao walikuwa wamemzidi miaka hapo shuleni. Saraha alikuwa mwaka wa tatu na Noela alikuwa mwaka wa pili kwa levle ya degree. Lakini walishakaa chuoni hapo kwa zaidi ya miaka 5 kwa sababu walianzia ngazi ya cheti. Hawa wote ni mabinti warembo sana ambao pamoja na urembo wanasifika kwa sifa ya umalaya hapo chuoni na mtaani.



    Saraha ni konkodi na ni binti aliyekubuhu kushinda Noela. Noela alikuaja akiwa binti mzuri lakini aliharibiwa na Saraha. Sasa juhudi hizi za Saraha kahakikisha kila msichana anayekuja anakuwa na tabia zake ndo hizo zilianza kuzaa matunda mara baada ya kufanikisha Clara kupoteza uanawali wake. Sarah ni binti ambaye alikuwa na sifa za kiume na kike kutokana na tabia yake ya kujichanganya na wanaume.Pamoja na urembo wake alikuwa akipenda sana kukaa na Wanaume na wanaume wengi ambao hawakuweza gharama zake walikuwa walimtumi ili awatongozee wasichana hasa wa mwaka wa kwanza.



    Sasa kwa miezi kadhaa alikuwa akiangaika kumbadli tabia Clara bila mafanikio. Lakini kuweza kumshawishi kushiriki shindano la umiss na kushinda ilikuwa ni hatua kubwa sana kwake.Kwani usiku huo huo aliweza kumlazimisha binti huyo kuonja pombe jambo ambalo hakuwahi kulifanya tangia azaliwe. Baada ya kufanikiwa kumzimisha walimbeba na kumpelaka chumbani kwake. Komba mwiko huyu kwa roho mbaya aliyokuwa nayo aliamua kumpigia simu mwanaume ambaye alikuwa akimfuatilia Clara kwa zaidi ya miezi kadhaa bila mafanikio. Aliamua kuchukua pesa kisha kuruhusu mwanaume huyo kulala na Clara bila idhini yake.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Clara haya yote hakuyajua lakini anakumbuka mara ya mwisho alikuwa kwenye party ya kumpongeza mara baada ya kushinda taji la miss University. Na hili kuwafurahisha marafiki zake aliajaribu kuonja pombe. Baadaye alianza kulewa na tangia hapo hakujua nini kilimkuta mpaka hapo aliposhtuka kutoka usingizini.Baada ya kujikagua na kuanza kulia kwa yaliyomkuta mara alisikia maji yakitirika kutoka bafuni.Hapo alinyamaza kimya na kutaka kujua ni nani aliyekuwa akioga ndani ya chumba chake. Chumba chake kilikuwa ni cha kisasa hivyo choo na bafu vilikuwa ndani. Alinyanyuka kwa hasira pale kitandani na Kwenda kufungua mlango. Mungu wangu roho yake ilipasuka kwa mshangao mara baada ya kumkuta aliyekuwa akioga ni mwanaume ambaye



    Ni mwanaume ambaye walikuwa naye kwenye party yake na huwa anamsumbua kila siku akimtaka kimapenzi. Mwanaume huyu kwa jina Majidi amekuwa akimsumbua Clara kwa muda mrefu na ameshatumia gharama zake nyingi za fedha na mda kumshawishi binti huyu bila mafanikio. Ni mwanaume handsome sana ambaye anasifa ya kupendwa na kutakwa na mabinti wengi na amekuwa akiaminika kuwa na mvuto na ushawishi mkumbwa kwa mabinti. Kitendo cha Clara kumkataa ni kitu ambacho kilikuwa kikimuumiza usiku na mchana na aliaapa kuwa atatumia mbinu zote hili tu aonje penzi la binti huyo. Aliaapa kuwa atatumia mbinu zote halali na zisizo halali na ikibidi ataenda hata kwa mganga ili mradi tu awe na binti huyo. Baada ya dhamira hizo zote Majid alijemga urafiki mkumbwa na Saraha mwanamke ambaye anaaminika kuwa na ushawishi mkumbwa sana kwa wasichana. Baada ya mbinu za ushawishi wa kawaida kushindikana sasa waliamua kutumia mbinu ya kumrubuni binti huyu kunywa pombe na huku ndiko walipofanikiwa kumuwekea dawa ambayo ilitosha kabisa kumfanya alewe na kuonekana mwenye usingizi. Hawakufanya makosa waliondoka naye wakamwingiza kwenye gari yake kisha wakampeleka kwenye chumba chake. Kwa kuwa alikuwa hajitambui walishauriana na Sarah nini cha kufanya na mwishowe wakafikia muafaka kuwa Majidi alale na binti huyo. Ulikuwa ni uamuzi wa kikatili lakini kutokana na tama na uchu wa ngono walitimiza hatma hiyo.

    “Majidi kwa nini umeamua kunifanyia hivi? , Clara alihoji uku machozi yakimtoka. “Usilie Clara mbona ulinikubalia mwenyewe”, Majid alijibu huku akitabasamu na kuendelea kujifuta maji mwilini mwake kwa kutumia taulo jeupe la binti huyo na kumfanya azidi kupata uchungu. Clara alijiangalia tena kuanzia chini mpaka juu akagundua kuwa tayari mwili wake haukuwa na thamani tena. Aliwaza zawadi ambayo alikuwa amemtunzia Stive wake kwa sasa imetolewa na mtu ambaye hampendi hata kidogo. Clara alimwaga chozi, Clara alilia, Clara alibadilika na kuanza kuwa mwekunde. Hasira zilimfika kwenye koo midomo yake ikawa inacheza cheza na hakuweza hata kutamka neno lolote. Uchungu alioupata hakuwahi kupata hapo kabla. Aliinama chini akahisi miguu yake inatetemeka na nguvu kumuishia. “Yaani mwanaume huyu ananingilia bila idhini yangu, yaani mwanaume huyu anaondoa furaha yangu”,Clara alilalama kwa uchungu.Alishindwa kuendelea kuinama na badala yake alikaa chini kabisa. Alilia huku akizishika nywele zake ndefu zilizokuwa kivutio pia kwa wavualna na hata wasichana wenzake. Alijuta kupanga hostel za nje kwa maana alikuwa akilala mwenyewe na ndio chanzo cha yote.

    Majid baada ya kuoga na kujifuta vizuri huku moyo wake ukiwa na tabasamu alitoka bafuni. Alimwangalia binti huyo jinsi alivyokuwa akilia na kujutia kufanya mapenzi na mwanaume huyo. Alimfuata Clara kisha akampiga busu na kumwambia “Hakika usiku wa leo ulikuwa ni usiku wa furaha kubwa sana. Ni kweli nimelala na kufanya mapenzi na wasichana wengi sana lakini tangia nizaliwe sikuwahi kumtoa msichana bikira. Hakika kwa heshima hii nitakupenda daima na nipo tayari kuwaacha wote niwe na wewe”.Majidi aliongea maneno hayo kwa hisia sana kisha akapiga magoti na kumpiga busu binti huyo. “Ni kweli nimekosa, ni kweli una haki ya kuumia lakini kwa sasa aliyeyasababisha haya machozi ndiye anayeweza kuyafuta Miss Chocultae amini nakupenda na nitakulinda”, Majid aliendelea kumwagia sifa mlimbwende huyo. Manene hayo yalizidi kuuchoma moyo wa Clara kama pasi. Miale ya maumivu ilipenye kwenye kila mishipa ya damu wa binti huyu. Alihisi dunia kumuangukia na alitamani hata kuchimba kaburi ajifukie hili hali akiwa bado mzima. Katika hekaheka hizo za mvurugiko wa hisia na maumivu ya nafsi alijikuta ghafla amenyanyua mguu wake na kumpiga teke la uso mwanaume huyo ambaye alikuwa mbele yake.

    Majid aligugumia kwa maumivu maana lilikuwa ni teke la nguvu lilompiga usoni. Clara akajinyanyua pale kwa nguvu akapiga hatua mbili kisha akageuka na kumuangalia tena Majid. “Adhabu hii haikutoshi kwa ukatili uliofanya”, Clara alijisema kisha akatoka nje. Kulikuwa hakuna kabisa ushirikiano kati ya akili yake na kitu ambacho alikuwa akitaka kukifanya. Clara alikuwa kama mtu aliyechanganyikiwa kwa muda. Alikuwa akihema huku sura yake ikivaa uhusika wa ukatili uliopitiliza. Alitamani hata kupoteza uhai wa kijana huyo. Kwa kuwa roho yake ilishachafuka alivyofika nje aliangaza huku na kule kabla ya kuona gongo la mti ambao ilkuwa pembezoni.Bila kushirikisha ubongo wake Clara alinyanyua ule mti kuingia nao ndani.Alimkuta Majid akiwa bado amejiinamia pale sakafuni akiugulia teke alilompiga na maumivu ya pigo la kike mara alisikai kama mtu kaingia chumbani hapo.Moja, mbili, tatuuuu, Clara alihesabu moyoni mwake kabla ya kunyanyua gongo hilo na kumpiga nalo kichwani. Alilishusha kwa nguvu sana na hapo Majid alibaki kugugumia na kuanza kutupa tupa miguu kama mtu aliyekuwa amechanganyikiwa.

    Maumivu yalikuwa makali sana hasa ukilinganisha na maumivu yale ya teke. Majidi alitutupa miguu kama Kifaranga kilichopata kideri. Macho yalimtoka na kuanza kutokwa na povu mdomoni. Clara sasa na yeye akaanza kushangaa na kujutia kitu ambacho alikifanya. Akili zake zikaanza kumrudia na aligundua kuwa alichokifanya hakikuwa kitu sahihi kabisa. Viganja vya mikono yake laini vilikuwa vimeifumba midomo yake na kuanza kutetemeka. Hakuwahi kuona mtu akiwa kwenye hali hiyo. Alihisi kuwa huenda amefanya mauaji bila ya kukusaidia. Hakujua nini cha kufanya akaanza kupiga piga miguu na kuzunguka hapo ndani kama mtu aliyechanganyikiwa. Clara alizidi kuchanyikiwa mara baada ya kuona Majidi aliacha kutupa tupa miguu na kutulia tulia kama mtu aliyepoteza uhai. Wakati Clara akiwa amechanganyikiwa hajui cha kufanya mara kuna mtu aliingia kwenye chumba hicho. Hakuwa mwingine bali dada la dada Komba Mwiko mkumbwa yaani Saraha. “Nini kimetokea Saraha alihoji kwa nguvu mara baada ya kuona damu na mtu akiwa amejilaza chini akiwa tuli”. Clara hakuweza kuongea zaidi alionesha kwa kidole kuwa wampe msaada. Saraha kwa ujasiri alijaribu kumshtua mwanaume huyo lakini hakushtuka kabisa.

    Alimtingishatingisha lakini Majidi alikuwa ametulia tuli kama maji ya mtungini. “Amekukosea nini mpaka umpe adhabu kumbwa namna hii?”, Sarah alimgeukia Clara na kumuhoji kwa hasira. Clara hakuwa na jibu la kumpa zaidi ya kutetemeka tu. Mara akaingia Noela ambaye naye alikuwa akikaa kwenye nyumba hiyo hiyo. “Kulikoni Majidi amepatwa na nini”, alihoji kwa shauku. Fanya kuita tax kwa maana hali yake ni mbaya sana, alipendekeza Sarah. Noela alaitoka mbio mbio hadi nje na kumwita Dereva tax. Uzuri nyumba waliyokuwa wakikaa ilikuwa karibu na barabara hivyo ilikuwa ni jambo rahisi sana kupata msaada.

    Kwa msaada wa dereva taxi waliingia ndani na kumchukua Majidi. Hraka haraka walimkimbiz ahospitalai ambayo walikuwa karibu nayo. Kwa jinsi kijana huyo alivyotulia kila mtu alikuwa na wasiwasi uliopitiliza. Clara hakuweza kuongea kitu zaidi ya kulia tu. Hofu kuwa huenda kijana huyo akapoteza maisha ilikuwa ni kumbwa. Walifanikiwa kumfikisha hospitali na akapokelewa kwa haraka na kuingizwa kwenye chumba cha wagonjwa mahututi. Katika chumba hicho madaktari walikuwa wakiingia na kutoka na kuzidisha hofu miongoni mwa watu waliompeleka hospitali. Waliendelea kusubiri na mara waliona nesi ametoka huku mtu wa mochwari naye akiwa anasukuma kitanda kilichobeba mwili na walikuwa wakikiendesha kukipeleka sehemu ya kuhifadhi maiti. Clara, Saraha, Noela wote waliangaliana na hakuna aliyejua kuwa aliyefariki ni Majidi au ni mgonjwa mwingine. Taharuki ikatawala, giza totoro na ukungu wa hofu ukazidi kutawala mioyoni mwao.



    Clara kwa hofu zaidi ilibidi aanze kutafuta ushauri kwa ndugu jamaa na marafiki. Alihisi kabisa malengo wa jela inaweza kufunguka na yeye kuingia.Pia kwa akili yake ndogo aliweza kung’amua kuwa kukaa hapo kungeendelea kumwongezea uwezekano wa yeye kuja kukamatwa na polisi. Aliogopa zaidi kwa maana marafaki zake walikuwa wakimwangalia kwa jicho baya. Alichukua simu yake na moja kwa moja akampigia binamu yake ambaye alikuwa ni Mwanasheria kwenye moja ya kampuni iliyopo hapo hapo Mjini Moshi. Kwa kuwa ni mtu ambaye walikuwa wamezoeana sana hakuogopa umri wake alimweleza moja kwa moja kuwa alikuwa akihitaji ushauri wa haraka la sivyo utaleta madhara. “My kaka binamu siwezi kukuambia yote lakini kwa kifupi nahisi nimeua na hii ni mara baada ya kuingiliwa kimapenzi na mwanaume bila idhini yangu”, Clara alieleza huku akilia. “Upo wapi kwa sasa”. “Nipo KCMC hospitali nifanyaje maana nimechanganyikiwa”. Nipe daika 5 nitakuwa hapo kwa maana na mimi nipo njiani kuna mgonjwa nilikuwa nahitaji kumuona. Aliongaea binamu yake huyo na kukata simu. Clara hakuweza kurudi tena nyuma ili kuangalia ni nini kilikuwa kikiendelea. Alichokifanya ni kusogea mpaka getini ambapo aliamini kuwa atakutana na binadamu yake ambaye atamsadaia. Akili yake sasa ilikuwa inafanya kazi vizuri tu na alaitamabua hatari ambayo ilikuwepo mbele yake hatari ya kufungiwa kwa kosa la mauajai. Clarara alaienda mapka getini na akawa naangalai kw amakni kila gari lilokuw alikiingia. Mra aaliliona gari la bindamu yake huyo.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Ilikuwa ni kawaida yao kusaliamiana kwa kukumbataina lakni siku hiyo walipeana tu mikono. Binamu yake huyo kwa jina Kelvin aligundua hali ambayo alikuwa nayo Clara hivyo alipaki gari na kumpa ishara kuwa pande ili wazungumzie humo. “Yaani binadamu kuna vitu vingne ni vya aibu na haifai kukueleza lakini hili nitakueleza”. “Usohofu wewe ni wangu kuwa na amani niambie tu ili nijue nitakusaidiaje”, Kelvin aliongea kwa upole. “Jana kukilikuwa na party mara baada ya mimi kushinda taji la miss University. Ilikuwa ni furaha sana na marafiki zangu waliokuwa wakinishindikiza nishiriki walifurahi sana na walinishawishi sana ili nionje pombe. Si unajua tena mimi tangia nizaliwe sikuwahi kunywa pombe. Kwa furaha niliamua kuonja huku nikiamini kuwa hata nikizidiwa nilikwa na marafaiki zangu hivyo wengenifikisha nyumbani salama. Lakini sikujua nini kilitokea lakini nahisi kuwa waliniwekea madawa ya kulevya. Sikujau hata walinifikisha nyumbani saa ngapi. Niliposhituka nilijikuta katika hali ambayo nashindwa kuelezea”. Hapo Clara uso wake ulikuwa umejawa na machozi yaliyokuwa yakilenga lenga kila alipotamka neno. Sasa yalitoka bila kujizuia. Kitambaa chake alichokuwa amekishika hakikutosha kuyazuia.

    Usilie Clara ebu malizia kunielezea ili nijue hatau za kukusaidaia. “Inaniuma sana kaka kwani usichana wangu niliutunza kwa mda mrefu sana na nizawadi ya pekeee ambayo nilipanga kuja kumzawadia mwanaume ambaye atanioa yaani Stive. Lakini sasa yamenikuta mwenzio makumbwa na ya aibu. Asubuhi nilipoamka nilijikuta tu nimeingiliwa na mwanaume, mbaya zaidi mwanaume huyo alikuwa akioga. Kwa kitendo hicho sikuweza kuvumilia nikatoka nje na kuchukua gongo nikampiga nalo kichwani. Alizima na tumempleka hospistali anahisi atakuwa amekufa maana nilimpiga sehemu za kichwa”, lara aliendeles kusimulia huku akilia. “ Ishia hapo hapo hata usiendelee shuka twende nifuate”, alisema Kelvine. Ilionekana na yeye kuchanganyikiwa kwa maana alikuwa akitembea kwa nguvu sana. Clara akawa anamfuata nyuma nyuma kwa kukimbia maana hiyo spidi haikuwa ya kawaida. Mara akasema au twende kwanza polisi kabla ya kukupima Kelvin aliongea na kuanza kugeuza. Alikuwa na mwendo ule ule ulimlazimisha binti huyo kusahau mwendo wake wa madaha alizoe kutembea na kumfuata binamu yake. Waliingia kwenye gari na moja kwa moja safari ya Kwenda kituo cha polidsi ilianza. Walifika kituo kikubwa cha polisi cha Mjini Moshi wakafungua jarada la mashtaka ya ubakaji. Binamu yake alikuwa makini sana ili kumuokoa nduguye na janga la mauji. Baada ya kutoa maelezo na kusisitiza kuwa haikuwa idhini yake polisi waliamua kwenda na binti huyo hospitali.Lengo alikuwa ni kumpima ili kuona kama kulikuwa na mabaki ya manii ukeni.

    Walirudi kule kule KCMC na sasa walikuwa wakiongozana na polisi.Kwa kujau sheria kwa binadmu yake kulitosha anaglau kumpa faraja Clara na kuona huenda akasalimika na mkono wa sheria. Alipimwa na kweli alikutwa na manii ukeni. Hiyo ina maanisha Majid usiku ule alipomwingilia hakutumia hata kinga. Maelezo ya daktari yakaandkiwa na kuambatanishwa na Maelezo ya Clara kisha sasa wakachuku RB ya kumtafuta Majidi ambaye alifunguliwa mashtaka ya ubakaji. Kwa upande wa Majid yeye mara baada ya kufikishwa hospitalini ilikuwa ni ngumu sana kumpa tiba kwa sababu alikuwa amelewa. Zile pombe alizokunywa usiku zilikuwa bado zipo kichwani hivyo madaktari walimpa tu huduma ya kwanza huku wakisubiri walau masaa kadhaa yapite ili kiwango cha ulevi kilichopo kwenye damu yake kipungue. Walishauri kuwa kumpa dawa kwa wakati huo ilikuwa ni jambo la hatari zaidi. Waliendelea kusubiri kwa mda fulani huku wakimtundikia dripu ya maji. Hali ya Majid badala ya kutengemaa ikazidi kuwa mbaya. Ilibidi Noela na Saraha wawapigie marafiki zake wengine ili waweze kufika hapo. Msaada wao ulihitajika kwa sababu mabinti hao mara baada ya kuulizia walimbiwa kuwa alikuwa bado akaipumua.

    Mabinti hao pia walikuwa na hasira sana kwa sababu aliyefanya tukio hilo yaani Clara aliwakimbia. Jambo hilo liliwakera sana na kuona kwamba binti huyo alifanya jambo hilo kwa kukusudia. Wanafunzi walianza kukusanyika hospitalini maana habari zilisema kuwa hali yake ilikuwa ni mbaya sana. Marafiki zake wa Karibu na Mjaidi ilibidi watoe taarifa hizo kwa ndugu wa kijana huyo. Baba yake ambaye naye hakuwa mbali sana alikuwa tu mkoani Arusha alihadi kufika hopsitalaini. Wakati yote haya yakijiri na madaktari sasa wakianza kumuangaika Majidi ili kuokoa uahai wake polisi nao walifika eneo hilo. Walifika hapo na bila huruma waliongea na askari kisha walimfunga pingu kijana huyo akiwa hapo hapo hospitali. Yaani mikono yake ilifungwa kwenye kitanda alicholalia kuonyesha kuwa alikuwa ni mwalifu na baada ya mda au akaipona anatakiwa kufikishwa kituoni na kusubiri kupandishwa mahakamani kwa kosa la mauji. Jambo hili liliwakera sana wanafunzi wa kiume na kufanya watokee kumchukia binti huyo ghafla. habari hizi za kusikitisha na kushangaza zikamfikia baba yake na Majidi ambaye ni mtu maarufu sana mjini Arusha. Mzee huyo alikuwa ni miongoni mwa wafanyabiashara ambao walikuwa na majina. Mzee huyo alikasirika sana kusikia eti mwanaye amefungwa pingu hili halali hali yake ilikuwa mbaya. Aliwahidi kufika hapo mara baada ya dakika 50.



    Clara yeye mara bada ya kugundua kuwa kijana yule hakufa na kitendo chake cha kumshtaki na kupeleka kufungiwa pingu hili hali alikuwa ni mgonjwa alirudi hostel tayari kwa kupaki vitu vyake ili aondoke. Alihofia sana usalama wake akajua kwa jinsi kijana huyo alaivyokuwa akipendawa na watu wengi itakuwa vibaya sana yeye kuendelea kuonekana eneo la chuoni. Alijifikiria kama aombe ruhusa lakini akaona kuwa kulikuwa ni muhimu kumpa taarifa CR wao(Class representative) au monita kama ingekuwa ni sekondari. Alijua kabisa Majadi alikuwa na marafiki wengi sana na wengi wao walikuwa ni wahuni na wakorofi hivyo wangeweza hata kumvamia na kumfanyia shambulizi la kudhuru. Kwa kuwa hakuweza kwenda Dar siku hiyo alichoamua kuwa ataenda kukaa kwa binamu yake ambaye ni Mwanasheria mpaka hapo mambo yatakapokuwa sawa. Baada ya kupaki vitu vyake vya muhimu sasa akawa anatoka ili kutafuta gari itakayompeleka maana walishaaachana na binadamu yake. Ile anatoka tu alikutana na polisi wawili. “Wewe ndo Clara?”, alihoji mmoja wa polisi hao kwa sauti ya amri. “Mimi sio Clara mimi ni Saraha alijibu Clara huku akitetemeka. “Usitufanye sisi watoto haya rudisha mizigo yako unahitajika kituo cha polisi”. “Kwani nimekosa nini jamani, Clara alihoji kwa upole.” Utaenda kujua huko huko.

    “Nitaweza kumpa taarifa wakili wangu”, Clara aliuliza mara baada ya kuona kuwa amri imekuwa kumbwa na kuepusha shari bora atii sheria bila shuruti. “Utampa taarifa ukifika huko hivyo kuwa na Amani”. Waliondoka wakaingia kwenye gari ambayo walikuja nao hao polisi. Alifika akaambiwa anatuhumiwa kwa kosa la kujeruhi na kusababiisha madhara kwa mpenzi wake. Clara alishangaa sana kusikia eti Majidi ni mpenzi wake. Yaani yule mbakaji mnamwita mpenzi wangu. Kweli nyie hamna huruma naombeni simu niongee na wakili wangu. Mwanz walisita kumpa simu kwa sababu walijua wanachokifanya. Hawa walaipata amari kutoka kwa baba yake na Majid kuwa binti huyo akamatwe na wekwe ndani kabla yeye hajafika Moshi. Na a hayo aliweza kuyasema kutokana na nguvu ya pesa aliyokiwa nayo mfanya baishara huyo.Licha nguvu ya pesa pia alaikuw ani mtu maarufu sana. Clara alishangaa sana kunyimwa nafasi ya kuongea na wakili wake ili kumpa taarifa kuwa alisekw andani. Alikabidhi vitu vyake pale kaunta na alaingizwa ndani. Roho ilimuuma sana na alipata uchungu kwa sababu hakupenda kabisa mambo hayo yatokee na hata kama yameshatokea basi alikuwa na nafasi ya kupata msaada wa kisheria kama yalivyo matakwa ya kisheria.

    Wakati yeye akaingia ndani kwa kosa hilo lilofanywa kuwa kumbwa na nguvu ya pesa kule hospitalai mambo yalizidi kuharibika. Hali ya Majid ilizidi kuwa mbaya sana. Baba yake na ndugu wengine walifika na sasa walikuwa wakifoka kwa nini mtoto wao hakupewa huduma sitaika alipofika tu hospitalai. Wa;imwleza kuwa ni ngumu sana kumtiabia mgongwa mbaye alaikuwa na ulevi mwilini. Ilionesha kuwa kuna damu ilivuja kwenye ubongo. Tatizo hili huweza kutokea gahfala kwenye ubongo ambapo mtirriko w adamu kwenye eneo Fulani kwwnye ubongo husitishwa ghafla u kupunguza hivyo kusababisha eneo hilo la ubongo kukosa damu au viritubisho muhimu. Kwa hiyo ilionekana kuwa arteri ndani ya ubongo zilivuja damu na kuppasuka. Kwa hiyo damu iliyovuja ililrta mgandamizo kwenye seli za ubongo wa Majid na kuziharibu. Mdaktari walieleza kuwa kupasuka kwa mishipa ya damu kulisababishwa na hypertension trauma na huend Majid alitumia daawa za kuongeza nguvu kwa mda mrfu na kusababisha mishipa ya damu kupunguza unene. Kwa mujibu wa dkatai vitu hizi ndivyo vilipelekea kifo cha Majid.

    “Majid mwanangu amekufa?”, Baba alihoji kwa hamaki mara baada ya maelezo ya mda mrefu ambapo yeye kwake yalikuwa ya kitaalamu sana hivyo hakuyatilia maanani. Kutega kote siko alikuwa akitaka kusikia kuwa pamoja na hayo yalitokea kuwa mwanaye anaendelea vizuri na ataweza kupona. Kauli hii kuwa Majid amefariki sio kuwa ilimchanganya tu baba yake na ndugu zake wengine hata wanafunzi marafiki wa karibu wa Majid ambao walikuwa hapo hospitali. Baba mzazi wa Majid aliapa mbele ya madaktari na marafiki kwa karibu lazima atamfunga huyo binti. Hapo hapo alinyanyua simu na kupiga polisi. “Afande vipi mlifanikiwa kumkamata yule binti aliyempigia mwanangu?. “Ndio tulifanikiwa na kwa sasa yupo polisi”. “Sasa huyo sio tena mjeruhi bali ni mauaji”. Mwanangu amefariki dunia na hasira sana na nasema hakikisheni sheria ianafauta mkondo wake kwa kilichotokea. Asante kwa taarifa kiongozi tutafika pia eneo la hospitalai ili kupata taarifa Kamili ya dakatari. Heka heka zikawa kumbwa kila mahali hofu na huzuni vikaongezeka. Mapenzi yamezua majanga makumbwa katika familia hizi. Baba Majid aliondoka hapo kwa hsira na alitaka kwenda kumuona huyo binti anafanaje mpaka apelekee kifo cha mwanaye. Aliwashangaza wengi kuondoka kwake maana watu walitarajia kuwa ataangaika na mwili wa Marehemu na kukamilisha taratibu zingine za Mazishi. Aliingia kwenye gari yake na kwa mwendo wa kasi aliondoka hospitalini hapo.Kwa kuwa alikuwa kama mtu aliyechanganyikiwa alivyofika makutanao yao barabara hakuangalia vizuri upande wa pili. Akauanga kwa nguvu jambo lillopelekea ajali. Haikuwa ajali kubwa sana lakini ilikuwa ni ajali baina ya gari lake na gari la abiria. Ingawa upande wa pili wa gari la abaria hakuna mtu aliyepoteza maisha ila mzee alipata majeraha makali ambayo yalisababisha kurudishwa hospitalini kwa matibabu.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Kelvin binamau wa Clara akaiwa zake home amejituliza na mkewe mara napoe habari ya kupata kwa jail ya mfanyabishara marufu bilione awa mokano Arusha. Habari hiyo inaelza kuwa chanzo cha ajali hiyo ni kuwa baba alaikuwa amecahanyikiw amra baada ya kumpoteza mwanye mpenda kwa jina Majid amabye alaikuwa amelazwa hospitalini hapo mara baada ya kupigwa na kujeruhiwa vibaya nampenzi wake kwa jina Clara. Chanzo cha ugomvi huo inadaiwa ni wivu wa kimapenzi. Kelvin badala ya kuhuzunika kutokana na kupoteza maisha kwa Majid yeye alitabasamu kwa sababu habari ilionesha kuchakachuliwa. Akagundua kuwa binamu yake atakuwa kwenye wakati mgumu sana kutokana na habari hiyo. Akaamua kuchukua simu yake na kumpigia.Simu ya Clara ilikuwa haipataikani na hapo sasa ikamuongezea hofu na akashindwa kuelewa ni nini kilikuwa kinamapata. Alaimua kuondoka na kuelekea hospitali ili kuona nini kilikuw akikiendelea huko.Aliamua Kwenda KCMC kwa sababu alitakiwa pia Kwenda kumuaoona mgonjwa ambaye ni Rafiki wake wa karibu. Aliwasha gari na kuelekea huko hospitali.Alivyofika alaimua pia kutumia akili yake kwa ili kujua kama anaweza kupata habari za ndugu yake.

    Alionana na Rafiki wa Clara na alifanikiwa kumuuliza kuwa binti huyo atakuwa wapi kwa sababu namba yake haipatikani. Rafiki huyo hakutaka kuzungukazunguka kwa sababu alijua Clara alipopelekwa.Alimweleza kuwa binti huyo alipelekwa polisi mara baada ya baba wa Marehemu kuja juu na kuwa mkali juu ya kifo cha mwanaye. Alieleza kuwa baba huyo ameapa kuwa lazima atamfunga binti huyo. Watoa habari walioeleza kuwa walisikitishwa sana na kinachotokea kwa sababu ni dhairi kwa utajiri aliokuwa nayo baba huyo lazima Clara ataozea jela. Kelvin mara baada ya kusikia hayo roho yake ilimuuma sana na aliamua kwenda mpaka kituo cha polisi ili kumuona Clara. Alifika pale na kwa kwa bahati nzuri aliwakuta baadhi ya polisi wakibishana juu ya swala hilo. Wengine walihoji ni kwa vipi binti ambaye alaibakwa na alikuwa akijitetea kutuhumiwa kama muajai. Wengine walisema ni ngumu sana kwa binti wa ukumbwa huo kubakwa. Kelvii kwa kuwa alikuwa akijulikana walivyofika walitulia. Hakuwa na cha kupoteza mda alienda moja kwa moja kuuliza kwa nini wameamua kuchukua rushwa na na kumtesa binti huyo. Walikuwa hawana jibu la kumpa zaidi walimwambia aongee na mkuu wa kituo ili kuona kama wataweza kumsadia.



    Kelvin ambaye alionekana kabisa kutopendezwa na kitendo hicho aliamua kuongea na mkuu wa kituo ambaye alikuwa yupo eneo hilo. Hata hivyo jitihada zake hazikuzaa matunda kwa sababu bado hata mkuu wa kituo alimweleza kuwa hiyo ni kesi ya mauajai hivyo yampasa kutumia akili na sio hisia kwa sababu hakuna jinsi ambyo anaweza kutumia kumuachia muaji kwa dhamana. Walibishana huku kila mmoja akitoa ufafanuzi wa nini anachojua kuhusu sheria. Mwisho wa siku Kelvini aliruhusiwa kuongea na na mteja wake yaani Clara lakini aliambaiwa wazi kuwa hawezi kumuachia kwa dhamana. Clara aliongea sana na Kelvini na tayari alionekana kukata tama juu ya kile mbacho kilikuwa kikiendelea.

    Clara alimweleza wazi wakili huyo kuwa kwa sasa anahisi ameingia kwenye matatizo makumbwa sana kwa sababu kesi hiyo pia itaendeshwa kwa misingi ya kujuana na kutumia pesa nyingi badala ya sheria. Maneno haya ya Clara yalikuwa ya hisia sana na yenye kuumiza. Kelvin hakuwa na cha ziada na wala hakukata tamaa. Alimfariji sana na alionesha kumjali kupita kiasi. Walishauriana kuwa kama kulikuwa na umuhimu wowote wa kuwaeleza wazazi wake wa juu ya nini kilikuwa kikiendelea.



    Inagwa Clara alikuwa hataki habari hizo ziwafikie wazazi wake lakini jambo hilo lilikuwa na umuhimu mkumbwa sana. Kelvini alimwambia kuwa jambo hilo hawawezi kufanya siri hivyo yeye atatauamia nafasi yake ya ushawishi kuwaeleza mpaka waelewe. Mda wa kuongea na mteja ulikuwa umeisha hivyo ilimlazimu kuondoka. Clara alisikia jinsi polisi mmoja wa kiume akiwa anafoka na kusema binti mzuri lakani hana akili na ni malaya. Safarai yake ya kuwachukia wanaume ikiwa sasa imeanzia hapa.

    Alijona hasiye na haki yoyote huku duniani. Alijiona ni mpungufu hasiye stahili mbele za wanadamau na hata Mungu. Hakuna usiku ambao ulikuwa mgumu kama usiku wa siku hiyo. Clara alikuwa ni wa kulia na moyo wake. Alimwaza baba yake akamwaza mama yake kwa jinsi ambavyo wangepokea habari hizo kuwa eti mwanao alikuwa rumande tena kwa kosa la mauaji lilosababishwa na wivu wa kimapezi. Likuwa ni jambo ambalo haliingii aklilini. “Huyu Malaya nitahakikisha na yeye anaonja joto ya jiwe huku ruamande haiwezekani akaniulia mwangu kirahasi hivyo” . Hii kauali ilikuwa ikijirudia rudia mara nyingi kwenye ubongo wake. Ilimuuma sana na hakutamani hata kuenedelea kuishi. Alijua kwa kuwa yeye alikuwa ndio mtoto wa pekee katika familia ya mzee Asanga basi jambo hili litaleta mkanganyiko mkumbwa.



    Clara usiku kwake uligeka mchana na hakupata hata lepe la usngizi. Mawazo ya hisia pia yaliamia kwa Stive mwanaume wa ndoto zake. Alijaribu kuvuta taswira ni vipi mwanaume huyo atazipokea habari hizo mara baada ya kuzisikia. Alijua kabisa kulikuwa na mwanafunzi ambaye ni ndugu wa mwanume alikuwa akisoma chuo ambacho yeye alakuwa akisoma. Na mwanaume huyo siku zote alikuwa akichukua jukumu la kumlinda ma kuhakikisha kuwa anafanikiwa kwa kila jambo. Pia alikuwa na jukumu la kutoa taraifa kwa Stive juu ya mwenendo wa binti huyo hapo chuoni. Alijua kabisa kwa jinsi swala hilo lilovumishwa na kuwa habari ya uwongo lingemuumiza sana mwanaume huyo.



    Alijua jinsi Stive alivyokuwa akimpenda na kumjali. Hakuona thamani yaka kabisa na alijiapiza kuwa kama Stive mwanaume wa ndoto zake hatomsamaehe basi atalipiza kisasi kwa wanaume wote ambao watamtaka na kumsumbua kwa minajili ya mapenzi. Usiku huo kazi kumbwa ilkuwa ni kulia na kusalia.Kuna muda a alikumbuka kuwa anatakiwa kumkabidhi Mungu mambo yake kwani lisilowekezana machoni pa mwanadmu basi kwa Mungu linawezekana. Alisali huku akiamini kuwa hayo yote ni majaribu ya muovu shetania.



    Kwa upande wa Kelvini yeye mara baada ya kuondoka pale kituoni alienda moja kwa moja nyumbani na hakutaka kupoteza muda. Alichukua simu yake akajaza muda wa maoangezi wa kutosha na kumpigia baba Clara ambaye yeye alimwita Mjomba. Alikuwa ni mtu wa muhimu sana kwa maana ni mtu ambaye anahusika kwa kiasi kikumbwa kwa mafanikio yake. Ni mtu amabye alikuwa akipendana sana na mama yake na ni ndugu ambaye aliyagharamia kwa kiwango kikumbwa masomo yake hasa pale famia yake ilipokuwa ikiyumba kiuchumi. Alimweleza mjomba wake kinaga ubaga kuwa mdogo wake Clara alikuwa akipitia kile alichokiita majaribu ya dunia.



    Alimweleza kila kitu hakumfiha hata jambo moja na pia aliwasihi kwa sasa wasiwe na hofu sana kwa sababu yeye kama yeye atasimama kidete kumtetea mpaka mwisho. Alimweleza kuwa kwa sasa jeshi la polisi halimjui kama ndugu wa Clara bali ni wakili ambaye analaipwa kwa ajali ya kesi hiyo. Baadaye walikubaliana kuwa ni vyema tu akamshirikisha na mkewe ili hasije kushtuka pindi atakapozisikia habari hizo kwa watu wengine. Kitu ambacho kilikuwa kikimuumiza sana Kelvini ni kumbwa habari za Clara zilikuwa zikichachuliwa na kusambazwa kwenye magroup ya WhatsApp. Piha zake pia zilisambaa kwa kasi huku zikienezwa huku na kule.



    Zipo habari zilizoambatana na piha ya binti huyo ambazo zilijieleza kuwa bint huyo alijiua mara baada ya kumfumania mmewe. Pia zipo habari zilijieleza kuwa binti huyo alifumaniwa na mchumba wake. Hiyo yote ni kutokana na baadhi ya rafiki wa Majid ambao waliumizwa sana na kifo cha rafiki yao kuamua kusambaza baadhi ya picha hizo. Habari za uvumi na uwongo zilikuwa zikisambazwa na kwa mda mchache jina la Clara na sura yake iliwafikia takribani Watanzania wote. Ilikuwa ni jambo la kusikitisha sana kuona mtu anataka picha ya binti huyo mrembo kisha anaisambaza kwenye magroup huku akiongezea maneno kwa jinsi anavyojua yeye.



    Baba yake na Clara alimweleza ukweli mkewe na alimwambia kuwa kuna umuhimu mkumbwa sana wa kutopaniki kwa sabaau mambo hayo yapo miongoni mwa jamii na hutokea kwa jamii. Baba alikuwa bado na imani kumbwa sana kwa mwanaye na aliamini kuwa mwanaye hakufanya kosa lolote baya na wala si muaji. Ingawa kwa upnde moja waliumia kwa sababu walihisi mtoto wao alikengeuka na kujiingiza kwneye mapenzi ili hali tayari alikuwa na mchumba wake ambaye ndio Stive. Alijua kabisa habari hizo zingemfiii Stive na kumuumiza sana. Walijua pia kwa jinsi mitandaoa ya kijamii ilivyokuwa ikitumika kuifanya dunia kijiji basi jambo hilo lingekuwa ni habari kumbwa sana.



    Ikawa usiku ikawa asubuhi ikaw amhana siku zikaanza kuyoyoma. Kila kukicha kesi ilikuwa inachukua sura mapya. Kila kukicha kesi hiyo ikawa inachukua taswira mpya. Wapo watetezi wa haki za binadamu na wao waliingilia kati mara baada ya kupata fununu kuwa kesi hiyo ilikuwa ikiendeshwa kisengele nyuma kwa sababu baba majid alaikwa akitumia nguvu yapesa alaiyokuwa nao na ushawishi wa jina alke kuahakiksha binti huyo anaingia gerezani. Kesi ilikuwa kumbwa na ushaihdi wa uwongo na kweli ulitengenezwa ili mradi kuonesha kweli binti huyo alikuwa ni mpenzi wa Majidi na aliamua kijana huyo kwa minajili ya wivu wa mapenzi.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Jambo hili lilimfanya baba Clara naye kuapa kuwa atatumia mali zake zote alizokuwa nazo kuhakisha kuwa binti yake kamwe haingii gerezani. Aliapa kuwa atauza mpaka kijiko kuhakikisha kuwa haki inatendeka na kwamwe mtoto huyo wa pekee kwake hafungwi. Jina la Clara lilivuma sana na kesi yake ilifika mpaka bungeni. Baada ya mbunge mmoja wa vitu maalumu kuhoji juu ya kitendo cha baadhi ya Watanzania kusambaza zilizoambatana na habari za uwongo juu ya kesi yake. Mbunge huyo wa kike ambaye alionekana kuguswa sana na kesi hiyo alihoji serikliinachukau hatua gani ili kukabiliana na watu wanaosambaza picha za binti huyo na kaundika habari za uwongo ili hali kesi yake ipo mahakamani. Je Serikali haioni huko ni kuingilia kazi ya polisi na mahakama?



    Waziri akajibu kwa naiba ya serikali alisisitiza kuwa watawachukualia hatua kali wale wote wanaondelea usambaza picha hizo na habari za uwongo juu ya binti huyo. Haya yote Clara hakubahatika kuyasikia kwa sababu alikuwa rumande na laiti angeyasikia na kuona jinsi picha zake zilivyokuwa zikisambaa basi angekuwa katika hali mbaya zaidi. Siku zikazidi kuyoyoma kesi yake ya mauji ikazidi kuunguruma huku pia wakili wake akijitahidi sana kufufua kesi ya ubakaji zaidi ya binti huyo. Waliona kabisa kesi hii ingeweza kumsaidia binti huyo kuondokana na kifungo cha mauaji. Swala kumbwa hapa lilikuwa ni kueleza mahakama kuwa binti huyo hakuuwawa kwa makusudi kwa sababu alikuwa katika hekaheka na harakati za kujitetea juu ya ubakaji huo. Ni dhairi kuwa Majid hakuwa na kesi ya kujibu kwa sababu tayari alikuwa ni marehemu. Ila hii ilikuwa ni msaada mkumbwa kwa utetezi wa kesi iliyokuwa ikimkabili Clara. Siku zilizidi kuyoyoma na akiwa maabusu hali yake ya afya ilianza kubadilika na kuwa mbaya sana.

    Alianza kuumwa tumbo na alihisi mabadiliko makumbwa sana kwenye mwili wake. Kuumwa huku sana kulimfanya apelekwe hospitali na kwenda kulazwa. Akiwa hospitalini ndipo hapo alipimwa na kugundulika kuwa alikuwa na matatizo ambayo waliogopa hata kumwambia. Clara alikuwa ni mwenye ujauzito wa miezi miwili na mbaya zaidi ujauzito huo ulitunga nje ya mji wa uzazi kitu kilichopelekea uvimbe tumboni. Taarifa ya madaktari ilionesha kuwa uvimbe huo ulikuwa ni hatari sana kwa maisha ya binti huyo. Na alitakiwa kuchagua jambo moja yaani kutoa ujauzito huo ili kuokoa maisha yake au kubaki nao na kuhatarisha uhai wake. Clara alikuwa akiugua sana muda mwingi alikuwa akitapika na akila kitu chochote basi lazima atapike. Alikonda sana na kuoneana kama mtoto mdogo.

    Alizidi kuwa mwembamba na umbo lake zuri la kimiss lilizidi kupotea. Mashauriano yalifanyika baina ya wazazi wake na madaktari juu ya hali hiyo. Mama mzazi wa Clara kwa kuwa alikuwa akiamini sana kuhusu dini na kusamehe yeye alisema wasiitoe mimba hiyo na Clara atapona kwa uwezo wa Mungu. Mama alikuwa akisimama na msimamo huo kwa sababu hali hiyo hata yeye iliwahi kumtokea pindi alipokuwa na ujauzito wa Clara na anakumbuka kuwa alishauriwa aitoe mimba hiyo. Kwa imani nzuri aliyokuwa nayo mimba ilikuwa mpaka akajifungua salama. Machungu ya muda mrefu aliyoyapitia juu ya kukosa mtoto yalifanya awe na msimamo huo.

    Baba yeye alikubaliana na ushauri wa madaktari kuwa mimba hiyo itolewe ili kuokoa maisha ya Clara na pia ili kufanya binti huyo hasau maumivu ya jambo hilo la kubakwa. Mvutano baina ya wazazi hawa ulikuwa mkumba mpaka wakataka kugombana hapo hospitali. Daktari mmoja aliyekuwa akimshughuika binti huyo akatoa wazo kuwa ili kutofanya uamauzi wa jambo hilo kuwa gumu basi muhusika mwenyewe ashirikishwe jambo hilo.Kwa mujibu wa dokta huyo ni kwamba kama muhusika atakuwa tayari mimba hiyo itunzwe chini ya uangalizi maalumu basi watafanya hivyo la muhusika akisema itolewe basi wataitoa.

    Alisisitiza kuwa muhusika huyo bado yupo rumande na bado kesi yake haijawa katika hali ya kusema binti huyo atakuwa huru basi ni vizuri kama wataiotoa. Clara yeye binafsi alaikuwa wa kulia tu kwa sababu aalielewa hali halisi kuwa alikuwa na mimba na alijuta sana kwa nini siku ile wanapita mabaki ya anii ukeni hawakupima na mimba. Iliimuuma sana na alaitamani hata kuijua ili kuepusha hayo majanga na maumivu ya nafsi amabyo yalikuwa yakimkabili.

    Basi Dokta wakishirikiana na wanziwe walitegea muda kidogo yupo vizuri walimfauata na kumuleza yaliyokuwa yakjiri juu ya afya yake. Kumbuka muda mwingi akiwa hapo hospitalini alikuwa na pingu mkononi ili kuepuka hasije akatoroka. Walimuwanza mbali kidogo lakini baadaye walimweleza kuwa walihitaji kuitoa mimba hiyo kwa sababu ilikuwa imetunga nje ya mji wa uzazi. Clara alitakiwa kusema na kufanya maumuzi mwenyewe kama yeye na si kwa shinikizo la watu. Hapo sasa binti huyu akaanza kukumbuka moja ya wosia wa mama yake kuwa kamwe hasijejaribu kutoa mimba maishani mwake. Mama yake alishawahi kumsimulia kisa juu ya madhara ya kutoa mimba na inayoathiri sana pindi mwanamke anapoanza kutafuta mtoto. Alifikiria sana na hapo Clara akasema kuwa anaomba mama yake amsadie kufanya maamuzi kwa kuwa anamwamini sana. Mama alaikaaa na kusema hayo si maisha yake bali ni ya mwanaye hivyo mwana mwenywe ndiye anatakiwa kufanya maaumuzi.

    Mwishowe Clara alitamka kwa kinywa chake kuwa mimba hiyo itolewe. Ni kinyume na sheria na imani za dini lakini hakuwa na jinsi wa madaktari waliamua kuifanya shughuli hiyo. Madaktari waliamini kuwa hiyo itamsaidia binti huyo kisaikolojia maana kama angeitunza mimba hiyo na kufanikiwa kuzaa basi huenda angekuja kumchukia sana huyo mtoto aliyezaliwa. Zoezi la utoaji mimba lilifanyika kisiri siri na sasa Clara akawa anapewa matibabu ya kumsaidia kurudi katika hali ya kawaida. Walifanikiwa pia kwa hilo na hatimaye akapata afueni.

    Binti alirudi rumande kuendelea na michakato ya kesi yake iliyokuwa ikimkabili. Kutokana na juhudi za baba yake Majidi kuhakisha anamfunga binti huyo upelelezi ulifanywa haraka haraka na kesi hiyo kupelewa mahakamani. Clara alipandishwa mahakamani huku akiwa na mtetezi wake wakili ndugu, kaka binadamu Kelvine. Kesi ilisomwa na iikuwa ni kesi iliyogusa haisia za watu wengi, ikiwa ni pamoja na wanafunzi wa chuo Kikuu cha Ushirika Moshi. Wapo ambao waliamini kuwa binti huyo hakuwa na makosa yeyote na wapo walioamini kuwa binti huyo alistahili kuhukumiwa kwa sababu alifanya kitendo cha ukatili sana. Kesi ilisomwa na pande zote zilitoa ushaidi na utetezi. Pamoja na ushaidi mzuri kwa upande wa jamuhuri lakini utetezi wa upande wa Clara uliongozwa na mwanasheria Kelvin ulionekana kuwa na mashiko. Pia walieleza kuwa marehemu alikuwa na kosa la ubakaji kosa ambalo tayari kesi yake ilifunguliwa. Alitumia muda mchache sana kueleza vielelezo vya polisi na madaktari ambavyo vilithibitisha kuwa kulikuwa hakuna makubaliano ya wawili hao kufanya mapenzi.

    Ni kama nguvu ya Mungu ilionekana maana jaji wa kesi hiyo alitokea kumwelewa sana. Bila kutarajia jaji huyo alieleza kuwa kwa kuwa mtuhumiwa alikuwa akijitetea kutokana na kutendewa kosa hilo. Pia alieleza kuwa kwa kuwa sasa ushahidi wa kitabibu ulieleza kuwa Majidi alifariki kutokana na madawa ya kuongeza nguvu aliyoyatumia dakika chahe kabla ya kumwingilia binti huyo. Pamoja na mambo mengine jaji alisisitiza kuwa mahakama haioni sababu ya kumtia binti huyo kifungoni. Hivyo kwa mujibu wa mamlaka aliyokuwa nayo kisheria alitangaza kuwa binti huyo kuanzia wakati huo alikuwa huru. Kelele za shangwe zililipuka kwa upande wa watu ambao walikuwa wakiamini Clara alistaili kuachiwa huru. Clara ambaye alikuwa ameshakata tamaa na maisha ya kawaida na aliamini kuwa kutokana na nguvu ya pesa aliyokuwa nayo baba yake na Marehemu basi angeozea magereza. Alilia huku akimshukuru Mungu kwa miujiaza. Hapo sasa aliamini kuwa Mungu yupo na anaweza kumpigania mwanadamu wakati wowote.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Clara sasa yupo huru si mtuhumiwa tena ni raia kama walivyokuwa raia wengine. Ingawa alikuwa ameathirika sana kisaikolojia na kimwili lakini alishukuru kwa yote na aliamini kuwa hiyo ilikuwa ni mitihani tu ya dunia hii. Wakati yeye anatoka eneo hilo kwa macho yake alimwona Stive mwanaume wa ndoto zake akiwa anajifuta machozi kwa kitambaa. Aishindwa kuelewa mwanaume huyo alirudi lini kutoka Ulya lakini alionekana mwenye huzuni kupita kiasi. Clara hakuelewa maana ya Stive kulia je, alilia kwa sababu ya upendo au alilia kwa sababu ya huzuni. Swali lingine alilojiuliza binti huyo je mwanaume huyo atakuwa tayari kuwa naye au ndo atamuacha kutokana na hayo yaliyotokea. Si Clara tu ndo alaikuwa na furaha ya kuachiwa huru hata wazazi wake walikuwa na furaha kwa ushaidi huo. Walimchukua mtoto wao na moja kwa moja waliingia kwenye gari la wakili yaani ndugu yao Kelvine. Walienda moja kwa moja kwa Kelvine na walikuta tayari mkewe ameandaa chakula kwa ajili ya kusheherekea ushindi huo. Ilikuwa ni zaidi ya furaha kwa familia hiyo. Babaa mama na wengine hawakujuta kwa gharama walizopoteza hili tu kumuoka binti huyo.

    Walikaa hapo kwa siku kadhaa na baadye waliondoka na kurudi zao Dar es slamaa. Wazazi wa Clara waliongea na uongozi wa chuo na kuwaomba binti huyo ahirishe huo mwaka wa masomo kwa maana hakuwa sawa kisaikolojia.Walikubaliw akwa hilo hivyo kuondoka huku wakiamiani kama Clara akaihitaji kuendelea na maosmo chuoni hapo ataweza. Walifika Dar es salaam na maisha yao yaliendelea kama kawaida. Ilimchukua zaidi ya mwezi binti hiuyo kuanza kufurahia maisha. Alikuwa wa kujilalaia tu na kulia na hasiamini kama kweli kuna mwanaume atakuja kumpenda huku duniani kutokana na mambo ambayo ameyapitia. Stive mwanaume ambaye alimpenda kwa dhati hakuwahi kumtafuta hata siku moja kwa sababu alihofia atamueleza nini juu ya uzalilishaji uliotokea. Pia siku zote alikuwa akitamani kama mwanaume huyo atamtafuta na kumpa pole kwa yaliyomkuta. Clara aliwaza sana na baadaye aliamua kumtafuta Stive ili kuongea naye kumwelewesha kile kilichotokea na ikibidi amuombe masamaha ili waendelee kuwa na uhusiano wa kimapenzi. Baadaye ya kulitafakari sana jambo hili alaimua kumpigia simu na kuzungumza naye. Kwa bahati nzuri Stive alikuwa bado yupo Tanzania.

    Stive alipokea simu na kumsikiliza binti huyo. Clara alimwambia kuwa kwa sasa anahitaji wakutane wazungumze ana kwa ana. Stive alikataa katu katu akisema kuwa kwa sasa hatoweza kuonana naye kwa sababu maumivuu ya moyo aliyoyapata kwa ajili yake yameshaanza kupoa. Stive alimweleza kuwa kwa sasa haitaji kuwa kwenye uhusiano na binti yoyote kwa sababu wasichana sio waaminifu. “ Wewe ni si mwanaume tena mwanaume unayejiamini basi naomba hayo yote tuyazungumze ana kwa ana” Clara aliomba kwa kutumia njia hiyo. “Naweza kufa muda wowote”, tafadhali nikubalie kwa hili alilalama Clara.. Stive alingiwa na roho ya huruma na kukubali kuonana na binti huyo. Walipanga kuwa watakutana kwenye moja ya beach ambayo walikuwa wameshazoea kukutana.Clara alijianda na kuaga kuwa kuna Rafiki yake anakwenda kuonana naye. Jamabo hilo lilimshangaza kila mtu kwa maana ni mda mrefu sana tangia tukio lile litokee binti huyo hakuwahi kutoka nje. Alikuwa wa kujifungia ndani na laptop ndio ilikuwa Rafiki yake mkumbwa. Alikuwa akiangalia Tv na kucheza gemu. Kwa kuwa alikuw akitoka kwenye familia ya kitajiri haikuharibika neno aliwaza kuishi maisha hayo.

    Stive alijikaza na kuonana na binti huyo. Moyo wake ulikuwa ukimpenda sana binti huyo na hakuwahi kumchukia pamoja na mambo yote ambayo yalitokea. Clara alitumia nafasi hiyo kujieleza kwa nini anataka kuendelea kuwa na uhusiano na mwanaume huyo. “Stive wee ndo chaguo langu, najua nimekukosea sana lakini haikuwa dhamira yangu kukusaliti. Ni marafiki zangu Makomba Mwiko ndiyo yamenisababishia haya yote. Nielewe mpenzi bado nakupenda sana na kama ukinicaha wewe basi nitayachukia wanauem na kwame sitowea kuyapenda maenzi. Najioana kabisa ni mdahaifu najiona kabisa ni mkosaji najiona sistahili mbele zako na hata kw aMungu. Lakini Stive si umeona hata mahakama imekiri kuwa Majid aliniwekea dawa kwney kinywahji na kuniingilai bila idhini yangu. Ila sitokulazimisha naamini Mungu atanipigania kwa hili. Aliongea Clara maneneo yaliyokuwa na hisia nzit sana. Stive alishindwa kuelewa hata aseme nini. Stive alikuwa akimpenda sana huyu binti na aliamini kuwa huyo ndo mwanamke atakayekuja kumuokoa. Lakini kwa kitendo kilichotokea kimeharibu kabisa hisia zake ana sasa hana imani kabisa na wanawake.

    Anaaamini kuwa wanawake ni wakatili sana wasiokuwa na huruma. Hataki kuamini kuwa eti Clara aliwekewa madawa na kama aliekewa basi aalikubali hilo litokee kwa maana inakuwaje mtu unywi pombe ukaingia kwenye mtego wa walevi. “ Clara dada yangu kwa sasa Naomba tubaki kuwa kama marafiki wa kawaida. Binafsi nimepoteza hisia juu yako. Hapa nilipo siwezi kuwa na wewe kama wapenzi. Jamii itanielewaje, ndugu watanichukuliaje. Marafaiki zangu walionipa taarfa hizi mpaka nikajikuta nachanganyikiw ana kaucahana na maosmo watanielewaj?e. Mimi Clara kiukweli Naomba niache tu kwa sasa sijielewi kwa sasa sina Amani ya nafsi. Hakuna hasijekujua Clara picha zako zimesambaa Tanzania nzima kwa kweli sitaki kuidhulumu nafsi yangu kwa kujilazimsiha kuwa na wewe. Nimekusamehe na najua huna makosa kwa sababu yalitokea ni kwa hila tu za wanadamu. Ungeweza kufanya nae mapenzi nisijue lakani kwa kuwa nimeshajua ukweli kwa sasa niache tu.

    “Mungu ataujalaie kila mmoja aweze kukubaliana na hii hali ili kila mtu aanze maisha mapya. Maneno hayo yalikuwa kama mwiba mzito kwa msichana huyo, machozi yakajaa kwenye paji la uso wake. Midomo ilicheza cheza akashindwa hata kutamka neon lolote. “ Nashukuru Stive kwa kueleza hisia zako, nashukuru pia kwa kukubal kuonana na mimi, nitakupenda daima na kamwe sitokuja kumpenda mwanaume wa aina yoyote. Wakati Clara anatamka maneno hayo huku akionesha kuwa amekubali Matokeo simu ya Stive iliita, malio uliashiria kuwa kulikuwa na meseji imeiengia. “Achana na huyo Komba Mwiko, Mwanaume handsome boy kama wewe hupaswi kuwa na Malaya kama huyo”. Namba ilikuwa ngeni na ilionekana huenda huyo mtu aliyetuma sms hiyo alikuwa eneo hilo.

    Hii SMS ilionesha kumcahngaya Stive na aliangaza huku na kule ili kutaka kumuona aliyetuma sms hiyo. Idada ya watu sehemu hiyo ilikuwa ni kumbwa hivyo hakuweza kuhisi hata ni nani aliyetuma. Clara naye alishangaa ilibidi aulize kuna nini kimetokea mbona amebadilika ghafla. Nisamehe nimepata ujumbe unaonichanganya hivyo naomba tuondoke tu eneo hili na kamwe husiniweke akilini mwako maana nitarudi zangu ulaya sitokuwa karibu tena na wewe. Tukio hili lilinichanganya na kujikuta naugua ugonjwa usiojulikana. Nimeamini mapenzi ni mabaya na yamenifanay naiharishe mwaka wa masomo kwa ajili yako. Nisamehe sitoweza kuwa na wewe kimapenzi. Kwa hiyo Naomba tuondoke, Stive aliongea hayo huku machozi yakimlenga lenga. Alimpa ishara ya mkono Clara akasimama na kuanza kuondoka eneo hilo. Clara hakuweza kusema neno lolote alijiona ni dhaifu sana mbele za Mungu na mbele za Mwanaume huyo.

    Wakati wakianza kuondoka simu ya Stive iliita tena kwa mlio ule ule wa ujumbe mfupi. “Najua unatamanai kuniona ila mpeleke huyo Komba mwiko urudi nakusubiri”. Safari hii ilikuwa ni ujumbe uliombatana na picha ya mwanamke mrembo. Ujumbe ulitumwa kwa njia ya WhatsApp na picha hiyo ilionesha ni mazingira hayo hayo ya hapo beach. Uzuri wa picha hiyo ulimchanganya Stive na Kushindwa kuelewa huyo mwanamke ni nani hasa. Aligeuza shingo yake upande wa kulia kisha kushoto lakini bado hakuana mtu mwenye sura kama hiyo. Mapigo yake ya moyo yaliongezeka na alitaka kujua binti huyo ni nani hasa. Walitoka mpaka nje wa eneo hilo na kwa kuwa kila mtu alikuja na gari lake basi waliagana. Clara alimwaga mwanaume huyo kishingo upande na kuondoka zake. Stive alibaki amesimama kama zuzu asielewe afanye nini. Hivi nirudi au nisirudi alijuiliza Stive. “Jitahidi kuwahi Handsome boy maana nipo peke yangu na najihisi upweke” ulikuwa ni ujumbe mwingine wa mwanamke yule yule ambaye sasa alipiga picha sehemu za chini za umbo lake. Picha ilionesha kuwa alikuwa amejifunga kikanga laini kuonesha kuwa alikuwa akichezea maji. Picha hiyo ilimsisimua sana Stive kwa maana ilionesha mauatamu ya binti huyo. Potelea mbali wacha nirudi nimfahamu ni nani mtoto mzuri huyu anayecheza na akali yangu…

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Stive alianza kupiga hatua za haraka haraka kurudi ndani ili kuweza kumfahamu mtu huyo ambaye alikuwa akimtumia ujumbe kwa namba ngeni. Alienda mpaka sehemu ile ambayo alikuwaa amekaa na kwa bahati mbaya alikuta ile sehemu kuna watu walishakaa. Akaangaza huku na kule lakini hakujua huyo mtu atakuwa amekaa wapi. Alikuwa ni kama mtu aliyekosa mwelekeo. Alichukua simu yake na kuangalia ile namba ambayo alikuwa akiwasiliana naye. Hakutaka kuandika meseji maana kwake kitendo hicho ilikuwa ni sawasawa na kupoteza muda. Aliipiga ile namba lakini cha ajabu namba hiyo ilikuwa haipatikani tena. “Ooooops what is this? (Aaaaaah hiki nini tena?)” alijisemea kijana huyo huku akiwa amekunja sura ishara kuwa hakufurahishwa na hicho kinachoendelea. Alihisi kama binti huyo ni mtu ambaye alikuwa akimfahamu hivyo aliamua tu kumchezea akili yake. Akafanya kumpigia tena kwa mara ya pili lakini aliambiwa kuwa namba hiyo ilikuwa haipatikani.

    Hakuona haja ya kuendelea kupoteza muda aliamua kuondoka zake. “Huyu atakuwa ni mtu anayenijua na ameamua kunipotezea muda wangu tu ngoja mimi niondoke zangu tu”,Stive alijisemea huku akiangalia picha za mrembo ambaye alikuwa akiwasiliana naye. Alitabasamu kwa maana binti huyo kwa kweli alikuwa ni mrembo. “Wacha niende zangu maana unaweza kukuta ni Komba Mwiko la huku mjini aliwaza Stive. Mara alisikia kama kuna mtu nyuma yake na kabla hajageuka macho yake yalifumbwa na mkono laini. Mikono ilikuwa laini haswa kwa maana kuna msisimko ambao aliupata. Alihisi vinyolea vya mwili kumsimama kama vile alipatwa na hisia fulani hivi za mapenzi.

    Alichuka mikono yake taratiibu akipandisha usoni kwake ili aweze kuitoa mikono hiyo laini ambayo ilikwa imemshika. Binti huyo alikubali na yeye mkono yake kutolewa taratibuu. Akarudi hatua moja nyuma kisha akifungua ishara kuwa alikuwa akitaka kusalimiwa kwa kukumbatiwa. Stive alipogeuka alikutana na sura nzuri ya binti huyo. Kwa kuwa ilikuwa ni tendo la haraka akajikuta anakubali kumbatio hilo bila hata kujua binti huyo alikuwa ni nani. Walisalimiana salamu hii ya kizungu huku wakipapasanapapasana migongoni mwao.

    Binti huyo ambaye alikuwa mwenye furaha iliyopitiliza alimshika mkono mwanaume huyo na kumwongoza mpaka sehemu ambayo alikuwa amekataa. Stive akili yake ilikuwa ikifanya sana kazi juu ya binti huyo.Licha ya kujiliza ni nani mtu huyo pia alikuwa akiyumbishwa kihisia kwa sababu sehemu kumbwa za maungio ya binti huyo zilikuwa wazi. Sehemu kumbwa ya matiti yaliokuwa na ujazo mkumbwa na mvuto wa kutosha yalionekana.Mavazi ya beach ambayo alikuwa amevaa binti huyo yalitosha kabisa kuonesha kuwa binti huyo alikuwa mrembo. Michirizi chirizi ya nguo ya ndani ilyochora ramani ya kuonesha ni jinsi gani ikulu ilivyokuwa imetuna huku kukiwa hakuna walinzi wa kutosha. Kwa kifupi vitu hivi vilitosha kumchanga Stive na kujikuta akisimamisha mtarimbo wake bila kurtarajia. Kwa kutumia mkono wake alipitisha kwenye suruali yake ya jinsi na kujaribu kukiweka na kukilaza kiungo chake pembezoni maana kilianza kupiga pushafu za haraka haraka huku kikitoa machozi. Ni kama vile Simba aliona swala lakini kwa Stive jambo hili lilikuwa la kushangaza sana kwa maana hakutarajia hili kutokea na alikuwahi kutokea hapo kabla.

    “Naitwa Saraha rafiki mkumbwa wa Clara nadhani jina hili litakuwa si geni masikioni mwako.” Sauti laini ilisisikika na kupenya zaidi kwenye masikio ya Stive na kufanya ujumbe kupelekwa kwenye ubongo na kuondoa hisia za matamanio alizokuwa nazo mwanaume huyo. “Asante Saraha jina hili si geni lakini mbona hatukuwahi kuonana hapo kabla sasa wewe umenijuaje?. “Stive usiwe kama kipofu wa hisia hata kama huwezi kuona basi papasa”. Maneno haya ya mfunmo yalifanya masikio ya Stive kusimama juu juu huku akishindwa kuelewa amjibu nini. Kwa hiyo mimi ni rafiki yake mkumbwa na nimekujua siku nyingi tangia Clara anakusifia kuwa wewe ndo mwanaume wa ndoto zake. Alikuwa akituonesha picha zako ukiwa huko ulaya. Binafsi nilivutiwa sana na picha zako na sikuwacha kusema kama siku moja nikipta kuonana na wewe basi nitakueleza ya moyoni.

    Kwa hiyo na siri nyingi sana za Clara lakini kwa kifupi mwanamke yule hakuwa bikira kama ulivyokuwa ukifikiria na pia hakuwa mtakatifu ni Malaya tu. Kwa maana pale chuoni alishakusaliti zaidi ya mara tatu na wanaume tofauti. Sikufurahishwa na kifo cha Majid lakini nafurahi kwa sababu umepata nafasi ya kuujua ukweli. Ila nafikiri kuanzia sasa ni marafiki aliongea bint huyo kwa swaga huku akimrembulia rembulia macho. Kisha alimpa mkono ishara kuwa waunge urafiki. Kwa Stive vyote vilivyokuwa vikiendelea alikuwa havielewi kabisa. Alishika mkono wa binti huyo kwa muda akauangalia mkono huo kisha akatabasamu.

    “Nashukuru kukufahamu Saraha naaamini ni mtu mwema hata hivyo naomba nikuache nirudi zangu nyumbani kwa kuwa nimechoka na kitendo cha kukutana na Clara kimenichosha zaidi”. “No, handsome wangu usiondoke sasa hivi mimi mwenyewe nipo mpweke sana na huku Dar es salama nimekuja tu na nimefikia hotelini hivyo nikiwahi kurudi kule nitakuwa mpweke zaidi. Tafadahali naomba twende upande wa kule tukaogelee naamini utafurahia kampani yangu. Stive akawa yupo kwenye mtego mwingine kwa maana jinsi tu maneno hayo yalivyokuwa yakitamkwa yalitosha kabisa kuusisimua moyo wake. “Twende bwana acha kumuawaza yule kombwa mwiko mimi ni malaika niliyetumwa na Mungu kukupenda na kukufariji kwa kipindi hiki kigumu. Mwanaume huyo hakuwa na jinsi alijikuta akinyanyuka na kuanza kumfuata binti huyo.Ni kama Saraha aliamua kufanya makusudi kwa sababu alikuwa akiyatingisha vilivyo makalio yake. Milindimo ya pwani na makusudi ya binti huyo vikamfanya Stive azidi kummezea mate binti huyo. “Hakika huyu akijilengesha kamwe sitoweza kumuacha.” Stive alijikuta akisema na moyo wake.

    Walienda mpaka hiyo sehemu ya kuogelea na kwa kuwa Stive alikuwu ni mtaalamu wa kuogelea haikuhitajai hata kuchuka boya. “Inaelekea uanajua sana kuogelea Saraha alihoji huku akliva aboya hilo. Najua na hata ukitaka nikufndshe zaidi nitafanya. Basi Stive laichoja an kubaki na bukata ambayo ilitosha kumsitiri baadhi ya sehemu. Aliingia kwenye maji na kuanza kuonesha makeke yake ya kuogelea. Saraha naye hakucheza mbali alitumia nafasi hiyo vizuri kumpagawisha mwanaume huyo huko huko kwenye maji. Alifanya vituko ambavyo kwa mwanaume yeyote ni ngumu sana kuvumilia. Ilikuwa ni kama alijipanga kumkomesha mwanaume huyo . Walioga na baadaye walipotosheka walitafuta sehemu ya kukaa. Kwa mtu ambaye aliwaona haikuhitaji kuuliza kama watu hao walikuwa ni wapenzi au la.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Saraha ni mwanamke wa kipee sana ambaye alijua kucheza na hisia za mwanaume yoyete ambaye yeye alikuwa amemkubali. Ikumbukwe msichana huyu alikuwa ni zaidi ya Malaya kwani umalaya wake ni wa kimya kimya na wa kutumia akili. Ukiskia Komba Mwiko hili ndo Komba mwiko haswaaaaaaa. Ni mwanamke ambaye alijua stori nyingi sana za Stive na alikuja Dar es salaam kwa ajili ya shughuli moja tu ya kumrubuni mwanaume huyo. Alitaka kumwingiza Stive kwenye mtego wa mapenzi kwa sababu alishajua kuwa mwanaume huyo anatokea kwenye familia ya kitajiri. Hapa Saraha alikuwa anacheza mchezo anaoujua. Alianza kwa kutupa kete yake kwa kusema “Stive kama hutojali nimemiss sana mziki naomba leo tuende club”. Stive alibetuabetua macho kama mtu ambaye hakuelewa alichoambiwa.



    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog