Search This Blog

Thursday, 19 May 2022

BAMBUCHA - 3

 







    Chombezo : Bambucha

    Sehemu Ya Tatu (3)

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Tulifika nyumbani lakini hatukumkuta Athuman hiyo ina maanisha kuwa alipitiliza hakuingia nyumbani.Mzee sasa akashindwa kuelewa mtu huyo alikuwa akienda wapi. Basi Mzee aliwasha gari na tukaelekea hospitali. Haraka haraka tuliingia kwenye wodi ambayo mama alikuwa amelazwa.



    Hofu kuu ilikuwa huenda labda mama amepoteza maisha.Lakini hikuwa hivyo tulimkuta mama yupo vizuri na amepata afueni. Basi tuliongea naye pale na baba alimfariji kuwa hasipaniki maana hayo hutokea miongoni mwa jamii. Kwa kuwa hali yake ilirudi vizuri hivyo tuliruhusiwa kuondoka naye.



    Hata kile chakula hakula.Tuliondoka naye na kurudi nyumbani.Bado Athuman hatukumkuta jambo lilomfanya mama kumuulizia.Ilibidi baba adanganye kwa kumwambia kuwa alikuwa amemtuma. Basi mama alaijitahidi kula kidogo kisha aliingia chumbani kwake.



    Baba naye aliamua kumfuata na kubaki mimi tu nikiwa hapo sebeuleni.Baadaye na mimi niliamua kiingia zangu chumbani.Nilipofika chumbani nilikuta simu yangu ikiita. Niliangalia na kugundua kuwa aliyekuwa akipiga ni Athuman.Simu iliita lakini mimi nilisita kidogo kuipokea.



    Nilihisi labda Athuman alitaka kuniambia majanga mengine tena.Kutokupokea simu hakukufanya Athuman akate tamaa kupiga tena.Simu ikaita kwa mara ya pili hivyo niliamua kuipokea. Athuman aliongea kwa upole sana kinyume na mimi nilivyotarajia.



    Maana nilijua kwa jinsi nilivyosema kuwa mimba ile ni yake lazima atakuwaa amechanaganyikiwa. Alinambia kwa sasa ameamua kuondoka nyumbani na kwenda mbali kuanza maisha yake. Akasema tangia amefukuzwa shule amekuwa akipata manyanyaso sana.



    Anaeleza kuwa amekosa raha hana amani na amekuwa mtu wa kulaumiwa saana. Akaenda sasa kwenye kile kipengele ambacho nilikuwa nakisubiri kwa hamu na jamu.Kipengele cha juu ya mimba niliyokuwa nimeibeba. Alinambia kuwa anajua kabisa hiyo mimba si yake na anajua kabisa kuwa anaweza kufukuzwa hapo nyumbani kwa maana hata dada yake aliwahi kufukuzwa kisa alifumwa na mwanaume.



    Akanambia ni vizuri nikaweka ukweli na kueleza kuwa hiyo mimba ni ya nani.Kisha akanambia ananitakia maisha mema na kukata simu.Nilishangaa sana siku hiyo Athumani hakunipa hata nafasi ya kusema neno lolote. Roho iliniuma sana maana sasa niliona kuwa familia inaanza kubomoka kisa ujauzito wangu.



    Swali la msingi nilojiuliza ni kuwa kama Athuman amefukuzwa shule na tangia harudi hakuna juhudi zozote za kumtafutia shule ingine vipi mimi mtoto wa kufikia.Hili nilijua kuwa nilidanganywa tu na mzee huyo.Nilijibwaga pale kitandani nikavuta blanketi na kuanza kuutafuta usingizi ambao kwa siku hiyo ulikuwa ni wa tabu sana.



    Asubuhi ilifika na nilijitahidi kuamka asubuhi na mapema ili kufanya kazi za hapo nyumbani. Nilifanya kazi zote kama ilivyo kawaida yangu na nilipomaliza nilikunywa chai na kupumzika.Sikujua mama alikuwa akiendeleaje na niliona aibu kwenda kumgongea na kumuulizia hali yake.



    Nilikuwa chumbani kwangu nikiendelea kutafakari mustakabali wa maisha yangu.Nikaaanza kufikiria mpango wa yule mzee kuwa hii mimba tutaitoa na yeye atanitafutia shule ingine ya private. Hapo nikakumbuka wosia wa mama yangu kuwa kamwe nisikubali kutoa mimba kwa sababu hata mimi alinizaa kweye mazingira magumu na hakukubali kuitoa kwa kwa sababu ya shida.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Mama yangu alishaniambia juu ya madhara ya kutoa mimba na akanitolea mifano hai ya rafiki zake ambao walitoa mimba na kupata madhara makubwa sana ikiwa ni pamoja kuwa wagumba wa kudumu na kushindwa kuzaa kabisa. Nakumbuka kabisa hata baadhi yao walikuwa wakija kumsalimia mama wanamsifia na kumwambia kitu pekee ambacho wanatamani ni kuwa na mtoto mara baada ya wao kuchezea sana ujana na kutoa mimba nyingi ambazo baadaye ndo hizo zimegeuka na kuwaletea majanga.



    Huo ulikuwa upande mmoja wa mawazo yangu na upande mwingine ulikuwa ni ule wa juuu ya ushauri wa rafiki zangu wa kike ambao walinizidi kidato.Wao walinambai nisikubali kuzaa nikiwa na umri mdogo kwa sababu pia kuna madhara wanakambia pia kuna njia nyingi za kutoa mimba ikiwa changa.



    Nakumbuka walinambia eti nichemshe chai yenye majani mengi sana na ninywe hiyo itaharibu mimba.Wengine walinambia hata njia za asili kama kunywa mkojo wa punda. Nikawa najiulza huo mkojo wa punda nitaupata wapi sasa. Sikuwa na jibu lolote kwa wakati huo na nilichoamua kuwa nitafuata ushauri wa mzee maana yeye alionekana kuwa yupo upande wangu na alikuwa tayari kunipigania.



    Baadaye nilisikia mzee huyo akiniita huko sebuleni.Nilinyanyuka haraka haraka na kutii sauti hiyo. “Ebu jiandae mara moja kuna mahali tunaenda”, mzee huyo alisema huku akionesha kuwa alikuwa na haraka.. Sikutaka kubishana naye niliingia chumbani kwangu na kutafuta nguo.



    Niliingia bafuni haraka haraka na kuoga. Nilijiandaa na nilipokuwa tayari nilitoka na kumkuta mzee huyo akiwa yupo hapo sebuleni akinisubiri.Tukatoka nje na kuingia kwenye gari tayari kwa kwenda huko alipokusudia.Ilibidi nimuulize ni wapi tulikuwa tukienda na mbona mama tumemuacha mwenyewe.



    Akanambia nisewe na hofu kwa hilo kwa sababu mama anaendelea vizuri.Tulienda moja kwa moja mpaka kwenye nyumba ya rafiki yake mmoja ambaye alikuwa ni dakatari.Akiwa hapo nje alimpigia simu na kumueleza kuwa tayari alikuwepo hapo. Dokta huyo akamjibu kuwa yeye ameshaondoka yupo hospitali na hivyo tuende tu maana ameshaanda mazingara huko huko hospitali kwa ajli ya shughuli hiyo.



    Nilisikia haya mazungmzo na sasa nikiwa na hofu kuwa ni shughuli gani hiyo ambayo ilitakiwa ifanyike.Mawazo ya kuwa alikuwa akitaka kunitoa mimba hiyo yakaanza kunijia.Lakini nilishindwa kumuuliza moja kwa moja hivyo nikawa nasubiri tu tufike.



    Ilibidi nimuulize kuhusu mustakabali wa maisha yangu.Alinijibu kwa kifupi kuwa mustakabali wa maisha yangu utajulikana baada ya kutoa hiyo mimba ambayo ni kikwazo.Hapo sasa nikaaanza kupata picha kuwa tulikuwa tunaenda kutoa hiyo mimba. Tulifika hospitali na akampigia tena simu huyo daktari na alielekezwa sehemu ambayo tulitakiwa kwenda.



    Tuliingia kwenye chumba ambacho kilikuwa na kitanda ambacho kilikuwa kimenyanyuka vizuri. Daktari akanambia nipande hapo na nisiwe na hofu kwa sababu zoezi lenyewe halitachukua mda mrefu.Hapo sasa mapigo ya moy yakaaongezeka mwili ukaanz akutetemeka na nilihsi joto kupanda.



    Mlango ulifungwa tukabaki na dakatari tu na alianmabi nisiwe muoga hata haimi.Akaanza kuvaa gloves zake huku akweka weka mikasi vyema kwenye kishani.Pia nilona akichukau sindano na kuweka dawa.Sikuju ahata ilikuwa ni nini maana alinambai anataoka akirudi anaikute nishavua nguo za ndani maana nilikuwa nimevaa kufuli na taiti juu.



    Hapo sasa nikaanz akusali na kumuomba Mungu anaipe uvumilivu kwenye swala hilo.Wakati nafunga macho taswira ya mama yangu ilinijia na kama ilikuwa ikinisihi kamwe nisitoe hiyo mimba.Mara ulifunguliw ana dakatari aliingia akaniuta hata sijafanya kile alichonambai.



    Hapo akanambai niijpananue miguu tayari kwa shughuli hiyo.Aakona haina haja ya kupoteza mda hivyo akatak aeti anavue mwenyewe. Mimi nilifunga macho sikutaka kuangalia kile ambacho kilikuwa kinataka kutokea. Ile anaendelea nilisikia paaa paaa kama amepigwa makofi mawili na hapo alishika shavu lake kuonesha kuwa alisikia uchungu.



    Akawa kama amechangayikiwa kaangalia huku na huku hasione aliyempiga haoa makofi. Mara ukavuma kama upepo pale chumbani na vile vifaa vilivyoandaliwa vyote vikadonda chini. Ilikuwa ni kama mazingaumbwe au miujiza maana ilimlazimu yule dokta kutoka na kukimbia.



    Na mimi nikasikia tena kama sauti ya marehemu mama yangu ikinambia nitoke kwenye chumba. Hapo sikutaka kusubiri nilitoka kama nimechanganyikiwa na kukimbia..



    Kwa bahati nzuri baba naye alikuwepo nje akinisubiri hapo nje.Na yeye alishangaa maana hiyo spidi niliyotoka nayo haikuwa ya kawaida kabisa. Nilienda moja kwa moja mpaka kwenye sehemu ambayo gari ilikuwa imepakiwa.Nilikuwa nahema utazani nimekutana na jini kumbe ni mzuka wa mama yangu tu.



    Hapo sasa nikajisemea bora tu mimba hiyo niilelelee.Mzee naye kaja na hakutaka kujaza watu alifungua mlango akaingai na mimi nikaingia. Akaniuliza nini kimetokea lakini bado sikuweza kumjibu nilikuwa nahema tu. Hapa nikakumbuka maneno ya baadhi ya majirani kuwa mzee huyo alikuwa ni mshirikina wa chini kwa chini na pia kulikuwa na tetesi ambazo mimi uwa nazpuuza kuwa eti hata mama yangu alitolewa msukule na mzee huyo.



    Haya maneno yalianza kuniingia kwa sababu ni nadra sana kama marehemu alikufa kihalaili awe anakutokea. Lakini haya mawazo huwa siyapi nafasi kwa sababu mama yangu alishanambia kwa kinywa chake kuwa yeye alikwa ni muathirika wa ugonjwa wa ukimwi.



    Mzee alivyoona kuwa simpi jibu la kueleweka akaamaua kumpigia dokta kwa maelezo zaidi.Waliongea na nilimuona yule daktari akija hapo na kumkabidhi baba vidonge. Baba naye aliingiza mkono mfukoni akatoa pesa na kumkabidhi. Nilisikia dokta akimweleza kuwa zoezi la kutoa mimba kwa njia ya mikasi imeshindikana ila hata hiyo ya vidonge inaweza kufanya kazi tu.



    Baba akamshukuru kisha akawasha gari na kuondoka.Mimi niliamua kuwa bubu kwa maana sikuamini kuwa hata hivyo vidonge nitaweza kuvinywa.Tulifika nyumbani na cha ajabu baba alinishushia nje na kuniambia nijifanye kama hatukuwa pamoja ili mama hasije akahisi vibaya.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Kweli mimi nilishuka na kuzuga zuga nyuma na nyumba hiyo na baba aliingia ndani.Baada kama ya dakika kadhaa nilijisogeza taratibu na kuingia chumbani kwangu.Niliviangalia vile vidonge ambavyo nilitakiwa kuvimeza nikazidi kuogopa.Nikakaa hapo chumbani huku nikiwa na mawazo yaliyonizidi uwezo.



    Baadaye nilitoka na kwenda sebuleni nia ni kujibaraguza baraguza ili nionane na mama nijue atanambia nini. Kweli mama altioka na baada ya salamu akaniuliza swali kuwa Athuman yuko wapi.Mimi nikamjibu tu sijui amendoka bila kuaga. Huyu mama katika watoto ambao alikuwa akiwapenda sana ni pamoja na huyu Athumani.



    Sijui ni kwa sababu alikuwa ndio kitinda mimba wake ila alikuwa akimpenda sana. Basi tulikaa hapo sebuleni huku mama akiendelea kuniuliza maswali ya hapa na pale. Ila swali gumu lilonishinda ni pale aliponiuliza kuwa kuna vitu viwili ambavyo natakiwa nivichague moja ni kutoa mimba na kuendelea na masomo au nilee tu na kuwa mama.



    Nilikaa kimya na kushindwa kumpa jibu.Baada ya kunisihi nimjibu swali hilo niliamua kujibu kama ninavyojisikia. “Mama mimi naogopa sana kutoa mimba kwa sababu nasikia kuna madhara makumbwa sana ya kufanya hivyo. Mama akatabasamu kidogo na kuniambia ingawa jambo niliolifnya ni baya machoni mwa jamii na machoni mwa mungu lakini kamwe nisijaribu kutoa mimba.



    Ni bora nilee na nikishazaa nitatafuta utaratibu wa kurudi shule.Mama huyu alikuwa na busara kwa kweli tofauti na mmewe.Akaendelea kusisitiza kuwa mpango wa baba ni kuitoa hiyo mimba na wamejadili hawajafikia muafaka hivyo ananiomba mimi niendelee na msimamo huo.



    Na mimi nilimuhadi kuwa nitaendelea na msimamo huo.Mama akanisihi pia nisikubali kunywa vidonge vyovyote nitakavyopewa kwa sababu hivyo madhara yake ni makumbwa sana.Yaani mama huyu alikuwa na maono sana utazani ni mtumishi wa Mungu.



    Siku hiyo ikaisha na mimi kuonesha kuwa nimeyatii niliyoambiwa na yule mama nilivichukue vile vidonege na kwenda kuvitupa chooni.Niliamua niwe mama maana hakuna jinsi.Siku zikazidi kwenda na Athuman hakuonekana.Mama alikwua na hofu sana ikabidi nitoe siri kuwa mimi aliniaga na kusema anaenda kutafuta maisha ingawa hakunambai ni wapi.



    Taarifa hii ilikuwa ni faraja kwa mama lakini bado roho yake haikuridhika kabisa juu ya mpango huo wa mwanaye. Tena mimi kwa uwongo wangu nilimwambia mama huyo kuwa Athumani amesema ameenda kutafuta maisha ili mtoto wetu hasije kupata tabu.



    Mama hakuwa na jinsi zaidi ya kukubaliana na uwongo huo. Siku zilizidi kwenda huku baba akiamni kuwa mimba ile yangu ilitoka.Maana aliniletea dawa zingine mara baada ya kumdanaanya kuwa zile za mwanzo nilizinywa.Baba aliniletea dawa akinisistiza kuwa hizi ni za kusaficha kizazi na kuondoa uchafu wote wa mabaki ya mtoto.

    Hizo nazo nilizitupia chooni.



    Baba akawa na amani lakini alishangaa kuwa siku hadi siku nilizidi kunenepa na kitumbo kilianza kuonekana.Kulikuwa na mawasiliano ya siri ambayo yaliendelea baina yangu na baba huyo.Siku moja usiku sms ya mzee huyo iliinga kwenye simu yangu.



    Sms ilikuwa ikieleza kuwa eti alikuwa amemiss sana ule mchezo hivyo anataka kuja nimpe hata kimoja cha hamu. Mimi sikumjibu vibaya nilichomwambia kuwa nipo tu kwenye siku zangu.Basi tukachati chati mambo ya romance huku akiniuliza kuwa ile mimba kweli ilikuwa ya Athumani au ni yake.



    Mimi nilimwamba ukweli tu kuwa kama nilivyomwambia mimba ni yake na siyo ya Athumani. Basi hiyo siku ilipita salama lakini kumbe siku hiyo sikuchati na baba bali na mama.Kumbe mama alikuwa akimfuatilia sana mzee huyo nakugundua mawasiliano ya siri baina yetu.



    Hivyo hakutaka kukurupka alikuwa anaendelea kukusanya tu ushaihidi. Mama alianza kunichunguza bila sababu na kuna siku moja aliamua kuaga na kudai kuwa alikuwa akienda kwao. Basi mmewe bila kujua alimruhusu akiamini kuwa ndo itakuwa fursa nzuri ya yeye kunifaidi mimi.Hapa sasa ndo ukisikia utamu njoo utamu kolea na siku za mwizi si lazima zifike arobaini ndo siku hiyo.



    Hivyo wote tukiwa tunajiamini kuwa siku hiyo ni siku ya kukumbushia enzi zilizoleta mjanga kumbe siku hiyo ndo ilikuwa siku ya kukamatwa na ukweli kujulikana. Basi kama kawaida mzee alienda kilingeni kwake kunywa kidogo ili kupata stimu za gemu. Kama kawaida alinambia kuwa nisipike atakuja na nyama choma.



    Kwa kuwa na mimi nilikuwa nimezimisi nilifurahi tu.Siku hiyo nilipanga pia kumwambia ukweli baba huyo kuwa ile mimba sikuitoa kwa sababu nilizoshauriwa na mama yangu na pia mkewe. Basi baadaye alirudi kama kawaida yake na nyama na juisi na bia.



    Sasa siku hiyo sikutaka kufanya ujinga kuwa eti nikubali anitume alafu anifungulie juisi.Kwenye nyama kwanza niliamuangalia nione kama yeye alikuwa akizila.Kwa kuwa yeye alikuwa akila nikajua kuwa zitakuwa hazina madhara.Ile juisi nilisema kamwe siwezi kunywa maana siku ile nilikunywa na akanibaka na kunisababishia hayo majanga.



    Na leo najua alikuwa na mpango wa kutoa hiyo mimba maama kila siku alikuwa akishangaa ukuaji wa tumbo langu.

    Baada ya kula kama kawaida bila hata kufunga milango tukaanza michezo ya kimahabati pale pale sebuleni.Mimi nilikuwa nikimkataza mzee huyo na kujaribu kumweleza kuwa nilikuwa na mimba hivyo kufanya tendo hilo ilikuwa si sahaii.



    Yaani mzee huyo alikuwa ni kiboko maana siku hiyo alikuja na sera ingine kabisa.Si sera ya kuitoa hiyo mimba sera ya kutaka kunioa mimi na na niwe mke wake wa pili. Hili ndo lilinishangaza sana na kumuona huyu mzee kweli alichanganyikiwa na mabambucha yangu.



    Hivi kwa umri huo kweli eti alikuwa bado anataka kuoa.Nilichomwambia ni kwamba hiyo ni dhambi sana na mkewe akisikia basi anaweza kufa kwa presha na sio kuzimia tena.Basi nilidaganywa danganywa pale pamoja na mimba yangu tukajikuta tumeinga chumbani na masikini ya Mungu badala ya kuingia chumbani kwangu mzee huyo alinibeba juu na kwenda kunibwaga chumbani kwake.



    Hakutaka usubiri wala kunipa nafasi akaanza ule ufundi wake wa kunichezea chezea hasa haya mabambucha yangu ambayo sasa yalikwa ni makumbwa kuliko. Dunia tuhurumie Mungu tusamehe maana huu ulikuwa ni zaidi ya ufirauni.Sikuweza kukataa moja kwa moja maana mzee huyu angeweza kunifukuza kama ningemkatalia mambo hayo.

    Sasa na hiyo mimba yangu hilo likitokea sijui ingekuwaje. Mzee akajifanya shadadi na kuonesh maujuzi yake bila kujua kuwa…



    Mzee akajifanya shadadi wa kuonesha maujuzi yake bila kujua kuwa za mwizi ni arobaini. Basi mzee akaniweka mkao wa kuliwa ambao kwake ulikuwa ni rahisi sana kuyachezea matiti yangu.Akayashika haya mabambucha yangu na kuanza kuyapapsapapasa kwa mbali na kuyabinya binya kama vile kama vile anabinya embe dodo kusikia kama limeiva.



    Akaanza kulichezea kulilamba moja huku hili lingine akiendelea kutumia mkono wake. Alinyonya chuchu yangu huku akinisifia kuwa nilikuwa na matiti mazuri.Aliingiza mdomo wote huku akiwa anamung’unga mung’unya kisha akaweka lips zake juu ya titi hilo huku sasa zoezi hilo akiamishia mchezo huo kwa upande wa lile titi lingine.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Akafanya kama alivyofanya mwanzo kabla ya kupanda juu kidogo maeneo ya shingoni na kufanya kama ananing’ata.Hapa aliniweka love bite iliyonifanya nigugumie kwa raha.Niseme tu ukweli mzee alikuwa fundi sana wa haya mambo.Maana lile titi la kwanza ambalo ndo mkono ulikuwa umeweka pozi alianza kwa kulipa mate.



    Alililambalamba bila mpangilio na kuahakisha amegusa sehemu zote kwa haraka. Hapo nilishindwa kujizuia nilianza kujinyonga nyonga kwa raha.Akalishika lile ziwa akalinyonyonya sehemu ya chini ya uvungu ambayo sasa huku ndipo raha zangu zilijificha. Hapo sasa bustani yangu ya siri ilianza kutoa ute ute ishara kuwa ilikuwa ikihitaji kukaushwa kwa jembe la babu huyo.



    Alipogundua hilo alipaka mate kidole chake na kuanza kusugua chuchu sehemu ya juu huku mdomo ukiendelea kulalamba lamba uvungu wa titi hilo kumbwa kama Bambucha.Akafanya mageuzo na sasa alikuwa akitumia ulimi wake kumung’unya incha ya chuchu huku akinifanya kama ananing’ata ng’ata kwa mbali.



    Nilipata raha sana na nilihisi kunikojoza hata kabla ya shughuli yenyewe. Nilitamani anipe kile kitu roho inapenda lakini ndo kwanza mzee alikuwa bize kuonesha ufundi wake.Akaendelea kunipapasaa na kunitekenye tekenya chini ya kitovu.Akawa ananibinyabinya mbavu zangu.



    Akaendelea kunipa raha na ssasa akawa anaanza kuchezea mpira kwenye maeneo hatari ya goli langu.Nilianza kutapatapa ili kumzuia hasinifunge goli la mapema na kumpa ushindi wa haraka.Juhudi zangu hizo hazikuzaa matunda maana sasa mzee alianza kupiga mashuti kwenye lango la kuingia.



    Si mashuti ya mguu bali ni mashuti ya mkono iliyongoza na kidoe chake cha matusi.Alipoona hakitoshi akaongeza spidi kwa kukipa sapoti na kidole cha pete. Mchez ukaendelea kabla ya sasa kuingiza kiungo chake kilichoumbwa maalumu kwa ajili ya kazi hiyo.Ahpo sasa ndo raha ilizidi huku mimi nikijitahidi hivyo hivyo na akitumbo changu kukata mauno ya ngono.



    Raha ikakolea lakini ilihisi pia kuna harufu tofauti nadani ya chumba hicho.Kuna kama mashashi mazuri yaliingia mchezo huo ghafla. Ilibidi ninyanyue shingo ili kuangali ni nani aliyeingili mchezo huo.Mungu wangu sikuamini nilichkna.Alikuwa ni maam mwenye nyumba mke wa huy mzee akiwa amesimama huku mkononi ameshika panga kali kabisa.



    Nyege zote ziliniisha maana harufu ya marashi iligeuka harufu ya damu. Kifo kilinukia eneo hilo na hapo nilimsukuma yule mzee kwa nguvu.Hapo akadondoka na kubiringita na kwenda kwenye miguu ya mke wake.Aliponyanyua sura ndo sasa akakutana laivu laivu sura ya mkewe.Mzeee alianza kutetemeka kabla ya kushusha shingo na kujidondosha puu kama gunia la mahaindi.



    Mzee alizimia na kupoteza fahamu.Mama naye kwa mchecheto ilimlazimu kutupa lile panga na kuanza kumtingisha tingisha mzee.Mimi nilishavuta khanga yangu na kujifunga zaidi.Akili za haraka haraka zikanituma kuwa hakuna haja ya kufanya makosa nilitoka na kuwaacha hapo.



    Ingawa ilikuwa ni usiku lakini kwangu niliona kama ilikuwa ni mchana.Niliondoka na kufuata barabara ya kwenda stend.Pana umbali na eneo hilo huwa hatari lakini mimi sikujali nilizidi kusonga mbele.Yaani jamani kweli kufuniwa ni noma maana siku hiyo sikuwa hata nimevaa kitu cha maana zaidi ya khanga moja tu na kitop nilichokibeba mara baada ya kukimbia.



    Sikuwa hata na kufuli yaani na haya mabambucha we acha tu.Sikujua hata naenda wapi lakini kwa sababu nilitaka kuokoa maisha yangu sikuona haja ya kukaa hapo.Nikiwa barabarani nimekaribia kabisa kufika kuna gari ilikuwa inakuja upande wa mbele.Ilinibid nikae kwa pembeni ili kujificha.



    Ghafla ile gari haikupitiliza moja kwa moja bali ilinipita kidogo na kusimama.Sikuwa na wasiwasi sana maana lile gari nilikuwa nalifahamu.Lilikuwa ni lile la yule daktari rafiki yake na baba yule ambaye alikuwa akitaka kunitoa mimba siku ile ndo marehemu mama yangu akamtokea.



    Dokta huyo na yeye alinitambua ndo maana alisimamisha gari ili kutaka kujua kulikoni usiku huo.Nilihisi kuwa huo ndo msaada mkubwa hivyo nilindelea kusimama hapo hapo huku nikiwa na aibu zangu kutokana na vazi hilo la khanga moja ndani hakuna kitu.



    Vikanga vyenyewe ni hivi vya mchina mwee kina onesha yaliyomo kama yamo. Swali la kwanza aliloniuliza ni nini tatizo.Sikumficha na nilimwambia kuwa tumefumaniwa.Akaniuliza “wewe na nani?”.Nikamwambia mama ametufumaa nikwa na mme wake rafiki yako.



    “Poleni sasa huku unaenda wapi”. “Siju hata ninapoenda ila namkimbia yule mama amenishikia panga anataka kuniua”. Dokta huyo ambaye na yeye alikuwa ni mtu wa makamo kidogo alitafakari na kuniambia kwa kuwa ni usiku sana yupo tayari kunipa hifadhi alafu pakikucha ndo tutajua nini cha kufanya. Nilijifikiri lakini sikuwa na la kujibu zaidi ya kukaa kimya.Baadaye alinishika mkono na tukaingia kwenye gari.



    Kweli tulienda mpaka kwake na mkewe na alitufungulia mlango. Mkewe alishangaa sana kuona mme anakuja na binti usiku huo.Mke wake nilichompendea si mtu wa kukurupuka kwa sababu alitumia busara kuuliza nini kimetokea.Daktari huyo akamuelezea na hakuficha kitu hata kimoja jambo ambalo lilimuhuzunisha sana mama huyo na kuniangalia kwa jicho baya kama vile alikuwa akiangalia nyanya mbichi.



    Kweli mabinti wa sasa hivi ni kiboko kwani si nilisikia pia wewe ulifumaniwa na mtoto wake na ndio mwenye ujauzito. “Mimi baba nanii sitaweza kwa kweli kumuhifadhi huyu binti.Huyu binti ni zaidi ya shetani kwa haya ayafanyayo.Yule mama pamoja na busara zake alizozionesha mwanzo aliamua kunihukumu.



    Mzee yule alisema jambo moja tu muacha alale asubuhi ataendelea na safari yake. Akamwita mfanyakazi wao wandani na kumuambia anaioneshe sehemu ya kulala. Hapo mama alikuwa kimya mzee ndio msemaji wa mwisho. Niliingia huko chumbani nikaoneshwa chumba na kulala.



    Sikuwa na amani ya nafsi roho iliniuma na nilijuta kabisa kumfahamu yule mzee ambaye ndo ananisababishia yote haya katika maisha yangu.Asubuhi hatimaye ikafika na sasa sikujua nini nifanye. Nilichezesha akili sana nikana kwa kuwa tayari mama huyo mke wa dokta ameshaonesha kuniakataa hapo hakuna namna zaidi ya kuondoka tena bila hata kuaga.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/



    Maana nikisubiri papambazuke vizuri hiyo ina maana kuwa naweza hata kurudishwa kule nyumbani. Yule dada wa kazi alikuwa huko nje akifaya usafi hivyo na mimi nilitoka huko nje na nilimfuata na kumuambia yeye ni mwanamke mwenzangu hayo yanayonikuta mimi yanaweza kumkuta hata yeye hivyo mimi natoroka ila anaisaidie nguo tu ya kujisitiri.



    Yule dada alinangalia kisha akatingisha kichwa ishara kuwa alinionea huruma sana.Akanipa ishara kuwa nimfuate huko ndani. Akaniuliza tatizo sio nguo tatizo ni kwamba nitaeleka wapi hili hali sina ndugu wala nini. Nilimwambia popote tu mimi nitaenda kuishi hata kama ni huko Ifakara.



    Dada yule ambaye kiumri alioekana kuwa ni mkumbwa alizidi kunisihi kuwa nisikurupuke na ni vizuri niende nikaombe tu msamaha. Nilimwambia hapana sitakai tena kukaa karibu na hao watu hasa huyo mzee mana yeye ameharibu maisha yangu, maisha ya mwanaye na hata ya mkewe.



    Cha msingi nilimwambia anisaidie nguo tu mimi nitajua huko mbele.Alikuwa akisita sita na mimi niliona kuwa alikuwa akinipotezea mda hivyo nilianza kupiga hatau na kuondoka zangu.Dada ilimbidi anifuate na kunishika mkono na kunirudisha ndani.



    Hakutaka kuongea tena bali alifungua begi lake na kumwaga nguo kitandani.Akanambia nichague nguo ambayo nahisi mimi itanitosha.Nilishangaa maana kwa msichana eti akuambie uchague nguo je ukichukua ile ambayo yeye anaipenda kuliko zote. Ilibidi nimwambie anichagulie yeye ili nisije nikamkwaza.Akachukua nguo nzuri tu akanipa nivae.



    Ingawa ilikuwa inanibana kidogo lakini iliweza kunisitiri mwili wangu.Akatoa tena na pesa zake kidogo za akiba na kunipa. Akanambia hiyo hali ambayo inanipitia hata yeye ilishawahi kumtokea kipindi hiko yupo Dar es salaam.Nilimwabia asante na akiulizwa nimeenda wapi awajibu hajui.



    Dada huyo alinionea huruma sana akaendelea kuniuliza kuwa kwa hiyo naenda wapi.Bado sikuweza kumjibu kitu zaidi nilimwambai asante kwa msaada wake.Nilitoka nje na kiwizi wizi nikaanza safari ya kuelekea stend.Wazo ambalo lilinijia ni kwenda sehemu inayoitwa Ifakara.



    Yule dada alikuwa amenipa kama elfu 20 hivyo niliona itaweza kunitosha kwa nauli.Nilivyofika stend nilikuta kuna fuso ndo inaondoka.Sikutaka kupoteza mda niliingia kwenye gar hiyo na safari ya kuelekea huko Ifakara ikaanza.

    Usishangae ndugu msomaji kusikia upanda fuso badal aya basi.



    Huko kipindi hicho usafitri ndo huo yaani hakan cha basi wala nini. Lilikuwepo moja tu liloitwa Moro best na lenyewe lilikuwa lifanya safari zake kwa machale sana. Niifika Ifakara salama na niliposhuka sasa nikatafuta mahali nikagiza chakula huku nikiendelea kutafakari kuwa nitaenda wapi sasa.



    Nilifikiri sana kuhusu sehemu hiyo bado nikaona bado si salama sana kwa sababu nisehemu ambayo naweza kukutana nawatu ambao wanaweza kunijua. Nikapata wazo lingine kuwa niende sehemu ambayo sifahamiki kabisa na kutafuta mbinu yoyote ya kaunza maisha.



    Wazo lilonijia kwa haraka ni kwenda Morogoro Mjini lakini sasa sikuwa na nauli ya kutosha kunifikisha hapo.Nikafikiria haraka haraka nikaona bora nipande gari na kwenda mpaka mikumi.Niliamini kuwa hapo naweza kukaa kwa mda na kufanya kazi yoyote.



    Kipindi hicho nilikuwa namvuto sana na nimenona vya kutosha hivyo ukiniangalia kwa harakaharaka huezi kujua kuwa nilikuwa na mimba. Nilishuka mida ya jioni hivyo kwa kuwa nilikua mgeni nilianza kuzunguka huku na kule ili kuangalia ni kazi gani naweza kufanya ili kukabiliana na maisha hayo mapya.



    Wazo nililolipata ni kuanza kupita kwenye sehemu za kuuzia chakula lengo ni kuomba kazi. Kila mahali inilipoingia nilikaribishwa vizuri wakajua kama ni mteja.Lakini nilipotaka kuongea na boss watu walishtuka na kuwa na mashaka na mimi.Na nilipoongea na boss naye hakuamimni kuwa msichana mzuri kama mimi eti nilikuwa natafua kazi yeyote ya kufanya.



    Tatizo kumbwa ni kwamba ile nguo aliyonipa yule binti ilikuwa ni nzur na pia ilikuwa ikinibana sana na kuonesha mautamu yangu. Hivyo watu walihisi labda mimi ni tapeli.Nilizunguka sehemu kama tutu lakini zote walinikatalia. Sasa nilikuwa nadanganya na kusema kuwa mimi nilitokea Iringa kuna mtu alikuwa amenichukua na kuniambia kuwaa ananipeleka Morogoro mjini kufanya kazi lakini cha ajabu nilipofika hapo amenitelekeza.



    Uwongo huo nao haukufua dafu maana watu wenye upeo mkumbwa wa kufikiri walisema kuwa niende polisi. Kusikia polisi hapo ndo sikutaka kabisa maana wangeweza kuujua ukweli na kunirudisha mahenge.Usiku uliingia na nilikuwa sina pa kwenda zaidi ya kushangashangaa mji mdogo wa mkumi. Usiku ulivyozidi kuwa mkumbwa kwanza nilikuwa nimechoka kuzunguka hivyo nilirudi pale pale stendi na kukaa.



    Nilikaa hapo kama vil kuna mtu nilikuwa namsubiri.Nikawa nashanga tu magari ambayo yalikuwa yakitoka Iringa na kutamani hata kupanda limoja niende tu huko watu walipokuwa wakielekea.Hatimaye ilfika mida ya saa 4 na sasa sikuwa na uhakika wa kulala.Ile pesa niliyopewa ilibaki kidogo sana na nilichoamua ni kuimaliza kabisa kwa kwenda mahali kula kabisa chipsi kavu.



    Nilipanga kuwa nitalala maeneo hayo hayo ya stend na itakapofika asubuhi basi nitaanza kuzungka kwenye bar zote kuomba hata kazi ya kuhudumia.Kamji kalikuwa hakajapooza sana maana kulikuwa na harakati za hapa na pale. Mda ulivyozidi kweda ndivyo hivyo watu walivyozidi kupungua na kimya kutawala.



    Mmbu wasumbufu wakawa wananisumbua pale lakini niliamua kukomaa.Baadaye kabisa nilibaki mwenyewe na palikuwa pametulia sana.Kuna mlinzi ambaye alikuwa akilinda maduka upande wa pili aligundu uwepo wangu hapo hivyo aliamua kunifuaa na kuniuliza mbona nipo hapo usiku huo.



    Niliamua kutumia mbinu za kike kidogo kumwelezea ili anieleze. Nilianza kueleza vitu ambavyo vingemfanya mwanaume yeyote anisikilize.Kwanza nilimwambia hasinione hivyo kwa nje ila moyoni nimebebe mzigo mzito ambao sijui pa kuutua.Nilimwambia umri wangu mdogo unashindwa kuhimili matatizo na mitihani ambayo mwenyezi Mungu ananipatia.



    “Matatizo gani hayo mtoto mzuri ebu eleza mimi huenda nitakusaidia”,Mlinzi aliuliza kwa staili ya kuchombeza. “Matatizo makumbwa ambayo ni vigumu kuamini kama kwa jinsi nilivyo hivi dunia inanielemea.Moyo wangu umebeba kinyongo ambacho kinaweza nipa hata mauti kama tu sitopata wa kunisaidai.



    Ndoto zangu nzuri za maisha zinakatshwa na mtu ambaye sikumtegemea”.Hapo sasa nikaanza kutumia mbinu za kike maana niliona mlinzi huyu ndiye pekee ambaye anaweza kunisaidia. Nilianza kumwaga chozi utazani nimepatwa na msiba mzito.Chozi likayafunika mashavu ya uso wangu huku kwikwi nazo zikianza kunitoka.



    “Jamani mtoto mzuri usilie niambe ni nini kinakusibu naweza kukusaidaia”,Mlinzi aliongea kwa upole na sauti ya kubembeleza. “Kaka yangu kwa sasa ndo kwanza na umri wa mika 17 tu licha ya umbo kumbwa nililokuwa nalo.Umri huu mdogo tayari nina kiumbe nilichokibeba kwenye tumbo langu.



    Hapa nilipo siijui kesho yangu ila naiona leo lenye huzuni na majonzi, kuacha jana iliyopita kwa kudra za mwenyezi Mungu. Mimi ni Yatima ambaye kwa sasa sistahili kudeka japo nashindwa kuyazuia machozi ya huzuni kunitoka.Simjui baba yangu, sijawahi kumwona na hata sitarajii kumwona,Mama yangu ambaye ndo alikuwa ngao yangu furaha na tulizo la nafsi yangu naye alifariki dunia.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Ameniacha mpweke kama kifaranga aliekosa mama.Nilihitaji sana malezi yake lakini ndo hivyo Mungu kamchukua.

    Nilikia sio kwamba najiliza bali ni machungu yanayouchoma moyo wangu”. Baba huyu alikuwa kimywa sana huku akaitega sikio lake kwa huzuni kaujaribu kushiriki hisia nzito hasi nilizokuwa nikizihisi.



    “Baada ya mama yangu kufariki nilichukuliwa na baba mmoja ambaye alijitolea kunilea.Baba huyu ambaye mwanzoni alionekana ni malaika aliyetumwa na Mungu kunisaidia ndiyo huyo kwa sasa amegeuka shetani na kuniangamiza. “Sijakuelewa hapo mdogo wangu naomba ufafafunue vizuri alidakia mlinzi huku akainisogelea karibu na kujaribu kufuta machozi yangu.



    Ndio amekuwa wakala wa shetani kama so shetani kabisa. Baba huy amabye ndo amekuwa akinisomesha ndiyo huy ambaye amenibaka na kunisababishia ujauzito huu. Amekubaka? Lilikuwa ni swali la mshangao kutoka kwa mlinzi huyo.



    Kimyoymoyo nilikuwa najisemeha tulai maana mchezo huo hautaji papara..Utulivu wake ndio nilihitaji kwa sasa ili aweze kunielewa na ikibidi kunisaidia. “Baada ya kukubaka mbona hukuenda polisi”. “Huyu ni kama baba yangu tena kwa umri wake napaswa kumwita babu.



    Haya yalikuwa ni kama mambo ya kifamilia ambayo isingekuwa busara yangeweza kuharibu familia. Alinisihi kupotezea na akanisihi kutunza siri na akaniahidi kutoa mimba hiyo.Kwa kudra za Mungu zoezi hilo likashindikana na akakubali kuilea na tulimpakazia mwanaume mwingine ili mke wake hasijue”.



    “Mbaya zaidi siku moja mkewe akiwa ametoka alainifuata tena chumbani kwangu nakutaka tufanaye tena ule mchezo mbaya.Nilishindwa kumkatalia kwa kigezo kuwa nikifanya hivyo huenda akanifukuza hapo nyumbanii.Siku hii sasa ndo ilikuwa ni siku ya 40 ya mzee huyo.



    Sio arobaini ya mazishi bali ni arobaini ya kukamatwa ugoni.Hii sasa ndo siku mbaya kutokea kwenye maisha yangu kwa sababu licha ya kufumaniwa pia mkewe alidondoka na kuzimia.Mimi kwa kuwa nilijua mama huyo alikuwa na presha nikajua anaweza kufariki na kwa jinsi nilivyokuwa nampenda sikutaka hilo litokee mbele yangu.



    Usiku huo huo niliondoka na kwenda kulala kwa majirani.Asubuhi palipokucha lawama zilikuwa nyingi kuwa mimi ni ni sawa na muaji kwa maana nataka kukatisha uhai wa mama huyo.Maneno hayo yalinichoma sana na kunikuta nikifanya maamuzi yaliyonifikisha huku.



    Niliamua kutoroka kaka yangu na hapa sijui hata naenda wapi. Sitamani tena kuishi natamani hata kuyakatisha misha yangu lakini hiki kiumbe kilichotumboni mwangu ndicho nakiogopa. Naapa kuwa nitakuwa nimetenda dhambi mara mbili.Kufikia hapo nilikuwa nimechoka machozi yametoka mpaka yanataka kunikauka.



    Sikuweza kuendelea kwa kweli nilibaki nikigugumia kwa kwikwi na huzuni ya hayo mazito ya moyo niliyoweza kuyatoa. Mlinzi huyu kwa kweli alikuwa ni mwema sana maana hakuonesha kuwa haamini kile nilichokuwa nakisema zaidi alianza kunifariji na kuniuliza maswali ya kiupelelezi.



    Kwa hiyo kwa sasa unahitaji msaada wa namna gani ndilo swali la msingi aliniuliza.Nahitaji hifadhi kwa mda na pia nipo tayari kufanya kazi yeyote ili tu niweze kuishi mimi na hiki kiumbe kiliyopo tmboni.Marehemu mama yangu alinisimulia kuwa aliwahi kupita mswahibuu kama haya hasa alipokuwa na ujauzito wangu lakini hakuitoa mimba hiyo.



    Alinionya sana juu ya kutoa mimba hivyo hata mimi kwa kweli sifikiriii kutoa mimba kwa sasa. Ni kweli kutoa mimba ni dhambi kumbwa sana dhambi ya uaji na pia ni kinyume na maadili ya mwenyezi Mungu.Si hivyo tu pia ni kinyume na sheria za nchi.Kwa hiyo mdogo wangu nakupongeza kwa hatua hiyo nzuri ya uvumilivu.



    Amini avumiliaye mpaka mwisho atavikwa taji la ushindi.Na pia usisahau apandaye kuwa huzuni atavuni kwa kelele za furaha. Uhai ni zaidi ya maisha, mapito ya maisha yasikusababishie ujifikirie kujiua. Labda nikuambie hayo unayoyapitia ni madogo sana wapo wenzio wanaopitia makubwa zaidi ya hayo.



    Maneno haya yalikuwa ya faraja sana kwangu lakini bado nilisubiri tamko la mlinzi huyo kama yupo tayari kunisaidia. Mdogo wangu kuna wakati unawezafikiri dunia inakutenga lakini la dunia sio mbaya bali wakaawo ndio wabaya. Mimi nitakusaidia ingawa na mimi maisha yangu ni ya kuungaunga.



    Hapo nilinyanyua masikio juu kama punda baada ya kusikia maneno ya faraja ambayo yaliambatana na ahadi ya msaada.Nimekusikiliza kwa ingawa huku mjini matapeli ni wengi sana lakini kama umenidangaya juu kamwe hutofanikiwa kwenye maisha yako.



    Sijakudanganya kaka yangu naomba uniamini na unisaidie nilimwambia huku nikimkazia macho.Sawa nitakusaidia ila kwa leo utanibidi uvumilie usiku huu tutakuwa wote lindoni maana siwezi kukupeleka nyumbani nikakuacha hapa. Haina shida kaka yangu huku kimoyomoy nikimshukuru Mungu kwa kumtuma maaiaka huyu.



    Kibaridi kilikuwa kikali na kwa mara ya kwanza nikajikuta nikinywa kahawa na mlinzi huyo.Alikuwa na birika lake ambalo ni maalumu kwa ajili ya kumpa sapoti ya kazi hiyo. Story za hapa na pale zikagona na nilishukuru usiku huo ulikuwa mfupi maana mlinzi alikuwa ni mcheshi sana.



    Asubuhi ikafika na mlinzi mwingne akaja wakabidhiana na sasa tuliondoka na kwenda kwa huyo mlinzi.Mlinzi aliyekuja naye alikuwa na maneno maneno maana alimsifia sana kuwa eti ameng’oa kifaa.Mimi niliwasikiliza tu huku huyo aliyenipa msaada akisisitiza kuwa mimi ni dada yake.



    Tuliondoka kwenda huko nyubani kwa mlinzi huyo.Haikuwa mbali sana hivyo tulitembea kwa mguu.Ilikuwa ni nyumba ya kupanga yenye wapangaji wa wstani na yeye alikuwa na chumba kimoja tu.Kweli nikakumbuka kauli yake kuwa atanisaidia japo na yeye maisha yake yanahitaji msaada.



    Chumba chake kilikuwa kidogo alafu ni kimoja tu.Ndani ya chumba hicho kulikuwa na kitanda kama vile vya wanafunzi kameza cha kulia na vyombo kidogo vilivyoweka ndoo ya maji. Hapa nadhani unapata picha jinsi palivyokuwa kwenye nyumab hii.Sikujua kama kipato chake ndo kinasababisha hayo au kuna jambo lingine nyuma ya pazia.



    Vitu vyote hazikunivutia isipokuwa kitu kimoja yaani picha ya mwanamke mrembo mwenye wowoo kumbwa kama mimi.

    Yaani umbo la msichana huyo lilikuwa linafafanana kabisa na umbo langu. Juu ya picha hiyo kulikuwa na maneno ya kiingereza yaliyoandikwa kwa mchannganyo wa rangi “ BAMBUCHA, The girl of My dream” yaani msichana wa ndoto zangu.



    Nilijiuliza maswali kadhaa juu ya ile picha lakini sikupata jibu kamili. Wakati huo nimekaa kwenye kistuli ambayo kilikuwa kinachezacheza kwa sababu ya uchakavu wake na uzito wangu pia ulichangia. Mlinzi huyo ambaye hata jina nilikuwa sijamjua alikuwa ametoka nje na kuniacha mimi nikitafakari juu ya nini itakuwa hatima ya msaada huo.



    Alirudi huku akiwa amebeba vitu vilivyofungwa vizuri kwenye gazeti. Akawasha jiko lake la mchina na kubandika sufuria.Alipoweka majani ya chai ndo nikagundua kuwa alikuwa akipika chai.Kidogo nimkataze hasiweke majani maana kwa yule mzee aliyeniaharibia maisha huwa hatuweki tunaweka vungo vingine kwa madai kuwa majani ya chai yana madhara.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Nilizoeshwa hivyo na nina mda sana sijanywa chai yenye majani.Sijui ukweli wa jambo hilo mtawauliza madaktari jamani. Chai ikaiva na sasa ikawekwa mezani kwa jinsi nilivyokuwa na njaa na mwili ulivokakamaa kwa baridi ya usiku mzima sikutaka kujivunga. Lile gazeti likafunguliwa na nikakaribishwa na vitumbua vilivyonona vizuri.Tulikunywa chai huku akinikaribisha na kuniambia hapo ndo nyumbani.



    Akaeleza kwa kuwa yeye mara nyingi anakuwa shift ya usiku basi mimi nitakuwa nalala ila wiki ambayo hatoingia usiku basi tutafanya utaraibu mwingine. Hiyo sehemu anayolinda ni hizi sehemu ambazo zinajihusisha kutoa mikopo.Hivyo kwa mantiki hiyo walikwa na shift yaani wiki hii anaingia usiku inayofuata anaingia mchana.



    Sikuweza kupinga wazo lake nilimshukuru kwa wema wake huo na kumwambia kama anaeza anitafutie kazi yeyote hata ya kuuza bar.Alinangalia kisha akacheka na kuniuliza eti mtoto mzuri kama mimi nataka kuuza bar sinitagombaniwa kama mpira wa kona.



    Nilimwambia hasijali sana kuhusu mimi na kamwe sitoweza kukaa kusubiri eti yeye aniletee chakula. Wakati tunaendelea kunywa chai huku macho yangu yakiganda kwenye hile picha na kutamani kuuliza kuhusu hiyo picha kuna sauti ya kike ilisikika ikigonga huko nje.



    Karibu mama alijibu huku akinyanyuka hapo alipokaa na kutaka kwenda kumsikiliza. Kabla hata hajafika mlangoni mama huyo alishaingia ndani. “Hivi wewe Chacha unajifanya mkorofi sana si tulishakubaliana nyumba yangu kamwe haingii mwanamke?.” “Hii ni kwa ajili ya mabachela tu sasa kwa nini unanifanyia utemi?”.



    Alifoka mama huyo na hapo sikuhitaji kuuliza kuwa mama huyo ni nani.Moja kwa moja niligundua kuwa alikuwa ni mama mwenye nyumba. Nilijikuta nikiwa mpole ghafla na kujuta tena kuja hapo. Nilimwangalia mwanamke mwenyewe nilitamani kucheka maana kwanza alikuwa ni kimbaumbau amenyooka kama msumali hata hakufanania kuwa mama mwenye nyumba.



    Pili rangi yake ya usoni haikufanana na rangi yake ya mikononi na miguuni.Ni wazi kuwa alijichubua kupita kiasi hivyo madhara ya mkorogo yalionekana dhairi bila kificho. “Hapana mama lazima uniulize tena kistarabu kwa nini nimefanya hivyo sio kukurupuka na kufoka mbele ya mgeni. Huyu binti ana matatizo sana hivyo niliamua kumsaidia na nilimleta huku ili nimkutanishe na wewe ili kama ataweza basi umpe kazi ya kufanya”.



    “Hayo ndo maneno sasa sio eti uniambie kuwa nimekurupuka hii ni nyumba yangu na nipo kibiashara. Basi akiwa tayari utamleta ili aje tumpe majukumu ya kazi itakayompa pesa”. Alisema mama huyo huku akiniangalia.Binti usiwe na hofu hapa ndo umefika kwa mama la mama kumbwa la maadui, kimbilio la mabinti waliokata tamaa na maisha”.



    Ilibidi nitabasamu maana hizo tambo zilikuwa ni kiboko.Hiyo inaitwa gusa unatae, ikisimama panda, ikiwaka mulika na ikizimika papasa. “Alafu binti unalipa sana naamini kwa umbo lako lilojazia na kujichora kama soda ya Bambucha lazima tu utapata pesa ni aibu kwa wewe kufa na njaa”.



    Kweli nimepatikana niliwaza mara baada ya mama huyo kunipa sifa na kutoweka chumbani hapo.Sasa nikawa najua kabisa kuwa safari ya maisha niliyoamua ni ngumu sana. “Dada samahani ndio nyumba zetu za kupanga zilivyo hivo kuwa na amani”. “Huyo ndio mama mwenye nyumba?”, niliuliza ili kupata tu uhakika.



    Ndio huyo ndo mama mwenye nyumba alijibu kwa unyonge baba huyu. “Sasa ni kazi gani ambayo yeye anauhusika nazo?”. “Kazi anazohusika nazo kwa kweli si nzuri sana”. “Wewe nambaie tu usiwe na wasiwasi”. “ Huyu mama ujue hataki wanawake kwenye nyumba hii kwa sababu tayari yeye anacho chumba kwa ajili ya wasichana tu.



    Huyu mama anafanya biashara haramu ya ngono. Yaani hataki wasichana wapange hapa kwa sababu kufanya hivyo ni kuharibu biashara yake na kupugngza wateja”. “Kwa hiyo nyie ndo wateja wake nilimuuliza”. “Ndio dada sisi ni wateja wake na kuachilia sisi pia kuna wanaume wengi ambao wanakuja hapa kupata huduma”.



    Pia ana bar hivyo watu wakishalewa inakuwa rahisi sana kuwaleta huku ili kufanya bishara hiyo”. “Kwa nini uliamua kukaa hapa na si nyumba ingine”. Maisha, maisha pamoja na umri wangu huu mkumbwa lakini maisha yananifanya niishi bila matuamaini. Pamoja na mambo mengine huyu dada ameshanisaidia sana na ndio ameniwezesha mimi kupata kazi pale ninapolinda”.



    “Ulivyonambia unashida niliumia sana kwa sababu najua jinsi maisha yanavyobadilika”.Zamani mimi sikuwa hivi mimi nilikuwa somebody katika nchi. Mimi nilishawahi kuwa polisi nikaja nikafukuzwa paia nilishawahi kufanya bishara nyingi nikafanikiwa sana nan do nilipojuana na huyu dada.



    Lakini baadaye ndo kama hivi nilifilisika na kurudia ufukara.Huyu dada kwa sababu alikuwa ni rafiki wa karibu sana na msichana niliyewahi kumpenda sana basi aliamua kunisaidia. Aliongea baba huyu wa makamo nikajikuta namuonea huruma sana. “Kwa hiyo huyu mwanamke mna uhusiano?”,niliuliza swali hilo.



    “Ndio huyu mwanamke tuna uhusiano naye na nimezaa naye mtoto wa kiume mkumbwa tu nadhani atakuwa size ya rika lako au kukuzidi kidogo.Sasa hivi yopu huko Dar es Salaam anafanya biashara zake.Naye ni shida alikaa taa shule yopo tu ni mfanyabiashara sasa hivi”.



    Mzee huyu akawa amenipa mwanga kidogo wa kujua kuwa maisha yanachoma kama pasi.Sasa swali ambalo nilijiuliza mwenyewe ni kuhusu kuwa nitaweza kufanya kazi ya kujiuza.Ikabidi nimuulze huyu mzee kuwa hamna kazi ingine tofauti ya hiyo ya kujiuza.Lilikuwa ni swali la msingi na sio la nyongeza.



    “Hilo siwezi kukujibu kwa haraka sana lakini cha msingi utaongea na huyo mama na pia husimfiche kuwa wewe ni mjamzito.Anaweza kukusaidia kwa sababu ana umaarufu fulani katika mji huu. “Hata mimi sipendi uingie kwenye biashara ya kuuza mwili ila mimi nimgeni kwenye mji huu nilikuja kama wewe ulivyokuja hata huyu mwanamke sikujua kama nitamkuta huku.



    Yaani sipendi kabisa ufanye hizi kazi lakini msikilize na mimi nitajaribu kuongea naye ili aweze kukusaidia. “Sawa asante pia kwa msaada wako inaonekana una roho nzuri sana ingawa pia hali yako ya kimaisha sio nzuri”. Ilibidi nimpongeze kwa sababu watu kama hawa ambao hawana uwezo lakini wapo tayari kusaidia ni wachache sana.



    Kimya kidogo kilitawala sana kabla ya mimi kumuulza kuhusu ile picha kumbwa ambayo ilikuwa ukutani na yenye maneno “Bambucha the girl of my dream”. Alitabasamu na kuniambia kuwa yeye pamoja na mambo yote lakini ni mzima sana katika kuchora. Huyo aliyemchora hapo ni mwanamke ambaye alimpenda sana na waliachana kwa mipango ya shetani na kila siku anatamani kama angeweza kuonana naye. Duuh kweli mapenzi kiboko.



    Nilipoajaribu kuhoji sana kuhusu hiyo picha maana ilinivutia na ilikuwa ikifanana na umbo langu.Alinikatisha kwa kuniambia kuwa niende kuongea na huyo mama ngoja yeye alale kidogo hiyo story atanambia siku ingine akiwa kwenye mood nzuri.Hapa napo nikapata swali lingine kama hawa watu ni wa penzi mbona kila mtu analala chumba chake.



    Nikaona nitajipasua kichwa bure ngoja niende kwa huyo mama.Nikatoka na akanambia iende kugonga chumba cha pili.Nilienda kugonga maana mlango ulikuwa umefungwa. Mlango haukufunguliwa lakini kuna sauti nilizisikia ambazo sikuzielewa.Ni kama watu walikuwa wakifanya mapenzi ndani ya chumba hicho.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Ilibidi niwe mpole na kusogea kwa pembeni na kuanza kuangalia mazingira ya nyumba hiyo.Hapo macho yakaangukia kwenye kamba ambayo ilikuwa imejaa vifuniko vya asali. Swali lingine likaja kwenye ubongo wangu nimeembiwa nyumba hiyo ni kwa ajili ya wanaume tu sasa hizo nguo za ndani za wanawake zilizojaa kamba zimetoka wapi.



    Mara “dada habari yako, nimemkuta mama la mama”.Lilikuwa ni swali kutoka kwa mwanaume ambaye aliingia kwenye uwa wa nyumba hiyo. Kabla sijajibu “Jamani dada wewe mgeni eeeeh, naona hayo mabambucha si ya mji huu”. “Kweli na bahati yaani leo nitakuwa wa kwanza kukukaribisha”, aliendelea kuchombeza kaka huyo huku amenitumbulia macho unadhani labda mwewe kaona kifaranga cha kuku.



    “Wewe kijana wewe acha fujo huyu ni mwanangu ebu tulia kwanza”, ilikuwa ni sauti ya mama yule mwenye nyumba.Kumbe alikuwa ametoka maana zile sauti za kwenye kile chumba zilishanishtua na kuhisi labda ni yeye ambaye alikuwa anakamuliwa. “Kwa hiyo mama naniii huyu mwanao nikilipa ghali hunipi?”.



    Yule kijanja aliendelea kuwa king’ang’anizi kuonesha kuwa alidata na umbo langu.Yaani niliatamani hata kuondoka niende huko nje kutafuta kazi ingine.Lakini nilisita kidogo nikaona sio mbaya kama nitamsikiliza mama huyo. “Huyu mwanangu haiwezekani labda nikupe mwingine ailyekuja juzi huyo bado kabisa yupo vizuri” alisema mama huyo.



    “Sawa sawa natanglia kule V.I.P mwambei aje huko”, alisema kijana huyo na kwenda kwenye chumba ambacho kilikuwa kimejitenga pembeni. “Usishangae ana mtoto mzuri nisiburi hapo hapo nichukue kwanza pesa yangu.Mama aliongea huku akielekea kwenye chumba hicho.



    Baada ya dakika mbili alitoka na kwenda chumba kingine ambapo kwa pamoja alitoka msichana mwingine mdogo mdogo na mshamba mshamba akampeleka kwenye kile chumba kinachodaiwa ni V.I.P.Baada ya hapo alinambia animfuate.Jamani mama alikuwa anapaiga hatua za haraka haraka kama mwanaume vile.Yaani mimi na kitumbo changu mbona nilikoma. Hatua kwa hatua nashangaa kuona hata hatufiki huko tulipokuwa tunaenda.



    Tuliiingia kwenye bar moja na tuilpokaa tu muhuumu alikuja. “Mimi nipe kile kinywaji changu msikilize na mwanangu”. “Mimi nipe soda Fanta”, nilijibu na kumfanya muhudumu atabasamu. Sijui alitarajia niagize bia maana kinywaji cha huyo mama kilichokuja ni bia tena zile zenye kilevi kikumbwa.“Karibu sana mimi naitwa mama la mama, unaweza kujitambulisha na ukanambia kwa kifupi kuhusu wewe”.



    Sikutaka kuzunguka mibuyu nilienda moja kwa moja kwenye pointi zangu za msingi ili niweze kusaidiwa.Nilimweleza kuwa mimi ni yatima na pia nilimweleza kwa kifupi majanga yaliyonikuta.Alikuwa makini sana kuniuliza lakini niligundua kuwa mama huyu alitokea kunipenda na kunikubali maana hata zile nyodo zake ziliisha na akaonesha hali ya kuhuzunika kila neno nilolokuwa nikiliongea.



    Siku hiyo nilikuwa nikiongea kwa hisia sana. Baada ya mimi kumwaga sera zangu zikionesha kuwa kuna kila sababu na mimi kupewa msaaada mama huyo akaanza na yeye kuongea. “Mwanangu usikonde moyo kwani maisha ni safari, tena safari yenye milima na mabonde.Kuna kupanda na kushuka, kuchanua na kunyauka.Yaani nimekufananisha sana na rafiki yangu ambaye naye tuliishi vizuri sana ila tulikuja kupotezana kisa tu mwanaume”.



    “Mwanaume aliwafanyaje?, Nilimuuliza. “Wacha tu mwanangu mwanaume huyo alikuwa akituchanga hivyo kwa kuwa alikuwa na pesa tukajikuta tunagombana na kila mmoja akafauata maisha yake.Sasa mwanangu mimi nipo tayari kukusaidia ingawa kazi zangu zote ni kinyume na sheria na ni hatari kwa haki za binamu na kiafya pia.



    “Kazi gani hizo mama?”, ilibidi nimuulizze ingawa tayari nilishapata picha ya vitu anavyofanya. “Kazi ya kwanza mimi namiliki wasicha wengi ambao huwa nawahifadhi na kuwafanyisha biashara ya ngono. Mwisho wa mwezi nawalipa mshaara.Naendesha biashara hiyo kwa siri sana na pia nimeunda urafki na watu wanahusika kusimamia sheria.Biashara hii inanilipa sana na imenifanya nijuane na watu wengi.



    Lakini pia nafanya kazi ya kuuza pombe haramu na pia nauza bangi na madawa mengine ya kulevya ambavyo nayapata kutoka huko mijini kwa watu wazito. Kwa hiyo nafikiria kukutafutia kazi kupitia watu lakini mwanangu kazi ni ngumu itachukua mda.Hapo ikabidi nimkumbushe kuwa mimi ni mjamzito hivyo naoagopa kufanya kazi za ngono.



    Akacheka kidogo na kuniambia kwa kuwa ujauzito sio ugonjwa hivyo naweza kufanya mpaka miezi ya kukaribia kujifungua. Wakati tukiendelea na mazungumzo hayo kuna baba mmoja aliingia na moja kwa moja alikuja kutusalimia.Ilionekana walikuwa wakifahamiana.



    Huyo baba akakanza kumwambia kuwa amtafute mtu kwa sababu kuna msichana ameondoka jana. “Hawa wasichana wamekuwa wasumbufu sana yaani wanakuja hapa washambashamba sasa wakishakutana na wanaume wanatoroshwa”. Mama akasema ni kawaida hata pale kwake kuna watu wa namna hiyo wakishapata pesa kidgo wanasepa. “Kwa hiyo unataka binti?”, mama huy aliuliza tena.



    “Ndio nataka kwa haraka ila awe mwaminifu sana”. “Sawa binti ushapata tena nitakupa mwanangu kabisa huyu hapa ila sitaki mumuuze kwa wanaume”. “Huyu ni mwanao?”, aliuliza mzee huyo. “Ndio huyu ni mwanangu mtoto wa kaka yangu mimi ni shangazzi yake hivyo ataanza kesho wakati anasubiria mambo mengine yakae sawa.



    “Acha utani bwana mtoto mzuri kama huyu hawezi kuuza bar”. “Sio utani huyu kwanza ni mzoefu sana baba yake ana bar kumbwa huko mjni hivo itabidi umpe kaunta kabisa sitaki ashikwe shikwe matako hapa. Kaunta nitampa lakini ili wenzake wasijisikie vibaya ni lazima aanze huku pembeni na akijituma vizuri ndo nampandisha cheo”.



    “Wewe haupo seriazi yaaani mwanangu jinsi alivyokuwa mzuri na mabambucha yake yalivyojazia hivyo uumpe kazi hiyo. Mabishano yao alinifarji sana na kuona sasa naweza kupata kazi ambayo kidogo itakuwa na nafuu kuliko zile za yule mama”. Basi mama akamwambia ngoja aongee na mimi aone kama nipo tayari kufanya kazi hiyo.



    “Awe tayari tu kwanza akikaa kaunta hautopata pesa nyingi huyu anatakiwa awe huku li awe kivutio cha wengi naamni wateja wataongezeka. Wateja wakiongezeka namuongezea mshahara” aliendelea kusisitiza baba huyo. Basi baba huyo alienda kaunta na kutuacha sisi tuendelee na mazungmzo yetu.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Mama akanambia “siunaona nilikwambia mimi ni mtu maarufu sana hapo sasa ushapata kazi hakuna haja ya kulaza damu”. “Asante mama mimi nitafanya kazi yeyote ili mradi tu nijipatie kipata kwa ajili yangu na kwa ajli ya mtoto alioko tumboni.

    Basi tuliendelea na stori za hapa na pale huku yeye akiendelea kupiga kinwaji vya kutosha.



    Hiyo ilimaanisha kuwa alikuwa na spidi sana maaana tayari alishamaliza ya kwanza na aliongezwa.Akanambia kama nataka kuongeza soda niongeze tu nisione aibu.Sikutaka kuongeza maana sijui kama soda inaongezwa. Mama akanambia ngoja amalize ili tuende kwenye bar yake ambapo kuna pombe za kienyeji zinauzwa.



    Wakati akiomba bili yake kuna kinywaji kingine kililetwa na muhudumu alisema kuwa ana ofa kutoka kaunta kwa yule kaka aliyekaa kaunta. Mama akasema fungua na mwambaie asante. Yaani wee Vai utakuwa na nyota sana yaani hizi bia ni ishara kuwa wamekona ua zuri hapa mezani.



    “Hivi unafikiri mimi nilivyochoka hivi ni wa kunuliwa bia bure bure”. Mimi nilitabasamu tu na kuendelea kuoa vioja ambavyo vilikuwa vikiendelea hapo. Alafu Vai kuanzia leo usitumie jina hilo wewe utumie jina la Bambucha na mtu akikuliza jina lako unamtajia hilo”.



    “Sawa mama kwani Bambucha ina maana gani ilibidi niulize”. “Bambucha maana yake ni kumbwa kuliko na wewe una makalio makumbwa kuliko, yaani hata maungo yako ni makmbwa kuliko”. “Sawa mama nitatumia hilo japo silipendi”. “Itabidi ulipende maana litakupa umaarufu sana kama miii ninavyoitw amama la ma akumbwa la maadui”.



    Baadaye tulindoka na kwenda huko kwenye bar yake.Kweli ilikuwa ni kiboko maana ni chocho Fulani ambalo kombe kali mpaka gongo zilikuwa zikuuzwa. Watu walikuwa wakiingia na kutoka kama vile kulikuwa sijui nini.Yaani ni sehemu ya siri ambayo ufuska mwingi sana ulikuwa ukiendelea huko.



    Yaani kwa dakika chache tu nilishashikwa makalio yangu zaidi ya mara tatu na wanaume tofauti tofauti.Mtu anatoka huko anakuja tu kukushika kwa nyuma. Niliona kama nadhalilishwa lakini nilikuwa kimya kwa sababu mwenyeji wangu alikuwa kimya tu.



    Alafu pia kulikuwa na mambinti wengi ambao walikuwa wakicheza cheza na kuwafurahisha wanaume.Wengine walikuwa wakiingia kwenye kachumba Fulani wakaitoka huko tayari wanaraha hata sikujua walikuwa wakienda kufanya nini. Nilikaa hapo lakini kwa kweli nilipoteza pozi kabisa na nahisi mwenyeji wangu aliligundua hilo na kuwaaga na kuondoka naye.



    Tulienda kule kwa mara ya kwanza na aliingiza kwenye chumba kingine ambacho nahisi ndio kilikuwa ni chumba chake.Alinambia nipumzike hapo yeye anaenda kwenye michakato yake. Kwa jinsi nilivyokuwa nimechoka niliona hakuna njia ingine ya kupumzika zaidi ya kulala kwa sababu usiku uliopita nilikuwa hata sijalala.



    Nilijibwaga hapo kitandani huku nikiendelea kutafakari vitu viwili viatatu mpaka hapo nilipofikia. Nilimshukuru Mungu kwa yote na nilikuwa tayari kwa lolote.Nilipitiwa na usingizi huku nikiota ndoto za ajabu ajabu. Niliioata pia ile picha ambayo yule mlinzi alikuwa ameichora an kuiweka chumbani kwake na kuandika kuwa huyo ndo msichana wa ndoto zake.



    Nilikuwa nimeshikilia picha mbili yaani ya kwanagu na mama na zote eti nilikuwa najaribu kuzifananisha na huo mchoro.Mara nilishtuka kutoka ndotoni na nilishtuliwa na mtu aliyekuwa akaigonga mlango. Niliamka na kwenda kufungua.Nilikutana na binti ambaye alikuwa ndani ya khanga maja kuonesha kuwa alikuwa ametoka kuoga.



    Wakati bado najiuliza na binti huyo tayari alishaingia mpaka ndani.Akaifungua hile khanga yake na kubaki kama alivyozaliwa. Nilibaki nimeshangaa tu na nisijue alaikuwa akitaka kufanya nini?.



    Mara akaingia tena msichana mwingine na walikuwa wakifanana kama mapacha. Na yeye akafanya kama mwenziye alivyofanya yaani akuachia khanga yake.Walikuwa wamenunu kuashiria kuwa walikuja kishari. “Dada tunajua wewe ni mgeni hivyo kwa usalama wako tulia hivyo hivyo tufanye yetu kisha tuondoke”,Mmoja wao alingea kw akujiamini.



    “Mnataka kufanya nini?” ilibidi niulize kwa upole. “Tunataka kukubaka kama hautakuwa tayari kufanya na sisi kwa hiyari yako”. “Sasa mtanibakaje wakati mimi ni msichana mwenzenu?”. “Ndo utajua leo kuwa umekuja dunia ambayo ni tofauti na dunia ambayo umeizoea”.



    “Nilimwangalia huyo msichana ambaye alikuwa akiongea nilitamani kucheka maana alikuwa akiongea utumbo sana”. Ila wakati huyu mmoja ananichanganya kwa maneno hayo huyu mwigine alikuwa akipekua pekeua mabegi ya yule mama.Ni kama walikuwa wakitaka kumwibia.



    Machale yakanicheza kuwa mabinti hawa walikuwa wanataka kunishushia zigo la kuwa mimi nimeiba.Kwa kuwa na mimi nilipoenda kitandani kupumzika nilivua nguo na kubaki na kufuli tu nilivuta shuka lilolopo hapo na kujifunga vizuri tayari kwa kuapambana nao.



    Niliona itakuwa ni aibu sana kushindwa kupambana na vimbaumbau kama hawa. Nilanaz kupambana na yule ambaye alikuwa anapekua mabegi na kweli alikwua ameshapata burungutu la pesa na sasa ikawa ni purukushani hapo mimi namzuia haziondoke na hizo pesa huyu mwenziye yeye anapambana na mimi kunishika ili mwenziye akaimbie.Niliwamudu lakini walikuwa na nguvu na walionekana walikuwa wameshachoaka na maisha maana iikuwa ni shida.



    Huyu mwingine ananipiga kwa nyuma lakini mimi nilimng’anagaia mwenziye kwa nguvu.Hapo nikapata wazo la haraka kuwa ni kupiga kelele za kuomba msaada. “Mlinzi , mlinzi wanamuibia mama”, niliita kwa anguvu.Sauti yangu hiyo iliwafanya washtuke kidogo na walipeana ishara kuwa waondoke wasije wakakutwa.



    Alianza kuniachia yule aliyekuwa amenishika kisha yule mwingine aliyeshika pesa aliniambia kuwa haya niache nimeshaurdisha hizo pesa.Ilibidi nimwachie hapo sasa akapata nafasi ya kuondoka lakini na yeye alivuta lile shuka nillokuwa nimejifunga na kubaki na kufuli tu.



    Kumbe ile sauti yangu ya kuomba msaada ilisikika na yule mlinzi alikuja.Sasa ukisikia kutakana ubaya ndo huku maana badala ya yeye kuwakimbiza wale wadada akabaki ananishangaa jinsi nilivyoumbika. Niliona aibu sana hivyo nikajikuta naingia ndani na nilishanga kuona na baba huyo na yeye ameingia ndani kisha akafunga mlango.



    Hapo sasa nilichoka zaidi na nilishindwa kumwangalia na nilimpa mgongo.Ikabidi nisogee mpaka kwenye lile begi ambalo wale mabinti walikuwa wakilipekua.Nia yangu ni kupata nguo ya kujisitiri.Maana nlifikiria kuwa kama nikiaanza kuvaa kile kimini changu ndo nitamapa nafasi ya kunichunguli zaidi. Nilivyotupa jicho kwenye lile begi sikuamini nilichokiona kulikuwa na pesa nyingi tu za kutosha.



    Kwa mara ya kwanza nilipatwa na tamaa na kutaka hata kukwapua hizo pesa.Mzee huyo alinisogelea na kunishika kiuno jambo lilonifanya nipate msisimko wa ajabu.Akafanya mpapaso mdogo kuelekea nyuma na kuyashika haya maboga ambayo yanawachanganya watu wengi nikiwa na nguo.



    Sasa vuta picha hapo nilikuwa nimevaa kufuli ambalo na lenyewe ni sawa na bure tu maana ilifanana na rangi ya mwili wangu. Nimelala nimeuota hivyo nataka nikuokoe kutoka kwenye utumwa wa maisha ambayo unataka kuanza.Bado nilishindwa kuongea maana alikuwa amenikumbatia na kunibana vilivyo na maneno hayo yalisemwa kwa mtindo wa kuninong’oneza.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Nilivuta pumzi ndefu na sasa mapigo ya moyo yaliongezeka na kuona kumbe wanaume wote ni wale wale hakuna cha baba wala kaka wote wana matamanio tu. “Najua una hofu iliyopitiliza sasa mimi najua huyu mama atachelewa kurudi sana na ndio maana hao mabinti wakataka kumwibia.



    Mimi nakushauri kuwa chukua hizo pesa zote utoroke.Mimi nitakusaidia na uende mbali kabisa hata huko Dar ukaanze maisha yako mapya maana hapa utapata tu magonjwa”. “ Lakini baba mbona mama alinambia ananitafuta kazi ya kuuza bar”. “Kazi ya kuuza bar ni kama hizi tu hakuna nafuu na kwa mimba yako hiyo hutoweza.Mimi nitakusaidia kutoroka usijali”.Alisema hivyo huku akiniachia na kuanza kutafuta kitu hapo ndani”.



    Akapata mfuko wa Rambo sasa akachukua zile pesa zote na kuziweka humo.Akaongeza na mfuko mwingine na kufanya mtu hasiweze kujua kama ni pesa hizo..Mimi sa hiyo nilishasahau kama eti nilikuwa nusu uchi.Tamaa na uchu wa hizo pesa ulinipanda.



    Akanishikisha mfuko huo wa Rambo mkononi. “Unaweza kutoweka eneo hili lakini nahitaji nikukumbuke maana una umbo la msichana ambaye ni ndoto zangu”.Akanivuta kwa nguvu na kunikumbatia kifuani kwake.Mikono ikawa mgongoni na sasa alikuwa akinipapasa taratibu.



    Akanisogeza taratibuu mpaka kwenye kile kitanda na kunilaza. “Jamani mimi naogopa tutakutwa nilimwambia hivyo mara baada ya kuleta mdomo wake kwenywe kinywa changu ishara kuwa alikuwa akihitaji juisi ya miwa. Mzee hakutaka hata kunisikia tukakutanisha ndimi huku mikono yake ikifanya fujo kwenye bustani yangu ya siri.



    Heee nilimiss mwenzenu hii michezo nikajikuta nikinyanyua mguu mmoja na kaunza kupata utamu utamu.Mikono ya mzee huyu ilikuwa imekomaa sana hivyo kuongeza mshawasha wa kula tunda. Ujue sisi wanawake tuliojaliwa vitu vikumbwa ni rahisi sana kunyegeka yaani mtu akikupapasa vizuri sehemu zenye msisimko basi tayari unataka kitu.



    Sijifii maana ni ukweli kuwa tuna joto kali sana ndani ya injini zetu na pia huko sirini kuna nyama nyama ambazo hazimuumizi mwanaume hata akuweke staili gani. Ila sio nasema hivi mkaanza kutamani unene na wowowo mwishowe mkaenda kwa mchina. Wanaume wanatofautiana wengine wanavutiwa na wanene na wengine wanavutiwa na wembamba.



    Basi na mimi niliamua kumpa kama niko kwenye mindoko ya R&b yaani taratibu nikawa najinyonganyonga pale kitandani huku nikitamani afanye mambo yake kwa haraka haraka kwa sababu tungeweza kufumaniwa na kufanya maisha yawe magumu sana.



    Ni kama alijua utamu wangu ulipo maana alianza kuchezea kinembe changu na kufanya nigugumie kwa raha.Kama nilivyosema mikono yake ilikuwa kama inasuguasugua ikulu hivyo kuleta msisimko ambao kwa kweli sikuwahi kuusikia.Akaanza kunilamba mwili mzima kama vile alikuwa anatafuta vitu Fulani hivi.



    Hakuwa na haraka kwa kweli maana yeye alikuwa anafanya taratibu utafikiri labda sio mapenzi ya kuiba. Nikaona huyu nikimchelewesha tunaweza kukamatwa bure.Nilichokifanya ni kumkumbatia kwa nguvu na kumbinya kwenye mwili wangu. Matiti yangu yakakutana na kifua chake cha mazoezi.



    Na wembemba wake ule mbona nilimudu, sasa kosa likawa mashine yake ilikuwa imebanwa na mapaja.Hapo akaonesha ishara kuwa nimwachie kidogo.Nikafanya hivyo na kweli mzuka ilikuwa imempanda vya kutosha maana hakunichelewesha akanipanua zaidi mapaja yangu na kuniingilia.



    Nilishtuka kidogo maana mmmmh nilisikia kama kaa la moto limeingia kisimani kwangu.Moshi sio moshi siju hata ni vinini vilikuwa vikotoka huko. Na yeye alinishangaza badala ya kutwanga na kupepeta alitulia kama vile anasikilizia utamu unaotaka kuja.



    Hapo ilibidi nijipe raha mwenyewe kwa kuzungusha mauno ya chini kwa chini. Na yeye aliweka pozi kidogo na nahisi kama alishamaliza mambo yake.Mimi naichukua sana bao la kwanza na lishasema ikiwezekana lifutwe tu.Ni kama alijua hali hiyo manaa badala ya kutoa yeye sasa ndo akaanza kusukuma gari hilo lilokwama ghafla.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Kwichikwichiiiiiiiiiiiii chiiiiiiiiii kitanda na chenyewe kilikuwa hakijui kuvumilia mauumivu.Kilalala na kunifanya hata na mimi milio yangu ya raha isisikike.



    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog