Chombezo : Penzi Penzini
Sehemu Ya Tano (5)
Hakutaka kuamishia majeshi kwa Stelaa kwa sababu aliamini alikuwa ni mrahisi sana na angeweza kumshawishi na kufanya naye mapenzi kwa urahisi. Ila yeye aliamini kuwa Easther ndo alikuwa kubwa la maadu na poa anaamini kuwa yeye ndo chanzo cha cha kumshawishi Alice aache na yeye.Dlah siku zote laiamini kuwa Easther ndo chanzo cha kumbadilisha Alice na kumshika masikio kwa kumpa ushauto mbya ambao nfo ulisababisha wao kuachana. Pia kisasi cha Dulaha hakikuishia kwa marafiki tu wa Alice bali kisasi kiliamia mpaka kwa ndugu wa Alice wote alitaka kutembea nao.*****
Staili ile ya kukaa katikati ya kitanda kisha Alice kumzungushia Gaston miguu yake kwenye kiuno na kumkumbatia kwa nguvu huku matiti ya Alice yakigusana na kifua cha Gaston ilitosha kabisa kumaliza ushemeji wao na kufungua ukurasa mpya wa mapenzi.Walifanya hivyo kwa mda kabla kuachaina na Alice kutumia taulo lilokuwa hapo pembeni kujifuta yeye na kumfuata Gaston ambaye alihisi kuchoka sana hivyo alijiahia na kupitiwa na usingizi. Gaston naye alikuwa amechoka sana na hakuamini kilichotokea. “Yaani leo nimepewa mautamu kiulaini kabisa” yaani kama na nawa aliwaza Gaston haku akiwa amejilaza pembeni mwa Alice. Kwa jinsi alivyofurahishwana penzi la binti huyo akajihsi mwenye bahati akavuta shuka kisha akamfunika vizuri binti wa watu na yeye pamoja kisha wakaanza safarii ingine ya usingizi.
Walilala fofofo mpaka asubuhi na walisahau hata kushusha neti.Nazani hata mbu walishindwa kuwashamblia sana kwa sababu damu zao zilikuwa zimejaa pombe. Walikuja kushitushwa na mtu akigonga mlango.Gaston hakuweza kushtuka kwa sababu alikuwa amelala fofofo. Alice alibahatika kusikia mlango ukigongwa akajaribu kumshtua Gaston lakini ndo kwanza alikuwa anazidi kukoroma. Alice akajua labda ni yule dada muuza maziwa ambaye kila siku huwa analeta maziwa na kwani Alice alishawahi kulala hapo mara kadhaa hivyo alishazoea.Basi aliaamua kuvuta shuka na kujifunga kiholela holela na kwenda kufungua mlango. “Mungu wangu” ndo kauli aliyoisema Alice huku akianza kutetemaka kabla ya kufunga mlango kwa nguvu na kurudi ndani.Alice alitamani ardhi ipasuke ili aingie ndani kwa kile alichokiona.
Nguvu zilimuishia akajikuta akishuka chini taratibu na kuzimia. Mtu aliyemuona aliendelea kugonga mlango kwa nguvu jambo ambalo lilimfanya Gaston ashtuke kutoka usngizini.Wakati Gaston anataka kufungua mlango alimuona Alice akiwa ameanguka hapo chini. “Helow ni sauti ya mtu aliyekuwa nje alipiga simu kwa Dulah na kumwambia kama anaweza kufika eneo hilo basi afike haraka iwezekanavyo akashuudie matunda ya usaliti. Dulaha kwa kuwa alikuwa mjini tena stend alichukua gari na kuamua kwenda kushuudia nini kimetoakea. Ilimchuka Dulaha kama dakika kumi kufika eneo hilo. Gaston aliendelea kumpa huduma ya kwanza Alicea ambaye alikuwa ameanguka chini na kupoteza fahamu. Gaston aliona ni bora kabisa kuokoa maisha ya Alice kuliko kufungua mlango.CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Bado pamoja na kumpepea pepea Alice bado hakuweza kumka.Akaona isiwe tabu ngoja atafute msaada mwingine.Wakati anatafuta nguo ya kuvaa mlango ukagongwa tena na kasikia sauti kama ya kike tena ya Mwajabu. Akaona isiwe tabu bora aombe msaada wa kumtafuta gari na kukimbiaza Alice hosptali . Alifungua mlango na hapo kidogo na yeye azimie mara baada ya kumuona Jesca mpenzi wake wa zamani na rafiki kipenzi wa Alice. Sio yeye tu bali alikuwepo pia Mwajabu ambaye alikuja kuomba notes za somo ambalo jumatatu yake likuwa na test . Kuangalia vizur pia alimwona Dulah ambaye kwa kumbukumbu zake pia alikuwepo kule polsi kwenye yale majanga amabyo yalimkuta Alice.Gaston alikuwa kama amechanganyikiwa huki akitoa ishara kuwa Alice alihitaji huduma ya kwanza.
Jesca kwa hasira aliingia chumbani na kumkuta rafiki yake huyo akiwa amelala chini ishara kuwa alikuwa amepoteza fahamu. Alijaribu kumtingisha tingisha lakini hakushtuka na alipomwangalia vizuri aligundua kuwa alikuwa uchi hakuwa amevaa nguo yoyote zaidi zaidi ya shuka ambalo alikuwa amejifunika. Gaston wakati huo alikuwa amekimbia barabarani kwenda kuita tax ambayo ingetoa msaada wa kumpeleka Alice hospitali.Jesca aliingiwa na huruma sana akamuomba Dulaha ambaye alikuwa amekuja na gari kutoa msaada. Jesca alijaribu kumsitiri Alice kadiri awezavyo kisha wakasaidiana na Dulaha kumpakia kwenye gari tayari kwa kumkimbiza hospitalini. “Ujue huyo anakuwaga anasumbuliwa na tatizo la ugonjwa wa moyo na presha.” Alisema Dulah huku akiwasha gari.
Mwajabu yeye alikuwa ameduwaa tu hasijue nini kinaendelea. Ikabidi na yeye ingie kwenye gari tayari kwa kuelekea hospitalini.Wakakutana na Gaston na yeye akija na gari ikambidi tu na yeye ashuke na kujiunga na msafara wa kina Mwajabu. Yule dereva aliyekodishwa ikabidi awe mpole kutokana na mazingra ya tukio lenyewe. Walimkimbiza Alice kwenye hospitali iliyokaribu. Kama alivyosema Dulah presha yake ilishuka hivyo akapata huduma na baada ya mda hali yake ilirudi ktik hali ya kawaida.Jesca ambaye alipata taarifa kuwa Alice anamsaliti kupitia Easther rafiki wa Alice ambaye hakufurahiswa kabisa na kitendo cha Alice kumkataa Deo na kumkubalia Gaston.Ikumbukwe Deo alikuwa akimpa hela nyingi sana Easther ilimradi tu amuuunganishe na Alice. Kwa hiyo usiku ule walipokuwa disco mara baada ya kuona Alice ameondoka na Gaston akaamua kuandika sms ya umbea kuwa rafiki yake anamsaliti yeye hakujua kwamba Gaston na Jesca walishaachana kwa sababu kama hizo hizo za usaliti.
Kwa bahati mbaya au nzuri Jesca na yeye alikuwa Moshi siku hiyo hivyo akaamua kuthibitisha hilo kwa asubuhi yake kuamkia eneo la tukio. Alitaka kumuonesha Alice kuwa kitu anachokifanya sio kizuri kwa sababu wawili hao kulikuwa kuna uwezekano mkubwa kabisa walilala wote mpaka asubuhi. Hivyo aliona ni vyema kumshirikisha na Dulah ili ajue duniani hakuna wa kumwamini hata awe nani yako. Hivyo pia marafiki zake Alice yaani Easther na Stella walifika hospitalini. Madaktari walishauri watu wote waondoke abaki rafiki mmoja tu wa Alice ili atakapozinduka kutoka kwenye usingizi wa kuzimia hasiwaone kwa sababu kulikuwa nauwezakano kuzimia tena kama angeonana na rafiki yake Jesca. Hivyo Mwajabu waliondoka na Gaston na Dulah aliondoka na Jesca na Easther ambao aliwashusha chuoni na wao(Dulaha na Jesca) kuondelea na safari ya kuelekea mjini.
Kwa hiyo aliyebaki na mgonjwa alikuwa ni Stella ambaye hakuwa msaliti wala mnafiki. Dulaha alifurahishwa sana na tukio hilo na aliaamini kuwa hiyo ndo itakuwa njia rahis ya kulipa kisasi na tayari mawazo yake yalishaamia kwa Jesca ambaye alikuwa pembeni ya gari. “Mbona unapita barabara ya mbali?” aliuliza Jesca mara baada ya kuona akipandisha barabara ya shaunt Town. “Nataka tuingie hapo Mercury tupate chochote kitu na pia toungee mawili matatu” aliibu Dulah huku akiongeza mwendo. “Mmmmh taratibu shemu spidi yako hiyo usije kusababisha ajali alimuonya Jesca. Wakafika Mercury sehemu ambayo ilikuwa inasifika kwa kutoa huduma nzuri.
Walipaki gari kisha wakatafuta siti nzuri ambayo ilikuwa imejitenga na yenye utulivu wa kutosha. Baada ya kukaa muhudumu alifika tayari kwa kuwahudumia. Dulaha akamuuliza kama wanabarafu na muhudumu akamjibu kuwa hilo sio swala la kuuliza huduma zote zinpaiakana. Basi naomba uniletee Gilbers, barafu na limao aliagiza Dulaha na kumtupia mpira Jesca ambaye yeye alisema aletewe fanta orannge. Jambo hilo lilimshitua Dulah na kushangaa shemeji yake huyo kuagiza soda. “ Kwa hiyo shemeji hutumiagi kabisa pombe aliuliza Dulaha kwa mshangao mara baada ya muhudumu kondoka”?. “Sijawai kutumia shem uwangu na hata sijui ladha ya pombe ipoje” alijibu Jesca kwa upole. “Itabidi leo uonje tu alisema Dulaha kabla ya kummuuliza kama atafurahia wine aletewe kuliko kunywa soda.
Jesaca kwa sababu lishawahi kuonja wine kwenye masherehe akajikuta akikubali kiurahisi.Basi muhudu alivyokuja Dulaha alimuamuru arudishe fanta orange na ammletee penasol red.Dulaha aliomba pia aitiwe mtu wa jikoni.Boksi la penasol lililetwa na muhudumu pia alikuja. “Mimi nileteee mchemsho wa kuku alisema Dulah”. Na mimi pia nileteee hivyo hivyo alidakia Jesca.
Kila mtu alijimiminia kinywaji kwenye glass tayari kwa kujiburudiisha. “Kwa hiyo shemu wangu hivi umerizika kabisa wewe kuachana na Alice?” aliuliza Jesca mara baaaada ya kupiga pafu moja la kinywaji. Nitafanyaje sasa shughuli mwenyewe si umeiona alijibu Dulah. “Kweli hapoo hamna jinsi hata mimi nimekubali matokeo kwa sasa Gaston siwezi kuwa naye kwa namna yoyote ile alisema Jesca huku akiendelea kunywa kile kinywaji kwa spidi kubwa bila kujua kwamba pengine kinaweza kumlewesha kwa urahisi pengine kuliko hata pombe kali alizokuwa akinywa Dulah.Mchemsho wa maana ambao ulikuwa unatia hamu ya kula hata kabla hujashushwa mezani ulitengwa mezani tayari kwa kuliwa.
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“Uzuri wa hapa wanakuwa wanatengeneza kuku wa kienyeji na watu wanaenda sana” alisema Dulaha mara baada ya Jesca kumuuliza kama kuku hao ni wa kienyejii au wa kisasa.
Waliendelea kufurahia mloo huo ambao ulikuwa ni mtamu kupita maelezo.Baada ya hapo waliendelea na vinywaji huku wakichambua mambo ya mapenzi na usaliti. Waliulizana kwa nini watu wanasalitiana katika mapenzi ili hali watu wanakuwa wamedumu katika uhusiano kwa mda mrefu sana.
Kila mmoja alitupia lawama upande wa mwenzake.Jesca alisema tatizo wanaume hawaeleweki, huku Dulah nae akisema kuwa wasichana ndo tatizo na tamaa ndio inayowaponza. Waliendelea kula na kunywa na Jesca akajikuta anasahau hata ratiba zake alizokuwa nazo. Kuna mda aliaanza kusikia pombe ikabidi aombea maji ili kupooza hali hiyo. Uzuri wa wine aliyokunywa ilikuwa na ladha nzuri hivyo akajikuta amekunywa kiwango kikubwa na kuanza kulewa.
Baadaye Dulah alitoa pendekezo kama Gaston na Alice waliamua kupeana raha kwa nini na wao wasifanye hivyo. Jesca alicheka sana mara baada ya kusikia pendekezo hilo.Akabaki anasema “Shemu bwana acha utani wako huku” akimrembulia rembulia machoo ya huba yaliyokolezwa na pombe. “Wale walipitiwa tu ila amini Alice bado ni wako” alisisitiza Jesca huku safari hii aking’ata ng’ata kucha zake. “Hapana, Alice sio wangu tena na amini mimi na wewe kuwa wapenzi ndicho kitu kitakacho tupa faraja kwa majanga tuliyopitia mimi na wewe” alisema Dulah. “Kwa hiyo shemeji wewe unataka faraja au mapenzi ya kweli?”. “Mapenzi ya kweli yanaanzia kwenye kufarajiana na faraja ya kweli uzaa mapenzi ya kweli” alijibu Dulaha huku akimwita muhudumu na kumwambia awaongezee vinywaji. “Shemeji una maneno sana yaani sikutarajia kabisa kama utanambi maneno hayo alisema Jesca.
“Kwa hiyo huone kama mimi na wewe tukiwa wapeenzi itakuwa kama tunalipa kisasi” aliuliza Jesca. Kisasi ndio kizuri shemu kama wao walivyotusababishia maumivu na sisi tuwasababishie huku akikoleza msimmo wake kwa msemo wa kizungu usemao “revange is the reason a get up each day” . “Hii sio injili eti akikupiga shavu la kushoto mgeuzie na la kulia la hasha hii nii torati jino kwa jino” alisistiza Dulha huku akiendelea kugigida kinywaji.
Waliendelea kukaa hapo na Dulah hakuwa a imani sana juu ya mfuko wake kwa sababu hakujipanga kwa ajili ya outing hivyo alianza kutuma sms kwa rafiki yake kuwa afanye mpango wa kufika eneo hilo aje na pesa. Basi mda si mrefu aliingia rafiki yake mwingine maaraufu kama badboy ambaye alikuwa na demu wake. Rafiki yake huyo walisoma wote sekondari lakini pia wamefanikiwa kukutana tena chuo.Badboy ni mtu ambaye kwao walijiweza kifedha na ni miongoni mwa watu waliounda kundi la cashmoney brothers pindi walipokuwa sekondari.
Alivyofika tu kwa mbwembwe alienda jikoni huku akimuacha demu wake na kina Dulah. “Sijui amepata wapi demu mkali namna hii?” alijiuliza Dulha kimoyomoyo. Baadaye badboy alirudi kisha kusimama na kuomba Jesca asimamae na amakumbatie.Jesca naye kwa sababu pombe zilishaanza kumkolea alisimama kapanua mikono yake kisha akamsalimia kwa kumkumbatia. “Yaani wewe hujaacha vituko vyako alisema Dulaha mara baada ya Badboy na Jesca kukaa.Badboy badala ya kujibu swali aliloulizwa yeye alianzisha mada mpaya. “ Ebu nambie umepata wapi mtoto mzuri kama huyu alisema Badboy huku akimmyooshea mkono Jesca. Kabla hajajibiwa akaita muhudumu aje amletee kinywaji. Muhudumu akaja kwa haraka na kusema “samahani naomba kuwasikliza. “Naomba niletee Heinken mbili moja moto na moja baridi na mke wangu mletee savana baridi alisema Badboy na kumfanya muhudumu apige hatua na kwenda kuleta vinywaji hivyo.
“Mmmmh bar hii nayo inawahudumua wazuri alisema Badboy huku akimsindikiza kwa macho” . “Wazuri wapi wamevaa kimtego” tu alisema Jesca. “Natania tu shemu wangu nyie ndo wazuri na ndio maana mpo na waume zenu” alijibu Badboy.Muhudumu alirudi na kuleta vinywaji.Kifuanii muhudumu huyo alivaa kitambulisho chenye jina Alice. “Aiseeee ana jina kama la shemeji yangu wa zamani alisema Badboy bila kificho. “Hivi yupo wapi yule mtu aliuliza badboy?”. “Achana na hizo habari alisema Dulah huku akianza kutoa utambulisho
“Huyu anaitwa Jesca faraja mpya ya moyo wangu. “Ok huyu anaitwa Marry mke wangu mtarajiwa” alidakia Badboy kabla hata Dulaha hajamalizia kutoa utambulisho. “Jesca huyu ni rafiki yangu anaitwa John japo mwenyewe anajihita badboy, naomba tu umzoee ni mkorofi sana” alisema Dulah. “Ok Marry huyuu anaitwa Dulah kijana mdogo mwenye mafanikio makubwa hapa mjini ambaye ameshaaanza kula urithi wake mapema” alisema John au badboy kama walivyozoea kumwita.
Waliendelea kunywa vinywaji na badboy akaamuru na kina Dulah na Jesca waongezewe vinywaji. “Ngoja kwanza tutakuita alisema Dulha akimwambia muhudumu mara baada ya kugundua kuwa vinywaji vyao vilikuwa bado vimejaa na wasingeweza kuvimaliza. “Nilijua tu huwezi kuongeza kwa sababu ya kunywa pombe kali, sijui hata unazipendeea nini wakati unajua kabisa zinaumiza figo” alisema John. Mimi siku hizi nakunywa vitu laini alisema Badboy huku akimimina kinywaji kwenye glass yake.Wakati wakiendelea na stori kuku mzima wa kurosti aliwekwa mezani. “Nilikwambia ulete na ndizi rosti alisema badboy akimwambia muhudumu. “Usijali boss zinakuja” alijibu yule muhudumu.
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Hapo hakuna aliyejifanya ameshiba sio Dulha sio Jesca wote mate yaliwatoka kwa jinsi kuku huyo alivyorostiwa vizuri huku pembeni yake kukiwa na rojorojo ambayo ilivutia sana machoni. Wakati wakinawishwa tayari kwa kula kuna couple ingine iliingia na sio mwingine bali alikuwa ni bwana Omary rafiki mkubwa wa Dulah ambaye pia huwa anaheshimika kwa busara zake. Hakuwa peke yake bali alikuwa na girfriend wake ambaye kwa harakaharaka alionekana mpole sana. Ilibidi na wao wanawishwe mikono tayari kwa kula chakula kilichomezani. Huku Omary akiagiza mguu wa mbuzi uandaliwe maana hawatashiba. Jesca akabaki anashangaa na kujiuliza kwa nini marafiki zake wote na Dulaha walikuwa na mbwembwe hivyo.
Idadi ya watu sita ambao wanne wao walikuwa tayari pombe zimewakolea ilitosha kabisa kushambulia kuku yule kwa mda mchache sana.Na kwa bahati mbaya waliamaliza kabla hata ya mguu wa mbuzi ulioagizwa kufika mezani.Omary akaomba glass ili amsaidie Dulha kinywaji maana na yeye alikuwa ni mtu wa kichwa ngumu ambaye huwa anakunywa pombe kali maana hizi zingine huwa hasikii kabisa.Na yule binti aliyekuja naye naye aliomba glass ili aweze kumsaidia Jesca wine yake na hiyo ni mara baada ya kuvutiwa na rangi ya wine aliyokuwa akinywa Jesca.Stori ziliendelea huku utani na hadithi za kuchekesha na kufurahisha zikitawala..
Walikata vikaratasi wakasema eti waashumu kuwa wanataka kubadilishana wapenzi hivyo je nani atakuwa na nani.Dulha akakataa mchezo huo kwa madai kuwa Jesca wake ni mpya hivyo hayupo tayari kubadilishana na mtu yeyote.
Burudani iliendelea na mguu wa mbuzi uliletwa mezani watu wakaendelea kula. Jesca alikkuwa anatafuta mbinu ya kuondoka lakini alishindwa hiyo ni mra baada ya kumtumia sms Dulah kumueleza nia yake ya kutaka kuondoka.
Dulaha alimjibu kwa kifupi kuwa atafute sound ya kuwapiga huko anakokwenda awaambie atalala kwa rafiki yake. Jesca kwa namna moja ua nyingnine aloshawishika kubaki kwa sababu hakupenda kuingia usiku kwa ndugu yake tena akiwa amelewa. Na pia alifurahishwa sana na kamapani hiyo na aliona hiyo ni siku yake ya kupunguza stress za mapenzi alizosababishiwa na mapenzi wake Gaston pia na rafiki yake wa damu Alice.
Waliendelea kuponda raha mpaka usiku ukaingia kabisa na watu wakazidi kupungua mpaka baadaye wakajikuta wamebaki Dulah na Jesca tu. Walikuwa wamelewa sana mpaka Jesca akawa anajisikia vibaya na alikuwa anaulizia kitanda. Dulaha naye alikuwa amelelewa sana mapka kuendesha gari ikawa shida. “Kwani babeee hapa hakuna vyumba mpaka tuende mjni?” aliuliza Jesca mara baada ya Dulah kumwambia waiingie kwenye gri tayari kwa kuelekea mjni. “Vyumba zipo ila tatizo ni bei ghali sana alijibu Dulah. “ Wewe chukua chumba kama tatizo ni pesa mimi nitalipia alisema Jesca kwa sauti ya ulevi. Dulha hakuwa na jinsi zaidi ya kuchukua chumba sehemu hiyo ambayo vyumba vilikuwa vikokodishwa kwa gaharama kubwa sana.
Ingawa Dulah alijua ni aibu kwa mwanamke kulipia chumba lakini ilikuwa haina jinsi kwa sababu mfukoni alibakisha shilingi elfu 20 tu na gaharama ya room ilikuwa ni elfu 40. Basi waliingia kwenye room hiyo ambayo ilikuwa ni nzuri sana na Jesca moja kwa moja akakimbilia bafuni kwenda kuoga. “Dulaha alijitafakari mara mbili kisha na yeye akaingia bafuni kuoga. “Leo sikupi hata ukija kuoga na mimi alisema Jesca mara baada ya Dulha kuingia bafuni. “Hunipi nini aliuliza Dulaha huku akijua jibu la swali alilouliza.Walioga huku Jesca akiwahi kumaliza na kumuacha Dulha akiendelea kujimwagia maji.Hiyo ilikuwa ni njia pia ya kupunguza pombe na uchovu wa kukaa sehemu moja mda marefu. Jesca allijibwaga kitandani huku akilala ile staili ya mitego amabyoo lazima itamshawishi mwanaume yeyote kutaka kuupanda mchuma mara baada ya kumuoga akiwa kwenye mlalao huo.
Alilala ile staili ya kulala na tumbo na kuacha sehemu za makalio yake yakijibinua na kuwa juu juua kama mnara wa simu. Dulah aliendelea kuoga huku mawazo yake yote yakiwa kwenye mwli wa Jesca. “Nilikuwaga namdharau lakini huenda ni mtamu sana hata zaidi ya Alice maana ana kijungu kilichojazia kama nyigu” aliwaza Dulaha. Akatoka bafuni huku tayari mawazo yake yote yakiwa kwenye ngono. Alikuwa ni kama mtu aliyepigwa na butwaa vile au shoti ya umeme kutokana na kukaribishwa na umbo zuri na mlalo wa mtego aliokuwa amelela Jesca huku akiwa uchi wa mmnyama.
Jesca kugundua kuwa Dulaha alikuwa ameganda akishangaa shangaa kama zuzu au zoba hasiyejua cha kufanya alimwita kwa kumpa ishara ya mkono. Macho yakazidi kumtoka Dulaho hasiamini kuwa kama ni yeye ndiyo alikuwa akiitiwa hicho chakula cha jioni. Wakati bado anashangaa shangaa na kujishauri aende kwa mtindo gani, Jesca aliaaka kutoka kitandani na kumfuata.Akili za pombe ndo zilikuwa zikimuongoza bint huyo.Lakini licha pia ya pombe Jesca alikuwa na hamu sana ya kufanya mapenzi kwa kuwa ni mda mrefu sana alikuwa hajafanya hako kamchezo. Jesca alimfuata akamkanyaga mguu akampandia kidogo na kuanza kumpa mate. Wakajikuta wakizunguka chumba kizima wakinyonyana ndimi kwa stimu za hali ya juu utazani labda walikuwa wakicheza miziki ya kihindi.
Jesca mizuka ikampanda akanyanyua mguu mmoja ishara kuwa alikuwa anataka wachakachuane kwa staili ya kusimama. Staili ambayo huwa ni ngumu sana kama mwanaume hana nguvu za kutosha. Badoo Jesca hakuweza kupata anachoka kwa kitendo chake cha kunyanyua mguuu mmoja.Waliendelea kunyonyana ndimi huku mikono yao ikizunguka sehemu mbali mbali za mwili hasa za mgongani na kwenye mapaja sehemu za nyuma. Jesca pamoja na kuwa alikuwa amelewa lakini alikuwa makini hasije akaingiliwa kavu kavu. Jesca alivuta boksi la kondomu ambazo zilikuwa hapo kwenye meza akaifungua na kumkabidhi bwana Dulah.
Dulaha akatingisha kichwa ishara kuwa wasitumie kinga wafanye nyama kwa nyama. Jesca hakutaka kubishana naye bali yeye aliifungua ile kondomu kisha akamvalisha. Kisha wakaendelea na mchezo wao wa romance. Hivyo hivyo wamesima Dulah alimbeba juu juu huku tayari mtwangio ukiwa upo ndani ya mtungi. Sijui nguvu hizo Dulah alizipata wapi au ndo alikuwa na nguvu za kwenye ile chupa ya jamaa aliyochorwa kwenye kinywaji alichokuwa akitumia. Waliendelea kupeana raha kwa staili hiyo ngumu huku Jesca akionesha kuwa alikuwa amefurahiswa sana.Dulaha pia alifurahiswa na mtindo huo lakini alichoka mapema na kujikuta akimpeleka kwenye meza iliyokuwa kwenye chumba hicho. Hapo Jesca akawa amekaa na kupunguza uzito huku Dulha yeye akiendelea kusimama.
Jesca alijipanua miguu utazani mwanake alikuwa labour akitaka kujifungua. Uzuri Dulaha naye maumbile yake yalikuwa sio haba kwani aliweza kuingiza mtarimbo na kufanikiwa kutwanga sehemu zilizotakiwa. Dakika chache tu akaanza kujipinda na kuongeza spidi kuashirriwa kuwa wale wazungu weupe walikuwa wakitaka kutoka. Wenyewe wanasemaga walete walete, wamwage wazungu weupeeeeeeee mara pwaaaaaaaaa pwaaaaaaaaaaa pwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, Dulah alijikuta akifunga bao kirahis kabisa na kuwaacha mabeki wa Jesca na kipa wake wakishangaa na pia wakiwa bado na hamu ya kukaba mpira. Kwa sababu alikuwa amevaa soksi wazungu hao weupe waliishia kwenye kinga hiyo na hawakufanikiwa kufika kwenye nyavu za ndani za goli la Jesca.
Dulaha mara baada ya kuona tayari maefikia mshindo wa safari yake ya kwanza alimbeba Jesca na kumwaga kitandani na yeye kuingia chooni. Yaaanii alijihis amefaidi sana na pombe ndo zimemfanya aende raundi ndefu hivyo. “Yaani uzuri wa haya mavitu ukishakunywaga tu lazima umsugue mwanamke vya kutosha” alijikuta akijisemea Dulaha huku akiisifia pombe. Alijiswafisha vizuri na kurudi chumbani na kumkuta Jesca akiwa amelala stauli ile ile ambayo huwa imamchnganyaga. Na alipopitisha maho yake kumkagua vizuri tayari jogooo wake alisimama tayari kwa kuwika tena. Dulaha alishanga mbona jogoo wake alisima kiurahisi hivyo wakati siku zingine huwa inamchukua hata dakika 15 baada ya kumaliza raundi ya kwanza.CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Hapo hakutaka kusubiri akavuta zile kinga akajivalisha moja huku akiwasifia watengeezaji wa mipira hiyo. “Uzuri wa hizi nazo ukivaa zina ladha utafikiri labda unapiga kavu kavu” alijisemea Dulah kuzisifia kinga hizo za kizungu zilizopanda ndege maarufu kama raugh raider. “Sasa hapa naenda kuipitisha pale pale kwa nyuma na kwa jinsi alivyjibinua lazima itakuwa ni utamu utamu kama wa vanila” aliwaza Dulah huku akiwa amekishika vizuri kiungo chake cha siri tayari kwa kwenda kumwingilia Jesca. Dulaha alijisogeza kitandani mahali ambapo Jesca alikuwa amejilaza kizembe kama mtu aliyekimbia maili 6. Akampandia mgongoni na kuanza kumpapasa papasa huku akipiga piga mche wake kwenye makalio ya Jesca.
Jesca alisikia raha za ajabu ambazo zilimfanya afunge funge macho na kufungua kama vile mtu alikuwa baharini akipulizwa pulizwa na upepo mkali.. Dulha akafanya makusudi kutaka kupitisha jamaa wake kwenye kwenye jnia ya vumbi.Jambo hilo lilimshitua Jesca na kugeuka kwa nguvu na kukaa ile staili ya kizee ambayo vijana wanaita kifo cha mende huku akimuonya Dulaha awe makini na njia hasije pita njia ya vumbi. Hapo Dlaha akawa amepewa nafasi ya kufanya vitu vyake huku akijaribu kupitisha mikono yake mgongoni mwa Jesca ili kufanya mkumbatio uwe wenye hisia kubwa zaidi.Jesca naye alikuwa ni mtu wa mazoezi kwanii alitumia mikono yake kushika viwikoo vya miguu yake na kujipaua vya kutosha. Utamu ulipozidi mguu mmoja aliuweka ukutani huku mwingine ukibaki hewani usipate sehemu ya kujiegemeza. Dulah kwa kumsadia tu aliweka mguu huo kwenye mabega yake na kupunguza upana. Kama hiyo haitoshi aliurudisha mguuu huo mmmoja na kuukunja kisha akwa kama amekali paja moja la Jesca.Mmmmmmmmmh, iissssssssssssssssssss, oyoyooooooo, ata ateeeee ateeeee na laaaaaaaaaaaa liiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ni baadhi ya miguno na sauti alizotoa Jesca na kufanya Dulah aongeze spidi japo hakujua hiyo ilikuwa ni lugha gani.
Yaani Jesca alikuwa akikukuruka kukuruka kama samaki aliyewekwa kwenye karai la mafuta ya moto. Raha sio raha utamu sio utamu yaani Dulaha alikuwa akimsugua vya kutosha na kufanya wahamie dunia ingine kabisa dunia ya huba raha na hisia za kurizishana. Waliendelea kuzungushana hapo kitandani lakini wapi milango ya pande zote ilikuwa migumu hakuna liyeweza kufunga bao kiurahisi.Mabeki wa pande zote mbili walikuwawakiokoa sana mipira ya timu pinzani hiyo kufanga magoli ikawa vigumu. Wakajikuta dakika 90zinaisha na waliongeza 120 ambazo pia hazikuazaaa matunda.
Refa akaamuru zipigwe penati na hapo sasa ilikuwa ni fursa ya kila mtu kupata bao kiulaini “Iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ssssssssssssssss ,mmmmmmmmmmmhhhh, ooooooooo yeahhhhhh asnte asente walijikuta wakipena shukurani mara baada ya kumaliza safari ndefu ya kupanda mlima.Wakawa wapo kileleni wakipunga upepo na kupiga picha za kumbukumbu.****
Baada ya daktari kushauri kuwa Alce aachwe na mtu mmoja, Gaston na Mwajabu waliondoka na moja kwa moja walienda kwenye gheto la Mwajabu kwa sababu ndo lilikwa karibu. Gaston alionekana kuchoka sana kimwili na kiakili.Mwajabu alimlazimisha sana wapitie kwake akapumzike kidogo na pia ampikie chakula.Kwa kuwa Gaston kweli alikuwa na njaa na alikuwa amechoka sana alikubali.Akapikiwa chakula kizuri akala lakini alimuonya Mwajabu hasimuulize kitu chochote kuhusu hilo tukio kwa sababu hayupo kwenye mood nzuri ya kuyajibu. Mwajabu pamoja na yote hayo yaliyotokea lakini bado alikuwa akimpenda Gaston na alitamani kama awe wake.
Alishindwa aanzie wapi kwa sababu Gaston alishamuonya kuwa akitaka urafiki wao uishe basi aanzishe stori za mapenzi.Siku zote Mwajabu akiwa na Gaston alitaka kumueleza ya moyoni kuwa bado anampenda lakini alishindwa kutokana na staili ya Gaston ya kumpiga mabiti. Pamoja na hayo yote Mwajabu alijua kabisa kwa sasa itakuwa ngumu sana kuwa na Gaston kutokana na skendo zake za mapenzi kuwa nyingi. Kwa sababu kutokana na hali yake mbaya ya kiuchumi alikuwa akijirahisisha sana kwa wanaume hasa wale walikuwa na uwezo wa kumsaidia. Yaani mwanaume yeyote aliyemka ili mradi tu alikuwa na hela yeye alimpa penzi.Waliedelea kukaa hapo na mara baada ya kula Mwajabu alimwambia Gaston pamoja na yote yaliyotokea kuwa Gaston amekuwa na wanawake wengine na yeye ameshatembea na wanaume wengine lakini bado anampenda na anataka wawe wapenzi.
Gaston kuepusha malumbano ya hoja na binti huyo aliamua kuaga na kuondoka zake na kwenda gheto ili akapumzike vizuri. “Nimekuelewa Mwajabu nitafanyia kazi hisia zako alisema Gaston kwa ajili ya kumfariji tu huku moyoni akijapiza kuwa kamwe hawezi kurudiana na binti huyo kutokana na skendo zake za kutembea na mapedeshee.Hapa ndugu wasomaji tujifunze kitu kuwa hata mwanamke awe malaya kiasi gani lazima tu kuna mwanaume mmoja ambaye atampenda kwa dhati kutoka moyoni.Kwa hiyo kwa Mwajabu alikuwa amekufa na kuoza kwa Gaston.
Gaston aliondoka zake mpaka gheto kwake huku akiendeea kutafakari fumanizi lilotokea. “Sijui hata nani aliuliza ile ramani mpaka Jesca akaja eneo la tukio tena akiwa na boyfriend wa Alice aliendelea kutafakari Gaston.Inaonekana kabisa ramani hii imeuzwa na nina mashaka sana na marafiki zake na Alice aliendelea kuwaza Gaston.Sasa wamenufaika nini kwa sababu watu wote sisi tulishaachana.Haina shida lakini ngoja huyu binti atoke hospitali tuone itakuwaje” aliendelea kujiuliza na kujipa majibu Gaston.
Gastona alishangaa alipofika gheto kwake aliwakuta Stela na Alice wakiwa wapo nje wakimsubiri. “Yaani ndo tulikuwa tunataka tukupigie simu ili tujue upo wapi” alisema Stelaa.
Karibuni sana alisema Gaston huku akifungua mlango. Alice alionekana kupona ingawa pia alionekana mpole na mnyonge kupita maelezo. Karibuni ndani alisistiza Gaston.Alice aliingia ndani na kitu cha kwanza alichokifanya ni kuitafuta simu yake. Aliipata na kwa bahati mbaya ilikuwa haina chaji.Alice mara baada ya kuweka simu chaji alifungua friji na kuchukua ile whisk aliyoibakisha jana. Kila mtu alikuwa kimya wakiangalia tu kama mabubu vile.
Ikabidi Gaston aulize “shemu kabla hujanywa vipi haujapewa dawa zozote? Usije ukaleta majanga sa hizi”. “Alafu nilishakwambia sitaki uniite tena hilo jina la shemeji, mbona wewe mwanaume mgumu kuelewa na mwepesi kusahau hivi unaweza kuniambia mimi ni shemeji yako kwa nani?alihoji Alice kwa ukali. “Basi yaishe punguza hasira babee” alijibu Gaston.
Alice hakujibu lile swali la dawa yeye alijiminini kinywaji na kuendelea kunywa. “Naomba nikuulize kitu Gaston wangu alisema Alice mara baada ya kupiga pafu moja. “Be free go on” alijibu Gaston kwa kutumia lugha ya kimombo. “Hivi unafikiri ni mpuuzi gani aliowapa habari wale wapuuzi waje kushudia upuuzi wetu tuliokuwa tuanufanya.?”.“Swali zuri sana na wala sio la kipuuzi ila mimi bila kupepesa macho na mashaka na marafiki zako kwa sababu ndio wanajua kila kitu kilichokuwa kinaendelea”. “Haya Stela tusaidie kwa nini mnataka kutunyima raha na kusababishia matatizo hili hali mnajua tulikuwa tunetoka kwenya matatizo? Hivii mnajua urafiki wetu mimi na Jesca ulipotokea?” aliuliza Alice kwa hasira.
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“Jamani mimi mwenyewe sijui ila nitasema ninachkihisi ila tu mnihakikishie hamtasema kuwa mimi ndo nimesema.Mimi naona bila shaka kabisa ni Easter ndo msaliti” alisema Stella. Kivipi alidakia harahaka haraka Alice. “Kwa sababu tulivyofika tu hospitali yeye alikuwa bize akiongea na Jesca huku Jesca akimshukuru kwa taaarifa alizompa” aliafafanua Stela. “Hilo neno asante kwa taarifa hata mimi nililisikia ila sikujua asante hiyo ilikuwa kwa ajili ya taarifa gani” alisema Gaston. “Wewe nini kinakufanya uamini kuwa yeye ndo aliuliza ramani” aliuliza Alice akielekeza swali hilo moja kwa moja kwa Stella. Ukaribu wao tu na Dulah alafu kama hujui Dulah anamtaka Eashter kimapenzi. Alafu pia Easther hakufuraishwa na kitendo cha wewe kumkata Deo ili hali yeye yeye alikuwa anachukua pesa kwa ajili ya kumuunganishia kwako.Stelaa aliendelea kujitetea na kutoa siri zingine ambazo Alice alikuwa hazifahamu.
“Kwa hiyo shoga mimi sijakufanyia ubaya wowote na siwezi kukufanyia ila mbaya wako ni Easther” aliendelea kujitetea Stella. “Sasa na wewe kama ulikuwa unayajua hayo yote siku zote hizo kwa nini hukuniambia” aliuliza Alice. Nisingweweza kukuambia kwa sababu ningeonekana mimi ni mchongaishi aliendelea kujitetea Stella. “Ila kiukweli wa Mungu hata mimi sinaga imani kabisa na huyu binti na huwa anajifanya yeye ndo anajua kila kitu na tangia ashinde huo Umiss University basi ndo mnamsikiliza kila kitu” alisema Gaston. “Yaani huyu mwanamke ni mbaya sana kwanza alisababishamimi nikaachana na Dulah na pia kama hiyo haitoshi amesababisha mimi na rafiki wangu Jesca tugomabane.Ila nashukuru nimemgundua nitamfundisha tu adabu” alisema Alice mara baada ya kurizishwa na maelezo ya Stella.
“Mimi nashauri tu haina haja ya kugombana naye kama umeshamjua basi nikuishi naye kwa akili” alisema Gaston. “Hapo unishauri kitu kwanza siwezi kukaa naye tena chumba kimoja na semister hii ikiisha natafuta room yangu” alisisitiza Alice. Kwanza sio mpaka semista iishe leo leo nitaama na kutafuta sehemu ya kuishi siwezi kukaa na msaliti” alisema Alice ambaye alionekana ameshaanza kulewa kutokana na pombe kali aliyokuwa akinywa.Waliendelea kupiga stori huku wakisindikizwa na filamu mpaka giza likawakuta hapo wakaamua kupika na kula.
Dulaha na Jesca wao walifurahia usiku wa mahaba huku wakilala usingizi mnono na kila mmoja akiwa na furaha kutokana na huduma aliyoipata kutoka kwa mwenzake. Palikucha salama bini salimini huku kila mmoja akionekana kuwa mwepesi kutokana na zoezi la kupunguza uzito walilolifanya usiku kucha. Jesca alielekea kule kwa ndugu zake ambapo aliendelea na ratiba zake na siku mbili mbele aliondoka na kurdi kwao Dodoma. Dulaha alikuwa kama mtu mwenye mikosi kwa sababu kila faraja aliyoiptaa kama mbadala wa Alice iliondoka na kumuacha mpweke. Dulaha alirudisha kile chumba alichokuwa akiishia na Alice akawa anakaa nyumbani kwao siku za wikiendi na siku za kawaida anakuwa chuoni sehemu ambako pia alalikodi chumba kutokana na umbali wa kutoka chuoni mpaka mjini au nyumbani kwao.
Dulaha akaendeea na harakati zake za kulipa kisasi kwa Alice. Na aliweka kumbukumbu kwa kila rafiki au ndugu wa Alice aliyepata nafasi ya kutembea naye. Rohoo hiyo ya kisasi iliendelea kumuandama mpaka akafanikiwa kutembea na mdogo wa Alice anayeitwa Anna.Mdogo huyo ambaye ndo kwanza alikuwa amemaliza form four alijikuta akidanganywa kiurahisi na mali za kina Dulah. Dulaha alitumia hela nyingi sana mpaka kufanikiwa kutembea na bint huyo.Siku hiyo ilikuwa ni wikiendi ambapo Dulaha alimlaghai binti huyo kuwa aende chuoni kwao kumsalimia.Anna akajikuta anaingia mkenge huku akijiamini kuwa hawezi kulika kwa namna yoyote ile.Bila kujau kuwa Dulaha alikuwa akitumiia mpaka mbinu za kimafia kukamilisha lengo lake la kulipa kisasi.
Dulaha alidiriki kuweka mpaka vidonge vya kulevya hapo gheto kwake.Alivisaga vizuri na kuvihifadh, hivyo kama mwanamke akifanikiwa kuingia na akamsumbua basi hiyo ndo ilikuwa ni silaha ya mwisho. Kwa kawaida vidonge hivyo huviweka kwenye maji na baada ya mda fulani kupita aliyekunywa lazima mwenyewe ataomba sehemu ya kulala. Mbinu hiyo alipewa na rafiki yake mmoja ambaye alikuwa ni mtundu sana. Hivyo siku hiyo jaribio la kwanza alilifanya kwa mdogo wake na Alice na alifanikiwa. Masikini msichana huyo akajikuta akiingiliwa kimapenzi bila idhini yake.Sitaki kumlaumu sana Anna huenda umri wake wa kitoto ndo ulimponza ila kwa namna moja au nyingine na tamaa pia ilimponza.Ebu fikiria kama mwanaume alikuwa akimtaka kila siku na kumkatalia nini kilimfanya akubali kwenda chuoni kwao na kuingia chumabani kwake. Pia tabia yake ya kupokea zawadi na kula pesa za Dulaha ilimponza kwa namna moja au nyingine.
Mahusiano hayo yaliendelea na Dulaha alifanikiwa kufanya naye mapenzi kama mara tatu hivi kabla ya binti huyo kurudi kwao Dodoma kwa maama Moshi alienda kusalimia tu.
Pepo la Dulaha likaamia kwa Easther mtu ambaye alimsumbua kwa mda mrefu sana kwa kula pesa zake.Safari hii hakutaka kutumia njia za kistaarabu la hasha bali yeye aliamua kutumia njia za kimafia zile zilizofanikisha yeye kulala na mdogo wake Alice. Kama kawaida yake alisubiri wikiendi ifike na kuomba outing na binti huyo na safari hii alihakikisha kuwa Easther anakuwa peke yake. Akaenda mahali ambapo huduma mbili zilikuwa zikipatikana yaani huduma ya bar na huduma ya guest house. Siku hiyo Easther hakuwa na hili wala lile akajipanga kabisa kwa ajili ya kula bata na kutia hasaraa tu. Mawazoni mwake alikuwa anawaza pombe na nyama choma tu.
Wanasemaga ndege mjanja unasa kwenye tundu bovu , basi ndivyo ilivyokuwa kwa Easther siku hiyo kwani alifakamia pombe utafikiri yupo kwenye sherehe ya bure. Mda wote huo Dulah alikuwa akisubiri tu aende chooni na maji yalipozidi kwenye mwili wa Easter alikwenda chooni mwenyewe bila kuambiwa na mtu. Hapo Dulah hakufanya makosa alifungua karatasi yake ya dawa na kumiminia vizuri kwenye chupa kisha kutingisha vizuri kuhakikisha kuwa dawa hiyo haifurumii na kumuumbua.Ilibaki kidogo afumaniwe ila umakini wake ulimsaidia. Easther alirudi kutoka chooni huku akiwa hana hii wala lile. Alivyokaaa tu alinyanyua kinywaji chake kilichokuwa kwenye glass na kupiga pafu moja.
Kitendo hicho cha kunywa kinywaji kwa Dulah ilikuwa ni zaidi ya fuaha akiamini kuwa atakapo maliza kinywaji kilichopo kwenye glass basi itakuwa ni fursa nzuri kwa Easther kumimina chupa iliyokuwa nusu ambayo ndo iliwekewa zile dawa za kulevya. Kasi ya Easther kwenye unywaji ilikuwa kubwa sana akanyanyua chupa kwa ajli ya kumimina kwenye glass.Ghafla ilitokea shoti ya umeme ambayo ilifanya watu kushituka na kugonganisha meza na kufanya vinywaji kumwagika. Hata kile ambacho ilikuwa ni mtego wa Easther na chenyewe kilimwagika jambo lilomtia huzuni bwana Dulah ambaye tayari alishaanza kushangilia ushindi wake wa kulipa kisasi kwa binti huyo.
Walisogea kwa ndani zaidi maana mwanzo walikuwa wamekaa nje sehemu ambayo ilikuwa ni garden.Walianza upya kwa kuletewa vinywaji vingine huku Dulah akikata tamaa kabisa na jambo hilo la kutegemea madawa kumzimisha Easther.Ikabdi aanze kutumia njia za kawaida za kumtongoza mwanamke huku akijifanya amelewa na kumshika shika Easther sehemu ambazo zilikuwa na stimu. Kweli usilolijua ni usiku wa giza kwa maaana wakati Dulaha akiangaika kutumia mbinu zisizo rasmi Easter yeye alikuwa akitafuta mbinu tu za komkomoa Alice ambaye alitangaza kuvunja urafiki. Kwa akili za Easther ni kwamba endapo Alice akigundua kuwa Dulaha ametembea na yeye basi itakuwa ni zaidi ya maumivu kwake.
Kwa hiyo mbinu aliyoitumia ni simple u kumwambia Stella afike sehemu hiyo walipo na Dulah.Easther alimweleza ukweli Stela kuwa yupo na Dulaha na siku anataka wakafanye naye mapenzi na ameamua kumkubali kwa sababu Dulaha amekuwa akimsumbua kwa mda mrefu sana. Easther alikuwa na akili sana kwa sababu alijua mda huo lazima Stela atakuwa na Alice hivyo basi lazima atamuonesha hizo meseji na kweli ndicho kilichotokea. Stella hakuweza kufika mda ukazidi kwenda na kigiza kikaanza kuingia huku Easther akizidi kulainika na kutoa ishara kuwa alikuwa tayari kwa lolote hivyo Dulah hakuona haja ya kutumia tena madawa ya kulevya.Zaidi aliongeza huduma ya raundi za pombe huku akiamini kuwa kumlewesha itakuwa ni jambo zuri zaidi.CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Waliendelea kula bata na Easther alidai kuwa anataka kwenda club kukamliisha furaha ya siku hiyo. Dulaha alitumia nafasi hiyo vizuri kwa kumuuliza je, achukue chumba kabisa ili wakitoka klabu waje walale wote? Easther alisita sita lakini baadaye alikubali na harakati za kwenda club zilianza.Wakati wao wakipanga kwenda club, Stella, Alice na Gaston na wao walijiandaa kwenda club kwa kile walichokiita kwenda kupunguza stess.Unajua kitu ukishakizoea inakuwa ni tabia, ingawa Gaston hakupendelea kwenda club lakini wenzake walikuwa wamezoea sana na ilikuwa ni moja ya furaha yao. Gaston alikosa kisingizio hasa katika kipindi hicho ambacho Alice alikuwa kwenye matatizo na alikuwa ametoka hospitali.
Hawakupanga kukutana lakini walikutana Club jambo ambalo lilimuumiza sana Alice kuona mpenzi wake wa zamani yaani Dulaha akiwa na rafiki yake yaanii Easther “Najua hayo ndo matunda ya usaliti alisema Alice mara baada ya kumona Easther na Dulaha wakiwa wanacheza kwa kukumbatiana kimahaba.Gaston alibahatika kulitambua hilo kuwa Easther alikuwa akicheza mchezo ambao ungeweza kuleta madhara kwa Alice na pengine kurudia hali yake ya ugonjwa. Dulah aliamua kuwa beneti na Alice na hakumpa upenyo wowote ambao ungeweza kuleta vurugu na majanga mengine. Alice alijitahidi kuvumilia lakini baadaye uzalendo ulimshinda na akamwambia Gaston anahitaji kupumzika.
Basi ilibidi siku hiyo waondoke club mapema na kuwaacha wenzao wakiendelea kula bata. Kitendo hicho cha wao kuondoka ilikuwa ni zaidi ya furaha kwa Easther kwa sababu lengo lake la kumkomesha kwa kumrusha roho lilikuwa limetimia.Baadaye mara baada ya Easther na Dulaha kurizika na kutosheka na mziki waliondoka na kwenda kulala kwenye kile chumba ambacho walikodi.
Kwa Dulaha siku hiyo ilikuwa ni zaidi ya ushindi ingawa yeye hakupenda kumuumiza Alice kwa kiwango kile kutokana na matatizo yake ya presha aliyokuwa nayo binti huyo.Ingawa Dulaha alifanikisha athma yake ya kulala na Easther mtu ambaye anaamini kuwa ndio msichana aliyevuruga mapenzi yao pia aliwaza kumpiga picha za uchafu maana aliamini bila yeye mapenzi yao na Alice yangedumu. Walivyofika chumbani Easther alikimbilia chooni kwenda kujisafisha.Dulaha akatumia nafasi hiyokutega mitambo yake ya kamera ambayo ingerekodo kila kilichoendelea hapo ndani. Easther alivyotoka chooni alichojoa nguo zote na kubaki kama alivyozaliwa kisha akijimwaga kitandani.Dulah alisimama kama dakika tano hasiamaini kuwa msichana huyo ndiye aliyemsumbua mda wote huo. Easther mara baada ya kuona mwanaume huyo amesimama kama mlingoti alisema “ Naomba uzime taa tulale maana mda wenyewe ushaenda sana sasa hivi tutagongewa”.
Basi Dulaha naye akajitupa kitandani na kuanza kujilia vitu alivyovingaikia kwa mda mrefu. Aliamaua kumkomoa binti huyo kwa kumpeleka staili za ajabu ajabu zenye raha na karaha. Kutoakana na wembemba wake na umbo lake la kimiss Dulaha aliweza kumkunja kwa staili yoyote aitakayo.Ukilinganisha na pombe walizokunywa basi ilikuwa ni zaidi ya burudani.Dulaha nia yake kubwa ilikuwa ni kumkomesha binti huyo.Alimchukua na kumuweka staili ya kifo cha mende lakini sio ile tuliyoizoea bali yeye aliimkunja na kuiweka miguu kwa mbele.Miguu ya Alice ikawa imejikuja kuelekea kichwani kwake.Ingawa Dulaha alitaka kumkomesha Easther lakini ni kama tu alikuwa akijisumbua kutokana na Easther kuwa mtu wa mazoezi na umbo lake jembembe lilimuwezesha kumudu staili hiyo.
Utamu Ulipokolea Easther aliamua kuweka mguu mmoja kwenye ukuta huku akiendelea kutoa milio ya raha..Mmmmmmmmh, mmmmmmmm,, uyuyuyuyuuuuuuuuuu, yeeeeeeeah. Sauti hizo kwa Dulaha ilikuwa ni furaha maana alihisi anamsugua na kusababisha raha na karaha. Kama hiyo haitoshi Dulah akamchukua akampigisha magoti ili afaidi utamu utamu wa nyuma. Alimpigisha magoti alafu yeye akaka nyuma yake na kuanza kupeleka mashambhilizi kutoka pande hizo za nyuma ya goli. Easther naye hakuwa haba alikuwa akimsogezea makalio na kujaribu kumzungushia na kuleta mshawasha wa ajabu.Dulaha alijitahii sana kumsugua lakini bado bao lilikataa kutoka.Ikabidi Easther ajilegeze na kujiachia pale kitandani.Dulaha naye alikuwa amechoka akampa ishara binti huyo apande juu ili ajipimie mwenyewe.Dulaha akalala na mgongo kisha binti huyo akapanda juu na kujipimia saizi aliyokuwa akiitaka.Hapo Easthe naye akaonesha maufundi yake ya kuzungusha nyonga yake nyembemba ya kimiss kumpa raha Dulaha na baada ya mda mfupi wote walikuwa kileleni wakifurahia upepo mwanana. Kutokana na uchovu na ulevi ulevi wa pombe hakuna aliyetaka raundi ya pili zaidi tu kila mtu alialla kwa staili yake.******
Mapenzi ya Gastona na Alice yaliendelea na Alice aliaminshia vitu vyake vyote kwa mwanaume huyo kwa madai kuwa hawezi kuendelea kukaa na Esther chumba kimoja kwa roho mbaya aliyokuwa nayo anaweza hata kumwekea sumu.Ingawa Gaston hakufurahishwa na tukio hilo la Alice kuaamia kabisa lakini hakuwa na jinsi kwa kipidi hicho aliamini kwakuwa semista ilikuwa ikiisha ivyo wakirudi kutoka likizo kila mtu angefuata ustaarabu wake. Walisoma kwa bidii sana na walifanya mitihani kisha kila mtu kutawanyika na kuenda kwao. Ilikuwa ni likizo ndefu tena ile ya zaidi ya miezi mitatu ambayo wanachuo wengi wanaendaga ya kumalizia mwaka wa masomo.
Likizo hiyo ilimfanya Alice kuwa mpweke sana na mda mwingi alikuwa akiwaza vitu vingi vilivyotokea ususani kwenye maisha ya mapenzi. Pamoja kwamba alishaanza mahusiano na Gaston na ni mwanaume ambaye alimkubali sana kipind hicho lakini bado alikuwa akimwaza sana Dulah na hakuaamini kama kweli waliachana. Alitamani kama angeweza angezirudisha siku nyuma.Kwa upande wa Dulah yeye roho yake ilirizika sana mara baada ya kufanikiwa kulipa kisasi kwa kutembea na Easther mtu ambaye alimsumbua sana akili yake. Siku ile alipolala naye usiku alifanikiwa kumpiga picha za uchi na kwa sababu Easther alikuwa amelewa sana hasiyejieewa.Alizihifadhi picha hizo akiaamini siku yoyote akimtaka mwanamke huyo atampata kwa sababu endapo akikataa tu basi atamtishia kuzisambaza picha hizo kwenye mitandao ya kijamiii.
Siku moja Dulaha alimpigia simu Easther na kumwambia waonane. Easther naye kwa kuwa alikuwa akipenda starehe ilibidi waonane wakaponda raha sana siku hiyo lakini Dulah alipotaka kulimenya tunda na binti huyo Easther alianza mashauzi.Basi Dulaha siku hiyo akamvumilia na kumuacha arudi chuoni bila kufanya naye mapenzi.Wikiendi iliyofuata alimuita tena binti huyo akaja mjini lakini pia binti huyo hakutaka kufanya mapenzi zaidi tu alitaka kula nyama choma na bia. Dulaha siku hiyo aliamua kumtolea uvivu kwa kumwambia kama siku hiyo a hasipompa penzi basi atazisambaza picha zake mitandaoni.Easther hakuamini anachokisikia na kwa ushenzi Dulah alimuonesha picha hizo.Easthe hakuwa na jinsi zaidi ya kukubali kwenda kuliwa.Siku hyo Easthe aliamua kujitoa ufahamu ili mradi tu aweze kumpagawisha Dulh kisha kuzifuta zile picha kwenye simu ya Dulah.Siku hiyo alimpa penzi tamu na aliitaidi kutumia kila staili ilimradi tu ampagawishe.
Ingawa Easther aifanikiwa kuiba memory ya Dulaha na kuondoka nayo lakini Dulaha hakuumia kwa sababu picha hizo aliziwekapia kwenye laptop yake.Kwa hiyo kama angetaka kuendelea kumfanya Easther kuwa chombo cha starehe yake angeweza lakini kuna roho ya kibinamu ilimjia na kuamini kuwa huko kutakuwa ni zaidi ya kumkomesha na kumuharibia maisha.Dulaha aliamua kubadilisha maisha yake na kuachana kabisa na maisha ya starehe. Alitafuta njia nyingine za kujipa raha za maisha kama kufanya mazoezi kupenda kusoma vitabu mbali mbali hivyo kujikuta akikaa mda mrefu sana bila kuwa na mpenzi.CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Siku moja akiwa kwenye gari akitokea chuoni na kwenda mjini alitokewa kuvutiwa sana na binti mmoja aliyepandia njiani ambaye alilazimika kusimama kwa sababu siti zilikuwa zimejaa.Dulaha alitamani kumpisha binti huyo kwenye siti kwa jinsi tu alivyomvutia. “Sema anaonekana bado mdogo” aliwaza Dulaha mara baaada ya kumkagua kwa ukaribu na hiyo ni pale agari lilposimama kwenye kituo na abiria walipokuwa wakishuka. Alimuangalia sana binti huyo akajikuta uzalendo unamshinda na kuanza kumpigia hesabu kali hasa za kupata mawasilianao yake. Waliendela na safari na vituo vichache kabla ya kufika stendi kubwa ambapo ndipo mwisho wa gari binti yule alishuka. Jambo hilo lilimchanganya Dulah akajikuta na yeye akishuka kwenye gari.Konda akawa anaangaika kutafuta chenji kutokana na binti huyo kutoa hela kubwa. “Kuna mtu mwenye chenji ya elfu kumi? Alisikika konda huyo akiomba msaada kwa abiria”
Dulah akaamua kutumia nafasi hiyo vizuri kwa kumwambia konda asimrudishie chenji yake yeye bali akate hela ya yule binti kisha amrudishie yule binti pesa yake kama ilivyo.Binti yule alibaki anashangaa tu hasijue nini kinaendelea. Konda akamrudishia binti yule elfu 10 yake na gari likaondoka wakabaki Dulaha na binti huyo. “Asante kaka alisema dada huyo ambaye alionekakana kuwa mwenye heshima sana.Basi huo ukawa ndo mwanzo wao wa kujuana na kubadilishana namba za simu.Mazoea yakaendelea lakini Dulaha hakufanikiwa kumshawishi binti huyo kuwa mpenzi wake. Alitumia juhudi zake zote lakini bado hakufanikiwa wakabaki kuwa na ule urafiki wa karibu tu.****
Maisha ya Gaston na Alice yaliendelea mara baada ya kufunguachuo na waliendelea kuishi kama mke na mme.Waliendela na uhusiano wao mpaka Gaston alipomaliza chuo. Kwa kuwa alimtangulia mwaka mmoja Gaston alimwacha Alice akiendelea na masomamo. Gaston kutokana na perfomance yake kuwa nzuri darasanai alipomaliza tu chuo alipata nafasi ya kwenda kuendelea na masomo ya masters nje ya nchi. Alice akabaki kuwa mjane huku akipoteza imani kuwa Gaston atakuja kuwa wake tena kwa sababu sponsorship aliyoipata ilikuwa ni ya miaka 10. Alice akaanza maishaya usingle huku akaimchukua Stela rafiki yake waishi woe kwenye chumba alichoachiwa na Gaston.Gaston alikuwa na roho nzuri sana kwani alimuachia Alice kila kitu kilichokuwa chumbani na hapo yeye aliondoka na begi lake tu.
Kwa hiyo Alice hakuangaika tena kununua vitu vya ndani bali walikuwa wakilipa kodi tu. Masiha yaliendela na kuna kipindi Alice alifanikiwa kukutana na Dulah na kama unavyojua awali ni awali na hakuna awali mbovu. Waliweza kuombana msamaha na kila mtu akaendelea na maisha yake. Kuna siku Alice alikwenda chuoni kwa kina Dulah kulikuwa kuna sherehe ya kuwakaribisha wanafunzi wapya.Hiyo ikawa fursa nzuri ya wawili hao kucheza disco liloandaliwa. Alice alipata nafasi hiyo kama mwakilishi kutoka kwenye chuo chao. Basi baada ya mziki kumalizika Dulaha alimshawishi Alice alale hasirudi chuoni kwao.
Alice akajikuta akimkubalia na kwenda kulala kwenye chumba cha Dulah. Ilikuwa ni usiku mzuri sana kwa wawili hao wakni walikumbushia enzi zao wakiwa wanapendana kwa dhati.Hapo kila mmoja alionesha ujuzi wake wa kufanya mapenzi na kufanya usiku huo kuwa usiku wa kumbukumbu ya msiha ya raha ya mapenzi waliyowahi kupitia.
Mazoea na mahusiano yasiyo na kichwa wala miguu baina ya Dulah ana Alice yakawa yameanza upya.Baadaye Dulah aligundua pamoja kuwa walikuwa wakikutana na kupeana mapenzi moto mooo lakini bado hawakuwa na future ya aina yoyote ile. Hivyo Duha alianza kuyafubaza mahusiano hayo kwa madai kuwa anampenda sana mpenzi wake huku akitumia picha za yule binti waliyokutana naye kwenye gari maarufu kwa jina la Fetty. Ingawa Fetty hakuwa mpenzi wake lakini walikuwa wakiishi kama wapenzi, wakitumiana picha za kimahaba, wakichati sms za mapenzi na pia wakikutana sehemu mbali mbali za starehe wakifurahia maisha yaani kilichobaki ilikuwa ni kuvuliana nguo tu. Dulaha alikuwa na imani sana na binti huyo huku akiiamini kuwa ndiye atakaye kuwa mke wake wa ndoa.
Alice aliamini manenoo hayo na akaamua kuachana na Dulah na kuendela na maishayake ya kila siku huku akiamua kuyakabidhi maisha yake kwa mwanaume ambaye alikuwa na umri mkubwa kuliko yeye. Alice aliamua kutumia ule msemo wa kiingereza uliosema “Age is just a number”. Ilibidi tu ampende mwanume huyo ambaye alikuwa akimsumbua kwa mda mrefu sana. Mapenzi yao yalizua majanga kwa Alice kupata mimba na safari hii hakutaka kuitoa bali aliamua kuzaa. Kwa hiyo katika mwaka wa mwisho wa masomo bintii huyo alikuwa ni mjazito.
Utata ukaja kwa wazazi wake Alice alipotaka kuolewa na mwanaume huyo waliktaaa. Kikwazao kikubwa walichokiweka wazazi wake ni kwamba mwanaume huyo alikuwa ni mkubwa sana kwake na pia walitofautiana itikadi za dini. Inasemekana mwanaume huyo alishawahi kuoa hapo kbala na akaazaa watoto watutu kabla ya kuachana na mke wake wa awali. Baba yake Alice alitishia kutomtambua kama mwanaye endapo Alice atabadilisha dini na kuolewana mwanaume huyo. Baba yake alisema yupo tayari kumlea mtoto atakaye zaliwa.Mzee huyo mwenye misimamo mikali pia alimshauri mwanye aendelee na masomo na yupo tayari kumlipia ada. Misuko suko ilikuwa mingi sana mpaka Alice akajifungulia nyumbani kwao.
Baadaye Alice alisalimu amri kwa kuamuaa kurudi chuo kuendelea na masomoya elimu ya juu. Akawa anasoma huku analea mtoto.Dulaha alikuwa akienda mara kwa mara kumsalimia huku akiamini kuwa hayo pia ni matunda ya usaliti. Mda ulizidi kwenda mtoto akazidi kukua na Dulha naye alimaliza chuo na kurudi mtaani. Tofauti na matarajio yake kuwa akimaliza tu chuo atapata ajira na kuachana na kuwategeuea wazazi wake la asha mambo yalikuwa magumu. Dulha akifikiria mamamilioni ya fedha aliyotoa kwa ajili ya kusoma alafu ajira anakosa ilimumia sana.Ilimbidi Dulha aendelee kusimamia baadhi ya biashara za baba yake. Hiyo nayo ikawa nafasi yake ya kuendela na mapenzi ya kisirisiri na Alice ambaye sa hivi mtoto wake alikuwa mkubwa na alimwacha kwa bibi yake. Mapenzi hayo yalimfanya Alice ajisahau na kuamini eti Dulaha anaweza kuwa mme wake.
Jambo ambalo lilikuwa ni zaidi ya ndoto za mchana kwa upande wa Dulah.Dulaha naye kutokana na stress hizo za kukosa kazi na kutopenda kutegemea mali za baba yake alianza kurudi kwenye hali yake ya starehe na anasa za dunia. Akarudia pombe na akawa mtu wa kupenda wanawake.Safari hii akawa hachagui bali yeye ni yeyote atakayejitokeza mbele yake basi itakuwa ni halali yake. Hali ilikuwa mbaya zaidi pale alipokuwa akitembea mpaka na wahudumu wa bar. Kuna kipindi alipata binti ambaye alikuwa ni mlokole binti amabaye alitoa masharti magumu sana ikiwa ni pamoja kufika nyumbani kwao kabla hawajajuana au kukutana kimapenzi.
Dulaha alimdanganya binti huyo kuwa yeye ni mkiristo.Binti wa watu naye akadanaganyika kwa sababu Dulaha alikuwa akienda naye kanisani siku za jumapili.Baadaye alikwenda mpaka kwa wazazi wake kwenda kujitambulisha.Hatua iliyofuata ambayo ilikuwa ni ngumu sana kwa Dulaha ilikuwa ni kwenda kupima afya. Dulaha aliwaza sana wasichana ambao alishawahi kutembea nao akajikuta anaingia hofu sauala la kwenda angaza kujitangaza.Yaani vigezo vyote alishinda lakini hicho cha kwenda kupima afya kilimtataiza.Siku zikazidi kwenda baadaye Dulaha alikubali kwenda kupima afya lakini na yeye alitoa sharti moja kuwa siku watakayopima ndo siku hiyo hiyo watakayofanya mapenzi.Binti huyo akaona isiwe tabu akamkubali wakaenda angaza kujitangaza. Ilikuwa ni siku ya hofu sana kwa Dulah lakini kwa bahati nzuri alijikuta ni mzima jambo amabalo hata yeye akuliamini. Huo ndo ukawa ukurasa mpya wa mapenzi baina ya binti huyo wa kilokole na Dulaha.Binti wa watu akawa amefungua moyo wake wote na akawa yupo tayari kumpa chochote Dulaha kwa wakati wowote aliohitaji.Binti huyo alitokea kumwamini sana Dulaha kwa sababu alishindwa vikwazo vyote alivyomuwekea na vilivyokuwa vikiwashinda wanaume wengi. Mapenzi yakaendelea kwa mda huku Dulah akijifanya yeye ni mkiristo.CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Baada ya miezi mitatu Fetty binti ambaye takribani ya mda wa mwaka mzima alikuwa na mapezi ya simu na Dulah alimaliza masomo yake ya unesi katika cho cha KCMC na akaajiriwa hapo hapo.Kama alivyomuhidi Dulah kuwa atakuwa yupo tayari kuingia kwenye uhusiano pindi tu atakapomaliza chuo na kupata kazi. Kwa hiyo sharti lingine lilikuwa ni kupima afya. Kwa Dulha haikuwa sharti gumu tena kwa sababu alaishapima afya na akaapa kuacha umalaya.Mapenzi rasmi baina ya Fetty na Dulaha yakaanza huku pia akiendelea na uhusiano na binti wa kilokole kwa jina Neema. Dulaha kazidi kuwa njia panda siku hadi siku hasijue amuache nani na awe na nani. Ikabdi aombeushauri kwa ndugu jamaa na marafiki kwa maaana wasichana wote alikuwa akiwapenda kutoka moyoni.
Ushauri wa kwanza aliopewa namarafiki zake ni kuwa amwambie ukweli Neema kuwa yeye ni muislamu hivyo kama bintii huyo atakuwa tayari basi abadili dini ili wafunge ndoa. Dulaha akafanya kama alivyoagizwa akamwambia ukweli binti wa kilokole.Ukweli huo ulikuwa ni zaidi ya maumivu ya sindano kwenye kidonda.Neema aliumia sana na alijuta kukutana na mwanaume huyo yaani Dulha ambaye yeye alimjua kwa jina la David.Hakuwa na jinsi zaidi ya kumshukuru Mungu kwa yote yaliyotokea na kuamua kuachana na Dulah.Basi kujitoa kwa binti huyo kwenye uhusinao kukawa ndo mwanzo wa kukolea kwa mapenzi baini ya Dulaha na Fetty. Dulaha akaamua kufuata taratibu zote za kuoa ikiwa ni pamoja na kwenda kujitambulisha kwa wazazi wa Fetty.
Ikumbukwe hakuwaikufanya mapenzi na binti huyo zaidi ya romance tu. Wakati wakiwa kwenye michakati hiyo ya kufunga ndoa Dulaha naye alipata kazi jambo ambalo lilichagiza nia ya wao kuoana. Basi kwa kuwa ndo ulikuwa ni mwanzo wa mwaka waliamua kusogeza ndoa yao mbele yaaani mwisho wa mwaka.
Mwaka mmoja ulitosha kabisa kwa Dulaha kujipanga na kwa kuwa wazee wake walikuwa tayari kumsapoti kwa hali na mali kijana huyo ambaye alishaonekana hafai katika familia kwa kuwa alikiuka imani ya dini yao na kujigeuza na kuwa muhumini wa dini ingine. Maana ilifika mahali jina la David likawa maarufu kuliko jinala Dulah.Hapa naweza kusema Neema yule binti wa kilokole alifanikiwa kabisa kumbadilisha Dullah.
Hivyo wazazi wake walifurahi sana Dulah kurudi kwenye maadili ya familia na kuwaletea binti safi anayejua maadili ya dini yao. Wazazi wake walikuwa na furaha sana na walikuwa wapo tayari kumpa hata nyumba ya famili ailimradi tu aoe atulie. Basi mambo yakaenda kama yalivyopangwa na kabla ya harusi kadi zilisambazwa sana na kutokan ana umaarufu wa famaili yake alipata michango mingi sana na kufanya harusi yao kuwa na bajeti kubwa sana na kuingia kwenye historia za harusi ya kifahari.Habari hizi za yeye kuoa ziliwafikia wanawake wote ambao alishawahi kuwa nao katika kipindi chake cha mapito ya safari ya mapenzi. Mtu ambaye alimuia sana na habari hizo alikuwa ni Alice msichana ambaye kweli alikuwa akimpenda sana Dulha kutoka moyoni. Alice aliamini kuwa hiyo ndo ilikuwa ni bahati yake lakini yeye aliichezea.Dulaha naye aliamini kuwa kama sio Alice basi hasingekuwa na historai ndefu ya mapenzi.
Hatimaye siku ya harusi ilifika, watu walikusanyika na baada ya kufunga ndoa msikitini walikwenda ukumbini. Zoezi la sherehe na shamrashamara za harusi ziliendelea salama lakini ilipofika mda wa kwenda kupeana mikono kwa bwana na bibi harusi Alice uzalendo ulimshinda akajikuta akipiga kelele za majonzi kama vile mtu ambaye alimpoteza au alifiwa na mtu wake wa karibu. Alice alidondoka chini huku akitupa tupa miguu.Watu wote wakageuza macho sehemu ambayo Alice alikuwa amekaa.Kamera zote ziliamia kwa Alice jambo lilonifanya na mimi Eliado mwandishi wa simulizi hii kumsogelea.
Tofauti na watu wengine ambao walikuwa bize kumpiga picha Alice akiwa chini akitupatupa miguu huku mdomoni akitokwana povu mimi nilikuwa bize kumuhoji Stela rafiki wa karibu wa Alice. Maelezo yake yalinifanya pia kwenda kwa bwana harusi kupata ufafanuzi.Alice alikimbizwa hospitali ili kupatiwa huduma ya kuokoa maisha yake. Tukio hilo lilinifanya mimi Eliado kumfuatilia kwa karibu na kwa maeleozo ya Alice, Stella, Dullah, Gaston na Jesca nikafanikiwa kuandaa simulizi hii ya PENZI PENZINI au matunda ya Usaliti kama Alice alivyopenda iitwe...Kweli mapenzi ni mchezo kama mchezo wa kuigiza.Mapenzi ni safari iliyojaa visa, usaliti uwongo na msamaha baina ya wapendanao. ***
Kwa upande wa Gaston yeye baada kurudi kutoka Ulaya alipoenda kusomea masomo ya juu alimtafuta Jesca mpenzi wake ambaye alimpenda kwa dhati ili pengine waweze kurudiana lakini alimkuta Jesca akiwa tayari ni mke wa mtu tena mwenye mtoto mmoja wa kike mrembo kama yeye. Gaston na yeye akaona kweli kuna matunda ya usaliti maana hata huyo Beatrice msichana aliyesababisha yeye na Jesca waachane tayari alikuwa ni mke wa mtu.Gaston baadaye alimtafuta Alice na alimpata wakakumbushia penzi la shemeji la kipindi kile wakiwa chuoni.Alice alimuueleza ukweli Gaston kuwa tayari alishazalishwa na mwanaume ambao wazazi wake walimkataa.Gaston akaamua kufunga mikanda na kuishi na Alice.Mishowe walifunga ndoa na kwa sasa wana mtoto na maisha yanaendelea.Kweli mapenzi ni safari yenye visa na matukio ya kufurahisha na kuhuzunisha.CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
*************MWISHO************
0 comments:
Post a Comment