Chombezo : Tanga Raha
Sehemu Ya Pili (2)
Recho akaongeza sauti ya redio hadi mwisho na kuipunguza haraka haraka na kunitazama uso-ni.Sikujua na jinsi kwani tayari pombe za mchana zimewachanganya.Recho akaendelea kucheza taarabu nayoimba ‘JAMANI NINA MWAGA RADHI’ huku wengine wakiitikia ‘MWAGAAAA’
Zena akawa anafungua taulo na kulifunaga.Mlango ukagongwa tane nikajua bibi amerudi te-na,nikasimama na kwenda kufungua mlango.Moyo ukanistuka baada ya kumkuta ni Mama Fety amesimama huku akihitaji kuingia ndani kwangu
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Tukatazamana na Mama Fety kwa sekunde kadhaa huku kila mmoja akiwa kimya ikanibidi niuvunje ukimya
“Vipi mbona unakuja bila taarifa?”
“Eddy akuomba unipishe niingie ndani?”
Mama Fatuma alizungumza huku akinisukuma akitaka kupita ndani kwangu kilazima ila hakunishinda nguvu nikamzuia na akabakia amesimama huku sura akiwa ameikunja
“Eddy nataka niingie huko ndani nikamkomeshe huyo Malaya wako”
“Kwani huku ndani ni kwako wewe vipi?”
“Eddy kama unataka nikujazie watu sema sishindwi mimi nakusemesha kiustaraabu unajifanya kuweka kibesi”
Mama Fety akausukuma mkono wangu uliokuwa umemzuai mlangoni na kuingia ndani kwa hasira.
“Mwangalie lilivyo mshuka”
Mwalimu Zena alizungumza huku akimtazama Mama Fety na kumfanya aanze kuangua kicheko huku akikaa kwenye sofa
“Shosti zangu jamani nisameheni kwa kuwatukana jamani”
“Mimi nilivyo isikia sauti yako wala sikujisumbua kunyanyuka kwani tumesha kuzoea”
Madam Recho alizungumza na kunifanya nishangae hapo ndipo nikagundua wanajuana ila sikujua wamejuana juana vipi
“Eddy huyu Asha umejuana naye vipi?”
“Heee Zena hadi kujuana na Eddy unataka kujua hembu acha ushapkuna”
“Sio ushapkuna kwa maana Eddy wa watu hapa Tanga hana hata mwezi bibi wewe umesha anza kumuwekea wivu”
Wakaachia kicheko kikali huku kikisindikizwa na maneno ya kimbea ‘KANITANGAZE USIPO NI-TANGAZA NITAKUTANGAZA MIMI’ huku wakigongeana mikono na kunifanya nikae kimya
“Eddy usitushangae huyu Asha sisi tumemjua kutokana na mwanaye anasoma kidato cha pili basi huyo mtoto wake mcharuko kama mama yake haipiti mwezi bila shost huyu kutinga shule kusikiliza kesi ya mwanaye”
“Eddy wala mwanagu si mcharuko wanamsingizia tu ndio maana siku nyingine huwa ninawa-chambaga waalimu”
“Unatuchamba au tunakuchamba na safari hii mwanao akileta tu mapepe mapepe tunamtimua”
“Mtimueni kwani shule ni moja nitampeleka ulaya akasome”
“Teeee ulaya kwenyewe unapasikia ndio embuse mwanao apeleke kiuno chake huku kufanya nini”
“Si kusoma”
“Kama anashindwa kusoma Bongo unazani ulaya ataweza”
Nikakaa kimya huku nikiendelea kusikiliza maneno yao ya mipasho huku kila mmoja akijitahidi kuzumzidi mwenzake
“Kwanza shosti nyinyi haya imekuaje ndani kwa bwana wa mtu mumekaa na vijikanga vyenu?”
“Shost joto kali na hizi pombe tunazo kunywa ndio kabisa zinaongeza joto la mwili”
“Na nyinyi hampitwi na kitu munataka kuonja Eddy huyu mimi ni baby wangu wala musijipendekeze pendekeze”CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“Mmmmm Asha acha wivu mtoto wa kike”
“Wivu ni lazima kila abiria anachunga mzigo wake mjini hapa”
“Heheeee kwahiyo uzee mwisho wake kilapura mjini kila mtu ni Baby”
“Ndio maana yake hiyo”
Nikaanza kufikiria jinsi ya kuwatoa ndani ya chumba changu kwani fujo za maneno ya umbea umbea na vicheko vya ajabu ajabu vilitawala.Nikakumbuka bibi alinipa kichupa cha mafuta ya mzaituni,nikakigusa mfukoni na kukikuta kipo nikanyanyuka taratibu na kuuingia katika chooo kilichopo ndani ya chumba changu.Nikachukua vijimafuta kidogo na kujipaka kwenye viganja vyote kisha nikairudisha mfukoni na ktoka chooni na nikiwakuta wote watatu wakiwa wanacheza mziki.Nikapitiliza hadi kwenye redio na kuizima
“Ahaa DJ nini tena”
Mama Fety alizungumza huku akiwa na bia ya kopo kwenye mkono wake
“Oya sikilizeni chumba changu sio disko mutatoka sasa hivi”
“Jamani Eddy mbona unakuwa na maswala ya ajabu jamani hembu wasa huo mziki”
“Nimesema hivi SITAKI CHUMBA CHANGU KIWE DISKO mutatoka humu ndani”
“Eddy na wewe mpenzi wangu hembu achia tuburuduke maisha yenyewe mafupi”
“Tena wewe koma maisha mafupi ni huko huko kwako ila si hapa ndani kwangu”
Nilizungumza kwa hasira na kumfanya Madam Rechol kukaa zake kwenye sofa ila Mama Fety na Madam Zena wakabaki wakinitazam kwa macho yaliyo jaa ulevi.
“Eddy bwana achia mziki basi tuzikoshe nafsi zetu”
Madam Zena alizungumza huku huku akinishika kiuno na kumpa nafasi Mama Fety kwenda kuwasha redio.Sikuwa na jinsi zaidi ya kutulia kimya.Ktokana na kelele zao ikanilazimu kutoka nje,nikaufunga mlango kwa nje na kwenda katika moja ya baa ya karibu na nyumbani kwan-gu,nikaagizia chupa kubwa ya maji na kuanza kunywa taratibu huku nikifikiria jinsi ya kurudi na kukabiliana na ugeni wangu nilio uacha.Nikakumbuka kuwa nimezima simu kutokana na usumbufu wa Rahma.Nikaiwasha na kuanza kuitafuta namba ya Rahma nikaipata na kuipiga ila nikakuta haipatikani nikarudia kama mara mbili zaidi majibu yakawa ni yake yaleya kuto kupatikana.Nikaitafuta ile namba aliyonipigia nayo mara ya mwisho,Nikaipata nikaipiga ikaita kamuda mchache kisha ikapokelewa na sauti nzuri ya msichana ambaye si Rahma
“Ninaweza kuongea na Rahma?”
“Rahma anaumwa shemeji hapa yupo nyumbani kwangu amelala kitandani analia tu”
“Kwa nini analia?”
“Alikupigia simu alafu ukamtukana na kumzimia simu”
“Ok mpe simu nizungumze naye”
“Yaani hawezi labda uje umuone”
“Wewe unaishi wapi?”
“Sahare”
“Mmmmm kwa guu inawezekana kuja”
“Kwani wewe upo wapi?”
“Chuda”
“Chuda ni mbali na huku labda uchukue boda boda ya piki piki kisha umuambie akulete Sahare ukifika naye kwenye kitua cha daladala nipigie nije kukuchukua”
“Sawa”
Nikakata simu huku nikifikiria nirudi nyumbani nikawafungulie kina mama Fety ila nikaona watanisumbua.Nikalipa hela ya chupa ya maji kisha nikamuita boda boda na kupanda nikampa maelekezo niliyo powa na safari ikaanza huku njia nzima nikiwaza ni ugonjwa gani umempata Rahma.Kama dakika kumi tukawa tumefika kwenye sehemu ya aladala zinapo simama nikatoa simu na kumpigia shemeji akaniomba nimsubiri kama dakika mbili,Sikuona haja ya kumchele-wesha boda boda wa watu nikamlipa pesa yake na kuondoka zake
Simu yangu ikaiita na ninamba ya shemeji ndio anaye piga nikaipokea huku nikitazama tazama kila upande katika sehemu niliyo kuwepo
“Umeiona hii gari ndogo nyeupe aina ya SPASHIO?”
“Ndio nimeiona”
“Basi njoo mimi utanikuta humu ndani ya hii gari”
Nikapiga hatuahadi gari lilipo na kumkuta msichana wa kiarabu ila yeye anaonekana kama ku-changanyia damu kwani rangi yake ipo tofauti na Rahma.Nikafungua mlango na kuingia ndani
“Shem Eddy mwaya samahani kwa kukusumbua”
“Hakuna tatizo Rahma anaendeleaje?”
“Bado nimemuacha amelala.”
“Kwako ni mbali na hapa?”
“Hapana wala si mbali kivile ila nimeamua kuja kukuchukua na gari”
Tukafika katika nyumba nzuri yenye geti kubwa ambalo linajifungua lenyewe,akasimamisha gari sehemu yenye turubai kwa juu kisha tukashuka na akanikaribisha ndani.Mara ya kwanza nilianza kupata wasiwasi kutokana na ukimya mkubwa wa nyumba hiyo kwani hakuna watu zaidi yake.Akafungua moja ya chumba tukaingia na kumkuta Rahma akiwa amejilaza kiandani
“Rahma amka mwaya mumeo amekuja”
Rahma akajigeuza kitandani na kukaa taratibu akaanza kujifuta macho ambayo yanaonekana kuwa mekundu na kweli ametoka kulia muda si mrefu.Nikakaa karibu yake na kumuegemeza kifuani kwangu
“Unalia nini mke wangu?”
“Eddy kwanini jamani umeamua kutembea na madam Zena?”
“Rahma nakuapia kwa MUNGU sijatembea naye na siwezi kutembea na mwanamke ambaye simjui na hana faida katika maisha yangu”
“Ila shemeji samahani kwa kuwaingilia katika mazungumzo yenu.Hivi tatizo ni nini hadi mka-gombana ila samahani kwa kukuuliza hivyo?”
“Shemeji yaani tatizo la kukorofishana na Rahma ni tatizo moja la kitoto ambalo hata wewe ni-kikuadisia utacheka”
Nikamuelezea kila kitu kilivyo kuwa kuanzia alipoletwa na mama yake shule hadi barua aliyo nitumia ya vitisho pamoja na meseji aliyo ituma kwangu
“Jamani Rahma na wewe sasa ulidhani Eddy ataacha kukuchapa eti kisa wewe ni mpenzi wako?”
“Kaniumiza sasa kanichapa kwa nguvu kama nini”
“Ametimiza wajibu wake kama mwalimu na mbaya zaidi asinge kuchapa unadhani mama na huyo mwalimu wangewadhaniaje tena na yule mama yako anavyo hisi hisi vibaya ungemsababishia kijana wa watu matatizo”
“Tena unasikia shem.Mama yake kafanya kunipa hadi namba yake ya simu ili akileta fujo nimjulishe”
“Duuu amemkabidhi fisi bucha jamani mimi nipo jikoni ngoja niandae andae mapocho pocho ya usiku”
Shemeji akatoka nikabaki na Rahma ambaye taratibu akaanza uchokozi wa kunipapasa papasa kwenye suruali yangu huku akiiminya minya koki yangu
“Rahma hapa ni kwa watu hembu jieshimu basi”
“Hapa ni kwangu na hii nyumba ni yangu wewe kuwa huru”
“Ni yako kivipi?”
“Hii nyumba nimeinunua pasipo baba wala mama kufahamu,nikaamua kumuweka shosti yangu huyu aishi kwa muda na nilikuwa na wazo la kutaka kukuhamishia huku”
“Mmmmm ngoja hilo swala la kuhamia huku tutalizungumza”
Rahma akaifungua zipu ya suruali yangu na kuuingiza mkono kwenye koki yangu na kuanza kuiminya minya.
“Rahma ngoja kwa…”
“Eddy sitaki ningoje nini au umetoka kufanya mapenzi na huyo Zena si ndio?”
“Hapana sijafanya naye na wala sinto thubutu kufanya naye”
“Sasa kama hujafanya naye ngoja niiangalie koni yangu kama imetumika au haijatumika”
Sikuwa na ujanja zaidi ya kumuacha Rahma kufanya anachotaka kufanya,akanifungua mkanda kisha akaitoa koki yangu na kuanza kuichunguza kwa umakini huku akiwa ameisogelea
“Una bahati kweli ungekuwa umefanya naye ungenitambua”
“Wewe umejuaje kama nimefanya au sijafanya?”
“Nikuambie ili hata ukifanya ujitoe hizo alama”
“No sitaki kufanya hivo ila nataka nijue wewe unatizama kitu gani?”
Rahma hakunijibu zaidi ya kuidumbukiza koki yangu mdomoni mwake na kuanza kuimung’unya kama pipi na kunifanya nianze kusikia raha.Ulimi wa Rahma ukawa na kazi ya kzunguka kwenye kichwa cha koki yangu na kunifanya niaze kutoa miguno ya raha ambayo nikahisi lazima itakuwa inasikika nje.Nikamfungua Rahma sidiria yake na kuanza kuziminya chuchu zake taraibu hadi naye akaanza kutoa miguno ya raha japo mdomoni mwake anaendelea kuinyonya koki yangu.Niakalivua shati langu huku Rahma akinimalizia kunivua suruali yangu.Nikamfunua shuka alilo jifunika maeneo ya kiuno hadi kwenye miguu na kumkuta akiwa na bikini tu.Niakavifungua vijimikanda vya nikini yake na rataribu kidole changu kikashuka kwenye ikulu yake na kuanza kukifikicha kisimi chake.
Nikalala chali kisha Rahma akaja juu yangu huku kichwa chake akiwa amekipeleka kwenye koki yangu na kuendelea kuinyonya huku na mimi nikinbdelea kuinyonya ikulu yake taratibu.Tulipo ridhika na kunyonyana kwetu nikamgeuza Rahma na akaikalia koki yangu na kumfanya ashushe pumzi nyingi.Kama kawaida yake akaanza mchezo taratibu huku kila kadri muda unavyokwenda ndivyo kasi ilivyozidi kuongezeka.Sikuwa nyuma na mimi nikajumuika naye katika kukichezesha kiuno changu kwa kasi na kuifanya mechi kuwa ni kali kupita maelezo
Tukabailisha mkao nikashuka kitandani na kumcuta Rahma na kumuegemeza kitandani huku kifua chake akiwa amekilaza kwenye kitanda na mguu wake mmoja akiwa ameuweka kwenye kitanda huku akiwa ameukunja na mguu wake mwengine akiwa chini.Na mimi nikakaa kama alivyo kaa yeye huku nikiwa juu yake na kuifaynya koki yangu kuingia ikulu pasipo kuwa na pingamizi na sughuli ikaendelea na nikawa na kazi ya kuyanyonya masikio yakeCHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Rahma akazidi kutoa vilio huku akiita jina langu na kunisifia kwa jinsi ninavyomfanya na mimi nikawa na kazi ya kumsifia kwa jinsi anavyo tawala mchezo ambao yeye ndio kucha yangu.Ila nikaanza kusikia vilio vingine vya chini chini mlangoni na ikanilazimu nigeuke.Nikamuona She-meji kwa uwazi mdogo alioufungua kwenye mlango huku akiwa ameyefumba macho yake na mkono mmoja akiwa ameuingiza ndani ya suruali yake huku akiwa anaichezea chezea ikulu yake na nikabaki nikimshangaa
Hata kasi ya kumshuhulikia Rahma ikaanza kupungua kwa kumshangaa shemeji.Kuna mlio kama wa glasi ya bati ikianguka ulisikika kutokea jikoni na kumfanya shemeji kustuka na macho yetu yakajikuta yakitazamana,Akastustuka kwa haraka akauchomoa mkono wake kwenye suruali yake na kukimbilia jikoni.Nikaanza kujawa na mawazo na kujiuliza ni kitu gani cha ajabu shemeji alicho kiona kwangu hadi akawa anajichua yeye mwenyewe,
“Baby umechoka…?”
“Hapana”
Swali la Rahma likanirudisha katika hali ya kawaida na kuendelea kumshuhulikia huku nikijaribu kuufanya ubunifu wangu wote ili aridhike kwa haraka japo kwaye mimi ni mwanafunzi.Mechi ikazidi kunoga huku Rahma akibadili aina za vilio huku kiuno chake kikiwa na kazi moja ya kuzunguka unaweza kusema hakina mfupa.Hadi tunafikia mwisho wa mchezo nikajilaza kitandani na Rahma akanilalia kifuani kwangu huku akihema kama ametoka kukimbia mbio ndefu
“Eddy”
“Mmmmm”
“Unanipenda?”
“Ndio baby”
“Kweli?”
“Ndio kwanini unaniuliza hivyo?”
“Nahisi naibiwa”
“Hauibiwi upo peke yako”
“Mmmm hata kama ila kuna watu nahisi wana kunyemelea”
“Wasi wasi wako”
“Eddy nisikudanganye mimi nina wivu na nipo tayari kuputeza pesa yangu ili kumkomesha yule atakaye kuia”
“Kivipi……?”
“Ki hivyo hivyo hiyo ni siri yangu ya moyo sasa ajitokeze changudoa akuibe weee atanitambua mimi ni nani?”
“Haitatokea”
“Kwani Eddy unadhani mimi nina shida………itatokea tu na wala tusilaumiane”
Tukaendelea kuzungumza na Rahma mambo mengi hata nikajikuta nikisahau kuwa kuna watu niliwafungia mlango kwa nje isitoshe na simu yangu imezima chaji.Rahma akaninyanyua kiyandani na tukaingia bafuni.Tukaanza kuoga huku kila mmoja akimuogesha mwen-zake.Nikajikuta uzalengo ukinishinda kwani michezo ya uchokozi ya Rahma ikanifanya nimshike mguu wake mmoja na kuchuchumaa na kuuweka begani mwangu nikaanza kumnyonya ikulu yake huku ulimi wangu ukiwa umezama ndani ya ikulu huku lipsi zangu zikiendelea kunyonya ikulu kwa nje.Rahma akaingiza vidole vyake masikioni mwangu na kuanza kunitekenye ikanibidi kusimama na kuvuta karibu kisha nikamdumbukiza ulimi masikioni na kuanza kumnyonya taratibu na kuzidi kumpandisha Rahma midadi
Rahma akajitoa mikononi mwangu na kuiingiza koki yangu mdomoni mwake na kuanza kuinyonya kwa mtindo wake,alipo ridhika akasimama na kunirukia na nikamdaka vizuri hku miguu yake akiwa ameipitisha kwenye kiuno changu na kuikutanisha kwa nyuma na kuikunja X,huku mkono wake mmoja akiishaka shingo yangu na mkono mwengine akiishika koki yangu kwa kwa kichi na kuichomeka kwenye ikulu.Kazi yangu haikuwa ngumu zaidi ya kuyashika makalio yake na kumpa wepesi wa kuikalia koki yangu.Shuguli ikaanza kwa kasi ya ajabu huku kila mmoja akiwa na usongo wa kumpindua mwenzake katika mechi.Kwa raha Rahma akaniachia shingo kisha akashika bomba la mvua kwa juu na kazi ikaendelea
Kelele zetu zikazidi kutawala katika bafu huku matusi ya kila aina yakiwa yanatutoka mido-moni mwetu.Nikamshusha Rahma na akashika ukuta huku mguu mmoja akiwa ameunyoosha juu na kuuweka kwenye ukuta mwengine wa bafu huku kifua chake akiwa amekilaza kwenye ukuta wa bafu huku mikono yake nikiwa nimeishika kwa nyuma na shuguli ikaendelea.Kwa mikao aanyo nionyesha Rama nikajikuta nikiapia kuto kumuacha kwani anajua jinsi ya kuumiliki mchezo hata kama mchezaji una uwez gani ila kuna baadhi ya mbinu zake akizitumia lazima usuburi kwa muda na wewe ndio uunze kuucheza mchezo wako
Nikaanza kupiga kelele za kufikia kileleni Rahma akajichomoa kwenye koki yangu kwa haraka kisha akanza kuichua kwa kasi huku aikiwa amepiga amechuchumaa.Risasi zangu zikatua kifuani kwa Rahma na kumfanya atabasamu kisha akaanza kuzisambaza kwenye kifua chake huku akisimama taratibu
“Sir una sha**a za moto hadi najisikia raha”
“Mbona leo umetaka zikumwagikie kifuani?’
“Nilikuwa nahitaji kupata joto lake…….ila kusema kweli Sir kila siku zinavyo zidi kwenda najikuta ninakupenda”
“Kweli?”
“Ndio yaani wivu unazidi kuutawala moyo wangu na hapa nasubiri weekend moja nikupeleke kwenye mbuga moja inaitwa Saadani nataka tukaenjoy”
“Utawaambiaje wazazi wako?”
“Wazazi hawana neone na na kesho mama anaondoka anakwenda Dubai kwa hiyo nitamsindikiza nikiwa na baba”
“Kurudi?”
“Tutarudi kesho kuta kutokana anaondoka na ndege ya usiku”
“Anapandia KIA au Dar”
“Anapandia uwanja wa Dar……..Najua nitakuwa huru kidogo kutokana baba yeye hana tabu.Ila mama ndio kishawishi cha baba kunifokea mimi”
Tukamaliza kuoga na tukatoka bafuni huku nikiwa nimembeba Rahma mgongoni kisha ni-kamuweka kitandani.Saa ya ukutani inaonyesha ni saa moja kasoro Rahma akavaa nguo zake huku na mimi akinivalisha za kwangu.Akafungua pochi yake na kutoa cheni ya dhahabu na kunivalisha shingoni
“Asantr sana mpenzi wangu”
“Usijali dady……Hiyo cheni nimekununulia dola 5000$”
“Eheee si pesa nyingi sana hiyo mpenzi wangu?”
“Eddy pesa kwangu haina dhamani.Wewe ndio mwenye dhamani sana katika maisha yangu wewe ndio mwangaza wa maisha yangu”
Tukatoka chumbani na kukuta shemeji ametuandalia chakula tukakaa mezani na sote kwa pamoja tukaanza kula huku tukipiga story nyingi.Ila nikagundua kitu kutoka kwa shemeji kwani kila Rahma anapo nilisha chakula yeye sura yake hubadilika kuweka mikunjo Fulani kama mtu anaye kasirika na asiyependa kuona Rahman anafanya hivyo.
“Halda inabidi unipeleke nyumbani”
“Na shem Eddy”
“Jamani mimi nitatumia boda boda wala nisiwasumbue”
“Hapana Eddy nataka ukapaone kwetu japo kwa mbali kisha Halda atakupeleka kwako”
“Sawa alafu unajua Rahma una roho mbaya?”
“Kwa nini mume wangu”
“Hujanitambulisha kwa shemeji hapa mpaka sasa hivi ndio ninalisikia jina lake”
“Ohhh sory sory mume wangu….kweli hapo nimefanya makosa.Huyu ni dada yangu anaitwa Halda…….na Halda huyu ni Eddy japo nilisha kuambia ni nani yako”
“Nashukuru kumfahamu shemeji yangu”
Tukamaliza kula na sote tukaingia katika gari na safari ya kwenda ikaanza,Tukapitia kwenye moja ya benk Rahma akaniomba tushuke kwenye gari.Tukaingia kwenye chumba chenye mashine za ATM.Rahma akaingiza kadi yake ya beki na kutoa kiasi milioni mbili huku akiwa anarudia rudia kuingiza kadi yake kwenye mashine hiyo hadi milioni mbili kukamilika hii ni kutokana na mashine hizo kuto kuwa na uwezo wa kutoa pesa kiasi kikubwa kwa mara moja.Akanikaidhi milioni moja na laki nane
“Eddy nahitaji nikirudi Tanga nikukute umehema kule uswahilini?”
“Kwa nini mpenzi wangu”
“Mimi nahitaji tu uhame na utakapo hamia sitaki mwalimu mwenzako yoyote apafahamu kwa-ko”
“Sasa mke wangu wewe unajua fika mimi Tangasi mwenyeji haya huko kwa kuamia mimi nita-pajuaje?’
“Hiyo kazi nitampa Hilda na hadi kesho saa sits nyumba iakuwa imepatikana.Ningekuhamishia pale anapo ishi Hilda ila ngoja nitafute nyumba itakayo kufaa pale hamuwezi kuishi nyinyi peke yenu”
“Inaonekana hutuamini”
“Nakuamini ila mmmm fisi awezi kukaa na kondoo zizi moja na hizo pesa nilizo kupa utamlipa dalali.Sitaki Hilda ajue kuwa pesa nimetoa mimi”
“Kwa nini?”
“Sipendi tuu aju”
Tukarudi ndani ya gari na safari ya kwenda kwa kina Rahma ikaanza, Haikuchukua muda kufika kwao kwenye jumba kubwa la kifahari na lililo jengwa kwa muundo wa kipekee.Rahma akaninipiga busu la mdomoni
“Halda kuwa makini na shemeji yako muangalie asiwakodolee macho wasichana barabarani?”
“Hapa kwangu hato weza nitamtoa macho”
“Wee weee usinitolee macho mume wangu unadhani utaiona vipi mmmmm…..yangu?”
“Baby usisahau kama nilivyo kuambia?”
“Ok mamyto”
Rahma akshuka kwenye gari na sisi tukaondoka,Ukimya ukatawala ndani ya gari huku mimi nikiwa nimekaa siti ya nyuma.Gafla Halda akasimamisha gari
“Shem njoo ukae huku mbele”
Nikashuka kwenye gari na kuhamia siti ya mbele na safari ikaendelea ila kwa mwendo wa tara-tibu huku shemeji akiwa kama mtu anayehitaji kuzungumza kitu ila anashindwa.Shemeji Halda akasimamisha gari mbele ya Hoteli iliyopo barabara ya nane kisha akashuka na kuniomba ni-mubirie kwa madai anakwenda kumtazama rafiki yake.Muda ukaanza kukatika bila ya Halda kutokea.Ikanilazimu nishuke kwenye gari na kuingia kwenye Hotel na kumkua muhudumu wa kike ikabidi nimuulize
“Mimi ni rafiki yake nimekuja naye kwenye hiyo gari naona hatoki ni lisaa sasa”
Kabla muhudumu wa mapokez kunijibu Halda akashuka kwenye ngazi za hotel hiyo zinazo elekea ghorofani.Akaniita kwa kutumia ishara.Nikamfwata na tukaanza kupanda ngazi kuelekea gorofani
“Tunakwenda wapi…..?”
“Shemeji njoo nikuonyeshe kitu”
“Kitu gani?’
“Nataka nikakutambulishe kwa mumu mwenzio”
Sikuwa na wasiwasi sana japo kwa mbali msongamano wa mawazo ukaanza kunitawala ila nikajipa moyo kuwa yupo na mpenzi wake kutokana amekaa lisaa zima akiwa ndani.
Tukaingia ndani ya chumba kilichokuwa na namba 115 ila cha kunishangaza sikumkuta mtu wa aina yoyote ikanilazimu nimuulize
“Huyo shemeji yangu yupo wapi?”
“Shem kwani una tatizo gani wewe subiri utamuona”
“Mmmm haya mwaya”
Nikakaa kwenye sofa lililopo ndani ya chumba hicho na Halda akaingia bafuni baada ya muda akatoka akiwa amevaa chupi na sidiri na kunifanya nistuke
“Shemeji mbona hivyo tana”
“Najiandaa kwa ajili ya shemeji yako akija anikite katika hali nzuri”
“Mmmm lakini si kukaa hivyo mbele yangu tambua kuwa wewe ni shemeji yangu”
“Jamani shemeji kwani tatizo lipo wapi kwani zikikupanda si nitakushusha mimi mwenyewe”
Nikakaa kimya na kujikuta nikianza kumtathimi kuanzia chini miguuni hadi kichwani kwake jambo lililo pelekea koki yangu kusimama.Halda akajilaza kitandani kifudi fudi huku miguu yake akiichezesha chezesha kwa nyuma na kulifanya kalio lake dogo kiasi kuanza kutetemeka tetemeka.Nikasimama na kuanza kupiga hatua kuelekea katika mlango wa kutokea
“Shem unakwenda wapi?”
“Kwenye gari huyo shemeji yangu akija utakuja kunistua kwenye gari”
Halda akasimama haraka kitandani na kuja kusimama katika mlango na kuziba njia ili nisiufungue mlango
“Halda nakuomba nitoke humu ndani”
“Eddy sitaki nafanya kila kitu ili kukuashiria kuwa na mimi nahitaji kitu ulichompa Rahma”
“Lakini shemeji Rahma si ndugu yako?”
“Hata kama cha ndugu kizuri tunakula pamoja”
“Una maaana gani?”CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Halda akanirukia na kunikumbatia huku akiwa ananing’inia katika shindgo yangu huku akinilazimisha nimnyonye denda
“Shem unaiumiza shingo yangu”
Halda hakunielewa hadi akafanikiwa kuzinyonyz lipsi zanu yapo mwanzoni nimekuwa mbishi ila kila muda unavyo zidi kwenda nikajikuta nikilainika taratibu nikaipitisha mikono yangu kwenye kiuno chake na kukishika vizuri kiasi kwamba muhimili wake wa kuning’inia kwenye shingo yangu ukapatikana kwenye mikono yangu.Nikambeba na kumuweka kitandani huku na mimi nikivua nguo moja aada ya nyingine hadi nikibakiwa na boxer
“Halda tutafanya siku nyingine sijisikii vizuri”
Nlizungumza huku nikishuka kitandani kwani raho yangu ilinisuta kwa kitu ninacho mafanyi Rahma kwani sio haki kabisa.Halda akanivuta boxer yangu ila kwa nguvu nilizo nazo nikaweza kuitoa mikono yake
“Eddy sikubali uondoke uniache na nye** zangu”
Halda alizungumza kwa hasira hadi akabadilika rangi ya mwili wake na kuwa mwekundu kiasi na kuendelea kuning’ang’ania mkono wangu
“Halda nakuomba niache siwezi kumsaliti Rahma kumbuka nyinyi ni ndugu na Rahma hana kosa lolote nililo mfanyi hadi mimi nichukue uamuzi wa kumsaliti”
Nilizungumza kwa ukali ila Halda hakunielewa kabisa na kitu alicho zidi unikasirisha ni kuanza kulazimisha kuishika koki yangu.Nikampiga kibao kimoja cha nguvu kilicho muangusha Halda chini na akatulia tuli huku akiwa amejikunja.Nikavaa nguo zangu haraka haraka kabla sijatoka nikaona nimtazame Halda kwani wakati wote nikiwa ninavaa nguo zangu hakujitingisha wala kustuka.Mapigo ya moyo yakaanza kunidunda baada ya kumkuta Halda akivuja damu za puani
“Mungu wangu nimeua”
Nilijikuta nikianza kuropoka huku nikirudia mara kwa mara kumtazama Halda,Nikapata wazo la kuondoka ndani ya chumba na nikaanza kupiga hatua kuufwata mlango kitendo cha kufika mlangoni na kuufungua nikakutana na muhudumu akiwa amabeba sinia la lenye chakula huku mkononi akiwa na mzinga wa whyne
“Nliagizwa na dada mmoja wa hichi chumba nilete chakula”
“Sawa”
Nikampokea vitu alivyo vibeba na sikuhitaji aweze kuingia ndani kuhofia kumuona Halda
“Ila bado hajanilipa pesa”
“Unamdai kiasi gani?”
“Kwa ujumla vyote ni elfu hamsini na sita”
Ikanilzimu kumpa muhudumu vitu vyake anishikie ili niweze kutoa pesa kwenye wallet.Nikatoa noti sita za shilingi elfu kumi kumi na kumpa muhudumu
“Chenchi utakaa nayo”
Nikavichukua vitu vyangu na kuufunga mlango kwa funguo na kuviweka mezani,nikamtzama Halda kwa muda kisha nikapata wazo la kumyanyu na kumuweka kitandani.Nikamfuta damu za puani kwake kwa kutumia kitambaa cahngu na nikamfunika kwa shuka vizuri ila hata nikiondoka nimuache katika mazingira mzuri
Nikaingia bafuni na kuchota maji kwenye kopo na kurudi alipokuwa ameanguka Halda na ku-pamwagia maji nikachukua taulo na kuanza kupafuta,nikiwa ninaendelea kupafuta nikasikia mlango ukigongwa na sauti ya kiume nikaisikia nje ya mlango
“Mtaja mwenye chumba namba 115 fungua mlango sisi ni jeshi la polisi tunataka kukagua chumba chako”
Mapigo ya moyo yakazidi kunienda mbiona kujikuta nikianza kuweweseka huku taulo nikiwa nimelishika mkononi.Nikaingia bafuni haraka na kuliosha taulo ili lisionyeshe damu na mbaya zaidi taulo ni la rangi nyeupe.Nilipo ridhika kuwa limetakata nikaliweka kwenye ndoo iliyoupo ndani ya bafu hilo na kurudi chumbanni.Askari alaiye zungumza kwa mara ya kwanza akayarudia maneno yake yale yale huku akiniomba kuwa wanahitaji kwenda katika chumba kingne na tusiwapotezee muda.Nikavua nguo zangu haraka haraka na kubakiwa na boxer ili hata wakiingia wajue nilikuwa nimelala,Nikamuweka vizuri Halda na kichwa chake nikakigeuzia ukutani ili isiwe rahisi kwa askari kugundua kitu chochota
Nikashuka kitandani na kwenda kuufungua mlango na kukutana na askari wawili wakiwa wamevaa nguo za kiraia huku mmoja wao akiwa na redio ya upepo.Nikasalimiana nao na kuwapisha waingie ndani na kuanza kukagua na mmoja wao akaingia bafuni
“Hyo ni nani yako?”
“Mke wangu”
“Ahaa hembu muamshe tuzungumze naye”
Moyo ukazidi kunipasuka ila nikajikaza ili wasinistukie kwa chochote na nikaanza kufikiria ni kitu gani nitakifanya hada Halda kunyanyuka.Nikapiga hatua za kuelekea kitandani kabla sijafi-ka kitandani redio ya upepo ya askari aliye ishika ikaanza kuzungumza
“Afande Basesa unanipa? OVER”
“Ndio ninakupata mkuu OVER”
“Mupo chumba namba ngapi? OVER”
“Chumba namba 115 OVER”
“Nakuja nisubirini hapo OVER”
Simu ikakata na kunifanya nicganganyikiwe zaidi kwani askari ndio kwanza wanaongezeka katika chumba changu
“Eheee afande Kabelwa leo RGP yupo kwenye mzunguko”
“Mungu wangu hatujavaa uniform sijui tutamuelezaje huyu mzee”
“Mmmm hapa mwenyewe nimesha changanyikiwa”
“Mtu asilale na mkewe anakuja kutembea tembea huku”
Polisi walizungumza mabi yao na nikawa na kazi ya kumuomba Mungu asiwakumbeshe wazo la kumuamsha Halda.Baada ya muda wakaingia askari wawili huku mmoja akionekana kuwa na vyeo vingi katika nguo alizo zivaa huku mwengine akiwa na nguo za kawaida.Wakampigia saluti na wakasimama kama moja
“Sare zipo wapi?”
Lilikuwa swali la kwanza kwa mkuu wao na wote wakabaki kimya huku wakiwa wameendelea kusimama kama namba moja
“Mbona nyinyi vijana mulio ajiriwa miaka ya hivi karibuni munakuwa munavunja vunja sheria za jeshi.Tena kama wewe umeziachia kabisa ndevu zako”
“Mkuu nilipatwa na matatizo kwahiti nilikwenda kijijini na nimerudi jana na leo ndio nimeingia kazini”
“Huna sababu ya kujitetea kwani huo una uzungumza wewe ni ujinga.Kama hujanyoa ndevu zako ni kwanini usiendelee kukaa nyumbani.Sasa kesho nyinyi nyote nawahitaji ofisini kwan-gu.Hivi hata huyo raia hapo anaweza kuwaamini kuwa nyinyi ni askari kwa mionekano yenu ya ajabu ajabu?”
“Hapana mkuu”
“John niandikie majina yao na namba zao za kuajiriwa na ole wenu kesho musiripoti ofisini kwangumutanitambua”
Mkuu wao akatoka na kumuacha askari aliye ingia naye akiwauliza wezake majina yao mmoja baada ya mwengine
“Kaka yaani mzee leo kachachamaa tunameanzia kituoni huku kuna jamaa kibao hawajavaa sare”
“Eheee basi hayo ni majanga tulizani tupo peke yetu”
“Hapana na hapa mimi mwenyewe sijui tunaelekea wapi?”
Wakaniaga na kutoka chumbani kwangu na wala hawakujishughulisha Halda,Nikaenda kuufunga mlango na kurudi na kukaa kitandani huku mapigo ya moyo kidogo yakiwa yemenitlia ila kitu kikubwa ninacho kiwazia ni Halda aliye lala kitandani,nikamgauza na kumlaza chali nikamuwekea kiganja changu kwenye kifua chake nikagundua mapigo yake ya moyo yanadunda kwa uataratibu kidogo matumaini yakanijia nikaanza kujiuliza kama nikimpelea hospitalini Rahma ataniuliza amepatwa na nini na nimazingira gani yamepelekea hadi akazimia.Sikupata jibu la maswali yangu ninayo jiuliza na kujikuta nikibaki nikiwa ninajikuna kichwa,Nikavaa nguo zangu nakutoka ndani ya chuma na kuanza kwenda nyumbani kwangu kwa kutumia miguu.
Nikiwa njiani nyuma yangu nikaanza kusikia kelele za mwizi zikija kwa nyuma yangu,nikageuka ila sikuona huyo mwizi akija njia niliyo kuwepo mimi zaidi ya kuona watu wengi wakija kwa kasi huku wengine wakianza kunirushia mawe,Kwa kasi ya ajabu nikaanza kukimbia huku nikitazama taama nyuma ila watu wakawa wananifwata nyuma huku wengine wakiwa na magongo na marungu.Nikazidisha kasi kitu kilicho nisaidia zaidi ni mimi kuwa mwepesi wa kukimbia kutoka na kipindi nipo shule nilikuwa mwanariadha bora wa mkoa wa Iringa katika mashindano ya UMISENTA yanayo fanywa na wanafunzi wa shule za sekondari
Nikafanikiwa kuwaacha kwa umbali mrefu na kuingia katiaka kichochoro kimoja na kuwafanya watu hao wapiti kwa kasi ya ajabu huku watu wawili kati ya hao ni wale vibaka nilio kuwa ni-meongozana nao wakati wa mchana nilipokuwa nimetoka kununua chakuka hotelini.Nilipo ona hali imekuwa shwari nikatoka na kubadilisha kabisa njia japo sio mwenyeji wa Tanga ila ikanilazimu kupita njia ambazo nikajikuta nimetokea mtaani kwetu.Nikaikuta gari ya Madam Zena ipo pale pale alipo isimamisha wakati wa asubuhi.Nikakumbuka kuwa niliwafungia mlango kwa nje kabla sijaingia kwenye usawa wa nyumba yangu nikasikia sauti ya bibi ikiniita
Nikamfwata hadi kwenye kibaraza cheke na nikamsalimia na akaniomba nikaae pembeni yake
“Mjukuu wangu Eddy unatoka wapi saa hizi?”
“Bibi hapa ninapo kuambia ninatoka sahare ila hapo katikati chupuchupu nipoteze maisha yan-gu”
“Kwanini?”
“Bibi kuna watu walikuwa wakinikimbiza na kuhisi mimi ni mwizi”
“Loo salalee wana hao hawana aibu hata wewe mtu mwenye heshima zako wanakupakazia wewe mwizi”
“Ndio bii yaani ningekuwa si kuwa na kasi ya kukimbia basi mungesikia nimekufa”
“Hao nimesha wajua ni wale wenye mabichwa yao walio pita mchana ulikuwa umeongozana nao”
“Eheee bibi wale jamaa pia wale nimewaona”CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“Wale watototo wana haramu wameshindwa na dunia.Na nikawaida yao wale kumsingizai mtu mgeni kuwa ni mwizi na hao wote walio kuwa wakikumiza ni wahuni wa maskani ya pale bon-dini”
“Ahh ndio nilipo kuwa nimepita na kukuta watu wengi ila sikujishughulisha nao kutokana mimi wmenyewe hapa nilipo nimesha changanyikiwa”
“Umechanganyikiwa na mimi mjukuu wangu?”
“Bibi kuna binti nilikuwa naye hotelini ila akawa ananilazimisha nifanye naye mapenzi”
“Ni yule wa kiarabu anaye kuja kuja na gari?”
“Hapana sasa huyo niliyekuwa naye alikuwa ni rafiki yake ila kwa wanavyo ishi ni kama ndugu wa tumbo moja.Sasa katika kuminyana minyana mimi nikiwa ninikataa nisifanye naye chochote nikajikuta nikimzaba kofi na kufanya azirai hapa nimefanya kumkimbia”
“Hembu naomba mkono wako ulio mpigia”
Nikampa bibi mkono wangu wa kushoto na akaanza kuuminya minnya kuanzia kwenye ki-ganya hadi kwenye maeneo ya kisuku suku kisha akaniachia
“Mjukuu wangu wewe una mfupa mmoja”
“Mfupa mmoja kvipi bibi?”
“Yaani kuanzia hapo kwenye kiganja hadi hapo kwenye bega unamfupa mmojaa na si miwili kama binadamu wengine”
“Sasa bibi kama nina mfupa mmoja si mkono usinge kunjika?”
“Unakunjika kwani huo mmfupa una viungio vya kawaida kama watu wengine.Na watu wa aina yako hukwa wananguvu nyingi sana za mikono na huwa wakimpiga mtu wanaweza hata wakamuua”
Nikakaa kimya huku akili yangu ikianza kukumbuka tukio moja kipindi nikiwa kidato cha pili katika maswala ya mpira wa miguu kuna kaka wa kidato cha nne nilimchezea rafu kwa bahati mbaya ila mwenzangu akaanza kunirushia ngumi ambazo zilinipata vizuri na kunipandihsa ha-sira kiasi kwamba ikanilazimu na mimi nimjibu mashambulizi ila kwa numi moja niliyo mpiga kwa mkono wa kushoto nikashangaa mwenzangu akianguka na kuzimia na kuanzia hapo wanafunzi wengi wakaanza kuniogopa
“Sasa bibi mimi nitafanyaje wakati mtoto wa watu bado yupo hotelini”?”
“Ngoja kuna dawa nitakupatia kamuwekee puani atazinduka huku akipiga chafya”
Bibi akanyanyuka na kuingia ndani kwake akarudi na kikopo kidogo cha mafuta ya ‘baby care’ na kunipz mkononi
“Ukifika utakitingisha kidogo na utakifungulia karibu na pua zake na vumbi vumbi la dawa lita-muingia puani mwake na atazinduka”
“Asante bibi ngoja mimi nimuwahi”
“Kabla hujaondoka hembu nenda kawafungulie hao mabinti kwani muda Fulani walikuita sana ila hukutoke kiasi kwamba wakaanza kufungulia mziki kwa sauti ya juu na kutufanya tusikae kwa amani sisi tui karibu na wewe”
“Sawa bibi”
Nikapiga hatua za kuelekea kwangu nikaufungua mlango na kuakua Mama Fety,Zena na Recho wakiwa wamelala kihasara hasara huku wakiwa watupu kama walivyo zaliwa na nitedio ndio inafanya kazi ya kuzungumza.Nikaanza kumuamsha mmoja baada ya mwengine
“Wewe mwanaume ulikuwa wapi?”
Mama Fety aliniuliza huku akiwa anapiga miyayo ya usingizi
“Wee acha tuu kila mmtu ajiandae aende kwake”
“Eddy unatabia mbaya umetukimbia na ukatufungia kwa nje”
“Jamani si muda wa kuulizana maswali kila mtu avae aende kwake”
“Ngoja mimi nikaoge”
“Zena wewe oga tu ila bili ya maji ikija hapa utanisaidia kulipa”
Akaingia bafuni na wengine wakiendelea kuvaa nguo zao huku mama Fety akijafanya kuvaa taratibu ili kuwatega wezake.
“Mama Fety hembu vaa haraka haraka jamani mimi nataka nitoke nitawafungia tena ohoo”
“Jamani Baby saa hizi unataka uende wapi wakati mimi ninataka unikamue”
“Hembu usiniletee ujinga vaa nguo zako na ukakamuliwe na mume wako ila si mimi”
“Ehhe jamani baby hayo yote yametokea wapi?”
“Wewe mwanamke iwe mwanzo na mwisho kukanyanga hapa kwangu”
“Hilo nalo nenooo…”
Madam Recho akadakia huku akicheka na kumfanya mama Fety amtazame kwa jicho kali la hasira
“Na wewe Recho ukome kuingilia maongezi yangu mimi na Eddy hayakuhusu?”
“Bibi weee nitakomaje wakati ndio hivyo bwana hakutaki”
“Recho Recho nitakuvuruga Malaya mkubwa wee”
“Weee weee jaribu kama ni mwanamke kweli kunigusa……Hembu jiangalie juu mpaka chini una hadhi ya kutembea na Eddy wewe mwanamke mwenyewe darasa la saba”
“Nyoo wewe ndio unajiona una hadhi elimu sio mapenzi shughuli ni kitandani”
“HEheeheee Kaogee”
Mama Fetry akamrukia Madam Fety na kumlaza kwenye kochi na wakaanza kuminyana na kumfanya madam Zena kutoka bafuni uchi huku akiwa ana mapovu kwenye baadhi ya sehemu za mwili wake”
“Jamani shost zangu mbona munakuwa kama watoto wadogo kupigana pigana.Hilo swala si tu-shalizungumza kuwa Eddy akija atachagua nani amtakaye.Na wewe Eddy mwanaume mzima wezako wanapigana wewe umesimama unawaangalia”
“Tena koma wewe manamke usen*** wenu kaufanyieni kwenu musitake niwazabe amkofi hapa”
“Msen*** mwenyewe wewe na wazazi wako walio kuzaa”
“Zena unasemaje wewe”
“Kama ulivyo nisikia”
Nikamsogelea Madam Zena kwa hasira na kumkaba koo na kuwafanya Mama Fety na Recho kuacha kupigana kuja kuingilia ugomvi huku wakianza kunipiga makofi ya mgongoni baada ya kumsikia mwenzao akiomba msaada anakufa
Nikamuachia Madam Zena na kuwageukia Mama Fety na Madam Recho na kuwafanya warudi nyuma kwani sura yangu imetawaliwa na asira kiasi kwamba kila mmoja akaniona ni mtu watofauti
“Changanyeni mbaliga zenu na mtoke ndani kwangu kabla sijafanya kitu kitakacho wapotezea maisha”
Kwa jinsi sauti yangu ilivyo badilika na kuwa ya kutisha masikioni mwao kila mmoja akaanza kuvaa kilicho chake na kutoka ndani ya chumba changu na nikaufunga mlango,baada ya dakika kadhaa mlango ukagongwa nikapiga hatua za taratibu kwenda kuufungua na kukuta na madam Zena
“Samahani Eddy niimesahau funguo za gari langu hapo juu ya meza”
Nikazichukua funguo zake kisha nikampatia na kaondoka zake,nikabadilisha nguo na kuvaa nyinine na kisha safari ya kuelekea kwenye hoteli ikaanza huku nikipita ile njia ya vichpochoro hadi nikafika Hotelini,Nikapiga hatua mpaka ninafika usawa wa chumba nikamuona muhudumu akigonga mlango ikanibidi kuongeza hatua za kwenda sehemu alipo
“Samahani dada nikusaidie nini?”
Nilizungumza huku nikishika kitasa cha mlango na kumfany muhudumu kusogea kando kidogo na kunipisha mimi nisimame usawa wa mlangoni
“Nyinyi si ndio mulio kuja na ile gari aina ya Spacio?”
“Ndio”
“Basi nilikuwa ninawomba mukaisogeze pale mlangoni kwani sio sehemu za parking za magari”
“Sawa dada nimekuelewa….Je maegesho ya magari yapo wapi?”
“Upande wa kushoto wa hoteli kuna geti amapo humo ndani ndio maegesho yapo”
“Asante:
Nikamuacha aondoke usawa wa mlango na mimi nikafungua mlango na kukaa ndani nikastuka kuto kumkuata shem Halda kitandani,Nikapiga hatua hadi bafuni na kumkuta akiwa amesimama kwenye huku ameegemea ukutani huku akiwa analia
“Halda nakuomba twende nyumbani”
Halda hakuzungumza kitu zaidi ya kukaa kimy huku akinitazama kwa macho ya hasira kiasi kwamba mapigo ya moyo yakaanza kunienda mbio
“Halda nakuomba twende nyumbani kwani usiku umesha ingia”
“Niache wewe ndenda zako”
“Hapana tumakuja pamoja kwanini unahitaji kubaki peke yako”
“Eddy niche peke yangu hunijui sikujui kwahiyo usiwe mtu wa kunisumbu hembu nenda kwako au nimwambie Rahma kuwa unanisumbua?”
“Hapana shemeji utakuwa hujatenda haki kwani hembu basi jaribu kulifikiria swala la mimi ku-fanya mapenzi na wewe endepo Rahma siku atafahamu wewe unahisi itakuwaje?”
“Wewe ni mtoto hadi mwambie kuwa umefanya mapenzi na mimi?”
“Hapana ilAa….”
“Eddy hakuna cha ila.Nakuomba utoke ndani ya chumba changu nitalala mwenyewe sawa”
Halda alizungumza kwa hasira na kunifanya nianze kupiga harua za kuelekea mlangoni taratibu kabla sijaufikia nikaisikia sauti yake kwa nyuma
“Eddy ndio unaondoka?”
“Halda ni bora niondoke kuliko kumsaliti mpenzi wangu”
“Eddy nakuomba usimwambie Rahma kuwa nilikufanyia hivi”
“Snto mwambia endapo wewe huto endelea kunisumbua”
“Sawa Eddy mimi sinto kusumbua ila nakuomba unifikirie japo kwa siku moja na mimi niweze kupata kile unacho mpa Rahma”CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“Sawa”
“Basi ngoja nivae nguo zangu nikurudishe nyumbani kwako”
Halda akavaa nguo zake kisha tukaondoka na safari ya kuelekea kwangu ikaanza,njia nzima ha-kuana aliye msemesha mwenzake zaidi ya ukimya kutawala ndani ya gari
“Ingia barabara ya mtaa huo”
Nilimuelekeza Halda hadi tukafika nyumbani kwangu na akasimamisha gari nje ya nyumba yangu kabla sijashuka ndani ya gari akanishika mkono wake kisha akauweka kifuani mwake ila sikujua lengo lake ni nini
“Eddy kila mapigo ya moyo yanavyo dunda ndivyo jinsi ninavyozidi kukupenda sijui ni kwanini nimetokea kumpenda mwanaume uliye penda tena na mtu wangu wa karibu”
“Halda najua hisia ni kitu kingine sana katika maisha ya mwanadamu ila tambua ya kwamba unaweza kuzizuia pale tu unapohisi kuna haja ya kuzifanya hivyo…..Mimi ni mwanume sijajua ni wapi wewe na Rahma mulippo toka na sihitaji kuwani chanzo cha nyinyi kugombana”
“Eddy hilo mimi nimekuelewa najaribu kukutoa akilini ila ninashindwa kiasi kwamba ninaanza kuhisi nina bahati mbaya katika maishayangu.Nakuomba japo unipe nafai ya siku moja katika moyo wako ili niweze kujua na mimi nina pendwa”
“Usijali…..tene nimekumbuka kesho Rahma ameniagiza kuwa unitafutie nyumba ili niweze ku-hama huu mtaa”
“Ahaaa ondoa shaka kwa hilo kesho ni muda gani utatatoka shule?”
“Mchana”
“Basi ninakuomba kesho ukitoka unitafute kwenye simu tujue tuna anzia wapi na hii ndio na,ba yangu ya simu?”
“Sawa nitakupigia namba yangu inaishia na 88”
“Powa Eddy usiku mwema”
“Na wewe pia”
Nikashuka ndani ya gari na Halda akaondoka na mimi nikaingia ndani kwangu huku awazo yakinitawala na kujiuliza ni kitu gani kilicho mvutia mpaka inafikia hatua tukawa tunavuta-na.Usingizi mzito ulio changanyikana na uchovu ukanipitia.Saa yangu ya ukutani niliyo itega muito wa kuniamsha ikalia ikiashiria ni asubu.Nikamka kitandani na kuanza kujiandaa kwa ajili ya kwenda kazini.Kama kawaida yangu nikafika shule ninayo ifundisha lakini katika siku hii ni-po tofauti sana na siku nyingine mpaka waalimu wengine wakajua labda ni kutokana na kuum-wa kwangu ila ukweli ni kwamba nimetokea kuwachukia madam Zena na Recho.
“Sir Eddy unaendeleaje?”
“Sipo sawa mkuu”
“Kama haupo sawa ni vyema ukaenda nyumbani kwani jana ulikwenda hospitali?”
“Ndio nilikwenda kupima malaria na wakanipa mseto”
“Pole sana mwangu basi wewe nenda nyumbani na vipindi vyako nitampa mwalimu mwengine na ukae mpaka utakapo pona”
“Sawa mkuu”
Nikamaliza kuzungumza na mkuu wa shule nikabeba kila kilicho changu na kuondoka huku moyoni mwangu nikiwa ninafuraha kwamba nimepata muda mzuri wa kwenda kufanya mipango ya kuhama katika mtaa ninao ishi kwani tayari niliashaa anza kukosa amani.Nikafika nyumbani kwangu na kuwasiliana na Halda na kumuomba aje nyumbani kwangu.Haukupita mua Halda akafika nyumbani kwangu huku usoni mwake akiwa anafuraha kupita maele-zo,nikamkaribisha ndani
“Mbona leo unafuraha sana?”
“Nina furaha kutokana Rahma amekwenda dubai na mama yake”
“Acha kunitania shem”
“Kweli Eddy amenitumia meseji hii hapa”
Halda akanionyesha meseji aliyo tumiwa na Rahma masaa mawili yaliyo pita.Nikaishika vizuri simu ya Halda na kuanza kuisoma
{Shost mimi ninakwenda Dubai na mama kuna mzigo nakwenda kuuchukua ila nakuomba usi-muambie Eddy atajisikia vibaya ndani ya wiki moja nitakuwa nimesharudi}
Nikajikuta furaha yangu ikianza kukatika taratibu ila kwa mwenzangu Halda ikazidi kuongezeka nikaitoa simu yangu mfukoni na kuanza kulitafuta jina la Rahma kwenye mpangilio wa majina mengi
“Eddy unataka ufanyaje?”
“Ninataka nimpigie Rahma”
“Eddy ninakuomba usifanye hivyo kwani utanisababishia mimi matatizo na Rahma huwa ha-pendi akinimbia kitu kama hichi nimuambie mtu”
“Sawa mimi nazungumza naye vit vya kawaida”
“Ila nakuomba Eddy usije ukamuambia juu ya hili swala kwani utaninisababishia matatizo”
“Sawa”
Nikaiweka masikioni simu yangu na kuanza kuisikilizia na kila ikiita kidogo ikakata-wa,nikarudia zaidi ya mara tano ila matokeo yakawa ni yale yale ya kukatwa.Baaada ya muda kidogo akanitumia meseji
{Baby nipo na wazazi kwenye gari nikifika airport nitakupigia}
{Powa}
“Mmmm niambie tunaanzia wapi?”
“Kivipi?”
“Tunaanzia wapi katika kutafuta nyumba kwani wewe ndio mwenyeji wangu?”
“Nyumba nimeshapata”
“Wee mara moja hii?”
“Ndio twende nikakuonyeshe”
Tukatuka na safari ikaanza ya kwenda sehemu ilipo nyukmba aliyo nitafutia sikujua ni maeneo gani ila nimaeneo ambayo wanaishi matajiri kwani majumba yaliyo jengwa katika eneo hili ni makubwa sana
“Huku kunaitwaje?”
“Raskazoni”
“Ehhee huku ndio umenitafutia nyumba?”
“Ndio nimekutafutia sehemu yenye hadhi na wewe”
“Mmm shemeji kodi yake ni bei gani?”
“Kila mwezi kwa nyumba nzima ni laki mbili na nusu”
“Mmmm si nusu ya mshahara wangu”
“Haaa wewe usiwe na tabu kwani mama si yupo”
“Alafu kuna kitu nahitaji nikuulize baada ya kufika kwenye hiyo nyumba”
“Sawa”
Tukafika kwenye nyumba yenye geti kubwa Halda akapiga honi ya gari baada ya muda geti likafunguliwa na tukaingia ndani.Tukamkuta mzee mmoja mwenye kitambi kikubwa kiasi na mweusi kiasi kwamba nikaanza kumuogopa akatukaribisha kwa furaha na kuanza kututembeza ndani ya nyumaba hiyo ambayo kusema ukweli ni nzuri kwani imepangiliwa vizuri katika kila sehemu ya vyumba vyake
“Eddy huyu ndio baba mwenye nyumba”
“Nashukuru kukufahamu mzee wangu”
“Mimi pia”
Akatukabhi mkataba na kuanza kuusoma taratibu,nikakubaliana na mashati yake kwani hayau-wa yananibana sana.Tukapigiaa mahesabu ya kiasi tunacho takiwa kumlipa kwa miezi sita huku Halda akitoa pesa nyingine za miezi miwili kwani mfukoni mwangu nilikuwa ninamilioni mbili tu aliyo nipa Rahma jana usiku.Baba mwenye nyumba akaondoka sisi tukabaki nyumabni tukitembelea tembelea katika baadhi ya maeneo
“Halda ile pesa uliyo itoa umeipata wapi?”
“Alinitumia Rahma asubuhi”
“Sawa”
“Shemeji nimekubuka uliniambia unataka kuniuliza kitu?”
“Ehh nilitaka kukuuliza hivi Rahma anafanya kazi gani hadi awe na pesa kiasi hichi alafu yeye bado ni mwanafunzi?”
“Rahma ni mfanya baishara na wazazi wake walimfungulia miradi tangu akiwa mtoto mdogo na uzuri kwao wapo wawili na dada yake mmoja yupo Dubai”
“Alinigusia gusia juu ya dada yake”
“Ana dada yake ameeolewa na tajiri moja la kiarabu basi pesa kwao ni kama maji”
“Ahaaa mimi nilitaka kfahamu hilo kwani mtu unaweza ukatumia pesa za watu na mwisho wa siku ukajikuta unatakiwa kuzilipa”
“Ila shemeji Rahma ni mtu mmoja mwenye hasira sana na jana mulivyo gombana mimi ndio nilijitahidi kumtuliza hasira”
“Kwani alikasirika sana?”
“Weee muone vile vile alipandwa na hasira kiasi kwamba alikutumia watu waje kukuteka”
“Mmmm”
“Ndio ila baada ya kumbembeleza sana ndio akanielewa na akawazuia watu wake kufanya ma-tukio lolote juu yako”
“Mbona ni majanga nimepata mwanamke mbabe kiasi hichi?’
“Weee acha tuu Rahma ni bora umuibie pasa ila si mtu anaye mpenda”
“Shem unavyo zungumza hivyo jua na wewe pia ni muhusika katika wizi?”
“Kwa mimi nitajua jinsi ya kuepukana na hilo swala”
“Uta epukana nalo vipi?’
“Mimi Rahma ninamjua sana”
“Kumjua sana isiwe kigezo cha kumuibia furaha yake”
“Hapana tena shemeji nimekumbuka juu ya lile swala langu?”
Halda alizungumza huku akinisogelea taratibu na kunishika kiuno changu na kuanza kukiminya minya kiasi na kunifanya taratibu hisia zangu kuanza kupanda taratibu na kujikuta nikiaanza kusahau aliyo nieleza Halda muda mchache ulio pita.Nikamuegemeza Halda ukutani na tukaanz akunyonyana denda huku taratibu ukiwa tunavuna nguo taratiu mapaka yukabaki kama tulivyo zali.Kabla hatujaanza mechi simu yangu ikaita na kukuta Rahma ndio anapiga nikaipokea taratibu huku kidole changu kimoja kikiwa mmdomoni nikimuashiria Halda asizungumze kitu chochote
“Mambo baby”
“Safi mke wangu umesha fika?”
“Ndio ila Eddy kwanini una nisaliti?”
Moyo ukanipasuka nikajikuta mwili mzima ukianza kunitetemeka na kuanza kujiuliza imekuwaje mpaka Rahma anajua ninamsaliti na kujikuta nikipata kigugumizi cha gafla
“Ninakusaliti…..vipi ba..bay?”
“Jana si nilikuambia kuwa ukipata nyumba unijulishe?”
Nikashusha pumzi huku taratibu sura yangu ikitwaliwa na tabasamu kwani swali alilo niuliza Rahma lipo tofauti sana na tukio lililopo mbele yangu
“Baby mbona jana hukuniambia?”
“Baby nilikuambia mbona au umesahau?”
“Mmmm labda nitakuwa nimesahau”
“Niambie”CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“Safi tu mke wangu mumesha fika uwanja wa ndege?”
“Ndio tumefika tunasubiri kuondoka na ndege ya saa tisa alasiri.Hapa nilipo nipo chooni nime-wakimbia wazazi ili niaongee na wewe ila samahani mume wangu kwa kukukatia simu wakati ule ulipo kuwa unanipigia”
“Bila samahani mke wangu vipi utarudi lini?”
“Eddy najua utakasirika ila nakuomba unielewe mume wangu,Jana mama aliniomba niende naye Dubai kuna mizigo ninakwenda kuchukua kisha nitarudi ndani ya wiki moja”
“Mke wangu nimesha kuzoe sijui kama nitapata hata hamu ya kufundisha”
“Mume wangu usijali nitarudi nitakuletea zawadi nzuriii wewe mwenyewe utafurahi”
“Kweli mke wangu?”
“Ndio mume wangu”
“Ok safari njema”
“Mmmm baby naomba uniambiea maneno mazuri”
“NAKUPENDA MKE WANGU,WEWE NDIO USINGIZI WANGU, WEWE NDIO PUMZI YANGU ,WEWE NDIO MALAIKA WANGU NAKUPENDA SANA RAHMA WANGU”
“Hata mimi nakupenda EDDYwangu sina mwanaume mwengine zaidi yako wewe ndio umeya-shikilia maisha yangu nipo tayari kufaya chochote ili kukulinda na waizi wanao iba waume za watu”
“Waizi gani?”
‘Mmm mjini hapa kuna mashangingi kibao wanao tafuta vijana wenye mvuto kama wewe nita-watoa roho”
“Baby ikuulize kitu?”
“Niulize baba yangu”
“Hivi ikitokea kuna mtu anakuibia mali yako utampa azabu gani?”
“Eddy nisikufiche nipo hata radhi nimtumie watu wamnyonge na kumtosa baarini ila si kukupoteza wewe mume wangu”
Jibu la Rahma likanifanya nikaae kimya kwa sekunde kadhaa huku nikimtazama Halda machoni akionekana kuwa na hamu ya kujua ni kitu gani ninacho kizungumza kwenye simu
“Eddy mbona upo kimya gafla?”
“Hapana mke wangu.Nakupenda”
“Nakupenda pia mume wangu”
Nikakata simu kisha Halda akanipokonya simu na kuiweka pembeni kisha akaanza kunishika kwenye koki yangu taratibu huku akiichua chua hadi ikasimama kama mlingoti kisha taratibu akaidumbukiza mdomoni na kuanza kuinyonya taratibu,japo Halda anajitahidi kunipagawisha kwa kuinyonya koki yangu ila kichwani mwangu nina muwaza Rahma kwani nafsi yangu ilian-za kunisuta kwa kitu ninacho kifanya.Halada akaniomba nilala chini sakuafuni kutokana hapakuwa na kitu hata kimoja,nikalala bila kuwa na hiana yoyote kisha Halda akaikalia koki yangu taratibu na kuaza kuikatikia kiasi kwamba mawazo ya kumfikiria Rahma yakaanza kutoweka kichwani mwangu.Nikairudisha akili yangu kwenye mechi inayo endelea kati yangu na Halda kiasi kwamba Halda akazidi kutoa vilio na vicheko vya raha na kunifanya mimi niongeze kasi ya mashambulizi katika ikulu yake.Tukaenda mizunguko miwili ya pambano kusema ukweli Halda ana utamu wa tofauti na Rahma ila sikutaka nimsifie kwani ingekuwa ni nafasi nyingine kwake kuniomba mechi kwa wakati mwengine.Tukamaliza na kuingia bafuni na kuoga kwa pamoja kisha tukaanza kufanya utaratibu wa kutafuta gari litakalo kwenda kubeba vitu vyangu na kuvihamishia kwenye nyumba mpya niliyo panga
Tukapata gari aina ya Fuso na tukaanza kupakiza vitu kwenye gari hilo nikisaidiana na vijana wa kwenye gari hilo,nikiwa tunaendelea na kazi ya kuhamisha vitu bibi ninaye ishi jirani naye akaniita
“Naam bibi”
“Mjukuu wangu mbona unaondoka hata kuniaga?”
“Bibi kidogo akili yangu haipo sawa ila ningekuaga”
“Mmmm sio vizuri mjukuu wangu…mmm unahamia wapi?”
“Naamia maeneo ya Raskazoni kule kuna nyumba nimepangisha”
“Ahaa ngoja nikupe maji fulani hivi yatakusaidia ukifika kabla ya kulala unyunyize nje ya kona zote za nyumba yako huku ukiwa unaizunguka kwa mara saba bila kusimama na ufanye hayo yote usiku wa saa sita pale siku inapo gawanyika na hakikisha hakuoni mtu wa aina yoyote”
“Kwanini bibi?”
“Mwanangu hayo maji yanasaidia kufukuza pepo wachafu na vitu vyam ajabu ajabu”
Bibi akaingia ndani kisha akatoka na kichupa cha maji kisha akanikabidhi huku akinihusia ni-weze kufanya hivyo hata kabla sijalala
“Asante bibi yangu”
“Usiwe na shaka mwanangu basi uwe unakuja kututembelea tembelea”
“Sawa bibi yangu ila ninakuomba usimwambie mtu yoyote sehemu ninayo hamia”
“Sawa mjukuu wangu nakutakia maisha mema ila angalia usije ukawaruhusu wale wezako walio pigana jana usiku ulipo kuwa haupo ikawa ni tatizo katika maisha yako”
“Sawa bibi kwani jana walipigana nikiwa mimi sipo?”
“Ndio walizichapa humo ndani kwako mpaka ikanilazimu niwarushie kombora la usingizi ndio fujo zikaisha la sovyo wangekitia hatiani mjuku wangu….kimfano kama wangeuana humo ndani na wewe umewafungia unadhani ni nani angekuwa wa kwanza kukamatwa?”
“Mmmm kweli bibi ningeanzwa mimi”
“Ndio maana nikaona nikunusuru mjukuu wangu”
“Bibi uliwarushia kombora gani hadi wakalala?”Niliuliza huku nikicheka kwani kwa jinsi bibi anavyo zungumza ni vituko tu
“Ohoo kuna makombora yangu ninawafanyia wote walikaa kimya baada ya kuwatandika kom-bora moja takatifu ila ulipo rudi wewe nikasikia tena fojofujo sijui na wewe uliwafanyaje?”
“Bibi wale wazembe ila nilimalizana nao”
“Ahhaa sasa mbona jana hukuniambia ilikuwaje kwa yule binti?”
“Nilimkuta amesha amka akanirudisha hadi hapa kisha yeye akaenda kwake”
“Ahaaa basi kama ni hivyo mshukuru Mungu kwa maana mjukuu wangu na wewe una majanga kama nini”
“Bibi wee acha tuu natamani hata nihame huu mkoa”
“Mjukuu wangu Tanga huku rahaa huko kwengine huto pata bahati kama hizi”
“Eti eheee”
“Ehhhe kwengine huko ni fujo fujo tuu zimejaa”
“Sawa bibi yangu ngoja mimi nikamalizie kupakiza vitu kwa maana bibi yangu wewe ukianza kupiga story hapa haziishi”
“Kweli mjukuu wangu wewe ndenda ukashughulike kwa maana muda umeshaa enda na giza ndio hilo linatanda”
Nikaachana na bibi na kwenda kumalizia kukusanya vitu vyangu na safari ya kwenda kwenye makazi yangu mapya ikaanza huku nikiwa nimeongozana na Hilda.Tukafika katika nyumba ni-liyo pangisha na kuanza kuvishusha vitu kwenye gari.Nikawalipa wenye gari lao na wakaondoka na wakatuacha mimi na Hilda tukianza kupanga vitu kimoja baada ya kingine.Hadi tunamaliza kupanga vitu ikawa imesha timu saa nne usiku
“Eddy leo nalala hapa hapa”
“Halda nakuomba uende kwako kwani Rahma anaweza akaweka watu wakawa wanatufwatilia”
“Hawezi na Rahma ananiamini kupita maelezo nakuomba kwa usiku tu wa leo nilale hapa kwa-ko”
“Na hilo gari?”
“Halina tatizo si lipo ndani hakuna mtu atakaye weza kuliiba”
“Maana yangu sio hiyo namaanisha kama kuna sehemu unaweza kwenda kuliweka ili uje kwa miguu huku kwangu isionekane umelala kwangu hata kama Rahma ameweka wapelelezi”
“Acha uoga hilo swala niachie mimi kama Rahma akileta shida mimi ndio nitajibu kila kitu”
“Mmmm sawa vipi swala la msosi?”
“Chakula labda twende tukale town kisha turudi”
“Powa ngoja nibadilishe nguo kwani hizi nilizo zivaa zina nuka jasho kama nini”
“Powa”
Nikabadilisha nguo na kuvaa nyigine kisha safari ikaanza,tukafika kwenye moja ya vibanda vya kuuza chipsi vilivyopo maeneo ya uwanja wa mpira wa Mkwakwani tukaagiza chakula na wakatufungia kwenye mifuko kisha Halda akanipeleka kwenye baa moja iliyopo maeneo ya ka-ribu na sehemu tulipo chukulia chipsi na tukanunua bia za kopo za kutosha na kurudi nyumbani kwangu.Tukaaanza kula taratibu huku mara kwa mara Hilda akinilisha chakula.Kutokana kesho sikuwa na sehemu ya kwenda nikafakamia pombe nyingi kuondoa mawazo.Tukajikuta mimi na Halda tukiingia kwenye dimbwi kubwa la kuepena raha huku kila mmoja akijitahidi kumburudisha mwenzaka kwa mitindo anayo ijua yeye mwenyewe hadi ikafika hatua sote tukawa tumechoka kiasi kwamba hakuna aliye kuwa na hamu na mwenzake na sote tukajilaza na usingizi mzito ukanipitia
Gafla chumba changu kikatawaliwa na moshi mwingi wenye rangi nyeupe huku moshi mwin-gine ukitokea chini ya kitanda,moshi ukiwa unaendelea kusambaa ndani ya chumba nikawaona wasichana wawili walio valia nguo nyeupe pee na wenye nywele ndefu zinazo fika mgongoni na warefu kwenda juu huku mmoja akiwa amevalai kama malikia huku mwengine akiwa ameshika kitu kama muamvuli na kumfunika mwenzake wakisimama kwenye mlango wa kuingilia ndani kwangu.Nikatafikischa macho yangu ili nihisi ninacho kiona ni ndoto au.Ila kusema kweli kila ninacho kiona ni kweli na wala sipo kwenye ndoto ili kuhakikisha tena sipo kwenye ndoto nikajifinya kwenye mkono na maumivu nikayasikia vile vile
“Usituogope kwani sisi ni viumbe wazuri tuu na karibuni kwenye milki yangu”
Mwili mzima ukaanza kunitetemeka kwani katika maisha yangu sikuwahi kuota au kuona kitu cha namna hiyo japo wasichana wenyewe ni wazuri wa sura na umbo ila nikawa ninajiuliza wameingiaje ndani kwangu wakati kila mlango tumeugunga kwa funguo
“Eddy hii nyumba ni mali yangu na hichi chumba ndio ofisi yangu ya kufanyia kazi”
Nikaupitisha mkono wangu kwenye shuka na kumfinya Halda ili aamke ajionee kitu kinacho endelea ndani ya chumba tulichopo ila cha kustaajabisha Halda mwenzangu anazidi kukoroma kiasi kwamba akaamua kugeukia upande wa pili wa kitandaCHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“Mwenzako hawezi kusikia kitu ambacho mimi ninakizungumza.Nilitaka niwatume vijakazi wangu waje kukushughulikia ila nimeamua kuja mimi mwenyewe ila nimekuja kiustaarabu ndio maana nimevalia nguo nyeupe…..Katika mamlaka yangu huwa sipendi kitu kinacho itwa pombe kwani kina nichefua nafsi yangu kupita maelezo.Pili sipendi wasichana wachafu kama huyo uliye lala naye,tatu sipendi mwanamke yoyote kuingia ndani ya mamlaka yangu”
Mapigo ya moyo yakabadilisha mfumo wake na kujikuta yakidunda kwa kasi ya ajabu kwani vitu anavyo vizungumza sikujua kama nitaweza kuvitimiza kwa maana ni tabu tupu
“Kw….a….ani……wewe ni….na…ni?”
“Mimi ni Malkia Olivia Hitler nilikuwepo hapa tangu mwaka 1884 kabla ya vita ya kwanza ya dunia.Mimi nina asili ya kijerumani”
Kwa haraka haraka kwa maesabu yangu huyu mwanamke ana miaka kama mia na theledhini ila cha kushangaza sioni kama amezeeka na nibinadamu gani asiye kufa na kuishi miaka yote hiyo
“Mawazo yako yanajiuliza kuwa mimi ni bidadamu ila si hivyo unavyo fikikiria wewe.Na nina-miaka mingi zaidi ya unavyo fikiria…..Ila nina ombi moja kwako ambalo nahitaji ulitekeleze hadi siku utakayo ingia kaburini”
Kajasho kembamba kakaanza kinimwagika na mwili wote ukaendelea kutetemeka.Gafla ni-kaanza kujihisi nikinyanyuliwa kitandani na nikaanza kuelea hewani huku Olivia naye akianza kunifwata sehemu niliyo simama hewani huku akinitazama kwa macho yake yaliyo anza kubadilika badilika rangi na kutawaliwa na rangi za kila aina.Akanishika mkono wangu kwa kiganja chake cha baridi kisha akanisogeza karibu yake
“NAHITAJI SIRI HII UITUNZE NA USIMWAMBIE BINADAMU WA AINA YOYOTE NA LAITI UKID-HUBUTU KUMWAMBIA MWANADAMU KUWA UMEKUTANA NA MIMI NITAITOA ROHO YAKO UMENIELEWA……?”
“Ndi….ooo”
“Na kingine nitahitaji uwe rafiki yangu”
“Siwez….”
Kabla hata sijaimaliza sentensi yangu nikajikuta akinisukuma na kunikandamiza ukutani huku mkono wake akiwa umenikaba kwenye koo lango na nikaanza kuhisi roho yangu ikitaka kunitoka kwani ananguvu nyingi na kingine kinachozidi kuniogopesha ni maco yake kaunza kuwaka moto huku akitokwa na machozi ya damu
“Katika maisha yangu haijawahi binadamu wa aina yoyote kunikataa”
Olvia Hitler alizungumza na sauti nzinto iliyo nifanya nizidi kuogopa,kisha akaniachia na nibaki nikiwa nina elea elea angani.Sura yake ikarudi katika hali yake ya kawaida huku akiwa ananita-zama kwa tabasamu zuri
“Eddy narudia tena kuzungumza mimi sio kiumbe mbaya wa kuwadhuru wanadamu ila ninau-wezo wa kumdhuru yule tu anaye hitaji mimi nimfanyie hivyo……Nahitaji kukufanya kuwa mtu maarufu na anaye fahamika sana Tanzania na Duniani kwa ujumla”
“Ki…v…ipi?”
“Sawali zuri,kwanza unatakiwa usiniogope.Pili unatakiwa kufwata zile amri zangu nitakazo kupa na nilizo kupa……Natambua sana moyo wako unampenda Rahma japo huyo mwnamke mchafu anakufanya ummsaliti…..Kutokana hukuwa unajua ni kitu gani kinachoendelea kwa leo nitakusamehe ila kwa sharti moja tu nahitaji ummuamshe huyo mwanamke na aende zake kwake wakati huu kisha ndio nitaendelea na mazungumzo na wewe”
“Sa..sawaa”
Nilizungumza kwa kigugumizi kisha taratibu akanirudisha kitandani na gafla akapotea na hali ya chumba ikarudi kama kawaida na nikajikuta nimekaa kitandani huku shuka likiwa limenifunika kuanzia miguuni hadi kwenye kiunoni,Nikamtazama Halda mwenzangu hana hata analo lijua ndio kwanza ananazidi kukoroma kiasi kwamba nikaanza kujipa moyo labda inaweza ikawa ndoto.Nikaanza kumtingisha Halda huku nikiliita jina lake hadi akaamka na kukaa kama nilivyo kaa mimi huku akipiga miyayo ya usingizi
“Nakuomba uvae uende kwako”
“Eddy”
“Wewe ninakuomba uvae uende kwako sasa hivi”
“Eddy umechanganyikiwa?”
“Sijachanganyikiwa nina akili zangu ni nzima kama unavyo niona ila nakuomba tuu uvae na uenda kwako kama kulala tutalala siku nyingine”
“Eddy kama unaota nakuomba uniache mimi nilale shughuli uliyo nipa ni kubwa sawa mpenzi wangu”
Halda alizungumza huku ikijilaza tena kitandani na kunifanya nimuamshe kwa nguvu hadi akaanza kukasirika
“Eddy saa tisa yote hii unataka mimi niende wapi mwanaume gai huna huruma au unataka usiku huu nikabakwe huko barabarani?”
“Kama utabakwa ukiwa ndani ya gari basi ila ninacho taka mimi vaa nguo zako uende zako kwako sitaki matatizo na mpenzi wangu”
“Eddy siondoki”
“Kumbuka upo kwangu?”
“Hata kama ila siondoki lije WINCHI,TREKTA au KATAPILA haliwezi kuning’oa hapa kitandani na wala siondoki”
“Hilda unanijua tena vizuri? Sihitaji nikubamize ndio uondoke”
“Eddy nipige,nikate kate,nivunje vunje,nisage sage ila mimi siondoki NG’OO”
Nikazidi kuchanganyikiwa kwani Halda hakutaka kabisa kusikia kitu kinacho itwa kuondoka ikanilazimu kushuka kitandani na kujifaunga taulo langu na kumbukumbu ya maji aliypo nipa bibi ikanijia kichwani nikakaumbuka nimeyaweka jikoni
“Unakwenda wapi sasa?”
“Wewe lala kama hutaki kuondoka niache”
“Sasa Eddy huko nje usiku huu unapo kwenda untaka kwenda kufanyaje?”
“Kwani nimekuambia ninakwenda nje hembu lala huko”
“Nakufwata”
Halda akanyanyuka kitandani huku akiwa ameijifunga shuka na kuanza kunifwata jikoni ninapo elekea,Nikaikuta chupa ya maji katika sehemu niliyo iweka kaisha taratibu nikayatoa kwenye kifuko cheusi nilipo kuwa nimeyaweka
“Sasa hayo maji ni ya kazi gani?’
“Hilda hembu niache wewe rudi chumbani kalale”
“Mmmm haya mwaya kama ndio uchawi wa kwenu kunywa maji ya Dasani usiku wa manae”
Halda alizungumza huku akirudi zake chumbani kwangu,nikamchungulia na kuona tayari ameingia ndani kwangu na kuufunga mlango.Nikapiga hatua za kwenda nje nikashika kitasa cha mlango na kufungua.Moyo ukanipasuka kiasi kwamba nikajikuta natamani kuzirai kwanik eneo zima la nje ya nyumba yangu nikakuta ni bahari tena yenye maji mengi huku Olvian Hitler akiwa amekaa kwenye kiti cha dhahabu huku pembeni yake kukiwa na wasichana wawili wanao mpepea kwa mikia ya Simba iliyo tengenezwa vizuri huku wakiwa juu ya maji
“Eddy nashindwa kuamini kama mwanamke huyo umeshindwa kumtoa ndani kwako”
Nikageuka nyuma ili nifungue mlango na kustuka baada ya kuukuta mti mkubwa nyuma yangu na urefu wake hauishi katika kutazamika kuelekea juu huku mimi nikiwa nimesimama juu ya mzizi mkubwa na mpana
“Eddy wala usiogope hapo ulipo ni sehemu salama na hauwezi kuudhurika”
“Hivi lengo lako haswa wewe ni nini?”
“Lengo langu ni wewe kuweza kukubaliana na mimi kuwa miononi mwa rafiki zangu nitakao wafanya kuwa watu wenye dhamani sana duniani”
“Kwa staily hii unadhani mimi kweli nitakubali?”
Nilizungumza kwa kujiamini kwani tayari nilisha anza kumzoea Olvia Hitler ila kitu kinacho ni-ogopesha ni bahari kuwepo nje ya nyumba yangu
“Eddy natambua kuwa katika maisha yako umeweza kupitia mambo mengi ya kusikitisha na yaliyo jenga makovu makubwa makubwa katika moyo wako na maisha yako kwa ujumla.Uliweza kuwapoteza wazazi wako katika mazingira ya kutatanisha pili ukaweza kumpoteza mdogo wako mbele ya macho yako kwa kubakwa na watu usio wajua ila cha kustaajabisha watu hao hadi sasa hivi wapo na wanaishi maisha ya amani na furaha bila ya serikali kuwachulia sheria ya aina yoyote.Tatu umekuwa ni mwanaume wa kuomba omba na kusaidiwa na mwanamke amabye kwako bado hujampa dhamani kama anayo kupa yeye.”
“SASA HAYO YOTE YAMETOKA WAPI NAKUOMBA UNIACHE NA MAISHA YANGU”
Olvia Hitler akacheka kwa sauti ya juu na kufanya majani ya mti kuanza kupeperuka huku mengi yakiniangukia kichwaniCHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“Hembu kwanza tupa hicho kijichupa chako ulicho kishika.Usidhani kuwa unaweza kunizuia kwa maji hayo ulio pewa na binadamu mwenye uwezo mdogo sna”
“Mimi mbona sikuelewi wewe?”
“Utanielewa….Wewe ni mwalimu wa masomo ya science ila ninakuomba kuanzia muda utakapo rudi kazini uende ukafundishe somo la Historia na nitakupa kitu kizuri utakacho weza kufundisha na utakuwa mwanadamu wa kwanza kufundisha kile kitu nitakacho kufundisha mimi”
Gafla Olvia Hitler akapotena na watu wake na kujikuta nimesimama nje ya mlango wa nyumba yangu na kichupa changu kikiwa mkononi huku mwili wangu ukinitetemeka kwa hofu
“Hayo maji ndio umeamua kuja kuyanywea huku nje?”
Sauti ya Hilda ikanistua na kunifanya nigeuke nyuma kwa haraka na kumkuta amesimama huku ameshika kiuno kwa mikono yeke miwili.Nikajikuta ninataka kuzungumza nilicho kiona ila kinywa changu kikashindwa kufumbuka na kujikuta nikirudi ndani huku Halda akiiufunga mlango na kunifwata nyuma.Nikajutupa kitandani na kuanza kufikiria yaliyo mengi huku jacho likinimwagika na kujikuta nikianza kujutia ni kwanini niliamua kuhama uswahilini kwangu
“Eddy mbona jasho linakumwagika unaumwa?”
“Hapana?”
“Mmmm wewe mwanaume una matatizo hembu niambei una tatizo gani mpenzi”
“Hapana sina tatizo”
“Basi nyanyuka uende ukaoge”
“Ahhh henbu ligeuzie hilo feni upande wangu”
Hilda akafanya kama nilivyo muagiza kisha taratibu feni likaaanza kunipepea huku naye akiwa na kazi ya kunifuta jasho linalo nitoka mithili ya mtu aliye toka kukimbia mbio ndufu.Usingizi mzito ukanipitia na kulala fofofo,Halda akaja kuniamsha asubuhi
“Eddy chai tayari”
“Ok nakuja”
“Amka basi tukanywe wote kwani itapoa”
“Sawa tangulia ninakuja”
Nikajinyanyua kiuvivu vivu kisha nikaingia bafuni nikapiga mswakii na kuoga na kurudi chum-bani na kuvaa nguo kwa ajili ya kwenda kazina kwani hata hamu ya kukaa ndani ya nyumba niliyo hamia tayari ilishaanza kunipote
“Eddy natai saa hizi unakwenda wapi?”
“Nataka niende kazini”
“Saa hizi?”
“Kwani ni saa ngapi?”
“Saa nne na nusu asubuhi”
“Haina tabu nitakwenda hivyo hivyo”
Ok basi njoo unywe chai”
Nikakaa mezani na kuanza kunywa chai aliyo iandaa Hilda huku kichwani kwangu nikiwa na mawazo ya kumfikiria Olvia Hitlar kwa vituko anavyo nifanyia
“Mbona unaonekana kuwa unamawazo?’
“Nipo kawaida”
“Kawaida? Eddy japo sijakaa na wewe kwa muda mrefu ila nimesha kuzoea hiyo hali yako sio ya kawaida”
“Kawaida nizoee”
“Asubuhi nilikwenda sokoni nikanunua vitu muhimu vya ndani na kama utahitaji matunda yapo kwenye friji”
“Sawa”
“Mmmmm mbona unanijibu shoti shoti au kwasababu nimejipendekeza kwako?”
“Hapana”
Nikamaliza kunywa chai na kuchukua begi langu lenye laptop na baadhi ya vitabu na kulivaa mgongoni
“Mchana nikupikie nini?”
“Chochote ila leo uende kwako”
“Sawa nitakupikia mapishi ya kihindi ukija wewe mwenyewe utafurahi”
“Sawa”
“Nikupeleke kwa gari?”
“Hapana nitapanda daladala”
“Mmmm haya kazi njema”
Kabla sijatoka Halda akanishika mkono na kunipiga busu la mdomoni kisha akainiachia na ni-kaelekea kwenye kituo cha daladala nikapanda na sikutaka kusemeshana na mtu hadi nikafika sehemu ninayo shuka na kumuomba konda kusimamisha gari na mimi nikashuka na kulipa pesa yake anayo ihiyaji.Nikafika shuleni na kuingia moja kwa moja ofisini na kuwafanya waalimu wengine kunishangaa kwani hawakutarajia kuniona katika siku ya leo
“Eddy si unaumwa?”
“Kidogo najisikia vizuri nikaona ni bora nije kazini kuwajibika”
“Aaisee ningekuwa ndio mimi nimepewa ofa kama yako ningekaa mpaka ninenepe”
Mwalimu John alizungumza na kuwafanya waalimu wengine kucheka kwa furaha kwani kwa jinsi alivyo mwembamba ni vigumu sana kwa yeye kunenepa kwa likizo fupi
“Sir John una kipindi kidato cha nne ‘A’?”
“Ndio ninavyo viwili vya historia”
“Basi nakuomba kidogo nikawafundishe Physics”
“Sawa hakuna tatizo”
Nikachukua vitabu vyangu vya somo la Physics nikiwa natoka mlango wa ofisini nikakutana na Madam Recho akanipandisha na kunishusha kisha akaachia msunyo wa chini chini nikampote-zea wala sikusemeshana naye na nikaeelekea katika darasa la Kidato cha nne.Wanafunzi waka-nisalimia kama kawaida
“Monitor hembu nenda kaangalie form four B kama hawana mwalimu waambie wale wano so-ma Physics wote waje”
Monitor akatoka na kuniacha nikiwa ninapiga mistari ubaoni kwa kutumia chaki kujiandaa kwa kufundisha somo hilo linalopendwa na wanafunzi wachache.Kilicho nishangaza ni wale wanafunzi wasio soma somo hilo kubaki darasani kwani tumezoea kuwaona katika vipindi cha Physics hutoka darasani na kwenda kujisomea.Wanafunzi wa kidato cha nne B wakaja wote hata wale waiso soma somo hilo na nikabaki nimeshaangaa
“Walio kosa viti wakachukue viti vyao na haraka tuje tuendelee na somo hili la leo”
Wanafunzi wakafanya kama nilivyo waagiza na baada ya muda darasa likawa limejaa vizuri na wakaanza kunisikiliza kwa umakini.Kila nikijaribu kuiweka akili yangu sawa ili niandike vitu vinavyo husiana na somo la Physics nikajikuta ninashindwa na taratibu nikaanza kuisikia sauti ya Olvia Hitler kwenye akili yangu akinielezeea kitu cha kufanya
“Leo naona tuiache Physics kidogo na tuangalie somo la history kama mtu utakuwa na sehemu ya kuandika notce basi fanya hivyo.Hata nyuma ya daftati wewe andika
“Sir hata nyuma ya daftari la Physics?”
“Ndio”
Akilini mwangu nikaanza kupata picha ambayo Olvia Htler akaniomba niielezee kama ninavyo iona
“Kulikuwa na vijana wawili mmoja akiitwa Janet na mwengine akiitwa Eddy……Hawa vijana walikuwa wamependa katika chuo kimoja kinaitwa HALLTON.Katika hali ya kawaida vijana hawa wanaonekana ni binadamu wa kawaida japo wanauzuri wa kuvutia machoni mwa watu wengine….Janet yeye alikuwa ni jamii ya malaika kutoka kwa Mungu ila mama yake ni binadamu wa kawaida ila baba yake ni malaika.Ila kwa upande wa huyu Eddy yeye alikuwa ni jamii ya kishetani na babu yake alizaa na shetani na kuweza kutengeneza familia yenye watoto wenye nguvu za ajabu
Kwa upande wa Eddy aliweza kumshawishi Janet ambaye alikuwa ni mpenzi wake kufanya naye vitu vya ajabu vilivyo weza kumfanya Janet akiuke katika yale mambo muhimu aliyo taki-wa kuyafanya kama mtu wmema.Kitendo hicho kilizidi kumuudhi muumba wa mbingu na nchi mpaka ikafikai hatua akaamua kuingamiza dunia.Ila kwa upande wa Eddy akisadiana na Dareen binti mwenye asili ya kishetani huku kukiwa na binti mwengine anayeitwa Minaele ambaye naye ni jamii ya shetani toka katika falme nyingine ya kishetani inayoitwa Golden Kingdom na kwapamoja wakawa na lengo kubwa la kuweza kuiokoa dunia isiangamie jambo lililokuwa gumu na ikapelekea Eddy kuingia kuzimu hii ni baada ya kumsukuma shetani aliye jipa jina la Dulah
Dunia yote ilaanza kuwaka moto huku Janet akichukuliwa na wazazi wake ambao ni Malaika japo Janet alikuwa na mwenye dhambi.Kwa usiri wa hali ya juu Janet aliweza kuitunza mimba alitopewa na Eddy na akajifungua mtoto wa kiume ambaye kila jisi muda na wakati ulivyozidi kwenda ndivyo jinsi navyokuwa.Na mukumbuke kuwa Eddy ana asili ya kishetani na Janet anaasili ya Kimalaika.Janet akampa mtoto wake jina la Hitler na akawa ni miongoni mwa malaika walio na nguvu nyingi kupita wengine wote.Hitler akazidi kumsumbua mama yake juu ya alipo baba yake ndipo mama yeke akaamua kumueleza ukweli wa nini anachopaswa kukifanya katika kumfungua baba yake alipo katika bwawa kubwa la moto linalo lindwa na Malaika wenye nguvu na hakuna anayeweza kudhubutu kutoka kwani waliomo ndani ya bwawa hilo wamefungwa na minyororo mikubwa na migumu kupita maelezo.Kuna siku Hitler alizungumza na mama yake katika maficho ya siri yaliopo mbinguni kiasi kwamba ni vigumu kwa wengine kusikia wanacho kizungumza
‘MAMA NINAKUOMBA UNIPE BARAKA ZAKO ILI NIWEZE KUMUOKOA BABA YANGU’
‘NAKURUHUSU KWA MOYO MMOJA NA MWANANGU NITAKUPA MSAADA WA CHOCHOTE UTAKACHO KIHITAJI HATA NUSU YA NGUVU ZANGU NITAKUPA ILI BABA YAKO AWE HURU KWANI BADO NINAMPENDA SNA’
‘MAMA NIMEDHAMIRIA KUIANZISHA DUNIA MPYA NA YENYE KILA AINA YA NGUVU ZITAKAZO IPINGA MAMLAKA TULIYOPO JUU YETU
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“Mazungumzo kati ya Hitlaer na mama yake ambaye ni Janet yaliendelea kwa usiri mkubwa hu-ku mama yake akimfundisha mbinu ambazo zitamsaidia mwanae katika kuikamilisha kazi ya kumuokoa baba yake.Hitler alijipanda vizuri na kutokana ni mjukuu wa miongoni mwa Malaika wakubwa mbinguni aliweza kutumia kigezo hicho kushuka duniani bila ya kuhojiwa maswali mengi na walinzi wanao linda dunia ambayo ipo katika hali mbaya ya kuuguzwa moto.
Hitler akaaanza kufanya uchunguzi wake kwenye shimo kubwa la moto liitwalo KUZIMU lililo kusanya idadi kubwa ya watu walio tenda maovu,Ila katika kuzimu nako kumegawanyika madaraja ya mateso ambayo yapo saba.Na kila waliopo kwenye daraja moja wanatofautiana kwa adhabu na waliopo kwenye daraja la pili hivyo hivyo na kuendele mbele kiasi kwamba ma-tendo yako ndio yanakuchagua uingie kwenye daraja lipi unalo stahili kuhukumiwa.Hitler akaendelea kufanya uchunguzi wake katika magereza yote saba ila hakufanikiwa kumuona baba yake ambaye kwa jinsi mama yake alivyo muelekeza sio rahisi kwake kushindwa kumtambua ila gafla Hitler akiwa kuzimu……”
“Sory Sir Eddy muda wa kipindi chako umeisha”
Madam Zena alizungumza huku akiwa ameshika vitabu vya somo la Kiswahili jambo lililo pele-kea wanafunzi kuanza kuzomea wakikataa asiingie
“Jamani tutamalizia hii story yetu kesho”
“Ahhhh Sir EDDY endelea bwanaaa Kswahili bongo akawafundishe mabasha zakee”
Sauti mmoja ya kiume ikitokea nyuma ya darasa ilisikika na kumfanya madama Zena kuchungulia mlangoni huku sura yake ikiwa imekasirika
“Mwana idhaya nani aliye zungumza hayo maneno?”
“Si ninawauliza nyinyi watoto mulio laaniwa na wazazi wenu.Msio na haya mafirahuni wakubwa nyinyi munajua maana ya basha……..Ehhhhh au munavyo jiona nyinyi humu ndani kuna mwanaume aliye kamilika nyote si mashogaa”
Madam Zena alizidi kutokwa na maneno ya kejeli hadi ikafikia kipindi wanafunzi wa kiume wa-kaanza kuzungumza chini chini na neno lililo sikika kutoka nyuma ya darasa walipo kaa wana-funzi wengi wa kiume ni
“Shoga baba yako aliyekuzaa”
Nikabaki nimeshika mdomo kwani kwa jinsi madam Zena alivyo mweupe wa kujichubu taratibu nikamuona sura yake ikitawali na wekundu kwa mbli ulio tokana na hasira
“Nasema nyote tokeni nje mupige magoti”
Wanafunzi wote wakakaa kimya wakisikilizia nani aanze kwenda nje kupiga mogoti ila kadri muda unavyo zidi kwenda hakuna aliye simama kwenda nje
“Monitres nenda kamuite Headmaster na mwalimu wa nizamu”
“MONITRES MSALITIIIIIIIIII”
Monitres baada ya kuisikia sauti hiyo ya wezake ikambidi akae kwenye kiti chake na kujikausha kimya na kumfanya madam Zena kuzidi kuchanganyikiwa na hasira ikazidi kumpanda
“Na wewe Malaya ndio umekataa kunyanyuka kisa hao washenzi wezako si ndio?”
“Mimi sio Malaya”
“Kama sio umalaya ni nini kinacho kufanya usiamshe hicho kidude chako uende nilipo kuagiza kuna mwanaume anaye kupak**?”
Madam Zena akazidi kumfokea mtoto wa watu ambaye kiumbo ni mdogo sana kiasi kwamba huwezi kumfananisha na maneno anayoyazungumza Madam Zena
“Zena hembu kausha basi hawa ni watoto usizungumze maneno machafu kama hayo”
“Tena wewe mwana hizaya nilikuwa ninasubiria uingize hilo domo lako lililo kosa haya kumbe wewe ndio unawatuma hawa watoto ili walate jeuri si ndio?”
“Hapana Zena ila heshima ni kitu cha bure na tambua mujibu wako wa kazi ni upi ila si kuwatu-kana watoto wawatu”
“Nenda kule………….Hanisi mkubwa wewe uliye na Jogoo asiye wika anakazi ya kujikunyata ka-ma mbwa jike anayesubiri kupandwa na mbwa dume”
“ZENA……… ZENA……..ZENA”
“Zena jina langu mtoto wa pwani niliye fundwa na kujua jinsi ya kumkatikia yule anaye hitaji kuliko wewe mwanaume suruali”
Machozi ya hasira taratibu yakaanza kunimwafika huku mwili mzima ukitetemeka na kunifanya nitazame chini na sikutaka wanafunzi waitadhimini sura yangu ya hasira.Darasa zima limekaa kimya wakimsikiliza Madam Zena anavyo ropoka maneno machafu kiasi kwamba yanachafua masikio
“Wakisema wanaume watoke na wewe utatoka mwanaume unaye kimbia vita na kufungia watu milango kwa nje”
“ZENA FUNGA BAKULI LAKOOOO
“Heheee eti nifungea bakuli langu hata huyo anaye nit*** haniambii nifungee bakulii lan-gu…..KANITANGAZEEE MWANAUME SURUALI WEEE”
Meza ya mwanafuzi aliyepo mbele yangu nikainyanyua kwa hasira na kuirusha kwa nguvu na kutua kwenye miguu ya Madam Z ena na kumuangusha chini na kuwafanya wanafuni wote kushangaa huku wakimtazama Madam Zena akipiga kelele za kulalamika kuvunjwa mguu.Nikatoka darasani kwa hasira na kwenda moja kwa moja ofisini na kukaa kwenye kiti changu huku ninalia kwa hasira na kuwafanya waalimu wengine kunishangaa
“Eddy unatatizo gani….?”
Sikumjibu mwalimu anaye niuliza swali na sikujua ni mwalimu nani anaye niuliza swali hilo kutokana na machozi mengi kunitawala machoni mwangu na kingine nimeinama chini na kuegemzea sura yangu mwenye meza huku machozi yakidondoka chini sakafuni
“Eddy brother sema unatatizo gani…Umefiwa?”
Nikatingisha kichwa kuashiria kuwa sikufiwa na mtu wa aina yoyote.Akaingia Madam Recho huku akihema akionekana ametoka kukimbia na kusimama katikati ya ofisi na kujifunga ushungi wake kiunoni
“Jamani Eddy amemuua rafiki yangu Uwiiiiii huyu mtu muuaji”
Waalimu wengine ikiwemo na mimi tukastushwa na maneno ya Madam Recho na kila mwalimu akaanza kuuliza huyo aliye uliwa yupo wapi
“Form Four A mimi leo asubuhi nimesema kuna watu humu ndani ni majambazi ila mumezoea kusema Ohhooo Recho mimi naongea sijui mimi kinywa changu kipo wazi.Haya sasa nendeni mukajionee maiti huko”
Waalimu wakaanza kutoka mmoja mmoja huku wakikimbia kuelekea nje akiwemo Madam Re-cho mwenyewe na nikabaiki na Madam Nyange ambaye ni mama wa makomo.Akatoka kwenye kiti chake na kuja kukaa karibu yanguCHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“Etii Eddy mwangu ni kweli umeua?”
“Mama yangu mimi hata sijui kama nimeua au laa?”
Nilizungumza huku nikilia na kumfanya Madam Nyange kutoa kitambaa chake kwenye mfuko wa koti alilo vaa na kunipa ili nijifute machozi
“Mmmmm sasa mwangu Eddy ilikuwaje kuwaje hadi ikawa hivyo?”
“Mama Zena mchokozi”
Nikaanza kumuadisia Madam Nyange jinsi ilivyo kuwa hadi nikachukau uamuzi wa kumua-dhibu madam Zena na sikujua hali yake ipo vipi.Akaingia Sir John huku akionekana kuchanga-nyikiwa huku jasho likimwagika hadi limelowanisha shati lake.Akaniangalia kwa jicho kali kisha akapiga hatua za haraka na kunishika shiti langu na kuninyanyua kisha akanipiga kwichwa kizito na kuniangusha chini na kumfanya Madam Nyange kusimama na kumzuia
“Acha nimfunze adabu hawezi kumpiga demu wangu na mimi nimuache na nitahakikisha uta-fungwa wewe mbwa”
“John nakuomba utoke njee ”
“Mama siwezi kutoka kwani hajui ni kiasi gani namaliza mshara wangu kwa kumtunza Zena alafu leo kirahisi rahisi anakuja kunimpiga yeye kama nani?”
“Sawa John ila nakuomba uende nje mwangu please(tafadhali)”
“Tena ngoja niwapigie polisi waje wakubebe”
Sir John akatoka nje huku akiitoa simu yake mfukoni na taratibu nikanyanyuka kutoka chini nilipoangukia na kukaa juu ya kiti changu huku machozi yakizidi kunimwagika
“Mwanangu ninakuomba uende zako nyumbani hali imeshakuwa mbaya sawa baba”
“Hapana mama kama wanakuja kunikamata waje wanikamatie hapa hapa kazini kwangu”
“EDDY Nakuomba nenda nyumbani sisi kama shule hili tatizo tutajua tunalitatua vipi?”
“HAPANA MAMA”
Madam Nyange akakaa kimya huku huku akinitazama kwa sura ya unyonge.Akaingia mkuu wa shule na akanitazama kwa muda kisha akaniomba nimfwate ofisini kwake.Nikanyanyuka na kuanza kumfwata kwa nyuma mkuu wa shule na tukaingia ofisini kwake na kukaa kwenye kiti kilichopo pembeni ya meza yake
“Eddy hali ya Zena sio nzuri na hapa ameshakimbizwa hospitalini hembu niambie ni kitu gani kilicho kufanya umjeruhi Zena wakati unatambua sheria ya kazi moja wapo ni ugomvi haitajiki eneo la kazi sasa wewe umefanya nini?”
Nikakaa kimya nikimtazama mkuu wa shule na wala sikujua nianzie wapi katika kulizungumzia swala lililo nifanya nimpige Madam Zena.
“Eddy umeidhalilisha sana taaluma yetu ya ualimu hivi unadhani kuna mwanafunzi atajenga heshima kwako au kwa sisi waalimu ambao tunashindwa kuzizuia hasira zetu na kupigana mbele zao.Na sote tukisema tuwe ma JOHN CENA humu ndani si tutauana kweli na shule itageuka uwanja wa Miereka na….”
Kabla mkuu wa shule hajamalizia wakaingia askari watatu walio valia sare za kipolisi na mmoja wao akatoa kitambulisho na kujitambulisha huku nyuma yao akiwepo Sir John
“Eddy mwenyewe ndio huyo hapo”
“John ni nini umefanya?”
“Mkuu huyu ni mwalifu na anastahili haki hii ya kukamatwa wala musinilaumu katika hilo”
“Eddy tunakuomba tuongozane na wewe kwenda kituoni tukahojiane na wewe mswali mawili matatu”
“Vijana wangu ninawaoba hili swala tulizungumze kwa herufi kubwa kutokana hili swala lime-tokea kihofisi basi nawaombeni tulizungumze”
Mkuu wa shule alizungumza huku akitoa wallet yake iliyo jaa noti za elfu kumi kumi za kitanzania kiasi kwamba wallet haifungi vizuri na akaanza kuhesabu pesa kwa lengo la kuwapa polisi
“Mzee tunayaheshimu sana mawazo yako ila hatujaja kuchukua pesa yako ila sisi tunamuhitaji Eddy na kama hana kosa la aina yoyote basi tutamuachia huru”
“Sawa ila mukitoka mumeongozana naye kidogo inaweza ikaleta hofu kwa wanafunzi wetu ndio maana ninawaomba tuyamalize humu humu ofisini.Kumbukeni bila sisi nyinyi musinge vaa hizo nguo zenu munazo ringia”
“Mzee sasa hayo ni matusi…..Asee wewe Eddy nyanyuka jinsi unavyokaa hapa ndivyo unajiongezea uzito wa kesi”
“Vijana wangu nawaombeni jamani tafadhali”
“Mkuu ngoja mimi niende ila Mngu mwenyewe ndio atakaye nipigania wala usiwe na wasiwasi”
Nilizungumza huku nikijifuta machozi kwa kitambaa alicho nipa Madam Nyange kisha nika-nyanyuka taratibu na kuanza kupiga hatua za kutoka nje huku askari wakifwa nyuma yan-gu.Nikakutana na waalimu wengine wakabaki wamenitazama kwa sura za huruma kasoro Ma-dam Recho aliye nizomea kisiri siri.Wanafunzi wa kidato cha nne walipo niona nimeongozana na maaskari wakatoka huku wakinikimbilia wakiwa wanaliita jina langu na baadhi yoa wakitokwa na machozi
“Sir Eddy hatuto soma hadi wewe uachiwe huru kwani ukweli wote tunaujua sisi”
“Hapana wadogo zangu nyinyi someni kwani kusoma ndio msingi wa maisha yenu.Hata ikitokea nimefungwa sinto wasahau wadogo zangu”
Nilizungumza huku machozi yakinimwagika na kuwafanya wanafunzi wa kike kuongeza vilio huku kila mmoja akihitaji kunipa mkono wa kwaheri kabla sijaingia ndaniya gari la polisi
“Sir kweli tutaandamana ili usifungwe…Wewe ndio tunaye kuelea peke yako na hakuna mwen-gine tunaye muelewa zaidi yako”
Mwanafunzi mmoja alizungumza kwa niamba ya wezake huku machozi yakiwa yanamwagika.Askari mmoja akanishaka suruali yangu na kutaka kuninyanyua kwa nyuma huku akinihimiza nipende kwenye gari.Wanafunzi wakaanza kumzomea askari aliye nishika na ikambidi aniachie huku askari wengine wakizishika bunduki zao vizuri kwani gari lao lilianza kuzungukwa na wanafunzi hata wa vidato wengine ambao hawakujua ni nini kinacho endelea
“Wadogo zanugu muna nisikializa?”
“Ndio Sir Eddy!!!”
“Ninawaombeni murudi darasani siwezi kwenda jela nawahakikishia kesho asubuhi tutakuwa pamoja SAWA”
Nilizungumza na kupanda kwenye gari la polisi na taratibu gari likaanza kuondoka endeo la shule na kusababisha wanafunzi kuanza kulikimbiza kwa nyuma huku wengine wakilirushia mawe na baadhi ya wanafunzi wanao kuja shule na pikipiki na baiskeli wakaanza kulifukuzia kwa nyuma gari la polisi.Tukafika katika kituo cha polisi cha Mabawa na nikaingizwa kwenye chumba cha mahojiano na askari mmoja akaichukua simu yangu.Ila baada ya muda kidogo nikasikia kelele za wanafunzi wakiimba huku wakisema wanamtaka Mwalimu Eddy.Kelele zikazidi kutawala kiasi kwamba ikapelekea askari kuanza kupiga mabomo ya machozi ili kuwatawanya wanafunzi
“Aisee hiyo miwanafunzi yako inakupenda eheee”
Askari mmoja aliniuliza huku akizungumza kwa lafudhi ya kikuria na sikumjibu kitu zaidi ya kukaa kimya.Ilaa baada ya muda sikusikia tena nyimbo za wanafunzi wakiniimbia wakiwataka polisi waniachie huru.Nikaendelea kukaa katika chumba nilicho ingizwa huku kila askari akio-nekana hana haja na mimi na kila mmoja aliendelea na shuguli zake.Mida ya jioni nikaitwa na askari mmoja na kutoka nje ya chumba nilichopo na kukutana na mwanamke nisiye wahi kumuona katika maisha yangu
“Upo huru nenda zako”
Askari yule alizungumza huku akainipa simu yangu na kujikuta nikiwa siamini kwa kitu kili-cho toke kwani moja kwa moja nilijua maisha yangu ndio yanaelekea ukingoni.Mwanamke niliye ambiwa amenichukulia zamana akaniomb niongozane naye hadi alipo lisimamisha gari lake na sikuwa mbishi na nikamfwata huku njia nzima nikimshukuru kwa kitu alicho nifanyia ila mweznangu hakunijibu kitu chochote zaidi ya kutabasamu.Tukaingia kwenye gari lake aina ya OPA na kukaa siti za mbele na hatukuelekea sehemu yoyote zaidi ya gari kusimama
“Nakushukuru tena sana dada yangu”
“Eddy hauna haja ya kunishukuru nilitaka nikuonyeshe jinsi nilivyo iongezea uwezo nyota yako na lile lengo nililokambia nahitaji kukufanya mtu mwenye dhamani daniani ndio linakwenda kukamilika”
Sauti ya mwanamke huyo inafanana na sauti ya Olvia Hitler ila umbo na sura havifanani naye kabisa jambo lililo nifanya nianze kupata wasiwasi
“EDDY utataniogopa hadi lini?”
“Hapana sikuogopi”CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“Eddy unajua sisi tuna uwezo mkubwa wa kukiona kile kilichopo moyoni mwa mwanadamu na ndio maana ninakuambia Eddy kuwa bado unaniogopa.Na nimeamua kuja katika umbo ili na sura nyingine”
“Ila ni kwanini Olivia umeamua kunifanyia hivi unavyo nifanyia?”
“Eddy huo ni mtihani wako wa kwanza na umebakisha mitiani mingine sita ili itimu saba na ukishafikia katika kiwango ninacho kihitaji mimi na wala sinto kuambia ni lini mitihani hiyo itakamilika”
“Ila bado hujanijibu swali langu ni kwanini umeamua kunifanyai hayo unayo nifanyia?”
Olvia Hitler hakunijibi kitu cha aina yoyote zaidi ya kushuka kwenye gari na kuanza kuondoka ikanilazimu na mimi kushuka kwenye gari ila mwezangu akawahi kuvuka upande wa pili wa barabara na kuniacha mimi nikiwa nimesimama nikisubiria gari mbili zilizo ongozana zipite ndio nivuke.Gari zikapiata na mimi nikavuka barabara cha kushangaza sikuweza kumuona mwenzangu ameelekea upande gani ikanibidi nirudi upande nilio kuwepo na kilichozidi kunichanganya sikuikuta gari tuliyo kuwepo.
Nikapata wazo la kwenda nyumbani kwa bibi niliye kuwa ninaishi jirani naye,kwa woga nikao-gopa hata kupanda bodaboda na ikanilazimu nianze kutembee kutoka maeneo ya Mabawa hadi Chuda,nikaingia kwenye duka moja na kurusha vocha kisha na kuitoa simu yangu na kumpigia Hilda
“Shem mbona hadi sasa hivi haujarudi?’
“Kuna sehemu nitapitia hadi baadaye nitakuambia uje unifwate?”
“Sawa ila upo salama kweli?”
“Ndio….kwanini unaniuliza hivyo?”
“Kwa sababu unazungumza kama unaumwa?”
“Kidogo sipo sawa kivile”
“Powa shem wangu kipenzi cha roho yanngu”
“Powa”
Nikakata simu na kuendelea na safari yangu na kwa mbali kutoka nilipo hadi ilipo nyumba ya bibi nikaona nje kumefungwa turubai huku watu walio valia kanzu wakiwa wamekaa kwenye majamvi huku ukimya ukiwa umetawala katika endeo hilo.Nikazidi kuongeza mwendo huku akilini wazo la bibi kuwa amefariki dunia likaanza kunitesa,Kabla sijafika karibu na sehemu ilipo nyumba ya bibi nikastuka mtu akinishika mkonno kwa nyuma huku akinivuta kwa nguvu
Nikageuka na kukutana na sura yam zee wa makamo akiwa amavalia kanzu nyeupe na bara-kashea huku mkononi mwake akiwa ameshika mkongojo wa kumsiadia katika kutembelea
“Shikamoo mzee”
“Shikamoo yako haina msaada wowote kwangu”
Mzee alizungumza kwa hasira huku akiachia msunyo mkali hadi nikabaki ninamshangaa huku nikijiuliza nilicho mkosea ni nini
“Wewe kijana ni mbaya sana…..Kijana huna adabu shiii nkumi,kijana huna busara.Yaani umeona haitoshi umeamua kutuma majini yako kuja kumdhuru mke wangu”
“Mzee mbona sikuelewe umechanganyikiwa nini?”
“Mimi nimechanganyikiwa.PUMBAVU SANA WEWE”
Mzee akanichapa bakora moja na kunifanya nimponyoke mkononi mwake na kusimama pem-beni nikiwa ninamshanga huku watu wengine walio karibu yetu wakitushangaa kwa tukio alilo lifanyia babu
“Vijana wa siku hizi hamuuna adabu sana unaniambia nimechanganyikiwa mimi?”
“Oya brother Eddy huyo mzee ni kichaa asikupotezee muda wako wewe achana naye”
Alipita jamaa mmoja na kuniambia kuhusiana na huyo mzee ambaye kwenye macho yangu sikuwahi kumuona siku hata moja katika mtaa nilio kuwa nimekaa.Nikaamini mzee hana akili vizuri baada ya kuanza kumkimbiza kijana aliye niambia kuwa mzee huyo ni kichaa.Nikajiweka vizuri shati langu na kuanza kupiga hatua kuelekea kwenye nyumba ya bibi iliyo jaa watu nje wenye kanzu nyeupe.Bibi akaniona na kuja kunifwata na kunikaribisha na kunionyesha stuli isiyo kaliwa na mtunkisha nikaichukua na tukasogea kidogo na kukaa pembeni na walipo watu wenye kanzu nyeupe huku bibi akikaa juu ya gogo la muembe ulio katwa siku nyingi
“Bibihapa kuna nini?”
“Ni maulidi ya mwanangu mmoja wa kike anayafanya kwa mtoto wake alieye zaliwa miezi kad-haa ya nyuma”
“Ahaaa mbona kumetulia sana?”
“Ahha ndio wanamalizia malizia…”
“Inamaana watu tayari wameshamaliza kula ubwabwa?”
“Ubwabwa wamekula tangua amchana hapa wanasubiri kufunga maulidi”
“Bibi bwana mimi nimekuja nina tatizo tena sio dogo nitatizo kubwa kiasi kwamba ninajikuta nimechoka kwenye tatizo lenyewe”
Bibi akaanza kucheka na kwajinsi ya meno yake kuwa pungufu mdomoni mwake na kuweka mapengo makubwa ikanilazimu na mimi kuanza kumcheka
“Eddy mjukuu wangu ile jana ulivyo kuwa unahama unakumbuka nilikupa nini?”
“Ulinipa maji kwenye kichupa?”
“Uliyatumia?”
“Bibi nisikudanganye nilisahau?”
“Hapo ndipo ulipo kosea na yule msichana uliye hama naye ndio aliye kusababishia matatizo hayo”
“Amenisababishia matatizo hayo kivipi?”
“Ngoja nikuambie kitu usicho kijua kuhusu yule msichana”
Nikajiweka vizuri kwanye stuli niliyo ikalia huku nikimtazama bibi kwa umakini
“Yule binti anaitwa Hilda si ndio?”
“Ndio”
“Hilda yule binti amefunga ndoa na jini moja linaitwa Seifh na jini hilo lipo katika kifungo baada ya kukiuka sheria zao za ujini.Na binti yule Alisha zoea kufanya mapenzi na jini ambeye tayari amevishwa pete ya uchumba na mangasuti?”
“Ngoja bibi….Mangasuti ndio nini?”
“Mangasuti ni kitambaa Fulani hivi hutumiwa na watu wenye asili ya India katika swala zima la ndoa”
“Ahaa apo nimekuelewa…Sasa imekuaje kuaje Hilda akafunga ndoa na jinni?”
“Amefunga ndoa na jini bila yeye kujua na ndoa yao siku inafanyika ilifanyikia chini ya baha-ri…..Na baada ya jini aliye muoa kuwekwa kizuizini basi imekuwa ni ngumu kwake yeye kuweza kukaa bila mwanaume kwani hamu zote zilikuwa zinamalizwa na huyo jinni”
“Walipo kuwa wanafanya mapezni alikuwa anamuona jinni huyo?”
“Ndio alikuwa akimjia kwenye njozi kiasi kwamba anajibadilisa badilisha kwenye sura za tofauti tofauti leo anaweza akajiweka sura ya mtu maarufu duniani…..Yaani humjia katika naamna yeye atakavyo”
“Mmmm sasa bibi yule msichana ameniganda kiasi kwamba hataki kutoka nyumbani kwangu”
“Nilazima akugande kwani amepata ladha ya mwanadamu mwenzake tofauti na majini ambao ladha zao ni tofuati sana na mwanadamu na wengi wao ladha zao huwa si nzuri kwa yule anae fanya naye”
Nikajikuta nikichoka baada ya kuyasikia maneno aliyo niambia bibi na kujikuta nikianza kum-pangia mbaya Hilda
“Tuje sasa katika tatizo lako linalo kupelekesha na lisipo tatuliwa mapema litakuondoa duniani”
Moyo ukanipasuka kiasi kwamba nikajikuta nimemtumbulia mimacho bibi hadi mwenyewe akaanza kuogopa
“Babu weeee unanitisha na hiyo mijicho yako…Umesikia kuondoka duniani ndio unashangaa kiasi hicho”
“Bibi acha tu nishangae katika hilo”
“Maana yangu ya kuondoka duniani sio kufa”
“Una maana gani?”
“Unaondoka duniani na kuhamishiwa katika ulimwengu mwengine ambao utaishi kama Mzi-mu?”
“Mzimuuu!!?”
‘Makelele ya nini sasa”
“Ahaaa bibi sasa huko ni kwengine kabisa”
“Ndio ukweli wenyewe siwezi kukuficha kwani maisha yako sasa hivi yapo hatarini”
“Sasa bibi kwanini ni mimi kila siku?”
“Eddy kunakitu sikuwahi kukueleza mwazoni nikijua kwa wakati ule halikuwa na maana sana kuweza kukuambia”
“Jambo gani?”CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“Eddy katika watu wenye nyota kubwa duniani wewe ni mmoja wapo.Na nyota yako hiyo in-awindwa na watu wengi ili kuweza kuichukua……Ndio maana unaweza kuona jinsi unavyokubalika katika sehemu nyingi na watu wa kila aina.Wewe unaweza kuona ni kitu cha kawaida ila si hivyo una kitu kinacho kufanya uwe hivyo”
“Sasa bibi kama ni hiyo nyota basi waichukue mimi waniache niishi kwa amani kwani saa hivi kuna mwanamke ananitokea toke asana na kunifanyia vituko vya ajabu kiasi kwamba nijikuta ninachoshwa na mambo yake”
“Tena shukuru Mungu huyo msichana amekutokea kwani ni mwema kwako…..Ila angekutokea yule mwenye mke wake ungekuwa umeshakufa na isitoshe huku alipo anaona kila kitu unacho kifanya na mke wake na anamipango mibaya ya kukuangamiza ndio maana ninakuambia kuwa nyota yako inanguvu sana”
“Sasa bibi mbona unazidi kunichanganya inakuwaje yule mwanamke anaye nitokea ni awe mzuri kwangu wakati yeye sio binadamu?”
“Ni mzuri na ndio mwenye jukumu la kuilinda nyota yako la sivyo utakuwa mzimu kama nilivyo kuammbia”
“Mmmm bibi hakuna hata dawa ya kulamba kidogo nisimuone kwa leo usiku?”
“Eddy mmjukuu wangu dawa ya kulamba wala mimi sina kwani yule sio kiumbe wa kawaidana laiti kama nikimuingilia kwenye mipango yake nilazima na mimi niudhurike”
Nikakaa kimya kwa muda huku wazo la kuondoka likanijia kwani hadi hapa nilipo fikia ninaona bibi anataka kunichanganya kiasi kwamba anataka nianze kuamini vitu visivyo aminika
“Bibi ngoja mimi niende wewe baki salama”
“Sawa mjukuu wangu japo umechelewa ningekuandalia hata kitu cha kula”
“Bibi hapa ni kwangu nitakuja kula siku yoyote”
“Sawa mjukuu wangu”
“Hivi hapa kumeshapata mpangaji?”
“Hapana si umehama jana tu”
“Mmmm haya mwaya bibi ninakutakia siku njema na maulidi mema”
“Na wewe pia mjukuu wangu ninakutakia mapumziko mema na Olvia Hitler”
Nikastuka kusikia jina na Olivia ikanibidi nisimame kwa sekunde kadhaa huku nikimtazama bibi
“Mbona unanishangaa?”
“Nashangaa hilo jina umelijuaje?”
“Kwani ni mangapi ninayo kuambia ambayo huyajui ndio sembuse la huyo Olvia”
“Mmm sawa bibi kigiza hichi kinaingia ngoja nikawahi dalala”
“Sawa mjukuu wangu”
Nikapita nyuma ya watu walio kaa kwenye majamvi huku wote wakinishangaa nikajua ni lab-da nilivyo katiza nyuma yao bila kuwasalimia.Naikaanza kupiga hatua za haraka huku nikidha-miria kummfukuza Hilda aondoke zake pale tu nitakapo fika nyumbani asije akaniletea matatizo ambayo sikutarajia yaweze kunipata kwa wakati huu.Kabla sijafika mbali na nyumbani kwa bibi nikasikia ninaitwa kwa nyuma na sauti ambayo ninaifahamu.Nikageuka na kumkuta ni Mama Fety akija kwa hatua za haraka huku tenge lake alilo livaa likimdondoka dondoka huku akijitahidi kulifunga vizuri
“Mambo vipi?”
“Safi tuu Eddy mzima wewe?”
“Mimi mzima “
“Kuna mtu amenifwata na kunitaarifu kuwa wewe umechanganyikiwa?”
“Nimechanganyikiwa na nini…Au ndio umbea wenu munao anza kuzungumza zungumza kwa watu”
“Eddy hasira ya nini jamani wakati nimekuuliza kwa ustaarabu jamani”
“Hakuna cha jamani nyinyi wanawake wa mtaa huu wambea sana”
“Eddy kama nimefanya kosa kukuuliza ninakuomba unisamehe na wala sikuwa na haja ya kutaka kukuudhi ila ulicho kifanya pale msibani kwa watu sio vizuri”
“Msibani wapi?”
“Si pale kwa bibi Mwanavita”
“Bibi Mwanavita mimi mbona simjui?”
“Ni yule bibi aliyekuwa anaishi jirani yako pale si amefarika dunia asubuhi ya kuamkia leo na wewe umekwenda pale wala hukutaka kusalimia na watu waliopo kwenye msiba na mwenyewe ukatafuta sehemu uakajikalisha na kuanza kuzungumza peke yako”
Moyo ukanipasuka nikahisi mwili unaishiwa na nguvu ikanibidi nikae kwenye kibaraza cha pembeni ya nyumba tuliyo simama nje yake huku mapigo ya moyo yakinienda kasi na kwa mbali kajasho kikaanza kunimwagika huku nikijiuliza yule niliye zungumza naye atakuwa ni nani na mbona nimeogea naye ina maana watu wengine hawakumuona.Maswali yangu yote sikuyapatia majibu ya kuaminika
“Wee unataka kusema yule bibi amefariki?’
“Bibi wa watu amefariki na amezikwa leo saa sita mchana kwenye makaburi ya kwa Minchi sasa nakushanga wewe uanye kwenda pale na kuzungumza peke yako unaonekana kama umetumwa”
Maneno ya Mama Fety yakazidi kunichanganya kwani sikulewa kitu kinacho endelea.
“Ina maana yule niliye zungumza naye sio bibi?”
‘Sasa unamuuliza nani aliye muona huyo unaye zungumza naye?”
Nikakosa kitu cha kuzungumza na kujikuta nikinyanyuka taratibu huku nikijihisi vibaya vibaya nikapiga hatua mbili mbele na kizunguzungu kikali kikanipata na kujikuta nikienda chini kwa kasi ya ajabu na kuanguka kama gunia na giza kali likayatawala macho yangu na sikujua ni nini kinacho enedelea
***
Nikaja kuzinduka na kumkuta Mama Fety akiwa pembeni yangu amekaa nikakitizama vizuri chumba nilichomo na kugundua nipo hospitali kwani nilijikuta nimetundikiwa dripu la maji kwenye mkono wangu wa kushoto.Nikakaa kimya huku akili yangu ikinirudisha nyumbani kwa bibi na kuaanza kuyakumbuka maongezi yatu kisha nikayakumbuka maongezi ya mama Fety nikajikua nikipiga kelele na kumfanya mama Fety kutoka kwa haraka uku akiwaita manesi ambaao baada ya muda mfupi wakaingaia ndani ya chumba nilicho kuwepo na kujikuta nikinyamaza kimya na kuwatazama
“Huyu mgonja wako usinge muwahisha hii malaria ingempanda kichwani”
Nesi mmoja alizungumza huku akitoa dawa kwenye kichupa kidogo kwa kutumia sindano yenye bomba kisha akanishika mkono wangu wa huku mwezake akinifunga mpira unao vutika kwenye msuli wangu kisha nesi aliye shika bomba la sindano akanipaka dawa kwenye kiungio cha mkono wangu kisha akanichoma sindano na kuisukuma dawa yote kwa nguvu kisha akaniachia na kusimama pembeni
“Nesi atapona kweli?”CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“Ndio atapona wala usijali.Kwani huyu ni nani yako?”
“Mume wangu”
“Usijali mwaya mama ataponana tuu”
Sikuweza kuendelea kuyasikiliza maongezi yao kwani usingizi mzito ukanipitia.Gafla nikamu-ona Olvia Hitler amesimama kwenye moja ya pembe ya chumba hichi huku akiwa ameachia ta-basamu pana usoni mwake na kuufanya uso wake kuwa mmzuri kiasi kwamba ukaanza kunivutia.Olvia amevalia gauni zuri na lililo mbana mwilini mwake huku miguuni akiwa amevalia viatu vyekundu vilivyo kaa vizuri mguuni mwake.Akaninyooshea mkono na kujikuta nikaanza kunyanyuka taratibu kitandani huku nikielea hewani kama nilivyo elea jana usiku alipokuwa amejitokeza kwa mara ya kwanza.Nikazidi kushangaa kwani Mama Fety na wale manesi hawakuona jinsi ninavyo elea angani na wanaedelea na story zao za kawaida.
Olvia akanishika mkono na kunisogeza karibu yake kisha akanikumbatia kwa nguvu na sote tu-kajikuta tukianza kwenda juu kwa kasi huku bati la hospitalini hapo likiwa limeacha uwazi mkubwa wa tobo ulio turuhusu sisi kupita bila ya wasiwasi
“Eddy kuna sehemu nataka twende nikakuonyeshe maajabu ya ulimwenguni”
“Wapii”
“Utapaona”
“Ila leo Olvia umependeza sana”
“Asante”
“Hivyo viatu sijawahi kuviona tangu nizaliwe”
“Nitakupa kama zawadi ukampe Rahma”
“Kweli?”
“Ndio kwani si vitamtosha?”
“Ndio vitamtosha”
Olvia alizungumza huku tukienda kwa mwendo wa kasi angani ambapo kumetawaliwa na mwanga wa nyota kwani giza tayari lilisha tawala angani.Nikajikuta nikishangaa jinsi tuna-vyokwenda kwa mwendo wa haraka huku tukipita kwa kasi kwenye bahari
“Wewe si mwalimu?”
“Ndio”
“Unaijua hii iliyopo chini yetu ni bahari gani?”
“Hiyo sijui ni bahari gani”
“Hii ni bahari nyekundu”
“Kwa nini imeitwa bahari nyekundu?”
“Nenda kasome kwenye vitabu utajua”
Kadri muda ulivyozidi kwenda nasi ndivyo tulivyo achana na giza na kukutana na mwanga wa jua ikimaanisha tupo katika nchi zinazo pishana masaa na Tanzania
“Hapa ni wapi?”
“Hapa ni bara la Amerika kaskazini”
“Ahaa ndio kuzuri ivi?”
“Ndio”
Tukatua kwenye gorofa refu kiasi kwamba ukitazama chini unaweza kuhisi kizungu zungu cha kuanguka
“Eddy hapa tupo Marekani na hili ni gorofa linaloitwa Twin Tower”
“Ahaa nililisikia sikia kipindi ninasoma kuwa lilipigwa Bomo na Osama Bi Laden mwaka 2002”
“Ndio…..Maana yangu kubwa ya mimi kukuleta huku ni wewe uweze kuwa miongoni mwa watu maarufu duniani?”
“Ina maana mimi na Tanzania ndio basi tena?”
“Hapana Tanzania utarudi le oleo”
“Ahaaa”
Nikazidi kuushangaa mji niliopo kwani unamagorofa mengi kiasi kwamba yamekuwa kivutio katika macho yangu na maisha yangu na sikutarajia kama ipo siku nitakuja kuiona Marekani kama ninavyo iona leo
“Olvia mimi nipo ndotoni au?”
‘Haupo ndotoni kwani huamini?”
“Ndio siamini”
Gafla Olvia akanisukuma gorofani na kuanza kwenda chini kwa kasi ya ajabu na kunifanya nianze kupiga kelele kali ya kuomba msaada huku mwenzangu akinipungia mkono wa kuniaga
“Eheeee nisaidieni”
Nikastukia nimekaa kitandani na kumfanya Mama Fety kunyanyuka alipo kaa kwa haraka na kuja kitandani nilipo kaa mimi huku nikihema kwa pumzi nyingi kiasi kwamba nikajihisi kupata kiu ya maji
“Eddy mpenzi wangu una tatizo gani?”
“Marekani?”
“Marekani…… Kuna nini?”
“Nimeenda Marekani”
“Dooo kweli mpenzi wangu umechanganyikiwa ni nini kimekupata jamani au ndio hiyo Male-ria?”
“Hapana mimi nimekwenda Marekani unanibishia nini wakati nilikuwa kwenye gorofa refu TWIN TOWER”
“Mmmm mwenzio hata hilo Twin tower sijui ni linini?”
“Mshamba wewe”
Nikashuka kitandani na kuichomoa sindano ya dripu na kwenda kusimama kwenye kona ya chumba aliyokuwa amesimama Olvia na kuangalia juu na kukuta kumezibwa na ‘sinboard’ jeupe na hapakuwa na tobo lolote
“Ina maana mara moja hii pameziba?”
“Nini hiyo iliyo ziba?”
“Hapa palikuwa na tobo”
Ikambidi mama Fety aanze kucheka hadi machozi yakaanza kumwagika kwa kicheko anacho kicheka
“Eddy mpenzi wangu umechanganyikiwa kwa kweli ahaa kumbe una vituko kiasi hicho”
“Wewe huamini au ndio huo ushamba wako?”
“Sio siamini ila mmm….wewe ni kiboko,Mara hoooo nimekwenda Marekani mara hooo ni hapo kuna tobo”
“Wewe huamini nini….Ndio tatizo la watanzania wengi munakuwa hamuamini kama Tomaso?”
“Tomaso ndio nani?”
“Katazame kanda ya Yesu utamuona”
Mama Fety akazidi kucheka ikambidi afungue mlano na kuchungulia nje huku akiwaita manesi amabao baada ya muda wakaja na kunifanya nistuke baada ya kumuona mmoja wao akiwa amefanana na Olvia
“Jamani hiisindano tuliyo mchoma mgonjwa wako ni ya usingizi na mgonjwa akichomwa hulala kwa masaa nane sasa huyu hata masaa mawili bado?”CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“Ngoja kwanza nesi….Unajua mimi si mgonjwa kama munavyo dhani nyinyi mimi ninanguvu zangu za kutosha sasa mimi ninaomba muniruhusu niondoke zangu”
“Wewe Eddy si unaumwa?”
“Nani anaumwa bwana hembu niacheni mimi niende zangu kwangu.kwanza ni saa ngapi?”
Nikaushika mkono wa nesi anaye fanana na Olvia na kuisoma saa yake ya mshale na kukuta ni saa Saba na dakika sita usiku
“Kwani saa saba hii nikitembea barabarani kuna kibaka atakaye nikaba?”
“Shosti hembu ngoja tuwasiliane na daktari mkuu kama kuna uwezekano mume wako asubuhi apelekwe Milembe hospitali ya watu wenye ulemavu wa akili basi tujue mapema”
“Alafu wewe nesi umevurugwa ehee nani amekuambia mimi sina akili.Mimi ni ticha wa Biology na Physics isitoshe Mathematics na Chemistry vyote ninafundisha.Sasa ninakusangaa unavyo-sema kuwa mimi sio mzima wa akili”
“Hii malaria itakuwa ni mbaya au amepata homa ya DENGUE?”
Nesi anaye fanana na Olvia alizungumza na kujikuta nikimtazama kwa hicho kali huku nikim-chunguza kuanzai juu hadi chini na kukuta akiwa amevalia viatu vyekundu kama alivyokua maevaa Olvia kipindi amekuja kunichukua na tukaelekea Marekani
“Naomba basi hivyo viatu nikampelekee Rahma”
Nilizungumza huku nikimuangalia nesi anaye fanana na Olvia na wote wakashusha sura zao kuangalia viatu alivyo vivaa mwenzao kisha wakanitazama na mimi
“Wewe Eddy hivyo viatu unataka kuvipeleka wapi?”
“Nikampe Rahma huyu alisema atanipatia kipindi ninakwenda naye Marekani”
“Shosti mume wako sisi tumesha mshindwa yameshakuwa ya Marekani tena?”
“Wewe nesi mimi sijao na sina mke na safari ya Marekani muulize huyo mwenzako atakuambia”
“Mmmm jaman ihuyu mwanaume wangu sijui amapatwa na nini?”
“Hembu tunyamazeni jamani nataka kuwauliza maswali nyinyi manesi?”
Wote wakakaa kimya na kunitazama kwa umakini kisha nikakohoa kidogo na kuiweka suruali yangu isiyo na mkanda sijui waliuweka wapi mkanda wangu wa suruali
“Munaujua ugonjwa wa Dengue umemetokana na nini?”
“Si umetokana na Mbu anayeng’ata kuanzia asubuhi hadi jioni”
“Je dawa yake mumesha ipata au ndio munaacha watu wafe wafe kidogo ndio museme dawa imepatikana?”
Manesi wote wakaa kimya na kutazamana huku wakionekana hawana jibu la uhakika la kuweza kunipa
“Mwaka 1988 ugonjwa wa dengue ulijulikana katika nchi za Thailanda,Bamako,Veitinam na kwengineko katika bara la Asia.Ambapo ugojwa huo ulitokana na mazalio mengi ya mbu walio sababishwa na uwekaji mbovu wa mazingira hususani vita vya wenyewe kwa wenyewe”
“Ngoja kwanza kaka.Wewe umeyajuaje haya yote?”
“Ndio maana nikakuambia kuwa mimi ni mwalimu na ninaijua kazi yangu.Na nimesoma sana juu ya magojwa haya tuendelee…..Ungojwa wa dengue umekuja Tanzania kutokana na vimelea au mayai ya mbu hawa kuja kwa wingi kwa kutumia maji yanayo tiririka kupitia mto Naili unao ingiza maji yake katika ziwa Victori.Na baada ya Mafuriko yaliyo tokea juzi juzi Dar,Morogoro na kwengineko kumesababisha mayai ya mbu hawa kukua na kujitotolesha na kukapatikana hawa mbu ambao dawa yake ni moja tu inayoweza kuuzuia huu ungonjwa na sidhani kama munaijua?”
“Dawa gani?”
“Wewe kama wewe unahisi ni dawa gani?”
“Tukuulize wewe ambaye umesema unaijua dawa ya Dengue”
“Hivi kweli wewe umesoma masomo ya Sayansi au huo unesi umeupata baada ya kufeli form four”
Swali langu likawafanya manesi kukaa kimya huku wakinitazama wasijue cha kunijibu
“Kwa akili za kawaida mtu akiwaona nyinyi manesi wawili atajua kabisa mumeishia kidato cha nne na hamkuwa mukiyasoma masomo ya Sayansi……Na mumefeli mukaamua kuja kusomea unesi.Uongo au kweli?”
Manesi wote wakakaa kimya huku wakinitazama kwa macho ya aibu aibu
“Kabla sijaendelea na na mada yangu hivi munamjua mtu anaye paswa kwenda Mirembe munapo sema?”
“Eddy baby wewe itakuwa ni malaria imekuchanganya mpenzi wangu”
“Na wewe koma malaria haiwezi kunichanganya……Hawa manesi wenu wamenidhalilisha wakiniambia mimi sina akili vizuri na hata kama ni Malaria sijawahi siku hata moja sijawahi ku-patwa na ugonjwa wa kupungukiwa na akili………Musinitumbulie mimacho yenu kama mumebwana na mlango”
“Shosti kuna mgonjwa wodi ya watoto ngoja nikamuangalie”
Nesi anayefanana na Olivia Hitler alizungumza na akaanza kupiga hatua za kuuelekea mlango-ni,nikamuwahi na kumshikamkono
“Hembu rudi pale kwa mwenzako huna cha mgonjwa wala cha nini kaa unisikilize”
Nesi akarudi na wote watatu wakakaa kitandani wakinisikiliza huku nesi niliye mrudisha akio-nekana kutetemeka kwa woga
“Atakayetoka kabla sijamaliza somo langu nitampiga boooonge la kofi mtapisho”
“Shosti unaona shunguli ya mume wako anavyo tufanyia?”
“Masikini Eddy wangu sijui amepatwa na nini?
“Nyamazeni……Dengue kama dengue dawa yake ni rahisi sana….Kwanza mtu ambaye hajapatwa na ugonjwa huu inabidi aanze kumrudia Mungu wake mapema kwa maana asisubirie ameupata ndio anakumbuka kumuomba Mungu.Pili munatakiwa kuua mazalio yote ya Mbu kama madimbwi kufyeka nyasi ndefu zilizopo karibu na makazi ya watu au kufunika vitu vyote ambavyo munajua vinaweza kuweka maji yakasimama kwa muda mrefu kama vile vifuu na kadhaliaka”
“Mmmmm kubwa hayo hadi vifuu vipo kwenye somo”
Mama Fety alazingumza huku akinitazama kisha akawageukia wezake ambao wapo kimya wa-kionekana kunifwatiliwa kwa umakini somo langu
“Ujinga wako ndio utakufanya ufe na dengue ninakuambia muvichome vifuu vyenu wewe un-aropoka ropoka maswala ya ajabu…….Sasa tuje kwenye dawa halisi ya kutibu ugonjwa huu…..Unapaswa kunywa maji mengi ambayo yataweza kuchuja sumu iliyo jaa mwilini mwako ikiwemo bacteria wa ugonjwa huu wanao itwa ARBOVIRUS ambao watatoka kwa njia ya haja ndogo au kutokwa na jasho mwilini”
“Mwalimu nina swali?”
“Uliza”
“Hao bacteria wanaingia ingia vipi mwlinini mwa binadamu?”
“Ndio maana nikasema nyinyi manesi munaonekana hamjasoma kabisa masomo ya sayan-si.Hapa si tunazungumzia huyu mbu anaye itwa AEDES ndio msambazaji wa hawa bacteria wa-naosababisha Dengue sasa usicho kielewa wewe ni nini?”
“Huu ugonjwa ni mpya kwetu ndio maana nikakuuliza hivyo ila samahani kama nimekuudhi ticha wetu”
“Umesoma chuo gani cha unesi?”
“Mmmm wewe endelea tu mwaya huyu achana naye”
“Muna kipimo cha PCR?”
“Ndio tunacho”
“Nionyesheni”
Manesi wakasimama kutoka kitandani na tukatoka nje ya chumba tulicho kuwepo na tukamua-cha mama Fety akitusubiria.Tukaingia kwenye maabara ya hospitali hiyo.
“Nahitaji damu za kila mmoja wenu nizipime?”
“Kupimana tena?”
“Kama hamtaki semeni?”
“Hicho kifaa ni kipya sisi wala hatujafundishwa kukitumia”
“Nyinyi jitoboneni na munipe damu zenu niwapime……Na wewe ndenda kamuite mwenzenu kule”
Nesi mmoja akatoka na kumuacha mwenzake akijichoma sindano ya ndogo ya kutolea damu kisha akaipaka kwenye kiio maalumu ambacho hutumika kupakia damu zinazo tolewa kwenye vidole mara nyini hutumika kwa wagonjwa wanao pima ugonjwa wa Malaria.Akanipa na kukiweka kwenye kipimo hicho na kuanza kusikilizia majibu.
“Huna bakteri”CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Mama Fety akaingia akiwa ameongozana na nesi aliye kwenda kumuita,wakatoa damu zao na nikaanza kuzipima moja baada ya nyingine na kujikuta nikimtazama nesi anayefanana na Olvia kisha nikahamisha macho yangu kwa mama Fety
“Kati yanu mmoja anavirusi vya Dengue”
Mama Fety na nesi wakabaki wakinitazama huku wakiwa na wasiwasi kiasi kwamba kila mmoja wao akaanza kumwagikwa na jasho
“Si useme sasa ni nani mwenye Dengue?”
ITAENDELEA
0 comments:
Post a Comment