Chombezo : Tanga Raha
Sehemu Ya Nne (4)
“Eddy nipige niue mimi badi sikuuachii kwani ukinipiga leo ndio mwanzo”
Nikasikia honi getini zikipiwa na moja kwa moja nikajau ni wazazi wa Rahma na kwa haraka nikamsukuma Hilda na akadondoka chini na nikatoka ndani kwangu kwa haraka na kuufunga mlango kwa nje na kufika sembeli sikumkuta dereva na kwakupitai getini nikamuona dereva akijitahidi kufungua geti langu na gari moja ikaanza kuingia.Kwa haraka nikaingia jikoni kwangu na kumsikia Hilda akipiga makelele akiomba mkango kufunguliwa.CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Katika sehemu ya juu ya jikoni kwangu kuna sehemu ipo wazi na kwaharaka nikapanda juu meza iliyopo jikoni na mikono yangu kuiingiza ndani ya sehemu hiyo na kujivuta kwa juu na nikafanikiwa kuingia ndani sehemu ya juu kwenye nyumba yangu japo kuwa kuna giza nikajipa moyo.Nikawasikia watu wengi wakiwa wanazungumza huku wakionekana kufuoka na kujiuliza maswali mengi.Nikasikia wakifungua mlango wa ndani kwangu na Hilda akaanza kuropoka kwa kutumia Lghaya kiarabu huku mara kwa mara akilitaja jina langu la Edd
“Atakuwa ametorokea wapi?”
“Jamani nipeni nafasi ya kumuhudumia mgonjwa na acheni kelele kwani hali yake si nzuri”
Nikasikia machekeche kama ya wauza karanga za ketembeza yakipigwa na mama mmoja akaanza kupaza sauti yake huku akionekana kama mtu anaye pandisha mashetani.Nikaanza kutembea taratibu huku nikikanyaga mbao za juu hadi kwenye sehemu ya chumba changu na kwa kupitia upenyo mdogo wa sehemu ilipo pitia feni la juu nikamuona Rahma akiwa amevuliwa nguo zake huku ndani ya ya chumba changu wakiwemo wamama watatu wa kiindi huku mmoja wao akiendelea kupiga machekeche yake huku kukiwa na vnyungu viwili vikiwa vinatoa moshi mwingi na kugundua harufu ya ubani.Akaanza kumchunguza Rahma hadi kwenye ikulu yake na kumshuhudia akipiga chafya nyingi huku akitoa makelele mengi kiasi kwamba nikaanza kutetemeka
“ALIKUWA NA MWANAUME”
Mama huyo alizungumza kwa sauti nzito ambayo ni ya kiume na sikujua ni jini gani lililo mpan-da
“Huyo mwanaume ni wa aina gani?”
“HAAA NI MWAFRIKA ILA YEYE ANAWEZA KULETA MFARAKANO KATIKA FAMILIA YENU”
“Mfarakano gani mtukufu?”
“HHAHAAA YEYE ANAWEZA KUIFANYA FAMILIA YENU KUFILISIKA NA KUWA MASIKINI KABISA NA ISITOSHE RAHMA TAYARI AMAKIUMBA CHA HUYO MWNAUME TUMBONI MWAKE”
Moyo ukanipasuka na kwa haraka akili yangu ikapiga picha siku nikiwa gerezani kwani kitendo cha kumpa mwanafunzi mimba ni kifungo cha miaka 30 na mbaya zaidi mimi mwalimu sasa sijajua kama nitafungwa kwa miaka mingapi
“Mama wee kwanini huyu mtoto ameamua kunizalilisha kiasi hichi jamani ni nini jamani”
Nikajua mama anaye muhoji mganga huyo ni mama yeke Rahma na kujikuta nikizidi kumtazama kwa umakini na kila sifa aliyo kuwa nayo Rahma ameitoa kwa mama yeke
“USIPIGE KELELE NA ENDAPO MUTAKITOA HICHO KIUMBE BASI RAHMA MUTAMPOTEZA”
Mama Rahma akazidi kupaza sauti ya juu na kuuufanya mlango walio ufunga ukafunguliwa na akaingia mzee mwenye mwili mmkubwa na mama Rahma akanyanyuka na kwenda kumkumbatia mwanaume huyo na kuzungumza naye manneno ya kiarabu huku mara kwa mara mikono yake akimnyooshea Rahma aliyelele kitandani kama mtu aliye fariki huku mwili wake akiwa uchi kama alivyo zaliwa.
Gafla nikahisi kitu kiki nikuvutwa mguu kwa nyuma na nikageuza sura yangu nyuma kwa haraka kuangalia ni nini kilicho nigusa sikuona kitu cha aina yoyote na kujikuta nikitumia nguvu kujivuta mbele na kitu hicho kikaniachia na kustukia nikipoteza muhimili wa mwili wangu na kujikuta nikilala kwenye sehemu laini(signboard) ya juu kwenye chumba changu ambayo haiwezi kuhimili uzito wa mwili wangu na kujikuta nikipitiliza moja kwa moja na kuanguka chini ndani ya chumba changu na kutoa kishondo kizito
Kufumba na kufumbua sikuona mtu yoyote ndani ya chumba changu zaidi ya Rahma aliye lala kitandani akiwa hajitambui na nikasikia kelele na vishindo vya wanandugu wa Rahma sebleni kila mmoja akijaribu kuokoa maisha yake nikajua kwamba hawakutarajia kuuona uwepo wangu ndani ya chumba changu tena kwa mfumo huu wa kuanguka kutoka darini.Nikanyanyuka japo sehemu ya mbavu za kushoto ninahisi maumivu makali ila nikajikaza na kuchungulia mlangoni sikuona mtu yoyote akitokea sebleni.Kwa haraka nikaingia jikoni kwangu na kuchukua kifuko cha unga wa ngano na kujimwagia unga wote mwilini mwangu na nikausambaza vizuri usoni mwangu.Nikachungulia sebleni nikaona vivuli vya watu wawili wakiwa wanakaribia kuingia ndani huku wakinyata wakitaka kuchungulia ni nini kilicho tokea
“Let’s go”(twendee)
Nilijisemea kwa sauti ya chini na kuchomoka kwa kasi jikoni huku nikitoa mlio wa pikipiki aina ya XL Baja na kuwafanya watu waliokuwa wakinyata mlangoni kukurupuka na kuanza kukim-bia kurudi walipo tokea huku baba Rahma nikimpiga kikumbo getini na kumbwaga chini na kuwafanya wamama walio simama nje baada ya kuniona wakatawanyika kwa woga na kila mmoja akashika njia yake na kusababisha nao pia kuapiga kelele.Breki ya kwanza nikasimama ndani ya maji kwenye fukwe almaarufu kwa jina la JET na sikujali watu wamenichukuliaje.Japo kuwa siwezi kuogelea vizuri ila ikanibidi nipate ujuzi wa kupiga mbizi na kwenda mbali kidogo na ufukwe ulipo na nikakaa ndani ya maji huku nikiwa nimekiacha kichwa nje kwa ajili ya kuvuta punzi zaidi ya masaa manne hadi giza likatanda angani ndipo nikatoka ndani ya maji
Sikuwa na hamu ya kwenda nyumbini kwangu kwa maana nikahisi ni lazima watakuwa wananitafuta kwa udi na uvumba.Nikapiga mwendo hadi nyumbani kwa madam Zena huku nguo zangu zikiwa zimelowa.Nikagonga mlango kwa bahati nzuri akafungua madam Zena akiwa amevalia suruali na tisheti kubwa na akaonekana kunishangaa baada ya kuniona
“Ehhee Sir Eddy vipi mbona umelowaa?”
“Shosti wee acha tuu hembu twende tukayazungumzie ndani la sivyo yaliyo nikuta huko yasije yakanikuta na hapa”
“Ehee Eddy leo umeniita shosti......Haaahaaa kweli huko ulipo toka umevurugwa”
“Tena sijavurugwa kidogo...Nimevurugwa sana”
“Haya yaliyo kukuta ni yapi Shost yangu?”CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Sikuwa na sababu ya kumficha madam Zena kwa maana endapo nikimficha ipo siku mambo ya-naweza yakaniharibikia na akashindwa kunisaidia kabisa.Hadi na maliza kumsimulia Madam Zena akawa anacheka hadi machozi yanamtoka na kujikuta amekaa chini akiendelea kucheka
“E.....Eddy hapo kama ninakuona vile na hayo maunga yako”
“Wee nilikodi pikipiki ya Baja...yaani niliondoka na gia tatu badala ya moja au mbili na kwajinsi nilivyokuwa ninatisha hapakuwa na mganga wala hapakuwa na baba wa mtoto wote changu na mimi kiulaini nikasepe”
“Hii kali ya mwaka Eddy”
“Wee acha tuu najuta kuja Tanga?”
“Kwa nini?”
“Haya majanga unadhani ni madogo”
“Tatizo lako Eddy wewe hujatulia hadi wanafunzi wako”
“Bora na mimi kuliko huyo mkuu wako”
“Tena yule mzee ndio usiseme pale mulipo ondoka nimetoka kumsema sana huyu mfanyakazi wangu kwa maana nimeanza kuhisi kitu kati yake na yule babu....Kwa mfano ikatokea bahati mbaya akampa mimba huyu binti hembu sema mwenye huyo mtoto atakaye zaliwa atamuitaje yule mzee”
“ZOMBI”
Sote tukajikuta tukicheka kiasi kwamba tukasahau kama tulikuwa maadui.Madam Zena akanyanuka na kuingia jikoni na baada ya muda akarudi akiwa ameshika mapoti mawili na kuyaweka mezani akataka kurudi ndani nikamzuia
“Si unakwenda kuchukua sahaani?”
“Ndio”
“Ngoja nikusaidie wewe pumzika”
“Utajua ni wapi zilipo?”
“Nitajua ninakuonea huruma na huo mguu wako.....Sema nilete ngapi?”
“Leta ya kwako tuu na fungua hapo kwenye friji utaona jagi linajuisi njoo nalo kama huto jali njoo na glasi mbili”
“Powa”
Nikaingia jikoni na kubeba vitu vyote niliyo angizwa na kurudi navyo sebleni na kuviweka juu ya meza
“Eddy hembu ngoja nikufanyie mpango ubadilieshe hizo nguo zako kwa maana umesha nitote-shea sofa zangu na mimaji yako”
“Tena hapo umesema lamaana kwa maana ninakaa kama nimejikojolea bwana”
Madam Zena akanyanyuka na kuingia kwenye chumba kimoja na kurudi akiwa ameshika taulo jeupe na kunirushia na nikalidaka
“Njoo nikuonyeshe bafu”
Akanionyesha bafu lililopo ndani ya nyumba yake
“Ngou zako utaziweka kwenye kindoo humo bafuni zitafuliwa kesho”
“Powa”
Nikaingia bafuni na kuoga huku matendo niliyo yafanya yakijirudia rudia akilini mwangu na kujikuta nikicheka mwenye
“Kuna vitu vingine mtu unaweza kusema ni vyakijinga kumbe vinasaidia saa nyingine”
Nikaendelea kusijisemea mwenye akilini na nikamaliza kuoga na kujifunga taulo na kurudi seb-leni na kukuta madam Zena akiwa tayari amenipakulia chakula huku yeye akitazama filamu za kizungu na kujishushia kwa juisi yake.Nikaliweka taulo vizuri na kukaa kwenye sehemu niliyo kuwa nimekaa hapo awali
“Huyu Amina yupo kweli?”
“Yupo amelala ndani kwake anadai leo amechoka”
“Ahaa karibu tule”
“Wewe kula mimi hapa nilipo sina hata hamu ya kula nimeshiba tumbo ndii”
Nikaanza kula taratibu huku nikimtazama Madam Zena ambaye kila nilipo matazama akawa anacheka
“Eddy sio siri kila nikikutazama mimi nabaki kucheka sana”
“Wakati wa kula sipendi kuzungumza utanifanya nipaliwe bure”
“Hahaaa haya endelea kula”
Madam Zena akaendelea kucheka na mimi nikaendelea kula chakula hadi nikashiba vizuri na nikavitoa vyombo vyote na kuiacha glasi yangu ya juisi mezani.
“Sasa hapa nimeshiba”
“Kweli”
“Kweli hapa hata wakija hao waarabu ninauwezo wa kupambana nao”
“Nyoo toka zako kwanini hukupambana nao kipindi walivyokuwa kwako?”
“Ahaa walikuja wengi kiasi kwamba nikajikata ninatumia mbinu mbadala au plan B”
“Kweli hiyo Plan B.......Alafu Eddy wewe unajua hupendezi kuwa mwalimu?”
“Kwa nini?”
“Basi tuu ungakuwa daktari kidogo kungekuwa na nafuu”
“Hahaa ndio hivyo tena”
“Ngoja nikachukue tenge la kujifunika kwa maana ninahisi kuna vimmbu vinaning’ata ng’ata”
Madam Zena akaondoka na kunicha nikianza kutafuta chaneli nzuri zilizopo kwenye king’amuzi cheke.Nikafanikiwa kupata chaneli ya moja ya kizungu yenye miziki mizuri ya taratibu na nikajinyoosha vizuri kwenye sofa kama nipo kwangu vile na kichwa changu nikakilaza kwenye mguu wa sofa.Madam Zena akakaa kwenye sofa nililo kaa mimi sehemu niliyo ielekezea miguu yangu huku akiwa amejifunga tenge
“Eddy”
“Mmmm”
Madam Zena akakaa kimya ikanilazimu kukinyanyua kichwa changu na kumtazama na kumkuta akiwa ananitizama pasipo kuzungumza kitu cha aina yoyote,Nikauona mkono mmoja wa madam Zena akiupitisha taratibu kwenye miguu yangu na kunifanya nisisimke mwili mzima.Akazidi kuupeleka mkono wake hadi kwenye mapaja yangu na kuandelea kuvichezea chezea vinyweleo vyangu vingi vya mwilini wangu na tarati akaufikisha mkono wake kwenye koki yangu ambayo tayari imeshasimama kama namba moja na kwakutumia kiganja chake chake kilaini akaanza kuichua taratibu na kunifanya ninyanyuke na kumvuta kwangu na akanilalia kifuani kwangu.Tukaanza kunyonyana lipsi zetu huku ndimi zetu zikiwa na kazi ya kucheza mpira usio na refalii huku na yeye akiwa anaendelea na shughuli ya kichua koki yangu
Nikalifungua tenge lake na akabaki akiwa hana kitu na taratibu mikono yangu nikaishusha hadi kwenye kiuno chake na kukutana na shanga nyingi nyembamba zipatazo sita na nikaanza kuzi-chezea kwa mmfumo wa kama mtu anaye piga gitaa,Nikaachana na shanga na kumpa fursa ma-dama Zena kujishusha kidogo hadi sehemu ulipo koki yangu na kuidumbukiza mdomoni na taratibu akaanza kuinyonya kwa ufundi na kuhisi mwili mzima ukiwa unasisimka hii pia iliongezewa na ufundi stadi wake wa kunyonya kokwa zangu ndogo kiasi na mara kwa mara aliziingiza mdomoni mwake na kuzimung’unya kama mtu anaye mung’unya ubuyu ulio kolea utamu wa sukari na nikashindwa kuzizuia hisia zangu na kujikuta nikiaanza kutoa milio ya kiume na yenye besi jepesi
Nikamlaza madam Zena kwenye sofa na vidole vyangu viwili vya mkono wa kulia vikazama ndani ya ikulu yake na kuaanza kuvichezesha kwa kasi na kumfanya madam Zena kuanza kupiga makelele na nikazidisha kasi ya mkono wangu hadi nikashuhudia ikulu yake ikitawaliwa na maji meupe kisha nikaizamisha koki yangu kwenye ikulu yake na kazi ya mapambo ikaanza.Nikaanza kuyakumbuka maneno ya madam Zena ya kuniita mimi mwanaume suruali yakaanza kujirudia rudia kichwani mwangu na kujikuta nikizidisha utaala wa kumuweka mikao mingi ya kumkomoa japo na yeye anajitahidi katika kujibu mashambulizi yakukaa mikao yake ila ikafikia kipindi nikaanza kumuonea huruma.Hii nikutona na kuchoka kweke huku pumzi zikiwa zimemuishia na alipojaribu kuomba nafasi ya kupumzika nikamnyima kabisa na hadi ninamaliza mzunguko wa kwanza Madam Zena akajilaza kifuani kwangu huku akishindwa hata kuongea kutokana na kuhema na usingizi mzito ukampitia ila kwangu sikuweza kuupata hata kidogo ni kutokana na shuhuli niliyo ifanya.
Saa ya ukutani inaonyesha ni saa saba usiku nikamnyanyua Madam Zena na moja kwa moja ni-kaingia naye kwenye chumba alicho ingia kipindi anapo kwenda kuchukua tenge.Nikakuta ki-tanda kikubwa cha sita kwa sita kilicho na godoro lililo jazia ukubwa.Nikamlaza kitandani na mimi nikalala pembeni yake kisha nikamvuta kidogo na kichwa chake akakilaza kifuani mwangu na kuanza kuzichezea nywele nyingi za madam Zena.
“HIVI HAWA WAARABU WAKINIKAMATA SIKU ITAKUWAJE.........? SIJUI WATANIPELEKA JELA AU WATANIPIGA SHAPA(RISASI) NIFE?.........Mmmm ITANIBIDI NITAFUTE SEHEMU YA KUTO-KOMEA........HATA NIKITOKOMEA NITAENDA WAPI.........JE MIMBA YA RAHMA ITAKUWAJE?”CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Maswali mfululizo yakazidi kukiumiza kichwa changu na kusababisha usingizi kunikimbia kabisa,sikuwa na kitu kingine cha kupoteza mawazo zaidi ya kuaanza kuupapasa mwili wa Madam Zena na tararibu akaanza kutoa miguno iliyo changanyikana na usingizi mzito.Nikamlaza chali kisha miguu yake nikaichanua na kuanza kiichezea ikulu yake hadi nikaridhika na mechi ikaanza taratibu na kumfanya madam Zena kurudi mchezoni na kuachana na usingizi.Ila wakati huu tulienda kama wazee wenye umri mkubwa kiasi kwani kila mmoja aliweza kuusoma mchezo taratibu huku kiuno cha madam Zena kikiwa na kazi ya kukatika na mimi sikukilaza kiuno changu ambacho kwenye idara hii kinakatika bila wasiwaisi na kusababisha mechi nzima kutawaliwa kwa raha za tabasamu kwa upande wangu na wamadam Zena.
Tukamaliza mechi kila mmoja akajilaza upande wake huku tukiwa tumechoka kidogo kwa upande wangu usingizi ukaanza kunichuku taratibu na mwisho wa siku nikajikuta nikilala fofofo.Nikahisi kutu kikiwa kinanipapasa kwenye mapaja yangu na taratibu nikafumbua macho yangu na kujikuta nikistuka baada ya kumkuta Amina mfayakazi wa ndani wa Madam Zena akiwa mtupu kama alivyo zaliwa
“WEEE NINI UNAFANYA...?”
“Shiiii dada hayupo”
“Kwahiyo?”
“Na mimi kidogo nataka”
“Wewe koma na ukomae wewe msichana kwahiyo umeniona kuwa mimi ni Malaya sana hado unakuja na jisauti lako baya eti namimi nataka”
Nilizungumza kwa hasira huku nikijifunika shuka vizuri kutokana sina kitu chochote nilicho vaa ndani
“Jamani shemeji mbona jana dada ulimpa kwenye makochi pale na niliwashuhudia kila kitu mulicho kifanya au unadhani ni mwanamke wa jinsi gani anayeweza kushuhudia mechi kama ile ya jana usiku na akashindwa kuzizuia hisia zeke”
“Nisikilize wewe binti.....Hunijui sikujui ninacho kuomba toka ndani ya chumba kabla sijaku-fanya kitu kibaya ambacho sijapanga kukufanyia”
“Shem tambua hata mimi ninastahili haki yangu”
“Wewe umepagawa eheee....Kama haki si akupe mzee wako wa jana mchana unadhani sikuwaona kwa kitu mulichokuwa munafanya.....Alafu nyinyi wanawake wengine mbona hamujieshimu kila mukimuona mwanaume basi munataka”
Asha hakunielewa kabisa na akaanza kunisogelea kwa haraka na kuanza kulivuta shuka langu na ikawa ni kazi ya vuta nikuvute hapa ndipo nikayakumbuka maneno ya Asha ya jana mchana aliyo yasema kwamba anamapepo ya kidigo baada ya mkuu wa shule kushindwa kumpa Asha haki yake inayo stahili.
Tukasikia mngurumo wa gari ya Madam Zena ikisimama nje na kumfanya Asha kushuka kitan-dani na kuchungulia dirishani kisha akanitazama kwa macho makali kiasi na akaachia msunyo mkali
“Na bado tutaonana”
Asha akatoka ndani ya chumba huku akiniacha kijasho kikiwa kinanimwagika kiasi kwamba ni-kabaki nikiwa ninaheme kama nimetoka kukimbia mbio ndefu kwa maana nimetumia nguvu nyingi sana kumzui Asha kufanya kitu ambacho alichokuwa akihitaji kukifanya.Mlango ukafun-guliwa na Madam Zena akaingia huku akiwa ameshika mfuko mweusi
“Niambie babaa”
“Safi vipi?”
“Poa....mbona jasho jingi linakumwagika vipi tena?”
“Nilikuwa ninapiga piga pushapu kidogo nimevinyoosha nyoosha viungo”
“Basi nenda ukaoge”
“Nitakwenda ngoja nipumzike kwanza”
“Hapa nimetoka sokoni na nimekulatea supu ya pweza kwa maana mmmmm nimekukubali mziki wako wa jana usiku kama umetumwaa”
“Kawaida”
Nikanyanyuka na kujifunga taulo na kwenda bafuni kuoga na wakati ninatoka nikamkuta Asha akiwa amesima karibu ya mlango wa kuingilia bafuni na akanitazama kwa macho makali kisha kama kawaida akaachia msunyo mkali hadi nikaanza kutetemeka kwa kwa woga sikujua ana matatizo gani na kwa haraka nikahisi kuna kitu kinaweza kikawa ndani yake kwani ni tofauti nanilivyo muona juzi mchana nilivyo kuja na mkuu wa shule.Nikaingia chumbani na kumkuta madam Zena akiandaa supu ya pweza akiiweka ndani ya kibakuli
“Hivi nguo zangu zimekauka?”
“Hata kufuliwa bado leo utashinda kwa kujifunga tenge”
“Mmmm”
“Mbona unaguna?”
“ Ahaa hapana ila kukaa kwa kujifunga tenge ni shunghuli...Ninakumbuka siku nilipokuwa nimetahiriwa tenge ndio lilikuwa vazi langu kuu”
“Haaa utafanyanye itakulazimu uvumilie kwa leo”
Nikakaa kitandani kisha Madam Zena akanikabidhi kibakuli chenye supu ya pweza na kabla si-jaanza kuinywa nikastuka baada ya kuona supu rangi yake ikiwa imebadilika na rangi yake ku-wa damu ya binadamu kuku vijinyama nyama vya pweza vikigeuka na kuwa macho ya watu na kujikuta nikikiachia kibakuli cha supu na kumwagika kitandani
“EDDY.....”
“Mmmmmm...!!”
“Mbona umemwga supu”
“Eheee”
“Mbona umemwaga supu tena kitandani?”
Kabla sijamjibu Madma Zena gafla ukutani nikamuona Olvia Hitler akiwa amesimama pamoja na Amina mfanyazi wa Madma Zena wote wakiwa wamevalia mavazi meupe.Nakujikuta mwili mzima ukianza kunitetemeka na upande wa kushoto wa chumba nikwamuona mchungaji akiwa ameshika chungu kinachotoa moshi mwingi.Na taratibu Amina mfanyakazi wa madam Zena akashika panga alilo kabidhiwa na Olvia Hitler na taratibu akaanza kupiga hatua za taratibu na kisimama nyuma ya Madam Zena na kulinyanyua panga lake juu na kabla hajalishusha mwilini mwa Madama Zena nakiajikuta nikimrukia Madam Zena na sote tukaanguka chini ya kitanda na kumfanya madam Zena kutoa ukelele mmoja wa maumivu makali na akakaa kimya na watu wote nilio waona ndani ya chumba sikuweza kuwaona tena na kujikuta nikianza kuchangajikiwa baada ya kumuona madama Zena akitokwa na damu za puani na mdomoni
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Nikamnyanyua Madam Zena na kumuweka kitandani huku nikihema kisha nikachukua kanga iliyoning’inizwa nyuma ya mlango kisha nikaanza kumfuta Madam Zena damu zinazo mto-ka,Nikikiweka kiganja changu kwenye kifua chake na kukuta mapigo yake ya moyo yakienda kama kawaida na kujikuta nikipata matumaini na wasi wasi ukanipungua kwa kiasi kikub-wa.Nikakaa pembeni ya Madam Zena na ndani ya dakika 45 madam Zena akapiga chafya kisha akaanza kufumbua macho na tabasamu likaanza kutawala usoni mwangu baada ya madam Zena kufumbua macho yake na kukaa kitako kitandani
“Unajisikiaje mpenzi?”
“Kidogo afadhali”
“Samahani sana kwa kitendo kilicho tokea”
“Kwani Eddy wewe una tatizo gani?”
“Ahaaa ukiwa sawa nitakuambia tatizo langu ila kwa sasa ninakuomba utulie”
“Nitatulia vipi wakati unaonekana kama mtu mwenye mapepo?”
“Sio hivyo ila ukiwa salama nitakuambia”
Nikaanza kujihisi tofauti kwenye viganja vya vidole vyangu vya mkono wa kushoto hii ni baada ya kuto kuiona pete niliyo vishwa na Yudia.Nikasimama huku nikiwa wasiwasi huku nikijitaza-ma kwenye vidole vyangu na nisione kitu cha aina yoyote,
“Unatafuta nini?”
“Kuna pete nilikuwa nayo kidoleni siiioni?”
“Ni pete ya nini?”
“Hiyo pete inanisaidia sana kwenye mambo yangu”
“Ahaa nilikuvua pete hiyo asubuhi wakati ulipo kuwa umelala.....Nilitokea kuipenda sana pete yako”
“Ohooo ipo wapi?”
“Niliweka ndani ya droo ya dreasing table”
Madam Zena akanyanyuka na kufungua droo ya dreasing table akaanza kuitafuta taratibu jambo lililo anza kunipa wasiwasi kwani kipindi nilipo kuwa nayo sikuweza kupata tatizo la aina yoyote ila baada ya kuvuliwa na Madam Zena vitu vya ajabu ajabu vinaanza kujitoke-za.Nikanyanyuka kitandani na kwenda alipo madamZena na tukasaidiana kuitafuta
“Kwani wewe uliiweka wapi?”
“Niliiweka humu ndani tuu kwenye hii droo”
“Aaahh sasa atakuwa ameichukua nani?”
“Saijajua.....kwani ina umuhimu sana”
“Tena umuhimu wake ni zaidi ya sana”
Tukaendelea kuitafuta pasipo kuiona kiasi kwamba nikaanza kuchanganyikiwa japo madam Zena analichukulia ni jambo la kawaida sana katika pete hiyo.
“Baby tutaitauta baadaye?”
“Zena Zena umenitafutia matatizo?”
“Matatizo gani mpenzi wangu?”
“Ile pete inanilinda mimi na watu wabaya na hapa tulipo kuwa humu ndani kwako kuna watu walinitokea ndio maana ukaona nimekukukumba?”
“Eddy mbona unanitisha?”
“Sio ninakutisha huo ndio ukweli wenyewe”
“Mmmmm sasa inakuwaje?”
“Mimi mwenyewe sijui hata itakuwaje”
Tukabaki kimyahuku kila mmoja akibaki akimtazama mwenzake.Madam Zena akanipa tenge nikajifunga kwani kwa wakati wote nilikuwa kama nilivyo zaliwa kisha tukatoka chumbani huku yeye akiwa ametangulia mbele,Nikakutana na Amina akiwa amebeba sahani za dongo alizotoka kuziosha.Macho yangu yakatua kwenye vidole vyake na kuiona pete yangu.
“Wee weee hembu mara moja”
Nikamsimamisha na kumfanya madam Zena kunishangaa na nilicho kifanya ni kumvua Amini pete iliyopo kidpleni mwake
“Haya wewe Amina umeingia saa ngapi ndani kwangu na kuchukua pete ya shemeji yako?”
Amina akabaki kimya akikosa kitu cha kuzungumza na tukio la yeye kutaka kumkata Madam Zena kwa panga ikanijia kichwani kwangu na kujikuta nikimtazama Amini kwa mach makali
“Si ninakuuliza wewe......huo mtindo wa kuchukua vitu vya watu imeanza lini?”
“Niliingia chumbani kufanya usafi?”
“Usafi wakati shemeji yako yupo umeshaa anza tabia mbaya ehee?”
“Nisamehe dada Zena sinto rudia tena”
“Amina utarudi kwenu ohooo maswla ya ajabu ajabu mimi sipendi......wewe unajua kabisa kuwa leo nina mgeni chambani kwangu na wewe asubihi asubuhi unaingia na kuchukua vitu vya watu wewe unajua ina kazi gani hiyo pete?”
“Lakini dada katika swala la kuwa na mgeni mimi sikulijua kwa maana jana alivyo kuja mimi si-kumuona”
“Hembu nenda kaendelee na kazi zako majini yangu yasije yakanipanda ninaimani unanijua vi-zuri sana”
Amina akaondoka na kutuacha sisi tukikaa sebleni na nikaichunguza pete yangu na sikuona mabadiliko ya aina yoyote na kujikuta nikijiuliza maswali yasiyo na majibu
“Hvi imekuwaje na Amina amekuwepo kwenye mkumbo wa kina Olvia......? Na kama pete ili-wekwa kwenye droo huyu Amina ameionaje............ ? Kuna kitu hapa kinach endelea itanibidi nikijue”
Nilijisemea huku Madam Zena akiwa anabadilisha badilisha chanel za kwenye Tv na baada ya muda tukapata kifungua kinywa na kabla hatujamaliza kunywa simu ya madam Zena ikaaita
“Mama anaumwa?”
“Mumepeleke hospitali”
“Kwahiyo yupo Teule eheee?”
“Haya ninakuja kumuona”
Madam Zena akakata simu na kunyanyuka na kuekekea chumbani kwake na mimi ikanibidi nimwfwate kwa nyuma na kumkuta akianza kuvua nguo moja baada ya nyingine huku akitafuta nguo ya kuvaa kwenye kabati lake
“Eddy mama yangu anaumwa sana”
“Yupo wapi?”
“Muheza hapa inanilazimu kwenda Muheza kumuona”
“Na mimi ninaweza kwenda?”
“Hapana ngoja tu mimi niende nitarudi kesho kama hali yake ikiwa mbaya nitakujulisha”
“Mimi sijaja na simu yangu huku kwako?”
“Ipo wapi?”
“Ipo nyumbani kwangu?”
“Basi nitawasiliana na Amina na nitamueleza kila kitakacho tokea”
“Sawa.....ila roho yangu inasita kabisa kukaa humu ndani kwako”
“Unamuogopa nani?”
“Simuogopi mtu ila kukaa humu kwako mimi sina imani nako kabisa na kama unavyo jua kwamba huko uraiani nina soo”
“Tungeenda wote ila nguo zako ndio kwanza zinafuliwa”
“Ahaaa sasa daaaa haya mwayasafari njema”
Madam Zena akamaliza kuvaa nguo zake kisha tukatoka chumbani na Madam Zena akamuaga Amina
“Unaondoka na gari lako?”
“Hapana sijalifanyai servise nitaoanda Costa.....Amina na shemeji yako umueshimu nisije nikarudi hapa nikakuta hali ya tofauti na nilivy kuacha utajuta”
“Dada siwezi kufanya chochote kibaya?”
“Na iwe hivyo kwa maana unanijua vizuri”
“Sawa dada safari njema”
“Ila si kila kitu kipo kwenye friji?”
“Ndio ila ni soseji ndio zimebaki chache”
“Kwenye droo yangu ile ya upande wa kushoto kuna kwenye kitanda kuna elfu hamsini utanu-nua vile ambavyo utaona vimepungua ila kesho au kesho kutwa ndio ninaweza kurudi ila nina-kuomba uwe makini sana”CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“SAWA”
Madam Zena akanibusu mdomoni kisha akaondoka zake na sisi tukarudi ndani na kujikuta furaha yangu ikiisha kabisa kwa maana Amini aliiapia kabisa kuwa nitaona.Nikapitiliza hadi ndani pasipo kumuongelesha Amina kitu chochote kisha nikafunga mlango kwa funguo na kujitupa kitandani nikianza kuutafuta usingizi ila sikuupata kabisa.Nikasikia mlango ukigongwa huku amina akaniomba nifungue kwani tayari chakula cha mchana kipo tayari.
“Ninakuja”
Nikajinyanyua kitandani na kujifunga tenge langu vizuri na kwenda sebleni na kukukita chakula juu ya meza.
“Amina nguo zangu zipo wapi?”
“Zimesha kauka nataka nizipige pasi”
“Basi ninaomba unifanyie mpango huo”
“Sawa”
Nikala haraka haraka na kuingia bafuni na kuoga kisha nikatoka na kuzikuta nguo zangu zipo tayari nikazivaa kidogo nikapata amani kwani hata lolote litakalo tokea ninawza kuondoka zan-gu
“Shem unaondoka?”
“Ndio nataka kwenda kwangu mara moja”
“Sawa ila shem ninakitu ninaomba kukuuliza?”
“Niulize”
“Wewe na dada mapenzi mumeanza lini?”
“Kwa nini?”
“Nataka kujua tu mapenzi yenu mumeanza lini?”
“Mmmm hilo swali ni gumu na nijepesi ila yameanza siku nyingi tuu”
“Kweli?”
“Mbona unamaswali mengi?”
“Kwa maana dada anamume wake ambaye yeye ni mwanajeshi na siku si nyingi anaweza akarudi ikawa ni balaa kwako na jinsi shemeji yangu yule alivyo na roho mbaya inaweza ikawa ni hatari kwako”
Maneno ya Amina yakapita moyoni mwangu na kujihisi kama nimekatwa na kisu kikali na maumivu yake yameendana na mshangao mkubwa kwa maana sikutarajia kama madam Zena anaweza kuwa na mwanaume kwani kwa jinsi alivyo nifanyia vutu vyote ni sawa na mtu asiye na mwanaume kwani kila kitu amekifanya kwa kujiamini.
“Poa ninashukuru kwa taarifa yako”
“Ila usije ukamwambi dada kwa maana ninaweza kupoteza kibarua changu na kwetu mimi ndio ninaye tegemewa”
“Sawa sinto mwambia.....Ila na wewe asubuhi ilikuwaje hadi ukawa unanilazimisha kufanya mapenzi?”
“Nilivyo ivaa hiyo pete yako sikuwa ninajielewa nikawa ninahisi kuwa na hamu ya kufanya ma-penzi na wewe ila nakuoma unisamehe kwa hilo pia”
“Sawa”
Nikaondoka na moja kwa moja nikaenda hadi nyumbani kwangu na nikasimama kwa mbali ki-dogo kuangalia kamwa kuna ishu yoyote inayo endelea nyumbani kwangu ila sikuweza kumuona mtu wa aina yoyo akiwa nyumbani kwangu.Nikapiga hatu za umakini hadi getini kwangu na kukuta geti langu limerudishiwa,nikachunguliwa kwa ndani na sikumuona mtu wa aina yotote.Nikasukuma geti taratibu na kuingia ndani huku nikizidi kuwa makini kwani endepo kutakuwa na mtu wa aina yoyote asiweze kuniona,nikaingia sebleni na kukuta kukiwa kama nikivyo kuacha nikapitiliza hadi ndani kwangu na kuikuta hali ni ile ile ya jana,Nifungua kabati langu na kuanza kuchukua nguo moja baada ya nyingine na kuziingiza kwenye begi langu kubwa la mgongoni.Nikaanza kuitafuta simu yangu na kuikuta ipo chini ya uvungu wa kitanda kwa umbali kidogo na ikanilazimu kuinama na kuanza kuunyosha mkono wangu ili kuutona na nikafanikiwa na kabla sijanyanyuka nikahisi kutu kigumu kikinigusa kichwani kwangu
“Simama hivyo hivyo la sivyo niakuchangua kichwa chako”
Nikasikia sauti nzinto ikizungumza nyuma yangu na kujikuta nikianza kutetemeka na kujutia ni kwanini nimekuja nyumbani kwangu
“Simama”
Nikasimama na kuwasikia watu wawili watatu wakiwa wanajadiliana kitu cha kunifanya
“Ila bosi amesema tumpeleke akiwa hai kwa maana anataka kumuua kwa mkono wake yeye mwenyewe”
“Huyu bila kumpiga hatuto weza kumpekeka kwewe unamuonaje mtu mwenyewe?”
Nikageuza shingo yangu nyuma na kwakutumia pembe ya jicho langu la kulia nikawaona watu watatu wakiwa wamevalia vinyago vilivyo yaacha macho yao kuwa wazi ila sehemu nyingine za uso zao zikiwa zimezibwa na mmoja akiwa ameshika bastola.Nikageuka gafla kabla sijachukua maamuzi ya kumpiga aliye shika bastola yake nistukia kitako cha bastola kikitua kichwani kwangu na kunifanya niangukie kitandani na kupoteza fahamu
Nikastuka nikiwa nimening’inizwa kichwa chini miguu yangu ikiwa juu na imefungwa na kamba ngumu ambayo sio rahisi kwa mimi kuweza kuanguka kirahisi,Mikono yangu ikiwa imefungwakwa nyuma na kamba pia na sikuweza kuona ni sehemu gani ambayo mimi nipo kwani nip ndani ya chumba chenye sakafu iliyo chakaa huku kwa juu kukiwa na kijikidirisha kimoja kidogo kinacho ingiza mwanga hafifu wa jua na kadri muda unavyo zidi kukatika ndivyo jinsi giza lilivyo tawala ndani ya chumba hichi hadi mwisho wa siku sikuona kitu cha aina yoyote kutokana na giza nene
Baada ya masaa mawili mbeleni kikahisi mngurumo wa gari ukisimama nje ya kibanda na baada ya muda gari lilazima,Nikastukia taa ya mshumaa kiawaka ndani ya chumba kisha mlango ukafunguliwa na akaingia jaa mmoja mweusi sana kiasi kwamba nikaanza kuogopa kwani mwili wake ulivyo tanuka ninaweza kuwafananisha na wale wanao cheza michezo ya myereka nchini Marekani.Wakafwatia wazee watatu wa kiarau wakiwa wamevalia kanzu nyeupe na mmoja nikamfahamu kwa haraka kwani ndio baba yeke Rahma ambaye jana nilimpiga kikumbo getini
Wakaanza kunong’onezana vitu ambavyo sikuweza kuisikia kisha kwa ishara akamuamrisha jamaa mweusi na nistukia ngumi nzito ikitua tumboni mwangu na kuifanya kamba kuzunguruka na mimi mwenyewe nikazunguka ngumi mvululizo kutuka kwa jijamaa hili ambalo linaonekeana kuwa na haruma hata kidogo zikazidi kutua mwalini mwangu na unaweza ukasema ni Mayke Tysona anavyochuka mazoezi ya kulipiga ‘Panch beg’ la mazoezi.Mwili wangu wote ukazidi kutawaliwa na maumivu makali huku nikitoa makelele ya kuomba msaada
“Wewe huwezi kumtia mimba mwanangu.....sitaki azae na watu weusi”
Baba Rahma alizungumza na kumfanya jamaa kuzidi kunipiga ngumi zilizo zidi kuulainisha mwili wangu na maumivu yakazidi kunitawala na damu za puani zikaanza kunimwagika
“NAOMBA UNISAMEHE MZEE WANGU”
Nilizungumza huku machozi yakinimwagika na kumfanya baba Rahma kumuamrisha jamaa kuacha kunipiga kisha akamuomba anivue shati langu na jamaa akalivuta na likachanika vi-pande vipande.Baba Rahma akatoa kisu cha kukunja kwenye kanzu yake na kukiminya sehemu kikafyatuka kisha akanisogelea na kukogoa kuhozi kubwa na kunitemea usoni,Akaniguza na kumuachia mgongo na akaanza kinichana chana kwa kutumia kisu chake na kujikuta nikipiga kelele za kumba msaada ila sauti yangu haikupata msaada wa mtu wa aina yoyote.Akanigeuza na kauendelea kunichana chana na kisu chake kwenye kifua changu na nikaizidi kulia huku maumivu makali yakendelea kuutesa mwiki wangu.
Kazee kamja ka kiarabu kakamzuia baba Rahma kuendelea kunichana kwani mwili wagu mzima ulilowana damu zilizo uchafua uso wangu hii ni kutokana na kiwa kichwa chini miguu juu.Mzee aliye mzuia baba Rahama akaishika bakora yake na kuanza kunichara mikwaju mingi isiyo naidadi kiasi kwamba nikajikuta nikilia hadi nikaanza kucheka kwa uchungu.Mzee anaye nichapa akazungumza maneno ya kufoka kwa kiarabu kisha akaitupa fimbo yake chini na kunishika masikia yangu na kuaza kuyavuta huku akinitingisha tingisha kichwa changu
Akaniamchia na wakazungumza na kutoka ndani ya chumba na kuniacha nikiwa ninalia kwa uchungu kiasi kwamba nikamuomba Mungu aweze kunichukua kwa wakati huu niweze kupumzika mahali pema peponi,Taa ikazimwa na nikaendelea kuvuja damu na nikalisikia gari likiwashwa na kuondoka.Ndani ya robo saa nikahisi kufuli la mlango likifunguliwa nikajua wanarudi tena ila nikaona mtu akiingia akiwa amevalia nguo nyeusi kutokana na damu zilizo tanda usoni na giza kali sikuweza kuona ni nani
“Ohhh Eddy mpenzi wangu”
Nikajua ni Rahma baada ya kuisikia sauti yake kisha akanikumatia huku akiwa analia kwa uchungu,
“N....ifungue”CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Nilizungumza kwa shida na kumfanya Rahama kuanza kutafuta swichi ya kuwashia ndani ya chumba ila hakuiona,
“Ra...hma unatafuta nini?”
“Semehe waliyo ifunga hii kamba”
Rahma kwa bahati nzuri akaiona sehemu niliyo fungwa na kutokana na ugumu na kukazwa kwa kamba hii ikamlazimu kutoka nje na nikastukia taa ikiwashwa na akaingia huku akiwa ameshika jiwe lenye ncha kali ila baada ya kuniona jinsi nilivyo akabaki akiwa ananishangaa kiasi kwamba akazidi kulia
“Rah...ma”
Rahma akastuka na kuanza kupiga hatua za haraka hadi sehemu yenye nondo iliyo kitwa kutani na ndipo kulipo fungwa kamba iliyo kwenda kwa juu na kupita kwenye chuma kingine na kunining’iniza.Rahma akaanza kuipiga piga kamba kwa kutumia nguvu zake hadi kamba ikaanza kukatika taratibu
“Jika...ze....Ba...by”
“Sawa mume wangu”
Rahma akajitahidi kukata hadi kamba ikakatika yote na kunifanya nianguke kama mzogo na ni-zidi kapata maumivu mengi.Rahma akanifwata na kunikumbatia huku akiwa analia kisha akanza kunifungua kamba za mikononi nilizo fugwa kwa nyuma.Rahma akaninyanyua na kutokana na kipigo kikali nikajikuta ninakosa hata nguvu za kuniwezesha kutembea.Rahma akauchukua mkono wangu mmoja na kuupitisha begani mwangu na kuninyanyua na taratibu tukaanza kutembea taratibu kutoka nje na kuuona msitu mkubwa na kwa mbali tukaziona taa za gari zilija eneo la chumba kilichopo.
“Mungu wangu ni gari ya baba.....Eddy jikaze tuondoke”
Rahma akanihimiza na nikajikaza japo mwili wangu umepoteza nguvu na tukaanza kutokomea msituni na mwendo wa dakika kama tano nikakuta gari ambayo Rahma mara nyingi huwa hui-tumia.Akaniingiza kwenye siti ya mbele kisha na yeye akaingia upande wa dereva na akaiwasha gari na kuotoa kichakani alipo ificha na kwa kasi ya ajabu akaingia barabara ya vumbi iliyopo ndani ya msituu huu na kuendelea kuliendesha gari na sikujua tunaelekea wapi.Galfa nimamuona Rahma akitoa msunyo mkali kiasi kwamba kwa shida nikakinyanyua kichwa changu na kuangalia nyuma na kuona gari ikijakwa kasi huku ikiwa imewasha taa zake zenye mwanga mkali na kuyafanya mapigo yangu ya moyo kuanza kunienda kasi
Gari tuliyomo ikaanza kutoa mlio ulio ashiria mafuta ya gari kuisha na kadri tunavyozidi kwenda ndivyo gari lilivyozidi kupungua mwendo na kuliruhusu gari la nyuma yetu kutufikia kwa ukarubu zaidi na mwish wa siku gari ikasimama kabisa na kumuona Rahma akitetemeka mwili mzima na asijue nini anafanya.Gari ya baba Rahma ikasimama kwa nyuma yetu na kumuona baba Rahma akishuka huku mkononi mwake akiwa na bastola,Wakafwatia wazee wawili wa kiarabu pamoja na lile jijamaa jeusi.Nikashika kitasa cha mlano na kukifungua na kudondoka chini kisha kwa tabu nikasimama huku nikiwa nimelishaka gari kwa msaada wa kuto kudondoka
“Eddy nini unafanya?”
“Nipo tayari kufa Rahma siwezi kuishi tena.....Niache nife mbele yako”
Nilizungumza kwa uchungu huku nikiwa nimejishika tumboni kwenye maumivu malali na kumfanya Rahma kushuka kwenye gari kwa haraka na kusimama pembeni yangu huku akilia na kumuomba baba baba yake asifanye kitu anachotaka kukifanya.Baba Rahma akaikoki bastola yake na kunielekezea mimi huku akiwa amesimama umbali kidogo na sehemu tuliyo simama sisis akimsikiliza mwanaye kitu anacho kizungumza
“Baba kumbuka kwamba mimi ni mwanao na ninauhuru wa kuchangua na kufanya kila ninachi kihitaji na siwezi kumuacha mwanaume ninaye mpenda katika maisha yangu”
“Nyamaza wewe mshenzi...mwanaharamu siwezi kukuruhusu kuwa na watu kama hao”
“Mzee wangu fanya unacho kifanya nipo tayari kwa lolote utakalo liamua”
Maneno yangu niliyazungumza kwa uchungu huku nikiwa ninatokwa na machozi na nikapiga hatua mbili mbela na kustukia mlio wa bastola na kujikuta nikiwa nimeanguka chini huku tara-tibu nikimshuhudia Rahma akianguka huku akiwa amejishika tumboni akitoa kilio cha maumivu makali hii ni baada ya Rahma kunivuta mimi pembeni na yeye kupigwa na risasi ambayo baba yake aliifyatua kwa lengo la kunipiga mimi ili kuniua
Sote tukabaki tukimshangaa Rahma anaye anguka chini taratibu,nikajikongoja taratibu huku nikitambaa taratibu nikijaribu kuunyoosha mkono wangu mmoja ili kumshika Rahma na kabla sijamfikia nikastukia miguu yangu ikishikwa na lile jitu jeusi na kuanza kuniburuza kwenye majani na kuwaacha wazazi wa Rahma wakimbeba mtoto wao na kumuingiza kwenye gari huku damu zikimvuja.Jamaa likazidi kunivuta na kunitokomeza msituni na mbaya zaidi kila anavyo niburuza ndivyo jinsi ninavyozidi kupata michubuko huku miba mikali aina ya mbigili ikiingia mwilini mwangu na kuzidi kuniogezea maumivu makali.Jamaa akaanza kunipiga mateke ya tumboni kiasi kwamba nikahisi ndio mwisho wa maisha yangu
Jamaa akatoa kamba aina ya manila na kunifunga kwenye miguu na mikononi kisha akarudi se-hemu walipo wazazi wa Rahma na nikaanza kujaribu kujifungua kamba kwa kutumia meno ila kutokana na kwa jinsi alivyo ikaza nikajikuta nikishindwa kujifungua,Nikamuona jamaa akirudi huku mkononi mwake akiwa ameshika chepe na sururu na nikazidi kuogoa na sijujua analengo gani.Jamaa akaviweka vitu vyake pembeni na kuanza kuchangu majani kwa kutumi mguu wake wa kulia ulio valia buti kubwa.Nikapata jibu la jamaa kuja na vifaa vyake baada ya kuanza kuchimba shimo kwa kutumia sururu huku chepe akilitumia kwa kutolea ichanga.
“Ohhh Mungu wangu ninakuomba uniongoeze wewe ndio kila kitu kwagu na kuomba huyu ja-maa abadilieshe mawazo asinizike nikiwa hai mimi”
Nilizungumza kwa uchungu huku machozi yakinimwagika nikajaribu kujifungua kamba ila nikashindwa na kujikuta nikiwa nimetulia huku nikilia na kujutia ni kwanini nimekuwa na mahusianao na Rahma.
“Kaka....Kaka....Kaka”
Niliita na jamaa akaniangalia kwa macho makali ambayo kwa muonekano wake anavuta bangi kiasi kwamba macho yake ni mekundu kiasi,
“Ndugu yang...u tambua kuwa m...imi na wewe ni wa..tanzania...Pia sisi ni wanaume haya mambo leo hii yana..nipa..ta mimi ila kesho yanaw...eza ya katokea kwako kwa m....fumo mwengine nakuoma ndugu yangu nifu..ngue niweze kuondoka”
Jamaa akanitazama kwa jicho kali kisha akashika chepe lake na kuendelea kutoa mchanga kwani tayari ufefu wa shimo analo lichimba umefikia usawa wa kiono chake,Jamaa akavua shati lake kabisa na kubaki kifua wazi na kuendelea kuchimba shimo huku akifanya haraka.
“Mungu atak....upa swa...wabu zake pale utaka....po nisaidia mimi ni sawa na ndugu yako...kwani sisi ni wa Afrika na hao waarabu japo wana pesa ila sio wa Afrika...Kaka....KAKA...!!”
Nilizungumza kwa shida sana ila jamaa akawa kama hanielewi kiasi kwamba akazidi kuchimba shimo na akiwa anaendelea nikasikia mngurumo wa gari ukipita maeneo ya barabara ilipo na nikaanza kupiga kelele na kumfanya jamaa kutoka kwenye shimo haraka na kunishika kichwa changu kwa mkono wake mmoja kisha mkono mwengine akiwa na kazi ya kunisokomeza shati lake alilo livua kiasi kwamba likaingia karibia nusu ya shati na kujikuta sauti ikiwa haitoki kabi-sa
Jamaa akarudi kwenye shimo na kuendelea kuchimba na safari hii akatumia nuvu nyingi sana hadi nikamuona akizidi kwenda chini kiasi kwamba akawa anaonekana kichwa na kwa jinsi alivyo mrefu nikajua kabisa shimo ni refu kiasi kwamba hata nikifukiwa humo sio rahisi kwa mtu kuja kuiona maiti yangu kiurahisi.Jamaa akatoka ndani ya shimo na kupiga hatua za kuja eneo nililopo kisha akaninyanyua na kuniweka begani kwake na kabla hatujalifikia shimo tuka-muona mzee yule wa kiarabu aliye nicharaza bakora nyingi akija akiwa peke yake hadi sehemu yulipo simama
“Pumbavu sana hiyo kijana weka ndai shimo zika potelee humo changani....Peleka Rahma Hos-pital acha baba yeke kule na jomba yake mimi rudi kuja angalia kazi jinsi inavyokwenda”
Mzee alizungumza kwa sauti ya ukali huku Kiswahili chake kikiwa ni kibovu kiasi kwamba nikajikuta nikisali sala yangu ya mwisho huku nikitubu zambi zangu zote nilizo zofanya duniani kwani huu ndio mwisho wangu wa maisha na sina ujanja zaidi ya kusali
“Pesa yangu ipo tayari?”
Hapa ndipo nikaishikia sauti ya jamaa na kushangaa ni sauti ya upole na ninzuri tofauti na ni-navyo muona.
“Ndio ipo ndani kula ya gari hembu ngoja kwanza mimi chungulia ndani hii shimo ona kama refu ridhisha”
Mzee akalisogelea shimo na kulitazama huku akiwa amekitanguliza kichwa chake kama mtu anaye hofia kudumbukia ndani ya shimo hilo.
“Wewe pumbavu sana shimo dogo hili chimba refu sana hata mbwa polisi nusa shindwa pata harufu yoyote”
“Mzee nani mpumbavu?”
“Wewe pumbavu sana lipa pesa chimba shimo dogo hata zika panya harufu toka nje”
“Eti ehee”CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Nikastukia jamaa akitingishika na kusikia kilio kikali cha mzee wa kiindi kilicho ambatana na kishindo kizito cha kisha jamaa akanishusha na kuniweka chini na kwa haraka akaokota chepe lake na sikumuona mzee kwenye usawa wa ardhi na nikaisikia sauti yake ya kulia ikitokea kwenye shimo.Jamaa akachota mashepe wawili yaliyo jaa mchanga na kujatumbukiza ndani ya shimo na mzee akaendelea kupiga kelel huku akitoa matusi yaliyo changanyikana na lugha ya kiarabu,Jamaa akaweka chepe lake chini na kunyanyua sururu na kuitupa ndani ya shimo na kumsikia mzee akitoa ukelele mkali na nikajua kabisa sururu hiyo itakuwa imempata vizu-ri.Jamaa akaanza kuzunguka huku na kule kama mtu aliye changanyikiwa na akazunguka nyuma ya mti na ndani ya muda mchache akarudi akiwa amebebe jiwe kubwa na linalo onekana zito sana kwani japo jamaa ana misuli mikubwa ila akaonekana kupata shida sana katika kulinyanyua jiwe hili na akafika sehemu ya lilipo shimo kisha akazungumza maneno ya kilugha Kitukuyu kisha akalitupia ndani ya shimo na kuusikia mlio mmoja wa mzee na ukimya ukatawala
Jamaa akachukua chepe na kuanza kufukia kwa haraka shimo na ndani ya kama dakika kumi akawa amemaliza kulifuka shimo kisha akachukua matawi ya mti na kuyaweka juu ya sehemu ya shimo kisha akapiha ishara ya msalaba na kunisogelea sehemu nilipo na kunifungua kamba alizokuwa amenifunga kisha akanita shati ambalo alikuwa amenikandamiza nalo mdomoni
“A....saante”
“Powa na hii iwe siri yako na ole wako nisikie kitu chochote kitakacho husiana na hili tukio nita-kuua na nitatoka tena Kenya na kurudi Tanzania kwa ajili yako”
“Siwezi kuzungumza kwa mtu”
“KIMBI”
Nikajaribu kukimbia na kujikuta nikianguka kama mzingo na kujikuta nikianza kutembea kwa kutumia msaada wa miti iliyopo ndani ya huu msitu ambao unatisha sana.Nikajikaza na kuongeza mwendo hadi ikafikia hatua viungo vyote vya mwili vikakataa kwenda sehemu yoyote na nikajikuta nikikaa chini na kujiegemeza kwenye mti mkubwa na kutokana na uchovu mwingi na kajiupepo kalichopo kwenye eneo la huu msitu nikajikuta nikilala na usingizi mzito ukanipitia
Nikasushwa na kitu kikubwa chenye ubaridi mkali kikinizunguka kweye mwili wangu huku ki-kiwa na ngozi inayo laini.Nikayafumbua macho na kukuta ni joka kubwa likiwa limeziningira mara mbili kwenye mwili wangu na sikukiona kichwa chake kipo kwa wa-pi.Nikajikaza mwili wangu na kuyafumba macho yangu huku nikijaaribu kuzibana pumzi zangu mara kwa mara.
Mwanga wa jua ukatawala anga na sehemu yote ya msitu nikaioa kw azuri huku nikitumi kona za macho yanga kuliangalia joka lililo nizingira,Sikuyaruhusu mapigo yangu ya moyo ku-nienda mbio kwani ndio ugekuwa ndio mwisho wa maisha yangu kwani ninaamini joka hili linanisikilizia na kitu kingine kilicho nichanganya zaidi sikujua mwili wake upo kwa wapi.Nikaanza kuhisi ute ute ukiniangukia kichwani na kwajinsi ulivyo na harufu kali nikatambua kabisi kichwa chake kitakuwa kipo juu ya kichwa changu.Nikazidi kujikausha na masaa yakazidi kunikatika ila joka likaendelea kunijikausha huku likiwa linaendelea kunidondoshea ute.
Nikazisikia kelele za umbwa wakilia na wakijawa wapo sehemu ya karibu na eneo hili na gafla nikasikia mlio wa bunduki na damu nyingi zikinimwagikia huku joka likiniachia na na kuanza kugara gara chini,Nikawaona watu wapatao sita huku wawili wakiwa na bunduki aina za magobore na wengine wakiwa na mishale na mikuki.Wakaanza kulishambulia jo-ka wa mishake hadi likatulia kimya.Jamaa wakaanza kushangilia huku wakipiga vigele-gele na nikagundua ni wamang’ati wanao ishi huku Tanga.Cha kumshukuru Mungu ni joka hili kuwa linaonekana limeshiba sana kwani sehemu ya tumboni kwake imefuka na kama sio hivyo ningekuwa kitoweo cheke.
“Wewe vipi?”
Jamaa mmoja aliniuliza huku akinishangaa,Sikuweza kumjibu kwani hata uwezo wa ku-zungumza uliniishia.Jamaa wawili wakaninyanyua na ninibeba na kuondoka msituni huku nikiwaacha jama wengine wakiwa msituni wakilipasua joka.Tukafika kwenye moja ya kijiji chenye nyumba nyingi za udongo na zilizo ezekwa na nyasi huku kikiwa na maboma mengi yaliyo kusanya idadi kubwa ya ngombe.Wanakijiji walio valia nguo ambazo sio nzuri sana wakaanza kunishangaa na nikaingizwa kwenye moja ya kijikibanda na kumkuta bibi mmoja mzee kiasi na wakanilaza kwenye kijimkeka kilicho shonwa kwa aina yake
“Bibi huyu jamaa tumemuokota huko porini tulipokuwa tunaliwinda lile jijoka lililo kuwa lime-luka ndama jana usiku”
“Mumefanikiwa kuitumia ile dawa niliyo wapa?”
“Ndio bibi tumefanikiwa kuitumia kama ulivyo tuelekeza na tumwefanikiwa kuliua joka hilo na tulilikuta likiwa limejiviringisha kwenye mwili wa huyu jamaa”
Bibi akanitazama kwa umakini kuanzia juu hadi chini na macho yake yakasimama kwa muda kwenye mkono wangu wa kushoto kisha akaushika na kuunyanyua na kuiangalia pete niloyo ivaa kisha nikamuona akikitingisha kichwa chake na sikujua ana maana gani.
“Kanichoteeni maji kisimani nije kumpaka dawa huyu kijana”
Jamaa wakaoondoka na nikabaki na bibi na kumuona akifungua fungua vikopo vyak vingi am-bavyo vimejaa dawa za kienyeji za kila aina na akabandika maji yaliyomo kwenye chunga cheusi tii kwenye jiko lake ambalo limetengenezwa na udongo na kwa utaalamu mkubwa na japo ninajisikia vibaya ila sikusita kulishangaa na linatumia kuni.Bibi akaanza kunivua suruali yangu na nikabakiwa na boksa,Jamaa wakarudi wakiwa wamebebe ndoo mbili kubwa zilizo jaa maji mengi na kuziweka pembeni na bibi akawaruhusu waondoke na kutuacha peke yetu.Akaanza kunifuta damu zilizo ganda mwilini mwangu kwa kutumi spoji ambalo analichovya mara kwa mara kwenye maji aliyo yachangaya kati ya maji ya moto aliyokuwa akiyachemsha na maji yaliyo toka kisimani na kusababisha uvuguvugu wa maji hayo.
Akamaliza kuniosha kila sehemu ya mwili na akanifuta na kitambaa licho kauka kisha akachu-kua mafuta ambayo harufu yake inaendana na kondoo na kunipaka kila sehemu yenye kidonda na akachanganya dawa zake za unga kisha akaanza kuninyuzizia mwili mzima na kujikuya mwili wangu ukiwa unachemka kwa maumivu makali na kujikuata nikipata shida ila nikajikata katika kumwaga machozi.Akachukua maji ya moto aliyo yachota kwa kutumia kikombe cha plastiki kilicho chakaa kiasi na kuweka vijiko kadha ya dawa zenye asili ya unga zinazo fanana kama majani ya chai kisha akaanza kuninywesha kilazima
Sikuwa na jinsi zaidi ya kunywa japo ninaungua tumboni ila nikajikaza kiume kwani huduma nyenyewe ninayo fanyiwa ni ya msaada
“Ndio jikaze mwanaume huwa halii...Hiyo dawa inakwenda tumboni kusafisha uchafu wote na-kuachia misuli iliyo na maumivu”
Tumbo likaanza kunikoroga kiasi kwamba nikaanza kuhisi kichefu chefu na kila nilivyo jikaza ili kukipotezea kisije nikajikuta kikiongezeka hadi mwishowa wa siku nikajikuta nikitapika hadi nikaanza kutapika vidonge vidogo vidogo vya damu iliyo ganda
“Mama weee ninakufaa”
“Hufi ndio unasafisha uchafu hivyo endelea kutapika”
Bibi alizungumza huku akinipiga piga mgongoni na nikazidi kutapika hadi ikafikia kipindi nika-kosa cha kutapika zaidi ya kutema tema mate chini.Bibi akachukua kikopo kidogo kilicho fungwa na kifuniko na kuanza kukitingisha sana kisha akakisogeza karibu na pua yangu na kukifungua na vumi jingi likatoka ndani ya kikopo na kuingia puani mwangu na kujikutani nikianza kupiga chafya kwa kiasi kwamba makamasi yaliyo changanyikana na damu damu yakaanza kunimwagika hadi ikafika kipindi zikakatika.Bibi akaniletea chakula cha miogo ya kuchemsha na kuanza kunilisha taratibu na kuokana na njaa kali ikanilazimu kumuomba bibi aniongoze chakula
“Utakula jioni kwani inabidi usishibe sana ili dawa uliyo kunywa ifanye kazi vizuri mwilini”
“Kweli bibi”
“Ndio na utapona tuu jipe moyo”
Nikaendelea kuishi ndani ya kibanda cha bibi kwa skiku mbili mfululizo pasipo kutoka nje huku akiwa aninipaka dawa zake za asili hadi baadhi ya vidonda vikaanza kukauka kauBibi akanipa ruhusa ya kitoka nje kukitazama kijiji na akamuomba kijana mmoja kunitembeza sehemu mbali mbali za kijiji.Wanakijiji wengi kila sehemu ninayo pita wakaanza kunong’onezana huku wakimuuliza maswali jamaa niliye naye kwa kutumia kilugha na jamaa akawa anawajibu vizuri
“Wanasemaje?”
“Wananiuliza kuwa wewe ni nani na ninawajibu kuwa wewe ni ndugu yetu”
“Si waliniona ile siku nimebebwa nakumbuka kama tulipia njia hii”
“Ndio ila achana nao kwani hichi kijiji watu wake tunawajua sisi wenyewe”
“Wana nini?”
“Wapo watu wema na wabaya na si kila anaye kuchekea usidhani anakupenda na kijiji hi-chi kina wachawi kama nini”
“Mmmmm
“Ndio na wamekuwa wakiyaangusa magari yanayo pita barabara kubwa?”
“Kwa nini wanafanya hivyo?”
“Ni roho mbaya tuu kwani unadhani mchawi akiamua lake anakuwa na roho nzuri...Tena ile nyumba pele ya yule mzee aliye kaa pale nje...Unaweza ukasema pale hawezi kutembea ila yeye ndio gwiji la wachawi na ndio anaye fuga majoka yanayo maliza ndama na mbuzi wa watu hapa kijijini”
“Eheee sasa kama munamjua si mukamuue na yeye?”
“Mmmm asikuambie mtuu ukiwa na lengo au wazo tu la kutaka kumuua huyo mzee ukienda kwake anapote mbele yako”
“Mmmm ulisema kuwa kuna barabara?”
“Ndio hiyo barabara inakwenda Tanga na Dar,Arusha”
“Kwahiyo siku nikitaka kuondoka ninaweza kupata usafiri vizuri”
“Ndio unapata.....Mmmm kuna nini tena?”
Jamaa aliniuliza swali ambalo nikashindwa kulijiu hii ni baada ya kuwaaona watu wakikikimbi-lia sehemu moja watoto,wamama na wanaume.Ikamlazimu kumuliza kijana mmoja anaye onekana yupo kasi akikimbilia sehemu ambayo watu wengine wanakwnda
“Kuna gari mbili zimegongana na moja ni ya unga na mafuta ya kula watu wanawahi viroba vya unga na vindoo”
“Kaka twende”CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“Ni mbali na hapa kwani bado sipo sawa ninajihisi maumivu”
“Nahisi ni hapo juu”
Tukaanza kutembea kwa mwendo wa haraka na tulishingwa kukimbia kutokana na bado mau-mivu kadhaa yametawala kwenye sehemu za mwili wangu japo nimevaa shati kubwa kiasi ila kitu kingine nikaofia kukimbia kwani jasho likinitoka ni lazia dawa niliyo pakwa itatatoka na jasho litapelekea pia shati kunasa kwenye vidonda.Tukapishana na watu wakiwa wamebeba vindoo na viroba vya unga huku kila mmoja akijitahidi kubeba kwa uwezo ambao anauweza yeye mwenyewe kitu kilicho nishangaza hadi watoto wadogo nao wanajitahidi kubeba wanacho kiweza
“Naona leo neema imeingia kijijini”
“Wee acha tuu tuwahi na mimi nipate hata kijindoo na kiroba cha unga”
“Wahi mimi ninakuja taratibu taratibu”
“Hapo umenena ndugu”
Jamaa akachomoka kwa kasi na kutokana na watu ninao pishna nao ni wengi wanao toka na kuelekea eneo la ajali haikuwa ngumu kwangu kupotea.Nikafika sehemu ya ajali na kukuta gari aina ya ‘Scan’i lenye tela la nyuma likiwa limeanguka kichwa chini miguu juu ambalo ndilo linashambuliwa na wanakijiji katika kutoa vindoo na viroba vya unga na huku mbele kukiwa na basi dogo la abiria aina ya ‘Rosa’ likiwa halitamaniki kwa kubonyea na likiwa limemelala mtaroni kiubavu na damu nyingi za abiria zikiwa zimetapakaa kwenye eneo lilipo,IkanibIdi na mimi kwenda kusaidiana na watu wanao wachomoa abiria waliomo kwenye gari hili.Nikajitahidi kumchomoa dada mmoja kupitia dirishani aliye funikwa kichwa kwa baibui lake na nikafanikiwa na kumburuza mbali kidogo na dari lao lilipo
Nikamfungua baibui lake kichwani na kujikuta nikistuka baada ya kumkuta ni madam Zena am-baye aliniaga kuwa anakwenda kwa mama yake.Ukimya wake ukazidi kunipa wasiwasi kwani sikujua kama amefariki au amepoteza fahamu kwani hata hakuwa anahe-ma.Nikaanza kmminya kifuani kwake kama kuyastua mapigo yake ya moyo,Nikiwa ni-naendela kumminya nikashuhudia jamaa wawili wakigombania kidoo cha mafuta huku mmoja wao akiwa na kipisi cha bangi mdomoni.Wakaanza kupigana na ikamlazimu mwenye kipande cha bangi mdomoni kukitema pembeni huku kikiendelea kuwaka na ki-kaangukia kwenye mafuta ya pretroli yanayotoka kwenye tanki lililo pasuka la gari aina ya Scani ambayo yamesambakaa barabarani na ndani ya dakika mlipuko mkubwa ukatokea na kusababisha idadi kubwa ya watu wanao gombania viroba vya unga na vindoo vya mafuta kurushwa mbali na wengine kupoteza maisha
Moshi mwangi na harufu kali ya moshi wa mafuta aina ya Petrol ikatawala katika eneo zima la eneo rulilopo huku vilio vikianza kutwala kwa wale walio wapoteza ndugu zao kwenye ajali ya moto.Ikanilazimu kumsogeza madam Zena pembeni zaidi ili kuepuka kuunguo kwa moto unaosambaa kwenye hili eneo kwa kupitia upepo mkali.Gari za Polisi mbili zikafika katika eneo la tukio na sikujua ni nani aliye wataarifu na baada ya muda gari za zima moto na gai ya wagonjwa ikafika katika sehemu ya tukio na kuanza kupakiza baadhi ya wagojwa mahututi ikiwemo madam Zena na wakawahishwa katika hospitali ya mkoa wa Tanga iitwayo Bombo. Msongamano wa magari mengi yaliyo simama kutokana na ajali ikazidi kuongezeka na kusababisha msongamano mkubwa wa magari mengi yanayotoka mkoani na yanayokwenda mkoani.Maiti za wanakijiji walio ungua katika mlipuko zikaanza kukusanywa eneo moja na nikajikuta nikitafuta sehemu nikisimama kutokana na kushindwa kuiangalia miili ya watu wengine kwa maana imeharibika kiasi kwamba inatisha.Hadi inafika saa tatu usiku magari yakaanza kuruhusiwa kuendelea na safari baada ya magari yaliyo pata ajali kusogezwa barabarani.
Nikarudi kijijini na kukuta nyumba nyingi zikiwa zimetawaliwa na vilio kiasi kwamba hata raha ya viroba vya unga na vindoo vya mafuta ya kupikia ikawa imetoweka miongoni mwa wanakijiji wengi,Kutokana sikuwa mwenyeji kwenye kijiji hichi mojo kwa moja nikafikizia kwa bibi aliye nihudumia kipindi nikiwa nimeokotwa porini,akanipatia chakula nikala na kwenda kuoga kasha nikarudi ndani na kumkuta akichanganya changanya dawa zake kama kawaida
“Unajisikiaje sasa mjukuu wangu?”
“Kdogo afadhali bibi yangu”
“Mshukuru Mungu kwa yale yote yaliyo tokea na ameweza kukuokoa hadi ukafikia kuwa na hali kama hiyo”
“Ni kweli bibi na vipi mbona hauendi kwenye misiba?”
“Mbona hiyo sio misiba mjukuu wangu”
“Sio misiba kivipi bibi?”
“Mjukuu wangu kwenye ulimwengu huu kuna mambo mengi sana ambayo wanadamu huwa tunayapitia na kuyafanya,Yakiwemo mazuri na mabaya”
“Ni kweli bibi ila sijakuelewa ni kwanini umesema kuwa sio misiba?”
“Watu hao hawajafa kilicho tokea kwenye hiyo ajali ni kiini macho tu ila watu wanao sadikika kufa kwenye hiyo ajali wote wapo hai”
Nikajihisi kama mwili ukiwa umesizi kidogo huku nikifikiria cha kumuuliza bibi kwa maana ninacho kisikia hapa ni kama vile nipo ndotoni vile na ikanilazimu kuamini ninacho ambiwa hapa ni kweli na wala sio ndoto
“Kwa nini bibi?”
“Kwa malezo zaidi nitakufwata usiku nikakuonyesha hao watu sehemu walipo”
“Usiku kivipi?”
Bibi akanyanyuka na kuingia ndani kwake na kuniacha na alama ya kuuliza huku mapigo ya moyo yakiaanza kunienda mbio hata hamu ya kulala ikaanza kunitoweka.Nikatoka nje kwa kunyata na nikafanikiwa na kukuta bado wenye misiba wakiendelea kupiga makalee ya kuomboleza vifo vya ndugu na jamaa zao.Nikaanza kutembea kuelekea barabarani na kukuta na watu wengine wakiendelea kusafisha safisha barabara huku gari aina ya Rosa iliyo pata ajali ilinyanyuliwa na gari maalumu lenye winchi na kuwekwa barabarani
“Kaka hili gai lenu munalipeleka wapi?”
Nilimuuliza mmoja wa wafanyakazi walio kuwa wakijishuhulisha na jinsi ya kuinyanyua gari hii ya abiria
“Tanga mjini”
“Samahani kaka sijui ninaweza kupata japo kanafasi ka kujishikiza na hadi huku munapo elekea?”
“Kwani wewe unakwenda wapi?”
“Mimi ninakwenda Tanga mjini?”
“Sasa huku ilikuwaje ukaja?”
“Niliacha na basi niliingia porini kuchimba dawa kurudi ninakuta basi nililo lipanda likiwa halipo”
“Powa ngoja nizungumze na suka”
Sikuwa na ujanja ilinibidi kudaganya kwa maana pasipo kufanya hivyo ingekula kwangu na jamaa niliye zungumza naye akazungumza na dereva wake kasha akaniita na sote tukaingia kwenye gari lao kubwa na safari ikaanza huku ililivuta gari la abaria lililo pata ajali.Japo bibi amenisadia ila kusema kweli alivyo niambia atakuja usiku kunichukua nikapoteza amani kabisa ya kukaa nyumbani kwake.Ndani ya lisaa na nusu tukafika Tanga mjini na mimi wakanishusha maeneo ya Reilway na nikawashukuru na jamaa wakaelekea barabara ya sita anapoishi mmiliki wa gari hiyo.Nikakodi bodaboda japo mfukoni sina hata senti moja ikanipeleka hadi nyumbani kwangu.Sikuwa na woga kutokana ninahisi kuwa baba Rahma anaamini kwa wakati huu nitakuwa ni maiti.Nikalikuta geti la nyumbani kwangu likiwa limerudishiwa na moja kwa moja nikaingia ndani kwangu huku nyumba yangu nikiwa nimeichungaza vya kutosha
Nikaaza kutafuta kikadi changu cha benki na kwa bahati nzuri nikiwa ninakagua kwenye mifuko yangu ya suruali nikakuta noti mbili za elfu tano tano kwenye suruali yangu ya jinzi,nikatoka nje na kumlipa boda boda na kufunga geti langu na kurudi ndani na moja kwa moja nikajitupa kitandani na kutokana na uchovu mwingi usingizi mwingi ukanipitia.
Nikaanza kuhisi hali ngumu kila nilipojaibu kuvuta pumzi nikajikuta nikishindwa kiasi kwamba nikaanza kutumia nguvu nyingi katika kupambana na kitu kilicho nikaba kooni ambacho sikioni na kadri muda ulivyo zidi kwenda nikajikuta ninazidi kukabwa,Gafla bibi akasimama pembani ya kitanda changu huku akiwa amevalia kaniaki nyeusi huku mkononi mwake akiwa ameshika unyonya wa simba pamoja na kijikibuyu kidogo
“Eddy mbona ulinikimbia pasipo kuniaga?”
Nikashindwa kumjibu na kila nilipo mtazama sauti yangu haikuweza kunitoka kaisa nikabaki nikiwa nimemtazama
“Basi nimekuja kuitimiza ahadi yangu ya kuja kukuchukua”
Mwili mzima ukaanza kumwagikwa na jasho na katika siku amazo nimepatikana hii kwangu leo nimepatikana tena kwa asilimia kubwa na sikuona dhamani yoyote ya pete niliyo ivaa kunisadia,Akaunyosha mkono wake mmoja na kujikuta nikinyanyuka kitandani na pasipo kupenda.Akaniamrisha kuzunguka kwa kutumia kidole chake kimoja cha mkono wa kulia na kujikuta nikizunguka zaidi ya mara saba kisha akanishika mkono na tukapiga hatua hadi kwenye kona ya chumba changu na kujistukia tukipita bila wasiwasi na tulipo tokea si nje kwangu bali kuliwa makaburini na nikakuta kuna chungu kikubwa kilicho zungukwa na watu walio uchi wakiwemo wakubwa na wazee,wanawake na wanaume.Bibi akanipaka unga kwenye uso wangu na kuniambia kuwa watu hao itakuwa ni ngumu wao kuniona
Tukapita kati kati yao huku nikijitahidi kuchungulia kwenye chungu kikubwa walicho kizungukana sikuona ni kitu gani wanacho kichemsha,Tukasimama pembeni kwenye kaburi lililopo kwenye eneo ilo kisha tukaanza kushuhudia wale watu walio fariki kwenye ajali wakipita mmoja baada ya mwengine huku wakiwa wamepanga mstari mmoja kama wanajeshi walio tekwa huku mikono yao wakiwa wameinyoosha juu na moja kwa moja wakaenda mpaka kwenye moja ya kaburi lililo wazi na wakaanza kusukumwa na Yule mzee ambaya jamaa aliniambia kuwa ni mchawi kikongwe na karibia watu thelathini na saba wakadumbukia ndani ya shimo moja kisha wale wachawi wali zunguka chungu wakasimama na kuanza kucheza ngoma iliyo tibua vumbi jingi kiasi kwama hata sikuweza kuwaona vizuri
“Bibi pale wanafanyaje?”CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“Mjukuu wangu pale wanasherekea kuwa wamewapata vibarua wapya”
“Vibarua vipya kivipi?”
“Ni wafanyakazi wapya wa kuwalimia kwenye mashamba yao na kuwafanyia kazi nyingine za utapeli kama kukopera”
“Kukopera ndio nini?”
“Kukopera ni ile hali kwamba mtu anakuja na kiasi kidogo cha pesa ila anapo kupa pesa yake na ukazichanganya na pesa zako kwa mfano dukani basi kuna misukule yao huwa wanaituma na kuja kuzichukua pesa karibia zote ikiwemo na ile pesa ambayo wamekupatia na huwa wakati wanazichukua huwaoni”
Nikabaki kimya nikiwa ninashangaa jinsi wanavyo tolewa mmoja mmoja kwenye shimo na kunyweshwa kitu kilicho kuwa kikichemshwa kwenye chungu a kila aliaye nywesha alionekana kupata shida sana japo sauti zao zilitoka mara moja tuu
“Ndio wananyweshwa nini pale?”
“Ile ni dawa inayo wakata kauli”
“Inayo wakata kauli kivipi?”
“Inayo wafanya washindwe kuzungumza kabisa na hata wakikutana na watu wana wajua hawawezi kuzungumza kitu cha aina yoyote”
“Bibi mimi nilisikia kwamba wanakatwaga ulimi?”
“Ndio walikuwa wakikatwa ulimi ila mambo yanabadilika kwani kwenye ulimwengu wa kawaida kuna mfumo wa kidigital basi hata katika ulimwengu wa wachawi kuna udigital kama wenu”
Nikatamani kucheka ila nikajikuta nikiwa nimeuziba mdomo wangu kwa kutumia kijanja changu,Shuhuli ikaendelea na bibi akaniomba kunirudisha nyumbani kwangu na kutokana kumekaribia kupambazaku.Tukafika nyumbani kwangu na bibi akatoa kichupa kidogo kwenye kiuno chake na kunikabidhi
“Humo ndani kuna mafuta ambayo ukijipaka usoni mara tatu hata ukitembea mtu hawezi kukuona”
“Nikijipaka kwa mtindo gani?”
“Jipake vidoti vitatu kwenye paji la uso kidoti kimoja kwenye kila shavu utajipaka mara moja moja”
“Sawa bibi nimekuelewa”
Kama tulivyo toka mara ya kwanza ndivyo bibi alivyo toka kwenye chumba changu na kutokana na uchovu mwingi nikajitupa kitandani na kulala.Mida ya saa tano asubuhi nikaamka huku mwili ukiwa umechoka sana kiasi kwamba nikabaki nikiwa ninajifikiria jinsi ya kuamka kitandani,nikakitazama kichupa alicho nip bibi jana usiku na kujikuta nikiachia tabasamu kubwa sana huku nikijifariji moyoni mwangu
“Kitanisaidia kumrudisha Rahma kwenye himaya yangu”
Nikanyanyuka kwa furaha huku nikicheka cheka na nikaingia afuni kwangu nikaoga na kurudi tena kitandani kwangu na kujifuta maji vizuri na kuvaa pensi kisha nikaingia jikoni kwangu na kukuta ile hali ya maunga niliyo jimwagia siku nikiwatoroka wazazi wa Rahma ikiwa vile vile.Nikaanza kufanya usafi na ndani ya dakika kumi na tano mazingia ya ndani kwangu yakawa yamekaa safi.Nikajipikia uji na kunywa ili kuuweka mwili wangu vizuri kisha nikarudi chumbani na kuchukua kichupa changu chenye dawa na nikajipaka kama alivyo niambia bibi na nikatoka nyumbani kwangu na kuanza kutembea barabarani kwa majaribia
Kusema kweli hapa ndipo nikaanza kuamini kuwa uchawi upo na unafanya kazi kwani kila nilipokuwa ninapapita ikawa ni ngumu sana kwa watu kuniona na hata baadhi ya watu ninao wajua nilipo pita karibu yao hawakuweza kustuka wala kuniona.Nikapata wazo na nikalifanyia kazi mara moja na sikutaka kulilazia damu.Moja kwa moja nikachapusha miguu yangu hadi kwenye jumba la kina Rahma na kukuta geti lao liliwa wazi na kuna gari moja imesimama katikati ya geti ikijiandaa kutoka,Dereva wa gari hii sikumjua kwani ni kijana mdogo wa kiarabu na anazungumza na mwanamke mwengine ambaye analifwata gari lilipo akitokea ndani
Nikapishana nao na kuzidi kushangaa kwani hawakuweza kuniona,Nikafiaka mlangoni na kutizama huku na kule na sikuona mtu na kwa tahadhari kubwa nikashika kitasa cha mlango na kuufungua kisha nikaingia sebleni na kukakuta kazee kale kaliko kuja sehemu niliyo tekwa kakiwa kameshika tama huku mkononi akiwa na picha kubwa iliyo tengenezwa kwenye jifremu kubwaa na ikionyesha sura ya yule mzee mwenzake aliye zikwa akiwa hai,Nikasimama karibu yake na hakuweza kuniona na kila nilipo mpitishia kiganja mbele yake wala hakuweza kustuka.Mlango ukafunguliwa na akaingia baba Rahma akiwa ameongozana na daktari wa kiarabu na wakasalimiana na babu aliye shika piacha
”Mumefika wapi juu ya mdogo wangu aliye potea?”
“Bado tunaendelea kumtafuta ila tutampata”
“Bada usiniambie kwamba utampata nakupa siku yaleo nataka kumuona mdogo wagu”
“Lakini baba unavyo niambia mimi hivyo ni kana kwamba mimi ndio niliye mpoteza”
“Haswaaaa wewe ndio umempoteza mdogo wangu ingekuwa sio hilo jiroho lako baya wala haya matatizo yasinge fikia huku kwa maana mimi nilisema muacheni mtoto wa watu nyinyi mukaniona mimi mjinga umeona sasa hayo yote yamehamia kwa mwanao hapo alipo lala hajielewi wala kujitambua”
“Lakini baba hayo yote yametokea wapi?”
“Sitaki ujinga nasema namtaka mdogo wangu hapa leo la sivyo nitakuachia laana na wewe ukawehuke kama weu wezako”
Mzee alizungumza kwa uchungu huku machozi yakimwagika kiasi kwamba nikabaki nikiwa ninamuonea huruma na laity angejua kuwa mdogo wake amezikwa kikatili kiasi kile nahisi angejaza machozi sehemu nzima aliyo kaa.Baba Rahma akaanza kupandisha ngazi za gorofani huku akiwa yupo na daktari na mimi nikaanza kuwafwata kwa nyuma na sote tukafika kwenye moja ya chumba na baba Rahma akaufungua mlango na akaanza kuingia ndani na ikanibidi nimpige kikumbo daktari na nikawa wa pili kuingia
“Vipi dokta mbona unayumba?”
“Ahaa nimejikwaa hapa”
“Pole sana”
Nikamkuta Rahma akiwa amelala kwenye kitanda kikubwa cha sita kwa sita huku pembeni kukiwa na mashine za kupumulia pamoja na mtungi mkubwa wa gesi,Macho yake bado hayakuwa na nguvu ya kufumbuka na wala hakuweza kujitingisha na yupo sawa na mfu aliye hai kwani kuhema kwake kwa mbali kuliidhihirisha kuwa hali yake sio mzuri kabisaa.Daktari akaanza kumtazama tazama na kumpima pima kisha akamgeukia baba Rahma
“Hali yake kusema kweli bado ni mbaya”
“Sasa tutafanya nini dokta?”
“Kama nilivyo kushauri ni vyema ukampelea katika hospitali kubwa ili akapatiwe matibabu zaidi ya haya tunato mpa hapa nyumbani”
“Sawa dokta hilo nimekuelewa ila woga wangu unakuja hapa endapo madaktari watataka kujua kuwa ni nini kilicho mpa je itakuwaje?”CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“Hilo ni swala la kuwahonga wao wasihitaji udhibitisho kutoka polisi wewe unapesa hembu tumi hizo pesa zako katika kuyaokoa maisha ya mwanao na usipo angali utampoteza kiurahisi”
“Sawa nimekuelewa ila…….Mmmmm”
“Mbona unaguna?”
“Nina mtihani kama ulivyo kuwa ukimsikia baba pale akifoka foka akimuhitaji mdogo wake”
“Kwani huyo mdogo wake ni mtoto?”
“Ni mtoto wapi wakati ni mtu mzima kabisa na mimi ninamuita baba kabisa anakaribia miaka 60”
“Duu sasa atapoteaje…..?”
Kabla hakazungumza chochote akaingia shangazi wa Rahma ambaye anajifanya ni mganaga na wote tukamgeukia kisha mimi nikapiga hatua za haraka hadi nyuma ya mlango na kujibanza,
“Vipi mbona unahema juu juu kuna nini?”
“Ngojeni kwanza”
Akaanza kunusa nusa ndani ya chumba huku akizunguka zunguka na akaipiga hatua hadi sehemu niliyo simama na akaiangalia sehemu niliyopo kwa muda huku macho yake akiwa ameyatoa kiasi kwamba nikahisi ananiona ila nikaendelea kujikausha kimya na nikawa nipo tayari kwa lolote na kama ataniletea shida ya aina yoyote nitamtandika ngumi kali itakayo mpotezea hata uwezo wa kunusa nusa.Nikajianda kuivuta ngumi na kabla sijaiachia akawageukia baba Rahma na daktari
“Kaka kuna askari wamekuja na wapo sebleni na huyo baba usipo angalia ataanza kuzungumza hata mambo yasiyo husiana na atakacho ulizwa”
“Wee wapo wangapi?”
“Wapo wanne wewe nenda kazungumze nao”
“Ohhh Mungu wangu”
Baba Rahma akaanza kubabaika kiasi kwama nikaanza kumuona akitetemeka akatoka huku akiwafwatiwa na shangazi wa Rahma na wakamuacha daktari akiwa anamtazama tazama Rahma,Simu ya daktari ikaanza kuita na kumfanya afungue mlango na kutoka ndani ya chumba na kwenda kuzungumza na simu nje.Kwa haraka nikapiga hatua hadi kitandani mwa Rahma na kumshika kifuani na kuyasikilizia mapigo yake ya moyo jinsi yanavyo na nikaanza kumuita
“Rahma……Rahma……Rahma”
Nilimuita huku mdomo wangu ukiwa upo karibu sana na sikio lake ila hakuweza kunisikia,Nikaelekea hadi mlangoni na kufungu mlango na kumuona daktari akishuka kwenye ngazi na nikachungulia kwa chini walipo kaa askari na wazazi wa Rahma na kuwaona wapo kimya huku wakisubiria swali la askari mmoja kujibiwa,Nikarudi ndani na nikahisi Rahma hanisikii kutokana na dawa niliyo jipaka,nikaingia kwenye bafu lililopo ndani ya hichi chumba na kunawa uso kisha nikarudi kitandani kwake na kuanza kumuita karibu na lilipo sikio lake na nikarudia mara kadhaa na kumuona akiiunyanyua mkono wake mmoja wa kushoto huku akiyafumbua fumbua macho yake na nikazisikia sauti za watu wakija karibia na mlango na kunifanya nikimbilie bafuni na nikajifuta maji usoni na kukitoa kichupa cha dawa na kujipaka usoni na kusubiri kwa muda
Nikamuona Hilda akiingia bafuni na kwa haraka akaanza kuzishusha nguo zake na kujisaidia haja ndogo na akageuka sehemu niliyo mimi na akaupitisha mkono wake katikati ya miguu yangu na kuchana kipande kaidogo cha toilet paper na kujifuta sehemu zake za siri kisha akajiweka sawa na kutoka na nikaamini hajaniona.Nikapiga hatua hadi chumbani na kumkuta Rahma akifumbua fumba mdomo wake huku akiliita jina langu na kumfanya Hilda na msichana mwengine niluye muona wakibaki wakishangaa huku sura zao zikiwa zimejaa tabasamu.Hilda akanyanyuka kwa haraka akaungua mlango na kusikia sauti akimuita baba Rahma na baada ya muda wakaingia wazazi wa Rahma wakiwa na polisi na Rahma alipo muona baba yake akaanza kuatokwa na machozi
Watu wote ndani ya chumba hawakuweza kuniona kiasi kwamba nikazidi kujiamini uendelea kukaa ndani ya hichi chumba
“Baba”
Rahma aliita kwa sauti ya upole na yaunyenyekevu
“Naam wamwanangu”
“Yupo wapi Eddy wangu?”
Swali la Rahma likawafanya watu wote kutazamana na kukaa kimya pasipo kujibu kitu cha aina yoyote
“Huyo Eddy ni nani?”
Askari mmoja aliiuliza huku akionekana ni mkubwa kwa cheo hii ni kutokana na mavazi yake aliyo yavaa kutawaliwa na vyeo vingi vya kijeshi na kuwafanya ndugu wa Rahma pamoja na wazazi wake kutazamana tazama pasipo kuwa jibu.Gafla nikastukia shangazi wa Rahma akinishika mkono huku akinikonyeza akiashiria nijikaushe kama nilivyo na akatoa simu yake mfukoni na kuandika baadhi ya maneno na kuiweka mbele yangu na nikayasoma
{NIMEKUONA MIMI PEKE YANGU JIKAUSHE HILI SWALA LIPITE NDIO TUTAJUA MIMI NA WEWE}
Mapigo ya moyo yakaanza kunienda mbioa kiasi kwamba nikahisi nimeingia tena mikononi mwa familia hii makatili
“Wee mama hembu hiyo simu yako”
Askari mmoja akaichukua simu ya shangazi wa Rahma na kuusoma ujumbe kwa sauti ya kichini chini.
“Huyo uliye muona ni nina?”
Watu wote wakamgeukia shangazi wa Rahama na akaniachia mkono kwa haraka na kutingisha kichwa akimaanisha kuwa hukuna kitu
“ILA BABA KWANINI UMUUE EDDY WANGU?”
Swali la Rahma likawafanya watu wote kumtazama na nikaanza kuziona sura za askari zikianza kubadilika na kuweka mikunjo askari wawili wakaziweka bunduki zao sawa kuzielekeza kwa baba Rahma huku mkuu wao akipiga hatua hadi kitandani na kumuuliza Rahma swali
“Unasema kuwa Eddy ameuliwa na baba yako?”
‘NDIO”
Chumba kizima kikatawaliwa kwa ukimya kiasi kwamba kila mmoja macho yake yakamgeukia baba Rahma
“Huyo Eddy kwako alikuwa ni nani?”
“Ni mpenzi wangu ninaye mpenda sana”
Nikanyata taratibu huku shangazi Rahma akiwa anaendelea kuwaomba askari waweze kuzun-gumza juu ya swala alilo lizungumza.Nikashuka kwenye ngazi za gorofa lao na nikatoka nje na moa kwa moja nikeelekea nje na safari ya nyumbani kwangu ikaanza.Moyoni mwangu nikaanza kuhisi hizto na wa ushindi mkubwa kwani swala la kuingia nyumbani kwa kina Rahma pasipo wazazi wake kufahamu na nimtu mmoja ndio amelitamvua hilo kidogo likanipa faraja ya kuweza kumtorosha,nikanawa sura yangu na nikarudi katikahali yangu ya kawaida
Siku nzima nikajifungia ndani na sikutoka nje huku nikiwa ninapanga mipango ya kumtorosha Rahma katika hali ya kawadi,Picha nyingi nilizo zichora kwenye karatasi nyeupe zikiwa kama ramani ya nyumba ya baa Rahma zinakanitosha zaidi kujua kuwa ninaanzia wapi katika kufanikisha swala la kumtorosha Rahma hadi nikajikuta ninapitiwa na usingizi katika kocho nililo kalia.Asubuhi na mapema nikaelekea nyumba ya pili kwa mzee mmoja ambaye na mstaafu wa jeshi na kipindi cha nyuma aliniomba niweze kumfundisha mwanaye wa kiume masomo ya kumbo yake ya PCM na kwa bahati mbaya sikuweza kupata muda huo kutokana na matatizo
Nikagonga geti lake nalikafunguliwa na mlinzi na akaniruhusu kuingia ndani na kwabahati nzuri nikakutana na mzee Ngoda akifanya mazoezi kwenye moja ya bustani yake na nikamfwata hadi sehemu alipo na kumsalimia
“Vipi Eddy kuna siku nilisikia sikia kelele huko kwako ila kutokana nilikuwa ninawageni muhi-mu sana nikashindwa kutoka”
“Mzee wee acha tuu kuna mambo mengi yalinikumba hivi vijiwiki kadhaa vya nyuma nikajikuta hata ninashindwa kutimiza ile ahadi ya kumfundisha mwano”
“Mambo gani kwa maana nilipo kuja kuchungulia sikukuta mmtu zaidi ya ukimya mwingi?”
Nikaanza kumsimulia mzee Ngoda kuanzia mwanzo hadi mwishio kuhusiana na mkasa wa Rahma hadi ninamaliza akabaki akisikitika huku akishusha pumzi nyingi mara kwa mara
“Duuu sasa wewe unataka nikusaidie nini juu ya hilo swal lako?”
“Mimi ninataka unisaidie juu ya mipango na mbinu za kijeshi ili niweze kwenda kumtorosha yule binti”
“Hjui hilo ni kosa la jinai na kama ukikamatwa hapo unachukuliwa kuwa kama gaidi na kifungo chake nina imani unakijua”CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“Ndio ninakutambua mzee wangu ila naomba tuu unisaidie”
“Wee koma wenyewe wanasema uzee mwisho msata kila mtu mjini ni baby”
Nikajikuta nikangua kicheko kwani sikutegemea kama mzee ataweza kuniropokea maneno ya namna hii ukilinganisha na umri wake.
“Eddy mimi kama mimi kwenye hilo sinto weza kukusaidia labda kuna jengine useme nitakusaidia kwa maana nitakuwa nimevunja sheria na kanuni za jamuhuri ya muungano wa Tanzania pamoja na sheria za jeshi.”
Mzee Ngoda akanikatalia kata kata na sikuwa na kingine cha kuzungumza zaidi ya kuondoka zangu na kurudi nyumbani kwangu.Nikajipikia kifungua kinywa na baada ya kumaliza kupata chai nikaelekea kwenye maduka ya wachaga yaliyopo barabara za namba na kazi yangu ikawa ni kutafuta ni nguo gani ninaweza kuzinunua na kuzivaa na zikabadilisha muonekano wangu kabisa.Hadi mwisho wa mizunguko yangu nikajikuta nikinunua overol jeusi pamoja na kofia kubwa na kurudi nyumani kwangu mida ya saa kumi na moja jioni.Nikapanda kitandani na kulala huku saa yangu ya mkononi niiitega muito wa kunistua saa nne usiku.
Kama nilivyo itega saa yangu ndivyo ilivyo niamsha nikanyanyuka kitandani na kuingia bafuni na kunawa uso ili kutoa uchovu kisha nikarudi ndani na kuvaa overoli langu na pamoja na ko-fia,Nikatafuta mabuti yangu ya mvua kisha nikavaa,nikazichukua karatasi nilizo chora ramani ya nyumba ya kina Rahma na kuanza kuipitia moja baada ya nyingine.Nikachukua beki langu dogo na lenye vijimikanda vyembaba na kulivaa mgongoni huku likiwa ni vifaa kama koleo,bisibisi na nyundo
Kabla sijafungua geti langu nikasikia likigongwa taratibu na kunifanya nistuke,likarudiwa ku-gongwa na taratibu nikapiga hatua za taratibu huku nikiwa na tahadhari kubwa na nikacjungulia nikaona gari aina ya ‘geap’ lililo kibanda wazi na ni kama magari ya jeshi likiwa limesimama nje ya geti langu.Mapigo ya moyo yakaanza kunienda mbio ila nikapata ujasiri wa kufungua geti na kumkuta mzee ngoda akiwa amevalia nguo za jeshi huku mkononi mwake akiwa ameshika begi la wastani
“Eddy ndio umevaa nini hivyo?”
“Ehee ndio mavazi ninayokwenda kumuokoa mpenzi wangu”
“Kijana hembu acha uzembe tuingie ndani”
Tukarudi ndani na geti tukalifunga kisha tukaingia sebleni na akalifungua begi lake na akatoa nguo za jeshi na kunirushia
“Kamata hizo uangalie kama zinaweza kukutosha”
Nikaanza kuzitazama moja baada ya nyingine na nikalivua overoli langu na kuva nguo alizo nipa mzee ngoda na kwabahati nzuri zikawa zinanitosha vizuri kuanzi suruali hadi shati la juu.Pia akanikabidhi viata vya jeshi japo vinanibada kidogo ila vimekaa vizuri mguuni mwan-gu,akanikabidhi begi nilibebe na nikaona kamba pamoja vifaa vingine ambavyo sikujua matumizi yeke ni nini
“Unaweza kutumia bunduki ya aina yoyote au ulisha zoea manati za uwindaji wa ndege huko kwenu Morogoro?”
“Ahaaaa sijawahi mzee wangu”
“Eddy hilo jina lako la mzee silipendi”
“Hhaaaa haya baba”
“Hapo kidogo sawa na mtu unapokuwa umevaa hizo nguo niite kamanda”
“Ndio kamanda”
“Ahaa hapa kuna hiizi bastola tatu nimekuja nazo moja inatumia risasi baridi na hizi mbili zina-tumia risasi moto….Hii ya risasi baridi itakulazimu ukae nayo wewe na hizi nyingine nitakaa na-zo mimi sawa”
“Sawa kamanda..je nikitaka kufyayua risasi ninafaje?”
“Unashika hapa na unaparudisha nyuma na unakuwa risasi umeipandisha kwenye chemba na ukiminya hapa unairuhusu kuchomoka kuelekea kule ulipo iagiza kwenda”
“Sawa nimekuelewa kamanda”
“Vaa kofia yako na ninaomba hizo karatasi unazosema umechora ramani ya hiyo nyumba”
Nikamkabidhi karatasi zote na akaanza kuzipitia moja baada ya nyingine hadi akazimaliza zote
“Kumbe wewe ni mtaalamu mzuri wa kuchora ramani?”
“Ehee kidogo kidogo ninajaribu”
“Ina bidi nikupeleke kambini wakakuajiri kwa kazi hii kwa maana wa taalamu kama nyinyi ni wachache sana”
“Ukiachilia kuchora ramani hata kuchora watu au vitu Mungu amenibariki sana kwenye hilo”
“Ahaa wewe utalifaa jeshi ngoja kwanza twende nikakuone ufanisi wako wa leo”
Tukatoka nje na kuingia ndani ya gari na nikawa na kazi ya kumuelekeza ni wapi tunapaswa kufika na ndani ya dakika kadhaa tukawa tumefika nje ya jumba kuwa la kina Rahma.Mzee Ngoda akashuka na kuniacha mimi ndani ya gari na akaanza kulichunguza vizuri na akaingia ndani ya gari tukaondoka na gari tukaenda kuisimamisha kwa mbali kidogo na tukarudi hadi ilipo nyumba ya kina Rahma kisha akiitoa bastola yeke na kuifunga kiwambo cha kuzuia sauti kisha akaniomba nikae nyuma yeke nimfwate kila anapo pita.Cha kushangaza sikujua hata uogoa nimeutoa wapi kwani nikajikuta mwili mzima ukinitetemeka kiasi kwamba hata kutembea kwenyewe nikawa ninayumba nyumba.Tukafika kwenye ukuta mrefu kidogo na nikamshangaa mzee Ngoda akijirusha juu na kuishika sehemu ya juu japo ni mfupi ila mwenzangu ameweza kufanya hivyo
Kazi ikaanza kuwa kwangu kila nilipo karibu kujirusha kupafikia nikawa ninashindwa na kui-shia kuburuzika ukurani
“Sikia wewe ukitaka kuruka hakikisha mguu wako wa kulia unakanyaga ukuta na kujirusha juu sawa”
“Sawa”
Nilijibu kama nimeelewa vile wakati sikujua hata nifanye nini,Nikajaribu kujirusha mara kadhaa hadi nikafanikiwa ila mikono yangu ikijaa michubuko mingi.Mzee Ngoda akawa wa kwanza kuingia ndani na mimi nikafwatia na sehemu tuliyo shuka ina maua mengi na taratibu tukajificha kwenye maua
“Mkango wa kuingilia upo wapi?”
“Kwa mbele”
“Kuwa makini na kuna walinzi wangapi?”
“Mmmm wala sifahamu”
Tukaanza kwenda kwa mwendo wa tahadhari huku mimi mara kwa mara nikitazama nyuma na tukafanikiwa kuingia hadi sebleni na kuwakuta watoto wadogo wakitazama filamu za kumi kwenye Tv kubwa humu sebleni.Tukapiga hatua za kimya kimya hadi sehemu waliyo kaa na walipo tuona mmoja akajaribu kupiga kelele ila Mzee Ngoda akamzaba kofi zito hadi mtoto wa watu akazimia na wengine walio ona hivyo hakuna aliye dhubutu kufungua kinywa chake
“Baba yenu yupo wapi?”
Mzee ngoda aliuliza kwa sauti ya ukali ila ni ya chini sana ambayo watu tuliopo kwenye eneo hili ndio tunaweza kuisikia.Mtoto mmoja wa kike akanyoosha mkono gorofani akimaanisha kwamba yupo chumbani kwake na hapo ndipo nikaamini kuwa pesa ina fanya kazi kwa maana askari walisikia juu ya mauaji yangu na kwa kawaida mtu akiwa amefanya kosa kama hili ni lazima kwanza ashikiliwe kwa muda kadhaa japo kuna kitu cha dhamana ila baba Rahma hakupaswa kupewa dhamana ya aina yoyote
“Hakikisha ngedere yoyote apanui domo lake”
Mzee ngoda alizungumza huku akianza kupanda ngazi akielekea juu gorofani na mimi nikawa nimewanyooshea watoto bastola yangu yenye risasi baridi ambazo hazina uwezo wa kumuua inadamu.Baada ya dakika kama tano nikaona baba Rahma akiwa na mke wake pamoja na ndugu wengine wakiwa wanashuka kwenye ngazi huku mikono yao wakiwa wameinyoosha juu kama mateka.Akawaamuru kupanga mstari mmoja huku wakiwa wamepiga magoti pamoja na mikono yao ikiwa juu.Macho ya baba Rahma pamoja na shangazi Rahma yakawa na kazi ya kunitazama kwa mshangao huku kila mmoja akiwa haamini kama ni mimi ndie nimesimama mbele yao tena nikiwa nimevalia nguo za jeshi
“Nenda kamtoa Rahma ndani kwake na umlete hapa”
Nikafanya kama mzee ngoda alivyo niagiza na kwa tahadhari kubwa na mimi nikazipandisha ngazi hadi chumbani kwa Rahma na kumkuta akiwa amelala pamoja na Hilda.Nikaigeuza kwa nyuma kofia yangu ya jeshi niliyo ivaa na nikamshika shavuni Rahma na akaanza kupepesa macho akihisi kama mdudu ndio anamtambalia
“Rahma”
Nikaita na akafumbua macho yake na kunitazama kwa muda na akastuka kidogo kuniona ila kabla hajazungumza kitu nikamziba mdomo
“Ni mimi Eddy nimekuja kukuchukua mpenzi wangu wa maisha”
“Kweli Eddy”CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“Ndio ninakuomba twende pamoja mbali na hapa mpenzi wangu”
Nikamuona Hilda akinyanyuka na kwa haraka nikamnyooshea bastola yangu na alipo niona ni mimi akawa kama anawewesekea kwa woga ulio changanyikana na uwoga
“Nyanyua mikono yako juu kabla sijakufyatua huo ubongo wako”
Akatii na kwaishara nikamuamuru kushuka kitandani na anyooshe mikono yeka juu na atangulie mbele,Rahma akashuka kitandani huku akiwa amevalia gauni jepesi linalo muonyesha nguo yake ya ndani.Kisha nikamshika kiuno kwa mkono mmoja huku mwengine ukiwa umeishika bastola nikimuelekezea Hilda ambaya gafla akachomoka haraka huka akupiga kelele za kuomba msaada na nikamaucha akimbie huku akishuka kwenye ngazi na kukutana na mzee ngoda akiwa ameshika bastola na kumnya kasi yote kumuishia kweye ngazi
“PITA HUKU KWA WAJINGA WEZAKO”
Hilda taratibu akapita kwa wezake na kufanya kama walivyo fanya huku akiwatazama watu waliopo kwenye adhabu hii.Rahma akaniendelea kunikumbatia huku akiwatazama wazazi wake kwa macho makali
“Baba na Mama……najua siku zote kwamba mulifanya njama za kila namna ili nisiweze kuwa na Eddy…ila tambueni kuwa sijali kama yeye ni mtu mweusi au anapesa au hana pesa mimi ni-memkubali jinsi alivyo…”
Rahma alizungumza kwa sauti ya kufoka na yenye uchungu na kwafanya wazazi na ndugu zake kubiki wakimtazama pasipo kujibu kitu cha aina yoyote.Kwa kuwadhiirishia wazazi wake na ndugu zeka akanishika midomo yangu na kuinyonya kama dakika mbili kisha akawageukia ndugu zake.
“Japo baba ulijaribu kumuua Eddy kwa kumpiga risasi ila ikanipata mimi nakuufanya ujauzito wangu kutoka ila ukweli ni kwamba ana uwezo wa kunizalisha tena na tena na tena na tukawa na watuto wafamilia kubwa “
Nikamuona baba Rahma akitemeka kwa hasira huku macho yake yakiwa mekundu kupita mae-kezo,kwa upande wa mama Rahma nikayashuhudia machozi yakimwagika huku akitetemeka kwa uchungu kwani hawakuamini kama mtoto wao ndio anaondoka mbele ya macho yao
“Eddy hembu fungua begi unitolee redio ndogo”
Nikafanya hivyo na kufungua na kukuta kijiredia kidogo kinacho tumia kanda na kimetenge-nezwa na kampuni ya Panasonic.Mzee Ngoda akakiwasha na kuminya kitufe cha rangi ya kijana kilicho andikwa ‘record’
“JE UMEKUBALI KUMUUOZA MWANAO RAHMA KWA BWANA EDDY?”
Mzee Ngoda alimuuliza baba Rahma huku bastola ikiwa juu yakichwa cha baba Rahma ambaye bila ubishi akajikuta akijibu
“Ndio nimekubali”
“Je Rahma umekubali kuolewa na Eddy?”
“Ndio nimekubali tena sana”
“Na wewe Eddy umekubali kumuoa Rahma”
“Ndio nimekubali”
“Je mama Rahma umekubali binti yako aolewee na Eddy”
“Ndio nimekubali”
“Wanandugu wote wajomba mashangazi na mababu je mumekubali mtoto wenu Rahma kuole-wa na Eddy?”
“Ndioo”
Walijibu kwa sauti za unyonge japo ndio hivyo wamekubali kwa kulazimisha.Akairudisha nyu-ma tepu iliyo kuwemo ndani ya redio hiyo kisha akaisikiliza na sauti zikawa zimeingia vizu-ri,akaizima redio na kuiingiza mfukoni mwake.
“Toa kamba na kisu ndani ya begi”
Nikatoa kamba ina ya manila pamoja na kishu kisha akawaamuru wote kulala chini na idadi yao wapo kumi na nne.Nikaanza kuwafunga kamba mmoja baada ya mwengine na mtu wa mwisho kummalizia kumfunga ni Baba Rahma ambaye akaanza kuleta ubishi nikatandika kofi moja la usogo akatulia,hasira ikaanza kunipanda na nikaikumuka siku alipokuwa akinitesa ikanilazimu na mimi kumhindilia mateke mawili ya makalio baada ya kumaliza kumfunga kamba
“Jamani asanteni kwa ushirikiano wenu mulio tupa sawa”
“Samani jamani ngoja kuna kitu ninataka kwenda kuchukua ndani mara moja”
“Dakika mbili zinakutosha”
Rahma akapandisha ngazi na kurudi akiwa amevalia suruali ya jinzi pamoja na sweta lenye ko-foa na akamfwata mdogo wake mmoja wa kike ambaye kwa makadirio ana miaka kama mitatu akambusu na wakazungumza kiarabu na tukaondoka.Tukamkuta mlinzi getini akiwa amesinzia na alipo stuka na kumuona Rahma akanywea
“Wewe una kazi ya kulala lala?”
“Ahaa ni ni samehe dada Rahma”
“Nyoo ingia ndani ya kibanda chako”
Mlinzi akaingia na Rahma akamuomba funguo za geti kisha akamfungia mlizi kwa nje na kabana mlango kwa kufuli kisha tukaondoka.Tukaingia ndani ya gari huku saa yangu ikinionyesha ni saa saba usiku na tukaanza kuelekea katika njia ya Horohoro inayoelekea mpakani mwa Kenya na Tanzania.Mzee Ngoda akakunja kushoto na tukaingia kwenye barabara ya vumbi na safari ikaendelea na tukavipita vijiji kama vinne na katikati yam situ Mzee Ngoda akasimamisha gari na sote tukashuka
Mzee ngoda akanza kumtazama Rahma kwa macho ya kuiba kuanzia juu hadi chini na kwa jinsi Rahma anavyo nikumbatia kumbatia nikamuona kabisa mzee Ngoda akiumia moyoni mwake kwani ikafikia kipindi hadi sura yake ikawa inajikunja na kitu kinacho nikaanza kunipa wasiwasi.Gafla tukastukia akiichomoa bastola yake na kutonyooshe sisi na Rahma na kwastory nilizo wahi kuzisikia mtaani kweni ni kwamba huyu mzee anatabia ya kutembea na wasichana wadogo japo sikuwahi kumshuhudia na kwa story nyingine nilizo zipata mtaani ni kwamba alimuua mke wake kwa kumpiga rasasi baada ya kufumaniwa akiwa na binti mdogo
Mlio wa bastola ya mzee Ngoda ukanifanya nifumbe macho huku nikisikilizia ni wapi risasi yake ilipo tu,Swali nililo nalo kichwani kwangu ni kwamba ni wapi risasi ilipo tua kwa maana mwilini mwangu sikusikia maumivu ya aina yoyote na kama imempiga Rahma wangu mbona sijasikia sauti yoyote ya yeye kutoa maumivu.Kwa haraka ni kafumbu macho na kumtazama Rahma na kumkuta akitetemeka kwa woga
“Angalieni nyuma yenu”
Tukageuka na kukuta nyoka mkubwa akining’inia kwenye tawi la mti huku kichwa cheke kikiwa kimetawanywa na risasi aliyo pigwa na Mzee Ngoda
“Mwanajeshi anatakiwa kuwa na hisia za kitu chochote cha Atari kitakacho kuwa karibu yake ila nakushangaa Eddy wewe nyoka yupo nyuma yako wala hustuki kwa kitu cha ina yoyote”
Kutokana na mstuko wala sikujua nimjibu kitu gani mzee ngoda,Rahma akanishika mkono na kunikumbatia huku akiendelea kutetemeka.Mzee Ngoda akapanda kwenye gari na kutuomba na sisi tupande,taratibu nikamshika Rahma mkono na tukapanda kwenye gari na safari ikaendelea ambayo tayari nilisha anza kuitilia mashaka na sikujua ni wapi tunapoelekea.Tukafika kwenye moja ya jumba kubwa lililo jegwa vizuri na Mzee Ngoda akasimamisha gari nje ya jumba hili na akatuomba tushuke kwenye gari
“Karibuni sana wanangu hapa ni nyumbani kwangu”
Mzee Ngoda alizungumza huku akitoa funguo nyingi na kufungua geti la chuma lililopo kwenye jumba hili,kisha akafungua na mlango mwengine na tukaingia ndani japo kuna giza ku-ba.Akawasha swichi na taa za ndani zikawaka
“Hapa ni kwangu huwa nikiwa na mawazo sana huwa ninakuja huku kupumzika kama wiki ki-sha ninarudi tena mjini”
“Unakuja kupumzika peke yako?”
“Ndio ninakuja peke yangu na niwatu wengi hawaijui hii nyumba yangu kwa maana ipo porini sana”
“Ni kubwaa”
“Yaa ina eneo kubwa kwa huko nyuma kuna bustani za maua ya kutosha sema sasa hivi ni usiku sana….Hii nyumba niliinunua kwa rafiki yangu alikuwa ni mwanajeshi wa kijerumani kipindi cha miaka ya semanini”
“Ahaa sawa”
Mzee Ngoda akatuonyesha chumba cha kulala ambacho ni kikubwa sana na kina vitu vichache vya dhamani pamoja na kitanda kikubwa cha duara ambacho tangu nizaliwe sikuwahi kula-la,nikakichunguza chumba kizima na kuridhika na mazingira yaliyopo humu ndani.Nikavua nguo zangu na kupanda kitandani na Rahma akafanya kama nilivyo fanya mimi na ikawa ni siku nyingine ya furaha katika mahusiano yetu baada ya kupitia kipindi kigumu cha maisha.Baada ya kupeana haki ianyo stahili kila mmoja akapitiwa na usingizi mzito
Jua kali kiasi linalopita kwenye dirisha na kutupata kitandani ndilo lililofanya niamke na kushuka kitandani na kumuacha Rahma aendelee kulala,Nikaoga na kutoka na kuvaa nguo zangu na kutoka nje na kumkuta Mzee Noda akifanya mazoezi
“Shikamoo mzee”
“Marahaba ila Eddy hilo jina la mzee nilisha kukataza”
“Ahaa samahani baba yanguCHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Mzee Ngoda akamaliza kufanya mazoezi na akaanza kunitembeza kwenye kila sehemu ya jumba lake la kifahari na kusema kweli wajenzi wa hili jumba waliweza sana kulijenga kwa maana lina vyumba hadi ardhini na maeneo makubwa ya michezo pamoja na sehemu ya kuhifadhia magari ya kutembelea
“Hizi ni Ford za mwaka gani?”
“Aaaa hizo gari ni za mwaka 1932 mimi jamaa alikuwa akizitumia zamani sana ndio kaniachia mbili za ukumbusho”
Tukaendelea kutembea tembea kwenye bustani zenye maua mazuri ya kuvutia
“Haya matunda yote unayo yaona hayana mlaji mengi yanaiva na kuanguka chini”
“Ina maana huku hakuna watu wanaofika kwenye hii nyumba?”
“Hakuna kwa maana hapa ni katikati ya msitu isitoshe kuna ukuta kubwa umezunguka hili jumba upo mbali sana na hapa hadi kuufikia kwa kutumia miguu ni mwendo wa masaa matatu na nusu hadi mane”
“Ehee kumbu ni kukubwa hivyoo?”
“Ahh wee acha tuu wezetu zamani walikuwa na akili sana na hata hii miti yote unayo iona asili-mia 90 ameipanda yeye mingine ni miti ya asili kama ulisha wahi kusoma kuwa kuna misitu ya kutengenezwa huu ni mmoja wapo”
“Ahaa kweli alijitahidi ndio maana nikawa ninashangaa ni kwanini hii miti imepandwa kwa mistari ila nikashindwa kukuuliza tuu”
“Ni yeye jamana alikuwa anaitwa Muller Shostaiger Manzuchuk”
“Ehee kweli hilo jina ni la kijerumani”
“Yaaa”
Tukaendelea kuzunguka maeno ya karibu na jumba lake na baada ya kumaliza tukarudi nyum-bani na kumkuta Rahma akiandaa kifungau kinywaa.Kutokana na upendo nilio kuwa nao juu yake nikamsaidia kupika piaka anacho kipika,tukaandaa chakula mezani na sote tukajumuika kwa kula.
“Jamani mimi leo nitarudi mjini sasa nyinyi sijui mutakaa kwa kipindi gani huku?”
“Kama wiki hivi?”
“Eddy wiki…….baba yangu sisi tutakaa zaidi ya wiki sitamani kurudi mjini kwa maana ninajua ni lazima baba atakuwa ananitafuta”
“Sasa Sheila tutakaa kwa kipondi gani huku?”
“Kwa muda wowote hadi nichoke mwenyewe ndio nitarudi mjini?”
“Na shule jee?”
“Shule ya kazi gani?”
“Lakini Eddy wewe si mwalimu…..? Utakuwa unamfundisha huku huku mke wako”
“Ahaa jamani haya hapo sina ubishi mumeshinda nyinyi”
“Yeaa kila ninacho kifanya lazima nikishindee”
Raham alizungumza huku akinyanyuka na kuelekea jikoni
“Mmmm mwangu huyo mkwe wangu anavutia sana kwa maana mmmm hongera sana”
“Asante”
“Ila kitu ambacho ninapenda kukuambia usije ukaja kumuacha huyu msicha ua kumsaliyi kwa maana utakuja kupata matatizo makubwa sana utakayo yajutia kwenye maisha yako”
“Mmmm matatizo gani?”
“Hapa hakuna cha kuuliza ni matatizo gani ni wewe tuu kuwa makini na kumlindia penzi lake….Kindi ninamuoa mke wangu nilikuwa ninampenda sana tena sana ila hadi ikafikia hatua ya mimi kumuua ilinilazima kufanya hivyo ili kuondoa dukuduku nauchungu ulio kuwa moyoni mwangu”
“Alikufanyaje?”
“Ni historia ndefu tena sana”
Rahma akarudi na kukaa kwenye kiti alicho kuwa amekikalia na Mzee Ngoda akamtazama sana Rahma kisha akatabasamu na kumalizia na kicheko
“Baba mbona unacheka?”
“Ninacheka kutokana mke wangu alikuwa ni muarabu kama huyu mkwe wangu hapa na tabia za waarabu ninazijua vuzuri kwa maana wazazi wake nao hawakupenda sana mimi nimuoe na kipindi kile ndio ninatoka zangu depo bado kijana mbichi mbichi ninavutia ahaa basi mtoto alidata sana sema wazazi wake baada ya kugundua mimi ni mwanajeshi walipiga sana kelele nikaamua nimtoroshe kinguvu na kuja kumuweka huku msituni hadi alipo pata ujauzito na alipo karibia kuzaa ndio nikamrudisha mjini na akajifungua yule mwanangu wa kwanza na wapekee…..”
“Basi kadri miaka ilivyo zidi kukatika ndivyo jinsi nilivyozidi kumpenda mke wangu ila kuna kipindi nilichukuliwa na serikali nikapelekwa Cyuba nakumbuka ilikuwani mwaka 1999 na kule nilikaa miaka mitano mbali na yumbani kwangu.Ila nilipo rudi nikamkuta kijana mmoja ambaye alidai kuwa ni mhuhudumu wa ng’ombe…..aaah kuntokana sikuwa na mud asana sikuweza kumfwatilia sana mke wangu ila tabia yake ilianza kubadilika”
“Alibadilikaje?”
“Jamani mimi mwezenu wala sijui hta munazungumzia kitu gani?”
“Subiri nitakuaadisia wakati wa kulala”
“Mmmm jamani mbona munanitenga au mimi sistahili kuielewa story yenu”
“Lakini mpenzi wangu mbona unakatisha utamu hembu tulia kwanza baba amalizie”
“Mwaya mweke ni kwamba story ninayoizungumzia ni kuhusiana na mke wangu ambaye kaburi lake lipo nyuma yah ii nyumba”
“Ina maana baba wewe huna mke?”
“Ndio sina mke kwani alisha kufa siku nyingi sana”
“Ahaa masikini pole baba yangu”
“Asante”
“Alikuf a na nini?”
“Rahma unakatisha utamu wa story hembu nyamaza bwan”
“Kwani nimekuambia wewe Eddy.......hembu litazame lile komo leke”
“Ndilo ulilo nipendea”
Sote tukajikuta tukicheka kwa furaha
“Kwa ufupi mke wangu nilimuua kwa kumpiga risasi”
“Haaaa....!!”
“Dawa ya meno hiyo si ulikuwa unataka kujua sasa unashangaa nini.....mwaya baba endelea na story”
“Kwa makelele yenu mumenifanya pia nimesahau ni wapi nilipo ishia?”
“Umeishia pale uliposeme tabia yake ilianza kubadilika”
“Eheee basi kila nilipokuwa nikimuomba chakula cha usiku basi akawa ananinyima kiasi kwamba nikaanza kupata wasiwasi lakini kipindi cha nyuma yeye ndio alikuwa anakiomba tena kwamachozi pale nilipo kuwa nimechoka alikuwa akilia kama mtoto”
“Mmmm chakula cha usiku ndio nini baba?”
“Rahmaa ahaa utaniboa sasa”
“Mkwe wangu chakula cha usiku hata wewe jana ninaimani umekila”
“Rahma usijifanye hujui wakati kila kitu unakijua.....watu wamefunga bwana usiropoke mambo mengine si yakuyazungumza”
“Wewe umefunga wakati jikoni ulikuwa ukidokoa dokoa soseji”
Ikanilazimu nimzibe Rahma mdomo kwa kiganja ili mzee Ngoda aendelee na Stori ya ma ishayake
“Basi ile tabia mimi ikaanza kunipa mashaka na mbaya zaidi mwanangu alikuwa bord kwa maana nilimpeleka tangu akiwa chekeche”
“Eddy nikizaa mwangu swala la bord sitaki kulisikia”
“Haya nimekusikia nyamaza”
“Kuna siku nilimuaga mke wangu kuwa ninakwenda Congo kikazi na haikuwa hivyo nikachukua chumba hotelini na kukaa siku mbili bila kutoka njee na siku ya tatu usiku wa manane nikaelekea nyumbani kwangu nikaruka ukuta na kuingia......Sikuingia ndani kabisa ila nikazunguka kwenye chumba cha dirisha ninalo lala.....katika siku nilizo umia moyoni mwangu ni siku ile kwa maana nilimshuhudia mke wangu akishuhulikiwa na yule mtunza ng’ombe tena nilikuta kipindi anapigwa makofi ya makalio na yule mchunga ng’ombe huku akiamrishwa anitukane tusi ambalo hadi kesho naingia kaburini siwezi kulisahau ni lile alililokuwa anaalizungumza kwa sauti ya kejeli.....MUME WANGU NI FALA HAWEZI CHOCHOTE....iliniuma sana”
Rahama akaanza kucheka kichini chini na akashindwa kuvumilia na kuaanza kucheka kwa nguvu na kunifanya na mimi nijikaze kucheka huku nikimuliza Rahma
“Kinacho kuchekesha ni nini sasa....”CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Nikajikuta na mimi nikicheka sana hadi nikahisi Mzee Ngoda anaweza akachukia ikanibidi niji-kaze japo sura yangu imejaa tabasamu la kucheka
“Wee acha tuu niliitwa Fala mimi na kuambiwa siwezi kabisa....hilo ni tusi dogo kuna mengine makubwa sana alinitukaa tungekuwa sisi wawili ningekuambia sema huyo mkwe wangu hapo ninalinda heshima yangu”
Rahma akainama chini ya meza kwani kila anapomuangalia Mzee Ngoda anashindwa kukizuia kicheko chake hadi machozi yanamwagika
“Niliondoka zungu huku nikiwa mnyonge sana ila nikaataka kumfanyia kitu kibaya mke wangu ila nikaona nimsamehe na kesho yake asubuhi nikarudi na kumuambia safari imehairish-wa......kutokana ninampenda mke wangu niliamua kumuambia tabia yake ila alikataa kata kata”
“Aaaah kweli hata kama ni mimi ningekuwa mwanaume huyo mwanamke ningemua kwa njia yoyote ile”
“Basi nilifunga kamera za ulinzi za siri siri nyumbani kwangu pasipo kumjulisha mke wangu cha kushangaza sasa wakawa wanaendelea kufanya vitu vyao kama kawaida.....nikaamua na mimi nianze kwenda nje ya ndoa na nikaanza kumfanyia kubuhu nikawa sirudi home nalala siku mbila tatu nje ya nyumba...kumbe na yeye akawa ananifwatilia na kunakitu nilimfanya yule mkata majani hadi kesho huko alipo kama yupo hai nahisi anajutia”
“Ulimfanya nini?”
“Nilimchoma sindano yenye dawa ambayo itamfaya mika yake yote hadi anakufa mashine yake isisimame hata kama anatumia dawa za namna gani haiwezi kusimama”
“Duuu”
“Tena ngoja nikawaonyeshe kaburi lamke wangu muda kidogo umekwenda”
Tukasimama na tukatoka nje na kuzunguka upande wa pili wa nyumba na gafla nikaanza kumuona Rahma akianza kubadilika sura yake baada ya kuiona picha iliyo wekwa juu ya kaburi la mke wa Mzee Ngoda
“Huyu ndio mke wangu ambaye alinifanyia mambo mengi ya ajabu sana”
Rahma akapiga magoti taratibu na kuitazama picha kwa kwa umakini huku akiifuta futa vumbi na mimi nikajikutana nikiikazia jicho kwani picha iliyo kuwepo pale inafanana sana na Olvia Hitler ambaye siku zote ninaamini ni shetani ambaye alikuwa akinifwatilia
“Baba huyu ni mke wako?”
“Ndio na nimezaa naye mtoto yule mmoja”
Nikataka kuuliza jina lake ni nani ila kwenye msalaba ulio tengenezwa ukanipa jina kamili am-balo ni Olvia Abdukarim,kajasho kembamba nikahisi kina nimwagika kwenye uso wangu huku kwa mabali mapigo ya moyo yakienda kasi kiasi
“Huyu dada mimi mbona kama ninamjua”
Rahma alizungumza na kutufanya sote tumtizame na mimi wasiwasi ukazidi kunijaa na kujikuta nikikishindwa hata kuzungumza
“Umemonea wapi?”
“Sikumbuki ni wapi nimemuona ila hata majuzi nilikuwa naye ila sikumbuki ni wapi?”
“Utakuwa umeota huyu mke wangu nilimuua miaka miine ya nyuma”
“Labda watu wanafanana na pia alinielezea mambo mengi sana ila ahaaa siyakumbuki”
Nikamtazama Rahma jinsi anavyo ishika shika picha iliyopo kwenye kaburi hata hamu ya kui-tazama ikaniishia
“Jamani mimi nipo ndani”
Nikaondoka taratibu huku nikiwaacha wakiendelea kuzungumza kuhusiana na maisha ya mke wa Mzee Ngoda,Amani yote ikatoweka moyoni mwangu ila nikaanza kujifariji kimya kimya ku-tokana nina pete mkononi ambayo alinipa Yudia.Wakaingia na kunikuta nikiwa nimejilaza kwenye kochi na Rahma akajiusha na kunikalia kwenye mapaja yangu
“Tutaumizana bwana”
“Jamani eti baba mimi ninauzito gani?”
“Ahaa nyinyi malizaneni wenyewe.....mimi ngoja niwaache nirudi zangu mjini kati yenu si yupo mwenye simu”
“Yaa mimi ninasimu baba naomba namba yako”
Mzee ngoda na Rahma wakapeana namba kisha akatomba tumsindikize nje na akaingia ndani ya gari lake na kutuahidi atarudi baada ya siku tano kutuletea chakula kwa maanakilichopo kwenye mafriji makubwa yaliyomo ndani kinatutosha kwa siku zaidi ya tano
“Mkwe ukiwa na mhitaji ya chakula utanitumia meseji ni nini unahitaji ili nije nacho”
“Sawa baba wala usijali kwa hilo”
“Eddy mtunze mkwe wangu bwana si unajua nimewafungisha ndoa ya kijeshi”
“Ndio kwa hilo usijali baba yangu”
Nilimjibu mzee ngoda kwa unyonge na akawasha gari na kuondoka,tukarudi ndani huku moyoni nikijutia kwa nini nimekuja
“Eddy mbona huna raha mume wangu?”
“Mbona ninaraha tuu”
“Mmm unaonekana huna raha kabisa kuna kitu nimekuudhi?”
“Hapana baby”
“Ila mbona upo hivyo.....? mimi sipendi bwana”
Rahma akaanza kunitekenya huku akizungumza kwa sauti ya kudeka,nikajikuta nikicheka ila kusema ukweli moyo wangu haukuwa na furaha hata kidogo,kwa bahati mbaya katika kumi-nyana minyana na Rahma nikamkwaruza kwenye mkono
“Baby kucha zako ndefu ngoja nikachukue kiwembe nije nikukate”
“Kiwembe wewe umekiona wapi?”
“Kuna kimoja nilikiweka kwenye wallet yangu ndogo”
Rahma akaelekea chumbani na mimi nikaendelea kujilaza kwenye kochi na baada ya dakika kadhaa akarudi akiwa na wallet yake na akaifungua nikaona kadi nyingi za benki
“Makadi yote hayo ya benki ni ya nani?”
“Nimechukua kadi ya baba,mama na zangu na zote ninazijua namba zao za siri.....Mungu akibariki tukirudi hivi nataka tokatoe pesa zote kwenye akaunti zao kisha twenda mbali na hapa”
“Unataka twende wapi?”
“Oman popote ambapo tunaweza kwenda kupata uraia wa kutuwezesha kuishi kwa amani na furaha katika maisha ya ndoa yetu”
Rahma alizungumza huku akiendelea kunikata kucha taratibu mkono wa kulia
“Ahaa mume wangu una kucha nzuri”
“Mmmm umeanza”
“Sio nimeanza kwani mtu kumsifia mume wake ni vibaya kama hutaki unamakucha mabaya ka-ma zombie”
“Ahaa haya bwana kama mimi zombi basi wewe mama zombi”
“Jamaani baby....”CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“Hakuna cha jamani tena wewe mazombi yake yanayo fanya khaa”
Nilipo kuwa nikijitingisha nikimuonyesha Rahma jinsi ya aina ya mazombi anayo fanana nayo kwa bahati mbaya akanikata kwenye kidole na damu zikaanza kunimwagika
“Umeona sasa na kuigiza kwako uzombi umejitingisha hadi nimekukata”
“Hembu nenda kaniletee kitu cha kuizuia hii damu kutoka”
“Ila pole mume wangu”
Rahma akanibusu kwenye uso na kuingia jikoni na mimi nikabaki nikiwa nimejishika kidole huku damu zangu zikimwagikia kwenye sakafu iliyo tengenezwa kwa mbao ngumu sana.Akarudi akiwa ameshika pakti ya chumvi na bakuli lenye maji.Akaanza kuninawisha taratibu kisha akanipaka chumvi ya kutosha ili kuizuia damu isitoke kwa wingi
“Eddy hiyo pete amekuvalisha nani?”
“Nimevaa tuu”
“Sipendi nakuomba uivue”
“Baby hii si ninapendeza nikiivaa”
“Sitaki ninakuomba uivue kwa maana pete yangu ndio inapaswa nikuvalishe ila sio wewe kujivalisha mapete pete yako ya ajabu”
Rahma alizungumza kwa hasira huku akiushika mkono wangu wa kushoto na kuanza kuicho-moa pete,
“Babay ila hiyo pete ni ya dawa”
“Kwenda zako huko tangu lini pete zikawa dawa......au umevalishwa na mwanamke wako huko unajidai ni ya dawa”
“Sio hivyo baby ila kuna...”
“Sitaki kusikia cha kuna wala nini....Hivi Eddy mashani mwako umesha wahi kupata mwanamke ambaye yupo tayari kujitoa maisha yake kwa ajili yako?”
“Hapana?”
“Kwa hiyo mimi nilikuwa mjinga sana kusimama mbele yako ili risasi inipate mimi si ndio?”
“Hapana mpenzi wangu ninakuomba upunguze jazba....hiyo pete mimi nimeivaa kutokana na matatizo yangu binafsi na kuna dada mmoja ndio alinipatia ili nijikinge nayo”
“Dada ehee dada eheee....kwahiyo mukavalishana?”
Rahma alizungumza huku machozi yakimwagika taratibu na akanyanyuka kwa hasira na kutoka nje akiwa na pete yangu mkononi na mimi ikanibidi nitoke nje kumfwata na kumkuta akiwa amekaa kwenye moja ya mabembea yalipo kwenye bustani za hili jumba
“Rahma”
Nilimuita huku nikimshika mkono na akaitoa mikono yangu kwa hasira
“Eddy sitaki uniguse nakuomba uniache”
“Siwezi kukuacha kwa sababu wewe ni mpenzi wangu”
“Eddy mimi sio mpenzi wako na unikome na kuanzia sasa hivi Eddy ninakuapia sitaki kuwa na wewe tena.....Mimi napigwa risasi na baba yangu kwa ajili yako,ninawakimbia wazazi wangu kwa ajili yak oleo hii unanimbia eti kuna mwanamke alinipa eti nijikinge unadhani mimi ni mtoto mdogo kiasi cha kunidanganya”
“Rahma mke wangu nakuoma uniamini hiyo pete mimi inanisaidia kuona mauza uza yanayo nitokea usiku”
Nilizugumza kwa sauti ya uyonge na ya upole ila sura ya Rahma haikubadilika na kwajinsi ni-navyo mjua Rahma hasira yake huchukua mud asana kuondoka
“Eddy hivi unajua ni dhamani gani ambayo mimi ninakupa,unajua ni jinsi gani mimi ninavyo kuchukulia wewe kama kiongozi wangu wa maisha.....ila kwa nini unafanya hivyo lakini?”
“Mke wangu ninakuomba unisamehe kama nitakuwa nimekuudhi kwa hilo ila kusema kweli hiyo pete mimi sina nia nayo mbaya kama unavyo nichukulia ila ukweli ni kwamba kuna majini yananisumbua sana usiku yanapelekea ninashindwa kuishi kwa amani mke wangu ninakuomba unipatie hiyo pete”
“Ahaa basi na mimi ninataka niyaone yakikusumbua na nikama pete yako nimesha itupa”
“Haaaa wapi...!!?”
“Sijiu na niankuomba uniache”
Ni kweli mikono yaRahma haikuwa na pete yangu mkoni na nikaanza kuitafuta katia sehemu ambayo Rahma amekaa ila sikuiona
“Mke wangu niambie basi ni wapi umeitupa?”
“Si nimekuambia usinihusi na mambo yako nenda kamuulize huyo Malaya wako aliye kupa akuchongeshee nyingine”
“Rahama usizungumze hivyo utanikasirisha”
“Kasirika kwani nimekuzuia kukasirika wee vipii”
Nikaachia msunyo mkali na kuendelea kuitafuta ni wapi ilipo na kwa dharau Rahma akanyanyuka na kuingia ndani,Sikufanikiwa kuipata pete baada ya kuitafuta kwenye kila sehemu ambayo nilihisi kuwa anaweza kuitupa,Nikarudi ndani sikumkuta Rahma sebleni,nikaingia chumbani na kumkuta akiwa amekaa kitandani huku akiwa ameukumbatia mto machozi yakiendelea kumwagika hadi sura yake ikatawaliwa na uwekundu fulani.Akanitazama kwa jicho kali hadi ninakaa kitandani akaendelea kunitazama
“Mke wangu hembu niambie ni wapi ilipo hiyo pete”
Rahma hakunijibu zaidi ya kuendelea kunitazama na machozi yakazidi kumtoka,gafla nikastukia akianza kunipiga na mto alio ushika
“Eddy kwanini kwanini unanifanyia mimi hivi.....?”
Rahma aliendelea kunipiga na mto wake anaona haitoshi akantupa na kuanza kunipiga kwa mi-kono yake huku akiwa amenikalia kiunoni huku nikiwa nimejilaza chali.Nikawa na kazi ya kui-zuia mikono yake isisiendeleaa kunipiga kwani nilimuachia apunguze hasira zake kwa namna hiyo ya kunipiga,Taratibu akaanza kupunguza nguvu na kasi ya kunipiga na taratibu akajishusha na kulilaza kichwa chake kwenye kifua changu na kuendelea kulia kwa sauti ya kudeka
“Eddy”
“Naam”CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“Unanipenda?”
“Ndio ninakupenda mke wangu tena zaidi ya kukupenda”
“Kwa nini unanisaliti?”
“Mke wangu sijakusaliti na siwezi kufanya hivyo ndio maana niliamua kuja kukuchukua kwenu japo baba yako alinitena na kuninyanyasa kutokana na weusi wangu na kuto kuwa kwangu na pesa”
Nilizungumza kwa sauti ya uchungu huku machozi yakinilenga lenga
“Rahma nipo tayari kufa kwa ajili yako....alama zote za mistari niliyo chanwa na kisu yote ni kwaajili yako,Damu yangu nyigi ilimwagika kwa ajili yako.Baba yako alitaka kunizika hai ila kwa uwezo wa Mungu nikafanikiwa kuokoka laity ingekuwa ni mtu mwengine angakuja kwenu tena eheee...?”
“Eddy ninakuomba unisamehe mume wangu najua ni jinsi gani unanipenda na kunihita-ji,natambua umeteseka kwa ajili yangu”
Rahma alizungumza huku akinifuta machozi ambayo yalisha anza kunimwagika,Rahma akaishusha midomo yake na kuikutanisha na midomo yangu na ndani ya dakika chache tukajikuta tukiingia kwenye dimbwi kubwa la mapenzi huku kila mmoja akijitahidi kumfurahisha mwenzake kwa jinsi anavyo jua yeye mwenyewe.Tukamaliza na kuingia afuni huku nikiwa nimembeba Rahma,tukaanza kuoga na kurudi chumbani na kujitupa kitandani
“Eddy unataka kula?”
“Nimeshiba mke wangu au wewe una njaa?”
“Hapana nilitaka kujua kama unanjaa basi tutapika jioni”
Masaa yakazidi kukatika huku na jjioni tukasirikia kupika chakula cha usiku na tukala kwa pa-moja huku tulilishana na tukamaliza na sote kwa pamoja tukajilaza kwenye kochi moja
“Baby hivi ile pete uliitupa wapi?”
“Umesha anza unataka nikasirike eheee”
“Basi yaishe mke wangu kwa maana ukianza kukasirika utaanza kurusha makofi yako”
“Yaa kama Sensia vile”
“Toka huko Sensia uwe wewe umelegea hivyo”
“Nimelegea wapi wakati nimekupiga zakichina china”
“Hahaaa haya mwaya mke wangu ila na wewe ni baunsa”
“Twende tukalale ninahisi usingizi”
“Zima taa za sebleni”
Sote tukaingia ndani na kujilaza kitandani,usingizi mzito ukanipitia nakulala fofofo.Kwa mbali nikaanza kuhisi ngoma kubwa ikipigwa na watu wakishangilia.Kwa mara ya kwanza nikaipote-zea nikijua ni ndoto zangu za kawaida,ila kadri muda unavyo zidi kwenda ndivyo jinsi sauti za watu na mlio wa ngoma hiyo ulivyo zidi kuongezeka kupigwa.Nikachukua mto na kujiwekea kichwani na kuziba masikio ila nikahisi kitu na kujikuta nikikurupuka na pembeni yangu siku-muona Rahma.Na mlio wa ngoma nikausikia ukizidi kuongezeka ilanibidi nichungulie dirishani ila sikuona watu wanao cheza ngoma hiyo kwa maana dirisha la chumba chetu linaelekea kwenye bustani ya nyuma
Nikaingia bafuni na sikumuona Rahma ikanilazimu kujifunga taulo na kwenda sebleni ambao mlio wa ngoma na kelele za watu zikazidi kuniumiza masikio yango.Taratibu nikafungua pazia la dirisha la sebleni na nusu nipoteze fahamu ila nikajikaza kuendelea kutazama.Kundi kubwa la watu wenye asili ya kijerumani wamewazunguka Rahma na jamaa mmoja wa kizungu huku Rahma akiwa amevalia shela la harusi huku na jamaa suti ya harusi na Rahma ameishika pete yangu aliyo itupa akitaka kumvalisha jamaa kwenye kidole kama nilicho kuwa nimekivaa mimi na nikazidi kuchanganyikiwa baada ya muongozaji wa harusi hiyo akiwa ni Olvia Hitler
Taratibu nikalifunga pazia na kukaa kwenye kichi huku nikijiuliza ninacho kiona ni kwelia au ni ndoto,Kelele za ngoma zikanifanya niweze kuamini kama ni kweli kwa ujasiri mkubwa nikasimama na kuufungua mlango na kuwafanya watu wate waliopo kwenye eneo nje kunitazama kwa macho makali ambayo si ya kawaida kama ilivyo kwa sisi binadamu.Macho yao yametawaliwa na rangi ambazo si za kawaida kwa haraka haraka ninaweza kuzifananisha na mwanga wa moto wa gesi.Rahma akabaki akinishangaa kama mtu asiye jitambua aliye kamatwa na bumbuazi kali,Nikaanza kupiga hatua mbili mbele na kuwafanya vijana wawili wa kijerumani kusimama mbele yangu na kunitazama kwa umakini kisha nao wakaanza kunisogela huku taratibu wakianza kubadilika maumbo yao kwa kutoka manyonya kama ya mbwa.Nikaanza kurudi nyuma kwa haraka na nikausukuma mlango ila kwa bahati mbaya nikaukuta mlango ukiwa umejifunga kwa ndani.
Jamaa wakazidi kunifwata na sikuwa na jinsi zaidi ya kaanza kupiga hatua za hakanyaga maua yaliyopo pembezoni mwa ukuta na kuanza kukimbia kuelekea sehemu yenye msitu,Vijana wa kijerumani naa wakanza kunikimbiza na kadri wanavyo kimbia ndivyo miili yao ikabadilika na kuwa kama mbwa aina ya Bweha(FOX) na kuzidi kunikimbiza.Sikuwa na namna nyingine yoyote zaidi ya kuuparamia mti kwa haraka cha hadi nikakaa juu ya moja ya tawi huku nikihema na jasho jingi lilimwagika.Mwanga wa mbara mwezi ukanisaidia kuwaona jamaa wakiuzunguka mti huku wakinguruma kwa sauti za kutisha sana.Mbwa watu wakaanza kutoa vilioa vya ajabu na kadri mawingu yanavyozidi kuufunika mwezi ndivyo wao wanavyozidi kupata shida katika miili yao na ambayo ikaanza kurudi katika hali kawaida hadi wa kawa binadamu wa kawaida ila hakuna aliye kuwa na nguo miomgoni mwao
Kila kitu ambacho kinaendelea sikuwa ninaamini ni kweli na ninayo jionea,nikajilaza kwenye tawi huku nikiendela kuwatazama jamaa na wakabaki chini ya mti wakiwa wananitazama huku wakinisubiria nishuke.Masaa yakazidi kwenda na kidogo nikaanza kushindana na macho yangu kitika swala zima la usingizi na kila nipojaribu kuyafumbua kwa nguvu zagu zote ndivyo jinsi macho yalivyo zidi kunikatali nakujikuta taratibu nikiyafumba na kausingizi kakanipi-tia.Nikaanza kuisikia sauti kwa mbali ya Rahma ikiniita na kunilazimu kuyafumbua macho na kukuta mwanga ukiwa umetawala kila sehemu na jamaa sikuwaona,Nikashuka kwenye mti taratibu hadi ninakanyaga ardhi na Rahma akawa amefika kwenye sehemu nilipo
“Eddy ulikuwa wapi?”
Nikamtazama Rahma kwa macho makali yaliyo jaa hasira na sikumjibu kitu cha aina yoyote zai-di ya kuondoka pasipo kumkibu.Nikapitiliza moja kwa moja hadi sehemu walipo kuwa wakicheza ngoma zao usiku na kuyakuta mazingira yakiwa kama jana mchana tulivyo yaacha na hapakuwa na hata jani linalo onyesha kuwa limekanyagwa.
“Eddy mume wangu si nimekuuliza ulikuwa wapi hujanijibu kitu au hujanisikia?”
“Pete yanguipo wapi?”
“Ila baby jana si nilikuambia kuwa nimeitupa”
“Nisikikilize wewe mwanamke usitake nikufanyie kitu ambacho sijapanga kukufanyia ninaomba unipe pete yangu kabla sikakuvuruga.”
Nilizungumza kwa hasira huku macho yangu nikiwa nimeyakaza hadi Rahma akaanza kurudi nyuma
“Eddy kwahiyo mimi unanikasirikia?”
“Ninaomba pete yangu”
Nilizungumza kwa hasira huku nikiwa nimemsogelea kwa karibu Rahma hadi akaanza kutete-meka kwa woga.Nikamuacha na kuingia ndani,kitu cha kushangaza sehemu ambayo jana damu zangu zilimwagika sikuzikuta ila kila kitu tulicho kiacha nikakikuta kama kilivyo ikiwemo dishi la maji na kiwembe.Wasiwasi ukaanza kunijaa na sikujua ni nini kinacho endelea,nikapitiliza moja kwa moja hadi chumbani na kujitupa kitandani na baada ya muda Rahma akarudi akiwa amechoka na kukaa pembeni yangu
“Baby nimeitafuta ila sijaiona”
“Huo ujinga usiniambie ila kikubwa ninaihitaji peta yangu umenielewa?”
“Ila baby kwani swala la pete si tulisha lizungumza jana na likaisha”
“Nitakunyonga Rahma au ndio umemvisha yule bwege wako jana usiku?”
“Eddy mbona sikuelewi hayo yote yametokea wapi?”
“Sasa hivi unielewei eehee?”
“Ndio Eddy sikuelewi ninaona unanichukia pasipo kuwa na sababu ya msingi....”
“Nisikilize Rahma mimi sio mjinga na kama unahisi kuwa mimi ni mjinga tambua ya kuwa ume-kosea na kamwe usitaraji kuwa mutaweza kuniteka akili zangu wewe na hao mashetani wezako sawa?”
“Eddy mimi shetani?”
“Ndio wewe nishatani tena Shetani mwenye mguu mmoja”
Rahma akaanza kulia kwa uchungu huku akinitazama kwa unyonge
“Tena usijilize kinafki kiasi hichi mimi ninadhani nina mwanamke mtu kumbe unakwenda ku-funga ndoa na majini watu wala wasio eleweka ili sasa iweje au unavyo ona mwenyewe umeni-komoa si ndio?”
Nilizidi kupayuka kwa hasiraCHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“Eddy laiti kama mimi ni jini basi Mungu anilaani sasa hivi na nife ninaapa kwa jina leke mimi siwezi kukufanyia hivyo unavyo fikiria”
“Ahaa kwahiyo jana mimi niliota si ndio....hadi mashemeji zako wakaamua kunilaza juu ya mti?”
“Eddy naomba unisikilize mpenzi wangu........mimi jana usiku niliamka na kwenda jikoni kunywa maji ila nilipo rudi huku chumbani sikukuta kutokana na usingizi mwingi nikajua utakuwa upo bafuni mimi nikaamua kujilaza zangu sasa asubuhi ndio nikaanza kukutafuta na kukukuta ukishuka juu ya mti ila unapo nihukumu nakuniita mimi jini la mguu mmoja unakuwa hujanitendea haki mume wangu....Unavyo niambia hivyo unanipa mimi uchungu mwingi inaonekana kuwa mimi si chaguo lako sahihi.”
Rahma akaendelea kuzungu kwa uchungu huku machozi yakimwagika
“Kwa hiyo niliye muona pale nje sio wewe?”
“Nje wapi mume wangu mbona unaninyanyasa kiasi hicho au kukupenda kwangu ndio kosa?”
“Koma sijazungumzia maswala ya kupendana,mimi ninacho taka kukijua ni kwamba ipo wapi pete yangu”
“Eddy sijui nimetafuta sehemu nilipo itupa jana ila sikuiona”
“Ahaa powa niache nilale....ila kabla sijalala nahitaji kujua mbona jana ulipo iona picha ya mke wa Mzee Ngoda ulistuka?”
“Eddy yule dada nilimuona siku moja nikiwa sijielewi pale nilipo pigwa risasi na baba,alikuwa akinijia katika mazingira ya kuogopesha sana kiasi kwamba nikawa ninaogopa sema sikuwa na uwezo wa kusema kuwa ninaweza kupambana naye.”
Nikajikuta nikikaa kimya huku nikimuangalia Rahma akizungumza huku machozi yakimtiririka
“Kuna vitu ambavyo alikuwa akinionyesha vya ajabu ajabu na akaniambia kuwa mimi ni mfu na sito weza kuishi tena,ila akaniambia kuwa nisipo weza kukubaliana na sharti lao moja basi sino weza kurudi kuishi tena duniani”
Mwili mzima ukazizima huku nikiusikilizia jinsi unavyo nisisimka na kujikuta nikikaa kitako nakumtazama Rahma vizuri na kumsikiliza kwa umakini
“Walikupa Sharti gani?”
“Waliniambia kuwa nifanye juu chini niweze kukuvua pete ambayo ulikuwa umevaa mkononi,na walinipa siku saba za kuishi ndio maana ile siku ya kwanza ulipo kuja nyumbani mimi mwili wangu ulikuwa umesimama nyuma ya mlango na pale kitandani alikuwa amelala Rahma mwengine anaye fanana na mimi na ndio uliye zungumza naye na baada yaw ewe kuondoka mimi mwili wangu ukaingui kwa yule Rahma uliye mkuta kitandani.”
Maelezo ya Rahma yakanichanganya kiasi kwamba nikabaki nikiwa kimya nimemtumbulia mi-macho huku akilini mwangu nikijiuliza kwa maana huyu niliye kuwa naye ni Rahma mfu au asiye mfu
“Kwa hiyo wewe hapo upo upo vipi?”
“Eddy mimi ndio Rahma wako halisi ila Rahma mwengine yupo anaye fanana na mimi na endapo akiingia mwilini mwangu ninakuwa na hasira kama niliyo ishika jana nilipokuwa ninakulazimisha kuweza kuivua pete yako.”
Nikajikuta nikichoka pasipo kufanya kazi,hali ya mashaka ikaanza kunitawala juu ya Rahma huyu ambaye ninaonge.
“Ila Eddy kwa nini ulinificha?”
“Nilikuficha na nini?”
“Hujui kuwa wewe ndio chanzo cha haya yote”
Nikabaki nikiwa ninamtazama Rahma huku nikikosa la kunzungumza na sikjua nimwambie nini juu ya kitu anacho dai mimi ni chanzo
“Rahma unaposema kuwa mimi ni chanzo sijakuelewa una maana gani?”
“Eddy tambua ya kuwa kila ulilolkuwa ukilifanya haya ndio matokeo yake”
Moja kwa moja nikaanza kuhisi Rahma ameingundua tabia yangu ya zamani,ikanibidi niibadi-lishe mada kuepukana na mizozo ya kelele.
“Fanya basi upike msosi baby ninanjaa?”
“Sawa mume wangu ila hiyo mada tutazungumza baadaye vizuri”
“Mume wangu unanichekesha sana”
Rahma alizungumza nyuma yangu na kunifanya nigeuke na kumtazama
“Kwa nini?”
“Kwa maana wewe unajing’ang’aniza kupanda juu ya huo mti wakti unauona ni mkubwa na tangu kule ndani niliikuwa nikikuangalia jinsi unavyo paramia parami”Rahma alizungumza huku akicheka
“Kinacho kuchekesha wewe haswa ni nini?”
“Ninakucheka wewe unaye nga’angana kuapanda hapo”
Nikamtazama Rahma kwa macho ya umakini na kujikuta nikiachia msunyo ulio mnyamazisha kuchela
“Baby jamani mbona unanisunya?”
“Nenda ndani kaniletee maji ya kunywa”
“Sawa mume wangu au umechukia nilivyo kucheka?”
“Hapana”
Rahma akanisogelea na kunibusu shavuni na kuondoka kwa mwendo wa madoido,Sehemu ni-liyo simama nikaanza kuhisi mtetemeko ulio nifanya nitazame chini kwa muda.Nikajaribu kupakanyaga nikasikia mlio unao ashiria chini yangu kuna shimo.Nikaanza kuyasogeza majani mengi ya mti yaliyo kauka na nikakuta mfuniko ulio tengenezwa kwa chuma na niimara sana na juu yake ukiwa na mnyororo chakavu ulio unganika kwa pamoja
“Kuna nini hapo?”
Rahma aliniuliza huku akiwa ameshika jagi lenye maji pamoja na kikombe
“Humu ndani sijui kuna nini,ila ninahisi kuna viu muhimu sana”
“Mmmmm hembu”
Rahma akapiga hatua hadi sehemu niliyopo mimi na akanyaga mfuniko kama nilivyo ukanyaga mimi kwa kutumia mguu kisha akanitazama machoni.
“Baby iseje kukawa na madudu ya ajabu ikala kwetu?”
“Madudu gani?”
“Madudu tuu ya ovyo ovyo”
“Hakuna kitu.....Fanya hivi nenda kule jikoni kalete kile kijishoka kilicho ning’inizwa pale ukuta-ni"
“Sawa”
Rahama akakimbia kuelekea ndani na baada ya muda akarudi akiwa ameshika kijishoka nilicho muagiza na kunikabidhi.Nikaanza kuukata mnyororo kwa kutumia nguvu nyingi ila haukukatika karahisi kama nilivyo tegemea.Nikaendelea kuukata na Rahma akanipokea kishoka na yeye akaanza kukata,mpaka inafika jioni hatukuweza kuukata mnororo tukaamua kurudi zetu ndani kila mmoja akiwa amechoka kwa kiasi chake.
“Eddy pale wewe uanhisi kuna nini?”
“Mmm sijajua ila kwa historia ya Mzee Ngoda aliniambia kwa hili jumba alikuwa anaishi rafiki yake wa kijerumani so huwezi jua kuna nini?”CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“Mmmmm Mungu akibariki kesho asubuhi na mapema tunamkia kwenye ile sehemu”
“Sawa mke wangu”
Tukapika chakula cha usiku na kula,kutokana na uchovu kila mmoja akalala upande wake wa kitanda huku akilini mwangu nikifikiria ni kitu gani kilichopo ndani ya shimo lenye mfuniko wa chuma.Sikuweza kupata usingizi nikiwa ninashahuku kubwa ya kutaka kujua,masaa yakazidi kukatika hadi inatimu majira ya saa nane usiku nikaanza kuhisi watu wakizungumza nje ya dirisha la chumba chetu.Nikamtazama Rahma na kumkuta amelalal fofofo,kwa ujasiri mkubwa nikasimama na kuchungulia dirishani na sikuona kitu.Nikajianza pembeni kusikilizia kama wataendelea kuzungumza wanacho kizungumza kwa lugha zisizo eleweka ila sikusikia tena.Nikarudi kitandani na kujilaza hata kabla sijajiweka vizuri nikasikia tena mazungumzo yao wakiyaendeleza na nikaanza kujiuliza ina maana wananiona ninapo karibia kwenye dirisha au ila nikakosa jibu.
“Nyinyi washenzi hapo nje ninaimani munanisikia hembu niachieni kelele zetu za kijinga”
Nilizungumza kwa kujiamini huku woga kwa mbali ukininyemelea kusikilizia jibu nitakalo pe-wa.Ukimya ukatawala kama dakika tano hivi nikaamini wameondoka gfla nikaanza kusikia kengele kubwa lenye mlio mithili ya makengele yanayofungwa kwenye minara ya makanisa likaanza kusikika likigongwa kwa nguvu kubwa.Rahma mwenzangu hana hili wala lile,kwa hasira nikanyanyuka na kuchungulia dirishani sikuona mtu zaidi ya kusikia milele ya kengele.Nikaanza kupiga hatua za kwenda nje gafla kwenye kona ya chumba akajitokeza bibi ambaye alinitibu kipindi nilipo okotwa msituni,sikustuka sana japo moyo ukanipasuka na kuyabadilisha utaratibu wa mapigo yangu ya moyo
“Shikamoo bibi”
“Marahaba......haikuwa ratiba yangu ya mimi kuja huku ila inanipasa kuja huku kukupa maagizo haya.”
“Mmmmm”
Niliguna huku nikimtazama bibi machoni mwake
“Kwenye lile shimo munalo lifungua mule kuna fugwa majini ambayo yakifuguliwa yatawadhuru walimwengu waliopo ndani ya huu mkoa hata nje ya mkoa kwa maana yanahasira na njaa kali na majini haya yanakula nyama za watu pasipo kuwa na huruma...”
“Ila kuna dhahabu nyingi ambayo ukiipata ni lazima uwe tajiri maisha yako yote wewe na kizazi chako ila sharti ni moja”
“Sharti gani?”
“Mupo wawili ila mmoja wenu ni lazima afa?”
“Nini wewe?”
“Ndio la sivyo mukifanikiwa kila kiumbe mutakacho kizaa au atakacho kibebe mke wako kitakufa tumboni mwake kwani hiyo ni kama sadaka ya majini hayo”
“Sasa bibi hakuna njia nyingine?”
“Njia nyingine ipo ila hiyo ni ngumu sana”
“Niambie tuu”
“Hiyo njia njingine ni kuweza kupata damu ya Ngamia mzee tena mwanamke.....sasa jiulize huyo Ngamia kwa hapa Tanzania utamtolea wapi?”
“Mmmmm sasa ni boara niachane na hio ishu”
“Huwezi kuacha kwa maana mumeshaanza ndio maana unazisikia kelele kama hizo huko nje hao ni watoto wa majini hayo ambao wanaweza kutoka kwenye lile shimo wakakupigia hiyo kelele ili ukawatoe wazazi wao”
“Sasa.....ahaaa bibi....”
“Na laiti ukiacha kuwafungulia matatizo ambaypo ulipia mwanzoni yataongezeka mara kumi zaidi ya ulivyo yapata”
“Ahaaa sasa bibi inakuwajee hapo”
“Ila usijali nitakupa dawa ambayo nitahitaji ujipake wewe na mwenzio usoni na mikononi pale mutakapo kwenda kukata ule mmnyororo”
“Je hao majini wakitoka itakuwaje?”
“Nitakupa fimbo ndogo yenye mamlaka ya kuwaamrisha kwa kila jambo utakalo wewe”
“Wapo wangapi hao majini?”
Bibi akakitazama kiganja chake cha mkono wa kulia sikujua anaangalia nini kisha akanitazama usoni
“Mmmmm wapo majini milioni moja,laki sina na hamsini”
Nikashusha pumzi kama nimetoka kukimbizana mbio ndefu
“Humo ndani walikuwa majini wachache ila kutokana na kuishi kwa muda mrefu wakazaliana na na kufikia hiyo idadi na kama wote hao ukishindwa kuwaongoza inakula kwako kwani watakutafuna wewe na uzao wako wote”
“Ohooo basi bwana bibi wewe nipe tuu dawa itakayo nisaidia kurudi zangu mjini na mke wangu ila si kuendelea na hiyo biashara mimi ni binadamu siwezi kuwaongoza viumbe wa ajabu kama hao”
“Mbona mfalme Suleima aliweza kuwaongoza majini na kuwaamrisha kwa kila kitu......Nahisi si mara ya kwanza kusikia neno hili kuwa nyota yako ni kubwa na inanguvu kubwa sana na inau-wezo mkubwa wa kuongoza chochote unacho kihitaji.........Pia majini hao watakusaidi kupamba-na na maadui zako ambao ukiwapa nafasi tuu ya kuiteka nyota yako huo ndio utakuwa mwisho wa maisha yako”
Nikatulia kama dakika tano nikimtazama bibi huku akilini mwangu nikiwaza ni jinsi gani nina-weza kufanya kazi hii ambayo tayari imesha nipa doa katika maisha yangu kwani sikuweza ku-tegemea kama ipo siku nitakuja kufikiria kumiliki jini
“Usiogope kwani kuna mambo mawili?”
“Kuifanya nchi na dunia kuendelea kuishi katika amani au kuifanya nchi kuingia kwenye matatizo makubwa na kila kiumbe aishie ndani ya nchi na nchi zote nazo zijua ndani ya ubongo wako watapata shida kubwa sana kwani ni lazima watafumwe”
“Mmmmm sasa mke wangu atakufa?”
“Hawezi kufa pale utakapo amua kuwaongoza hao majini ila ukikataa tuu atatafunwa”
“Bibi itakuwaje na hao majini wametokea wapi?”
“Wewe ndio utakuwa ni mridhi wa Mfalme Suleiman katika hilo hii ni baada ya karne nyingi kupita pasipo kupatikana kwa mridhi wake”
“Sasa bibi hawakuona mtu mwengine zaidi ya mimi kwa maana mimi kazi yangu ni ualimu”
Nilijitete nikimsikilizia jibu atakalo nipa bibi kwa maana ni hichi kikombe cha dhambi kilichopo mbele yangu ni zaidi ya kubebe sufuria lenye uji wa moto tena kwenye kichwa chenye upara
“Kuhusu ualimu wako weka pembeni....kilichopo hapa mbele yako ni kuangalia ni nini unapaswa kukifanya”
Nikasikia sauti ya kujinyoosha nyoosha kwa Rahma kitandani na kumfanya bibi kumtazama Rahma kisha akatabasamu
“Una kitoto kizuri ila usipo kiangalia kitatafunwa na hao majini ni kazi yako kukilinda”
“Daaaaa.....bibi inakuwaje sas?”
“Hapo hakuna ya itakukuwaje kazi ni kwako kulinda nchi,mke na kizazi chako”
“Nimekubali”CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Bibi akatabasamu na kunipa kichupa kidogo chenye unga unaofana na poda nyeupe,Akanipa maelekezo yote yanayopaswa kufanywa kwenye dawa hiyo ambayo ni kuipaka usoni na miko-noni kwa kiasi kidogo,pia akanipatia kifimbo ambacho ni chakuongezea hao majini
“Kitu kingine nilitaka kusahau...usije kumuambia mke wako kuwa kwenye hilo shimo kuna ma-jini kwa maana kama unavyo wajua wanawake wenu wa kisasa walivyo waoga na ataaribu kazi yote namwisho wa siku katatafunwa mbele yako”
“Sawa bibi.....ila ngoja kwanza ile pete yangu imepotea”
Bibi akanigeukia na kunitazama kwa macho makali yaliyo jaa mshangao
“Umeipeleka wapi?”
“Anivua mke wangu”
“Utakufa kwa ujinga wako nisubirie”
Bibi akaondoka kwa njia aliyo jia na mimi nikarudi kitandani huku kelele za kengele zikinyama-za kimya.Akili nzima ikawa imevurugika kila nilicho kiwaza hakuna ambacho nilikifikia maamuzi katika mawazo yangu.Baada ya muda bibi akarudi na nikanyanyuka kitandani na kumfwata alipo simama na akanionyesha pete yangu
“Umeipata wapi?”
“Si mulikuwa mumeitupa kwenye hizo bustani zenu kwa ujinga wenu”
Bibi alizungumza huku akinivalisa kwenye kidole ilipo kuwawepo
“Kumbuka hao majini hawaitaji kelele zozote za binadamu hadi ukiwaweka chini ya mamlaka yako ndio utakuwa huru kuwaongoza la sivyo watawatafuna”
Bibi akamaliza na kuondoka na kuniacha nikiwa na sinto fahamu hata kujilaza kitandani nilijilaza kama mgonjwa.Hadi kuna pambazuka sikupata usingizi wa aina yoyota.Rahma akanigeukia na kunitazama kwa macho yaliyo jaa usingizi huku akipiga miyayo
“Mume wangu umeamkaje?”
“Nimeamka powa tuu”
Nilizungumza kinyonge kwani kazi niliyo nayo si ndogo,Rahma taratibu akajisogeza kifuani kwangu na kunikumbatia na kuanza uchokozi wa hapa na pale na kuufanya mwili wangu kunisisimka.
“Mume wangu naitaji tutafute mtiti wa asubuhi asubuhi”
Rahma alizungumza huku akiaendelea na uchokozi ambao moja kwa moja ninajua ni ugonjwa wangu,ndani ya dakika kadhaa tukawa ndani ya dimbwa zito la mapenzi hadi tunamaliza mechi yetu kidogo nikawa kwenye amani
“Alafu baby kuna kitu nilisahau kukuadisia?”
“Kitu gani?”
“Kipindi ambacho nilipigwa risasi na baba si nilikuwa nina ujauzoto japo mima ilikuwa ni chan-ga?”
“Ehee”
“Basi yule Olvier Hitler alikichukua kile kiumbe chenye changu na kukiingiza kwa msicha mwengine amabaye ni jini wakidai watanirudishia tumbo langu litakapo pona”
“Mamaa weee sasa ni kwanini na wewe ulikubwali?”
“Ahaa baby unadhani ningekataa vipi wakati watu wenyewe wale ni majini”
“Mmmmm sasa mke wangu aaahaa”
Ikawa ni taarifa nyingine mbaya kwangu kwa maana moja ya njia mbazo Olvia na majini wake wanataka kunifanyia ni kuipata kwanza damu yangu.Na moja kwa moja endapo kiumbe changu kitazaliwa nilazima wataitumia damu ya mwanangu kuiangamiza dunia
“Sasaw wewe unadhani huyo mtoto atakuwa wetu kweli?”
“Hata mimi sijui mume wangu ila tumuachie MUNGU kwani si tutamzaa mwengine”
“Laiti ungejua kinacho endelea wala usinge zungumza hilo”
“Ni nini kinacho endelea”
“Utajua siku ila si kwa sasa cha msingi hapa ni kumtafuta mwangu kwa juhudi zangu zote”
“Mmmmm utampataje wakati wale ni majini na wewe ni mwanadamu?”
“Nitajua tuu jinsi ya kuwapata”
Nikanyanyuka kitandani na kuingia bafuni na Rahma akafwatia kwa nyuma na sote tukaofa ba-funi na kuvaa nguo zetu ambazo ni kauka nikuvae kwani hatuna nguo nyingine za kubadilisha zaidi ya makti tuliyo yakuta ndani ya hili jumba.Tukashirikiana kupika kifungua kinywa na baada ya kumaliza kila mmoja akawa tayari kwa kazi.Nikakimbia chumbani na kuchukua kichupa chenye dawa pamoja na kifimbo changu na kurudi sebleni na kumkuta Rahma akiwa ameshika kishoka.Nikatoa unga kidogo kwenye chupa na kujipaka usoni na mikononi kama alivyo niambia bibi
“Ni nini hiyo?”
“Wewe tulia nikupake”
Nikachuka tena unga kidogo na kumpaka Rahma kwenye uso na mikono yake na sote tukatoka nje.Tukafika kwenye sehemu lilipo shimo na kulikuta kama tulivyo liacha
“Hivi Eddy kwa mfano humu tunakuta mahela cha kwanza tuakwenda kuishi wapi?”
“Mbinguni”
“Jamani Eddy ndio jibu gani hilo mume wangu?”
“Niikuwa ninakutania mke wangu,tutaishi popote ambapo wewe utahisi panafaa”
“Mimi nataka tuishi kwetu Dubai”
“Hakuna shida mke wangu”
Rahma akakaa pembeni na mimi nikaanza kazi ya kuukata mnyororo kwa kutumia nguvu zangu na kila ninapo ukata ndivyo jinsi unavyo katika,nguvu nilizo nazo leo ni tofauti sana na nguvu nilizokuwa nazo jana kwani leo ninanguvu nyingi sana kupita maelezo.Mnyororo ukakatika na kumfanya Rahma kuanza kupiga makofi akifurahia
“Baby leo unanguvu nyingi kama John Cena”
“Kwenda huko nyoo tusaidine kuufungua huu mfuniko”
Rahma akanifwata na tukaanza na kazi ya kuuvuta mfuniko huu ambao ni mzito sana na kuto-kana na kuwa na kutu nyingi ukasababisha kushikana kwenye maeneo ya pembezoni kwa mfu-niko huo.Taratibu yukaanza kuufunua kwenda juu,tukiwa tumeufunua kwa kiasi fulani tukasikia sauti ya Mzee Ngoda ikutuita huku akija katika eneo tulilopo
“Munafungua nini wanangu”
“Njoo utusaidieee”
Nilizungumza kwa sauti ya kujiminya kwani mfuniko ulituzidi nguvu,Mzee ngoda akajiingiza katikati yetu na kutusaidia kuufungua mfuniko na kwa pamoja tukafanikiwa kuufungua.Gafla tukastukia kumuona Mzee Ngoda akirushuwa juu kama kifaranga kilicho nyakukiliwa na Mwewe mwenye njaa kali na kitendo cha kutua chini hakuwa na kichwa na damu nyingi zikawa zinaruka kila sehemu na kumfanya Rahma kupiga ukulele mkali
Nikabaki nikiutazama mwili wa mzee Ngoda jinsi unavyo rusha rusha miguu,Sauti kali nikaisikia kwenye masikio yangu ikiniambia
“Mmoja wenu ni lazima afee”
Nikayakumbuka yalikuwa ni maneno ya bibi,kwa haraka nikamuwahi kumziba mdomo Rahma.
“Shiii nyamaza”
Nikaendelea kumziba mdomo Rahma kwa nguvu kwa kutumia kiganja cha mko-no.Tukayashuhudia majini yakitoka na kulizunguka eneo tulilopo sisi huku wakiwa wanaelea elea angani.Nikakitoa kifimbo mfukoni na kuwanyooshea majini yaliyojaribu kwenda mbali,
“RUDINI HAPA”
Nilizungumza kwa sauti ya ukali na majini hayo yakatii,hadi na mimi nikaanza kushan-gaa.Rahma akanikumbatia kwa nyuma,mwili mzima ukiwa unamtetemeka mithili kama ame-pigwa shoti ya umeme.Eneoa la anga zima katika eneo tulilopo limefunikwa na majini haya am-bayo ni mengi sana na yana sura za kila aina
“Tunakushukuru sana kwa kututoa”
Niliisikia sauti kwenye masikio yangu ambayo ni tofauti sana usikiaji wake kama tulivyo sisi wanadamu,Kwani sauti niliisikia ndani ya masikio yangu na si kama ile inayo ingia kwenye ma-sikia yangu.Nikawatazama kwa umakini na kuwashuhudia wakiwa akatika makindi tofauti to-fauti,Wazee sana,wazee kiasi,vijna na watoto
“Munataka nini?”
“Tulikuwa tunauhitaji uhuru,tumeupata kutoka kwako asante sana,tupo tayari kukusikiliza wewe kwa kila kitu”CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Hata jini ambaye ananijibu simjui ni yupi kati ya kundi kubwa ambalo limetuzingira mimi na Rahma
“Kwa leo tunakuomba tutoke tukatafute japo kitu cha kula,kisha saa kumi na mbili tutakuwa tumerudi”
“Eddy ukiwaruhusu hawa huko kwengine mambo yatakuwa si mazuri”
Rahma aliniambia
“Kumbe hata wewe unawasikia?”
“Ndio”
“Sasa munaniahidi nini nikiwaruhusu kwenda kuchukua chakula?”
“Amani itakuwa juu yetu”
“Hamuto wadhuru wanadamu wengine kama huyu?”
“Hatuwezi fanya hivyo,tunakuahidi”
Nafsi moja inaniambia niwaruhusu na nyingine inaniambia nisiwaruhusu.Nikamtazama Rahma akatingisha kichwa nisiwaruhusu.
“Acha wakatafute kitu cha kula,unadhani hapa wakikaa watakula nini?”
“Haya kama umeoamua hivyo”
“Haya nendeni ila saa kumi na mbili jioni nawahitaji hapa”
“Turuhusu tuanze na mwili huu.”
“Khaaa”
Nikautazama mwili wa mzee Ngoda kisha nikawatazama Majini,sura zao baadhi zimejaa upole na masikitiko makubwa,wengine wapo kwenye rah asana.
“Kwanza ni nani aliye fanya hivi?”
Akajitokeza jini wa kiume mwenye mwili wa kawaida tuu na kushuka chini kitendo cha kuka-nyaga ardhi mwili wake ukakamilika kama wa binadamu wa kawaida,kwani wote anao elea elea angani miili yao imekaa kama donge kubwa la maji.Akapiga magati mbele yangu na kuinama
“Nisamehe mkuu haikuwa dhamira yangu ufanya hivi ila nilimuona kama adui yetu ndio maana nikamdhuru”
“Sawa nimekusamehe”
Akanyanyuka kwa furaha na kurudi juu na mwili wake ukafanana sawa sawa na we-zake.Nikawaruhusu na ndani ya dakika mwili wa Mzee ngoda haukuwepo mbele ya macho ye-tu,walisha utafuna.Wakaondoka kwa furaha huku wakishangilia na kutuacha mimi na Rahma
“Eddy nahisi kama nipo kitandani,naota vile?”
“Mmmm upo kwenye maisha halisi mke wangu”
“Eddy wewe umewezaje kuwaamrisha hawa viumbe kwa maana hawaeleweki”
“Wee acha tuu mke wangu”
Tukaanza kushuka kwenye ngazi zilizopo kwenye handaki tulilo lifungua,Tukakuta mafuvu mengi ya vichwa vya watu pamoja na mifupa ikiwa imesambaa chini,Mwanga wa bluu uliopo ndani ya handaki ukatusaidia sana kuyaona mazingira yaliopo humu ndani
“Baby huu mwanga unatoka wapi?”
Rahma aliniuliza kwa sauti ya kuninon’oneza
“Hata mimi sijui unatokea wapi?”
Tukaendelea kutembea kwenye eneo la handaki,lililo na eneo kubwa sana.Tukaingia kwenye moja ya ukumbi na kukuta kila kitu kilichomo ndani ya ukumbi huu kimetengenezwa kwa dha-habu,kuanzia viti,meza ukuta sakafu vipo kwenye namna hiyo.Nikataka kuokota kikombe cha dhahabu ila Rahma akanizuia
“Ona kule”
Rahma akanionyesha mzee aliye keti kwenye kiti cha dhahabu akiwa ameshika fimbo ndefu ya dhahabu huku mikononi mwake akiwa amevalia pete nyingi.Nikashika kifimbo changu vizuri na kuanza kuoiga hatua za taratibu huku Rahma akiwa nyuma yangu akinifwata.Tukafika eneo alilopo mzee huyu ambaye ni wamakamo sana,hata macho yake yanafumbuka kwa shida.
“Nikipindi kirefu sana nilikuwa ninakusubiria wewe,na leo nimekuona”
Mzee alizungumza kwa sauti ya kukwaruza kwaruza
“Nani....Mimi?”
Nilijiuliza swali na kujijibu mwenyewe na kumfanya mzee kutingisha kichwa chake
“Ndio,Imepita karne na karne nikiwa namtazamia atakaye shika falme yangu ya kuwaongoza hawa majini.Tangu ulip kuwa tumboni mwa mama yako niliweza kukulinda hadi ukafika hapa.”
“Samahani mzee wangu wewe ni nani?”
“Mimi ni mfalme wa wafalme”
Nikakaa kimya kwani jibu alilo nipa sikujua kama ndio jina lake alisi au ni mbwembwe tuu,Akasimama akisaidiwa na fimbo yake,vazi zima alilo livaa nimepabwa na dhahabu.
“Sogea karibu,Usiniogope”
Rahma akanishika mkono,nikamtazama na kumkazia macho hadi akaniachia mko-no.Nikamsogelea mzee na akaninyooshea mkono wake ulio valia pete na bangili nyingi zilizo tengenezwa kwa madini ya kila aina.Nikampa mkono wangu na kitu kama shoti kikautetemesha mwili wangui kwa sekunde kadhaa na kikaachia
“Wewe ndio mridhi wangu,Utaifanya dunia kuwa katika uwezo wako,waongoze wanadamu ka-tika njia ya kumtafuta MUNGU.Ila unakazi kubwa sana ambayo mimi niliishindwa na kujifungia humu ndani kwa siri”
“Kazi....kazi gani hiyo?”
“Nitakuambia,Jina langu ni Suleima Mfalme wa wafalme,Nilipewa uwezo mkubwa na MUNGU katika kuvitawala viumbe vyake,vya baharini na nchi kavu.Watu wengi wanatambua kuwa sasa hivi nimefariki,ndiovyo maandishi yalivyo katika vitabu vitakatifu vya MUNGU.Ila nimepewa nafasi hii ya kuonana na wewe ili roho yangu ikalale mahali salama,nikiwa nimekuachia kazi yangu ya kuendeleza mapambano dhidi ya majini 72 yalio niasi”
“Ehee nitawezaje?”
“Vizuri,Uwezo wako ni mkubwa kuliko mimi.Unasauti kubwa katika viumbe hivi kuliko mimi.”
“Mungu alinipa uwezo mkubwa sana wa kuwatawala ila hao 72 waliniasi na niliwafungia kwenye Gudulia la Shaba na kuwadumbukiza mtoni,Baada ya mimi kufa katika enzi zile wakaja kufunguliwa na watu wa Babilon ambao walikuwa wakitafuta mali na kusababisha majini hayo kuwa huru na kuleta tabu kama unayo iona katika dunia ya sasa”
“Baada ya BARBATOS na wezake kurudi katika mamlaka yao,Ndipo nami MUNGU alipo niruhusu nirudi duniani na kuwa katika handaki hili lenye udongo ulio jaa Baraka za Mungu nikisubiria wewe kuzaliwa na kuja kuwa mridhi wangu na laiti nisinge rudi basi Dunia ingezidi kuangamia”
Nikashusha pumzi na kubaki nikimtazama Mfalme Suleiman,ambaye kwa kipindi chote nilim-soma kwenye histori za vitabu tuu.
“Majina hao ni BARBATOS ambaye ni mkuu wao au Mungu wao,BAAL anamiliki mashariki mwa duni,BUER anawapa umashuhuri watu,AGARES huyu husababisha mitetemeko ya ardhi,ni mzee anatumia mamba katika kusafiria,AMON ananguvu nyingi na anamwili wa mbwa mwitu ila anakichwa cha joka lenye ndimi zinazo tema moto ila anabadilika na kuwa kama binadamu anatumika katika upatanishi wa marafiki”
“Sasa hao wote wapo wapi?”
“Duniani”
“Hao walio salia ni wafuasi tu,Kikubwa ni kupambana nao kwa kutumia hekima ambayo ume-pewa”
Mfalme Suleima kwa ishara akaniamrisha nipige goti moja chini wa mguu wa kushoto huku mguu mwengine wa kulia nikiunyanyua kidogo na kuuwekea kisuku cha mkono wa kulia na ngumi ya mkoni wikiwa imegusana na paji la uso na kuangalia chini.Akanishika kichwa na kuanza kuomba kwa lugha ambayo sikuitambua,akatumia dakika zaidi ya kumi katika kufanya maombi yake.Akavua pete mbili kidoleni mwake na kunivalisha,kwenye vidole vyangu vya mkono wa kulia,kisha akaniinua na kunivisha joho lake.
“Nimekukabidhi mamlaka yangi juu ya majini wote wema ambao nilikuwa nao humu ndani,Ila hakikisha hawatekwi na majini waliomo dunia.”
“Nitalihakikisha hilo hakuna linalo tokea”
“Kazi unayopaswa kuanza nayo ni juu ya wale wote wanaotumia nguvu za giza,kuwateka watu wa Mungu katika majengo yao waliyo yaanzisha duniani kote”
“Sawa”
Mfalme Suleiman akamuita Rahma kwa ishana,akaja na kusimama kando yangu.Akachukua pete yake nyingine na kumvisha Rahma kwenye mkono wake wa kushoto
“Pete hii inanguvu ya ushawishi na ikusaidia kumtuliza jazba pale mume wako atakapofanya maamuzi yaliyo kinyume palipo na ukweli”
“Sawa” Rahma alishukuru kwa sauti ya unyenyekevu
Mfalme Suleiman akatukumbatia kwa pamoja huku akinipiga piga mgongoni,akasogea nyuma kidogo,
“Utajiri wangu upo juu yako”CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Gafla mwanga mkali ulio ambatana na radi ukjatawala ndani ya ukumbi na kusababisha teteme-ko kubwa la ardhi.Mfalme Suleiman akanyoosha mikono,wau wawili wenye mavazi meupe pee na madawa mawili mgongoni mwao wakasimama pembeni yake na kumnyayua kwenda juu hana kupotea naye na mwanga ukarudi kama kawaida.
Kila kitu kinacho endelea kwenye maisha yangu ninaona kama mkanda wa kuigiza,Tukatoka nje ya handaki na sote tukaelekea ndani.Mida ya saa tisa jioni tukasikia vishindo nje ya nyumba ikatulazimu tutoke nje kuangalia ni nini kinacho endelea.Nikakutana ana kundi la majini ninao waongoza wakikatiza katiza nje wengine wakiwa wanaelea angani.
“Kuna nini?”
Nilimuuliza mmoja wa majini ambaye alisimama mbele yangu
“Mkuu kuna hali mbaya imetoke?”
“Hali gani?”
“Wezetu wapatao 250 wametekwa”
“Wametekwa....!!? Na nani?”
“Tunakuomba utupe ruhusa tukawakomboe”
“Wapi?”
“Sehemu ambayo wapo ni kwenye kisiwa kimoja kipo karibu na bandari ya Tanga”
“Ngoja unaweza kuniambia ni nini kimetokea?”
“Mkuu twende ukajionee”
“Eddy unataka kwenda wapi?”
“Ngoja nikaone mke wangu”
Jini la kiume ambalo ninaongea naye akaniishika mikono na gafla kufumba na kufumbua nikaji-kuta nikiwa katika anga na sikuamini macho yangu baada ya kuukuta mji mzima wa Tanga uki-wa umetawaliwa na damu nyingi lizilizo tapakaa maeneo mbalimbali ikiashiria watu wengi wa-metafunwa na majini yangu.
Nikabaki nikihamaki kwani hali ilizidi kuwa mbaya,watu walikimbizama hovyo kuyaokoa mai-sha yao.Jini aliye nishika akanishusha juu ya gorofa moja la bandari.Kwa kutumia uwezo wa fimbo nilio nao nikaamaru majini wote kutulia,Wakatutii kwani maamlaka niliyo nayo juu yao yamezidi kuongezeka.Wakalizunguka eneo ambalo mimi nipo wakisubiri nini nifanye.
“Nani aliye waamuru kufanya huu upuuzi wakati niliwaachia kwa roo njema?”
Niliwauliza kwa ukali na majini wote wakaa kimya
“Aliye jijua kuwa amefanya tukio la kumla au kumdhuru binadamu yoyote ambaye ni mwema akae upande wangu wa kushoto”
Majini wakajigawa hadi mimi mwenyewe nikashangaa kwa jinsi wanavyo nisikiliza kwa umakini wa hali ya juu.
“Mkuu sisi ni wachache kati ya wale ambao wametekwa na wanadamu wenye nguvu zinazo en-dana na wewe.”
Jini mmoja alizungumza kwa sauti nzito akiwa katika kundi la majini walio watafuna watu.
“Hiyo sio mada niliyo nayo,nimeuliza ni kwanini mumewala watu wasio na hatia?”
“Mkuu wezetu ambao wametekwa walipandikizwa roho ambazo ni mbaya ndio maana wakawala watu na sisi tulio nusurika tukajua tumeruhusiwa kuwala watu ndio maana hata sisi tukawala”
Nikaangalia chini na kuona jinsi ukimya wa sehemu tuliyopo ulivyo tulia,Magari mengi yaliacha milango wazi huku mengine yakiwa yameangushwa na kuwashwa moto.
“KUMBUKA KUNA WATU WANAHITAJI MAJINI ILI KUYATUMIA KATIKA KAZI ZAO ZA KICHAWI NA WAGANGA,KUWA MAKINI NA HAO WATU.”
Sauti ya taratibu ilisikika masikioni mwangu,na ninauhakika hakuna jin lolote aliye weza kuisi-kia
“Sasa nifanye nini?”
“UNATAKIWA KUWAREJESHA KWANZA HAO 250 KAMA WALIVYO KISHA UANZE LILE AGIZO LA KWANZA ULILO PEWA.”
“Nitawarudisha vipi?”
“CHAGUA WAFUASI KUMI,NANE WAAMRISHE WAENDE KWENYE KILA KONA YA DUNIA WA-KIWA WAWILI WAWILI,KISHA WAWILI WABAKI KATIKATI YA MKOA WAKO”
“Sijakuelewa,hao nane waende pende za dunia mzima au kwa huu mkoa tuiopo?”
“KWEENYE DUNIA,WANAKWENDA KUZUIA KUBADILISHWA KWA WEZAO,NA ENDAPO WEZAO WAKIBADILISHWA ZAIDI WATAWEZA KUKUANGAMIZA KWA MAANA WANAJUA SIRI ZAKO ZOTE”
“Sawa ila wewe sijajua ni nani?”
“MIMI UTANIJUA,NI KIONGOZI WAKO NILIYE AGIZWA KUFANYA KAZI HII”
“Asante”
Nikawatazama majini na kuona wakiendelea kusubiria kitu cha kuwaambia,Nikaaamrisha jinsi nilivyo ambiwa na nikapata majini kumi vijana wenye nguvu za kutosha na wenye miili mikub-wa.Mara moja wakaanza kazi niliyo wapa,wengine nikawaruhusu warudi nyumbani na nikabaki na wawili wa kunilinda.Nikamuagiza jini mmoja kunishusha chini na akafanya hivyo.Nikaanza kukatiza maeneo ya Club Lakasa Chika na kukuta damu nyingi ikiwa imetawala sehemu nyingi za barabara.
“Mkuu,mimi ninaitwa Khadan huwa ukoo wangungu asili yetu kubwa ni ulinzi kwa binadamu wanao tuhitaji”
“Sawa”
Tukazunguka karibu mji mzima kuna maeneo yamesalimika kwa watu kutafun-wa.Wakanichukua hadi nyumbani,Na kumkua Rahma akiwa katika hali ya majonzi.Baada ya kuniona akanikumbatia huku akimwaga machozi
“Baby una nini?”
Nilimuuliza Rahma kwa wasiwasi huku nikiwa ninamashaka
“Eddy viumbe vyako vimeua ndugu zangu.”
Nikastuka kidogo sikujua ni vipi amezipata hizi habari
“Nani amekuambia?”
“Nimehisi tu mume wangu”
“Utahisi vipi wakati kitu haujakiona?”
Nikamtazama Rahma machoni,nikamvuta karibu na kumpiga busu la mdomoni na kuingia naye ndani.Hadi inafika jioni majini ambao walikuwa wametekwa wakawa wamerudishwa kwenye himaya yangu.Siku mbili zikapita nikiwa ninaendelea kupata kuwatamua majina na kazi zao wanazo zifanya majini ninao waongoza.Siku ya tatu alfajiri na mapema nikaanza kuwaagiza kazi husika ambayo mimi ninahitaji waweze kuifanya
“Agizo la kwanza ninahitaji muwalete hapa viongozi wote wa dini ambao hawamchi MUNGU wanamtukuza BARBATOS na wezake”
Majini wapatao hamsini nilio wakabidhi kazi ninayo hitaji wakanisujudia na kuondoka zao.
“Eddy mume wangu hao viongozi watakao letwa utawafanyaje?”
“Nitajua ni nini cha kuwafanya”
“Ila kuwa makini katika maamuzi yako”
“Usijali kwa hilo”
Ndani ya masaa mawili wakaanza kuletwa watumishi mmoja baada ya mwengine na wengine nikabaki nikiwashangaa kwa maana ni maarufu sana nchini na duniani.Idadi yao ikazidi kuon-gezeka hadi wakafikia watumishi zadi ya elfu moja.Nikamuomba Rahma kwenda ndani aniache niwashuhulikie hawa wapumbavu
“WAKATI WA HUKUMU UMEFIKA” Niliisikia sauti ikiniambia masikioni mwangu
“Niwafanye nini?”
“WAWEKE KATIKA MAKUNDI NA KILA MMOJA ATAPATA ADHABU YAKE KUTOKANA NA UDANYANYIFU ALIO UFANYA KWA WATU”
“Sasa makundi hayo yawe vipi?”
“NITAKUWEKEA KILA MWENYE KUSTAHILI ALAMA YA X NAWE UTAWEZA KUCHAGUA NI NINI CHA KUWAFANYA”
Ndani ya muda mchache watumishi wadanganyifu wengi wakawa wamewekewa alama ‘X’ kwenye mapaji ya nyuso zao.Katika kupita pita na kuwachunguza macho yangu yakakuta na baba mchungaji ambaye anashirikiana na Olvia Hitler na nimiongoni mwa waliotaka kuniangamiza,akatabasamu huku akitingisha kwa dharau nikatamani nimzabe kofi ila askari wangu akanishika mkono na kuionya nisifanye hivyo.Hakuweza kuzungumza chochote kwani nimewaamrisha majini wangu kuwafunga kauli,hii ni kuepuka kuomba misamaha isiyo na msingi wa aina yoyote.Nikawatazama kwa umakini wakiwa katika mistari ya kunyooka kama wanajeshi wa Adolf Hitler.CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Gafla nikaanza kuona madonge makubwa mawili ya moto yakija kwa kasi kubwa kutoka anga-ni,Majini baadhi yanayo nilinda yakapaa angani kwenda kuyazuia ila wakashindwa na kuun-guzwa miili yao
“NI WAKATI WAKO KUPAMBANA WEWE KAMA WEWE,HAO WANAO KUJA NI MAJINI WABAYA AMBAO UMEWACHUKULIA WATU WAO” Sauti iliniambia
“Nifanye nini?”
“TUMIA FIMBO KUYAZUIA”
Nikainyoosha fimbo ya dhahabu niliyo powa,Mwanga mkali ukatoka mbela ya fimbo na kusababisha madonge ya moto kujibadilisha na kuwa katika hali upepo unaokwenda kwa kasi midhili ya kimbunga cha Katrina.Upepe ukaanza kunizunguka kwa kasi na kujikuta nikiaanza kunyanyuliwa kwenda juu
“USIOGOPE ENDELEA KUPAMBANA”
“Mbona nakwenda juu sasa?”
Niliiuliza sauti ninayo isikia ila haikunijibu kitu chochote,Nikazidi kwenda juu na jinsi ninavyo-zidi kwenda juu ndivyo nguvu za mwili wangu zilivyoaanza kuniishia.Kufumba na kufumbua nikajikuta nipo katikati ya usawa wa bahari.Nikaanza kwenda chini kwa kasi kuelekea yalipo maji
Fimbo yangu ikatoweka mkononi mwangu,nikaanza kuchanganyikiwa.Nikashtukia nikigeuwa kichwa chini miguu juu na kuingizwa kwenye maji kwa kasi ya ajabu,Nikaendelea kupelekwa chini hadi nikajikuta nipo katika mji ambao siuelewi na watu waliopo ndani ya mji huu wanasura za kutisha sana.Gafla upepo ukaniachia na ukabadilika na kuwa watu wenye mikono miine mikubwa inayo tisha.Vichwa vyao vikiwa na mapembe yenye ncha kali sana
Ikaninyanyua juu na kunidumbukiza kwenye kisima chenye giza totoro,Nikaanza kushuka kwa kasi kwenye kisima hichi pasipo kufika chini.Sikuweza kuona chochote kwenye kisima kutokana na giza kali.Nikastukia nikipigwa kikumbo kikali kilicho nipeleka chini zaidi.Galfa nikaanguka kwenye ukumbi mkubwa ulio jaa watu wasio eleweka na wakaanza kushangilia,Chakushangaza sikuweza kuumia sehemyu yoyote
“KARIBU KUZIMU BWANA EDDY,NIMEFURAHI KUKUONA KWA MARA NYINGINE”
Sauti ya Olvia Hitler ilinifanya nigeuke nyuma yangu na kumkuta akiwa amekalia miili ya majo-ka mawili makubwa yanayotoa moto midomoni mwao.Akasimama huku akipiga makofi kwa dharau
“EDDY,HUWEZI KUPAMBANA NA MIMI KAMWE.MIMI SASA CHAGUA MOJA KUACHIA WATU WANGU HURU AU MKE WAKO RAHMA NA KIUMBE CHAKO HICHI NIVIANGAMIZE”
Olvia alizungumza huku akiwa amemshika mtoto mchanga ambaye sikuweza kumuona vizuri sura yake.Olvia Hitler akanyoosha mkono wake kwenye moja ya lango kubwa,ukafunguka na yakatoka majitu mawili yakutisha yakiwa na vishoka vikubwa na kuwafanya watu waliopo hapa kuanza kushangilia
Nikabaki nikiwa nikiyatazama majamaa yanayo kuja kwa mwendo wa taratibu ulio jaa vishin-do.Nikatazama vishoka walivyo vishika na kujikuta mwili mzima ukiingiwa na hufu
“NIMERUDI”
Nikaisikia sauti ambayo mara kwa mara huwa inanielekeza nini cha kufanya,
“Muda wote ulikuwa wapi hadi umeniacha nimekuja huku chini?”
“NILIKUWA NINAMANA YANGU”
“Maana gani?”
“MANAA KUU NI KWAMBA UJE KUICHUKUA DAMU YAKO KABLA HAWAJAKUDHURU ZAIDI”
“Sasa nitamchukuaje?”
“USIJALI KWA HILO”
Sauti ninayo zungumza nayo kidogo ikanipa matumaini ya kuweza huku kizimu nili-po.Nikastukia kuona watu watu wapatao sita,walio valia mavazi meupe wakiwa wamenizunguka.Mwanga mkali mweupe ukaanza kumulika katika eneo zima lililo kaa watu wanaoshangulia.Mwanga ukasababisha miili ya watu hao kuanza kupasuka vipande vipande.Majiu yaliyokuwa yakinifwata nayo yakaanza kupasuka vipande vipande.Olvia Hitler akabaki akiwa amenitazama kwa macho makali.Sikuweza kujua ni kwanini mwanga haukuweza kumdhuru,
“Mbona yule msichana audhuriki na huu mwanga”
“TUNAUA KWANZA WATU WAKE”
Watu walio nizunguka,wakaanza kazi ya kukimbia huku wakinizunguka kwa kasi kub-wa,Nikajashangaa nikianza kupanda kwenda juu hadi nikafika sehemu alopo Olvia Hitler,
“USIMUOGOPE MSOGELEE”
Nikaanza kupiga hata za taratibu huku nikiwa ninajiamini sana,Olvia Hitler akabaki akinitazama kwa macho makila
“MCHUKUE HUYO MTOTO,HAWEZI KUKUZUIA TUMEMFUNGA MWILI WAKE”
Nikaupeleka mkono wangu wa kulia alipo mtoto,Olvia hakuweza kunifanya kitu chohote zaidi ya kubaki akinishanga,Nikamchukua mtoto wangu,Jambo ambalo linaniogopesha juu ya huyu mtoto ni jinsi alivyo.Sura yake haijaendana kabisa na mimi hata mwili wake si wakawaida kama watoto wengine
“Hivi huyu ni mwanangu kweli?”
“WEWE MCHUKUE HUYO MTOTO TUONDOKE”
Sikuwa na lakuuliza zaidi ya kumchukua mtoto,Nikajistukia nikivutwa nyuma,watu walio nizingira kwakanishika na kuanza kwenda juu.Tukiwa katikati kuna sehemu nikaiona ikiwa na moto mwingi sana
“Pale ni wapi?”
“NI KWENYE ZIWA LA MOTO,WALE WOTE AMBAO WANAFANYA MAOVU WANAPELEKWA KULE.NA SIKU YA MWISHO WA DUNIA MOTO UTAONGEZEKA MARA DUFU”
“Mmmmm naweza kwenda kupaona?”
“UNA MOYO WA KUVUMILIA?”
“Kwa nini unasema hivyo?”
“KUNA HALI YA KUTISHA JE UTAWEZA KUVUMILIA?”
“Ndio”
“NITAKUZUNGUSHA KWA DAKIKA KUMI NA TANO TUU”
“Sawa”
Wakanichukua na kunipelea sehemu yanye giza kuwba,Galfa nikasikia kelele za ajabu ambazo siwezi kuzifananisha na kiumbe cha aina yoyote duniani.Kila tunavyozidi kwenda mbele ndivyo jinsi kelele zilivyo zidi kuongezeka.Gafla nikamuona mnyama mkubwa sana mwenye pembe kumi na vichwa saba na mfano wake kidogo anaendana na chui na mdomo ya vichwa vyake vimefanana na Simba.Mwili kigogo ukaanza kunitetemeka,Pembeni ya mnyama huyu nikaliona jijoka likubwa lenye vichwa kumi na mbili.Unene wa mwili wake sikuweza kuupatia mfano.Mkiwa wake unaendana na mkia wa Tai
“HILI JOKA NDILO LINALO TAWALA HUKU KUZIMU NA LINA MAMLAKA KUBWA SANA NA NDIO SHETANI MWENYEWE”
Mapigo ya moyo yakaanza kunienda mbio kiasi kwamba nikatamani kuwaambia kuwa tuondoke
“Akituona itakuwaje?”CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“HATUONI KWA MWAANA SISI NI TOFAUTI SANA NA WAO,ILA ITAFIKIA KIPINDI WATATUO-NA”
“Leo?”
“HAPANA”
“Na lile jinyama?”
“Na lile jinyama?”
“LILE NDIO MKE WA LILE JIJOKA NA PALE HUWA ANAPEWA MAMLAKA NA LILE JOKA”
ITAENDELEA
0 comments:
Post a Comment