IMEANDIKWA NA : HAFIDHI J IKRAM
*********************************************************************************
Sehemu Ya Kwanza (1)
Yapata takribani miaka 17 sasa tokea niondoke katika kijiji hiki cha kilwa kiwawa vitu vingi vimebadirika sayansi imetanuka kwa kiasi chake nikawa nashangaa shangaa tu hasa ule mnazi uliokuwa na pacha tatu najuwa utashangaa mnazi kuwa na matawi kama muembe lakini ndio hali harisi katika kijiji chetu hiko njiani nilimtwanga maswali mengi sana mama "hivi mama wale watoto wa kipindi kile nikiwa mdogo tukawa tukicheza kule miembeni wapo au?" mama akaguna mmh! na kuniuliza swali "kwa nini wasiwepo?" unajuwa nini mama, ehee nijuwe nini?" ni hivi maisha ya huku vijijini ni yashida sana vijana wengi wanazeeka haraka kutokana na kazi ngumu wanazo zifanya kingine wanakosa virutubisho muhimu, "hamna lolote vijana wa huku wanakuwa mashababi mbavu mbavu wanamiguvu ajabu sio nyie huko mjini kula chipsi yai kila mnacho kula makemiko tupu..whaoo mwanangu huyoo nikatupa macho na kumuona aliye jifunga kaniki akija mbio japo kwa kuchechemea na mkongoja wake mama nae akamfata mbio kwenda kumkumbatia kwa furaha "whaoo mwanangu mpendwa umekuja?" CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
ndio mama nimekuja tena safari hii nimekuja na mumeo, "khaa huyu ndio Hafidhi?" ndio yeye huyo,' aiii jamani hata siamini amekuwa zinga la baba duhuu bibi akaja kunishika kwenye paji la uso tukaongozana hadi kwenye kijumba flani hivi cha udongo juu kimeezekwa nyasi bibi akazama ndani na kutoka na jamvi akatandika tukakaa opsiiii nimechoka leo mama wee acha tu, pore sana mwanangu ndio ukubwa huo vipi mume wangu hujapaona mbali huku kwa mkeo?"
Nikamjibu dahaa nimeona kawaida tu si unajuwa mi mjeshi, "ndio mme wangu wee mjeshi ila karibu sana hiki ndio kijiji alicho zaliwa mama yako kipenzi akakulia hapa mpaka akaolewa na baba yako, "uskonde bibi nishakaribia sana tu na nitakaa hapa mpaka nizeeke, "haa! haa! bibi akacheka kicheko cha kizee na kuniuliza unakumbuka kipindi kile ukiwa mdogo na kidudu chako kidogoo?" ndio bibi nakumbuka sema yule mdudu kwa sasa amekuwa zinga la dudu hiloo,' "embu mtoe tumuone, "aii mama ndio mazungumzo gani tena hayo unaongea na mjukuu wako?" embu na wewe chukuwa mizigo ingiza ndani tuache watu wazima tuongee hapa wee tokea akiwa mdogo hukutaka kumleta mume wangu japo nimuone hata kidogo kila nikikwambia niletee mume wangu mara ohoo baba yake ataki mara sijui yupo shule sasa leo kaja niache nijinafasi nae, "mama embu nipatie ilo begi jeusi, nikatoa vitenge vya wakx doti kama tano kanga doti saba na madera 4 ikiwa na mitandio yake nikampa bibi kwa kumwambia "sasa mke wangu usiongee sana zawadi zako hizi hapa, "whaoo mume wangu huyo jamani hasante kwa kukutunuku leo mme mwenzako akirudi atalala chini, tukacheeka sana mpaka nikashika mbavu yani bibi anavituko huyu dahaa "sasa bibi na mama mi natoka kidogo kwenda kuzunguka zunguka kijiji kwanza, "mmh si upumzike kwanza mme wangu kesho hasubuhi kunapo majaaliwa mjomba wako atakutembeza, "ahaa bibi siendi mbali nazunguka tu hapa hapa," Hafidhi mwanangu jiangalie,' sawa mama, nikatoka na kuingia vinjia vya kijijini si unavipata basi nikapiga hatua kazaa huku nikishangaa ndege wazuri aina ya tetere chiriku kasuku na tongwa yani kijiji kilipendeza huku miti ya matunda ikiwa imestawi miembe michungwa mifenesi n.k nikawa nakatiza kijiji tu nikitokea nyuma hii na ile na kuwakuta watu wamekaa wengine wanatwanga mtama au ufuta mpunga wengine wanasaga kwenye mawe nikashangaa sana sababu town mashine huku wanasaga kwa kuzungusha mawe dahaa nikawa napiga picha kila tukio ngeni machoni kwangu mpaka nikatokea kinjia kimoja hivi sikuamini macho yangu baada kuwaona warembo kama watano hivi kichwani wamebeba ndoo za maji kumbuka mi na mabinti ni damu damu yani kama ndizi na wali kwa mwendo kama twiga wamejipanga wenyewe wakipiga michapo ya hapa na pale nikawapa hi "mambo zenu warembo?" poa tu afu wee kaka kama mgeni katika kijiji hiki?" yap! mi mgeni ndio, hawakuendelea kusema chochote wakaondoka, dahaa hivyo vijungu nyuma sasa vimezidiana kuna cha masogange cha welu sengo sio mchina vitu original "mmh kwa mapigo haya town sirudi ng'oo mpaka nidinye wote wale dadeki nikawa narudi kinyume nyume kitendo cha kugeuka tu mimaji mwahaa mwilini mwangu jamani ndoo ikaenda chini binti akayumba kutaka kudondoka nikamdaka na kumvutia kwangu akanikumbatia kanga yake imeroa tepe tepe mpaka chuchu zake zimetokeza kwa kunona kitu mchongoko dahaa jamaniii
Jamanii zile chuchu zake mchongoko zikawa zikinchoma daha "ahaaa,,,yalaaa..nini tena binti?" siafu kaning'ata, wapi kakung'ata? huku, si akafunua kanga na kunionyesha paja lake nono dahaa mtihani huu tantarira huku anaangaika kuchana hata boxer nikamcheki sehemu aliyong'atwa na kumpa pore kwa kawaida siafu akikungata awezi kubaki hapo hapo nikatamani kumwambia binti twenzetu basi kichakani tukadinye nikaishia kuuliza tu "hivi kwani kisima kiko mbali na hapa?" hapana kiko kulee bondeni, oky twenzetu basi nikusindikize ukajaze maji yako, akaibeba ile ndoo ikiwa tupu na kutangulia mbele nikawa nikihesabu singida dodoma mpaka kisimani "hivi mrembo unaitwa nani?" mmh! katika warembo wakiambiwa watoke nami ntatoka, kwa nini usitoke wewe ni zaidi ya malkia binti, "ahahahaha usinichekeshe babu wewe warembo wapo huko dar es salaam, "nani amekwambia dar es salaam kuna warembo kule kuna mazombie na mavampire tu,' "muongo wewe sisi juzi kati hapa kuna mdada katoka mjini kapendeza huyoo mpaka tukaona wivu, huyo binti yupo au kaondoka?" yupo ajaondoka ndio tunamwita mrembo wa kijiji, hahahaha nikacheka na kumwambia "kumbuka nimekuuliza jina lako hujantajia bado, "naitwa Khadija, dahaa unajina zuri kama ulivyo wee mwenyewe mrembo, "afu wee mkaka usiniite mrembo bwana, "aya basi na mimi usiniite mkaka niite Hafidhi j ikram, handsome wa dunia, "mmh majanga handsome wa dunia utakuwa wewe afu ilo jina la Hafidhi j ikram kama nalipata hivi,! "unalipata vipi?" oky nimekumbuka kuna kitabu ninacho kinaelezea maisha ya mtu huyo kinaitwa mtaa wa tatu lakini huyo Hafidhi j ikram amekufa kwa ukimwi history hiyo tokea sijazaliwa alikuwa shujaa kwa kusaidia wanyonge, yule binti baada kunigusia story ile ikanifanya nimkumbuke brother angu aliye kufa angali nikiwa tumboni na nikapewa jina hili niwe kama kumbu kumbu yake hapa duniani,wee Hafidhi,! nikastuka kutoka kwenye msongo wa mawazo na kumuuliza unasemaje?" chukuwa maji haya ukaoge, "nikaoge kwani huku kuna choo sehemu, "afu nawe kila kitu mjini mjini tu nenda kaoge kule kichakani,' "poa twenzetu basi tukaoge wote, baada kumwambia vile akaanza kujing'atang'ta kucha, huku dudu langu lina tatalika mbaya nikiombea akubali tu, si akatamka "haya twende sikuamini masikio yangu nikauliza unasema Khadija?" bwana ee kwani umesikiaje si umeomba tukaoge wote ndio nimekujibu twende,' kidume nikanyanyuwa ndoo faster faster twende lakini gafla nikasikia sauti kwa mbaali zikija uelekeo wa huku kisimani nikaweka ndoo chini nisikize kiumakini hatua zikawa zinazidi kujongea tu tukasikia sauti "oyaa Ntonere kaka cheki hapa, "khaa! si maji haya?" ndio maji kaka, "basi bila shaka Dada atakuwa amepatwa na tatizo embu tuwai kisimani kucheki vishindo vikasikika nikajampu juu ya bonde na kujificha kwenye kichaka chenye mti mkubwa hivi huku Khadija akiwa anajitwisha ndoo, nikashuhudia njemba kama nne hivi zikiwa mikononi zimebeba mapanga na mikuki dahaa moyo wangu unadundaje, "vipi Dada mbona umekawia kurudi wakati wenzako wamerudi kitambo tu?" ahaa kaka bwana mi nilikuwa wa mwisho kujaza ndoo yangu nikawaambia kina Mwajuma waningojee wakakataa ndio nikajaza kufika pale kilimani nikatereza ndoo ikadondoka, "dahaa pore sana Dada yangu hujaumia lakini?" ndio sijaumia, jamaa mmoja akasema "oyaa Ntonere ule mti si ule pale ngoja nikaukate, mama yangu nakufa leoCHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
"wee Abasi kama mlikuwa mnaitaka miti ile si mngeniambia kule kwa mzee rupombe ipo mingi sana, "Khadija unasema kweli?" ndio ipo niwadanganye kwa faida gani niipatayo hasa, oyaa twenzetuni, wakasepa kijasho chembamba kikanitoka nikavuta pumzi nzito na kuishusha "ooopsi...siamini dahaa..
Nikajipangusa pangusa vumbi kwanza nikamshukuru Mwenyezi mungu kwa kunusulika dahaa nikashika njia kurudi nyumbani kwa bibi "whaoo baba huyo haya niambie umekionaje kijiji?"
kusema kweli kijiji kiko bomba kupita maelezo nimekipenda mpaka nikajiuliza kwa nini sikuja mapema, mmh kwahiyo mjini hutorudi tena?"
yeah sirudi kwanza niende kufanya nini?" Hafidhi mwanangu kumbuka umekuja huku likizo ya mwezi mmoja tu shule zikifunguliwa urudi kuingia dalasani mwanangu, "lakini mama kwani huku hakuna shule ya seco?" shule ipo kwani vipi mpaka unauliza hivyo?"
mi nataka unifanyie uhamisho nisome huku huku kijijini, "hivi unazani baba yako atakubali ujinga huo mi hata kidogo sitosubutu kumwambia upuuzi huo afu kingine sasa naomba nikwambie kitu mwanangu,' "kitu gani tena mama?" ni hivi hiki kijiji kinalindwa
"nani anakilinda huyo, "kwanza kabisa kuna mnyama si mnyama binaadamu si binaadamu sijui yukoje anatisha vibaya sana anaitwa nipe nikupe huyo kazi yake kuubwa kulinda hiki kijiji na kumuangamiza yeyote atakaye vunja mira na destur za kijiji hiki, "khaa sasa mama huyo nipe nikupe ndio kaweka hizo mira au?" bibi yako huyoo anarudi ndio muulize atakwambia kila kitu, nikageuka kumcheki bibi na mzigo wa kuni akautua "uwiiii nimechoka mpaka kiuno kinaniuma, "pore sana mama watoto, "hasante mume wangu akajipweteka kwenye jamvi akatoa ugoro wake na kubwia kidogo akanikazia macho kwa kunitazama macho mekunduu mpaka nikahofia akaniuliza "vipi mjukuu wangu mpendwa ulienda hadi wapi?" ahaa katika tembea tembea yangu nikatokea kisimani, "ohoo kumbe umefika hadi kule bondeni? "ndio nimefika, "basi ongera sana mida hii ndio babu yako na mjomba wako ndio wanarudi kutoka huko mashambani kwenye mitego yao ya kutega nyati pamoja na sungura, "whaoo kumbe bibi huku kuna sungura?" ndio wapo, "hivi bibi nipe nikupe ndio nani katika kijiji hiki? baada kumtajia jina lile bibi akastuka na kutaka kunyanyuka nikamshika asiende popote, akapumua kwanza na kujishika sehemu ya moyo huku akisema "ni swali zuri sana mjukuu wangu kwa kuuliza kwanza kabisa huyo nipe nikupe ni shujaa wa kijiji hiki enzi za uhai wake alikuwa ni kama mfalme wa himaya hii yote katika uongozi wake akatunga sheria yani mira na desturi na atakaye vunja mira hizo lazima afe watu wengi sana wakawa wakiuwawa kwa kuvunja sheria hizo lakini baada ya kifo chake wazee kwa vijana wakasema tuko huru kumbe walijidanganya ikawa yeyote akivunja mira tu anakufa gafla kumbe mzimu wake umetumwa kuendelea kuifanya hiyo kazi, "sasa bibi mira zipi hizo ukizivunja lazima ufe?"
ya kwanza ni kutoingia kwenye mashamba yake kuchukuwa chochote kile cha pili ni kutofanya zinaa yani kufanya mapenzi na binti wa kijiji hiki ikiwa bado hujafunga nae ndoa "what bibi hiyo nayo sheria au?
"ndio hiyo nayo ni sheria ya kijiji hiki ndio ambayo watu wengi wanaangamia kuhusu sheria hiyo,
"sasa anajuwaje kama umefanya mapenzi bila ndoa?"
kwanza kabisa mjukuu wangu naomba utambuwe ya kwamba nipe nikupe kijiji hiki choote kipo kiganjani kwake chochote kibaya ukifanyacho anakiona vijana wengi sana kutoka mjini wanaangamia kutokana na ubishi wao yani kama unamuitaji binti wa kijiji hiki fata taratibu zote kisha ufunge nae ndoa muishi raha mustarehe basi, "sasa bibi kama mambo yenyewe ndoa haya mi naona kesho tu nirudi zangu town nisije kufa kizembe hapa, "wewe huwezi kufa kwani hujafanya makosa yeyote cha umuhimu ni kuzingatia sheria nilizo kwambia basi tukageuza macho yetu baada kuona kundi la watu kama 6 hivi wamefika pale huyu akiweka jembe pembeni mwingine katua mzigo wa kuni mwingine kiroba kina damu damu bila shaka zitakuwa nyama tu nikamcheki yule babu na vijana wakiume wa tatu wa kike mmoja "afu bibi mi kule shambani siendi tena,' "kwa nini tena Rukia hutaki kwenda tena?" ahaa kazi za kule ngumu tu, ndio kujikomaza huko mjukuu wangu ili baadae usije kuteseka kwa mumeo, "aku mi kesho siendi ng'oo akawa anaingia ndani bibi akamwita "wee Rukia, abee bibi, "embu njoo huku, akaja, "kwanza kabisa naomba niwatambulishe huyu ni ndugu yenu anaitwa Hafidhi j ikram kutoka huko mjini "ahaa kumbee yulee ukasema ipo siku atakuja, "Hafidhi huyu ndio babu yako au mme mwenzako na yule pale ni mtoto wa mama yako mkubwa basi baada utamburisho tukapeana salamu usiku kigiza kikaingia bibi akaanza kutuhadithia story za kale sijui kulikuwa na watoto saba mama mmoja baba mmoja wakawa wakiishi kwa faraha na amani tu siku ya siku wazazi wakagombana na kupeana talaka baba akaondoka na kwenda kuishi mbaali
kwakuwa watoto walipafahamu
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
anapoishi baba yao wakawa na kawaida ya kwenda kucheza basi siku moja wakamuaga mama yao "mama..mama, abee wanangu,' "sie leo tunaenda kwa baba kucheza, "haya nendeni wanangu ila msikawie kurudi kingine ninacho waomba mkikutana na mtu yeyote njiani msiongee nae, "sasa mama hata salamu tusimpe au akitusalimia tusiitikie?"
ndio musiitikie nyie endeleeni na safari yenu tu,
sawa mama tumekusikia, haya safari njema watoto wale wakatoka njiani wakipiga story za hapa na pale huku wakitaniana kufika sehemu moja hivi njia panda wakakutana na mtoto akiwa anaimba imba yule mtoto baada kuwaona wale watoto wenzie akawapa salamu "jamani mambo vipi?"
wale watoto kiimyaa, "hivi jamani hamnisikii au? vile vitoto saba kufika sehemu vikasimama mmoja akasema "oyaa washkaji eee sio ishu tunavyo fanya kumchunia mtoto mwenzetu, "hivi wewe hukumbuki mama kasema nini?"
ndio nakumbuka lakini yule ni mtoto mwenzetu na istoshe kwa baba tunaenda kucheza mpira sasa tumchukuwe na huyu twende nae tuwe wanne wanne basi wakafanya ujinga wa kumuitikia na kwenda nae mpaka kwa baba yao wakacheeza mpira mpaka jioni wakarudi nyumbani kwa mama yao basi kumbe nyumbani kwa mama kuna desturi kabra hujaingia ndani kuna nyimbo unaimba ukipatia unaingia ndani ukikosea ndani huingii wakwanza akapatia wa pili akapatia watatu yule mtoto waliekutana nae njiani, " sasa embu nikukatishe kwanza nikutwange swali hivi huyo mtoto ameongozana vipi mpaka hapo wakampa ruhusa ya kuimba nyimbo single ndani?"
"ni hivi wakati wanaongozana nae mmoja kati ya watoto saba alimuuliza "wewe mbona uendi kwenu unaenda kwetu kufanya nini?" akajibu kiu kimembana basi wakaenda nae kwa shart ajuwe kuimba nyimbo tu ya kuingia ndani "weweee naniii? "mimi mwanao eheee, ainda ainda teteee "watoka wapiiii? "kwa baba eheee ainda..ainda teteee.. "kufanya niniii? "kucheza eheee ainda....ainda..teteee, basi ukipatia unaingia yule mtoto mgeni mara ya kwanza akakosea ikabidi akae pembeni je mpaka wakaingia watoto wanne akaja kujaribu tena akapatia akaingia kumbe ni mzimu sio mtoto alipoingia tu akawatafuna wote mule ndani, "khaa! bibi kumbe hakuwa mtoto ni jini? ndio, mama akasema "afu wee Hafidhi tumechoka na maswali yako subili hadithi iishe ehee mama ikawaje kwa wale watoto watatu waliobaki nnje?"
ehee naendelea, nikanyanyuka na kwenda zangu ndani kulala hadithi yenyewe inatisha sikutaka kuendelea kuisikiliza Rukia akaja kunionyesha sehemu ya kulala kitanda cha kamba tu juu umetandikwa mkeka nikajilaza na kuanza kumfikilia nipe nikupe nikajiuliza ni Mwenyezi mungu pekee ndio kaweka sheria za kutozini mpaka siku yakufunga ndo atakaye zini ni motoni tu sasa huyu nipe nikupe ukizini adhabu yake kifo dadeki nitapambana tu kama yeye nipe nikupe mimi ninyime nikunyime pumbavuu...
Mawazo yakanisonga juu ya kumuwaza huyu nipe nikupe, usingizi nao ukanichukuwa nikaja kustuka baada kusikia sauti za majogoo wakiwika nikaitoa shuka mwilini mwangu na kushuka kitandani nikatoka nnje yani kuna baridi sana ukungu umetanda kila maeneo dahaa nikaingia chooni kujisaidia kwanza nikatoka na kumkuta babu anakoka moto tupate kuota "shikamoo babu, "marhabaa mjukuu wangu za hasubuhi?" nzuri tu sijui wewe? "mi sijambo, baada kufika kama saa tatu au nne hivi familia nzima tukawa tupo kwenye mkeka tukipanga hili na lile bibi akasema "Hafidhi mjukuu wangu sasa leo ndio nafasi nzuri ya mjomba ako kukutembeza katika kijiji hiki akuonyeshe mazingira yote hasa mashamba ya nipe nikupe na kaburi lake kwa ujumla, Ankor akatamka "sasa mama unataka nimpeleke akalione kaburi la nipe nikupe kwa lipi hasa?"
"mwenzako jana kaulizia habari za huyo nipe nikupe wee nendeni na wenzako mkamuonyeshe tu, tukainuka kujiandaa na safari ya kwenda huko, tukapita sehemu mbali mbali na kukutana na vitu ambavyo sikuwai kuviona kwa macho zaidi ya kuvisoma tu kwenye somo la history nakumbuka siku hiyo jioni kulikuwa na mechi ya mpira wa miguu kati ya kijiji chetu cha kilwa kiwawa na kijiji cha jirani kinacho itwa kilwa kivinje tukafika mapema uwanjani na kushuhudia ngonjera ngonjera na mabinti wa kijiji chetu watoto wakike wakiyakata mauno katika kigoma cha mdando yani full raha Ankor akaniuliza "Hafidhi vipi unacheza au?"
hapana Ankor nyie chezeni tu time yote macho yangu kwa binti mmoja matata sana yani kwa jinsi anavyo yazungusha mauno mawazo yakanipeleka mbali ya kwamba nipo nae kwenye bed ananikatikia asssssssssss,,,ooohoooo,,,mmmmh,,nikastuka baada kupigwa kikumbo na binti mmoja hivi na kuniambia "samahani kaka yangu, "bila samahani mrembo, "khaa kumbe wewe Hafidhi mi nilijuwa nani?"
wee Khadija kama sio nani basi ni Rooney, "wewe nawe huyo Rooney ndio nani sasa?"
usimtaje nani ni mchezaji huyo wa Manchester united, "mi sijui bwana, "hivi Khadija yule binti anaitwa nani?" anaitwa Rooney, "pumbavu zako, nawe si umemtaja nani?"CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
tukacheeka sio siri tulizoena sana kumbuka jana tu ndio tumeonana mimi na yeye kule kisimani "ahaaa yule anaitwa Mwajuma ni binti wa mwenye kiti wa kijiji, "oky kaolewa au?"
hapana bado hajaolewa vipi unataka kutangaza nia au? kabra sijamjibu kitu tukasikia goooo...kucheki team pinzani wanashangilia "weweeee na kigoma cha cha Kissinger....mpira ukawekwa kati tukawa busy sasa kucheki kabumbu kusema kweli vijijini kuna vipaji balaa tatizo hawajapata nafasi ya kuonekana tu gafla tukapigwa cha pili jamani team ikaanza kupoteana yani hadi kuukotro mpira mpira mtu anashindwa na kuishia kudondoka tu kidume nikaomba number aliyekwambia mtoto wa town kijijini ananyimwa number nani tena wanakunyenyekea kama vile c.ronaldo nikazama uwanjani kipindi cha pili hiko nikawa nacheza wingi ya kulia na guu langu la mavi tokea niingie mpira ukabadirika tukawa tukifanya mashambulizi ya ajabu "oyaaa wee mkude muangalie huyo dogo katoka town ni hatari sana, nikajisemea moyoni kama kunikaba labda team nzima mtaweza lakini kama wewe peke yako utaumia tu basi ikija mipira ya juu akitaka kuruka tu namkanyaga juu ya vidole anashindwa kuruka na kuishia kuchuchumalia tu mi kiulaiini najipigia vichwa au kuutuliza gambani nikajitahidi kupiga vyenga na kufumua mishuti kikwazo kipa wao kama de gea vile anadaka mbaya mpaka dakika ya 75 washkaji urimi nnje nnje kwani kasi tuliyokuja nayo shida tupu kipa wao si akaumia na kutoka nnje ikawa kona Ankor akaenda kuichonga nikajipinda na kuruka edar kitu goooal....nikaubeba mpira na kuuweka kati 2-1 watu weweee speed ikazidi kabra ya Abasi yule jamaa hadi akataka kukata mti kule kisimani kuchezewa rafu kipenga kikapulizwa fauro kama David Beckham vile nikauweka mpira vizuri na kuuchonga zinga fauro kitu kikaenda tisini gooooal...nikaja kukumbatiwa na wachezaji wenzangu kwa furaha kuna moja nikapiga vyenga kwa kumtoka beki wa kwanza wapili nikaipiga R2 wanao tumia pray station 2 wataelewa nini maana yake ikawa 3-2 mbili "wee Mkude boya sana unamuachaje dogo huyo mpaka ana piga hat trick kizembe hivyo? akamjibu kocha wake boya mwenyewe kama unaweza njoo umkabe wewe hapa tunacheza mpira sio michezo ya kukabana, "embu toka nnje aingie Frank, "poa kiroho safi natoka ila dogo anajuwa yule, mara kipyenga kikapulizwa na mpira umekwisha shamra shamra na vifijo na mayowe nikaingia kati kucheza mdando yani kijijini some time raha sana Mwajuma akaja kunikumbatia dahaa dodo kitu sindano mpaka nikasimamisha mkomboti wangu kwa hasira akawa yeye mbele mimi nyuma akiwa ananikatia viuno mpaka saa 4 usiku shelehe ya kuchukua kombe siku hiyo ikaisha kumbe vijiji viwili waliwekeana dau la ng'ombe wawili wawili midume iliyo shiba mshindi anabeba mzigo nilifurahi sana kuweza kukisaidia kijiji chetu kupata heshima njia nzima tukawa tukipiga story na kucheka tu,
tukafika home bibi babu wala mama hawakulala mpaka mida hiyo bado wapo nnje tu wakipiga story nikaenda kuoga na kupata msosi, nikiwa nimelala kama kawaida nikaanza kumuwaza Mwajuma binti ambaye ametokea kuuteka moyo wangu gafla mpaka nikajisemea moyoni kabra sijarudi town lazima nimuonje,
hasubuhi ndio kuna pambazuka nikasikia sauti ya vyuma vyuma vikigongana nikaitoa shuka kucheki babu akiwa na jembe begani anatoka wakafatia watoto wa mamkubwa binafsi sikuwa na mazoea nao kiviile zaidi ya kuzoeana na Mjomba Mwichande tu nae nikamuona akitoka nikamwita "oyaa Ankor, niambie mjomba,' naona hasubuhi hasubuhi na majembe kwa mapanga wapi hiyo?" tunaenda kuwajibika makazini, "khaa kwani huku kuna viwanda au kampuni za kwenda kufanya kazi au?" hahahaha Ankor usinichekeshe huku sisi viwanda vyetu au kampuni zetu ni mashamba tu, "oky nimekupata Ankor ningojee basi nipige mswaki twende wote shamba nami nikajifunze kulima, "sawa fanya haraka basi nikaenda kujiswafi tukiwa shambani Ankor akaniuliza "Hafidhi mbona hupendi kupiga story na Rukia Hussen na Hamissi? "unajuwa nini Ankor katika dunia hii huwezi kumzoea kila mtu kwahiyo nimekuzoea wewe kama Ankor wangu, "ndio umenizoea mimi lakini wenzako wanasononeka kwa kuwatenga, mara tukasikia salamu "jamani za hasubuhi?
kucheki moyo wangu ukafanya pahaa. ni Mwajuma begani kabeba jembe Ankor akaitikia salama tu sijui wewe mwenzetu?
mi niko poa ndio naenda kuwajibika hivi, "haya kazi njema mamaa, sikuchangia chochote zaidi ya kumsaminisha barafu wa moyo wangu tu mpaka akaondoka nikamuuliza "Ankor hivi yule ndio shangazi nini? "hapana yule ni binti wa mwenyekiti wa kijiji hiki anaitwa Mwajuma, nikatupa jembe chini na kumwambia Ankor nisubili narudi sasa hivi nikatoka mbio kumkimbilia Mwajuma kule alipo elekea hatua kazaa tu nikamuona mbele yangu akiwa anaimba imba nyimbo nzuri nahisi hakutambua kama nyuma yake kuna mtu kwa mwendo wa minyato nikachuma jani na kumsogerea nikamgusa na jani shingoni akapuna kwa mkono huku akiendelea na hamsini zake nikamgusa tena akapangusa na kutukana zinga la tusi na msonyo mkali "huyu mdudu m**nge nyooo kunidandia dandia kama mi mzoga nikamgusa tena akapangusa na kugeuka akastuka na kufumbua mdomo wake ili apige kelele nikamziba kwa kumdaka na mdomo wangu kitu denda
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Akageuka nazani hakuamini akataka kupiga kelele nikamdaka kwa kumziba mdomo nikatumia mdomo wangu kitu denda, mmmmmh,,,bwana nini? assssssss,,,ohoooo. nikamvutia vichakani zaidi tukiliacha jembe pale pale njiani mtoto macho yashakuwa ndembe ndembe kwa minyege hapana chezea hii kitu ohoooossss,,,,nikamvua kanga yake mmh akabaki na gaguro tu kitu kimewamba mbaya nikaitandika kwenye majani nikamshika na kumlaza chini huku tukiendelea kunyonyana denda kwa pupa mmmmmm,,,,nikampanua mapaja na kuanza kuchovya urimi wangu kwenye kisima cha maji ya chumvi akawa anajinyonga nyonga tu ahaaaaaa,,,babiiiiii kachukuwe jembe litaibiwa bwana nikaenda faster nikarudi nalo na kuliweka pembeni mapenzi ya vichakani hayana kuvuana nguo zaidi ya kuziacha wazi sehemu husika tu nikauchomeka mkomboti japo niliupaka mate ukawa unaingia kwa shida sana nikazamisha kichwa tu aaaaassssssss,,,,hapooooohapooo,,,,,uwiiiiiiiiiiiiiiiiinaumaaaaaaa, ndio kwaanza nakandamiza tu,,unaniumizaaaa,,,bwana chomoaaa,,,wee speed ya kupampu ikaongezeka na kuwa kubwa huku akipiga mayowe ya kuomba pohoo nikamwaga uji wangu humo humo ndani ya kipochi manyoya nikalichomoa dudu likiwa na damudamu "khaa! kumbe ni bikra kumcheki usoni analia nikampa pore "pore sana Mwajuma, "pore yako haisaidii kitu kwa kunifanya hivi, "ndio nafahamu haisaidii kitu kwa sasa kutokana na maumivu uliyo yapata usijari utapona tu,' "sio kuhusu maumivu kinacho niliza ni kuhusu vifo vyetu mimi na wewe juwa la kesho hatutoliona tena, "kivipi tusilione?"
binafsi mimi ndio mwenye makosa sababu kwanza naomba utambuwe ya kwamba katika kijiji chetu kuna mira na destur ukifanya mapenzi bila ndoa lazima ufe nafahamu wewe ni mgeni umekuja juzi tu hutambui hilo,' "sikia Mwajuma achana na mira za kizushi hizo, "sio uzushi ni kweli watu wengi wamekufa katika kijiji hiki, embu nyanyuka twenzetu kisimani nikakusafishe kwanza kuhusu ilo swala niachie mi kidume nitapambana kiume tu,' "Hafidhi usiseme hivyo humjui nipe nikupe ni mtu hatari sana huyo, kwa mwendo wa kuchechemea tukafika kisimani nikachukua maji kwenye kata nikamlaza pembeni kimachale zaidi asije mtu akatokea na kutukuta si unafahamu visima vya kijijini inaweza kupita hata nusu saa asije mtu maji yanatulia tu nakuwa ya baridi nikamsafisha tukashika njia kurudi nyumbani "Mwajuma baby, "abee. "naomba uvae hii iwe kama kinga kwako, "kinga kivipi?" hii inaitwa kacha nilipewa na bibi mzaa baba popote niendapo au nikilala navaa hii ijapokuwa bibi kaniambia nisiivue abadani sasa leo naitoa kama zawadi kwako mpenzi wangu, akageuka nimveshe nikamvesha shingoni ikampendeza akatabasamu na kuondoka nikarudi nyumbani kufika tu mama akaja kunishika mkono akawa ananikagua kagua na kunusa mavazi yangu, "mama nini mbona hivyo?" gafla akapiga yowe na kuweka mikono kichwani "mama weeee Mungu wangu, "mama nini kwani?"
hakuongea kitu zaidi ya kuingia ndani akatoka na mkongoja wa bibi akaanza kunichapa nao kila maeneo nikajitahidi kumzuia lakini wapi nikapokea maumivu tu nikatoka mbio kukimbia kipigo dahaa nikawa natembea huku nikijiuliza "hivi mama amegundua nini kwani?
nikakosa jibu nikazidi kutokomea msituni bila kuhofia chochote kile mpaka giza linaingia sikutaka kurudi nyumbani kwanza nilichukia kitendo cha mama kunichapa nikaona bora nilale juu ya mti tu pakikucha nitafuta jinsi ya kwenda kujitetea, nikapanda juu ya mkuyu nikatafuta tawi zuuri nikakaa mawazo tere kichwani kwa mbaali nikaanza kuona kama taa za toch hivi zikija upande ule ambao mimi nipo kila nikicheki zikazidi kusogea na kuweza kusikia sauti ya mama akisema "nitam bebea wapi mimi mme wangu iwapo huyu mtoto asipo onekana?" bibi akamwambia siku zote hasira hasara sasa baada kugundua ya kwamba katenda kitendo kibaya cha kuvunja mira zetu ungenisubili mimi nirudi uniambie tungeenda kufanya tambiko kila kitu kingekuwa sawa,' sasa mama tukafanye ilo tambiko sasa hivi basi,' "kufanya tambiko bila ya muhusika kutokuwepo haiwezekani kabisa, nikatamani kushuka niende kuwaambia mimi hapa haya twendeni ila kwa uboya wangu nikajisemea wacha niwape jamba jamba kwanza wakazunguka huku wakiita kwa sauti nikajikausha kimyaa
usingizi ukanipitia nikaja kustuka na kujishangaa nipo chini ya mti sio juu tena mbele yangu kuna kiumbe cha ajabu sana ana kichwa mchanganyiko nusu binaadamu ana mapembe makubwaa macho yanawaka moto na minjino miwili mirefuu mwili wake wote simba dume nikawa najikojolea huku nikitetemeka akawa ananitizama kwa hasira mbaya kisha akaanza kucheka iko kicheko chake kama transforme imebutuka nikaziba masikio "khakhakhakha! wewe ndio kidume wa vidume katika kijiji hiki wengi wameangamia kwa kuvunja mira na desturi sema wewe umefanya kitu kuwa tou much kwa kutembea na mjukuu wangu kwahiyo basi lazima wote muende kuzimu kijiji hiki hakiitaji wazinifu wachafu kama nyinyi,' nikajikakamua na kumuuliza "wewe ni kama nani mpaka unatenda mambo ya kijinga kama haya?" khakhakha naitwa nipe nikupe kijana umefanya kitu kibaya sana kumpa mwenzio kinga mpaka nimeshindwa kumchukua akikitoa tu kile kidude shingoni lazima aungane na wewe kuzimu,
akaja kwa kasi na kunipiga kikumbo nikaenda chini puhuu akaondoka huku akicheka dahaa hakwenda mbali kufika sehemu akasimama na kunitizama tu,CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
nikaja kustuka hasubuhi tayari kumekucha nikajikuta bado nipo juu ya mti nikakumbuka mbona jana usiku nilikuwa chini naongea na kiumbe cha ajabu au ni ndoto tu nikakata shauli nirudi nyumbani kama vipi nisepe town tu, nikiwa natembea kurudi nyumbani nikakutana na watu wakiwa wanaenda mashambani wengine visimani kufika tu home sikuamini macho yangu baada kumuona baba akiwa ndani gwanda zake za kijeshi mkononi kashika SMG nikaenda mbio kumkumbatia cha ajabu kumfikia nikagusa hewa baba akatamka "sijui nimeikosea nini dunia hii au majina ya Hafidhi yana majanga naapa wallahi nisipo mpata mwanangu hiki kijiji nakitia moto chote na wewe mwanamke nakuchinja mtoto wa pili huyu ohoo embu twendeni tukamtafute nikamsogerea tena na kumwita "babaa..baba mwanao niko hapa jamani. hata sauti baba haisikii nikamfata mama empty kila niliyemshika na kumwita ina maana sionekani hata sauti yangu haisikiki dahaa wakaongozana kwenda porini kunitafuta wakati mimi niko hapa nikapaza sauti "jamanii mnaenda wapi mimi niko hapa wakatokomea nikazama ndani kwakuwa kiu kilinibana na njaa nayo shida nikakishika kikombe ninywe maji hewa hakishikiki nikaona viazi vya kuchemsha nikashika kimoja nile hewa siwezi kushika chochote nikajikuta napiga kelelee "mama weeeeeeeeeeeeeeeee.....kudadeki zako nipe nikupeeeeee..gafla nikasikia sauti ya kicheko nnje kutoka dahaa...
Kitendo cha kusikia kicheko nnje kikanifanya nitoke kucheki anaecheka ni nipe nikupe nikamkata jicho baya sana yeye hata akujali akaendelea kucheka tu "hahaha! hahaha! nikainama niokote jiwe kama vipi nimpige nalo kila nikijitahidi kulishika nashika hewa tu hasira zikanipanda zaidi na kujikuta namtukana matusi ya nguoni "mpumbavu weee m***nge fuc***k you ndio kwaanza akazidisha kicheko sijui aelewi kama namtukana au vipi? gafla tukasikia sauti ya vilio vya watu wakija huku nyumbani nipe nikupe akapotea kama upepo wale watu hawakuwa wengine bali ni baba mama na wengine nikimtizama mama hajiwezi kwa kilio baba akiwa kaubeba mwili binafsi kuanzia sura hadi mavazi coprait na mimi dahaa ule mwili ukaingizwa ndani baba akatoka na kutoa cm yake mfukoni macho yamekuwa mekunduu kwa kilio akabofya bofya number kazaa na kuweka cm sikioni "hallo kaka, "vipi kashapatikana, "kaka wee acha tu, "vipi kwani ndugu?
sijui hata nikwambie nini uniamini kwa kifupi tu mwanangu mpendwa Hafidhi j ikram hatunae tena duniani..baada kusema vile akashindwa kuendelea kuzungumza cm ikamdondoka na kuanza kulia "hivi nina mkosi gani mimi katika dunia hii yani watoto wangu wawili hawa wanakufa kizembe namna hii nifanye nini mimi eee Mungu ni kipi nimekukosea, "usiseme hivyo baba Hafidhi jikaze wewe ni mwanaume tena kamanda yote ni mipango yake mola muweza wa kila kitu mbele yake nyuma yetu, mama nae akapoteza fahamu zaidi ya mara 3 analia wee anazimika wanampepea na kumwagia maji akizinduka kilio kinaendelea dahaa nikabaki katika hali ya sito fahamu kabisa majilani wakamiminika na baazi ya ndugu na marafiki zangu kutoka town wengine iringa nilijitahidi kumfata kila mtu niweze kumwambia mimi sijafa ikawa ngumu kufikisha ujumbe hawanioni wala kunisikia nikashika tama katika hali ya sitofahamu nikaingia ndani kuucheki huo mwili amini usiamini ni mimi kabisa cha ajabu nikajalibu kuushika nikawa nautikisa kwa kusema "wee pacha wangu hamka hamka hujafa wewe nikiwa naendelea kumtikisa nikastuka baada kusikia sauti ikiniambia "kijana acha kujisumbua bure
wewe tayali ushakufa huna jinsi ya kufanya kucheki akaingia nipe nikupe akiwa na kundi la watu kama mia moja hivi wote wapo kama mimi kila ninae mtazama anakenua meno tu kwa kicheko nikashindwa kutambua mimi mwenyewe ni yupi pale nipe nikupe akaupuliza ule mwili pale kitandani na kuondoka nao nikatoka nnje na kuwaona wakitokomea msituni nikataka kupiga kelele kuwaambia jamani ehee nipe nikupe anaondoka na maiti yenu hukuu, ikanibidi nikae kimya baada kutambua ya kwamba haitosaidia kitu usiku ukawa mrefu sana kwangu nazunguka zunguka tu kama vile nimepewa kazi ya ulinzi nifanye dolia nikimtizama mama analia tu mpaka anatia huruma nikatamani pakuche haraka nipate kufahamu hatma ya ule mwili itakuwaje wanasema nimekufa mbona nipo hai, hasubuhi ikafika watu wakazidi kumiminika katika mazishi yangu nikamuona Ankor Mwichande akiinuka na kutoka mbio nikamtizama wapi anapo elekea kumbe kamuona Mwajuma akija msibani analia akawai kumshika na kum bembeleza nikaenda mpaka pale walipokuwa wamesimama nikamsikia Ankor anamuuliza Mwajuma "hivi unaweza kuniambia ni kitu gani kilicho tokea jana baada Hafidhi j ikram kukukimbilia wewe? kwa sauti ya kilio akamjibu "sijui nisemeje yote nimesababisha mimi haya, "usiseme hivyo Mwajuma baba yake akikusikia anaweza hata kukupiga risasi ina maana ulifanya nae mapenzi sio?" ndio hivyo kaning'ang'aniza mpaka nikafanya nae, sasa mbona wewe hujafa wakati watuhumiwa wanakufaga wote?" CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
binafsi mimi hata sielewi ila kuna kacha alinipa nivae nahisi ndio kinga yenyewe sababu jana usiku nipe nikupe kanijia nikiwa nimelala akaniogopa, "iko wapi hiyo kacha?" hii apa nimeivaa, nikatamani niende kuichukua niivae labda nitapona ndugu jamaa na marafiki kikao kikawekwa nizikwe huku huku kilwa kwa bibi mzaa mama au nisafirishwe kwenda iringa alipo zikwa kaka yangu jibu likatolewa na baba ya kwamba nitazikwa huku huku kilwa vijana wakaandaliwa kwenda kuchimba kaburi huku anae ngojewa kufika ni bibi tu mzaa baba kwa sasa anaishi kibaha kwa Mathias vijana wakaenda makaburini nikaona niwafate kufika kule kila mmoja anaongea lake "hivi Ntonere kaka huyu dogo kifo chake mbona cha gafla hivi?"
mi hata sielewi sijui kavamia shamba la nipe nikupe bila kufahamu kumekatazwa au?
sema nini dogo alikuwa smart sana juzi tu katupatia heshima kijiji hiki ni mchezaji hatari sana tumelipoteza jembe la ukweli kudadeki kama nipe nikupe ndio katenda hivi hatuna budi kupambana nae tu,' hivi Mudy unavutia bange matakoni au vipi yani wewe kwa akili zako finyu utaweza kupambana na nipe nikupe,? wee boya sana huyo nipe nikupe unamuogopa wewe sio kidume kama mimi kwa kifo cha huyu dogo nasema hapana,'
"Nani boya?" boya si wewe unaemuogopa nipe nikupe, ikazuka vurugu mechi wakitaka kupigana wakagombelezewa kaburi likawa tayari na kurudi nyumbani nikashuhudia mwili wangu ukioshwa na kufanyiwa taratibu zingine nikiwa kama muislamu dahaa tukiwa tumekaa vikombe vya uji vikawa vikipitishwa nikatamani kuchukuwa hata kimoja ninywe yani njaa niliyo nayo mpaka nikahisi utumbo unavuta nikajalibu kukishika kikombe nikakikosa gafla tukasikia sauti ya vilio achana na vya pale msibani ni vya wageni tukageuka kucheki dahaa ni shangazi zangu Dada zake baba wakiwa watatu na bibi mzaa baba akiwa ajiwezi kwa kilio sijui nilijisahau au vipi nikajikuta nimesima na kutoka mbio kwenda kumkumbatia bibi, cha ajabu sijui aliniona akanyamaza kulia akatanua mikono ishara ya kwamba nimkumbatie,
Kitendo cha bibi kunyamaza kulia nakutanua mikono nimkumbatie nikapata matumaini mapya nikaenda mbio cha ajabu yeye akanipita kama upepo akaenda moja kwa moja kulivamia jeneza akawa anataka kulifunua ikabidi watu wamshike na kumzuia asifanye vile akawa anapiga kelele "niacheniiii nasema niacheniii...huyu sio mjukuu wangu Hafidhi bado hajafaa....kauli ambayo iliwafanya wengi wastuke na kuhisi labda bibi kachanganyikiwa tu kutokana na msiba wa mjukuu wake wengine wakasema labda kweli akisemacho "Issa ndugu, "unasemaje bwana? itakuwa yule bibi ana maono ya mbali sana kaona ukweli mtupu,' ahaa embu potezea ujinga huo yule bibi kadata tu, bibi akawa mbishi kukubali huku akionyesha kidole sehemu niliyokuwa nimesimama mimi "Hafidhi mjukuu wangu yule palee sio huyo aliyekuwemo kwenye jeneza ikawa vurugu mshike mshike aking'ang'ania kulifunua jeneza, ikabidi baba aingilie kati kuja kumshika mama yake na kwenda kumfungia ndani jeneza likabebwa safari ya kwenda kaburini ikaanza huku njia nzima nikisomewa dua wakafika makaburini taratibu zikafanyika na kushuhudiwa nazikwa kwa kufukiwa baada apo ikapigwa dua ikasomwa hutuba fupi na shekhe tukarudi nyumbani gumzo kubwa ikawa ni kuhusu bibi yangu watu wakaandaliwa chakula wakala mimi njaa inazidi kunitesa nikaona niende chumba ambacho bibi kafungiwa nikamkuta kajikunyata akiwa analia nikajalibu kumshika begani akastuka na kuinua uso wake, akatabasamu na kufuta machozi, bibi wewe peke yako ndio unaniona wengine wote hawanioni bibi nasikia njaa bibi kwa nini nimekuwa hivi? bibi utanisaidiaje mjukuu wako? ni maswali kedekede nikimuuliza bibi bila kupata jibu mwishoe akaniambia "Hafidhi mjukuu wangu tushachelewa kwa sasa hakuna namna ya wewe kurudi tena utaishi kama mzimu mpaka siku ya kufa kwako,' kwanini bibi iwe tumechelewa? ni kwamba Hafidhi mwenyewe ni yule aliyefukiwa wewe ni kivuli tu, “sasa bibi nitafanyaje mimi ina maana ndio basi tena?" nikawa napiga miyayo tu, akaniuliza “una njaa au?" ndio nina njaa tokea juzi sijala kitu, akaniambia embu twende huku kwanza akanishika mkono kwa kasi ya kimbunga tukapotea eneo lile na kujikuta tupo kwenye mti mkuubwa aina ya mbuyu, nikimtizama bibi hata mavazi aliyo vaa sio yale kashachenji kitambo tu, akaanza kuita “weee nipe nikupeeeee.....haraka kujaaaa...nipe nikupeeee nakuita hapa uje haraka Sana, kufumba na kufumbua kikashuka kitu mbele yetu kwa kishindo hakuwa mwingine ni nipe nikupe akiwa amevimba na kuvimbiana kwa hasira vibaya sana bibi akampa salamu “gonora mwanakurendwa, nipe nikupe hakuitikia zaidi ya kuuliza “wewe nani mpaka unaniita hivyo kama vile mimi ni mtumishi wako?" akamjibu “mimi ni malkia kutoka katika falme ya handeni nimekuja hapa kumchukua mjukuu wangu namuitaji haraka sana nipatie, “hapana siwezi kukupa huyo mjukuu wako kavunja mira na desturi zetu kwahiyo lazima afe, “sikia wewe tambua unaongea na nani mimi ni malkia nakuamlisha muachie kijana wangu haraka iwezekanavyo, “haha!haha! nipe nikupe akaangua kicheko cha dharau na kusema wewe ni malkia huko huko handeni sijui iringa sio huku kilwa kiwawa mimi ndio mfalme wa kijiji hiki fanya uwezavyo mjukuu wako harudi tena, “sawa kama umeamua kutangaza vita kitakacho itokea familia yako utakuja kujuta mi naenda ila kabra sijaondoka nina ombi moja tu, “ombi gani hilo?"
naitaji umpe izini ya kushika chochote akitakacho huu mzimu aweze kula japo hatoonekana, “sawa hiko amepata akanipulizia upepo tu na kusepa zake, bibi akasonya zinga la msonyo “sasa pumbavu zake nilikuwa nataka afanye icho tu kisha mpango mzima nimalize mwenyewe ehee ile kacha niliyokupa kipindi kilee iko wapi?"
kusema kweli bibi yule binti niliyefanya nae mapenzi ndio nilimpa avae, “khaa! yani katika mitoto mijinga wewe jinga kweli akanitia singing na kusema “shauli yako na urofa wako huo ile ndio ilikuwa kinga ya maisha yako sasa basi mimi itabidi nirudi iringa kesho nikaongee na mizimu ila nina wasiwasi marehemu kaka yako ndio atakaye pewa nafasi ya kurudi kuja kupambana na nipe nikupe, “kwahiyo bibi kama kaka Hafidhi j ikram atarudi mimi je itakuwa?"
wewe itabidi ukachukuwe nafasi yake kule kuzimu ili yeye aje kuifanya kazi hii baada kazi kuisha wewe utarudi na kuwa mzima kama zamani, dahaa bibi akanishika mkono kama tulivyo kuja ndivyo tulivyo ondoka
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
tukafika home na kuwa vile vile kama tulivyokuwa kabra ya kuondoka nikatoka mpaka jikoni kushika mfuniko wa sufulia si nikashika usintanie kuna ubwabwa ndondo nikaufakamia mpaka kitumbo kikawa ndii hasubuhi na mapema kikasomwa kisomo cha taha timu watu wakanywa chai kwa maandazi nikataka kwenda kuchukua kikombe cha chai bibi akanikataza kwa ishara kisha akaingia ndani nikamfata kufika tu akaniambia “usisubutu hata siku moja kuwatisha watu, “nawatisha kivipi kwani?" kwanza tambua wewe ni mzimu ukishika kitu chochote kile kinaonekana kikielea wewe hauto onekana kwahiyo unatakiwa ule kwa kificho, “sawa bibi nimekusikia, “sasa mimi najiandaa kuondoka ndani ya siku tatu au nne nitarudi na dawa kuja kukufufua,
wengi walishangaa na kujiuliza inakuwaje bibi aondoke gafla tu wakati mjukuu wake kazikwa jana tu hata matanga hayajaisha, baba akamuuliza “mama aibu gani hii tena unaileta hapa ndio kwaanza tumezika jana leo hii unaondoka kweli?"
sikia Juma nikwambie kitu Hafidhi hajafa kama unaamini kafa ni wewe nikae hapa sijui msiba wakati mmeenda kuzika mgomba wa ndizi naenda iringa nikirudi ndio mtaujuwa ukweli embu nisindikize kituoni huko,
baba hakuwa na budi kumsindikiza bibi
baada bibi kuondoka wakiwa wamekaa kwa kupata msosi wa mchana huku wakizungumza hili na lile cm ya shangazi Fetty ikaita akaicheki na kusema “whao mama huyoo akaiweka cm sikioni hallo..wapi..? cm ikamtoka na kuanza kugalagala kwa kilio mamaa weeee mama yanguuu... baba akaenda mbio kuiyokota cm akaicheki bado ipo on hallo,' ndio...wapi hukoo? nae akamwaga chozi na kusema mama hatunae tena....
Nikastuka,"
“Kwanza kabisa nilistuka kusikia taarifa zile sikuweza kuamini masikio yangu, vilio vikaanza upya yani kama kidonda ni kibichi kimetoneshwa tena, baba akishilikiana na marafiki zake ambao walikuwa bado hawajaondoka kwenda mjini wakafunga safari mpaka hospital ya kilwa masoko ndio sehemu mwili wa bibi umehifaziwa nikiwa ni mmoja ya watu walikwenda huko kwanza nikataka kuzibitisha ni kweli au uongo, ni mwendo wa dakika kama 30 hivi kutoka kilwa kiwawa mpaka kilwa masoko tukafika huku kila mmoja akiwa na shauku ya kutaka kujuwa kilicho tokea kusema kweli watu walikuwa wengi, kila mtu alikuja kutaka kujuwa habari ya ndugu ndugu zake au jamaa zake baada kufika mapokezi kutokana na kombati zake alizo zivaa baba hatukukawia kupata maelezo ya kwamba “kusema kweli muheshimiwa huwezi kuamuni kilicho tokea ajali ilikuwa ya gafla mno lakini cha ajabu kati ya abilia wote 68 ni mmoja tu amekutwa amekufa pale pale, “shukrani binti kwa maelezo yako je naweza kwenda kuuwona huo mwili?" bila shaka muheshimiwa naomba mnifate, tukaongozana nae hadi monchwali tuweze kuuwona huo mwili chumba kusema kweli kilikuwa kiza japo ni saa 8 mchana akawasha taa mwili wangu ukaanza kunitetemeka ukizingatia ni mara yangu ya kwanza kuingia chumba cha kuhifazia maiti maiti zilitapakaa kila maeneo kila mmoja alijiziba pua kutokana na harufu mbaya akaifunua maiti moja kabra hajauliza au kusema ni huyu, macho yakanitoka pima kama mjusi kabanwa na mlango au fundi saa kapoteza nati kweli ni bibi, baba akajikuta anaiinamia na kuanza kulia “mama ndio nini mama ulisema mjukuu wako Hafidhi hajafa nikaamini maneno yako mama kumbe umeamua kumfata mama amka..amkaaaa akawa akimtikisa pale chini ikabidi marafiki zake wamshike na kum bembeleza na kumpa faraja, binafsi mimi nililia sana hakuna wa kunifuta machozi taratibu za mazishi zikaandaliwa mwili wa bibi ukasafirishwa kwenda iringa mimi sikuweza kwenda japo niliitaji kufanya hivyo usiku nikiwa nimekaa nikiwaza na kuwazua hili na lile gafla akaja nipe nikupe akiwa anatabasamu, nikamsonya na kumtukana zinga la tusi "nyoo...m*****nge wee, akatamka “katika maisha yangu tokea udogo wangu ujana wangu uzee wangu mpaka nafikisha umri wa miaka 112 sikuwai kukutana na mtu kiburi jeuli kama wewe kijana ila baada ya kufa kwangu ndio nakuona wewe kwa mara ya kwanza, “sikia nipe nikupe wewe ni mpumbavu tu tena mjinga kabisa kuanzia leo sikuogopi hata kama umemua bibi yangu tutapambana tu, “huna jeuli hiyo wewe hayo maneno tu kwanza kuhusu kifo cha bibi yako sihusiki kwa lolote, “sasa kama auhusiki nani katenda hivyo?"
hahaha! kabra sijakujibu swali lako nijibu mimi kwanza kwani dunia hii ni ya nani?"
dunia ni ya Mwenyezi Mungu, “sasa jibu kumbe unalo cha umuhimu kuanzia leo mimi na wewe ni maswahiba au sio kamanda?"CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
nikatabasamu kusikia nipe nikupe kiumbe cha ajabu akiniambia kuanzia leo mimi na yeye maswahiba dahaa, nikamtwanga swali “sasa mbona nimeshindwa kwenda kwenye mazishi ya bibi?"
sikia nikwambie wewe ni sawa na mfungwa aliyeko gerezani kwahiyo hutakiwi kwenda nnje ya kilwa hii zunguka kiwawa masoko kivinje nangurukuru mavuji na vitongoji vyote kilwa hii utaenda ila huwezi kutoka nnje ya kilwa sawa kijana,' “sepa zako’ ”haha! swahiba unanifukuza tena wakati tunapiga story embu muone yule, nikageuza macho yangu na kumuona bibi mmoja hivi akiwa anashuka kutoka juu ya ungo akaanza kucheza cheza kwenye nyumba ya bibi, “sasa swahiba nakuomba kamtie makofi yule mchawi kumbuka nina hasira vibaya sana nikainuka na kwenda kumfata yule bibi binafsi yeye hanioni mimi namuona nikamgusa begani kitendo cha kugeuka tu nikamnasa zinga la kofi akastuka na kuanza kukemea kichawi nikamchapa lingine akaenda chini nikazidi kumtandika mpaka akawa analia kama mtoto dahaa akaangaza kuvuja damu, nipe nikupe akaja kunizuia kwa kusema “swahiba inatosha kwanza kazi nzuri, sijui akamfanyia nini yule bibi akapotea na ungo wake, yapata hasubuhi na mapema bibi mzaa mama na watoto wa mamkubwa ndio wanaamka babu na Ankor wapo iringa kwenye msiba wa bibi
nikiwa kama mzimu ninaeweza kushika chochote kile nikapanga kuwachezea songombiko kijiji kile mpaka siku ya kufa kwangu kwani msaada pekee ndio haupo tena nikaona bibi kaweka jembe nnje akaingia ndani nikaenda kulishika haraka nikazama ndani kupitia ukutani nikalirudisha alipo ingia tu akastuka na kubaki kukodoa macho akatoka kwanza nnje kucheki sijui hakuamini kwani jembe nikalitoa tena nnje, akaita “wee Issa.. naamu bibi, “embu njoo kwanza, Issa akaja akiwa kashikilia mswaki wake wa mti na kuuliza “bibi unasemaje?" hivi hili jembe nilitoka nalo nnje sasa nikaliweka hapa nikaingia ndani kuchukuwa panga cha ajabu nikalikuta lipo tena ndani kutoka nnje lipo pale pale nilipo liweka, “bibi bwana uzee ushakufika vibaya utakuwa umeliona jembe la babu huko acha mawenge, baada kumwambia vile akaondoka zake, “hivi huyu mtoto kashaniona mi mzee sio wakati mi sister duhuu bado nalipa kabisa, nikawa nacheeka mbavu sina yani bibi awe sister duhuu dahaa akalibeba jembe lake na kwenda shamba nikawa napanga plan A na B kwanza kabisa kufanya mabenzi na kila mwanamke nitakaye mtamani iwe usiku hasubuhi hata mchana popote pale nitadinya tu nikiwa bado nawaza nikamuona Mwajuma anakatiza nyumbani kwetu kwenda shamba nikanyanyuka na kuanza kumfata nyuma nyuma kama kipindi kilee niko hai kufika shamba kuna watu tukawakuta cha ajabu nikamuona nipe nikupe nae kashika jembe analima, akamuuliza Mwajuma “hivi wee mjukuu wangu iko kidude ulicho kivaa shingoni ndio nini?"
hii ni kacha babu, “kacha ndio nini huo ni uhuni naomba uivue na uitupe kule staki upumbavu wako,' “kwanza babu naomba utambuwe ya kwamba hii ni kama kinga yangu na kamwe siwezi kuitoa,
binafsi nikawa najiuliza kumbe Mwajuma na nipe nikupe wanajuwana au vipi?" “lakini mume wangu muache avae akitakacho mwenyewe, binafsi nikapata jibu kumbe nipe nikupe kaingia kwenye mwili wa yule babu na kujifanya kumlazimisha Mwajuma aivue ile kacha mimi nikimtizama namuona nipe nikupe wao wanamuona mtu wa kawaida tu nikaanza kucheka hahahaha! nipe nikupe akanibania jicho niache umbea, akasepa kwani juhudi zake ziligonga mwamba, yapata saa 8 mchana nikiwa katika pita pita zangu hivi nikapishana na kabinti flani kazurii kana bodi la wastani akiwa na jembe mkononi nikajiuliza hivi mchana wote huu anaenda shamba kulima au?" kitendo cha haraka akachepuka porini nikamfata kufika sehemu akasimama na kuchimba shimo la wastani hivi baada hapo akaipandisha sketi yake juu na kuishusha chupi yake dahaa kitumbua kilee....mtarimbo wangu ukawa unavimba vibaya sana, akachuchuma jamani kumbe mizimu wanafaidi mengi kumbe hata tuingiapo chooni wanatuchungulia na kutufaidi kwa macho basi yule binti akajikamua mwenyewe akashusha mrima wa Kilimanjaro na kichuguu chake, sasa huyu binti kanya hapa maji je yako wapi?"
baada kujikamua kwa sana akachuma majani na kuanza kujifutia kwa kujilaza chini manuu asikwambie mtu wewe mishipa ikanikaza swali la kujiuliza hayo mapenzi nitafanya nae vipi niwe jini mahaba au vipi?" jibu nipatie wewe,'
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Kwa jinsi yule binti alivyokuwa akijichokonoa pale kwa kujisafisha mi nikabaki hoi akajamba zinga la ushuzi nikaziba pua kudadeki unanuka huo sijui ametoka kula makande au vipi nikamsogerea pale alipo jilaza nikakiandaa kidole changu cha kati nikakishika kiarage chake kwa kukichezea akastuka na kuutoa mkono wake kwenye mpododo na kubaki kushangaa khaa! huu mkono vipi mbona unachezea sehemu sipo ni swali alilo jiuliza kisha akacheka na kuanza kujiingiza vidole kwenye mpododo wake na kuanza kukikatikia kidole assssss,,,,ohoooooo,,,,,mmmmmmm,,,kijasho kikamtoka binti wawatu kumbe anajipiga nyeto, mmh makubwa haya some time akajisahau kama mimi ndio namsugua kwa vidole kwenye kitumbua chake akabaki kukatika miuno tu huku akijiramba ramba vidole vyake njia zote mbili zikawa bwiku zinapwita nikauandaa mtarimbo wangu nikauchomeka na kuanza kumsugua kwa kasi binti akawehuka aaaaaaaaaaaahaaa,,,,,,opssssssssiiiii,,,,kiuno kata ikawa shida tupu akawa anaenda mbele na kurudi nyuma kitu kinazama na kutoka mpaka nikamwaga gafla akastuka na kuanza kujishangaa akawa anajishangaa hivi kisha akajikagua vizuri akabeba jembe na kutoka mbio, nikabaki kucheka tu nimekamua leo. ha!ha!ha! tokea siku hiyo nikawa beneti na nipe nikupe siku moja usiku wa manane nikiwa nimekaa nawaza na kuwazu usishangae kwanini nakuwa mtu wa mawazo kila time ni majanga ya maisha tu “vipi swahiba naona kama kawaida yako ni mtu wa kuwaza tu, nikamwambia hivi “nipe nikupe ndugu naomba uniruhusu niende mjini japo mara moja tu nitarudi, “hahaha Hafidhi wewe ni mjanja sana natambua ya kwamba ukienda huko huwezi kurudi utanikimbia ila tambua ya kwamba katika dunia hii nina jeshi kubwa sana tena viumbe wenye nguvu wapatao takribani billion 1000 sasa basi kwakuwa wewe ni swahiba wangu mpaka imefikia hatua ya kukuacha ufanye mapenzi na mwanamke yeyote umtakaye sasa basi ngojea 40 ya kifo chako ipite kisha nitakuruhusu uende sawa swahiba,' nikamuitikia sawa nimekusikia mkuu, “kwahiyo usiwaze sema kuna kitu kimoja nikuombe kamanda, “kitu gani hiko?"
ni kuhusu Mwajuma, “kafanyaje Mwajuma?" “naitaji umvue kile kidude shingoni kwani anaitajika kuzimu na mkuu wetu, nikastuka khaa! ina maana wewe nipe nikupe unamkuu wako?"
“ndio nina mkuu wangu yeye ni mfalme wa dunia sisi ni kama maraisi tu wengine wabunge, “naitaji unipeleke kwa huyo mkuu wako basi, “hahaha sio kirahisi kijana kama unavyo zania huyo hataki mchezo wala maskhara kosa moja mateso mia, kwahiyo nifanyie hiyo kazi kwanza nitakupa cheo kikubwa sana, baada kusema vile nikatafakali kwa kina nikimtoa tu ile kacha Mwajuma atakufa na nitakuwa ni mmoja ya watu walio husika katika kifo chake siku zikasonga bila mimi kuifanya ile kazi nipe nikupe akazidi kuniomba niifanye ile kazi basi siku hiyo hasubuhi na mapema nikatoka mpaka nyumbani kwao kina Mwajuma nikiwa na nia ya kuifanya hiyo kazi cha ajabu nikamkuta Mwajuma anapigwa na baba yake huku akiulizwa amtaje mwanaume aliyempa mimba, “wee nyang'au pusi mkubwa ni nani kakupa hiyo mimba?" nikaenda haraka sana kuzuia zile bakora zisimpate ni kitendo ambacho hata Mwajuma kilimshangaza licha ya kuchapwa maumivu hayasikii kumbe nime zizuia mwisho kabisa mama yake akaingilia kati kwa kusema “lakini mume wangu embu muache kwanza mtoto inawezekanaje apate mimba bila nipe nikupe kumchukua hapa bila shaka kuna namna, Mwajuma mwanangu embu niambie kilicho tokea, “kusema kweli mama sijui niseme nini Mwajuma akaanza kulia..ikabidi wam bembeleze akawapa full story nikawa sina jinsi ya kuichukuwa ile kacha angari Mwajuma ana mimba yangu nikaondoka nikiwa nimekaa kama kawa kama dawa nipe nikupe akaja akiwa amekasilika sana na kusema “kijana umekiangamiza kijiji kwa kuleta kiumbe haramu sasa basi itabidi ulipe utanyang'anywa hicho kipawa cha kushika vitu na kuchapwa mijeredi 1000 na kuingizwa kwenye tanuri la moto utakaa humo takribani miezi sita au miaka miwili, nikiwa najiandaa kujibu kitu gafla nikajikuta nabebwa na mijitu mireefu hata mwisho wa shingo zao sikuweza kuziona kitendo cha kuchukuliwa msobe msobe sikuweza kufahamu wapi napelekwa safari ilikuwa ndefu nikiwa nimebanwa kama kifaranga cha kuku kilicho bebwa na mwewe, tukafika sehemu wakaniachia nikawa nadondoka kwa kasi ya kimbunga nikatoa sehemu ambayo kuna mafuvu tu ya watu kuna tisha balaa nikawa naweweseka gafla nikaanza kupapaswa na yale mafuvu kudadeki kumbe walikuwa ni wazima ni viumbe gani hawa hawana hata nyama zaidi ya mifupa tu nikikumbuka nilishawai kuangali muvi moja ya night of the dead au army of darkness yani jeshi la wafu sasa leo nawaona live nikahisi labda ndoto nitakuja kustuka tu lakini haikuwa hivyo mateso yakawa zaidi ya mateso Hafidhi j nikakosa raha na kutamani kufa sasa nife mara ngapi wakati nishakufa dahaa kila kukicha nachapwa mijeredi ambayo ilikuwa ikiondoka na nyama za mwili wangu nikakonda kwa kukondeana nikabaki kama zezeta yani kufa sifi cha moto nakiona kula nikawa sili zaidi ya kupewa unga ukichanganywa na maji eti unaambiwa kunywa huo ndio uji usiombe kwenda Kuzimu kuna tisha mwisho wa siku nikaja kutupwa mbele ya nyumba ya bibi nikiwa sijitambui kabisa nikaja kupata fahamu baada kuhisi maji yakinimwagikia kufumbua macho hivi kumbe ni Rukia anaosha vyombo bila kufahamu akamwaga maji ya ukoko sehemu niliyokuwa nimelala nikajisikia maumivu kila maeneo ya mwili yangu yani kama mtu aliyeunguzwa na moto nikabaki kulia tu ni nani wakunisaidia ukicheki siwezi kushika chochote tena nikaja kufahamu ushapita mwaka mmoja tokea nipelekwe kuteswa kwani niliweza kumuona Mwajuma akiwa na mtoto wa kiume tena kinajifunza kutembea nikabaki kutabasamu siku basi siku moja kulikuwa na sherehe inafanyika uwanja wa shule sherehe itaanza saa mbili usiku nikatamani kwenda japo kushuhudia ila nikashindwa kwani mwili wangu haukuwa na nguvu ya hata kupiga hatua moja mbele nilipo kaa ndio hapo hapo juwa vua vyote vyangu basi familia ikajiandaa na kutoka nikabaki nadondosha chozi nikijalibu kuita “jamaniii nisaidieni mimi niko hapaa, tokea siku hiyo nipe nikupe sikuweza kumuona tena usiku ukazidi kuingia giza totoroo walioenda kwenye sherehe bado kurudi gafla nikiwa nimejiinamia nikastuka baada kuguswa begani, nikageuka na kukutanisha macho yangu na sura ngeni machoni mwangu kwa mshangao nikamuuliza “wee nani?"
akatabasamu kabla ya kunijibu kisha akatamka “mimi ni kaka yako naitwa Hafidhi j ikram nimetumwa na bibi kuja kukusaidia,'
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Kitendo cha yule mtu kusema eti yeye kaka yangu tena anaitwa Hafidhi j ikram kikanifanya niduwae zaidi, akaniambia huku akinipiga piga begani, “sikia bwana mdogo kuanzia sasa hutakiwi kuwa na hofu ya aina yoyote ile mimi nipo kwa ajili yako sasa basi itabidi wewe uwe mimi na mimi niwe wewe, “hapana wewe sio kaka yangu utakuwa nipe nikupe tu kwanza kaka yangu amekufa kabra mimi sijazaliwa, niliweza kumwambia hivyo kwa sauti ya kilio, Hafidhi mdogo wangu au wajina wangu amini mimi ni kaka yako ndio nimetoka kuzimu na nimekuja hapa kukusaidia mbona wewe umekufa na ushazikwa au hujafa?" nikatikisa kichwa kuashilia hapana sijafa, akanyanyuka kisha akaangaza macho kushoto na kulia mwisho akanitizama mimi na kunikazia macho taratiibu akaanza kubadilika na kuwa mimi afu mimi nikawa yeye nikiwa smart nimenenepa mwenye hafya kisha akaniambia potea...poteaa ile sauti ikanifanya nipaee na kwenda sehemu isiyo julikana dahaaa
mambo vipi?" wapenzi wa mtaa wa tatu nazani mnanikumbuka japo nishakufa kitambo sana nimetumwa kuja kumpa mdogo wangu msaada katika kijiji cha nyumbani kwa mzaa mama kijiji ambacho mambo ya ushetani yametawala sana wananchi wanaishi kwa hofu kubwa kila kukicha watu wanapotea katika mazingira ya kutatanisha sasa basi nimekuja kuwakomesha, nikiwa nimekaa pale pale alipokuwa amekaa mdogo wangu kabra mimi sijaja nikawa nasikia sauti ya vigoma kwa mbaali nikajuwa bila shaka kuna sehemu kutakuwa na sherehe tu nikajinyanyua pale chini na kujigeuza kutoka katika umbo la mdogo wangu na kuwa katika umbo langu kipindi niko hai nikasepa kama upepo kama sec 3 tu nishafika eneo la sherehe faster kusema kweli ilikuwa sherehe ya kijiji kizima wazee kwa vijana wamejazana huku misufuria ya pombe za kienyeji na togwa zikinywewa kwa wingi, wengi wamekuja hadi na watoto wao wakiwa wamewabeba migongoni kijiji kilipendeza usiku huo nikiwa katika kushangashanga nikaweza kusikia sauti kama ya kilio ya binti akiomba msaada yani nilikuwa mwepesi sana wa kunasa hisia iwapo kuna tatizo sehemu yeyote ile nikafika faster na kumkuta msichana akivuja damu tumboni mikono yake yote miwili akiwa kashikilia kitovu chake nikajivika kivuli nisiweze kuonekana na mtu yeyote, yule binti akaenda chini hakuna mtu wa kuja kumsaidia nikajivua kivuli na kuwa mtu wa kawaida binti akaenda chini nikawai kumshika na kuanza kumwita, “binti...binti amkaa...akayatoa macho pima kuniangalia usoni japo eneo tulioko ni Giza tupu, kwa sauti ya mkato mkato akajitahidi kuongea, “nii liku jaaa huuku..kukojooa..gaaaflaa niiipe niikupe.. nikaona bora nimpe pumzi aongee vizuri haya maneno ya kukata kata mi simuelewi, baada kumpa pumzi akazungumza, “nilikuja huku kukojoa gafla akanitokea nipe nikupe na kunivutia gizani zaidi, “kwa nini amekuvuta gizani?" akajibu “kwa sababu nilipoenda mjini kuna mwanaume nilifanya nae mapenzi, baada kusema vile tu mikono ikafutuka pale tumboni utumbo ukatoka kwa kasi ya ajabu dahaa midamu tu uchungu na hasira zikanishika zaidi kwa kuona ni jinsi gani yule binti kafa kikatili vile nikamlaza chini kisha nikainyooshea kidole cha shahada ile maiti kivuli chake kikanyanyuka na kuanza kushangaa shangaa tu, kikatoka mbio kwenda sehemu ya sherehe nami nikamfata nimuone nini anataka kufanya nikamuona anaangaika kumgusa kila mtu na kumuongelesha wenzake hata hawana abari nae akabaki kujishangaa macho yetu yakagongana akaja mbio kwangu na kuniuliza “wee mkaka mbona kama unanicheka mimi?" nikawa natabasamu tu, “hivi kaka yangu mbona kila ninae ongea nae anijibu chochote sikumjibu kitu, akaona bora aondoke tu sio siri binti aliangaika sana kupaza sauti yake kwa kuongea na kila anaemfahamu mpaka akachoka na kuamua kukaa chini akiwa analia usiku ukapita hatimae kesho yake hasubuhi, nikiwa nimekaa mbele ya nyumba ya bibi kila mmoja akiwa na kikombe cha uji kwenye sinia kuna ming'oko sijui ndugu msomaji unaipata, nikainuka pale nilipokaa na kwenda walipokaa wao gafla kila mmoja akastuka baada kusikia sauti za vilio vikitokea nyumba ya jilani tu kila mmoja akaacha kula na kwenda huko kufahamu nini kimetokea, nikiwa nimebaki pale nikavishika vikombe vyao nikanywa uji wote mpaka wa kwenye sufulia ming'oko nikaitafuna hakuna nilicho bakisha, “khaa! vyakula nani kavila vyote?"
ni Rukia mtoto wa mamkubwa ambae ameshafariki kitambo watoto wake wanalelewa na bibi baada baba yao kuowa mke mwingine kama ujuavyo baazi ya mama wakambo wengine si watu wazuri watoto wakashindishwa njaa kuanzia hasubi mpaka usiku ikafikia kipindi Rukia akawa analazwa kwenye banda la kuku na kupewa machicha ya nazi ale sababu alikuwa na njaa akawa anayafakamia baba yao hakuwa na taarifa yeyote sijui kafanywa ndondocha au?" CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
mateso yalipozidi sana ndio siku moja wakaamua kutoroka na kuja kilwa kwa bibi mzaa mama yao ambae mimi namwita mama mkubwa, baada Rukia kushangaa na kuuliza vyakula nani amekula akatoka mbio kurudi kule kwenye vilio nikamuona anakuja akiwa na bibi pamoja na kaka zake nilicho fanya nikanyoosha mkono kwenye sufulia uji ukajaa kwenye sinia ming'oko ikarudi kisha nikajikausha kama vile sio mimi, “hivi wee Rukia ndio nini kuniangaisha yani kunitoa koote kule mwenzako nawapa pore wafiwa unakuja ohoo bibi uji umenywewa wote huu nini sasa, akatishia kama kumwagia hivi, akaweka sufulia chini na kuondoka zake “afu Dada rukia siku zote nakwambiaga acha wenge,' wakakaa kuendelea kula “hivi kaka Issa imekuwaje Fatuma afe gafla tu wakati jana tulikuwa nae kwenye sherehe?" hata mimi nashangaa nilicheza nae akanikatikia miuno mpa nikatamani kwenda nae vichakani, “ahaa! kaka hujitaki wewe, “humjui nipe nikupe mfano ndugu yetu Hafidhi j ikram ndio kwaanza ametoka mjini ndani ya siku tatu tu akafa, “unajuwa nini Dada mi nahisi Hafidhi hajafa kisa katembea na mwanamka itakuwa labda kavamia shamba la nipe nikupe, “wee unasema shamba lilee?" ndio itakuwa hivyo, nikageuza shingo yangu kuangalia ni shamba gani Rukia anaonyesha, baada kuweza kuliona nikanyanyuka na kuanza kulifata baada kulikalibia nikafungua mdomo wangu na kuanza kutema moto kama mdudu aina ya dragon moto ukawa mkubwa sana shamba likaanza kuteketea ni moja kati ya vitu vya kumtafuta nipe nikupe tu, "jamanii..motooo motooo huku kama dakika 4 hivi wanakijiji wakajazana na kuanza kuangaika kuuzima moto ikawa ni kazi bure kuweza kuzima moto ule gafla bonge la vua likashuka na moto ukazimika cha ajabu hakukuwa na dalili ya hata majivu ya kitu kuungua nikasikia vicheko vikitokea kwa juu ni mimi pekee ndio niliyeweza kusikia nikainua macho yangu juu na kukutana na sura zenye kutisha vibaya sana sikuweza kuhofia kwani hata mimi naweza kuwa kama wao kumbe haikuwa vua kama nilivyo zania ni maji yaliyokuwa yakitemwa na ile mijitu hata idadi yao sikuijuwa wako wangapi, nikacheka saana
“hahahah!hahaha! nikajisemea hii vita si yakitoto kidume nikajisifia kukaa kuzimu takribani miaka 18 nimepambanishwa na kiumbe cha kila namna na kuibuka mshindi sembuse hawa vinyamkela nikaupata usemi ya kwamba nisijisifu nina mbio nimsifu na anaenikimbiza, nikajuwa bila shaka nina vita kikali sana kumbuka wakati wa uhai wangu nilipambana na wanaadamu na kuufanya mji uwe sawa sasa napambana na majini kwa mizimu ya kishetani, yale maji yakaacha kushuka nikajivika umbo langu la kawaida tu nikajichanganya kwenye msiba nikakiona kivuli cha yule binti kikiangaika nikauchota mchanga na kuupuliza ukaenda moja kwa moja kukisomba kile kivuli na kusepa nacho cha ajabu bibi kila wakati akawa ananiangalia mimi akiwa aamini amini ni mimi au anafananisha,
-------------
Bibi akawa anazidi kushangaa shangaa tu mwisho akanyanyuka na kwenda sehemu aliyokaa babu akamnong'oneza kitu na kuonyesha kidole sehemu niliyo kaa mimi babu akaangalia baada kuniona na yeye akanyanyuka kunifata akanisalimia kwa kunipa mkono “Assalam alaykum kijana?" “Waaleykum ssalam mzee wangu, “naomba nikuulize kitu kama hautojali, “uliza tu mzee hamna shida, “hivi wewe ni ndugu na wafiwa au?" ”apana mimi sina undugu nao kabisa, “basi mke wangu yani bibi yako anakuomba mara moja, japo niliweza kuyafahamu mawazo ya bibi na kumfahamu ni nani nikajifanya kuuliza “bibi yupi huyo?" akanionesha yulee pale,' nikanyanyuka na kwenda kumfata baada kumfikia nilimuamkia nae akaitikia na kuniuliza “samahani baba yangu kwa kukusumbua hivi unaitwa nani?" naitwa Sephu da prince, “ohoo ndio jina lako hilo unajuwa nilipikuona umekaa pale nikakufananisha na mjukuu wangu anaitwa Hafidhi j ikram sema yeye kafa mda mrefu sana ishapita miaka takribani 18 sasa, “dahaa poreni sana unajuwa tena dunia watu wawili wawili, “ndio nafahamu wawili wawili lakini wewe umefanania kila kitu hadi sauti, nikacheeka na kujisahau kama nipo msibani kila mtu akageuza macho kututizama sisi nikauwa soo kwa kusema maneno flani hivi kila mmoja akaendelea na mambo yake watu wakakusanyika na kutakiwa maiti izikwe kesho mchana saa saba nikamfata kijana mmoja anaekwenda kwa jina la Azizi nikaweza kuchonga nae kuhusu swala la kuweza kupata chumba cha kupanga maeneo ya kijiji kile akaniambia “kusema kweli vyumba vipo sijui kama kodi yake utaiweza?" wee taja tu kwani shiingapi?" “kuna vyumba vya shilling elfu 3 kwa mwezi mpaka elfu 5 kwa mwezi, nikacheka japo kwa kuziba mdomo, “sasa mbona unacheka?"CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
unajuwa kinacho nichekesha ni kuhusu ulivyo niambia je nitaiweza hiyo kodi nikajuwa labda kama kule town chumba kuanzia elfu 25 mpaka laki 1 na nusu kwa mwezi, ”chumba mpaka laki kwa mwezi?"
ndio hivyo, sasa kama vipi twenzetu basi ukanionyeshe hivyo vyumba, tukatoka kwenda kucheki katika zunguka zunguka yetu yote kuna nyumba moja tu nikatokea kuikubali unajuwa kwa nini niliikubali ni kwamba familia nzima ni wachawi tukianza bibi babu baba mama na watoto wao wote wachawi wengi walishindwa kukaa au kuishi kwenye kijumba wanacho kipangisha kutokana na mauza uza ya kila siku nikalipa kodi ya miaka miwili kabisaa siku hiyo hiyo nikahamia kisayansi zaidi sikuja na hata mkeka ila nikiwa ndani nikanyoosha mkono ukutani na kukifanya chumba kibadirike kikawa cha kishua kila kitu kikawa ndani tanda futi sita kwa sita dressing table tv nch 30 flat sabufe yani vikoro koro kibao usiku wa manane nikatoka na kuviona vitoto vya nyumba ile vikisota sota nikajisemea sijui nikavitie bakora au vipi kwa ujinga wao wakajuwa eti mimi siwaoni dahaa,
yapata wiki sasa tokea niamie kijiji kile nikaweza kupata marafiki na kupenda kuja gheto kwangu kucheki muvi “eee bwanaee Shaweji mchizi ana zinga la ghetto kama mamtoni vile kudadeki full Ac mazagazaga nini, tukiwa maskani washkaji wakilisifia ghetto langu gafla kuna binti akakatiza tako tipwa tipwa nini akatuma hi ”jamani za saa hizi?" poa tu sijui wewe mrembo? mi niko freshi tu sema nimekuja kumuomba mmoja wenu aende akanitwishe lile gogo, kila mshikaji nikaona wamekausha nikajitolea kwenda kumtwisha, “samahani binti unaitwa nani?" mmh naitwa Lidya, “ohoo unajina zuri sana binti kama ulivyo wee mwenyewe, “mmh wee kaka unamaneno wewe, “maneno yanatutoka kwa ajili yenu warembo, tukafika nikamtwisha lile gogo kwa ukaribu zaidi nikataka kumkiss binti akabaki kupumua tu huku chuchu zake zikiwa dede nikajistukia kufanya vile itakuwa sio ishu nikageuza kurudi kwa washkaji nikamsikia Azizi anasema “mwambie basi si huyo karudi mwambie.. nikajifanya sijawasikia ndio kwaanza nikawaambia “mnajuwa nini masera kwa yule binti nimezimikia bodi kitu tetemente yani ndio mambo yangu yale nikiwa town, “ndio ni mambo yako ukiwa huko town lakini huku kijijini kuna majanga tu, “mmh majanga yapi tena ndugu zangu?" “embu Hafidhi kaa hapa nikupe mtonyo nikakaa nipate full story, “unajuwa nini kaka wewe ni mgeni katika kijiji hiki sasa basi naomba utambuwe kuanzia time hii mawazo ya mademu wa kijiji hiki futa kabisa, ”nifute kivipi ni wake za watu au?" “yani bora wangekuwa wake za watu hapa kuna mira na desturi ukifanya mapenzi na binti yeyote bila kufunga nae ndoa juwa la kesho ulioni ndugu, kusema kweli sio kama sifahamu ila ninacho fanya Mimi ni kupeleleza kwanza niweze kufahamu wapi nitaanzia kazi yangu maana tokea nifike kijiji kile namsaka nipe nikupe kwa udi na uvumba simpati, “kwahiyo umesema ukifanya mapenzi na binti yeyote yule unakufa?" ndio maana yake sasa kama umemtamani yule binti fanya mchongo wa kwenda kwao mapema ukajitambulishe ndoa ipite, “poa masera kwa kunijuza, nikaondoka kurudi sehemu ninayo ishi kwanza kabisa nikapanga kutembea na kila mwanamke ili niweze kumchokoza nipe nikupe usiku wa manane nikatoka nikiwa kama upepo na kuanza kukizunguka kijiji kizima mwisho nikaingia katika nyumba moja wapo hivi na kuwakuta mabinti wawili wamelala kitanda kimoja nikawanyooshea mkono kanga walizo jifunga rubega zikawatoka na kubaki uchi wa mnyama nikaanza kuwaingilia kwa zamu huku wakiweweseka, aaaaaassssss,,ohoooooo,,,yonaa,,,bbiiiii,,,baaaaasiiii,,,nikaja kuhisi huyu ana basha wake anaitwa Yona maana anamtaja huku akiweweseka tu opssssssss!,,,,,aiiiiiiiiiiiiii,,,,nakokoaaaaaaa,,,nikawa nachovya huku napampu kisha nachomoa nachovya kwingine mpaka nikapizi kimoja kwa mmoja nikavuta pumzi na kupiga cha pili kwa mwingine, baada kumaliza mchezo wangu nikawavisha kanga zao na kutoka ile natoka nikasikia kitu kizito kikitua mgongoni kwangu afu cha motoo nikajishika kujipangusa nikajikuta navamiwa na kitu kizito nikaenda nacho mpaka chini ni aina ya mnyama kama kifaru hivi ana minjino mirefuu macho yake yanawaka moto nikamshika pembe lake na kumtupia pembeni nikajampu kwa kunyanyuka akawa anakuja tena mbiio kufika tu nikamuwasha teke akaenda chini na kuanza kulia mlio kama fisi tena kwa sauti kubwa nikamfata pale alipo lala nikamuinamia na kumshika shingo kusema kweli yataka moyo kwa binaadamu wa kawaida kumuangalia kiumbe huyu anavyo tisha vibaya sana baada kumshika mkono wangu ukawa unawaka moto kile kiumbe kikawa kukiteketea kwa moto na kupotea kabisa nikanyanyuka na kucheka sana “hahahaha! nikijuwa huyu ndio nipe nikupe mbona nimemuuwa kizembe hivi nikasepa kwa kupaa angani nikiwa bado nipo angani nikahisi kama upepo mzito ukinifata kwa speed nyuma yangu,CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
nikageuka kucheki dahaa ni mapopo bawa idadi yao sikuweza kuifahamu nikaongeza kasi ya kuwakimbia nikaenda moja kwa moja na kutua kwenye uwanja wa shule kwanza anga lote likawa limezibwa na kuwa giza la ajabu kijiji kizima, nikiwa nimetua nikawasiliana na jeshi la kuzimu na kuwaambia naitaji msaada nikacheki juu vimondo vya moto tu ndivyo vinavyo onekana kila popo bawa kashika cha kwake mmoja akashuka mbele yangu na kuanza kunesa nesa kama vile godizira, "ukhuuu nachoo,,nyamwera,! sijui anazungumza lugha gani? japo kuzimu tunazifahamu lugha za kila aina lakini hii kwangu ni lugha ngeni kabisaa, akanikazia macho huku akiutoa utoa ulimi wake gafla bin vuu akapasuka vipande vipande kucheki jeshi lishafika kutoa msaada, sio police wa kibongo kufika eneo la tukio mpaka majambazi wafanye yao wasepe afu ndio wanazuga kwa kufika eneo la tukio, baada kuona mwenzao kapasuliwa ikaanza timbwili timbwili la kufa mtu nikawa napiga nafinya nawasha moto wengi wakateketea na wengine kukimbia nikiwa nahema nikaitwa pembeni yangu ni sauti ya bibi kama mnamkumbuka katika mtaa wa tatu alikuwa akinitabilia maisha yangu, nikageuka kumsikiliza akaja na kuniambia “hili ndio kwaanza trela picha bado halijaanza unahema nini?"
bibi bwana wee acha tu viumbe walikuwa wengi wale, “ahaa wengi wapi wakati hawajai hata kwenye kiganja cha mkono, “mmh lakini bibi najisifia kwa kuweza kumuuwa nipe nikupe, “nipe nikupe bado hajafa ndani ya mwezi mmoja na nusu yuko ziarani nchini misri sasa basi tambuwa nipe nikupe si kiumbe cha mchezo ukizubaa unaweza kufa kizembe kumbuka umetumwa kuzunguka mikoa 15 hapa Tanzania na nchi 25 hapa duniani kazi yako si yakitoto ila ushaanza kufanya ujinga wako wa kipindi kilee, “ujinga gani bibi?" wa kupenda ngono leo umewalal waschana wawili doubre kumbuka ulicho tumwa ni kumsaidia mdogo wako anakuwa huru kutoka kifungoni achana na maswala ya kipumbavu si tunaenda wakasepa,
ikapita kama wiki baada tukio lile kutokea nikiwa nimekaa hivi gafla nikasikia sauti ikiniita, Hafiiiiidhii.... kucheki anakuja mbio kwangu...
“Hafiiiidhi..nikageuka kumtizama anae niita anakuja hata sijatafakali chochote kashafika na kunikumbatia huku machozi yakimtoka kwa fujo “Hafidhi mwanangu kumbe bado upo hai umerudi mwanangu, nikawa najiuliza maswali kichwani kwangu ndio huyu ni mama yangu mzazi lakini mimi nishakufa ina maana mimi na yeye basi tena inakuwaje anikumbuke na kwa nini nimejivika umbo hili na kujiita Hafidhi, nikapiga mahesabu ya faster na kucheza na akili za washkaji wanisaidie kumkana mama ya kwamba mimi siitwi jina hilo nikamtoa maungoni mwangu nikamshika mabegani kwa kumkazia macho na kumwambia “wee mama vipi kwani umedata au?"
“hapana sijadata wewe ni mwanangu Hafidhi, “mimi siitwi Hafidhi nahisi utakuwa umenifananisha tu, “Hafidhi mwanangu leo hii unanikana kweli mimi mama yako, “nikanyoosha kidole cha shahada kwa mbaali akawa anakuja mtoto wa kike huku akiita “kaka Sephu...wee kaka sephu, nikamuitikia naamu, “mama anakwita ukamchinje yule kuku kibwenzi, “ahaa mama nae bwana kazidi uchu nenda kamwambie kuku achinjwi yule, nikazidi kucheza michezo ya kiini macho kwa kumtengeneza mama yangu wa bandia akaja na kusema “wee Sephu kuku kagongwa na nyoka kule muai kumchinja kabra hajafa hee mbona huyu mama analia tena?" unajuwa nini mama huyu mama kanifananisha na mwanae sijui kapotea au vipi, “dahaa pore sana kwa kupotelewa na mwanao ilikuwaje kwani mpaka akapotea?" kwa sauti ya kwikwi mama yangu original akatoa full story, “kumbe mwanao amekufa tokea miaka 18 iliyo pita basi huyu ni mwanangu mimi anaitwa Sephu shaweji labda kafanania na mwanao tu, mama hakuwa na jinsi zaidi ya kuondoka huku akijifuta machozi nahisi hata begi lake akaliona zito kulivuta, nikawapoteza wale ndugu bandia kumbuka nina uwezo wa ajabu kwahiyo ni vitu vidogo sana kufanya hivyo kwanza nafsi ikaniuma kwa kumkana mama yangu mzazi lakini kama kulia kashalia kwenye msiba wangu inakuwaje aamini bado niko hai wakati washanizika siku hiyo nikiwa nimekaa kitandani nawaza na kuwazua jinsi ya kumpata nipe nikupe gafla kwenye pembe ya chumba changu akaingia mtu akiwa amebeba kikapu akaangaza angaza macho chumba kizima kisha akakiweka kikapu chake chini akapanda kitandani na kuanza kunitambuka tambuka huku akiimba “awilee tungoree awilee,,,tungoreee,,,awileee akanitambuka kama dakika kumi hivi kisha akanishika miguu na kunivutia chini ya kitanda laiti angejuwa mi nani asingefanya upumbavu ule anao ufanya tena mchana kweupe ananiwangia baada kunishusha akanilaza kifudi fudi akatoa kwenye kikapu sijui madawa gani na kuanza kunipaka paka mgongoni huku akikazana kuimba tu nikawa nimejikausha kimyaaCHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
nione mwisho wake nini huyu mama, baada kumaliza akasepa na kuniacha pale pale chini nikataka kumuonyesha mimi noma na nikajuwa amerudi nyumbani kwake nikayeyuka vuu na kwenda hadi chumbani kwake nikawa nipo chini ya kitanda chake ile nafika tu na yeye ndio anaingia si akaniona unajuwa alistuka sana hakutegemea akabaki kujiuliza nani kamleta huyu huku, akatoka mbio kurudi chumbani kwangu kunicheki je nipo nami nikawai kufika tu akanikuta kwanza akajifikicha macho vizuri anaota au akaja kunishika sijui kunikagua kitendo cha kunishika tu nikamdaka pale pale nikamgeuza bata na kumfukuza kwa mateke mpaka nnje kuna mzee nikamsikia anasema "wee Nassoro njoo umkamate bata huyu huku, nikatoka nnje na kumkuta yule bibi kashadakwa kibaya zaidi aliyemkamata ana kisu tayali nikimcheki mchozi unamtoka dahaa, nifanye nini kumuokoa asichinjwe, nikanyoosha kidole mpaka kwa yule kijana na kujikuta anajikwaa akaenda chini puhu na kuanza kupiga kelele “yalaaa babuuuu mguuu wanguuuu...nakufaa....babu yake akatoka mbio mbio akiwa anauliza “nini tena mjukuu Wang?" mguu babuu,' “umefanyaje?" akawa anaushika shika na kuukanda kanda kwa kumnyoosha, “ayiiiiiiii...babu inaumaaaa...babuu niachee nikazama ndani nikiwa nacheka nazani hata hamu ya kuchinja bata hawakuwa nayo siku hiyo,
baada kupita siku tatu mama mwenye nyumba anatafutwa na mumewe watoto zake na ndugu zake wengine huku watu wakisema labda nipe nikupe kashafanya yake kitambo, wakati wanaangaika kumtafuta usiku na mchana mwenzao anawaona anawasikia kinacho mshinda kuongea tu kashakuwa bata siri naijuwa mimi peke yangu siku hiyo usiku wa manane nikaamua kutoka kwenda kumsaka nipe nikupe katika kupiga dolia zangu kwenye kichaka kimoja hivi nikasikia sauti kama ya mwanamama hivi akiomba asiuliwe “nisamehe nipe nikupe nimefanya hivi kuipata dawa tu kwa sababu nimezunguka kijiji kizima dawa hakuna ndio nikaziona katika shamba lako, “sio umeziona katika shamba langu nani umemuomba?"
“sikumuona wa kumuomba nisamehe, nikaweza kuitambua ile sauti kama ya mama hivi, nikawai faster asije akauwa nikatua mbele yao yani kati kati mama nikiwa nimempa mgongo nipe nikupe natizamana nae kwa mara ya kwanza nakutana na kiumbe huyu hakuna mfano wake kibaya zaidi wanakiongozi wao je huyo yukoje?"
akastuka kwa sauti ya kuunguruma akauliza “nani wewe?" niite Hafidhi j ikram, “khakha!Khalkha! kumbe wewe bwana mdogo umekuwa wa ajabu hivi kwanza pisha nimuangamize huyo mwanamke,' “hakuna anaye angamizwa hapa nimekuja kumlinda tu,' “kijana naona maumivu uliyopewa kipindi kile kuzimu hujatosheka sio sasa basi naita jeshi wakukamatee aiiiishiii ni kitendo cha faster nikamtupia kaa la moto mdomoni akabaki kuugulia maumivu akasepa mbio chezea mimi wewe utajamba nikamgeukia mama akiwa anatetemeka nikam beba na kumrudisha nyumbani kwa bibi huku nikimsisitizia arudi mjini haraka sana kesho yake hasubuhi kijiji hakifai hiki nikatoka nikiwa najongea gafla mbele yangu kuna mijitu miwili mireeefu ya kutisha,
Kitendo cha kuona ile mijitu ya kutisha iko mbele yangu nikaingiwa na hofu kidogo nikatoka mbio ikawa mkimbize mkimbize tu mpaka tukatokea mto rufiji nikatua juu ya daraja nao wakatua kwa kishindo wakiwa wanafuka moshi kwa kuhema kumbe hadi kunguru anavyo paa kule juu some time anachoka kama binaadamu akimbiapo, tukabaki kutizamana tu nikaweza kuwasoma kitu cha kuwaangamiza nacho ni maji tu kwa jinsi walivyokuwa wakiyatolea macho maji ya mto ule kisha kunitizama mimi gafla mmoja kati yao akanyoosha mkono na kunizaba zinga la kofi nikajikuta natupwa kule wakaanza kunishambulia kwa kunitemea moto na kunilalua na mikucha yao nikajitahidi kupambana kila nikijibu mapigo ya kuwatemea moto wanacheka nikachumpa na kuzama kwenye maji wakabaki kushangaa shangaa tu nikaibuka na kurudi juu nikiwa nimehifazi maji tumboni kwangu kama liter ishirini nikaanza kuyatema kwa fujo kama vile zima moto wakaanza kutatalika huku wakipiga mayowe ya uchungu kumbe hesabu zangu zilienda sawa katika jitihada za kutaka kuyakimbia maji wakajikuta wanadondokea mtoni na kupotea kabisa ndugu msomaji uache usiku uitwe usiku tu maana mambo mengi yanatokea ukiwa wewe umelala mwenzako ndio anaingia kazini siku zote unapo lala mtangulize Mungu maana yeye ndio kila kitu katika ulinzi wako unaweza kuchezewa na wachawi wakakufanyisha kazi zao na kukulisha nyama mbichi za binaadamu umelala unaota unakula nyama stuka,
nikarudi chumbani kwangu nikiwa nafurahia ushindi ile kuingia tu nikamkuta bibi ananisubili kwa hamu, “hivi Hafidhi kwa nini umekuwa mzaifu sana?" nikabaki kuduwaa pasipo kujibu swali lake, “si nakuuliza wewe kubwa jinga, “ahaa bibi mimi sio kubwa jinga nina akiri zangu kamili ohoo nitakinukisha sasa hivi,' “nenda zako huko usinitishe wala nini wakati vijitu viwili tu vimekutoa jasho la kwapani,' “sasa bibi wewe kwa akili yako vile vijitu au mijitu?" “sikia nikwambie Hafidhi mpaka sasa malkia anasononeka sana kwa utendaji wa kazi yako unafanya kazi kizembe sasa basi kama umeshindwa rudi nyumbani atumwe mwingine kuna vijana kibao wanaitaka hii nafasi hawakuipata malkia akakuteuwa wewe,' “bibi kusema kweli mi najiona niko tofauti yani kama nimepungukiwa na vitu flani hivi, akaniambia “embu sogea hapa,' nikasogea akanishika na kuanza kunikagua gafla akastuka “hii Mungu wangu akabaki kusikitika tu, “bibi kwani vipi mbona unasikitika imekuwaje kwani?"CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“kusema kweli mjukuu wangu kuna vitu muhimu ukuchukuwa kutoka kuzimu embu twende haraka ukakabiziwe, tukapotea na kwenda kuzimu ni sehemu mbaya kwa watenda dhambi wote wanatupwa huku yani full mateso kwenye moto wakiwa wanaogerea huku wengine wakimwagiwa asidi wengine wamening'inizwa kwa minyororo yani umepitishwa kwenye haja kubwa na kutokea mdomoni usiombe ndugu yangu kuzimu kuna tisha vibaya sana Kuna binaadamu wa kila namna masuper star hadi watu wa kawaida wengine ni watumishi wa Mungu hapa duniani kumbe ni watenda zambi wakubwa mateso yana muda wake mwisho wa siku unakuwa mtu wa kawaida tu ukiwa kule kule kuzimu na kuwa mwanajeshi wa kupambana na viumbe vibaya ambavyo bado wapo duniani hata mimi nilivyo letwa kwa mara ya kwanza niliteseka sana kwa kunyweshwa usaha wa motoo na miba ya samaki nikatamani kufa lakini huko haufi cha moto utakiona kuna mashekhe mahostadhi mapadri wachungaji yani mtu anatwangwa kwenye kinu watu wapatao elfu tatu wamejazwa kwenye kinu hiko wakiwa wanatwangwa hiyo michi ni unene wa mbuyu nikapita kwenye daraja la moto na kushuhudia watu wakiteseka nikafika mbele ya markia baada kuniona tu akanyanyuka kutoka kwenye kiti na kunifata baada kunifikia akaniwasha zinga la kofi mpaka nikayumba na kuinama kama haitoshi akanishika na kuninyanyua ile anataka kunipiga kofi lingine nikamdaka mkono wake na kumchapa kofi yeye kitendo cha kumpiga tu gafla kuzimu kukatikisika kama kimbunga hivi kila kiumbe kikashangaa khaa! hata malkia hakutegemea kufanya kitendo kile akaamrisha nikamatwe nikachumpa na kwenda mbiio mpaka kwenye kiti cha malkia na kuishika fimbo yake akapiga kelelee “hapanaa usishike hiyo, nikajifanya sijasikia nikaibeba kwa mkono wa kushoto kama haitoshi nikakichukua na cheni yake tokea niwe kuzimu hata siku moja sijawai kumuona akiivaa kumuonyesha ya kwamba mimi ni noma nikaivaa baada kuivaa tetemeko la ajabu likatokea kila kitu kikawa kinayumba na wengine kupeperushwa kwenda sehemu mbali mbali aliyepeta nafasi akashikilia sehemu ni tetemeko lililo ambatana na upepo mkali sana nikajikuta nasema “achaa...gafla kila kitu kikatulia na kuwa shwali dahaa kutoka chini ya ardhi likaibuka zinga kiumbe joka si joka dragon si dragon sijui yukoje kila kile kiumbe kikahofia, baada kupanda juu zaidi huku macho yake yakizunguka kama bahari akapumua na kutua moshi mzito mweusii akamtizama kila mmoja wetu mwisho akanikazia macho mimi akanitizama kwa muda na kuanza kucheka “hahahaha!hahahaha! wewe ndio Hafidhi j ikram?"
sikuweza kufahamu ananiuliza au ananizihaki nikabaki kumtumbulia mimacho tu, “nakuuliza kijana wewe ndio Hafidhi j ikram au?"
ndio mimi kwani vipi?" jibu swali kijana sio kuuliza maswali, “wewe ni kama nani unaniuliza maswali?"
oky kijana huu sio muda wa kubishana cha umuhimu nataka nikwambie kitu kimoja ya kwamba katika dunia hii kuna viumbe vingi sana tena vya ajabu ila muumba wa vyote ni Mwenyezi Mungu sasa basi kila sehemu ya nchi au kitongoji lazima kuwe na kiongozi wa kuongoza eneo lile japo wengine wanatawala kimabavu au kwa kutumia rushwa ili apate uongozi sasa basi huku kuzimu kiongozi mkuu ni mimi hii kasri yote ni yangu na huyu binti ni binti yangu mimi ndio nimemkabizi madaraka haya ila inavyo onekana ni mzembe sana mpaka umemnyang'anya cheo ninacho kuomba muowane uwe mfalme na yeye awe malkia sawa kijana?" nikajikuta naitikia “sawa mkuu ila sio kwa sasa niache kwanza niende duniani nikaifanye kazi moja tu kisha nitarudi kufunga ndoa na malkia, “sawa kijana waweza kwenda, nikapotea gafla na kujikuta nipo ndani ya chumba nilichopanga nikajipumzisha kwa kulala nikaja kustuka baada kusikia mlango ukigongwa kwa fujo sana “ngoo,,ngoo,, nikajinyanyua kiuvivu na kwenda kufungua gafla nikasukumiziwa ndani na kujikuta nayumba kabra ya kwenda chini kumcheki aliye nisukumiza ni,,,,,
Sikuweza kuamini macho yangu baada kumuona ni mama yangu mzazi akaja kunivamia pale chini na kuitaji kunipa denda nikaugeuza uso wangu na kuishia kunilamba shavuni akanishika kichwa changu na kunigeuza akiitaji tunyonyane denda kilazima kama haitoshi akaivua blauzi yake na kubaki na sidilia tu nayo akajiandaa kuifungua nikazidi kuchanganyikiwa nikajiinua na kumsukumizia pembeni nikaanza kumfokea “wee mwanamke vipi kwani umechanganyikiwa au?" hakunijibu kitu zaidi ya kucheka akaivua ile sidilia nikafumba macho yangu nisiweze kukiona kile ambacho nilikiacha kukinyonya tokea nikiwa mdogo kifuani kwa mama yangu sikuweza kujuwa kama kitendo cha mimi kufumba macho nafanya makosa nikahisi kitu laini kikipita kinywani mwangu na kuanza kuninyonya mdomo wangu
Nikajisemea liwalo na liwe tu nikafumbua macho yangu nikamshika mapegani na kujifanya nampa ushilikiano kwa kunyonyana nae denda opsiiiiii,,,assssss,, nikawa tayali nishamsoma kumbe sio mama yangu bali amejivika taswila ya mama tu ni mmoja kati ya mizimu iliyo tumwa na nipe nikupe kitendo cha mimi kufanya nae mapenzi tu watakuwa tayari washaniteka pumbavu zao nikamshika na kumpa kitu roho inapenda akaanza kupiga mayowe ya uchungu kwa jinsi nilivyo kuwa namuunguza sasa niko full mziki usinipimie nikampoteza na kutuma salamu kwa nipe nikupe,
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Nikatoka kwenda nyumbani kwa bibi kucheki je mama kashaondoka au bado yupo kufika tu nikamkuta ndio anaaga “haya mama mi naenda, “sawa mwanangu mpe salamu zangu mwenzako huko mwambie akaze moyo aache kutumia pombe na bange kwani sio suruhisho la matatizo, “sawa mama nitajitahidi kumuhusia lakini kwa sasa nahofia kwa kifupi tu amechanyikiwa kabisa yani, “basi mwezi ujao nitumie nauli nije kuongea nae na kumuweka sawa maana mimi ndio mama niliyobaki baada mama yake kufa nahisi atanisikiliza, “sawa mama nitakutumia uje maana kwa sasa nyumba haina amani kabisa, ni mazungumzo kati ya mama na bibi nikaweza kubaini ya kwamba kwa kifupi tu baba amechanganyikiwa mpaka amefikia hatua ya kuwa chapombe na mvuta bange nikiwa nawasikiliza nikahisi harufu si yakawaida maeneo yale nikatupi jicho kushoto na kulia mmh nikamuona nipe nikupe amekaa nikajuwa bila shaka anamuwinda mama baada ya kumkosa jana usiku,
Mama akabeba begi lake na kuanza kuondoka lakini Rukia akam bebea na Kumsindikiza hadi stendi nikajuwa bila shaka jukumu la kumlinda mama ni la kwangu mimi nikawa beneti na mama wakiwa wanapiga story na Rukia “hivi mwanangu kwa nini usimuombe bibi yako uje kukaa nami kule mjini?"
“nishawai kumwambia bibi akasema ohoo nitakuja kuteseka kama kule kwa baba, “sikia mwanangu Rukia mimi ni sawa na mama yako baada kuzaliwa mama yenu ndio nikafatia mimi yani kwa kifupi kaniachia ziwa sasa nitawezaje kufanya unyama kama mliotendewa na huyo mpumbavu sijui mama enu wa kufikia tena ana bahati sana sikupata muda wa kumfatilia ningemzukia huko huko nimkate masikio yake yani anakuwa na roho ya kinyama kama hajawai kwenda reba, “ndio mamdogo huyo mama hafai kabisa ni gaidi usiku na mchana nilikuwa nashindia machicha ya nazi na kulala kwenye banda la kuku nikawa nanuka mtaani tunachekwa mimi na kaka zangu kuna siku moja sitoweza kuisahau mpaka naingia kaburini baada kusema vile Rukia akaanza kulia, mama hakuwa na budi kum bembeleza kwa kumwambia “nyamaza mwanangu Rukia na nikitu gani hiko huwezi kukisahau?"
Ihiiii...kwa sauti ya kilio ikiambatana na kwikwi ya kilio akatamka “ni siku ambayo mama alinipa soda ninywe kwanza nilishangaa sana kwani hata siku moja hakuwai kufanya hivyo wakati hata maji ananinyima kwa kuniambia ninywe yale wanayo kunywa kuku au ninayo oshea vyombo nikafurahi sana kwa zawadi ile na kujisemea labda ameingiwa na imani kwa mabaya anayo tutendea nikanywa baada kupiga kama funda mbili tatu hivi nikahisi usingizi gafla ukinizonga nikajitahidi kupambana nao nikashindwa nikajikuta nalala bila kupenda nikaja kustuka baada kuhisi maumivu katika maeneo ya siri nikajitahidi kufumbua macho nikastuka baada kukuta naingiliwa kimwili na zinga la baba nikataka kupiga kelele mdomo wangu haukufunguka kumbe wamenigandishia supegrou huku nikiwa nimefungwa kama mguu mmoja kule na mwingine huku wakanifanyia unyama ule kumbe hakuwa mmoja ni wanaume kama watatu hivi baada kutosheka wakaniacha pale na kuondoka zao kusema kweli nilipoteza fahamu kabisa nikaja kustuka tena na kujikuta nakandwa na maji ya moto kama mwanamke aliye toka kujifungua vile, “basii mwanangu usiendelee kusimulia, binafsi story ya Rukia ikanifanya hata mimi nidondoshe chozi nikamshika pegani kisha nikacheki kiganjani kwangu kwa kusarchi kama Google vile na kuweza kuwaona wale walio mfanyia unyama huo nikajisemea mtaipata pata tu, “ndio maana napaogopa mjini hata bibi nilivyo mwambia nataka kwenda kukaa kwa mama mdogo akanigusia mateso niliyo yapata kwa baba sikum bishia tena, huku chozi likimtoka mama akamwambia “usijali mwanangu mimi ndio mama pekee niliye baki kwanza nitahakikisha haki inatendeka kwa hao waliokubaka lakini mbona hukuniambia tokea kipindi umefanyiwa kitendo hiko?"
sikuweza kufungua mdomo wangu kusema chochote baada kutishiwa kuuwawa kuna siku yule mama alinikuta naongea na baba yalikuwa ni mazungumzo ya kawaida tu sasa siku hiyo baba alivyo rudi kutoka katika kazi zake usiku akafikia kumfokea mama na kuanza kumpiga mpaka akamjeruhi juu ya jicho sikuweza kufahamu kisa cha baba kumpiga yule mama ila kimbembe kikanidondokea kesho yake mchana alinipiga vibaya sana kwa kutumia mwiko na kuniingiza nao sehemu ya aja kubwa nikaumia na kuanza kuweweseka kama vile nina degedege akaniacha baba nae alivyo rudi sijui kaambiwa nini kuhusu mimi akaja kuniongezea maumivu kwa kunichapa kwa mikanda na miteke ya tumboni akanitoa ndani na kwenda kunifungia kwenye banda la kuku wa kizungu tokea siku hiyo nikawa nalala huko kuhusu mateso ya kaka zangu siwezi kusimulia Mungu pekee ndio anaejuwa,
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
nilijifuta mchozi nikacheki pembeni yangu na kumuona nipe nikupe akisikitika kumbe hata yeye ile history ikamchoma akaondoka ina maana hakuwa na haja na mama tena au kanihofia mimi?" nikajishauli nimfate au nifunge safari muda huo niende town kuwashughulikia au wapumbavu sitojali hata huyo mjomba lazima aende kuzimu avishwe mnyororo wenye uzito wa tani nne upitishwe kwenye njia ya haja kubwa na kutokea mdomoni uning'inizwe kama samaki
ITAENDELEA
0 comments:
Post a Comment