Search This Blog

Thursday, 19 May 2022

MY DIARY - 3

 







    Chombezo : My Diary

    Sehemu Ya Tatu (3)





    Hakusita alikuwa anafuata maelekezo yangu tu kwani nilishavurugwa mara baada ya kusikia stori za baba yake. Yeye akakaa kwenye sofa na mimi nikamkalia na



    kabla hata sijaanza kuzungusha tayari alishafunga bao moja.

    Nikajua huyu atakuwa ni mdhaifu tu yaani kuchomeka tu tayari ashamaliza raundi moja.



    Sikutaka kumpa nafasi ya kubadilsha kondomu maana angenikata stimu ikabidi niendelee kufanya yangu. Nilijiamini kuwa zile kondomu haziwezi kupasuka



    kutokana na ugumu na uimara ulokuwa nazo. Nilimsugua kwa nguvu hadi akapiga ukunga na nilipoakikisha kuwa amemwaga cha pili ndipo hapo nilimwachia.



    Kwa kweli alionekana kuchoka sana kazi haikuwa ndogo kuunganisha raundi pili kwa mkupuo. Kuona nishamrizisha niliingia bafuni na kujisafisha vizuri na



    kurudi sebuleni. Nilipoanza kuvaa nguo alinirukia na kunilaza kwenye sofa. “sasa unaenda wapi si tulale wote jamani alilalamika kijana Yule”



    Kimoyomoo nikajisemea huyu anajua gharama ya kulala na mimi kweli au anaropoka tu. Nilimjibu kwa kifupi kuwa haiwezekani lazima nikalale chumbani



    kwangu. Alivyosikia hivyo alichanganyikiwa na kuniambia ngoja kisha akaingia chumbani kwake. Kumbe alikwenda kuvaa soksi tayari kwa raundi ingine. Kwa



    mawazo yangu nilijua kuwa amekwenda kuniletea hela. Alivamia kwa ghafla na hata sijakaa vizuri tayari alishaanza kutwanga na kupepeta. Alinigeuza geuza



    kama samaki kikaangoni. Kumbe hakuwa dhaifu kama nilivyofikiria bali ni kiherehere tu cha bao la kwanza.



    Kwa kweli alinipa mastaili ya jabu na baadaye tulijikuta tupo kwenye sakafu tukimalizia na ile staili ya kukumbatiana huku tumekaa. Hii ni kwamba unakakaa



    juu ya mwanaume na miguu unaipitisha kwa nyuma na kumbatiana kwa nguvu.Hapa nilisikia raha wa sababu joto lilongezeka na kuzidisha raha ya hako

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    kamchezo.



    Tulimaliza na kama kawaida yangu nilikimbilia bafuni kwenda kujisafisha na nilivyotoka nilivaa nguo zangu nikambusu shavuni kisha nikafungua mlango na



    nikaondoka zangu. Alinisihi sana nilalale kwake lakini nilikataa na wakati natoka kuna mwanga wa gari lilokuwa getini ulinimulika. Kuangalia vizuri alikuwa ni



    baba mwenye nyumba na wakati naendelea kushangaa vizuri nilimuona binti akishuka na kuagana nae. Sikutaka anione nikaingia haraka haraka chumbani



    kwangu. Sikuweza kujua yule binti alikuwa ni nani na mwenye nyumba alitoka wapi usiku huo kwa sababu sisi tulimwacha bar tena akiwa na binti mdogo jambo



    lilomkasirisha mwanaye na kutufanya turudi zetu nyumbani.



    Nikasema kama ameniona shauri yake kwani amenioa bhana mpaka nimwogope mimi ndo hivyo ishatokea bahati mbaya nimewachanganya baba na mwana sasa



    mimi nifanyaje na wote ni ving’ang’anizi. Jambo hilo liliniuma sana lakini sikuwa na jinsi ndo hivo tena ishatokea. Nilijibwaga kitandani na kuendelea kuwaza



    na kuwazua kuhusu mustakabali wa maisha yangu.

    Niliwazaa sana na baadaye nilipitiwa na usingizi. Asubuhi niliamka na sikutaka kupoteza mda nilioga na kuelekea chuoni. Huko nilikutana na foleni ndefu sana



    na sikuwa na jinsi zaidi ya kuvumila tu ili niweze kufanya registration (usaili). Macho yangu mda wote yalikuwa yakiangaza huku na kule lakini wapi sikuweza



    kumwona mtu ninaye mfahamu.



    Na tayari nilishakaa zaidi ya masaa matatu lakini sikuona dalili yoyote ya kufanikiwa.Baadaye nilipata wazo la kumtafuta Joyce na nilijua kuwa kwa umaarufu



    wake lazima tu atakuwa kuna mtu anamfahamu. Nilipomwambia kuwa nilishachoma mahindi hapo chuoni masaa manne na sioni dalili ya kufanya usaili kabla



    mida ya lunch alinicheka sana. Akanambi eti ndo maisha niliyochagua hivyo niwe na uvumilivu. Niliendelea kuvumilia na nusu saa baadaye alinifuata kijana



    mmoja ambaye alikuwa amevaa beji kuonesha kuwa alikuwa ni kiongozi.



    Akachukua form zangu na kuenda nazo mbele na baada ya mda alirudi na kuniambia tayari ameshakamilisha hivyo kilichobaki mimi ni kwenda kuchukua room



    tu. Nilimwambia mimi sina mpango wa kukaaa nje kwani nlikuwa nimepanga nje ya chuo. Basi aliniomba nimaidie kitu kimoja na kwa hamaki niliamaki kitu



    gani hicho. Moja naomba namba zako na mbili naomba uongozana na dada yangu hyu yeye yupo mwaka watatu na wanakosaga vyumba vya ndani hivyo basi



    umsaidie apate kwa kutumia jina lako.



    Nikamwambia kuhusu namba zangu za simu amuombe aliyemtuma anisaidie na kuhusu hilo la pili je hatuwezi kufanya kesho kwa sababu kuna mahali nilikuwa



    nikienda? Alifikiria kwa sekunde kadhaa na kuniambia kuwa hapana anaomba nimsaidie leo kama yeye alivyonisaidia mimi kwa sababu ningekuwa kwenye



    foleni nisingeweza kuondoka kirahisi hivyo kama ninavyofikiria. Maneno hayo yalinigusa na sikuwa najinsi zaidi ya kumsaidia.



    Tukaondoka na huyo dada na kuelekea bank na tukiwa njiani Joyce alinipigia na kuniuliza kama nilifanikiwa? Nikamwambia asante sana shoga yangu lakini Yule



    kaka ni nani maana alikuwa anaomba namba zangu za simu. Akanambia achana nae yeye ni mtu mdogo sana kwani yeye aliongea na Lecture wake na yeye



    alipewa oda tu. Hapo sikuwa na la kusema zaidi ya kumpa heshima yake maana yeye alikuwa akijulikana kila mahali. Basi tulivyofika bank nikamkumbuka Yule



    kaka aliyenisaidia kulipai ada lakini kosa nililolifanya zile namba zake alizonipa sikumtafuta kabisa.



    Nikawaza haraka haraka kwa jinsi nilivyochoka na sikuwa tayari kupanga foleni niliamua kutumia ujasiri wa kumpigia. Huwa sipendi sana tabia ya



    kujitambulisha hivyo alivyopokea tu nilikata na yeye akapiga . Nilimwambia nipo kwanye foleni na nahitaji msaada wake. Dakika tano baadaye nilimuona kaunta



    akiaangaza macho huku na kule. Ilibidi nichukue zile hela kwa Yule dada na sikutaka kupoteza mda nilisogea nikamapa na akazipelaka kwa muhudumu



    mwenzake. Akanambia kwenye meseji nimsubiri kama dakiak 5 na baadaye nilimwambia Yule dada atoke kwenye foleni. Yule dada uvumilivu ulimshinda na



    kuniulizza nimejua huyo meneja wakati mimi ni mgeni.



    Nikamjibu kuwa mimo sio mgeni na tulifahamiana siku niliyokuaja kulipa ada.

    Akanambia kuwa makini mdogo wangu kwani hata yeye aliuwa akifahamiana nae lakini walikuja kugombana kwa sababu alimtaka kimapenzi. Sikumjibu kitu



    kwa sababu hata mimi sikuwa na mawazo yoyote juu ya mwanaume huyo lakini pia sikushangaa kauli yake hiyo kwa sababu wanaume wa siku hizi ndivyo



    walivyo. Baada ya hizo dakiaka 5 tulifanikiwa na safari ya kurudi chuoni ilianza. Tulifika chuoni na mimi nikakamilisha swala hilo fasta na kurudi ghetto



    kwangu. Na Yule dada aliatambua mchango wangu akanipa elfu 10 kama ya asante. Sikutaka kudengua kwa sababu hata mimi sikujua kesho yangu.



    Basi mimi nikawa nimeingia chuo kwa mtindo huo wa kuunga unga na kujitoa sadaka kuhusu mwili wangu. Maisha ya chuo yalizidi kuwa magumu kwangu



    kwani ilifika pahala mimi nikawa nakosa hata hela ya kula. Kwa bahati nzuri marafiki zangu wote niliowapata chuo walikuwa na mikopo hivyo siku moja moja



    wakawa wananisaidia. Uzuri wangu wa sura na umbo ulizidi kupotea siku hadi siku kutokana na shida nilizokuwa nazipitia.



    Ni miezi mitatu sasa imepita na nilishaamua kupunguza mawasiliano kabisa na Joyce kwa sababu kazi zake za kujiuza na masoma ni vitu viwli tofauti.Hivyo



    hali ilizidi kuwa ngumu sikuwa na kipato chochote na sikuwa tayari kujiuza tena maana nilishabadilisha tabia. Nakumbuka siku moja kuna Lecture mmoja



    aliniita na kuniuliza kwa nini siku hizi najiweka rafu rafu tofauti na siku za mwanzoni. Sikutaka kumficha niliwambia ukweli wa mambo ili kama atapenda



    kunisaidia basi anisaidie. Yaaani kweli wanaume wa siku hizi ni penda penda kwa sababu mwalimu huyo alikuwa akinihudumia kwa siri lakini mwisho wa siku



    alinitongoza na kutaka kutembea na mimi.



    Sikuwa na jinsi tukawa tunafanya mapenzi ya siri. Siri ilikua ni kubwa sana kwa sababu yeye alikuwa na mke wake. Tuliendelaea kusaidiana kimaisha na hata



    somo lake nilipata A. Huduma za mwalimu huyo zikanisaidia na uzuri wangu ukaanza kuonekana na nikawa napata maombi mengi sana ya kimapenzi kutoka



    kwa walimu na wanafunzi pia. Nilikuwa mjanja sana na wanafunzi wengi nilikuwa nikiwachuna tu. Lakini maji yalipozidi unga wapo wengine ilinibidi



    niwaonjeshe asali yangu niliyopewa bure na mwenyzi mungu.



    Sikufichi ndugu msomaji hapa chuoni nilitembea na wanaume wengi sana hasa wale vinga’aninizi ambao pamoja na kuwaaambia na mchumba wangu



    hawakukomaa kunisumbua. Kwa hiyo nilikuwa siingii mikataba ya kudumu na mtu kwenye mapenzi zaidi ya siku moja au mbiili kama ikibidi. Hali hiyo



    ilinisababishia majanga makubwa sana kwani nakumbuka siku moja tulienda club na kjana mmoja raia wa South Africa. Kijana huyo alitokea kunipenda sana na



    alinisaidia sana kiuchmi. Siku hiyo lilitokea bonge la vurugu huko club kwani kuna kaka mmoja ambaye ndio Mr University alishaweka appointment na mimi

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    siku hiyo lakini baadaye nili mblacklist akawa hanipati kwenye simu na hiyo ni mara baada ya rafiki yangu Joyce kuniambia anakuja Moshi.



    Nilishindwa kubalance mambo hivyo sikuwa na jinsi zaidi ya kumfanyia hivyo. Wakati najiaandaa kwenda kumpokea Joyce msouth naye alikuwa akinisumbua



    sana. Siku hiyo kwa kweli ilikuwa ni ngumu sana kwangu kwa sababu chuoni kulikuwa na welcome freshers sherehe za kuwakaribisha wanafunzi wapya.



    Siku hiyo huwa nzuri sana kwa wapendanao lakini huwa ni ngumu sana kwangu kwa sababu kila mtu alitaka kutoka na mimi. Mbaya zaidi mama ya tauni rafiki



    yangu Joyce alikuja na huyu akijaga huwa naua ratiba zangu zote. Kwa hiyo wakati natoka kwenda kumpokea Joyce nilikutana na msouth akija kwangu. Na kwa



    jinsi alivokuwa king’ang’anizi ilibidi niende naye na tayari Joyce alishatafuta chimbo akanambia nimkute huko. Tuliendelea kula na kunywa na cha ajabu Joyce



    siku hiyo alikuwa mwenyewe na hakuonekana kuwana ratiba ngumu kama ilivyokuwa siku za nyuma.



    Baada ya kukaa kwa mda mrefu sehemu hiyo maaraufu kama Cash Mooney Pub, Joyce alinipa sigino kuwa leo kuna kazi ya wazungu kwa hiyo kama nipo tayari



    tuwaite waje hapo. Hali ikazidi kuwa ngumu hivyo nikatangaza kurudi ghetto mida hiyo jambo ambalo lilimshangaza Msouth ikabidi na yeye aendelee na ratiba



    zake. Basi Joyce alinambia tuende club ili hao wazungu watukute huko. Kumbe na Msouth naye aliamua kujiendea zake club mara baada ya kuona ratiba zangu



    kuwa zimekuwa ngumu.



    Tulivyoingi club tuliamua kwenda kukaa kaunta tukiwasubiri hao wazungu waje. Baada ya mda mfupi tangia tuingie Msouth alikuja pale tulipokaa na hakutaka



    kuongea mambo mengi bali alisimama nyuma yangu na kunishika kiuno ishara ya kuonesha jamii kuwa mimi ni ake.Wote tulipigwa na butwaaa na kujiuliza



    huyu mtu amefikaje fikaje club wakati sisi tulimkimbia na kujua lazima atarudi chuoni kuendela na sherehe za kuwakaribisha wanachuo wapya (welcome



    Freshers). Nilimtoa mikono yake kiunoni mwangu na kumwambia haya tununulie bia.



    Wakati akiendelea kutafakari ombi langu la kununuliwa bia Yule kijana ambaye ni Mr University alikuja na sijui na yeye alitokea wapi. Nilitamani kuyeyuka na



    kupotea eneo hilo maana nilijua kuna fujo zinaeza kutokea mda wowote. Huyu MR alikua na hasira sana na mimi na kilichomkera ni kile kitendo cha Msouth



    kunishika kiuno. Na kwa jazba alizokuwa nazo aliniuliza huyu ni nani yako akimaanisha Msouth?



    Na mimi nilimjibu kwa dharau labda nikulize wewe kwan wewe ni nani kwanza? Kauli hiyo ilimboa na kunizaba kibao cha nguvu. Nikaona maluilui



    nikajianamia zangu chini na kuanza kuugulia. Joyce na yule Msouth waliamua kumshughulika vilivyo kitua ambacho kilizua zogo. Yule kaka alipewa kipondo



    cha maana na nilimsikia akisema niachieni nimfundishe adabu kwani hawezi kutuchanganya sisi. Ameshakula vyangu malaya huyu na kumbe leo amenikimbia ili



    aje kufanya umalaya wake huku aliendelea kusema Mr University. Kumbe na yeye alikuwa na kampani yake kubwa tu siunajua tena sharobaro huyo alikuwa ni



    marufu sana chuoni na alikuwa na vijehela.



    Masikini ya mungu msouth naye aliwekwa kati na kupewa kipondo cha maana na alikuja kuokolewa na mabausa. Joyce nilikua simwoni maana sijui



    alichomokea wapi.Wale mabaunsa walikuwa kweli ni wababe kwani waliwachukua wote wawili na kuwaotoa nje na huko waliwafanyia ubabe sana kwani



    waliwamwagia maji mwili mzima.Mimi nikaendelea kumtafuta Joyce kila kona sio Chooni, sio kaunta sio stagini hakuonekana kabisa.



    Ikabidi nitoke nje kabisa huko nikakuta mabwana zangu wawili yaani Msouth na Mr wakipewa funsisho kwani waliwekwa chini ya ulinzi na nilsikia



    wakiambiwa kuwa siku hiyo lazima wakalale ndani kwani haiwezekani kugombea mke wa mtu. Huyu si ni mke wa Lecture wenu kabisa sisi tunamjua alafu



    nyinyi manajifanya vidume wa kuleta fujo walisema wale mabausa. Ilinibidi nimwite bausa mmoja pembeni na kummuuliza habari za Joyce. Akanijibu kuwa



    ameondoka sa hivi na wazungu ebu mpigie.



    Kweli siku hiyo nilikuwa nimechanganyikiwa kwa sababu nilikuwa sina wazo kabisa la kumtafuta kupitia simu.Nilijaribu kumpigia simu lakini cha ajabu simu



    yake ilikuwa haipatikani. Nikazidi kuchanganyikiwa nisijue nifanye nini.Ilinibidi niende kuongea na wale mabausa na kuwaomba wawasamehe wale vijana.



    Walinielewa na wakasema suluhisho hapo ni kwamba kila mtu na kampani yake waondoke hapo watafute sehemu ya kwenda. Ilinibidi niongozane na wale



    mabausa mpaka ndani ili kuwatafuta marafiki zao.



    Harufu ya damu ilikuwa ikinukia kabisa kwani nilihisi kuwa na mimi naweza kupigwa huko ndani mda wowote. Tuliwafanikiwa kuwapata marafiki wa



    kamapani zote mbili lakini ajabu tulipotoka nje hatukumkuta MR na kumbe alishaamua kupanda bodaboda na kusepa zake.Nikajisemea laity vurugu hizi



    zingetokea chuoni basi watu wange discontinue (wangefukuzwa chuo). Kwa hiyo Msouth aliruhusiwa kuendelea kufurahia huduma za club lakini kwa sababu



    mbaya wake alishaondoka nay eye aliamua kuondoka. Nikabaki hapo nje na bausa nisijue nifanyaje. Mbaya zaidi Joyce alikuwa ameondoka na pochi yangu.



    Nilichanaganyikiwa kweli kweli kwa sababu nilikuwa sina hata nauli ya kupanda bodaboda



    Niliendela kung’aa sharubu hapo nje na baadaye nilimwita bodaboda na kumwambia anipeleke ghetto kwangu.Nilijua kama ningefanikiwa kufika home



    ingekuwa nimesolve tatizo kwa sababu hata simu yangu iliisha chaji.

    Siunajua tena hizi smartphone zetu hazikaai na chaji kabisa.Tulifika nikaingia ndani nikachuka hela na kumlipa dereva wa bodaboda akasepa zake. Sikuweza hata



    kubadilisha nguo kwa stess nilizokuwa nazo nikajitupa kitandani hivyo hivyo.Niliwaza sana kwanini Joyce aondoke bila kuniaga na hata kama alikuwa na watu



    wake kwa nini hasinipe taarifa.



    Nilichomeka simu chaji na kuiweka hewani ili nione kama kutakuwa na sms yeyote iliyoingia.Hofu ilizidi kunitawala na wakati naendela kufikira simu yangu



    iliita niakzani labda ni Joyce na nilipoiangalia nilimkuta ni Msouth. Sikutaka kuipokea nikaiacha iite mpaka ikate yenyewe. Nikajiuliza kwani amepatwa na nini



    usiku huo mpaka anisumbue. Mara ikaingia sms “please Leah pokea simu kwani mpenzi wako yupo kwenye hali mbaya sana kwnii amekunywa sumu anataka



    kujiua kwa ajili yako. Nilizidi kuchanganyikiwa kwa sababu hii nayo ilikuwa ni kesi ya kujibu.



    Basi nilitumia ujanja nikajibu ile sms “Samahani mimi ni rafiki yake na Leah na tulipotezana club yeye alienda chooni na vitu vyake vyote ameacha hapa na



    tumemtafuta sana hatumuoni”. Yule mtoa taarifa hakukoma akaendelea kupiga tena.Sikuipokea kwa sababu niligundua kuwa hakuwa muelewa. Wakati naendela



    kufikiria simu ikaita na kuangalia ilikuwa ni namba ngeni sasa nikapata kigugumizi cha kupokea kwa sababu sikujua ni nani wale marafiki wa Msouth au Joyce.



    Simu ikaita mpaka ikakata na ilipopigwa mara ya pili niliamua kuipokea lakini sikuongea kitu. Nilisikia sauti ya shoga yangu Joyce.Akanambia nimepata dili la



    kurekodi filamu ya xxx na hawa wazungu na wanalipa dola elfu 5 ambayo kwa sasa ni kama milioni kumi hivi za Kitanzania.Yaani kusikia million kumi

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    nilichanganyikiwa kabisa ikabidi niulize kwa hiyo kazi inafanyiaka saa ngapi na wanahitaji watu wangapi.Joyce akanambia hiyo kazi inafanyika usiku huo huo na



    wameshapata mabinti wawili hivyo bado mmoja kukamilisha hiyo idadi ya watu watatu.



    Wakati naendelea kuongea na Joyce mara mlango uligongwa kwa nguvu jambo ambalo lilinishitua kidogo nisijue ni nani usiku huo. Fungua fungua, fungua



    Leah nimesema fungua ni sauti ya msisitizo kutoka kwa mwanaume ambaye kwa haraka haraka niliitambua kuwa ni sauti ya Mr ambaye alianzisha fujo kule



    club.Nikamuuliza wewe ni nani na unataka nini.Akanijibu mimi ni Mr University wewe fungua nikwambie shida yangu.Nikamuuliza kwa hiyo ndo amekuja



    kunifanyia fujo sio. Hapana nitafanya hivyo kama tu hautotaka kufungua mlango alisisitiza kijana huyo.



    Nikajua pombe ndo zinamwongoza hivyo nikamwambia na sifungi sasa na afanye kitu anachotaka kufanya.Akanambia kwa sasa alikuja mwenyewe kwa amani



    hivyo anaondoka zake lakini yatakayonikuta usiku huo nisimlaumu.Nilisikia akiondoka kwa spidi na gari alilokuja nalo. Kuangalia saa yangu ilikuwa ni saa



    kumi alfajiri ikanibidi nipige ile namba ambayo alipiga nayo Joyce na alipopokea akaniuliza kwa kifupi unakuja kurekodi hiyo filamu ya xxx au la?Sasa huoni



    kuwa itatuchafulia jina na pia una uhakika gani kuwa watatulipa hiyo hela bila longo longo yeyote ilibidi nimuulize Joyce.Maana kazi hizi zinariski sana.



    Kabla hajajibu nikampa kikwazo kingine alafu usiku huu mimi nitatookaje huku. Joyce akanijibu kwa kifupi jiandae ninakufuata huko. Sikuwa na cha kujiandaa



    zaidi ya kumsubiria.Nilijiuliza maswali mengi sana juu ya tukio hilo ambalo lingenipatia hela ya kutosha kujidai hapa mjini.Dakika kumi baadaye nilisikia mlio



    wa gari getini kwetu. Kwa haraka haraka nilibadilisha zile nguo na kuvaa simple zaidi kisha nikajipulizia unyunyu wa kutosha nikatoka nje na kuingi a kwenye



    gari na kuondoka.



    Tulienda mpaka Shat town kwenye nyumba moja ambayo kwa kweli ilikuwa ni nzuri sana.Tulivyofika tu tuliingizwa kwenye chumba maalumu kwa ajili ya



    mafunzo mafupi ya kucheza movie ya ngono.Kabla ya hapo niliuliza kuhusu mkataba jambo ambalo liliwashitua wazungu hao. Alitwa Director wao na alijaribu



    kunieleza lakini bado sikumuelewa na nnilimwambia siwezi kufanya kazi chafu kama hiyo bila mkataba na kama hawaezi basi bora nirudi zangu. Joyce na



    mwenzie aliyekuwa pembeni wakabaki wanashangaa tu. Ndio mimi ni mwanachuo na nimesoma law of contract hivyo nisingeweza kupelekwa kienyeji enyeji tu.



    Msimamo wangu ukasababisha zoezi hilo kuharishwa hadi kesho mchana ili mikataba iandaliwe.



    Hapa ingawa nilijua kabisa hata tungepewa mikataba isingesaidia kitu kwa sababu sheria ya mikataba ya Tanzania ya mwaka 2002 inasema “Contract to promote



    social immorality is illegal from the bigining” Kwa hiyo shughuli au mkataba wowote unapotosha maadili ya jamii ni batili.Nilifanya hivyo makusudi tu



    kuwasumbua ili tutengeneze mazingira ya kupata hela kwa urahisi ili wasije wakatuzulumu.



    Nilishajua wale wazungu ni wafaransa hivyo kwa kule kwao shughuli kama hizo ni halali kabisa kwa sababu walikuwa wakilipa kodi na kuingizia nchi



    kipato.Sikuwaamini kabisa watu hao jinsi walivyo livyo kwa sababu walikuwa wamejazia misuli sana na endapo akikushika unaweza kuimba zeze au kutoa



    kamasi



    Basi waliendelea kutupa mafunzo jinsi ya kucheza na kamera na jinsi ya kucheza na viungo vya mwanaume.Tulifundishwa jinsi ya kulamba koni na mambo



    mengine mengi ambayo kwa kweli nashindwa kuyaelezea. Tuliendelea kufundishwa jinsi ya kucheza na kamera mpaka pakapambazuka.Baadaye alikuja mzungu



    mmoja ambaye ndo alikuwa ni boss wao akaniita chemba kwa mazungumzo.



    Alinieleza kuwa kutokana na sheria ya Tanzania ya mwaka 2002 ambayo inasimamia mambo ya mikataba shughuli yoyote haramu mkataba wake ni batili.



    Nikamuuliza kwa hiyo yeye anatakaje? Akanambia tufanye kazi na siku hiyo watatupa nusu ya hela na baada ya kurekodii watatumalizia hela iliyobaki. Hatuwezi



    wapa hela yote kwa sababu pia tunataka tuendelee kufanya kazi na nyie kama hii tu hii ya majaribio mtaifanya vizuri.



    Ingawa alikuwa akiongea kwa kutumia lugha ya kiingereza ila kiukweli nilikuwa namwelewa na nilishaanza kuingiwa na upepo. Hapo nikamuuliza kwa hiyo



    mtatupa shilingi ngapi? Kwa kifupi tutawapa dola elfu 2 tu. Hapo niliguna kidogo maana hiyo ilikuwa na million 4 ukichange kwa wakati huo nikamuuliza na



    wataturekodi kwa mda gani?.



    Akajibu ni masaa mawili tu hayawezidi kwa sababu hivyo hivyo vipande tutavikata na kuviediti tupate xxx movie za nusu saa na zingine za lisaa lizima. Nikaona



    ni jibu zuri lakini bado nilikuwa na maswali mengi sana nikamuuliza tena kwa hiyo mda wote huo nitakuwa nazini na mwanaume mmoja tu? Alijibu no , kuna



    wanaume wanne hapo ndani na kila mmoja utacheza nae kwa wakati wake. Mmmmh kazi kweli kweli na vipi tutakuwa tunatumia kinga au? Niliuliza maana afya



    ndo kitu cha muhimu kuliko vyote huku duniani.



    Hapana humu ni kavu kavu tu kwani wahusika wote wamepimwa na hata nyie tutawapima kabla hatujaanza shughuli.Hapo nikaishiwa ujanja nikamwambia



    mimi situmii vizuizi mimba sasa itakuaje? Usijali kuna vidonge mtavimeza kabla ya kuanza shughuli na kwanza njoo uvimeze kabisa alisema mzungu huyo



    ambaye alikuwa anajiamini sana kuliko wale wenzake.



    Sikuwa na la kusema million 3 kwangu zilikuwa ni nyingi sana kwa masaa hayo mawili aliyoyasema. Nikapewa vidonge nikavimeza na hapo hapo nikakabiziwa



    dola elfu 2 cash mkononi. Roho ikasita na hofu ikazidikutawala maana hao wanaume ambao tulitakiwa kufanya nao kazi walikuwa wamejazia kweli yaani



    utafikiri ni walinzi wa ikulu. Basi tuliingizwa kwenye chumba maalumu kwa ajili ya kazi hiyo.



    Movie director akaanza kwa kusema scene ya kwanza itahusu wasichana kwa wasichana wanaosagana.Akawasha tv iliyokuwa mbele yetu na ikaanza kwa



    kuonesha wasichana watatu wakiwa uchi juu ya sofa.Mmmmhhhhh wakaanza kunyonyana ndimi huku wakitoa sauti za mahaba. Lakini mmoja wao alikuwa na

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    uume wa bandai tayari kwa kuwashughulikia wenziye. Kila mtu alitumbua mimacho ili kujua nini kinaendelea maana mwisho wa siku tulitakiwa kufanya hivyo.



    Hapo ndo nikaamini ni kweli huwa hakuna hela ya urahisi huku duniani.Wale mabinti kwenye Tv waliendelea kufanya yao huku wakiendelea kutoa miguno ya



    raha. Mmmoja alipanua mapaja yake na mwenzake akaanza kumnyonya sehemu ya mzinga wenye asali. Alafu Yule mwenye kiungo bandia cha mwanaume



    akapanda juu na kukichomeka kwake kisha mwingine naye akapanda juu yake.Ukisikia moto wa jeanamu ndo huu, yaani nilihisi tushakuwa maagenti wa shetani.



    Niliangalia ile michezo kwa umakini lakini nilihisi kwetu itakuwa ni vigumu sana kuicheza kutokana na jinsi miili yetu ilivyokuwa minene. I have an idea(nina



    wazo) nilimwambia yule director kwa kujiamini. Which an idea(wazo gani) aliuliza yule director na kutega sikio kunisikiliza kwa umakini. Ujue sisi ni waafrika



    kwa hiyo kuact hivi tutashindwa. Mimi naona tungefanya kitu ambacho kitaendana na mazingira yetu ili na sisi tuweze kuonesha maujuzi yetu.



    Hapo alitingisha kichwa na kuniambia its good idea but it will the next project( wazo zuri sana lakini tutalitumia wakati mwingine). Hapo alinikata maini ujanja



    ukaisha tukaendelea kuangalia movie za wale mabinti wa kizungu wakifanya yao. Ikabidi nimuulize “ that black beautiful lady is from which corner( huyo mdada



    mweusi mzuri anatoka nchi gani). Its from Brazil alinijibu (anotokea brazili). Niliuza maana yeye kidogo ndo alionekana ana mwili mkubwa sana kama wangu.



    Basi mkanda huo ulikatishwa na sasa ilikuwa ni zamu yetu kuanza kazi.Tulitolewa nje ya nyumba hiyo ambayo ilikuwa imezungukwa na miti mingi sana utazani



    tulikuwa msituni. Tukawekwa kwenye garden ambapo pembeni kulikuwa na magogo makubwa. Hapo tukaanza kurekodiwa. Walianza kuingia wale wanaume



    wanne wakawa wanapasua kuni kisha Joyce akaenda na kutandika kigodoro na kujilaza pembeni na hapo alikuwa na kufuli tu na brazia.



    Akalala chini na kuanza kupapasapapasa mwili wake huku akirembua macho utazani amekula kungu manga vile. Alionekana ni mtaalam mpaka nikajiuluza



    alishawahi kufanya kazi hiyo au la. Basi ikafika zamu yangu ya kuonesha vitu ninavyovijua na mimi nilikuwa nimejifunga hizi khanga za kichina na nikajipitisha



    kuonesha mambo ya kibantu. Hapo sikujua cha kufanya zaidi ya kutingishatingisha tu makalio yangu yaliyojazia vizuri mpaka wakanipigia makofi.



    Ikabidi director aniambie nizunguke au nigeuke kwa mbele ili sura yangu itokee. Niliamua kujitoa ufahamu na kufanya wanavyotaka ingawaje sikujua hivyo



    vipande watavitengeneza vipi maana wale wanaume waliendelea kupasua kuni.Nilivyomaliza mimi akaenda Yule mdada mwingine tayari kwa kufanya yake. Yeye



    alikwa ni mwembamba kama miss mpaka nikajiuliza amekosa nini jamani mpaka kukubali kufanya uchafu huo.Sikutaka kumuhukumu kwa lolote kwa sababu



    hata mimi nimefika hapo kutokana na hali ya maisha tu.



    Alitumia vizuri umbo lake la kimiss kutembea kimiss na kuweka mapozi ya maana. Na baada hapo alilala kwenye kile kigodoro na akachojoa vyote isipokuwa



    kufuli jeupe ambalo nalo alipewa hapo hapo kwa ajili ya kazi hiyo.Basi sikumpa nafasi Joyce niliingilia nafasi yake na kuchukua ule uume wa bandia nikamfuta



    yuledada. Nilivyofika na mimi nikajilaza pembeni na kuanza kuunyonya kama vile nalamba koni.



    Joyce alichukia kwa sababu hiyo sehemu niliyompokonya ndo ilikuwa ni rahisi sana.Akawa hana jinsi akamfuata yule dada na kuanza kumchezea, wakanyonyana



    ndimi na baadaye Joyce alijitoa ufahamu akahamia sehemu za siri za yule miss. Nilitamani kufunga macho maana nilihisi kichefuchefu lakini zile sauti za raha



    alizokuwa akizitoa yule miss zilinifanya na mimi niendelee kuangalia movie hiyo.



    Nilihisi kuwa alikuwa akifanya makusudi maana zile kelele hazikuwa na bure. Hawa watu sijui ni wazoefu wa hizi kazi maana walikuwa wakizipatia sana



    niliendelea kujiuliza maswali mengi sana. Sikutaka kupoteza mda na kufanya makosa badala ya kumchezea Joyce mimi nilichukua kile kifaa cha bandia na



    kumwiingiza yule dada sehemu zake za siri na hapo kelele zote ziliisha.Joyce alitumia nafasi hiyo kuanza kunichezea na mimi. Yaani ilikuwa ni full



    kupandishana stimu.



    Mmmmh wakati naendelae kumfanyia mautundu Yule dada zile njemba zilizokuwa zinapasua kuni zilikuja na walianza kazi yao na yule miss aliyekuwa akipiga



    makelele. Mungu wangu wanaume wote wawili alikuwa akiwamudu,mmoja alikuwa akimnyonya huku akiwa amepiga magoti na mwingine alikuwa nyuma yake



    huku akimzungushia kiuno.Ni dhairi huyu dada hii ilikuwa ni kazi yake maana mmmh haisimuliki kwa kweli.



    Basi Joyce akachukua njemba yake na mimi nikachukua njemba yangu na shughuli ikaanza. Nakwambia niligeuzwa geuzwa na kuvurugwavurugwa kama samaki



    kwenye kikaangio.Kweli hawa wanaume walikuwa wapo kazini utafikiri walikuwa wamesomea.Kukojoa hawakojoi kazi kubadilishabadilisha tu mastaili yaani



    full kukomeshana akimaliza huyu anakuja mwingine.Ingawa walikuwa wanne tu lakini nilijuta maana ndani ya lisaa tu nilikuwa nimeshafanya nao wote.



    Uvumilivu ulinishinda kwa kweli ikabidi niombe maji ya kunywa.Yaani sehemu zote za mwili zilikuwa zimewaka moto sio ikulu, sio kooni kote ni moto kwa



    dozi niliyokuwa nimepewa. Sikufichi shughuli hii ilikuwa ni ngumu sana mpaka nikajuta kuzaliwa. Baada ya kupumzika tuliingia ndani kwenye kile chumba



    maalumu na kuendelea na zoezi hilo haramu la kuchakachuana.



    Joyce ingawa alikuwa na uzoefu lakini na yeye siku hiyo alitamani kulia kwa jinsi madaktari hao walivyokuwa wakijua kumshughulikia mgonjwa.Maana kuna



    wakati mtu unasikia raha kumaanisha umefurahishwa na uendeshaji gari wa dereva lakini kuna wakati mtu ulikuwa ukihisi karaha na unapiga kelele za uchungu



    ili dereva apunguze mwende lakini wapi ndo kwanza alikazana na kuongeza mwendo utafikiri labda alikuwa akiwahi msiba au harusi.



    Zoezi liliisha lakini hata kutembea ilikuwa ni shida. Tuliondoka mimi na Joyce huku tukiwaacha wale wazungu na Yule dada.Tulikubaliana kuwa hiyo hela



    ingine tutapewa baada ya miezi 3 na kama xxx hiyo itakubalika vizuri sokoni basi dau litaongezeka na kulipwa dola elfu 5 na sio elfu 3 zilizobakia. Kwa hiyo

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    dola elfu 2 tulipewa kama kifuta jasho tu. Na kwa jinsi nilivyochoka sikutaka hata kusikia habari za hela niliomba watupeleke ghetto kwa gari.



    Tulifika ghetto na kitu cha kwanza ilikuwa ni kukimbilia kitandani na kulala.Sio mimi sio Joyce wote tulikuwa hoi bin taaban. Nikiwa usingizini nilisikia



    mlango ukigongwa na niliamka na kwenda kuufungua. Mungu wangu nilikutana na mapolisi na kwa haraka haraka niliwauliza niwasidie nini tafadhali?



    Walijitambulisha kuwa wao ni askari polisi na wamekuja hapo wanashida na Leah.



    Kwa hofu niliwaambia kuwa Leah hayupo na mimi ni rafiki yake. Polisi wale waliangaliana mara mbili kisha wakatoa picha na kunionesha. Ilikuwa ni picha



    yangu tena niliyoiweka kwenye proifle yangu ya WhatsApp.Nikawaambi sawa hiyo ni picha yangu lakin Leah sio mimi ni dada yangu.Hapo nilitumia akili zangu



    za kuzaliwa kuwachanganya maana sikujua tatizo lilikuwa ni nini. Walinambia nahitajika kituo kikubwa cha polisi kwa ajili ya mahojiano.



    Sikuwa tayari kwa kweli ikabidi niwaambie tatizo sio kwenda polisi kuhojiwa, swali ni kwamba kuhojiwa kuhusu nini au tatizo ni nini? “usitake kutusumbua



    tukahamua kutumia nguvu ni bora ukatii sheri abila shuruti” alisema polisi mmoja kwa hasira. Ingawa ilikuwa ni haki yangu kujua kosa kabla sijaenda polisi



    lakini sikutaka kubishana nao, niliamua kutii sheria bila shuruti.



    Niliingia ndani na kumuamsha Joyce na kumueleza kuwa kuna mapolisi wamekuja kunichukua.Joyce kusikia polisi alikurupuka kitandani na kwenda kujificha



    nyuma ya mlango utafikiri yeye ndo alikuwa akihitajika. Nilitamani kucheka lakini mawazo yakanijia usikute ni yeye ndo anatafutwa kutokana na zile biashara



    zake za madawa ya kulevya.Nilimwambia anipe zile dola zangu nizifiche.



    Akanambia kwa kifupi hili ni jasho lako wewe ziache humo kwenye pochi nitaenda kuzichange ili upate hizo million 4 zake au uniamini? Aliniuliza Joyce huku



    akinikazia macho. Hofu yake kubwa ilikuwa ni mapolisi kama wangeingia humo ndani ingekuwa ni shida maana kuna mizigo yake alikuwa ameificha ambayo



    kwa mujibu wake ni kwamba zile zilikuwa ni hela.Nilitoka nje na kuingia kwenye gari la polisi. Wakati tunaondoka Joyce naye alitoka na kuniambia ngoja



    tuende wote.



    Hapo Joyce hakuogopa tena kwani hata hao mapolisi wangeingia ndani isingekuwa ni shida alishaificha mizigo yake.Tulipofika polisi nilimwacha Joyce nje na



    mimi niliingia ndani. Baadaye waliniingiza kwenye chumba cha upelelezi.Walinieleza kuwa natuhumiwa kuhusika na kifo cha msouth kijana ambaye nilikuwa



    naye club masaa machache kabla ya kifo cheke. Hapo kwa kweli nilishituka sana na machozi yalinidondoka nisijue cha kujibu. Nilipatwa na uchungu sana huku



    nikijua kuwa MR University ambaye alikuja kwangu usiku atakuwa amehusika moja kwa moja.



    Yule mpelelezi naye alibaki akinishangaa tu hasijue nini kilikuwa kikiniliza. Baadaye alinambia kulia sio suluhisho cha msingi wanataka kujua nini chanzo cha



    kifo cha mvulana huyo.Ilinibidi kuongea tena kwa jazba “Sasa sikia mimi nilikuwa na mahusiano ya kimapenzi na kijana huyo ila sihusiki kwa lolote” umeleza



    vyema sasa unahisi labda nani anahusika aliuliza yule mpelelezi.Nikamwambia tulikuwa club na kila mtu alienda kimpango wake baadaye alikuja kwenye meza



    tuliyokuwa tumekaa



    Baada ya yeye kuja nini kiliendelea aliuliza tena mpelelezi ambaye alikuwa akiongea kiustaaratibu sana. Alikuja kaka mmoja ambaye siku zote alikuwa akinitaka



    kimapenzi na aliyofika hapo aliniuliza huyo Msouth ni nani? Mimi nikamjibu kwa dharau kuwa ni mpenzi wangu jibu ambalo lilimuumiza na akanipiga



    kibao.Hivyo mimi nilisikia maumivu nikajiinamia na Msouth kuona hivyo ikabidi anitetee na kuanza kupigana na MR. Ugomvi ulikuwa mkubwa sana na



    baadaye mabausa waliingilia kati na kuwatia nguvuni. Wakiwa nje Yule Mr aliita bodaboda na kuwatoroka na baadaye Msouth naye aliondoka.Niliendelea



    kumueleza Yule mpelelezi jinsi tukio lilivyokuwa siku ile kule club.



    Baada ya hapo wewe ulienda wapi? Aliuliza yule mpelelezi ambaye alikuwa akitumia lugha nzuri huku akiandika vitu muhimu kwenye file lake.Mimi nilichukua



    bodaboda nikaenda ghetto kulala.Sawa na mbona polisi walikuja kwako asubuhi hawakukuta? Aliuliza swali ambalo niliona gumu lakini nikamjibu kwa kifupi



    kuwa sikulala pale.Ulilala wapi na kwa nini hukulala kwako aliendelea kuniuliza maswali magumu.



    Sikulala pale kwa sababu yule kijana wanaomwita Mr yeye alikuja kwangu usiku akaniambia nimpe penzi nikakataa. Akaondoka lakini aliniambia kuwa



    atanifanyia kitu kibaya na pia alisisitiza kuwa sa zile amekuja mwenyewe ila baadae atakuja na kikosi chake. Kwa hiyo mimi kwa kuhofia usalama wangu



    sikuweza tena kulala pale. Umejibu vizuri sana maelezo yanayojitosheleza alisema afande huyo ambaye alikuwa na mbinu nyingi za kukufanya ueleze siri nyingi.



    Kwa hiyo wewe ulilala wapi mrembo aliuliza kwa kuchombeza afande huyo. Niliendelea kukaaa kimya nisijue cha kumjibu. Akanambia usiwe na hofu au



    hupendi kuitwa mrembo?Nikajisemea usikute tayari ameshanitamani. Ilibidi nimdanganye kuwa nililala guest lakini sikutaka kumwambia jina la guest.



    Akaniangalia usoni, kisha kifuani na kuniuliza una uhakika kuwa haya yote uliyosema ni sahihi?Nikamjibu kwa kujiamini ndio. Akanambia basi nisiwe na wasi



    ngoja wamtafute huyo mtu anayejiita Mr. Nikajua wataniachia nirudi zangu la hasha nilirudishwa rumande.



    Baadaye Joyce aliruhusiwa kuja kuniona. Nilimueleza kinachoendelea na alinionea huruma sana.Alinambia atapigigana na kupambana kwa hali na mali na



    kuhakikisha kuwa natoka rumande. Basi nilimkabidhi funguo za chumba changu na kumwambia aende kutoa ile mizigo haramu polisi wasije wakaenda



    kupeleleza ikawa majanga mengine tena.Nilimwambia pia aende kuchanji zile dola kwani zinaweza kutusaidia tukaonga ili nitoke rumande.Joyce aliondoka



    huku machozi yakiwa yanamtoka hasiamini kilichokuwa kinatokea. Mimi mwenyewe kwa kweli niliumia sana na kujuta kuzaliwa.Nilifikiria sana kuhusu maisha



    yangu na kujiuliza kwanini mimi kila siku afazali ya jana.



    Nilimwaza sana marehemu baba yangu jinsi alivyokuwa tajiri mkubwa, jinsi alivyokuwa akipendwa na watu eti leo hii sina pa kushika. Kweli dunia adaa



    walimwengu shujaa, na siku zote dunia sio mbaya bali walimwengu ndio wabaya.Niliwaza sana pia safari yangu ya mahusiano na mapenzi na idadi ya wanaume



    nilitembea nao kisa shida za maisha nikajikuta na idadi kubwa sana mpaka wengine niliwasahau.



    Wakati naendelea kuwaza mikajikuta nakumbuka tukio lililotokea mwaka jana chuoni na nikajuta kwa nini nilikataa kuitwa mama.Ujue katika harakati zangu za



    kuhakisha nasoma nilijikuta naingia kwenye mahusiano na walimu wawili bila wao kujijua..



    Mmoja alikuwa ni mme wa mtu na mwwingine alikuwa bado hajaoa.Nilijikuta nikipata mimba tena ya Yule mwalimu ambaye alioa na ana watoto. Alinisihi sana



    nisitoe niilee na yeye atatoa huduma zote lakini tuendelee kufanya siri ili tusije tukahatarisha ndoa yake na kusababisha familia yake kuyumba.Kwa kweli



    sikuweza maana ilikuwa ni kujipa tabu mimi na huyo mtoto atakayezaliwa. Bora ataa ingekuwa ni mimba ya ule mwalimu ambaye hajaoa.Nilitamani

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    nimchomekee hiyo mimba lakini nikaona itakuwa ni zaidi ya dhambi mbele za mungu.



    Kwa hiyo niliamua kuitoa ile mimba kitu ambacho kilinisababishia matatizo makubwa sana kidogo nipoteze uhai. Siku hiyo nakumbuka nilipelekwa kwa daktari



    kwa ajili ya kuitoa hiyo mimba. Kwa ushenzi wa daktari huyo siku hiyo alinichezea sana sehemu za siri kabla hajafanya kazi hiyo ilibidi nimuulize mboma



    hafanyi kazi yake anazaidi nipandisha tu stimu.Ilinibidi aniambie tu ukweli kwamba amezidiwa kwa hiyo nimsaidie tu kwa hilo.



    Alienda mbali na kusema kuwa eti kwa uzoefu wake alishawahi kutoa mimba zaidi ya 100 lakini hajawahi eti kukutana na mwanamke mwenye maumbile mazuri



    kama mimi. Yaani sijui mwenzenu nilikuwa na pepo la ngono maana kila mtu ananitamani na kuongea vitu vya ajabu ajabu. Alinambia kuwa yupo tayari



    kunirudishia hela yangu niliyotoa kwaa ajili ya kutoa mimba kama tu nitakuwa tayari kwa ombi lake hilo. Sikuwa na jinsi kwa kweli kwa sababu



    alishazisasambua sana sehemu zangu za siri kwa kutumia vidole vyake.



    Nilikuwa najisikia kama mtu aliyefanyiwa masaji siku hiyo. Basi nilikubali kurudishiwa elfu 50 yangu ya gharama ya kutoa mimba. Basi dokta huyu mshenzi wa



    tabia na hasiyejua maadili ya kazi yake akaanza kufanya mapenzi na mimi kabla ya zoezi lile la kutoa mimba.

    Dokta aliendelea kufanya yake tena bila hata ya kutumia kinga kitu ambacho kiilnishangaza kutokana na umaarufu wake yeye na taaluma yake. Nilijiuliza



    maswali mengi sana siku hiyo je daktari huyo alikuwa hajui maana ya ngono salama? Je haogopi maradhi au amedanganyika na huu unene wangu. Yaani mungu



    amsamehe tu Yule mwanaizaya na wengine wote wanaotumia shida za wanawake kuwaingilia.



    Wakati najiuliza maswali hayo na kumuonea huruma daktari huyo kwa sababu alikuwa ameponzwa na tama alimaliza kazi yake ya kutimiza haja zake. Alijifuta



    jasho na kuanza kunifanyi akile ambacho kilinipeleka pale. Mungu wangu aliniingiza mikasi na kunichokonoa kitu ambacho kilinisababishia maumivu



    makali.Ujue mimba ilikuwa kubwa sana na haikuwezekana kuitoa kwa kutumia vidonge. Nakumbuka kauli yake kubwa ilikuwa ni relax legeza mwili mtoto



    atoke.



    Kwa kweli siku hiyo nilitokwa na damu nyingi sana nikashindwa hata kutembea baaada ya hapo. Alinifariji kwa kunipa vidonge ambavyo ningevitumia na



    kusaidia kuondoa maumivu. Nilienda nyumbani kwa njia ya tax na sikuweza kutoka ndani kwa mda wa siku tatu. Yaani ilibaki nukta tu nipoteze uhai na kwa



    bahati majirani walinisaidia na kunipeleka hospitali ambapo nilitundikiwa dripu za maji na kuongezewa damu. Nilipona lakini tukio hili sitakuja kulisahau



    maishani mwangu.



    Sikuishia hapo kwenye kuwaza yale mazingira ya pale rumande yaliendelea kunifanya nikumbuke matukio mengi yaliyowahi kunitokea maishani hasa mabaya



    machoni pa watu na mbele za mwenyezi mungu.Akili yangu ikakumbuka tukio la kupigwa mtungo, kwa wale wasiojua maana ya kupigwa mtungo ni kufanya



    mapenzi na wanaume zaidi ya wawili bila makubaliano nao au ulikubaliana na mmoja wengine wakazamia sehemu zingine mchezo huu wa wanaitaga



    mande.Nakumbuka siku hiyo ilikuwa mara baada ya kutoka Dar nilipotoaka kufuatilia mambo ya bodi ya mikopo.



    Simnakumbuka siku ile nilikutana na mwalimu John pale mlimani city ambaye ndo alikuwa mwanaume wangu wa kwanza ambaye alinifundisha mapenzi.Na



    baada ya purukushani mimi na rafiki yangu Joyce tulienda mahali na kukaa. Nakumbuka siku ile niliwaeleza marafiki zake John juu ya tukio hilo la kukutana na



    Mwalimu John akiwa na kidemu kingine.Kwa kile nilichozani ni upendo wa dhati kwa shemeji yao walinifariji sana na wengine walinitumia hela. Basi baada ya



    majanga hayo kuisha siku nikiwa zangu moshi marafiki hawa wa mwalimu John walinitafuta wakiwa watatu na siku hiyo nakumbuka walikuwa wenyewe tofauti



    na mara ya kwanza nikiwa na mwalimu John na tukaenda club na kesho yake tena kwenye maporomoko ya maji.



    Nakumbuka walinitoa out tukachoma nyama na kunywa pombe tena pombe kali hali iliyonipelekea kulewa sana,Sijui kama walipanga kunizimisha maana



    nililewa sana mpaka nikazima.Kesho yake asubuhi nilijikuta guest tena nikiwa uchi wa mnyama.Sikumbuki hata nilifikaje hapo lakini pembeni niliona pakiti



    nyingi za kondomu zilizotumika na zisizotumika..Nililia sana siku hiyo na kwa jinsi pakiti za kondomu zilivyokuwa nyingi ni dhairi kuwa waliniingilia wote



    watatu.



    Nilivyoangalia pembeni nilikuta kuna kikaratasi kilichoandikwa “shemeji jana ulilewa sana kwa hiyo tukahamua kukuchukulia chumba upumzike” na pembeni



    ya hicho kikaratasi kulikuwa na noti 3 za elfu kumi. Nilitamani kuzichana chana zile noti lakini nilishindwa kwa sababu nilikuwa sina hata shilingi mia.



    Niliamua kuoga na kurudi zangu ghetto kwangu huku nikiwalaani wanaume kwa ukatili waliojaliwa kama huo wakunilewesha na kunipiga mtungo.Nilihisi pia



    waliniwekea madawa ya kulevya kwa sababu kwa wakati huo haikuwa rahisi mimi kulewa kupita kiasi hadi kufikia hatua hiyo ya kupigwa mtungo.Kipindi hicho



    tayari nilishakuwa mjana na nilikubuhuu kwenye anga hii ya starehee.



    Tukio hili lazima nilikumbuke sana kwa sababu na yenyewe nililiandika kwenye diary yangu.Wakati naendelea kutafakari matukio makubwa yaliyotokea mara



    walikuja wanafunzi ambao nilikuwa nasoma nao chuoni. Walipewa nafasi ya kuongea na mimi hapo rumande na kwa umoja wao waliniletea vyakula vizuri



    utafikiri nilikuwa naumawa nimelazwa hospitalini.Walinifariji sana na kuniambia kuwa wanajua sihusiki na kifo cha mwanafunzi mwenzangu.Walienda mbali



    zaidi na kuniambia kuwa marehemu mara baada ya kutoka club alipitia kwa mwanamke mmoja ambaye ni wa mtaani hapa namaanisha sio mwanachuo



    mwenzetu lakini alikuwa ni mke wa mtu ambaye mume wake ni dereva wa malori yaendayo nje ya nchi.



    Waliendela kunisimulia kuwa mume wa mke huyo siku zote alikuwa akitega mitego kumkamata mwizi wa mali zake. Kmbe Msouth alikuwa na mahusiano na



    mke wa dereva huyo na kama unavyojua dunia haina siri dereva alipata taarifa kuwa mwanachuo huyo huenda kulala na mkewe mara baada ya yeye kuondoka na

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    kwenda nje ya nchi.Hapo nilipandisha masikio kama punda na kutoa mimacho kama bundi ili nielezwe vizuri kuhusu tukio hilo na kwa haraka haraka nikajua



    muaji alikuwa akijulikana.



    Hapo nilitamani niwe na simu ili niweze kurekodi maneno hayo ambayo yalikuwa ni ushaidi tosha wa kunitoa gerezani. Basi wakati wakiendelea kunipa stori



    rafiki wangu wa kufa na kuzikana Joyce aliingia huku na yeye akiwa ameniletea chakula Kwa kweli Joyce alinipenda sana na upendo wake huwa uanonekana



    kwenye shida na raha. Basi wale wanafunzai wa chuo ilibidi waondoke ili kumpisha Joyce maana isingewezeakana waruhusiwe kukaa mda mrefu.Tena yule



    askari alikuwa akinifanyia tu ustaarabu kwa sababu hapo kulikuwa na utaratibu mgumu sana wa kuongea na mtuhumiwa ukizingatia kuwa kosa lenyewe ni la



    mauaji.



    Joyce alinambia kuwa ameshaanza mikakati ya kunitoa na ameshaongea na mkuu wa upelezi wa mkoa na ameahidi kutusaidia. Aliaapa kuwa atatumia njia



    yoyote hata kama ni rushwa iwe ya hela au ngoni ilimradi tu anitoe gerezani. Alinambia tayari ameshamuahidi polisi atakayefanikisha mimi kuachiwa huru kitita



    cha shilingi milioni mbili. Aliposema milioni 2 nikakumbuka zile hela za wazungu na hapo matumaini ya kutoka selo yakaongezeka.Ilibidi nimuulize vipi



    ameshazichange zile dola. Akanijibu bado na hazina haraka sana kwani ameziweka kwenye account yake ambayo ni kwa ajili ya dola tu.



    Sikuwa nahofu kwa hilo kwa sababu ni mtu ambaye nilikuwa namuamini sana na amekuwa akijitoa kwa hali na mali.Aliniaga kuwa anakwenda Arusha kuweka



    mambo sawa na atarudi kesho. Nilimruhusu kiroho safi kwa sababu hata huko alinambia kuna kigogo anakwenda kuonana nae ili aone kama anaweza



    kutusaidia.Joyce alivyoondoka niliendelea kutafakari mambo yaliyonikuta huku nikilinganisha moja baada ya lingine.Nilimtafakari sana rafiki yangu Joyce



    tulivyotoka mbali nikambuka alishawahi kuniambia kamwe nisimwamini mwaume yeyote duniani kwani kufanya hivyo ni sawa na kumuamini mbwa



    anayechechemea au mwanamke anayelia.



    Maneno hayo yalinijia kwa sababu Msouth alikuwa ni kijana mpole sana na kwa jinsi alivyonipenda nilijua kuwa hawezi kuwa na msichana mwingine yeyote



    zaidi yangu.Sasa kuambiwa kuwa alikuwa na jimama mtaa wa pili na tena alikuwa akivizia mumewe aondoke na yeye aende kujinafasi kwa kweli nilishangaa



    sana.



    Hapa ilinifanya nikumbuke tukio la mdogo wake Joyce kwa sababu licha kuwa Joyce alienda Arusha kushughulikia swala langu lakini pia alikwenda kwa ajili ya



    mdogo wake ambaye na yeye alipata majanga kutokana na kuwaamini wanume kupita kiasi. Mdogo wake huyo alivyofika tu chuoni alipata mwanaume ambaye



    walipendana sana.Alifikia hatua ya kumpeleka mwanaume huyo nyumbani kwao lakini mama yake alivyomuona tua alimkataa kwa madai kuwa atakuwa ni



    muhuni. Lakini mtoto huyo wa kike hakutaka kuelewa. Baadaye alipata ujauzito lakini mwanaume yule aliukataa kwa madai kuwa hakuwa wake.

    Mdogo wake Joyce kwa uchungu aliamua kuilea hiyo mimba huku familia nzima ikiwa imemtenga ikiwa ni pamoja na wazazi wake na ndugu wa karibu



    isipokuwa dada yeke yaani Joyce. Tukio hili na mengine mengi huwa yananifanye niwachukie wanaume kwa ukatili ambao huwa wanatutendea. Lakini sikuishia



    hapo niliwaza na jinsi sisi wasichana tunavyowatendea wanaume.Nilijiuliza inakuaje mwanamke anabeba mimba kwa miezi tisa na anajifungua salama lakini



    baadaye anamtupa mtoto huyo chooni. Huu ni ukatili kwa sababu kwa nini ulee mimba alafu utupe mtoto mara baada ya kujifungua.

    Hapa nilimkumbuka jirani yetu mmoja ambaye na yeye alifanya utumbo huo na kwa sasa yupo gerezani. Mimi kiimani yangu najua kutoa mimba ni dhambi



    lakini ipi bora kuitoa au kulea kisha kutupa mtoto tena chooo. Haya tuyaache hayo kwa sababu dunia ina mambo mengi yanayosababisha watu kuwa wakatili je



    vipi kuhusu msichana anayehamua kutembea na shemeji yake, ndugu yake, kaka, mjomba na pengine hata baba.Nikajikuta najisemeha sio tu wanume ni wakatili



    bali hata sisi wanawake ni wakatili.

    Kwa kweli siku hiyo niliwaza sana na kutafakri vitu vingi.Wale wanachuo wenzangu wamenambia kuwa Msouth alikuwa kwa kimada mwingine na japo stori



    haikumalizikia ila ukweli ni kwamba alifumaniwa na kupigwa vibaya na huenda walimtupa mahali na ndio maana chanzo cha kifo chake hakieleweki. Nilijaribu



    kuijikontrol ili nisiwaze kitu chochote lakini nilishindwa.Nilimkumbuka sana mama yangu ingawaje sikutaka kumuweka kwenye kundi la wakatili lakini



    nilijiuliza hivi kweli mama yangu alikuwa akinipenda. Kama ni hivyo mbona imepita miaka yote hiyo hajanitafuta. Hivi kweli unaweza kuzaa mwanao na



    ukakubli kumuacha kwa baba yake na wewe kurudi kwenu bila kumtafuta kwa kipindi chote kirefu hivyo.

    Sasa hapo aligombana na marehemu baba yangu au mimi mwanaye nilijiuliza?Usiku ulishaingia na humo rumande kulikuwa na joto la kutosha giza na kila aina



    ya karaha. Omba tu kusimuliwa lakini kulala rumande hakufai jamani. Nilijiuliza kwa nini walikataa nisiwekewe dhamana ili hali kulikuwa hakuna ushaidi wa



    moja kwa moja kuwa mimi nilihusika na mauaji ya Msouth.

    Ni wiki ya pili sasa tangia tukio la kufariki kwa Msouth litokee na hakuna dalili zozote za mimi kuachiwa huru.Nimeshahojiwa zaidi ya mara 3 na nimeeleza kila



    kitu ikiwa ni pamoja na yale maneno niliyoelezwa na wanachuo wenzangu kuwa kijana huyo alikuwa na mahusiano wa kimapenzi na mke wa mtu huko mtaani



    hivyo hicho ndicho chanzo cha kifo chake.Hata hivyo polisi waliniambia kuwa uchunguzi bado unaendelea.Na kama ushahidi ukikamilika basi kesi itapelekwa



    mahakamani.

    Nilielezwa na mpelezi kuwa mpaka sasa idadi ya watu wanaoshikiliwa na polisi ni pamoja na mwanafunzi mwenzangu yaani MR ambaye yeye ndio chanzo cha



    ugomvi kutokea kule club na mwingine ni mke wa myu ambaye inasemekana ndo alikuwa awara wa Msouth.Mume wa mke huyo bado anatafutwa na polisi kwa



    udi na uvumba kwa sababu ametoroka na hajulikani ameenda wapi maaana hata huko anapofanyia kazi haonekani.

    Basi siku zilizidi kwenda huku nikisubiri kwa hamu na jamu kesi yetu ipelekwe mahakamani.Joyce alishaangaika lakini wapi kwani inasemekana ndugu wa



    marehemu walikuwa na uwezo sana hivyo walitumia gharama nyingi sana kuhakiksha kesi haifutwi kirahisi.Joyce kwa kutumia zile hela tulizocheza picha za



    uchafu aliweza kumpata wakili ambaye alinihadi kunisaidia na alisisitiza kuwa ningeachiwa huru kabla ya miezi 3.

    Yaani anaona miezi mitatu ni kidogo nilimlalmikia Joyce.Joyce alinambia kuwa kesi ya mauji ni ngumu sana kwani unaweza kukaa ndani hata zaidi ya mwaka



    mzima wakati ushahidi ukikutafutwa.Sikuwa na jinsi zaidi ya kuwa mpole maana maji yalizidi unga.Ni siku mbili zimebaki kabla ya kuanza kwa mitihani ya



    kumaliza semester ya pili ya mwaka wa kwanza.Sikuwa na jinsi zaidi ya kuandika barua ya kuhairisha masomo mwaka huo.Roho iliniuma sana kuona wenzangu



    wanaendelea na mitihani huku mimi nikiendelea kulala ndani tena kwenye vigodoro vyenye chawa na kunguni. Kweli life is change (maisha yanabadilika)



    unaweza kulala tajiri na kuamka masikini japo sijui kama kinyume chake yaani kulala masikini na kuamka tajiri ni rahisi hivyo.

    Wakili wangu aliapambana usiku na mchana kuhakikisha kuwa naachiwa huru lakini jambo hilo halikuwa rahisi kama nilivyokuwa nafikiria.Siku zilizidi kwenda

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    na tayari miezi sita ilishaisha.Afya na muonekano wangu ukazidi kudorora.Mawazo ya kuendelea na chuo au kusoma nayo yalishapotea kabisa.Kitu pekee



    ambacho nilikuwa nakitumaini ni kuyatafuta madini yaliyofichwa huko wilayani hai mkoani Kilimanjaro na marehemu baba yangu.

    Kwa msaada wa mawakili na wapelelzi ambao nilijenga nao urakifi nilifanikiwa kuachiwa huru.Ushahidi wa kesi ulikamilika na inasemekana kuwa yule Msouth



    aliuwawa na muwe wa yule mke aliyekuwa akitembea nae.Usiku wa tukio MR alimfuata Msouth na kumtishia kumfanyia kitu mbaya usiku huo.Msouth kwa



    kuhofia usalama wake aliamua kwenda kulala kwa huyo mke wa mtu.Kwa hiyo kwa namna moja au nyingine Mr naye alikuwa hatianai kwa kutishia kuua na



    kupelekea kifo chake.

    Kwa hiyo siku hiyo Msouth alivyoenda kulala kwa yule mama ndo siku ambayo pia mume wa mama huyo aliaga kuwa anaenda kongo kupeleka



    mzigo,Siunakumbuka nilikueleza kuwa baba huyo alikuwa ni dereva wa malori yanayoenda nje ya nchi. Kumbe baba huyo hakoundoka na alaikuwa na mpambe



    wake aliyempa taarifa.Usiku alirejea kwake na kumkuta mwizi wake akiwa ndani akiendelea kula mali zake.

    Hali hiyo ilimpandisha hasira na kujikuta akimpiga sehemu za tumboni kwenye bandama na kupelekea damu nyingi kuvuja ndani ya tumbo.Kijana huyo



    alifanikiwa yaani Msouth alifanikiwa kujikongoja mpaka ghetto kwake na alivyofika alisaidiwa na wenzake na walimkimbiza hospitalini. Walivyomfikisha



    Hospitali kwa kuwa alikuwa amekunywa pombe manesi hawakumpa huduma yeyote. Kufika asubuhi Msouth alipoteza maisha. Masikini msouth kijana



    uliyenipenda sana upumzike kwa amani. Umetangulia tu,mbele yetu , nyuma yako.

    Ushahidi huu ndio ulioniwezesha kutoka selo na kuendelea na maisha yangu na hiyo ni mara baada ya muaji kupatikana.Nilivyotoka kwa kweli nilikuwa sina pa



    kwenda kwa sababu chumba changu kilikuwa kimesharudishwa ingawa vitu vyangu viliwekwa mahali salama. Ilinibidi niende Arusha kwa rafiki yangu Joyce.



    Ingawa sikupenda kukaa Arusha lakini nilikuwa sina namna ingine nilikubalina na matokea na kuanza maisha mapya yasiyo na mbele wala nyuma



    Kwa rafiki yangu Joyce kulikuwa na kila kitu ila sikuwa na amani ya nafsi kwa sababu hata kufanikisha kunitoa jela ni kwamba alishatumia pesa nyingi sana.



    Joyce alitumia hela nyingi sana hivyo ata yeye aliyumba kiuchumi. Kila palipokucha alikuwa akiondoka asubhi na mapema na kurudi usiku.Sikujua alikuwa



    akienda wapi ila alisisitiza kuwa lazima aangaike ili tuweze kupata hela ya kula. Usiku pia hakusita kwenda kufanya zile shughuli za kujiuza ili mradi tu apate



    hela.

    Kila nilipotaka kumsaidia alikataa katu katu na kuniambia nahitaji mda wa kupumzika tu nile na kurudisha mwili wangu ambao nilikuwa nimekonda sana mpaka



    nikapoteza uzuri wa shepu langu nilokuwa nalo.Kauli yake ilikuwa na mashiko kwa sababu nilikuwa nimekonda sana na sikuwa tena Bambucha bali



    kimbaumbau…Si kuna ule wimbo wa jambo squared kimbaumbau kanenepa kawa tukunyema basi kwangu ilikuwa ni kinyume chake yaani tukunyema kakonda



    na kuwa kimbaumbau.

    Siku zilizidi kwenda na kwa msaada wa rafiki yangu huyo mwili ulianza kujirudi na kuwa mzuri kama zamani.Uzuri wangu wa umbo la kibantu ulianza



    kuonekana na niliendelea kuwa na uzuri wa asili sio wa vipodozi na madawa ya kujichubua. Joyce alinikataza kabisa kujiuza na kufanya yale madili yetu ya



    zamani na badala yake alinikabidhi saloon na biashara zake zingine. Sikumuelewa kabisa ikabidi siku moja nimkalishe chini na kumuuliza kwa nini yeye anafanya



    yale madili na hataki mimi niyafanye wakati yana hela za haraka haraka.

    Hakuwa tayari kufafanua zaidi ya kusema ananipenda sana hapendi mimi niwe kama yeye. Siku ziliendelea kuyoyoma huku yeye akiendelea kupambana na



    maisha hayo ya kujikatia tamaa. Siku moja niliona madawa ya kuongeza siku za kuishi na kupunguza makali ya virusi vya ukimwi ambayo alikuwa akiyatumia



    rafiki yangu Joyce.Hapo nikagundua kumbe alishajikwaa na kwa sasa alikuwa ni muhathirika wa ukimwi.Lakini mbona alinificha hilo ndo swali kubwa lilokuwa



    likinisumbua.Jambo hilo liliniumiza sana na kujikuta nakosa amani ya nafsi nikajihisi labda na mimi nilikuwa ni muhathirika.Nilitamani kwenda angaza



    kujitangza lakini niliogopa kwa sababu kwa moyo wangu huu wa plastiki huenda ningekufa hapo hapo baada ya kupewa majibu.

    Hapo ndo niliamini kuwa Joyce alikuwa na moyo wa chuma na ndo maana hakutaka nijikwae kama yeye.Lakini pamoja na nia yake nzuri kuwa na mimi nisije



    kujikwaa bado nilijiuliza yeye alikuwa na uhakika gani kuwa mimi sijahathirika.Siku zote tulihakikisha kuwa tunakula mlo kamili na kufanya mazoezi ikiwa ni



    mikakati ya Joyce kuishi mda mrefu.

    Siku moja tulitoka out nakumbuka ilikuwa ni siku ya jumapili tulivu na tulienda sehemu moja inayoitwa Boatiq Garden hapo hapo Arusha.Siku hiyo Joyce



    aliniuliza swali gumu sana. Aliniuliza “ hivi rafiki yangu Leah wewe una ndoto gani ambayo ungependa kuitimiza kabla hujafa”. Yaani hapo mawazo yangu



    yakaenda moja kwa moja kwenye yale madini lakini nilimjibu kuwa ndoto yangu ni kuwa tajiri mkubwa na mtu maarufu zaidi duniani.Kama alikuwa mawazoni



    mwangu maana alinambia nifafanue nitaweza vipi kuwa tajiri.

    Nilimwambia siku zote nayawaza sana madini ya marehemu baba yangu.Joyce akanambia nina mawazo na ndoto kubwa kuliko yeye. Nilimuuliza kwani yeye



    anataka kuifanyia nini dunia kabla hajafa? Joyce akatabasamu kidogo kisha akanambia ni jambo dogo sana lakini nazani litakuwa na faida sana huko baadaye.

    Akaanza kunielezea “ujue kabla mama yangu hajafa alinambia nihakikishe kuwa naweza kuacha mtu wa kumlilia kama mimi nitakavyomlilia yeye siku akifa.



    Kwa kifupi nijitahidi kuacha mbegu huku duniani yaani nizaee mtoto.

    Mama yangu aliteseka sana mpaka kunizaa mimi na hivyo anaaamini hakuna kitu chenye thamani zaidi duniani kama kuzaa mtoto.Hapo nilimwelewa Joyce kuwa



    wazo lake kubwa ni kubeba mimba na kuzaa mtoto. Sasa nilijiuliza atazaa na naniili hali yeye ni muhathirika?sikutaka kujiuliza hivyo nilimtupia swali hilo.



    Alinambia hataki mwanaye aje ateseke na haya maisha hivyo atamtegeshea kigogo mmoja.

    Joyce siku hiyo alinieleza ukweli juu ya afya yake kuwa yeye ni muhathirika wa ukimwi.Na anasema aligundua hali hiyo mimi nilipokuwa rumande na kwa sasa



    anaishi kwa matumaini kwa kufuata ushauri wa madaktari. Alinambia kuwa pia ana daktari wake maalumu ambaye anamsaidia. Joyce alisisitiza kuwa daktari



    wake amemwambia kuwa anaweza kubeba mimba na kuzaa mtoto ambaye hana maambukizo ya ukimwi japo hatoruhusiwa kunyonya maziwa ya



    mama.Nilimuonea sana huruma rafiki yangu kwa sababu alishajikatia tamaa ya maisha na pia nilijionea huruma na mimi pia kwa sababu nilikuwa sina uhakika



    na afya yangu. Nilimpongeza kwanza kwa kujua hali yake ya afya na pili nilimpongeza kwa kuwa na dhamira ya kuzaa.

    Sikuisha hapo pia nilimpongeza kwa kunijali na kunipenda na kuhakisha kuwa siingii kwenye majanga kama yake mara baada ya kutoka jela. Siku hiyo



    nilimuelewa sana Joyce na nilikuwa tayari kumsapoti kwa lolote ili mradi tu atimize athma yake hiyo ya kuzaa. Tuliongea mengi sana na baadaye alinionesha



    picha ya mtu ambaye alitaka kuzaa naye. Nilishituka kwa sababu mtu huyo alikuwa ni maarufu sana hapa mjini Arusha kwa sababu baba yake alikuwa anamiliki



    maghorofa makubwa na hoteli za kitalii.

    Ilibidi nimulize Joyce kwa nini amemlenga huyo na sio wengine? Akanijibu kuwa hataki mwanaye aje apate shida huku duniani.Kimoyomoyo nikajisemea



    angejua hata mimi nilizaliwa kwenye familia tajiri lakini leo hii nateseka na shida za dunia asingekuwa na mawazo hayo.Lakini sasa Joyce utampataje huyu

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    mwanaume hili hali hamfahamiani ilibidi nimuulize Joyce. Joyce akacheka na kuniambia “nimeshapewa sehemu na viwanja anavyopenda kukaa hivyo



    nitamwinda mpka nimpate.

    Basi tulirudi nyumbani kwake na maisha yakaendelea. Maisha yetu yaliendelea hivyo hivyo kwa yeye kwenda kwenye shughuli zake na mimi kwenda salooni.



    Siku moja nikiwa zangu home nimechoka na miangaiko ya salooni alinipigia simu mida ya saa mbili usiku.Akanambie niende Ngurudoto hotel lakini nivae



    kimtego mtego na nikifika hapo nje nimpigie na atanambia cha kufanya. Sikutaka kumkatalia lakini nilimuuliza sasa niavaaje?.Akanambia vaa kimini au pigo



    lolote ambalo mwanaume yeyote akikuona lazima atakuangalia mara mbili mbili.

    Nikajiuliza sijua ana dili gani huyu wakati siku zote ananikataza hizi kazi nisije na mimi nijikwaa na umeme kama yeye. Lakini kama unavyojua mimi kwake



    huwa sina kipingamizi kutokana na historia yetu na utu aliouonesha kwangu kipindi chote nikiwa kwenye matatizo.Kumbe yule mtoto wa kigogo anayemwinda



    azae naye alikuwepo hapo.Basi nilifika sehemu hiyo na kuanza kung’aa sharubu nisijue nielekee wapi. Wakati naendelea kufikiria nini cha kufanya mara simu



    yangu ikaita.Na nilipoangalia ilikuwa ni meseji ndefu kutoka kwa Joyce. Meseji ilinielekeza nisamame hapo hapo na niendelee kubofyabofya simu huku



    nikionekana kama mtu aliyepoteza dira



    Na kuna gari ya yule jamaa anayetaka kuzaa naye anakuja hapo kuspend.Na nyuma ya gari hilo kuna gari la lingine la kijana mtanashati ambaye yeye



    amemtuma.Hivyo chochote atakachonifanyia huyo kijana niwe mvumilivu it’s a deal.Meseji ndo ilimazia kwa kusema kuwa ni dili tunacheza hapo.Mara



    likaingia gari la kwanza na la pili kwa mpigo, wakati wale waliokuwa kwenye gari la mbele hawajapaki na kushuka pale getini alishuka kijana mmoja sharobaro



    na akanifuta kwa shari na kuanza kuniambia “ Kwa nini unanisaliti mpaka uanze kutembea na vigogo” kabla sijajibu kitu Yule kijana alinizaba kibao.

    Mweeeeh hapo nilisikia uchungu nikaanza kupiga mayowe ya kupigwa. Yule kijana akaendelea kunitukana na kuniita Malaya.Sikujua niimbie au niendelee



    kusubiri kipigo kingine.Wakati anaendelea kunitukana Yule mtoto wa kigogo alishuka kwenye gari na kuwaambia walinzi wamshike Yule kijana kwa sababu



    anachofanya ni uzalilishaji.Basi kwa ustaarabu akanifuata mimi ambaye nilishachuchumaa na kujiinamia na kuniiunua na kuniambia pole dada kuna mtu ulikuja



    kuonana naye? Nikamjibu kuwa ndio alafu huyu kaka mimi simfahamu.

    Wakati naendelea kujieleza kumbe Joyce alikuwa sehemu ya juu ya hotel hiyo akishuhudia kila kitu kilichokuwa kikiendelea. Alishuka huko kama mbogo na



    kuja sehemu tulipokuwepo nay eye akawasha moto. “ Yaani mda wote huo mimi nakusubiria kumbe unagombania wanaume huku nj?” Ilibidi Yule mtoto wa



    kigogo ajishushe na kutumia ustaarabu na busara na kusema “ samahnai dada huyu ni nani yako?” Huyu ni mdogo wangu kabisa nashangaa mda wote hafiki



    kumbe huku nje kuna matatizo alisema Joyce kwa sauti ya upole.

    Sawa basi punguza jazba huyu mdogo wako hana shida bali huyu kijana ndo mkorofi alisema Yule mtoto wa kigogo. Sawa usijali nitamalizana naye huyu ni



    mdogo wangu kabisa alisema Joyce. Akawambia walinzi “ naomba uwaambie wahudumu waniletee bili yangu niondoke zangu siwezi kukaa hapa tena. Wakati



    mlinzi anapiga hatua kumfuata muhudumu, mara akamwambia au chukua hii. Akafungua pochi yake na kutoa dola za kutosha kisha akmpa Yule mlinzi.Alimpa



    nyingi mpaka Yule mlizi akashangaa.

    Ikabidi mlinzi akamwambia “ hapana dada mbona umenipa nyingi sana wakati umekunywa maji tu. Kwa dharau akamwambia zingine utatumia kwa matumizi



    yako. Yule mlinzi bado alikataa ofa hiyo nahissi ni kwa kumuogopa boss wake ambaye ndo huyo mtoto wa kigogo. Basi ilinibidi niingilie kati kwa kutoa noti ya



    elfu tano na kumpa mlizi kisha nikazichukua zile dola na kuziweka kweneye pochi yangu. Joyce akanambia haya twende turudi nyumbani out imeishia hapa.



    Wakati tunaondoka Yule mtoto wa kigogo alitoa businesscard yake na kumpa Joyce akamwambia pole sana kwa yaliyokukuta naomba ukitulia unitafute.

    Tuliondoka na kuingia kwenye bonge la gari alilokuwa amekuja nalo Joyce. Nilijiuliza maswali mengi sana ikiwa ni pamoja na kujiuliza hilo gari alilipata wapi.



    Nikajijibu mwenyewe kweli huyu ni kiboko ya mujini. Nilimpigia saluti kwa sababu hakuna jambo aliloamua hapo mjini akashindwa. Tuongee ukweli Joyce



    wewe ni mwisho wa reli kigoma ilinibidi nimwambie. Alicheka na kuniambia hiyo ni hatua moja bado ya pili ya kumuingiza laini. Nikamsifia kwa kumwambi



    wewe tena ukishapata namba zake kwisha habari yake. Akanambia usijali thi is our new mission( huu ndo mpango mpya).

    Kweli ni new mission lakini kle kibao kiliniumiza sana mpaka sa hivi nakisikilizia. Akacheka na kuniambia pole ngoja turudisha gari la watu tukae mahali tule



    na kunywa ujipooze.Kwanza usiku huu nipo na dili na mzungu kwa hiyo tuatenda mahali kula bata na baada ya hapo nitakurudisha nyumbani maana



    situlishakubali wewe usijiusishe kabisa na shughuli hizi hili usije na wewe kwenye janga la maradhi. Aliendelea kusema best wangu huyo ambaye siku hiyo



    alikuwa na furahaa sana.

    Alafu siunajua tena wewe ndo unatakiwa unilelee mwanangu. Basi tulirudisha gari sehemu ambaye alikuwa amekodisha. Baadaye tuliingia mahali na kuazna



    kula baata mpaka kuku wakaona wivu.Wale wazungu alikuwa akiwasema walikuja na baada ya usiku kuwa mkubwa waliamua kunurudisha nyumbni na wao



    kuendelea na kile kinachoitwa kifuatacho ITV.Nilila huku nikiwa mwenye upweke kwa maana na mimi ilikuwa nimemiss sana kale ka mchezo.Yaani huwezi



    amini ilikuwa ni mwaka mzima umeshapita bila kumjua mwanaume.

    Mawazo ya bailoji ya olevel ilinijia eti ile theory ya use and dis use of organ ambapo inaelezea kuwa kama kiungo ukikitumia vizuri ndivyo kinavyokuwa



    kikubwa na kuwa imara nakama usipo kitumia kinakuwa dhaifu na kinawez kupotea.Nilikuwa nawaza ujinga lakini nakumbuka mifano ya mwalimu wangu wa



    bailoji ambayo alikuwa akiitoa enzi hizo kwa mfano alituambia eti nyoka zamani alikuwa na miguu na twiga hakuwa na shingo ndefu ila kutokana na harakati za



    kutafuta majni kwenye miti mirefu ndo ikawa hivyo.

    Lakini pamoja na mawzo hayo ya kijinga bado msimamo wangu wa kuvumilia mpaka hapo nitakpopata mwanaume wa kunioa ulikuwa pale aple. Sio kwamba



    wanaume walikuwa hawanisumbui. Walikuwa wakinisumbua sana lakini nlikuwa siwahamini nab ado niliamini kuwa wao ni wakatili sana. Wakati mwingine



    nilitaka kumpa nafasi Yule wakili aliyenisaidia kutoka rumande lakini bado nilikuwa simwamini kabisa. Na pia hakuonesha nia ya kunioa zaidi ya kutaka mzigo

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    tu.

    Nikajisemeha lakini angenikuta enzi zangu ningempa na kumchuna hela zake.Niliwaza sana kuhusu maisha yangu lakini bado niliendelea kumtegemea mungu na



    kuamini kuwa ipo siku atanifungulia njia kwa kuwa yeye ni muweza wa yote.Najua ndugu msomaji umesema Amina. Siku zilizidi kwenda huku Joyce mambo



    yake yakizidi kunyooka kwani alishafanikiwa kumwingiza laini Yule mtoto wa kigogo.Hapaana chezea mtu anayeitwa Joyce jamani.

    Siku moja tukiwa nyumbani nilimuona Joyce akiwa anatapika tapika huku hali yake ikibadilika badilika kila siku.Nikajua tayari mambo yalishakuwa mambo



    kurubembe alikuwa amepatikana na nilopomuuliza alikiri kwa kinywa chake kuwa alikuwa ni mjamzito. Nilimuuliza mimba ya nani akanambia huwa hafanyi



    makosa katika kutimiza ndoto zake, ile mimba ilikuwa ya yule mtoto wa kigogo.

    Miezi ilisogea na kitumbo kilianza kuonekana.Ilivyofika miezi minne kasheshe ndo ikaanza.Joyce alianza kuumwa na tulivyofika hospitali tuliambiwa kuwa



    mimba ilikuwa imetunga pembeni ya uji wa uzazi.Joyce alikuwa akitapika kila anapokula kitu. Akawa mtu wa kutundikiwa drip tu.Kwa kweli alikonda sana



    mpaka nikajua safari yake ya kifo ndo imefika. Madaktari walishauri aitoe hiyo mimba lakini alikataa kwa madai kuwa hata mama yake alipata tatizo kama hilo



    pindi alipokuwa amebeba ujauzito wake.

    Aliendelea kuishi katika hali hiyo na baadaye tuliamishiwa katika hospitali ya rufaa ya KCMC.Miezi ilizidi kwenda na madaktari walimuahidi hali itatengemaa



    pindi mimba itakapofikisha miezi 6.Basi niliendelea kumuhudumia huku nikupewa sapoti ya pesa na yule kigogo aliyempa mimba. Kweli madaktari wana nafasi



    yao hapa duniani kwani baada ya miezi sita Joyce alipona kabisa na kurudi katika hali yake ya kawaida



    Tuliruhusiwa na kurudi Arusha ambapo tuliendelea na maisha yetu kama kawaida.Joyce alitakiwa kila siku kufanya mazoezi ya kutembea kwa miguu umbali



    fulani.Na tulifuata ushauri wa madakatari na mambo yalienda vizuri.Hatimaye miezi tisa ilifika na Joyce alijifungua salama kabisa.Alijifungua mtoto wa kiume



    na akampa jina la Lucky yaani bahati.

    Ndoto zake zilikuwa zimetimia na alikuwa akifuata ushauri wa kitatibu ili kuhakikisha mtoto huyo hasipate maambukizo ya ukimwi.Mungu aliweka mkono



    mtoto huyo akaendelea kukua na hatimaye alikuwa mkubwa kabisa na alipopimwa alionekana kuwa ni mzima wa afya.Siku, mwezi na hatimaye miaka zilipita na



    mtoto akawa mkubwa na alipelekwa shule ya English medium.

    Sisi tuliendela na shughuli zetu maana mtoto huyo alipelekwa shule ya gharama na baba yake na alikuwa boding na baba yake alimuhudumia kwa kila kitu.



    Mwanaume huyu aliyezaa na Joyce alikuwa na mke na watoto wengine hivyo hawakuweza kudumu na Joyce. Ikumbukwe na hata hiyo mimba ilibebwa siku ya



    kwanza tu walipokutana na Joyce hakufanya makosa.Joyce hakuacha ule mchezo wake wa kufanya biashara haramu ikiwa ni pamoja na kuuza mwili



    wake.Nilimsihi sana aache kufanya hiyo kazi kwani alikuwa akisambaza ukimwi kwa watu wasio na hatia.



    Joyce alinambia yeye haendi kujipanga foleni kama makahaba wengine hivyo yeye hufanya biashara hiyo kitaalamu zaidi.Alisistiza pia kuwa eti huwa anatumia



    kinga kuwakinga wengine. Wakati mwingine alinambia acha awaambukize kwa sababu wanaume wangekuwa na akili basi wasingeenda kununua



    mwanamke.Anasema kuwa laiti biashara hiyo ingekosa wateja basi hakuna wasichana ambao wangejibweteka na kusubiri kutumia miili yao kama migodi.

    Ingawa Joyce alisisitiza kuwa huwa anavaa kinga kila akikutana na mwanaume bado mimi binafsi huwa siamini sana kuhusu mipira hiyo kuhusu kuzuia



    magonjwa labda mimba. Kwa upande wangu mimi niliendelea kuishi maisha ya kitakatifu.Siku moja niliamua kuja Moshi ili kuanza michakato ya kuyatafuta



    yale madini ya urithi.Ambalo na amini ndio tumaini langu pekee lilobaki hapa duniani. Wataalam wanasema madini hata yakikaa miaka 100 kama yalihifadhiwa



    vizuri hayawezi kuharibika.

    Hivyo hata mimi sikuwa na hofu kuhusu madini hayo kuharibika au kuharibiwa kwa sababu sehemu yaliyohifadhiwa na katikati ya shamba na kwa mujibu wa



    marehemu baba yangu hakuna ambaye angeweza kuyafikia hata kama shamba hilo lingeendelea kulimwa.Madini hayo yalikuwa mita 50 chini ya aridhi na sehemu



    hiyo ilichimbwa kaburi la bandia na kujengewa vizuri kwa juu ili kuwaogopesha watu. Hivyo kwa jinsi Watanzania walivyokuwa wanaogopa na kuyaheshimu



    makaburi wasingeweza kugusa sehemu hiyo hata kama hilo shamba lingeuzwa kwa watu wengi kiasi gani.

    Hivyo vigezo zilinipa ujasiri wa kuamini kuwa hayo madini yananisubiri tu mimi.Nilifanya tena ziara ya kwenda mpaka kijiji hicho na safari hii nilifika kwa



    katibu kata na nilijifanya kuwa ni mwanafunzi ninayefanya utafiti na lengo langu kubwa ilikuwa ni kutaka kujua kuwa kata hiyo ilikuwa na vijiji vingapi na je



    kijiji kina ukubwa gani.Na je kijiji kimoja kina ekari ngapi na wakazi wangapi.Hapa nilitaka kufanya mambo kisomi kidogo maana bila hivyo unaweza kujikuata



    unazunguka kijiji hadi kijiji bila mafanikio.

    Nilipelekwa kwa afisa kilimo wa kata ambaye naye alinipokea vizuri akanipa data zote zinazohusu mambo ya mashamba.Basi niliamua kurudi zangu mjini



    Moshi ili nipande gari la kurudi Arusha.Nilivyofika mjini wakati navuka barabara sehemu moja wanayoiita double road, nilisikia pipiiii na ilikuwa ni mlio wa



    gari ndo ambayo sikujua ni nani alikuwa ndani.Mara lile gari ndogo iligeuzwa na kuja kusimama mbele yangu.

    Sikuamini macho yangu mara baada ya kumuona mtu ambaye nilikuwa nikimpenda sana maishani mwangu na ambaye alikuwa ni mwanaume wangu wa kwanza



    na si mwingine bali ni mwalimu John. Mtu ambaye alinifundisha mapenzi na kunitoa uanawali wangu.Kwa haraka haraka ilionekana mambo yake yalikuwa ni



    mazuri kwa sababu alinawiri na kitambi cha nyama na bia kilionekana. Hivyo ni dahiri kuwa alikutana nahela wakati huo.

    Basi tulisalimiana na aliniomba tutafute sehemu tuzungumze mawili matatu.Nilimwambia kuwa nilikuwa na haraka kwani nilikuwa nataka niwahi kurudi



    Arusha.Akaniuliza wa amaki kwani siku hizi haukai tena Moshi.Nilimjibu kwa kifupi kuwa nilishahama siku nyingi sana.Akaangalia saa yake na kuniambia sa



    hivi ni saa kumi naomba unipe kama lisaa limoja then utapanda gari na kuondoka zako.Nilimshangaa huyu mtu maana tumekutana bahati mbaya lakini alikuwa



    anang’ang’ania nilimwwambia tufanye siku ingine tena aje Arusha kwa sababu mimi sikuwa na ratiba tena ya kuja Moshi.

    Bado hakurizika akanambia kwa kimombo “its ok, but am about to fly to Europe the day after tomorrow( ni sawa lakini kesho kutwa nina mpango wa kusafiri

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    kwenda ulaya).

    Mmmmh niliguna na kumwambia “whatever is excellent and its not a big deal we will meet soon after you return back to Tanzania” (vyovote ni sawa ila



    tutakutana tu siku ukirudi kutoka ulaya) Na mimi nilijaribu kumwaga kimombo kidogo. Akanijibu “ as a good leader, I must be able to use both style of



    leadership especially when the diplomatic one failed” (nikiwa kama kiongozi lazima niwe na uwezo wa kutumia staili zote za uongozi hasa pale staili ya



    diplomasia inaposhindikana). So what is your next option( kwa hiyo unataka kufanya nini) nilimuuliza kwa mshangao!!!!!!!!!!!!.

    The law of force or dictatorship must be applied( lazima nitumie nguvu) Nikamuuliza how(kivipi).Akanijibu action speaks more than words ( vitendo vitafuata



    kuliko maneno). Nikaona huyu ni mkorofi kumbe yaani anataka kutumia nguvu kunilazimisha tuende mahali tuakaongee.Nikamwambia am wait your reaction



    (nasubiri hiyo nguvu unayotaka kutumia). Akanijibu for every action there is an equal and corresponding reaction.Wakati bado nafikiria hiyo sentensi ya kifizikia



    alinipokonya mkoba wangu na kuutupia kwenye gari.

    Nilibaki nimeduwaa nisijue nini cha kufanya maana ndani ya ile pochi yangu kulikuwa na nauli na data zangu nilizozipata huko kijijini.Akashuka kwenye gari



    akanipa mkono nikamfuata kanifungulia mkono na kuingia kwenye gari.Na tulienda bar moja ambayo ipo karibu na stendi.Tukiwa kwenye gari aliniuliza vipi



    umeolewa? Nikamjibu wa kumuuliza swali kwa nini umeniuliza hilo swali? Akanijbu na yeye kwa swali kwani mkononi umevaa nini?.Sikutaka kumjibu swali



    lake hilo kwa sababu ni kweli mkononi nilikuwa nimevaa pete ya ndoa



    Na hiyo ndo ilikuwa ni staili yangu mpya niliyoigundua ili kupunguza usumbufu wa wanaume ambao kila siku walikuwa wakinitamani na kunitongoza.Hiyo



    pete si yeye tu kila mtu niliyekutana naye aliniuliza na ilikuwa ni jibu la moja kwa moja kuwa mimi ni mke wa mtu.Kweli kipya kinyemi ingawa kidonda na siku



    zote ya kale ni dhahabu niliwaza misemo hiyo maana Ticha John alionekana kabisa kuchanganyikiwa juu yangu.Baada ya kukaa kimya kwa sekunde kadhaa



    akanambia siku hizi naona umeamua kuwa modo.Hapo nikajua alinipiga dongo kijanja maana mwili wangu siku hizi ulikuwa umepungua japo wengine



    walisema kuwa ndo nimekuwa mzuri zaidi.

    Kama kawaida yake tulivyofika sehemu hiyo aliagiza kuku wa kurosti na bia tena hizi za nje Heinken.Mimi sikutaka mbwembwe na kwa kujichukulia maujiko



    niliagiza maji kubwa. Na aliponiambia ninywe pombe nilkataa katu katu kwa madai kuwa mimi siku hizi nimeacha pombe tangia niolewe.Ilibidi awe mpole



    alivyosikia neno kuolewa. Tuliongea mengi sana na alinambia sasa hivi yeye sio mwalimu tena wa sekondari bali ni mwalimu wa chuo. Na alipata chuo cha



    kufundisha Moshi mara baada ya kumaliza masomo yake ya masters.

    Nilimpongeza kwa hatua hiyo ya kimaendeleo katika maisha.Nilimuuliza anafundisha chuo gani akanijibu ni chuo cha ualimu mwenge. Sikusita kumuuliza



    kama alishawahi kukutana na wale marafiki zake wa kipindi kile.Hapo akanipa habari za kusikitisha kidogo kwani alinambia kuwa wote walishafariki kwa



    sababu walipata ajali ya gari siku moja usiku wakiwa wametoka kwenye starehe.

    Iliniumiza sana habari hiyo lakini kwa upande mwingine nilisema ni bora maana ule ukatili walionifanyia siku zile ulikuwa ni mbaya sana.Si unakumbuka



    waliniita wakaninulia pombe mpaka nikazima na baada ya hapo walinipeleka mahali na kunifanyia kitu cha kinyama yaani wote watatu walifanya mapenzi na



    mimi tena bila izini yangu, huwa inaniuma sana kila nikikumbuka.Kitendo hicho huwa kinaniuma sana kwani ni zaidi ya ubakaji.

    Nikajisemea kweli malipo ni hapa hapa duniani, kama wao waliamua kuendekeza starehe basi hiyo ndo zawadi ya starehe.Sikuishia hapo nilimuuliza kama na



    yeye Mwalimu Johna alikuwa ameoa.Hapo aliguna na kuniambia “kwanza nikuombe msamahaa kwa lile tukio lililotokea mlimani city.Kama mnakumbuka siku



    ile nilivyokwenda jijini kufuatilia mambo ya mkopo nilimkuta akiwa na akiwa na kimwana kingine wakila bata huku wakijiachia ile mbaya.

    Nakumbuka nilimfuata walipokuwa wamekaa na nilpomsalimia kwa kumpa mkono alikataa na kunikana kunijua.Kitu kile nacho kiliniuma sana na nakumbuka



    eti wakati naondoka na yeye alinifuta na kunishika. Palitokea patashika sana siku ile lakini baadaye nilifanikiwa kuondoka na kuendelea na mambo



    mengine.Tangia siku ile nilitokea kumchukia sana huyu mwanaume.

    Nilimwambia nimeshakusamehe japo siwezi kusahau tukio lile na mengine mengi mabaya uliyonitendea.Alinieleza eti yule binti waliachana siku ile ile baaada ya



    lile tukio pale mlimani city.Nikamwambia nisawa lakini mbona hujanijibu kuwa wewe umeshaowa au la? Akanijibu kwa kifupi kuwa bado hajaoa na alikuwa



    bado anajipanga kimaisha lakini mambo yake kwa sasa yapo sawa.Kwa hiyo upo kwenye uchumba nilimuuliza?

    Mmmmh na wapenzi tu lakini kati ya hao sijaona wa kumuoa alijibu mwalimu John kwa ujasiri.Ilibidi na mimi nigune kusikia wapenzi nikamuuliza kwa hiyo



    unao wengi? Bado aliendelea kujibu kwa kujiamini ndio kwani wewe unashangaa nini ni kawaida kwa siku hizi mwanaume kuwa na wasichana zaidi ya wawili



    na bado inapofika mda wa kuoa asione wa kumuoa.

    Basi akaendelea kufafanua kuwa kwa mfano yeye ana msichana ambaye ndio amemaliza form four mwaka huo.Sasa je huoni kama ni ndoto kwa mimi kumuoa



    binti kama huyu aliniuliza mwalimu John. Nikamuuliza kwa nini usimuoe kwani wakati unamtongoza na kufanya nae mapenzi hukulifikiria hilo. Akanijibu eti



    nililiona ila wakati ingine tamaa za mwili huwafanya wanaume wawatongoze wasichana ambao hawaezi kuwa na future nao..

    Hapo nikajifunza kitu na kukumbuka kisa cha baba mwenye nyumba ambaye alidiriki kutembea na mimi na wakati alikuwa na watoto wakubwa zaidi yangu.Basi



    tuliendelea kupiga stori mbili tatu za hapa na pale na alisisitiza kuwa kama bado sijaolewa huo ni mda muafaka. Nilimjibu kuwa amechelewa na hata kama



    ningekuwa bado sijaolewa nisingeweza kumpa hiyo nafasi kwa sababu ya bad memory( kumbukumbu mbaya) nilizokuwa nazo juu yake.

    Akanambia siku zote nisipende kuishi kwa historia au hisia hivyo basi yakale hayanuki na we should let the past pass( tusahau yaliyopita). Aliendelea kumwaga



    sera zake eti pamoja nakumwambi kuwa nimeolewa bado hakusita kueleza upuuzi wake.Hapo ndo nikaamini kuwa wanaume ni kiboko. Mbaya zaidi aliacha



    stori zote na kuanza kuniomba kale kamchezo.Na kwa jinsi nilivyokuwa nimekamiss maneno yake kwa kweli yalianza kuniingia.

    Alinamba eti hayo ya mimi kuolewa tuyaeke pembeni na kwa nini siku hiyo nisilale Moshi tukumbushie enzi zetu. Mwalimu John aliendelea kusema kuwa



    amenimiss sana na anomba nisahu yaliyopita na turudie yale maisha yetu ya zamani.Nilijifanya simwelewi lakini ukweli ni kwamba nyota ya mwanaume huyu



    ilikuwa ni kali sana zaidi yangu na ningekuwa nimekunywa pombe mambo yangeweza kuwa rahisi kwa upande wake.

    Kama aligundua vile akamwita muhudumu na kumwambia aniletee Saint Anne wine kama ile aliyoninywesha siku ya kwanza ya mimi na yeye kufanya



    mapenzi.Kwa wale wasiokumbuka ilikuwani Tanga hiyo tulipoenda kufanya ziara ya utalii kwenye mapango ya amboni. Niliendelea kusimama na msimamo



    wangu kuwa mimi sinywi pombe na natakiwa kuondoka nimuwahi mume wangu. Mwalimu John akasema hata kama hunywi mletee chupa nzima ataibeba.

    Basi nikaletewa chupa nzima ya wine. Mmmmh uzalendo ulinishinda nikajikuta naomba glass na zoezi la kuponda mali kufa kwaja likaendelea.Wakati

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    tukiendelea waliingia watu wawili ambao walionekana kama mume na mke hivi. Na kwa kuwa sehemu nyingi zilikuwa zimejaa waliamua kuvuta kiti na kukaaa



    pembeni yetu yaani tulikaa meza moja. Kuangalia vizuri walikuwa ni Mary na Joseph wanafunzi ambao tulikuwa tunasoma nao darasa moja nilipokuwa chuoni.

    Kwa kweli ilikuwa ni zaidi ya furaha na hapo nikaamini msemo wa Kiswahili usemao milima haikutani bali binadamu wanakutana.Tulisalimiana kwa



    kukumbatiana na kumwacha mwalimu John akishangaa.

    Hawa watu walikuwa wakipendana sana na tulipoingia tu chuoni wiki ya kwanza mahusiano yao ndo yalianza. Basi furaha ikaongezeaka kwa meza na pombe



    zikaendelea kunyweka. Sikujua nini itakuwa hatima yangu usiku huo je nitaenda Arusha au nitachukua chumba na kulala Moshi au nitaenda kulala na mwalimu



    John.

    Wazo la kulala na Mwalimu John nilikuwa silipi nafasi kwa sababu moyo wangu ulikuwa na kinyongo kikubwa kutokana na mabaya aliyonitendea.Basi katika



    stori za hapa na pale Joseph akampigia rafiki yake ambaye na yeye tulisoma nae na pia yeye alikuja na demu wake.Nikajisemea tazama ilivyo vyema na kupendeza



    ndugu wakikaa pamoja kwa upendo na amani.Basi stori za kukumbushia maisha ya chuo ziliendelea. Stori hizo zilinitia machungu kwa sababu sikubahatika



    kumaliza masomo ya chuo kutokana na majanga ya maisha yalitotokea



    Saa yangu ya mkononi ilionesha kuwa ilikuwa ni saa tatu usiku na bado athma yangu ya kwenda Arusha ilikuwepo pale pale. Nilijua kabisa ikifika saa nne



    naweza kupata magari yanayotoka mbeya kwa maana ndo magari yaliyokuwa ya mwisho kupita moshi.Mwalimu John kweli alikuwa na hela maana hizo raundi



    alizokuwa akizipiga wewe acha tu. Kitu kinachoitwa sifa ni kibaya sana huku duniani. Mara Mwalimu akatoa wazo tuhame, alisemaa “ jamani leo kuna mahali



    wanapiga laivu bend kwa nini tusiende huko tukamalizie hii siku ya furaha kwa marafiki kukutana” Alisema hivyo mara baada ya kuona wahudumu walikuwa



    wakisua sua. Ikumbkwe na mimi wakati ho nilishabadilisha kinywaji na nilikuwa nakunywa zile bia zangu za bei mbaya.

    Kosa kubwa lilofanyika mwanzoni mimi nilimtambulisha mwalimu John kama mme wangu ili angalau na mimi nionekane kuwa nipo kwenye sytem. Hivyo



    nikawa na shindwa kuaga na kuondoka maana sasa utaondokaje na kumuacha mumeo. Hoja ile ya kuhamia sehemu ingine iliungwa mkono na watu wengi.



    Joseph aliunga mkono hoja kwa kusimama na kumpa mkono Marry wake, na Marry akasimama tayari kwa kuondoka. Basi wote wakasimama tayari kwa



    kuondoka nikabaki mimi tu ndo nimekaa.

    Huyu mwalimu John alikuwa ni mjanja sana yeye alijifanya kwenda chooni.Hapo nikazidi kuchoka zaidi ukizingatia walijua kabisa alikuwa ni mume wangu.



    Nikajiuliza sijui nimzalilishe tu kwa kumkataa au niende nikale bata na baadaye nichukie chumba na kulala mwenyewe.Basi niliaamua kukata sahuri la kubaki na



    nikaamua kumwandikia Joyce meseji na kumwambia kuwa siku hiyo sitarudi kwa kuwa asubuhi nataka nirudi kule kijijini hivyo nimelala Moshi.

    Hapo Joyce alinipiga kabisa tukaongea kwa kirefu.Alisisitiza kuwa niwe makini na nisikubali kulala na mwanaume kama tulivyokubaliana mpaka hapo nitakapo



    pata mwanaume wa kunioa. Yaani huyu mwanamke alikuwa na machale sana sijui halihis nini.Nilimwahakikishia kuwa sitaweza kufanya ujinga wa namna



    yeyote ili na mimi nisije nikajikwaa kama yeye na kupata hili gonjwa lisilo na tiba. Basi kwa kuwa kila couple ilikuja na gari yake ndivyo tulivoondoka na



    kwenda sehemu moja iliyoitwa Mr Price City.

    Hiyo sehemu nazani ilikuwa ni mpya kwa sababu mimi na ujanja wangu wote nilikuwa sijawahi kufika.Tulipanda ngazi kwa sababu sehemu hiyo ilikuwa ni



    ghorofani. Tukapata sehemu nzuri tukaaa huku tukiendelea kunywa vinywaji huku tukiburudishwa na burudani nzuri ya live bend. Mawazo ya kurudi Arusha



    yalishatoweka na hapo ikawa ni kula bata tu. Baadaye mida ilivyokwenda watu wote waliondoka na tukabaki mimi na mwalimu John. Akaniuliza tunaenda



    kulala kwangu au tuchukue chumba na kulala mjini?

    Hapo nilimcheka sana na kumwambia hivi yeye haoni aibu kusema upuuzi huo mbele ya mke wa mtu. Hapa nikawa nimempandisha hasira zake. “Yaani kama



    ulikuwa unayajua yote hayo ulikuwa unasubiri nini kuondoka ukakaa mpaka usiku huu.” Alilalamika mwalimu John.Nilimjibu kwa kumwambia ndo hivyo



    niliamua kukutunzia tu heshima kwa sababu ya wale marafiki zangu. Nikaongeza kumwambia kuwa “ na una bahati sana ingekuwa na wao sio mke na mume



    ungenikuta nishafika Arusha’

    Sawa nimekuelewa sasa na wewe unaenda kulala wapi? Aliuliza mwalimu John.Nikamjibu popote tu ambapo kuna vyumba vya kulala wageni.Alikaaa kimya



    kama dakika mbili kisha kuniambia “ mimi ni msomi bhana siwezi kulazimisha mapenzi kwa hiyo twende nikupeleke Dar Street maana kule ndo kuna guest



    nyingi sana. Nikamwambia huko mbali sana twende nipeleke hapo KNCU kuna room nzuri hata kama ni ghali nitalipa ili nilale tu. Akanambia sawa anaheshimu



    mawazo yangu kwa kuwa mimi ni mtu mzima.

    Nikamwambia kwanza kutoka hapo tulipokuwa hadi KNCU si mbali hivyo yeye aniache tu mimi nitachukua bodaboda. Msimamo huo ulimshangaza sana maana



    alishazoea kuwa nikinywaga pombe nakuwa mjinga mjinga. Hakuamini kilichokuwa kinatokea na nilivaa sura ya kazi. Nilimuonea huruma sana lakini sikuwa



    najinsi nikikumbuka yale yote mabaya aliyonifanyia. Ndio nilikuwa na ugwadu wa mda mrefu lakini sikutaka kujirahisisha hasa kwa mtu ambaye alishindwa



    kunisaidia wakati wa shida hasa kodi na kusababisha nikaangukia kwenye mikono ya baba mwenye nyumba.

    Tulishuka ngazi na tulivyofika nje mimi niiita tax.Kitu hicho hakikumfurahisha kabisa ikabidi atumie nguvu kuniingiza kwenye gari lake. Sikukata niliingia na



    kumwambia nipeleke CRDB bank nikatoe hela. Na yeye kwa kuwa alikuwa amekasirika hakutaka kubishana na mimi alinipeleka na nikatoa hela.Tukaingia



    kwenye gari na badala ya kunipeleka hotelini yeye alinyoosha na kunipitiliza.Nikajua kuwa alitaka kutumia nguvu kunipeleka nyumbani kwake. Nikamwambia



    hata akitumia nguvu na kunipeleka kwake ajue kuwa hataweza kufanya mapenzi na mimi kwa kuwa nilikuwa katika siku zangu za gari la mshahara.

    Kauli hiyo ilimuingiza upepo na kuniambia “ ujue sa hivi ni usiku wa saa nane hivo ananooenea huruma kuwa nitapoteza bure hela yangu kwa kulipia

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    chumba.Nikamjibu kwa kumwambia afuate ninanvyo mwambia kwa kuwa popote atakaponipeleka nitawapigia simu polisi na hatoaamini kitakachotokea.Kwa



    nini usiwe muelewa niliendelea kuongea kwa jazba.Basi ukijumuisha na zile stori za mimi kwenda rumande na hivi wale wanachuo walikuwa wanasema kuwa



    kilichoniweka huru ni umaarufu wangu ilibidi mwalimu John awe mpole na kugeuza gari kisha kuipeleka sehemu niliyohitaji. Tulivyofika getini alipaki gari



    lake kisha mimi nikashuka na kumuaaga kwa kuwambia asante na unaweza kwenda.

    Bado sijarizika unaweza kukosa chumba na ikumbukwe na mimi ndio nilikuchelewesha na kukuharibia ratiba zako kwa hiyo tatizo lolote litakalotokea ni mimi



    wa kulaumiwa.Kwa kuwa aliongea point sikutaka kumkatilia tukapanda nae lift hadi reception. Nikalipia chumba na bado lakini mwalimu huyu bado aliaamua



    kuning”ang’ania kwa madai kuwa alitaka kukiona hicho chumba kilivyo.Nikaona isiwe tabu tukaenda naye na baada ya kukifungua hicho chumba tukaingi wote



    na mimi nilisimama mlangoni nikamwambia sitayari aondoke. Cha ajabu alikataa kuondoka na kuniambia hapo ndo amefika mwisho wa reli kigoma.

    Kwa jinsi alivyokuwa mkorofi Ticha John akajimwaga kitandani kama mtu aliyekuwa na furaha ya kuhamia nyumba mpya. Nikamwambia nampa dakika tano na



    hasipo ondoka napiga simu polisi au kwa walinzi waje wamtoe kwa nguvu. Nikaingia chooni maaana kilikuwa ni chumba cha self container. Nilijifungia kwa



    ndani lakini wapi yule mwanaume hakutaka kuondoka aliendelea kunisubiri. Zilipita dakika kumi nikaamua kutoka na kukimbilia simu ya mezani.Akaanza



    kunizuia kwa kutumia nguvu ili nisiipige.Nikamwambia basi yeye alale hapo kitandani na mimi naenda kulala chooni.



    Nikachukua shuka nikaingia nalo chooni na kujifungia. Kwa bahati nzuri vyuo vya hapo vilikuwa ni visafi sana hivyo niliweza kuvumilia kukaa hapo kwa dakika



    kumi zaidi.Baadaye nilimsikia akifungua mlango na akaondoka zake. Nilitoka kwa haraka na kufunga chumba changu huku nikisema asante mungu kwa



    kunijalia ujasiri huo nilioufanya. Nilioga na kisha nikajimwaga kitandani.Dakika chache baadaye huku nikiwa nipo uchi nilisikia mlango wangu



    ukigongwa.Sikutaka kuiitikia zaidi ya kujifunika shuka vizuri na kufumba macho.



    “Samahani dada mimi ni mlizi” ilisikika sauti nje ya chumba. Niwasaidie nini niliuliza kwa mshangao. ‘ Huyu kaka uliyeingia naye tumruhusu aende’ waliuliza



    wale walinzi. Nikajibu kwa kujiamini ndio. Nilisikia mwalimu John akisema haya lala salama mke wa mtu usisahau kushuka neti.Hapo kicheko kilinijia lakini



    nilijikaza nisicheke kwa nguvu hivyo kuzidi kujikunyata kwenye lile shuka nililokuwa nimejifunika. Nilisikia pia wale walinzi wakimwambia usichukie



    kamanda hizi ni taratibu za kiusalama.



    Kuna mtu hapa alikuja mwaka jana akamua mpenzi wake aliyekuja naye akataka kuondoka kwa staili kama hiyo yako tukamkamata., wale walinzi waliendelea



    kumuelewesha mwalimu John.Sisi tumesomea mambo haya bhana waliendela kuzungumza wale walinzi huku wakishuka ngazi kwa polepole.Hapo na mimi



    nikawa nimejifunza kitu kuwa kumbe unaweza kuingia na mtu guest akakuzuru kisha akaondoka zake.Sasa sijui kwenye zile guest zetu za uswahilini kama



    wanalijua hili.



    Basi nilala japo usingizi ulikuwa hautaki kuja kwa sababu nilihisi kuwa nilimzulumu sana mwalimu John na pia niliona kuwa nimeizulumu nafsi yangu kwa



    kuwa hata mimi nilikuwa na hamu sana ya kufanya mapenzi. Mwili ulikuwa ukitamani sana usiku huo kukumbushia enzi lakini nafsi ilikataa na bado nilikuwa



    nakumbuka machungu yote aliyonisababishia Mwalimu John. WAkati naendela kufikiria mara meseji ikaingia kwenye simu yangu na kuangalia alikuwa ni



    mwalimu John “asante saana kwa uliyonifanyia mimi nimefika salama”



    Sikutaka kuiijibu zaidi ya kuangalia meseji zingine za WhatsApp ambazo nilikuwa sijazisoma.Mmmmh makubwa nilijisemea mara baada ya kuona video moja



    ya uchafu wa wanafunzi wa chuo kimoja maarufu hapa nchini.



    Sikutaka kujipandisha nyege niliamua kuifutilia mbali kisha nikaweka simu silence na kulala zangu. Nilikuja kushituka saa mbili asubuhi na kwa kuwa nilikuwa



    sina pa kwenda asubuhi hiyo niliamaua kumalizia usingizi wangu mpaka saa nne mda wa kurudisha room.



    Ni saa sita mchana nipo stend ya Moshi tayari kwa safari ya kurudi Arusha mara napigiwa simu na rafiki yangu Joyce akanieleza kuwa yupo safarini anakuja



    moshi.Nikamuuliza kwa hiyo nimsubiri maana mimi nilikuwa zangu stend narudi zangu Chuga. Akanambia nimsubiri na ndo kwanza alikuwa KIA. Sikuwa na



    jinsi zaidi ya kumsubiri rafiki yangu huyo. Nilienda sehemu moja inaitwa Uhuru Park nikaweka kambi hapo na kumsubiri.

    Niliendelea kunywa vinywaji laini lengo likiwa ni kupoteza mda. “ samahani dada naweza kukaa na wewe”? ilikuwa ni sauti ya kijana ambaye nilihisi kuwa



    namfahamu. Hamna shida karibu nilimjibu kwa sauti ya ukarimu. Bila shaka wewe ni Leah alisema kijana yule mara baada ya kukaa. Hapana utakuwa



    umenifananisha kwani wewe ni nani ilinibidi nikatae jina langu maaana sikujua nia yake na nilikuwa simkumbuki vizuri.



    Mimi ni Bryan miaka mingi iliyopita tulishawahi kukutana Dar es Salaam na tukala bata na ulikuwa narafiki yako mmoja hivi ingawa simkumbuki



    jina.Nilimkumbuka kuwa ni Yule kijana ambaye nilimpaga namba zangu mombo nikiwa safarini kwenda Dar sehemu niliyokwenda kufuatilia mambo ya mikpo.

    Nakumbuka siku ile nilimpa penzi lakini kwa kumtoza hela.Ingawa nilikuwa nimeshamkumbuka lakini nilimwambia “ujue duniani watu wameeumbwa wawili



    wawili hivyo atakuwa amenifabnanisha”. Hakuwa na jinsi ilimbidi akubaliane na matokeo.Akaniuliza kwa hiyo wewe unaitwa nani? Nikamjibu masogangwe?



    Akatabasamu na kuniuliza Masogangwe huyu wa Bell 9. Nikamwambia tusichoshane kwa maswali mengi kwani yeye ni polisi?. Hapo nikawa nimemkata maini



    akabaki amekaa kimya akitafuta sound ingine ya kuniingilia.



    Rafiki yangu alifika na alikuwa amependeza kama vile Rihana Robinson ukilinganisha na hilo wigi nilidata kwa kweli mtoto hachuji kila siku anazidi kuwa

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    mzuri pamoja na kupambana kote huko.Alinipa ishara kuwa tuhame sehemu hiyo tukae sehemu ambayo tuatakuwa wenyewe. Ilibidi nimuage yule kaka ambaye



    nilikuwa nimekaa naye. “ kwa heri Bryan ngoja niongee na rafiki yangu” Haya bye mrembo japo umekataa kunipa hata namba zako?

    Sikutaka kumjibu zaidi ya kuhama sehemu hiyo. “ wewe naye yaaani huku ushapata kampani alinikaribisha Joyce kwa maneno hayo.Alafu kama namfananishe



    vile yule kaka alisema Joyce kabla hata sijamjibu kitu.Ilibidi nicheke na kwa haraka haraka akaniuiza nacheka nini.Nikamwambia unaongea vitu vingi sana na



    maswali unayoayauliza yote unayajibu mwenyewe.Akanambia basi tuyaache hayo best maana ushaanza kunishushua mapema.



    Joyce akanambia kuwa amepata email ya wale wazungu ambao tulishawahi kufanya nao kazi haramu ya kucheza mikanda ya xxx.Akaniuliza naonaje kama safari



    hii nikifanya nao kazi mimi kwa sababu wanataka mtu mmoja. Nikamuuliza vipi kuhusu zile dola zetu zilizobakia? Akanambia shoga acha kukumbushia



    yaliyopita zile hela zilishatokaga nazote nilizitumia katika ile kesi yako.Hapo nikagundua kuwa alishawahi kufanya nao kazi kwa mara ya pili maana



    wasingeweza kumpa bila kufanya kazi ingine.

    Sikutaka kuingia tena kwenye matatizo ya kufanya vitu ambavyo vinaweza kuhatarisha maisha yangu na kuharibu jina langu.



    Nilihisi hiyo safari ya pili ambayo Joyce alifanya nao kazi ndio alipata ukimwi. Maana katika stori zake kuna siku alishawahi kuniambia kuwa alikuatna na



    makaburu akafanya kazi kama ile ambayo tulifanya na wale wafaransa lakini hawakumpa hela. Kuna siku pia alishawahi kunimbia kuwa anahisi hao makaburu



    ndio walimpa ukimwi kwa sababu wao walikataa katu katu kupima ukimwi kabla ya shughuli.



    Kwa harakahaka nilikataa dili hilo kwa madai kuwa yeye alishanambia nisifanye tena dili hizo na pia nilimsihi afanye yeye hilo dili. Joyce kumbe alikuwa



    akinitega tu maana nilipomuambia hivyo akanijibu kuwa ni jambo zuri maana aliamua kunishirikisha ilia eti nisione kuwa ananibania.Kimoyomoyo nikasema



    wewe maswala ya kushikishana kifo nani anapenda.?Nakuhaidi rafiki yangu wakitoa hela tunagwana nusu kawa nusu ili na wewe ufungue biashara zako



    alilisitiza Joyce. Tukakubaliana hivyo na akaniomba niendellee kukaa Moshi kwa sababu wazungu hao watakuja jioni



    Tukaamua tuende zetu memoria soko la mitumba kuchagua viwalo viwili vitatu.Tukiwa huko tulijizungushazungusha wee mradi tu mda uende.Tulivyomaliza



    tulirudi zetu mijini na akaniomba nimsindikize kwa mama yake mdogo. Wakati tuanaenda akanambia ujue mama mdogao anapenda sana zawadi sasa kwenda



    mikono mitupu sio vizuri. Nikamuuliza sasa tufanyaje? Akawaza kidogo na kuniambia twende supermarket tuchukue mazagazaga tumpelekee. Basi tulifanya



    kama mawazo yake yalivyomtuma tuliingia supermarket na kuchukua hayo mazaga zaga.Tukiwa hapo supermarket Joyce alinambi tupande sehemu ya juu ili



    tukaangalie vitu vya electronic kwa sababu alikuwa akitaka kuchukua home theatre mpya.

    Tukapanda ngazi na kwenda sehemu hiyo. Wakati sina hili wala lile nipo bize kushangaa vitu vizuri mara Joyce akanishtua na kuniambia kuwa amemuona mtu



    kama mwalimu John tena yupo na kimwana balaa.Ilibidi nimuulize kwa taharuki umemuona wapi? Akanambia usiwe na papara na wala usigeuke kwa sababu



    walikuwa wanapanda hizo ngazi. Kwa kweli uvumilivu ulinishinda nikageuka kwa nguvu na tukagongana macho kwa macho.

    Kweli kilikuwa ni kimwana ambacho kilijua kudeka maana kilipitisha mikono kiunono kwa Mwalimu John.Mwalimu John aliponiona alitabasamu na



    kunikonyeza na mimi nilimjibu kwa kumbetuli midomo ishara kuwa nilinfyonza. Kweli huyu mwanaume ni kiboko kwa hiyo jana ningejichanganya na kufanya



    naye mapenzi ingekuwa nimeliwa bure tu. Kwa ujasiri alikuja kutusalimia na akatutambulisha kuwa huyo ni mke wake mtarajiwa. Basi nilimpa mkono na



    kumwambia hongera. Hapo Joyce akaropoka na kumuuliza kwa hiyo sa hivi umeamua kutulia nakuoa?

    “Yeah umri nao umeenda nimeamua kutulia na kufanya mambo ya maendeleao aliendela kujibu mwalimu John kwa kujiamini”. Basi waliendelea na yao na sisi



    na yetu huku nikimshukuru mungu kwa kuniepusha na majanga ya jana. Ebu vuta taswira ndugu msomaji kama jana ningelala nae sa hivi ningekuwa kwenye hali



    gani mara baada ya kumkuta na demu mwingine.Nilimwambia Joyce tuondoke maana nikishakutanaga na huyo mtu nahisi kuharibiwa siku yangu.

    Wewe naye husahau tu miaka yote hiyo alisema Joyce kwa kunishushua. Nikamwambia ndo hivyo moyoni mwangu aliniachia kovu ambalo halifutiki. Akacheka



    na kuniambaia haya bhana twende zetu. Tuliondoka na kupanda magari ya Majengo sehemu ambyo mama yake mdogo alikuwa akiishi. Tulikaribishwa kwa



    furaha tukapikiwa chakula tukala. Mama yake mdogo hakusita kuniuliza kuwa mbona siku hizi nimepungua sana. Nikamwambia ni kweli ila nimeamua kufanya



    diet ndo maana nimekuwa model.Mama mdogo alinisifia nakuniambia hata hivi napendeza tu na naonekana mzuri.Ilibidi nishukuru maana ni wachache sana



    ambao wanaweza kusema kuwa umechukiza hata kama umechukiza.

    Basi jioni ilivyofika tulirudi mjini na Joyce akaendelea kuwasubiri hao makaburu ili wafanye hiyo biashara haramu na mimi nikapanda gari na kurudi zangu



    Arusha. Nilitamni kubaki Moshi lakini sikuwa na la kufanya.Moshi ni mji ambao mimi nilikuwa naupenda sana.Nilifika Arusha salama na nikaendelea na ratiba



    zangu zingine. Nilifanya yangu na baadaye nilipanda kitandani na kulala.Sikutaka kumpigia Joyce maana nilihisi nitamsumbua na wazungu wake zaidi



    nilimtumia ujumbe mfupi wa maneno nikimtakia usiku mwema na nilimueleza kuwa nimefika salama.

    Kesho yake niliamka kwa kuchelewa na nahisi ni kutokana na uchovu nilio kuwa nao tangia siku hile tupo na yule ticha mkali wa mabinti na wanafunzi. Nilienda



    saluni kuweka mambo sawa maana hawa wafanyakazi wasiposimamiwa huwa wanafanya utumbo na kutuibia sana hela. Niliendelea na michakato mpaka ikafika



    mida ya lunch. Nilienda kula huku nikistaajabu kuwa kwa nini Joyce hakunitafuta mpaka mida hiyo. Niliamua kumtafuta lakini hakupatikana kwenye laini yake.



    Nilimtumia meseji lakini na yenyewe iliwekwa pending. Niliendelea na michato nai ilifika usiku bado Joyce alikuwa hapatkani.Hapo nilianza kuiliingiwa na



    hofu.

    Nikaanza kuingwa na hofu nisijue cha kufanya.Niliwaza sana lakini sikuwa na jinsi zaidi ya kusubiri na kila baada ya nusu saa nilikuwa nikipiga simu lakini

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    ilikuwa haipatikani.Siku hiyo nayo iliisha nikalala nikaamka, hapo sasa alamu za hatari zikaanza kupiga kichwani mwangu. Mbaya zaidi sikuwa na hata namba



    moja ya ndugu zake. Sikutaka kusubiri zaidi nikajikuta nikipanda gari na kuelekea Moshi. Nilivyofika tu Moshi moja kwa moja nilinyoosha kwa mama yake



    mdogo na bahati mbaya sikumkuta kitu ambacho kilizidi kunichanganya.

    Nikaomba namba zake za simu na kwa bahati mbaya na yeye alikuwa hapatikani. Nikamuuliza huyo binti wa kazi mbona namba hiyo aliyonipa haipatikani?.



    Alinjibu kwa kifupi kuwa jana usiku luku iliisha hivyo na wewe hakuweza kuchaji simu. Hapo sasa nikazidi kuchanganyikiwa ikabidi nimuulize mama huyo



    alikuwa akifanyia shughuli zake za kujipatia kipato sehemu gani.? Yule dada akanambia kuwa anafanyia soko la ndizi huko Korongoni. Sikuwa na jinsi



    nilimuomba anipeleke lakini na yeye alisita sita kwa madai kuwa alikuwa na kazi nyingi za kufanya na bado anatakiwa ampeleke mtoto shule.

    Haikuwa shida sana nilimuomba anielekeze ili niende mwenyewe. “ mimi sipajui na sijawahi kufika ila ananambiaga anafanya soko la ndizi” alijibu yule



    msichana jibu ambalo lilinishangaza kidogo. Hivi kweli unaishi na binti wa watu alafu hajui sehemu unayofanyia kazi , je likitokea tatizo yeye atafanyaje sasa.



    Hapo nikajua kuwa hata nikimsubiri tuende wote haitosaidia kitu. Nikamuuliza swali lingine Yule “ kwa hiyo dada Joyce hakuja hapa jana?” Akanijibu hapana



    tangia tuondoke naye siku ile hakurudi tena.

    Hapo sasa sikutaka kupoteza mda nilianza kuondoka zangu na moja kwa moja nilienda kituo cha polisi. Nilivyokuwa njiani nilikuwa najiuliza nikifika polisi



    nitoe taarifa gani. Nilivyofika pale niliwaambia kuwa juzi nilikuwa na rafiki yangu tulikuja naye Moshi lakini mimi nilimuacha na kurudi zangu Arusha.Ilibidi



    nimwache kwa sababu alinambia kuwa alikuwa akimsubiri rafiki wake wa kiume aliyekuwa akitoka South Afrika. Tatizo hapatikani kwenye simu hivyo



    nimeenda hapo kituoni kutoa taarifa za kupotea kwake.Polisi waliandika hayo maelezo yangu nikaacha na namba zangu za simu wakanambia kuwa kama



    watapata taarifa yeyote watanipigia.

    Basi niliondoka na kwenda huko soko la ndizi ambapo mama yake mdogo alikuwa akifanyia kazi. Nilizunguka sana hapo sokoni kibanda hadi kibanda lakini



    baadaye nilifanikiwa kumpata. Nilimueleza kitu kilichotokea na hatua nilizochukua ikiwa ni pamoja na kutoa taarifa polisi.Mama yake mdogo hakuonekana



    kuwa na presha kwa alinambia hilo sio swala la tukio la kwanza kupotea kwa Joyce kwani kuna mwaka alishawahi kupotea mwezi mzima. Anasimulia mama



    huyo kuwa tukio hilo liltokea akiwa bado yupoo kwao na tukio hilo liliwatia sana hofu wazazi wake.

    Pamoja na historia hiyo na kauli hizo za mama mdogo bado hazikunifanya niwe na amani ya nafsi na kunitoa mashaka niliyokuwa nayo. Basi kwa kuwa



    nilishatoa taarifa polisi niliamua kurudi zangu Arusha. Nikiwa njiani kuna namba ngeni ya simu tena simu ya mezani ilikuwa ikipiga “ Helow, naongea na Leah”



    iliuliza sauti hiyo? Ndio nani mwenzangu niliuliza. “ Napiga simu kutoka Moshi kituo kikubwa cha polisi, sasa kuna taarifa tumezipata kuhusu msichana



    mmoja mabaye jina lake bado alijatambulika. Hivyo tunakuomba ufike hapa kituoni ukiwa na picha ya huyo rafiki yako”. Alifafanua afande huyo mara baada ya



    kujitambulisha





    Hapo nilichanganyikiwa kabisa nisijue kuwa nishukie njiani nikatoe picha zilizopo kwenye simu au niende mpaka Arusha nikachukue picha ambazo zilikuwa



    zimesafishwa. Kwa kuwa gari lilishapiata KIA niliamua kuendelea na safari. Tulifika Arusha na sikutaka kupoteza hata dakika moja nilienda moja kwa moja



    tulipokuwa tunakaa na nikapekua pekua kwenye albamu yake na kuchukua picha zake mbili za hivi karibuni. Sikutaka kupoteza mda nilirudi zangu stendi



    nikapanda gari la Moshi na safari ikaanza upya.



    Niliona kama gari lilikuwa likienda taratibu kutokana na zile taarifa nilizozipokea kutoka polisi. Nilifika Moshi salama na kwa bahati nzuri kituo cha polisi



    kilikuwa mita chache kutoka stendi ya mabasi. Nilitembea haraka haraka na moja kwa moja nilifika kaunta na kujitambulisha kuwa mimi ndo Leah na nipo hapo



    baada ya kuambiwa nije na picha. Na hii ni kutokana na taarifa za kupotea za rafiki yangu Joyce nilizowakilisha hapo mida ya asubuhi. Haya lete hiyo picha ya



    rafiki yako harakaharaka alisema huyo polisi aliyekuwa akinisikiliza.Wakaingia nazo kwenye chumba cha intellegencia.



    Nikawa nawasubiri hapo nje kwa maana nilikuwa sijui nini kilikuwa kikiendelea hapo nje. Nilisubiri kama dakika kumi na tano hivi na baadaye niliitwa ndani na



    kupewa taarifa. Ulisema wewe ni nani yake hilo ndilo lilikuwa swali la kwanza kuulizwa: Mimi ni rafiki yake ambaye nina kaa naye Arusha. Wakaniuliza tena “



    wewe na Joyce manajishughulisha na shughuli gani?”.Nilimjibu kuwa sisi ni wajisariamali wadogo wadogo. Mnafanya shughuli gani hasa? Tuna saloon ya kike



    na pia tunaduka linalouza vitu vya urembo vya wasichana. Sasa ndugu naomba unisikilize kwa makini alisema yule polisi mara baada ya kurizishwa na maelezo



    yangu.



    Rafiki yako kwa sasa ni marehemu na mwili wake umekutwa kwenye msitu wa tembo. Uchunguzi wa awali wa kipolisi na kitabibu unaonesha kuwa marehemu

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    aliuwawa kwa kupigwa risasi na kabla ya hapo inaonesha alibakwa na kuharibiwa vibaya sehemu zake za siri. Kwani inaonesha aliingiliwa kinyume na



    maumbile. Tunaomba uwe mvumilivu kwa taarifa hizi lakini polisi bado wanaendelea na uchunguzi wa swala hilo. Watuhumiwa wantafutwa kwa udi na



    uvumba.



    ITAENDELEA



0 comments:

Post a Comment

Blog