Search This Blog

Tuesday, 17 May 2022

BIKIRA YANGU - 1

 





    IMEANDIKWA NA : EMMANUEL F. KWAY



    *********************************************************************************



    Chombezo : Bikira Yangu

    Sehemu Ya Kwanza (1)





    “aaaaah mmmmmh aaaah baasi inatosha, baaaby aaaah naumiaa stoop jamaniii aaaah mmmmh aaaaah isssssh aaaaaaah itoeeee aaaaaah baaaaaasi jaaaaaaaniiii”

    “kwi chi kwi chi kwichi kewichi kwichi”

    .CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Zilikua ni kelele za kitanda mambo yaliyokua yana endelea juu ya kitanda hiko hakika hakuna hata mtu mmoja aliye pasa kuuliza nini kilicho kua kinaendelea sababu ya miguno pamoja na chaga zilivyo kua zikilia kwa sauti kubwa , kikiri kakara iliendelea tena safari hiii kelele zilizidi kuonekana kama raha zilizidi sasa yalikua ni maumivu mengi, japokua mvua kubwa ilikua ikinyesha pamoja na radi kulia kwa sauti , kelele izo zilikua ziki sikika kwa sauti , ambapo kijana huyo aliye onekana kuwa na ugwadu aliendelea kukata viuno juu ya kitovu cha mwaana mke huyo, japo kua alikua akisikia kelele za mrembo huyo hakujali ndo

    kwanza alizididsha mashambulizi akiwa kwa juu ame mkunja binti huyo kwa nguvu akiwa ame mpinda kama KUKU liye taka kuchinjwa

    na kumfanya ashindwe hata kuji geuza, baridi lili lokua likipenya ndani ya dirisha pia lili zidisha mwendo kasi wa mechi hiyo iliyokua ya kukata na shoka ila cha ajabu binti huyo alianza kulia huku machozi yakianza kumtoka na kufanya damu kwa mabli zianze kumtoka ,

    “una niumiza , una niumiza NGOSHA, jamani naumia uwiii”

    Sasa safari hii sauti hiyo ilikua sio ya kimahaba tena ilikua sauti kavu iliyo jaa hasira,

    “namaaaliziaaa aaaaaaaah aaaaaah”

    Mwanaumwe huyo aliye kua kidogo ana mwili mkubwa kiasi alipasua yai la bata na kulala juu ya mwanamke huyo huku akiwa hoi, hakika unge bahatika kuuona mwili wake usinge amini kuwa mzunguko mmoja kama ange toa jasho kiasi hiko japokua kulikua na mvua kubwa ikinyesha sana.

    “embu sogea huko”

    “nime choka Esta, taratibu basi”

    “ yaaani na dude lako kubwa mimi nika jua una yajua kumbe mfyuuuuuu, huna lolote”

    “mbona ulikua un alia sasa, ?”

    “nilikua nalia sababu huku niandaa kwanza ume nichubua ume niumiza , huna lolote Ngosha, mara ya mwisho ulini haidi kuwa uta jirekebisha, lakini ume fanya yale yale. Ume niumiza, angalia ulivyo nichubua .”

    “aaaaa pole bwana!”

    Mwana ume Yule aliji geuza upande wa pili huku akivuta shuka lake, na kumfanya Esta aachie misonyo hakika haku kata kiu yake ambayo alikua nayo siku nyingi, bado alikua na kiu sana ya kupewa penzi, japo kua walipiga mechi hiyo lakini haku fika mlima Kilimanjaro, ila kwa Ngosha aliji ridhisha mwenyewe na kulala



    Alisimama kitandani na kuliendea kabati lake ambapo alivuta droo lake na kutoa album alifungua picha ili kuangalia akipoteza mawazo huku bado akiwa na maumivu makali kama mwana ke aliyo toka kutolewa bikira kutokana na kuchubuliwa na Ngosha,



    Alifungua fungua albam ile ya picha na kuganda katika picha ya marehemu Ramsey aligandisha macho yake na kukumbuka vitu mbali mbali hasa alivyoona picha ya Ramsey akiwa amevaa pensi bila shati akiwa anatabasamu alihisi machozi kumtoka kwa mbali, alifungua picha nyingine na kuona walivyo kua wamepiga wote wakiwa wenye nyuso za furaha sana, wakiwa kwenye fukwe za bahari, kigamboni.



    Aliichukua ile picha na kuibusu, huku machozi yakizidi kumlenga

    “Ramsey wangu pumzika kwa amani huko ulipo, nakukumbuka sana, nakumbuka mengi sana. PUMZIKA KWA AMANI,. ”

    Hakika alikiri kuwa hakuna kama Ramsey katika michezo ya kitandani, alikiri kweli Ramsey ni TAJIRI WA MAHABA , alikumbuka alivyokua akimfikisha kileleleni dakika moja tu tena hata wakati mwingine hata yeye asifike ila binafsi afike,

    alitamani afufuke walau amuone na wafaye mapenzi lakini swala hilo haliku wezekana hata kidogo, Ramsey alikua ame shakufa tayari hayupo tena Duniani na miaka mitano sasa imesha pita tangu apotee katika uso wa dunia,aliumia sana Moyoni mwake!

    Alimuangalia Ngosha ambae alikua akikoroma na kulala fofofo na kutema udenda, na kuachia tena misunyo mirefu na mikali

    “mwili mkubwa lakini huna lolote, MFYUUUU, na kesho na kuacha, kama choko vile, kasha niumiza tayari aaaaah”

    Alililalamika Esta.



    ******



    CATHERINI alizidi kutikisa kwa uzuri, huku makampuni mbali mbali wakizidi kumsakama mama yake ili waweze kufanya nae matangazo mbalimbali, licha ya mama yake kuto kubali lakini bado wana muomba na kumu haidi pesa nyingi sana endapo Cathrine akiwekwa kama kava au kwenye bango, kutokana na uzuri wake wa kuvutia,

    “jamani, si nili shasema sitaki kusikia hayo mambo yenu, kwani hakuna watoto wengine, SITAKI SITAKI SITAKI tena mtoke”

    “tuna kuomba Mama ndo maana tume kuja na meneja wetu hapa”

    “kwaio,?! sitaki sasa, tena nita washtaki”

    IVYO NDIVYO Sabrina alikua akiwa jibu. Hakika alikua mkali sana juu ya mwanae Catherine, hakutaka ajiusishe na mambo yoyote yale kuhusiana na Matangazo , alichukia sana japokua bado alikua na umri wa miaka mitano mtoto huyo , alimuanzisha chekechea . shuleni ilikua gumzo kila mtu alimzungumzia yeye, wengine wakimuita mchumba, alikua akilia sana hasa mtu akimuita mchumba,

    “mama Yule baba wa pale kaniita mchumba, mimi sipendi”

    “hahaha sasa ndo unalia mwanangu?”

    “mimi sipendi MAMA”.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Ivyo ndivyo ilivyo kuwa, baada ya kufika darasa la saba na kumaliza Sabrina aliamua kuhamisha makazi yake na kuhamia Dar es saalam, maeneo ya mbenzi beach, huko alita futiwa nyumba ya kupanga na Loydah wifi ykae huku akimalizai taratibu za kujenga maeneo ya Bunju ambapo Ramsey alimuachia kiwanja. Na kuendeleza duka la Ramsey akizidi kuweka mali nyingi na nguo.



    Catherine alianzishwa kidato cha kwanza katika shule za hadhi yake iliyo fahamika kama St, Marrys bado alikua tatizo kubwa sana, kwa uzuri aliokua nao,

    Mabadiliko ya mwili wake yalianza kubadilika, maziwa madogo yalianza kuchomoza kidogo na kufanya yawe kama embe BOLIBO , haikuishia hapo alikua ni mweupe wa kung’aa macho yake yalikua makubwa kiasi tena ya kulegea au kusinzia, alikua na mashavu kidogo makubwa na kumfanya yamkae vizuri hasa akicheka kishimo kimoja cha kulia kuingia ndani yaani dimpoz,



    Hata wewe unge bahatika kumuona hakika unge kiri na kusema kuwa hana kasoro hata kidogo, wengi wali mtabiria ana weza akaja kuwa hata misi dunia miaka ya baadae, alikua ni mzuri sio masihala, alikua ni mzuri mno! Hata mara nyingi walimu walivyomuona walishtuka na kugongana vikumbo, japo alikua mdogo ila kiuno chake kili binuka na kuweka kimlima kwa nyuma! . tembea yake pia ilikua ni tishio kubwa sana shuleni hapo!

    “ mwalimu SENYONGA embu muone mtoto Yule alivyo umbika, mtoto mdogo lakini khaaaa, kama kashushwa,”

    “acha zako wewe bado mtoto Yule mwalimu Chofera, uta funngwa”

    “mtoto wa mwezio mkubwa mwezio, embu muangalie anavyo tembea, Yule uwezi kumfananisha na Yule mkeo mama Husna, ana shepu kama SIMBA juu mnene chini mwembamba”

    “tueshimiane!, sasa mke wangu kafuata nini kwenye haya mazungumzo?”

    “mimi nakwambia ukweli”

    “ukweli gani, tuta maindiana sasa hivi”

    “sasa mwalimu ume maindi kisa nime kwambia ukweli”

    “ukweli gani”?

    “si kuhusu mkeo kufafana na Simba. Mimi na..”

    Kabla ya kuongea tayari mwalimu huyo alipokea ukofi mzito , kitendo kile kili wafanya waaanze kupigana ofisini, na kudondoshana chini kisa Catherine, walibwagana chini huku wakianza kushushiana makonde, haraka haraka walimu wengine walikuja huku wakiwa na mkuu wa shule,

    “jamani kuna nini. Mbona mna pigana watu wazima?, nifuateni ofisini”

    Aliongea mwalimu mkuu wa shule hiyo na kuongoza mbele, huku walimu waliokua wakipiagana kushindwa kuelewa endapo wakiulizwa kwanini walikua wakipigana wata jibu nini



    Wali fikishwa ofisini walimu hao wakiwa bado wana jishauri wamjibu nini mkuu wao wa shule.

    “nawa uliza kwanini mna pigana, mmeshiba sana”?

    “hapana mkuu”

    “ila”?

    “tusa mehe”

    “hamkunijibu swali langu, kwanini mna pigana eneo la kazi”?

    “nisamehe mimi, asubuhi ya leo nili amka vibaya, sasa nika kwaruzana kidogo na kupishana maneno na huyu mwalimu mwenzangu ndo uka tukuta kwenye hali ile”

    “mfano ange kuja mkurugenzi angewakuta, mngesema nini”?

    Swali hilo lili wafanya wakose majibu na kuangalia chini.

    “sitaki kusikia tena, habari hii iki jirudia, nendeni mkaendelee na kazi”



    ********



    LICHA ya wana ume au wavulana kumsumbua Catherine pia ilikua vivyo ivyo kwa mama yake, alisumbuliwa pia na wana ume ambao walijua kuwa mume wake alifariki, wana ume wakija na magari ya kifahari, wakiwemo wafanya biashara wakubwa wakipashana kila siku getini lakini hawa kuambulia kitu chochote kutoka kwa Sabrina.japo ilikuwa

    alikua ana mtoto tayari, ila bado alikua kama binti wa miaka 18 hivi!.



    “nili sha kwambia siwezi kuwa na wewe Mr, RUBASHORWA tueshimiane, una mke isitoshe”

    “mambo ya mke wangu niachie mimi, wala usijali kuhusu hilo”

    “hapana siwezi”

    Sabrina aliongea maneno hayo wakiwa kwenye moja ya mgahawa uliopo posta baada ya kutoka katika shughuli zake za hapa na pale,

    “huwezi kumlea mtoto Yule peke yako, ana hitaji matunzo , nipe nafasi hiyo mimi nita mlea, mimi nita mlipia kila kitu mpka ana fika chuoni”

    “NO, siwezi, embu nirudishe nyumbani”

    “sawa ila jaribu kuli fikiria swala langu”

    “sawa nita jaribu”



    Mr,Rubashorwa aliingia ndani ya marcedez benz akiwa na Sabrina na kuondoka , bado akiwa ndani ya gari alizidi kumsisitiza Sabrina aweze kumkubalia ombi lake, akiwa anaendesha gari mzee huyo alizidi kumthaminisha Sabrina akimuangalia kwa macho ya kuibia,

    “ujue Sabrina wewe ni mzuri sana”

    “embu acha zako”

    “waalah tena”

    “aya shukrani”

    .CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Katika moyo wa Rubashorwa alipanga atumie gharama zake zote ili aweze kumpata Sabrina ilikua hata atumie nusu ya utajiri wake, ili walau aweze kumvua nguo Sabrina,



    ********



    BADO Catherine anaizidi kuwa tatizo kubwa ndani ya shule ya st marrys kwa uzuri wake na upole pia, hakua muongeji sana, kila siku zina vyozidi kwenda ndo alivyo kua ana zidi kuwa mzuri, umbo lake likizidi kuwa kivutio kikubwa kwa mwanaume , pengine unge bahatika hata kuliona paja lake ungewahi bafuni mara moja na kuta futa sabuni,.



    Aliendelea kusumbua mpaka alivyo fika kidato cha nne hapo ndipo jopo la wana ume walianza kumsumbbua mno, ila waliambulia patupu, hata walimu pia wali tamani japo wapewe penzi la siku moja na mrembo huyo, wakitumia njia mbali mbali ili kumteka lakini haikuwa rahisi kama walivyo dhani,



    Siku iyo Catherine akiwa darasani kiti cha mbele mwalimu aliingia na kuanza kufundisha somo la hisabati, macho yake alikua akimuangalia Cathrine muda wote, ila aliya gandisha chini ya meza baada ya kuona paja la Catherine lililokuwa jeupe na kunona, zipu yake ilianza kutuna na kushindwa kuvumilia,



    Alitoka darasani na kuelekea ofisini kwake, alichukua mafuta na kuya weka mfukoni n akuelekea chooni, huko alitoaa mafuta hayo na kushusha suruali yake, alitoa SWITCH yake ili yokua tayari ime tuna na kuanza kuji chua huku akivuta hisia akiwa na Catherine kitandani hakika kihisia aliweza kumvua nguo zake na kuamua kuji burudisha akitumia njia hiyo,



    Kibarua cha kuwa rudisha wana funzi na kuwa peleka shule kinaanza kumshinda dereva huyo kila siku ambapo Catherine ndiye aliye kua mwana funzi wa mwisho kurudishwa nyumbani, siku iyo aliamua kumpitiliza , jambo hilo lina mshangaza sana

    “anco masudi, mbona una nipitiliza leo”?

    “nita kurudisha usihofu Catherine”

    “ila tuwahi nimalizie home work”

    “usijali”

    Nia ya dereva huyo aliye fahamika na wana funzi kama anco masudi aliingiwa na pepo la ngono na kutaka kumshawishi Catherine ili aweze kufanya nae tendo la ndoa, kweli alishindwa kuvumilia , alishindwa kuzuia hisia zake hakika!.

    Gari hilo la shule(school bus) lili kunja kona ya kuelekea maeneo ya JKT maeneo ya kurasini na kuegeshwa nje ya chumba kidogo kilicho julikana kwa haraka haraka kama geto.

    “twende Catherine”

    “nita kusubiri ndani ya gari”

    “twende hata ukanywe maji”

    Kwa kua alimuheshimu sana dereva huyo na kuamini kua hakuna jambo lolote baya litakalo weza kutokea, aliji kuta akishuka ndani ya basi hilo na wote kuingia ndani ya chumba hiko ambapo kilikua na kitannda peke yake,



    Masudi alimkaribisha Catherine na kumpa maji, ila baadae Catherine anaona anaanza kufanyiwa mambo ya ajabu alianza kushikwa maziwa. Joto la mwili wake lili anza kupanda na kuanza kuhisi raha ila baadae anashtuka

    “anco masuudi nini”?

    Alilalamika Catherine huku akijaribu kiutoa mkono wa masudi ambao ulikua upo ndani ya chuchu yake wakati huo tayari shati lake la shule lili kua chini huku akibakiwa na sidiria….



    “WHAT are you saying? this is bullshit I don’t give a damn here, got damn. Sitting here wasting my time, do you think I don’t have other stuffs haaah.!, I have been waiting here for so long, that’s why I hate AFRICA, because of stupid things ,frankly speaking you pissed me off, . (una sema nini? Huu ni upuuzi, sipendi ushenzi, kukaa hapa kunipotezea muda, una dhani sina mambo mengine ya kufanya haa!, nime subiri hapa kwa muda mrefu, ndo maana naichukia AFRIKA, sababu ya ujinga, ukweli wa ndani ume nikera).

    Sauti hiyo ilisikika iki foka sana, ilionekana dhahiri kuwa aliye kuaa kiongea alikerwa sana , kelele izo zili wafanya mpaka abiria wengine walio kua wakipita hapo kusubiri ndege wageuke na kumuangalia mtu huyo ana yefoka kwa



    hasira huku pengine akitamani kurusha ngumi au kumpiga mtu,

    kitendo cha kuwekwa uwanja wa ndege hapo masaa matatu kili mkeera sana, wakisingizia kuwa ame kuja na mzigo mwingi ivyo walimuweka kwa ajili ya uka guzi wa kina kama taratibu zinavyo fanyagwa uwanja wa ndege wa Tanzania, hakuzoea kabisa hali hiyo sababu ya kukaa MAREKANI kwa muda mrefu sana, alichukizwa sana na hali iyo

    “Listen the the you know, is you coming here, to search your luggages so you the coming here kuku fanyia check up ”

    Alijibu muhudumu huyo kwa kiingereza kibovu, huku jasho jingi likimtoka mwilini, hakuelewa ajibu nini ivyo aliji tahidi kuunga unga maneno yasiyo eleweka.

    “, am gonna sue you, I wanna talk to your boss right now, “(naenda kukushtaki, nataka kuongea na tajiri yako sasa”)

    “hapana, NO usifanye ivyo, but you you doing wrong, when you do that. Sophia embu njoo mara moja uongee na huyu jamaa, maaana mpka jasho la meno lina ntoka”

    “aaaah aaaah aaaah malizana nae mwenyewe. Mimi siwezi sitaki kabisa, mambo ya kuongea ongea viingereza nani ana taka asubuhi hii, alafu wewe si ulisema una jua kiingereza bonga hapo leo ume patikana”!

    “sio kwamba sijui nina kazi hapa za kufanya”

    “huna lolote, huyo mlengeshe kwa Brian, Yule pale, mwambie aende pale”

    .CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Baada ya kuogopeka na kiingereza kile cha kimarekani kabisa wana amua kumpeleka kwa mfanya kazi mwingine wakiamiini kuwa angeweza kuongea nae, kweli alikua akiyang’ata maneno kama wama rekani wakiwa wana ongea, laiti kama unge msikia unge jua wenda ni mmarekani mweusi kumbe ni mtanzania kabisa, lakini kutokana na kuishi



    miaka mingi nje ya nchi hiyo ,kuna mfanya aba dilike na kuwa kama wao hata vaa yake pia vile vile,

    “how may I help you sir”?(nikusaidie nini muheshimiwa)

    “lemmi explain what happened, they stopped me, claiming tha I have mobb of luggages got damn, I sat there, till now they haven’t told me any thing yet, what does tha suppose to mean haaa!,. is that how you treat your customers here, talk to me,(ngoja nikuelezee kilicho tokea, walinizuia, walisema nina mizigo mingi, nilikaa pale, mpaka sasa hivi hawa kunieleza chochote kile, ina maanisha nini haaa!, ivyo ndivyo mna hudumia wateja wenu hapa, niambie!)

    “on their behalf, am so sorry, just forgive us, give me five minutes.(kwa niaba yao, naomba unisamehe, tuwie radhi, nipe dakika tano)..

    Kijana Yule aliye kua mfanya kazi wa uwanja wa ndege aliinuka na baadae kurudi na ,mizigo ya kijana Yule huku akizidi kumuomba radhi., kijana huyo alitoka nje huku akiwaacha katika minong’ono

    “sasa ndo nini kuniletea garika hilo wewe sophy xera”?

    “hahahahaa sio ivo Brian huyu mwenzako pangalashaba aliji fanya anajua kimombo sana, sasa naona kaumbuka leo jasho lime mtoka”

    “alafu wewe pangalashaba wewe, uache habari zako bana”



    Akiwa ana buruza begi lake kubwa mkononi alisimama nje ya uwanja wa ndege na kutulia huku akionekana kama akimtafuta mtu,

    “ENOOOOOOOCK, karibu ndugu yangu, mwaaanaaa, duuuu kitambo sana”

    Aliongea mtu aliye kuja kumpokea huku akimpa mkono na kuko mbatiana huku wakipigana pigana migongoni hakika walionekana kuwa ni kipindi kirefu sana hawa jawahi kuonana

    “ime kuaje mbona ume kawia kutoka”?

    “aaaaah wazushi mule ndani MEN nika wazingua kimombo kidogo, ili niwa changamshe, kumbe bongo nyie ngeli bado kabisa my boy, LONG TIME NO SEE LAWRENCE(muda mrefu sija kuona Lawrence)”

    “usianze hapa, mimi sija soma kiingereza kabisa”

    Waliongozana wawiili hao wakiwa wenye furaha sana kupita kiasi na kuingia ndani ya GARI ya kisasa aina ya Jaguar na kuanza safari ya kuelekea nyumbani.



    Nia ya kurudi kwa Enock ilikua ni kitu kimoja tu kwenda kuja kuishi na baba yake Mr, Mwasha ambae tayari alikua ura iani baada ya kutoka jela kumaliza kifungo chake, hakika moyo ulimuuma sana hasa baada ya kusikia mama yake mzazi yupo katika kifungo cha maisha,



    Alitaka kuhamia moja kwa moja Tanzania au amchukue baba yake wakakae nchini marekani , kutokana na yeye alikua tayari ana jiweza kiuchumi, baadae kidogo walifika nyumbani kwao oysterbay lakini bahati mbaya haku mkuta baba yake Mr, Mwasha aliiingia na kuji mwagia maji ili atoe uchovu kidogo, alivyo fika seblen aliiona picha kubwa iliyokua ukutani ya mama yake Josephine aliichukua na kuanza kuingalia,



    *********



    WAKIWA MBALI KIDOGO NJE YA mji maeneo ya kibaha huko walianza kulewa huku pombe zikizidi kuwakolea sana. Rubashorwa akiwa na marafiki zake huku pembeni yake akiwa na Sabrina walizidi kuponda mali na kunywa pombe wakiwa na wahaya wenzake.

    “yooo mama embu weka kreti lingine hapa. Nataka turewe sana,”

    Aliongea Butashobya . kweli pombe zili ongezwa kreti lingine yalikua ni kama mashindano ya kunywa pombe siku hiyo, kama kawaida la kabila hilo lina losifika kwa sifa ya kutumia pesa , ndo siku hiyo walikua wakifanya sifa na kutumia pesa,

    Ilivyo fika mishale ya saa saba kila mtu alikua chakali kabisa, na kuletewa bili ya shilingi laki saba na elfu hamsini,

    “whaaaat,? Mimi nirijua tume tumia milioni , kumbe ni pesa hiyo”

    Alizingumza Rubashorwa na kufungua pochi yake na kulipa pesa zile,

    “Jaaaamani, naaomba nirudishe nikalale”

    “sawa nakurudisha”

    “sasa hivi, maana nime muacha Catherine peke yake nyumbani”

    “okay No problem.”



    Rubashorwa alimvuta Sabrina mkono na wote kuanza kupepesuka kwa ulevi, walijizoa zoa na kuingia ndani ya gari na safari ya kurudi nyumbani kuanza , akiwa juu ya usukani alimuangalia Sabrina na kumuona akiwa amelala alisogeza mdomo wake mdomoni mwa Sabrina na kuanza kumla denda katika kitendo ambacho hakukitegemea Sabrina alianza nayeye kujibu masha mbulizi na kuutoa ulimi wake nje huku na kuanza kulana denda.



    Nafasi ile hakutaka kuiacha hata kidogo, haraka haraka aliweka gari pembeni nje ya hotel iliyo kua karibu na hapo na kuta futa chumba bahati nzuri chumba wali kipata, na pombe kwa mbali kuanza kuisha kichwani

    Pale pale baada ya kuingia Mzee huyo alianza kumpiga mabusu ya mdomoni Sabrina hakika alikua na uchu sana, kupita kiasi kitendo cha kumtaka mwana mke huyo kwa kipindi kirefu akikataliwa leo hii kapata bahati, hakika kwake ilikua ni bahati kubwa sana, ili kua ni sawa na embe kuanguka chini ya mti wa mbu-yu.

    Mzee huyo wa kihaya alianza kumshika maziwa Sabrina huku mkono mmoja aki upeleka kwenye ikulu ya Sabrina. Wakiwa bado wame simama Alimtoa top ya juu ya kufungua sidiria aliyo kua ame ivaa, kweli baada ya kuona maziwa ya Sabrina yalivyo kua meupe sana mzuka ulizidi kumpanda na kuanza kuya nyonya hususani chuchu zake,.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “aaaaah Rammmseeeeeey”

    Alilalamika Sabrina huku akiwa bado ana pombe nyingi kichwani na kweli mbele yake aliiona sura ya Ramsey na kuzidi kuleta ushirikiano, mzee hakutaka kuhoji japokuwa alikua akilisikia jina la Ramsey mara kadhaa ;lakini , haikuwa kazi yake kuhoji swali hilo, waliendelea kupiga madenda wakibadilishana mate.

    Kweli Sabrina hakuwahi kufanya mapenzi na mawanaume yoyote Yule tangia Ramsey afariki, ivyo alihisi damu ikimuenda kwa kasi kama umeme wa maji ya MAPOROMOKO ya owen falls, kweli alikua hajiwezi tena na kumfanya azidi kurembua,

    Mzee huyo alimvuta na kumtupa kitandani na kuanza kumvua nguo moja baada ya nyingine ila alivyo fika kwenye chupi Sabrina aliweka mkono ili kuzuia isitoke huku akilitaja bado jina la Ramsey,

    “nini baby”?

    “sipo tayari Raaaaamsey wangu”

    “nini sasa”?

    “ninyonye maziwa”

    Mzee huyo siku iyo ili bidi tu akubali jina la Ramsey aliendea kifua cha Sabrina na kuanza kumnyonya chuchu zake na kumfanya Sabrina aanze kuji kunja kunja akihsi raha kupitiliza, huku na yeye akishika NDIZI ya mzee huyo, alimvua Shati mzee huyo na yeye kuvua chupi na wote kubaki kama walivyo zaliwa,,,,,



    Mzee huyo japo kua alikua umri umeenda kidogo ila alionekana kuji tuma kuliko kawaida sababu alikua akifuata taratibu zote za ukulima kuanzia upandaji mbegu na kuvuna pia ,

    ila hii ni kutokana na Sabrina kumpa maelekezo ya hapa na pale, mwishowe Sabrina alipanua miguu yake mwenyewe na kumuomba mzee uyo aingie chumvini, hakua na ubishi wa aina yoyote ule, mzee uyo alishuka chini taratibu na kutoa ulimi wake na kuanza kulamba chachandu ya

    Sabrina hapo ndipo Sabrina alipoanza kuvuta vuta mashuka na kuanza kushika kichwa cha mzee huyo kilichokua kina uwaraza kwa mbele, alizidi kukikandamiza kwa ndani, huku akiji shika shika maziwa yake hususani chuchuu.

    “aaaah shhhs aaaaaah uuuuh Raaaaaaaam”

    Mzee huyo japo kua alikua na moto wa ajabu ila ili mbidi atulie na kufuata maagizo ya refa rii ambae mpaka wakati huo hakutaka mechi ianze , alitaka wachezaji waanze kupasha kwanza !, Sabrina taratibu alianza kuzungusha kiuno chake huku mara kadhawa akiiweka mikono yake juu ya MGODI wake na kuji sugua sugua hakika alionekana kua na kiu sana ya mchezo huo wa KIKUBWA, huku bado mzee huyo akiwa chini ana lamba mzinga wa asali,



    Alivyoona haitoshi mzee huyo alitumia vidole vyake na kuanza kupima oil taratibu sana, pima oil ingiza toa ile ili mfanya Sabrina aanze kutoa miguno ya makelele sana na kuanza kuibana miguu yake, tayari alihisi kufika kilelelni baada ya kuchezewa takribani dakika kumi na tano, hata kwa upande wa mzee huyo jasho lilishanza kumtoka kabisa, baada ya kupigishwa gwaride nje uwanja, mzee huyo alimbinua Sabrina ili aanze mechi ila katika hali ya kushangaza Sabrina aligoma, na kuonekana kabisa kama ni m tu ambae amerejewa na kumbu kumbu,

    Ili kumridhisha mzee huyo alishika KOKI yake na kuanza kuichua taratibu, aliiichua haraka haraka na baadae risasi nzito kuruka huku mzee huyo akionekana kuchoka, ki ukweli haku bahatika kuingiza MASHINE yake ndani ya ikulu ya Sabrina.



    *******



    “ngo ngo ngo”

    Zili kua ni kelele za mlango zili zomshtua Masudi katika dimbwi la kutaka kumla Catherine akiwa tayari shati lake la shule lipo chini kabisa huku akiwa amelala hajiwezi kabisa kutokana na Raha alizokua akisikia za ajabu bila kuelewa zili tokea wapi sababu iyo ili kua ndiyo mara yake ya kwanza kusikia raha za namna ile zili kua ni raha za kipekee kabisa,

    gonga ile ya Mlango ina mkeera sana dereva Masudi, Catherine kusikia vile nayeye alichukua shati lake la shule lililo kua chini na kulivaa haraka haraka.

    “oyaa mbona una pigiwa simu hupokei mkuu ana taka uka mchukue shuleni pale, usha fanya hili school bus lala baba yako”?

    “sio ivyo nili kua nime choka Makalla, “

    “sasa uki sikia kufukuzwa kazi ndo leo”

    “kwani kamaindi”?

    “hapana ka maharage! washa gari sasa hivi nenda skuli kule, jamaaa ana foka tu, hupokei simu”



    Kijana huyo aliondoka na kumpa Masudi ujumbe huo ambao ulimuogopesha sana SWITCH yake yote ilisinyaa sababu alijua angeendelea na mambo aliyo kua anafanya wenda ange poteza kibarua chake na kufukuzwa sababu hakua na mahala pengine pa kupatia kipato zaidi ya kazi hiyo ya udereva ya kuwapeleka watoto shuleni na kuwarudisha majumbani kwao,

    haraka haraka alimwambia Catherine avae ili safari ya kumrudisha nyumbani kwao ianze,



    Baada ya Sabrina kufika nyumbani hakumkuta mama yake, alibadili nguo na kuji mwagia maji , baada ya hapo aliingia kwenye friji na kutafuta kitu cha kupika kwa ajili ya usiku, baada ya kupika kila kitu aliweka chakula mezani akimsubiri mama yake mpaka usiku huo bado alikua hajarudi nyumbani, wasi wasi unazidi kumuingia moyoni na kujua wenda mama yake ame patwa na tatizo lolote, ila alizidi kusubiri na kuamua kuingia chumbani kwa mama yake ili amsubiri, sababbu aliogopa kulala peke yake chumbani kwake, ndani ya nyumba hiyo kubwa ili yokua Bunju waliishi wawiili tu yeye na mama yake pekee, ambapo waliamia mwezi mmoja uliopita!

    .CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Katika kupekua pekua ghafla aliona CD iliyoiandikwa KAMASUTRA aliitazama ile Cd na kuona mwana mke mmoja akiwa kama alivyo zaliwa, alimkumbuka Rafiki zake shule walivyo kua wakiisifia filamu hiyo katika kuonesha staili mbali mbali za kufanya ngono, aliiweka cd hiyo ndani ya deki na kuanza kuangalia,

    kweli mambo aliyo kua Anaya ona hapo yalikua ni ya kikubwa sana, mwili ulizidi kumuwasha alitamani hata mwanau me aje wakati huo huo ili aweze kupooza kiu yake, alishangazwa hasa baada ya kumuona mwana mke mmoja ana nyonya uume wa kijana mmoja, hakika alistaajabu sana,

    kuona tukio lile

    “mmh kumbe hii nayo ina nyonywa”?

    Aliwaza Sabrina.

    Damu ili zidi kumuenda mbio na kuanza kumkumbuka masudi alivyo kua akimshika, hakika damu ilizidi kumuenda mbio sana, na kutamani jinsia ya kiume , alihisi vitu kama vina tembea na kumtekenya ndani ya ikulu yake, kwa kua siku iyo ili kua ijumaa alichelewa kulala akijua kesho yake hakuna shule.



    Alizidi kutoa macho ju ya tv ile, alivyoangalia saa ya ukutani aliona tayari ime jiri saa kumi za asubuhi, usingizi uli mpitia akiwa juu ya kitanda.

    kili chomshtua ili kua ni sauti ya mama yake haraka haraka ali kurupuka na kuku mbuka kuwa hakuzima tv , alikua kasha chelewa tayari sababu mama yake alikua tayari yupo mlangoni na macho yake kutua juu ya tv ambapo kipande kilicho kua kikioneshwa ni cha mwanaume mmoja wa kizungu akiwa ame m-binua mwana mke kwenye sofa wakifanya mapenzi.



    Catherine alitetemeka sana na kutoelewa ni hatua gani mama yake ange ichukua baada ya kugundua yeye ndiye alikua akiangalia filamu chafu ya NGONO….



    “Cate ulikua unaangalia nini”?

    “mimi, MAMA hapana sio kitu”?

    “ulikua unaangalia nini”?

    “SIO KITU Mama”

    “ume kua siku izi?, nani alikuambia upekue chumbani kwangu na aliye kuruhusu uingie humu ndani nani?”

    “Mama lak..”

    “nakuuliza hivi, aliye kwambia upekue vitu vyangu nani”?

    Kweli mama yake aliongea kwa ghadhabu na hasira sana, hakika alikerwa sana na kitendo cha kumkuta mwanae anaangalia mkanda huo wa kikubwa, cha kwanza kilicho mkasirisha ni yeye kuji dharirisha kwa mwanae na kingine alimuona mwanae ataaharibikiwa kimaadili, alicho takiwa kufanya hapo ni kuchukua

    hatua kali kama mama, aliongea huku akimsogelea Catherine ambaye kwa wakati huo alikua akitetemeka na kurudi nyuma kwa hofu, hakuwahi kumuona mama yake akiwa katika hali ya kuka sirika kiasi hiko, macho ya mama yake yalikua mekundu mno! Huku jasho liki mtoka usoni, alilrudi nyuma

    mpka alivyo fika mwisho kwenye ukuta ambapo pembeni yake kulikua kuna meza ya DRESSING TABLE iliyo jaa vipodozi vingi juu yake, hakujua afanye nini zaidi ya kutulia ukutani nakusubiri kina cho fuata,



    Alilia kwa hofu huku akiomba msamaha lakini hakuweza kumzuia mama yake asiweze kumsogelea na kumtandika kofi la shavu, hakuishia hapo, aliendelea kumpiga makofi na kumfinya mwili mzima,hususani kwenye mapaja. Alivyoona haitoshi alichukua mkanda na kuanza kumchapa kila sehemu na kusababish a catherine alie kwa maumivu makali, mara ya mwisho kupigwa na mama yake alikua darasa la tano , kwa kosa la kukataa kuosha vyombo akidai kua amechoka sana , ila siku iyo alimpiga kupita kiasi,

    “mama nisameheee sitorudiaa teenaaa, Mama yangu nime kosaaaaa nisameheeee”

    “shhhiii shiiiiii shiii kelele, sitaki upige kelele”

    Baada ya Catherine kunyamaza kipigo kilizidi kuendelea, japo kua alikua akilia uzuri wake bado ulionekana mara dufu , alibadilika rangi tayari na kua mwekundu kwa kulia sana,.hakika alilia hakua na msaada mwingine zaidi ya kuanza



    kukimbia, kabla ya kukimbia aliparamia meza ya Dressing table iliyo kua na kiioo na kupasuka pale pale, aliamka haraka haraka na kutojali viioo vile vilivyokua chini alivi kanyaga na kufanya vimkate miguuni na damu kuanza kumtoka , ila haikufanya mama yake mzazi aache kuendelea kumchapa na mikanda kila sehemu ya mwili wake, Catherine alilia sana na machozi kuanza kumkauka aliuparamia mlango wa chumbani akiamini kua kukimbia ndio itakua suluisho pekee,



    Aliufungua mlango haraka haraka na kuanza kukimbia huku mama yake mzazi akimfata nyuma akiwa na hasira sana, !

    “njooo hapa, unadhani uta kimbia kwenda wapi, ?, Catherine”!

    “mama nisamehee nakufaaa”

    Bado waliendelea kukimbizana ndani ya nyumba ile iliyokua na malu malu chini, baada ya Catherine kukunja kona ghafla ana teleza kutokana na michirizi ya damu alizokua nazo miguuni na kumfanya agonge kichwa chake ukutani, na kudondoka chini mzima mzima ambapo alitua chini kwa nyuma na utosi kujigonga chini kwenye malumalu,

    pale pale ukimnya ulitawala, hakukuwa na kelele tena za kilio kutoka kwa Catherine, alikua amelala chini huku damu zikiendelea kutoka miguunii na nyuma ya kichwa, tayari alikua amezirai kutokana na kukipiga kichwa chake chini ya malu malu,

    “Catherine,”!

    Aliita MAMA yake huku akimuendea chini kitendo cha kumuona mwanae yupo kimnya kili mshtua sana, hakuelewa nini kime mpata hakuelewa kama mwanae amekufa, hasira zote zili mwisha na kuanza kujutia kwanini alimpiga mwanae, alijua dhahiri alifanya makosa makubwa kuliko kawaida.

    “Catherine amka mwanangu”.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Alizidi kumtingisha Catherine bila mafanikio yoyote yale, alitoka nje harakaharaka na kumuita kijana mmoja aliyekua dereva taxi na kumuomba msaada , jambo lile lili fanyika mara moja. huku wakisaidiana kumbeba Catherine ambapo wakati huo alikua haongei wala hasemi chochote kile,

    “twende hospitali yoyote ya karibu ile”

    “wapi mama”?

    “nime kwambia hospitali yoyote ile, fanya haraka kaka”

    “sawa hakuna tabu”

    Dereva aliiitikia huku akiweka gia kwenye herufi D na kuweka mguu kwenye mafuta mpaka mwisho, akitoa gari hilo kwa kasi na kufanya mchanga ulio kua nje uruke juu, sababu ya matairi ya nyuma kuzunguka kwa kasi sana.

    Aliwasha taa za hazad(HENDKETA) kuashiria kua ana dharura ivyo ange hitaji njia bara barani, kama taratibu za sheria za bongo, madereva wengine walifanyaa uungwana na kuipisha taxi hiyo ipite,



    Ndani ya gari Sabrina aliendelea kulia huku akizidi kumtingisha Catherine ambae wakati huo alikua kimnya sana. Wala haongeoi tena, alikua ame fumba macho yake kama aliye kua amekufa au amelala usingizi mzito, hali ile ili mtisha sana mama yake , alijua kumpoteza Catherine ata poteza kitu muhimu sana chini ya jua pengine ulimwenguni, Catherine alikua ndiye mtoto wake wa kipekee na hakutaka kuzaa mtoto mwingine yoyote Yule, alilia sana hasa alivyo mkumbuka Ramsey , hakuelewa

    Nini ange mwambia au ange mfanya nini kama angelikua hai baada ya kusikia mwanae kafa, alilia sana huku akimuomba Mungu asimchukue mwanae sababu bado ni mdogo sana kufa,, hakuacha kujilaumu kwa kitendo cha kumpiga mwanae!,



    Taxi hiyo haraka haraka ili fika nje ya hospitali iyo ya wilaya na kabla ya taxi kusimama tayari Sabrina alifungua mlango na kuruka nje huku akikimbilia ndani akiomba msaada wa manesi, nao hawa kucheza mbali haraka haraka walitoka na kitanda chenye magurudumu na kumuweka Catherine juu ya kitanda hiko huku kikianza kusukumizwa haraka haraka, ndani ya chumba maalumu, nesi mmoja alikuja na chupa ya dripu na kuitumbukiza ndani ya mshipa wa damu ili maji yaweze kuingia mwilini mwake,



    “subiri nje mama”

    “kwanini? ni mtoto wangu huyu wa kumzaa”

    “ndio tuna elewa huruhusiwi kuingia humu, tuache tufanye kazi yetu wenyewe”

    “EEEH MUNGU weeeeee”!

    Alilia Sabrina huku akiweka mikono yake miwili kichwani na kupiga piga miguu chini, kitendo cha Catherine kuingizwa ndani ya chumba cha wagonjwa mahututi kina mfanya azidi kuchanganyikiwa sana,

    “tsup Dad,”(habari yako baba)”

    “nili kwambia nini Enock, usiwe una nisalimia mimi kihuni, na vua hayo mahereni yako masikioni, usilete uma rekani hapa , upo AFRIKA tena Tanzania, usinilete habari iyo tsap tsap yako siitaki, sema shikaamo Baba”

    “come on Dad, what is wrong with yah haaah(mbona ivyo baba! Tatizo nini?). Okay okay easy easy Shikamoo BABA”

    “namna hiyo marahaba mwanangu, ukiwa una nia mkia ivyo , nitafurahi, I will be proud of you son(nita jivunia kuwa nawewe kijana wangu).”

    “okay Dad, see you,(sawa baba tuta onana ) naenda JOB”

    “ila una kumbuka kuwa kesho ni siku ya kwenda kumuona mama yako gerezani?”

    “ndio nakumbuka hata juzi nilivyo enda THEY TOLD ME THAT,(waliniambia) nita enda kesho,”

    “ila mimi sitoenda, sasa sikiliza uki fika ofisini pale mwambie Sakina anitumie laki tano”

    “sawa Dad, take care, see you later”(kuwa mwangalifu, nita kuona baadae)”

    Yalikua ni mazungumzo kati ya Enock na baba yake mzazi mr, mwasha , asubuhi ya siku iyo wakiwa ndani ya nyumba kubwa ya kifahari, ambayo waliishi wawili tu, yeye na baba yake, hakika bado kulikua na pengo kubwa hapo kati kati MAMA ambae ni jOsephine., Enock aliumia sana kwa kitendo cha mama yake kuwa gerezani, ila hakua na jinsi yoyote ile, sasa hivi ni mtu mzima alielewa fika kabisa kilicho fanya

    mpaka mama yake awepo gerezani, mara kwa mara alipenda sana kumtembelea mama yake gerezani akimpelekea



    chakula na vitu vingine kadhalika, MAMA NI MAMA hata kama akikosea ata baki kuwa mama tu, hiko ndiko kilicho kua ndani ya akili ya Enock,

    Baba yake ali mkabidhi kampuni ya NISSAN iliyopo posta ambayo hapo awali ili kua ikiendeshwa na mama yake na yeye leo kuimiliki akiwa kama MKURUGENZI , hakikaa aliiendesha vizuri na kurudi katika hali yake ya zamani,



    Akiwa na mabuti yake makubwa huku kichwani akiwa amevaa kofia aina ya chepe iliyo andikwa DOPE aliizidi kudunda na kuliendea gari aina ya JAGUAR na kulitia moto akitoka nje huku baba yake akimsindikiza kwa macho, mavazi yale yali mchukiza sana baba yake, ila hakua na jinsi aliamini ipo siku atabadilika lakini hakujua ni lini.



    Baada ya kufika ofisini anaendelea na shughuli zake za hapa na pale, jioni ilivyo fika aliwasha gari na kuondoka akirejea nyumbani, siku hiyo jioni



    kabla ya kufika nyumbani alipita katika moja ya SUPER MARKET na kuta futa chakula kizuri kwa ajili ya kesho ampelekee mama yake gerezani,.

    alinunua burger, pizza na vingine vingi akiamini kua mama yake ata weza kufurahi sana, baada ya kumaliza hapo alitoka na kuingia ndani ya gari na kuondoka zake, alifika nyumbani, kwa kua kulikua hakuna hata mlinzi ili mbidi ashuuke na kufungua geti, aliirudi ndani ya gari na kuliingiza gari ndani katika moja ya maegesho ya magari.

    .CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Ukimnya ulio tawala alijua kua baba yake ameshalala tayari ivyo hakutaka kumsumbua alipitiliza mpka chumbani kwake na kuji mwagia maji, baada ya hapo alijitupa kitandani huku akiwaza kesho ita kavyvo kua.



    Kulivyo kucha kama kawaida alimsalimia baba yake na kumuaga huku akiwa na vifurushi mikononi vya chakula alivyonunua jana yake, alivaa miwani yake nyeusi na jins nene huku chini alivaa mabuti

    makubwa ya njano, shingoni alikua na mikufu ya dhahabu na hereni pia, unge bahatika kumuona ungesema hakua



    mtanzania alikua ni mmarekani mweusi pengine unge mfananisha na P.DIDY mwimbaji wa marekani , jinsi alivyo chonga nywele zake zika shuka chini yaani timberland na kuchora O , hakika alikua kijana mmoja wa kuji tunza sana na kuji penda sana, alikua mrefu kama baba yake Mr, Mwasha alikua na rangi ya

    chocolate, sura yake ili kua pana kidogo,, macho yake ya ukali aliridhi kwa baba yake, na vingine alichukua kwa mama yake, kama pua na mashavu,



    Aliingia ndani ya gari na kukanyaga klachi na kuweka mkono wake juu ya gia , ambapo alisogeza mpka kwenye herufi R na gari hilo aina ya BENZ kuanza kurudi nyuma taratibu, alivyo ridhika alirudisha kwenye gia nambari moja na kuanza kulitoa gari nje taratibu,

    alishuka na kufunga geti alivyo hakikisha kila kitu kipo sawa, aaliirudi ndani ya gari na kuondoka kwa safari moja tu kuelekea MAGEREZA YA Segerea ambapo siku iyo ilikua maalumu kwa ajili ya kuwaona wafungwa, ndugu jamaa na marafiki siku hiyo hujumuika na kwenda kuwaona watu wao waliio kua gerezani.



    Dakika chache baadae alikua tayari kafika maeneo ya magereza na kushuka huku akiwa na mifuko ile ya chakula,

    “nataka kumuona MY MOM(mama yangu).

    Alimuongelesha askari mmoja aliye kua mapokezi,

    “ana itwa nani”?

    “Josephine David MWASHA,”

    “subiri kidogo”

    Askari Yule alipekua pekua mafaili yale yaliyo kua pembeni yake na kumuangalia Enock,

    “kijana”?!

    “yes”

    “Mama yako ulisema ana itwa Josephine Mwasha”?

    “yap ndio,”

    “samahani kwa usumbufu, masaa mawili yaliyo pita amewahishwa hospitali ya taifa Muhimbili, ana hali mbaya sana,”

    “whaaaaaaat, (nini)?… I don’t understand (sielewi).. aan aumwa nini yupo hospito gani? ”)

    “kapelekwa MUHIMBILI hakika bado hatu jajua aise lak….”

    Kabla ya kumalizia kuongea tayari Enock alianza kuli kimbilia gari lake alilo kuja nalo, alizama haraka haraka na kulitia moto, aliweka gia namba moja na kukanyaga mafuta, gari lili toka kasi na baada ya sekunde kadhaa tayari gia ilikua namba tano kuashiria kua Gari ili kua katika mwendo wa kasi sana, alitembelea gia iyo na kupangua baada ya kuona kona ila ailivyoiakata alirudisha gia namba tano, kwa kua ilikua ni siku ya jumapili hakukuwa na msongamano wa magari, tayari alikua maeneo ya upanga na sasa hivi alikata kona na kuzunguka round about ya Muhimbili, aliweka gari pembeni na kushuka haraka haraka,



    Alienda moja kwa moja mapokezi, haikua shida kumpata MAMA yake sababu alijielezea kuwa alikua ni mfungwa,



    katika kugeuga aligongana kikumbo na mwanamke mmoja ambae alikua hamfamu na wote kudondoka chini,

    “sorry”(samahani)!”

    Aliinuka haraka haraka na kutimua mbio ambapo huko alielezwa kuwa ndipo mama yake alipo. Kweli alipo fika ndani ya wodi hilo alimkuta mama yake akiwa mwenye pingu mkono mmoja ambayo ili fungwa kwenye kitanda, huku pembeni yake kukiwa kuna askari akiwa na SMG ,

    “mwanangu naumwa sana”

    “Mama utapona. Every thing is gonna be okay , TRUST me MOM, I love you MOM, (kila kitu kitaenda sawa, niamini Mama, nakupenda Mama).



    Aliendelea kumfariji Mama yake alivyo geuza shingo alimuona Mwanamke aliyemgonga kikumbo yupo pembeni yake, na alipo simama pembeni yake alikua Amelala binti wa kike

    “Mwanangu Catherine utapona, samahani kwa niliyo kufanyia”

    Sabrina aliiongea maneno yale na kumfanya Enock amuangalie msichana Yule aliye kua kitandani, na wote kugonganisha macho yao na msichana Yule aliye kua kitandani yaani Catherine…



    BAAADA ya madaktari kukaa kikao kidogo ndani ya chumba kidogo na kutoka na majibu ambayo yaliwa ogopesha sana wana aamua kufanya mipango ya kumuamisha hospitali iyo kutokana na uhaba wa vifaa , Catherine siku ya pili sasa alikua bado haja zinduka kitandani hii ni kutokana na ubongo wake wa nyuma kuumia vibaya mno, iisingekua kumuwahisha hospitali wenda ange poteza uhai wake kama sio kupata ugonjwa wa kupooza milele, madaktari wa hospitali ya taifa ya MUHIMBILI walipewa taarifa juu ya ujio wa msichana huyo ambaye alikua bado mdogo sana kupoteza maisha yake, hawa kutaka jambo lile litokee, ivyo wali fanya kazi kwa kina sana ili kuokoa maisha ya Catherine.



    Gari la wa wagonjwa tayari lilkua nje likipiga kelele za king’ora , baadae kidogo Catherine anaingizwa ndani ya gari hilo na safari ya kuelekea hospitali ya taifa kuanza, huku nyuma mama yake akiwa pembeni yake, picha ya Ramsey siku ya kifo chake ina zidi kuji rudia rudia, sababu ili kua ni kama siku iyo,



    Gari hilo tayari lili fika hospitalini hapo na Catherine kupatiwa matibabu ya haraka sana, baada ya siku nne kupita hali yake ilizidi kuwa nzuri na kurejewa na fahamu jambo lile lili mfurahisha sana mama yake , ila bado roho ilimuuma sana kwa kitendo cha kumpiga mtoto wake, hakuwa na jinsi zaidi ya kuji shusha na kumuomba msamaha akiwa yupo kitandani hospitalini pale,



    “mamii nisamehee mwanangu”

    alizungumza mama yake.

    Catherine aligeukia upande wa pili na kumuona askari mmoja aliye shika mtutu huku juu ya kitanda kuna mwana mke ambaye alikua na pingu pembeni yake alimuona mwana ume aliye vaa hereini, alizidi kuwaangali bila kumsemesha mama yake,

    “mama usijali wewe ni mama yangu, najua ulifanya vile ili kuni fundisha . haina haja ya kuniomba msamaha, naomba unisamehe mimi”

    Catherine aliiongea kwa utulivu sana huku bado macho yake yakiwa malegevu kutokana na dawa alizo pewa, dripu ilizidi kushuka taratibu ndani ya mshipa wa mkononi,

    Kadri siku zilivyo zidi kwenda ndipo Catherine hali yake ilizidi kua njema, mwishowe aliruhusiwa kwenda nyumbani baada ya hali yake kuwa sawa kabisa,

    Juma moja lili pita bila ya kwenda shule kutokana na mama yake kuma kataza mpaka hali yake itakapokua sawa kama hapo awali, kweli hali yake ilizidi kuwa nzuri na baadae kurudi shule ili kujuimika na wana funzi wenzake ambao walionekana kumchangamkia sana alipo fika shuleni,

    “cate ulikua na tatizo gani mbona shule ulikua huji”?

    “nilikua naumwa Rose, “.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “nini tatizo”?

    “malaria tu”

    “pole sana umepona lakini”?

    “nime pona tayari, vipi mmefikia wapi Geography, utaniazima madaftari yako nianadike notes za nyuma”

    “sawa, ila Adam bado anakuomba uwe girlfriend wake”

    “lakini si nilisha kwambia Rose mimi siwezi kua nae”

    “nakuomba muonee huruma binamu yangu”

    “hapana siwezi”

    “kwani Catherine, una boy au”?

    “wala sina”

    “Sasa kwanini una mkatalia binamu yangu, ana kupenda kweli”

    “muda wangu bado”

    “bado kivipi sasa?, kwani huja wahi kusex na mwana ume mpaka useme bado”?

    “sijawahi,”

    “mmmh mimi nabisha”

    “kama una bisha basi, ila ukweli ndo huo”



    Jambo lile lili mshangaza sana Rose kwa msichana mzuri kama catherine kuwa bikra hakika lilikua ni jambo la ajabu kwake,

    Waliamua kupanga mikakati na Adam ili waweze kumnasa Catherine hakutaka binamu yake amkose Catherine hata kidogo alimuhakikishia kila kitu kitaenda sawa

    “wewe si una geto”?

    “geto geto geto, nita muomba jamaa angu mmoja hivi”

    “liandae kesho kutwa sasa, mimi nitakuletea mtoto Yule geto pale kwa MOSES, sasa ushindwe wewe”

    “au sio nakuaminia Rose”

    “poa poa, ngoja nika mset”

    Kwa upande wa Rose yeye alijulikana shule nzima kwa ukuwadi hakuwahi kushindwa kazi iyo, kama una mtaka msichana yoyote Yule shuleni hapo uki mfuata Rose uta mpata mara moja wenzake wali mpachika jina na kumuita

    KIPIKIPIKI POSTA jina hilo lilivuma kwa kasi sana kama upepo juu ya kazi iyo aliyo kua akiifanya kama analipwa vile,

    Kesho yake alimfuata Catherine darasani kwake na kumuomba waingie kwenye school bus lingine ili waweze kwenda wote nyumbani kwao akimuhaidi kua ata mpatia notes zote,

    hakukuwa na haja ya Catherine kukaataa sababu alikua akiihitaji notes za darasani za vipindi vya nyuma vilivyo pita kuliko kitu chohote kile,bila kujua kichwani mwa Rose kuna nini hakuelewa kuwa kuna njama nyingine zilipangwa, aliingia ndani ya basi la shule jingine na kuondoka na Rose, baada ya kushuka na Rose maeneo ya kijitonyama walinza kutembea kwa mguu, hatua chache tayari waliingia ndani ya chumba kidogo kilichokua na kitanda peke yake na t,v wote walikaa juu ya kitanda,

    “nipe basi izo notes niondoke”

    “subiri kidogo, mbona una haraka, notes zipo ila ina kubidi uni subiri hapa mimi nika zichukue nyumbani”

    “mimi naogopa, kwani hapa kwa nani”?

    “wewe nisubiri”

    Rose alivyo toka alimpungia Adam mkono na kumuoneshea kidole kuwa kila kitu kipo sawa, haraka haraka Adam aliingia kama mkuki na kuufunga mlango kwa ndani

    “Adam”

    “naam Catherine”

    “Rose yuko wapi”?

    “ana kuja sasa hivi”

    Adam aliwasha t,v na kumkaribisha Catherine juici, hakua na wsi wasi hata kidogo sababu alimuamini ‘sana Rose bila kujua tayari kasha uzwa alianza kunywa juici ile.

    “yuko wapi Rose mimi nataka kuondoka Mama sija muaga”

    Alizungumza Cate huku akiwa mwenye wasi wasi sana.

    “ata kuja sasa hivi”

    Tv ili washwa na Adam kuweka sinema ya NGONO ambapo baadae kidogo Cate aligandisha macho yake juu ya kioo cha tv huku hisia kali zikianza kumteka akili yake, damu ili mwenda mbio na kuanza kutetemeka na kudondosha glass ya juice, Adamu alijua fika nini maana ya Catherine kudondosha glass alimfuata pale pale na kumuendea mdomoni na kuanza kumnyonya mdomo na kumfanya Catherine aanze kuhisi raha hasa baada ya Adamu kuanza kushika maziwa yake…..



    Mambo yalikua sio mazuri ndani ya ofisi ya NISSAN , mambo yalikua tofauti kuliko siku zote wafanyakazi wa ofisi hiyo waligongana vikumbo kupishana mlangoni, siku hiyo kwao ilisogea mwendo wa kinyonga hakika mambo hayakwenda sawa kabisa, hisia za kufukuzwa kazi zili jijenga ndani ya mioyo yao wasi wasi ulizidi kuwa tanda sana na hofu kutawala , walizidi kupishana huku na kule kuingia na wengine kutoka ndani ya ofisi kubwa iliyo jengwa na vioo ya mkurugeniz wao ENOCK DAVID MWASHA , siku iyo alionekana mwenye hasira sana, baada ya kugundua kuwa kuna upotevu wa pesa nyingi sana ambazo ziliibiwa na kutoelewa nini zili fanyiwa,

    “Milinga stop playing with me, I need more details of these items on my desk with deep explaination, am not stupid(Milinga usicheze namimi,nataka maelezo ya kutosha juu ya bidhaa izi juu ya meza yangu, na maelezo ya kina, mimi sio mjinga), na sasa hivi na hitaji , material transfer, nataka delivery note na invoce zote”

    Miilinga aliye kua mbele yake alianza kutetemeka kwa hofu kubwa huku jasho jingi liiki mtoka japo kulikua kuna kiyoyozi kiki puliza.

    hakuwahi kumuona bosi wake akiwa katika hali hiyo tangu aanze kumjua, haraka haraka alitoka na baadae kurudi na makaratasi pamoja na vitabu vyote vilivyo hitajika na kuanza kuvifunua huku akimuonesha bosi wake.

    “nani alitia sahihi hii delivery note”?

    “Anitha, ni Anitha bosi”!.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “mwite”

    Secretary aliye itwa Anitha aliitwa mara moja na kuingia kwa bosi huku pia nayeye akionekana akiwa na hofu nyingi sana kupita maelezo, alijua mambo hayaja enda vizuri upande kwa wake ,

    “wewe ndiyo uliye sahini hapa”?

    “ndi ndi ndio bosi”

    “300pcs za NISSAN ENGINES , mbona zipo tisini peke yake”?

    “abeee”

    “huja nisikia.? Nakuuuliza ivi hapa uli saini kuwa ulipo kea pisi mia tatu za injini za Nissan, ?”

    “nime kusikia bosi. ”

    “zingine ziko wapi”?

    Swali hilo lili mfanya Anitha aanze kuangalia chini kweli ki upande Fulani alianza kubabaika sana, alielewa fika kuwa walikula njama na Milinga juu kwa juu na kula pesa nyingi sana, kwa kuuza injini izo waki shiriaka na watu tofauti.!

    “hivi mna nifanya mimi fala sana. Mna jifanya wajanja wajanja sana, sasa sikilizeni njama zenu zote najua kila kitu najua izi ingine mlimuuzia KENNY mmiliki wa magari ya MERIDIAN sasa basi both of you hamna kazi,, “

    Aliongea kwa hasira sana na kuinua mkonga wa simu iliyokua mezani na kubonyeza bonyeza namba za simu huku akiwatazama wafanyakzi waliokua mbele yake , ambao kwa wakati huo walikua wakioomba msamaha na kumsihi asiwa fukuze kazi,

    “Dora, ndio naomba chapisha barua , hawa watu nimewa fukuza kazi sitaki kuwaona hapa ofisini mwambie na askari huyu Anitha na Milinga, one more thing (kitu kingine) leo saa kumi jioni wata ngazie wafanya kazi wote kuwa , kuna meeting”

    Kweli aliyoongea alikua anamaa nisha baadae barua zili cha pishwa na waliohusika kweye wizi wa mali wote wali fukuzwa kazi sababu walianza kutajana baada ya Enock kuanza kufanya uchunguzi wa kina.



    Akiwa ofisini kwake bado sura ya Catherine ili mjia kichwani mara nyingi, hakika alikiri kua hakuwahi kumuona msichana mzuri kama Yule, japokua haku pata nafasi yakuongea nae ila aliaapa ata tumia pesa zozote zile kumtafuta jijini Dar es salamaa saababu alirudi hospitali kumuulizia ila aliambiwa tayari kesharuhusiwa, taratibu za kuanza kumtafuta Catherine ziilianza japo kua hakua ana jua angeanzia wapi kumpata sababu hakua hata na picha yake .



    Adam alizidi kunyonya mdomo wa Catherine huku akiwa juu yake na kuingiza mkono ndani ya sidiria aliyovaa na sasa hivi kufanikiwa kushika chuchu zake ambapo alianza kuzishika kwa juu, kwa raha alizosikia alianza kufumba macho yake, hakuwahi kusikia vitu kama vile ndani ya mwili wake kiasi kwamba mapigo yake ya moyo yalianza kumwenda mbio kupitiliza,

    hakuelewa hali hiyo ili tokana na nini,Adam aliendelea na zoezi lile na kumvua shati lake la shule, huku akiendelea kumlamba sehemu mbali mbali za mwili wake, alishusha mkono wake chini ya ikulu ya Catherine ila ulizuiwa baada ya Catherine kukamata mkono wake ili asiweze kuupitisha ndani ya sketi yake,

    bado Adam alizidi kutumia nguvu ila jitihada zote zili gonga mwamba na kuanza tena kibarua cha kumnyonya maziwa Catherine ili alegee lakini jambo lina kua lile lile hakuweza kuingiza mkono wake ndani ya sketi ya Catherine.

    “sasa mbona una kataa”?

    “mmh mhhh sitaki”

    “kwanini sasa”?

    “sitaki”



    Ili bidi Adam atumie nguvu zake kutaka kushusha sketi ile kinguvu, purukushani ilizidi kuendelea huku Catherine safari hii akiwa amekasirika sana na kumsukumiza Adamu pembebi hakuelewa nguvu zile kazitolea wapi.

    Hali ya chuki ina zidi kumuingia na kuanza kumchukia Adam kwa kitendo cha kutaka kumuingilia kimwili akitumia nguvu, alichukua nguo zake haraka haraka na kuzivaa huku akimtukana Adam aliapia hatoongea nae tena ,



    Siku zilizidi kwenda na majuma kukatika Catherine akiwa shuleni hakua na mazungumzo na Rose tena hata kwa Adam hakutaka kumuona tena mbele yake aliwa chukia sana watu hao wawili kuliko mtu yoyote Yule, hakutaka rafiki mwingine yoyote aliamini kuwa marafiki ni wabaya sana, shuleni hapo alikua akikaa kivyake bila rafiki yoyote Yule,



    “Anti yangu wana ume ni wabaya sana. Wana ume ni waongo, kama ushaanza mambo ya wana ume acha kabisa, wata kudanganya ili wapate wana cho kitaka wakuache, WANA UME NI WAONGO”

    Yalikua ni maneno kutoka kwa Loydah shangazi yake siku iyo wakiwa sebleni pembeni alikaa Sabrina , aliweza kumwambia mambo mengi juu ya wana ume walivyo kua waongo na mbinu mbali mbali za kuwa danganya wasichana, hakika walizidi kumtia maneno yenye sumu na kuzidi kuwa chukia wana ume,

    “bora umwambie shangazi yake, hata marehemu baba yake ali shawahi kuniambia nikwambie, mwananngu wana ume sio watu wazuri ni mashetani”

    “sawa mama nime kuelewa”

    Catherine aliitikia kiunyonge hakiika maneno yale yali muingia akilini na kuanza kuwa chukia wana ume, mwana mme yyoyote aliye mtamkia nakupenda alimwona ni muongo tena alimchukia vibaya sana, hakika aliwa chukia mpaka ana maliza kidato cha nne st marrys hakuna hata mwana ume mmoj aliye bahatika kuvunja bikira yake.

    Miezi ilisogea kidogo na majibu kutoka lakini hakufanya vizuri katika mitihani yake jambo hilo lili mchukiza sana mama yake mzazi lakini hakuwa na jinsi zaidi ya kumuanzia chuo cha CBE ili aendelee na elimu, huko ndo neno nakupenda lili kua kero katika masikio yake, katika hali ambayo alishindwa kuielewa aliji kuta ana nasa katika mtego wa kijana aliyeitwa Elvis, alikua ni mtana shati sana, ila jambo moja lili lokua liki msumbua akili ni kumvulia nguo yake ya ndani, hakika swala hilo lilikua gumu kwake, kadri siku zilivyo zidi kwenda ndipo hisia kali za mapenzi juu ya Elvis zili zidi kupamba moto na kuamua siku iyo kwa hiari yake amvulie nguo ya ndani, sababu hakua na jinsi yoyote aliamini asipo fanya wenda ange mkosa Elvis,

    “lazima leo niende kulala na Elvisi leo nampenda sana”.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Aliwaza Catherine akiji podoa na kutoa simu yake ya mkononi ili aweze kumjulisha Elvis ila alisita kupiga simu na kutaka kumfanyia surprise siku hiyo, aliji pamba vizuri kuliko kawaida, kweli siku iyo alipendeza sana kuliko siku zote pia uzuri wake ulichangia…..



    Msichana mrembo ambaye wengi walimtabiria kuwa wenda miaka ya baadae anaweza akaja kuwa misi Dunia bado anazidi kutingisha na kutishia kwa uzuri wa kipekee ambao dhahiri kabisa alionekana kutokua na kasoro yoyote ile, licha ya uzuri wake lakini bado hakuwai kumvulia mwanamme yoyote Yule nguo yake ya ndani. , wana ume wengi vile vile na mapedeshee wa mjini kila siku iendayo kwa Mungu walipishana na magari yao wakipoteza pesa zao ili wampate Catherine, ila wote waligonga mwamba. Bahati hiyo inamdondokea mwana funzi mwezake aliye itwa Elvis ambaye wanaanza mahusiano lakini aliishia kumbusu na kumtomasa tu, licha ya kumpenda kwa dhati lakini moyo wake bado una sita kumvulia kijana Elivis nguo yake ya ndani japo kua Elvis alimsisitiza kila siku iendayo kwa Mungu, lakini jibu la Catherine lilikua ni “bado muda wake”.

    Zili zidi kupita siku na miezi, siku iyo Catherine kwa moyo wake na mapenzi ya dhati alitaka siku iyo aende kwa Elvis amfanyie surprise ya kumtaka yeye amtoe bikra…“chogo una msikia Elvis anavyo sema eti bado haja mgonga Yule demu”?

    “hiiii, sema kweli?”!

    “muulize si huyu hapa”

    “eti Elvis bado huja piga Yule demu”?

    “bado kaka”

    “kwanini sasa”?

    “anadai yeye bikra ”

    “ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!. Ha! Ha! Ha! Ha! Haaaaaaaaaaaa!, “

    “sasa una cheka nini”?

    “si nakucheka jinsi gani unavyokua fala fala, eti bikra, utaishia kushika pembe tu. Wenzako wana kula, yaani mimi ujue nilikua nakupa pointi nyingi mwanangu, una miliki mtoto mkali chuoni hapa, kumbe bado ujagonga Yule mtoto Catherine,”?!

    “ndio chogo. Ila ana sema bado muda wake ”



    “ku*** KIBUYU, tena mberegesi, KU**** upande wa uzazi, una nikera. Una mjua jamaa mmoja ivi anaitwa cpwaa?, sio unaniangalia ngoja nikupe siri, Cpwaa ndo anamgonga Yule demu”

    “cpwa yupi”?

    “ona sasa Yule mwenye gari jeusi mark II GRANDE yupo mwaka wa tatu digrii, ana jiita cpwaa”

    “Yule ni rafiki yake tu wa kawaida”

    “mse**** usibishe Yule ndo anagonga Yule demu wewe utaishia kunawa na kumpa ivyo vi elfu kumi kumi vyako, wenzako wana kula, ngoja nikwambie kitu piga chini Yule demu, yule demu ni ki cheche tu, ata kupotezea muda, unajua kwanini ana shindwa kukupa chini, nisikilize matako, kwa sababu ana kuona wewe fala, pia sio bikra, kutokana na kasha kudanganya tayari anaogopa siku iyo ukijua ukweli, wewe uta shindwa kumpa pesa ukimuacha, kuwa na akili ya ziada”



    Yalikua ni mazungumzo ambayo ki upande Fulani yalihamisha kabisa hisia za Elvis na taratibu kuanza kuyaamini maneno ya marafiki zake ambayo yalikua ni sumu tena kali, japo kua alimpenda sana Catherine ila kitendo cha kukataliwa kufanya nae ngono kili kua kina mkeera sana bila kuelewa katika akili ya Catherine ana waza nini laiti ange lijua asingeajaribu hata kuwa sikiliza marafiki zake ndani ya hostel yao.

    “sasa nita fanya nini”?

    “kwani wewe huna demu mwingine”?

    “sina washkaji”

    “alafu wewe fala nini Rozina Yule vipi, demu ana kupenda kishenzi mwanangu, tena ngoja nimpigie simu sasa hivi, Yule ata kufaa, kwanza Catherine mba-yaaaa kama MTOTO WA KIMA , ana sura mbovu sijui kwanza uli mpendea nini, ana sura kama choo cha kukaa, Rozina ndo mtoto sasa, na yale mapozi yake kama KENGE au CHURA bombastiki.. . “

    Chogo aliongea huku akitoa simu yake mfukoni, ki ukweli ndani ya chuo hiko hakuna hata mmoja aliye penda mahusiano ya Elvis na Catherine kila mtu alitamani siku moja waachane hata ivyo kwa chogo pia alikua akimpenda sana MWANAMKE huyo, lakini alishindwa kumwambia na kubaki akifa na maumivu yake moyoni, alijua kufanya vile itakua njia pekee ya kuwatenganisha kama kukosa bora wakose wote kuliko yeye kubaki na maumivu,

    “una mpigia nani chogo”?

    “Rozina, halloo Rozina,mta fute Elvis, kile ulichokua unaniambia kila siku sasa kimetiki nipe pesa sasa, ndio kakubali, kazi ni kwako, aaah wewe! elfu ishirini haitoshi”

    Chogo alifanya juu chini kuwaweka karibu Elivis na Rozina, kazi iyo ilikua raisi sana kwake kama gari kushuka mlimani , chini kwa chini walianza mahusiano bila Catherine kujua lolote lile,,



    Kwa upande wa Rozina alifanya kila jitihada ili amteke Elvisi kabisa na kuweza kumsahau Catherine alimuonesha kila aina ya mapenzi akimnunulia vitu vya gharama, siku iyo walikaa na kupanga waweze kulala wote ili wafanye mapenzi,

    Rozina hakua na shida yoyote ile alikubali kwa moyo mmoja kwa Elvisi alifurahi sana kutokana na hakuwahi kufanya mapenzi kwa miezi kadhaa sasa, siku iyo akiwa hostel aliweka kila kitu sawa kwa kuwa alikua ame panga nje ya chuo akiishii mwenyewe haikua kazi ngumu kwake,



    Alitandika kitanda vizuri kwa ajili ya mechi itakayo chezwa muda mchache,alikua mwenye furaha muda lakini bado ali muwaza Catherine.

    “aaaah lakini kaninyima mwenyewe niki mla motto huyu nita muacha leo hii hii nampenda sana Catherine wangu, “

    Aliwaza Elvis.

    Muda mfupi baadae alisikia mlango ukigongwa na haraka kuufungua, kitendo cha kuufungua mlango ule Rozina alimvaa mdomoni na kuanza kumlamba midomo yaani denda,

    na kusahau kuwa hawa kufunguka mlango na ufunguo, Elvis aliupokea ulimi wa Rozina na wote kuanza kubadilishana mate, huku Elvisi akianza kuipandisha sketi ya Rozina kwa juu, walizidi kulambana midomo na kudondoka kitandani na kila mtu akiwa na kibarua cha kumvua mwenzake nguo,.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/



    Elvis alifakamia maziwa ya Rozina na kuanza kuyanyonya akitumia ncha ya ulimi na kumfanya binti huyo aliye kua mweupe sana azidi kupiga kelele za raha huku akiichua mashine ya Elvis,

    mwendo kasi ulizidi kuendelea na kila mtu kuji tahidi kuonesha ufundi wake, Rozina alichukua MTALIMBO wa Elvis na kuuweka mdomoni na kuanza kuunyonya mithili ya koni yenye ice crim juu yake,



    Kweli Elvisi alizidi kusikia raha za ajabu ambapo alianza kujilaumu kwanini muda wote alikua akimkatalia Rozina akidai kuwa ana mapenzi na Catherine, zili kua ni raha ambazo alihisi wenda mabati yana funguka nayeye anapaa angani tena bila mabawa.

    “Rozina”!

    “mmh”

    Rozina aliitikia kwa sauti ya puani huku akiendelea kuuweka sawa mzigo ule mdomoni

    “nakupenda sana”!

    “mi..mi.. pia”

    Pata shika zilizidi kuendelea huku kukuru kakara ziki zidi Elvis alichukua mkono wake mmoja wa kidole cha kati na kukiingiza ndani ya ikulu ya Rozina na kuanza kupima oil taratibu, alivyo hakikisha oil ipo alimbinua Rozina na kuingiza MASHINE ndani ya MGODI wa Rozina ili uchimbaji uanze,

    Wote walikua kama walivyozaliwa nguo zao zikiwa chini kabisa filimbi ili pigwa na mechi kuanza pale pale,



    Kwa mbali akiwa juu ya kiuno cha Rozina alimuona mtu kama Catherine ila hakua na uhakika alijua wenda alimuona vibaya au maluwe luwe .

    alitulia kidogo na kumuona Catherine akiwa mlangoni huku akilia machozi, alikumbuka vizuri kwa haraka haraka kuwa haku funga mlango na funguo. Ikimaanisha kuwa aliye simama mbele yake alikua ni mpenzi wake Catherine tena akilia machozi





    “MOM ana niambia I should get a fiancé, am confused here(niwe na mchumba, nimechanganyikiwa hapa), ana taka amuone mjukuu wake tena kabla hajafa, mwanamke ninaye mpenda mpaka leo sijamuona, lakini sina jinsi nampenda sana mama yangu, lazima nifanye kitu ili afurahi, lazima nitafute mwanamke ni wakati wangu huu wa kuwa na mwenzangu kama pesa ninazo , uwezo ninao sasa ina bidi nijenge familia ”

    Aliwaza Enock akiwa chumbani kwake amelala akiangalia juu, mama yake akiwa gerezani ilikua kila siku ipitayo kwa Mungu alimkumbusha juu ya yeye kuoa sababu umri ume kwenda sasa, hakua na kipingamizi chochote kile, lakini kwa wakati huo kitu pekee kilicho kua kikimuumiza kichwa ni msichana mrembo aliye muona Hospitali ya Muhimbili ambaye aliambiwa jina lake ana itwa Catherine, juhudi za kumtafuta zina shindikana kwa siku nyingi kabisa na kukata tama ya kumpata, , hakua na jinsi zaidi ya kukubali matokeo na kuamua kuta futa mwenzi wake ili taratibu za kujenga familia zianze, halikua jambo gumu kwake kutokana na mali alizo kua nazo na kipato kizuri kuingia kila siiku, ivyo kumpata mwana mke ilikua ni sawa na kuweka kibakuli cha supu mdomoni ,alivuta pumzi ndefu na kuzima flat screen iliyokua ikiwaka bado, aliwasha AC na kuanza kuutafuta usingizi , kutokana na uchovu mwingi usingizi ulimchukua hapo hapo,



    Kulivyokucha asubuhi kama kawaida Enock aliamka na kuelekea ofisini kwake baada ya kunywa chai alimuaga baba yake na kuanza kuondoka huku akiwa na mawazo tele kichwani kwake juu ya kutafuta mwana mke wa maisha yake. Alikumbuka wanawake wengi waliokua waki mtaka kimapenzi na kuwa kataa hasa secretari wake, aliamini fika walimpendea kisa mali alizokua nazo wala si kitu kingine,

    “bosi upo sawa?”

    Secretari alizungumza akiwa mbele yake huku mkononi akiwa ameshika makaratasi.

    “nipo sawa, get me a cup of coffe(nipatie kahawa)!”

    “sawa bosi”

    Secretari huyo aliyeitwa Heather alitembea kidogo naku geuka akimuangalia bosi wake , ki upande Fulani alijaaliwa kuwa na makalio ya kiasi na mguu mnene yaani wa bia, ambao ulifaa kabisa kuvalia kimini alichokua amekivalia cha rangi nyeusi, bado alikua akimtaka bosi wake, nakuonesha hisia za wazi wazi kabisa lakini kwa Enock hakua tayari kabisa na mara nyingi alimtishia endapo ataendelea na tabia yake ange mfukuza kazi mara moja!

    “bosi kahawa hio hapo”!

    “okay”!

    “bosi lakini naona kama haupo sawa, niambie una tatizo gani, inawezekana nina uwezo hata wa kukusaidia kimawazo vile vile , sisi ni bina damu”

    “kaa hapo”!

    Enock alisonta kidole kuashiria kuwa akae juu ya sofa kubwa kati ya manne yaliyokua mbele yake mita chache, aliinuka naye ye kwenda kukaa juu ya sofa hilo pembeni yake, kabla ya kuongea lolote alishusha pumzi ndefu sana, alianza kumuelezea kila kitu Heather kuhusu mama yake ambae alitaka aoe, jambo lile lina mfurahisha sana Heather , aliona ni wakati wake sasa kumvuta karibu bosi wake, aliona ndoto yake inaenda kutimia kabisa,

    “nipatie hiyo nafasi mimi”!

    “NO! wewe ni mfanyakazi wangu, kazi hazitoenda vizuri, it wont happen Heather besides you’re the best worker in my office(haitowezakana Heather isitoshe wewe ni mfanyakazi bora katika ofisi yangu”)

    “nita kuhakikishia kuwa sitochanganya mapenzi na kazi, hapa ofisini nitakua nafanya kazi kama kawaida niamini, give me the chance to prove you wrong(nipe nafasi nikuhakikishie kua unayosema siyo kweli)”

    “get back to work, this conversation is over(kaendelee na kazi haya maongezi yameisha”)

    Aliongea Enock huku akisimama kweli hakua tayari kutembea na secretary kimapenzi,! alijua kivyovyote vile kazi zinge dorora kabisa, alimuamini sana Heather katika kazi zake alikua ni mmoja wa wachapakazi bora kupita wote hapo ofisini, ivyo kuwa nae kimapenzi inge sababisha kampuni hiyo iweze kuyumba alili jua hilo, na hakutaka kulipa nafasi jambo hilo ndani moyo wake.

    Siku zilizidi kwenda na kuka tika kila siku ya Mungu alija ribu kujiweka karibu na bosi wake, kila jambo alitaka awe karibu nae na kujikuta wakiwa na urafiki wa karibu sana kupita kiasi, siku iyo walichelewa kutoka ofisini wote wakisaidiana kazi ambazo zilikua nyingi, alimuomba Heathewr waweze kubaki wote ili waweze kukamilisha baadhi ya mahesabu yaliyokua bado mengi, bila kipingamizi chochote kile alikubali, na kubaki wote ofisini,

    Baadae kidogo mambo yali badilika haya kuwa mahesabu walikua wakipeana mabusu ya mdomoni yaani denda, hakuna mtu aliyeelewa jambo lile lili tokeaje, hakika Heather alijiona mshindi sana siku iyo,

    “Heather stop”

    “NO”!

    Heather alimfuata tena mdomoni bosi wake na kuanza kulana tena denda, hisia kali sana zili mtawala Enock huku akiwa bado yupo mdomoni mwa Heather,



    Zoezi la kupiga hesabu liliiisha na kilichofuata hapo ni Enock kumpeleka Heather nyumbani kwao mwana nyamala, baada ya kumsusha usiku huo aligeuza gari nakurejea nyumbani kupumzika,



    Siku zilivyo zidi kwenda ndipo hisia kali zilizidi kupenya kama upepo wa kimbunga uendao kasi, Enock alijikuta akinasa kwa secretary wake jambo hilo hakutaka kulikuweka kuwa siri tena ofisini hapo, kila mtu alijua juu ya mapenzi yao hatimae Heather akapandishwa cheo nakuwa kama muhasibu mkuu,

    hakika alijiona mshindi sana kupita mwanamke yoyote yule, alihakikisha kuwa ata fanya hima hima ili ndoa ifungwe hayo ndiyo yalikua mahesabu pekee ndani ya akili yake na wala sio kitu kingine. Ila kabla ya hapo Enock anaamua kuwaalika ndugu jamaa na rafiki katika tafrija ya kumvalisha pete Heather ya uchumba hakutaka kuchelewesha mambo, alitaka mambo yaende chap chap.



    *********

    .CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Kila siku Catherine alikua ni mtu wa kulia hata kula kwake ilikua shida sana.! mawazo yalikula mwili wake kabisa na kumfanya apungue uzito hii ni kutokana na kuushuhudia fumanizi tena kwa macho yake. , alimpenda sana Elvis hilo alikiri kinywani mwake.! leo hii analia kama mwenda wazimu, hakika alianza kuamini kuwa wanaumwe wote ni waongo, aliye kua akimfariji siku zote alikua ni rafiki yake kipenzi

    Betty .

    Licha ya kumfariji lakini chakula kwake kilikua hakifai alikua kama mgonjwa hakuweza kuimudu hali aliyokua nayo, licha ya Elvis kufanya jitihada za kumuomba msamaha kila siku lakini hakuwa tayari kabisa, na wakati mwingine alimtukana matusi ya nguoni, alijiona sio wa thamani tena ila alichoshukuru kwamba hakumvulia Elvis nguo yake ya ndani na hakuwahi kuuona hata uke wake una fafanaje.

    “nilikuamini sana Elvis, siwezi tena TOKA SITAKI KUKUONA,”

    “NO Catherine, ni shet,,,,,”

    Catherine alibamiza mlango wa hostel na kumuacha Elvis akiwa nje, ivyo ndivyo ilivyo kua kila siku iendayo kwa Mungu wake,

    “Cate Inakubidi tu usahau yasha tokea”,

    “siwezi kusahau!”

    ILIKUA ni kama ametoneshwa tena donda moyoni mwake alianza tena kulia Catherine huku machozi yaki mtoka kwa mfuliulizo kama chemchem ya maji,

    Betty alimchukua na kumkombatia na kumfariji rafiki yake, alimuonea sana huruma kuliko kawaida,lakini cha kumshukuru Mungu ni kuumba kitu muda au wakati sababu kadri siku zilipo zidi kukatika ndipo mawazo ya Elvis yalizidi kumwisha na kuanza kumsahau alichukulia hiyo ni kama sehemu ya historia iliyo tokea katika maisha yake, ivyo ili mbidi aweze kusahau na kufanya mambo mengine,, ili maisha yaende.

    “wewe bado mzuri Catherine, hakuna kama wewe chuoni, uta mpata mwingine”

    “siwezi kupenda tena”

    Hayo ndiyo yalikua maongezi yake baina yake na Betty rafiki yake kipenzi, mara nyingi walikua wote, wakila na kufanya mambo yao wote chuoni hapo, miezi kadhaa ilivyopita Elvisi hakua tena ndani ya kichwa chake kabisa, alimfuta na kumsahau mazima.



    “kuna rafiki yangu mmoja hivi sasa dada yake, ana sherehe leo jioni”

    “sherehe gani”?

    “ana valishwa pete ya uchumba, nimepewa kadi”

    “mmmh we nawe, nenda lakini”

    “siwezi kwenda bila wewe Catherine, twende wote, siwezi kukuacha mwenyewe”

    “ni lini”?

    “leo jioni , nataka niupare leo, unaambiwa ni bonge la pati hakunaga”

    “wacha we”

    “ndio ivyo, fanya ujiandae shosti yangu, ili tuwahi , si unajua mimi mambo ya misosi tu, nisije nikakosa chakula”

    “ita fanyika wapi,”?

    “KAWE CLUB,”

    “poa. Poa, basi ngoja niangalie nguo za kuvaa”



    Haraka haraka walianza kujiaaanda na kujipaka mafuta vizuri, kila kitu kilivyoenda sawa, wali tafuta bajaji na moja kwa moja safari ya kuelekea KAWE CLUB kuanza , sehemu inayo sifika kwa samaki wazuri na watamu ambao ukila lazima kesho yake urudi tena,

    Baada ya dakika chache tayari walifika kawe club na kushuka walimpa dereva huyo wa bajaji pesa yake na wao kuanza kuingia. Hakika ili onekana kuwa ni sherehe ya kishua, magari yalikua ni mengi tena ya kifahari kama RANGE, VOLKSWAGEN, BMW X5,MARCEDEZ BENZ,n.k ilionesha dhahiri kuwa hapakua pa mchezo ilikua ni sherehe ya kitajiri,! taratibu walianza kuingia ndani huku Catherine akiwa mwenye wasi wasi mwingi mno,



    Kelele zilianza kupigwa hasa mshehereshaji(M.c) KAPILIMA baada ya kushika kipaza sauti kile, na kuwaakaribisha wageni, hata Kapilima nae alikua kapendeza huyu alikua ni maarufu sana siku hiyo hiyo alikodishwa kutokea Zanzibar kwa pesa nyingi hakuwahi kuharibu shughuli yoyote ile,

    “karibuni wageni waalikwa, pita pale pata mtori na mshkaki, hapa mtakula na kuacha, karibuni sana, huku niki msubiri Mr, Mr, Enock aje kuongea machache kabla ya kumvisha bibie pete ya gharama , pete ya RUBBY aliyoiagiza kutoka Carlfonia, jiji la OBAMA, huyu jamaa sio wa mchezo hata kidogo,angekua kule kwetu Zenji, yaani.. any way ngoja nimpe kipaza sauti,”

    Kapilima aliiongea maneno mengi sana, na kumkabidhi kipaza sauti Enock ambae kwa mara ya kwanza alionekana akiwa tofauti akiwa ndani ya suti na suruali ya modo iliyo mkaa vizuri sana, hakika alipendeza sana, makofi yalipigwa na kufanya kelele haswa alipochukua kipaza sauti,

    “Attension please,I just wanna say thanks, for those who participated, heavy thanks to my friend Carlos scoltfil he came straight from America,(utulivu tafadhali, napenda kuwashukuru kwa wale walioudhuria, shukrani kubwa kwa rafiki yangu Carlos Scotfil, ametokea moja kwa moja marekani)…,.leo hii naenda kumvika my wife to be Heather pete ya uchumba, ninyi muwe kama mashaidi , na hapo baadae kidogo nita enda kufunga nae pingu za maisha, najua mlikua na maswali mengi sana juu ya mimi kuchelewa kuoa, au kuwa na familia, jibu ni kwamba nilikua namtafuta mwanamke sahihi

    Wa maisha yangu, la la la la la la lakini ivi…!..”

    Aliongea ila alianza kusua sua hasa macho yake yalivyo gongana na Catherine machoni, hakika sura ile haikuwahi kumtoka kichwani mwake, alihisi moyo una mwenda kasi sana,

    “ooh my God Catherine”(Mungu wangu Catherine).!

    Alijikuta ana ropoka bila kusahau kuwa alikua na kipaza sauti mdomoni na sauti ile kusikika kabisa na kila mtu…….CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/



    Mwanaume au kijana Enock ana zidi kumtafuta mwanamke mrembo ambaye alimuona Hospitali ya Muhimbili, ana aapia kuwa ata mtafuta na aweze kuwa nae kimapenzi, ila harakati za kumtafuta zina gonga mwamba baada ya kuzunguka jiji zima bila mafanikio yoyote yale, MAMA yake akiwa gerezani ana zidi kusihi ili aweze kumuona mjukuu wake kabla hajaonja umauti, hakua na jinsi sababu alimpenda sana mama yake ana jikuta ana ingia ndani ya mahusiano ya kimapenzi na secretary wake aliye itwa Heather, mapenzi yana zidi kuwa na kupamba moto , kwa mapenzi ya dhati aliamua kufanya sherehe kubwa, katika ndani ya sherehe hiyo ana muona mwana mke ambaye aliye kua akimtafuta siku nyingi sana..

    KITENDO CHA kutamka jina lile bila kusahau kuwa alikua na kipaza sauti kili washangaza sana wageni waalikwa,

    “oooh Mrembo simama sasa, DJ weka mziki hapo, tumsindikize BINTI mrembo”

    Alisikika kapilima huku akimuinua Heather kwenye kiti alichokuwa amekalia mbele pale,

    “jamani mna muona mrembo huyu , mtoto mashallah, mtoto mbi-chi kabisa!”



    M.C Kapilima alizidi kutoa maneno yale bila kujua Enock akili yake haikuwa pale tena, mziki ulipigwa huku taratibu Heather akizidi kusogea akicheza cheza kwa madaha sana, hakika ilikua ni siku ya furaha sana kwake,

    “Enock Mrembo huyo hapo, waoneshe watu sasa kuwa wewe sio bachelor, na unayakataa maisha ya kibachela,”

    “Heather, napenda kukwambia kwamba leo hiii, na siku kama ya leo hautoisahau katika maisha yako, kabla sija kuvisha pete, namuomba Kelvin hapa mbele”!

    Kijana mmoja alisimama na kusogea mbele huku mkononi akiwa na kiboxi kidogo, hakuna hata mmoja aliye jua kulikua kuna nini ndani yake, na kutaka kushuhudia nini kilikua ndani ya kiboxi kile kilichorembwa sana.

    Baada ya kiboxi kile kufunguliwa Enock alitoa funguo za gari,

    “mbele yenu muwe kama mashahidi napenda kumpa mke wangu mtarajiwa gari, ambalo niili agiza jana na ninavyoongea sasa hivi lipo nje, ni gari la kawaida X TRAIL la kuendea sokoni sitopenda kumuona mchumba wangu ana teseka kabisa,”!



    Heather muda wote alikua mwenye furaha sana, hata yeye mwenyewe hakutegemea kama siku hiyo angepewa zawadi kama hiyo ya gari, aliona maisha sasa yana kua mazuri kwake, umaskini aliokua nao sasa aliona ita kua historia kwake, bila aibu Enock alimvuta Heather na kuanza kumpiga mabusu ya mdomoni mbele za watu bila aibu yoyote,

    makofi yalipigwa pale pale, licha ya kufanya vile ila akili yake bado ilikua kwa Catherine ilikua kivyovyote vile amalize na aliloianza ili baadae amuendee Catherine.

    Baadae alivaliishwa pete ya uchumaba na taratibu zingine kuendelea,

    Watu walianza kunywa na kula huku wakiwa wenye furaha sana, wakati huo Enock alikua na kazi ya kumtafuta Catherine kila kona .



    “shikamoo”!

    “hujambo?, anyway niite David, una ishi wapi niku peleke”?

    “hapana tuna subiri bajaji”

    “usijali nitawa peleka”

    “tuna ishi posta”

    Alidakia Betty huku akimkanyaga Cathreinie miguuni, wakubali lifti kutoka kwa mzee Yule wa makamo.

    “ingieni ndani ya gari niwapeleke”

    Catherine alijikuta anaingia ndani ya gari la mzee mwasha, uzuri wa Catherine pia uli mpagawisha hata mzee Mwasha vile vile nayeye kuhapia kivyovyote vile atafanya juu chini ili awe nae ikiwezekana hata amuoe au amfanye nyumba ndogo sababu ya kukaa bila mke kwa muda mrefu sana,

    “una itwa nani”?

    “naitwa Beatrice”!

    Catherine alidanganya jina , mzee Mwasha alizidi kumuongelesha na baadae kuba dilishana namba za simu ili aweze kumnasa Catherin bila kujua na mtoto wake Enock alikua akimuwinda mrembo huyo siku nyingi sana, japo umri wake ulienda sana, lakini hakujali hilo,



    *******



    “aaaah mmmmh aaaash Enoooo,,,ck”

    Kukuru kakara zilizidi kuendelea huku Enock akizidi kuka tika juu ya kiuno cha Heather, alitoa Mashine yake na safari hii akianza kudeki bahari ya Heather akitumia ulimi wake ambao aliujaza mate mengi sana na kumfanya Heather azidi kuvuta vuta mashuka , pata shika zilizidi kuendelea huku Enock aki tumia ufundi wa hali ya juu sana,



    Heather nayeye hakutaka kukubali kushindwa alichukua MUWA wa Enock na kuanza kuuchuwa na kuuweka mdomoni sasa safari hii Heather akiwa juu ya Enock huku akiwa upande wa miguu ana nyoonya muwa huku Enock nayeye akiwa na kibarua cha kudeki bahari wakati huo huo, kila mtu alipata raha za ajabu sana,!

    Kila amtu alihisi ana paa angani tena bila mabawa, hakika kila mtu alikuwa fundi siku iyo, walibadilisha mikao huku sasa hivi Heather akiwa kifuani mwa Enock akinyonya chuchu zake kifuani na kumkwaruza na kucha zake shingoni taratibu sana,

    “aaaaaaaah ssssssssh”.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Alitoa mihemo na miguno Enock huku akishika shika nywele za HEATHER, mambo yalikua ndo kwanza yaananza sababu Enock alimbinua tena nakuanza mashambulizi , alimuweka mbuzi kagoma na kuanza tena shughuli pevu pale pale, kelele na miguno vilisikika kila kona ya ukuta huku raha ziki zidi kabisa!



    Baada ya muda mfupi wote walikua wame jifunika na shuka wa kisifiana kile kilichotokea muda mfupi uliopita.

    “BABY una jua nini”?

    “mmmmh”!

    “una jua ku fuc****”

    “ila nawewe una ya jua sana Heather”!

    “hapana kidogo tu, nataka uwasahau hao wazungu wote, ambao uliowahi kutembea nao huko marekani!”

    “kwa staili hiyo lazima niwasahau Catherine”

    “umeniitaje”?

    “oooh so sorry”!

    “ alafu huyo Catherine ni nani”?

    “tuachane na hayo”!



    *********



    Mawazo juu ya Catherine haya kuweza kumtoka ndani ya akili yake bado alikua akimuwaza na kufuatilia wapi anapoishi japo kua taratibu za ndoa yake zili kua karibu lakini bado hakuona Heather kua ni chaguo lake kabisa,

    Chini kwa chini alianza kufanya uchunguzi na utafiti wa kina ili ajue ni wapi Catherine ana patikana, alirudi kawe club siku iyo na kujaribu kufanya uchunguzi , ambapo baadae anaelekezwa na dereva wa bajaji ambayo iliwaleleta wakina Catherine na mwenzake siku ya sherehe hiyo hapo kawe club,

    “si Yule demu alivaa kigauni chekundu”?

    “ndio huyo huyo”!

    “alikuja na mwenzake”?

    “mimi sijui sina uhakika”

    “sasa alikuja na mwenzake , mimi nili watoa CBE kule posta”

    “CBE”?

    “ndio huko huko, na nisha wahi kumuona kama mara mbili tatu, ana soma pale CBE”

    “poa poa bratha, shika hii”

    Yalikua ni mazungumzo kati ya dereva wa bajaji na Enock alitoa shilingi elfu kumi na kumkabidhi dereva huyo, na hapo hapo kuingia ndani ya gari na safari ya kwendap osta kuanza, kweli alitokea kumpenda sana Catherine, kutokana uzuri wa kipekee aliiokua nao , aliendesha gari akiwa na mawazo sana!.



    Muda mchache baadae tayari alipaki gari lake nje ya chuo cha CBE na kushuka , na pale pale kuanza kumuulizia kwa wana funzi aliowaona wakipita,

    “Catherine yupi, kuna Catherine wengi mjomba, sasa yupi una emtaka wewe”?

    “well, sijui jina lake full, ila ni mrefu wa wastani mnene kidogo, ana macho Fulani hivi kama ya kusinzia, bado hujamjua tu”?

    “okay nisha mfahamu huyo ana itwa Catherine Ramsey”

    “nafikiri, yah I think she is the one (ndiye yeye bila shaka)!”

    “naweza nika mpata wapi”?

    “nenda kwenyehostel za wasichana kule uta mpata kule juu, pandisha izo ngazi mpaka floo ya tatu alafu ulizia pale maana ki ukweli sikijui chumba ana choishi”

    “okay, thank you”

    Enock alipiga hatua za haraka haraka na kuanza kupanda ngazi, ndani ya moyo wake kweli alikiri kumpata catherine alimpenda sana, aliapa endapo ange mpata Catherine na ndo siku hiyo wataachana na Heather hakujali lolote lile aliusikiliza moyo wake una taka nini wakati huo, alifika floo ya tatu na kuulizia kwa kua Catherine alikua maarufu sana hapo haikumpa shida kujua chumba anacholala



    Alipanda ngazi zile mpaka alipoelekezwa chumba cha catherine na hapo hapo kuanza kugonga mlango huo ambapo baadae alifunguliwa na msichana mwingine ,

    “namuulizia catherine”!

    “ahaa catherine yupo!, subiri nikuitie kaka”

    Baada ya dakika chache hakuamini mtu aliye muona mbele yake alikua ni Catherine tena akiwa yupo na kanga moja tu, damu ilianza kumwenda mbio huku zikisukuma mapigo yake ya moyo kwa kasi sana, hakika alikiri kuwa mrembo aliye kua mbele yake ame kamilika kila kitu, kuanzia umbo lake hadi kuongea kwake, alihisi mdomo wake umewekewa gundi, kama sio uji wa magimbi, hakika alijikuta maneno ambayo aliya panga kuongea yote yaliyeyuka pale pale,

    “wewe wewe! ndo Catherine”?

    Alijikuta akiuliza swali hilo ilhali alijua kabisa aliye simama mbele yake ni cathirine.,



    “AM ENOCK”!

    “nakufahamu kama sija kosea,!”

    “uliniona wapi?”

    “subiri nivae nguo, nisubiri”

    .CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Kweli Enock alionesha hali ya kuchanganyikiwa sana hasa Catherine alivyogeuka nyuma na kumpa mgongo, kalio lake lillivyo binuliwa na kiuno na kutengeneza mlima kitonga vili mfanya ameze fundo la mate, bado alikua ame pigwa na butwaa, bado akili yake iliizidi kupagawa kabisa!, alichotakiwa hapo yeye ni kumwambia hisia zake mara moja na sio kuchelewesha mambo hata kidogo,

    Baadae catherinealitoka na kuongozana mpaka kwenye moja ya canteen zilizo kua chuoni hapo,

    “NO I cant eat here. We go some where else, but not here Catherine(siwezi kula hapa , twende mahali pengine , lakini sio hapa)



    Alizungumza Enock baada ya kuona fujo fujo za wana funzi wa chuoni hapo, kwa upande wake hakutaka sehemu yenye fujo alimuomba Catherine aweze kuondoka nae popote pale, ila hakutaka kwenda popote bila rafiki yake kipenzi Betty aliamni akiwa nae kila kitu kitaenda sawa kabisa, hakukua na sababu ya Enock kumkatalia baadae waliingia ndani ya gari na safari ya kwenda SEA CLIFF kuanza mara moja

    , huko walikula na kunywa waki furahi sana, na kuwarudisha hostel kwao, bila kujua na baba yake pia jioni huwa ana kuja na kumchukua pia Catherine, walikua wakipishana, hawa kujua hata siku moja kuwa yeye na baba yake wana mchombeza mwana mke mmoja ivyo ndivyo ilivyo kua ,



    Ilikua kila siku iendayo kwa Mungu Enock hakuweza kukaa bila kumuona Catherine hata kwa binti huyo pia ilikua vivyo ivyo.

    “lakini Enock wewe ni mchumba mtu sasa”

    “naelewa sana,, yote nilikwambia, nili kutafuta sana bila mafanikio, kila kitu nime kwambia”

    “mi naogopa, sasa ita kuaje mwanamke wako akijua , uta niweka katika matatizo makubwa una jua”

    “kila kitu niachie mimi, nita jua cha kufanya”

    “lakini moyo wangu bado una sita”

    “nakupenda Catherine, what should I say haa?, nakupenda kweli, naomba uwe mke wangu”

    “lakini si unajua bado nasoma”?

    “nita subiri umalize masomo yako”

    “hapana sio sasa hivi nikimaliza masomo lakini”



    Hayo ndiyo yalikua mazungumzo kati ya Enock na Catherine kila siku ipitayo kwa Mungu,kweli nguvu zake zote aliziwekea kwa Catherine na kumsahau kabisa Heather, moyo wake ulitua kabisa kwa Catherine.



    *****



    “sasa zahara kama nilivyo kwambia Enock siku izi simuelewi elewi”

    “bado humuuelewi?”

    “ndio zahara, kasha nivuruga akili mimi naona ndoa hapa hakuna,”

    “kwanini unasema ivyo?”

    “siku izi amebadilika sana, nahisi ana mwana mke mwingine”

    “shoga fanya upesi uchukue hatua, shauri yako zali lile ohooo, hala hala, uta kuta mwana sio wako, unajua hata baba Johnson nayeye alikua kama huyo Enock , ila sasa hivi katulia tuli nime muweka kiganjani hapa, hakohoi”

    “ulitumia njia gani”?

    “hee wewe hujui kuna mafundi”?!

    “mafundi wapi tena”?

    “waganga wa kienyeji”

    “ume fika mbali zahara yani niende kwa waganga wa kienyeji”?

    “shauri yako ndo nakwambia sasa,”

    “hapana siwezi”



    Kwa mara ya kwanza Heather alionekana kukataa katakata habari za kwenda kwa mganga wa kienyeji ila kadri siku zilivyo zidi kwenda ndipo Enock alizidi kumfanyia vituko hakua na jinsi alimueleza rafiki yake huyo Zahara na wote siku

    iyo kufunga safari ya kwenda Bagamoyo kwa mganga ambae Zahara alimuamini sana,

    Kweli walifika siku iyo na kupaki gari yao na kuanza safari ya kutembea kwa miguu, walivuka mabonde na milima na kuzidi kusonga mbele , na baadae kufika ndani ya kichaka ambacho kati kati yake kulikua kuna kijumba kidogo sana kilicho tengenezwa na miti huku juu yake kikiwa na kitambaa chekundu,

    “hapa ndo kwa fundi ana itwa kalumanzila”

    “mi naogopa”

    “twende”



    Waliingia ndani kwa masharti ya kuingia kinyume nyume, na hatimae kukutana na mganga huyo aliye jichora chora usoni na kuanza kupiga chafya,

    “dada una matatizo sana, bruuuuchaaa, bruuuuchaaaaa.. ha ha ha ha ha ha ha ha h haha ha ha. Hapa ndio kwa karumanzila, una teswa sana na mapenzi”?

    “ndio kweli”

    “sasa hapa ume pona dawa ipo”

    “una shida gani”?

    “nataka anisikilize mimi tu, nikisema anijengee nyumba afanye ivyo, yaani asikatae chochote nitakacho mwambia”

    Mganga yule alianza kupiga manyanga yake na kumuomba Heather aje kesho yake jioni akiwa mwenyewe sababu dawa yake itakua tayari ime kamilika,.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Walianza safari ya kurudi .njia nzima alikua mwenye amani sana, aliamini mganga Yule ata msaidia sana kuliko maelezo sababu hakua na la kufanya, kesho yake aliwasha gari na kwenda mpaka bagamnoyo nia yake ilikua kitu kimoja tu Enock amsikilize katika kila jambo, ila baada ya kufika kule ana aambiwa mambo ambayo alishindwa kuyaelewa, mganga alikua akitaka kufanya nae mapenzi,

    “ndio, nitapaka hii dawa kwenye uume wangu, niki uweka huko dawa ikiingia nawewe ukifanya nae mapenzi basi dawa hiyo itamuingia, na kufanya kazi!”

    “hakuna njia nyingine”?

    “hakuna”

    Heather hakua na jinsi yoyote zaidi ya kuvua nguo zake na kuanua miguu, kama mganga alivyo mtaka afanye, mganaga Yule alitoa MASHINE yake na taratibu kuanza kuipaka dawa ambayo ilikua kama unga unga, na kuiingiza ndani ya ikulu ya Heather, taratibu alianza kucheza mechi ile ambayo hakiundaliwa ambayo haikuwa hata na refarii japokua Heather aliyasikia maumivu lakini hakua na jinsi yoyote ile,



    *******



    “HAPA NDO NYUMBANI KWANGU BEATRICE, nime taka tu niku pitishe mara moja, ili upaone ili baadae turudi tumpitie rafiki yako Betty pale samaki samaki”

    “pazuri sana”!,unaishi mwenyewe”?

    “aaaah yaah naishi mwenyewe, ”

    “kwani wewe huna mke David”?

    “Alisha kufa , alifariki kitambo”

    “pole sana”

    Catherine tayari alikua ndani ya nyumba kubwa ya Mzee Mwasha ambapo baadae aliletewa wyne nakuanza kunywa, kwa mbali taratibu alianza kusikia kizungu znugu, na kuanza kurembua na kufanya uzuri wake uzidi maradufu,

    mzee mwasha aliona ile ndo nafasi pekee pale pale juu ya kochi alianza kumtomasa Catherine huku akianza kuyashika maziwa yake na sehemu mbali mbali za mwili.,



    “YES YES, HANG UP THE PHONE naingia home yeah awi check you later, bye”



    Alikua ni Enock akiingiza gari ndani ya nyumba yao hiyo kubwa alivyo angalia kushoto a liliona gari la baba yake na kushindwa kuelewa mchana huo amerudi kufanya nini, alipandisha ngazi zilizokua hapo mbele nakuona viatu vya kike, alivi tambua sana vile viatu vilikua vya Catherine tena alimnunulia yeye mwenyewe moyo ulizidi kumwenda mbio sana na kunyonga kitasa cha mlango…



    “GRII GGRIIII”



    Simu iliyo kua mfukoni ndani ya jins yake ili mshtua na kukiacha kitasa alivyotoa aliiangalia namba ile na kuiweka simu sikioni baada ya kujua ni nani aliye kua akipiga simu ile,

    “Enock mama yako ana hali mbaya sana, sasa tupo njiani tuna mpeleka Hospitali, anadai na hitaji kukuona haraka sana”!

    “whaaaat?, sasa mna enda hospitali gani,”?

    “njoo Muhimbili”

    “okay on my way now(sawa nipo njiani sasa)”



    Kitendo cha kurudisha simu mfukoni aliruka ngazi na kutua chini alikimbilia gari lake na kuingia kama mkuki alitoa gari mbio na kufanya agonge ukuta na taa ya mbele kupasuka bila kujali aligeuza ivyo ivyo na kutoa mbio, alimpenda sana mama yake mzazi., simu ile ilikua ni ya umuhimu sana kuliko kitu chochote kile chini ya jua. Bila kujua ndani mule alimuacha catherine akiwa na baba yake,

    mawazo sasa hivi yalikua kwa mama yake mzazi, ambaye alimpenda sana. Alizidi kuendesha gari kwa kasi ya ajabu huku akiwa ana piga honi mfululizo,

    Mwendo ule uliwafanya maaskari wa usalama barabarani wamu mpungie mkono kuashiria kuwa asimame ila hakuwajali na kufanya askari wale wazidi kuingiwa na mashaka, na kuanza kumkimbiza na mapiki piki yao meupe hakufika mbali tayari walizuia gari hilo bada ya kuweka piki piki zao mbele ya gari lake,

    “we kijana nini kina kukimbiza”?

    “naomba nionge nanyi baadae sasa hivi nina haraka sana”!

    “una semaje wewe?. Una vunja sheria alafu una tuambia huo utumbo”?

    “this is my driving permit na hii kadi ya gari chukueni tutakuja kuongea vizuri kituoni, au mmoja wenu aingie ndani ya gari twende sote, please I have an emergence(tafadhali nina dharura”)

    Enock alitoa leseni ya kuendeshea gari na kadi gari akiwa kabizi nayeye kuondoka zake mpaka hospitali, alipaki gari na kushuka haraka haraka, moja kwa moja aliiingia mpaka mapokezi.



    Moja kwa moja alipelekwa kwa mama yake ambaye alikua maututi sana.

    “mwanangu una taka nife sija muona mjukuu wangu”?

    Hilo ndilo lilikua swali la kwanza kutoka kinywani mwa mama yake na Enock



    *********



    Mganga kalumanzila alizidi kuji burudisha kingono karibia kila siku na Heather akisingizia kua dawa bado haija ingia vizuri, na kupewa siku saba ili akutane na Enock na wafanye mapenzi na dawa ile iweze kumuingia kwenye damu, aliamini akifanya ivyo ataweza kumnsa Enock na amsikilize sana , huo ndiyo ushauri pekee aliopewa kutoka kwa rafiki yake zahara,



    ******

    .CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “No Mr, David enough(inatosha) naomba nipeleke kwa Betty ana piga simu muda mrefu tutaendelea siku nyingine, alafu niliskia kama kuna mtu alikua nje hapo getini, tufanye siku nyingine mimi nataka niondoke sasa hivi,”

    “basi maalizia kinywaji chako Beatrice!”

    “hapana siwezi nipo sawa siku nyingine”

    Catherine alisimama na kuiweka nguo yake vizuri na kuanza kuuendea mlango aliishudia gari likitoka nje kwa kasi sana na kutokomea nje,

    “humu ndani mnaishi wa ngapi”?

    “nipo na kijana Fulani hivi”

    “aahaaa ndo maana nikaona katoa gari hapa sasa hivi”!



    hakujua kuwa aliye toa gari ni Enock, waliingia ndani ya gari la Mr, Mwasha na safari kuanza, huku bado mzee huyo aitwae mwasha kuzidi kusisitiza juu ya ombi lake la kua nae kimapenzi akimuahidi vitu vingi vya kifahari,

    ila jibu la Catherine bado liliendelea kuwa HAPANA, hakuwa tayari kushusha sketi yake kwa mzee aliye mfananisha tena na babu yake pengine, ukizingatia bado alikua bikra, Elvis alifanya awa chukie sana wana ume bado alikua hawaa mini wanaume hata kidogo,



    *******



    “please Betty ongea na Catherine, nampenda sana, nipo radhi kufanya kitu chochote kile najua wewe ni rafiki yake, mimi nampenda kweli nataka nitengeneze nae familia”

    “Enock lakini si una mchumba tayari , unajua kesho au kesho kutwa mimi nitaonekana mba-ya sana endapo uta mtesa rafiki yangu”

    “ana mwana ume kwani”?

    “kwa sasa hivi hana mwanaume na wala hataki kuwasikia, ninyi ni waongo sana, mna maneno matamu, lakini ni waongo waongo tu”

    “basi nisikilize hatokuja kujuta kuwa namimi, DO IT FOR ME, I LOVE THAT GIRL TO BE SINCERE, from my heart I admit it, infront of you, My almighty God is my witness. only God knows how much I do love Catherine please do something I know you can.(nifanyie kwa ajili yangu, nampenda sana ki ukweli, kutoka moyoni mwangu nakiri,mbele yako, Mungu muweza ni shahidi, Mungu pekee ndo anaye jua jinsi ninavyo mpenda Catherine tafadhali fanya kitu, najua una weza).”

    Maneno hayo yali mtoka Enock akiwa na Betty ndani ya gari yake siku hiyo baada ya Catherine kugoma na kukataa kata kata kutoka hostel kuonana na Enock, kupitia macho ya Enock yalionesha dhahiri kabisa ni jinsi gani aliumia wakati mwingine aliiongea kwa hisia kali sana na kufanya machozi yamlenge,

    “mimi nita mwambia, naamini ata kubali ni rafiki yangu, ila naomba uni haidi kitu kimoja, hauto muumiiza kama ulivyo sema kuhusu huyo mchumba wako, sijui uta muacha mimi sitaki kujua, lakini naomba usimuumize rafiki yangu”

    “nakuhaidi”

    “sawa”

    Betty alishuka ndani ya gari na kumuacha Enock akiondoka, moja kwa moja hakusita kwenda kumueleza rafiki yake kile alicho tumwa , alimsihi sana aweze kuwa na Enock kima penzi japo kwa mara ya kwanza alionesha kukataa ila baadae alikubali , sababu ki upande mwingine hakutaka kumkasirisha rafiki yake aliamini kuwa ushauri wa rafiki yake ndiyo bora,

    “ila Betty, nime mkubali Enock sababu yako, kitu chochote kikitokea nita kuchukia sana”

    “niamini Catherine”

    “sawa sina neno”

    Enock kupewa taarifa za kukubaliwa na Catherine alikua kama amechanganyikiwa aliamka asubuhi ya saa kumi. Ili kua tarehe ishirini na nne mwezi wa nne siku iyo aliandika kwenye daftari lake la kumbu kumbu siku ambayo alikubaliwa na Catherine siku iyo aliita LUCKY DAY .

    alienda madukani akichagua nguo za gharama sana, alinunua nusu duka la nguo kwa ajili tu ya Catherine,



    Aliwasha gari akiwa ame kenua meno yake, na moja kwa moja kuweka gari hostel CBE. Catherine alipomuona lifurahi sana, baada ya kupewa zawadi zile za nguo,..

    kadri siku zilivyo zidi kwenda ndipo mapenzi yaliizidi kupamba moto sana , kila mtu alionesha hisia za kimapenzi kwa mwenzake, Catherine sasa alianza kumpenda kweli Enock alijua ndiye mwana ume wa maisha yake na ndo ndiye ata kuja kumfungua bikra yake,



    Swala la kumvulia nguo sasa hivi lili kua rahisi sana alimuamini sana Enock sasa!

    ila bado alimsihi aachane na Heather,

    wakiwa ndani ya hotel chumbani, Catherine akiwa amekubali kumvulia nguo yake ya ndani Enock, sababu alimpenda sana na kujua ndiye atakae kuja kua mumewe wa ndoa na baadae watengeneze maisha na hayo ndiyo yalikua mahesabu ya Enock,

    walianza kupigana mabusu ya midomoni huku wakivuana nguo zao juu ya kitanda hiko kilicho kua kikubwa sana, na baadae Enock kufanikiwa kuvua nguo zote za Catherine japokua binti huyo alikua na aibu ila ili mbidi ajikaze tu siku hiyo hakua na jinsi yoyote ile,

    japo kua marafiki zake humwambia kua uta umia sana, Enock alianza kumuaanda hakua na papara alimnyonya shingo na maziwa yake huku Catherine akizidi kusikia raha sana,

    Enock alichukua Mashine yake na kuanza kuiingiza ndani ya ikulu ya Catherine ila cha ajabu aliona haipiti vizuri,

    “Enock una niumiza”!

    “are you virgin(wewe ni bikira)?”

    “yes”

    “oh my God”.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Kwa Enock alijua kweli hapo ana kibarua kingine alijaribu kuingiza akitumia ngvu ila Catherine alimsukumiza kwa nguvu sana sababu alihsi maumivu ya ajabu sana, na kumfanya Enock adondoke chini na kubamiza sehemu ya utosi pembeni ya mbao na kutulia kimnya, huku povu likianza kumtoka mdomoni na kiini cha macho yake kupotea kabisa…..



    Hakuelewa nini afanye zaidi ya kitu kama mkanda wa filamu kupita ndani ya kichwa chake na kumuona hakimu akigonga nyundo mezani nayeye kutupwa gerezani alijua nini maana ya mtu kutoa povu mdomoni tena kiini cha macho kupotea,mwili wake wote alihisi una ganzi kabisa, taratibu alianza kumsogelea Enock ambae kwa wakati huo alikua anatingisha miguu na kutulia ,

    “Eno….ck”!

    Alizidi kuita huku akimsogelea karibu ki ukweli alikua na hofu, haraka haraka alitembea mpaka kwenye simu ya mezani iliyokua juu ya meza huku akizivaa nguo zake zilizokua chini, alizungumza na upande wa pili wa simu ambapo ili sikika sauti ya mwana mke kutokea mapokezi ,

    baada ya sekunde chache tayari walifika baadhi ya wahudumu wa hoteli ile na kuanza kumuhoji maswali.

    Lakini kwa wakati huo Catherine hakuweza kujibu swali lolote lile zaidi ya kulia kwa kwi kwi, haraka haraka walimbeba Enock na kumvalisha nguo zake na safari ya kwenda hospitali kuanza.

    Baadae kidogo tayari waliegesha gari hiyo na wauguzi kufika na kitanda chenye magurudumu huku wakimuweka Enock juu yake, kitanda kile kilianza kusukumizwa na manesi hao waliovalia sare nyeupe na kuingia nacho ICU, chumba cha wagonjwa mahututi

    “Mungu wangu Enock, eeeeh Mungu, nini nime kukosea. “

    Aliwaza Catherine huku akitembea huku na kule, alitembea haraka haraka kwa daktari aliye muona akitoka nje, huku akitoa kitambaa kilichokua kime mziba mdomo wake.

    “docta vipi hali yake”?

    “njoo ofisini kwangu”

    Dokta Yule alitangulia mbele huku Catherine akiwa nyuma yake, baada ya kufika ndani ya ofisi ya dokta Yule alikaa pembeni ya kiti kilicho kua pembezoni kidogo,

    Hakuweza kuzuia machozi yake, kupitia macho ya dokta aliye kua akimtazama mbele alijua kabisa kuna jambo ambalo sio la kawaida kabisa,

    “wewe ni nani yake”?

    “ni ni ni ni mpenzi wake”

    “nasiki tika kukwambia kuwa mpenzi wako amefariki Dunia, alifia njiani, pole sana dada angu”

    Maneno yale kutoka kwa daktari yalizidi kuupasua moyo wa Catherine , alihisi kuishiwa nguvu hakuelewa ataenda kumuelezea nini mama yake mzazi ambaye leo hii ana jua yupo chuoni ana soma na kupelekewa kesi kuwa alikua hotelini tena na mwanaume, taarifa zile kumfikia mama yake ili maanisha kifo yeye kupigwa mpaka kupoteza maisha,

    Kilicho kua kina cheza ndani ya ubongo wake kwa wakati huo ni kukimbia tu na si vinginevyo, akili ya kukimbia mbali kabisa na kutokomea pasipo julikana vilianza kujijenga ndani ya akili yake ila hakujua akimbilie wapi pale,,

    aliji futa machozi yake yaliyokua yakimtoka mfululizo na kuanza kutoka nje huku akikimbia, alijua kivyovyote vile ni lazima angeishia mikononi mwa polisi ili kujibu mashtaka,



    Alishuka ngazi za hospitali hiyo haraka haraka ila baada ya kutoka nje alimuona meneja na muhudumu wa hotel aliye kua na Enock mara ya mwisho akiwa na polisi ,

    “wewe dada, wewe dada simama”

    Kauli ile kutoka kwa meneja Yule ili mfanya aanze kuchanganya miguu yake na kukimbia, ila kabla hajafika mbali tayari mmoja wa mapolisi alimshika mkono na kumfunga pingu kwa nyuma..



    ***********



    “CATHERINE, CATHERINE, tumefika shuka mpenzi wangu, naona umelala kweli”!

    Sauti ya Enock ili mshtua kutoka kwenye usingizi mzito uliokua na njonzi ya kutisha sana akiwa ndani ya gari ili mfanya ashtuke na kubaki akimtizama Enock kana kwamba ameona mzimu mbele yake, macho yake a lizidi kuyatoa na ndoto ile aliyokua akiiota kujijenga ndani ya ubongo wake upya,

    Kitendo cha kufika Kilimanjaro hotel ili waweze kufanya mapenzi aliona ndiyo kama ile ndoto itaenda kutimia,

    “baby what is wrong with yah,?( Mpenzi nini tatizo”)

    “Enock please tufanye siku nyingine not today”

    “una tatizo gani”?

    “hapana Enock nielewe”

    “acha masihala, nisha lipia Room, any way sikia hatutofanya mapenzi tuta ongea tu peke yake and all that, tufurahi tucheze pillow fight, just like that,”

    “nihaidi hatu tofanya mapenzi”

    “shuka cate, twende tafadhali”

    Catherine alijjikuta akilegea na taratibu kushuka ndani ya gari na kuanza kuongozana. Kwa kua Enock alikua tayari kesha lipia chumba .

    alipewa funguo za chumba chake na kuingia ndani ya lift baada ya kubonyeza ilianza kupanda juu na mwishowe kusimama gorofa namba kumi na mbili, ilivyo funguka wote walitoka nje na kuingia ndani cumba hiko,

    Uzuri wa chumba hiko hakika kiili kua hakuna mfano japokua kili kua ni chumba lakini ndani yake kulikua kuna jiko kitanda kikubwa na sebule nzuri pia, ilikua ni kama nyumba nzima, bado Catherine alizidi kushangazwa na chumba hiko kilivyo kua kikubwa, pale pale Enock alimvuta kiuno na kuanza kumpa denda , Catherine alipokea ulimi na wote kuanza kubadilishana mate,

    “Enock”!

    “yes baby”.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “nakupenda sana. Ila bado nahisi moyo wangu ni mzito sana”

    “kwanini cate”?

    “una mchumba tatizo , wewe ni mchumba wa mtu sasa hivi”

    “mbona tulisha ongea hilo lakini LOVE , hivi karibuni nitaweka mabo sawa”

    “kivipi?”

    “nita muacha”

    “noo usifabye ivyo sio vizuri. Ina maana siku uki pata mwana mke mwingine na mimi uta niacha kama ivo”

    “sina maana iyo baby”

    Taratibu Catherine alimsogelea Enock na kuanza kumnyonya lips zake, pale pale Enock alimnyanyua ambapo Catherine aliizungusha miguu yake nyuma ya kiuno cha Enock na safari ya kwenda kitandani kuanza , kilicho kua kinaendeea hapo kilikua ni mvua za mabusu tu, shika ni kushike huku na kule tayari Enock alianza kunyonya maziwa ya Catherine ila kila alivyo taka kuingiza mkono ndani ya ikulu ya Cate alishindwa kutokana na Catherine kugoma na kuuweka mkono wake juu ya nguo yake.

    “mi naogopa Ennnoooo”

    “sasa una ogopa nini”?

    “alafu nikwambie ukweli ila usini one mshamba”!

    “kitu gani, tena uta niambia baadae”

    “kwanza umenihaidi we wont sex, sasa una taka kufanya nini Enock,.. am virgin”

    “haha ha ha ha stop kidding”

    “am serious , “

    “you kidding right, una niongopea msichana mzuri kama wewe. Uwe bikra, stop lying , sitojali kama wewe sio bikra mimi nachotaka ni mapenzi ya kweli”

    “Enoo, nipo serious na ninacho kwambia”

    “sasa mimi nitaamini vipi”?

    “ipo si…..”

    Aliongea Catherie huku akiwa juu ya Enock wakati huo ila

    Kabla ya kumalizia sentensi yake simu ya Catherine iliiianza kuita pale pale, alivyo angalia kioo cha simu aliona jina MR, DAVID alisita kidogo

    Alimtizama Enock na kushusha pumzi ndefu, ila kabla ya kuipokea alisogea karibu,

    “baby huyu mzee ana nitaka siku nyingi sana, ana nisumbua, mimi simpendi namfananisha kama babu yangu tu, naomba upokeee simu hii umwambie asini sumbue”

    Roho ya wivu na hasira vilijijaza ndani ya kifua cha Enock na kumsogeza Catherine pembeni na kuchuka simu ile,

    Aliipokea na kuiweka sikioni,

    “wewe mzee, nisikilize tena kwa umakini, stay away from my girlfriend, na ukome pumbavu wewe, na iwe mwanzo na mwiso kuipiga hii simu, sawa nadhani umenielewa shenzi wewe”

    Enock alizidi kuporomosha matusi yale bila kujua kuwa aliyekua upande wa pili wa simu ni baba yake mzazi….



    KITENDO cha kuikata simu ile alimrukia Catherine na kum-binua kitandani na kuanza kumpiga mabusu ya mdomoni, alimuweka kwa chini na kuibana mikono yake kwa pembeni ili asiweze kufanya lolote, kwa kuwa kwa muda wote alijua ni wapi udhaifu wake ulipo ,alianza kumshika maziwa yake huku mkono mwingine kuanza kumshika masikio yake na kumfanya Catherine aanze kuji kunja kunja, taratibu alianza kumchojoa nguo ya juu na kuivua sidiria yake, moja kwa mojaa litumia ulimi wake na kuanza kulamba



    chuchu za mrembo huyo tena akitumia ncha ya ulimi na wakati mwingine kulamba kama watu walambavyo koni yenye icrecrim juu.wakati huo Catherine alikua hajiwezi tena,alikua amelegea kabisa alihisi raha za ajabu.

    alihisi raha za ajabu na kuona kama kuna vitu vya ajabu vina tembea ndani ya mwili wake na kutamani kukunwa pale pale, ki ufundi tena taratibu Enock alianza kuivua suruali ya jinsi aliyo vaa Catherine tena safari hii alitulia tuli, kwa juu juu Enock alianza kushika ikulu yake kana kwamba ana ipapasa na ndo hapo Catherine alianza kuhema juu juu na kuzidisha kasi ya kuuzungusha ulimi ndani ya mdomo wa Enock,



    Kukuru kakara zilizidi ila Enock alikua bado katika kibarua kizito kuitoa chupi ya Catherine bado ilikua mbinde. hakutaka kufanya papara aliendelea kumchezea na safari hii kufanikiwa kuingiza mkono ndani ya chupi na kuanza kushika ikulu ya Catherine,alijiona hapo alipiga hatua pekee kabisa, aliendelea kuishika shika kwa juu huku taratibu akiishusha chupi ya Catherine ki utaratibu, kwa raha alizosikia catherine hakika hakuweza hata kujua kua chupi yake ina teremshwa,



    Mwishowe tayari Catherine alibaki kama alivyozaliwa, lakini licha ya ivyo Enock aliendelea kumuuandaa ilionekana dhahiri kabisa hakua mgeni katika maswala ya kumuuandaa mwana mke ili amridhishe

    Catherine wakati huo alikua ameya fumba macho yake wenda akisubiri kuchinjwa sababu alikua hajiwezi tena , hakuwahi kusikia raha kama izo maishani ila katika hali ya kushangaza alihisi ikulu yake ina uma sana alivyo pitisha mkono wake chini kukagua aligusa GUNZI la Enock ambalo lilikua kidogo limeingia sehemu ya mbele yaani kipala cha babu kilikua ndani. Alijihisi maumivu makali sana na kujalibu kurudi nyuma ila Enock alijaribu kutumia nguvu, lakini Catherine alirudi nyuma kila GUNZI lile lilipo taka kuingia ndani ya ikulu yake.

    Mahesabu ya Enock kichwani yalikua ni Catherine ajisogeze mpaka mwisho wa ukuta uliokua nyuma yake, akiamini kua hapo ndipo ata mnasa vizuri, kila alivyo taka kuingiza gunzi Catherine alirudi nyuma, ivyo ivyo aliendelea.

    kitendo cha kugota ukutani Enock alizamisha Gunzi lake nusu nzima akitumia nguvu,

    “ENOOOOOOOOOOOOOOCK stop”!

    Alipayuka Catherine huku akihisi maumivu makali mno, hakuwahi kusikia maumivu kama hayo kwa kweli alimsukumiza Enock pembeni na kuanza kulia kwa maumivu makali ambayo tayari alianza kuya sikia ndani ya ikulu yake ,.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Alianza kulia kwa kwi kwi huku akizidi kumlaumu Enock kwa kitendo alichokua anataka kuki fanya,

    Hakua na sababu ya kuendelea sababu aliamini kabisa alikua akimuumiza ndani ya mwili wake, alielewa kabisa nini maana ya kutoa bikra alielewa ni jinsi gani mwana mke ana umia. ivyo hakutaka kulazimisha

    huo ndio ulikua ukweli wa mambo aliamini ipo siku yake, ata itoa hiyo bikra, kitendo cha kuingiza SWITCH yake mpaka nusu aliamini ni hatua moja wapo pia na siku nyingine ata malizia,

    “cate am sorry, it wasn’t my fault(cate samahani, halikua kusudio langu”

    “ume niumiza sana”

    “usijali”

    Ivyo ndivyo ilivyokua walivaa nguo zao na kuingia ndani ya gari,



    Bado Enock alizidi kumuonesha mapenzi ya dhati Catherine kila kukicha, yeye akiwa ana onesha mapenzi ya dhati huku Catherine akizidi kusisitiziwa na rafiki yake Betty amuachie Enock aweze kumtoa bikra yake, nguvu za usha wishi kutoka kwa Rafiki yake Betty zilianza kuzaa matunda japo aliambiwa kua ina uma lakini ili mbidi tu afanye vile alihaidi kuji kaza sana, hakika alimpenda sana Enock na kuamini kua ndiye ata kuja kuwa mwanaume wa maisha yake, maumivu ya mapenzi aliyo pata nyuma yote yaliyayuka na kupotea kichwani kiujumla..



    Kama kawaida siku iyo waliweza kukutana na Enock. siku iyo jioni alimuomba waweze kulala siku nzima, hakukuwa na kipingamizi chochote kile zaidi ya kukubali kwenda kulala ndani ya hotel kubwa ya nyota tano iliyokua na kila kitu ndani, nje ya mji maili kadhaa.

    Baada ya kula chakula cha usiku wote waliiongozana na kuingia ndani ya chumba hiko kwa kua kila mtu safari hiii alijua nini hasa kili wapeleka humo ndani, kilicho fuata hapo yalikua ni mabusu ya hapa na pale,huku wakivuana nguo zao zote kwa fujo.

    Catherine alishikwa kila mahali alichanganyikiwa hasa alivyokua ana nyonywa maziwa yake huku mkono mwingine ukiwa juu ya ikulu yake hakika alianza kutoa miguno ya raha sana huku akiya fumba macho yake, alianza kuhisi maumivu mengine makali hasa alipo hisi GUNZI la Enock likianza kuingia hakua na jinsi zaidi ya kujikaza sana, kila alipojaribu kumtoa Enock juu yake alizidiwa nguvu tayari,



    Enock aliingiza taratibu sana na kumfanya Catherine apige kelele ila alizibwa mdomo wake ili asiweze kupiga kelele, lakini Catherine alitumia meno yake kuung’ata mkono wa Enock,



    Aliipiga kelele sana maumivu aliyo kua ana yasikia hakika alishindwa kuvumilia na kuji kuta akilia huku akimpiga ENOCK makofi ya nguvu sana, huku akimkwaruza na kucha zake ndefu usoni ila JUHUDI ZAKE hazikuzaa matunda kabisa sababu hakuweza kumfanya Enock atoke juu yake! .

    tayari Enock alikua akivuja damu usoni kutokana na kucha zile kumwingia ndani ya ngozi,



    Baada ya dakika chache shuka lilikua limejaa damu baada ya mashine ya ENOCK kungia mpaka ndani ilikua bikra tayari imevunjwa na kumfanya Catherine alie kwa uchungu mno, maumivu aliyokua akisikia hapo hakika haya kuweza kuelezeka kabisa! ikulu yake ilikua ikitoa damu tayari.



    KITENDO CHA MWASHA kutukanwa kili mfanya apatwe na hasira sana alifura kwa hasira kabisa na kupanga kivyovyote vile amfanyie kitu kibaya kwa mtu huyo aliamini kabisa kua ata kua ni mwana ume wake na Catherine, pesa alizopoteza zote leo hii malipo yawe matusi, ki ukweli hakutaka kumkosa mrembo huyo !

    “nita ua mtu, lazima nitoke na kichwa cha mtu, haiwezekani. Ngoja nika ilipie bastola yangu kibali..”

    Aliwaza mwasha akiwa tayari mwenye hasira sana.



    Upande wa pili tayari siku ya saba ilitimu na masharti ya mganga KALUMANZILA ilikua ni lazima afanye ngono na Enock ili dawa ile iweze kumuingia Enock Vizuri, jambo hilo kwake lilikuwa kama kuweka kijiko cha uji mdomoni,

    “baby nataka nije kulala kwenu leo”

    “aaah jamani haitokuwa jambo zuri sana, si usubiri kidogo nyumba nayo jenga ikiisha alafu ndo tuhamie huko”

    “hapana baby kuna jambo muhimu nataka kuongea nawewe”

    “kuongea namimi”?

    “ndio wewe”?

    “kwanini tusi fanye kesho”?

    “hapana baby leo”!

    “kwanza jambo gani hilo una taka kuongea namimi”?

    “kwani mimi ni nani yako”?

    “swali gani hilo una niuliza, wewe ni mchumba angu”

    “basi naomba nije leo kulala nawewe”

    “aya sawa njoo ,”



    Yalikua ni mazungumzo baina ya Enock na Heather kupitia simu ya mkononi, bila kujua Heather alikua ana taka kumuwekea dawa ambayo ilikua tayari ipo ndani ya ikulu yake alikijikuta ana kubali ili waweze kulala siku hiyo.



    Jioni ya siku hiyo tayari Heather aliegesha gari lake alilonunuliwa na Enock nje ya uwanja wa maegesho wa magari ndani ya jumba kubwa la Mr, Mwasha na kushuka, moja kwa moja alitembea na kupanda ngazi alimsalimia mzee Mwasha na kuingia moja kwa moja chumbani kwa Enock.



    Kwa kuwa alisikia ana oga bafuni nayeye alivua nguo zake na kuongoza bafuni akiamini huko wange fanya mapenzi ili mpango wake alioambiwa na mganga uweze kukamilika.

    .CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Moja kwa moja alimfuata mdomoni na kuomba denda kwa mara ya kwanza Enock alikwepesha mdomo wake pembeni, ila Heather hakukoma kwa upande wake ile ilikua kazi ndogo sana kwake kumshawishi Enock kufanya nae mapenzi, sababu alijua wapi udhaifu wake ulipo alichukua mkono wake na kuupitisha moja kwa moja juu ya TARUMBETA la Enock na kuanza kulichua taratibu huku akibonyeza vibonyezeo aliona zoezi lile na kupiga tarumbeta lina fanya kazi sababu lilianza kutoa mlio na kujua kivyovyote hapo lazima nyimbo itaimba na watu wata cheza mziki na vinanda vita pigwa hata piano zita pigwa kama sio gitaa!,

    Taratibu Enock aliji kuta ana legea kama mwana kondoo aliye taka kuchinjwa na kugeuka huku akitoa ulimi wake kabisa, kilicho fuata hapo yalikua ni madenda tu na kulamabana midomo kama njiwa, ndani ya bafu hilo huku Heather akizidi kuupapapasa mwili wa Enock vilivyo, mambo sasa yalienda mpwito mpwito,!.



    Dakika mbili Enock alianza kuonesha ushirikiano, alimuinua Heather juu nakum-bana vizuri pembeni ya ukuta huku akianza kumnyonya maziwa na kupima oil, alivyo hakikisha kila kitu kipo sawa alianza kuset



    mitambo na kuuweka mguu mmoja wa Hearher juu huku yeye akiingiza Tarumbeta na sasa nyimbo mbali mbali kuanza kuimbwa na kucheza,

    Mawazo ya Heather haya kua hapo hata kidogo,yeye mawazo yake yalikua kwa mganga aliye mpa dawa ya WAKYOKYO kwa njia ya kufanya mapenzi na mganga Kalumanzila! Akiamini kuwa dawa hiyo ikimuingia Enock ata weza kuokoa vizuri penzi lake ambalo lilianza kupotea , alitabasamu sana na kujiona mshindi,

    “sasa hapa haniambii kitu huyu mwana ume naanza na ile nyumba anayo jenga ,MBEZI lazima iwe yangu, kisha vingine vita fuata”

    Aliwaza Heather huku akiendelea kuka tika.

    Kwa upande wa Enock yeye hakua na mawazo mengine zaidi ya kumridhisha mpenzi wake huyo ambapo hata yeye pia hakua na mapenzi nae, mawazo yake yote yalikua kwa mwanamke Catherine, akiwa ana fanya mapezi na Heather aliweza kuivuta picha ya catherine kichwani na kuifanya kama filamu ndani ya ubongo wake, hata wakati mwingine aliji sahau na kuli taja jina lake kabisa! kwa Heather haku shtuka sababu kwa wakati huo alicho waza yeye ni dawa yake kuingia vizuri kama mganga alivyo taka,

    Ila pia alitaka kumjua Catherine na kumfanya kitu kibaya kwa gharama yoyote ile.

    Mihemo mbali mbali na miguno ndivyo vilivyo sheheni ndani ya bafu hilo huku ziki ambatana na milio ya kinanda kabisa,

    Enock alimuinua vizuri Heather na kumkunja vizuri huku wakizidi kuvunja amri hiyo ya sita wakifanya mchezo huo wa kikubwa, baada ya mechi hiyo kuisha, hapo ndipo wali pokumbuka kuoga, kila mtu alioga na kumuogesha mwenzake vilivyo!,



    *****



    Maumivu ya ndani kwa ndani bado aliyasikia kitendo cha kuvunjwa bikra yake, halikua jambo la kawaida, alijikaza sana akitembea kwa shida wakati mwingine,. Enock sasa ndiye alikua mwanaume wa maisha yake ivyo ndivyo alivyojiwekea ndani ya moyo wake,.!

    Ndani ya mtima wake alimpenda sana Enock pengine kupita hata Elvis mwana ume wake aliye hisi kuwa hatopenda tena, ila mambo sasa yame kua kinyume aliji kuta penzi lote lina hamia kwa Enock kabisa!, alikua hasami wala



    haongei neno Enock lilikua halikauki mdomoni mwake, haikupiita siku hata moja bila kuongea na Enock pengine hata masaa mawaili, aki muulizia kama keshakula au kama ni mzima wa afya .

    hakika mwenyewe alikirii kumpenda kabisa,sababu kila alilo hitaji kwa Enock alitimiziwa dakika hiyo hiyo, kweli alibadilika na kuwa matawi ya juu sasa,

    Magari tofauti ya Enock yalizidi kumpa bichwa sana na kufanya aogopeke hata na wana funzi wa kiume hapo chuoni alipo kua akisoma,hata ivyo uzuri wake uli changia na ukijumlisha na huduma za Enock basi ulizidi mara elfu nane, kulikua hakuna wa kumfananisha chuoni hapo hilo alilijua hata yeye vile vile.

    Japo wasichana wengine wenye chuki waliji tenga nae wakihiisi anaringa sana lakini yeye hakujali ili mradi yupo na Enock wake basi ina tosha, hakumuacha rafiki yake kipenzi Betty walikua wote bega kwa bega kwa kila jambo,



    Ila kadri siku zilivyo zidi kwenda alishangaa mawasiliano na Enock yanazidi kupungua hakuelewa kwanini ,kila alipojaribu kumpigia simu alipewa jibu moja tu kuwa yupo bize, roho ili muuma lakini alivumilia , lakini siku zilivyo zidi kwenda Enock hakupokea tena simu zake, moyo ulizidi kumuuma sana alielewa hapo lazima kuta kua kuna kitu ambacho hakikuwa cha kawaida,

    “Betty lazima niende hata kazini kwa Enock mimi simuelewi kwa kweli, tangu juzi hapokei simu zangu, akipokea anasema yupo bize,”

    “aaah ita kua yupo bize kweli Catherine, wala usiwe na wasi wasi, haina haja ya kwenda kazini kwake, isitoshe huja wahi hata kufika una pasikia tu”

    “si ana fanya kazi NISSAN hapo mbele tu, hata kwa mguu nitaenda, kama una shindwa kuni sindikiza niambie”!

    “kwani una taka uende sasa hivi”?

    “ndio sasa hivi, ndo namalizia kuvaa hapa nimfuate”

    “lakini si umwambie kama una enda”?

    “nawewe niambie, una nisindikiza au LA!? ”

    “aya tuta enda ngoja nikaoge basi”



    Catherine alimalizia kuvaa nguo zake kisha NAYEYE Bettty alikuja na wote kuvaa nguo zao na safari kuanza . kwa kuwa kampuni hiyo ya NISSAN ilikua ipo karibu na hapo walitumia miguu kutembea.

    Lakini hawa kujua kuwa wakifika wata mpata vipi ila kichwani kwa Catherine aliwaza kitu kimoja tu kumuulizia Enock endapo ata mkuta mtu yoyote ndani ya ofisi hiyo,

    .CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Mwendo wa mita chache walikua tayari nje ya mlango wa kioo na kuusukumiza na wote kuzama ndani.uzuri wa ofisi hiyo ulinakshiwa na sofa za gharama kila mahali na mapambo mazuri, mbele yao walimuona dada mweupe ambaye pembeni yake kulikua kuna komputa, na kumsogelea karibu.!

    “niwasaidie nini”?

    “aaaah , tuna muulizia Enock. Tume mkuta?”!

    “okay, subirini kidogo kaeni pale”

    Dada Yule wa mapokezi alitoa ishara ya kidole kisha yeye akachukua mkonge wa simu na kubonyeza namba Fulani baada ya hapo ali watazama,

    “subiri kidogo, kuna mtu ana kuja kuwaona naimani ata wasaidia”

    Majibu yale yalimfanya Catherine ashushe pumzi ndefu huku akiendelea kuikagua ofisi ile, akipepesa macho yake , mbele yake alikuja mwana mke wa maji ya kunde mrefu kiasi ambaye alivalia tofauti na wafanya kazi wa hapo alijua kivyovyote vile alikua na cheo kikubwa ndani ya ofisi hiyo,

    “niwa saidie nini”?

    “namuulizia Enock”!

    “Enock una muulizia kikazi au binafsi”?

    “Binafsi”

    “una itwa nani?”

    “Catherine”!

    Macho ya Heather pale pale yalianza kubadilika rangi kusikia jina lile kumbu kumbu zake pale pale zili mpeleka kwa Enock alijua kivyovyote Yule mwana mke aliye kua amekaa mbele yake, ndiye aliye kua ana mahusiano na Enock, alijua hilo sababu hata yeye alikiri kuwa Catherin ni mzuri. Hasira zili mpanda sana na roho ya wivu kumuingia dakika hiyo hiyo.

    “Zainabu, una kumbuka zile dhahabu nilizo ibiwa juzi ndani ya gari”?

    “ndio bosi nakumbuka”

    “sasa huyu mwana mke ndiye aliye niibia, piga simu polisi sasa hivi waje kumchukua”

    Maneno hayo alizungumza Heather na kumfanya secretary wake atoe simu mfukoni na kupiga simu polisi.



    BAADA ya dakika mbili tayari watu waliovalia sare za polisi walikua wamesha fika ndani ya ofisi ile, mambo yaliyokua yakitokea mbele yake hakika hakuelewa hata kidogo, amemfuata Enock lakini anaambiwa aliiba dhahabu ukizingatia ndiyo hiyo siku ya kwanza kufika ndani ya ofisi hiyo, lakini vile vile sura ya mwanamke Yule alishaanza kuikumbuka , wala alikua haja kosea kitu, alikumbuka siku Enock alivyo mfika pete ya uchumba mbele za watu,

    “jamani mimi sio mwizi, naomba nionane na Enock”

    “uta eleza kituoni, sisi tume tumwa kuja kukuchukua twende ukaeleze kituoni, alafu mrembo kama wewe hufananii kabisa na tabia yako,”

    Betty rafiki yake kipenzi hakuelewa hata yeye nini kina endelea walizidi kuwa sihi kuwa hawa kuhusika kwa lolote lile ila Heather alizidi kuwahamuru polisi wale waweze kumchukua,



    Enock akiwa ndani ya ofisi yake kelele zile alizisikia vizuri sana na kupenya ndani ya ngoma za masikio yake sauti iliyo kua iki lalamika haikuwa ngeni kabisa, alijua kabisa ni Catherine alicho fanya alisukuma kiti nyuma kisha akatoka nje ya ofisi ili ajue ni kipi kili chokua kinaendelea.

    Aliona polisi walikua wakimshikilia Catherine .

    “kuna nini tena”?

    “Love niachie mimi”!

    “nimeuliza kuna nini hapa, mbona kelele ofisini kwangu, hawa polisi wame fuata nini hapa, catherine nini tatizo”?

    “Enock, wana sema nime iba mimi sielewi nime kuja kukuona wewe lakini naambiwa nimeiba ,”

    “wana sema ume iba nini”?

    “baby kaiba dhahabu zangu zile, siku ile ndani ya gari, ndo nika waita hawa polisi”

    “una uhakika Heather”?

    “asilimia mia”

    Muda wote Catherine alikua akilia machozi huku akitegemea Enock ndiye ata kua tegemeo lakewakati huo,

    “okay askari, mpelekeni polisi, mpaka atakapo taja izo dhahabu zilipo”

    Kauli ile kutoka kwa Enock ili mshtua sana Catherine hakuelewa kuwa dawa ya WAKYOKYO ndiyo ilikua iki fanya kazi katika ubongo wake, hakuwa na mapenzi tena na Catherine akili yake ili badilika kabisa baada ya dawa ile kumuingia mwilini na kupenya ndani ya akili yake, hakuona mwana mke mwingine zaidi ya Heather, alimsilikiliza kwa kila kitu ata kacho amua,



    “Enock kweli una nifanyia ivi!, niacheni Enock mpenzi wangu , siku tegemea kuwa wewe ulikua muongo, ume pata ulicho kitaka sasa una niona sifai, Enock!, Enock!, Enock!,”

    Aliita Catherin huku akibubujikwa na machozi mengi sana, alijiona hana thamani tena kumvulia nguo yake ya ndani Enock alafu leo hii ana badilikwa tena mbele za watu, , alihisi mkuki wa moto ume tua ndani ya mtima wake na kuuchoma kabisa,!

    Aliingizwa ndani ya gari la polisi huku safari ya kuelekea msimbazi polisi kituoni kuanza, Betty mwenyewe alionesha hali ya kuchanganyikiwa sana , lawama zote alibeba yeye alimuamini sana Enock nayeye hakutegemea kuwa maneno yale yalimtoka ,



    *****



    “NATAKA MABUYU”!

    “sasa huo ubuyu mimi natoa wapi usiku huu lakini”?

    “mimi siyuwe, ila nataka mabuyu”

    “sawa basi subiri”

    “sitake, nataka mabuyu saa hii saa hiii”.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “punguza kelele sasa watu wamelala Cherie(mpenzi). humu ndani ya ndege huo ubuyu natoa wapi MAMA NATTU, acha makusudi basi, iyo mimba isi kufanye uni sumbue kiasi hiko, tangu juzi sijalala una ni sumbua tu, naomba nilale. Uta fanya mpaka Nattu aamke sasa!”

    “shiii usinizoweee, mutoto yako ana sumbua tumboni, kama ukishindwa mimi namtosha, sipendi bya bile mimi.”

    “anco samahani kuna tatizo”?

    Ili bidi muudumu wa ndege hiyo ya shirika la QATAR airways aulize kutokana na kelele zilizo sababishwa na Julia mke wake na Kway ndani ya ndege hiyo, kelele zile hakika zili fanya mpaka kero kwa abiria waliokua wamelala kwa uchovu wa safari!, mwana mke huyo alikua na sifa ya uongeaji sana hasa alivyokua akishika mimba,

    japokua iyo ilikua mimba ya pili lakini usumbufu ulizidi, Kway alilijua hilo lakini alimvumiilia sana sababu alimpenda sana Mama wa familia yake, tangu wana toka DOHA kelele hazikuisha, na sasa wali bakisha kituo kimoja tu waka milishe safari yao walio kua wakienda nchini Tanzania jijini Dar es salaam, miaka mingi sana ili pita tangu atoke nchini humo.

    “hakuna kitu dada yangu, usiwe na wasi wasi”

    Alijibu kway huku akimuangalia mke wake aliye kua pembeni anatoa macho yake makubwa,

    Walisha tembea zaidi ya masaa matano sasa angani safari hiyo ili onekana kumchosha sana Kway ukichangia na usumbufu alio-onesha mke wake huyo alizidi kuchoka na kichwa kumuuma kabisa,

    “ndugu abiria tuna karibia kutua nchni Tanzania katika uwanja wa kimataifa wa mwalimu Nyerere ivyo tuna waomba mfunge mikanda yenu,asante kwa kuchagua QATAR AIRWAYS karibuni tena”

    Ilikua ni sauti ya kike, iliyotokea katika kipaza sauti iki tangaza kwa lugha nyingi tofauti ili kiila mtu aweze kuelewa, tayari ilikua ni saa nne za asubuhi ,

    Mawasiliano ya marubani yalizidi kutolewa huku ndege hiyo ikijiandaa kushuka yalitangulia matairi kutoka nje na sasa kugusa ardhi ya Tanzania, ilivyotua iliyumba kidogo kisha kukaa sawa, ilitembea kwa kasi sana huku taratibbu ikipunguza mwendo na mwishowe kusimama kabisa,

    Magari maalumu yalifika hapo na kuweka ngazi milangoni na taratibu abiria kuanza kushuka akiwemo Kway na familia yake.

    “niliacha bastola yangu,na magazine tatu”

    “ nipatie kadi”

    “hii hapa”

    Kway Aalifika chumba maalumu alipoacha silaha yake na baadae alipewa karatasi aweke sahihi na kupewa bastola yake, aliiweka vizuri kiunoni kwa nyuma na kuifunika na shati ili isiweze kuonekana na kutaka nje ya chumba hiko!,

    “Dad njaa ina uma!”

    “usijali utakula kwa Anti yako, atakuja sasa hivi Nattu mwanangu!”

    Moja kwa moja walitoka nje na kumkuta tayari Loyda kesha fika ana wasubiri kwa kuwa alikua ana jua ujio wao, ivyo aliwahi mapema sana, alifurahii sana kuwaona na wote kukombatiana kwa furaha sana.

    Na kuanza kuongozana mpaka kwenye maegesho ya magari waliweka mizigo yao ndani ya gari na safari kuanza. !

    “ poleni na safari,, ume fanana na mwanao , lakini sura kachukua kwa mama yake, ndo wa kwanza huyu?”

    Alivunja ukimnya Loydah

    “aah nime choka kweli asante. Ndiyo ndo wa kwanza huyu,ana itwa Natttu ,”

    “ hongera sana, naona una taka kuongeza mwingine, kana miaka mingapi”?

    “ana miaka sita, “

    “kazuri”!.vipi za Malaysia”?

    “ovyo tuu, nili pata na matatizo makubwa balaa, bila Mungu ninge kua nisha kufa”

    “nini tena”?

    “una jua kuwa nili hamia sehemu moja ina itwa kuala Lumpur, nilikua nafanya kazi shirika Fulani ivi la ki swizz, , siku iyo natoka bank, kuchukua pesa nilipe lipe madeni, kumbe kuna majambazi walikua waki ni fuata nyuma mimi sijui, sasa nime paki gari ili nipige simu, ponea yangu ili kua kuvuta kiti nilale, ile nime binua kiti nyuma risasi ika pita mbele yangu, ilikua ipite kichwani, sija kaa sawa, kama umeme hawa hapa, waka nitoa ndani ya gari, walinipiga kishenzi, wakachukua na ile gari ya kampuni”

    “pole sana ndo mitihani ya Mungu, tushukuru tu upo hai, sasa ukachukua hatua zozote”?

    “kwanza nili changanyikiwa na ndo hiyo siku mke wangu ana jifungua Nattu, ili kua nitoke hapo niende hospitali kumuona, sasa wa-swizi wale hawa kunielewa , wana taka gari yao, madeni yale bado sijalipa, ukisikia mtu kawa chizi usi mcheke wengine wana kuwa hawa jarogwa, nili changanyikiwa, nadaiwa hospitali Dollah mia saba”

    “Mungu wangu enhe”!

    “nili uza kila kitu, nikaanza na moja, wale jamaa waka ni fukuza kazi, nili teseka acha tu, ange kua mwanamke mwingine angesha nikimbia kabisa, ndo maana hua namuheshimu sana huyu mwana mke, kanivumilia mengi mno!”

    Walipiga stori za hapa na pale wakiwa wenye furaha sana baadae kidogo gari liliegeshwa nyumbani kwa Loydah, kwa kuwa walikua wana jua ujio wake chakula kilia ndaliwa na wote kujumuika mezani na kuanza kula kwa pamoja.

    “alafu nani huyu, huyu, mke wa marehemu Ramsey yupo”?

    “yupo ndio Sabrina, nilikua nae hapa wiki iliyo pita, nili mwambia kuwa una kuja leo,”

    “ina bidi nika muone kesho”

    Waliendelea kula chakula hiko huku wakipiga stori za hapa na pale.



    Catherine aliendelea kusota bado mahabusu hakuna mtu aliye kuja kumuona zaidi ya rafiki yake kipenzi Betty, jambo lile walili fanya siri sana hakutaka kumshirikisha mama yake, alielewa kabisa kuwa kumwambia mama yake ange mpiga sana, siku ya tatu sasa , bado hakutaka kuamini kuwa Enock ame mtupa alidhani anaota ndoto ndefu sana ya kutisha, ila mambo yaliyo kua yanaendelea yalikua yana ukweli ndani yake,

    Mbu wakubwa wa maabusu walizidi kunyonya damu yake na kumfanya apate vipele pele vingi kutokana na ngozi yake kuwa laini, alimlaumu sana Rafiki yake kwa kitendo cha kumsha wishi aweze kumkubalia Enock,

    Kila alipo jaribu kumuombea Rafiki yake huyo dhamana alizuiliwa hii ni kutokana na Heather kutoa pesa nyingi ili asitoke na ikiwezekana kesi ile ipelekwe mahakamani na afunguliwe kesi nyingine hata ya kuuua aka sote huko Gerezani hayo ndiyo aliyokua akiwaza Heather ndani ya ubongo wake ..CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/



    Akili ya Enock sasa ili sha badilika kabisa hakuwa ana msikiliza hata mama yake tena, mapenzi yote aliya hamishia kwa Heather jumla jumla, dawa ya Wakyoyo ili fanya kazi kwa asilimia zote, nyumba yake iliyo kua Mbezi ilikua bado vitu kidogo tu iweze kuisha na waweze kuhamia na baadae ndoa ifungwe,

    Alipelekeshwa sana na Heather aweze kumalizia hiyo nyumba kubwa yenye kila kitu ndani, akili ya Heather ilikua ni moja tu baada ya nyumba ile kuisha katika hati ile jina lake liwepo nayeye awe mmiliki wa ile nyumba,

    “fanicha ina bidi niagize china, kontena nzima, kuanzia makochi, t,v choo kile cha yakuza, nataka hii nyumba iwe ya kisasa sana, hata rafiki zangu wakija wajue hapa ana ishi Enock”

    “sawa baby, mimi sina taizo”

    “baada ya hii nyumba kuisha, tuta funga harusi bab kubwa, just wait,”

    Maneno hayo alizungumza Enock baada ya kuzunguka na kuikagua nyumba yake hiyo iliyokua na eneo kubwa sana ilikua ni gorafa tatu kwenda juu yenye swimming pool nje. Ilikua ni ya kisasa sana, wakati wote Heather udenda uli mtoka sana akiwa kama mmiliki wa nyumba hiyo baadae, huku nyuma alikua na rafiki yake zahara akimshawishi afanye jambo hilo, mambo sasa kwake yalikua yaki sesereka kama kunywa maji, hakuacha kumshukuru mganga wake kalumanzila .



    Juhudi za kumtafuta Catherine chuoni zilishindikana, walimuulizia chuoni hapo Sabrina na Kway lakini hawa kupata majibu ya kuwa ridhisha kabisa,

    “huyu mtoto keshaanza umalaya, ata kuwa wapi?”

    “huwezi jua, mambo ya chuo haya, ina wezekana akawa discussion”!

    “discussion gani hiyo, wenzake wana sema hawa jamuona siku ya nne hii”

    BADO walizidi kumsaka kila chumba mwishowe waka elekezwa chumba ana cholala, hawa kusita kwenda walinyoosha na kwenda humo,

    Wali mkuta rafiki yake Betty kachoka akiwa na mawazo na kuumulizia, majibu waliyo pewa yaliwa fanya wabaki midomo wazi na kustaajabu!,

    “yupo kituoni ameenda kumuona nani?”

    “haja enda kumuona mtu, kasingiziwa kesi, na ninavyo kwambia hapa kesho anaenda mahakamani kusomewa mashtaka,”

    “kafanya nini tena huyu mtoto”?

    “wamemsingizia kaiba dhahabu, wana sema sijui aliiba mali nyingi kwenye duka la muhindi, mambo kibao mengi mengi tu”

    “yupo kituo gani”?

    “msimbazi”

    “tuongozane”

    Haraka haraka walirudi ndani ya gari na safari ya kwenda msimbazi kituo cha polisi kuanza , baada ya kufika hapo wana kuta mambo tofauti kabisa, walinyimwa kabisa kumuona Catherine na kutoa mgomo wa dhamana.

    “kwani aliua”?

    Alihoji Kway

    “hapana, ila ana kesi nyingi sana”

    “sasa m-me kataa kutoa dhamana, hata kumuona?, naomba nionane na mkuu wako”

    “bwana eeh, embu nendeni nje, nime sema hivi, hamuwezi kumuona na pia msipo angalia na ninyi mtaingia ndani kusaidia mahakama”

    “nisikilize kijana, hizo jezi zisiku fanye utupige mikwara sawa, usinitishie umeelewa, usinitishie kabisaa!, naona huni fahamu sawa sawa. Sasa subiri uone,”!



    Kway alitoka nje kidogo na pale pale kutoa simu mfukoni alienda kwenye majina na kutafuta jina RPC Mkumbo na kuipiga simu ile, hakusita kueleza kila kitu kili cho mkuta

    “ongea na hii simu”

    “wewe mpuuzi nini, niongee na nani sitaki kuongea na wajinga wako, toka bwana.”

    Alizidi kuropoka polisi huyo bila kujua simu ile ipo hewani na mkuu wa jeshi la polisi akimsikia kwa kila kitu alichokua akiongea,

    “kuanzia leo hauna kazi, vua hayo magwanda sitaki kukuona kazini, na huyo binti naomba apewe dhamana sasa hivi, na maelezo ya kutosha kuwa alifanya kosa gani mpaka asipewe dhamana!”

    “lakini mkuu. Usi…”

    “nime maliza”!

    Sauti hiyo ilisikika vizuri baada ya kuwekwa loudspika na kupenya kwenye ngoma za masikio ya polisi Yule aliitambua sana sauti ile ilikua ya RPC Mkumbo.



    ******



    Watu walizidi kufurika ndani ya kanisa la st Joseph lillilo kua posta siku hiyo ya jumamosi tarehe saba mwezi wa tisa, saa nne na dakika tatu, wengine walikua nje wakitaka kushuhudia harusi hiyo ya kifahari ambayo hata ilitangazwa katika vyombo vya habari, na magazetini pia, matajiri wali furika na kujaza kanisa hilo ila cha kushangaza mpaka dakika hiyo bado bwana wala bibi harusi hawakuonekana, na kufanya watu wengi kuingiwa na hofu sana mioyoni mwao,

    ilishaanza kusikika minong’ono ya chini kwa chini kuwa hakuna harusi tena.



    “tuku tuku tu ku tuku tuku”

    Zilikua ni kelele za helikopta na kufanya upepo mwingi upulize na kufanya vumbi jingi kuruka, baadhi walichungulia, helikopta hiyo ilitua nje ya kanisa la St, joseph na watu hawa kuamini kabisa kumuona Enock akiwa ndani ya suti nyeupe akishuka na mpambe wake baada ya helikopta hiyo kutua, huku pembeni alikuwepo Heather ndani ya shera kubwa sana na la gharama llikua kubwa mno,

    Hakika walipendeza sana na kuwa kivutio kwa watu walioshuhudia.

    “hii ni balaa, sijawahi ona harusi kama, kuna watu wana pesa”

    “kweli kaka, hii ni balaa, hapa kanisani tu sipati picha ukumbi uta kua wapi,”.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Ilikua ni minong’ono ya chini chini.

    Hakika jambo lile halikuwahi kutokea Tanzania illikua harusi ya kifahari na funiko kabisa, walishuka taratibu na kuelekea mbele ya madhabau taratibu sana huku waumini wakisimama na kuwa pigia makofi, hakika walipendeza kupindukia,

    Muda wote Catherine alilia kwa uchungu ndani ya kanisa nayeye pia hakutaka kupitwa hakutaka kuamini kuwa Enock mwana ume anaye mpenda kwa dhati kutoka moyoni ana funga ndoa, alilia sana na watu kumshangaa,



    Mchungaji alisoma neno kisha baadae pete zika letwa pale mbele yao tayari kwa kuvalishana ili wafunge pingu za maisha, Muda wote Heather alikuwa mwenye furaha sana hasa alivyo mfika pete Enock na kufanya kelele nyingi sana., nyuma yake alikua ame simama mpambe wake Zahara

    Ila ilipo fika zamu ya Enock kupewa pete macho yake yalitua machoni mwa Catherine ambaye alikua akilia sana mpaka akawa mwekundu pengine kujilaumu kwa nini alikuja kanisani hapo.

    “Mr.ENOCK ume kubali bibi Heather Nabuuma awe mke wako katika shida na raha, tabu na mateso”?

    Mchungaji Edward alirudia tena mara ya tatu lakini Enock alibaki kimnya muda wote bila kusema lolote na kumfanya Heather aingiwe na wasi wasi..



    “Enock”!

    Alinong’ona Anderson Peter mpambe wake kwa sauti ya chini baada ya kumuona Enock kaduwaa, hakika hata yeye alibaki akistaajabu na kutoelewa nini kili fanya hali ile itokee, Zahara nayeye moyo ulimwenda mbio sana, vile vile moyo wa Heather ulizidi kudunda kwa kasi tena kwa dakika moja ulidunda mara mia tano,

    “ndio nime kubali awe mke wangu wa maisha. kwenye shida na raha, tabu na mateso, mpaka pale kifo kitakapo tutenganisha”!

    Maneno hayo yalitoka kinywani mwa Enock Mwasha akiwa anamvika pete ya ndoa Heather na kufanya kelele nyingi na picha kupigwa za mnato,ndani ya kanisa hilo la st,joseph, hakuna kilichosikika zaidi ya tarumbeta, furaha ili tanda isipokua kwa Catherine ambaye alikua akilia tu muda wote, kushuhudia kitendo kile ilikua ni sawa na mtu kuingia ndani ya mtima wake na kuuchoma mkuki wenye moto, hakuwa na sababu ya kuendelea kukaa na kuchomwa mtima wake ndani ya kanisa, alisimama huku akilia sana na kutoka nje, watu waligeuza shingo zao na kumsindikiza kwa macho na kutoelewa nini kina endelea ndani ya moyo wa binti huyo,



    “Catherine Catherine, nisubiri”!

    “betty niache, betty niache nakwambia!”

    Ili mbidi rafiki yake amkimbilie na kumfuata kwa nyuma alimuonea sana huruma rafiki yake ,

    “nawewe nakuchukia sana, nakuchukia betty, kwanini mimi lakini, kwanini umea mua kuniingiza kwenye mapenzi tena, mi nilijua mapema Enock alitaka….”

    Alishindwa kumalizia kuongea kilicho fuata hapo kili kua ni kilio kisichokuwa na mwisho, bajaji ili tafutwa na wote kuanza kurudi hostel, ndani ya bajaji hakuacha kulia huku akijilaumu sana na kutaja jina Enock mara nyingi, maumivu aliyo sikia ndani ya moyo haya kuweza kuelezeka kabisa aliya jua Mungu peke yake, mapenzi kweli yalimuumiza sana , moyo wake alimkabidhi Enock na kumwachia mwili wake , amtoe bikra yake , bora ange mfumania kuliko kushuhudia Harusi kabisa, kwake aliona ni kitendo cha kinyama pengine dharau alijiona hana thamani nje ya uso wa dunia, alimchukia sana Betty ,

    Baada ya kufika hostel alijitupa kitandani huku akilia sana , juhudi za kumbembeleza ziligonga mwamba na kushindikana kabisa, mawazo ya kutoweka duniani yalianza kujijenga ndani ya ubongo wake, hakuona sababu ya kuishi tena, hapo hapo shetani alimuingia na akili moja kumjia kujiua tu, na si vinginevyo,

    Alifuta machozi yake na kutabasamu ili Betty asielewe lolote lile,

    “naenda duka la madawa hapo narudi”

    “hapana nitaenda na wewe, una enda kufanya nini?”

    “usijali Betty nipo sawa, kichwa kina niuma tu!”

    “kweli mamii”?

    “ndio kweli, nakuja sasa hivi”

    Alimfuata Betty na kumkombatia sababu alijua fika anachoenda kuki fanya aliamini kabisa hatorudi tena , , alikua ni kama anamuaga alitabasamu na kufikicha macho yake na kutoka nje, laiti kama Betty ange jua ndani ya mawazo ya rafiki yakekipenzi asinge thubutu hata kumruhusu aende peke yake, moja kwa moja ali vuka bara bara na kuelekea upande wa pili , na kufika ndani ya duka la madawa,

    “nipe cloroqin kumi na vidonge vya panadol thelathini”

    “ivyo vote vya nini”?

    “nime agizwa vya kufanyia practical chuoni”

    “okay sawa”

    Dada Yule alipokea pesa na kumfungia vidonge vile,

    Baaada ya kuchukua aliviweka ndani ya mkoba wake na kutoka kabisa eneo la chuo alitafuta dala dala la Ubungo na kuingia, ndani ya kichwa chake alikua na mawazo tele mawazo mengi, alimkumbuka sana mama yake siku chache alivyo mfokea na kumuita Malaya baada ya kutoka kituoni, ila hakuelewa ni jinsi gani ata kavyo kua endapo ata sikia ametoweka duniani, leo hii anaenda kujiua kisa mapenzi, hakika aliweza kuamini kuwa mapenzi yana ua kabisa, aliwahi kusikia stori tu au kuona filamu mbali mbali akajua ni maigizo ,ila dakika hio alijua mambo hayo yapo kabisa,

    “konda nishushe MORROCO”

    Baada ya kutoa kauli iyo aliteremka na kutafuta moja ya baa na kuagiza bia ili amezee zile dawa,

    “nipe na konyagi”!

    Kabla ya kufanya kitendo kile alimuomba Mungu amsamee sababu alijua kabisa katika maandiko yana kataza kujiua , ilikua ni dhambi kubwa sana, ila hakua na chaguo lingine kwa wakati huo,



    Alichukua chupa ya konyagi na kuvishika vidonge viile na moja kwa moja kuelekea chooni akiamini huko hakuna mtu yoyote atakae muona, aliingia chooni na kuji fungia mlango,.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “acha nife tu, sioni haja ya kuishi duniani”

    Alifungua chupa ile ya konyagi na kupiga fundo kubwa huku akiya fumba macho kwa uchungu wa pombe kali ile,

    Alifungua vidonge vile na kuviweka mdomoni na kufanya mdomo ujae kweli alidhamiria kufa kabisa!, alichukua chupa ya konyagi na kushushia yote mdomoni na kutupa chupa ile chini, haikupita hata sekunde saba tayari tumbo lilianza kumkata kama viwembe.



    “shosti naomba usini sahau”

    “aah wapi wala usijali, siwezi kuku tupa subiri mambo yakae sawa!”

    Zahara aliimnong’oneza Heather wakiwa angani juu ya helikopta ambapo safari ya kuelekea bandarini ilianza baada ya kutoka kanisani , kweli sherehe hiyo iliandaliwa vilivyo , ili gharimu sio chini ya dolla elfu ishirini za kimarekani . huku wapambe wengine wakiwa kwenye magari wanaelekea bandari kila mtu akiwa na kadi ya kiingilio ndani ya boti hiyo kubwa ambapo harusi iyo ili pangwa ifanyike ndani ya moja ya boti za BAKHRESA , dakika chache baadae rubani wa helikopta hiyo aliishusha helikopta hiyo taratibu juu ya maegesho maalumu ya helikopta, na Enock kushuka akiwa na mke wake sasa Heather,



    Ki ukweli Heather hakuwahi kuota hata kufikiria kama ata kujakuwa na maisha ya kifahari kama hayo, zahara vile vile muda wote alikua akikenua meno yake sababu yeye vile vile alitoa ushamba kwa kupanda helikopta.

    “this way please(huku tafadhali)”

    Aliongea captain wa meli hiyo huku akiwaongoza ndani bwana na bibi harusi,

    Hakua na habari kuwa upande wa pili wa shilingi Catherine ana hangaika kuutoa uhai wake kwa sababu yake , dawa ya wakyokyo kweli ili fanya kazi kwa asilimia zote, na kuichukua akili yake nzima nzima , baada ya dakika chache wageni waalikwa wakiwemo ndugu jamaa na marafiki wa pande zote mbili walianza kuingia ndani ya boti hiyo, kisha boti hiyo ilianza safari yake na kuondoka huku Yule Yule Mc KAPILIMA akizidi kuchangamsha tafrija hiyo iliyo kua ya kipekee kabisa,



    Nahodha Yule aliye kua akiendesha boti hiyo alikua na kazi moja tu kuizungusha boti hiyo baharini na hio ndiyo ili kua kazi yake huku harusi ndani ya meli hiyo kuendelea.

    Watu walikunywa na kusaza na kuacha vinywaji, kweli harusi hiyo ili kua yakuzungumziwa ,

    Saa sita ilivyo fika walistaajabu sana baada ya kuchungulia na kuona ndege ndogo ambazo zenye uwezo wa kutembea kwenye maji, ikiwa ipo nje tayari,

    “Enock mume wangu nakupenda sana”!

    “hata mimi nakupenda sana Heather wangu”

    Kili cho fuata hapo yalikua ni mabusu ya midomoni. Na wageni kuanza kupiga makofi na hapo hapo picha za mnato kupigwa.

    “fungate nataka twende visiwa vya chake chake, ndege ina tusubiri hapo nje”

    Alizungumza Enock huku akimbeba Heather, .

    “bwana na bibi harusi sasa wana enda kupumzika jamani, Dj tupo mambo sasa, sisi tuna endelea kuburudika humu humu”

    Waliagana na ndugu na kuanza kutoka nje, waliingia ndani ya ndege ndogo na kuanza safari ya kuondoka huku ndege hiyo iki tembea kwenye maji kisha kupaa angani..CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/



    Usikose toleo lijalo



    ITAENDELEA.

0 comments:

Post a Comment

Blog