Chombezo : Bikira Yangu
Sehemu Ya Pili (2)
ILIPOISHIA.
Kili cho fuata hapo yalikua ni mabusu ya midomoni. Na wageni kuanza kupiga makofi na hapo hapo picha za mnato kupigwa..CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“fungate nataka twende visiwa vya chake chake, ndege ina tusubiri hapo nje”
Alizungumza Enock huku akimbeba Heather, .
“bwana na bibi harusi sasa wana enda kupumzika jamani, Dj tupo mambo sasa, sisi tuna endelea kuburudika humu humu”
Waliagana na ndugu na kuanza kutoka nje, waliingia ndani ya ndege ndogo na kuanza safari ya kuondoka huku ndege hiyo iki tembea kwenye maji kisha kupaa angani
SONGA NAYO.
“chagua gari sasa, mi naona unge chukua lile pale,”
“ipe, ile ya mudogo”?
“ndio ile vitz ita kufaa”
“una bazimu wewe, nataka gari ya kabambi kama ya kaka Bozii au chanci,”
“uwiii mama Natu, una taka Range”?
“ndio”
“Mama, uta nisamehe mimi sina uwezo, yaani hapa nime jikamua kishenzi! sababu hapo ume beba mtoto wangu tumboni, kama una taka Range mimi bado sina uwezo”
“duru sana wewe, una bazimu, kichwa yako haiko sawa haiko bien,”
“nakununulia hii gari kama hutaki nita tumia mimi huku wewe uki subiri hiyo Range nikiokota pochi ya mzungu, . lakini sherii mimi sina makuta sasa hivi, nikisha pata utaendesha Range na hata ndege nita kununulia”
Yalikua ni mazungumzo baina ya Kway na mke wake huyo ambaye alionekana ni muogeaji sana kupita hata mumewe lakini Alisha mzoea sasa yote aliona ni sawa kwake, aliamini pia ni mimba ndiyo ina mpelekesha, walifanya malipo na kulipia gari lile kiasi cha shilingi milioni saba kisha wakaondoka zao.
“sista jaqlin embu nisubiri ndani ya gari naenda kukojoa hapo baa,”
“usichelewe sasa”
“dakika sifuri”
Kijana huyo alishuka ndani ya gari ila alivyo fika maeneo ya msalani maeneo ya baa iliyo kua morroco aliona kundi la watu likiwa lime tengeneza duara hakutaka kupitwa alipangua pangua watu kisha akafika nayeye ili achungulie,
“jamani ana kufa huyu, tuta futeni gari sasa hivi awaishwe hospitali ,”
Ilisikika sauti ya mwana ume mmoja akiwa na wasi wasi sana aliye kua chini pale alikua ni mwana mke ambaye dakika chache ana enda kukata kauli sababu alikua akihema kwa shida huku povu likianza kumtoka puani, alikua ni catherine baada ya kuingia chooni bila kutoka ivyo waliamua kuvunja mlango na kumtoa nje, juhudi za kutafuta gari ziligonga mwamba kulikua kuna kila dalili ya Catherine kupoteza maisha kama angecheleweshwa kupatiwa matibabu ya haraka.
Alipatiwa maziwa lakini hakutaka kufungua mdomo wake kunywa, alidhamiria kufa japo alihisi maumivu makali tumboni.
“ina maana hakuna mwenye usafiri hapa”?
“mimi hapa ninao”
Kijana Yule aliitikia
“ume paki wapi gari yako”?
“ile pale Vigo ya silver”
“tusaidianeni basi tumpeleke hospitalini huyu dada”
Wote walisaidiana kum-beba Catherine ambae wakati huo alikua ameshika tumbo lake akiwa anatafuta pumzi kila mtu alimuonea huruma hawa kuelewa nini chanzo hawakuelewa nyuma yake kuna mtu aliyefanya mpaka yeye atake kuutoa uhai wake kabisa, walimuingiza ndani ya gari na baadhi ya watu kumshukuru sana kwa utu alioufanya.
“kaka ubarikiwe sana, una itwa nani”?
“naitwa Darlington Shebby!”
“yaani wakitokea watu kama nyie wenye roho nzuri ndani ya hii nchi, shemeji mambo”!
“huyu ni kama dada yangu ana itwa Jaqlin Lucian,sio shemeji yako”
Gari lile aina ya Virgo lilizidi kuchanja mbunga kilicho tokea hapo ni ukimnya sababu ya kasi aliyokua akitumia Darlington Shebby kuya pita magari mengine huku akiwa amewasha taa za mbele zote kuashiria kuwa ana dharura na haraka pia,
Dakika chache tayari walikua wamesha fika hospitali na kuanza kumtoa Catherine ndani ya gari.!wakati huo alikua kimnya katulia na kufanya hofu iwatande, manesi haraka haraka walitoka nje wakiwa wame valia nguo nyeupe huku wakiwa wana sukuma kitanda chenye matairi . walimuweka juu ya kitanda na kuanza kuburuza kitanda kile na haraka haraka kumuwekea dripu , kweli manesi wote waliingiwa na hofu, walicho takiwa kufanya hapo ni kuokoa maisha ya binti huyo. ,
Taaarifa zile zili mfikia moja kwa moja Dokta Amani na yeye kuchukua kila kifaa akiongoza ndani ya chumba cha wagonjwa.
“huyu tumpeleke thieta haraka haraka, buruza kitanda Dokta Rukia, twende thieta , tuta mpoteza huyu”
Dokta Amani aliongea huku akitangulia chumba ambacho waliwekwa wagonjwa maututi kwa ajili ya uchunguzi wa kina kutokana na hali mbaya kuonekana hapo,alichukuliwa vipimo haraka haraka na kuwekewa mtungi wa gesi ya oxygeni ili uweze kuwa msaada kwake,
Kila juhudi zili tumika ndani ya chumba hiko huku madaktari wakigongana milangoni wakija na vifaa kulikua kuna kila dalili ya umakini kuhitajika ndani ya chumba hiko ili maisha ya mgonjwa huyo ambaye alikua na hali mbaya aweze kurudiwa na hali yake kama kawaida,.CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“damu yake ina sumu kali sana , fanya haraka lete hiyo sindano kabla sumu haija ingia kwenye ini Rukia, ata kufa huyu wakati nina uwezo wa kuokoa maisha yake”!
Ivyo ndivyo ilivyokua ndani ya chumba hiko hawa kutaka hata kidogo kupoteza maisha ya binti huyo mdogo, kila mtu alimuonea huruma sana ndani ya chumba hiko.
Maisha yalikua murua sana ndani ya kisiwa cha chake chake walifanya kila aina ya starehe wakiwa fungate, kuendesha maboti kuendesha farasi, kuogelea ilikua ni siku ya furaha sana kwao wote wawili Enock na Heather,
“come here.(sogea hapa)”
Walikua ndani ya swimming pool wakiogelea wenyewe nje ya Hotel iyo kubwa jioni yaa sa kumi na moja, Enock alimuita Heather na kuanza kumnyonya mdomo, nayeye aliitikia na kutoa ulimi na kuanza kuchezesha ulimi wake ndani ya mdomo wa Enock,walikua kama Njiwa, Enock hakutaka kuchelewa alipitisha mkono wake chini ya maji na kuweka bikini ya Heather pembeni na kuanza kupima oil ndani kwa ndani, alivyoona haitoshi kiufundi alizamisha kichwa chake ndani ya maji na kuanza kudeki bahari juu ya bahari,
alikua ni mjuzi wa kuogelea ivyo akiwa chini ya maji aliipanua miguu ya Heather na kuzama chumvini,
Raha alizosikia Heather hakuweza kuzi fananisha na kitu chochote kile duniani.
“aaaaah sssssh Enoooock St,,…oooop”
Alilalamika Heather na kumfanya Enock aibuke ndani ya maji na kuanza kumnyonya tena mdomo wake, baadae alishuka na kuanza kumnyonya maziwa,
“nataka tufanye mapenzi ndani ya maji, yaani tuingie chini”!
“NO mume wangu, mimi siwezi kuogelea”
“nita kufundisha, bana pua zako”
“sawa nita jaribu”
“are you ready(upo tayari)?”
“ndio”!
Enock alimchukua Heathear na kuzama nae chini ya maji huko ali mchukua na kuanza kumnyonya mate, huku na kule alimvua kinguo chake cha juu na bikini kisha nayeye kuvua boxa yake, Pumzi zili muishia Heather na kuibuka juu, ila kama samaki aina ya double kisoda Enock alimuungia juu kwa juu na kumshika kiuno vizuri na kumuweka juu ya MTALIMBO wake na sasa jahazi kuanza kwenda alimbinua vizuri huku mara nyingi akiomba mdomo wake na kuanza kunyonyana midomo, Heather alizungusha mikono yake nyuma ya shingo ya Enock huku kiuno chake akikizungusha vizuri taratibu ndani ya maji akikatikia MTALIMBO huo, Enock alimgeuza na kumwambia ashike ukuta wa swimming pool nayeye kuja kwa nyuma yake na shughuli kuanza upya , zilikua ni raha za ajabu sana,
huku yeye akipata raha na kutanua madaktari walikua wakiokoa maisha ya Catherine aliyekua kitandani maututi ,.
******
“NANI mimi ndiye mama yake, nini yuko wapi?, jamani hospitali gani, nakuaja nakuja”
Taaarifa mbaya sana alipokea Sabrina mama yake mzazi na Catherine na kumfanya afunge duka la nguo k,koo alikua kama amechanganyikiwa baada ya kusikia habari zile ambazo zili kata maini yake kabisa, aliingia ndani ya gari na kutimua mbio akielekea hospitalini, njiani akiendesha gari alikua mwenye mawazo mengi sana na kuanza kulia ,
Alifika hospitalini hapo na kunyoosha moja kwa moja mpaka mapokezi
“yupo ICU hauwezi kumuona subiri baadae”
“siwezi kumuona. Lakini ni binti yangu”
“tuna elewa mama”
“ili kuaje, kuna kijana Yule pale amevaa shati la bluu, ndiye aliye mleta hapa hospitali”
Sabrina alikimbia mbio mbio mpaka kwa kijana Yule aliyeelekezewa na kuanza kumuhoji maswali, bila kupoteza muda Darlington Shebby aliweza kumuhadithia tangu alivyo mkuta baa chooni, alimshukuru sana kwa kuyanusuru maisha ya binti yake kipenzi. .
“yupo kile chumba pale”
Katika hali ya kushangaza Sabrina aliona kitanda kinatolewa ndani ya chumba alichooneshwa kuwa yupo Catherine, huku mtu aliye kua juu ya kitanda kile amefunikwa na shuka la bluu gubi gubi kulikua kuna kila aina ya dalili kua aliyelala pale alikua ni Catherine amefariki dunia alijua fika nini maana ya kufunikwa na shuka la bluu, daktari mmoja alitoka huku akiwa ana fikicha macho yake , nyuma yake wali fuatiwa manesi watatu wakiwa wenye huzuni sana, picha ya madaktari wale ili onesha zairi kuwa kuna habari mbaya ya kutisha kwake tena nzito sana.
Kila mtu alihisi kuishiwa nguvu Sabrina alipiga hatua kadhaa akiwa analia machozi hakutaka kuuliza chochote alifika kwenye kitanda kile na kufunua shuka lile la bluu alizidi kuingiwa na hofu na moyo wake kumuenda mbio sana baada ya kuona sura iliyokua juu ya kitanda, alihisi moyo wake ume mlipuka, japo kua madaktari walijaribu kumzuia asifunue kitanda kile ila walikua wamesha chelewa tayari…..
WALIOMUONA walimuonea huruma, madaktari wote walibaki kimnya wakimtazama kwa macho yaliyo jaa huzuni mwingi,! sababu alikua akilia muda wote akihangaika huku na kule akitaka kujua mwanae amelazwa chumba kipi baada ya kufunua shuka lile la bluu na kukutana na sura nyingine tofauti, bado alikua ni kama aliyepatwa na uchizi au mwenye mapepo,! Roho ya umauti ilianza kujijenga ndani ya akili yake akimuona mwanae amelazwa juu ya jeneza amekufa,
“mwanangu yuko wapi dokta, niambieni ukweli tu mimi mjane”.CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Aliuliza mama Sabrina huku akidondoka chini na kuwa pigia magoti wauguzi wale, hakutaka kumpoteza mwane kipenzi
“Mama naomba uni subiri pale kwenye benchi”
“hapana niambie ukweli”
Alivyotaka kuingia ndani ya chumba cha upasuaji walimzuia pale pale,Shebby aliye mleta Catherine hakika hata yeye roho ya huruma ili muingia na kuji kuta ana yafuta machozi yake yaliyo kua yana mtoka japo hakuelewa kwanini analia wakati ule, mambo aliyo yaona pale yalikua ni kama watu walio kua wana igiza filamu ya kihindi.
Haikuwa kazi rahisi kumtuliza Sabrina, ambae muda wote alikua akili taja jina la mwanae Catherine, bado hakupata chanzo kamili kilicho mpelekea mwanae kuwepo hospitalini ndani ya chumba hiko.
“Mwanao yupo chumba cha upasuaji tuna jitahidi kutoa sumu iliyo kua inataka kuingia ndani ya ini, , naomba ukae pale Mama angu, tuta jitahidi kadri ya uwezo wetu mwanao aweze kupona, tuachie tufanye kazi yetu”!
Alizungumza Dokta Amani na kuweka kitu Fulani kilicho zuia pua na mdomo kisha kurudi tena ndani ya chumba cha upasuaji ,
“Dokta Rukia mme fikia wapi”?
“kuna kazi hapa bado, sumu ile imeshata pakaa sana, inavyoonekana alitumia kilevi kikali sana na hizo dawa zikawa excess, tuna kazi ya ziada hapa”
Alizungumza Dokta Rukia huku akifuta majasho yake usoni sababu ya chumba hiko kukosa hewa,
“Sawa , nipatie hiyo chupa ya dawa hapo”
Yaliyokua yanaendelea ulimwenguni Catherine hakujua hata kidogo alikua ni nusu mfu sasa, alikua hasemi tena
madaktari walijitahidi kadri wawezavyo ili kuokoa maisha yake,japo hawa kua na matumaini tena kama ange rudi katika hali yake ya kawaida kulikua kuna kila aina ya dalili kuwa ange poteza maisha yake sababu ya sumu ambayo inaanza kuingia kwenye damu na pengine kumsababishia kansa ya damu, jambo hilo hawa kutaka litokee hata kidogo.
******
“Enooc…k maaaliza aaaaaah aaaaaah”
Ilikua ni sauti iliyokua ina tokea puani ndani ya chumba kikubwa sana chenye kila kitu ndani yake, aliye kua chini alikua ni Heather huku juu yake Akiwepo Enock amemuweka mbuzi kagoma, kitendo cha mechi ile kuchezwa nusu saa bila goli kutokea kili mfanya Heather aanze kuchoka sana, ila bado aliye kua juu yake alikua mwenye midadi mingi sana, alimuweka sawa sawa, huku akizidi kuzugusha MTUTU ndani ya ikulu ya Heather mechi iyo ilizidi kuendelea alimfuata mdomoni na kuanza kumpiga denda na kuanza kulambana midomo kwa fujo zote ,lakini ili mbidi Heather ashike mpira makusudi ndani ya boxi ili asababishe penati, kweli juhudi zake zili zaa matunda sababu alisababisha penati kisha baadae goli kufungwa kiulaini sana.
Mbio mbio alitoka akikimbia na kuelekea bafuni aliliendea sink na kuanza kutapika, hakukuwa na haja ya kuuliza kitu chochote juu ya dalili hiyo, kulikua kuna kila aina ya dalili kua Heather tayari ni mjamzito , kitendo cha Heather kutapika kili mfanya Enock ashangalie badala ya kumpa pole.
“sasa unacheka nini”?
“yeeeeh you gonna be my baby mama,that is what I was dreamt about(yeaah utaenda kuwa mama wa mtoto wangu, hizo ndizo zilikua ndoto zangu)”
Alizungumza Enock huku akiruka ruka , haraka haraka alimuomba Heather aweze kuvaa nguo zake ili waende hospitali kuhakikisha kuwa jambo lile ni kweli, hakupata picha mama yake ange kua na furaha kiasi gani, angesikia habari za mjukuu wake, aliamini kuwa sasa mama yake liye kua gerezani atafurahi sana,
Haraka haraka walivaa na kutoka nje, hakukuwa na umbali kutoka hapo hotelini mpaka ilipo zahanati ndani ya kisiwa hiko cha chake chake, waliiingia mpaka ndani ya zahanati na Heather kuchukuliwa mkojo wake tayari kwa vipimo,
Baada ya dakika kadhaa tayari dokta alikua mbele yao na karatasi sasa akiwapa majibu, maneno aliyo tamka daktari Yule yalizidi kumfurahisha Enock sana,
“kwaio doctor, sasa huyu ni mama kijacho”?
“ndio Mr, sema ina kubidi kama ikiwezekana aanze kuudhuria clinic mapema”
Akiwa mwenye furaha sana hakujua kuwa upande wa pili wa shilingi alisabisha Catherine awe kitandani hajielewi, dawa ya wakyokyo hakika ilichukua akili yake yote kabisa, alicho waza yeye wakati huo ni kuitwa baba tu, picha ya mtoto mdogo ikiita jina baba miaka michache ijayo ilianza kujijenga ndani ya kichwa chake na kumfanya afurahi, pale pale alimvuta Heather na kumnyonya mdomo .
Waliondoka hapo wakiwa wenye furaha sana, alipanga siku iyoiyo jioni aondoke zake arudi jijini Dar es salaam ili kesho yake akampe habari zile mama yake gerezani alipo,
Harakati za safari zilianza kuandaliwa wakitafuta boti ndogo ya kukodi iwapeleke mpaka Zanzibar kisha huko siku hiyo hiyo watafute ndege na kuondoka zao.
Kwa bahati nzuri jioni hiyo hiyo walifanya mawasiliano na ndege zinazo ondoka jioni ya siku iyo na kuwekewa nafasi baada ya kukata tiketi ya ndege kwa njia ya email, baada ya kupanga mizigo yao waliingia ndani ya boti na boti hiyo kuanza kukata mawimbi.
“una penda nikuzalie mtoto gani Mume wangu”?
“nataka baby boy”
“mi napenda awe wa kike”
“no nataka dume, sitaki msichana”
“mmh basi huyu ni wa kike sasa”
“huyo wa kiume”
Walibishana bishana huku wakiwa wenye furaha sana , walikombatiana na kuanza kunyonyana ndimi zao,
Dakika kadhaa mbele tayari walikua Zanzibar na kushuka kisha bila kupoteza muda walitafuta ndege na kupanda tayari kwa safari. Haikuchukua hata lisaa limoja walikua uwanja wa ndege wa kimataifa mwalimu Nyerere na kushuka ,walipanga siku hiyo watafute hotel kwanza ili waweke mizigo yao kisha baada ya siku mbili waweze kuhamia kwenye nyumba yao mpya ambayo ilikua tayari imeisha kabisa!,.CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Hakutaka kufika nyumbani kwao kwanza alitaka kesho yake anyooshe moja kwa moja mpaka Gerezani Segerea ila hakutaka kwenda peke alitaka aende na Mke wake Heather sababu Mama yake alikua ana umwa sana kwaio hakuwahi kumuona hata mara moja ,
Alijua kivyovyote vile mama yake ange kua mwenye furaha ange pewa taarifa za mjukuu wake.
Asubuhi kulivyo kucha waliingia ndani ya gari ya kukodi na safari ya kwenda Segerea kuanza nyuso zao zili tawaliwa na furaha sana , waliowaona wali watamani sana, baada ya dakika chache mbele tayari walikua segerea wakiomba waonane na Josephine Mwasha,.baadae askari magereza walimleta na Enock kutabasamu sana baada ya kumuona Mama yake akiwa na hali ya kuridhisha kiafya, alimpenda sana mama yake
“Mama hakika leo uta furahi sana, nina habari njema za kukwa mbia, kwanza nime kuja na mke wangu huyu hapa, alafu hapo alipo ana mjukuu wako tumboni!.”
Josephine alikaza macho yake kitambo kwa mwana mke aliye kua mbele yake aliye tambulishwa kama mkwe wake, alionekana fika kama alimfahamu alizidi kumkazia macho kama ana kumbuka kitu Fulani cha miaka ya nyuma sana, alizidi kuvuta vuta kumbu kumbu na kuunganisha matukio mbali mbali bila kusema chochote kile, ghafla sura yake ili badilika .
“Nabuuma Heather wewe!, Mwanangu sitaki nikuone na huyu mwana mke kama unanipenda mimi mama yako, kama nili kubeba tumboni miezi tisa, naomba uachane na huyu mwanamke, sio mtu mzuri”
Kauli ile ili mfanya Enock ashindwe kuyaelewa maneno ya mama yake mzazi pengine alidhani amechanganyikiwa sana, alibakia akitoa macho yake huku akimuangalia mke wake ambaye kwa wakati huo alionesha kila aina ya dalili ya hofu kumtanda.
UKIMNYA ulitawala kidogo aliwatazama wana wake wawili mmoja aliye kua pembeni yake na mwingine mama yake mzazi ambaye alionesha chuki za wazi wazi,na maneno aliyo kua akiongea wakati huo ilionekana dhahiri kuwa yana ukweli kabisa ndani yake, kupitia macho ya mama yake aliweza kutambua jambo hilo, sababu aliongea kwa hisia zote.,
“kwanini una sema ivyo mama yangu, huyu ni mke wangu wa ndoa”!
“hata kam……”
“En…ck tumbo nahisi kichomi”
Alilalamika Heather akiwa pembeni yake huku akimshika shati lake na kuanza kulia kwa uchungu kama mwana mke aliye kua ameshikwa na uchungu wa kuzaa,wakati huo alikua na chaguo gumu sana, kumsikilizia mama yake au kumpeleka mke wake hospitali, bado ubongo wake ulizidi kuchanganua mambo mengi sana, alimtazama mama yake kwa kitambo
“Mama naomba nimuwaishe huyu Mke wangu hospitali, alafu nita kuja kuongea nawewe vizuri”
“hakuna cha kuongea Enock, mimi nisha kwambia”
Enock alimbeba mke wake na safari ya kwenda hospitali kuanza pale pale , bado katika akili yake alijaribu kuunga unga mambo mengi sana huku akimtizama Heather ambae kwa wakati huo alikua akipiga kelele nyingi akisingizia kichomi, ukweli ni kwamba hakua ana umwa lolote lile, alikua akizuga ili atoke eneo lile,
“TIIII TIIII TIIII”
MASHINE ya mapigo ya moyo ilizidi kulia mithili ya bomu lililokua lime tegwa na kusubiri kulipuka, juu ya kitanda alilala Catherine ndani ya chumba hiko kilicho fahamika kama ICU cha wagonjwa maututi, kupitia nje waliweza kumuona, hakuna hata mmoja aliye ruhusiwa kuingia ndani ya chumba hiko, ila walipewa nafasi ya kumuangalia kupitia kioo, mama yake mzazi alilia sana , hakua na matumaini tena ya kumuona mwanae akiwa katika hali ya kawaida, alitamani japo aamke ili aweze kusemezana nae machache tu, lakini haikuwa ivyo, ilimbi-di amuombe Mungu baba wa majeshi aliye juu mbiguni ili naye aweze kutenda miujiza, ila vinginevyo uhai wa cate ulikua asilimia mbili pengine.
Walisimama hapo takribani masaa manne wakimuangalia Catherine yeye pamoja na Darlington Shebby, ghafla walimuona binti kaingia huyu walimtambua kuwa alikua rafiki kipenzi wa Catherine aliye itwa Betty alikuja akiwa mwenye wasi wasi mwingi, wote walimvaa na kuanza kumuhoji maswali,
“jamani, hapa hairuhusiwi kufanya kelele, ninge omba mtoke nje ili mfanye hayo mazungumzo yenu”
Alizungumza muuguzi wa kike kisha mama yake Catherine, Darlington shebby na Betty kutoka nje, kila mtu alitaka kujua chanzo mpaka Catherine akakutwa chooni akiwa na mapovu mdomoni,
Betty huku akiwa analia machozi alianza kueleza kila kitu juu ya Enock hakua na haja yoyote ile ya kuficha ukweli sababu alijua kua baadae ukweli unge kua wazi, ilikua ni lazima aweke mambo wazi kwa mama yake ili apatiwe msaada,
“huyo Enock , yupo wapi”?
“mpaka sasa hivi niki mpigia hapokei simu”
“ndo kafanya mwanangu atake kujiua,?”
Mama Catherine aliongea kwa uzuni sana, alimkumbuka marehemu Ramsey ambaye alimpa husia kwamba mwanae asije kudanganywa na wanaume, alivyo kumbuka vile alilia machozi , ndani ya imani aliyo kua amebeba alijua kuwa huko alipo Ramsey amechukizwa sana,
“shoga usipo angalia uta poteza kila kitu, fanya maamuzi mapema”
“sasa nitafanya nini”?
“wewe ikiwezekana hata muuwe tu, ata kuletea kiwingu, ata kuharibia kwa Enock”
“nimuuwe tena”?
“ndio, kama una taka mambo yanyooke”
“sasa nita muuwaje”?
“nita kwambia cha kufanya”
Yalikua ni mazungumzo kati ya Zahara na Heather baada ya kushauriana Zahara aliamua kumshauri amuuwe Mama Enock ikiwezekana huko huko gerezani , akiamini akifanya vile na yeye baadae ata fanikiwa, ushauri ule Heather aliuona bora sana. Kitendo cha kupewa ushauri na rafiki yake kipenzi kili mfurahisha sana, aliona ni bora amuuawe mama Enock kuliko leo hii Enock aje kupewa siri nzito aliyo beba mama Enock kifuani, hayo ndiyo mawazo yaliyo kua yakicheza ndani ya ubongo wa Heather na si vinginevyo, wakiwa nyumbani kwa Zahara Mburahati,.CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“alafu mamii, kesho ndo tunahamia kwenye ile nyumba mpya, ni kuuuuubwa hiyo”!
“wewe, hongera Heather jamani”
“nataka kesho nikualike sababu kuna pati kesho hiyo, usikose kuja, kuna pombe za kumwaga bibie”
“mimi tena ntakuja asubuhi na mapema”
“na uje kweli”
“nitakuja bwana”
“sawa acha mimi niende, nimuwahi jamaa, maana siku izi ana wivu, na hiki kiumbe nilicho beba basi, hataki nitoke nje, akijua nime toka ugomvi”
“aya shoga wahi, MAMA KIJACHO”
Heather alitoka huku akiwa mwenye furaha waliagana na rafiki yake ambapo alimsindikiza mpaka nje kisha yeye akaingia ndani ya gari na kuchanja mbuga, kuelekea hotelini alipo panga na Enock,
Watu walizidi kufurika ndani ya nyumba hiyo ya kifahari ambapo ilikua na gorofa yenye rangi nyingi tofauti, hakika Enock alistahili pongezi sana kwa kuporomosha jengo la kifahari vijana kwa wazee wali mpongeza sana kwa kuwa na nyumba nzuri ila yeye shukrani zote alizipeleka kwa mke wake Heather ambae mbele ya macho yake kila siku alimuona Mpya ,
alimpenda sana ukizingatia ana kiumbe chake tumboni, watu walizidi kufurika ndani ya nyumba hiyo na magari mengi kupaki ya kifahari sana, kila mtu alistaajabu uzuri wa jumba hilo lili lofananishwa na KASRI anayo ishi mfalme,
Muda wote alimshika Heather mkono wake wa kuume wakitalii na marafiki zake,
“hapa hiii sehemu nime tenga nataka nifuge farasi”
Alizungumza Enock akimwambia rafiki yake Anderson Peter, muda muafaka ulifika na watu kuanza kula na kunywa huku wakikagua nyumba hiyo ndani na nje, ilikua ina kamera za CCTV kila kona na ulinzi wa kutosha kabisa, hakika ilikua ni nyumba ya kuigwa ,
Tafrija ilizidi kuendelea kisha baadae jioni kila mtu kutawanyika sasa,
“nikwambie kitu Enock”!
“niambie mke wangu”
“una jua kuwa hii ni nyumba kubwa sana, na watu wame iona wengi”
“ndio maana nikawaita waione”
“huoni mfano bahati mbaya kesho au kesho kutwa ukifa hapa, mimi na mtoto wako tuta pata shida sana”
“una maana gani”?
“naomba hii nyumba uniandikishe jina langu”
“sasa mbona mapema ivyo umeanza kusema mambo ya vifo, una taka kuniua au?”
“ha ha ha ha ha baby nawewe bwana, kwanini nikuue sasa, mimi nataka ukifa niishi kwa amani, usinifikirie vibaya lakini”
Hayo ndiyo yalikua maongezi yao usiku wa siku hiyo wakiwa kitandani, mara ya kwanza Enock alidhani Heather ana fanya masihala pengine, ila kadri siku zilivyo zidi kwenda ndipo alizidi kuonesha msimamo juu ya kuandikishwa jina lake kwenye hati ya nyumba hiyo kubwa na wakati mwingine akimtishia kuwa ataitoa mimba, ki ukweli Enock alikua katika wakati mgumu sana,
“sasa kwanini uitoe mimba,”?
“si hutaki kunisikiliza mume wangu,, sitaki nije nitange tange baadae”!
“sawa basi subiri leo nika muone mwana sheria, nakuja nae hapa , nikuandikishe jina lako”
Siku hiyo hiyo aliwasha gari na kuondoka zake akielekea kwa mwana sheria wake Mwanguku baada ya kufika ofisini kwake alimueleza kila kitu juu ya mipango ya kumuandika Heather kama mrithi wa nyumba yake mpya.
“Mr, Enock una uhakika na maamuzi unayo taka kuya chukua?”
“ndio , nina uhakika asilimia zote, nataka jina la ile nyumba aandikwe mke wangu”
“sawa mimi sina tatizo, tuta ongozana na mashaidi uweze kusaini kila kitu”
Hayo ndiyo yalikua maongezi ya Mwanasheria huyo na Enock.
“ilo shati shilingi ngapi”?
“elfu thelathini mzee, unataka moja au mengi”?
“nahitaji moja tu”
Ilisikika sauti ya mzee Mwasha ndani ya duka la nguo ila alivyopepesa macho yake juu aliona picha kubwa ya Ramsey akiwa na mwana mke amabye wakati huo alikua akimuuzia nguo pale dukani, hasira za chuki zilianza kujijenga tena upya macho yalimbadilika rangi, alimkumbuka sana Ramsey aliye sababisha yeye aka fungwa , Ramsey huyoo huyo aliye tembea na mke wake, kwa hasira alijikuta anaweka mkono wake kiunoni na kuanza kuitoa bastola yake kwa lengo moja tu kumfyatua Sabrina ambaye alikua ana uza duka hilo la nguo
“Ramsey njoo nikuoneshe sasa, si ulikua una bisha Yule mwana mke wako sio Malaya, twende, shika funguo izi washa gari twende BUGURUNI ULIMBOKA ,ukaone kwa macho yako.”
“Josephine acha uwongo wako haiwzekani”
“noo twende sasa hivi, twende ukamuone”
Yalikua ni maongezi baina ya Josephine na Ramsey wakiwa chumbani siku hiyo baada ya kutoka kula tunda tamu la usiku, kilicho fuata hapo ni Ramsey kuwasha gari na kuondoka na Josephine ili akashuhudie kile alichoambiwa, gari hiyo aina ya Jaguar lilizidi kwenda mbio sana usiku huo wa saa saba,
baada ya dakika kumi na saba tayari lilikua limeegeshwa nje ya baa iliyo kua ulimboka maeneo ya buguruni ilisifika kwa wanawake wanaouza miili yao almaarufu kama machangudoa, baa ilikua ime changamka sana, vijan a kwa watu wazima hununua wana wake hapo kisha huondoka nao.
“sasa tukae hapa uone”
“sawa, na ole wako Josephine”
“subiri uone”
Walisubiri takribani dakika hamsini , Ramsey hakuamini baada ya kutazama mbele yake na kumuona msichana aliye valia kimini kilicho oonesha nusu ya maumbile yake, hakukuwa na haja ya kuuliza ni nani ilionesha dhairi hata kwa .CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
picha kuwa mwana mke Yule yupo kazini ana jiuza,mkononi akiwa ameshika sigara akiwa amesimama ukutani akimwita kila mwana mme anaye pita,
Moyo ulimuuma sana Ramsey hakuamini kuwa mwana mke aliye mpenda amekua taxi bubu sasa, alishindwa kuvulia aliisimama palepale na kumuendea ukutani.
“show time buku tano,”!
“Heather,ni wewe”?
Aliongea Ramsey huku akimuinua kidevu mwana mke huyo aliye kua akiji uza pale ukutani, alitamani kumzaba makofi ila alishiia kuhema kwa nguvu sana!
“nilikwambia Ramsey huyu mwana mke sio”
Josephine alitokea pale na kuanza kumkandamiza maneno huku akimvuta Ramsey na kuondoka zao ndani ya gari, .
“MWANANGU NAONA AIBU SANA kukwambia haya maneno leo hii , hustaili kuniiita Mama, nime mkosea sana baba yako, sitaki upotee mwanangu, nasikia uchungu sana, Mwanangu Enock nakupenda sana, namimi ndiye niliye kupigania kwa baba yako mpaka ukaenda kusoma nje ya nchi, Heather sio chaguo lako, kuna vitu vingi vingine sistahili kukwambia ,kuhusu Heather ……“
Josephine aliongea huku akilia machozi ya uchungu baada ya kumpa stori fupi ya nyuma, hakika hakustaili kufungua mdomo wake kama mama kutoa maneno kama yale mazito na ya aibu mbele na mtoto wake, lakini hakua na jinsi sababu hakutaka kumuona mwanae ana tumbukia ndani ya shimo refu ambalo akiingia hatoweza kutoka habadani,
Bado akili ya Enock ili zidi kuchuja mambo na kuchekecha vitu vingi tofauti, alimtazama mama yake ambae alikua akilia sana kwa kwikwi, alimsogelea na kumkombatia huku akimfuta machozi ambayo yalikua yana lowanisha mashavu yake, hakuelewa nini amfanye Heather akirudi nyumbani, hasira zili mkaba sana kooni kwake!,
“Mama nita fanya ivyo,kesho nita kuja kukuona tena”!
Enock aliondoka akiwa amejawa na hasira nyingi sana, alitembea na kuingia ndani gari na kutoa mbio, moja kwa moja alienda kwenye moja ya baa na kuanza kunywa pombe kali.
“mwanangu achana na Heather sio mtu mzuri”
Maneno ya mama yake yalizidi kupenya ndani ya ubongo wake na sauti ile kujirudia rudia tena.
Usiku mnene ulivyo fika aliwasha gari na kurudi nyumbani kwake, alifika na kumkuta Heather amelala juu ya kochi bila kumuongelesha alinyoosha mpaka kwenye meza ya chakula kisha kuketi mezani.
“Enock, mbona ume chelewa leo, sija kupata kwenye simu, ume kuja ume lewa!”
“kaaa kimnyaaaa, changudoa wewe,super prostistute , bitch, Malaya mchafu”
“Enock mume wangu”!
“keep your mouth shut”(funga mdomo wako),.”
“mbona sikuelewi, kula basi chakula mume wangu najua izo ni pombe tu”
“sili, siji sikii kula”
“sasa kwanini upo hapa mezani, kwanini upo hapa mezani?”
Alianza kuwaka Heather na kumjia juu Enock
“hii nyumba ni yangu, nita kujaaaaa muda naotaka mimi Malaya wewe, na kesho utoke kwangu siku taki tena, mama yangu kaniambia ukweli, Malaya mkuuuuuubwa, fuc***** you bitch. Pack your things and leave my house, I don’t fuck****ing care! , ”
Enock alisimama huku akipepesuka na kuondoka zake huku kichwani akiwa mwenye mawazo mengi,
Kulikua kuna dalili kuwa maneno aliyoongea aliyamaanisha.
Sasa Josephine alikua ni kama amemchokoza Heather asubuhi ya siku iyo alivyo amka alinyoosha moja kwa moja mpaka segerea na kumtafuta mmoja wa askari magereza na kuanza kumwambia shida yake juu ya kumuuwa Josephine akimuahidi kumpatia Pesa nyingi sana.
“swala hilo lita wezekana, nita fanya kiakili Mama, nunua chakula, weka dawa za kuharisha zile kisha niachie mimi hapa, kesho atakua marehemu, cha msingi pesa yangu tu uni letee, usifanye mchezo!”
Hakutegemea kuwa kama Askari Yule ata fanya mambo yawe mepesi sana,alimuandikia hundi ya shilingi milioni tatu kama nusu ya malipo ya kazi hiyo, kisha yeye kuondoka zake akitegemea kesho yake ata pewa taarifa nzuri juu ya kifo cha Josephine , kweli alidhamiria kuua sasa,
Kazi zili mbana sana siku iyo Enock na kushindwa kwenda kumuona mama yake ivyo alijitahidi sana kesho yake aende kumuona, baada ya kukucha aliwasha gari na kunyoosha moja kwa moja mpaka gerezani hakuamini alichosikia kutoka kwa askari magereza pengine alidhani amesikia vibaya.
“Mama yangu ame fanya nini”?
“amefariki dunia”
“sio kweli, juzi nili kuwepo hapa, alikua na hali nzuri tu!”
“ndo ivyo Mr, Enock aliumwa ghafla,p ole sana, cha kufanya ufanye taratibu za kuuchukua mwili wake”
Maneno yale yali penya ndani ya mtima wake na kuzidi kuchanganyikiwa aliserereka mpaka chini sababu ya kuishiwa na nguvu zote za miguu yake, alilia kama mtoto mdogo huku akizidi kumkumbuka mama yake mzazi.,
Kama mwana ume ilibidi ajikaze kiume ili afanye taratibu za kuwataarifu ndugu jamaa na marafiki, aliwasha gari na kuliondosha kama chizi, baada ya kufika nyumbani kwake aliji tupa kwenye sofa, huku akiwa mwenye mawazo mengi sana na kulia kwa sauti.,
,
“shemeji nini tatizo”?
Sauti hiyo ya Zahara ili mshtua kutoka kwenye mawazo aliyokua akiwaza na kuya futa machozi yake,
“Mama yangu, amefariki”
Zahara aliya toa macho yake na kumsogelea Enock karibu akimfariji, wakati ndani ya moyo wake alijua dhahiri kuwa aliye fanya mauaji yale ni Heather mke wake.
“Catherine”!
Enock aliita huku akimuangalia Zahara machoni katika jambo lisilo la kawaida alimvuta Zahara shingo na kumvuta mdomoni na pale pale kuanza kulambana midomo kama njiwa.
“Zahara”
Sauti Ya Heather ili washtua wote wawili baada ya kuwa fuma laivu wakilana denda.
Risasi ilipenya juu ya bega la Kway akiwa chini amelala chali baada ya kuwa fyatua risasi majambazi watatu, kitendo cha kuingia ndani ya gari na kutoa bastola yake na mmoja ambae hakumuona alimuwahi na kumpiga ya begani,
Bado akiwa chini aliji tahidi kurusha risasi na mmoja wa jambazi Yule kukimbia akitoka getini baada ya kuona hali isha kua tete, baada ya hapo Kway alianza kutembea huku akiji buruza chini kama nyoka au jongoo huku akiacha damu nyingi sana chini zilizo tokana na jeraha la risasi.,
“Kway”!
Aliita Sabrina huku akimuendea kilicho tokea hapo ni kuingia ndani ya gari na kuelekea kituo cha polisi kuchukua PF3 kwa ajili ya matibabu na kutoa maelezo juu ya kilichotokea, muda wote mke na mtoto wake walikua wakilia sana na nyuso zao kubadilika rangi sababu kway alikua kimnya katulia tuli hasemi chochote kile, walinyoosha moja kwa moja mpaka hospitalini ili matibabu ya haraka yaanze.
Kadri siku ipitayo hali ya Catherine ilizidi kuleta faraja katika macho ya watu ila hakuacha kulitaja jina la Enock huku akilia machozi.
“sikia mimi nime soma saikolojia naomba niongee nae”.CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“we una umwa nini?, alafu hutakiwi kabisa kumsogelea karibu sababu kila akikuona ana piga kelele, huoni kama utamzidishia matatizo!?”
Aliongea daktari
“niamini daktari, naelewa kile nacho zungumza, mimi ni proffesheno!”
“sawa embu nenda tuone”!
Darlington shebby taratibu alijongea mwendo wa kinyonga mpaka pembeni ya kitanda cha Catherine ila bado alifokewa na Catherine huku akilitaja jina la Enock na kuanza kurusha makofi , kulikua kuna kila dalili ya kuonesha kuwa uwendawazimu una mnyemelea,, katika akili yake tayari alikua ameshaa athirika kisaikolojia, alimchukia sana mwana ume anayeitwa Enock ndani ya moyo wake.
“Catherine, nataka nikusaidie, mimi naitwa Darlington Shebby”
“Ennnnn,,ock. Toka nje”
“nisikilize niangalie kwa umakini sana, vuta pumzi ndefu niangalie machoni punguza jazba”
Catherine alianza kulia na kichwa chake kukiwekaa juu ya bega la Shebby hapo ndipo taratibu kijana huyo alianza kumpa historia tangu alipo muokota chooni na kumsaidia , kweli alikua ni kama ana rejewa
na fahamu zake wakati huo, aliwatazama watu wote waliokua mbele yake na kufuta machozi yaliyokua yakimtoka wakati wote,
Watu wote macho yao yalikua kodo kwa Darlington shebby wakimwangalia ,hakika jambo kubwa sana alikua amelitenda Mama yake mzazi na Catherine aliye kua ana watizama alitoa shukrani ambazo zilishindwa kuelezeka kwa wakati huo,
Baada ya siku chache kusonga, Catherine aliruhusiwa hospitali hapo na jukumu la kurudisha akili zake alipewa Darlington Shebby mwana saikilojia afanye kazi ya kumsahaulisha Catherine juu ya mambo ya nyuma yaliyo pita, kwa mara ya kwamza aliiona kazi iyo ilikua ngumu sana ila kwa kuwa alibobea kucheza na akili za binadamu alikaza moyo na kuzidi kufanya kazi yake.
Ilikua kila ipitayo siku ya Mungu lazima aende nyumbani kwa Sabrina na kumchukua Cate wakizunguka sehemu mbali mbali kama ufukweni mwa Bahari na sehemu nyingi tofauti.
Catherine alijiona mwenye furaha sana , mazoea aliyo jenga na kijana huyo ilikua haiwezi kupita hata siku moja bila ya kumuona, kweli alimzoea na kujiachia wala hakujistukia.
“Leo muvi mpya ina toka tukaicheki, Wrong Turn inaitwa”
“Shebby, haitishi”?
“kwani unaogopa nini sasa?”
“ wewe, mimi mwenzio naogopa, kama wiki iliyopita, una tabia mbaya sana huku niambia kama ile muvi ina tisha,”
“ya leo haitishi hata kidogo”
“sawa hakuna shida, Sasa tumuage mama kabisa,”
“hakuna shida”
Tayari nyumbani kwa kina Cate walisha mzoea walimuona ni kijana mwema kabisa, mama yake alifurahi sana
kumuona mtoto wake akiwa mwenye furaha muda wote, walimuaga Sabrina ilivyo fika jioni ya siku hiyo kisha kuingia ndani ya gari ya Sheby na kutoa mbio, huku wakiwa na nyuso zenye furaha sana siku hiyo.
Baada ya kufika quality center waliiingia moja kwa moja na kutafuta siti za katikati kisha kuketi na baadae taa za humo ndani kuzimwa, ili filamu iyo ianze,
Ukimya ulitawala kila mtu ndani humo, akiwa makini sana juu ya kioo kikubwa kilicho kua mbele yao wakitazama filamu iyo, ambayo ilionekana kuteka hisia za watu wengi sana,
Ila kila mtu alianza kuogopa sana sababu ilishaanza kutisha sasa, waliona mijitu ya ajabu ikianza kula nyama za watu Catherine aliiingiwa na hofu kubwa sana,
aliogopa sana na mapigo yake ya moyo kumuenda mbio alimsogelea Darlington Shebby na kumkombatia huku akijiziba sura yake akilalamika kuwa waondoke mahali pale
Alimganda sana akimshika shati kutokana na kelele nyingi za kutisha, katika hali ya kushangaza Darlington Shebby alimvuta karibu kisha kuzidi kumvuta tena mpaka mdomoni kwake na kuanza kumnyonya mdomo, Catherine hakua na ujanja tena hapo alijikuta ana kubali na wote kuanza kulambana midomo ndani ya jumba la sinema.
Siku hiyo kichwa kilimuuma sana Enock akiwa ofisini kwake juu ya meza yake, aliwaza sana kwa muda mrefu, arobaini ya mama yake ilisha fanyika tayari, ili mbidi tu asahau japo ilikua vigumu sana kwake,
Ilimbidi akubaliane na hali halisi kuwa hakukua na jinsi tena ya kufanya mama yake kesha toweka tayari, alitafuta dawa na kumeza lakini haikusaidia kwa lolote lile, hakua na chaguo lingine zaidi ya kuondoka ofisini kimnya kimnya na kuingia ndani ya gari ili arudi nyumbani kwake kupumzika ,
Alifika na kuacha gari nje kisha yeye kuingia ndani kimnya kimnya, kwa mbali sana alihisi sauti zina bishana aliweza kuzitambua sauti izo alikua ni Heather mke wake na mwingine aliiitambua sauti ile ilikua ya Zahara .
“Malaya wewe, nilikuamini sana kumbe nyoka tu! una fikiri hapa duniani kuna siri, Rafiki mnafki wewe, umelala na mume wangu Enock, unadhani nisinge jua, hapa mjini nitanyimwa pesa lakini sio maneno”
“usini tukane Malaya mwenyewe usiye jiamini mpaka ukaenda kwa wagamga wa kienyeji kufata dawa, ukaona haitoshi ukaamua kuuwa”
“hata kama lakini haikuhusu , na ndo ivyo hapa Enock apindui uta ishia ivyo ivyo”
Maneno yale yote yalitiririka vizuri na kupita juu ya pina za masikio kisha kuingia mpaka ndani ya ngoma za masikio ya Enock akiwa nje dirishani ameganda kama barafu la shilingi ishirini ,alifikicha macho yake na kuchungulia ndani ili ahakikishe kama ni kweli au ni sauti a mizimu, bado waliendelea kutukanana huku Zahara akizidi kutoa siri za rafiki yake huyo bila kujua walikua wanasikiwa kwa kila kitu.
Picha ya Catherine sasa ilianza kumrudia alijiona mtu mwenye tofauti sana, moyo ulimuuma aliikumbuka siku ya kanisani na kuona sura ya Catherine ikiwa ime jaa machozi, aliikumbuka siku alipotoa kauli kuwa Catherine afungwe polisi,
Bila kusema chochote pale pale aligeuza na kuliendea gari lake akitaka kwenda sehemu moja tu CBE chuo alichokua ana soma Catherine ili aweze kumuomba msamaha, hakuelewa kuwa leo hii yeye ndiye aliye msababishia mwanamke .CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
huyo atake kujiua, kweli alikiri sasa moyoni alimpenda kwa dhati lakini hakuelewa kua kama juhudi za kumrudisha tena mikononi mwake zingezaa matunda,
Moja kwa moja alinyoosha mpaka posta na kuegesha gari pembeni, ya chuo hiko cha CBE.,
“Samahani namuulizia Catherine Ramsey, yupo”?
“hapana, mwezi huu ume pita hajawahi kuonekana hapa chuoni”
“Betty, Betty , Betty “??
“Betty yupi. Betty Lizzy baby drama?”!
“ndo huyo nafikiri”
“huyo yupo hostel kwao”
Enock alikimbia mbio mbio na kupanda ngazi mbili mbili za hostel hiyo na moja kwa moja kugonga mlango, kwa bahati nzuri alimkuta Betty .
Lakini alifukuzwa kama mbwa, aliji tahidi kumbe-mbeleza na mwishowe kuambiwa sehemu anayo ishi Catherine moja kwa moja alirudi ndani ya gari lake na kuelekea Bunju alipoelekezwa kwa kina Catherine,
Dakika chache baadae alikua ameegesha gari upande wa pili wa geti la rangi nyeusi na kutokua na uhakika kama ndiyo pale,
Aliliona gari aina ya Virgo ya silver inapaki pembeni ya geti hilo jeusi na kijana mmoja wa makamo kushuka kisha baadae kutoka nje akiwa na catherine wakiwa wenye furaha moyo ulimuuma zaidi na kushindwa kuvumilia hasa alivyowaona wana nyonyana midomo yao kimahaba, hakukuwa na haja ya kuulizia nini kina endelea,
ilionesha dhairi kuwa wawili wale aliowaona pale walikua ni wapenzi tena wenye mapenzi ya dhati sana, alishindwa kujizuia, wivu ulikua ume mkaa juu ya koromeo lake na kifua kikipanda juu kwa hasira, alifungua mlango wa gari na kuvuka bara bara upande wa pili.
Katika moyo wake hakutaka kumkosa mwana mke huyo tena.
“Catherine”!
Aliita jina hilo na kufanya Catherine ageuke nyuma na kusitisha zoezi la kuingia ndani ya gari..
Alivyo geuka alionana na sura ya mwana ume ambaye alifanya maisha yake yaende ndivyo sivyo, mwana ume ambaye aliye fanya atake kujiua ,
mwana ume ambae aliye mtoa bikira yake kisha kumtelekeza na kumuacha solemba, mwana ume huyo huyo sasa alifunga ndoa kanisani na leo ni mume wa mtu,
leo hii ameji tokeza mbele yake, picha mbali mbali za matukio tofauti zilizidi kujiseti ndani ya akili yake huku kumbu kumbu nyingi tofauti zikipita ndani ya ubongo wake na kupenya ndani kabisa ya moyo wake, mwili uli mbadilika rangi ukiwa mwekundu na kuanza kutetemeka kwa hasira sana, midomo ili mcheza na kuji kuta akilia kwa kwikwi pale pale, laiti kama ange kua na bastola mkononi asinge jiuliza mara mbili mbili, ange mfyatua tena ya ubongo ili amuuwe,
“Catherine najua una hasira na mimi, ila naomba usahau yaliyo pita, nakupenda Catherine , tugange yajayo”!
Aliongea peke yake huku Catherine akibaki akimwangalia alivyotaka kumjibu alishindwa sababu alihisi kama kuna kitu kimemkaa kooni kutokana na hasira nyingi kumkaa ndani ya koromeo lake na kusababisha kifua chake kushuka na kupanda juu kwa jazba.
“a…cha..na na m..imi, acha…ana na mimi Toka sitaki kukuona, umeni sababishia matatizo katika maisha y..ngu,, toka Enock”!
Darlington shebby akiwa ndani ya gari alikua ametulia tuli sana, akiwaangalia wawili wale hakua na la kuongea zaidi ya kushuka kwenye gari na kumshika mkono Catherine kisha kumuingiza ndani ya gari,
Kitendo kile hakikumpendeza Enock.
“we una mshika huyu demu una mjua”?
Aliuliza Enock akiwa amemsogelea karibu Shebby akionesha hasira za wazi wazi.
“kwani wewe una mjua”?
“muulize, mimi ni nani”!
“Catherine mpenzi wangu, una mjua huyu”?
“simjui.”!
“ume m-sikia”!
Jibu la Catherine lili kata maini ya Enock na kupata jazba sana. ndani ya moyo wa Shebby alichukulia ule ni ushindi sana, alifurahi sana ila alivyo taka kugeuka na kuondoka alishikwa begani na Enock , alivyogeuka alihisi maumivu makali juu ya pua baada ya kupokea ngumi kali iliyotua yenye uzito, hakukaa sawa alipokea nyingine ya mdomo na kusukumizwa chini pale pale , aliteleza kidogo na kudondoka Puuh!,Kama mzigo kwenye mfereji.
“sipendi dharau mimi, sija wahi kudharauliwa maishani mwangu, nimekaa ulaya miaka mingi sana, wana nijua kule, nime fanya umafia wote .. magenge yote ya kihuni yana nijua kule, mpumbavu wewe,son of a bitch!”
Aliongea Enock akiwa mwenye jazba amesimama , Catherine alishuka ndani ya gari na mbio mbio kumuendea Shebby aliyekua chini kwenye mtaro ameshika pua zake huku damu zikiwa zina mvuja, alimuinua bila kusema chochote na kuingia nae ndani ya gari.
“sikia catherine nikwambie kitu, mimi ndiye nime kutoa bikra yako, najua utarudi tu”
“kwaio ,, bikra ndo nini?, na uliyo fanya hapa sitokusamehe daima, bora nife kuliko kutembea nawewe tena, yaani sahau kabisa toa katika akili yako.. umenielewa Enock”!
“sawa tutaona, mimi na huyo nani zaidi”!
“una maana gani”?
“uta jua tu”
Enock alitembea akiwa na hasira na kuliendea gari lake upande wa pili na kuligeuza kwa mwendo wa kasi kisha kulisimamisha upande wa dereva ambao alikua Darlington Shebby ana hangaika kuwasha gari, ilionekana kabisa ngumi zile zilimuingia vizuri sana!.
“na unisikilize vizuri,huyo demu uta niachia la sivyo natangaza vita nawewe, mpaka naingia kaburini!”
Aliongea Enock na kioo cha gari lake kupanda juu kisha gari kuserereka mbio likiacha vumbi na moshi mwingi pia nyuma yake.
****
“ UNA SEMA IME KUAJE”?
“wenzangu wote wame kufa”!
“ongea kama mwana ume ongea kwa sauti na utoe maelezo yatakayo niingia akilini mwangu, sio una ongea ongea kwa sauti za chumbani, una nitongoza au”?
“ndo ivyo bosi, tulivyo fika pale hatu kumkuta kuna bwana mdogo mmoja aka tuambia kuwa yupo nyumba ya mbele hivyo alituambia tuingie kwenye gari twende, baada ya hapo akatoa bastola yake, akaanza kurusha risasi”
“uzembe huo, mpaka mtu ana toa bastola , wote wame kufa”?
“ndio nina uhakika huo, sababu alikua analenga saiti za kichwani”
“hadi mpwa wangu Sangusangu amemuuwa”?
“ndio bosi”
Yalikua ni mazungumzo ya mzee wa mwasha na mmoja wa majambazi ndani ya gari, ambaye alitumwa kwenda kumteka Sabrina ili amuuwe, kweli alidhamiria kuteketeza uzao wa Wa Ramsey familia yake yote ndipo atakapo ishi .CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
kwa amani kabisa, uso wake ulizidi kujikunja kwa hasira sana na kufanya macho yake yawe mekundu, kumbu kumbu mbali mbali za mke wake enzi zao wakiwa wenye furaha zilipita kichwani mwake sasa na kufanya kama historia,
alimpenda sana mke wake, hilo alikiri ila alivyo kufa na ndipo alipo zidi kupata hasira, alijua ni mtu mmoja tu ndiye aliye fanya ivyo Ramsey.
Kitendo cha kuuliwa kwa ndugu yake pia ambaye alikua ni mmoja wa majambazi kili mfanya azidi kuingiwa na hasira sana .
“huyo aliye wapiga bastola ni nani”?
“ata kua sijui mume wake, ila namfahamu kama sija kosea”
“kivipi”?
“ni mwandishi wa vitabu ana itwa Eymer Kway, ndio nisha mkumbuka, sura yake haiwezi nitoka, ni mtu maarufu kidogo”
“una jua ana poishi”?
“nita pajua”
“nife mimi afe yeye, lazima ajute, nataka nimuuwe mwenyewe kwa mikono yangu, kaingia kwenye vita isiyo muhusu”
Alisema Mwasha akiwa mwenye macho mekundu, kulikua kuna kila dalili ya kisasi ndani ya maneno yake sababu aliongea huku akiwa amejawa na hasira nyingi sana
“tafuta anapoishi leo hii hii kabla jua halija zama, kesho uende na vijana wengine,Nita mpigia Mhaiki awape silaha!”
“sawa bosi”
“anza sasa hivi shuka kwenye gari yangu”
Mwasha kweli alidhamiria kuua hakuona tena haja ya kuishi kitu alicho kipenda hakikuwa tena duniani, ivyo aliona sawa tu kulipiza kisasi, hakuelewa amfanye nini kway endapo ata mtia mikononi mwake leo hii, alichukua bastola yake na kuikagua vizuri kisha kuiweka vizuri kiunoni na kuchanja mbunga.
******
Walikua wamegandana midomo yao wakinyonyana ndimi kama njiwa au makinda ya ndege huku wakishikana shikana maeneo mbali mbali ya miili yao, kila mtu alikua akihema mihemo ya juu juu sana kwa mwenzake juu kochi kubwa la seblen, baada ya kutoka kuangalia sinema, kilicho fuata hapo ni kubebana msobe msobe huku njiani wakiendelea kubigana mabusu moto moto,
Tayari wali fika chumbani na Catherine kutupwa kitandani na Darlington Shebby kisha yeye taratibu kuvua shati lake jeupe na kuuvuta mkanda wa suruali na kuutupilia mbali, hisia zao zilikua mbali sana zilikua katika sayari nyingine ya huba,
Catherine akiwa kitandani aliridhia kabisa hakua na sababu ya kuendelea kukaa na maumivu ya Enock moyoni alijua ile ndiyo itakua njia sahihi ya kumsahau, Alisha aamua tayari kumpenda Darlington shebby na kuamua kumpa mwili wake kama zawadi ya kuokoa maisha yake, alijiona mwanamke mwenye furaha
pengine kuliko wote ulimwenguni , alishaya sahau mambo yote aliyo tendewa kipindi cha nyuma, ili mpasa tu asonge mbele, na maisha yazidi kuendelea.,
Waliendelea kulambana midomo huku Catherine akitoa mihemo puani iliyo hashiria kua yupo katika hali ya utofauti, taratibu Darlington shebby alivua nguo za mrembo huyo ambaye mpaka dakika hiyo hakuamini kama ana enda kumla, hakuamini kuwa bahati ile inge mdondokea alijiona bingwa pengine kuliko vidume wote ,
Aliingiza mkono wake taratibu chini ndani ya sketi ya Catherine na kuanza kucheza na ikulu ya mrembo huyo ambae sasa alikua kesha legea kabisa, taratibu alianza kuishusha sketi yake huku ulimi wake akiutumbukiza ndani ya masikio ya Catherine ,
baada ya sketi ile kutolewa alipanda juu ya blauzi na kuanza kuitoa na kuanza kumnyonya maziwa, ambapo aliya bananisha yote mawili akitumia mkono mmoja kisha kuanza kuyanyonya kila moja kwa wakati wake akitumia ulimi wake alioutoa nje kama kinyonga anaye taka kunasa nzi,
Baada ya muda mfupi wote walikua kama walivyo zaliwa, bado waliendelea kushikana mpaka pale Catherine alivyoloana kwenye ikulu yake, kilicho fuata hapo kili kua ni kuvunja amri ya sita na kumaliza chaga, alipanda juu yake
kisha KUCHUKUA SWITCH socket yake na kuitumbukiza ndani ya mgodi wa Catherine ambao bado ulikua una tundu dogo kutokana na kutokuchimbwa kwa kipindi kirefu au mara moja tu,
ili mpa sana shida Darlington shebby kuingiza MKONGE wake ndani ya mgodi wa mrembo huyo aliye kua mweupe kama theruji ya mlima kilimanjaro, alivyo ingiza MKONGE wake tayari ulibanwa vizuri kabisa na kuhisi kuna joto kali sana na ndo hapo shughuli na miguno kutoka kwa Catherine kusikika.
********
Akiwa ana osha vyombo asubuhi ya siku iyo jikoni asubuhi alihisi kishindo cha geti kufunguliwa, akiwa na tumbo lake kubwa la mimba ambapo ili baki miezi kadhaa ajifungue mtoto, alijizoa zoa ki uvivu uvivu na kuchungulia dirishani ili
kujua kishindo hiko kilitokana na nini, hakuamini alichokiona alimuona mlinzi wa getini akipigwa na kitako cha bunduki na kudondoka chini kisha kuwa ona watu tisa wana ingia ndani,
alihisi tumbo lina muuma sana, alihisi mkojo una mtoka, kway alikua teyari yupo kazini ametoka asubuhi ndani kwake alimuacha mke wake julia na mwanae Natu na mlinzi wa getini peke yao, tayari watu wa Mwasha walisha fika ndani mule na kupiga mlango teke kisha kuingia ndani na kuanza kupekua.
“Natu, usipige kelele kuna majambazi mwanangu, usiogope nampigia simu baba yako sasa hivi atakuya kutu okoa, usilie Natu sawa, usipige kelele, Eeh Baba wa mbinguni utu saidie watu hawa wasitudhuru , Mungu baba ,Mungu baba, onyesha miujiza yako”!
Walikua ndani ya kabati wame jificha na mwanae Natu waliamini kuji ficha ndipo wange okoa maisha yao, alimuomba Mungu baba Wa majeshi atende miujiza sana, huku akitoa simu na kumta futa mume wake Kway hewani ila alivyopiga haikupokelewa alijaribu mara nyingi hali ili kua ile ile, kwa mbali alihisi
watu wakija chumbani kwao walipo jificha na kuingia chumbani na kuanza kupekua pekua, moyo wa Julia ulienda mbio huku kiganja chake kikiwa mdomoni mwa mwanae Natu, akimzuia asipige kelele yoyote ile ndani ya kabati la nguo.
“una uhakika wata kua humu ndani”?
“acha kelele, cheki uvunguni humo,”
“hakuna kitu”
“sasa tuta mueleza nini bosi tukiwa kosa”
“sidhani kama wapo humu, tusepeni, tuta kuja usiku.”
Ili ongea mijitu iyo baada ya kukubaliana kuondoka na kuwakosa, ila mmoja kati ya wale alichezwa na machale na kusita kidogo, baada ya kuliona kabati kubwa la nguo , aliliendea na kulifungua,
“hawa huku, walikua wame jificha kwenye kabati”
Liliongea jitu hilo na wenzake wote kurudi..CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
********
NUSU SAA KABLA.
“simu yako ina ita Kway”
“nani ana piga”?
“WIFE”
“achana nayo, niko bize hapa Hussein Molito, achana na hiyo simu, huyo mwana mke ata nisumbua tu, mimi namfahamu”
“uwezi jua ana shida gani Kway, achana na mambo ya kutype”
“Molito eeeh!, embu tumalize kutengeneza hiki kitabu hapa cha stori , tuki hakiki fasta fasta . tukitoe wiki ijayo, nita ongea nae baadae huyo mwanamke,alafu isitoshe bado mkono wangu hauja pona vizuri hapa”
“kuna kitu nahisi mbona ana piga mfululizo”
“ndo alivyo kaka!”
“sawa hakuna tabu, ngoja basi nimalizie ile stori ya MCHORO WA AJABU ni post facebook, alafu nije nikuelekeze baadhi ya vitu hapo, naona kuna makosa kidogo hapo nahitaji kukurekebisha,”
“poa haina noma”
Laiti kama Kway ange jua simu ile ili kua ya maana kwake wala asinge iacha alimzoea mkewe ni mtu mwenye maudhi au msumbufu sana kwake kila asubuhi,
alijua kua wenda ata kua katika hali ya usumbufu, lakini haikuwa ivyo alikua katika shida kubwa sana, wenda angewahi kupokea simu ile mkewe asingekamatwa na majambazi, uwezo wa kumuokoa alikua nao kabisa.
“TUNA MTOTO WAKO NA MKEO, NJOO NDANI YA MASAA MAWILI UJISALIMISHE LA SIVYO TUNA WAUWA WOTE, USIWA SHIRIKISHE POLISI KAMA UNA MTAKA MKEO AWE SALAMA,! UKIWA TAYARI UTA TUAMBIA. KUMBUKA MKEO NI MJAMZITO, FANYA MAAMUZI YA HARAKA!”
Ulikua ni ujumbe wa kutisha sana na wenye uzito kupita kiasi, moyo wa Kway ulilipuka kama bomu la kombola na kufanya mapigo yake ya moyo yamwende mbio, pengine hata kutaka kutoka nje ya kifua, aliusoma ujumbe ule mara mbili mbili huku akiyatoa macho yake,
Haraka haraka aliweka mkono wake juu ya simu na kutafuta jina la mkewe kisha kupiga namba zile na kuweka simu sikioni,, ila cha kushanganza haikupokelewa, aliipiga tena na kupokelewa na kusikia sauti ya mtoto mdogo wa kike, hakukuwa na haja ya kuuliza ni nani alijua dhahiri ni mtoto wake Natu.
“Mama yako yuko wapi Natu”?
“Dad, naogopa , wana mpiga mama Tumboni. Hatujui tunapo enda Dad”!
“una semaje,? kwani , kwani kwani kwa.. mpo wapi”?
Kway aliongea kwa kiwewe
“Dad Mama ana…,.. halloo bwana kway!”
Ilisikika sauti nzito upande wa pili wa simu sasa.
“naomba, nawaomba sana, muiachie familia yangu, nitawapa pesa mnazotaka”
“hatuna haja ya pesa zako tuna kutaka wewe hapo na mwanamke anayeitwa Sabrina, ndani ya maasaa mawili mje jangwani pale uwanjani uta kuta hiace nyeusi, . hapo uta mpata mke wako na familia yako, maisha yao yapo mikononi mwako, kutokuja kwako ndani ya masaa mawili itamanisha kifo”
“naomba niongee na mke wangu”
“usitujaribu njoo jangwani, ndani ya masaa mawili na Sabrina.”
Simu ile ili katwa na kumfanya Kway ainamishe kichwa chake chini, hakuelewa nini hasa watu wale wana taka kama pesa walikataa, bado alikua katika wakati mgumu sana, hakuelewa amwambie nini Sabrina ili akubali waende.
*****
Enock akiwa baa jioni ya siku hiyo ana kunywa pombe hakuamini watu aliowaona mbele yake walikua ni Darlington shebby na Catherine , walifika na kuketi kisha kuagiza vinywaji, hakutaka kuendelea kukaa pale, alisimama na kuwa fata kwenye meza yao kisha kuvuta kiti bila ya hata kuambiwa akae.
“Wapendanao”!
Aliongea mwenyewe kwa nyodo na wote kunyamaza kimnya . alivyoona vile alimwangalia Darlington shebby na kushika vizuri glass ya bia aliyo fika nayo hapo kisha kuanza kuimimina kichwani mwa Darlington Shebby huku akicheka kicheko cha kebehi, alichukua tena nyingine na kum-miminia tena kichwani,
Kitendo cha kumwagiwa pombe yeye aliki tafsiri kama dharau tena mbele ya kadamnasi, hakuweza kuvumilia , hakutaka swala lile kulilazia damu,hasira zili mpanda na kuinuka kama umeme na kumvaa Enock akitumia bega lake na kumuweka ukutani , alivyoangalia upande wa pili aliona chupa ya wisky na kumpiga nayo kichwani,na kumfanya Enock damu zianze kumvuja nyingi usawa wa uso…
Kway alizidi kuchanganyikiwa aliona dunia sasa ipo juu chini chini juu, mambo yaliyo kua yana mtokea aliona dunia ime mpiga tik taka, aliwaza sana, swala la kumpeleka Sabrina mikononi mwa Watu wabaya bado lili muumiza kichwa chake, lakini licha ya hayo yote alimuwazia sana mke wake Julia ambaye kwa wakati huo alikua mjamzito na mwanae Natu, alizidi kuchanganyikiwa, kuitoa familia yake ilikua ni lazima amchukue Sabrina na kumpeleka kwa watu walio mpigia simu japo kua hakujua wana nia gani nayeye,
Aliangalia saa yake ya mkononi na sasa alikua amebakiza lisaa limoja ilikua ni lazima acha kachue akili yake na atoe maamuzi ya haraka sana.
“LAZIMA niwa shirikishe polisi, siwezi kufanya hili jambo mwenyewe lazima niikomboe familia yangu”
Aliwaza Kway na kutoa simu yake mfukoni kisha kumtafuta RPC Mkumbo, na kumuelezea kila kitu kilicho kua kina endelea haku mficha chochote aliamini kuwa ndiye ata kua msaada wake pekee.
“Kway, kwanza pole sana. Kwa sasa hivi hapa ninavyo ongea nawewe nipo uwanja wa ndege nasafiri leo hii, ila
nitawaachia vijana wangu maagizo yote, ondoa shaka Mdogo wangu, nenda kituoni pale mtafute koplo MWITA “
“ahsante sana mzee wangu nashukuru sana!”
“usijali, nikisharudi wiki ijayo mimi mwenyewe nita lifuatilia swala lako”
“hakuna tabu, safari njema”
“asante”
Simu ili katwa na kway kuanza kujiandaa akimuaga rafiki yake kipenzi au Mtunzi mwenzake Hussein Molito kisha kuingia ndani ya gari na mbio mbio kwenda mpaka kituo cha polisi Posta , hakukua na shida yoyote sababu walijua ujio wake, ivyo kila kitu kili pangwa, nayeye kumtafuta Sabrina kwa njia ya simu.
Alifika mpaka Bunju na kuweka gari nje, mbio mbio aliingia mpaka ndani na kumueleza Sabrina kila kitu mpaka familia yake ilivyo kamatwa.
“kway mimi naogopa”!.CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“kila kitu kipo sawa, sote tutarudi”
“hapana siwezi kwenda Kway”
“una maana gani”?
“nina maana siwezi kwenda, kwani wewe ume nielewaje”?
Kway alizidi kuchanganyikiwa na kuzidi kuchachawa kabisa, aliwaza jinsi alivyo msaidia nayeye kupigwa risasi kwa ajili yake,
“huyu huyu sabrina nili muhangaikia mume wake, na kupigania maisha ya mume wake Ramsey leo hii ana sema hawezi kunisaidia, leo hii namwambia mke wangu ametekwa ana nijibu nyodo, lazima nitumie nguvu, lazima nifanye jambo ili familia yangu niikomboe”
Kway alizidi kuunga unga matukio huku akimkazia macho yake Sabrina, alitoa bastola yake na kumuwekea Sabrina
kichwani hakua na chaguo lingine zaidi ya kufanya ivyo, hakua na chaguo jingine zaidi ya kuchukua uamuzi mgumu.
“inuka sasa hivi kabla sija fumua ubongo wako, siku taka kufika huku, simama Sabrina”
“Kway, kwa kwa kwa kway, tafadhali usifanye ivyo, tuongee tu kawaida, tafadhali shusha bastola yako chini tuweze kuongea”
“sina muda wa kuongea nina nusu saa tu, ongoza mbele”
Macho yake sasa yalisha m-badilika rangi hakuweka tena sura ya mzaha, Sabrina akiwa mbele yeye akiwa nyuma yake waliingia ndani ya gari na kutoka mbio huku Sabrina akiwa ana tetemeka.
“Kway nime kubali, naomba usiniue, najua una hasira..haina haja ya kutumia nguvu na kutoleana bastola, sisi ni kama ndugu tume toka mbali,ulikua rafiki mkubwa wa marehemu Ramsey!”
“ndo una jua sasa hivi”?
“sio ivyo”
“kaa kimnya”
Gari lilizidi kuchanja mbunga huku akifanya mawasiliano na koplo Mwita na kumwambia kuwa tayari maaskari wameshatanda karibu na uwanja wa jangwani ivyo walikua wana msubiri yeye, aweze kuwaambia cha kufanya,
Ndani ya Dakika arobaini tayari alifika uwanja wa jangwani na kuongea na maaskari wale.
“nyie kaeni hapa,mimi ndo naenda na huyu mwana mke, simu yangu ita kua hewani mtakua mnasikiliza nina choongea, nikisha ipata familia yangu mtakuja”
“vijana kaeni mkao wa kula , wewe Mahugu na wenzako mtakaa hapa mimi nitaenda upande wa kule”
Mazungumzo hayo yalitoka kinywani mwa Koplo Mwita wakiwa ndani ya defender kisha maaskari wale kusambaratika sehemu aliyo ambiwa, Kway aliwasha gari na taratibu kuingia uwanjani ambapo kweli kwa mbali aliona HIACE nyeusi ipo kati kati ya uwanja.
“naacha simu hii hewani, kama nilivyo waambia”
“sawa”
Baada ya kuweka simu ile hewani alizidi kusongesha gari mbele, simu yake iliita na kuipokea.
“SIMAMA HAPO HAPO, shuka ndani ya gari fungua milango yote”
Sauti hiyo nzito ilisika upande wa pili wa simu, na Kway kutii amri alifanya kama walivyotaka kisha kusubiri maagizo mengine.
“OYAA JAMAA YUPO NA MAASKARI, ATAWACHOMESHA.”
“KWELI?”
“NIAMINI. MIMI NDIYO NAONGOZA KIKOSI. FANYENI JUU CHINI MSITOE BOKO”
Yalikua ni mazunguzmo kupitia meseji za simu baina na Koplo Mwita na Ngesa mkuu wa kikosi cha watu Wa mwasha, ki upande fulani Koplo Mwita kichini chini huwa ana kulaga njama na majambazi, na kupewa pesa nyingi sana,
ukitaka kuvamia bank au kufanya uvamizi ni lazima uongee na Mwita ili atoe michoro, ivyo tangu ana pigiwa simu alijua fika ni vijana wa Ngesa na kuamua kumpa taarifa zile bila askari yoyote kujua.,
Kway akiwa haelewi hili wala lile simu yake ilipigwa kisha kuiweka sikioni haraka haraka.
“kwa upumbavu uliofanya, tuna muua mkeo, tulikwambia usije na askari, wewe ume kiuka. Sasa ngoja tukuoneshe”!
Kilichosikika upande wa pili wa simu ilikua ni sauti ya bastola iki kokiwa na baadae mlio wa bastola huku akimsikia mke wake akilia kisha tena kusikika mlio wa risasi ya pili na ukimnya kutawala, kwa mbali alisikia sauti ya mwanae Natu akimlilia mama yake!.
Bado alikua ni kama ameganda haamini kile alichokisikia upande wa pili wa simu aliona hiace iliyo kua mbele yake ikigeuza na kutoa mwendo wa kasi sana.
“juliiiaaaaaaaaaaaa, NATUUUUUUUUUU”!
Aliita Kway huku akikimbiza gari lile nakulia kama mtoto mdogo kulikua kuna kila dalili ya kuwa mke wake kesha uliwa tayari.maaskari walifika na Deffender zao na kumtuliza lakini haikua kazi rahisi kwa wakati huo,
alilia kwa uchungu mpaka kutoa makamasi malaini, laiti unge muona hakika unge muonea huruma, sababu alijitupa chini huku akipiga piga ardhi.huku akilitaja jina la mke wake pamoja na mwanae Natu.
Watu walizidi kukusanyika ili wawaachanishe Enock na Darlington shebby ambao walikua teyari wana pigana, Enock akiwa anavuja damu kichwani tayari, baada ya kupigwa chupa kichwani , nayeye alishika chupa ya Castle light na
kuipasua pembeni na kufanya ibaki na ncha kali juu yake, hasira tayari zili sha mpanda, nia yake ilikua moja tu kumchoma nayo tumboni Shebby lakini kabla ya kufanya ivyo watu wali muwahi na kumshika kwa nguvu zote!.
“oya tulia acha ufala, hapa tume kuja kufanya starehe, mkitaka kupigana nendeni huko nje, achene mambo ya kise***, “
Pande moja la mtu lenye miraba minne lili-mshika Enock lili kua lina ongea ilionekana dhahiri kuwa alikerwa sana.
Kwa hasira Enock aliiingia ndani ya gari na kuondoka zake, lakini bado moyoni alikua na kisasi cha kulipa.
Catherine akiwa mwenye hofu moyoni alimchukua Shebby na kuondoka zake, hakua na sababu ya kuendelea kukaa tena eneo lile.
*****
Heather hakuelewa kabisa tabia ya mume wake alishindwa kumuelewa Alisha badilika kabisa, ili kua ni kutoka asubuhi na kurudi usiku sana, na wakati mwingine kuto rudi nyumbani siku mbili, akiwa tayari na tumbo kubwa ambalo lilishaanza kuonekana machoni mwa watu, akitegemea kuwa ata pata ukaribu sana kutoka kwa mume wake lakini haikuwa ivyo, hali ilivyo zidi kuwa tete alishindwa kuvumilia ili mbidi tu apasue jipu na kutoa yale ya moyoni,
Siku iyo Enock akiwa ana jiandaa alimfuata mpaka sebleni.
“Enock mume wangu, alafu juzi hukuniambia ulifanya nini usoni, mpaka ukaweka hiyo bandeji”
“accident,”!(ajali).
Alijibu Enock kifupi bila kumuangalia usoni huku akiendelea kuvaa soksi
“pole, lakini mbona siku izi siku elewi mume wangu,”?
“hunielewi, How”?.CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“ume kua mtu wa kutoka asubuhi na kurudi usiku sana, na hii hali niliyo nayo, sio kama zamani, umenichoka au”?
“ipo siku uta jua ukweli, your days are numbered(siku zako zina hesabika)”!
Enock alizungumza huku akisimama , ki ukweli alitamani kuropoka kila kitu lakini alifuata ushauri kutoka kwa rafiki yake kipenzi Anderson Peter mshenga wake, kuwa asikurupuke sababu hana usha hidi wowote ule, aliamua kuufata ushauri wa rafiki yake huyo.
Heather alimfuata na kumshika shati lake ili asitoke ila alisukumizwa na kupigwa makofi ya shavuni na kudondoka chali juu ya sofa.,bila kujali lolote alitoka nje na kuondoka zake.
*****
Bado mzee Mwasha roho ilimuuma sana kumkosa Catherine alitamani siku moja aje kuwa mke wake, kweli alionesha kila juhudi za kumpenda na kuapa kwa yoyote atakae hisi ana mahusiano nae atakula nae sahani moja ,
bado hakusahau matusi aliyo tukanwa na aliye hisi kuwa ni mpenzi wa Catherine, alipanga kumfanyia kitu kibaya sana, ilikua ni kama fedhea kwake.
“Beatrice mbona una kua hunielewi lakini?”
“sikuelewi nini David”!?
“naomba uwe mke wangu”!
“haya tulisha yaongea tayari David, nina mpenzi tayari, na sipo tayari kumuacha, naomba nielewe tuwe tu watu wa kawaida, isitoshe wewe ni kama mzee wangu”!
“uzee wangu, haujanizuia mimi kukupenda wewe!, kitu gani nifanye ili uamini kweli mimi nina nia nawewe”?
Yalikua ni mazungumzo ya Mwasha akiwa na Catherine kwenye moja ya mgawaha wakila chakula cha mchana siku iyo, Mwasha alibaki kumwangalia mrembo huyo na kukiri kweli ni mzuri kupita kiasi, hakuwahi kuona mwanamke mzuri kama huyo, alikua ni kama malaika kwake,
kichwani kwake alipanga ndoa tu, na kwa kua mke wake tayari Alisha kufa hiyo aliioana ni fursa pekee hata akifunga nae ndoa,
“hapana, siwezi Mr, David!”
“basi fikiria”
“hapana siwezi,nielewe please!”.CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Mwasha bado alizidi kumsisitiza lakini bado aligonga mwamba, ili bidi tu abadili stori na kuendelea kupiga hadithi za kawaida , baada ya hapo waliagana, lakini bado mzee huyo alikua na kinyongo ndani ya moyo wake, Alisha dhamiria kumfanya kitu kibaya kwa yoyote atakae kua na mahusiano na Catherine.
******
MASOMO KWAKE yaliendelea kama kawaida akiwa na maisha mapya ya kimapenzi na Darlington shebby alimuonesha kila aina ya mapenzi, na kumuhaidi kuwa akimaliza masomo yake waweze kufunga ndoa,
Catherine alikua ni mtu mwenye furaha sana,siku hiyo wakiwa na Shebby jioni wakila chakula cha usiku kwenye moja ya mgahawa , Catherine alimuaga na kuelekea msalani,
Ila baada ya kutoka msalani alihisi kitu kama kitambaa kime mziba pua zake na baada ya hapo aliishiwa nguvu mwili mzima na kupoteza fahamu zake,
Baadae alivyo fungua macho yake baada ya kurejewa na fahamu alikua ndani ya gari , pembeni yake aliona sura ya Enock.
“Enock”!
“naam Catherine”!
“una shida gani na mimi lakini”?
“nakupenda Catherine, wala sina shida nyingine”
“ndo unaamua kuniteka”?
“sija kuteka nataka twende sehemu tuka zungumze”
“hapana”
Kabla ya kuoongea neno lingine Enock alitoa gari mbio sana na kuchanja mbuga kwa mwendo wa kasi huku Catherine akipiga kelele nyingi za kushuka,
Gari lilizidi kwenda mbio ila cha kushangaza ghafla mbele yao zilitokea gari tatu na kuwaziba wasitembee, kitendo cha sekunde mbili tayari waliingia watu wanne waliojiziba nyuso zao ndani ya gari la Enock na kumtoa huku wakimpiga kisha kuingia nae ndani ya gari lao na kuondoka zao huku waki muacha Catherine ashindwe kuelewa nini kime tokea, alikua ame pigwa na bumbuazi akishuhudia gari zile ziki tokomea kwa kasi..
“Bosi tunae, tumuuwe au”?
“si ana jifanya kidume, mteseni kisha mumuuwe leo leo”
“sawa mkuu”
Simu ili katwa na kilicho tokea hapo ni Enock kupokea kipigo kikali na watu hao ambao hakujua wame tokea wapi….
Kweli katika maisha yake sasa alimuona Darlington Shebby ndiye mwana ume sahihi kuliko wote, alijuta sana kutolewa bikira yake na Enock, alimuonesha kila aina ya mapenzi shebby, alipokua Catherine humkosi Shebby na alipocheza Shebby basi Catherine yupo kushoto kwake hakika yalikua ni mapenzi ya kipekee ya kama Ali na philimoni., walivyo pita mitaani wengi waliwanyooshea vidole kuna wengine walipendezeshwa na mahusiano yao ila wapo walio wachukia pia.lakini yeye hakujali ili mradi moyo wake uliridhia kuwa na shebby., wana ume waliomsumbua wote
waliwekewa kifua mbele na Shebby, Alisha tengeneza bifu na baadhi ya watu mtani pia, walishataka kupigana hata na visu na kijana wa mtaani hapo aliye itwa Urio.,
Mapendeshee walizidi kupishana kila kukicha na magari ya kifahari waki piga misele ila wakati mwingine waliambulia kutukanwa na Shebby.
Sasa hata wakati mwingine Catherine hakulala hostel alikua analala kwa Darling tonshebby wakila maisha.
“kwaio Yule bwege ndo alikua ame kuteka”?
“achana nae chizi Yule”
“ana itwa nani tena”?
“Enock”
“uli mpa nini Yule mwana ume?”
“tuachane nae, sitaki hata kumsikia ili mradi nipo na wewe ina tosha baby”
Yalikua ni maongezi baina ya Shebby na Catherine wakiwa chumbani juu ya kitanda usiku huo, huku Catherine akiwa kwenye kanga moja peke yake ambayo ili mchoresha umbo lake lililo kua nambari nane.
Hapo hapo alianza uchokozi na kuanza kumkwaruza Shebby na kucha zake kifuani na kufanya jogoo wa kijana huyo aanze kufurukuta ,
Catherine alilijua hilo alitabasamu kisha kupitisha mikono yake laini juu ya gunzi la Shebby, alisha mzoea sasa na wala hakua na aibu kama hapo kipindi cha nyuma!,
Alianza kuchua taratibu BUNZI la Shebby na kuanza kuchezesha mikono yake juu ya kifua cha kijana huyo ambaye kwa wakati huo alianza kuji pinda pinda na kurembua macho yake kama aliye kula kungu ,
Hakuishia Hapo alifika mpaka kwenye chuchu za kifua cha shebby na kuanza kuzi gusa gusa kisha kuanza kuzilamba na kuzinyonya hapo ndipo alikua kama amewasha gari,
.CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“aaah aaaah baby leo tulia ivyo ivyo, sitaki ufanye chochote!”
Alizungumza Catherine huku akirembua na kufanya sasa JOGOO wa shebby asimame namba moja, taratibu alimvua boxa yake kisha kuitupia pembeni na kushika AK 47 ile kwa mkono mmoja ambayo aliiweka sawa sawa na kuanza kuichua taratibu sana,
taratibu aliinamisha shingo yake na kuiweka mashine mdomoni na kuanza kuilamba kimahaba huku akilamba lamba kichwa kama koni yenye ice crim juu yake,
Alimfuata masikioni na kuanza kumnyonya masikio kisha baadae kumfuata mdomoni kisha kunyonya lips za kijana huyo mpaka ndimi zao zilipokutana na kuanza kucheza ndani ya midomo yao,
Walikua tayari wamezama katika bahari ya raha, kila mtu alikua yupo mbali sana kihisia mambo yalienda taratibu kuliko siku zote zilizo wahi kupita,
Huku wakiendelea kulana denda mkono wake mmoja bado ulikua kwenye kombola la Shebby bado anamchua, kweli picha za ngono alizo kua akikesha kuangalia alizi fanyia kazi sana, alikumbuka sana mkanda wa ngono aliokua akiangalia mchana wa siku iyo, ivyo mambo aliyo kua akiya fanya hapo ili onekana dhahiri kua ali pania na wala sio masihara.
Taratibu Catherine aliifungua kanga yake na kuitupa chini na kubakiwa na Chupi peke yake kisha baadae kuivua mwenyewe na kuitupa na kubaki kama alivyo toka tumboni kwa mama yake, Damu ya shebby aliye kua kitandani ili kua tayari imeanza kuchemcha alitamani amrukie mrembo Yule pale pale na kusahau kuwa ndege alikua wake, ivyo hakuitaji manati ya aina yoyote ile,
Alichukua kombora lile na kuliweka mdomoni huku akiwa kama ana chua, alimuomba akae kitako ili kazi ya kulamba KONI iwe rahisi kwake, kweli Shebby alitii kwa kila kitu ili shughuli ianze,
Alizidi kuilamba koni ile huku aikiichua taratibu na kumuona Shebby ana fumba macho alijua fika nini maana yake ivyo alicho fanya ni kusitisha zoezi lile na kumfanya Shebby akunje sura..CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“baby”
“mmmh”
“una fanya nini, endelea”!
“subiri kwanza”
“una nikata stimu mpenzi, nakuomba endelea”
“subiri, usiwe na papara”
Catherine aliendelea na kunyonya koni alivyo ridhika alipanda juu yake kisha kumshika Shebby shingo yake vile vile akiwa ame kaa na kuanza kumlamba midomo yake na kupeana madenda,
Catherine aliji tahidi sana kukizungusha kiuno chake taratibu huku akitoa miguno ya kimahaba ili onekana dhahiri tayari joto ridi lake lipo juu sana kuliko kawaida,
Aliendelea kuka tika huku mara kadhaa akili taja jina la Shebby kuwa aendeleze mashambulizi,Shebby alivyo karibia kufika kileleni Catherine alimpiga kofi la shavu lililo muingia vizuri na kumpoteza netwok,
Aliendelea kukaa juu huku akiwa vile kisha baadae kumuomba Shebby alale chali kisha yeye kukaa juu yake,
“baaa..by nishiii..kee hapooo hapooo”
Alilalamika Catherine baada ya kuonekana alishikwa penyewe, alihisi raha sana baada ya kuanza kutomaswa chuchu zake na kuzidisha nguvu kazi za kukizungusha kiuno chake huku akiwa ana panda juu na kurudi chini na wakati mwingine kutulia mgando,
kweli yalikua MAHABA NIUE , sauti za puani ndizo zilikua zina sikika hapo na wala sio vinginevyo, Shebby alivyotaka kusimama alitulizwa huku Catherine akiendelea na kibarua cha kuka tika juu yake,
Alizidi kukizungusha kiuno chake kisha kumuomba Shebby mdomo na kuanza kunyonyana midomo yao Catherine alimganda Shebby na wote kushikana waking’ang’aniana kama kupe kisha baadae kutulia baada ya wote kufika sawa mlima kitonga,
Wote kwa mbali walikua wame lowana majasho sababu ya mechi fupi iliyo kua ikichezwa. mzima mzima Catherine aliweka kichwa chake juu ya kifua cha Shebby huku akionekana dhahiri ni kama mtu aliye choka au kukimbia kilomita ndefu sana,
“Darlington ,”
“naam Cate”
“nakupenda sana, naomba uni sahaulishe yale yote yaliyo pita nyuma, naomba uwe mwana ume wangu wa mwisho”
“hilo ondoa shaka, nakupenda sana Catherine,sito kutenda habadani”!
“naomba iwe ivyo, nakuamini sana”
“hata mimi pia”
“hauna mwana mke mwingine”?
“sina niamini”
Catherine alisogea mdomoni na kuanza kumla denda Shebby kisha kuinuka na kumpiga kikofi kidogo cha mahaba begani.
“una penda mapenzi wewe”
“saa tu, tena kwa mtoto mzuri kama wewe”
“mmh wazuri wapo mwenge”
“kwenda zako”
“twende tukaoge mpenzi wangu”
“nakuja mke wangu”
“twende bwana, embu amka, kesho nina kipindi asubuhi sana”
Wote walijikokota mpaka bafuni kisha kuoga na baadae kurudi kulala kitandani, aliweka kichwa chake vizuri juu ya kifua cha Shebby huku mkono wake akiwa ameunyoosha na kufanya Shebby mkono wake kutulia juu ya wowowo kubwa la cate kisha kuji funika na kulala.
Baada ya kukucha hakutaka kumuamsha Shebby alicho fanya ni kuingia bafuni na kuoga kisha kuanza kuvaa nguo zake taratibu, aliangalia ratiba ya chuo na kuanza kupanga panga vitu vya kusoma , alivyotoa simu yake alikuta haina chaji ivyo alitembea taratibu na kukuta simu ya Shebby mezani,
Aliiiwasha na kukuta ime lokiwa, alifikiria kwa kipindi kirefu sana akijaribu kubahatisha kuingiza namba za siri ya simu sababu humuonaga Shebby mara kwa mara akiifungua akiingiza namba izo, alijaribu mwishowe kukata tamaa na kuiweka juu ya stuli,
ila alitulia tena na kuishika simu ya Shebby kwa mara ya pili ambae wakati huo alikua ana koroma,alitabasamu baada ya kubahatisha namba za siri.
“BABY MBONA JUZI HUKUNIPIGIA SIMU, NA WALA HUKU TUMA TENA PESA ZA MATUMIZI YA MTOTO, ILE LAKI MOJA ULIYO TUMA HAIKUTOSHA, ISITOSHE MTOTO ANA UMWA , TUMA PESA NYINGINE BABA AZIZ, NAKUPIGIA SIMU HUPOKEI, UKIPATA UJUMBE HUU NAOMBA NIPIGIE KWENYE NAMBA ZANGU, MIMI BATULI”
Ujumbe huo ulioingia aliusoma Catherine, alikua kama amepigwa na butwaa aliishiwa nguvu zote mwilini mwake na kuanza kutetemeka kwa jazba aliuangalia tena ujumbe ule mara mbili mbili,
alimtizama Darlington Shebby ambaye alikua amelala fofofo kisha kuzidi kupekua uwanja mwingine wa meseji na kuzidi kukuta meseji za ajabu ambazo zili zidi kumuumiza moyo wake, wakati mwingine alianza kujutia ni kwanini kashika simu ile,
“SIO IVYO MPENZI WANGU, SASA HIVI NIMESAFIRI NIPO IRINGA KIKAZI, ILA NITARUDI NAKUPENDA SANA BELLAH WANGU!”
Ujumbe huo aliusoma mara mbili mbili ambao ulionekana kabisa ulitumwa na Shebby tena ulienda kwa mwana mke mwingine, alivyo angalia vizuri jina lili seviwa BEKKA . taratibu machozi yalianza kulowanisha mashavu yake, moyo uli mlipuka , alibaki ameganda kama ice crim, alibaki amesimama vile vile huku mwili mzima ukiwa una ganzi sana,alihisi mkuki wa moto ume tua na kumtonesha kidonda chake moyoni ambacho teyari kilianza kukauka ,
Gari nyeusi GX 100 lilizidi kusonga mbele huku ndani yake akiwa amewekwa Enock kwa nia moja tu wampeleke wakamuue, aliye toa kauli hiyo alikua ni baba yake mzazi mzee MWASHA., bila kujua anaye enda kumuua ni mwanae wa kipekee kipenzi, laiti ange lijua hilo asingethubutu kutoa kauli hiyo ya kuwaamuru watu wabaya wamuuwe mtoto wake wakiume ambaye mali zake zote alimuandikisha yeye endapo ata kufa muda wowote ule!.
Kati kati nyuma ya gari alikalishwa Enock huku kulia alikaa jitu lenye misuli na kushoto pia, watu hao walikua na bastola mikononi mwao, mbele alikua dereva akitoa kasi ya ajabu kuelekea Kibaha, alikua kesha pigwa sana na kuvuja damu mwilini, alihisi maumivu mengi sana, ndani ya akili yake alijua kitendo kile alifanyiwa na Shebby. Sababu mara ya mwisho alikua na catherine , hakua na mawazo kua baba yake ndiye anaye mfanyia kitendo kile cha kutaka kumuua,!.CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/Aliya fumbua macho yake taratibu sana huku akiangalia vizuri, mbele yake aliona lori kubwa sana lina kuja , alivyoangalia spidi za gari ilikua ni mia ishirini, kulikua kuna dalili kubwa kua huko aendapo ana enda kuuliwa na wala sio vinginevyo, alili tazama lori lile linavyo kuja kwa kasi, baada ya kulifikia aliinuka kama umeme na kuvuta hendbrek iliyo kua mbele yake pembeni ya gia, na kumpiga dereva na kiwiko cha mkono nayeye kuuendea usukani pale pale na kuuzungusha upande wa lori lile, kili kua ni kitendo cha ghafla sana na kufanya gari lile liingie uvunguni mwa Lori sababu lilipoteza uelekeo wake!,
Kilicho tokea hapo kila mtu alishika kichwa chake sababu ya Lori lile kupanda juu ya GX 100 na kupinduka, ilikua ni ajali mbaya sana ambayo haikuweza kuelezeka hata kidogo, watu walishaanza kujaa eneo hilo wakishuhudia ajali mbaya sana, iliyo sababisha gari ile ndogo kuumia vibaya mno! Dalili za mtu kutoka hai zilikua asilimia mbili kati ya mia. Wenye simu zenye watsap tayari walishaanza kupiga picha zao na kuanza kusambaziana kwenye mtandao huo.!
“oya kuna mtu amepona, duu”!
Aliongea msamaria mmoja wao kati ya wengi waliokua wamezunguka ajali hiyo.
“twendeni tukamsaidie”!
Enock aliya fumbua macho yake na kujaribu kusukuma kiti kilicho kua kimem-bana mguu wa kulia huku akiwa ame umia sana maeneo ya usoni,
Wasamalia walifika na kuanza kumtoa, aliye bahatika kupona ni yeye peke yake majambazi wale wote walipoteza maisha pale pale, gari lili kuja haraka haraka na kumchukua Enock ili awaishwe hospitalini.
*********
“Shebby ahsante kwa uliyo nifanyia”!
Aliongea Catherine huku akilia machozi mengi akitetemeka, moyo ulimuuma sana ., hakuelewa ana mkosi gani, wana ume aliowapenda sasa walimtenda vilivyo, mapigo ya moyo yalimpiga kwa nguvu sana kupita kawaida, midomo ili mtetemeka kwa hasira!,
Shebby aliinuka ila aliambulia kupigwa kofi kali la shavu lililo fanya lilisikike.
“Cate, naomba ujue kuwa nakupenda nisamehe,”
“achana na mimi, kumbe una mtoto, kumbe una wana……”!
Catherine alitoka nje na kubamiza mlango kwa nguvu, alitembea mbio mbio na kutoka nje alita futa piki piki huku akilia machozi na kumfanya muendesha piki piki Yule amhoji mteja wake.
“dada una nini?”
“ hapana ni ni ni peleke CBE”
Safari nzima machozi yake yalikua yaki peperushwa na upepo wa piki piki,alihisi Dunia imemte-nga hakuelewa ata ishi vipi,katika mtima wake sasa aliona kila mwana ume ni mwongo sana aliya kumbuka maneno aliyopewa na Mama yake mzazi juu ya wana ume ni jinsi gani walivyo kua waongo kupindukia,
Tena maneno hayo aliambiwa kua aliyaacha marehemu baba yake Ramsey, yote aliyaona yana ukweli ndani yake kabisa.!
Bada ya kufika CBE ali mlipa Dereva yule pesa yake kisha kuingia hostel, aliji tupa kitandani chali na kuendelea kulia machozi mengi tena kwa sauti nyingi,
“shosti nini tatizo mbona unalia”?
“ni…ache Betty”!
“una tatizo gani, umefiwa”?
“Beti She…bby she..by”!
“amekufa”?
“bora ange kufa ninge jua mo…oooja”
Aliongea akiwa na kwikwi nyingi sana , starehe walizo fanya, uwaminifu aliojitolea, moyo aliyo mkabidhi,na mwili wake alimpa Shebby leo hii ndiyo yalikua malipo, alizidi kulia huku akikumbuka mambo mengi sana yaliyo pita hapo nyuma yake! Aliwa kumbuka wana ume wengi aliowakataa na kuwa tukana kisa shebby.
Beti alikua na kazi moja tu kumbembeleza Catherine na kuhairisha masomo yake siku hiyo sababu hakutaka kumuacha kipenzi chake abaki peke yake.!
******
Bado Kway alizidi kuumiza ubongo wake kufikiria ni wapi familia yake ilipo, hali ya umauti juu ya mke wake vilijenga taswira ya kama picha kichwani kwake, aliona kichwani kwake watu wengi wakiwa wamejaa na kukusanyika nyumbani kwake wakilia sana sababu ya msiba wa mke wake pengine na mtoto wake Natu,
mpaka siku ya tatu hakupokea simu yoyote ile kutoka kwa watu wali ochukua familia yake na kumfanya azidi kutandwa na hofu moyoni alikosa raha ya maisha.
Muda wote alikesha kwenye t.v akiangalia habari akitegemea kuwa angeona au kusikia habari yoyote juu ya familia yake, usingizi kwake ulikua shubiri, hakupata hata lepe la usingizi.
Hakuacha kuwa sumbua polisi juu ya swala lake wame fikia wapi lakini walicho mjibu kilizidi kumuumiza sana kichwa chake,
“tume kwambia iyo tuachie sisi, mbona huelewi kijana!”
“sio ivyo naona kimnya sana”
“basi ndo tuna fanya kazi yetu, ulikua una taka tuwe tuna kupigia pigia simu, tuna kazi nyingi za kufanya, ivyo kua na subira, tukisikia chochote tuta kutafuta”
“lakini titi titi..!”
Simu ile ili katwa gafla alivyo jaribu kupiga haikupokelewa tena. Alijua kivyovyote vile polisi wale hawana tena msaada kwake , alizidi kuumia moyo wake ndani kwa ndani.
Alisikiliza vizuri na kusikia mlango ukigongwa alivyo fungua alimuona Sabrina na Mwanae Catherine wakiwa mbele yake, ilimbi-di atabasamu ili afiche sura ya uzuni aliyo kua nayo.
“shikamoo Anco”!
“marahaba hujambo”?
“sijambo Anco, mbona kama haupo sawa”?
“nipo sawa Cate, nina mafua tu, nilikua nafanya fanya usafi chumbani.”
“pole utapona”
“karibuni, vipi Mama Catherine karibu ukae”
Walikaribishwa vizuri na kupewa juice pale pale,
“Anco anti yuko wapi naona kimnya,cousine Natu yuko wapi, nime mm-si sana, amelala au, Natuuuu”?
Aliongea Catherine huku akiita na kuonesha tabasamu hakuelewa kinachoendelea, hakuelewa maneno aliyoongea yalikua yana uumiza moyo wa Kway, hakuelewa kuwa Natu na mwana mke aliye zoea kumuita shangazi huko walipo wana kula mateso ya ajabu sana.!
Kway machozi yalianza kumlenga lenga hakutaka kulia mbele ya Catherine alicho fanya alisimama na kuondoka zake bila kujibu chochote.
Catherine kupitia kitendo kile alitafsiri kuwa kuna jambo au tatizo kubwa, lakini hakujua ni tatizo gani.
“mama kwani kuna nini?, mbona anco hayupo sawa,sijamzoea mimi akiwa katika hali hii,”
“siku hazi fanani, hata mimi sijui”
Ivyo ndivyo ilivyo kua..CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Baada ya kurudi waliendelea na maongezi na stori za hapa na hapa huku akimdanganya catherine kuwa Anti yake pamoja na Natu wamesafiri hakutaka matatizo yake kila mtu ayajue, hiyo ndiyo ilikua sifa yake kuu aliyokua nayo, walibeba siri nzito yeye na Sabrina pamoja na baadhi ya watu wake wa karibu sana!.
Catherine akiwa amebeba simanzi nzito za kuumizwa na mapenzi ambayo alifanya kuwa siri huku Sabrina na Kway walibeba siri nzito juu ya majambazi walioteka familia ya Kway. Kila mtu alibeba matatizo yake ndani ya moyo wake.
Baada ya usiku kufika ili bidi watoke na kwenda kukaa sehemu ambayo waliamini wange punguza mawazo yao,
Walipaki gari lao nje ya baa ya TECLA ili yokua karibu na ukonga na kushuka, kulikua kumechangamka sana wavulana kwa wasichana , wazee kwa vijana walikuwepo, kwa kua ilikua siku ya jumamosi ivyo sehemu iyo ilijaa watu na magari mengi sana kufurika nje hapo!.
Walifika na kuketi pembeni kabisa na kuagiza vinywaji na nyama choma .
Walikula na kufurahi kwa pamoja!
“nakuja sasa hivi, naenda toilet”
Aliaga Catherine na kuelekea msalani kutoa haja ndogo, alifika na kupandisha sketi yake kisha kuchuchumaa, baada ya kumaliza haja yake alitoa tishu na kujifuta na kunawa wa mikono yake, ila kabla ya kutoka mlango ulifunguliwa hakuamini mtu aliye muona mbele yake, na kubaki akimshangaa sababu hakutegemea, kumuona mahali kama pale tena chooni alikua ni Mzee Mwasha, akiwa ameingia kwenye choo hiko kinachotumiwa na wana wake bila kujali.
“David”!
Aliiita Catherine huku akiweka nguo yake ya juu vizuri ambapo ziwa lake lilikua likionekana , Mwasha alimsogelea na taratibu kumshika kiuno akitumia mikono yake miwili na kumbana ukutani akilazimisha kumnyonya mdomo wake uliokua na lips nzuri tena nyekundu.
“daviiiid stooooop”!
Pembeni ya kitanda chake alisimama Zahara akiwa mwenye majonzi tele sana, aliweka mikono yake shavuni akisikitika, alimtizama Enock aliye kua amelala juu ya kitanda kwa huruma ,Alisha kesha sasa hospitalini hapo siku ya pili mfululizo akimuhudumia Enock, kuanzia chakula mpaka vinywaji , alivyoambiwa amepata ajali mbaya ya gari na wasamalia wema waliompeleka hapo, ila licha ya ivyo Mke wake Heather hakuwahi kuonekana hata siku moja hospitalini hapo,kutokana na ugomvi mkubwa sana
uliyopo kati yake na Zahara ivyo aliapia kuwa hawatosemeshana tena na atakapo kanyaga Zahara kamwe yeye hatoweka unyayo juu yake, kweli hali iyo ilionekana wazi wazi!.
Moyo wa zahara sasa ulianguka kwa Enock moja kwa moja alikua akimpinga sana Heather. Na kulidhia kua na Enock amlinde na hila zote za Heather, ambae sasa alikua akikesha kwa mganga kalumanzila ili apewe dawa nyingine sababu aliamini WAKYOKYO ilishaisha nguvu kabisa.
“Enoock, amka unywe uji jamani, utapoa”
“haaaaaapana, Heather yu…ko wapi, where is my wife?(mke wangu yuko wapi)?”
“amesema ana hali mbaya sana, tumbo lina msumbua ameshindwa kuja”
Alisema Zahara akimtetea , japo kua alikua na chuki nae lakini hakutaka kuweka wazi jambo lile kwa Enock
“si nilikutuma juzi umwambie nime lazwa hapa”
“anajua”
Alisogea zahara karibu yake na kumbusu Enock juu ya paji lake la uso, na kumpa pole. Penzi alilopewa na Enock Mwasha siku chache kweli liliteka hisia zake zote, sababu hakuwahi kufanya mapenzi na kufikishwa kileleni na mwana ume yoyote ile isipo kua Enock, kwake yeye alimuona Nguli wa mapenzi au gwiji kuliko hata mchumba wake Robert, ivyo ilimbidi afanye juu chini amteke kihisia Enock,
mambo aliyo kua akifanya na kumjali Enock alivyokua akiumwa vilitosha kabisa kuonesha mapendo tele juu ya mwana ume huyo ambaye alikua ni mume wa rafiki yake kipenzi Heather.
“pole Enock Mungu ata kusaidia ili upone”
“sawa Zahara, ahsante!”
“HIVI AMEESEMA HII NIMUWEKE KWENYE UJI, KISHA HII KWENYE CHAI ALAFU ANYWE SASA HIVI, ISIJE NIKACHANGANYA MADESA HAPA NIWE MWEHU.!”
Aliwaza Heather akiwa ana endesha gari baada ya kutoka kwa mganga kalumanzila na kupewa madawa mengine makali ambayo yata mfanya Enock aweze kumpenda tena .zilikua ni dawa kali mno zilizoitwa Limbwata ambazo binadamu akipewa na akiambiwa kitu hutekeleza mara moja, hata akiambiwa akakojoe mbele ya mama mkwe hutii amri!.
Alifika mpaka nyumbani na kutengeneza uji na chai kisha kuziweka dawa zile ndani yake alivyo hakikisha kila kitu kipo sawa alirudi ndani ya gari na kutimua mbio akielekea hospitalini ,
Alifika moja kwa moja na kumuulizia haikua tatizo sana alioneshwa chumba alicho lazwa Enock na kuingia na kumkuta Enock amelala kitandani, haraka haraka alifungua chupa ya uji na kutoa kikombe na kuanza kumimina , ila kabla ya kuazna kumlisha alitokea zahara na kuipiga chupa ile ya uji pembeni na kupiga teke chupa ya chai na kufanya vyote vimwagike chini sakafuni! ,
“zahara ni nini unafanya”?
“hujui au, siwezi kukuacha hata siku moja nione una mfanyia vitu vibaya Enock, ngoja nikwambie ukweli nampenda na nina uhakika huo uji unaotaka kumpa sio mzuri, kuna mambo yako umeweka mchawi wewe!”
“we Malaya una semaje, Enock keshafi** mku*** wako sasa umedata sio?”
“utajijua Malaya mwenyewe, mapenzi ya dawa ni mambo ya kizamani”
“halloo hallooo, mimi ndo mke wake wa ndoa sasa, we jichetuee tuu, ila atakuto*** akuache”
“haiusu hiyo, ”
Walizidi kutupiana maneno makali na matusi ya nguoni kisha kila mtu kupandwa na hasira na kuanza kupigana makofi, walishikana shikana na kumuangukia Enock juu ya kitanda aliye kua amelala hajui ana piganiwa na wana wake wawili tena hospitalini, walikuja wauguzi na kuwatoa wana wake hao nje muda huo huo.!
*****.CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Tayari macho yake yalikua mekundu sana yakiwa yamelegea kama mtu aliyekula kungu au mnazi, mapigo yake ya moyo yalimwenda mbio sana hii ni baada ya kushikwa maziwa yake, mihemo ya puani ilimtoka , alihisi vitu kama
utitiri vinatembea ndani ya mwili wake, alikua hajiwezi tena mzee Mwasha taratibu aliupeleka mdomo wake juu ya lips za Catherine na mrembo huyo kupokea vizuri tu!
kisha kilicho fuata hapo ni kulambana midomo yao
Catherine alizidi kuuzungusha ulimi wake ndani ya kinywa cha mzee Mwasha huku akimtekenya kwenye masikio yake na kumfanya mzee huyo am-bebe na kuingia nae choo kidogo huku akiendelea kulamba midomo yake kisha kupandisha sketi aliyo vaa na safari hii alikua ana mnyonya shingo yake, catherine aliya fumba macho yake, hakika alikua dhaifu sana kwenye chuchu zake, hiyo ndiyo ilikua sehemu yake kuu ambapo ukimshika hapo na kwenye ikulu yake ilikua ni lazima apanue miguu yake na kusubiri kinacho fuata,
Alifungua mdomo wake huku akihema mihemo ya huba na wakati mwingine kushika chuchu zake, mwenyewe!.
Mtalimbo wa Mwasha ulikua teyari upo hewani sasa kusubiri kuingia kwenye shimo, alichukua mikono yake na kuipitisha chini kwenye ikulu ya Catherine na kuanza kuishika shika kwa juu, japokua alikua mzee wa makamo ila alijua mambo yale japo sio sana , alishusha chu** ya Catherine kisha kumuweka juu ya chooo cha kukaa na kuipanua miguu yake, na yeye kufungua zipu yake na kumtoa NYOKA wake ila kabla ya kuingiza ili mchezo uanze, simu yake iliita pale pale, aliiitoa mfukoni na kuona jina MHAIKI aliiikata lakini iliita tena, aliipokea na kuiweka sikioni.
“bosi wale watu wame toroka”!
“una semaje Mhaiki siku sikii vizuri”
“bosi Yule mwana mke katoroka na mtoto wake”
“watafuteni, nita kufanya kitu kibaya sana”
Baada ya kukata simu ile alivyogeuka alimuona cate akiweka nguo zake vizuri na kuvaa chup* yake huku akiwa amekunja ndita sura yake huku akihema kwa hasira.!
“nini Beatrice”?
“nini kuhusu nini”?
“sasa tuendelee basi”
“jieshimu,”!
Catherine alitoa misonyo na kuiweka nguo yake vizuri alikua ni kama mtu aliye toka usingizini baada ya kukurupuka tena baada ya jotoridi kushuka na kumfanya ajute kwa kile alichokua akikifanya chooni muda mchache na mzee huyo,
alizilaumu sana hisia zake, alitembea taratibu huku akihisi wenda kila mtu kamuona kwa yale aliyokua akiya fanya chooni mule,
watu waligeuza shingo zao hasa wale walevi waliokua wamesha lewa tayari,
Mzee mmoja alisimama na kumuendea na kumshika kalio lake kitendo kile kilimkera sana, Catherine alimzaba kofi na kufanya mlevi Yule adondoke chini , watu walijaa na kuanza kumzunguka Catherine huku wakianza kumshika shika, nguo zake wakimvuta.
Kway na Catherine tayari walisha fika eneo lile na kuwa pangua pangua watu wale.
“jamani, tuweni wastaarabu kidogo, Catherine njoo”!
Aliongea Kway akiwa na Sabrina pembeni yake
“we cho** nini huyu demu haendi popote una mfahamu wewe?”
Alijibu muhuni mmoja huku akiwa amemshika Cate mkono. Catherine muda wote alikua akilia machozi
“kijana. Hatu fahamiani sawa, kwaio ki ustaarabu tu, naomba mumuachie mwanangu, hili tusiharibiane siku, kila mtu akalale vizuri makwao!”
“huyu tuna ondoka nae, na bwege yoyote Yule hatu fanyi lolote, kampiga bosi wetu”
“naomba mmsamehe”
“embu nenda ku** wewe”
Kway hakutaka kubishana tena alichofanya ni kusogea karibu na kumvuta Catherine, lakini alizongwa na watu, na kufanya shati lake kuinuka kidogo kwa juu na bastola yake iliyokua pembeni ya kiuno chake kuonekana.!
“oya oya oya soo, mzee usalama wa taifa huyu, tusitafute shari ana mguu wa kuku tusepe zetu”
Aliongea mmoja wao na wengine kuanza kusambaratika mmoja baada ya mwingine, na wengine kumuomba msamaha wakijua ni lazima wangelala sero kama sio jela.
*******
Sketi nyekundu ilikua chini juu ya malu malu huku pembeni vikiwemo viatu vya kike na pochi, juu pembeni kidogo
kulikua kuna wallet na viatu vya kiume pia na saa ya dhahabu na tshirt la kijivu na kofia nyeusi,
kulikua kuna kila dalili kuwa waliokuwemo ndani ya chumba hiko walikua wapo kama walivyo zaliwa.
Ilikua haina haja ya kuuliza chochote sababu picha ilijionesha kabis , hata kama ulikua hujui kusoma basi hata taswira ya mazingira yaliyo kua humo ndani ilionesha wazi wazi kua kuna mchezo wa kikubwa una fanyika tena kwa fujo, kutokana na mihemo ya huba iliyo sikika ndani humo,
“En…….ck…… aaaaaaaaashhhhh haaa..po.. niinyooonye iivyooo iv,,,yoo ssssshss aaaaaah”
Sauti ya puani ilisikika kutokea kinywani mwa Zahara ambapo alikishika vizuri kichwa cha Enock kwa mikono yake yote miwili, akikikandamiza juu ya ikulu yake ambayo ilikua na asali juu yake, Enock alikua na kazi ya kulamba asali ile iliyo kua juu yake baada ya kuimimina yeye mwenyewe, alikua akihisi raha za ajabu sana, Zahara alizidi kupiga kelele
huku wakati mwingine akilia machozi hii ni kutokana na raha kuzidi kipimo,!
Enock hakujali kelele zile ndiyo kwake yeye ilionesha burudani na kuzidisha kasi ya kulamba lamba ikulu ile kama mbwa au mbuzi alambavyo maji ya kunywa kwenye bakuli, aliona haitoshi sasa alitumia na vidole vyake kuingiza ndani ya ikulu akiendelea kulamba ikulu hiyo huku akiipuliza kwa mbali mbali sana kama panya aliye kua aking’ata mguu wa binadamu, mambo aliyafanya taratibu sana, alimkumbuka
mwana mke wake wa kizungu Merissa aliye data kwa penzi lake na kuamua kutoroka nae kutoka Florida hadi Miami kipindi wana soma chuoni, alikumbuka mafunzo aliyo mpa ya kumdatisha mwanamke yoyote Yule duniani! Na kucheza na mwili wa mwanamke..CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Leo hii aliamua kufanya komoa Kwa Zahara ambaye sasa alibadilika rangi na kuwa mwekundu, aliupandisha mkono wake mmoja mpaka juu ya ziwa la Zahara na taratibu kuanza kubinya binya chuchu za zahara taratibu sana huku akiendelea kulamba lamba ikulu ile iliyokua haina hata jani moja, wakati mwingine alikua ni kama anainyonya kabisa huku akipitisha ulimi ndani ya ikulu hiyo na kuvuta kidude kilichofanana na kiharage,
“Ennnnn………..oockkkkkkkkkkkk aaaaaaaaah aaaaaaaaah”
Alizidi kuweweseka Zahara huku akiji pindua pindua kama mtu aliye mwagiwa upupu mwilini, ili kua ni mara ainue mgongo wake mara ajilaze na wakati mwingine kuyavuta vuta mashuka yaliyo kua hapo, kitanda kizima kilikua vululu kwa raha zile,
aliachama mdomo wake huku akizidi kutoa miguno sasa kwa fujo akihema kama bata mzinga au mtu aliye kimbia mbio ndefu, hii ni baada ya kuhisi mwili wake kuna vitu vya raha vina taka kutoka.
“aaaaah Enock Enock Enockkkkkkk baa,…siiii aaaaah”
Tayari alikua ana fika kileleni na kumvuta Enock mdomoni mwake na kuanza kulambana midomo kwa fujo huku akimkombatia kwa nguvu zake zote na kuibana miguu yake huku akitetemeka kama mtu aliyepigwa shoti ya umeme na polisi magereza!
PALE PALE Enock Mwasha aliiipanua miguu ya zahara na kuchomeka KADI yake ndani ya ATM mashine ambayo kadi hiyo ilimezwa vizuri kutokana na utepe tepe uliokuwepo, mambo yalikua mwiii mwaaa! Maji maji yale yalifanya KADI
hiyo ipite ndani kiulaini na kufanya Enock akizungushe kiuno chake taratibu ndani ya mkao wa kifo cha mende huku akiwa masikioni mwa Zahara akiiingiza ulimi wake kwa ndani akiuchezesha kiufundi.
Aliivyoona kachoka aliichukua miguu yake kwa pamoja na kuiweka wima kwa juu kisha yeye kupiga magoti na kuanza kuendelea na mtanange huo, ilikua ni kila baada ya sekunde sita mikao tofauti lazima ibadilishwe na sasa aliwekwa Mbuzi kagoma na Enock akiwa nyuma vizuri kashika kiuno cha Zahara kwa mikono miwili alizidi kushughulika mpaka
Zahara alipofikisha tena round ya pili wakati yeye alikua bado,
hii ni kutokana na kutotaka kumaliza mapema, ilikua kila akifika kumi na nane ana tulia badala ya kufunga goli ana rudisha majeshi nyuma,
Kilicho tokea hapo ni zahara kwenda round ya pili na kumfanya awe mwekundu Enock alilijua hilo na sasa alizidisha kasi ya mpira alikimbia mbio mpaka ndani ya boxi na kuachia shuti kali sana na mpira moja kwa moja kuingia nyavuni na kushinda bao moja!,
Alitulia kidogo na kuji tupa kitandani chali huku zahara nywele zake zikiwa tim tim hoi bin taabani amelala kifudi fudi.!
“Enock”
“Zahara”
“ulikua wapi muda wote”?
“marekani”!
“sina maana hiyo”
“kumbe”?
“ulikua wapi, mpaka rafiki yangu aka kuwahi”?
“I don’t know(sijui)”
Alijibu Enock huku akitizama juu ya paa, bado picha ya Catherine ilipita ndani ya moyo wake, alijua ni kiasi gani alikua ni mtu mwenye dhambi nyingi kuliko binadamu mwingine yoyote yule, Alisha pona sasa na hali yake kurudi kama kawaida lakini mguu wake ulikua haujapona vizuri.
“alafu nikwambie kitu”?
“nambie”
“nataka leo ukasha shuhudie mwenyewe, ukamuone mkeo Heather ana yoyafanya, nili msikia akiongea na mtu kua leo ataenda kwa mganga”
“sasa hivi”?
“jana alikua akiongea kwenye simu, ila yeye hakuniona”
“sasa itakuaje”?
“twende tukaoge, rudi kwako alafu njoo unipitie Mwenge pale nita kupigia simu ila usioneshe hali yoyote ya kumfanya agundue”
“fine, twende tukaoge”
Waliingia ndani ya bafu la hoteli hiyo na kujimwagia maji kisha baada ya hapo waliingia ndani ya gari na kuondoka zao kisha kumuacha Zahara karibu na kwao kisha yeye kurudi nyumbani kwake asubuhi hiyo,
*****
Heather Alisha ona ni kawaida sasa tabia ya Enock kulala nje lakini hakushughulika nae tena, alicho jali yeye sasa hivi ni kupata mali za Enock, alijiandaa asubuhi hiyo na kujipaka mafuta vizuri na kuchukua funguo za gari mezani kwa safari moja tu kwa mganga kalumanzila ili ampatie dawa nyingine ambayo itakua na nguvu kuliko ile ya mara ya kwanza,
Alishuka ngazi za nyumbani hapo ila alishtuka baada ya kumkuta Enock akiwa amejitandaza juu ya sofa la seblen akiwa ameshika Remoti kubwa ya DSTV akiangalia taarifa ya habari CNN .
“habari za utokako”?
“salama”
“naomba pesa naenda clinic”!
“kiasi gani”?
“laki tatu”
Enock aliinuka kidogo na kutoa wallet mfuko wa nyuma kisha kuhesabu pesa na kumkabidhi ambazo zilizidi kiasi, licha ya kumpa pesa zile lakini ndani ya akili yake Alisha jua ni wapi mke wake Heather anapokwenda na kujifanya fala au bwege. Ambaye hajui lolote lile.
“laki tano izo, kuwa makini barabarani wife, usisahau kufunga seat belt, au nikusindikize?”
“ooh no no no hapana usijali wacha niende tu mwenyewe pumzika baba”,
“okay nice trip, take it safely”.CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Alijibu Enock na kumtizama mke wake ambaye alikua na tumbo kubwa akitoka nje alisimama dirishani na kuhakikisha ametoka nje kisha yeye kutoka nje na kuingia ndani ya gari jingine na taratibu kuanza kumfuata nyuma nyuma, alichukua simu yake na kumtafuta Zahara ambae tayari alikua Mwenge Sheli akimsubiri,
Ndani ya dakika kadhaaa alikua teyari Mwenge na ZAhara kuingia ndani ya gari huku taratibu wakianza kulifuatilia gari aina ya X trail ambapo ndani yake alikuwepo Heather mke wake.
“usisogee karibu sana ata jua”!
“usijali, ngoja nikae nyuma ya hili lori”
Walizidi kumfuatilia na kuiacha Tegeta bado walikua nyuma yake,
“huyu kapajuaje huku”?
Aliuliza Enock huku akimtizama Zahara lakini hakujibiwa kitu, waliiacha lami kisha kuingia barabara ya vumbi wakiwa makini macho yao kodo wakilifuatilia gari lililokua mbele yao, walipandisha milima na kushusha mabondeni!,
“mafuta yanaisha”
Aliiongea Enock akimtizama Zahara ambaye alionekana nayeye kuchanganyikiwa kweli baada ya muda kidogo gari lilizima kutokana na mafuta kuisha ndani ya gari, wote walishuka wakishuhuudia gari alilokuwemo Heather likizidi kupanda mlima, huku likiacha vumbi jingi kwa nyuma.
“sio mbaya kuna njia huku shoti kati Enock”
Walifunga milango ya gari na kuanza kuingia ndani ya kipori chenye miti mingi na miiba mingi vile vile, walitembea ivyo ivyo.
“nawewe ulipajuaje huku”?
“Enock twende bwana,”
“siendi nijibu kwanza”
“shida tu Enock ndo zilinileta huku”
“kwaio nawewe mshirikina kama mwenzio si ndio”?
“hapana sio ivyo, nilikua nikiwaleta marafiki zangu ili wanipe ela, ki ukweli pia hata mimi zamani nilikua na mambo haya kwenye mapenzi, lakini niliona hayana maana, nika achana nayo, naomba unisamehe”
“una ona sasa mpaka najitoboa na miba kichwani,”
Walizidi kutembea na kupanda milima na wakati mwingine Enock aliteleza na kudondoka puuh! Lakini walisonga mbele waliruka mto mdogo wa maji, na kwa mbali waliona gari la Heather, ilimaanisha kuwa wali karibia kufika sasa, walizidi kutembea kisha kuona kibanda cha nyasi huku juu yake kukiwa na kitambaa chekundu juu yake na kujua teyari wamesha fika.
“unaona kile kibanda, ndio pale Enock, ”
“mimi naenda”
“sasa utafanya nini”?
“subiri uone”
Walitembea taratibu huku wakitokea nyuma ya kibanda hiko kilicho zungukwa na majani mengi sana. Alichosikia Enock hakuamini pengine alidhani masikio yake yana mdanganya, alisikia mke wake akilia sauti za mahaba ndani ya chumba hiko , kulikua kuna kila dalili ya kuwa mke wake alikua akifanya mapenzi na mganga huyo,
alizidi kupiga hatua kwa hasira kisha kukifikia kibanda kile na kuvuta shuka lile, hakuamini alichokiona na kubaki anayatoa macho yake mbele ya watu aliowaona wakifanya mapenzi, alimtizama mganga Yule jinsi alivyo kua mchafu kama chizi,manywele marefu na mwenye ukurutu mwilini mwake, ungemuona ungetoa mbio sana akiwa juu ya Heather mke wake, huku Heather aliye kua chini yupo uchi wa mnyama akifanya nae mapenzi, alihisi kichefu chefu kikali sana hasa baada ya kujua kuwa alikua akishea UKE mmoja na mtu mchafu kama Yule.
Alijikuta kaingia mzima mzima mpaka ndani ya kibanda kile bila kujali na kumuinua mganga Yule kwa kumshika manywele yake kisha kumtupa pembeni huku akimshambulia na mateke, hakua yeye wakati huo alikua amejawa na hasira sana, alimfuata Mganga na kumtandika ngumi iliyo mpeleka mpaka chini chali akiwa vile vile uchi wa mnyama.
Alimgeukia Heather ambaye alikua kama amechangayikiwa baada ya kumuona Enock mahali pale na kumzaba kofi zito lililomfanya arudi nyuma kabla ya kukaa sawa alimpiga kofi aina ya kelbu na kumzaba kofi lingine na kumfanya adondoke juu chali. Kitendo cha sekunde sabini Heather na Mganga Yule walianza kuvuja damu.
“umekosa nini ku*** la mama yako, umekosa nini, ku** wewe, Malaya una kuja unato*** na waganga yaaa…”
Enock alikua akitetemeka kwa hasira sana, hakuwahi kukasirika na kutukana matusi ya nguoni kama yale machozi ya hasira yalimlenga lenga,
moyo wake ulimwenda mbio, na kufanya kifua chake kupanda juu na kushuka akihema kwa jazba nyingi!, alikunja ngumi na kumtwanga Heather ya mdomo alimvuta na kumtupa upande wa pili.
Alisogea kwenye vibuyu vilivyokua pembeni na kuvipiga teke kisha kumuendea mganga na kuanza kumtwanga vichwa.
“nita kugeuza uwe kunguru kijana, embu wacha wacha wacha!”
Mganga Yule alifoka na kuanza kuchukua vibuyu huku akiongea maneno yasiyo eleweka ila Enock alikipiga kibuyu kile teke na kuanza kumshambulia Mganga Yule, alivyoona hali ile isha kua tete kwake alibeba nguo zake na kutoa mbio ndefu,
Zahara alishafika tayari na kuanza kumshika Enock ambaye alikua akimpiga Heather kwa hasira ila alitupwa pembeni nayeye kupigwa kofi lililo mpeleka chini, hali ilikua isha badilika tayari upepo ulikua mchafu, hasira zilikua ziki mzidi sana Enock na kumfanya atetemeke kwa kitendo kichafu cha kumkuta mke wake akifanya mapenzi na mganga.
“Mume wangu nisamehe uta niua, uta ua mtoto aliye tumboni”
Aliongea Heather akiwa amepiga magoti analia sana.
“fuc*** you, keep quit mother fuc**”
Licha ya kuongea hayo yote bado aliendelea kumpiga Heather ila aliteleza kidogo, kitendo cha Enock kuteleza na kudondoka,
hapo ndipo Heather alipata mwanya wa kushika gauni lake na kukimbilia gari lake lililokua nje, aliingia haraka haraka na kulitia funguo huku akimuonna Enock akija kwa nyuma akilikimbilia.
“leo ata nikoma, bado nina hasira nae, Yule mganga yuko wapi”?
Enock aliongea kwa hasira huku jasho jingi likimtoka laiti kama angekua na bastola angeshaua mtu pale pale, alivua shati lake na kubaki na vest huku akikiendea kibanda kile, aliona kibiriti na kuwasha moto na kuweka juu ya shuka na kibanda kile kuanza kuteketea na moto,.CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“Enock punguza jazba, usichukulie hasira utakua una fanya makosa”
Kwa upande wa zahara alionesha wazi kujuta kwa kitendo cha kumwambia Enock ukweli uliosababisha fujo na kumpiga rafiki yake kipenzi kipigo cha mbwa mwizi,
katika akili yake hakudhani kama mambo yange kua kama ivyo, hakuwahi kumuona Enock akiwa na hasira kama izo aliongea nae huku akiwa mwenye hofu nyingi sana.
“hapana nitamuuwa leo, bora usingenionesha”
“usifanye ivyo”
“nawewe una mtetea”?
“hapana”
“kumbe, au nikuzibue nawewe, kwanza ulisema nawewe ulikua una kujaga huku huyu mganga kakutia”?
“mimi, mimi hapana , mimi nilikataa”
Enock alimkata jicho kali Zahara huku mkono wake ukiwa juu ambapo angeushusha unge mpata juu ya shavu lake. alianza kutembea huku nyuma yake Akiwa zahara na shati la Enock mkononi, baadae walikutana na boda boda na kupanda sababu gari ile waliokuja nayo ilikua haina mafuta, waliliacha na
walivyo fika mjini Bagamoyo walitafuta taxi na safari ya kuelekea kwake kuanza, zahara alishuka Mwenge na Enock kubaki na hasira nyingi kooni,
picha ya mganga yule kizee akiwa mchafu akifanya mapenzi na mke wake Heather vilizidi kujijenga ndani ya akili yake na kuzidi kupandwa na hasira ndani ya moyo wake!.
Alifika kwake na kufungua geti kwa nguvu zote ila alishangaa baada ya kuwaona polisi nyumbani kwake, ila hakuwasalimia aliingia mpaka ndani na kumkuta Heather akilia, alimvaa na kuanza kumpiga tena huku akizidi kumtukana,
polisi wale walifika na kumshika Enock ambaye pia alianza kuwapiga baadhi ya polisi, hakukua na jinsi ya kumtuliza zaidi ya kutumia virungu wakimpiga miguuni na kumfanya akae chini.
“una jifanya bondia, jinga wewe, kwanza una kesi kubwa sana kisheria, alafu una pigana na polisi, umepiga mkeo tena ni mjamzito”
“embu naicheni, nyie wote wase**** niachie nimuuwe kabisa ili mkanifunge kihalali, Heather naomba utoke kwangu”
Enock aliongea huku akipigwa pingu kwa nyuma, cha kushangaza Heather alitabasamu na kumfanya Enock ashindwe kuelewa.
“mpumbavu nini wewe Enock, nitoke niende wapi, wewe ndo utoke, kwani hapa kwako”?
“jinga hili, kumbe lina lelewa alafu lina jifanya kidume”
Aliongea askari mmoja kwa kejeli.
Heather hakutaka kuongea mengi aliingia ndani kisha baadae kutoka na Makaratasi matatu na kuweka mezani.
“MIMI KWA AKILI ZANGU TIMAMU KABISA MBELE YA MASHAHIDI ZANGU NIME MUANDIKA MKE WANGU WA NDOA HEATHER ENOCK MWASHA KAMA MRITHI WA NYUMBA HII
ENDAPO NIKIFA KILA KITU ATARITHI YEYE PAMOJA NA WATOTO WANGU, MIMI ENOCK KWA MKONO WANGU NIMEANDIKA MANENO HAYA BILA KULAZIMISHWA NA MTU YOYOTE YULE “
Maandishi hayo yalisomeka juu ya karatasi hiyo yakiwa na mwandiko wa Enock, Aliitizama karatasi ile kiumakini sana na kuvuta kumbu kumbu za nyuma, hakukumbuka hata siku moja kama alishawahi kuandika kitu kama hiko, alicho kumbuka ni kua alimuhaidi angempa nyumba hiyo endapo atakapo jifungua, bado alizidi kuunga unga vitu kichwani kwake akijaribu kufikiria,
Chini ya karatasi hiyo aliona sahihi yake na kushindwa kuelewa nini kime tokea, moyo ulimwenda mbio na kujikuta anakaa kimnya na kushindwa kuongea lolote, nyumba kubwa aliyoghaarimia mamilioni ya pesa ilikua ikitaka kuondoka kirahisi!,
“Heather”!
“sasa nani atoke, askari mpelekeni kituoni, mumpige kisawa sawa, amenitesa sana, alikua akinipiga kila siku navumilia tu,”
Kwa hasira Heather alisimama na kumtandika Enock kofi la shavu kisha askari wale kuondoka nae na safari ya kituoni kuanza na kumuacha Heather akicheka kwa sauti sana!.
***
Kitendo cha fujo ile kutokea Kway aliamua kuwashika mikono kushoto Sabrina kulia kwake Catherine na kuwapakia ndani ya gari usiku huo bila kuongea chochote kile, macho yake yalionekana dhahiri kabisa ni mtu aliye kereka sana, na kufanya sura yake ijikunje kunje.. aliwasha gari na kuliondosha eneo hilo.
“kwanini umeamua kuniaibisha”?
“abee”!
“hujanisikia, Cate kwanini umeamua kuniaibisha vile, ndiyo nini kusababisha fujo”?
“anco sio mimi,”
“sio wewe nini,? Wakati niliona una msukumiza Yule mzee pale”?
“Anco alinifanyia kitu ambacho kilinikera hata unge kiona usinge kubali mimi nifanyiwe”
“kakufanya ninii?”
Sabrina mama yake mzazi alidakia huku akigeuza shingo yake na kumtizama mwanae
“Mama”
“kakufanya nini, kama sio umalaya wako,?”
“Mama, mimi sio Malaya”
“kaa kimnya, nita kuzabua sasa hivi, muombe msamaha mjomba ako!”
“anco naomba unisamehe,”
“sawa usijali”!
Gari lilizidi kutembea kisha baadae walifika posta chuo cha CBE na Catherine kushushwa chuoni hapo na kway kugeuza gari akielekea bunju ili akamshushe Sabrina kisha yeye akakae baa aendelee kunywa pombe, hakuona raha yoyote ya kurudi nyumbani, sababu kila aliporudi nyumbani alizidi kuikumbuka familia yake iliyo tekwa nyara, ambapo aliamini kua MKE WAKE Julia au Mama Natu ameuwawa kwa kupigwa risasi.
Alimfikisha Sabrina mpaka nyumbani kwake na wote kuingia ndani walipiga stori za hapa na pale kisha yeye kurudi ndani ya gari.!
“nimesahau simu yangu”
KWAY alijisachi mfukoni na kugundua kua alisahau simu yake ndani nyumbani kwa sabrina, alirudi ndani na kufungua mlango, ila aliangalia pembeni kwa aibu baada ya kumkuta Sabrina ametoka kuoga akiwa na kanga moja iliyolowa na kumchoresha umbile lake zuri lenye mvuto wa hali ya juu!.
“nimesahau simu yangu”
“hiyo hapo”.CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Sabrina aliiichukua simu ile na kumkabidhi Kway ila katika kasi ya umeme aliuvuta mkono wa kway na kumuendea mdomoni na kuanza kumlamba lips zake huku mikono yake laini ikiwa nyuma ya shingo yake,
aliendelea kumlegeza Kway huku wakizidi kusogea sogea mpaka mlango wa chumbani na wote kuingia huku wakiendelea kunyonyana midomo yao yaani denda na Sabrina kuzima taa, huku wakizidi kupapasana sehemu tofauti miilini mwao huku wakiwa wamegandana midomo yao, kilicho fuata hapo Sabrina alitupa kanga yake kule na kumvua Kway nguo hapo kila mtu alibaki kama alivyozaliwa na kuvunja amri ya sita juu ya kitanda huku kila mtu akimburudisha mwenzake usiku huo!.
********
“Catherine fanya haraka basi, anti yangu kanipigia simu tumsindikize kituo cha polisi, kuna sijui bosi wake ameshikiliwa, ameniomba nika msaidie kutoa maelezo yeye hawezi”
Alikua ni rafiki mwingine aliye itwa Suzi, walivaa na kumuaga Betty kisha wao kutafuta bajaji mpaka magomeni mapipa, baadae alikuja mwana mke mmoja mnene kiasi na kuwasalimia.
“Anti huyu rafiki yangu anaitwa Catherine, Catherine huyu ndiye anti yangu anaitwa Zahara, au mwite Anti Zuu”!
Baada ya utambulisho huo mfupi waliingia ndani ya taxi na safari ya kuelekea urafiki kituo cha polisi kuanza , Ndani ya dakika kadhaa walikua teyari wamesha fika kituoni hapo Urafiki na kumpa dereva taxi pesa yake ndani ya akili ya Zahara alimuonea sana huruma Enock hakutaka aendelee kukaa kituoni akijua hastaili kabisa,sababu alishakaa siku mbili teyari.
Walianza kutoa maelezo ambayo yalimfanya Catherine abaki kumuangalia Suzi machoni. Zahara alionesha hali ya kua mwenye wasi wasi mwingi sana sababu aliitwa kutoa maelezo ambapo alimuomba Suzi amsaidie kwa niaba yake, kutokana nayeye Alisha muelezea kila kitu.!
“huyu jamaa, jina lake lime nitoka alimkuta mke wake huyo ambae ni Heather kwa mganga wa kienyeji, akifanya nae mapenzi, kwa hasira akampiga vibaya sana kiasi kwamba akampasua na kumuumiza vibaya sana,”
Suzi alizidi kutoa maelezo hayo kiumakini huku askari huyo akimsikiliza kwa utulivu sana kabla ya kuyaandika maelezo yake.
“Beatrice”!
Sauti hiyo ili washtua wote waliokuwemo ndani mule na kumfanya Catherine ageuze shingo yake nyuma na kumuona mzee aliye kua na funguo za gari mkononi mrefu kiasi, alikua ni mzee Mwasha baba yake na Enock teyari kesha fika kituoni hapo baada ya kusikia mwanae kipenzi yupo kituoni, ivyo alikuja kwa nia moja tu kumtolea dhamana.
“Halloo, nani wewe?”
“Kway Mume wangu mimi Julia, njoo nisadie siyuwe nilipo, nimetoroka sijui nipo fasi gani, bananikimbiza!”
“Julia upo wapi,Natu, Natu upo nae?”
“mutoto nipo nae, kuja ni twala basi saa hii”
“wanakuya al… titititi”
Kway asubuhi ya siku hiyo akiwa anavaa shati lake huku kitandani akiwepo Sabrina bado amejifunika shuka sababu ya uchovu mwingi,
Alikua teyari amechanganyikiwa baada ya kupigiwa simu na mke wake, hakujua simu ile imepigwa kutokea sehemu gani,alivyojaribu kuipiga iliita bila kupokelewa kisha baadae ikawa haipatikani, moyo wake ulizidi kwenda mbio na kushindwa kujua ni wapi aanzie ili aipate familia yake, aliamini mke wake huko alipo ana pokea mateso na ana hitaji msaada wake,kama baba wa familia ilikua ni lazima afanye jambo.
“Kway”!
Sabrina aliita huku akikaa vizuri kitandani kiuchovu.
“naam”
“kwanini usifanye kama ulivyofanya kipindi kile ulivyofanya Na Loydah kumtafuta Marehemu Ramsey?”
“enhee nime kumbuka ngoja nimpigie simu jamaa angu yupo I.T anafanya kazi kampuni ya simu ya fabbycom”
Haraka haraka kway alitafuta namba za rafiki yake huyo huku akiwa mwenye mawazo mengi alimuonea huruma sana mke wake,alijua ni jinsi gani alivyo kua akiteseka huko alipo na ujauzito alioubeba ambapo muda mfupi alitakiwa kujifungua, baada ya simu ile kupokelewa upande wa pili kutoka kwa Victor Marton, alimtumia namba iliyo mpigia muda mfupi ulio pita kisha kuambiwa asubiri kidogo, aziingize kwenye kompyuta.
“MWENYE IYO SIMU YUPO TANGA LUSHOTO,
JINA LAKE ANAITWA REHEMA NASSORO”
“ASANTE VICTOR”!
Kway alitoka mbio mbio baada ya kujibu ujumbe ule na kubeba funguo za gari huku akimuacha sabrina akimuita ila hakutaka kumsikiliza, alichowaza yeye ni kuikomboa familia yake iliyokua ikipata sana shida, alitaka jambo lile alifanye mwenyewe bila kuwashirikisha polisi,
alimkumbuka mtoto wake mdogo Natu mwenye miaka mitatu na roho kumuuma sana.aliendesha gari mpaka kariakoo ofisini kwake na kumkuta Hussein Molito.
“kaka niazime gari yako”
“Kway vipi”?
“niazime gari yako, nina dharura”
“embu kaa kwanza”
“sina muda wa kukaa,unaniazima huniazimi, niende kwa khalfani sudi”!
“poa funguo izo hapo”
Kway alimtupia funguo za gari lake kisha kuchukua za gari la Molito na kutoka nje mbio mbio na kumfanya Molito asimuelewe Kway kilicho kua kina mkimbiza.
Aliingia ndani ya landcruser vx na kulitia moto pale pale, aligeuza na nusura amgonge muuza maji aliye kua akiuza maji pembeni yake,
hakujali wala kugeuka nyuma alizidi kukanyaga mafuta kwa lengo moja tu awahi Tanga Lushoto akiamini kua uwezo wa gari lile kukimbia ita mchukua masaa kadhaa kuliko vitz yake ndogo.
ALivuta mkanda na kuufunga vizuri kwa usalama wake huku akizidi kukanyaga mafuta na kufanya gari izidi kuchanganya, aliushika usukani kwa mikono yote miwili akiyatoa macho yake mbele akizidi kutoka mbio.!
Julia akiwa na Natu mgongoni mwake alizidi kukimbia asipopajua ndani ya msitu huo uliokua mzito wenye miti mingi na mabonde makali, huku nyuma yake akiwa anakimbizwa na watu waliokua na silaha za moto mikononi mwao, hakutaka kurudi tena alipo toka baada ya kupokea mateso huko alipo kua ametekwa na watu asio wajua,
tayari alikua kesha choka tumbo likiwa kubwa lime mchosha sana huku akiwa na mtoto wake Natu mgongoni na kuamua kujificha ili akusanye nguvu nyingine,
Kitendo cha kukaa chini ilikua ni kosa kubwa sana la jinai pale pale jitu moja lilitokea na kumkamata na kuanza kurudi nae,.CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“pumbavu,ongoza mbele, sasa ulidhani ungeweza kukimbia na huyo mtumbo wako?”
Julia aliongoza mbele akiwa amesalimu amri, ila alivyo fika mbele alijidondosha na kuinuliwa, katika akili yake alikua na mahesabu alivyo jidondosha alikua ameokota jiwe kubwa bila jitu lile kuona, kama umeme aligeuka na kumtwanga nalo kichwani na kufanya jitu lile lidondoke chini alimfuata na kuendelea kumtwanga na jiwe lile kichwani mpaka alivyo muona katulia anavuja damu,alichuka bastola iliyokua chini na kuzidi kusonga mbele, ilikua ni lazima afanye vile ili aokoe maisha yake na mtoto wake, akiamini kuwa mume wake yupo njiani anakuja sababu Alisha mpigia simu muda mchache uliopita.
“MAMA NJAA”!
Alilalamika Natu akiwa mgongoni, njaa ilishaanza kutafuna kuta za tumbo lake baada ya kukaa masaa mengi bila kuingiza chochote mdomoni,
“subiri tuta kula saa hii hii, chunga kwanza”!
Alizidi kusonga mbele, bila kujua anapokwenda mpaka giza lilipo ingia,
ila kwa mbali alihisi miungurumo ya magari na kuzidi kusogea akiamini kua atapata msaada, alitokea bara barani na kuanza kusimamisha magari ili apewe msaada, haikuwa kazi rahisi kwa gari kusimama katika msitu huo wenye mlima sababu ulisifika kwa kuwa na majambazi, ivyo kila alipopunga mkono magari yalimpita mbali kabisa na kukoleza mwendo,
Alisha kata tamaa akiwa ameshika tumbo lake lililokuwa kubwa lililohitaji matibabu maalumu kwa wakati huo, ila yeye leo hii alikua porini akiteseka na mtoto wake mdogo Natu.alizidi kutembea pembezoni mwa bara bara akiwa amechoka sana.
“BADO KILOMITA 93 kufika Dar es salaam”!
Aliona kibao kilichoandikwa ivyo na kukaa chini, ulikua ni mwendo mrefu sana mpaka kufikia jiji la Dar es salaam
alizidi kuchanganyikiwa na kukata tamaa huku njaa ikizidi kumtesa, Natu alishaanza kulia akilalamika njaa ina muuma pia,
Magari yalizidi kumpita sasa tumbo lilianza kumsumbua la uchungu na kuanza kulia akigala gala chini, PRADO nyeupe ilimpita ila baadae aliliona likirudi kinyume nyume mpaka mbele yake kisha kioo cha mbele kufunguka na sura mwana ume kuonekana.
“Mama una tatizo, mbona upo hapa usiku huu”?
“ndiwo naomba unisaidie kuni fikisha mujini”
“unaenda wapi”?
“Dar es saalam,”
“hata mimi naelekea huko, ingia ndani twende”
Jamaa Yule alifungua mlango wa gari , Julia na Natu waliingia kisha kuondoa gari kwa kasi alimuonea sana huruma, shukrani alizotoa Julia hazikuelezeka kabisa, jamaa Yule aliye jitambulisha kwa jina la Baba Faraji alitoa mfuko wa mikate na kuwa kabidhi wale,
“merci(asante)!”
“wewe ni mtanzania”?
“hapana mimi natokea Congo”
“congo sehemu gani, mimi nimeishi sana Kinshasa pale, nilikua nauza madini ya almasi”
“mimi nime tokea Bukavu”
“sasa huku umefuata nini”?
“nimeolewa na bwana wa kitanzania”
“huku porini ulikua una fuata nini?”
“nili….”
Kabla ya kumalizia maneno yale ulisikika mlio mkubwa mithili ya bastola na kufanya hofu kutanda na gari kuanza kupoteza uelekeo wake, ila baba Faraji alikaza mkono wake na kuliweka gari sawa, ilikua ni pancha ya tairi la mbele na gari iyo kusimama pale pale porini,
*****
BADO KWAY alikua barabarani akiendesha gari akimtafuta mke na mwanae alishaanza kukata tamaa sasa alishuka na kutoa picha ya Julia akiwauliza watu, lakini kulikua hakuna dalili yoyote ile ya kumpata,
Usiku sasa ulishafika na giza totoro kuingia lakini hakukata tamaa aliapia ni lazima arudi Dar es salaam akiwa na familia yake mkononi, akiwa ana endesha gari mbele yake aliona PRADO ya rangi nyeupe imepaki pembeni ambapo kulikua kuna msitu mzito,
mbele yake alimuona mzee wa makamo akimpungia mkono kuwa asimame, alivyoangalia msitu ule aliona una tisha sana na kulikua hakuna usalama,
alipunguza mwendo ili asimame ila baada ya kuweka mkono wake kiunoni alijikuta hana bastola yake na kukumbuka vizuri aliiacha chini ya mto chumbani kwa Sabrina, kwa hofu alikanyaga mafuta na kulipita gari lile bila kujua kuwa Mke wake alikua ndani ya ile prado,
“samahani naomba telefoni yako”
Alizungumza Julia kisha baba Faraji kutoa simu yake, Julia alibonyeza bonyeza namba za simu kisha kuiweka simu sikioni akimtafuta mume wake Kway.
“Uko wapi Julia, uko wapi Mama Natu, upo salama”?
“nipo fasi sijui ipi, nipo salama cheriee”
“kama upo na mtu mpe simu anielekeze mlipo”
Baba Faraji alipewa simu ile na kuanza kutoa maelezo wapi walipo, Na kumfanya Kway ageuze gari lake kurudi alipotokea, lakini baada ya kufika kwa mbali aliona vijana wengine wakiwa na piki piki wamewaweka chini ya ulinzi Julia na baba faraji,
hakua na chaguo lingine zaidi ya kukanyaga mafuta na kuongeza mwendokasi wa gari, aliwa fikia watu walioshika bastola na kuwagonga na kuwafanya wadondoke upande wa pili, aliwasogelea na kupandisha matairi ya gari juu ya vichwa vyao kwa hasira kisha kufungua mlango kutoka nje,
Julia alimkimbilia mume wake kway kama mtoto mdogo ambaye hakumuona mama yake siku nyingi sana sasa alimuona na kumrukia nusura wadondoke chini. Alilia sana na kutokuamini kama amepona,
Kway aliwakombatia wote na kumbusu mwanae Natu na kumuendea mzee aliye kua pembeni akimshukuru sana.,
waliliendea gari la Baba Faraji na kusaidiana kubadilisha tairi, kisha badaae Kway kuchukua familia yake na safari ya kurudi Dar es salaam kuanza, ila alivyokua anaendesha gari alimsikia mke wake akipiga kelele za uchungu huku akilitizama tumbo lake,
Macho yalizidi kumtoka kway baada ya kuangalia mapajani mwa mke wake. aliona damu nyingi ziki mvuja na nyingine kuchuluzika kati kati ya mapaja yake,mapigo ya moyo yalizidi kumwenda mbio, sababu kulikua kuna kila aina ya dalili ya mimba ile kuwa imeharibika!
“Julia, Cherie, Cherie. Mama Natu”
“tumboo, tumboooo , tumbo”!
Alilalamika Julia huku akipiga piga mapaja yake na kuzidi kumchanganya Kway aliyekuwa katika mwendo wa kasi sana spidi mia moja ishirini na kujisahau kuwa anaendesha gari, na mawazo yote kuhamia kwa mke wake huyo ambaye alikua akipiga kelele nyingi sana za uchungu!..CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/-
*******
Mwasha bado hakuelewa kwanini Catherine yupo kituoni pale, bado alichanganua akili yake huku akimtizama cate jinsi alivyopedeza na mwenye mvuto ambao kila mwanaume aliye kamilika ilikua ni lazima umuangalie mara mbili.
“Beatrice,mbona upo hapa kuna tatizo gani,”?
“nimemsindikiza rafiki yangu,anti yake ana matatizo, na wewe je”?
“kuna kijana wangu hapa, ameshikiliwa na polisi nime kuja kumuwekea dhamana”
“pole sana”
“ahsante”
Kila askari aliye muona Mzee Mwasha alimchangamkia na haraka haraka kuanza kujipendekeza kwake sababu walijua lazima angewapa posho,
“namuomba kijana wangu basi”
Kila mtu alikua kimnya wakati huo akimtizama mzee Mwasha hata kwa Catherine pia, askari wale waliachana na Zahara na wote kuhamia kwa mzee Mwasha ambaye alitoa burungutu la pesa na kuwakabidhi askari wale,
Baada ya muda mfupi hawa kuamini mtu aliyetoka ndani akiwa amechakaa hana shati juu yake,akiwa amelowa damu macho mekundu sana, Kitendo cha kumuona mwanae yupo katika hali ile kilimshangaza sana,
Enock kitendo cha kutoka macho yake yalitua moja kwa moja kwa Catherine na kutoamini aliye muona mbele yake, moyo ulimwenda mbio na kuzidi kumkazia macho,
“Catherine”!
“Enock”!
“Enock”!
Zahara na Catherine walijikuta wakiita kwa pamoja jina hilo, Mzee Mwasha alishindwa kuelewa na kubaki kuwatizama wote wawili na kushindwa kuelewa mwanae amemjuaje mwana mke huyo na kumuita jina jingine ambalo yeye hakulizoea.
Ndani ya moyo wa Catherine alijikuta akiumia sana baada ya kumuona Enock akiwa katika hali ile, machozi yalianza kumlenga lenga lakini hakujua kwanini, hakuamini kuwa mtu waliye mfuata alikua niyeye na kufanya ukimnya utawale ndani ya kituo hiko,
kila mtu akishindwa kuelewa nini kinaendelea….
Mbele yake alisimama mzee wa makamo mrefu kiasi mwenye mvi chache sana aliyeitwa Mwasha, pembeni yake alisimama Enock akiwa hana shati anavuja damu,
wote walikua wakimtizama yeye ambaye alikua akitetemeka, aliunganisha matukio tofauti yaliyopita juu ya watu hao wawili waliokua mbele yake na kujiona wenda amefumaniwa,
alijaribu kuvuta kumbu kumbu za nyuma na Enock wakiwa kitandani,alimtizama mzee Mwasha na kukumbuka matukio tofauti waliyo yafanya awali, ilionekana kabisa ndani ya akili yake kuna mengi alikua akiyafikiria juu ya watu hao wawili waliokua mbele yake wamesimama wame duwaa wakimtizama yeye!.
“Dad, ahsante kwa kunitoa”
Enock aliongea na kumsogelea baba yake mzazi aliye kua mbele yake, moyo wa Catherine ulizidi kulipuka na kumdunda, baada ya kujua kuwa Enock na David ni mtu na baba yake, alijiona ni mtu mwenye dhambi sana kuwa changanya , licha ya hayo yote lakini hakujilaumu sana sababu yeye binafsi hakuelewa, lakini pia aliona ni kama wana mchezea mchezo m-baya,
“huyu ni my last and first born wangu, nafikiri mnajuana kama sikosei,”
Aliongea Mzee Mwasha huku akimtizama Catherine machoni ambae wakati huo alikua akitetemeka kwa hofu nyingi sana.
“Nani!.. Enock huyu anaitwa…..”
“asante kwa kumfahamu naomba niende nina haraka kweli,Suzi utanikuta hostel”
Kumbukumbu za kusalitiwa na Enock zilianza kujijenga ndani ya kichwa chake na kufanya kama filamu, mwanaume aliyemfanya atake kukata uhai wake sasa yupo mbele yake,
alishusha ngazi za kituoni hapo na kutafuta bajaji haraka haraka na kuanza safari ya kurudi posta CBE hostel huku machozi yakimlengalenga,
kuwachangaya mtu na baba yake alijiona mwanamke mwenye dhambi, pengine aliuona mwili wake hauna thamani. kutokana na mawazo mengi kuwaza kichwani mwake, ndani ya dakika chache alikua teyari kesha fika posta na kumlipa dereva Yule kisha kushuka kama chizi akitembea haraka haraka,
alivyo fika tu alijitupa kitandani chali akiwa mwenye mawazo sana juu ya mambo yaliyo tokea muda mfupi ulio pita kituo cha polisi!,
Betty rafiki yake kipenzi alikuja na kumuona rafiki yake alivyokua na mawazo mengi, ilibidi amuulize nini kilicho tokea, bila kufikiria chochote ilibidi Catherine aanze kumueleza kila kitu tangu alivyo kua kituoni na kilicho mfanya awaze, badala ya Betty kusikitika alianza kucheka na kubaki akimshangaa na kutoelewa kilicho kua kiki mchekesha rafiki yake huyo.
“cate unajua nini, natamani mimi ninge kua wewe”
“kwanini una sema ivyo”?
“ninge kua mimi hapo ninge mkubali mzee David ili nimkomoe Yule mwanaharamu mpuuzi, ninge mfanya aniite MAMA, yaani mimi nakushauri ufanye ivyo Catherine, iyo ndo habari ya mjini, mwana ume akikuzingua wewe tembea na baba yake ili akuite Mama, ili akupe heshima, tena na Yule Faisal nayeye simuelewi, nitatembea na baba yake”
“huoni itakua hatari, alafu sasa mbele ita kuaje”?
“mambo mengine utajua mbele kwa mbele”
Betty alizidi kumsisitiza rafiki yake huyo ili aweze kumkubali Mwasha na wamkomoe Enock, mawazo ya rafiki yake sasa aliyaona bora, aliona ni sahihi kufanya vile ili amkomoe Enock aliona kufanya vile atamuumiza sana, japo hakua na uhakika kama jambo alilotaka kwenda kulifanya litafanya kazi, ila wakati mwingine aliona ni bora kufanya vile, potelea mbali alitabasamu na kugonganisha mikono yake na Betty na kucheka kwa pamoja kumaanisha kuwa amekubaliana nae.!
****
Ugomvi ulizidi kuendelea maradufu ndani ya nyumba ya wanandoa hawa Heather na Enock,walikua ni maadui wakubwa sana ndani ya nyumba yao kama paka na panya! japo waliishi pamoja lakini hakukuwa na maelewano hata kidogo,
ilibidi kikao kidogo kiitwe cha familia ambacho kiliwashirikisha wazazi wa pande zote mbili mchana huo wa saa nane na nusu.
Mzee Mpelembe na mke wake walitoka mkoani Morogoro kijiji cha Matombo siku hiyo hiyo na kufika nyumbani kwa mkwe wao Enock baada ya kusikia ugomvi mkubwa sana uliosababisha mpaka watoto wao wapelekane polisi, kama watu wazima ilibidi wakae chini waya zungumze ili wajue nini tatizo, !
Anderson peter na Zahara washenga wao, nao walikuwepo ndani ya nyumba kubwa ya Enock,wakisikiliza kesi hiyo!
“wazazi wangu wa pande zote mbili , nime amua kuwaita hapa, ili mjue kwanini nafanya ivyo,kabla sijaongea mimi naomba Heather mwenyewe aongee kila kitu kilichotokea na akiri makosa yake”
Aliongea Enock akiwa ameibana mikono yake yote miwili huku akiwa ameiweka kwenye kidevu chake akiiongea taratibu kwa upole sana..CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Heather aliye kua pembeni yake na tumbo kubwa teyari alisimama na kuanza kulia kwa uchungu wote na kufanya kila mtu amuonee huruma mwanamke huyu mjamzito mwenye tumbo kubwa, kila mtu alimuangalia kwa macho yaliyo jaa simanzi!.
“Enock amenikosea sana, amenikosea sana! Nime mvumilia mengi sana kama mke, ameni….tesa sa…na nampenda sana mume wangu, tangu siku ya harusi yetu hapo mwa,,anzo tuliishi vizuri, ila baada ya kurudi huku sikuwa namuelewa amekuwa mlevi, ana kuja na wana wake ndani,
ananipiga kama mbwa kila siku, mimi kama mke nilimvumilia sana ,akaona haitoshi akaamua kutembea na rafiki yangu kipenzi Zahara huyu hapo, inauma sana walikua wakilala hapa kisha kuniacha mimi seblen nang’atwa na mbu,nilivumilia yote hayo kama mwanamke, sikutaka kumwambia mtu kuogopa kuiweka ndoa yangu mashakani, alafu na kitu kingine kinachoniuma zaidi wananisingizia mimi ni mshirikina na wamenikuta kwa mganga nikifanya nae mapenzi!, alivyo rudi nyumbani siku iyo asubuhi, nilivyo muuliza akaanza kunipiga sana mpaka nika poteza fahamu,….”
Maneno aliyokua akiongea Heather kwa mtu yoyote Yule ambaye aliyemuona aliona ni mwana mke anaye onewa sana na ange muonea huruma sana, mama yake aliyeitwa Chiku alidondosha chozi alijua ni jinsi gani mwanae alikua akipata mateso ndani ya ndoa yake, bila kujua ulikua ni uwongo mtupu,
Mzee Mpelembe tayari alishapandwa na jazba na kumkata jicho kali Enock ambaye kwa wakati huo alikua ameachama midomo yake wazi na kushangazwa na maneno yale kutoka kwa Heather
Ukimnya wa hali ya juu ulitokea ndani ya seble ile huku kwa mbali kilio cha kwikwi kusikika kutoka kwa Heather, kila mtu alimuonea huruma Heather aliye kua akiongea huku akibubujikwa na machozi mengi yaliyofanya mashavu yake yalowe na kuchuruzika mpaka kifuani! .
“wewe mwana haramu, umelazimishwa kumuoa huyu eee, wewe mwana izaya usiyekuwa na haya wala aibu, shwetani mkubwa,,leo hii tunaondoka na mwenetu hajaua sawa”!
Aliropoka mama mzazi wa Heather huku akiongea na kutema chembe chembe za mate mithili ya mvua.
“jamani naomba upunguze jazba Mama,hatujaja kubomoa hapa, tumekuja kujenga, Enock mwanangu usiongee chochote mimi namjua Heather miaka mingi sana, naamini anayosema hapo sina uhakika sana kama anayoongea yana uwongo, sijui lakini, naomba umuombe msamaha ili yaishe,nyie ni wana ndoa hii ni mitihani ya ndoa,Enock wewe ni mwanangu upo peke yako,tabia za marekani usilete hapa Afrika, naomba uombe msamaha sasa hivi, mbele ya wazazi wake”
Maneno hayo aliongea Mzee Mwasha akiwa amesimama.
Enock aliya bana meno yake kwa hasira bado katika akili yake alikua anajishauri ni nini akifanye alimtizama Heather kwa hasira na kuonesha kuna kila aina ya dalili kuwa ni lazima angefanya fujo.
“broo sikia, kubali yaishe, usifanye kitu chochote cha kijinga, jifanye fala tu utaharibu”
Alizungumza mshenga wake Anderson peter kwa sauti ya chini sana huku akiwa ameushika mkono wa Enock uliokua umekunja ngumi huku ukiwa na jasho jingi la hasira na kumfanya atetemeke
“bora niharibu wajue moja nimeharibu kaka kuliko kukaa kimnya underson, this is bullshit, anaongea uwongo huyu!”
“haifai haifai,kama una nisikiliza mimi usifanye ivyo Enock, ona hawa wazee wote wapo hapa, watakupa laana uta muaibisha dingi yako, mwanaume wa kweli mwanzo hujifanya fala, ila baadae huonekana mjanja”
Enock bado alikua na hasira wote walimtizama yeye alipo, wakisubiri aombe msamaha kwa aliyo yafanya, ilimbidi tu asikilize ushauri wa rafiki yake na kusimama, taratibu alisimama na kuongea akiomba msamaha japo kua moyoni aliumia sana kuomba msamaha kwa kitu ambacho hakuwahi kukifanya kamwe!
Aliwaomba msamaha wote waliomzunguka kisha kumfuata Heather na kumkombatia ila ndani ya moyo wake alikua bado ana hasira nae kama simba aliye jeruhiwa na mkuki.
“Enock siwezi kukusamehe, mpaka unihaidi kuwa utakaa mbali na huyu mwanamke shetani hapa, nihaidi mbele ya watu wote hutorudia kutembea nae,”
Alipayuka Heather na kujitoa mikononi mwa Enock huku akizidi kulia kwa sauti kama mtu aliyeonewa sana.
Enock alimtizama Heather na kupepesa macho yake kwa kila mmoja aliyekua ndani mule na kushusha pumzi ndefu sana ya kuchoka alijutia sana kukiri kosa lake mbele ya kadamnasi, sasa aliona ni wakati wa Heather kumpelekesha sana.
Ilimbidi tu Enock akubali yote mbele ya jopo lile la wazee na kufanya roho ya Heather kutulia.
****
Mawasiliano kati ya Mwasha na Catherine yalizidi kuendelea kila siku na kupamba moto mwisho wa siku mzee huyo kufanikiwa kuwa nae kimapenzi, alijiona mshindi sana na ndani ya moyo wake alitaka kufunga nae ndoa hakujali umri wala chochote kile, jambo la kufunga ndoa na Catherine lilikua ndani ya akili yake , lakini hakuona ni jambo la busara kufanya vile bila kumtambulisha mtoto wake Enock kwa mwanamke huyo ambaye atamuita mama baada ya mama yake mzazi Josephine kufariki dunia.
Tayari walikua ndani ya nyumba kubwa ya mzee Mwasha wakimsubiri Enock, ndani ya akili ya Catherine alijua ujio wa Enock siku hiyo asubuhi na mapema akiwa amevalia kimini chake na kufanya kalio lake litokee kwa nyuma na kuchonga kimlima kilichosambaa na kutengeneza hips kwa pembeni, na mapaja yake laini kuonekana, ili mfanya azidi kuwa na mvuto sana,
Enock tayari alikua njiani akiwa na kihoro sana cha kumuona Mama yake mpya, alifurahi sana na kuamini kuwa baba yake atarudi kuwa mwanaume mwenye furaha sana, aliendesha gari huku mara kadhaa akimpigia baba yake akimwambia kuwa yupo karibu kufika, pembeni yake alibeba zawadi kubwa sana ya kuwakabidhi baba na mama yake huyo mpya na hakua na roho ya kinyongo kuhusu hilo,
Bila kujua kuwa upande wa pili, mwana mke huyo ni Catherine mwanamke anayempenda kutoka moyoni mwake,mwanamke ambaye aliye mtoa bikira yake,
Alifika mpaka nyumbani kwa baba yake na kuegesha gari kisha kubeba mfuko mkubwa uliokua na zawadi ndani yake, alifika na kugonga mlango kisha Baba yake kumfungulia mlango akiwa mwenye furaha sana meno yote nje,
“Mamiii”!
Mzee Mwasha aliita na kufanya mwanamke aliye kua jikoni atoke na kumtizama Enock akiwa anatabasamu,!
Moyo wa Enock ulimwenda mbio sana, ndani ya akili yake alitafsiri jambo lile ni kama maigizo kwake ,alipigwa na butwaa huku akitetemeka sana alimuona Catherine akimsogelea baba yake kisha kumshika kifua chake,
“Enock my son, huyu unaye muona hapa utamuita Mama, nimekaa muda mrefu sana nikiwa mpweke mwanangu, nimeona huyu binti japo ni mdogo wa makamo yako ila ndiyo chaguo langu, naomba umuheshimu kama unavyoniheshimu mimi,au kama ulivyokua ukimuheshimu marehemu Mama yako”
Maneno aliyokua akiongea Mzee Mwasha hayakuonesha aina yoyote ile ya kuwa na masihala ndani yake, kila aliloliongea alilimaanisha, sababu alikua amemshika kiuno Catherine huku mikono ya Catherine ikiwa ina chezea kifua cha mzee huyo, bila kujua maneno yale yalikua yakimchoma sana Enock ndani ya moyo wake, lakini Catherine alishaligundua hilo,!
“Enock, kuanzia leo utaniita Mama kama alivyo sema baba yako,”
Aliongea Catherine bila utani akiwa mkavu bila kucheka na kumtizama Enock machoni huku mkono wake mmoja ukiwa juu ya kifua cha Mwasha kisha kumbusu mdomoni..
.CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Mambo yanayo tokea mbele yake siku hiyo hakuyaamini, maneno yaliyo tamkwa na baba yake yalimchoma ndani kabisa ya mtima wake, mwanamke huyu aliye simama mbele yake, aliye mpenda kutoka moyoni mwake, ambaye alishawahi kuwa mpenzi wake siku za nyuma sasa ana mahusiano ya kimapenzi na baba yake mzazi,bado alikuwa amepatwa na ngekewa akiwa tizama watu waliokuwa mbele yake kimahaba tena wakinyonyana midomo yao, alitizama chini kwa aibu na kutoelewa ni nini akifanye, akili yake ilicheza kama umeme na kujua yale ni malipizo kutoka kwa Catherine na wala sio vinginevyo,
“Nashukuru kukufahamu Mama!”
Ilibidi aitikie ili baba yake asihisi chochote kitu, ilikua ni lazima afanye mambo taratibu ili kurudisha mapenzi kwa msichana huyu Catherine ambaye alikua chaguo la moyo wake, lakini sasa hivi baba yake alimwambia amuite Mama,haikuwa kazi rahisi hata kidogo !
Catherine alimtizama Enock machoni na kumuona jinsi gani alivyokua anaweweseka, alijua ni lazima atakua ameumia moyoni, kwake yeye swala lile lilikua ushindi tosha na kufurahi moyoni mwake bila kujua kuwa anafanya mambo ya hatari,
Mzee Mwasha hakuelewa nini kinaendelea kati ya Enock na Catherine hata kidogo aliwaacha na kupanda ngazi na wawili hao wakiwa wanaangaliana.
“stop acting crazy, what are you doing Catherine?(acha uchizi,sasa una fanya nini)?, unadhani nitaumia wala siumii I don’t care(sijali)”
“kwani una taka nini Enock, nieshimu mimi mama yako.”
“ishia hapo hapo koma, wewe ni mpenzi wangu tena bado nakupenda”
“umechelewa sasa Enock, sahau yaliyo pita ndo ukweli huo, na baba yako anataka kunioa”
Walizungumza kwa sauti za chini chini sana kama waliopanga kuiba kitu, pale pale mzee Mwasha alitokea huku akitabasamu kwa furaha na wote kumgeukia na kumwangalia sababu ilionesha alikua na jambo ambalo alitaka kuongea.
“Enock mimi na mama yako tutaenda Brazil, wiki tatu zijazo nimeongea na Benja Ngowi, sasa nilikua naomba usisamie kila kitu hapa nyumbani”
Hakujua yale aliyoyaongea yalizidi kuukoroga ubongo wa Enock na kumfanya azidi kuchanganyikiwa akili yake.
“Samahani Mr. mkeo kwa bahati mbaya ujauzito aliokua ameubeba umeharibika kutokana na kupata mishtuko mingi tofauti,
ivyo ilipelekea ukuta wa uzazi kupasuka kabla ya siku zake. Ina bidi tulisafishe tumbo lake mapema, pole sana”
Maneno hayo yalichomoka kutoka kinywani mwa Dokta huyo kama mishale ya moto na kupenya ndani ya moyo wa kway, alikua ameketi huku machozi yakimlenga lenga alimtizama daktari Yule na kuvuta kiti kwa nyuma bila kuongea chochote, alitembea mpaka wodi alilolazwa Julia na kukaa pembeni ya kiti huku akimtizama mke wake kipenzi kwa macho yaliyo jaa huruma.
“unaweza kuwatambua watu waliokuchukua ukiwa ona sura zao”?
“tumuachie Mungu tu Mume wangu, tutapata mtoto mwingine, nashukuru Mungu nipo Bien,hayo ya pembeni tumuachie yeye Muweza wa yote”!
Aliongea Julia akiwa juu ya kitanda hiko ndani ya hospitali ya wilaya ya Tanga mjini, licha ya kuongea maneno hayo lakini Kway hakutaka kukubaliana na hilo, bado alikua na kinyongo dhidi ya watu wabaya waliofanya unyama kwa mke wake mpaka kupelekea ujauzito wake kuharibika kabisa,
alisimama na kumuendea mtoto wake Natu kisha kumbeba mikononi mwake hakika aliipenda sana familia yake na kuhakikisha kuwa atailinda mpaka siku ya mwisho atakapo fukiwa mavumbini.
Kadri siku zilivyo zidi kwenda ndipo hali ya julia ilizidi kuwa sawa, madaktari walisha msafisha tumbo lake na kurudi katika hali ya kawaida,
waliruhusiwa na kuanza safari ya kurejea jijini Dar es salaam,
Kway alionesha mapendo yote kwa mkewe sababu kipindi hiko ndipo alipo hitaji faraja pekee kutoka kwa mumewe na ivyo ndivyo alivyo fanya na upendo kuongezeka mara dufu,siku zilienda sasa na mke wake kurudi katika hali ya kawaida akiendelea na majukumu yake ya biashara,
Siku moja kway akiwa ofisini kwake alipigiwa simu na Sabrina kuwa ana hitaji kuongea nae, ni mazungumzo ya muhimu sana, hakukua na haja ya kipingamizi, alifika mpaka ofisini kwake kariakoo TRANSCONTINENTAL PUBLISHERS na kukaribishwa mpaka ndani kisha kuketi mbele ya kiti kilicho kua cha wageni.
“nambie Sabrina una mpya gani leo”?
“Kway, sizioni siku zangu nilienda hospitali jana kupima nikakutwa nina ujauzito”
“sasa mimi sina kipingamizi chochote kile, ina kubidi ukae na huyo baba wa mtoto muongee, mambo mengine sio mpaka uniambie mimi Sabrina,ni wakati wako wa kutafuta maisha yako,Ramsey Alisha fariki tayari hakuna jinsi nyingine ya kufanya mimi sioni kama una kosa hapo”!
“kway huja nielewa kitu kimoja,”!
“kitu gani tena”?
“nina wasi wasi mkubwa sana kuwa hii mimba ni yako, siku ile tulivyo lala wote nilikua katika siku mbaya za kushika mimba”
Kway aliya toa macho yake akimtizama Sabrina aliyekua mbele yake, jasho jembamba lilianza kumtoka japo kulikua kuna kiyoyozi ndani ya ofisi hiyo,
“embu acha mambo ya masihala masihala bwana, mimba hiyo ina ingia ingiaje siku moja?, alafu kumbuka mimi ni mume wa mtu, nina familia”
“kwani mimba ina ingia siku ngapi,usijifanye mtoto Kway, nimekuja hapa ili tujue tuna fanya nini, nina uhakika hii ni yako sijawahi lala na mwanaume yoyote kwa kipindi kirefu zaidi ya wewe”
Maneno aliyokua akiongea Sabrina hayakuwa na utani ndani yake kabisa, Kway alionesha kuchanganyikiwa sana hakutaka jambo la kuzaa nje ya ndoa yake litokee. Alijilaumu sana kufanya tendo la ndoa na mwanamke huyo alizilaumu sana pombe, aliamini kua endapo angekua sawa siku iyo asinge kubali, alibaki akimtizama Sabrina machoni.
“nita mueleza nini mke wangu Julia, kwanini usiitoe?”
“sitaki kupata dhambi kway, siwezi kuitoa,tutafute njia nyingine hapo lakini sio ya kuua, ni dhambi kubwa.”
“sasa umekuja hapa kufanya nini?, umekuja kuniambia kuwa una mimba au umekuja kutaka kujua tuna fanya nini”?
“vyote vyote”
“ujue usiichanganye akili yangu, hapa ilipo ina mambo chungu mzima!”
“nakuchanganya vipi sasa,mimi ndo ivyo Kway,”
Aliongea Sabrina kwa kujiamini sana,
******
Mzee Mwasha tayari Alisha fika uwanja wa ndege huku pembeni yake akiwemo Catherine pamoja na Betty rafiki yake kipenzi wakisubiri shirika la ndege la Fly emirates ili waanze safari yao, kushoto kwake alisimama mzee wa makamo mwenye mvi chache aliye fahamika kwa jina Benjamin Ngowi,
alikua ni tajiri aliyekua na maduka mengi sana hapo kariakoo alikua na kampuni ya kutengeneza viatu iliyoitwa NGOWI LEATHER GOODS ,
hakuna asiye mfahamu mzee huyu wa kichaga aliye kua pia na maduka MWIKA,ROMBO MKUU mpaka kibororoni na machame pia lakini kuiona elfu kumi yake ilikua ni kazi kubwa alikua mbahili mno!, alikua ni tajiri na ndiye huyo pia alikua mwenyeji wa huko nchi ya Brazil,.CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“kama nilivyokwambia Dear, huyu ni rafiki yangu nili soma nae Marangu lakini baadae akaenda nje ya nchi ni rafiki yangu sana, yeye ndiye aliye nifundisha biashara”
“asante kwa kukufahamu”!
Aliitikia Catherine huku akimpa mkono mzee huyo, Mr, Mwasha nia ya kumpeleka Catherine Brazil ilikua ni moja tu kufanya nae mapenzi katika nchi hiyo kwa mara ya kwanza, alikua na furaha sana moyoni mwake,
catherine na Betty wazazi wao walijua wapo chuoni wakijisomea kumbe walikua na safari ya kwenda nchini Brazil, tena kwa mara ya kwanza kupanda ndege alikua na hamu sana, alikua amependeza mno siku hiyo huku mara nyingi akiwa ana tabasamu na kufanya uzuri wake uonekane mara mia machoni mwa watu.
“Dad”
Sauti hiyo ilisikika na kufanya Mr, Mwasha ageuke, alimuona Enock akiwa na begi dogo amelishika mkononi huku pembeni yake akiwa na marafiki zake watatu wakiwa na mabegi, walionekana kabisa ni watu walio taka kusafiri pia.,
“samahani siku kwambia, namimi nili kata tiketi ya kuelekea Brazil, ili nikafurahi nanyi, hawa ni marafiki zangu, nafikiri tupo safari moja.”
Aliongea Enock huku akimtizama Catherine kwa macho ya kuibia.
“ni vizuri mwanangu , tena umefanya jambo la maana sana”
Aliongea Mwasha huku akiwa na furaha bila kujua ndani ya kichwa cha Enock nini anawaza, kipaza sauti kilisikika kuwa ndege ya Fly emirates ipo tayari ivyo abiria wapande, Enock aliburuza mabegi yake akiwa amevaa kaptula yake nyeupe na kuweka miwani yake nyeusi vizuri machoni,
waliingia mpaka ndani na kugonga mihuli passpot zao kisha kuingia ndani ya chumba cha wasafiri kwa ajili ya ukaguzi wa mwisho,
baada ya hapo tayari walikua wana panda ngazi za ndege hiyo kubwa ambayo baada ya masaa machache ingetua DOHA na kubadilishiwa ndege nyingine,
Enock muda wote alikua akimuwaza Catherine sababu bado alimpenda sana, kipaza sauti kiliwaomba wafunge mikanda sababu ndege inaanza kuondoka,
“Catherine embu tupige selfie hapa moja tupo kwenye pipa, niweke DP”
“umeanza sasa Betty”
“inahusu, watajuaje kuwa nimepanda ndege”
Betty alianza kupiga picha nyingi nyingi na kuweka kwenye mtandao wa watsap akiwatumia marafiki zake.
Taratibu ndege ilianza kutembea kisha kuchanganya mwendokasi na baadae kunyanyuka ikipaa angani, baada ya ndege kuwa hewani Catherine alisimama na kuelekea chooni, Enock alimuona na kumtizama baba yake kama anamuona nayeye kumfuata Catherine kwa nyuma alivyoingia chooni nayeye aliingia.
“Enock una taka kufanya nini”?
“hujui au”
“embu niachie, nitapiga kelele, unataka kunibaka”
“piga tu”!
Enock alimkamata Catherine kiuno chake kwa mikono miwili na kuanza kumlazimisha kumyonya mdomo wake, na kufanya ubishi uanze kutokea, bado Catherine alikuwa mbishi kukubaliana na kitendo anachotaka kufanya Enock.
“Catherine, nakupenda sana, sipo tayari kukuona unatembea na baba yangu labda nikiwa nime kufa,”
“wewe si una mke?”
“I don’t care, una jua kilicho tokea”?
“sitaki kujua”
Enock alimkamata Catherine vizuri na kupeleka mdomo wake taratibu mdomoni mwa Catherine.
“baby”!
Sauti nzito ilisikika kutokea nje ya mzee Mwasha akiwa anagonga mlango wa chooni ndani ya ndege hiyo na kuwafanya waanze kuogopa.
“kwanini uliniua, kwanini umeukatisha uhai wangu?”
“toka, toka unataka nini?,”
“basi namimi lazima nikuue kabla hujataka kufanya mambo mabaya kwa mwanangu, unataka kumuuwa na mwanangu ili uuze hii nyumba hutoweza, mimi ndiye mama yake, nitailinda hii nyumba.. ha! Ha! Ha! Ha! Ha!ha!ha!”
ilikua ni sauti ya Mama Enock akiwa na shuka jeupe mwili mzima akimkimbiza Heather usiku usiku huku akiwa na tumbo lake kubwa baada ya kufika mbele alidondoka kama mzigo, alivyoangalia nyuma hakumuona tena mama Enock aliyekua akimkimbiza!,
aliinuka na kuanza kutembea tena ila mbele alikutana na mama huyo ambaye alifanya njama za kumuua lakini leo hii akiwa anasumbuliwa sana,
Heather alizidi kukimbia kama mwenda wazimu akiomba msaada barabarani lakini kila mtu alimpita wakimuona wenda ni kichaa au mwehu.
“uwii mama Enock anataka kuniuaa, jamani nisaidieni, anataka kuniua jamani, jamani naomba msaada wenu”
Alikua amesimama barabarani akipunga mkono ila magari yote yalimpita na kumuacha pale alipo.
“ha ha h ha ha ha ha ha “
Sauti ya Mama Enock ilizidi kusikika ikicheka huku ikijirudia rudia kama sauti yenye mwangwi ilikua ni picha ya kutisha sana kwake. Kumuona mtu aliye kufa tena, alikimbia mbio mbio mpaka nyumbani kwa Zahara usiku huo huo bila kuogopa kiza hilo totoro, na kugonga mlango alivyofika tu nje, japo kua hakua na uhakika kama atapata msaada kwa rafiki yake huyo ambaye walishagombana sana kisa Enock!
“shosti nakimbizwa”
“na nani”?
“Mama Enock, naomba niingie kwanza ndani, huyo anakuja huyo anakujaaaa uwiiiiii”
Alizidi kuogopa Heather na kumsukumiza Zahara ambaye alikua keshaanza kuogopa sana sababu usiku ulikua ni mnene
“huyo Mama Enock yuko wapi si kesha kufa tayari”?
“ndio, ila ila leo kanitokea nilikua nje pale ya nyumba sa..sa”..CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Upepo wa ghafla mithili ya kimbunga ulianza kupuliza na kurusha vitu vilivyokua ndani seblen hapo na kumtupa Heather pembeni na kumpigiza ukutani ulimchukua tena na kumtupa chini,na kumfanya aanze kuvuja damu mwilini mwake, Zahara kuona vile alifungua mlango na kutafuta njia yake sababu aliona mambo ya ajabu sana.
Josephine au Mama Enock akiwa anavuja damu mdomoni alimsogelea Heather huku akiwa mwenye hasira sana, alimfuata kohoni na kuanza kumkaba Heather.
***
“Mamaaaaaaaaaaaaa”
Alikurupuka kitandani kutoka katika njozi ya kutisha aliruka mpaka kwenye switch na kuiwasha taa, alivyojishika kichwa chake alihisi maumivu makali sana na kuzidi kutetemeka kwa hofu, ndani ya jumba hilo alikua peke yake, Mume wake Enock alimuaga amesafiri kikazi bila kujua kuwa alikua safari moja na Catherine,
Hakupata tena usingizi alikaa kitandani kitako mpaka kuna kucha kisha kumpigia Simu Fredy Kiluswa ambaye alikua akihitaji kununua nyumba hiyo,
aliona ni bora auze nyumba ya Enock nayeye apotelee mitini ili hata kukosa wakose wote kabisa, hiko ndiko kilichokua kikicheza ndani ya akili yake
Mzee Fredy kiluswa teyari alikua akitembezwa ndani na nje ya nyumba hiyo kubwa sana na Heather.
“una uza hii nyumba milioni mia tano”?!
“ndio milioni mia tano”
“Mbona pesa ndogo sana ukilinganisha na nyumba yenyewe,”?
“nina matatizo, mume wangu alifariki ghafla. Alafu alikua anadaiwa bank, hapa nina watoto wanne wana nitegemea, si unajua ni mama wa nyumbani sina kazi, matatizo ndo yana nifanya niuze nyumba, pia kuna magari kama unataka nayo nayauza vile vile!”
Maongezi yalizidi kuendelea na mwisho wa siku walifika tamati na Heather akisubiri malipo ya nyumba ile ili akimbie mbali sana.
“akija Enock atajuta shenzi mkubwa, mimi ndio mtoto wa mjini, yeye si kaishi marekani, sasa mimi ni mtoto wa kigogo mburahati, kafua dafu, ataonja joto la jiwe”!
Aliongea Heather mwenyewe baada ya kuagana na Fredy Kiluswa kisha yeye kuingia ndani na kupanga nguo zake kwa ajili ya kuondoka zake endapo dili lake likikaa sawa, kumiliki milioni mia tano kwake ilikua kama ndoto.
***
“DAD THAT MAN, DAD THAT MAN!”
“una tatizo gani Natu,”?
“Dad that Man”
Aliongea Natu akiwa anachagua viatu na nguo ndani ya GAME mlimani city baada ya kumuona Mwanaume mmoja pembeni yake akiwa anachagua chagua vitu,
alijificha nyuma ya baba yake Kway na kuonekana akiwa mwenye hofu sana, alimchukua mwanae kisha kumbeba upande wa kulia na mkono mmoja.
“Dad that Man, Dad he is the one, Dad that MAN!”
Bado Natu aliendelea kusisitiza huku akisonta kidole kwa mwanaume aliye kua mita chache mbele yao, Kway alimuangalia mtu huyo huku akimkazia macho na kumuona kama aliyekua na wasiwasi baada ya kugonganishana nae macho, kweli hata yeye alimkumbuka alikua ni koplo Mwita, ambaye kipindi cha nyuma ndiye alikua ana msaidia kutafuta familia yake,
ilionekana kabisa mtoto mdogo NATU alikua akikumbuka kitu kibaya sana sababu alificha sura yake na kuanza kulia, kupitia macho ya mtoto wake aligundua kuna kitu ndani yake,lakini hakujua ni kitu gani.
Alivyoangalia tena upande alipokua amesimama koplo Mwita hakumuona tena na ndo hapo alipoanza kumtafuta ndani ya supa maket hiyo akiangaza huku na kule.
“oyaaa Ngesa kale katoto nimekaona, ndio ndio , Yule uliye mteka na mtoto wake, kanijua nielewe basi, isha kua soo kubwa, ndio nakusikiliza. Ndio ndio, enhee, nisikilize fala wewe, yupo na baba yake nadhani, . Kale katoto inabidi tu tukaue sababu ndiye peke yake aliona sura yangu.fanya ivyo sasa, mimi nitaseti mipango subiri. Okay poa poa”.
Aliongea Koplo Mwita kisha kuingia ndani ya gari na kuchapa mwendo, Alisha gundua teyari mtoto mdogo Yule aliikumbuka sura yake,
ivyo ilikua ni lazima afanye jambo ili apoteze ushahidi huo ambao unge muweka jela kwa kosa kubwa sana. Ivyo ilibidi afanye mambo taratibu sana kama kamanda wa polisi kwake swala lile lilikua dogo sana.
Kwa mbali aliona gari la koplo Mwita likiishia getini na kumshusha Natu chini ambae alikosa raha kabisa kumbu kumbu za mama yake akiteswa na kupigwa tumboni zilianza tena kujijenga kichwani mwake na kuanza kulia tena kama mtoto aliyeachishwa kunyonya maziwa ya mama yake.
ilikua ni picha mbaya sana kwake, picha ya koplo Mwita haikuweza kumtoka ndani ya kichwa chake, na ndiye huyo aliye mpiga ukofi mtoto huyo na kuzimia.
“Natu una nini mwanangu”?
“Da….d am scared. Please take me home..nirudishe nyumbani namtaka Mama”
“hutaki tena nguo?”
“chitaki nirudishe nyumbani Dad sasa hivi!”
“nawewe msumbufu kama mama yako”
Ilibidi tu Kway ambebe mwanae na kuingia nae ndani ya gari lakini bado alimuhoji mwanae maswali ni kitu gani kilicho mfanya aanze kulia peke yake, Natu hakua na jibu la kumpa zaidi ya kulia kwa kwikwi.
Walifika nyumbani na kumkuta Mke wake julia ana andaa chakula cha mchana ambapo baada ya hapo, alitokea Loyda na ugeni kuongezeka walionekana kuwa wenye furaha sana siku hiyo wakila mezani na kufurahi mno.
“Kway yaani umefanana na mwanao kila kitu, atakuja kuwa mtundu kama wewe, yaani kweli mkeo hakucheza faulo”
Alizungumza Loyda huku akimtizama Natu ambaye alikua akilishwa na Mama yake ugali.!
“wee acheze faulo hapa pangetosha unadhani!, angekula mtu vikombe vitasa vichwa mpaka kieleweke”
“ha ha ha ha una vituko wewe”
“Dad nini maana ya kucheza Faulo”?
NATU aliuliza na kufanya watu wote mezani wacheke sababu hawakutegemea kama angeuliza swali hilo.
“kucheza faulo mwanangu maana yake ni ku … kuu…”
Kabla ya kumalizia sentensi mlango uligongwa kisha baadae watu waliovalia mavazi ya kipolisi kuingia na nyuma yake alisimama mwanamke mmoja mnene kiasi akiwa analia sana.
“Mama ndiye huyu”?
Mmoja wa maaskari aliuliza
“ndio ndio ndi..o yeye”
Mama Yule alimtizama Kway na kuitikia, hakuna mtu aliye jua nini kinachoendelea kila mtu aliacha kula na kumtazama mwana mke Yule,
Julia alimdaka mwanae na kumshika vizuri mikononi mwake, ukimnya ulitawala sauti iliyosikika hapo ilikua ni ya mama huyo aliyekua akilia kwa uchungu kama aliye fiwa na mume wake.
“ndi..o ndi..o huyu alimbaka mto..to wangu alimtishia na Bastola yak…e. Nash….dwa kuelezea”
.CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Mama huyo aliongea kwa uchungu sana, Kway hakuelewa kinachoendelea kilicho fuata hapo maaskari wale walimfuata na kumvuta kwa nguvu na kumuweka ukutani kisha kuanza kumsachi baadae walichomoa bastola yake iliyokua kiunoni na kumfunga pingu kwa nyuma.
“wewe una jifanya mbakaji sio, sasa utaenda kuonesha ulijari wako mbele huko.una jua kesi ya kubaka wewe?”
Kitendo kile kilifanyika ndani ya Sekunde mbili na kumfanya kila aliye ndani akae kimnya,
“niachieni kwanza sielewi mnaongelea nini,?,
nime mbaka nani, mbona mnanifunga pingu kama jambazi, hiyo ni sheria ga….”
Pale pale Kway alipigwa na kitako cha bunduki mdomoni na damu nyingi kama mchuzi kuanza kumvuja kwenye lips zake, walimsukumiza ndani ya defender haraka haraka na gari kutoa vumbi nyingi, na kumuacha mke wake akilia ndani ya moyo wake, kila mtu alikua amepigwa na butwaa!
***.
“BABY subiri kidogo”
“muda wote huo are you okay”?
“nipo sawa usijali honey”
Alijibu Catherine huku Enock akiwa kimnya sana ndani choo kile kwenye ndege, baada ya hapo walitoka na kila mtu kufika kwenye kiti chake na kukaa!,
Ndege hiyo kubwa ilizidi kutoboa mawingu angani, walifika DOHA na kubadili ndege ambayo ilianza safari nyingine kuelekea Brazil,usiku kucha ndege ilikua angani, baadae ilisikika sauti kuwa wafunge mikanda sababu ndege iyo inaenda kutua kiwanja cha mji wa Brasilia asubuhi hiyo,. hapo ndipo Mwasha na wengine walitakiwa kushuka, baada ya ndege kutua, walianza kushuka taratibu ngazi,
walitoka nje,
ulikua ni mji mzuri sana hali ya hewa ilikua tulivu mno, magorofa marefu sana kwenda juu, na kumfanya Catherine astaajabu. Betty kazi yake ilikua ni kujipiga selfie tu muda wote na kuwarushia marafiki zake watsap, na kuziweka instagram, baada tu ya kuweka vocha.
“wapi hiyo mama”?
“nipo Brazil, Nasra”
“mmmh mmmh, Brazil tena”?
“ndio Brazil, Brazil nipo huku na mdosi mmoja ana pesa huyo balaa, we kaa tu Zanzibar ule karafuu mimi nakula maisha”
“sasa mmeenda kufanya nini?”
“kula bata”
Betty alikua akichat baada ya kufika nje ya uwanja wa ndege na kusubiri kita kacho fuata,
hawakuamini baada ya kuona LIMO mbili nyeusi na nyeupe zikiwa zime fika mbele yao,
zilikua gari ndefu aina ya benz zenye milango nane ambazo mara nyingi hutembelewa na maraisi au MATAIKUNI wenye pesa zao,. LIMO zili simama mbele yao kisha mwanaume mmoja wa kibrazili aliye bana nywele zake kwa nyuma aliyejitambulisha kwa jina la Franco, aliwapokea mizigo yao na kuiweka ndani ya boneti la nyuma.
“welcome to brazil(karibuni Brazil)”
“thank you”(nashukuru)
Enock na wenzake waliingia kwenye Limo ya nyuma huku baba yake, Betty,Catherine na Ngowi waliingia kwenye Limo ya rangi nyeupe kisha safari hiyo kuanza, ambapo dereva huyo alionekana kabisa alijua ujio wa ugeni huo,
hakua na haja ya kumuelekeza ni wapi aende, waliuacha mji wa Porto velho na kuzidi kusonga mbele, ulikua ni mji uliotulia sana, uliojaa warembo na vijana watanashati
Walitoka kabisa mji huo nje kidogo na mji wa Brasilia mji mkuu wa Brazil.
“Mwasha hapa panaitwa Riode Jeneiro, wachezaji mpira wote ukitaka kuja kuwaona njoo hapa, huu mji ndo wa starehe,ila sio pazuri sana kuna fujo fujo nyingi,”
“kwani tunaenda mji gani sasa hivi”?
“tunaenda Venezuella, mji wa bata,kuna jamaa angu kule ana hotel yake karibu na bahari ya Atlantic, ni mtu wa kusini ana pesa sana”
Waliongea Mwasha na Ngowi, Catherine alibaki kimnya muda wote alishindwa kuelewa mambo yanayo tokea katika maisha yake, hakuamini kama ata kuja kufika nchi kama hiyo, wakati mwingine alijua ni ndoto ya mchana lakini ilikua ni kweli.
“Cate, kuna watu wanajua kucheza na pesa, wanajua kutumia pesa hapa duniani khaaa”
“kwanini. Betty”?
“yaani gharama zote izi, mi ndo maana nakwambia wazee ndo wanajua kulea, kuliko kule kijana kakupeleka mlimani city cinema, atamuhadithia kila mtu,yaani hapo haijazidi hata elfu hamsini atapiga kelele huyo, sasa angalia mzee huyu, piga hesabu nauli ya kutoka bongo mpaka huku alafu maskini hata haongei, cate usicheze bahati hii, haya ndo maisha!”
Alizungumza Betty masikioni mwa Catherine akimnong’oneza. Limo waliyopanda taratibu ilianza kupunguza mwendo kisha kuingia ndani ya hotel kubwa sana na ndefu kwenda juu,
kwa upande wa pili kulikua kuna fukwe za bahari watu wakicheza michezo ya mpira upande mwingine kulikua kuna swimming pool,watu tofauti wakiogelea
Kweli walikua wapo dunia nyingine kabisa, walifunguliwa milango na Franco kisha kuingia ndani. waliingia ndani ya hotel hiyo, na kupanda Eleveta iliyo wapeleka mpaka gorofa namba mia moja na tisa kisha kupewa chumba chao kikubwa Catherine na Mwasha,
Baadae waliagiza chakula na kuanza kula kisha Catherine kuingia bafuni kuoga baada ya kutoka alikua na kanga moja tu iliyolowa maji na kufanya umbo lake lijichore vizuri sana huku chuchu zake zikiwa zime simama vizuri kabisa,
JONGOO wa mzee mwasha alianza kufurukuta na kujikuta anasimama kitandani bila kuitwa na kumsogelea Cate midomoni mwake taratibu na kuanza kulambana midomo huku wakibadilishana mate, Catherine alimtupa mzee huyo kitandani kisha kumfuata kwa juu.
“nataka leo nikufanye uwasahau wanawake wote uliowahi kufanya nao mapenzi”
Alizungumza Catherine huku akilichua tango la mzee Mwasha.
“Noo, usiniambie ninyamaze, usinitishe sawa mimi naijua sheria, nimesoma sheria,, naomba uniambie kifungu kipi kimeandikwa kuwa askari anatakiwa kumpiga mtuhumiwa, wewe ni FFU? Mumempiga na kumfunga na pingu, na sio jambazi, sheria ya nchi hii navyojua mimi mnamfuata mtuhumiwa tena ikiwezekana na barua kuwa ana hitajika kituoni, ninyi mmeenda kumfanyia fujo tena mbele ya familia yake alafu nimefika hapa mnaniambia mambo ya utumbo, hivi nyie mnanijua mimi, sasa sikilizeni hii kesi nainunua”
Sabrina aliwaka sana kituoni hapo baada ya kuambiwa Kway yupo mahabusu tena alipigwa, kweli sheria aliijua isitoshe alikua ni wakili wa kujitegemea ivyo sheria zote alikua nazo kichwani, kitendo alichofanyiwa kway kiliukoroga sana moyo wake,
na kuwafanya askari waliokua mbele yake waanze kutetemeka sababu walishajua kitumbua kimeingia mchanga na akiwezi kulika.
“wewe jina lako nani”?.CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“nani mimi huyu au”?
Alibabaika askari mmoja huku akiwa mwenye kiwewe.
“wewe hapo, jina lako nani”?
“lakini mama naomba tumalize tu, sisi wenyewe vibarua hapa, tumepewa tu maagizo”
“sitaki kusikia, sawa nimeshaiona namba yako hapo kwenye shati”
Sabrina alitoa simu yake mfukoni na kutoka nayo nje akiongea na mwanasheria mkuu Ndibalema Jovan,
ambaye alikua akifahamika sana nchini hapo, alimueleza kila kitu kilicho tokea, na sasa hivi kesi hio kuichukua Sabrina bila kujua anajiingiza kwenye matatizo makubwa sana,hakujua kwanini alikasirika kwa kitendo cha Kway kufanyiwa kitendo hiko cha kinyama,
wakati mwingine alidhani wenda Kway alimsaidia kipindi cha nyuma kwenye kesi ya Ramsey lakini vile vile alikua na mimba yake tumboni ambayo aliamini ilikua ni ya Kway, vitu ivyo viwili ndivyo vilivyo msukuma na kumfanya akasirike sana.
“huyo mwana mke aliye sema kuwa Mwanae kabakwa na Kway yuko wapi”?
“hajafika bado”
“hajafika sio, mwambie ivi mimi kesi nimeshainunua, nioneshe faili la kesi ya Kway”
“Bado hatujaliandika”
“hilo ni kosa lingine, alikuja vipi kushtaki huyo mama hapa kituoni bila kuyachukua maelezo yake kwa njia ya maandishi, sawa hakuna shida hiyo kesi sasa mimi naifungua kwa kuanza kuwashtaki ninyi alafu
nije kwa huyo mama then tumalize,ivyo basi naomba Kway atoke kwa dhamana, mimi namtolea dhamana, pia nataka kufungua kesi sasa hivi”
“Mama naomba tuyamalize”
“haiwezekani nilishasema, siwezi namuomba Kway,”
Taratibu za dhamana zilianza sasa na tayari Kway alitolewa. alishalala siku moja nzima kituoni hapo, alishaanza kuchoka sasa, Sabrina machozi yalianza kumlenga alivyomuona Kway,
alimuonea sana huruma, alichukua bastola yake na kuondoka wote mpaka kimara kwa msuguli, ila alivyofika kwake alimkuta Mke wake Julia akilia sana machozi, hakuelewa nini kilimfanya alie kwa sauti ile.
“Julia, Julia Mama Natu tatizo nini?”
Julia alimkimbilia mume wake na kumkombatia huku akilia machozi, Kway alimsogeza kidogo kisha kumfuta machozi akitumia viganja vyake viwili.
“Natu simuoni, shuleni hayupo tangu jana hajarudi”
“embu ngoja kwanza, niambie vizuri unasemaje?”
“Natu, Natu mwanangu, tangu jana sikumuona nilienda usiku jana kisha wakaniambia kuwa alikuya mtu akasema kuwa yeye ni mujomba wake na kuondoka nae”
“EEEH Mungu nime kukosea nini”?
Haraka haraka Sabrina,,Julia na KWAY waliingia ndani ya gari na kuanza safari ya kwenda shule aliyokua akisoma Natu iliyoitwa EAST AFRICA INTERNATIONAL iliyokua mikocheni,
Ndani ya dakika kadhaa walikua wakiiacha mwenge na kunyoosha cocacola kisha kukunja kulia, baada ya dakika mbili walipaki gari lao ndani ya shule hiyo na kuonana na mama mlezi wa watoto aliyeitwa Madam Salome, na kuelezea juu ya kupotea kwa mtoto wao.
“ndio jana alikuja kijana mmoja hivi akaniambia ni mjomba wake nyumbani kuna matatizo”
“yaaani wewe ni bogazi kabisa huna ak…”
“kway”!
Alidakia Sabrina kwa sauti ya chini baada ya kuona kway keshapandwa na hasira
“Sabrina nyamaza, sasa nini maana ya wewe kupewa hawa watoto, habari ni hivi mwanangu simuoni na nyumbani kwangu hakuna matatizo, mimi nita hesabia kuwa wewe umehusika”
“hapana baba angu mimi sijui chochote naomba unisamehe nipo chini ya miguu yako,”
“hata niki kusamehe wewe, mimi sito jua mwanagu alipo”
Kway alizidi kufoka akiwa mwenye hasira kisha kwenda mpaka kwa mkuu wa shule, japo kua alizuiwa ila alinyoosha mpaka ndani ya ofisi hiyo, lakini majibu aliyopewa hayakufanya Natu arudi mikononi mwake, maneno aliyopewa na mkuu wa shule yalikua ni ya kumpa moyo tu na wala sio vinginevyo.!
Maneno aliyoongea Sabrina yalikua yana ukweli ndani yake sababu alianza kufuatilia kesi ile mpaka mwisho wake, kabla ya kufika mbali alipigiwa simu na RPC Mkumbo ambaye alitoka nchini Commoro baada ya likizo yake kuisha,
Baada ya kusikia kesi ile ilibdi amuite Sabrina ili waweze kuongea kabla mambo hayajafika pabaya sababu alijua angeulizwa maswali mengi,
Moja kwa moja alifika mpaka ofisini kwa RPC MKUMBO na kuketi kiti kilichokua pembeni na kuanza kuelezea kila kilichotokea!.
“MAMA iyo kesi, mimi ndiyo niliyepewa ila kazi hiyo niliwapa vijana wangu, sasa unavyo niambia tena Kway alikamatwa sielewi vizuri, alafu mbili umesema na mtoto wake ametekwa nyara?”
“ndio ninaweza nikasema ivyo”
“mmmh, mama wewe nenda niachie namba yako, mimi nitakutafuta”
“lini”?
“kesho asubuhi”
“sawa, mimi naenda”
Baada ya kuagana Rpc Mkumbo alinyanyua mkonga wa simu na kumuita Koplo Mwita ndani ya ofisi yake, kweli baada ya dakika chache alishafika ofisini kwa mkuu wake huku akiwa mwenye hofu sana.
Na kuanza kuhojiwa maswali ambayo aliyajibu kwa kubabaika sana.
“tulifanikiwa kumsaidia Kway”
“usinidanganye”!
“sio ivyo mkuu”
“Mwita, unajua kuwa naujua ukweli wote, kwaio anza upya”
“ki ukweli, mkuu nilishindwa kukuku…ku”
“sawa, tuachane na hayo, kwanini mlimkamata?, nani aliyetoa tamko kuwa akamatwe”?
“ni mimi mkuu”
“kwanini,! alifanya nini”?
“Kuna mama alikuja akasema kuwa alimlawiti mwanae”
“mbona faili siku liona, sikia nikwambie Mwita, hii kesi imeenda ngazi za juu, kuna watu walioshuhudia kitendo mlichomfanyia, wamefungua kesi, kupitia macho yako najua kuna kitu una kijua, naomba uanze kuniambia kabla sijakijua, na unaelewa kabisa nitakijua tu, kwaio naomba nikisikie kutoka kwako sasa hivi kabla sijachukua uamuzi mwingine mbaya sana”!
Rpc Mkumbo aliongea akiwa mwenye hasira sana siku hiyo, na kumfanya Mwita aanze kuogopa aanzie wapi, alijua kuongea ukweli litakua kosa linguine lakini hata akikaa kimnya mkuu wake ni lazima angejua, sababu alimtambua kuwa akiamua kufatilia jambo ni lazima atalijua tu.
KWAY bado alizidi kuchanganyikiwa siku ya nne sasa hakuweza kumtia mwanae Natu machoni yeye na mke wake kila siku walihangaika na kuchoka, ila siku hiyo alipokea simu kutoka kwa mtu asiyemfahamu ambaye alidai kuwa ana mtoto wake.
“kuna maagizo hapa, futa kesi uliyoanzisha na mtoto wako atakua salama, nenda kituo cha polisi waambie kuwa umesha mpata mwanao, una masaa mawili tu kuanzia sasa hivi”.CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Sauti ya upande wa pili ili ongea na simu ile kukatwa pale pale na kumfanya Kway azidi kupatwa na ngekewa asijue cha kufanya kwa wakati huo.
***
MZEE MWASHA ALIKUA AKITOA MIHEMO YA raha baada ya mwanamke mrembo mwenye mikono laini sana kuchua TANGO lake huku akimfuata kwenye chuchu za mzee huyo na kuanza kuzinyonya,
alivyotaka kuinuka alitulizwa pale pale chali,
kila alilotaka kulifanya aliambiwa atulie kabisa na kumfanya atulie kama mwanakondoo huku akiwa tayari uchi wa mnyama,
Cate alimuendea kwenye masikio yake na kuanza kumlamba taratibu huku akiingiza ncha ya ulimi ndani yake, kweli mzee huyo alipagawa sana.
“baada ya hapa, nitakupa million hamsi,…ni saaawa”
Alijikuta anaongea mwasha akipanda dau kana kwamba ananunua hisa tanesco, Catherine kila alipohisi mzee huyo anataka kufika alisitisha zoezi na kumfanya mzee huyo wa watu achanganyikiwe Zaidi,
“Milioni sa….biiini sasa”
Catherine alitabasamu na kuendelea na mchezo huo huo na kufanya mzee huyo azidi kupanda dau mpaka alipo fikia milioni mia na hamsini,
Catherine alipanda juu yake na kuweka Tango la mzee huyu mtu mzima vizuri ndani ya ikulu yake na kuanza kukatika juu yake, ndani ya sekunde chache tayari mzee huyo alishamaliza mzunguko wa kwanza, na kumfanya aheme juu juu kama aliye kimbia mita mia nane tisini,
Alimtizama Catherine na kusimama alienda mpaka kwenye begi kubwa na kuanza kuhesabu pesa,
“hizi ni milioni mia na hamsini za kitanzania, sitaki uende ukawape wazazi wako, izo tumia wewe mwenyewe Beatrice ni za kwako wewe tu”
Catherine hakuyaamini macho yake baada ya kukabidhiwa pesa zile nyingi sana, alimfuata mdomoni na kumbusu Mzee Mwasha huku akiwa mwenye furaha sana. Walitoka nje usiku na kwenda kukaa pembeni kidogo ya fukwe ya bahari huku wakipiga stori.
“hivi baby”!
“naam mke wangu”
“kitu gani ambacho ukifanyiwa kwenye mapenzi una kasirika sana,au hupendi kufanyiwa”?
“kwanini umeniuliza ivyo”?
“aaah bwana nijibu tu”
“Mimi nina wivu sana japo umri umeenda sana,
mfano nikijua kuwa unatembea na kijana mwingine nitamfanya mbaya, mfano mzuri, ngoja nikwambie ukweli. marehemu mke wangu alini fanya nifungwe jela ujue, kuna kijana mmoja alikua akitembea nae, nilicho mfanya huyo kijana hakika huko alipo hawezi kunisahau”
“mmh huyo kijana sasa hivi yupo wapi kwani”?
“nilisikia alikufa kipindi mimi nipo jela, lakini bado nina kisasi kwenye familia yake, awe ana mtoto au mke lazima ataonja joto la jiwe, kweli tena!”
Aliongea mzee Mwasha bila kujua anaezungumza nae hapo ni mtoto wa Ramsey, ki ukweli hata Catherine vile vile hakuelewa kuwa baba yake ndiye aliye kua akizungumziwa hapo.!
“mmh unanitisha sana”
“mfano sasa, lakini usikasirike baby, ivi siku ukajua natembea na mwanao Enock utamfanya nini”?
“sasa hapo atakuwa mwenyewe ametaka vita na mimi, wewe siku jaribu uone nitakacho mfanya,au tayari?”
“AKUU! siwezi kufanya ivyo ni mume wa mtu yule naogopa sana”
Walipiga stori nyingi za hapa na pale kisha baadae usiku sana ulipo fika walirudi chumbani kwao kulala.
Asubuhi ilipo fika Catherine aliamka kimnya bila kutaka kumsumbua Mzee Mwasha alioga kisha kutoka nje kunywa chai,
moyo ulimwenda mbio baada ya kukutana na Enock akimuoneshea ishara kuwa aende alipo,
“unasemaje Enock”?
“twende huku”
Enock aliongea kwa sauti kubwa na kuanza kumvuta Catherine akitumia nguvu na baadae kumuweka begani, alienda mpaka kwenye moja ya boti ziendazo kasi na kumbwaga, aliingia kwenye usukani na kuwasha boti lile na kulitoa kasi.
“Enock nini unafanya”?
“nataka tukaongee”
“sijamuaga baba yako”
“keep quit”
Enock aliongea huku akizidi kuuzungusha usukani wa boti hilo liendalo kasi sana ambalo alilikodi,
Walitembea na kusimama kwenye moja ya kisiwa na kumshusha Catherine.
“huku tupo peke yetu, usijidanganye ukapiga kelele”
“unataka nini”?
Enock moja kwa moja alienda chini na kupiga magoti huku akiomba msamaha kwa Catherine na kumwambia ni jinsi gani anampenda sana,
alilia machozi kama mtoto mdogo akiomba msamaha,
“Enock, siwezi nielewe”
“kwanini Catherine”?
“baba yako,mimi ni mke wa baba yako sasa hivi, itakua vigumu sana”
“Catherine,nakupenda mimi nilianza kukupenda, lakini najua ni hasira tu ndizo zilikufanya ukawa na mahusiano na baba yangu najua una fanya haya kulipiza kisasi, nime umia ndio nakubali, naamini bado una nipenda sana, niangalie machoni niambie hunipendi”!
Enock alimtizama machoni Catherine na kusubiri jibu hilo kutoka kwa Catherine,
Kwa Catherine huo ulikua ni mtihani mkubwa sana ndani ya moyo wake alihisi kitu. damu ilimwenda mbio,ila katika hali ya kushangaza hali ya hewa ilianza kubadilika ghafla na mvua kuanza kunyesha huku radi ikipiga,
walivyoangalia upande walipoacha boti yao, hawakuiona kuashiria kuwa ilipelekwa na mawimbi makali, na kuzidi kuchanganyikiwa hawakujua watarudi vipi na wote hawakubeba simu zao…
“mimi leo nakuuwa, nakuuwa umemuuwa mama yangu?.”
“Enock nisamehe mume wangu nili fanya hivi sababu nilikua nakupenda sana, siku taka nikukose mume wangu”
“ndo umuuwe mama yangu?”
Enock aliongea kwa uchungu na simanzi huku akiwa mwenye hasira nyingi sana kohoni mwake, alimvuta Heather na kuanza kumzaba makofi mazito kila sehemu ya mwili wake, ndani ya nyumba hiyo, walianza kukimbizana huku Enock akiwa na kisu mkononi mwake kweli hakua na mzaha hata kidogo, ilikua ni bora akafungwe jela kuliko kumuacha mwanamke huyo akiwa hai aliyeutoa uhai wa mama yake mzazi.
“Enoooockk. Jamani majirani nakufa mimi, Enock anata kuniua.”
Aliita Heather huku akikimbilia getini na kuomba msaada ila aliteleza na pale pale Enock kuja karibu yake na kushusha kisu kile maeneo ya tumbo la Hetaher ila Heather aliushika mkono ule wenye kisu na kuanza kushindana nguvu, .CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
bahati mbaya Enock aliteleza kidogo na kisu kile kuzama ndani ya tumbo lake,kilikua kimeingia chote kabisa na kufanya damu zianze kumwagika sehemu za chini kwa wingi,
Enock badala ya kulia kwa maumivu badala yake alianza kucheka huku taratibu akikitoa kisu kile tumboni mwake.
Alimtizama Heather ambaye alikua na wasiwasi mwingi sana kuona hali ile na kushangaa ule muujiza,ndani ya sekunde chache tayari kisu kile kilikua tumboni mwake na kumfanya ahisi maumivu makali.
“Enoooooock……”
Alishtuka usingizini Heather baada ya kutoka kuota ndoto hiyo ya kutisha, ndoto za ajabu sasa ilikua ni kawaida kwake, ilikua ni lazima aote ndoto za kutisha kama sio Enock basi mama Enock hakuelewa ni kitu gani afanye ili jinamizi alilokua nalo limtoke,
ki ukweli damu ya mama Enock ilianza kumsumbua hilo alilijua, hakulala tena usiku huo, alisubiri mpaka asubuhi kukuche ili amsubiri Fredy Kiluswa ampe pesa za nyumba iyo kisha yeye atokomee mbali sana ikiwezekana ahame mji kabisa,
Asubuhi kulikucha na kuanza kutembea akishuka ngazi aliingia kuoga na kuanza kupanga nguo zake na kila kitu kukiweka sawa kabisa, baadae alisikia honi ya gari inapigwa na kutoka nje alimuona Fredy kiluswa kesha fika na kutoa begi lililojaa pesa.
“karibu hapa ni kwako sasa, subiri nikupe hati za nyumba kabisaaa”
“sawa ahsante sana”
Hati za nyumba zilitolewa na kuwekwa mezani mzee huyo wa makamo aliweka sahihi yake, na sasa kufikia zamu ya Heather ila cha kushangaza alishindwa kuelewa kama anaota au ni kweli alijifinya kwenye mkono na kufumba macho yake na kuyafumbua tena na kujua kweli hayupo kwenye ndoto hii ni baada ya kumuona Mama Enock amekaa pembeni ya sofa huku akiwa na damu mdomoni mwake,
huku akimtizama kwa hasira sana akikamkazia macho kuonesha kuwa anachukizwa na kitendo anacho taka kukifanya hapo.
“Mama vipi tena”?
“mmh mmh”
Heather alitingisha kichwa chake na kutoka mbio mlangoni na kumuacha mzee yule ashindwe kuelewa nini afanye, sababu hakuelewa nini kime mkuta mama huyo aliye kua na mimba kubwa akijikimbiza kama chizi nje.
Heather alitoka nje mbio mbio na kufungua geti kama umeme bila kuangalia upande wa pili kilicho mshtua zilikua ni honi za gari na kumchota mzima mzima kisha kumtupa mbali sana pembeni ya mtaro,
kila mtu alimuonea huruma na tumbo lake kubwa,
Wasamalia wema walifika haraka haraka na kumbeba Mwanamke huyu ambae kwa wakati huo alikua akiongea maneno ya ajabu sana.
“Mama Eno…ck us..iniue tafa..dhali ni..samehe”
Hayo ndiyo maneno alikua akiongea Hather njia nzima akiwa anawaishwa Hospitalini,waliomjua walianza kusikitika sana sababu walijua kua alikua ni mke wa Enock mwasha walijua ni lazima kuna kitu nyuma yake, mpaka ana fikishwa hospitali ya wilaya bado alikua akilitaja jina la Mama Enock mdomoni mwake akisisitiza kuwa asimuuwe na amsamehee.
***
Mvua ilizidi kunyesha na radi kupiga hawakuelewa wange toka vipi ndani ya kisiwa hiko kilicho kua kina miti mingi ya kutisha sana, na mara kadhaa walisikia miungurumo ya wanyama wakali sana, akili zao zilishindwa kufanya kazi kabisa, Catherine alibaki tu kumlaumu Enock kwa kitendo alicho kifanya hawakujua kuwa kama wangetoka salama ndani humo.
“sasa tutafanya nini Enock yote ume yataka wewe”?
“sio muda wa kulaumiana huu, cha kufanya tufikirie cha kufanya tujue tutarudi vipi”
“wewe unadhani tutarudi vipi.. na sijui kama tutatoka salama humu”
“tutatoka niamini mimi”
Tayari Catherine alisha kasirika sana alitembea mpaka katikati ya miti mingi na kukaa mwenyewe huku akitafakari sana juu ya maisha yake na kujilaumu kwanini alienda nchini Brazil,
neno kifo ndilo lilianza kujijenga ndani ya mtima wake na wala si vinginevyo. Alikuja Enock na kumshika Kidevu ilionekana kabisa mwanaume huyu hakua na wasiwasi kabisa alichotaka yeye ni kurudiana na mrembo Catherine jambo ambalo alikua akilitaka siku nyingi sana na kupelekea kumleta katika kisiwa hiko, ndani ya moyo wake aliapia kuwa ni lazima amrudie Catherine hata kama kesha kua na mapenzi ya baba yake mzazi hilo hakulijali ,
ilikua ni lazima amnyang’anye tonge mdomoni.
“Enock niache mimi ni mama yako”
“unachekesha sana, embu tengua hiyo kauli”
“ndo nina kwambia sasa, mimi ni mke wa baba yako, ni mama yako, na akijua wewe ndiye umenileta huku sidhani kama atakusamehe”
“subiri tuone sasa!”
Enock aliendelea kumsumbua Catherine na kumlazimisha lakini hakuweza hata kidogo na kuambulia kofi zito sana la shavu lililompa jibu kuwa hayupo tayari.!
Usiku ulisha ingia sasa na kulikua hakuna dalili ya mtu yoyote yule kutokea ilibidi tu wawashe moto na kuanza kuota joto,
Kulikua kuna baridi sana na giza totoro la kutisha kila pembe ya msitu huo wa kisiwani.
“Enoo..ck Enooock”
Sauti ya catherine ndiyo ilimshtua kutoka usingizini kukiwa tayari kumepambazuka na kukurupuka huku akitafuta sauti hiyo ilipokua ikitokea alijua ni Catherine ndiye alikua akipiga kelele zile akiomba msaada. bila kujua nini kilimkuta alianza kuifuata sauti hiyo ilipokua ikitokea.
“Catheriiiiine”!
“Enoooooock, nisaidiiieee”
Alizidi kuifata sauti hiyo huku akikimbia kisha kusimama nyuma ya vijana wawili wa kibrazil ambao walikua wame mbeba Catherine begani.
“Hey, let her go(mwacheni aende)”
Vijana wale wawili waliokua wana rasta vichwani walianza kucheka huku wakiongea lugha ya kwao na kuzidi kusonga mbele, lakini Enock alimfuata mmoja wapo aliyekua amembeba Catherine na kumshika begani ila alitulizwa na ngumi iliyo mfanya aende chini mzima mzima.!
Aliinuka na kukaa sawa kisha nayeye kukunja ngumi tayari kwa lolote dhidi ya watu hawa waliokuwa wanataka kuondoka na mwana mke aliyekua akimpenda ilikua ni lazima afanye jambo ili amkomboe mwanamke huyo aliye kua akimuomba msaada wake,
Watu wale walimuweka chini catherine na kumzunguka Enock ambaye sasa alianza kukunja shati lake kwa kujihami, alimuona mmoja wao akija kichwa kichwa na kumkwepa alimvuta na kumtwanga kichwa puani.
Palepale kama umeme aliokota gongo chini na kuanza kuwapiga watu wale mpaka walipopoteza nguvu zao,
catherine alimrukia Enock na kumkombatia huku akiwa mwenye hofu bado,
“Enock”.CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Catherine aliita huku akitizama chini baada ya kumuona nyoka mkubwa akitambaa aina ya
Python mwenye mabaka mabaka meusi akija mbio usawa wao,
Kabla ya Enock kujihami tayari nyoka yule aliruka na kumgonga mguuni Enock, kutokana na sumu kali aliyo kua nayo nyoka huyo pale pale alianza kuhisi kizunguzungu kikali na kuanza taratibu kwenda chini,
nguvu zilimuishia na kwa mbali kuona macho yake yana fumba na kujaa ukungu alimuangalia catherine na kumsikia kwa mbali akiwa analia kwa uchungu sana huku akimtingisha tingisha,
hakuna alichodhani hapo zaidi ya umauti wake kumkuta alihisi giza nene na mcho yake kufumba kama genereta taratibu huku mapigo yake ya moyo yakizidi kupungua kudunda.
“Mwanangu yupo wapi sasa hivi, ameenda wapi na mke wangu. Watakuwa wapi lakini”? Mwasha alizidi kuongea akiwaulizia Enock na Mke WAKE kipenzi wapi walipo Alisha zunguka sasa na kuchoka kabisa,hakuweza kufikiria kabisa kama mtoto wake Enock huko alipo ana pigania penzi la msichana Catherine, bado akili yake haikuweza kufikiria nje ya boxi kwa wakati huo,Hakupata lepe hata la usingizi, kulivyokucha alidamka kama kawaida na kuanza kazi ya kuwaulizia watu hao wawili, kila pemb ya hotel hiyo.
Mpaka mmoja wa mtu anaye kodisha maboti kumuelezea kuwa alimkodishia Boti Enock jana yake asubuhi!.
“una sema alikua peke yake, maana sija kuelewa vizuri”
“sina uhakika hapo mzee, lakini hapa alikuja peke yake, nikampa boti akaniambia atarudi”
“hakusema anaenda wapi”?
“hakuna sehemu nyingine atakapo kua, nina amini kuwa atakua kwenye kisiwa kilichopo hapo mbele”
“sawa nipatie boti na dereva, Ngowii twende ndugu”
Ndani ya dakika kadhaa teyari boti ilichukuliwa na sasa walikua njiani kuelekea ndani ya kisiwa hiko, bado kulikua kuna mawimbi makali sana na kufanya boti hiyo iyumbe kutokana na mawimbi hayo kuwa makali mno!
Wasi wasi ulizidi kutawala ndani ya mioyo yao na dereva wa boti kushauri warudi walipotoka sababu aliamini ni lazima chombo hiko kitatupwa mbali sana na mawimbi hayo yanayo yumbisha, ilifika kipindi boti ilipigwa na wimbi kali na kufanya wote wadondoke.
“hakuna kurudi nimesema tusonge mbele”
Aliongea Mwasha kwa sauti kubwa sana ili aweze kushindana na kelele za mawimbi hayo, dereva hakua na chaguo lingine zaidi ya kumsikiliza bosi wake anacho sema,
Licha ya mawimbi kupiga sana lakini walifika ndani ya kisiwa hiko na kuanza kumtafuta Enock huku na kule.
“Enooock, Enoock”
Walizidi kuita bila mafanikio, ila baadae walisikia sauti ya kama mtu akiita kwa mbali, ilikua ni sauti ya kike, Mwasha aliweza kuitambua sana sauti hiyo ilikua ya Catherine na kuanza kuifuata ilipo,
Hawa kuamini walichokiona Enockalikua chini amelala chali kimnya, hasemi kitu chochote kile,wote walimvamia na kuanza kumtingisha.
“nini kimetokea”?
Alihoji Mwasha huku akimtizama Catherne, tararibu huku akilia alianza kumuelezea kuwa aligongwa na nyoka, dereva wa boti waliekuja nae haraka haraka alitoa kisu kidogo mfukoni na kukata sehemu ambapo yenye jeraha la nyoka, kisha kuanza kupanyonya na kutema sumu chini, alichukua kamba na kuifunga kwa juu kidogo ya mguu wa Enock,
alikimbia kwenye majani na kuanza kuyachuma mengi na kuya tafuna mdomoni kisha kuyabandika juu ya mguu wa Enock baada ya dakika chache Enock alianza kutapika vitu vyeusi sana.
Wote walibaki kimnya wakimtizama kijana huyo mbrazil ambaye alionekana anajua kile anacho kifanya.
“ni nyoka gani aliye mgonga”?
Aliuliza m-brazili huyo kwa lugha ya kiingereza.
“sijui sijui, ila alikua ni mweusi mwenye mabaka mabaka”
“nisha mfahamu python,”
Alikimbia tena kwenye miti na kukata majani mengine kisha kuchukua maji na kuyaweka majani yale na kumpa Enock anywe, pale pale alianza kutapika tena vitu vingine vyeusi, ilikua ni sumu ina toka tayari,
Huduma ya kwanza ilikua teyari imekamilika kwa wakati huo, safari ya kumpeleka hospitali ndiyo iliyo baki, aliingizwa ndani ya boti haraka haraka na boti hiyo kuanza kukata mawimbi sasa,
Ila kilicho mshangaza baba yake mzazi, ni Enock kulitaja jina la Catherine mara nyingi, wasiwasi na wivu wa mapenzi ulianza kumuingia, hakika alianza kuhisi kitu lakini kabla ya kuyaruhusu mawazo yake yachukue nafasi, ilimlazimu afanye uchunguzi wa kina ili atoke na jibu kamili, alijua ni lazima kuna kitu kitakua kina ndelea chini kwa chini!.
Catherine alitulia kimnya machozi yalianza kumlenga kwa mbali sana huku akimuonea huruma Enock ambaye kwa wakati huo alikua akiweweseka sana akitaka kukata kauli huku akiendelea kulitaja jina lake kila wakati,
Baada ya dakika kadhaa walifika nchi kavu na kumshusha Enock. safari ya kwenda hospitali kwa ajili ya matibabu ilianza mara moja., baada ya kufika hospitalini matibabu ya haraka haraka yalianza na sumu ile kutolewa na madaktari bingwa,
Hali ya Enock ilizidi kuwa nzuri na kuruhusiwa hospitalini ila bado alikua hataki kukubaliana na hali iliyokuwa iki mkabili, bado alimtaka Catherine kimapenzi bila kujali baba yake atafanya nini.
Siku hiyo wakiwa maeneo ya fukwe Enock alimuona kwa mbali catherine na kumfuata pale pale alipo, kwa nguvu alimvuta kiuno na kuusogeza mdomo wake kinywani mwa Catherine akimlazimisha kumnyonya mdomo wake akitumia nguvu.
“Enoock, enock niache”
“siwezi”
Bado akiwa anaendelea na zoezi lile ghafla baba yake alitokea kwa nyuma na kushindwa kuelewa nini kinaendelea.
“Enock”Aliita Mwasha huku akiwa mwenye jazba nyingi sana kitendo cha kumuona mwanae ana fanya kitendo kile na Catherine mwanamke wake anaye mpenda hakika kilimchoma sana moyoni.
***
Bado mambo yalimuendea kombo, dunia aliiona chungu sana RPCmkumbo aliye kua akimtegemea safari hii alihamishwa mkoa na kupelekwa kanda ya ziwa, mambo yalimwendea mrama, kupotea kwa mtoto wake Natu huku pia kesi aliyosingiziwa kuzidi kumtesa sana,
ki ukweli Alisha choka kabisa kufikiria, ilikua ni lazima baada ya wiki akaripoti kituo cha polisi oysterbay, jarada lake lilipelekwa mahakamani ili kesi ianze.
Mama ambaye aliye kua akisema kuwa Kway alimlawiti mtoto wake wa kike Alisha panda kizimbani mnamo tarehe saba mwezi wa sita kwa kutoa ushahidi kwa mara ya kwanza na kesi hiyo kusikilizwa, kila mtu alikua makini kutega sikio lake, ambapo aliongea uongo akisaidiana na wakili wake,
Kway alizidi kuka nusha kila swali baadae kidogo aliletwa mtoto mdogo mwenye umri kati ya miaka kumi mpaka kumi na tano.
“ndiyo yeye, siku hiyo usiku nilitumwa dukani usiku na mama akaja akani beba na kunipeleka kichakani na kutoa bastola yake na kuanza kunifa…..”
MtotoYule mdogo alishindwa kumalizia anacho taka kuongea na kuanza kulia machozi kila mtu alimuonea huruma, kila lililosemwa hapo kila mtu aliye kua mahakamani alimuamini sana mtoto huyo aliyejitambulisha kwa jina la Angelina Moses,
Sabrina aliye kua kama wakili wa Kway alizidi kumtwanga maswali mtoto huyu Angelina ambaye alionekana kujichanganya sana,Nyundo iligongwa mezani na jaji Ilakuboko na kesi ile kuhairishwampaka mwezi ujao. tarehe kumi na mbili..CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Kway alitupwa lupango ili asubiri siku ya kesi yake lakini hakujua kuwa mambo yanayo mtokea yalitengenezwana fundi mmoja aliyeitwa Mzee Mwasha, ambaye sasa hivi alikua akila bata nchini Brazil,
Kila siku mke wake Julia alienda kumlilia mahabusu, sababu alishindwa kuelewa hata yeye ni kwanini mambo yale yana tokea.
“Usijali Julia Mungu yupo ipo siku,ataonyesha ukweli, Natu ulishamuona”?
“hapana bado siyamuona hata popote pale siyuwe yuko wapi”?
“tuta mpata mtoto wetu usijali mke wangu, Mombe Mungu”
Kway alizungumza akiwandani ya nondo hakika ilikua kama filamu mbaya sana yenye kusisimua, mambo yaliyokua yakimtokea alidhani ni kama anaigiza picha la kihindi, waliongea wote wawili wakiwa wanalia kwa machungu mioyoni mwao tena kwa hisia.
Siku hiyo akiwa mahabusu alisikia kilio cha mwana mke akiwa analia sana tena kwa sauti, aliitambua sana sauti hiyo ilikua ni ya mke wake Julia alisimama na kushika nondo na kuanza kuchungulia kwa nje ambapo alimuona Sabrina akiwa amemshika mkono mke wake, walisogea mpaka kwenye nondo huku akimtizama mke wake ambaye alikua akilia sana kwa uchungu.
“kuna nini mbona ivyo”?
Kway Aliuliza
“Natuuuu uwiii kwanini mwanangu, Natu amesha kufa Kway uwiii eeeh Mungu baba, kwanini sisi uwii Natu wangu weeeeee”
Ilikua ni kama mkuki wenye moto wa petrol umetua ndani ya moyo wake na kulipuka, baada tu ya kusikia taarifa ile kutoka kwa mke wake, wakati mwingine alidhani ni ndoto,na baadae ashtuke, wenda alitamani iwe ivyo lakini ulikua ni ukweli mtupu kile alicho kisikia kilikua kina ukweli ndani yake.
“sa sasa Sabrina.. nini anase..ma Nat..u amefanya ni..ni”?
“Amefariki kway, maiti yake ime kutwa posta baharini,”
.CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
ITAENDELEA
0 comments:
Post a Comment